SIKUTEGEMEA – 3

Image result for adrian mcdonald photography

Simulizi : Sikutegemea
Sehemu Ya Tatu (3)

 “Hivi unajua kitu chochote kuhusiana na mahoteli yaliokuwepo katika kisiwa hichi” nilimuuliza Mzee Robert. “Mwanangu hayo si mahoteli tu bali kuna mambo yanafanyika hapo na ni mabaya kuliko ubaya wenyewe. Hapo watu hukutana kwa ajili ya kufanya ibada, na kwa mwaka hukutana mara mbili. Kama uliwahi kusikia kuwa kuna watu wanaabidu mashetani basi hawa ni miongoni mwao. Na katika ibada zao hutoa kafara kubwa sana ya damu na kula nyama za watu, isitoshe kila baada ya miezi sita kuna meli maalumu inayopita nchi mbali mbali na kukusanya watu kwa ajili ya ibada zao”.

 Baada ya kunambia nilihisi mapigo yangu ya moyo kuongezeka kwa kasi, nilianza kujuta kwanini nilimuacha Latifa. Nilishindwa kujizuia kabisa na machozi yalitengeza michirizi mashavuni kwangu. “Kijana vipi mbona unalia” aliniuliza, “nimewakumbuka wenzangu ambao wapo mikononi mwa hao wapumbavu sijui hatima yao itakuwa nini” nilimjibu kiunyonge. “Ipo nji ya kujua kama wenzako wako hai au tayari washatolewa kafara” aliniambia na mimi nikafungua masikio kumsikiliza.

 “Swali je utaweza kutumia hio njia maana inataka moyo kweli kweli” aliniuliza, “nimeshateseka vya kutosha, na hio njia nina imani nitaiweza” nilijibu kwa ujasiri. “Sawa, hiyo njia ni bomba la kupitishia maji taka. Ninaposema maji taka nakusudia maji ya chooni, hivyo unatakiwa utambue kuwa vinyesi ndio vinapita katika njia hio. Ukifanikiwa kupita mpaka juu basi utakuwa umekamilisha hatua ya kwanza. Hatua ya pili ni kutafuta mtu wa kuua ili upate nguo za kuvaa kwa ajili ya kuzunguka ndani ya mahoteli hayo. Ukifanisha hatua hizo mbili basi kuna uwezekano mkubwa wa kufanikiwa kuwaona marafiki zako kama watakua hai”.

 Nilihuna kwanza maana ilikuwa ni shughuli pevu lakini pia hakukua na uhakika kama nitawakauta wako hai. Hata akili yangu ilinambia kuwa bado wako hai hivyo ni vizuri kama ningerudisha fadhila zao kwa kuwasaidia. Kama kawaida yangu niliamua kufanya maamuzi magumu, lakini kabla sijaenda huko nilimuomba mzee Robert anipeleke kwenye hiyo boti kwanza ili niangalie kama kuna uwezekano wa kuitumia kutorokea kisiwani hapo.

 Alikubali na kunikabidhi vijana kadhaa kwa ajili ya kunisindikiza, siku ya pili mapema safari ilianza. Ukisikia kuna watu wanamapafu ya farasi wala si uongo, maana hao jamaa niliopewa walikuwa wanakimbia kweli kweli japo si kasi kubwa. Ilibidi nijikaze kiume maana safari hiyo ilikuwa yangu na kwaaajili yangu. Tulikimbia kwa muda mrefu sana zaidi ya nusu siku mpaka tulipofika upande wa pili wa kisiwa. Kwa kweli nilihisi mapafua yanawaka moto, lakini kwa wenzangu ilikuwa tofauti kabisa wao hawakuonesha kabisa dalili za kuchoka.

 Tulipofika nilikaa chini kwanza kuvuta pumzi, wale wengine walikuwa wakiangaza huku na kule na hapo ndio nikashtuka kuwa nilipewa walinzi. Maana hata kwa jinsi walivyokuwa wakikagua eneo hilo, baada ya mapumziko mafupi nilisimama na kuelekea ilipokuwa boti hiyo ambayo tayari ilishakuwa na kutu. Nijilikuta nikitabasamu baada kugundua kuwa boti hiyo ilikuwa na zile mashine za kawaida kama za mashua za wavuvi. Zile zinazowashwa kwa kutumia kamba kama jenereta, haikuwa kubwa sana. Kwa makadirio ya haraka ilikuwa na uwezo wakuchukua watu kumi ambao wangekaa kwa amani kabisa.

 Baada ya kukagua ndani nilirudi nje na kufungua sehemu ya mafuta katika zile mashine ili kuangalia kama yamo. Ama kweli Mungu humpa mja wake pale asipotegemea, mafuta yalikuwemo tena mengi tu. Tatizo lilikuja kwenye kuwasha sasa, zile waya za kuwashia zilikuwa zimekatika kabisa. Nilikaa kitako nikafikia nini cha kufanya lakini sikupata jibu, baada kuona nimeishiwa kabisa mawazo niliwafuata wale wengine na kujaribu kuwaambia kitu. Mwanzo ilikuwa shida kunielewa kutokana na kupishana lakini walinielewa nilichokuwa nakitaka, nilikuwa nataka kamba ngumu.

 Basi mmoja wao aliingia msituni na baada muda kidogo alirudi vitu kama kamba lakini zilitokana na miti. Nilizichukua na kurudi nazo katika boti, nilipofika nilizifungua mashine zote kwa ajili ya kuzifunga kamba hizo nijaribu zari kama zitawaka. Nilifanya utukutu nnao jua mwenyewe kwa sababu sikua na kifaa maalum cha kuwashia. Nilijaribu mara nyingi sana kuwasha lakini hazikukubali, “Mungu wangu mimi nimekoma na nikiokoka katika hili janga sitakaa nirudie tena upuuzi, hata kufikiria pia sitothubutu” nilijisemea moyoni huku nikilengwa na machozi.

 Hiyo ilikuwa ni sawa una njaa na chakula kipo mbele yako lakini unashindwa kula, baada ya mapumzikoa mafupi nilianza kujaribu bahati yangu tena. Mungu si asumani baada ya majaribio kadhaa mashine ziliitika na kupata uhai, yaani siwezi kuelezea furaha niliopata baada mashine hizo kuwaka. “Laiti wangelikuwepo wenzangu basi saa hivi tungekuwa tushauwacha ufukwe” nilijisemea moyoni kisha nikazima mashine hizo na kuweka kila kitu sawa kwa ajili ya kutoroka.

 Baada ya kukamilisha kila kitu nilirudi walipo wale wengine na kuwaonesha ishara kuwa tuondoke. Safari ilianza tena lakini wakati huu hatukukimbia kutokana na kiza kilikuwa tayari kimeshatanda. Tulitembea kwa mwendo wa haraka lakini kwa umakini wa hali ya juu, tulifika sehemu wale jamaa wakasimama haraka na kutoleana ishara. Hapo kila mtu alitoa kisu chake, vizu hivyo havikuwa vile nilivyovizoea bali vilikuwa ni mawe yaliochongwa vizuri. Mmoja alinifuata na kunipa ishara nipande kwenye mti, hapo sasa akili yangu ikanambia kuwa kulikuwa na hatari mbele yetu.

 Sikuwa mbishi nilisogea kwenye mti uliokuwa karibu na kupanda huku nikitetemeka, nikiwa juu ya mti kwa mbali niliona vitu kama macho yakisogea walipo wale jama waliokuwepo chini. Cha ajabu wao wala hawakutetereka kabisa, walikuwa makini sana huku wakizunguka zunguka. Ghafla alitokea chui mweusi kwenye kiza na kumrukia mmoja wao, lakini alikuwa mwepesi sana maana aliinama ghafla na chui alipita juu. Yaani maisha yangu yalikuwa kama ndoto maana kila kitu nilichokuwa naona kwenye filamu za kizungu siku hiyo kilikuwa kinatokea kweli.

 Kitu kingine kilichoniacha mdomo wazi ni pale walipoanza kuimba huku wakirukaruka na kujipiga makofi mapajani. Yule alitoa mngurumo na kumrukia mmoja wao, lakini huyu yeye hakumkwepa. Alifanya kama kumdaka hivi na kugeuka nae kwa nguvu na kumbamiza chini, aisee hii mijitu ilikuwa na nguvu. Wengine nao walifuata kwa juu na kumkita chui huyo visu kadhaa shingoni na miguuni. Ama kweli siku hiyo chui alikuwa ameingiza choo cha kike maana alichokutana nacho ni bora hata asingefikiria kuwadhuru watu hao.
 Nikiwa katika hali ya kushangaa juu ya mti nilihisi kitu cha baridi kikipinda nyuma yangu, ila kabla sijafanya kitu nilishangaa nimerushwa kwa nguvu. Kitendo cha kugusa tu ardhi nilijikuta tayari nimeshviringwa na nyoka. Tena si nyoka tu bali ni joka maana likuwa kubwa kweli kweli, ukweli niliishiwa nguvu na kujikuata nikisalimu amri kumuacha mdudu huyo afanye yake amalize. Ghafla yule nyoka alijizongoa kutoka mwili wangu na kutoa mlio mkali, mmoja wa wale jamaa kumbe alifika na kumchoma kisu kwa nguvu. Na baada ya hapo alimrukia na kumkita kisu kwenye kichwa, mbona nyoka alikuwa mpole.

 Ama kweli Mungu huumpa mwanadamu uwezo wa kumudu mazingira aliokuwepo, maana kama yule chui na nyoka wangetokea Dar ingekuwa ni hadithi nyingine. Maana watu tungepoteana kama kundi la nyumbu lililotawanywa na simba lakini si kwa watu hao niliokutana nao huko. Baada ya purukushani zote hizo walibeba miili ya nyoka na chui na safari iliendelea, tulifika kule kijijini karibu na alfajiri tena. Wanakijiji walitupokea kwa shwangwe, walifurahia sana kuletwa kwa nyama zile mbili amazo moja wapo ilitaka kuchukua maisha yangu.

 “Jamaa wanasema yule nyoka ni windo lako” Mzee Robert alininong’oneza, “ah wapi alitaka kunifanya chakula” nilijibu huku nikitabasamu. “Pole kijana haya ndio maisha ya huku, ukikutana na mnyama umuue au akuue lakini hakuna kukimbia” alinieleza huku akizidi kutabasamu kisha akaendelea “vipi umefanikiwa”. “Ndio boti ni nzima japo si sana lakini huenda ikasaidia” nilimjibu, tuliendelea mazunumzo mengine na hasa tulizungumizia suala zima la kupenya ndani ya hoteli zile kwa ajili ya kuwaokoa wenzangu kama bado wangekuwa hai. Siku iliisha na nilipumzika kwa ajili ya kazi nzito ya siku ya pili japo nilikuwa naipeleka kwenye mdomo wa mamba.

 Siku iliofuata mapema niliamka na kuanza maandalizi ya safari, mzee Robert alinikabidhi kisu pamoja na kamba ngumu sana. “Kijana najua hujawahi kuuwa lakini njia pekee ya wewe kuweza kuishi ndani ya maeno yale ni kuwa kama mgeni au mwanajeshi, kwa hiyo atakae jitokeza ni halali yako” aliniambia maneno hayo ambayo yalipenya sawia kabisa ndani ya ubongo wangu. “Kama ukifanikiwa kutoka, pitia njia ile ile ulioingilia lakini usije hapa kijijini. Nitakupa vijana ambao watakuonesha mto mkubwa unaoelekea upande wa pili wa kisiwa hichi. Basi ukifanikisha kazi hiyo na kutoka rukeni katika mti huo, na utakupeleka mpaka baharini ilipo hiyo boti” alizidi kunipa maelezo.

 “Mzee wangu naomba unisaidie kitu kimoja, mimi sijui umbali kutoka katika kisiwa hichi mpaka nchi kavu. Hivyo ningeomba unisaidie kunipelekea chakula katika ile boti ambacho kitanisaidia kwa siku kadhaa” niliomba nae alinikubalia na papo hapo akaagiza asakari wake ambao aliwaamini sana. Baada ya maongezi hayo mafupi niliga na kuanza safari  yangu yenye matumaini finyu sana. Nikiwa vijana kadhaa tulitembea mpaka katika huo mto aliosema mzee Robert kukariri vizuri njia za kufika hapo. Kisha tulielekea mpaka katika hilo bomba la maji taka, kama mtu ungekuwa na roho nyepesi basi uhakika ungegeuza na kuondoka.

 Maana ile harufu tu iliokuwepo eneo hilo ilikuwa ni yakutapisha, niliwaaga wale vijana na kuanza kupanda ngazi maalum iliokuwepo pembeni. Nahisi ile ngazi ilikuwa inatumika kufanya marekebisho ya bomba endapo lingeharibika. Nilipofika karibu na bomba hili wala siku jiuliza mara mbili niliingia na kuanza kutembea. Yaani nilifuta kabisa wazo la kuwa nilikuwa natembea kwenye maji yalioyajaa vinyesi japo harufu ilinitesa sana. Baada ya mwendo kidogo nilifika sehemu kuna ngazi ya kuelekea juu, nilipanda ngazi hiyo mpaka juu kabisa ambako kulikuwa na mfuniko ambao haukukaza.

 Niliusukuma kwa nguvu na kutoka, ama kweli bahati ilikuwa yangu maana hakukuwa na mtu yeyote eneo hilo pia lilikuwa mbali kidogo na upeo wa macho ya watu. Nahisi sehemu ile ni sehemu ya kuingilia kwenye chember zile kutokea juu, basi nilitafuta sehemu nikajificha kwa ajili ya kusubiri mtu wa kuuwa japo nilikuwa nikitetemeka kweli kweli. Miguu yangu ilikuwa na utando wa brown hivi ukichanganja na weusi na kijani kibichi. Nzi nao hawakua mbali kuafanya sherehe kwenye miguu yangu.
 Nilisubiri sana na hatimae nafasi ilifika, nilimuona mtu mmoja akija upande ule niliokuwa nimejificha na kwa bahati nzuri alikuwa anakuja peke yake. Nilikaa tayari kwa ajili ya kutekeleza lile jambo lililoitwa mauaji. Alipita sehemu niliopo bila kunishtukia, nilitoka kwa kasi sana na kwa kutumia kamba ngumu niliopewa. Nilimpishia shingoni na kwa kutumia nguvu zangu zote niliivuta mpaka alipoacha kupapatua na kutoa pumzi ya mwisho ndio nikamuachia huku siamini kama kweli nimeuwa.

 Nilimvuta na kuingia nae sehemu nilikuwa nimejificha, kila kitu na kuvichukua mimi, tatizo sasa lilikuwa ni kupata sehemu ya kuoga. Maana sehemu niliopo hakukuwa na choo kabisa, hapo likanijia wazo nielekee kule alipokuwa anaelekea yule jamaa niliemuua. Kwa mwendo wa taratibu nilitembea na kwa umakini wa hali  ya juu sana. Kila nilivyozidi kutembea nilisikia kelele za watu, hata hivyo sikufuata njia kwa sababu ilikuwa hatari badala yake nilipita ndani ya vinyaka kama kichehche. Mungu mkubwa kumbe ndani ya vichaka hivyo kulikuwa na mabomba ya mvua. Kweli Mungu hamtupi mja wake, nilosogea kwenye mamomba hayo na kuanza kuoga. Nilijisugua sana maana nilikuwa na nongo kweli kweli ukichanganya na mavi ndio kabisa. Nilioga mpaka nilipohakikisha nimetakata, nilivaa zile nguo nyingine pamoja na kila kitu nilichomvua mpaka mpaka viatu japo vilikuwa vikinibana kweli kweli.
 Nilipohakikisha kuwa naonekana kama wao, niliondoka sehemu hiyo ili nijaribu kujichanganya na watu. Wakati natembea niliingiza mkono katika mfuko wa nyuma wa suruali ile nilioiba na kukuta pochi. Niliitoa na kuifungua ili kuangalia kama kuna kitu kinaweza kunisaidia, kwa bahati nzuri nilikuta kadi maalum ya kufugulia mlango ikiwa na nambari ya chumba pamoja na nambari ya hoteli kilipokuwepo chumba hicho. Nilitabasamu kidogo na kukaza kuelekea katika hoteli ambayo namba yake ilikuwa kwenye kadi ile.

 Nilipishana na watu wengi sana tena wakubwa wakubwa na wazito katika nchi zao, “kumbe nao wamo katika huu mchezo” nilijisemea moyoni huku nikizidi kukazana. Nilifika katika hoteli hiyo na bila kuongea kitu niliingia kwenye lifti na kuelekea juu. Sikupata shida kwa sababu hata gorofa kilipokuwepo chumba hicho ilikuwa imetajwa kwenye ile kadi. Bahati nyingine nilioipata ni kwamba mpaka nafika katika gorofa husika hakuingia mtu mwengine katika lifti hiyo.
 Iliposimama nilitoka na kuelekea moja kwa moja mpaka katka chumba kile na kuingia, nilifanya yote hayo bila ya kuwa na wasiwasi wowote maana nilielewa kuwa kama ningejifanya nina wasiwasi basi ingekuwa rahisi kushtukiwa. Nilipoingia ndani ya chumba hicho sikulaza damu, niliingia chooni na kuanza kuonga tena kwa sabuni ilik kutioa harufu ya kinyesi iliobakia mwilini mwangu. Baada ya kumaliza kuoga nilirudi chumbani na kuelekea kwenye kabati na kufungua. Nilitoa kaptula kubwa kiasi nne na kuzivaa zote kisha nikatoa na suruali pana kidogo nikamalizia juu.

 Najua utakuwa unajiuliza nimewezaje kuingia mpaka ndani ya hoteli hii bila kushtukiwa ukiachilia mbali kujishtukia mwenyewe. Mambo yaliokuwa yanafanyika katika sehemu ile yalikuwa ni siri hivyo hakukutakiwa kuwepo na kit chochote ambacho kingeweka kumbukumbu ya matukio ya huko. Na hilo ndilo lililonisaidia mimi mpaka kuingia katika chumba kile bila kushtukiwa. Nilibana katika chumba hicho hadi kiza kilipoanza kuingia na njaa ilikuwa ikinisumbua lakini sikutaka kula hata chakula kilichopikwa katika hoteli hiyo.
 Kiza kilipoanza kuimeza siku sasa, nilitoka na kuelekea nje kwa ajili ya kuanza msako wa wenzangu. Nilizunguka sana bila mafanikio yeyote yale maana palikuwa pakubwa sana, mwisho niliona isiwe tabu nikamtafuta muhusuika mmoja na kumuuliza. “Wapi nitapata viijana kama watatu hivi wapya kabisa ambao hawajaonekana na wengi” nilimuuliza huku nikitabasamu. Ukichangaya na ndevu zangu nyingi zilizojaa kidevuni nilionekana mtu mkubwa tu. Yule mhudumu alitabasamu na kuniambia nimfuate nami sikuweka ajizi nikafanya hivyo.
 Tulitembea kama dakika mbili hivi mpaka katika mabanda fulani ivi ambako kulikuwa na vijana wengi. Nilijifanya kutabasamu ili kumtoa wasiwasi huku nikitingisha kichwa, alinipeleka mpaka kwenye banda moja hivi ambalo lilikuwa na watu kama sita hivi. “Mkuu hawa hapa ndio bidhaa mpya lakini wanauzwa bei ghali sana kutokana na kuwa wametupa sana shida” aliniambia. “Usijali” nilimjibu huku nikijaribu kukaza macho ili kuangaliza kama kina Louise wapo miongoni mwao. Nilimuona Latifa akiwa kajikunyata katika pembe ya banda hilo huku akilia, Loise na Linda walikuwa na kazi ya kumnyamazisha . “Naomba unitole yule binti anaelia na hao wenzake wawili wanaomnyamazisha, watafaa sana kwa kazi yangu” niliongea kwa sauti nzito sana.
 Jamaa aliitika na kutoka nje, baada ya dakika kidogo alirudi na askari wawili na kuwaambia wafungue lile banda. Baada kuwaambia hivyo alinigeukia mimi na kunitajia bei, bila kusita nilitoa pochi mfukoni na kutoa karatasi kadhaa zilizoandikwa kiasi cha pesa. Hiyo ni sifa nyingine ndani ya hoteli hio walikuwa hawatumii pesa kama zinavyotumika sehemu nyingine. Bali wanabadilisha pesa na kukupa karatasi maalum ambazo zinatumika katika kufanyia kila kitu. Nilimkabidhi kiasi alichotaja na kuwaomba wale askari wanifuate. Tulitoka eneo hilo ikiwa bado kina Louise hawajanishtukia, “Mkuu huko saa hivi ni hatari” aliongea askari mmoja.

 “Lakini huku ndio pazuri kwa kazi ninayotaka kuifanya kabla ya kwenda kutoa kafara” nilijibu kwa ukakamvu japo nilihisi haja kubwa ikitaka kutoka maana hao askari walikuwa na mitutu. Na ingetokea kama wangenishtukia basi ningetolea kafara mimi. Tulitembea mpaka ili sehemu yenue chember nilipoingilia mwanzo, kwa mbele kidogo kulikuwa na vichaka na ndipo nilipokuwa nakusudia kuwatenda askari hao.
 Nilipofika sehemu na kujiridhisa kuwa pako salama na naweza kutekeleza jambo nililokusidia. Nilisogea mpaka karibu na Louise kisha nikamnong’oneza kitu lakini nilimminya mkono ili asije akashtuka na kuharibu mipango yangu. Baada ya hapo niliwaamuru wale askari wawafungue pingu, mwanzo walisita lakini nililazimisha huku nikiwahakikishia kuwa yoyote atakae leta ujinga basi nitamnyonga kwa mikono yangu.

 Basi wale askari waliwafungua pingu kisha nikawaambia waniachie uhuru wao wakae mbali kidogo. Louise alifanya kile nilichomnong’oneza kuwa awashike waschana wote wawili mikono ili wasikimbie. Baada ya askari kufika mbali kidogo na eneo nililopo, ndipo nikasogea karibu na kina Lousie. “Latifa na Linda msiogope, ni mimi Adam” niliongea kwa chini, Latifa alibaki amekodoa macho tu asiamini kwa kweli nilikuwa mbele yake. Nilitoa kisu na kumkabidhi Louise kisha mimi nikatoa ile kamba na kuishika vizuri mkononi.
 “Njia ya kutorokea ipo pale walipo wale askari, ili tufanikiwe ni lazima tuwauwe” niliongea kwa sauti ya chini huku nikimchezea shingo Latifa ili wale askari wasije wakshtukia. Lakini kabla sijataka kuwaambia kile nilichokusudia, niliwaona askari wakiongea kitu na baada ya hapo mmoja alianza kuja uoande wangu. “Kuna nini” nilimuuliza huku nikikaza kamba mkononi, “yule mwenzangu ameona maiti pale kichakani hivyo niko hapa kukusindikiza tuondoke” alinijibu. Nilijifanya kama nimemuelewa na kumsogelea ila nilipomkaribi tu niliishika kamba yangu kwa mikono miwili na kwa kasi ya hali ya juu nilimzunguka na kumtia kabari ya kamba. Louise nae hakuwa nyuma alimsukumia kisu cha shingo kwa nguvu sana.
 Baada ya tukio hilo niliwapa ishara wanifuate, na kwa sababu yule askari mwingine alikuwa ameelekea kule ulipo mwili hakuona tukio lililotokea. Tulipokaribia na ile sehemu waliokuwepo mwanzo niliwapa ishara wajifiche kisha nikamuonesha mkono Louise. Mkono huo niliupitisha shingoni nae alielewa anatakiwa afanye nini. Baada ya hilo nilitoka haraka huku nikiomba msaada, yule askari alikuja mbio na kunishika. “Mkuu kuna tatizo gani” aliniuliza, ila kabla sijamjibu Louise alimtokea kwa nyuma na kumkita kisu shingoni. Kwa sababu mimi nilikuwa mbele yake nilimzuia na kumshusha chini taratibu kabisa.

 Kwa mwendo wa haraka nilianzakutembea huku nikiwafanyia ishara wenzangu wanifuate, nilifika pale kwenye mfuniko wa chemba na kuufunua kisha nikawapa ishara waingie nao wakatii bil kujali harufu iliokuwa ikitoka katika  chemba hiyo. Mimi niliingia mwisho na kuurudishia mfuniko huo kisha nikapita mbele na kuongoza njia. Nilitembea kwa mwendo wa haraka huku wao wakinifuata kwa nyuma mpaka sehemu ambayo maji machafu yalikuwa yanamwagika. Nilitangulia mimi kushuka katika ngazi zilizokuwa pembeni kidogo na tobo hilo.
 Tulipofika chini tu nilianza kutimua huku wao wakinifuata kwa kasi nyuma, sikujali kama walikuwa uchi wa mnyama kabisa. Lakini hata wao wenyewe walisaha kabisa kama walikuwa hawana nguo mwilini. Wakati tunakimbia tulianza kusikia ving’ora kwa mbali kutoka katika mahoteli yale. Mimi havikunitisha kabisa isipokuwa viliniongezea ari ya kukimbia. Nilifuata njia ile ile nilioelekezwa mpaka kufika katika mto ambao ulikuwa unaelekea uoande wa pili wa kisiwa ambako ndiko kulikuwa na usafiri wa kuondokea kisiwani hapo.

 “Jamani tukikimbilia msituni hawa jamaa watatukamata, hivyo njia rahisi ya kuwatoroka ni…” hata sikumalizia kuongea Latifa alinipa kama mshale kuruka ndani ya maji. Wengine walifuata punde tu baada ya yeye kupita na mimi nikawa mtu wa mwisho. Kutokana na kasi ya maji ya mto huo, tulipelekwa kasi sana huku mimi nikiomba tusijie tukakutana na maji. Maji hayo yaliendelea kutupeleka mpela mpela na kwa  bahati nzuri tulipata gogo ambalo lilikuwa kama mtumbwi wetu.

 Baada ya mwendo wa muda mrefu hatimae tulifika ufukweni, tulitoka kwenye maji na kisha nikawapa ishara wanifuate. Lakini waliingiwa na wasiwasi kadiri tulivyokuwa tunasogea sehemu ilipo ile boti, na wasiwasi huo ulitokana na kuwepo kwa wanajamii wale walionisaidia. Hata hivyo niliwatoa wasi wasi kabisa na kuwaambia kuwa wale watu ni rafiki. “Poleni vijana” Mzee Robert aliongea punde tu baada ya sisi kufika. “Asante mzee wangu, vipi kila kitu kimekamilika” nilimuuliza huku nikihema.

 “Ndio kila kitu kama ulivyosema” alinijibu na baada ya hapo nikawapa ishara wenzangu waingie ndani ya boti. Mimi niliingia mwisho baada ya kumuaga mzee Robert, “nakutakia safari njema” aliongea mzee huyo na kuwageukia watu wake kisha akwapa ishara waondoke eneo hilo. Nilipoingia tu nilisogea kwenye mashine na kuanza kuziamsha. Ziligoma mara kadhaa lakini baada ya majaribio kama matano hivi zilikubali na kurudiwa uhai. Nilizishusha mashine hizo kwenye maji na kwa sababu zote zilikuwa zimeungwa sehemu mojoa hivyo sikupata tabu ya kuzimilika.
 Nilivuta mafuta kwa nguvu kama vile naendesha pikipiki yangu ya bodaboda, nazo zilitii kwa kishindo na kuanza safari yenye matumaini hafifu. Mpaka tunakiacha kisiwa sikuoana dalili zozote za watu ufukweni, hapo niliamini kuwa walikuwa wakitutafuta ufukweni. Baada ya kuhakikisha tumeshaakiacha kisiwa mbali mno nilisimamisha boti na kuwaangalia wenzangu ambao walikuwa wakiona aibu kutokana na kutokuwa na nguo. Nilivua ile suruali na kuiweka pembeni kisha nikavua kaptula tatu nilizokuwa nimevaa na kumkabidhi kila mmoja moja na mimi nikabakiwa na moja.

 Baada ya hapo niliichana vibande viwili ile suruali na kuwakabidhi Latifa na Linda ili wasitiri vifua vyao ambavyo vilikuwa wazi muda wote. “Poleni jamani kwa yaliowakuta” niliongea baada kila mmoja kutulia. “Mbona hatuendelei na safari” badala ya kunijibu wote waliniuliza swali hilo kwa pamoja. “Mimi sijui hapa tulipo ni wapi hivyo nasubiria kiza kiingia ili nitumie nyota kupata upande wa kuelekea” niliwajibu kwa utaratibu. Wote walishusha pumzi na kuniangaliwa kwa makini, Latifa alinisogelea na kinitandika kibao. “hicho ni kwa sababu ya kunitisha kule hotelini” aliongea kama mtu aliekasirika.

 Ila kabla sijaongea kitu, alinikumbatia kwa nguvu huku akinipiga mabusu yasio na idadi maalum. Lakini kati ya mabusu yote aliokuwa akinipiga, moja lilifika mdomoni na kilichofuata ilikuwa ni kingine kabisa. Baada ya kuridhika na kubadilisha mate huko alirudi nyuma na kuniangalia huku machozi yakimtoka. “Hivi umeponaje ponaje maana niliwasikia wale askari wakisema umeanguka bondeni tena mto uliokuwa unapita huko chini ulikuwa na mamba si mchezo” Louise aliniuliza. “Ndugu yangu wee ni rehema za Mungu tu ndio zilizoniweka hai” niljibu na kuwaeleza kila kilichotokea mpaka mwisho.

 “Na ulijuaje kama turakuwa hatuna nguo” swali hilo lilitoka kwa Linda. “Wakati naelekea kule hotelini baada ya kuiba hizi nguo, nilikutana na askari kadha waliokuwa wakitembea pamoja na mateka ambao walikuwa uchi kabisa. Hivyo nikajiaminisha kuwa ukifikishwa pale hotelini, uanvuliwa nguo zote na utu pia. nikiwa na maana kuwa unaishi kama mnyama anaesubiria kuchinjwa tu. Na hilo ndilo lililpnifanya mpaka niva kaptula za ziada nikiamini kuwa hata nyie mtakuwa kama wengiene tu waliokamatwa” nilijibu kwa upana zaidi.

 “Maisha ya ile sehemu sitakaa katika maisha yangu nikayasahau hata siku moja” aliongea Lousie na kuendela “yaani mtu unanunua binaadamu mwenzako kama unanunua ng’ombe tu, halafu eti anakufanya chochote kile anachotaka bila kujali jinsia. Hivi kweli binaadamu unadiriki kumla nyama bianaadamu mwenzio, ama kweli dunia imefika mwisho wake” alimaliza kuongea huku machozi yakimtoka. “Sasa unalia nini wakati tumeshawachomoka” nilimuuliza, “Si unamkubuka Akinola” aliniambia, “ndio si yule jamaa kutoka Nigeria” nilimjibu. “Sasa siku ile tuliokamatwa, yeye ndio siku aliokuwa anachinjwa.

Tulipofikishwa pale mahotelini tuliwekwa makusudi tushuhudie mwenzetu anavyogeuzwa nyama, tena aliemnunua alikuwa ni mtu wa huko huko Nigeria. Halafu alikuwa akifurahi sana na furaha yake ilizidi baada kupewa kikombe kilichojaa damu na kunywa”.
 Tuliendelea kuongea mambo mengi tu mpaka kiza kilipoanza kuingia, nilinyanyua kibuyu kimoja miongoni mwa vibuyu kadhaa vilivyomo katika boti hiyo na kunywa maji. Baada ya kumaliza kunywa maji nilioliokota kipande kimoja cha nyama na kula, lakini wenzangu walikuwa wakiniangalia tu. “Jamani karibuni kula jamani” niliwaribisha, “hiyo nyama ni ya kiumbe gani” Latifa aliniuliz. Sikutaka kuwaambia kama nyama ni ya chui ama nyoka, niliwajibu tu kuwa nyama ile ni ya mnyama wa msituni tu. Japo walikuwa na mashaka nayo lakini kutokana na njaa kila mtu alinyanyua kipande kimoja na kuanza kukishambulia.

 Tulipomaliza kula nyama tuliongezea na matunda kwa juu, halafu tukapumzika kidogo kabla ya kuanza na safari. “Jamani tuombe Mungu tu bahari isije ikachafuka” niliongea huku nikianza kuvuta mafuta taratibu na boti hiyo ikatii na kuanza kukata mawimbi. Kwa taaluma niliopewa na kaka pamoja na marafiki zake wengine wakati navua, nilitumia nyota kama njia ya kupata muelekeo wangu. Kutoka na na uchovu wenzangu wote walipitiwa na usingizi, mimi japo nilikuwa nimechoka sana lakini nilijitahidi nisilale. Maana kama nahoza ningelala si ningezamisha boti, nilivuta mafuta kwa muda mrefu sana lakini sikubahatika kuona hata dalili ya kisiwa.
 Ulifika wakati nikawa nimechoka sana, hivyo nilisimamisha boti na kushusha nanga ili na mimi nisinzie kidogo maana nilikuwa nahisi kuchanganyikiwa. Nikiwa usingizi nilihisi kama kitu kikinitambalia kichwani, haafu kilifuatiwa na kijiraha fulani hivi. Nilivyoshtuka kumbe alikuwa Latifa akinichezea nywele, sikutaka kuongea kitu bali niliivuta miguu yake na kuinyoosha kisha nikalala mapajani mwake na kuendeleza usingizi wangu.

 Nikuja kushtuka tena baada kuhisi matone matone ya maji yakinipiga usoni, nilipofungua macho niligundua kuwa mvua ilikuwa inanyesha. Moja kwa moja nilifahamu kuwa ikiwa mvua hiyo itaambatana na upepo basi hali itakuwa mbaya. Niliinuka na kuelekea kwenye vikabati vidogo katika boti hiyo na kuanza kuvifungua. Vilikuwa vigumu kutokana na kushika kutu lakini nilipambana navyo hadi vikaunguka. Na kweli nilichokuwa nakitafuta nilikipata, yalikuwepo makoti matatu ya kuokolea maisha. Niliyatoa na kumkabidhi kila mmoja wao koti moja na kuwaambia wavae, “wewe mbona huna koti” Louise aliniuliza.

 “Usiwe na wasiwasi na mimi, ntajua cha kufanya” nilijibu huku nikielwa fika kuwa ilikitokea la kutoa basi ndio itakuwa nitolee tena. Nilitoa pia na kamba moja ndefu kisha nikawapa na kuwaambia wajifungue kiunoni kila mmoja wao. Na mimi nikajifunga kisha nikarudi kwenye sehemi za mashine na  kuwasha ili kujaribu kuepuka na shari ilioko mbele yetu. Nilifanya hivyo nikiamini kuna sehemu hali itakuwa shwari. “Jamani hii mvua kama mnavyoiyona inadalili za kuja na upepo, na likitokea hilo basi maisha yetu yatakuwa hatarini sana” niliongea kwa msisitizo. “Hivyo lolote litakalotekea msije mkathubutu kujifungua hiyo kamba maana ndio njia pekee ya kutuweka pamoja hata kama tutakufa” nilimalizia kisha nikaanza kuvuta mafuta na taratibu tukaanza kukata maji tena.
 Kinyume na nilivyotegemea, mvua ile haikunyesha tena bali kulikuwa na upepo wa wastani uliokuwa baridi kali sana. Ilibidi nisitishe safari maana huko nilipokuwa naelekea ndiko upepo ulipokuwa mkali zaidi. “Mbona umesimamisha” Latifa aliniuliza, “huko tunapoelekea ndio kuna mkali zaidi ni bora tuishie hapa kwanza mpaka pale upepo utakapoacha kupuliza” niliwaeleza na wote wakanielewa. Wakati tunasubiria upepo ukate tulianza kupiga soga za huku na kule, kila mtu alikumbushia maisha yake huko alipotoka.

 Baada muda kupita upepo ulikata kabisa na bahari ikatulia kama kapeti, sasa baridi ndio ilikuwa imepamba moto. Maana tulianza kutetemeka kama wagonjwa, kadri muda ulivyoenda ndivyo baridi ilivozidi kuwa kali.  Mwisho kabisa baada kuoana hali mbaya ilibidi tujikunyate wote sehemu moja kama watoto wa paka. Hata hivyo haikusaidi kitu, na ilifika wakati nikahisi mpaka vidole vinataka kuganda. Baada hali kuzidi kuwa mbaya Latifa alinisogelea na kunikumbatia kwa nguvu, “hata kama tutakufa nataka tufe pamoja” alininong,oneza maneno hayo masikioni mwangu. “Usijali hatuwezi kufa saa hivi, Mungu yu pamoja nasi kama ameweza kutuokoa kutoa huko tulipotoka basi na hapa atatuokoa kwa mapenzi yake” nilimjibu.
 Hata sijui alifikiria nini mtoto wa kike, taratibu alianza kunichokonoa kwa kuingiza mikono yake katika kaptula yangu. Nilijitahidi kumzuia huku nikimuambia kuwa huo si wakati wa kufanya mambo hayo lakini hakusikia hata kidogo. Aliendelea na mchezo wake huo, lakini kadri muda uliovyokwenda mapigo ya moyo yaliongezeka. Na unajua kama mapigo ya moyo yakiongezeka, damu inazidi kusukumwa kwa wingi na kupelekea joto la mwili kuongezeka kwa kiwango kadhaa.

 Hako kamchezo kalinoga na kujikuta tukihamia ulimwengu mwingine kabisa na kusahau kama tupo katika hali ya kifo cha muda wowote ule. Huko kamchezo kalipohamia ndiko joto lilipopanda na kuichemsha miili yetu, pia tulisahau kabisa kama kulikuwa na watu wengine katika chombo hicho. Ama kweli mapenzi asali ya roho, tuliendelea na mchezo huo mbaya mpaka pale tulipofikia mshindo mkuu lakini hakuna hata mmoja aliemuachia mwenzake. Usingiz ulitupitia tukiwa katika halia hiyo hiyo ya kukumbatiana.

 “Adam, Adam amka kaka kimenuka” nilimsikia Louise akiniamsha, nilifungua macho kiuvivu na hapo ndio nikagindu kuwa bahari ilikuwa imechafuka. Nilimuamsha Latifa ambae bado alikuwa amelala na kumwambia avae vizuri na kuvaa koti la kuokolea maisha. Tulifanya kama tulivyofanya mchana, tulijifunga kamba vizuri. Kisha nikaangalia angani kama ningepata ishara yoyote ya tunapoelekea. Baada kuona wingu zito limetanda nilikata tamaa kabisa ya kuona kile nilichokuwa nakitafuta.
 Hata hivyo nilivuta mafuta na kuanza tena safari, wakati huu nilijitahidi kukwepa mawimbi makali kutokana na kuwa boti yenyewe ilikuwa ndogo na mbovu kidogo. Ukichnganya kiza, upepo na mvua ilioanza kunyesha matumaini ya kuokoka yalikuwa madogo sana. Milijitihadi kadri ya uwezo wangu kutumia mbinu nilizofundishwa na watu niliokutana nao wakatu wa kazi yangu yangu ya uvuvi lakini hali ilizidi kuwa mbaya. Maana hata mawimbi yalizidi kuwa makubwa na makali zaidi kila muda ulivyoyoma.
 Ghafla lilikuja wimbi moja kubwa sana kulipigia boti kwa pembeni na kulipindua na wote tulirusha lakini kwa bahati mbaya kamba ile tuliokuwa tumijifunga ilganda katika chuma kimoja katika boti ile. Kamba hiyo ilianza kunibana sana, hilo lilitokana na kuwa wenzangu walikuwa na maboya na mimi nilikuwa sina. Hivyo maji yaliwapelekea juu lakini haikuwenzekana kutokana na mimi kuganda. Na hilo ndilo lilipelekea kubanwa sana, mwisho niliona kama ningeendela hivyo basi ingenisababishia madhara hivyo niliona boara nijifungue tu.

 Baada ya kufanya hivyo nilipata afueni na kuanza kuogelea ili kuibuka maana muda wote nilikuwa chini kwenye maji. Nilipotokeza juu sikuwaona wenzangu, wakati huo huo mawimbi hayakuacha kunisulubu. Nilijaribu kuoambana nayo lakini wapi, yalinizidi nguvu na kunafanya kama mpira wa kona. Kila wimbi lilipiga linavotaka, hata hivyo sikukata tamaa niliendelea kupambana nayo lakini mwisho nguvu zilianza kuniishia. Hapo ndio niliona kuwa kifo changu kimefika, hivyo nilion hakuna haja ya kuendelea kupambana na jeshi hilo la Mungu.
 Nilijielegeza na kufunga macho maana hakukuwa na njia nyingine zaidi ya kukubali matokeo. Taratibu pumzi ilianza kuniishia huku vikombe kadhaa vya maji vikitafuta njia yake na kuingia mdomoni. Nguvu ziliendelea kuuacha mwili wangu huku viungo vikasaliti kutoa ushirikiano, haukupita hata muda macho yalipoteza nuru na kuingia katika usingizi mzito au kama wanavyouita kupoteza fahamu. Sikujua nini kiliendelea maana ulimwengu ulikuwa tayari umetwaliwa na kiza kizito kilichoashira dalili zote za kifo.

 Nikiwa katika usingizi huo mzito nilihisi kama kitu kikinigonga gonga, nilijaribu kufungua macho ili niangalie makazi yangu baada ya kufa. Nilishtuka baada kuona sura ya mtoto ikiwa inaniangalia kwa mshangao, japo mwangaza uliniumiza ulipoingia machoni lakini nilijahidi kutafumbua hivyo hivyo kibishi. Yule mtoto alipoona nimemkodolea machoa alikimbia huku akiita “mama”, baada ya dakika kidogo aliingia mwanamke kijana kidogo.
 “Unajisikiaje” aliniuliza huku akitabasamu, “hapa ni wapi” sikumjibu bali na mimi nilimuuliza swali. “Hapa ni Jamaica” alinijibu, “jamaica”nilisema kwa nguvu kidogo huku nikionekana kutoamini kile nilichokisikia. Hilo nalo liliingia katika mambo ambayo siku ya tegemea katika maisha yangu, kwa obama kugeuka msituni, kukutana na mtanzania anaieshi miongoni mwa wanajamii ya misituni na sasa Jamaica. Nilifunga tena macho ili kujua kama naota au ni kweli, lakini nilipoyafungua hakukubadilika kitu.
 “Wewe endelea kupumzika” aliongea yule mwanamke kisha akainuka na kuondoka, ama kweli katika maisha yangu sikutegemea kabisa kama ipo siku nitafika Jamaica hata kwa bahati mbaya. Niliendelea kulala pale kitandani nilipokuwa nimelala bila fahamu huku nikiwakmbka wenzangu ambao sijui hatima yao ilikuwa nini. Nilijikuta machozi yakinitoka bila kupenda, na yalizidi kila nilipomkumbuka Latifa. Mwanamke amabe ametokea kuuteka moyo wangu ndani ya kipindi kifupi nilichokaa nae na kunifanya kuwa bwege mtozeni.
 Lakini ndio limeshatokea japo nilimlaumu Mungu kwanini ameniacha hai na kuwachukua wale wote ninaowapenda. Kwa kweli lilikuwa pigo kubwa sana kwangu, nilijiona mtu nisie na bahati hata kidogo. Lakini pia nilifahamu kuwa Mungu ananiadhibu kwa kukosa shukurani kwa kile alichonipa na kuwa kinanipatia riziki kila siku inayopita. Nililia mpaka machozi yakawa hayatoki tena, ndipo niliamua kunyamaza. Hapa subiri nikuwambie kitu kidogo, ukiwa umekwazika halafu ukatamani kulia wewe lia tu. Hata kama ukahisi kupiga kelele wewe piga tu maana ukifanya hivyo utapata afadhali kidogo.
 Baada kilio cha muda mrefu, kwa kujizoa zoa niliinuka na kukaa kitako kitandani, na haukupita muda yule mwanamke alikuja tena akiwa na sahani ya chakula. yaani alipokiweka tu chini sikusubiri hata maji ya kunawa, nilikivamia na kuanza kula kama ndama wa ng’mbe ambae hakupewa ziwa na mamaake kwa muda mrefu. Yule mwanamke alijaribu kuniambia nile taratibu nisije nikapaliwa lakini ilikuwa ni sawa na kumpigia mbuzi gita ukitegemea aimbe mziki labda kulia “meee”. Nilikula mpaka nilipohisi tumbo limerdhika ndio nikapunguza kasi, nilimuangalia yule mwanamke ambae nilimuona akinishangaa sana.

 “Asante kwa ukarimu wako” baada ya kushiba nikamshukuru, “Unaitwa nani” aliniuliza. “Jina langu ni Adam” nilimjibu huku nikitabasamu. “Adam, mimi naitwa Delilah na huyu ni mwanangu anaitwa Noah” na yeye alijitambulisha. “Nashkuru kukufahmu” niliongea huku nikikaa sawa maana sasa hata kukaa ilikuwa shida kutokana na tumbo kujaa sana. “Hivi ilikuaje mpaka nikakukuta ufukweni juzi” aliniuliza, “ah ni hadithi ndefu sana” nilimjibu na kumsimulia kila kitu tokea mwanzo hadi mwisho.
 Alisikitika sana kuona mwanaume mzima nimekimbia kwetu eti kisa kuna matatizo, “mwanaume wa kweli hayakimbii matatizo bali anayavaa na kupambana nayo kiume zaidi mpaka kieleweke” aliniambia maneno hayo ambayo yalikuwa kama msumari moyoni. Maneno hayo yalindhalilisha sana, hakuishia hapo tu “unashindwa hata na baadhi ya wanawawake, anakuwa na maisha magumu lakini hakati tamaa. Leo atauza machungwa, kesho atauza ndizi, kesho kutwa atauza mboga za majani ili mradu asikose kitu cha kupitisha siku. Wewe rijali mzima, una nguvu za kutosha unadiriki kukimbia eti kisa uanatafuta maisha mazuri. Unakimbia nchini kwako ambako una uhuru wa kutembea bila kutiliwa mashaka unakwenda katika nchi ambayo kila mtu anakuona kama kinyago. Halafu bado unatembea kifua mbele unajiita mwanaume uliokamilika, hayo si maisha kakaangu”.

 Hapo ndio akawa amenimaliza kabisa maana nilijiona bwege kuliko watu wote duniani, nilitamani hata kutoa machozi lakini niliona aibu. Matatizo nieyataka mwenye halafu nilie kwa kweli ingekuwa aibu kubwa sana. Basi baada ya maongezi hayo nilitoka nje kidogo kuona mji, ilikuwa jioni tena na kiza kilikuwa kimeshaanza kuchukua nafasi yake. Kila mtu alikuwa akichakarika kumalizia siku kwa ajili ya kwenda kupumzika. Nikiwa hapo nje niliona bahari na ilikuwa imetulia sana, picha ya Latifa ilinijia kichwani ikiambatana na picha marafiki zangu wakubwa sana katika shida Louise na Linda.
 Hata sijui walikuwa katika hali gani, ima waliokoka kutoka katika hali ile ya hatari au wamekufa. Kisha niliangalia angani “kweli Mungu umeamua kuniadhibu” nilijisemea moyoni, asikwambie mtu hakuna adhabu kali katika hii dunia kama kuona kila mtu wako wa karibu na unaempenda anatoweka. Kwanza niliwapoteza wazazi wangu wawili, kisha nikampoteza kakaangu kwa kukimbia vitimbi vya shemeji yangu. Kabla hata sijapoa vizuri nikamkimbia rafiki yangu kipenzi Frank alienitoa mbali sana, tokea mbulula tu na mgeni wa jiji na kunipa maisha. Alipoteza muda wake na nguvu zake kunifundisha kuendesha pikipiki. Kipindi hicho ilikaribia afukuzwe kazi kazi kwa kupeleka hesabu dogo kwa bosi wake lakini hakuacha kunipa mafunzo.

 Nilikula kupitia jasho lake, hivi utu wangu niliupeleka wapi mimi. Mtu aliejitoa kwa hali na mali kunisaidia lakini nimemsaliti kwa kumkimbia. Mbali na Frank, watu niliokutana nao kisiwani baada ya kutoroka na kuzoeana na kwa muda mfupi tu nao pia wakatoweka. Mungu hakunitupa alinibakisha na marafiki wenye upendo na amani. Kumbe Mungu alikuwa akinionjesha tu furaha ya kuwa karibu na watu wanaokujali, halafu anipe maumivu ya kuwaona wakitoweka mbele ya macho kama nilivyowafanyia wengine.
 Machozi yalianza kutengeneza njia katika mashavu yangu, kilio cha chini kwa chini kilishika nafasi yake kikiambatana na kwikwi. Nilihisi jeraha kubwa sana moyoni na kama lingekuwa sehemu ya nje ya mwili basi lingeonekana kiasi gani linavuja damu. Nililia sana mpaka machozi yalikata kutoka nikawa naliza kilio kikavu tu. Baada ya kuridhika na kulia niliamua kurudi ndani, “vipi umefurahia upepo wa bahari” Delila aliniuliza nilipoingia ndani. “Ndio nahisi afadhali kidogo sasa” nilijibu huku nikikaa kwenye kigoda.
 “Samahani hivi kuna uwezekano wowote wa kupata njia ya kurudi Tanzania” nilimuuliza baad kimya cha sekunde kadhaa. “Kwa njia za kawaida sidhani kama ipo maana wewe huna hata passport hapo ulipo” alinijibu. Huo nao ulikuwa mtihani mwengine, hata uwezo wa kurudi Tanzania sikuwa nao kabisa. “Lakini kuna meli moja kubwa sana ya mizigo huwa inafanya safari zake mpaka nchini Tanzania” aliniambia lakini moyo wangu ulipiga “paa” hasa baada kusikia neno meli. Neno meli ndipo matatizo yangu yalipoanzia.

ITAENDELEA

SIKUTEGEMEA – 4

Image result for adrian mcdonald photography

Simulizi : Sikutegemea
Sehemu Ya Nne (4)

 “Na kwa bahati nzuri nahodha mkuu wa meli hiyo ni mtanzania kama wewe, ni mtu mkarimu sana na kila akipita hapa hunipa vyakula mbali mbali vinavyotoka nchini Tanzania” aliendelea kuongea na kidogo nikashusha pumzi. “Nikitaka kufika nyumbani hiyo ndio njia pekee ilikuwepo mbele yangu kwa sasa” nilijisemea moyoni, lakini nilipokumbuka kilichonikuta kabla ya kufika hapo moyo ulisita kabisa kukubali kutumia usafiri wa wa meli. “Huwa anapita kila baada ya muda gani” nilipiga moyo konde na kuuliza
 “Meli yao inapita hapa kila baada ya miaka miwili, bado miezi tisa ipite tena tokea ilivyopita mara ya mwisho” aliniambia, “duh inamaana niake nchini kwa watu kwa mud wa miezi tisa” nilijisemea moyoni. Hata hivyo hakukuwa na njia nyingine ya kufanikisha mpango wangu wa kurudi Tanzania, pia nilimini Mungu linifikisha Jamaica kama sehemu ya kunifnza. Baada ya kufikiria sana nilimuomba Delila nikae kwake kwa kipindi chote cha miezi tisa wakati nikiisubiri hiyo meli ambayo itanisaidia kufika nyumbani, nae alikubali bila kinyongo na maisha yangu mapya yakaanza rasmi nchini Jamaica.
 Baada ya wiki moja kupita nilikuwa nimepona kabisa na afya yangu ilianza kutengemaa. Pia ndani ya wiki hiyo hiyo nilipata rafiki mpya, aliitwa Geroy. Alikuwa jamaa mmoja mcheshi sana, pia alikuwa amefuga rasta nyingi sana. Huyo jamaa ndo alikuwa rafiki yangu wa tatu baada ya Delila na mwanae. “Ata boy, nambie mtu wangu mchongo gani unaweza sana maana si unajua mjini mipango” Geroy alipendelea kuniita jina hilo. Nilimueleza sehemu zote ambazo niko vizuri, na tulizidi kupatana hasa baada kugundua kuwa nimepitia uvuvi kwa sababu hata yeye alikuwa akifanya kazi za uvuvi.

 Namimi nikaona kuliko kukaa nyumbani kutegemea nguvu za Delila kula, ni bora niingie baharini kutafuta riziki. Nilimuelea Geroy kuwa nataka kwenda nae baharini nae alinikubalia na kunipeleka katika kambi yao ya uvuvi. Huko nilipata mwaliko wa moto maana kila mtu alinichangamkia na kunirabisha vizuri. Usiku wa siku hiyo tukaelekea baharini kuvua, tafauti na mashua nilizozoea nyumbani kwetu unguja. Mashua zao zilikuwa za kisasa zaidi tena kubwa kiasi cha kuhimili mawimbi mazito.
 Usiku huo bahari ilikuwa inavurugu kidogo lakini hakuna hata mmoja kati ya wenzangu alieonesha wasiwasi. Na mimi pia sikutaka nionekana mtoto wa mama, nilijikaza kiumbe na kuendelea kushirikiana na wenzangu. Tulirudi mapema alfajiri, na kuanza kuuza samaki pale pale baharini na wateja walikuwa wengi sana. Mpaka inatimia saa mbili kamili asubuhi tulikuwa tumeshauza samaki wote. Baada ya hapo tuliweka pesa ya mafuta pembeni kisha kila akachukua pesa kidogo kwa ajili ya mahitaji yake binafsi na kuelekea nyumbani kwao.
 Mimi sikuwa na cha kutumia huko maana nilikuwa mgeni hivyo pesa hiyo nilimkabidhi Delila ili itumike katika mahitaji ya nyumbani. Kutokana na ucovu wa kukesha baharini usiku mzima nilioga kisha nikapanda kitanda nikalala. Nikiwa usingizini niliota ndoto mbaya sana, nilikurupuka kutoka usingizini huku nikihema kwa nguvu. Hata hamu ya kulala iliisha, niliinuka kiandani na kutoka chumbani nikaelekea sebuleni ambapo nilikuta chakula ndio kinaadaliwa.
 “Umeamka muda muafaka kabisa” aliongea Delila, nilitabasamu tu na kusogea mezani kwa ajili ya kupata msosi. Sifa moja kubwa ya Delila alikuwa ni mpishi mzuri na mama bora, hakuwa na mume lakini mwanae alipata kila alichohitaji. Baada ya kumaliza kutengwa chakula, tulikaa mezani wote watatu yaani mimi, Delila na Noah na kupata kile kilichoitwa starehe ya tumbo. Tulikula huku tukiongea mambo mengi sana, kwa kweli nilisahau shida zote zilizonikumba.
 Maisha yaliendelea kusonga mbele huku nikizidi kujulikana sehemu hiyo niliokuwa nimeibuka badala ya kwa Obama. Kutokana na kuwa na nywele ndefu na mimi niliamua kuweka dredi, miezi miwili ilikata bila kupata shida yeyote ile kila kitu kilikwenda vizuri. Kama kawaida usiku uliwadia na kuelekea baharini, “Ata Boy, leo bahri mbaya sana” Karlus aliniambia nilipofika tu. “Hata mimi naiona inavyotisha” nilimjibu huku nikikaa pembeni. Ukweli kulikuwa na upepo sana siku hiyi lakini tulipiga moyo konde na kuelekea bahrini hivyo hivyo maana ndipo tulipokuwa tunapata riziki yetu ya halali.
 Kadri muda ulivyokwenda bahri ilizidi kuchafuka na mawimbi yalizidi kuwa makali, “Brian bora tugeuze kabla hali haijawa mbaya zaidi” niliongea kwa nguv kutokana na upepo kuwa mkali sana. “Mbona huu upepo ni wa kawaida tu” Brian alijibu bila kuonesha wasiwasi. “Brian, Ata Boy anasema kweli ndugu bora tugeuze. Kwanza tumeshapata samaki wa kutosha” Geroy alisistiza lakini bado Brian alikuwa mbishi. Wakati tukiendelea kubishana nae ghafla mashua yetu ilipigwa na wimbi kali sana, wimbi lilimkuta Brian akiwa hajashika sehemu hivyo alitupwa katika maji.

 “Geroy nipe kamba kaka” niliongea kwa nguvu, Geroy nae hakuuliza mara mbili. Alitoa kamba kubwa na kunipa. Nilijifunga kiunoni kisha nikamwambia aifunge sehemu maana kuishika kwa mikono ingekuwa shughuli pevu. Baada ya kuongea maneno hayo, sikusubiri nilipiga mbizi majini na kuanza kumfuata Brian ambae alikuwa anapambana na maisha yake. Nilifanikiwa kumfikia na kumpa mkono kisha nikanyanyua mkono juu kama ishara ya msaada. Wenzangu waliokuw kwenye mashua waliuona na kuanza kuivuta ile kamba. Tulifika mpaka kwenye boti na kupanda, wala sikupumzika nilijifungua kamba na kuelekea zilipo mashine.
 Niliwasha na safari ya kurudi ikaanza, bahari ilikuwa imechafuka kweli kweli maana tulipigwa na mawimbi balaa. Kama umewhi kuwasikia vijana wa mitaani wakisema “leo bahari imechomoka” basi siku hiyo ilikuwa ni zaidi. Nilitumia ufundi wangu wote kuokoa chombo hicho ambacho ni ndio chanzo cha riziki yetu. “Ata Boy, unadhani tutaokoka leo” Geroy aliniuliza, “usijali kaka Mungu yu pamoja na waja wake” nilimjibu huku macho yangu yakiwa yanaangaza mbele tu ambako chombo hicho kilikuwa kinaelekea. “Jamani shikeni sehemu kwa nguvu maana sasa hatunabudi kuyavaa  uso kwa uso mawimbi” niliongea baada kuona kasheshe imezidi kuwa kubwa na kama ningeendelea kuyakwepa yapige pembeni basi ningezamisha mashua hiyo.

 Kila mtu alitafuta sehemu ya kushika kwa ajili ya maisha yake, “Eeh Mungu ni katika mikono yako nakabidhi maisha yangu, naomba uniongoze mja wako” niliongea maneno hayo na kuongeza uvutaji wa mafuta. Sasa nilikuwa sikwepi tena mawimbi, nilijitolea tu lolote kama liwe na liwe, baada ya purukushani za muda mrefu hatimae bahari ilitulia na upepo ulipungua. “Aisee hii kitu ya leo si mchezo, katika maisha yangu yote ya uvuvi sijawahi kukutana na ghoruba ya aina hii” aliongea mwenzetu mmoja huku akiachia sehemu alioshika. Furaha zilirejea tena katika nyuso zetu, nilitoa pumzi ndefu na kumshukuru Mungu kwa msaada wake aliotupa.
 Safari ya kurudi nyumbani ikaanza, tukiwa njiani tuliona mbao kadhaa za mashua nyingine. Ilibidi nipunguze mwendo kwa ajili ya kutafuta kama mtu yeyote alienusurika na ajali hiyo. Maana kuona mbao hizo kuliashiria ajali, “Ata boy unasikia kelele” Geroy aliniuliza. Ilibidi niachie kuvuta mafauta ili kusikiliza kama ni kelele kweli. “Ndio tena zinatokea upande huu” nilijibu huku nikionyesha ishara upande wa kushoto. Niligeuza mashua na kuelekea upande tuliosikia kelele, na kweli tulikuta watu sita wakiwa wanaelea katika maboya maalum. Tuliwasaidia na kuwaingiza katika mashua yetu, wakati tunawapakia hao tuliona watu wengine watatu wanaelea.
 Tulisogea walipo lakini kwa bahati mbaya tukagundua kuwa walikuwa wameshaaga dunia tayari. Hata hivyo hatukuwaacha, tuliipakia miili yao kwenye mashua na safari ikaendelea. Tulifika kisiwani saa mbili asubuhi, na tulishuhdiia umati mkubwa wa watu ukitusubiri. Tulipokaribia tu walikuja kwenye mashua haraka na kuanza kuivuta mpaka ilipokaribia kabisa na sehemu ya mchanga. Tulisaidiana kushusha ile miili ya wenzetu waliofariki, watu wa chini walitusaidia kwa kuwapokea na kuwalaza mchangani.
 Baada ya kufanya hilo na sisi tuliosalimika tulishuka, kitendo cha kukanyaga tu chini nilishangaa nimevamiwa na nilipoangalia vizuri alikuwa ni Delilah. “Nilidhani sitokuona tena” aliongea kwa sauti ya kilio. Nilipata kazi nyingine ya kubembeleza maana Delilah alikuwa akilia kama mtoto mdogo. “Delila twende nyumbani basi” nilimnong’oneza kwa sauti ya chini, nae alikubali. Niliwaaga wenzangu na kuondoka eneo hilo, lakini njia nzima bado Delila alikuwa akilia tu na hata nilivyomnyazisha hakunisikiliza.

 Tulipofika nyumbani tulikaa ukumbini lakini bado Delila alikuw akilia sana, “sasa kwanini unalia ya kushukuru nimerudi salama unalia” nilimuuliza huku nikiwa nimemshika mikono, “Adam, kwanini usiache kazi ya uvuvi na utafute kazi nyiningine ya kufanya” na yeye aliniuliza swali ambalo liliniacha kinywa wazi. “Nitaachaje kazi ya uvuvi wakati pesa nilioipata na kuchanganya na pesa zako kidogo ndio tumeweza kumrudisha Adam shuleni” nilimjibu huku nikimuangalia usoni. “Tafut kazi nyingine bwana hiyo achana nayo, kazi ya kuuz roho kila siku” lizidi kusisitiza. Nilimuambia anipe muda nifikirie kwa makini sana kabla ya kufikia uamuzi.
 Baada ya mazungumzo hyo niliinuka na kuelekea chumbani kwangu ambako nilivua nguo na kuelekea bafuni kwaajili y kujitoa chumvi mwilini. Niliingi chooni na kufungua bomba la mvua kish nikakaa tu chini ya bomba hilo kuacha maji yatalii mwili wangu. Nikiwa nimezama sana katika dimbwi la mawazo, nilianza kuhisi mitu laini kikitambaa mgongoni. Niligeuka kwa haraka na kukutana na sura ya Delila aliekuwa akiniangala kwa macho yaliojaa huba. “Wewe unafanya huku chooni” nilijikuta nikiropokwa, “Adam nimevumilia sana, kwa kweli nimeshindwa. Nimetumia mbinu zote kukuonyesha jinsi ninavyokupenda lakini hukunielew” aliongea huku akiendelea na mchezo wake wa kunisugua sehemu mbali mbali katika mwili wangu.
 Unajua hata ukiwa mgumu vipi kuna sehemu ukigusa, kama mtoto wa kiume unakuwa mnyonge tu. Basi ndicho kilichonitokea siku hiyo, mwanzo nilijifnya mgumu lakini na Delila siku hiyo alikuw amenikusudia na alikusudia kufanya kile alichokitaka. Baada ya purukashani za muda mrefu, alnizidi ujanja na na kujikuta nikizama kichwa kichwa. Mambo yalianza huko lakini hayakushia huko, tulirudi chumbani na shughuli ikaedelea mpaka pale tuliporidhika. Delila aliinuka kitandani na kuelekea chumbani kwake. Tokea siku hiyo maisha yetu ndani ya nyumba hiyo yalibadilika na tukawa tunaishi kama familia. Nikiwa na maana kuwa mimi ni baba wa familia hiyo japo sikuwa nimefunga ndoa na mwanamke huyo.
 Siku zilizidi kukatika huku Delila alizidi kusisitiza niache kazi ya uvuvi lakini ukweli sikuwa tayari kufanya hivyo. Hatimae miezi tisa ilikamilika na kweli ile meli niliombiwa itakuja ilifika, “bado unataka kuondoka” aliniuliza Delila. “Ndio, nataka kurudi nyumbani ili kuwatoa wasiwasi” nilimjibu angali nilijua kabisa kuwa jibu hilo lilimuumiza sana Delila. “Sawa mi nitakukutanisha na huyo nahodha” alikubali lakini machozi yalikuwa yameshaanza kumtoka. “Nakuahidi tutaonana tena kwa uwezo wa Mungu” niliongea na kumsogeza karibu kish nikamkumbatia.
 Siku iliofuata mapema tulielekea ambapo walikuwa wanakaa na mabaharia wa meli hiyo ambayo ningeondoka nayo. Tulipofika Delila alitoa simu yake na kumppigia Nahodha Sadick ambae hakukaa sana alitoka nje. “Delila, habari za siku nyingi” aliongea Nahodha huyo, “Safi tu captain, pole na safari” Delila alijibu huku akilazimisha tabasamu. “Huyu anaitwa Adam, Adam huyu ni Captain Sadick” alitutambulisha na sisi tukapeana mikono. “Mhh hiyo sura mbona kama sura za nyumbani hivi” aliongea nahodha huyo baada ya kuniangalia usoni. “Hujakosea kabisa” nilimjibu, “ama kweli watanzania ni kiboko maana hakuna nchi niliopita nikakosa kuonana na watanzania”aliongea Nahodha Sadick huku akionekana mwenye furaha sana.#
 Tulitafuta sehemu na kukaa kisha tukaanza kuongea, nilimueleza kila kitu kilichonikuta na kumueleza nia yangu ya kutaka kurudi nyumbani. Alinisikiliza kwa makini sana na kuoenekana alikuwa amenifahamu vizuri. “Kwanza pole kwa kila kilichokukuta” aliongea kisha akaendelea “hakuna shida kabisa ila unachotakiwa ni kutengeza kitmbulisho kitakachokupa nafasi ya kuingia ndani ya meli tu kisha kila kitu nitamalizia mimi” aliongea maneno hayo ambayo yaliamsha fyraha ndani ya moyo wangu. “Kiasi gani kinahitajika kutengeza kufoji kitambulisho” nilimuuliza kwa shauku huku nikiwa kama paka mtoto alieona sufi. Alinitajia kiwango cha fedha kinachohitajika na bila kumuuliza nilimkabidhi kiwango hicgo kisha tukakubaliana kukutana baada ya wiki moja.
 Baada ya kikao hicho kifupi tuliagana na kila mtu akaelekea upand wake, Delila alikuwa mnyonge sana tena kupita maelezo. “Delila nakuomba usiwe mnyonge kiasi hicho” niliongea punde tu baada ya kufika nyumbani. “Adam unataka niweje sasa, au unataka nifurahi kumuona mwanaume ninaempenda anaondokoa bila mategemeo ya kuonana nae tena” aliongea huku machozi yakimtoka. “Nataka ujue tu kuwa hata mimi nakupenda na inaniuma sana kuondoka kukuacha peke yako lakini nitafanyaje wakati hapa sio nchini kwangu na ikitokea siku wakaamua kukamata wahamiaji haramu unadhani nitasalimika. Wacha niende na mambo yangu yakikaa sawa nitarudi kuja kukuona kwa njia halali kabisa” nilimueleza lakini hata mimi mwenyewe niliuhisi moyo ukichanika tena taratibu.

 Kwanza Latifa, Louise na Linda, sasa ni Delila, Noah na Geroy. Lakini ningefanyaje wakati hata ukiishi miaka mia nchini kwa watu utabakia kuwa mgeni tu. Wiki moja ilikatika kama mchezo na hatimae nilikutana na Nahodha Sadick na kunikabidhi kitambulisho changu na kunipa tarehe ya kukutana kwaajili ya safari. Nahodha huyu alinielewa kutokana na kuwa yeye mwenyewe mtanzania, hiyo ndio sababu kubwa ya mambo yangu kwenda kirahisi sana. Na namshukuru sana popote pale alipo kwa kuwa msaada mkubwa wa mimi kurudi katika nchi yangu japo hiyo safari nayo ilikuwa ni balaa jingine ambalo sikutegema kukutana nalo katika maisha yangu.

 Baada ya kukabidhiwa kila nilirudi nyumbani kwangu kwaajili ya maandalizi ya safari, siku ya safari ilifika na kila kitu kilikuwa kimekamilika. Delila na mwanae Noah walinisindikiza hadi baharini ambako nilkutana na Capatain Sadick na kuungana nae, niliwaaga ilia kabla sijaingia ndani ya bahari Delila alinipa bahasha ndogo na kunambi nisiifungue mpaka boti itakapotia nanga Hudson Texas nchini Marekani. Niliichukua barua hiyo na kuitia kwenye begi langu dogo la mgongoni na kumpiga busu la kuagana. Baada ya maagano hayo nilielekea getini ambako Captain Sadick alikuwa akinisubiri, tuliongozana moja kwa moja mpaka kwenye kwenye meli hiyo kubwa kweli. Pembeni iliandikwa kwa maandishi makuwabwa ya rangi ya maziwa “MV KANTANA”.
 Juu kabisa ilikuw na bendera nchi kadhaa ikiwemo Tanzania nchi yangu nilioitoroka kwa sababu ya shida na kutumbukia katika matatizo zaidi. Na kwa sababu nilifuatana na Nahodha mkuu wa chombo hicho, hata sikuulizwa na mtu yeyote yule. Tuliingia ndani ya chombo hicho na mabaharia wengine wote walisimama na kutoa ishara ya salamu ya heshima kwa mkuu wao. “Oya Juma, mpeleke mwana kwenye chumba chake” aliongea Captain, “ay Captain” Juma aliitika kwa staili ambayo ni mara yangu ya kwanza kuisikia tokea siku niliozaliwa. “Oya we ndio Adam sio” alinifuata huku ametunisha misuli yake mikubwa na kuongea kisha akaendelea “karibu kambini kijana” alitabasamu.

 “Asante” nilimjibu huku na mimi nikibasamu, “nifute huku” aliongea huku akitingisha kichwa kuonesha ishara ya upande tunaolekea. Tulitembea kwa dakika kama moja huku tukishuka ngazi kama mbili hivi mpaka tulipofika katika koridoo moja kubwa sana yenye vyumba vingi sana. Alifungua mlango wa chumba kimoja na kunambia kuwa hicho nfio kitakuwa chumba changu. Nilimshukuru na kuingia, niliweka begi langu pembeni na kujitupa kitandani. “Hatimae naelekea nyumbani” nilijisemea moyoni huku nikiwa na furaha sana. Baada kuweka kila kitu sawa nilitoka kwenye chumba hicho na kuelekea juu, haikuwa kazi sana kupajua kwa sababu nilikariri njia zote tulizopita wakati naelekea chumbani.
 Nilipofika juu, Captain Sadick alitambulishwa kwa mabaharia wengine ambao walikuwa ni wajamii tofauti. Kulikuwa na wazungu, wasomali, watanzania sita na mimi wa saba pamoja na watu wa jamii nyingine mbali mbali. Dakika chache tu nilianza kuwazoea marafiki zangu wapya, na hio ilitokana na ucheshi wangu mkubwa sana niliozawadia na muumba wa mbingu na ardhi. Baada ya saa moja meli ilipiga honi na kung’oa nanga, safari ikawa imeanza rasmi.
 Kila mtu alielekea upande wake wa kazi na kuanza majukumu yake, “Adam nifuate” nilimsikia Captain Sadick akinambia. Niliinuka kwenye kiti na kumfuata, tuliekea mpaka kwenye chumba cha kuendeshea meli hiyo. Kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni, nilikaribishwa ndani ya chumba hicho kwa makopyuta makubwa sana na vitufe vingi sana. “Hivi umevikariri vitufe vyote hivi” niliropoka swali bila kutarajia. “Na ndio maana nikapewa unahodha mkuu katika chombo hichi” alinijibu kwa mkato. Nilibaki nimekodoa mcho tu maana niliwahi tu kusikia kuwa kuna vifaa vingi sana katika mameli makubwa lakini sikutegemea kama vitakuwa vingi kiasi hicho.
 “Unajua” alianza hivyo “ukijiona wewe unashida waangalie wale wenye hali ngumu kuliko wewe. Afadhali wewe umepata kusoma mpaka kufikia kidato cha nne chini ya uangalizi mzuri wa wazazi, mimi sikupata bahati hiyo” aliongea maneno hayo huku akiniangalia kwa macho yaliojaa majonzi. Aliniambia nikae kwenye kiti na mimi nikafanya hivyo, kishaa na yeye akakaa na kuanza kunisimulia maisha yake. Hapa wacha nikuelezee historia ya mtu huyu, huenda ukajifunza kitu kupiti kwake.
 Namnukuu “Leo mpaka kuwa hapa, nimetoka mbali sana tena sana kuliko hata shida ulizozipata kabla ya kujitakia matatizo. Mimi ni mzawa wa sehemu moja huko Kisiwani Pemba Zanzibar, ndio ni mzanzibari kama wewe tu. Nimezaliwa sehemu moja inaitwa Kojani, kwa bahati mbaya nikiwa na miaka mitano niliwapoteza wazazi wangu wote wawili kwa kisingizio cha kuwa eti ni wachawi. Kutokana maneno hayo kusambaa sana kila mtu aliamua kunitenga, hakuna kitu kibaya kama kutengwa na jamii inayokuzunguka ungali unahitaji msaada wao katika maisha yako.
 Jambo hilo liliniumiza sana, ingawa nilikuwa mdogo lakini nilielewa kila kitu kilichoendelea. Kutokana na manyanyaso kunizidi niliamua kukimbia huko, ndipo katika tembe tembea yangu na kimbia kimbia nilijikuta nimefika katika bandari ya Wete ambako kulikuwa na majahazi yanayoenda Tanga. Nilifanikiwa kujipenyeza katika moja kati ya majahazi yanayoondoka siku hiyo, niliacha kila kitu nilipotoka na kuelekea sehemu ambayo sikuw nikijua hata mtu mmoja. Usiku wa siku hiyo jahazi lilianza safari na Mungu alinisaidia mpaka nafika tanga sikukamtwa.

 Nikiwa na miaka sita ndipo nikapata wazo la kutafut ndoana ili niingie baharini nitafute riziki kupitia samaki. Nilinunua kila kitu kilichohitajika na kunza kazi punde tu baada kukamilisha vitu hivyo. Kwa siki nilipata vibuwa wawili watatu na kuuza, niliendelea na kazi hiyo kwa muda wa mwaka mzima. Mungu hakuwa mbali na harakati zangu kwani alinisaidia muda wote huo, maisha yangu niliaendesha kwa shilingi elfu moja kwa siku. Na yalikuwa yakienda vizuri tu na nashukuru Mungu sikuingiwa na tamaa za wizi japo wenzangu wengi walinishauri nijiunge na vikundi vyao vya uhalifu lakini nilikataa kata kata.
 Mimi niliamini hata mtoto alianza na hatua moja mpaka akachanganya kutembea, hivyo niliamini tu ipo siku Mungu atafungulia milango ya ridhiki. Na kweli siku hiyo ilifika, nakumbuka siku moja nilikuwa sehemu moja inaitwa Raskazoni. Sehemu hiyo mara nyingi familia nyingi hufika kwa ajili ya kuburudika hasa kipindi cha za mapumziko yaani namaanisha jumamosi na jumapili. Kama kawaida familia nyingi zilimiminika siku ya jumapili katika bahari hiyo safi kabisa na yenye mandhari nzuri ya kuvutia. Miongoni mwa watu kulikuwa na mzee mmoja mwenye asili ya kiarabu, alifika pale na familia yake yote.

 Alifika na mkewe pamoja na watoto wake wawili wa kike ambo kiumri mmoja alikuwa mkubwa kuliko mimi lakini mwingini alikuwa mdogo. Walionekana kuwa ni familia yenye furaha sana maana hata nyuso zao zilieleza hivyo na hukuhitaji kutafuta ushahidi zaidi kugundua hilo. Nilitamani sana kuwa na familia kama hiyo lakini wapi yangu mimi ilikuwa imeshatangulia mbele za haki. Ndio mipango ya Mungu ningefanyaje japo kuwa wamekufa vifo vya fedheha sana. Kila mtu alikuwa amezama katika furaha ya kuchezea bahari mpaka pale jua lilipoanza kutua.
 Watu walianza kutawanyika nikiwemo na mimi miongoni mwao, nilifika sehemu ya walinzi na kuchukua baskeli ambayo nilikodo siku hiyo na kupandisha juu. Nilipofika juu nilimuona yule mzee wa kiarabu akipakiza vitu kwenye gari yake na kufunga mlango. Ila kwa bahati mbaya kuna mfuko mdogo wa kaki ulidondoka na yeye hakuona. Alipanda kwenye gari yake na kuondoka eneo hilo, mimi nilisogea ulipo mfuko huo na kuunyanyua. Lahaula nilipoufungua nilion makaratasi fulani hivi mengi mengi tu, nilitoa moja na kuliangalia ndipo nikakutana na kitu kilichonishtua. Japo sikwenda shule lakini niliweza kusoma kutoakana na kuwa nilisoma madrasa tokea nikiwa na miaka minne.

 Niliirudisha karatasi hiyo na kuunyanyua mfuko huo wa kaki na kuutia kwenye begi langu kisha nikaanza safari ya kulifuata lile gari ikaanza. Nilijiatahidi kunyonga kadri ya uwezo wangu, na kwa sababu nilikuwa nimeikariri nilifanikiwa kuipata kuiona. Tatizo jingine lilijittokeza, alikuwa amefunga vioo vyote vya gari. Sikuwa na njia nyingine zaidi ya kuifuata gari hio na kwa bahati nzuri alikuwa akiendesha mwendo mdogo hivyo haikunipa shida kuifuatilia.
 Niliifuatilia mpaka tulipofika barabara ishirini, ambapo aliacha barabaa kubwa ya Taifa Road na kuingia barabara ya mtaa huo. Alitembea kidogo mpaka katika nyumba moja ya kisasa na kusimamisha gari hiyo kisha akapiga honi. Geti lilifunguliwa na kisha akaingiza gari ndani, ila kwa bahati mbaya nilipofika mlinzi alikuwa tayari ameshafunga mlango. Hio ilitokana na kuchoka sana kiasi cha kushuka baiskeli na kuikokota ndicho kilicho nichelewesha.

 Nilisogea mlangoni na kugonga, hazikupita sekunde nyingi mlinzi alifungua lakini aliponiona tu alionesha dharau na kunionyeshea kirungu chake cheusi alichokuwa ameshika mkononi. Kisha akanambia “We chokoraa potea haraka kabla sijakutwanga kirungu cha kichwa”, nilijaribu kumuelezaa kuna kitu muhimu nataka nimpe tajiri yake lakini bado hakunielewa. Na mimi sikuwa tayari kuondoka kutokana na umuhimu zile karatasi nilizozikuta ndani ya mfuko ule. Mara kadhaa mlinzi huyo alinisukuma kwa nguvu na kupelekea nianguke chini. Hata hivyo nilisimama na kurudi tena na kuendelea na kile ambacho nimekisimamia.
 Wakati tunaendelea kubishana tulisikia sauti ya mtu akiongea kw nguvu huku akija getini, yule mlinzi aliingia ndani haraka na baada ya sekunde kadhaa alitoka yule mzee. “Kijana unataka nini mbona ulikuwa unabishana na mlinzi wangu” aliniuliza swali hilo. “Samahani kwa usumbufu mzee lakini kuna nimeona nikukabidhi mkononi mwako kabisa kutokana na uzito wake” nilimjibu. “Kitu gani hicho kijana” aliniuliza, “wakati unaondoka kule Raskazoni uliangusha mfuko huu” niliongea na kumkabidhi ule mfuko” Captain Sadick alinyamaza kidogo na kuangalia saa yake ya mkononi.
 “Adam ni muda wa kula” alinambia kisha yeye akainuka na mimi nikafuata, lakini sikuwa hata na hamu ya kula. Nilitamani aendelee kunisimulia historia yake ambayo ilinivutia sana, basi tulielekea sehemu ya maakuli na kupta kile kilichoitwa chakula cha mchana. “Hivi tutaingia Hudson lini” nilimuuliza wakati tunaendelea kula, “baada ya siku nne ndio tutatia nanga Hudson” alinijibu. Tuliendelea kupata chakula huku tukiendelea na soga nyingine.
 “Hivi Adam imekuaje mpaka ukafanya maamuzi ya kijinga kiasi kile” aliniuliza mzungu mmoja miongoni mwa mabaharia wa kizungu. “Ni ujinga tu na tamaa za kipumbavu ndio sababu kuu” nilimjibu na wengi walicheka kidogo. “Hivi unadhani huku ulaya kuna maisha mazuri kama unavyoyaona kwenye runinga au” mzungu mwengine alitupia swali.
Nilibaki nimeshangaa tu nisijue nini cha kusema, maana ingekuwa vigumu kuamini kama angenambia mswahili mwenzangu lakini ni mzungu ndie alieniambia mambo hayo. Waliendelea kunieleza mambo mengi sana kuhusu nchi hizo za magharibi, yaani mpaka hamu ya hata kwenda kutembea ilinitokana hata kama ni kwa njia za halali. Tulimaliza kula na kila mtu akaelekea sehemu yake ya kazi. Mimi nilifuata na Nahodha mkuu mpaka katika chumba kile cha kuendeshea.
Tulipofika tulikaa tena sehemu ile ile na akaendelea kunisimulia historia yake ya maisha. Naendelea kumnukuu “ niliongea na kumkabidhi yule mzee ule mfuko wa kaki, bila hata kutegemea alinisika mkono na kuniingiza ndani ya geti kisha akampa ishara mlinzi wake alifunge haraka. “Kijana umeona kitu ndani ya mfuko huu” aliniuliza huku akihema juu juu. Nikamueleza kile nilichokiona, masikini mzee wa watu alishika kichwa na kukuna nywele zake ndefu zilizoja mvi. “Kijana unajua kitu ulichokiona ukimwambie mtu yoyote kitakuhatarishia maisha yako?” aliongea. “Hilo nilikuwansijui lakini kutokana na umuhimu wa nilichokiona ndio maana nikaamua kukufatilia hadi hapa kwako” nilimjibu na kuendelea “na mimi natumaini kazi yangu imekwisha hivyo naomba niondoke”.
Aliniuliza ninapo kaa, nilishindwa kumjibu kutokana na kuwa na pa kuishi. Nilikuwa nikilala vibarazani tu. “Mbona hunijibu”aliniuliza, “mimi naishi mtaani tu, sina familia wala ndugu ninae mjua” nilimjibu. Kilichofuata hata mimi ilinichukua muda kukiamini, siku zote watu husema wema hulipwankwa kwa wema tu na mtegemee Mungu katika maisha yako yote.

 Yule mzee aliniomba niishi kwake na aliniahidi kunilea na kunisomesha kama mtoti wake wa kunizaa. Na hapo ule msemo usamao “mchumia juani hulia kivulini” ukachukua nafasi yake katika maisha yangu. Kuanzia siku hiyo nikapata familia iliojaa upendo na maisha yangu yalibadilika moja kwa moja mpaka leo hii unaponiona hapa nimekuwa nahodha mkuu wa chombo hichi ni kwasababu tu ya kuamini Mungu alikuwa pamoja na mimi na bado anaendelea kuwa pamoja na mimi”
Hapo ndio ulikuwa mwisho wa historia yake ambayo ilijaa mapito magumu sana hasa ukizingatia umri wake ulikuwa mdogo sana. Hata hivyo aliamua kukabiliana na matatizo yote yaliomkuta na kufanikiwa kuyatatua kwa neema za muumba wa mbingu na ardhi. “Adam, siku zote ridhika na kile Mungu anachokupa kwani ndicho ulichotakiwa ukipate kwa muda husika. Jaribu kufikiria ungekuwa katika umri wangu na ukakutwa na matatizo kama yangu, unadhani ungekuwa hai mpaka leo. Uvumilivu ni muhimu sana katika maisha, ukiona hali ni mbaya. Usikimbilie kule unapodhani utapata maisha mazuri bali tafuta sehemu ambayo itakupa muda wa kupambanua matatizo yako” aliniambia maneno hayo kwa kuyasisitiza sana.

Baada ya historia hiyo nilitoka katika chumba cha kuongozea chombo hicho na kuelekea nje kabisa katika deki ya meli hiyo. Kulikuwa na upepo mzuri sana kutokana na kuwa chombo hicho kilikuwa kikisonga mbele kwa mwendi mdogo. Niliiangalia ile deki kwa makini sana na kuvuta kumbukumbu za siku ile tuliokamatwa katika ile meli nlioamini inhenofikisha nchi za ulaya. Matukio yote yaliotokea siku yalijirudia katika akili yangu. Pia niliikumbuka ile pesa yote ambayo niliitoa kama rushwa, laiti kama isingekuwa tama zangu za kijinga. Leo hii ningekuwa namiliki pikipiki yangu mwenyewe, na pia ningekuwa nimejiajiri mwenyewe.
Moyo wangu uliandamwa na majonzi makubwa sana, maumivu niliokuwa nayapata yaliniuma sana kila nilipokumbuka watu ambao nimewapoteza. Wakati nikiwa nimezama katika dimbwi hilo la mawazo nilihisi mtu akinigusa bega. “Unaonekana una mawazo wazo” yule jamaa alieitwa Juma aliniuliza,  “ndugu yangu we acha tu, laiti kama ningejua yatanikuta yalionikuta basi nisingethubutu kuondoka Tanzania” nilijibu huku nikihisi maumivu hasa mwilini mwangu. “Ndugu Mungu hutupa elimu pale tunapokosea na chukulia mambo yote ulioyapitia kama sehemu ya elimu hiyo” Juma alinijibu huku akitabasamu kidogo. 
Tuliendelea kuongea mambo mengi sana, alinambia kuwa yeye ameanza kazi ya ubaharia miaka miwili nyuma. Aliipata kazi hiyo baada kukutana na Captain Sadick na kwamba yeye ndo aliemkomboa kutokana na umasikini wa hali ya juu sana na kumpa kazi hiyo. Kumbe bado watu wema wapo duniani na sio kama watu wanavyosema.

Baada ya maongezi mafupi tulirudi ndani maana kiza kilishaanza kuingia na baridi ilizidi kuwa kali. Nilielekea chumbani kwangu na kujilaza kikitandani, nilianza kupanga mambo mengi sana ya kufanya nikifika nyumbani Tanzania.
Wakati nikiendelea na kupanga mipango yangu, nilisikia mlango ukigongwa. Niliinuka kitandani na kwenda kufungua.  Alikuwa mzungu mmoja hivi,  alikuja kunambia kuwa muda wa kula ulikuwa umewadia, niliitika na kurudi chumbani ndani. Nilivaa tisheti yangu ikiandamana na koti zito kidogo kisha nikatoka. Waliponiona tu walianza kucheka, na nilipowauliza kilichokuwa kinawachekesha mmoaja akanijibu kuwa hakuna hata baridi halafu mimi nimevaa koti.
Nilishangaa maana mimi nilihisi baridi mpaka kwenye mifupa lakini wao walikuwa wamevua kawaida tu na wengine walikuw wamevaa vest tu. Hata nilielewa kuwa watu wao walishaizoea baridi, niliungana nao kwenye meza na kupata chakula cha usiku. Tulikula huku tukipiga stori za hapa na pale, “Captain kwanini usitupe huyu kijana tukaenda nae chumba cha mashine, maana anaonkana ana akili sana” aliongea mzungu mmoja mzee kidogo. “Vipi Adam unataka kujifunza kitu” Captain Sadick aliniuliza. “Itakuwa vizuri kama nitajifunza kitu cha kufanya kuliko kulala na kuamka kama mwari anaesubiri mume” nilimjibu na kumfanya acheke.
Basi baada ya kula yule mzee aliniambia nimfuate, tulielekea mpaka katika chumba kimoja kilichoandikwa “Engine room”. Alikifungua na sote tukaingia, punde tu baada kuingia nilihisi mwili ukipata joto la ajabu sana kutokana na hali ya hewa iliokuwemo ya joto iliokuemo katika chumba hicho. Alinikabidhi nguo maalum za buluu ambazo ni overrall na kuniambia nzivae, hizo ndio zilikuwa sare za kukaa katika chumba hicho. Nilizivaa kisha tukaanza kutembea kwa mwendo mdogo huku akinionyesha mashine kadhaa na kuniambia kazi zake.

Kulikuwa na mashine nyingi sana huko ndani ya hicho chumba, tena zilikuwa kubwa kupita maelezo, Na kizuri zaidi kila mashibe ilikuwa na kazi tofauti na ile ya kukisukuma chombo hicho cha kisasa kabisa. “Kijana meli hii ni meli ya kisasa kuliko meli zote kubwa duniani” aliniambia, akanieleza kuwa inasukumwa na mashine kumi za kati akiw na maana mashine hizo ni mbili. Lakini mara nyingi husukumwa na mashine sita tu badala ya kumi. Kutumika zote kumi ni mpaka pale bahahri itakapokuwa na mawimbi makubwa na makali.
Ukiachilia hizo kumi, kulikuwa na mashine nyingine  nne za pembeni. Alinieleza kuwa mashine hizo ni mashine za dharurua na zitatumika pindi tu pale mashine nyingine zitakaposhindwa kuhimili uzito wa mawimbi. Aliendelea kunielekeza mamb mengine mengi tu, baada ya ziara kama ya nusu saa hivi tulitoka ndani ya chumba na mimi nikaelekea chumbani kwangu. Niliingia chooni na kujisafisha na baada ya hapo nilirudi chumbani ambako nilivaa nguo nyepesi na kulala. “Adam ndio ukaamua kunisaliti, kisa nimekufa si ndio. Adam si nakuambia wewe, mapenzi yoe yale niliokuonyesha bado ukaamua kuala na mwanamke mwengine. Lazima na wewe utalipa kwa hilo” nilikurupuka kutoka usingizini huku nikihema kwa nguvu.

Niliemuota hakuwa mwengine isipokuwa Latifa, lakini cha ajabu alikuwa kapendeza sana japo katika ndoto hiyo aliongea maneno makali sana. “Hivi ni ndoto au” nilijiuliza maana nilihisi kama alikuwa kaismama pembeni yangu ndani ya chumba hicho kidogo. Niliangalia saa iliokuwa ikining’inia ndani ya chumba hicho na kugundua ilikuwa ni saa kumi na moja alfajiri. Niliinuka na kuingia chooni kwa ajili ya kupunguza maji mwilini. Kisha nilivaa tracksuit yangu pamoja na koti zito na kutoka chumbani.
Nilielekea deki ambako niliwakuta baadhi ya mabaharia wakifanya mazoezi, “kijana naona mapema sana” aliongea mmoja wao. “Ah si unajua ukishakuwa na majanga katika maisha yako hata usingizi hauji vizuri” nilijibu na mimi nikaungana nao kwa ajili ya kupasha mwili. Tulifanya mazoezi kwa masaa nawili kisha kila mtu alielekea chumbani kwake kwa ajili ya usafi. Baada ya hapo tulikutana mezani na kupata kifungua kinywa. Kwa siku moja nilikaa nao watu, tayari nilikuwa nimeshazoea sana. Tulikuwa tukiongea kama watu tuliokuwa tunajuana kwa muda mrefu.
Tulipomaliza kula nilifuatana tena Mzee Jackson, ambae ni yule mzee anaenielekeza kuhusiana na mashine za chombo hicho. Jackson ndio lilikuwa jina lake, tulifika katika hicho na kama kawaida nikavaa sare zile alizonipa na ziara ikaanza tena. Siku hiyo alionionyesha mashine nyingine kabisa, tunaposema akili ya binaadamu inanguvu kuliko komputer si uongo. Kutokana na wingi wa mashine hizo na kazi zinazofanya basi kama mtu angekuwa hajasoma basi asingejua kufanya chochote. Tafauti na mzee huyo alionekana ameshaakula chumvi kiasi, yeye alizifahamu kinaga ubaga kuanzia ndogo hadi kubwa.
Siku hiyo alinipa kidaftari kidogo kilichondikwa kwa nje, “MV KANTANA” na kunambia nirikodi kitu ambacho nitahisi kitakuwa na umuhimu kwangu. Sio kwamba kulikuwa hakuna watu wengine katika chumba laa, walikuwepo na kila mtu alikuwa na jukumu lake. Mzee Jackson alikuwa ni engineer mkuu wa kitengo hicho. Baada ya ziara ya muda mfupi ndani ya chumba hicho, tulitoka na tulipofika tu nje aliniambia nimpe kile kidafatari alichonipa. Sikujua alikuwa akikitaka kwa sababu gani lakini nilimkabidhi na akaanza kuangalia kile nilichokiandika.
Alipomaliza aliniangalia kisha akatabasamu, “yaani na akili yako ilivyokuwa nzuri ukathubutu kukimbia kwenu eti kisa matatizo” aliongea maneni hayo kisha akatabasamu. Sikumjibu kitu, nilimuomba anipe kile kidaftari kisha nikaelekea chumbani kwangu. Nilipofika nilikaa kwenye kitanda na kuanza kurudia kile nilichokiandika wakati ananielezea. Baada ya kurudia kwa muda mfupi nilikiweka pembeni na kujilaza. Kutokana nauchovu wa mazoezi asubuhi nailikuwa si kawaida yangu, usiingiz haukucheza mbali na ulichukua nafasi yake.
Siku ya tatu jioni tulitia nanga Hudson, Texas. Walishuka watu kadha akiwemo na nahodha Sadick, baada kama robo saa hivi walirudi na kutuambia kuwa usiku tutaruhusiwa kutokana katika chombo na kuelekea hotelini ambapo tutapumzika kwa siku nne kabla ya kuanza safari yenyewe kuelekea Tanzani kupitia Afrika Kusini. Nilitamani usiku uingia muda huo huo kutokana na kuwa na hamu ya kuona jiji hilo la Texas ambalo nilikuwa nililiona kwenye runinga na filamu za kiingereza tu. Hata kukaa niliona tabu maana nilihisi viti labda vimepakwa gundi na nikikaa tu nitaganda.

Kama yalivyo masaa hayagandi, usiku ulichukua nafasi yake na bila kuchelewa tulishuka wote na kuelekea katika gari ambayo ilikuwa inatusubiri. Tulielekea katika hoteli moja kubwa sana na ya kisasa, ilikuwa mara yangu ya kwanza kuingia katika hoteli kubwa kama hiyo japo kule kisiwani niliingia. Lakini haikuwa kubwa kama nilioingia mjini Hudson Texas. Kila mtu alipewa chumba chake kwa ajili ya kuupitisha usiku huo mwanana kabisa katika vyumba vilivyopambwa na hita(heater) kwa ajili ya kukifanya chumba hicho kiwe na hali ya hewa nzuri sana.
Siku hiyo hata ndoto mbaya sikuota kabisa, nililala fofofo kama mtoto mdogo alieshiba ziwa la mamae. Siku ya pili mapema kila mtu alitawanyika na kuelekea katika harakati zake anazozijua mwenyewe. Pale hotelini tulibaki watu wawili tu, mimi na nahodha Sadick. “Twendezetu tukazurure mitaani huko” aliniambia na mimi nikakubali bila kusita. Tulitoka nje ya hoteli hio na kuchukua gari maalum ambayo hupewa watalii hotelini hapo kwaajili ya matembezi kipindi chote watakachokuwepo.
Yaani mambo nilioyashuhudia yaliniacha kinywa wazi, yaani kila nilichoambiwa na yule mzungu katika meli ni kweli tupu. Maana asubuhi mapema tayari omba omba walikuwa washajipanga njiani kupigania riziki, hilo halikutosha ukahaba ulikuwa unafanyika kweupe na sio kama Bongo ambapo ukahaba ni usiku pekee. Kiufupi nchi kama Amerika ikiwa kwa siku unashindwa kupata hata dola mbili au tatu basi siku hiyo jiandae kula makombo ya hotelini baada ya kuosha vyombo. Wakati huku Tanzania ukiwa na elfu moja tu basi unapata japo mlo mmoja.

Ule tunaoita “pasi ndefu”, tulizunguka sana na tulikula katika migahawa tofauti tofauti.
Jioni tulikutana hotelini ambako kila mtu aliingia chumbani kwake na kutoa kaptula, tulielekea sehemu ya nyuma ya hoteli hiyo ambako kulikuwa na mabwawa makubwa sana ya kuogelea. Tulipofika huko hakuna aliogeajambo, kila mtu aliingia katika bwawa hilo na kuanza kuogelea. Nilijiuliza mara mbili mbili kwanza kabla ya kuingia katika bwawa hilo maana baridi ilikuwa imeshaaza kuwa kali. Wakati naendelea kuwaza na kuwazua nilishangaa ghafla niko angani na kutua ndani ya maji.
Wengine wote walinicheka, niliona hakuna haja ya kujishauri tena maana tayari nilikuwa nimeshaivaa baridi. Niliungana na kufurahia jioni hiyo, kumbe wenzangu walikuwa hawaogelei tu. Walikuwa wakifanya mazoezi humo, mazoezi kama yale ya kuzamia na kukaa chini ya maji kwa muda mrefu. Tena walikuw na pumzi maana aliekaa muda mfupi kuliko wote alikaa dakika moja na sekunde thalathini. “Adam hutaki kujipima upepo” wakati nikindelea kushanga nilisikia mtu akionge nyuma yangu. “Mimi na kuzamia wapi na wapi, mazoezi hayo yana wenyewe akina nyie” nilijibu, sio kwamba nilikuwa siwezi laa, sikutaka tu.

Nilikuwa na uwezo wa kubana pumzi ndani ya maji kwa muda mrefu sana, kitu kimoja ambaocho sijawaambia. Kipindi kile nafanya kazi ya uvuvi, kuna siku wakati natega nyavu mguu wangu mmoja ukaingia katika nyavu hiyo na kujizonga. Nilihangaika sana kuutoa maana nilikua mbali kidogo uso wa maji. Nilipapatua mpaka nilipokuja kuutoa nilikua nishaanza kuhisi kifo, nilipofika juu wenzangu wakaniuliza nilikuwa nafanya nini huko chini kwa dakika tatu nzima. Niliwaeleza kilichonikuta na wakacheka. Hivyo kwa sisi wavuvi ni kawaida yetu kukesha chini kwenye maji.
Basi walinilzamisha namimi niajaribu kwa kunitolea sababu tofauti, mwisho niliona isiwe kero nilikubaliana nao na kuzamia. Lakini wakati huu uwzo wangu wa kukaa ndani ya maji kwa muda mrefu ulikuwa umepunguwa sana. Nilikaa kwa dakika mbili na sekunde kumi tu nikaibuka maana mapafu yalikuwa yashaanza kuwaka moto. Wengi waliniangalia kwa macho ya mshangao hasa wale ambao nilikuwa nimewazidi uwezo. Basi baada ya hapo kila mtu alirudi chumbani kwake na kujisafisha kisha tukapata chakula cha jioni kwa pamoja.
Tulipomaliza kula kuna baadhi waliondoka na kuelekea viwanja kama vile macasino na wengine madisco. Mimi na baadhi ya mabaharia tulibaki hotelini na kila mtu akajifungia chumbani kwake kwa ajili ya kuupitisha usiku huo mwanana kabisa katika jiji hilo la watu lililonofanya niuze roho yangu kwa tamaa. Nililala fofofo na usiningizi ulikuwa mzuri sana na wala haukuwa na ndoto zozote za ajabu ajabu.

Siku ya pili mapema niliamka na kutoka nje kwa ajili ya kunyoosha mwili, wakati natoka nikakutana na baadhi ya mabaharia ambao  walikwenda viwanja usiku wakirudi huku wakikokotana. Walikuwa wamelewa chakari, niliwasilimu na kuelekea sehemu ya mazoezi ambako nilimkuta captain Sadick akiwa tayari ameshafika na alishaanza mazoezi. Na mimi niliungana nae na kufanya mazoezi huku tukiongea mambo kadhaa wa kadha.
Baada ya mazoeiz nilirudi chumbani kwangu na kujisafisha kisha nikaelekea sehemu maalum na kupata kifungua kinywa. Baada ya hapo nilitoka na captain Sadick na kuelekea mizungoni kama kawaida yetu. Hiyo ndio ilikuw starehe kubwa kwetu, pia nilipata kuona na kujifunza mengi sana kupitia mizunguko hio. Maisha magumu si Afrika tu hata huko wanapopaita kwa Obama kuna watu wana hali mbaya sana ya maisha kupita maelezo.
Tukiwa njiani nilimuuliza Captain Sadick kwanini yeye hajaenda viwanja, “Kwanza imani yangu hainiruhusu mimi kwenda katika sehemu kama hizo. Lakini pili mimi nina mkea nyumbani na naithamini ndoa yangu sana na kumthamini mke wangu. Kuwa mbali na mke wangu haimaanishi nifanye mambo ya kijinga. Kwa sababu kwenda sehemu kama macasino, kuna uwezekano mkubwa wa kulala na mwanamke mwenigine pasi na mke wangu” alinieleza hayo na mimi wala sikutaka kuendelea kuhoji kitu.
Mchana tulirudi hotelini na kuunganika na wengine kwa ajili ya chakula cha mchana, maisha mjini Hudson yaliendela hivyo mpaka pale siku za mapumziko zilipokoma na maandalizi ya safari ndefu ya kurudi nyumbani yakaanza. Tulinunua vyakula vya kutosha pamoja na madawa mengi tu na nilipouliza dawa zote zile za kazi gani. Nikaambiwa kuwa ni za dharura tu  ikitokea kama mtu ataumwa au kuumia kipindi chote cha safari. Maana safari hiyo ni ndefu sana na kuna wakati inachukua hadi miezi miwili mpanga meli kuti nanga bandari ya Dar-es-salaam Tanzania.
Baada ya kila kitu kukamilika, tulifungasha mizigo yetu na safari ya kurudi melini ikaanza. Tulipofika kila mtu alikwenda chumbani kwake huku tukikubaliana tukutane baada ya dakika kumi. Niliingia chumbani kwangu na kuweka kila kitu changu sawa kisha sikukaa niltoka na kuelekea katika sehemu ya kukutania. Baada dakika kidogo wengine walifika na kuongea mambo kadhaaa. Baada ya hapo kila mtu akaelekea katisa hemu yake  ya kazi. Mimi sikwenda pahali kwa sababu sikuwa mfanyakazi wa chombo hicho. Nilibakia pale pale ukumbini huku nikiwaza mambo mengi ambayo nimeifunza kipindi chote hicho.
Baada kama nusu saa hivi nilizinduliwa kutoka katika mawazo hayo kwa mngurumo mkubwa sana mashine zilizopata uhai baada ya muda mrefu sana kulala. Na baada ya muda kidogo walikuja tena mabaharia wote na kuomba dua ya pamoja. “tutaondoka saa saba usiku” Captain Sadick aliongea na kila mtu akatawanyika na kuelekea sehemu anayoijua yeyey. Mimi nilielekea chumbani kwangu ambako nilijibwaga kitandani na usingizi haukuchukua muda ukanipitia.

Nilikua kushtuka baada kusikia mlio mkali na mkubwa sana wa honi ya meli hiyo, ilikuwa ni ishara kuwa chombo hicho kilikuwa kinang’oa nanga. Hapo sasa safari ya kurudi nyumbani Tanzani ikawa imeanza rasmi. Nilipata furaha sana moyoni mwangu baada kuhisi kuwa nareje a sehemu ninayostahiki kuwepo, nyumbani. Nikiwa katika furaha hiyo ndipo nikaikumbuka bahasha niliopewa na Delila. Nilikurupuka kutoka kitandani na kulisogelea begi langu, nilifungua na kutoa bahasha kisha nikardi kitandani na kuifungua kisha nikaanza kuisoma.

Kwako mwanaume niliekupenda na kukukabidhi moyo pamoja na mwili wangu, najua wakati utakapokuwa unaisoma barua hii utakuwa mbali na mimimi. Lakini kuwa na amani popote pale utakapokuwa na nataka ufahamu tu kama kuna mwanamke anakupenda kwa moyo wake wote. NAKUPENDA SANA ADAM na baada yako ndio nimefunga mlango wa upendo kwa mwanaume yeyote mwingine. Lengo la barua hi fupi si kukueleza ni kiasi gani nakupenda bali ni kwamba. Ulikuja ukakutuka wawili mimi na mwanangu Noah na ukatulea kama familia yako pasi na kutaka kujua chochote kile. Umemlea Noah kwa kipindi kifupi sana na kumfanya ahisi amepata baba aliekuwa akimtaka kwa muda mrefu. Wakati unaondoka hujatuacha kama ulivyotukuta, umetuacha watu watatu. Umetuachia alama ya upendo wako wa dhati, nina mimba ya miezi miwili sasa lakini nilishindwa kukuambia kutokana na nia yako ya kurudi nyumbani kwenu. Na nakuahidi kuwa nitamlea mtoto wetu na kumpa upendo kama ulionipa na nitamueleza babaake ni baraka ya pekee katika maisha yangu. Ishi kwa amani mpaka pale Mungu atakapotukutanisha tena kwa mapenzi yake. WAKO AKUPENDAE KWA DHATI DELILA.

Barua iliishia hivyo na ilikuwa inamatone kadhaa ya machozi yalioashiria kuwa alikuwa akilia wakati anaandika. Najua utakuwa na swali juu ya kuwa nimejuje kama yale ni machozi wakati yangekuwa yashakauka. Kulikuwa na alama nyeusi zilizotokana na wanja aliokuwa amepaka na ndio maana nikatambua kuwa alikuwa analia wakati anaandika. Moyo wangu uliingiwa na simanzi kuliko hata lililonipata baada ya kumpoteza Latifa. Niliuhisi unachanika na kuacha maumivu makali sana.
Machozi yalianza kunitoka bila kupenda, nilijiona mtu mwenye mikosi kuliko watu wote duniani. Maisha yangu niliyaona ya  ajabu sana maana kila mtu niliempenda alitoweka katika maisha yangu. “Nitarudi kwa ajili yako tu” nilijisemea moyoni na kujiapiza kuwa lazima nirudi Jamaica, niliirudisha barua ile kwenye bahasha na kuiweka kwenye vizuri kwenye begi. Kisha nikarudi kitandani ili kujaribu kutafuta tena usingizi lakini wapi. Picha ya Latifa, louise, Linda na Delila zilikuwa zikipishana kwenye ubongo wangu kwa zamu.
Mpaka kunakucha sikufanikiwa kufunga hata jicho, nilinyanyuka kitandani na kuelekea chooni kwa ajili ya usafi kisha nikaelekea sehemu ya kupata kifungua kinywa ambako nilikutana na wenzangu. Baada ya kupata kifungua kinywa hicho, nilifuatana na Mzee Jackson mpaka katika kile chumba cha mashine ambako niliendelea kupata elimu ya moja kwa moja kutoka kwa bingwa huyo wa mitambo ya chombo hicho. “Hivi hujiuliza kwanini nakupa elimu hii” aliniuliza wakati tunatoka katika chumba hicho.

“Nilitaka kukuuliza muda mrefu lakini nikahisi muda muafaka bado, kwa vile umeniuliza wewe waweza niambie ni kwasababu gani unanifundisha mambo haya wakati hata hadhi ya kusomea sina” nilimjibu na kumafanya atabasamu kidogo kisha akasuuza koo na kusema “Huenda Mungu akawa amekuteuwa kurithi nafasi yangu katika chombo hichi baada ya kustaafu”. Nilibaki nimekodowa macho tu nisijue nini la kuongea, “katika chombo hichi wengei wanakuona kama mtu wa kawaida sana, mimi ninapokuangalia naona uwezo mkubwa sana wa akili umesimama mbele yangu” aliendelea

“Kivipi” nilimuuliza, “unakumbuka mara ya kwanza nilipokupa kile kidaftari” aliniuliza nikamjinu kuwa nakumbuka vizuri tu. Hapo ndio akaniambia kuwa alinipa kile kidafatari kupima uwezo wangu wa kuchanganua na kuandika mambo muhimu. Na alifanya hivyo kwa wengine wote isipokuwa Captain Sadick. Lakini wote hawakufikia pale anapopataka ila mimi ndio nikamkonga moyo wake.Na ndio maana akaamua kunifundisha. Na alionesha kabisa kama alikuwa hatanii hata kidogo, sikuwa na la kujibu zaidi ya kutabasamu tu.
Siku zilipeperuka kama vumbi katika upepo mkali huku bahari ikiendelea kuwa tulivu kabisa bila kuleta shida yeyote ile. Mawimbi madogo madogo yalikuwepo lakini hayakukitisha chombo hicho kutokana na ukubw na uimara wake. Mwezi ulikuwa umekatika tayari huku mimi nikiwa nimeshaanza kuwa mzoefu na kucheza na mitambo. Nakumbuka siku hiyo nikiwa deki nimekaa napunga upepo ghafla hali ya hewa ilianza kubadilika na mawingu mazito yakatanda angani. Upepo nao haukuwa nyuma ukaanza kuonesha makeke yake kwa kuvuma kwa kasi sana jambo ambalo lilianza kunitia hofu.

ITAENDELEA

SIKUTEGEMEA – 5

Image result for adrian mcdonald photography

Simulizi : Sikutegemea
Sehemu Ya Tano (5)

Kabla hata sijakaa vizuri manyunyu madogo madogo yakaanza kudondoka, nilirudi ndani huku bado nikiwa na wasiwasi sana. Moja kwa moja nilielekea mpaka katika chumba cha kuongozea chombo hichi. Huko niliwakuta wote wakiwa wameshughulika na computer, “Capatain tumebakiwa  na muda gani mpaka kufika Afrika kusini” nilimuuliza Capatain Sadick. “Kwa makadirio ya kawaida tumebakisha wiki mbili tu” alinijibu lakini sura yake ilionekana kujawa na hofu. Wakati tunaendelea kuongea ghafla meli ilipigwa na wimbi kubwa sana mpaka kupelekea vitu kadha kuanguka.

“Capatain, upepo umezidi kuwa mkali na mawimbi pia yamezidi kuwa makali”aliongea mtu mmoja. “kwa makadirio mawimbi yana ukubwa gani” aliuliza Capatain Sadick. “Kwa sasa yana ukubwa wa mita kumi kwenda juu lakini kadri muda unavyokwenda yanazidi ukubwa” alijibu huku akiweka sawa kifaa maalum alichoweka sikioni kwake. “Unataka kunambia mpaka usiku yatakuwa yashakaribia mita kumi na sita” aliuliza Captain Sadick huku akiwa amekodoa macho. “Nina wasiwasi huenda yakazidi ukubwa huo, hii ni kutokana na kuwa upepo unavuma kwa kasi sana” alifafanua.
Capatain Sadikck aliniangalia kisha akasema, “usiku wa leo utakuwa mkubwa sana”. Aliinuka sehemu aliokuwa amekaa na kuelekea katika sehemu yake husika. Alivyoongea hivyo sikuwa tena na la kuuliza maaana nilishafahamu kitakacho tokea. Nilitoka katika chumba hicho na kuelekea chumbani kwangu ambako nilikaa kitandani huku nikisikilizia chombo hicho kinanvyopambana na mawimbi. Wakati nikiendelea kusikilizia,nilisikia king’ora kikilia na kufahamu kuwa tulikuwa tunahitajika kwa kikao cha dharura. Nilinuka kitandani na kutoka ndani ya chumba hicho.

Nilipofika sehemu tunayokutana, wengine wengi walikuwa wameshafika. Baada dakika kama mbili hivi Capatain Sadick aliingia huku akiw na mavazi ya kazi kabisa. Mara nyingi alikuwa akivaa nguo za kawaida tu lakini siku aliingia akiwa na gwanda zake za unahodha. “Kila mtu asikilize kwa makini zaidi, tutakuwa na siku kama tatu mpaka nne za pepo na mawimbi makali mble yetu hasa nyakat za usiku. Hivyo basi ndani ya kipindi chote hicho tunatakiwa tushirikiane kikamilifu ili kuvuka hilo balaa mbele yetu” aliongea. “Aye Captain” tulijibu kwa pamoja na mimi nikiwemo.
“Kila mtu avae nguo zake za kazi, maana kazi ndio kwanza imeanza” alimalliza na kusema kwa nguvu “MV KANTANA” wengine wote wakajibu kwa nguvu “King of the ships, we lead others follow (mfalme wa meli, tunaongoza wengine wanafuata)”. Kisha kila mtu akatawanyika na kurudi sehemu yake ya kazi. Kama kawaida nilifuatana na Mzee Jackson mpaka katika kile chumba cha mashine na kuvaa gwanda za buluu alizonipa. “Kijana karibu katika mapambano” aliniambia na kunikabidhi kifaa maalum cha mawasiliano kisha akaniambia niweka sikioni na mimi nikafanya hivyo.
Kifaa hicho kilituunganisha watu wote ndani ya chombo hicho kikubwa, ikitolewa amri yeyote au tangazo basi watu wote tunasikia. Tayari kiza kilishaachukua nafasi yake  huku kikisindikizwa na upepo pamoja na mvua kali sana yenye radi za kutosha.. Pamoja na kuwa Mzee Jackson alikuwa ameshaanza kukonga lakini alikuwa mwepesi sana kucheza na mashine hizo. Maana alikuwa kama Dj wa club anavyochezea ile mashine yake ya kuongezea mziki. “Chief engineer Jackson niongeze  miguu miwili ya ziada” nilisikia kwa ufasaha zaidi kupitia kifaa nilichoweka sikioni. “Aye Captain” Mzee Jacksona aliongea na kusogea kwenye mashine moja kubwa na kubonyeza vitufe kadhaa na mashine hiyo ikaanza kunguruma.

Tulizidi kupambana na mawimbi makali sana, “Henry na Seif nendeni juu, nataka  taarifa kamili” aliongea mzee Jackson na vija na aliowataja walitoka ndani ya chumba hicho n kuelekea walipoelekezwa. Baada ya dakika kumi walirudi wakiwa wamerowa sana. “Mkuu huko nje hali ni mbaya sana, mawimbi ni makubwa kuliko kawaida. Kwa muenekano tu yana urefu wa mita kati ya kumi na tani na kumi na saba” aliripoti Henry huku akihema. “Haya mawimbi ni makubwa sana kwa mashine nane” alijisemea mwyenywe kisha akabonyeza kitufe na kuongea “Captain, nguvu inahitajika zaidi”. “Fanya mambo” alijibu captain Sadick na mzee Jackson akaamsha mashine mbili za mwisho za kati.
Yaani tulikuwa chini katika chumba hicho lakini tulihisi kabisa kama meli hiyo ilikuwa inapanda wimbi kubwa sana. Maana mpaka siki kule chini tulianguka na kila mtu akatafuta sehemu ya  kushika. Kadri muda ulivyokwenda hali ilizidi kuwa mbaya. “Capatain sehemu ya deki yote imejaa maji” mkaguzi wa nje wa meli hiyo aliongea, “fungua njia maalum na ziache wazi” Captain aliongea lakini sijui nini kiliendelea kwa sababu mimi nilikuwa ndani. Safari iliendelea huku chombo hicho kikizidi kukabana koo na bahari iliokasirika na pepo zilizonuna bila kusahau radi na mvua kali kupita maelezo.
Kwa mbali tulianza kuhisi meli ikianza kutiulia na hatimae mawimbo yakaacha kabisa na mvu ikakata. Mzee Jackso alizima mashine zile alizoziongeza na kuacha itembelee na mashine sita kama kawaida. Kila mtu huko tulipokuwa sisi alifurahi sana na wengine walikumbatiana. “Tukutane mara moja” Captain Sadick aliongea kupitia kile kifaa cha mawasiliano. Kwa pamoja tulitoka na kuelekea katika sehemu ya kukutana. 

“Kwanza niwashukuru kwa kufanya kazi bega kwa bega na kufanikiwa kuvuka hatari iliotukabili. Lakini huu ni mwanzo tu na huenda siku zinazofuata hali ikawa mbaya zaidi, kama tutafanya kazi bega bega bila kusahau kuwa Mungu ndio muweza wa yote  basi tutvuka majanga haya kwa rehemza zake” aliongea Captain Sadick kisha tukaomba dua ya kushukuru na kupewa ruusa ya kupumzika. Niliekea chumbani kwangu na kujilaza kitandani, ilikuwa ni saa tisa usiku. Tulipambana na mawimbi kwa muda wa masaa zaidi ya saba. kutokana na uchovu usingizi ukanichukua na kunihamisha kabisa ulimwengu.
Nilikuja kushtuka saa tano asubuhi, nilinyanyuka kivivu na kuingia chooni. Baada ya kumaliza haja zangu huko, nilitoka na kuvaa overall langu kisha nikatoka chumbani. Niliwakta baadhi ya mabaharia wakiongea mawili matatu lakini zaidi waliongelea kuhusu mshike mshike wa usiku wa kuamkia siku hiyo. Kitu kilichonishtua zaidi ni pale waliposema kuwa, kutokana na mitambo yao ya kusoma hali ya hewa. Kutakuwa na mawimbi makali zaidi ya yale ya usiku, sikutaka kuuliza kitu zaidi ya kusalimia. Kisha nikachukua kikombe kujiwekea kahawa kidogo kwa ajili ya kuchangamsha damu.
Nilipomaliza niliondoka hapo na kuelekea chumba cha kuongozea meli. Huko nilimkuta Captain Sadick akiwa kajiinamia huku ameshika picha mkononi. “Mbona unaonekana una majonzi hivyo” nilimuuliza na swali langu hilo ndilo lilimshitua, “ah hakuna kitu” alinijibu huku akijaribu kukwepesha macho yake. “Usijali kwa uwezo wa Mungu tutafika salama, yote ni mitihani ya kutuma ni kiasi gani tunamuamini” niliongea kama njia ya kumpoza. “Adam mambo mengi haya kwako ni mageni na laiti ungeelewa dhoruba zitakazofuata basi ungejifungia ndani kwako ukasubiri matokeo” aliniambia na kunishangaz kidogo.

“Yaani mimi nimepitia mengi sana kiasi kwamba sasa siogopi tena hata kufa” nilimjibu kwa sauti iliojaa ukakamavu. “Mimi nakuamini sana tena sana, na nina imani na uwezo wako” nilimpa moyo. Aliniangalia kisha akatabasamu sana na kusema “kweli mzee Jackson hajakosea” aliongea na kuniacha njia panda. Aliinuka na kuelekea kwenye usukani mkubwa kisha akageuka na kuniangalia na kuongea “unasubiri nini sasa, nenda kanipe mambo tuchape mwendo”. “Aye Captain” niliitika kwa nguvu na kutoka ndani ya chumba hicho.
Nilikwenda kwenye chumba cha mashine na kufanya yangu, “tayari kuondoka” niliongea kupitia kile kifaa cha mawasiliano baada ya kubonyeza kitufe fulani hivi. Honi kali ilisikika na nanga iliokuwa imeachiwa ilipandishwa na safari ikaanza tena. Nilikaa huko huko kwenye chumba hicho huku nikifuata maelekezo yote alioyatoa Captain. Baada ya saa moja Mzee Jackson alifika na kuchukua nafasi yake kama kawaida. “Tusikilizane kwa makini, leo usiku tunategemea tena kukumbana na dhoruba lakini hii ya leo huenda ikawa nzito kuliko ya jana hivyo ushirikiano unahitajika kwa nguvu zote” mtu wa mamlaka ya hali ya hewa aliongea.
“Chief engineer kwanini tusiokoe muda kipindi hichi cha mchana ili kama usiku hali itakuwa mbaya kama ilivyosemwa tuwe angalau tmeopiga hatua” niliongea nikiwa karibu na mzee Jackson. “Wazo lako zuri sana” alinijibu kisha akawasiliana na Capatain Sadick kupata ruhusa ya kufanya hivyo nae captain aliunga mkono. Hapo sasa mashine zote kumi ziliwashwa na kuanza kutekeleza majukumu yake. Kwa mara ya kwanza niliona meli ikitembea kasi kiasi kile.

Nilitoka nje kabisa ili kuthibisha mwendo huo, kweli waliposema MV KANTANA inaongoza wengine wanafuata hawakukosea kabisa. Meli hio ilikuwa inakwenda kasi si mchezo, tulitembea kwa muda wa masaa matano mfululizo kwa kasi hiyo na kufanikiwa kutembea masafa marefu kweli kweli. Jioni ilipoanza kuingia tu mawingu yalianza kununa na taratibu yakaanza kulia, upepo nao ukaungana na mvua na kuizidisha makali. Hata hivyo mwendo ulikuwa ule ule wa mwanzo.
Usiku sasa ndio shughuli yenyewe ilianza, ile ya jioni ilikuwa na trela tu. Nilirudi katika chumba cha mashine na kuungana na mzee Jackson pamoja na wanamitambo wengine. Henry na Seif kama kawaida yao walikwenda nje na kuangalia hali ya mawimbi, walirudi na kuripoti kuwa mawimbi hayana tofauti na ya jana kwa urefu lakini yana nguvu zaidi kuliko ya jana. “Captain unamaamuzi yeyote” aliuliza mzee Jackson, “Yeah, Give me full power (ndio nipe nguvu yote)” alijibu capatain Sadick. “Vijana kaeni kwenye siti zeni na kila mtu acheze na mashine yake, utakuwa usiku mkubwa leo” aliongea Mzee Jackson na wale wanamitambo wengine waliitika na kila akasogea kwenye kiti chake na kukaa. “Adam kaa kweny kiti hichi” aliniambia huku akionesha kiti cha pembeni yake huku yeye akifunga mkanda wake vizuri. Wala sikutaka kujua zaidi nilisogea kwenye kiti na kukaa kisha nikafunga mkanda kabisa. “Okay pirates, make the baby cry” aliongea kwa nguvu na kila mtu katika nafasi yake alibonyeza kitufe. Hapo sasa mpaka mlio wa mashine ukabadilika, niliviangalia vile visahani vya kwenye zile mashine na kuona mishale yake ikigonga kwenye alama nyekundu.

Nilianza kusikia honi moja kali sana na ndefu ikiambatana na honi ndogo ndogo kadhaa, mimi nilekuwepo huko chini nilihisi kasi ya meli hiyo. Sasa sikupata picha waliokuwa juu. Nilihisi kabisa meli hiyo ikichapana na mawimbi na mara kadhaa nilihisi ikiinuliwa juu na kupiga chini kwa nguvu. Iliendelea na mchezo huo ila kwa bahati mbaya mara moja ilikumbana na wimbi zito sana. Wimbi hilo lilipelekea baadhi ya vyuma katika chumba hicho kuchomoka. Na bahati mbaya zaidi kimoja kilitua kchwani mwa Mzee Jackson na mabaharia wengine wawili wakakumbana dhahama kama hiyo. Masiki Mzee Jackson alipoteza fahamu papo hapo kwenye kiti chake.
“May day, may day we have man down” mwanamitambo mmoja aliongea huku akijifungua mkanda na kuwasogelea wenzake wawili ambao walikuwa hawajitambui na hilo ndio kosa alilofanya maana meli ilikumbana na wimbi kali sana lilipelekea yule mwanamitambo kupigizwa katika ukuta kwa nguvu. “Kaa hapo hapo ulipo usifungue mkanda” niliongea kwa nguv baada ya kumuona Seif akihangaika kufungua mkanda. “Lakini huyo mwenzetu tukimuacha hapo atazidi kuumi” alilamika, “nafahamu lakini kwa sasa hatuna jinzi mpaka tumalize hili balaa kwanza” nilimjibu na yeye akakubali japo kwa shingo upande.
“Tuliendelea kupepetwa kama mchele ungoni lakini hakukuwa na njia nyingine zaidi ya kuomba amani tu. Baada ya matano ya dhoruba hizo hatimae bahari ilitulia na kubakiwa na mawimbi madogo madogo tu ya kawaida. Tulizima mashine na kubakisha zile sita kamakawaida, nilifungua mkanda na bila kuuliza nikafungua mlango na kupeleka salamu kuwa tuna majeruhi. Mabaharia kadhaa walifuatana na mimi mpaka katika chumba cha mitambo na kuwabeba majeruhi wote na kuwapeleka chumba cha huduma ya kwanza na kuanza kuwapatia matibabu.
“Huvu umepata wapi ujasiri wa aina ile” aliniuliza Seif, “unajua kuna muda inabidi binaadamu ufanye maamuzi magumu kwa manufaa ya wengine, hivi unadhani wanamitambo wengi mungeumia chombo kingesimamiwa na nani” nilimjibu huku nikijiwekea barafu katika sehemu ya juu ya paji la uso ambako kulikua na kauvimbe kadogo. Kauvimbe hicho nilikipata baada kupigwa na nati ilioruka kutoka sehemu yake iliofungwa. Wakati huo pia tulikuwa katika sehemu ya kukutana tukiongea mengi wakati tukisubiri majibu kutoka kwa mtabibu ambae alikuwa anawahutubia wale waliokutwa na majanga.
Baada ya robo saa alitoka huku akiwa kajiinamia, jambo lilitujulisha kuwa taarifa zilikua si nzuri. “Captain na wenzangu kwa ujumla, nina taarifa mbili moja mbaya na nyingine nzuri. Mbaya ni kuwa tumempoteza mwanamitambo msaidizi engineer Ayoub na taarifa nzuri ni kuwa waliobakiwa wote wako salama ila sidhani kama Frank na Isham wataweza kufanya kazi kwa kipindi hichi kutokana na majeraha makubwa kichwani” alituambia na taarifa hizi zilikuwa kama mwiba kwetu. “Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana lihimidiwe” aliongea mzungu mmoja huku na wenzake wote wakaitika “Amen”. “Innaa lilaahi wa innaa ilayhi rajiuun” maneno hayo yalituto kwa pamoja mimi na captain Sadick pamoja na waislamu wengine katika chombo.
Mwili wa engineer Ayoub ulisafishwa vizuri na kuwekwa katik friji maalum kwa ajili ya kuhifadhiwa mpaka tutakapofika na kuupeleka kwa familia yake. “Jamani yaliotokea yametokea bado tunasafari ndefu sana mbele yetu” Captain Sadick alisimama na kuongea kama mkuu wa chombo hicho. “Kwani tumebakiwa na siku ngapi mpaka kufika Afrika kusini” aliuliza Seif, “kutokana kasi tuliokuwa tunatembea nayo tumebakisha kama siku kumi tu” alijibu bwana mmoja. “Capatain inabidi tuendeleee na safari usiku na mchana wote ili tuzidi kupunguza masafa” mshauri mmoja wa captain Sadick aliongea.
Seif alipewa nafasi ya kukaimu pengo la Mzee Jackson na Henry akakaimu nafasi ya engineer Ayoub. Mimi nilipewa nafasi ya seif na James akachukua nafasi ya Henry, “kila mtu kwenye nafasi yake, Seif nipe nguvu yote” alitoa amru captain Sadick na pia kuumpa amri Seif. Tuliondoka na Skuelekea katika chumba cha mitambo, Seif alifanya kama alivyoambiwa na kuwasha mashine zote kumi. Safari iliendelea japo haikuwa tena na furaha kama mwanzo lakini tungefanyae na kazi ya Mungu haina makosa.
Hakuna aliepumzika mpaka kufikia jioni ambako mvua kama kawaida yake ilianza tena, japo mwanzo haikuwa na upepo mkali.

Lakini kadri muda ulivyoyoyoma ulizidi kuwa mkali, nikiwa katika chumba kile cha mitambo alikuja mtu mmoja na kunambia kuwa Mzee Jackson ananihitaji. Niliacha kila kitu na kuelekea chumbani kwake ambako alikuwa amepumzika. “Kijana nataka nikupe jukumu zito” aliongea punde tu nilipofika, “jukumu gani tena” nilimuuliiza huku nikikaa kwenye kiti.
“Unajua katika maisha yangu nimefanya kazi na kukutana na wengi lakini sijawahi kukutana na mtu mweny kichwa chepesi kama chako. Pia napenda sana na unavyochukua maamuzi mazito” aliniambia huku akiniangalia. Nilijifanya kama sijafurahi lakini kichwa kilikuwa kama dunia kwa ukubwa. “Sasa jukumu lenyewe ni hili, hii meli sasa inataka mtu mwenye maamuzi kama yako. Nikiwa na maanza maamuzi magumu. Siku za nyuma zote tumekutana na dhoruba lakini zote zilikuwa cha mtoto kulinganisha tutakayo kutana nayo leo. Hivyo hichi kikipata mtu mwenye kushindwa kuchukua maamuzi ya haraka huenda tukaangamia wote. Leo tunakatiza katika moyo wa bahari ya Pasifiki, kawaida sehemu hiyo kunakuwa na mawimbi makali sana hata kama hali ya hewa ni nzuri” alinieleza na kunifanya nimeze funda kubwa la mate.
“Leo kuna mvua na upepo mkali sana, jiuliza hali itakuaje. Baada ya kukuambia hayo nakiacha chombo hichi mikononi mwako rasmi. Maamuzi yeyote utakayoamua ndio yatakuwa hatima ya meli hii” alimaliza kuongea na kunikabidhi funguo ya chumba cha mashine za dharura. Zile nne za pembeni. Kisha akaniambia niende nikaendelee na kazi niliopewa. Maneno yake hayakuacha kuzunguka kichwani mwangu, maana mwanzo sikuifahamu maana kamili aliokusudia. Nilifika katika chumba cha mashine na kukaa kwenye kiti changu huku bado nikiwaza.

“Captain tunatizo” aliongea Seif kupiti kifaa kile cha mawasiliano na hivyo watu wote kwenye meli walisikia vizuri.
“Tatizo gani” Captain Sadick aliuliza, “mashine nambari mbili na sita zinapungua nguvu” alijibu. Aliposema tu maneno hayo ndio nikakurupuka sasa na maana ya maneno alioniambia mzee Jackson nikaanza kuipata. “Moyo wa Pacific, maamuzi magumu na funguo za chumba cha mashine za ziada” nilijisemea maneno hayo, huku nikijaribu kuyaleta katika uhalisia na ndipo nikapata maana kamili. “Captain, Adam hapa naongea” niliongea bila kufikiri mara mbili, “Adam subiri kwanza tunashughulikia mambo muhimu” Captain aliongea kwa nguvu. Kabla hata sijataka kuongea neno jingine, nilitahamaki nikohewani na kujipigiza katika ukuta wa vyuma wa meli hiyo.

Ghafla ndani ya chumba hicho mabomba yakaanza kutoa maji yalioruka kwa kasi sana, “Captain, chini kumepasuka” Seif aliongea kwa nguvu huku akikimbilia mlangoni, “tokeni huko kabla mfumo wa dharura wa kufunga milango haujapanda hewani” Captain Sadick aliongea na ghafla wanamitambo wote wakaanza kukimnbilia mlangoni. Lakini mimi kila nilipotaka kukimbilia mlangoni maneno ya mzee Jackson yalinijia kichwani “maamuzi yeyote utakayoamua ndio yatakuwa hatma ya meli hii”.
“Adam twenzetu kaka huku hapafai tena huku” Henry alinipita huku akinipigia kelele, na mimi sikusita nikaungana nae lakini nilipofika mlangoni baada ya kutoka niliufunga mlango na mimi nikabakia ndani ya chumba hicho peke yangu. Kidogo nikasikia “Emergency system online (mfumo wa dharura umewaka)”.
Niliudi kwenye kiti changu na kukaa, wakati huo tayari maji yalikuwa magotini. “Adam huko chini utakufa” Capatain Sadick aliongea kwa msisitizo. “Nimechoka kuona kila mtu wangu wa karibu anakufa na kuniacha peke yangu” nilijibu huku nikiwakumbuka kina Latifa na wenzake. “Kama kifo changu kitakuwa pona yenu, basi niko tayari kufa” nilijibu na kutaka kutoa kile kifaa cha mawasiliano sikioni mwangu. “Ata Boy, tupeleke nyumbani” mtu alieongea alikuwa ni mzee Jackson, sauti yake ilinipa ujasiri wa hali ya juu sana.

“Nakuahidi mwalimu wangu tutakwenda nyumbani” nilimalizia kuongea na kutoa kile kifaa cha mawasiliano kisha nikakitupa pembeni. Nilisogea kwenye mashine zote na kuzipeleka mpak mwisho “kasi ya mwisho kabisa”. Haikuwa kazi rahisi kuzimaliza mashine zote kumi kutokana na kurushwa sana, nilipigwa ukutani mara kadhaa. Lakini nilisimama na kuendelea na kile ninachoamini ni maamuzi magumu. Wakati nikielekea katika ngazi ya kushukia chini ambako ndiko kulikuwa na chumba cha mashinie za dharura, nilirushwa kwa nguvu na kupiga kichwa katika chuma.
Niliposimama nilihisi maumivu makali sana huku nikisi kitu chenye asili ya umotomoto kikichuruzika usoni. Nilipogusa ndio nikagundu kuwa ilikuwa damu lakini sikuwa na muda wa kutafuta sehemu niliomia. Nilijikokota mpaka kwenye ile ngazi ambayo ilionekana kwa juu kidgo kutokana na njia hiyo kujaa maji kabisa. “Ukishuka huko chini kuna, mashine maalum initwa PRESSURE WATER WAY P.W.W, ukiwasha tu maji yote yatanyonywa kupitia mabomba maalum na kumwagwa nje kupitia sehemu ya juu kabisa ya meli hii” nilikumbuka maneno hayo vizuri kabisa. Ila kabla sijaingia, bomba moja kubwa likapasuka kabisa na kuanza kuingiza maji kwa wingi zaidi. “Hata maji yakiingia vipi, meli hii itachukua masaa mawili kabla ya kuanza kuzama” nilikumbuka tena.
Nilitabasamu na kuvuta pumzi kwa nguvu kisha nikapiga mbizi na kuelekea chini kwenye chumba cha mashine za ziada. Lakini kwanza ilibidi niende kwenye ile mashine ya P.W.W, ili nipunguze maji yaliongia. Na ilikuwa mbali kidogo lakini sikuwa na jinsi la sivyo ningekufa kabla hata sijawasha mashine za ziada. Nilijitahidi kuogelea kwa kasi sana huku nikiachia pumzi taratibu kabisa, nilifanikiwa kufika lakini pumzi ilikuwa ishaanza kuniacha mkono. Nilijikaza kiume tu maana tayari nilikuwa nimeshaanza kuona giza. Nilipeleke mkono mpaka kwenye kitufe cha kuwashia mashine hiyo na kukibonyeza. kisha nikashika chuma pembeni ili nisije nikavutwa na mimi.
Mashine ilianza kufanya kazi yake kwa kasi sana na maji yakaanza kunyoywa kupitia vitundu maalum vilivyounganishwa na mabomba hayo. Baada ya sekunde kadhaa maji yalianza kupungua kwa kasi na mimi nikapata sehemu ya kupumua. Baada ya kupata pumzi nzuri niliogelea mpaka kwenye chumba cha mashine za ziada ambacho hakikuwa mbali na sehemu hiyo. Mlango wa chumba hicho ulikuwa kwa juu na ulikuwa unalindwa na mipira maalum ambayo hairuhusu maji kuingi. Nilitoa fungua na kufungua kisha nikajivuta na kuigia ndani. Palikuwa pakavu kabisa, mimi ndie nilieingia na maji.

Nilisogea kwenye kiti na kutoa fungua nyinginie kisha nikafungua sehemu na kuingiza na kuwasha “Emergence engine are coming online in 3,2,1(mashine za dharura zinawaka ndani ya sekunde 3,2,1)”. Ndani ya chumba kuliwakana taa nyekundu na ghafla kukaanza kunguruma kwa nguvu. Nilihisi kabisa kama mwendo wa chombo hicho uliongezeka, nilicheka kwa nguvu na kufunga ya vizuri maana nilielewa kwa mwendo huo lazima nitapata mshike mshike. “Mzee Jackson sasa kazi namuachia captain, nimetimiza ahadi yangu” nilijisemea mwenywe na kuegemea kiti hicho.
Sikujuwa hata nini kiliendelea kwani nilianza kuhisi maumivu makali sana sehemu za kichwani na bila hata kuwaza nifanye, nulikumbwa na kiza kizito sana. “Mbona umechelewa sana kufika” Latifa aliniuliza, “dah tulikuwa tunakusubiria sana mtu wangu” Louise aliongezea. Karibu hapa ndio nyumbani, watu niliona wananichanganya kwanza kwa jinsi walivyovaa. Pili nilikuwa siwaelewe elewi maana walikuwa kama mizuka. Walinisogelea kwa pamoja na kunishika mkono kisha tukaanza kutembea taratibu. “Nyie huku ni wapi” niliwauliza kwa sintofahamu, “we twende tu utajua mbele ya safari” Latifa aliniibu lakini safari hii sauti ilikuwa nzito kidogo.

“Hebu niachieni mimi sitaki kwenda huko” niliongea na kujitoa mikononi mwao, walinigeukia wote wawili na kuniangali kwa macho makali sana. Nilijua tayari kishanuka nikaanza kurudi nyuma na nilipogeuka tu, nilianza kutimua. Kila nilipoangalia nyuma niliwaona wakija taratibu kabisa lakini cha ajabu walikuwa wakinikarbia kwa kasi sana. Nilijitahidi lakini nikashangaa ghafla wamenikata. Nilikurupuka kutoka usingizini huku nikihema kama kitu gani sijui. “Adam tulia kijana” mzee Jackson alikuwa pembeni yangu huku akitabasamu. Wakati nikiendelea kushangaa huku bado nikihema, captain Sadick na baadhi wa mabaharia wengine waliingia. “Vipi hali yako” aliniuliza lakini nilishidwa hata kujibu. “Amepata mshtuko huyo mwacheni kidogo” yule mtoa huduma ya kwanza aliongea, Mzee Jackson alinipa maji ya kunywa kisha akanambia nipumzike kidogo. Nilikunywa yale maji kwa pupa kisha nikamkabidhi glasi na mimi nikajilaza kama alivyonambia.
Nilipojilaza kitandani tu usingizi ulichukua nafasi yake na kunisindikiza katika ulimwengi mwengine. Nilikuja kushtuka tena baada ya kusikia honi ikilia, niliinuka na kukaa kitandani kwa dakika kama tano hivi. Baada ya kukusanya nguvu za kutosha nilinyanyuka na taratibu na kuanza kutembea kuelekea mlangoni. Niliungua na kutoka ila nilishangaa kuona mji kwa mbali, nilibaki nimekodoa macho kweli kweli. “Vipi mbona umekodoa macho” nilishtushwa na sauti ya Juma aliekuwa akitokea nyuma yangu. “Hapa ni wapi” nilimuuliza, “kijana karibu kwa Madiba au Afrika kusini” alinijibu huku akichanua tabasamu. Niliona kama ananitania hivi, bila kupoteza muda nilielekea chumba cha kuendeshea chombo hicho.
Captain Sadick aliponiona aliacha alichokuwa anakifanya na kunifata, “unajisikiaje Adam” swali la kwanza lilikuwa hilo. “nashkuru Mungu najisikia vizuri saa hivi” nilimjibu, “hivi ni kweli tushaakaribia Afrika Kusini” nilimuuliza. “Ndio kwenyewe, ila bandarini tutaingia wiki ijayo” alinijibu, unajua nilitamani niruke kwa furaha lakini nilijizuia. “Adam kabla hujaondoka, nashkuru kwa ujasiri wako uliounyesha. Bila ya jitihada zako labda saa hivi ingekuwa hadithi nyingine” aliongea huku akinipiga begani. “Halafu kitu kingine, ni kuwa bosi atakuja keshokutwa na timu yake nzima”, “sasa itakuaje akinikuta” niliongea kwa hofu kidogo.
“Usijali kila kitu kimeshapangwa, sisi tutajua tutamalizana vipi na bosi hata hivyo ni mtu mzuri tu” alinihakikishia usalama wangu. Maana nilikuwa nishaanza kuhisi mambo yale yalionitokea mwanzo, baada ya kuniambia hayo nilitoka na kuelekea deki ambako nilisimama juani huku nikiangalia mji huo unaavyoonekana kwa mbali. Tulitegemea kufunga gati Cape town, baada ya kuota jua kwa muda mrefu kidogo huku nikishangaa mameli mengine makubwa tena sana kuliko hata MV KANTANA. Nilirudi ndani na kuungana na wenzangu. Tuliongea mawili matatu na kisha nikarudi chumbani kwa ajili ya kupumzika.
Siku zilipita na hatimae siku ya bosi wao kuja ilifika, nikiwa chumbani kwangu nilikuwa kugongewa. Nilipofungua nilikutana na mzee Jackson. “Usiogope Adam” aliniambia kisha yeye akaongoza njia, tulielekea mpaka katika sehemu ya kukutana. “Bosi kija mwenyewe ndio huyo hapo” Captain Sadick alimwambia huku akinyoosha kidole nilipokuwa nimesimama. Alisimama mzee mmoja mpana sana na kunisogelea nilipokuwa nimesimama. Aliniangalia kwa makini “wewe ndio Adam” aliuliza ila sauti ilikuwa nzito sana. “Ndio” nilijibu kwa kujiamini, “kijana asante kwa kunirudishia chombo changu salama” aliongea huku akitabasamu. Kidogo ndio nikashusha pumzi na mabaharia pamoja na timu aliokuja nayo yule walipig makofi.

“Captain tutakutana mjini kwa ajili ya maongezi zaidi” alimgeukia Captain na kuongea, baada ya hapo aliaga na kuondoka. Nilibaki kimya maana kijasho kilikuwa kikinitoka kweli kweli, baada yule mzee kuondoka nilirudi chumbani kwangu na kujibwaga kitandani. Wiki ilikwisha na zamu yetu kuingia bandarini iliwadia. Tuliingia bandarini, mimi nikashuka na Captain Sadick na kuelekea katika hoteli ambayo walikuwa wakifikia pindi wanapokuwa nchini Afrika Kusini. Nilioneshwa chumba changu, mchana nilikuja kuchukuliwa na kupelekwa madukani ambako nilichaguliwa suti moja kali sana tena iliokamilika. Baada ya nilirudishwa hotelini na kukabidhiwa kikaratasi kidogo kilichoandikwa “saa kumi na mbili jioni uwe chini”.
Niliangalia saa ya ukutani iliokuwemo katika chumba hicho na kugundua kuwa ilikuwa ni saa kumi na moja kasoro kidogo tu. Sikulaza damu niliingia chooni na kuoga, nilipotoka nilitulia kidogo mpaka ilipotimia saa kumi na moja na nusu. Niliinuka kitandani na kutoa ile suti kweye mfuko wake wa plastic na kuvaa. Kisha nilisimama kwenye kioo, nilipohakikisha nimependeza niliangalia tena saa na kukuta ikinambia saa kumi na mbili kasoro kidogo. Nilitoka chumbani humo na kuelekea kwenye lift ambako nilishuka hadi chini. Nilikutana na Captain Sadick na baadhi ya mabaharia wakinisubiri, tulitoka nje ya hoteli hiyo na kuelekea kwenye basi moja kubwa sana lililoandikwa MV KANTANA.Tuliingia na safari ikaanza, basi hilo lilitembea kwa mwendo wa wastani huku nikipata wasaa wa kushaangaa majengo makubwa yaliokuwepo katika mji huo . Basi lilikuja kusimama mbele ya hoteli moja kubwa sana na ya kisasa inayoitwa ONE&ONLY CAPE TOWN.

Tulishuka na kuingia ndani, tulipofika tu tu ndani tulipokewa na wahudumu wa hoteli hiyo na captain kutoa maelezo kidogo. Tulipilekwa mpaka katika ukumbu wa mikutano uliokuwepo katika hoteli hio na kuoneshwa sehemu za kukaa. Kila mtu aliagiza kinywaji chake alichokitaka, baada ya dakika tano aliingia yule bosi na kamat yake na kukaa sehemu zao. Ukumbi huo ulisindikizwa na muziki laini wa kiafrika nikiwa na maana nyimbo zilizokuwa zikipigwa humo ni za wasanii wakiafrika tu wakiwemo wasanii wa nyumbani Tanzania.
Baada ya kimya kidogo kupita alinyanyuka msemaji mkuu wa kamati hiyo na kuomba kipaza sauti. “Habari za jioni mabibi na mabwana, ni matumaini yangu kuwa mutakuwa salama kabisa. Naam kutokana na ufinyu wa muda na kwa sababu bosi anasafiri usiku huu kuelekea Amerika sina budi kumkarisha aongee kile alichokusudia kukiweka wazi usiku huu” alimaliza kuongea na kumgeuka bosi wake “Mr Michael karibu sana”. Mzee huyo alisimama na kusogezewa kipaza sauti, alionekana mtu smart sana kwa sababu ukumbi mzimwa watu walikuwa wamependeza lakini yeye alikuwa aking’ara.

“Kabla sijaanza kuongea nina waomba capatain Sadick na Mr Adam wapite huku kwanza” aliongea na watu wakaanza kupiga makofi. Capatain Sadick alisimama na kunipa ishara tufanye kama alivyotaka bosi wake. Tulisogea mpaka mbele ambako alikuwa akihutubia mzee huyo, “munawaona hawa watu wawili, hawa ni baraka kutoka kwa Mungu.
Watu hawa ndio mashujaa waliojitolewa kuileta MV KANTANA bandarini wakisaidiana na vijana wangu wengine. Mmoja ni nahodha madhubuti na mwengine mpambanaji mzuri na mwenye kujali sana. Mimi sina cha kuwalipa maana hata nikisema niwape fedha bado itakuwa haijatosha, capatain Sadick nitakuachia uchague mwenyewe kitu gani unataka. Ila Adam nitamsemea mimi” alimaliza na kumkabidhi kipaza sauti Captain.
“Nashkuru Mungu kwa kunipatia bosi mwenye upendo kama wewe, sina la kuomba zaidi. Chochote utakachotoa mimi nitapokea lakini na wote waliokuwepo chini yangu nao wapate kama hicho” Captain alimaliza kuongea na kumrudishia kipaza sauti bosi wake. “Nimepokea maomb yako na nakuahidi nitayafanyia kazi” alijibu kisha akaweka tai yake vizuri na kunigeukia. “Adam, kuna meli mpya inakuja inaitwa MV KANTANA : MAJESTIC ISLANDER. Itakuwa tayari ndani ya miaka mitano ijayo. Hivyo basi nataka uwe nahodha mkuu wa chombo hicho, chagua chuo unachotaka duniani kusomea ubaharia na mimi nitakusomesha bure na nitakuwa nakulipa pia. Pia chagua na wanafamilia wako wawili wowote na wao pia nitawaajiri katika chombo hicho” aliongea kwa sauti iliojaa upendo.

Alikabidhi kipaza sauti hicho nijibu kama nimekubali ofa yake hiyo, kwa mara kwanza nilijikuta nikikosa cha kuongea zaidi ya kuruhusu machozi yatengeze njia yake katika mashavu yangu. Captain alinigusa begani na kunipa ujasiri wa kujibu. “Nimekubali na nashkuru kwa moyo wako wa upendo Mungu akubariki na akupe miaka mingi zaidi duniani” nilijibu na kumrudishia kipaza sauti. “Nashkuru kwa kukubali ofa yangu” alimaliza kuongea na kurudisha kipaza sauti kwa muongeaji mkuu kisha alituruhusu turudi sehemu zetu za mwanzo.
Muongeaji alimalizia maongezi mingine na watu wakala na kunywa mpaka wakasaza, wakati wa kutoka bosi aliniita. “Kijana hii ni card yako ya bank, huna haja ya kuwek hela katika account hii, nitakuwa nakutilia kila mwezi. Mwaka huu utapumzika na jipange upya na maisha, sahau machungu yote yaliopita. Nimesikia mkasa wako na nimesikitika sana kuona kijana mwenye uwezo kama wewe unafanya maamuzi ya ajabu kama yale. Kijana “MATATIZO HAYAKIMBIWI” unapambana nayo kiume tena kifua mbele” aliongea na kuniusia kisha akanikabidhi kadi ya bank. Nyuma ilikuwa imeandikwa nambari za siri. Niliipokea na kumshukuru kisha nikaagana nae na mimi nikarudi walipo wenzangu.
Ukweli niliona kama ndoto kila kilichotokea lakini ndio hivyo maisha yangu yalianza kubadilika hapo, tulumaliza kupakuwa mzigo unaotakiwa kushhushwa nchini hapo na safari ya kuelekea nyumbani ikaanza.

Baada siku kadha tulitia nanga bandari ya Dar-es-salaam, nilikuwa siamini amini kama nimerudi nyumbani. “Adam, karibu tena nyumbani” Captain aliniambia, “kwa sasa mimi na wewe tutaachana hapa, kesho nasafiri kuelekea Tanga. Tutakuwepo hapa kwa miezi mitatu kwa hiyo unakaribishwa sana” alikuwa akilengwa na machozi lakini hakutaka kuonesha.
Nilimshukuru sana na baada ya kumaliza harakati niliwaaga na kuondoka, moja kwa moja hadi mbezi kwa rafiki yangu kipenzi Frank ambae hata sijui alikuwa kaitika hali gani. “Oi James niaje mtu wangu”, James aligeuka na kuonekana kama haamini hivi. “mwangu kipindi chote ulikuwa wapi, mwanao Frank juzi kati hapa kapata ajali mbaya sana na hivi sasa yuko muhimbili lakini hapati matibabu kisa hela ndugu” habari hiyo ilinishtua sana. Bila hata kusubiri nilimwambia awashe pikipiki na safarui ya muhimbili ikaanza.
Tulifika muhimbi na moja kwa moja tulienda mpaka katika chumba alicholazwa Frank, “Frank ndugu yangu nini kimekukuta” nilimuuliza nilipofika tu. “Wee ni Adam” aliniuliza huku akiwa haamini kabisa, “ndugu yangu mimi na maisha ya udereva ndio basi tena wamesema watanikata miguu yote miwili eti nimeumia sana” aliniambia huku akilia. Nilitoka chumbani humo na kwenda kuanza utaratibu wa kumuhamisha hospitali. Nilitoka nje na kukodi gari na kumuhamisha, wanadhani kukata kitafutia riziki cha mtu ni rahisi sana. Moja kwa moja hadi Regency ambako nililipia kila kitu na punde matibabu yakaanza. Nilimuaga kuwa mimi sitakuwepo kwa siku kadhaa, lakini sikutaka kumwambia nilipokuwa naenda.
Nilisafri na kuelekea nyumbani Unguja, huko nilikuta mengine mapya. Kakaangu alikuwa masikini sana na mke alibeba kila kitu na kutoweka pasipojulikana. Niliumia sana kutokana na hali hiyo na yeye alinilaumu sana kwa kumtelekeza kipindi alichokuwa ananihitaji zaidi. Sikuwa na lia kusema wala kujitetea, nilibeba lawama zote. Baada ya kumueleza kila kitu kilichonikuta, alibaki ameduwaa tu lakiini nikamuhakikishia kuwa maisha ya kuunga unga ndio yamekomea siku hiyo.

Sikukaa sana Unguja nilirudi Dar na kakaangu na kuanza maisha mapya, Frank pia baada ya kuruhusiwa kutoka hospitali alikuja kusihi na sisi. Nilinunua nyumba maeneo ya Mbezi Beach na kufungua biashara nyingine. Sikutaka kabisa kufanya ujinga eti kisa nina pesa nyingi, baada ya mwaka huo kuisha. Mimi na Frank tulisafiri kuelekea nchini Netherland ambako tulisomea ubaharia, huku biashara zikiwa chini ya kakaangu.”
Ndugu Tariq au Mr Fun-tastic na huo ndio mwisho wa mkasa wangu mkubwa ulionikuta na kunipa funzo la maisha.
Mr Fun-tastic: Hapa kuna mtu ametuma swali, anauliza vipi kuhusu Latifa, unajua chochote .
Adam: Ukweli siju mara ya mwisho kuonana ni siku ile tuliokuwa kwenye ile boti tukijaribu kutoroka, lakini kama yuko hai popote pale duniani na kama ananisikia. Mimi namtakia maisha mema.
Mr Fun-tastic: Na kwanini umeamua kushare na watu historia yako ya maisha.
Adam: Nimeamua kufanya hivi ili kuwaonya na kuwahusia vijana wenzangu, ujana ni maji ya moto. Na mtu hakimbii matatizo. Ama kweli SIKUTEGEMEA: MATATIZO HAYAKIMBIWI.
Mr Fun-tastic: Swali hili ni la kwangu, Hapa uwanja wa ndege unafanya nini maana kwa unavyoonekana hutki kusafiri.
Adam: Namsubiria mke wangu anakuja kutoka Jamaica, ah yule pale.
Adam akainuka na kumfata Delila ambae alikuwa na watoto wawili mmoja mkubwa wa kiume na mwengine mdogo wa kike.
Adam: Mr Fun-tastic huyu ni mke wangu Delila, Delila huyu muandishi na mtunzi wa riwaya anaitwa Tariq Haji au Mr Fun-tastic. (huku tukifuatana kuelekea nje ya uwanja wa DIA)
“Captain Adam gari iko pale” aliongea kijna mmoja pale Adam alipofika tu nje.
Adam: Mr Fun-tastic huyu ni Frank na pia nashukuru kwa kujitotelea kuufikisha ujumbe wangu kwa jamii. Na pia unakaribishwa katika harusu yangu itakayofanyika Serena Hotel.
Mr Fun-tastic: Captain Adam kabla hatujaagana, hivi huu ni mwaka wa ngapi tokea upate mikosi.
Captain Adam: Huu ni mwaka wa saba.
Mr Fun-tastic: Asante sana kwa muda wako ulionipa na
kunisimuliza mkasa huu wenye mafunzo mengi sana.

MWISHO

USIKU WA MANANE – 1

Image result for walter photography

Simulizi : Usiku Wa Manane
Sehemu Ya Kwanza (1)

*******
BAADA YA KUIACHA FAMILIA YAKE NYUMBANI TANZANIA NA KWENDA KUISHI NCHINI UHOLANZI KWA KIPINDI CHA MWAKA MMOJA AKIFANYA KAZI NCHINI HUKO. MZEE AMIGOLAS ANAMALIZA SHUGHULI ZAKE NA KUAMUA KURUDI TANZANIA.
ANARUDI KWA FURAHA MOJA TU. KWENDA KUUNGANA TENA NA FAMILIA YAKE HIYO AMBAYO WALITENGANA KWA MUDA HUO.
MISUKOSOKO NA VITIMBWI VYA MAPENZI, TAHARUKI NA MTAFUTANO PAMOJA NA VISASI, NI MAMBO AMBAYO YANAPAMBA SIMULIZI HII KALI…..
ENDELEA

*****
BAADA ya chakula cha jioni mzee Ambrose Seduke alikuwa tayari ameshaweka mambo safi kwa ajili ya safari yake ya kurejea Tanzania. Suti nyeusi na shati la blue bahari lililonakshiwa na tai ndefu vilimfanya aonekane nadhifu sana. Alichungulia tena kwenye kioo na kuona kila kitu tayari. Sasa aligeukia upande wa pili na kukutana na picha ya familia yake iliyokuwa katika fremu. Ndiyo kitu cha mwisho kukipakia katika begi lake. Aliichukua na kuingalia vizuri kabla ya kuiweka ndani ya begi. Alikumbuka siku ambayo mpigapicha aliwatoa wote wakiwa katika tabasamu lililomfanya atabasamu peke yake. Alimwangalia mke wake Mercy pamoja na watoto wake Chris, Hancy, Naomi na Marry. Alitamani angekuwa nao pamoja siku hiyo.

Aligeukia tena kioo kilichokuwa pembeni ya kabati la nguo na kurekebisha tena tai yake. Sasa ilikuwa imekaa sawa sawa. Alitembea hatua tatu kisha akaikumbuka pakiti yake ya sigara aliyokuwa ameiweka mezani. Aliishika na kuanza kuifungua taratibu pakiti ile.

Hofu kubwa kwake ilikuwa ni juu ya safari. Safari ya kwenda kuonana na familia yake. Safari ambayo aliifikiria kwa mwezi mzima. Alitoa sigara moja baada ya nyingine huku akizunguka katika chumba chake akitafakari hili na lile kuhusu familia yake ambayo ilikuwa ikimsubiri kwa hamu kubwa sana. Aliwakumbuka wanawe na mke wake. Aliangalia tena begi lake. Alitazama sehemu alipoiweka ile picha na kufungua begi. Aliitazama tena na tena bila kuchoka huku akiendelea kuiteketeza sigara yake. Ni mwaka sasa tangu aondoke nyumbani, na sasa safari imewiva. Alitabasamu, alijua tu atafika salama.

Amsterdam Uholanzi ndiyo nchi iliyomtenga na familia yake kwa kipindi chote hicho. Shughuli aliyoifanya huko ni ya kuhakiki ubora wa madini ya dhahabu na Tanzanite ambayo yalitokea Tanzania. Madini hayo yalisafirishwa kwa ajili ya kuuzwa nchini huko. Ni taaluma ambayo alipata kuisomea na kuwa mtaalamu wa masuala ya madini.

Alilipwa fedha nyingi sana zilizomfanya kuwa moja kati ya mamilionea. Matajiri wa kutupwa nchini Tanzania. Alihakikisha familia yake inaishi vizuri hata kama akiwa mbali. Hakujionea ufahari. Alinunua nyumba kubwa sana maeneo ya Tabata ambayo watu tayari walishaitungia jina la hekalu. Ilikuwa na ulinzi ambao haukuthubutu yeyote aweze kuingia ndani ya hekalu hilo bila ya ridhaa ya wenyeji wa hapo. Ni nyumba ya kisasa yenye kila aina yap ambo lililostahili kuwa kwenye nyumba ya kifahari kama ya kwake.

*****
Sigara tano tayari ziliteketea. Chumba kilijaa moshi mithili ya nyumba ya msonge inayotumia jiko la kuni. Kwake ilikuwa ni burudani tosha kumwondolea mawazo na baridi kali iliyokuwa ikitesa watu ambao hawakuizoea kama yeye. Hoteli aliyokuwa akiishi haikuwa mbali na kiwanja cha ndege cha Amsterdam.

Alikuwa akisubiria simu kutoka kwa rafiki yake Peter kumtaarifu atoke kwa ajili ya kuelekea uwanja wa ndege. Asingeweza kusubiria nje kwani baridi ilikuwa ni kali sana. Sigara na kuni ambazo zilikuwa zikiteketea kwa moto chini ya dohani kwa ajili ya kupasha chumba joto. Hakukaa kwenye kiti. Muda wote alikuwa amesimama.

Akiwa amesimama dirishani akiuangalia mji kwa mara ya mwisho taa kubwa zilizoashiria eneo fulani kuna klabu zilimvutia kwa jinsi zilivyokuwa zikipishana. Ndege nyingine zilizokuwa zikienda nchi nyingine zilipishana angani. Nyingine zilitua zikirudisha na kuwaleta abiriwa wengine kutoka mataifa mengine. Alitamani angekuwa na familia yake huko alipo lakini muda wa kazi ulishakwisha na saini ya mkataba ilionyesha ni mwaka mmoja tu ndiyo angefanya hiyo kazi na kurejea nyumbani. Alitabasamu na kurudi mbele ya dohani kujituliza kupata joto tena. Mara simu yake iliita aliifuata kwenye meza na kuipokea.

“Ndiyo bosi, nadhani dereva atakuwa amefika hapo hotelini,” sauti ya Peter ilimhakikishia kwamba safari tayari.

“Nashukuru sana, tutakutana uwanja wa ndege tafadhali.”

“Sawa mkuu, ndiyo niko njiani kuelekea huko.”

Mlango wa chumba cha mzee Ambrose uligongwa na jamaa mmoja akiwa amevalia suti ya rangi ya damu ya mzee alikuwa amesimama akisubiri afunguliwe. Mzee ambrose alishangaa kumwona mtu mwenye asili ya Afrika akiwa amesimama mlangoni.

Mimi ni Mtanzania,” mzee Ambrose alijitambuliusha kwa mtu yule ambaye hawakufahamiana.

Ooh, nafurahi kusikia hivyo, mimi natokea Nigeria, ni dereva Taxi. Peter kaniagiza nikupeleke Uwanja waNdege wa Amsterdam.
Ndiyo niko tayari. Nilikuwa nikisubiria simu yake kama alivyoniambia kuna mtu atakuja kunichukua mpaka uwanja wa ndege.”
Yule dereva alijitambulisha kwa jina la Odoyo kisha akachukua moja ya mabegi mawili yamzee Ambrose na kulipeleka hadi katika buti ya gari lake. Alirejea na kuchukua sanduku lingine kubwa na kulipeleka huku mzee Ambrose akifunga chumba na kukabidhi funguo kwa wahudumu wa hoteli. Aliaga na kuelekea kwenye gari la Odoyo tayari kwa safari ya kuelekea uwanja wa ndege.

*****
Akiwa ndani ya gari la Odoyo waliongea machache kuhusu watu weusi wanavyoishi katika nchi za wazungu. Odoyo alikiri kwamba bado hali ni mbaya hata wakiwa huko. “Kama hujaajiriwa ofisini kwa taaluma muhimu ujue ni tabu sana utakabiliana nazo,” Odoyo alimsimulia mzee Ambrose kwa kimombo mambo yanayoendelea huko kwa wazungu.

“Nimejionea Odoyo, bora Afrika, na ni kwa nini msirudi nyumbani kamma hali ni hii?” alihoji mzee Ambrose. Odoyo alimwangalia kupitia katika kioo cha gari mzee Ambrose na kumfananisha na mtu aliyemtakia kifo siku yoyote. Hakujua ni kwa nini alikimbia Afrika.

“Hapana mzee, hapa afadhali kidogo tofauti na nchi yetu, kote tabu lakini zinatofautiana. Nyumbani kuna machafuko sana na ndicho kilichotukimbiza wengi huko. Wengine wapo Italia, Ujerumani, Uingereza na Amerika. Ukiokoteza kazi kama hizi ni afadhali na kama tajiri yako atakuwa anakujali pia. Mi nashukuru naelewana na mkuu wangu na nafanya kazi ya kumwendesha yeye na familia yake.”

“Na Peter mlijuana naye vipi bwana Odoyo?”

“Peter ni rafiki wa mkuu wangu. Alimsaidia kupata mawasiliano na Ubalozi wa Nigeria Uholanzi ili aweze kunitambulisha kama mgeni huku. Alimsaidia sana na ndo maana leo akaniagiza nije kukuchukua na mkuu wangu asingeweza kukataa kwa sababu ya Peter.”

“Ahaa, Peter anafahamika sana huku eeh?”

“Kweli, anafahamika sana, hata hivyo ni kwa sababu ya kazi yake, unafanya kazi katika kampuni ya mawasiliano. Na wageni wengi humtumia katika kuwafikisha katika balozi za nchi zao.”

“Kweli Odoyo, hata mimi nilifahamiana na Peter kwa njia hiyohiyo, sikujua kama ni Mtanzania mwenzangu. Ila alivyoniona naongea na simu kabla sijamweleza natafuta Ubalozi wa Tanzania aligundua mimi ni Mtanzania kwani nilikuwa nikizungumza lugha ya Kiswahili na familia yangu. Amekuwa na mimi kwa kipindi chote nilichokaa hapa Uholanzi na leo tunasafiri pamoja kuelekea Tanzania.”

Odoyo aliegesha gari karibu na bango kubwa lenye picha ya wachezaji wa timu ya taifa ya Uholanzi. Mmoja ya wachezaji aliowafahamu mzee Odoyo ni mshambuliaji mahiri na mfungaji hodari wa klabu ya Manchester United ya Uingereza, Robin Van Persie. Aliteremka huku akiliangalia lile bango huku akitikisa kichwa chake kuonyesha kuvutiwa na ile picha katika lile bango kisha akamwonyesha Odoyo.

“Navutiwa sana na huyu mchezaji awapo uwanjani,” alikuwa akimwonyesha picha ya Van persie. “Mimi ni shabiki wa Manchester United ya Uingereza,” Odoyo alicheka sana na kumwambia mzee Ambrose kwamba hata yeye aliipenda sana klabu hiyo na kwamba akiwa hapo Uholanzi alivutiwa sana na klabu ya Ajax Amsterdam.

Waliteremsha mizigo na kupakia katika vitoroli ambavyo wangevisukuma mpaka katika eneo la abiria wanaotarajia kusafiri kwa ajili ya kukaguliwa.

Mzee Ambrose alikuwa akiangaza huku na kule akiliangalia Jiji la Amsterdam kwa mara ya mwisho kabla ya kupanda ndege.

“Bwana Ambrose,” alishtuliwa na sauti ya Peter ambaye aliwaona wakati mzee Ambrose analinyooshea kidole bango lenye picha ya timu ya taifa ya Uholanzi na kuwafuata kwa ajili ya kumwelekeza Mzee Ambrose sehemu za kupita hadi kufikia ndege. Ndege yao ilikuwa ianze safari saa sita na nusu usiku. Uwanja ulikuwa umejaa ndege na abiria walikuwa wengi sana.

“Inaelekea wasafiri ni wengi kweli,” alisema mzee Ambrose.
“Kweli, ujue kipindi kama hiki cha likizo watu wengi hurudi makwo. Ni kama tufanyavyo sisi. Sidhani kama ungependa kuendelea kukaa huku hata kipindi kama hiki japo kwako si likizo,” Peter alisema huku akiburuta begi lake kubwa kuelekea palipo sehemu ya kusubiria usafiri.

“Haswaa, siwezi kweli, hata ingekuwa ni likizo ya siku tatu, ningependa kwenda nyumbani kuiona familia yangu.’ Alisema mzee Ambrose.

*****
Saa sita na dakika 35 ndege ilianza kulitafuta anga la Amsterdam, abiria wote walikuwa kimya huku wengine wakionekana wakifungua mikanda yao baada kuelezwa na mmoja wa wahudumu wa ndege baada ya ndege kukaa sawa.
Mzee Ambrose alikaa sawa na kuchukua moja wa magazeti yaliyokuwa yakipitishwa na mhudumu na kuanza kujisomea. Peter ambaye alikuwa pembeni yake alikuwa akijiburudisha na kahawa kuondoa baridi iliyokuwa ikipuliza kwa wakati huo kutokana na viyoyozi vilivyokuwa vimewashwa katika ndege pamoja na hali ya hewa ya mji huo kabla ya kuanza kwa safari.

“Bwana Peter, ona kitu nilichokuwa namwonyesha Odoyo. Kumbe Van Persie alifunga magoli yote peke yake na kuifanya timu yake kutangazwa mabingwa wa Uingereza. Alifunga magoli matatu. Ona hapa anashangilia. Nilimwambia Odoyo nampenda sana huyu mchezaji na hasa kwa sababu anacheza kwenye timu ninayoipenda.”

“Aah, ni mchezaji mzuri sana huyu, hata timu yake ya taifa anafanya vizuri pia.” Peter alikubaliana na mzee Ambrose kwa kuunga mkono kauli yake.

Muda ulizidi kwenda huku wakibadili ndege pamoja na anga za nchi mbalimbali. Mzee Ambrose alijisikia yuko nyumbani baada ya kuona yuko katika anga la Afrika. Safari hii ndege ilikuwa inatua katika Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta wa nchini Kenya. Alihisi yupo Tanzania kwani alijua saa mbili haziishi atakuwa ameshawasili Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere.

*****
Mlima Kilimanjaro ulioonekana kwa mbali wakati ndege ikiwa juu ulimfanya mzee Ambrose atabasamu kila mara. Peter alimwona akichungulia nje kupitia kioo cha ndege huku nakitabasamu. Lijua kuwa mzee Ambrose alikuwa ana hamu sana ya kufika nyumbani. hakumsemesha bali aliegemea na kujipumzisha kwa muda mfupi uliobakia kabla ya ndege kufika uwanja.

Saa tatu asubuhi ndege ilikuwa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere. Mhudumu aliwatangazia abiria wote kwamba walikuwa wamefika salama na hivyo wanaweza kuteremka. Watu walikuwa wengi sana sehemu ya mapokezi wakiwasubiri ndugu zao waliowasili hapo.

Mercy akiwa mwenye furaha kubwa alikuwa amesimama pamoja na watoto wake wakimsubiri mzee Ambrose, mume wake. Hancy mtoto wa Ambrose pamoja na kuwa mdogo, ndiye aliyekuwa wa kwanza kumwona baba yake ambaye alikuwa amebeba mabegi mawili madogo huku mabegi mengine yakiletwa na toroli lililokuwa likisukumwa na mhudumu wa uwanjani hapo.

“Mamy, Baba yuleee,” mama yake alimshangaa sana Hancy kwani wote hawakuwa wamemwona kutokana na wingi wa watu waliokuwa wakiwalaki ndugu zao. Aliwaza pengine amemfananisha, Hancy alichoropoka na kupita katikati ya watu hadi kumfikia mzee Ambrose huku akimwita kwa sauti kubwa, babaa! babaa!

“Hancy mwanangu,” mzee Ambrose aliweka mabegi yake chini na kumnyanyua Hancy juu. “Umenionaje mwanangu,… mama yuko wapi?” ghafla alishangaa wote wamefika na kumzunguka. Kwa furaha aliwakumbatia kila mmoja. Walifurahi sana.

Magari mawili ya kifahari yalikuwa yamepaki yakimsubiri mzee Ambrose na familia yake. Chriss ambaye ndiye mtoto wa kwanza wa mzee Ambrose aliendesha Hummer gari la familia yao na Richard, dereva wa nyumbani aliendesha Range Rover nyeusi iliyowabeba ndugu wengine wa mzee Ambrose kama dada yake na wadogo zake wengine pamoja na ndugu wa upande wa mama.

Mzee Ambrose aliangana na Peter ambaye naye alikuwa amefuatwa na gari. Yeye hakulakiwa sana kama ilivyo kwa mzee Ambrose kwani mara nyingi alikuwa akirudi nchini wakati mzee Ambrose akiwa Uholanzi. Hivyo alishazoea kwenda na kurudi mara kwa mara.

Walianza kuondoka na kuelekea nyumbani maeneo ya Tabata Makuburi. Watu wengi walishangaa magari hayo ambayo yalikuwa yamepambwa vizuri na yaliyokuwa masafi. Baadhi ya watu walijua ni harusi iliyokuwa ikisindikizwa na magari mengine ambayo yalikuwa yakifuatana na msafara huo.

Kila mmoja alikuwa na furaha ndani ya gari. Furaha ya kumpokea mzee Ambrose. Mzee Ambrose alikuwa mwenye furaha sana huku akiwa amempakata Hancy.

Magari yaliingia ndani na watu kuteremka. Ilikuwa ni kama mshangao mkubwa sana kwa mzee Ambrose ambaye hakuamini macho yake kwa alichokiona katika nyumba yake. Alimwangalia kila mtu pasipo kuamini kile kinachoendelea siku hiyo katika jumba lake la kifahari.

Sherehe kubwa ilikuwa imeandaliwa siku hiyo. Wageni wengi walikuwa wamealikwa kwa ajili ya kumkaribisha tena nyumbani mzee Ambrose. Meza zilichafuka kila aina ya vinywaji ambapo wahudumu wa hoteli kubwa walipewa tenda kwa ajili ya kuhudumia katika sherehe hiyo. Zilitolewa zawadi mbalimbali kwa mzee Ambrose pamoja na yeye kuwapa watu zawadi alizokuja nazo kutoka Uholanzi.

Ilikuwa ni siku ambayo kwake hakuitarajia baada ya kuwa na hamu kubwa sana ya kuiona familia yake baada ya kutengana nayo kwa kipindi cha mwaka mmoja.
Peter alijumuika jioni yake baada yam zee Ambrose kumwalika pamoja na familia yake.
“Ni vizuri tukajumuika pamoja Peter kwenye hii sherehe niliyoikuta hapa. Nadhani ni yakwetu sote. Njoo na familia yako.”
“Bila shaka,” alijibu Peter kabla yam zee Ambrose kuata simu na kuendelea na sherehe huku akiwasubiri.

Sasa alikuwa akiiteremsha miwani yake sawa sawa ili aweze kuona vizuri sura yam zee Ambrose. Akiwa ameegemea gari lake aina ya Toyota Harrier, alionekana akitamani kucheka kicheko cha kejeli na dharau.

Siku hiyo aliiona ni siku ya kupendeza sana kwake. Aliwaangalia ndugu zake mzee Ambrose ambao walikuwa na furaha sana wakimkaribisha mtu wao ndani. Aliangaza kila mahali kuahakikisha hakuna aliyemwona.

Akiwa ni mwenye furaha tele huku akijipulizia taratibu moshi wa sigara toka kinywani alikuwa akifuatilia kwa karibu zaidi moja baada ya lingine lililokuwa likiendele kuanzia mapokezi mpaka sherehe iliyokuwa ndiyo kwanza imeanza katika jumba la mzee Ambrose.

Midomo yake ilipatwa na hamu. Siyo hamu ya chakula bali hamu ya utajiri. Aliitoa sigara yake mdomoni na kuiwasha na kuilamba midomo yake na kisha kuingia ndani ya gari lake na kuondoka.
Njiani aliwapigia watu wake simu ili wakutane mara moja wito ambao uliitikiwa na kila mmoja John, Chacha, Baltazar, Bwigire na Shebby. Ni katika ukumbi wa starehe wa Maisha ambapo mara nyingi walikuwa wakikutana kwa ajili ya mipango yao.

“Nadhani tumejionea wenyewe, hizo ni baadhi ya picha ambazo niliweza kuzipiga kuanzia wakitoka uwanja wa ndege hadi nyumbani. hakuna aliyeniona nikifanya kazi yangu na wala sikupenda niwasumbue mje kwani najua kila mtu alihitaji kupumzika na ndio maana mmeweza kufika hapa mara moja.

Safi sana. Mambo yatakuwa mazuri, hakuna ubishi, kila mmoja ana hamu na utajiri, au siyo washkaji zangu?” alihoji Deo huku asikilizwa kwa makini sana.

“Kweli mkuu, hatushindwi kitu pale, labda tuwe wajinga.”

“Alright, hapo ndipo nnapokupendea kamanda wangu,” Deo alimjibu Chacha ambaye alionyesha kuwa na hamu kweli na utajiri kwa kauli alizosema Deo huku wenzake wakitikisa vichwa kuonyesha kwamba wapo pamoja na yaliyosemwa.

“Ndiyo wakati huu mkuu.”

“Sasa, pale kwake leo kuna sherehe. Sherehe kubwa tu tena hadi sasa inaendelea nadhani wanakesha,” alisisitiza huku akinyanyua glasi yake ya mvinyo na kuiweka tayari kuimimina mdomoni. Miwani yake meusi ilimfanya asionekane macho kwani tofauti na siku nyingine, siku hiyo walikuwa wamekutana jioni saa kumi na moja mara tu baada ya kuondoka nyumbani kwa mzee Ambrose.
Aliwaangalia wote. Akakumbuka maneno ya Chacha aliyoyasema muda mfupi uliopita, ‘Kweli mkuu, hatushindwi kitu pale, labda tuwe wajinga’.

“Chacha, itabidi uhudhurie hiyo sherehe hadi ujue ni nini kitaendelea maana najua ni lazima wataongelea maendeleo yake pamoja na nyumbani.tuchangamkeni jamani,” alisema Deo huku akitabasamu.

“Ndiyo, bosi Deo,” aliitikia Chacha kwa furaha akiijibu ile furaha aliyoionyesha Deo baada ya kumteua yeye kwenda kufatilia. Alijua hiyo ni njia ya kuonyesha uaminifu kwa bosi wake huyo ambaye kwa kpindi chote walichokuwa naye alikuwa akiwatajirisha kwa kuhakikisha anawagawia vizuri mali watakazofanikiwa kuzipata.

“Basi we ungetangulia kujua alafu utatujulisha ukifanikisha na tutapanga tukutane tena ili tujue tunaanzaje, Sidhani kama pesa alizokuja nazo atakuwa ameziweka benki maana mpaka akazibadilishe ndipo aweze kuziweka.”

“siyo wazee wote wajanja mkuu, hizo bado amezishikilia mwenyewe…. Inaonekana bado hajaiamini benki. Wazee wanapenda makuu hata kama wamezoea hela… hizo ni zetu,” alisema John ambaye aliongea huku akipuliza nje moshi wa sigara aliyokuwa akiivuta.

“Nitahakikisha najua yote bosi. Nitatumia mbinu zangu zote kufanikisha hilo,” Chacha alisema huku akimwangalia Deo kuashiria yuko tayari kwa kazi. Na ambaye hakuonyuesha dalili zozote za utani ndani yake.

“Sawa, wewe nenda, nadhani unakiasi cha kutosha kufanikisha kazi yako.”

“Ndiyo mkuu, niko tayari. Nawaacha kwa muda,” Chacha alisema huku akisimama kutoka juu ya meza aliyokuwa ameikalia na kulifuata gari lake.
“Kazi njema…. Sisi wakati tunamsubiri Chacha nadhani ni muda wa kwenda kujinoa na kuwa tayari kwa lolote, kila mmoja akafikirie juu ya hizo Dola za wazungu. Maisha yanakuja,” Deo alisema huku akionekana mwenye furaha na aliyecheka wakati wote.

“Kweli Bosi Deo,” wote waliitikia na kumalizia vinywaji vyao.

*****
Nyumbani kwa mzee Ambrose mambo yalikuwa yakienda vizuri, watu waliendelea kula na kunywa. Ni katika hatua za mwisho za kutoa maneno machache ndipo Chacha alikuwa amefika ndani ya uzio wa nyumba ya mzee Ambrose. Alibahatika kuyasikia.

Baada ya kumaliza kuongea mzee Ambrose alimnyanyua Hancyna kumrusharusha juu kisha alimwachia na kumwelekeza akamfuate paka wake ambaye alikuwa amejilaza juu ya ubao pembeni ya ukuta wa nyumba ile. Hancy alikuwa na umri wa miaka minne. Alimkimbilia paka wake. Ghafla alirudi alipo baba yake na kutulia.

“Paka yuko wapi Hancy,” alihoji baba yake huku akimnyanyua kwa lengo la kumbeba tena.

“Amekimbia.” Watu walicheka kwa kauli aliyoitoa Hancy ambaye alikuwa akihema kama vile alihofia kitu fulani.

Chacha alikuwa ameshatoka nyumbani kwa mzee Ambrose. Alihofia kama atakuwa ameonwa na mtu yeyote. Alitembea haraka na kuingia ndani ya gari lake alilolipaki mbali kidogo na nyumba ya mzee Ambrose. Alipiga gari lake moto na kutokomea. Akiwa maeneo ya River Side, Chacha alitoa simu yake na kuzungumza na Deo.

“Haloo, Bosi Deo, huku mambo nmekamilisha.”

“Sawa Chacha, unaweza kwenda kulala, tutakutana kesho asubuhi.”

“Sawa bosi.”

Chacha alikuwa anakaa maeneo ya Magomeni. Alikata na kuianza barabara ya Morogoro hadi alipofika Magomeni nyumbani kwake na kujipumzisha.

Huku kwa Deo, aliwasiliana na wenzake na kupanga kesho yake wakutane mapema asubuhi. Ilikuwa ni ili kupanga namna watakavyoivamia nyumba ya mzee Ambrose. Alimweleza kila mmoja na kukubaliana wakutane jioni wakiwa tayari tayari.
*****
Asubuhi baada ya sherehe kuisha jana yake. Nyumbani kwa mzee Ambrose palikuwa pametuli. Watu walikuwa bado hawajaamka kutokana na uchovu wa kusakata rumba na kusherehekea ujio wa mzee Ambrose ambaye yeye hakuchoka sana kwani alikuwa mtulivu wakati wote akizungumza na mmoja baada ya wengine waliopenda kumhoji maswali juu ya safari yake.

Baada ya wengine kuondoka usiku huo wengine walibaki na kulala hapo hadi kesho yake. Ukubwa wa jumba la mzee Ambrose ulimeza watu wengi waliofika siku hiyo.

Asubuhi hiyo Hancy alikuwa wa kwanza kuamka. Alitoka na kwenda hadi sehemu ambayo alimwacha paka wake usiku wa jana ambao huwa anamwacha hapo kila siku ikiwa ni sehemu ya paka wake huyo pa kulalia.. Ni sehemu hiyo hiyo katika geti dogo la kutokea nje alimwona mtu akipita kwa kasi hali iliyomwogopesha sana Hancy hadi akakimbia kwa baba yake.

Mzee Ambrose alitoka na kumkuta Hancy kwa mwenyewe nje ya geti. Alimfuata na kumchukua na kurudi naye ndani huku akiwa amembeba na kumrusharusha juu huku wakicheka. Wakati wote mzee Ambrose alikuwa na furaha kwa kuwa na familia yake karibu.

Maisha yaliendelea kama kawaida, kila siku jioni mzee Ambrose alikaa na familia yake na kuzungumza juu ya maendeleo yao, walifurahia sana kuwa pamoja kila wakati. Walikaa na kunywa pamoja na kula.Wageni mbalimbali walifika kwake kumpongeza nakuisalimia familia yake.

Peter ambaye alikuwa ameungana na mzee Ambrose na kumsapoti kwa kila jambo. Alifurahia sana kuona urafiki wao unavyomarika kila siku. Hasa ni kwa mwaliko ambao aliupata jana yake kutoka kwa mzee Ambrose. Alikumbuka mengi.
Alikumbuka walivyokuwa Uholanzi na mambo mengine waliyoyafanya huko. Walizunguka sehemu nyingi pamoja. Akimwonyesha mzee Ambrose sehemu muhimu za kihistoria ambazo alijua zitamvutia sana.

Hata familia zao ziliungana wakiwa Tanzania na kuishi kwa upendo na ushirikiano. Chris na Justin nao walikuwa wakitembeleana. Yote hiyo ni kwa sababu ya urafiki wa wazee wao. Walitoka pamoja mwisho wa wiki na kurudi pamoja. Wengi wa marafiki zao walijua ni ndugu hata kama si wa kuzaliwa pamoja.
Naomi na Marry pamoja na mama yao Mercy nao walikuwa wakishinda nyumbani kwa Peter siku za mwisho wa wiki au watoto wa kike wa Peter, Juliana na Michelle pamoja na mama yao Vicy wangeenda kushinda nyumbani kwa mzee Ambrose hata kama wazee wangekuwa mbali na nyumbani. Haikuwa rahisi kwa watoto wao kugombana zaidi ya kutaniana.

Hancy ambaye alikuwa mdogo, mtoto wa mwisho wa mzee Ambrose yeye alikuwa akipenda kucheza na dada zake na wakati mwingine mama yake. Watoto wote wa Peter walikuwa wakubwa tofaut na Hancy ambaye ndiye pekee aliyekuwa na umri mdogo katika familia ya mzee Ambrose.

Ni familia zilizolandana namna ya maisha. Kila kitu wangefanya pamoja ambacho kilihitajika kushirikiana.

*****
Woga ulimwingia kila mmoja usiku huo. Hakuna aliyeamini juu ya kilichotokea. Mwanga wa tochi kubwa ndiyo uliangaza huku kukisikika sauti za watu wakilia kwa maumivu makali yaliyopelekea kimya kingine kilichotawala nyumba ya mzee Ambrose.

Alirudi nyuma na kukimbilia chumbani kwao ambako napo alikuta yaleyale aliyoyaacha sebuleni. Ghafla, Hancy alikuwa katika uvungu wa kitanda. Hakuweza kutoka mle ndani tena. Alipatwa na hofu. Aliogopa sana. Alishuhudia damu ikitiririka kuelekea uvunguni mwa kitanda. Aliogopa sana. Hakuweza kupiga kelele wala hakuweza tena kuhema kwa hofu iliyomkamata. Ghafla tena alisikia sauti za watu wakikimbia. Hakutoka kwenda kuangalia.

Baada ya muda wa dakika 15, kimya kilikuwa kikubwa, Hancy alitoka ufunguni mwa kitanda na kusimama, alipapasa na kushika damu ambayo ilikuwa ikielekea sehemu aliyokuwa amejificha. Ni giza tu ndilo lililokuwa limetanda chumbani kwake. Alilia kwa woga. Hakujua afanye nini. Alitembea huku akipapasa ukutani hadi alipofanikiwa kushika kitasa cha mlango. Alifika katika sebule yao kubwa, nako kulikuwa na kiza kikubwa kama alipopaacha mwanzo. Hakuweza kutoa mapazia kwani yalikuwa ni makubwa na hivyo asingeyaweza na yeye alikuwa ni mdogo. Kazi hiyo ilikuwa ni ya wafanyakazi wa ndani wa familia yao. Ambao nao hawakusikika wakimpa amri Hancy ya kuleta tochi kama ilivyo kawaida yake.

Alikimbilia tochi iliyokuwa juu ya kabati na kuiwasha. Mara nyingi umeme ukikatika kwao, yeye ndiye angekuwa wa kwanza kukimbilia tochi na kuiwasha kisha amkabidhi yeyote aliye karibu. Walimwacha kwani alikuwa ni mtoto na wasingeweza kumzuia kuiwasha. Hiyo ikawa kama kazi yake pindi umeme unapokatika.
Alimulika. Alikutana na miili iliyolala chini. Aliona damu ikiwa imetapakaa kila mahali, aliita ‘baba…mama, aliita tena na tena.

Hakujibiwa. Aliita dada Naomi….dada Marry….hakuna aliyeitikia. Aliita kaka Chris, kaka Chris…lakini hata yeye hakuitika, alimulika pasipo kumwona. Alijua alimuacha chumbani kwao ambako walikuwa wakilala pamoja. Alielekea chumbani, alimulika na kumwona Chris amelala chini kifudifudi, alijaribu kumgeuza lakini hakuitikia pindi alipomwita.

Alikosa msaada kwa wote ambao jana walikuwa wakifurahia na kukimbizana pamoja na baba yake mzee Ambrose. Usiku huo palikuwa kimya kama siku nyingine akishtuka wakati wenzake wakiwa wamelala.

Hancy alilia kwa kwikwi, alijua watu walioingia ndani usiku ndiyo
waliowakata ndugu zake. Alitoka nje ili kuwaita walinzi. Alikuta ni vilevile kama alivyoacha ndani. Walinzi wote watatu walikuwa wamelala chini.Walikuwa wamekufa. Mbwa na paka wake pia walikuwa wamelala. Hancy aliogopa sana. alirudi ndani na kujaribu kuita tena kila aliyemmulika na tochi. Alimfuata mzee Ambrose na kuita tena na tena. Hakuitika. Usingizi ulimpitia Hancy akiwa juu ya mwili wa mama yake.

*****
Mamaaa, mamaa…. Hancy alipiga kelele huku akiita. Hakujua alipokuwa. Hancy alikuwa amebebwa na askari polisi wa kike. Alijua amebebwa na mama yake. Ndoto ya ajabu ndiyo iliyomfanya apige kelele. Aliweweseka kifuani kwa yule askari polisi. Yule askari alimwonea huruma sana Hancy.

“Mtoto pekee yake ndo amebaki?” aliwaza huku akijiuliza.
“Mchukue mpeleke kwenye gari,” yule askari alimwambia mwenzake huku akimkabidhi Hancy ili ampeleke kwenye gari.
Watu walikuwa wengi sana asubuhi hiyo, polisi na viongozi mbalimbali walifika baada ya kupata taarifa za mauaji nyumbani kwa mzee Ambrose.

Hakuna aliyeamini. Wengi walijua ni njama zimepangwa kwani
ilisikika taarifa ya kuuliwa na kuibiwa kwa kiasi kikubwa cha fedha za mzee Ambrose. Walifanya njama hizo hawakujulikana huku polisi wakisema ya kwamba uchunguzi utafanyika ili kuwabaini wahusika na kuwachukulia hatua za kisheria.

Jiji zima lilipooza kutokana na taarifa hizo huku vikundi mbalimbali vikiwa vinajadili juu ya kiasi hicho kikubwa cha pesa ambacho kiliibwa.
Wengine walikuwa wakimjadili Hancy, mtoto pekee wa mzee Ambrose ambaye alikuwa amepona wakati wa mauaji hayo.

ITAENDELEA

USIKU WA MANANE – 2

Image result for walter photography

Simulizi : Usiku Wa Manane
Sehemu Ya Pili (2)
Watu walikuwa wengi sana asubuhi hiyo, polisi na viongozi mbalimbali walifika baada ya kupata taarifa za mauaji nyumbani kwa mzee Ambrose.

Hakuna aliyeamini. Wengi walijua ni njama zimepangwa kwani
ilisikika taarifa ya kuuliwa na kuibiwa kwa kiasi kikubwa cha fedha za mzee Ambrose. Walifanya njama hizo hawakujulikana huku polisi wakisema ya kwamba uchunguzi utafanyika ili kuwabaini wahusika na kuwachukulia hatua za kisheria.

Jiji zima lilipooza kutokana na taarifa hizo huku vikundi mbalimbali vikiwa vinajadili juu ya kiasi hicho kikubwa cha pesa ambacho kiliibwa.

Wengine walikuwa wakimjadili Hancy, mtoto pekee wa mzee Ambrose ambaye alikuwa amepona wakati wa mauaji hayo.

*****
Peter wazo la kufanya makubwa na mzee Ambrose ni moja ya mambo ambayo aliyapa kipaumbele katika kichwa chake. Alitabasamu kila alipogundua ya kwamba mzee Ambrose anaheshimika sana na kwamba amekuwa rafiki yake mkubwa sana.

Ni siku ambayo, Peter rafiki yake mzee Ambrose alikuwa amepanga kufika nyumbani kwa mzee Ambrose. Hakutaka kuliacha suala hilo la biashara lichukue muda kwani likizo yake ya wiki mbili ingeisha bila ya kufanya chochote. Hivyo aliamka mapema kwa ajili kwanza ya mazoezi kabla ya kuoga na kupata chochote.

Alipenda sana kusikiliza redio yake asubuhi pindi aamkapo. Na siku zote hakupitwa na taarifa ya habari ya saa moja kamili asubuhi. Siku hiyo taarifa ya habari ilikuwa tofauti sana na zile alizozisikiliza kwa vipindi vyote ambavyoamekuwa msikilizaji wa redio hasa kipindi cha taarifa ya habari. Habari ambayo hakuitambua na wala hakuamini masikio yake ambapo alikuwa amesimama akiduwa bila ya kujua afanye nini wakati huo. Taarifa hiyo iliingia katikati ya habari zikitokea eneo la tukio.

“…Habari za kusikitisha zilizotufikia hivi punde….. mtoto wa miaka minne amenusurka kufa na wengine kumi na moja wanaripotiwa kufa baada ya kuvamiwa na watu wasiofahamika nyumbani kwao Tabata Makuburi. Watu hao ni wa familia moja ya mfanyabiashara maarufu mzee Ambrose Seduke. Mzee Ambrose pamoja na familia yake walikutwa wakiwa wamekufa mnamo asubuhi baada ya raia mmoja kukuta miili ya walinzi wawili waliokuwa wakilinda nyumba hiyo ikiwa imejaa damu na kutoa taarifa polisi. Miili ya maiti hao imepelekwa katika Hospitali ya Muhimbili kuhifadhiwa kwa ajili ya kupisha uchunguzi. Mtoto aliyenusurika kufa ni mtoto wa mwisho wa mzee Ambrose. Inasemekana kuwa mauaji hayo yalitokea saa nane kamili Usiku.”

Habari hizo hazikumwingia kabisa Peter. Hakuamini tenba na tena. Alizunguka huku na huko akizitafakari. Aliiangalia redeio yake kubwa aina ya SONY WEGA pasipo kuamini. Chai haikunyweka tena.

“Justin,” aliita kwa nguvu. Kisha akamfata katika chumba alichukua amelala. Haraka alimwamsha Justin ili ampeleke Hospitali ya Muhimbili kuhakikisha alichokisikia kwenye taarifa ya habari.

“Justin…amka…n’taka kwenda Muhimbili Hospital sasa hivi…vaa haraka unipeleke..” Peter aliongea kwa sauti ya juu kumwamsha Justin. Sauti hiyo iliwaamsha wote waliokuwa wamella nyumbani kwake. “Haraka hata usioge,” alifoka tena Peter huku Justin akilitoa shuka alilokuwa amejifunika.
Justin hakumwelewa baba yake kwa nini siku hiyo amekuwa hivyo. Aliteremka haraka na kuvaa shati lake pamoja na suruali. Siku zote baba yake huwa hawai kutoka nyumbani. Justin baada ya kusikia hospitali alifanya upesi na kutoa gari nje na kuanza safari ya kuelekea Muhimbili.

Baada ya nusu saa, Peter na Justin walikuwa Muhimbili. Wingi wa watu katika hospitali hiyo ulimwogopesha Justin.

“Baba kuna nini hapa leo?” aliuliza Justin. Lakini Peter hakumjibu lolote. Walielekea moja kwa moja hadi katika chumba cha kuhifadhia maiti na kujitambulisha. Hakukuwa na pingamizi lolote kwani hata baadhi ya watu walikuwa wakiruhusiwa kuingia kuwaangalia kwani kabla ya Peter hakukuwa na ndugu yeyote aliyefika hapo. Msimamizi aliwaruhusu kuingia na kujionea miili ya marehemu ikiwa ndani ya jokofu. Peter aliinamisha kichwa chini.

“Baba Ambrose!” Justin alishtuka baada ya kuuona mwili wa mzee Ambrose baada ya Peter kuufunua ili kuuangalia. Hakuamini macho yake.

“Baba, wameuliwa wote?”

“Hapana, Hancy kabaki,” alisema Peter huku machozi yakimtoka.
Watu walikuwa wengi nje.hakuna aliyeamini juu ya tukio lile. Kila mmoja alizungumza lake hapo hospitali.

*****
Ndugu wa marehemu wakisaidiana na Peter walifanikisha mazishi ya marehemu wote kumi na moja. Wote kwa pamoja walizikwa katika shamba kubwa lililokuwa nyumbani kwa mzee Ambrose. Hancy alichukuliwa na mjomba wake aliyekuwa akiishi Magomeni Mapipa.

Huku akiwa kwa mjomba wake, Peter aliahidi kumlea na kumwendeleza kimasomo kama alivyokuwa akifanya baba yake. Suala hilo liliafikiwa a mjomba wake Hancy ambaye kwa kipato chake asingewza mwenyewe kufanikisha hayo huku akiwa na familia kubwa nyumbani kwake.

Aligundua ya kwamba Mzee Ambrose mbaye pia alikuwa akimtegemea alikuwa karibu sana na Peter na hivyo kwa Peter kumchukua Hancy itakuwa ni sahihi kwani familia hizo mbili zilikuwqa kitu kimoja.

Ndugu wa familia walikubaliana na Peter na hivyo wakati mwingine Hancy alikuwa akiishi nyumbani kwa Peter kabla ya kuhamia moja kwa moja na kupazoea. Justin alikuwa akimpeleka shule na kumrudisha kila siku na hivyo mjomba wake alionelea Hancy akae tu nyumbani kwa Peter hata pale Peter alipokuwa akisafiri kurudi katika shughuli zake nchini Uholanzi. Hancy akahamia kabisa.

Wakati mwingine Peter alimpeleka Hancy Uholanzi kipindi cha likizo ya shule ili kumfanya asahau kwani mara nyingi alikumbuka na kulia. Peter alishangaa kuona mtoto mdogo akilia kila siku kwa kuwakumbuka wazazi wake na ndugu zake.

“Baba Justin, bora ukakae naye huko huko Uholanzi ukija uje naye ili asahau mazingira ya huku kwani yanampa tabu sana. kila siku ye ni kulia tu,” Vicky mke wa Peter alisema huku Justin akitikisa kichwa kuonyesha kukubaliana na wazo la mama yake ambaye likuwa amembeba Hancy aliyekuwa akilia.

“Kweli,” aliitikia Peter. Nitakwenda naye. Najua akipata kupazoea kule na akikutana na watoto wa kule atasahau. Basi wiki ijayo nitaondoka naye.

Hancy hakuelewa chochote. Akiwa amesimama karibu na geti, alimwona mtoto mdogo wa kike akiwa anakuja karibu na geti lile. Alikuwa akimwangalia sana Hancy. Alifika na kumsemesa Hancy ambaye alikuwa akizidi kumwangalia.

“Njoo tukacheze,” alisema yule mtoto. Hancy alirudi nyuma na kumkimbilia Justin ambaye alikuwa akifuta gari.

“Nini Hancy,” alisema Justin huku akimbeba Hancy. Alimwona yule mtoto akiwa amesimama kwenye geti.

“Fina!” aliita Justin huku akielekea katika geti kumfungulia Fina geti huku akiwa amembeba Hncy.

“Twende tukamfungulie mchumba! Alisema Justin akimwambia Hancy ambaye alikuwa hajui lolote.

“Karibu Fina. Umemwona mchumba… haya Hancy shuka chini ucheze na mchumba ako,” Justin alisema huku akimshusha Hancy chini na kumuunganisha na Fina ili wacheze pamoja. Haikuwachukua muda Hancy na Fina wakaanza kuzoeana na kucheza pamoja. Walikimbizana na kuchezea vitu mbalimbali huku wakifurahia.
Hancy akawa na furaha kila alipokuja Fina nyumbani kwao na kucheza naye. Ikawa furaha pia kwa Fina ambaye alipenda sana kucheza na Hancy pindi aliporudi kutoka shule ya awali aliyokuwa akisoma hata baada ya Hancy kuhamia Uholanzi alikopelekwa na Peter.
Akiwa huko nchini Uholanzi, Hancy alijifunza kuchora. Alipenda sana kuchukua karatasi za Peter na kujichorea chochote alichokipenda. Alipenda sana kuchora picha za watu. Aliwachora wazungu kwa mwonekano wa pua ndefu. Picha hizo zilimfanya Peter acheke sana alipoziona. Alimsifia sana Hancy kwa usanii wake huo akiwa bado na umri mdogo.

“Wewe ni mchoraji mzuri sana,” alisema Peter akimsifia Hancy baada ya kuziona picha alizozichora.

Usiku Hancy akiwa amelala, aliota ndoto ambayo ilimkumbusha siku alivyoshuhudia ndugu zake wakikatwakatwa na mapanga na kuchomwa kwa visu. Alishtuka sana kutoka usingizini na kuita kwa nguvu….’maaamaaa, baaaabaa’. Peter alikimbilia chumba alichukuwa amelala Hancy na kumwangalia. Alimkuta akilia sana na kumuuliza.

“Mwanangu Hancy, kuna nini?” Hancy alizidi kulia huku akiendelea kuita baabaa…maamaa…. Peter alimchukua na kuelekea naye katika chumba alichokuwa amelala yeye.

Asubuhi alimuamsha. Hancy alikuwa amepoa. Hakuwa na wasiwasi wowote. Peter alimwona akiwa na furaha, alifurahi baada ya kumwona akivaa viatu vyake huku kawek picha zake pembeni.

Baada ya matayarisho ypte asubuhi hiyo, kama kawaida alikwenda naye ofisini kwake. Hakukuwa na mtu ambaye angebaki na Hancy nyumbani na hivyo Peter alikuwa akienda kushinda naye ofisini kwake. Hancy alikuwa ameshasahau juu ya alichokiota wakati akiwa ofisini kwa Peter. Peter alimwona akiwa anataka kuanza kuchora akamsemesha.

“Hancy, leo napenda uchore picha ya watu wa kule nyumbani… kila siku we unachora tu wazungu. Leo wachore na watu wa kule nyumbani.” hancy alicheka huku akimuata Peter na kumwangalia usoni huku akimsikiliza.

“Leo uchore vizuuuri afu nitakupa zawadi.”

“Sawa baba,” Hancy aliitikia na hapohapo alianza kujichorea watu wake mbalimbali ili amwonyeshe Peter. Hakuwa na uwezo wa kuchanganya rangi hivyo alichora tu kwa kutumia penseli ambayo alipewa na Peter.

“Hujamaliza tu, nataka nione jinsi unavyojua kuchora.”

“Tayari baba,” Hancy alinyanyuka na kwenda kumwonyesha Peter picha alizokuwa amezichora kama alivyoagizwa. Alitumia dakika kama thelathini kukamilisha michoro yake. Jambo hilo lilimshangaza sana Peter kuona kawachora watu wengi katika karatasi moja na wakionekana ni watu kweli. Peter alivutika kwa kipaji alichonacho Hancy.

“Mmh, Safi sana, mtoto unajua sana kuchora. Hawa watu kama vile wa kule nyumbani… mimi nilijua unajua kuchora tu wazungu…. Hapa sasa unatakiwa uende shule ukajifunze zaidi.”

Peter alifikiria kwa kipindi hicho angempeleka Hancy katika shule za awali za nchini Uholanzi. Alijua Hancy anacho kipaji na hivyo ingekuwa ni vizuri kama angemwendeleza ili asije akapoteza kipaji chake. Huko Uholanzi Peter alikuwa anaishi katika kitongoji cha De Wallen.

*****
Hancy alianza shule ya awali. Alikutana na wanafunzi wenzake ambao nao walikuwa wanapenda sana kuchora. Alikutana na Van Brussel. Mwanafunzi ambaye alikuwa mdogo lakini alikuwa na kipaji cha kuchora cha hali ya juu. Hancy alimshangaa sana hasa baada ya kuona baadhi ya picha zake alizokuwa amezichora. Van Brussel alichora picha ya ramani ya nchi yao pamoja na wazazi wake na ndugu zake.

Pia alichora picha za wadudu na wanyama mbalimbali. Hancy alitamani sana awe kama yeye. Alipenda sana kukaa karibu naye ili wawe marafiki wakubwa. Aliweza kumchora mtu kwa kumwangalia tu sura yake na kumtoa kama alivyo.

“Nani aliyekufundisha kuchora hivi?” Hancy alimuuliza Van Brussel ambaye alikuwa akiangalia picha za Hancy huku akimwangalia Hancy. Hakuona utofauti mkubwa kati ya picha zake na picha za Hancy. Alizitamani sana picha za Hancy hasa bada ya kuangalia picha alizowachora watu weusi.

Alitamani Hancy na yeye azione picha zake ambazo alichora kama yeye. Aliikumbuka picha ambayo aliwachora watu weusi ambao wanafanana na wa kwenye picha ya Hancy.
“Nimejifunza mwenyewe Hancy, twende ukaone na mimi nimechora watu weusi.” Hancy aliongozana naye hadi katika begi la Van Brussel. Alilifungua na kutoa picha ambayo Hancy baada ya kuiona alishtuka kidogo. Alikosa raha.

Taswira ya kitu cha kutisha ikaja mbele yake. Aliogopa. lakini alijikaza na kuendelea kuongea na Van Brussel. Kwanza alijiuliza juu ya kufanana kwa sura zilizokuwa katika picha yake na picha ya Van Brussel. Alisitasita kuongea na mwishowe akamwambia Van Brussel.

“Unajua kuchora sana Brussel. Napenda kuwa kama wewe. Hao ni kina nani?” alimhoji Hancy juu ya watu wale kwani hakuona watu weusi wengi katika nchi hiyo zaidi ya baadhi ya rafiki zake Peter wawili ambao amewazoea.

“Nilikuwa Tanzania na mama yangu, tulikuwa tunakunywa juice sehemu nikawa nawaangalia hawa watu nikawachora. Nimechora vizuri Hancy?”

“Tanzania?” Hancy alishtuka aliposikia Van Brussel alikuwa Tanzania.

“Ndiyo Hancy, wewe unatokea Tanzania?” Van Brussel alimhoji Hancy ambaye alikuwa ameduwaa akizitazama zile picha. Sura taswira ilimjia kichwani na kuanza kulia. Alikumbuka picha alizozichora. Alizitazama tena akizilinganisha na picha za Van Brussel. Aliona kama ni ile ndoto inamjia tena siku aliyoiota na kuchukuliwa na Peter kwenda kulala naye.

“Ndiyo, mimi natokea Tanzania na huku niko na baba angu, anaitwa Peter.” Hancy aliondoka na kuelekea kwenye gari tayari kuelekea nyumbani. Alisahau kumrejeshea Van Brussel picha za wale watu.

“Hancy, picha yangu,” Van Brussel alikimbilia gari haraka kwa ajili ya kuchukua picha yake.

“Van…. naiomba. Nitakupa na mimi moja.”

“Haya ichukue, na wewe nipe ya kwako.” Hancy alitoa picha nzuri aliyomchora Peter na kumkabidhi.

“Nzuri sana,” Van Brussel alimwambia Hancy. Akafurahi na kukimbia kuelekea kwa wenzake ambao walikuwa wakielekea katika basi lingine lililokuwa likielekea kitongoji kingine cha Amsterdam.

Sasa alikuwa na picha mbili ambazo alizifananisha. Aliziangalia kila wakati na kuwaona watu wale wakiwa wanafanana sana. moja ikiwa kaichora yeye mwenyewe na nyingine ameichora Van Brussel.

Alifika nyumbani na kuziweka zote katika begi lake. Mara kwa mara alihisi wale ndiyo wahusika wa vifo vya wazazi wake na ndugu zake. Alliwachukia. Aliwaona ndotoni. Kila sura iliyomtokea asubuhi alizifuata zile picha na kuziangalia. Aliiona sura ile ikiwa pale.
*****
Jiji la Amsterdam lilikuwa katika kipindi cha baridi sana. Jua halikuonekana kwa siku hiyo. Watu hawakuonekana mitaani wakitembea na badala yake walikaa nyumbani kwao na kuwasha moto na kukaa karibu na moto huo kwa ajili ya kuondoa baridi. Theluji ilikuwa ikiteremka nyingi huku maduka baadhi yakiwa yamefunikwa na theluji hiyo. Magari pia yaliyokuwa yameegeshwa kandokando ya barabara yalikuwa yamejaa theluji na mengine kuzibwa kabisa.

Akiwa amesimama nje ya duka kubwa la vifaa vya muziki pamoja na santuri za filamu tofauti tofauti. Hancy aliyekuwa amevalia koti kubwa lililomkinga na baridi alikumbuka filamu ambayo aliipenda ya ‘Before i self destruct’ ya msanii 50 Cent. Filamu hiyo ilimpa ujasiri kila alipoiangalia na kila alipokumbuka yaliyomtokea.

Ni katika kujilinda. Kujua mbinu na kujua mambo mengine yahusuyo maisha. Alipenda kuzitazama filamu mbalimbali zilizochezwa na watu wakionyesha ujasiri katika mapambano dhidi ya wadhalimu. Alisoma pia vitabu mbalimbali wakati akiwa chuo na hivyo kujua mengi.

Huko Uholanzi, aliogopewa kutokana na hasira zake za ghafla ambapo mara kwa mara alikuwa akipelekwa vituo vya polisi kutokana na kumjeruhi mtu. Ni mara mojha tu aliyokwenda katika klabu za usiku ambako huko zilitokea vurugu na kusababisha majeruhi wengi. Baadhi ya watu waliokuwepo huko walimsingizia ya kwamba yeye ndiye aliyeanzisha ugomvi na hivyo kupelekwa kituo cha polisi. Baada ya kujitetea aliachiwa huru.

Ni siku hiyo hiyo Hancy alicha kwenda klabu za usiku. Hakutoka tena hata pale marafiki zake walipomfuata waende.
Mpaka kipindi hiki ambacho amekuwa akielewa mambo mengi juu ya maisha na nini cha kufanya ndipo alifikiria kuishi mwenyewe. Hakutaka tena kumtegemea Peter ambaye alimwona kama baba yake mzazi licha ya kujua ukweli juu ya wazazi wake na ndugu zake.
Ni miaka kumi na tisa ilikuwa imepita. Hancy alimaliza masomo yake ya fani ya uchoraji na kompyuta. Alirudi Tanzania na kumwacha Peter akiwa bado anaendelea na kazi zake huko nchini Uholanzi. Sasa alikuwa na miaka ishirinu na mitano wakati Peter akionekana mzee zaidi ambaye alikuwa anakaribia hata kustaafu kazi yake ambayo amekuwa akiifanya kwa kipindi kirefu cha maisha yake.

Miaka mingi aliyoitumia kusoma nchini Uholanzi ilimfundisha mengi. Ujasiri na mbinu za kimaisha vilikuwa ni vitu ambavyo alivizingatia ikiwa ni pamoja na kufanya mazoezi ya kujiweka sawa kimwili na kiafya. Hilo lilimwongezea kujiamini.

Baada ya kuhamishia makazi yake nyumbani Tanzania, Hancy alikuwa na jambo moja tu la kufanya. Jambo ambalo alikaa nalo kichwani kwa kipindi chote hicho alichokuwa Uholanzi. Kupata sehemu na kuweza kufungua kmpuni yake ya masuala ya uchoraji. Japokuwa aliahidiwa na Peter lakini dhamira yake ya kuanza mwenyewe ilikuwa palepale.

Alikutana na wasanii wengine wa nchini na kubadilishana nao ujuzi. Aliangalia kazi zao na kufananisha na za kwake ili kuona ubora wa uchoraji wake.

Mmoja kati ya wasanii wa kuchora aliyekutana naye likuwa ni Athuman ‘Soo’. Alifahamika sana kwa kuchora katika mabango, makaratasi na hata miili ya watu ‘Tattoo’. Kama ilivyokuwa kwa Van Brussel kule Uholanzi. Rafiki yake Hancy waliyekuwa pamoja Uholanzi. Hancy alipenda kuona kazi za Athuman. Alizipenda sana na hivyo alikuwa akipita katika jengo lake na kuzikagua moja baada ya nyingine.

Alishtuka mara baada ya kuona karatasi nyingi nyeusi. Zilikuwa ni zenye michoro ya Tattoo. Alizichukua na kuanza kuziangalia. Tasiwra ya ajabu ilimjia usoni. Alibaki ameduwaa hadi Soo alipoingia na kumkuta akiziangalia zile picha. Ilikuwa kama kafanya kosa kwani hakuruhusu watu kuona michoro ya Tattoo kwani mengine ilikuwa ni siri za watu. Hancy alikuwa akiutazama sana mchoro mmoja wa tattoo iliyokuwa na alama ya nyoka aina ya Cobra ambao ni nyoka hatari sana.

Kumbukumbu ya alama Fulani ilimjia kichwani.Aliwaza kuhusu ilea lama.

“Hapana, sijakosea.Ndiyo hii hii,” Soo alimsikia, aliichukua ile karatasi huku Hancy akiwa bado ameduwaa.Alishtuka alipomwona Soo.

“Kaka, vipi…alafu siruhusu mtu kuingia katika hiki chumba, njoo huku,” Soo alimwambia Hancy. Hakumwelewa kwa hali aliyokuwa nayo.

“Samahani kaka,” Hancy alimwomba samahani Soo.
Inaelekea una kitu unawasa kaka, vipi.

“Hapana kaka, niko sawa. Naomba nikuache nitarudi wakati mwingine, ila kazi zako nzuri. Zimenivutia nan do maana nikawa na hamu ya kuziangalia zote. Kazi nzuri sana, safi sana,” Hancy alisifia kazi za Soo na kisha alimuaga na kuondoka.

Aliingia kwenye gari lake haraka ili arudi nyumbani. Foleni ya Buguruni kwenye taa za kuongozea magari zilimfanya ahisi kichwa kinamuua. Alitafuta njia ya uchochoroni na kuibukia kwa mbele. Aligeuza shingo na kuona ile foleni bado iko vilevile magari hayajaruhusiwa, aliongeza mwendo ili kuwahi lakini akiwa njiani taswira ya ile picha ilimjia tena. Aliikumbuka michoro yote aliyoikuta mule bandani mwa Soo.

Huko aliona picha za watu mbalimbali kama vile viongozi na wapiganaji na wanamapinduzi maarufu kama Che Guevara, Bob Marley na Hugho chavez. Iliziangalia kabla ya kuhamia kwenye picha zinazoonyesha matukio kama ya picha za watumwa, Wamasai wakichunga ng’ombe na wanyama wakiwinda na kula majani.

Aliona pia picha ya Wamasai wakichinja ng’omne kwa ajili ya sherehe huku damu ikiwa inatiririka nyingi kutoka kwa yule ng’ombe. Aliogopa na kusimamisha gari lake kando ya barabara ya Mandela akielekea nyumbani kwake Tabata Makuburi. Aliteremka kwa lengo la kununua gazeti. Alikuwa amefika katika kituo cha Relini ambapo pia ipo kampuni ya kuchapisha magazeti ya Mwananchi.

Watu walikuwa wengi katika kituo hicho kilichokuwa kikiuza magazeti. Kila mmoja alitaka kununua gazeti hilo kwa kuwa liliandika habari za kina kuhusiana na matukio mbalimbali yaliyotokea nchini na sehemu nyingine duniani.

Habari zilizokuwemo ndani ya gazeti hazikumfurahisha kabisa Hancy. Alishalilipia na hivyo alisimama kando na kuiangalia ile habari vizuri. Aliona kwanza kichwa cha habari ambacho kilisema, ‘MAJAMBAZI WAUANA’. Aliendelea kusoma habari hiyo ambayo ilikuwa ikiendelea katika ukurasa mwingine wa gazeti hilo.
‘Moja ya majambazi waliokuwa wakitafutwa kwa udi na ufumba akutwa amekufa nyumbani kwake Tandika. Alikuwa katika ugomvi wa kugombea pesa. Inasemekana kwamba aliyemuua ni moja ya majambazi wenzake wanaotafutwa. Majambazi hao walikimbia baada ya mauaji hayo’.

Hasira zilimpanda sana Hancy. Hakuendelea tena na safari ya kurudi kwake. Aliamua kumtafuta Fina ili azungumze naye mambo yao. Hakutaka Fina ajue mipango yake kwa wakati huo kwani tangu arudi kutoka Uholanzi, Hancy amekuwa akimwonyesha mapenzi Fina ili asigundue njama zake.

Alikumbuka mambo mengi aliyoahidiana na Fina kila walipoonana alipokuwa akirudi nchini. Mawazo yake hayakuwa ka mwingine zaidi yake.

Safari ya kwenda nyumbani ikafa na sasa ilikuwa kwenda kumwona Fina kipenzi chake.
****
Mawazo na fikra juu ya Hancy ni vitu ambavyo vilikuwa vimemtawala Fina kwa kipindi ambacho Hancy alikuwa nchini Uholanzi. Maisha yake hakuhisi yapo sawa kutokana na kutokuwepo kwa Hancy ambaye mara kwa mara aliporudi Fina hakuzificha hisia zake. Siku hiyo kila aliyemfahamu Fina angejua tu ya kwamba Hancy amerudi nchini.

Hata Hancy alijua juu ya furaha ya Fina na hivyo alimletea kila alichoona kitamfurahisha siku akionana naye.

Siku hiyo fina alikuwa ameongozana na Justin wakielekea katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Alimwomba Justin waongozane naye kwani alijua ujio huo wa Hancy ni muhimu kuliko awali alivyokuwa akirudi. Safari hii Hancy ilikuwa asirudi tena Uholanzi kwani alikuwa ameshamaliza masomo yake na hivyo alirudi nchini ili kutafuta kazi ya kufanya pamoja na kusimamia baadhi ya biashara ambazo zilikuwa ni za baba yake ambazo Peter alizisimamia vizuri na kuhakikisha Hancy anafaidika nazo ikiwa ni pamoja na kusoma na kufanyia mambo mengine. Alimfungulia akaunti ya benki na kumwekea kiasi kikubwa cha pesa ambazo zingemsaidia wakati akirudi nchini.

Fina alifurahi sana kumwona mpenzi wake. Kama kila siku alivyokuwa akitamaniHancy arudi sasa ilikuwa ni kweli.
Uwanja wa ndege ulikuwa na watu wengi mno. Ni kipindi hiki ambapo watu wengi walikuwa wakirudi nyumbani kwa ajili ya likizo ndefu japokuwa kwa Hancy yeye ilikuwa ni zaidi ya ndefu kwani hakutarajia kurudi tena Uholanzi. Fina ndiye aliyekuwa wa kwanza kumwona Hancy kabla ya Justin ambaye alikuwa amesimama karibu na sehemu ya wageni kupita.

“Oooh… My Hancy,” alisema Fina huku akiwa ameibana mikono pamoja na kuhisi ameshamkumbatia Hancy.

“Fina!.. kaka Justin!” aliita Hancy kwa mshangao baada ya kuwaona.

“Hancy,” aliita Fina huku akimkumbatia Hancy kwa nguvu. Alishindwa kujizuia na kumpiga busu ambalo liliacha tabasamu kubwa sana kwa Hancy.

“Karibu mpenzi, nilikumiss sana,” alisema Fina aliyekuwa akiteremkwa na machozi. Hali hiyo ilimfanya Hancy ahisi huruma kwa Fina kutokana na umbali ambao walikuwa wameachana kwa kipindi kirefu.

“Usijali Fina, nimerudi kabisa, hutonikosa tena pindi utakaponihitaji.”

“Kaka Justin,” Hancy alimwita Justin ambaye wakati wote alikuwa anatabasamu huku akiwaangalia Hancy na Fina ambao walikuwa wamekumbatiana.

“Hancy…. Umekuwa mkaka sana,” alisema Justin.

“Kweli kaka, hata mi naona nimebadilika sana. si kma kipindi kile nilivyorudi tena. Nashukuru kwa kunipokea kaka Justin,” Hancy alisema huku akimshika Fina mkono na kuelekea kwenye gari tayari kwa kurudi nyumbani. Justin aliendesha gari huku Hancy na Fina wakiwa siti ya nyuma. Fina alikuwa amemlalia Hancy begani huku wakiendelea na mazungumzo taratibu.

Uwili wao uliendelea kama zamani wa kukaa pamoja na kufanya mambo kwa kila mmoja kumfikiria mwenzake.

Walitoka pamoja mara nyingi. Hancy hakupenda kwenda klabu. Ni mara nyingi Fina alikuwa akimhimiza Hancy aende laini hakuweza. Alikubali tu kutoka lakini siyo kwenda klabu bali kustarehe Ufukwe wa Coco hadi jioni na kurudi nyumbani.
Ni kwa muda huo wa kuwa pamoja ndipo Hancy alipomsimulia Fina kuhusu mkasa mzima alioujua alivyokuwa mdogo. Japo Hancy alikuwa mdogo lakini Peter alimsimulia juu ya wazazi wake na familia yake. Ni siku ambayo Hancy alipatwa na mshtuko mkubwa uliomsababisha aumie.

“Aaaah, tokaaa, toka. Niache ntakuuaaa,” Hancy alipiga kelele huku akikimbia kuelekea mlangoni. Alijigonga ukutani na kuumia sehemu ya kichwani. Peter alimfata na kumwangalia. Alikuwa akilia sana. Alimchukua na kumpeleka hospitali.

Daktari alimsaidia na kumpa dawa. Pia alimshauri Peter kwamba kutokana na hali hiyo inayomtokea mara kwa mara ni vyema akawa analala naye kila siku kwa sababu kutokana na kujigonga huko anaweza akapata madhara makubwa.

Peter aliafiki ushauri wa daktari na hivyo alianza kulala na Hancy kila siku hadi alipomtafuta mtu mwingine ambaye alikuwa akilala na Hancy.

Baada ya kupona kabisa Hancy alimsimulia Peter kilichomtokea na kuhusu watu aliowaona wakimtokea.

“Kweli baba, ni mara nyingi naona watu wamenshikia panga wanataa kuniua. Wanasema ni lazima niwafuate wazazi wangu na ndugu zangu. Kwani kuna nini? Na mimi nipo huku na sijawahi kukutana na mtu huku iweje wanitokee.”

Hancy alimweleza Peter na kumweleza namna sura zilivyo. Peter alikumbuka picha aliyoichora Hancy alipokuwa mdogo.

“Hilo tatizo limekuanza lini Hancy?”

“Ni siku nyingi sana baba. Sikumbuki lini. Hata nlivyokuwa mdogo nakumbuka nilipatwa na matatizo kama haya, naogopa baba.”

Peter alikumbuka pia siku Hancy alivyopatwa na tatizo na kulia na kumfuata. Ni miezi michache baada ya wazazi wake kuuliwa pamoja na ndugu zake. Alijua alichokiota Hancy ni kile alichokishuhudia siku majambazi walivyovamia nyumbani kwao na kuwaua ndugu zake.

*****
Hancy alimwonyesha ile picha Fina. Picha ambayo aliichora kwa kufikiria tu. Picha ambayo aliambiwa na Peter aichore wakati alivyokuwa Uholanzi.

“unajua kuchora Hancy.”

“Nashukuru sana Fina.”

Fina alipatwa na mshangao alipoiangalia ile picha. Alijiona kama amewafananisha wale watu. Alifikiria sifa zao na urafiki wake na wao. Alijua wazi itakuwa ni wao. Lakini hakujua kama Hancy alikuwa akiwatafuta watu wale. Hakutaka kwanza kumwambia chochote Hancy. Badala yake alimwonea sana huruma na kumpa pole.

“Fina nawatafuta sana hawa watu. Nadhani ni wakati mzuri huu wakati nkisubiria majibu ya sehemu nilizoomba kazi nianze kuwatafuta… Ona pia, hii alama niliikumbuka nikaichora, na siku nmeenda kwa rafiki angu anayechora n’kaiuta. Ni mchoro wa Tattoo,” Hancy alimwonyesha Fina karatasi nyingine yenye mchoro wa Tattoo.

Mchoro huo Fina aliufahamu sana. Aliwajua wote waliokuwa wakiutumia mchoro huo. Walikuwa ni kama rafiki zake kwani mara nyingi walikutana klabu wakinywa na kucheza muziki. Alikuwa na uhakika kwamba ndio wao kutokana na picha ya mchoro huo. Alimwangalia Hancy mbaye alikuwa na nia ya kufanya jambo kweli. Nafsi ya Fina iliwaza la kufanya.

“Lazima nimsaidia Hancy wangu,” Fina aliwaza huku akimwangalia Hancy kwa huruma.

Hancy alimwomba Fina waondoke na kurejea nyumbani. Fina hakukataa ombi la Hancy ambaye alionekana kuwa na hasira ambazo Fina alikuwa anazielewa.

Hancy hakwenda kwa pita. Alihamia Tabata Makuburi nyumbani kwao. Alimwomba Peter akakae Tabata katika nyumba yao ambayo kwa muda mrefu imekuwa ikipangishwa. Ni baada ya Hancy kuomba ndipo wapangaji waliokuwa wamepangisha hapo kumaliza mkataba wao na kuondoka.
Hancy alimpeleka kwanza Fina nyumbani kwao kisha akaelekea nyumbani kwake Tabata Makuburi.

ITAENDELEA

USIKU WA MANANE – 3

Image result for walter photography

Simulizi : Usiku Wa Manane
Sehemu Ya Tatu (3)

Hancy alimwomba Fina waondoke na kurejea nyumbani. Fina hakukataa ombi la Hancy ambaye alionekana kuwa na hasira ambazo Fina alikuwa anazielewa.
Hancy hakwenda kwa pita. Alihamia Tabata Makuburi nyumbani kwao. Alimwomba Peter akakae Tabata katika nyumba yao ambayo kwa muda mrefu imekuwa ikipangishwa. Ni baada ya Hancy kuomba ndipo wapangaji waliokuwa wamepangisha hapo kumaliza mkataba wao na kuondoka.

Hancy alimpeleka kwanza Fina nyumbani kwao kisha akaelekea nyumbani kwake Tabata Makuburi.

****
Hancy aliamka na kukumbuka kwamba alikuwa na gazeti lenye habari kuhusu jambazi aliyeuliwa. Na siku hiyo alikuwa aende hospitali ili kuona kwamba yule alikuwa ni moja wa watu ambao alikuwa akiwatafuta.

Alitaka kupitia tena kwa fina ili akamwonyeshe gazeti lile na juu ya habari ile. Alimaliza kunywa chai yake ambayo ilikuwa imeshatayarishwa na mlinzi wa nyumba hiyo ambaye walikuwa wakikaa pamoja. Hakukuwa na mtu mwingine ambaye alikuwa akiishi katika hiyo nyumba tofauti na wao, Hancy na Rajabu Mkwesi.

Rajabu baada ya kumwona Hancy akitia gari moto alifungua geti haraka.

“Poa Rajabu, baadaye.”

“Mchana au?” aliuliza Rajabu.

“Hapana, kuna mambo nafatilia kutwa nzima nadhani we kama ni chakula, tengeneza cha kwako tu.”

“Sawa mkuu,” alijibu Rajabu huku akifunga geti baada ya Hancy kuondoa gari.

Hancy alimfuata tena Fina. Alichukua gazeti ambalo alisahau kumwonyesha Fina jana yake. Ni mwendo wa dakika kumi na tano zilimtosha kufika Mbezi. Alimkuta Fina nje akiwa ananyweshea maji.

“Naona unaremba mazingira,” Hancy alimtania Fina.

“Ndiyo, Jumapili ni zamu yangu,” Fina alisema huku akimfuata Hancy, alimkumbatia na kumbusu. Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa Fina kufanya vile tangu Hancy arudi.

“Wee, huogopi watu madirishani kule wanatuona?”
“Hancy, siwezi kujizuia eti kisa watu. Wewe ni wangu tayari na sitajizuia kufanya lolote kwako. Isitoshe watu wanajua,”
alisema Fina huku akiendelea kumkumbatia Hancy.

“Sawa Fina, nashukuru,” Hancy alimshukuru Fina huku akimpa lile gazeti alilolinunua jana yake.

“Najua kuhusu hili Hancy, inaelekea umedhamiria sana.”

“Ila nataka nimwone mtu mwenyewe kama ni kweli
niliyewachora wanafanana, pia ntaka nkaangalie ilea lama yao kama atakuwa nayio mkononi.”

Fina alibaki akimwangalia Hancy ambaye alikuwa akirudi nyuma kuashiria alikuwa akiondoka.

“Sasa unaenda wapi Hancy?” alihoji Fina.

“Naenda Muhimbili mara moja, nitawahi kurudi ili tutoke.”

“Sawa, lakini hata kusalimia ndani?”

“Nisaidie,” Hancy alimwomba Fina huku Fina akirusha maji kuelekea alikokuwa Hancy kummwagia.

“Acha yutani wako mpenzi,” alilalamika Hancy huku akiyakwepa maji.

“Umeniudhi ndo maana,” alisema Fina.

“Nmekuudhi nini tena.”

“Umekuja kunionyesha tu gazeti halafu unaondoka…” alisema Fina huku akionekana mpole akitamani Hancy abaki.

“Ntarudi baadaye nkitoka huko,” Hancy alisema huku akiingia kwenye gari.

“Okey, baadaye. Take care Hancy.”

“Poa Fina,” alisema Hancy huku akitabasamu baada ya kumwona Fina ameridhika na alichokisema.

*****
Nusu saa ilimtosha Hancy kufika Hospitali ya Muhimbili. Njiani foleni haikuwa kubwa na hivyo aliwahi kufika kama matarajio yake yalivyokuwa. Watu walikuwa ni wengi sana.

Alipita moja kwa moja na kwenda kuegesha gari lake nje ya hospitali kabla hajaingia. Wagonjwa wengine waliingizwa na wengine wakiwa ndio walikuwa wakiletwa. Watu wengine waliingia kuona ndugu zao na wengine walikuwa wakitoka baada ya kuonana na ndugu zao. Hancy aliiingia na kutafuta upande ambao chumba cha uhifadhia maiti kilikuwapo.

Hakuwahi kuingia katika hospitali hiyo na hivyo ilimbidi aulizie kwa mmoja wa watu ambaye alikuwa akitokea upande ambao Hancy aliona kuna watu wengi.

“Samahani kaka,” alisema Hancy.
“Bila samahani…. Vipi mbona kama una wasiwasi… jamaaa ni ndugu yako nini?” alihoji yule mtu baada ya kumwona Hancy kama mwenye hamu ya kumwona mtu ambaye alikuwa chumba cha maiti ambaye ndugu zake bado walikuwa hawajafika kuchukua maiti yake.

“Mtu gani huyo?”

“Si hilo jambazi ambalo limeuliwa na wenzake…. Nakuambia kama ni ndugu yako una hasara sana. Eti wanagombea hela walizoiba wenyewe… na walikuwa wamelewa. Hao ndo Kobra bana,” alimaliza kusema yule mtu huku akiondoka na kumwacha Hancy pale pale. Hancy alishangaa kusikia jina Kobra. Hapo hapo aliukumbuka ule mchoro aliouona kipindi akiwa mdogo pamoja na kwenye picha za Soo. Alitamani kutabasamu lakini alimwona yule jamaa akiondoka na kumuuliza.

“Lakini… chumba gani ndo yupo?”

“Kwani hujui chumba cha maiti… nyoosha hukohuko kwenye watu wengi utaonana naye.”

Aliona watu wakiwa wamesimama nje ya chumba hiko.
Alielekea moja kwa moja hadi katika chumba cha maiti. Aliomba ruhusa ya kuuona mwili wa jambazi yule. Askari walimshuku huenda akawa mwenzao. Walimruhusu huku mmoja wa wale askari akiwasiliana na polisi.

“Tuko hapa nje, kuna nini?” mmoja wa polisi aliuliza baada ya yule askari wa mlangoni kuwasiliana naye.

“Kuna mtu tunamhisi ni moja wa majambazi wanaotafutwa. Kaingia ndani ya chumba cha kuhifadhia maiti kuona mwili wa marehemu sasa hivi. Tunaomba mfike hapa.”

“Sawa tunakuja.”

Kama vile Hancy alisikia juu ya waliyoongea. Hakuogopa. Aliendelea na upekuzi wake. Akligundua kuwa kwenye mkono wa ile maiti kulikuwa na ilea lama ya tattoo ya picha ya Kobra.

“Afadhali… sasa nimeshawajua. Na hii sura ndo ileile kwenye picha yangu. Mmoja kashaondoka.

Askari wa mlangoni walikuwa wakimsubiri ilia toke. Polisi nao walikuwa wameshafika na kusimama pale waliposimama wale askari wa mlangoni. Hawakumwona akitoka.

“Mbona hatoki. Afande Graham. Ingia utoke naye,” askari mmoja alimwamuru afande Graham aingie ili amtoe. Afande Graham aliingia lakini hakukuta mtu.

“Hakuna mtu kule ndani,” Afande Marwa aliwaangalia wale askari wa mlangoni.

“Ina maana mnatudanganya? Nyinyi mliona mtu akiingia?”

“Ndiyo afande, amevalia tisheti nyeusi na suruali ya bluu.”

Afande Marwa aliingia mwenyewe, alikagua kila mahali lakini hakuona mtu. Alielekea katika dirisha la kile chumba ili achungulie. Alishika kitasa. Kitasa cha dirisha kilikuwa kimevunja. Alitoka nacho hadi nje na kuwaonyesha wale askari.

“Katoroka,” alisema Afande Marwa. Alitoa simu yake ya upepo ‘radio call’ na kupiga makao makuu kuwa taarifu juu ya kuonekana kwa mmoja wa wale majambazi.
Hancy hakuwa tayari kufanya kazi na polisi kwa wakati huo. Alijua polisi watatumia sharia zao kuwafikisha mahakamani na kuwafunga. Yeye hakutaka hivyo. Alitaka wote wafe.
Hilo ndilo lililomfanyua atoroke bila ya kujulikana. Hakujali kama atatafutwa kwani alikuwa na imani ya kwamba hakuna aliyemjua kwani ni kipindi kirefu sana alikuwa nje ya nchi.

Alilifuata gari lake na kurudi Mbezi nyumbani kwa kina Fina.
Alisimama getini kwa kina Fina huku akimwangalia Fina ambaye alionekana mchangamfu kupita siku zote. Alikuwa akicheza na watoto ambao alikuwa akiishi nao nyumbani kwao.

Alimwona mrembo zaidi. Alipenda kumwangalia sana. Alimtamani na pia alimpenda sana. Alimchora kuanzia juu hadi chini na umbile lake lote. Alifurahi sana kuwa na Fina, hasa baada ya kujua Fina alimpenda sana. Alitabasamu wakati wote huo aliokuwa akimwangalia akicheza na watoto. Pale aliposhindwa kuzizuia hisia zake aliamua kumwita.

“Fina,” aliita Hancy.

“Wooouw… Hancy karibu. Karibu tucheze na watoto. Ingiza gari ndani basi,” Fina alisema huku akimfuata Hancy getini. Alifungua geti ili Hancy aingize gari ndani. Hancy naye alifanya kama alivyoambiwa na Fina.

Alilipaki gari lake na kuteremka. Alimshika Fina na kumkumbatia kwa nguvu bila ya kujali lolote kuhusu kuonwa kama ilivyokuwa asubuhi wakati alipofika hapo.

“Nakupenda sana Fina.”

“Nakupenda pia Hancy.”

*****
Miaka yake ishirini na minne ya kuwepo kwake duniani, imemfanya kujiona kama ni mwanamke aliyekamilika kwa kile ambacho aliamini kwamba anaweza. Akiwa na urefu wa wastani na mwembamba kiasi mwenye umbo ambalo lilijionyesha hata pasipo kuongezea nakshi za kulazimisha kuwavutia.

Fina Finias, alikuwa ni msichana mrembo. Urembu uliowahadaa wanaume wengi wakware bila mafanikio ya kumpata. Aliyejua utu wake lakini pia ambaye alijua zaidi kujiachia mjini. Hakuna ambaye angeweza kumdhani kwa maisha aliyokuwa akiyaishi.

Uzuri wa Fina ulimfanya awe mwepesi kushawishi mtu wa aina yeyote. Hakujali kingine zaidi ya pesa kwa wakati huo. Ujanja wake ulimfanya ajulikane na watu wengi. Wengine walimwona tapeli lakini ikawa ni vigumu kuhoji kwani hakueleweka. Angeweza kusababisha lolote na akasimama kizimbani na kujitetea bila woga na kushinda kesi.

Alipenda sana kampani. Adeline shynes ni moja wa marafiki zake wakubwa ambao kila mahali alikuwa akiongozana naye. Wakati mwengine alienda na kushinda kwao ili mradi tu awe ni mwenye furaha wakati wote. Alimpenda Adelina kutokana na ustaarabu wake na tabia yake ya upole na huruma.

Pamoja na vituko vyake pamoja na ujanja wake aliokuwa nao. Fina alipenda sana kusikiliza ushauri wa Adelina na kuufanyia kazi.
Adeline pia alikuwa si msemaji sana. Wakati wote alikuwa kimya akimsikiliza Fina kile ambacho angependa wafanye kwa siku hiyo.
Yeye alikuwa akimshauri tu kwa lile ambalo aliona halifai kwa siku hiyo. Hivyo Fina alimpenda sana rafiki yake huyo ambaye hata hivyo hawakudumu sana kwani Adelina alipata safari baada ya wazazi wake kuhamia nchini Uingereza ambako baba yake alipata kazi na hivyo kutakiwa kuishi nchini huko.

Fina starehe kwake ilikuwa ni sehemu ya maisha yake. Hakukosa kuingia klabu kubwakubwa na hata katika matamasha na sherehe kubwa zilizokuwa zikifanyika katika sehemu mbalimbali katika Jiji la Dar es Salaam. Alijichanganya na kila mtu na hakujali lolote kwani lengo lake kubwa ilikuwa kupata burudani ambayo alijisikia kuipata kwa siku ile.

Fina alikuwa akifanya kazi katika ubalozi wa Marekani kama ofisa Uhamiaji. Aliijua kazi yake vyema. Wafanyabiashara mbalimbali walimjua kwani wengi wao walisafiri kwa msaada wake. Pamoja na kazi yake. Asingekosa kustarehe apendavyo. Hata nyumbani kwao alihama ili ttu aweze kutawala maisha yake na kuwa karibu na kile alichokitaka.

Moja ya watu waliomfahamu sana Fina alikuwa ni Deogratius Mbila au Deo kama alivyopenda kuitwa na watu wake na wengi waliomfahamu. Walifahamiana wakati wakiwa katika moja ya klabu za usiku iitwayo Maisha baada ya kitambo kirefu ambapo walikutana mara kwa mara katika ubalozi wa Marekani. Ndipo Deo alipomkumbuka Fina. Siku na mara ya kwanza kumwona ilikuwa ni Ubalozi wa Marekani. Ni yeye ndiye aliyemsaidia Deo mpaka akafanikiwa kupata hati yake ya kusafiria. Safari yake ya kwanza kwenda Marekani. Aliishusha miwani yake na kumtazama vizuri. Alikumbuka siku hiyo.

“Dada samahani,” Deo alisalimia.

“Bila samahani, karibu, nikusaidie nini kaka?”

“Nashukuru sana,” Deo alitoa miwani yake nyeusi na kuweka juu ya meza tayari kuzungumza na Fina. Macho yake yalionekana makubwa kidogo yenye rangi ya damu ya mzee. Alikuwa mwenye kifua kipana na umbo lililojengeka kwa mazoezi mazito ya kunyanyua vyuma. Kichwani mwenye upara uliomeremeta kwa kuongezea na mafuta aliyokuwa amepaka. Weusi wake pia uliongeza mng’ao.

“Nimefuatilia pasipoti yangu ya kusafiria. Niliambiwa nije leo.”
Alisema Deo huku akimwangalia Fina maeneo ya kifuani na usoni.

“Unaitwa nani?” aliuliza Fina.

“Deo Mbila, I mean Deogratius Mbila,” Fina alimwangalia kidogo akacheka. Hata hivyo hakuonyesha kujali aliyoyasikia.

“Unatabasamu zuri dada,” Deo alimwambia Fina.”

“Nashukuru kaka. Samahani, sioni pasipoti yako hapa, nadhani itakuwa inashughulikiwa bado. Ntakusaidia kuifatilia kwa ofisa mwingine.”

“Ntakushukuru sana dada yangu,” alisema Deo huku akikichukua kitabu ambacho kilikuwa pale mezani ili akisome.

Fina bila kujali kumwacha Deo pale mapokezi aliondoka na kuingia chumba cha ofisa ambaye alikuwa akitoa pasipoti za kusafiria.
Alirudi akiwa kaishika na kumkabidhi Deo. Aliutizama sana mkono wake.
Vipi dada angu,” Deo alimwangalia na kumsemesha huku akitabasamu.

“Nimeipenda Tatoo yako,” alisema Fina huku akimkabidhi Deo pasipoti yake.

“Ooh…Nashukuru. Mi natoka,” alisema Deo huku akitoka baada ya kuichukua pasipoti yake na kuiweka mfukoni.

“Okey, karibu tena siku nyingine,” aliaga Fina.

Deo alitoka na kuwasha gari lake na kuondoka.

njiani Deo aliwaza kuwa mizigo yake ambayo alikuwa aipeleke nchini Marekani itafika salama kwani kuhusu kupitiosha kiwanja cha ndege isingekuwa tabu kwake kwani alijua ni namna gani angewahonga wafanyakazi wa pale kama kawaida yake.

Safari hii hakutaka kumshirikisha mtu yeyote katika dili hilo kwani halikuwa kubwa sana la kugawana na watu wengi.

Alihitaji muda ili aanze safari yake ya Marekani bila kadhia yoyote. Alianza mara moja mawasiliano na wafanyakazi hao ili siku ya safari aweze kupita buila ya vikwazo vyovyote.

*****
Mwaka mmoja ulipita baada ya fina kuonana na Deo. Safari hii walikutana pamoja katika klabu ya Sansiro. Fina alikuwa amesimama na mwarabu mmoja aitwaye Nizar ambaye alikuwa ameshika glasi ya wine wakizungumza mambo mbalimbali. Deo alikuwa wa kwanza kumwona fina na kumkumbuka. Aliamua kumfuata alipo. Alimwangalia Nizar aliyesimama naye. Alimshika Fina bega bila wasiwasi ili ageuke. Nizar hakumfahamu Deo.

Alionekana kuogopa baada ya kuwaona watu wa deo wakiwa pembeni wakimsubiri mkuu wao, Deo. Hakuweza kuongea lolote zaidi ya kuangalia kile Deo alichotaka kukifanya kwa Fina. Fina aligeuka kumwangalia Deo.

“Ohh, its u Deo. Sijakosea nadhani. Habari za Marekani?” Fina alimgeukia Deo na kumwambia kwa kumtania.

“Aaah, hahahaaa,” Deo alicheka kisha akaendelea kusema, “Nzuri tu, nimeenda nimerudi mrembo, ni siku nyingi nimerudi kwani sikukaa sana huko,” Deo alimjibu huku akitoa miwani yake ilimfanya Fina kumtambua vizuri. Alishaiona ile Tatoo ya Deon a hapo akawa amejidhihirishia kabisa kuwa ni yeye.

Deo alimsalimia yule Mwarabu na kisha aliwaaga Fina na Nizar na kwenda kujumuika na wenzake.

“Nani yule?” Nizar alimuuliza Fina. Fina alimgeukia akatoa miwani yake kisha akamjibu kwa dharau, alimwangalia kwa kitambo kidogo kisha akamwambia…

“Ni rafiki yangu….. kama ulivyo wewe?” kusikia vile Nizar aligeuka na kuondoka. Hamu ya kuendelea kuwepo pale Sansiro ikamwondoka na kuamua kulifuata gari lake na kuondoka kabisa kuelekea nyumbani kwake.

Fina hakuhitaji kuwepo pale tena, alihisi Nizar amemchafua roho kwa wivu wake kwa kitu ambacho hakijui.
“Unafikiri nakutaka mpaka uniulize yule nani,” alijisemea Fina huku akitoka kulifuata gari lake. Aliingia na kuwasha. Hakufika mbali simu yake iliita na kuipokea.

“Hallow, nani wewe?” aliipokea kwa ukali kidogo.

“Mbona unakuwa mkali sana?” Fina kusikia vile alikata simu na kuiweka kwenyi siti ya abiria. Hakutaka usumbufu. Hakujua aliyempigia ni nani na wala hakujali hilo.
Aliendesha kwa kasi hadi kufika nyumbani. Akiwa getini alishtuka baada ya kukumbuka namba ile ambayo aliona namba za kuanzia za nchi husika ‘Country code’ aliitambua kwamba ilikuwa ni ya Uholanzi. Namba hiyo ilisoma +31, lakini pasipo kuiona alijikuta akiongea kwa jazba na kukata simu hali iliyosababisha kumlazimu aliyekata kukaa kimya.

Alitamani aingie ndani haraka ili akapige hiyo namba kwani alijua lazima atakuwa ni Hancy.

*****

Mlinzi wa lango lake alikuwa ameshatambua ujio wake, alikuwa tayari ameshasikia mngurumo wa gari likielekea katika geti hilo. Fina alikuwa ameachiwa nyumba baada ya familia yao kwenda Nairobi kuishi huko. Yeye alishindwa kuhamia huko kwa sababu ya kazi yake ambayo ilimlazimu kubaki. Ni nyumba jirani na kwa mzee Peter, mlezio wa Hancy maeneo ya Mbezi Beach, ambapo kila mara Fina alikuwa akipita kuulizia hali ya Hancy huko alipo. Na jibu la Justin ambaye ndiye aliyekuwa amemzoea sana lilikuwa ni ‘bado kidogo atarudi’. Jibu hilo Fina alilizoea huku akiwa na hamu sana ya kuonana na Hancy. Mawazo juu ya Hancy yalimjia kila mara japo alijitahidi kujizuia kuwaza kwa imani ya kwamba atarudi siku moja.

Baada ya mlinzi kufungua geti saa nane na nusu usiku, Fina aliingiza gari na kulipaki vizuri. Hakuwa amelewa kama sikun zote arudipo. Na siku hiyo hata mlinzi aliona Fina amewahi sana kurudi kwani huwa anarudi hata saa kumi au saa kumi na moja. Alishuka na kuingia moja kwa moja hadi chumbani kwake na kujirusha kitandani.

Kabla hajapata usingizi, Fina aliwaza mengi yaliyomtokea siku hiyo. Alikumbuka jinsi Deo alivyokuja pale na jinsi alivyomjibu Nizar. Hakujali hilo, alitamani siku moja amwambie ukweli Nizar ambaye amekuwa akijisogeza karibu yake akiwa anamaanisha wanauhusiano, kitu ambacho kwa Fina alikuwa akipuuza na kumwacha kama alivyo. “Mpuuzi Yule ana wivu sana, tangu lini nikatembea na mwarabu mimi?” alisema kwa kupuuza huku akiigeukia simu iliyokuwa pembeni yake na kuishika.

Moja ya jambo ambalo lilimkurupua wakati akisinzia na kuwaza ni ile namba ambayo muda mfupi tu alikuwa ameikumbuka, alishtuka tena na kuichukua simu yake upesi. “Nani huyu aliyenipigia?” aliwaz.Aliitafuta ile namba. Aliamua apige.

“Itakuwa Hancy huyu…. Najua tu,” alisema huku akitabasamu mkono mmoja akiwa kauweka juu ya kifua chake akitamani namba ile iwe ni ya Hancy aliyeko Uholanzi. Alihisi machozi kumtoka na mapigo ya moyo kwenda mbio. Simu ilikuwa ikielekea kuunganika nay a mpokeaji. Alisubiri akisikiliza mpokeaji apokee ambaye hakumjua hata hivyo bali kumdhania tu.

“Hallow,” Fina aliita upande wa simu ili kuzungumza naye. Kimya kilitawala kabla ya mzungumzaji wa upande wa pili hajaitikia hali iliyompa Fina wasiwasi ya kwamba hataitikia.

“Haloo, Fina. Mambo vipi?”
“Poa sijui nani mwenzangu, nilikuwa kwenye gari tukawa hatusikilizani ndiyo mana n’kaona hadi nifike nyumbani?” Fina alijitetea baada ya kuhisi sauti aliyokuwa ameisikia ilikuwa ni ya Hancy. Alikuwa akisikiliza kwa makini ili asikie jibu ambalo alilitarajia kuwa ndo hilohilo.

“Usijali. Ni mimi Hancy.”

“Whaat! Hancy? Is this you?” Fina hakuamini macho yake kama yule aliyekuwa amempigia ni Hancy. Alijiona mpya. Aliamka pale alipokuwa amelala na kukaa kitako. Usingizi wote ulimwisha na kukaa vizuri kitandani kwa ajili ya kujiliwaza kwa Hancy baada ya misukosuko aliyokutana nayo klabu. Hakuamini kabisa kama angekuwa ni Hancy aliyempigia.

“Ulikuwa unatokea wapi usiku hivyo Fina?”

“Hancy, am sorry, nilikuwa klabu, hata hivyo kuna watu wamenikera sana n’kaamua nirudi nyumbani. Ni wewe kweli Hancy?” aliuliza kwa kutokuamini kama kweli alikuwa akiongea na Hancy.

“Ni mimi Fina… lakini unaniogopesha sana kwa kile ambacho nimekisikia ukikisema sasa hivi, japokuwa sina amri wala sihitajiki kukuuliza hivyo lakini kwa sababu nakujali itanibidi…. Unajua ni muda mwingi sana niko huku na sielewi ni kipi kinaendeleo huko?” alisema Hancy huku akimuuliza Fina ambaye wakati huo alikuwa anasikiliza kwa makini kile ambacho Hancy alikuwa akikisema.

“Unaogopa nini Hancy?… ” aliuliza fina kwa shauku kubwa ya kujua lililomtokea Hancy au analotaka kuliweka bayana kwake.
“Fina, unajua tulikuwa karibu sana tangu tukiwa watotot wadogo sana na kabla sijaja huku, hata nilivyokuwa narudi likizo wewe ndo ulikuwa ukinikaribisha, tunakuwa wote mara nyingi na mara nyingine unanizungusha sehemu tofauti nilizozisahau.

Unakumbuka kweli Fina?” aliuliza Hancy.

“Ndiyo Hancy, nakumbuka,” alijibu Fina.
“Hata nyumbani kwetu nako nilipasahau ila wewe ndiye

uliyenipeleka,” unajua hilo.

“Mmmh, kweli Hancy,” Fina alijibu huku akifurahia kusikia sauti ya Hancy na kile alichokuwa anasema.

“Isitoshe kinachoniuma zaidi na kuogopa ni kwa sababu tulikuwa hivi lakini sijawahi kukuambia kitu muhimu Fina. Hujawahi kusikia lolote ambalo hukulitegemea kutoka kwangu wala mimi kusikia lolote kutoka kwako.”

“Kitu muhimu?… kitu gani Hancy?…. ni kitu gani unadhani sijawahi kukuambia na wewe hukuwahi kuniambia toka utotoni?” fina aliongea taratibu huku moyo wake ukidunda akitamani kujua.

“Fina,” aliita Hancy.

“Nakusikiliza Hancy,” aliitikia Fina.
“Nakupenda sana, imani yangu itatulia kama utasema unanipenda pia. Tafadhali sema hivyo tukamilishe ndoto yetu. Kwani ni kitu ambacho sikuwahi kukuambia pamoja na ukaribu wetu. Na nitajuta kama nitakuwa nimechelewa na umeshapata mtu mwingine.”

“Hancy,” Fina aliita.

“Nakusikiliza Fina.”

“Nakupenda sana Hancy… Haitakaa itokee nimpende mtu mwingine zaidi yao. Ni kweli hukuwahi kusema hivyo. Lakini hata mimi sijawahi kuwa na mtu mwingine. Nilitamani sana nikuambie jambo hilo lakini nilikuwa naamini ipo siku utaniambia na ndiyo siiku kama ya leo ambayo nlikuwa naisubiri Hancy. Nimefurahi sana leo kuniambia hivyo. Bado nakukumbuka sana na nakupenda kuliko kitu chochote. Sitegemei kuwa na mtu mwingine zaidi yako kwa kipindi ambacho upo huko. Zaidi ni kwamba najua kujilinda na hakuna ambaye ameshawahi kunigusa. Naenda sana kwenye starehe lakini nikukumbukapo mara nyingi huwa natoka kwani wanaume wakware wengi lakini siwapi nafasi hii ya kipekee ambayo ni kwa ajili yako.”

“Nashukuru sana kwa kuniambiahilo Fina. Naamini utakuwa wangu milele. Naamini sina mwingine zaidi yako. Nakuhitaji kwa kila hali, nilipo huku nakukumbuka sana. Nafurahi sana kusikia sauti yako mpenzi.”

“Hata mimi naamini utakuwa wangu milele Hancy. Fina alisema huku akilia. Hali hiyo ilipelekea kimya cha muda mfupi kabla ya Hancy kuendelea na mazungumzo yao.”

“Najua si muda mrefu nitakuwa nimerudi huko na sidhani kama nitarudi huku tena kwani nitakuwa nimemaliza masomo yangu kabisa. Nitarudi ili nijipange na maisha yangu ya baadaye tukiwa pamoja mpenzi.”

“Sawa mpenzi, nakusubiri kwa kila hali,. Natamani sana urudi mpenzi.”

“Tutaonana tu Fina, nakupenda sana Fiana.”
Nakupenda sana Hancy.”

Hancy na fina wakawa wamefungua ukurasa mpya wa uhusiano. Uhusiano ambao ulifichika kwa miaka nenda rudi. Kauli ya Hancy ya kumpenda Fina ilimfanya fina akumbuke mengi sana walivyokuwa na Hancy tangu wakiwa wadogo ikiwa ni pamoja na na kucheza pamoja. Sasa ukawa sio urafiki tu bali ni wapenzi. Furaha ambayo Fina alishindwa kuizuia na kujikuta akipiga kelele ziilizomfanya mlinzi akimbilie mlangoni na kuuliza kuna nini kilichotokea.

“Dada Fina, kuna tatizo?”

“Usijali Seba, niimejikuta tu nimefurahi,” Fina alisema huku akirudi kitandani na kujirusha tayari kwa kuutafuta usingiza ambao ulikuwa umeshapotea.

*****
Hancy na Fina walikuwa pamoja kuanzia wakiwa wadogo. Fina alionyesha kila dalili za kumpenda Hancy kabla hata hajajua nini maana ya kupenda. Ni muda mfupi tu baada ya wazazi wake Hancy na ndugu zake kuuliwa na kuzikwa Hancy alipohamia kwa Peter ndipo Fina alipomwona Hancy kwa mara ya kwanza. Alikuwa na miaka mitatu wakati Hancy alikuwa na miaka minne.
Fina alipenda kucheza na Hancy kila wakati. Hata pale alipokuja kuchukuliwa na dada yake alilia sana akitaka kuendele kucheza na Hancy. Hiyo ilimjengea pia Hancy mazingira ya kuzoea kucheza na Fina.

Walijenga uhusiano mzuri ambao uliwafanya hata wazazi wao wafahamu urafiki wao na hivyo kuwaacha wawe karibu.
Waliachana baada ya Hancy kuondoka na Peter na kwenda kusomea Uholanzi. Hiyo il;ikuwa ni pigo kubwa sana kwa Fina ambaye alikuwa akikosa raha kila wakati Hancy akiwa safari.

Pale Hancy aliporudi ilikuwa ni sherehe kwa Fina kwani siku hiyo angeonekana kuwa ni mwenye furaha sana tofauti na siku zote. Hata pale alipoona Hancy amekaa muda mrefu sana bila kurudi, alikuwa akimuulizia sana kwa Justin. Hakujua lolote kuhusu Hancy na familia yake kwa wakati huo wakiwa wadogo. Alijua Hancy ni mdogo wake Justin ambaye alipenda sana kumtania mengi kuhusu Hancy kila alipokuja kumuulizia nyumbani kwao.

“Shikamoo kaka,” alisalimia Fina huku akiwa ameshikilia mdoli wake pamoja na chupa ya Juisi.

“Marahabaa mtoto mzuri, karibu…. Umekuja kwa mchumba ako,” alijibu Justin huku akimfuata Fina.

“Hancy kaenda wapi?” Fina alimuuliza Justin.

“Mchumba wako hayupo, kaenda na harudi tena,” alisema Justini huku akimbeba Fina juu juu. Kauli hiyo ilimnyong’onyesha sana Fina ambaye alitarajia kumkuta Hanc.

Justin alimcheka kwa furaha baada ya kumwona Fina ambaye ni mtoto mdogo lakini kwa kauli alioitoa ananuna.

“Yani Fina ananuna kwa sababu Hancy hayupo,” alisema Justin huku akimcheka Fina.

“Anarudi lini kaka Justin??” alihoji Fina. Justin alimweka chini. Hakuona haja ya kumdanganya kwani alimwona Fina japo ni mtoto mdogo lakini anakosa raha kwa sababu Hancy hakuwepo ili wacheze naye. Hivyo, aliamua kumwambia ukweli ili afurahi.

“Kasafiri ila atarudi. Kaenda na baba sehemu atarudi, sawa mdogo wangu?”

“Haya kaka Justin,” Fina aliridhika na jibu la Justin. Alikuja tena na tena kwenye nyumba ya kina Justin ili kubahatisha kama Hancy atakuwa amesharudi.

Wakati huo fina alikuwa na umri wa miaka mitano wakati hancy akiwa na miaka sita.

Baada ya miezi miwili Hancy alirudi tena Tanzania. Mtu wa kwanza kufika na kumwona nyumbani alikuwa ni Fina. Peter aliiona furaha ya Fina kila alipomwona na Hancy. Alijua kwamba Fina anapenda sana kuwa karibu na Hancy.

Hata alipomnunulia Hancy zawadi alijua lazima Hancy ampelekee Fina. Hata wazazi wa Fina walijua upendo kwa watoto hao. Fina asingeweza kupewa kitu kwao bila kumtaja Hancy na kumpelekea.
“Mamaaa, nampelekea Hancy,” Fina aliropoka tu pale mama yake alipompa Choculate. Alitoka nayo hadi nyumbani kwa kina Hancy.

Hakujali ni saa ngapi. Hali iliyowafanya wazazi wake wasimpe chochote wakati wa usiku kwani angetafuta tu njia ili aende akampe Hancy. Hivyo hivyo kwa Hancy ambaye aliiga upendo na ukarimu wa Fina. Wazazi wa pande zote mbili wakajua watoto wanapendana sana.

*****
Alibaki akiyakumbuka mengi kichwani kwake. Mengi ambayo alifanya na Hancy kuanzia utotoni hadi wakati huo. Na sasa Hancy amerudi na mipango yake yote ameshamwambia. Lengo lake ni kulipa kisasi. Yeye ndiye anayewajua watu wale vizuri wanaojiita Kobra.

Uhusiano wake na Hancy ungependeza zaidi kama wazazi wake Hancy wangekuwepo. Sasa hawapo nay eye ndiye rafiki wa watu hao.

Aliwaza sana Fina juu ya hilo. Hakujua kwamba Hancy alikuwa akitaabika sana siku zote kutaka kujua watu wale waliofanya mauaji nyumbani kwao wakati akiwa mdogo.

Alimuwaza Deo, ghafla sura ya Chacha ikamjia. Hao ndio waliokuwa watu wake wa karibu zaidi. Walikuwa ni wakorofi sana. aliwatumia kama kivuli chake pale alipoona mambo hayaendi vizuri.

Sasa analazimika kuwageuka. Pengine ni kwa sababu pia alikuwa hapendi mienendo yao. Alikumbana na masaibu mengi p[ale aliokuwa nao. Wakati mwingine alipelekwa hadi kituo cha polisi ili kuhojiwa na kuwatetea juu ya mambo yao. Wakati mwingine alidiriki kujificha ili asionekane. Yote hayo ilikuwa ni kuwasaidia ili wasikamatwe na polisi.

Deo alimpenda sana Fina kwa kuwa alikuwa ni mjanja na aliyekuwa akijiamini sana. hivyo aliona hiyo ndiyo nafasi nzuri kwa kumtumia Fina japokuwa Fina pia aliwakwepa wakati mwingine akiwatoroka na kuwadanganya. Wao waliamini.

Alikumbuka matukio yote yaliyofanywa na Deo. Kuanzia lile la kumjeruhi Nizar siku mbili tu baada ya kukutana na Fina. Nizar hakumjua Deo japo Fina alimsihi kukaa mbali na Deo.

Wakati Deo akiingia klabu saa tatu usiku. Nizar alikuwa kasimama nje akiongea na Fina. Deo aliyekuwa na watu wake alifika na kumsalimia Fina. Nizar hakupenda vile. Kwani kwake ilikuwa ni wakati wake kumshawishi Fina ili wawe pamoja. Alijua Deo anamwingilia katika harakati zake za kumpata Fina.

Deo alimshika Fina na kumvuta pembeni kwa makusudi. Nizar alipandwa na hasira na kumhoji Deo.

“Vipi kaka, huwezi kuwa mstaarabu?

“Fuata yako,” Deo alimjia juu Nizar. Hapo hapo Nizar alitaka kumvamia Deo ili ampige. Watu wa Deo wakawa wameshafika na kumkamata hali iliyompa nafasi Deo kumtandika ngumi za uso na kumjeruhi. Fina alivyoona vile haraka alimfata Deon a kumtolea maneno yaliyosababisha watu kujaa pale nje ya klabu. Deo aliwahimiza watu wake waondoke na kuapa kwamba atamtafuta Nizar.

“Hatujamaliza bado, nitakutafuta.” Deo alisema huku akiondoka kuelekea klabu. Fina alibaki tu akimwangalia pasipokusema neno lolote hukun akijaribu kumnyanyua Nizar aliyekuwa akitokwa na damu sehemu za usoni.

“Nilikuambia lakini Nizar, huyu mtu ni hatari. Ona sasa.”

“Asinitishie mimi, mimi ntamsubiri aje.”

“Ntakupeleka kwako. Twende kwenye gari langu.”

Fina alimchukua Nizar hadi nyumbani kwake. Alimwacha akiendelea kuhudumiwa na mfanya kazi wake wa ndani na kuondoka. Hakurudi tena klabu bali alielekea nyumbani kwake Sinza Shekilango.

Baada ya siku mbili Fina alisikia taarifa ya mtu kupigwa na kuumizwa vibaya kisha akatupwa katika ufukwe wa Bahari ya Hindi. Mtu huyo alikuwa ni Nizar. Wasamaria wema walimwona na kumpeleka Hospitali ya Muhimbili. Watu hao wanasema kwamba alikuwa katika hali mbaya na watu waliofanya hivyo hawakujulikana.

Fina alimpigia simu Deo na kumuuliza kuhusiana na tukio lile. Deo alikataa kuhusika na kumhakikishia Fina kwamba alimaliza hasira zake siku ya kwanza kugombana na Nizar na hakuona haja ya kumtafuta kama alivyosema awali.
Upelelezi uliendelea bila kuhusishwa kwa tukio la Nizar na Deo kupigana nje ya Klabu. Katika uchunguzi huo Fina alikuwa ni moja kati ya watu waliohojiwa na polisi kwani walionekana mara nyingi na Nizar katika sehemu za starehe.

ITAENDELEA

USIKU WA MANANE – 4

Image result for walter photography

Simulizi : Usiku Wa Manane
Sehemu Ya Nne (4)

***** ***** ***** ***** *****
Baada ya siku mbili Fina alisikia taarifa ya mtu kupigwa na kuumizwa vibaya kisha akatupwa katika ufukwe wa Bahari ya Hindi. Mtu huyo alikuwa ni Nizar. Wasamaria wema walimwona na kumpeleka Hospitali ya Muhimbili. Watu hao wanasema kwamba alikuwa katika hali mbaya na watu waliofanya hivyo hawakujulikana.

Fina alimpigia simu Deo na kumuuliza kuhusiana na tukio lile. Deo alikataa kuhusika na kumhakikishia Fina kwamba alimaliza hasira zake siku ya kwanza kugombana na Nizar na hakuona haja ya kumtafuta kama alivyosema awali.

Upelelezi uliendelea bila kuhusishwa kwa tukio la Nizar na Deo kupigana nje ya Klabu. Katika uchunguzi huo Fina alikuwa ni moja kati ya watu waliohojiwa na polisi kwani walionekana mara nyingi na Nizar katika sehemu za starehe.

*****
Nizar baada ya kupata nafuu baada ya kuwa hajitambui kwa kipindi cha wiki moja kutokana na kipigo alichokipata, hakuwakumbuka wala kuwatambua watu waliomvamia na kumteka, kumpiga na kisha kumpeleka katika ufukwe wa bahari ya hindi na walilopenda wao, hakuamini macho yake kwa kuwa hakuuliwa. Alimchukia sana Fina kwa kumwona kuwa yeye ndiye aliyekuwa chanzo cha matatizo yake hayo.

Fina ndiye aliyekuwa mtu wa kwanza kuhojiwa na polisi juu ya suala hilo la kutekwa na kupigwa kwa Nizar. Alifikishwa katika kituo cha polisi cha Mbezi.

Akiwa katika meza maalumu huku chupa ya maji ikiwa mbele yake, aliingia mmoja wa maofisa wa polisi ambaye alikuwa amevalia nguo za kiraia na baada ya kujitambulisha kwa Fina, alianza kumuuliza maswali ambayo fina alikuwa akiyajibu bila wasiwasi.

“Habari yako dada Fina,” alisalimia yule ofisa wa polisi baada ya kukalia kiti chake na kumgeukia Fina.

“Nzuri tu ofisa,” alijibu Fina.

“Unajua kwa ni kwa nini upo hapa?” alihoji ofisa yule.

“Ndiyo, nimeitwa hapa ili kuhojiwa. Ndiyo taarifa nilizopewa baada ya polisi kuja kwangu.

“Sawa sawa,” aliitika yule ofisa kabla ya kuuliza swali lingine kwa Fina ambaye alikuwa hana wasiwasi huku akisubiria maswali ya yule ofisa.

“Tueleze dada Fina. Wewe na Nizar mkoje?… namaanisha mna uhusiano gani?” Ofisa Upelelezi alimhoji Fina ambaye alikuwa ameishika ile chupa ya maji na kuifungua. Alipiga funda moja kabla ya kuanza kuzungumza. Swali hilo halikumfanya Fina awaze alilijibu kiurahisi zaidi.

“Ni rafiki angu. Mara nyingi tulikuwa pamoja.”

“Rafiki yako kivipi?” ofisa yule alimtupia swali lingine ambalo lilifuatana na lile la awali.

“Ni rafiki wa kawaida ofisa. Tufauti na hapo hakuna uhusiano mwingine kati yetu. Sio mpenzi wangu kama itakuwa tunafikiriwa hivyo. Ni watu ambao mara nyingi huwa tunakutana klabu.

“Siku ya tukio wewe ulikuwa wapi?”

“Nilikuwa klabu pamoja nay eye na watu wengine ofisa,” alijibu fina.

“Wakati akishambuliwa wewe ulikuwa wapi?” ofisa alimtupia swali lingine.

“Awali ya yote kulikuwa na vurugu katika klabu ambapo baadaye ziliisha na kukawa na amani ila mimi pamoja na Nizar tuliondoka kwani mlengwa kwenye ile vurugu alikuwa ni yeye. Sikujua kwamba alirudi baada ya hapo kwani nilimfikisha kwake na mimi nikarudi kwangu nikawa sijaenda klabu klwa wiki hiyo hadi nilipopata taarifa za kutekw kwake na kushambuliwa.”

“Mna kawaida ya kutoka pamoja kila siku baada ya starehe.”

“Siyo kila siku maana mi huwa naenda klabu mwisho wa wiki. Ila huwa tunakutana huko”
“Ndiyo namaanisha hizo siku unazokwenda klabu, huwa mnatoka naye?”

“Hapana, ni mara moja moja sana. Ni kwa sababu Nizar amekuwa akinifatilia kwa muda mrefu akinitaka kimapenzi lakini mimi namchukulia kama rafiki yangu. Hivyo mara nyingine huwa anapenda tuongozane wakati nikitoka. Ila huwa tunakutana hukohuko klabu kama watu wengine.”

“Unadhani kwa sababu ya kukufuatilia inawezekana ndo ukaamua kumtafutia watu ili wampige asiwe anafanya hivyo tena?”

“Hapana ofisa,” Fina alitabasabu na kujibu kwa mkato kisha akaendelea. “Siwezi kufanya hivyo kwani hakuwahi kunilazimisha na ni mtu mstaarabu tu na ananiheshimu sana. Hivyo sijaona tatizo na kweli siwezi kufanya hivyo.”

“Sawa, na vipi kuhusu watu aliogombana nao wiki moja kabla ya kushambuliwa, unaweza ukawa unawafahamu?”

“Ndiyo, ulikuwa ni ugomvi wa kawaida. Walijibizana vibaya wakasukumana lakini haukuvuruga jambo na pia mambo yaliendelea tu vizuri kwani niliwahimiza waondoke na kila mmoja alirudi nyumbani. na mtu aliyegombana naye hayupo nchini. Amekwenda marekani hivyo asingeweza kumpiga na nilimuuliza juu ya Nizar akaniambia yeye hayupo nchini toka juzi yaani asubuhi baada ya siku ya ugomvi baina yao.”

“Sawa tutaendelea na uchunguzi vizuri. Tukikuhitaji tutakuita.”

“Nashukuru ofisa.”

Fina alitoka akiwa anajiamini na kwenda moja kwa moja hadi kwenye gari lake. Alipiga moto na kuondoka kituo cha polisi. Njiani alimpigia Deo akitaka waonane haraka.

“Hallo! Deo.”

“Ndiyo, Fina, kuna nini mbona juu juu bibie?” alihoji Deo ambaye alikuwa hana wasiwasi wowote.

“Njoo hapa Ubungo haraka. Nataka tuongee jambo muhimu na hakikisha hauonekani.”

“Sawa nafika hapo,kuna nini lakini?” Deo hakutaka kwenda kwani hakutaka kuonana na askari au mtu asiyemfahamu. Aliamua kumhoji Fina.

“We njoo, nilikuwa polisi na wamenihoji mengi juu ya Nizar.”

“Nizar?” alishtuka Deon a kuendele… “Ok nakuja.”

“Sawa nakusubiri,” alisema Fina.

“Fina, nihakikishie kama uko mwenyewe.”

“Ndiyo Deo, njoo hadi hapa Ubungo mataa barabara ya Mandela utaona gari Vx nyeusi.”
Deo alifanya kama alivyoambiwa na Fina. Dakika chache baadaye alikuwa ameshafika mahali ambako Fina alikuwa ameegesha gari lake. Aliingia ndani ya gari la Fina na hapo hapo Fina alianza kumwelezea yaliyotokea.

“Sasa sikia, hapa natokea polisi kama n’livyokuambia. Niambie ukweli kuhusu Nizar. Ni kweli ulimteka?”

“Ndiyo, japo mimi sikuwepo. Yule mtu nataka nimfundishe adabu,” alijibu Deo bila kujali lililotokea kwa Nizar wala polisi ambako Fina alikuwa ametoka.

“Acha hayo mambo Deo, unajiweka katika hatari sasa,” alisema Fina.

“Fina, hii dunia inahitaji mtu akuheshimu umheshimu, kama mtu hakuheshimu haina maana kwako kujiona mnyonge. Unatumia uwezo wako. Sasa ningemwacha yule mshenzi angejisifu sana. nadhani amekoma,” Deo alijigamba huku akiitoa miwani yake na kuishikilia mkononi.

Fina alimwangalia Deo bila kummalliza. Alimwona mtu katili lakini hakumwonyesha wazi kumchukia.

*****
Tukio lingine ambalo Fina alikuwa akilikumbuka kuhusu Deo pamoja na kikundi chake cha Kobra lilikuwa ni tukio moja la utekaji nyara. Utekaji nyara wa mke wa Balozi wa Marekani nchini. Iligundulika kwamba ni Deo ndiye aliyehusika na utekanyi nyara huo. Alifanya hivyo akisisitiza alipwe Dola milioni tano. Tukio hilo lilitikisa nchi nzima na hata nchi za jirani pamoja na Marekani.

Hata hivyo hakujulikana aliyehusika kwani watekaji waliwahi kumwachia na kutokomea pasipojulikana baada ya kusikia FBI walikuwa wamefika Tanzania kusaidia uchunguzi na kuwasaka watu hao. Ni Fina pekee ambaye baadaye alikuja kuujua ukweli juu ya njama hizo ambazo Deo alikuwa amezipanga baada ya kuona namba za simu za mke wa balozi huyo kwenye simu ya Deo.

Katika tukio hilo, Deo aliwatuma watu wake kumfuatilia mke huyo wa balozi na kumteka.

Deo alituma sauti aliyojirekodi na kumrekodi mke wa balozi. Hakuonyesha ukweli wowote katika sauti hiyo ili kuwaficha wasijue ukweli. Watekaji hawakujionyesha sura zao wala mke wa balozi hakujua alipo baada ya kutekwa kwani alikuwa amefungwa na kitambaa cheusi.

Alifungwa kamba na watu wa Deo na kumpeleka na kumtupa ufukweni wakijua ni sehemu rahisi kuonwa. Kisha wakatokomea.

Asubuhi taarifa zilizagaa kila mahali. Ni baada ya wasamaria wema ambao ni wavuvi kumkuta akiwa amelala chini karibu na bahari huku mawimbi ya maji yakiwa yanamgonga.

‘Mke wa Balozi wa Makerani akutwa akiwa hajiwezi huku amefungwa kamba mikono na miguu. pia machoni akiwa amefungwa kitambaa cheusi. Mwanamke huyo Elizaberth alikuwa hoi baada ya watu wanaosadikiwa kuwa ni wateka nyara kumteka wiki zaidi ya tatu na kisha kumtupa katika ufukwe wa bahari. Ushunguzi bado unendelea na watuhumiwa wanatafutwa.’
Fina alisikia taarifa ya habari. Ni mwezi mmoja alikuwa hajaonana na Deo. Na kila alipokuwa akimpigia simu, Deo hakuongea sana. wakati mwingine alizima pia simu. Fina alijua atakuwa kwenye mambo yake. Hakumwona hata rafiki yake mmoja, si Chacha wala John ambao ndio waliokuwa karibu zaidi na Deo..

Ukaribu wa Fina na Deo ukaanza kutoweka taratibu hasa baada ya Fina kugundua na kuona hila za Deo. Alijua atajiweka katika hatari kama angeendelea kuwasiliana na Deo. Ni zile namba za simu za mke wa balozi wa marekani bi Vicky George, ndizo zilizomfanya aamini kuwa Deo alikuwa ndiye mtekaji wa mke huyo wa balozi.

Alijiuliza mengi juu ya Deo kuzipata namba za Vicky. Baadaye alikumbuka kwamba Deo alishawahi kufika ofisini kwao siku ambayo yeye hakuwepo. Alipata taarifa za Deo kupitia kwa mfanyakazi mwenzake ambaye alimjua Deo kupitia kwa Fina.
*******
Deo alikuwa amewahi kuamka. Alifanya hima na kuelekea moja kwa moja hadi ubalozini. Alishawataarifu watu wake juu ya jambo ambalo wlikuwa wamepanga kulitekeleza siku chache zijazo. Alitumia hila zake kuhakikisha anafika tena kwa mara nyingine katika ubalozi huo. Hakutaka Fina afahamu.

Alikumbuka Fina aliwahi kumwambia juu ya siku ambazo huwa haendi ofisini, na kwa hakutaka afahamu, aliitumia siku hiyo.
Ni Jumamosi asubuhi Deo anaingia katika moja ya mageti makubwa ya ubalozi huo. Anapaki gari lake karibu kabisa na geti hilo na kuteremka. Anatembea kuelekea zilipo ofisi za ubalozi huo.

“Habari yako.” Deo alisalimia kwa lugha ya Kiswahili alipopishana na dada mmoja wa kizungu aliyetokea ofisi za ubalozi wa Marekani.

“Muzuri, Hellow Jambo.” yule dada wa kizungu aliitikia huku Deo akimwangalia kwa makini. Alitabasamu baada ya kusikia maneno ya yule mzungu baada ya kumjibu.

Siku hiyo lengo lake kubwa lilikuwa ni kupata mawasiliano ya mke wa balozi. Alizihitaji kwa namna yoyote namba za simu za mke wa balozi. Aliingia moja kwa moja hadi sehemu ya mapokezi na kuona kwamba kulikuwa na mtu katika chumba kile.

“Habari yako dada,” alisalimia Deo.

“Nzuri tu, karibu. Sijui nikusaidie nini?” dada aliyekuwapo pale mapokei alimwitikia Deo huku akiendelea na kazi yake ya kupanga vitabu vilivyokuwepo katika meza iliyoko pale mapokezi.

“Nashukuru sana….Aaah, samahani…. naomba kuonana na balozi,” Deo alisema bila kujali kwamba alimuulizia mtu mkubwa sana ambaye mara nyingi hakuwa akiuliziwa kwa namna alivyomuulizia yeye.

“Balozi!” alihoji yule dada kwa mshangao.

“Ndiyo. Balozi George…. Mbona unashtuka?” alihoji Deo.

“Sikutegemea kama ungemuulizia bosi. Wengi huwa wanakutana hukohuko. Kufika ofisini na kumuulizia huwa sionagi kitu kama hicho. Na ana wasaidizi wake ambao unaweza ukapitia kwao.”
Ndo maana unashangaa…. Mimi unanijua?” alihoji Deo. Swali lile lilimpa woga yule dada na kutikisa kichwa chake akikataa kwamba hamfahamu Deo.

“Hapana.”

“Basi…. Nina miadi na balozi…. Naelewa ndo maana nimekuja hadi hapa. Kuna mambo tutazungumza na aliniambia nitamkuta. Labda kapata dharura lakini hajanitaarifu.”

“Bosi kweli ametoka, na alisema atarudi badaye kidogo. Ila sijajua atakuwa amekwenda wapi.”

“Naweza kumsubiri hapa?… maana sidhani kama itawezekana kuondoka bila kuonana naye na huenda ndo akawa anarudi,” Deo hakuonyesha wasiwasi wowote alijua atapata namna yoyote ilia pate namba ya mke wa balozi huyo.

“Sijajua atawahi au atachelewa.”

“Basi nitamsubiri kwa dakika chache alafu kama vipi nkiona anachelewa nitaondoka nije kesho,” Deo alifurahi kwa kuwa balozi hakuwepo. Alishajua muda huo asingeweza kumkuta hasa baada ya kusikia kwamba rais alikuwa akutane na mabalozi wa nchi za nje Ikulu. Aliona hiyo itamsaidia kupata lile alilolikusudia.

“Sawa. Karibu.” Deo alikaribishwa na kupewa majarida kadhaa ya kusoma. Alivalia suti maridadi ambayo ilimfanya aonekane maridadi kweli na hivyo kuweza kumshawishi mtu yeyote kumvisha vyeo vyovyote alivyotaka kumvisha. Iwe ni mkurugenzi, meneja wa kampuni fulani kubwa, waziri au hata mbunge ambaye hakujulikana sana kwa watu. Vyeo vyote hivyo alistahili kutokana tu na mwonekano wake siku hiyo.

Alitabasamu baada ya kuona yule dada akionyesha kumthamini kama mgeni mashuhuri. Baada ya kumaliza kumkaribisha na kumhudumia Deo, yule sekretari alitoka na kumwacha Deo peke yake.

“Nakuacha mara moja,” alisema yule dada huku akiondoka. Deo alichukua kitabu cha simu na kukikagua. Aliangali jina la nyumba ya Balozi yule na kuipata katika kitabu hicho. Aliangalia namba zilizokuwepo pale. Ghafla tabasamu likamjia la ushindi. Alizipata namba husika. Aliziandika katika simu yake na kurudisha kile kitabu. Akaacha kuvipitia vile vitabu vingine na kumsubiri sekretari arudi.

“Nilikuacha mwenyewe,” alisema yule dada baada ya kurudi.

“Usijali… nipo sawa,” Deo alimjibu huku akisimama.

“Mbona hima… humsubiri tena.”

“Hapana. Kuna simu nimepokea natakiwa niwahi sehemu japo siyo mbali. Sidhani kama nitatumia muda mwingi.”

“Sawa. Kwa heri.”

“Jina lako nani?” aliuliza Deo.

“Suzy,” alijibu yule dada huku akitabasamu

“Nashukuru Suzy. Mi naitwa Alfonce Makala,” alisema Deo jina hilo. Alimwongopea Suzy. Suzy hakuwahi kumwona Deo awali. Katika ofisi hiyo Deo alimjua Fina peke yake kwani ni yeye aliyekuwa akimshughulikia hati yake ya kusafiria.

“Baadaye,” alisema Suzy.

“Poa,” Deo alisema huku akifungu mlango na kutoka. Alielekea moja kwa moja hadi kwenye gari lake na kuondoka.

*****
Saa kumi na mbili kamili jioni. Deo alikutana na watu wake wa Kobra. Safari hii hawakutana katika ukumbi wa Maisha kama walivyofanya mara kwa mara. Walikuwa nyumbani kwa Deo.

Katika Jumba kubwa la Deo ambalo lilikuwa nje kidogo ya mji mji wa Dar es Salaam maeneo ya Mkuranga. Haikuwa rahisi kwa mtu yeyote kujua kinachoendelea ndani. Lilikuwa ni jumba kubwa.

Deo alikuwa na banda kubwa nje ya nyumba yake kwa ajili ya kufugia nyoka aina ya Chatu. Kila siku aliwawekea unga na baadhi ya panya ambao alikuwa akiwanunua kutoka kwa wapitanjia ambao walipewa kazi hiyo bila kujua panya hao wanaenda wapi.

Wengi hawakumjua muhusika bali Deo aliwatumia vijana ambao wlikuwa wakifanya kazi hiyo ya kukusanya panya hao.
Kimya kilitawala katika jumba hilo. Deo peke yake ndiye aliyekuwa akisubiria aanze kuzungumza.

“Tumefanya mambo makubwa sana na yote tumefanikiwa,” alisema Deo huku wote wakit6ikisa vichwa vyao kuonyesha kukubaliana na kile alichokisema Deo.

Deo alitoa picha ya mke wa balozi. Aliwaonyesha wenzake na kuwauliza kama wako tayari kwa kazi.

“Tupo tayari mkuu.”

“Nadhani kila mtu anaelewa pesa ni nini na kwa nini anazihitaji.”

“Ndiyo mkuu,” wote waliitikia kwa pamoja.

“Sisi ndio Kobra,” alisema kwa sauti ya kujigamba huku akimrushia panya chatu mmoja katika banda. Yule chatu alimvamia yule panya na kumla. Deo alicheka na kuwageukia tena wenzake.

“Mmeiona hiyo picha?”

“Ndiyo mkuu,” wote waliitikia.

“Nani anamfahamu huyo mama wa Kizungu, mke wa balozi wa Marekani…. mlishawahi kumwona hata gazetini au kwenye tv?…kama hamumjui basi anaitwa Vicky…..namtaka mara moja kama nilivyowaagiza.”

Baadhi ya watu wake walikuwa hawamjui Vicky. Deo aliwaelekeza sehemu ambayo anaishi na muda anaopita akitokea katika shughuli zake za kila siku.

“Sasa, mimi natangulia Mafia. Baada ya kumteka mtakuja naye huko,” alitoa amri hiyo huku akitembea kuelekea liliko banda la Kobra wake.

“Sawa bosi,” walikubali tena kauli ya bosi wao. Ghafla Deo alisimama na kuwaambia.

“Hakikisheni hakuna atakayewaona na kugundua lolote. Kuweni makini. sawa?”

“Sawa bosi.”

“Kobraa.” Deo alisema kwa nguvu.

“Kobraa,” waliitikia wote na kufunga kikao.

*****
Baada ya siku tano, Deo alikutanishwa na mke wa balozi wa Marekani, Vicky. Alikuwa tayari ameshafika Mafia na kusubiri watu wake waje. Hakuna alijua juu ya tukio hilo hadi pale waliposikia taarifa katika vyombo vya habari. Hata wakazi wa Mafia hawakugundua chochote juu ya utekaji huo. Watekaji walimteka wakati akirudi nyumbani saa mbili usiku na kufanikiwa kumvusha bahari hadi katika Kisiwa cha Mafia ambapo Deo alitangulia wiki moja akisubiri.
Habari zilienea kote juu ya utekaji huo. Polisi walianza kufuatilia bila mafanikio baada ya kwenda Mafia. Baadhi ya maofisa wa FBI kutoka Marekani walifika ili kusaidia uchunguzi. Ambapo ilikuwa imechukua wiki nyingine moja bila ya kupewa jibu juu ya pesa alizokuwa ameagiza. Alisikia katika taarifa na kuona askari wakiwa karibu na eneo walilokuwa wamefikia.
Alianza kuchanganyikiwa kwani alijua hataweza tena kufanya alichokusudia na hivyo aliamua kuachana na mpango huo kwani aliamini hakuna aliyejua watekaji kwani walichosikia ni sauti tu za kurekodiwa bila ya video. Aliamua kuachana naye baada ya kuambulia shilingi laki saba alizokuwa nazo katika pochi yake.
Aliwaamuru watu wake wamfunge kamba na kumpeleka ufukweni usiku na kumwacha huko.
“Sasa sikieni… Ili kuwapoteza hawa washamba, fanyeni mpango mhakikishe mnaenda kumwacha katika ufukwe wa Coco. Hiyo itakuwa tumewapoteza na hakuna ambaye atajua kama walivyohisi tupo huku Mafia.”
“Sawa bosi,” waliitikia watu wake huku yeye akitangulia tena na kuvuka maji kurudi Bara. Hakutaka kujulikana.

*****
Fina alitikisa kichwa chake. Ni baada ya kukumbuka siku alipokutana na Deo klabu na kumwona akiwa na namba ya simu ya nyumbani kwa balozi siku hiyohiyo alipotoka ubalozini. Sekretari pia alitoa ripoti ya watu waliofika kwa Fina. Katika daftari la kuweka saini ya wageni mbalimbali waliofika Fina aliona jina la Deogratious Mbila. Mbele yake aliona sababu iliyomleta pale ubalozini kuwa ni kuonana na balozi. Alijua mpango wote ulikuwa ni wa Deo wa kuteka. Alimwogopa sana Deo baada ya kuhisi yote hayo. Pia alijihakikishia baada ya kuambiwa na mfanyakazi mwenzake Suzy.
Matukio ya Deo yalimwingia hasa fina. Alimfikiria sana Hancy ambaye alikuwa akihangaika kujua aliyefanya mauaji ya wazazi na ndugu zake. Akili haikumkaa sawa na hivyo kuamua moja juu ya Deo. Kumsaidia Hancy ili amjue Deo.
Mauaji yaliyofanya na Deo na kumfichia siri ilikuwa ni mtihani mkubwa. Deo mwenyewe alijua kwamba Fina alifahamu kila kitu. Hivyo alijitahidi kuwa naye karibu ili asiweze kusema lolote.Kuna wakati alimfokea na kumtishia asiseme kitu. Hilo halikumtisha Fina kwani alielewa nini cha kufanya baadaye. Alimwahidi Deo kutokusema lolote kwani asingeweza kumsaliti. Lakini mwisho wa maongezi yao aliishia kubenua mdomo akipuuzia alilosema Deo.
Alikumbuka pia siku ambayo walikuwa mitaa ya Kariakoo pamoja na Deo na Deo kufanya uhalifu ambao ulimchanganya sana Fina ambaye kwa mara ya kwanza alisjhirikishwa bila ya kupenda katika uhalifu huo ambao pia hakujulikana na hivyo kupotelea mbali pasipokuwa na ushahidi baada ya tukio lililotokea siku hiyo.
Deo aliingia ndani katika duka moja la Muindi maeneo ya Kariakoo katika mtaa wa Msimbazi. Muindi yule alikuwa peke yake. Alimkaribisha Deo baada ya kumwona kaiingia ndani. Deo alikuwa pamoja na Fina. Fina alikuwa akizunguka kuangalia nguo zilizokuwepo pale dukani. Hakuangaika kumfuata Deo upande aliokuwepo ambapo alimfuata muuzaji huyo. Hakuwa na taarifa ya kinachoendelea kati ya Deo na Muindi yule. Ghafla alisikia kimya. Kimya kilichoashiria jambo fulani. Yule Muindi hakuendelea kuongea tena kumkaribisha Deo na kumwelezea bei za bidhaa. Deo naye alitoka na kumfuata Fina.
Fina aligeuka na kumkuta yule Muindi amelala chini. Alikuwa amekufa. Deo alikuwa amerudi na mfuko wa hela na kumpa Fina. Alimwamuru atoke nao na kuelekea kwenye gari.
“Nenda nao kwenye gari sasa hivi. Asikuone mtu wala usijishtukie,” Fina alifanya kama alivyoambia. Alifanya ili kukwepa kukamatwa. Baada ya muda wa dakika mbili Deo alimfuata. Alienda kumficha yule Muindi ili asionekane. Alimvunja sjingo yake na hivyo hakukuwepo na ushahidi wa damu. Alitoka nje na kuelekea liliko gari ambalo Fina alikuwa ameingia. Deo aliingia kwenye gari na kupiga moto na kutokomea.
“Kwa nini umefanya vile Deo?”
“Tufike kwanza, hapa sio pa kuongelea hayo.”
Deo alipita barabara ya Morogoro na kuingia maeneo ya Magomeni Mikumi. Walitafuta sehemu na kungia na zile hela. Walipata chumba. Walilipia na kuingia. Fina alikuwa muda wote amekasirika. Hakutamani kuendelea kuwa na Deo kwa wakati huo.
Deo alitoa zile hela. Zilikuwa ni zaidi ya milioni 50 baada ya kuzihesabu harakaharaka.
“Aaah! Dili zuri sana,” Deo alifurahia zile pesa huku akimrushiarushia Fina baadhi ya hela hizo.
“Sikujua unakokwenda kama ningejua nisingeenda. Kumbe ulikuwaq unaenda kufanya huu ushenzi.”
“Finaaa… Unaita kazi yangu ushenzi?… huu ni ushenzi?” alikoroma Deo baada ya Fina kusema vile.
“Sikiliza Deo, mi sipendi mambo unayoyafanya. Najuta hata kujuana na hili kundi lenu la Kobra. Hamuoni kama mnajiweka matatizoni na pia mnaniweka mimi hukohuko. Sitakubaliana na hilo.”
“Sikiliza wewe… usijidai mtoto wa mjini wakati sio. Na ukileta mchezo utajuta,” Deo alisema huku akitoka nje na ili kuangalia mambo yanavyoendea kabla ya kurudi na kuchukua pesa zake na kuondoka na Fina.
Fina hakuwa na la kusema. Aliamua kutafuta mbinu ili aondoke na aachane na hilo kundi. Alipata mwanya baada ya Deo kutoka nje. Alifungua dirisha na kupita na kutokea katika ukuta wa nyumba ambao ulikuwa umetenganisha nyumba hiyo na hoteli waliyofikia. Kisha akaondoka bila kuonekana. Hakuchukua hata shilingi katika zile pesa za Deo kwan hakudhamiria kufanya jambo ambalo angelijutia.
“Nadhani sasa tunaweza….” Kabla Deo hajamalizia kuongea, alishangaa kuona chumba lkikiwa chenyewe. Aliona dirisha likiwa wazi. Alicheka kicheko cha taratibu huku akifunga lile dirisha. Alijaribu kumpigia simu lakini simu yake ilikuwa imezimwa.
Fina alifanikiwa kuchukua usafiri wa kumpeleka nyumbani kwake. Bada ya wazazi wake na ndugu zake kurudi kutoka Nairobi, alihamia maeneo ya Shekilango. Alinunua nyumba ambayo ilikuwa inamtosha yeye peke yake. 
Alifika na kuingia ndani. Siku zote akiwa na Deo hakutaka kumwonyesha nyumba ambayo alikuwa akiishi. Alijua ipo siku atamrudi na hivyo alikuwa akimdanganya mara kwa mara kwamba liishi Mbezi Beach.
Wazo la kwanza alilolipata ni kwamba afanye hima na kuwasiliana na Hancy kabla Deo hajaanza kumfatilia. Alifikiria kuacha kwenda klabu kwa kuhofia kukutana na Deo huko.
Simu ya Hancy haikupokewa. Aliwaza Fina baada ya kupiga mara kadhaa. Hancy hakuipokea kwani alikuwa amelala baada ya mizunguko yake kumchosha. Fina pia aligundua amebadili line na hivyo inawezekana Hancy hakuelewa kama ni yeye.
Alisubiri tena ili baadaye apige tena.
*****
Fina alichukua simu yake baada ya kumaliza kuvaa. Ilikuwa ni jioni ambapo baada ya kufika nyumbani kwake alijitosa bafuni na kuondoa uchovu wa siku hiyo ambao kwa kiasi kikubwa ulisababishwa na Deo. Hakuwa na hamu ya kuonana na Deo. Aliapa kupambana na uhalifu wao. Alijua kwa kumtumia Hancy wataweza kufanikisha hilo kwani alijua Hancy alikuwa na hasira nao sana.

Alipiga namba za Hancy. Safari hii simu yake ilipokewa na Hancy.

“Halow, Hancy,” Fina alianza kumwita Hancy aliyekuwa upande wa pili wa simu.

“Fina, ni wewe?… uko wapi? Nakutafuta muda mrefu sikupati kwenye simu.”

“Nilikuwa mjini. Simu ilikuwa kwenye pochi. Samahani….Hancy nataka tuonane. Serious,” Fina hakutaka Hancy aelewe kwanza lengo lake la kuzima simu. Alijua lazima atashangaa ni kwa nini amebadilisha namba ya simu lakini alijua ni namna gani atafanya ili aweze kumweka sawa.

“Na mbona umebadili line?…. nimekutafuta sana nikuambie uje nyumbani,” alisema Hancy aliyeonekana akiongea kwa uchovu baada ya kuamka jioni ile.

“Nitakuja kukuambia Hancy. Hapa nimeshajitayarisha kama vile nilikuwa najua ntakuja kwako jioni. Nakuja kulala kwako leo.”

“Sawa njoo basi,” alisema Hancy.

“Nakuja Hancy.”

“Poa.”

Fina alichukua gari lake hadi nyumbani kwa Hancy. Mlinzi alikuwa akimtambua na hivyo hakuulizwa swali lolote tofauti na watu wengine waliokuja kumwona Hancy. Imani ya kuonana na watu wema ilikuwa kama imempotea Deo hasa baada ya kuamua kuwa msiri na kile ambacho alikusudia kukitekeleza siku zijazo. Muda mwingi aliutumia kufanya matayarisho juu ya kazi yake hiyo aliyoidhamiria.

Fina aliingiza gari na kulipaki katika eneo ambalo huwa amezoea kulipaki. Ni eneo ambalo alilipenda kwa kuwa ni karibu na linapoegeshwa gari la Hancy ambalo hulipenda zaidi, Toyota Land Cruser. Alishuka kwenye gari huku akitabasamu baada ya kumwona Hancy kwa mbali. Alitembea na kumfuata hadi alipokuwepo. Alimkuta Hancy akinoa panga. Alisimama na kumwangalia Hancy. Alisimama na kumwangalia kwa kitambo kidogo….Aliona mapambano yanaanza. Alitabasamu.

“Hancy,” aliita Fina huku akimfuat. Hancy aligeuka na kumfata Fina na kumkumbatia kwa nguvu.

“Vipi mpenzi, mbona na mapanga sasa hivi?…. au unataka kumchinjia mgeni kuku?” aliuliza Fina kwa mzaha huku akijibandua kwa Hancy baada ya kukumbatiana.

“Niko kazini mpenzi,” alisema Hancy baada ya kumwachia Fina.

“Nakuona…. Acha kwanza. Nataka tuongee kuhusu Deo,” Fina alisema huku akiwa amebadilika sura na kuonyesha kuchukizwa na jambo fulani.

“Deo?…. Deo ndiyo nani?” alihoji Hancy ambaye hakuelewa Fina alikuwa akizungumzia jambo gani.

“Njoo hapa ukae nitakuelezea yote kuhusu Deo,” Fina alimvuta Hancy mkono mpaka kwenye viti ambavyo vilikuwa katika bustani pale nyumbani. Hancy alikaa na kisha Fina kumkalia juu ya mapaja yake. Panga alikuwa ameliweka juu ya kiti kingine. Lilikuwa na makali tayari kwa shughuli aliyotaka kuitekeleza. Fina aliliangalia lakini hakuuliza kitu.

“Fina, ni nani huyo Deo?” alianza kuuliza Hancy huku akizishika nywele za Fina na kuzichezeachezea jambo lililomfanya Fina ahisi raha na kuanza kuzungumza.
“Hancy,” alianza kusema Fina. Deo ndiye hasa mtu unayemtafuta. Ndiye kiongozi mkuu wa kundi la Kobra na aliyeongoza katika mauaji ya familia yako. Ni mtu hatari sana.”

“Deo… alisema Hancy kana kwamba alikuwa akilikumbuka hilo jina.”

“Ndiyo Hancy.”

“Fina. Kwa nini haukuniambia siku zote?” aliuliza Hancy ambaye alikuwa amebadilika sura na kuwa kama simba mwenye njaa.

“Hancy, sikujua kama uliyewatafuta ni wao. Ulivyonionyesha ile picha ndo n’kajua kwamba uliyewatafuta ni wao. Deo alikuwa ni rafiki angu kabla. Nilipogundua hila zake na mambo aliyoyafanya. Niliamua kuachana naye.

“Alikuwa mpenzi wako?” alihoji Hancy kwa ukali.

“Hapana Hancy,” Fina alijibu kwa sauti ya upole iliyoonyesha woga.

“Ulikuwa naye kivipi?”

“Hancy, tulikuwa tunakutana mara kwa mara. Sikujua ni mtu gani ila nilifanya uchunguzi nikagundua mengi mabaya kuhusu yeye na ndiyo maana nataka nikusaidie kumtia nguvuni.”

“Fina, kumtia nguvuni siyo suluhisho. Nataka kuwaangamiza wote mmoja baada ya mwingine. Na hilo panga walilolitumia kuwaua ndugu zangu ndiyo litaamua maisha yao. Sitaacha hata mmoja. Nadhani unawafahamu wote Fina.

“Kweli Hancy, na wote najua wanapoishi,” Fina alijibu huku akiliangalia lile panga lililoko juu ya kiti pembeni yao.

“Hapo utakuwa umenisaidia sana. Nahitaji kuwaona kwa sura wote kabla ya kuanza kwa hili zoezi zito. Baadaye nitaenda huko huko ukumbi wa Maisha. Utaenda kukaa nao ili nikikuona nao niwajue. Sitapenda watu wajue pia tumefika wote kwani wanaweza wakawa ni watu wake wengine wakamweleza.”

“Lakinin Hancy, nimemtoroka Deo leo tu. Kuna mambo kayafanya hadi ikabidi nibadilishe namba ya simu…. Nilikuwa Kariakoo tukaonana. Akaniomba nimsindikize duka moja hivi la Muindi. Kufika pale akamuua yule Muindi na kuiba pesa zake zote. Zaidi ya milioni hamsini hivi. Tukaelekea hoteli moja hivi… hapo ndo nkamtoroka na kuapa kwamba ntafanya juu chini nihakikishe haendelezi hii tabia yake. Ana ua watu wasio na hatia. Juzi tu hapa kamteka mke wa balozi wa Marekani. Anapigaga sana watu klabu na kuwateka. Yeye ndo aliyewaua wazazi wako na pia nilisikia alikuja ofisini kwetu na kumhadaa mfanyakazi mwenzangu na kupata hiyo namba ya mke wa balozi kwa madai ya kwamba alikuwa akimsubiri balozi kwani alikuwa na miadi ya kukutana naye siku hiyo… Sitaki kuonana naye. Na ninahisi atanifanyia kitu kibaya kwa vile nimemtoroka. Nitahakikisha haonani na mimi kwa njia yoyote ile…. Hancy, kuna mzungu mmoja nitakupa mawasiliano naye. Anaitwa Van Brussel. Amekuwa akikutana nao kama mimi na mi nimemjua hukohuko.“

“Van Brussel?” aliuliza kwa mshangao Hancy.

“Ndiyo Hancy… utaenda kukutana naye.”

“Ni nani huyo?” alihoji Hancy ambaye alionekana kuwa na shauku ya kujua kama ni yule aliyemfahamu japokuwa akilini mwake alijua itakuwa ni yeye kwani alikumbuka alishawahi kumwambia ya kwamba alikuwa Tanzania kipindi Fulani na mama yake wakiwa wadogo.

“Sikumzoea sana, ila inawezekana ni mtu mwema sana. Anasaidia sana watu alafu anajua kuchora kaka wewe. Ni wa huko Uholanzi kwenu.”

“Sawa,” Hancy alishtuka kusikia Van Brussel. Alinyamaza. Hakutaka kumuuliza zaidi Fina juu ya huyo Van Brussel.

Alitabasamu kwa mbali baada ya kusikia neno ‘anajua kuchora kama wewe’. Hakutaka kuendelea. Alijua atakuwa ni yule aliyemjua ila hakutaka kumuulizia sana. Alichukua namba za Van Brussel na kuzisave kwenye simu yake.

“Hancy…. Najua utafanikiwa kwa hilo bila ya mimi,” aliuliza Fina baada ya kuona kimya kidogo kilichosababishwa na fikra za Hancy aliyeonekana akifikiria jambo.

“Usijali mpenzi,” ngoja niwafuate hukohuko.

“Hapana Hancy… sikuruhusu kwa leo. Nenda kesho. Hii safari nimekuja kwa ajili yako na nlikuambia leo nalala kwako.”
“Okey Baby,” Hancy alisema huku akitabasamu. Alimbeba juu juu Fina na kuingia naye ndani. Zoezi zima la kulienzi penzi lao likashika hatamu baada ya wote kuwa na hamu ya mwenzake kwa muda mrefu. Fina hakujionyesha kuogopa kufanya lolote ambalo alijua litrampoza hasira na kumrudisha Hancy katika dunia ya huba na iliyojaa asali ya upendo.

Alijitutumua kila awezavyo hali iliyomfanya Hancy akiri uzuri wa Fina kipenzi chake cha moyo.

ITAENDELEA

USIKU WA MANANE – 5

Image result for walter photography

Simulizi : Usiku Wa Manane
Sehemu Ya Tano (5)

“Hancy…. Najua utafanikiwa kwa hilo bila ya mimi,” aliuliza Fina baada ya kuona kimya kidogo kilichosababishwa na fikra za Hancy aliyeonekana akifikiria jambo.

“Usijali mpenzi,” ngoja niwafuate hukohuko.

“Hapana Hancy… sikuruhusu kwa leo. Nenda kesho. Hii safari nimekuja kwa ajili yako na nlikuambia leo nalala kwako.”

“Okey Baby,” Hancy alisema huku akitabasamu. Alimbeba juu juu Fina na kuingia naye ndani. Zoezi zima la kulienzi penzi lao likashika hatamu baada ya wote kuwa na hamu ya mwenzake kwa muda mrefu. Fina hakujionyesha kuogopa kufanya lolote ambalo alijua litrampoza hasira na kumrudisha Hancy katika dunia ya huba na iliyojaa asali ya upendo. Alijitutumua kila awezavyo hali iliyomfanya Hancy akiri uzuri wa Fina kipenzi chake cha moyo.

*****
Jioni ya siku inayofuata Hancy alimuacha Fina nyumbani kwake na kuondoka. Alimuacha ndani ya mikono salama ya mlinzi wake. Hancy aliendesha gari lake kuelekea Ukumbi wa Klabu ya Maisha. Watu walikuwa wengi na magari yalikuwa yamepakiwa karibu karibu.

Alipata nafasi ya kuegesha gari lake. Alipaki gari lake na kuingia ndani ya ukumbi. Hakuwa anapenda kuingia klabu lakini siku hiyo alifanya hivyo. Lengo lake lilikuwa ni kuwatafuta wale wauaji. Aliishia kuzunguka huko ndani bila ya kuona mafanikio yoyote. Alitoa simu yake akitaka kumpigia Van Brussel kama alivyoelekezwa na Fina.

Ghafla alishtuliwa na mtu ambaye alimvuta na kumwingiza katikati ya wanawake aliokuwa amekaa nao.
“Van Brussel,” aliita Hancy kwa furaha baada ya kumwona rafiki yake Hancy. Hancy aliona kama ndoto alimwonyesha simu yake Van Brussel kwa lengo la kumwonyesha ile namba aliyopewa na Fina. Van Brussel hakujua kama Fina na Hancy walikuwa wapenzi.

“Unaona hii namba?” Hancy alimwonyesha Van Brussel ile namba aliyotaka kuipiga.

“Namba yangu… nani amekupa?” Van Brussel alishangaa kuona Hancy akiwa na namba yake. Alithibitisha kweli ilikuwa yake.

“Nitakuambia Van, naomba tuongee kwanza. Ndiyo maana nikakutafuta hadi huku japo mimi sio mpenzi wa kuingia katika kumbi za starehe.”

Hancy alimtoa Van Brussel nje kwa lengo la kuongea naye. Waliwaacha wale warembo wakiendelea kuserebuka huku wakinywa taratibu vinywaji vyao na wao kutoka nje ya ukumbi. Waliangalia sehemu nzuri lakini zote watu walikuwa wamesimama wakizungumza. Waliamua kwenda moja kwa moja hadi kwenye gari la Hancy.

“Habari yako Hancy, nimekutafuta sana bila mafanikio. Nilijua siku moja nitakuona nikija Tanzania na sasa imekuwa hivyo,” Hancy alikuwa akimwangalia Van Brussel alikumbuka zile picha zake alizomwonyesha na wale watu aliowachora kipindi alivyokuwa mdogo na kwenda nazo Uholanzi.

“Napenda tuzungumze kidogo Van…” Hancy alimwita kwa ufupi kama alivyokuwa akifanya hivyo wakati wakiwa Uholanzi.

“Tuingie hapa kwenye gari langu. Ni jambo la maana sana ningependa tuzungumze na baada ya kusikia upo huku na nikapewa namba zako nilifurahi kwa sababu najua utanisaidia sana.”

“Gari lako zuri zana. Hongera sana,” Van Brussel alilipenda gari alilokuja nalo Hancy. Lilikuwa ni Range Rover nyeusi.
Hancy na Van Brussel waliingia ndani ya gari na kuanza kuzungumza. Alifungulia kidogo music ili kufanya sauti zao zisisikike nje. Vioo vya gari lake vilikuwa ni vyeusi na hivyo isingekuwa rahisi kwa mtu yeyote kuwaona wakiwa ndani.

Hancy alimhadithia Van Brussel kila kitu alichokijua. Kuanzia alivyokuwa mdogo hadi anachokikumbuka. Alijua kwamba kwa utaalamu wake wa kuchora na kwa kuwa yeye ndiye aliyewachora wale watu weusi huenda angepata msaada wake.

“Unakumbuka ile picha ya wale watu weusi ulionionyesha kipindi kile tukiwa shuleni.”

“Ndiyo nakumbuka, kuna nini Hancy?”

“Ukiwaona wale watu unaweza kuwakumbuka kweli?”

“Aaah! Mbona walikuwa ndani na wote wamekuja pale wakanisalimia. Unataka kuniambia wale watu ndo wabaya kama ulivyonihadithia. Ina maana wale watu ndiyo walioua wazazi wako na ndugu zako?” Van Brussel aliuliza kwa mshangao. Hancy alibaki ameinamisha kichwa chini huku akibubujikwa na machozi. Alijihisi mshindi kwani alijua tayari ameshawapata.
CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Wale ni rafiki zangu, nimejuana nao muda mrefu sasa. Kobra wale.”

“Hancy alimwangalia Van Brussel na kubaki kimya. Hakujua ni namna gani Hancy alivyokuwa na hasira juu yao.

“Sioni ulazima wa wao kuishi,” alisema Hancy huku akiunyanyua uso wake na kumwangalia Van Brussel. Wamekwisha.”

“Unataka kufanya nini Hancy?”

“Kama nilivyokuambia. Waliua ndugu zangu na sasa wanapeta. Sasa ni zamu yao.” Alisema Hancy huku akimwonyesha Van Brussel panga ambalo alilitoa nyuma ya kiti cha gari lake.

“Hili ndilo waliolitumia kuwaulia ndugu zangu. Sasa litawamaliza wote.” Hancy alitoa picha ya ndugu zake na kumwonyesha Van Brussel. Alimwangalia Van Brussel na kuhisi Van Brussel aliogopa.

“Unataka kuwavamia wote sasa hivi Hancy?” Van Brussel alisema kwa woga.

“Nimewapata,” alisema Hancy ka sauti ya upole iliyomfanya Van Brussel abaki akimwangalia kwa mshangao.

Van Brussel alikuwa amemwelewa Hancy. Alimwonea huruma akawa hasemi chochote. Waliingia klabu na kuanza kuzunguka pamoja kule ndani. Alianza kumwonyesha mmoja mmoja.
Deo alikuwa amezungukwa na kundi la wadada waliokuwa wakicheza muziki karibu yake. Alikuwa amelewa.

“We mzungu wetuu,” aliita kwa sauti ya kilevi wakati Van Brussel na Hancy walivyokuwa wakipita. Watu walicheka kwa dhihaka aliyoionyesha Deo kwa Van Brussel. Hakujali.
Alimfuata pamoja na Hancy na kuongea naye.

“Leo uko na mweusi.. mwenzetu huyo.” Watu walicheka baada ya kusikia utani huo. Hancy alikuwa akimwangalia kwa hasira. Alitamani amvamie na kumuulia palepale.

Alitoka na kumwacha Van Brussel akiwa na Deo pamoja na watu wake. Aliingia ndani ya gari lake. Simu yake iliita. Alikuwa ni Fina aliyempigia na kuanza kuongea naye.

“Mpenzi,” alisema Fina.

“Fina.”

“Niambie, bado hujarudi nyumbani?”

“Hapana. Ila nimeshaonana na Van Brussel. Tumeongea naye na sasa nimetoka nje nimewaacha wakizungumza na Deo.”

“Nadhani kila kitu kitakuwa poa Hancy.”
“Kweli, tuanze kazi yetu.”

“Sawa Hancy, nimekuelewa. Take care. Nakupenda sana.”

“Nakupenda pia.”

Hancy alimaliza kuongea na Fina. Alifungua gari lake na kuingia. Van Brussel alikuja na kuagana naye na Hancy alielekea nyumbani kwake.

*****
Ni na mapema Hancy anaamka. Analifuata panga na kulinoa kila wakati. Anaufuata mgomba uliokuwa karibu yake na kuanza kuushambulia kwa hasira hadi unaisha wote. Analiangalia lile panga lake. Anayaangalia kwa umakini makali yaliyonolewa kwa takriban wiki nzima. Anaridhika.

Siku nzima anaimaliza kwa kufikiria mbinu gani aitumie kuwamaliza wote.

“Nimewajua wote. Nimewatambua wote. Fina atanipeleka kwa kila mmoja wao,” aliwaza huku akimalizia kuvaa viatu.

Alichukua simu yake na kumpigia Fina ili wajue wanakutana wapi.

“Natumai utanionyesha kwa kila kiumbe ninayemtafuta,” alisema Hancy.

“Kote napajua usiwe na wasiwasi mpenzi,” Fina alijibu huku akiingia ndani ya gari lake hali iliyomfanya Hancy asikie mngurumo wa gari na kuhoji.

“Unakuja na gari lako?”

“Ndiyo mpenzi.”

“Kwani si tunatumia la kwangu kwenda huko?”

“Ndio…we tukutane tu ntakuonyesha.”

“Tunakutana wapi kwani?”

“Shekilango, nitaacha gari langu kwa rafiki angu. anakaa hapo hapo Shekilango.”

“Sawa mpenzi, nitakukuta hapo?”

“Ok.”
*****
Hancy alitoka nyumbani na kumfuata Fina. Hakutaka kupoteza muda wake. Aliwasiliana na Fina na kumfuata Shekilango walipoahidiana wakutane. Fina alikuwa akimsubiri Hancy ambaye alikuwa ameshamwona na kumfuata pale alipokuwa amesimama.
Wakiwa kwenye gari, Fina alionekana bado mwenye uchovu lakini kama walivyopanga alijitahidi kutii wito na mipango yao. Hakutaka kuharibu mipango hasa akimfikiria Hancy.
“Unaonekana umechoka sana.”
“Kweli, leo nilishinda nafanya tu usafi nyumbani.”
“Tunaanzia wapi?”
“Magomeni kwa Chacha,” aliitikia Fina.
“Una uhakika tutamkuta leo?”
“Ndiyo, hawezi kutoka usiku na leo nadhani atakuwepo maana sio siku ya kwenda klabu.”
“ Sawa,” Hancy alikubali na kuanza kuondoka kuelekea Magomeni. Mwendo wa dakika kumi walikuwa wamefika.
“Mbona mapema hivi lakini?”
“Usijali, hatuendi sehemu nyingi, tutakaa kwanza mahali kisha muda ukienda ndo twende kwake.” Hancy alisema huku akimwangalia Fina aliyeonekan kuchoka. Hakujali kwani kazi yake ilikuwa ni kuonyesha tu mlango na kuelekeza njia. Alimwacha bila kumsemesha hadi alipoanza kusinzia na kulala. Alimwacha alale hadi muda wake utakapofika. Aliamua apaki gari maeneo ya Magomeni Mwembe Chai ili asije akapitiliza walikotaka kwenda.
Fina alishtuki. Alishtuka kuona gari limesimama. Alimshika Hancy began a kukaa vizuri.
“Samahani mpenzi,” alimsemesha Hancy ambaye alikuwa ameegemea kiti chake huku ameshika panga. Fina alimwona Hancy asiye na utani. Ghafla alianza kuelekeza ili kufika nyumbani kwa Chacha.
Kulikuwa hakuna magari barabarani kwa kuwa ulikuwa ni usiku sana. dakika chache ziliwatosha Hancy na Fina kufika maeneo ya Magomeni Mapipa. Giza lilikuwa kali. Hadi kufika nyumbani kwa Chacha, Hancy aliendesha gari taratibu ili majirani na watu wengine wasiweze kusikia. Mtaa alioishi Chacha ulikuwa kimya wakati huo
Saa nane kasoro moja Hancy alikuwa amesimama nje ya mlango wa Chacha. Aliliangalia gari lake. Alimwangalia Fina aliyekuwa ndani ya gari. Panga lake alikuwa ameliweka ndani ya koti kubwa alilokuwa amelivaa.. kisha aligonga mlango wa Chacha ambaye alikuwa ameshalala. Chacha alishtuka. Hakutegemea ugeni wa muda huo. Aliangalia saa. Hakuiona vizuri kwa sababu ya usingizi.
“Nani tena usiku huu?” alihoji Chacha huku akienda kufungua mlango.
“Hancy… karibu, vipi mbona mida hii, kulikoni?” Chacha alihoji kwa mshangao huku akiangalia saa yake iliyokuwa ukutani. Ilikuwa ni saa nane na dakika tatu.
“Samahani sana ndugu Chacha. Najua hukutegemea ujio wangu wakati huu.”
“Umepatwa na nini. Kwema?” Chacha aliuliza kwa mshangao huku akimkaribisha Hancy ndani.
“Nimepatwa na tatizo, n’takuwa hapa kwako kwa usiku huu, nimevamiwa njiani leo sikuwa na gari, nimewatoroka hao vibaka nkakumbuka uliniambia unakaa hapa Magomeni.”
“Sasa na nyumba nani kakuonyesha….”
“Oooh!!!…. usijali, sitapita tena hii mita yenu bila gari,” Hancy aliingia huku akiangalia vizuri chumba cha Hancy. Chumba kilichokuwa nje kilichojitegeme. Kilionyesha wazi aliyeishi pale ni kapera.
“Karibu uake kwanza. Pumzika hapo.”
“Nashukuru,” Hancy alichomoa ile picha ya ndugu zake na kuiweka mezani. Hakutaka kuupoteza muda wake kuongea na moja ya makatili anaowatafuta. Aliangalia maisha yake na utu wake ambavyo havikuendana. Alimwona mtumwa aliyefanya kazi ya kikatili ili kumfurahisha bosi wake, Deo.
Alitoa panga na kumwonyesha Chacha ambaye alikuwa amepigwa na butwaa asijue la kufanya. Alimsukuma kwa nguvu na kuangukia kwenye sofa. Hasira ziilimpanda kwa kadri alivyokuwa akimwangalia. Hancy alimwekea mguu juu ya kifua chake huku akilishika panga bara’bara.
“Kaa chini na usijiguse mpumbavu wewe,” Hancy alitoa amri ambayo ilitekelezwa na Chacha mara moja. Alikuwa akihema kwa nguvu baada ya kuona kwamba ule haukuwa utani wala ndoto bali ulikuwa ni ukweli. Panga tayari lilikuwa likikaribia kumkabili. Hakuweza hata kupiga kelele. Sasa alijua anakufa.
“Unawajua hawa watu kwenye hii picha?
“Ndiyo, nawajua.” Aliiangalia ile picha kwa makini kwa amri moja tu ya kutaka kuwatambua na kuelezea anavyowajua huku akiliangalia lile panga kwa woga.
“ Ni mzee mmoja hivi alifariki kitambo anaitwa Ambrose.” Aliongea huku akitetemeka midomo kwa woga.
“Shhhh! Nyamaza,” Hancy alivuta panga na kumkata nalo mkono wa kushoto. Damu ziliruka nyingi. Hancy hakujali. Haikuwa nyingi kama ile aliyoishuhudia wakati akiwa mdogo nyumbani kwao. Aliutenganisha mkono na mwili wa Chacha.
“Shhh!! Sitaki kelele.” Hancy alimziba mdomo Chacha ili asiweze kupiga kelele. Haraka alimfuata na kumwonyesha mkono wake huku akimfunga na kipande cha kitambaa mdomoni asiweze kupiga kelele. Alimpiga kwa kutumia ule mkono wake.
“Hii ndo alama mliyonidhihirishia nyie ndo mliomuua baba yangu na ndugu zangu. Hatabaki hata mmoja na nimeanza na wewe, nimewatafuta kwa miaka mingi na sasa nimewapata. Wenzako wanajitayarisha huko waliko. Nadhani hutaweza kuwajulisha huko walipo. Ntawafuata mwenyewe.” Hancy alinyanyua tena panga juu na kumtwisha la kichwa lililomaliza uhai wa Chacha. Kitambaa alichomfunga mdomoni kilimnyima uwezo wa kupiga kelele.Alimpiga picha na haraka alitoka na kuelekea kwenye gari. Alikuwa amechafuka kwa damu.
“Vipi Hancy,” alihoji Fina.
“Tayari,” Hancy aliwasha gari na kutokomea nyumbani kwake.
Alifika kwake saa tisa za usiku. Aliliosha panga lake huku akihema kwa nguvu kabla ya kuingia ndani. Fina alimwangalia kwa huruma sana.
“Lazima waishe wote,” alisema kwa hasira na kuliweka juu ya kabati panga lile.

*****
Habari zilizagaa kila mahali. Habari juu ya mauaji ya kutisha pasipo muuaji kukamatwa wala kujulikana. Hakuna aliyemdhani mwenzake wala aliyekuwa hata na hisia kwamba ni Fulani ama Fulani anaweza akawa ametekeleza mauaji yale. Kila mmoja katika kundi la Kobra aliingiwa na woga.
Baada ya siku tano, Hancy alionekana akiwa na Fina katika ukumbi wa Maisha. Huko waliwakuta wahalifu wao. Waliamua kufanya hivyo ili wasigundue kwamba ni wao wanaohusika.
Van Brussel alikuwa nao pamoja baada ya kuwaona wakisakata musiki. Haikuwa kawaida ya Hancy. Aliamua kuwaaga ili aondoke. Fina naye alimuaga Van Brussel.
“Subirini,” Van Brussel alitaka watoke wote. Alitaka akajue maendeleo ya Hancy ambaye hawakuonana kwa siku kadhaa. Alikuwa bado hajamwona Fina hadi pale Fina alipomsemesha.
“Kumbe mnafahamiana?” alihoji Fina huku akiwa amemshika Hancy mkono.
“Haah….Fina…. Hancy… Nafurahi kuwaona hivi…. Sasa nimejua ni nani aliyekupa namba zangu,” Hancy na Fina walikuwa wakitoka.
“Hancy,” aliita Van Brussel. Hancy naye aligeuka ili kumsikiliza Van Brussel. Walikuwa wameshafika katika gari la Hancy.
“Sema ndugu yangu,” Hancy alisimama imara kumsikiliza Van Brussel.
“Sitaki kujiuliza ni nani aliyefanya yale niliyoyasikia. Hongera. Unachofanya ni haki yako,” Van Brussel alisema huku akimpigapiga Hancy begani kumpongeza.
“Usijali…. Hatabaki mtu,” Hancy alisema huku akitabasamu.
“Hatojua mtu…ntaendelea kuwahadaa sana,” alisema Van Brussel.
“Ntashukuru sana ndugu,” Hancy alisema huku akifungua mlango wa gari na kuingia. Waliondoka na kumwacha Van Brussel akiwa bado klabu.
“Kazi itaendelea kesho tena.”
“Usijali mpenzi.”

Saa saba na nusu usiki, Hancy na Fina walikuwa Ubungo. Safari yao ya kwenda Kimara safari hii ilikuwa nyepesi kwani Fina alikuwa tofauti na alivyoonekana mwanzo. Alikuwa tayari kufanya kazi baada ya siku kadhaa za kupumzika ili kuwasahaulisha watu tukio la kwanza. Hata kikundi cha Kobra hakuna aliyekuwa na wazo la kukumbana na tukio kama lile alilokumbana nalo Chacha siku chache zilizopita.
Mbele ya mlango wa John Kaputa. Hancy alikuwa amesimama. Alichungulia kwa dirishani. Hakuna aliyemwona. Sasa alielekea mlangoni.
“John,” sauti hiyo ilimshtua sana John aliyekuwa amelala. Hakutegemea kama angepata ugeni usiku wa siku hiyo. Alichokisikia siku mbili zilizopita baada ya kifo cha Chacha kilimwogopesha sana.
“Nani saa hizi….saa nane usiku,” John alishangaa huku akiiangalia saa yake huku akiteremka kitandani. Saa ilikuwa ikionyesha ni saa nane na dakika mbili ikielekea tatu.
“Ni mimi John, tafadhali fungua. Wanaweza wakanikuta hapa, wataniua,” Hancy aligongagonga mlango kama mtu aliyekuwa akifukuzwa na kutaka kujificha huku akiita kwa sauti ya chini ili asisikike na majirani wakatoka na kumwona. Alijua kelele zingezuia mpango wake.
“Aaah, Hancy, kumbe ni wewe, vipi kuna nini?”
“Kuna watu wananikimbiza nahisi wanahisi nina pesa wanataka wanikabe,” Hancy alijitetea na kuingia ndani.
“Pole sana Hancy,” John hakuamini kumwona Hancy wakati ule nyumbani kwake. Alijua labda Hancy naye anajihusisha na ujambazi na hivyo alifanya tukio moja na sasa anakimbizwa au amekoswakoswa huko alikotoka.
“Asante John,” Hancy alimsukuma John hadi kwenye sofa lililokuwa karibu, John alishtuka baada ya kujikuta yuko kwenye kochi baada ya kusukumwa.
“Nataka uniambie juu ya hawa watu,” Hancy aliitoa ile picha na panga huku akilibinuabinua juu kumtishia John. John jasho lilikuwa likimtiririka. Alitamani asingefungua mlango, alijua wazi mhusika wa kifo cha Chacha ndiye huyuhuyu.
“Tafadhali usiniue Hancy, ntakuelezea.”
“Ndiyo ninachokitaka, hawa ni kina nani?” Kwa hofu aliyokuwa nayo John hakuanza hata kuongea Hancy alimcharaza panga la shingo na kutenganisha kichwa na kiwiliwili. Alimpiga picha kama alivyofanya kwa chacha. Alitoka na kuelekea kwenye gari.
“Vipi Hancy, fresh?”Fina alihoji baada ya Hancy kuingia kwenye gari.”
“Tayari mpenzi,” Hancy aliangalia saa yake ambayo ilikuwa ikionyesha ni saa nane na dakika kumi. Aliwasha gari na kuondoka.

*****
Asubuhi maeneo yote ya Dar es Salaam kuanzia Kimara ambapo tukio hilo la mauaji lilitokea na mikoani habari kama zile za Chacha zilianza kutawala kila mahali. Polisi waliwajua watu hao baada ya kufa. Magazeti, redio na runinga vilitawala kuhusu mauaji hayo. Kikubwa ni baada ya wote kugundulika ni wa kikundi kimoja ambacho kimekuwa kikitafutwa kwa muda mrefu. Hiyo ni baada ya wachunguzi kubaini alama yao ya Kobra katika mikono yao.
“Inaelekea huu mtandao ni mkubwa, wenye mitandao mikubwa huwa wanajiwekea alama.” Polisi mmoja ambaye alikuwa akiutazama mwili wa John baada ya kutolewa baada ya kutambuliwa na ndugu alikuwa akimnong’oneza mwenzake aliyekuwa akilinda naye eneo hilo kwa wakati huo.

****
Ni siku mbili tu zilipita ndipo polisi wakajikuta tena nyumbani kwa Baltazari na siku inayofuata kwa Shebby ambao walibainika kuwa ni moja ya watu wa kundi lililokuwa likitafutwa.
Wote waliuliwa muda mmoja katika siku tofauti.Muuaji hakujulikana wala hakuna aliyehisiwa kwamba ndiye muuaji.
“Ni nani atakayekuwa anafanya haya mauaji.Na inaonyesha kwamba analipiza kisasi. Kwa nini watu wote ni wa kikundi kimoja. Nadhani itabidi tuulizane polisi kama kuna mmoja wetu anayefanya haya,” alihoji mmoja wa polisi waliokuwa nyumbani kwa Baltazar.
“Hakuna aliyeuliwa na risasi, wote inaonyesha wameuliwa kwa kukatwa, inaelekea ni watu wengi na si mmoja aliyewavamia,” Deo alikuwa nyumbani kwa Baltazar siku hiyo, alihesabu taratibu idadi ya watu wake waliokufa. Hofu ilimtawala sana. Alijua wamekwisha wote.
“John, Chacha, Shebby, Baltazar wote wameuliwa, Bwigire sijamsikia hadi sasa, nahisi labda polisi hawajasikia habari zake, huenda nimebaki peke yangu,” Deo alikosa raha, alifungua chupa yake ya mvinyo na kunywa kidogo na kuiweka tena kwenye siti ya pembeni katika gari lake. Hakutaka kushuka kwani polisi walikuwa wameingia nyumbani kwa Baltazar. Aligeuza gari na kuondoka.

*****
Bwigire aliondoka nyumbani kwake saa tano usiku. Alizima simu na kuiweka mfukoni. Hakutaka kusikia sauti ya yeyote yule. Aliingia kwenye gari na kuondoka, taswira mbalimbali zilimwandama, alijiona amekuwa mwoga kitu ambacho hakuwahi kuhisi kabla. Aliendesha gari hadi ufukweni mwa Bahari ya Hindi. Alilipaki karibu na mti mkubwa wa mnazi. Alijihisi sasa yuko salama.
Hancy na Fina waliliona gari la Bwigire kuanzia maeneo ya Posta.
“Ndio yeye, nyumba yake iko Kigamboni. Nadhani leo hatalala huko atakuwa hukuhuku,” Fina alimweleza Hancy juu ya Bwigire ambaye muda mfupi tu alipita karibu na jengo la Benjamin Mkapa.
“Atakuwa anaelekea Mwenge au?” Hancy alihoji.
“Sidhani, tumfatilie asije akatupotea,” Fina aliongea hayo huku akinyanyuka na kuchukua mkebe wake, alitoka nje ya jengo lile na kuchungulia uelekeo wa gari la Bwigire.
Hancy aliwasha gari na kumfuata Bwigire. Alimfatilia hadi alipopaki gari chini ya mti kule ufukweni.
“Amekuja kufanya nini huku?”
“Sijui Hancy, tusubiri tujue anataka kufanya nini,” Fina alimsihi Hancy.
Saa saba na nusu usiku bado waiendelea kusubiri. Hawakujua anataka kufanya nini.Bwigire alikuwa amelala, amelala usingizi mzito. Lengo lake lilikuwa kukwepa kadhia na kuhofia maisha yake. Kila alipofikiria mauaji ya rafiki zake aliogopa kukaa nyumbani. Simu alizima na hakutaka kutafutwa.
“Sitaki kupoteza muda wangu Fina, ikifika saa nane naenda kummaliza, haiwezekani saa mbili tunamsubiri hatujui anafanya nini kwenye gari.”
“Lakini alipita na gari mwenyewe, sidhani kama atakuwa na msichana ndani ya gari.
“Asituchoshe,” Hancy alitoka kwenye gari na kumfuata. Bwigire alikuwa katikati ya usingizi mzito.Alijua atakuwa amefunga kila mahali. Alijua pia atakuwa na silaha kama bastola. Aliingia chini ya gari. Alitafuta waya wa betri ya gari na kuuchomoa. Hapo sasa ilikuwa rahisi kwa Bwigire kufungua kwani aliwasha kiyoyozi na kulala. Sasa hakupata hewa ya kutosha.Alianza kuhisi vibaya.Aliamka.Cha kwanza alifungua vioo vya gari.Alipata afueni.
Saa nane kamili, Hancy alikuwa amesimama pembeni ya mlango wa gari la Bwigire. Bwigire alishtuka sana baada ya kumwona.
“Teremka chini,” amri ilitolewa na Hancy na bila ajizi Bwigire alimjibu. Fina alisogeza gari karibu ili kumulika na ajionee kinachoendelea. Ilikuwa pia ni njia ya kusaidia mwanga kumfikia Hancy.
“Unawafahamu hawa watu?” Hancy alimwonyesha Bwigire ile picha ya familia yao. Bwigire alikuwa akitetemeka sana. Alijua huo ndiyo mwisho wake.
“Ndiyo nawajua ila siyo wote, huyu hapa ni mzee Ambrose na mke wake, watoto siwajui wote.”
Bwigire alitaka kumshambulia Hancy ili atoroke lakin Hancy tayari alikuwa ameshamuwahi. Alimkata kwa panga mguuni na kumfanya ashindwe kufanya lolote.
“Tafadhali niache usiniue,” kauli hiyo haikuingia akilini mwa Hancy, haikumsaidia Bwigire kwani tayari alikuwa ameshamtenganisha kichwa. Haraka Hancy alimpiga picha na kuondoka.

*****
Deo tayari alikuwa amesikia habari juu ya kifo cha Bwigire, mmoja kati ya watu wake. Alijua ndiyo mwisho wake sasa, hakutamani kufa ila alijua lazima atakufa. Hakuwa na ajizi zaidi ya kutoroka nchi au kujisalimisha polisi.
“Siwezi kuwaruhusu polisi wanikamate,” aliwaza.

*****
Ulikuwa ni usiku wenye ladha ya kipekee kwa wakazi wengi wa Dar es Salaam. Usiku ambao si kila mmoja aliuonja kwani Ufukwe wa Coco ulioko Bahari ya Hindi ulikuwa umejaa. Hancy na Fina walikuwa wamekaa pembeni ya gari lao wakisubiria shamrashamra za Mwaka Mpya zilipuke itakapofika saa 6:00 usiku. Kelele za spika zilizokuwa zikiteremsha muziki wa nguvu ziliuteka ufukwe mzima.
Deo alifika siku hiyo, kabla ya safari yake ambayo alijua ataianza mara tu baada ya shamrashamra zile kuisha. Alijisimamia kando ya mti huku akiwa ameishikilia sigara yake iliyokuwa ikiteketea taratibu huku akiivuta mara chache sana. Mawazo ndiyo yalimfanya hadi awaze sana. Amani ilimtoweka.Hamu iliishia kwenye sigara pekee.
Saa sita kamili tayari shamrashamra zililipuka. Deo alinogewa na ufukwe. Aliona ni bora aondoke alfajiri kwani Doreen alitamani sana kuendelea kuselebuka naye.
“Usiondoke muda huu, ni usiku sana. Halafu ntashindwa kuwa na furaha peke yangu. Naomba uondoke hata alfajiri sana. Najua una maweazo lakini tuendelee kwanza.” Doreen alijitahidi kumbembeleza Deo ili aendelee kuwa naye, Deo hali ilirudi kama kawaida na kuendeleza burudani. Hakujali tena alichokiwaza juu ya muuaji.
“Hancy,” aliita Fina ambaye alisimama ghafla baada ya kumwona Deo.
“Nini Fina?”
“Yule pale Deo, ndiyo yeye.”
Hancy haraka alirudi sehemu alikokuwa amepaki gari.
“Unataka ufanye nini Hancy?” Fina aliuliza kwa mshangao.
“Hujui nataka kufanya nini?” Hancy alimuuliza Fina kwa sauti ya chini. Alitoa panga na kulishikilia barabara. Mwanga hafifu uliokuwa pale ufukweni ulimfanya asionekane.
“Siwezi kumwacha hapa, lazima nimuue.Isitoshe atakuwa ameshajua taarifa za wenzake. Nataka niwaonyeshe watu wote kwamba yote yaliyotokea ni kwa sababu yangu. Watu hawawafahamu na isitoshe waliua ndugu zangu tena kwa hili panga nikishuhudia. Leo sitakubali hata mmoja abaki. Nashukuru sana niliwafahamu wote na sasa ni kisasi juu ya ndugu zangu. Fina liwalo na liwe, hapahapa nammaliza.” Fina hakuwa na la kusema, alibaki kimya akiangalia jambo ambalo Hancy alikuwa akienda kulitekeleza.
Hancy alimfata Deo.Alimkuta akisakata rumba katikati ya watu. Ghafla Deo alijikuta akivutwa na kukutana na ngumi moja ya uso iliyompeleka hadi chini. Watu waliokuwa wakicheza karibu na Deo walirudi nyuma baada ya kuona panga, wengine walikimbia wakihofia maisha yao. Deo alikuwa chini. Hakuwa na ujanja zaidi ya yeye mwenyewe kujiokoa kwa namna ambayo angeweza.
Hancy alisukumwa ghafla na Deo. Deo akaokota chupa na kuigonga juu ya chupa nyingine na kuvunjika, alitumia kipande kile kumtisha nacho Hancy. Hancy hakutetereka zaidi ya kuendelea kumsogelea Deo. Deo alirusha chupa ile na kufanikiwa kumjeruhi nayo Hancy kifuani. Hancy hakutetereka tena. Alimsogelea Deo. Alifanikiwa kumshika mkono na kumkata mkono aliokuwa ameshikilia chupa na chupa kudondoka. Deo hakuwa na ujanja tena, Hancy alimkata tena mguu kumfanya asiweze kukimbia.
“Utauaaaa!Mwachee, Mwachee!” sauti za baadhi ya watu zilikuwa zikimsihi Hancy asiendelee kumkata Deo. Hancy aliacha na kutoa ile picha ya ndugu zake pamoja nay a rafiki zake Deo aliowaua. Alianza kumwonyesha zile picha moja baada ya nyingine.Watu wote walikuwa kimya wakiangalia kilichokuwa kikiendelea. Muziki ulikuwa umesimama ghafla na shamrashamra zikawa hazipo tena. Watu wote walihamishia macho kwa Hancy na Deo.
“Hawa ndiyo wahuni wenzako mmaojiita Kobra?” watu walisogea karibu kuziona zile picha. Alitoa picha ya ndugu zake na kumwonyesha.
“Kwa kujiona nyie ndo kila kitu hapa mjini, mliamua kuua ndugu zangu kwa tama zenu za pesa,” zimewafikisha wapi hadi sasa. Sihitaji hizo pesa mlizochukua kwa mzee Ambrose. Nlichokihitaji ni na nyie mfuate njia na namna mlivyowafupishia maisha yao.” Deo alijitutumua kujaribu kutoka lakini hakuweza.
“Haa, ni unyama waliomfanyia mzee wa watu na familia yake.”
“Huyu ndiye yule mtoto wake wa mwisho ambaye alinusurika kifo.”
“Kumbe ndiyo hili kundi lililofanya ule unyama.”
Kila mmoja aliongea lake. Polisi walikuwa wanakaribia kufika eleo walilokuwepo Hancy na Deo. Hancy hakutaka Deo aendelee kuishi kwa kuchukuliwa na polisi. Alimkata na panga hadi kuhakikisha amekufa. Sasa alijiona mshindi. Hata polisi walivyofika waliishia kuuchukua mwili tu. Hancy alishikiliwa kwa ajili ya mahojiano na polisi.

*****
Van Brussel alikuwa nje ya kituo cha polisi cha Buguruni. Alikuwa amefika kwa ajili ya kumwekea dhamana Hancy. Hakujua kama Hancy alikuwa ameshaachiwa huru ila alikuwa bado ndani ya jengo akichukua baadhi ya vitu vyake ambavyo alikuwa navyo wakati akipelekwa kituoni hapo. Alifurahi sana kumkuta Van Brussel nje akimsubiri.
“Wewe ni shujaa,” Van Brussel alimwambia Hancy kwa lafudhi ya kizungu. Hancy alicheka. Nyuma yake alikuwa Fina ambaye alikuwa amebeba begi liliokuwa na vitu vya Hancy.
“Tutayaongelea nymbani,” alimalizia Hancy huku akiingia ndani ya gari.
“Sasa Hancy, nipishe mimi niendeshe,” alisema Van Brussel huku akimfungulia Hancy mlango wa abiria na yeye kuingia mlango wa dereva. Hancy alifanya kama alivyosema Van Brussel na baada ya dakika kumi walikuwa nyumbani kwa Hancy.
Walipumzika baada ya kuoga na kula. Wakiwa wamepumzika sebuleni, Hancy aliwasha Tv na kuanza kuangalia. Ghafla aliona picha yake ikiwa katika TV, aliwahi na kuongeza sauti.
“Hancy ambaye alinusurika kufa kipindi akiwa mtoto mdogo wa miaka minne, alifanikiwa kulipa kisasi cha mauaji ya ndugu zake, alitaka kuliangamiza kundi hilo lililojiita Kobra na pia kuwaonyesha wananchi juu ya watu hao. Aliamua kufanya mauaji hayo usiku wa saa nane kama ilivyotokea kwa ndugu zake ambao waliuliwa mnamo saa nane Usiku. Pia alisema kwamba asingeweza kuona watu wale wakiendelea kuishi kwani kila mara alikuwa akiona sura zao usoni na kumkumbusha siku walivyofanya mauaji nyumbani kwao…”
“Pole Hancy, wewe ni shujaa, umekamilisha ndoto zako,” Hancy alitabasamu baada ya kusikia taarifa zile jambo ambalo lilimfanya Fina amkumbatie na kumbusu kwa furaha huku Van Brussel akichungulia taarifa iliyokuwa bila kuelewa lililosemwa.

MWISHO

BALAA – 1

Simulizi : Balaa
Sehemu Ya Kwanza (1)
KILWA KIVINJE, mwaka 1989.
Ilikuwa tarehe kumi na tano, mwezi wa nne, mwaka elfu moja mia tisa themanini na tisa. Ilikuwa usiku wa manane, usiku wenye kiza kinene, usiku ulioandamana na mvua kubwa sana, na radi iliyotoa sauti kali na za kutisha sana pamoja na miale yenye mwanga wa kuogopesha.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/Usiku huo ulikuwa ni usiku muhimu sana, kwa Don Genge pamoja na kundi lake hatari sana. Usiku huo wa tarehe 15 mwezi wa 4 mwaka 1989 katika chumba cha kuhifadhia maiti, katika hospitali ya wilaya ya Kilwa, maarufu kama Kinyonga, iliyopo katika mji wa Kilwa Kivinje, mkoa wa Lindi, kulikuwa na mkutano wa siri. Don Genge akishirikiana na madaktari mahiri wa hospitali ya Kinyonga, pamoja na manesi wenye roho nyeusi, roho mbaya kabisa, roho zisizokuwa na chembe ya huruma hata kidogo, roho zinazojari pesa na kusahau utu, walikuwa wanaendelea na kikao chao cha Siri, kilichofanyika katika chumba cha siri, kikiwahusisha watu wanaojua kutunza siri.
Katika kikao hiko cha Siri. alikuwepo Don Genge mwenyewe ambaye ndiye alikuwa mwenyekiti wa kikao, Dokta Zaidi Kilumba, mganga mkuu wa hospitali hiyo, Dokta Sharifa Juma, daktari bingwa wa upasuaji wilayani Kilwa, Dokta Tamaa Karimu, daktari aliyekuwa ndiye mkuu wa chumba hiko cha kuhifadhia maiti, kulikuwepo pia na watu sita, walinzi wa Don Genge, walikuwa walinzi mahiri, walinzi makini, wenye kujua kupigana aina zote za mapigano. Walinzi waliopitia vyuo mbali mbali duniani, waliojifunza aina mbali mbali za kuuwa na kufuzu kwa kiwango cha juu sana, waliopitia mateso makubwa sana katika mafunzo hayo, mateso ambayo si rahisi kuvumilika kwa binadamu wa kawaida, ndio, walipitia mateso katika mafunzo, mateso ambayo yamewafanya wawe imara sana leo hii, kutokana na mateso hayo sasa wana uwezo mkubwa sana wa kutesa, kumtesa mtu yeyote yule na kusema chochote watakachomuuliza, hata kama aliapa kiapo cha damu kutosema, vijana hao sita walikuwa wanajulikana kama SIX KILLERS, na majina yao walipewa kwa namba, kulikuwa na one, two mpaka six, namba zilizotolewa kutokana na ubora wao katika mapigano, ubora wao katika kujua mambo. Katika kikao hiko cha siri walikuwepo pia manesi watano, manesi ambao walikuwa na umuhimu mkubwa sana katika mpango huu wa siri, manesi walioapa kuzitunza siri, kuzitunza siri vifuani mwao zikatulia tuli katika mioyo yao mibaya.
Ulikuwa mkutano muhimu sana kwao, labda ungeweza kufanyika sehemu nyingine tofauti na chumba hiki cha kuhifadhia maiti. Lakini sehemu zingine zote waliona siyo sahihi kwao, wakihofia siri zao kuwa hadharani. Waliamua kufanya kikao chao hiki katika chumba hiki, wakiamini ni sehemu salama sana, chumba ambacho kingekuwa ndio ofisi yao ya muda katika kutekeleza mambo yao hayo ya kinyama, mambo ya siri sana, yaliyohitaji sehemu ya siri na kuhusisha watu wenye kujua kutunza siri kama hawa.
“Naamini wote tumekula kiapo hapa, kile kiapo kinaitwa kiapo cha moto, kiapo kisichofutika hata mmoja wetu atakapokufa. Kiapo kile tulichokula inamaana tutaitumikia kazi hii katika siku zote za maisha yetu, na hata tukifa. Kazi tulionayo ni nyepesi, na kwa kuwa nyinyi ni watu makini naamini itakuwa nyepesi zaidi. Kazi yetu ni kuhakikisha hakuna maiti inayoenda kuzikwa kaburini kutoka katika hospitali hii ikiwa na moyo, lazima tuhakikishe kila maiti inayotoka katika chumba hiki, cha kuhifadhia maiti haina moyo. Kwa siku tuna mkataba wa kupeleka mioyo ya watu kumi na mbili. Najua ni idadi ndogo sana hiyo, kwa hospitali kubwa kama hii, hospitali inayohudumia wilaya nzima.Wote tunajua maiti zote za hospitali hii zinapitia humu, na ndio maana Dr Tamaa Karimu ukajumuishwa katika mpango huu” Mwenyekiti Don Genge aliacha kuongea, alitulia ili Kuhakikisha kila neno aliloongea linapenya na kunasa vizuri katika vichwa vya watu wale. Mle ndani kulikuwa kimya, kulikuwa na utulivu mkubwa sana, baada ya kimya cha kama dakika moja Don Genge aliendelea.”Lakini inawezekana ikatokea siku hawajafariki watu kumi na mbili, na hivyo tukashindwa kupata idadi ya mioyo tunayoihitaji, Dr Zaidi Kilumba ndio maana ukajumuishwa katika jopo hili, wewe ni mganga mkuu katika hospitali hii, lakini kazi yako hapa itakuwa ni Kuhakikisha mioyo tunayoihitaji inapatikana kila siku, na ikiwezekana izidi, kazi yako kama mganga mkuu ni Kuhakikisha watu kumi na mbili au zaidi ya kumi na mbili wanakufa kila siku katika hospitali yako, isipofikia idadi hiyo itabidi uhakikishe unawauwa wewe, hapa sitaki kukufundisha utawauwa vipi, wewe ni daktari, kwa kuwa unajua kuwatibu, bila shaka na kuuwa unajua pia” Alipofika hapo Don Genge alitulia tena. Ili maneno hayo yazame na kujikita vizuri katika bongo za watu wale.Baada ya muda mfupi aliendelea tena.”Najua kazi hii inahitaji kufanya upasuaji, kuzipasua maiti ili kutoa hiyo mioyo inayohitajika, Dr Sharifa Juma ndio maana upo hapa, kazi yako ni Kuhakikisha unazipasua maiti kumi na tano kila siku na kuzitoa mioyo. Najua kazi yako ni ngumu na inahitaji wasaidizi, ndio maana kuna hawa madada watano, watakusaidia kila utakapohitaji msaada.” Don alitulia tena, Akafungua chupa yake ya maji na kunywa funda tatu kwa pupa, bila kujari kama alikuwa katika chumba cha kuhifadhia maiti. Kuingia tu katika chumba kile kulihitaji ujasiri mkubwa, hili la kunywa maji lilihitaji uwe kichaa kidogo. Chumba cha maiti chenye harufu ya ajabu ya dawa zilizopuliziwa maiti ili zisiharibike halafu unywe maji, ama hakika zilihitaji ukichaa, ukichaa kama wa Don.”Kanuni za kazi hii ni mbili tu, kutunza siri na ushirikiano. Kila mmoja wetu lazima atunze siri, huu ni mpango hatari kwa hiyo unahitaji usiri mkubwa mno, pia lazima tushirikiane ili kuweza kufanikisha Mpango huu, ushirikiano uwe ndio nguzo yetu kuu. Bila ushirikiano hakuna litakalofanyika. Mwisho kabisa, tutahakikisha akaunti ya kila mmoja wenu inajazwa pesa nyingi sana kila siku mtakapotukabidhi mzigo wetu. Pesa ambazo hamjawahi hata kuwaza kuwa nazo, hapo sisemi sana, mtajionea wenyewe…”
Alipofika hapo Don Genge alitulia, alitembeza macho yake taratibu kwa kila mtu mle ndani. Wote walikuwa kimya, Don Genge alivua miwani yake, akaanza kuipangusa vumbi kwa kutumia shati, ingawa haikuwa na vumbi hata kidogo. Wanajopo wote walimwangalia Don Genge, sasa ilikuwa zamu yake kuangaliwa. “Nadhani tumeelewana” Don alisema huku akiendelea kuifuta miwani yake.”Ndio” Wanajopo wote waliitikia. Kila mmoja kwa sauti yenye hisia tofauti. Wengine hisia za uwoga na wasiwasi, wengine hisia za majonzi, wengine hawakuwa na hisia yoyote, wao waliona wanaenda kufanya jambo la kawaida tu.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/“Good, napenda sana watu majasiri kama ninyi, hii nchi imeshaoza, kila mmoja anakula kutokana na urefu wa kamba yake. Acha viongozi wafisadi kwa kupitia mikataba wanayosaini, mikataba ya kijinga kama ya chifu Mangungo. Nasi lazima tufisadi kwa nafasi yetu. Nchi haina mwenyewe hii, kila mmoja anakula anapopata nafasi ya kula” Don aliongea maneno hayo ili kuhalalisha wanachotaka kufanya. Wote mle ndani walisahau kwamba, ubaya haulipwi kwa ubaya, njia bora ya kulipa ubaya ni kumfanyia wema kwa aliyekufanyia ubaya, ili nafsi imsute, ili ajifunze.Kikao kilifungwa saa tisa alfajiri. Kila mmoja alitoka katika kikao kile na dhamira moja tu, Kuhakikisha mioyo kumi na tano inapatikana kila siku, kwa njia yoyote ile.
**************
Yusuph Shaweji, alikuwa ni daktari kijana sana katika kituo cha afya Kilwa Masoko. Marafiki zake walizoea kumwita Dr Yusha, wakichukua herufi ya kwanza ya jina lake, na herufi ya kwanza ya jina la baba yake.Dr Yusha alikuwa daktari mwadilifu sana, mwadilifu kwa madaktari wenzake, mwadilifu kwa wagonjwa. Alikuwa ni daktari mwenye weledi na kazi yake. Daktari mwenye kuheshinu miiko na maadili ya kazi yake.
Usiku ule wa tarehe 15/ 4/ 1989, wakati Don Genge, madaktari pamoja na manesi wa hospitali ya wilaya ya Kilwa Kivinje, wakipanga mpango wao ule hatari, Dr Yusha alikuwa katika ukumbi wa Sillent in, katika sherehe ya ndoa yake, baada ya kufunga ndoa mchana wa siku ile. Ilikuwa ni siku ya furaha sana kwa Dr Yusha kutimiza ndoto ile adhimu katika maisha yake, ndoto iliyodumu katika moyo wake kwa muda mrefu sana. Kuoa ilikuwa ni ndoto yake, kumuoa Nasra, Ilikuwa ni ndoto yake kubwa sana.
Wakiwa katikati ya sherehe, katikati ya furaha, wakati Mc wa sherehe ile akitangaza kuwa ulikuwa wakati wa kulishana keki maharusi, ndipo Dr Yusha akipoisikia simu yake ikiita kwa mbali katika mfuko wa koti lake.
Katikati ya sherehe ya ndoa yake Dr Yusha aliitoa simu yake.
“Haloo Dr, mwanangu anaumwa sana, nahitaji msaada wako sana” Bila salamu sauti ilianza kuongea, Ilikuwa ni kama sauti ya kizee ama sauti ya mtu aliyechoka kutokana na madhila makubwa. Sauti ikiyotoka kwa hisia kali, ikiomba msaada.Pamoja na kelele za muziki pale ukumbini, pamoja na kelele za watu pale ukumbini, lakini sauti ile iliyochoka ilipenya japo kwa shida katika spika ya simu ya Dr Yusha, na kutua kwa shida vilevile katika sikio lake la kushoto la Dr Yusha.
“Upo wapi?” Dr Yusha aliuliza kwa sauti kubwa kidogo.”Hospitali Kivinje””Ngoja nimpigie Dr Kilumba, tuone atawasaidiaje?””Dr Kilumba na Dr Tamaa wote tumejaribu kuwapigia, hawapatikani kwenye simu zao kaka yangu” Ulikuwa mtihani mkubwa sana kwa Dr Yusha. Pamoja ya kuwa hospitali ya Kivinje hakikuwa kituo chake cha kazi, lakini alijiona ana dhima ya kusaidia wagonjwa popote pale. Sasa alikuwa anawaza, aendelee na sherehe ya ndoa yake au aende Kivinje kumsaidia mgonjwa. “Nakuja baada ya nusu saa” aliijibu ile simu.Mtihani mwengine ukafata, atatokaje katika ukumbi ule ilhali yeye ndiye bwana harusi. Upande mwengine wa shilingi maadili ya kazi na kiapo cha udaktari vilikuwa vinamsulubu kwa zamu.Dr Yusha aliamua kwenda kumsaidia mgonjwa kwa njia yoyote ile.Aliangaza mle ukumbini, alipigwa na butwaa, ukumbi mzima ulikuwa unamwangalia yeye. Ukumbi ukimshangaa. Dr Yusha akatulia kwa sekunde kadhaa, ndipo aliposikia, kumbe mshereshaji wa sherehe alikuwa amemwambia akakate keki iliyokuwa mbele ili akamlishe mkewe, Nasra, wakati yeye alikuwa busy na simu.
“Ndugu bwana harusi tunaomba uje ukate keki na kwenda kumlisha mkeo mpendwa ” Mshereshaji alikuwa anayarudia kwa mara ya tano maneno hayo. Wakati Dr Yusha akiwa mbali kwa mawazo, ya kumfikiria mgonjwa. Dr Yusha alikuwa anawaza, akakate keki ama aende Kivinje kumsaidia mgonjwa. Alikuwa anafikiria kwa kina, kumlisha mkewe mpendwa Nasra ile keki tamu aende kuokoa uhai wa mgonjwa. Nasra, mwanamke aliyekuwa anampenda kuliko kitu chochote hapa duniani alikuwa analia. Hakuelewa kabisa mumewe kakumbwa na nini. Dr Yusha alinyanyua mguu wake wa kulia taratibu na kuelekea kwenye meza iliyowekwa keki, ghafla simu yake iliita tena….BALAA.Dr Yusha alisita sasa, akakosa msimamo thabiti, akaanza kuitoa simu yake kwenye koti….
Akaiangalia simu yake. Ilikuwa namba ileile iliyompigia mwanzo, Dokta Yusha alijishauri kidogo, aipokee ama asiipokee….simu iliita mpaka ikakata. Akaitia tena mfukoni. Ukumbi mzima ulikuwa kimyaa, watu wote wakiwa hawaelewi kinatokea nini. Dr Yusha alipiga hatua nyingine ya kivivu kwa mguu wa kushoto kuifuata meza ya keki. Hatua ilivyotua chini, na simu iliita kotini.Dr Yusha aliitoa kwa haraka.Akaipokea.”Uhai wa Mtoto wetu unakutegemea wewe, tunaomba uje kutusaidia baba” Ile sauti ya mwanzo sasa ilikuwa inalia. Sauti ile iliyosikika katika hali ya huruma ilipenya hadi katika moyo wa Dokta Yusha. Badala ya kuelekea kwenye keki, alielekea katika mlango wa ukumbi ule. Aliitafuta gari yake harakaharaka, akakumbuka funguo hakuwa nayo yeye. Alitafuta pikipiki ya kulipia (bodaboda).”Kivinje faster” Alisema huku akiipanda.Mwenye ile pikipiki hakuwa na cha kuuliza, aling’oa ile pikipiki kwa kasi, akaishika barabara inayoelekea Kilwa Kivinje. Jamaa alikuwa ‘ faster’ kweli. CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/Dokta Yusha aliacha taharuki kubwa sana kule ukumbini. Watu wote walibaki midomo wazi, wengi wakiamini Dokta Yusha amechanganyikiwa. Kwa bahati mbaya hakutokea mtu hata mmoja aliyepata wazo la kumzuia Dokta Yusha. Ilikuwa ni kama ukumbi mzima wamepigwa na ganzi.
Nasra, mke wake kipenzi Dokta Yusha alikuwa hakamatiki, alikuwa hashikiki. Analia kwa sauti na kugaragara chini. Ama hakika kilimuumiza sana kitendo kile. Aliona amepata aibu, aibu mbele ya wazazi wake, aibu mbele ya rafiki zake, aibu aibu aibu. Kwa mara ya kwanza alimchukia Dokta Yusha, kwa moyo wake wote alimchukia mwanaume yule wa maisha yake.Wazazi wa Dokta Yusha nao walikuwa katika hali ya huzuni na masononeko makubwa. Hakika mtoto wao aliwaaibisha sana, tena katika sherehe ya ndoa yake, mbele ya umati mkubwa. Sherehe ile ya ndoa, iliyotangazwa sana, iliyogharimu pesa nyingi sana, ilikomea kati, kwa bwana harusi kutokomea na pikipiki, kusikojulikana, balaa !
Dakika kumi zilitosha pikipiki aliyopanda Dokta Yusha kufika hospitali, Kilwa Kivinje. Dokta Yusha aliruka kabla ya ile pikipiki haijasimama na kukimbilia kuingia ndani ya hospitali ile. Akiacha yule dereva wa pikipiki hajamlipa. Sasa ule mshangao wa watu wa kule ukumbini, ulihamia kwa mwendesha pikipiki. Dokta Yusha alifika hadi wodini, alikuta hali ya wodi shwari, hakuna mgonjwa yeyote aliyekuwa mahututi. Alienda mapokezi, hakukuwa na mtu yeyote usiku ule, alijaribu kuipiga ile namba, ilikuwa haipatikani, Balaa!Sasa ule mshangao aliowaachia watu kule ukumbini, mshangao alioondoka nao na kumletea mwendesha bodaboda, sasa ulimvaa mwenyewe kwa kasi. Hakumwona kabisa mmiliki wa ile sauti iliyompigia simu, pale hospitali.
TANO, ni miongoni mwa walinzi wa Don Genge. Yeye ndio alipewa kazi ya kusafisha njia, ili mpango wao uendelee kama ulivyopangwa. Kusafisha njia ilikuwa inamaanisha kung’oa magugu yote, ambayo yangeweza kuwa kikwazo kwa mpango wao. Mmoja wa gugu ambalo walipanga kuling’oa ni daktari huyu kijana.Walipanga kumuuwa Dokta Yusha !Ni Tano ndiye aliyepiga simu ile, lengo ni kumleta Kivinje ili amuue. Bila kujua Dokta Yusha aliingia katika mtego huo hatari. Tangu Dokta Yusha alivyowasiri kwa pupa na pikipiki, mpaka sasa, Tano alikuwa makini nae kila anapokwenda. Lengo ni kupata sehemu sahihi ya kuweza kumuuwa Dokta Yusha. 
Baada ya Dokta Yusha kutomuona mgonjwa aliyeitiwa, na simu ya mtu aliyempigia kuzimwa. Alikaa chini na kutafakari kilichotokea. Kila kitu kilijirudia katika kichwa chake kama filamu, sasa akaona ukubwa wa kosa alilolifanya. La kukimbia katikati ya sherehe ya harusi yake. Ukubwa wa kosa uliongezeka zaidi kwa kuwa hakukuwa na mgonjwa kweli pale hospitali…
Dokta Yusha sasa alikumbuka hali atakayokuwa nayo mke wake kipenzi Nasra kwa tukio lile baya alilolifanya. Alikumbuka pia huzuni atakayokuwa kawaachia wazazi wake wapendwa kule ukumbini baada ya kuondoka bila kuaga. Alijiona kafanya kosa kubwa sana. Ghafla, majimaji mepesi yalitiririka katika mashavu yake, Dokta Yusha alikuwa analia. Kwa kosa kubwa alilolifanya usiku ule.
Wakati Dokta Yusha akiwaza yale, na chozi la uchungu kumdondoka pale hospitali. Muuaji namba tano alikuwa hatua chache sana na pale alipokaa Dokta Yusha, akifikiria jinsi ya kumuua. Aliona kumuua kwa risasi itazua tafrani kubwa pale hosptali, alipanga kumuuwa Dokta Yusha kwa mikono yake ama kwa kisu. Alihisi njia hizo ni salama zaidi. Sasa alikuwa anasubiri Dokta Yusha afanye kosa lolote lile.
Kule Kilwa Masoko, hali ile ya taharuki na huzuni iliendelea mle ukumbini.Baada ya saa moja watu wote waliamua kurudi majumbani kwao. Huku kila mmoja akiliongelea kwa aina yake tukio la kukimbia kwa bwana harusi katikati ya sherehe. Wapo waliolifanya kama hadithi nzuri ya kufurahisha, wapo waliolifanya kama hadithi mbaya ya kusikitisha na kuhuzunisha.Watu wa mwisho kurudi nyumbani katika usiku ule wa sherehe ya harusi ni familia mbili zilizokumbwa na kisanga kile cha kuajabisha, familia ya Dokta Yusha na familia ya Nasra. Waliweka kikao kidogo mlemle ukumbini kulizungumzia tukio lile. Kikao kilichoisha bila maelewano yoyote. Walijaribu kumpigia Dokta Yusha, simu iliita tu bila kupokelewa. Sasa familia zile mbili wakiwa na Bi harusi walikuwa wanarudi nyumbani, katika gari mbili tofauti, wakiwa na huzuni na simanzi tele. Huku wanawake wachache ndani ya familia zile walikuwa wanalia, wakiongozwa vizuri na Bi harusi, Nasra. 
Katika gari aliyopanda Nasra, kulikuwa na watu watano, Kulikuwemo na dereva, baba yake Nasra, mzee Mpaukha, mama yake Nasra, mama Mpaukha, na mpambe wa Bi harusi, rafiki yake kipenzi Nasra, Hasina Omary. Dereva wa gari ile, alikuwa anaitwa Musa. Dereva wa siku nyingi sana wa familia ya mzee Mpaukha.Musa alikuwa amelewa sana pombe, pombe ambayo aliinywa vilivyo na marafiki zake mle ukumbini. Pombe ilimfanya apoteze umakini pale katika sukani na kuleta balaa kubwa sana. Walitoka vizuri pale ukumbini, lakini gari lilivyokamata lami mwendo ulibadirika. Musa akawa anaendesha gari bila umakini wowote, siku zote pombe haziongopi. Hakukuwa na mtu aliyekuwa makini na mwendo ule, wakati Musa alikuwa amelewa pombe, watu wengine wote waliobaki walikuwa wamelewa na kitendo alichokifanya Dokta Yusha kule ukumbini. Gari zima walilewa kwa aina mbili tofauti. Kila mmoja alikuwa amekaa mkao wa kuchoka katika siti yake.Gari wakati inakata kona ya kuelekea nyumbani kwa mzee Mpaukha, dereva ilimshinda. Ilikuwa kona kali sana, iliyomshinda kabisa Musa, gari liliacha njia na kujisweka kwenye kapori kadogo….ilikuwa balaa !Gari ilijipiga kwa nguvu sana katika mti mkubwa kule kwenye kapori. Kishindo kikuu kilisikika.
TANO, baada ya kushindwa mpango wake wa kumuua Dokta Yusha usiku ule. Alirudi mafichoni kwa wenzake kujipanga upya. Usiku wa siku uliofuata kundi lile hatari la SIX KILLERS walikuwa na kazi kuu mbili.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/Kwanza Kuhakikisha utoaji wa mioyo kwa maiti zilizokuwepo katika chumba cha kuhifadhia maiti unafanyika bila wasiwasi wowote.
Pia kuhakisha Dokta kijana anayejifanya ana morali ya kazi, Dokta Yusha anauwawa.Kwa kushirikiana na wale madokta wasiokuwa na maadili ya kazi waliamini watafanikiwa katika malengo yao hayo mawili. 
Jioni ya siku ile familia ya Dokta Yusha, ilikwenda hospitali kuwaangaalia wenzao. Yalikuwa majonzi makubwa sana baada ya kusikia mama Mpaukha alikuwa amefariki. Na ndugu wengine wa Mzee Mpaukha nao waliwasiri, na waliamua kuuchukua mwili wa mpendwa wao usiku wa siku ile ili kwenda kufanya maandalizi ya mazishi.
Hadi muda huo, madaktari wakuu katika hospitali hiyo walikuwa hawajulikani walipo. Nia yao ilikuwa ni kukaa mafichoni muda mrefu ili idadi ya watu watakaofariki waongezeke, ili mradi wao wa kupata mioyo kumi na tano kila siku ukamilike. Walijua wasipokuwa kazini wao, wagonjwa wengi watakufa.
Saa nne kamili usiku, mganga Mkuu wa hospitali ya wilaya ya Kilwa, ndugu Zaidi Kilumba, Daktari Mkuu wa upasuaji Dokta Sharifa Juma, Mkuu wa chumba cha upasuaji, Dokta Tamaa Karimu, wale manesi watano, na kundi zima la SIX KILLER waliwasiri katika eneo la hospitali ile, kwa magari aina mbili tofauti. Madokta na manesi walipanda gari yao na lile kundi hatari walipanda gari yao. Walitofautiana kufika eneo la hospitali kwa dakika kumi tu, wakitangulia wale madaktari. Walikuwa wamekuja kufanya kazi ya kutoa mioyo ya maiti, wakifuatiwa na gari la kundi la hatari la Six Killers waliokuja kulinda hali ya usalama pale hospitali, na kumuua daktari aliyeonekana kizuizi kwa kazi yao, Dokta Yusha.
Wale madaktari waliposhuka tu pale hospitali, walilakiwa kwa furaha na bashasha kubwa sana toka kwa Dokta Yusha. Lakini wao hawakuonesha kabisa sura za furaha, haikuwa kama ilivyo kawaida yao kila walipokuwa wanakutana hapo kabla. Madaktari wale walionesha sura zilizoonesha dharau na kiburi.Madaktari wote watatu walikataa kushikana mkono na Dokta Yusha wakati wa kusalimiana ! Waliuacha mkono wa Dokta Yusha ukielea hewani.
“Hivi wewe hiki ni kituo chako cha kazi, au unataka kutuaminisha kwamba wanaopanga vituo hawana akili?” Dokta Sharifa alimuuliza swali kwa dharau Dokta Yusha.Dokta Yusha hakujibu swali lile, alitumbua macho kuonesha mshangao wake. Aliwaangalia kwa zamu madaktari wale. Wote walionesha kutojari kabisa mshangao wake.”Au unahamu…..?” Dokta Kilumba nae aliuliza swali lililoelea hewani, bila kutanabaisha Dokta Yusha alikuwa na hamu ya nini.”Mbona siwaelewi ndugu zangu” Dokta Yusha aliongea kwa sauti ndogo iliyokuwa ikiashiria kutoelewa kinachoendelea.”Naitwa Tamaa Karimu, unaitwa Yusuph Shaweji, sina undugu na wewe na wala sijawahi kuwa na undugu Na wewe, labda hawa wenzangu ndio ndugu zako””Nani, mimi nitakuwa na ndugu kama huyo?” Dokta Sharifa alirukia kwa mtindo wa swali.”Lazima niwe makini, kuna kitu kinaendelea” Dokta Yusha alijionya mwenyewe kimoyomoyo.
Wakati wanaongea na Dokta Yusha, lile kundi la wauaji walikuwa wamejipanga vizuri kule katika chumba cha kuhifadhia maiti. Tayari kwa kulinda usalama ili wale madaktari waje kufanya mchezo wao hatari. Mchezo wa kutoa mioyo ya maiti ! Pale walikuwa wanamchanganya tu Dokta Yusha ili kupoteza umakini wake, na kuwapa nafasi kundi la Six killers wajipange vizuri kule katika chumba cha kuhifadhia maiti.Na walifanikiwa !
Lile anguko la Mwanasheria lilimpeleka moja kwa moja kule kwenye kibonde kidogo lilipoingia gari la Mzee Mpaukha, na kujikuta ameulalia mwili wa mpambe wa Bi harusi, Hasina Omary.”Mamaaaaaa” Mwanasheria alipiga kelele kali sana. Akiwa amemlalia Hasina, macho yake mbele yake alikutana na picha mbaya sana. Picha ya kutisha. 
“Ni nini hii, inamaana tumekufa wote” Mwanasheria alijiuliza mwenyewe. Pombe haziongopi kabisa, Mwanasheria alijiona kama na yeye alikuwemo katika ile gari iliyopata ajari, na sasa watu wote wamekufa, akiwemo na yeye. Yalikuwa mambo ya ajabu sana.Alijiinua taratibu toka katika mwili uliojeruhiwa vibaya sana, mwili wa Hasina, akasimama wima, huku akiwa anayumbayumba, Mwanasheria aliangalia vizuri eneo lote lile la ajari. Japo kwa shida kutokana na giza na kwa macho ya ulevi, lakini alitambua vizuri madhara makubwa yaliyotokea mahali pale. 
“Ni nini hii?” Alijiuliza mwenyewe Mwanasheria. Mara akili zake za kilevi zilimtuma kufanya kitu. Alitoa simu yake mkononi na kupiga simu, alipiga simu kwa Robert, alikuwa ni rafiki yake kipenz.
“Hallo Robert” Aliongea kwa sauti ya kilevi.”Nambie Mwanasheria, mbona usiku sana” Robert aliongea kwa sauti iliyoonesha alikuwa anatoka usingizini.”Tumepata ajari rafiki yangu””Ajari ?””Ndio wenzangu wote wamekufa nimebaki mimi peke yangu””Ulikuwa na kina nani””Siwajui”Pombe zilimfanya Mwanasheria ajione kama naye alikuwemo katika ile ajari.”Sehemu gani imetokea hiyo ajari?””Mtaroni””Come on Mwanasheria be serious””Kweli my friend””Ulikuwa unatoka wapi mwanasheria?””Kilabuni”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/Robert alitoa msonyo mrefu na kukata simu. Akihisi Mwanasheria alikuwa katika maruweruwe yake baada ya kunywa pombe za kutosha.
Upande wa Mwanasheria, ulibaki na mshangao, kwanini rafiki yake kipenz Robert kamkatia simu wakati yeye anamueleza jambo muhimu na zito sana.Mwanasheria alianza kupiga kelele, na maneno ajari na balaa yakisikika mara kwa mara katika kelele zake.Majirani na lile eneo walisikia walisikia vizuri sana kilio kile cha Mwanasheria, lakini nani katika mji ule alikuwa hamjui Mwanasheria, nani angekithamini kilio cha mlevi yule, kila mtu alipuuzia kilio cha mlevi, Mwanasheria. Lakini Mwanasheria hakupuuza, alizidi kupiga kelele…
Kule hospitali Kivinje hali ya mviziano iliendelea. Baada ya Dokta Yusha kukaa pale kwa muda mrefu, bila simu yake kupigwa, bila kumuona aliyempigia simu, aliamua kuondoka. Huku kichwani alikuwa anawaza, atamwambia nini Nasra na kumuelewa, atawaambia nini wazazi wake. Alitoka nje na kumkuta dereva wa ile pikipiki amesinzia, alimuasha na kupanda.Wakaondoka.Wakati wanaondoka walipishana na gari moja lililoingia kwa kasi sana mle hospitali, almanusra liwagonge.Walipofika Singino, simu ya Dokta Yusha iliita, kuangalia namba ni ya ile sauti ya kizee iliyompigia mwanzo…
Sasa, akawa anajishauri, apokee ama asipokee ile simu.”Hebu simamisha pikipiki kidogo” Dokta Yusha alimwambia dereva wa pikipiki ile kwa sauti kubwa. Pikipiki ikasimamishwa.Dr Yusha aliipokea simu ile na kuisikia sauti ileile ikimsisitiza aende Kivinje kumsaidia mgonjwa wake.”Mbona nimetoka hapo hospitali muda huu?” Dokta Yusha aliuliza kwa sauti yenye kukereka.”Tupo huku nyuma, karibu na jengo la kuhifadhia maiti””Sasa mbona nilipofika niliipiga hii simu ilikuwa haipatikani””Simu iliisha chaji, yaani hapa nimeilazimisha tu kuiwash…”Simu ikakatika.Dokta Yusha aliamini kweli, simu ya yule jamaa haikuwa na chaji, maana ndomana hata sasa ilizimika kutokana na tatizo hilo.”Turudi hospitali” Alimuamuru yule dereva pikipiki. Yule kijana aligeuza pikipiki haraka, yeye alikuwa kazini, na aliamini ujira wake unaongezeka kila inavyoongezeka safari.
Kule Kivinje, Tano alikuwa hajafanikiwa Mpango wake, hadi Dokta Yusha anapanda pikipiki na kuondoka, hakuiona nafasi sahihi ya kumuua daktari yule kijana. Wakati Dokta Yusha anaondoka Tano alijishauri, amfate Dokta Yusha na kumuua njiani ama afanyaje. Mwishowe aliamua kumrudisha tena Dokta Yusha kwa kutumia ile simu. Na alifanikiwa, Dokta Yusha alikuwa njiani anarudi.Tano alijificha nyuma ya jengo la kuhifadhia maiti la Hospitali ile, na kisu chake mkononi. Akisubiri kwa hamu ujio wa Dokta Yusha. Daktari wakiyeamini angekuwa kikwazo katika Mpango wao walioupanga usiku wa siku ile.
Muda mfupi baadae, Pikipiki aliyopanda Dokta Yusha iliwasiri pale Hospitali. Dokta Yusha alishuka kwenye ile pikipiki. Siyo kwa haraka sana kama mwanzo. Akawa anaelekea upande wa kushoto kilipo chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ile.
Dokta Yusha alikaribia kabisa kile chumba cha kuhifadhia maiti.Ghafla, alisikia kelele kali sana zikitoka kule mapokezi.”Uwiiiiiiii, jamani tusaidieni, tumeamua vibaya saaaaana, tusaidieni, madaktariiiiii, tunakufaaaa….” Zilikuwa kelele kali sana. Kelele ambazo zilisababisha Dokta Yusha abadiri uelekeo. Toka kwenye kifo kurudi katika uhai. Dokta Yusha alitimka mbio kurudi kule mapokezi, alikosikia makelele ya mtu akiomba msaada. Alipofika pale alimtambua vizuri sana mpiga kelele, alikuwa Mwanasheria, mlevi maarufu sana Kilwa Masoko. Taratibu alianza kupunguza mwendo akijua Mwanasheria yupo katika makelele yake ya kawaida ya pombe. Lakini kadri ya alivyokuwa anamsogelea Mwanasheria, umakini wake uliongezeka.Mwanasheria alitapakaa damu mwili mzima, huku kundi dogo la watu likiwa limemzunguka. Dokta Yusha alijitahidi kupenya kundi la watu wale na kumfikia mlevi yule.
“Vipi Mwanasheria?” Baada ya kumkaribia Dokta Yusha lilimtoka swali.Mwanasheria alimwangalia Dokta Yusha na kumtambua.”Tumepata ajari Dokta, sote tumekufa” Mwanasheria alitoa kauli iliyomchekesha kila mtu.”Come down Mwanasheria, wewe hujafa””Nimekufa Dokta, nimekufaaaaaa” Alisema kwa sauti kubwa sana.Dokta Yusha aliona pale hawawezi kuelewana.”Hao wenzako wako wapi?””Wapo humo Dokta” Mwanasheria alisema huku akionesha kwa kidole chumba kulichokuwa karibu na pale walipokaa.Kwa mwendo wa taratibu Dokta Yusha alielekea kule chumbani. Alikutaba na balaa.Mwili wa kwanza kuuona ni wa rafiki yake kipenzi, mke wake kipenzi, Nasra. Alienda mbele ya mwili ule uliolazwa vibaya sakafuni na kuuinamia. Dokta Yusha aliona ufa mkubwa sana katika kichwa cha mpenzi wake , pale alipojigonga na jiwe baada ya ile ajari ya kizembe kutokea. Aligusa upande wa kushoto wa kifua cha Nasra, mapigo ya moyo yalikuwa yanapiga kwa mbali sana. Akajua kosa lolote litasababisha ampoteze mke wake. Alinyanyuka taratibu, huku chozi likimdondoka na kuufata mwili wa pili, alikuwa ni mkwewe, mama Mpaukha. Hakuhitaji kumgusa sehemu yeyote kutambua kama mkwewe kipenz alikuwa amefariki. Aliusogelea mwili wa tatu, mwili wa Alex. Dereva wa Mzee Mpaukha. Alimuona na damu nyingi sana, huku mabaki ya vioo yakiwa yamebaki katika mwili ule. Ilikuwa ni picha mbaya sana kuiangalia. Akausogelea mwili wa nne, wa Hasina, mpambe wa bibi harusi. Aliona mbonyeo mkubwa katika upande wa kulia wa kichwa kile. Pale alipojigonga na kioo Wakati Musa alipojaribu kukata kona ile kali. Mwisho aliusogelea mwili wa Mzee Mpaukha, mwili ambao haukuwa na tofauti sana na mwili wa dereva Musa. Nao mahali ya vioo yalikuwepo katika mwili ule.”Balaa” Dokta Yusha alijisemea mwenyewe.
“Jamani tunakufaaa” sasa ndio alizisikia kelele za Mwanasheria kule mapokezi. Dokta Yusha alitoka nje kumwangalia Mwanasheria alikuwa ameumia sehemu gani. Alimfikia Mwanasheria na kumkagua mwili mzima. Mwanasheria hakuwa na jeraha lolote zaidi ya zile damu zilizompakaa. Dokta Yusha akawaza labda Mwanasheria kaumia ndani kwa ndani. Wakati akimwangalia Mwanasheria ndipo alipomuona Fred kwa mbali, rafiki yake wa siku nyingi. Na ndiye alikuwa mpambe wake wa harusi siku ile.
“Vipi Fred””Ebana wameumia vibaya sana, afadhali nimekuona, nimewafata madaktari mpaka nyumbani kwao, hawapo, sijui wameenda wapi?””Kwani kilitokea nini Fred?” Dokta Yusha aliuliza kwa sauti yake yenye kwikwi.”Mimi kanipigia simu huyo jamaa anayelia, muda mfupi tu nilipofika nyumbani kutoka kwenye sherehe, sijui hata namba yangu aliitoa wapi, yeye alikuwa analia tu, huku akisema wote wamekufa. Alinielekeza mahali ilipotokea ajari. Nilienda haraka kwa gari, na kukuta familia ya Nasra wamepata ajari mbaya sana ya gari aisee, majeruhi wako ndani huko” Fred alisema bila kujua kama Dokta Yusha kashaingia mle ndani na kujionea mwenyewe athari za ajari ile.
Kule nyuma ya chumba cha kuhifadhia maiti, Tano alikuwa anasubiri ujio wa Dokta Yusha. Alikuwa amejiandaa vema kumuua Dokta Yusha pindi atakapotokea tu. Alijibanza konani na kisu chake mkononi. Hakujua kabisa kuwa kwa wakati ule Dokta Yusha alikuwa amesahau kabisa habari ya simu ya mtu yule. Tano alisubiri na kusubiri.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/Alfajiri, mji wa Kilwa Masoko, waliamka na habari kuu mbili. Habari ya kwanza ilikuwa ni kutokea kwa ajari katika kona inayoelekea mtaa wa Lumumba. Vijiwe vyote vinavyojadiri habari ngumu waliijadiri sana habari hiyo. Habari iliyohusisha ajari mbaya waliyoipata familia ya Mzee Mpaukha.
Habari ya pili ni kukimbia kwa bwana harusi katikati ya sherehe. Habari iliyopambwa na kusimuliwa vizuri sana na mafundi wa kusimulia. Tena wengine hawakuwepo hata katika ile sherehe yenyewe lakini ndio walikuwa wasimuliaji wakubwa. Vijiwe vyote vya waambea waliipa sana ‘airtime ‘ habari hii ya bwana harusi kukimbia katikati ya sherehe kuliko habari ile ya ajari.
Kule Kilwa Kivinje majeruhi wote sasa walikuwa wodini. Dokta Yusha alifanya kazi kubwa sana usiku ule. Yeye mwenyewe alifanya kila kitu kuhakikisha majeruhi wote wanapata huduma. Na ile maiti ya mama Nasra ilipelekwa katika chumba cha kuhifadhia maiti na kusubiri taratibu zingine za mazishi ziendelee.
Hadi Asubuhi, Dokta Mkuu wa hospitali ya Kinyonga, Zaidi Kilumba, Dokta Mkuu wa upasuaji Sharifa Juma, na Dokta anayesimamia chumba cha kuhifadhia maiti, Dokta tamaa Karimu walikuwa hawajawasiri kazini, na wala simu zao zilikuwa hazipatikani. Hospitalini walikuwa wanafanya kazi manesi, wakishirikiana kwa ukaribu mkubwa na Dokta Yusha. 
Hadi saa sita mchana, majeruhi wale wanne walikuwa hawajapata fahamu. Hali ilikuwa tete. Dokta Yusha alifanya kazi kama punda, huku akimshukuru Mungu kwa kuwa alikuwa na likizo kwa ajili ya mapumziko ya ndoa yake.Madaktari wengine katika hospitali ile, hawakuwa na ari kabisa ya kufanya kazi.
Saa kumi na mbili jioni, kazi ya Dokta Yusha ilianza kuleta mafanikio. Mzee Mpaukha alirudiwa na fahamu. Alifumbua macho taratibu akiwa mbele ya nesi aliyekuwa karibu na kitanda chake. 
“Niko wapi hapa?””Tulia baba, uko sehemu salama” 
Nesi alimjibu huku akiweka vizuri dripu ya maji ilikuwa inaingia mwilini kwa Mzee Mpaukha.Mzee Mpaukha, alifumba macho na kutafakari. Matukio yote yaliyotokea usiku uliopita yalijirudia mithili ya sinema. Tangu wakiwa ukumbini hadi gari lao lilivyoacha njia.
“Tunakufaaaaaaa!”
Mzee Mpaukha alitoa ukelele mkubwa akiwa pale kitandani. Ukelele huo uliokuwa na faida ndani yake. Ukelele ule alifika moja kwa moja katika masikio ya Musa, na kumuamsha Musa, dereva wake, toka katika usingizi mzito aliolala kuja duniani. Musa naye aliunga kumsaidia Mzee Mpaukha 
“…..kufaaaaaaa”Nesi sasa akakimbia kwa kasi kwenda katika kitanda cha Musa. Huku akimshukuru Mungu kwa kuweza kuwaamsha wagonjwa wawili kwa mpigo, tena katika njia ya ajabu.
Nusu saa baadae, Dokta Yusha aliwasiri, alipatwa na furaha isiyo na kifani kukuta wagonjwa wake wawili wamerejewa na fahamu. Ilikuwa faraja kubwa sana kwake. Asilimia hamsini ya kazi alikuwa amefanikiwa. Walipoteza fahamu wagonjwa wanne, wawili walikuwa wamerejewa na fahamu zao na kubaki wawili…
TANO, baada ya kushindwa mpango wake wa kumuua Dokta Yusha usiku ule. Alirudi mafichoni kwa wenzake kujipanga upya. Usiku wa siku uliofuata kundi lile hatari la SIX KILLERS walikuwa na kazi kuu mbili.
Kwanza Kuhakikisha utoaji wa mioyo kwa maiti zilizokuwepo katika chumba cha kuhifadhia maiti unafanyika bila wasiwasi wowote.
Pia kuhakisha Dokta kijana anayejifanya ana morali ya kazi, Dokta Yusha anauwawa.Kwa kushirikiana na wale madokta wasiokuwa na maadili ya kazi waliamini watafanikiwa katika malengo yao hayo mawili. 
Jioni ya siku ile familia ya Dokta Yusha, ilikwenda hospitali kuwaangaalia wenzao. Yalikuwa majonzi makubwa sana baada ya kusikia mama Mpaukha alikuwa amefariki. Na ndugu wengine wa Mzee Mpaukha nao waliwasiri, na waliamua kuuchukua mwili wa mpendwa wao usiku wa siku ile ili kwenda kufanya maandalizi ya mazishi.
Hadi muda huo, madaktari wakuu katika hospitali hiyo walikuwa hawajulikani walipo. Nia yao ilikuwa ni kukaa mafichoni muda mrefu ili idadi ya watu watakaofariki waongezeke, ili mradi wao wa kupata mioyo kumi na tano kila siku ukamilike. Walijua wasipokuwa kazini wao, wagonjwa wengi watakufa.
Saa nne kamili usiku, mganga Mkuu wa hospitali ya wilaya ya Kilwa, ndugu Zaidi Kilumba, Daktari Mkuu wa upasuaji Dokta Sharifa Juma, Mkuu wa chumba cha upasuaji, Dokta Tamaa Karimu, wale manesi watano, na kundi zima la SIX KILLER waliwasiri katika eneo la hospitali ile, kwa magari aina mbili tofauti. Madokta na manesi walipanda gari yao na lile kundi hatari walipanda gari yao. Walitofautiana kufika eneo la hospitali kwa dakika kumi tu, wakitangulia wale madaktari. Walikuwa wamekuja kufanya kazi ya kutoa mioyo ya maiti, wakifuatiwa na gari la kundi la hatari la Six Killers waliokuja kulinda hali ya usalama pale hospitali, na kumuua daktari aliyeonekana kizuizi kwa kazi yao, Dokta Yusha.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/Wale madaktari waliposhuka tu pale hospitali, walilakiwa kwa furaha na bashasha kubwa sana toka kwa Dokta Yusha. Lakini wao hawakuonesha kabisa sura za furaha, haikuwa kama ilivyo kawaida yao kila walipokuwa wanakutana hapo kabla. Madaktari wale walionesha sura zilizoonesha dharau na kiburi.Madaktari wote watatu walikataa kushikana mkono na Dokta Yusha wakati wa kusalimiana ! Waliuacha mkono wa Dokta Yusha ukielea hewani.
“Hivi wewe hiki ni kituo chako cha kazi, au unataka kutuaminisha kwamba wanaopanga vituo hawana akili?” Dokta Sharifa alimuuliza swali kwa dharau Dokta Yusha.Dokta Yusha hakujibu swali lile, alitumbua macho kuonesha mshangao wake. Aliwaangalia kwa zamu madaktari wale. Wote walionesha kutojari kabisa mshangao wake.”Au unahamu…..?” Dokta Kilumba nae aliuliza swali lililoelea hewani, bila kutanabaisha Dokta Yusha alikuwa na hamu ya nini.”Mbona siwaelewi ndugu zangu” Dokta Yusha aliongea kwa sauti ndogo iliyokuwa ikiashiria kutoelewa kinachoendelea.”Naitwa Tamaa Karimu, unaitwa Yusuph Shaweji, sina undugu na wewe na wala sijawahi kuwa na undugu Na wewe, labda hawa wenzangu ndio ndugu zako””Nani, mimi nitakuwa na ndugu kama huyo?” Dokta Sharifa alirukia kwa mtindo wa swali.”Lazima niwe makini, kuna kitu kinaendelea” Dokta Yusha alijionya mwenyewe kimoyomoyo.
Wakati wanaongea na Dokta Yusha, lile kundi la wauaji walikuwa wamejipanga vizuri kule katika chumba cha kuhifadhia maiti. Tayari kwa kulinda usalama ili wale madaktari waje kufanya mchezo wao hatari. Mchezo wa kutoa mioyo ya maiti ! Pale walikuwa wanamchanganya tu Dokta Yusha ili kupoteza umakini wake, na kuwapa nafasi kundi la Six killers wajipange vizuri kule katika chumba cha kuhifadhia maiti.Na walifanikiwa !
Usiku uleule wa saa nne, familia ya Mzee Mpaukha walijipanga kwenda kuchukua mwili wa mpendwa wao kule chumba cha kuhifadhia maiti. Walikuwa wanamsubiri Dokta Yusha tu ili waende kuchukua mwili wa marehemu. Walikuwa wameshaongea na Mkuu msaidizi wa mhifadhi wa chumba cha maiti. Bila kujua Mpango hasi uliokuwemo katika chumba kile…..Balaa !
Alivyotoka kuongea na madaktari wale waliombadirikia, Dokta Yusha moja kwa moja alienda wodini. Hali aliyoiacha wodini ndiyo aliyoikuta. Hadi muda ule. Ni Mussa na Mzee Mpaukha tu ndio waliorejewa na fahamu. Dokta Yusha alisogea hadi kitanda alicholazwa mke wake kipenz, Nasra, alikaa pembeni ya kitanda kile. Huku akimwangalia mkewe aliyekuwa amefumba macho. Akiwa amehama kabisa katika Dunia hii. Mwanamke aliyekuwa nusu mfu kwa sasa. Aliangalia jinsi dripu ikivyotiririka taratibu katika mishipa laini ya Nasra. 
Wakati Dokta Yusha akiwa pale na mkewe, Dokta Kilumba aliingia mle wodini. Alisogea taratibu hadi pale kitandani alipokuwa amekaa Dokta Yusha. Taratibu Dokta Yusha aliacha kuiangalia ile dripu na kumwangalia Dokta Kilumba. Dokta waliyetoka kugombana naye punde tu kule nje.Dokta Kilumba alipofika pale naye hakuongea. Alikaa pale kitandani, karibu kabisa na Dokta Yusha, kiasi kwamba magoti yao yaligusana. Hali ya ukimya iliendelea kama dakika tatu, ndipo Dokta Yusha alikiharibu kimya hiko.
“Vipi Dokta, mbona umekuja kimya kimya halafu hauongei ?””Tusamehe Dokta, haikuwa dhamira yetu hali ile itokee””Msijari mambo ya kawaida tu kupishana kauli”
Baadae walielewana. Na kuanza kuongea mambo mbalimbali.Dokta Kilumba alikuja kuongea na Dokta Yusha kwa dhamira maalum. Dhamira mbaya kabisa. Ni kuchelewasha muda kwa Dokta Yusha kwenda kule chumba cha kuhifadhia maiti kuchukua maiti ya mama Mpaukha. Kwa kuwa na maiti ya mama Mpaukha ilikuwa katika orodha ya maiti zilozotakiwa kutolewa moyo siku ile !
Kule nje familia ya Mzee Mpaukha walikuwa wanamsubiri Dr Yusha atoke wodini kuangalia hali za wagonjwa, ili waende naye kwenda kuchukua maiti yao kule katika chumba cha kuhifadhia maiti.
Bila kujua lengo la Dokta Kilumba, Dokta Yusha aliendelea kuongea nae. Alifurahi sana kuelewana na daktari yule Mkuu, alijua itakuwa rahisi sana kuwasimamia wagonjwa wake kwa kuelewana na Dokta yule.
Kule katika chumba cha maiti hali ilikuwa ya kutisha. Ilihitaji mtu jasiri kuangalia kilichokuwa kinaendelea. Mioyo kumi na nne toka katika maiti kumi na nne ilikuwa imeshapatikana tayari, na kuhifadhiwa katika deli moja kubwa jekundu!Sasa ilikuwa zamu ya kutolewa moyo wa kumi na tano, ili kukamilisha idadi yao ya siku ile. Kisha baada ya hapo wakachungulie katika akaunti zao kitaongezeka nini. Waliikumbuka sana ahadi ya Don Genge.
Hali ndani ya chumba cha kuhifadhia maiti ilikuwa ya utulivu sana. Kila mtu akifanya kazi yake kwa umakini mkubwa. Utafikiri walikuwa katika operesheni moja muhimu sana ya kuokoa maisha ya mtu. Kumbe walikuwa wanafanya vitendo vya kinyama sana!
Dokta Sharifa alikuwa ameshika kisu maalum kwa ajili ya upasuaji, mbele yake kulikuwa na kitanda kidogo kikichotumika kulaza zile maiti wakizozitoa mioyo! 
Dokta Sharifa alikuwa anapasua maiti na kutoa moyo kisha kuishona tena miili ya marehemu. Wale manesi walikuwa wanafanya kazi ya kubeba maiti na kuzileta pale kitandani, kisha kuzirejesha katika sehemu zao baada ya kufanyiwa upasuaji na kushonwa na Dokta Sharifa. Dokta wa kike katili !CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/Dokta Tamaa yeye alikuwa anasimamia kazi kama inaenda vizuri, ndiye alikuwa Mkuu kwa muda ule, wakati Dokta Kilumba hakuwepo. 
Nje kulikuwa na ulinzi imara. Walinzi wote sita wakiwa na bunduki, walikuwa wamekizunguka chumba cha kuhifadhia maiti , tayari kwa kupiga mtu au kitu chochote kitakachosogelea chumba kile. Walikuwa makini, Kuhakikisha hawafanyi kosa lolote la kiufundi.
Manesi wawili walienda kufungua kabati moja la kuhifadhia maiti. Walivuta droo taratibu. Sura ya maiti yule ilikuwa inaonekana vizuri. Sura tulivu kabisa, sura ya kipole, sura isiyokuwa na hatia yoyote, sura ya mama Mpaukha. Wale manesi wawili waliitoa maiti ile na kuilaza vizuri kwenye machela. Waliisukuma machela ile kuelekea pale alipokuwa Dokta Sharifa, ili Dokta afanye kazi ile ya kikatili ! Kazi ya kuutoa moyo mwili ule, mwili wa mkwe wa Dokta Yusha.
Mwili wa mama Mpaukha ukawekwa katika kile kitanda maalum kwa kazi hii ya kikatili!Dokta Sharifa alinyanyua mkono wake wa kulia ulioshika kisu juu, akakielekeza kile kisu katika upande wa kushoto katika kifua laini cha marehemu mama Mpaukha, akichana taratibu. 
Kilikuwa ni kitendo cha kikatili sana, lakini daktari yule wa kike alikuwa anakifanya bila wasiwasi wowote. Alikizungusha kile kile kisu kwa mtindo wa duara, kisu maalum kilichokuwa kimezama vizuri katika nyama za kifua cha mama yule. Alipoona imetosha aliingiza mkono wake wa kulia, aliokuwa amevaa gloves, alichezesha mkono wake kama dakika moja katika shimo baya alilolijenga pale kifuani, na kutoka na moyo uliozungukwa na damu!Aliuweka pembeni kwenye sahani ya chuma moyo ule, na kuanza kuushona mwili ule, mwili usiokuwa na moyo kwa sasa.
Kule wodini ‘story’ zilinoga kati ya Dokta Yusha na Dokta Kilumba. Walikuwa wanasimuliana mambo mbalimbali kuhusu fani yao ya utabibu. Bila kujua mambo ya siri yaliyokuwa wanaendelea katika chumba cha kuhifadhia maiti.
Mara, mjomba wake Nasra aliingia wodini.”Samahani Dokta, inabidi tukautoe mwili wa marehemu ili tukaufanyie maandalizi””Sawa, ngoja tumpigie mtu wa chumba cha kuhifadhia maiti” Dokta Kilumba alidakia ilihal hakuambiwa yeye.Alimpigia Dokta Tamaa, na Dokta Tamaa alimjibu kwamba mambo yako vizuri wakauchukue tu mwili mpendwa wao.
Dokta Yusha akiongozana na ndugu mwengine walienda kuuchukua mwili ule usiokuwa na moyo kwa sasa na kwenda nao Kilwa Masoko kwa ajili ya maandilizi ili wauzike.
Siku ile ya kwanza kundi la Don Genge kwa kishirikiana na madaktari wale wenye roho mbaya kabisa walifanikisha Mpango wao ule wa kinyama!
Siku ya pili Asubuhi, ndio ilikuwa siku ya kuuosha mwili ule tayari kwa kwenda kuuzika. Mshono waliukuta katika kifua cha mama Mpaukha ulimshangaza kila mtu aliyekuwa mle chumbani wakati wanauosha mwili ule…
Wakati mwili unaoshwa, kizaaza kikaibuka!Mwili wa mama Mpaukha ulikuwa na mshono mkubwa sana ambao ulikuwa haujapona bado.Mshono uliowaacha midomo wazi waoshaji. Pamoja na mshangao wao lakini waoshaji wale walihisi labda jeraha lile ni mojawapo ya madhara aliyoyapata mama yule katika ajari ile mbaya!Wakina mama wale Waliamua kukaa kimya na kuendelea na kazi yao ya uoshaji kama kawaida.Mwili wa mama Mpaukha ulioshwa na kwenda kuzikwa katika makaburi ya Sanga bila uwepo wa mwanae mpendwa, Nasra, bila uwepo wa mumewe kipenzi, Mzee Mpaukha .
Mama Kindumba, alikuwa mlevi maarufu wa kike katika mji wa Kilwa Masoko. Kutokana na kupenda sana kunywa pombe za kienyeji alikuwa na marafiki wengi sana walevi, miongoni mwa marafiki ni Mwanasheria. 
Mama kindumba alikuwa anakaa jirani sana na familia ya Mzee Mpaukha. Ujirani huo ndio uliosababisha na yeye apate fursa ya kwenda kuuosha mwili wa mama Mpaukha. Na Mama kindumba ni miongoni mwa watu waliostushwa sana na ule mshono wa mama Mpaukha ulikuwepo pale kifuani.
Baada ya kumzika mama Mpaukha, jioni ya siku ile mama kindumba ilimkuta kilabuni akipata pombe za kienyeji kama kawaida yake. Kikao kilikuwa kimependeza ingawa mwenyekiti wa kikao hiko alikuwa hajawasiri bado.Baada ya muda mfupi Mwenyekiti aliwasiri huku akiimba wimbo wa bendi ya msondo ngoma. Alikuwa Mwanasheria.
“Eeeeeeh nilikuwa nakusubiri kwa hamu Mwana” mama kindumba aliongea kwa nguvu baada ya kumuona Mwanasheria.”Kuna nini tena mama kindumba maana nawe huishiwi michapo””Ni kuhusu ile ajari yenu” mama kindumba alisema huku anacheka.”Umeanza kuharibu sasa” sauti ya Mwanasheria ilipoa kidogo.”Kumbe yule maza alipata bonge la jeraha kifuani. Alichomwa na chuma nini pale””Mama gani tena?” Mwanasheria alihoji.”Si jirani yangu tuliomzika leo kule Sanga””Acha zako mama, ushalewa nini, yule mama hakuumia sehemu yoyote. Alikufa bila jeraha””We si ulilewa Mwanasheria utakuwa na kumbukumbu kweli, maza alikuwa na jeraha kubwa sana kifuani””Hamna kitu kama hicho mama”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/Ulizuka mbishano mkubwa sana kati ya mama Kindumba na Mwanasheria. Walevi wengine walibaki kuwa wasikilizaji tu.
“Tusiandikie mate, ngoja nimpigie Dokta Yusha tumuulize, halafu naweka sauti ya nje kabisa” Baada ya mzozo mkubwa Mwanasheria alishauri.
“Simu itakayozua kizaazaa kipya” tusubiri hiyo kesho tuone!”
Mwanasheria akatoa simu yake. Akabofyabofya muda mfupi kuitafuta namba ya Dokta Yusha, aliiona na kuipiga.
Wakati simu ile inapigwa, Dokta Yusha alikuwa wodini. Akiwahudumia wagonjwa mbalimbali, wakiwemo mkewe Nasra na na rafiki wa Nasra, Hasina. Mzee Mpaukha na Musa hali zao sasa zilikuwa vizuri sana.
Akiwa amekaa pembeni ya kitanda cha mkewe simu yake iliita. Kuangalia kioo cha simu yake kilisomeka Mwanasheria, alitabasamu. Alitoka nje na tabasamu lake, alikumbuka vizuri sana vituko vya Mwanasheria. Alitoka nje ya geti ili akaongee na Mwanasheria.
“Hallo””Dokta tuna ubishi hapa” Mwanasheria alianza kuongea bila hata salamu.”Ubishi gani tena?””Eti katika ile ajari marehemu alikuwa na jeraha lolote?””Hapana, alifariki kwa mstuko tu””Aliumia kifuani doktaaaa” sauti ya mama kindumba ilisikika katika ile simu kwa sauti kubwa.”Hapana, hakuumia!””Tafuta mtu yeyote aliyekuwepo wakati wa kuosha maiti atakwambia” Mama kindumba alisema.Na simu ili katika. Bila shaka kwa kuisha salio ama chaji.Dokta Yusha alichanganyikiwa sana.
Ingawa taarifa ile ilitoka kwa walevi lakini Dokta Yusha aliipa uzito unaostahili. Alipanga kuufatilia ukweli wa taarifa ile na kuujua ukweli wa taarifa hiyo ya kushangaza.
Tano wa kundi la Six killers bado alikuwa anafatilia nyendo za Dokta Yusha. Na nia yao ya kutaka kumuuwa Dokta Yusha bado ilikuwa palepale. Tano alikuwa anapata ugumu sana kwa kuwa Dokta Yusha alikuwa anakaa wodini muda wote. Wodi yenye wagonjwa muda wote, na kufanya kazi ya kumuua iwe ngumu sana.
Wakati Dokta Yusha akiongea na simu ile, Tano alikuwa hatua chache nyuma yake. Alisikia kila kitu alichoongea Dokta Yusha na Mwanasheria….alilishika kichwani jina la Mwanasheria.
“Mwanasheria anahitaji kuuwawa!” Alilipitisha katika kichwa chake.
Kule kilabuni ubishi bado uliendelea. Huku Mwanasheria akiwa amepata nguvu na kuelekea kushinda. Ubishi sasa ulipata washiriki zaidi, walevi walianza kuchangia mada, huku walevi wengi wakimuunga mkono Mwanasheria.
Tano aliona mambo yao sasa yameanza kuingiwa na vijidudu vibaya. Na jukumu lake lilikuwa ni kuviondosha vijidudu vyote. Sasa naye Mwanasheria akaingia katika orodha ya kifo!
Baada ya kuongea na simu ile toka kwa Mwanasheria, Dokta Yusha alikuwa na mawazo mengi sana. Kwa uyakinifu mkubwa aliipima ile taarifa ya Mwanasheria. Akajua kuna kitu. Alikaa pale kitandani huku akiingalia bandeji kubwa aliyefungwa mkewe kichwani. Kichwa cha Nasra kiliathirika sana. Huku kukiwa na wasiwasi kama Nasra akiamka atarejewa na kumbukumbu zake.
Dokta Yusha alichukua simu yake na kuitafuta namba ya Shangazi yake Nasra. Alijua kwa vyovyote lazima alikuwepo wakati maiti ya mama Mpaukha inaoshwa. Aliiona namba na kuipiga huku akiwa anatoka nje ya wodi.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/“Hallo Shangazi””Habari Dokta?””Safi kwema Shangazi””Tupo tu hivyohivyo””Kuna kitu nataka nikuulize Dokta””Kitu gani hiko Dokta””Ulikuwepo kati ya watu waliomuosha marehemu leo?””Ndio nilikuwepo””Eti marehemu alikuwa na jeraha lolote?””Tena kubwa sana kifuani, aisee bila shaka ndio litakuwa limesababisha kifo chake lile””Sehemu gani lilikuwepo””Juu ya kifua, sehemu unapokaa moyo!”
Mwili wa Dokta Yusha ulipigwa ganzi. Ni yeye ndiye aliyepima mapigo ya moyo ya mama Mpaukha, mara tu walipoingia katika chumba cha matibabu kabla ya mwili ule kupelekwa katika chumba cha kuhifadhia maiti.Alikumbuka aliweka kifaa cha kupima mapigo ya moyo sehemu ileile unapokaa moyo. Hapakuwa hata na mchubuko. Iweje leo aambiwe kuna jeraha kubwa sana?
“Halo Dokta….Halloo…unanisikia?”Shangazi wa Nasra alikuwa anaongea peke yake simuni. Ingawa Dokta Yusha aliweka simu sikioni lakini alikuwa mbali sana kimawazo, alikuwa hasikii chochote.
Usiku uleule Tano alienda Kilwa Masoko. Kummaliza Mwanasheria. Alijua kumuacha hai Mwanasheria basi habari juu ya kidonda kilichoibuka ghafla katika kifua cha mama Mpaukha itaendelea kusambaa. Ilikuwa ni lazima kumuuwa Mwanasheria ili kumziba mdomo milele !
Usiku wa saa nne usiku ulimkuta Mwanasheria akinywa bia katika baa ya Tiga Tisa. Alikunywa bia nyingi sana. Tangu saa kumi na mbili jioni alikuwa hapo akipata ulabu.
Meza ya tatu toka pale alipokaa Mwanasheria kulikuwa na mgeni. Mgeni aliyewasiri pale majira ya saa tatu usiku. Mgeni huyo alikuwa makini kwa kila alichokuwa anakifanya Mwanasheria. Mgeni huyo hakuwa mwengine ila ni Tano wa Six Killers. Alikuwa anamsubiri mwanasheria anyanyuke ili akamfanye alichotaka kwenda kumfanya.
Saa tano usiku Mwanasheria alinyanyuka pale kwenye kiti. Tayari kuelekea nyumbani kwake. Alisogea taratibu kwenye gari yake, alipanda na kuliwasha. Safari kwenda nyumbani kwake ilianza. Tano naye alitoka pale Tiga Tisa. Alichukua pikipiki yake na kulifuata gari la Mwanasheria kwa nyuma.Mwanasheria alikuwa amelewa hasa. Alipoteza kabisa umakini na hakutambua kabisa kama alikuwa anafuatwa. Alifika nyumbani kwake na kuingia ndani. Kutokana na ulevi Mwanasheria alijikuta amelala katika sofa pale sebuleni.
Tano alipaki pikipiki yake kwa nje. Alifika hadi mlangoni katika nyumba ile ya Mwanasheria. Kwa bahati mbaya nyumba ile haikuwa na fensi.Kwa kutumia funguo malaya alifungua mlango wa sebule wa Mwanasheria. Ilikuwa ni kazi ndogo sana, kazi iliyodumu kwa dakika tatu. Alifungua mlango na kumkuta Mwanasheria amelala pale sebuleni kama mzoga. Alichomoa kisu chake mkononi. Kwa mwendo wa kunyata akawa anamsogelea pale sofani.Akamtikisa kidogo, Mwanasheria hakuamka, alikuwa amelewa sana pombe. Alimtikisa tena. Nia ya Tano ni kumuamsha Mwanasheria ili kumjua mtu wa pili aliyedakia ile simu wakati yeye anaongea na Dokta Yusha. Lakini Mwanasheria hakuamka.Tano aliamua kuua tu, akijipa moyo atamjua tu huyo mtu. Alirudisha nyuma ule mkono uliishika kisu, kwa nguvu aliungiza katika tumbo la Mwanasheria, akatoa akaingiza tena. Alirudia mara nne.Mwanasheria akakata roho akiwa amelewa.
Tano alitoka nje huku akiwa na furaha tele. Bila kujua kama alimuua mtu asiye sahihi. Yeye alimuua Mwanasheria wa Halmashauri ya wilaya ya Kilwa, Ndugu Juma Ngozi. Wakati Mwanasheria aliyeongea na Dokta Yusha, Mwanasheria mlevi alikuwa kilabuni wakati ule, akinywa pombe na kupigizana kelele na kina mama Kindumba…CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/ITAENDELEA

MAPENZI YAMENIFANYA NIWE MUUAJI – 1

Related image

Simulizi : Mapenzi Yamenifanya Niwe Muuaji
Sehemu Ya Kwanza (1)

Katika maisha yangu sikuwahi kuwaza kuua hata nzi kutokana na huruma niliyokuwa nayo.
Watu wengi walipenda kuniita mlokole japo historia yangu yote niliishi maisha ya kutokuwa na dini nikiamini Mungu wa Wakristo ndiye Mungu wa Waislamu kutokana na mafundisho ya dini zote niliyoyafuatilia.
Utashangaa kwa nini niliishi bila kuwa na dini ikiwa wazazi wangu wana dini, tena dini tofauti, baba Muislamu na mama Mkristo. Katika maisha yao hakuna aliyekubali kumfuata mwenzake na kukubaliana, kila mmoja aishi katika imani yake. Hivyo basi, nikawa mtoto wa wazazi wa dini mbili, pamoja na wazazi wangu kuishi kila mmoja na dini yake, waliishi katika upendo wa hali ya juu kwa kila mmoja kuheshimu imani ya mwenzake.

Nilipopata ufahamu nilijikuta nipo njia panda kwa vile sikutaka kumuudhi mmoja wa wazazi wangu kwa kumpendelea mmoja. Halafu kitu cha ajabu nilikuwa mtoto mmoja kama roho, hivyo niliamua kusimama katikati ya wazazi wangu kwa kutochagua dini yoyote. Lakini nilikuwa nafahamu kipi mwanadamu anatakiwa kukifanya ili usimuudhi Mungu.

Katika maisha yangu yote niliamini tofauti ya dini mbili ni ndogo sana lakini anayetakiwa kuabudiwa ni Mungu mmoja. Tokea hapo niliishi nikiwa sina dini na kuishi kama mpagani, tofauti yangu nilikuwa najua Mungu ni mmoja na ndiye anayetakiwa kuabudiwa, lakini sikwenda msikitini wala kanisani na malumbano ya dini hizi mbili mimi yalikuwa hayanihusu.
Wazazi wangu nao walikubaliana na mimi baada ya ushawishi wa kila mmoja kugonga mwamba. Huu ulikuwa muktasari wa maisha yangu ya awali ya kunifanya nisiwe na dini kwa ajili ya mapenzi ya wazazi wangu.
Kutokana na malezi mazuri ya wazazi wangu, niliweza kuishi sehemu yoyote na mtu wa aina yeyote, siku zote heshima na ucheshi ndivyo vilinifanya watu wanipende.

Kama nilivyosema awali, nilikuwa mtu wa huruma na heshima kwa wakubwa na wadogo, lakini mateso ya mapenzi yalinifanya nigeuke niwe na roho mbaya kukiko shetani.

Kuna maelezo niliwahi kusikia wakati nakua kwamba kuna matendo mengine shetani anakimbia akimuona mwanadamu anatenda. Baada ya kuteswa sana na mapenzi ilifikia hatua kutoa roho ya mtu kwangu ilikuwa kitu cha kawaida hata kwa kosa dogo la kuombana msamaha kwa kuamini hakuna kiumbe kibaya duniani kama mwanadamu ambaye hatakiwi kupewa nafasi kwa vile kama ukimchekea basi atakuumiza wewe.

Mkasa wangu unaanzia pale nilipotimiza miaka 21, nilitoka kwa wazazi wangu na kusafiri nje ya mkoa kwenda kufanya kazi baada ya rafiki yangu kupata kazi ya ujenzi.

Hivyo, hakutaka kuondoka peke yake, alinichukua na mimi huku wazazi wangu wakiniasa niishi na watu kwa heshima na taadhima. Nami niliwaahidi wazazi wangu kuwa nitaishi kama walivyonielekeza.
Nilitengana na wazazi wangu kwa mara ya kwanza toka nitoke tumboni kwa mama wangu. Nilifika mkoani na kufikia kwa ndugu wa rafiki yangu. Kwa vile tulifika Jumamosi jioni sana, tulilala na kesho yake tulipumzika na kupata nafasi ya kupelekwa sehemu ya kazi.

Ulikuwa mradi mkubwa sana ambao tuliambiwa utachukua miaka mitano kwisha, siku ile tulipumzika na kesho yake tulikwenda kuanza kazi. Siku ya pili tuliamka asubuhi na mapema na kwenda eneo la ofisi ambapo ndipo mnapangiwa kazi. Ilikuwa kuna tofauti kubwa na vijana wengi tuliowakuta nje ya geti wakisubiri kuitwa, lakini sisi tulikuwa na mwenyeji, mjomba wa rafiki yangu ambaye alikuwa ndiye msimamizi mkuu wa mradi ule ambao ulikuwa chini ya Wataliano, tuliingia bila kuitwa.
Basi huo ndiyo ukawa mwanzo wa kuanza maisha ya kujitegemea, tulianza kwa kulipwa kwa kutwa kama wenzetu kwa wiki mbili, baada ya hapo tulichaguliwa vijana kama ishirini tuliopewa mkataba na kulipwa kwa mwezi na posho yetu kuongezeka tofauti na wenzetu waliokuwa wakilipatwa kwa kutwa.
Maisha yalikwenda vizuri huku mimi na mwenzangu tukihama kwa ndugu zake na kupanga chumba kimoja na kukaa wawili. Wazazi wangu nao walikula jasho langu kila mwezi kwani niliwatumia robo ya mshahara wangu nao walizidi kuniombea kwa Mungu ili niendelee kupata zaidi.

Siku zilikatika huku nami nikipevuka kiakili na mawazo kufikia hatua ya kuhitaji mwenza. Nyumba tuliyokuwa tumepanga kulikuwa na binti mmoja ambaye Mwenyezi Mungu alimjalia umbile dogo lakini nzuri na sura jamili (nzuri). Binti yule alitokea kunipenda sana kiasi cha kumueleza mama yake angependa aolewe na mimi.
Moja ya njia ya kuonesha ananipenda aliniomba mambo yote ya kike ayafanye yeye kama vile kunipikia chakula cha jioni baada ya kazi, kufua nguo na kusafisha chumba lakini sikumpa nafasi ile kwa kuhofia wazazi wake.
Pamoja na mimi kumpenda sana bado sikumkubalia kutokana na kuwaheshimu sana wazazi wake ambao siku zote walinilea kama mtoto wao.

Siku moja usiku baada ya kutoka kazini, mama mwenye nyumba ambaye ni mama mzazi wa yule binti aliniita kwa kumtumia yule binti. Nami niliitikia wito ule, baada ya kuingia sebuleni kwao, nilikaribisha kwenye kochi lililokuwa karibu na alipokaa mama mwenye nyumba.

“Kazala,” mama aliita kwa sauti ya chini.
“Naam mama,” niliitikia kwa unyenyekevu mkubwa.
“Nimekuita mwanangu nikueleze jambo moja la muhimu sana.”
“Sawa mama.”
“Kwanza wewe dini gani?”
“Sina dini,” nilimjibu kwa mkato.
“Muongo, hebu niambie ukweli wewe ni dini gani?”
“Kweli mama sina dini.”
“Sasa kama ukipata mwanamke mwenye dini utafanya nini?”
“Sitafanya chochote nitaiheshimu dini yake, lakini mi nitabakia sina dini?”
“Kwa nini?”
Sikumficha nilimuelezea maisha ya wazazi wangu na kitu gani kilichonifanya nisiwe na dini.
“Lakini hata kiserikali mtu anapotimiza miaka kumi na nane ana haki ya kuamua chochote bila kuingiliwa, hivyo ulikuwa na nafasi ya kuchagua dini yoyote ya baba au ya mama.”
“Ni kweli, lakini bado kwa mimi sikutakiwa kufanya hivyo.”
“Kwa nini?”
“Nimesimama kati ya baba na mama yangu wote nawapenda na sitaki kumuudhi mmoja kati yao.”
“Sasa mwanangu kuna kitu nimekuitia, mdogo wako Suzana anakupenda sana tena sana kapitiliza kukupenda. Siku zote amekuwa akikuonesha kwa vitendo imeonekana kama umuelewi. Mpaka kuja kunieleza mimi mama yake basi ujue yamemfika shingoni. Kutokana na tabia yako ambayo imekuwa tofauti na wavulana wengi nimeamini unafaa kuwa mkwe wangu.
“Nakuomba uwe mkwe wangu muoe Suzy kwa kweli ni mwanamke mzuri ambaye atajivunia katika maisha yako. Najua utashtuka mama kumpigia debe mwanaye lakini kwa hili sikuwa na jinsi.”
“Nimekusikia mzazi wangu naomba unipe muda ili nami niwasiliane na wazazi wangu.”
“Kuwasiliana na wazazi wako si vibaya, lakini kwanza ni wewe kukubaliana na mwenzako.”
“Mimi nimekubali.”
“Nashukuru kwa majibu yako mazuri, basi nakuruhusu, uwasiliane na wazazi wako, usihofu gharama nitakusimamiane mpaka mwisho wa harusi yenu.”
“Nashukuru mzazi wangu.”
Baada ya kutoka kwa mama mwenye nyumba nilirudi chumbani kujipumzisha, haikupita muda mlango iligongwa alikuwa Suzy.
“Karibu,” nilikabiribisha bila kunyanyuka kitandani.
Alisukuma mlango na kuingia ndani akiwa na sinia lililofunikwa kawa.
“Karibu chakula Kazala.”
Sikutaka kubisha lakini nilitaka tule pamoja Suzy hakukataa tulikuwa pamoja. Tokea siku ule Suzy akawa na uhuru wa kuja kwangu lakini sikuwa na tamaa ya mwili kwa kujiapia mpaka nimuoe kabisa. Mipango ilienda vizuri na Suzy akawa mke wangu ndoa ilifungwa kwa mkuu wa wilaya kila mtu akiwa na imani yake.
Namshukuru Mungu maisha yalikuwa mazuri kwa mke wangu kuonesha mapenzi ya kweli nami pia nilimpenda mapenzi ya dhati. Miezi sita baada ya kuoana tulihama nyumba ya wazazi wa mke wangu na kwenda kukaa kwenye nyumba nyingine ya familia yao iliyokuwepo umbali kidogo toka kwetu, wakati huo mke wangu alikuwa na ujauzito wa miezi minne.
Nyumba tuliyohamia ilikuwa na wapangaji wawili na sisi tulikuwa sehemu ya nyumba mbele iliyokuwa ya kifamilia. Kazi nayo iliendelea vizuri kila siku kuondoka asubuhi na kurudi usiku. Maisha yalisoga muda ulipofika mke wangu alijifungua mtoto wa kike.
Mwenetu alikuwa vizuri mpaka alipofikisha mwaka mmoja na miezi saba nilipatwa na mshtuko kushindwa kutembeza zaidi ya kukaa na kujibuta kwa matako. Katika maisha yangu pamoja ya kutokuwa na dini bado sikuuamini uchawi hata kidogo japo niliusikia kuwa upo. Hali ya mwanangu ya kutotembea ilinishtua sana. Katika kuulizia kwa watu waliomuona mtoto wangu walisema mtoto wangu inawezekana amebemendwa.
Kauli ile ilinishtua sana baada ya kuelezwa maana ya kubemenda ni mtu kutoka nje ya ndoa, kwa upande wangu sikuwa na shaka kwa vile sikuwa na mpenzi mwingine zaidi ya mke wangu mama Zawadi. Pia kwa upande wa mke wangu hata kwa mtutu nisingekubali kutoka nje ya ndoa kwani nilimuamini sana.

Nikawa njia panda kuelewa hali iliyomkuta mwanangu kama inatokana na mtu kutoka nje ya ndoa basi walikuwa wamekosea nikiamini huenda tatizo alilonalo mwanangu huenda linafanana na hilo.

Jumapili moja niliyokuwa nyumbani, nilitoka na mwanangu ambaye nilimpenda sana pamoja na kuchelewa kutembea. Nikiwa natoka dukani nilikutana na mama mmoja wa makamo na kusalimiana naye. Nilipishana naye lakini sikupiga hatua mbili aliniita.
“Baba Zawadi.”
“Naam mama,” niliitika huku nikigeuka kumsikiliza.
“Samahani mwanangu.”
“Bila samahani mama.”
“Basi naomba tusogee pembeni tuzungumze.”
“Hakuna tatizo mama yangu.”
Nilisogea pembeni kidogo ya barabara na kusimama kwenye uchochoro wa kutokea mtaa wa pili.
“Naam mama,” nilianzisha mazungumzo.
“Mwanangu nimekuita ili tuzungumze kitu kimoja, nina imani hukijui kinachofanyika nyuma kwa vile unatoka asubuhi na kurudi usiku kinachotendeka mchana hukijui.”
“Ni kweli mama.”
“Unamuonaje mjukuu wangu Zawadi?”
“Kwa kweli mama hata mimi nashindwa kuelewa.”
“Unashindwa kuelewa nini ikiwa mwanao mnamtesa bila kosa.”
“Mama tunamtesa kivipi?”
“Unaona hii miguu ya mwanao ipo sawa?” aliniuliza huku akiishika miguu ya mwanangu iliyokuwa haina nguvu.
“Haipo sawa, kwa kweli nachanganyikiwa hata sijui sababu ni nini japo watu wananiambia kitu ambacho naamini si kweli.”
“Kitu gani hicho?”
“Achana nacho hakina umuhimu,” sikutaka kumuambia habari ambazo mimi niliona ni za kizushi.
“Kitu gani?”
“Utayaweza maneno ya watu mama, kila kukicha hawakosi ya kusema.”
“Maneno gani?” yule mama alikazania swali lake.
“Achana nayo hayana umuhimu.”
“Inawezekana uliyoambiwa ndiyo nitakayokueleza leo.”
“Nina imani si hayo.”
“Haya, tuachane na hayo, unajua matatizo ya mtoto kuchelewa kutembea yanatokana na nini?”
“Kwa kweli sijui.”
“Yapo mambo mengi, moja kuchezewa na walimwengu na lingine ni kubemendwa.”
“Kwa hiyo tatizo la mwanangu linatokana na nini?”
“Mkeo atamuua mtoto huyu, kwa nini unakuwa na moyo wa kikatili kiasi hiki, kama hawezi kumlea basi mumpeleke kwa bibi yake kuliko kumtesa bila sababu.”
“Mama sijakuelewa, mke wangu amemfanya nini mtoto?”
“Anambemenda.”
“Eti?”
“Anambembenda na mwisho wake atamuua.”
“Mmh! Una maana gani?”
“Mkeo si muaminifu, wote mtaani wanajua, ukitoka na yeye nyuma anatoka anarudi muda umekaribia kurudi.”
“Sasa mama kutoka kwa mke wangu inaingiliana vipi na mwanangu kuchelewa kutembea?”
“Baba jasho la janaba ni baya kwa mtoto hasa ikiwa mliyekutana si wazazi wa mtoto, mmoja wenu akikosa uaminifu na akamshika na uchafu wake lazima mtoto atadhurika.”
“Sasa mama mke wangu mbona muaminifu?” kauli ile ilinishtua.
“Baba acha kusema hivyo, sisi ndiyo tunayejua, isingekuwa huyu mtoto wala nisingenyanyua mdomo wangu, ningekuacha ili siku moja ujionee mwenyewe uchafu wa mkeo.”
“Kwa hiyo chanzo cha matatizo ya mtoto ni mke wangu?” nilijikuta nikikosa amani moyoni.
“Baba usiandikie mate, kwa vile mkeo hata aibu hana, siku moja rudi nyumbani mchana utajionea mwenyewe. Kabla ya kufanya lolote fanyia kazi haya niliyokueleza. Ukipata majibu ndiyo utajua mkeo muaminifu au siyo, utapata kiini cha matatizo ya mkeo.
“Ila nakuomba kabla ya yote mtoto wako mpeleke kwa bibi yake kisha fanya uchunguzi wako.”
“Asante mama kwa maelezo yako.”
“Ila nakuomba ukienda kwako usioneshe mabadiliko yoyote, kuanzia Jumatatu siku yoyote rudi nyumbani ghafla mchana utaniambia niliyokueleza ni kweli na maendeleo ya mwanao utayaona kwa muda mfupi akiwa mbali na mama yake.”
“Asante mama.”
Niliagana na yule mama ambaye alikuwa mtu wa heshima na nilimuheshimu sana pale mtaani. Nikiwa narudi, njia nzima nilikuwa na mawazo mazito juu ya maneno niliyoelezwa na sababu ya matatizo yanayomfanya mwanangu ashindwe kutembea.
Kingine ambacho sikutaka kukikubali mara moja ni kuhusu kutoka kwa mke wangu nje ya ndoa. Kwa kweli sikuamini mke wangu kama angeweza kutoka nje ya ndoa hasa kutokana na ukimya pia kuonesha mapenzi mazito kwangu.

Nilifikiria kama ni kweli mke wangu ndiye chanzo cha matatizo ya mtoto, ina maana hajui au anafanya makusudi. Nilipofika nyumbani nilijitahidi kuficha mabadiliko mke wangu alinichangamkia huku akimchukua mtoto ambaye siku zote alimuonesha mapenzi makubwa.
Siku hiyo nilikuwa nyumbani kimwili lakini kiakili nilikuwa mbali sana, kwa kuwa nilikuwa nikiwaza yote niliyoelezwa na wote walioguswa na hali ya mwanangu kuchelewa kutembea kiasi cha watu kumtania kwa kumwita fundi majiko.
Japokuwa mwanangu alikuwa hatembei lakini alikuwa akiongea maneno yote akiwa amekaa kama fundi anayetengeneza majiko.
Kila nilipomuangalia mke wangu sikummaliza, nilivyomuamini na maneno yale nilichanganyikiwa huku upande mwingine nikiona kama maneno yale yalikuwa ni njama za kutaka kuivunja ndoa yangu.
Mke wangu alikuwa mpole na wala hakuwa muongeaji kabisa, muda wote alikuwa kimya mpaka miye nianze kumsemesha.
Niliificha siri ile moyoni mwangu japokuwa kuna wakati moyo ulikubali na wakati mwingine ulikataa kuamini kile kilichokuwa kikisemwa.
Siku ya pili ilikuwani ni Jumatatu nilitakiwa kwenda kazini nilipanga kurudi mchana ili nishuhudie kile kinachosemwa kama ni kweli au la.
Siku ya siku nilipofika kazini, nilisingizia kuumwa kwa vile sikuwahi kuomba ruhusa kutokana matatizo yoyote nilikubaliwa na kurudi nyumbani saa sita kasorobo mchana.
Nilipofika nilikuta mlango ukiwa umefungwa, nilipiga simu ya mke wangu lakini haikuwa hewani. Nilizunguka upande wa pili nilimkuta mtoto wangu Zawadi akichezea matope bila kuwa na mtu yeyote wa kumwangalia.
Nilibisha hodi chumba cha jirani, alitoka jirani yangu ilhali akiwa amepatwa na mshtuko mkubwa sana kwa kuniona muda ule.
“Ha! Shemeji leo umerudi mchana?” alisema huku akimtoa Zawadi kwenye matope na dalili zote zikionesha kwamba kwa kipindi cha mchana, mtoto yule huwa anaachwa peke yake na tayari alikwisha kula kiasi kikubwa cha matope kutokana na mdomo ulivyoonesha.
“Sijisikii vizuri,” nilimjibu kwa sauti ya chini huku roho ikiniuma kwa malezi mabaya aliyokuwa akipewa mwanangu.
Hali ile ilianza kunipa picha ya maneno niliyoelezwa, jirani yangu mama Sonono alianza kumsafisha matope kisha aliingia ndani kwake na kutoka na ufunguo na kunipa huku akisema:
“Shem naomba unitolee na nguo za Zawadi.”
“Hakuna tatizo.”
Niliingia ndani huku nikijiuliza mke wangu atakuwa amekwenda wapi, pia kama nisingekuja mwanangu angekula matope na kuwa mchafu mpaka saa ngapi. Baada ya kumtolea nguo nilimuuliza:
“Mama Zawadi ameenda wapi?”
“Amesema ameitwa na mama yake.”
“Kila siku huwa anaitwa na mama yake?” Nilimshtukiza kwa swali ambalo nilijua hakulitegemea.
“Siku nyingine huwa sijui anaenda wapi.”
“Kwa hiyo akiondoka wewe ndiye unakuwa mlezi wake au siyo?”
“Kwani vipi shem?”
“Nakuuliza wewe ndiye mlezi wake, hebu angalia nimemkuta mtoto anakula matope, kwa siku zote anazoondoka kazi yako ni kumlisha mwanangu matope?” Nilimuuliza kwa hasira.
“Ha…ha…pana shem.”
“Niambie ukweli mke wangu amekwenda wapi maana nimetoka kwao?”
“Si…si…jui akiondoka huniachia mtoto.”
“Huwa anarudi saa ngapi?”
“Jioni kabla hujarudi.”
“Asante.”
Nilimchukua mwanangu na kumpeleka kwa mama mzazi wa mke wangu na kumuuliza kama mke wangu alifika pale nyumbani kwake.
Majibu yalikuwa ni tofauti na nilivyoelezwa, nilimuomba nimuachie mtoto. Alikubali kitu cha ajabu hakuniuliza swali lolote zaidi ya kumchukua mtoto.
Nilirudi nyumbani kumsubiri mke wangu aniambie alikokuwa amekwenda.

Majira ya saa kumi na mbili na nusu mke wangu alirudishwa na gari, kwa vile nilishaelezwa muda wake wa kurudi, nilitoka na kukaa nje, ufunguo nilimpatia mama Sonono na kumwambia akija amwambie kuwa mtoto amechukuliwa na mama yake mzazi.
Alipofika aliteremka na kukimbilia kwa mama Sonono kuulizia ufunguo.
Baada ya muda nilimuona akitoka barabarani akiwa kama anayetafuta kitu, huku akiwa anapiga simu, baada ya muda gari lililomleta lilirudi.
Kabla hajapanda kwenye gari nilijitokeza na kumwita.
“Mke wangu.”
Alishtuka kuniona mpaka simu ikamponyoka chini huku akisema kwa sauti kubwa:
“Ha! Mume wangu!”
“Vipi mpenzi ingia twende nina safari nyingine,” sauti kutoka ndani ya gari ilimhimiza aingie kwenye gari.
“John nenda tu, mume wangu.”
“Mumeo kafanya nini tena mpenzi?”
“John ondoka mume wangu huyu hapa.”
“He!” Sauti ilitoka kwenye gari na gari kuondoka kwa kasi bila kufunga mlango mmoja. Sikutaka kutaharuki nilimuuliza:
“Unatoka wapi?”
“Kwa mama.”
“Yule nani?”
“Bwana wa shoga yangu alinipa lifti.”
“Mmh! Sawa.”
“Vipi mbona mapema?”
“Kawaida tu kwani kuna ubaya?”
“Hakuna, Samahani mume wangu, nilikwenda kwa mama na kupishana naye huku nyuma alikuja na kumchukua Zawadi, nilikuwa naomba nimfuate.”
“Sawa, hakuna tatizo, utanikuta.”
Alisogea mbele na kukodi teksi iliyompeleka kwao, niliingia ndani nikiwa nimefura kwa hasira nikiwa siamini nilichokiona na kuanza kuamini yote niliyoelezwa juu ya uchafu wa mke wangu.
Nilimsubiri kwa hamu kubwa arudi anieleze sababu ya kujifanya kondoo mwenye ngozi ya chui.
Kitu cha ajabu mezani kulikuwa kumeandaliwa kila kitu kuonesha kwamba mke wangu kabla ya kuondoka hufanya kila kitu kwa ajili ya chakula cha jioni ili akirudi hata kama amechelewa chakula kionekane kuwa ni tayari.
Miye nilipokuwa narudi niliamini kuwa mke wangu hakutoka kwa vile chakula kilikuwa kimeshatayarishwa.
Nilikwenda hadi chumbani na kujilaza kitandani miguu ikiwa chini bila ya kuvua viatu, niliweka mikono kichwani huku macho yangu yakitazama juu nisiamini nilichokisikia, hata nilichokiona kwa macho yangu.
Nilipatwa na mtikisiko wa moyo kwa mara ya kwanza tangu niwe na akili timamu japokuwa niliishawahi kuona na kusikia usaliti ndani ya ndoa za watu.
Nikiwa katikati ya mawazo mke wangu alirudi akiwa na mtoto na moja kwa moja alikuja kukaa pembeni yangu huku akijichekesha.
Nilijiuliza mama yake amemwambia nini kutokana na kuwa katika hali ya kawaida tu.
“Vipi mume wangu?”
“Poa.”
“Mbona kama haupo sawa?”
“Nipo sawa,” nilimjibu kwa sauti ya chini.
“Hapana mume wangu lazima utakuwa na tatizo.”
“Nipo sawa.”
“Nakuja,” mke wangu alisema huku akinyanyuka na kwenda nje akimuacha mtoto pembeni.
“Baba,” mwanangu Zawadi aliniita.
“Mama,” nilipenda kumwita hivyo kwa kuwa alikuwa akitumia jina la mama yangu mzazi.
“Pipi api?”
“Nitakwenda kukununulia.”
“Tende dukani baba kanunue pipi,” mwanangu alisema huku akijivuta kwangu na kunishika mkono, niliamua kumpelekea dukani.
Nilimuangalia mwanangu na kujikuta nikitokwa na machozi ya uchungu, alizidi kunilazimisha ninyanyuke. Nilinyanyuka kitandani na kumbeba mpaka dukani ambako nilimnunulia pipi na biskuti.
Wakati napita kurudi ndani nilimsikia mke wangu akizungumza na mama Sonono. Kwa jinsi walivyokuwa wakizunguza niliamini kabisa alijua bado nilikuwa chumbani.
“Dada umeniangushia jumba bovu,” nilisikia sauti ya mama Sonono ikilalamika.
“Jumba bovu vipi, kwani anajua nilikwenda wapi?”
“Kurudi kwa mumeo kuna sababu, hata maswali yake yalionesha anajua mengi juu yako, hata mtoto kwa mama yako alimpeleka yeye.”
“Wewee usiniambie!” sauti ya mke wangu ilionesha kushtuka.
“Kweli, kabisa ila alinikataza nisikuambie.”
“Jamani kwa nini umenigeuka?”
“Sikuwa na jinsi nilihofia kupigwa na mumeo kwa jinsi alivyokuwa angeweza kumtafuna hata mtu.”
“Akupige kwani wewe ndiye uliyetoka nje ya ndoa, wa kupigwa ni miye, kwanza jeuri hiyo ataitoa wapi?” mke wangu alizungumza kwa sauti ya kujiamini.
Maneno yale yalionesha dhahiri kwamba mke wangu alifanya yote yale kwa vile alikuwa na kitu alichokuwa akikitegemea.
“Dada ukitoka tena uondoke na mwanao sitaki ugomvi na mumeo, kwani ataona labda mimi ndiye ninayekufanyia mipango.”
“Mi mtoto mdogo? Nitaondoka naye kwani kazi anafanya yeye? nitamuweka kwenye kochi kisha namaliza haja zangu, hilo shoga lisikupe shaka, basi baadaye.”
Kwa vile ilikuwa giza mke wangu alitupita mimi na mwanangu bila ya kutuona na kuingia ndani.
Nami niliingia ndani na kukutana naye mlangoni, aliponiona aliniuliza:
“Vipi umetoka wapi?”
“Dukani.”
“Eti, kwani mume wangu leo umerudi saa ngapi?”
“Kwani vipi?”
“Nasikia umerudi mapema?”
“Tatizo ni nini?”
“Sasa umerudi mapema ili iweje?”
“Sina ruhusa ya kurudi nyumbani kwangu mapema?”
“Siyo hivyo.”
“Sasa tatizo nini?”
“Ujaji wako umeonekana umekuja kwa sababu.”
“Ndiyo umekuja kwa sababu maalum.”
“Sababu gani?”
Nilijikuta nikipata nafasi ya kufungua yaliyo moyoni mwangu.
“Niambie ulikwenda wapi?”
“Kutembea.”
“Kwa ruhusa ya nani?”
“Nilisahau kukuaga naomba unisamehe kwa hilo.”
“Aliyekurudisha ni nani?”
“Ni rafiki wa shoga yangu.”
“Naomba uniambie ukweli la sivyo leo nitakufanyia kitu kibaya sana,” nilimtisha.
“Unataka kunifanyia kitu gani?” alishtuka.
“Usiponieleza ukweli nitakufanyia kitu kibaya ambacho hutakisahau maisha mwako.”
“Unataka ukweli gani mume wangu?” mke wangu aliingia woga.
“Ninajua kila siku nitokapo nawe huku nyuma unatoka, huwa unakwenda wapi?”
“Nani kakuambia?”
“Si kujua aliyeniambia, bali ni wewe kunieleza ninapotoka nawe unatoka, unakwenda wapi?”
“Waongo hao mi sijawahi kutoka, ni leo tu.”
“Mama Zawadi naomba uniambie ukweli,” nilipandisha sauti.
“Nilikwenda kwa shoga yangu na wakati wa kurudi mpenzi wake alinipa lifti kwenye gari lake.”
“Huyu mtoto kakukosea nini?”
“Kwa vipi?”
“Mbona unamfanya kama yatima, kama unafanya uchafu wako basi mhurumie mtoto, unaridhika na hali ya mtoto ya kuteseka hivi?”
“Nimemtesa kivipi?” majibu ya mke wangu hayakuonesha kushtushwa na hali ya mtoto wetu.
“Kila ukiondoka unamwacha kwa mama Sonono mtoto hana matunzo, leo tu nimemkuta akila matope, kwani nini umekuwa mkatili kiasi hiki mke wangu?”
“Mume wangu mtoto kuchezea matope ni kitu cha kawaida tu.”
“Uchafu unaoufanya umesababisha mtoto aendelee kuteseka chini kama fundi majiko, au unataka azeeke akiwa amekaa?”
“Mwanao mvivu tu wala si mimi.”
“Taarifa zako za kumharibu mtoto kila mtu mtaani anazijua, wanamuonea huruma mtoto, ona miguu ilivyolegea kwa umalaya wako.”
“Sawa mimi malaya, basi nipe talaka yangu.”
“Tatizo si talaka bali kumuonea huruma mtoto.”
“Mi si malaya naomba talaka yangu.”
“Hapa talaka haitoki kuanzia leo mtoto atakaa kwa mama na siku nirudi halafu nisikukute utanitambua.”
Kwa kweli mke wangu nilikuwa nampenda sana, sikumfanya lolote tulilimaliza kwa kuniomba msamaha kwa kuondoka bila kuaga lakini suala ya kutoka nje ya ndoa alilipinga kwa nguvu zote huku akiniuliza:
“Lini tulipokutana kimwili ulikuta nimetumika? Mara nyingi mimi ndiye ninayekulazimisha kufanya mapenzi kama ningekuwa si mwaminifu kulikuwa na haja gani ya kulazimisha mapenzi kwako?”
Kwa kweli sikuwa na jibu, kwa upande mwingine nilimuona kama mke wangu yupo sawa kutokana na tangu nimuoe hakuwahi kutoa udhuru kitandani. Tena kwa upande mwingine nilikuwa namuonea huruma kutokana na kazi zangu ambazo hunilazimu kurudi nikiwa nimechoka. Suala la mtoto kumpeleka kwa bibi yake alikubaliana nalo.
***
Maisha yaliendelea huku nikiamini kabisa kuwa mke wangu amejirekebisha, alipokuwa akitaka kutoka nyumbani alikuwa lazima aage ndipo atoke.

Na safari zake nyingi zilikuwa kwenda kumuona mtoto kwa bibi yake. Hilo halikunipa shida, nilijua ni sehemu ya upendo kwa mwanaye.

Miezi minne baada ya tukio lile, hali ya mtoto ilibadilika, akawa anaweza hata kusimama na kunyanyua mguu mmoja. Hali ile ilinifanya niamini kabisa mke wangu hakuwa mwaminifu katika ndoa yetu licha ya kujitetea kwa kuapa kwa miungu yote.
Kama kawaida, siku moja nikiwa kazini majira ya saa nane mchana, mke wangu alinipigia simu na kunieleza kuwa ameitwa na mama yake mara moja, nilimkubalia. Jioni niliporudi sikumkuta, sikuwa na wasi, nikaingia ndani na kuoga, baada ya hapo nilijipumzisha sebuleni kwenye kochi kumsubiri mke wangu arudi.

Kwa vile nilikuwa nimechoka, nilipojilaza kidogo usingizi mzito ulinipitia. Nilishtuka usiku na kujiona nimelala muda mrefu, saa ya kwenye simu ilionesha ni tayari saa tatu za usiku. Nilishtuka na kwenda nje kulipokuwa na kiza kinene, nilijaribu kupiga simu ya mke wangu, iliita kwa muda bila kupokelewa na niliporudia, simu haikupatikana tena.

Nilirudia zaidi ya mara tano, nikaamini huenda chaji imekwisha, niliendelea kumsubiri nikiamini yupo njiani na angerudi muda wowote. Mpaka saa tano inaingia, bado alikuwa hajarudi. Wasiwasi ulikuwa mwingi, nikaamua kwenda nyumbani kwao kujua kuna kitu gani kilichomfanya mke wangu mpaka muda ule awe hajarudi.

Kabla ya kwenda, nilijaribu kupiga simu yake lakini bado haikuwa hewani. Niliondoka na kwenda ukweni kwa kukodi gari lililonipeleka mpaka nyumbani kwao. baada ya kuteremka, nilielekea nyumbani kwa wazazi wa mke wangu, sehemu niliyokuwa nimepanga wakati naanza maisha.

Nyumba ilikuwa kimya na taa zote zilikuwa zimezimwa kuonesha walikuwa wamelala, akili ya haraka ilinifanya nifikiri kuwa huenda nimepishana na mke wangu- ambaye ameondoka muda si mrefu na kufanya wazazi wake walale. Nilitaka kugeuza kurudi lakini niliona ni vizuri niulize ikiwezekana nijue kilichomchelewesha mke wangu.

Nilisogea kwenye nyumba na kugonga mlango, baada ya kugonga kwa muda sauti kutoka ndani iliuliza:
“Nani?” ilikuwa sauti ya mama mkwe.
“Mimi mama.”

“Nani… baba Zawadi?” aliifahamu sauti yangu.
“Ndiyo mama.”
Baada ya muda mlango ulifunguliwa na kutoka huku akionesha alikuwa ameshapitiwa na usingizi.
“Karibu baba.”
“Asante mama.”
“Vipi mbona usiku?”
“Nimekuja kumuulizia mwenzangu.”
“Nani, mama Zawadi?”
”Ndiyo mama.”
“Alikuaga anakuja huku?”
“Ndiyo, alinipigia simu akisema umemwita, niliporudi nyumbani sikumkuta, nimemsubiri tangu nimerudi mpaka muda huu sijamuona na kunifanya niingiwe na wasiwasi.”

“Amekuomba ruhusa saa ngapi?”
“Saa nane mchana.”
“Mmh! Sasa atakuwa wapi, simu yake umempigia?”
“Iliita mara moja bila kupokelewa, niliporudia haikupatikana tena.”
“Ulipiga saa ngapi?”
“Majira ya saa tatu usiku.”
“Mmh! Mbona mtoto huyu ana matatizo!”
“Mama hukumwita?” nilimuuliza bibi Zawadi baada ya kuona hakukuwa na mawasiliano na mwanaye.
“Sijamwita,” alinijibu kwa mkato.
“Sasa atakuwa amekwenda wapi?”
“Kwa kweli sijui.”
“Bora simu yake ingekuwa hewani ingekuwa afadhali lakini ndiyo hivyo haipatikani.”
“Mtoto huyu kawaje jamani, hebu baba rudi nyumbani kamuangalie huenda amerudi.”
“Sawa mama.”

“Basi lolote litakalotokea nijulishe.”
“Sawa mama.”
Niliagana na mama mkwe na kurudi nyumbani, njia nzima nilikuwa na maswali mengi juu ya ombi la ruhusa ya mke wangu kuwa ameitwa na mama mkwe. Ilionesha wazi msamaha alioomba mke wangu ulikuwa ni danganya toto. Nilijiuliza tabia ile mke wangu kaitoa wapi? Tangu nilipomfahamu alikuwa msichana mpole, mkimya tena mwenye heshima.

Nilipofika nyumbani sikumkuta mke wangu, niliingia ndani na kukaa kwenye kochi kwa kuhofia kama nitakwenda kulala na kupitiwa na usingizi mzito, labda mke wangu anaweza kurudi muda wowote na mimi kushindwa kumfungulia na kupata sababu ya kulala nje.

Nilirudisha mlango na kuzima taa ya sebuleni, nikakaa kwenye kochi ili kumsubiri mke wangu ambaye sikujua atarudi muda gani. Mpaka muda ule ilikuwa ni saa saba na nusu usiku usiku.
Nilijitahidi kukaa macho ili mke wangu akirudi na kugonga, niweze kumuona. Kuna kipindi nilipitiwa na usingizi niliposhtuka nilitoka mpaka nje kuangalia kama labda nitamuona mke wangu akiwa amerudi na kuniita na kushindwa kumsikia.
Nilizunguka nyumba nzima bila kumuona mke wangu na kurudi tena sebuleni kumsubiri.
Siku ya pili ilinikuta nikiwa bado nipo sebuleni nikimsubiri mke wangu, nikiwa najiandaa kwenda chumbani, mke wangu aliingia akionesha amekunywa pombe kitu ambacho hakuwahi kukifanya katika maisha yake yote niliyomjua na nywele zake zilikuwa timtim.
“Ooh! Mume wangu, habari za asubuhi?”
“Nzuri, habari za wapi?”
“Nilikwenda kwa mama wakati narudi shoga yangu alinipigia simu kuwa kuna harusi ya ndugu yake. Nilijua nitawahi kurudi kumbe sherehe ni sherehe kuja kushtuka muda umekwenda na usafiri ulikuwa wa tabu nikaamua kulala huko huko.”
“Kwa nini hukunipigia simu?”
“Wakati unanipigia simu ilizimika hata kabla sijakujulisha.”
“Na mbona umekunywa pombe, umeanza lini?”
“Mume wangu sherehe ina vishawishi vingi, lakini sikunywa sana.”
Nilijikuta kwa mara nyingine nikishindwa kumhukumu mke wangu, niliamua kumsamehe kwa vile nilikuwa nampenda sana. Ila nilimuomba asiondoke nyumbani bila kuaga pia asiwe anakunywa pombe.
Mke wangu kama kawaida yake aliniomba msamaha na kuniahidi kuwa hataweza kuondoka bila ya kuaga, pia hatarudia tena kunywa pombe.
Nilimsamehe mke wangu kwa vile nilikuwa nampenda sana na sikutaka kumpoteza maishani mwangu kwa kuamini kuwa yeye ni kila kitu kwangu.
Baada ya tukio lile mke wangu alitulia na heshima ya ndoa ikarudi ndani kama kawaida.
Wakati huo mtoto wetu alikuwa amekazana kutembea, kwa kitendo cha mwanangu kutembea niliwashukuru sana majirani. Wiki moja baada ya tukio la mke wangu kulala nje aliniomba tuhame mtaa ule.
“Mume wangu naomba tuhame hapa.”
“Tuhame hapa twende wapi?”
“Sehemu yoyote lakini mbali na hapa.”
“Kodi si itatusumbua?” Nilimwambia kwa kuwa hali yangu ya kiuchumi aliijua.
“Mume wangu unafanya kazi, acha kujilegeza, inatakiwa sasa hivi tuishi maisha ya kwetu wenyewe bila kuwategemea watu,” yalikuwa maneno ya kweli lakini yalitakiwa maandalizi ya muda mrefu hasa nikizingatia kulipa kodi ya miezi sita kwa haraka ulikuwa mtihani mkubwa kwangu.
“Lakini mbona mama alisema hii ni nyumba yako amekupa baada ya kuoana?” Ilibidi nihoji baada ya mke wangu kulazimisha kuhama.
“Kazala, husikii tunavyosimangwa kuhusu hii nyumba, hasa wewe mume wangu maneno yao kwa kweli huwa yananiumiza sana pale wanapokusema vibaya eti nimekuoa badala ya kunioa, hayo ni maneno gani mume wangu?”
“Mmh! Sina jinsi kwa vile ni haraka sana, nipe wiki nijaribu kukopa kazini ili tutafute nyumba.”
“Kuhusu kodi ya kuanzia nitalipa mimi itakayofuata utalipa wewe.”
“Hakuna tatizo,” nilikubaliana naye bila kuhoji fedha ataitoa wapi kwa kuhofia kubadili uamuzi wake.
Siku ya pili nilipokwenda kazini mke wangu alinipigia simu na kunijulisha kuwa amekwisha hamisha kila kitu na kunielekeza nikitoka kazini niende sehemu alipo na siyo pale tena.
Nilipotoka kazini nilikwenda sehemu aliyonielekeza na kushtuka kukuta amepanga kwenye nyumba ya gharama iliyokuwa ndani ya fensi, kitu kilichonipa wasiwasi na kujiuliza kama kodi aliyolipa mke wangu ikiisha nitaweza kuilipa. Mke wangu alinipokea kwa furaha.

“Karibu mume wangu kwenye makazi mapya.”
“Asante.”
“Mbona kama unashangaa?”
“Nashangaa kwa mambo mawili, kwanza nyumba nzuri sana na pili na wasiwasi kodi yake ni kubwa.”
“Ni kweli kodi ni kubwa lakini ni sehemu nzuri tutakayoishi bila bughuza za watu.”
“Nyumba yote kwa mwezi shilingi ngapi?”
“Laki moja na nusu.”
“Mke wangu laki moja na nusu kwa mwezi umelipa kwa muda gani?”
“Mwaka mzima.”
“Ndiyo shilingi ngapi?”
“Hesabu unajua, zidisha laki na nusu mara kumi na mbili.”
“Sasa mimi nitaweza kulipa fedha zote hizo?”
“Nitakusaidia, kuwa na amani moyoni mwako.”
Sikutaka kuhoji sana fedha zote hizo kazipata wapi, kwani Waswahili wana msemo wao kuwa ukimchunguza sana bata huwezi kumla na ukimchunguza sana mkeo hutaweza kuishi naye. Tuliyaanza maisha ya Uzunguni, sehemu waliyokuwa wakiishi watu wenye uwezo. Kwa kweli maisha ya makazi mapya yalikuwa mazuri sana yenye furaha na amani.
Kwa muda mfupi, afya yangu ilirudi katika hali ya kawaida baada ya kuteseka kwa muda mrefu kutokana na vituko vya mke wangu. Kutokana na kuonesha mke wangu amejirekebisha tulimchukua mtoto wetu na kuishi naye. Heshima aliyoonesha ilimshtua hata mama yake mzazi.
Maisha yalisonga mbele, mke wangu akashika ujauzito wa pili, kitu kilichozidi kunipa faraja moyoni mwangu. Lakini ilikuwa tofauti kwa upande wa pili, mke wangu hakupenda kubeba ujauzito kwa vile mtoto wetu alikuwa bado mdogo.
“Mke wangu tatizo nini?”
“Huoni Zawadi bado mdogo.”
“Miaka mitatu si michache na mpaka unajifungua atakuwa amesogea sana.”
“Kwa upande wangu nilipanga kuzaa baada ya Zawadi kufikisha miaka mitano.”
“Basi bahati mbaya, itabidi uzae hivyohivyo.”
“Siwezi, lazima niitoe hii mimba.”
“Usiitoe mke wangu, Zawadi tutampeleka kwa bibi yake ili asipate shida.”
“Bado nina hamu ya kumlea mwanangu, kama mtoto utapata tu muda ukifika,” mke wangu bado alishikilia msimamo wake.
“Nakuomba usiitoe hiyo mimba, nipo chini ya miguu yako mke wangu,” nilimbembeleza mke wangu mpaka nikampigia magoti.
“Kwa hilo siwezi kukusikiliza, sihitaji senti tano yako, nitatoa kwa fedha zangu.”
Kwa mara nyingine mke wangu alinizidi nguvu, nikamkubalia kwa shingo upande. Siku ya pili nikiwa kazini, majira ya saa tisa alasiri, mke wangu alinipigia simu kunijulisha kuwa amefanikiwa kuitoa mimba salama. Nilimkubalia lakini upande wa pili moyo uliniuma sana, hata kazi ilinishinda na kwenda sehemu ya peke yangu ambapo nililia sana kumpoteza mwanangu mtarajiwa.
Jioni niliporudi, nilimkuta mke wangu nyumbani, hali yangu ya unyonge ilimshtua mke wangu na kunifuata nilipokuwa nimekaa, akawa ananibembeleza.
“Mume wangu, najua kiasi gani nilivyokuumiza lakini sikuwa na jinsi, nilifanya vile kwa maana kubwa. Kwa sasa ni vigumu kunielewa lakini amini nilichokifanya si kukukomoa bali kumpa nafasi Zawadi. Kumbuka makosa yangu ya awali yalimtesa mwanangu hivyo sasa hivi nina deni la kumlea.”
Kutokana na kumpenda sana mke wangu, nilikubaliana naye. Maisha yalisonga huku akionesha mapenzi mazito kwangu, kitu kilichofuta mawazo ya kutoa ujauzito.
Siku zote kimya kingi kina mshindo mkuu. Mwezi mmoja baada ya kutoa ujauzito, asubuhi moja nilidamka kwenda kazini huku hali yangu kiafya ikiwa si nzuri.
Nilijitahidi kwa kuamini mwanaume si mtu wa kujilegeza. Nilipofika kazini, nilijitahidi kufanya kazi lakini kutokana na kufanya kazi juani, hali yangu ilibadilika na kuwa mbaya hivyo niliruhusiwa kwenda hospitali kupata matibabu.
Nilikwenda hadi hospitali ya wilaya na kupata huduma japo dawa nilikwenda kununua duka la kuuza dawa. Nilibeba dawa zangu na kurudi nyumbani kupumzika. Nilipofika nyumbani, ndani ya geti nilikuta kuna gari ambalo kwangu halikuwa geni sana japo sikukumbuka nililiona wapi.
Baada ya kutafakari, niligundua lile gari ndilo lililomshusha mke wangu, nikashtuka kulikuta nyumbani kwangu na kujiuliza limefuata nini pale. Niliingia ndani na kukuta sebuleni kuna pombe kali juu ya meza na glasi mbili.
Sikujishughulisha navyo, nilielekea chumbani, nilipofika kwenye mlango wa chumbani, nilikuta umefungwa kwa ndani, nikasikia sauti mbili ya mwanamke na mwanaume. Sauti ya mwanamke ilikuwa ya mke wangu ya kiume sikujua ni ya nani. Kwa haraka nilitoka mpaka nje na kuzunguka dirishani na kuchungulia ndani
Nilioyaona ndani nusra mapigo ya moyo yasimame ghafla, kitandani kwangu alikuwepo mke wangu na mwanaume mmoja ambaye hakuwa mgeni sana machoni mwangu japo sikukumbuka niliwahi kumuona wapi wote wakiwa watupu kama walivyozaliwa.
Ilionesha walikuwa wamemaliza kufanya uchafu wao muda si mrefu kwa jinsi walivyokuwa wamejilaza. Nilihisi miguu haina nguvu na kurudi chini bila kujieleza na kukaa kama mzigo. Nikiwa nimekaa chini huku nimeegemea ukutani nikisikia homa ikipanda mara mbili na jasho lilinitoka kama maji na kujiona kama nakufa muda si mrefu.
Nikiwa nimekaa chini niliyasikia mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea ndani.
“Sasa kwa nini uliitoa ile mimba, si uliniahidi utanizalia mtoto,” sauti ya kiume ilisema.
“Ni kweli, lakini damu yako ni kali sana ningeiacha ingeniletea matatizo katika ndoa yangu.”
“Matatizo gani?”
“Nilikuwa na wazo hilo, lakini siku niliyowaona watoto wako wanafanana kama mayai niliogopa. Nilikueleza niwe mke wako wa pili hutaki unafikiri ningejifungua humu ndani japo mume wangu asingejua kitu lakini walimwengu wangemweleza. Hata kutoka kwangu kuna watu wenye roho mbaya walimueleza.
“Bila kuhama kule mambo bado yangekuwa mabaya, japo inabidi kutokana na kukupenda lakini wakati mwingine namuonea huruma mume wangu. Toka tuhamia huku pamekuwa kama kwako unakuja muda wowote unakula na kuvaa tofauti na kwako.
“Ukitaka nikuzalie mtoto nitoe kwa bwana huyu haichukui hata mwezi nitakubebea mtoto.”
“Nimekuelewa mpenzi wangu, lakini japo tunamfanya yule jamaa fala huwa sijiamini sana kuja hapa unafikiri akitufumania tutafanyaje?”
“Hawezi kutufumania.”
“Kwa nini unasema hivyo?”
“Nimekueleza haruhusiwi kurudi nyumbani bila kunijulisha.”
“Kwa nini nisikupangie nyumba nyingine au uwe unatoka na kuwahi kurudi huku nani anakufahamu?”
“John hebu acha kuniudhi, nilikulazimisha tuhamie huku ili tujitawale sasa unataka twende wapi?”
“Si unajua wewe mke wa mtu.”
“Hili umelijua leo, tuna muda gani toka tuhamie hapa?”
“Muda mrefu.”
“Basi naomba wazo la kufumaniwa ondoa.”
“Sasa mpenzi wacha nikukimbie.”
“Mbona haraka.”
“Nilipokuja nilikueleza nini?”
“Ooh! Nilisahau kwa hiyo mpaka kesho kutwa?”
“Ndiyo maana yake.”
“Basi twende tukaoge uwahi.”
Niliwasikia watu wakinyanyuka kwa sauti ya kitanda kupiga kelele. Nikiwa nimekaa chini. Niliamini kama mke wangu akigundua nimemfumania angeomba taraka kutokana na kauli aliyokuwa akiitoa ndani. Nilinyanyua pale chini huku miguu ikiwa haina nguvu na kutoka nje ya geti kwa shida huku nikitetemeka mpaka nje. Nilisogea mbali ya nyumbani ili kusubiri jamaa aondoke ili nipige simu kuwa nipo njiani.
Kutokana na hali yangu kuwa mbaya sikufika mbali sana kizunguzungu na kichefuchefu kilikuwa kikali. Nilisogea kwenye mti wa jirani na nyumbani na kutapika sana na kulala kwenye matapishi kwa vile sikuwa na nguvu ya kujinyanyua. Huwezi kuamini usingizi ulinipitia palepale kwenye matapishi mpaka niliposhtuliwa na wasamalia wema mmoja aliyekuwa akipita njia na kunikuta kwenye hali ile.
“Vipi kaka?” aliniuliza akiwa amesimama pembeni yangu.
“Naumwa,” nilimjibu kwa mkato huku nikijinyanyua kwenye matapishi.
“Unakaa wapi?”
“Pale,” nilisema huku nikionesha ninapokaa ambako hapakuwa mbali.
“Unaweza kusimama?”
Nilijaribu kunyanyuka kidogo nilikuwa na nguvu, yule msamalia mwema alinisaidia mpaka nyumbani. Bahati nzuri mke wangu alikuwa nje aliponiona alishtuka na kuja mbio.
“Jamani mume wangu, umekuwaje?”
“Naumwa,” nilimjibu kwa sauti ya chini.
Walisaidiana kuniingiza ndani na kunilaza sebuleni, baada ya kunifikisha msamalia mwema aliaga.
“Jamani mi niwakimbie.”
“Asante ndugu yangu,” nilimshukuru.
“Hakuna tatizo Mungu atakusaidia.”
“Asante kaka yangu.”

“Hakuta tatizo.”
Yule mtu aliondoka na kuniacha na mke wangu ambaye alionesha kushtushwa na hali yangu.
“Mume wangu vipi?” aliuliza huku akitokwa na machozi.
“Naumwa?” nilimjibu huku moyo wangu ukiniuma mpaka machozi yalinitoka kitu kilichomshtua mke wangu na kuzidisha kilio.
“Maskini mume wangu, unaumwa nini baba Zawadi?”
“Malaria.”
Alinichukua hadi bafuni na kunivua nguo zote kisha alinimwagia maji na kunisaidia kurudi ndani. Alinitengenezea uji haraka na kuninywesha, kila kitendo cha upendo alichonifanyia mke wangu kiliuumiza moyo wangu baada ya kubaini unafiki.
Lakini mke wangu ugonjwa wangu ulimgusa sana, muda wote alikuwa karibu yangu mpaka nilipopitiwa na usingizi. Nilipoamka nilimkuta pembeni yangu mkono shavuni.
“Mume wangu,” aliniita kwa sauti ya upole.
“Naam.”
“Poleee.”
“Asante.”
“Inaendeleaje kwa sasa?”
“Sijambo kidogo.”
“Nikutayarishie chakula gani?”
“Sijisikii kula,” pamoja na huruma yake ya mamba sikuipenda zaidi ya kuona unafiki.
“Mume wangu kumbuka umemeza dawa kali, unatakiwa kula ili dawa zifanye kazi.”
“Nitakula baadaye.”
“Hapana kuna ndizi za nyama nimekuandalia, naomba ule kidogo.”
“Hapana sijisikii kula.”
“Mume wangu.”
“Naam.”
“Mimi nani wako?”
“Mke wangu.”
“Unataka nani akubembeleze ili umsikie?”
“Wewe.”
“Kwa nini hutaki kunisikia?”
“Si nimekueleza nitakula baadaye.”
“Ni wazi huna mapenzi na mimi hata kunisamehe kwako kulikuwa kwa uongo.”
“Jamani mi si naumwa?”
“Kuumwa gani, ni wazi najilazimisha kwako huna mapenzi nami.”
Nilishangaa aliyokuwa akizungumza mke wangu kitu ambacho hakikuwepo zaidi ya mimi kutojisikia kula.
Niliamini kama nitaendelea kukataa naweza kuzalisha mapya, nilikubali kula kitu kilichomfurahisha mke wangu.
Baada ya kula nilijitahidi kulala lakini usingizi uligoma kunichukua, kila nilipofumba macho niliyaona matukio yote yakijirudia toka la mwanangu kuchelewa kutembea na siku niliporudi ghafla na kumkuta mwanangu akiwa katika mazingira mabaya.
Pia nilipomshuhudia mke wangu akiteremka kwenye gari na pia siku aliyorudi siku ya pili na kunidanganya kuwa alikuwa kwenye sherehe ya harusi kumbe alikwenda kulala na mwanaume.
Na la siku ile nililoshuhudia kwa macho yangu akiwa na mwanaume kama walivyozaliwa katika kitanda changu na kuonesha walikuwa wameshafanya uchafu wao.
Pia kusikia katoa mimba kwa kusingizio cha kumlea mtoto wetu Zawadi kumbe haikuwa mimba yangu, ilikuwa ya yule mwanaume aliyempangia nyumba.
Kila yalivyojirudia akilini mwangu, moyo uliniuma sana na kujikuta nalia peke yangu kitandani nikiwa nimejifunika shuka ili mke wangu asijue. Niliwaza kuachana naye lakini moyo ulikataa kwa kuamini sitampata mwanamke mzuri kama yule.
Niliamua kufa kizungu na tai shingoni, niliificha siri ile moyoni mwangu kwa kuamini kama ningeisema basi ningeachana naye kwa mazingira niliyoyaona na mazungumzo niliyosikia. Kufuatia kutopenda kuwepo nyumbani kutokana na kuumia kila nilipomuona mke wangu, niliamua kwenda kazini siku ya tatu japo sikuwa nimepona vizuri.
Baada ya tukio lile, lilizidi kunitesa kila alipokuwa kazini, siku ambayo nilijua mume mwenzangu atakuja nyumbani moyo ulinilipuka kwa kujua muda ule nilikuwa nasalitiwa. Kila nilipokuwa peke yangu nilijikuta nashindwa kufanya kazi na kuhama kimawazo na kuiona dunia nzima nimeibeba kichwani mwangu.
Kutokana na kuwa na wasiwasi wa moyo juu ya vitendo vya mke wangu, hali yangu ilianza kubadilika nilikuwa nikipungua mwili kila kukicha, suruali zangu zote niliongeza matundu ya mkanda matatu kurudi nyuma ili suruali ikae kiunoni. Wa kwanza kunigundua hali ile alikuwa mke wangu ambaye alitaka kujua nina tatizo gani.
“Mume wangu mbona upo hivi, una tatizo gani?”
“Nipo sawa,” nilijibu kwa mkato.
“Hapana mume wangu, kuna kitu kinakusumbua.”
“Mbona mimi nipo sawa.”
“Si kweli, toka ulipougua hujarudi katika hali yako ya kawaida, pia hata ule uchangamfu wa ndani umepotea. Kama bado unaumwa turudi hospitali tujue una tatizo gani?”
“Hapana nipo sawa,” niliendelea kumkatalia mke wangu.
Nilimkatalia kwa kuamini chanzo ni yeye, hata kama ningemwambia ningeongeza msumari wa moto kwenye kidonda kuwa nimemuona akifanya mapenzi na mwanaume mwingine kwenye kitanda changu, lazima angeomba talaka kutokana na kunipa masharti kuwa nikirudi nyumbani nimpigie simu, japo nilimpigia zaidi ya mara kumi bila kupokelewa.
Pia niliyafuatilia maneno yake aliyomhakikishia yule mwanaume kuwa siwezi kurudi nyumbani kwa vile alinieleza nirudi kwangu kwa taarifa. Niliamini kama ningemueleza ningekuwa nimevunja masharti ya kurudi nyumbani bila taarifa japo simu haikupokelewa.

KAMA angeamua kuniacha, kwangu lingekuwa pigo kubwa kutengana na mke wangu ambaye pamoja na matatizo yote bado alikuwa mtu muhimu sana katika maisha yangu.
“Au bado una yaleyale?” mke wangu aliniuliza kwa sauti ya unyonge.
“Yapi hayo?” Nilimuuliza kwa kuhofia labda ameshtukia.
“Si kuhusu mgogoro wetu kuwa miye natembea nje ya ndoa?”
“Walaa yote mbona yalishaisha.”
“Ndiyo maana nikaja kupanga huku tuishi kwa raha mustarehe, mume wangu tangu tuhamie huku nimewahi kuondoka bila ruhusa yako?”
“Hapana.”
“Au nimeishafanya jambo lolote baya?”
“Hapana.”
“Au lile la kutoa mimba bado linakutesa?
“Walaa.”
“Sasa nini mume wangu?”
“Nina wasiwasi malaria bado haijaisha,” ilibidi nidanganye ili kumfanya mke wangu aachane na mimi kwa vile alikuwa kero mbele yangu.
“Basi mpenzi naomba ukaangalie afya yako kwa kweli hali yako ilivyo hata mimi sina raha,” mke wangu alisema kwa sauti ya huruma.
“Nina imani nitakuwa katika hali ya kawaida muda si mrefu.”
“Fanya hivyo mume wangu.”
Maneno ya mke wangu bila kumfumania nisingekubali kama anaihujumu ndoa yetu, alikuwa na maneno matamu yenye kumfanya maskini kujiona tajiri na asiye na nguvu kujiona anaweza kuibeba dunia nzima peke yake.
Nilikubaliana naye ili aondoke karibu yangu lakini nilipokuwa kazini moyo wangu ulikosa raha na kujuta siku niliyokuwa nikiumwa na kurudi nyumbani na kuyakuta yale niliyoyakuta.
Heri ningeendelea kuamini kuwa naibiwa bila kuwa na uhakika kama siku ile nilivyoshuhudia kwa macho yangu.
Kila nilipokuwa peke yangu tukio la kumfumania mke wangu lilijirudia na kuwa mateso mazito moyoni mwangu.
Kila kukicha mwili wangu ulikuwa ukipoteza ubora wake na kila aliyekuwa akinijua aliniuliza nimekumbwa na kitu gani, hata bosi wangu ambaye alifikia hatua ya kunibembeleza ili nimweleze ninasumbuliwa na nini ili aweze kunisaidia hata kwa uwezo wa kifedha lakini sikumwambia.
Moyoni niliapa kufa na siri yangu kwa kutomwambia mtu yeyote tukio lile la aibu.
Hali yangu ya kiafya ilibadilika na mwili kupungua uzito kutokana na mawazo, chakula nilikula lakini sikusikia ladha yake, kuna kipindi nililaani kuwa maskini kwa kuamini kama ningekuwa na uwezo mke wangu asingechukuliwa na mwenye fedha.
Siku moja rafiki yangu wa karibu Simon alinifuata baada ya kunikuta nikiwa nimejisahau huku machozi yakinitoka.
“Kazala,” aliita kwa sauti.
“Ee..eeh?” Nilishtuka kama niliyekuwa usingizini.
“Kazala una tatizo gani rafiki yangu?” Aliniuliza akiwa amenikazia macho.
“Sina tatizo,” nilimjibu huku nikifuta machozi kwa kiganja.
“Hapana Kazala, una tatizo zito lakini hutaki kulisema.”
“Nipo sawa rafiki yangu,” nilikataa kwa kuamini kusema linalonisumbua nitakuwa nimejivua nguo hadharani.
“Kalaza unajiona ulivyo?”
“Kwani vipi?” nilijifanya kushtuka japokuwa ukweli niliujua.
“Haupo sawa, usiponieleza mimi swahiba wako utamueleza nani? Kumbuka mimi huku ndiye ndugu yako wa karibu.
Ingawa tangu mlipohamia Uzunguni hutaki nifike kwako kwa kusingizio cha mkeo na kusahau ukifa sisi ndiyo tutakaokuzika.”
Kauli ya Simon ilikuwa na ukweli kwani ndiye aliyekuwa mtu wangu wa karibu kwa kuelezana siri zetu za ndani.
Lakini siri ya mke wangu sikuwahi kumweleza hata siku moja ingawaje ilikuwa ikifahamika mtaani lakini hakukuwa na mfanyakazi mwenzangu aliyekuwa akijua kilichokuwa kikiendelea ndani ya nyumba yangu.
Pia, mke wangu baada ya kuhamia makao mapya alipiga marufuku marafiki zangu wote akiwemo Simon asifike kwetu, nami kutokana na mapenzi mazito nilimkubalia.
“Simon nipo sawa,” bado niliendelea kufa na siri yangu moyoni.

ITAENDELEA

MAPENZI YAMENIFANYA NIWE MUUAJI – 2

Related image

Simulizi : Mapenzi Yamenifanya Niwe Muuaji
Sehemu Ya Pili (2)

ILIPOISHIA
“Simon nipo sawa,” bado niliendelea kufa na siri yangu moyoni.

“Lakini sipo tayari kukuona ukipotea kwa vile unanihusu Kazala.”
Yalikuwa maneno makali yaliyonifanya mwili wangu utetemeke na jasho kunitoka.
ENDELEA…
Kauli ile ilikuwa kama mkuki moyoni mwangu, nilijikuta midomo na koo vikinikauka ghafla na kukosa la kusema, nikajiona kama mtu niliyekuwa nikitembea uchi siku zote na kujiona nimevaa kumbe watu wananiona sina nguo. Moyo uliniuma sana na kujiona kiumbe niliye na bahati mbaya.
Nikiwa nimeinama chini kama mwari machozi yakinitoka, Simon alinishika begani na kuniita jina langu.
“Kazala.”
Sikuitikia kwani midomo ilikuwa kama ina nta, kila nilipojaribu kuifungua ili niitikie iligoma kufunguka. Nilinyanyua uso na kumtazama Simon aliyekuwa akinitazama kwa jicho la huruma huku machozi yakinitoka.
“Kazala,” aliniita tena.
“Na.na..am,” niliitika.
“Pole sana, najua kiasi gani mapenzi yanavyotesa.”
“Ninyi mmejuaje?” nilijikakamua na kumuuliza swali ambalo niliamini ni siri yangu.
“Mbona siri ipo wazi, taarifa hizi zilinifikia muda mrefu toka matatizo ya mwanao kuchelewa kutembea. Pale mtaani kwenu kila nilipokuja kukutembelea nilielezwa tabia chafu za mkeo lakini nilishindwa nianzie wapi kukueleza kutokana na jinsi unavyompenda mkeo.
“Kwa kweli nilihofia kuitenganisha nyumba yako kutokana na wewe kumuamini sana mkeo. Huwezi kuamini kuna mtu mmoja wa nyumba mliyokuwa mnakaa zamani, kila nilipokuja na kuondoka alinifuata njiani na kunieleza unavyopelekwa na mkeo kwa tabia zake chafu na kuniomba nikueleze ili umdhibiti mkeo.
Lakini ningeanzia wapi kukueleza unielewe? Bado kwangu ulikuwa mtihani mkubwa. Baada ya ninyi kuhama nilikutana naye tena yule aliyekuwa akinipa taarifa za mkeo kuwa nyumba uliyohamia umepangiwa na mwanaume mwenzio, bwana wa mkeo.
“Kwa kweli habari zile ziliniumiza sana lakini vilevile sikuweza kukueleza chochote baada ya mkeo kukukataza usitembelewe na rafiki zako nikiwemo mimi mtu wako wa karibu. La kunikataza nisije kwako halikuniumiza kwa vile hata nilipoacha kuja kwako hakuna kilichopungua kwangu.
“Hali yako ya sasa iliwachanganya sana watu wengi, najua uliulizwa na kila mtu akiwemo bosi lakini hakuna hata mmoja uliyemueleza tatizo lako. Juzi kuna kitu nilisikia kwamba sijui mkeo katoa mimba ya mwanaume wa nje na watu kusema huenda imekuchanganya sana.
“Japokuwa nilikuwa najua kila kitu lakini nilitaka kauli toka kwako kwa kujitahidi kukubembeleza nijue tatizo lako kwa kauli yako mwenyewe lakini umekuwa ukificha ukweli wakati unazidi kuteketea. Lakini hali yako kila kukicha imekuwa ikizorota huku ukiwa mtu wa kuhama kimawazo kila dakika, unajisahau kama upo kazini.
Wengi wanakuonea huruma japokuwa matatizo yako wewe unajua ni siri yako, kutokana na kufanya siri wenzako waliamua kukuacha waone mwisho wako, wengi wanakuona mjinga kuendeshwa na mwanamke. Hebu naomba unieleze kila kitu usinifiche mimi rafiki yako. Kwa nini umefikia hatua hii ikiwa kila kitu cha mke wako unakijua?”
“Simon, sijui hata nikuambie nini, kwa kweli vitendo vya mke wangu vinaniumiza na kunitesa sana.
Nilimuamini sana lakini aliyonifanyia nashindwa cha kufanya. Niliona aibu kukueleza mwanzo kwa kuogopa aibu hii, lakini kumbe natembea uchi nikiamini nimevaa nguo,” niliinama kwa uchungu huku machozi na kamasi zikinitoka.
Moyo uliniuma na kujiona kwa hali ile sikuwa na faida ya kuendelea kuishi, niliona heri nife kuliko aibu ile ambayo nilijiuliza kazini pale watanielewaje. Baada ya kuwaza na kukosa jibu, nilimuuliza Simon anaweza kunisaidia nini.
“Simon ndugu yangu hapa nilipo najiona kiumbe nisiye na faida duniani.”
“Kwa nini?”
“Hebu nieleze nitaficha wapi sura yangu ikiwa kila mtu anaijua siri yangu, kupungua kwangu si kwa sababu ya yote uliyosema ni kitu kingine kabisa heri nife.”
“Ufe kwa ajili ya mwanamke?”
“Ndiyo Simon, jambo alilonifanyia kwa kweli limeniumiza sana sana.”
“Kitu gani tena rafiki yangu?”
Kwa vile kila kitu changu kilikuwa wazi niliamua kumueleza ukweli nilivyomfumania mke wangu na mwanaume ndani ndipo aliponiuliza huku ameshika mdomo kwa mshtuko.
“Ha! Halafu ukafanyaje, haki ya nani ningekuwa mimi, sasa hivi ningekuwa nasubiri hukumu ya kunyongwa. Ndani ya nyumba yangu tena kitandani kwangu dharau gani hiyo Kazala?” Simon aliniuliza macho yamemtoka pima.

NILIMUELEZA nilivyoondoka na homa yangu na niliyoyakuta nyumbani na jinsi nilivyoshindwa kuingia ndani na kuondoka na kuzidiwa na kuanguka njiani na kulala kwenye matapishi.
“Kazala…Kazala…Kazala huo ni uanaume gani? Unamuacha mgoni wako ndani chumbani kwako, tena kitandani kwako?
“Hata kama nyumba amepanga bado pale ni kwako. Kibaya umeondoka unaumwa unataka kufia njiani, rafiki yangu hayo ni mateso gani anayokutesa huyo mkeo?”
“Ningefanyaje na mke wangu alinikataza nisirudi nyumbani mpaka niwe nimemtaarifu? Kama ningerudi na kufumania lazima ningekuwa nimevunja makubaliano yetu lazima angedai talaka yake.”
“Kazala umeoa au umeolewa?”
“Nimeoa.”
“Kwa nini mkeo akupande kichwani na kukupangia atakavyo?” Simon alisema kwa uchungu.
“Siyo kunipangia ni makubaliano yetu,” nilijikuta nisema huku nikimtetea mke wangu pamoja na yote aliyonifanyia.
“Acha ujinga, mwenye amri ndani ya nyumba ni mwanaume, umeona sababu ya kupangiwa kurudi nyumbani ili ajiandae usifumanie. Umerudi mara moja na kukuta yale, hebu jiulize tangu mhamie hapo ni mara ngapi yule mwanaume amefika kama kwake na kufanya uchafu wake?”
“Nashangaa sasa hivi sijui amekuwaje, lakini siku zote mke wangu alikuwa mtu mwenye heshima, hata sijui amebadilika vipi?” bado niliendelea kumtetea mke wangu.
“Kazala mkeo si mtulivu tangu mwanzo, sema ulikuwa hujui kwa vile jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza. Lakini hafai kuwa mke wa mtu. ”
“Kwa hiyo unanishauri nini kwa hili?”
“Hapa hakuna chochote cha kufanya kama umeyajua yote mabaya ya mkeo na mengine kuyashuhudia kwa macho yako unasubiri nini, unataka akuue?”
“Unanishauri nifanye nini?”
“Yule mwanamke hakufai achana naye ujipange upya, bila ya hivyo atakuua kwa kihoro. Hebu jiangalie, umeshuhudia uchafu wa mkeo mara moja tu, umekuwa hivi kama mgonjwa wa kifua kikuu.
“ Tatizo ameshakujua kwamba wewe ni nyoka wa plastiki huumi, ipo siku atakuteremsha kitandani ili alale na mwanaume wake.”
“Wee atawahi?” Nilijikakamua mwanaume.
“Utafanya nini?”
“Nitaua mtu.”
“Hukuua mtu ulipofumania watu wakiwa kitandani hawana kitu milini mwao, utaweza kusema kitu mbele ya mwanaume mwenzako aliyewapangia nyumba?”
“Lakini nilimsikia akisema hata yeye hapendi kuja pale nyumbani ila mke wangu ndiye anayemlazimisha,” najua kwa majibu yangu msomaji utacheka na kuniona miye ni zuzu, nioneeni huruma mwenzenu kweli nilikamatika, kupenda kubaya nilikuwa zuzu kwisha kazi.
“Kazala majibu gani mbona kupenda kumekugeuza zuzu, au umeinamishwa wewe?”
“Sijainamishwa,” nilikataa klatakata neno la kuinamishwa na mke wangu zaidi ya kumpenda kwa mapenzi ya dhati tu.
“Basi ndugu yangu kwa usalama wako achana na yule mwanamke kabla hajakuacha, la sivyo muda si mrefu utakufa au utakuwa nwendawazimu.”
“Kwa kweli kuachana na mke wangu siwezi labda unipe njia nyingine ya kumtuliza.”
“Nitamtuliza vipi?”
“Kwa vyovyote vile hata kwenda kumueleza yule jamaa aachane na mke wangu.”

“BOSI nilikuwa naomba mkopo wa kulipia nyumba ili nihame ninapokaa, nina imani kila kitu unajua.”
“Najua, lakini hukutaka kuniambia.”
“Tusameheane mkuu wangu si unajua kulemewa ni kubaya.”
“Najua, kwa hiyo hii itakuwa tiba ya matatizo yako?”

“Nina imani nipo katika mkakati huo kuhakikisha ninadhibiti kila sehemu.”
“Mmh! Sawa, unataka kiasi gani?”
“Laki mbili na arobaini tu.”
Baada ya kusema maneno hayo, bosi aliinama na kuandika kwenye kikaratasi na kunieleza nikipeleke idara ya uhasibu.
“Kampe mhasibu.”
“Asante bosi,” nilikipokea na kushukuru.
“Kawaida tu, chumba umeishapata?”
“Simon alinieleza nikipata mkopo kuna sehemu anaijua ina vyumba atanipeleka.”
“Unataka uhamie lini?”
“Ikiwezekana hata leo.”
“Basi una nafasi ya kuondoka kwenda kulipia kodi ikiwezekana leo hii uitumie kwa ajili ya kuhama kabisa.”
“Nashukuru sana bosi.”
Nilitoka hadi uhasibu na kumpa kikaratasi mhasibu aliyekisoma kisha alivuta droo ya fedha na kuhesabu laki mbili na arobaini na kunipa. Baada ya kuipata zile fedha niliamini kabisa kila kitu kitakwenda kama nilivyokipanga. Nilijishangaa kujiona nimekuwa na nguvu za ajabu hata hali yangu ya uchangamfu ilirudi kama zamani, kitu kilichowashangaza hata watu wengine walioniona muda ule.
Wa kwanza kunifikia alikuwa Simon na kuniuliza:
“Vipi mwenzangu?”
“Aisee mambo yamekwenda kama tulivyoyapanga jana, huwezi kuamini kila ulichokisema kimekwenda vilevile.” Nilimweleza huku nikionesha uso wa furaha.
“Mkopo umepata?
“Ndiyo, yaani bosi nilipomuomba hakuniuliza kitu chochote zaidi ya kuniandikia karatasi kwenda kuchukua uhasibu.”
“Na nyumbani?”
Nilimueleza yote niliyokubaliana na mke wangu kitu kilichomshtua.
“Yaani mkeo kakubali kirahisi tu.”
“Hata mimi nimeshangaa japokuwa mwanzo alitaka kupinga lakini kauli ya kiume ilimfanya akubaliane na matakwa yangu.”
“Ingawaje kazi ni nzito, lakini mwanzo unaonekana kuwa ni mzuri, vipi umemtaarifu kama mnahama?”
“Nimtaarifu ili iweje, yeye alipohamia kule alinitaarifu?” Nilimjibu Simon kwa kujiamini.
”Kwa hiyo?”

“Bosi katoa ruhusa ya kwenda kulipia na kuhamia leo.”
“Sasa mimi nitatokaje?”
“Nimekuombea ruhusa kabisa.”
Niliondoka na Simon hadi sehemu iliyokuwa na hicho chumba na sebule, kwa kweli kilikuwa katika hali nzuri sana. Nililipia miezi kumi ili nibakize na fedha ya kubebea mizigo.
Baada ya kutoka kulipia chumba, tulipita kwenye magari ya mizigo na kukodi gari hadi nyumbani. Nilipofika nilimkuta mke wangu akifua nguo, aliponiona naingia nimo ndani ya gari alishtuka sana.
“Vipi mume wangu?”
“Leo tunahama.”
“Na hapa?”
“Tunamuachia mwenyewe.”
“Mwenyewe nani?”
“Mke wangu huu si muda wa maswali, tupakie mizigo tuhamie makazi mapya.”
“Mume wangu mbona kodi yetu ndiyo ina miezi saba tu.”
“Hiyo iliyobaki atakaa mwenyewe.”
“Mume wangu mwenyewe nani, mwenyewe si sisi?”
“Mke wangu, hebu nyanyuka tuondoke.”
“Mume wangu mbona toka jana sikuelewi, kuna nini?”
“Hebu kwanza tuhame muda si mrefu utanielewa.”
Tulikubaliana kuhama japo kwa shingo upande, tulipakia mizigo nikisaidiana na Simon, baada ya kupakia tuliondoka na kuhamia sehemu nyingine kwenye nyumba yenye wapangaji watatu na sisi kuwa wa nne. Baada ya kupanga vitu huku mke wangu akionekana kulazimishwa, sikuiangalia ile hali.
Kwa vile siku ile nilikuwa na ruhusa, nilipumzika na Simon aliondoka kwenda kwake. Tukiwa tumebaki wawili, mke wangu aliniuliza:
“Sasa ndiyo unafanya nini? Tumetoka kwenye nyumba kubwa tunakuja kwenye vyumba viwili?”
“Ndiyo uwezo wetu.”
“Sasa kwa nini tumehama kule?”
“Ile siyo nyumba yetu.”
“Si tulikuwa tumepanga?”
“Na hapa tumepanga.”
“Kama tumepanga huoni tunapoteza fedha bure, si heri tungerudi kwenye nyumba yetu kuliko kuja huku?”
“Hatujapoteza ila yeye ndiye kapoteza.”
“Mume wangu mbona sikuelewi nani kapoteza?”
“Mke wangu wewe mkubwa, si kila kitu nizungumze, unatakiwa kutumia akili.”
“Una maana ile nyumba nilipangiwa na mwanaume?” mke wangu aliuliza macho yamemtoka pima.
“Wewe ndiyo unasema,” nilijifanya sijui kitu.
“Lakini mume wangu kwa nini unapenda kusikiliza maneno ya watu?”
“Mke wangu wewe si mtoto, tumia akili, utajua sababu gani imetufanya tuhame kule na tusirudi kwenye nyumba yako.”
“Najua tu watu wameshaanza kupenyeza umbeya, nina imani nyumba hii muda si mrefu itanishinda.”
“Haiwezi kukushinda kama utanisikiliza.”
“Nikusikilize nini, kila siku unasikiliza maneno ya nje.”
“Kwani uongo?”
“Uongo nini?” mke wangu alishtuka.
“Yote yaliyotokea siku za nyuma,” nilimueleza ya nyuma sikutaka kumueleza niliyoyashuhudia mwenyewe yaliyosababisha nitake kutoka roho.
“Basi mume wangu, lakini kumbuka kusikiliza maneno ya watu tutaachana tukiwa tunapendana.”
“Unanipenda?” nilimuuliza swali ambalo naamini hata wewe utaona la kijinga. Nilimuuliza kwa makusudi pamoja na kunifanyia yote bado mke wangu niliamini ninampenda na nilikuwa nina imani hata yeye ananipenda.
“Nakupenda sana mume wangu.”
“Kweli?”
“Tena sana, hebu nieleze toka tuhame uswahilini nimekukosea kitu gani kibaya.”
“Hujawahi ila nakuomba iheshimu ndoa yetu,” niliamua kufunika kombe ili mwanaharamu apite kwa kuamini mke wangu hakuwa anajua lolote juu yake.
“Nimekuelewa mume wangu.”
Tulianza maisha mapya kwenye makazi mapya, kama ilivyokuwa kawaida ya mke wangu, muda wote alikuwa mpole bila kuonesha mabadiliko yoyote mabaya. Kila nilipokuwa kazini alipoomba ruhusa ya kwenda kwa mama yake nilimkatalia na yeye hakulalamika, japokuwa aliona kama nimemnyima uhuru. Nilimueleza yeye ndiye wa kunishawishi kumpa uhuru bila hivyo nilimhakikishia safari yake kubwa ni dukani na sokoni tu.
Mke wangu alionekana kunielewa kwa kufuata yote niliyomueleza, ili kupata uhakika kuna siku nilimjaribu kwa kutoroka kazini na kurudi nyumbani bila taarifa na kumkuta
mke wangu kapoa kama maji ya mtungi

Hali ile ilizidi kunijengea imani kuwa mke wangu amebadilika, nami kidogokidogo mwili wangu ulirudi na kuonekana mtu mbele ya watu.
Japokuwa si tabia nzuri mume kumchunguza mke lakini sikuwa na jinsi kufanya hivyo siku mojamoja, niliendelea kumdodosa Simon juu ya tabia ya shemeji yake, jibu lake lilikuwa hata yeye hajasikia lolote baya la kumhusu.
Hata mtu aliyekuwa akimpa taarifa zile za awali, alimweleza kuwa sasa hivi mke wangu ametulia, nilimshukuru rafiki yangu Simon kwa mpango wake uliofanikiwa kumrudisha mke wangu kwenye mstari.
Kweli moyo ukipata furaha hata kama huna kitu, maisha utayaona mazuri. Nilipendeza na kuanza kutokwa na kitambi kwa mbali, kila mmoja aliyeniona alinishangaa kwa jinsi nilivyokuwa na mabadiliko ya ghafla.
Niligundua kuwa kero za moyo ni mateso mazito, yanapoutikisa mwili na binadamu ukiyapata lazima utakwisha na watu watakucheka.
Siku zilikatika huku nikiyafurahia maisha mapya na mke wangu, kingine kilichonipa faraja ni kusamehewa deni langu na kampuni kutokana na ufanisi wangu mzuri wa kazini uliokuwa umelenga kurudisha uwezo wangu wa zamani wa kujituma.
Waswahili wanasema la kuvunda halina ubani, miezi sita baada ya kubadili makazi yaliyotawaliwa na utulivu na amani, siku moja baada ya kumaliza kazi, nilirudi nyumbani saa moja na nusu usiku kama kawaida. Nilipofika nilikuta mlango wa nyumba umefungwa, nilikwenda kuuliza kwa jirani wa chumba cha pili, alinieleza kuwa mke wangu ameondoka katika gari ambalo nilivyoelezwa tu lilivyo, moyo wangu ukapasuka pah!
Lilikuwa ni gari lilelile la mwanaume aliyekuwa akimzuzua mke wangu siku zote kabla mambo hayajatulia. Kwa kweli nilichanganyikiwa na kubaki nimesimama kama zuzu, kitu kilichomfanya hata jirani yangu kunishangaa.
“Kwani vipi shem mbona hivyo, kwani kuna nini?”
“Hataa,” nilikataa ilhali mikono yangu ikiwa kiunoni na kuonekana kugeuza kichwa changu kutaacha macho yaangaze huku na kule.
“Hapana shem, nilipokuelekeza kuhusu gari lililomchukua mkeo umeshtuka na kupoteza hali yako ya kawaida na kutawaliwa na hali ya kutaharuki ghafla, kwani lile gari lina nini?”
“Ameondoka saa ngapi?”
“Saa tano asubuhi.”
“Alikueleza anakwenda wapi?” Nilimuuliza huku nikiwa na shauku ya kujua.
“Hakuniambia ila iliniletea ufunguo na kuniambia ukirudi nikupe.”
“Na mtoto?”
“Ameondoka naye.”
“Alibeba nini?”
“Alikuwa na mkoba wa kawaida tu.”
“Mmh!” Niliguna huku nikiinamisha kichwa kusikitika.
“Kwani kuna nini shemeji, mligombana?”
“Jirani si ungesikia.”
“Sasa mbona umeshtuka, msubiri akirudi umuulize, hakukuaga?”
“Asante shemeji.” Niliachana na mke wa mpangaji mwenzangu na kuelekea ndani kwangu.
Nilipofika nilijitupa kwenye kochi na kutazama juu huku nikijiuliza yule bwana kampeleka wapi mke wangu.
Moyo mwingine uliniambia huenda kapewa lifti tu hakuna kitu kibaya kitakachoendelea, pia nikahisi labda atakuwa amekwenda kwa mama yake.
Nilipanga akirudi nisimuulize kitu chochote kuhusiana na kupanda kwenye gari la mwanaume ambaye ilionekana haja yake kubwa ni kuivunja nyumba yangu wakati na yeye ana familia yake.
Kupanda gari lile halikuwa tatizo, bali kuondoka bila ya kuaga kama tulivyokubaliana, kwa upande mwingine sikumlaumu sana mke wangu kutokana na msimamo wangu wa kumkatalia kutoka hata alipoomba ruhusa.
Kingine kilichonishangaza ni kuiacha nyumba bila ya kuifanyia usafi, vyombo tulivyovitumia kwa chakula jana yake vilikuwa havijaoshwa, nyumba ilikuwa haijasafishwa kabisa, chumbani kitanda kilikuwa hakijatandikwa, shuka zilikuwa zimekaa ovyo pia, hata chakula kilikuwa hakijapikwa.
Nilijiuliza kitu gani kitakuwa kimempata mke wangu hadi kumfanya atoke haraka na kushindwa kufanya majukumu muhimu ya ndani.
Nilijikuta nikiingiwa na wasiwasi na kuamua kumpigia simu mke wangu, nilizidi kuchanganyikiwa baada ya simu ya mke wangu kutokuwepo hewani.
Nilirudia zaidi ya mara kumi kuipiga simu hiyo lakini jibu lilikuwa ni lilelile, simu haikuwa hewani.
Nilijiuliza tatizo gani lililomkuta mke wangu kiasi cha kushindwa kupatikana kupitia simu yake, muda nao ulikuwa umekwenda sana, wazo la kumsubiri na kujipa imani kwamba atarudi muda si mrefu nililiafiki kwa saa moja zaidi.
Ilipotimu saa tatu usiku bila ya kumuona mke wangu, nilijaribu kumpigia tena simu yake, lakini bado haikupatikana.
Nilikata shauri kwenda kwa wazazi wake kutaka kujua kama walikuwa wakijua tatizo lililomkuta mtoto wao kufikia kuondoka nyumbani na simu yake kutokuwa hewani kwa kipindi kirefu.
Nilitoka na kuegesha mlango, sikutaka kuufunga kwa kuhofia labda tungeweza kupishana njiani, nilikodi gari mpaka kwa wakwe zangu, bahati nzuri niliwakuta bado hawajalala. Baada ya kugonga mlango, mama mkwe alinikaribisha kwa vile aliifahamu sauti yangu.
“Karibu baba Zawadi.”
“Asante mama, shikamoo,” nilimwamkia huku nikiingia ndani na kukaa kwenye kochi.
“Marhaba, kwema utokako?”
“Namshukuru Mungu, sijui mwenzangu amefika huku?”
“Mmh! Kwa leo sijamuona,” kauli yake ilinishtua sana lakini nilificha mshtuko wangu.
“Sasa atakuwa amekwenda wapi?” Bila ya kutarajia nilijikuta nikimuuliza swali lisilomhusu mama mkwe.
“Nitajuaje baba, kwani alikuaga anakwenda wapi?”
“Mamaa, yaani nimerudi nyumbani nimekuta ufunguo kwa jirani bila maelezo yoyote.”
“Zawadi yupo wapi?”
“Ameondoka naye.”
“Mmh! Sasa atakuwa amekwenda wapi?”
“Hata mimi nashangaa tena nasikia kaondoka na ile gari ya yule mwanaume wake.”
“Mmh! Unasema kweli?” mama mkwe alionesha kushtuka.
“Kutokana na maelezo ya mtu aliyemuona.”
“Kwa hiyo hukumuona?”
“Sijamuona mama, nimeambiwa.”
“Basi usifikirie moja kwa moja kuwa ameondoka na mwanaume wake wa zamani, kwani ameondoka tangu saa ngapi?”

“Saa tano.”
“Saa tano, sasa atakuwa amekwenda wapi na mtoto? Kwani hali hii imetokea mara ngapi?”
“Ni leo tu mama toka tumalize yale matatizo yetu.”
“Nakuomba rudi nyumbani ukapumzike, akirudi atakueleza alikuwa wapi kama maneno yake hayaeleweki mlete kwangu. Nimechoka na upumbavu wake, hawezi kutuchezea akili kiasi hiki,” mama mkwe naye alionekana kukerwa na kitendo cha mke wangu kuondoka bila kuaga.
“Sawa mama.”
“Nina imani hakufika mbali, angekuwa amekwenda peke yake ningekuwa na wasiwasi, lakini kwa vile ameondoka na mtoto, atawahi kurudi tu, huenda mmepishana amesharudi nyumbani.”
“Nitashukuru mama.”
“Basi baba rudi nyumbani nina imani mpaka muda huu atakuwa amerudi tu.”
“Sawa mama,” nilikubaliana na mama mkwe na kugeuza kurudi nyumbani nikiwa na matumaini ya kumkuta.
Nilikodi gari ili niwahi nyumbani huenda mke wangu amerudi na kutonikuta kumemsababisha kuwa na wasiwasi wa kutaka kujua mimi nipo wapi. Nilikwenda hadi nyumbani na kuingia ndani, nyumba ilikuwa kimya kuonesha hakukuwa na dalili za kuwepo mtu ndani.
Wazo langu lilikuwa labda amerudi na kuingia kulala, nilikwenda chumbani. Chumba kilikuwa kitupu na hali ilikuwa ileile ya chumba kuwa katika hali ya uchafu. Nilibaki nimesimama kwenye mlango wa kuingilia chumbani kwa dakika kadhaa nikiwa siamini kilichokuwa mbele yangu.
Nilijiuliza mke wangu atakuwa wapi? Nilirudi sebuleni na kukaa kwenye kochi nikiwa sijui mke wangu amekwenda wapi. Japokuwa wasiwasi wangu mama mkwe alikuwa akijua kila kitu ila alinificha. Ilikuwa ni mateso juu ya mateso kwani siku ile ilikuwa nimefanya kazi nzito kwa muda mrefu na kuamini ningerudi nyumbani ningepumzika. Lakini tangu nilipofika nilikuwa juujuu kwa ajili ya kumtafuta mke wangu tena bila kula.
Njaa iliyokuwa ikiniuma kama kidonda ilitoweka kutokana na mshikemshike wa kuzunguka kumtafuta mke wangu. Saa ya ukutani ilionesha ni saa sita na nusu usiku bila dalili za kuonekana mke wangu. Bado sikukata tamaa, nilirudia kumpigia simu, hali ilikuwa ileile, simu haikuwa hewani.
Nilijikuta nikiwa na wasiwasi kuhusu mke wangu na kujiuliza kipi kimemsibu hadi muda ule awe hajarudi. Ingekuwa ameondoka peke yake, ningejua amerudia matatizo yake. Lakini alikuwa ameondoka na mwanangu wa pekee Zawadi, nilijiuliza kama kweli ameparama tena na kurudiana na yule mwanaume na huenda ikawa hata Zawadi si mtoto wangu wa kumzaa.
Kwa upande wa Zawadi ningekuwa tayari kufa kama ningeambiwa si mtoto wangu. Zawadi nilifanana naye kila kitu kila, aliyemuona alijua ni mwanangu bila hata ya kumwambia. Nilikaa sebuleni kumsubiri huenda amekwenda kwenye sherehe na kuchelewa kurudi.
Nilikaa sebuleni mpaka alfajiri ilipoingia bila kumuona mke wangu wala kivuli chake. Nilijiuliza mke wangu atakuwa wapi, kutokana na kulala usingizi wa mang’amung’amu, niliamka asubuhi kichwa kikiwa kizito. Kwa vile niliacha kiporo cha kazi, niliposhtuka nilioga haraka nikitegemea huenda mke wangu akatokea kabla ya kwenda kazini kama alivyofanya siku za nyuma lakini haikuwa hivyo.
Mpaka naondoka sikumuona mke wangu na kumuachia funguo jirani nikiamini huenda jioni nikirudi naweza kumkuta. Nilikwenda hadi kazini nikiwa nimechoka sana, nilificha uchovu wangu na kufanya kazi kwa nguvu japo kila nilipokuwa peke yangu, nilisinzia na kuwafanya wafanyakazi wenzangu kunitania eti nilikesha na shemeji bila kujua msiba mzito uliokuwa moyoni mwangu, baada ya bomu lililotulia kulipuka tena.
Baada ya kazi nilirudi nyumbani nikiwa na matumaini ya kumkuta mke wangu lakini nilipofika nilikuta mlango umefungwa. Nilikwenda kwa mke wa jirani yangu kuulizia huenda alikuja na kuondoka.
“Karibu shemeji,” alinikaribisha aliponiona.
“Asante, vipi hajarudi mke wangu?”
“Sijamuona kwani alikwenda wapi?” lilikuwa swali juu ya swali.
“Hata najua! Mbona huyu mwanamke ananitesa sana, kosa langu nini kila kukicha niwe mimi tu,” nilijikuta nikibwabwaja kwa uchungu bila kujielewa.
“Kwani kuna nini shemeji?”
“Yule mwanamke kila kukicha amekuwa akinifanyia mambo yaliyokosa ubinadamu kabisa.”
“Lakini mbona tumeishi naye vizuri tena mke wako ni mpole na msikivu tatizo nini?”

Nilijikuta nikifunguka mwanaume na kuuanika ubaya wa mke wangu, mke wa jirani alinionea huruma na kusema:
“Mbona haendani na unayosema?”
“Mke wangu ni chui ndani ya ngozi ya kondoo.”
“Pole sana shemeji na mtoto kampeleka wapi?”
“Nitajuaje?”
“Kwani kwao wanasemaje?”
“Nao hawajui lolote.”
“Ungesubiri na leo huenda akarudi usiku huu.”
“Mmh! Sidhani.”
Niliagana na mke wa jirani yangu na kuingia chumbani ambako kulikuwa vululuvululu. Baada ya kuoga nilikwenda kununua soda na mkate ili nitulize njaa. Chakula kilinishinda na kulala na njaa.
Usingizi wangu ulikuwa wa kushtukashtuka kila mara kwa kuamini labda mke wangu angerudi.
Kila niliposhtuka nilitulia na kusikilizia huenda kulikuwa na sauti ya mtu kuniita.
Nilikata shauri kwenda kulala sebuleni kwa kuwa niliona chumbani kama nikilala sitaweza kumsikia mke wangu pindi akirudi.
Niliamua kuhamia sebuleni na kukaa kwenye kochi kumsubiri mke wangu, muda nao ulikuwa umekwenda, ilikuwa saa saba na nusu za usiku na bado niliamini angeweza kurudi.
Mpaka kunakucha hakukuwa na dalili za mke wangu kurudi, hata bila kunawa uso nilikwenda ukweni kuulizia taarifa za mke wangu, nilidhani labda alirudi nyumbani kwetu na kuogopa, akaamua kwenda kwa mama yake.
Nilipofika ukweni niliwakuta ndiyo kwanza wanaamka.
“Vipi baba, mbona asubuhiasubuhi?” mama mkwe aliniuliza baada ya kuniona.
“Mama, mke wangu yupo huku?”
“Ina maana alirudi na kuondoka tena?”
“Hapana, hajarudi kabisa.”
“Toka juzi?”
“Ndiyo mama.”
“Mmh! Mbona mwana huyo ana matatizo, sasa atakuwa amekwenda wapi?”
“Kwani huku hajafika?”
“Sijamuona baba yangu.”
“Basi lazima atakuwa amekwenda kwa mwanaume wake.”
“Jamani, yaani ndiyo kafikia hatua hii?” Mama mkwe alishika kiuno kuonesha naye kachoshwa na taarifa zile.
“Basi mama acha niwahi kazini.”
Niliagana na mama mkwe na kurudi nyumbani ili nijiandae kwa ajili ya kwenda kazini japokuwa nilikuwa katika wakati mgumu baada ya kumkosa mke wangu kwao.
Nilipofika nyumbani nilihisi kichwa kizito, chumba nilikiona kama dunia asiyokuwa na kitu chochote, nimebaki mpeke yangu.
Moyo ulikufa ganzi, nilishindwa kwenda kuoga ili kuwahi kazini kwani muda ulikuwa umekwenda sana.
Nilihisi kama mwili wangu umekosa nguvu, kichwa kilianza kuniuma kwa mawazo na mapigo ya moyo yalianza kwenda kasi.
Nilikaa kwenye kochi kabla sijaanguka, nilijilaza huku nikiwa na maswali mengi juu ya mke wangu kuondoka nyumbani bila ya taarifa.
Nilijiuliza tatizo nini hasa ikiwa kila kitu kilikuwa kikienda vizuri, nilikuwa bado natafuta sababu ya mke wangu kuondoka bila ya kuniaga na kutaka kujua sehemu aliyokwenda.
Nikiwa nimekaa bila ya kuwa na hili wala lile, ghafla niliiona bahasha iliyokuwa imefungwa vizuri na kuwekwa chini ya meza.
Nilijikuta nikipata shauku ya kutaka kujua ile barua ya nani. Nilipoichunguza, niligundua ilikuwa na jina langu, moyo ulinilipuka kwani ule ulikuwa mwandiko wa mke wangu. Nilijikuta nikiingiwa na wasiwasi kwa kuhisi huenda mke wangu alirudi asubuhi ile na kunikosa wakati nimekwenda kumtafuta kwao na kuamua kuondoka na kuacha ujumbe.
Niliichukua ile bahasha na kuifungua ndani, nikakuta karatasi iliyokuwa imeandikwa kwa wino mwekundu.
Nilipoanza kuisoma nilikutana na maneno ambayo almanusura yasimamishe mapigo yangu ya moyo. Barua ile ilinikatisha tamaa na kujikuta kila herufi moja niliyokuwa nikiisoma ndivyo moyo wangu ulivyokuwa ukikamuliwa bila ganzi. Maumivu yake siwezi kuyaeleza kwa maneno bali kuyasikia tu yalikuwa sawa na kung’olewa jino bila ganzi.
Mpaka namaliza kuisoma, machozi yalikuwa yamefunika macho yangu na sehemu ya karatasi ilikuwa umelowa upande kwa machozi.
Barua ilisema hivi:
Kazala, najua utashtuka kupokea ujumbe huu na kukufanya uchanganyikiwe. Najua wewe ni mwanaume na mwanaume ameumbwa kukabiliana na matatizo.
Najua unanipenda na utaendelea kunipenda, lakini kutokana na kushindwa kwenda na wakati na kunigeuza mwanamke wa kizamani wa kukaa ndani kama samani, nimeamua kuishi maisha yangu ya uhuru kama wanawake wengine.
Nimeamua kuondoka, sitaki unitafute hata mama yangu naye sitaki anitafute, nimeamua kuishi maisha niliyoamua kuishi mwenyewe. Nimekuvumilia mengi Kazala lakini huna shukurani, nyumba yetu imekuwa ikiendeshwa na watu wa pembeni kuliko sisi wanandoa.
Kazala, umekuwa ukiwasikiliza watu wa pembeni kuliko mimi mkeo, nilikueleza tutaachana tukiwa tunapenda, nina imani kauli yangu imetimia. Najua utajiuliza kuhusu mtoto, Zawadi ni mtoto wako na ataendelea kuwa mtoto wako, nimeamua kuondoka naye ili aendelee kupata malezi mazuri. Akitimiza miaka saba nitamleta kwako ila mimi naomba unisahau kabisa.
Tokea leo ninapoondoka kwako, mwisho wa wiki hii nafunga ndoa ya kidini tena kanisani na kuwa mke wa mtu anayefahamika mbele ya Mungu. Nawe mpenzi wangu wa zamani fanya hivyo, tafuta mwanamke anayeendana na wewe ili ufunge naye ndoa, ukichelewa unaweza kuugua ugonjwa wa akili.
Nakutakia maisha mema wewe na huyo mwanamke utakayemuoa ila nakuonya kitu kimoja, nyumba haiendeshwi na watu wa pembeni, ukifanya hivyo kila utakayemuoa atakukimbia.
Ni mimi mzazi mwenzako, mama Zawadi.
Barua ile ilikuwa pigo mujarabu moyoni mwangu, ilikuwa sawa na kuupasua moyo wangu kwa kisu butu bila ganzi. Akili yangu haikukubaliana na kutaka kuirudia kwa mara ya pili lakini kila nilipotaka kuisoma, machozi yalitanda usoni na kushindwa kufanya hivyo.
Nilinyanyuka na kutembea taratibu hadi chumbani na kurudi sebuleni, kichwa kilikuwa kizito hata la kufanya sikulijua na kuona kazi yote niliyoifanya ilikuwa bure.
Niliyarudia maneno aliyowahi kuniambia mke wangu na kuyaandika katika barua niliyokuwa nimeishikilia kuwa maneno ya nje yatavunja nyumba yetu tukiwa tunapendana.

Nilijikuta nikianza kumlaumu Simon kumuona kuwa ndiye chanzo cha nyumba yangu kuvunjika baada ya kukubali kuufuata ushauri wake ambao mwanzo niliuona kama umenisaidia, kumbe ulikuwa ni bomu lililokuwa likisubiri kupasuka na matokeo yake kuisambaratisha nyumba yangu.
Nilijiuliza nitafanya nini ili kumrudisha mke wangu mikononi mwangu kabla ya mwisho wa wiki haujafika. Nilijiuliza hiyo ndoa itafungwa kanisa gani na itakuwa siku gani kati ya Jumamosi na Jumapili.
Kwangu ulikuwa ni mtihani mkubwa, kwa sababu nilitaka kujua mke wangu ataolewa kanisa gani ili nikaweke pingamizi.
Mawazo yalinizidi kichwani na kukiona kichwa changu kama kinataka kupasuka, ghafla niliona kiza kizito mbele yangu, kwa kifupi sikuwa ninajua kilichokuwa kinaendelea.
Niliposhtuka nilijikuta nikiwa hospitali, pembeni yangu alikuwepo rafiki yangu Simon ambaye alikuwa akizungumza na daktari. Nilimsikia akimuuliza:
“Vipi daktari siyo tatizo kubwa?”
“Si kubwa, ni wazi mgonjwa aliwaza sana hadi kufikia hatua ya mishipa yake kushindwa kufanya kazi yake vizuri.
“Lakini muda si mrefu atarudia katika hali yake ya kawaida, ila atatakiwa kuondokana na tabia ya kuwaza sana.”
“Sawa daktari.”
Simon alipogeuka alishtuka kuniona nakimtazama, hata bila ya kunisemesha nilimuona akigeuka na kumwita daktari:
“Dokta.”
“Unasemaje?”
“Naona mgonjwa ameamka.”
Daktari alikuja kitandani na kunisemesha:
“Pole Kazala.”
“Asante,” nilimjibu kwa sauti ya chini.
“Unaendeleaje?”
“Kichwa kinaniuma kwa mbali.”
“Punguza mawazo ndugu yangu, unaki – over load kichwa na kusababisha maumivu makali.”
“Nimekuelewa daktari,” nilimkubalia lakini niliamini bila ya mke wangu kurudi sitaweza kuepukana na hali hiyo.
“Huna ugonjwa mwingine zaidi ya huo, dawa yake ni kupunguza mawazo na kumeza dawa za maumivu tu.”
Nilidungwa sindano ya maumivu sambamba na ile ya usingizi na kuambiwa niendelee kupumzika mpaka siku ya pili ili nipate muda wa kukifanya kichwa kitulie.
Siku ya pili niliruhusiwa na kuchukuliwa na Simon ambaye alionesha hakwenda kazini kwa ajili ya kunishughulikia.
Tulipotoka tukapitia hotelini na kupata kifungua kinywa, kisha tukaelekea nyumbani. Tulipofika Simon alinitaka nipumzike na yeye kuanza kupanga baadhi ya vitu vilivyokuwa shaghalabaghala, baadaye alikuja kukaa karibu yangu na kuniita:
“Kazala,”
“Naam.”
“Tatizo nini?”
“Shemeji yako ataniua,” nilimjibu huku nikishika kifua kuzuia presha iliyokuwa ikitaka kupanda.
“Tatizo ni nini?”
“Ameamua kunikimbia.”
“Bado hujanieleza tatizo ni nini?”
“Hata sijui, yaani dawa uliyonipa mwenzangu imeharibu kila kitu,” nilianza kumlaumu Simon.
“Acha lawama za kijinga, pale hukuwa na mke ndugu yangu, kama mwanamke anafikia kukuletea mwanaume ndani na kulala naye kwenye kitanda chako bado unalaumu watu, huu si uzoba?”
“Kama ningemuacha afanye anavyotaka wala asingenikimbia.”
“Ningekuwa miye nisingeumia, tena ndiyo kwanza ningeshukuru.”
“Ungeshukuru nini Simon?” nilishangazwa na majibu ya Simon.
“Kuondoka kwa yule mwanamke, kwa kuwa hukuwa na mwanamke ndugu yangu. Kama angekuwa mwanamke mwenye staha zake angeandika barua kama hii? Kazala aliyekuroga amekufa si bure, pamoja na kufanyiwa mambo yote haya bado unamlilia?”
“Ndugu yangu mazoea mabaya, pamoja na yote bado nampenda sana mke wangu.”
“Unampenda! Haya ameshakukimbia kazi kwako sasa.”
“Utanisaidia vipi?” pamoja na Simon kumnanga mke wangu lakini bado nilimuomba ushauri wa kumrudisha mwanamke huyo nyumbani kwangu.
“Kazala tumekuja mjini kutafuta maisha na wala si wanawake, ujinga wako huo utasababisha ufukuzwe kazi. Hakuna mwajiri atakayevumilia matatizo yako ya kifamilia yasiyoisha.
“ Kumbuka wazazi wako wanakutegemea, matokeo yake unaacha kilichotuleta huku unakuwa bwana pendapenda.”
“Nitajitahidi lakini itanichukua muda kumsahau nilimpenda sana mke wangu.”

“Ndugu yangu mazoea mabaya, pamoja na yote bado nampenda sana mke wangu.”
“Unampenda! Haya ameshakukimbia kazi kwako.”
“Utanisaidia vipi?” pamoja na kumnanga mke wangu bado nilimuomba ushauri wa kumrudisha.
“Kazala tumekuja kutafuta maisha si wanawake, ujinga wako huo utasababisha ufukuzwe kazi. Hakuna mwajiri atayekuvumilia kwa matatizo yako ya kifamilia yasiyoisha. Kumbuka wazazi wako wanakutegemea matokeo yake unaacha kilichotuleta huku unakuwa bwana pendapenda.”
“Nitajitahidi lakini itanichukua muda kumsahau mke wangu, nilimpenda sana.”
Nilikubaliana na Simon niachane na mke wangu ili nifanye kilichonipeleka kule japokuwa nilijua kilikuwa kitu kigumu kwa upande wangu kumuondoa moyoni mke wangu mara moja.
Nilipanga kwa siri Jumamosi au Jumapili nizunguke katika makanisa yote kwa kutumia pikipiki ili nijue ni kanisa gani mke wangu angefunga ndoa nimuwekee pingamizi.
Kwa vile mke wangu alikuwa ni Mkristo wa dhehebu la Romani Katoliki, niliamini lazima ningejua anafunga ndoa kanisa gani.
***
Jumamosi ilipofika nilikodi pikipiki kwa ajili ya kuzunguka makanisa yote ya mjini. Kanisa kubwa lilikuwa katikati ya mji na madogo yalikuwa pembezoni kidogo mwa mji ambayo hayakupungua manne.
Niliamini hata kama ningezunguka kutwa nzima ningeweza kufika kanisa moja baada ya lingine bila ya kuchelewa.
Nilifanya kama nilivyopanga katika dhamira yangu lakini baada ya kuzunguka kwa muda mrefu bila ya kupata mafanikio yoyote, dereva wa pikipiki aliniambia .
“Sikiliza ndugu yangu, tutamaliza mafuta bure kwa nini tusiende kwenye ofisi za makanisa ili tujue kuna ndoa au hakuna na kama ipo itafungwa saa ngapi, hiyo itatusaidia kwenda kwa wakati kuliko kuzunguka na kukufanya upoteze fedha nyingi.”
Wazo lile nilikubaliana nalo na kuamua kwenda kwenye ofisi za kanisa kuulizia kama kulikuwa na ndoa siku ile. Makanisa yote manne yalinieleza kuwa, hakukuwa na ndoa yoyote ila Jumapili yaani kesho yake kulikuwa na ndoa nne ambazo zote zingefungwa kwenye kanisa kuu tu.
Niliamini katika ndoa zile nne lazima mojawapo ingekuwa ya mke wangu kipenzi Suzana au mama Zawadi.
Nilimshukuru dereva wa pikipiki ambaye nilikubaliana naye anifuate nyumbani siku inayofuata na kunipeleka katika kanisa hilo kuu ili nikaweke pingamizi la ndoa ya mke wangu.
Baada ya kurudi nyumbani nilikuwa na mawazo mengi kuhusiana na itakavyokuwa kesho yake, nijiuliza nitakapotoa pingamizi litakubaliwa au nitajiingiza kwenye aibu kwa kuwa ndoa yetu ilifungiwa bomani na ile inafungwa kanisani.
Upande mwingine niliamini nitakuwa na nguvu ya kuvunja ndoa ya mke wangu kwa vile ilikuwa ikitambulika kiserikali na vyeti nilikuwa navyo.
Nilipanga siku hiyo nikienda kuweka pingamizi niende na vyeti vya ndoa ili kutia uzito pale mke wangu atakaponikana.
Siri ile sikutaka kumshirikisha Simon kwa kuhofia kunipa ushauri mbaya ambao ungeharibu mipango yangu yote. Ushauri wa Simon mwanzo niliuamini lakini baada ya kusababisha mke wangu kukimbia, sikumuamini tena na kumuona kuwa ndiye chanzo cha matatizo yangu.
Siku ya pili baada ya kufuatwa na dereva wa pikipiki nilifika kanisani saa tatu asubuhi japokuwa ndoa ilikuwa ikifungwa saa saba mchana.
Nilikaa pale mpaka saa nne na nusu ambapo magari ya maharusi yaliobeba ndugu, jamaa na marafiki yalipoanza kuwasili.
Ndani ya muda mfupi tu, kanisani pakawa na watu wengi na magari kutokana na harusi nne kufungwa, nilisubiri kwa hamu nimuone mke wangu akitaka kufunga ndoa na kuweka pingamizi.
Baada ya muda nilikuwa mmoja kati ya watu waliowahi kuingia ndani na kuketi siti za mbele ya kanisa kusubiri ibada ya ndoa.
Kanisa lilijaa watu wengi sana pamoja na maharusi wote. Kwa vile mabibi harusi walikuwa wamezibwa nyuso zao iliniwia vigumu kumtambua mke wangu ni nani kati ya wale wanne.
Baada ya taratibu zote kufanyika ndoa zilianza kufungwa moja baada ya nyingine huku nikisubiri kwa hamu kuiona sura ya mke wangu.
Ajabu ndoa zote zilifungwa bila kuiona sura ya mke wangu. Nilijikuta nikipagawa na kujiuliza nilielezwa ndoa nne au tano?
Baada ya ndoa zote kufungwa bila kushuhudia sura ya mke wangu, watu wote walitoka kanisani na kunifanya nibaki peke yangu.
Nilijiuliza mke wangu atakuwa amekwenda kufunga ndoa kanisa gani, nikiwa bado nimesimama kama sanamu na kuamini kuwa huenda kuna ndoa nyingine ingekuja kufungwa, nilishtuliwa na mhudumu wa kanisa.
“Ndugu vipi mbona huondoki na wenzako?”
“Samahani kaka kuna ndoa nyingine zaidi ya hizi?”
“Hakuna, leo kulikuwa na ndoa nne tu hakuna zaidi ya hizi.”
“Mmh! sijui atakuwa amekwenda kufunga ndoa wapi?” nilijikuta nikizungumza peke yangu kwa sauti.
“Kuna nini?” mhudumu wa kanisa aliniuliza.
“Ooh! samahani,” nilijikuta nikijibu na kuondoka bila kuaga mpaka nje ya kanisa.
Nje watu walikuwa ndiyo wanamalizikia kuondoka, nilijikuta nimerudi nyumbani kwa miguu na kumsahau yule dereva wa pikipiki.
Kwa kweli nilikuwa nimechanganyikiwa na kuamini kama maneno aliyonieleza mke wangu yalikuwa na ukweli basi atakuwa amefunga ndoa siku za nyuma.
Usiku ulikuwa mrefu kwangu, usingizi ulinikimbia kabisa, mawazo yangu yote yalikuwa kwa mke wangu na kuona kama kweli ameolewa, basi atakuwa amenifanyia ukatili mkubwa sana.
Jumatatu sikuweza kwenda kazini nilikuwa kama mtu niliyefiwa, hata chakula kilinishinda.
Jioni Simon alikuja kunitazama alikuja na mmoja wa wafanyakazi wenzangu na kunikuta nimejilaza sebuleni mikono kichwani huku macho yangu yakiweka michirizi na kulowesha kwenye mito ya kochi.
Simon alinishangaa sana na kuniuliza:
“Kazala una matatizo gani?”
“Simon wewe si wakuniuliza swali kama hilo, unajua vizuri matatizo yangu,” nilimjibu bila kumuangalia.
“Kazala umetoka nyumbani kufuata mapenzi au kazi?”
“Nimefuata kazi.”
“Unaacha kwenda kazini kwa ajili ya mwanamke, nilikueleza tangu mapema kuwa huyu mwanamke si chaguo sahihi kwako, lakini ukaona labda nakuchokonoa majibu sasa umeyaona.”
“Simon usiseme hivyo, wewe ndiye sababu ya mke wangu kukimbia.”
“Mimi?” Kauli yangu ilimshtua Simon.
“Ndiyo.”
“Mimi nimefanya nini?”
“Ushauri wako ndiyo uliosababisha mke wangu kunikimbia.”
“Kweli aliyekuroga amekufa, kitendo cha kumfumania mkeo ni mimi? si ulitaka kufa kwa mawazo, nimekusaidia bado huoni msaada wangu?”
“Msaada gani wakati mke wangu kanikimbia?”

“Mkeo yule sawa na kuku aliyelala nje si kuku tena ni kwale.”

“Lakini umeona lawama zote zinatokana na ninyi watu wa pembeni kuingilia ndoa yangu.”

“Hao watu wa pembeni unaowalaumu ndiyo waliyomponya mwanao aliyekuwa fundi majiko.”

“Pamoja na hayo, lakini ninyi ndiyo chanzo cha mke wangu kukimbia.”

“Kwani shemeji kaenda wapi?” Shedu mfanyakazi mwenzangu aliyeongozana na Simon aliniuliza.

“Hata najua yule mwanamke kaamua kuniua ningali hai,” nilizungumza sauti ya kukata tamaa.

“Kazala wanawake wamekwisha mpaka uchanganyikiwe kiasi hiki?” Shedu aliniuliza.

“Kwani huyo aliyemchukua mke wangu hakuona wanawake wengine mpaka kamchukua mke wangu. Kibaya zaidi jana kamuoa kabisa.”

“Utani huo! Atamuoaje mke wa mtu?” Shedu alishtuka.

“Mpaka kamtoa kwangu atashindwa vipi kumuoa kabisa?”

“Kwa hiyo Kazala bado unampenda mkeo?” Shedu aliniuliza kanikazia macho.

“Tena sana.”

“Na akirudi utakuwa tayari kumsamehe?”

“Ndiyo, najua si akili yake ni ushawishi wa watu wenye fedha wanaoona maskini kama sisi hatuna haki ya kuwa na wanawake wazuri.”

“Mtu mwenyewe unamjua?”

“Kwa sura namjua ila sijui anakaa wapi?”

“Upo tayari kumeza mfupa?”

“Una maana gani?”

“Najua huna uwezo wa kushindana na yule bwana kwa nguvu na fedha, lakini lipo kimbilio la wanyonge nakwambia mkeo atarudi mwenyewe.”

“Kimbilio la wanyonge! Kimbilio gani?” nilishtuka kusikia vile na kuraka kulijua hilo kimbilio la wanyonge.

“Kwa babu.”

“Kwa babu una maana gani?”

“Kwa mganga wa kienyeji.”
“Kweli ataweza?” nilimuuliza kutaka uhakika.

“Bwana wee tena hawa wanaopenda wake za watu kazi yake ndogo sana nakwambia ndani ya siku mbili mkeo anarudi, ikivuka haifiki wiki.”

“Kweli?”

“Kweli kabisa, unajua taarifa zako nimezisikia toka kwa swahibu wangu hapa, roho iliniuma na kuona umefanyiwa ukatiri kibaya, nasikia jamaa ana mke yaani asiridhike na mkewe aje amchukue wako. Tena nitakupeleka mguu kwa mguu hadi kwa mzee wangu nakuapia mkeo atarudi.” Shedu alinihakikishia kunirejeshea furaha.

“Kama kamuoa?” niliuliza swali ambalo kwangu lilikuwa tata.

“Nimekueleza mkeo atarudi, si mkeo wa ndoa?”

“Ndiyo.”

“Basi atarudi huyo lina madogo tukifika kwa babu kazi imekwisha.”

“Gharama zake?”

“Si kubwa sana utaimudu tu.”

“Huyo babu yako yupo wapi?”

“Tanga katika wilaya ya Lushoto kijiji cha Mlalo kisha unaingia ndani zaidi kuna sehemu inaitwa Tewe hapo temea chini kuna kufuru za ajabu wa kumfufua maiti akatembea.”

“Nauli yake si kubwa?”

“Ya kawaida utaimudu.”

“Mmh! Nipo tayari hata kesho.”

“Itabidi muombe ruhusa ya siku mbili ili mwende na kurudi,” Simon aliyekuwa kimya muda wote alichangia.

“Lakini Shebu usemacho ni kweli?” pamoja na Simon kuchangia bado sikumuamini Shedu.

“Kwa nini tuandikie mate na wino upo, we twende halafu uniulize swali hilo baada ya kutoka kwa babu.”

Tulikubaliana kesho nikaombe ruhusa kazini ili twende mkoa wa Tanga kwa mtaalam.

***

Siku ya pili nilikwenda kazini kuomba ruhusa. Bosi alinikubalia bila kuniuliza swali lolote. Kwa muda mfupinilikuwa nimekonda kwa mawazo usiombe kumpenda mtu asiyejua thamani ya upendo wako kwake. Sikutaka kuomba mkopo kwa vile zilikuwa tarehe ya mshahara wafanyakazi wengi mifuko ilikuwa imenona.

Kwa vile muda ulikuwa bado Baada ya ruhusa tuliondoka siku ileile saa tano na kufika Chalinze saa kumi na mbili jioni. Mwenyeji wangu alinieleza itatubidi tualale pale ili tundoke siku ya pili kutokana na umbali wa kufika Lushoto. Tulilala Chalinze mpaka siku ya pili majira ya saa moja tupande basi linalotoka Dar es salaam kwenda Lishoto.

Siku ya pili tulipanda basi lililotoka Dar na kufika Lushoto kwenye kijiji cha Mlalo saa kumi jioni. Hatukukaa tulichukua usafiri mwingine wa baiskeli kuliingia vijiji vya ndani zaidi mpaka katika kijiji cha Tewe kijiji maarufu kwa waganga wenye uwezo wa juu.

ITAENDELEA

MAPENZI YAMENIFANYA NIWE MUUAJI – 3

Related image

Simulizi : Mapenzi Yamenifanya Niwe Muuaji
Sehemu Ya Tatu (3)

CHANZO CHA MAUWAJI KINANZIA HAPA
SIKU ya pili tulipanda basi lililotoka Dar na kufika Lushoto kwenye Kijiji cha Mlalo saa kumi jioni.
Hatukukaa, tulichukua usafiri mwingine wa baiskeli na kuelekea katika vijiji vya ndani zaidi mpaka katika Kijiji cha Tewe ambacho kinasifika kwa kuwa na waganga wenye uwezo wa juu.

Tulifika katika kijiji hicho saa kumi na moja kasoro jioni na kwenda kwa mtaalam anayeitwa mzee Kidereko.
Alikuwa akiishi katika nyumba moja kubwa ya matofali, nyumba hiyo ilikuwa ni tofauti na nyingine kwa kuwa ilikuwa imeezekwa kwa bati.
Pia, ilikuwa imezungukwa na uwa wa miti ya minyaa, ndani kulikuwa na nyumba zingine ndogo nne za miti na udongo zikiwa zimeezekwa kwa makuti. Tulikaribishwa na wenyeji wetu ambao walimfahamu sana Shedu ambaye alionekana kuwa ni mwenyeji sana pale.
“Oooh, Shedu karibu,” dada mmoja aliyekuwa amejifunga kitenge kilichopauka alimchangamkia.
“Asante Mwana, za hapa?”
“Nzuri ka Shedu, karibu mgeni,” nilikaribishwa na miye huku nikipokewa mzigo wangu.
“Asante.”
Tulipelekwa hadi chini ya mti wa mwembe ambako chini yake kulikuwa na jamvi lililokuwa limechakaa na pembeni yake kulikuwa na vigoda.
“Jamani karibuni.”
“Asante, za hapa?” Shedu aliuliza.
“Mmh! Kama unavyoziona maisha magumu.”
“Mwana magumu wakati unatakata?”
“Inatubidi tuyazoee maisha ya huku kwa lazima, kwa vile hatuna jinsi, nina imani nimekuona kidogo nitacheka.”
“Ondoa hofu, mzee yuko wapi?”
Amekwenda porini kuna kazi ya mtu amekwenda kuifanya, nina imani muda wowote atarejea.”
“Ameondoka saa ngapi?”
“Tangu saa tisa usiku.”
“Mmh! Inaonekana ni nzito.”
“Kwa kweli ni nzito, kuna mtu mmoja alilazwa chini na wabaya wake, akaletwa hajitambui na kutibiwa na mzee baada ya kupona aliruhusiwa.
“Miezi minne baadaye alipigwa kombora lingine lililomkata kauli mpaka watu wakajua amekufa.
“Taarifa zilipomfikia mzee alikwenda mjini na kumnyanyua kisha alimtaka aje huku amtengeneze vizuri. Alifika jana jioni na kulala hapa, usiku ndipo walipoamka na kuelekea porini ambako atamfanyia kinga itakayomlinda ili mtu akimgusa aondoke yeye.”
Nilijikuta nikivutiwa na mazungumzo ya Shedu na yule msichana anayeitwa mwana.
“Namuamini mzee hapo lazima mtu alale chini.”
“Tena amekasirika sana kwa kitendo cha kupimwa nguvu.”
“Mzee Kidereko tena.”
“Mmh, na ninyi?”
“Ndugu yangu ana shida ndogo.”
“Shedu, shida ndogo ndiyo mpande basi kuja huku, si nasikia mjini kuna wataalam ambao wanaweza kutatua shida ndogo, wakishindwa ndipo mnakuja huku?”
“Mwana kazi zangu zote huwa anazifanya mzee Kidereko, kwa hiyo hata rafiki yangu alipopatwa na tatizo sikutaka asumbuke kwa waganga uchwala, nikaona nimlete kwa mzee.”
“Mmh! Sawa, tena huyo anaingia.”
Kauli ya yule msichana ilitufanya wote tugeuke kuangalia kwenye mlango wa uzio na kumuona mzee mmoja aliyekuwa akijivuta kwa mkongojo wake, akiwa na vijana wawili waliokuwa wamebeba kapu na majani mabichi.
Shedu alinyanyuka na kwenda kumpokea mzee Kidereko.
“Babuuu.”
“Babuuuu.”
Walikumbatiana na kuja nilipokuwa nimekaa, nami nilinyanyuka kumpokea mzee Kidereko.
“Shikamoo babu.”
“Marhahaba karibu.”
“Asante babu.”
Vijana walipokelewa vikapu walivyotokanavyo porini na kupumzika kwenye mkeka. Wote walipumzika kwa kujilaza kuonesha kuwa walichoka. Kutokana na kuchoka sana vijana wale baada ya kujilaza usingizi mzito uliwachukua na kuanza kukoroma.
Mzee Kidereko alinyanyuka na kuelekea ndani mwake na kutuacha tukiwa tumekaa kwenye vigoda. Muda nao ulikuwa unadizi kuyoyoma, kigiza kilianza kuimeza nuru ya jioni hiyo.
“Mzee huyu kiboko,” Shedu alinieleza kwa sauti ya chini.
“Kweli anatisha kwa maelezo mafupi imeonesha anaijua sana fani ya mizizioloji.”
Saa moja kasorobo kililetwa chakula, kilikuwa ni wali na bata, baada ya chakula ndipo mzee Kidereko alipotuita pembeni kwa mazungumzo.
“Jamani karibuni, sikuweza kuzungumza na ninyi nilipofika kwa kuwa tulikuwa hoi sana kama mlivyowaona wenzangu.”
“Ni kweli babu,” Shedu alijibu.
“Mmh! Shedu za siku?”
“Nzuri babu.”
“Mambo yako yanakwendaje?”
“Yanakwenda vizuri.”
“Kazini?”
”Panakwenda vizuri yale mambo yalienda kama ulivyoniahidi.”
“Kwa hiyo asante yangu umeniletea?”
“Ndiyo, tena nimeshukuru baada ya jamaa yangu kukubali kuja huku ili nami nipate nafasi ya kukuletea asante yako.”
“Na mkeo katulia?”
“Kila mtu anashangaa hata ndugu walioanza kuiandama ndoa yangu wametulia.”
Kauli ile ilinishtua na kujiuliza, ndoa ya Shedu ilikuwa na tatizo gani lililotatuliwa na yule babu? Lakini nilitulia kimya na kupanga kumuuliza tukiwa wawili japokuwa nilianza kuhisi huenda kilichompata ndicho kilichonifikisha pale.
“Mmh, mwenzio ana tatizo gani?” mzee Kidereko aliuliza.
“Kama langu, lakini la kwake limezidi, mkewe kamkimbia kabisa na inasemekana ameolewa na mtu aliyemchukua.”
“Mmh! Mjini mbona tabia za kuchukuliana wanawake zimeshamiri, wanadamu bwana, wanawake wengi lakini wanapenda wake za watu. Tatizo si kubwa kama mngekuja mapema, mngeweza kugeuka leo hii. Nitalifanya sasa hivi ili kesho alfajiri muwahi kurudi kwenu.”
“Nitashukuru mzee wangu, kweli mke wangu atarudi?” nilijikuta nikiuliza.
“Hiyo kazi niachie mimi, maadamu umelileta kwangu.”
“Nitashukuru mzee wangu.”
“Unataka aliyemchukua mkeo tumfanyeje?”
“Vyoyote ukakavyoona inafaa mzee wangu.”
“Tumuue?”
“Hapana.”
”Tumtie uchizi?”
“Mmh! Hakuna adhabu nyingine?”
“Zipo nyingi utakayotaka wewe.”
“Yoyote ya kawaida la muhimu nimpate mke wangu.”
“Kazala lazima tumtie adabu, mzee mfanyie kama yangu.”
Nilishtuka na kujiuliza kama yake ipo vipi? Ilibidi niulize.
Ni adhabu gani anayotaka kufanyiwa mwanaume aliyemchukua mke wa Kazala?

“Ulimpa adhabu gani?”
“Nilimpoteza kwenye sura ya dunia,” Shedu alijibu kwa kujiamini.
“Ha! Unamaanisha ulimuua?”
“Ndiyo! Kanitesa sana yule mshenzi kasababisha mwanangu wa kwanza afe baada ya mke wangu kumuacha na kwenda kwa huyo mwanaume na kusababisha mwanangu afe kwenye beseni la maji.”
“Mungu wangu!” nilishtuka na kushika mdomo.
“Kibaya mtu yule hakuishia hapo, alimchanganya mke wangu kiasi cha kudai talaka. Nilimfuata na kumueleza aachane na mke wangu majibu aliyonijibu yalikuwa ya udhalilishaji. Eti aliniambia kama namuona mke wangu anafaidi yeye kuwa naye na mimi niwe mpenzi wake.”
“Uwe mpenzi wake alimaanisha nini?”
“Eti niwe mkewe.”
“Mungu wangu!” kauli ile ilinishtua sana.
“Kazala wee acha tu, mtu akiwa na fedha ana dharau ndiyo maana jambo lako nililichukua kama langu. Kazala nimeteseka mpaka nilipoletwa huku kwa mzee Kidereko.”
“Ina maana ulikuwa humjui tokea awali?”
“Matatizo ndiyo yaliyonifanya nifike huku, we si unajua kabila langu?”
“Nilishangaa pale uliponileta huku na kabila lako, nikajua baba ndiye Mnyamwezi ma mama mtu wa Tanga.”
“Walaa.”
“Yalikuwa mateso ya muda gani?”
“Miezi nane lakini kwangu ilikuwa miaka mia nane.”
“Pole sana…. ikawaje?” nilijikuta nikiwa na shauku baada ya kuona matukio yetu yanafanana sana.
“Baada ya kuletwa huku sikutaka adhabu kali, lakini babu aliniambia mtu huyo nikimchelewesha ataniwahi mimi.
“Kutokana na mateso niliyoyapata na uchungu wa kifo cha mwanangu nilikubali.”
“Mmh! Ikawaje?”
“Basi mzee akatengeneza mambo, sikuwepo ila waliokuwepo na kutoa ushuhuda walisema baada ya kwenda nyumba ya wageni na mke wangu ambaye yeye alijimilikisha na kuwa mkewe. Kutokana na maneno aliyoyasema mke wangu, aliyekuwepo kwenye tukio wakiwa faragha.
“Baada ya kumaliza mchezo wao uume haukupoa uliendelea kuwa vile vile, kama chuma na kuuma maumivu makali sana.
“Alipiga kelele za maumivu, ilibidi achukuliwe na kupelekwa hospitali, huko alipigwa sindano za ganzi ili uume upoe lakini wapi, kila dakika maumivu yalikuwa makali alilia mpaka sauti ikakauka. Nasikia alinitaja mimi ili niende akaniombe msamaha.
“Nguvu zilimwisha mateso yale yaliendelea kwa saa nane, jioni uume ulinywea na yeye kufariki dunia.”
“Mmh! Aliteseka sana.”
“Yeye kwa saa nane mimi miezi minane, kuchanganyikiwa kubaya nakumbuka kuna kipindi nilikuwa natembea nikizungumza peke yangu. Kingine hali yangu ya kimaisha ilikuwa mbaya hapo ndipo nilipozidi kuumia.”
“Baada ya hapo nini kiliendelea?” nilijikuta nikivutwa na simulizi ya Shedu.
“Mke wangu alirudi huku mtaani kila mmoja akiniheshimu mpaka leo hakuna mtu wa kumgusa mke wangu. Hata akija mgeni lazima atapewa taarifa za yule jamaa aliyejitia kidume na kulamba udongo. Basi akipata taarifa ile humkalia mbali mke wangu.”
“Lakini mbona kama adhabu ni kubwa sana?”
“Kazala acha huruma wanadamu si wa kuwachekea ona anavyoteseka kwa haki yako.”
“Sawa lakini kuua!” bado niliona adhabu ya kuua ni kubwa.
“Kijana acha ujinga, siku zote akuanzae mmalize,” mzee Kidereko alisema.
“Sawa mzee wangu, mi shida yangu kumrudisha mke wangu tu si kuua.”
“Sawa, ila lolote litakalotokea usirudi hapa.”
“Kwa nini babu?”
“Inaonekana hujihurumii, kwa hiyo naomba ukiondoka hapa usirudi labda uje na lingine. Mimi hupenda kufanya kazi mara moja ili usirudi hapa kwa kazi hiyohiyo. Kwa akili ya mkeo hata kama atarudi bado ataendelea kukusumbua. Nakueleza utarudi hapa nguo zipo kichwani.”
“Kwa nini unasema hivyo?”
“We si mtoto mdogo mambo mangapi kakufanyia mkeo nusra ujiue, kweli au uongo?”
“Kweli.”
“Sasa kwa nini mtu aliyetaka kukusababishia ujiue unamuonea huruma. Nataka kukueleza huruma ikizidi hugeuka uchawi wa kukuzuru mwenyewe hasa kwa adui yako.”
Nilitulia kwa muda nikiwaza na kuwazua juu ya adhabu wanayotaka kuifanya kwa mwanaume aliyemchukua mke wangu. Kauli za kurudi nguo nimeweka kichwani zilinitisha sana na kujua kurudi pale nitakuwa mwendawazimu.

NILIKUWA nimezama kwenye dimbwi la mawazo, mzee Kidereko akanishtua:
“Sasa amua tufanye kazi kamili au nusunusu?”
“Mzee Kidereko fanya kazi kamili,” Shedu alisema.
“Shedu usimsemee mwenzako, mwache aseme mwenyewe.”
“Mzee Kidereko usimsikilize huyu jamaa, siye ndiyo tunaojua anavyoteseka, tena kurudi na nguo kichwani umemhurumia anatakiwa abakie jina, juzi tu amechungulia kaburi.”
“Hata kama yote hayo yamemtokea bado ana hiyari ya kuepukana na tatizo hilo au kuendelea kuteseka.”
“Mzee tumetoka mbali na shida yetu ni kulimaliza tatizo hilo, hasa tukizingatia sasa hivi mwanamke ndiyo kaolewa kabisa,” Shedu alizidi kushadadia.
“Bado mwenyewe uamuzi wa mwisho ni yeye mwenyewe.”
Ubishani ule ulinifanya nikumbuke mateso mazito aliyonipa mke wangu na dharau ya yule mwanaume, kwanza kwa kumfanya mwanangu achelewe kutembea, pili kulala na mke wangu katika kitanda changu.
Ile ilikuwa ni dharau kubwa sana na mbaya zaidi kumchukua jumla na kumuoa, japokuwa sikuwa na uhakika na jambo hilo lakini kwa mujibu wa kauli ya mke wangu alivyoniandikia barua yake siku alipoondoka ilionesha wazi kuwa jamaa huyo ndiye aliyemchukua jumla.
Moyo uliniuma mpaka machozi yakanitoka na mishipa ya kichwa kunisimama kwa hasira.
Nilinyanyua uso wangu na kuwaangalia Shedu na mzee Kidereko, wote walikuwa kimya wakisubiri jibu langu.
Moyoni sauti iliingia ikiniambia mtu yule hakustaili huruma hata kidogo.
“Babu maliza kazi,” nilijikuta nikitamka kwa sauti.
“Kwa moyo wako au kwa kulazimishwa?”
“Kwa moyo wangu.”
“Kweli?”
“Kweli kabisa.”
“Kazala huo ndiyo uanaume,” Shedu aliniunga mkono kwa uamuzi wangu.
“Basi ngoja tuifanye hii kazi ili kesho muweze kuondoka.”
“Sawa.”
Tulikwenda kwenye kibanda kimoja ambacho mzee Kidereko alikuwa akifanyia kazi zake. Kilikuwa na vitendea kazi vyake, baada ya kukaa kwenye mkeka aliagiza beseni dogo la maji ambalo lililetwa baada ya muda.
Beseni lile likajazwa maji kisha mzee Kidereko akaniuliza:
“Huyo bwana unamjua jina?”
“Simjui.”
“Nipe jina la mkeo.”
“Anaitwa Suzana.”
“Jina la mama yake?”
“Maria.”CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Baada ya kumpa majina yale alichukua dawa ya unga akaanza kuinyunyuzia kwenye maji huku akilitaja jina la mke wangu kwa sauti ya chini.
Baada ya muda aliniita na kuniuliza:
“Huyu si mkeo?”
“Ha! Ndiye,” nilishtuka kumuona mke wangu ndani ya beseni lile nikawa kama natazama video.
“Ni kweli ni yeye?” mganga aliniuliza tena.
“Ndiyo mzee wangu.”
“Na huyo aliyekaa pembeni yake unamjua?”
Nilituliza macho yangu kumuangalia yule mwanaume aliyekuwa amekaa na mke wangu akiwa kifua wazi na kugundua kuwa ndiye yule mwanaume niliyemuona kitandani na mke wangu.
“Huyu ndiye aliyemchukua mke wangu,” nilisema kwa sauti huku macho yakiwa yamenitoka pima.
“Kweli ni yeye?” aliniuliza tena mzee Kidereko.
“Ndiye.”
“Sasa tunamtoa mkeo na kumbakisha huyo mwanaume kisha nitakuelekeza kitu cha kufanya.”
“Hakuna tatizo.”
Baada ya kusema vile alichukua dawa ya unga na kuinyunyuzia kwenye maji huku akizungumza kwa sauti ya chini sana maneno ambayo sikuyaelewa kwa ufasaha. Mara nilimuona mke wangu akinyanyuka na kuondoka na kubaki yule mwanaume peke yake akiwa amekaa kwenye kochi.
“Sasa nuiza kifo chochote unachokitaka kimpate huyu bwana.”
“Cha ajali.”
“Nuiza.”
Mganga alinipa unga ule niuweke kwenye maji kwa kunyunyizia huku nikinuiza kile ninachokitaka, nilifanya vile huku nikinuiza kutaka yule mwanaume afe kifo cha ajali kwa kuamini kuwa kifo kile hakiwezi kuwafanya watu wanifikirie vibaya kwamba labda nahusika.
Baada ya kunuiza kimoyomoyo nilimwambia nimemaliza, baada ya kusema vile alichukua kisu kikubwa cha kuchinjia mbuzi na kukiweka kwenye maji na kusema:
“Majibu ya kazi yetu tutayaangalia asubuhi wakati mnaondoka, kama haikukubali itabidi mbaki tufanye tena upya lakini kazi zangu ninazozifanya katika mia basi mbili tu ziligoma lakini niliporudia ilikubali.”
Baada ya zoezi lile mganga alichukua beseni la maji na kutoka nalo nje, baada ya muda alituita nje, nasi tukamfuata.
Tulipotoka katika kilinge cha mganga tulikwenda sehemu tuliyopangiwa kulala ili asubuhi tuondoke kurudi Dar. Tulilala kwenye mkeka, tukiwa tumejilaza nilianza kumdodosa Shedu.
“Kazi iliyofanyika ni hiyo tu au kuna nyingine?”
“Kwa nini?”
“Naona tumefanya ya kumuua yule jamaa, vipi kuhusu mke wangu kurudi?”
“Jamaa akifa tu, mkeo anarudi nyumbani.”
“Itawezekana kweli?”
“Kama ingekuwa haiwezekani angekwambia, yule mzee amekwishaona kila kitu.”
“Mmh! Sawa.”
“Usiwe na wasiwasi tukurudi mkeo naye atakuwa ameshakubali kurudi kwako na utamletea mzee zawadi.”
“Haya.”
Tulilala mpaka alfajiri tulipoamshwa na mzee Kidereko, akatueleza kuwa ngoma imekuwa nzito.
“Vijana ngoma imebuma.”
“Kivipi?”
“Muziki mnene,” alisema huku akituonesha beseni lililokuwa na maji na kisu likiwa kama tulivyoliacha jana.
“Mbona hatuelewi?”
“Jamaa kajitengeneza sana.”
“Umejuaje?”
“Kama ingekubali tungekuta maji haya yamegeuka damu.”
“Unafikiri ni kwa nini?
“Jamaa anaonekana yupo sawa.”
“Kwa hiyo?”
“Kuna kazi ya ziada inatakiwa kufanyika, tuliyoifanya ilikuwa ya kawaida sana.”
“Sasa itakuwaje?”
“Safari imekufa, tutarudia tena leo jioni.”
Kauli ile ilinitisha na kuiona kama vita yangu na mwanaume aliyemchukua mke wangu ni kubwa sana tofauti na matumaini niliyopewa.

Hatukuwa na jinsi tulikubali kushinda pale kijijini mpaka jioni tulipongia kwenye kazi nyingine. Safari ile alichemsha maji kwenye chungu,yalipokuwa yakichemka aliweka dawa na kunieleza nishike kisu na kukiingiza ndani ya yale maji yaliyokuwa yakichemka.
Japokuwa ndani ya chungu hakukuwa na kitu kingine lakini kila nilipoingiza kisu kiligoma.
“Vipi mbona huingizi kisu?” mzee Kidereko aliniuliza.
“Kimegoma kunaonesha kuna kitu ndani ya chungu,” nilimweleza mganga baada ya kisu kugoma kuingia.
“Hebu toa kisu,” aliniamuru.
Nilikitoa kisu, mganga alichukua dawa ya unga na kuiweka kwenye yale maji yaliyokuwa yakichemka kisha aliweka maji yaliyokuwa kwenye chupa ndogo na kunieleza nikiingize tena kisu.
Kisu kiliingia kama kinaingia sehemu iliyokuwa ngumu, ghafla maji kwenye chungu yalibadilika na kuwa damu.
“Endelea kukiingiza kisu kwa nguvu,” mganga alinieleza.
Kila nilivyojitahidi kukiingiza ilifika sehemu kikagoma kabisa kwenda mbele wala kutoka nje.
“Chomoa kwanza.”
Nilipochomoa kiligoma kutoka.
“Kimegoma.”
“Hebu,” ilibidi akitoe mwenyewe ndani ya maji ambayo yalikwishaanza kutoa harufu ya damu mbichi. Baada ya kukitoa kisu maji yalirudi katika hali ya kawaida. Hali ile ilimshtua mganga na kumsikia akishusha pumzi nzito na kusema:
“Mmh! Hapa ipo kazi.”
Nilimuona akikuna kichwa na kukitazama chungu ambacho muda huo kiliacha kuchemka ghafla kiliacha kuchemka japo moto ulikuwa bado unawaka. Nilijikuta nikichanganyikiwa hata Shedu naye alionekana kushtushwa na tukio lile ambalo bado sikuelewa.
Nilisikia mganga akisema, hapa lazima turoge kazi hii ifanyike saa nane za usiku hatuna jinsi mtu tunayepambana naye si mtu mdogo, kajidhatiti ndiyo maana ameamua kufanya aliyotaka. Lakini muda si mrefu atanijua mimi ni nani sijawahi kushindwa na kitu japokuwa hili ni tukio langu kubwa kunisumbua lakini lazima nitamaliza kazi.
Kazi hii sasa hivi ninatakiwa kuifanya mwenyewe kwa vile wewe ni mwepesi, nitaondoka mwenyewe usiku nikirudi kila kitu kitakuwa kama kilivyopangwa.”
Kulikuwa na dalili za siku inayofuata kulala palepale, nikaanza kuingiwa na wasiwasi kwamba mganga kazi ile imemshinda.
Nikaona tutachelewa hata kazini, lakini sikuwa na jinsi siku ile tulilala palepale mpaka siku ya pili.
Siku ya pili baada ya kufungua kinywa nilipelekwa porini ambako nilichanjwa juu ya kichuguu kupewa kinga kwa ajili ya kupambana na adui yangu ambaye alionekana amejidhatiti katika nguvu za kiza.
Baada ya kupewa kinga ambayo nilielezwa hakuna mtu wa kunigusa hata mambo yangu yatakuwa mepesi tofauti na mwanzo.
Kutokana na kazi kuwa nzito nilitakiwa kununua mbuzi mwekundu. Nilifanya hivyo kwa kutoa fedha kisha mganga aliwatuma watoto wake kwenda kumtafuta mbuzi huyo mwekundu asiye na baka lolote.
Watoto walirudi jioni wakiwa na mbuzi mwekundu kwa ajili ya kafara yangu ya usiku ya kumkomesha mbaya wangu. Siku ile tuliendelea kusota kwa mganga mpaka usiku.
Ilipotimu saa mbili ndipo mbuzi yule alipovishwa sanda na kuchinjwa na damu yake kumiminiwa ndani ya shimo lililochimbwa kama kaburi kisha tulimzika yule mbuzi ndani ya shimo lile akiwa ndani ya sanda na kuelezwa tukalale kwa ajili ya kujiandaa na safari ya siku ya pili alfajiri.
“Vijana wangu kazi imekwenda vizuri kesho safari ya kurudi mjini ipo kama kawaida.”
“Tutashukuru mzee wangu,” nilishukuru kwa vile nilikuwa nimeishaanza kuchoka kukaa pale kijijini.
“Kazi imekwenda vizuri inaoneka hata tiba niliyokupa asubuhi imekusaidia sana.”
“Kwa hiyo mzee kazi itakwenda kama ilivyopangwa?” nilimuuliza.
“Shaka ondoa, japo kazi ilikuwa ni kubwa bado usiku nitatoka peke yangu kwenda kumaliza kazi ndogo iliyobakia.”
“Je, ikienda kinyume?” bado nilimdadisi mganga.
“Haiwezi, nilichokifanya ni uchawi mkubwa sana.” Mganga alinihakikishia alichokifanya.
Kauli ile ilinishtua na kujiuliza uchawi na uganga una tofauti gani, sikutaka kuuliza kitu lakini moyoni niliomba kafara yake ifanikiwe ili turudi mjini kwani maeneo yale yalikuwa yameanza kunikera.

Tulilala mpaka siku ya pili ambapo tuliamshwa alfajiri, saa kumi na moja, baridi lilikuwa kali sana, nilijua tulitakiwa kujiandaa kwa safari, kumbe tulipewa taarifa iliyonivunja nguvu na kutamani kulia.
Mzee Kidereko tangu alipoondoka jana yake hakurudi, hivyo tulitakiwa kuingia porini kumtafuta.
Kwangu yale yalikuwa mapya na kujiuliza tunakwenda kumtafutia sehemu gani huko porini. Hatukuwa na jinsi tuliondoka zaidi ya watu sita wakiwemo watoto wawili wa kiume wa mganga na wasaidizi wake, huku msaidizi wake akitangulia mbele na usinga ili kutuelekeza mzee Kidereko alipo.
Tulitembea porini kwa saa mbili bila kupumzika wala kujua mzee Kidereko alikuwa wapi. Lakini muda wote msaidizi wake alitueleza kuwa muda si mrefu tungemuona.
Baada ya mwendo kidogo tulishtuka kuyaona matone ya damu.
Ningekuwa peke yangu ningetimua mbio au kubadili njia lakini msaidizi wa mganga huyo alielekea upande uleule.
Mimi na Shedu tuliwafuata nyuma huku nikijiuliza zile damu zilikuwa ni za nini? Tuliendelea kuzifuata, ziliongezeka kila tuliposogea mbele huku majani yakionekana kuvurugika kama kulikuwa na vita nzito.
“Huyu hapa,” sauti ya mtoto wa mzee Kidereko ilitushtua na kutufanya sote tugeuke kwenye majani yaliyoonekana kulala kama kulikuwa na ugomvi wa tembo.
Tuliposogea nilishtuka kumuona mzee Kidereko akiwa amelala ameshikilia pembe nyeusi iliyokuwa imefungwa na kitambaa chekundu kwa chini na mwili wake hasa sehemu za kifuani na tumboni zikionesha damu iliyoanza kuganda.
Nilijua mzee Kidereko ngoma ilimshinda na kusababisha mauti yake, baada ya kumuona, msaidizi wake alitueleza turudi nyuma. Alitoa unga mweupe na kuanza kuurusha eneo lote, kisha alitoa maji kwenye chupa ndogo na kummwagia kichwani mzee Kidereko ambaye bado alikuwa ametulia kama tulivyomkuta.
“Kazi ilikuwa nzito,” alisema msaidizi wake aliyekuwa akifungua kichupa kidogo na kutoa dawa aliyoiweka kwenye pua za mzee Kidereko. Baada ya sekunde chake alipiga chafya mfululizo na kuamka, alikaa kitako na kututazama kisha alimuuliza msaidizi wake.
“Umekuja na utanduo?”
“Ndiyo”
“Nipe.”
Alitoa pembe ndogo na kumkabidhi, aliichukua na kuifungua kwa chini kisha alitoa unga mweusi na kuuweka mkononi na kupuliza kidogo, uliobakia aliutupia wote mdomoni na kunyanyuka. Tuliongozana naye kurudi nyumbani.
Tulipofika alikuwa amechoka sana, baada ya kuoga na kula aliingia ndani kwake kulala.
Tulibakia njia panda na Shedu bila kujua nini kilikuwa kinaendelea, kwani tulikuwa tumemaliza siku ya nne tofauti na ruhusa ya siku mbili tulizoomba kazini. Nikiwa nimekaa na Shedu chini ya mti nilimuuliza rafiki yangu.
“Shedu nini kinaendelea mbona sielewi?”
“Kazala hata mimi nimechanganyikiwa hata sijui kinachoendelea.”
“Shedu usipojua wewe mimi si ndiyo nitazidi kuchanganyikiwa kabisa.”
“Kazala haijawahi kutokea tangu nimemfahamu mzee Kidereko.”
“Sasa hii ni nini?”
“Yaani sielewi ni wazi aliyemchukua mkeo ni mtu aliyejizatiti sana.”
“Kwa hiyo kazi imemshinda?”
“Mmh! Sijajua hebu tusubiri aamke.”
“Kwa kweli nimekwisha kata tamaa.”
“Kazala huwezi kuamini hata mimi nimechanganyikiwa, tangu nimfahamu huyu mzee na sifa zake kwa kazi nzito alizowahi kuzifanya hii yako imekuwa ya kwanza kwa haya yanayomtokea. Hajawahi kushindwa na kitu hata wasaidizi wake nao wamechanganyikiwa.”
“Sasa huku tutakaa siku ngapi wakati tumezidisha siku moja?”
“Tumsubiri aamke ili tujue nini kinaendelea kama ameshindwa tujue moja.”
“Na akisema hajashindwa tutafanyaje maana hawezi kukubali kirahisi namna hii, lazima anaweza kutueleza tuongeze siku.”
“Tutamuomba tuondoke kuwahi kazini ili tupange siku nyingine ya kurudi.”
“Siamini kama ataiweza tena, kama ametaka kufa nina wasiwasi akilazimisha anaweza kufa bure.”
“Kweli nimeamini mwenye uwezo wa juu ni Mungu peke yake, nilivyomuamini mzee Kidereko amechemka kwa siku nne. Kweli hakuna marefu yasiyo na ncha.”
Maneno ya Shedu yalinikatisha tamaa na kurudiwa na imani yangu ya awali kuwa hakuna uchawi bali kuna mazingaombwe. Nilijikuta nikianza kumuwaza upya mke wangu na kuamini hakukuwa na suluhu ya kumrudisha zaidi ya kuendelea kuteseka.
Mpaka jioni inaingia mzee Kidereko alikuwa bado hajaamka.
Pale nyumbani palikuwa kimya kila mtu aliendelea na shughuli zake kama hakikutokea kitu chochote cha hatari. Jioni ya siku ile mimi na Shedu tulizunguka baadhi ya vijiji, giza lilipoingia tulirudi nyumbani.
Tulimkuta mzee Kidereko akiwa bado hajaamka, kitu kilichotutia wasiwasi ni mtu kulala asubuhi mpaka jioni. Nilijiuliza ni usingizi wa aina gani huo au ndiyo kapitiliza kabisa.
Hali ya utulivu iliyokuwepo ilizidi kutupa wasiwasi na kujiuliza nini hatma ya yote. Majira ya saa tatu usiku tulifuatwa na yule binti aliyetupokea siku ya kwanza tuliyofika.
“Mzee anawaita.”
“Mzee gani?” niliuliza.
“Jamani kaka Kazala hapa nyumbani kuna wazee wangapi?’
“Mmoja.”
“Basi ndiye anayewaita.”
“Ameamka?”
“Ndiyo.”
“Saa ngapi?”
“Muda mrefu, ameoga amekula na kupumzika.”
“Lakini hajambo?”
“Hajambo mbona hali ile ni ya kawaida, tumeizoea kazi hii inataka moyo la sivyo utaiacha.”
Tuliongozana na yule msichana hadi ndani ya nyumba ya mzee Kidereko, hali ilikuwa tofauti na siku zote ambazo huzungumzia pale chini ya mwembe au kilingeni kwake. Alipotuona alitukaribisha.
“Karibuni vijana wangu.”
“Asante mzee, shikamoo.”
“Marahaba karibu mketi.”
“Asante.”
Tulikaa kwenye viti vya kukunja na kusubiri alichotuitia. Baada ya ukimya mfupi alizungumza.
“Vijana wangu.”
“Naam mzee,” tuliitikia kwa pamoja.
“Kwanza poleni kwa kuwachelewesha tofauti na tulivyokubaliana.”
“Kawaida mzee tukupe pole wewe kwa matatizo uliyokutana nayo,” nilimpa pole kwa kuamini hata kama angekufa mimi ndiye ningekuwa chanzo.

“Wala usihofu ile ni moja ya kazi zetu, kazi nyingine lazima ujitolee uhai ufe wewe au afe yeye.”
“Kwa hiyo kazi imekuwa nzito?”
“Ilikuwa nzito si nzito tena japo kidogo iondoke na roho ya mtu.”
“Unamaanisha nini?”
“Baada ya kafara ya mbuzi mwekundu kazi iliyobakia ni kummaliza kabisa, kumbe katika sehemu ya uhai wake kuna ulinzi mkubwa uliomzunguka yaani atakayegusa lazima aondoke.
“Baada ya kuingia porini ili kumalizia kazi kilikuja kitu cha ajabu ambacho nimepambana nacho mpaka alifajiri. Ilikuwa vita nzito ambayo kwangu ilikuwa mara ya pili japo hii ilikuwa kubwa kidogo. Lakini mpaka naishiwa nguvu nilikuwa nimemaliza kazi. Kama ningeishiwa nguvu kabla sijammaliza ningekufa mimi.”
“Mungu wangu,” nilishtuka.”
“Usishtuke ni jambo la kawaida kwetu waganga.”
“Kwa hiyo?”
“Kesho mnaweza kurudi kazi imeisha.”
“Kuhusu yule jamaa itakuwaje?”
“Kazi imeisha hivi mkirudi mtakuta msiba.”
“Msiba?”
“Ndiyo.”
“Wa nani?”
“Wa adui yako.”
“Kafa lini?”
“Alfajili ya leo.”
“Mmh! Umejuaje?”
“Ndiyo kazi yangu, wewe umeleta si juu yako kujua kila kitu kinachofanyika zaidi ya kufanikisha kilichokuleta.”
“Nini kilichomuua?”
“Wewe ulitaka afe kwa nini?”
“Ajali.”
“Basi kafa kwa ajali leo alfajiri, asingekufa ningekufa mimi.”
“Mmh!”
“Basi nina imani kazi imekwisha japo ilikuwa nzito nashukuru imeisha salama, japokuwa kuna wakati nilianza kuchanganyikiwa. Lakini niliamini nitamuweza tu asingeweza kushindana na mimi huku ndiko Tewe hakujawahi kushindwa kitu.”
“Basi tunashukuru. Vipi kuhusu mke wangu?”
“Atarudi mwenyewe wala hakuna haja ya kutumia dawa kwa vile aliyekuwa akimzuzua ameshakufa.”
“Mmh! Mzee kweli atarudi?”
“Baada ya kifo atafukuzwa na ndugu wa huyo mwanaume na kumuona yeye ndiye nuksi.”
“Kwa hiyo?”
“Utamuona mwenyewe anarudi kuomba radhi, nina imani atatulia, kama adhabu atakuwa ameipata.”
Tuliagana na mzee Kidereko nikiwa siamini na kuona kama vile mzee kazi imemshinda na kuamua kutuondoa kijanja. Tulikwenda kulala baada ya kujiandaa na safari ya kesho alfajiri kurudi tulipotoka ili tuwahi kazini japo tulikuwa tumepitisha siku mbili.
Tuliamshwa alfajiri ya siku ya pili kwa ajili ya safari. Kwa vile kulikuwa na baridi kali hatukuweza kuoga, tulinawa uso tu.
“Kazala mwanangu kazi yangu japo ilikuwa ngumu lakini nimeimaliza vizuri sana. Ningekuwa mtu mwepesi pale uliponikuta mngekuta mzoga.”
“Ukisema mzoga una maana gani?” nilimuuliza.
“Mngekuta nimekufa.”
“Dah! Pole sana mzee wangu, ahsante sana kwa msaada wako.”
“Nawe pia. Ila nina ombi moja naomba unisaidie!”
“Ombi gani tena?”
“Nakuomba jambo tulilofanya huku libakie siri yako, watu wao ndiyo watakaozungumza yao kuhusu kifo cha ugoni wako. Kifo hiki ni vigumu mtu kujua kwa vile mazingira yake hakuna atakayekuwa na wasiwasi kwa kuamini amri ya Mungu.”
“Sawa mzee wangu nitafanya hivyo.”
“Haya nawatakieni safari njema,”
Mzee Kidereko alimpatia Shedu kifurushi kidogo na kumwambia:
“Hii zawadi yako.”
“Asante,” Shedu alipokea kile kifurushi, nikajua cha dawa japo sikutaka kujua dawa ya nini. Sikutaka kuhoji kapewa nini kwa vile ile ilikuwa hainihusu.
Baada ya kila kitu kwenda kama kilivyopangwa tulisindikizwa na vijana wa mzee Kidereko kwa baiskeli mpaka Mlalo ambako tulifika muda wa saa moja hivi za asubuhi.
Ilikuwa ni saa moja kabla ya magari ya kuelekea Dar kuondoka. Tulibahatika kupata tiketi kwenye basi la Umba, basi la Shambalai lilikuwa limejaa. Tuliingia na kukaa kwenye siti ya watu wawili.
Saa mbili gari liliondoka Mlalo na kuelekea Dar es salaam, Shedu alionesha alikuwa na usingizi sana, safari ilipoanza tu aliuchapa usingizi mimi niliendelea kuangalia mji wa Mlalo.
Akili yangu ilikuwa njia panda nisipate jibu kuhusu mwanaume aliyemchukua mke wangu kufariki dunia kwa ajali kama ni kweli.
Akili yangu haikuamini nilijua yule mzee katutoa kisiasa ili tu tusiondoke tukiwa hatuna imani naye. Sifa alizonipa Shedu na niliyoyakuta niliona kuna tofauti kubwa. Lakini sikutaka kuumiza kichwa, ukweli na uongo wa mganga nilijua ningeupata baada ya kufika mjini.

KWA vile ilikuwa ni alfajiri nami usingizi ukaanza kuninyemelea lakini jambo hilo lilikuwa limechangiwa na mazingira ya sehemu tuliyofikia, siku zote sehemu usiyoizoea huwezi kulala vizuri, basi nami usingizi ukanichukua bila ya kujijua.
Shedu ndiye aliyenishtua kutoka usingizini, yeye aliamka muda ambao usingizi ulikuwa umeshanikolea.
“Kazala amka tupate chakula cha mchana.”
“Wapi hapa?” nilimuuliza baada ya kuona tumefika kwenye kituo cha basi.
“Korogwe.”
“Sasa ni saa ngapi naona jua ni kali?”
“Saa saba.”
“He! Kumbe nimelala sana!”
Tuliteremka Korogwe na kupata chakula cha mchana, kisha tukarudi kwenye basi na kuendelea na safari ya kurudi kwetu. Tulifika Chalinze saa tisa na nusu alasiri, tulipanda basi lililokuwa likitoka Dar saa kumi na nusu jioni tuliingia makwetu saa nne usiku.
Kwa vile muda ulikuwa bado Shedu alikwenda kwake na mimi nilirudi kwangu.
Nilishukuru kwa kuwa siku ya pili ilikuwa Jumamosi ambayo kwa kawaida huwa siendi kazini, hivyo niliamini ningekuwa na muda mrefu wa kupumzika.
Baada ya kula chakula nilichonunua, nilioga na kujitupa kitandani kutokana na kutawaliwa na uchovu usingizi haukuchelewa kunichukua.
Nilishtuka siku ya pili tena baada ya kugongewa na jirani yangu, nilifungua mlango na kutoka nje.
“Vipi jirani za asubuhi, ulisafiri?”
“Nzuri, eeh nilitoka kidogo.”
“Mbona hukuaga?”
“Ilikuwa ni safari ya ghafla sana samahani kwa hilo.”
“Mkeo alirudi,”
“Eeh!” nilishtuka kusikia vile.
“Alikuja juzi pamoja na mwanao, walikusubiri mpaka usiku bila kutokea, ilipofika usiku ilibidi alale kwenye korido asubuhi ya jana ndiyo kaondoka.
“Jana tena alikuja hapa bila mtoto alikaa mpaka saa tatu usiku akaamua kuondoka,” aliendelea kunifahamisha jirani yangu.
“Atakuwa amekwenda wapi?”
“Mmh! Kwa kweli siwezi kujua ila ameondoka na kuniomba nimuwekee mizigo yake vizuri na kusema atarudi kesho. Nia yake ilikuwa ni kuingia ndani, amesema anaweza kuja na fundi ili amfungulie mlango. Kwa nini hukuacha funguo?”
“Kama nilivyokwambia safari ilikuwa ya ghafla sana.”
“Basi kwangu kuna mizigo ya mkeo,”
“Sawa,” nilichukua mizigo ya mke wangu na kuiingiza ndani.
Baada ya kuweka vitu vya mke wangu vizuri nilikaa kwenye kochi na kuanza kuwaza na kuwazua kama kauli ya mganga na niliyoyasikia muda mfupi kuhusu mke wangu kurudi nyumbani yalikuwa na uhusiano.
Nilijiuliza kama mke wangu amerudi ina maana ni kweli yule mwanaume amekufa kwa ajali kama alivyonieleza mganga au kuna lingine lililotokea.
Nikiwa katikati ya mawazo Simon alibisha hodi, nilimkaribisha ndani kwa vile mlango ulikuwa wazi. Simon aliingia akionekana kuwa na jambo alilotaka kuniambia, baada ya kuketi alisema:
“Pole na safari.”
“Asante.”
“Mmh! mzee unatisha.”
“Kivipi?”
“Jamaa tumemzika jana.”
“Jamaa gani?”
“Si mgoni wako.”
“Muongo!”
“Kweli tumemzika jana, kwa kweli mimi na wote tuliosikia sababu ya kifo chake tulijua ni kifo cha kawaida lakini aliyonieleza Shedu nimeshtuka sana.”
“Unashtuka nini wakati hata mgoni wa Shedu naye alilamba udongo.”
“Ni kweli alilamba udongo, kifo chake wengi walijua kilitokana na kumchukua mke wa mtu, kulikuwa kama kuna miujiza fulani hivi, lakini kifo cha mbaya wako kilikuwa cha ajali, tena baada ya gari lake kugongana uso kwa uso na gari la mafuta. Waliofika kwenye tukio wanasema wala hakuomba maji, alikufa palepale.
“He! Kumbe kweli?” nilijikuta nikishtuka baada ya kusikia vile.
“Unashangaa nini?”
“Unajua aliyosema yule mzee mimi nilijua anatudanganya, nilidhani alikuwa anatupa moyo baada ya kuona kazi imemshinda.”
“Kaniambia yote Shedu yaliyotokea huko, lakini ukweli unabaki palepale yule mzee ni tishio, hasa kwenye kazi za kulipa visasi.”
“Lakini naamini adhabu aliyopewa ni kubwa sana,” nilisema.
“Si ndiyo uliyochagua?” Simon aliniuliza akinikazia macho.
“Adhabu hii sikuichagua bali walinichagulia ili kumkomesha.”
“Basi tena ni kujipanga upya, shemeji amerudi?”
“Nasikia amerudi juzi jioni na kulala hapa, asubuhi ameondoka inaonekana labda ameenda kwao.”
“Sasa ndiyo mkeo atulie kama umemuua huyo, akiendelea na tabia yake utaua wangapi?” Simon aliniuliza.
“Kwanza Simon hebu ondoa hilo neno la kusema nimeua, kazi yote imefanywa na mganga,” nilijitetea.
“Kwa sababu ya nani?”
“Kwa sababu yangu, lakini kwa uamuzi wa wengine, mi nilikuwa namtaka mke wangu tu.”
“Basi ndiyo hivyo mkeo atarudi jipange kuhakikisha kosa la awali halijirudii tena.”
Tukiwa katikati ya mazungumzo mara mlango wa mbele uligongwa, ilikuwa sauti ya mke wangu. Nilitamani ninyanyuke nikampokee lakini niliona aibu mbele ya ya rafiki yangu Simon.
Nilimkaribisha aingie ndani.
Mke wangu alipoingia alikuja moja kwa moja hadi nilipokuwa nimekaa na kupiga magoti kuomba msamaha.

“Samahani mume wangu najua nimekukosea kwa yote niliyokutendea, nimeamini yote ni matawi shina ni wewe. Najua nimekuumiza mume wangu kiasi cha kukufanya uchanganyike. Yote ni kiburi cha nazi kushindana na jiwe, leo hii nimegeuka bundi kila kona nafukuzwa familia ya nilipokwenda hawataki hata kunisikia mama naye hataki kuniona nitakuwa mgeni wa nani?
“Mume wangu Kazala nakuomba nipo chini ya miguuu yako, wewe ndiye kimbilio langu la mwisho, nawe ukinifukuza sina pa kwenda. Kazala mume wangu naomba unipokee tumlee mtoto wetu Zawadi. Najuta kukukimbia, nimeamini si wajinga waliosema usiache mbachao kwa msala upitao…
“Shemeji Simon nakuomba niombee msamaha kwa mume wangu Kazala ambaye nilimkosea kwa kuondoka bila kuaga, zilikuwa ni hasira lakini leo hii zimekuwa hasara kwangu.
“Kazala bado nakuhitaji katika maisha yangu, rudisha moyo wako nipokee tena, nakuahidi kuwa mke mwema katika maisha yangu yote yaliyobaki chini ya jua, nakupenda Kazala, nakupenda baba Zawadi nipo chini ya miguu yako,” mke wangu alilia kilio cha uchungu kuonesha kweli ameumizwa na yaliyotokea.
Yote yaliyotokea kwangu hayakuwa tatizo kwangu zaidi ya mke wangi kurudi tena mikononi mwangu. Nilimnyanyua na kumkumbatia na kumweleza nimemsamehe. Nilimkumbatia mwanangu ambaye alikuwa kwenye afya nzuri na mke wangu.
Pamoja na kuumizwa roho na kifo cha mgoni wangu, lakini nilipata faraja ya ajabu mke wangu kurudi mikononi mwangu. Kwa mara ya kwanza niliamini uchawi upo na unafanya kazi.
Maisha yalianza upya huku mke wangu kila kukicha akijutia alichokifanya, nami nilimweleza yote aliyofanya nimemsamehe toka moyoni mwangu. Hali ya utulivu ilirudi ndani bila mtu kunitilia wasiwasi juu ya kifo cha mgoni wangu kuwa nimekisababisha mimi, wengi waliamini ile ilikuwa amri ya Mungu.
Maisha nayo yaliendelea huku nikirudi katika hali yangu ya zamani kutokana na mapenzi mazito niliyopewa na mke wangu. Haikuchukua muda toka arudi, akabeba ujauzito mwingine ambao haukuwa na matatizo nao, hakuzungumzia kuutoa zaidi ya kuulea kwa ajili ya kusubiri siku ya kujifungua.
Hali ile ilinifanya niamini mke wangu kweli tukio lililotokea limempa fundisho. Muda ulipofika alijifungua mtoto mwingine wa kike ambaye nilimwita Happy kutokana na furaha ya kurudi kwa utulivu ndani ya nyumba yetu.
Watoto wetu Zawadi na Happy walikua vizuri huku mama yao akionesha kuwapenda na kuwajali tofauti na Zawadi alipokuwa mdogo alivyobemendwa na mama yake.
Siku zilizidi kwenda nami nikizidi kuyafurahia maisha, mke wangu alichukua miaka mitatu na nusu toka arudi kuanza mambo yake. Nakumbuka aliniomba sana tutafute msichana wa kazi kwa ajili ya kumsaidia kazi za nyumbani.
Kwa vile sikutaka kubishana na mke wangu nilikubaliana naye na kumpa ruksa ya kutafuta mfanyakazi.
Haikuchukua hata siku tatu msichana wa kazi alipatikana kuonesha alimuandaa hata kabla ya kunieleza. Tuliendelea na maisha huku familia yetu ikiwa imeongezeka mtu mwingine.
Waswahili wanasema kaniki hata ukiifua na mito na bahari zote dunia na sabuni zote hata siku moja haiwi nyeupe. Pia hawakukosea kusema la kuvunda halina ubani. Toka aliporudi alikuwa na tabia ya kunywa pombe kitu ambacho mwanzo nilikikemea lakini alinibembeleza kwani alikuwa amezoeshwa na alipokwenda.
Kwa vile nilikuwa nampenda nilimkubalia awe anakunywa siku mojamoja. Sehemu tuliyokuwa tukiishi kulikuwa na Grosari karibu. Mara nyingi alimtuma msichana wa kazi na kumletea ndani na kunywa.
Siku nyingine niliporudi sikumkuta ndani, msichana wa kazi alinieleza kwamba, mke wangu alimwambia, kama nitarudi kabla hajarudi akamwite.
Nilimtuma akamwite japo muda ule alitakiwa kuwa nyumbani, alimfuata na baada ya muda alirudi akiwa amechangamka kidogo.
“Vipi mume wangu umerudi zamani?”
“Kama dakika tano, vipi umeanza lini kwenda baa kunywa?”
“Samahani mume wangu, leo jirani yetu God alinipa ofa hapo nje kwenye Grosari.”
“Hakuna tatizo ila usiiendekeze sana pombe.”
“Mume wangu si leo tu, tena nimepewa ofa na jirani.”
“Hakuna tatizo ila usiendekeze sana, kunywa siku mojamoja siyo mbaya.”
Kumbe ukaribu na jirani yangu ulikuwa na maana pana zaidi ya ujirani, mke wangu alianzisha uhusiano na jirani yangu ambaye nikiwa kazini alimgeuza mke wangu wake.
NAKUMBUKA siku moja usiku nikiwa kitandani nilishtuka na kujikuta nimelala peke yangu.
Sikuwa na wasiwasi kwa kuwa niliamini kuwa huenda mke wangu alikuwa amekwenda msalani.
Kwa vile choo na bafu vilikuwa nje nilijua amekwenda kujisaidia tu, nilijilaza, sikuchelewa sana nikapitiwa na usingizi. Niliposhtuka nilishangaa kumuona mke wangu akiwa pembeni yangu amezidiwa na usingizi.

Siku hiyo kabla ya kulala nilijaribu kumgusa mke wangu lakini aliniomba radhi kwa kuniambia kuwa tumbo lake lilikuwa limeshtuka ghafla.
Kwa vile ile hali haikuwahi kumtokea, nilimuacha na kuendelea kuuchapa usingizi,
siku ya pili tena nilipomgusa alinieleza bado alikuwa akisumbuliwa na tumbo.
“Sasa mke wangu umetumia dawa gani?”
“Si…sijatumia dawa yoyote mume wangu.”
“Sasa utaendelea kuilea hali hii mpaka lini? Kumbuka mumeo lazima nipate haki yangu kutoka kwako!”
“Najua mume wangu, samahani kwa hilo, kesho nitakwenda hospitali.”
“Mmh! sawa.”
“Nisamehe mume wangu,” alisema huku akinibusu na kunifanya mwanaume nilegee kabla ya usingizi haujatuchukua, kama kawaida yetu tulilala tukiwa tumekumbatiana ili kupeana joto, mpaka pale kila mmoja wetu alipopitiwa na usingizi na kugeukia upande wake kwa kupeana migongo.
Nilishtuka katikati ya usiku, usingizi ulikuwa umenipaa na kujikuta nikiwa peke yangu kitandani, hata hivyo sikuwa na wasiwasi kwa kuwa nilihisi mke wangu atakuwa amekwenda msalani, niliendelea kujilaza huku macho yangu nikiyaelekeza darini.
Muda mrefu ulipita bila mke wangu kurejea kitu ambacho kilinitia wasiwasi labda tumbo lilikuwa limemzidia kule msalani. Nilinyanyuka kitandani na kutoka nje kwenda kumuangalia.
Nilifika hadi msalani, sikuona dalili ya kuwepo kwa mke wangu, nilijaribu kuliita jina lake lakini hakukuwa na jibu lolote.
Niliingia hadi msalani lakini sikumuona, nilitoka nje na kujiuliza atakuwa amekwenda wapi, nilizunguka nyumba nzima sikumuona, niliamua kurudi ndani nikiwa na mawazo tele kwa kutomuona usiku wa manane kama ule.
Nilikaa kitandani nikijiuliza maswali mengi, nilishangaa usiku kama ule atakuwa amekwenda wapi, nilihisi labda atakuwa amezidiwa na kuamua kwenda nyumbani kwao, lakini nilipingana na wazo hilo kwa kujua kuwa kama ingekuwa hivyo ni lazima angenijulisha, asingeweza kuondoka peke yake tena kimyakimya.
Nikiwa nimekaa kitandani niliona mlango ukifunguliwa kwa uangalifu mkubwa, mtu aliyekuwa akiufungua alitulia kwa muda, nikataka kumuona aliyekuwa akiingia kwa kunyata kwa kudhani labda alikuwa ni mwizi.
Baada ya mlango kufunguliwa mtu aliyekuwa akiingia ulitanguliza mguu wake wa kulia, kisha mwili wake ukaonekana.
Alikuwa ni mke wangu akiwa katika vazi la khanga moja,aliponiona alipatwa na mshtuko mpaka khanga aliyokuwa ameivaa ikamdondoka na akabakia mtupu kama alivyozaliwa, hakuiokota bali aliendelea kusimama kama mwanga aliyekamatwa wakati akijiandaa kuwanga.
Nilimuangalia na kushindwa kumuelewa kwa nini alikuwa katika hali ile ya kutahayari.
“Vipi mke wangu?” nilivunja ukimya baada ya kumtazama kwa muda mrefu.
“Sa…sa…” alishindwa kusema alichokuwa amekikusudia.
“Unatoka wapi?”
“Msalani, tumbo lilinizidia nikachelewa kurudi.”
“Ulienda choo kipi?”
“Cha nje.”
“Kweli?”
“Ndiyo mume wangu.”
“Na sasa hivi ndiko unakotoka huko au…?”
“Ndiyo mume wangu,” alijibu huku vidole vyake vya mkono mmoja akiwa ameviweka mdomoni.
“Wakati mimi nilipokuwa nikiingia msalani wewe ulikuwa wapi?”
“Kwani wewe umekwenda msalani saa ngapi?”
“Hebu kwanza vaa nguo yako,” niliposema hivyo aliinama na kuiokota khanga yake na kujifunga, kisha akasimama palepale na kuendelea kuweka vidole vyake mdomoni kama mwanamke aliyekuwa akitongozwa kwa mara ya kwanza.
“Mke wangu ulikuwa wapi?”
“Msalani mume wangu,” aling’ang’ania jibu lake.
“Si kweli, nimeshtuka kutoka usingizini muda mrefu na kukaa macho, nikawa na wasiwasi labda umezidiwa na tumbo, nikatoka hadi msalani sikukuona, nikazunguka nyumba nzima, sikukuona sasa huo msala ni msala gani uliokwenda wewe?” nilimuuliza huku nikimsogelea hadi karibu yake na niliweza kuhisi mapigo yake ya moyo yalivyokuwa yakimuenda kwa kasi.
Mke wangu alishindwa kunijibu, kitu ambacho kilinipandisha hasira na kunifanya nitambue kuwa kulikuwa na mchezo mchafu aliokuwa akinichezea.
Nilimkazia macho na kumuuliza kwa mara nyingine tena kwa hasira huku nikiivuta khanga aliyokuwa amejifunga na kumfanya abakie mtupu.
“ Hebu niambie ukweli, ulikwenda wapi? kama utanidanganya, nitakachokufanyia hutakuja kukisahau mpaka utakapoingia kaburini. Ni mwaka wa tatu na nusu tangu moyo wangu upone majeraha. Hujaridhika unauchubua tena, niambie ulikuwa wapi?”
“Samahani mume wangu nilipokuwa nikirudi kutoka msalani, nilipofika kwenye mlango wa God, aliniita kwake lakini sijafanya naye kitu chochote kile.”
“Leo hukufanya naye kitu, sawa siku zote ulizokuwa ukienda kwake ulikuwa ukifanya naye nini?”
Swali langu lilimpa wakati mgumu kulijibu, akabakia akiumauma meno, nikapata nafasi ya kuongeza maneno mengine.
“Mke wangu wewe ni kiumbe gani, umenifanya nimechuma dhambi kwa ajili yako, tumetulia umeanza tena, kibaya zaidi ndani ya nyumba tunayoishi. Wewe ni kiumbe gani? umerogwa na nani mpaka kuwa katika hali hii?”
“Nisamehe mume wangu ni shetani tu, mi nipo chini ya miguu yako, sitarudia tena,” mke wangu alinisogelea na kupiga magoti.
“Haya nieleze ukweli tangu umerudi hapa nyumbani umeshaisaliti ndoa yetu mara ngapi?”
“Kwa haki ya Mungu ni mara nne tu.”
“Na wanaume wangapi?”
“Mmoja tu mume wangu, ni God tu, ukweli wa Mungu tangu nimkubalie ni wiki ya pili sasa, hata hivyo nilijitahidi kumkatalia lakini nimeshindwa kwa kuwa amekuwa akinisumbua sana.
“Amekuwa akinipa ofa na fedha
za pombe, siku zote shetani ana nguvu, nimejikuta nikimkubalia na kukusaliti kwa mara nyingine mume wangu.
“ Najua ni kwa jinsi gani ninavyokuumiza lakini nakuomba usiniache, pombe ndiyo sababu mume wangu nitaiacha, siku aliyonipa ofa ya pombe ndiyo ilikuwa mwanzo wa kunisumbua kimapenzi, kwa kweli nilijitahidi lakini nilijikuta nimemkubalia bila kujua, naomba usiniache mume wangu.
“Mama alishaniambia siku nikifanya ujinga kwako kisha ukanifukuza, basi nitafute mahali pengine pa kwenda, nisirudi kwake.
Unataka kujua kilichotokea?

“Nakuahidi mume wangu sitafanya ujinga tena na pombe leo ndiyo mwanzo na mwisho.”

Japo kauli ya mke wangu haikuwa na nguvu ya kunishawishi kumsamehe hasa baada kujua kuwa ametoka kwa mwanaume baada ya kunikimbia kitandani na kwenda kufanya uchafu wake. Kikubwa kilichoniuma ni dharau zilizokuwa zikioneshwa na jirani yangu kwa kutembea na mke wangu akijua ni mke wa mtu.

Kilichoniuma zaidi kilikuwa kumshawishi kunitoroka kitandani na kuniacha peke yangu.

Roho iliniuma kufanywa bwege kiasi kikubwa, kwangu ilikuwa dharau kubwa sana ambayo iliuumiza moyo wangu kwa jinsi nilivyodhallishwa kiasi cha kutaka kulipa kisasi cha historia.
Niliamini kuwa mke wangu hakuwa na kosa ila kuna watu walitaka kuniona mimi ni nani. Nilipanga mwisho wa wiki niende tena kwa babu kumtia adabu.

Tena mtu huyu sikuwa na huruma naye hata kidogo niliapa kumbakisha jina tu.

Nilimsamehe mke wangu na kumuomba abadilike la sivyo sitamuuliza kitu chochote tena na wala sitamfukuza.

Mke wangu alinihakikishia kutulia kwa kusema kuwa hatarudia tena kosa kama lile, siku ile niliiacha ipite lakini moyoni nilikuwa na maumivu na hasira kama nyoka aliyekanyagwa mkiani.

Nilijitahidi kuficha kilichonikuta kwa watu wote huku nikiomba mwisho wa wiki ufike upesi.

Siku zote mke wangu hakuacha kuniomba msamaha, nilimwa,bia kuwa nimemsamehe toka moyoni na si mdomoni.

Jirani yangu baada ya kugundua nimegundua hila zake ya kumchukua mke wangu, akawa anatoka alfajiri na kurudi usiku wakati siye tukiwa tumelala. Moyoni nilijisemea kuwa arukeruke lakini siku zake za kuishi duniani zilikuwa zinahesabika, nikifika kwa mzee Kidereko lazima alambe udongo.

Niliapa kuwa siri ile hataijua mtu yeyote, baada ya kumsamehe mke wangu nilijilazimisha kuishi maisha ya kulazimisha furaha huku moyoni nikiwa na maumivu makali kutokana na tabia za watu kumgeuza mke wangu jamvi la wageni.

Kwa vile dawa yao niliijua sikutaka kubishana na mtu zaidi ya kupanga safari ya kwenda kwa Mzee Kidereko kule Tewe.

Hakuna aliyegundua mabadiliko yangu kazini na nyumbani, wengi walijua uhusiano wetu ulikuwa ni mzuri, pia kitabia mke wangu alikuwa amejirekebisha.

Hata safari yangu ya kwenda Tewe niliifanya kuwa ni siri yangu, sikutaka kumwambia hata Shedu aliyenipeleka kwa mzee Kidereko kwa mara ya kwanza.

Moyo wangu ulikuwa umeingia woga kuiogopa aibu ya kuonekana bwege kama watu wangejua kuwa mke wangu karudia makosa yaleyale.

Ijumaa baada ya kazi nilianza safari yangu huku nikimuaga mke wangu kuwa nakwenda nyumbani kwa wazazi nimeitwa mara moja. Mke wangu alinitakia safari njema huku akinihakikishia kwa maneno mazito kuwa nimuamini.

“Mume wangu najua huniamini tena moyoni mwako, lakini nakuahidi mbele ya muumba ambaye hakosekani kila sehemu, yeye ndiye shahidi yangu kwa haya ninayoyasema mbele yako muda mfupi kabla hujaenda kuwaona wazazi wako.

“Ni kwamba nimekuwa kama kaniki isiyobadilika rangi hata ukifuliwa na kusuguliwa vipi.

“Lakini hili ninalolisema mbele yako kama nitarudia tena kosa basi Mungu anigeuze kiumbe chochote cha ajabu au kuyachukua maisha yangu,” mke wangu alisema kwa sauti iliyotia uchungu.

Alizungumza maneno mazito ambayo yalinitoa machozi na kunifanya niamini kuwa kiapo chake kile kilitoka moyoni mwake na kujutia alichokifanya.

Pamoja na kutaka kumuamini bado nilimuona kama mjusi asiyeweza kugeuka kuwa nyoka hata ukimpaka unga.

Nilijua kile kilikuwa ni kilio cha majuto lakini mke wangu alikuwa na akili za mbuzi, hakawii kujisahau na baada ya tukio hutulia na kujutia.

Kwa upande mwingine kiapo cha mke wangu nilikiona kizito sana kwa kuwa alijichagulia adhabu na kama atarudia utakuwa ni upumbavu wake.
Wazo la kusitisha safari yangu lilikuja na kuona hakuna haja ya kwenda kwa mzee Kidereko, niliona ni heri nitulie tu na kufanya mambo mengine.

ITAENDELEA

MAPENZI YAMENIFANYA NIWE MUUAJI – 4

Related image

Simulizi : Mapenzi Yamenifanya Niwe Muuaji
Sehemu Ya Nne (4)

NILIJUA KILE kilikuwa ni kilio cha majuto lakini mke wangu alikuwa na akili za mbuzi, alikuwa hakawii kujisahau na baada ya tukio alikuwa akitulia na kujutia.
Kwa upande mwingine kiapo cha mke wangu nilikiona kizito sana, kwa kuwa alijichagulia adhabu na kama atarudia utakuwa ni upumbavu wake.
Wazo la kusitisha safari yangu lilinijia na kuona hakukuwa na haja ya kwenda kwa mzee Kidereko, kwani niliona ni heri nitulie tu na kufanya mambo mengine.
SASA ENDELEA…
KWA kweli nilitaka kulipa nafasi suala hilo la kuahirisha safari yangu lakini aibu ya mke wangu kutembea na jirani yangu ilikuwa kubwa kwangu.
Niliamini kila nitakapokuwa nikikutana na mgoni wangu moyo wangu utakuwa ukikosa amani. Baada ya kusimama kwa muda nikishauriana na nafsi yangu, nilishtuliwa na mke wangu aliyeonekana kunifuatilia kwa karibu.
“Mume wangu najua huniamini lakini namuomba Mungu tena na tena aniepushe na tabia hii ambayo imekuwa ikikuchukiza, naomba unisamehe japokuwa sijui unawaza kunipa adhabu gani, lakini narudia tena kuapa mbele yako na Muumba wangu kama nitarudia tena nitakuwa sifai kuishi, Mungu ayachukue maisha yangu.”
“Mke wangu nimekusamehe kutoka moyoni wala sina nilichokipanga kukufanyia, ila huyu mshenzi atakiona.”
“Mshenzi gani tena mume wangu?”
“God lazima awe mfano kwa mtu yeyote atakayekugusa kwani nimechoka, kila siku nafanyiwa mimi tu,” nilisema maneno hayo kwa uchungu japokuwa sikupenda mke wangu ajue dhamira yangu.
“Mume wangu nimekuahidi haitatokea tena madhara yake nimeyaona, nikifanya tena ni heri Mungu anigeuze kuwa mnyama maana nitakuwa sifai kuwa binadamu.”
“Nimekuelewa mke wangu, acha niwahi usafiri japo sina uhakika nitaondoka na gari gani maana muda umekwenda sana.”
“Nakutakia safari njema mume wangu, wasalimie baba,mama na mashemeji pamoja na wifi zangu.”
“Salamu zimefika.”
Niliwaaga wanangu kisha niliondoka na nguo chache za kubadili kwa siku mbili nitakazokuwa kwa mzee Kidereko huku nikimuomba Mungu nirudi Jumapili usiku ili Jumatatu niamkie kazini.
Niliondoka nyumbani saa kumi na moja jioni hadi sokoni na kununua vitu vya kumpelekea mzee Kidereko.
Baada ya kununua mahitaji muhimu nilikwenda njia panda ambako nilibahatika kupata basi la kutoka Mwanza lililokuwa limechelewa kidogo kutokana na kuharibika njiani, dereva alikuwa akiendesha kwa mwendo wa kasi, tuliingia Chalinze saa nne na nusu za usiku. Niliteremka na kwenda kutafuta nyumba ya kulala wageni.
Nililala mpaka siku ya pili saa mbili asubuhi ndipo nilipanda basi la Shambalai la kutoka Dar kwenda Lushoto, Niliwasili Mlalo majira ya saa kumi na moja jioni.
Kwa vile nilishakuwa mwenyeji nilikodi baiskeli mbili, moja ilinibeba mimi na nyingine ilibeba bidhaa nilizonunua kwa ajili ya matumizi ya kijijini ambazo zilikuwa maalum kwa ajili ya mzee Kidereko.
Nilipofika nilipokelewa kwa furaha na yule msichana aliyetupokea siku ya kwanza, kutokana na muda mrefu kupita bila kufika pale kijijini, nilimkuta akiwa na mtoto mdogo mwenye umri wa kama mwaka mmoja na nusu.
Baada ya kupokelewa nilikaribishwa chini ya mti na kupewa mkeka kwa ajili ya kujipumzisha.
Mzee Kidereko sikumuona nilijiuliza na kuamini labda alikuwa amekwenda kwenye kazi zake za porini au sehemu nyingine.
Baada ya muda nilimuuliza mtoto wa mzee Kidereko ambaye nilikuwa nikizungumza naye habari za safari.
“Vipi mzee yuko wapi?”
“Yuko ndani amelala siku hizi amekuwa mgonjwamgonjwa sababu ya uzee na kazi za mikiki mikiki. Kuna kazi moja ilikuwa nzito sana kwake na akaifanya na kumfanya kuwa katika wakati mgumu, sote tulijua kuwa mzee amekufa.
“Alizimia kwa muda wa wiki nzima akiwa amelala kitandani, tangu alipozinduka amekuwa akiumwa mara kwa mara, hivyo muda mwingi anapumzika na kazi zake nyingine huwa zinafanywa na kaka.”
Habari zile zilinishtua baada ya kusikia mganga anaumwa kiasi cha kufikia hatua ya kushindwa kufanya kazi zake na kumpa mtu mwingine.
Niliamini uwezo wa mzee Kidereko ulikuwa ni karama kutoka kwa Mungu lakini mwanaye ni uganga wa kujifunza ambao hauna nguvu sana.
Nilimuhoji yule mtoto wa mzee Kidereko uwezo wa kaka yake kwa wateja waliokuja.
“Umesema kaka yako anashika mikoba ya baba yenu, kweli ana uwezo kama mzee?”
“Kwa kweli sijasikia malalamiko yoyote kutoka kwa wateja ila kazi ikiwa kubwa sana anaifanya mwenyewe.”
“Kwa hiyo kazi zingine anazifanya mwenyewe?”
“Ndiyo, bado hajaacha rasmi kwa vile bado anamkomaza kaka ila akikomaa kazi zote atazifanya yeye.”
“Nikitaka kazi yangu aifanye yeye itakuwaje?”
“Atakusikiliza kama itakuwa nyepesi ataifanya kaka, sema tu hujafanya naye kazi lakini kila kukicha amekuwa akiivaa sawasawa kofia ya baba.”
“Na mzee huamka saa ngapi?”
“Muda wake umekaribia.”
“Kwa hiyo mgeni akifika anaonana na kaka yako?”
“Hapana, mgeni yeyote aliyetoka mbali lazima kwanza aonane na mzee ili kumpa faraja ya safari yake ndefu ya kuja kijijini.”
“Mmh! Kama hivyo sawa.”
Tukiwa katikati ya mazungumzo alitumwa mtu kuniambia kuwa nilikuwa nikiitwa na mzee ndani. Nilinyanyuka hadi sebuleni kwake, mzee Kidereko aliponiona alisimama katika kiti chake cha uvivu na kunikaribisha.
“Kazala karibu baba.”
“Asante baba, shikamoo.”
“Marahaba, karibu sana.”
“Asante, pole na matatizo.”
“Asante, lakini ndiyo maisha tuliyoyachagua hatuna budi kukubaliana nayo.”
“Vipi unaendeleaje?”
“Ndiyo nimeishakuwa mgonjwa, hivyo sina zaidi ya kusubiri mauti yanichukue.”
“Hapana baba, nina imani ukitumia dawa utakuwa sawa tu,” nilimpa moyo.
“Hapana, pigo nililokutana nalo ni Mungu tu ndiye analijua, lakini namshukuru hata nikifa leo kuna mrithi nimemuacha japokuwa si kwa kiwango changu lakini atawasaidieni sana. Ningekufa na kinyongo kama dhoruba lile lingeniua bila ya kuacha mrithi, lakini kwa sasa wala sina wasiwasi mauti na yanichukue tu.”
“Baba maneno gani hayo ya kuchoma moyo?” maneno ya mzee Kidereko yalinikatisha tamaa.
“Kukuchoma moyo kivipi Kazala? Wakati kila mwanadamu lazima atakufa hakuna atakayeishi milele.”
“Ni kweli baba,lakini basi tupe maneno ya kutupa faraja si unajua tunakutegemea?”
“Kazala usiogope kufa kwa vile kifo kipo hata usipotaka kukisikia lakini kifo kipo tu.”
“Kwani mzee wangu hiyo kazi ilikuwa nzito kuliko ile ya kwangu?” Nilimuuliza.
“Hiyo mwanangu temea mate chini, unajua tunafanya kazi na watu wengi wenye nyadhifa serikalini na watu wa kawaida. Kuna kigogo mmoja wa serikalini ambaye nilimsaidia kupata ubunge na kumweleza kuwa ipo siku atakuwa mtu mkubwa serikalini.
“Kwake aliona kama ndoto ya mchana, basi baada ya kupata ubunge tu akatajwa kwenye baraza la mawaziri.
“Alikuja hapa akiwa haamini kilichomtokea, kwa kweli alichanganyikiwa. Nilimwambia bado namtengenezea mazingira ya kuwa rais.
“Kwa kweli nyota yake ikawa inang’aa kila kukicha, hata vyombo vya habari vikawa vikimtaja sana kama mrithi wa rais anayemaliza muda wake.
“Kumbe kuna watu wakawa wanamtafuta ili kumzima kama kibatari. Kuna siku asubuhi aliingia ofisini kwake bila ya kujua kama alikuwa ametegewa bomu. Alipokaa kwenye kiti alikutana na hilo bomu, alikuwa afie palepale kwenye kiti.
“Lakini kinga niliyompa ndiyo iliyomsaidia. Kwa vile watu wa familia yake walikuwa wakijua kila kitu, wakamchukua na kumleta huku akiwa nusu mfu.
“Baada ya kuletwa, nilifanya kosa kubwa la kufanya kazi kimazoea bila kuangalia uzito wa tatizo lile.
“Nilidhani tatizo halikuwa kubwa kutokana na nilivyomkinga, kumbe watu walikuwa wamehangaika na kuufuata uchawi mpaka Nigeria ili wammalize baada ya waganga wa hapa kuchemsha.
“Kosa nililolifanya nilimhudumia bila ya kujikinga, nilifanikiwa kulitegua lile bomu alilotupiwa. Wakati lilipokuwa likitoka likanipamia kwa vile sikuwa sawa lilinitingisha si kitoto.
“Kutokana na uzito wa bomu lile na mimi nilivyokuwa nimelidharau lilitaka liniondoe lakini nilijiweka sawa, ndipo liliponilaza wiki nzima nikiwa sijitambui nilikuwa kama nusu mfu.
“Vijana wangu walishindwa, ilibidi afuatwe mganga mwingine kuja kunizindua. Tangu nilipozinduka hali yangu imekuwa si nzuri, mwili umekuwa dhaifu mno lakini namshukuru Mungu hali yangu inaendelea vizuri.”
“Una muda gani tangu upatwe na matatizo haya?”
“Mwaka sasa.”
“Mbona muda mrefu huna mabadiliko yoyote?”
“Ninayo makubwa sana, enhe za siku?”
“Nzuri mzee wangu, za miaka na wewe?”
“Kama ulivyozikuta, ila nashukuru sana kwa kutukumbuka kila mara, vitu vyako unavyotutumia tunavipata, kwa kweli umekuwa kijana wa ajabu sana, kukufanyia kazi moja tu lakini umekuwa ukitukumbuka tofauti na watu niliowawezesha kimaisha, wengi wao hawatukumbuki mpaka wawe na shida.”
“Kila mtu ana roho yake, wapo wasiojua kushukuru hata wakipewa.”
“Ni kweli mwanangu, haya leo umekuja kwetu una tatizo gani tena?”
“Kama la awali.”
“Mkeo katoka tena nje ya nyumba?” Mzee Kidereko alishtuka.
“Ndiyo mzee wangu.”
“Kwa hiyo unatakaje?”
“Kwa vile yule jamaa amenfanyia kitendo cha dharau kwa kutembea na mke wangu, nataka afe kifo cha mateso na aibu.”
“Hakuna tatizo, japo kazi hii ni kubwa lakini nitaifanya mwenyewe.”
“Nitashukuru mzee wangu.”
“Unataka kifo cha aina gani?”
“Chochote ilimradi wadoezi wa wake za watu wakome.”
“Kwa vile mkeo haaminiki nitakufundisha baadhi ya adhabu utakazokuwa ukiwapa wagoni wako ili usisumbuke kuja huku kila mara. Nitakupa zawadi moja kubwa sana, nina imani utakaporudi unaweza usinikute.”
“Unataka kwenda wapi?”
“Na uzee huu si kifo tu kitakachoniondoa? Nataka nikifa nikuachie zawadi ya kukusaidia katika maisha yako.”
“Zawadi gani?”
“Tego la mtu atayetembea na mke wa mtu na vitu vingine, nitakupatia ili uweze kujilinda na kuwasaidia waliokuzunguka.”
“Nitaweza kweli?” Kazi ile niliona nzito kwangu.
“Utaweza tu wala si kazi ni vitu vyepesi kama utakuwa tayari.”
“Haya baba hakuna tatizo.”

TULIKUBALIANA siku ya pili anipeleke porini kunionesha baadhi ya dawa za kuwakomesha wadoezi wa wake za watu.
Siku hiyo ilipofika, alfajiri na mapema tuliondoka nyumbani na kuelekea porini, ajabu siku ile tulikuwa wawili tu, mimi na mzee Kidereko ambaye pamoja na maradhi na umri wake mkubwa tulikwenda kwa mwendo wa kasi kiasi.
Saa nne tulifika kwenye pori kubwa ambalo lilikuwa na miti mingi.

Mzee Kidereko alinionesha miti mingi na kuniambia kazi zake na jinsi inavyotibu maradhi, pia alinionesha miti mingine ambayo kama mtu akiitumia anaweza kugeuka kuwa uchawi na kuanza kudhuru watu.
Nilijiuliza miti ile nitaijuaje kwa mara moja kiasi kile kwa kuwa, sikuwahi kuwa mganga wala sikuwa na mzoefu wa kazi ile. Kwa upande wangu niliona kama vile mzee Kidereko alikuwa akipoteza muda wake kunionesha vitu ambavyo nisingeweza kuvikumbuka.
Alinitembeza hadi kwenye miti mingine yenye ukuwa mfano wa mibuyu, tulipofika pale tulisimama na akanitaka niweke mkoba chini na kuniomba nivue shati.
Nifanya kama alivyoniambia na kubakia na suruali, kisha akinipa kaniki ya kujifunga kwa chini na kunielekeza kuwa nibakie kifua wazi.
Alichukua maji yaliyokuwa kwenye chupa na kuyaweka mdomoni mwake, kisha aliyapuliza kuelekea kwenye ule mti mkubwa.
Baada ya kumaliza zoezi lile alichukua unga wa dawa na kuurusha pande nne za dunia na kusema kwa sauti…
“Hodi mizimu.. hodi majini yote kuanzia Kibwengo na majini wengine wote..hodi tumekuja kutaka msaada wenu.. tunajua ninyi mna nguvu, mizimu yote na majini tupokeeni tufanye kazi yetu,” baada ya kusema maneno yale nilisikia kitu kama muungurumo ambao haukudumu kwa muda mrefu na hatimaye ukanyamaza.
Baada ya hali ile kutulia nilimsikia mzee Kidereko akisema:
“Asante mkuu wa mti huu, asante mizimu yote, asanteni majini wote.”
Baada ya kumaliza kutoa shukrani, akanitaka nikae chini sehemu yenye mwinuko na kunyoosha miguu kuuelekea ule mti mkubwa.
Nilikaa na kutulia kusubiri maelekezo mengine.
Mzee Kidereko alichukua shanga zilizokuwa zimetengenezwa kama mikufu, hirizi mbili za rangi yekundu ambayo ilikuwa kubwa na nyingine nyeusi iliyokuwa saizi ya kati, akanivisha shingoni na vitu vile kunilalia kifuani.
Baada ya kunivishwa vitu vile nilitulia kusubiri kinachoendelea, alitoa kibuyu kidogo chenye shanga shingoni kwenye mkoba na kukiwekea kwenye mikono yangu.
Mzee Kidereko alikichukua kile kibuyu kidogo na kuniwekea kichwani, akaanza kuzungumza kwa sauti kama anazungumza na mtu.
“Mizimu nimekuja na mgeni, huyu ni mtu muhimu sana kwangu, naomba mumpe nguvu za kuweza kujilinda hata kufanya mambo yake mwenyewe kwa msaada wenu. Nimemleta huku ili muwe naye karibu kwa vile maisha ya mwanadamu si ya kudumu.”
Baada ya kusema maneno yale ulizuka upepo mkali ulionitisha, ulivuma kwa muda kidogo kitu kilichoongeza hofu moyoni mwangu na baada ya muda ukatulia na hali kuwa ya kawaida.
Baada upepo ule kutulia mzee Kidereko alikitoa kibuyu kichwani kwangu na kunirudishia mkononi na kunieleza:
“Nuia mambo yako yote kwenye kibuyu hicho.”
“Ninuize nini?” Nilimuliza kwa vile nilikuwa sijui cha kunuiza.
“Chochote kuhusiana na maisha yako pia na kilichokuleta. Huku ndiyo kila kitu, wote tunategemea huku, mpaka kukuleta ujue umekuwa mtu wa muhimu sana, hata nikifa uwe na kinga ya mizimu na majini.”
Nilitulia na kunuiza kupata fedha ili maisha yangu yawe juu, pia mtu yeyote atakayemgusa mke wangu basi afe kifo cha aibu. Baada ya kunuiza nilimweleza mzee Kidereko kwamba nimemaliza.
Alikichukua kile kibuyu na kukizungusha kichwani kwangu mara kadhaa huku akinuia maneno yake kwa sauti ya chini yenye kusikika lakini bila ya kuelewa kile alichokuwa akikizungumza.
Baada ya kuzungumza vile aliweka kibuyu chini na kunishika mikono yote na kuninyanyua.
Alipofanya vile tu, upepo ulivuma tena na kufanya baadhi ya vitu kupeperuka.
Haikuchukua muda mrefu upepo ulitulia, mzee Kidereko aliniambia nizunguke ule mtu mkubwa mara saba huku nikinuia tena.
Nilifanya kama alivyoniagiza kisha nikarudi alipokuwa amesimama. Baada ya muda palitokea mtikisiko wa ajabu, ilikuwa kama mti ule ulikuwa unataka kung’oka.
Niliingiwa na hofu ya kuangukiwa na mti na kuamini tusingeweza kupona kama ungetuangukia. Kama ningekuwa peke yangu ningetoka mbio lakini nilipomuona mzee Kidereko akiwa katika hali ya kawaida huku uso wake hauoneshi wasiwasi wowote, nami nikatulia.
Hatimaye mtikisiko ule ulitulia. Mzee Kidereko alinipa kipande cha mti na hirizi ndogo nyekundu.
“Hivi vitu vitakusaidia katika mambo yako, hakikisha unakuwa na vitu hivi muda wote. Hivi ndivyo vitakavyokuwa kinga yako popote utakapoenda, kila ukitaka kufanya jambo lolote gumu tafuna kidogo kipande hiki cha mti na nuiza halafu fanya ulichopanga kukifanya kitakwenda kama utakavyopanga.”
Baada ya kutoka pale tuliingia katikati ya pori ambalo lilikuwa linatisha sana, mzee Kidereko aliendelea kunielekeza baadhi ya miti.
Aliniambia jinsi miti hiyo inavyoweza kuchanganywa na kutoa matokeo mengine, kwa kweli ilihitaji uvumilivu wa hali ya juu kuyapokea mafunzo yale, mengine yalikuwa yanatisha sana kiasi cha kuhitaji moyo wa chuma, niliamini ule ndiyo ulikuwa uchawi niliowahi kuusikia.
Tulipofika kwenye mti mmoja alinieleza mti ule ukiuchanganya na mafuta ya mnyama na maji ya maiti basi, unamlaza mtu kitandani bila kuamka hata kwa miaka kumi kama bado muda wake wa kufa haujafika.
Mti mwingine alinielezwa kuwa ukichanganywa na dawa fulani unaweza kuumaliza ukoo mzima kwa kutumia mkungu wa ndizi.
Aliniambia mti huo ukiuchanganya na dawa nyingine huku ukiwa na mkungu wa ndizi, kila ndizi moja ikiiva mtu mmoja katika ukoo unaoukusudia anakufa, aliniambia mti ule ulikuwa ukitumika kwa ajili ya kulipa kisasi.
Miti na vitu vya kuchanganyia nilivyoelekezwa kwa kweli sitaweza kuviweka hadharani kwa kuhofia watu wenye roho mbaya wanaweza kuvifanyia kazi na kuwaumiza wenzao.
Mzee Kidereko aliendelea kunifundisha vitu vingi vya kiganga na kichawi. Siku zote mtu akitibu huwa mganga lakini akidhuru au kuua huwa mchawi.
Alinifundisha njia za kumtega mwanamke anayetoka nje ya ndoa. Alinionesha tego la kung’ang’aniana, mwanaume anaweza kufariki baada ya kufika kileleni au kutokwa na damu na usaha mpaka kifo chake kinamkuta hapohapo.
Alinionesha na matego mengine ambayo utengenezaji wake haukuwa mgumu, baada ya kumaliza ilikuwa yapata saa kumi na moja jioni tukaanza kurudi.
Njiani wakati tunarudi nilimuuliza vitu nilivyoviona kule porini.
“Babu,” nilimwita.
“Naam,” aliitikia huku akinitazama.

“Naweza kukuuliza baadhi ya vitu vilivyonitatiza?”

“Uliza chochote wala usihofu mwanangu,” mzee Kidereko alinitoa wasiwasi.

“Ule upepo ulikuwa ukiashiria nini?”

“Ile ni ishara ya kukubaliwa.”

“Na ule mtikisiko?”

“Ule ni kukaribishwa kwenye mizimu, huwezi kufanya kazi yako yoyote bila kukaribishwa na wenyeji wa mti ule. Pale ndipo penye mizimu na majini yote ambayo yapo kwa ajili ya kutulinda na kutuelekeza dawa.”

“Ina maana kila ukiwa na tatizo lazima uje huku?”

“Hapana, ukishakuwa chini yao hukulinda muda wote.”

“Kwa hiyo na mimi nitakuwa chini yao?”

“Utapata ulinzi si mkubwa sana kwa vile kuna vitu unatakiwa kutoa pia kuwa tayari kuwa mganga.”

“Kama sitaki kuwa mganga?”

“Utapata ulinzi wa muda mfupi hasa katika vita yako inayoendelea.”

Safari ya kurudi nyumbani ilikuwa ndefu kuliko tulivyo kwenda, kwani upande wangu nilikuwa nimechoka sana. Tukiwa njiani akanionesha baadhi ya majani ya miti miwili nichume ambayo alinieleza kuwa, nikichanganya na kitu kingine nikiwa nyumbani nitamfanya mbaya wangu ninavyotaka.

Kwa vile nilikuwa sijiamini, nilimweleza kazi ile aifanye yeye lakini mengine nitafanya mimi.

Tulifika nyumbani saa tatu na nusu usiku tukiwa hoi, kwa vile ilitakiwa niondoke kesho yake, mzee Kidereko hakutaka kupumzika, alianza mara moja kazi iliyonipeleka na kuniuliza mbaya wangu nataka afe kwa mtindo gani.

“Mzee wangu nataka kila mtu ajue mimi ndiye niliyefanya vile baada ya kutembea na mke wangu,” nilijibu bila hofu.

“Sawa, basi kitakachomtokea nina imani itakuwa fundisho kwa wote wenye tabia kama hizo.”

Kama kawaida alichukua beseni la maji, alinipa dawa ya unga na kuniambia ninyunyize ndani wakati nalitaja jina la mbaya wangu huku nikiendelea kunyunyizia ule unga kwenye beseni. Baada ya muda, maji yaligeuka rangi na kuwa meusi.

“Basi,” mzee Kidereko alinieleza niache kunyunyizia dawa baada ya maji kubadilika rangi.

Alichukua dawa nyingine kwenye chupa na kuiweka kwenye beseni, baada ya muda maji yale yalikuwa meupe huku God, mbaya wangu akionekana amekaa kwenye kochi.

“Ni yeye?” mzee Kiredeko aliniuliza.

“Ndiyo.”

“Muangalie vizuri.”

“Ni yeye,” nilimhakikishia mzee Kidereko.

Baada ya kumweleza aliniletea vitu viwili na kuniambia:

“Hapa kuna vitu viwili, chagua kimoja, kisu kwa ajili ya kumuua ukiwa hukuhuku na ukifika utamkuta mbaya wako amekufa. Hii chupa ina uchawi wa kumuua taratibu kwa mateso mazito.”

Nilichagua ya kifo cha taratibu cha mateso mazito. Baada ya kushika chupa yenye uchawi wa kuua taratibu, alichukua chupa nyingine na kutoa dawa ya unga na kuiweka kwenye maji kisha alisema niiweke ile dawa kuhakikisha inampata mgoni wangu mwili mzima.

Nilifanya zoezi lile kwa umakini mkubwa. Baada ya kuhakikisha dawa imemfikia kila kona ya mwili, mzee Kidereko alitoa chupa ambayo ilionesha ina damu na kumimina kidogo kwenye maji na kuniambia nikiweke kile kisu ndani ya maji yale. Nilifanya kama alivyonielekeza kwa kukiweka kisu ndani ya maji bila vikwazo kama vya mwanzo na kiliingia moja kwa moja.

Baada ya kumaliza zoezi lile alichukua lile beseni na kutoka nalo nje, baada ya muda alirudi na kunitaka nikapumzike kujiandaa na safari.

“Haya kijana wangu kazi imeenda vizuri, mtu wako ni mwepesi hakutupa kazi yoyote, hivyo kalale kwa amani ili kesho uwahi kazini.”

Baada ya zoezi lile kukamilika, niliagana na mzee Kidereko na kwenda zangu kulala nikiwa nimechoka sana kwa kazi na safari ya kutwa nzima. Siku ya pili kama nisingeamshwa niwahi usafiri, lazima ningechelewa. Pamoja na kuamshwa bado mwili ulikuwa mzito kutokana na mwili kuwa umechoka.

Niliamka na kujiandaa na safari, ajabu siku ile sikuonana na mzee Kidereko kutokana na kuwa amechoka sana ila nilipewa mzigo wa dawa na vitu tulivyochuma porini. Kabla ya kuondoka nilioneshwa kazi ya jana tuliyofanya na mzee Kidereko. Mh! Inatisha, beseni lilikuwa na damu tupu, maji yote yaligeuka damu kitu kilichofanya niulize hali ile inamaanisha nini.
“Ile ni kuonesha kwamba mambo yamekwenda vizuri kwa asilimia mia moja.”

“Kwa hiyo jamaa haponi?”

“Yaani sasa hivi ni marehemu mtarajiwa.”

Baada ya maelezo yale vijana wa mzee Kidereko walinisindikiza hadi kituo cha basi cha Mlalo ambako nilipanda basi la Shambalai.
Kwa vile niliwahi, nilipata siti nzuri sehemu ya mbele upande wa dirishani.
Muda ulipofika basi liliondoka Mlalo na kunifanya niwaze ya nyumbani na kutaka kujua mbaya wangu kitampata kitu gani.
Kwa vile nilikuwa nimechoka, baada ya gari kuondoka kituoni sikuchukua muda mrefu nilipitiwa na usingizi mzito.
Nilishtuliwa na abiria mwenzangu ambaye nilizungumza naye wakati nilipokuwa nikikaa kwenye siti na kumwambia kuwa nilikuwa nikiteremkia Chalinze.
“Kaka..kaka,” aliniita.
“Naam,” nilifumbua macho na kumwangalia.
“Ulisema unashukika wapi vile?”
“Chalinze.”
“Tumefika watakupitisha mpaka Dar.”
“Ooh! Asante,” nilimshukuru huku nikiufuta uso wangu.
Niliteremka kwenye gari macho yangu yakiwa mekundu kutokana na kuuchapa usingizi kwa muda mrefu.
Nilipoulizia muda niliambiwa ni saa nane mchana kuonesha kuwa basi lilikuwa limewahi kidogo. Kwa vile nilikuwa sijakula, nilinunua chakula pale kituoni kabla ya kuunganisha na usafiri mwingine wa kwenda nyumbani.
Baada ya kula sikutaka kupoteza muda, nilipanda basi lililokuwa likipita japokuwa halikuwa na siti za kukaa, nilipanda hivyohivyo, tulipofika mbele kidogo abiria mmoja aliteremka nami nilipata siti mpaka nyumbani.
Saa kumi na mbili na nusu niliteremka kwenye basi na kuchukua usafiri mwingine hadi nyumbani. Mke wangu aliponiona alifurahi sana, alinikimbilia na aliponifikia akanikumbatia, ilikuwa bado kidogo aniangushe.
“Waawoo mume wangu karibu jamani.”
“Asante.”
“Za huko?”
“Nzuri.”
Alinipokea vitu na wote tukaelekea ndani, tulipofika kwa vile nilikuwa nimechoka sana baada ya kuoga sikutaka kuzungumza, nilipanda kitandani mpaka siku ya pili ambayo ilikuwa ni Jumanne, niliamka na kujiandaa kwa ajili ya kwenda kazini.
“Mume wangu hujanijulisha hali ya wazazi nyumbani zinaendeleaje?” mke wangu aliniuliza wakati nikijiandaa kutoka kwenda kazini.
“Hawajambo na wanakusalimia.”
“Sasa mbona hukuniambia mpaka nimekuuliza au bado mambo yaleyale hayajaisha kichwani mwako?” mke wangu aliniuliza kwa sauti yake iliyokuwa ikiashiria kutaka kuangusha kilio.
“Hapana mke wangu, kwangu yalishaisha baada ya kukusamehe, huwa siweki kitu moyoni kwa muda mrefu,” nilimtoa hofu.
“Sasa kwa nini tangu jana hujanipa habari za nyumbani au sitakiwi kuzijua?”
“Hapana mke wangu naomba nisamehe, nilijua labda nilishakueleza, hivyo, nilivyoamka nilikuwa nataka kuwahi kazini kwa kuwa jana sikwenda.”
“Jamani mume wangu baada ya kusalimiana na kukuulizia habari za nyumbani ukasema nzuri na kuniomba ulale kwa vile umechoka hata chakula cha usiku hukutaka kula, tumeongea saa ngapi?”
“Basi nisamehe lakini nilijua nikirudi kazini tungeweza kuzungumza kwa kirefu zaidi.”
“Nimekusamehe mume wangu kwa vile nakupenda sana.”
“Nashukuru kwa kunisamehe niache niwahi kazini.”
Niliagana na mke wangu na kuondoka huku nikirudiwa na kauli ya mke wangu “eti ni kwa kuwa ananipenda sana”.
Nilicheka na kujiuliza kama kupendwa ndiko huko basi wasiopendwa wanateseka zaidi.
Moyoni bado nilikuwa nawaza kifo cha aibu atakachokipata jirani yangu.
Nilipofika kazini hakuna hata mtu mmoja aliyeniuliza kwa nini jana yake sikuwa nimefika kazini, kila niliyezungumza naye alikuwa akionesha kama vile siku iliyopita tulikuwa wote, hata mtu wangu wa karibu Simon tulipokutana naye aliniuliza habari za nyumbani, hakuniuliza kwa nini jana sikutokea kazini.
Niliendelea na kazi mpaka jioni, niliporudi nyumbani kupumzika nilipata taarifa kuwa, God amehama pale nyumbani.
Niliamini kufanya kwake vile alikuwa sawa na mfa maji anayetapatapa lakini lazima afe kwa vile maji hayana rafiki usipojua kuogelea.
***
Siku zilikatika huku nikimuona mbaya wangu akidunda kama kawaida bila kuonesha dalili zozote za mabadiliko.
Kwa kweli kitu kile kiliniumiza sana na kuona kama niliyoelezwa na mzee Kidereko yalikuwa ya uongo, ilifikia hatua nikahisi hata mgoni wangu wa kwanza inawezekana alikufa kwa amri ya Mungu na si nguvu za mzee Kidereko.
Kama ingekuwa kweli basi ningesikia kuwa God ameanza hata kukohoa.
Kwa kweli nilijikuta nikiingia kwenye mateso mapya ya kuumizwa kwa kumuona mbaya wangu akiendelea kudunda. Sikukubali nilipanga safari ya kurudi tena kijijini kwa mzee Kidereko akanijuze ukweli kama amechemsha.
Niliomba ruhusa ya siku mbili kazini na kufunga safari kwenda Tewe kwa mzee Kidereko ili tukaangalie tumekosea sehemu gani.
Kama kawaida nilifika kwa mzee Kidereko majira ya saa kumi na mbili jioni, hali ya pale ilinishtua kidogo, mji ulionesha kupooza na kunifanya nijiulize kulikoni.
Nilipokewa kama kawaida, kwa vile sikutaka kukaa kwa muda mrefu, nilitaka kumuona mzee Kidereko mara moja ili kesho yake alfajiri nirudi zangu nyumbani.
“Jamani vipi mbona kama hampo katika hali ya kawaida kuna usalama kweli?”
“Mmh! Upo.” alinijibu msichana aliyenipokea ambaye alikuwa tayari ameshanizoea.
“Kweli?”
“Kweli kwani vipi?”
“Ule uchangamfu niliouzoea umepotea kabisa katika eneo hili.”
“Ni kweli.”
“Kuna nini?”
“Msiba.”
“Msiba! Wa nani?” nilishtuka.
“Mzee hatunaye.”
“Niniii? Hapana..hapana,” sikukubaliana na kauli ile.
“Kweli kabisa, swahiba wako hatunaye.”
“Hapana ..hapana, naomba mniambie ukweli.”
“Kweli kabisa sasa inakimbilia wiki ya pili.”
“Jamani acheni utani naomba mnieleze ukweli,” bado sikukubaliana na ile kauli.
“Najua huwezi kuamini, si wewe tu kila mteja wake aliyekuja hakuamini, lakini ukweli utabaki kuwa palepale kuwa mzee Kidereko amefariki dunia.”
“Mungu wangu, mbona nadhalilika mimi Kazala,” nilijikatia tamaa.
Kwa kweli sikujielewa nilihisi nguvu zikiniishia, kiza kinene kikitanda mbele yangu, nikashikwa na kizunguzungu na kudondoka chini bila kupenda.
Sikujua kilichoendelea.
Niliposhtuka nilijikuta nikiwa katika sehemu yenye kiza kinene, nilipatwa na mshtuko na kuishangaa sehemu hiyo ambayo ilikuwa imetawaliwa na ukimya.

Nilitulia nikitafakari pale ni wapi, ghafla nilisikia sauti kama mtu akitembea, mara niliona mwanga wa kibatari. Bado nilikuwa njia panda kujiuliza pale ni wapi na nimefikaje.
“Kaka… Kazala…kaka Kazala.” Iliniita sauti ya kike sikuitikia mara moja mpaka aliporudia zaidi ya mara nne ndipo nilipoitika.
“Naam.”
“Amka.”
Nilinyanyua nilipokuwa nimelala kisha kukaa kitako na kijishangaa kuhisi baridi, nilipojishika niligundua nipo kifua wazi na mwili ulikuwa umegandiwa na majani.
“Amka,” yule mwanamke aliyenifuata alinipa mkono kuninyanyua.
Baada ya kunyanyuka, tulitoka nje na kugundua kumbe nilikuwa nimelazwa chumbani. Nilipewa maji ya kuoga na kuvaa nguo zangu, baada ya kuoga nilikutana na mtoto wa mzee Kidereko ambaye aliandaliwa kwa ajili ya kurithi mikoba ya baba yake.
“Ndiyo ndugu yangu, pole sana,” alianza kwa kunipa pole.
“Asante, ni kweli?” nilimuuliza swali ambalo akilini mwangu lilikuwa vigumu kukubalika mara moja kuwa mzee Kidereko anaweza kufa haraka hivyo.
“Ukweli gani ndugu yangu?”
“Kuhusu kufa kwa mzee Kidereko.”
“Ni kweli, mzee amefariki wiki mbili zilizopita.”
“Mungu wangu, nitakuwa mgeni wa nani?”
“Unataka kuniambia mke wako bado tu hajatulia?” aliniuliza huku akinikazia macho.
“Hapana ila yule mtu bado anadunda tena ana afya njema, nilikuja kwa mzee kumuuliza tumekosea wapi?”
“Hebu nipe mkono,” aliniomba mkono wangu, akaushika na kuutazama kwenye kiganja na kunieleza:
“Mbona sioni tatizo lolote?”
“Kwa upande wangu naweza kuwa sawa, kwa huyo mbaya wangu naona kama kuna tatizo.”
Aliagiza maji kwenye beseni kama alivyokuwa akifanya mzee Kidereko. Baada ya kuletewa, aliingiza mkono na kuwa kama anatafuta kitu kisha alitoa mkono uliokuwa umetapakaa damu na kunifanya nishtuke kuiona hali ile.
“Mbona hakuna tatizo Kazala.”
“Na hiyo damu?”
“Ni uhai wa mbaya wako unapunguzwa kila kukicha.”
“Mwezi sasa mbona yupo hai wala haoneshi dalili za kuugua?”
“Kazala ulitaka mbaya wako afe kifo cha mateso, sasa tatizo nini?”
“Mbona haoneshi dalili zozote za kuugua?”
“Kazala hujui tu lakini mbaya wako wiki sasa yupo katika mateso mazito, kama angejua ni wewe basi angekuja kukuomba msamaha.”
“Unanidanganya, mbona anatembea na yupo sawa?”
“Wiki hii umemuona?”
“Sijamuona ila yupo anadunda.”
“Basi hali yake ni mbaya sana, sasa hivi yupo kwenye mateso mazito sana.”
“Mmh! Sawa, lakini bado siamini,” bado sikuamini maneno ya mganga, niliona ananipa moyo na kwa vile mzee Kidereko amekufa nilijua kila kitu kilikuwa kimekufa.
“Muulize mtu wa karibu yake atakupa jibu ambalo litakushangaza sana. Mzee angekuwepo angekushangaa sana.”
“Basi nimekuelewa na nini hasa sababu ya kifo cha mzee?”
“Ni kifo kama vifo vingine, japo alikuwa na uwezo mkubwa katika karama aliyopewa, lakini alibakia kuwa kiumbe wa kawaida anayeweza kuumwa, kula, kulala na hata kufa kama viumbe wengine.”
“Lakini naona amekufa haraka sana?”
“Kwa akili za kibinadamu tutaona amekufa haraka lakini mzee mwenyewe alijua yupo ukingoni katika maisha yake.”
“Na nini kilichomfanya ajue muda wake wa kuishi umeisha, naona ni wiki tatu toka ajitabirie kifo na kweli mauti yamempata!”
“Ni kweli kifo chake alikiona na kuomba akifa tulie kama vile wanadamu wa kawaida ameondoka na si kukufuru, pia alisema kama kumlilia ni siku ya kufa tu lakini siku nyingine ni kumshukuru Mungu. Na kweli alipokufa tulilia siku moja baada ya hapo tulimshukuru Mungu.”
“Kwa hiyo mambo yangu mengine nani atanisaidia?”
“Kwako nina imani hakuna kazi nzito, nakuahidi kukusaidia kwa muda wote, usihofu niamini nitakufanyia kazi kwa uhakika.”
“Sawa nashukuru sana, ila nakupeni pole sana kwa kifo cha kipenzi chetu.”
“Nashukuru sana, ila kifo chake kitabakia palepale kwa kuamini kazi ya Mungu haina makosa.”
“Kwa mbaya wangu unaniambiaje?”
“Kazi imefanyika, subiri majibu, ungetaka tumkate mara moja, sasa hivi tungekuwa tumemsahau.”
Kwa vile muda ulikuwa umekwenda, kililetwa chakula, tulikula pamoja kisha tuliendelea kuzungumza hadi usiku sana nilipokwenda kulala kuisubiri siku ya pili ili nirudi nyumbani. Usiku ulikuwa mrefu kuwaza taarifa ya kifo cha mzee Kidereko.

Pamoja na kuwa kifo ni haki ya kila kiumbe kinachoishi lakini cha mzee Kidereko bado sikukiamini licha ya kuniambia nisikiogope
lakini kwa karama zake sikuamini kama kafa kirahisi namna ile.
Mwanaye pamoja na kunitoa hofu katika matatizo yangu, bado sikumuamini katika kuzifanya kazi zangu.
Niliamini huenda safari ile iwe ya mwisho kwa miye kurudi tena Tewe kwa kuona hakukuwa na mtu mwenye nguvu baada ya mbuyu kuanguka.
Lakini kwa upande mwingine nilijiona ni kama mtu niliyetaka kukosa shukrani, kwani kuna baadhi ya vitu nilivyooneshwa na mzee Kidereko nilitakiwa kuvifanyia majaribio.
Kutokana na kauli ya mzee Kidereko, alinifundisha ili nisisumbuke kwenda kwake mara kwa mara ni kama vile hakupenda kila jambo nilikimbize kwake, labda likiwa zito sana.
Siku ya pili nilirudi nyumbani na siri yangu moyoni huku nikitafuta taarifa za God ili kutaka kujua ukweli kutokana na kauli za mtoto wa mzee Kidereko.
Niliamini mzee Kidereko alijua nini kitafuata, pia alionekana kutouamini uwezo wa mwanaye na kuamua kunifundisha silaha za maangamizi pindi nitakapovamiwa niweze kujitetea.
Taarifa nilizoletewa kuhusiana na mgoni wangu God, nilitakiwa niwe na moyo wa chuma kuzipokea. God alikuwa amemaliza siku nne tangu apelekwe kwao kutokana na kutokwa na damu zisizokata sehemu ya haja kubwa kama mtu wa jinsi ya pili anavyokuwa kwenye siku za kutumikia.
Ugonjwa wake haukuonekana katika vipimo vya hospitali, ilibidi achukuliwe na ndugu zake wanaoishi Dar ili wampeleke kwa mtaalam Bagamoyo.
Wiki moja tangu niliporudi kutoka Tewe kwa marehemu mzee Kidereko, nilipata taarifa nyingine ambazo hazikunishtua sana japokuwa zilikuwa zikisikitisha kwamba God alifariki wiki iliyopita akiwa njiani kupelekwa Bagamoyo.
Mi moyo kwatu baada ya kumtia adabu mbaya wangu na kuapa kila atakayemgusa mke wangu sitakuwa na simile naye. Adhabu yangu niliipanga kuwa ni kifo tu, tena kifo cha mateso.
Najua msomaji utashangaa kwa kuniona nilikuwa nikitoa hukumu kubwa sana, ni kweli lazima hukumu iwe kubwa kwa vile wanawake wasioolewa ni wengi kuliko walioolewa, hivyo kwa nini mtu amfuate mke wa mtu?
Kwa hilo mtanisamehe na wala sikuwa tayari kumueleza mke wangu kama bado anaendelea na tabia yake chafu aache japokuwa aliniahidi kutorudia tena huku akibubujikwa na machozi ya uchungu.
Siku zote niliamini mwanamke huwa hana kosa kwa vile yeye hufuatwa na mtu anayemfuata huwa anajua kabisa mwanamke huyo ni mke mtu, kibaya mtu huyo ananifahamu vizuri.
Mtu anayekufahamu na kukuchukulia mkeo mpaka kufanya hivyo huwa amekudharau sana, basi mimi kazi yangu nilipanga kumlambisha udongo kila atakayetembea na mke wangu.
Mzee Kidereko alinikataza kutengeneza tego kwa mke wangu kwani alinieleza kuwa siyo vizuri.
Aliamini kuwa tego hilo lingeweza kumsumbua hata kumletea madhara anapofanya mapenzi na mtu kama nikiwa nimesafiri.
Kwa vile nilifundishwa vitu vingi na dawa nyingine zilikuwa zinapatikana kwenye maduka ya dawa za asili ambazo ukizitengeneza kwa kuchanganya na baadhi ya vitu unatengeneza bomu la hatari, sikupata shida sana.
Namshukuru Mungu baada ya kifo cha mgoni wangu hali ya utulivu ilirudi kwenye nyumba yangu huku mke wangu akijitahidi kuonesha kuwa amebadilika, hata mavazi yake yalikuwa ni yale ya kujiheshimu, aliijali familia yake kuliko kitu kingine chochote.
Alijitahidi kunifanya niamini makosa aliyoyafanya yalimuumiza sana na kutokuwa tayari kuyarudia tena.
Kwa upande wangu sikuwa na tatizo lolote, nilimuacha afanye analotaka ila niliamini kuwa kazi kubwa itakuwa ni kwa huyo atakayejaribu kunichukulia mke wangu, huyo ndiye angezipata salamu zangu.
Siku zilikatika huku nikiwa na siri nzito moyoni ya mke wangu kutoka nje ya ndoa kwa mara ya pili na kuchukua uamuzi wa kuyakatisha maisha ya mpangaji mwenzangu kwa kifo cha mateso makubwa.
Mke wangu alijua nimemsamehe na suala lile kubakia kuwa siri yetu, kweli ilibakia kuwa siri yetu lakini adhabu niliyoitoa kwa ajili ya mtu aliyetembea naye ilikuwa kubwa sana kwa kuwa niliingilia hukumu ya Mungu, yeye ndiye aliyepaswa kuutoa uhai wa mtu na si mwanadamu.
Nilimshukuru Mungu siri ile nzito ilibakia kuwa moyoni mwangu, niliamini kama rafiki yangu Simon angesikia alichokifanya mke wangu baada ya kuomba msamaha huku akilia kwa uchungu mbele yake huku akisema kuwa hatarudia tena hakika ingekuwa ni aibu.
Kama angesikia kuwa amerudia kosa lilelile la kutembea na mpangaji mwenzangu, pia nami kwenda kwa mzee Kidereko na kumuua kwa mateso mpangaji huyo sijui angenishauri nini.
Kuhusu kifo cha God taarifa zilisema kabla ya kufa aliteseka kwa siku tatu kwa maumivu makali huku damu zikimtoka mpaka akawekewa khanga nzima ili kuzizuia damu.
Nataka kukuambia kuwa uchawi upo, jiepushe na vitu vya watu, maana mateso yake ni makubwa hasa kama ukitembea na mke au mume wa mtu.
Kwangu mimi pamoja na kuyafanya yote na marehemu mzee Kidereko huku nikipewa moyo kila nililotaka litatimia, mwanzo niliona ni uongo, hata kifo cha mgoni wangu wa kwanza nilijua ni amri ya Mungu.
Lakini kifo cha mgoni wangu wa pili na yote niliyoelezwa yakatokea hapo sasa niliamini kuwa kweli uchawi upo, unaua na unatesa.
Mwaka ulikatika tangu kilipotokea kifo cha mgoni wangu huku ndoa yangu ikizidi kuimarika.
Wakati huo mke wangu alikuwa ameshika ujauzito mwingine, maisha nayo yalizi kuninyookea, kwani nilikuwa nimepandishwa cheo kuwa mtunza stoo wa vifaa vya ujenzi wa barabara baada ya dawa za mzee Kidereko kufanya kazi.
Mwili nao ulichukua nafasi yake, kitambi cha juu kilinitoka. Yeyote aliyeniona wakati wa mateso ya ndoa yangu nilipobakia kichwa tu kama kiluilui wa chura angeniona, asingeamini kama nilikuwa mimi.
Nilipendeza, kazi ilinikubali niliweza kutengeneza fedha kwa kuuza vifaa vya ujenzi kwa kuandika vifaa vingi na vichache tu ndivyo vilivyofanya kazi.
Vifaa nilivyovizidisha niliviuza na kupata fedha ambazo ziliniwezesha kununua kiwanja na kuanza ujenzi wakati nikiendelea kupanga.
Baada ya nyumba yangu kuisha nikataka niwachukue wazazi wangu ambao muda ule nami niliona ni muafaka kuwahudumia ili waje wale jasho la mtoto wao.
Siku zote Mungu akikuandikia ndiyo hakuna kipingamizi, kila mpango nilioupanga uliniingizia fedha.
Kama nilivyoelezwa na mzee Kidereko kwamba kila atakayenifanyia ubaya basi utamrudia mwenyewe. Mafanikio yangu yalianza kuwaumiza watu pale kazini.
Mfanyakazi mwenzangu mmoja alikwenda kwa bosi na kunichongea kwamba nilikuwa nikiiibia kampuni.
Taarifa zile zilinifanya nisimamishwe kazi na uchunguzi ukaanza mara moja.

Katika hesabu za vifaa vya stoo, ilionekana kila kitu kipo sawa na kufanya aliyekwenda kunichongea kufukuzwa kazi kwa kusa la udanganyifu. Baada ya kukosa ushahidi nilirudishwa kazini.
Niliamini maisha nimeyapatia kwa kipindi kile, baada ya kukamilisha nyumba yangu, nilitaka kwenda kuwafanyia ‘surprise’ wazazi wangu ya kuwahamisha. Taarifa ya ujenzi wa nyumba niliwapa na kuniombea kwa Mungu isimame haraka. Baada ya kumaliza nyumba yangu nikawaambia ningekwenda kuwachukua japo sikuwaeleza kana ni kuwachukua moja kwa moja au la, hiyo nilitaka kuifanya baada ya kuwachukua.
Niliazima gari la kampuni aina ya Land Cruser, nililiendesha mwenyewe hadi nyumbani kwa kutumia saa tatu badala ya tano kwa mwendo wa kasi niliokuwa nikitembea nao.
Nilipoingia eneo la nyumbani nilikuwa na hamu ya kuonana na wazazi wangu. Kila nilipokuwa nikikaribia nyumbani furaha ilizidi mara dufu kuwaona wazazi wangu.
Lazima niseme ukweli katika vitu nilivyokuwa nikivipenda chini ya jua, walikuwa wazazi wangu ambao kwangu walikuwa kila kitu. Naamini upole na busara ya ndoa nilirithi kwa baba ambaye alinieleza udhaifu wa mwanamke ambao siku zote mwalimu wao ni mmoja.
Aliniambia kuwa, tulitakiwa tuwavumilie sana na kunieleza kwamba, mwanamke anatakiwa kuacha baada ya ndani kukosekana suluhu pia kushindwa kwa wazazi wa pande mbili.
Kwangu niliamini kumfumania mke ni talaka isiyo na shaka. Lakini mapenzi yangu kwa mke wangu yalikuwa makubwa sana kiasi cha kushindwa kutoa uamuzi mzito kama ule kwa kuamini mke wangu atajirekebisha. Pamoja na dhambi niliyochuma ya kutoa roho ya viumbe wawili kwa ajili yake, kwangu niliamini walistahili adhabu ile kutokana na wao kujua kabisa waliomshawishi ni mke wa mtu. Duniani wanawake walioolewa ni wachache kuliko wasio na wanaume, mtu kumfuata mkeo ni uchokozi wa makusudi.
Mtu kuwaacha wanawake wote na kumfuata mkeo, adhabu yoyote utakayompa ni saizi yake. Kwangu niliamini mke wangu hana kosa ila aliyemfuata na kumshawishi akijua ni mke wa mtu huyo ndiye niliyeamini ana makosa na alistahili adhabu.
Baba yangu alinieleza kuwa, siku zote mwanamke moyo wake huwa mwepesi kushawishika kama mama yetu Hawa alivyoshawishiwa na kusababisha wanadamu tuishi katika shida.
Kwa udhaifu wa wanawake nilikuwa tayari kumpigania mke wangu, baada ya kuwatia adabu, ndoa yangu ilitulia na kujikuta nikiona matunda ya kumpigania mke wangu ambaye siku zote niliamini ni mwanamke bora.
Nilipofika nyumbani ambako nilikuwa nimeanzisha ujenzi mpya wa nyumba ambayo nilipanga kuipangisha yote na kuondoka na wazazi wangu kwenda kukaa nao ili wale matunda yangu, sikukuta mtu nje ila mlango ulikuwa wazi, pembeni kulikuwa na vyombo vilivyokuwa vimeanza kuoshwa kuonesha wenyeji wangu hawako mbali.
Nikaita kwa sauti: “Mamaaa..babaaa, nimefika mwanenu.”
“Pita ndani baba,” sauti ya mama ilijibu toka ndani.
Niliingia hadi sebuleni ambako hapakuwa na mtu. Nilijiuliza kauli ya mama inatoka nje au ndani? Nikiwa bado nimesimama, sauti ya mama ilitoka chumbani kwao ikiniita:
“Kazala.”
“Naam mama, vipi unaumwa?”
“Hapana, ila baba yako ndiye simwelewi.”
“Kafanya nini tena baba?” Nilishtuka.
“Ingia chumbani.”
Niliingia chumbani kwa wazazi wangu na kumkuta mama amemlaza baba mapajani mwake ikionyesha anaumwa sana.
“Mama! Kuna nini?” hali ile ilinitisha.
“Hii hali hata siielewi, baba yako alikuwa mzima kabisa, muda mfupi uliopita tulikuwa nje wote tukizungumza, mi’ naosha vyombo, yeye akisoma gazeti. Mara ghafla alisema kitu kimemchoma chini ya mbavu kama kichomi na kumfanya ainame kwa maumivu.
“Nilimsaidia kumuingiza ndani ili apumzike lakini muda ulivyozidi kwenda joto la mwili liliongezeka na jasho jingi kumtoka. Nilichukua maji na kitambaa kumkanda mwili wote, kidogo joto limepungua.
“Kabla sijatoka nje, akaanza kulalamika kichwa kinamuuma kama kinataka kupasuka. Mpaka baba yako anatokwa na machozi ujue kashikika kweli. Kichwa kilipoanza kumuuma alikuwa akilalamika, lakini kauli ilikata ghafla, kila nikimwita hakufumbua mdomo wala kujigeuza, alitulia tu kama unavyomuona,” mama alisema kwa huzuni.
“Mmh! Utakuwa ugonjwa gani unaobadilika kama kinyonga?”
“Ninavyoutazama si wa kawaida, yaani ameanza kuumwa ndani ya muda mfupi lakini ukimuangalia kwa jinsi alivyokonda unaweza kusema kaumwa wiki nzima.
“Kwa kweli hali inatisha kwani kanifanya na mimi nikose amani kabisa,” alisema mama huku akionekana kama aliyechanganyikiwa.
“Mmh! Utakuwa ugonjwa gani unaobadilika kama kinyonga?”
“Ninavyoutazama si wa kawaida, yaani kilichotokea ni muda mfupi, lakini mpaka sasa ukimuangalia baba yako kama kaugua wiki nzima.”
Niliiangalia hali ya baba kwa kweli ilikuwa mbaya, sikuamini kauli ya mama eti baba kaumwa muda mfupi ndiyo kawa vile. Niliamini ananidanganya kwa vile nimetokea nyumbani ghafla bila taarifa.
“Mama si kweli, inaonekana baba kaumwa muda mrefu, kwa leo tu ndiyo awe hivi? Haiwezekani ugonjwa wa muda mfupi awe hivi,” sikukubaliana na mama.
“Mwanangu nikudanganye ili iweje? Kawaulize hata majirani kuhusu hali ya baba yako. Wao nao hawajui kama yupo kwenye hali hii. Nina imani wakimuona hawataamini. Mwanangu hiki ni kitu cha kunishangaza sana.”
“Sawa mama nimekuelewa, basi tumuwahishe baba hospitali.”
“Ngoja nikamuite rafiki yake baba Pasko akusaidie, mimi hata nguvu sina,” mama alionekana kuchanganyikiwa na ugonjwa wa baba.
“Basi mama wahi.”
Baada ya mama kutoka nje, nilimsogelea baba na kuushangaa uso wake ulivyokuwa umekonda na midomo kumkauka.
Hali ile ilionesha baba hakuumwa kwa muda mfupi kama mama alivyosema. Niliamini alikuwa akiumwa kawaida ila siku ile ndiyo alikuwa amezidiwa sana. Nilimwita baba aliyekuwa amekata kauli kwa sauti ya chini.
“Baba…baba…amka, mimi Kazala mwanao nipo hapa,” lakini baba hakunyanyua mdomo wala kukapua macho.
Nilijiuliza baba yangu anaumwa nini mpaka kuwa katika hali ile. Mama alirudi na mzee Samweli maarufu kama baba Pasko na kuingia ndani.
Mzee Samweli alipomuona baba alishtuka na kuhoji.
“Jamani mzee mwenzangu kapatwa na nini?”
“Kama nilivyokueleza,” mama alimjibu mzee Samweli, kwa vile mimi nilikuwa sijui chochote juu ya ugonjwa wa baba.
“Ha! Kazala umekuja saa ngapi baba?”
“Hata dakika tano sina nimefika na kukutana na hali hii, shikamoo baba.”
“Marahaba, jamani si nimepita nimewaacha mnazungumza hapo nje?” Ilionesha mzee Samweli naye alishtuka sana kuiona hali ya baba ilivyokuwa.
“Kama nilivyokueleza,” mama alijibu akiwa amejikunyata kwa hofu ya ugonjwa wa baba.
“Mama, baba alikuwa akiumwa kabla ya leo?” nilijikuta nikimuuliza mama swali la awali ambalo jibu lake sikukubaliana nalo.
“Mwanangu muulize hata baba Pasko kama baba yako alikuwa akiumwa hata kidole.”
“Kazala baba yako alikuwa mzima wa afya njema, asubuhi tulikwenda wote kwenye kahawa na kurudi. Baada ya muda nilipita nikielekea ofisini kulikuwa na kikao cha kata, wakati wa kurudi nimewakuta mama na baba yako wakiwa nje, mama yako akiosha vyombo na baba yako akisoma gazeti na nikamuomba akimaliza kusoma aniazime. Nashangaa kuelezwa anaumwa, tena amekata kauli na la kushangaza zaidi anaonekana kama ameumwa kwa muda mrefu,” kauli ya mzee Samweli ilinishtua sana.
“Sasa hii itakuwa nini?” niliuliza baada ya kuchanganywa na taarifa ile.
“Tumuwahishe hospitali tu,” mzee Samweli alitoa wazo.
Nilitoka kwenda kufungua gari kisha nikarudi ndani kusaidiana na mzee Samweli kumbeba baba.
Baada ya kumuweka vizuri kwa kumlaza kwenye miguu ya mama, nililiondoa gari kuelekea hospitali. Mzee Samweli alitusindikiza.
Sikutaka kwenda hospitali ya wilaya, niliamua kwenda moja kwa moja hospitali ya taifa, ambako kulikuwa na rafiki yangu aliyekuwa mkoani na baadaye kuhamishiwa katika hospitali hiyo.
Tukiwa njiani tulimsikia baba akikoroma kwa muda, kisha alivuta mkoromo mrefu na kutulia.
Hali ile ilinishtua na kunifanya nimuulize mama.
“Mama vipi tena?”
“Hakuna tatizo, twende tu.”
Niliendesha gari kwa kasi, kidogo nipate ajali lakini nilimshukuru Mungu tulifika salama. Tulipofika tulichukua kitanda haraka na kumchukua baba aliyekuwa amelegea sana. Nilishtuka kumuona mama akizidi kutokwa na machozi. Nilijua ni kutokana na uchungu wa ugonjwa wa ghafla wa baba.
Baada ya kufanikiwa kumlaza kwenye kitanda cha matairi, tulimuingiza moja kwa moja kwa daktari hata bila kukata cheti.
Daktari aliacha kazi zote na kumuhudumia baba ambaye ilionesha wazi kuwa alikuwa mahututi.
Baada ya kumwagalia huku akimpima kwa kumminya baadhi ya sehemu ya mwili wake, baada ya muda alituomba wote tutoke nje.
Tulitii amri na kutoka nje kumuacha daktari afanye kazi yake. Kilichokuwa kikinishangaza ni machozi ya mama yaliyokuwa yakiendelea kububujika, pamoja nami kuwa na uchungu nilijikaza huku nikimuombea kwa Mungu.
“Mama usilie baba atapona tu,” nilimsogelea mama na kumliwaza.
“Tumuombe Mungu lakini…” mama hakumalizia alichotaka kusema, aliinamisha kichwa chini na kuendelea kumwaga machozi na kunifanya nizidi kuwa katika wakati mgumu.
“Mama nini? Baba atapona tu.”
Baada ya muda daktari alitoka na kuuliza:
“Nani mhusika wa mgonjwa?”
“Wote, mimi mtoto na huyu ni mama yangu mke wa mgonjwa,” nilimjibu.
“Basi nakuomba wewe ndani mara moja.”
“Mimi?” niliuliza huku nikijishika kifuani.
“Ndiyo.”
Niliingia chumbani kwa daktari ambako baba alikuwa amelazwa kwenye kitanda kilichokuwa kimezungushwa na pazia la kijani.
Baada ya kuingia ofisini nilikaribishwa kwenye kiti na kutulia kwa muda huku daktari akiandika kwenye karatasi.
“Samahani ndugu yangu, mzee anaitwa nani?”
“Hassan Kazala.”
“Mzee ameumwa kwa muda gani?”
“Kwa maelezo ya mama, saa moja iliyopita alikuwa haumwi kitu chochote.”
“Wewe unakaa wapi?”
“Mkoani.”
“Umefika lini?”
“Kama robo saa iliyopita na kukuta hali ya baba imebadilika.”
“Una ndugu zako?”
“Nipo peke yangu kama roho kwa wazazi wangu.”
“Kwa vile wewe ndiye kichwa na mwanaume nataka kukueleza ukweli kuhusu hali ya baba yako,” daktari alinyamaza na kuvuta pumzi na kunifanya nimtazame usoni.
“Wewe mwanaume, baba yako amefariki.”
“Eti baba kafanya nini?” nilishtuka kidogo ilikuwa bado kidogo nianguke kwenye kiti.
“Jikaze ndugu yangu, wewe mtoto wa kiume kwani unatakiwa kumpoza mama anayekutegemea.”

“DAKTARI kweli baba amekufa?” niliuliza kama vile sikumsikia vizuri alichokisema mwanzo.
“Kitambo, mmemleta hapa akiwa tayari ameshakata roho.”
“Nini kimemuua?” nilimuuliza huku nikijifuta jasho la mshtuko.
“Kwa kweli mpaka tumfanyie uchunguzi wa kitaalamu.”
“Mmh! Sawa.”
“Basi mweleze mama vizuri ili asipate mshtuko.”
“Sawa nimekuelewa, japokuwa najua ni kazi nzito kumwambia, lazima atashtuka mno.”
“Jitahidi wewe ndiye unayetegemewa kwa sasa baada ya baba yako,” maneno ya daktari yalinijaza nguvu.
Nilitoka nje huku nikijikaza kiume ili kuhakikisha namwambia mama kwa utaratibu ili asipatwe na mshtuko. Pamoja na kujikaza moyoni nilikuwa na uchungu wa kumpoteza baba yangu kipenzi. Nilikwenda kumweleza mama hali halisi iliyokuwa ndani. Nilishangaa kumkuta mama akiwa ameinama kwenye kifua cha mzee Samweli akionesha kwamba alikuwa akibembelezwa.
“Mama..mama,” nilimwita huku nikijitahidi kuficha maumivu makali moyoni.
“Kazala mwanangu kuna mabadiliko?” mama aliniuliza huku akinitazama kwa macho yake yalikuwa yamejaa machozi.
“Ya nini mama?”
“Ya hali ya baba yako.”
“Mama..ba.b..,”
“Kazala najua.. najua kila kitu, najua mwanangu, nilichokiona najua ndicho ulichokutana nacho ndani, pole mwanangu,” kauli ya mama ilinishtua na kujiuliza inamaanisha nini.
“Kipi mama?”
“Hakuna chochote naijua hali ya baba yako ndiyo maana mwanangu unatokwa na machozi.”
“Ma..ma.m.ma,” kauli ya mama ilinifanya nishindwe kuzungumza na kuhisi maumivu upya.
Nilikumbatiana na mama na kila mmoja wetu alitokwa na machozi, tulilia kilio cha kimyakimya.
“Jamani najua tumeumia wote, lakini muda huu tunatakiwa tujue marehemu wetu tunamhifadhi vipi?” mzee Samweli alisema.
“Wanataka kumfanyia uchunguzi ili kujua kifo chake kimetokana na nini?” nilijibu huku nikiachiana na mama.
“Hapana mwanangu baba yako alikataa kulazwa mochwali au kufanyiwa uchunguzi wa kifo chake. Aliwahi kusema akifa azikwe tu, kwa vile kila binadamu kifo ni haki yake.”
“Mama ni ghafla sana, lazima tujue sababu ya kifo chake.”
“Ukijua ndiyo utamrudisha duniani?” mama aliniuliza swali akiwa amenikazia macho yaliyojaa machozi.
“Hapana mama, ila ni muhimu kujua.”
“Siwezi kwenda kinyume na maagizo ya baba yako, hata mimi nikifa nizikwe siku hiyohiyo, sitaki kulazwa kwenye mafriji au kufanyiwa uchunguzi wa kifo changu.”
“Sasa tutafanyaje akiwa amefariki muda huu? Hatuwezi kumzika leo, lazima tuwataarifu ndugu na jamaa, mazishi lazima yawe kesho.”
“Hilo halina tatizo.”
“Sasa mwili wa baba tutaufanya nini?”
“Tunatakiwa tuuchukue leo ukalale nyumbani ili uzikwe kesho.”
“Sawa mama,” nilikubaliana na mama.
Tuliingia katika chumba cha daktari ambako mwili wa baba ulikuwa umelazwa kwenye kitanda na kuzungushiwa mapazia ya rangi ya kijani. Tulitaka kuutengeneza kabla ya kumchukua. Wote watatu tulisogea kwenye kitanda kilichokuwa na mwili wa baba.
Kitu kilichotushangaza wote uso wa baba ulikuwa katika hali ya kawaida sana. Uso wake haukuwa na mikunjo yoyote, haukuwa uso uliokonda, alikuwa ni yuleyule baba yangu ninayemtambua.
Hali ile ilitufanya tutazamane, mzee Samweli hakuvumilia alisema.
“Hapana hii mpya, sijawahi kumuona mtu akonde akiwa mgonjwa na anenepe akifa.”
“Hata mimi nashangaa!” mama alisema.
“Hapa si bure, kuna sababu,” nilichangia.
“Wee! Koma, maneno gani hayo,” mama alinikomesha, siku zote hakuamini ushirikina, aliuita ni mambo ya kishenzi.
“Mama hii si hali ya kuiacha ipite hivihivi, lazima kuna kitu baba amefanyiwa, kama ameugua kwa muda mfupi na kukonda uso na anakufa kisha uso wake unarudi kwenye hali ya kawaida, hata ukikataa kuna kitu.”
“Kazala achana na mawazo ya kijinga, baba yako amekufa tumzike na tumuombee kwa Mungu.”
“Sawa mama,” nilikuba kwa shingo upande. Baada ya taratibu zote za kuuhifadhi mwili wa baba na kuchukua karatasi ya taarifa ya kifo. Tulikodi gari aina ya Toyota Pick-Up na kuuchukua mwili wa baba.
Mama na mzee Samweli walitangulia na mwili wa baba mimi niliondoka na gari nililokuja nalo.
Njiani roho iliniuma sana, baba yangu ameshindwa kuiona nyumba yangu, heri angeingia hata mara moja kwenye nyumba ambayo nilijenga na kuiandaa kwa ajili ya kuwalelea wazazi wangu.
Lakini nilichokipanga kilienda tofauti, niliumia sana tena sana, sikupenda kumpoteza baba yangu kwani alikuwa mtu muhimu sana kwenye maisha yangu.
Baba ndiye aliyekuwa taa na dira yangu, siku zote alinipa nguvu sehemu niliyokata tamaa na kujiona ninacho hata kama sina.


ITAENDELEA

MAPENZI YAMENIFANYA NIWE MUUAJI – 5

Related image

Simulizi : Mapenzi Yamenifanya Niwe Muuaji
Sehemu Ya Tano (5)

NJIANI nzima roho ilikuwa ikiniuma, baba yangu ameshindwa kuiona nyumba yangu, heri angeingia hata mara moja kwenye nyumba niliyoijenga kwa ajili ya kuwalea wazazi wangu.
Nilisikitika kwa kuwa kitu nilichokipanga kilienda tofauti, niliumia sana, sikupenda kumpoteza baba yangu aliyekuwa mtu muhimu kwenye maisha yangu.
Baba ndiye aliyekuwa taa na dira yangu, siku zote alinipa nguvu sehemu niliyokata tamaa na kujiona ninacho hata kama sina.
Sasa Endelea…
BADO nilitakiwa kumshukuru Mungu kuniachia mama yangu ambaye niliamini ndiye nitayewekeza nguvu zangu zote kwake baada ya kumpoteza baba yangu kipenzi.
Kingine kilichonipa wakati mgumu ni taarifa ya ugonjwa wa baba, kwa kuwa aliugua ghafla kisha kukonda kama mtu aliyeugua kwa kipindi kirefu na baada ya kufa uso wake ukarudi kwenye hali yake ya kawaida.
Kwangu nilijua ule ulikuwa ni mchezo, nimechezewa bila ya kumjua aliyenichezea ni nani.
Roho iliniuma sana kutokana na kufariki kwa mzee Kidereko, kwa kuwa ningejua kila kitu kilichotokea kuhusiana na kifo cha baba yangu.
Moyoni sikumuafiki kabisa mama kutokana na kukubali kirahisi kiasi kile, ingekuwa mimi, mwili wa baba usingezikwa haraka, ungekaa hata mwaka mzima mochwari ili nipate uhakika wa kifo chake.
Niliamini kifo kile hakikuwa cha kawaida na pengine baba yangu hakufa bali aligeuzwa kuwa msukule.
Nilipanga baada msiba kuisha nisafiri kuchunguza kifo cha baba ambacho kwa upande wangu bado sikuwa nikikubaliana nacho.
***
Siku ya pili tulimzika baba, msiba wake ulihudhuriwa na watu wengi sana, wafanyakazi wenzangu walikuwa ni miongoni mwa watu waliokuja kumsindikiza baba yangu na kunipa faraja.
Msibani kulikuwa na minong’ono ya chinichini ikisema kuwa kifo kile si bure lazima kulikuwa na mkono wa mtu.
Mama hakukubaliana kabisa na minong’ono ile pamoja na vitu vya kushangaza vilivyotokea, bado aliamini ni amri ya Mungu.
Baada ya mazishi na kukaa siku mbili, nilimuomba mama niondoke naye ili tukamalizie msiba nyumbani kwangu.
Lakini alikataa na kusema msiba ataumalizia palepale nyumbani kwake. Sikuwa na jinsi kwa vile alikuwa ameamua ilibidi niiache familia yangu ikae na mama kipindi chote cha kumaliza msiba wa baba kama alivyotaka mama.
Wiki moja ilikatika na muda wa kurudi kazini ulifika. Nilirudi kwangu na kumuacha mke wangu amtunze mama. Nilirudi nyumbani Jumapili na Jumatatu asubuhi nilikwenda kazini.
Nilianza kazi nikiwa bado na kitendawili kizito kichwani mwangu kutokana na kifo cha baba.
Pamoja na mama kusema kifo kile kilikuwa ni amri ya Mungu lakini sikutaka kukubaliana naye japokuwa nilimkubalia ili kumridhisha.
Nilipanga Ijumaa iliyofuata niondoke na gari la kampuni kwenda Mlalo. Niliamini hata kama nitalala Tewe siku ile na kesho yake Jumapili lazima niwe nimerudi muda wowote ilimradi Jumatatu niwahi kazini.
Wiki nzima niliyokuwa kazini nilikuwa katika dimbwi la mawazo kuhusiana na mazingira ya kifo cha baba yangu.
Wengi walijua kukosa kwangu raha kazini kulitokana na maumivu ya kifo cha baba, ambaye siku zote alikuwa mtu wangu wa karibu.
Kweli kifo cha baba kiliniuma sana kutokana na kipindi kile ndicho nilikuwa nikiwahitaji sana wazazi wangu ili nile nao jasho langu.
Kilichonichanganya zaidi na kuupa moyo wangu wasiwasi kilikuwa ni mazingira ya kifo cha baba. Niliamini utatuzi wake ningeupata kwa mtoto wa mzee Kidereko.
Safari yangu ilibakia kuwa siri yangu, sikutaka kumshirikisha mtu yeyote.
Mwisho wa wiki niliomba gari, nilijifanya kama ninakwenda kumuona mama. Kwa vile nilikuwa nikiivana na bosi, alinikubalia niondoke na gari.
Ijumaa niliondoka kazini saa tano asubuhi, watu wote walijua nimekwenda kumuona mama.
Niliondoka kazini saa tano na nusu asubuhi, nilitumia saa mbili na kufika Chalinze kutokana na mwendo kasi niliokuwa nikiendesha.
Niliunganisha moja kwa moja kuelekea Lushoto, nilifika Tewe saa kumi na mbili jioni. Nilikuta bado mwanga wa jua haujazama vizuri, niliamini kuwa ningeweza kufanya mambo yangu na kama yangekwenda vizuri ningeweza kurudi siku ileile na kuelekea kwa mama kisha ningerudi kazini.
Ugeni wangu wa ghafla uliwashtua wenyeji wangu, baada ya kunipokea walitaka kujua kilichonipeleka pale muda ule kilikuwa nini.
Kwa vile muda ulikuwa bado nilizungumza na mtoto wa mzee Kidereko palepale nje, chini ya mti, wengine wote walitupisha na kutuacha wawili tu.
“Ndiyo ndugu yangu za siku?” mtoto wa mzee Kidereko aliniuliza.
“Nzuri kiasi,” nilimjibu huku nikimtaza na kukutanisha naye macho na kumuona akiwa na shauku ya kutaka kujua kilichonipeleka pale.
“Ujaji wako umenionesha kuna kitu, ehe ndugu yangu tatizo nini tena?”
Nilimuelezea utata wa mazingira ya kifo cha baba yangu. Baada ya kunisikiliza alimwita msaidizi wake, kijana mmoja kati ya wasaidizi wa baba yake mzee Kidereko.
“Hamis.”
“Naam.”
“Njoo, niletee unga wa kutazamia mbali.”
Hamis alikwenda ndani na kurudi na chupa ndogo aliyomkabidhi. Baada ya kumkabidhi aliifungua na kumimina unga mweupe kiganjani kwake kisha aliumwaga kwa kuusambaza na kutulia kuutazama ule unga uliopeperushwa na upepo.
Aliutazama ule unga uliokuwa ukipepea kama vile anaangalia kitu ambacho mimi sikuwa nikikiona. Baada ya kutulia kwa muda alishusha pumzi ndefu na kusema:
“Kuna vita nzito sana.”
“Vita?” nilishtuka kusikia vile.
“Tena nzito, mmh! kuna kazi!”
“Kazi?” nilizidi kushtuka na kutokana na maneno yake.
“Tena nzito, mmmh! hii kwangu sijui!” alinikatisha tamaa bila kujua hiyo ni vita gani na uzito wake ni upi.
“Mbona unanitisha?”
“Sikutishi, ndiyo ukweli wenyewe, vita hii ingenoga kama mzee angekuwepo.”
“Una maana gani?”
“Kifo cha baba yako kina siri nzito.”
“Hebu nieleze tatizo kuliko kunizungusha na kunitisha.”
“Inaonesha hapa kifo cha baba yako kimetokana na kisasi.”
“Kisasi?” nilishtuka zaidi.
“Ndiyo.”
“Kisasi kipi tena?”
“Baada ya kifo cha mgoni wako wa pili, ndugu zake hawakukubali kama kile kifo ni amri ya Mungu. Kutokana na mazingira ya kifo chake, waliamua kufanya uchun-guzi ndipo walipokuona wewe. Hawakukubali kumpoteza ndugu yao, waliamua kulipa kisasi.
“Inavyoonekana waganga wengi wa nchini wamechemsha, hivyo wakaamua kutoka nje ya nchi kuhakikisha wanakulambisha mchanga. Inaonesha uchawi waliotumia kukuroga umetoka mbali sana.
“Naweza kusema mshukuru sana mzee Kidereko kwa kinga aliyokupa. Uchawi waliotumia tungekuwa tumekwisha kukuzika muda mrefu. Unakumbuka siku moja ukiwa kazini uliumwa sana kichwa kisha ulitoka damu puani?”
“Ndiyo nakumbuka.”
Niliikumbuka siku hiyo ambayo katika simulizi hii sikuizungumzia kabisa.
Siku hiyo nikiwa kazini, baada ya kumaliza kazi ya kutoa vifaa ambayo vilikuwa vingi nilisimama kwa muda mrefu.
Nilipokaa chini kichwa kilianza kuniuma kama kinapasuka, kilichofuata ni kutokwa na damu nyingi puani

Nilikimbizwa hospitali ambako nilikutwa na malaria. Baada ya matibabu nilijisikia vizuri na kuruhusiwa kutoka hospitali. Hali ile haikujirudia tena na kuamini yale yalikuwa malaria tu.
“Basi yale hayakuwa malaria ilikuwa ndiyo safari, shukuru kupelekwa kwenye mizimu, uchawi uliofanyiwa mbaya sana. Kutoka damu puani ilikuwa safari isiyo na kwaheri. Lile lilikuwa jini la kutumwa, jini Makata lilikuwa likukate palepale.
“Baada ya kuona kwako ngoma nzito walibadilisha mashambulizi na kuyaelekeza kwenye familia yako. Wameanza na baba yako baada ya hapo atatafutwa mtu mwingine.”
“He! Ina maana wamepanga kuiteketeza familia yangu yote?” nilishtuka kusikia vile.
“Ndiyo.”
“Wanatumia uchawi wa ndizi, wanaroga kwenye mkungu wa ndizi wenye ndizi mbichi, ikiiva ndizi moja na kudondoka, basi katika familia yako anaondoka mtu mmoja.”
“Mungu wangu!” nilishika kichwa kwa mshtuko.
“Mtego wao haukuwasumbua kukunasa kwa vile kilikuwa kisasi cha kuuawa ndugu yao, hivyo ilikuwa rahisi kukupata.”
“Sasa utanisaidiaje?”
“Kazi hii kwa uwezo wangu nzito sana, ila nitakuelekeza kwa mzee mmoja ambaye alikuwa swahiba wa baba, naye yupo vizuri kama mzee Kidereko.”
“Anakaa wapi?”
“Maeneo ya mbele kidogo japo kuna kamwendo kadogo.”
“Tunaweza kwenda leo?”
“Tunaweza kwa vile muda bado.”
“Tunaweza kutumia gari?”
“Hatuwezi kwenda na gari kutokana na eneo lenyewe, lazima tupande kilima na kushuka.”
“Usiku hakuna wanyama wakali?”
“Hakuna.”
Tulikubaliana kwenda kwa mganga mwingine baada ya ngoma yangu kuwa nzito kwake. Tuliongozana wawili kuelekea kwa mganga, ilikuwa safari ya kupanda na kushuka milima mpaka kufika kwa mganga nikiwa nimechoka na kutokwa na jasho chapachapa.
Toka nilipouachia mwili nilikuwa mzembe, safari ya nusu saa ilikuwa kama nimetembea zaidi ya saa sita. Tulipofika kwanza nilikaa chini kupumua, kwani hata kuongea nilishindwa kutokana na kifua kujaa pumzi.
Mtoto wa mzee Kidereko aliniacha nimepumzika kwenye gogo la mnazi na yeye kuingia ndani kwa mganga. Ilionesha pale ni mwenyeji kwa jinsi walivyompokea.
Nilitulia kwenye gogo huku giza likianza kuimeza nuru ya mchana. Baada ya muda alirudi na kunieleza jambo ambalo lilinishtua kidogo.
“Ndugu yangu tumefeli.”
“Una maana gani?”
“Mzee amekwenda mkoani, kuna watu wamemchukua jana.”
“Atarudi lini?”
“Mmh! Haijulikani.”
“Kwani ndiyo mara yake ya kwanza kusafiri kikazi?”
“Mara nyingi, huwa akiondoka kwenda kufanya kazi za watu mikoani, anaweza kumaliza hata mwezi mzima.”
“Mmh! Sasa itakuwaje, hana msaidizi?”
“Yupo, lakini kazi yako si ya kutumwa mtu mwepesi, unaweza kumpoteza kama mchezo.”
“Kwani ni nzito sana?”
“Hauna tofauti na uliyosababisha ugonjwa kwa baba uliopelekea mauti yake.”
“Mmh! Sasa nitafanyaje, hakuna waganga wengine?”
“Kwa kweli mimi niliyekuleta kwake ndiye niliyekuwa naye karibu pia nina mahusiano mazuri. Hata kazi zao walikuwa wakisaidiana na marehemu baba.”
“Uliniambia uchawi wao ni wa ndizi, kwa hiyo kuna mkungu unaendelea kuiva?”
“Ndiyo, tena uchawi huu ni mbaya sana, unaweza kumaliza ukoo wako kwa muda mfupi.”
“Mungu wangu sasa nitafanya nini ikiwa hakuna mtu wa kunisaidia?” nilijikuta nazidi kuchanganyikiwa.
“Mmh! Hebu turudi nyumbani nataka nikajaribu kutafuta ufumbuzi,” mtoto wa mzee Kidereko aliniambia.
“Ukishindwa?”
“Tumuombe Mungu nisishindwe, shida yangu ni kuzuia, kwani ukifanya mzaha wiki nzima unaweza kuzika familia nzima.”
“Eti?” Kauli ile ilizidi kunitisha.
“Uchawi waliotumia ni mbaya sana, ule haubakizi ukoo.”
Tukiwa katikati ya mazungumzo alitoka kijana mmoja aliyeonekana amevalia nguo za kiganga na kunisalimia.
“Za saizi kaka?”
“Nzuri.”
“Pole sana, nimefuatilia mazungumzo yako na maneno aliyoniambia Maghinde kwa kweli yamenishtua. Wakati nyinyi mkizungumza, niliangalia tatizo lako. Kwa kweli ni vita nzito sana.”
“Jamani badala ya kunisaidia mnazidi kunikata maini,” nilitamani kulia na kuiona kama dunia imeniinamia na hakuna wa kunipa msaada.

“Nia kubwa ni kukusaidia, kuna kitu nimekiona kimenitisha sana.”
“Mungu wangu kitu gani tena hicho?” kauli ya Bwaza ilizidi kunitia hofu.
“Hebu twendeni kwanza ndani, hili si jambo la kulizungumza hapa.”
Tuliongozana ndani huku nikihisi mwili wangu ukipoteza nguvu, moyoni nilijuta kujiingiza kwenye vita ya ushirikina.
Moyo wangu ulijawa na hofu ya kupoteza familia yangu yote kutokana na maelezo ya uchawi wa ndizi unavyoua watu kwa mpigo.
Tulipofika ndani, alichukua unga kama alivyofanya Maghinde mtoto wa mzee Kidereko. Baada ya muda alisema:
“Kama ulivyoambiwa vita hii ni nzito, hali inavyojionesha ni mbaya sana kwa upande wako. Inaonesha wiki hii na ijayo lazima upande watu watatu.”
“Watu watatu?”
“Ndiyo, hapa panaonesha ndizi tatu zimeshaiva tayari zinaweza kuanguka wakati wowote.”
“Ndiziii?”
“Ndiyo, inaonekana imedondoka moja ambayo ni baba yako. Zilizobaki zitadondoka wakati wowote ila moja itadondoka wakati wowote kuanzia sasa.”
“Mungu, sasa nitafanyaje jamani, ina maana na mama anakufa?”
“Hatujajua ila wakati wowote tegemea kupata taarifa za kukushtua.”
“Jamani mbona imekuwa hivi?”
“Mzee angekuwepo nina imani kila kitu kingekwenda vizuri, sasa mtanisaidiaje, Mungu wangu ina maana na mama nitampoteza?” nilianza kulia kwa uchungu.
Mara simu yangu iliita, nilipoangalia ilionesha inatoka kwa mke wangu. Moyo ulinilipuka na jasho kunitoka, moyoni niliomba nisipokee habari mbaya.
Niliipokea huku nikiuliza kwanza hali ya mama kabla ya salam.
“Haloo mke wangu, mama anaendeleaje?”
“Anaendelea vizuri, ndiye uliyemuacha peke yake huku nyumbani?”
“Nisamehe mke wangu, za huko watoto hawajambo?”
“Mwanao mdogo ndiye anaumwa, hapa tupo hospitali tumepewa kitanda.”
“Nini zaidi?”
“Anachemka sana na kuhema kwa shida.”
“Hali hiyo imeanza lini?”
“Hebu subiri kwanza..” mke wangu alisema upande wa pili huku akikata simu.

Nilisubiri maelezo ya mke wangu.
“Vipi?” Maghinde aliniuliza.
“Mke wangu anasema mtoto ameumwa ghafla ila mama hajambo.”
“Ameumwa ghafla yupo wapi?”
“Hospitali.”
Kauli yangu iliwafanya wote watazamane kisha wakashusha pumzi nzito. Kitendo kile kilinishtua sana na kujiuliza kulikoni kufanya vile.
“Kazala, hapa panaonesha ndizi tatu zimeiva ila moja tayari imedondoka.”
“Sijakuelewa si unasema zimeiva ndizi tatu na moja imedondoka?”
“Ndiyo, katika zile ndizi tatu kuna moja imedondoka na kufanya upoteze watu wawili mpaka sasa.”
“Mungu wangu mnataka kuniambia tofauti na baba kuna mtu amekufa?”
“Tena sasa hivi,” Bwaza alinijibu kwa sauti ya upole.
“U…u..nataka ku..kuni..”
Nilikatishwa kauli na mlio wa simu yangu, nilinyamaza na kuiangalia na kuona jina la mke wangu. Huku mapigo ya moyo yakinienda mbio nikaipokea.
“Haloo mke wangu.”
“Mume wangu…maskini mwanangu,” ilikuwa sauti ya kilio ya mke wangu kuonesha mambo yameharibika.
“Mtoto kafanya nini?” niliuliza pumzi zikiwa juu.
“Ame…me…fariki.”
Nilipatwa na mshtuko na kujikuta nikipoteza fahamu, nilipozinduka nilijikuta nimelazwa nje kwenye mkeka huku nikipigwa na baridi kali. Muda huo kiza kilikuwa kimeingia ila mwezi ulikuwa ukiangaza. Pembeni yangu walikuwepo Maghinde na Bwaza.
“Kazala,” Maghinde aliniita.
“Naam,”
“Msikilize Bwaza kuna kitu anataka kukuambia cha muhimu sana.”
“Jamani naomba niondoke usiku huu nirudi nyumbani,” kwa kweli baada ya kupata fahamu sikutaka kitu kingine zaidi ya kurudi nyumbani usiku ule ili kuwahi msiba wa mwanangu.
“Sasa kama ulijua hivyo, huku umekuja kufanya nini?”
“Nilichokifuata sijakipata mnafikiri nifanye nini zaidi ya kurudi kusubiri tufe wote,” kwa kweli nilikuwa nimekata tamaa kwa niliyoambiwa na kilichokuwa kikiendelea.
“Sikiliza Kazala ndiyo maana nikakwambia msikilize Bwaza kuna kitu anataka kukueleza.”
“Haya nieleze mbona mwaka huu nitakoma.”
“Ni hivi bwana Kazala, kweli kama tulivyokueleza hali ni mbaya na ndizi kweli zimeonesha zimeiva na moja imeishadondoka muda mfupi na nyingine mbili zitafuata. Katika kuangalia inaonesha nguvu zinazokulinda wewe ni za mizimu na majini ya mti mkuu.
“Naamini kabisa majini na mizimu inakutambua, nina imani kilio chako mbele yao kitaweza kukulinda na balaa linalokuja mbele yako.”
“Sasa jamani, nitawezaje kwenda kwenye mizimu na kuwahi mazishi ya mwanangu?”
“Tulichokipanga tutaondoka usiku huuhuu hadi kwenye mti wa mizimu na mbuzi wawili wenye rangi nyekundu na nyeupe na vitu vingine tutakusaidia kuvitafuta ili kutoa sadaka itakayokusaidia kupata msaada wa haraka wa mizimu na majini.”
“Jamani hao mbuzi usiku huu nitawatoa wapi?”
“Wewe utatoa fedha kila kitu tumekipanga wakati tukikushughulikia ulipoanguka.”
“Kwa hiyo shilingi ngapi mbuzi wote?”
Walinitajia fedha za mbuzi, kwa vile nilikuwa nazo niliwapa. Hatukupoteza muda tuliwachukua wale mbuzi wawili na baadhi ya vitu wanavyovijua wao kwa ajili ya kazi yangu na kuelekea porini. Tulitembea kwa saa mbili mpaka kufika kwenye mizimu.
Tilipofika pale Bwaza, msaidizi wa mganga rafiki wa mzee Kidereko alifanya kama alivyofanya mzee Kidereko siku aliponipeleka pale enzi ya uhai wake.
Alichukua maji yaliyokuwa kwenye chupa na kuyaweka mdomoni kisha aliyapuliza kuelekea kwenye ule mti mkubwa.
Baada ya kumaliza zoezi lile alichukua unga wa dawa na kuurusha pande nne za dunia na kusema kwa sauti.
“Hodi mizimu… hodi majini yote kuanzia Kibwengo na majini yote katika mti huu…hodi tumekuja kutaka msaada wenu… tunajua ninyi mna nguvu, mizimu yote na majini tupokeeni mtusaidie shida zetu,” baada ya kusema maneno yale ulifuatia muungurumo ambao haukudumu muda mrefu ulinyamaza pia haukuwa na tofauti na mwanzo nilipokuja kwa mara ya kwanza Kidereko.
Baada ya hali ile kutulia nilimsikia Bwaza akisema:
“Asante mkuu wa mti huu, asante mizimu yote, asante majini yote.”
Alipomaliza kusema vile alinieleza nikae chini kwenye kichuguu ambacho nilikikumbuka nilikalishwa na mzee Kidereko, mambo mengi yalijirudia.
Baada ya kukaa nilinyoosha miguu kuelekea ule mti mkubwa na kutulia kusubiri maelekezo mengine.
Walichukuliwa wale mbuzi na kuanza kuwatembeza kunizunguka mara saba, kisha walisimama mbele yangu kila mmoja akiwa amemshikilia mbuzi wake kuuelekea ule mti mkubwa.
Bwaza kwa sauti kama anazungumza na mtu alisema:
“Mizimu, amekuja tena mwanadamu huyu ambaye mwanzo aliletwa na mkuu wetu na kumtambulisha kwenu.
Tunashukuru msaada wenu umesaidia, lakini umesahau waliomzunguka wazazi na watoto. Tunavyosema hivi tayari walimwengu wameishachukua vichwa wawili kwenye zizi lake.
“Tumefundishwa na wakuu kuwa tunapopata matatizo tukimbilie huku kuomba msaada wenu. Tunajua ninyi hamshindwi na kitu tunaomba mumsaidie mwanadamu huyu na waliomzunguka. Wakuu ndizi zilizoiva zisidondoke bali wadondoke wao.”
Baada ya kusema vile ulizuka upepo mkali, ulivuma kwa muda kidogo. Safari ile sikushtuka kwani hakikuwa kitu kigeni kwangu. Baada upepo kutulia Bwaza aliniambia ninuie kwa kuwashika wale mbuzi wote kichwani.
“Ninuie nini?” niliuliza kwa vile nilikuwa sijui cha kunuia.
“Chochote kuhusiana matatizo yako ili kukuondolea mabalaa yanayokukabili.”
Nilitulia na kunuia kuiomba mizimu na majini kunilinda mimi na familia yangu. Baada ya kunuia nilimweleza Bwaza nimemaliza. Waliwachukua wale mbuzi na kuwalaza, kisha waliwachinja wote na kuchukua mfuko uliokuwa na nafaka mchanganyiko na kuumimina kwenye ungo uliokuwa pembeni ya ule mti mkubwa. Kisha Bwaza alipaza sauti na kusema:
“Mizimu na majini tumekuleteeni zawadi kubwa ambayo tuna imani mtaipenda. Tunawaahidini kuwaletea ng’ombe mzima kama mtatufanyia kazi nzuri.”
Baada ya kuzungumza vile alimwaga unga wa dawa kwenye damu ya mbuzi na kwenye nafaka kisha tulisimama wote nyuma ya wale mbuzi aliowachinja.
Baada ya kusimama nilishtuka kusikia sauti ikicheka mfululizo kisha vigelegele vikifuatiwa na upepo uliovuma kwa muda kisha ulikoma.
Baada ya muda upepo ulitulia alinieleza nizunguke ule mti mkubwa mara kumi na nne huku nikinuia tena. Nilifanya vile kwa kuuzunguka mara kumi na nne, kisha nilirudi walipokuwa wamesimama. Baada ya muda palitokea mtikisiko wa ajabu kama mti ule mkubwa unataka kung’oka. Sikuwa tena na wasiwasi wa kuangukiwa na mti ule mkubwa.
Baada ya zoezi lile Bwaza alinieleza:
“Nina imani mambo yamekwenda vizuri sana, inaoneka mizimu na majini imefurahi kwa hiyo tuna imani ndizi zilizobaki haziwezi kudondoka tena.”
“Nashukuru sana kwa msaada wetu,” niliwashukuru nikiwa siamini walichonieleza.
“Washukuru mizimu na majini ndiyo yaliyokubali kukusaidia.”
Niliishukuru mizimu na majini kisha tulirudi nyumbani, kwa kumwaga dawa ya unga huku nikisema kwa sauti maneno niliyoelezwa niyaseme. Baada ya zoezi lile nilielezwa shughuli imeisha hivyo tulitakiwa kuondoka kurudi nyumbani.
Nilielezwa sitapewa dawa nyingine kwa vile kazi iliishia kwenye mti mkubwa. Mpaka tunafika nyumbani ilikuwa saa nane za usiku.
Kwa vile nilikuwa nimechoka sana nililala kidogo na saa kumi za usiku niliamka na kuianza safari ya kwenye msiba wa mwanangu nyumbani. Japokuwa nililala kidogo, kitandani muda wote niligeuka moyo ukiniuma familia yangu ikiteketea huku naiona.
Mpaka muda niliopanga kuamka sikupata usingizi hata kidogo. Njia nzima kichwa kilikuwa kizito kutokana na uchovu wa kutokulala.
Niliendesha gari macho yakiwa yamenivimba kwa kukosa usingizi na mwili uliniuma kama kidonda kutokana na kutopumzika kwa siku nzima.
Niliondoka kurudi nyumbani kwa kujilazimisha, mwili ulikuwa hautaki kabisa kwa uchovu wa mihangaiko na kukosa usingizi. Kama isingekuwa msiba wa mwanangu ningelala na kuondoka jioni ya siku ile. Niliendesha gari huku moyo ukiniuma kuona napoteza ukoo kwa ajili ya ushirikina, kuna kipindi nililia peke yangu. Lakini nilijua kulia si dawa zaidi ya kupambana.
Niliyakumbuka maneno ya rafiki yangu Simon kuhusu kumuacha mke wangu kama tabia zake hazibadiliki kuliko kwenda kwa mganga. Niliamini kama ningemsikiliza yote yale yasingenikuta ya kumkufuru Mungu. Lakini bado nilikuwa na haki ya kumpigania mke wangu.
Moyoni niliamini kuwa kama ningekubali kumuacha mke wangu, ningeendelea kuwa mnyonge hadi lini, nilijiuliza ningewaacha wanawake wangapi.
Bado nilikuwa najiuliza kwa nini mtu amfuate mke wangu, nilikuwa tayari nimempoteza baba mzazi na mwanangu wa mwisho na kupewa imani kuwa wawili waliotakiwa kuondoka wiki inayofuata kupitia tambiko lile, wote wamepona.
Nilifika nyumbani majira ya saa tano asubuhi, niliwakuta watu wamekusanyika kuashiria kwamba kulikuwa na msiba.
Mzee Samweli rafiki wa marehemu baba yangu ndiye aliyenipokea. Alinieleza taarifa nyingine iliyozidi kunichanganya na kutaka kunirusha akili.
Mzee huyo aliniambia kuwa mke wangu na mama yangu walikuwa hospitali baada ya kuugua ghafla usiku wa kuamkia siku ile na hali zao hazikuwa nzuri sana.
Nilijikuta nikichanganyikiwa na kuamini kuwa zile ndizi mbili nilizoelezwa kuwa zimeshaiva ni mke wangu na mama yangu.
Nilimuomba Mungu awanusuru maisha yao, kwani ningekuwa mwendawazimu kama ningezika watu watatu kwa mpigo.
Mwili wa mwanangu ulikuwa bado hospitalini, nilimshukuru mzee Samweli na familia yake kwa kusimamia msiba na ugonjwa wa mama na mke wangu.
Nilipofika hospitali nilikuta hali za wagonjwa zimebadilika kwa kiasi kikubwa, hata daktari alishangaa, wagonjwa walipata nafuu haraka tofauti na walivyopelekwa usiku wa kuamkia siku ile.
Kauli ile ilinifanya nikumbuke maneno ya waganga kule kwenye mizimu walipoomba ndizi zilizoiva zisidondoke. Ilionesha wazi kama nisingekwenda kule ningewapoteza mama na mke wangu.
Baada ya matibabu walitoka, jioni ya siku ile tulijiandaa kwa msiba na kesho yake tulifanya mazishi ya mwanangu na baada ya hapo nilipumzika kwa wiki nyingine na kurudi kazini.
Nikiwa kazini muda mwingi nilikuwa mtu mwenye mawazo kutokana na kufikiria jinsi ya kuipukutisha familia yangu.
Moyoni sikukubali kuonewa kiasi kile, nilipanga kwenda popote duniani kutafuta uchawi hata kama ni Nigeria ili kuhakikisha naupukutisha ukoo wao wote.
Kwa uchungu wa kuwapoteza baba yangu na mwanangu, nilikubali hata kufilisika lakini nihakikishe nimelipa kisasi cha mla mbuzi kulipa ng’ombe.
***
Mwezi mmoja baada ya kifo cha mwanangu, katika kuulizia sehemu gani kuna waganga wa uhakika, nilijikuta nikimfuata jamaa yangu mmoja pale kazini yeye alikuwa dereva wa magari makubwa na kumtaka undani.
Jamaa alikuwa akiamini sana ushirikina kiasi kwamba hata alipofanya makosa kazini hakufukuzwa.
Nilimfuata na kumuuliza jeuri yake alikuwa akiipata wapi hadi kufikia hatua ya kujiamini kiasi kile.
“Kazala maisha ni kuhangaika, nimeteseka sana, walimwengu si watu wazuri hata kidogo,” alianza kuniambia Kanyenye na kuongeza:
“Haki yangu mwenyewe ilinifanya nipoteze mke na watoto.”
“Haki yako ipi na tukio hilo limetokea lini?” nilimuuliza.
“Miaka saba iliyopita au miaka miwili kabla ya wewe kufanya kazi hapa, nilidunduliza vijisenti vyangu na kuvipeleka kijijini kwetu kununua shamba, nilifanikiwa na kulikodisha kwa watu ili wanilimie.
“Baada ya muda nililetewa taarifa kuwa jirani yangu kaingia kwenye eneo langu, nilifunga safari hadi kijijini kuonana naye, jamaa alikuwa kama ananitafuta.
“Baada ya kufikishana katika serikali ya kijiji na kumshinda, aliapa kunionesha, kweli bwana baada ya muda nilianza kuandamwa na mabalaa kibao, mara magonjwa na baadaye vifo vya mke na wanangu kwa mpigo.
“Huwezi kuamini nimezika watu watatu kwa mpigo, vifo vyao vilipishana kwa masaa, nilitaka kuwa mwendawazimu lakini nashukuru Mungu alinipa nguvu.
“Hakuishia hapo, nami akanilaza kitandani kwa miezi mitatu nikiwa sijui nini kinaendelea. Nimekwenda kuponea Mlandizi sehemu moja inaitwa Disunyala kwa mtaalamu mmoja ambaye ndiye aliyeninyanyua kutoka kitandani.
“Ila mtaalamu huyo alikataa kuua, alisema yeye anatibu tu. Nilimshukuru kwa msaada wake, baada ya kupona nilitafuta waganga wa kunilipizia kisasi, wengi walichemka, ilionekana jamaa alikuwa amejizatiti mno.
“Ndipo nilipompata jamaa mmoja aliyenielekeza kwenda sehemu moja ndani kidogo ya nchi ya Msumbiji sehemu inayoitwa Silver Makua. Kwa vile nilitaka kulipiza kisasi niliuza sehemu ya shamba langu na kufunga safari kwenda huko.
“Nilipita Mtwara na kuingia boda ya Namoto mpakani mwa Tanzania na Msumbiji. Nilitumia usafiri wa Land Rover za kizamani na kufika kwenye kijiji hicho.
“Nilifanikiwa kuonana na bibi mmoja mzee sana. Baada ya kumueleza shida yangu na yeye kuangalia kitaalamu, aliniambia kuwa atanisaidia.
“Usiku wa siku ile nilichimbiwa shimo na kufukiwa na kubakia kichwa tu. Nilikaa nje peke yangu mpaka asubuhi huku fisi na wanyama wengine wa kutisha wakipita karibu yangu bila kunifanya kitu chochote.
“Bundi walitua juu ya kichwa changu lakini hawakunifanya kitu na kuondoka zao. Kikubwa nilikuwa nimepewa masharti kwamba nisipige kelele kwa chochote nitakachokiona.
“Bila hivyo vitu nilivyoviona usiku ningekufa kwa presha. Kazala uchawi upo na unatisha, shauri yako.
“Alfajiri ya siku ile nilinyweshwa dawa nikiwa bado sijafukuliwa, baada ya hapo ndipo nilipofukuliwa na kuoshwa. Kisha nilipelekwa kwenye makaburi na kupewa kisu nichome katikati ya kaburi moja, nami nilifanya kama nilivyoagizwa.
“Baada ya zoezi lile niliambiwa naweza kuondoka.”
“Huo ndiyo uganga uliofanyiwa baada ya kusafiri umbali mrefu kiasi hicho?”
“Kazala yule bibi aliniambia, hakuna wa kuniua nitakufa kwa amri ya Mungu na kila atakayeshiriki kutaka kuniua au kuigusa familia yangu ni lazima azikwe.
“Nilirudi nyumbani, wiki moja baadaye familia ya jirani yangu ilianguka kama kuku wa mdondo, hivi sasa nyumba na shamba lao limebakia kama gofu wanaishi paka na popo.”
“Aisee naomba na mimi unipeleke,” nilijikuta nikiwa na hamu ya kwenda huko ambako niliamini ndipo pangenifaa sana.
“Ni muda mrefu lakini nitakuelekeza, ukifika pale kijijini jina la yule bibi ni maarufu sana, hakuna asiyemjua, anatambulika kwa jina la Nyangunda.”
“Hakuna tatizo mwisho wa mwezi nikipokea mshahara wangu nitaomba likizo lazima nami niende ili baadhi ya watu nyumba zao zibaki kuwa magofu ya kuishi paka na popo.”
Japokuwa sehemu niliyotaka kwenda ni mbali lakini nilijua ile ndiyo ilikuwa dawa niliyokuwa nikiitafuta kwa muda mrefu.
Baada ya kumaliza msiba, mama alihamia kwenye nyumba yangu mpya na kuishi na mkwewe na wajukuu.
Moyoni nilibakia na siri nzito ambayo sikutaka kumueleza mtu yeyote, kwa vile vita ile ilikuwa ni siri yangu, hivyo niliendelea kuifanya kuwa hivyo bila ya familia yangu kujua kilichokuwa kikiendelea.
Nilijipanga kwenda Silver Makua kutokana na maelezo ya Kanyenye, japokuwa ilikuwa ni safari ya nchi jirani lakini ilikuwa zikihitajika siku tatu.
Siku ya kwanza unaishia Mtwara, siku ya pili unafika unapokwenda tena mapema saa tano asubuhi kama ukiwahi kuondoka alfajiri.
Baada ya kila kitu kukamilika, niliomba ruhusa kazini ya wiki nzima, nyumbani niliwaaga nakwenda kuangalia mradi mpya wa kufungua mkoani, walinikubalia. Niliondoka siku ile jioni na mabasi yanayotoka Mwanza na kufika Dar saa nne usiku, nilala kwenye nyumba ya wageni iliyo karibu na kituo cha mabasi cha Ubungo ili alfajiri nipande mabasi ya Mtwara.
Asubuhi ya siku iliyofuata niliondoka na basi kuelekea Mtwara ili niunganishe kwenda Msumbiji kwenye mji wa Silver Makua. Niliwasili Mtwara saa kumi jioni, sikukaa niliunganisha na magari madogo mpaka Namoto ili asubuhi niunganishe kwenda Silver Makua.
Nililala Namoto, asubuhi ya siku ya pili baada ya kuchenchi fedha na kupata za Msumbiji, kutokana na maelezo niliyopewa na Kanyenye lazima niondoke na kijana mmoja pale mpakani anayejua lugha ya kule kunisaidia kuwasiliana na wenyeji.
Nilimchukua kijana mmoja ambaye alikuwa akizungumza lugha zaidi ya moja. Alikuwa akizungumza Kiswahili, Kireno, Kitindiga na Kingereza cha kuungaunga. Tulipanda gari dogo kuelekea Silver Makua. Nilifika Silver Makua saa tano na nusu asubuhi. Bila kuchelewa tulimuulizia Bi. Nyangunda kwa kumtumia mkalimani wangu aliyeuliza kwa lugha ya Kitindiga. Tuliambiwa alifariki muda mrefu zaidi ya miaka miwili iliyopita akiwa mzee sana.
Nilianza kuiona nuksi mbele yangu, mzee Kidereko kabla ya kukamilisha kazi yangu alifariki, naye Bi. Nyangunda alifariki miaka miwili iliyopita. Nilijiuliza nini hatima ya maisha yangu.
Nilimweleza mkalimani wangu aulize kama tunaweza kupata mganga eneo lile.
“Mmh! Kwa hapa hakuna mganga kama yule bibi, baada ya kufa watoto na wakujuu zake walikataa kurithi mikoba yake,” alijibu na mkalimani wangu alinitafsiria.
“Hakuna mwingine?” niliuliza nikiwa nimekata tamaa baada ya safari ndefu, lakini imekuwa haina matumaini.
“Mmh! Hebu subiri,” jamaa aliondoka kwenda kumuuliza mtu wa jirani aliyekuwa akitengeneza bai, baada ya muda alirudi.
“Sikilizeni, kama mnaweza pandeni gari mpaka Msibwa Daplaya, pale muulizieni mzee mmoja anaitwa Ngugude, wanasema ni kiboko kuliko hata marehemu Bi. Nyangunda.”
“Anasema kweli?” nilishtuka.
“Yule mzee kiboko.” Alitujibu yule kijana.
“Amesema yupo wapi?”
“Msimbwa Daplaya.”
“Kuna umbali gani toka hapa?”
“Mwendo wa saa tatu.”
“Kiasi gani?”
“Mnasema mmetokea Namoto?”
“Ndiyo.”
“Nauli yake haipishani sana, kama kuzidi ni kidogo sana.”
Tulimshukuru na kuagana na yule kijana, tulielekea kwenye kituo cha basi kilichokuwa mbele kidogo na tulipokuwa. Haukupita muda ilisimama Toyota Coaster iliyokuwa ikitokea Silver Makua.
Baada ya kuteremka abiria zaidi ya watano kituo kile, tulipata nafasi ya kukaa. Tulifika Msibwa Daplaya saa tisa alasiri.
Niliteremka na kusogea kwenye duka ambalo alikuwa akiuza kijana mmoja, mkalimani wangu alimuuliza na kuelekezwa, alinifuata na kunieleza.
“Itabidi tupande baiskeli tupelekwe kwa mganga aliyekuwa akikaa nje kidogo ya mji.”
“Hakuna tatizo.”
Tulielekezwa sehemu panapokodiwa baiskeli, tulikodi mbili na madereva wake. Safari ya kutoka nje ya mji ilianza. Tulijikuta tukipanda na kushuka milima huku vijana waliotupakia wakionesha uwezo wa kuendesha baiskeli kwa masafa marefu tena kwenye barabara mbovu.
Tuliingia vijiji vya ndani kwa kutumia muda wa zaidi ya saa moja na nusu. Tulifika kijijini kwa mganga Ngugude saa kumi na moja na nusu. Kama kawaida mkalimani wangu ndiye aliyekuwa mzungumzaji mkuu, baada ya kupokewa na binti mrembo wa kike aliyekuwa amejifunga kaniki na kuuacha mgongo nje. Baada ya mazungumzo ambayo mi’ sikuelewa anazungumza nini, alinieleza tumfuate.
Tuliongozwa kuelekea kilingeni, kilikuwa kiko mbele kidogo ya nyumba nzuri za mganga aliyeonekana kajijenga kimaisha, pembeni ya kilinge kulikuwa na zizi kubwa la ng’ombe, mbuzi na kondoo.
Tulifika kwenye kilinge kilichokuwa kumezungushwa uzio wa mimea ya minyaa. Tulipoingia ndani ya uzio tulikaribishwa kwenye vigoda, baada ya kukaa aliyetupeleka aliondoka kurudi sehemu aliyotupokea.

Tulikaa hapo kwa robo saa, kisha alitoka kijana aliyekuwa amevaa rubega la kaniki na kuzungumza maneno ambayo yalikuwa kama ya Kimakonde huku akiashiria kutuita.
Sikusimama nilimsikiliza mkalimani wangu ili kujua yule kijana anasema nini.
“Tunaitwa ndani,” mkalimani wangu alinieleza huku akinyanyuka.
Nilimfuata hadi ndani ya kilinge na kukaribishwa kwenye ngozi ya chui, tulikaa mbele yetu tulimkuta mzee aliyekuwa amekula chumvi nyingi. Kichwa na ndevu zake zilikuwa nyeupe.
Baada ya kukaa alisema neno ambalo sikulielewa, nilimtazama mkalimani wangu ambaye aliuniliuza.
“Anauliza tunatoka wapi? Nimwambie?”
Kabla sijajibu mganga alizungumza kwa lugha ya Kiswahili hali iliyotushtua wote.
“Mnatoka Tanzania?”
“Ndiyo,” nilijibu.
“Karibuni.”
“Asante.”
Mganga alibadili lugha tukawa tunazungumza Kiswahili.
“Mna shida gani?”
Nilimwelezea sababu ya kufunga safari kutoka Tanzania mpaka pale. Baada ya kunisililiza alitoka nje na kuchuma tawi la mnyaa na kuja nalo ndani.
Kisha alikaa kwenye ngozi ambayo sikuijua ni ya mnyama gani.
Baada ya kukaa alinipa tawi la mnyaa na kunieleza ninuie yote yanayonisibu.
Kwa vile nilikuwa nimeishakuwa mzoefu, nililipokea na kunuia, niliyasema yote yanayonisibu.
Baada ya kunuia nilimpa tawi la mnyaa alilichukua na kulibana na mdomo kisha aliziba masikio kwa mikono yake na kufumba macho na kutulia bila kupumua kwa muda, halafu alipumua kwa kasi na kurudia kubana tena pumzi.
Kwangu yalikuwa maajabu kwani alitulia zaidi ya dakika tatu bila kupumua kitu kilichoniogopesha na kuona mambo mapya.
Baada ya muda alitoa mikono masikioni na kubakiza tawi la mnyaa mdomoni na kuwa kama anazungumza na mtu kwa kutikisa kichwa kama kukataa wakati mwingine anakubali kwa kunyanyua kichwa juu.
Alifanya vile kwa zaidi ya robo saa kisha aliutema ule mnyaa na kuuweka kwenye ungo mdogo uliokuwa mbele yake na kusema:
“Kijana umetoka mbali kwa ajili ya mapenzi, kweli?”
“Kweli?”
“Umeua watu kwa ajili ya mapenzi, kweli?”
“Mmh! Kweli,” nilisita kidogo lakini kwa vile jambo lilikuwa wazi nilishindwa kukataa. “Umepoteza mzazi na mtoto kwa ajili ya mapenzi, ni kweli?” yote aliniuliza bila kunitazama, macho yake yaliangalia kwenye ungo.
“Ni kweli.”
“Na safari yako ya kuja hapa kusudio lako kubwa kuua, ni kweli?”
“Ni kweli.”
“Unataka uue watu wangapi?”
“Kivipi?” swali lake sikulielewa.
“Nakuuliza unata uue watu wangapi maana mpaka sasa umeua wanne?”
“Wanne?” nilishtuka kusikia nimeua wanne wakati nalikuwa najua wawili tu.
“Jibu kwanza, unataka kuua wangapi?” Mganga muda wote aliniuliza bila kunitazama.
“Kwa vile wameniulia familia yangu lazima na wao wabakie majina tu,”
“Nani kamuua baba na mtoto wako?”
“Kuna kijana mmoja alitembea na mke wangu, mimi sikukubali nikaamua kulipa kisasi.”
“Kisasi kipi?”
“Nilimuulia mbali.”
“Baada ya hapo?”
“Nilisikia familia yake iliponiendea kona zote za dunia kutaka kuniua, waliponishindwa wakaamua kuimaliza familia yangu kwa kumuua baba na mwanangu wa mwisho.”
“Baada ya hapo?”
“Nilikwenda kwa mtaalamu na kunisaidia kuzuia ndizi zilizoiva ili zisidondoke, lakini bahati mbaya moja ilikuwa imeishadondoka. Mama na mke wangu walikuwa wafe kwa mpigo kwa msaada wake walipona.”
“Unajua kilichoiva kikikaa muda mrefu kinakuwaje?”
“Kinaoza.”
“Basi hawajafanya lolote kwa vile ndizi walizozizuia kuanguka muda si mrefu zitaanza kuoza.”
“Na zikioza?” niliuliza kwa mshtuko.
“Zitatoa wadudu.”
“Kwa hiyo?”
“Ile ilikuwa sawa na mgonjwa wa kichwa kumeza dawa ya maumivu, lazima baada ya muda maumivu yatarudi palepale. Kwa hiyo kifo cha pamoja kipo palepale.”
“Mungu wangu, nitafanyaje?” niliuliza nikiweka mikono kichwani.
“Nitakusaidia kuyaondoa maisha yao kwenye ndizi na kuyarudisha katika hali ya kawaida.”
“Nitashukuru sana mzee wangu, lazima niwamalize wote.”
“Ukiwamaliza wote pamoja na familia yako na wewe mwenyewe.”
“Kwa nini?”
“Unajua nani aliyeua familia yako?”
“Mzee si nimekueleza ndugu ya jirani yangu.”
“Hapana, wao hawahusiki,” jibu la mganga lilinishtua.
“Nani sasa muuaji?”
“Wewe mwenyewe.”
“Mimi?” nilishtuka kusikia vile.
“Ndiyo, hapa inaonesha wewe ndiye mhusika wa vifo vyote, kuanzia mgoni wako wa kwanza mpaka mzazi wako na mwanao.”
“Mzee! Mimi?” nilizidi kushtuka na kushangaa.
“Ndiyo.”
“Mzee mimi nitauaje familia yangu kisha nije huku kutafuta msaada?”
“Kumbuka bila wewe kuanza kuua usingewapoteza baba na mwanao.”
“Sasa ningefanyaje kama mtu katembea na mke wangu?”
“Zipo njia nyingi za kutatua tatizo si kuua, waganga wengi wamekuwa na tamaa ya fedha kuliko kutatua matatizo. Uliua ukiamini ndiyo suluhu la matatizo yako lakini bado mkeo aliendelea na tabia zake chafu.Umeua tena kibao kimekugeukia mwenyewe.
“Nataka kukueleza uchawi wa kisasi una nguvu sana, hata kama nitaiteketeza familia yake, bado kuna watu wangebakia na kwenda pande za dunia, lazima wangekumaliza tu, uchawi unazidiana.
“Sasa nifanyeje?” nilijikuta nikihamishwa kwenye dhamira yangu.
“Sikiliza siku zote vita huwa haina kikomo, pia uganga unazidiana naweza kusema mimi ni zaidi kumbe kuna mwingine akawa zaidi yangu na kuweza kukuteketeza kama pamba na moto.”
“Nimekuelewa, sasa nifanyeje mzee wangu?”
“Jiepushe kuchukua uamuzi mkubwa kila wakati bila kujua madhara yake, kama unaweza kuua basi kuna wengine wanaweza kukuua pia. Mfano watu hao wangekuja kwangu kulipa kisasi cha kuuliwa ndugu yao ingekuwaje? Siku hizi waganga tumekuwa tuna tamaa na kuwasilikiza wateja bila ya kuangalia mbele watapatwa na nini. Wengine wanajua kabisa walichokufanyia ni bomu litakalokuripukia mbele lakini kwa vile wana tamaa ya fedha wanafanya tu na kukuacha likuripukie.
Kama mwanamke hatulii mbona zipo dawa nyingi tu za kumfanya atulie. Kwa nini mkimbilie kuua?
Sawa niwaue wabaya wako, umerudi nyumbani mkeo kafanya ujinga wake utaua wangapi?”
“Mzee wangu yaani hata sijui, nahitaji msaada wako,” nilijikuta nikizidi changanyikiwa nilijiuliza yule kweli mganga au ndiyo yamemshinda akaamua kunitisha. Lakini kwa upande mwingine nilikubaliana naye hakuwa tofauti na alivyonishauri Simon.
“Kijana wangu nataka nikuase na waganga wenzangu, tujiepusheni kutoa roho za kiumbe ovyo. Kulipa kisasi ni sawa, lakini hata chuki tu za kibinadamu. Mganga mzuri ni yule anayekushauri madhara ya kitu unachotaka kufanya.
“Mfano tatizo kama lako lililojirudia mara mbili bado unaua watu. Hii ndiyo sababu hata dini zinawaona waganga wa jadi ni chukizo la Mungu, kwa waganga wenye tamaa na wasiozingatia taaluma.
“Wamejisahau na kuendekeza tamaa kumbe kazi yetu ni kutibu na si kuua ovyo. Najua utashangaa mganga kama mimi kukataa kuua?”
“Hapana mzee najua nimefanya makosa naomba msaada wako,” maneno ya mganga yalinibadili na kujiona nimefanya makosa makubwa kutoa roho za watu kwa ajili ya mwanamke. Nilijifikiria kama ningemsikiliza rafiki yangu Simon nisingempoteza baba na mwanangu.
“Sasa hivi umeishakuwa mchawi, najua kwa dhamira yako upo tayari hata kula nyama ya mtu ili kumfurahisha mkeo. Hivi uliposikia mtu uliyemroga amekufa ulijisikiaje?”
“Kwa kweli mzee naomba unisaidie, maneno yako yamenichanganya sana hata sijui nijibu nini, moyo unaniuma sana kwa yote niliyoyatenda.”
“Sishindwi kukufanyia unachotaka, lakini mbele kuna vita kubwa ambayo itakufanya ufe kifo cha aibu. Baada ya kifo cha mwisho cha mwanao, ni baada ya kumzika mama yako na mkeo, ungekuwa chizi na usingepona kwa mganga yeyote mpaka unakufa kifo cha aibu.”
“Mungu wangu!” nilizidi kuchanganyikiwa.
“Usiseme Mungu wangu! Kuna watu katika familia ile hawafi kwa mzizi wala kafara mpaka kwa kudura za Mungu. Lazima nao baada ya tukio la kupukutika kwa familia yao, wangepita juu chini kukumaliza. Siku zote vita haina udogo.”
“Nimekusikia mzee wangu, nifanyeje sasa?”
“Kijana wangu, sawa unampenda mkeo, tatua tatizo la mkeo si kukimbilia kuua, kama nilivyokueleza, zipo dawa nyingi na moja nitakupa hutaamini, kama mkeo akitembea tena nje njoo uvunje mikoba yangu.
“Kama haya ninayokwambia unaona nakudanganya, nenda popote kwa mganga makini utakuta wewe ndiye uliyemuua baba yako na mwanao.

“Waganga wengi tumekuwa tunaangalia tatizo bila kuangalia chanzo chake. Matokea yake tunakimbilia kuua tu. Kama ungekuwa umeonewa kweli, ningekufanyia kazi ambayo hakuna yeyote angeingiza mkono, kila mtu asingekuona. Ningekutengeneza ukawa kiza, watu wangekwenda Mashariki na Magharibi wasingekuona.”
“Mzee wangu nimekusikiliza vizuri na nimekuelewa, utanisaidia vipi?”
“Nitakusaidia kuyaondoa maisha ya mama na mkeo katika ndizi kisha nitakupa dawa ya kumtuliza mkeo. Nina imani ukiondoka hapa utatulia na mpenzi wako najua unampenda, basi tatizo litakuwa limekwisha ila jiepushe kupenda kuua, damu ya watu wengine ni nuksi unaweza kuandamwa na matatizo na kila mganga akawa halioni kwa vile aliyetenda ameisha kufa.”
“Mzee wangu nakuapia kwa Mungu sitarudia tena, nikitoka hapa nakuwa kiumbe kipya.”
“Wapo waganga wanaosifika kwa kuua lakini, mimi nasifika kwa kutibu matatizo kama yako.”
“Nashukuru mzee wangu, nimejifunza kitu, naamini nitakuwa mwalimu mwema kwa wengine.”
“Fanya hivyo ili tupunguze mauaji yasiyo na sababu, kazi ya Mungu tumuachie Mungu, tangu nianze uganga sijawahi kuua na sitaua.”
Baada ya makubaliano mganga alituomba tukapumzike nje ili kusubiri muda wa kufanya kazi yangu.
Tulitoka kwenda kukaa sehemu ambayo tuliletewa maziwa na viazi vya kuchemsha.
Kwa vile tulikuwa hatujala tangu asubuhi tulikishambulia chakula chote. Baada ya kula tulioneshwa sehemu ya kupumzika kwa vile muda ulikuwa umekwenda sana. Kutokana na uchovu wa safari tulilala mpaka siku ya pili.
****
Baada ya kupatiwa kifungua kinywa cha uji wa maziwa na viazi, tuliitwa kilingeni na kukaribishwa kukaa kwenye ngozi ya chui, mzee Ngugude alichukua ungo na kuuweka mbele yake ambapo ndani ulikuwa na ndizi saba. Mbili zilikuwa zimeoza, mbili zilikuwa zimeiva sana na kuanza kubadilika rangi na kuingia weusi kwa mbali na mbili zilikuwa zimeanza kuiva na moja ilikuwa mbichi kabisa.
“Unaziona hizi ndizi?” aliniuliza huku akinisogezea ungo mbele yangu.
“Ndiyo mzee wangu,” nilijibu huku nikizitumbulia macho.
“Umegundua nini?”
“Sijagundua kitu,” nilisema huku nikitikisa kichwa kusisitiza.
“Basi hii ndiyo familia yako.”
“Familia yangu?” nilishtuka kidogo, japokuwa sikumwelewa.
“Ndiyo.”
“Una maanisha nini kusema hii ndiyo familia yangu?”
“Ulipokwenda kwa mganga alikueleza nini kuhusiana na ndizi?”
“Alisema familia yangu imetegewa uhai wake kwenye ndizi.”
“Basi ndizi zenyewe ndizo hizi, nimefanya kazi kubwa kuzivuta, kwa kweli kazi hii ilikuwa ngumu sana. Nimekesha kwa kazi hii lakini nimefanikiwa. Kabla ya kufanya kitu chochote nilitaka uone ili niifanye hii kazi.”
“Kwa hiyo hapa panakuwaje?”
“Kazi iliyopo ni kutoa sumu katika ndizi ili kuyafanya maisha ya familia yako yaondokane na uchawi uliotegwa kwenye ndizi.”
“Sawa mzee.”
“Unaona ndizi hizi mbili zilizooza?”
“Ndiyo.”
“Basi hizi ndiyo baba yako na mwanao waliofariki, unaziona hizi zilizoiva sana?”
“Ndiyo naziona.”
“Hizi ndiyo mkeo na mama yako, si unaona zilikuwa zikiendelea kuiva.”
“Ndiyo.”
“Basi zingeoza lazima ungepoteza watu wawili kwa mpigo japo ingechukua muda kutokana na kinga uliyopewa mwisho, unaziona hizi zilizoanza kuiva?”
“Ndiyo naziona.”
“Hizi ni za wanao waliobakia, nao walikuwa wakiiva taratibu japo wasingedondoka, lakini wangeoza na kufa kwa mpigo.”
“Mungu wangu!” nilishika kichwa.
“Usishike kichwa hapa nakuonesha ubaya wa kisasi, ungeweza kufanikiwa kuongeza idadi ya vifo vya watu, lakini matokeo yake yalikuwa haya, ungeipoteza familia yako na wewe kuwa chizi.”
“Na hii ndizi mbichi?”
“Hii ndiyo wewe, ukweli walikushindwa na kukubali wameshindwa. Unaiona hii ndizi pembeni?”
“Ndiyo.”
“Unaona nini?”
“Kuna mistari myeusi kama chale.”
“Basi haya ni makombora yaliyotumwa kukuozesha. Lakini mwili wako umekuwa imara, kinga uliyofanyiwa chini ya mti mkuu ndiyo iliyokulinda. Kinga yako ingekuwa ya kawaida ya kuchanjwa tu ungebakia jina.”
“Sasa mzee wangu utanisaidiaje?”
“Nitahamisha sumu kutoka kwenye miili ya familia yako huku ukishuhudia kwa macho yako.”
Alizichukua ndizi mbichi nne na kuziweka kwenye ungo mwingine kisha alichukua dawa ya unga mweupe na kuzimwagia zile ndizi taratibu huku akinuiza maneno anayoyajua. Baada ya muda aliuweka ungo wenye ndizi mbichi pembeni ya ungo wenye ndizi alizosema ndiyo familia yangu.
“Unauona ungo huu?”
“Ndiyo.”
“Una nini?”
“Una ndizi mbichi.”
“Ngapi?”
“Nne.”
“Vizuri,” alisema huku akichukua ndizi zilizooza na kuzitupa pembeni na ndizi mbichi akaziweka kwenye kikapu.
“Sasa nataka hizi ndizi ziwe kama hizi na hizi ziwe kama hizi.”
“Sawa mzee wangu.”
Aliuchukua ungo wenye ndizi mbichi na kuuweka pembeni ya ungo wenye ndizi zilizoiva na kutulia.
“Naomba macho yako yasicheze mbali usijesema nimebadilisha ndizi.”
Nilitumbulia macho kwenye ungo wenye ndizi mbichi, kila dakika nilishindwa kuelewa, ghafla nilijikuta nikichanganyikiwa baada ya kuona ndizi zimebadilika na kuhamia ungo mwingine.
“Umeona nini?” mzee Ngugude aliniuliza.
“Sielewi.”
“Huelewi nini?”
“Naona kama ndizi zimehamia huku.”
“Hapana hazijahama bali sumu nimeitoa na sasa ndizi zilizokuwa kwenye ungo huu zimerudi katika hali ya ubichi.”
“Kwa hiyo.”
“Ubichi huo ni uhai, sasa hivi vifo katika familia yako vitatokea kwa amri ya Mungu na si mkono wa mtu.”
Baada ya kusema vile, alichukua unga mweupe na kunyunyizia, alipomaliza alinieleza niende kuoga maji yaliyokuwa na dawa ili kuondoa mikosi ili nijiandae kwa safari.
Nilifanya kama alivyonielekeza baada ya kumaliza zoezi lile, alinipa unga mweupe akaniambia niubwiye kidogo na mwingine niupulize kama kusafisha njia. Nilifanya kama alivyonielekeza kwa kubwiya unga kidogo, unga ulikuwa na ladha kama ya unga wa ngano. Nilipomaliza tulipewa ruksa ya kurudi nyumbani Tanzania.
Tulisafiri salama mpaka Mtwara na kuagana na mkalimani wangu ambaye nilimlipa kiasi tulichokubaliana, kutokana na kazi kubwa aliyofanya nilimuongeza kiasi kingine kama asante. Kwa vile tulifika jioni sikutaka kulala pale Namoto nilikwenda kulala Mtwara mjini ili siku ya pili niondoke na mabasi ya asubuhi.

Siku ya pili asubuhi nilipanda basi kurudi Dar ili niunganishe mpaka nyumbani siku ileile. Nikiwa ndani ya basi bado nilikuwa na maswali kuhusiana na maneno ya mzee Ngugude, niliyaona kama yanajichanganya. Kuna wakati aliniambia anaweza kuua na kuna wakati alisema hajawahi kuua kwa kweli maneno yale yalinishtua na kuona kama uwezo wa yule mzee ni mdogo tofauti na sifa zake.
Moyoni niliamini kama ningemkuta bi Nyangunda ningeweza kuwakomesha wabaya wangu. Pamoja na kukubaliana na yule mganga niliamini bado nilitakiwa kwenda ndani zaidi. Nilifika Dar jioni na kuunganisha safari, nikafika nyumbani saa tano usiku. Nilipowasili nyumba ilikuwa kimya kuonesha wamelala. Nilipogonga mlango nilifuatwa na mke wa jirani yetu aliyenieleza kitu cha kushtushwa kwamba watoto wangu wako kwake. Niliulizia mama yao yupo wapi, niliambiwa yupo hospitali pamoja na mama yangu wapo chumba cha wagonjwa mahututi (ICU).
“Mungu wangu tatizo nini?”
“Jana waliugua ghafla, kwa kweli hata hatujui ule ni ugonjwa gani.”
“Wapo kwenye hali gani?” niliuliza macho yakiwa yamenitoka pima.
“Tumuombe Mungu tu hata sijui niseme nini toka jana hatujafanikiwa kuwaona,” alisema kwa sauti ya huzuni.
Nilibakia nimesimama kwa dakika tano nisijue nifanye nini. Bila kujielewa nilijikuta nimekaa chini huku nikiwa na mawazo mengi kuhusiana na hali ile ya kufikia mke na mzazi wangu kurudiwa tena na tatizo.
Wasiwasi wangu mkubwa ulikuwa huenda mabadiliko ya mzee Ngugude ya ndizi ndiyo yaliyosababisha yote yale. Bila kuongeza neno nilinyanyuka mzimamzima na kukimbilia hospitali.
Nilikwenda moja kwa moja kwenye wadi ya wagonjwa mahututi nikaelezwa kuwa wametolewa na kurudishwa wadi ya kawaida. Nilipotaka kuwaona nilikatazwa na kuelezwa nirudi kesho yake kwa vile muda ulikuwa umekwenda sana hivyo wagonjwa kwa muda ule hawakutakiwa kuamshwa.
Kauli ile sikukubaliana nayo nilijua kuwa ni ya kunifariji lakini mama na mke wangu walikuwa wamefariki. Nilijikuta nikiangua kilio mbele ya daktari wa zamu na wauguzi kitu kilichowafanya wanishangae.
“Sasa unalia nini wakati tumekueleza uje kesho?” daktari wa zamu aliniuliza huku akionesha kunishangaa.
“Nije kesho kufanya nini ikiwa mama na mke wangu wamesha fariki?”
“Jamani mbona haya makubwa! Tumekwambia wapo salama ila sasa hivi wamelala. Kutokana na hali waliyokuja nayo ya nusu wafu tumewaacha kuangalia afya zao kwanza, bila hivyo ungewakuta nyumbani.”
“Si kweli, wamekufa ila mnanificha,” niliendelea kulia huku nimekaa chini.
“Kaka hakuna aliyekufa hebu ngoja tukawaamshe uwaone ili uridhike japokuwa si sheria kumuamsha mgonjwa aliyetulia kwa ajili ya mtu kumuona tu.”
Kauli ile ilinifanya ninyamaze kidogo, baada ya muda niliitwa na kuingia wadini. Sikuamini nilikutana na mama na mke wangu wapo kwenye hali nzuri kabisa.
“Umeamini?” daktari aliniuliza.
“Hapa nimeamini, mara nyingi mtu akiingia ICU huwa hatoki salama.”
“Haya baba waache wagonjwa wapumzike njoo kesho.”
Niliagana na wagonjwa wangu na kurudi nyumbani nikiwa na maswali mengi kuhusiana hali iliyowatokea. Nilikumbuka maneno niliyoelezwa na mzee Ngugude kuwa kuna hali itatokea na kuwatisha watu, ni ya kuyabadili mauti kurudi katika uhai.

MWANZO sikuelewa kutokana na kuchanganyikiwa, niliamini nilichoelezwa ndicho kilichotokea.
Baada ya siku mbili walitoka hospitali wakiwa wazima wa afya. Kitendo kile kilinifanya nibadili mawazo na kuona hakuna haja ya kuendeleza vita ya kisasi. Niliyakumbuka maneno ya marehemu baba kuwa hakuna mwanadamu mwenye uwezo kama Mungu hivyo tulitakiwa kumuabudu yeye.
Alinieleza kwa dini yake kisasi ni haki lakini kusamehe ni bora zaidi. Niliamini ule ulikuwa wakati wa mimi kujikabidhi kwa muumba ili nizaliwe upya. Niliendelea na shughuli zangu kama kawaida huku nikiwa nimejifunza vitu vingi katika maisha yangu.
Niliamini hakuna vita ndogo pia moto hauzimwi na mafuta. Siku zote tulihusiwa kusamehe ili kurudisha amani, pia unapolipa jema kwa baya, ubaya hukosa nafasi lakini ukilipa baya kwa baya vita yake haina mwisho. Nilijifunza kitu kimoja kikubwa kuhusu mwanadamu kuingilia kazi ya Mungu, kuua ni kazi ya Mungu kuingilia kazi hiyo ni kujiingiza kwenye dhambi ya kujitakia. Uwezo wa kuumba na kuua ni wake yeye peke yake. Hata unayemuua ukimwacha lazima atakufa tu kwa nini umuue?
Nina imani wengi mmesoma mkasa wangu tokea mwanzo mpaka leo nilipofikia tamati, napenda kuwaomba wote tusikimbilie kuua au kumroga mtu kwa ajili ya mwanamke kwa vile mke au mume bora hutoka kwa Mungu si kwa mapenzi ya mwanadamu.
Kama mwanamke si muaminifu mkanye kama ukishindwa mwache au mtenge, lakini usiue kwa ajili yake. Japo wengi tunaamini waganga wa asili ni wabaya, lakini kama watatokea waganga kama mzee Ngugude dunia itakuwa salama.
Namalizia kwa waganga wa asili, jina lenu linaweza kuwa baya kwa watu kutokana na kuonekana nyie ndiyo chanzo cha matatizo kati ya mtu na jirani yake hata familia kwa familia.
Mganga siku zote anatibu, anayeua au kumroga mtu huyo ni mchawi ni makosa kumwita mganga. Basi chagueni moja kuwa wachawi au waganga. Namalizia kwa kumuomba Mungu anisamehe kwa yote niliyoyafanya kwa ajili ya mke wangu, kwani niliishia kuwa mchawi kamili nilifikia hatua mbaya ya kuroga na kuua pia nilikuwa radhi hata kula nyama ya mtu kwa ajili ya mke wangu. Najua hukumu yake kwangu ni kubwa lakini kupitia ukurasa huu najutia kila nilichokifanya. Nakuombeni katika mkasa huu chukueni mazuri na mabaya muyaache kwa vile kusudio la kuutua mzigo mzito uliokaa moyoni mwangu ilikuwa kuhakikisha makosa yangu hayarudiwi na mtu mwingine.
Namalizia kwa kuwashukuru wote mliokuwa nami mwanzo hadi mwisho wa mkasa huu Mungu awabariki, asanteni.

MWISHO

MAJANGAAA MBONA MAJANGAAA ! – 1


Image result for walter photography

Chombezo : Majangaaa Mbona Majangaaa !
Sehemu Ya Kwanza (1)

Eddy ameamua kuondoka nyumbani kwa wazazi wake na kwenda kupanga, kwa bahati nzuri anapata chumba katika nyumba moja yenye vyumba sita maeneo ya Mwananyamala kwa Kopa.
Nyumba hiyo imekaa Kiswahiliswahili kutokana na wapangaji wanaoishi ndani ya nyumba hiyo.
Kila chumba kimoja kilikuwa na mpangaji mmoja aliyekuwa akiishi na familia yake.
Pia katika nyumba hiyo iliyokuwa na mabanda ya uani, waliishi wapangaji ambao hawakuwa na wake wala waume.
Kati yao walikuwepo wasichana wazuri wenye maumbile ya kupigiwa methali, ambao wengi wao hawakuwa na shughuli maalumu za kuwapatia kipato.
Baba na mama mwenye nyumba nao walikuwa wakiishi ndani ya nyumba hiyohiyo.
Siku ya kwanza Eddy alipokuwa akihamia hakuwa na vitu vingi zaidi ya kitanda kidogo, kabati la nguo na vikombe sita vya chai.
Pia alikuwa na sahani mbili za chakula na jiko moja la Mchina. Kijana huyo aliamua kuanza maisha hayo ya usela japokuwa wazazi wake walikuwa na uwezo mkubwa sana.
Baba na mama yake walimsihi sana kuendelea kukaa nao maeneo ya Kinondoni lakini wala hakutaka kusikiliza ushawishi huo.
Kikubwa alichokuwa akikitaka Eddy ni uhuru, kwani alijiona ameshakua mkubwa, hakutaka kufanya mambo ya uhuni ndani ya nyumba ya wazazi wake.
Mbali na hivyo wazazi wake walikuwa wakimdhibiti sana kijana wao kuingia katika maisha ya kupenda wanawake, hawakutaka ajiingize huko mapema.
Eddy alivumilia ucha Mungu wa wazazi wake kwa kipindi kirefu lakini alipomaliza shule tu hata kabla majibu ya kidato cha nne hayajatoka, akaamua kuhama.
Ushawishi huo aliupata kwa marafiki zake, Salim Raha na John Tupatupa ambao walikuwa na uhuru mkubwa wa kuingiza vyumbani mwao kila aina ya warembo.
Naye alitamani uhuru huo, akaamua kuwaaga wazazi wake na kuondoka katika nyumba ya familia.
Lakini kabla ya kuhama, mara kadhaa kijana huyo alikoswakoswa kunaswa na wazazi wake pale alipoingiza msichana chumbani kwake.
Siku ya kwanza alipoingia katika makazi mapya alikutana na Rehema, msichana wa Kizaramo aliyekuwa ameumbika vyema.
Eddy alishtuka kiasi hata Rehema mwenyewe kuhisi mgeni huyo alikuwa amepagawa kisawasawa. Siku hiyo mrembo huyo alikuwa akisugua miguu yake katika jiwe maalumu lililopo karibu na mlango wa kuingilia msalani.
Rehema alikua ametoka kuoga, akiwa amevaa kanga moja tu iliyokuwa imelowana na maji na kumfanya maungo yake ya ndani yaonekane.
Ndiyo, kanga ilikuwa imeshikana na mwili na kila Rehema alipokuwa akisugua kisigino chake, ndivyo alivyokuwa akimpagawisha Eddy kutokana na kuzalisha mtetemeko wa haja katika mlima aliokuwa ameufungashia nyuma ya mgongo wake.
Kijana huyo alibaki ameduwaa kwa kitambo kirefu akimwangalia Rehema huku akiwa ameshika sahani mikononi mwake lakini Rehema ndiyo kwanza akajifanya kama vile hakuwa amemuona.
Binti huyo akaendelea kufanya kile alichokuwa akikifanya, mara alishtuka aliposikia mlio wa vyombo vikipasuka.
Ndiyo, Eddy alikuwa ameziachia sahani alizokuwa amezishika mikononi mwake bila ya kutarajia.
Kufuatia mlio uliotokana na sahani kuvunjika, Rehema alimgeukia Eddy na kumuuliza kulikoni ndipo kijana huyo alimwambia zilimteleza kwa bahati mbaya.

“Vipi kaka…?” Rehema alimuuliza Eddy.
“Aaah, sahani zimeniteleza kwa bahati mbaya…”
“Pole sana…,” alisema Rehema na kisha kuendelea kusugua visigino vyake huku akitingisha wowowo lake katika staili ile ya hamsini hamsini mia.
“Majangaaa…!” Eddy alisema kwa sauti ya upole na kujilazimisha kuingia ndani ya chumba alichokuwa amepanga.
Kichwani mwake alikuwa akimfikiria Rehema, akawa anajiuliza kama anaweza kuachana na wanawake wote ili awe na huyo.
“Sasa hapa nitamletaje Amina, nitamletaje Anita?” alijiuliza na kuwa na wasiwasi na mwonekano wa Rehema kwa kuwa alikuwa akionekana kama ni mkorofi fulani hivi.
“Anaonekana mshari-mshari sana, sijui kama nitamuweza,” alizidi kufikiria Eddy na kujitupa katika kitanda kilichokuwa kimemaliziwa kufungwa muda mchache na watu waliofika kumsadia.
Ghafla akiwa hapo, alisikia sauti nyingine ya msichana ikimwita Rehema.
“Dada mkubwa… dada mkubwa…”
“Abee,” Rehema aliitikia kwa kuwa ni yeye ndiye aliyekuwa akifahamika kama dada mkubwa ndani ya nyumba hiyo iliyokuwa wakiishi wasichana wengi.
Wengi wao walikuwa wakimheshimu Rehema kutokana na umri wake na uzoefu wake katika masuala ya mapenzi, pia ndiye aliyekuwa mshauri mkuu wa kila jambo kwa mabinti wengine mtaani hapo.
“Njoo uone mambo huku…,” alisema msichana aliyekuwa akimwita Rehema.
“Kuna nini jamani?”
“Patra kafumaniwa huku…,” alisema msemaji huyo na miguu yake kusikika akitoka nje kwa mlango mkubwa wa upande wa barazani.
“Patra…!” alishangaa Rehema na kufanya binti yule kurudia kusema kwa msisitizo.
“Ndiye yeye kwani mtaani kuna Patra wangapi?”
Eddy alikuwa akitaka sana kumuona huyo binti mwingine ambaye alikuwa na sauti nzuri kama kinanda, akili yake ilimtuma kama angemuona angeweza kufanya uchaguzi bora kati ya Rehema na huyo binti.
Ingawaje moyoni Eddy alikuwa amekufa kwa Rehema lakini wasiwasi wake ulikuwa ni jinsi alivyokuwa amekaa kimtoto wa mjinimjini sana.
Hata hivyo hakuweza kutoka kumwangalia msichana aliyekuwa akimwita Rehema, hakutaka kuonekana kama vile ni mmbeya kwa kufuatilia mambo ya watu, akauchuna kwa kuendelea kulala kitandani pake huku akitafakari jinsi atakavyoendesha maisha yake katika makazi hayo mapya.
Mara miguu ya Rehema nayo ikapita katika chumba chake kwa kasi na kutoka nje kupitia mlango wa barazani.
“Daaa huyu mtoto mkali sana lakini…,” alijisemea moyoni Eddy.
****
Siku hiyo Eddy hakutoka nje, kwa kuwa ilikuwa ni jioni hakuona umuhimu wa kufanya hivyo, alikuwa ameshakula na hakujisikia kuoga. Akaamua kuendelea kulala.
Asubuhi siku ya pili, mapema sana Eddy alikuwa ni mtu wa kwanza kutoka nje, akakutana na baba mwenye nyumba na kusalimiana naye.
“Za asubuhi baba?”
“Nzuri tu, umeamkaje?
“Sijambo, shikamoo.”
“Marhaba… tena afadhali umewahi kwenda kuoga ukichelewa hapa… utajuta,” baba mwenye nyumba alisema na kumpongeza Eddy aliyebaki na maswali kibao baada ya kusikia kauli hiyo.
Huku akishindwa kupata jibu, Eddy moja kwa moja akaingia msalani na kumaliza haja zake muhimu na kisha kuelekea bafuni.
Lilikuwa ni bafu la kiswazi ambalo ungeweza kuchungulia na kumuona mtu wa nje kwa kupitia pachipachi za mlango na sehemu za kidirisha kidogo.
Akaanza kujimwagia maji. Hazikuchukua hata dakika tano akasikia milango ikigongana, akaacha kujimwagia maji na kuchungulia nje.
Walikuwa ni wasichana watatu, mmoja alikuwa ni mrefu na mwembamba lakini pamoja na wembemba wake, alikuwa amejengeka vyema katika kiuno kwani alikuwa amekatika na kuwa na kiuno kama cha nyigu.
Mwingine alikuwa ni mnene, mfupi kiasi lakini alikuwa na mvuto wake kutokana na rangi ya mwili wake ambayo ilikuwa iking’aa kwa weusi wake.
Wa tatu alikuwa ni msichana mrefu na mnene ambaye kwa harakaharaka Eddy aliweza kumbaini kuwa ni yule aliyekuwa akimwita Rehema jana yake na kumwambia kwamba Patra kafumaniwa.
Wote watatu walikuwa wakigombania kuingia msalani lakini kwa kuwa yule msichana mrefu na mnene alikuwa na nguvu zaidi yao, akawawahi na kwenda kuingia msalani.
Alipofanikiwa kuingia msalani, wala hakuchelewa kwa kuwa alikuwa amevaa khanga, aliweza kujiachia na kuanza kumwaga haja ndogo kama kuachia bomba la maji huku akisema maneno ya kuwananga wenzake aliokuwa amewashinda.
Kujiachia kwake bomba la maji litiririke bila ya mpangilio, Eddy akajua kuwa huyo binti hakuwa amepata mafunzo ya kutosha.
Eddy alikumbuka siku moja aliwahi kuambiwa na jimama moja kwamba anayekwenda haja ndogo kwa staha ni yule anayejua kujibana na kujiachia taratibu bila ya kusikika sauti kama vile mbwa au ng’ombe.
Hata hivyo, Eddy alikuwa amempenda msichana huyo, ingawaje moyo wake ulikuwa pia umedondokea kwa Rehema. Akawa anasisimka kwa jinsi alivyokuwa akiiachia bomba lake kwa fujo.
“Daaa! Huyu naye sijui ni mtoto wa mwenye nyumba?” alijiuliza.
Hadi alipokuwa akitoka, Eddy aliendelea kumwangalia kupita upenyo, badala ya huyo wakaendelea wasichana wengine waliokuwa wakigombea naye kuingia msalani.
Baada ya hapo, wakafuatia wengine wengi ambao kwa jumla yao wangeweza hata kufikia timu ya mpira wa miguu.
Eddy alishangaa wote hao walikuwa wakiishi vipi katika nyumba hiyo, kama vile haitoshi akajiuliza mbona jana yake wakati alipokuwa akifika, hakuwaona.
“Majangaaa, jamani mbona Majangaaa!,” alisema Eddy kimoyomoyo wakati alipotoka nje na kukutana na wasichana hao kibao wakiwa wamejipanga uwani kwa ajili ya kwenda kuoga.
“Samahani kaka naomba sabuni…” alisema yule msichana wa kwanza aliyewawahi wenzake kwenda msalani akimwambia Eddy.
“Bila wasiwasi,” Eddy alisema na kumkabidhi binti huyo sabuni yake ya kuogea.
“Daa! Unaanza kujipendekeza kwa mgeni,” alisema msichana mwingine na kuwafanya wengine nao waongeze maneno yao kedekede ambayo hata hivyo binti yule hakuyajali.
 Baada ya muda binti yule alitoka bafuni na kwenda moja kwa moja kumrudishia Eddy sabuni yake, alipofika usawa wa chumba cha kijana huyo, Irene alikuwa na kusudio moja tu, kutaka kumshawishi ili awe wake hata kabla msichana yeyote anayeishi ndani ya nyumba hiyo hajamnasa.
Alitaka kutumia ushawishi wake kumnasa mwanaume huyo ambaye alikuwa amemvutia kutokana na urefu wake na umbile lake la kimazoezi.
Aliamini kabisa kwamba yeye ndiye aliyekuwa akiendana na mwanaume huyo tofauti na msichana mwingine aliyepanga pamoja na watoto wa baba mwenye nyumba. 
Tangu akiwa anamuomba sabuni, msichana huyo alikuwa ameshajua jinsi alivyoutega mtego wake wa kumnasa kijana huyo.
Alitoka msalani akiwa amevaa kanga moja iliyokuwa ameilowanisha maji na kujaribu kujitingisha kwa mwendo wake wa madaha, moja kwa moja akawapita wasichana wengine waliokuwa wakigombea nafasi ya kwenda kuoga baada ya yeye kutoka.
Alitembea kwa mwendo huo uliojaa uchokozi na kisha kuusogelea mlango wa chumba cha Eddy, bila ya kubisha hodi akaufungua kidogo na kuchungulia, wakati huo macho yake alikuwa ameyaachia kwa kuyalegeza na kuyafanya kama yatake kudondoka.
“Kaka samahani sabuni yako hii…” alisema akiwa ameuingiza uso wake ndani ya chumba cha Eddy aliyekuwa akivaa kwa ajili ya kujiandaa kutoka.
Eddy alishtuka na kumfanya binti huyo naye kujidai kumuomba radhi kwa kitendo alichokuwa amekifanya lakini wakati akifanya hivyo, tayari mwili wake wote ulishakuwa ndani ya chumba cha kijana huyo.
“Naitwa Irene…” alisema huku akionekana kukikagua chumba kile kama vile alikuwa ametumwa kwa ajili ya kufanya kazi ya ukaguzi.
Eddy alikohoa kidogo kutoa kikohozi kikavu kisha akamjibu:
“Miye naitwa Eddy au Eddyson Manyara,” wakati huo kijana huyo alikuwa akichomekea shati lake.
“Oooh oooh jina zuri sana… naona ndiyo unaanza maisha?” alisema Irene akiwa anamwangalia Eddy baada ya kukagua chumba hicho na kukiona kila kilichokuwemo ndani yake.
“Eeehe, nimeamua kuondoka kwa wazazi na kuishi peke yangu ili kujipanga zaidi,” Eddy alisema kwa aibu.
“Kwa hiyo umekuja kwa walimu tukufunze maisha?”
“Sijakuelewa…?” alihoji Eddy.
“ Siku zote Waswahili husema anayeshindwa na wazazi hufunzwa na walimwengu, siye ndiyo walimwengu wenyewe… karibu sana na jisikie kama uko nyumbani kwa wazazi wako.”
“Aaah aaah…” Eddy alicheka na kuendelea kuvaa shati lake tayari kwa kutoka nje ya chumba chake na kwenda kwenye mihangaiko yake.
“Unafanya kazi?” Irene alimuuliza Eddy.
“Yaa, nafanya kazi…” 
“Sawasawa karibu sana…” alisema Irene huku akifungua mlango na kutoka nje kwa madaha, akijitahidi kuutingisha mwili wake.
Wakati Irene akitoa mguu wake nje ya chumba hicho ghafla alipoinua uso wake kuangalia mbele akakutana uso kwa uso na Rehema akiwa anapita kwa ajili ya kwenda uwani.
Rehema hakuonekana kumchangamkia Irene ambaye ndiyo kwanza walikuwa wakionana tangu kulipopambazuka siku hiyo.
“Za asubuhi dada?” alisema Irene kumwamkia Rehema kwa haraka huku akichekacheka lakini salamu yake haikuitikiwa, akabaki ameduwaa.
Rehema alimpiga jicho kali Irene kwa kumshusha na kumpandisha kisha akaenda zake uwani hali iliyomfanya Irene kufadhaika, moja kwa moja akajua kuwa ameingia kwenye vita na malkia wa nyumba hiyo.
Irene alijaribu kufikiria ni nini kimetokea kati yake na Rehema lakini hakuambua kitu. Alifikiria labda jana yake alikuwa amemkosea, pia hakukumbuka kutokea kitu kama hicho.
“Hivi huyu brother men anaweza kuwa chanzo?” alijiuliza akimfikiria Eddy.

Irene akiwa katika mawazo hayo akasema kama kweli chanzo ni huyo kijana, basi atahakikisha kwamba anakula naye sahani moja ili kuzidi kumvimbisha mashavu Rehema.
“Malkia malkia… wala sitajali kama ni malkia wa nini, watu tumewaona mamalkia wa maana atakuwa yeye malkia wa vichochoroni,” alisema Irene na kisha akaachia msonyo wa nguvu uliosikika hadi nyumba ya pili.
Wakati huo alikuwa ameshaingia chumbani kwake na kuanza kujikwatua kwa kuupara uso wake kwa mapambo ya kila aina ambayo yalipaswa kuingia usoni pake.
Wakati akiendelea kujipamba kila dakika ilivyokatika ndivyo alivyokuwa akikikumbuka kitendo alichofanyiwa na Rehema.
Alikasirika sana kuona anamsalimia halafu anamvimbishia mashavu bila ya kujua sababu, kila alivyokumbuka kitendo hicho aliachia msonyo na kuendelea na shughuli zake.
“Asubuhi asubuhi mtu anakuharibia siku,” alijisemea peke yake Irene wakati akijiangalia kwenye kioo kisha akaachia msonyo mwingine.
****
Kwa upande wake, Rehema roho yake ilikuwa imemchafuka, ikimchonyota kwa kumuona Irene akitoka chumbani kwa Eddy, moja kwa moja akajua kuwa wawili hao watakuwa wamelimenya tunda la mwituni asubuhiasubuhi.
“Haiwezekani lazima watakuwa wamepeana kile kitu roho inapenda, iweje atoke chumbani kwake asubuhi yote hii?” alijihoji na kukosa jibu la uhakika.
Rehema alikuwa amechukia kwelikweli na moyo wake ulimuuma kwa kuona kwamba Irene anaanza kuwa na uhusiano na mwanamme huyo mgeni kabla yake.
“Atakuwa ameingia asubuhi ileile au atakuwa amelala chumbani kwake?” alijiuliza tena Rehema huku donge likiwa limemnasa rohoni mwake.
“Yaani atakuwa ameshanizidi kete?” aliwaza Rehema ambaye aliamini kabisa kwamba mitego aliyomtega Eddy siku ya kwanza ilikuwa ni lazima amnase kwanza kabla ya kinyangaratika kingine ndani ya nyumba yao.
****
Kwa upande wake Eddy ambaye alitoka baada ya kujipulizia utuli uliouteka ukumbi wa nyumba hiyo, alikwenda moja kwa moja kwenye shughuli zake kubaingiza, kwa kuwa bado hakuwa na kazi ya kufanya.
Alikuwa akifanya kazi yoyote ambayo aliamini kuwa ingeweza kumwingizia kipato.
Siku hiyo alikwenda moja kwa moja hadi kijiweni kwake maeneo ya Kariakoo ambako vijana wengi hukutana na kuuza maneno kwa watu wengine ili wapate chochote kitu.
Moyoni mwake Eddy hakuwa salama hata kidogo, kwa kuwa vitendo viwili vilikuwa vikimchanganya akili yake kwani moyo wake ulikuwa ukiripuka kila alipokuwa akikumbuka jinsi alivyomuona Rehema akisugua kisigino chake ilhali amevaa khanga moja iliyokuwa imelowana sehemu za makalioni.
Moyo ukitulia unaripuka tena kwa kitendo cha Irene kuingia chumbani kwake akiwa na khanga moja ambayo nayo ikiwa imelowana, Eddy alivuta taswira za mabinti hao wawili na kubaki akiwa hana la kufanya.
“Kila mmoja ana uzuri wake…” Eddy aliambia nafsi yake na kubaki na dukuduku moyoni mwake. Mpaka wakati huo hakuwa akijua kama amesababisha songombingo kati ya wasichana wawili hao.
Hilo hakulijua kwa kuwa hakuliona wakati likitokea, kwa sababu alikuwa chumbani kwake, laiti kama angeliona angejua cha kufanya, asingekuwa na budi kuchagua upande mmoja.
Lakini moyo wa Eddy ni kama wa wanaume wengine, haukulidhika na mmoja, unataka kumi na moja kwa kutaka kuonja kila sehemu ili kujua radha yake.
Eddy alikuwa akitaka kujua utamu wa Rehema lakini pia alikuwa akitaka kujua utamu wa Irene kwa kuwa damu yake ilikuwa ikichemka, kikubwa alikuwa akijiuliza itawezekanaje ndani ya nyumba moja!
Hilo ndilo lililokuwa likimitia mashaka, vinginevyo alikuwa akiwataka mpaka wengine waliokuwa wakiishi ndani ya nyumba ile kwani aliamini kuwa kila mti una tunda lake na kila tunda lina utamu wake.
Eddy alikwenda mjini na kuzugazuga kwa jamaa zake maeneo ya Shule ya Uhuru Karikooo, huko alikutana na marafiki zake Spider au Raha na John Tupatupa na kuongea nao kile kilichomkuta katika nyumba ile aliyohamia.
“Hapo lazima ucheze kama Pele lakini kwa jinsi unavyonihadithia kitu hapo ni Rehema…” alisema Raha.
“Mmmh mwana usipepese macho wala kuuma meno, hapo kitu ni Irene…” aliongeza John Tupatupa ambaye alimlaumu Eddy kwa nini hakumaliza mchezo wakati mzigo ulipoingia chumbani.
“Washikaji sasa mnanichanganya… niacheni nitumie akili yangu,” Eddy aliwaambia baada ya kuona kila mmoja akiwa na mtazamo wake kuhusiana na mabinti hao.
****
Rehema hakuwa ameridhika, alipofika uwani alipishwa kwenda msalani na mabinti waliokuwa katika foleni kwa kuwa yeye ni malkia wa nyumba hiyo.
Akaoga na kumaliza haja zake muhimu, kama kawaida alipotoka alisugua miguu yake huku akiwa na hamu ya kutaka kujua Irene aliingiaje chumbani kwa Eddy.
Alipomaliza shughuli zake akamchukua mmoja wa mabinti waliokuwa wakisubiri kwenda kuoga na kumwambia amfuate chumbani kwake.
Binti akajua labda ametafutiwa mtu wa kuduu naye, akawa na wasiwasi wakati alipokuwa akiambiwa kuingia chumbani kwa malkia.
“Usiogope kaa hapo kwenye sofa…” alisema na binti akiwa na wasiwasi akaketi.
“Ulimuona Irene leo?”
“Ndi… ndi- yoooo, nilimuona dada…”
“Ulimuona wakati gani?”
“Alipokuwa akitoka kuoga…”
“Hukumuona alipoingia chumbani kwa yule mgeni…?”
“Wala sikumuona lakini kama aliingia atakuwa alikwenda kumrudishia sabuni yake…”
“Kwani alichukua sabuni kwake?”
“Eeeh wakati akiwa anatoka kuoga yule mkaka, dada Irene akamuomba sabuni ya kuogea…” alisema binti yule na kuifanya roho ya Rehema kuanza kupona kidonda cha wivu kilichokuwa kikimkereketa.
“Oke nenda, usimwambie yeyote nilichokuuliza.”
“Sawa.”
Baada ya binti yule kutoka nje, Rehema alifurahi sana, akajua kuwa Irene hakuwa ameambulia kitu. Akafurahi na kujitupa kitandani na kukumbatia mito.

Baada ya muda kidogo Kijana Eddy alirudi kutoka kwenye mihangaiko yake
koridoni alikutana na Baba mwenye nyumba na kuanza kusalimiana,,,,,wakati wanaendelea kuongea umbe rehema alisikia na kutoka nje wakati huo Baba mwenye nyumba alikuwa ameshaingia chumbani kwake
“rehema alipomuona eddy akaaanza kutembea kwa madoido
Kisha akajitingisha mwili wake kuonesha kwamba alikuwa mpana na kuifanya khanga aliyoivaa kutikisika kutokana na mtikisiko uliosababishwa na ‘boksi’ lake lililokuwa limetanuka kisawasawa nyuma ya mgongo wake.
Wakati Eddy alipokuwa akikaribia kumfikia akajikohoza ili kuweka sauti yake katika ile hali aliyokuwa akiitaka yeye.
Alikuwa amedhamiria kutoa sauti ile yenye mvuto ambayo ingeweza hata kumtoa nyoka pangoni.

“Mambo?”
“Powa,” alijibu Eddy akiwa ameshtushwa sambamba na kupigwa na mshangao kutokana na bashasha alizokuwa ameoneshwa na Rehema.
“Pole na mihangaiko…” Rehema alimwambia tena Eddy aliyekuwa bado akili yake haijakaa sawasawa kujua ni kitu gani kilichokuwa kikiendelea.
“Asa… Asante,” alijibu bila ya kujiamini.
Muda wote huo Rehema alikuwa akiitumia siraha yake ya macho, pamoja na kwamba giza lilikuwa limeshaanza kuingia lakini machao yake makubwa na meupe ‘pee’ yalikuwa yaking’aa kama nyota ang’avu.
Ghafla, Rehema akalipokea gazeti lililokuwa limeshikwa na Eddy, wakati kijana huyo akiendelea kushangazwa na ukarimu huo, alijikuta akishikwa mkono na kukaribishwa ndani.
Baada ya kufika ukumbini, moja kwa moja Rehema ambaye alikuwa ametangulia mbele, akabadilisha mwendo, akawa anatembea kwa kulitingisha boksi lake kama vile alikuwa akitaka kuliangusha.
Mbaya zaidi kuna wakati alikuwa akisimama ghafla na kumgusa Eddy kwa makalio yake na kumchanganya.
Eddy alikuwa kama nyoka wa kibisa hakuwa na sumu kabisaaa, makali yake yote yalikuwa yamekwisha na ujanja wake ulikuwa umetiwa mfukoni kwani kama ni shambulio basi lilikuwa la ghafla sana kumkumba, hivyo hakulitegemea.
Hakuweza kujihami kwa njia yoyote ile, alibaki akipelekwa kama gari bovu lililokuwa limekatika breki.
Bila ya kutarajia akajikuta akiingizwa chumbani kwa Rehema badala ya kuelekea chumbani kwake.
“Karibu…” alisema Rehema kwa sauti laini ya kuweza kumpagawisha mwanaume yeyote rijali.
Eddy hakuamini kile alichokiona chumbani humo, kilikuwa chumba kikubwa kilichokuwa katika mwanga hafifu wa rangi nyekundu na kumfanya ashindwe kukiona kila kitu katika uhalisia wake.
Alijaribu kuzungusha macho yake ndani ya chumba hicho kila pembe, alipomaliza akaanza kumwangalia mwanamke huyo ingawaje kwa kumwibia.
Eddy mbele yake kila kitu kilikuwa kizuri, alivutiwa na kila kitu, alivutiwa na macho ya Rehema yaliyokuwa yaking’aa, alivutiwa na rangi ya mwanamke huyo, akavutiwa na umbile lake.
Eddy alishangazwa na uzuri wa Rehema ambaye kwa wakati huo aliuona uzuri wake ulikuwa umezidi maradufu ya siku alipomuona kwa mara ya kwanza mchana.
“Karibu sana….” sauti laini iliyakatisha mawazo ya Eddy na kuyafanya arejee chumbani humo.
Pamoja na usiku huo kutaliwa na kibaridi cha haja lakini kijasho chembamba kilianza kumtoka nyuma ya mgongo wake kutokana na uti wa mgongo wake kupatwa na mshtuko.
“Utakunywa nini…?” Wakati Rehema akiuliza swali hilo tayari alikuwa ameshafika kwenye kochi alilokuwa amekaa Eddy na kuinama kwa heshima akiwa amepiga magoti akimwangalia kwa macho yake makali ambayo yalikuwa na uwezo wa kuyaona hata mapigo ya moyo ya mwanaume huyo yalivyokuwa yakienda kwa kasi.
“Nitakunywa chochote…” alisema Eddy akiwa amejiinua kidogo katika kochi na kisha kujirudisha tena chini.
“Usijali, nitakupa juisi ya ndimu…” alisema Rehema na kusimama kisha akainuka na kukifuata kijokofu kidogo kilichokuwa katika kona ya chumba hicho.
Pamoja na utoto wake wa mjini, Eddy hakujua kama duniani kulikuwa na juisi ya ndimu, hakuamini alipoambiwa kwamba analetewa juisi hiyo.
Kama kawa Rehema hakuacha kulitingisha boski lake pale alipokuwa akimpa mgongo kijana huyo na kufuata kile alichokuwa akikifuata, hali iliyokuwa ikimweka katika wakati mgumu sana Eddy.
***
Awali ‘paka’ wa Eddy alikuwa akishindwa ‘kulia nyau’ lakini kadiri muda ulivyokuwa ukisonga mbele ndivyo alivyoyazoea mazingira na paka wake akaanza kututumka na kuvimba huku akilia nyau baada ya kuona kwamba kulikuwa na kila dalili za kula ‘samaki’.
Rehema alirudi na juisi iliyokuwa ndani ya glasi, ambayo hakutaka kuiweka juu ya stuli wala hakutaka kuiweka juu ya meza iliyokuwa hatua chache kutoka alipokuwa amekaa Eddy.
Akakaa katika kochi sehemu ya kuwekea mikono na kuishika vyema glasi hiyo na kuipeleka kinywani kwa kijana huyo.
Eddy hakuwa na ujanja, akaachia mhemo wa nguvu na kisha akatanua kinywa chake na kuipokea juisi hiyo na akanywa funda moja.
Hakutegemea utamu wa juisi hiyo, akiwa anatafakari akapewa tena, naye hakijivunga akapiga funda lingine, hakutarajia kuipata radha aliyoipata, ilikuwa ni juisi nzuri iliyochangamsha mdomo na mwili wake kwa jumla.
Hali iliendelea hivyo mpaka juisi ilipoisha, mpaka hapo akawa ameshaelewa kwamba alikuwa ametekwa kimapenzi na Rehema.
Akajiuliza maswali mengi, hakuamini kama alistahili kufanyiwa yote aliyokuwa akifanyiwa lakini hakuwa na budi kukubali kila alichokuwa akifanyiwa na binti huyo mwenye umbile matata.
“Unaitwa nani vile…?” Rehema alijifanya hamjui vyema Eddy.
“Eddy… Eddy Manyara… mtoto wa pili kwa mzee Manyara…” kijana huyo alijikuta akishusha historia yake kwa ufupi. Kutokana na hali aliyokuwa nayo angeweza kusema kila kitu alichokifanya alikuwa amepagwa na mambo machache aliyokuwa amefanyiwa kwa muda mchache.
Eddy akaamini yale yote aliyokuwa akiyasikia mitaani kwamba wanawake wa Kitanga ni noma katika mahaba, akajua amepatikana ingawaje hakuwa akijua Rehema ni kabila gani.
***
Wakati yote hayo yakitendeka Irene alikuwa amelala chumbani mwake fikra zake zikipanga mikakati ya kumnasa Eddy ili kumdhihirishia Rehema kwamba yeye ni kiboko yake .
Akiwa amejilaza kitandani, ghafla mlango wake ulifunguliwa, akaingia mdogo wake aitwaye Patricia akionekana kama kuwa na ujumbe mahususi kwa ajili yake.
“Vipi?”
“Dada nimekuja…”
“Kwa heri au kwa shari…”
“Kwa kweli sijui kama ni kwa heri au kwa shari.”
“Kwa nini?”
“Nataka nikwambie kitu cha ajabu nilichokiona…”
“Kitu gani?”
“Ni kuhusu dada Rehema na yule mgeni wa chumba…” Patricia aliposema hivyo tu, kwa kasi ya ajabu Irene aliinuka kutoka katika kitanda na kujikuta amekaa katika tendegu la kitanda.

“Wamefanya nini?”
“Tulia nikupe habari…” alisema Patricia baada ya kugundua dada yake ameshtushwa na kauli yake kuhusu Eddy na Rehema.
“Wamefanya nini?”
Patricia akaanza kumpa mkanda mzima, kwanza alianza kumwambia eneo alilokuwa amekaa.
“Nilikuwa nimekaa nyumba ya jirani pamoja na akina Edna, Jack na Amina…” alianza kuhadithia Patricia.
Kisha Patricia akamwambia dada yake jinsi Eddy alivyopokelewa na Rehema kisha akamwambia kwamba na wenzake wakaamua kuufuatilia mchezo mzima ulivyokuwa ukiendelea.
Kama vile haitoshi akasema wenzake walivyoshindwa kuendelea, yeye alifuatilia na kushuhudia vituko vyote alivyokuwa akifanyiwa Eddy na Rehema hadi akashuhudia wawili hao walipokuwa wakiingia katika chumba cha Rehema.
Hivyo, akatumia fursa hiyo kumwabarisha dada yake kila kitu alichokishuhudia.
“Unasema kweli?”
“Kweli dada…”
“Haiwezekani…” alisema Irene na kuinuka, akachukua khanga yake na kujifunga kiunoni na kutoka chumbani humo kama mshale huku Patricia au Pat akimfuata kwa nyuma.
“Unaenda wapi dada?” Pat alimuuliza.
“Nifuate huku…” alisema Irene huku akielekea upande wa uwani, kitu ambacho kilimshangaza Pat kwa kuwa alijua dada yake angeweza kwenda kugonga mlango wa Rehema na kumuulizia kama Eddy alikuwa chumbani humo.
Moja kwa moja Irene alitokea uwani, Pat hakuwa na budi kumfuata, Irene alipofika uwani akakata kulia na baada ya mwendo mbele kidogo akakata tena kulia, akawa analifuata dirisha la Rehema.
Hapo ndipo Pat alipofunguka kimawazo kwa kujua kuwa dada yake alikuwa akienda kuchungulia dirishani ili kuthibitisha kama kweli yule mgeni alikuwa mle chumbani.
Baada ya kuhisi hivyo, Pat alipunguza mwendo kwa kuamini kuwa dada yake atashuhudia mwenyewe kile alichomwambia, alihisi dada yake hakuwa akiamini maneno ya kuambiwa bali alikuwa akitaka kushuhudia mwenyewe.
Wakati Pat akiwaza hivyo, Irene alishachukua kijiti kilichokuwa pembeni na kuanza kupekenyua dirisha la Rehema kwa kulisogeza pazia pembeni, akaruhusu mboni zake zipenye na kuchungulia ndani.
“Ah!” aliachia mshtuko mdogo baada ya kushuhudia kile kilichokuwa kikiendelea ndani. Aliwaona kwa macho yake Rehema na Eddy wakiwa katika mazingira tata.
Eddy alikuwa amekaa kwenye kochi, Rehema alikuwa ameinama mbele yake akiwa amepiga magoti, hilo halikumshtua Irene bali alishangazwa na kitendo kile kilichokuwa kikiendelea kati ya wawili hao.
Mbali na Rehema kupiga magoti mbele ya Eddy lakini kitendo kilichokuwa kikiendelea ndicho kilichomshtua na kumfanya mapigo yake ya moyo yaongeze kasi, Rehema hakuwa ameinama bure bali alikuwa akiumenya ‘mua’ wa Eddy kwa mdomo.
Irene akaganda pale dirishani akitumbua macho kama mjusi aliyebanwa na mlango huku akimshuhudia mwenzake alivyokuwa akionesha ufundi wa kuumenya mua kwa mdomo.
Akiwa dirishani, mate yakamjaa mdomoni akayameza funda moja kama mtu aliyekuwa akitafuta kitu cha kufanya lakini hakuweza kufanya chochote, ndani ya nafsi yake akakiri kwamba anatakiwa kujipanga vyema ili kushindana na Rehema.
Alikiri uwezo wa mwanamke mwenzake huyo ulikuwa mkubwa katika kumpagawisha mwanaume baada ya kushuhudia tukio lile, wakati Irene akiendelea kuchungulia, Pat naye akapiga hatua kumfuata pale dirishani.
Irene alihamisha macho na kumwangalia kisha akamuonya kwa ishara ya kuweka kidole cha shahada mdomoni mwake akimtaka kuchukua tahadhari kutokana na hatua zake ili asipige kelele.

IRENE aliporudisha macho kuangalia chumbani akakuta zoezi limebadilika, safari hii ilikuwa ni zamu ya Eddy kufanya kitendo kile alichokuwa akikifanya Irene.
Kijana huyo alikuwa amempisha Rehema kwenye kochi na msichana huyo akaulaza mgongo wake kwenye kochi hilo na kuachia vimbwanga vyake vyote hadharani.
Eddy alikuwa amepiga magoti mbele yake na kufanya kama alivyokuwa akifanya Rehema, alikuwa anakula kitu roho inapenda, ulimi wake ulikuwa ukifanya kazi ya kupita na kusafisha kila pembe ya kile kitu ambacho kilimfanya Rehema apewe jina la Rehema na katu si jina la jinsi nyingine.
Ulimi wa Eddy ulikuwa kama una ufagio wenye msasa ambao ulikuwa ukipita kila kona na kusafisha uchafu wa aina zote.
Hali hiyo ilimfanya Rehema kuanza kulalamika kwa kupiga kelele ambazo zilimfanya Irene kusisimka na kutaka kujua hisia za Rehema.
Alitamani katika nafasi ile angekuwa yeye ili aweze kuona kile kilichokuwa kikimfanya alalamike kwa kupiga kelele.
Mbali na Irene, kelele zile pia zilimsisimua Pat ambaye kwa wakati huo alikuwa akishuhudia vitu adimu katika maisha yake.
Kitendo hicho hakikuwa kipya kwa Irene ambaye alikuwa ameshawahi kukisikia kwa watu ingawaje hakuwahi kuona kikifanyika.
Msichana huyo alishawahi kusikia baadhi ya wasichana wenzake wakizungumzia jambo hilo. Siku moja akiwa na wasichana hao walikuwa wakipiga stori zao za chumbani.
Kila msichana alikuwa akieleza uzoefu wake jinsi alivyokutana na mwenza wake na kumfikisha pale kwenye kilele cha mlima mrefu kuliko yote Afrika kama siyo duniani.
Hapo, ndipo Irene aliposikia kwamba kuna kitu kama hicho ambacho kila mmoja alikiita kwa jina lake, mmoja wa marafiki zake alikibatiza kwa jina la ‘special menu’.
“Yaani ukiliwa special menu unaweza kupagawa na kuwa mwendawazimu…” alisema rafiki huyo kumwambia Irene ambaye hakuwa akielewa vyema maana ya kitu hicho.
Hata alipoeleweshwa hakuamini kama kilikuwa kikiwezekana kwa kuwa ilikuwa ni vigumu kwake kuweza kumwachia mtu wa jinsi nyingine aingie kwenye himaya yake na kufanya kitu kama kile.
Siyo kitendo hicho tu, Irene wa kipindi hicho alikuwa hawezi hata kumwachia mwanaume aiangalie ikulu yake, nini kuila kama peremende.
Hivyo siku hiyo ndiyo ilikuwa mara yake ya kwanza kuona special menu ikiliwa.
Kwa upande wake Pat, hakuwa amesikia popote kama kulikuwa na kitu kama hicho, alikuwa mchanga sana katika fani ya mahaba. Ndiyo kwanza alikuwa akipevuka na kutaka kuingia katika dunia hiyo.
Mbali na kutojua kitu hicho kwa siku hiyo, alikuwa akishuhudia kwa mara ya kwanza kwa macho yake. Pat alishangaa sana na kujiuliza maswali mengi ambayo kichwa chake kilishindwa kuyajibu.
“Anamuuma?” alijiuliza.
“Anamla…?” lilikuwa swali lingine tena ambalo nalo halikupata jibu.
***
Ghafla mchezo ulibadilika tena na kuingia kwenye hatua nyingine, hali hiyo iliwapa wakati mgumu sana Irene na mdogo wake Pat.
Kwanza Irene alishangazwa na ‘chachandu’ za Rehema ambazo zilikuwa zimefunika sehemu kubwa ya mwili wake.
Yeye hakuwa nayo hata moja, hapohapo aliapa kwamba lazima kabla jua la kesho yake halizajama aende Kariakoo na kutafuta zake.
Hakutaka mjadala katika hilo, aliamini kuwa amejifunza kitu na kwa kuwa alishaamua kuingia katika vita na Rehema, basi hakuwa na budi kujipanga ili kumkabili adui kwa nguvu zote.
Roho ilimuuma sana Irene, alitamani kulisimamisha pambano hilo lakini hakuwa na uwezo huo, ilimbidi kuangalia pambano hilo huku roho ikimuuma.
Rehema na Eddy wakaingia kwenye hatua nyingine ya kusaula viwalo vyao katika maungo na kuingia uwanjani kusakata kabumbu, hata hivyo uwanja uliotumika haukuwa ule wa kawaida.
Rehema na Eddy walikuwa wameamua kupiga shoo kwenye uwanja wa chandimu, hawakutaka kuingia kwenye dimba kubwa, waliamua kucheza gemu hilo kwenye uwanja mdogo wa fundi seremala yaani kwenye kochi huku wakiliacha dimba kubwa katika hali ya usalama.
Rehema na Eddy ni kama vile walikuwa wamepaniana, kila mmoja kama alikuwa akitaka kumuonesha mwenzake ufundi wa jinsi anavyojua kusakata kabumbu.
Nini kiliendelea? Usikonde mtu wangu

MAJANGAAA MBONA MAJANGAAA ! – 2

Image result for walter photography

Chombezo : Majangaaa Mbona Majangaaa !
Sehemu Ya Pili (2)

Rehema na Eddy wakaingia kwenye hatua nyingine ya kusaula viwalo vyao katika maungo na kuingia uwanjani kusakata kabumbu. Hata hivyo, uwanja uliotumika haukuwa ule wa kawaida.
Rehema na Eddy walikuwa wameamua kupiga shoo kwenye uwanja wa chandimu, hawakutaka kuingia kwenye dimba kubwa, waliamua kucheza gemu hilo kwenye uwanja mdogo wa fundi seremala yaani kwenye kochi huku wakiliacha dimba kubwa katika hali ya usalama.

Rehema na Eddy ni kama vile walikuwa wamepaniana kila mmoja alitaka kumuonesha mwenzake ufundi wa jinsi anavyojua kusakata kabumbu

Kukamiana huku kuliwafanya kuhangaika na kubadili mitindo ndani ya muda mchache hali iliyowashangaza sana watazamaji ambao hawakuwa rasmi, Irene na Pat.
Safari hii walikuwa wakipiga shoo kwa mtindo maarufu uitwao Funika Kombe Mwanaharamu Apite, kweli ilikuwa ni balaa ndani ya balaa kwani kila mmoja alikuwa akihemea juu kwa kwa juu.
Jasho lilikuwa likiwavuja pamoja na hali ya hewa kuwa tulivu huku upepo mwanana ukivujisha hewa iliyojaa ubaridi mithili ya kiyoyozi.
Kama vile haitoshi pangaboi lililokuwa chumbani kwa Rehema lilikuwa likifanya kazi kwa namba ndogo lakini iliyotosha kutawanya hewa ndani ya chumba hicho.
Waliendelea ‘kuseguasegua’ kwa mtindo wa Funika Kombe ambao kwa hakika ilikuwa ni vigumu kujua kama walikuwa wakila ‘wali kwa kuku’ au walikuwa wanakula ‘ugali kwa bata’ kutokana na mchezo wenyewe uliowalazimisha wawili hao kutazama upande mmoja.
Wote walikuwa wamekaa katika mwelekeo mmoja huku kila mmoja akiwajibika kwa kuonesha ufundi wake kutokana na mtindo huo. Irene alivuta pumzi ndefu kisha akazishusha kwa nguvu, hata hivyo wahusika hawakuweza kuzisikia.
Msichana huyo alikuwa amepagawa kutokana na shoo iliyokuwa ikipigwa na Eddy na Rehema, pamoja na kwamba alikuwa nje ya mchezo lakini alijikuta akichafua ‘kufuli’ yake.
Ghafla, akiwa katika hali hiyo, kitu cha ajabu kikatokea, Pat alishindwa kuvumilia kutokana na kasi iliyokuwa ikioneshwa na wawili hao.
Msichana huyo akajikuta akipiga kelele ambayo iliwashtua Rehema na Eddy pamoja na Irene.
Hali hiyo iliwafanya Eddy na Rehema kusitisha shoo yao kwa kuwa sauti ile ilisikika karibu yao kabisa. Licha ya kushtuka, Irene kwa upande wake alifanya kitendo bila ya kuchelewa alichomoka kama mshale na kukimbilia uani.
Alipofika huko akaingia msalani ili kupoteza malengo kumhofia Rehema kama angetoka mle ndani asiweze kumuona wala kumhusisha na tukio alilolifanya Pat.
Pat naye baada ya kupagawa akazinduka na kuamua kutoka mbio kuondoka eneo lile. Hakuwa akijua ni wapi alipokuwa akikimbilia.
Baada ya Rehema na Eddy kusimamisha pambano lao wakawa wanajiuliza cha kufanya, wakasikilizia kama kelele ingejirudia tena lakini haikuwa hivyo.
Wakaangalia dirishani hawakumuona mtu, Rehema ambaye alikuwa kama nyota wa mchezo huo aliinuka na kuvuta vizuri pazia.
Mara alipomaliza kufanya hivyo akazima taa na kuachia bonge la msonyo huku akimlaani kwa maneno yote mabaya yule aliyeikatisha starehe yake.
Kwa kuwa hakuwa amefika katika kilele cha mlima, iliwabidi wavute tena hisia kwa ajili ya kufurahisha miili yao.
Akarudi pale alipokuwa amemuacha Eddy na kumtaka wahamie kwenye dimba kubwa ili waweze kuendelea na mchakato wa kukata kiu zao.
Huko wakawa na jukumu kubwa la kurudisha hisia zao zilizokuwa zimetibuliwa, kwa kuwa walikuwa wameshapoteza ari na morali, wakaanza upya kusaka hisia zao.
Kwanza iliwabidi kuondoa hisia kama vile kulikuwa na mtu aliyekuwa akiwapiga chabo, wakajipanga upya ili kuweza kumaliza ngwe waliyokuwa wamebakiza.
Bila ya kutarajia ndani ya dakika kumi wakasahau kilichotokea, wakawa hawakumbuki kama kuna mtu alikuwa akiwachungulia.
Wakawa bize na starehe yao, hatimaye wote kwa pamoja wakajikuta wakiongeza kasi ya viungo vyao kufanya kazi, jasho likawavuja, mihemo yao ikaongezeka.
Kilichofuata ‘itv’ ilikuwa ni kila mmoja kuanza kupiga kelele kivyakevyake, huku akilalamikia kule na mwingine naye akifanya hivyo kwa upande wake.
Mwishowe wote wakashindwa ‘kuikontroo’ miili yao, kwa pamoja wakaanza kutetemeka kama wamepigwa na shoti ya umeme.
Baada ya kumaliza ngwe hiyo, hisia za Rehema zikarudi katika kitendo kile kilichotokea, akataka kujua ni nani aliyemvurugia starehe yake.
Hasira zikarudi upya, akamwambia Eddy kwamba lazima atamkomesha aliyefanya kitendo kile.

Rehema akainuka na kutoka katika uwanja mkubwa wa fundi seremala, akawasha taa yenye mwanga hafifu na kuchukua kitaulo kidogo kilichokuwa pembeni, akaifuata chupa ya chai na kuifungua.
Ndani ya chupa hiyo kulikuwa na maji ya uvuguvugu, Rehema akayamimina kwenye kitaulo kile, kisha akamfuata Eddy pale alipokuwa amelala kwa uchovu na kuanza kumfuta ‘mzee’ wake.
Hali hiyo ilimrudisha Eddy katika uhai wake, alihisi akipata nguvu mpya kutokana na joto alilolipata kupitia maji yale.
Mwanaume huyo akawa anagugumia chini kwa chini kutokana na kupigwa deki ‘ikulu’ yake.
Kilikuwa kitendo ambacho hakuwahi kufanyiwa katika maisha yake, ndiyo kwanza alikuwa akikiona, akachanganyikiwa.
“Pole,” alisema Rehema kwa sauti nyembamba ambayo ilikuwa imelegezwa kwa makusudi ili kumfanya Eddy ajue kuwa alikuwa na mwanamke wa kweli aliyekwenda unyagoni na kufundwa kisha akafundika.
Kama vile haitoshi, baada ya kumaliza zoezi hilo, Rehema alilifuata jokofu na kutoa matunda fulani hivi, hayakuwa mengine zaidi ya zabibu.
Rehema akayachukua na kuyaweka kwenye kisaani cha chai kisha akapanda uwanjani ambako Eddy alikuwa amelala akiwa amechoka kutokana na safari ya kufikia kwenye kilele cha starehe.
“Pole,” alisema tena Rehema kwa sauti ileile huku akizichukua zabibu mojamoja na kuanza kumlisha Eddy. Mpaka kufikia hapo Eddy akawa amezidiwa na kujiona kwamba amepatikana kwa kuingia sehemu ambayo hakuwa na uwezo nayo.
Moyoni mwake akakiri kabisa kwamba alikuwa amepatikana, hakujua kama angeweza kujichoropoa katika mtego ule aliouingia, aliamini kwamba hakuwa na fedha za kuweza kumpa Rehema.
Alijiuliza ni kiasi gani ambacho angeweza kumpa msichana huyo kwa ajili ya kumshukuru kwa huduma zote hizo.
Matendo aliyokuwa akifanyiwa yakamfanya ajipe moyo wa kutafuta kibarua kwa nguvu zake zote ili aweze kulipia gharama hizo.
Eddy alimini kwamba aliyokuwa akifanyiwa hayakuwa ya bure lazima kuna siku angetakiwa kuyalipia tena kwa gharama kubwa.
“Sidhani kama nitaendelea kufanywa mwanaume suruali, iko siku nitapigwa mzinga wa maana, nikisema sina si nitakuwa nimezikosa hizi huduma?” aliwaza.
Hata kabla hajapata hiyo kazi wala hajazitia mfukoni fedha anazotarajia kuzipata kutokana na kibarua kisichokuwepo, Eddy akafikiria ni kiasi gani ambacho kingeweza kumtosha Rehema, kila alichokifikiria alikiona ni kidogo.
“Kwa nini ananifanyia hivi?” aliendelea kujiuliza wakati akiwaza hayo, Rehema alikuwa kama ameyasoma mawazo yake na kuhisi kile alichokuwa akikiwaza mwanaume huyo, akamwita kwa kulitaja jina lake:
“Eddy.”
“Naam,” Eddy aliitikia huku akitafuna kipande cha zabibu.
“Nakupenda sana, tangu siku ile ya kwanza niliyokuona, ulinichanganya sana, sijawahi kuona mwanaume mwenye umbile kama lako, urefu wako, umejaa kifuani…” alisema Rehema huku akiizungusha mikono yake kwenye kifua cha Eddy kugusagusa bustani ndogo iliyokuwa ikianza kumea.
Hali hiyo kwa kweli ilikuwa ikizidi kumfanya kijana wa watu ajione kama vile ni mfalme na kusahau shida zake zote za duniani, alihisi kama vile alikuwa katika jumba la kifahari na Rehema alikuwa kama malkia pembeni yake.
“Hata mimi…” Eddy alijikuta naye akisema kulikubali penzi la Rehema.
“Sema kweli?” alidadisi Rehema.
“Kweli vile…”
“Kwa hiyo leo utalala hapa au…?”
“Hapana, niache tu nikalale kwangu kwa kuwa unajua miye ni mgeni…sijazo…”
“Unamwogopa nani?” Rehema alimkatisha na kumfanya Eddy apatwe na kigugumizi cha ukubwa.
“Si… si… simwogopi mtu…”
“Ila…”
“Basi tu…”
“Najua unamtaka yule mwanamke wako…” alisema Rehema na kujifanya kukasirika.
“Nani?”
“Irene.”
“Ndiyo nani huyo?”
Unajifanya humjui wakati leo umempa sabuni ya kuogea?”
“Aaah yule msichana ndiye anaitwa Irene?” Eddy naye alihoji.
“Unajifanya humjui eeeh?”
“Simjui miye… aliniomba….”
“Basi ishia hapohapo, huwa sitaki kusikia habari za vinuka mkojo…” alisema Rehema na kujidai kususa ili kumpima Eddy kama atakubali kulala au atakataa na kuondoka kwenda kulala chumbani kwake.
Rehema akageukia upande mwingine na kumuacha Eddy akiwa amekaa bila kuelewa kilichokuwa kikiendelea, hali hiyo ilizidi kumchanganya kwa kuwa Rehema alionekana kususa.

Kabla hata mwanaume huyo hajachukua uamuzi wowote, akamsikia msichana huyo akiangusha kilio cha kwikwi huku akitoa sauti yake ndogo.
Kutahamaki, Eddy akachanganyikiwa na kumwinua huku akianza zoezi la kumbembeleza, tayari mashavu ya Rehema yalishajaa machozi ya uongo na kweli ili kulifanya zoezi lake lionekane kuwa la kweli.
“Nyamaza Rey wangu…” Eddy alilitohoa na kuliita kwa mbwembwe jina hilo la mpenzi wake kiasi cha kumfanya Rehema kuhisi faraja.
***
Wakati Eddy akiendelea kumbembeleza Rehema, Irene alikuwa akirandaranda nje kama fisi aliyekuwa akisubiri mzoga uachiwe na simba ili aweze kuambulia chochote.
Mara kwa mara alikuwa akikatiza katika mlango wa Rehema na kujaribu kusikiliza kile kilichokuwa kikiendelea ndani.
Kwa bahati nzuri au mbaya hakumsikia Rehema wakati akimponda. Akaendelea kupiga misele huku hasira zikimpanda kwa kuona mwanamke mwenzake akimzidi kete, aliamini kuwa akipata nafasi ndogo tu anaweza kuyabadilisha mawazo ya Eddy.
Aliamini Rehema alikuwa akitumia nguvu nyingi kumng’ang’ania mwanaume huyo ili asiweze kumchoropoka mikononi mwake lakini alijua kuna nafasi moja tu angeweza kuitumia vyema.
Mara ya mwisho Irene akapitiliza hadi barazani na kukaa huko huku akihakikisha anasikia kila kilichokuwa kikiendelea ukumbini.
Muda ulikuwa umekwenda kwelikweli, ilikuwa ni saa nane usiku, bado nyumba ilikuwa wazi na watu wengine walikuwa wakifanya shughuli zao katika kitongoji hicho.
Kati ya hao waliokuwa wakipitapita hakukuwa na aliyewahi kuamka asubuhi na kwenda kazini, kila mmoja alikuwa akilala pale alipoamua na kuamka pale anapoona kulikuwa na haja ya kufanya hivyo.
Usiku mwingi baba mwenye nyumba akiwa ameambatana na mama mwenye nyumba walikuwa wakirudi nyumbani kwao wakiwa bwiii.
Kila mmoja alikuwa akiimba wimbo wake, huku wakiwa wameshikana mikono, wakafika na kuukuta mlango wa mbele ukiwa wazi.
Wakaanza kumwaga segere kwa kucheza bila ya kujali kama walikuwa wakiwapigia kelele majirani zao, hata hivyo baadhi ya majirani waliokuwa wamelala wakaanza kufungua mapazia yao ili kuweza kuona kitu cha kuhadithia kesho yake.
Walipoacha kulisakata segere wakawageukia waliowakuta barazani, wakawauliza kwa nini walikuwa wakiangalia ngoma ya bure na kushindwa hata kuwatunza.
“Kwa nini hamtutunzi?” alidakia mama mwenye nyumba kwa sauti ya juu.
Vicheko vya walioulizwa swali hilo vilimfanya baba mwenye nyumba kukasirika na kuwaambia wote hawana adabu kwa kuwa walikuwa wakimcheka mama yao.
“Haya kuanzia sasa naharibu starehe za watu, kila mmoja kwenda kulala…” alisema baba mwenye nyumba huyo huku akionesha kwamba hatanii.
“Nahesabu mpaka tatu kila mmoja aingie chumbani kwake akalale…” alisisitiza huku akirandaranda kama vile alikuwa akitaka kuanzisha vita.
“Mojaaaa… Mbiliiiii…” kabla ya kumalizia tatu akaanza tena na kuwataka hata wale wapangaji wake waliokuwa nyumba ya jirani waitwe ili waingie ndani kwani akishafunga mlango hautafunguliwa tena, alikuwa amedhamiria kulala na ufunguo mchagoni kwake.
Kutokana na kauli ya baba mwenye nyumba, Irene hakuwa na ujanja wa kuendelea kukaa nje, akaingia ndani pamoja na wasichana wengine waliokuwa wamekaa barazani katika nyumba ya jirani.
Hata baada ya kuingia ndani, Irene hakuweza kupata hata lepe la usingizi, muda mwingi alikuwa macho akijigeuzageuza huku na kule kuusaka usingizi huo bila ya mafanikio.
Akiwa anahangaika hivyo, mdogo wake, Pat alikuwa akimwangalia na kumuonea huruma, kisha akamuuliza.
“Dada hauko sawa?”
“Aaah kawaida tu,” alijibu Irene.
“Usinifiche, inaonekana hukupenda dada Rehema amchukue yule mgeni…?”
“Sitaki maongezi yako, hebu niache nilale,” alisema Irene na kujifunika shuka gubigubi, pamoja na kujifunika hivyo bado hakuweza kupata hata lepe la usingizi.
Pat akaamua kumuacha na kujigeuza upande wake na baada ya muda kidogo akapitiwa na usingizi.
Usiku mwingi, Irene akasikia mlango wa Rehema ukifunguliwa, akainuka na kujivuta mlangoni kwake, akafungua mlango huo taratibu na kuchungulia ukumbini.
Akamwona Eddy akiwa anatoka chumbani kwa Rehema na kuelekea mlangoni kwake. Alipohakikisha kwamba Rehema ameshaingia ndani, akachomoka na kutoka.
Akacheza na akili za Eddy aliyekuwa ametangulia mbele yake, naye akajifanya kama vile anakwenda msalani, Eddy akiwa mbele na yeye nyuma.
Eddy alifungua mlango wake kwa funguo na Irene akawa anazuga kama vile alikuwa akienda uwani, kwa kuwa chumba hicho kilikuwa ni cha mwisho mkono wa kushoto kabla ya kufika uwani alifanikiwa kuweza kuzuga na kumsubiri Eddy afungue mlango wake.
Alipofika karibu yake, Irene akapunguza mwendo na kusubiri afungue, alipofungua na kuingia ndani kabla hata Eddy hajafunga mlango nyuma yake, Irene akauzuia na kisha akazama chumbani humo.
“Aaah!” Eddy akashtuka.
“Shiii!” akasema Irene huku akiweka kidole chake cha shahada mdomoni mwake kumtaka asipige kelele kuwashtua watu wengine ndani ya nyumba hiyo.
“Unataka nini?” Eddy aliuliza kwa sauti ya chini akionekana kutii amri ya Irene ya kutopiga kelele.
“Moyo wako…” akasema mwanamke huyo na kumwashiria Eddy asogee kwenye uwanjwa wa futi tano kwa nne.
“Lakini…” alijaribu kusema tena Eddy lakini Irene hakumpa nafasi akamziba mdomo kwa kutumia kiganja chake na kumtaka asizungumze chochote.
Mkono wa Irene ukiwa mdomoni kwa Eddy ukimzuia kusema chochote, mkono mwingine ukawa na kazi ya kutembea na kuusanifu na kuusisimua mwili wa kijana huyo.
“Eddy kwa nini umenisaliti?” alisema Irene kwa sauti ndogo karibu kabisa na sikio la kijana huyo kiasi cha mawimbi ya sauti yake kuutekenya moyo wa Eddy.
Mbali na kusema maneno hayo, machozi yalionekana kutiririka katika mashavu ya mwanamke huyo huku akionesha kuguswa na kitendo alichokifanya Eddy.
“Eeeh unalia!” Eddy alisema kwa mshangao.
“Ulitegemea ningeweza kufurahi?”
Eddy hakutegemea kitu hicho, akaendelea kupigwa na butwaa. Akawaza siku hiyo ilikuwa ikimaanisha nini katika maisha yake.
Maana usiku wakati ukiingia alivamiwa na Rehema akamteka na kumwingiza chumbani kwake, hawakuishia hapo akapigishwa shoo ya nguvu.
Kabla hata hakujapambazuka anavamiwa chumbani na mwanamke mwingine, naye anaonekana ana lengo lilelile la utekaji kama wa Rehema.
Kinachomshangaza ni kumuona mwanamke huyo mzuri akimwaga machozi kwa ajili yake, akawa anashindwa kuelewa kama ni bahati au ni balaa linamwandama.
“Kwa nini wanichukue kama mateka?”
Alijiuliza katika nafsi yake, akiwa katika hali hiyo nywele zilimsimama na kukumbwa na kigugumizi cha ukubwani kila alipokuwa akiulizwa kitu na Irene.
“Kwa nini umenisaliti?” aliuliza Irene huku akibadili mwelekeo na kuitembeza mikono yake miwili kwenye kifua cha Eddy.
“Nimekusaliti vipi, mbona sikuelewi?” Eddy aliipaza sauti yake na kusema maneno hayo huku akizungusha macho yake kumwangalia kwa umakini Irene.
“Unakumbuka miye ndiye niliyekuwa wa kwanza… kukutaka, kwa nini umekwenda kulala na Rehema?” Swali hilo lilikuwa gumu kwa Eddy, hakuweza kulijibu akabaki ametoa macho kama mjusi aliyekuwa amebanwa na mlango.
Kijana huyo hakutegemea kama kwa wakati huo, Irene angekuwa na taarifa za yeye kutembea na Rehema, akashusha pumzi ndefu.
“Unanidharau au?”
“Sina kawaida ya kumdharau mtu,” alijibu Eddy.
“Sasa kwa nini hukunipa nafasi ya kwanza?”
“Kwani tulishaongea na wewe awali?”
“Hapana ila visa vyangu viliongea, vilitosha kuonesha kwamba nilikuwa namaanisha nini kwako.”
“Visa gani?”
“Kama vile kukuomba sabuni na kukurudishia sabuni chumbani kwako, hukunielewa?”
Eddy hakuwa na la kujibu kwa kuwa alishagundua tangu mapema kuhusu kile alichokuwa akikisema Irene.
Kwa sauti iliyojaa mahaba na mihemo ya kuvutia Irene akamwambia Eddy:
“Okey najua haikuwa dhamira yako, ulichukuliwa kama mateka… najua kila kitu lakini kuanzia sasa nataka uelewe kuwa miye ndiye mtu wako… umesikia?”
Eddy hakuweza kujibu kwa sauti yake akatikisa kichwa kuitikia kuonesha kwamba amekubaliana na hilo.
“Achana na yule mwanamke kwanza si saizi yako miye ndiye saizi yako,” Irene alimwambia Eddy kwa sauti yake ya kunong’ona iliyojaa kila aina ya mvuto.
Wakati huo Irene alipokuwa akisema maneno hayo hakuacha kusaula viwalo vyake, alishaona mwelekeo wa mafanikio katika zoezi lake la kumteka kijana huyo.
Lengo lake lilikuwa ni kumkomoa Rehema na kuushusha umalkia wake katika nyumba hiyo.
Kwa kuwa alikuwa akiziona nguo zake zikileta bughudha mwilini mwake, aliondoa moja baada ya nyingine na alipomaliza akamgeukia na Eddy.
Akawa anafanya kama vile alivyokuwa akifanya, akaiondoa fulana aliyokuwa ameivaa, ndani ya fulana akakutana na singlendi nayo ikapigwa chini.
Kifua kikawa cheupe, mtoto wa kike akashuka chini na kuanza kufungua mlango wa ikulu huku Eddy akiwa hana la kufanya wala hatoi kipingamizi chochote.
Alipofanikiwa hakutaka kusubiri kitu kingine akafanya kama vile alivyokuwa akifanya Rehema, akamshika askari wa Eddy na kumwingiza kwenye njia ya kupitishia chakula.
Mambo yakabadilika, Eddy akachanganyikiwa zaidi, joto lilikuwa kali kupita kiasi, utadhani alikuwa ameingizwa kwenye tanuri la kuokea mikate.
Macho ya Eddy yalizunguka katika mwili wa Irene na kushuhudia mabonde na milima ambayo kwa njia moja ama nyingine yalimpandisha mzuka zaidi.
Awali hakuwa akiamini kama angeweza kupiga shoo nyingine kwa usiku huo kutoka na ‘kupafomu’ kwa uhakika akiwa na Rehema, alijua kuwa nguvu zake zilikuwa zimekwisha kabisa.
Lakini kadiri alivyokuwa akiangalia ramani ya mwili wa Irene, mawazo yake yakajenga picha ya kuvutia na kujikuta akipata nguvu nyingine mpya ambazo hakujua zilitokea wapi.
Picha iliyojengeka akili mwake ni kwamba Irene alikuwa na ngozi nyororo kuliko Rehema, pia akagundua kwamba alikuwa na rangi adimu ambayo hata kama Rehema angetumia mikorogo yote inayotengenezwa Tandale na Manzese, Buguruni na Vingunguti yake asingeweza kuifikia.
Aidha, akagundua kwamba joto la Irene lilikuwa na nguvu ya kusisimua kuliko lile la Rehema, kwa fikra hizo akajikuta akisisimka zaidi na kupandisha mori kama Mmasai aliyeibiwa ng’ombe wake akiwa machungani.
Alishuhudia embe sindano zilizokuwa zimekaa kifuani mwa Irene, Eddy akawa hajiwezi, akajiuliza alikuwa na ngekewa gani ya kupendwa na mabinti warembo kama wale!
Wakati Irene akiwa anaendelea na zoezi lake, Eddy akawa anasema maneno yasiyoeleweka, ghafla akawa anapayuka maneno, akasema:
“Re… he… maaa…” Hali hiyo ilimfanya Irene kuacha kile alichokuwa anakifanya baada ya kulisikia jina la hasimu wake likitajwa.
“Unaniiita nani?
“Samahani… lakini… jina… lako… sili..jui…” alisema Eddy akiwa kama zezeta, akiwa anataka Irene afanye kile alichokuwa akikifanya.
“Naitwa Irene Smart… au ukipenda niite Queen,” alisema Irene na kumfanya Eddy achague jina hilo la mwisho kwa kuwa hata akilini mwake aliamini kabisa kwamba msichana huyo alipaswa kuitwa Queen.
Moyoni mwake Eddy alikiri kwamba Queen alikuwa mzuri sana lakini hata ungemuuliza kati ya msichana huyo na Rehema nani alikuwa zaidi, asingeweza kutoa jibu mwafaka.
Alikuwa amebaki katikati na kuwa na kisebusebu na kiroho papo, huku anataka na kule anataka.
“Tafadhali usiniite jina la Mala… wako.”
“Samahani… nilighafirika.”
“Kwa hiyo utaniita jina gani?”
“Queen,” alisema Eddy huku akionekana kuwa mnyonge. Jina hilo lilimfurahisha sana Irene akawa anatabasamu na kufungua matuta yalioyokuwa yametanda kwenye sura yake.
“Asante baby…” alisema na kurudia zoezi alilokuwa amelianza.

Queen kama alivyomwita Eddy aliporudia safari hii alikuwa na mzuka mpya, akahakikisha kuwa anampagawisha Eddy kwa ujanja wake wote.
Kweli hali hiyo ilizidisha mzuka wa Eddy akawa anahamasika na kupandwa na munkari kwa askari wake kuonesha dalili zote za kutaka kuingia vitani.
Eddy hakujua hata nguvu alizipata wapi, akamgeuzia kibao Queen na kuanza kumshambulia kwa kufanya kujibu mashambulizi ya nguvu… akahakikisha haonekani bwege mbele ya Queen.
Akapitisha ulimi wake katika kila kiungo cha Queen. Akaanzia shingoni kisha akapanda hadi kwenye mdomo hapo wakabadilishana ‘kinywaji’ na Queen.
Eddy alipotosheka akarudi kwenye viwambo vya kusikilizia sauti, yote hiyo ilikuwa ni kumsaka shetani wa Queen. Kila kipengele ambacho Eddy alichokigusa kilikuwa kikimtia wazimu Queen.
Alipotosheka kumpagawisha sehemu moja akahamia nyingine hata pale alipoona viwalo vya Queen vinamwondoa mchezoni alihakikisha anaviondoa.
Baada ya kuviondoa vyote akawa anashuka chini kwa kupitia shingoni na kuuacha ulimi wake utalii katika maungo ya ‘bintani’ huyo.
Akawa anashuka chini hadi kwenye embe sindano za Queen, akawa anazinyonya embe hizo na kumpandisha mori kiasi cha kumfanya akose uvumilivu na kuanza kulia.
Hata hivyo, kilio chake kilikuwa ni tofauti na kile kilio cha kawaida, alikuwa akilia kwa furaha, kilio adimu kutokea kwa binadamu.
Kilio chake kilikuwa kikiongeza hamasa moyoni mwa Eddy ambaye alimini kuwa alikuwa amemuweza. Aliamini kuwa kiwango chake cha kupagawisha kilikuwa kimeongezeka.
Pamoja na kilio hicho cha Queen, Eddy hakuacha kufanya kile alichokuwa akikifanya, ndiyo kwanza akawa anazidisha majonjo, alipoona amempatia vyema msichana huyo, akazidisha makeke kwa kuweka vikorombwezo vingine vingi tu.
Alipotosheka akashuka tena chini, akafikia kwenye tumbo jembamba la Queen, tumbo ambalo lilikuwa vigumu kwa mtu kujua kama msichana huyo alikuwa ameshiba au alikuwa na njaa.
Hapo hakuchukua muda mrefu sana kupiga deki kama siyo kupiga msasa kwa kutumia ulimi wake, akashuka tena chini, akafika kwenye kiuno, hata hapo hakuchukua muda mrefu.
Akashuka chini zaidi, zaidi na zaidi, akafika sehemu adimu kufikika, sehemu yenye ulinzi mkali lakini Eddy aliweza kuwapangua walinzi wote na kuweka ulimi wake.
Queen alichanganyikiwa, akajihisi kama alikuwa yuko katika pepo ya Firdausi akiwa amezungukwa na malaika kibao.
Sauti yake ilibadilika na kuwa ndogo, macho yake yakabonyea na kuingia ndani na kuwa madogo kama ya Mchina, akawa anapumua juu kwa juu.
Pamoja na hivyo, akahisi kama vile alikuwa akitaka kukata roho. Kabla ya kufikia hatua hiyo alijihisi kama alikuwa akiishiwa nguvu, kisha akahisi kama alikuwa akitaka kuzimia.
Maskini Queen hakuwahi kushuhudia kile alichokuwa akikishuhudia kwa wakati huo, raha zilikuwa zimemzidia, ilikuwa ni mara yake ya kwanza kufanyiwa alichokuwa akifanyiwa, akachanganyikiwa mara elfu moja.
Wazimu ukampanda, akawa anajikuta anaingiza mipira golini kwake mfululizo bila ya kutegemea, akahisi raha kupita kiasi, raha ambazo kamwe hakuweza kuzielezea ladha yake.
Kila goli alilojifunga alikuwa akipiga kelele za kushangilia.
****
Ni wakati huo ndipo Rehema alipokuwa akitoka chumbani kwake na kwenda msalani. Nyumba ilikuwa imetulia kwa ukimya huku sauti pekee zilizosikika zikiwa ni zile za watu waliokuwa wakikoroma ambazo zilitokana na watu kulala vibaya au kutokana na uchovu wa mihangaiko yao ya mchana kutwa.
Kelele nyingine zilikuwa ni zile za mlango na miguu yake wakati akitoka chumbani kwake.
Rehema alishika uelekeo wa kwenda uwani.
Alipofika kwenye mlango wa mwisho, alihisi kusikia kitu kisichokuwa cha kawaida, kitu adimu katika masikio ya watu wengi lakini akapuuza.
Kupuuza kwake kulitokana na kutoka kwenye usingizi ambao bado ulikuwa ukimwelemea, akaendelea na safari yake hadi akafika msalani lakini wakati akiwa huko akameza mate ya akili na kutafakari kile alichokuwa amekisikia.
Akajiuliza kilikuwa ni kitu gani, sauti ile ikajirudia katika akili yake, akahisi ni sauti ya msichana aliyekuwa amechanganywa na mtu anayejua mambo

Akajaribu kukumbuka kama katika nyumba hiyo kulikuwa na msichana au mwanamke anayelala na mwanaume lakini hakuambulia kumkumbuka mwingine zaidi ya baba mwenye nyumba na mkewe.
Akameza tena mate ya akili, akakumbuka kuwa mwanaume mwingine aliyekuwemo katika nyumba hiyo ni Eddy tu ambaye alishamchukulia dhamana kwamba hawezi kuwa na msichana kwa kipindi hicho kutokana na dozi walizopeana.
“Hapana atakuwa siyo Eddy, kama akiwa yeye lazima nirudi kwa kungwi wangu upya na kumtaka anifunde upya,” alijiapia.
Haikuchukua muda mrefu akatoka msalani na kurudi chumbani kwake, alipofika tena katika eneo lilelile akasikia vile vilio adimu vikiwa vinaendelea.
Safari hii vilikuwa vikisikika kwa nguvu zaidi lakini kutokana na upepo uliokuwa ukivuma usiku huo, Rehema hakuweza kujua ni chumba gani hasa kilikuwa kikihusika.
Kutokana na kile alichokisikia aliamini kuwa kuna msichana humo ndani ameingiza mwanaume chumbani kwake, akawa anataka kujua ni chumba gani.
Wasiwasi ukamuongezeka kwa kuwa alikuwa akijua kuwa wasichana wengi wanaoshi katika nyumba hiyo wanalala wawiliwawili na wengine ni zaidi.
Ni yeye tu anayelala chumba kizima peke yake ndiyo maana akapewa hadhi ya kuitwa malkia wa nyumba hiyo. Tena chumba chake ni kizuri na kina hadhi kubwa kuliko chumba kingine katika nyumba hiyo.
Aidha, Rehema akafikiria labda kulikuwa na wasichana katika nyumba hiyo wakifanya kitendo kibaya cha kustareheshana wenyewe kwa wenyewe.
“Inawezekana kweli?” alijiuliza bila ya kupata jibu la uhakika wa kile alichokuwa akikifikiria.
“Dunia siku hizi imeharibika, unaweza kuwachukulia dhamana hawa wasichana kisha wakakuangusha,” akawaza tena Rehema na kumfanya wasiwasi wake uongezeke kwa kuhisi kwamba kulikuwa na kitu.
Alifikia hatua ya kutaka kupuuza lakini kutokana na hisia hizo, akataka kujua ukweli ili kesho yake apate mada ya kusimulia kwa wenzake.
Alijua stori tamu ni ile ya usiku wa manane kama huo ambao siku zote hushuhudiwa na watu wachache, pia inakuwa na raha kama itasimuliwa na malkia wa nyumba.
Rehema akasogea hadi kwenye chumba cha jirani kabisa na kile cha Eddy akategesha sikio lake la kulia ili kusikiliza lakini hakuambulia kitu.
Mawazo kwamba kitendo kile kinaweza kuendelea katika chumba cha Eddy alishayafuta, akasogea kwenye mlango mwingine wa chumba kinachotazamana na kile cha Eddy, akafanya kama vilevile alivyofanya katika chumba cha kwanza, napo hakuambulia kitu.
Hakutaka kufuatilia katika vyumba vingine kwa kuwa vilikuwa mbali na alipokuwa amesimama kwa kuwa sauti ilikuwa haitoki mbali na sehemu hiyo.
Kelele zilikuwa zikiendelea kusikika, akasogea katika chumba cha Eddy, alipotegesha sikio lake, nywele zilimsisimka na kuinua mdomo wake kama mtu aliyekuwa ameona au kusikia kitu cha ajabu.
Miguu ikamtetemeka na kumfanya akose nguvu, akajitahidi na kuuegemea mlango huo. Akachanganyikiwa kabisa kwani alijua kulikuwa na shoo ya siri iliyokuwa ikipigwa chumbani humo.
Wapiga shoo walikuwa wamejisahau na kufungulia spika zao kwa nguvu zao zote, aidha kwa kuzidiwa na furaha au kwa kujisahau.
Nini kiliendelea? Tulia upate uhondo
ITAENDELEA

MAJANGAAA MBONA MAJANGAAA ! – 3

Image result for walter photography
Chombezo : Majangaaa Mbona Majangaaa !
Sehemu Ya Tatu (3)

Miguu ikamtetemeka na kumfanya akose nguvu, akajitahidi na kuuegemea mlango huo. Akachanganyikiwa kabisa kwani alijua kulikuwa na shoo ya siri iliyokuwa ikipigwa chumbani humo.
Wapiga shoo walikuwa wamejisahau na kufungulia spika zao kwa nguvu zao zote, aidha kwa kuzidiwa na furaha au kwa kujisahau.
alitaka kuvamia chumbani kwa eddy lakini akaona ngoja aangalie mchezo hadi mwisho wakishamaliza ndio awafumanie
alisubiri nusu saa bila Irene wala Eddy kutoka chumbani
akaamua kusubiri mlangoni ili irene atoke amfanyie fujo
“ngoja nijilaze hapa mlangoni wakifungua tu nitasikia”
“yaani irene ni wakunifanyia hivi mimi malkia wa nyumba hii hata siamini” aliongea, alisononeka sana rehema akaamua kulala mlangoni kwa Eddy na kusubiri watoke hatimae akapitiwa na usingizi
BAba mwenye nyumba alitoka chumbani kwake kwenda kujisaidia alipotoka kufika mlangoni kwa Eddy akamkuta rehema amelala huku mzigo ukiwa umebaki nje
Baba mwenye nyumba kuona hivyoMidomo ikawa inamcheza na mate kumdongondoka kama fisi aliyekuwa ameona fupa lisilokuwa na mwenyewe.
“Kama ningejua kama usiku mzima alikuwa amelala hapa si ningekuja kujiwahia mapema hapahapa, najua asingenishinda nguvu kwa kuwa anaonekana alikuwa amelewa sana,”aliendelea kuwaza mzee huyo huku akiupitisha mkono wake kuume kwenye mwili wa Rehema.

Wakati mzee huyo akiendelea kufanya hivyo, ghafla alishtuka kusikia mlango wa chumbani kwake ukifungulia, kwa kawaida mlango wa chumbani kwake na mkewe ndiyo pekee unaopiga kelele wakati wa kufunguliwa.

Mwili ukamsisimka, akawa kama vile mtu aliyekuwa amenasa kwenye nyaya za umeme, akawa amebaki vilevile bila ya kuutoa mkono wake ndani ya maungo ya Rehema.
Maana alijua aliyekuwa akitoka ndani ya chumba hicho hakuwa mwingine zaidi ya mkewe.
Masikio yakamsimama mzee Chuma akajua amefumaniwa na hakuwa akijua cha kufanya, mkewe alitoka na kusogea karibu yake kabisa.
Hatimaye alifanikiwa kuutoa mkono wake na kujidai kuuhamisha kutoka sehemu mbaya ulikokuwa ameuelekeza awali na kuupeleka sehemu nyingine yenye usalama.
Moja kwa moja akaupeleka na kuuweka kwenye kichwa cha Rehema akijidai kumpima homa.
Bila ya kugeuka akaendelea kujifanya mganga na kuanza kumpima mapigo ya moyo kama vile alikuwa akitaka kujua kama msichana huyo alikuwa hai au ameaga dunia.
“Mzee Chumaaa!” sauti kavu ya mkewe iliita, mzee huyo aligeuka na kumwangalia mkewe.
“Unasemaje?” alijibu kwa ukali na kujifanya kuwa bize akitoa huduma ya kwanza kwa Rehema.
“Unafanya nini hapo?”
“Nampa huduma ya kwanza huyu msichana, sijui kapatwa na masahibu gani?”
“Tangu lini ukawa daktari? Kwa nini usiwaamshe wanawake wenzake wakamsaidia, kwanza huduma gani ya kwanza unamshika…?”
Kusikia hivyo, mzee Chuma akasimama, akamwangalia mkewe bila ya kusema kitu akawa anaelekea zake msalani, alishajua kwamba hukukuwa na dogo tena, kama bwawa tayari lilishachafuka.
Ile haja ndogo iliyokuwa imepotea baada ya kuuona mwili wa Rehema na udenda kumtoka, sasa ndiyo aliisikia na kuhisi kama vile anataka kulimwaga kojo palepale ukumbini.
“Hebu subiri, unakwenda wapi?” alisema kwa ukali mkewe na kuwafanya hata watu wengine waliokuwa vyumbani kwao kushtuka na kujua kuwa nje kulikuwa na kasheshe.
“Niache, niache mamaaa nanihii… niache oooh ooooh,” alisema mzee Chuma huku akiwa ameishika vyema nguo yake ya kulalia.
“Sikuachi…, nakwambia sikuachi, fanya unachotaka kukifanya…” zogo likawa kubwa na milango mingine ikaanza kufunguliwa kutaka kujua kilichotokea nje.
Wakubwa kwa watoto wakatoka nje na kuwakuta baba na mama mwenye nyumba wakiwa wameshikana huku Rehema akiwa bado amelala palepale chini ya kigoda akiwa hajui kinachoendelea.
“Kuna nini jamani…?” aliuliza Mwanvita.
“Huyu mzee mzima nimemkuta akitaka kufanya mambo ya hovyo na huyu binti hapa…” alisema mama mwenye nyumba huku akitengeneza mazingira ya tukio.
“Wee mwanamke… we mwanamke…?”
“Kama ungejua miye ni mwanamke kwa nini uliniacha chumbani na kuja kufanya ujinga wako huku nje?” alisema mama mwenye nyumba.
Wakati zogo likiwa limechanganya kwa mama na baba mwenye nyumba kugombana na huku watu wengine wakipiga kelele za kushangalia, Rehema akazinduka na kushangazwa na mazingila aliyokuwepo.
Akashangaa kuwaona watu walivyokuwa wengi huku kukiwa kumepambazuka. Kwa haraka akavuta kumbukumbu na kufikiria kilichomtokea hadi kuwa katika hali ile.
Akajiangalia nguo yake aliyokuwa amevaa kwa mila na desturi za Kitanzania hakutakiwa kuwa katika eneo lile akiwa amevaa mavazi yale lakini hakuwa na budi, kwani ndani ya nyumba hiyo kuvaa kwake hivyo ni tukio la kawaida.
Ghafla akakumbuka kuwa alikuwa hapo kwa ajili ya kumsubiri msichana aliyekuwa chumbani kwa Eddy, nini kilitokea hadi watu kujaa hapo, hakuweza kukumbuka kwa haraka.
“Haya malaya wako ameshaamka, endeleeni sasa?” alisema mama mwenye nyumba na kumfanya Rehema kushangaa.
“Mama tuendelee nini?”
“Mama tueendelee nini?” mama mwenye nyumba alisema huku akiwa amebana pua.
“Ama kweli tenda wema nenda zako, chumba nikupangishe miye, ubinaadamu nikufanyie, mume wangu unichukulie…” alisema mama mwenye nyumba.
**************
*********************
******************************

“Kwani ni lazima uingie?” Eddy alihoji huku akimshangaa msichana huyo ambaye walishakubaliana uhusiano wao waufanye kuwa siri.
Hata hivyo, Eddy alikuwa anakijua kile ambacho Rehema angekutana nacho chumbani kwake, akamwachia ili aingie.
Alipoachiwa bila ya aibu, akazama chumbani huku shari ikiwa imemjaa, kwa kukidhamiria vibaya kile ambacho angekutana nacho chumbani humo.

Moja kwa moja macho yake yakatua kitandani, akakikuta kitanda kikiwa cheupe, hakukuwa na mtu zaidi ya shuka zilizovurugika.
Watu waliokuwa ukumbini wakazidi kuchanganyikiwa na kujiuliza maswali kibao yaliyokosa majibu, kwani Rehema alikuwa amekumbwa na kitu gani mpaka avamie chumbani kwa watu.
Wengi walihisi kulikuwa na kitu kinachoendelea kati ya wawili hao, walimuonea huruma kaka wa watu ambaye ni mgeni ndani ya nyumba hiyo kwa kitendo cha kufanyiwa vurugu na msichana huyo.
Ni mtu mmoja tu aliyekuwepo katika ukumbi huo ambaye alikuwa akijua ni nini kilichokuwa kikiendelea.
Mtu huyo si mwingine bali ni mdogo wake na Queen, Pat ndiye aliyekuwa akiujua mchezo mzima.
Pat alikuwa akijua ni kwa nini Rehema alikuwa ameingia chumbani kwa Eddy, pia, alikuwa akijua kile ambacho msichana huyo angekutana nacho chumbani humo.
Kwa kuona hivyo, mama mwenye nyumba naye akapunguza mashambulizi yake kwa Rehema, hali kadhalika baba mwenye nyumba, wote wakabaki na mshangao na kujiuliza kulikoni!
Rehema hakuridhika na kile alichokutana nacho chumbani, akaangaza kila kona, akafungua kabati, akahamia uvunguni mwa kitanda, kote hakuambulia kitu.
Akabaki ameshangaa, hata hivyo hakutaka kuyaamini macho yake, akaendelea kufunua hata ndoo za maji, akili yake ilikuwa imempaa na aibu ilikuwa ikiutafuna uso wake.
Alitegemea angefumania, lakini sasa kibao kilikuwa kimemgeukia, hakujua cha kusema mbele ya kadamnasi akiamini kuwa amechezewa shere, uso wake ukawa mdogo kama kidonge cha piltoni.
***
Upande wa pili, Queen alifungua mlango wake na kutoka nje, akakutana na vicheko, watu wote walikuwa wakimcheka Rehema ambaye alikuwa kama mtu aliyekuwa amechanganyikiwa.
Rehema alishindwa hata kumuomba radhi Eddy, alikuwa amenyong’onyea kama vile kunguru aliyekuwa amemwagiwa maji.
“Shoga umelikoroga… utalinywa!” alisema Mwamvita kisha akawahamasisha watu kwa kikolombwezo maarufu ambacho kimezoewa na wanawake wengi, akasema:
“Halooo halooo…!”
“Halooo!” wengine wakaitikia na kumfanya Rehema kuzidi kuchanganyikiwa na kujikongoja kwenda chumbani kwake akijihisi kama vile amejichafua kwa haja kubwa.
Kabla ya kuingia chumbani kwake, Queen akambetulia macho na kujishebedua mbele yake… kisha akamshusha na kumpandisha kiuchokozi kama vile kuku aliyekuwa akiangalia ndege ipitayo angani:
“Shoga kimekusibu kipi?” alimuuliza na kumfanya Rehema ashindwe kujibu.
“Mbona miye sielewi?” alihoji mama mwenye nyumba na kutaka kujua kwa nini Rehema alikuwa akifanya vituko siku ile.
“Hata siye hatuelewi…” msichana aitwaye Tabu naye alijibu kwa niaba ya wenzake. Kila mtu ndani ya nyumba hiyo akawa anataka kujua ni nini kilikuwa kimetokea siku hiyo hadi malkia wa nyumba hiyo akaikwaa aibu.
Queen aliachia kicheko baada ya kupitwa na Rehema, kisha akasema:
“Mlaji ni mla leo mla jana kala nini?” alisema na kumfanya Rehema kujua kuwa hicho kilikuwa kijembe chake. Akaamini kuwa Queen ndiye aliyekuwa chumbani kwa Eddy.
“Ametokaje,” akajiuliza na kukosa jibu.
Ukweli ni kwamba Queen alitoka chumbani humo wakati Rehema akiwa amelala amepitiwa na usingizi ukumbini, alipomuona alishangaa sana.
Queen alijua kuwa Rehema alihisi kuwa chumbani kwa Eddy kulikuwa na msichana hivyo akaamua kukaa ukumbini ili amshuhudie msichana huyo wakati akitoka.
Pia alijua kuwa mpaka wakati huo Rehema hakuwa akijua ni msichana gani aliyekuwa chumbani kwa mvulana huyo kwa kuwa wakati akitoka hakumuona.
“Atakufa nacho kijiba cha roho,” alisema Queen na kuahidi kuendeleza penzi lake na Eddy.
***
Moja kwa moja Rehema aliingia chumbani kwake na kujitupa kitandani, akaanza kulia kilio cha kwikwi, akajuta kumfahamu Eddy.
“Yaani mwanaume nimempa raha zote lakini anakuja kunifanyia hivi, kweli wanaume hawaaminiki,” aliwaza na kufikiria cha kufanya.
Bado katika nafsi yake alikuwa akitaka kujua nini kilichomfanya Eddy akamsaliti usiku mmoja tu baada ya kukutana naye.
Alikuwa chumbani kwake akifikiria hatua ya kufanya.
Hakutaka kumpoteza Eddy lakini bado alitaka kujua ni msichana gani aliyekuwa chumbani kwa mvulana huyo.
Mawazo yake yakaangukia kwa Queen, akahisi kwamba anahusika kwa njia moja ama nyingine.
KICHWA cha Rehema hakikuwa sawa, akili yake ilikuwa haijatulia, mawazo yalikuwa mengi kiasi cha kushindwa kuamua cha kufanya.
Aliendelea kujilazimisha kulala huku machozi yakimchuruzika, hakutaka kutoka nje kutokana na aibu aliyokuwa ameipata kutokana na kitendo chake cha kuingia chumbani kwa Eddy.
Kitendo kile kiliwaaacha watu na maswali mengi kuliko majibu. Wengi walijiuliza kwa nini aliamua kuingia chumbani kwa kijana yule mgeni.
Mpaka wakati huo alipokuwa amejilaza kitandani hakuwa ameupata usingizi. Nje hakukuwa na habari nyingine, zaidi, watu walikuwa wakipiga stori zake tu.
Kwa asilimia kubwa, wengi walikuwa wameshapata majibu ya kitendo kile kilichotokea. Mtu ambaye aliyeweka kila kitu hadharani alikuwa ni mdogo wake Queen yaani Pat, aliwaambia kile kilichojiri.
Kila aliyeambiwa naye alimwambia mwingine na kuifanya habari hiyo kusambaa kama vile moto wa kifuu. Mbaya zaidi kila mtu alikuwa akihadithiwa naye alimwadithia mwingine kama vile alikuwepo eneo la tukio.
Baba na mama mwenye nyumba walijua kila kitu, wakawa wanamshangaa Eddy kwa jinsi alivyoweza kuduu na wasichana wawili kwa usiku mmoja.
“Hivi huyu kijana ni moto namna hii, kwanza amewezaje ndiyo akiwa na siku mbili kwenye nyumba?” alihoji mama mwenye nyumba.
“Labda ana mashine kiunoni,” alisema baba mwenye nyumba kumwambia mkewe.
“Hana mashine chochote mwenzio damu inachemka, unadhani wewe mpaka upigwe hendeli; utakuja kufa shauri yako.
Baba mwenye nyumba alijua kabisa kwamba hicho kilikuwa kijembe chake kutokana na kile kilichotokea alfjari kwa kumnyatia Rehema.
“Ila kwa kweli yule mtoto kaumbika jamani?” naye aliiingiza uchochezi wake.
“Hivi unadhani kama msingeniwahi saa hizi ningekuwa nimeshaandika historia nyingine;” aliendelea kusema baba mwenye nyumba.
“Sawasawa ungekuwa umeandika historia nyingine kwa kuwa tungeikuta maiti yako ikiwa imelala chali pale ukumbini,” mama mwenye nyumba aliendeleza vijembe.
“Maiti yangu kivipi?”
“Miye humu ndani unanishindwa, itakuwa kigoli kama yule si angekupeleka mputamputa mpaka ukate roho?”
“Nani anakushindwa, miye? Kama ninakushindwa mbona huwa unahemea juu juu?”
“Nani kakwambia, sihemei juu juu chochote, huwa ninakufurahisha tu ili nawe ujione unaweza kumbe huna ukijuacho;”
“Haya, basi na miye nitaanza mitego yangu kwa yule binti halafu atakuja kukuhadithia kama miye ni moto chini au siyo.”
“Binti gani?”
“Si huyo kigoli unayemsema angenifanya kuwa maiti?”
“Thubutu kwanza nina mpango wa kumpa notisi ili ahame hapa nyumbani.”
“Yule hawezi kuhama mpaka nitimize ahadi yangu;”
“Atahamaaa;”
“Nakwambia ahamiii
“Nakwambia atahama;” mama mwenye nyumba alishikilia msimamo wake.
***
Wakati wote huo, Queen alikuwa amekaa nyumba ya pili akisukwa nywele zake katika mtindo wa rasta, alikuwa akijisifu kwa ushindi wake wa pointi tatu alioupata usiku wa kuamkia siku hiyo.
Asilimia kubwa ya maongezi yake yalikuwa ni vijembe kwa kwenda mbele, taarab aliimba yeye na kila aina ya kijembe alikuwa akikitoa yeye.
Kitendo chake kilikuwa kama vile kuchukua kombe la dunia, alijiona mjanja kwa kuweza kumteka kijana Eddy kutoka mikononi mwa Rehema.
Wasichana wenzake walikuwa wakimsifu kwa ujanja alioutumia kumwibia bwana Rehema. Pamoja na kujitamba kwake lakini kulikuwa na watu wengine ambao hawakuwa upande wake.
Watu hao walikuwa wakimsikiliza na kumsifia lakini mioyoni mwao walikuwa wakimsema vibaya.
Mmoja wa watu hao alikuwa ni Tabu, ambaye alikuwa upande wa Rehema, aliposikiliza majigambo ya Queen aliamua kuchomoka na kwenda kumfuata Rehema ili amwambie kile kilichojiri.

Tabu, aliangaza huku na kule na kuhakikisha kwamba hakukuwa na mtu aliyemuona wakati akiingia chumbani humo.
Kweli hakuonekana na mtu yeyote, akazama chumbani kwa Rehema bila ya kupiga hodi.
“Eeeh umenishtua…” alisema Rehema aliyekuwa amepitiwa na usingizi na kisha kuhisi kama alinyatiwa na mtu.
Alipomuona Tabu ameingia chumbani kwake akajua kwamba atapata kila kilichojiri nje kwa siku nzima na hata majibu ya maswali yake yatajibiwa hapo.
Alikuwa na uhakika huo kwa kuwa siku zote alikuwa akiamini kwamba Tabu alikuwa ni kibaraka
“Niambie mdogo wangu?” alisema Rehema kwa shauku huku akifuta machozi yaliyokuwa yakimchiruzika.
“Dada nimekuja…” alisema Tabu kwa sauti ndogo kwa lengo la kutotaka kusikika nje.
“Enhe, nipe mchapo…”
Tabu hakubakisha kitu, akamweleza Rehema kila kitu na kumfanya msichana huyo kubaki mdomo wazi.
“Kwanza yule kijana yupo?”
“Nani Eddy?”
“Eeeh.”
“Hayupo… aliondoka baada ya lile kashehe, tena leo ameondoka bila hata ya kuoga.”
“Kwa hiyo Queen anasema kuwa aliniona nikiwa nimelala wakati akitoka chumbani kwa Eddy?”
“Eeeh, alisema hivyo,” alijibu Tabu kutokana na swali aliloulizwa na Rehema.
“Kuhusu huyu baba mwenye nyumba, hivi ilikuwaje?”
Tabu akaendelea kutiririka kile kilichotokea na kumfanya Rehema aendelee kubaki mdomo wazi.
“Nakushukuru sana mdogo wangu… sasa nimeelewa kila kitu, unajua sikuwa nikijua kilichoendelea,” alisema Rehema na kumtaka Tabu atoke chumbani humo.
Baada ya Tabu kuondoka, Rehema akaanza fikra upya za kutafakari mambo yote yaliyokuwa yakiendelea. Hakupata tabu na baba mwenye nyumba ila aliumizwa na tambo za Queen.
***

Siku hiyo ilikuwa na mambo mawili kwa Eddy, moja lilikuwa ni furaha lakini lingine lilikuwa ni la kumkera.
Jambo kwa kwanza lilimpa sifa kwa marafiki zake, Amour Mohammed na Salim Raha ambao walimsifu kwa ushujaa wake.
“Mwana wee mbaya…!” alisema Raha.
“Sasa hebu twambie nani anayaweza kati yao…?” Amour naye alichombeza.
“Wale mabinti ni wabaya, wote ni wazuri kwenye kindumbwendumbwe ingawaje kila mmoja ana ladha yake,” alisema Eddy.
“Enhee? Hebu tufafanulie unaposema ladha tofauti unamaanisha nini kwa kuwa hukuweka mdomoni…?” Amour aliendelea kuhoji.
“Kweli sijaweka mdomoni lakini ladha ya kitu siyo mpaka uweke mdomoni ila unaweza kuijua hata pale mnapokuwa kwenye mchakamchaka…” alisema Eddy.
“Ndiyo tufafanulie basi…” Raha alikazia.
“Ni ngumu lakini ni rahisi… ni kwamba Rehema ana vitu vingi sana vya utundu tofauti na Queen ila…”
“Vitu kama vipi…” Amour aliuliza
“Ni sawasawa na chakula ambacho kina kila kitu, kachumbari na viungo vingine vyote…”
“Kwa hiyo amekamilika…?” ilikuwa zamu ya Raha kuhoji.
“Yaa amekamilika lakini ana upungufu wake… hawezi kupiga chenga.”
“Na huyo mwingine…?” Amour alitaka kujua.
“Huyo bwana ni fundi wa kupiga chenga, utundu kwa mbali na mjanja ile mbaya si mvivu na wala hakuwa akitegea, sindimba imetimia…” alisema Eddy na kuwafanya wenzake waangue vicheko.
Baada ya kupiga stori, Eddy akawambia wenzake kwamba amepanga asirudi nyumbani alikopanga siku hiyo. Hofu yake ilikuwa ni kuchorwa na watu wa nyumba hiyo pamoja na majirani kwani alijua kwa tabia za uswahilini siku hiyo hadithi ingekuwa ni yake tu.
Hata hivyo, marafiki hao walimtaka akomae na kurudi nyumbani. Pamoja na kumtaka arudi kwake lakini pia walimtaka ‘apige maji’ ili kukata nishai.
“Jamani wale wanawake wataniua miye…”
“Tangu lini jogoo likafa kwa utitiri?” aliuliza Amour na kuwafanya wote wacheke.
“Sikia, twende tukapige kinywaji, kisha ukirudi nyumbani kila mtu utamuona mdogo, hakuna cha nani wala nani?” alisema Raha kwa kujiamini.
Wazo hilo lilimwingia Eddy, pamoja na marafiki zake hao wakaingia baa na kuagiza kinywaji huku wafadhili wakubwa wakiwa ni rafiki zake hao.
***
Usiku ulipoingia hakuna aliyetaka kulala mapema, kila mtu alikaa nje ili kujua ni nini kitakachoendelea, wengi wao walikuwa wakitaka kujua atakachokifanya Eddy.
Je, ataingia chumbani kwa Rehema au atakuwa chumbani kwake na Queen?
Basi, wasichana wote walikuwa wamekaa kwenye kibaraza cha nyumba hiyo kutoka kona moja hadi nyingine, kote walikuwa wametanda wao.
Siyo wao peke yao, pia kulikuwa na majirani ambao nao walikuwa wamefika pale kwa lengo la kutaka kumjua kijana huyo kwa macho yao.
Kwa upande wake Rehema hakuthubutu kutoka nje, alifanya hivyo mara chache sana, tena alisimama kwenye kizingiti cha mlango wa chumba chake na kumwita Tabu na kumuagiza chipsi na mayai.

Muda ulikuwa umekwenda sana, Eddy alikuwa anajivuta kufika katika nyumba aliyokuwa amepanga. Hofu yake kubwa ilikuwa ni kukutana na watu wakiwa nje.
Alikuwa akiijua nyumba ile, mara nyingi mlango ulikuwa haufungwi watu walikuwa wakiingia na kutoka muda wote, hilo lilitokana na ulevi wa baba na mama mwenye nyumba.
Kwa mbali aliwaona watu wachache wakiwa wamelala kibarazani. Kadiri alipoisogelea nyumba hiyo, ndipo alipowana vizuri watu wale.
Wote walikuwa wamelala, kwa haraka haraka aliweza kumuona Queen, hakutaka kumwamsha yeyote kati yao, akanyoosha moja kwa moja hadi chumbani kwake.
Ni wakati alipokuwa akifunga mlango, ndipo Rehema aliyekuwa akitoka nje alipojua kama Eddy amerudi.
Msichana huyo aliushuhudia mlango ukifungwa kwa ndani, akaamini kuwa ulikuwa ni wakati wake muafaka wa kuongea na mvulana huyo.
Akatoka hadi barazani na kuwashuhudia wasichana wote wakiwa wamelala.
Rehema hakutaka kupoteza muda, akazunguka nyuma ya nyumba hiyo kwa kupitia uwani na kwenda usawa wa dirisha la Eddy.
Hapo akasimama na kusikiliza kile kilichokuwa kikiendelea chumbani humo.
Baada ya kupita kama dakika tano, akamsikia Eddy akiwa anakoroma.
“Eddy… Eddy… Eddy…” akaita.
Hakukuwa na dalili za kusikika na mhusika, akaona isiwe tabu, kwa kua nyumba ilikuwa na madirisha ya Kiswahili, Rehema akapenyeza mkono na kufanikiwa kulifungua moja na kumshuhudia Eddy akiwa amelala kwa msaada wa mwanga wa mbaramwezi iliyokuwa ikiangaza mwanga wake.
Hapo akaamini kabisa kwamba akimwita atasikia, Rehema akaanza tena zoezi la kumwita mvulana huyo.
Hata hivyo hakupata jibu, akafikiria njia nyingine, akatoka sehemu ile na kuangaza huku na kule, akafanikiwa kuupata mti ambao ungeweza kumfikia na kumwamsha Eddy.
Akauchukua mti huo na kuupitisha katika tundu kubwa la dirisha, akamgusa nao Eddy.
Akawa anamgusa na mti huku akimwita kwa sauti yake ndogo ambayo hakutaka ifike mbali kwa kuwa alikuwa akijua usiku huo, sauti ilikuwa ikienda mbali sana.
Akaita na kuendelea kuita kwa muda mrefu huku akimsukumiza kwa kutumia mti.
Akiwa ameshakata tamaa, akamuona Eddy akijigeuza, Rehema akatumia nafasi hiyo kuongeza sauti yake na kumgusa kwa nguvu kwa kutumia mti ule.
Hatimaye Eddy akashtuka na kuinuka kitandani, hakuwa akielewa kilichokuwa kikiendelea.
Kutokana na ndoto aliyokuwa akiiota akadhani labda alikuwa amevamiwa na majambazi akataka kupiga kelele, lakini akasita.

Alishangaa kuliona dirisha lake likiwa wazi na kisha akimuona mtu, kwa mawenge ya kutoka usingizini akadhani labda kulikuwa na jambo la kishirikina lililokuwa likifanyika.
Akatuliza akili yake sawasawa na kukaza macho yake dirishani.
“Wewe ni nani?” alihoji kwa hofu.
“Rehema…”
“Rehema gani?”
“Yaani umenisahau mpenzi,” alisema Rehema na kumfanya Eddy aanze kurudisha kumbukumbu yake nyuma.
“Aaah aaah Rehema…” alisema Eddy akiwa amerudiwa na akili zake sawasawa na kutambua ni Rehema gani aliyekuwa pale dirishani.
“Unasemaje?”
“Naomba kuzungumza na wewe, nina mambo muhimu sana…” alisema Rehema.
Eddy akasogea hadi dirisha na kutaka kuzungumza na Rehema palepale.
“Tafadhali mpenzi, nifungulie mlango, nataka kuingia chumbani kwako…” alisema Rehema na kumpa wakati mgumu sana Eddy.
“Kwa nini tusifanye kesho au ni muhimu sana…” alisema Eddy huku akiwa ametawaliwa na hofu kubwa ya kufungua mlango.
Wasiwasi mkubwa wa Eddy ulikuwa ni kwa Queen, alihisi anaweza kujua kama Rehema ameingia chumbani kwake.w
Alijua nyumba hiyo haikuwa na siri hata kidogo. Hata kile kitendo cha Queen kuingia chumbani kwake alijua kuwa kimetokana na maneno ya watu.
Alijua Rehema aliambiwa kuwa Queen alikuwa ameingia chumbani kwake.
“Ni muhimu, nataka kuongea na wewe…” Rehema alisisitiza.
“Hatuwezi kuongea hapahapa?”
“Jamani huoni mazingira haya si mazuri,” alisema Rehema kwa sauti ya mahaba ambayo ilipenya hadi katika moyo wa Eddy.
“Powa…” alisema Eddy na kugeuka kuufuta mlango wa chumba chake ili akaufungue.
Rehema naye akatoka pale aliposisima na kuondoka kurudi ukumbini ili aingie chumbani kwa Eddy.
Eddy alisimama kwa muda mlangoni na kufikiria, kisha akajisemea moyoni ‘liwalo na liwe…” akafungua mlango.

Alipomaliza kuufungua hakusimama tena mlangoni, moja kwa moja akarudi kitandani kwake na kujitupa juu yake.
Rehema naye alipofika, wala hakujibalaguza, akausukuma mlango na kuingia chumbani humo.
Ni wakati alipokuwa akiingia ndipo, kuna mtu aliyekuwa akitokea barazani akiingia ndani, akamuona Rehema akiishia chumbani kwa Eddy.
Mtu huyo akashangaa! Akajiuliza kama Eddy alikuwa amerudi au la. Alipokosa jibu akadhani labda Rehema alikuwa ameachiwa ufunguo.
Rehema alipohakikisha kwamba ameishaingia chumbani humo wala hakutaka kungoja, moja kwa moja alimfuata Eddy pale kitandani alipokuwa amelala na kuanza kumkumbatia.
Eddy hakuwa na ujanja wa kukataa kumpokea Rehema pamoja na kwamba hakutegemea kufanyiwa kitu kama hicho, yeye alihisi kesi kuhusiana na mambo yaliyotokea jana yake usiku ingeanza kisha mambo hayo yangefuata baadaye.
Bila ya kujivunga mtoto wa kike akaanza kumshushia mabusu ya nguvu Eddy, akawa anampandisha morali wake kwa kumshika kila kona ya mwili wake.
Wakati alipokuwa akiyafanya hayo, Rehema alikuwa akisindikiza vitendo hivyo na sauti ya kilio, alikuwa akilia kwa sauti ndogo yenye kusisimua.
Kilio chake kiliongeza hamasa ya kumpagawisha Eddy aliyekuwa amelala na kumwachia msichana huyo afanye anachotaka.
Awali Eddy hakuwa akisikia kile Rehema alichotaka akisikie lakini kadiri muda ulivyoenda ndivyo msichana huyo alivyokuwa akiongeza majonjo ya kumpagawisha.
Ilifika hatua, Eddy alisalimu amri, akaanza kujibu mashambulizi ya Rehema, ilipofika hatua hiyo sasa ikawa kama fujo, wakawa kama wanamichezo wa miereka, wakawa wanazungushana juu ya uwanja ule wa sita kwa sita, mmoja akiwa juu mwingine anakuwa chini, kila mmoja alikuwa akifanya kile anachokijua katika kumpagawisha mwenzake.
Waliendelea hivyo kwa muda mrefu na hatimaye wakawa kama wanaishiwa pumzi, kila mmoja akawa anavuta pumzi za ziada, hamasa ikiwa imewapanda kwa asilimia mia moja.
Bado kilio cha Rehema kilikuwa palepale, alikuwa akilia kwa sauti ndogo kuonesha manung’uniko aliyonayo juu ya Eddy.
“Kwa nini unanifanya hivi?”
aliuliza Rehema huku akisaula viwalo vya mwenzake huyo.
Eddy hakujibu kitu, alikuwa kimya muda wote ingawaje pombe ilikuwa ikianza kumtoka kichwani mwake.
Rehema alipoona kimya wala hakukata tamaa, akaiondoa ‘t- shirt’ aliyokuwa ameivaa Eddy na kuitupa pembeni.
Akawa anatafuta sehemu ambazo zingeweza kumpagawisha zaidi mvulana huyo.
Baada ya muda akaona kama vile alikuwa akichelewa kufikia lengo lake, akaifungua njia ya kuingia ‘ikulu’ kwa kuivuta chini zipu iliyokuwa imeziba njia hiyo.
“Kwa nini unanifanyia hivi?” alirudia tena Rehema huku akimshika askari wa Eddy na kumwingiza katika njia ya kupitishia chakula.
Eddy alizidi kupagawa, kijasho chembamba kikaanza kumvuja.
“Unataka nikufanyie nini…?” bado Rehema aliendelea na maswali lukuki ambayo yalikuwa hayajibiwi na mwenza wake.
Rehema akaona kama vile hatosheki na kile alichokuwa akikifanya, akamwondoa Eddy kiwalo kingine muhimu katika maungo yake.

Akaendelea na zoezi lake hadi pale alipomuona Eddy akiwa mtupu kama alivyotoka katika tumbo la mama yake , naye akainuka na kuondoa vya kwake.
‘Mechi’ ilikuwa ikitaka kuanza, ndipo mlango ulipofunguliwa, mtu aliyefungua mlango aliingia na kuwaona wawili hao kwa msaada wa taa ya ukumbini kwa kuwa mlango aliuacha wazi.
Wote wakatahamaki na kujiuliza nini kilikuwa kikiendelea. Rehema ndiye aliyekumbuka kuwa wakati alipokuwa akiingia mle ndani hakuwa ameufunga mlango.
“Eddy,” sauti ya kike iliita na wote wawili wakaifahamu ni sauti ya nani.
Kama vile haitoshi aliyewaita akageuka na kwenda kuwasha taa na kuwashuhudia wawili hao wakiwa wamejilaza kitandani tayari kwa kuendelea na ngwe ya kupeana burudani.
“Eddy hiki ni nini?” alisema mwanamke huyo ambaye hakuwa mwingine zaidi ya Queen.
Queen alikuwa amesimama mbele yao akiwakodolea macho kama vile askari aliyekuwa amewakuta wahalifu wake.
“Kwa nini unaingilia starehe za watu?” hatimaye Rehema aliweza kupata maneno ya kuonge huku akimwangalia Queen.
“Starehe za watu? Wewe una starehe gani hapa mjini zaidi ya umalaya…?”
“Ndiyo miye ni malaya na wewe ni nini kilichokuleta humu ndani?”
Kauli hiyo ilimkera Queen aliyetoka mzimamzima na kumvaa Rehema pale kitandani, Rehema naye hakukubali akakunjua makucha yake na kumshika Queen kisawasawa.
Wawili hao wakaanza kushika huku wakipigizana kelele, hali iliyowashtua watu wengine waliokuwa katika vyumba vyao.
Watu hao wakaanza kuamka na kutafuta kelele zinapotokea, wakagundua kuwa zilikuwa zikitokea chumbani kwa Eddy.
Waliposikiliza vizuri wakagundua kuwa sauti za wanawake wawili zilikuwa zikijibishana, sauti hizo hazikuwa ngeni masikioni mwao, wakaamua kuvamia chumba hicho.
Je, nini kilifuatia chumbani humo?
ITAENDELEA

MAJANGAAA MBONA MAJANGAAA ! – 4

Image result for walter photography


Chombezo : Majangaaa Mbona Majangaaa !
Sehemu Ya Nne (4)

ote watatu wakashtuka kuona wamevamiwa, Eddy akaanza kutafuta nguo za kujistili hali kadhalika kwa Rehema.
“Kuna nini jamani?” alisema Mwamvua ambaye alikuwa wa kwanza kuingia chumbani humo.
Hakuna aliyemjibu, bali Rehema na Queen waliendelea kuvutana kwa lengo la kushikishana adabu.
Baada ya kuona kile kilichokuwa kikiendelea, Mwamvua akapiga kelele na kuwaita watu wengine ambao walikuwa wameishia mlangoni na kumtanguliza yeye kama chambo.
Nao wakazama chumbani humo na kukuta kimbembe kikiwa kimekolea, Rehema na Queen walikuwa wamevaana na kuangushana chini kila mmoja alikuwa akifoka kivyake vyake.


“Jamani tafadhali jamani, hebu waamulieni…”alisema baba mwenye nyumba ambaye naye alishafika.
“Kuna nini kwani? nyumba hii kila siku majanga…” alisema mama mwenye nyumba.
Kila mmoja kati yao, Rehema na Queen hawakuweza kusema kile kichowafanya wagombane.
“Hebu wewe baba twambie…” baba mwenye nyumba alimgeukia Eddy.
“Hata miye sijui kilichokuwa kikiendelea, nilikuwa nimelala mara wakaja hawa…” alisema.
“Siyo hawa, akaja huyu malaya kutuharibia starehe zetu…” alisema Rehema.
“Malaya mwenyewe…” alijibu Queen na kuwa tayari kujipapatua mikononi mwa watu waliokuwa wamemzuia.
“Eti kweli baba?”
“Ni ni kweli kama nilivyosema, walikuja hawa na kila mmoja alikuja kivyake…” alizidi kujitetea Eddy.
“Hukuwa na miadi nao?” baba mwenye nyumba aliongeza udadisi.
“Nimesema kila mmoja alikuja kwa wakati wake…” alisema Eddy.
“ Nani ni mpenzi wako kati ya hawa wawili…?” mama mwenye nyumba naye hakuwa nyuma katika kuuliza maswali.
“Wote,” alijibu Eddy na kuwafanya watu wote waliokuwa chumbani humo kucheka.
“Hebu sikilizeni nyie mabinti,” alisema baba mwenye nyumba na kuwageukia Rehema na Queen “imekuwaje kuja kugombania kwa mgeni, kwani kuna yeyote mwenye uhusiano naye kati yenu?”.
Hakuna aliyejibu zaidi ya kukodoa macho yao. Baba na mama mwenye nyumba pamoja na wapangaji wengine walikuwa wanakijua kilichokuwa kikiendelea lakini walikuwa wakitaka kupata uhakika kutoka katika vinywa vya wahusika.
“Mbona hamsemi mmekuwa mabubu nini…?” alihoji baba mwenye nyumba.
“Au tuwafungie humu ndani na mwanaume wao, tuwaache waoneshane ujuzi…” alidakia msichana aitwaye Kidawa na kuwafanya watu wote kuangua vicheko.
“Tatizo hawataoneshana ujuzi wa mambo, bali wataoneshana ujuzi wa kupigana…” alisema mama mwenye nyumba na kufutiwa na vicheko vingine.
Baada ya kuonekana kwamba imeshindikana kuwapatanisha chumbani kutokana na watu wengi kufurika ikabidi watolewe nje ili kesi iamuliwe.
Baba mwenye nyumba akapendekeza kesi hiyo ihamie uwani, basi kundi zima likatoka chumbani humo na kwenda uwani kwa ajili ya kusikiliza kesi hiyo.
Minong’ono ilikuwa mingi na kila mmoja alikuwa akisema lake. Pamoja na kuwa ni usiku mrefu lakini majirani nao walishafika na kutaka kujua zogo lile lilikuwa limetokana na nini.
“Jamani kulikoni?” alisema mama Kibena ambaye siku zote alikuwa hapitwi na jambo mtaani pale.
“Wote twendeni uwani…” alisisitiza baba mwenye nyumba huku akitaka Rehema na Queen wasiwekwe karibu.
Watu wote walitii na kwenda uwani ambako kulikuwa kama uwanja mkubwa kama wa mpira kwa ukubwa na watu wakachukua nafasi zao kwa kukaa chini kusikiliza kile kitakachojiri.
Tayari ilishatimu saa tisa za usiku, baba mwenye nyumba akaongoza kikao hicho.
“Hebu niambieni nini kimeendelea, maana nimeshachoshwa na makelele ndani ya nyumba hii…” alisema.
Bado hakuna aliyekuwa tayari kuzungumza chochote, wakabaki wakiangaliana kama vile majogoo yaliyokuwa yamechoka baada ya kupigana kwa muda mrefu.
Katika nafsi zao, Rehema na Queen walijiona wajinga kwa kupigana kisa kikiwa mwanaume lakini kila mmoja bado alikuwa hataki kushindwa.
Pia wakawa wanashindwa kuweka wazi kile kilichotokea kutokana na kukumbwa na aibu, hawakupenda kuonekana kama walikuwa wakigombania mwanaume.
“Huyu mwanaume ndiye atuambie kilichotokea…” alisema mama mwenye nyumba.
“Haya wewe twambie…” alidakia tena baba mwenye nyumba.
Eddy akajiumauma na kisha kuanza kusema kile kilichotokea, alianza kusema siku ya kwanza tu alipoingia ndani ya nyumba hiyo alikuwa amevutiwa na mwonekano wa Rehema.
Kisha akasimulia jinsi alivyokutana na Queen ambaye naye alikuwa hajambo kwa uwezo wake wa majambozi.
Muda wote aliokuwa akihadithia matukio hayo baadhi ya wasichana walikuwa wakicheka na kuingiza vidokezo vya kunogesha stori yake.
“Pasuaaa… pasuaaaa… siku ya kwanza tu umegonga ngoma mbili!…. kweli majangaaa…,” alisema Mwamvita.
Baada ya kumwaga mchele hadharani wakatakiwa wasichana wale nao waseme kile kichotokea, ndipo Rehema alipojikaza na kusema:
“Kama mlivyosikia, nikiwa na mpenzi wangu ndani tukiwa tunakula raha zetu ndipo huyu malaya akatuvamia…”
Queen hakuvumilia kauli hiyo, akambwatukia Rehema kwa kumtolea tusi kali, ikabidi Rehema naye achoropoke pale alipokuwa amesimama na kumfuata pale alipokuwa amesimama.
“Unanitukania nini sasa…?” alihoji.
“Mdomo,” alijibu Queen.

Mara wakavaana na kuangushana chini, safari hii baba mwenye nyumba akataka waachiwe ili washikishane adabu.
“Waacheni, hakuna kuingilia, wakimaliza kupigana ndipo wataheshimiana…” alisisitiza baba huyo.
Hali ilikuwa mbaya kwa Rehema ambaye alikuwa ameelemewa na kipigo, Tabu hakupendezwa na hali ile lakini hakuwa na budi kunyamaza huku roho ikimuuma.
“Jamani watauana hapa kisha tutapewa kesi,” alisema mwanamke wa jirani na kuwafanya wote washtuke na kuamulia ugomvi huo uliokuwa umepamba moto na kutimua vumbi la uwani.
“Bahati yako ningekuulia mbali…” alijitapa Queen.
“Umue nani wewe kwani umeshaua wangapi…?” Rehema bado alikuwa ngangari katika kujibu huku moyoni akishukuru kwa kuamuliwa ugomvi ule kwa kuwa alikuwa amezidiwa vibaya.
Baba mwenye nyumba akawarudi tena kwa Eddy na kumwambia achague mmoja kati ya wasichana hayo ili kuondoa ugomvi kati yao.
“Mimi nawapenda wote kwa kuwa wote ni wazuri,” alijibu Eddy na kuwafanya watu waendelee kuambulia burudani ya kucheka.
“Acha utani bwana, siye tunataka kuamua ugomvi huu ili tumjue nani ni nani kwako, kwa kuwa ukimchagua mmoja atayemwingilia mwenzake atakuwa mgomvi, haya chagua unamtaka nani?” alisema tena baba mwenye nyumba.
“Siwezi kuchagua, kama nilivyosema mwanzo wote nawapenda…” alijibu tena Eddy.
“Au tumpe notisi mmoja na mwingine abaki…” alisema mama mwenye nyumba.
“Hapana wapewe notisi wote… tena miye nataka niwekewe chumba kimoja ili nihamie huku…” alisema mama Kibena. 


 “Pasuaaa… pasuaaaa… siku ya kwanza tu umegonga ngoma mbili…kweli majangaaa…,” alisema Mwamvita.
Baada ya kumwaga mchele hadharani wasichana wale nao wakatakiwa waseme kile kichotokea, ndipo Rehema alipojikaza na kusema:

“Kama mlivyosikia, nikiwa na mpenzi wangu ndani tukiwa tunakula raha zetu ndipo huyu malaya akatuvamia…”

QUEEN hakuvumilia kauli hiyo, akambwatukia Rehema kwa kumtolea tusi kali, ikabidi Rehema naye achoropoke pale alipokuwa amesimama na kumfuata Rehema alipokuwa amesimama.
“Unanitukania nini sasa…?” alihoji.
“Mdomo,” alijibu Queen.
Mara wakavaana na kuangushana chini, safari hii baba mwenye nyumba akataka waachiwe ili washikishane adabu.
“Waacheni, hakuna kuingilia, wakimaliza kupigana ndipo watakapoheshimiana…” alisisitiza baba huyo.
Hali ilikuwa mbaya kwa Rehema aliyekuwa ameelemewa na kipigo, Tabu hakupendezwa na hali ile lakini hakuwa na budi kunyamaza huku roho ikimuuma.
“Jamani watauana hapa kisha tutapewa kesi,” alisema mwanamke wa jirani na kuwafanya wote washtuke na kuamulia ugomvi huo uliokuwa umepamba moto na kutimua vumbi la ua huo.
“Bahati yako ningekuulia mbali…” alijitapa Queen.
“Umuue nani wewe kwani umeshaua wangapi…?” Rehema bado alikuwa ngangari katika kujibu huku moyoni akishukuru kwa kuamuliwa kwa kuwa mpinzani wake alikuwa amemdhibiti vibaya.
Hata hivyo, Rehema alikuwa akiamini kuwa alikosea ‘taimingi’ tu na siyo kama alikuwa hamuwezi Queen.
Baba mwenye nyumba akamrudia tena Eddy na kumwambia achague mmoja kati ya wasichana hayo ili kuondoa ugomvi kati yao.
“Mimi nawapenda wote kwa kuwa wote ni wazuri,” alijibu Eddy na kuwafanya watu waendelee kuambulia burudani ya vicheko.
“Acha utani bwana, siye tunataka kuamua ugomvi huu ili tumjue nani ni nani kwako, kwa kuwa ukimchagua mmoja atayemwingilia mwenzake atakuwa mgomvi, haya chagua unamtaka nani?” alisema tena baba mwenye nyumba.
“Siwezi kuchagua, kama nilivyosema mwanzo wote nawapenda…” alijibu tena Eddy.
“Kama ni hivyo waoe wote…” alisema Mwamvita.
“Au tumpe notisi mmoja na mwingine abaki…” alisema mama mwenye nyumba.
“Hapana wapewe notisi wote… tena miye nataka wakipewa notisi nihamie huku na ikiwezekana niingie katika kile chumba anachokaa Rehema…” alisema mama Kibena.
Hali hiyo ilizua zogo kubwa na kuwafanya wapangaji wengine kuwatetea wasichana hao na ili wasipewe notisi.
Wengi wao walipendekeza Eddy ndiye apewe notisi kwa kuwa yeye ndiye chanzo cha matatizo hayo.
“Ikiwezekana huyo mwanaume ndiye apewe notisi kwa kuwa kabla hajahamia katika nyumba hii watu walikuwa wakiishi kwa amani,” alipendekeza Tabu na kuungwa mkono na watu wengi.
Huo ulikuwa ni mtihani mkubwa kwa baba mwenye nyumba kwa kuwa hakuwa na fedha za kumrudishia Eddy kodi yake ya mwaka aliyolipa.
Kikubwa alichokuwa akizingatia ni watu wengi kushindwa kuhamia katika nyumba yake kutokana na mambo mengi ya kiswahili.
Baba huyo anakumbuka jinsi alivyopata tabu kukipangisha chumba alichoingia Eddy kwa kuwa kilikaa zaidi ya miezi sita bila ya kupata mpangaji.
“Hapana hilo niachieni mwenyewe nitaliamua, nafunga mjadala mpaka kesho ndipo nitakapotoa uamuzi wangu,” alisema na kuwataka watu wote wakalale.
Siku mbili zilipita bila ya baba mwenye nyumba kutoa jibu lolote la kile alichokuwa amekiahidi.
Kwa upande mwingine hali ya uhasama kati ya Rehema na Queen ilizidi, kila mmoja alikuwa akitaka kujionesha kwamba yuko karibu na Eddy kuliko mwenzake.
Lengo kubwa kila mmoja alikuwa akitaka kuonesha kuwa yeye ni mshindi. Hivyo mmoja akimpelekea Eddy chai, mwingine alikuwa akihakikisha kwamba anampelekea chakula cha mchana.
Katika kufanya hivyo hawakuwa wakienda wao wenyewe, bali walikuwa wakiwatumia wapambe wao.
Rehema alimtumia mpambe wake Tabu wakati Queen alimtumia mdogo wake Pat, ikatokea siku Tabu naye uvumilivu ukamshinda akawa anataka kujua kile kilichowafanya Rehema na Queen wagombane kwa ajili ya Eddy.
Msichana huyo akataka kuingia katika himaya ya wakubwa zake, akataka kumsaliti mtu aliyekuwa akimshabikia.
Siku hiyo alikuwa ameingia chumbani kwa Eddy kwa lengo la kumpelekea chakula cha mchana, alipoingia ndani akaanza kujisemesha hili na lile.
“Hivi kwa nini unafikia hadi unagombewa na wanawake?” Tabu alimuuliza Eddy.
“Wee bado mdogo huwezi kujua,” Eddy alimjibu kwa kifupi ili kuondoa bughudha mbele yake bila kujua lengo la Tabu.
“Mi mdogo miye?
“Ndiyo, huwezi kujua mpaka ukikua ndipo utajua kwa nini wale walikuwa wakinigombea,” Eddy aliendelea kumjibu.
Bado Tabu hakutosheka na maneno yale yaliyokuwa yakiashiria kitu kingine kabisa tofauti na kile alichokifikiria.
“Watu wengi wananidharau kutokana na umbile langu lakini nataka kukuhakikishia kuwa miye siyo mtoto…” alisema Tabu kurudia kauli yake ya awali.
“Wee bado mtoto tu…” Eddy alisisitiza.
“Wewe nione mtoto lakini usidharau wembemba wa reli, unabeba hata treni…” alisema tena Tabu.
“Kweli?”
Kweli vile…”
Eddy alichukua fursa hiyo kumkagua vizuri msichana huyo, akagundua kitu, msichana huyo alionekana ndiyo kwanza anachipukia katika anga la mapenzi.
Chuchu zake zilikuwa zimechongoka na hipsi zake zilikuwa zikitanuka taratibu, Eddy alifikiria kwamba ukubwani mwake atasumbua kutokana na kuendelea kukua.
Midomo ya binti huyo ilikuwa mipana na kutengeneza vishimo ‘dimples’ pale alipokuwa akitabasamu.

Bado katika akili yake Eddy alijua kwamba anaweza kuwa mtu wa kwanza kuvunja ngome ya msichana huyo, aliamini hivyo kutokana na mwonekano wa binti huyo.
Akazidi kumvutia upande wake na kumhamisha kutoka pale walipokuwa wamesimama, wakasogea hadi katika uwanja wa fundi seremala na hapo akazidi kumpandisha ‘wazimu’ wake.
Eddy alihakikisha anamfanyia binti huyo utundu wote anaoujua, hali hiyo ikawa inamfanya Tabu kupiga kelele za kuashiria kuhamasika na kusisimka huku akipoteza umakini wake.

Eddy alikuwa amempania kumuonesha binti huyo utundu wake wote na kwamba alikuwa jabali katika mambo hayo ya faragha.
Pia, alifanya hivyo huku akiwa na kiu ya kutaka kuondoa kizuizi cha binti huyo kama siyo kupasua ngome kwa mara ya kwanza.
Katika maisha yake ya mapenzi, Eddy hakuwahi kufanikiwa kuipasua ngome ya binti ye yote, hivyo akaweka imani kwamba angeweza kubahatisha kwa Tabu kwa kuwa siku zote alikuwa akikutana na wale wazoefu tu.
Hivyo, alihahakisha anampigisha ‘kwata’ za kutosha Tabu kwa lengo la kumpagawisha binti huyo ambaye alimkadiria kuwa na miaka 19.
Katika hilo alifanikiwa kwa asilimia kubwa kwa kuwa Tabu alianza kubadili mikao na kuzungusha macho kama vile alikuwa akitaka kukata roho.
Mtoto wa watu alichanganyikiwa na kuwa mbendembende kutokana na manjonjo aliyokuwa akioneshwa na Eddy ambaye alihakikisha anapita katika kila idara yake.
Baada ya maandalizi ya mechi hiyo Eddy akapuliza kipyenga na kuzialika timu katikati ya dimba la fundi seremala.
Askari wake akiwa amekasirika zaidi kwa vile alikuwa amevutiwa na mwonekano wa binti yule aliyekuwa bado mbichi.
Macho yaliyojaa uoga na embe sindano zilizokuwa zikivutia zikiwa zimechomoka kama zimetundikwa kifuani mwake.
Kama vile haitoshi, Eddy alivutiwa na harufu ya Tabu ambaye alikuwa na kijasho cha kuonesha kwamba bado hakuwa na uzoefu wa mambo yale.
Jasho lake lilikuwa halikeri katika pua za Eddy, Tabu alikuwa akinukia harufu za kitoto kwa kuwa hakuwa mzoefu wa mambo ingawaje yeye alikuwa akijiona ni mkubwa wa kuweza kufanya kile kilichokuwa kikifanywa na watu wengine wenye jinsia kama yake.
Baada ya kuhakikisha amempagawisha vya kutosha,Eddy alibadilisha somo kumchukua askari wake na kumzamisha kisimani.
Tabu aliachia ukulele mkubwa kiasi ambao ungeweza kusikika nje kama Eddy asingekuwa makini na kuwahi kumziba mdomo.
Ni kama vile alikuwa amejiandaa, mkono huo ukaganda kwenye kinywa cha Tabu kwa muda na alipomuona ametulia aliuachia taratibu huku akihisi kwamba amevunja ngome ya binti huyo.
Tabu hakuendelea kupiga kelele tena, akatulia tuli huku akionesha kukubaliana na kile kilichokuwa kikiendelea kati yake na Eddy.
Baada ya Eddy kumuona ametulia akautoa mkono wake katika mdomo wa Tabu na kushusha macho yake kumwangalia askari wake kama alikuwa amepasua ngome au la.
La hasha haikuwa hivyo, kulikuwa na kila dalili kwamba ngome ilishapasuliwa muda mrefu.
Pamoja na kuona hali hiyo, Eddy wala hakukata tamaa kwa kulikuwa na vitu kadhaa ambavyo alivibaini katika mechi hiyo, kwanza alithibitisha kwamba Tabu hakuwa mtoto bali alikuwa mkubwa mwenzake.
Hivyo mategemeo yake ya kuwa mwanaume wa kwanza wa kukata ‘siri’ au kuvunja ngome ya binti huyo yakatoweka kama mafuta ya samli katika kikaaongo cha moto.
Baada ya kuona nanga yake ikizima majini bila ya kipingamizi.
Kumbe zile kelele za Tabu zilikuwa ni moja ya mbwembwe zake katika kufanikisha na kumpagawisha Eddy ambaye aliyekuwa na matarajio makubwa ya kupasua ngome.
Pamoja na kwamba binti huyo alikuwa tayari ameshaanza mambo hayo mapema lakini kulikuwa na vitu vingine ambavyo Eddy hakukitegemea kabisa kuviona.
Vitu hivyo vikawa faraja kubwa sana kwake, kwanza ni pale alipogundua kwamba Tabu hakuwa ameguswa na watu wengi kwani aliiona tofauti kati ya binti huyo na akina Queen pamoja na mwenzake Rehema.
Kwa kutumia uzoefu wake, aliamini kuwa kama hakuwa mwanaume wa pili kwa Tabu baada ya yule wa kwanza aliyekata utepe basi alikuwa ni wa tatu.
“Kama siyo wa pili, basi nitakuwa wa tatu,” alijisemea kimoyomoyo huku gemu likiendelea.
Imani hiyo ilitokana na mvutano kama ule wa ‘sumaku’ aliokuwa akikumbana nao askari wake mara baada ya kuzama kwenye kisima cha ‘bintani’ huyo.
Aliamini binti huyo hakuwa amechezewa vya kutosha, akaongeza ufundi zaidi ili kumuonesha kwamba hao wengine hakuwa na kitu mbele yake.
Kingine kilichomshtua Eddy ni pale alipoona kwamba mechi ile haikuwa ya upande mmoja, kwani Tabu alikuwa akijibu mashambulizi kwa aina ya pekee.
Hali hiyo ilimfanya kukubaliana na kauli ya binti huyo ambaye mwanzo alimwambia kwamba asidharau wembamba wa reli kwa kuwa unabeba hata treni.
Tabu alikuwa akijua kufanya vitu ambavyo hata wale wengine waliokuwa wamekutana na Eddy hawakuwa wakiweza kuvifanya.
Alionesha uzoefu wake wa kucheza ‘sindimba’ na kumfanya Eddy ainjoyi kwa kiasi kikubwa na kuamini kuwa mechi hiyo ilikuwa ni moja kati ya nzuri alizowahi kucheza katika maisha yake.
Eddy hakuchukua muda mrefu kumaliza raundi ya kwanza, kwa hali ilivyokuwa hakuwa ameridhika kutokana na raundi ile kuisha haraka.
Akataka raundi ya pili ipigwe fasta, haraka akakata rufaa na kuomba raundi ya pili, akilini mwake aliamini kuwa katika raundi hiyo utamu utakolea zaidi.
Kitu kingine kilitokea, akili yake ilicheza sawa na kile alichokuwa akikifikiria kutokana na askari wake kusimama imara na kuwa tayari kwa gemu.
Kwa kasi ya ajabu askari wa Eddy aliweza kusimama imara na kuanza kutimiza jukumu hilo kwa mara ya pili. Hata raundi ya pili haikuchukua muda mrefu.
Eddy alijikuta akiwahi kumaliza kufunga goli la mbali bila ya kutarajia, alishangaa kuona nyavu za timu ya upinzani zikitikisika
Alijua sababu ni uzuri wa kile kitu alichokuwa akila kwa wakati ule. Alihitaji tena raundi ya tatu lakini alikuwa amechelewa, Tabu alishaifuata kufuli yake na kuitia maungoni mwake.
“Vipi?” Eddy alihoji.
“Nimechoka na nataka kuwahi ili nisionekane…” alisema huku akiwa tayari kutoka ndani ya chumba cha Eddy.
“Poa, lakini usimwambie mtu, kisha nataka siku nyingine tutoke hapa, nataka tukakutane sehemu nyingine nzuri, sawa?”
“Sawa,” alijibu Tuma huku akijiandaa kutoka chumbani humo.
Mpaka Tabu anatoka chumbani kwa Eddy alikuwa ameiva macho kwelikweli. Alipotoka tu, uso kwa macho akakutana na Pat ambaye alikuwa akitokea uwani na kuingia chumbani kwa dada yake.
Tabu aliogopa sana, kwa kuwa alikuwa amebadilika na macho yake yamekuwa mekundu, mwili wake ulikuwa umechoka na kama aliyekuwa ametoka kubeba mizigo mizito.
“Tabu,” Pat alisimama na kumwita.
“Abee,” aliitikia.
“Una nini?” aliuliza Pat ambaye alikuwa amejawa na udadisi baada ya kumuona Tabu akiwa katika hali tofauti.

Hata hivyo, Tabu hakutaka kuendelea kumsikiliza Pat, alijifanya kama vile hakumwelewa, ingawaje alishajua kwamba udadisi wa msichana huyo ulikuwa umebaini kitu fulani.
Moja kwa moja Tabu akaamua kuingia katika chumba alichokuwa akilala na wasichana wengine huku akijitahidi kumkwepa Pat.
“Tabu… Tabu… Tabuu…,” aliendelea kuita Pat bila ya mafanikio. Pamoja na kuona kwamba hakuitikiwa, Pat hakukata tamaa akaingia chumbani humo.
Alipoingia akamkuta Tabu akiwa amejitupa kitandani, akamwita tena na tena lakini Tabu alijikausha kimya kama vile alikuwa hamsikii.
“Wee Tabu unaumwa au…?”
Bila ya kugeuka na kumwangalia, Tabu akiitikia kwa kichwa kukubali kwamba alikuwa anaumwa kwa kuwa alishaona Pat alikuwa amemsaidia kumtafutia jibu la kumpa.
“Nini kinakusumbua?”
“Tumbo…” alijibu swali hilo huku mikono yake akiwa ameiviringisha kwenye tumbo lake kuonesha kwamba lilikuwa likimsumbua.
“Pole sana… lakini Tabu mbona nguo yako imejikunja? Na hata nywele zako zimevurugika halafu nimekuona ukitokea katika chumba cha Eddy?” alihoji Pat.
“Haaa hamna kitu…” alijibu Tabu huku akigeuka na kujiweka sawa nywele zake na kujaribu kuikunjua nguo yake iliyokuwa imejikunja.
“Hamna kitu, haiwezekani… kuna kitu… tena angalia macho yako yamekuwa mekundu, hebu niambie ulikuwa ukifanya nini chumbani kwa Eddy?” Pat aliendelea kumkomalia Tabu.
Tayari kengele ya hatari ilikuwa imeshagonga akilini mwa Pat, akahisi kuwa Tabu alikuwa ametoka kugonga shoo na Eddy.
“Kwani wewe unafikiria nini?” alijibu Tabu kwa swali huku akisimama.
“Hee yamekuwa hayo tena… kwani tumbo limepona, hebu niambie basi ulikuwa ukifanya nini chumbani kwa Eddy?” Pat alizidi kumdodosa Tabu.
“Hayakuhusu… kila mtu ana mambo yake, kwa nini unapenda kufuatilia mambo ya watu?”
“Mambo gani niliyofuatilia?”
“Si haya ya kuniuliza kwamba nimetoka kufanya nini chumbabi kwa Eddy kwani wewe unafikiria nimetoka kufanya nini? Mbona miye sijakuuliza huko ulikotoka umetoka wapi?” alisema Tabu kwa hasira.
“Wee niambie tu umetoka kufanya nini?”
“Kumpelekea chakula…?”
“Chakula gani?”
“Kwani wee unajua kuna chakula gani na gani? Nakuomba uelewe kwamba nimetoka kumpelekea chakula…” alisisitiza Tabu.
“Samahani kama nimefuatilia mambo yako, lakini kumpelekea chakula tu ndiyo nguo yako ikunjikekunjike na macho yako yawe mekundu…?”
“Kwani wewe unataka nini, nishakwambia kuwa nimetoka kumpelekea chakula kwa nini huelewi?”
“Kweli umempelekea chakula maana una kila dalili kwamba umepeleka chakula chenye ladha ya nyama ya binaadamu… lakini ole wako dada Queen na Rehema wajue kama umempelekea chakula hicho chenye ladha ya nyama ya binaadamu,” alisema.
“Watafanifanya nini…?”
“Ngoja wajue ndiyo utajua watakufanya nini, wee si unajifanya mwanamke kweli…?”
“Ndiyo mimi ni mwanamke kweli… nina kila kitu ambacho wao wanacho na ninaweza kufanya chochote kile ambacho wao wanaweza kufanya…” alisema Tabu kwa hasira.
“Sawasawa, nimekuelewa…” alisema Pat huku akitoka nje akiwa amehisi kwamba pamoja na Tabu kudai kwamba alikuwa amempelekea chakula Eddy lakini kulikuwa na zaidi ya chakula alipoingia chumbani kwake.
Tabu akarudi kitandani na kujipumzisha kutokana na kile alichokuwa amekifanya na Eddy, huku akiwa na wasiwasi kwamba Pat anaweza kwenda kusambaza maneno hayo kwa watu wengine.
“Shauri yake, kama anataka kwenda kusema mwache aseme… kwani ana ushahidi gani?” alijifariji.
Mara baada ya kutoka nje, Pat akagongana na Eddy akiwa anatoka chumbani kwake, akamwangalia kwa udadisi na kujiuliza mwanaume huyo ana nini mpaka anawapanga foleni wasichana wa nyumba hiyo.
“Shikamoo?” akatoa salamu.
“Marhaba…” Eddy akaitikia huku akifunga mlango wake kuashiria kuwa alikuwa akitoka na kwenda mbali na eneo hilo.
Pamoja na kusalimiana Pat aliendelea kumkodolea macho Eddy kama vile ndiyo kwanza alikuwa akimuona.
Kitendo hicho kilimshangaza Eddy na kujiuliza, kwa nini msichana huyo alikuwa akimwangalia kwa umakini kiasi hicho.
“Vipi mbona unaniangalia hivyo?”
“Aaah, nilikuwa nakuangalia tu,” alijibu Pat huku akiona aibu kwa jinsi alivyoshtukiwa na Eddy.
“Sema unataka tutoke wote nini?”
“Walaaa!” alijibu huku akiumauma vidole vyake vya miongoni.
Eddy alitoka zake huku akimwacha Pat pale ukumbini akiendelea kumwangalia kwa udadisi. Moyoni mwake Pat aliamini kwamba kijana huyo alikuwa na kitu cha ziada kwa wasichana.
“Kwanza mchangamfu halafu amekaa vizuri…” aliwaza moyoni mwake huku akiwa anasumbuliwa na kutaka kujua kama kweli Tabu alikuwa amegonga naye shoo.
Baada ya kutafakari kwa muda, Pat akatoka na kuamua kumfuata tena Tabu chumbani ili kwenda kumuuliza kama kweli alikuwa amevunja amri ya uzinzi na Eddy.

Alipoingia chumbani akamkuta Tabu akiwa bado amelala, akaanza kumwamsha kwa upole tofauti na mwanzo alivyoingia chumbani humo kwa mara ya kwanza na kumwamsha kwa ukali.
Mbali na kufanya hivyo, awali alikuwa akimlazimisha Tabu kuhusu ishu ya kugonga shoo na Eddy, safari hii ilikuwa tofauti.
Tabu alipoamka, Pat akaanza kumuuliza kwa upole ili aweze kujua ukweli, moyoni wivu ulikuwa ukimtafuna kwa kuhisi kuwa amepigwa bao na msichana mwenzake.
“Shoga hebu tuache utani mimi na wewe ni marafiki wa muda mrefu, hebu niambie kile ulichokifanya na Eddy chumbani kwake…” alianza kwa kumbembeleza.
“Wee si umesema unaenda kuwaambia dada Rehema na Queen? Nenda tu miye wala sina wasiwasi…”
“Hebu tuachane na hayo, miye na wewe ni damu damu, yale yamepita shoga’angu maana nimekutana na huyu mwanaume hapo ukumbini, wee acha tu…”
“Unamaanisha nini kwani na wewe unamtaka?”
“Hivi katika akili yako kuna mwanamke ambaye anaweza kukataa kuwa na mwanaume kama yule?” Pat alijibu kwa kuuliza swali.
“Mh! Makubwa.”
“Madogo yana nafuu shoga, hebu niambie basi kama mwenzangu umeshawahi?” alichombeza Tabu.
Tabu hakuweza kumjibu Pat akabaki akicheka na kumfanya Pat kuendelea kuhisi kwamba kulikuwa na ukweli kwa kile alichokuwa akikifikiria ndani ya nafsi yake, hata hivyo hakutaka kujiridhisha kwa hisia tu, akataka kuambiwa ukweli na mhusika.
Akaendelea kumuuliza Tabu ili amwambie kwa mdomo wake kile kilichojiri.
Baada ya kutafakari kwa kina, Tabu akaona hakukuwa na haja ya kumficha, akaamua kumwambia Pat kile kilichojiri chumbani kwa Eddy.
“Yaani shoga wee acha tu,” akaanza kusema huku akijiinua kutoka kitandani na kukaa.
“Mh! Lete habari…” Pat alichombeza huku naye akijiweka sawa kwa ajili ya kupata ukweli kamili.
“Yule mwanamme sijui hata ana nini… maana ghafla tu nilijikuta nikimtamani… lakini alifanya kosa moja tu, alianza kunidharau… pale aliponiambia kwamba miye ni mtoto mpaka nilipomhakikishia kwamba miye ni mkubwa mwenziwe…”
“Kweli…?” alihoji Pat na kumfanya Tabu kuendelea kuhadithia kile kilichotokea kati yake ya Eddy…
“Nilipomhakikishia hivyo, akanifuata pale nilipokuwa nimesimama, ilikuwa ni katikati ya chumba na kunipeleka kwenye uwanja wa fundi seremala.
“Hapo akapitisha mikono yake kwenye nywele zangu na kuzichambua kwa vidole vyake, kisha akachora ramani mwilini mwangu kwa kutumia mikono yake na kunisisimua vya kutosha.
“Kisha akaanza kutumia silaha ya nyoka…” Tabu alisema na kukatishwa na Pat.
“Silaha ya nyoka ndiyo nini Tabu mbona unaniacha kama kishada kinachokwenda halijojo…?”
“Aaah aaah kumbe nilikuwa nakuacha…, pole shoga’angu si unajua inanibidi nitumie lugha ya tafsida, basi namaanisha ile silaha anayoitumia nyoka akitaka kutema sumu yake.””
“Hapo nimekupata ni ulimi…” alisema Pat.
“Yesii, ulimi wake ulipita nyuma kidogo ya shingo yangu na kuzidi kunipandishwa wazimu… nilikuwa nasikia raha kama vile natambaliwa na sisimizi shingoni,” aliendelea Tabu na kumfanya Pat kukaa vizuri ili kupata uhondo zaidi.
“Baada ya hapo akawa anasafiri na ulimi wake kwa kupita kila sehemu aliyoiona inafaa, sehemu ya kuweka kituo kwa muda aliweka na kuendeleza utundu wake.
“Kisha akahamia kwenye embe sindano zangu, akawa anazivuta kwa ndani na kisha kuzitoa nje kwa kutumia njia yake ya kupitishia chakula, weee acha tu… wazimu si wazimu raha si raha, sijui hata nikwambieje…”
“Mh!”
“Alipotoka hapo alipitisha silaha ya nyoka katika maeneo mengine nyeti kwenye maungo yangu na kunifanya nizidi kumchemka kwa hisia kali, akafika hadi kwenye kile kitu ambacho mara baada ya mtoto kuzaliwa baada ya muda huwa kinakatika chenyewe…”
“Nini hicho?”
“Kwani wee hujawahi kusikia kuanguka kwa kitovu cha mtoto…?”
“Aaah nimewahi kusikia shoga…” aliitikia Pat.
“Basi alipofika hapo, mashetani yalitaka kunipanda… nilitamani hata kupiga kelele ili anichie au nipate msaada wa kusaidiwa maana aliniweza kwelikweli…”
“Wee acha utani…” Pat alihoji.
“Kweli vile…” alisisitiza Tabu.
“Mh! Basi makubwa,” Pat aliguna.
Mwili ulinitoka vipele kama vile nilikuwa nikitambaliwa na sisimizi au nilikuwa nikitaka kuugua ugonjwa wa malaria. Alipotosheka akapitiliza hadi kwenye bastola zangu…”
“Halafu… ikawaje…” Pat alijawa na udadisi wa kina wa kutaka kujua kile kilichoendelea.
“Hapo kwenye bastola zangu hakukaa sana, akaenda moja kwa moja kumsalimia bibi kule shambani.”
“Acha utani…?”
“Kweli vile, yule kijana ana heshima kwelikweli… kwani alipofika kwa bibi aliamua kumwamkia kwa heshima zote, alipiga magoti na kumsalimia kwa kuzungumza naye kwa kinywa chake… huku silaha yake ikiwa ni ileile anayoitumia nyoka.”
“Aiseee…” Pat aliropoka bila ya kujijua na kumfanya Tabu ageuke na kumwangalia.
“ Hapo ndipo nilipoanza kusikia kizunguzungu kama siyo kichinachina… nilisi kama vile nataka kukata roho, kuna wakati nilifikiria kama vile sikuwa duniani… kweli dada Rehema na Queen walikuwa wanafaidi…
“Mh! Endelea basi akawa anafanyaje…? Pat alikuwa akitaka kujua uhondo huo aliokuwa akisimuliwa na Tabu jinsi ulivyonoga.
“Wee acha mwanaume pale yupo, alipomaliza kumsalimia bibi wakati huo miye nusu nilikuwa duniani na nusu nilikuwa peponi, nilikuwa kama vile niko ndotoni…”
“Aisee ulifaidi…” Pat alisema.
“Si kidogo, lakini mchezo kamili ulikuwa kwenye shoo yenyewe maana hiyo yote ilikuwa ni kama rasharasha vile vumbi lenyewe lilitimka pale alipoingiza kisu kwenye ala ndipo nilipochoka… kweli nilijiona ni mtoto…,” alisema Tabu.
“Kwa nini,” Pat aliendelea kuhoji.
“Kisu chake kilipoingia kwenye ala nilisikia kama vile mawimbi ya maji yakipiga kisimani, kali mawimbi yenyewe yalikuwa yanafanana na yale ya baharini lakini hayo yalikuwa kama yana mvutano wa umeme, aah Pat wee acha nilipiga kelele,” alisema Tabu.
“Kwa hiyo umemvulia kofia…?”
“Si kidogo hapa unaponiona niko hoi, ulipokuwa ukinisemesha muda ule nilikuwa nakuona kama vile ulikuwa unanizungua tu…” alisema Tabu.
“Kumbe?”
“Eeeh wee acha tu, Eddy anajua kuizungusha funguo katika kufuli kwelikweli…” alisisitiza Tabu na kumfanya Pat kuanza kupatwa na hamu ya kile alichokuwa akifanyiwa mwenzake.

Mpaka kufikia hapo, Pat alikuwa amesha-lowanisha kila nguo iliyokuwa katika maungo yake. Kijasho chembamba kilikuwa kikimvuja kutokana na kile alichokuwa akihadithiwa na Tabu.
Binti huyo naye alikuwa hajiwezi tena, hali yake ilikuwa mbaya akatoka na kwenda msalani ili kujiweka sawa.
Hilo lilitokana na Pat kupagawisha na kile alichokuwa akihadithiwa na Tabu jinsi alivyopiga shoo na Eddy mawazo yake aliyachukua na kujiona kama vile yeye ndiye aliyekuwa msambweni akigonga shoo na mwanaume huyo.
Alifikiria kama kuhadithiwa tu amedata je akikutana na mwanaume huyo itakuwaje? Akaweka wazo kwamba na yeye lazima agonge bonge la shoo na kijana huyo.
Alikuwa amechanganyikiwa kabisa, akajuta kuchelewa kukutana na Eddy, alitamani angekuwa wa kwanza kukutana na mwanaume huyo kabla ya Tabu, Queen na Rehema.
Moyoni alihisi kwamba wenzake hao walikuwa wamefaidi kwelikweli.
Baada ya muda Pat alirejea tena chumbani kwa Tabu na kuanza kuzungumza na msichana huyo na kumwambia msimamo wake kutokana na kile alichokisikia.
“Tabu ndugu yangu, kitu kizuri kula na nduguyo, kuna haja ya miye kupiga shoo na Eddy,” alisema Pat na kumfanya Tabu amshangae.
“Yaani kukuhadithia kidogo tu umedata na unataka kuchonga mzinga, je ningekupa kila kitu ingekuwaje?”
“Kwa hiyo hicho ulichonihadithia ni kidogo? Basi nitamtafuta Eddy anipe kikubwa zaidi maana naona wewe unataka kunibania,” alisema Pat.
“Siyo hivyo, kwanza utaanzaje kumwingia kijana wa watu, kwani unajua kama anakutaka au hakutaki? Nakushangaa sana shoga’angu.”
“Nitajua cha kufanya wala hilo lisikupe shida ninachotaka ni kumtia mikononi mwangu, iwe kwa kujitongozesha au kwa kunitongoza yeye mwenyewe,” alisema Pat kwa kujiamini.
“Miye sitakuwa na tatizo kwa kuwa miye mwenyewe ni mwizi tu, tatizo ni kwa Rehema na Queen wakijua umekwisha, utahama humu ndani…” Tabu alimtisha.
“Kwa hiyo wewe ushajipanga kuhama?”
“Utajuaje?” Tabu alijibu kwa swali na kufanya Pat kuzidi kuchanganyikiwa kama asuke au anyoe.
***
Wakati Pat akiwa na mawazo ya kumwingia Eddy ili aweze kupata kile ambacho roho yake inataka, wakati huo mama mwenye nyumba alikuwa chumbani kwake, alikuwa amemwita mwanaye Mwamvita kwa ajili ya maongezi muhimu.
CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Mama huyo alikuwa amesubiri muda huo kwa kuwa mumewe ambaye ni baba mwenye nyumba hiyo hakuwepo, alikuwa ameenda kucheza bao nyumba ya jirani.
“Mwamvita mwanangu hivi utakuja kuolewa kweli wewe…?”
“Kwa nini unasema hivyo mama?”
“Nakuona umejikalia tu wakati wenzio wanachangamkia tenda…” alisema mama mwenye nyumba bila ya kufafanua na kumfanya mwanaye atawaliwe na maswali.
“Bado sijakuelewa mama, unamaanisha nini?”
“Utanielewa tu, unaona wenzio wanavyomchangamkia mgeni wewe umejikalia tu huna mbele wala nyuma.”
“Mama unamaanisha kwamba unataka na mimi nimgombee huyu mgeni aliyehamia humu ndani?”
“Siyo umgombee, unatakiwa umchukue kabisa na kummiliki awe wako kabisakabisa…” mama mwenye nyumba alisema.
“Hai mamaaa…”
“Ndiyo hivyo, nataka uache kuhangaika na vibwana vyako uchwara, unatakiwa kuwa na mwanaume kama yule ambaye anaweza hata kuleta kilo ya sukari nyumbani… siyo kile kijamaa chako kinachoitwa Beka… mpaka leo sijakula hata senti yake…” alisema mama mwenye nyumba.
“Mama achana na Beka, sasa hivi niko na Peter ambaye tayari umeshakula pesa yake, kwanza hata Beka umeshakula hela yake, sema umesahau tu…?”
“Labda unikumbushe, lakini hata kama nimekula… ni lini alileta hata nusu kilo ya sukari humu ndani wakati unajua kabisa maisha yetu ni ya mkandamkanda…?” aliendelea kuhoji mama huyo.
“Hilo halijafanyika si kwa kuwa bado hawajanioa… mmoja wao akinioa atafanya hivyo unavyotaka,” alijibu Mwamvita.
“Mmoja wapo akinioa atafanya…,” alisema mama mwenye nyumba huku akimwigiza mwanaye kisha kumwambia:
“Utabaki hivyohivyo, mwanaume yuko humu ndani wewe unahangaika na hao wahuni, wanakuchezea kama ganda la mua.”
“Mama lakini sasa unafika mbali…”
“Sifiki mbali, siku hizi mwanangu watu wanaangalia uwezo wa mwanaume… siyo mapenzi, siye zamani ndiyo tulikuwa tukijali mapenzi, hatima yetu si unaiona?”
“Lakini mama unasema kweli, inaonekana enzi zako ulikuwa unamtii baba kwelikweli…”
“Nakushangaaa wewe una kila kitu halafu unakubali kuchezewa sijui na Beka sijui na nani… shauri yako… mwanaume yuko humuhumu ndani…”
“Sasa unanishauri nifanyeje?” Mwamvita alimuuliza mama yake huku akionekana kuanza kukubaliana na ushauri aliopewa.
“Hilo ndilo jibu, kwani mkoleni tulikupeleka kufanya nini?”
“Akishaingia kwenye kumi na nane, nitajua cha kufanya lakini kabla ya hapo ndiyo nashindwa kwa kuwa namuona yuko na Queen na Rehema…?”
“Usiwe na shaka, wewe jilengeshe na siku zote nataka kukwambia kitu kimoja, mwanaume hana ujanja kwa mwanamke…”
“Ndiyo nifanyeje sasa?” Mwamvita aliendelea kuhoji huku akiwa ameweka masikio yake wazi kuweza kupata elimu hiyo kutoka kwa mama yake.

“Lakini wakati mwingine mama huwa unaona mbali…” alisema Mwamvita akionekana kukubaliana na mawazo ya mama yake. “Msaada mkubwa nitakupa… ukimnasa tu, nitakwambia cha kufanya kisha tutaenda kwa yule mtaalamu wa kule Tandale…” alisema mama mwenye nyumba. “Tukamroge…?” Mwamvita alitahamaki na kuhoji. “Wee mtoto sijui unaishi dunia gani, hivi mpaka leo unadhani mambo huwa yanakwenda hivihivi…?” “Sasa ndiyo mpaka tukamroge?” “Shauri yako, humu ndani kuna mambo ya ajabu kama hujui wee kaa hivyohivyo kama hujazeekea hapahapa, unatoka chumba kile unahamia kile…”
“Dah… kwa hiyo natakiwa kufanya nini mama?” “Unaniuliza miye? N’shakwambia kila kitu…” alisema mama mwenye nyumba huku akiinuka na kupangusa makalio yake na kuondoka akimuacha mwanaye Mwamvita.
“Sijui nifanye nini?” aliwaza Mwamvita huku akianza kutafakari kauli za mama yake. Kauli ambayo ilimsumbua kichwa ni ile ya kumwambia “Humu ndani kuna mambo ya ajabu kama hujui wee kaa hivyohivyo.” “Ina aana hata akina Rehema na Queen wamemroga Eddy? Kama ni hivyo hii si itakuwa vita kubwa!” Baada ya kutafakari kwa muda akaona hakuwa na njia nyingine zaidi ya kujiingiza katika vita ya kumwania mwanaume huyo.
Alijua alikuwa na upinzani na watu wiwili tu, Queen na Rehema, hakuwa akijua kama Tabu na Pat nao walikuwa ni washindani wengine wasiojulikana. Usiku wa siku hiyo Mwamvita akaanza pilikapilika za kumnasa Eddy. Hakutaka watu wengine wajue lakini aliamini kuwa anaweza kuwaambia mashoga zake wawili tu juu ya mpango huo. Mashoga zake hao hawakuwa wengine zaidi ya Pat na Tabu, aliwaamini sana marafiki zake hao kwa kuwa walikuwa ni rika lake na kwamba hawakuwa na ndoto za kuwa na Eddy.
Wakati akipiga hesabu hizo, Pat naye alikuwa akipiga hesabu zake za kumnasa mwanaume huyo, Tabu hali kadhalika alikuwa akiwaza jinsi atakavyoweza kumdhibiti mwanaume huyo asiweze kuangukia katika mikono ya Pat. Kama vile haitoshi, vita ya Rehema na Queen ilikuwa palepale kama wapinzani wakuu wa mchakato huo wa kumwania Eddy.
***
Siku hiyo, Queen alijitahidi hadi akaonana na Eddy uso kwa uso, alichokifanya ni kumuwahi maeneo ya nje ya nyumba hiyo, yaani alikwenda kumfanyia ‘taimingi’ kituoni kabla ya mwanaume huyo hajafika nyumbani na wakazungumza kwa kina. “Sasa pale imeshakuwa balaa, miye naonekana nimeingilia penzi la Rehema,” alisema Queen. “Sasa tufanyeje?” alihoji Eddy. “ Hakuna cha kufanya, ila wewe endelea na mwanamke wako.. miye niache..” “Haiwezekani…” Eddy alisisitiza. “Haiwezekani kwa nini… unajua hata miye nina bwana wangu, lakini nilimweka pembeni kwa sababu yako…” “Kwa hiyo unataka kuniambia nini?” “Nataka kukukwambia kwamba wewe endelea na mwanamke wako na miye niendelee na bwana wangu…” “Halafu miye na wewe?”
“Ndiyo inakuwa adiosi amigo tena…” “Haiwezekani…” alisema tena Eddy. “Miye sioni ugumu wa hilo au ukitaka… lakini hapana ni heri kila mmoja awe na mpango wake.” “Ulikuwa ukitaka kusema nini kwani?” “Nilitaka kusema wewe uwe na mwanamke wako na miye niwe na bwana wangu na tuendelee na uhusiano wetu kwa siri, wewe huruhusiwi kuleta mwanamke mwingine mle ndani na miye siruhusiwi kuleta mwanaume mwingine zaidi ya huyo bwana wangu…” “Halafu miye na wewe tutakuwa tunaduu wapi?” “Nje ya nyumba ile, tukiwa pale kila mmoja akimuona mwenzake ni heshima na adabu kwa kwenda mbele…”
“Utaweza kuvumilia kuniona na Rehema tukitanua?” “Kimpango wako, ila tu asiwepo mwanamke mwingine zaidi ya Rehema, sawa?” “Sawa, nawe usiwe na mwanaume mwingine zaidi ya huyo bwana wako, kwanza sijui hata anaitwa nani? “Muddy…” “Oke, nawe usiwe na bwana mwingine zaidi ya huyo Muddy, sawa?” “Sawa,” alisema Rehema. Wakakubaliana na kila mmoja akarudi katika nyumba wanayoishi akiwa ameridhika na makubaliano yao ambayo waliamua kuyafanya kuwa siri.
***
Eddy aliingia chumbani na kubadilisha nguo, kisha akatoka na kwenda zake msalani kwa lengo la kujisaidia na kisha akaingia bafuni kwa ajili ya kujimwagia maji. Akachota maji yake katika ndoo na kuingia nayo bafuni, akiwa huko akaanza kuoga huku akiwa na raha akiamini kuwa makubaliano yake na Queen yalikuwa ya msingi sana. Akiwa ameshajimwagia makopo kadhaa ya maji na kujipaka sabuni usoni alihisi kitu kikimnyemelea, akashtuka na kuwahi kunawa maji usoni. Alipofumbua macho alishangaa kumuona Pat akiwa bafuni humo. Kwa sauti ya upole huku akihangaika kulitafuta taulo lake ili ajihifadhi akamuuuliza:
“Wewe Pat umefuata nini humu?” “Nimekufuata wewe…” Pat alimjibu akiwa haoneshi wasiwasi wowote kama alikuwa amefanya kitu kibaya. Ndiyo kwanza alikuwa akijiandaa kusaula viwalo vyake ili ajumuike na Eddy katika kuoga. Eddy akavuta kumbukumbu ya mchana wa siku hiyo mara baada ya kutoka kula raha na Tabu, akakumbuka jinsi binti huyo alivyokuwa akimwangalia. “Haya sasa majanga!” akawaza na kushangazwa jinsi ambavyo wasichana wa nyumba hiyo walivyokuwa wanakubali kujitoa sadaka kwake. “Umenifuata kufanya nini?” Eddy alingong’ona tena

Kuja kukuogesha na kukupaka sabuni kisha nikupe raha ambayo hujawahi kuipata sehemu nyingine yoyote,” alijibu Pat kwa sauti ya kunong’ona.
“Huogopi?”
“Niogope nini kwani kuna kitu gani cha ajabu?” Pat alimjibu Eddy kwa kumuuliza swali.
“Huoni kama miye ni mkubwa kwako?”
“Umri ni namba tu lakini kiakili na kimaarifa tunaweza kuwa sawa au miye nikakuzidi…” alisema Pat na kumshangaza zaidi Eddy.
Eddy hakuwa na nguvu ya kuendelea kuuliza maswali zaidi ya kutii kile ambacho Pat alikuwa ameamua kukifanya kwake.
Kitendo bila ya kuchelewa baada ya kumaliza kusaula viwalo vyake, Pat akaichukua sabuni iliyokuwa mikononi mwa Eddy na kuanza kumpaka mwanaume huyo kila sehemu ya mwili wake.
Alianzia chini ya mwili wa mwanaume huyo na kuja juu, alihakikisha sabuni hiyo anaipaka kwa mikogo.
 Eddy hakukitegemea kitendo hicho, ila hakuwa na budi kukubaliana na kile alichokuwa akifanyiwa, akachukua taulo na kulitundika mlangoni.
Taratibu bila ya kuwa na haraka, Pat akawa anaipitisha sabuni katika kona zote za mwili wa Eddy huku kijana huyo akimwangalia kwa udadisi mkubwa.
Kwa kufanya hivyo, Pat alikuwa akimpandisha ‘wazimu’ Eddy kwa kuwa sehemu alizokuwa akizipitia ni zile zenye kupagawisha kama siyo kumsisimua mwanaume yeyote mwenye akili timamu na aliyejaliwa urijali.
“Mh!” Eddy aliguna kwa sauti ndogo pale alipoguswa ikulu.
“Unaguna nini?” Pat alimuuliza kwa sauti ileile isiyovuka mipaka ya bafu walilokuwemo.
“Nimefurahi,” alisema Eddy.
“Bado sijakufurahisha,” alijibu Pat huku akiinua macho yake na kumwangalia Eddy ambaye naye alikuwa amebaki akiwa haelewi aanzie wapi kuanzisha mashambulizi.
Kabla hata hawajafika mbali, nje zilisikika sauti za nyayo za mtu zikitembea kuelekea msalani. Eddy akamzuia Pat kufanya kile alichokuwa akikifanya kwa kuhofia kuwa mtu huyo angeweza kuwasikia.
Kwa kasi ya ajabu, Eddy akachukua kopo la maji na kujimwagia ili kutoa ishara kwa mtu aliyekuwa akipita nje kuwa bafuni kulikuwa na mtu aliyekuwa akioga.
Kijana huyo akachukua kopo la maji na kujimwagia ili kutoa ishara kwa mtu aliyekuwa akipita nje kuwa bafuni kulikuwa na mtu akioga.
Akaendelea kujimwagia maji hadi pale mtu aliyeingia msalani alipotoka, hapo ndipo alipomuachia Pat aendelee kufanya utundu wake.
Kwa kuwa walikuwa wamekatizwa stimu, Pat akaamua kuanza upya na kwa spidi, ari na nguvu mpya.
Moja kwa moja akaamua kuukamata usukani na kuanza kuendesha gari mwenyewe, safari hii hakutaka tena kutumia sabuni bali alikuja na staili nyingine kabisa.
Alitumia njia yake ya kupitishia chakula kuweza kumpagawisha Eddy.
Kitendo hicho hakikutegemewa na Eddy hata kidogo, lakini aliamini kuwa Pat alikuwa akijua mambo mengi tofauti na umri wake.
Alionekana alikuwa amejifunza na kujiandaa kwelikweli kuweza kumpagawisha, kwani kitendo alichokuwa akikifanya wakati huo hakikuwa cha kuigiza bali alikuwa akikifanya kwa uzoefu mkubwa.
Pat alikuwa fundi haswa wa ‘kumeza nyoka’ na hakuwa kama wengine ambao huwa wanalamba nyoka kwa kufananisha na ‘ice cream’ kama wengine wanavyosema.
Muda ulikuwa unakwenda kwa kasi, kila mmoja alikuwa na mshawasha na mwenziwe kwa kuwa Eddy naye alishachukua fursa hiyo na kumpagawisha Pat kisawasawa.
“Unapenda kucheza mtindo wa bendi gani?” Pat alimuuliza Eddy.
“Mtindo?” Eddy alishangaa kisha akasema:
“Nyimbo nyingi za siku hizi hazina mitindo na hata kama zina mitindo basi haina umaarufu mkubwa… wee tucheze bora liende tu…”
Pat akaachia kicheko ambacho kilimshangaza Eddy.
“Kwa nini unacheka?”
“Nakushangaa hujui kama tunaweza kucheza Ngololo au Kiduku?”
“Ndiyo inachezwaje hiyo?”
“Basi ngoja tufanye kitu kimoja, miye nitaandika namba saba na wewe uandike namba moja, sawa?”
“Sawa…” moja kwa moja Eddy alielewa kile alichokuwa akikimaanisha Pat. Hata alipochora namba saba mbele yake kwa msaada wa ndoo ya kuogea, yeye hakupata tabu ya kutengeneza namba moja ili kuweza kufurahisha nafsi zao.
Wawili hao walikuwa mzigoni, kila mmoja alikuwa akivuta pumzi zake za mwisho, Eddy alikuwa akipiga kelele na Pat pia.
Wakawa wamejisahau kama walichokuwa wakikifanya kingeweza kusikika nje, wakawa kama vile wako kwenye uwanja usiokuwa na shaka kila mmoja akijiachia kwa raha zake.
Raha zikawazidia zaidi na zaidi, sauti zao zikamvutia mtu aliyekuwa nje ambaye naye usiku huo alikuwa akitaka kuingia bafuni ili akaoge.
Akiwa uani, akanyata taratibu na kuelekea kule ambako kelele hizo zilikuwa zikitokea, kadiri alivyokuwa akisogelea usawa wa bafu ndivyo kelele hizo zikaongezeka.
Akabaini watu waliokuwa bafuni ndiyo waliokuwa wakisababisha kelele zile, akataka kuwajua ni akina nani waliokuwa wakifanya mchezo ule.
Akataka kurudi ndani ili ahakikishe kama watu wote walikuwepo vyumbani mwao lakini alisita kwa kuamini kuwa kitendo chake cha kutoka eneo hilo angeweza kupoteza ushahidi wa karibu zaidi wa kushuhudia tukio hilo kwa macho yake.
Akatafuta upenyo wa kuchungulia bafuni bila ya kupiga kelele, kwa kuwa choo kizima kilikuwa kimejengwa na mabati mabovu aliweza kuona ndani.
Pamoja na kuona michakato ya kugonga shoo ikiendelea lakini hakuweza kuwatambua waliokuwa wakifanya vile.
Aliamini kabisa kwamba watu wale walikuwa wanaishi mle ndani akapania kuwaingilia mle bafuni ili aweze kuwaumbua.
Akasogea hadi katika mlango wa bafuni, hakuwa na shaka kabisa kwamba walikuwa ni watu wawili wakila uroda kwa raha zao.
Mshawasha kama siyo kilarularu kikaanza kumsumbua naye wazimu ukampanda kabisa, akataka kujumuika katika gemu lile bila ya kuwajua wachezaji ni akina nani.
Unataka kujua nini kiliendelea? Usikose kesho wapendwa wangu




ITAENDELEA

MAJANGAAA MBONA MAJANGAAA ! – 5

Image result for walter photography

Chombezo : Majangaaa Mbona Majangaaa !
Sehemu Ya Tano (5) 


Mtu aliyekuwa akifuatilia sauti hizo hakuwa mwingine zaidi ya Mwamvita ambaye alikuwa amehaha kutaka kujua mahali alipokuwa Eddy kwa wakati huo.
Alichungulia chumbani kwake, akaona taa ilikuwa ikiwaka lakini hakukuwa na dalili za uwepo wake, aliporidhika akaendelea na uchunguzi wake katika chumba cha Rehema nako akaambulia patupu.
Kwa kuwa alikuwa na uhakika kwamba Eddy alikuwa amerudi akasogea hadi katika chumba cha Queen ili kuhakikisha kama alikuwemo humo.
Alipopata jibu kwamba hakuwemo, akatoka hadi uwani ambako aliingia hadi msalani ili kuhakikisha kama Eddy alikuwa huko.
Akiwa msalani ndipo alipoweza kusikia mtu akimwaga maji bafuni, hapo akaamini kwamba mwanaume huyo alikuwa akioga.
Aliporidhika akawa hataki kutoka uwani, akawa anarandaranda ili aweze kumnasa Eddy kwa kuongea naye papohapo lakini alikaa kwa muda mrefu bila ya kuona dalili ya mtu kutoka bafuni.
“Kwa nini hatoki, mbona amechukua kitambo kirefu sana,” aliwaza.
Akiwa anamfikiria mwanaume huyo ndipo alianza kupatwa na wasiwasi kama kule bafuni kulikuwa na usalama wa kutosha, akasogea na ghafla akasikia sauti za watu wakiwa wanapiga shoo.
Hakuweza kuamini mara moja, akaamini kuwa labda kulikuwa na mtu ambaye alikuwa akijichua peke yake lakini hilo lililkuwa gumu kuliamini kadiri alivyokuwa akisogea na kuzifuatilia sauti zilizokuwa zikitoka bafuni.
Akaamini kabisa kwamba kulikuwa na watu wawili, tena wenye jinsia tofauti.
***
Stimu zilikuwa zimewapanda, Eddy na Pat walikuwa katika harakati za kutafuta kilele cha mlima na kila mmoja alikuwa ameongeza spidi zake ili kuwahi kufika kwenye kilele hicho.
Kelele zao zikazidi kuongezeka, walikuwa hawana habari kama kulikuwa na mtu aliyekuwa akikaribia kuwaharibia zoezi lao hilo.
***
Ndipo Mwamvita alipoanza kunyata na kuzifuata kelele hizo ili aweze kubaini kama kweli zilikuwa zikitoka bafuni mle.
Akaufikia mlango wa bafu. Jinsi ya kuufungua mlango wa bafuni kwa mtu aliyekuwa akiujua vyema haikuwa ngumu hata kama mtu huyo alikuwa nje ya bafu hilo.
Ilikuwa ni kazi rahisi sana kwa Mwamvita, kwa kuwa bafu hilo halikuwa limeezekwa kwa juu, hivyo aliingiza mkono wake usawa wa mlango na kuupachua msumari uliokuwa umeuzuia mlango.
Kwa kuwa alikuwa ni mzoefu wa bafu hilo, alijua sehemu ya msumari huo ulipokuwa, hivyo akaupachua na kisha kujitoma ndani.
Alipoingia tu, aliwaona Eddy na Pat wakiwa katika raha zao, kwa msaada wa mwangaza wa mbalamwezi iliyokuwa ikiwaka wakati huo.
Hamadi! Eddy na Pat walishtuka mtu akiingia bafuni humo wakati wakiwa katikati ya starehe.
Mwamvita hakusema kitu alibaki akiwaangalia wawili hao kwa muda huku nao wakisitisha kile walichokuwa wakikifanya.
“Ahiii jamaniiii…” alisema Mwamvita katika hali ya kupagawa na kutawaliwa na kilaruralu.
Pat alijibaraguza na kumwangalia Mwamvita, akawa anajiweka sawa huku uso wake ukionekana kusawajika kwa aibu kutokana na kufanyiwa fumanizi lisilotarajiwa.
“Mnafanya nini huku?” Mwamvita alizungumza kwa sauti ndogo akijifanya kama vile hakuwa akijua kile kilichokuwa kikiendelea.
Hakuna aliyempa jibu, wote walikuwa kimya wakiangaliana kwa staili ya kila mmoja akimtaka mwenzake ndiye azungumze kile walichokuwa wakikifanya.
Kwa upande wake, Eddy alichanganyikiwa zaidi akaona bwawa limeshaingia ruba, akahisi aibu kwa vile alijua tukio lile lingezua gumzo lingine katika nyumba ile.
Akakumbuka makubaliano yake na Queen kwamba asishiriki tendo la ngono na mwanamke mwingine ndani ya nyumba, akajisikia vibaya kwa kuwa safari hii stori itakuwa kubwa kwa kuwa amenaswa bafuni.
“Mnafanya nini?” Mwamvita alirudia kuuliza huku akiwasogelea na kuwaangalia kwa zamu.
Hofu kubwa haikuwa kwa kuwa wamekutwa wakifanya tendo hilo tu lakini kukutwa na mtoto wa mwenye nyumba ilikuwa ni soo kubwa zaidi.
“Mi nilikuwa naogaa… ndiyo…… Eddy akaingia…” aliongopa Pat kwa aibu huku akitaka kutafuta nguo zake ili aweze kujistiri.
“Hapana … haikuwa hivyo…,” Eddy naye alisema.
“Sikieni, sitaki kusikia utetezi wenu, nataka muendelee kufanya kile mlichokuwa mkikifanya la sivyo nitawajazia watu…” Mwamvita aliwapiga mkwara na kumzuia Pat kuvaa nguo zake.
Eddy na Pat waliangaliana tena na kuona kwamba itakuwa ni vigumu kuendelea na zoezi hilo mbele ya mtu mwingine ambaye hakuwepo wakati walipokuwa wakianza kupiga shoo yao.
Mwamvita alishayasoma mawazo yao na kukazia wazo lake la kuwataka wawili hao waendelee pale walipoishia.
“Itakuwa vigumu…” alisema Eddy.
“Hakuna ugumu wowote… sasa hivi nawataka muendelee na miye nitakuwa mwamuzi wa pambano lenu ninawahakikishia kwamba sitamwambia mtu,” alisema.
“Haya…” Pat alikubali.
“Tafadhali sitaki ujanja wowote na kama mtashindwa kufanya hivyo, nitapiga kelele na kuwaita watu…” Mwamvita alizidi kuwatisha.
Eddy na Pat hawakuwa na ujanja, ikawabidi kurudia kile walichokuwa wakikifanya awali ingawaje hawakuwa katika hisia zilezile za mwanzo.
Wazimu wao ulikuwa umeshakatika, hawakuwa na wazimu kama ule wa mwanzo kabisa, ikawabidi wafanya ili mradi kama alivyokuwa akitaka Mwamvita.
Wakajaribu kurudia mtindo uleule, lakini nyoka wa Eddy aligoma kabisa, hakuwa na nguvu, alikuwa ameshalala doro na kukosa nguvu yake.
Mwamvita akawataka waaanzie kwa kupashana miili yao moto ili kuweza kuvuta msisimko upya kwa shingo upande wakafanya hivyo.
Bado, nyoka wa Eddy hakuwa na nguvu, ndipo msichana huyo aliyekuwa amesimama kando yao akachukua jukumu la kumsaidia Pat ili aweze kufanikiwa kumshtua Eddy aweze kurudi sawasawa.
Mwamvita aliishika ‘maiki’ ya Eddy na kuanza kurap kama mwimbaji wa nyimbo za kufokafoka. Kwa mbali hisia za Eddy zikaanza kurejea.
Nyoka wake akaanza kusisimka na kurudia katika hali yake ya kawaida baada ya hofu kumtoka akilini mwake, akaona kuwa mtu aliyewakuta wakiduu alikuwa upande wao.
Hata Pat, akarejea katika hali ya kawaida, akamwomba Mwamvita ampishe ili aendelee kutoka pale alipoishia, ndipo walipoweza kufanya kile walichokuwa wakikifanya mwanzo huku Mwamvita akishuhudia.

Kila kitu kikawa kinakwenda sawasawa, Eddy hakuwa tena na hofu hali kadhalika kwa Pat, gemu likaendelea chini ya usimamizi wa mwamuzi kama siyo refarii Mwamvita aliyekuwa akishuhudia wawili hao wakicheza mechi bila ya kuvaa jezi.
Mwendo ukawa mdundo, hakuna kati yao aliyekuwa akimwogopa tena Mwamvita ambaye awali walikuwa wakimuona kama adui kutokana na kuwabamba wakiwa wanapiga shoo isiyoruhusiwa.
Eddy na Pat walimuona msichana huyo kama mwenzao kwa kuwa aliwapa wazo la kushirikiana nao katika kufanikisha kile walichokuwa wakikifanya ili kuzifurahisha nafsi zao.
Kama ni muziki ulikuwa umekolea na kama ni chombezo lilikuwa limetulia kila kitu kilikuwa ni burudani, raha ndani ya roho.
Pat alikuwa akitoa ushirikiano wa hali ya juu huku akionesha juhudi zake zote tofauti na awali alipoanza zoezi hilo na Eddy.
Kisa cha kufanya hivyo kilikuwa ni kumuonesha Mwamvita kwamba alikuwa fiti katika masuala ya kupiga shoo na hakuwa mtu wa kuburuzwa kama wengine walivyokuwa wakidhani.
Akilini mwake Pat alijua kuwa kama angeonesha ugoigoi katika kupiga shoo hiyo huku Mwamvita akishuhudia ugoigoi wake, basi hali hiyo ingekuwa na madhara kwake kwa njia moja ama nyingine.
Alikuwa akifanya hivyo huku akizingatia kwamba siku zote maisha yana pande mbili, kupatana na kukosa kwani kuna leo na kesho na binadamu anayajua ya leo hayajui ya kesho.
Alijua kwamba kwa wakati huo alikuwa akipatana na Mwamvita lakini kama siku wakitokea kukosana, msichana huyo atamtolea udhaifu wake hadharani.
“Ngoja nimuoneshe ufundi wangu ili tukikosana asije kuninanga mbele za watu,” aliwaza Pat wakati akiwa mzigoni.
Msichana huyo hakutaka kuonekana mzembe ndani ya mchezo huo ambao siku zote ufundi wake ulikuwa ukitegemea jitihada za mchezaji mmoja mmoja.
Mwamvita hakubaki nyuma akawa anamzidishia Pat moto kwa kumshika nido zake huku akizipikicha na wakati mwingine alikuwa akimpetipeti kila pale alipohisi kwamba panaweza kumpandisha mori.
Kweli wazimu ulimpanda, Pat akawa anapanda na kushuka kwa kasi ili kukamilisha jukumu alilokuwa akilifanya na Eddy.
Alikuwa kama yuko vitani, jasho lilimvuja kama siyo kumchuruzika kila pande za mwili wake. Maishani mwake hakuwahi kupania shoo lakini ilimbidi kupania hiyo ili kuweza kulinda heshima yake.
Muziki wake ulikuwa mkubwa, kwani baada ya muda utamu ukakolea zaidi na zaidi, Pat akaanza kuuvutavuta mwili wake na kama vile haitoshi akaanza kupiga kelele huku mwili wake ukisisimka kutokana na hisia zake kupanda maradufu.
Hali hiyo ilimfanya Mwamvita kuwa na kazi ya ziada ya kumtuliza ili kelele zake zisiweze kuvuka mipaka na kuwashtua watu wengine nje ya sehemu hiyo.
Mwamvita alipoona Pat alikuwa akizidisha kupiga kelele akajua kuwa alikuwa akitaka kufikia kwenye kilele cha mlima, hivyo akaongeza jitihada za kumsaidia ili afike kwa raha zake.
Pia, Mwamvita akawa na jukumu lingine la kumziba mdomo Pat kwa kutumia mikono yake ili kuzizuia kelele zake zisiweze kuharibu mambo.
Kwa kufanya hivyo, Mwamvita alifanikiwa kiasi kuzipunguza kelele hizo na kuzifanya zishindwe kufika mbali ingawa wao waliendelea kuzisikia kelele hizo.
Hiyo ilitokana na Pat kuunguruma kama paka aliyekuwa ametoa makucha kumkamata panya aliyekuwa akitaka kuponyoka ili kusalimisha maisha yake.
Hatua ya mwisho ilifika pale, Pat alipozidisha spidi na kutoa meno yake kiasi cha kumng’ata Mwamvita na kisha kuishiwa nguvu na kulegea kama siyo kutepeta kabisa.
Hakufanya hivyo kwa hiari yake bali ni kutokana na kuzidiwa na msukumo wa damu mwilini mwake na kumfanya ajiachie na kujikuta akilazimika kujifunga goli hilo.
Lilikuwa ni goli maridadi lililozidi kumfanya Eddy kuzidisha spidi ili naye aweze kufika juu ya kilele alichokifikia mwenzake.
Haikuchukua muda kijana huyo naye akafuata nyayo za Teddy na kufunga bao kwa kasi ya ajabu.
***
Mara baada ya kukamilisha furaha yake, Eddy alijikuta akivamiwa tena na Mwamvita naye akitaka waingie msambweni.
Eddy hakuwa na budi, kwa shingo upande akawa analazimika kumpa huduma hiyo Mwamvita.
Moyoni mwake alisema: “Kama janga haya sasa ni majanga…” kwa kuwa alikuwa amechoka na alihitaji kuvuta pumzi ili apate nguvu mpya.
Hata hivyo, aliogopa kugoma kutoa huduma hiyo kwa Mwamvita kwa kuhofia kile alichokuwa akikihofia mwanzo wakati msichana huyo alipowakuta yeye na Pat wakicheza segere.
Kwa upande wake, Mwamvita hakujali kama Eddy alikuwa amechoka ama la, kwani naye shetani wake alikuwa ameshampanda na alikuwa akihitaji kitu kimoja tu, kupungwa.
Mwamvita alijua jinsi ya kumrudisha mchezoni Eddy, alimpetipeti kwa dakika kadhaa kisha damu ya kijana huyo ikachemka na mwili wake ukasisimka na kumfanya nyoka wake atutumke na kutaka kummeza chura.
Ulipofika wakati wa nyoka kupewa chakula chake , Mwamvita hakuwa na budi kumruhusu Eddy kuingia katika himaya yake.
Wakati zoezi hilo la Eddy na Mwamvita likiendelea,Pat alikuwa ameshapata nguvu na kugeuka kuangalia kile kilichokuwa kikiendelea kati ya Eddy na Mwamvita, akakumbuka ukarimu wa Mwamvita.
Naye akawa anamsaidia msichana huyo kwa kumpetipeti kama vile alivyokuwa akimfanyia yeye wakati alipokuwa msambweni na Eddy.
***
Wakati huo Rehema alikuwa akitaka kujua sehemu alipokuwa Eddy. Alifanya hivyo baada ya kumuona mwanaume wa Queen ambaye alikuwa amefika muda huo na kuingia chumbani kwa msichana huyo.
Lengo la Rehema lilikuwa ni kutaka kumuonesha Eddy kwamba msichana huyo alikuwa na jamaa yake ili kujihakikishia ushindi wa yeye kummiliki mwanaume huyo.

Rehema alitoka hadi barazani kumtafuta Eddy lakini hakumuona, akafika hadi chumbani kwake lakini pia hakumuona ingawaje aliona dalili za mwanaume huyo kurudi.
Ishara kubwa aliyoiona ni taa ya chumbani kwa Eddy ambayo ilikuwa ikiwaka na kuashiria kwamba alikuwepo, Rehema akatoka hadi uwani na kuangaza huku na kule ili kujiridhisha kwamba labda mwanaume huyo alikuwa ametoka na kwenda msalani.
Akaangaza huku na kule lakini hakumuona Eddy, akasimama hapo na kujiuliza mwanaume huyo alikuwa amekwenda wapi.
Akiwa anatafakari nini cha kufanya, akajisikia haja ya kwenda msalani.
POROMOKA NAYO…
Rehema akawa anaelekea msalani lakini akilini mwake alikuwa akiwaza ni wapi Eddy alipokuwa. Alikuwa na kiu kubwa ya kumuona mwanaume huyu ili amwambie kuhusu Queen kuleta mwanaume mwingine ndani ya nyumba hiyo.
Rehema alihisi kwamba, Eddy akijua kwamba Queen ambaye ndiye mpinzani wake pekee ndani ya nyumba hiyo akimuona mwanaume wa msichana huyo ataamua kuachana naye na yeye atabaki kuwa peke yake.
Akionekana kuwa na mawazo mengi, Rehema alipiga hatua kuelekea msalani, ghafla mbele yake akamuona msichana akitoka msalani.
Kwa kuwa giza lilikuwa limetanda hakuweza kumfahamu kwa haraka, akasimama ili aweze kupishana naye.
Aliposogea, aliweza kumtambua kuwa ni Pat aliyekuwa akitokea upande wa bafuni. Hata hivyo hakuweza kusalimiana naye kwa kuwa alimuona kama adui yake kwa kuwa alikuwa ni mdogo wa Queen.
Rehema akasita kwenda msalani kwa kuingiwa na hofu ukizingitia msalani kwao hakukuwa na taa, akiwa amesimama kwa muda bila ya kuamua cha kufanya mbele yake tena akamuona mtu mwingine akija usawa wake.
Akamwangalia kwa umakini kutaka kumjua kama alikuwa Eddy au nani… alipokaza macho yake vizuri akamtambua kuwa aliyekuwa akitokea kule alikuwa ni msichana.
“Weee nani…?” alimuuliza.
“Mwamvita…”
“Aaaah kumbe wewe…” alisema Rehema na hofu kumtoka kidogo.
Maneno yao yalisikika kwa Eddy aliyekuwa amebaki bafuni kwa kuwa walikuwa wamepanga kwamba awe mtu wa mwisho kutoka bafuni humo baada ya wasichana hao wawili kutoka.
Hata hivyo, Rehema alipatwa na wasiwasi kuona Pat na Mwamvita wakiwa wanatokea bafuni muda huo na kujiuliza kulikoni wawili hao watoke bafuni kwa wakati mmoja.
Aliyaondoa mawazo ya kuwafikiria vibaya na hisia zake zikamwambia kwamba labda walikuwa wakioga pamoja baada ya mmoja wao kuogopa kuoga peke yake.
“Mwamvita…!” aliita Rehema.
“Abee!”
“Nisubiri hapa wakati nikiingia msalani… si unajua kuwa kunatisha kwa kuwa hakuna taa…”
“Sawa…” aliitikia Mwamvita huku moyoni kiroho kikimdunda.
Kwa uwepo wa Mwamvita pale nje, Rehema aliweza kuelekea msalani na alipoingia msalani aliiachia haja ndogo karibu kabisa na mlango.
Akiwa anaendelea kujihudumia alihisi kama kuna mtu amepita kutokea bafuni, awali alihisi ni uoga wake lakini akili yake ikamwambia kuwa kuna mtu ametoka bafuni tena kwa kunyata.
Hakumuona mtu huyo ila hisia zake ndizo zilizomtuma kuamini hivyo, akaziamini ingawaje hakuweza kuacha kumalizia jukumu lililompeleka msalani humo na kumfuatilia mtu huyo.
Alijua tu Mwamvita atamwambia ni nani aliyetoka bafuni kwa kuwa alikuwa amepanga kumuuliza mara baada ya kutoka msalani.
Baada ya kumaliza haja yake akatoka lakini alipofika nje hakumkuta Mwamvita wala kivuli chake.
Akajiuliza kama msichana huyo alikuwa amemdharau au kulikuwa na kitu kinachoendelea ambacho kilimfanya asimsubiri kama alivyomtaka.
“Kama amefanya makusudi atakuwa akimjua mtu aliyetoka bafuni…” aliwaza Rehema akapanga kumfuata Mwamvita na kumuuliza kwa nini aliondoka bila ya kumsubiri.
Rehema akapata wasiwasi mkubwa ndani ya nafsi yake bila ya kujua kile kilichotokea.
Akiwa na wasiwasi wake akaamua kurudi ndani, cha kwanza kumshangaza alipofika usawa wa chumba cha Eddy ni dalili za kuwepo kwa mtu ndani ya chumba hicho.
Aliziona kandambili za mwanaume huyo zilizokuwa zimelowana maji, wasiwasi wake ukaongezeka na kuhisi kwamba huenda Eddy ndiye aliyekuwa mtu wa tatu kutoka bafuni.
Hakutaka kuamini hilo pamoja na kwamba hakutaka kumchukulia dhamana mwanaume huyo, akaamua kugongea mlango ili aweze kuonana naye na ikiwezekana amuulize kabla ya kumvaa Mwamvita.
Eddy alipatwa na wasiwasi pale aliposikia mikono ya kike ikiugonga mlango wake, akawa anajiuliza ni nani.
Kwanza alihisi labda ni mmoja kati ya wale wasichana aliokuwa nao bafuni ndiye aliyekuwa akigonga wake muda huo.
Pili, akahisi kwamba mgongaji angeweza kuwa ni Queen lakini akaliondoa wazo hilo baada ya kukumbuka makubaliano yake na msichana huyo kwamba wasiwasiliane wanapokuwa ndani ya nyumba hiyo.
Tatu akamfikiria Rehema kwamba, angeweza kuwa ni yeye kwa kuwa hakuwa ameonana naye usiku huo.
Hata hivyo, hakutaka kujipa usumbufu wa akili kwa muda mrefu, akaamua kuusogelea mlango na kuufungua.
Macho yake yakagongana na Rehema, haraka akayakwepesha na kuangalia pembeni, kisha akarudi chumbani kwake na kuendelea kufanya kile alichokuwa akikifanya.
Rehema aliingia chumbani humo na moja kwa moja akamsogelea Eddy na kumkumbatia kwa nyuma akipitisha mikono yake kiunoni kwa mwanaume huyo kisha akamwita:
“Baby…!”
“Eeeh!” Eddy aliitikia bila ya kuonesha uchangamfu uliokuwa umezoeleka kati yao.
“Una nini?”
“Sina kitu,” alijitetea Eddy huku akitaka kuvaa bukta yake ya kulalia.
“Hauko kawaida, kuna nini hebu niambie…?” Rehema aliendelea kusema katika hali ya kuonesha kwamba alikuwa akitaka kupata undani wa kile kitu alichokuwa akikitaka.
“N’shakwambia kwamba hakuna kitu…” alisema Eddy kwa ukali kidogo.
Rehema hakukubali akamgeuza Eddy upande wake na kuwafanya waangaliane, kisha akamzuia kuvaa bukta, akamsogeza hadi kwenye uwanja wa fundi seremala.
Bila ya Eddy kutarajia, akiwa amesimama huku akiangaliana na Rehema, msichana huyo akamsukuma kidogo na kumwangusha Eddy juu ya uwanja huo.
Kabla ya Eddy hatajatafakari kitendo cha kuangushiwa dimbani, Rehema akampandia juu yake na kulala juu ya kifua chake na kuhakikisha kwamba nyuso zao zinagusana na macho yao yanaangaliana.
“Nimekutafuta kwa muda mrefu ulikuwa wapi?” Rehema alisema kwa sauti ya upole iliyojaa kila aina ya bashasha za mahaba.
“Nilikuwepo…” Eddy alipoa kidogo
“Wapi?” alisisitiza Rehema na hapohapo akafanya kitu ambacho Eddy hakukitarajia.
Rehema akaushusha mkono wake hadi kwenye ikulu ya Eddy na kugusa msumari.
“Kha! Kwa nini iko hivi?”
“Kwani ikoje?” alisema Eddy huku akitaka kujiondoa chini ya udhibiti wa msichana huyu, kwani alishajua kwamba mambo yatakuwa makubwa kama akiendelea kujilegeza.
“Mbona siku zote haiwagi hivi…?”
“Ikoje?” Eddy aliendelea kuhoji akimtaka Rehema amwambie anahisi msumari wake umekuwaje.

“Hujui?”
“Sijui…” alijibu Eddy
“Mbona inaonekana kama vile umetoka kufanya kazi muda si mrefu?”
“Sikuelewi…” alijitetea Eddy.
“Unaonekana kama vile ulikuwa bafuni…”
“Ndiyo…”
“Lakini mbona nimewaona yule mtoto wa mwenye nyumba na Pat nao wakitoka bafuni?”
“Miye nilitoka kabla yao,” alijitetea Eddy.
“Siyo kweli… miye nilitoka kukuangalia barazani hukuwepo, nikaja chumbani kwako, hukuwepo…nikaenda uani ndipo nilipowaona wao wakitoka kisha nikahisi mtu akitoka bafuni, nadhani ulikuwa wewe…” alisema Rehema.
Moja kwa moja Eddy akatengeneza picha kichwani mwake, akaamini kwamba mwanamke huyo alikuwa sahihi katika maongezi yake.
Lakini siku zote Eddy alikuwa amejifunza kitu kimoja tu, kukataa kitu chochote ambacho kingeweza kumfanya mtu amfikirie vibaya.
“Sasa kama umewaona wao wananihusu nini mimi?”
“Siyo kukuhusu, inawezekana ulikuwa nao bafuni…”
“Umenichoka sasa…” alisema Eddy huku akionesha hasira usoni mwake na kutoka katika mikono ya Rehema, akasimama na kuvaa bukta yake.
Ilimbidi kufanya hivyo ili kuweza kukwepa kuingia msambweni na Rehema kwa kuwa alihisi msichana huyo hakuwa na lingine zaidi ya wivu na kutaka kutimiziwa jambo hilo.
Aidha Eddy alifikiria kwamba asingekuwa na nguvu za kupiga naye shoo kwa kuwa muda mchache alikuwa ametoka kugonga shoo za nguvu.
“Sasa unaenda wapi?” Rehema aliuliza kwa jazba.
“Nitakaaje na wewe ambaye unanihisi vibaya hata kwa vitoto vinavyonuka haja ndogo?”
“Siyo hivyo, nilikuwa nikihisi tu kutokana na mazingira na wewe hujaniambia ulikuwa wapi mpenzi wangu…” Rehema alianza kupunguza wasiwasi wake.
“Sawa ndiyo unihisi na vile vitoto?”
“Basi rudi nikwambie kitu kingine.”
“Kuhusu nini?”
“Kuhusu Queen, roho ya Eddy ikashtuka na kutaka kujua kuhusiana na msichana huyo.
“Kafanya nini?”
“Nilijua lazima hilo hutataka kulisikia tu.”
“Tatizo lako wewe wivu umejaa, unanihisi kila mtu ni halali yangu… ndiyo maana unaniudhi,” Eddy alitengeneza ndita za uongo usoni mwake.
“Basi usikasirike, ni kwamba Queen amekuja na mwanaume wake… wako chumbani kwao…”
“Mimi inanihusu nini?”
“Si mpenzi wako?”
“Mpenzi wa nani? Miye sijawahi hata siku moja kutoka na Queen wewe mawazo yako yanakutuma vibaya,” alisema Eddy na kutoka nje.
Moja kwa moja, Eddy alitoka hadi barazani na kuwakuta Muddy na Queen wakiwa huku baada ya kutoka chumbani kwa msichana huyo.
Queen alipomuona Eddy akafurahi na kuona ni sehemu ya kuweza kuweka mambo yake sawa, akamwita na kumtambulisha kwa Muddy.
“Huyu ni shemejio anaitwa Eddy ni mgeni hapa nyumbani kwetu, anakaa chumba kile cha mwisho…” Queen alitoa utambulisho huo mfupi.
“Sawasawa nimefurahi kukufahamu bwana Eddy…” alisema Muddy.
“Na huyu ni Muddy, ni mpenzi wangu wa muda mrefu sana, hapa katikati alipotea kutokana na kuzuzuliwa na wasichana wa mjini,” Rehema alimtambulisha Muddy kwa Eddy.
“Sawasawa, nami nimefurahi kukufahamu bwana Muddy karibu sana kwetu… ndiyo tumeanza maisha…” alihitimisha Eddy huku akishikana mkono na Muddy.
Wakati hayo yakiendelea Rehema alishatoka ndani na kushuhudia utambulisho huo.
Akabaki akishangaa na kujiuliza maswali mengi kama kweli Queen hajawahi kutembea na Eddy.
Siyo yeye peke yake, hata Pat, Mwamvita na Tabu nao walikuwa barazani hapo wakishuhudia kitendo hicho.
Wote walibaki midomo wazi, wakashangaa kwa nini Eddy anakubali kutambulishwa kwa mwanaume mwenzake.
Wote hao walikuwa na uhakika wa asilimia mia kwamba Eddy alishatembea na Queen, Pat mdogo wake Queen alijua hivyo, Mwamvita alijua hivyo na hata Tabu alilijua hilo.
Mbali na kujua hivyo, wote walikuwa wakijua kwamba tayari walishatembea na mwanaume huyo, maswali yakawavagaa akilini mwao na kushindwa kupata jibu.
Walikuwa wakijiuliza kwamba, Eddy alikuwa akikubali kutoka moyoni au alikuwa akiigiza?
Pamoja na Rehema naye kujua kwamba aliingia katika ugomvi na Queen kwa sababu ya Eddy lakini kidogo alifarijika na kuamini kuwa mwanaume huyo alikuwa mkweli.
Hakuona sababu ya kumhisi Eddy vibaya, aliamini kwamba kama Eddy angekuwa ametembea na Queen asingekubali kutambulishwa kwa mwanaume mwenzake.
Hapohapo Rehema akawa mpole, akafuta mawazo yote mabaya juu ya Eddy.
Akahisi hata kuhusu wale watoto, Pat na Mwamvita zilikuwa ni hisia zake tu.
Akapanga kuondoa tofauti zake na Queen huku akidhamiria kumuomba msamaha kwa ugomvi wao wa siku za nyuma.
“Eddy…” Rehema hakutaka kulaza damu hapohapo akamwita mwanaume huyo.
“Unasemaje?”
“Twende ndani tukaongee,” alisema Rehema huku akimvutia ndani mwanaume huyo. Bila kinyongo Eddy akamfuata kama vile mbwa anavyomfuata chatu.
Kitendo hicho kilimfurahisha sana Queen kwa kuona kuwa ameweza kuwahadaa wote waliokuwa wakimfikiria vibaya juu ya Eddy, akatoka kumsindikiza jamaa yake.
“Samahani mpenzi wangu?” Rehema alijikuta akisema mara baada ya kuingia chumbani na Eddy.
“Samahani ya nini?”
“Kwa jinsi nilivyokuwa nikikufikiria vibaya, naomba unisamehe juu ya Queen..-.”
“Ni hilo tu?” Eddy alihoji
“Na mengine yote nayo naomba unisamehe…” Rehema alijikuta akiwa mtumwa ghafla wa kufuta mawazo yake na kusadiki mawazo ya mtu mwingine.
“Na kuhusu Queen?” Eddy alisema huku akimkazia macho Rehema.
“Hata yeye niko radhi kumuomba msamaha pia…” alisisitiza

“Wala sikijui, hebu nipe utamu shoga…”
“Si nimemkuta Pat na mgeni wakiwa wanakula uroda?”
“Mhhh! Pat au unamsingizia?” alihoji Tabu.
“Nimsingizie kwa nini?”
“Si anajua kama Queen amekula uroda na mgeni kwa hiyo ameamua kula chungu kimoja na dada’ke?”

“Sijui kitu gani kimemfika…?”
“Hebu nipe mchapo ilikuwaje..?” Tabu alitaka kujua zaidi.
“Nilikuwa natoka bafuni, ghafla nikasikia kelele za kimahabati zikirindima upande wa kutokea bafuni… si nikazifuatilia?”
“Enheee…” Tabu akachombeza kutaka kujua zaidi huku roho ikimuuma kwa kuwa alikumbuka kwamba na yeye alikuwa ameshakula uroda na mgeni.
Pia, akakumbuka jinsi Pat alivyomhisi siku alipokuwa akitoka chumbani kwa Eddy, ndani ya nafsi yake akasema kumbe msichana huyo aliamua kumfuatilia Eddy na kwenda kula naye raha bafuni.
“Basi kila nilivyokuwa nikisogea ndivyo kelele zilivyokuwa zikiongezeka…, acha mchezo Pat akiwa mchezoni anajua kulalamika shoga,” alisema Mwamvita kumsifia mwanamke mwenzake.
“Mwanzo nilidhani nilihisi kuna mtu alikuwa akinyongwa nikazama hadi bafuni… nikamkuta Pat kaandika namba saba na mgeni kaandika namba moja nyuma yake…”
“Weee…” Tabu alishtuka.
“Ndiyo nakwambia…”
“Enhee, ukafanyaje au wakafanyaje?” alihoji huku akikaa vizuri.
“Nikawaangalia kwa muda kisha nikawashtua, baada ya hapo wote wakanywea na kama vile walikuwa wamelowana na mvua…”
“Mh ikawawaje?” ushawishi ukamzidi Tabu.
“Pat alikuwa akitaka kujifanya mjanja kwa kujitetea, nikaona isiwe tabu, kwa kuwa jogoo la mgeni lilikuwa limeshanywea, nikaingia mzigoni na kuanza kulipandisha ili liweze kufanya kazi….
“Mtoto wa kike nikachukua usukani na kuanza kumpekecha mgeni ili kumpandisha mori upya, Pat akashangaa, kitu kilipokuwa sawasawa, nikampisha ili aendelee na starehe zake…”
“Na wewe ulitoka nje au ulibaki mle bafuni?”
“Niende wapi wakati miye ndiye niliyekuwa kocha mwenyewe tena…nikakaa na kuangalia mapigo yao.”
“Tobaaa!” alisema Tabu huku akiushangaa uamuzi huo wa Mwamvita.
“Sasa unashangaa nini…?”
“Miye nisingeweza kupiga shoo huku mwanamke mwenzangu akiwa ananiangalia…” Tabu alisema na kuongeza “ Hebu niambie lakini hadi mwisho ikawaje?”
“Ulitaka iweje, alipomaliza raundi yake moja na miye nikaingia kwenye gemu… nikamuonesha jinsi ya kupiga shoo kiutu uzima,” alisema Mwamvita na kuzidi kumshangaza Tabu.
“Ina maana na wewe ukapiga shoo?” Tabu alisema huku akitaka ufafanuzi kutoka kwa Mwavita kwa kuwa alikuwa hajamuelewa kile alichokuwa akikimaanisha. “Unasema?”
“Sirudii kwa kuwa miye sitangazaji matangozo ya vifo shoga…” alisema kwa utani Mwamvita huku macho yake yakiwa makavu.
“ Hivi ulichosema ni kweli au nimekusikia vibaya?” Tabu aliendelea kudadisi.
“Naamini kabisa kwamba masikio yako hayana matatizo, yako sawasawa, utakuwa umenisikia vizuri…”
“Kwamba baada ya Pat kumaliza na wewe ukachukua nafasi yake…?”
“Ndiyo maana yake…” alisema Mwamvita.
Ghafla baada ya kauli hiyo, Tabu akaonekana kukosa raha na kuonesha kama vile hakuwa amependezwa na maneno yake yale lakini Mwamvita akaendelea kushusha mistari yake:
“Basi nikagonga shoo ya nguvu…” Mwamvita alikuwa akiendelea kumwadithia Tabu lakini msichana huyo aligundua tofauti iliyokuwepo wakati walipokuwa wakianza mazungumzo yao na hadi hapo walipofikia.
“Vipi mbona kama vile umekatika stimu gafla, kuna kitu kimekugusa nini…? Maana nakuona huna raha na umekuwa mpole ghafla…?”
“Kuna kitu nataka nikuambie…” Tabu alisema na kuonekana dhahiri kwama alikuwa ameguswa na kitu ambacho hakikumpendeza.
“Kitu gani hicho, Kinahusiana na mambo haya niliyokuadithia au una lingine shoga?”
“Kuhusiana na huyohuyo mgeni…” alisema Tabu kisha kumeza funda la mate.
“Haya mwaga mtama shoga… isiwe na wewe umeshagonga naye shoo?” Mwamvita alisema huku akijiweka sawa na yeye kusikia kile alichokuwa akitaka kukisema Tabu.
“Unajua…” Tabu alianza.
“Sijui…” Mwamvita alimdakia na kumkazia macho kwa umakini mkubwa.
“Acha utani shoga nataka kukuambia kitu cha maana sana maana naiona hatari mbele yetu…”
“Sijakuelewa…” Mwamvita alisema.
“Unajua kama Queen ametembea na mgeni…?”
“najua…” Mwamvita alisema.
“Unajua tena kama Rehema ametembea na mgeni?”
“Hata hilo hakuna asiyejulia, kwa maana hata sasa wako msambweni…” alijibu Mwamvita kwa kujiamini.
“ Hapa unaniambia kuwa Pat ametembea na mgeni…?”
“Siyo Pat peke yake na miye vilevile nilikuwepo na nikashiriki katika tendo lao…” alisema Mwamvita.
“Haya sasa na miye nimetembea na huyo mgeni…” alisema Tabu na kumfanya Tabu kuachama mdomo bila ya kusema kitu kwa muda mrefu.
“Na wewe tayari…?”
“Ndiyo maana yake,” alijibu Tabu kwa unyonge kama mtu aliyekata tamaa.
“Haya sasa Majanga…” alijibu Mwamvita.
“Siyo Majanga tu, ni zaidi ya Majanga… hivi unadhani mmoja wetu akiwa ameathirika hapa inakuwaje, si wote tutaondoka na ugonjwa huu wa Ukimwi?” alihoji Tabu.
“Katika siku zote leo ndiyo umeongea jambo la msingi, sasa tutafanyaje?”
“Hebu tumwite Pat hapa kisha tupange mkakati wa kuweza kuchukua hatua zaidi…” alipendekeza Tabu.
Mwamvita alisimama na kwenda kumwita Pat ili waweze kumweleza kuhusiana na mkakati ambao wanaweza kuupanga kutokana na kuchanganywa na mwanaume huyo.
“Eeeh mnasemaje?” Pat aliuliza baada ya kuitikia wito huo.
Mwamvita akachukua jukumu la kumwambia ukweli wa kile kilichotokea.

sawa nimekubali
*****************
Baada ya muda eddy alitoka chumbani kwake
unaenda wapi eddy…….pat aliuliza
naenda guest…………
guest haina jina? pat aliuliza huku amekasirika
haina ua iwe ina jina ww inakuhusu nini?
sawa…….pat alijibu kiunyonge
baada ya muda marafiki zake pat waliingia na kuanza kuwasimulia kilichotokea baina yake na eddy
“Gesti gani?” alihoji Mwamvita.
“Hakunitajia…” alisema.
“Hebu mwangalie ameshatoka?”
“Zamani…” alijibu Pat.
“Umefanya kosa kubwa sana, unajua hiyo ndiyo ilikuwa sehemu mwafaka ya kuweza kumnasa, tungetengeneza bonge la fumanizi…” alisema Tabu.
POROMOKA NAYO…
Siku zikapita na wakawa wamemkosa kumfumania Eddy akiwa na Queen.
Wasichana hao wakaendeleza umoja wao huo wa kutaka kumfedhehesha Eddy, wakaambiana kwamba wasikubali kumpa uroda na ikitokea mmoja wao akimwingiza kwenye anga zake basi kwa njia yoyote ile awashtue wenzake ili wamfumanie naye.
Makubaliano hayo yakapita bila ya wasiwasi. Jumapili moja, Pat alikuwa amekaa kihasarahasara nyumbani huku akiwa hana cha kufanya na kukosa pa kwenda.
Siku hiyo nyumba ilikuwa nyeupe kila mtu alikuwa amekwenda kwenye mihanjo yake.
Bila ya kutegemea, Pat akiwa anapita ukumbini na Eddy akitoka chumbani wakakutana uso kwa uso.
Pat hakuwa na ili wale lile, Eddy wazimu ulikuwa tayari umeshampanda, akawa anataka kukata kiu yake, hivyo moja kwa moja akalikumbuka lile chombezo liliwahi kuandikwa na Mommadou Keita la Kamata dagaa Piga.
Akili ikamtuma kwamba alikuwa akiweza kupiga shoo ya fastafasta kisha kuambulia ushindi wa goli moja bila ya majibu.
Tayari alishasoma mazingira ya nyumba jinsi ilivyokuwa, wakati akipishana na Pat, ghafla akahama upande wake na kumshika mkono msichana huyo.
Pat hakutaka kugusana na mwanaume huyo akataka kujinasua mkononi mwake lakini hakuweza.
Kila alivyojitahid ili kujichomoa katika mikono ya Eddy, ndivyo mwanaume huyo alivyoendelea kumdhibiti kisawasawa.
Eddy, akaupeleka ulimi wake mdomoni mwa Pat, lakini msichana huyo hakuupokea akaufumba mdomo wake.
Eddy akajua kwamba binti huyo alikuwa amekasirika na hakutaka kufanya vile alivyokuwa akitaka yeye, akaanza kumfanyia utundu wake.
Akamshika kwenye nyonga na kumminya kidogo, Pat akapiga kelele:
“Nini bwanaaa…?” Eddy hakumjibu akaendelea kumminya sehemu nyingine za maungo yake ili kumlainisha.
“Aaaah bwanaaa…!” Pat alisema tena na kumwachia upenyo Eddy kupenyeza ulimi wake kwenye kinywa chake.
Mpaka kufikia hapo, Pat hakuwa na nguvu za kuuzuia ulimi huo, akajikuta akiupokea na kutoa ushirikiano kwa kiwango kikubwa.
Pat aliamini kuwa labda akifanya hivyo, Eddy atamwachia, kumbe haikuwa hivyo mwanaume huyo akazidisha utundu zaidi akahamisha mkono wake wa kuume na kuupeleka kwenye embe sindano ya kushoto ya Pat, akaiminya kidogo.
Taratibu Pat akawa ananyong’onyea kwa kuishiwa nguvu, macho yake yakaanza kubadilika rangi na kuwa mekundu kuliko hata wekundu wenyewe.
Pamoja na kuwa na hali hiyo, bado Eddy hakumuacha, akazidi kumchanganya kwa kuisambaza mikono yake katika maungo ya msichana mmoja.
Hatimaye Pat akajikuta akinogewa na kila alichokuwa akifanyiwa na Eddy, akaanza kulialia kwa kutoa sauti yake halisi ya kike.
Mwanaume huyo akaamua kujiokotea dodo chini ya mwembe na kumshika Pat kisha akamnyanyua na kumwingiza chumbani kwake, wala hakutaka kumpeleka kwenye dimba la fundi seremala, mechi ilihamia mchangani chini ya sakafu kwenye zuria, segere likaanza kuchezwa.
Kukurukakara hizo zikawa zimehamia chumbani humo, Pat akajikuta akiishiwa nguvu kabisaaa, akawa hajitambui kwa machejo aliyokuwa akipewa, hatimaye akajikuta chuma kikoli moto.
Pat akajikuta akiokota mpira wavuni baada ya kufungwa bao la tik-tak na Eddy. Mara baada ya kumaliza ndipo akakumbuka maazimio aliyokuwa amekubaliana na wenzake.
Msichana huyo akaanza kulia, kitendo kilichomshangaza sana Eddy.
“Nini tena, mbona unalia…?”
“Sitaki…!” alisema Pat kwa hasira huku akiutoa mkono wa Eddy maungoni mwake.
“Unalia nini baby?” Eddy aliendelea kuuliza bila ya kujua kile kilichomo kwenye akili ya Pat.
“Wee si umetembea na dada Queen?”
“Kwani siku zote ulikuwa hujui…?” Eddy naye alimuuliza Pat huku akinyanyuka sakafuni na kuchukua taulo kwa ajili ya kwenda kuoga.
***
Mpaka usiku ulipokuwa ukiingia Pat hakuwa na raha hata kidogo na kuamua kwenda kulala mapema hali iliyowashangaza wenzake Tabu na Mwamvita.
Wasichana hao hawakujua kilichomsibu mwenzao, wakaamua kumtafuta mwenzao huyo. Walipompata walimuona akiwa mnyonge sana wakamuhoji kulikoni.
“Sijui yule mwanaume ana dawa…?” alianza kusema Pat.
“Nani tena?” Tabu akauliza.
“Si huyo Eddy…”
“Kafanyaje tena…?” Tabu aliuliza tena na kumfanya Pat ashindwe kusema kitu chochote na kunyamaza kimya hali iliyomtia hofu Mwamvita.
“Au umempa?” alihoji Mwamvita.
Pat wala hakutaka kujibu ila aliangua kilio na kuwafanya wote wapate jibu la swali alilouliza Mwamvita kwamba Pat alikuwa ametoa uroda.
“Ilikuwaje kwani…?” Tabu alidadisi tena.
“Yaani ni vigumu hata kuelezea mazingira yenyewe… ni aibu tu…,” alijitetea Pat kisha akaanza kushusha kisa kizima jinsi kilivyotokea mwanzo hadi mwisho.
“Nawe ulijilegeza tu… mtoto wa kike kama hataki hataki tu hata mwanaume afanye nini…” alisema Mwamvita.
ilipofika usiku eddy alirudi na kuignia chumbani kwake kumbe wakati huo Mama Mwavita nae alikuwa akimsubirti ili ajue utamu wa kijana huyo …………..alipoingia tu eddy chumbani kwake Mama mwavita nae akamfuata chumbani kwake
Haaaaaaa!!!!! na wewe unataka nini?
“Ssshhhhhhh? mama mwavita akamuwekea kidole mdomoni
“njoo nikupe raha za dunia achana na vinuka mkojo
muda huo eddy alikuwa bado anafikiria kwann wanawake wnamshobokea sana ghafla akavutiwa kitandani na lile lijimama na shughuli ikaanza
**************************************
“Ameingia tayari” pat aliwaambia mwavita na tabu
una uhakika” mwavita aliuliza
ndio nina uhakika tena ameingia na mwanamke nadhani atakuwa ni rehema”
basi wewe mwavita anza kuingia ili tujue kama kweli yupo au hayupo halafu sisi tuvamie
sawa” alijibu mwavita na kuvamia chumba
“Mwavita alipoingia chumbani kwa eddy na kukuta eddy akiwa na mama yake wakilisakata pale kitandani
“”Haaaaaaahhhhhhhh Eddy
wote walishtuka
Mwavita Alizimia palepale… hali hiyo iliwashtua wenzake nao walipovamia nao hawakuamini kile walikiona mbele yao.
MALIZIA UHONDO HUU…
Mke wa baba mwenye nyumba, mama yake na Mwamvita ndiye aliyekuwa akigonga shoo na Eddy.
Lilikuwa jambo la kushtua na lisilotarajiwa na wasichana wote waliokuwa wakiishi katika nyumba hiyo.
Mama huyo alitoka chumbani kwake na kumuacha baba mwenye nyumba akiwa amelala na kwenda kula uroda na Eddy.
Wasichana wote walipowaona wawili hao walipigwa na bumbuwazi, hawakutaka kuamini kama ni kweli lakini hawakuwa na budi kwa kuwa kila kitu kilikuwa hadharani.
“Haya sasa ni majanga… jamani majangaa,” alisema Rehema ambaye siku zote alikuwa haivi chungu kimoja na mama mwenye nyumba huyo.
Wasichana wengine wakazinduka na kuanza kupiga kelele zilizowafanya majirani na watu wengine kuamka na kudhani labda nyumba hiyo ilikuwa imeingiliwa na wezi.
Kila mtu aliyesikia kelele hizo alitoka chumbani kwake huku akiwa na silaha, aliamini kabisa kwamba hazikuwa kelele za bure.
Mwamvita alikuwa bado amezimia kutokana na kushindwa kustahamili aibu iliyokuwa mbele yake, kutokana na kushuhudia mama yake akigonga shoo na mwanaume aliyekula naye uroda.
Aibu hiyo aliiona kuwa kubwa kuliko ile ya Pat na Queen kutembea na mwanaume mmoja.
Tabu, Rehema, Queen pamoja na Pat waliendelea kupiga kelele na vishindo vya watu kuzifuatilia kelele zao vilikuwa vikisikika.
Machale yakamcheza Eddy akiwa mtupu kama alivyotoka tumboni kwa mama yake, akachomoka kama mshale na kukimbia nje huku akiwakwepa wasichana hao na watu wengine waliofika kufuatilia kasheshe hilo.
Kutokana na kasi yake, hawakuweza kumzuia, alikimbia huku wengine wakimkimbiza kwa nyuma, kabla hajatoka mlango wa mbele akakutana na jirani aliyebeba mchi na kumtwisha nao kichwani, Eddy akaanguka chini na kuzirai.
Baada ya kelele kuwa nyingi baba mwenye nyumba aliyekuwa amelala fofofo chumbani kwake alishtuka, akapapasa kumgusa mkewe lakini hakuwepo.
Akatoka, akauliza kulikoni, akapewa kisa na mkasa mzima, alipomuona mkewe, ghafla naye akaanguka chini na kuzimia.
“Hii nyumba imezidi majanga,” alisema jirani mmoja na kuungwa mkono na wenzie ambao walipendekeza iuzwe.
Eddy, baba mwenye nyumba na Mwamvita walibebwa na kupelekwa hospitali, baada ya kupewa matibabu walizinduka.
Baba mwenye nyumba aliamua kumwandikia talaka mkewe, Eddy aligoma hata kurudi kwenye nyumba hiyo kuchukua vitu vyake, akaamua kwenda kuishi kwa rafiki yake, Salim Raha, Gongo la Mboto akiwa hajui hatma yake.
Hali kadhalika kwa Mwamvita naye aliamua kuhama katika nyumba hiyo ya baba yake kutokana na aibu aliyoipata.
Hakutaka kujua hatma ya afya yake, yuko mtaani anarandaranda na maisha na kuendelea kuwaumiza wengine bila ya kujijua.
Kwa upande wao, Queen, Tabu, Pat na Rehema wakazungumza suala hilo kwa undani.
Queen alisikitika kutambua kama alikuwa akila chungu kimoja na mdogo wake Pat, hali kadhalika kwa Rehema aliumia kufahamu kwamba Tabu naye alikuwa akigonga shoo na Eddy.
Wakachukua jukumu la kwenda kupima afya zao, wakajikuta wameambukiza Ugonjwa wa Ukimwi.
Kila mmoja akajutia kile walichokuwa wakikifanya, wakakubali makosa yao na kuishi kwa matumaini.
Wameamua kuishi pamoja kama ndugu na kuachana na uhasama wao wa zamani.
Kila wakikumbuka maisha yao ya nyuma wanajuta na kusema ulikuwa ni ushamba kugombea mwanaume, lakini pia kila siku wanaimba wimbo wa Majanga ulioimbwa na Snura Mushi.
“Majanga mbona majanganga…”
Mwisho.

FUTA MACHOZI MPENZI – 5 RIWAYA YA UPELELEZI

Related image

Simulizi : Futa Machozi Mpenzi
Sehemu Ya  Tano (5)

William alikosa amani, kila alipokaa kichwa chake kilikuwa kikimfikiria msichana Cassey, hakuamini kama kweli alikuwa na mimba yake. Si kwamba hakupenda mtoto, alitamani sana kupata mtoto lakini hakupanga kupata mtoto kwa mtu kama Cassey ambaye kila siku alimuona kuwa mtu wa kupita, wa kumvua sketi na kuondoka zake.
Nyumbani, hakuonekana kuwa na furaha kabisa, Linda alipokuwa akimuuliza kuhusu hali iliyomsababisha kuwa hivyo, hakumwambia ukweli zaidi ya kumdanganya kwamba alihisi kichwa kikimuuma mno.
“Pole sana,” alisema Linda huku akienda kumchukulia dawa.
Kichwa chake kiliyafikiria magazeti ya udaku, aliyaona yakiwa mitaani huku kukiwa na habari yake kwa ukubwa mbele kabisa, hakujua ni mahali gani angeuficha uso wake kwani kila mtu angefahamu kwamba alilala na msichana Cassey na kumpa mimba na wakati alikuwa na mpenzi wake aliyekuwa akijulikana kila kona.
Hakuacha kumpigia simu Cassey na kumwambia kuhusu kuitoa mimba hiyo. Cassey hakukubali, hakutaka kumsikiliza na wakati mwingine mpaka wakawa wanagombana kisa tu kuambiwa kwamba alitakiwa kuitoa mimba hiyo.
Wakati mwingine William alimtafuta Cassey na kumuomba sana, hakutaka kuona mimba ile ikiendelea kukua, alitaka itolewe haraka iwezekanavyo na hata kama angehitaji kiasi gani cha fedha alikuwa tayari kumpa lakini mwisho wa siku akubaliane naye.
“Nilivyokuwa na kiu ya mtoto, halafu wewe unaniambia niitoe mimba hii! Hivi unahisi nitakuelewa William? Siwezi kukuelewa hata kidogo,” alisema Cassey alipokutana na William.
“Lakini nakuomba sana! Naona aibu sana Cassey, sijajua dunia itaniangaliaje! Nakuomba Cassey!” alisema William huku akionekana dhahiri kuchanganyikiwa.
“Haiwezekani! Siwezi kuhatarisha maisha yangu kwa ajili ya kukufurahisha wewe, mwanaume unayeonekana hukuwa na mipango thabiti na mimi zaidi ya kunivua nguo, kunichezea na kuondoka zako,” alisema Cassey.
Hakuubadilisha moyo wake, kila siku alimwambia hivyohivyo kwamba asingeweza kuitoa mimba hiyo. Alimaanisha alichokuwa akikisema, hakuteteleka, alimwambia kweli kwamba jambo hilo lisingeweza kufanikiwa hata mara moja.
Siku zikaendelea kukatika mpaka Linda alipoanza kujisikia uchungu wa kutaka kujifungua, harakaharaka akachukuliwa na kupelekwa hospitali. Huko, William alikuwa nje akimsikilizia mpenzi wake ambaye alikuwa ndani ya leba akijifungua.
Watu waliokuwa naye, wagonjwa wengine wakaanza kumpiga picha, kumuona William ilionekana kama bahati, halikuwa jambo la kawaida hata kidogo. Alitokea kupendwa sana, kila kona alipokuwa, watu walimfuata na kumpiga picha na wengine kupiga picha pamoja naye kwani mtandao wake wa MeChat kwa kipindi hicho ndiyo ulikuwa habari ya mjini.
Siku hiyo, hospitalini hapo William hakuonekana kuwa sawa. Alionekana kuwa na hofu kubwa moyoni mwake. Kichwa chake hakikumfikiria Linda, kilimfikiria Cassey ambaye naye baada ya miezi nane angekwenda hospitalini na kujifungua. Alijua namna msichana huyo alivyompenda, alijua kabisa asingeweza kuvumilia kutunza siri, ilikuwa ni lazima awaambie waandishi wa habari kwamba alizaa na yeye.
Wakati akiwa mahali hapo huku akiwa na mawazo tele, mara akaanza kusikia sauti ya mtoto ikilia kutoka katika chumba kile. Japokuwa alikuwa na mawazo tele, kidogo tabasamu likaonekana usoni mwake. Wala hazikupita dakika nyingi, mlango ukafunguliwa na kutakiwa kuingia kwa ajili ya kumuona mtoto wake.
Akapiga hatua mpaka alipokuwa Linda, katika kitanda kingine kabisa na kumpa pole kwa kazi kubwa aliyokuwa nayo, hakuishia hapo, akaanza kumpiga mabusu mfululizo mashavuni mwake kuonyesha furaha kubwa aliyokuwa nayo moyoni mwake.
“Hongera mpenzi wangu…” alisema William huku akiendelea kummwagia mabusu mfululizo.
“Nashukuru sana mpenzi! Tumepata mtoto wa kiume,” alisema Linda huku akionekana kuwa na furaha tele.
William akakifuata kitanda kilichokuwa pembeni na kumwangalia mtoto wake. Alionekana kuwa na sura nzuri, alichukua macho yake lakini sehemu kubwa ya sura yake alichukua kwa mama yake. William akatoa tabasamu pana, hatimaye aliitwa baba kwa mara ya kwanza, hakutaka kuchelewa, hapohapo akampa jina mtoto wake na kumuita William Jr.
Mtoto akampa furaha kubwa maishani mwake, kidogo mawazo juu ya msichana Cassey yakaanza kupungua, akajiweka karibu na familia yake kama kujisahaulisha, kila wakati alikuwa akitabasamu, yote hayo yalikuwa ni kupoteza machungu aliyokuwa nayo juu ya msichana Cassey.
Siku ziliendelea kukatika, baada ya wiki moja ya furaha tele, Cassey akamtumia meseji ya picha William ambayo ilimuonyesha akiwa amesimama, juu hana kitu huku akiwa amelishika tumbo lake na kusindikizia maneno machache yaliyosomeka ‘Am bout to be a baby mama’ akimaanisha kwamba alikuwa akijiandaa kuwa mama mtoto.
Furaha ya muda mfupi aliyokuwa nayo William ikayeyuka moyoni mwake, hofu ikaanza kumuingia, mwili ukamtetemeka huku kijasho chembamba kikimtoka. Hakuamini kama Cassey angeweza kumtumia picha yenye ujumbe kama huo, hakutaka kukubali, hapohapo akampigia simu.
“Cassey!”
“Ndiyo baba watoto!”
“Kwa nini umenitumia hiyo picha? Hujui kama nina mke?” aliuliza William huku akionekana kukasirika.
“Una mke au hawara?”
“We mpumbavu sana. Kwa nini umenitumia picha hiyo?”
“Tatizo lipo wapi?”
“Hujaona tatizo hapo?”
“Sijaona! Au tatizo ni kumuonyeshea mwanaume matunda ya mbegu aliyoipanda?” aliuliza Cassey.
“Cassey! Nina mtu nyumbani, unalifahamu hilo! Hivi unahisi itakuwaje kama akiiona hii picha?” aliuliza William.
“Kwa hiyo hunipendi?”
“Sijamaanisha hivyo!”
“Umemaanisha nini? Humtaki mtoto wako?”
“Nisikilize Cassey!”
“Nijibu kwanza!”
“Sasa si ndiyo unisikilize…”
“Kama hunitaki! Ninajiua! Bora nife tu,” alisema Cassey na kukata simu.
“Halo…halo…halo…” aliita William huku akionekana kuchanganyikiwa kwani hakutaka kabisa kusikia Cassey akijinyonga kisa yeye, alichokifanya ni kuligeuza gari lake na kuanza kuelekea nyumbani kwa msichana huyo kwani kwa jinsi alivyokuwa amemjibu, alijua tu kwamba ni lazima msichana huyo angejiua kama alivyomwambia.
Aliendesha gari kwa kasi lakini baada ya dakika kadhaa akashangaa kuona foleni kubwa mbele yake, alichanganyikiwa, alijitahidi kupiga honi ili apishwe lakini hakukuwa na mtu aliyekuwa radhi kumpisha kwani kila mtu alionekana kuwa na haraka na mambo yake.
Ikambidi avumilie huku akimuomba Mungu Cassey asichukue uamuzi wa kujiua kwa ajili yake. Baada ya dakika kumi ndipo magari yaliporuhusiwa na kuondoka mahali hapo.
Huku akiwa njiani, ghafla simu yake ikaanza kuita, alipoichukua na kuangalia kioo, akakutana na jina la Cassey, harakaharaka akaipokea na kuiweka sikioni.
“Cassey! Naomba usijiue…” alisema William mara baada ya kupokea simu.
“Samahani! Bila shaka unamfahamu mwenye simu hii,” alisikika mwanaume kutoka upande wa pili, William akaogopa.
“Ndiyo!” alisema huku akianza kulengwa na machozi.
“Pole sana!” alisikika mwanaume huyo.
“Ya nini?”
“Mwenye simu hii ame….” alisikia sauti hiyo ikimwambia lakini hata kabla mtu huyo hajamaliza sentensi yake, kwa kuchanganyikiwa, gari la William likaacha njia, kwa kasi ya ajabu likaelekea pembeni ya barabara kulipokuwa na miti mingi, likaanza kuserereka huko kwa kasi huku likipindukapinduka.
Akajigonga huku na kule, na kwa sababu hakuwa amefunga mkanda, akajikuta akitolewa ndani ya gari kupitia kwenye kioo cha mbele na kutupwa nje ambapo moja kwa moja akaenda na kuligonga bega lake katika mti mkubwa. Hapohapo akatulia, akahisi pumzi zikikata na kuona mtoa roho akianza kumnyemelea.

Vijana wa Nicholaus hawakuacha kufika hospitalini hapo, walikuwa wakienda na kujifanya kwamba walikuwa na wagonjwa kumbe nyuma ya pazia walikuwa wakifuatilia kila kitu kilichokuwa kikiendelea.
Kila kona, watu walizungumzia tukio lililotokea kwamba kulikuwa na daktari aliyetaka kumuua mgonjwa kitandani kitu kilichowafanya wagonjwa wengi kuhisi kwamba hawakuwa sehemu salama, hasa katika hospitali hiyo ambayo ilikuwa ikijulikana kila kona kutokana na huduma zake nzuri.
Madaktari walichukia, walimwambia polisi aliyekuwa akilinda alinde kiuhakika na mwisho wa siku mgonjwa huyo apone na kurudishwa nyumbani huku akiwa salama kabisa.
Ulinzi uliendelea kama kawaida. Kitu walichokifanya Kibra na vijana wenzake ni kutafuta mavazi ya kipolisi, yaliyofanana na polisi yule aliyekuwa akilinda katika chumba kile ili mmoja aende na kulinda yeye ili iwe rahisi kuingia ndani ya chumba kile.
Baada ya siku mbili, tayari walipata mavazi ya polisi. Alitakiwa kuvaa kijana mmoja, walichokifanya kilikuwa ni kupanga dili kwamba ni lazima wamchukue msichana mmoja na kwenda kule hospitalini ambapo baada ya kufika ajifanye ameanguka na kuchukuwa na polisi yule.
Hilo halikuwa tatizo hata kidogo, siku hiyohiyo wakampata msichana huyo na kumpanga na hivyo kuelekea hospitalini huku yule aliyetakiwa kuvaa kama polisi akiwa ameziweka nguo hizo katika mfuko wa plastiki na kuelekea chooni huku akifuatilia kwa kutumia masikio yake.
Wakati msichana yule akipiga hatua kuelekea katika wodi moja, alipofika karibu na polisi yule akajifanya kuanguka kwa kuzidiwa na ugonjwa kitu kilichowafanya watu wote kushtuka. Haraka sana Melania, mama yake na polisi yule wakamsogelea pale alipoangukia na kisha kumuinua, hakuyafumbua macho yake, akajifanya kuzidiwa hivyo kuanza kumpeleka katika chumba kingine huku wakiongozwa na nesi mmoja.
Kwa haraka sana jamaa aliyekuwa chooni ambaye tayari alikuwa na mavazi ya kipolisi akatoka chooni kule na harakaharaka kuanza kutembea kuelekea katika chumba kile.
Watu walimuona lakini walipuuzia kwani kila mmoja aliamini kwamba huyo alikuwa polisi yule aliyekuwa ametoka. Hakutaka kuchelewa, kwa haraka sana akaingia ndani ya chumba kile, akayapeleka macho yake, yakatua kitandani, akamuona Godson akiwa amelala huku amejifunika shuka mwili mzima, hakutaka kuchelewa, akachukua sindano yake na kuanza kumsogelea pale kitandani alipokuwa tayari kwa kumuua.
“Ni muda wake wa kufa,” alisema mwanaume huyo, harakaharaka akaitoa sindano tayari kwa kumchoma Godson kitandani pale.
****
Ilikuwa ni ajali mbaya, kila aliyeiona alishika kichwa kwa mshtuko mkubwa, hawakuwahi kuliona gari likibingilika kwenye bonde kiasi kile zaidi ya kuangalia kwenye filamu tu.
Waliokuwa wakipita na magari yao, wakayasimamisha na kisha kuteremka, waliliangalia gari lile lililokuwa bongeni kulipokuwa na miti mingi. Hawakujua kama dereva wa gari hilo alikuwa mzima au la.
“Mungu wangu!” alisema mwanamke mmoja.
Wanaume wawili wakaanza kuteremka kule bondeni huku wakimwambia mwanamke yule apige simu katika hospitali iliyokuwa karibu na mahali hapo na kuwaambia kile kilichokuwa kimetokea.
Wanaume wale walipofika chini, wakavunja mlango na kumtoa William. Hakukuwa na aliyejua kama mtu huyo alikuwa William kwa jinsi alivyokuwa. Kichwa kilikuwa kinatoa damu, alikuwa ametulia tuli na kitu kilichowafanya kugundua kwamba alikuwa hai ni mapigo yake ya moyo yaliyokuwa yakidunda kwa mbali sana.
Wakambeba na kumpeleka juu barabarani. Hakuwa akijitambua, walipomfikisha huko, wakamuingiza katika gari la wagonjwa ambalo lilifika mahali hapo kwa haraka sana na kuanza safari ya kuelekea hospitali.
“Atapona kweli?” alisikika mwanaume mmoja akiuliza, zaidi ya magari kumi yalikuwa mahali hapo.
“Inawezekana! Ila ameumia sana, yaani mpaka tumeshindwa kumtambua,” alisema mwanaume mmoja ambaye naye alimuona William alivyokuwa akipelekwa kule barabarani lakini hakujua kama alikuwa William kwa jinsi uso wake ulivyochakazwa kwa damu.
Akapelekwa mpaka katika Hospitali ya Apostal Medical Centre iliyokuwa hapohapo Manhtattan. Walipofika, akateremshwa, akawekwa kwenye machela na kuanza kusukumwa kuelekea katika chumba cha upasuaji.
Kila mtu aliyemuona, alimuonea huruma kwani kwa hali aliyokuwa nayo, kila mmoja alijua kwamba mtu huyo alikuwa akienda kufa. Walipofika katika chumba hicho, harakaharaka manesi wengine wakaingia na kuanza kumsafisha, walipomaliza, ndipo wakagundua kwamba mtu huyo alikuwa William.
“Ni William,” alisema nesi mmoja huku akionekana kushtuka.
“Unasemaje?”
“Ni William,” nesi huyo alisikia hivyo, harakaharaka akayapeleka macho yake kwa mgonjwa huyo na kumwangalia, kweli alikuwa William.
Huruma walizokuwa nazo zikaongezeka mioyoni mwao, hawakutegemea kumuona mtu huyo akiletwa hospitalini hapo baada ya kuumia vibaya katika ajali iliyotokea.
Manesi hayo ndiyo waliosambaza taarifa hiyo kwa watu wengine na ndani ya dakika ishirini tu tayari waandishi wa habari walifika hapo na kutaka kujua ukweli kwani wao waliona kwenye mitandao ya kijamii kwamba mwanaume huyo alikuwa amepata ajali mbaya ya gari.
“Sisi si wasemaji wa hospitali,” alisema nesi mmoja.
“Basi sawa. Tunahitaji kuonana na wasemaji,” alisema mwandishi mmoja.
Wakachukuliwa na kupelekwa katika ofisi ya daktari huyo ambaye aliwapa taarifa kamili kwamba ni kweli William alikuwa amepata ajali mbaya ya gari na hali yake haikuwa nzuri kabisa. Aliwaambia kila kitu huku wakionekana kuwa na hofu kwamba inawezekana mwanaume huyo alikuwa amekufa kwenye ajali hiyo ila walifichwa.
“Ila taarifa zinasema kwamba amekufa!” alisema mwandishi mmoja.
“Hiyo ni taarifa ya mitandaoni. Mmekuja kwangu kwa kuwa mnataka kupata taarifa ya hospitali, kwa hiyo nawaambieni hajafa na hatokufa kwa kuwa yupo kwenye mikono salama,” alisema daktari huyo huku akionekana kumaanisha alichokuwa akikizungumza.
Taarifa hizo ziliendelea kusambazwa na baada ya dakika kadhaa, Linda akapigiwa simu na wazazi wake ambao walitaka kuonana naye.
“Upo wapi?” aliuliza mama yake.
“Nyumbani!”
“Tunakuja!”
Hawakutaka kumwambia kwenye simu, walijua hali aliyokuwa nayo, kama wangempa taarifa juu ya kilichokuwa kimetokea basi wangeweza kusababisha matatizo mengine.
Baada ya dakika kadhaa wakafika nyumbani hapo. Kwa jinsi alivyoonekana, Linda hakujua kilichokuwa kimetokea, aliwakaribisha huku akiwa na furaha tele na hivyo kuanza kuzungumza naye huku wakimkazia macho.
“William alikupigia simu lakini hakuwa amekupata,” alisema mama yake.
“Mbona simu ipo hewani!”
“Hatujajua kwa sababu gani. Alitupigia na kutuambia kwamba alijisikia kuumwa kichwa hivyo alipitia hospitali,” alisema mama yake, kidogo Linda akashtuka.
“Mbona hakuja nyumbani au kumpigia simu dokta wa familia?” aliuliza Linda.
“Hatujajua! Ila hali yake si nzuri, alisema kichwa kinamsumbua sana,” alisema baba yake.
Linda alihuzunika, aliwaamini wazazi wake, hakugundua kama alikuwa akidanganywa, walichokifanya ni kuondoka nyumbani hapo na kwenda hospitalini. Hakuwa na mawazo sana, kitu alichokifikiria ni kwamba mume wake alikuwa akiumwa kichwa kweli.
Hawakuchukua dakika nyingi wakafika hapo hospitalini. Hali aliyokutana nayo ikaanza kumtisha, kulikuwa na idadi kubwa ya watu huku kukiwa na waandishi wengi waliomtia hofu na kuhisi kulikuwa na kitu. Kitendo cha kuteremka kutoka garini, waandishi wakamfuata kwa lengo la kumuhoji.
“Unajisikiahe?” alimuuliza mwandishi mmoja.
“Kuhusu?”
“Kifo cha mume wako,” alijibu mwandishi huyo.
Hakufuata miiko ya kazi, aliuliza swali ambalo hakuwa na uhakika nalo hata kidogo. Linda akashtuka, hakuamini kile alichokuwa ameulizwa, hakujibu kitu, alibaki amepigwa na butwaa, alimwangalia vizuri mwandishi huyo na ndipo alipopata jibu la watu wengi kukusanyika mahali hapo kwa wingi namna ile.
Huku akiwa kwenye hali hiyo, mama yake akamvuta na kisha kuondoka naye huku waandishi wa habari wakitaka kuzungumza naye ka kumuhoji baadhi ya maswali kitu ambacho wazazi hao hawakutaka kuona kikitokea.
Bila kutarajia, machozi yakaanza kumtoka mashavuni mwake, hakuamini kama kweli mpenzi wake, William alifariki dunia. Hakutembea kwa mwendo mrefu ndani ya jengo la hospitali hiyo, akasimama, akaona miguu kuwa mizito, akataka kuanguka, baba yake akamuwahi, akamdaka na kumpeleka kwenye benchi ambapo hapo, Linda akaanza kulia mfululizo huku akilitaja jina la mume wake. Kwa kifupi, alichanganyikiwa.

Watu waliendelea kumiminika hospitalini hapo huku kila mmoja akitaka kujua undani juu ya ajali iliyokuwa imetokea. Wapo waliohisi kwamba kulikuwa na mchezo ulifanyika, kuna baadhi ya mabilionea walitaka kumpoteza William kwa kuwa tu alikuwa mtu aliyekuja juu kifedha na kulikuwa na kila dalili za kuwapiku katika utajiri wao.
Hospitalini hapo, hakukuwa na aliyecheka, kila mmoja alionekana kuwa na uso uliokuwa na huzuni tele. Wengi walipata taarifa kwamba William alikufa hivyo walitaka kupata ufafanuzi juu ya mahali ambapo mazishi hayo yangefanyika na hata kanisa ambalo wangelitumia kumuaga sura ya mwisho.
Dunia ilikuwa kimya, kila mmoja aliyeisikia taarifa hiyo hakuamini kama kweli William alikuwa hai, na kama alikuwa hai hakukuwa na mtu aliyehisi kama mwanaume huyo angeinuka tena kitandani alipolala.
Madaktari walihangaika mno, walijaribu kuyaokoa maisha yake kwani kadiri dakika zilipokuwa zikienda mbele, mapigo yake ya moyo yalikuwa yakishuka sana hivyo kumuwekea dripu iliyokuwa na dawa ya kushtua zaidi mapigo yake ya moyo.
Walipambana, aliumia zaidi kichwani, alikuwa ametoka damu lakini kwa wakati huo hawakutaka kushughulika na kichwa, kitu muhimu kilikuwa ni kuhakikisha mapigo yake ya moyo yanarudi na kuwa katika hali ya kawaida kabisa.
Baada ya kumuwekea dripu zaidi ya nne zilizokuwa na dawa Melphonilyze ambayo ilitumika kushtulia mapigo ya moyo ndiyo kidogo ikamsaidia na hatimaye kuanza kurudi katika hali yake ya kawaida, kilichotakiwa kufanyika ni upasuaji wa kichwa chake tu kuangalia tatizo lilikuwa nini.
“We must perfom craniotomy surgery,” (ni lazima tumfanyie upasuaji wa kichwa) alisema daktari mmoja aliyekuwa na kibati kilichoandikwa Dr. Pham.
Hakukuwa na kuchelewa, ili kufanikisha kile walichotaka kukiangalia ilikuwa ni lazima wamfanyie upasuaji wa kichwa kwani walihisi kwamba damu ziliweza kuvilia kwenye ubongo kitu ambacho kingemletea tatizo kubwa zaidi.
“Play the music,” (washa muziki) alisema Dk. Pham.
“Which one?” (upi?)
“Abba’s 1977 While the Music still Goes On,” (While the Music Still Goes On wa Abba wa mwaka 1977) alisema Dk. Pham na daktari mmoja kuwasha muziki.
Ilikuwa ni kawaida yao katika kila wakati walipokuwa wakikutana na upasuaji mkubwa ilikuwa ni lazima kuwasha muziki na kusikiliza huku wakiendelea kufanya upasuaji huo.
Muziki huo ukawashwa na kuanza kufanya upasuaji huo. Walikuwa wakizungumza, wakicheka kwani waliamini kwamba upasuaji haukutakiwa kuwa siriazi sana kwa kuogopa kuingiwa na hofu, hivyo hali hiyo ingewafanya kuona kile kilichokuwa kikitokea kuwa cha kawaida sana.
Upasuaji ukaanza, baada ya kukichana kichwa cha William, wakaanza kutoa kipande cha fuvu ambacho kitaalamu huitwa Bone Flap na kisha kukiweka pembeni kwa ajili ya kuangalia ndani ya ubongo kuona kulikuwa na nini.
Wakati wakiendelea kufanya upasuaji huo bado walikuwa wakizungumza huku wakikiangalia kichwa hicho kwa makini kabisa ambapo huko wakaliona donge la damu likiwa limeganda katika ubongo wake, tena kwa kujificha ndani ya ubongo kwa mbali.
“Ooh my God!” (Ohh Mungu wangu) alisema Dk. Pham huku akionekana kushangaa.
“What is it?” (kuna nini?) aliuliza nesi mmoja.
“This is brain hemorrhage,” (damu imevuja kwenye ubongo) alijibu Dk. Pham.
Kila mmoja alishtuka, hawakuamini kusikia kwamba damu ilikuwa imevilia katika ubongo wa William. Hilo lilikuwa tatizo kubwa ambalo kwa watu wengi waliokuwa wakipata tatizo hilo, asilimia themanini walikuwa wakifa kwani damu huwa na kawaida ya kusambaa kwa haraka sana katika ubongo kuliko sehemu nyingine yoyote ile.
Waliogopa, waliuona mwisho wa William ukiwa mikononi mwao kwani hata kama angepona ilikuwa ni lazima kupata matatizo mawili, iwe ugonjwa wa kusahau kila kitu kilichotokea katika maisha yake yote au nusu ya maisha lakini pia ilikuwa ni kupata ugonjwa wa kupooza ambao ungeyatesa maisha yake kitandani.
Japokuwa walikuwa wakiimba lakini baada ya kugundua hilo, kila mmoja akabaki kimya, wakaanza kuangalia, damu ilikuwa kwenye ubongo na kwa bahati nzuri sana kwa William ni kwamba ilikuwa kama donge moja la damu na si kwamba ilisambaa.
“We have to remove it without soring a brain,” (ni lazima tuiotoe damu pasipo kuutonesha ubongo) alisema Dk. Pham huku akiliangalia donge lile la damu.
“We have ten hours to perfom this craniotomy,” (tuna saa kumi za kufanya upasuaji huu wa kichwa) alisema Dk. Pham, na mpaka kipindi hicho, tayari yalikuwa yamepita msaa mawili.
Upasuaji ulikuwa ukiendelea, Dk. Pham na wenzake hawakutoka ndani ya chumba kile, walijua kwamba nje kulikuwa na watu wengi waliokuwa wakisubiri kuona ni kitu gani ambacho kingetokea ndani ya chumba kile.
Donge la damu halikutoka kirahisi, kila walipoligusa kwa maana ya kulitoa, lilihama na kuhamia sehemu nyingine kitu kilichowapa usumbufu mkubwa kwani mpaka wanakamilisha kulitoa, tayari walitumia saa sita na hivyo kuanza kurudishia fuvu taratibu.
Mpaka wanamaliza, walichukua saa kumi na mbili, walichoka, hawakuwa na matumaini kama William angepona kwani kila walipokuwa wakiangalia mashine ya Mult Parameter Monitor mapigo yake ya moyo yalionyesha kushuka kwa ghafla na kupanda.
“We have to pray for him,” (inabidi tumuombee) alisema Dk. Pham.
Hawakuwa na jinsi, kadiri walivyomwangalia William kitandani pale walikiri kwamba mwanaume huyo alikuwa akienda kufa. Hali yake ilitisha na kila walipomwangalia, mioyo yao iliwaambia kwamba huo ndiyo ulikuwa mwisho wa William kuvuta pumzi ya dunia hii.
Baada ya kumaliza kusali, wakatoka na moja kwa moja Dk. Pham kuwaita wazazi na Linda ofisini kwake kwa ajili ya kuzungumza nao. Hakuwaficha, aliwaambia ukweli juu ya kila kitu kilichokuwa kikiendelea kwamba kijana wao alikuwa kwenye hali mbaya na kama wasingemuomba Mungu basi angeweza kufariki dunia kitandani hapo.
“Hatuna ujanja zaidi ya kusali sana, tukishindwa, basi atakufa kwani nisingependa kuwaficha, watu wanaopata tatizo hili, wengi hufa japokuwa kwa William tunajaribu kupambana,” alisema Dk. Pham japokuwa alikuwa akizuiliwa kuwaambia ndugu wa wagonjwa maneno kama hayo lakini hakuwa na jinsi.
Linda alikuwa akilia, moyo wake ulikuwa ukimuuma mno na alikuwa amebakiza wiki moja kabla ya kujifungua lakini mumewe alikuwa hoi kitandani. Hakutaka kumwangalia hapo alipolala kwani alihisi angeumia zaidi, angelia na hatimaye mimba yake kuharibika.
****
“Mandy! I want to see you,” (nataka nikuone Mandy) alisema Cassey kwenye simu, alikuwa akizungumza na rafiki yake kipenzi.
“Is there something wrong?” (kuna tatizo huko?)
Cassey alitaka kuzungumza na rafiki yake kipenzi na ndiyo maana alimpigia simu kwa lengo la kukutana naye na kuzungumza naye mambo mawili matatu.
Moyo wake ulikuwa ukimuuma, kila alipokuwa akiiona habari ya William kwenye mitandao ya kijamii na televisheni, alijiona kuwa mkosaji kwa kuwa alijua fika kuwa mwanaume huyo alipata ajali baada ya kumwambia kwamba alitaka kujiua.
Mandy hakuchelewa, ndani ya nusu saa alikuwa ndani ya nyumba ya rafiki yake, Cassey na kuanza kuzungumza naye. Hakutaka kumficha, alimwambia jinsi alivyokuwa akijuta kwa kile kilichotokea na wakati mwingine alijiona kuwa mkosaji mkubwa. Alimwambia kila kitu kilichokuwa kimetokea, tangu siku aliyomwambia William kwamba alikuwa na mimba yake mpaka siku hiyo.
“Kwa hiyo alipopata ajali alikuwa akikukimbilia wewe?” aliuliza Mandy!”
“Ndiyo!”
“Na ulitaka kweli kujiua?”
“Hapana! Nisingeweza, nilitaka kuona kama anajali. Nimefanya upumbavu mkubwa sana Mandy! Ninajuta, ninajuta kuufanya utoto kama huo,” alisema Cassey huku akilia kama mtoto.
“Pole sana rafiki yangu!”
Cassey hakutaka kubaki nyumbani, ilikuwa ni lazima kwenda hospitali kumuona William. Alipokwenda huko na kuteremka, waandishi wa habari wakamsogelea na kisha kuanza kumpiga picha.
Alikuwa msichana maarufu na ujio wake mahali pale uliwafanya waandishi wa habari kutokutulia na hivyo kutaka kumuhoji maswali machache. Hakujibu kitu, kwa jinsi alivyoonekana tu alionyesha ni jinsi gani alikuwa na mawazo tele na moyo uliojaza maumivu makubwa.
Alikwenda mpaka ndani ya hospitali hiyo. Alipomuona Linda, moyo wake ulizidi kuchoma kwani alijiona mkosaji kwa kuona kabisa kwamba kile kilichokuwa kimetokea, yeye ndiye alisababisha hali hiyo. Akawafuata pale alipokuwa na kuwapa pole.
Cassey alikuwa msichana wa kwanza maarufu kufika hospitalini hapo lakini baada ya siku mbili, zaidi ya masupastaa ishirini walifika mahali hapo kwa ajili ya kumpa pole Linda na wazazi kwa kile kilichokuwa kimetokea.
William aliendelea kuwa kimya kitandani, siku ya kwanza ikapita, hakuzinduka, ya pili ikaingia na hatimaye wiki nzima kukatika lakini bado alikuwa kimya tu.
Mpenzi wake Linda akajifungua huku akiendelea kuwa kitandani hapo. Hakujua kama alikuwa baba, aliendelea kuteseka huku akiendelea kupumulia mashine ya oksijeni kwani vinginevyo angeweza kufa palepale.
Baada ya miezi miwili kupita ndipo William akaamka kitandani, akayafumbua macho yake, alipona, kichwani kulikuwa sawa na mapigo yake ya moyo yalikuwa yakidunda kawaida, na hata lile bega lililokuwa limeumia, kidogo alijisikia nafuu.
“William ameamka,” alisema nesi mmoja baada ya kumuona akifumbua macho, aliamua kumwambia Dk. Pham ambaye alikwenda katika chumba kile, kweli William alikuwa amefumbua macho lakini hakuzungumza kitu chochote kile.
Wazazi walipopewa taarifa, hawakuamini, hata Linda aliposikia, alitaka kujionea hivyo Dk. Pham kuwaruhusu kumuona mgonjwa huyo aliyekaa kitandani kwa miezi miwili pasipo kuzungumza kitu chochote.
Walipoingia ndani na kumuona, wakaachia tabasamu pana lakini kwa William alionekana kuwa tofauti kabisa. Alibaki akiwaangalia huku akiwakodolea macho.
“My husband….”(mume wangu!) aliita Linda, akamsogelea pale kitandani na kumkumbatia.
“Who are you? Do we know each other?” (wewe ni nani? Tunafahamiana?) aliuliza William huku akimwangalia Linda machoni kwani alionekana kuwa mgeni, mtu ambaye hakuwahi kumuona katika maisha yake. Kwa kifupi, kitendo cha damu kuingia kwenye ubongo wake, ukafuta kumbukumbu zake za miezi kadhaa nyuma kabla ya kuelekea nchini Marekani.
“Mwanangu….” aliita mama yake.
“Mama! Huyu ni nani? Nipo wapi? Mbona nipo na Wazungu? Kuna nini mama?” aliuliza William.
“Mwanangu….”
“Mama! Ninahitaji kumuona Melania! Nilipanga kuonana naye. Mungu wangu! Nilimkataa Melania, ameumia sana, kwa nini nimemuumiza msichana wa watu! Mama, Melania yupo wapi? Mama nataka nimuone Melania nimuombe msamaha,” alisema William huku akianza kulia. Hakukumbuka kitu chochote kile, hakukumbuka kama alikwenda nchini Marekani kusoma chuo, kitu alichokikumbuka ni mama yake na msichana Melania tu.


Polisi walikuwa na akili, walijua fika kwamba ilikuwa ni lazima muuaji arudi tena ndani ya hospitali hiyo na kukamilisha kile alichokitaka kwani mara ya kwanza alipotaka kumuua Godson, hakufanikiwa.
Walichokifanya katika usiku wa siku hiyo ni kumtaka Dk. Sam amuhamishe Godson ndani ya chumba kile na kumpeleka katika chumba kingine kabisa pasipo madaktari wengine wala wazazi wake kufahamu.
Hilo likafanyika kwa haraka, hakukuwa na nesi aliyemwambia, daktari aliyemsaidia kumuhamisha Godson ndani ya chumba kile alikuwa Dk. Mshana ambapo wakaifanya kazi hiyo na polisi mmoja kuagizwa kwenda ndani ya chumba kile, alale kitandani, atakaposikia mlango unafunguliwa, basi ajifunike na kushika bastola yake.
Hilo ndilo lililofanyika kwa siku mbili. Wazazi wake hawakuruhusiwa kumuona kwa kisingizio kwamba hakuwa katika hali nzuri baada ya tukio la kutaka kumuua kufanyika.
Siku ya kwanza ikapita, ya pili ikaingia na ndipo siku ya tatu vijana wale wakarudi kwa ajili ya kufanya kile walichotaka kukifanya. Mpaka msichana huyo anaanguka, polisi alijua kwamba ulikuwa ni mchezo, alihisi kwamba alifanya hivyo kwa kuwa kuna mtu alitaka kuingia ndani ya chumba hicho, hakutaka kulizuia hilo, alichokifanya ni kumsaidia msichana huyo kisha kumpeleka sehemu.
Huku nyuma kijana yule akaingia ndani ya chumba kile, akakisogelea kitanda, mgonjwa aliyekuwa kitandani, alijifunika shuka mwili mzima, kijana yule hakujua kama mtu aliyelala alikuwa polisi, akamsogelea na kisha kuchukua sindano yake kwa lengo la kumchoma lakini kabla hajafanya lolote lile, akashtukia akidakwa mkono, shuka likatolewa, akapigwa na mshtuko baada ya kuona mdomo wa risasi ukimwangalia.
“Tulia hivyohivyo! Ukipiga kelele tu, nakumwaga ubongo,” alisema polisi huyo huku akimwangalia muuaji aliyekuwa akitetemeka.
“Nisamehe bro!” alisema huku akitetemeka.
Kabla hajafanya kitu chochote, akampiga pingu kijana yule, mkono mmoja ulifungwa pingu na sehemu nyingine ya pingu kufungwa kwenye kitanda kisha polisi yule kupiga simu.
“Nimempata!” alisema huku akimwangalia kijana yule kwa hasira.
“Muulize wenzake walipo tuwafanyie kazi sasa hivi,” ilisikika sauti upande wa pili na hivyo polisi yule kuanza kumuuliza mwanaume yule.
Alimwambia, hakutaka kumficha kwani aliambiwa kwamba kama angemficha basi ingekuwa hatari zaidi katika maisha yake. Akamwambia kwamba wenzake walikuwa nje, kwenye gari moja, Vitz yenye rangi ya bluu wakiwa wanamsubiri.
Polisi yule akawapa maelekezo wenzake ambapo wakaelekea huko na kweli kulikuta gari hilo ambapo wakalizunguka na kuwakamata vijana wawili waliokuwa wamebaki ndani ya gari hilo.
Kule ndani, kijana yule akatolewa, akafungwa pingu mikono yote kwa nyuma na kushikwa na kuanza kutolewa nje. Wazazi wa Godson na Melania walibaki wakishangaa, hawakuamini kile walichokiona, ilikuwaje ndani ya chumba alicholazwa kijana wao watoke wanaume wengine ambao hawakuwa wakiwafahamu?
“Imekuwaje?” aliuliza baba yake Godson.
“Huyu ndiye alitaka kumuua mwanao!” alijibu polisi.
“Mwanangu?”
“Ndiyo!”
Vijana wale wakachukuliwa na kupelekwa katika kituo cha polisi na kuambiwa kwamba kitu walichotakiwa kufanya kilikuwa kimoja tu, kumtaja mtu aliyekuwa amewatuma kufanya mauaji hayo.
Hawakusema, walibanwa sana lakini wakanyamaza, kila walipoulizwa swali hilo walibaki kimya kitu ambacho kwa polisi wa kituo hicho waliona kama wakidharauliwa.
“Kamuite Kunta Kinte,” aliagiza mkuu wa kituo hicho.
Ndani ya dakika mbili, kipande cha mwanaume kikaingia, alikuwa mweusi tii kama mtu aliyejipaka masizi, alijazia vilivyo, mikono yake ilikuwa mipana, uso wake ulikuwa mbaya mithili ya sokwe mtu.
Alisimama mbele ya mkuu wa kituo kile kwa heshima kubwa, alipiga saluti na kuibana mikono yake vilivyo. Akaambiwa kwamba vijana watatu waliokuwa mbele yake hawakutaka kujibu kile walichokuwa wanauliza.
“Acheni utani,” alisema mwanaume huyo huku akionekana kushangaa.
“Kweli tena!”
“Wanakataaje sasa?”
“Hata sisi tunashangaa!”
“Eti ni kweli mmekataa kujibu maswali?” aliuliza mwanaume yule huku akiwaangalia lakini vijana wale walikuwa kimya.
“Naombeni dakika tano tu! Watasema kile tunachotaka kukifahamu!” alisema mwanaume huyo, hakutaka kuwachukua wote, akamchukua kijana mmoja na kuingia naye kwenye chumba kilichoandikwa ‘Usipige Kelele’ mlangoni.
Ndani ya chumba hicho kulionekana kutokuwa sehemu salama, kulikuwa na michirizi ya damu, nyundo, mapanga, fimbo, beseni la maji, plaizi, taulo, kiti kilichokuwa na tundu kubwa sehemu ya kukalia na vitu vingine vingi kwa ajili ya kuwatesea watu waliokuwa makaidi.
Mlango ukafungwa na kilichosikia ndani ya dakika moja ni kelele za maumivu makali kutoka kwa kijana yule. Alikuwa akipiga kelele huku akimwambia mwanaume huyo kwamba alikuwa tayari kumwambia mtu aliyekuwa amewatuma.
“Najua utaniambia, ila sitaki uniambie sasa hivi, kwanza tuendelee kufanya mazoezi ya kijeshi,” alisikika mwanaume huyo lakini kijana yule alisisitiza kwamba alikuwa tayari kumwambia juu ya mwanaume aliyekuwa amewatuma kufanya mauaji yale.
Baada ya dakika kadhaa, wakasikia jina la Nicholaus likitajwa. Mwanaume huyo akaridhika, akafungua mlango na kisha kumtoa kijana huyo ambaye alipotolewa ndani ya chumba kile, akalala chini, mwili ulitapakaa damu na hata kusimama hakuweza.
“Mleteni mwingine!” alisema mwanaume huyo huku akichukua sigara yake na kuiwasha.
Wote watatu walipoingizwa ndani ya chumba hicho, kwa jinsi walivyopewa mateso, walimtaja mtu aliyekuwa amewatuma kufanya mauaji yale. Jina la Nicholaus likatajwa na kila mmoja hivyo walichotakiwa kufanya ni kuhakikisha kwamba mwanaume huyo anapatikana haraka iwezekanavyo.
****
Kila mtu alikuwa akimshangaa William, hakuwa akikumbuka kitu chochote kile na kila alipokuwa akizungumza, alizungumza kuhusu msichana Melania tu. Walimshangaa, alisahau kila kitu, hakumkumbuka mtu yeyote katika maisha yake zaidi ya watu wawili ambao alikuwa nao kwa karibu sana alipokuwa nchini Tanzania, mama yake na msichana huyo.
Mkewe alikuwa akilia, hakuamini kama mumewe alimsahau kwani kila alipomwangalia, hakuonekana kumkumbuka hata kidogo na kila wakati alikuwa akimuuliza kwamba alikuwa nani na kwa nini alikuwa mahali hapo.
“Mama! Nataka kuondoka! Nataka niende nikamwambie Melania kwamba anisamehe, labda ndiye mwanamke wangu sahihi, mama naomba nikaonane na Melania,” alisema William huku akiinuka kitandani pale.
Kila kitu alichokiona kilikuwa kipya, hakujua sababu iliyomfanya kuwa mahali hapo, na hata alipoambiwa kwamba alikuwa nchini Marekani, alishangaa, alifikaje na wakati alikuwa nchini Tanzania?
“Marekani? Nimefikaje?” aliuliza William.
“Ulikuja!”
“Hapana! Sikuwahi kuja Marekani! Mama! Hivi tuna hela kiasi gani za kuja nchini Marekani? Nilikuwa na mpango wa kuhack barua pepe ya Chuo Cha Harvard lakini sikuwahi kufika! Sasa nimefikaje? Mama! Nataka nikachukue hela, jana nimewachezea mchezo mchafu sana wale watu wa benki, ngoja nikaangalie kama hela imeingia,” alisema William.
Maneno yote hayo alikuwa akiyazungumza harakaharaka. Hakutaka kubaki humo ndani, akatoka. Hakuijua sehemu yoyote ile, alikuwa akishangaa, nje, akakutana na waandishi wa habari na kuanza kumpiga picha.
Hakujua ni kitu gani kilikuwa kikiendelea, alishangaa, wakati mwingine alihisi kama alikuwa akiota kwani hakuwahi kufikiria kama angefika nchini Marekani, na kitu kilichomshangaza zaidi ni jinsi alivyokuwa akipigwa picha.
“Who are you?” (nyie ni wakina nani?) aliuliza William huku akishangaa.
Alichokifanya daktari ni kuwatuma watu wamchukue William na kisha kumpeleka ndani. Hilo likafanyika, baada ya kupelekwa ndani na kuambiwa atulie, Dk. Pham akawaita wazazi na Linda kwa ajili ya kuzungumza nao.
Akawaambia kwamba hawakutakiwa kushangaa kile kilichokuwa kikiendelea kwani ndiyo hali iliyomkuta William hivyo walitakiwa kukubaliana naye na baada ya miezi michache hali yake ingerudi kama kawaida kama alivyokuwa na angekumbuka kila kitu.
“Kwa hiyo tufanye nini?”
“Nendeni naye Tanzania! Naamini akifika huko, mazingira atakayokutana nayo yanaweza kumsaidia kukumbuka, kwa hapa Marekani, ni vigumu sana kutokea,” alisema Dk. Pham huku akiwaangalia.
Hicho ndicho walichokifanya, baada ya siku mbili wakaondoka na kurudi nchini Tanzania. Marekani, kila mmoja alishangaa, hawakuamini kama ajali ile aliyoipata William ingemfanya kuwa kwenye hali ile ya kupoteza kumbukumbu zake.
Ndani ya ndege alikaa na mkewe, Linda, alikuwa akimuongelesha lakini William hakusema kitu chochote kile, hakumfahamu, ndiyo kwanza alikuwa amemuona na kila alipotaka kumkumbusha, alimnyamazisha kwa kumwambia anyamaze kwani hawakuwa marafiki.
“Lakini nata…”
“Wewe mwanamke nimesema nyamaza. Tangu hospitalini unanifuatilia tu, nimesema nyamaza na sitaki uniongeleshe kitu chochote kile,” alisema William huku akimwangalia Linda.
Linda aliumia lakini hakuwa na jinsi. Safari iliendelea na baada ya saa ishirini na mbili, ikatua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere ambapo wakateremka na kuchukua teksi ambayo iliwapeleka mpaka nyumbani kwao.
Walipofika William alionekana kukasirika kwani kila walipokwenda, Linda alikuwa pamoja nao. Alimchukia, kila alipomwangalia na mtoto yule aliyekuwa amemshika ambaye alionekana kuwa mdogo wa miezi miwili, moyo wake ulimkasirisha mno na wakati mwingine alitamani hata kumfukuza.
Linda hakutaka kumuacha William, aliamini kwamba kuna siku kumbukumbu zake zingerudi na kuanza kukumbuka kila kitu kilichotokea. Nchini Tanzania, kila mtu alimshangaa, alikuwa kijana mdogo mwenye sura mbaya lakini kila mmoja alikuwa akimfahamu.
Watu hawakukauka nyumbani kwake, walifika hapo na kuanza kumpiga picha kitu kilichomshangaza, kwa nini apigwe picha na wakati hakuwa mtu maarufu au kiongozi wa nchi?
“Mama! Nini kinaendelea? Mbona sielewi kitu chochote kile? Yaani nashangaa watu wanakuja na kunipiga picha kana kwamba mimi ni maarufum” aliuliza William huku akimwangalia mama yake.
“Mwanangu! Wewe ni maarufu sana!”
“Maarufu! Kivipi?” aliuliza William.
Kwa msaada wa maelezo, Linda akaanza kumwambia William kila kitu kilichokuwa kimetokea, siku ya kwanza alipofika Marekani mpaka alipopata ajali mbaya ya gari. Hakuamini, alibaki akimsikiliza Linda, hakumuelewa kabisa hasa pale alipomwambia kwamba alikuwa mpenzi wake.
Alimwangalia, hakumkumbuka hata kidogo, alishangaa kwani maishani mwake hakufikiria kuwa na msichana wa Kizungu. Hakukumbuka kitu chochote kile, hata alipomwangalia William Jr hakuwa akimfahamu kabisa, kwake alimuona kuwa mtoto wa kigeni na si wake.
“Na huyu ni mtoto wako,” alisema Linda huku akimwangalia William usoni, kama kulia, alilia sana lakini hakukuwa na kitu kilichobadilika.
“Mtoto wangu?”
“Ndiyo!”
“Sijawahi kuwa na mtoto. Kwanza sijawahi kuwa na demu,” alisema William huku akimwangalia Linda.
Alimaanisha, alichokuwa akikisema kwake kilionekana kuwa sahihi kabisa. Hakukumbuka kama alikuwa na msichana, hakupendwa kwa kuwa alikuwa na sura mbaya, alimwangalia Linda, alipomwambia kwamba alizaa naye, alishangaa kwani hakuwahi kufikiria kupendwa na msichana mzuri kama alivyokuwa Linda.
Wakati hayo yakiendelea ndipo alipofungua televisheni na kuona habari ambayo ilimshtua sana, ilikuwa ni ya harusi ya mtoto wa bilionea, Melania na kijana aliyejulikana kwa jina la Godson.
Akashtuka, alichokikumbuka ni jana tu alitoka kuzungumza na msichana huyo kwenye mgahawa, iweje leo tangazo litokee na kuona kwamba msichana huyo alikuwa akitarajia kuolewa.
Alihuzunika moyoni mwake, alihisi kwamba Melania alimwambia kwamba alitaka kuwa naye kwa ajili ya kumuumiza tu na ndiyo maana kesho yake harusi yake ilikuwa ikitangazwa.
Hakutaka kubaki nyumbani, siku iliyofuata alikuwa kanisani. Humo, alikuwa gumzo, kila mtu alikuwa akimwangalia, hakujua ni kitu gani kilikuwa kikiendelea, watu walimshangaa na hawakujua sababu iliyomfanya kurudi nchini Tanzania ghafla namna hiyo na wakati alikuwa mtu maarufu sana.
Kanisani, watu hawakutulia, kila mtu alimsogelea, hakujua ni kitu gani kilikuwa kikiendelea kwani alijiona kuwa mtu wa kawaida, hakuwa maarufu, sasa ilikuwaje watu waendelee kukusanyika mbele yake kiasi kile?
“William! Pole sana kaka! Nimesikia majanga uliyopata miezi miwili iliyopita,” alisema mwanaume mmoja aliyekaa karibu naye, William akashangaa kwani aliamini kwamba hakukuwa na mtu aliyekuwa akimfahamu, huyo alimfahamu vipi?
“Unanifahamu?” aliuliza William huku akionekana kushangaa.
“Sasa nisikufahamu wewe kaka? Kila mtu anakufahamu! Mpaka rais,” alisema kijana huyo.
“Hapana! Hakuna mtu anayenifahamu!”
“Wewe huoni jinsi watu wanavyokushangaa?”
“Kwa nini wananishangaa? Au kwa sababu mimi mbaya?”
“Hapana! Ni kwa sababu wewe ni maarufu,” alijibu kijana huyo.
Haikuwa mara ya kwanza kuambiwa hivyo, aliambiwa mara kadhaa kwamba yeye alikuwa maarufu na hakujua umaarufu wake ulitokana na nini. Aliendelea kukaa kwenye kanisa lile mpaka maharusi walipoanza kuingia. William akasimama, akaanza kumwangalia Melania, uso wake ulikuwa kwenye furaha kubwa, siku hiyo msichana huyo alionekana kuwa mrembo sana.
Melania alipokutanisha macho yake na William, alishangaa, ilikuwaje mwanaume huyo kuwa kanisani kipindi hicho na wakati alikuwa nchini Marekani akiendelea na maisha yake?
Hakuzungumza kitu zaidi ya kumuonyeshea tabasamu na kisha kuelekea mpaka mbele ya kanisa lile ambapo huko, harusi ikafungwa na kuwa mke wa Godson.
“Melania….Melania…” aliita Godson huku akimfuata msichana huyo aliyekuwa akijiandaa kuingia ndani ya gari la maharusi.
“William! Mbona upo hapa?” aliuliza Melania.
“Nimekuja kwenye harusi yako. Jana tulipoagana, nikajikuta nikiwa Marekani,” alisema William.
“William! Upo sawa?”
“Ndiyo! Hivi kwanza niambie kuhusu yule jamaa!”
“Jamaa gani?”
“Niliyemfutia picha zako!”
“Ni stori ndefu, ila kwa kifupi ni kwamba amekamatwa na polisi. Amefikishwa mahakamani na kufungwa miaka mitano kwa sababu alitaka kumuua mume wangu,” alisema Melania.
“Mume wako?”
“Ndiyo! Huyu hapa!”
“Alitaka kumuua kivipi? Mbona unanichanganya! Si alikuwa nchini Australia! Au walikutana huko?” aliuliza William huku akimwangalia Melania aliyebaki akiwa na mshangao.
Wakati wakizungumza hayo, waandishi wa habari walikuwa wakiwapiga picha tu. Wengi walishangaa kitendo cha William kuwa nchini Tanzania na wakati alikuwa nchini Marekani.
Harusi ikafungwa, alifurahi kwa sababu alipomkataa Melania alimwambia kwamba kuna siku angepata mwanaume sahihi na si yeye. Akaondoka kanisa, akasimama kituoni na kupanda daladala.
Alishangaa, watu waliendelea kumwangalia, waliopata taarifa za kupoteza kumbukumbu zake walimuonea huruma kwani alipokuwa akijiangalia, alijiona kuwa mtu wa kawaida sana ambaye hakuwa na umaarufu wowote ule.
Ndani ya daladala kila mtu alitaka kupiga naye picha. Kuonana na William halikuwa jambo jepesi hata mara moja, alikuwa mtu wa kuishi Marekani, bilionea mwenye pesa ndefu ambaye alitakiwa kufanya kila kitu alichotaka kukifanya.
Alipofika nyumbani, alishangaa kumkuta Linda akilia, hakujua ni kitu gani kilimliza, alimsogelea na kuanza kumbeleza huku akimlaumu Mungu kwa sababu gani alikuwa akipitia maisha hayo.
“Pole sana,” alisema William.
“Nashukuru!”
“Hivi unarudi lini kwenu?” aliuliza William.
“Unasemaje?”
“Unarudi lini kwenu? Nashangaa umekuja na kukaa hapa, hakuna mtu anayekufahamu, upoupo tu, hivi unaishi wapi? Naona tumekuja wote lakini sikujui! Huwezi kuondoka hata kwenda kuishi hotelini dada yangu?” aliuliza William maswali yaliyomfanya Linda kulia sana.
“Unataka niondoke?”
“Ndiyo! Ikiwezekana hata sasa hivi! Wewe nenda tu kwani hapa hakuna mtu anayekujua,” alisema William na kuelekea chumbani kwake, akaingia humo na kutulia kitandani. Sauti pekee aliyokuwa akiisikia kutoka sebuleni ni ya Linda tu aliyekuwa akilia kama mtoto, japokuwa mama yake alijaribu kumbembeleza lakini mwanamke huyo hakunyamaza.
“Mama muache asepe! Unamng’ang’ania unamjua? Kung’ang’ania watu utakuja kung’ang’ania majini,” alisema William kwa sauti, akajifunika shuka na kuziba masikio yake kwani hakutaka kabisa kuisikia sauti ya Linda wala mtoto wake, William Jr ambaye alikuwa akilia tu kana kwamba alikuwa akifahamu kilichokuwa kikiendelea.

Moyo wa msichana Cassey ulikuwa kwenye hali mbaya, alikosa amani na kila alipokaa kichwa chake kilimfikiria William. Aliumia kwani alijua kwamba yeye ndiye alikuwa chanzo cha mwanaume huyo kupata ajali hiyo kwani kama asingemwambia kuwa anataka kujiua, basi asingemfuata na hivyo kupata ajali mbaya iliyopoteza kumbukumbu zake.
Alijisikia hukumu moyoni mwake, wakati mwingine alikuwa akikaa peke yake nyumbani kwake na kulia kwa maumivu makali, alikosa raha, akakosa amani maishani mwake, kitu pekee alichokuwa akikifikiria kwa wakati huo ni William tu.
Alikuwa na siri kubwa moyoni mwake, hakutaka mtu yeyote afahamu kitu chochote, si hao tu bali hata William hakutaka afahamu ukweli. Alimwambia kwamba alikuwa na mimba ya mwezi mmoja lakini ukweli ni kwamba hakuwa na mimba, alitaka kumfanya mwanaume huyo awe karibu naye, kwani aliamini kila mwanaume alihitaji mtoto, alidhani kwamba angefurahi lakini mwisho wa siku mwanaume huyo akabadilika na kuhitaji aitoe mimba ile.
Aliumia zaidi moyoni mwake, alijuta kumdanganya William kwani pamoja na ubaya wa sura yake, lakini moyoni mwake alikuwa mwanaume pekee aliyekuwa akimpenda kwa moyo wa dhati.
Hakutaka kubaki nchini Marekani, ilikuwa ni lazima amuone William na ikiwezekana amuombe msamaha kwa kumdanganya kwani ukweli ni kwamba hakuwa na mimba kama alivyomwambia.
Siku mbili zilizofuata, akafanya hatua zote za usafiri na alipopata vibali akaanza safari ya kuelekea nchini Tanzania kwa kutumia ndege yake binafsi. Njiani, mawazo yake yalikuwa kwa William, hakujua angemwambia nini, hakujua kama mwanaume huyo hakuwa na kumbukumbu zake, hakukumbuka kitu chochote kile kilichotokea siku chache zilizopita maishani mwake.
Alipofika Tanzania, akaelekea katika Hoteli ya Serena. Alijua kwamba William alikuwa akijulikana sana, hivyo alichokifanya ni kumuuliza mhudumu ambaye alimwambia kwamba alimfahamu sana William na hakukuwa na Mtanzania ambaye hakumfahamu mtu huyo.
“Everybody knows him. He is a superstar,” (kila mtu anamfahamu! Jamaa ni staa sana,) alisema mhudumu.
“So, you know where he lives?” (kwa hiyo unajua anapoishi?)
“Yeah!”(ndiyo)
Akahitaji kupelekwa huko, alichokifanya ni mhudumu ni kumwambia Cassey kwamba lingekuwa jambo jema kama angezungumza na uongozi wa hoteli hiyo kwa ajili ya ruhusa na hivyo msichana huyo kufanya hivyo.
Mhudumu akaruhusiwa na hatimaye kuanza kwenda Tabata alipokuwa akiishi William. Hawakuchukua muda mrefu sana wakafika, nje kulikuwa na waandishi wa habari ambao walitaka kuingia humo kuzungumza na William lakini mlinzi aliwaambia wasubiri, hivyo wakafanya hivyo.
“Nimemleta mgeni wa William,” alisema kijana yule aliyekuwa mhudumu.
“Siyo mwandishi huyo?”
“Sasa mwandishi kutoka gazeti gani kaka? Au udaku la Marekani!” alihoji mhudumu huyo kiutani.
Wakaruhusiwa na kuingia ndani. Mapigo ya moyo wa Cassey yalikuwa yakidunda mno, walipofika sebuleni, wakakutana na mama yake William aliyekuwa akimbembeleza Linda aliyekuwa akilia huku akiwa na mtoto wake.
Hakujua ni kitu gani kilitokea na kitu cha kwanza kabisa kilichomjia kichwani mwake ni kwamba inawezekana William alikuwa amefariki dunia. Nguvu zikamuisha, akajikuta akisimama palepale mlangoni aliposimama.
Akakaribishwa, akakaa kochini na kuanza kujitambulisha. Linda alimfahamu, alikwishawahi kutambulishwa mara kadhaa na William hivyo hakushtuka kumuona msichana huyo amefika mahali hapo.
“What the hell is going on?” (kitu gani kinaendelea?)
Linda akaanza kumwambia kila kitu kilichotokea kwamba ajali mbaya aliyoipata William ilimsababishia kupoteza kumbukumbu zake. Cassey hakutaka kuliamini hilo, alichomwambia ni kwamba alitaka kuonana na William ili kuzungumza naye.
Hilo halikuwa tatizo, mama yake William, Bi Sophia akamchukua na kumpeka chumbani alipokuwa William ambaye alikuwa amelala. Akaamshwa na macho yake yalipotua kwa Cassey alibaki akimshangaa, hakumfahamu msichana huyo na hakujua kama katika maisha yake aliwahi kuonana naye.
“Wewe ni nani?” aliuliza William huku akionekana kushangaa.
“Umenisahau?”
“Sijakusahau, bali sikujui kabisa,” alijibu William.
“Naitwa Cassey!”
“Ndiye nani na unahitaji nini?” aliuliza William huku akimwangalia msichana huyo.
Cassey akabaki kimya kwa muda, hakuamini kwamba William alimsahau hata yeye mwenyewe. Kwa jinsi walivyokuwa na majibu ya William yalivyotoka ilionekana kama walikuwa wakiigiza lakini mwenzake alikuwa akimaanisha, hakumkumbuka na hakujua alifika mahali hapo kufanya nini.
“Mimi ni mpenzi wako! Kumbuka nilikwambia nina mimba yako,” alisema Cassey na kumfanya William kushtuka.
“Una mimba yangu?”
“Ndivyo nilivyokwambia!”
“Mbona sikufahamu! Tulishawahi kukutana kabla?”
“Ndiyo!”
“Wapi?”
“New York!”
William hakujibu kitu, alibaki akimwangalia Cassey, hakumkumbuka kabisa, alimshangaa kwa sababu mpaka kipindi hicho hakuwahi kuwa na rafiki Mzungu, sasa ilikuwaje mtu kama Cassey amfuate na kumwambia maneno hayo na wakati hakuwahi kuwa karibu na Mzungu?
Akamfukuza kwani alimuona muongo na kulikuwa na kitu alichokihitaji. Cassey hakuamini, alikuwa akifukuzwa na mwanaume ambae kila siku alimwambia kuwa alikuwa mwanamke wake wa ndoto. Moyo wake uliumia lakini hakuwa na jinsi, akaondoka zake kurudi nchini Marekani.
Hali ya William haikubadilika, bado aliendelea kuwa na mawazo kila siku, mambo yaliyokuwa yakitokea hakuamini, kila alipokaa, alifuatwa na waandishi wa habari na kuambiwa maneno mengi kuhusu umaarufu wake.
Hakujua sababu ya waandishi kumuuliza hivyo kwani kitu alichokikumbuka, hakuwa maarufu bali mtu wa kawaida sana. Kwenye mitandao ya kijamii, alikuwa akizungumziwa yeye tu.
Ukiachana na tovuti ya Global Publishers, Jamii Forum na nyingine nyingi, pia alikuwa akizungumziwa mpaka katika tovuti za nchini Marekani, Uingereza na nchi nyingine.
Alishangaa, watu hao walimjuaje, na kama alikuwa maarufu, umaarufu wa nini kwani aliyakumbuka maisha yake yote, hakuwahi kuona kama kuna siku aliwahi kuwa mtu maarufu.
“Mimi ni maarufu? Eti nina mtandao! Sasa mtandao gani tena?” alijiuliza William pasipo kupata jibu.
Linda hakutaka kuendelea kubaki nchini Tanzania, kama kuumia, aliumia sana, kama kulia alilia sana lakini hakukuwa na kitu kilichobadilika. Alichokifanya baada ya siku mbili ni kurudi nchini Marekani huku akiwa na majonzi tele. Alisimiamia biashara za mpenzi wake, akaunti zake zote kwa kuamini kwamba kuna siku angerudiwa na kumbukumbu na kukumbuka kila kitu kilichotokea.
William aliendelea na maisha yake nchini Tanzania, hakujua sababu ya waandishi kumtafuta sana, kila alipokaa, alifuatwa na watu na kuhitaji kupiga naye picha. Alishangaa, aliambiwa kwamba alikuwa mtu maarufu kitu ambacho kila siku alipingana nacho.
Baada ya kukaa Tanzania kwa wiki mbili, akaalikwa ikulu kwa ajili ya kuonana na rais, alishangaa, hakuwahi kufikiria kitu kama hicho. Alijiona kuwa mtu wa kawaida, sasa ilikuwaje mpaka aitwe na rais na wakati hakuwa amefanya jambo lolote lile.
Mualiko huo ulitakiwa kufanywa baada ya siku mbili, alikuwa kwenye presha kubwa, kila alipokuwa akilifikiria jambo hilo, mapigo yake ya moyo yalimdunda kupita kawaida.
Siku hizo zilipotimia, akaelekea huko huku akiwa na mama yake. Akakutana na waandishi wa habari wengi, wote walikuwa wamealikwa, alipoteremka kwenye gari, akaanza kupigwa picha mfululizo.
Kila kitu kilichokuwa kikiendelea kilimshangaza sana, hakujua sababu, aliambiwa kwamba alikuwa mtu maarufu lakini hakujua umaarufu wake ulikuwa ni wa nini.
“Au ndiyo natengenezwa kuwa mrithi wa Kanumba? Au labda natengenezwa kuchukua mikoba ya Diamond Platnumz. Lakini mbona sijui kuimba wala kuigiza! Kwa nini wanataka niwe mtu maarufu?” alijiuliza lakini akakosa jibu.
Akakaribishwa ikulu kwa heshima kubwa, hakuamini kama ingetokea siku ambayo angeingia ndani ya ikulu hiyo. Alikaa kwenye kochi kubwa huku akionekana kutokujiamini kabisa. Alitetemeka, hiyo ndiyo ilikuwa siku yake ya kwanza kufika humo.
“Mama! Sijiamini kabisa,” alisema William huku wakiwa sebuleni wakimsubiri rais.
“Jiamini mwanangu! Nilishakwambia kwamba wewe ni mtu maarufu!” alisema mama yake.
“Umaarufu gani?”
“Umetengeneza mtandao!”
“Mtandao? Mama! Sijawahi na wala kufikiria kutengeneza mtandao hata siku moja. Sasa iweje niwe nimetengeneza mtandao? Mimi ni mtaalamu wa kompyuta ila si mtaalamu wa kutengeneza mtandao,” alijibu William, walikuwa kama wakinong’ona.
Baada ya dakika kadhaa, rais akafika sebuleni hapo, kitu cha kwanza akamuonyeshea tabasamu pana William na kisha kumsogelea na kumkumbatia.
Kwa muonekano aliouonyesha rais huyo ulionyesha kabisa kwamba alikuwa akimfahamu kabla kitu kilichomfanya William kumshangaa kwani hakujua kama rais huyo alikuwa akimfahamu hata kidogo.
“Kumbe unanifahamu?” aliuliza William.
“Yeah! Nakujua sana. Kwa nini umeniuliza hivyo?” aliuliza rais, alionekana kutokujua tatizo alilokuwa nalo William.
“Siamini kama unanijua kwani sijawahi kulifanyia taifa kitu chochote kile.”
“Hahah! William! Umeibadilisha dunia, kila mtu anakishangaa kichwa chako, hivi kina uwezo gani?” aliuliza rais.
“Kawaida. Ila…daah! Mbona mnanichanganya sana,” alisema William.
Rais mwenyewe alikuwa akishangaa mpaka pale alipoambiwa kwamba William alipata ajali na alipoteza kumbukumbu zake hivyo hakuwa akikumbuka kitu chochote kile.
Alipoambiwa hivyo, kidogo hata mazungumzo yake yakabadilika na kuanza kuzungumzia habari nyingine kabisa. Hayo ndiyo yalikuwa maisha yake, mpaka mwaka mmoja unapita, hakuwa amekumbuka kitu chochote kile, hakujua mpenzi wake, Linda alikuwa katika hali gani, hakujua kuhusu mtandao wake, kila kitu kilichokuwa kikiendelea, kwake yalikuwa maisha mapya.

“Mamaaaa….mamaaaa…Linda…Linda mpenziiiiii….” ilisikika sauti kutoka chumbani kwa William, saa ya ukutani ilikuwa ikionyesha kwamba tayari ilifika saa nane usiku.
Alikuwa akipiga kelele kama mtu aliyechanganyikiwa, akainuka kitandani na kuanza kukimbia huku na kule chumbani mule. Alikishika kichwa chake, aliendelea kupiga kelele, aliona kama matukio yalikuwa yakijirudia kichwani mwake, alichanganyikiwa, hakujua ni kitu gani kilikuwa kikiendelea.
Alijiona akiwa ndani ya gari, aliendesha kwa kasi na baada ya muda fulani akapata ajali, alichanganyikiwa, alichokuwa akikiona ilikuwa ni vigumu kuamini kama kilikuwa kichwani mwake kwani aliona kama picha mbele yake kitu kilichomfanya kupiga kelele mno.
Mama yake akatoka chumbani kwa kasi na kwenda chumbani kwa William, akamkuta akiwa kitandani huku akipiga kelele, akamfuata na kumuuliza tatizo la kupiga kelele lakini hakutoa jibu lolote zaidi ya kulitaja jina la Linda tu.
“Nini kimetokea?” aliuliza mama yake, alionekana kuchanganyikiwa kwani alihisi tayari mtoto wake alikuwa kichaa.
“Linda mama! Linda yupo wapi?” aliuliza William.
Mama yake hakuamini, ulikuwa umepita mwaka mzima tangu William apate ajali na kusahau kila kitu, alikumbuka kwamba mara ya mwisho Linda kuwa huko ni mwaka uliopita na miezi kadhaa, alikataa kumuona na kusema kwamba hakuwa akimfahamu, sasa ilikuwaje leo hii aanze kumuulizia na wakati alimfukuza.
Hakugundua kama kijana wake alikuwa amerudiwa na fahamu. Alibaki akimwangalia kwa mshangao mkubwa, alikuwa akibubujikwa na machozi kwani kitendo cha William kumkumbuka Linda kilionekana kuwa na mafanikio makubwa kwenye afya yake.
“Mama! Linda! Mama! Linda yupo wapi? Kwa nini nipo hapa! Hapa ni wapi?” aliuliza William huku akionekana kushangaa huku na kule.
Alitulia kwa muda na jinsi chumba kile alivyokiangalia akagundua kwamba alikuwa chumbani kwake. Alichanganyikiwa, hakujua ni kitu gani kilitokea kwani kumbukumbu zake zilikumbuka tukio la mwisho la kupata ajali lililokuwa limetokea.
Hakujua ni kitu gani kilitokea mpaka kuwa ndani ya chumba kile. Hakutaka kuamini kama kweli pale alipokuwa palikuwa chumbani kwake, nchini Tanzania katika Mtaa wa Tabata.
Akatoka ndani na kwenda nje, akamkuta mlinzi ambaye naye alibaki akimwangalia, alizisikia zile kelele na kuangalia kwa makini mule ndani, alitaka kujua ni kitu gani kilikuwa kikiendelea.
“Hamis! Nimefikaje hapa?” alimuuliza mlinzi huku akimwangalia kwa kumshangaa.
“Mbona upo kila siku!”
“Kila siku? Inamaana kila kitu kilichokuwa kinatokea nchini Marekani kilikuwa ni ndoto?” aliuliza William.
“Hapana!”
“Sasa imekuwaje nipoi hapa? Linda yupo wapi?” aliuliza William, wakati Hamis akitaka kujibu, mama yake akatokea na kumkonyeza kwamba hakutakiwa kujibu kitu chochote kile.
“William, njoo ndani!” alisema mama yake huku akimshika mkono.
“Mama! Nataka uniambie ukweli! Kwa nini nipo hapa? Nani anasimamia mtandao wangu?” aliuliza William huku akiendelea kupigwa na mshangao.
Mama yake akamchukua na kuelekea naye ndani, aliona jinsi kijana wake alivyokuwa amechanganyikiwa. Walipofika ndani, wakakaa kochini na kuanza kuzungumza, kitu cha kwanza kabisa kilikuwa ni kumuuliza alikumbuka kitu gani cha mwisho.
“Nilipata ajali jana!” alijibu William.
“Jana? Hapana! Ni mwaka na miezi kadhaa imepita! Baada ya hapo unakumbuka nini?”
“Sijajua nini kiliendelea,” alisema William.
Mama yake hakutaka kumficha, akaanza kumuhadithia kila kitu kilichotokea baada ya yeye kupata ajali. Alimsikiliza kwa makini, moyo wake uulimuuma, maneno aliyokuwa akiongea mama yake yalimshtua sana, hakuamini kama kweli yeye ndiye aliyemfukuza Linda.
Alihisi kabisa kitu chenye ncha kali kikiuchoma moyo wake. Linda alimpenda, alihisi maumivu mazito baada ya kujiuliza ni maumivu makali kiasi gani aliyoyasikia mwanamke huyo.
“Mama! Mimi nilimfukuza Linda?” aliuliza William, hakuamini alichokuwa amekisikia.
“Ndiyo! Ulimfukuza. Na pia kuna mwanamke mwingine!” alisema mama yake.
“Yupi?”
“Anaitwa Kesi…”
“Cassey! Ilikuwaje? Mungu wangu! Nakumbuka nilipata ajali nikiwa namfuata huyu msichana,” alisema William huku akionekana kukumbuka kila kitu.
“Naye alikuja ila ukamfukuza.”
“Mungu wangu! Nilimfukuza na Cassey pia?”
“Ndiyo!”
“Mama! Haiwezekani! Ni lazima nirudi Marekani!”
William hakutaka kuishia hapo, kitu cha kwanza kilikuwa ni kuingia kwenye mtandao wake wa MeChat kuona unaendeleaje. Hakuamini, kulikuwa na zaidi ya watu milioni mia tano waliokuwa wakiutumia. Moyo wake ulikuwa na furaha tele, hakuamini kama aliweza kutengeneza kitu kilichokuwa na watumiaji wengi kiasi hicho.
Hakutaka kuchelewa, alizikumbuka namba za mpenzi wake, Linda hivyo kuchukua simu na kumpigia. Siku ikaanza kuita, iliita na kuita na mwisho wa siku kupokelewa na sauti ya Linda kusikika upande wa pili.
****
Moyo wa Linda ulikufa ganzi kwani mauamivu aliyokuwa akiyasikia yalizoeleka na hivyo kuwa si maumivu tena. Aliumia, hakuamini kama kweli alifukuzwa na William na hakutaka kumuona tena.
Alijua kwamba mwanaume huyo alikuwa akiumwa lakini hilo hakutaka kulijali, alihisi kwamba alikuwa mzima na kile alichokifanya kilikuwa cha makusudi kabisa.
Alirudi nchini Marekani na kuendelea na maisha yake. Huko, aliendelea kusimamia kampuni za William na masuala yote ya kifedha kwa kuamini kwamba kuna siku mumewe angerudi tena.
Mtoto wao, William Jr aliendelea kukua kama kawaida. Maisha bila William yalikuwa magumu mno kwa Linda lakini alivumilia huku kila siku akimuombea William kwa Mungu kwamba afya yake itengemae na kukumbuka kila kitu katika maisha yake.
Baada ya mwaka na miezi mitatu, akapigiwa simu mchana wa siku moja. Alipoiangalia simu ile, code zilionyesha kwamba ilitoka Tanzania na kitu alichojua ni kwamba mama yake William alikuwa amemkumbuka hivyo kumpigia kama siku nyingine japokuwa kwa siku hiyo namba ilikuwa tofauti.
“Nani anaongea?” aliuliza mara baada ya kupokea simu.
“William!” alisema William kitu kilichomfanya Linda kuishiwa nguvu za miguu, akakaa vizuri kwenye kiti.
“William?” aliuliza.
“Ndiyo mpenzi! Ninakumbuka kila kitu! Naomba unisamehe mpenzi kwa nilichokufanyia,” alisema William huku akiwa na huzuni tele.
“Nimekukumbuka mpenzi! Nimelia sana kwa ajili yako! Nimeumia kwa ajili yako mpenzi!” alisema Linda huku akianza kulia kilio cha kwikwi.
“Ninakuja hukohuko. Ninakuja kukuona mpenzi! Ninakuja kuishi na wewe na kufunga ndoa,” alisema William.
Siku iliyofuata, akakodi ndege kuelekea nchini Marekani. Hakukuwa na tatizo la viza kwani Wamarekani walimuona kama mwenzao kwa sababu alikuwa na kazi kubwa aliyokuwa akiifanya chini ya CIA.
Taarifa ikapelekwa nchini Marekani kwamba William alikuwa njiani kuelekea huko. Walichokifanya CIA ni kuwasiliana na mkewe na kumwambia kwamba hakutakiwa kumwambia mtu yeyote juu ya ujio wa William.
Ndani ya ndege William alikuwa na mawazo tele, hakuamini kilichokuwa kikiendelea katika maisha yake. Wakati mwingine alibaki na kuyafikiria maneno ya mama yake kama kweli alimfukuza Linda nyumbani.
Mbali na mwanamke huyo pia akamkumbuka Cassey, alijiuliza juu ya mimba aliyokuwa nayo kama alijifungua salama au la. Safari iliendelea na baada ya saa ishirini na saba, ndege ikaanza kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa JFK jijini New York.
Akateremka, kulikuwa na maofisa wengi wa CIA waliokuwa wakimsubiri, hakukuwa na mwandishi wa habari, mbali na maofisa hao pia alikuwepo Linda aliyekuwa na mtoto William Jr, alipomuona mpenzi wake, akaanza kumsogelea na kumkumbatia kwa furaha.
“Hatimaye umeruudi mpenzi!” alisema Linda huku akilia.
“Nimerudi kuanza maisha mapya na wewe. Futa Machozi Mpenzi! Kila kitu kilichopita, naomba ukisahau,” alisema William.
Waliendelea kukumbatiana, hakuridhika, akambeba William Jr, kila alipomwangalia macho yake yalijaa machozi kwani alihisi mapenzi mazito yakiongezeka kwa familia yake hiyo.
Hawakukaa sana wakachukuliwa na kuingia ndani ya gari ambapo safari ya kuelekea nyumbani ikaanza. Wakaelekea huko, ndani ya gari walikuwa wakizungumza mambo mengi. William hakutaka kukumbuka kilichotokea, akaanza maisha yake na Linda, kwa kipindi hicho alihitaji sana kuwa karibu na familia yake.
Baada ya siku mbili kupita akampigia simu Cassey na kumuuliza kuhusu ujauzito. Kwanza msichana huyo akafurahi kusikia kwamba William amerudiwa na kumbukumbu zake na kitu alichomuongezea ni kwamba hakuwa na mimba, alimwambia vile kwa sababu alitaka kujua ni kitu gani kingetokea.
“Wewe mpumbavu sana, ulinitisha mno,” alisema William huku akitoa kicheko, naye Cassey akaanza kucheka.
“Nilijua kwamba ungechanganyikiwa. Hujachelewa, umewahi sana. Ninafunga ndoa wiki mbili zijazo. Ungependa uwepo?” aliuliza Cassey.
“Haina shida. Niandalie kadi yangu na Linda, baada ya kwako, yangu itafuata,” alisema William, wakazungumza mambo mengine na kukata simu.
Maisha yakabadilika, akaendelea kuingiza fedha, mtandao wake wa MeChat uliendelea kumuingizia fedha, akawa bilionea na ndani ya miaka miwili akawa juu zaidi ya Mtandao wa Facebook, aliendelea kupendwa huku kila siku akifanya kazi za CIA za siri na kufanikiwa kuwapa Wamarekani siri za majeshi ya Urusi, silaha zao, Wachina, Wakorea na nchi yoyote ambayo ilikuwa adui mkubwa wa Marekani.
Na la kuongezea zaidi, yeye ndiye mtu aliyehusika kuzidukua kompyuta za Tume ya Uchaguzi Marekani kwa kuyabadilisha matokeo ya Marekani kwa kumpa Donald Trump badala ya Hillary Clinton.

MWISHO

FUTA MACHOZI MPENZI – 4 RIWAYA YA UPELELEZI

Related image

Simulizi : Futa Machozi Mpenzi
Sehemu Ya  Nne (4)

CIA walichanganyikiwa, hawakujua ni kitu gani kilitokea mpaka kumkosa William ambaye mpaka muda huo hawakujua alikuwa mahali gani. Walichokifanya ni kuziweka picha zake nyingi na kusema kwamba kwa mtu yeyote ambaye angefanikisha kupatikana kwake basi angeweza kupewa kiasi cha dola milioni moja.
Tangazo hilo lilikaa hewani kwa saa moja tu ndipo walipoamua kulibadilisha, walijua kwamba William alikuwa amebadilishwa sura hivyo ingekuwa vigumu sana kumpata kwa sura yake, wakachukua picha zilizopigwa uwanja wa ndege ambazo zilionyesha akiwa na sura ya Kirusi na kuziweka kwenye mitandao ya kijamii, kuwapa waandishi wa habari na kuzibandika kila kona.
“Sasa William si mtu mweusi, imekuwaje tena?” aliuliza jamaa mmoja huku akionekana kuchanganyikiwa.
“Hata mimi nashangaa! Labda alibadilishwa sura. Cha msingi sisi tumtafute huyu Mrusi mwenye sura hii,” alisema jamaa mwingine.
Kila mtu akawa makini barabarani, huyo William aliyekuwa akitafutwa hakuwa mtu mweusi tena, alibadilika na kuwa Mzungu. Kila kona, wale watu waliokuwa wakifanana naye, walichukuliwa na kupelekwa polisi ambapo baada ya kuambiwa kwamba hakuwa yeye, wakarudishwa walipotolewa.
Hali ilikuwa ngumu mitaani, kila mtu alizitolea macho picha zile zilizokuwa zimebandikwa na kuwakamata watu waliofanana naye lakini hawakuweza kumpata mtu sahihi.
Wakati hayo yote yakiendelea, nchini Urusi hali ilikuwa mbaya, KGB walichanganyikiwa, hawakuamini kama kweli William aliwatoroka kwenye ndege na kuwaua watu wao. Walichokiamini ni kwamba William alitumia ujanja kuilipua ndege na si kwamba ndege ilipata hitilafu angani.
Walijua kwa namna moja au nyingine ilikuwa ni lazima kwa CIA kufanya juu chini kumpata mtu huyo, pia walijua kwamba kwa jinsi utandawazi ulivyokuwa mkubwa ilikuwa ni lazima watu wamuone William na hivyo kupiga simu huko, hivyo kitu cha kwanza kabisa kukifanya kilikuwa ni kuzitraki simu zao.
Ilikuwa kazi kubwa na ngumu lakini kutokana na uwezo wao mkubwa, wataalamu waliokuwa nao, walifanikiwa kwa kiasi kikubwa kuzitraki simu hizo na ndiyo maana hata mwindaji alipopiga simu, waliipata simu hiyo na wao kusikiliza, kwa kuwa wengine walikuwa nchini Canada, ilikuwa ni lazima wafike kule alipokuwa haraka sana.
CIA wakajiamini, wakajua kwamba simu hiyo waliisikia wao tu hivyo hata kujipanga kwao hakukuwa na uharaka kama uliotakiwa. Wakawapigia simu maofisa wa CIA waliokuwa Canada na kuwaambia kile kilichotokea na hivyo kuelekea huko kwa ajili ya kuonana na mtu huyo.
Baada ya dakika ishirini na tano walikuwa mahali hapo, kwanza kabisa, kabla ya kushuka ndani ya gari wakaanza kumtafuta mzee huyo kwa kumwangalia huku na kule. Kila walipomtafuta, hawakumuona kitu kilichowapelekea kuteremka na kwenda kuulizia.
“Nani?” aliuliza mhudumu wa mgahawa.
“Kuna mtu alitumia simu hii! Yupo wapi?” aliuliza jamaa wa CIA.
“Eeh! Mbona aliondoka dakika kumi zilizopita.”
“Aliondoka?”
“Ndiyo! Kuna watu walifika mahali hapa na kumchukua. Walikuwa Warusi,” alisema mhudumu yule.
“Ulisikika neno lolote kutoka kwao?”
“Ndiyo! Waliuliza yupo wapi? Mzee akasema nyumbani kwake, wakaingia garini na kuondoka,” alisema mhudumu yule.
“Walielekea njia gani?”
“Ile kule!”
“Tutapajuaje kwake?”
“Nyie nendeni, kule kuna nyumba moja tu, nahisi ndiyo yake,” alisema mhudumu huyo.
Hakukuwa na muda wa kupoteza mahali hapo, walikwishajua kwamba mbali na wao pia kulikuwa na Warusi waliokuja kumchukua mzee huyo na bila shaka walikuwa njiani kwa ajili ya kumchukua William.
Hawakutaka kuona hilo likitokea, William alikuwa mali yao na si ya mtu mwingine. Safari ya kuelekea huko ikaanza, njiani, kila mmoja alikuwa makini. Japokuwa theluji iliondolewa barabarani kwa ajili ya magari kupita lakini tayari theluji nyingine ilirudi na kuanza kutapakaa barabarani.
“Guys! Get your guns ready!” (Andaeni silaha zenu) alisema mkuu wao, kila mmoja akaandaa bunduki yake kwani tayari walikuwa wamekaribia karibu na mahali ilipokuwa nyumba hiyo.
***
Mzee yule mwindaji na wale maofisa wa KGB wakafika mahali pale palipokuwa na nyumba kisha mzee huyo kuufungua mlango wa kuingilia katika handaki lile. Kwa jinsi lilivyokuwa limejengwa, hata hao KGB walishangaa kwani haikuwa rahisi kwa handaki kama hilo kujengwa kama lilivyokuwa, ilionyesha dhahiri kwamba mzee huyo alikuwa mtu mwenye mafunzo fulani ya kijeshi.
Wakaingia chini, pale alipokuwa amemuacha William, hakuwepo, alijaribu kuangalia huku na kule, hakumuona. Alichanganyikiwa, hakujua ni kitu gani kilikuwa kimetokea. Kipindi kifupi kilichopita alimwacha mtu huyo ndani ya handaki hilo, tena akiwa hoi lakini cha ajabu alipokuwa amerudi na watu hao waliokuwa wakimuhitaji, hakumkuta.
“Yupo wapi?” aliuliza jamaa mmoja.
“Sijui! Alikuwa hapa, nilimuacha hapa,” alijibu mzee huyo huku akionekana kuwa na hofu kubwa.
“Kama ulimwacha hapa, yupo wapi?” aliuliza mwingine.
“Hata sijui! Nilimuacha hapa,” alijibu mzee huyo huku akionekana kuwa na uhakika na alichokuwa akikisema mahali hapo.
Wote wakamuona mzee huyo kuwa muongo, walijua kwamba alikuwepo sehemu, aliamua kumficha kwa kuwa aligundua kwamba hao hawakuwa Wamarekani bali ni Warusi, alichokifanya jamaa mmoja ni kumsogelea, akatoa bunduki yake na kumnyooshea.
“Tunakupa dakika moja kutuambia ukweli! Yupo wapi?” aliuliza jamaa huyo.
“Jamani! Hiyo michezo na bunduki sipendi, huwa nimeiacha kitambo sana. Ni michezo hatari mno, toa bunduki yako mbele yangu, huwa nachukia mtu akinionyeshea bunduki,” alisema mzee huyo, alizungumza kwa kujiamini.
“Sekunde arobaini zimebaki!”
“Naomba utoe hiyo bunduki mbele yangu!”
“Sekunde ishirini!”
“Toa bunduki!”
“Sekunde kumi!” alisema jamaa huyo huku kila mmoja akiwa na uhakika wa William kufichwa ndani ya nyumba hiyo.
“Sekunde tano…”
Hata kabla hazijamalizika, mzee huyo akaruka sarakasi kwenda juu, aliporudi chini, alitua kwa nguvu na kuupiga mkono wa jamaa yule aliyeshika bastola, huku wengine wakiwa hawajachukua hata tahadhari, wakajikuta wakivamiwa na kuanza kupigwa.
Hata kabla hawajachukua uamuzi, mzee yule akaipata bastola ile iliyokuwa imeanguka kutoka mkononi mwa jamaa aliyempiga kwanza, alipoipata tu, akaanza kuwamiminia risasi mfululizo, ni ndani ya dakika moja tu, wote walikuwa chini huku miili yao ikitapakaa damu.
“Huyu dogo yupo wapi?” alijiuliza, alichokifanya ni kutoka ndani ya handaki lile, alipofika nje tu, macho yake yakatua katika gari lililokuwa likija kwa kasi, kitu alichohisi ni kwamba watu hao walikuwa Warusi wengine, hivyo akaanza kuwamiminia risasi huku akirudi ndani ya handaki lile.
“Piga risasi…” alisema jamaa mmoja wa CIA na hivyo kufanya hivyo lakini hakukuwa na risasi iliyompata, akaingia ndani ya handaki.
Wakaelekea kule kulipokuwa na nyumba ile iliyoteketea, walitembea kwa umakini mkubwa kwani mtu waliyekuwa wakipambana naye alionekana kuwa si mtu wa mchezomchezo. Walipofika, wakaufungua mlango wa kuingia ndani ya handaki lile.
Humo, walipigwa na mshangao mara baada ya kuona maiti za watu wanne zikiwa chini huku damu zikiwatoka. Walipowaangalia vizuri watu hao, walikuwa Warusi. Wakawapekua mifukoni mwao, wakawakuta wakiwa na vitambulisho vilivyowatambulisha kwamba walikuwa majasusi kutoka katika Shirika la Kijasusi nchini Urusi, KGB.
“Hawa ndiyo wabaya wetu.”
Hawakujua mtu waliyekuwa wakimtafuta alikuwa mahali gani, lakini walipokuwa wakiangalia huku na kule kumtafuta, wakafanikiwa kuliona bomba kubwa kwa chini, lilikuwa kubwa kiasi cha kuingia mtu na kuanza kutambaa ndani yake.
Wakajua dhahiri hilo ndilo lilikuwa bomba alilolitumia mzee huyo, walichokifanya na wao kuingia ndani huku wakiamini kwamba mtu huyo alikuwa humo, kwa kile alichokifanya, kilikuwa kitu hatari kilichomtambulisha kama mwanajeshi au jasusi mmoja mkubwa, kwani kupambana na watu hao haikuwa kazi rahisi kwa mtu wa kawaida.


Saa kadhaa zilikatika, William alikuwa kwenye hali mbaya, muda wote alikuwa kimya, alionekana kama tayari alikuwa mfu. Pale alipokuwa, hakuweza kusogeza kiungo chake chochote kile na hata kuufumbua mdomo wake alishindwa kabisa.
Ilipofika saa 7:26 usiku, hali yake ikaanza kurudi kama ilivyokuwa, akaanza kupata nafuu na kitu cha kwanza kabisa alichokihisi ni kuona vidole vyake vikianza kusogea huku na kule. Akajitahidi kuinuka pale alipokuwa, akashindwa kabisa lakini kidogo viungo vyake vilianza kupata nafuu.
Hakusimama pale alipotoka, alitulia na kadiri muda ulivyokuwa ukizidi kwenda mbele na ndivyo alivyokuwa akipata nafuu. Ilipofika asubuhi, mwili ukawa na nguvu tena lakini hakutaka kujionyesha, hakutaka kumuonyeshea mzee yule kwamba alikuwa amerudi katika hali ya kawaida.
Mwindaji yule hakujua kama William alirudi kwenye hali yake ya kawaida, akamnywesha uji kama kawaida na alipoona mwanaume huyo akitangazwa kwenye televisheni kwa kutumia sura ile ya bandia aliyokuwa nayo, akaondoka kwa ajili ya kuwasiliana na CIA.
Huku nyuma William hakutaka kukaa, akasimama, akajaribu kutoka ndani ya handaki lile kwani mpaka hapo alipofikia, hakutakiwa kumwamini mtu yeyote yule.
Akasimama na kujaribu kwenda nje, kulikuwa na baridi kali mno, hakutaka kwenda huko, alichokifanya ni kurudi ndani, akaangalia huku na kule ndipo akakutana na bomba kubwa likiwa limeelekea upande mwingine kabisa.
Hakutaka kusubiri, alijua kwa namna moja au nyingine ilikuwa ni lazima bomba hilo lielekee sehemu ambayo aliamini ingekuwa salama kwa maisha yake. Akaingia ndani ya bomba lile na kuanza kutambaa kuelekea upande wa pili kabisa ambao hakujua ni upande gani.
Japokuwa mule kulitakiwa kuwa na joto lakini kwa kipindi cha baridi kali kama kipindi hicho, hakukuwa na joto lolote lile, kulikuwa na baridi kali na muda wote meno yake yalikuwa yakigonganagongana tu.
Alitambaa kwa dakika kumi na tano ndipo akafika mwisho wa bomba lile ambalo lilionyesha kwamba kila kitu kilichokuwa kikipitishwa mule, kilikwenda katika mto mkubwa ambao nao kipindi hicho maji yake yote yaliganda na kuwa barafu.
“Mungu wangu! Nifanye nini?” alijiuliza.
Kwa kuwa aliamini kwamba alikimbia hatari, hakutaka kusubiri mahali hapo, akajitokeza kuanzia kichwani mpaka kifuani kwa staili ya kulala chali, akalishikilia bomba lile na kupanda juu yake.
Ilikuwa kazi kubwa kwa mtu kama yeye ambaye mwili wake haukuwa na nguvu za kutosha lakini hakuwa na jinsi, alipopanda, kilichofuata ni kuondoka mahali hapo. Alishindwa kujua sehemu alipokuwa akielekea, kulikuwa ni porini, pori ambalo miti yake yote ilikuwa imetawaliwa na theluji nyingi, hakutaka kusimama sehemu, aliendelea kusonga mbele huku akisikia baridi kali japokuwa mwilini mwake alikuwa na sweta zito lililokuwa na skafu shingoni mwake.
Safari yake hiyo ikaishia sehemu ambayo kulikuwa na mgahawa huku kukiwa na magari manne ambayo yalikuwa yakitumika kusafishia njia kwa ajili ya wakazi wa eneo hilo kupitisha magari yao, akaelekea kule kulipokuwa na magari yale, kwa bahati nzuri kwake akakutana na msichana mmoja mrembo ambaye kwa kumkadiria tu hakuwa na miaka zaidi ya kumi na tano.
“Do you speak English?” (unazungumza Kiingereza?) alimuuliza.
“Yes! I do! What can I help you si?” (ndiyo! Ninazungumza! Nikusaidie nini bwana mkubwa?) aliuliza msichana huyo aliyekuwa na mbwa wake pembeni.
“Where am I?” (nipo wapi?)
“What do you mean?” (unamaanisha nini?)
“I mean where am I right now?” (namaanisha nipo wapi sasa hivi?)
“Winkler…”
“What the hell is Winkler?” (ndiyo wapi huko)
“Southern Winnipeg, Canada,” Kusini mwa Winnipeg, nchini Canada) alijibu msichana yule.
“Is there any phone booth around?” (kuna kibanda cha simu karibu?) aliuliza William.
“Yeah!”
Akaonyeshewa sehemu kulipokuwa na kibanda cha simu, hakikuwa mbali sana na mahali alipokuwa. Akaanza kuelekea huko, hakuacha kutetemeka, japokuwa mwilini mwake kulikuwa na sweta, jaketi kubwa lakini alihisi baridi ikiingia mpaka kwenye mifupa yake.
Akafika katika kibanda hicho, akajipekua mfukoni na kutoa senti hamsini aliyokuwa nayo na kuiweka kwenye simu kisha kumpigia mpenzi wake Linda. Simu iliita, iliita na kuita lakini haikuwa ikikpokelewa na mwisho wa siku kuambiwa kuacha ujumbe mfupi.
“Linda! Naomba unisaidie, nipo Canada sehemu inayoitwa Winkler. Nipo hai, sikufa, naomba uwaambie FBI kwamba nipo hai ila wakichelewa watakuta nimekufa,” alisema William na kisha kukata simu.
Alitamani kubaki kibandani kwa kuamini kwamba Linda atakapowaambia FBI basi ingekuwa rahisi kwao kumfuata mahali pale ila tatizo lilikuwa ni baridi lililokuwa likipiga.
Hakuvumilia kubaki mahali hapo, alichokifanya ni kuondoka na kuelekea sehemu iliyokuwa na baa na kuingia ndani ambapo kulikuwa na watu wengi waliokuwa wakilewa pombe kali.
Kila mtu aliyemuona William akiingia, alibaki akimshangaa, ilikuwa vigumu sana kwa kumuona Mrusi akiingia ndani ya baa zilizokuwa zikimilikiwa na Canada kutokana na ugomvi uliokuwepo baina yao.
Walimshangaa, hawakujua mwanaume huyo alijiamini nini na wakati wao walikuwa wengi ndani ya baa hiyo. Muziki uliokuwa ukipigwa kwa sauti ya chini, ukazimwa kabisa, wale waliokuwa na silaha pembeni, wakazishikilia kisiri kwani ilikuwa ni lazima kumpiga mwanaume huyo ambaye aliingia kwenye anga zao kwa kuwa hata Wacanada waliokuwa wakielekea nchini Urusi, nao walikuwa wakipigwa sana na wengine kuuawa.
William hakujua kitu chochote kile, hakujua kwamba ile sura ya bandia aliyokuwa amevishwa ndiyo iliyokuwa ikimuharibia. Hakuzungumza na kitu, alikwenda katika meza moja na kutulia chini.
“Nikusaidie nini?” aliuliza mhudumu mmoja, japokuwa uso wake ulikuwa kwenye tabasamu lakini William aligundua kwamba tabasamu hilo halikutoka moyoni.
“John Walker!”
Mhudumu huyo akaondoka, hata kabla hajarudi, wanaume wawili wakasimama na kuanza kumfuata kule alipokuwa. Walipofika katika meza ile, nao wakachukua viti na kukalia katika meza ile.
William alibaki akishangaa, hakujua sababu iliyowafanya watu hao watoke kule walipokuwa mpaka katika meza yake, akagundua kwamba kulikuwa na kitu. Hakuwasalimia, alinyamaza, mwanaume mmoja akaegemea kiti makusudi na kuifanya bastola yake kuonekana kiunoni.
“Umekuja kufanya nini humu Mrusi?” aliuliza jamaa mmoja, sura yake ilionyesha dhahiri kwamba kuua halikuwa jambo gumu kwake.
“Nani? Mimi? Mimi siyo Mrusi.”
“Sikiliza, kaka yangu aliuawa nchini Urusi mwaka jana, baba yangu aliuawa hukohuko pia kwa vitu visivyoeleweka kwamba ni chuki binafsi. Kila unayemuona humu ndani, ndugu yake aliuawa nchini Urusi. Tulijiapiza kulipiza kisasi, wakati tukiwa na hasira sana juu yenu, hatimaye umeingia kwenye kumi na nane zetu,” alisema jamaa mwingine, wale waliokuwa pembeni wakaanza kusogea kule walipokuwa.
“Francis…” aliita jamaa mmoja aliyekuwa mbali.
“Unasemaje!”
“Unamchelewesha, unamuhoji kwani wewe mwandishi wa habari?” alisema jamaa mmoja aliyekuwa kaunta, alichokifanya ni kusogea kule walipokuwa, alipofika kwenye meza ile, akachomoa bastola yake, akampiga risasi mbili William, moja ikaenda kwenye bega la kushoto na nyingine kuzama kwenye mbavu zake, hapohapo akaanguka chini, damu nyingi zikaanza kumtoka.
“Mmalizie kabisa,” alisema jamaa mwingine, jamaa yule akaichukua bastola yake, akamnyooshea tena William, alidhamiria kuua, mlio wa risasi ukasikika, damu zilizokuwa zikimtoka William, zikaongezeka pale sakafuni alipokuwa amelala.
“Aagghh…” alipiga kelele William sakafuni pale huku akiwa kwenye maumivu makali, akaona kabisa mtoa roho alimkaribia na alitaka kuitoa roho yake
“Dokta…dokta…” aliita msichana mmoja, alikuwa nesi aliyekuwa akikimbia kuelekea katika ofisi ya dokta mkuu, watu wote waliomsikia, walimshangaa, alikuwa akikimbia huku akionekana kuwa na haraka sana, kama alikuwa na jambo fulani alilotaka kumwambia daktari aliyekuwa akimfuata, alipoufikia mlango, akaufungua na kuingia ndani.
Dokta Sam aliyekuwa ndani ya ofisi hiyo akamwangalia nesi huyo huku amimshangaa, alitaka kusikia kile alichokuwa amemfuata ndani ya ofisi yake. Nesi huyo akamwambia kwamba mgonjwa aliyekuwa ameletwa ndani ya hospitali hiyo na kupoteza fahamu kwa wiki mbili, hatimaye aliyafumbua macho yake pale kitandani alipokuwa.
“Unasemaje?”
“Godson amefumbua macho,” alisema nesi huyo.
Dk. Sam hakutaka kubaki ofisini kwake, naye akachomoka na kuelekea kule kulipokuwa na chumba alicholazwa Godson, alipofika, akamwangalia kitandani pale, kweli, baada ya kulala kitandani kwa wiki mbili mfululizo huku akiwa hajitambui, hatimaye mgonjwa huyo aliyafumbua macho yake na kuangalia huku na kule.
Godson hakukumbuka kitu, hakujua mahali alipokuwa palikuwa wapi. Aliangalia huku na kule kwa mshangao mkubwa, alipoiona dripu iliyokuwa ikining’inia juu yake ndipo akagundua kwamba mahali hapo palikuwa ni hospitalini.
“Nimefikaje?” alijiuliza.
Hapo ndipo akajaribu kukumbuka tukio la mwisho kabisa alilokuwa amelifanya. Alimbuka kwamba alikuwa ndani ya gari, alipofika Sinza Makaburini kwenye kona ya kuelekea Barabara ya Sam Nujoma, kuna gari lilikuja mbele yake na kuligonga gari alilokuwepo, baada ya hapo, hakukumbuka kitu gani kiliendelea.
“Nilipata ajali?” alijiuliza kitandani pale.
Muda wote huo Dk. Sam alisimama pembeni na kumwangalia mwanaume huyo, kwake, kile kilichokuwa kikionekana kilikuwa muujiza mkubwa, hakuamini alichokuwa akikiona mahali hapo.
Ni kweli walikuwa wakipokea wagonjwa kila siku lakini kwa jinsi Godson alivyokuwa ameumia na kupoteza fahamu, moyo wake ulimwambia wazi kwamba mwanaume huyo asingerudiwa na fahamu na ni lazima angekufa palepale kitandani.
“Dok..ta…mp..en..zi wan..gu..yup..o wap..i..?” aliuliza Godson kwa tabu kabisa huku akisikia maumivu makali.
“Subiri! Pata muda wa kupumzika kwanza,” alisema Dk Sam huku akimuweka vizuri kitandani pale.
Alishindwa kuwataarifu wazazi wake kutokana na muda kwenda sana. Ilikuwa ni saa nane usiku, hakuona kama lingekuwa jambo muhimu kuwapigia simu na wakati asubuhi inayofuata tu watu hao wangekuwa hospitalini hapo.
Godson hakuacha kumuulizia mpenzi wake, alikuwa hoi lakini hakuona kama hiyo ilikuwa sababu ya kutokuwa na mpenzi wake mahali hapo. Muda ulizidi kusogea huku Godson akitamani kumuona mpenzi wake, Melania.
Ilipofika saa 1:30 asubuhi, akapewa taarifa kwamba mpenzi wake na wazazi wake walikuwa hospitalini hapo kwa ajili ya kumuona. Akatamani kuonana nao na hivyo muda wa kuona wagonjwa ulipofika, watu hao wakaingia humo ndani.
Kitendo cha Melania kumuona mpenzi wake akiwa amefumbua macho, akamsogelea, alipomfikia, akamkumbatia huku akitiririkwa na machozi mashavuni mwake. Kilipita kipindi kirefu, alikata tamaa, aliona kama Mungu asingeweza kumrudishia fahamu mpenzi wake, kila alipokuwa akimwangalia, alikuwa akilia tu lakini siku hiyo, machozi yake ya majonzi yakabadilika na kuwa machozi yenye furaha.
“Umerudiwa na fahamu mpenzi…umerudiwa na fahamu mpenzi…” alisema Melania huku akimwangalia mpenzi wake ambaye kila alipokuwa akijibu, mwili wake ulikuwa ukiuma.
Furaha ikarudi moyoni mwake, Melania hakutaka kuondoka hospitalini hapo, muda wa kuona wagonjwa ulipokwisha, alitoka ndani na kukaa kwenye mabenchi yaliyokuwepo mahali hapo. Huyo ndiye alikuwa mtu muhimu katika maisha yake, moyo wake ulikosa tumaini, alikataliwa na William, mtu pekee ambaye aliamini kwamba angempa furaha katika maisha yake yaliyobaki alikuwa Godson tu.
“Mungu! Naomba umponye kabisa mpenzi wangu! Sina furaha, sina amani moyoni. Mungu, unajua kwamba nimeumia sana, naomba unifariji, naomba umponye mpenzi wangu,” alisema Melania huku akiyafuta machozi yake pale kwenye benchi alipokaa.
****
“Inakuwaje washikaji? Niliwaambia mkamuue yule mbweha, mbona hamjakamilisha kazi yangu?” aliuliza Nicholaus huku akiwa ameshika simu.
“Kazi ipi?”
“Ya yule mshikaji!”
“Yule aliyepata ajali Sinza?”
“Ndiyo!”
“Mbona alikufa kitambo tu! Nahisi hata kuzika washazika!”
“Acheni masihara! Huyo mtu hakufa!”
“Hakufa? Kivipi? Kaka uliuona ule mzinga wenyewe lakini?” aliuliza jamaa aliyekuwa upande wa pili ambaye alikuwa akizungumza na Nicholaus.
Nicholaus akawaambia kwamba mtu huyo hakufa bali alikuwa hoi hospitalini. Katika kila hatua ambayo Godson alikuwa akipitia, Nicholaus alifuatilia. Kila siku ilikuwa ni lazima kwenda hospitalini na kufuatilia. Alipoambiwa kwamba Godson alikuwa akipata nafuu, moyo wake ulimuuma sana.
Siku zikakatika na ndipo alipoamua kuwaambia watu hao ukweli kwamba mtu aliyewaambia wamuue alikuwa mzima wa afya na mbaya zaidi hali yake iliendelea kutengemaa mpaka kurudiwa na fahamu.
Vijana hao wakamwambia kwamba wangekamilisha kazi hiyo haraka iwezekanavyo. Hawakutaka kukaa makao makuu tu bali walichokifanya ni kupanga mikakati ya kumuua Godson palepale kitandani alipokuwa.
“Huyu tutamuua! Tutajifanya madaktari,” alisema jamaa mmoja.
“Basi haina shida! Tufanyeni juu chini mpaka tufanikiwe,” alisema kijana mwingine.
****
Mzee yule mwindaji, Caspean Hill aliendelea kupita kwenye bomba lile kubwa kuelekea upande wa pili. Alikuwa akitambaa kwa kasi sana kwa kuamini kwamba wale watu waliokuwa nyuma yake ambao aliwaacha kwenye handaki lile wangeweza kumfuata kule alipokuwa na kumuua.
Hakutaka kukubali, hakutaka kuona akiuawa kizembe namna ile, aliendelea kwenda mbele mpaka alipofika mwisho wa bomba lile ambapo kwa chini kulikuwa na mto ulioonekana kuganda na barafu kutanda juu yake, alichokifanya ni kupanda kwa juu na kuelekea njia ileile aliyoelekea William.
Alipiga hatua huku bunduki ikiwa mikononi mwake, tayari alijua kwamba William alikuwa mtu muhimu sana, mwanaume huyo alikuwa fedha, alikuwa utajiri wake ambao piga ua ilikuwa ni lazima ampate na kuwakabidhi CIA ambao walikumtafuta kwa udi na uvumba.
Alipiga hatua mpaka alipofika katika baada ile aliyokuwa William. Hakuhisi kama mtu huyo alikuwa mahali hapo kwani kwa jinsi alivyoonekana, ilikuwa ni lazima kutoka nje kabisa ya eneo hilo, hivyo akapuuza.
Alipopiga hatua kadhaa, ghafla akasikia mlio mkubwa wa risasi kutoka ndani ya baa ile. Machale yakamcheza, kitu kilichokuja akilini mwake ni jina la William tu, hivyo kwa haraka sana akaanza kuelekea kule kulipokuwa na baa ile, tena kwa mwendo wa kasi.
Alipofika kwenye kidirisha kidogo cha kioo, akachungulia ndani, macho yake yakatua kwa watu watano waliomzunguka mtu mmoja mahali hapo. Akapeleka macho yake kwa mtu aliyezungukwa na kugundua kwamba alikuwa William, tena mwanaume mmoja alimnyooshea bastola na kutaka kumpiga risasi nyingine.
Mzee Caspean hakutaka kuchelewa, hapohapo akanyoonesha bastola yake kwa watu wale na kuachia risasi mbili, moja ikapiga bega la jamaa aliyetaka kumuua William na nyingine ikampata jamaa mwingine maeneo ya ubavuni akaanguka chini na damu kuanza kuwatoka.
Wale wengine walipoona hivyo, wakaanza kukimbia kwa kupitia mlango wa nyuma. Walichanganyikiwa, walishambuliwa na mtu ambaye hawakujua alikuwa wapi. Si wao tu bali hata wauzaji na wahudumu ndani ya baa ile wote wakakimbia kuelekea nje kwa kupitia mlango wa nyuma.
Mzee yule akachomoka dirishani na kuelekea kule alipokuwa William, alipomfikia, akamuinamia na kumuweka juu ya kiti na kumtaka kutulia kwani alikuwa kwenye mikono salama, akaanza kumpa huduma ya kwanza.
“Wewe ni nani?” aliuliza Mzee Caspean, alijifanya hajui, alitaka kumsikia mwenyewe akilitaja jina lake.
“William,” alijibu William kwa sauti ndogo.
“Unafanya nini huku? Na kwa nini unatafutwa?”
“Nilitekwa!”
“Ulitekwa? Na nani? Warusi huwa hawatekwi kirahisi!” alisema mzee huyo.
“Mimi siyo Mrusi!”
“Siyo Mrusi! Ni nani sasa?”
“Mwafrika!”
“Mwafrika? Kivipi?”
William akaanza kumwambia kila kitu kilichotokea, Mzee Caspean hakuamini, alimwangalia vizuri mtu huyo, ilikuwa vigumu kugundua kama alikuwa Mwafrika. Akamnyanyua na kumpeleka bafuni, huko, akachukua maji ya moto kidogo na kumwagia na kuanza kumtoa sura ambayo aliambiwa kwamba alikuwa nayo.
Kweli, alipoanza kumtoa sura ile ya bandia ndipo akaamini kwamba mtu huyo alikuwa Mwafrika kama alivyosema. Hakuishia hapo, mwili mzima alikuwa amebandikwa vitu vilivyoonyesha kwamba alikuwa Mrusi hivyo kutolewa vyote na kubaki kama alivyozaliwa.
Mzee Caspean alishangaa, hakuamini kile alichokiona. Mwanaume aliyesimama mbele yake alikuwa mbaya mno, alifanana na sokwe, yeye mwenye alitamani kukimbia kwani alihisi kwamba mtu huyo hakuwa binadamu, bali alikuwa mfano wa sokwe mtu.
“Nahitaji laptop,” alisema William huku akionekana kuwa na maumivu makali.
“Laptop tu au kompyuta yoyote?” aliuliza mzee huyo.
“Yoyote ile.”
“Sidhani kama tunaweza kuipata. Hebu tutoke hapa.”
Wakatoka na kuelekea nje huku Mzee Caspean akiwa amemshika kwa kuupitisha mkono wa William begani mwake, huko, wakaanza kuangalia huku na kule, kwa bahati nzuri kwao wakafanikiwa kuziona nyumba kadhaa na hivyo kuifuata nyumba moja ambayo nje kulikuwa na theluji kila kona, tena nyingine zikiendelea kudondoka.
Walipoifikia, wakagonga mlango ambapo baada ya sekunde kadhaa, ukafunguliwa na msichana mmoja aliyeonekana kuwa mrembo wa sura. Alipomuona William, ilikuwa bado kidogo aufunge mlango kwani alimuogopa mno, hakuamini kama huyo alikuwa binadamu, alihisi Mzee Caspean alikwenda hapo na sokwe.
“Tunahitaji msaada wako!” alisema Mzee Caspean, wakati akiyazungumza maneno hayo, alikuwa akiusukuma mlango na kuingia ndani.
“Msaada gani?”
“Kompyuta!”
Kwanza msichana huyo aliogopa, hakujua watu hao walikuwa wakina nani na kwa nini walihitaji kompyuta. Walimwambia kwamba walikuwa watu wazuri ambao hawakuwa na tatizo lolote lile, msichana huyo hakuridhika, William akamwambia kwamba yeye ndiye alikuwa William, mwanaume aliyeanzisha Mtandao wa MeChat.
“Wewe ndiye William wa MeChat?” aliuliza msichana huyo huku akionekana kushtuka.
“Ndiyo!”
Kitu cha kwanza alichokifanya msichana huyo ni kuchukua boksi kubwa la chumba lililoandikwa Fist Aid Kit ambalo lilikuwa na dawa kadhaa kisha kuanza kumuhudumia William aliyeonekana kuwa kwenye maumivu makali.
Baada ya msichana huyo kumaliza kumuhudumia William, akasimama na kuelekea ndani, baada ya sekunde kadhaa akarudi huku akiwa ameongozana na kaka yake ambaye sura yake ilionyesha tabasamu pana, hakuamini kama siku hiyo William alikuwa ndani ya nyumba yao.
Mtandao wake ulikuwa umekimbiliwa kwa kasi, watu walikuwa wakiutumia, ndani ya muda mchache ulikuwa na watu wengi kupita kawaida. Kaka wa msichana huyo alipomuona William, hakuamini, alimfahamu kwa kuwa mara ya kwanza alimuona kwenye televisheni.
Alichokifanya ni kupiga naye picha kwa staili ya selfie huku akionekana kuwa na furaha kupita kawaida. Alipomaliza, akamgawia laptop kama alivyoomba, William akaifungua na kuanza kubadilisha baadhi ya vitu katika mtandao wake.
“Unaweka nini?”
“Subiri. Utaona,” alisema William huku akiendelea kuchezea kompyuta yake, alichokifanya kaka wa msichana yule ni kuzichukue zile picha alizopiga na William kisha kuzituma kwenye akaunti yake kama lengo la kuwaambia marafiki zake kwamba alikuwa mtu wa kwanza kupiga picha na mwanzilishi wa mtandao huo.
“I make them feel jealous on me,” (nataka wasikie wivu juu yangu) alisema kijana huyo huku akitabasamu.
****
Maofisa wa CIA na FBI walichanganyikiwa, waliwasiliana na wenzao waliokuwa nchini Canada na kuwauliza kuhusu William lakini watu hao waliwaambia kwamba hawakufanikiwa kumpata William. Hawakujua tatizo lilikuwa nini kwani Mzee Caspean aliwapigia simu na kuwaambia kwamba alikuwa na William nyumbani kwake, sasa kwa nini wasimpate?
Waliwauliza kama walikutana na huyo mzee, maofisa hao wakawaambia kwamba walikutana na ugumu kwani dalili zinaonyesha kwamba simu zao walizitraki, kwani walipofika hapo, tayari Warusi walikuwa mahali hapo na walimchukua mzee huyo na kwenda naye huko.
“Mmh! Warusi? Inakuwaje?”
Maofisa hawakuishia hapo, waliwaambia kila kitu kwamba hata baada ya kwenda kwa mzee huyo, walikuta Warusi wale wakiwa wameuawa kwa risasi na moja kwa moja kumuhusisha mzee huyo ambaye aliwakimbia kwa kupitia kwenye bomba ambalo hawakujua lilipokuwa likiishia.
“Kwa hiyo William hamkumkuta?”
“Ndiyo mkuu!”
“Ooh!”
Kilikuwa ni kitendo kidogo cha kumfuata William nchini Canada na kumchukua lakini ilionekana kuwa na ugumu sana. Maofisa hao wakachanganyikiwa, hawakuelewa sababu zilizozifanya harakati zao za kumpata William kuwa ngumu kiasi hicho.
Wakati wakiendelea kutafakari ni kitu gani walitakiwa kufanya, msichana mmoja akaingia humo huku akionekana kuwa na haraka sana, alipofika, akachukua simu yake na kuwaonyeshea kitu maofisa hao.
Ilikuwa ni picha ya William ambapo alikuwa amepiga na jamaa fulani ambaye kwenye Mtandao wa MeChat alikuwa akitumia jina la O’Brein Cook. Waliiangalia picha ile, William alionekana kuwa kwenye maumivu makali, kwa begani alikuwa akitokwa na damu, japokuwa alifungwa bandeji lakini damu hazikuzuilika kumtoka.
“Track the location,” (Lichunguzeni eneo husika) alisema mkuu wa CIA.
Hilo ndilo lilofanyika, wakaichukua picha ile na kuiingiza kwenye kompyuta zao na kuangalia mahali ilipokuwa imepigwa. Hiyo haikuwa kazi kubwa, ndani ya dakika tano tu majibu yakasoma kwamba picha ile ilikuwa imepigwa nchini Canada katika eneo lililoitwa Winnipeg nchini Canada.
“It’s not far away from where they are,” (si mbali kutoka pale walipo)
“Yeah!”
Hapohapo wakawapigia simu wenzao na kuwaambia mahali William alipokuwa, ilikuwa ni lazima kwenda huko tena haraka iwezekanavyo kwani dalili zilionyesha kwamba kama wangeshindwa kumpata basi Warusi wangeweza kufanya lolote liwezekanalo kumpata.
“Si mbali sana na hapa! Tunakwenda!” alisema jamaa aliyekuwa Canada na hivyo kuanza kwenda huko.
****
“Kwanza ilikuwaje?”
“Nilikuwa nikiishi na baba yangu! Alikuwa akinipenda sana. Maisha yalikuwa mazuri mno, mpaka kufikia kipindi hicho sikuwa nimemfahamu mama yangu. Baada ya kufikisha miaka kumi na nane, baba akanionyeshea mama yangu! Alikuwa mwanamke mzuri sana, alipendeza mno, sura yake ilifanana na sura yangu, aninivutia mpaka mimi mwenyewe.
“Kilio changu siku zote kilikuwa ni kuuwataka warudiane, sikuwa na furaha kuwaona wakiishi mbali mbali hivyo ili kunifanya binti yao nifurahi, wakakubali kuishi pamoja. Maisha yalikuwa mazuri, nilijiona mtu mwenye furaha kuliko watu wote duniani. Baada ya mwaka mmoja, baba yangu akafariki kwenye ajali ya gari iliyotokea Manhattan hivyo kuishi na mama yangu ambaye baadaye aliolewa na mwanaume katili, aliyenitesa na kunipa msongo wa mawazo,” alisema msichana mmoja aliyeitwa Cassey Mike.
Kwa kumwangalia, alikuwa msichana mrembo, alivutia, sauti yake nyororo aliyokuwa akiitumia kuongelea iliwapagawisha wanaume wengi. Alikuwa katika kipindi cha Jerry Springer, alikuwa akiyahadithia maisha yake aliyopitia kipindi cha nyuma.
Japokuwa ilikuwa ni historia tu lakini kila mtu aliyekuwa akiisikiliza aliumia moyoni mwake. Alikuwa msichana mdogo, mwenye utajiri mkubwa lakini hakukuwa na aliyeamini kama kweli alipitia maisha hayo yenye kumsisimua kila mtu aliyekuwa akimsiliza.
“Ikawaje?” aliuliza Jerry, watu wote waliokuwa wakikifuatilia kipindi hicho walikuwa kimya, Casey ndiye aliyeutawala ukumbi huo huku kituo cha televesheni cha CNN kikionyesha moja kwa moja kilichokuwa kikiendelea huku kila mtu akitaka kusikia kwa kifupi maisha aliyopitia msichana huyo bilionea na mwanamitindo maarufu duniani.

Msichana Cassey aliendelea kusimulia historia ya maisha yake, kila mtu aliyekuwa akimsikiliza aliumia moyoni mwake, matukio aliyokuwa amepitia, jinsi baba wa kambo alivyomtesa, wanawake waliomsikiliza walikuwa wakitiririkwa na machozi tu.
Hiyo ilikuwa historia ya maisha yake. Iliisha, ilipita na katika kipindi hicho alikuwa na maisha mengine kabisa, maisha ya kuogelea katika ulimwengu wa pesa. Alikuwa na kiasi kikubwa cha pesa, alimiliki kampuni, magari ya kifahari na nyumba za bei mbaya zilizokuwa Las Vegas. Calfornia na sehemu nyingine nyingi nchini humo.
Kila alipokuwa, watu walimuheshimu Cassey, japokuwa alikuwa binti mdogo lakini alipendwa mpaka na mabilionea wengi ambao kila siku walitamani hata kulala naye kitandani.
Cassey hakuwa mwepesi, aliwachukia wanaume kwa ajili ya baba wa kambo. Mambo aliyofanyiwa katika maisha yake, kwake, kila mwanaume aliyekuwa akikutana naye alionekana kama shetani. Hakuwa mwepesi, hakujirahisisha hata kidogo, kwake, ilikuwa ni bora kufanya mapenzi na midoli ya kiume kuliko mwanaume.
“Na vipi kuhusu wanaume?” aliuliza Jerry Springer.
“Ninawachukia wanaume, sipendi hata kuwaona,” alisema Cassey huku akimwangalia Jerry.
“Kwa hiyo hata mimi unanichukia?”
“Hahah! Jerry bhana! Kwani wewe unanitaka?” aliuliza Cassey na kuanza kucheka.
Alichokizungumza ndiyo ukweli wenyewe. Kulikuwa na wanaume wengi waliomfuata na kumwambia walimpenda lakini aliwakatalia. Walikwenda mabilionea, wacheza filamu, tenisi, waendesha magari ya Formula One, wachezaji wa kikapu na baseball lakini wote hao aliwakatalia kwa kuwaambia kwamba aliwachukia wanaume mno.
Tangu alipokuwa akibakwa na baba wa kambo, hakutaka tena kuwa na mpenzi, kwa kuwa aliwachukia wanaume, alichokifanya ni kununua mdoli wa kiume nchini China na kuupeleka nyumbani kwake, California, na ndiyo mdoli ambao ulimaliza shida zake kitandani.
Hayo yalikuwa maisha yake, hakutaka kuficha, aliwaambia watu wengi kwamba alishiriki mapenzi na mdoli uliokuwa nyumbani kwake. Wengi walimshangaa, walimuona mtu wa ajabu lakini hakutaka kujali, bado msisitizo wake ulikuwa uleule kwamba aliwachukia wanaume.
Baada ya kuzungumza sana, akamwambia Jerry kwamba alitaka kutengeneza kitabu cha maisha yake, alitaka kuwaandikia wale waliokuwa wakilelewa maisha ya hovyo kwamba bado walikuwa na nafasi ya kupata mafanikio, haikujalisha walipitia matatizo gani, kama Mungu alitaka kuwanyooshea katika maisha yao basi wangefanikiwa na kuwa matajiri wakubwa huko mbele.
Alipoondoka katika ukumbi huo alipokuwa akifanyiwa mahojiano, akaelekea nyumbani kwake. Kichwani mwake alikuwa na mawazo tele, alitaka kuandika kitabu cha historia ya maisha yake, alitaka kuyaweka maisha hayo kwenye kitabu, akutane na mwandishi wa vitabu na kumuandikia lakini hakujua ni nani alistahili kukiandika kitabu hicho.
“Labda Chilongani,” alijisemea ndani ya gari.
Monye Chilongani Mtanzania aliyekuwa akiishi Philadelphia nchini Marekani, alikuwa mmoja wa waandishi wakubwa duniani. Alikuwa miongoni mwa waandishi walioandika vitabu vya watu wengi akiwemo Barack Obama, Celine Dion, Tiger Woods na wengine wengine. Kwake, mwandishi huyo alionkana kuwa bora hivyo alichokifanya ni kutafuta mawasiliano naye na kumpigia simu.
“I can’t do that right now,” (siwezi kufanya hivyo kwa sasa?) alisema mwandishi huyo alipopigiwa simu.
“Why?” (kwa nini?)
“I got something to do Cassey, but thank you,” (nina kitu cha kufanya, ila nashukuru)
“What is it?” (kitu gani?)
“I do write Trump’s book, so I’ve to travel here and there. Maybe, let’s do it next year,” (ninaandika kitabu cha maisha ya Trump kwa hiyo natakiwa kusafikiri huku na kule. Labda tufanye mwaka ujao) alisema Monye kwenye simu.
“Next year? I can’t wait.” (mwaka ujao? Siwezi kusubiri)
Hakuwa na jinsi, alitamani sana kitabu chake kiandikwe na mwandishi huyo lakini iliposhindikana, akaamua kuwatafuta waandishi wengine na kufanikiwa kumpata mwandishi wa Kifaransa aliyeitwa Babi D’e Consious ambaye ndiye alitakiwa kukiandika kitabu hicho.
“Hakuna shida. Dola milioni 1.5,” alisema Babi.
“Hakuna tatizo!”
Hilo likamalizika na kilichokuwa kimebaki ni kuendelea kuwasiliana na mwandishi huyo ambaye alifika nchini Marekani na kuanza kukiandika kitabu hicho. Muda mwingi aliokuwa akisimulia matukio yaliyokuwa yakitokea, Cassey alikuwa akilia, hakuamini kama kulikuwa na binadamu ambaye aliwahi kupitia maisha kama aliyokuwa amepitia kipindi cha nyuma.
Siku zikakatika, baada ya kukatika miezi miwili, kitabu kikakamilika, kikachapishwa na kitu kilichokuwa kimebaki ni kukitangaza kwa ajili ya kuingia sokoni. Akawatafuta watu wengi ambao walimsaidia kumfanyia matangazo mbalimbali, alipomaliza, kuna sehemu moja tu ambayo alitakiwa kufanya matangazo hayo, sehemu yenye nguvu ambayo aliamini kwamba ingemsaidia kuuza.
“Ni lazima nikitangaze kwenye Mtandao wa MeChat kwa ajili ya kuwafikia watu wengi zaidi,” alisema msichana huyo, alichotakiwa kufanya ni kuwasiliana na William, mmiliki wa mtandao huo kwa ajili ya kumfanyia kazi yake.
****
Linda hakuwa na furaha, moyo wake ulikuwa na mawazo mno. Muda mwingi alikuwa akilia akimtaka Mungu amrudishe mpenzi wake salama nyumbani. Hakuacha kuwasiliana na maofisa wa FBI na CIA ambao pia walitumia muda wao mwingi kuwaweka walinzi wao alipokuwa akiishi kwa kuamini kwamba Warusi wangeweza kumteka ili William awafanyie kazi yao.
Tangu mpenzi wake atekwe, zilipita siku mbili hakuwa amelala, kitanda kilionekana kuwa na miba kila sehemu, asingeweza kulala na wakati mpaka muda huo hakujua mahali alipokuwa mpenzi wake.
Maofisa wa FBI walimpa moyo kwamba mpenzi wake angeweza kupatikana, hakutaka kuliamini hilo kwa asilimia mia moja, alitaka kuona likifanyika na kuletewa nyumbani kwake, hapo ndipo angeamini kwamba kazi ilifanyika na kuwa na amani moyoni mwake.
Siku ya tatu ilipoingia, akapigiwa simu na kuambiwa kwamba William alipatikana nchini Canada katika Mji wa Winnipeg. Hakuamini, akataka kumuona au kuwasiliana naye. Hilo halikuwezekana kwani kwa kipindi hicho William alikuwa kwenye hali mbaya kutokana na risasi alizokuwa amepigwa.
“Ila ninataka kuzungumza naye!”
“Utazungumza naye akifika. Kwa sasa yupo kwenye hali mbaya,” alisikika mwanaume kwenye simu.
“Atakufa?” aliuliza huku akilia.
“Hapana! Hawezi kufa,” alijibu mwanaume huyo na kukata simu. Japokuwa aliambiwa kwamba mpenzi wake asingekufa, moyo wake ulikuwa na hofu kupita kawaida.
****
Maofisa wa CIA hawakuchelewa, kwa haraka wakafika mahali ambapo waliambiwa kwamba William alikuwepo. Walipofika hapo, wakaizunguka nyumba na kuingia ndani huku wakipiga kelele kwamba wao walikuwa CIA.
Mzee Caspean baada ya kusikia hivyo, akatupa bastola yake chini, wanaume wanne wakaingia na kumuweka chini ya ulinzi na kumbeba William aliyekuwa kwenye kochi huku akiwa hoi. Hawakuzungumza kitu, yeye na mzee huyo wakapakiwa kwenye gari na kuondoka mahali hapo.
William alikuwa akilia kwa maumivu makali. Alipoteza kiasi kikubwa cha damu na kadiri dakika zilivyokuwa zikisonga mbele zilionyesha kwamba angeweza kufariki akiwa njiani. Wakafika salama mjini Winnipeg ambapo akapelekwa katika Hospitali ya St. Carthbert ambapo akalazwa kitandani huku akiwa hoi.
Madaktari wakaanza kuifanya kazi yao, kitu cha kwanza kabisa kilikuwa ni kutoa risasi zilizokuwa mwilini mwake. Kila mmoja alishangaa, kwa jinsi alivyokuwa amejeruhiwa ilikuwa vigumu sana kwa mtu kukaa kwa kipindi kirefu huku akiwa hai kwani alikuwa na majeraha makubwa katika sehemu zile alizokuwa amepigwa risasi.
Simu zikapigwa mpaka nchini Marekani, wakawaambia kwamba William alipatikana akiwa hoi na katika kipindi hicho alikuwa akitibiwa hospitalini. Kila mmoja akaonekana kuwa na furaha tele, hawakuamini kama maofisa wa CIA wangefanya kazi hiyo kwa haraka sana mara baada ya kupewa taarifa juu ya mahali alipokuwa mtu huyo.
Baada ya kukaa kwa saa moja na kutibiwa huku akiandaliwa kwa ajili ya safari, William na Mzee Caspean ambaye kichwa chake kiliendelea kufikiria pesa, wakachukuliwa na kupelekwa ndani ya ndege kwa ajili ya kupelekwa nchini Marekani.
Kutoka Winnipeg mpaka Marekani haikuwa mbali, walichukua dakika arobaini na tano tu, ndege ikaanza kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa JFK jijini New York ambapo hapo kulikuwa na magari zaidi ya kumi yakiwasubiri watu hao.
“How is he?” (anaendeleaje?) aliuliza jamaa mmoja.
“He is just fine,” (anaendelea vizuri tu)
Wote wakachukuliwa na kupakizwa ndani ya gari ambalo lilianza safari ya kuelekea katika Hospitali ya Main View Medical Center iliyokuwa hapohapo New York. Msafara wake ulikuwa mkubwa, zaidi ya magari kumi yalikuwa yakiongoza huku kila mtu aliyekuwepo katika msafara huo akiwa na silaha nzito kwani mtu waliyekuwa wakimlinda alikuwa na heshima kubwa, mtu ambaye alionekana kuwa na thamani kuliko hata waziri mkuu wa nchi hiyo.
Hawakuchukua muda mrefu wakafika hospitalini hapo ambapo William akaanza kupatiwa matibabu huku chumba alichokuwepo kikilindwa kwa ulinzi mkali kwa kuepuka kutekwa tena na Warusi, ulinzi huo haukuwa ndani tu, hata nje ya jengo hilo bado kulikuwa na watu waliokuwa na silaha, kwa muonekano tu, ilionyesha kama rais wa nchi hiyo alikuwa humo kupata matibabu.
Siku hiyohiyo baada ya Linda kupigiwa simu, akaondoka jijini Massachuesetts na kuelekea New York huku akiwa kwenye hali ya ujazito aliyokuwa nayo. Ndani ya ndege, kichwa chake kilikuwa kikimfikiria mpenzi wake, alimuomba Mungu kwa hali aliyokuwa nayo, hakutaka kumuona mwanaume huyo akiondoka mikononi mwake kwani ndiye mtu pekee ambaye aliamini kwamba angeweza kumfariji katika maisha yake.
Alipofika, akapokelewa na kupelekwa huko hospitali. Kitu cha kwanza kabisa kilikuwa ni kuelekea hospitalini huku maofisa wa CIA wakiwa wanamlinda kila hatua kwa kuepuka utekaji, akachukuliwa mpaka hospitalini huko.
Kitendo cha kumuona mpenzi wake kitandani, akatabasamu, naye William akarudisha tabasamu pana. Akamsogelea pale alipokuwa na kumjulia hali. William akafurahi mno, kitu cha kwanza kabisa kilikuwa ni kulishika tumbo la Linda.
“Anaendeleaje?” alimuuliza Linda.
“Ni mzima! Anaendelea vizuri na amekukumbuka pia,” alisema Linda huku akiachia tabasamu pana.
Rais akapigiwa simu na kuambiwa kwamba William alipatikana na walikuwa naye mikononi mwao. Japokuwa kulikuwa na ulinzi mkubwa lakini rais huyo akaagiza ulinzi uongezeke kwani mtu waliyekuwa naye alikuwa muhimu kuliko katiba ya nchi hiyo kipindi hicho.
Hilo likafanyika, polisi wakawekwa, ndani ya hospitali hiyo, wakawekwa maofisa wengine wa CIA waliojifanya kuwa madaktari kumbe nyuma ya pazia bado waliendelea kuhakikisha ulinzi unafanyika vya kutosha humo ndani.
Watu walipotangaziwa kwamba William amepatikana, kila mmoja akashusha pumzi, wakafurahi kwani wengi wakaona kwamba huo ndiyo ulikuwa muda wa kuutumia Mtandao wa MeCat uliokuwa ukijiendesha wenyewe, tena kwa kasi kubwa huku mamilioni ya watu wakiendelea kujiunga kila siku.
Mzee Caspean hakutaka kuondoka, moyo wake ulikuwa na furaha, hakuamini kama kweli William yule aliyekuwa amemsikia kwa kipindi kifupi, genius aliyekuwa ametikisa dunia ndiye yule ambaye alimsaidia, moyoni mwake akajiona mkombozi ambaye alitakiwa kuheshimiwa na kila mtu kwani bila yeye, mtu huyo angeweza kuuawa kitambo tu.
William alikaa hospitalini kwa muda wa mwezi mzima ndipo aliporudi nyumbani kwake. Akaendelea kuingiza fedha kupitia mtandao wake ambao ulionekana kuwa bora kuliko mitandao yote duniani.
Makampuni hayakuacha kujiunga na kujitangaza huko, kila siku ilikuwa ni lazima kampuni mpya kujiunga na kumpa kiasi kikubwa William. Akaanza kuwa bilionea, kwake, hakuangalia pesa, hakuangalia heshima, kitu pekee alichokiangalia ni kuwapa watu kile walichokuwa wakikihitaji.
Hakutaka kumuacha Mzee Caspean, aliyaokoa maisha yake, aliuthamini mchango wake hivyo baada ya kulipwa dola milioni moja, William akamuongezea nyingine na kumnunulia jumba kubwa la kifahari pembezoni mwa Jiji la Ottawa nchini Canada, karibu na bahari.
“Hii ni yangu?” aliuliza Mzee Caspean mara baada ya kutumiwa picha ya jumba alilonunuliwa.
“Ndiyo! Hiyo ni nyumba yako!”
“Siamini!”
“Ishi katika imani! Hii ni nyumba yako!” alisema William huku akiachia tabasamu pana.
Siku ziliendelea kukatika, baada ya mwezi mwingine kuingia, akapokea ujumbe mfupi wa maneno kutoka kwa msichana mrembo, Cassey aliyetaka kuonana naye kwa kuwa alikuwa na kazi kubwa aliyotaka kufanya naye.
Alishangaa, alizoea kumsoma msichana huyo kwenye majarida, umaarufu wake, utajiri wake ulitisha sana na hakuamini kama kipindi hicho msichana huyo alitaka kuonana naye. Hilo halikuwa tatizo, akawasiliana naye na kumwambia amfuate ofisini kwake, ndani ya saa mbili, msichana huyo alikuwa amekwishafika.
“Ninataka kumuona William,” alisema Cassey.
Dada wa mapokezi aliambiwa kuhusu yeye, hakukuwa na tatizo, akamchukua na kumpeleka katika ofisi ya bosi wake. Alipofika, wakasalimiana na msichana huyo kukaa kwenye kochi, akakunja nne, upaja wake mweupe, ulionona, uliofunikwa na sketi yake fupi ukaonekana, William akaukodolea macho kama vile aliona kitu kigeni.
“Unashangaa nini?” aliuliza Cassey huku akiachia tabasamu, na kwa mbali alijiweka vizuri ili upaja uendelee kumtoa udenda mwanaume huyo.
“Jinsi Mungu anavyojua kuumba. Mungu fundi sana aisee,” alisema William huku akimwangalia Cassey kwa jicho lililomaanisha kitu cha tofauti kabisa.
Japokuwa msichana huyo alicheka kwa kuhisi kwamba ni masihara, lakini kwa William, kile alichokizungumza alimaanisha, alitokea kuvutiwa na msichana huyo lakini kabla hajasema kitu chochote juu ya uzuri aliokuwa nao Cassey, picha ya Linda akiwa kitandani ikamjia kichwani mwake. Akachanganyikiwa.

Vijana watatu walikuwa wamejipanga kwa ajili ya kukamilisha kazi waliyokuwa wamepewa na Nicholaus ya kumuua Godson aliyekuwa kitandani. Kwao, haikuwa kazi ngumu hata kidogo kwani kila walipofikiria namna ulinzi wa hospitali nyingi za Kitanzania kuwa hafifu, walijua kabisa wangefanikiwa kile walichotaka kukifanya.
Wakaingia dukani, ilikuwa ni lazima kujifanya madaktari ili iwe rahisi kwao kufanya mauaji ya mgonjwa Godson aliyekuwa kitandani. Huko, walipata makoti meupeya kidaktari waliyotaka kuwa nayo, wakanunua mashine za stethoscopes zilizokuwa zikitumika kusikilizia mapigo ya moyo kwa mgonjwa.
Hawakuishia hapo bali walinunua mpaka miwani, walihitaji kuwa na muonekano kama madaktari, hawakutaka watu wafahamu kwamba hawakuwa madaktari katika hospitali hiyo.
Walipohakikisha wamepata kila kitu, wakaanza safari ya kuelekea katika hospitali hiyo kwa ajili kufanya kazi hiyo waliyotakiwa kufanya. Siku ya kwanza haikuwa ya kumuua Godson bali walikwenda kuangalia usalama wa hospitali hiyo kubwa, kama je, wangeamua kwenda kufanya mauaji, kulikuwa na ulinzi wa kutosha?
Walipofika, wakajigawa na kuanza kufanya mambo yao. Walitembea katika wodi mbalimbali, walizungumza na wagonjwa. Hakukuwa na daktari yeyote aliyeonekana kuwashtukia, kutokana na wingi wa madaktari hospitalini hapo, ilikuwa ni vigumu kuwatambua.
Walifanya uchunguzi wao na kugundua chumba alichokuwa Godson, hakukuwa na ulinzi wowote, waliangalia kisiri jinsi madaktari na manesi walivyokuwa wakiingia ndani ya chumba hicho ambacho kwa nyuma kilikuwa na mlango mwingine.
“Ni kazi nyepesi mno kufanyika, hebu turudini,” alisema jamaa mmoja aliyeitwa Kibra ambaye alikuwa na muonekano halisi wa kidaktari.
Wakaondoka na kurudi kujipanga. Mwanzoni waliiona kazi hiyo kuwa kubwa na ya hatari kiasi kwamba walihofia hata kuifanya lakini baada ya kwenda kwa ajili ya uchunguzi, waliona kuwa haikuwa kazi ngumu hata kidogo.
Walipofika kambini wakawasiliana na Nicholaus, wakamwambia kwamba kazi aliyokuwa amewapa kwa mara hiyo ya pili ingefanyika kwa urahisi zaidi kwani mtu waliyetakiwa kumuua, mpaka kumfikia hakukuwa na ugumu wowote ule.
“Yaani hakuna ugumu kabisa!”
“Kweli?”
“Yeah! Yaani ni kama kumsukuma mlevi kwenye mteremko wa mlima,” alisema Kibra.
“Basi sawa! Naomba mfanye hivyo haraka sana!”
Nicholaus akawa na matumaini makubwa kwamba kazi yake ingefanyika kwa haraka zaidi. Hakumpenda Godson, hakufanya hivyo kwa kuwa alimfahamu vizuri, hakumfahamu sana lakini kwa kitendo cha kumchukua Melania ndicho kilichomkasirisha zaidi.
Hakutaka kumuona Melania akiwa na furaha, alijitahidi kumuwekea maumivu makubwa moyoni mwake na ndiyo maana alijitahidi kufanya kila liwezekanalo ili alie, abubujikwe na machozi katika maisha yake yote.
Aliwaamini vijana hao, aliwaona wakiwa na umakini mkubwa kwani hata walipomwambia mbinu waliyokuwa wameitumia, aliwasifia kwamba walifanya kazi kubwa sana na walihitaji pongezi.
Siku mbili mbele, Kibra na wenzake wawili, Ibra na Badi wakarudi katika hospitali ile. Muonekano wao ulikuwa uleule, ilikuwa vigumu sana kugundua kwamba watu hao hawakuwa madaktari bali walikuwa wauaji ambao walitumwa hospitalini hapo kwa ajili ya kufanya kazi yao tu.
Waliwaangalia wagonjwa, wakawafariji na wakati mwingine wakiwaandikia vidonge ambavyo walitakiwa kuvichukua. Kutokana na ukubwa wa hospitali hiyo, ilikuwa ni vigumu kwa madaktari kujuana, hivyo kila mtu aliyeonekana kuvaa koti kubwa walihisi kwamba ni daktari wa kweli, na mbaya zaidi katika kipindi hicho kulikuwa na wanafunzi wengi waliofika kwa ajili ya kufanya ‘field’.
Wakati wanaendelea na mambo yao humo, wakaugundua ule mlango uliokuwa nyuma katika chumba alicholazwa Godson, hivyo Ibra na Badi wakaelekea kule nyuma huku wakimwacha Kibra ambaye alijiandaa kwa kwenda ndani ya chumba kile, afanye mauaji na apite mlango wa nyuma.
Ndani ya mfuko wa kulia wa koti lake alikuwa na kisu kidogo huku katika mfuko wa kushoto akiwa na kitambaa kizito, alitaka kuingia ndani ya chumba hicho na kisha kumziba pua na mdomo kwa kitambaa kile kisha kumuua kitandani hapohapo.
Baada ya kuona hali ni ya amani kabisa, dakika ishirini kabla ya muda wa kuwaona wagonjwa kuwadia, harakaharaka Kibra akaanza kwenda katika chumba kile. Alipofika kwenye korido, macho yake yakatua kwa wazazi wa Godson waliokuwa na Melania kwenye mabenchi, akasogea mpaka kule walipokuwa, walipomuona, hakukuwa na aliyejua kama mtu huyo hakuwa daktari kama madaktari wengine.
Uso wake ulionyesha tabasamu pana lililoficha ukatili wake, kwa kumwangalia harakaharaka alionekana kama daktari mzoefu, aliyekuwa na digrii yake kichwani kumbe upande wa pili alikuwa muuaji mkubwa tu.
“Za hizi?” aliwasalimia huku akiachia tabasamu lillowadanganya watu hao.
“Safi tu daktari!”
“Poleni kwa kuuguliwa!”
“Tunashukuru!”
Walipojibu, hakutaka kupoteza muda wake mahali hapo bali akaufungua mlango na kuingia ndani. Alipofika, macho yake yakatua kwa Godson aliyekuwa amelala kitandani. Kwa mwendo wa taratibu, wa madaha kabisa akaanza kumsogelea ambapo baada ya kumfikia, akatoa kitambaa chake mfukoni tayari kwa kuziba pua na mdomo kisha kumchoma visu mfululizo na kukimbia kupitia mlango wa nyuma.
“Pumzika kwa amani mshikaji wangu,” alisema Kibra, hapohapo akatoa kitambaa chake na kumziba Godson aliyeanza kukukuruka kukiondoa kitambaa hicho kilichomziba vilivyo.
****
Hakutaka kujificha, alijitahidi kujizuia kumpenda msichana Cassey lakini ilishindikana kabisa. Kila alipomuweka Linda kichwani mwake, msichana huyo alitoka na moyo wake kuanza kumtamani mrembo aliyekuwa ofisini huko.
Upaja wake ukazidi kumdatisha, kila alipozungumza naye hakuacha kumsifia, alimpa sifa kemkem mpaka nyingine hakustahili kuwa nazo. Naye Cassey ni kama alijua, akajitanua zaidi na kumfanya William kuwa hoi, kila alipoendelea kuuangalia upaja ule, udenda ulimtoka kama fisi aliyeuona mfupa.
“Unanitania sana William,” alisema Cassey huku akimwangalia mwanaume huyo.
“Siwezi kukutani! U msichana mrembo sana aisee! Utadhani hukuzaliwa, ni kama umeshushwa kutoka mbinguni,” alisema William hakuona kama hiyo ilitosha, akasimama na kuanza kumsogelea msichana huyo.
“Nashukuru sana!”
“Labda Mungu alikupendelea, udongo aliokuumbia wewe ni tofauti kabisa na wetu,” aliendelea kumsifia.
“Mmh!”
“Kweli tena! Hebu jiangalia hata wewe mwenyewe, angalia jinsi tabasamu lako lilivyokuwa tamu, angalia jinsi unavyocheka, meno yako meupe yaliyopangiliwa vizuri yanavyoonekana. Cassey, nimewahi kuwaona wanawake wengi ila sijawahi kumuona malaika kama wewe,” alisema William.
Moyo wake ukafa na kuoza, alisahau kabisa kama kulikuwa na mtu aliyeitwa Linda. Moyo wake ukaangukia katika penzi la msichana huyo. Akaendelea kupiga hatua kumsogelea msichana huyo, alipomfikia, akamshika shingoni.
Yeye mwenyewe hakujua ni kitu gani kilikuwa kikiendelea, siku hiyo alionekana kama mtu aliyeingiwa na pepo la ngono. Kwa sababu alisifiwa sana, kichwa cha Cassey kikavimba na kuachia tabasamu pana, akajiona kuwa mrembo zaidi ya wanawake wote.
“Ninajaribu kumfikiria Mungu, alitumia muda gani kukutengeneza wewe, manake sisi wengine wabaya alitumia dakika kumi ila naamini kwako alitumia zaidi ya saa mbili, ili uje kutuchanganya wanaume marijali kama sisi,” alisema William.
Hakutaka kuzungumza maneno mengine zaidi ya hayo. Ingawa msichana Cassey aliwachukia sana wanaume lakini kwa William, kwa jinsi alivyokuwa akimsifia, ubaya wake haukuonekana kabisa, alijiona akiwa amekaa karibu na mwanaume mwenye sura nzuri sana.
William alimsifia kwa zaidi ya dakika kumi ndipo walipoanza kuzungumza kile kilichomleta msichana huyo ofisini humo. Kwake, halikuwa tatizo kabisa, msaada aliouhitaji Cassey haukuwa na tatizo kabisa na kwa sababu alitaka kumvuta zaidi mikononi mwake, hata kiasi cha fedha alichotakiwa kulipia kwa ajili ya matangazo juu ya kitabu hicho hazikuhitaji, aliambiwa kwamba kila kitu kingefanyika bure kabisa.
“Kweli?”
“Ndiyo! Nikutoze hela ili iweje.”
Muda wote William aliongea kiutani lakini alikuwa akimaanisha moyoni mwake. Mbele yake alimuona amekaa msichana mrembo sana, hakutaka kumtoza kiasi chochote cha fedha kwani hilo lingemfanya kumkosa na yeye hakutaka kabisa hilo litokee maishani mwake.
Wakakubaliana, wakapeana namba za simu kwa ajili ya mawasiliano. William hakutulia, kila siku ilikuwa ni lazima kuwasiliana na msichana huyo mrembo, aliendelea kumsifia kwa kumwambia kwamba alikuwa mrembo hata zaidi ya huyo Cleopatra, alikuwa mrembo zaidi ya Alicia Keys, Megan Fox na wanawake wote duniani.
Mawasiliano hayo yalikuwa yakifanyika kwa siri sana, Linda hakuwa akifahamu kama mpenzi wake alikuwa kwenye harakati za kumpata msichana bilionea ambaye alikuwa akisifika kwa kipindi hicho, Cassiy aliyejitangaza kuwachukia sana wanaume.
Siku zikakatika, Cassey hakutaka kuonekana kuwa msichana mwepesi, msimamo wake ulikuwa uleule kwamba aliwachukia wanaume na kamwe asingeweza kuwa nao. Kwa William alionekana kama kushindwa kwani meseji alizokuwa akitumiwa na mwanaume huyo zilikuwa kali na zilizomfanya azidi kujisikia mzuri kuliko wanawake wote.
“Wakati mwingine tunahitajika kumshukuru sana Mungu,” alimwandikia msichana huyo.
“Yeah! Ni kweli kabisa…”
“Hasa kumshukuru kwa kutukutanisha na vitu vizuri. Kama kuna wengine wanashukuru Mungu kununua vitu vizuri kama magari, nyumba, hivi na mimi sitakiwi kumshukuru Mungu pia?” aliuliza William, walikuwa wakiendelea kuchati tu.
“Kwa lipi?”
“Kunikutanisha na msichana mrembo kama wewe!”
“Jamani! Nasikia aibu mwenzako ukiniambia hivyo!”
“Kweli tena! Kila nikikaa hapa sebuleni, picha yako inanijia kichwani mwangu, umenikaa kwenye kichwa changu na mbaya zaidi umeniganda na kuning’ang’ania
. Hivi una nini wewe mrembo?”
“Jamaniiiiiii!”
“Au wewe jini?”
“Eeh! Jini tena?”
“Ndiyo! Huwa sipendi kuwa na msichana yeyote yule zaidi ya yule ninayeishi naye, ila kwako, nahisi umeniendelea Thailand kuniroga! Hakika umekuwa mtu muhimu sana kwangu! Kila ninapokaa, ninamwambia Mungu asante kwa wema wako, ila zaidi, asante kwa kunikutanisha na Cassey,” aliandika William.
Aliwajua wasichana, alijua jinsi ya kuwasifia, usomaji wake wa vitabu mbalimbali ulimpa ujuzi mkubwa wa kuzungumza nao kupitia maandishi. Waliendelea kuwasiliana kila siku huku akimuonyeshea kwamba yeye ni msichana mrembo ambaye alistahili kupendwa na mwanaume maisha yake yote.
Wakati hayo yote yakiendelea, Linda hakuwa akijua, mapenzi yake kwa mpenzi wake huyo yalikuwa kama kawaida. Kila siku usiku alilala pembeni yake, alikilalia kifua chake kwani hakukuwa na mwanaume mwingine ambaye alitakiwa kumfariji kwenye kipindi alichokuwa nacho.
Ubaya wote aliokuwa akiufanya William hakuufanyia nyumbani, alijua jinsi ya kucheza na simu yake, aliifunga vilivyo kiasi kwamba ilikuwa vigumu kugundua kama alikuwa akipigiwa na mtu yeyote,
“Hivi Linda akijua itakuwaje?” alijiuliza.
Alijiamini kwamba Linda asingeweza kufahamu kitu chochote kile kwani hata kuwasiliana naye alifanya hivyo akiwa ofisini kwake na si nyumbani. Siku zikakatika, akaendelea kutengeneza pesa ndefu kupitia mtandao wake wa kijamii.
Makampuni yaliendelea kumiminika kila siku, aliyabadilisha maisha yake, akaanza kuukimbilia ubilionea. Alikuwa na kampuni kubwa, jengo kubwa ambalo ndani yake lilikuwa na wafanyakazi zaidi ya mia moja huku akimuhamisha mama yake Tanzania na kumnunulia jumba la kifahari Chicago.
Aliyaendesha maisha yake kupitia kampuni hiyo lakini nyuma ya pazia bado alikuwa akifanya kazi chini ya serikali, kila kitu walichohitaji kujua kuhusu maadui zao, hasa mambo ya mawasiliano, alipelekewa kazi hiyo William ambaye aliifanya kwa moyo mmoja.
Yeye ndiye alikuwa adui mkubwa wa maadui wa Marekani kwani kila walipokuwa wakiwasiliana kwa njia ya simu au aina yoyote ya mawasiliano yalidakwa na CIA na hivyo kufuatilia.
ISIS hawakuwa na furaha naye, waliumia sana kwani kila walipokuwa wakipanga mipango yao wakalipue wapi, kitendo cha kuwasiliana tu, walijikuta wakidakwa na kulipuliwa wao.
“Cassey! Ninahitaji nikuone leo,” alisema William, alihakikisha anabaki ndani ya gari ndipo akaanza kuzungumza naye.
“Wapi na muda gani?”
“Muda wowote ule na sehemu ambayo kidogo itakuwa na kificho,” alisema William.
“Basi sawa! Labda tuonane kule kwenye mgahawa wa Mc Donald!” alisema Cassey.
“Hapana! Huko ni noma. Tutafute sehemu ambayo hakuna watu, tuwe wawili, si unajua waandishi wengi, ninataka nikuone, niuangalie uumbaji wa Mungu kwa karibu zaidi,” alisema William.
“Mmh! Sawa! Basi kwenye Hoteli ya Meladiva, unaonaje?”
“Hakuna tatizo!”
“Muda gani?”
“Saa moja usiku!”
“Na mkeo akikuulizia?”
“Nitamwambia nipo na wewe hotelini!”
“Weeee…unasemaje?”
“Nakutania, nitamwambia chochote kile,” alisema William na kutoa kicheko.
Walipanga kuonana, waliwasiliana kwenye simu kwa siku kumi mfululizo na mara zote hizo William alikuwa akimsifia Cassey na kujiona kama alizaliwa kwenye dunia ya peke yake.
Siku hiyo kazi hazikuenda kama ilivyotakiwa, kila alichokuwa akikifanya, kichwa chake kilimfikiria Cassey, jinsi alivyoumbika, umbo namba nane na kikubwa zaidi kilichokuwa kikikumbukwa kichwani mwake kilikuwa ni mapaja manene aliyokuwa nayo.
Alifanya kazi pasipo kuwa na umakini mkubwa mpaka pale alipokuwa tayari na kumpigia simu. Walipokubaliana, wakaelekea huko ambapo msichana Cassey alifika na aliyekuwa akimsubiri alikuwa William tu.
Kwa kipindi hicho alihitaji ukaribu na jamaa huyo. Alihitaji kitu ambacho kwake kingekuwa muhimu sana, aliamini kwamba kama angekubaliana na William na kuwa wote kimapenzi basi kile alichokuwa akikihitaji kingekwenda kama kilivyotakiwa.
Hakufikiria mapenzi kichwani mwake, alifikiria pesa, namna ya kupata fedha zaidi ya alizokuwa nazo. Kwa kumtumia mwanaume huyo, biadhaa zake zingetangazwa kwenye Mtandao wa MeChat bure kabisa kitu ambacho kingeendelea kumpa fedha kila siku.
“Yaani kumpa pesa kwa ajili ya kuingiza fedha baadaye, sidhani kama kuna tatizo,” alisema Cassey huku akiachia tabasamu pana.
Hicho ndicho alichokifanya. Wakati akiwaza hayo huku akiwa chumbani, tayari William alifika hotelini hapo, alivalia kofia kubwa na miwani, ilikuwa vigumu kumgundua na alipofika mapokezi, alimpigia simu Cassey na kumwambia kwamba alifika hivyo msichana huyo kuzungumza na mapokezi, akawaambia kuhusu mtu huyo, kwa jina la uongo, jinsi alivyovaa na hata alipokuwa akipandisha, hakukuwa na mtu aliyekuwa na hofu naye.
Akafika mpaka katika chumba husika, akagonga hodi na Cassey alipoufungua mlango, wakakumbatiana na kuingia ndani. Hawakuongea kitu chochote kile, walikuwa wakiwasiliana kupitia vitendo tu.
Walibusiana, walishikana hapa na pale na hawakujua kitu gani kilitokea, ghafla wakajikuta wakiwa watupu kabisa na hivyo kukisogelea kitanda. Wakajilaza kitandani, kikaanza kulalamika sana lakini hakukuwa na aliyejali, hakukuwa na aliyegundua kwamba walikuwa wakikiumiza kitanda hicho mpaka kulalamika kiasi hicho.
Kwa uzuri wa uzuri wa Cassey, William alihisi kama anafanya mapenzi na malaika kwani alikuwa na uzuri wa ajabu. Wakati shughuli hiyo ikiendelea, simu yake ikaanza kuita, akaichukua na kuangalia mpigaji, alikuwa mpenzi wake, Linda, hakuipokea, akasonya kisha kuiweka pembeni.
Aligalagazwa sana, mwili wake ulimsisimka na kuhisi kama alikuwa kwenye pepo ndogo. Kwa sababu Cassey alitamani sana mwanaume huyo apagawe naye, akaanza kumfanyia vitu ambavyo aliamini hakukuwa na mwanaume yeyote duniani aliyewahi kufanyiwa.
Walichukua saa moja tu, William alikuwa hoi, aliangalia huku na kule, viungo vyote vikawa vinauma, mwili ulikosa nguvu kabisa. Aliyatupa macho yake pembeni, Cassey alikuwa akimwangalia tu, hapohapo akamlalia kifuani.
“Unajisikiaje?” aliuliza msichana huyo.
“Safi tu! Kuna kipindi nilihisi kama nafanya mapenzi na roboti, hivi huchoki?” aliuliza William.
“Huwa sichoki hasa ninapokutana na mwanaume kama wewe. Naomba tena!” alisema msichana huyo.
“Utaniua!”
“Jamani naomba tena!” alisema Cassey!
Hakutaka kuchelewa, akamfuata William kwa juu na kujilaza, akaanza kumfanyia utundu wa kila aina wa kumrudisha mwanaume huyo kwenye mchezo na kweli ndani ya dakika tano, akarudi tena mchezoni na kuanza kufanya naye.
Walichukua saa moja jingine, kila mtu akawa hoi. William akainuka kitandani na kwenda bafuni, akaoga, alipoangalia saa yake, ilikuwa saa nne usiku. Akachukua simu na kuangalia, akakutana na meseji nne zikiwa zimeingia, akaanza kuzisoma.
‘Pole na kazi mpenzi. Nimekumisi, nahitaji kukuona, punguza kazi na uje kuwa karibu nami kwani si unajua hali yangu si nzuri,’ ilikuwa ni meseji ya kwanza.
‘Mpenzi upo wapi? Mtoto wako amekukumbuka, ananisumbua sana tumboni. Njoo uonane naye, kila wakati ananiulizia wewe upo wapi,’ ilikuwa meseji ya pili.
‘Mpenzi! Leo nitahitaji unikumbatie usiku mzima, nilisikie jasho lako mpenzi wangu, naomba usichelewe kurudi,’ ilikuwa ni meseji ya tatu.
‘Nimekuandalia chakula, sitotaka nile peke yangu, nakusubiri tule wote, hata kama utarudi alfajiri, nitataka nile nawe, si unajua kwamba leo ni siku yako ya kuzaliwa? Nilitaka tusherehekee wote ila umeondoka na bado hujarudi. Mpenzi! Naendelea kukusubiri kochini,’ ilimalizia meseji ya nne.
Alipozisoma, moyo wake ukanyong’onyea, akahisi huruma nzito ikimuingia moyoni mwake, hakuamini kama siku hiyo ilikuwa siku ya kuzaliwa yake ya kuzaliwa na hivyo alitakiwa kuwa pamoja naye.
Alimwangalia Cassey, hakummaliza, alikuwa msichana mrembo lakini kwa kipindi hicho alitakiwa kuwa pembeni ya mpenzi wake ambaye alikuwa na ujauzito wa miezi sita. Hakutaka kuendelea kubaki hotelini, alimuaga Cassey na kurudi nyumbani.
Njiani, alikuwa na mawazo tele, moyo wake ulijuta, hakuamini kama kweli siku hiyo alimsaliti mpenzi wake kwa msichana Cassey. Alijilaumu lakini kila uzuri wa Cassey ulipomjia kichwani mwake, wakati mwingine alijisikia fahari kwa kufanya mapenzi na msichana kama huyo.
Hakuchukua muda mrefu, akafika nyumbani na kuliingiza gari. Akaelekea mpaka ndani, alipofika sebuleni, macho yake yakatua kwa Cassey aliyekuwa amelala kwenye kochi huku tumbo lake likiwa kwa juu.
Kwanza kabla ya kumsogelea akasimama, akahisi kitu chenye ncha kali kikiuchoma moyo wake kiasi cha macho yake kubadilika na kuwa mekundu na ndani ya dakika moja tangu asimame pale alipokuwa, machozi yakaanza kutiririka mashavuni mwake.
“Nimemsaliti Linda? Hivi nina akili kweli?” alijiuliza huku akimwangalia msichana huyo.
Akamsogelea pale kochini alipokuwa amelala, hata kabla hajamfikia, macho yake yakatua kwenye keki kubwa iliyokuwa mezani huku kukiwa na whiskey kubwa. Akaisogelea meza ile, alipoitazama keki ile, iliandika ‘Happy Birthday my hubby’.
Ulikuwa ni ujumbe mzuri lakini uliuchoma moyo wake vilivyo, akamwangalia tena Linda aliyekuwa amelala kochini kwa kuwa alichoka kumsubiria, alipomfikia, akakaa karibu yake na kumwamsha. Linda alipoamka na kumwangalia mpenzi wake, tabasamu pana likamjia, hakuamini kama alirudi salama nyumbani.
“Nimekukumbuka mpenzi wangu,” alisema Linda huku akimkumbatia William.
“Nimekukumbuka pia mpenzi! Pole kwa kunisubiri, nilikuwa na kazi nyingi za kuunganisha mawasiliano ya MeChat na Mtandao wa Yahoo. Samahani kwa kutokukutaarifu mpenzi,” alisema William, alidanganya mpenzi wake, aliumia moyoni mwake kufanya hivyo lakini hakuwa na jinsi, ili kumfurahisha ilibidi amdanganye kama alivyokuwa akifanya.
Hiyo ilikuwa ni siku ya kwanza kufanya mapenzi, haukuwa mwisho, penzi la Cassey lilimchanganya mno kiasi kwamba kuna wakati alikuwa akichelewa kurudi nyumbani kwa kisingizio cha ubize na wakati mwingine akilala hukohuko nje.
Penzi la Cassey likamchanganya mno. Kuna wakati Linda alipokuwa akimpigia simu, hakuwa akiipokea kabisa, alijua vilivyo jinsi msichana huyo aliyokuwa akiumia lakini hakutaka kujali sana, kwake, kwa kipindi hicho Cassey alikuwa kila kitu.
“Leo sitoweza kurudi tena mpenzi,” alisema William.
“Kwa nini? Siku ya tatu hii!” aliuliza Linda huku akionekana kushtuka.
“Nimepata safari ya kwenda Nevada.”
“Jamani! Sasa si nitakufa kwa mawazo?”
“Usijali mpenzi! Ni lazima tutafute hela popote pale zilipo,” alisema William, akamzugazuga na maneno mengine na kukata simu.
Ni kweli alikuwa na safari ya kwenda Las Vegas huko Nevada lakini hakujua ni kwa jinsi gani angemdanganya mpenzi wake. Alimwambia kwamba alikuwa na kazi kubwa alikuwa akienda kufanya huko, kwa Linda, hakukuwa na tatizo, ilikuwa ni siku ya tatu hakuwa ameonana naye lakini hakuwa na jinsi.
Hakwenda huko kikazi bali alikwenda huko kula maisha na msichana Cassey. Mpaka kipindi hicho hakukuwa na mtu aliyegundua kama wawili hao walikuwa wakitoka kimapenzi.
Kwenye Mtandao wa MeChat matangazo yake yalijaa, watu wengi walinunua kitabu chake pasipo kulipia kiasi chochote cha pesa. Walipofika Las Vegas, wakaenda kupanga kwenye hoteli kubwa na ya kifahari.
Hakukuwa na mtu aliyegundua kwamba mteja aliyekuwa na msichana Cassey alikuwa William ambaye alikuwa maarufu sana kwa kipindi hicho. Japokuwa alimwambia Linda kwamba angekaa huko siku mbili lakini zikaongezeka na kuwa wiki nzima.
Walicheza michezo yote ya kitandani huku kila mmoja akionekana kuwa na furaha. Siku ya kwanza ikapita, ya pili ikaingia, ya tatu na ya nne, bado hawakuondoka Las Vegas, waliendelea kula bata kama kawaida.
“Twende kwenye mgahawa tukanywe kahawa,” alisema Cassey.
“Kwa nini tusinywe humuhumu kama kawaida?”
“Tunakaa sana ndani mpenzi! Naomba twende,” alisema Cassey.
Ilikuwa ni saa tano ya usiku, hawakutaka kubaki ndani, William hakutaka kwenda huko lakini hakuwa na jinsi, akamshika mkono Cassey na kisha kuondoka ndani kuelekea huko. Alivalia kofia, alijua kwamba kusingekuwa na mtu ambaye angemuona na kumgundua.
Walipofika chini kwenye mgahawa, wakatulia na kuagiza kahawa. Humo ndani kulikuwa na watu wachache, walijua kabisa hakukuwa na mtu aliyekuwa akiwaona pale walipokaa, walijiachia, walikaa kimahaba kama wapendanao. Wakati mwingine walikuwa wakibusiana, walijisahau kabisa.
“Ninakupenda Cassey…” alisema William huku akimwangalia msichana huyo.
“Nakupenda pia,” alisema Cassey. Hapohapo akamsogelea usoni na kisha kuanza kubadilishana mate, wakati tukio hilo likiendelea, wakashtukia wakipigwa picha tano mfululilizo.
“Kwacha…kwacha…kwacha…” ilisikika milio ya kamera, walipomwangalia nani aliwapiga picha, wakamuona jamaa aliyevalia koti kubwa lililoandikwa kwa nyuma New York Times akiondoka, akaingia ndani ya teksi na kupotea. Alikuwa mwandishi wa habari wa gazeti hilo kubwa Marekani.

William alichanganyikiwa, hakujua ni mwandishi gani aliyempiga picha. Hakutaka kubaki mahali hapo, akatoka nje ya mgahawa ule kwa ajili ya kumfuata mwandishi huyo ila bahati mbaya sana teksi aliyokuwa amepanda ikapotea machoni mwake.
Moyo wake ukaanza kumfikiria mpenzi wake, Linda kwani alihisi kwamba iwe isiwe ilikuwa ni lazima habari ile kuchapishwa gazetini na hatimaye kumfikia Linda. Aliumia sana, hakutaka kuona hilo likitokea, hapo ndipo akaanza kujuta kwa kile alichokifanya, akatamani kuondoka haraka sana kurudi New York na kumuomba msamaha Linda ili hata kama habari ile itatoka basi kusiwe na maumivu makubwa kwa msichana huyo.
Akarudi ndani ya mgahawa, hakutaka kubaki mahali hapo, hakuwa sawa, na kila alipokaa, ni mawazo ya Linda ndiyo yaliyokuwa yakimjia kichwani mwake. Hakumwambia Cassey warudi ndani, alichokifanya ni kuchukua koti lake na kurudi ndani peke yake.
Akaingia ndani ya lifti, wakati ikijifunga tu, Cassey akatokea, akazuia na yeye kuingia ndani. Hawakuzungumza kitu chochote kile, Cassey hakuona kama huo ulikuwa muda muafaka wa kuzungumza na William ambaye alionekana kutokuwa sawa kabisa.
Walipofika katika ghorofa ya juu kulipokuwa na chumba walichochukua, wakateremka na kuelekea chumbani humo. Walipofika, William akajilaza kitandani huku akionekana kuwa na mawazo lukuki, kilichomuumiza kichwa ni kwamba Linda angechukuliaje kama angeona habari kuhusu yeye kuwa na mwanamke huko Las Vegas?
“William mpenzi….”
“Naomba uniache kwanza.”
“Nikuache kwa nini? Kwanza niambie ni kwa nini unakuwa na mawazo hivyo? Kisa picha?” aliuliza Cassey, alijifanya kushangaa.
“Kisa si picha, kisa ni Linda. Atajisikiaje akiziona hizo picha!” alisema William huku akionekana kuumia sana moyoni mwake.
“Basi itabidi tuwasiliane na waandishi, tuwahonge wasitoe habari hiyo,” alisema Cassey.
“Unawajua waandishi?”
“Ndiyo! Yule aliyetupiga picha anaitwa Shawn Gill, ni mwandishi wa kujitegemea ambaye anapenda sana kujifanya mwandishi wa New York Times,” alisema Cassey.
“Yule wa habari za kidaku?” aliuliza William kwani mwandishi huyo alikuwa maarufu sana kwa habari za kiaku hapo Marekani.
“Ndiyo huyohuyo!” alisema Cassey.
Hakukuwa na kingine alichokitaka zaidi ya kumwambia Cassey ampatie namba yake ili azungumze naye. Hilo halikuwa tatizo, akapewa namba ya Gill na kumpigia, simu iliita kwa sekunde chache na sauti ya mwanaume kusikika upande wa pili.
William akajitambulisha na kumwambia kwamba alitaka kuonana naye. Hilo lilikuwa gumu sana kwa Gill kwani aliamini kwamba habari aliyokuwa nayo ilikuwa kubwa ambayo kama angewauzia kampuni za magazeti basi angeweza kupata pesa nzuri sana.
“Kuonana haiwezekani!” alisema Gill.
“Gill! Wewe ni mwanaume kama mimi! Hivi utajisikiaje kama utaona mwanaume mwenzako nimeadhirika katika jamii? Utajisikiaje kusikia mpenzi wangu mjauzito kajiua kwa ajili ya habari uliyoichapisha! Unahisi ni kitu kizuri?” aliuliza William.
“Basi sawa. Tuonane! Ila utatakiwa kuzilipia!”
“Haina shida. Nitafanya hivyo ila ni lazima uje na kompyuta yako nihakikishe kwamba unazifuta baada ya kukulipa,” alisema William.
“Hakuna shida.”
Hakutaka kukaa sana, usiku huohuo alionana na Gill na kumwambia kwamba alihitaji kumlipa kisa cha dola elfu ishirini zaidi ya shilingi milioni arobaini kwa ajili ya kuizima habari hiyo. Kiasi hicho kilikuwa kidogo kwa Gill kwani aliamini kwamba kwa jinsi picha zile zilivyokuwa, maisha ya William yalivyokuwa ni lazima angelipwa kiasi kikubwa cha fedha.
“Hicho ni kidogo sana. Ongeza dau,” alisema Gill.
****
Mwandishi Gill alikuwa kwenye furaha kubwa, hakuamini kama alifanikiwa kupata picha za William akiwa na msichana bilionea, Cassey. Alisikia kwa kipindi kirefu kwamba watu hao wawili walikuwa kwenye uhusiano wa siri, alitaka kufuatilia kwani aliamini kwamba kama angekamilisha stori hiyo basi angepata pesa nyingi sana.
Aliposikia kwamba William alikuwa akielekea Las Vegas, Nevada aliamini kwamba kwa namna moja ama nyingine ilikuwa ni lazima kuwa na msichana huyo, hivyo akajilipia usafiri na kuelekea huko.
Alipofika, kwa kutumia watu wake waliokuwa hotelini wakampa taarifa hoteli aliyokuwa amefikia Cassey na kuamini kwamba naye William alikuwa hukohuko. Alichokifanya ni kwenda na kuchukua chumba katika hoteli nyingine ya jirani.
Alifanikiwa. Akaendelea kufuatilia kila siku kwenye hoteli ile mpaka kufanikiwa kuzipata picha hizo ambazo aliamini kwamba zingekuwa dili sana. Alipofika hotelini, kitu cha kwanza kabisa kilikuwa ni kuwapigia simu wahariri wa magazeti ya Independent na New York Times na kuwaambia kwamba alikuwa na habari ya William hivyo alihitaji kuambiwa ni kiasi gani angelipwa.
“Una picha zao?”
“Zipo! Tena nilizipiga kama mvua!”
“Daah! Njoo nazo. Tutakupa dola elfu tano!” alisema mhariri wa Gazeti la Independent.
“Dola Elfu tano tu?”
“Ndiyo! Tunatakiwa kuziona picha zenyewe kwanza. Zikiwa nzuri, dau linaongezeka.”
“Basi subiri.”
Akakata simu na kumpigia mhariri wa Gazeti la New York Times na kumwambia kuhusu habari hiyo na picha za kumwaga alizokuwa nazo. Ilikuwa habari nzuri ambayo kusingekuwa na mhariri yeyote yule ambaye angekataa kuzitumia picha na habari hiyo kwani kwa kipindi hicho huyo William ndiye alikuwa habari ya mjini.
Wakakubaliana malipo yawe dola elfu kumi. Kwanza haikuwa tatizo, alikubaliana naye na kumwambia kwamba angemtumia kwenye barua pepe yake kwa ajili ya kuzitoa. Wakati akiwa anasubiri, akapokea simu kutoka kwa William na kumwambia kuhusu hizo picha, alimuomba sana asizitoe kwani kama angefanya hivyo ingekuwa balaa.
Alichokifanya ni kupanga kuonana naye usiku wa siku hiyo. Alijua kwamba inawezekana William angemfanyia ubaya wa kumpokonya kompyuta yale ya mapajani na kuzifuta picha hizo huku akiwa na watu wake.
Alipolifikiria hilo, akaogopa hivyo kuzihamisha picha hizo na kuziweka katika barua pepe yake kama ulinzi zisiweze kupotea. Alipomaliza na kuhakikisha kwamba kwenye kompyuta yake, kadi ya kamera hakukuwa na hizo picha zaidi ya kwenye barua pepe yake tu, akawa huru kwenda huko.
Alipofika, akazungumza naye, japokuwa aliahidiwa kupewa malipo makubwa kwa ajili ya picha hizo lakini akakataa, akataka kiasi cha dola elfu hamsini ambazo zilikuwa ni zaidi ya shilingi milioni arobaini.
Kiasi hicho kilikuwa kikubwa hata zaidi ya alichoahidiwa na wahariri wa magazeti lakini hakutaka kuridhika, akahitaji kiasi kikubwa zaidi na hivyo kuanza kupanga tena malipo.
“Nitakupa dola elfu arobaini!”
“Naomba hamsini!”
“Gill! Mbona kiasi kikubwa hicho?”
“Hivi dola elfu hamsini na uhai wa mpenzi wako, kipi kitu muhimu?” aliuliza Gill.
“Gill! Nisaidie mimi mwanaume mwenzako!” aliomba sana William.
Wakati wakizungumza hayo mara kwa mara simu ya Gill ilikuwa ikiita, alikuwa akipigiwa na waandishi wa habari ambao waliihitaji sana hiyo habari kwani kwao, kama wangepewa picha basi ingekuwa nafuu kwao.
Gill akamuonyeshea William simu zile zilizokuwa zikiingia kutoka kwa waandishi mbalimbali, akaogopa na kuhisi kwamba kama asingempa kiasi cha pesa alichokuwa akikihitaji basi angekwena kuwauzia watu hao.
“Kwa hiyo hizo picha unazo hapo?” aliuliza William.
“Ndiyo! Nimeziweka kwenye barua pepe yangu! Huko ni sehemu salama kabisa,” alisema Gill.
“Umeziweka kwenye barua pepe?”
“Ndiyo!”
“Kwenye kompyuta yako hazijabaki?”
“Hakuna! Na kwenye kadi hakuna.”
“Kwa hiyo ulihisi ningekuvamia na kukuibia kamera au kompyuta yako?” aliuliza William huku akimwangalia Gill machoni, kidogo uso wa William ukaanza kutoa tabasamu kwani kitendo cha kuambiwa kwamba picha zile zilihamishwa kwenye kadi ya kamera na kompyuta na kuwekwa kwenye barua pepe ilimpa urahisi wa kuona kwamba iwe isiwe ilikuwa ni lazima kuingia kwenye barua pepe ya Gill na kuzifuta, kama alivyomfanyia Nicholaus.
“Nilihisi ningefanyiwa mabaya.”
“Basi wewe ni mpumbavu sana,” alisema William huku akimwangalia Gill.
“Mpumbavu?”
“Ndiyo! Tena yule wa kwanza kabisa.”
“Unamaanisha nini?”
“Wewe ni mpubavu Gill! Sizitaki tena picha hizo. Ukitaka kuwauzia waandishi wa habari kawauzie mpumbavu wewe,” alisema William.
“Unasemaje?”
“Kwani hujanisikia? Wewe ni mpumbavu sana. Umekalia kufuatilia maisha ya watu. Aya kazitoe hizo picha mjinga wewe. Hata ukiwapa waandishi wa habari, siogopi ng’oo,” alisema William kwa kiburi sana.
Gill hakuzungumza kitu, moyoni mwake aliumia sana, alikasirika kwani kitendo cha kutukanwa kilimkasirisha kupita kawaida. Akasimama na kuondoka, hakutaka kwenda hotelini, alikuwa na hasira lakini akahisi kama hasira hizo zilikuwa ndogo sana hivyo alichokifanya ni kupitia baa, akanywa pombe, hasira zikazidi na kuanza kurudi hotelini.
Njiani alizungumza na mhariri wa Gazeti la New York Times na kumwambia kwamba ndani ya dakika chache angemtumia picha za William zilizoonyesha kwamba alikuwa akitanua na msichana Cassey.
Alipofika chumbani, akaweka pombe alizozibakisha mezani kisha kuchukua kompyuta yake. Moyo wake ulikuwa na hasira kali mno, alitetemeka sana kwani maneno aliyoambiwa na William kwamba alikuwa mpumbavu yalimkasirisha pasipo kujua sababu iliyomfanya mwanaume huyo kumtukana namna hiyo.
Akaifungua kompyuta yake na kuiunganisha na huduma ya internet na kuanza kuifungua barua pepe yake ili azitume picha zile. Akaiingiza anuani na alipoingia neno la siri, ilikataa kufunguka kwa kuambiwa kwamba aliingiza neno la siri lisilokuwa lenyewe.
Hakuacha, alijua kwamba hilo hutokea mara kwa mara, alijaribu zaidi na zaidi, zaidi ya mara ishirini lakini barua pepe haikuweza kufunguka kitu kilichomuumiza sana moyoni mwake.
“Tatizo nini?” alijiuliza, ila kabla hajapata jibu, maneno ya William yaliyomwambia kwamba ni mpumbavu yakaanza kujirudia kichwani mwake, bahati nzuri zaidi, akatambua kwamba William aliyasema yale baada ya kusikia kwamba alizihifadhi picha zile kwenye barua pepe tu.
“Atakuwa amehacki barua pepe yangu!” alisema Gill huku macho yakianza kuwa mekundu na baada ya sekunde kadhaa yakaanza kutiririka mashavuni mwake.
Alijuta moyoni mwake kwa kumwambia William ukweli, alijilaumu na kujiona mpumbavu sana kwani hakutakiwa kuziweka picha zile kwenye barua pepe tu, tena hasa akipambana na mtu aliyeonekana kuwa hatari kwenye masuala ya kompyuta.
Baada ya saa moja kupita tena huku akijaribu kila wakati, barua pepe yake ikakubali kufunguka, alipokwenda katika faili alilohifadhia picha zile, hakuikuta picha hata moja. Hapohapo akayafumba macho yake na kuanza kulia, kiasi cha fedha alichokuwa ameahidiwa kikaota mbawa, na mbaya zaidi wahariri wakubwa wa magazeti waliotaka kununua habari ile na picha waliendelea kumpigia kama kumsisitiza kwamba walizihitaji picha hizo kuliko kitu chochote kile.
“Habari zenu jamani!” ilisikika sauti ya Dk. Sam kutoka nje ya chumba alicholazwa Godson.
Kibra aliyekuwa ndani ya chumba alicholazwa Godson akashtuka baada ya kusikia sauti kutoka nje ya chumba kile, tena baada ya hapo, kilichofuata kilikuwa ni sauti ya miguu iliyokuwa ikielekea kule chumba kilipokuwa.
Hakuwa amemchoma sindano Godson, alikuwa nayo kwenye koti, alichokitaka kwanza kilikuwa ni kumuua kitandani pale na kisha kumchoma sindano ionekane kama madaktari wa hospitali hiyo walikuwa wamehusika katika mauaji ya mwanaume huyo.
Hakutaka kubaki mahali hapo, aliogopa kwa kuhisi kwamba angekamatwa hivyo alichokifanya ni kukimbia kwa kupitia mlango wa nyuma na kumwacha Godson akiwa hoi huku akikohoa mfululizo kitu kilichompa maumivu makali.
“Vipi?” aliuliza jamaa mmoja baada ya kumuona Kibra akitoka mbio ndani ya chumba kile.
“Tusepeni! Kimenuka!” alisema Kibra.
“Kimenuka? Kivipi?”
“Twendeni!”
Hawakutaka kubaki mahali hapo, wakaondoka huku kila mmoja akionekana kuchanganyikiwa, walipoingia ndani ya gari, Kibra akawahadithia wenzake kile kilichotokea na ugumu aliokutana nao ndani ya chumba kile hata kabla ya kumuua Godson.
“Dah! Ndiyo tushashindwa aiseee,” alisema mwenzake huku akikishika kichwa chake kuonyesha kushindwa.
Mule ndani, Dk. Sam akaingia, alishangaa kumkuta Godson akikohoa mfululizo, alishangaa, ilikuwaje mpaka awe katika hali hiyo na wakati hakuwa akiumwa kikohozi. Kwa kutumia sauti yake yenye maumivu Godson akamwambia daktari kwamba kulikuwa na daktari mwingine aliyeingia ndani ya chumba hicho ambaye alitaka kumuua.
“Kuna daktari alitaka kukuua?”
“Ndiyo!”
“Daktari gani?”
“Simjui! Amekimbia kuelekea mlango wa nyuma,” alisema Godson na Dk. Sam kuelekea nje kwa kupitia mlango wa nyuma lakini hakuona mtu.
Dk. Sam akatoka ndani ya chumba kile, akaelekea nje na kuwauliza wakina Melania kama walimuona daktari yeyote akiingia ndani ya chumba kile. Walisema kwamba walimuona lakini hawakujua kama alikuwa daktari wa kweli au la.
Walimuelezea jinsi alivyokuja na kuingia ndani. Muonekano wake ulifanana na daktari na hivyo wote kuhisi kwamba alikuwa daktari. Hakutaka kuwaficha, aliwaambia ukweli kwamba mtu aliyekuwa ameingia ndani ya chumba hicho hakuwa daktari kama walivyohisi bali alikuwa mtu aliyetumwa kwa ajili ya kumuua Godson.
“Unasemaje?” aliuliza baba yake Godson.
“Kuna mtu alitaka kumuua ndani!”
“Nani? Kijana wangu?”
“Ndiyo mzee!”
Wakaingia ndani na kumkuta Godson akiendelea kukohoa. Walimuuliza kilichotokea na yeye akawaambia ukweli kwamba kulikuwa na daktari aliyekuwa ameingia ndani ya chumba kile kwa lengo la kumuua, aliwahadithia kila kitu kilichotokea.
Hapo wakapata majibu juu ya ajali iliyotokea kwamba kulikuwa na mkono wa mtu. Mazingira ya ajali kwa jinsi walivyohadithiwa wakaamini kuwa kulikuwa na mtu aliyeipanga ila hawakujua alikuwa nani.
“Hii ajali ilipangwa,” alisema baba yake Godson.
“Kwa nini?”
“Kutokana na mazingira ya ajali. Halafu hili lililotokea inaonyesha kabisa kuna mtu anataka kumuua mtoto wangu,” alisema baba yake Godson.
Kila mmoja alikuwa na uhakika kwamba inawezekana kulikuwa na mtu aliyetaka kumuua Godson hivyo ilikuwa ni lazima kuwasiliana na polisi na kuwaambia kwamba walihitaji ulinzi nje ya wodi hiyo kwani vinginevyo Godson angeweza kuuawa.
“Una chembechembe za ugomvi na mtu yeyote?” aliuliza polisi mmoja.
“Hapana!” alijibu daktari.
“Kweli?”
“Ndiyo! Sikuwahi kugombana na mtu, kuanzia kazini mpaka mtaani!” alijibu Godson.
“Mzee?”
“Hata mimi sijawahi! Sina ugomvi na mtu!”
Hawakujua kwamba mtu aliyekuwa akisababisha hayo alikuwa Melania, hawakuwahi kuhisi kwamba kulikuwa na mwanaume aliyekuwa na hasira kali za kutaka kuuchoma moyo wa Melania na kumfanya kulia kila siku.
Ulinzi ukaimarishwa mahali hapo, polisi mmoja akawekwa kwa ajili ya kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa mahali hapo. Hawakutakiwa kuogopa kitu chochote kile. Polisi yule aliyepewa jukumu la kulinda mahali hapo, alipewa nafasi ya kutembea hata ndani ya chumba kile kuhakikisha kwamba kila kitu kinakwenda kama kinavyotakiwa kwenda.
“Kidogo moyo wangu una amani,” alisema Melania kila walipokuwa wakimwangalia polisi ambaye alionekana kuwa makini hasa.
***
“Picha zisioni!” alisema Gill kwenye simu.
“Unasemaje?” aliuliza Mhariri wa Independent.
“Picha sizioni!”
“Wewe uliziwekea wapi?”
“Kwenye barua pepe yangu!”
“Sasa si uchukue kwenye kadi na uzitume tena.”
“Mkuu! Yaani nilizifuta kule kwani William alitaka kuzungumza nami.
“Kwa hiyo ukazitoa kwenye kadi moja kwa moja?”
“Ndiyo!”
“Wewe ni mpumbavu sana Gill.”
Gill alichanganyikiwa, alipoambiwa kwamba alikuwa mpumbavu, akakubaliana naye kwani kile alichokuwa amekifanya, hakuwahi kukifanya hata mara moja. Alikuwa na habari kubwa ambayo ingeifanya dunia kutetemeka lakini kwa upumbavu wake, hofu ya kutekwa na kupokonywa kamera ikamfanya kuzipoteza picha hizo.
Wakati yeye akijiona mpumbavu, William alijiona mjanja, moyo wake ulikuwa na furaha tele kwani aliamini kwamba kwa kupitia zile picha, kama kweli zingetolewa katika magazeti na mitandao ya kijamii hakika uhusiano wake ingevurugika sana.
Hakutaka kubaki Las Vegas, alichokifanya ni kurudi New York ambapo baada ya kukutana na mpenzi wake, Linda, akamkumbatia na kumuonyeshea ni jinsi gani alikuwa amemkumbuka katika kipindi alichokuwa mbali naye.
Ilikuwa ni vigumu kwa Linda kugundua kwamba mpenzi wake huyo alikuwa akimdanganya, alimuonyeshea mapenzi ya dhati, alimjali na hata namna alivyokuwa amemkumbatia, alionyesha ni jinsi gani alimkumbuka, alimg’ang’ania kama mtu asiyetaka kumwachia tena.
“Nimewakumbuka mpenzi wangu!” alisema William huku akiwa amemkumbatia Linda, tena kwa kumng’ang’ania kabisa.
“Tumekumbuka pia.”
William hakutaka kuchelewa, hapohapo akambeba juujuu na kumpeleka chumbani, walipofika, wakajitupa kitandani na kuanza kucheza michezo ya kiutu uzima. Sauti za mahaba zilisikika chumbani humo, Linda alimng’ang’ania William kitandani, hakutaka kumwachia kwani aliukumbuka utundu wake kitandani hapo.
Walichukua dakika arobaini, wakaachiana, wakalaliana tu na kupigana mabusu mfululizo huku William akimwambia Linda jinsi alivyokuwa akiichukia kazi yake kwani ilimfanya kuwa mbali naye na wakati hakutaka kuona hilo likitokea.
Hayo ndiyo maisha waliyokuwa wakiishi, mpaka mimba ya Linda inafikisha miezi nane, uhusiano wa siri kati ya William na Cassey ulikuwa ukiendelea kama kawaida. Walikuwa wakiwasiliana huku wakionana kwa siri sana kiasi kwamba hata waandishi wa habari waliokuwa bize kuwafuatilia na kuwanasa ilikuwa vigumu kuwaona wakiwa pamoja.
“Mpenzi! Kuna kitu nataka kuzungumza nawe,” alisema Cassey wakati akizungumza na William kwenye simu.
“Kitu gani?”
“Siwezi kukwambia kwenye simu. Naomba tuonane!” alisema Cassey.
Kuonana naye halikuwa tatizo, alichokifanya William ni kukodisha gari ya kawaida ambayo kama mtu mwingine angeiona asingeweza kugundua kama tajiri kama yeye angekuwa akiendesha gari hilo.
Akampigia simu Cassey na kumwambia kwamba alitakiwa kwenda katika Kituo cha Televisheni cha CBC kilichokuwa hapo New York, atakapofika huko, ajifanye anakwenda kumsalimia mtu humo na akitoka basi aingie kwenye gari lake atakalokwenda nalo.
Hilo halikuwa tatizo na ndiyo zilikuwa njia walizokuwa wakizitumia ili wasiweze kugundulika. Msichana huyo akaenda huko na alipokuwa akitoka, akaliacha gari lake na kulifuata gari alilokuwa William na kuingia ndani.
Kitu cha kwanza kabisa kilikuwa ni kupigana mabusu mfululizo, kila mmoja alimkumbuka mwenzake, walishikana hapa na pale, waliporidhika, wakatulia, William akaliondoa gari hilo mpaka katika sehemu iliyokuwa na bustani ya Riverside iliyokuwa Manhattan, hawakuteremka bali walitulia humohumo kwenye gari sehemu ya kuegesha magari.
“Aya! Niambie sasa,” alisema William.
“Shika hii!” alisema Cassey huku akimpa bahasha ya kaki William.
“Kuna nini mbona unanitisha?”
“Usiogope bwana.”
William akaichukua bahasha hiyo na kisha kuifungua, alichokiona hakukielewa, kilikuwa ni picha iliyopigwa kwa kutumia Utra-Sound. Alijaribu kuiangalia karatasi hiyo ya ‘magnetic film plate’ na kuona kitu ambacho hakukielewa.
“Ndiyo nini hii? Mimi sijasomea utabibu,” alisema William huku akiiangalia vizuri.
“Nilikwenda hospitali!”
“Ndiyo!”
“Nikapimwa na kuonekana kwamba nina ujauzito wako,” alisema Cassey.
“Unasemaje?”
“Nina mimba yako!”
“Mimba yangu?”
“Ndiyo!” alijibu Cassey huku akiachia tabasamu pana.
William hakuamini alichokisikia, hakujua kama kile kilichokuwa kikiendelea kilikuwa ndoto au kitu kilichokuwa kikitokea katika maisha yake halisi. Alimwangalia Cassey, alionekana kumaanisha kwamba alikuwa na mimba.
Msichana huyo alikuwa akionyesha tabasamu pana lakini kwa William hali ilikuwa tofauti kabisa. Hofu ikamjaa, mapigo ya moyo yakaongezeka kasi, mwili ukamtetemeka, japokuwa ndani ya gari lile kiyoyozi kilikuwa kikipuliza lakini kijasho chembamba hakikuacha kumtoka William.
“Unasema una mimba?”
“Ndiyo mpenzi! Bado daktari hawajajua ni jinsia gani lakini nitafurahi nikimpata wa kike,” alisema Cassey maneno ambayo yalionekana kama msumari wa moto moyoni mwa William.
William hakuwa na furaha hata kidogo, hakuwahi kutarajia kama angeweza kumpa mimba msichana huyo. Kichwa chake kilimfikiria mpenzi wake, Linda ambaye alikuwa naye mjauzito na baada ya mwezi mmoja walitarajia kupata mtoto wa kwanza.
Hakuwa na ndoto za kuzaa na mwanamke mwingine zaidi ya Linda. Akaegemea kiti chake na kuangalia juu, kadiri alivyoendelea kukaa ndani ya gari lile ndivyo alivyokuwa akiingiwa na hofu zaidi.
“Cassey!”
“Unasemaje mpenzi? Mbona unaonekana huna raha? Hutaki mtoto?” aliuliza Cassey.
“Nataka ila….”
“Ila nini?”
“Naomba ukaitoe mimba hiyo!”
“Unasemaje?”
“Naomba ukaitoe mimba hiyo!” alisema William huku akimwangalia Cassey.
“Nikatoe mimba?”
“Ndiyo!”
“Yaani nimuue mtoto wangu?”
“Bado hajawa mtoto!”
“Hicho ni kitu kisichowezekana hata kidogo!”
“Cassey.”
“Nimesema hivi! Nilikuwa nahitaji sana kuzaa na wewe, nimefanikiwa kubeba mimba yako! Kuitoa, sahau kabisa maishani mwako. Sitoweza kuitoa na sitofikiria kuitoa hata mara moja,” alisema Cassey huku akionekana kuwa na hasira kwani hakutegemea kama William angemwambia maneno kama hayo. Alichokifanya ni kufungua mlango wa gari na kutoka huku akionekana kuwa na hasira kupita kawaida.
“I am fuckin dead..” (nimekwisha…) alisema William huku akilalia usukani wa gari lile.
ITAENDELEA

FUTA MACHOZI MPENZI – 3 RIWAYA YA UPELELEZI

Related image

Simulizi : Futa Machozi Mpenzi
Sehemu Ya  Tatu (3)

Wazazi wakachanganyikiwa, hawakujua ni kitu gani kilikuwa kimetokea mpaka Melania kuanguka chini kama mzigo. Wakamsogelea, pale chini alipokuwa alikuwa kimya kabisa. Kila mmoja akashangaa, wakachukua simu na kuanza kuzungumza na mtu aliyekuwa upande wa pili ambaye aliwaambia kwamba kulikuwa na ajali mbaya ya gari ilikuwa imetokea na mtu aliyekuwa na simu hiyo alikuwa hoi.
Hawakutaka kuchelewa, wakamchukua Melania na kumpeleka nje ambapo wakampandisha ndani ya gari na kuanza kumpeleka hospitali. Njiani, walijaribu kumpa huduma ya kwanza lakini msichana huyo hakuweza kuzinduka.
Hawakuchukua muda mrefu wakafika katika Hospitali ya Maria iliyokuwa Msasani, wakagawana, wengine wakaelekea katika Hospitali ya Palestina alipokuwa amelazwa Godson.
Walipofika na kuulizia mapokezi, wala halikuwa jambo gumu kumpata kwani tukio hilo lilitokea muda mchache uliopita na ilikuwa ajali mbaya. Wakaelekezwa katika wodi aliyokuwepo na kuambiwa kusubiri.
“Anaendeleaje?” aliuliza baba yake Godson.
“Bado hali yake si nzuri! Naomba mtuache kwanza,” alisema daktari kwa harakaharaka kama mtu aliyekuwa akiwahi kitu fulani.
Walikuwa wakijaribu kuyaokoa maisha ya Godson, alikuwa kwenye hali mbaya, kichwa chake kilichanika mpaka kuzifanya damu kuanza kutoka puani mwake. Watu walishangaa, mbali na kupasuka huko kichwa, bado mwili wake ulikuwa umechunika na kifuani alikuwa na kovu kubwa kwani alipotolewa dirishani, alitolewa nje kupitia kioo cha mbele na kifua chake kuwa kitu cha kwanza kilichofika kwenye barabara ya lami.
“Atapona?” aliendelea kuuliza baba yake huku machozi yakianza kumtoka.
Walisubiri mpaka baada ya saa mbili ambapo Bi Pamela na mama yake Godson walipofika mahali hapo ambapo wote kwa pamoja walikuwa wakilia tu. Hakukuwa na mtu aliyeruhusiwa kuingia ndani kwani hali aliyokuwa nayo Godson haikuwa nzuri hata kidogo.
Baada ya kukaa hapo kwa saa mbili, mlango ukafunguliwa na dakjtari mmoja aliyevalia koti kubwa kutoka huku uso wake ukionyesha kwamba kulikuwa na hali mbaya sana humo ndani alipotoka.
“We want to see him, how is he?” (tunahitaji kumuona, anaendelea?) aliuliza mama yake Godson huku akifuta machozi yake kwani kama kulia, alilia sana.
“Hali yake si nzuri, ni lazima tumuhamishe hospitali na kumpeleka Muhimbili,” alijibu daktari huyo, wakati anaongea, mlango ukafunguliwa, Godson alikuwa kimya juu ya machela, ikaanza kusukumwa kuelekea nje ambapo tayari gari la wagonjwa lilikuwa mahali hapo.
“Godson…Godson kijana wangu…” aliita mama yake Godson huku akilia kama mtoto, wakati akisema maneno hayo, tayari aliiwahi machela na kutaka kumuamsha kijana wake aliyekuwa kimya kabisa.
“Mama! Subiri tumuwahishe hospitali,” alisema daktari huku manesi wakimsogeza pembeni.
Safari ya kuelekea katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ikaanza, kila mmoja alikuwa na hofu kwamba hiyo ingekuwa nafasiu ya mwisho kwa Godson kwani kwa jinsi alivyokuwa ameumia, kwa jinsi mwili wake ulivyofungwa bandeji zilizokuwa zimelowanishwa damu, ilionyesha kabisa kwamba asingeweza kuinuka tena pale kitandani alipokuwa.
****
Moyo wa Nicholaus ulikuwa kwenye maumivu makali, hakuamini kama kweli msichana Melania alimkomoa kwa kuzifuta picha zile katika simu yake na kwenye barua pepe yake. Alikasirika mno, moyo ulimuuma na kila wakati alipokuwa akilifikiria jina la msichana huyo, alihisi kuwa na moyo wa kutaka kulipiza kisa kwa kile alichokuwa amekimfanyia.
Siku za kwanza hakulala, aliumia, alitamani kuondoka Australia na kwenda Tanzania kwa ajili ya kumkomesha msichana huyo. Moyo wake ulibadilika, mapenzi aliyokuwa nayo kwa msichana huyo yakapotea na chuki kubwa kuutawala moyo wake.
Hakuonekana kuwa na raha, alikaa huku akionekana kuwa na mawazo tele, kwake, kwa kile kilichokuwa kimetokea kilionekana kuwa kama dharau hivyo ilikuwa ni lazima kuhakikisha kwamba anamkomoa msichana huyo
Aliendelea kusoma nchini Australia na mwaka mmoja ulipomalizika, akarudi nchini Tanzania. Hakutaka kumtaarifu mtu yeyote, hakutaka kuwaambia wazazi wake kwani alirudi kwa ajili ya kufanya kazi ya kulipa kisasi tu kwa msichana Melania.
Akaanza kumfuatilia, akagundua kwamba msichana huyo alikuwa kwenye uhusiano na mwanaume mwingine, moyo wake ulimuuma, hakutaka kuona Melania akiwa kwenye uhusiano wowote ule, hivyo akapanga kummaliza mwanaume huyo.
Kitu cha kwanza kilikuwa ni kumfuatilia, alitaka kujua anapoishi, hilo halikuwa tatizo, akagundua kwamba jamaa huyo alikuwa akiishi Mbezi Beach hivyo kuhitaji msaada kutoka katika Kundi la Black Ninja lililokuwa na makazi Kinondoni kwa ajili ya kukamilisha kazi hiyo.
“Kitu cha kwanza tunahitaji kumjua huyo mtu,” alisema kiongozi wa kundi hilo aliyejiita Don King.
“Hakuna tatizo!”
Akawachukua vijana wa kundi hilo na kwenda nao mpaka Mbezi Beach ambapo wakaanza kumsubiria Godson nje ya nyumba yao, alipotoka ndani ya jumba hilo, vijana wawili wakamfuata, wakalisimamisha gari lake na kuanza kuzungumza naye.
“Hivi kwa mzee Mkude ni wapi?” aliuliza kijana mmoja, huyu alijiita Dracula.
“Mzee Mkude? Wala simfahamu mtu huyo,” alijibu Godson huku akionekana kutokuwa na hofu kabisa na watu hao.
“Humfahamu kweli? Mzee mmoja ana mbwa kumi, tumesikia anaishi huku,” alisema kijana mwingine aliyejiita Lizard.
“Wala simfahamu!”
“Basi sawa. tunashukuru!”
Hawakuoneekana kama watu wabaya, waliongea huku wakiwa na uhakika kwamba waliyekuwa wakiongea naye alikuwa Godson, mtu aliyekuwa akihitajika sana. Kazi yao kwa wiki nzima ilikuwa ni kumfuatilia, walitaka kuhakikisha wanafanikiwa kumuua kama walivyotakiwa kufanya.
Baada ya siku kadhaa kukatika, ndipo wakaandaa gari lao kubwa aina ya Lori, walikuwa na ratiba yake nzima, walijua kila siku alipokuwa akiamka, breki ya kwanza ilikuwa ni kwenda kazini na jioni alikuwa akielekea gym kabla ya kurudi nyumbani na baada ya hapo anakuwa na mizunguko kadhaa.
Walichokifanya, kwa kuwa alikuwa akifanya kazi katika Kampuni ya Amazon iliyokuwa katika jengo la Plaza, Ubungo, wakajua kwamba kila siku ilikuwa ni lazima kupitia Barabara ya Shekilango kwenda gym iliyokuwa Mwenge, hakutaka kupita Barabara ya Morogoro na kuunganisha Barabara ya Sam Nujoma kwa kuwa kulikuwa na foleni.
Walimfuatilia na siku hiyo ndipo walipojipanga. Wakaliweka lori lao maeneo ya Sinza Mori na wengine wakawa wanafuatilia kwa nyuma. Walipofika Palestina wakamwambia jamaa aliyekuwa na lori ajiandae na wale waliokuwa na Godson, mmoja akalipeleka gari lake aina ya coaster mbele ya gari la mwanaume huyo na mwingine akiwa nyuma, wakamuweka mtu kati, ili asione kile kilichokuwa kikija mbele na hata gari lililokuwa likija nyuma.
Godson hakujua kilichokuwa kikiendelea, hata gari lilipofika Sinza Makaburini, hakuweza kuliona lori lililokuwa likija kwa kasi kule mbele yake. Wakati lori lile likiwa limechochewa, kasi kubwa, alichokifanya dereva wa coster iliyokuwa mbele ni kukata kona kushoto, njia ya kuelekea katika Baa ya Honey Pot na kumwacha Godson peke.
Godson alishtukia kuliona lori likiwa mbele yake, alijitahidi kutaka kulikwepa lakini hakufanikiwa, liri lile lililokuwa kwenye mwendo wa kasi likalipiga gari lake, kishindo kikubwa kikasikika, watu wakashika vichwa, Godson akatolewa ndani ya gari, akapiga kichwa kwenye kioo cha mbele cha gari lake, kikavunjika, akatupwa nje na kujipigiza kwenye lami, hakujua kilichoendelea baada ya hapo, akabaki kimya kabisa, kila mtu akajua kwamba tayari jamaa alikufa hapohapo.
****
“Tell me the truth, Caspian, tell me the truth,” (niambie ukweli, Caspian niambie ukweli) alisikika msichana mmoja kwenye simu.
“What do you want me to tell you?” (unataka nikwambie nini?)
“Who is this Christine?” (huyu Christina ndiye nani?)
“I don’t know what you are talking about,” (sijui unazungumzia nini)
“I saw messages, you were chatting with her,” (nimeona meseji ulikuwa unachati naye)
“You are not serious,” (huna uhakika)
“I saw it! Let me show you,” (niliona! Acha nikuonyeshee meseji zote)
Ilikuwa kimbembe, kila kona watu walikuwa wakigombana, siri zilikuwa wazi, wale waliokuwa wakitumia mtandao wa Facebook, hakukuwa na amani tena. Meseji zao zote zilikuwa nje, hakukuwa na siri tena, watu walishindwa kuelewa ni kitu gani kilichokuwa kimetokea.
Wale waliofanya siri, siku hiyo kila kitu kilikuwa wazi kabisa. Hakukuwa na amani, meseji zote za kimapenzi zilikuwa nje. Mbali na meseji hizo, mpaka picha za watu walizotumiana zilionekana kwenye wall zao.
Hakukuwa na mtu aliyekuwa na uwezo wa kuzifuta meseji wala picha hizo. Watu walilalamika mno, hawakujua ni kitu gani kilikuwa kimetokea. Watumiaji wa mtandao huo wakachanganyikiwa, watu wakajua kwamba kulikuwa na mabosi waliokuwa wakilala na wafanyakazi wao, kulikuwa na wanaume waliokuwa wakilala na watoto wao, yaani kila siri ambayo ilikuwa katika mtandao wa kijamii wa Facebook, kipindi hicho ilikuwa wazi.
“Unalia nini?”
“Kumbe unatembea na rafiki yangu!”
“Hapana mpenzi! Nani kakudanganya?”
“Na mlitumiana picha za utupu!”
“Hapana! Nani kakwambia hayo?”
“Ingia Facebook!”
“Kuna nini kwani? Unanichanganya sana.”
“Nimesema ingia. Julian, sitaki unioe, sitaki tena ndoa, kumbe unatembea na rafiki yangu, tena si huyo tu, marafiki zangu wote umewatongoza, kwa nini? Kwa nini ulilala nao? Halafu leo unasema unataa kunioa? Kwa nini umeuumiza moyo wangu?” alilalamika msichana mwingine.
Hali iliendelea kuwa mbaya, kila kona kulikuwa na matatizo. Meseji zao za siri zilikuwa wazi, kila mmoja alikuwa na uwezo wa kuingia kwenye akaunti ya mtu yeyote na kufanya kitu chochote kile kikiwa ni kuangalia meseji zote ambazo waliwasiliana.
Wale waliokuwa kwenye mipango ya kuoana, hakukuwa na ndoa tena, siri zilivuja kwamba wanandoa waliotarajiwa kufunga ndoa, kumbe walikuwa na mahusiano ya kimapenzi na watu wengine.
Ilikuwa ni kilio dunia nzima, hakukuwa na usalama, kila siri ikawekwa wazi na hakuna aliyejua ni jambo gani lilikuwa limetokea.
Wakati hayo yakiendelea, ndani ya jengo la Kampuni ya Facebook watu walikuwa wamechanganyikiwa, hawakujua ni kitu gani kilikuwa kimetokea mpaka hali hiyo kutokea.
Kuingiliwa kwa mtandao wao na meseji kusomwa, watu wengi walijiua, ilikuwa ni aibu kubwa, wengine wakagundulika kwamba walikuwa wakifanya mapenzi ya jinsia moja, yaani kila kitu kilichokuwa siri kwenye Mtandao wa Facebook, kwa kipindi hicho kilikuwa wazi, na kila mtu akikiona zikiwemo meseji na picha mbalimbali za utupu walizokuwa wametumiana.
Hakukuwa na aliyejua kitu kilichokuwa kimetokea, hali ilikuwa mbaya, kila mtu aliyekuwa na akaunti katika Mtandao wa Kijamii wa Facebook alikuwa akilalamika huku kukiwa na taarifa za ndoa nyingi kuvunjika.
Mark Zuckerberg alichanganyikiwa, hakujua ni kitu gani kilikuwa kimetokea, marafiki zake walimsumbua kwenye simu kwa kumlalamikia kuhusu kile kilichotokea katika mtandao wake.
Harakaharaka kikao cha dharura kikaitishwa, vijana waliopewa jina la Pastors, yaani wachungaji wakaitwa kwa ajili ya kujadili ni kitu gani kilikuwa kimetokea. Vijana hao hawakuwa wachungaji hasa, ila walikuwa ni watu waliokuwa na mawazo ya nini cha kufanya katika mtandao huo, mawazo yao yanapokuwa mazuri, hupelekwa kwa The Man ambaye yeye ndiye hutengeneza kwa kutumia utaalamu wake.
Si Zuckerberg tu aliyechanganyikiwa, kila mtu alionekana kutokuwa sawa. Ndani ya dakika kumi tu, tayari kulikuwa na malalamiko kila kona, tayari wapenzi waliachana, ndoa zilivunjwa na hata baadhi ya kampuni zilianza kufanya mikakati ya kulishtaki kampuni hiyo ambayo ilikuwa chini ya Zuckerberg.
Kwenye chumba cha kikao, kila mtu alikuwa kimya, meneja, Peters alichanganyikiwa, muda mwingi alikuwa akimwangalia The Man ambaye naye pia alionekana kuwa na hofu kubwa.
Walijua kwamba wao ndiyo waliosababisha hali hiyo, The Man ambaye ndiye alikuwa mtaalamu wa mtandao huo alitaka kuuzima Mtandao wa MeChat lakini matokeo yake akashtuka kuona link za mtandao huo zikiingiliwa na virusi ambavyo hakujua vilitoka wapi, vikaanza kutafuna codes na mwisho wa siku meseji za siri za watumiaji wa mtandao huo kuwa wazi.
Wakati kila mmoja ndani ya chumba hicho akimwangalia mwenzake, mlango ukafunguliwa na Zuckerberg kuingia. Kama kawaida yake, alivalia pensi fupi, raba na fulana ya bluu iliyoandikwa Facebook kwa mbele.
Alipofika, akawaangalia watu wote kumi na nane waliokuwa humo ndani, uso wake ulionyesha ni kwa jinsi gani alichanganyikiwa, alipokea simu nyingi za vitisho ambazo zilimfanya kuona muda wowote ule angefilisiwa kutokana na fidia kubwa walizokuwa wakizitaka watu wengi kulipwa kwa kile kilichotokea.
“Nini kimetokea?” lilikuwa swali la kwanza alilowauliza watu hao.
“Hata sisi hatujui!” alisema meneja.
“Haiwezekani! Haiwezekani mseme hamjui. The Man, nini kimetokea?” aliuliza bosi huyo.
The Man akabaki kimya, alitamani kumwambia kile kilichotokea lakini moyo wake ulisita kufanya hivyo. Alikiinamisha kichwa chake chini, alikuwa na mambo mengi ya kuongea lakini hakujua angechukuliwaje, hakujua bosi huyo angeweka uamuzi wake.
“Mimi ndiye niliyehusika,” alisema The Man maneno yaliyomfanya kila mtu kushtuka.
“Unasemaje?”
“Mimi ndiye nimesababisha haya!”
“Kivipi?”
“Nilitaka niuzime mtandao wa MeChat kama nilivyofanya kwa mingine kwani nilihisi kwamba ungekuwa juu zaidi yetu, watu wangeupenda zaidi ya mtandao wetu,” alisema The Man, maneno aliyokuwa akiyazungumza mahali hapo, kila mmoja alibaki akishangaa.
“Kwa nini uliamua kufanya hivi? Mimi siogopi ushindani The Man, napenda kuona nikiingia kwenye ushindani kwa sababu ndiyo njia nyepesi ya kudhihirisha wewe ndiye bora, sasa hautaki ushindani, unataka kuwa juu kila siku, ni lini utakua bila ushindani?” aliuliza Zuckerberg huku akimwangalia The Man.
“Naomba unisamehe bosi!”
“Nakupa kazi moja. Ndani ya saa mbili, ninataka kila kitu kirudi kama zamani. Wachungaji, fanyeni kazi ya kubuni kipi kifanyike kuwaomba msamaha watumiaji wa mtandao huu. Mkimaliza, mpeni The Man akifanyie kazi na kuwatumia watu. Nataka hilo lifanyike ndani ya masaa mawili tu,” alisema Zuckerberg na kukifunga kikao hicho.
****
William aliusukuka mtandao wake vilivyo, alijua fika kwamba mara baada ya kuuachia hewani ilikuwa ni lazima watu wengine wajaribu kuuingia na kuufanya walivyotaka wao. Aliufanya uwe na muonekano rahisi na wakati haukuwa na urahisi wowote ule.
Aliviweka virusi vyake kwa ajili ya kuulinda mtandao huo na ndiyo maana hata The Man alipojaribu kuuingia na kufanya mambo yake, akashtukia kuona link ya mtandao wa Facebook zikichukuliwa, virusi vikaenda katika data base ya mtandao huo na kuvuruga kila kitu.
Alifanikiwa kwa kiasi kikubwa, baada ya Facebook kuonekana kutokuwa na usalama wowote ule, watu wengi wakauhama na kuhamia katika Mtandao wa MeChat ambao ndani ya siku chache tu tayari ulikuwa na watumiaji milioni mia moja.
Yalikuwa ni mafanikio makubwa ndani ya siku chache, William akaanza kuingiza kiasi kikubwa cha fedha, akawa mtu maarufu na aliyeheshimika kila kona. Alipendwa, kila mmoja aliona kwamba mtu huyo alitakiwa kuwa kwenye nafasi ya juu kabisa katika ulinzi wa nchi yao.
Wakati hayo yote yakiendelea, Borya alikuwa akiwasiliana na watu wake. Kila mmoja alitaka kuona mtu huyo akitekwa na kupelekwa nchini Urusi haraka iwezekanavyo, hawakuwa na muda wa kusubiri zaidi kwani kwa jinsi alivyokuwa akiendelea kukaa chuoni ndivyo Wamarekani wangeendelea kujiwekea uhakika kwamba mtu huyo alikuwa mtu wao.
“Umefikia wapi?” aliuliza jamaa mmoja kutoka Urusi, walikuwa wakizungumza kwenye simu.
“Bado naendelea.”
“Unachelewa sana Borya. Hatuna muda, ni lazima tufanye harakaharaka. Leo, saa nne usiku, kutakuwa na sherehe ya uongo ya kuzaliwa ya msichana Catherine, nenda naye mpaka kwenye Ukumbi wa Cassanova na umwambie kwamba huyo Catherine ni rafiki yako. Mkifika huko, mpe maji anywe kwa wingi ili ashikwe na haja ndogo na kwenda chooni kujisaidia. Huko atakutana na watu ambao watamteka kwa kumnusisha kitambaa chenye dawa za usingizi,” alisikika jamaa huyo kwenye simu.
“Sawa mkuu!”
“Hakikisha unafanya hilo kwa manufaa ya serikali yako!”
“Hakuna shida.”
Alichoambiwa ndicho alichokifanya. Siku hiyo usiku akamwambia William kwamba kulikuwa na msichana ambaye ni rafiki yake alikuwa na akifanya sherehe ya kuzaliwa katika Ukumbi wa Cassanova hivyo kama wangekwenda huko lingekuwa suala jema.
Mara ya kwanza William alitaka kukataa lakini akahisi kwamba kama angefanya hivyo, rafiki yake huyo angejisikia vibaya hivyo kukubaliana naye kishingo upande.
Akamwambia Linda kwamba angerudi muda si mrefu kwani hakutegemea kukaa sana huko. Linda akakubaliana naye na hivyo kwenda huko. Ndani ya gari, walikuwa wakizungumza kwa furaha sana, ilikuwa vigumu kuhisi kwamba nyuma ya sherehe hiyo kulikuwa na mpango kabambe wa kuhakikisha William anatekwa na kupelekwa Urusi haraka iwezekanavyo.
“Borya! Sikutokuwa na muda sana, nitahitaji kupumzika,” alisema William.
“Haina shida. Mimi mwenyewe nakwenda kwa sababu namuheshimu sana Catherine, vinginevyo nisingekwenda,” alisema Borya,
Hawakuchukua muda mrefu wakafika katika ukumbi huo. Nje, kulikuwa na watu wengi, walikuwa Warusi na hao wote walikuwa wamepangwa kwa ajili ya kuhudhuria sherehe hiyo huku wakitakiwa kuhakikisha kwamba William anatekwa na kuondolewa mahali hapo kwenda kufichwa.
Aliandaliwa daktari ambaye alitakiwa kumchoma sindano William ya kumfanya ashindwe kuzungumza kitu chochote kile, mbali na hilo, pia kulikuwa na mtu maalumu ambaye alitakiwa kumvarisha sura ya bandia, yaani akichomwa sindano na kushindwa kuzungumza, kesho yake asafirishwe kwenda nchini Urusi, na uwanja wa ndege waambiwe kwamba mtu huyo alikuwa mgonjwa, na kwa sababu William asingekuwa na uwezo wa kuzungumza, basi iwe rahisi kwao kumsafirisha.
“Wewe ni William?” aliuliza msichana mmoja wa Kirusi.
“Ndiyo mimi!” alijibu William huku akitoa tabasamu pana.
“Hongera sana. Umetufanya tuunganike pamoja kwenye mtandao wako,” alisema msichana yule huku akipekua kwenye mkoba wake na kutoa kamera, akamuomba wapige picha pamoja.
“Hakuna shida.”
“Nicola…Njoo tupige picha na William,” alisema msichana huyo huku akimuita rafiki yake ambaye akaungana naye na kupiga picha kadhaa.
Ilikuwa ni vigumu kugundua kwamba kila kitu kilichokuwa kikiendelea hapo kilipangwa. William hakutakiwa kuhisi kitu chochote kile na hata hao wasichana, wote walipangwa kufanya kile walichokuwa wamekifanya.
Baada ya picha kadhaa, wakaingia ndani. Huko, kila mtu alikuwa bize na mambo yake, hakukuwa hata na mtu aliyemwangalia William kana kwamba mtu huyo hakuwa ndani ya ukumbi huo.
Kulikuwa na pombe nyingi, William hakutaka kunywa pombe, alihitaji maji hivyo kuletewa na kuanza kunywa taratibu. Japokuwa walipanga kukaa humo kwa saa moja lakini wakajikuta wakikaa kwa saa nyingi zaidi.
“Nakuja…” alisema William.
“Unakwenda wapi?”
“Chooni! Nakuja sasa hivi!” alisema William na kwenda chooni kwani maji mengi aliyokuwa akinywa, yalimfanya kuhisi mkojo hivyo kwenda kujisaidia.
“Kazi imekamilika,” alijisemea Borya huku akinyanyua mikono juu kama mtu aliyefunga goli na kushangilia, wenzake wote waliokuwa mule, wakacheka kwani kazi waliyoitiwa, ilikuwa imekamilika.
William akaingia chooni, akaanza kujisaidia, Hakuwa peke yake, kulikuwa na watu wengine. Hakuhisi kama watu hao walikuwa wabaya, walionekana kuwa watu wazuri tu, wakati akijisaidia, mwanaume mmoja, mwenye mwili mkubwa akasogea kule alipokuwa.
Bado hakuwa na hofu lakini ghafla akashtukia akishikwa kwa nguvu, mwanaume mwingine akatokea, akamuwekea kitambaa cheupe puani, alipoanza kuvuta pumzi wakati kitambaa hicho kikiwa puani, hapohapo mwili wake ukaanza kukosa nguvu, akalegea, akaona giza mbele yake, akalala, na kilichoendelea baada ya hapo, hakukijua.
****
Gari la kifahari lilipaki nje ya ukumbi wa Cassanova, muziki ulikuwa ukisikika kwa sauti kubwa kutoka ndani ya gari lile, hakukuwa na mtu aliyezungumza lolote lile, wengi walihisi kwamba watu waliokuwa ndani ya gari hilo nao walitaka kuingia ndani ya ukumbi huo lakini haikuwa hivyo.
Gari hilo halikuondoka, liliendelea kubaki mahali pale mpaka baada ya nusu saa, yaani dakika kadhaa baada ya William na Borya kuingia ukumbini, milango ya gari ile ikafunguliwa na wanaume wawili kuteremka.
Walikuwa Waarabu, walivalia suti kali nyeusi, nyusoni mwao walikuwa na miwani, muda wote walikuwa wakitabasamu, wakaanza kupiga hatua kuelekea katika ukumbi ule.
Walipofika mlangoni, wakazuiliwa na mabaunsa waliokuwa mlangoni, hawakuwataka watu hao waingie humo, wakawaambia kwamba sherehe hiyo haikuwahusu hata kidogo.
“Ila tulialikwa!” alisema jamaa mmoja.
“Na nani?”
“Catherine!”
“Anawajua?”
“Sasa angetualika kama hatujui?” aliuliza jamaa mmoja.
“Basi hamruhusiwi kuingia!”
“Kwa nini sasa?”
“Kwa sababu haiwahusu!”
Waarabu wale hawakutaka kukubali, bado walisisitiza kwamba walitaka kuingia ndani ya ukumbi huo kwa sababu walikuwa wamealikwa. Warusi hao hawakujua watu hao walijuaje kama siku hiyo kulikuwa na sherehe ya kuzaliwa ya msichana Catherine, hawakuwa na uhakika kwamba Waarabu hao walialikwa kweli au la.
Wakawasiliana na watu wa ndani na kuwaambia waende pale nje ambapo wakawaambia kuhusu watu hao, na alipoitwa huyo Catherine wa bandia akasema kwamba hakuwatambua watu hao.
“Siwafahamu!” alisema Catherine huyo.
“Sasa mualiko tulipata wapi?”
“Hata mimi sijui! Labda siyo Catherine mimi!” alisema msichana huyo.
Waarabu wale hawakutaka kubaki mahali hapo, walichokifanya ni kuondoka na kurudi ndani ya gari lao. Nyuso zao zilikuwa kwenye tabasamu pana, walipewa kazi, ilionekana kuwa ngumu lakini baada ya dakika kadhaa za kukaa nje ya ukumbi huo, kazi hiyo ikaonekana kuwa nyepesi, kilichokuwa kimebaki kilikuwa ni utekelezaji tu.

Baada ya kupita saa kadhaa, Melania akarudiwa na fahamu pale kitandani alipokuwa. Kitu cha kwanza kabisa kilikuwa ni kulitaja jina la Godson. Aliangalia huku na kule, alitaka kufahamu mahali alipokuwa, aliona akiwa juu ya kitanda huku kukiwa na dripu iliyokuwa ikining’inia.
Kwa jinsi muonekano ulivyokuwa ndani ya chumba kile, akagundua kwamba alikuwa hospitalini. Alifikaje? Hakujua, na kama aliletwa mahali hapo, alikuwa akiumwa nini na kwa nini mpenzi wake hakuwepo? Hakupata jibu.
Baada ya kukituliza kichwa chake kwa dakika kadhaa ndipo kumbukumbu zikaanza kumrudia. Akakumbuka namna alivyopigiwa simu na kupewa taarifa kwamba mpenzi wake alikuwa amekufa.
Hapohapo alipokuwa, akaanza kulia huku akiliita jina la mpenzi wake, Godson. Moyo wake uliumia mno, hakuamini kama alikuwa akipita katika kipindi kigumu kama hicho. Huku akiwa analia, nesi mmoja akaufungua mlango wa chumba hicho na kumfuata Melania aliyekuwa hapo kitandani.
“Godson yupo wapi? Mpenzi wangu yupo wapi?” aliuliza Melania huku akimwangalia nesi huyo ambaye alikuwa akimtuliza anyamaze kwani hapo alipokuwa palikuwa hospitalini.
Alihisi maumivu makali moyoni mwake, moyo wake ulimwambia kwamba mpenzi wake alikuwa amekufa na ndiyo maana alipigiwa simu na kupewa taarifa. Alitaka kuondoka hospitalini hapo, hakutaka kuendelea kubaki na wakati hakujua hali ya mpenzi wake ilikuwaje.
Kuondoka halikuwua jambo jepesi, akaambiwa atulie mpaka pale atakaporuhusiwa kwani hali yake haikuwa nzuri kama ilivyotakiwa kuwa. Alikaa hospitalini kwa saa kadhaa ndipo mama yake aliporudi kumjulia hali.
Alipomuona tu, akaanza kulia, alimwambia mama yake jinsi moyo wake ulivyokuwa kwenye maumivu makali baada ya kusikia taarifa za kifo cha mpenzi wake, Godson. Hapo ndipo mama yake, Bi Pamela akaanza kumbembeleza na kumtaka anyamaze kwani Godson hakufa kama alivyosikia bali alikuwa hospitali akipatiwa matibabu./
“Mama! Niambie ukweli!”
“Godson hajafa mpenzi! Ni mzima ila madaktari wanaendelea kumpatia matibabu!” alisema Bi Pamela.
Hakukuwa na kitu alichokihitaji Melania kama kumuona mpenzi wake. Hakukaa sana hospitalini, alipotolewa, kitu cha kwanza kilikuwa ni kwenda hospitalini huko kwa ajili ya kumuona Godson.
Walipofika, wakaambiwa wasubiri, wakaungana na wazazi wa mwanaume huyo na kuambiwa wasubiri. Muda wote Melania hakuonekana kuwa na furaha, alionekana kuumia mno moyoni mwake.
Walisubiri kwa siku nzima, wakaambiwa kwamba siku hiyo wasingeweza kumuona hivyo walitakiwa kurudi siku nyingine. Wakaondoka huku wakiwa wamenyong’onyea, nyumbani, Melania alikuwa na hali mbaya, hakula, hakulala, hakufanya kitu chochote kile zaidi ya kukaa na kumfikiria mpenzi wake.
Ilipofika saa sita usiku, akashindwa kuendelea kukaa nyumbani, akaelekea hospitalini, alitaka kufuatilia kila hatua ambayo mpenzi wake alikuwa akipitia. Hakuruhusiwa kumuona, akarudi kwenye benchi na kutulia hapo.
Usiku ulikuwa ni wa mateso sana, alilia mno, alipigwa na baridi lakini hakuwa tayari kuondoka mahali hapo. Moyoni mwake hakuhisi kabisa kwamba ajali ile ilikuwa imepangwa, hakuhisi kabisa kama Nicholaus alihusika katika ajali hiyo, kwake aliichukulia kama ajali ya kawaida ambayo ingeweza kumtokea mtu yeyote yule.
Asubuhi ilipofika, wazazi wa Godson wakafika hospitalini hapo. Walishangaa kumuona Melania akiwa hapo, wakamfuata na kumkumbatia huku wote wakilia. Madaktari hawakutoa tamko juu ya hali aliyokuwa nayo Godson mule ndani, walikuwa watu wa kuwapita huku kila mmoja akionekana kuwa na jambo zito la kuwaambia lakini walishindwa kufanya hivyo.
Baba yake Godson akaonekana kugundua kitu, jinsi madaktari walivyokuwa wakipitia kutoka ndani ya kile chumba na kuwaangalia, walionekana kuwa na kitu mioyoni mwao, kitu kibaya ambacho hawakutaka watu wengine wakifahamu.
“Kuna nini?” aliuliza baba yake Godson huku akiwa amemsimamisha daktari mmoja.
“Hakuna kitu!”
“Mtoto wangu anaendeleaje?”
“Anaendelea vizuri,” alijibu daktari huyo huku akionekana kutokuwa na uhakika na kile alichokuwa akikizungumza.
“Una uhakika?”Daktari hakujibu kitu chochote kile, akaondoka mahali hapo kwenda kuendelea na shughuli zake.
Kitendo hicho kikawatia hofu, mioyo yao ikapata majibu kwamba Godson alikuwa amekufa chumbani mule hivyo ilikuwa ni lazima madaktari wasite kuwaambia ukweli. Wakachanganyikiwa, Melania akazidi kulia kwa sauti mpaka madaktari wengine walipofika na kuuliza nini kilikuwa kimetokea mpaka Melania alie, wakajibiwa kwamba kulikuwa na dalili zote kwamba mgonjwa wao alikuwa amefariki ndani ya chumba alichokuwa amelazwa.
****
Ilikuwa ni vita ya kumgombea William, kila mmoja alijua kwamba endapo serikali ya Marekani ingekuwa na mtu kama William basi kungekuwa na mambo mengi ambayo yasingekwenda kama yalivyotakiwa kwenda kwani nchi hiyo ingekuwa juu kiteknolojia kitu ambacho kingeifanya dunia kuwa na hofu kubwa juu ya taifa hilo kubwa.
Mbali na Urusi ambayo kila siku walikuwa wakipambana kuhakikisha kwamba William anapatikana mikononi mwao pia kulikuwa na kundi jingine ambalo usiku na mchana lilikuwa likimuhitaji William, kundi hili lilikuwa ni Al Qaeda, kundi la kigaidi lililokuwa na makazi yao nchini Afghanistan katika Milima ya Tora Bora.
Kundi hilo lililokuwa likiongozwa na jamaa mwenye roho mbaya, Idriss Al Ghabush lilichanganyikiwa mara baada ya kusikia taarifa juu ya William ambaye alionekana kuwa mtu hatari katika masuala ya kompyuta.
Ilikuwa ni lazima kupambana na Marekani kwa kutumia kompyuta. Watu wengi wa kundi hilo waliuawa kwa sababu ya masuala ya kompyuta. Wengi walikuwa wakikamatwa kila walipokuwa wakizungumza kwa njia ya simu ambazo zilidukuliwa na wataalamu hao wa IT.
Marekani ilikuwa na wataalamu wengi wa kutumia kompyuta kitu kilichowapa ugumu kupambana nao. Mara baada ya kuona kwamba wanashindwa na taifa hilo kutokana na nguvu kubwa ya teknolojia, hapo ndipo walipoamua kumtafuta Muhindi aliyeitwa Cashmir Ajay ambaye alilifanya kundi hilo kuwa juu zaidi kiteknolojia kiasi kwamba Marekani ikaanza kupata kazi upya.
Baada ya kusumbuliwa sana, ndipo ujio wa William ukagundulika. Walijua kwamba huyo alikuwa mtu hatari kutokana na yale aliyokuwa akiyafanya hivyo kuwatuma watu nchini Marekani kwa ajili ya kumfuatilia mtu huyo.
“Ila kuna taarifa zinasema kwamba hata Warusi wanamfuatilia,” alisema jamaa mmoja.
“Umejuaje?”
“Kuna yule mpelelezi wetu kitengo cha KGB ndiye aliyenipa taarifa hizo.”
“Kwa hiyo nao wapo Marekani?”
“Ndiyo mkuu!”
“Hakikisheni mnakwenda huko! Chochote kitakachotokea, fanyani mnalolijua ili mambo yawe sawa,” alisema Ghabush.
Harakaharaka mawasiliano kati ya Waarabu waliokuwa Afghanistan na Marekani yakafanyika haraka sana. Vijana wengine watatu wakatumwa kuelekea huko kwa ajili ya kukamilisha kile kilichotakiwa kufanywa kipindi hicho.
Kuingia nchini Marekani hakukuwa na tatizo lolote lile, walijifanya kuwa wanachuo waliokuwa wakienda huko kusoma huku wengine wakijifanya kuwa wafanyabiashara wakubwa.
Hilo halikuwa tatizo, wakaruhusiwa kuingia ambapo moja kwa moja wakaonana na wenzao na kuwaambia kilichokuwa kikiendelea. Walichokifanya ni kufuatilia, walipofika chuoni wakagundua kwamba kulikuwa na Mrusi mmoja aliyekuwa karibu sana na William.
Wakaingiwa na shaka kwamba huyo Mrusi hakuwa mtu wa kawaida, alikuwa karibu na William kwa maslahi fulani, hivyo wakaanza kufuatilia kwa ukaribu. Siku ambayo Borya na William walikuwa wakienda kwenye sherehe ya kuzaliwa ya msichana Catherine, wakawatuma vijana wawili ambao walifika mpaka ukumbini na kutaka kuingia ndani lakini hawakuruhusiwa.
Hilo halikuwa tatizo, walijua fika kwamba huo wote ulikuwa ni mchezo uliopangwa, ili kuwadanganya, wakajifanya wakiondoka lakini wakaliegesha gari lao sehemu na kuteremka kisha kuanza kufuatilia.
Ilipofika usiku mkubwa, Warusi wanne wakatoka ndani ya ukumbu ule huku mmoja akiwa amembeba mtu begani, walikuwa na uhakika kwamba huyo alikuwa William, akapandishwa ndani ya gari na kuondoka mahali hapo.
“Tuwafuatilie,” alisema Mwarabu mmoja, huyo aliitwa Kadesh Saleh.
Wakaingia ndani ya gari na kuanza kuwafuatilia. Ilikuwa ni safari ndefu kidogo ambayo iliishia ndani ya jumba moja la kifahari lililokuwa likimilikiwa na Mrusi mmoja, mfanyabiashara mkubwa aliyeitwa Petrov Tasha.
Humo ndani, mara baada ya William kuingizwa, mtu aliyeonekana kuwa daktari akahitaji William apelekwe katika chumba maalumu kwa ajili ya kuvishwa sura ya bandia.
Hilo halikuwa tatizo, huku akiwa amepoteza fahamu, akapelekwa katika chumba hicho na kuwekwa juu ya meza kubwa. Hapo, ikachukuliwa sura ya bandia ya mtu aliyeonekana kuwa Mrusi kisha kuvarishwa, ngozi yake nyeusi ikaanza kupakwa vipodozi mbalimbali na kubadilika, akaonekana kama Mzungu.
“Ni lazima achomwe sindano yenye Mitrophynpil,” alisema daktari huyo.
“Haina shida! Dawa ziandaliwe!”
“Hiyo si dawa, ni sumu ambayo itavifanya viungo vyake vyote kutokufanya kazi kwa saa sabini na mbili,” alisema daktari huyo.
“Sawa. Ngoja itafutwe.”
Kulikuwa na ugumu mkubwa kuipata sumu ya Mitrophynpil lakini ndani ya saa moja, wakafanikiwa na hivyo kumpelekea daktari huyo ambaye bila hofu, akamchoma William sindano yenye sumu hiyo ambayo ingevifanya viungo vyake vyote kutulia, kutokufanya kazi kabisa zaidi ya kichwa.
“Sasa yupo huru kusafirishwa!”
Hicho ndicho kilichofanyika, siku iliyofuata, hata kabla suala la William halijaanza kuwa gumzo, wakafanya mipango ya kumsafirisha William kuelekea nchini Urusi, hawakupata tabu kupata tiketi, walipopewa na vibali vyote vya safari, wakaelekea uwanja wa ndege.
Wakawatafuta watu wengine watatu, hao walitakiwa kujifanya ndugu wa William na walikuwa wakimpeleka ndugu yao nchini Urusi kwa ajili ya matibabu. Ilikuwa vigumu kwa watu kugundua kwamba mtu huyo hakuwa yule waliyekuwa wakimwangalia.
Sura ilikuwa nyingine, aliyafumbua macho yake lakini alishindwa kuongea kitu chochote kile. Hakuonekana kuwa mtu mweusi, sura pamoja na vipodozi alivyokuwa amepakwa vilionyesha kabisa kwamba William alikuwa Mrusi.
We have to take him to Russia, he is going to die,” (tunatakiwa tumpeleke Urusi, anakufa) alisema mwanamke mmoja ambaye naye alikuwa Mrusi.
“Ooh! Very sorry! Can I see his ID, please” (Ooh! Poleni sana! Naweza kukiona kitambulisho chake, tafadhali?) alisema msichana aliyekuwa katika sehemu ya kukagua pasipoti na vibali vingine.
“This one madam,” (hii hapa mama)
Mwanamke yule akakichukua na kuanza kukiangalia, ni kweli alionekana kuwa Mrusi aliyeitwa Vladimir Kulich ambaye alionekana kuwa na siku chache za kuishi duniani kutokana na magonjwa mawili yaliyokuwa yakimsumbua, kupooza mwili na kansa ya damu. Baada ya kukiangalia kwa sekunde kadhaa, akawaruhusu wapite huku Wiliam akiwa amewekwa kwenye kiti cha matairi.
Alikuwa akiona kila kitu kilichokuwa kikiendelea, alitamani kuzungumza na kumwambia mwanamke yule kwamba hao hawakuwa ndugu zake lakini alishindwa kabisa kufanya hivyo.
Hakutingishika pale alipokuwa, bado sumu aliyokuwa amechomwa iliendelea kuvidhoofisha viungo vyake. Moyoni mwake aliumia mno, hakujiona kuwa tayari kuelekea nchini Urusi ila kwa sababu ya watu hao kumuhitaji, akajikuta akipelekwa huko pasipo kupenda.
Wakati wao wakipita na kuingia ndani, ya jengo la uwanja huo. Waliofuata walikuwa Waarabu wa kundi la Al Qaeda. Hao walitumwa kwa ajili ya kumsafirisha William kuelekea nchini Afghanistan.
Walifuatilia kwa karibu kila kitu kilichokuwa kimetokea, tangu usiku uliopita mpaka siku hiyo. Walijua kwamba kama ndege hiyo ingefika Urusi ingekuwa ngumu sana kwao kufanikiwa kumteka William hivyo waliona kulikuwa na umuhimu mkubwa wa kumalizia kila kitu ndani ya ndege.
Hakukuwa na mtu aliyejua kama asubuhi sana ya siku hiyo baada ya kugundua ndege aliyokuwa akisafirishiwa William, Waarabu hao walionana na wahusika kinyemela na kuwalipa dola laki moja kwa ajili ya kuweka mzigo wao wa silaha na mabomu ndani ya ndege hiyo.
Kilichobaki kilikuwa ni kuiteka ndege hiyo, kuwaua abiria wote na kumtorosha William.

Linda alikuwa chumbani, moyo wake ulikuwa na hofu tele, hakujua ni kitu gani kiliufanya moyo wake kuwa namna hiyo, alikosa furaha, amani ikapotea kabisa. Akasimama kutoka kitandani na kuanza kutembea huku na kule, aliogopa kwani kwa kawaida anapokuwa katika hali hiyo basi ilikuwa ni lazima kuwe na jambo baya mbele yake.
Hakujua ni jambo gani. Kitu cha kwanza kabisa kilichokuja kichwani mwake kilikuwa ni mpenzi wake, William. Akaichukua simu yake na kuanza kumpigia, simu ilikuwa ikiita, iliita na kuita lakini haikupokelewa.
Akashikwa na hofu zaidi kuona kwamba inawezekana kulikuwa na jambo baya hivyo akamwandikia ujumbe kwamba kama angeuona basi ampigie kwa kuhisi inawezekana alikuwa sehemu yenye kelele ambapo hakuweza kuisikia simu yake ikiita.
Hakupata usingizi, alijaribu kulala lakini usingizi haikumjia kabisa. Mawazo yelimuendesha, muda ulizidi kwenda mbele lakini mpenzi wake hakupiga simu, hivyo akampigia Borya.
Kama ilivyokuwa kwa William, hata naye hakupokea simu ile, akashikwa na hofu kwamba inawezekana walipata ajali wakati wakirudi kwani haikuwa kawaida kwa wote wawili kutokupokea simu.
Usiku huo ukawa wa mateso tele, mpaka asubuhi inaingia William hakuwa amerudi chumbani kitu kilichomfanya kuwasiliana na uongozi wa chuo. Hakukuwa na aliyeamini kile walichoambiwa, haikuwa rahisi kwa William kwenda sehemu na kulala hukohuko. Taarifa za kupotea kwake zikasambazwa chuoni hapo mpaka kuwafikia maofisa wa FBI ambao walipewa jukumu la kumlinda chuoni hapo.
“What? This is impossible!” (nini? Haiwezekani!) alisikika mwanaume kwenye simu.
“He got lost,” (amepotea)
“How?” (kivipi?)
Maofisa wa FBI walichanganyikiwa, kitu cha kwanza kabisa kilikuwa ni kumtafuta Linda ambaye aliwaambia kwamba usiku uliopita aliondoka na rafiki yake, Borya kwenda kwenye sherehe ya kuzaliwa ya msichana mmoja aitwaye Catherine na baada ya kuondoka, hawakurudi tena.
“Did you try to reach him?” (ulijaribu kumpigia?)
“Yes! I did it several times,” (ndiyo! Nilifanya hivyo mara kadhaa!)
Maofisa hao hawakutaka kukubali, walichokifanya ni kumpigia simu, kama ilivyokuwa kwa Linda, hata kwao simu haikuwa ikipokelewa. Hawakuwa na jinsi, walichokifanya ni kutraki simu yake ili kujua ilikuwa mahali gani. Hilo likafanyika na ndani ya nusu saa, tayari walijua kwamba simu hiyo ilikuwa katika Mtaa wa Livingstone katika ukumbi mmoja ulioitwa Cassanova.
Maofisa hao wakaelekea huko, walipofika, wakaingia ndani, hakukuwa na mtu, waliangalia huku na kule lakini hawakubahatika kumuona mtu yeyote japokuwa bado GPS yao ilionyesha kwamba simu ya William ilikuwa humo ndani.
Wakapiga tena, wakasikia simu ikianza kuita chooni, wakaondoka na kuelekea huko, walipofika, waliikuta simu ikiwa chini lakini William hakuwepo mahali hapo, haikuwa simu yake tu bali hata simu ya Borya ilikuwa pembeni yake hivyo wakazichukua na kuondoka nazo.
Walichanganyikiwa, walijilaumu kwa kutokuwa makini kuhakikisha kwamba William anakuwa kwenye mikono iliyo salama. Waliondoka mpaka katika kituo chao kidogo ambapo kitu cha kwanza kabisa kilikuwa ni kuchukua simu ya Borya na kuangalia namba alizokuwa amepiga na kupiga.
Katika uwanja wa namba zilizoingia na kutoka, hakukuwa na namba yoyote ile lakini hilo halikuwatisha kwani waliamini kwamba walikuwa na uwezo wa kugundua namba zozote zile hivyo wakaituma namba yake makao makuu na kuomba kutajiwa namba zilizoingia na kutoka na kama iliwezekana basi wachukue mawasiliano yao yaliyofanyika kwa njia ya sauti.
“Tupe dakika ishirini!”
Baada ya dakika ishirini, wakapigiwa simu na kupewa namba zote zilizokuwa zimeingia na kutoka. Hapo ndipo walipopata jibu kwamba mtu aliyekuwa na William alikuwa Mrusi na hata namba ambazo alikuwa akiwasiliana nazo zilitoka katika makao makuu ya Shirika la Ujasusi la KGB nchini humo.
“Tumekwisha! Kumbe yule kijana alikuwa jasusi!” alisema ofisa mmoja wa FBI, kiongozi aliyeitwa Hugh Jackman.
“Unasemaje?”
“Hakikisheni upekuzi unafanyika kila kona. Bado tunahitaji kumfahamu mtu aliyekuwa akiitumia simu hii kwa undani, kama atakuwa nchini ame ameondoka,” alisema Jackman.
Hilo ndilo lililofanyika, ilikuwa ni lazima FBI wahakikishe kwamba mwanaume huyo anapatikana haraka iwezekanavyo. Wakarudi chuoni ambapo huko wakachukua picha ya Borya, wakaangalia picha yake na kuanza kuitafuta katika kompyuta zao.
Nyaraka zake zote zilionekana wazi, ilionyesha ni siku gani aliingia nchini Marekani, alipopitia mpaka kufika katika chuo hicho. Walijilaumu sana, walihisi kwamba Borya alikuwa mtu hatari lakini cha kushangaza hawakuchukua hatua yoyote ile.
“Hebu alama za vidole zake,” alisema Jackman.
“Ngoja tuziskani tuone!”
Wakaichukua simu ile na kuanza kuskani, walitaka kuona alama zake za vidole ili wazitume uwanja wa ndege ambapo hapo wangeangalia kama kwa simu hiyo mtu aliyekuwa na alama hizo za vidole kama aliondoka.
Hilo halikuwa zoezi la muda mrefu, ndani ya dakika tano, wakapewa alama za vidole ambazo zilitumwa hadi uwanja wa ndege sehemu ya kuingilia abiria ambapo baada ya kuangalia, zilionyesha kwamba mtu huyo alipita muda muda mchache uliopita na kuingia kwenye ndege uya Fly Emirates.
“Tunakuja!”
Kila kitu kilichofanyika kwa wakati huo kilifanyika haraka sana. Maofisa hao wakaelekea mpaka uwanja wa ndege, kitu cha kwanza kabisa kilikuwa ni kuangalia picha za kamera kwa siku hiyo. Walipelekwa katika chumba maalumu kilichokuwa na kompyuta nyingi na televisheni na kisha kuonyeshewa picha zote zilizopigwa siku hiyo.
“Hapohapo! SI alipitia geti hili?”
“Ndiyo!”
“Huyu hapa! Yupo na wenzake! Madaktari! Inakuwaje? Nani anaumwa?” aliuliza Jackman.
“Kwa maelezo yaliyotolewa mwanaume mgonjwa anaitwa Vladimir Kulich. Amepooza mwili mzima,” alisema dada yule ambaye ndiye aliyekagua vitambulisho vyao.
“Sasa ilikuwaje apite na wenzake? William alikuwa wapi?”
“Hatujui! Hakukuwa na mtu mweusi waliyepita naye zaidi ya huyu mgonjwa,” alisema dada huyo.
Jackman akachoka, akashusha pumzi ndefu na kutulia kitini. Kila mmoja alikuwa kimya, alimwangalia mwanaume huyo aliyeonekana kuwa na hasira kupita kawaida. Akaanza kuzungukazunguka ndani ya chumba kile huku akionekana kuwa na mawazo tele.
Kila mmoja alikuwa akimsikilizia yeye, walitaka kufahamu ni kitu gani kilitakiwa kufanyika kipindi hicho. Baada ya kukaa katika hali hiyo kwa dakika tano, hapohapo akawarudia.
“Umesema wale waliokuja ni madaktari?” aliuliza.
“Ndiyo!”
“Na mgonjwa alitoka wapi?”
“St. Pius Medical Centre.”
“Hebu wapigieni simu kuwaulizia kuhusu huyu mgonjwa,” alisema Jackman.
Hapohapo alichokisema ndicho kilichofanyika. Namba zikatafutwa na kupigwa kwa ajili ya kumuulizia mgonjwa aliyeitwa Vladimir Kulich. Simu ilipopokelewa na kuuliza swali hilo, mtu aliyekuwa huko hospitalini akaangalia majina ya wagonjwa wote waliokuwepo na hata walioruhusiwa, hakukuwa na mgonjwa mweye jina hilo.
“Hakuna mgonjwa mwenye jina hilo,” alisikika dada wa hospitalini.
“Huyu mgonjwa ni William!” alisema maneno yaliyomfanya kila mtu kushtuka.
“Unasemaje?”
“Huyu mgonjwa ndiye William!” alirudia maneno yake.
Kila mmoja alimshangaa, hawakuamini kama angesema maneno kama hayo. Walimwangalia mgonjwa yule kwenye televisheni ile, alikuwa Mzungu wa Urusi, muonekano wake haukuonekana kama alikuwa William hata mara moja.
“Inawezekana vipi?”
“Kwani huyu mgonjwa alizungumza lolote?”
“Hapana!”
“Ndiyo maana nimewaambi kwamba mgonjwa huyu ni Willia,’ alisema Jackman huku akimwangalia mmoja baada ya mwingine aliyekua ndani ya ndege hiyo.
Kitu alichokitaka ni kujua mahali ndege hiyo ilipofikia, waliamini kwamba safari ya watu hao ilikua ni kwenda nchini Urusi hivyo ilikuwa ni lazima kuhakikisha kwamba hata kabla ya ndege hiyo kuwasili nchini humo basi waweze kuishusha ndege hiyo na kumchukua mtu wao.
Wakawasiliana na watu wa mamlaka ya anga uwanjani hapo na kupewa taarifa kwamba bado ndege ilikuwa safarini kuelekea Ottawa nchini Canada hata kabla ya kuelekea nchini Urusi.
“Ilikwishaingia nchini Canada?”
“Bado! Ndiyo inakaribia!”
“Ni lazima ishushwe haraka iwezekanavyo,” alisema Jackman.
Wakati wakiwa wanawasiliana na watu hao, baadaye wakaambiwa kwamba mawasiliano yalikatika na hawakuwa wakiifikia ndege hiyo. Hawakujua watu hao walikuwa wapi, hawakujua kama ndege hiyo ilikuwa safarini au ilipokea hitilafu.
Wakaendelea kuwasiliana nao, wakaifuatilia kwenye rada na kitu kilichowashangaza wote, ndege hiyo haikuweza kuonekana kwenye rada.
Hapo ndiupo maofisa wa FBI wakachanganyikiwa zaidi, kikao cha dharura kikaitishwa katika chumba kidogo makao makuu kwa ajili ya kujadili kitu kilichokuwa kikiendelea. Kila mmoja ndani ya chumba hicho alionekana kuwa na hofu tele, walikuwa radhi kupoteza kitu chochote kile lakini si kumpoteza William ambaye alionekana kuwa mkombozi wao mkubwa katika masuala ya teknolojia. Wakati wakiwa kwenye kikao hicho, mara mlango ukafunguliwa na msichana fulani mrembo kuingia huku akiwa na karatasi mkononi mwake, kila mmoja akamshangaa.
“What is going on?” (nini kinaendelea?) aliuliza jamaa mmoja.
“A plane carrying William has crashed in the Columbia Mountains,” (ndege iliyomchukua William imepata ajali katika milima ya Columbia).
Kila mtu aliyesikia maneno hayo akashtuka, hakuamini kama kweli kile kilichozungumzwa kilikuwa kweli au la. Alichokifanya msichana yule ni kuchukua rimoti iliyokuwa ndani ya chumba kile na kuwasha televisheni, kila kituo cha habari kilikuwa kikionyesha tukio hilo.
Wote kwa pamoja wakajikuta wakishika vichwa kwa huzuni tele, ndege ileile waliyoambiwa kwamba ndiyo iliyombeba William huku akionekana mgonjwa ndiyo iliyopata ajali kwa kuanguka katika milima ya Columbia ambayo asilimia kubwa ilikuwa ni ya mawe iliyokuwa na barafu kubwa.
“At least one fifty people died,” (watu mia moja na hamsini walikuwa wamepoteza maisha,” yalisomeka maneno makubwa yaliyokuwa yakipita yaliyowafanya watu wote kulengwa na machozi kwani idadi hiyo ya watu ndiyo iliyokuwa ndani ya ndege hiyo kubwa ya Fly Emirates.

Waarabu watatu wakasimama kutoka katika viti walivyokuwa wamekaa na kuelekea chooni, huko, tayari mizigo yao iliyokuwa na mabomu, bunduki ilikuwa huko. Hakukuwa na mtu aliyeonekana kuwa na hofu nao, walivalia suti na huku mikononi mwao wakiwa wameshika Biblia kitu kilichoonyesha kwamba watu hao walikuwa wachungaji wa Kiarabu ambao walifika nchini Marekani kwa ajili ya kutangaza Neno la Mungu.
Hawakuingia chooni wote, waliingia kwa zamu, huko, walipotoka, mmoja akaenda mbele, mwingine akasimama katikati na mwingine nyuma tena wote wakiwa na mabegi ya parachuti migongoni mwao, walihakikisha abiria wote wanakuwa katikati yao.
Warusi wale walikuwa kwenye viti pamoja na abiria wengine, hawakuhisi kama Waarabu hao walikuwa magaidi, walichukulia kama abiria wengine ambao walikuwa na uhuru wa kutembea huku na huko hapo kwenye ndege.
“Hey! Listen up,” (Hey! Sikilizeni!) alisema Muarabu mmoja kwa sauti kubwa, watu wote wakanyamaza na kumwangalia.
Mwarabu huyo hakutaka kuishia hapo, alichokifanya ni kutoa bunduki yake, kila mmoja akashtuka, hawakuamini kama kweli ndege hiyo ilikuwa imetekwa na magaidi hao. Wale Warusi waliokuwa na William, walishangaa, hawakujua ni kitu gani kilikuwa kikiendelea, walikuwa safarini na tayari waliwaambia wenzao kwamba kila kitu kilikamilika, William walikuwa naye na ndani ya saa chache ndege hiyo ingetua Urusi huku wakiwa na mtu huyo.
Hata kabla hawajafika huko, ndege hiyo ilitekwa na Waarabu ambao kwa kuwaangalia tu walionekana kuwa na roho mbaya, ilikuwa ni afadhali kukutana na mbwa mwitu msituni, tena ukiwa peke yako kuliko kukutana na watu hao.
“Tumeiteka ndege hii, tunataka wewe ufanye kile tunachotaka ufanye, ukienda kinyume, hatuna budi kukuua,” alisema Mwarabu huyo huku wenzake wawili wakiwa wanazunguka huku na kule.
“Kitu cha kwanza kabisa ninataka wote mliokuwa humu ndani mlalie viti vyenu huku mkiweka mikono juu,” alisema Mwarabu huyo aliyeitwa Abdul, ndani ya sekunde kumi, kila abiria akafanya hivyo wakiwemo wale Warusi ambao hawakuwa na silaha yoyote ile.
Abdul akapiga hatua kuwafuata Warusi wale, alipowafikia, akawaambia kwamba huo ulikuwa muda wa wao kuondoka na mtu waliyekuwa wakimuhitaji. Walishangaa, walijua kwamba hakukuwa na mtu aliyejua kama walimbadilisha William kuwa kwenye muonekano mwingine kabisa, sasa Waarabu hao walijuaje?
Wakati hayo yote yakiendelea, Wiliam alikuwa katika chumba kingine, sehemu ambayo iliwekwa kwa ajili ya wagonjwa waliokuwa vitandani au katika viti vya walemavu. Walichokifanya ni kwenda sehemu hiyo na kumwambia kwamba ilikuwa ni lazima kuondoka naye.
William alikuwa na maswali mengi ya kuuliza kwamba watu hao walikuwa wakinanani lakini alishindwa kufanya hivyo kabisa kwa sababu hakuwa na uwezo wa kuzungumza neno lolote lile, viungo vyake havikuweza kusogea sehemu yoyote ile.
Alichokifanya jamaa huyo ni kulifunga kwa nyuma begi katika kiti hicho cha walemavu na kisha kuanza kukisukuma kuelekea mlangoni tayari kwa kuondoka. Kila mmoja aliyekuwa ndani ya ndege ile alikuwa na hofu tele, kifo kilionekana mbele yao, hawakuona kama wangeweza kupona kwani walijua historia ya Waarabu, waliyakumbuka matukio kadhaa yaliyowahi kutokea, walikumbuka vilivyo tukio la Septemba 11 lililotokea nchini Marekani, hivyo kila mmoja akaanza kusali sala yake ya mwisho.
“Ni lazima mfe. Hatutaki watu wajue nini kilitokea ndani ya ndege hii,” alisema Abdul na kuwaambiia wenzake kwamba hiyo ilikuwa nafasi ya kuwaua watu hao ili waondoke.
Hawakutaka kupoteza muda, kila mmoja akashika bunduki yake aina ya AK-47 na kuanza kuwamiminia risasi abiria waliokuwa ndani ya ndege hiyo. Kila kitu kilichokuwa kikiendelea kabla, marubani hawakujua chochote kile ila baada ya kusikia milio ya risasi, wakatoka kuona nini kikiendelea, nao wakapigwa risasi na ndege kuanza kupoteza muelekeo.
“Turuke,” alisema jamaa mmoja.
Hilo ndilo lililofanyika, kiti cha kwanza kilikuwa ni kukisukuma kiti alichokalia William halafu na wao kuruka kwa parachuti. Walipokuwa angani, mmoja akakifuata kiti kile alichokuwepo William na kisha kulifungua parachuti lake kisha na wao kufungua yao.
Wakati wao wakiendelea kushuka chini, ndege ile ilikwenda na kugonga katika Milima ya Columbia na kulipuka. Walishuhudia kila kitu kilichokuwa kimetokea, mioyo yao ikawa na furaha tele kwani walifanikisha kile walichokuwa wamekikusudia.
Wakati walipokuwa wakiendelea kushuka, William alipoteza muelekeo, hakuwa kama wao ambao waliamua parachuti liende kutua wapi. Alikaa tu huku akiangalia kila kitu kilichokuwa kikiendelea, wakati yeye akitua tu, wale Waarabu walitua mbali kabisa, umbali kama wa mita mia moja na hamsini.
“Ametua kule, tumfuateni,” alisema Abdul mara baada ya kutua chini.
Hicho kilikuwa kipindi cha baridi kali nchini Canada. Ardhi nzima ilikuwa imefunikwa na barafu kubwa huku kwa mbali theluji ikiendelea kudondoka kwa wingi. Wakavua mabegi yao, hawakutaka hata kukunja maparachuti yao, wakaanza kukimbia kuelekea kule alipotua William.
Chini kulikuwa na barafu lililochanganyika na theluji nyingi kiasi cha kufikia magotini mwao, walitembea kwa shida sana kuelekea kule alipokuwa William. Walipofika kama hatua mia moja kabla ya kumfikia, wakaona bonde moja kubwa likiwa mbele yao, ili kwenda kwenye upande aliokuwa William ilikuwa ni lazima kulivuka bonde hilo ambalo nalo lilijaa barafu na theluji nyingi.
“Tufanye nini?” aliuliza Mwarabu mmoja.
“Ni lazima tuvuke bonde hili kwa gharama yoyote ile,” alisema Abdul na hivyo kuanza kuvuka bonde hilo.
Ilikuwa kazi kubwa, lilikuwa bonde hatari la Vernian lililoaminika kuwa na wanyama hatari aina ya mbwa mwitu wa kwenye baridi. Hawakuogopa kwa sababu walikuwa na bunduki mikononi mwao, hivyo wakaanza kulivuka.
Haikuwa kazi nyepesi kulimaliza bonde hilo, walichukua dakika ishirini kushuka bonde na kupandisha. Kitu cha ajabu kabisa mara baada ya kulivuka bonde hilo na kufika kule alipokuwa William, hawakuweza kumuona.
Kila mmoja alishangaa, waliangalia nyuma, usawa waliokuwepo, pale waliposimama ndipo ambapo William alipokuwa, hawakujua alikwenda wapi kwani kwa jinsi alivyokuwa, hakuwa na nguvu ya kufanya kitu chochote kile.
“Yupo wapi? Si alikuwa hapa?” aliuliza jamaa mmoja.
“Hata mimi nashangaa. Jamani! Kiti hiki hapa,” alisema jamaa mmoja, ni kweli, pembeni yao, mbali kidogo kulikuwa na kiti kile cha walemavu, hakikuwa kikionekana vizuri kwa sababu kilifunikwa na theluji zilizokuwa zikidondoka.
Wakakifuata, juu ya kiti hicho hakukuwa na mtu yeyote yule, walishangaa. Wakaangalia huku na kule, William hakuwepo kitu kilichowachanganya sana. Hawakutaka kukubali, hawakutaka kuendelea kubaki hapo, walichokifanya ni kuanza safari ya kuelekea sehemu yenye miti mingi ambapo waliamini kwamba William alikimbilia huko.
Hawakuwenda mwendo mrefu, baada ya dakika kumi na tano, wakafika katika sehemu iliyokuwa na nyumba kubwa ambayo asilimia tisini ilitengenezwa kwa mbao, wakahisi kwamba Wiliam alikuwa ndani ya nyumba hiyo, wakaanza kuisogelea huku wakiwa na bunduki zao. Kipindi hicho walikuwa tayari kupambana na kitu chochote kile ambacho kingewafanya kumkosa William.
****
“Who are you?” (wewe ni nani?)
Lilikuwa swali lililotoka kwa mwanaume aliyekuwa na ndevu nyingi aliyekuwa amevalia koti kubwa lenye manyoya mengi kwa ajili ya kujikinga na baridi, mkononi alishika bunduki yake kubwa aina ya gobole na alikuwa akiongea huku akimwangalia William.
Huyo alikuwa muindaji aliyekuwa na kazi ya kuwawinda wanyama wengi katika msitu huo ambao ulikuwa ukitawaliwa na barafu jingi kila kipindi cha baridi kama hicho kilipofika.
Alimwangalia William, alionekana kama mtu aliyehitaji msaada mkubwa. Japokuwa kulikuwa na baridi kali lakini William alivalia nguo nyepesi ambayo ilionyesha kumpa shida hapo alipokuwa.
Hakujibiwa swali lake, akahisi kwamba kulikuwa na tatizo. Pamoja na hayo yote lakini kichwa chake kilikuwa na maswali mengi kwamba iliwezekana vipi mtu huyo kuwa mahali hapo tena huku akiwa kwenye kiti cha walemavu kitendo kilichoonyesha kwamba hakuwa sawa?
Hakutaka kuuliza maswali zaidi, alichokifanya ni kumnyanyua William na kuondoka naye mahali hapo. Alipata tabu, kupiga hatua kwenye theluji nyingi kama ile ilikuwa mtihani mkubwa lakini hakutaka kumuacha William, ilikuwa ni lazima aondoke naye, ilikuwa ni lazima amsaidie.
Hakuchukua dakika nyingi akafika katika nyumba aliyokuwa akiishi. Akaufungua mlango na kuingia ndani. Kitu cha kwanza kabisa alichokifanya ni kuwasha moto na kumsogeza William kwa ajili ya kupata joto, hakuishia hapo, akamlete chupa za pombe na kumuwekea mbele yake.
“Why are you here?” (kwa nini upo hapa?) alimuuliza lakini William hakujibu chochote kile zaidi ya kumwangalia.
“Are you Russian? Can you speak English?” (wewe ni Mrusi? Unaweza kuzungumza Kiingereza?) aliuliza lakini bado jibu la William lilikuwa ni ukimya wake.
Muda uliendelea kusonga mbele, baada ya dakika kadhaa, akahisi kama nje kulikuwa na watu. Harakaharaka akasogea dirishani na kuchungulia nje. Macho yake yakatua kwa watu waliovalia suti, walikuwa Waarabu watatu ambao walikuwa wakisogea kule nyumba yake ilipokuwa huku mikononi wakiwa na bunduki.
“Ooh My God,” (Ooh Mungu wangu!) alijikuta akisema kwa kuhamaki. Hata alipofikiria kuhusu gobole lake, ndiyo kwanza lilikuwa na risasi mbili tu zilizobaki.
“I am a dead man already,” (tayari mimi ni mfu) alisema huku akionekana kukata tamaa.

Hakukuwa na amani, kila mtu alipagawa mara baada ya kusikia kwamba ndege iliyokuwa imembeba William kuelekea Urusi ilipata ajali, ikaanguka na kulipuka. Taarifa hizo zikasambazwa kila kona, wale waliokuwa hawafahamu kama William alitekwa, wakafahamu kitu kilichowashangaza wengi kwamba ilikuwaje Marekani, pamoja na ulinzi wao wote, Warusi wafike nchini humo na kumchukua William kana kwamba alikuwa mtu wao?
Wakati watu wakijiuliza hilo, huku nyuma FBI walikuwa wakifanya kila kitu kujua kama kweli wakati ndege ikilipuka, William alikuwa ndani ya ndege au la? Na kama ndege ililipuka, ni kweli ilipata hitilafu angani au kulikuwa na kitu kingine.
Cha kwanza walichokifanya ni kwenda mpaka eneo ambalo ndege hiyo iliangukia, hapo, walihitaji kupata Black Box, kifaa maalumu kilichokuwa kikinasa mawasiliano ya marubani kwenye ndege ili wajue ndege hiyo ilipata tatizo gani mpaka kulipuka.
Kifaa hicho kikachukuliwa na kupelekwa Jijini New York yalipokuwa makao makuu ya FBI. Wakaitwa wataalamu wa ndege kutoka katika Shirika la Ndege la Emirates kwa ajili ya kukifungua na kusikiliza kile kilichotokea kwani waliamini kama kweli kulikuwa na tatizo, ilikuwa ni lazima marubani walilizungumzia hilo kama walivyokuwa wakiagizwa.
Kifaa kikawekwa, kikaunganishwa na kuanza kusikiliza mawasiliano hayo. Hakukuwa na sauti za marubani, walichoweza kusikia ni sauti za watu ambao lafundhi yao ilikuwa ni ya Kiarabu, baada ya muda, milio ya risasi ikaanza kusikika.
“Ndege ilitekwa,” alisema Jackman huku akiwaangalia watu waliokuwa humo.
“Sawa. Kama ilitekwa, inamaana Waarabu walijitoa mhanga?”
“Hilo ni gumu. Kwanza cha kwanza kujiuliza, kama waliiteka, kwa sababu gani? Na kama lengo lilikuwa ni kumchukua William, yupo wapi kwa sasa?” aliuliza Jackman.
Maswali hayo hayakuwa na majibu, wakawasiliana na Shirika la Kijasusi la CIA na kuwaambia kuwa walitakiwa kufuatilia kila kitu kilichotokea. Hiyo haikuwa kazi kubwa kwa majasusi wa CIA, wakasafiri mpaka Canada, walipofika katika milima ya Columbia, wakateremka na maparachuti kwenda kwenye eneo ambalo ndege hiyo ilipolipuka.
Wakaanza kuangalia eneo lenyewe, waliangalia angani, walitaka kuangalia umbali ambao ndege hiyo ilipotoka mpaka kuangukia hapo na kulipuka. Wakaanza kufuatilia, wakaanza kuingiza utaalamu wao wa kuchunguza.
“Wanasema ndege ilianguka, kama kweli ilianguka, kwa maana hiyo itakuwa ilianza kupata hitilafu umbali wa mita mia mbili. Hakuna ndege inayoanguka umbali wa mita mia moja baada ya kupata itilafu, ni lazima itakuwa mia mbili kwenda mbele,” alisema jamaa mmoja, alikuwa akizungumza huku akiwa na darubini mkononi.
“Na bila shaka ndege hii ilitokea huku,” alisema jamaa mwingine na hivyo kwenda kule ndege ilipokuwa imetokea.
Wakati wakifanya hayo yote, mikononi mwao walikuwa na kifaa maalumu kwa ajili ya kuangalia umbali kwa urefu wa mita, walipofika mia mia mbili, wakajua kwamba hapo ndipo ndege ilipoanza kupata hitilafu.
“Bila shaka ilianzia hapa, ikaenda kule na kuanguka. Na kama huku ndipo ilipoanza kuanguka, kutakuwa na kitu hukuhuku. Hebu tuangalieni, kuna jambo nahisi. Kama kweli wale Waarabu hawakuwepo kwenye ndege, inamaana waliruka, na kama waliruka, inawezekana walitumia parachuti, kwani ndege inayoanguka, inaweza kuwa angani kwa umbali wa mia mia moja, na kama waliruka, wapo wapi?” alihoji jamaa mmoja, huyu ndiye waliyemuona kuwa mtu wao mwenye uwezo mkubwa wa kufikiria, aliitwa Gibson Charles.
Walichokifanya ni kuanza kuzunguka huku na kule wakitafuta walichokuwa wakikitafuta kwani walijua kwamba kulikuwa na kitu, Waarabu wasingeweza kuruka kwenye ndege hivihivi, kama waliruka kweli ilikuwa ni lazima walitumia parachuti.
Walipoona wametafuta bila mafanikio hapo ndipo walipochukua kamera yao ya kisasa iliyofungwa kwenye kifaa kiitwacho drone na hivyo kukirusha angani kwa ajili ya kuchukua picha huku wao wakifuatilia kwenye iPad waliyokuwa nayo.
Drone ilikwenda huku na kule, ilitafuta kila sehemu, walikaa huku wakiangalia, walifuatilia kwa makini kabisa. Hali haikuwa nzuri mahali hapo, bado theluji iliendelea kuanguka na hawakuacha hata mara moja.
Kamera ile ilitafuta mpaka ilipofika sehemu ambapo waliona kitu kama kiti kwa mbali, wakaishusha drone kwenda karibu zaidi, wakakiona kitu ambacho waliamini kwamba ni kiti. Walichokifanya ni kuwasiliana na FBI kwanza.
“Mara ya mwisho William alikuwa kwenye nini? Alikuwa na uwezo wa kutembea?” aliuliza Gibson.
“Hapana! Alikuwa kwenye kiti cha walemavu,” alijibu Jackman.
“Ahsante.”
Wakahisi kwamba kile ndicho kiti alichokuwa William, wakaanza kuelekea kule kilipokuwa. Hakikuwa karibu, ulikuwa ni umbali wa mita mia tano, walipita kwenye theluji nyingi, waliteseka kupiga hatua lakini hawakutaka kurudi nyuma.
Mbele yao waliyaona mafanikio makubwa, waliamini kwamba iwe isiwe kile ndicho kiti alichokuwa amekalia William. Walipofika umbali fulani, mbele yao kulikuwa na bonde kubwa ambalo walitakiwa kulivuka ndipo wakifikie kile kiti kilipokuwa.
“Ni lazima tulivuke hili bonde,” alisema Gibson.
Hawakuwa na jinsi, hicho ndicho walichokifanya, wakaanza kuvuka bonde lile lililokuwa limefunikwa kwa barafu kubwa na theluji. Walitumia dakika kadhaa, wakalimaliza na kuibukia sehemu ambayo haikuwa mbali na kamera yao ya drone ilipokuwa karibu kabisa na kiti, wakaanza kukifuata.
“Ndicho chenyewe. Kwa hiyo?”
“Hatujui nini kilitokea. Hebu wasiliana na NASA, ni lazima tupate picha za satalaiti ambazo zitatuonyesha kama kulikuwa na watu, walikuwa wameelekea wapi,” alisema Gibson.
Haraka sana mawasiliano yakafanyika, ilikuwa ni lazima wajue kile kilichokuwa kimetokea mahali hapo, kama kulikuwa na watu walikwenda wapi, walitaka kujua mahali na waliamini kwa shirika kubwa kama la NASA liliweza kupiga picha ambazo zingewapa urahisi wa kujua mahali walipoelekea watu waliokuwa wakiwatafuta.
“Mpo wapi?”
“Canada.”
“Eneo?”
“10N latitude, 85W longitude.”
“Subiri!
Walitakiwa kusubiri kwa dakika kadhaa, baada ya dakika tano, wakatumiwa picha iliyoonyesha alama nyekundu sehemu ambazo watu walipita ndani ya saa kadhaa zilizopita. Wakafanikiwa kugundua kwamba eneo hilo lilikuwa na watu kadhaa, waliona mistari minne mekundu kuonyesha kwamba kulikuwa na watu wanne waliokuwa wameelekea upande wa Magharibi.
“Kwa hiyo hao Waarabu walikuwa wanne?” aliuliza jamaa mmoja.
“Inawezekana. Kama kuna mistari minne, inawezekana walikuwa wanne kwa sababu kwa William, jinsi alivyokuwa, sidhani kama alikuwa na uwezo wa kutembea,” alisema Gibson.
Wakaelekea huko. Walitembea kwa dakika kama ishirini ndipo mbele yao wakaona nyumba moja kubwa ikiwa imeteketea kwa moto. Waliingia ndani ya nyumba hiyo, hakukuwa na kitu chochote kilichobaki, kila kitu kiliunguzwa vibaya kwa moto, na ndiyo nyumba ambayo William alipelekwa na yule mzee mwindaji.
****
Waarabu walikuwa nje ya nyumba ile, waliamini kwamba mtu waliyekuwa wakimtafuta alikuwa ndani ya nyumba hiyo. Hawakutaka kukaa hapo nje, ilikuwa ni lazima waingie ndani kuhakikisha kama kweli mtu huyo alikuwa humo.
Silaha zilikuwa mikononi mwao. Wakaingia ndani kwa kuvunja mlango uliokuwa umefungwa kwa ndani, waliangalia huku na kule, William hakuwepo. Hawakutaka kuishia sebuleni tu, wakaingia mpaka vyumbani kuona kama wangemkuta mtu huyo lakini napo hawakumuona.
Walikasirika, hawakujua mahali alipokuwa, walichokifanya, kama kukosa wote wakaelekea katika gari lililokuwa nje ambapo kulikuwa na dumu la mafuta ya petroli, wakalichukua, wakaimwagia nyumba yote kisha kuichoma moto.
Waliumia mioyo yao kumkosa William lakini hawakutaka kujali. Walibaki hapo huku wakiiona nyumba hiyo ikiteketea, ilipokwisha yote na kubaki majivu, wakaridhika na hivyo kuondoka mahali hapo huku wakiwa na uhakika kwamba William alikuwa ameteketezwa na moto ndani ya nyumba hiyo.

Bado hali ya Godson ilikuwa mbaya hospitalini, tangu alipopata ajali, hakuweza kurudiwa na fahamu kitandani alipokuwa. Alitumia mipira kula huku akiwa na mashine ya oksijeni iliyokuwa ikimsaidia kupumulia.
Pale kitandani alipokuwa, alihuzunisha mno, kila daktari aliyemwangalia, alikiri kwamba hizo ndizo zilikuwa dakika za mwisho za kijana huyo kuvuta pumzi ya dunia hii na baada ya saa chache hasingeweza kupumua tena.
Wazazi wake na Melania waliendelea kumlilia, kila mmoja alihuzunika mno, hawakuamini kama kweli Godson alikuwa kimya kitandani na wakati jana tu alionekana kuwa na furaha tena na hata walipokuwa wakizungumza, alizungumza kama hakuna jambo baya ambalo lingetokea.
Hiyo ilikuwa siku ya kwanza, hakuwa na nafuu, hali yake iliendelea kuwa vilevile, haikubadilika na kuwa na unafuu hata mara moja. Melania alilia na kulia mpaka kufikia kipindi ambacho aliona kama amezoea, kwani kama kulia, alilia sana lakini hakukuwa na kitu kilichobadilika.
Marafiki zake walifika hospitalini hapo, walimfariji achukulie kila kitu kuwa kawaida lakini haikuwa rahisi kwa msichana huyo. Moyo wake ulichoma, aliumia katika kiasi ambacho alihisi asingeweza kuumia kama kipindi hicho.
“Mama! Godson atapona kweli?” aliuliza Melania, alionekana kukata tamaa kabisa, moyo wake ulimwambia kwamba ilikuwa ni lazima mpenzi wake huyo afe kitandani pale.
“Atapona tu!” alisema Bi Sophia.
“Kweli?”
“Tumwamini Mungu.”
Siku zikakatika, baada ya siku nne ndipo wakaruhusiwa kuingia ndani ya chumba alicholazwa Godson, kwa kumwangalia tu, lilikuwa jambo gumu kugundua kwamba mtu huyo alikuwa akipumua, alionekana kama mtu ambaye alifariki dunia saa chache zilizopita.
Melania akamsogelea, alipomfikia, akamlalia kwa juu na kuanza kulia juu yake huku akimuomba ayafumbue macho yake na amtazame tena kwani alikuwa amekwishafika ndani ya chumba hicho lakini Godson hakuyafumbua macho yake.
“Mpenzi! Godson mpenzi! Naomba ufumbue macho yako, fumbua macho yako mpenzi unitazame. Nitazame mpenzi, umefumba macho siku nyingi, naomba uyafumbue hata kwa dakika moja unitazame, nitazame mpenzi,” alisema Melania huku akilia kama mtoto, wazazi wake walikuwa wakifanya kazi ya kumbembeleza anyamaze lakini hakunyamaza.
“Melani! Nyamaza binti yangu!” alisema mama yake.
“Inaniuma mama! Inaniuma! Kwa nini Godson, kwa nini Mungu amfanye hivi Godson tena siku ya kunivusha pete ya uchumba?” aliuliza Melania huku akiendelea kulia kama mtoto.
“Nyamaza Melania,” alisema baba yake Godson.
Siku zikakatika mpaka siku ya ishirini ilipoingia bado Godson alikuwa kimya kitandani. Ndugu, jamaa na marafiki waliona kwamba huo ndiyoo ulikuwa mwisho wake. Waliwaonea huruma wazazi wao kwani mbali na kaka yake aliyekuwa nchini Ukraine, yeye ndiye alikuwa mtoto pekee aliyeishi nchini Tanzania.
“Naamini kuna siku atapona tu,” alisema baba yake Godson.
“Lakini siku zinakwenda baba,” alisema Melania.
“Uponyaji wa Mungu hauna mipaka, hata kama muda utakwenda, lakini bado hauwezi kuzuia kazi yake kufanya miujiza,” alisema baba yake Godson huku akiwa na imani tele kwamba kuna siku kijana wake angefumbua macho kitandani pale na kupona kabisa. Kwa watu wengine, walipokuwa wakimwangalia Godson, hawakuhisi kama jambo hilo lingeweza kutokea kwani hali yake ilizidi kuwa mbaya kadiri siku zilivyozidi kwenda mbele.
****
Mwindaji yule alikuwa kimya ndani ya nyumba yake, mapigo yake ya moyo yalikuwa yakimdunda, hakujua ni kitu gani alitakiwa kufanya ili kujiokoa katika mikono ya watu hao ambao hawakuonekana kuwa watu wazuri, kwa jinsi walivyokuwa, bunduki walizozishika zilionyesha kabisa kwamba watu hao walikuwa hatari sana.
Alichokifanya ni kwenda chumbani kwake huku akiwa amemuacha William kwenye kochi sebuleni, huko alipokuwa ndipo alipokumbuka kwamba ndani ya nyumba hiyo, wakati alipokuwa akiijenga, chini aliweka handaki kwa ajili ya kujilinda na maadui.
Hakutaka kupoteza muda, akarudi sebuleni, akamchukua William, akambeba na kuelekea naye chumbani, huko, akaufungua mpango wa kuingilia ndani ambapo ukifungwa, ilikuwa ni vigumu kujua kama kulikuwa na mlango, akaingia huko.
Kulikuwa na kila kitu, sebule kubwa huku kwa juu kukiwa na ukuta ambao ndiyo ulikuwa sakafu kwa vyumba na sebule ile ya juu. Alipoingia, akaufunga mlango na kumpeleka William kitandani. Akiwa huko, akaanza kusikika watu wakiingia ndani kwake,watu hao wakaanza kumtafuta huku wakitembea huku na kule, kwa pale alipokuwa, alikuwa na uhakika kwamba watu hao wasingeweza kumuona kwani hata mlango wa kuingilia huko ilikuwa vigumu kugundulika.
Alitulia huko mpaka pale alipohisi kwamba nyumba hiyo ilikuwa ikiteketea moto. Alilifikiria hilo, likampa uhakika kwamba watu hao hawakuwa watu wema na alifanya jambo la maana sana kumchukua mtu huyo ambaye hakujua alikuwa nani na ilikuwaje aonekane ameruka kwa parachuti na wakati hali yake ilikuwa mbaya.
“Huyu ni nani?” alijiuliza bila kupata majibu.
Hakutoka huko, hata watu wale walipoondoka, aliamini kwamba bado walikuwepo mahali hapo. Akafanya mambo yake, kulekule chini alipokuwa akapika na kumnywesha William uji wa moto. Baada ya saa kumi, akasikia wanaume wengine wakifika katika nyumba hiyo.
Hao walikuwa ni majasusi wa CIA lakini hakutaka kutoka kwani bado mawazo yake yalimwambia kwamba watu hao walikuwa wabaya ambao walifika mahali hapo kwa ajili kuwaua, hivyo hakutaka kutoka huko.
Walikaa huko kwa siku nzima huku William akiendelea kuwa kama alivyokuwa. Bado mwindaji yule alikuwa na mawazo tele, hakujua mtu huyo alikuwa nani na kitu gani kilitokea mpaka kuwa mahali pale siku hiyo.
Wakati akiendelea kujiuliza hayo ndipo akaamua kuwasha televisheni na kuanza kuangalia kuona kitu gani kilikuwa kikiendelea. Habari ambayo ilikuwa kubwa katika vituo vingi vya habari ilikuwa ni kutekwa kwa William na kufa katika ajali ya ndege iliyotokea.
Kila mmoja alihuzunika, lawama za Wamarekani zikahamia kwa Warusi ambao walionekana kutokujali, na walipoambiwa kwamba wao ndiyo walihusika, walibisha na kuhitaji kuletewa ushahidi kwani kama wataalamu wa kompyuta, walikuwa na watu zaidi ya ishirini, tena wote wakiwa na ukali zaidi ya huyo William.
“We can’t do bullshit,” (hatuwezi kufanya huo upumbavu) alisema waziri mkuu wa nchi hiyo.
“But the FBI report says you did it,” (lakini ripoti ya FBI inasema mlifanya)
“No! We are dealing with our business, not theirs,” (hapana! Sisi tunadili na mambo yenu na siyo yao) alisema waziri huyo.
Maofisa wa CIA waliendelea kupeleleza kila kona kujua mahali alipokuwa William lakini hawakupata jibu, mioyo yao iliumia sana, hawakuamini kama kweli walimkosa mtu huyo. Walikasirika, walijua kwamba Urusi ndiyo walifanya kazi hiyo ya kumteka William na kuondoka naye, walihisi kwamba ili kuwapoteza maboya wakaamua kuilipua ndege ili ionekane William amekufa na wao kumchukua kirahisi.
Hawakutaka kukubali, hawakutaka kushindwa. Walichokifanya ni kuwasiliana na maofisa wao waliokuwa nchini Urusi na kuwaambia kwamba ni lazima wafanye kazi kubwa ya kuhakikisha kwamba William anapatikana kwani kwa namna moja au nyingine ilikuwa ni lazima mtu huyo awe huko.
Hilo halikuwa tatizo, watu hao waliokuwa humo wakajipanga na kuanza kazi mara moja ili kuweza kumpata mtu huyo. Kila mmoja nchini Marekani alikuwa na uhakika kwamba William angepatikana kwani watu waliokuwa wamewatuma walikuwa wazoefu na kazi yao na uzuri zaidi ni kwamba hawajawahi kushindwa kwenye kila kitu.
****
“Ooh! Is this William? What has hapenned to him?” (Ooh! Huyu ni William? Nini kimemtokea?) aliuliza mwindaji huyo.
Alishtuka, aliiona taarifa ya habari ikimuonyesha mtu aliyehisiwa kupotea au kufa katika ajali ya ndege iliyotokea nchini Canada. Alipomwangalia mtu huyo kwenye televisheni, aligundua kwamba alikuwa William ambaye alikuwa ndani ya chumba chake.
Alishindwa kuamini, alimwangalia mara mbilimbili, kwake, hiyo ilionekana kuwa nafasi kubwa ya kushinda mamilioni ya dola kwani baada ya CIA kushindwa, wakaamua kuweka kiasi kikubwa cha fedha kwa mtu yeyote ambaye angefanikisha kupatikana kwa mtu huyo.
Alijiona tajiri, alipokuwa akimwangalia William, hakumuona William akiwa amelala bali aliziona noti za dola zikiwa kwenye mfuko mkubwa wa fedha pale kochini. Alitamani kuwapigia simu CIA na kuwaambia kwamba mtu waliyekuwa wakimtafuta alikuwa ndani ya nyumba yake.
Hakuwa na simu ya mkononi, katika maisha yake alikuwa akitumia simu ya mezani na mbaya zaidi wakati nyumba ikichomwa moto, nyaya za simu hizo nazo ziliteketea kitu kilichompa wakati mgumu.
Hakuwa na haraka sana, alichokipanga ilikuwa ni lazima aondoke mahali hapo na kwenda mjini asubuhi inayofuata kwa ajili ya kwenda kuwapigia simu CIA na kuwaambia kilichokuwa kimetokea ili waje kumchukua mtu wao.
Hilo likafanyika, baada ya kuwa na mawazo usiku mzima, hatimaye asubuhi ilipofika, akatoka nyumbani kwake kwa kutumia gari lake na kuelekea mjini huku akiwa na furaha tele. Kutokana na wingi wa theluji na barafu ilimchukua mwendo wa saa moja mpaka mjini ambapo akaelekea kwenye kibanda cha simu na kupiga simu.
“Mmesema kuna dola ngapi kwa atakayefanikisha kupatikana kwa William,” aliuliza mara baada ya simu kupatikana.
“Tunazungumza na nani?”
“Nimeuliza kwanza. Kunijua si jambo la muhimu kuliko kujua mahali William alipo,” alisema mzee huyo kwa mbwembwe.
“Dola milioni mbili” alisema mwanaume kwenye simu, hiyo ilikuwa ni sawa na bilioni mbili kwa pesa ya Tanzania.
“Sawa.”
“Unaye?”
“Ndiyo! Yupo nyumbani kwangu amejaa tele!”
“Kweli?”
“Ndiyo! Njooni kabisa na pesa zangu! Nilimkuta akiwa kwenye kiti, kuna Waarabu walitaka kumuua,” alisema mzee huyo.
“Sawa. Tunakuja.”
“Sasa mtajua nilipo.”
“Tunajua. Tunafika ndani ya nusu saa.”
Mzee huyo akasubiri alipokuwa, moyo wake ulikuwa na presha kubwa, hakuamini kama ndani ya saa chache zijazo akaunti yake ingetuna na kuwa na dola milioni mbili ndani. Alisubiri, baridi lilimpiga, aliagiza kahawa na kunywa lakini bado aliendelea kuchomwa na baridi lile.
Kila alipokuwa akizifikiria pesa alizoambiwa kwamba angezipata, alihisi mwili ukipata joto kali. Alisubiri na baada ya dakika kumi na tano, magari mawili makubwa yaliyofanana na Range yakafika mahali hapo, wakamchukua na kuelekea nyumbani kwake.
Kilichokuwa kikimshangaza ni muonekano wa watu hao, hawakuwa Wamarekani kama alivyodhani bali kila alipowaangalia aliona kwamba watu hao walikuwa Warusi. Alijiuliza sababu ya kuwa hivyo lakini akakosa jibu. Alikumbuka dhahiri kwamba aliambiwa kuwa watu hao wangefika baada ya nusu saa lakini kitu cha ajabu kabisa, watu hao walifika ndani ya dakika kumi na tano tu.
“Mmh!” alijikuta akiguna.
Hakutaka kujali sana, kitu alichokuwa akikihitaji kilikuwa ni pesa tu. Njiani, hakuna kitu alichokuwa akikiulizia kama fedha zake, alitaka kupewa chake kwanza hata kabla hajawaonyeshea mahali alipokuwa William kwani kila alipowaangalia watu hao, alihisi kabisa kama wangembadilikia.
“Utapewa tu,” alisema mwanaume mmoja.
“Basi hakuna shida. Nyumbani ni pale,” alisema mzee huyo.
“Mbona hakuna nyumba.”
“Ilichomwa moto. Nilimpeleka kwenye handaki langu! Twendeni,” alisema mzee huyo pasipo kujua kwamba watu waliokuwa wamemchukua hawakuwa Wamarekani bali Warusi ambao walikuwa wamezitraki simu za FBI na hivyo alipopiga simu, walizipata taarifa hizo na hivyo kwenda wao kabla ya hao CIA.

Je, nini kitaendelea?
Je, nini kitatokea Warusi hao wakimchukua William?
Je, Godson atapona?
ITAENDELEA

FUTA MACHOZI MPENZI – 2 RIWAYA YA UPELELEZI

Related image

Simulizi : Futa Machozi Mpenzi
Sehemu Ya  Pili (2)

“Nipo Australia!”
“Mbona ghafla na hukuniaga?”
“Kwa sababu sipendi kuaga watu! Una shida yoyote?” aliuliza Nicolaus swali ambalo liliendana na emoji ya kucheka katika mtandao huo.
Melania hakutegemea kama angepewa jibu kama hilo. Moyo wake ulimuuma sana kwani aliambiwa hivyo na mtu aliyekuwa akimpenda mno moyoni mwake. Baada ya kusema hivyo, Nicolaus hakutaka kuzungumza na Melania, alichokifanya ni kukata simu.
Hayo ndiyo maisha aliyoamua kuishi. Baada ya kukaa kwa wiki mbili, akazichukua picha zote kwenye simu yake na kuzihamishia kwenye barua pepe zake, hakutaka zionekane na mtu yeyote yule, alitaka kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii ili kila mtu auone utupu wa msichana huyo aliyekuwa na urembo wa ajabu.
“Nicolaus…” aliita Melania kwenye simu kwa njia ya meseji.
“Unasemaje?”
“Ulitaka picha, nimekutumia, sasa tatizo nini? Mbona umebadilika hivyo?” aliuliza msichana huyo.
“Nimebadilika nimekuwaje? Wa kijani au mwekundu?”
“Nico, mbona unanifanyia hivi?”
“Nimekufanyaje? Mbona kawaida tu!”
“Naomba uzifute picha zangu basi.”
“Ili?”
“Naomba tu uzifute,” alisema msichana huyo huku akianza kutoa kilio cha kwikwi.
Nicolaus hakutaka kuandika ujumbe wowote ule alichokifanya ni kupuuzia. Nchini Tanzania, Melania alikuwa na mawazo tele, hakujua lengo la mwanaume huyo lilikuwa ni nini juu ya picha zile.
Baada ya siku mbili, picha zake, baadhi ambazo hazikuwa za utupu moja kwa moja zikaanza kuonekana kwenye mitandao ya kijamii huku kukiwa na neno yaliyosomeka ‘Slut’ likiwa na maana ya mwanamke mchafu.
Uso haukuonekana lakini Melania alijua kwamba zile zilikuwa picha zake na mtumaji alisema kwamba baada ya siku kadhaa angetuma picha zote huku msichana huyo akionekana kwani alikuwa mmoja wa mabinti ambao wazazi wao walikuwa maarufu sana.
Melania akachanganyikiwa, hakuamini kama kweli Nicolaus aliamua kufanya jambo kama hilo. Alimtumia meseji na kumpigia lakini meseji hazikuwa zikijibiwa japokuwa zilionekana kusomwa na simu wala haikupokelewa.
Melania hakutulia, mbele yake aliiona aibu kubwa, moyo wake ulimuuma mno na muda mwingi alikuwa akijuta sababu zilizomfanya kumtumia mwanaume huyo picha zile. Alichanganyikiwa na hakutaka kubaki nchini Tanzania, alichokifanya ni kuwaaga wazazi wake kwamba alitaka kuelekea nchini Australia.
“Kuna nini?” aliuliza baba yake, Mzee Edward.
“Nakwenda kutembea tu!”
“Ndiyo uende Australia!”
“Baba! Naomba nikapumzike. Sipo sawa.”
Hawakuwa na jinsi, hawakutaka kumzuia binti yao kwani walimpenda sana hivyo kumruhusu kwenda huko. Aliondoka baada ya siku mbili, alichanganyikiwa, ndani ya ndege alikuwa na mawazo tele, alitaka kumuona Nicolaus na kuzungumza naye juu ya picha hizo.
Ndege ilichukua saa kumi na nane mpaka kufika huko. Ikatua katika uwanja wa ndege hapo Melbourne na kisha siku hiyohiyo kuondoka kuelekea katika Chuo cha Monarch kwa ajili ya kuonana na Nicolaus.
“He left to Perth,” (aliondoka kwenda Perth)
“Oh my God! I just want to see him,” (Oh Mungu wangu! Ninataka kumuona) alisema msichana huyo huku akionekana kuwa na uhitaji wa kuonana na Nicolaus.
“Who are you?” (wewe ni nani?)
“His sister,” (dada yake)
“Where are you from? Manhattan, Brooklyn or DC?” (umetoka wapi? Manhattan, Brooklyn au DC?) aliuliza jamaa aliyekuwa akizungumza naye chuoni.
“Tanzania!”
“Tanzania! What the hell is that?” (Tanzania! Ndiyo nini?) aliuliza jamaa huyo. Hakukumbuka kama Marekani kulikuwa na sehemu iliyoitwa Tanzania.
Ikambidi Melania aanze kumwambia jamaa huyo kuhusu Tanzania. Hawakuamini walipogundua kwamba Nicolaus alitoka Tanzania na si Marekani kama alivyokuwa akijulikana mahali hapo.
Wengi walishangaa, Melania hakujua sababu ya watu hao kushangaa namna hiyo, hakujua kwamba Nicolaus alijitambulisha kama mtu aliyetoka Marekani huku hata lafudhi yake ikionyesha kweli alitoka nchini humo.
“Sasa hujawasiliana na ndugu yako wakati unakuja?” aliuliza jamaa mmoja.
“Sikuwasiliana naye kwani nimetoka Uingereza mara moja na kupitia hapa. Huko Perth ni mbali sana?” aliuliza Melania.
“Si mbali sana. Ila msubiri kwani amekwenda mara moja na msichana wake, Kattie, nafikiri mpaka kesho wanaweza kuwa hapa,” alisema jamaa huyo.
Maneno hayo yalimchoma mno Melania, hakuamini kile alichokisikia kwamba kila siku aliweka tumaini kwa mwanaume huyo na wakati huko nchini Australia alikuwa na msichana mwingine.
Nguvu za miguu yake zikamuisha, akashindwa kuvumilia kusimama, akachuchumaa na kukiinamisha kichwa chake, macho yakajaa machoni mwake na baada ya sekunde kadhaa machozi hayo yakaanza kutiririka mashavuni mwake.
Aliumia mno, mbele yake aliona giza zito. Wakati mwingine alikuwa akimlaumu Mungu kwa kile kilichotokea, kumruhusu mwanaume huyo kuingia moyoni mwake. Alijua kwamba alifanya makosa kwa sababu hakumtaka Nicolaus kuzivua nguo zake mpaka siku ambayo wangeoana na kuwa mume na mke.
Alitulia hapohapo huku akiwa amechuchumaa. Aliendelea kulia kiasi kwamba wanaume aliokuwa nao mahali hapo wakaamua kuondoka zao na kumuacha. Alikaa hapo kwa dakika kadhaa, akainuka, akalishika begi lake na kwenda hotelini.
Siku hiyo ilikuwa kama msiba, ilikuwa ni kama amefiwa na mzazi wake, hakuwa na furaha hapo Melbourne, muda wote alikuwa ni mtu wa kulia na hata kitandani alipokuwa amelala, shuka lililowanishwa na machozi yake.
Akajuta kwa uamuzi wa kujipiga picha za utupu na kumtumia mwanaume huyo. Alijua kwamba kwenye maisha yake aliwahi kufanya makosa mengi aliyojutia lakini hilo la kujipiga picha za utupu na kumtumia Nicolaus hakika lilikuwa kosa kubwa sana kulifanya katika maisha yake.
Wakati yeye akilia na kuhuzunika, upande wa pili Nicolaus alikuwa akiyafurahia maisha yake na msichana wake mpya, Kattie. Moyo wake ulikuwa kwenye furaha kubwa, huko Perth walipokuwa wamekwenda ilikuwa ni kwa ajili ya kuyafurahia maisha na kulinogesha penzi lao.
Hakumfikiria Melania kichwani mwake, aliamua kumsahau msichana huyo kwani kitu alichokigundua wakati huo ni kwamba Wazungu walijua kupenda kuliko hata ngozi nyeusi. Alikuwa kwenye uhusiano na msichana huyo kwa wiki chache lakini tayari walilala sana kitandani, walifanya sana ngono tofauti na jinsi alivyokuwa na msichana Melania ambaye kila siku alimwambia asubiri na hivyo kuwa mpenzi mtazamaji tu.
Walikaa huko kwa siku mbili ndipo wakarudi jijini Melbourne. Alipofika tu chuoni akaambiwa kwamba kulikuwa na msichana aliyekuwa amefika chuoni hapo kumuona, alipouliza kuhusu msichana huyo, akaambiwa kwamba alitoka Tanzania.
“Ndiyo wapi huko?” aliuliza huku akijifanya kushangaa.
“Anasema Afrika!”
“Sipajui na sina ndugu huko Afrika.”
“Au ni tapeli?”
“Inawezekana!”
Baada ya kukaa kwa saa chache chuoni hapo, Melania akarudi na kumuulizia tena. Akaambiwa kwamba mwanaume huyo alirudi na alikuwa katika chumba chake hapohapo chuoni, hivyo akapelekwa.
Alipofika huko, kitu cha kwanza alifurahi kumuona mpenzi wake huyo, moyo wake uliokuwa na hasira naye ukapoa, akahisi nguvu kubwa ya mapenzi ikirudi moyoni mwake hali iliyoufanya uso wake kuwa na tabasamu pana. Akaanza kumsogelea kwa ajili ya kumkumbatia.
“Who the hell are you?” (wewe ni nani?) aliuliza Nicolaus, alijifanya kutokumjua msichana huyo kwani aliamini angeunguza picha kwani chuo kizima kilijua kwamba alitoka Marekani na ndiyo sababu iliyomfanya kupendwa.
“Nicolaus…what the hell wrong with you?” (Nicolaus…una nini?) aliuliza Melania huku akimshangaa mpenzi wake huyo.
Alichokifanya Nicolaus ni kumchukua Melania na kuondoka naye mahali hapo huku akiwa amemshika mkono. Safari yao hiyo ikaishia chini ya mti mmoja mkubwa, wakatulia hapo.
“Umefuata nini hapa?” aliuliza Nicolaus kwa ukali.
“Nimekuja kuzungumza na wewe.”
“Kuzungumza na mimi! Kuhusu nini?”
“Kuhusu picha, ila pia kuhusu uhusiano wetu,” alisema Melania.
“Kuhusu uhusiano wetu? Kwani hukujua kwamba sikutaki tena?” aliuliza Nicolaus huku akimwangalia msichana huyo ambaye uso wake ulionyesha kuumizwa zaidi juu ya kile alichoambiwa.
“Nicol….”
“Melania! Nina mpenzi, ninampenda, sitaki kuwa na wewe. Halafu wewe ni mtu mzima, wakati mwingine lazima uusome mchezo, siku hizi tunaacha kidigitali, unaachwa kimyakimya. Hupigiwi simu, hutumiwi meseji, sasa mpaka hapo hujashtukia kama umeachwa?” aliuliza Nicolaus huku uso wake ukiwa kwenye tabasamu, hakuyajali maumivu aliyokuwa nayo msichana huyo moyoni mwake.
“Basi naomba uzifute picha zangu!
“Picha zipi?”
“Zile nilizokutumia. Nimeona umeanza kuziweka kwenye mitandao,” alisema Melania huku akilia.
“Kwani picha ni zako au zangu? Si ulinitumia, kwa maana hiyo ni kama uliniuzia, sasa kwa nini nizifute picha zangu? Haiwezekani,” alisema Nicolaus, hakutaka kuzungumza sana, akaondoka mahali hapo na kumuacha msichana huyo akilia kama mtoto.
Hiyo ndiyo ilikuwa siku mbaya maishani mwake, alijiona kuuza utu wake, aliumia na kitu kilichomuumiza zaidi ni kuhusu wazazi wake. Walikuwa watu walioheshimika sana, aliamini kwamba kama kweli picha zake zitawekwa mitandaoni na sura yake kuonekana basi ingekuwa aibu kubwa mno.
Hakutaka jambo hilo litokee na ndiyo maana aliamua kuondoka na kwenda Australia ili kuzungumza na Nicolaus lakini matokeo yake, hakueleweka na kwa jinsi mwanaume huyo alivyoonekana, ilionyesha kabisa kwamba angekwenda kuziweka picha hizo mitandaoni huku sura yake ikionekana.
Akarudi nchini Tanzania huku akiwa hakijielewi kabisa. Safari ilikuwa ni ya huzuni na kulia sana. Alijua kwamba angeweza kumshtaki lakini hiyo isingesaidia kwa sababu kama angezitoa picha zake na kuwekwa mitandaoni na sura kuonekana basi watu wangezipakua na kuwa nazo kwenye kompyuta zao.
Alipofika Tanzania, hakutaka kuchelewa, kitu cha kwanza kabisa kilikuwa ni kuwatafuta wataalamu wa IT, alitaka kuzungumza nao ili ikiwezekana waingie katika barua pepe ya Nicolaus na kuzifuta picha hizo.
“Nitafanya kazi hiyo,” alisema jamaa mmoja, alikuwa mtaalamu wa kompyuta kutoka katika chuo cha kompyuta cha UCC (University Computing Centre) kilichokuwa ndani ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
“Kwa hiyo utaweza?”
“Kazi nyepesi sana. Sisi ndiyo hackers wenyewe,” alijigamba jamaa huyo.
“Sawa. Kwa hiyo itakuwa kiasi gani?”
“Milioni tano!”
“Haina shida. Ukifanikiwa hata kumi nitakupa,” alisema Melania hali iliyoonyesha ni kwa jinsi gani alitamani picha hizo zifutwe.
Kijana huyo wa IT aliyeitwa Ibrahim Musa akaondoka na kwenda kufanya kazi yake. Alikuwa mtaalamu mkubwa wa kuchezea kompyuta zaidi ya wanafunzi wote chuoni hapo. Aliijua kompyuta na kuifanya alivyotaka.
Aliamini kwamba angefanikiwa kutokana na utaalamu wake mkubwa aliokuwa nao. Kama alikuwa na uwezo wa kuingia kwenye akaunti za watu Facebook, WhatsApp na Instagram, ingeshindikana vipi kuingia kwenye barua pepe kama Yahoo?
Alijiamini, akaanza kuifanya kazi hiyo kwa nguvu kubwa. Haikuwa kazi nyepesi hata kidogo, ilikuwa ni kazi kubwa ambayo hakuwahi kukutana nayo kabla. Akaunti ya Nicolaus ilikuwa na ulinzi mkubwa, ilikuwa vigumu sana kuingia na kuichezea.
Ibrahim alitumia muda wa wiki nzima, hakufanikiwa, alitamani kuzipata fedha za Melania lakini kazi aliyopewa ilikuwa kubwa mno hivyo kunyoosha mikono juu na kumtafuta msichana huyo.
“Vipi?”
“Daah!”
“Imekuwaje? Umefanikiwa?”
“Hapana! Huyu jamaa kaifunga sana akaunti yake.”
“Kwa hiyo imeshindikana?”
“Ndiyo! Nimeshindwa labda unipe siku zaidi,” alijibu Ibrahim, alizitamani fedha lakini kazi ya kuifanya mpaka hizo fedha zipatikane haikuwa kazi nyepesi.
Melania akachoka, akanyong’onyea na kuhisi kwamba huo ndiyo ulikuwa mwisho wa maisha yake, alitamani kuchimba shimo na kujifukia kwani hakuona kama angehimili kupigana na aibu kubwa ambayo angeipata hapo baadaye baada ya picha zake kusambazwa katika mitandao ya kijamii na kuonekana hadharani.
Kila siku alilia kwa uchungu, alipambana, aliwasiliana na watu wengine na kuwaambia kuhusu suala lake, alipelekewa wataalamu wengi wa IT lakini hawakufanikiwa kulimaliza tatizo lake hivyo kukata tamaa kabisa.
Alivumilia, alilifanya jambo hilo kuwa siri lakini mwisho wa siku akaamua kumshirikisha rafiki yake aliyeitwa Michael Msofe ambaye aliwahi kusoma naye shule. Alipomwambia, Michael akamlaumu kwa kuchukua uamuzi wa kumtumia mtu huyo picha hizo.
“Sawa. Umeshanilaumu, nimekubali, kwa hiyo nifanye nini?” aliuliza Melania aliyeonekana kukata tamaa.
“Kuna mtu anaweza kuifanya kazi hiyo!”
“Nani?”
“Anaitwa William!”
“Amesoma kompyuta? Ni mkali?”
“Huyo hajawahi kusoma kompyuta hata siku moja.”
“Sasa atawezaje kuifanya kazi hii? Nimewapelekea waliosomea na wenye digrii zao wote wameshindwa. Michael, atawezaje?” aliuliza Melania, hakutaka kuamini kama katika dunia hii kuna mtu angeweza kuingia katika akaunti ya Nicolaus.
“Ataweza tu!”
“Naomba nionane naye. Anaishi wapi?”
“Anaishi Tabata.”
“Naomba twende huko.”
“Sawa.”

Maisha ya kimasikini aliyokuwa akiishi na mama yake ndiyo yaliyomfanya kuanza kuiba fedha katika benki moja na kuziweka kwenye simu yake. Moyo wake ulifurahi, ndani ya simu hiyo kulikuwa na shilingi milioni mia tano, kiasi kikubwa ambacho angeamua kufanya kitu chochote kile.
Hakumwambia mama yake, alichokifanya ni kuzitoa fedha hizo na kuziweka katika akaunti yake ya benki. Katika kila kitu kilichokuwa kikiendelea kilifanyika kwa kuzichezea codes za benki hiyo ambapo hakukuwa na mtu yeyote aliyekuwa akiufahamu mchezo huo.
Maisha yakaanza kubadilika, akaanza kununua nguo na vitu vingine, yalikuwa ni mabadiliko ya haraka sana, mama yake hakujua kilichokuwa kikiendelea, alishangaa tu kuona mtoto wake akianza kubadilika, kuwa na muonekano mpya ambao aliushangaa.
Kila alipokuwa akimuuliza, William hakuwa akijibu kama ilivyokuwa ikitakiwa. Kisiri sana akaanza kutafuta nyumba ya kununua, kwa bahati nzuri akaipata maeneo ya Tabata Kimanga ambapo huko akaiona na kuinunua kwa kiasi cha shilingi milioni mia moja.
Ilikuwa nyumba kubwa, yenye kila kitu ambayo ilitakiwa kukaliwa na mtu mwenye fedha. Hakumwambia mama yake, iliendelea kuwa siri huku akiendelea kuzitumia fedha zile. Ndani ya nyumba hiyo akatenga chumba kimoja kwa ajili ya kompyuta tu, humo ndani ndipo kulipokuwa kukitumika mambo yake yote ya kompyuta huku akinunua laptop kwa ajili ya kupiga madili yake.
Alikuwa kijana mdogo lakini alionekana kuwa na mafanikio makubwa. Baada ya kupita kipindi cha miezi mitatu, akamtafuta mzee mmoja ambaye alimtaka kuzungumza na mama yake ili ajue kilichokuwa kimetokea.
“Habari yako mama,” ilisikika sauti kwenye simu.
“Salama tu!”
“Una mtoto anaitwa William?” aliuliza mwanaume huyo.
“Ndiyo! Amefanyaja mwanangu?”
“Ni kwamba alicheza bahati nasibu yetu ya shinda nyumba na amefanikiwa kushinda nyumba yenye kila kitu ndani iliyopo huku Tabata Kimanga,” ilisikika sauti ya mwanaume huyo.
“Unasemaje?”
“Ndiyo hivyo! Aliandika namba yako ya simu kwenye tiketi yake na ndiyo maana tumekupigia wewe kumpa taarifa ya ushindi wake,” alisikika mwanaume huyo.
Bi Sophia hakuamini alichokisikia, machozi yakaanza kumtiririka mashavuni mwake, moyo wake ulikuwa na furaha tele. Siku hiyo hata biashara ya genge haikufanyika tena, alimsubiri mwanaye kwa hamu kubwa kwa ajili ya kumpa taarifa juu ya kilichotokea.
Saa kumi jioni William akarudi nyumbani, alipomuona tu, kitu cha kwanza kilikuwa ni kumkumbatia huku machozi yakimtiririka mashavuni mwake. Hakuamini kama mtoto wake alishinda nyumba hiyo, hakuamini kama kipindi hicho kilikuwa ni cha kuhama huko Tandale na kuhamia Tabata.
“Willy! Ulicheza bahati nasibu ya nyumba?” aliuliza Bi Sophia huku akimwangalia William.
“Ndiyo! Kuna nini mama?”
“Umeshinda nyumba.”
“Unasemaje?”
“Umeshinda nyumba mwanangu! Nimepigiwa simu,” alisema Bi Sophia na kumkumbatia tena mtoto wake.
William akashindwa kuvumilia, kwa jinsi mama yake alivyokuwa akibubujikwa na machozi, hata naye akajikuta akibubujikwa na machozi ya uchungu kwani umasikini uliwatesa kwa kipindi kirefu.
Siku iliyofuata William akawasiliana na mwanaume huyo na kumwambia awafuate na gari na kuwachukua, hilo halikuwa tatizo kwani muda waliopanga mwanaume huyo na mwenzake wakafika mahali hapo, wakawachukua na kuelekea huko Tabata.
Kila kitu kilikuwa ndani, nyumba kubwa, Bi Sophia alipoiona, hakuamini, alijikuta akianza kulia tena na kupiga magoti. Moyo wake ulikuwa na furaha kubwa, isiyosimulika, hakuamini kama walikuwa wametoka Tandale na kuhamia Tabata tena kwenye nyumba yao.
Hilo likaendelea kuwa siri, William aliendelea kuziibia benki mbalimbali. Hakuwa akitoka nyumbani lakini kila siku alikuwa akiingiza kiasi kikubwa cha fedha. Maisha yake yalibadilika, alinunua magari na kufungua biashara kubwa.
“Kuna kitu unanificha,” alisema Bi Sophia.
“Hakuna kitu!”
“Hapana! Kuna kitu unanificha…”
“Sawa. Basi ngoja niwe muwazi. Nimepata kazi!” alijibu William.
“Kazi gani?”
“Bandarini!”
“Ndiyo uwe na magari namna hiyo!”
“Ujanjaujanja tu mama!”
“Hapana niambie ukweli,” alisisitiza Bi Sophia.
Baada ya kubanwa sana huku mama yake akionekana kutaka kufahamu ukweli ndipo akaamua kumuelezea kila kitu tangu siku ya kwanza mpaka hapo alipofikia. Mwanamke huyo alikuwa kimya, hakuamini kile alichokizungumza mtoto wake, wakati mwingine aliona kama alikuwa ndotoni, iweje mtoto wake awe na kiasi kikubwa cha fedha namna hiyo na asigundulike na mtu yeyote?
“Samahani kwa kukuficha mama! Ila ukweli ni kwamba nina bilioni mbili kwenye akaunti!” alisema William maneno ambayo yalimshtua mwanamke huyo.
“Na siku ukikamatwa?”
“Hakuna kitu kama hicho mama! Niliwachukulia fedha kiakili sana. Ninataka kwenda kuongeza elimu yangu, mwezi ujao nataka niende kusoma katika Chuo cha Harvard nchini Marekani,” alisema William, mama yake akashtuka.
“Kusoma Marekani?”
“Ndiyo!”
“Na ada?”
“Nina hela nyingi mama! Uwezo wa kulia ada upo ila sitotaka kulipia, nitasoma bure kabisa,” alisema William.
“Unanichanganya!”
“Mama ulimwengu umebadilika. Siku hizi ada hupeleki mkono kwa mkono, unalipia benki na ndiyo maana nakwambia nitasoma bure huko Marekani! Nitataka niwe mtu mwenye heshima kubwa hapo baadaye, watu walitudharau, walikuzomea kwa sababu ya sura yangu! Mama! Mungu hakunyimi kila kitu, ameninyima sura nzuri ila ameupa ubongo wangu uwezo mkubwa wa kufanya kitu chochote kile,” alisema William huku akiachia tabasamu ambalo liliufanya uso wake kuwa mbaya zaidi.
Baada ya siku kadhaa, akatembelea na mtu aliyemfahamu sana, huyu aliitwa Michael. Alimfuata nyumbani kwao huku akiongozana na msichana aliyekuwa na sura nzuri aliyejitambulisha kwa jina la Melania.
Kwa jinsi alivyokuwa akimwangalia msichana huyo, alikiri kwamba alikutana na mtu mwenye sura nzuri kuliko wasichana wote aliowahi kuwatia machoni.
Melania alionekana kuogopa, kila alipomwangalia William alitamani kukimbia. Mwanaume huyo alitisha, sura yake ilifanana na nyani na kilichowatofautisha ni kwamba hakuwa na manyoya mengi kama nyani.
Alimwangalia kwa hofu, wakati mwingine alitamani kuondoka mahali hapo kwani kila alipoyatua macho yake kwa mwanaume huyo, alihisi mapigo yake ya moyo yakidunda kwa nguvu kupita kawaida.
Michael akaanza kumtambulisha Melania na kile kilichomfanya kuwa mahali hapo na kumuhadithia juu ya kile kilichokuwa kimemtokea msichana huyo. William alitoa tabasamu pana, Melania akazidi kuogopa, hakuamini kama mtu huyo alikuwa binadamu.
“Pole sana mrembo,” alisema William huku akimwangalia Melania.
“Nashukuru!”
“Kwa hiyo tatizo ni hizo picha tu?”
“Ndiyo!”
“Basi haina shida! Unataka tuzifanye nini?”
“Zifutwe kwenye kompyuta yake, hilo tu!”
“Aliziweka kwenye barua pepe tu au hadi kwenye kompyuta yake kwenye mafaili?” aliuliza William.
“Sijajua. Ila nahisi kotekote!”
“Basi itabidi nikutane naye, kama sitokutana naye nitahitaji mambo kadhaa! Nitahitaji nijue kompyuta yake ni ya aina gani, ina namba zipi, nataka nifahamu kila kitu kuhusu hiyo kompyuta,” alisema William.
“Mmh!”
“Ni kazi ngumu kupata vielelezo hivyo?”
“Nitajaribu! Ila nikivipata matatizo yatakuwa yamekwisha?” aliuliza Melania, William hakujibu chochote, akaachia tabasamu pana lililojibu swali lake kwamba ingewezekana kwa asilimia mia moja.
“Ila nyingine anaweza kuwa nazo kwenye simu!”
“Napo si tatizo! Nitaizima simu yake. Una namba yake?”
“Ninayo!”
“Naiomba!” alisema William na kupewa namba hiyo.
Akaondoka kuelekea chumbani kwake. Melania akabaki sebuleni, hakujua kitu gani kingeendelea, wakati yote yakiendelea, Michael alikuwa kimya tu, uso wake ulikuwa na tabasamu na aliamini kwa kitendo chake cha kumpeleka msichana huyo kwa William basi kila kitu kingefanikiwa kwa kuwa alimuamini sana.
“Ila ataweza!” aliuliza Melania huku akionekana kuwa na hofu.
“Huyu jamaa ni balaa! Utaona, kwanza anaanza kuizima hiyo simu!” alisema Michael.
Baada ya dakika kadhaa William akarudi sebuleni hapo, alipofika, akaiweka laptop yake mezani na kuwaita watu hao na kukaa nao. Akaiwasha na kisha kuziingiza namba ya simu ya Nicolaus kwenye kompyuta yake.
Hawakujua alifanya nini, walimuona akiichezea kompyuta yake kwa kuingia huku na kule, zilitokea namba zilizokuwa zikipata juu, zilikuwa zaidi ya milioni moja na zilikuwa zikibadilika kwa haraka sana.
Hizo zilikuwa codes na alikuwa akitaka kuingia kwenye simu ya Nicolaus kilazima. Alipoona kwamba nayo simu ilikuwa na ulinzi mkali, akachukua virusi vyake vya Wirus na kuviingiza, vilipoingia tu, codes zikabomolewa na kuingia kwenye simu hiyo.
“Simu yake si ndiyo hii?” aliuliza William huku akiwaonyeshea. Melania alipoangalia majina yaliyokuwepo na vitu vingine, aligundua kwamba ilikuwa ya Nicolaus.
“Ndiyo!”
“Tupo ndani ya simu yake! Unataka tufanye nini?”
“Zitafute zile picha, kama zipo, zifute!”
“Sawa.”
Hiyo haikuwa kazi hata kidogo, akaanza kuzitafuta picha hizo, mbali na picha hizo, akazipata picha ambazo Nicolaus alipiga na laptop yake, kwa sababu alihitaji sana kuijua laptop ya Nicolaus na ndiyo ilimfanya kutaka kusafiri kwenda huko alipokuwa, alichokifanya ni kuzichukua picha hizo ambazo akazipeleka Google na kuhitaji kufahamu aina ya laptop hiyo, ikaletwa na kugundua kwamba ilikuwa Acer Chromebook 14 CW10.
“Safi sana! Kazi nyepesi mno!”
Akazichukua namba hizo na kuziingiza katika kompyuta yake na hapohapo kuingia kwenye laptop ya Nicolaus. Kazi ilikuwa nyepesi, hakuhitaji kuhack akaunti yake ya Google kwani aliingia kwa kupitia kompyuta ileile ambapo huko akazikuta zile picha, akazihamisha, kule akazikata kabisa na kuyafunga mafaili.
Alipomaliza akahamia kwenye kompyuta yenyewe, akazihamisha picha hizo kwa kuzifuta kabisa, hakuridhika, akaingia kwenye simu na kisha kuzifuta picha zote, mbaya zaidi akaviingiza virusi vyake vya Wirus ambavyo pia vilifuta majina yote kwenye simu hiyo.
“Hivi virusi vitaendana na picha. Melania nyoosha mkono, kiweke kidole cha kati juu nikipige picha,” alisema William na hapohapo Melania kufanya kama alivyoambiwa, picha ikapigwa na kisha kutumwa kwenye simu ya Nicolaus na kwenye barua pepe yake ili pale atakapofungua, kitu cha kwanza kabisa kukiona kilikuwa ni kidole cha kati cha Melania kilichokuwa kimesimama dede.
“It is done,” (Kazi imekwisha) alisema William na kuweka miguu juu ya meza huku uso wake ukiwa na tabasamu pana.

Nicolaus alikuwa na furaha tele, kitendo cha msichana Melania kusafiri mpaka nchini Australia kwa ajili ya kwenda kumuomba picha zake kilimfanya kujiona mjanja na kila alipokaa alikuwa akikenua tu.
Moyo wake ulizidiwa kwa furaha kiasi kwamba kila wakati alikuwa akitabasamu tu. Baada ya siku tatu, wakati yupo darasani huku akiangalia simu yake, ghafla ikazima. Hakujua kulikuwa na tatizo gani, hakujua ni kitu kilichokuwa kimetokea.
Harakaharaka akaiwasha lakini haikuwaka, ilikuwa kama imeganda sehemu moja na hakukuwa na batani yoyote iliyokuwa ikifanya kazi. Hakujua ni kitu gani kilichokuwa kimetokea, aliwaambia marafiki zake kuhusu tatizo hilo lakini hakukuwa na mtu aliyemsaidia na hakujua kwamba kipindi hicho ndicho ambacho William alikuwa akifanya yake.
Simu ilibaki katika hali hiyo mpaka ilipokwisha chaji. Aliporudi chumbani na kuiwasha, simu ikakubali, wakati inawaka na kutaka kumuwekea ‘home screen’, picha iliyoonekana ni ya kidole cha kati kikiwa kimenyooshwa.
Alikifahamu kidole hicho kwani jinsi rangi zilivyokuwa zimepakwa, alifahamu kwamba alikuwa Melania. Alichanganyikiwa, hakujua ni kitu gani kilichokuwa kimetokea. Hakutaka kuhangaika, aliona kama msichana huyo alikuwa amejisumbua tu.
Akaiwasha laptop yake ili kuangalia picha zile kitu kilichomshangaza, picha zile alizokuwa amezihifadhi katika kompyuta zake hazikuonekana.
“Mmh! Si niliziweka kwenye hili faili!” alijisemea na kuanza kupitia mafaili yote, moja baada ya jingine lakini hakuweza kuziona picha hizo.
Moyo wake ulimuuma mno, hakuamini kilichotokea, harakaharaka akakimbilia kwenye barua pepe kwani alizihifadhi huko pia. Alipofungua barua pepe na kuingia, kitu cha kwanza kabisa kilichoonekana ni picha ya kidole cha kati cha msichana Melania.
Alichanganyikiwa zaidi, hakujua ni kitu gani kilitokea. Moyo wake uliuma, hapohapo akajikuta akianza kutokwa na machozi kwani hizo picha ndizo alizokuwa akijitambia nazo, alikuwa na uhakika wa kufanya jambo lolote kwa Melania hasa pale ambapo angemtisha kuzivujisha picha hizo.
Hakuwa na furaha, alionekana kuwa na mawazo mengi. Alipoteza kila kitu, alitamani kumpigia simu msichana huyo na kuzungumza naye lakini hakupata nafasi hiyo tena kwani hata namba yake hakuikariri na mbaya zaidi namba zote kwenye simu yake zilikuwa zimefutwa kama kisasi kwa kile alichokuwa amekifanya.
Kuanzia siku hiyo hakuwa na furaha tena, hakuridhika, aliona ni lazima angefanya jambo lolote lile kulipa kisasi. Kwa kile alichokuwa amefanyiwa kwake kilionekana kuwa ukatili mkubwa, hakutaka kukubali hata kidogo, alijiapiza kwamba ni lazima afanye jambo lolote lile kumkomoa msichana huyo ambaye kipindi hicho hakuwa na taimu naye, aliamua kufanya mambo yake.
****
Moyo wa Melania ukafurahi, hakuamini kuona kile alichokuwa amekitaka kikiwa kimefanikiwa. Moyo wake ukawa na shukrani nyingi kwa William, japokuwa mwanaume huyo alikuwa akitisha kwa ubaya wa sura yake lakini akajiona akitamani sana kuwa karibu naye.
Wakawa wakiwasiliana, hakukuwa na mtu aliyekuwa na hisia zozote za kimapenzi moyoni mwake, walikuwa wakiwasiliana kama marafiki tu. William alikuwa mzungumzaji sana, wakati mwingine alimfanya msichana huyo kuwa na furaha tele kiasi cha kuhisi kwamba kulikuwa na kitu cha tofauti kikianza kuchipuka moyoni mwake.
Alihisi hisia kali za kimapenzi, wakati mwingine alikuwa akikataa, hakuona kama kwa jinsi alivyokuwa mzuri, alivyopendwa na wanaume wengi basi alikuwa anastahili kuwa na mwanaume kama William ambaye sura yake ilikuwa vilevile.
Alivumilia lakini kitu cha ajabu kabisa kadiri siku zilivyozidi kwenda mbele na ndivyo alivyochanganyikiwa na penzi la William. Mwanaume huyo hakuwa na taimu naye, yeye alikuwa bize na mambo yake.
Alikuwa mchangamfu kila alipopigiwa simu lakini simu zilipokatwa, hakuwa akimtafuta msichana huyo kwani alikuwa na mambo mengi ya kufanya mbali na mapenzi. Hakutaka kuendelea kuishi nchini Tanzania, alijiamini kwamba aliifahamu sana kompyuta hivyo aliona kwamba hiyo ilikuwa nafasi pekee ya kuondoka nchini Tanzania na kuelekea Marekani kwa ajili ya kusoma katika Chuo Kikuu cha Harvard.
Alijua kwamba malipo yote ya ada yalikuwa yakilipwa katika akaunti ambazo ziliwekwa wazi, kitendo cha kushirikisha benki na kompyuta kilimfanya kuwa na uhakika wa kufanikiwa katika kile alichotaka kukifanya.
Akaingia mtandaoni, akaangalia sifa za wanafunzi waliotakiwa kusoma katika chuo hicho. Walihitajika wanafunzi waliokuwa na akili sana na mbali na hao, pia walihitajika wanafunzi waliokuwa na fedha nyingi kwani malipo ya masomo katika chuo hicho yalikuwa makubwa mno.
Hilo halikuwa tatizo, alikuwa na fedha za kutosha lakini pia hakutaka kulipia masomo hayo, alitaka kusoma bure kabisa kuonyesha kwamba alikuwa mtundu katika mambo ya kompyuta kwa ujumla.
Alichokifanya ni kucheza na codes za kompyuta tu. Kuingia katika codes za kompyuta za chuo hicho haikuwa kazi kubwa, kompyuta zao zilifungwa na watu waliobobea katika ‘programing’, wenye digrii zao lakini kwa William hakuona kama kulikuwa na tatizo kwani aliamini kwamba kwenye kila code, kama alikuwa na nafasi ya kuviingiza virusi vyake vya Wirus basi angefanikiwa katika kila kitu.
Akaingia katika kompyuta zao na kuanza kuzipitia codes zao, zilikuwa ngumu, zilizojifunga ambazo zilimpa wakati mgumu mno kupambana nazo. Alitumia kila njia, alizichambua moja baada ya nyingine lakini alishindwa kabisa.
Alichokifanya ni kuvitumia virusi vyake lakini kitu cha ajabu kabisa, virusi hivyo havikuweza kufua dafu kwani anti virusi waliyokuwa wakiitumia ilikuwa kali na ilitengenezwa moja kwa moja kutoka Microsoft maalumu kwa ajili yao.
“Wamejitahidi sana, ila nitapambana. Ngoja niwatumie barua ya maombi kwanza,” alisema William na kufanya hivyo.
Akatuma barua hiyo ya maombi ya kutaka kujiunga na chuo hicho. Hakuwa na sifa za kutosha lakini kwenye barua hiyo aliwaambia kwamba alitaka kujiunga nao kwa kuwa alikuwa genius ambaye alikuwa na uwezo wa kufanya chochote kile katika masuala ya kompyuta.
“How genius are you?” (una akili kiasi gani?) lilikuwa swali aliloulizwa katika maelezo marefu aliyopewa.
“I can change impossible to possible,” (naweza kufanya visivyowezekana viwezekane) alijibu.
Walichomwambia ni kwamba wakihitaji kuzungumza naye kwa ajili ya kuhakikisha kama kweli alikuwa genius au la. Kwa kuwa chuo hicho kilithamini sana watu waliokuwa na uwezo huo, wakampigia simu na kumwambia kwamba alitakiwa kusafiri mpaka nchini Marekani kwa ajili ya kuzungumza naye kwani kama alisema kuwa alikuwa genius kwenye masuala ya kompyuta, walitaka kuangalia uwezo wake.
“I will be there,” (nitakuwa huko)
Akamwambia mama yake kile alichoambiwa kwamba alitakiwa kwenda nchini Marekani kwa ajili ya kuwaonyesha ni kwa jinsi gani alikuwa na akili. Mama yake alikuwa na hofu, alizungumza naye na kumwambia kwamba kama walihitaji fedha kama ada, awalipe lakini alikataa katakata.
“Huwezi kulipia kitu ambacho una uhakika wa kukipata bure,” alisema William.
“Kwa hiyo utahakikisha unasoma bure?”
“Hiyo ndiyo maana yangu!”
Wakati akizungumza hayo bado alikuwa akihangaika kuingia katika kompyuta za chuo hicho. Alijitahidi kwa nguvu zote, alipambana usiku na mchana lakini bado kompyuta hizo zilionekana kuwa ulinzi mkali sana.
“Nitaingiaje? Ni lazima nipate njia za kuingia humu! Ngoja nitengeneze virusi vingine,” alisema William, hakutaka kuona akishindwa, alihitaji kuwaonyeshea Wamarekani kwamba alikuwa mtu hatari. Akatengeneza virusi vingine alivyovipa jina la Winirus ambavyo aliamini kwamba vingekuwa na nguvu zaidi.
Utengenezaji wake haukuwa mwepesi, alihangaika kwa nguvu zote, alijitahidi kufanya kila liwezekanalo kupambana na kompyuta za chuo hizo. Ilikuwa vigumu sana kuingia kwenye kompyuta hizo na kuchanganya codes hizo, alipoona kwamba ameshindwa, akapata wazo jingine kabisa.
“Ni lazima niondoe huduma ya internet katika eneo la chuo hicho halafu ndiyo niingize virusi hivi,” alisema William, baada ya hapo akatabasamu. Harakaharaka akaivuta kompyuta yake kwa ajili ya kufanya kazi hiyo.
****
Hicho kilikuwa kipindi kipya cha kuanza masomo katika Chuo Kikuu cha Harvard kilichokuwa Cambridge, Massachuesetts nchini Marekani. Wanafunzi wengi wenye akili na wale waliotoka katika familia za kitajiri walikuwa wakifika hapo kwa ajili ya kuanza masomo chuoni hapo.
Watu wengi duniani, wasomi walikuwa wakitamani kuingia chuoni hapo kwani mbali na Oxford kilichokuwa nchini Uingereza, hiki kilikuwa chuo kimojawapo miongoni mwa vile vikubwa duniani ambacho pia watu maarufu kama Barack Obama, rais John F Kennedy na watu wengine maarufu na wakubwa walisoma hapo.
Professa John Macleash ndiye aliyekuwa akihusika na watu wote waliokuwa wakitaka kujiunga na chuo hicho, yeye ndiye aliyekuwa akimtumia barua pepe William na kumwambia kila kitu alichotakiwa kukifanya.
Siku ambayo kijana huyo alimwambia kwamba alikuwa na akili sana, akaichukua barua pepe hiyo na kuwapelekea maprofesa wenzake ambao walikaa chini na kuanza kuisoma. Walimpuuzia kwa sababu walijua kwamba hakukuwa na mtu aliyekuwa na akili kubwa ambaye alikuwa nje ya chuo hicho.
Waliamini kwamba mtu yeyote ambaye alikuwa na akili nyingi, kabla ya kwenda katika vyuo vingine ilikuwa ni lazima apitie kwao. Walijiuliza kuhusu William, kilichowafanya kumshangaa zaidi ni kwamba alitokea barani Afrika, katika nchi masikini kama Tanzania.
“Kwa hiyo?” aliuliza Profesa Macleash.
“Achana naye! Watu wote wenye akili wapo humu! Yeye atakuwaje na akili akiwa nje ya chuo hiki? Kuna wataalamu wa hesabu hapa, kuna wataalamu mbalimbali, hivi kweli unaamini mtu mwenye akili nyingi anaweza kuwa Afrika?” aliuliza profesa mwingine, huyu aliitwa Thomson.
“Hata mimi nilishangaa ila tunatakiwa tumpe nafasi!”
“Haiwezekani! Watu weusi ni wataalamu wa kuzungumza na si mambo ya kompyuta au hesabu. Mwangalie Martin Luther Jr, Obama na wengineo, wote ni wataalamu wa kuzungumza ila si mambo ya hesabu kama haya, si mambo ya kompyuta,” alisema profesa mwingine, huyu aliitwa Turnbell.
Walikuwa wakizungumza yale waliyokuwa wakiyafahamu wao lakini kwa Profesa Macleash alikuwa akifikiria yake kabisa. Alipenda kuona watu wengi waliokuwa na vipaji wakiendelea kumiminika katika chuo hicho, aliamini kwamba huyo mtu aliyejitambulisha kwa jina la William alikuwa genius na ndiyo maana hakutaka kuficha, alimwambia ukweli juu ya maisha yake.
Hakukubaliwa lakini alichokifanya ni kumtumia barua pepe William na kumwambia kwamba alikuwa akihitajika chuoni hapo kwa ajili ya kudhihirisha kile kipaji alichokuwa nacho.
Barua pepe hiyo ilipopokelewa, ikajibiwa kwamba angefika baada ya wiki moja hivyo profesa huyo kumtumia tiketi, kumuombea viza na kumfanyia taratibu nyingine zote za safari wa kwenda huko pasipo kuwaambia wenzake kwamba alikuwa amemkubalia mwanafunzi huyo afike chuoni hapo kwa ajili ya kuonyesha uwezo wake.

“Mkuu! Hakuna intaneti chuoni,” alisikika mwanachuo mmoja.
“Haiwezekani!”
“Hakuna intaneti mkuu! Tumejaribu kila mbinu lakini hakuna intaneti. Modem zinafanya kazi, lakini intaneti haipatikani, wireless ipo wazi lakini napo intaneti hakuna,” alisema mwanachuo huyo.
Hilo lilimshangaza kila mmoja, hawakuamini kile walichokuwa wamesikia kwamba huduma ya intaneti haikuwa ikipatikana katika maeneo ya chuo hicho. Hilo lilikuwa jambo lisilowezekana hata mara moja kwani tangu huduma ya intaneti iwekwe chuoni hapo hakukuwa na siku yoyote ambayo kulionekana kuwa na tatizo kama hilo.
Maprofesa walichanganyikiwa, hawakujua ni kitu gani kilikuwa kimetokea, kwa kutumia wanachuo waliokuwa chuoni hapo, wakawaaambia wafanikishe suala hilo lakini walipohangaika nayo, kwa zaidi ya saa saba hakukuwa na majibu yoyote yale.
Mambo mengi yalidorora, kila kona chuoni hapo kulikuwa na malalamiko kwamba intaneti haikupatikana lakini walipokuwa nje ya eneo hilo ilikuwa ikipatikana kama kawaida.
Hilo likawafanya maprofesa kuwasiliana na wataalamu waliobobea kutoka katika mashirika mengi lakini nao walipofika chuoni hapo walishangaa, tatizo ambalo walilikuta chuoni hapo hawakuwahi kulipata kabla.
Siku hiyo ikakatika huku mafundi wakihangaika, hawakulala, waliingiza codes na kuangalia tatizo lilikuwa nini lakini hawakugundua kitu chochote kile. Mpaka inafika asubuhi, hakukuwa na huduma ya intaneti na hapo ndipo walipoamua kuwasiliana na watu wa NASA kwa kuona kwamba wangeweza kuwasaidia katika hilo kwani mambo yao ya anga walioyokuwa wakishughulika nayo yangerahisisha kile kilichokuwa kimetokea.
Wataalamu wawili kutoka NASA (NASA – National Aeronautics and Space Administration) wakafika chuoni hapo. Wanachuo walipowaona, mioyo yao ilikuwa na faraja kwamba hatimaye tatizo hilo lingekwisha.
Gari lililokuwa na maneno makubwa yaliyosomeka NASA ubavuni likaegeshwa na wataalamu hao kuteremka na kuelekea ndani ya ofisi ya professa Turnbull ambapo baadaye wakapelekwa katika chumba cha kompyuta ambapo huko wakawakuta wataalamu wengine wakiendelea na kazi zao za kuhakikisha intaneti inapatikana haraka iwezekanavyo.
“What is going on?” (nini kinaendelea) aliuliza jamaa mmoja wa NASA, huyu aliitwa Fredrick.
“We are still working on it?” (bado tunaendelea nayo)
Alichokifanya Fredrick na mwenzake ni kuwaambia watu hao wakae pembeni na wao kufanya kazi yao. Walihisi kwamba ilikuwa kazi nyepesi mno, wakaanza kufanya kazi, walitumia ufundi wao, waliingiza codes zao kwenye kila kompyuta lakini hazikuweza kufanya kazi hata kidogo.
“Kuna virusi vimeingia,” alisema Fredrick baada ya saa tatu kupita na hakukuwa na mafanikio yoyote yale.
“Virusi gani?”
“Hatuvijui, ila vimefuta codes zote ambazo zilitakiwa ziwe zinaonekana ili zibadilishwe,” alisema Fredrick.
“Lakini tuna anti virus!”
“Nayo imeshambuliwa. Mungu wangu! Sijawahi kuona virusi hatari kama hivi! Imekuwaje? Vimetoka wapi? Nani kavitengeneza?” alijiuliza maswali mengi lakini hakukuwa na mtu aliyekuwa na majibu.
Siku ya pili ikakatika hakukuwa na huduma ya intaneti chuoni hapo. Kila mmoja alichanganyikiwa, wanafunzi hawakuingia darasani waliamua kugomea masomo kwani yasingeweza kuendelea pasipo huduma ya intaneti chuoni hapo.
Waandishi wa habari wakazipata taarifa hizo na kufika chuoni hapo, wakaulizia kilichokuwa kikiendelea, ilikuwaje mpaka intaneti ishindwe kupatikana chuoni hapo. Maprofesa hawakuwa na jibu zaidi ya kujiumauma.
“Tutawaambia. Bado tunalishughulikia,” alisema Profesa Turnbull huku akionekana wazi kuchanganyikiwa.
“Lini litakuwa tayari?” aliuliza mwandishi wa Daily Mail.
“Nimesema bado tunalishughulikia,” alisema profesa huyo kwa ukali uliomaanisha kwamba hakutaka maswali mengine. Baada ya kuhangaika kwa muda wa siku nne ndipo wakakubaliana kwamba ilikuwa ni lazima wampigie simu mtaalamu Vint Cerf.
Huyu alikuwa mtu aliyeigundua intaneti mwaka 1983 na kuwa hewani mwaka 1993 kwa kupewa kitu kiitwacho World Wide Web yaani www na kupewa jina la heshima la Father Of The Internet, yaani Baba wa Intaneti.
Kila mtu alimheshimu mwanasayansi huyo wa kompyuta ambaye alijinyakulia tuzo nyingi mpaka kipindi hicho alichokuwa na miaka sabini na tatu.
Haraka sana wakaitafuta namba yake, wakampigia huku wakitaka kuzungumza naye kwa kuamini kwamba alikuwa nyumbani kwake alipozaliwa, New Haven, Connecticut hukohuko nchini Marekani.
Simu yake haikuwa ikipatikana, hilo liliwachanganya sana, walihangaika kumtafuta mpaka baadaye walipowasiliana na wanasayansi wengine na kuambiwa kwamba mtu huyo alikuwa amekwenda Paris nchini Ufaransa kwa mambo yake binafsi, wakapewa namba aliyokuwa akiitumia huko na kuwasiliana naye.
Alipopokea simu, wakamwambia kuhusu kile kilichokuwa kikiendelea. Alishangaa, hakuwahi kusikia kitu kama hicho na mshangao wake zaidi ni pale aliposikia hata watu wa NASA walichemka kwani wao walikuwa na uwezo mkubwa wa kuweka sawa kitu kama hicho kutokana na kutumia satalaiti zilizotumia sana intaneti wakati wote.
“Sidhani kama ni kweli,” alisikika kwenye simu.
“Ni kweli mkuu! Hapa tumechanganyikiwa!”
“Basi nakuja!”
“Leo au?”
“Kwa sababu ni jambo la kushtukiza, nikodieni ndege, nakuja!” alisema na kukata simu.
Hilo halikuwa na tatizo, chuo hicho ambacho kilikuwa chini ya serikali kikalipia ndege na kisha kumchukua mtu huyo na kumpeleka nchini Marekani ambapo baada ya kufika tu, akapelekwa mpaka chuoni.
Alihisi kulikuwa na tatizo kwani kipindi ambacho alikuwa aligundua intaneti kulikuwa na siri ambazo hakuwa ameziweka wazi wala kuziweka katika vitabu vyake. Baada ya kufika chuoni hapo, hakutaka kushughulika na kompyuta zao, alichokifanya ni kuchukua laptop yake na kuiweka mapajani kisha kuanza kushughulika nayo.
Haikuwa kazi nyepesi, ilikuwa ni kazi kubwa iliyofanya kijasho chembamba kuanza kuonekana. Kilichokuwa kikimtatiza ni virusi vilivyoitwa kwa jina la Winirus, vilikuwa hatari na vilificha codes nyingi, hasa zile muhimu ambazo kama zingeonekana kurekebishika kwa tatizo hilo kusingekuwa na tatizo lolote lile.
Alikaa na laptop yake, hakukubali kula, hakuwahi kushindwa hivyo ilikuwa ni lazima afanikishe kile alichotakiwa kufanya. Alichukua saa zaidi ya nne, baadaye akaonekana kama kuanza kufanikiwa.
Alishughulika nayo na baada ya saa tano, huduma ya intaneti ikaanza kurudi taratibu, yaani ilikuwa ikirudi na kukata.
“Inakuja na kukata!” alisema Profesa Turnbull.
“Usijali! Itarudi moja kwa moja!”
Aliendelea kuhangaika nayo. Ilipofika saa mbili usiku, kwa tabu sana hatimaye akafanikiwa kuirudisha intaneti chuoni hapo kitu kilichomfanya kila mtu kuwa na furaha.
“Imerudi!” alisikika Profesa Turnbull kwa sauti kubwa.
“Imerudi!” alidakika profesa mwingine.
Hiyo ilikuwa ni furaha ya kila mmoja, Vint akachukua glasi ya maji na kunywa kama kupoza kiu kwani mwili wake ulikuwa umechemka kwa kiasi kikubwa kutokana na kazi kubwa ambayo aliifanya, kazi ambayo hakuwahi kukutana nayo tangu alipoanza kutumia kompyuta.
“Tatizo lilikuwa nini?” aliuliza profesa.
“Ni tatizo kubwa ambalo halielezeki!”
Wakati kila mmoja akionekana kuwa na furaha tele, hawakujua ni kitu gani kilitokea, mara intaneti ikakata tena. Hilo ndilo lililowachanganya zaidi, harakaharaka Vint akachukua laptop yake na kuiwasha, alitaka kujua ni kitu gani kilikuwa kimetokea. Alipoiwasha tu, kitu cha kwanza akakutana na maneno makubwa yaliyosomeka ‘I GET YOU BACK TO WORK’ yakimaanisha NAKURUDISHA TENA KAZINI. Baada ya maneno hayo, picha kubwa ya William ikatokea katika kompyuta yake.
Profesa Macleash akashtuka kwani sura aliyoiona, aliifahamu. Ilikuwa ya William, mtu aliyemwambia kwamba alikuwa genius kutoka Tanzania na alitaka kujiunga na chuo hicho, aliikumbuka barua pepe yake ya mwisho kumtumia kwamba alitakiwa kufika nchini Marekani ili kuonyesha huo ugenius wake, kumbe kuizima intaneti ya chuo hicho ndiyo ilikuwa njia mojawapo ya kuonyesha ni kwa namna gani alikuwa genius.
“He is the one,” (ndiye yeye) alijikuta akisema Profesa Macleash kwa sauti iliyowafanya wenzake wote kushtuka, Vint akatoa miwani na kumwangalia profesa huyo.

William aliona kazi kubwa mbele yake, aliambiwa kwamba ilikuwa ni lazima aelekee nchini Marekani kwa ajili ya kuonyesha ugenius wake lakini alitaka kuwaonyeshea huku akiwa nyumbani amekaa.
Ilikuwa ni lazima azime huduma ya intaneti iliyokuwa ikipatikana chuoni hapo. Ilikuwa kazi kubwa kuzitafuta kompyuta za chuo hicho, jasho lilimtoka, siku hiyo hakutaka kufanya kitu chochote kile zaidi ya kuchezea kompyuta na kuzitafuta kompyuta za chuo hicho.
Chuo hicho kilikuwa vigumu kupatikana, alipambana lakini matokeo yake alikuwa akipata kompyuta za vyuo vingine ambavyo wala hakuwa akivitaka, yeye alikitaka Chuo Kikuu cha Harvard kilichokuwa nchini Marekani.
Usiku mzima alikesha akipekua huku na kule, alihangaika mno, alishindwa kuzipata kompyuta za chuo hicho hivyo alichokifanya ni kutafuta kompyuta za Chuo Kikuu cha Oxford cha nchini Uingereza kwa kuamini kwamba kulikuwa na mawasiliano baina ya vyuo hivyo viwili kwani vyote vilikuwa vikubwa duniani.
Akazipata kompyuta za chuo cha Oxford, kwa sababu walikuwa na barua pepe yake, akaanza kuingiza codes kwa ajili ya kuihack barua pepe ya kompyuta hizo. Hilo wala halikuwa tatizo, alifanikiwa kwa asilimia mia moja, akaingia kwenye barua pepe hizo, akaanza kuangalia zile barua pepe zilizotumwa kwenda kwenye chuo hicho na ndipo akafanikiwa kuona barua zote ambazo zilitumwa, alichokifanya ni kuchukua ‘links’ za zile barua na kuziingiza kwenye codes zake na kuanza kuhack upya.
Codes zikaanza kusoma taratibu huku zikifungua mafaili, ilikuwa kazi kubwa kwani kulikuwa na mafaili makubwa ambayo mengine yalichukua mpaka GB 100 na hivyo codes hizo kwenda taratibu sana.
Alisubiri kwa saa mbili, zikamaliza na hatimaye akafanikiwa kuziona kompyuta za chuo hizo ambazo zilikuwa zikitumia intaneti chuoni humo, alichokifanya ni kuiba IP Adress zote zilizokuwa zikiunganishwa na modem kubwa iliyokuwemo humo chuoni na kisha kuanza kuzichanganya kwenye codes zake, zilipomalizika, yeye ndiye alikuwa na uwezo wa kuzima na kuwasha intaneti ya chuo hicho.
“Hatimaye nimeweza,” alisema William huku akishusha pumzi.
Kabla ya kuendelea, akaingiza virusi vipya alivyovitengeneza vya Winirus kisha kuficha codes na IP Adress za huduma ya intaneti katika chuo hicho na kuweka zake kisha kuizima huduma hiyo.
Hilo ndilo alilotaka kuliona, moyo wake ukafurahi, akafarijika kwa kuona kwamba alifanikiwa kile alichokuwa amekitaka kwa kipindi kirefu. Hakuhuzunika wanachuo kukosa huduma ya intaneti bali alichokuwa amekifurahia ni kwamba alitaka kuwaonyesha kwamba yeye ni genius kwa kutumia vitendo.
Siku hiyo ilikatika, kazi yake ilikuwa ni kufuatilia kwenye kompyuta yake kuona kama walikuwa wamefanikiwa au la. Siku ya kwanza ikapita, hakukuwa na mafanikio yoyote yale, siku ya pili ikapita na kuingia ya tatu bado hakuona kama walikuwa wamefanikiwa.
Taarifa za kuzima kwa intaneti chuo hapo ikaanza kutangazwa katika vyombo vya habari hasa CNN na BBC. Wataalamu walikuwa wakihangaika kuhakikisha kwamba intaneti inapatikana chuoni hapo lakini hawakufanikiwa kabisa.
Alikenua, aliona kwamba aliweza kuwakomoa kwa kile walichokuwa wamemjibu kwani aliona lilikuwa suala la kukubaliwa kujiunga na si mpaka kuitwa ili aonekane kama kweli alikuwa na genius.
Siku ya nne ilipoingia, saa nne usiku ndipo akaona codes zake zikianza kuvurugwa na IP Adress alizokuwa ameziweka zikianza kufutwa moja baada ya nyingine. Alishtuka, hakuamini kama kungekuwa na mtu aliyekuwa na uwezo wa kushindana naye.
Hakutaka kuchelewa, hapohapo akaivuta laptop yake na kuanza kuichezea. Kitu cha kwanza kabisa kilikuwa ni kutaka kujua kompyuta ambayo ilikuwa ikitumika kwa ajili ya kuingiza IP Adress mpya, hilo halikuwa tatizo, alifanikiwa na mwisho wa siku kompyuta hiyo kuonekana.
“Kumbe ni hii! Subiri,” alisema na kisha kuvituma virusi vya Winirus katika kompyuta hiyo huku akiambatanisha na vitu viwili, picha na ujumbe kwa mtu mwenye kompyuta hiyo.
Akatoa zile codes mpya zilizokuwa zimewekwa na kuweka zake yeye na kuruhusu ujumbe na picha ile uonekane, ujumbe mfupi uliosomeka ‘I GET YOU BACK TTO WORK’ (NAKURUDISHA TENA KAZINI)
***
Profesa Mcleash hakuamini alichokuwa akikiangalia, picha ya kijana yule iliyotokea kwenye kompyuta ya Vint aliifahamu sana, aliiona wakati alipotumiwa barua pepe ya kuomba kujiunga na chuo hicho, ilikuwa picha ya William, sura mbaya ambayo hakuwahi kuiona kabla.
“Who is this ghost?” (huu ni mzimu gani?) aliuliza Profesa Turnbull huku akimwangalia Macleash.
Profesa huyo ndipo akaanza kuwaambia kuhusu Wiliam kwamba ndiye alikuwa yule kijana aliyeomba kujiunga na chuo chao lakini maprofesa hao walimuwekea ngumu. Walishangaa, hawakuamini kwamba mambo hayo yote ya kukatika kwa intaneti yalifanywa na kijana huyo, tena kilichowachanganya zaidi ni kwamba alikuwa nchini Tanzania.
Waliangalia picha ya kijana huyo, alikuwa mbaya wa sura, alitisha lakini ndiye alikuwa genius wa kufanya mambo hayo yote. Vint akawaangalia maprofesa hao huku akiwashangaa, hakukuwa na profesa yeyote duniani ambaye hakutaka kuonana na mtu mwenye kipaji, sasa ilikuwaje mpaka wakatae kuonana na kijana huyo ambaye alimtoa jasho na hata intaneti ilipokatika tena, hakujua angeirudisha vipi?
“Huyu yupo wapi?” aliuliza Vint, hakuamini kama mtu huyo ndiye aliyemtoa jasho namna hiyo.
“Yupo Afrika, nchi moja inaitwa Tanzania!” alijibu Macleash.
“Ninahitaji nimuone, ninahitaji nifanye naye kazi,” alisema Vint.
“Hapana! Anakuja kujiunga na chuo hiki! Utamchukua atakapomaliza masomo ya chuoni hapa,” alisema Turnbull, yeye ndiye aliyemkataa William siku chache zilizopita lakini leo, alitaka kumng’ang’ania asome chuo hicho kwa kuamini kwamba chuo chao kingetengazika sana kupitia yeye.
“Nishawasiliana naye na kumtumia tiketi!”
“Naomba ufuatilie, hata kesho au keshokutwa awe amekwishafika,” alisema Turnbull.
****
Moyo wa William ulikuwa na furaha kubwa, hakuamini kama alikuwa amefanikiwa kufanya kile alichokifanya. Kila alipokaa, alihisi kurukaruka kwa furaha, alidharaulika kwa kuonekana kwamba hakuwa na kipaji lakini baada ya kuwadhihirishia kwa matendo, kila mmoja akakubali kwamba alikuwa na kipaji kikubwa na hivyo kumtaka aende akasome katika chuo hicho.
Akamwambia mama yake, mara ya kwanza alitaka kuhack akaunti zao benki ili ikiwezekana aonekane amefanya malipo ya ada, ilikuwa kazi nyepesi lakini kabla ya kufanya kitu hicho, akahitajika huko chuoni kuanza masomo.
Akamwambia mama yake, Bi Sophia kwamba alitakiwa kusafiri kwenda nchini Marekani kusoma, alipoulizwa, alimjibu kwamba hakutakiwa kulipia ada kwani kwa kile alichokuwa amewafanyia, wote walitamani kumuona akiwa pamoja naye chuoni hapo.
“Hongera sana! Kwa hiyo unaondoka lini?” aliuliza mama yake.
“Kesho! Imekuwa ghafla sana mama!”
“Sawa. Tutamuomba Mungu aweze kukupigania katika safari yako yote,” alisema mama yake huku akionekana kuwa na furaha tele.
Hakutaka kuishia hapo, mtu mwingine ambaye kwake alionekana kuwa muhimu alikuwa msichana Melania, akampigia simu na kumwambia kilichokuuwa kimetokea, msichana huyo hakutaka kukubali, akamwambia kwamba alitaka kuonana naye na kuzungumza naye zaidi.
Baada ya saa mbili, wakaonana katika mgahawa mmoja uliokuwa Kinondoni. Kila mtu aliyekuwa ndani ya mgahawa huo alibaki akimwangalia William, ubaya wa sura yake uliwashangaza wote, hawakuwahi kumuona na wala hawakujua alikuwa akijishughulisha na vitu gani.
Alikuwa na sura mbaya lakini aliteremka kutoka kwenye gari la thamani kubwa na alikaa kiti kimoja na msichana mrembo ambaye alijulikana sehemu kubwa jijini Dar, huyu alikuwa Meliania ambaye muda wote alionekana kuwa na furaha, kukutana tena na William kwake ilikuwa shangwe.
“Mbona ghafla sana?” aliuliza Melania.
“Yeah! Kuna mambo yalitokea, ilibidi niondoke mapema sana,” alisema William.
Walikaa na kuzungumza mambo mengi, japokuwa siku za kwanza Melania alimuona William kuwa na sura mbaya lakini kutokana na ukaribu wao mkubwa, akajikuta akianza kumuona mtu wa kawaida na mbaya zaidi chembechembe za mapenzi juu ya mwanaume huyo zilichipukia lakini hakuonekana kukubaliana naye, hakutaka kuwa naye kabisa.
Siku hiyo, Melania hakutaka kunyamaza, kama alivyomwambia kipindi cha nyuma, akamwambia tena na tena kwamba alikuwa akimpenda lakini mwanaume huyo hakuwa na habari, alimwambia wazi msichana huyo kwamba lingekuwa jambo jema kama wangekuwa marafiki na si wapenzi kama alivyotaka iwe.
Moyo wake ulimuuma, hakuamini kama na uzuri wake wote huo mvulana huyo angekataa kuwa naye na wakati kulikuwa na wanaume wengi waliomsimamisha na kumwambia kwamba walikuwa wakimpenda.
Baada ya kuzungumza kwa saa moja, wakaagana kwa kukumbatiana na kuondoka mahali hapo ambapo siku iliyofuata William akapanda ndege na kuanza kuelekea nchini Marekani huku akiwa na furaha tele.
Ndani ya ndege kichwa chake kilikuwa na mawazo tele, alikuwa akiyafikiria maisha yake mapya ambayo alikuwa akienda kuyaanza nchini Marekani, alikuwa na furaha tele na muda wote alikuwa akitoa tabasamu pana.
Ndani ya ndege ile kila mtu aliyekuwa akimwangalia alishtuka, ni kweli walikuwa wamewaona watu wengi waliokuwa na sura mbaya lakini kwa William ilikuwa ni zaidi ya mbaya.
Alitisha, watoto waliomuona walihisi kwamba walikuwa wakikiangalia kinyago na hivyo kuanza kulia. Hakuumia moyoni mwake, aliyazoea maisha hayo kwani hayakuanza ghafla, yalikuwa maisha aliyozoea kuishi tangu alipokuwa mdogo.
Mbali na kuyawaza maisha anayokwenda kuyaanza Marekani lakini hakuacha kumfikiria msichana Melania. Alikuwa msichana mrembo mno, alitamani kuwa naye kimapenzi lakini hakuona kama moyo wake ulikuwa tayari kuwa na msichana huyo.
Kila wakati alipokuwa akimfikiria, tabasamu pana lilikuwa likionekana usoni mwake. Alijiona kunyimwa kila kitu lakini alimshukuru Mungu kwa kuwa akili nyingi alizokuwa nazo ndizo zilizokuwa zikiyabadilisha maisha yake kila siku.
Ndege ikachukua saa ishirini na mbili, ikatua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa JFK uliokuwa jijini New York ambapo baada ya kupumzika kwa saa moja, wakaunganisha safari ya kuelekea Massachuesetts hapohapo nchini Marekani.
Walipoingia ndani ya ndege hiyo na kuanza safari hiyo, moyo wake ulikuwa na furaha tele, hakuamini kama kweli alikuwa ameingia nchini Marekani ambapo kila siku alikuwa akipaota tu.
Ndege ilichukua saa moja, ikaanza kutua katika Uwanja wa Kimataifa wa Boston Logan ambapo baada ya abiria kuteremka, naye akateremka mpaka sehemu ya kuchunguzia mizigo, alipoonekana hana tatizo, akaelekea nje ambapo akakutana na mwanaume mmoja aliyeshika ubao ulioandikwa jina lake huku pembeni akiwa na wanachuo wanne.
“There he is,” (yule pale) alisema mwanaume huyo na kuanza kumfuata.
Hakuwapotea, hakukuwa na mtu aliyejiuliza kama ndiye yeye au la, sura yake tu kwa jinsi ilivyokuwa mbaya kila mmoja aligundua kwamba ni yeye. Walikuwa wakimshangaa lakini pia walikuwa wakifurahi kuwa na mtu kama huyo.
Wakaanza kuzungumza naye hata kabla ya kuingia ndani ya gari, kila mmoja alifurahi kukutana naye. Watu wengine walikuwa wakimshangaa tu William, wengi walihisi kwamba alipata ajali na uso wake kupasuliwa kwa jinsi alivyokuwa na sura mbaya.
Akachukuliwa na kuingizwa ndani ya basi moja kubwa lililoandikwa Harvard University ubavuni na kuanza kuelekea chuoni. Alipofika huko, kila mwanafunzi alikuwa akimwangalia kwa mshangao, walisikia habari zake kwamba ndiye aliyezima intaneti ya chuo hicho na mpaka muda huo haikuwa imerudi alipoizima kwa mara ya pili.
Kila mmoja alimuona kuwa mtu mwenye uwezo wa ajabu sana. Akachukuliwa na kupelekwa katika ofisi ya profesa Turnbul, alipofika huko, akakaribishwa na kupewa jukumu la kuirudisha huduma ya intaneti chuoni hapo, kazi ambayo aliifanya kwa dakika tano tu, intaneti ikawa imerudi.
Hapo ndipo alipotakiwa kuishi, hakutakiwa kwenda sehemu yoyote ile, maprofesa walijua kwamba William alikuwa na uwezo mkubwa hivyo kitu cha kwanza kabisa kilikuwa ni kuwasiliana na ikulu ya Marekani na kuwaambia kuhusu mtu huyo.
Kitu kilichofanya ikulu hiyo ni kuwataka maafisa wa FBI (Federal Bureau of Investigation) wamlinde William kisiri ili asitokee mtu yeyote yule akamchukua mtu huyo ambaye waliamini kwamba angeweza kuwa muhimu kwa nchi yao hasa katika kipindi hicho ambacho teknolojia ilikuwa juu, walihitaji kupambana na maadui zao kama Urusi, China kwa kutumia teknolojia tu. Hivyo mtu huyo alitakiwa kulindwa sana.

“Получили ли вы что-нибудь?” (umepata chochote?)
“Да сэр! Он здесь, имы должны сделать что,” (ndiyo mkuu! Yupo hapa na tunatakiwa tufanye jambo).
“Можем ли мы взять его?” (tunaweza kumpata?)
“Конечно,” (Bila shaka).
Hayo yalikuwa mawasiliano kwa njia ya simu baina ya Mkurugenzi wa Shirika la Ujasusi nchini Urusi, KGB (Komitet gosudarstvennoy bezopasnost), Petel Komukov aliyekuwa nchini Urusi na kijana wao waliyekuwa wamemtuma kwa kazi maalumu nchini Marekani, Samotic Kasemitov.
Shirika hilo la kijasusi lilikuwa limepata taarifa za ujio wa William ndani ya Chuo Kikuu cha Harvard nchini Marekani. Sifa zake nyingi alizokuwa amemwagiwa kutokana na ujuzi wake mkubwa, akili aliyokuwa nayo kuhusu matumizi ya intaneti yaliwachanganya mno.
Walipanga kumchukua, kitendo cha nchini kama Marekani kuwa na mtu kama huyo tayari waliliona tatizo kubwa mbele yao. Walijua kwamba nchi kama Marekani ambayo walikuwa majirani zao na maadui zao wakubwa wangetumia kila hila kuhakikisha wanaingia katika kompyuta zao na kuangalia vitu vilivyokuwa vikiendelea humo.
Walikuwa na hofu, walimtaka William kwa nguvu zote, ilikuwa ni lazima kumteka kwani hakuwa Mmarekani, alikuwa Mtanzania ambaye nchi yake haikumjali na wala haikutaka kusikia chochote kuhusu mtu kama yeye, mwenye akili nyingi ambaye angeweza kufanya kitu chochote kwa usalama wa nchi.
Warusi hawakutaka kukubalia, walipewa taarifa za awali kwamba kijana huyo alikuwa ameingia ndani ya chuo hicho lakini pia aliwekewa ulinzi mkubwa ambao hakuujua kabisa. Aliishi kikawaida sana chuoni hapo huku akizoeana na watu wengi, kutokana na uchangamfu wake, kila mmoja alitaka kuwa rafiki yake.
Maofisa wa FBI ambao walitumwa kwa ajili ya kumlinda William walikuwa na hofu kubwa, kazi kubwa ilikuwa mbele yao, hawakujua ni kitu gani walitakiwa kufanya kwani hawakutaka kumuona kijana huyo akizoeana na watu wengi lakini kwa hali iliyokuwa imetokea, hasa uchagamfu wake uliwafanya kuwa na wakati mgumu sana wa kumlinda.
Walichokifanya Warusi mara baada ya kugundua kwamba bado chuo hicho kilikuwa kikipokea wanachuo wapya kipindi hicho, wakamtuma kijana wao ambaye alitakiwa kujifanya kama anajiunga katika chuo hicho na kusoma huku akiweka ukaribu wake na William, mtu huyu aliitwa Borya Dima.
Kijana huyo akaingia chuoni hapo kama mtu aliyetaka kusomea mambo ya kompyuta, hakukuwa na ofisa yeyote wa FBI ambaye aligundua kwamba kijana huyo alikuwa ametumwa kutoka nchini Urusi.
Alikuwa mtaalamu wa kompyuta na katika wiki ya kwanza kufika chuoni hapo akaanza kuutafuta ukaribu na William. Haikuwa kazi kubwa kuupata ukaribu huo, William hakuwa mtu wa kunyamaza, kila mtu aliyesimama mbele yake, alizungumza naye.
Borya akawa na furaha, katika kila hatua aliyokuwa akipiga, usiku aliwapigia simu maofisa wa KGB na kuwaambia pale alipoishia. Safari yake ya kutaka kumteka William haikuonekana kuwa kubwa hata kidogo, kwake, ilionekana kama kumsukuma mlevi.
“Ninajua kompyuta zaidi yako,” alisema Borya huku akimwangalia William.
“Una uhakika?”
“Ndiyo! Unafahamu kitu gani ambacho mimi sikifahamu?” aliuliza Borya huku akimwangalia William, yote hayo ilikuwa ni kutafuta mazoea na kijana huyo.
“Nahisi vingi!”
“Kama?”
“Kujua huwa unawasiliana na nani nyakati za usiku,” alisema William huku akiachia tabasamu pana.
Borya akashtuka, kile kilichokuwa kikiendelea usiku alihisi kwamba William alikujua, kwanza akanyamaza, akaingia kwenye dimbwi la mawazo na kugundua kwamba kila kitu kilichokuwa kikiendelea kwenye simu usiku William alikuwa akifahamu.
Hakujua kama William alisema hivyo kama kumtisha, kumfanya amuone mtu hatari na hakuwa akifuatilia mawasiliano yake hata kidogo. Alipopewa jibu hilo, Borya akajibaraguza na kuelekea chumbani kwake, siku hiyo hakutaka kusubiri mpaka usiku, alichokifanya ni kuwapigia simu watu waliomtuma.
“Nahisi picha imeungua!” alisema Borya huku akionekana kuwa na hofu.
“Kwa nini?”
“Huyu jamaa anajua kwamba nawasiliana na nyie kila siku usiku,” alisema Borya.
“Amejuaje?”
“Ameniambia!”
“Una uhakika?”
“Siwezi kudanganya katika hili,” alisema Borya.
Wao wakampa mbinu mpya, hawakutaka kuendelea kuongea usiku kwa kuhofia kwamba William angeendelea kuyakamata mawasiliano yao kitu ambacho haikuwa kweli hata kidogo. Ubishi wake, ushindani wake na William ukamfanya kuwa karibu na kijana huyo.
Wakawa wawili, marafiki wakubwa, wakifanya mambo mengi pamoja na hata siku nyingine kutoka pamoja na kwenda klabu ambapo huko walikuwa wakicheza muziki na kufanya vitu vingi.
FBI hawakujua kama Borya alikuwa mtu aliyetumwa kutoka Urusi, walimwamini na kumuona mtu wa kawaida, mwanachuo ambaye alitamani sana kuwa na William. Siku zikakatika, kila walipokuwa wakienda klabu, Borya alikuwa akimtaka William anywe pombe lakini kijana huyo hakuwa akikubali.
“Borya! Huwa sinywi pombe,” alisema William.
“Najua lakini wakati mwingine jifunze. Mdogomdogo utaweza kuhimili,” alisema Borya huku akiachia tabasamu.
“Hapana!”
Urafiki ukaendelea, wakati wakiendelea kuwa pamoja, kukatokea msichana mmoja, mrembo, mrefu na mwenye mchanganyiko wa rangi, huyu aliitwa Linda. Alikuwa msichana mrembo ambaye naye alikuwa miongoni mwa wanawake waliotokea kupendwa chuoni hapo.
Japokuwa William alikuwa na sura mbaya lakini alitokea kupendwa mno na msichana huyo. Kila alipokuwa akimwangalia, moyo wake ulitamani sana kuwa naye. Alijitahidi sana kuwa karibu naye, mara kwa mara alikuwa akimpigia simu na kuzungumza.
Watu walimshangaa Linda, hawakuamini kama kungekuwa na msichana ambaye angetamani kujenga ukaribu na mwanaume huyo ambaye wengi waliupenda uwezo wake lakini si kumpenda yeye kwa jinsi sura yake ilivyokuwa mbaya.
Linda hakujali, moyo wake ulimwambia kwamba William ndiye alikuwa mwanaume pekee ambaye angeishi naye kipindi chote. Kila siku ilikuwa ni lazima kukutana na William na kumwambia ukweli kwamba alikuwa akimpenda, hakukuwa na mwanaume yeyote chini ya jua aliyekuwa akimpenda kama yeye.
Hilo likamfariji William lakini ugumu ulikuja kila alipomkumbuka msichana Melania, alikumbuka kwamba msichana huyo alimwambia kuwa anampenda na alitaka kuwa naye japokuwa yeye mwenyewe hakutaka kuwa naye kwa kuwa aliona kutokustahili kuwa na msichana mrembo kama alivyokuwa.
Kwa Linda, jinsi alivyomuona, aliona kwamba alistahili lakini kumkubalia lilikuwa jambo gumu sana. Alimwambia ukweli msichana huyo kwamba alimpenda lakini hakutaka kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi.
“Kwa nini?”
“Hakuna sababu! Ni maamuzi tu!” alijibu William.
“Ni maamuzi yanayoniumiza William! Naomba uwe wangu,” alisema msichana huyo, uzuri wa sura yake ulionekana kama kuwa kosa kubwa kwa William kumkatalia.
“Haiwezekani,” alisema William.
Alikataa katakata, si mara moja, mara nyingi alimkatalia msichana huyo. Hakutaka kuwa naye, kwake, alimchukulia kama rafiki wa kawaida tu. Ukaribu na msichana huyo ukaongezeka maradufu mpaka kufikia kipindi wakawa wanalala pamoja chumbani, japokuwa hawakuwa wakigusana lakini mwili wa William ulikuwa kwenye presha kubwa.
“Linda! Unafanya nini?” aliuliza William, wakati anauliza swali hilo, mkono wa msichana huyo ulikuwa kwenye mapaja yake ukifuata eneo la zipu.
“Nimeshindwa kuvumilia mpenzi,” alisema Linda kwa sauti nyororo, muda huo ulikuwa ni saa nane usiku.
“Linda…”
“Hapana William! Ninakupenda, ninakupenda mpenzi,” alisema Linda huku mkono ukizidi kupanda juu.
Katika maisha yake yote hakuwa kukutana kimwili na msichana yeyote yule. Mwili wake ulimsisimka mno, mguso aliopewa na msichana huyo ulimpagawisha. Alikataa na kukataa lakini mwisho wa siku akajikuta akijiweka vizuri na ndani ya dakika kumi tu kitanda kikaanza kulia kama mtu aliyekuwa akienda juu na chini.
Huo ndiyo ulikuwa mwanzo wa uhusiano wao wa kimapenzi. Moyo wa Linda ulifurahi, hakuamini kama kweli alifanikiwa kuwa na mwanaume huyo. Kila alipomuona, alimpenda maradufu na hata ubaya wa sura yake kwake haukuonekana.
William aliifurahia mapenzi, kila siku alipokuwa akizungumza na Borya, alimwambia ukweli juu ya maisha yake kwamba alimpenda msichana huyo kuliko kitu chochote kile katika maisha yake. Uhusiano huo ukaibua gumzo kubwa chuoni hapo, hakukuwa na aliyeamini kwamba Linda angekuwa mwepesi sana kwa William.
Wakati yote yakiendelea, maofisa wa FBI waliendelea kumlinda William, walikuwa tayari kila wakati, walijitahidi kuhakikisha kwamba mtu huyo hatekwi wala hafanyiwi jambo lolote baya, walipoona kwamba wao kama wao hawakuweza zaidi, wakaamua kuwaweka wanachuo wengine, walijifanya kama wasomi lakini kila siku walikuwa wakifuatilia kilichokuwa kikiendelea.
“Borya! Kuna kitu nataka nifanye!” alisema William.
“Kitu gani?”
“Nataka niandae mtandao wa kijamii! Ufanane na Facebook, watu wawasiliane, watumiane picha na mambo mengine,” alisema William.
“Unahisi utapata mashabiki wengi?”
“Ndiyo! Kitu cha kwanza kabisa nitakachokifanya ni kuudhoofisha Mtandao wa Facebook,” alisema William huku akimwangalia Borya usoni.
“Kivipi?”
“Utaona! Kwanza ngoja niutengeneze mtandao wenyewe,” alisema William.
Hicho ndicho alichotaka kukifanya. Siku iliyofuata akamuita mpenzi wake, Linda na kumwambia wazo hilo alilokuwa nalo. Hilo halikuwa tatizo, Linda alimuunga mkono kwa kila kitu hivyo baada ya wiki moja akaanza kufanya kazi aliyotaka kuifanya.
Akajifungia chumbani, hakutaka kutoka ndani, alikuwa peke yake huku akiwa bize. Hakuingia darasani, alitaka kubaki ndani, peke yake huku akiendelea kufanya kazi hiyo aliyokuwa akiifanya.
Alitumia kipindi cha wiki moja kutengeneza muonekano wake na baadaye kuingizia vitu muhimu, kama sehemu za meseji, ukuta wa mwenye akaunti na vitu vingi na mwisho wa siku kuupa mtandao huo jina la MeChat.
“Nimemaliza,” alisema William huku akimwangalia Linda.
“Kweli?”
Ndiyo! Utazame,” alisema William, hakutaka kumpa mtu yeyote taarifa zaidi ya msichana huyo tu.
Linda akautazama, aliangalia kila kitu kilichokuwa humo. Moyo wake ukaridhika, ulikuwa mtandao wenye muonekano mzuri ambao alihakikisha anaingiza vitu vingi ambavyo vijana walikuwa wakivitaka.
Kabla hajauruhusu ufanye kazi aliamini kwamba ungekuwa na nguvu, Linda kamshauri kuongeza baadhi ya vitu na yeye kufanya hivyo. Alifanikiwa kwa asilimia mia moja na hivyo kumpigia simu rafiki yake mkubwa, Borya kwa ajili ya kuuona.
“Ninakuja!” alisema Borya kwenye simu.
Wakati hayo yakiendelea, macho ya Linda yalikuwa usoni mwa William, kila alipomwangalia, alimpenda, alihisi mapenzi mazito moyoni mwake. William akashindwa kuvumilia, akaamini kwamba kulikuwa na kitu mpaka msichana huyo kumwangalia namna hiyo.
“Kuna nini?” aliuliza William.
“Umegundua nini?” aliuliza Linda huku akiligusa tumbo lake.
“Unanitania…unanitania Linda…” alisema William huku akionekana kuwa na furaha tele.
“Nina mimba yako! Ina wiki mbili sasa,” alisema Linda huku akionekana kuwa na furaha mno. William akapiga magoti kisha kulibusu tumbo la mpenzi wake, akatarajiwa kuitwa baba! Muda wote huo, macho yake yalilowanishwa na machozi ya furaha yaliyoanza kumtiririka mashavuni mwake.

“Mambo mrembo,” ilisikika sauti kutoka kwa jamaa aliyesimama pembeni, mkononi alikuwa akikiendesha chombo cha kuwekea bidhaa mbalimbali.
“Safi!” aliitikia Melania.
“Umependeza,” alisema mwanaume huyo lakini Melania hakujibu kitu, alinyamaza, akamwangalia mwanaume huyo na kuendelea na shughuli zake.
Mwanaume huyo aliyejitambulisha kwa jina la Godson Mabula hakuacha kumwongelesha Melania, muda mwingi alikuwa akimzungumzisha lakini msichana huyo hakumpa ushirikiano wowote ule.
Alitokea kumpenda, msichana huyo alikuwa mzuri wa sura, kila alipomwangalia Godson hakutaka kumuacha, kwake, aliwahi kuona wanawake wengi lakini kwa Melania, alionekana kuwa na uzuri wa ajabu.
Godson hakuacha, hakunyamaza, muda mwingi aliendelea kumsemesha msichana huyo ambaye alionekana kutokuwa na muda naye. Waliendelea kuwa ndani ya supamaketi mpaka pale Melania alipoamua kuondoka, Godson hakutaka kubaki, naye akatoka na kuanza kumfuata msichana huyo.
“Melania…” alijikuta akiita. Msichana huyo akageuka na kumwangalia.
“Unasemaje?” aliuliza msichana huyo huku akionekana kuwa na hasira.
“Punguza hasira, hunifahamu, huwezi kumchukia mtu usiyemfahamu dada’ngu,” alisema Godson kwa sauti ya upole iliyoonyesha unyenyekevu wa hali ya juu.
“Una shida gani?”
“Ningependa kuzunguza na wewe.”
“Zungumza nakusikia!”
“Mmh!”
“Zungumza basi unanichelewesha,” alisema Melania huku akionekana kuwa na hasira.
“Samahani! Nahisi si muda sahihi! Naomba unitafute kwenye namba hii!” alisema Godson huku akimpa kikaratasi Melania.
“Nikutafute?”
“Ndiyo! Ila ukipata muda, usipopata muda, acha, usinitafute,” alisema Godson, Melania hakukichukua kikaratasi kile, alichokifanya ni kuufungua mlango wa gari lake na kuingia tayari kwa kuondoka, hata kabla hajafunga vioo vya gari, harakaharaka Godson akamfuata na kumtupia kikaratasi kile ndani ya gari.
“Nitafurahi ukinitafuta,” alisema Godson, akaondoka mahali hapo.
Melania hakuwa na furaha, moyo wake ulikuwa na huzuni tele, mawazo yalikisumbua kichwa chake, kwa muda mwingi sana alikuwa akiwasiliana na William na kumwambia alivyokuwa akimpenda, alivyomtaka awe mpenzi wake lakini mwanaume huyo hakukubali kuwa naye.
Hilo lilimpa mawazo, moyo wake uligota kwa mwanaume huyo, hakuwa na habari ya mtu yeyote zaidi ya huyo. Hakuwa na sura nzuri, alikuwa mbaya lakini moyo wake haukuangalia hilo, kwake, alionekana kuwa mwanaume mwenye sura nzuri kuliko wote katika dunia hii.
“Melania! Tafuta mwingine, kwangu, hapana! Sitokuweza,” alisema William kwenye simu.
“Ila ninakupenda, sijali jinsi ulivyo, ninakupenda William,” alisema msichana huyo.
“Hapana! Tubaki kuwa marafiki. Melania, tukiwa marafiki nitakuwa msaada mkubwa sana katika maisha yako, naomba tuendelee kuwa marafiki,” alisema William.
Hakubadilisha uamuzi wake, aliendelea kumwambia msichana huyo kwamba huo ulikuwa muda wa kuwa marafiki. Alijua kwamba aliumia moyoni mwake lakini hakuwa na jinsi kwa sababu hakuona kama alikuwa na sababu ya kuwa na msichana huyo mrembo, alimpenda sana Melania lakini alitakiwa kuwa na mwanaume bora hata zaidi ya alivyokuwa.
Hicho kilikuwa kipindi cha kulia, hakunyamaza, wakati mwingine alikuwa akimlaumu Mungu kwa hatua aliyochukua ya kumuonyeshea mwanaume huyo ambaye kwa wakati huo alikuwa akiutesa moyo wake kupita kawaida.
Siku zikakatika, hata alipokutana na Godson, bado alikuwa na mawazo tele, hakuona kama kulikuwa na mwanaume aliyetakiwa kuuchukua moyo wake zaidi ya William ambaye wala hakuwa na muda naye.
Hakutaka mapenzi ya mwanaume yeyote yule zaidi ya William. Kila siku alikuwa akimfikiria, muda ulisonga mbele, baada ya miezi miwili kukatika, akakata tamaa ya kuwa na William hivyo kuanza kumfikiria Godson.
Hakujua kama mwanaume huyo alikuwa na mapenzi ya dhati au la, alichokifanya ni kulifuata gari lake na kisha kuanza kukitafuta kikaratasi kile, alipokipata, akakichukua na kuanza kuzipiga namba hizo.
“Samahani! Nipo kikaoni, nipigie baada ya nusu saa,” ilisikika sauti ya Godson mara baada ya kupokea simu, hakujua huyo alikuwa nani na alihitaji nini.
Hilo halikuwa tatizo kwa Melania, akavumilia na baada ya nusu saa, akampigia na mwanaume huyo kupokea simu. Kitu cha kwanza kabisa akajitambulisha, Godson akaonekana kusahau kwani kilikuwa kipindi kirefu sana tangu akutane na msichana huyo.
“Melania yupi?” aliuliza.
“Yule wa supamaketi!”
“Ooh! Kumbe wewe mrembo! Umenifanya nisubiri sana kama namsubiri Yesu arudi,” alisema Godson huku akicheka.
“Hahah! Hiyo ndiyo namba yangu!”
“Nashukuru! Kuna masharti ya kupiga?”
“Wala hakuna! Muda wowote ule, ila nisipopokea, jua nipo bize au nimelala!” alisema Melania.
“Basi sawa! Nitakuwa nakubipubipu mrembo!”
“Hahaha! Sawa! Nitakapokuwa na muda wa maongezi nitakuwa nakupigia.”
“Nitashukuru sana!”
Huo ndiyo ulikuwa mwanzo wa uhusiano wao, wakaanza kuwasiliana kwenye simu, walikuwa kama marafiki, walizungumza kama marafiki lakini kila mmoja alijua ni kitu gani kingekwenda kutokea hapo baadaye.
Baada ya wiki moja tu, Godson hakutaka kubaki kimya, hakutaka kumuona Melania kama rafiki yake hivyo alichokifanya ni kumwambia ukweli kwamba alikuwa akimpenda kuliko msichana yeyote yule. Melania hakuwa na ujanja, akakubaliana naye na hivyo kuanza uhusiano wa kimapenzi.
Wakawa pamoja, mara kwa mara walikuwa wakionana, Godson ndiye alikuwa mwanaume wa kwanza kulala na Melania, akautoa usichana wake kitu kilichoufanya uhusiano huo kushamiri kupita kawaida.
Wakatambulishana kwamba walikuwa wapenzi, wazazi wa pande zote mbili wakafurahia kile kilichokuwa kimetokea. Siku zikaendelea kukatika zaidi na zaidi na hatimaye Godson akamwambia Melania kwamba huo ulikuwa wakati wa kumvisha pete ya uchumba mbele ya wazazi wake.
Hilo halikuwa tatizo, kitu cha kwanza alichokifanya Melania kabla ya kuwaambia wazazi wake alimwambia William, ilikuwa furaha kwa mwanaume huyo, akampongeza na kumpa hongera kemkem, baada ya hapo ndipo akawaambia wazazi wake.
“Ni lazima tuandae sherehe ndogo nyumbani!” alisema mama yake, Bi Pamela.
“Bila shaka mama!”
“Basi waambie wazazi wake waje, ili atakapofika, akutane na wazazi wake ndani ya nyumba,” alisema mama yake Bi Pamela.
Wakawasaliana na wazazi wa Godson na kuwaambia kile kilichotarajiwa kufanyika usiku huo, haraka sana wazazi hao wakafika nyumbani hao kama njia mojawapo ya kumfanyia sapraizi mtoto wao.
Baada ya saa moja, Godson akampigia simu Melania na kumwambia kwamba alikuwa njiani, hivyo alitakiwa kusubiri.
“Haina shida! Umekumbuka pete?” aliuliza Melania.
“Nimekumbuka!”
“Na wazazi wako umewaambia?”
“Hapana! Nitataka niwafanyie sapraizi na wao, baada ya hapo nitakuchukua na kukupeleka nyumbani, napenda sana kuishi kwenye sapraizi,” alisema Godson, kama kawaida yake akaanza kucheka kicheko cha chini.
Melania akawa na furaha tele, moyo wake ukawa na kimuemue cha kutaka kumuona mpenzi wake. Aliandaa sehemu zote kama ilivyotakiwa, mapambo mazuri na vitu vingi vya kupendezesha nyumba vilikuwa vimewekwa tayari.
Muda ulisonga mbele, dakika zilisogea, sehemu alipokuwa haikuwa rahisi kutumia muda mwingi kama nusu saa lakini kilichowashangaza, dakika arobaini na tano zilipita pasipo mwanaume huyo kuonekana mahali hapo.
Hilo likamtia hofu Melania, harakaharaka akachukua simu yake na kumpigia Godson, simu ilikuwa ikiita lakini haikuwa ikipokelewa. Hilo lilimchanganya, hakujua ni kitu gani kilikuwa kikiendelea.
Hakuacha, aliendelea kumpigia zaidi na zaidi lakini matokeo yalikuwa yaleyale kwamba simu haikupokelewa. Moyo wake ukaanza kujawa na hofu kubwa, akaanza kuogopa na kuhisi kwamba kulikuwa na tatizo, akampigia tena huku akijiahidi kwamba ndiyo ilikuwa mara ya mwisho, muda huo, simu ikapokelewa.
“Godson mpenzi….” alisema Melania huku akianza kutokwa na machozi ya furaha kwani hatimaye mpenzi wake alipokea simu.
“Halo dada!” alisikika mtu mwingine kwenye simu, Melania akashtuka.
“Halo!”
“Wewe ni ndugu yake huyu marehemu?” lilisikika swali kutoka upande wa pili.
“Unasemaje?” aliuliza Melania huku akiwa ameshtuka kupita kiasi, mapigo yake ya moyo yakaanza kudunda kwa nguvu huku kijasho chembamba kikianza kumtoka mfululizo.
“Kuna ajali mbaya imetokea hapa Sinza Makab…” ilisikika sauti ya upande wa pili, hata kabla hajamaliza sentensi hiyo, simu Melania akadondoka chini na kupoteza fahamu.
***
William akawa na furaha mno, hakutegemea kama alikuwa akienda kuwa baba. Kila alipokaa, alishindwa kulificha tabasamu lake pana. Hakutaka kumuona Linda akikaa mbali naye, alichokifanya ni kumuhamisha na kuanza kukaa naye katika chumba alichokuwa akikaa chuoni hapo.
Walikuwa kama mume na mke kwa jinsi walivyokuwa wakipendana. Humo, uhusiano wao uliendelea kusonga mbele, watu wakapenda kuwa karibu naye na mpaka siku ambayo alitangaza kwamba kulikuwa na mtandao mpya wa kijamii ambao alitaka kuuzindua, kila mmoja akatamani kuuona.
Taarifa juu ya mtandao huo ikaanza kutangazwa sehemu mbalimbali jijini Massachuesetts nchini Marekani, kila mmoja alitamani kuuona kwani walimwamini William kwamba alikuwa mtu mwenye uwezo mkubwa hivyo hata kuuanzisha mtandao huo ilionekana kabisa kwamba alidhamiria kufanya mapinduzi makubwa.
Maofisa wa mitandao mingine ya kijamii wakakutana katika ofisi zao, walikuwa wakitaka kuangalia namna huo mtandao ulivyokuwa, mioyo yao ilikuwa na hofu kubwa, walionekana kumuogopa William kwani alionekana kuwa mtu hatari sana.
Ndani ya jengo la Ofisi za Facebook, hakukukalika, kila mmoja alikuwa na hofu kwani walijua kwamba William alikuwa mtaalamu mkubwa, mkurugenzi wa mtandao huo, Mark Zuckerberg alikuwa ofisini mwake, alitulia, hakutaka kuonana na mtu yeyote katika kipindi hicho, mbele yake aliona upinzani mkubwa, hakukubali kushindwa, mtandao wake ulikuwa na watumiaji wengi zaidi ya bilioni moja duniani kote, hakutaka kuona akishindwa, ilikuwa ni lazima kupambana.
“Sorry sir,” (samahani mkuu) ilisikika sauti ya dada wa mapokezi ambaye alikuwa ameingia ofisini kwa bosi wake huyo.
“I’m kinda busy, I don’t have time Lisa,” (nipo bize, sina muda Lisa) alisema Zuckerberg.
Hakutaka kuonana na mtu yeyote katika kipindi hicho, alihitaji kutulia na kuuona mtandao huo ambao ulikuwa ukizinduliwa siku hiyo. Alizima simu yake ya mkononi, hakutaka kupigiwa na mtu yeyote yule.
Macho yake yalikuwa kwenye televisheni, alikuwa akimwangalia William alivyokuwa akizungumza mbele ya waandishi wa habari tena huku uso wake ukiwa kwenye tabasamu pana.
Utulivu haukuwa nchini Marekani tu bali hata sehemu nyingine duniani, kila mmoja alikuwa akifuatilia kile kilichokuwa kikiendelea na kubwa zaidi ni kwamba walitaka kuona jinsi muonekano wa mtandao huo ulivyokuwa.
Ilipofika saa 6:00 mchana, mtandao huo ukaachiwa hewani na watu kuanza kuingiza URL (Uniform Resource Locator) ya mtandao huo na kuanza kuuangalia. Watu wote wakakimbilia kompyuta zao na kuuangalia, ulikuwa ni MeChat, mtandao uliokuwa na muonekano mzuri kuliko mitandao yote.
Humo, mbali na kuchati na watu wengine, pia kulikuwa na sehemu za michezo mbalimbbali ya magari, mpira na michezo mingine, kulikuwa na saa, kulikuwa na sehemu ya kuzitumia hoteli mbalimbali oda za chakula ulichokuwa ukihitaji na kufikiwa mahali ulipokuwa ndani ya dakika chache mara baada ya kufanya malipo yako.
Kulikuwa na sehemu ya ramani iliyokuwa ikionyesha sehemu ulipokuwa. Kwa mfano mtu akitaka kutoka Massachuesetts mpaka New York, alikuwa akiangalia hapohapo na ilimpa majibu juu ya umbali, muda ambao angetumia kama angetembea, kupanda ndege au basi.
Ulikuwa mtandao mkubwa na siku hiyo ambao uliwekwa wazi, zaidi ya watu milioni ishirini waliufungua na kuangalia kilichokuwa kikiendelea. Kila mtu aliupenda, muonekano wake ukavutia na kumfanya kila mtu kutamani kuutumia siku zote.
“Ooh my God! I can’t believe,” (Ooh Mungu wangu! Siamini) alisema msichana mmoja huku akionekana kushangaa mara baada ya kuuona mtandao huo.
Hiyo ndiyo ilikuwa siku ya kwanza kabisa mtandao huo kuwekwa hewani lakini tayari kulikuwa na makampuni zaidi ya mia tano ambayo yalitaka kuweka biashara zao ziwe zinatangazwa ndani ya mtandao huo kwani uliaminika kwamba unaweza kuchukua watu wengi zaidi ya mitandao mingine ya kijamii.
Hayo yalikuwa mafanikio makubwa kwa William, hakutaka kuchelewa, akaingia mkataba na makampuni hayo na kuingiza kiasi cha dola milioni kumi kwa siku moja tu. Huo wala haukuwa mwisho, hoteli, apartments, majengo mengine, klabu za mipira, sekta mbalimbali duniani zilihitaji kutangazwa humo, hakukuwa na tatizo, wakatangazwa na kulipia kiasi kikubwa cha fedha.
“We are about to fall down,” (tunakaribia kuanguka) alisikika jamaa mmoja wa Facebook.
“We have to do something,” (inabidi tufanye kitu) alisema meneja wa mtandao huo, Bwana Sam Peters.
“What is it?” (kitu gani?)
“We must shut down the MeChat?” (ni lazima tuuzime MeChat)
“No problem, let The Man do it,” (hakuna tatizo, muache The Man afanye kazi hiyo) alisema meneja wa mtandao huo.
Kwa jina lake aliitwa Gabriel Hernandez ila kwa utaalamu wa kuchezea kompyuta ndani ya Kampuni ya Facebook, wakampa jina la The Man. Mbali na Yeye ndiye aliyekuwa mbunifu wa mkubwa wa mtandao huo, ndiye aliyekuwa akiamua leo mtandao ukae hivi au ukae vile.
Ndiye ambaye aliamua kuuendesha mtandao wa Facebook nchini China japokuwa serikali ya nchi hiyo ilikataa mtandao huo kufanya kazi nchini humo. Jamaa alikuwa mtaalamu, alijua kuichezea kompyuta, aliwahi kuizima mitandao mingi kwa maslahi yake binafsi, alikuwa na uwezo wa kufanya kitu chochote na hakuna ambaye angegundua kitu chochote kile.
Huyo ndiye aliyepewa jukumu la kuuzima mtandao huo. Alipoambiwa kazi aliyotakiwa kuifanya, kwanza akaingia katika mtandao huo na kuanza kuuangalia, ulionekana kuwa mwepesi kuzimwa kuliko mitandao mingine yote. Hakukuonekana kuwa na kazi hata mara moja, kabla ya kufanya kazi hiyo, kitu cha kwanza akamuita meneja wake, Bwana Sam Peters na kumwambia kwamba angefanikiwa kufanya jambo hilo ndani ya dakika chache tu.
“Just shut it down like you did to MySpace,” (uzime kama ulivyouzima Mtandao wa MySpace) alisema Bwana Peters, hawakumwambia Mkurugenzi Zuckeberg, walitaka kufanya kwa siri kubwa, kazi ikaanza kufanyika huku The Man akiwa ameagiza soda na kuanza kunywa taratibuuuuu.
Je, nini kitaendelea?
Je, mtandao utazimwa?
Je, vipi kuhusu Warusi na mpango wao wa kumteka William?
Je, watafanikiwa?

ITAENDELEA

FUTA MACHOZI MPENZI – 1

Related image

Simulizi : Futa Machozi Mpenzi
Sehemu Ya  Kwanza (1)

“Unafanya nini hapo binti?” ilisikika sauti ya mwanaume mmoja kutoka katika gari la kifahari, lilikuwa Range Rover SUV ya rangi ya kijivu yenye gharama zaidi ya milioni mia moja.
“Nasubiri usafiri!” alijibu msichana huyo aliyeulizwa swali, sauti yake ilikuwa nyororo mno, alivaa sketi fupi na laini iliyoyaacha mapaja yake wazi kwa asilimia kubwa.
“Unauza tuongee biashara?” aliuliza mwanaume huyo.
“Nani? Mimi? Hapana! Nimetoka kwenye pati,” alijibu msichana huyo huku akionekana kushtuka, hakuamini kama angeulizwa swali kama hilo, ila hakukasirika kwani mavazi yake yalionyesha kama msichana aliyekuwa akijiuza.
“Sawa. Unaishi wapi?”
“Manzese Midizini!”
“Naweza kukusaidia kukupa lifti?”
“Mmh! Hapana baba! Wewe endelea na safari yako,” alisema msichana huyo huku akionekana kuwa na hofu kubwa.
“Wala usijali! Mimi si mtu mbaya, ni mtu mwema, si unaona natembea na Biblia, wala usihofu,” alisema mwanaume huyo huku akiitoa Biblia na kumuonyeshea msichana huyo ambaye kidogo akaonekana kuwa huru.
Msichana huyo alikuwa amesubiri usafiri kwa kipindi kirefu hapo barabarani, alihitaji lifti na usiku huo alikuwa akitoka katika sherehe ya kuzaliwa ya rafiki yake aliyeitwa Zaituni. Huko, hakuwa na raha, kila mwanaume alikuwa akimwangalia yeye, alivalia nguo nyepesi ambayo iliyafanya maungo yake kuonekana vizuri kabisa.
Alikosa amani, hata alipokuwa akitembea, macho yake yalikuwa huku na kule, aliogopa, hakuwa na amani kabisa mpaka alipoamua kuondoka katika sherehe hiyo. Aliondoka kisiri, hakutaka mwanaume yeyote yule amuone kwani aliogopa kufuatiliwa, hilo akafanikiwa na kufika mpaka barabarani.
Hakujua ni kwa namna gani angeweza kurudi nyumbani kwao, hakuwa na fedha, hakuwa na usafiri wowote ule, aliogopa na pale alipokuwa moyo wake ulikuwa na hofu ya kubakwa, alihisi muda wowote ule wanaume wangetokea na kumbaka. 
Kwa sababu Kinondoni ilikuwa sehemu moja iliyokuwa na machangudoa wengi, walipomuona, walihisi kwamba alikuwa mwenzao hivyo hawakutaka kujali sana. Akaondoka mpaka alipofika barabarani, alijitenga na kusimama pembeni kabisa, tena akiwa peke yake.
Watu waliokuwa wakipita na magari, waliyasimamisha na kushusha vioo, walimwangalia msichana huyo kwa macho yaliyojaa matamanio, walitamani kumpandisha ndani ya gari na kuondoka naye lakini maneno yao yote yalionyesha kuwa walitaka kulinunua penzi lake kwani kwa jinsi alivyoonekana, alikuwa na mvuto wa ajabu.
“Twende binti! Nina laki moja hapa, haina matumizi yoyote yale,” alisema jamaa mmoja aliyekuwa ndani ya gari yake.
“Hapana! Wewe nenda tu!”
“Jamaniiiiiii!”
“Nimesema nenda tu kaka yangu,” alisema msichana huyo.
Alikaa hapo mpaka ilipofika saa nane usiku. Mwili wake ulikuwa ukitetemeka, mbali na baridi alilokuwa akilihisi lakini bado hofu kubwa iliutawala moyo wake na kumfanya kutokwa na kijasho chembamba kwa mbali.
Alimuomba Mungu usiku huo uwe na amani kwani pale aliposimama, hakukuwa na mtu yeyote aliyekuwa akipita, ni magari tu ndiyo yaliyokuwa yakimpita na mengine kumpigia honi mpaka alipokuja huyo mzee ambaye akamchukua na kuondoka naye.
“Unaitwa nani binti?” aliuliza mzee huyo kwa sauti ya utaratibu.
“Pamela Ndanshau!”
“Ooh! Sawa. Mimi naitwa Edward,” alijitambulisha mzee huyo.
“Sawa. Nimefurahi kukufahamu baba!”
“Mimi si mkubwa, ni kijana tu Pamela, unaweza kuniita rafiki au mshikaji wa mjini,” alisema mzee huyo huku akiachia tabasamu, japokuwa kichwa chake kilikuwa na mvi nyingi lakini aliukataa ukubwa, kwake, alijiona kuwa kijana wa miaka ishirini.
Walikuwa wakizungumza mengi, mzee Edward alikuwa mchangamfu, kila wakati yeye ndiye aliyekuwa akitawala mazungumzo ya humo garini. Moyo wake ulifurahi mno, kitendo cha kukutana na msichana mrembo kama alivyokuwa Pamela, kwake ilikuwa ni bahati kubwa.
Pamoja na kuongeea kwa uchangamfu, bado macho yake hayakutulia, kila wakati alikuwa akiangalia mapaja ya msichana huyo, yalinona, yalimtamanisha mno, kila alipomwangalia pepo la ngono lilimuingia na kumtoka, likamuingia tena na kumtoka.
“Mmh! Anatamanisha! Mtoto amenona sana! Hivi kwa nini nilizaliwa zamani? Nilitakiwa kipindi kama hiki kuwa kijana,” alijisemea Mzee Edward huku akiendelea kuyaangalia mapaja ya Pamela kisiri.
Pamela hakuwa na amani, kichwa chake kilikuwa na mawazo, japokuwa mzee huyo alijifanya kuwa mcha Mungu kwa kumuonyeshea Biblia lakini bado hakuwa na amani, alimwangalia, macho yake yalionyesha tamaa kubwa, wakati mwingine alitamani kuteremka na kutembea lakini ilishindikana kabisa.
Mzee Edward hakuongea naye mambo ya mapenzi, alimuonyeshea wema mkubwa wa kumsaidia kwani pale alipokuwa amesimama, haikuwa sehemu salama, moyo wake ulimwambia ni lazima amsaidie msichana huyo mrembo.
Hawakuchukua muda mwingi wakafika Manzese Midizini, mzee huyo akasimamisha gari mbele ya nyumba moja iliyoonekana kawaida sana, hakukuwa na mtu, kulikuwa na ukimya mkubwa mahali hapo, Pamela akamshukuru Mzee Edward na kisha kuufungua mlango wa gari kwa ajili ya kuteremka.
“Pamela…” aliita mzee huyo, Pamela akamgeukia.
“Abeee…”
“U msichana mzuri sana, hukutakiwa kuwa mahali pale, tena kwa wakati kama huu, unaishi na nani hapa?” aliuliza mzee huyo.
“Mama na mdogo wangu!”
“Sawa. Nitakuja kukuona kesho! Una simu?”
“Ndiyo!”
“Naruhusiwa kuwa na namba yako?”
Kabla ya kujibu chochote, Pamela akanyamaza na kuangalia chini, alionekana kuwa na hofu. Mzee huyo hakuonekana kama alikuwa mtu mbaya na ndiyo maana tangu alipomsaidia mpaka wanafika hapo, hakumwambia neno lolote la kimapenzi, alimsaidia kama mtu aliyekuwa akihitaji msaada mkubwa.
Hakuona kama ulikuwa uungwana wa kumnyima namba mzee huyo kwani bila wema wake, inawezekana bado angeendelea kuwa kule barabarani akisubiri lifti kutoka kwa watu wengine, je, ingekuwaje kama angepewa lifti na mwanaume ambaye angemtaka kimapenzi kinguvu?
“Hii hapa! Andika,” alisema Pamela na kisha kumtajia namba ya simu Mzee Edward, alipoiandika, akachukua bahasha na kumpa Pamela, kwa jinsi bahasha ile ilivyoonekana, ilionyesha ndani kulikuwa na kitu, hakujua kulikuwa na nini ila akahisi kwamba zilikuwa pesa, alipoipokea, akateremka.
Mzee Edward hakutaka kuondoka mahali hapo mpaka pale ambapo angehakikisha Pamela ameingia ndani. Alibaki mahali hapo, Pamela akaanza kugonga mlango, baada ya dakika chache, kijana mmoja akaufungua mlango na kuingia ndani.
“Bye…” alisema Mzee Edward kwa sauti, Pamela hakuitikia zaidi ya kumpungia mkono kumuaga. Mzee Edward akawasha gari na kuondoka zake huku akionekana kuwa mwenye furaha tele kukutana na msichana huyo.

“Pamela! Upo wapi?” ilisikika sauti ya mwanaume kwenye simu, haikuwa sauti ya kawaida, ilikuwa ni sauti ya ukali.
“Nyumbani baby!” alijibu Pamela kwa sauti ya upole.
“Jana ulikuwa wapi?”
“Nilikwenda kwa rafiki yangu Zaituni, si nilikwambia kama kuna sherehe ya siku yake ya kuzaliwa,” alijibu Pamela kwa sauti ya upole kabisa.
“Wewe mwanamke malaya sana. Mbona hukuniambia wakati unarudi? Au ulipitia kwa mabwana zako? Yaani wewe kila siku umalaya tu, hivi unaona sifa kuwa malaya kukitembeza kwa kila mtu?” aliuliza jamaa huyo kwa sauti ya ukali, alikasirika mno.
“Hapana mpenzi laki…” alisema Pamela lakini hata kabla hajamaliza sentensi yake, jamaa huyo akakata simu.
Moyo wake ulinyong’onyea, aliumia moyoni mwake, mwanaume aliyekuwa amempigia simu aliitwa Dickson. Huyo alikuwa mwanaume wake wa kwanza, hakuwahi kubadilisha mwanaume yeyote zaidi ya huyo.
Alimpenda sana Dickson, walikaa kwenye uhusiano kwa miaka zaidi ya mitano huku mwanaume huyo akiwa kila kitu kwake. Walipeana ahadi nyingi kwamba wangeona na kujenga familia pamoja, maneno hayo yalimchanganya Pamela na kuamua kumpa moyo wake Dickson.
Baada ya kukaa kwenye mahusiano kwa kipindi fulani, Pamela akapata ujauzito kitu ambacho hakumficha Dickson, akamwambia ukweli lakini tofauti na mategemeo yake, Dickson akamwambia kwamba ule ujauzito haukuwa wake, hivyo hakuutambua.
Pamela alihuzunika, hakuwa na mwanaume mwingine zaidi ya huyo, hakuwahi kumvulia nguo mwanaume yeyote na kufanya naye mapenzi, mwanaume ambaye aliwahi kumfanyia hivyo alikuwa Dickson tu na ndiye aliyempa mimba lakini mwisho wa siku mwanaume huyohuyo alimwambia kwamba mimba haikuwa yake.
Dickson akakaa na kujifikiria, akaona kwamba kwa kadiri muda unavyokwenda, mimba ile ingeongezeka na yeye hakuwa tayari kuzaa na Pamela, alichomwambia ni kutoa mimba ile.
“Nitakufa…” alisema Pamela.
“Hutoweza kufa! Wewe toa tu!”
“Sina hela, wewe mwenyewe si unajua tulivyo masikini!” alisema Pamela.
“Nitakupa hela.”
“Basi sawa!”
Wakakubaliana, baada ya siku mbili, tayari Dickson akapata kiasi cha fedha kilichohitajika na hatimaye mimba kutolewa. Hilo ndilo alilolitaka, hakumjali sana Pamela, kwake alikuwa mwanamke wa starehe, mapenzi yalikwisha moyoni mwake na kitu pekee kilichokuwa kimebaki ni mazoea tu.
Wakati yeye akichukulia mazoea katika mapenzi hayo, kwa Pamela ilikuwa balaa, moyo wake ulikufa na kuoza kwa Dickson, usiku hakulala vizuri, alichanganyikiwa kwa penzi lake na muda wote alikuwa akimuhitaji lakini mwanaume huyo hakujali.
Hakuwa anapokea simu, aliwasiliana na Pamela siku ambayo alihitaji kufanya hivyo. Mawazo yalimuendesha, mwili wake ukapungua kiasi kwamba kila mtu alimshangaa.
Siku ambazo Dickson alipojisikia kufanya mapenzi, aliwatafuta wanawake wake wengine, walipomwambia kwamba walikuwa kwenye siku zao, akamtafuta Pamela ambaye hakuwa na kinyongo, alimpenda sana Dickson hivyo kama kawaida akaitanua miguu yake tena.
Hayo ndiyo yalikuwa maisha yake, yalimuumiza lakini hakuwa na jinsi, alitamani kuendelea kuwa na mwanaume huyo kwa sababu alimpenda kwa moyo wa dhati. Siku zikakatika mpaka alipopata mimba ya pili.
Alishangaa, hakujua iliingiaje na wakati alikuwa akitumia mpira, hakujua kama wakati wa kufanya mchezo huo, katikati Dickson alikuwa akiutoa mpira na kufanya bila mpira. Akili yake ilichanganyikiwa mno, hakujua ni kitu gani alitakiwa kufanya, alimwambia Dickson ambaye naye alibaki akishangaa tu, hakutaka kukubali kama hiyo ilikuwa mimba yake.
“Haiwezekani! Hii ni mara ya pili, utakuwa na mwanaume mwingine,” alisema Dickson huku akionekana kuchukia.
Hiyo mimba nayo ikatolewa, mwili wake ulichoka hata kabla hakuwa mke wa mtu. Huo ndiyo ukawa mwisho wa kuwa na Dickson, moyo wake ulimuuma lakini hakuwa na jinsi kwani alimpenda kupita kawaida.
Aliendelea kukaa nyumbani, baada ya mwaka mmoja, Dickson akamrudia tena, akamuomba msamaha, ilikuwa vigumu kwa msichana huyo kukubali lakini mwisho wa siku akaamua kumsamehe kwa sababu alimpenda, hivyo mapenzi kuanza tena.
Mpaka anakutana na mzee Edward, ilikuwa imepita wiki moja tangu kurudiana na Dickson, hakuwa na mapenzi makubwa kwa Dickson lakini alishindwa kumuacha kwa sababu tu alihisi moyo wake ukimpenda mno.
“Nilijua tu wewe malaya! Ulikwenda kutembea na mabwana zako huko halafu unamsingizia Zaituni,” alisema Dickson kwenye simu.
“Nisamehe mpenzi…”
“Hebu toka huko! Nisamehe inasaidia nini,” alisema Dickson na kukata simu.
Japokuwa mapenzi yalikuwa ni furaha lakini kwa Pamela yalikuwa ni sawa na kuishi kwenye tanuru la moto. Hakukuwa na siku ambayo aliyafurahia mapenzi aliyokuwa nayo kwa Dickson, kila siku alijiona akipitia katika maumivu makubwa lakini bado msimamo wake ulikuwa ni kumshikilia huyo Dickson ambaye hakuonekana kujali chochote kile.
Tangu alipomlalamikia na kukata simu, Dickson hakutaka kupiga tena, kwake, alijua kwamba Pamela hakuwa akipindua, hata kama angemkuta amelala na wanawake, bado msichana huyo angemsamehe na kufanya kile alichokitaka.
Mapenzi mazito ya Pamela yakawa kama fimbo ya kumchapia, hakujua msichana huyo alijisikiaje, hakujua ni kwa jinsi gani aliumia moyoni mwake, kitu alichokijali ni kwamba alipotaka penzi alipewa bila kinyongo chochote kile.
Wakati yeye akiringa, wakati akimuona Pamela hakuwa na thamani yoyote ile ndicho kipindi ambacho Mzee Edward akaingia kwa nguvu zote. Mzee huyo akatokea kumpenda Pamela, kwake alionekana kuwa msichana wa tofauti, mwenye uzuri wa ajabu ambao uliutikisa mtima wa moyo wake.
Baada ya kupewa namba ya simu, siku iliyofuata akampigia simu Pamela na kuzungumza naye. Hakutaka kumficha, alimwambia kwamba alimpenda na alitaka kumfanya mwanamke mwenye furaha kuliko wanawake wote aliowahi kuwa nao.
“Na mkeo je?” aliuliza Pamela.
“Mke wangu anaumwa sana Pamela. Sidhani kama atapona,” alijibu mzee huyo.
“Mmh! Sasa si ndiyo muda wa kumfariji!”
“Pamela! Siwezi kukuficha kitu chochote. Ninampenda sana mke wangu, nimekuwa naye tangu nilipokuwa masikini mpaka leo hii! Ninamthamini zaidi ya mtu yeyote katika dunia hii. Kila siku nimekuwa nikimlaumu Mungu kwa kumlaza mke wangu kitandani kwa mwaka mmoja na nusu. Kila nikimwangalia, nahisi atakufa, ninaumia kwa mawazo na ndiyo maana niliamua kutafuta msichana ambaye ataniondolea mawazo, ikitokea mke wangu akafa, basi nimuoe yeye,” alisema mzee huyo, wakati akiyazungumza hayo, sauti yake ilitoka na kwikwi kuonyesha kwamba aliumizwa na kilichokuwa kikiendelea.
“Pole sana mshikaji wangu,” alisema Pamela, jina hilo likamfurahisha mzee huyo, akaachia tabasamu pana.
“Nashukuru sana! Naomba nikuone leo,” alisema mzee huyo.
“Leo?”
“Ndiyo!”
“Mmh!”
“Kuna nini? Mbona unaguna jamani?
“Nitakwambia! Ngoja nicheki ratiba yangu,” alisema Pamela.
“Sawa. Nakupenda Pamela!”
“Ahsante!” alisema msichana huyo na kukata simu

Moyo wake uliumizwa vya kutosha, ulijeruhiwa mno, ulikosa amani na kila siku ulikuwa ukipitia katika maumivu makali. Alichoka, alilia usiku na mchana na ndiyo maana mzee Edward alipomwambia kwamba alikuwa tayari kumpa furaha akahisi kitu cha tofauti ndani ya moyo wake.
Hakuhitaji mapenzi, kitu alichokihitaji ni furaha tu, hakutaka fedha, hakutaka mali, kitu ambacho alikihitaji kuliko kitu chochote ni furaha ambayo Dickson alishindwa kumpatia kwa kipindi kirefu.
Baada ya kujifikiria kwa saa kadhaa, akamwambia mzee huyo kwamba alikuwa tayari kwenda naye sehemu kama alivyoomba kitu kilichomfurahisha mzee huyo na hivyo baada ya saa mbili, wakaonana.
Pamela akakutana na mzee huyo katika mgahawa wa Jumanji uliokuwa Msasani, hapo walizungumza sana, kwa jinsi alivyoonekana Pamela hakuwa na furaha, hilo lilimfanya mzee Edward kukosa amani na hivyo kumuuliza sababu ya kuwa hivyo.
Pamela hakuficha, alimwambia ukweli kile kilichokuwa kimetokea, alimwambia jinsi moyo wake ulivyokuwa na majeraha kutokana na yale aliyokuwa akifanyiwa na mpenzi wake. Maneno hayo yalimpa uhakika mzee huyo kwamba angemchukua Pamela kwani alimuahidi kitu ambacho alikihitaji kila siku katika maisha yake, FURAHA.
“Unampenda?” aliuliza mzee huyo.
“Ukweli wa moyo wangu unampenda ila sihitaji kuwa naye na sijui nitamtoa vipi moyoni mwangu,” alisema Pamela huku akionekana kuwa na huzuni mno.
“Huwezi kumtoa kama hutomuingiza mtu mwingine. Ili huyo atoke, ni lazima mwingine aingie kwani ndani ya moyo hakuwezi kukaa watu wawili,” alisema mzee huyo.
“Najua hilo!”
“Naomba niwe nawe. Nakuahidi huyo kiumbe atatoka na tutakuwa mimi na wewe, wewe na mimi,” alisema mzee huyo.
Walizungumza mambo mengi, kwa sababu msichana huyo alihitaji sana furaha katika kipindi hicho, akakubali kuwa na Mzee Edward na hivyo uhusiano mpya kuanza. Kama alivyosema mzee huyo ndivyo alivyofanya, alimpenda sana Pamela na kila wakati alikuwa akiwasiliana naye na kutaka kujua anaendeleaje.
Kitendo cha mzee huyo kuwa karibu naye kila wakati kikamfanya kuanza kumuingiza taratibu na kumuondoa Dickson ambaye kila alipokuwa akipiga simu kazi yake ilikuwa ni kulalamika tu na kumpa vitisho vya kumuacha kwa mara nyingine.
Pamela hakujali, hakutaka kusikia kitu chochote kile, vile vidonda vilivyokuwa moyoni mwake vikaanza kupona na ile furaha ambayo ilikuwa imepotea kwa kipindi kirefu ikaanza kurudi moyoni mwake.
Akabadilika, mama yake akamshangaa, haikuwa kawaida kuliona tabasamu la binti yake lakini kipindi hicho, kila wakati msichana huyo alikuwa akitabasamu tu. Mama yake hakutaka kukaa kimya, akamuuliza, alitaka kujua siri kubwa ya tabasamu lile.
“Nina furaha tu mama,” alisema Pamela.
“Sawa. Najua una furaha! Ila furaha ya nini?” aliuliza mama yake.
“Nitakwambia mama!”
“Kwa nini usiniambie sasa hivi?”
“Na kwa nini nikwambie sasa hivi? Mambo mazuri hayataki haraka mama,” alijibu Pamela huku akiwa na tabasamu pana.
Ndani ya miezi mitatu ya mahusiano ya kimapenzi, mzee huyo hakumwambia Pamela kuhusu kufanya mapenzi, kwake, kuwa karibu na msichana huyo ilikuwa ni furaha tele. Wakati mwingine alikuwa akimuita hotelini, huko walikaa na kuzungumza huku msichana huyo akiwa amekiegemea kifua chake, hakumvua nguo zake zaidi ya kuendelea kupiga stori mpaka walipoondoka.
Pamela akajihisi vibaya, akahisi kwamba mzee huyo alikuwa na matatizo mwilini mwake, haikuwa kawaida kuwa na mwanaume na kukaa naye kwa kipindi kirefu bila kufanya mapenzi na wakati alikuwa akimgharamia kwa kila kitu.
“Hakuna tatizo! Ila kufanya mapenzi ni maamuzi, kupanga wote wawili,” alisema mzee Edward.
“Ila tatizo nini mpenzi?”
“Pamela! Tatizo kubwa ni mke wangu! Ananifanya nijisikie vibaya sana. Nilikwambia kwamba ninampenda, kufanya mapenzi na wewe nahisi kama nitamsaliti,” alisema mzee huyo ambaye hakutaka kabisa kuficha juu ya penzi alilokuwa nalo kwa mkewe.
“Pole jamani! Mungu atamponya tu!”
Siku zikaendelea kukatika huku akiishi nyumbani kwao Manzese. Baada ya miezi mitano ya mahusiano ya kimapenzi na mzee huyo, Pamela akapangiwa jumba kubwa maeneo ya Kijitonyama na kutakiwa kukaa huko.
Hakuamini siku ambayo alichukuliwa na mzee huyo na kuonyeshewa jumba hilo, alimkumbatia mzee huyo na kulia kifuani mwake. Kutoka Manzese, kwenye nyuma ya kimasikini mpaka katika jumba hilo kwake ilionekana kuwa ndoto kubwa.
Mbali na jumba hilo, akanunuliwa gari, akafunguliwa biashara mbili ambazo alitakiwa kuziendesha yeye mwenyewe. Mpaka kufikia kipindi hicho hakutaka kumficha mama yake, akamwambia ukweli kuhusu mzee Edward.
“Unasemaje?”
“Ndiyo hivyo mama! Ananipenda, nipo naye kwa miezi sita,” alijibu Pamela.
“Huyo anataka kukuchezea tu halafu akuache,” alisema mama yake ambaye alionekana kuwa na hofu kubwa.
“Mama! Tupo kwenye uhusiano kwa miezi sita, hakuwahi kuniomba penzi! Tunakaa wote hotelini, chumbani lakini hataki kufanya mapenzi,” alisema Pamela, mama yake hakuamini, akauliza mara mbilimbili na jibu likawa hilohilo.
Mwanamke huyo akataka kuonana na mzee Edward, hilo halikuwa tatizo, mzee huyo alipopewa taarifa hiyo akaonana na mwanamke huyo. Alimchangamkia, akamwambia kabisa mama Pamela kwamba alimpenda mno binti yake, hakujali umri wake, alitamani sana kuwa naye ila kuna baadhi ya vitu hakuwa akivifanya kwa sababu ya mke wake aliyekuwa hoi kitandani.
“Bora umekuwa mkweli! Kwa hiyo una malengo gani na Pamela?” aliuliza mama yake.
“Ninataka kuishi naye! Ninataka kumpa furaha maishani mwake, najua moyo wake umekata tamaa ya kuishi, najua ameumizwa sana, huu ni wakati wa kubadilisha kila kitu, ninahitaji kumpa furaha moyoni mwake,” alijibu mzee huyo.
Mama Pamela akaridhika na mzee huyo, hakuwa na jinsi zaidi ya kutoa ruhusa. Kwa kitendo cha kuwa karibu na Mzee Edward, akaamua kabisa kumuacha Dickson, alijua namna ambavyo mwanaume huyo angemtafuta sana, alichokifanya ni kubadilisha namba ya simu kitu kilichomaanisha kwamba hakutaka kuwasiliana naye tena katika maisha yake.
Mapenzi yakanoga, Mzee Edward hakutaka kumficha mkewe, alijua kwamba alikuwa mgonjwa kitandani, alimjali lakini aliamua kumpa ukweli kuhusu msichana aliyekuwa amempata.
Hilo halikumuumiza mwanamke huyo, alimpenda sana mume wake, kwa miaka yote hiyo ya kuishi pamoja, hawakuwa wamepata mtoto japokuwa walikuwa matajiri wakubwa, Mzee Edward hakuwa na tatizo bali tatizo kubwa lilikuwa kwa mkewe aliyekuwa ameharibika mfuko wa uzazi.
Kwa kipindi chote hicho, mzee huyo hakutaka kumsaliti mkewe, alijua kwamba hakuweza kushika mimba lakini hilo halikumfanya kutembea nje ya ndoa yao, aliendelea kumjali na kumpenda kila siku.
Kitendo cha kumwambia kwamba alipata msichana ambaye aliamini kwamba angempa furaha, mwanamke huyo akafurahia, hakuumia, akamuita mumewe na kumkumbatia kisha kumbusu mdomoni.
“Sina muda mwingi wa kuishi mume wangu! Nahisi huu ndiyo mwisho wa safari yangu, nitakufa siku yoyote ile, ila naomba kabla sijafa nifanyie kitu kimoja,” alisema mwanamke huyo kwa sauti ndogo.
“Bila shaka mke wangu!”
“Naomba nimuone mwanamke uliyeamua kumchukua na kumsaidia,” alisema mwanamke huyo kitandani pale.
Mzee Edward hakuwa na jinsi, alitaka kumfurahisha mke wake katika siku za mwisho za uhai wake, alichokifanya ni kuondoka na aliporudi, alikuwa pamoja na Pamela, alimtambulisha kwa mke wake kwamba ndiye msichana aliyeamua kuwa naye kwa ajili ya kumpa furaha.
Mwanamke huyo alifurahi, alimshukuru Mungu kuonana na Pamela na baada ya siku tatu, akafariki dunia kitandani hapo kitu kilichomfanya Mzee Edward kuwa na maumivu makali moyoni mwake.
Msiba ukafanyika, mzee huyo alihuzunika na kulia, katika kipindi chote alichoishi na mke wake, waliishi kwa upendo mkubwa, alimpenda na kumthamini na kwake alikuwa kila kitu katika maisha yake. Wakamzika katika makaburi ya Kinondoni na baadaye kuamua kuishi na Pamela kitu kilichompa amani na furaha msichana huyo.


“Oya! Umemuona yule mtoto?” aliuliza jamaa mmoja aliyekuwa kwenye daladala, alikuwa akizungumza kwa sauti ya chini kuhakikisha abiria wengine hawasikii.
“Mtoto gani?”
“Yule aliyebebwa na yule mwanamke!”
“Duuh! Huyu binadamu au nyani?” aliuliza jamaa huyo aliyeambiwa amwangalie mtoto huyo.
“Shiiiiii….atasikia..” alisema jamaa huyo.
Mwanamke mmoja masikini aliyevalia kitenge kilichochakaa kilichokuwa juu ya dela kuukuu alikuwa ndani ya daladala moja iliyokuwa ikitoka Gongo la Mboto kuelekea Makumbusho.
Mwanamke huyo aliyeonekana kupigwa na maisha alikuwa amembeba mtoto wake ambaye alikuwa gumzo ndani ya daladala hiyo kutokana na ubaya wa sura yake. Kila abiria alimshangaa, alitisha, watu wengi walihisi mwanamke huyo alimbeba nyani mpaka pale mtoto alipoanza kulia na kugundua kwamba alikuwa binadamu.
Aliwashangaza watu wengi, hawakujua tatizo lilikuwa nini mpaka mtoto huyo kuwa na sura mbaya namna ile. Wapo waliokuwa wakicheka na wengine kujisikia vibaya, japokuwa mara nyingine aliwasikia abiria wakimcheka mtoto wake, alinyamza lakini moyo wake ulikuwa na maumuvu makubwa mno.
Hilo ndilo lililomtesa, tangu alipomzaa mtoto huyo, kila kitu kilionekana kubadilika. Mumewe ambaye naye alikuwa masikini alipoona mkewe amezaa mtoto mbaya namna ile, akaamua kumkimbia na kumuacha peke yake akiteseka.
Maisha yalimpiga, hakuwa na kazi yoyote zaidi ya kuuza genge katika Mtaa wa Tandale kwa Tumbo alipokuwa akiishi. Mtoto wake alikuwa gumzo kila kona, wengi walipenda kumwangalia na kumcheka kwa jinsi alivyokuwa na sura mbaya.
Watoto na watu wazima mitaani walimtumia mtoto huyo kuwa tusi kwa wengine kwani kila aliyeambiwa ana sura mbaya kama mtoto huyo alichukia na kupigana. Mama wa mtoto huyo alidharaulika, na si kwa sababu alikuwa masikini, pia kwa sababu ya ubaya wa sura ya mtoto wake.
Mpaka anateremka katika kituo cha Tandale Kwa Tumbo, watu walikuwa wakimwangalia, gumzo humo ndani lilikuwa ubaya wa sura ya mtoto yule ambaye kila alipokuwa akilia, ubaya wake uliongezeka na kumtisha kila mmoja.
Hayo ndiyo yalikuwa maisha yake, yalimuumiza lakini hakuwa na jinsi. Wakati mwingine alikuwa akimuuliza Mungu kwa nini aliamua kumpa mtoto wake sura mbaya kiasi kile lakini hakupata jibu lolote lile.
Ilipombidi kulia, alilia sana lakini kamwe hakutaka kumtelekeza mtoto wake, aliamini kwamba Mungu alikuwa na makusudi yake, kwa nini mtoto huyo asingepewa Bakhresa? Kwa nini mtoto huyo asingepewa Mengi? Kwa nini Mungu aliamua kumpa yeye mtoto huyo na wakati alijua kwamba alikuwa masikini? Alijua Mungu alikuwa na sababu ambayo ndiyo iliyomfanya kusubiri na kuona ni kitu gani kingetokea.
Maisha yaliendelea kumpiga kila siku, alipambana, alikuwa radhi kukosa chakula lakini si kwa mtoto wake ambaye aliendelea kukua zaidi na zaidi na alipofikisha umri wa miaka mitatu, akamuanzisha shule ya chekechea.
Siku ya kwanza kufikishwa shuleni hapo, watoto wengine wakaanza kulia, walimuogopa, walimkimbia kitu kilichomfanya kumuumiza mno moyoni mwake. Machozi yalimtoka mbele ya mwalimu, kwa sababu watoto wengine walikuwa wakiogopa, akaamua kuondoka naye, hakutaka kumpeleka shule tena, aliona ni bora angekaa naye nyumbani tu.
Mtaani, mtoto huyo aliyeitwa William alionekana kuwa kituko, watoto wenzake hawakutaka kucheza naye kwa sababu walimuogopa mno. Yeye mwenyewe hakujua ni kitu gani kilichokuwa kikiendelea, hakujua kama sura yake ndiyo iliyokuwa ikiwatisha watoto wengine.
Siku zikaendelea kukatika, miezi ikasonga mbele na alipofikisha umri wa miaka minne, mama yake, Sophia akakutana na mwanaume mmoja, hakumfahamu, ilikuwa mara yake ya kwanza kumtia machoni.
Mwanaume huyo alikuwa akipita mtaani kwao, alikuwa ameshika brifukesi, alionekana kuwa na haraka mno ya kuelekea ofisini kwake. Alipokaribia na genge la Sophia, akamwangalia mwanamke huyo na mtoto aliyekuwa pembeni yake, ghafla akasimama na kugeuka na kumfuata mwanamke huyo.
Sophia alishangaa, hakumjua lakini kwa jinsi alivyokuwa akimfuata, uso wake ulikuwa kwenye tabasamu pana kana kwamba alikuwa akimfahamu mwanamke huyo, alipomfikia, akamsalimia na kisha kuinama na kumwangalia William.
“Huyu ni mtoto wako?” aliuliza mwanaume huyo aliyevalia nadhifu.
“Ndiyo!”
“Aisee! Una bahati sana,” alisema mwanaume huyo.
“Nina bahati! Ya nini?” aliuliza Sophia huku akimshangaa mwanaume huyo.
“Una mtoto mzuri sana,” alisema mwanaume huyo huku akiachia tabasamu.
Alichokuwa akikisema, alimaanisha kutoka moyoni, uso wake ulikuwa na tabasamu pana na kila Sophia alipomwangalia mwanaume huyo, aliona tabasamu lile ambalo lilitoka kwa dhati kutoka moyoni mwake.
“Unamaanisha nini?”
“Huyu mtoto ni mzuri! Ana akili sana!” alisema mwanaume huyo.
“Ana akili?”
“Ndiyo! Ni mtoto mwenye uwezo wa ajabu sana. Unalijua hilo?” aliuliza mwanaume huyo huku akiendelea kumwangalia William, kwake, mtoto huyo alionekana wa tofauti.
“Unamaanisha nini!”
“Mtoto wako ni mzuri, ana akili sana, nahisi Mungu aliamua kukupa huyu mtoto kwa makusudi yake, usimlalamikie Mungu. Hajawahi kuumba mtu mbaya, kila anapokaa na kumwangalia mtoto wako, anajisifia kwamba ametengeneza kitu kizuri sana kiasi kwamba anaweza kuwa sehemu na kujisifia kwamba miongoni mwa watu aliopatia kuwaumba, wa kwanza huyu mtoto,” alisema mwanaume huyo maneno yaliyomchanganya sana Sophia.
“Sijajua unamaanisha nini?”
“Kuna siku utajua namaanisha nini! Ninachotaka ujue ni kwamba Mungu kila anapomwangalia mtoto wako, anajivunia kwa kufanya kazi nzuri,” alisema mwanaume huyo, alipomaliza, akasimama, akachukua shilingi elfu kumi kutoka mfukoni mwake na kumkabishi Sophia kisha kuondoka mahali hapo.
Moyo wake ukawa na furaha, hakuamini kile alichokisikia kutoka kwa mwanaume huyo. Moyo wake ulikata tamaa, kila alipomwangalia mtoto wake, alimlaumu Mungu kwa kumpa mtoto mwenye sura mbaya kama aliyokuwa nayo.
Akamuinamia William na kumkumbatia. Moyo wake ulikuwa na faraja ambayo hakuwahi kuisikia tangu alipomzaa mtoto huyo. Mume wake alimkimbia kwa sababu ya William, alipoteza ndugu zake kwa sababu ya mtoto huyo, kwake, ndiye alikuwa faraja yake na hakujua sababu iliyomfanya Mungu kumchagua mto to huyo na kuwa uzao wake.
“Ninakupenda mwanangu! Nakupenda sana,” alisema Sophia na kumkumbatia mtoto wake huku machozi ya furaha yakimtoka machoni na kutiririka katika mashavu yake.
Maneno yale yakamtia nguvu ya kusonga mbele, alimuona mtu huyo kama malaika ambaye aliyatabiri maisha ya mtoto wake hapo baadaye. Nguvu yake ya utafutaji ikaongezeka na kila siku alihakikisha anakuwa karibu na mtoto wake huyo.
Miaka ikakatika na alipofikisha miaka saba akaamua kwenda kumuanzisha Shule ya Msingi ya Hekima iliyokuwa hapohapo Tandale. Japokuwa hakuwa amesoma chekechea lakini aliamini kwamba Mungu angempa nguvu mtoto wake kusonga mbele na kufanya vizuri shuleni hapo.
Wanafunzi wengi walimshangaa, mbele ya macho yao alionekana kuwa kituko kiasi kwamba wanafunzi wa darasa la saba wakaamua kumuita jina la Zinjathropus, jina ambalo kwa kipindi hicho hakujua lilikuwa na maana gani.
Kila kona, aliitwa kwa jina hilo, hakujua wanafunzi hao walimaanisha nini, alilipenda kwa sababu lilionekana kuwa jina zuri la Kiingereza au Kigiriki, hivyo kwake ikawa sifa kubwa.
Hakuwa amesoma chekechea lakini yeye ndiye alikuwa mwanafunzi wa kwanza kujua kusoma vizuri na kuandika. Walimu walimshangaa mno, hakuonekana kuwa mwanafunzi wa kawaida.
Alipenda hesabu, alipenda kuzifanya kila wakati, uwezo wake haukuishia kwenye hesabu tu, alifanya vizuri katika masomo yote kitu kilichomfanya Sophia kusikia faraja kila siku katika maisha yake.
Miaka ikakatika, ikasonga mbele, akaingia darasa la saba. Mpaka kufikia hapo, alijulikana na wanafunzi wote wa shule za msingi zilizokuwa katika Wilaya ya Kinondoni. Alikuwa ndiye kichwa chao, katika mitihani yote iliyokuwa ikijumlisha shule zote za Wilaya ya Kinondoni, yeye ndiye alikuwa akifanya vizuri.
Hakuliacha jina la Zinjathropus, alitambua kwamba alikuwa mbaya wa sura, alilipenda jina hilo ambalo aliendelea kukua nalo huku kwenye kila daftari lake akiliandika jina hilo kwa ukubwa zaidi na kuonekana.
“Kwa nini umelipenda jina hili?” alimuuliza rafiki yake, Omari.
“Kwa sababu ni zuri na linaendana nami! Si unaona nilivyo mbaya,” alisema William huku akitoa tabasamu lililoufanya ubaya wake kuongezeka maradufu.
“Hapana! Huendani nalo! Unatakiwa kuitwa Bill Gates!”
“Kwa nini?”
“Kwa sababu wewe ni genius sana! Badilisha jina, jiite Bill Gates,” alisema Omari.
“Hapana! Nalitaka jina hilihili,” alisema William huku akimwangalia Omari.
Siku zikaendelea kukatika, japokuwa alikuwa na sura mbaya shuleni hapo lakini wanafunzi wengi walikuwa wakimfuata wakitaka kufundishwa masomo mbalimbali. Kwa William hilo halikuwa tatizo, alikuwa mtu wa kujitolea kiasi kwamba aliwafanya wanafunzi wengi kumpenda kwa kile alichokuwa akikifanya shuleni hapo.
Walimu walimpenda, walimtaka kila mwanafunzi kuiga kile alichokuwa akikifanya, uwezo wake uliendelea kuwashangaza watu wengi na kulifanya jina la Zinjathropus kukua kila siku na hata kulifunika jina lake la William.
Baada ya kukaa kwa miezi kadhaa na kuingia darasa la saba, mitihani ya taifa ikafanyika, hakuonekana kuwa na hofu, aliamini kabisa kwamba alikuwa akienda kufanya vizuri katika mitihani hiyo.
“Zinjathropus aongoza Tanzania…” aliisikia sauti hiyo kichwani mwake, sauti ililolifanya tabasamu pana kuonekana usoni mwake.

Moyo wa mzee Edward ulikuwa kwenye majonzi mazito, kila alipokaa alikuwa akimkumbuka mke wake, alimpenda kwa mapenzi ya dhati, hakutaka kumuona akiondoka mikononi mwake lakini Mungu aliamua kumchukua na kumpumzisha.
Faraja pekee kwa kipindi hicho alikuwa msichana Pamela tu, alimpenda msichana huyo, akamfanya kuwa karibu naye na kila wakati walikuwa wakizungumzia mambo yao mbalimbali likiwemo la kuishi pamoja.
Hilo halikuwa tatizo, kwa kipindi hicho Pamela alikuwa radhi kwa kila kitu, alimpenda mzee huyo kwa sababu alifanikisha kuirudisha furaha yake kama ilivyokuwa kipindi cha nyuma kabla hajakutana na Dickson ambaye alimuonyeshea upande mwingine wa furaha kwamba kulikuwa na huzuni kubwa.
Baada ya kumuoa na kuishi pamoja, Pamela akapata ujauzito. Hilo lilikuwa jambo la furaha sana, hakutaka kumficha mumewe, akamwambia kwamba alikuwa mjauzito kitu kilichomchanganya mzee huyo.
“Unasemaje?” aliuliza huku akionekana kuchanganyikiwa kwa furaha.
“Nina mimba!”
“Unasema una nini?”
“Mimba!” alijibu Pamela huku akiachia tabasamu pana.
Mzee Edward akamsogelea Pamela na kisha kumkumbatia. Moyo wake ulikuwa na furaha kupita kawaida. Katika maisha yake yote, hakukuwa na kitu alichokuwa akikitamani kama mtoto.
Alitafuta mtoto kwa miaka mingi, tangu alipokuwa bilionea, katika kipindi chote hicho alikuwa akimtafuta mtoto kwa mke wake lakini mwanamke huyo alikuwa na tatizo la kutoshika mimba na kumsaliti hakutaka kabisa.
Mungu alisikia kilio chake. Kuanzia siku hiyo hakutaka kumuona Pamela akitoka kwenda kazini. Akawatafuta wasichana ambao walifanya biashara hiyo kwa kuogopa kwamba shetani angeweza kujiinua na kumuua mke wake katika ajali.
Alimchunga kama nyuki wamchungavyo malkia wao, kila siku alikuwa akirudi nyumbani, kwa sababu alitarajiwa kupata mtoto hata kazi zake alizifanya kwa uhakika, alijitoa na kuufanya utajiri wake kuwa mkubwa.
Hakuridhika, alikuwa na kila kitu, akamuhamisha mkewe kutoka Masaki alipokuwa akikaa na kumpeleka Osterbay ambapo alinunua nyumba huko huku mama yake Pamela akimuacha Kijitonyama.
Alitamani kumuona mkewe akiwa kwenye maisha yenye furaha, akimlinda kwa sababu alikuwa akitarajia kumletea mtoto, kitu ambacho alikuwa akikitamani sana.
“Nahisi kama naota,” alisema Mzee Edward, wakati huo Pamela alitimiza miezi sita, tumbo lilikuwa kubwa na kila siku Mzee Edward alipokuwa akiliangalia, alitamani kulia.
“Kwa nini?”
“Hatimaye nakwenda kuitwa baba! Hii ni heshima kubwa sana. Mke wangu! Umenipa heshima ambayo siamini kama kuna siku ningeweza kuipata. Kuwa na utajiri pasipo kuwa baba, bora uwe masikini tu,” alisema mzee huyo, muda wote uso wake ulikuwa kwenye tabasamu pana.
Miezi tisa ilipotimia, Pamela akajifungua salama mtoto wa kike na kumpa jina la Melania ambalo kila siku lilikuwa kichwani mwa Mzee Edward. Melania akaongeza mapenzi katika maisha yao, kila siku mzee Edward alikuwa akimbeba mtoto huyo, kwa kumwangalia, alikuwa mtoto mzuri mno, alichukua sura ya mama yake na kila mtu aliyekuwa akimwangalia alikiri kwamba mtoto huyo angekuwa mzuri mno miaka ya baadaye.
“Ni katoto kazuri sana jamani! Hata kakitabasamu, mweee…kazuri hako,” alisema msichana mmoja, rafiki wa Pamela aliyekwenda kumtembelea mzazi huyo.
“Kweli kabisa. Natamani ningekuwa na katoto kama haka jamani! Kazuri sana,” alisema msichana mwingine.
Kila wikiendi walikuwa wakitoka na kwenda kwenye maduka ya watoto kununua nguo na vitu vingine vya watoto. Maisha yalibadilika, mtoto Melania alibadilisha kila kitu ndani ya maisha yao.
Mzee Edward alijipanga, akapanga maisha ya mtoto wake, hakutakiwa kupata tabu zozote maishani mwake, alitaka kumpa elimu bora, maisha mazuri ambayo yangeufanya uzuri wake kuongezeka maradufu.
Miezi ikasogea, miaka ikakatika, Melania alipofikisha umri wa miaka miwili akaanza masomo ya chekechea katika shule ya matajiri ya Victoria Nursery School ambapo ndani yake kulikuwa na watoto wengi wa matajiri na viongozi mbalimbali wakiwemo watoto wa mawaziri.
“Jamani! Huyu Melania ni mzuri sana, atakuja kuwa mrembo mno hapo baadaye,” alisema Mwalimu Bertha alipokuwa akimwangalia Melania.
“Kweli kabisa. Kana uzuri wa ajabu sana. Hivi amechukua kwa mama yake au?” aliuliza mwalimu Thomas, yeye mwenyewe alipokuwa akimwangalia Melania, alithubutu kusema kwamba katika maisha yake aliwahi kumuona mtoto aliyekuwa na sura nzuri mno.
“Amechukua kwa mama yake! Naye ni mzuri huyo..” alisema mwalimu Bertha, kila alipokuwa akimwangalia Melania, alitamani kama angekuwa mtoto wake.
Siku zikaendelea kwenda mbele, Melania akaendelea kukua, watoto wengi waliokuwa hapo shuleni walipenda kucheza naye kwa sababu tu alikuwa mzuri wa sura. Kila siku baba yake alipokuwa akifika shuleni hapo, kitu cha kwanza alitaka kupata taarifa kama kulikuwa na watoto waliokuwa wakipenda kucheza na mtoto wake.
“Yupo mmoja, huyu anaitwa Nicolaus…” alijibu mwalimu.
“Ndiye anapenda kucheza na binti yangu? Walimu kuweni makini! Hivi vitoto siku hizi vinajifanya kuwa na mambo ya kizungu sana,” alisema mzee huyo, alionekana kuwa na wivu kupindukia kwa mtoto wake.
Miaka ikakatika, baada ya kufika darasa la sita, uzuri wa Melania ukaongezeka zaidi, akavunja ungo, mwili ukanawiri, nyonga zikatanuka na sauti yake kuwa nyororo iliyowavutia wavulana waliokuwa wakimwangalia. Mbali na sifa hizo, kifua chake kikaanza kujaa, kila aliyemwangalia, alikuwa akimtamani sana.
Mvulana aliyekuwa karibu naye alikuwa Nicolaus, huyu alikuwa mtoto wa Waziri Mkuu, Bwana Antony Makunga. Alimpenda sana Melania, kila alipokuwa akimwangalia, aliuona uzuri wa msichana huyo.
Kulikuwa na wavulana wengi waliokuwa wakimpenda Melania lakini cha kushangaza, hakukuwa na yeyote aliyekuwa tayari kumfuata msichana huyo na kumwambia ukweli juu ya alivyokuwa, uzuri uliokuwa ukiwavutia mno.
Hata Nicolaus mwenyewe alikuwa mkimya, alimuogopa msichana huyo, japokuwa alikuwa rafiki yake lakini hakutaka kumwambia ukweli juu ya hisia kali za kimapenzi alizokuwa nazo kwa msichana huyo.
Alimpenda sana, moyo wake ulikuwa kwenye mapenzi mazito, wakati mwingine alishindwa hata kulala na alipokuwa akifanikiwa kulala, muda wote ndoto zake zilikuwa kwa msichana huyo lakini hakuufungua mdomo wake kumwambia ukweli.
Mapenzi yalimtesa na kumtesa, alipokuwa akimuona Melania akizungumza na wavulana wengine, alihisi kitu chenye ncha kali kikiuchoma moyo wake, alisononeka na siku nzima alikuwa akiugulia na maumivu makali.
“Melani!” alimuita msichana huyo.
“Nikuulize kitu?”
“Niulize tu Nico!”
“Daah! Au subiri nitakuuliza siku nyingine!”
“Jamani! Niulize leo…”
“Nitakuuliza tu!” alisema Nicolaus.
Alitaka kumuuliza kama msichana huyo alikuwa akimpenda kama alivyokuwa akimpenda au la. Kila alipotaka kumuuliza swali hilo, mapigo yake ya moyo yaliongezeka na kudunda kwa nguvu kana kwamba moyo ulitaka kuchomoka.
Melania alimuomba sana amuulize lakini kijana huyo hakumuuliza, akapotezea na kupanga siku nyingine ya kumuuliza.
Wakati Nicolaus akiwa anateseka moyoni mwake, hivyo ilikuwa kwa Melania. Alimpenda kijana huyo, kila alipokuwa akimwangalia, moyo wake ulikiri kwamba mvulana huyo alikuwa na sura nzuri kuliko wavulana wengi hapo shuleni.
Siku hiyo ambayo Nicolaus alisema kwamba alitaka kumuuliza kitu, alitega sikio lake, alitaka kusikiliza kile alichotaka kuuliza mvulana huyo lakini akanyamaza na kuahirisha kitu kilichomfanya kuumia mno.
Naye hakulala kwa raha usiku, mwili wake ulipevuka, matamanio ya kufanya mapenzi yalimkamata na mtu pekee aliyeona kwamba alistahili kumvua nguo zake hakuwa mwingine zaidi ya Nicolaus ambaye kila siku alikuwa na hofu ya kumwambia jinsi alivyokuwa akijisikia.
“Hivi nimwambie mimi au? Atahisi nini? Kweli msichana amtongoze mvulana! Nitaonekanaje? Kweli ni tamaduni yetu hii?” alijiuliza bila kupata majibu.
Siku zikaendelea kukatika mpaka walipomaliza darasa la saba na kuingia kidato cha kwanza. Hakukuwa na aliyemwambia mwenzake, kila siku walikuwa pamoja lakini wote waliogopana.
Walipoingia kidato cha tatu, Nicolaus hakutaka kukubali, kama kuteseka, aliteseka sana kwa ajili ya penzi hilo, alichokifanya ni kujitoa mhanga, akaupiga konde moyo wake na kumuita msichana huyo.
“Melani!” alimuita.
“Abee!”
“Naomba nikwambie kitu kimoja!”
“Kitu gani?” aliuliza Melania, tabasamu lilikuwa usoni mwake, Nicolaus akashusha pumzi nzito, mapigo ya moyo yakaanza kudunda kwa nguvu.
“Nakup….” alisema na kisha kunyamaza.
“Unasemaje?”
“Melania! Ninakupenda sana! Nilitamani nikwambie hili tangu zamani! Nimeshindwa kuvumilia. Kwa kipindi chote, miaka yote hiyo nimekuwa nikikupenda sana, nimeshinda nahisi leo ndiyo siku yenyewe. Ninakupenda sana Melania,” alisema Nicolaus huku akimwangalia msichana huyo usoni, kwa aibu, akaanza kuangalia chini.
“Nimesikia!” alijibu Melania baada ya ukimya wa sekunde kadhaa.
“Kwa hiyo?”
“Kuhusu?”
“Nataka uwe mpenzi wangu! Nataka uwe msichana wangu pekee!” alisema Nicolaus, wakati huo aliupiga moyo wake konde, alikuwa tayari kwa kila kitu.
“Naomba nikajifikirie…”
“Sawa,” alijibu Nicolaus harakaharaka, hakutakka hata kuuliza sababu za kumfanya msichana huyo kwenda kujifikiria na wakati jambo hilo lilikuwa la kumalizana kwa kuwa hisia zilikuwa moyoni na si nyumbani, ila kutokana na hofu, akamkubalia harakaharaka.

Hakujua ni kitu gani alitakiwa kumwambia Nicolaus, ni kweli alikuwa akimpenda lakini hata naye alikuwa akimuogopa. Usiku mzima ulikuwa ni kujifikiria ni jibu gani alilotakiwa kumpa kijana huyo aliyekuwa akilisubiria kwa hamu kubwa.
Asubuhi ilipofika, akaelekea shule. Alipofika huko, hakutaka kuonana naye, hakutaka kumpa upenyo wa kuzungumza naye kwani alimpenda lakini hakuwa tayari kumwambia kwa mdomo wake.
Nicolaus hakulalamika, moyo wake haukuwa ukijiamini kabisa, ni kweli alikuwa akilisubiri jibu hilo kwa nguvu zote lakini naye aliogopa kumfuata msichana huyo na kumuuliza kuhusu jibu lake.
Siku zikakatika, ukaribu wao ukapungua kwa kuogopana kwani muda huo mioyo yao ilikuwa na kitu cha tofauti kabisa, hakukuwa na urafiki tena bali kilichokuwa kikiibuka kilikuwa ni mapenzi ya dhati.
Mwaka huo ukapita na kuingia kidato cha nne. Mwaka huo wa mwisho ndiyo ambao Nicolaus akalikumbushia lile jibu alilotakiwa kupewa na moja kwa moja msichana huyo kukubaliana naye na hivyo kuanza uhusiano wa kimapenzi uliotakiwa kuwa siri kubwa.
Wakawa wapenzi, wakapenda sana, kila siku walikuwa pamoja, walionyesheana ni kwa jinsi gani walikuwa wakipendana. Wakati uhusiano huo ukiendelea, mama yake Melania, Pamela akapata mtoto wa pili wa kiume na kumpa jina la James ambaye aliiongeza furaha iliyokuwa katika familia hiyo.
Maisha yaliendelea kama kawaida. Wanaume hawakuwa mbali na Melania, walimpenda kwani alikuwa msichana mrembo ambaye kila mmoja hakuamini kama katika maisha yake angekutana na msichana mrembo kama alivyokuwa Melania.
Japokuwa walikuwa kwenye uhusiano wa dhati, Melania hakutaka kufanya mapenzi na Nicolaus. Kila siku mwanaume huyo alipomwambia wakafanye, msichana huyo alikuwa akitoa sababu nyingi kwamba yupo bize na wangefanya siku nyingine.
Hilo likamuumiza sana Nicolaus, kila alipomwangalia mpenzi wake, jinsi alivyonawiri mwili wake ulimsisimka, mapigo yake ya moyo yalimdunda kwa nguvu kwani alitamanisha na kuvutia kuliko kawaida.
“Kama hataki si bora nimbake tu,” alisema Nicolaus huku akionekana kushikwa na mhemko mkubwa kwa msichana huyo.
Hilo ndilo alilolipanga, hakutaka kuona akiendelea kula kwa macho na wakati msichana huyo alikuwa mpenzi wake. Walikuwa wakifanya mambo mengi, wakishikana hapa na pale, wakibadilishana mate lakini kufanya mapenzi lilionekana kuwa suala gumu sana.
“Kwa hiyo hutaki?” aliuliza Nicolaus.
“Si kwamba sitaki baby!”
“Kumbe?”
“Nataka ila muda bado!”
“Kwa hiyo mimi niendelee kuwa mpenzi mtazamaji tu?” aliuliza Nicolaus.
“Simaanishi hivyo!”
“Kumbe unamaanisha nini? Sasa kama hatufanyi mapenzi, kitu gani kitatutambulisha kwamba mimi na wewe ni wapenzi? Kuna utofauti gani wa mimi na kaka yako au wewe na dada yangu?” aliuliza Nicolaus huku akionekana kupagawa.
“Utofauti upo, tunabadilishana mate, hiyo ni ishara mojawapo ya kwamba sisi ni wapenzi,” alijibu Melania.
“Hiyo haijatosha. Au unatembea na jamaa fulani halafu kwangu unanikazia?” aliuliza Nicolaus.
“Hapana! Wasiwasi wako tu!”
Kabla hajapanga kumbaka msichana huyo, mara kwa mara Melania alikuwa akifika nyumbani kwao na kuingia mpaka chumbani kwake lakini baada ya kuwa na wazo la kumbaka, tayari kukawa na ugumu kwa msichana huyo kufika nyumbani kwao.
Mara kwa mara alikuwa akimwambia Melania afike nyumbani kwao lakini msichana huyo aligoma, ni kama alikuwa ameshtukia kile kilichotaka kutokea huko. Nicolaus hakutaka kubaki kimya, kila siku ilikuwa ni lazima amkumbushe kwamba alitaka kuzungumza naye nyumbani kwao.
Uhusiano huo uliendelea mpaka walipomaliza kidato cha nne na kusubiri matokeo ya kuingia kidato cha tano. Hawakuwa na hofu, walijua kwamba wangefaulu kwani shule waliyokuwa wakisoma ilikuwa miongoni mwa shule bora zilizokuwa zikifaulisha sana ingawa ilikuwa ni ya watoto wa matajiri tu.
Walisubiri nyumbani huku kila mmoja akifikiria lake. Nicolaus, alikuwa akifikiria kufanya mapenzi na Melania na wakati msichana huyo alikuwa akifikiria kuhusu elimu yake ya kidato cha tano na sita.
Waliendelea kuwasiliana. Kila siku kwa Nicolaus iilikuwa ni malalamiko tu, alimtaka mpenzi wake wafanye mapenzi lakini msichana huyo alikataa katakata na kumwambia kwamba alitakiwa kusubiri hadi ndoa. Ilimuuma, hakuwa na jinsi, kwa sababu aliambiwa asubiri, akafanya hivyo.
Wakafaulu vizuri na kuingia kidato cha tano. Wakati wakijiandaa kusoma kidato cha tano Tanzania, baba yake Nicolaus akaamua kumsafirisha mtoto wake aelekee nchini Australia katika Jiji la Melbourne kuendelea na masomo ya chuo katika Chuo cha Monarch kilichokuwa jijini humo.
“Mpenzi! Nitakuwa muaminifu katika kipindi chote nitakachokuwa huko,” alisema Nicolaus.
“Na mimi pia nitakuwa mwaminifu katika kipindi chote nitakachokuwa huku,” alisema Melania.
Wakaagana na Nicolaus kupanda ndege na kuelekea nchini Australia. Huku nyuma Melania alikuwa na mawazo tele, kila siku alikuwa akiwasiliana na Nicolaus na kumwambia namna alivyokuwa akimpenda.
Alikosa furaha, kila alipokuwa akilala usiku picha ya mwanaume huyo ilikuwa ikimjia kichwani mwake. Miaka ikakatika, miaka miwili ikapita na kuanza masomo katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Alifurahi kuingia chuoni humo. Siku za kwanza alikuwa gumzo, kila mwanaume aliyekuwa akimwangalia alitokea kumpenda. Alikuwa mtoto wa bilionea mkubwa, mwenye kampuni nyingi na hata maisha yake hapo chuoni yalionyesha kwamba alikuwa mtoto wa bilionea.
Alikuwa akiendesha gari la thamani kuliko hata maprofesa wenyewe. Kila alipokuwa akiingia chuoni, wote walikuwa wakilishangaa gari lake ambalo dukani lilikuwa ni zaidi ya milioni mia moja na hamsini.
Hakujali, kwake, fedha ilikuwa kawaida sana. Hakuwa mtu wa matanuzi, alipendwa na watu wengi kwa kuwa alikuwa mcheshi na kutokana na uzuri wake ilikuwa vigumu kugundua kwamba mpaka kipindi hicho hakukuwa na mwanaume aliyemuingia kimwili.
Wakati akiwasiliana na Nicolaus kwa kipindi chote ndipo akamwambia kwamba alitarajiwa kurudi nchini Tanzania kwa ajili ya likizo fupi. Melania akafurahi sana, hakuamini kama kweli kipindi hicho angemuona mpenzi wake kwa mara nyingine.
Akajipanga kumpokea kwa mapenzi mazito. Baada ya kuwasiliana kwa siku kadhaa hatimaye mwanaume huyo akaingia Tanzania. Walipoonana, hakuonekana kuwa kawaida, yale mapenzi ambayo aliyaona kwa mpenzi wake kipindi cha nyuma hayakuwa kama kipindi hicho.
Melania alishangaa, alimfahamu Nicolaus, alipokuwa na furaha, alimjua vilivyo na hata alipokuwa amebadilika, aliweza kuligundua hilo. Hakujua tatizo lilikuwa nini. Hilo lilimchanganya kichwani mwake, wakati mwingine alihisi kwamba kwa sababu alishindwa kufanya naye mapenzi basi ndiyo maana aliamua kubadilika namna hiyo.
Hakuwa akizungumza naye hata kwenye simu, muda mwingi mwanaume huyo alimwambia kwamba alichoka. Alipokuwa akichati naye katika Mtandao wa Allo, ulionyesha kwamba meseji zilikuwa zikisomwa lakini hazikuwa zikijibiwa.
“Nicolaus, tatizo nini mpenzi?” aliuliza msichana huyo.
“Hakuna tatizo!”
“Niambie ukweli! Sipendi kukuona ukiwa kwenye hali hii! Wewe niambie tatizo nini?” alisema Melania, wakati huo walikuwa wakizungumza kwenye simu.
“Hutaki hata tufanye mapenzi! Sawa, umenifanya kula kwa macho, lakini hata kunionyeshea umbo lako mpenzi,” alisema Nicolaus.
“Kwa hiyo hilo ndilo linalokufanya kuhuzunika namna hiyo jamani?”
“Ndiyo! Umeumbika lakini hunipi hata nafasi ya kukuona, kweli mpenzi unanifanyia hivi!” alilalamika Nicolaus.
“Basi subiri!”
Baada ya dakika kadhaa, picha kadhaa zikaingia katika simu ya Nicolaus, akazifungua na kuanza kuziangalia. Zilikuwa picha za utupu za msichana huyo, alijipiga pasipo kuwa na aibu yoyote ile.
Hakuogopa, alimwamini sana Nicolaus, kumtumia picha za utupu tena zilizoonyesha sura yake hakuona kuwa na tatizo lolote lile. Nicolaus alipozipata picha hizo, akakenua, moyo wake ukawa na furaha sana.
“Sasa amekwisha…” alisema Nicolaus.
Kuanzia kipindi hicho, hakutaka kuwasiliana tena na Melania. Ndiyo kwanza akaondoka kurudi nchini Australia huku moyo wake ukiwa na furaha tele. Kiukweli alikuwa na kazi kubwa na picha hizo, kitendo cha kutumiwa tu, lilikuwa kosa kubwa kwa msichana huyo.

“Una akili sana Zinjathropus…umepata masomo yote mia,” alisikika kijana mmoja akimwambia William.
“Unasemaje?”
“Umepata masomo yote mia! Nimetoka kuangalia matokeo, wewe mtu umetisha sana,” alisema kijana huyoi.
Matokeo ya darasa la saba yalitoka, kama ambavyo alitegemea, William aliweza kufanya vizuri na kupata alama za juu kabisa kwenye masomo hayo. Mama yake hakuamini, alipoambiwa mara ya kwanza alihisi kwamba watu walikuwa wakimdanganya.
Alifahamu kwamba mtoto wake alikuwa na uwezo mkubwa ila si kwa kufanya vizuri kwa kiasi hicho. Akaelekea shuleni kwenda kuhakikisha kwa macho yake. Hakukukuwa na kitu kilichobadilika, kama alivyokuwa ameambiwa ndivyo alivyokutana nayo huko shuleni.
Moyo wake ulifarijika, kitendo cha mtoto wake kufanya vizuri namna ile kukamfanya kumkumbuka mwanaume yule ambaye alikutana naye kwa mara ya kwanza na kumwambia kwamba alizaa mtoto aliyekuwa na uwezo mkubwa.
Furaha ikamzidi na machozi kuanza kumtiririka, palepale shule alipokuwa, akapiga magoti chini na kumshukuru Mungu. Alidharaulika sana, alisemwa sana lakini mwisho wa siku Mungu akataka kuuonyesha ulimwengu kwamba hakuwa anakosea katika kazi yake, kila kitu alichokiumba alikuwa na makusudi nacho.
Kila mtu aliyemuona Wiliam alikuwa akimpongeza kwa kazi nzuri aliyoifanya. Kwa kuwa alifaulu kwa kiasi kikubwa akapelekwa katika Shule ya Sekondari ya Tabora Boys. Huko, hakuacha kufanya vizuri, alikuwa moto wa kuotea mbali kiasi kwamba kila mwanafunzi alikuwa tegemeo lake kwani kazi yake ya kufanya vizuri ilikuwa ni zaidi ya mwanafunzi yeyote aliyewahi kusoma katika shule hiyo.
Siku zilikwenda mbele na miaka kukatika. Baada ya kumaliza kidato cha nne, akarudi nyumbani. Hakutaka kukaa tu, kwa sababu moyo wake ulianza kupenda kompyuta, akaanza kujifunza namna ya kutumia kompyuta.
Marafiki zake ndiyo waliomfundisha. Kila siku alikuwa akionana na marafiki hao na kumuonyeshea namna ya kutumia kompyuta. Aliipenda, alimwambia mama yake jinsi alivyokuwa akipenda kompyuta ila hakuweza kununuliwa kwani mama yake hakuwa na fedha za kutosha.
Hilo lilimuuma sana, aliuchukia umasikini, alikuwa na nguvu za kutosha, pamoja na kuwa na uwezo mkubwa darasani, kila siku alikuwa akiondoka nyumbani na kwenda Tandale Sokoni ambapo huko alibeba mizigo na ilipofika jioni, alirudi nyumbani na kuigawa fedha aliyoipata kwa matumizi ya nyumbani na nyingine akiiweka kwa ajili ya kununua kompyuta.
Alifanikiwa kukusanya kiasi ambacho kikamfanya kununua kompyuta iliyokuwa ya kawaida tu. Hapo ndipo alipoanza kufanya mazoezi nyumbani. Uwezo wake mkubwa ukamfanya kugundua mambo mengi. Kila siku alikuwa akiingia katika mitandao mingi, alikuwa akijifunza mambo mengi kuhusu kompyuta.
Uwezo wake uliweza kuwashangaza hata marafiki zake ambao ndiyo waliomfundisha kompyuta, akaanza kuvijua vitu vingi sana. Alijifunza na kujifunza, kompyuta ikawa kichwani mwake, hakuwa amesoma chuo lakini kwa kuwa alijifundisha sana kupitia video mbalimbali, akaweza kutengeneza mpaka tovuti yake.
“Unajua kutengeneza tovuti?” aliuliza rafiki yake kwa mshangao.
“Ndiyo! Unafikiri kazi kubwa Hemedi? Ni ndogo mno, kama kumlisha mtoto mwenye njaa,” alijibu William.
“Umejifunza wapi?”
“Utundu tu! Nataka niijue sana kompyuta kuliko kitu chochote kile,” alisema William.
Kichwa chake kilikuwa kikifikiria kompyuta, kila siku ilikuwa ni lazima kujifunza jambo jipya., Hakuwa amesomea kompyuta lakini uwezo wake ukawafanya hata watu waliokuwa wamejifunza kumpyuta kumshangaa kwani hawakuwahi kukutana na mtu aliyekuwa na uwezo mkubwa kama aliokuwa nao William.
Hata alipotakiwa kuendelea na masomo ya kidato cha tano, hakutaka, alipenda kompyuta hivyo kumwambia mama yake kwamba alitaka kusoma kompyuta kwa kuwa aliipenda sana.
Mama yake alilalamika sana lakini hakuwa na la kufanya. Huo ndiyo ulikuwa uamuzi wa mtoto wake, akaungana naye katika uamuzi huo aliokuwa ameufanya.
“Unaamini kwamba kompyuta itakupa pesa?” aliuliza mama yake.
“Ndiyo mama! Itanipa pesa sana. Kuna mambo fulani najifunza kuhusu codes,” alisema William.
“Ndiyo kitu gani hicho?”
“Hahah! Mama haya mambo ya kompyuta magumu sana. Ngoja nijifundishe zaidi halafu nitakwambia siku nyingine,” alisema William.
Alichokifanya ni kukutana na wataalamu wa IT ambao alizungumza nao mambo mengi na kuwaonyeshea kile alichokuwa akikifahamu yeye. Watu hao walimshangaa hasa waliposikia kwamba hakuwa ameingia darasani kusoma kompyuta hata kidogo.
“Unajua kuhusu C++?” aliuliza jamaa mmoja.
“Yeah! Ya kitoto sana hiyo!” alijibu William.
“Java?”
“Nayo naijua yote,” aliwaambia.
“Sasa umekuja kwetu tukufundishe nini na wakati kila kitu unakijua?” aliuliza jamaa mmoja huku akionekana kushangaa.
“Hakuna mengine?”
“Mmh! Mpaka hapo utakuwa umesoma mengi. Hizi WhatsApp zinatengenezwa na Java, hizi Facebook na nyingine zinatengenezwa na Java, sasa kama wewe unaijua Java, kuna umuhimu gani wa kusoma?” aliuliza jamaa huyo.
“Kwa hiyo naweza kuiba hela benki?”
“Hahaha! Utaweza? Washikaji wameweka codes ngumu sana. Ukizijua utafanikiwa,” alisema jamaa huyo.
“Basi poa. Nitatengeneza virus hatari sana, halafu nitamtuma aende akavuruge data za kompyuta zao,” alisema William huku akiwaangalia vijana hao ambao walibaki wakimshangaa tu.
“Tunakutaki kila la kheri kaka!”
Hakutaka kuzungumza sana, aliijua kompyuta, kichwa chake kilikuwa hatari katika kufahamu mambo mengi kwenye kompyuta. Alikuwa katika familia masikini, aliamini kwamba mama yake hakuwa na fedha na ilikuwa ni lazima kupambana mpaka kufanikiwa kupata fedha.
Alichokifikiria hapo ni kuwa mwizi wa mtandaoni (scammer). Alijua kwamba angefanikiwa katika hilo. Usiku wa siku hiyo akataka kuiba hela na kuziingiza kwenye akaunti yake ya benki, alipotaka kufanya hivyo, akakumbuka kwamba hakuwa na akaunti benki.
“Basi nitaziingiza kwenye simu yangu!” alisema na kuanza kazi.
Ilikuwa kazi kubwa, alihangaika usiku kucha akifanya kazi hiyo. Hakutaka kulala, alikuwa akicheza na codes za benki ya Tanzanian Bank ambayo ndiyo iliyotumiwa na watu wengi kipindi hicho.
Codes zake zilikuwa ngumu, alijitahidi kucheza nazo, alicheza nazo na kucheza nazo lakini akachemka kwani watu waliokuwa wameziweka codes hizo walionekana kuwa hatari sana.
Hakuridhika, hakuamini kama kulikuwa na kushindwa mbele yake, alichokifanya ni kutengeneza virusi wake hatari na kuvipa jina la Wirus. Alivitengeneza kwa siku mbili, kila alipokuwa akimaliza na kuvijaribu, vilionekana kuwa vyepesi kuuliwa.
Hakutaka kukata tamaa, wiki nzima kazi yake kubwa ilikuwa ni kutengeneza virusi hivyo na baada ya wiki moja na nusu kumalizika, akafanikiwa kutengeneza virusi hao, baada ya hapo akavituma kwenye kompyuta za benki hizo.
Virusi wakaingia, wakafunga mafaili yote muhimu, yakapotea na ndiyo naye akatumia mwanya huohuo kuiba kiasi cha milioni mia tano na kukiingiza kwenye simu yake. Kilikuwa kiasi kikubwa mno, alijua kwamba angeshtukiwa, alichokifanya ni kuchukua virusi walewale na kuviingia katika kompyuta za Shirika la Simu la Tritel alilokuwa akilitumia, alipofanikiwa, akafuta kumbukumbu, virusi wakala baadhi ya mafaili na kuvuruga data za kompyuta hizo, fedha hazikuonekana kama ziliingizwa katika simu hiyo, alipomaliza. Akatulia na kuweka miguu kitandani.
“Mimi ni milionea,” alijisemea huku akiangalia salio kwenye akaunti yake ya simu. Mwisho wa kuweka fedha ilikuwa ni milioni mbili, ila kwa sababu alikuwa mtu hatari sehemu hizo, shilingi milioni mia tano zilikaa kwenye simu yake, kilichobaki kilikuwa ni kutumia tu.
****
“What do you want Kattie?” (unahitaji nini Kattie?)
“I want to see you,” (nahitaji kukuona)
“You wanna see me?” (unahitaji kuniona?)
“Yeah!”
“Right now?” (sasa hivi?)
“Yeah!”
“I got no time to see yo right now, I will call you right back,” (sina muda wa kukuona sasa hivi, nitakupigia baadaye) alisema Nicolaus na kukata simu.
Moyo wake ulikuwa kwenye furaha tele, tangu alipokwenda nchini Australia kuanza masomo katika Chuo cha Monarch kilichokuwa katika Jiji la Melbourne, wanawake wengi wakatokea kumpenda.
Alikuwa mchangamfu, alipenda kuzungumza na watu wengi, wanawake walichanganyikiwa naye na kila wakati walipenda kuwa karibu yake. Hakuwaambia wanachuo kwamba alitokea nchini Tanzania, aliwaambia kwamba alitokea nchini Marekani na ndiyo maana hata lafundi yake alikuwa akizungumza kama Mmarekani.
Wazungu, hasa waliokuwa nchini Australia waliwapenda Wamarekani weusi, walipenda jinsi walivyokuwa wakizungumza na muda mwingi walikuwa wakitaka kuwa karibu nao. Nicolaus alilifahamu hilo, alijua kwamba kama angesema kuwa ametoka barani Afrika basi angedharauliwa na baadhi ya watu na ndiyo maana alipofika, akawaambia kwamba alitoka nchini Marekani na ndiyo maana alizungumza kama Mmarekani mweusi.
Wanawake wakaanza kumshobokea, hakutaka kuwaacha, alijua kwamba kama angediriki kufanya mapenzi na Mzungu hasa kutoka nchini humo ingempa nafasi ya kuishi kwa amani kama raia wa nchi hiyo, hivyo kila msichana aliyemwambia kwamba alikuwa akimpenda, usiku wa siku hiyo alilala naye.
Hakumfikiria Melania, hakukumbuka kama alikwishawahi kukutana na msichana aliyekuwa na jina hilo. Wakati mwingine hakuwa akiwasiliana naye, alipokuwa akitumiwa meseji alijibu kwa kujisikia.
Msichana huyo aliumia lakini hakutaka kulalamika, alihisi kwamba inawezekana masomo ndiyo yalimfanya mwanaume huyo kuwa bize kwa kiasi hicho.
Baada ya kuhangaika sana, baada ya kulala na wanawake wengi wa Kizungu hatimaye penzi lake likaishia kwa msichana mwenye sura ya kirembo, huyu aliitwa Kattie. Siku za kwanza hakutaka kabisa kuwa naye, msichana huyo alijitahidi sana kuzungumza naye, kumsalimia lakini Nicolaus akajifanya kuwa bize ila mwisho wa siku akajikuta akiingia mikononi mwake.
Kattie hakutaka kumuacha Nicolaus, kwake alimuona kuwa mwanaume mwenye bahati sana huku akili yake ikimwambia kwamba mwanaume huyo alikuwa ametoka nchini Marekani. Mapenzi yakawa motomoto na hata msichana huyo alipokuwa akirudi nyumbani kwao jijini Sydney walikuwa wakiwasiliana na Nicolaus kwenda huko.
“Nataka unioe,” alisema msichana huyo.
“Lini?”
“Tutakapomaliza chuo. Ila hukuniambia Marekani unaishi sehemu gani,” alisema msichana huyo.
“Naishi Brooklyn, karibu na lile daraja kubwa,” alisema Nicolaus.
“Ooh! Nimefurahi kujua!”
Mahusiano yakanoga, siku ziliendelea kukatika, miaka ilipokatika na kutakiwa kufunga chuo ndipo akaanza kumkumbuka msichana Melania. Mapenzi aliyokuwa nayo kwa msichana huyo yaliondoka moyoni mwake, mapenzi ya Wazungu yakamchanganya kupita kawaida.
Alikumbuka jinsi msichana huyo alivyoutesa moyo wake, alimtaka sana kimapenzi, tena kwa kipindi kirefu lakini alikataa. Aliumia moyoni, kama yeye alikuwa ameumia, naye akataka kumuumiza kama alivyokuwa amemuumiza.
Alichokitaka ni kumuomba picha zake za utupu ili azisambaze katika mitandao ya kijamii. Alichokifanya ni kujifanya ameyarudisha mapenzi hayo kwa msichana huyo huku akimchombezachombeza kuhusu picha hizo.
Melania alikataa kwa kuwa aliogopa, aliona jinsi wanawake wenzake walivyokuwa wakiteseka mara baada ya picha zao kuvuja mitandaoni, wengine waliamua kujiua kwa sababuu waliona kwamba huo ndiyo ulikuwa mwisho wao, walionekana kama vituko katika jamii, hivyo alipinga sana suala hilo.
Wakati Nicolaus aliporudi Tanzania na kumwambia msichana huyo kuhusu picha zake, Melania hakuwa na jinsi, alimpenda mpenzi wake na hivyo kumtumia picha hizo ambapo baada ya kuzipata, akaondoka na kurudi nchini Australia.
“Upo wapi?” aliuliza Melania katika mtandao wa Allo, baada ya kumpigia simu na kumkosa.
“Nipo Australia!”
“Mbona ghafla na hukuniaga?”
“Kwa sababu sipendi kuaga watu! Una shida yoyote?” aliuliza Nicolaus swali ambalo liliendana na emoji ya kucheka mpaka machozi katika mtandao huo.

ITAENDELEA

MAMA VANESSA – 5

Related image

Chombezo : Mama Vanessa
Sehemu Ya Tano (5)
Mvua ilikuwa inaonyesha na yeye aliamua kujikinga na mvua hiyo kwa kuingia kwenye moja ya kibaraza cha duka. Ingawa alikuwa na mvua lakini hali ya hewa ilikuwa tete. Mvua iliyoambatana na radi ilikuwa ikipiga hivyo pamoja na mwamvuli aliokuwa nao bado alioofia usalama wake maana anageweza kujitafutia matataizo hasa ukizingatia kuwa mwamvuli aliokuwa amumbeeba ulikuwa na rangi yenkundu na wakati huo alikuwa amejijengea imani kuwa radi inafuata rangi nyekundu. Katika kibaraza hicho alichojibanza ili kusubiri makali ya mvua kulikuwa na watu wengi sana na jicho lake lilikwama kwa binti ambaye kwa wakati huo alishindwa kuelewa alikuwa ni mtoto au la. Binti alikuwa amekaa kwenye benchi na uzuri wa sura na umbo lake ndo ulimfanya jicho la lake kukataa kubanduka kabisa. Aliangalia miguu kama haitoshi akaangalia sehemu za kifuani na mara kadhaa macho yao yalikutana.

Ilikuwa ni kijijni kwao hivyo hakujua hata binti huyo alikuwa aitoka boma la nani. Kwanza yeye hakuwahi kuishi kijijini kwa muda mrefu zaidi alikuwa akija kusalimia babu na bibi kipindi cha sikukuu.

Mvua ilipungua na binti wa watu ambaye hakuwa hata na mwamvuli aliamua kujitosa hivyo hivyo ili aweze kuwahi nyumbani.

“Wewe Mishel mvua bado haijaisha vizuri angali isije ikakuletea shida” alisikika dada alaiyekuwa akiuza duka.

“Wacha niwahi mama atanigombeza huwa hapendi giza linikute nikiwa nje ya boma”Alijibu binti huyo kwa sauti laini sauti ambayo ilikuwa ikisisimua masikio ya Lucas. Kipindi hicho Lucas alikuwa ndo kwanza alikuwa yupo form six. Miguu yake ilishindwa kuumlia kuona msichana huyo aliyetokea kumvutia ghafla akiwa anatoweka ghafla kwenye upeo wa macho yake. Bila kutegemea alijikuta akinyanyua miguu na kujaribu kumfuatilia. “Mishel” aliita Lucas na kufanya binti huyo kugeuka kwa mshangaoa. Lucas hakuongea neno linguine zaidi ya kufunika na mwamvuli na kumfanya hasinyeshewe na mvua ambayo ilikuwa imechanganya ghafla.

“Umejuaje jina langu” Mishel alihoji huku kimoyo myo akishukuru kwa kupata msaada huo.

“Usijali mimi ni Lucas ni mjukuu wa mzee Manyama.
“Eee mbona mimi sijawahi kukuona kwani unaishii wapi”.

“Naishi mjini Mwanza na nasoma huko huko huku nakujaga tu likizo kumsaliamia bibi.”

“Ooooh sawa, asante kwa kunikinga na mvuaa”

Safari iliendelea mpaka wakawa wamefika kwa kina Mishel. Lucas kipibdi hicho ndo kwanza alikuwa ameenza kumiliki simu.

“Samahani Mishel utakuwa na simu?”

“Jamani mimi simu niipate wapi?

“Sasa huwa unawasialiana vipi na ndugu zako”

“Huwa natumia ya mama.

“Basi chukua namba zangu …….”Lucas alijikuta akitaja namba kwa mtu ambaye hana simu.

Mishel akamwamba asijlai akifika nyumbani atachukua simu ya mama yake na kumtafuta.

“Ebu nitajie kama kweli umezishika hizo namba.” Mishel alirudia kuzitaja namba hizo bila kukosea.

Lucas lalifurahi sana na kuona msichana huyo alikuwa na uwezo mkumbwa wa kukariri. Aliondoka zake na kurudi nyumbani. Alikaa kwa muda wa siku tatu bila kupokea simu kutoka kwa Mishel. Kila siku alikuwa akipita kwenye ile nyumba ili aweze kuangalia nini kilikuwa kikiendelea na kama anaweza kumuona binti huyo. Haikuwa hivyo hakuweza kabisa kumuona binti huyo. Ilikuwa ngumu sana kwake na roho ilimuuma maaana muda wa kufungua shule ulikuwa umefika. Hatimaye aalifungua shule na kuondoa zake. Roho yake ilimuuma sana kwa maana simu shuleni walikuwa wakikatazawa na hata wakituia kwa ujanja uajnja sana sana ni wikiend

Mwezi mzima ulipita kabla ya siku moja kupokea simu ngen kutoka kwa msichana. Sauti hiyo nyororo iliyosisimua masikioni mwake haikuw aya mtu mwingine bali ya Mishel. Mishel alaimweleza kuwa namba zake alikuwa bado anazikumbuka na hakumtafuta kwa sababu siku ile walivyoachana alaianza kuugua na alailaza. Huo ukawa mwanzo wa mawasiliano yao. Mpaka Mishel anamalaiza form four na Lucas anamalaiza form sx watu hawa walikuwa wapenzi wa kwenye simu. Baada ya Mmishel kumalaiza form four alaienda Dar kwa dada zake wengine ambao kipindi hicho walikuwa wameolewa. Na kama bahati vile na Lucas alienda huko huko. Wawili hawa sasa waliweza kukutana.
Lucas mawazo yakaamia siku ya kwanza kabisa kushiriki tendo la ndo na binti huyo. Anakumbuka aaimkuta binti huyo akiwa na bikira kabisa. Anakumbuka jinsi alivyopata tabu kukivunja kikombe cha udongo cha binti huyo. Anakumbuka jinsi alivyoangaika nae kufanikisha hilo. Tangu siku hiyo ukurasa wa mapenzi baina yao ulikuwa umefunguliwa. Mishel alikuwa akimpenda sana nay eye alikua akimpenda sana. Kuna vipindi vigumu walivyopitia na vyote walikuwa wakivikumbuka. Moja ya kipindi kigumu ni pale Mishel mataokeo yake yalivyotoka hayakuwa mazuri hivyo ilimlazimu kubaki Dar kwa dada yake wakati Lucas akaiendelea na chuo. Huko Dar Mishel alijifunza hizo kozi fupi ndani ya mwaka. Baaada ya hapo sasa aliajiriwa. Uzuri wake ukawa chachu ya kuwavutia wanaume wengi ikiwemo boss. Mishel alibadilika sana na hakumthamini tena Lucas. Mishel jiji lilimkubali sana alikuwa mrembo mara dufu. Hakuwa wa hadhi ya Lucas tena bali alikuwa akitoka na watu wenye fedha zao. Kipindi hicho Lucas alikuwa ameijiunga na masomo kwenye chuo kikuu cha Dar es salaam. Hapo safari ngumu na histori ya uhusiano wa watu hawa ndipo ilipokuwa ndefu. Lucas alikuwa akaimpenda sana bint huyo na hakuweza kabisa kukubaliana na matokeo kuwa aliachwa kwa kigezo kuwa hakuwa na fedha. Roho ilimuuma sana na hakuamini kuwa kama kweli binti huyo amebadilishwa na starehe za jiji. Tukio hili lilimfanya Lucas kumwaga machozi na aliona tabia ni kama ngozi ya mwili huwezi kuibadili.
Maisha ni safari mbwembwe za Mishel ziliishia njiani mara baada ya waliokuwa wakimpa kiburi kuanza kumyanyasa. Walimchoka baada ya kupata walichopata. Mishel alichoka akachakaa hiyo ni mara baada ya kuugua kwa muda mrefu na haikujulikana alikuwa akiumwa nini lakini afya yake ilikuwa imedhoofu mno. Uzuri wake ulifubaa na alififia machoni kwa wanaumme wakwere. Fimbo ya shida za maisha ilimpiga maana hata dada yake aliyekuwa akimpa hifadhi alifariki dunia. Mishel ilimlazimu kurudi kijijini ambapo alikuwa hana mbele wala nyuma. Huko ndipo Lucas alipopata kumuona tena.Alimuonea sana huruma maana binti huyo alianza kuzeeka ingali alikuwa bado mdogo. Mishel alimuomba msamaha Lucas na kumtaka amsamehe tu kwa yote aliyomtendea hata kama hawatakuwa tena wapenzi.

Lucas kama ilivyo imani ya dini yake aliamua kumsamehe binti huyo lakini alisema kuwa kwa sasa watakuwa kama kaka na dada. Lucas akamshauri binti huyo arudie mtihani wa kidato cha nne na akafanikiwa kwenda form five basi yeye atamsomesha. Mishel kwa kuwa hakuwa na mbele wala nyuma alikubaliana na mawazo hayo. Lucas kwa kutumia pesa ya mkopo aliyokuwa akipewa chuoni aliweza kumlipia pesa ya usajili. Lucas alikuwa na moyo wa ajabu sana maana alirudisha moyo wa pendo kwa binti huyo. Akaanza kumuhudumia kwa vitu vingi na hatimaye urembo wa binti huyo ukaanza kuonekana tena. Kadri siku zilivyozidi kwenda walikuta wakitamaniana nakutamani kuvunja ahadi kuwa kwa sasa wataishi kama kaka na dada. Lucas pia alivutiwa na mwenendo wa Mishel maana aliokoka na kuwa mcha Mungu. Mishel alikuwa wa kusali na kuomba yeye na biblia biblia na yeye. Shetani aligeuka kuwa malaika.
Lucas akaamaini sasa Mungu amaembadilisha msichana huyo. Kw kuwa nay eye hakuwa na uhusino mzuri tangia acahane na mwanamke huyo amekuwa wa kupita pita tu alaiamua kumrudia. Kiu ca kwanza lichokifanya ni kumzidishai upendo na kumjali sana. Mpka Misheli akawa anaogopa. Alipewa huduma zote anazostahili kupewa mwanamke.

Siku moja aliamua kumchukua na kwenda naye angaza. Lengo lilikuwa ni kumpima afya. Kwa bahati nzuri binti huyo alikuwa ni mzima. Jambo hili lilikuwa furaha kwa Lucas kwa maana mwanzoni alikuwa na hofu sana akiwaza labda binti huyo alikuwa muathirika wa ukimwi na ndio maana alikonda vile. Awali ni awali hakuna awali mbovu. Kuku wako mwenyewe hakuna haja ya kumshikia manati. Siku moja Lucas alimwomba binti huyo amsindikize mahali ambapo ilikuwa ni mkoa wa jirani. Huko walifanya kilichowapeleka na usiku uliingia na kuwakuta huko. Lucas hakutaka kuuliza hiki wa kile alichukua chumba. Usiku huo ulikuwa usiku wa kukumbushia enzi na kufungua ukurasa mpya wa mapenzi. Mwendo wa uchokozi wa Mishel na madaha ya swaga alizojaliwa zilitosha kabisa kushawishi Lucas kuona anastahili kupata mavuno ya kile alichokipanda.

Alihudumia sana mgodi huo na sasa ilikuwa ni fursa nzuri kwa yeye kupata walau madini kidogo. Walianza kwa kuogeshena. Ile michezo ya kuwaamsha waliolala ilifanyika huko. Na kweli Kiungo mchezeshaji wa Lucas alianza mbwembwe zake za kusimamisha kichwa. Mishel alikuwa kama mwanawali ambaye hakuwahi kushiriki tendo hilo. Miaka miwili ya mateso hakuwahi kabisa kufanya tendo hilo hivyo kumfanya awe mwenye hamu zaidi ya neno lenyewe. Hawakutaka kujua kama waliweka ahadi kuwa ataishi kama kaka na dada. Mioyo yao ilisemezana na kwa pamoja wakashiriki tendo la ndoa. Ilikuwa ni kupeana raha kwa kwenda mbele hakuna aliyechoka siku hiyo. Utamu waliokutana nao ni kama vile hawakuwahi kujuana kabla.Tangu siku hiyo pazia la mapenzi motomoto likafunguliwa baina yao. Wagombanao ndio wapatanao.Wakaseamna kwa vitendo na sasa wakapeana kazi ya kila mmoja kufuta makandokando yote waliyokuwa nayo.

“Kama una mapenzi au ulifikiria kuwa naye kwa sasa itabidi umuache na mimi nitafanya hivyo kwa sasa yalioipita si ndwele tugange ya mbele.Nakupenda sana Mishel na naapa kukoa”

“Kwa sasa mimi nimebadilika sana hata leo sijui imekuwaje nikadhini. Lucas mimi ni mcha Mungu mwili wangu ni hekalu ya bwana.Sina mpenzi na nipo tayari kuolewa na wewe kama itakupendeza.. najua umenirudia kulip akisasi ila tambu akisaasi na hukumu ni vya Mmungu..Nipende tena , nipende tana na nipe nafasi kwenye moyo wako.”
Kila mmoja aliongea maneno ya hisia usiku huo. Na kila baada ya mazungumzo machache nyege zao ziliamka na kuanza tena kupapasana kabla ya kupeana penzi. Walifanya yote na kila wawezalo ili mradi kukata kiu ambayo kila mmoja alikuwa nayo juu ya mwenzake. Walirudi mkoani kwao na kila mmoja aliendelea na ratiba yake. Lucas likizo iliisha na alirudi chuoni.Mishel alisoma kwa bidii sana na baadaye alifanya mtihani wa kidato cha nne. Ilivyo bahati kwa masomo yale ambayo aliyarudia alifaulu kwa kiwango kikumbwa sana. Hili limstaajabisha hata Lucas. Kwa jinsi binti huyo alivyokuwa bize kwa mambo ya dini na Mungu hakuwa na imani kama angeweza kufanya vizuri. Sasa akawa amepeta nafasi za kusoma kidato cha tano. Mishel akamwambia kuwa anataka kusoma masomo ya kidato cha tano na sita kwa mwaka mmoja badala ya miaka miwili. Walibishana lakini Mishel alikomaa na anachokiamini kwa madai kuwa umri wake ulikuwa umeenda sana.

Imani yashinda yote Mishel alifanya kama alivyoamini na Mungu aliendelea kuwa upande wake. Alisoma kama mtumwa huku Lucas akijinyima kwa kila hali kumlipia ada. Mwaka mmoja ukakatika kwa haraka na kipindi hicho Lucas alikuwa ameshamaliza chuo yupo mtaani akirandaranda na bahasha ya kaki kutafuta ajira. Hiki kipindi kilikuwa kigumu sana maana Mishel alihitaji sapoti lakni Lucas hakuwa na uwezo. Hatimaye kwa kuunga unga Mishel alifanikiwa kuuliza form six. Matokeo yalipotoka bado alistaajabisha ulimwengu kwa kufaulu. Safari ya chuo ikaanza na kidogo ilikuwa yenye haueni kwa Mishel alipata mkopo. Alisoma chuo kwa raha mpaka akamaliza. Na ndio ikawa fursa ya wawili hao kuoana.

Kumbukumbu hizi ndizo huwa zinamliza Lucas na kumfanya hata hashindwe kupokea simu ya Mishel. Neno “nimekukumbuka mme wangu” aliyoandika mara baada ya yeye kusita kupokea simu zilimfanya akumbuke mengi sana. Alikumbuka yaletayo furaha na zaidi pia alikumbuka yaletayo huzuni.

“Nimetoka naye mbali sana, nimemlea, nimemtunza lakini bado ameamua kuiacha. Naamini kweli tabia ni kama ngozi ya mwili kuibadili ni shughuli. Si mara yake ya kwanza kunisaliti, amerudia tena na huwa ananiacha kwenye kipindi kigumu. Lakini atanikumbuka na Mungu atanilipa”. Lucas ni kama vile alichanganyikiwa maana maneno hayo alikuwa akiyaongea pake yake. Chumba alichokaa alikiona kidogo. Alisimama na kuzunguka zunguka kama taira.Ni usiku lakini mawazo kuwa apike nini au atakula nini yalimwishia. Akafungulia sabufa yake na kuweka mziki mkumbwa. Mara mlango wake uligongwa. Alishtuka kidogo maana hakutarajia mgeni na wageni wake huwa ni wawili tu mama Vanesa na Kimaro. Alijinyanua kizembe na kwenda kufungua mlango. Macho yalishangaa moyo ulimdunda kupita kiasi mara baada ya kumuona mwanamke ambaye hakujua amafikaje fikaje hapo na nani kamwelekeza.*****Je mwanamke huyo ni nani?

“Upweke ni ugonjwa mbaya sana huku duniani na upweke unaweza kukufanya ukawaza mambo mengi yaliyopita na kujikuta mwenye huzuni. Nimegundua utakuwa mpweke sana usiku huu na nimeona walau nije nikufute machozi yako”
“Kwa sasa sina machozi maana nilishaliia mpaka yakakauka.Umejauje kama nakaa hapa?” alihoji Lucas kwa upole

“Naomba tuzunguzie ndani maana leo mimi ni kama malaika ambaye nimetumwa kukuleta faraja”. Alijubu Juliana.

Haikujulikana Julaina alikuwa ametoka wapi na amejuaje kama mwanaume huyo alikuwa akikaa hapo. Julaina alikuwa na yake moyoni ambayo Lucas hakuyafahamu. Lucas alikubaliana na binti huyo wakaingia ndani.

“Kwa sasa najua kila kinachoendelea kweye maisha yako. Najua unatoka na mke wa boss wako lakini hata hivyo kisasi sio jambo zuri..Jambo zuri ni faraja na kuweza kusahau yote yaliyotokea. Nimekuja kukupa faraja kwa maana mke wa boss ni faraja iliyombali”. Juliana aliongea huku akimsogelea karibu.

Lucas alitamani kumsukuma lakini roho ilisita.Uturi mzuri aliojipulizia mlimbwende huyo ulimfanya awe kimya kwa muda. Maneno ya mlimbwende huyo yalimchanganya na kukivuruga kichwa chake. Alihisi rafiki yake Kimaro alikuwa akitoa asiri zake kwa Julieth na Julieth akamwambia Julaina. Alizama kwenye tafakari fupi juu ya maneno hayo yaliyosemwa.

“Nisamehe bure Lucas sikupaswa kukuambia haya kwa sababu ni siri. Ila wewe ni mwanume lijari ambaye unaweza kumchanganya mwanamke akakutana na wewe siku moja na kumfanya hasikusahau. Kuna zawadi moja tu nahitaji kutoka kwako lakini ili unielewe…” Juliana aliakatisha maneno na kuinuka. Alichukua glass na kumimina pombe kali aliyokuja nayo. Alianza kunywa yeye kisha kumpatia mwanaume huyo. Lucas hakusita na alihisi huenda ikawa faraja mara baada ya kichwa chake kuvurugwa vya kutosha.

“Hii ndo faraja inayozungumziwa?” Lucas alihoji mara baada ya kugigida kinywaji.

“Hii ni robo lakini faraja ya kweli nimeibeba mwilini mwangu.”Jualaina alijibu huku akipeleka kinywa chake kwenye kinywa cha mwanaume huyo. Ndimi ziligusana mate yakasemaezana na ukimya ukatawala. Ni kama vile waliongea lugha moja lugha iliyochagizwa na kinywaji walichokunywa. Michezo ya uchokozi ikaanza na sasa wakaaza kupapasapasana huku na kule. Sofa likageuka uwanja wa huba. Vifungo vya shati vilimfunguka Lucas bila kupenda. Juliana naye blazia iliachia matiti bila tabu. Mikono ya Lucas juu ya matiti ya Juliana. Mikono ya Juliana juu ya kifimbo cheza cha Lucas. Mihemo iliongezeka machozi ya viungo vya siri yalitoka na kulowanisha maneno hayo. Waliamia dunia ingine kabisa dunia ya raha za mapenzi. Hata mlango uliokuwa wazi hakukumbukwa kufungwa. Kwa mikao ya sofani wakavunja amri ya sita. Hawakukukmbuka kutumia hata kinga na hii ilikuwa ndo furaha ya Juliana maana kilichompeleka hapo si kingine bali ni kupata ujauzito.

Juliana waliapanga na pacha wake kumteka Lucas kimapenzi na hiyo ni mara baada ya kuona kuwa penzi lake na mkewe likuwa limevurugika. Kwa kuwa Julieth alikuwa akiambiwa kila kilichokuwa kikiendelea na mipango yote aliona kama Juliana atabeba mimba ya mwanaume huyo itakuwa rahisi sana kumshawishi Lucas awe naye. Kwanza walivutiwa na juhudi zake kimaisha na pia Juliana alikiri kwa kinywa chake kuwa hajawahi kukutana na mwanaume mtamu kama huyo. Kwa msaada wa pacha wake ndo akajua anapokaa. Juliana alichoka kuwa na penzi la kuibaiba na alaijua kabisa Lucas na mke wa boss hawana future yoyote maana boss akigundua atamuua. Ukisikia mapenzi upofu ndo hapo sasa. Wakati Lucas akifurahia penzi tamu la msichana huyo ambaye aliamua kulala kabisa msichana huyo alikuwa akifurahia maana siku hiyo alikuwa kwenye siku hatari ya kupata mimba.*******

Kwa upande wa Mama Vanesaa yeye alikuwa na uchungu uliopitiliza. Aliwaza kwa nini mme wake aliamua kufanya umalya uliopitiliza. Kitendo cha kupata fununu kuwa mme wake alikuwa akitoka na binamu yake kilimuuma sana. Alioana kuwa kwa sasa amefika kubaya bora waachane. Usiku huo mme alirudi huku akiwa amelewa.

“Wewe mwanamke naona sasa unatumia uhuru nilokupa vibaya. Umeniona mimi fala na unaweza kwenda popote ukazima simu na ukalala huko huko” Baba Vanesa hakuongea kwa maneno tu bali vitendo. Alivuta mkanda wake na kuanza kumpiga. Mama Vanesa na yeye alikuwa na hasira zilizopitiliza ukizingatia alikuwa ametumiwa na picha za ushahidi wa tukio lilotokea. Katika hali ya kujiteta na kipigo cha mme wake aliamua kupambana naye.Alimsukuma na aliangukia na kujigonga kwenye kabati. Mlevi ni mlevi tu maana Baba Vanesaa hakuwa na nguvu.

“Sijawahi ona mwanaume Malaya kama wewe. Yaani umefanya umalaya kote na sasa umeamua kutoka na binamu yangu. Kweli wewe ni shetani” Mama Vanesa aliongea kwa uchngu wakati baba Vanesaa akiugulia maumivu pale chini.

“Wala usinilaumu mimi. Alaumiwe ndugu yako na tamaa zake. Kama anitaka mimi nifanyaje. Mimi si hanisi bwana mimi ni mwauame lijali nimempa alichokuwa anakitaka”Baba Vanesaa alijbu kwa sauti ya kilevi.

Kauli hiyo ilimuumiza sana mama Vanesaa. Maama maneno hayo yalithibitisha kama kweli huyo mwanaume ni shetani.

“Una urijali gani kama umekaa na mimi miaka miwili umeshindwa kunipa mimba.Mtu mwenyewe kitandani kwachu kazi tu kuwachafua wanawake. Wewe na mtambi wako huo kama nyumba, kidudu kama kidole cha mtoto huwezi kumrizisha mwanamke nakushanga tu kujishaua. Yaani ujue nakuvumlia tu lakini ukweli huwezi kunikuna kabisa”Mama Vanesa aliongea maneno ya shombo.
“Pumbavu kabisa ngoja leo nikioneshe kuwa mimi ni mwanaume.” Baba Vanessa alinyanyuka pale na kumfuata mama Vanesa.Alianza kwa kumpiga kibao. Mama Vanesaa hakukubali na yeye alaijibu mapigo. Ikawa piga nikupige na mama Vanesaa akakata mzizi wa fitika na kunyanyua chupa kumbwa ya wine amabyo ilikuwa pembeni ya kitanda na kumpiga nayo kichwani. Puuuuuu!!!!!!!! Baba Vanesa alianguka chini kama gunia la mahindi. Kimya kilitawala .

“Mama Vaneaa umeniua, ilisiskika sauti ya baba Vanesaa huku povu likimtoka mdomoni.

“Kufa salama tena wasalimie kuzimu waambie mimi ndio mrithi wa mali zako..”

Mara baba Vanesaa alianza kutupa tupa miguu jambo ambalo lilimshangaza mama Vanesa. Baada ya muda kimya kikatawala. Alijaribu kumtingisha lakini hakutingishika. Hofu kuwa alimua mwanaume huyo ilimtawala. Mama Vanesaa alianza kupiga piga miguu hasijue nini cha kufanya. Kwa elimu ndogo ya unesi aliyokuwa nayo ni kwamba mwanaume huyo alizimia. Aliwaita walinzi na kuwaambia kuwa baba Vanessa amezidiwa na pombe. Lengo ilikuwa ni kutengeza mazingira kama mwanaume huyo akifa basi yeye hasiwe hatiani. Walimkimbiza hospitalini usiku huo huo. Kwa bahati nzuri daktari aliyempokea alikuwa ni ndugu wa mama Vanesa. Baada ya muda mfupi daktari huyo alimwita na kumweleza ukweli kuwa baba Vanesa amekwisha fariki..Mama Vanesaa alichanganyikiwa na kuona mlango wa gereza ukifunguka na yeye kutakiwa kuingia ndani..

Yule daktari kwa kuwa alikuwa akimjua aliamua kulivaa swala hilo na kumsaidia. Alimweleza kuwa hasiwe na hofu yeye ataandika ripoti itakayo msaidia lakini pia kwa sasa wasiseme kua amefariki ili kama kuna mali anaweza kuamisha afanye hivyo maana akisubiri mgao wa halali ndugu wanaweza kumdhulumu. Kidogo mama Vanesa akawa amepata nafuu na kuona kumbe anaweza kukwepa mkono wa sheria. Daktara alimwambia habari za kifo zitatangazwa kesho. Mama Vanesaa aliondoka na kuelekea nyumbani. Yaani akili yake ilikuwa imechanganyikiwa kwa kiwango kikumbwa. Alifika akafungua kabati ambalo huwa linawekwa pesa. Baba Vanesaa ni miongoni mwa watu ambao huwa wanahifadhi kiwango kikumbwa cha fedha tena dola za Kimarekani. Ilikuwa ni fursa nzuri kwake maana alizijaza kwenye begi kasha kwa haraka alitoka nje.

Alifanya kwa haraka na kuziweka kwenye gari lake binafsi. Lengo ni walinzi wasijue kama ameondoka na mizigo hakuhitaji dereva aliwasha gari na kuondoka. Aliwaza pa kuzipeleka hizo fedha akaona njia pekee ni kuzipeleka kwa Lucas. Huyo alinyoosha barabra ya Mwanza. Alikuwa akiendesha kwa mwendo wa kasi sana. Ndani ya masaa mawili alikuwa jiji la Mwanza. Moja kwa moja alienda mpaka mataa ambao Lucas alikuwa amepanga. Alipiga honi lakini geti alikufunguliwa kwa haraka. Aliamua kuingia mwenyewe nia ni kumpa hizo fedha Lucas na yeye arudi zake Musoma tayari kukamilisha janga lilokuwa mbele yake. Alipiga hatua kuuelekea mlango wa Lucas. Mlangoni tu alikaribishwa na viatu vya kike lakini hakujali. Aliugusa mlango na kwa bahati nzuri ulikuwa wazi.
“Hodi humu ndani” alibisha na kuingia moja kwa moja. Palikuwa kimya na maji yalikuwa yakimwagika bafuni.Ishara kuwa kulikua kuna mtu anaogoa.Muda huo Lucas na Juliana walikuwa wameshamaliza raundi ya asubuhi na kuamua kujisafisha kabla ya kwenda kupata kifungua kinywa.

Lucas alibahatika kuiskia hiyo sauti na pia aligundua kuwa alikuwa n mama Vanessa. “Shiiiiiiiiiiiii iiiiiiiii” alimwekea ishara ya kidole Juliana akaimtaka atulie maana tayari wameshafumaniwa. Akamsogelea na kumwambia yeye anatoka kisha yeye abaki humo na afunge kwa ndani. Juliana alitingisha kichwa ishara kuwa ameelewa. Lucas akiwa uchi alitoka bafuni.

“Jamani mama Vanesaa mbona umekuja kwa kunisthukiza kuna usalama kweli”

“Usalama hakuna maana mlangoni nimeona viatu vya kike na pia hapa kitandani nimeona nguo za kike. Lucas ina maana mimi sikuridhishi mpenzi, mbona nimejitolea kila kitu kwako kwa nini wanaifanyia hivi?”Mama Vanesaa aliongea kwa sauti ya upole mmno.

“Hakuna chochote mama Vanesaa hizi nguo na vile viatu ni vya mke wangu.Huwa nikimiss natoa nguo zake kwenye begi naziangalia. Na vile viatu niliviweka atleast majirani wajue kuwa na mimi nina mwanamke. Nimefanya hivyo maana kuna dada hapo alikuwa akijipendekeza pendekeza kushinda vishawishi nimemuweka yeye akiona najua wewe upo” Lucas aliongea uwongo unaofanaa na ukweli

“Ooooooops!!!!!! Tambua nakupenda sitaki kukuchunga japo wadanyanya ila iwe mwanzo na mwisho kuingiza wanawake kwenye hii nyumba. Jiheshimu utafaidi vingi kutoka kwangu.”

“Nimekuelewa mama Vaenesa, nami nitakupenda daima.

“Lucas wewe kwa sasa ndo utakuwa mme wangu maana Baba Vanesaa amefariki dunia..

“Amefarik dunia kwa sababu gani!!!!!!!!!!!”

“Pombe, amekunywa pombe nyingi sana na alivyokuja nyumbani amejigonga kwenye ukuta ndo umauati umemtwaa.

“Bado ni siri ila nimekwambia wewe tu ili ujue hilo..

‘Sasa hiyo si ni kesi kwako”

“Mimi sio pombe hakuna kesi..

“Aisee Mungu ni mwema, aende salama na malipo ni hapa hapa duniani..Leo huenda nikafanya sherehe kumbwa sana.

“Kuwa na utu usishabikie kifo..Kwanza haya siyo yaliyonileta hapa ebu njoo nifuate.”Mama Vanesa aliongea na kuanza kuondoka. Lucas na yeye alianza kumfuata kwa nyuma. Alivyotaka kutoka akagundua kuwa alikuwa uchi. Alirudi na kuvaa nguo. Mama Vanesa na yeye alirudi na kumwambia “Inelekea hizi nguo ndo zinakuchangnya ngoja niende nazo” Akanyanyua zile nguo za kike akatoka nazo. Alivyofika mlangoni akachukua na viatu kisha akaenda navyo kuvifungia kwenye buti la gari. Ni kama vile aligundua humo ndani kulikuwa na mwanamke hivyo aliamua kumkomesha.

“Nisikileze kwa umakini. Matatizo haya yalionikuta ni makubwa. Kwa kuwa naweza hata ingia gerezani kwa hatia yakupasa mimi na wewe tuwe kitu kimoja. Nihadi kuwa utakuwa nami

“Nitakuwa na wewe usijali.

“Yakupasa upambane kwa hali na mali kunilinda..Hili begi lina pesa nyingi sana ambazo zinatosha kutufanya tuishi masha ya raha baada ya msiba. Nakukabidhi uzihifadhi sehemu salama na tutaanza maisha mimi na wewe.Usiangalie nyuma kwamwe na kamwe usinisaliti. Achana na habari za tama na wanawake watakuibia na kukufilisi..

“Nimekuelewa mama Vanesa na kwa hili ondoa shaka nitakupenda daima.

“Mkeo hakuwa mwaminifu usifikirie kumrudia maana kama sasa ukimsamehe na mbeleni anaweza kuja kukusaliti tena kwa sabab ya pesa.Nisikuchoshe nenda kamtoe na huyo kahaba huko ndani mwambie akome au atafute vya kwake. Ukioana vayelea?

“Ujue vimeundwa” Lucas alimalizia msemo huo na kushuka kwenye gari.

Aliingiza mabegi ndani na limkuta Juliana akiwa yupo kitandani sura ameikunja. Hakumsemesha alifungua kabati la nguo akaweka hayo mabegi kisha akafunga na funguo kuweka mfukoni. “Noamba nguo zangu niondoke maana naona thamani yangu imeisha alipokuja tu huyo mke wa boss.

“Nguo ameondoka nazo..

“Sasa mimi nitavaa nini?’”

“Sijajua ila fanya uondoke maana atarudi muda si mrefu..
“Kwa hiyo amebeba mpaka chupi yangu”

“Maswali gani sasa hayo ebu fanya uondoke bwana mimi nishachanganyikiwa.”

“Sasa nitaondokaje wewe mwanaume mbona unaongea bila kushirikisha ubongo.

Lucas akafungua kabati akatoa bukta yake na kumpa. Akampa pia na fulana na khanga ya mama Vanesaa. Akafungua waleti na kumpa fedha kama elfu 50 na kumwambia kuwa aende akanunue zingine. Lucas alibadilika na kuwa kama mbogo. Juliana hakuwa ana namna alifanya hivyo na kuondoka zake.Moyoni alikuwa na furaha kuwa pamoja na yote hayo mpango wake wa kubeba mimba yake umefanikiwa.Baada ya kuondoka Lucas alibaki mwenyewe. Aliyafungua yale mabegi ili kuhakikisha kama kweli yalikuwa yamejaa fedha. Ndivyo ilivyokuwa. Alipiga magoti na kumshukuru Mungu. Alijua kabisa kwa bingo hilo ameuaga umasikini.*******

Baba Vanesaa alizikwa na watu walihuzunika sana. Ndugu walifungua kesi kumshtaki mama Vanesaa kwa kumua mumewe ili arithi mali lakni ripoti ya dakari ikamuokoa mwanamke huyo na kifungo. Kesi ilipoisha zilifuata kesi za mirathi. Mama Vanesa tayari alikuwa na ujazito wa Lucas na alitumia ujauzito huo kudanganya kuwa ulikuwa wa marehemu baba Vanesa. Mama Vanesa alishinda kesi na aligawiwa mali nyingi ikiwa ni pamoja na nyumba ya kuishi. Mtoto alipozaliwa hakufanana kabisa na baba Vanesa. Maisha yakawa mtihani mkumbwa sana hivyo aliamua kuachana na familia hiyo. Sasa akawa anaishi na Lucas kama mke na mme. Mtoto aiyezaliwa aliitwa Vanesaa na kufanya mwanamke huyo sasa kustahili jina la mama Vanessa,

Kwa upande wa Juliana mambo yalienda kombo maana licha ya kutarajia kushika mimba siku ile haikuwa hivyo. Mimba haikushika na Llucas hakutoa nafasi ingine tena kwa mwanamke mwingine zaidi ya Mama Vanesaa. Malipo ni hapa hapa duniani maana baada ya kifo cha baba Vanesa majanga makumbwa yalimfika Mishel. Kazi aliyotafutiwa kwa mgongo wa baba Vanesaa alifukuzwa. Maisha yakamwendea kombo na kwa kweli alichangyikiwa sana. Alimtafuta Lucas na kumuomba masahmha lakini alikuwa aechelwa maana Mama Vanesa alikuw ana ujauzitowa pili. Kwa kifupi Mishel alipoteza dira. Maisha yalimpiga fimbo na kumfanya ajute kumsaliti Lucas mwanaume aliyetoka naye mbali.Akadanganyika na mali kwa mara ya pili sasa anawashwa na pilipili ya usaliti. Alikumbuka walipotoka lakini kulikuwa hakuna namna ya kumfanya awe wake tena..Kweli maji yakimwagika hayazoleki. Fedha na utajiri vyote vinapita.. Baada ya muda kupiata mama Vanesa alijifungua mtoto wa kiume. Walimwita Valentine. Kwa sasa wanaishi kwa furaha sana na ni matajiri wakumbwa jijini Mwanza..
************MWISHO*********

JIFUNZE..

Pesa ni matokeo tu ya maisha. Usimsaliti mpenzi wako kisa pesa.. Pesa ni majaliwa usitumie kuwanyanyasa wanyonge na kuwapokonya haki zao.Maisha ni safari jitahidi kusafiri salama.

MAMA VANESSA – 4

Related image

Chombezo : Mama Vanessa
Sehemu Ya Nne (4)

Kama hiyo haitoshi Mama Vanesa akaanza kumpigapiga na makalio yake kama vile anacheza taarabu au sebeene.Eeeh utamu ukakolea Mama Vanesa akasimamia magoti na mkono kama mbuzi.Eeeh ndo inaitwa mbuzi kagoma kwenda.

Bao la Lucas lilipotelea hewani na sasa aliamua kutoa ushirikiano.Ailinyanyua kichwa kisha akapiga magoti.Hapo kila mtu alijituma ili kumaliza raundi hizo za muda mrefuuuu.

“iiiiisssssssssshiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,,yeees,ooooo,,heeeee,,hiyoooooooooooooooooooooooo hiyoooooooo” Lucas alijikuta akipiga makelele mara baadaya kuona wazungu weupe wakigonga gonga mlango wa kutokea.Na mama Vanesa hakuwa kimya sauti za huba zilimtoka yaaani “uyuyuyuyuyuyuuuuuuuuuuuuuuuuuuu babeeeeeeeeeeeeee asasnteeeeeeeeeeeeeeee chaaanaaaaaaaaaa” Kisha wote walikuwa kimya maana tayari walimaliza kwa pamoja.*

Hakuna ambaye aliyeweza hata kuongea. Wote walikuwa kimya wakisikilizia utamu utamu walichokifanya. Walikuwa wamechoka sana na kufanya wote wapumzike. Walivuta shuka na kujipumzisha. Kila mtu alikuwa mwenye furaha kwa raha walizopatiana. Kausingizi kazito kalizidi kuwanyemelea na baada ya muda mfupi walipotelea ndotoni. Ilikuwa ni furaha sana kwa Lucas kupunguza machungu na kuanza kulipa kisasi kwa kulala na mke wa boss. Pia ilikuwa ni furaha sana kwa Mama Vanesa maana alipata raha ambayo alikuwa hajaipata kwa muda mrefu sana. Alitamani sana kama mwanaume wake angekuwa akimpa hayo mapigo. Lilikuwa ni swala la furaha kwa wote na walilala usingizi kama mke na mme.
Asubuhi ilifika na waliamua kumalizia tena rundi ya asubuhi. Cha asubuhi kilikuwa kitamu sana na baada ya hapo walingia kuoga na kwenda kupata kifungua kinywa. Walikunywa supu na baada ya hapo walianza kupanga mikakati yao ya kufanya.

“Lucas asante sana jana umenipa penzi tamu ambalo sijalipata tangu niingie kwenye ndoa. Wewee ni mwanaume lijali.

“Nashukuru Mama Vanessa hata mimi nimefurahiswa sana na nakiri wewe ni mwanamke mtamu kuliko hata mapenzi yenyewe.”

Wote walifurahia na kuendelea kuweka mikakati huku mama Vanesa akisisitiza na anatamani raha hizo ziendelee milele katika maisha yake. Mama Vanesa aliongea kwa hisia sana na alionesha ni jinsi gani alivyokuwa amechoshwa na penzi la baba Vanessa. Hadi muda huo mama Vanesaa alikuwa hajawasha simu. Na alikuwa hataki kufanya hivyo mpaka hapo atakapofika nyumbani.Alijua kabisa ugomvi wake utakuwa mkumbwa sana.

“Kwa hiyo Lucas mimi kwa raha nilizozipata naomba tuendelee kuwa wapenzi wa siri. Kama tatizo ni pesa, hilo niachie mimi nitakusadia utafanikiwa ..Nihadi kama utaweza huu mpango.

“Nitaweza mama Vanesaa lakini mwish wa hili ni nini?”

“Utakuwa aumelipa kisasi na dawa ya kisasi ukilipe kwa muda mrefu..Tusiwe na haraka sana maana hatutafanikiwa kama baba Vanesaa akigundua kwa haraka nia yetu.

“Sawa mama Vanesa mimi nipo tayari kwa yote ila hakikisha unanisaidia kutoka kwenye hali hii ya umasikini..

“Hilo ondoa shaka kwa kuanzia …” alisita kidogo kisha kuvuta mkoba wake na kutoa hundi. Alimwandikia pesa ya kutosha ili aende kutoa banki. “Hii itakusaidia ulipe kodi na ningekushauri kama ungeweza hama Musoma..

“Kwa nini nihame Musoma?

“Kwa sababu za kiusalama maana baba Vanesa sio mtu mzuri kabisa anaweza hata kutoa uhai wako..

“Sawa basi nitahama kwa kuwa kodi yangu na yenyewe imeisha lakini….”Lucas kabla hajamaliza alikatishwa.
“Lakni nini? Sikia nakuomba usiwaze tena kuhusu ile kazi yako ambayo ulikuwa ukiifanya mwanzo. Ile itakutia matatizoni zaidi. Tena usiangaike na habari za kwenda sijui idara ya kazi ni kupoteza muda wako. Baba Vanesa ni mtu anayeheshimika sana na ni mtu muhimu sana kutokana na michango yake ingawa hayo yake ya ufirauni na uhuni huwa hayapewi uzito. Ana watu wengi sana hivyo hutoweza kumshinda.

“Mama Vanessa nakuelewa sana na nipo tayari lakini tambua roho inaniuma sana. Kwa nini anipokonye mke wangu?.Mwanamke niliyetoka naye mbali. Mwanamke ambaye nimemsomesha na kumgharamia sana.

“Pole sana najua unaumia lakini ngoja nikuulize kitu, kwenye maisha wewe unataka nini hasa?

“Furaha amani upendo na maisha bora”

“Unahisi siwezi kukupa vyote hivyo”

“Sina uhakika”

“Ok mimi nitakupa chochote utakacho na ata ukitaka aniwe mke wake itakuwa sema nini unahitaji ambacho ndicho hofu yako kubwa?”

“Familia, mimi ni kijana ambaye umri umeenda nilivyooa nilitarajia yule mwanaume anizaliwe mtoto na mimi niitwe baba.

“Jambo rahisi sana mimi nipo tayari kuuzalia mtoto ila kwa sharti moja?

“Kunizalia mtoto!!! Sharti gani hilo?

“Kwamba tutafanya siri na tutammbambikizia hiyo mimba baba Vanesa. Alafu baadaye mtoto akishakuwa ndo utamchukua.

“Mmmm sikuwahi kuwaza kama unaweza kuwa tayari kwa kila jambo. Lakini mama Vanesa kwanini unataka kunifanyia yote haya?

“Kwa sababu nakupenda”.

Lucas ilibidi awe mpole alishindwa kuelewa huyo mwanamke kwa nini aliamua kujitoa muhanga kiasi hicho. Hakuelewa na haukamini kama mke wa boss wake anaweza kumkubali kiasi hicho na eti yupo tayari hata kumzalia mtoto.
“Mama Vanessa nahisi hujui ulisemalo. Nahisi wewe umachanganyikiwa na ndio maana unaongea vitu ambavyo hutoweza kuzifanya. Yaani wewe kila kitu unataka kunifanyia.. Nikuombe nikupe muda ukatafari kila jambo tulilotenda na yulilopanga kutenda na ni madhara yake.. Ukishatafakari ndo tuje tuzungumze tena hata mimi nahitaji tafakari kidogo.

“Asante Luas usiwe na hofu maihsa ni mipango na kwa kuwa unaonekana uniamini nipe huo muda unaousema nitakuaminisha. Kwa sasa mimi narudi zangu Musoma tutazidi kuwasiliana na utanitafuta kwa namba ile ya siri ambayo nimeinunua kwa ajali yako tu.

“Sawa haina shida safari njema.”

Walaigana kwa mtindo huo na mama Vanesa aliondoka na safari ya kurudi Musoma ilianza. Alipanga kushukia Bunda ili kufuatilia mambo yake ya biashara na akifika huko ndo ampigie mumewe. Alifika Bunda baada ya masaa mawili. Alifika kwenye moja ya sehemu yao ya biashara. Hapo alipigwa na butwaa mara baada ya kumkuta mme wake. Alipanga kumdanganya kuwa alikuwa huko..

Hakuna ambaye aliyeweza hata kuongea. Wote walikuwa kimya wakisikilizia utamu utamu walichokifanya. Walikuwa wamechoka sana na kufanya wote wapumzike. Walivuta shuka na kujipumzisha. Kila mtu alikuwa mwenye furaha kwa raha walizopatiana. Kausingizi kazito kalizidi kuwanyemelea na baada ya muda mfupi walipotelea ndotoni. Ilikuwa ni furaha sana kwa Lucas kupunguza machungu na kuanza kulipa kisasi kwa kulala na mke wa boss. Pia ilikuwa ni furaha sana kwa Mama Vanesa maana alipata raha ambayo alikuwa hajaipata kwa muda mrefu sana. Alitamani sana kama mwanaume wake angekuwa akimpa hayo mapigo. Lilikuwa ni swala la furaha kwa wote na walilala usingizi kama mke na mme.

Asubuhi ilifika na waliamua kumalizia tena rundi ya asubuhi. Cha asubuhi kilikuwa kitamu sana na baada ya hapo walingia kuoga na kwenda kupata kifungua kinywa. Walikunywa supu na baada ya hapo walianza kupanga mikakati yao ya kufanya.

“Lucas asante sana jana umenipa penzi tamu ambalo sijalipata tangu niingie kwenye ndoa. Wewee ni mwanaume lijali.

“Nashukuru Mama Vanessa hata mimi nimefurahiswa sana na nakiri wewe ni mwanamke mtamu kuliko hata mapenzi yenyewe.”
Wote walifurahia na kuendelea kuweka mikakati huku mama Vanesa akisisitiza na anatamani raha hizo ziendelee milele katika maisha yake. Mama Vanesa aliongea kwa hisia sana na alionesha ni jinsi gani alivyokuwa amechoshwa na penzi la baba Vanessa. Hadi muda huo mama Vanesaa alikuwa hajawasha simu. Na alikuwa hataki kufanya hivyo mpaka hapo atakapofika nyumbani.Alijua kabisa ugomvi wake utakuwa mkumbwa sana.

“Kwa hiyo Lucas mimi kwa raha nilizozipata naomba tuendelee kuwa wapenzi wa siri. Kama tatizo ni pesa, hilo niachie mimi nitakusadia utafanikiwa ..Nihadi kama utaweza huu mpango.

“Nitaweza mama Vanesaa lakini mwish wa hili ni nini?”

“Utakuwa aumelipa kisasi na dawa ya kisasi ukilipe kwa muda mrefu..Tusiwe na haraka sana maana hatutafanikiwa kama baba Vanesaa akigundua kwa haraka nia yetu.

“Sawa mama Vanesa mimi nipo tayari kwa yote ila hakikisha unanisaidia kutoka kwenye hali hii ya umasikini..

“Hilo ondoa shaka kwa kuanzia …” alisita kidogo kisha kuvuta mkoba wake na kutoa hundi. Alimwandikia pesa ya kutosha ili aende kutoa banki. “Hii itakusaidia ulipe kodi na ningekushauri kama ungeweza hama Musoma..

“Kwa nini nihame Musoma?

“Kwa sababu za kiusalama maana baba Vanesa sio mtu mzuri kabisa anaweza hata kutoa uhai wako..

“Sawa basi nitahama kwa kuwa kodi yangu na yenyewe imeisha lakini….”Lucas kabla hajamaliza alikatishwa.

“Lakni nini? Sikia nakuomba usiwaze tena kuhusu ile kazi yako ambayo ulikuwa ukiifanya mwanzo. Ile itakutia matatizoni zaidi. Tena usiangaike na habari za kwenda sijui idara ya kazi ni kupoteza muda wako. Baba Vanesa ni mtu anayeheshimika sana na ni mtu muhimu sana kutokana na michango yake ingawa hayo yake ya ufirauni na uhuni huwa hayapewi uzito. Ana watu wengi sana hivyo hutoweza kumshinda.

“Mama Vanessa nakuelewa sana na nipo tayari lakini tambua roho inaniuma sana. Kwa nini anipokonye mke wangu?.Mwanamke niliyetoka naye mbali. Mwanamke ambaye nimemsomesha na kumgharamia sana.
“Pole sana najua unaumia lakini ngoja nikuulize kitu, kwenye maisha wewe unataka nini hasa?

“Furaha amani upendo na maisha bora”

“Unahisi siwezi kukupa vyote hivyo”

“Sina uhakika”

“Ok mimi nitakupa chochote utakacho na ata ukitaka aniwe mke wake itakuwa sema nini unahitaji ambacho ndicho hofu yako kubwa?”

“Familia, mimi ni kijana ambaye umri umeenda nilivyooa nilitarajia yule mwanaume anizaliwe mtoto na mimi niitwe baba.

“Jambo rahisi sana mimi nipo tayari kuuzalia mtoto ila kwa sharti moja?

“Kunizalia mtoto!!! Sharti gani hilo?

“Kwamba tutafanya siri na tutammbambikizia hiyo mimba baba Vanesa. Alafu baadaye mtoto akishakuwa ndo utamchukua.

“Mmmm sikuwahi kuwaza kama unaweza kuwa tayari kwa kila jambo. Lakini mama Vanesa kwanini unataka kunifanyia yote haya?

“Kwa sababu nakupenda”.

Lucas ilibidi awe mpole alishindwa kuelewa huyo mwanamke kwa nini aliamua kujitoa muhanga kiasi hicho. Hakuelewa na haukamini kama mke wa boss wake anaweza kumkubali kiasi hicho na eti yupo tayari hata kumzalia mtoto.

“Mama Vanessa nahisi hujui ulisemalo. Nahisi wewe umachanganyikiwa na ndio maana unaongea vitu ambavyo hutoweza kuzifanya. Yaani wewe kila kitu unataka kunifanyia.. Nikuombe nikupe muda ukatafari kila jambo tulilotenda na yulilopanga kutenda na ni madhara yake.. Ukishatafakari ndo tuje tuzungumze tena hata mimi nahitaji tafakari kidogo.
“Asante Luas usiwe na hofu maihsa ni mipango na kwa kuwa unaonekana uniamini nipe huo muda unaousema nitakuaminisha. Kwa sasa mimi narudi zangu Musoma tutazidi kuwasiliana na utanitafuta kwa namba ile ya siri ambayo nimeinunua kwa ajali yako tu.

“Sawa haina shida safari njema.”

Walaigana kwa mtindo huo na mama Vanesa aliondoka na safari ya kurudi Musoma ilianza. Alipanga kushukia Bunda ili kufuatilia mambo yake ya biashara na akifika huko ndo ampigie mumewe. Alifika Bunda baada ya masaa mawili. Alifika kwenye moja ya sehemu yao ya biashara. Hapo alipigwa na butwaa mara baada ya kumkuta mme wake. Alipanga kumdanganya kuwa alikuwa huko..
Alirudi kinyumenyume na kuamua kuondoka zake. Mishale ya hatari ilipiga kichwani mwake na kuhisi kama wataonana huko inaweza kuleta shida. Alihisi kuwa ataulizwa maswali ambayo kwa kweli atashindwa kuyajibu na kufanya mambo kuzidi kuwa magumu. Alirudi kisha kupanda gari na kuanza safari ya kwenda Musoma. Baada ya kupanda gari aliamua kuwasha simu ili kuona sms zilizoingia na jinsi ya kujipanga kama atakuta za mme wake. Akiwa njiani kuna sms iliingia kupitia namba ngeni.

“Najua hunijui lakini mimi nakujua. Kama mwanamke mwenzangu hili linaniuma sana maana si kwa umalaya huu. Ni hivi mumeo yupo Bunda na anauhusiano wakimapenzi na binamu yako Lisa yule ambaye anasimamia biashara zenu huku Bunda. Ingia WhatasApp nimekutumia ushaihidi wa picha usije sema nataka kuivunja ndoa yako.” Ilikuwa ni sms iliyotumwa na mtu ambaye hakujitambulisha ni nani. Mama Vannesa alirudia kuisoma ile sms zaidi ya mara tatu kisha akawasha data ili kuona hizo picha. Ni kweli mme wake alikuwa yupo na ndugu yake huyo. “Jamani Lisa mbona ataniua kwa presha” mama vanesaa aliropoka mara baada ya kuona moja ya pozi ambalo lilionesha kuwa kuna kitu kilikuwa kikiendelea. Machozi yalimlengalenga na alijuta kuolewa na mwanaume huyo. Roho ilimuuma sana na alishindwa kuelewa baba Vanesa alikuwa na pepo gani.

Ingawa picha hizo hazikuonesha moja kwa moja kuwa kulikuwa na ushaidi kuwa watu hao ni wapenzi lakini kilichomuuma ni binamu yake kumdharaua. Anakumbuka alishamuonya kuwa kamwe hasiweke mazoea na shemeji yake lakini yeye amaemua kumgeuka. Atakipata anachokitafuta na kumuoneshea kuwa mimi huwa sijaribiwi safari yake ya kurudi kijijini imeiva. Nitamrudisha ndio nitamrudisha hata kama ndugu zangu watanichukia ila hawezi kuwa na uhusiano na mme wangu.” Mama Vanesa aliwaza vitu vingi sana huku akijiuliza kwa nini mambo hayo yanamtokea wakati huu. Alijiuliza pia kwanini mme wake hakumtafuta jana na kutaka kujua alilala wapi. Aliona ishara zote kuwa kwa sasa ndoa yao inakwenda kuharibika.
Alifanikiwa kufika Musoma salama na moja kwa moja alienda nyumbani kwake. Alivunguliwa gati na mlinzi. Alitaka kuuliza kama mumewe mara ya mwisho kupita kwenye geti hilo ilikuwa saa ngapi lakini roho yake ilisita na kuona kama jambo hilo halijakaa vizuri na sio vizuri. Aiingia ndani na alimkuta dada wa kazi hapo sebuleni. Dada huyo kwa heshima alimpokea mkopa na kuupeleka chumbani.Baadaye alimwita na kumuuliza maswali mawili matatu ili kujua kama kweli mme wake alilala hapo au la.

“Hapana dada hakulala maana jana wewe ulivyoondoka muda mchache tu na yeye aliondoka. Na mimi kwa akili yangu nilijua labda amekufuata.”

“Sawa enedelea na shughuli zako na akija akikuuliza kuwa nimelala hapa mwamabie ndio.”

Mama Vanessa alaiingia ndani ya kujimwaga kitandani. Mawazo ju y mustakabali wan do yake sasa yalimtawala. Roh ilikuwa ikuuuma sana. Baba Vnaesa afaney umala wake sehemu zzoet sio kwa ndugu zangu huku ni kunizaliisha na kunishushia thamani. Hivi kweli anaweza kutembea na ndugu zangu. Yaani hili pepeo la umaaya siji ameliapa wapi. Mama Vvanesa aaliendelea kutingwa na mawazo, Mawazo yaliyofanya kitanda kuonekana kichungu. Aliamka na kwenda bafuni kuoga. Airudi akajilaza. Alipitiwa na kausingizi kausingizi kilichochagizwa na mlindikano wa uchovu wa raha alizokuwa akipewa usiku kucha wa jana.****

Lucas Manyama kijana ambaye alikuwa na chuki ya kulipa kisasi baada ya kuachana na mama Vanesa alimtafuta rafiki yake Kimaro. Kimaro alitakiwa kufika eneo lile la hotel kabla muda wa kurudisha chumba haujafika. Lengo lilikuwa ni kuweka mikakati mipya na kufanya tathimini kama mipango yaliyopanga ilikuwa imefanikiwa. Lucas alikuwa mweye furaha sana maana kazi aliyotumwa alifanikiwa. Alifanikiwa kwa sababu zile kamera zilimuonesha akiwa na mama Vanesa chumbani. Si kuwa naye tu bali alionesha jinsi walivyokuwa wakishiriki tendo la ndoa. Kimaro macho yalimtoka kama mjusi aliyebanwa na mlango. Hakuamini kile alichokiona hasa ule wakati Lucas alipoamua kufanya mapenzi na mama Vanesa bafuni.

“Aisee brother wewe ni fundi sana aisee umemkula bafuni tena umemuweka pozi kama anakunya”

Picha hiyo mama Vanessa amekaa kwenye sinki la choo huku Lucas akifanya yake ilimshangaza sana. Tayari walishapata walichokuwa wakikitafuta.

“Nini sasa kinafuata maana kuna vitu mama Vanesaa amenishauri hivyo lazima tushauriane kabla ya kufikia uamuzi wowote.
“Amekushauri nini Kimaro aliuliza kwa utulivu.

“Kwanza nitafute chumba Mwanza nihame Musoma. Pili niachane na kesi yangu maana sitoshinda. Tatu yeye yupo tayari kunisapoti kwa kila jambo hasa kifedha. Ila la msingi lilinifurahsha yupo tayari kunizalia mtoto.”

“Wewe utakuwa umechanganywa na mapenzi. Yaani unaamini huyo mwanamke kweli anaweza kukusaidia ukalipa kisasi na kuwa mtu bora huku duniani?.”

“Anaweza kufanya kwa ajili ya kisasi na mapenzi. Nilichogundua ni kuwa yule mwanamke boss alikuwa hamsugui vizuri. Yaani jana alikuwa na nyege nyigi sana kwa kifupi alikuwa hapati raha ya mapenzi na alikuwa harizishwi kitandani..

“Sasa kaka Lucas hizi pointi zako bwana.. Hivi kama wewe ulikuwa unamrizisha mke wako angekuacha n kumfauta boss wako?

“Acha kufanya mambo yawe magumu. Ipo hivi twende tukatafute chumba hapa Mwanza. Mimi nitaamisha vitu vyangu maana mama Vanesa ameahidi kunisapoti kwa hili.Pili hizi picha tuzihifadhi kama tukiona wanazingia basi tutatumia ile njia yako ya kumchafuta na ikibidi tutatumia hizi picha kupata fedha. Mimi naamini kama tukizipeleka kwa waandishi wa habari kwisha habari yake.

“Hayo ndo maneno sasa. Chumba nitakutafutia na hata kazi ya kujishikiza. Pia nakupa miezi mitatu tu wewe na mama Vanesa mkishindwa kufanya hicho mlichodanganyana basi mimi nitafanya yangu. Sitokuwa na huruma kwenye hili kwa maana nimetumia pia fedha zangu.”

“Usiwe na hofu maisha ni mipango.Nakuamaini wewe ni rafiki yangu wa muda mrefu najua utatunza siri hasa za hizi picha maaa hizi zikivuja sio aibu kwa mama Vanesa tu bali hata kwangu”.

“Ondoa shaka kwa hilo” Kiamaro aaljibu na kunyanyua simu.

“Vipi bwana Lugamba nahitaji rooma moja nzuri ya self container”

“Ipo ya vyumba viwili chumba na sebule ni nzuri sana kama inakufaa uje uangalie”

“Sawa tunakuja hapo”..
Lucas na Kimaro waliongozana kwenda kuangalia nyumba hiyo. Walipelekwa na dalali ambaye alikuw akaijuana na bwana Kimaro. Wakati wanaingia kwenye nyumba hiyo walishangaa kumkuta Juliana akiwa anafua kwenye uwa wa nyumba hiyo…

Walishangaa sana maana hawakutarajia kumkuta binti huyo kwenye hiyo nyumba. Kwanza Kimaro alikuwa akijua kuwa binti huyo alikuwa akikaa na pacha wake. Walianza kusalimiana huku kila mmoja akionesha ni jinsi gani ameshtushwa. Wakati wakiendelea kusalimia kuna mwanaume aliingia ghafla.

“Vipi mke wangu, naona umepata ugeni?”

“Ndio mme wangu naona wakejuka na dalali ingawa huyu mmoja ni shemeji yangu mchumba wake na Julieth”

“Aisee karibuni sana vyumba hapa vipo kwenye hali nzuri”

“Sawa tunaomba tuvione”.

Juliana aliacha kufua na kuingia ndani kuchukua funguo. Alitoka na kuwakabidhi. Kutokana na mazunguzo hayo ni dhairi kuwa huyo ndio alikuwa mchumba wa Juliana. Kila mtu alikuwa na maswali mengi kichwani lakini waliachana nayo na kuangalia chumba. Chumba kilikuwa kizuri sana na hata Lucas alikipenda lakini swali je ataweza kuishi karibu na Juliana hili hali binti huyo walishawahi kushiriki tendo la ndoa. Walipelekwa sehemu mbali mbali lakini bado nyumba hizi hazikuwa kwenye hali nzuri kama ile ya mwanzo.

“Kaka nyie ni watu wenye hadhi yenu kuliko kuangaika mimi nashauri mchukue chumba kule pa kwanza” Dalali alipendekeza.

“Ujue mimi napenda kukaa nyumba ambayo baba au mama mwenye nyumba hakai hapo”Lucas alionesha wasiwasi.

“Ile haina shida kabisa yule aliyeingia japo ni kijana mdogo ndo mwenye nyumba. Yule hakai pale kabisa yeye ana nyumba yake na familia yake. Yule dada ni mchepuko wake tu ndo amempa chumba kimoja. Siunajua mambo ya mjini. Lakini Yule ni mfanyabiashara na wala hata hakai sana Tanzania muda mwingi yupo Kenya.”
Ufafanuzi huo kidogo ulimwingia Kimaro amabye hofu yake ilikuwa je Kimaro ataishi vipi nyumba moja na Juliana hili hali tayari yeye ana mipango yake na mama Vanesa.

“Basi tutakutafuta baadaye tulipe na upate chako” Kimaro aliongea na kumruhsu dalali aaendelee na shughuli zake. Hakumuacha hivi hivi alitoa noti ya elfu 10 na kumkabidhi. Kimaro na Lucas waliondoka na kwenda mahali ili waweze kuchambua kama wachukue kile chumba ua la.

Kimaro alaimshauri Lucas kuwa wachukue tu hasiwe na hofu na hayo mambo mengine yatajiseti tu yenyewe. Lucas alimwelezea hofu yake maana wanawake wanakuwa na wivu sana. Ilibidi Kimaro anyanyue simu na kumpigia Julaina shemu wake na kumuuliza kama yule ni mme wake. Juliana alaikiri hilo na kusema amekuwa naye kwa sababu za kimaslai na anajua kama ana mke na watoto. Juliana alitumia nafasi hiyo kumuuliza kwa nini walikuwa wakitafuta chumba? Kimaro ilibidi amdanganye kuwa kuna mtu alikuwa akitaka kuamia hapo. Basi Kimaro kwa kuyapima maneno ya huyo binti aliona kuwa hapo pata leta shida maana binti uyo na yeye alikuwa amemepnda sana Lucas.

“Mpango upo hivi ile room tusichukue badala yake tuendelee kutafuta taratibu. Naamini tutapata.”Kimaro alipendekeza. Lucas alitingisha kichwa kukubaliana na ukweli huo. Maana hata yeye alijua ni jinsi gani itamwia ngumu kutimiza malengo yake. Mara simu ya Kimro iliit ana kuangali alikuwa ni yule dalali. Dalali kwa mbwemmbe alimwambia amepeta chumba kizuri zaidi yaani hicho hakina haja ya kujifikiria mara mbili mbli kinafaa kabisa. Basi iliwalazimu kwenda kukiangalia. Kweli walijirizisha kuwa kilikuwa kinakidhi vigezo vyao. Walilipa na sasa Lucas alikuwa tayari kwa kuamia.Ilimlazimu Lucas kurudi Musoma ambapo sasa alirudi ili kuweka mambo sawa ikiwa ni pamoja na kuchukua vitu vyake.

Kwa msaada wa rafiki yake huyo aliweza kupata gari ambalo lilikuwa linaenda Mwanza. Aliamisha vitu vayke vyote akawa amehama rasmi Musoma. Alimweleza mama Vanesaa ambaye na yeye alioneshwa kufurahishwa sana na kilichojiri hivyo na alimtuma fedha zingine ili aweze kufanikisha jambo hilo kwa urahisi. Kweli maisha yanabadilika na sasa Lucas alikuwa hawezi tena kazi ambayo alikuwa amefukuzwa. Wala alikuwa hawazi tena kuhusu mkewe zaidi ni kulipa kisasi. Aliendelea na maisha na wala hakuwa na hofu yoyote. Kila siku alikuwa akiwasiliana na mama Vanessa na mwanamke huyo aliendelea kumsihi kuwa hasiwe na wasiwasi kwa sababu yeye yupo na atamsapoti kwa hali na mali. Maisha yakasonga na mama Vanessa alimwibia pesa mume wake na kumkabidhi bwana Lucas. Lucas hakuamini macho yake maana alipewa fedha na pia alipewa chaneli za kufungua biashara ambayo itamnufaisha kwa muda mfupi.

Mambo yalipoanza kuchanganya ndipo kule kazini walimpigia simu na kumwambia kuwa boss ameamua kumsamehe na anatakiwa kurudi kazini. Boss wake alipata tabu sana na ilimuumiza kisaikolojia maana pamoja na ubaya wote aliomfanyia lakini Lucas hakuenda hata idara ya kazi. Wala hakuwahi kumsumbua na wala hakuwahi kumtafuta mke wake. Kuna roho ya ubinadamu ilimrudia na kuona kuwa ipo haja ya kumpumbaza tean bwana Lucas. Lucas alifikiria sana kwa nini boss wake anataka kumrudisha kazini. Alijiuliza au amegundu akuwa ana uhusano wa siri kwa siri. Ilibidi jambo hilo amshirikishe bwana Kimaro na kuona atamshauri nini. Bwana Kimaro alicheka sana na alimwambia kuwa huo ni mtego hivyo kamwe hasirudi nyuma. Kimaro alimwambia kuwa huenda boss wake ameshagundua kuwa anatoka na mke wake hivyo ikawa njia moja ya kutaka kummaliza kabisa.

Lucas akaona haitoshi ikamlazimu kumpigia mama Vanessa na kumuomba ushauri juu ya yeye kurudishwa kazini. Mama Vanesaa alimuuliza maswali magumu kabla ya ya kumshauri. Kwanza alimuuliza huo mshahara ulikuwa ukimwingizia shilingi nagapi na hiyo biashara anayofanya sasa hivi inamwingizia shilingi ngapi na kama akiongeza juhudi itamwingizia shillingi ngapi. Mama Vanesa akamwambia wikiend hiyo aende Mwanza ili waweze kujadili jambo hilo kwa umakini lakini kwa kifupi hasirudi nyuma kamwe. Wakati akiongea na mama Vaness kuna simu ilikuwa ikipiga kwenye simu yake. Alipokata alikuta missed call ya Mishel mke wake wa ndoa. Hajakaa sawa mkewe alikuwa akipiga tena simu na kumfanya akunje uso kwa hasira…-

Aliiangalia ile simu kwa hasira sana na aliinyanyua ili aweze kuipokea. Kwa bahati mbaya nguvu ziilimwishia na kuhisi kabisa anaweza kupewa habari mbaya ambazo zitamchanganya kabisa siku hiyo. Lucas aliona kabisa hasira na kinyongo alichokuwa nacho juu ya Mishel. Kuna sms iliingia.

“Najua ukiona simu yangu unaumia sana lakini jua maisha ni mau kuna kipindi huwa yananyauka na kuna kipindi huwa yanachanua.Nimekukumbuka mume wangu.”

“Huyu mwanamke sijui ni jinni?” Lucas aliwaza.Alitupa simu pembeni na kushika kichwa. Aliwaza sana ni nini kinachomsibu huyo mwanamke. Alianza kurudisha kumbukumbu kipindi cha nyuma. Taswira ya picha za kumbukumbu za wakati uliopita juu ya mwanamke huyo zilimjia. Alikumbuka siku ya kwanza kabisa kukutana na mwanamke huyo. Ilikuwa ni zaidi ya miaka saba imepita. Kipindi hicho huyo binti alikuwa mdogo sana kwanza ndo alikuwa form three.

ITAENDELEA

MAMA VANESSA – 3

Related image

Chombezo : Mama Vanessa
Sehemu Ya Tatu (3)

Alifuatilia na kugundua kuwa binti huyo alikuwaa akiitwa Nancy. Alifanikiwa kuzipata mpaka picha zake na roho mbaya ilishamjia kuwa atamuharibia maisha binti huyo. Alipanga kutembea naye na kama yeye akishindwa basi atatumia marafiki zake ili ampate.Nia yake kumbwa ilikuwa kwamba Boss yake apate hayo maaumivu ambayo yeye alikuwa akiyapata. Alijua kabisa dawa ya moto ni moto na mke au mtoto anauma sana. Maumivu aliyopata yalikuwa ni makubwa sana ambayo yalimfanya afikirie unyama. Lakni kwa kuwa mama Vanesaa ameonesha kuwa anataka kuwa na mimi kwa ajli ya kulipiza kisasi basi nitaanza na yeey na mimi nipo tayari kulipa kisasai. Alendele akupanga mikakati yake ambayo aliamini kuwa itafanikiwa. Habari za matoto wa boss wake amabye alikuwa chuo kikuu cha Dar es salaa alikuwa akaizipata kutoka kwa rafiki yake ambaye alaikuwa kifundsiha hapo. Kkwa bahati nzuri kan baadhi ya vipibdi alaikuwa akimfundisha binti huyo. Yaani walikuwa wapo tayai hta kumfelisha mradi tu kulipa kisasi. Ingawa Nancy hakuw ana makosa aliingizwa kweye mango huo.

Siku zilizidi kuyoyoma na hatimaye mama Vanesa alirudi kutoka huko Dar es salaam. Kkw akipindi chote hicho walikuwa wakiwasiliana na mama Vanessa alimsahuri kijana huyo asikimbilie mahakamani au huko idara ya kazi kwa sababau hatofanikiwa. Alimweleza kuwa boss wake anajauna na watu wengi sana na anauwezo wa kununua hata haki. Alimweleza huyo anahitaji kufanyiwa kitu cha kibinadamu amabcho kitauumiza sana. Siku ya tatu tangia watoke Dar es salaam ndio siku amabyo walipanga kukutana. Lucas Manyama alipendekeza kuwa wasikutanie Musoma kwa sababu anahofia usalama wake. Walipanga kukutana Mwanza wakiamaini huko wanaweza kuweka mipango yao. Kinyume na mawazo ya Lucas kuwa mama huyo angekataa la hasha mama huyo hakukataaa na badaa yake alikubali.

Lucas alimshirikisha Kimaro juu ya mipango hiyo na Kimaro akapigilia msumari kuwa hiyo ndo chansi kumbwa sana ya kulipa kisasi.

“Yaaani wewe mwambie aje tena afanye mpango alale huku huku “ Kimaro alisisitiza.

“Sasa nitaanzaje kumwambia kuwa atalala cha msingi mimi naona tufanye kama siku ile. Akija hakuna cha kupanga mipango ni kula bata kwa kwenda mbele alafu baadaye tunampeleka ile hotel kisha tunachukua chumba alale.”
“Sio tunachukua chumba alale bali tunawachukulia chumba mlale. Tena hatutaenda pale pa siku ile tutaenda hotel kabisa yenye hadhi yake.Alafu mimi nitatagesha kamera zangu ukishafanikiwa kufanya nae mapenzi ndo hapo sasa boss atajua kuwa dunia duara na kila binadamu yupo kwenye mzunguko”

Waliweka mikakati yao na Kimaro aliaapa kuwa yupo tayari kutumia gharama yoyote ilimradi tu kukamilisha hilo. Ilikuwa ni faraja kwa Lucas kusikia kuwa kijana huyo atafanya kila awezalo kumsapoti. Basi siku ya kukutana Mwanza ilifika. Mama Vanesaa siku hiyo alikuwa amevaa kisichana na kumfanya aonekane ni mdogo sana tena rika moja na kina Lucas. Alivaa nguo za thamani nguo zilizompendezesha sana , nguo zilizofanya uzuri wake kuonekana.

“Aisee huyu boss wangu ni kiboko yaani hajawahi kukosea. Yaani atakuwa na ugonjwa na watoto wazuri. Yaani sio mke sio michepuko ni alikuwa akichagua wanawake wazuri wenye mvuto kwa kila mwanaume.” Mawazo hayo yaliojawa matamanio na uchu wa ngono yalikuwa yakiwazwa na Lucas akiwa kwenye hotel moja iliyojengwa ndani ya kisiwa kilichopo ndani ya ziwa Victoria.

“Umependeza sana mama Vanesa sasa mbona ulikubali kuwaacha vijana wenzio na kuwa na mzee” Lucas alitupa swali la kizushi.

“Mapenzi alinipenda akanichanganya na pesa zake basi nikajikuta naingia kwenye ndoa na baba mtu mzima”

“Hivi mama Vanessa sio kwamba ulimwacha mpenzi wako saiz yako na kuamua kuwa na huyu baba”

“Aisee una maswali mengi sana lakini usiwe na hofu maana maisha kuna kukosea na kujifunza”.

Muhudumu alikuja na kila mtu aliagiza kinywaji alichopenda. Lucas hakujivunga aliingiza kinywaji kigumu ambacho alijua kabisa kitamlipua kwa muda mfupi na kumfanya aongee vitu vizito. Bila kutarajia na mama Vanesaa alaigiz apombe kali. Alishangaa maana kwa msichana wa namna hiyo lazima angetumia vitu laini.

“Leo nataka nikumbushie enzi zangu maana sijatumia pombe kali tangu nimalize chuo” Mama Vanessa aliongea huku akijimiminia pombe kwenye glass.

Walikunywa na kwa muda mfupi tu mama Vanesa alianza kurembua na kuongea vitu vya ajabu ajabu ishara kuwa alikuwa amelewa.Hii ilimpa chansi Lucas kuanza kucheza na hisia zake ili aweze kujua kama anaweza kulala naye. Alichukua mkono wa Mama Vanesa na kuubusu. Mama Vanesaa akarembua macho zaidi na kusema anatamani kama angembusu mdomoni..
Lucas na yeye hakutaka kufanya makosa alipeleka mdomo wake kwenye kinywa cha mama Vanessa. Alimbusu na kurudisha. Hakuwa na uhakika wa moja kwa moja kwani huyo mwanamke mke wa boss wake ameamua kujiachia na kuonesha yupo tayari kwa lolote. Kwa jinsi alivyokuwa mwanamke wa gharama isingekuwa rahisi hivyo kukubali kukutana na mtu wa chini kama Lucas.

“Nataka kuogelea”mama Vanessa aliropoka mara baaada ya kuangalia kwa muda mrefu maji ya ziwa na jinsi ambavyo watu walikuwa wakiogelea pembezoni mwa kisiwa hicho. Lucas alitafakari kidogo na kumwambia hasiwe na hofu ngoja akachukue boti ya mwendo kasi.

“Wewe mimi boti naogopa”

“Usiogope upo na mimi” Lucas alijibu huku akiondoka na kuelekea sehemu ambapo viboti hivyo vilikuwepo. Hakuwa na wasiwasi maana haikuwa mara yake ya kwanza kula bata eneo hilo.Hili kumuondoa hofu mama Vanessa, Lucas alilipanda kishakuingia ziwani. Aliweza kuliendesha kwa madaha huku akikata mwaimbi ya ziwa mpaka sehemu za mbali kidogo. Alifanya mbwembwe zote kuonesha yeye ni mwanaume ambaye haogopi maji. Mama Vanesaa alitumbua macho na kuona kweli mwanaume huyo ni mtaalamu wa kuchezea maji. Baadaye Lucas alikuja na kumpa mkono ili apande.Mama Vanesa alisita kidogo lakini alipiga moyo konde na kuingia kwenye boti. Walianza kuzunguka ziwa huku wakikata mawimbi.Mama Vanesaa alimshika vilivyo kwenye kiuno ili hasije akaanguka.Walifurahia maji na kwa kweli zile pombe ziliyeyuka. Mama Vanesaa alijihsi yupo dunia ingine kabisa maaana tangu aolewe amekuwa mtu wa kubanwa na hakuwahi kufurahia maisha kwa namna hiyo.

Walirudi sehemu waliyokuwa wamekaa. Wote walikuwa na nguo za mama Vanesa zilikuwa zimelowana. Ujue Lucas alipinguza nguo na kubaki na bukta lakini mama Vanesa yeye hakupnguza kitu. Lucas alikuwa ameliona hilo hivyo alimuuliza kama amekuja na nguo zingine.

“Vipi mama Vanessa umekuja na nguo zingine ili ubadilishe hizo maana naona umelowana.”

“Mwanamke lazima ubebe nguo zingine lakini shida nitabadilishia wapi.”

“Twende kule hotelini kuna chumba nilikuwa nimechukua.”

“Mmmh ulichukua chumba kwani umepanga kulala hapa?. Mimi mwenzio baba Vanesaa ataniua natakiwa nirudi leo nyumbani”
“Hapana mimi sitolala hapa nitaenda kulala kwa rafiki yangu, hicho nimekuchukulia wewe ili ukapumzike kama muda utakuwa umeenda sana. Sasa hivi tayari ni saa kumi na mbili sasa huoni kuwa utachelewa.

“Ni kweli lakini umewezaje kulipia chumba cha ghali hili hali huna kazi maisha yako yao hatariini huna pesa?”

Lilikuwa swali kumbwa ambalo hakulitarajia. Hapo alikosa jibu akanyamaza kimya huku simu yake ikiita na kuangalia alikuwa ni Kimaro akipiga. Alishindwa kuipokea na badala yake alitoa funguo na kumkabidhi mama Vanesa.

“Huko mikono salama nenda chumba namba tano badili nguo then urudi tupange mikakati na muda ukiruhusu basi utarudi”. Lucas safari hii alionekana kubadilika kidogo. Mama Vanesa hakutaka kupingana naye alijinyanyua hapo na kuanza kuelekea huko alipoelekezwa. Hapakuwa mbali sana hivyo alipiga hatua zake za madaha na kumuacha Lucas akimsindikiza kwa macho. Mmacho ya Lucas yaliendelea kukiri kuwa mwanamke huyo ni miongoni mwa wanawake wazuri na warembo huku duniani. Baada ya mama Vanesa kuondoka ilikuwa ni nafasi nzuri kwake kunynyua simu yake na kumpigia Kimaro. Kimaro alimweleza kuwa yupo eneo hilo na yupo na kimwana ..

“Upon a Julieth?Lucas aliuliza kwa kuhamaki.

“ Aaaaaah kwani umeambiwa kimwana ni Julieth tu.”

“Sijamaanisha hivyo ila ukimleta huyo atatuona sisi wote ni Malaya tu na imani yake juu yako itapungua.Lucasa alijaribu kueleza wasiwasi wake.

“ Ebu wacha maneno mengi nishafika hapa naingia umekaa kwa wapi?.

“Huku karibu na ziwa kabisa”

“Sawa dakika sufuri”.

Baaada ya nusu dakikaa Kimaro aliingia eneo hilo huku akiongozana na msichana mwingine ambaye yeye alimwita kimwana. Alikuwa ni mwanamke mrembo kwa maana nachelea kusema ni mzuri sana. Maana uzuri ni tofauti na urembo. Uzuri ni kitu ulichozaliwa nacho ni kutokana na uuumbaji wa Mungu. Urembo ni jinsi ulivyojitengneza kuanzia mwonekano, mavazi na mapozi. Alikuwa ni mwanamke mrembo na alivutia machoni pa Lucas.
“Yani huyu kwa kubadili wanawake kama nguo.. Sasa amempata wapi na huyu?” Lucas aliwaza mara baada ya kuwaona wakiingia kupitia boti ambalo lilikuwa linawavusha watu kutoka nchi kavu na kuwapeleka kwenye kisiwa hicho. Kilikuwa ni kisiwa ambacho hakikuwa mbali sana na nchi kavu na hakikuwa kikumbwa zaidi kilikuwa na hote hiyo na sehemu zilizojengwa kwa ajili ya utalii.. Aliwapungia mkono na wao walimwona. Hao kwa mwendo wa madaha kama mtu na mpenzi wake walijisogeza eneo hilo. Walifika na kuvuta viti kukaa. Walikuwa wenye furaha na waliochangamka sana. Kwa kuwa viti vilikuwa ni vichacahe n kilea alichokuwa amekalia mama Vanesa kilishatumika ilimlazimu kumwita muhudu ili awasikilize wageni na aongeze kiti kimoja.

Muhudumu aliwasikiliza na kwenda kuchukua vinywaji. Mara Mama Vanesa naye alikuwa akija kutoka kwenye hotel. Alichukua muda mrefu lakini haikuwa tatizo kwa Lucas maana anajua kabisa wasichana linapokuja swala la kubadili nguo lazima waanze kujiremba upya. Ni kweli maana mama Vanesa alikuwa amebadilika kabisa na kuzidi kuonekana kuwa alikuwa ni msichana mdogo. Alivaa kimini kilichofanya kuacha mapaja yake nje. Alionekana ni binti mdogo pengine waweza kusema ni msichana amabye hajaolewa. Lucas hakujua kwa nini amevaa hivyo lakini huenda labda aliamua kujiachia mara baada ya kuhisi kuwa watakuwa wawili tu. Hakujua kama kuna wageni wanaweza kuja. Hata hivyo hakuonesha kushtushwa sana alivuta kiti na kukaa. Kimaro aliyatumbua macho na hakuamini kama huyo ndo mke wa boss ambaye alikuwa akizungumziwa..

“Habari zenu” Mama Vanessa alitoa salamu ya jumla.

“Nzuri” Kimaro na kimwana aliyekuja naye walijibu kwa pamoja.Kimya kikatawala kidogo kabla ya Lucas kuvunja ukimya.

“Mama Vanessa huyu anaitwa Kimaro ni rafiki wangu wa kufa na kuzikana. Mr Kimaro huyu ndio mama Vanessa mwanamke aliyeamua kuniokota mara baada ya Mishel kunitupa.

“Nashukuru sana bwana Lucas nashukuru pia kumfahamu mama Vannesa..Kimaro aliongea huku akimpa mkono mama Vanessa. Alifanya utani wake kidogo kwa kuubinya mkono kwa nguvu jambo lilofanya mama Vanesa ahisi maumivu.

“Aiseee kweli unastahili hili kuitwa mrembo mikono laini kama maini” Kimaro aliongea huku akionesha kushangaa.

Wote kwa pamoja walicheka na kufanya kuchangamka. Muhudumu alikuja tena na kumleta kinywaji mama Vanesa. Safari hii alibadilisha na kuanza kunywa wine. Stori mbili tatu za kuchekesha ziliendelea na kufanya muda kuzidi kuyoyoma. Kimaro alitumia muda huo vizuri kuwafurahisha na kuwachekesha kwa sababu moja ya vitu alivyojaliwa ni kuwafurahisha watu na kuwafanya wamsikilize kwa muda mrefu.
Wakati stori zikiendelea mama Vanessa yeye alikuwa ulimwengu mwingine kabisa. Alikuwa akiwaza ni jinsi gani atarudi Musoma hili hali muda ulikuwa umeenda sana. Aliendelea kunywa kinywaji huku akili yake ikifanya kazi ya ziada juu ya uwongo gani afanye ili mme wake amuelewe. Yaani mama Vanesa alikuwa ni mwanamke wa ajabu sana huku duniani kwa sababu ingawa mme wake alikuwa akimtenda vibaya kila mara lakini hakuwahi kuwa mkaidi. Siku zote amekuwa mtiifu na amekuwa akijishusha. Haya yote aliyafanya kwa sababu alitokea kwenye familia masikini. Alijifanya kipofu kwa kwa mabaya yote ambayo alikuwa akitendewa na mumewe. Lakini alikuwa na lake moyoni kwa kuwa muda huo yeye kujifanya boya ulikuwa umekwisha. Tayari alikuwa ameshachuma mali za kutosha. Alishajenga kwao na alishakuwa na nyumba mjini. Mumewe alimwamini sana na hakujua kuwa ipo siku atabadilika.

“Mbona mama Vanesa anaonekana kama mwenye mawazo?”Kimaro aliuliza mara baada ya kuona huyo ametulia tu.

“Hamna mimi sina mawazo yoyote tupo pamoja” Mama Vanesa alisema huku akitaka kusema kuwa anataka kuondoka. Ila aliamua kujiuliza maswali na kujijibu mwenyewe.Sasa nitaondokaje na kilichokileta huku sijakipata. Hata hatujaweka mikakati ya kumkomesha baba Vanesa. Ilibidi amuandikie sms Lucas kumueleza nia yake ya kutaka kuondoka. Lucas na yeye alimuuliza swali lile kuwa sasa ataondokaje wakati bado hatujapanga mikakati. “Mimi naona utafute njia ulale kwa sababu tayari chumba kipo.Lucas alishauri na wakati huo huo Lucas pia alianza kuchati ana Kimaro kumwambia kuwa mama Vanesa anataka kuondoka. Kimaro akasisitiza kuwa hilo haiwezi kutokea kama yeye yupo.

“Inaoenkana watu mmekaa kiunyonge nyonge sasa napendekeza tuhame kwa muda kuna mahali nasikia kuna nyama choma twendeni tukale.” Kimaro aliongea huku akiinuka na kumpa mkono msichana aliyekuja naye kisha kuanza kupiga hatua na kuondoka. Lucas alitamani kucheka lakini alijikausha na yeye akafanya kumpa mkono Mama Vanesaa.

“Leo upo na vijana wenzako huna haja ya kuwa na wasiwasi. Sahau hata mawazo ya kuumizwa kimapenzi na baba Vanessa..

“Ni sawa lakini nitamwambia nipo wapi au nimelala wapi.

“Kwanini yeye anavyoondokaga na kulala nje ya ndoa huwa anakwambai ukweli kuwa amekwenda kukusaliti?

“Hapana”

“Sasa na wewe tafuta uwongo mtakatifu”
Ilibidi na wao waanze kupiga hatua na kuondoka eneo hilo. Walivuka tena na boti na kutoka nchi kavu. Lucas alikuwa ameenda na gari hivyo waliingia kwenye gari. Mama Vanesa licha ya kuwa alikuwa amechoshwa na tabia za mumewe lakni pia mumewe alikuwa hana uwezo wa kumrizisha kitandani. Huo ulikuwa ni ukweli ambao haupingiki kuwa mume wake hakuwahi kurizisha hasa siku hizi za karibuni ingawa kipindi kile wameanza uhusiano wao alikuwa akifurahia. Alichokifanya mama Vanesa ni kuzima simu na alimtumia sms mume wake kuwa simu yake inazima chaji. Hakumwambia kuwa hatorudi nyumbani wala nini. Waliondoka na kuenda hiyo sehemu ambayo Kimaro alisema. Mama Vanesaa aliamua kuamishia mawazo yake kwenye kujipa raha usiku huo. Mpaka muda huo alikuwa hajaelewa kama Lucas anampango wa kulala naye au ndo kama vile aivyomwambia. Na kama atalala mwenyewe basi kuna umuhimu gani wa kufanya hivyo.

Waliingia sehemu ambayo palikuwa pamechangamka sana. Ilikuwa ni sehemu ambayo ilionekana ni ya gharama maana muziki laini ulikuwa ukiimbwa live. Ingawa nyimbo zilizokuwa zikiimbiwa zilikuwa ni nyimbo za zamani lakini ziliwavutia. Haraka haraka waliagiza na kuendelea kunywa huku wakisubri nyama choma. Hapo hapakuwa ana longolongo ya kusubiri muda mrefu. Nyama zilikuja na wakaendelea kula.Wakaendelea kula na kunywa.Wote walizidi kuchangamka na wakajikuta wanatamani kucheza musiki. Lucas na Kimaro wakawa tayari wamepanga mambo hayo. Akaanza Kimaro kuamka na kumchukua huyo mwanamke aliyekuwa naye na kuanza kucheza naye. Lucas na yeye akajifanya kuwa uzalendo umemshindwa.Alimnyanya mama Vanessa na kuanza kucheza naye musiki.

Walianza kucheza huku Kimaro alikuwa akirekodi lile tukio na kuchukua picha. Lengo ilikuwa ni kulipiza kisasi kwa kumrusha roho boss. Lucas alijifanya amelewa maana alikuwa akicheza na mama Vanesa kama mtu na mpenzi wake.Burudani iliendelea mpaka mida ya usiku. Kwa kuwa Kimaro siku hiyo hakutaka kukaa sana waliamua kuondoka . Waliingia kwenye gari na kitu cha kwanza walichofanya ni kuwapeleka Lucas na Mama Vanesaa kwenye ile hotel ambayo walikuwa wao mwanzo. Tayari kamera ziliwekwa kwa ajili ya kuwarekodi. Kamera ziliwekwa kisiri mradi tu kupata picha za matukio ambayo kama boss wake akiziona basi lazima atakufa kwa presha. Lucas safari hii alibadilika alikuwa tofauti kabisa na mwanzo hakuwa mtu wa kujadiliana zaidi aliongoza mpaka pale kwenye chumba walichokodi. Vitu vya mama Vanesa vilikuwa humo na hivyo kwake yeye ilikuwa ni faida lazima mwanamke huyo angeingia humo.

Waliingia wote na Lucas alifunga mlango kisha akajitupa kitandani. Alijifanya kuwa alikuwa akisikia vibaya na pombe zilikuwa zimemzidi hivyo alihitaji kupumzika. Mama Vanesa alisimama kama mlingoti kisha akatupa swali la kizushi.

“Kwa hiyo Lucas unataka kulala na mke wa boss wako chumba kimoja”
“Najua ni ngumu sana lakini naomba mama Vanesaa unikumbuke katika ufalme wako..Kama ikukupendeza unizawadie zawadi ya faraja usiku huu la ikikuchukiza basi nitalala hata chini kama sio chooni”

Maneno ya Lucas yalimtoka kwa hisia sana na alijaribu kujishusha na kuonesha kuwa alikuwa akitamani penzi la mke wa boss ingawa ni kwa hiyari sio lazima. Maneno yale yalimuuma sana mama Vanesa na akaijikuta akimuonea huruma. Alikumbuka pia jinsi kijana huyo alivyokuwa akitia huruma alipokuwa akimwelezea ni kiasi gani anapata uchungu kwa kupokonywa mke wake.Roho ya huruma ilimjia na kumfanya amsogelee pale na kuanza kumpapasapapsa.

Mwili wa Lucas ulisismka na kutamani kumrukia mwanamke huyo. Alikuwa sasa na uhakika kuwa anaweza kuonewa huruma na pengine kutimiza lengo lake ambalo kiukweli halikuwa kupata penzi la mke wa boss. Lengo kubwa hapo ilikuwa ni kupata picha ambazo zitamwezesha kumrusha boss roho. Mama Vanesa alijisogeza hadi kwenye mkoba wake akafungu na kutoa khanga Alijifunga kisha kupunguza baadhi ya nguo. Kulikwa na kibaridi kidogo lakini kwa kuwa alikuwa na uhakaki maji ya moto kwenye hotel hiyo ya kifahari sio tatizo basi aliingia bafuni kuoga. Lucas alijifikiria cha kufanya haraka haraka akapata wazo kuwa na yeye aingie bafuni. Bila aibu aliingia bafuni na kumkuta mwanamke huyo akiwa uchi wa mnyama huku tayari akiwa amejipaka sabuni sehemu za mwili wake. Mama Vanesa alishtuka kidogo kumuona na aibu ilimpanda.

“Noamba nikusugue”Lucas alisema.

“Unisugue nini huku bafuni bwana”Mama Vanessa aliongea kwa sauti ya kudeka.

“Nikusugue mgongo”

“Toka lini mgongo ukasuguliwa wewe sema unataka kunisugua nanii” Mama Vnesa aliogea huku akimpa mgongo.

Lucas akajisogeza zaidi na kuaza kumsugua mgongo kwa kutumia dodoki lilokuwepo. Hakuishia mgongoni tu bali alimwogesha kama mtoto.Kitendo cha mama Vanesaa kuogeshwa kilimuamisha kutoka ulimwengu huu na kumpeleka ulimwengu mwingine kabisa. Alitamani kumsaliti mmewe na kuvunja amri ya kutokuzini nje ya ndoa. Lucas yeye hakuwa na hisia za haraka kwa maana ndo kwanza alichukua taulo na kuanza kumfuta futa kwenye maungio ya mwili wake.
Kila hatua kila jambo alilolifanya moyoni mwake alikiri kuwa mwanamke huyo alikuwa mrembo na boss alitumia pesa zake kuwa na wasichana wazuri na warembo. Alipomaliza kumfuta sasa ilikuwa ni zamu yake na alitamani kama mwanamke huyo angemwogesha. Ni kama alikuwa akilini mwake. Maana mama Vanesaa alianza kumwagia maji na kumuogesha. Alitumia mikono yake laini kumwogesha na kumpagawisha Lucas. Lucas mawazo ya kuogeshwa yote yaliyeyuka na sasa viungo vyake vilianza kusismka. Mawazo ya ngono yalimtawala. Alijaribu kupotezea lakini ilishindikana. Kiungo kikumbwa kuliko vyote kilisimama wima na kufanya mama Vanesa kuanza kukichezea. Alimaliza kumuogesha na kuchukua taulo kumfuta maji. Ilikuwa ngumu sana kwa Lucas kuhimili mambo yote hayo. Alimsogeza mpaka ukutanai na kuanza kumpapasapapasa. Wote walikuwa na mizuka ya ajabu kwa maana mama Vanesa alishika jogoo na kutaka kumfundisha kuwika.

Mikono ya Lucas ilikuwa inaperuzi na kufanya utalii wa ndani kwenye ikulu ya mwanamke huyo. Utamu njoo utamu kolea vinywa vyao vikakutana. Walinyonyana kwa muda mrefu na sasa Mama Vanesa alimkumbatia kwa nguvu na kufanya chuchu za matiti yake kumsuguasugua na kufaya mshawasha kuongezeka. Mama Vanessa alikuwa amezidiwa kwa maana alianza kutoa miguno ya ajabu ajabu. Lucas Manyama alilitambua hilo lakini hakutaka litokee kwa haraka. Alimnyanyua na kumkalisha kwenye sinki la choo. Alimkalisha hapo na kumpanua mapaja. Ilikuwa ni jambo la kustkuza lilomchanya mama Vanesa na kushindwa kuelewa nini kilikuwa kinafuata..

Hakushtuka sana maana maliwato hayo yalikuwa ni masafi sana.Lucas kwa kujiamini alipiga magoti na kumpanua miguu. Alianza kunyonya kisima cha binti huyo. Kilikuwa ni kisafi hivyo hakuwa na wasiwasi. Huyo bila aibu aliamua kuzama chumvini. Yaani jambo hili huwa anamfanyia mke wake tu lakini leo aliamua kujito aufahamu na kumfanyia huyo mwanamke. Alitaka kumchanganya kimapezi ili aweze kupata kile alichokuwa akitaka. Mama Vanesa alikuwa ulimwengu mwingine ambao maji aliita mmaa..Kelele za mahaba za mwanamke huyo zilisababisha Lucas kutaka kufanya yake. Kamasi jembembe lilikuwa likitoka kwenye pa ya chini. Alijnyanua pale alipokuwa amepiga magoti na kusimama huku mama Vanesaa akiwa bado aejipanua miguu. Hawakujali kama walikuwa wapo chooni. Na wala hakuwaza hata kama kuna kitu kinachoitwa kondomu. Huyo alizama kwenye chungu hicho na kukaribishwa na joto joto kali la huba. Aliisokomeza yote na kuanza kutwanga na kupepeta.Alisukuma kwa haraka haraka lakini kutokana na mnato mnato wa nta ya asali alijikuta akimwaga machozi kwa haraka.Nguvu zilikuwa zimemwishia lakini alijikaza na kumbebea juu juu.Alipata nguvu za ghafla akamnyanyua juu juu na kumpeleka chumbani.Alimbwaga kama mzigo kisha akavuta pumzi kidogo. Bado mtarimbo ulikuwa umesimama wima hivyo uliruhusu kuendelea na machezo ambao walikuwa wameuanza. Mama Vanesa alijigeuza na kumwachia makalio.Ilionesha ni wazi alikuwa akitaka kuingiliwa kwa staili hiyo.
Wakati Lucas anataka kumuweka ile chuma mboga au mbuzi kagoma kwenda eeh mama Vanessa akamuwahi. Alimfanya Lucas alale chali huku kichwa kikiwa juu ya mto kisha Mama Vanesaa akataka kuonesha kuwa na yeye sio wa kupewa tu bali anaweza kutoa. Akampa mgongo akaingiza sindano kwenye tundu alafu akashika godoro ili kupunguza uzito wake.Wakati yeye anaenda juu chini Lucas alimshika kiuno juu ya makalio kidogo.Mmmmmmh jamani Mama Vanesa aliichomeka yote mpaka mwishoni kabisa mwa shina la mmea huo. Mama Vanesa alikuwa mtundu sana maana alijisugua kisha akaweka pozi na kufanya kama anamwangaaia Lucas.Alimwangalia kiwizi wizi kinyume nyume huku macho akiwa ameyarembua.Akajisugua sugua kidogo kama mtu anayetafuta sehemu yenye utamu kisha akaituliza pembe ya kushoto.

Ufundi huu ulimfanya Lucas kupata raha za ajabu. Alikuwa akiizungusha na kuifinyia kwa ndani. Alimfanya ajinyooshe na kukakamaa mgongo kama mtu aliye pigwa na shoti ya umeme.Alitulia kimya huku vidole vya miguu yake vikicheza cheza kuashiria kuwa wazungu weupe hawakuwa mbali.Mama Vanesa aligundua kuwa anataka kumwaga maana aliinyoosha miguu yake huku akijitahidi mche wa Lucas usitoke.Akalalia tumbo kwenye mapaja yake huku miguu yake ikibaki kutazama uso wa Lucas.Akanapua miguu yake vizuri kisha akayaachia makalio juu juu kama maboga mbugani.

ITAENDELEA

MAMA VANESSA – 2

Related image

Chombezo : Mama Vanessa
Sehemu Ya Pili (2)

“Ninaomba uzime taa tulale”alisema mrembo huyo huku akipikichapikicha macho ishara kuwa alikuwa akikerwa na mwanaga wa taaa.
Lucas kabla hajazima taa alimshauri kitu. “Unaonaje kama ungeoga ili kupunguza uchovu wa kukaa muda mrefu sehemu moja na joto la mwili ili uweze kulala usingizi murua.
“Wazo zuri lakini naona uvivu mwenzio ebu tulale kwanza alafu joto likizidi nitaoga”. Juliana aliongea kisha kuvuta shuka na kujifunika. Lucas aliona ipo haja ya yeye kwenda kuoga.Aliingia bafuni huku taswira ya umbo zuri la Juliana likimtawala kichwani. Mawazo ya ngono yalikuwa yametawala akili yake kwa kiwango kikumbwa sana. Alimaliza kuoga na kurudi zake chumbani. Alifikiria cha kufanya kwa sababu ndo kwanza mwanamke huyo alikuwa amejifunua shuka kuashiria kuwa taryari joto lilimzidia. Kitendo hicho sasa kilifanya utamu wa binti huyo kuonekana. Lucas uzalendo ulizidi kumshinda na kukuta viungo vyake vya siri vikimsisimka. Mkuki ulisimama wima tayari kwa mapambano. Alipanda kitandani na kulala. Dakika mbili hazikuisha alimsikia yule binti akinyanyuka na kuingia maliwatoni. Kabla hajaingi aliwasha taa na kumfanya Lucas kuangalia kwa jicho la wizi binti huyo alitaka kufanya nini. Kwa macho yake alimuona binti huyo akichojoa nguo zake kisha kuingia bafuni.
Aiseee aliumizwa kihisia maana sasa alitamani hata kumrukia binti huyo. Lakini alijikaza na kuvumilia. Alijifanya kapitiwa na usingizi na nia yake ni kuona mtu huyo atafanya nini baada ya kutoka huko chooni. Juliana naye usingizi ulikuwa hauji na ni muda mrefu sana alikuwa hajafanya mapenzi. Yaani na yeye kuna kitu kilikuwa kikimtekenya na kumtamanisha afanye mambo. Kwa kipindi chote alichokuwa amejilaza hapo kitandani alikuwa akitafakari je ampe tunda au amnyime. Uamuzi alioufikia ni kwamba atampa kama kijna huyo akihitaji. Kwa maneneo mengine ni kusema kwamba Juliana na yeye hamu ilimshika. Alioga na kumaliza lakini alikuwa akitafuta mbinu ya kurudi.Alijiuliza je arudi akiwa uchi au akiwa amevaa nguo za ndani. Sifa alizopewa na pacha wake juu ya mwanaume huyo zilimabadili mawazo na kujikuta akiwa tayari kwa lolote. Lakini yeye ni mwanamke alikuwa makini sana hasije kushusha thamani yake na kuonekana Malaya.
Kule maliwatoni alikaa sana kwa makusudi amuone atafanyaje.Ukimya huo ulimtatiza Lucas na kumlazimu kuchukua hatua. Ilimbidi aende karibu ya mlango wa chooni na kuita “Julieth mbona umekaa sana unaumwa na tumbo nini? Halikuwa jina la binti aliyekuwepo chooni lakini ni kwamba aliwachanganya majina pale alipokuwa wanajitambulisha. Kwa sauti ya mlegezo Julina alimwambia “njoo njoo huku” . Alimwita huku akiwa ameshikilia mguu wake kwa madai kuwa eti aliteleza huko bafuni na kudondoka.
Hapo ndipo kichaa alipokabidhiwa rungu. Lucas aliingia maliwatoni na kumwinua Juliana kisha kumbeba juujuu na kumpeleka kitandani. Juliana hakufanya makosa alimng’ang’ania kwa nguvu sana na kila mtu mapigo ya moyo yaliongezeka. Lucas na yeye alimbana kwa nguvu kwenye kifua chake. Kumbatio hilo liliamsha hisia zao na kila mmoja alijihisi tofauti. Lucas akaanza papara zake za kutaka kuvua hata ile nguo ya ndani ya mlimbwende huyo.Jambo hilo la papara na haraka zisizokuuwa na sababu wakati binti anatka mwenyewe zilimkera Julaina na alimmsukuma kwa nguvu na kumtoa kwenye mwili wake.Kama hiyo haitoshi alimuuliza
“unataka kunibaka?”.
Lucas Akacheka na kusema “ kwa kweli upo vizuri sana uvumilivu umenishinda”.
“Sasa wewe si ni mme wa mtu”
“Ndio” Lucas alijibu na kumsogelea tena.
Akili yake ilishachafukwa hakutaka majibizano tena bali vitendo.Bingilibingili walianza kubingilizana hapo kitandani.

Juliana kama walivyo ingawa na yeye alikuwa akitaka kushiriki mchezo huo lakini alikuwa makini sana ili hasije kuonesha kuwa alikuwa ni Malaya. Lucas alikuwa mjanja sana maana aliangaika na viungo ambavyo vilikuwa vinamsisimo kila Julaina alipoguswa. Juliana hakuwa na ujanja tena zaidi ya kugugumia kwa sauti za huba. Huku kule pembeni kati waliendelea kuonesha ufundi wa kupapasa bila kutulia. Ukumbwa wa matikiti ya Juliana ulimfanya Lucas Manyama kubaki hapo kwa muda. Matikiti maji haya yalimvutia sana. Mikono laini pia ya mlimbwende huyo ilikuwa ikiperuzi na kudadisi kwenye mgongo wa Lucas. Lucas alipojirizisha kuwa ameshamchezea mlimbwende huyo na amenyegeka vya kutosha alimua kumwacha ili atafute kinga. Jamabo hili lilifanya Juliana kupoteza mzuka maana ni miongoni mwa wanawake wachache ambao huwa hawapendi kukatishwa jambo.
Lucas alizipata kondomu ambazo zilikuwa zipo kwenye droo hapo hapo lodge.Kwa haraka haraka alizivaa na na kumsogelea Juliana. Alainza tea kumpapapasa na safari hii alianz akwa kuyapigapiga makalio ya mlimwende huyo. Juliana hakuonesha ushirikiano tena nyege mshindo zilizokuwa zimempanda ghafla zilimshuka.
“Jamani Juliana mbona hivy nimekukera na nini?
“Hapana tayari hamu imeisha na ujue mimi nimetok kwenye mamatatizo kama yako na sasa naionea huruma nafsi yangu. Hat nikiridhisha usiku huu bado furaha hiyo haitakuwa ya kudumu. Sipendi nijifurahiseh kwa muda alafu abaadaye nikandelea kuteseka. Nakuomba niache tu kwa maana hata wewe nitakuwa sijakusadia zaidi utakuwa umejongezea matatizo.
“Naielwa kakni wewe umejuaj ekama furha hii itakuwa ya muda mfupi? Wewe nipe nafasi mengine hayo yatajzungumza yenyewe..
“Siwezi kwanza nimekutana na wewe kwa bahati mbaya, ni siku ya kwanza, hatujuani na pia una mke kweli hii ni halaili”
“Daaaaah ooooops!!” Lucas alivuta pumzi ndefu na kusogea pembeni. Ni kwamba hoja za mrembo huyo zilikuwa zenye mashiko sana kwake.
Kimya kilitawala na kila mtu alikuwa akitafakari. “Yaani kweli nilale na mwanamke mpaka asubuhi bila kufanya naye kitu. Nitaweza kweli , hapana sio jambo rahisi inahitaji nitumie mbinu za ziada”. Maara baada ya kuwaza hayo Lucas aliamua kujifanya mjinga. Alipiga magoti na kusema.. “Hakika wewe ni mwanamke mwelewa sana na unayestaili kuwa na mwanaume mwelewa. Sikuwaza kabla kama una akili kiasi hicho. Ni kweli nina mke na sipaswi kuwa na wewe. Lakini ishatokea na imetokea katika harakati za kupunguza mawazo. Tafadhali mrembo nisije kufa kwa presha nionjeshe tu utamu wako siku ya leo. Tadhali kuwa muungwana kwa hili na ndio maana nikatafuta kinga ili tuwe salama.
“Mimi sio wa hivyo na kama amezidiwa ajue kabisa ukinionja tu itataupasa tuwe wapenzi na unioe.
“Usijali hakuna kinachoshindikana chini ya jua”.
Ingawa Juliana hakuwa tayari kulala na mme wa mtu lakini kwa jinsi Lucas alivyopiga magoti akiongea kwa hisia alijikta akaimuonea huruma. Juliana alimpa ishara kuwa amsogeleee hapo kitandani. Lucas alijipigia makofi ndani ya moyo wake na kujua mpaka hapo ameshashinda na atajilia vinono usiku huo. Walisogeleana na kaunza kupeana denda. Julaian aaliwmambi azime taaa lakani Lucasa hakuaka kusikia ilikuwa haitulii mara ishike makalio, mara matiti maradi tu kuonesha alaikuw ana njaa sana ya kula chakula hicho cha usiku. Lucas alaikuwa na papara sana maana alaitaka kufanya jambo kwa haraka kabla mlimbwende huyo hajabadilisha mawazo. Alijua kabisa kama atachelewa anaweza kujimwa kama mara ya kwanza.
Yaani hata mda wa romance haujaisha tayari alishauzamisha mtwangio wake kwenye kinu cha Juliana.Juliana alishangaa na kuona hana haraka sana yaani hata ule ute ute wake haujashuka si atamchubua huyu kitu ambacho ni hatari sana kwa maambukizo ya ukimwi na magonjwa ya zinaa. Juliana akaamua kuichomoa makusudi tu ili aoene atafanyaje, aaaah wapi kwani anataka sasa akichomoa anachomeka, akichomoa anachomeka ikawa kama wanashindana hivi. Na kwa kuwa Juliana amelala na tumbo amewekaa mto tumboni na kuruhusu mashine yake kubinuka kwa nyuma tayari kwa kukoboa ana kusaga hivyo alishindwa kumtoa.
Mashine ya Lucas ilikuwa haifiki vizuri kutokana na ukubwa wa makalio ya binti huyo. Basi Lucas ilibidi amgeuze na Juliana akapanda juu na kufanya yake. Hapo uvumilivu ulimshinda Lucas maana Juliana alikizungusha sana kichwa cha nyoka wake mpaka akahishi atakinyofoa na yeye akapiga kelele huku akitaja jina la Julieth. Utamu njoo utamu kolea Lucas alisahau machingu aliyokuwa nayo kwa muda. Lucas alifurahishwa na mnato mnato kwenye kinu cha mlimwende huo. Pia alifurahishwa na gundi ya mlimbwende huyo jinsi ilivyokuwa ikizungushwa kwenye kirungu na kufanya kuganda na kung’ang’ania kwenye utamu asili wa ndani ya mzinga wa Juliana.
Waleteee waleteeee wazungu weeeupeeeeeee..Pwaaaaaaaaaaaaaa..Lucas alimwaga tui la nazi kwenye sufuria la Juliana. Mbaya zaidi tui hilo alikufika ndani ya sefuria kwa maana kimwagio kilifungwa na kuziiwa na karatasi lilotumika kufunikia sufuria kuwezesha chakula kuiva kwa usalama zaidi.Juliana alikuwa bado kwenye kuhitaji mchezo hivyo aliamua kufanya jambo ili na yeye aweze kuridhika. Aliichomoa pipi mdomoni na kuvua lile ganda ambalo utamu ulimwagikia. Akavuta vizuri kwa taulo lilolokuwa hapo kitandani. Alitamani hata kuulamba utamu huo sema ndo hivyo hakuwa na imani saana maana pipi ukiila kwa mara ya kwanza lazima uwe makini.Aliivuta vizuri na alitumia mikono yake kuisisimua ili isilale tena. Alihisi kabisa hajapata raha ambayo alikuwa akihitarajia. Bila kutarajia na bila hata kuuvalisha soksi mguu wa Lucas aliuchukua na kuingiza kwenye kiatu chake.
Lucasa hata yeye alishtuka sana lakini hakuweza kukataa raha ambazo alikutana nazo.Sasa aliusikia mnato manato wa chungu hicho chenye joto la huba. Kumbe pipi ikiliwa bila maganda huwa tamu hivyo kila mmoja aliwaza moyoni mwake. Walipeana mambo na sasa walisahau kuwa kulikuwa na kitu kinachoitwa ukimwi huko duniani. Walifanya kwa staili zote na kweli walifanikisha dhamira yao ya kusahau shida kwa muda. Hakuna aliyejua nini kiliendelea maana walikuja kushituka ilikuwa ni asubuhi..

Lucas akawa anajinyanyua ili aweze kwenda kuoga. Bila kutarajia mwanamke huyo alimshika mkono mara baada ya kuona anajifunga taulo. Juliana alikuwa akijiamini sana na hakutaka kuzikosa raha za asubuhi. Tangia aanze harakati za kushiriki tendo la ndoa huwa anapenda sana mapenzi ya asubuhi kwa kuwa yanampa raha sana kuliko hata ya usiku. Alimvuta kwa nguvu akaangukia kwenye kifua chake. Haikuhitaji elimu ya chuo kikuu kujua kuwa binti huyo alikuwa akitaka kutoka jasho asubuhi hiyo. Walianza tena kutafuta mizuka ya kushiriki hicho ambacho walikitamani. Lucas alishangaa kuona kuwa joto la binti huyo likiwa juu sana. Joto hilo liliamsha hamasa kumbwa sana na kujikuta wanaanza kufurahia. Walibiringizana na kila mtu sasa akapata hamu kumbwa ya kushiriki kitendo hicho. Lucas kuonesha kuwa alikuwa na mzuka uliopanda ghafla alimbeba juu juu binti huyo na kumpeleka kwenye kochi lilokuwa kwenye chumba hicho.
Juliana na yeye alitoa ushirikiano wa hali ya juu.Akasogeza kiuno chake kwa mbele kisha akapanua miguu na kuikunja kama vile anaipeleka kwenye matiti yake.Baada ya hapo Lucas akawa ameona sehemu ambayo alitakiwa kupashughulikia. Alishika mtwangio wake ambao ulikuwa umesimaa vizuri huku ukitoka na kamasi jembamba linalovutika vutika.Aliushika kisawasawa kwenye shina na kubakiza kichwa tu cha kirungu hicho.Hapo sasa Lucas alianzia chini na kupanda juu taratibu huku Juliana akizidi kujipanua akijua labda mwanaume huyo ataizamisha yote.Lakini lengo la Lucas ni kuchezea eneo hilo mpaka litoe na lenyewe kamasi jembamba la huba kama lile ambalo lilimtoka hapo kabla. Lucas aliamua kumpa alichotaka tena kwa ufundi mkumbwa. Alitaka kumuonesha kuwa yeye sio mwanaume wa mchezo mchezo.Akawa anapanda na kushuka kwenye Ikulu ya mlimbwende huyo huku mkono wake mmoja ukiendelea kumtomasa tomasa kwenye matiti yake. Utomasaji wa Lucas Manyama uliongeza msisimko mkumbwa sana kwa Juliana.
Kwa kuwa Juliana alikuwa amekunja miguuu yake hivyo Manyama hakuona jinsi anavyojisikia. Lucas aliendelea kuzungusha kichwa cha kirungu chake sehemu hiyo kwa speed kubwa sana. Alifanya hiyo huku mkono wake mmoja ukiendelea kutalii kwenye kichuguu huba cha binti huyo.Alifanikiwa kupata kile alichokuwa akikitafuta maana aliona majimaji yakitoka sehemu hizo huku yakiwa yanavutika.Ulikuwa ni ute ute wa asubuhi baada ya fukuto ya huba kumkolea mlimbwende huyo.Taratiibu Lucas Manyama alihama eneo la nje ya ikulu ya Juliana na kuingiza mtwangio kwenye kinu chake.Aliingiza kidogo sana huku dole gumba lake likiamia pale kwenye kisimi na kuendelea kukisugua.Ailiweka kirungu chake kwa muda mchache sana kisha akarudi kuzungusha kichwa kwenye kisimi.Mtoto wa watu alizidiwa na alikuwa amelowana vya kutosha akaanza kulalamika 
“huuuuuu babeeeeee nipeee tuuuuuuuuuuuuu nipe eee mpeeeenziii waaaaanguuuuuu….Jaaaamaaaaniiiiii miiimiiiiii nataaaakaaaaa” alilalamika hukua akishika mashine ya Lucas kwa nguvu na kuichomeka. Lucas alifurahiswa na manung’uniko ya mlimwende huyo na kwa kutaka sifa zaidi ya kumuoneshea kuwa yeye anayajua mapenzi. Alimnyanyua juu juu huku kisu chake kikiwa kwenye ala yake na kumpeleka kitandani.Hakuona haja ya kumtesa sana maana miguno yake hata yeye alishamtia mshawasha wa hali ya juu.Alimuweka ile stahili maarufu ya kizamani au kifo cha membe. Mkao huu ulikuwa ukipendwa sana na Lucas Manyama. Ingawa watu wengi wanasema mkao huu ni wa kilokole lakini kijana huyu aliupenda hasa mara baada ya kugundua kuwa Juliana sio mzembe kitandani ni mwepesi wa kucheza na hisia zake.
Alimlaza chali huku miguu yake akiipanua na ilivyopanda juu Juliana kwa utundu wake akakunja sehemu ya magoti yake kuelekea kifuani kisha akaegesha miguu yake kwenye mabega ya Lucas.Hapo kina cha uke wake kiliongezeka na kuufanya uume wake uende chini sana.Hapo aliikandamiza yote huku akisikilizia utamu utamu wa asali ya huyo. Lucas alishangaa kuona bao la asubuhi hata halitoki. Alijishanga kwa sababu pamoja na ufundi wa kufanya mapenzi aliokuwa nao bado huwa ana tatizo la kuwahi kufika kileleni hasa kwa bao la kwanza.Lucas alikua amechoka na kumuachia Juliana afanye kazi . Hapo sasa ilikuwa ni zamu ya Juliaana kuonesha ujuzi wake.Akapanda juu akakalia mzigo wa Lucas huku mwanaume huyo akiendelea kuwa chini. Lucas ailisikia raha kwa jinsi Juliana alivyokuwa akizungusha huku akimshika shika kwenye kifua chake.Alikuwa anazungusha na kutengeneza mduara na kumfanya atamani kulia kwa raha alizozipata.Mara binti wa watu alitulia tuli na kuanza kuvuta pumzi kwa nguvu.. Ni kwamba alitosheka jambo lilomfanya Lucas kupiga mashambulizi ya kutoka chini na hatimaye na yeye safari yake iliyocheleweshwa kwa muda mrefu ikiwa imefika tamati. Walipumzika kwa muda na baadaye Lucas akakumbuka kuwa alitakiwa kufanya lile zoezi lake la kwenda kuoga. Alitamani kumwambia kuwa waende kuoga wote lakini binti huyo alionesha kuchoka sana. Kwa kifupi alipitiwa na kausingizi mchwara. Lucas aliingia bafuni na kuoga huku kimoyomoyo akiendelea kumpa pongezi kuwa ni fundi. Alifurahi sana maana penzi hilo lilimfanya asahau shida kwa muda.
Alitamani kama mwanamke huyo angeendelea kuwa karibu yake ili kuendelea kumfariji na kumfuta machozi. Akiwa bafuni alisikia simu yake ikiita hivyo alifanya haraka haraka ili awahi kutoka. Alitoka bafuni na kukuta Kimaro ndo alikuwa akmpigia. Alimuuliza kama alifanikiwa kuamka salama na vipi kuhusu ratiba zake maana yeye alikuwa akiondoka eneo hilo ili kwenda kuendelea na majukumu mengine. Lucas alimweleza kuwa yeye anataka kurudi Musoma kwenda kuendelea na harakati za kuyamaliza matatizo yake. Lakini alimwambia kuwa binti Juliana alikuw abado amelala. Akamwambia hasiwe na wasiwasi ngoja amwambie pacha wake ampigie ili waende kunywa supu kabla ratiba zingine hazijaanza. Neno kunywa supu lilikuwa faraja sana kwa Lucas maana kama ni njaa aliisikia na ukizingtia jana usiku walipombeka sana hiyo ilikuwa faraja. Hakuwa na pesa lakini hakuwa na wasiwasi kwa sababu rafiki yake alikuwa ni mtu mwenye pesa na mtu mwenye utu pia.
Kweli simu ya Juliana iliita muda mfupi mara baada ya Kimaro kumpa maelekezo Lucas. Alisikia mwenziye akimwambia kuwa waaamke wakanywe supu kasha waeendeleee na ratiba zingine za kimaisha. Juliana baada ya kukata simu aliamka kizembe zembe huku akionekana mwenye uchovu wa huba. Jicho lilkuwa ndembendembe mpaka Lucas akajikuta akimtamani tena. Safari hi hakuwa na aibu yoyte aliondoka akiwa uchii na kuingia bafuni. Lucas bila kutarajia alijikuta akidindisha na kumtani hata aneenda kuoga na mrembo huyo. Alijona ni kipofu hasiweza kuona na alikuwa amepofushwa na penzi la siku moja la Juliana. Aliamua kupotezea mawazo hayo na alivaa nguo zake. Baada ya muda mfupi binti huyo alitoka bafuni na kujiandaa. Alivaa kisha wakatoka nje ya lodge hiyo ambapo Kimaro na mpenzi wake walikuwa kwenye gari wakiwasubiri. Hoa waliondoka zao na moja kwa moja walienda kwenye sehemu ambayo wangeweza kupta supu safi. Kwa kuwa walikuwa Mwanza walifika sehemu ambayo ilikuwa ni maarufu sana kwa utengenezaj wa supu hiyo. Waliongozana kama wapenzi na bila aibu walishikana mikono. Kimaro alimshika Julieth na Lucas alimshika mkono Juliana. Wakati wanaingia bila kutegemea hana kwa hana walikutana na Mishel mke wa ndoa wa Lucas. Mishel alikuwa mwenyewe na hata yeye alionekna kushangaa sana hakutegemea kama atakutana na Lucas tena akiwa amemshika mkono mwanamke kama vile walikuwa wapenzi. Mlango wa kuingilia uligeuka kuwa mdogo…

Kila mtu alaimwangalia mwenzake kwa jicho baya. Jicho la kutaka hata kurusha konde kwa mwenziye. Lucas kwa kuwa jana alikasirishwa sana na kitendo cha kumuona mwanamke huyo akiwa na boss wake hakuamua kumsemesha zaidi alimpisha na kupigahatua kuelkea ndani. Kimraro alikuw aakieelewa kilichokuwa kinaendelea. Walienda kukaa huku Juliana akiwa dilemma hasijue ni nini kilikuwa kikiendelea. Alikuwa na maswali mengi kchwai mwanamke huyo ni nani na mpka azuie msafara kwa muda.
“Mpenzi mimi sijaelewa Yule mwanamke ni nani na mbona kila mtu alishtuka”Julieth alihoji.
“Jamani mpenzi mbona unpoteza kumbukumbu kirahisi hivyo huyu si ndo mke wa Lucas na hata jana si ndo huyu nilienda kumpigia simu”.Kimaro alijibu.
“Ohhh jamani kumbe ndo mzuri hivyo.. Pole shemeji yangu wacha tu upokonywe sio kwa uzuri ule” Julieth ilibidi ampe tu sifa zake.
Julian asasa hakuhitaji kuuliza tena maana alishajua mwanamke huo ni nani na kwa nini Lucas ana haki ya kuteseka. Alimuonea huruma sana na hakujuta kumpa faraja usiku wa jana. Alijiuliza mbona mwanume huyo anayajua sana mapenzi kitandani sasa inakuwaje mwanamke hamkimbie. Yaani wanawake sisi ni wajinga sana yaani kisa pesa mtu yupo radhi kumuacha mumewe aliendelea kuwaza Juliana. Walikunywa supu na dhairi Lucas Mnayama alionesha kuchanganyikiwa kabisa. Ilibidi washtuke na pombe kali kidogo walau kupunguza mawazo. Kimaro alimuonea sana huruma rafiki yake na akajikuta akiharsha ratiba zake. Waliendelea kunywa huku wakipiga stori mbalimbali. Wasichana hao walionekana kama na wao wameridhika na starehe za asubuhi maana hakuna hata mmoja ambaye alikuwa anasisitiza kuondoka na kusitisha kikao hicho.
Wakati wakiendelea na stori na vitu vingine mara simu ya Lucas iliita. Alipoangalia alikuwa ni Mama Vanessa mwanamke ambaye hakumfahamu na alikuwa akitaka waonane. Akakumbuka mwanamke huyo alimwambia kuwa ana mpango wa kusafiri hivyo ilimpasa kuonaa siku hiyo. Aliangalia saa ilikuwa ni saa sita mchana na kutoka Mwanza mpaka Musoma . Alimwambia kuwa yupo Mwanza ila atakuwa hapo baada ya masaa 3.
Walikubaliana kuwa wakutane saa 10 ili waweze kuonana na kujadili hicho alichokisema mama Vanesa. Ilibidi atafte njia ya kuga hapo na kuondoka. Alimwelza Kimaro kuwa inamps akuondoka ili aende kuoanana na mtua ambaye ansema kuwa anazijua habari za mke wake. Kimaro hakuridhika lalkini kwa kuwa alishapewa fununu juu y amwnamke huyo. Alaigana na Juliana na kumwambai kuwa watasiliana. Julaina alisangaa kuwa watawasilaina vipi hili hali hata namab za simu walikuwa hawajaombana. Ilikuwa ni ishu ya kufurahisha lakini alaiitiki akuwa watawasiliaana. Aliaga na kuondoka zake. Kimaro alimpeleka mpaka stend na kuhakikisha kuwa anapanda gari.Aliondoka na kuaza safari ya kuelekea Musoma. Alifika salama na moja kwa moja alielkea sehemu waliyopanga kukutana inayoitwa Dream Garden. Alivyofika hapo nje alinyanua simu na kumpigi amama Vanesa. Simu iliita mpka ikakatwa bila kupokelewa. Akasubiri kama baada y adakika akapiga tena na simu ikaendelea kuita bila kuokolewa.
Akawaza cha kufanya lakini hakupata jibu la haraka haraka zaidi aliamua kuingia ndani. Wanawake bwana ni watu wa ajabu sana huwa hawapendi muda kabisa sasa utakuta muda huu ndo kwanza bado yupo nyumbani. Mara kwa pemebni yake alioga gari la kifahari likipati na alishuka mwanamk mrembo sana amabye alikuwa akinukia marashi ya bei mbaya. Aliamua kuingi andani na liofika alikaa kwenye kiti ambacho ilikuwa ni rahisi kuona mtu yeyote ambaye angingia. Aliagaiz amaji na kuendelea kunywa. Aliangaza macho huku na kule lakni hakuona msichana aliyeingia. Hasira zilimpanda kwa sababu alishampigia simu mara mbili lakni hata hajamtafuta. Mara alimuona Yule mwanamke mrebo amabye alikuwa akimpigia simu akiingia. Hkauw ana mawazo kuwa huyo ndiye anayejihita mama Vanesaa maana yeye taswira aliyokuwa nayo kuwa mama Vanesa atakuw amtu wa makamo.
Mara simu yake iliita na alipoipokea swali lilikuwa amekaa wapi. Akamweleza na alishangaa kumuona Yule mwanamke akiongoza moja kwa moja mpaka pale alipokuwa amekaa. Lucas macho yalibaki yamemtoka na kuduwaa. Alipigwa na butwaa maaa na alaishindwa kuolewa kuw ahuyo ni mmama au mdada.
“Samahani sana kwa kuchelewa na kutopokea simu yako kwa wakati..Nikiwa naendesha gari huwa sipendi kupokea simu.
“Sawa karibu mama Vanessa” alisema Lucas huku akiendelea kumkagua hasa sehemu za kifuani. Kwa mawazo yake ya kupenda ngono tayari alishaanza kuwaza vitu ambavyo hakustahili kabisa..
“Kama nilivyojitambulisha mwanzo mimi naitwa mama Vanessa mwanamke maarufu hapa mjini na ni mke wa boss wako..
“Mke wa Boss wangu?”
“Ndio mimi ni mke wake na ndoa yetu ndo kwanza ina mwaka mmoja alinioa mimi mara baada ya mke wake wa kwanza kufariki..Nafikiri kipindi hicho wewe ulikuwa bado hujaja.
“Ni kweli hata mimi nilishasikia kuwa boss alifiwa na mke wake”.
“Kwa hiyo nimekuita hapa kwa ajili ya mpango wa kulipa kisasi. Nakuomba unisikilize kimakini sana maana tunaweza kuwa rika moja. Kwanza boss wako ana mtoto anayeitwa Vanesa mtoto huyu alikuwa mdogo wakati mama yake anafariki kwa hiyo usijefikiri mimi ni mkumbwa. La hasha mimi ni mdogo ila nimejikuta nikiingia kwenye maisha ambayo sikuyatarajia. Pesa na upendo wa uwongo umenifanya niolewe na boss wenu. Kwa sasa sina amani kabisa na sina furaha aninipa kila kitu isipokuwa mapenzi.
Hana mapenzi ya kweli amekuwa Malaya yaani anabadilisha wanawake kama nguo. Yaani huyu baba ana mtoto wake mkumbwa ambaye ndo ameingia chuo huwezi amini huyo motto na baba yake ni kitu kimoja. Mtoto anadiriki kumtafutia baba yake wanawake. Yaani anawaunganisha na rafiki zake.Nanyanyasika sana mimi na uzuri wangu huu baba Vanesa anatembea mpaka na wasichana wadogo ambao hata hawana mvuto kunizidi mimi. Ninajua kila kitu kuhusu wewe najua jinsi gani ulivyonyanyasika mpaka ikafikia kusimamishwa kazi na mbaya zaidi amemchukua mke wako. Nasikia amempa moja ya nyumba zake ambazo amejenga kwa siri ambazo hata sisi wanafamilia hatuzijui. Kwa nini huyu mwanaume anafanya hivi tena kwa vijana wadogo kama ninyi?”
Mama Vanessa aliongea kwa uchungu sana huku akifuta machozi. Alikuwa na hisia ambazo kwa kweli Lucas hakutarajia.
“Pole mama Vannesa na mimi naumia sana, naumia kuliko hata unavyoweza kufikiri, embu tazama hizi picha kisha ndo utagundua kuwa huyo mumeo sio mwanadamu kabisa, hana utu ni mnyama aliyepitiliza”
Lucas alimpa simu yake na kuanza kumuonesha picha zile ambazo alimpiga akiwa na mkewe huko Mwanza. Mwanaume huyo hakuamini na badala yake alianza kulia kwa nguvu. Alilia kama mtoto jambo lilomfanya Lucas aanze kumbembeleza…

Katika kitu ambacho Lucas huwa kinamnyima raha ni kuona mwanamke akilia mbele yake. Yaani yeye mwanamke akijilIza basi huwa anamwamini kupita kiasi. Alimbembeleza mpaka Mama Vanesa akanyamaza. Kwikwi zilimkaba sana na alikuwa akiona kabisa kijana huyo ameonewa. Mwanzo hakuwa na ushahidi wa moja kwa moja lakini zile picha zinazomuonesha mme wake akiwa na mke wa Lucas zilimuuma kupita maelezo.
“Kwa hiyo haya yote yametokea nini sasa kifanyike” Lucas alihoji mara baada ya mama huyo kubembelezwa na kurudi katika hali yake ya kawaida.
“Ndo maana nimekuita hapa ili tupange mambo na ikibidi tumkomeshe”
“Wewe unataka tumfanyeje hili hali yeye ni boss mwenye fedha. Nikikuruka na kujifanya mjuaji sana ndo nafutwa kazi kabisa.”
“Siku zote usikubali kupoteza haki yako kisa kuogopa kufukuzwa kazi. Usikubali kunyang’anywa mke au hata uhuru wako kisa pesa. Nakuambia tukiungana mimi na wewe tutafanikiwa kwa hili. Dawa ya moto ni moto na hivi tunaushahidi, hiyo kazi huwezi kufukuzwa. Mimi ndo Emmy hilo jina la mama Vanessa ni la heshima tu.
“Sawa Emmy ingawa nitapenda kukuendelea kukita mama Vanesa ni jina zuri linatamika vizuri. Ingawa mtu anavuta taswira laba ni mama kweli”.
“Kila mwanamke ni mama maana hata kama bado hajazaa ipo siku atakuja kuzaaa”. Sio mbaya ukiiita hivyo maana hata Vanesa mwenyeewe anajua kuwa mimi ndo mama yake. Alifafanua mama huyo.
“Sawa lakini bado sijajua mpango mkakati ni upi?
“Ni mdogo tu ukitendwa tenda, ukipendwa pendwa”.
Maneno hayo yalikuwa bado yanamuacha njiapanda Lucas Manyama hakujua mwanamke huyo alikuwa akitaka nini hasa kutoka kwake. Maneno hayo kwake yalikuwa yakiahshiria kuwa mama huyo alikuwa akitaka alipe kisasi kwa wao kuwa wapenzi. Kuna vitu vilikuwa vikimtatiza kwanza kwa nini mama huyo alichagua njia hiyo ya kulipa kisasi kwa nini wasipeleke ushahidi a idara ya kazi na kueleza kuwa alikuwa akisimamishwa kazi kwa sababu ya hujuma za boss wake ambaye alitumia uboss kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mkewe. Hili jambo lilimuumiza sana hasa akikumbuka ni mbali sana alipotoka. Alifikiria jinsi alivyomsomesha mke wake tena kwa tabu mpaka akafanikiwa kupata elimu na baadaye kazi. Alifikiria tukio la yeye kusimamishwa kazi na kuona kabisa haikuwa sawa. Wakati Lucas akiwaza na kuwazua mara simu ya mama Vanesaa ikaita.
Mama Vanesaa aliangalia na kusita kupokea maaana aliyekuwa akipiga ni baba Vanessa. Simu haikukukoma maana ilivyokata ikapigwa tena na safari hii mama Vanesaa alipokea.
“Upo wapi mke wangu maana ndo nimerudi kutoka Mwanza kwenye semina nimefika nyumbani sijakukuta?”
“Nimetoka kidogo mme wangu na si muda mrefu nitakuwa hapo kuna vitu tu nilienda kuvinunua kwa ajili ya safari yangu ya kesho.”
“Sawa huwai kurudi basi maana nimekumisss sana na nimekuletea zawadi nzuri mke wangu..
“Usijali honey nakuja”.
Lucas Manyama alikuwa ametega sikio na kusikiliza kila kitu kilichokua kikzungumzwa. Aliisikia vyema sauti ya boss wake. Roho ilimuuma na hakutarajia kwa picha zile zikimuonesha mke wake na boss wake wamekumbtaina wakicheza musiki Mama Vanesa angeweza toa majbu ya kukera yenye hasira. Na mama Vanesa hasingeongea hivyo kama vile hakuna kitu kibaya kilichotokea. Alitarajia mwanamke huyo atamtukana mwenyewe.
“Samahani boss wako amepiga na usiumie kwa mimi kuongea naye vizuri. Cha msingi tambua namtafutia dawa ya kumkomesha na mimi siku zote maishani mwanangu huwa sipendi kukurupuka na iktokea tatizo huwa natafuta njia ambayo itamuumiza muhusika. Kwa hiyo mkakati upo hivi mimi naenda Dar nitakaa kwa muda wa wiki moja kisha nitardi. Baada ya hapo tutakutana lakini nakuomba kwa wakati huu tuwe makini sana usikurupuke katika maumivu tufanya kama hakuna kibaya cha kuumiza moyo kilichotokea. Mama Vanesaa baada ya kusema hayo alifungua pochi yake na kutoa burungutu la pesa na kumkabidhi. Alitabasamu na kumuaga. Lucas alitamani amwambie hasiondoke lakini tayari ilikuwa ni hatari kama mme wake alishakuwa mjini. Mme wake licha ya kuwa boss katika benk ambayo alikuwa akifanya Lucas pia alikuwa ni mfanyabiashara hapo Musoma na nadiriki kusema alikuwa tajiri. Mama Vanesaa kazi yake kubwa ilikuwa kusimamania biashara hizo. Kwa hiyo ni mwanamke ambaye alikuwa akikutana na pesa karibu kila siku.
Kwa Lucas kupewa fedha ilikuwa zaidi ya ushindi kwa sababu alikuwa hana pesa kabisa. Yaani mfukoni alikuwa amebakiza shilingi elfu 10 na tayari account yake ya benk ilikuwa ikisoma ziro.Baada ya mama Vanesa kuondoka yeye alihesabu zile pesa na kukuta zilikuw laki moja. Alitabasamu na kusema asante Mungu kwa kuendelea kumsaidia kupitia watu.Aliamua kuondoka eno hilo maana anajijua kabisa akikaa baaa hachelewi kuanza kutamani kunywa pombe. Alimwita muhudu akamlipa na huyo akaeleka zake nyumbani kwake alipopangisha mitaa ya Iringo. Alifika akawasha Tv na kuendelea kuangali movie. Lengo lilikuwa ni kupoteza muda na mawazo aliyokuwa nayo. Alimwanza mama Vanesa jinsi alivyoumbika akashindwa kuelewa kwa nini boss wake hatulii wakati ana mke mzuri.
Siku ikawa imeisha hivyo na usiku mama Vanesaa alimtumia sms akimtakia usiku mwema. Usiku pia alimkumbuka Juliaana binti ambaye alimpa mapenzi usiku wa jana na kumfanya hasahu shida kwa muda. Alifikiria mengi na kujikuta akinyanyua simu na kumpigia rafiki yake Kimaro. Alikumbuka fadhila ambazo alimtendea na alimweleza kilichoendelea baada ya yeye kufika Musoma.
“Hapo mbaba ndo muda wa kulipa kisasi boss si kakupokonya mke wako na wewe fanya kweli. Tena kwa jinsi ulivyonielezea ni kwamba huyo mwanamke anataka duduuu.
Kimaro alabaki akiangua tu kicheko na kumwambia yeye anachohofia ni kushindana na watu wenye pesa maana kazi atakosa na gerzani ataingia.
“Kuhusu kazi usiogope mbaba nitakutafutia hata sehemu ya kujishikiza ila wewe kula huyo sijui mama Vanessa. Na ukifanikiwa nipigie picha mkiwa naye chumbani mimi nitajua cha kufanya. Nitalipa ghali ….aaaaaaaaaaaaaah. Hapa ni mjini hatuwezi sumbuliwa na mtu sijui kisa ana vichenji.”
Wakati wakiendelea kuongea na kupeana mbinu mbaya za kupambana na matatizo yaliyotokea simu ya Lucas ilikuwa ikiita. Alivyokata tu ikaita tena na kuangalia alikuwa Mishel mke wake wa ndoa.

Yaani alijikuta akianza kutetemeka bila yeye kupenda. Hukujua kwa nini mkewe alikuwa akimpigia wakati huo. Alishindwa kabisa kuamini kama mkewe ambaye alikuwa hapatikani takribani wiki mbili sasa ndo huyo alikuwa akimtafuta. Alisita kuipokea na aliiacha maana tayari hasira zilikuwa zimempanda kupita kiasi.Baada ya yeye kukataa kupokea simu kwa hiyari yake kuna sms iliingia.
“Kwa mjinga huenda kicheko kwa mwelevu huenda kilio.Nashukuru kwa kutopokea simu yangu. Ila tambua mimi ni mke wako wa ndoa na hakuna cha kututenganisha.”
Lucas alirudia kuisoma ile SMS na kujikuta akizidi kuchanganyikiwa maana maisha yalikuwa yakimchanganya kwa kiasi kikumbwa.Alitamani hata kulia lakini alilia machozi yaliyoishia ndani ya moyo wake. Kijasho chembamba kilimtoka na kujikuta akiwasha feni ili hewa iiingie. Bado hakupata hafueni na akaamua kutoka nje kabisa. Alikuwa kifua wazi huku akitamani hata kunywa pombe. Alikaa hapo kwenye kibaraza cha nyumba. Mawazo ya uchngu yalizidi kuunyanyasa ubongo wake. Moyo wake ulizidi kunyong’onyea kwa hasira ya mambo ambayo yalikuwa yakiendelea. Alitamani ardhi ifunguke na yeye aingie ndani. Maisha kwake yalikuwa ni mtihani mkumbwa sana ambao kwa kweli uliitaji nguvu za ziada kukabialiana nao. Nyumba aliyokuwa akiishi ni nyumba ambayo ilikuwa ikiongozana na Lodge. Kwa hiyo wakati akiwaza na kuwazua macho yake aliyaelekeza moja kwa moja kwenye lodge hiyo. Aliona gari likiingia eneo hilo na ni kama vile alikuwa akilitambua gari hilo ni la boss wake. Alishangaa kwa sababu walivyoachana na mama Vannesa boss huyo alieleza kuwa amefika nyumbani kutoka Mwanza kwenye semina.
Ilimlazimu kusimama maana alihisi kama amefananisha hilo gari. Kwa kuwa yeye alikuwa gizani hakuwa na hofu sana maana mtu alaiye kwenye mwanaga ilikuwa ni ngumu sana kumwona. Alishangaa kuona boss wake huyo akishuka na mwanamke mwingine ambaye na yeye hakuhitaji mwanga wa mchana kujua kama alikuwa ni mrembo. Alitamani hata kuwapiga picha lakini wahusika hao waliingia kwa haraka sana. Wazo lilomjia ni kumpigia simu mama Vanesa na kumuuliza kama mumewe alikuwepo nyumbani au la. Aliingia ndani na kuchukua simu yake ambayo alikuwa ameiweka chaji. Alipiga namba za mama Vannesa lakini kwa bahati mbaya simu hiyo haikupokelewa. Haikuwa usiku sana lakini alishindwa kupiga tena kwa imani kuwa huenda ni usiku na yupo na mumewe. Aliamua kuamini kuwa alichokiona haikikuwa sahihi na zaidi ilikuwa ni hisia zake tu. Alitamani kwenda mpaka kwenye ile lodge lakini alikuwa na hofu huenda akaanza kuulizwa maswali mengi na mlinzi.
Kwa kuwa ndani kulikuwa na joto alirudi zake nje na kuendelea kutafakari mustakabali wa maisha yake. Roho iliendelea kupwitapwita kwa kuuma na kutamani kama angekuwa na nguvu ya kupambana na huyo boss. Pamoja kuwa wana pesa sitokubali kwa njia yoyote ile nifukuzwe kazi. “Afanye yote lakini sitokubali kwa maana kama anatembea na mke wangu na mimi nitatembea na mke wake. Sio mke wake tu hata mtoto wake. Nipo tayari hata kufa lakini sio kudhalilishwa kwa kiasi hiki kikumbwa. Mke anauma sana na sijui kwa nini nimeweza kuvumilia kwa kipindi chote hicho. Nitaenda hata kwa mganga kumloga. Maisha ndo haya haya kwa kweli sipo tayari kwa namna yoyote ile kudhalilika kisa madaraka au pesa.” Lucas aliyawaza hayo kisha akakunja uso wake kwa nguvu. Alikunja pia ngumi yake kwa nguvu akaizungusha kwenye uso na kuing’ata.
Usiku uliendelea kuwa mgumu sana kwa bwana Lucas Manyama. Kwa sasa alikuwa akisubiri kwa hamu kumbwa hiyo kamati ya nidhamau na maadili ya kazini kwao. Maisha yaliendelea huku akimwomba mwenye nyumba amvumilie kwa mwezi huo kwani mambo hayakai sawa kwa upande wake. Mwenye nyumba alimweleza bayana kuwa hatoweza kumvumilia zaidi ya mwezi hivyo kama hawezi kulipa kodi basi atafute kitu kingine cha kufanya. Zilikuwa ni kauli za kuumiza lakini alijikaza kama mwanamume na kuamini hizo ni changamoo za maisha na huwa zinakuja kwa nayakati na kuondoka na pengine kusaulika. Siku zilizidi kuyoyoma na hatimaye siku ya kusikiliza shitaka lake ilifika akaitwa. Alifika na kusikilizwa na inaonekana boss alijipanga sana maana utetezi wake haukufua dafu mbele ya kamati hiyo. Maamuzi yakatoka kuwa ataendelea kusimamishwa kazi mpaka hapo atakapo lipa deni la million 5 ambalo yeye amesababishia kampuni hiyo. Alitamani kutoa ya moyoni mwake kuwa boss alikuwa na uhusiano na mfanyakazi mpya ambaye na yeye alianza kuwa uhusiano naye lakini roho moja ilimwambia inampasa kukaa kimya maana anaweza kuharibu kabisa.
Lucas alijijengea katika maisha kuwa kamwe hasifanye maamuzi akiwa na hasira au akiwa hana mtu wa kumsapoti. Alitamani sana kuelezaa kamati hiyo ya maadili ya mabaya yote ambayo amefanyiwa na boss. Alitamani kuwaambia kuwa mfanyakazi mpya aliyekuja ndio chanzo cha ugomvi. Alitamani kueleza kuwa boss amemwaribia maisha kwa kumchukua boss wake. Hasira zilimpanda sana na bila kutarajia aliamua kuondoka hili hali kikao kilikuwa bado kinaendelea.
“Ndugu zangu kwa sasa nina hasira sana ambazo zimechanganyika na uchungu wa kile ambacho kilikuwa kikitokea.. Nina mengi sana ya kuwaeleza kwa kuwa mmeshindwa kunisikiliza naomba nitawakilisha ushahidi wangu wa picha na vitu vingine kuonesha ni jinsi gani nimeonewa sana na nimedhulumiwa haki zangu za msingi. Nimekuwa nikipitia kwenye kipidi kigumu sana na naamini kama kamati ya ndani ya maadili ikishindwa kunitetea basi nitaenda idara ya kazi” Lucas aliyasema hayo kisha akapiga ngumi kweye meza na kuanza kuondoka zake. Hakika alionesha kufadhaishwa sana na kilichojadiliwa hapo na kumfanya aonekane ana mengi sana moyoni lakini hana imani na sehemu hiyo. Alishindwa kuyawasilisha kwa kukosa imani na kamati ya maadili. Kamati ambayo ilikuwa imetengenezwa na boss kamati ambayo ipo radhi kupindisha ukweli kamati ambayo ipo tayari kwa gharama yoyote kulinda maslai ya kampuni.
Lucas Manyama aliondoka na kurudi nyumbani. Alikuwa ni mtu mwenye hasira sana na alichokifanya ni kununua pombe kali na kunywa. Alikunywa viroba japo huwa hapendi kabisa kunywa. Aliingia ndani na kulala. Alifanikiwa kupata usingizi akalala na alikuja kushtushwa na njaa ambayo ilikuwa ikimkabili. Alijinynyua na kwenda kutafauta kitu cha kula. Alikula na baaada ya hapo alaipata fusa ya kutafakari yote yaliyotokea kwenye kamati ya maadili. Limshukuru Mungu hakuweza kutoa ya moyoni maana anageweza kuchafua hali ya hewa na kufanya hata watu wapigane.Aliwaaambia yaliyojiri na wengi walimshauri kuwa awe mvumilivu kwa kipindi hiki na pia awaambie hiyo kamati yao impe kwa maandishi kila walichokijadili na maamuzi yake ili wasije mgeuka kipindi atakapoeenda idara ya kazi. Alikubali kufuata ushauri huo na akaseam kesho ataenda kazini. Baada ya kuongea na washauri wake kuna namba ngeni iliyokuwa ikimpigia , aliamua kuipokea.
“Helow mpenzi nimekumiss sana na siamini kama kweli umefika Musoma na hujataka kunitafuta.” Lucas alitega sikio kwa umakini sana na kufanikiwa kugundua kuwa alikuwa ni Juliana.
“Samahani sana mwenzio sipo sawa kwa kweli yaani maisha yananichanganya. Sio mimi ni maisha tu ndo yamenifikisha hapa.” Lucas aliongea kwa sauti ya upole.

“Usijali mpenzi najua unaweza kuchanganyikiwa kwa majanga yaliyokukuta mke anauma sana na pengine kuliko kitu kingine chochote. Cha msingi kwa sasa usipende kukaa mwenyewe kuwa na marafiki watakusaidia sana”

“Asante sana Juliana kwa kuendelea kuwa karibu nami.Naamini pia katika ushauri wako, Wewe ni mwanamke mwenye akili ubarikiwe kwa ukarimu na ushauri.

“Mungu yu mwema naomba niwe karibu yako nahitaji kukupa faraja kwa muda wowote. Naamini kuwa naiweza hiyo kazi naomba nikupe faraja kwa kiwango cha kukufanya usahau shida kwa muda.

“Nashukuru sana Juliana kazi hiyo nimeshakupa na endelea kuifanya kwa umakini zaidi.”
Waliongea mengi na Lucas alimwaidi mrembo huyo kuwa wikiendi Mungu ikijalia ataenda tena Mwanza ili waweze kuwa pamoja. Jambo ambalo Lucas hakulijua ni kwamba Juliana alikuwa amepewa kazi hiyo ya kumpa faraja akishirikiana na Julieth kwa shinikizo la mpenzi wake Kimaro. Kulikuwa na ukaribu mkumbwa uliofanywa ili angalau Lucas hasione kuwa dunia ilikuwa imemtenga. Lucas akashindwa kuelewa kwa nini kipindi hicho wanawake walikuwa wakiwa karibu yake sana. Aliona kama ni bahati na anaweza hata kufanya maamuzi magumu ya kuwa na wasichana wengine wengi maradi kupunguza machungu ya kupokonywa mke wake. Pamoja kuwa alikuwa akitaka kufuata taratibu za sheria za kazi bado alikuwa akiamini na akatamani kuivuruga familia ya boss wake. Alianza kuifuatilia familia hiyo kuwa na habari za ukaribu. Kwanza aliambiwa boss huyo alikuwa na mtoto wa kike ambaye alikuwa mkumbwa na alikuwa akisoma chuo kikuu cha Dar es salaam.

ITAENDELEA

MAMA VANESSA – 1

Related image

Chombezo : Mama Vanessa
Sehemu Ya Kwanza (1)

Muda ulikuwa umeenda sana macho ya Lucas Manyama yalianza kujifumba yenyewe ishara kuwa mwili wake ulikuwa umechoka na ulihitaji kupumzika. Saa yake ya ukutani ilionenesha kuwa ilikuwa ni saa 8 usiku na alikuwa anasoma story pendwa inayoitwaSECRET OF LOVE iliyotungwa na mtunzi maarufu kwa jina Eliado. Nia ya kusoma story hii usiku ni kupunguza mlundikano wa mawazo aliyokuwa nayo na kutafuta faraja kupitia matatizo ya wengine..Siku hiyo pia ni siku ambayo alikuwa na sress nyingi sana ambazo kwa yeye alihisi kuwa zilikuwa zinamzidi umri. Kwanza ni siku ya 6 tangu asimamishwe kazi kutokana na tuhuma za uwongo ambazo boss wake alijaribu kumbambikizia. Si kusimamishwa kazi tu bali pia mke wake kuondoka nyumbani kwa madai kuwa amemchoka. Ilikuwa haimuingii akilini kuwa eti mke wake amechoka na kuamua kumuacha katika kipindi hiki kigumu.
“Kwa nini hakunichoka kipindi nikiwa nina kazi? kwa nini hakuondoka kipindi hicho? nini kimemfanya aondoke?”Aliwaza Lucas bila kupata majibu. Usingizi kwake ulikuwa ni mgumu sana na alitamani hata asilale. Mziki wa taratibu ulitosha kabisa kuelezea ni jinsi gani alivyokuwa anakijisikia. Machozi yalitosha kabisa kulowanisha karatasi za kitabu cha story alichokuwa anasoma. Badala ya kufuatilia kitabu hicho ambacho kilikuwa ni kizuri alikuwa amekishika kama pambo na wala alikuwa haelewi kilichoandikwa. Alikuwa na huzuni iliyopitiliza. Alitamani hata kama asubuhi ingefika alione jua alihisi labda kuliona jua kungefanya roho yake kutulia. Alijawa na hisia kuwa giza la usiku huo lingeweza kumuathiri kwa kiwango kikubwa. Mvinyo wa kizungu aliokuwa anakunywa hakuweza hata kuusikia, alikunywa kama maji.

Alikunywa hakulewa.Kila alipokuwa anavuta kumbukumbu ya yaliyomtokea alilia kilio kisicho na machozi.

“Nilimpa kila kitu nilimpenda kupita vitu vyote lakini leo ananiacha?” aliwaza bila kupata majibu.

Huyu mwanamke alikuwa ni kila kitu kwake, huyo mwanamke alimtoa mbali, huyo mwanamke alikuwa na umuhimu sana maana kwake alikuwa kama mama na hii ni baada ya kumpoteza mama yake mzazi ambaye aliitwa na Mungu.Apumzike kwa amani mama yake mpendwa.

“Huyu mwanamke nilimsomesha kwa gharama zangu huyu mwanamke nilimwinua kutoka familia masikini mpaka akafikia hapo alipo. Hiyo kazi anayoringia ni sawa tu mimi ndio niliyomuwezesha kwa maana bila elimu niliyomsadia kuipata hasingekuwa hapo.Lakini kwa nini sasa hataki kuyatambua hayo. Kwa nini athamini mchango wake kwangu?”.

Manyama aliongea kwa nguvu utafikiri labda huyo mwanamke wake alikuwa hapo. Alinyanyua glass ya kinywaji kikali alichokuwa akinywa na kukidigida utadhani sio kilevi. Mara simu yake iliita na aliangalia kwa haraka maana sio kawaida yake kupigiwa simu usiku. Aliichukua simu ambayo ilikuwa kwenye chaji na kuipokea.

“Helow mambo Lucas” ilisiskika sauti nyororro sauti ya kike iliyojaa bashasha na furaha.

“Mambo poa, sijui naongea na nani?”.

“Jamani mbona unaharaka hivyo, mimi najua hunijui lakini utanijua maana ni zaidi ya malaika niliyetumwa na Mungu nije kukukomboa na kukuondoa kwenye upweke uliokuwa nao”.

“Makubwa kumbe kuna binadamu malaika..Utanisamehe kama huwezi kujitambulisha sitoweza kuongea na wewe.” Lucas alijibu kwa hasira na kukata simu.

Kama hiyo haitoshi aliamua kuizima kabisa, alivurugwa akavurugika.Alihisi kabisa walikuwa ni vibaraka wa mkewe Misheli walitumwa kumkejeli.Pamoja kuwa alichukua maamuzi hayo bado roho ilimsuta kwa jinsi sauti hiyo ya kike ilivyokuwa tamu masikioni mwake. Alitamani sana kumjua mwanamke huyo lakini hakutaka kuwasha simu. Alijitupa kitandani na kuanza kuutafuta usingizi ambao takribani wiki nzima alikuwa akiupata kwa shida sana. Aliendelea kuwaza vitu vingi sana ikiwa ni pamoja atapata wapi pesa ya kodi kwa sababu mwezi huo ndo ulikuwa wa kulipa kodi hili hali amesimamishwa kazi kwa sababu ambazo ni za kusingiziwa.

“Yaani Boss Yule mwanamke ni mchepuko wake tu je ingekuwa ni mke wake si angenifunga jela kabisa.Mwanamke mwenyewe hamtaki anataka vijana wezniye yeye kazi kuonga tu. Faidha ametamka kwa kinywa chake kuwa hampendi boss bali mimi sasa mimi ningefanyaje. Yaani mwanamke mzuri kama Faidha amejilengesha mwenyewe mimi nimwache kisa eti ni mchepuko wa boss ambaye hajawahi kulala naye?”.Manyama aliendelea kuwaza na kuwazua.

“Akafu mke wangu alijuaje yote haya yanayoendelea kazini?. Na kwa nini hakuniuliza akaamua kuondoka kimya kimya bila hata kuniambia sababu. Nimepiga simu mpaka nyumbani kwao hawapokei tatizo ni nini hasa?”.

Maswali yote hayo hayakuwa na majibu kwa kijana huyu. Alifikiria jinsi kupata kazi ilivyokuwa ngumu. Alifikiria kuwa hata kazi hiyo aliipata kwa msaada wa mjomba wake. Ni kweli elimu yake ilikuwa nzuri kuliko wafanyakazi wengine na hata utendaji wake wa kazi ulikuwa na ufanisi mkumbwa kuliko wengine. Tatizo kumbwa ni mfanyakazi mpya wa mambo ya masoko aliyeletwa hapo kazini kwao. Msichana huyu alikuwa mrembo kupita kiasi. Urembo wa Faidha ndo huo ulileta kizaazaa katika taasisi yao. Lucas Manyama ni mfanyakazi wa benki moja ya kibiashara mkoani Mara. Ni miezi 3 tu tangia apate kazi hiyo na katika muda huu mfupi ndo analetwa Faidha binti ambaye alimvutia kila mwanaume hapo benki. Boss naye alikuwa mtu aliyevutiwa na mfanyakzi huyo na yeye alitumia cheo chake kumshawishi na kutaka kuwa naye. Lakini Faidha alikuwa ni mwanamke mjanja sana bado aliangalia future yake. Ni msichana ambaye hakupenda kujihusisha kimauhusino na wazee.

Lakini moyo wake ulivutiwa na kijana Lucas ambaye alikuwa ni kipenzi cha wafanyaakzi wengi na wateja kutokana na ufanisi wake wa kazi kuwa uliotukuka. Hali hii ilijenga ukaribu sana na kupeleka kujikuta wakizama kwenye uhusiano bila kutajaria. Faidha alijua kabisa kuwa Lucas alikuwa na mke ambaye naye ni mfanyakazi wa taasisi nyingine hapo hapo Musoma. Wote waliingiwa na upofu ambao kwa kweli ulileta majanga makumbwa kwa upande wa Lucas. Lucas alijiuliza kama walifanya siri yeye na Faidha imekuwaje mkwe akajua na kuamua kuondoka. Mkewe aliondoka ghafla bila kutoa sababu yoyote na kipindi hiko tayari alishasimamishwa kwa kazi kwakile kilichoitwa ubadhilifu wa fedaha. Kitu kingine kilichokuwa kikumuuama ni kuwa Boss na mkewe walikuwa wakijuana maana walitoka mkoa mmoja na walikuwa karibu.
Lucas Manyama alihisi labda Boss ameamua kumwaga sumu kwa mkewe na ndio maana ameondoka. Alichokifanya alilala na asubuhi na mapema aliamka na kuelekea ukweni ambapo ni Bukoba. Aliamua kwenda ili kujua kama mke wake alirudi huko au la kuna sehemu ambayo alienda bila yeye kujua. Ila ile simu alivyoiwasha asubuhi hiyo alikutana na meseji nyingi za yule mwanamke aliyempigia simu usiku huku akijichkesha chekesha.

“Lucas najua upo katika kipindi kigumu sana, kipindi cha mawazo lakini mini mimi ndo naweza kukufumbua macho na kujibu maswali yako yote magumu yanayokutatanisha. Hata mimi nina maumivu sana ila naomba tushirikiane nitakufuta machozi na pia nitakufanya ujue ukweli kuhusu mkeo na boss wako..Ukiwa tayari tafadhali nitafute naitwa mama Vanessa.” Meseji ilisomeka hivyo na kumfanya Lucas hazidi kuchangnyikiwa. Alitamani kushuka kwenye gari lakini aliamua kuendelea na safari ya ukweni maana ingetoa mwanga pia kwa nini mkewe aliamua kuondoka tena kimya kimya…

Meseji hiyo ilimfanya atamani kushuka lakini tayari alikuwa kwenye gari. Huyo alifika Mwanza na kupanda gari la kuelekea Bukoba. Alifika ukweni na alipokelewa na baba mkwe. Alipokelewa vizuri tofauti na alivyotarajia hapo awali. Na baadaye alikuja mama mkwe.

“Karibu sana mwanangu naona umefanya ziara ya kushtukiza kama muheshimiwa Rais afanyavyo.

“Ni kweli mama angu sijui mnaendeleaje maana nimekuwa nikipiga simu kwa muda mrefu mmekuwa hampokei”.

“Tusamehe tu baba si unajua huku shughuli za shamba zinatubana hatuna hata habari na hizo simu” alidakia baba mkwe.

Kimya kilitawala kidogo kabla ya Lucas kuvuta ukimya.

“Wazee wangu mimi nimekuja kuwasalimu lakini pia mwenzangu aliondoka wiki sasa imepita bila kuaga sijui alifika huku kwenu?”

“Hapana mwanangu Mishel hajafika hajafika huku ila mara ya mwisho kuongea naye alisema kuwa umebadilika. Umekuwa Malaya na unaangaika na mapenzi nje ya ndoa. Pia kuna mwanamke kazini kwako anakuchanganya na umeapa kumuoa. Mwanetu amesema kuwa hayupo tayari wewe umletee magonjwa hivyo amejeitoa kwako. Ameamua kuanza maisha yake na sisi utaratibu wetu ni kuwa mwanamke akishaolewa basi akae huko kwa mme wake na wakaichana hasirudi nyumbani atafute mwanaume mwingone wa kumuoa.” Aliongea maana mkwe wake kwa hisia na kukaa kimya.

“Mama yangu na baba yangu naweheshimu sana lakini kwa kitendo hiki cha Mishel kuondoka kimya kimya bila hata kuoga na kutoa sababu za kufanya hivyo ni kukosa heshima kwa mume. Kama kulikuwa na tuhuma ilimpasa kuniuliza ili nimwelezee.Hapa nilipo niesimamishwa kazi kwa sababu ya Boss.

“Umefukuzwa kazi?, kisa nini?”alihoji mama mkwe kwa mshangao.

“Nasingiziwa tu vitu vya ajabu ambavyo sijavifanya. Na kilichotokea ni kwamba kuna mwanamke alikuja na huyo mwanamke mpo ofisi moja sasa na uhusiano na boss na uhusino huo umemfanya hasifanye kazi na mimi kuwa nafanya kazi sana. Mimi kuhoji kwa nini ananiachia kazi zote ndo shida ilipoanzia.”

“Pole sana baba ingawa maelezo yako na ya mwenzio yanatofautiana. Sisi hatutaki kumtafuta mkorofi cha msingi mtafute mke wako kisha mje tuyazungumze. Nikushauri pia mwanangu ndoa yenu bado changa sana na mmetoka mbali sana jaribu kukumbuka na usikubali kumpoteza mke wako kiurahisi. Usikubali kuachana na mkeo maana umewekeza sana kwake. Umemsomesha mpaka amepata kazi. Lakini usitumie wema huo kumnyanyasa. Yeye tulishaongea naye na tutaendelea kumsahauri.”Aliongea Baba mkwe.

“Nimewaelewa wazazi wangu naomba mnisaidie kumpigia simu na kumweleza kuwa alichokifanya sio kitendo cha uungwana kabisa.”

“Sawa baba tunashukuru kwa ujio wako pia tumegundua mengi..Tutafikisha ujumbe wako.

Lucas Manyama aliaga na kuondoka zake. Tofauati na siku zingine ambazo huwa anamwachia pesa ya matumizi siku hiyo alikaa kimya hakutoa hata elfu 1. Hiyo ilikuwa ni ishara kuwa amechacha na hana pesa. Aliamua kuondoka na kurudi zake Musoma. Akiwa njiani aliendelea kutafakari juu ya mahali ambapo mke wake angekuwepo.Kwa kuwa muda ulikuwa umeenda sana ilimlazimu kwenda kulala Mwanza ili kesho ndo aende Musoma. Alivyofika Mwanza aliamau kumtafuta rafiki yake kwa jina Kimaro. Huyu alikuwa ni rafiki yake wa kufa na kuzikana tangia wakiwa chuo. Walipendana sana na waliishi kama ndugu. Kimaro alipokea simu lakini ilionekana kama kulikuwa na tatizo kidogo alionekana kuwa sehemu yenye kelele nyingi.
Kimaro alimwandikia sms na kumueleza kuwa yupo sehemu moja hivi wanakula bata. Lucas akamweleza kuwa na yeye yupo Mwanza stend. Kwa kuwa sehemu yenyewe haikuwa mbali sana alimwelekeza afike hapo. Manyama hakutaka kubisha na alienda moja kwa moja mpaka sehemu hiyo ambapo music wa bendi ulikuwa ukipigwa. Aliingia huku akiwa na hofu kwa sababu mfuko wake haukuwa vizuri. Watu walikuwa ni wengi sana na wenye furaha. Alipewa kiti wakaketi na alimkuta rafikiye Kimaro akiwa tayari ameshapendeza. Aliongea lugha za kuashiria alianza kulewa. Hakuwa peke yake bali na mwanamke pembeni yake ambapo Lucas hakumtambua. Lucas kwa haraka haraka alijua kuwa huo ulikuwa ni mchepuko wake tu. Na yeye alikwa akinywa bia tena zile za bei ghali.

Lucas alivyoambiwa aagize aliagiza maji jambo ambalo lilimfanya Kimaro kuwa mkali na kusema apewe kinywaji anachotumia kwa sababu pesa sio tatizo. Baada ya kulazimishwa aliamua kunywa ili kupunguza mawazo. Alikunywa pombe kali kabisa na stori ziliendelea. Lucas alimweleza rafiki yake jinsi anavyoumia kwa sababu mke wake ameondoka katika mazingira tatanishi. Alimweleza kuwa hapo ametoka ukweni nab ado mke wake hayupo. Anaumia sana maana hajui mkewe mahali yupo.

“Huna haja ya kuumia toa taarifa polisi tu kuwa amepotea.Ahhhhhh kwa dunia ya sasa mtu hawezi kupotea atakuwa yupo mahali amewekwa. Wanawake si viumbe vya kuwaamini zaidi ni kuwaogopa sana maana wanaweza kufanya kitu kibaya na ukajuta kumfahamu”.

“Ebu tuyaache hayo maana yanaumiza naamini wapo wasichana wenye roho nzuri kama huyo uliyekaa naye.

“Bora hata umeliona hilo maana nilianza kuboreka” alisema mrembo huyo.

Waliendelea kunywa na kula na sasa Lucas alianza kulewa. Watu kwenye ukumbi huo walikuwa na raha na wengi walionekana ni watu wenye uwezo kifedha. Watu na vitambi vyao walikuwa wakicheza mziki na kuomba nyimbo walizokuwa wakizipenda. Ilikuwa ni burudani iliyoleta raha kwa kila ambaye alikuwa eneo hilo.
“Eeeeeeeh!!!!!!! yule si shemeji… yule au naona kwa makengeza ebu angalia”,Kimaro alisema huku akionesha mkono kule mbele.

Lucas ilibidi aangalie kule mbele. Hakuamini macho yake alipomuona boss wake akiwa anacheza mziki na mkewe. Macho yalimtoka kama mjusi aliyebanwa na mlango. Alianza kupiga hatua kuelekea mbele lakini rafiki yake alimshika mkono na kumwambia.

“Haikupasi kuwa na papara kwenye mambo haya. Tulia tuone mwisho wa mchezo huo”

“No no I say no I cant tolerant any more(hapana, hapana nasema hapana siwezi vumilia tena)..” Lucas alinyanyuka kwa nguvu na kuanza kuelekea kule mbele ambapo boss na mkewe walikuwa wanacheza.

Kimaro ambaye na yeye alionekana kuwa tayari ameshalewa alinyanyuka kwa nguvu na kumshika Lucas. Alitumia nguvu zake zilizochagizwa na pombe kumzuia na kumsogeza kwa pembenni.

“Ndugu yangu nakuomba unisikilize kwa umakini sana kwa sababu ulimwengu huu sio wa kutumia nguvu bali akili. Huyo ni mke wako sawa najua anauma kuliko kitu kingine chochote ila sasa yupo na boss wako na wewe umesimamishwa kazi tu. Kitu cha kujua ni kwamba hujafukuzwa kazi bali umesimamishwa kazi hivyo lazima uwe mjanja ili kurudishwa kazini ikibidi huyo boss yeye ndo afukuze..

“Nifanyaje sasa”, Lucas alihoji kwa kuvuta pumzi..Hasira zilimshuka kidogo.

“Unatakiwa kutumia akili . Kwa kuwa Boss wako yupo na mkeo hapa tupate ushahidi wa picha. Tukishapata ushahidi huo ni rahisi sana kuieleza jamiii kuwa boss amekunyanyasa na anatoka na mkewe na pia anatumia fursa hiyo kukufukuza kazi.”.

“Wazo zuri sana sasa utawezaje kuwapiga picha bila wao kujijua na bila kuleta madhara maana yule boss ni mkorofi sana”

“Hilo niachie mimi wewe rudi kakae.Vaa roho ya ushujaa na uwe na amani kwa sababu huu mchezo sisi ndo tutashinda.
Lucas Manyama alionesha kuelewa na alirudi kukaa kwenye kiti na alishangaa kukuta kuna msichana mwingine amekaa kwenye kiti chake. Macho hayana pazia kwa sababu msichana huyo alikuwa akifanana kabisa na msichana wa mwanzo. Kwa haraka haraka aliwaza na kugundua kuwa anaweza kuwa ni pacha wake. Manyama alivuta kiti na kukaa.Alielekeza macho yake mbele na kuangalia kwa makini kama kweli rafiki yake Kimaro anaweza kufanikisha kuwapiga picha. Hakumwona hata huyo Kimaro jambo ambalo lilizidi kumchanganya.

“Shemeji usiwe na wasiwasi wala usiwaze sana wanawake bado hawajaisha huku duniani na kama kweli yule ndo mkeo na anayafanya yale huku wewe ukiangaika kumtafuta ili kujua alipo basi huna chako.”

Yalikuwa ni maneno ambayo yalizidi kumuuma Lucas na kutamani kama angefanya kitu. Bila kutarajia alinyanyuka na kusimama. Aliwaza kutoweka eneo hilo na kwenda sehemu nyingine kabisa mbali na upeo wa vitu vya kuumiza vilivyokuwa vikiendelea. Kimaro alimshika begani na kumwambia arudi kukaa.

“Vipi umekamilisha huo mpango?”.

“Nimekamilisha kwa kiwango kikumbwa”.Kimaro alijibu huku akimpa simu yake ili aweze kuangalia. Aliziona picha na jinsi mkewe alivyokuwa amekumbatiwa na boss wake. Alishindwa kujizuia machozi yalimtoka.

“Jamani Lucas usiwe na roho ndogo hivyo wewe ni mwanaume usilie jipe moyo”alisema Yule msichana aliyekuja mara ya pili.Msichana huyo aliongea kwa upole huku akitoa kitambaa chake na kumpa afute machozi. Lucas alisista kukichukua lakini mwanamke huyo kwa ujasiri alijisogeza zaidi na kumfuta machozi. Ilikuwa ni faraja kwa Lucas kwani alichukua glass akaminiia kinywaji chake na kunywa. Alikunywa kwa nguvu kisha kushusha chini. Aligonga meza kwa nguvu kuwa aongezewe kinywaji. Muhudumu alikuja na kumuongezea. Sasa ilikuwa ni kunywa kwa nguvu ili kutafuta stimu za kupunguza mawazo. Kila mtu alikunywa kadri alivyoweza na nikama boss na mke wa Lucas walishtuka na kutoweka ghafla eneo hilo. Wao wakabaki wanaendelea kula raha na kujaribu usahau shida ambazo walikuwa nazo.

“Sasa ni saa ya utambulisho, kila mtu akae kimya” aliropoka Kimaro.

Watu wote walicheka maana kumbe wengine hapo mezani walikuwa hata hawafahamiani. Kimaro akanza kujitambulisha yeye.

“Mimi naitwa Godfrey Kimaro kijana mdogo mwenye mafanikio hapa mjini”.Wote kwa pamoja walitabasamau.

“Mimi naitwa Lucas Manyama mwanaume ambaye namiliki mke mzuri mjini lakni Boss akanipokonya”..Hapo kila mtu akaangua kicheko huku Lucas akitingisha kichwa kuonesha masikitiko yake juu ya jambo hilo.

“Mimi naitwa Julieth mpenzi wa kijana mwenye mafaniko hapa mjini”

“Mimi naita Juliana pacha wa Julieth”.

“Safi sana sasa timu imekamilika na hatuwezi kukubali mziki uishie chini. Kila mtu amshike mtu wake tunaenda mbele kucheza.” Kimaro aliongea huku akimnyanyua Julieth. Pombe ilikuwa imekolea na hao taratibu walisogea mbele kwenda kucheza mziki na kuwaacha Lucas na Juliana wakiwa wanaangaliana.Juliana hakuwa na aibu maana na yeye pombe ilikuwa imekolea. Alisimama akajitingisha tingisha kidogo kwa madaha nakuonesha ni jinsi gani alivyoumbwa akaumbika. Macho kodoo macho ya Lucas yalimkodolea huku akimkagua kuanzia kifuani kushuka chini. Juliana akanyanyua mkono mmoja kisha akampatia ishara kuwa wanyanyuke. Lucas alikuwa ni mtu mwenye aibu sana hivyo alikuwa akijifikiria kwenda mbele kucheza muziki. Lakini mikono laini ya Julaina ilitosha kumsisimua na kumuinua kutoka pale kwenye kiti.

Hao walisogea mbele na kuanza kucheza. Mbele kulikuwa na watu wengi hivyo ilikuwa ni swala la kubambia kwa kwenda mbele. Sasa ilikuwa ni fursa ya Lucas kuona ulimbwende wa binti huyo. Kwa kweli alichanganyikiwa na alitamani hata kumtongoza usiku huo huo. Alijizuia lakini kitendoa cha Juliana kuzungusha nyonga na kumtingishia makalio kilimfanya kumtamani mlimbwende huyo. Juliana naye alimwonea sana huruma na aliamua kumfanyia vitu ambavyo vingempa faraja usiku huo. Alikuwa akicheza na binti huyo huku mawazo yake yakiwa kwa mtu aliyejitambulisha kuwa anaitwa Mama Vanesaa. Aliifikiria ile sauti ambayo ilionekana ya binti mdogo kabisa na jinsi mwanamke huyo alivyoamua kujitambulisha kwa jina mama Vanesa. Baadaye walirudi kukaa na sasa walikuwa wameagiza nyama choma. Walikula na wakati wakiendelea kula simu ya Lucas iliita na kuangalia alikuwa ni mama Vanesa. Alikata na kumuomba amtumie sms kwa kuwa yupo kwenye kelele.
“Nimepata dharura ambayo itanifanya kesho kutwa nisafiri hivyo nilikuwa naomba kama hutojali tukutane kesho nikueleze matataizo yangu kisha tupange mikakati ya kusaidiana kwa sababu matatizo yako tayari nayajua.” Meseji kutoka kwa mama Vanesa ilisomeka hivyo.

“Kula brother nataka nikupe huyu mtoto Juliana ukalale naye upunguze hata mawazo.”Iliingia meseji ingine kutoka kwa Kimaro.

Alitabasamau kimoyomoyo na kujisemea kama litataokea hilo basi itakuwa bahati ya mkenge. “Mtoto mzuri hivyo nitamla mpaka aimbe zeze”aliendelea kuwaza huku akiweka finyango ya nyama mdomoni.Mara Juliana na yeye alichukua nyama na kumlisha jambo lililozidi kumsisimua na kujikuta akitamani hata kumrukia muda huo. Viungo vingine vya mwili navyo vilishasimama kwa hisia za mahaba…

Waliendelea na sasa Kimaro alikuwa akitumia jina lake na uwezo wake wa kushawishi kumtaka mpenzi wake Julieth aweze kumkubali Lucas na ikibidi ampe faraja usiku huo. Kwa hiyo kulikuwa na mawasilaino na watu walikuwa wakichati hapo. Julieth alikuwa akichati na Juliana na kumshawishi atumie uwezo wake wa kike kuwa na Lucas maana ni mwanaume mwenye mafanikio na hueda akawa mpenzi mzuri. Juliana hili swala kwake lilikuwa gumu kwa sababu tayari alikuwa na mpenzi mpya mara baada ya mchumba wake wa muda mrefu kuzinguana. Huyu mpenzi mpya alikuwa hafahamiki na mtu yeyote na ndio maana pacha wake alikuwa akimpigia chapuo ili kuona kama anaweza kuwa naye. Juliana hakuwa mjanja kama Julieth hivyo aliweza kumshawishi ingawa Juliana alikuwa akisingizia kuwa siku hiyo hakuwa poa labda siku ingine.
Muda ulizidi kwenda na baadaye Kimaro aliamua kutumia nguvu kwa maana alilipa vitu vyote walivyokuwa wanadaiwa kisha waliiingia kwenye gari na safari ya kueleka pasipojulikana ilianza. Kimaro alipakia gari kwenye moja ya lodge ambayo ilikuwa inamilikiwa na baba yake. Julieth na yeye alishangaa maana hakujua kama ilikuwa ni ya kwao.Walishuka na kuwa tayari alishaongea na wahudumu wa hapo kuwa anakuja na wageni tayari alishawekewa.Alipewa funguo za room zilizofuatana. Wakati Julieth na Julaina waliabaki wameduwaaa tu wasijue nini kilikuwa kinaendelea. Julieth alikuwa akijiuliza maswali mengi kwa nini siku hiyo huyo mwanaume hakutaka kumpeleka kwake kama alivyozoea na kwa nini ameamua kuingia gharama hizo. Mwanzo alidhani kuwa walikuja hapo kuwaleta Julaina na Lucas lakini aligundua sivyo mara baaada ya kuona Kimaro akikabidhiwa funguo mbili. Kimaro yeye baada ya kupewa zile funguo alimkabidhi moja Lucas na kumwambia kazi kwako. Alimshika Julieth mkono na kuwaaga kwa kuwambia usiku mwema. Hao kwa mwendo wa madaha waliingia kwenye chumba chao.
Juliana na Lucas walibaki wamesimama na kuduwaha tu wasijue nini cha kufanya kwa wakati huo.Waliangaliana na kila mmoja alionesha kuwa alikuwa akimwogopa mwenzake. Waliogopana kwa sabbau mwaznoni hawakuwa na makubaliano ya aina yoyote kuwa watalala pamoja. Lucas baada ya kuona mrembo yupo njia panda na hana njia ingine ya kuondoka hapo alimkabidhi funguo. Juliana alisita kuzipokea na kubaki amesimama akimshangaa tu. Lucas sasa iliamua kutumia njia za kiume mara baada ya kugundua kuwa msichana huyo hawezi kuondoka. Alimnyanyua juu juu na kwenda naye moja kwa moja mpaka kwenye chumba ambacho walitakiwa kuingia. Hata Juliana alishangaaa mwanaume huyo amepata wapi nguvu za kumbeba juuju. Alivyofika alifungua mlango kisha kuingia naye ndani.Alimbwaga kitandani huku akihema kwa nguvu utadhani punda aliyeutua mzigo mzito. Kweli wanaume wanakuwa na nguvu linapokuja swala la mapenzi. Unaweza kukuta mwanaume ana kilo pungufu na mwanamke lakini akambeba bila matatizo yoyote.
Juliana alijilaza hapo kitandani huku akilaala na tumbo na kuacha kijungu mbinuo kikiwa juu. Kinguo kifupi alichokuwa amevaa kilipanda kwa juu na kufanya weupe wa majapa yake yaliyojazia kama godoro la Dodoma kuonekana. Lucas alipiga magoti kisha kwa utaratibu alimvua viatu na kuvishusha chini. Juliana alijigeuza na kupandisha miguuu juu ya kitanda kabisa.

ITAENDELEA

CHACHANDU YA MUHOGO – 5

Related image

Chombezo : Chachandu Ya Muhogo
Sehemu Ya Tano (5)

Sophia alinyonya dudu la Kriss bila kulishikilia na mikono,halafu mkono mmoja ukawa unazishika kende zake huku mkono mwingine ukipishana vidole kwa kuviingiza kwenye kitobo chake cha haja kubwa,vitendo hivyo vitatu vilienda sambamba ambapo Kriss alisisimka kwa namna ya pekee mpaka akarusha bao lake lililochomoka na kumwagikia nje kwenye mashuka,,,basi Sophia akachukua kitambaa kisafi na kumkamua dudu lake kutoa shahawa zilizobakia,dudu likawa jipya kabisa
Kama ilivyo kawaida mwanaume unapomwaga huku dudu likiwa nje ya kitumbua,lazima liwahi kusimama tena,basi Kriss pesa zake ndizo zilizongea,Sophia alilikalia dudu hilo na kuanza kulikatikia mpaka ambapo alijilaza sambamba na mwili wa Kriss,akawa anamnyonya masikio yake Kriss aliyekuwa naye anajitahidi kumsugua huku akiyashika makalio yake makubwa,Kriss wa watu hakuchelewa kumwaga kwa mara ya pili ambapo aliacha mdomo wazi kama anataka kufa
Bada ya tendo hilo,Sophia aliingia bafuni na kuoga pamoja na Kriss kisha Sophia akaaga anaondoka,Kriss akiwa kwa nyuma yake alimsindikiza ambapo walikuja kushtuka walipofika sebuleni na kumkuta kijana Fulani wa makamo amekaa hapo kwenye makochi,salamu yake ndiyo ilimjulisha Sophia uhusiano uliopo kati ya Kriss na huyo kijana
,,,mbona uliniambia uko mwenyewe,,?,halafu ni mwanao,,?
,,,ni kweli,huyu amekuja tu mara moja,huwa Siishi naye hapa,,,
,,,mtajuana wenyewe,kwaheri,,,aliongea hivyo Sophia huku akielekea kwenye mlango wa kutokea,huku nyuma Kriss alimpa ada ya shule mwanaye huyo aliyejulikana kwa jina la Kairo kisha akaondoka,mama Kairo na Kriss waliachana muda mrefu ila hakuweza kupinga kwasababu tayari walishamzaa Kairo
Huku kwa upande wa Daki,ilikuwa ni siku ya jumatatu,ambapo kwa upande wa Daki aliomba iishe mapema,alikuja mgeni mmoja wa kike ambaye alikuwa ni mwanafunzi mwenzao,kibaya zaidi wakapangwa kwenye darasa moja,jina lake aliitwa Suzan Mwakifiro,kiukweli jina hili lilimshtua Daki na alipomwangalia Suzan,kwa mbali alifanana sura na babu yake
,,,mmh,ni mtoto wa babu nini,,?,kwa utani Diana alimtamania Daki
,,,sijui maana historia ya yule mzee ni hatari,,,
,,,inabidi umuulize baadaye ili ujue kama ni kweli au jina tu,,!
,,,sawa mama chanja wangu,,,alijibu hivyo Daki ambapo Diana alicheka kusikia jina la mama Chanja
Ilikuwa ni siku hiyo hiyo Daki alimfuata Suzan na kuanza kuongea naye ambapo lengo lake haswa ni kujua kama kweli ni mtoto wa Mwakifiro,akamchukua na kumpeleka sehemu fulanikwenye madarasa ya kidato cha kwanza yaliyokuwa hayatumiki,pia palikuwa ni mbali na ofisi za walimu
,,,Suzan,nimekwita hapa kuna mambo baadhi nahitaji kukuuliza,,,aliongea hivyo Daki huku jicho lake likiwa kwenye paja nono la Suzan lililokuwa nje ya Sketi ya shule
,,,niulize tu,nakusikiliza,,,sauti nyembamba ya kumbembeleza aliongea hivyo Suzan ambaye mapigo yake ya moyo yalikuwa yakienda mbio kwani alijua tu lazima atatongozwa
,,,umependeza na sketi yako,,,aliongea hivyo Daki ambapo hisia zake zilikuwa zimeshahama na kusahau alichotaka kumuuliza,jicho lake lilikuwa kwenye paja laini la Suzan
,,,mmh,ahsante,najijua nina mapaja mazuri,,,aliongea hivyo kwa kujiamini huku akivuta sketi yake fupi izibe mapaja yake
,,,usiyafunike bwana,mi naona raha kuyaangalia,,,
,,,kweli,,?,lakini hata wewe mbona ni Handsome boy,,!
,,,lakini siwezi kufikia uzuri wako,naomba usimame mara moja jamani,,,Maongezi taratibu yalihama na kuanza kuwa ya kitandani,Suzan aliinuka huku akijihisi aibu kisha akawa anamsikiliza Daki
,,,we ni mzuri jamani,angalia tako hili duuh,halafu huna hata kitambi,Chuchu nzuri,sura ya mvuto,mmh,umebarikiwaa,,,aliongea hivyo Daki huku akimsogelea Suzan aliyekuwa akiona aibu huku akichekea chini,tayari akawa amemshamsogelea karibu kabisa,wakawa wanagusana miili yao
,,,we mkaka unataka kufanya nini aisee,ujue tuko shuleni hapa,,!,aliongea hivyo Suzan ambaye uhandsome wa Daki ulimchanganya kwa ghafla,Daki ahakuongea,alipomsogelea zaidi dudu lake lililosimama kwa makusudi alimgusisha kwenye mapaja yake Suzan ambaye alitoa sauti Fulani ya kudeka,,,mungu wangu jamani weweee,,,ujue shuleni hapa we unasimamisha tu,,!,kauli hiyo ilimpa ruksa Daki ambapo mikono yake ilipenya na kumshika kiuno Suzan aliyeshtuka kidogo kwa nyege,,,we mkakaaa,,jamaniii,,,mi sitakiii,,aliongea kwa sauti ya kimahaba huku akijitahidi kujitoa kwa mikononi mwa Daki kwa kiuwongo na kweli
Daki alimshambulia Suzan kwa kumshikashika mapaja yake yaliyokuwa wazi ndani ya sketi fupi,mikono yake ilimpanda na sketi mpaka kwenye usawa wa chupi ya Suzan,huku juu Daki alifanya kama anamngatangata Suzan kwenye shingo yake ambapo Suzana alianza kuishiwa nguvu na kushindwa kumzuia tena Daki,,,pindi Daki alipompelekea mdomo Suzan hakukataa,alishiriki vyema kujibu mashambulizi ambapo walinyonyana denda huku wakishikanashikana sehemu za miili yao
,,,,mmmh,,,,aaaaaaah,,mmmmh,,,aliguna hivyo Suzan baada ya mikono ya Daki kuzama ndani ya chupi na kuyaminyaminya makalio yake laini,kilikuwa ni kitendo cha haraka kwa Daki kumpandisha juu sketi na kumvua chupi Suzan aliyekuwa tayari ameshapandwa na nyege,kitumbua na matako ya Suzan yalikuwa wazi kabisa,hapo ndipo dole la Daki lilipofanya kazi,,,,,alilishusha mpaka kwenye kitumbua chake n akuliingiza ndani kabisa kisha kukisugua kitumbua chake,,,,aaaaaaah.,,,,,mmmmmmmmmh,,,,,aaaaaaah,,,ssssssssss,,,aaaaaaaaah,,,hapo ni kama aliamsha mashetani ya Suzan,mtoto wa watu alilegea mwili,macho ndio usiseme kama yanataka kuanguka,,,aliyafumba na kufumbua kwa utamu wa dole hilo
Huku darasani,Diana ni kama machale yalimcheza,wengi walikuwa hawapendi jinsi Diana anavyompenda sana Daki halafu Daki hajatulia,,,eti,umemwona wapi Daki,,,watu wanakula raha zao huko,nenda kasomee upolisi uwe unawafunga wanaotembea na Daki,kashuhudie kule kidato cha kwanza,,,aliuliza Diana n akujibiwa hivyo kwa kejeli ambapo alitoka mbio kwenda kuona nini kinaendelea kwasababu kwa mara ya mwisho anakumbuka alimruhusu Daki akaongee na Suzan,kibaya zaidi alioangaza macho darasani kabla ya kutoka hakumwona Suzan,,,

Huku kwa upande wa Daki mambo yalikuwa yameiva hasa,dudu la Daki lilishazama ndani ya kitumbua cha Suzan kilichobana kama mtoto mdogo,ilimbidi Daki awe anamnyonya denda Suzan ili kelele zisikike mbali maana Suzan alihisi utamu wa ajabu dudu la Daki lilivyokuwa linamsugua,,,aaaaaaah,,,,mmmmmmmmh,,aaaaah,.,,ooooooooh,,aaaaah,,,Suzan hakuwa na hali kabisa,jasho lilimtoka ambapo Daki hakuchelewa kumwaga kwani kitumbua cha Suzan kilikuwa kimebana sana dudu lake,,,,mmmmh,,aaaaaaaah,,,,aaaaaaaaah,,aah,,aaah,,ah,,,,alilalamika Daki na kumwaga bao lake ndani ya kitumbua cha Suzan
Upande aliogeukia Suzan kwa mbali alimwona Diana akiwa amesimama mlangoni,ili kuficha hisia zake Diana alimpungia mkono Suzan kisha akatabasamu na kuondoka,walipomaliza kufanya mapenzi,Suzan alianza kujishtukia,lakini haikusaidia kitu kama dudu tayari ameshaingizwa,,,
,,,hivi ulisema kuna kitu unataka kuniuliza,,?
,,,ndiyo,ni hivi,unamjua baba yako,,?
,,,baba yangu,,!,mzazi simjui,ninaye baba wa kufikia,,,
,,,ulishawahi kumuuliza mama kuhusu baba yako halisi,,?
,,,nilimuuliza,akaniambia amefariki muda mrefu,tangu nikiwa mdogo,kwanini umeniuliza hivyo,,?
,,,kwasababu namjua baba yako,Mzee Mwakifiro,,,
,,,ulimwona wapi we mkaka,kipindi hicho anakufa si hata wewe ulikuwa mdogo pia,,?
,,,hajafa,umedanganywa,hata leo ukitaka unaweza kwenda kumwona,,,
,,,mi hata sikuelewi unachoongea,kengele ya kutoka hiyo,tutaongea kesho,,,Suzana alimuaga Daki kisha akambusu kwenye lipsi zake kuonyesha dhahiri ameshachanganyikiwa na chachandu ya Dudu la Daki
Baada ya kuruhusiwa wanafunzi,walitawanyika na kuanza kuondoka kwenda nyumbani,Daki alimtafuta Diana lakini hakumwona,aliamua kuondoka kwani alijua fika baadaye ataongea naye kupitia simu,wakati huo Diana alikuwa sambamba na Suzan,walijichanganya katikati ya wanafunzi wengi watembeao kwa mguu,,,
,,,shosti ulikuwa unaburudika mwenyewe,,,aliuliza swali hilo la kichokozi Diana
,,,bwana usiseme hivyo,nimetokea kumpenda yule kaka ghafla,,,alijibu Suzan na kumchoma moyo Diana aliyezama hasa kwenye penzi la Daki
,,,ila anapendwa na wanawake wengi yule kaka,si unamwona alivyo Handsome,,,
,,,ni kweli,lakini sitakubali mtu anipokonye,sijui kwanini amenikaa moyoni,,,
,,,sawa,ila unatakiwa kuelewa kitu kimoja,,,mpaka sura ya Diana ilibadilika alivyoongea hivyo
,,,kitu gani tena,,?
,,,Daki ni mpenzi wangu,nampenda kuliko unavyoweza kufikiria,niliogopa kumshtua pale kwani sikupenda ajisikie vibaya,najua kwenye dunia hii hakuna anayeweza kumpenda Daki kama nilivyo,,,
,,,nha!,sikiliza,yaani ni mpenzi wako halafu umemfuma unakaa kimya,,?
,,,wewe ungefanyaje,,?
,,,pangechimbika sana,lakini ni kweli hayo unayoongea kuwa Daki na mpenzi wako,,?
,,,ndiyo,nampenda sana,,,
,,,samahani Diana kwa nilichofanya,sikujua,una roho ya ajabu sana,nahisi nahitajika kujifunza mengi sana kuhusu upendo kutoka kwako,,,
,,,usijali,kosa ni lake na sio lako,,,Suzan alijisikia vibaya kwa kilichotokea ambapo alikuwa mdogo kama kidonge cha piliton mbele ya Diana
Siku hiyo Mzee Mwakifiro akiwa ameketi kwenye kile kiti chake cha kulala nje ya nyumba yao ambapo yule mme wa jirani aliyemsugua alikuwa ameketi naye wakipiga stori,,,
,,,hivi babu kwanini wanawake wa sasahivi hawatulii,,?
,,,kwasababu hawapati dudu la kuwasugua vizuri,,,
,,,ila mimi najiamini,kwa mke wangu naweza msugua hata bao tano,,,aliposema hivyo,Mzee Mwakifiro alicheka kwa nguvu kwani anajua alichokifanya kwa mkewe
,,,sio sababu tosha ya kutosalitiwa kijana wangu,unaweza ukashinda juu ya kitumbua usiku na mchana lakini bado ukasalitiwa,na wenzako wakagusa dakika kadhaa wakagandwa na kuliliwa kabisa,,,
,,,babu na wewe una maneno,lakini kwangu haiwezi kutokea hivyo,yule mwanamke hana ujanaj kwangu kwenye suala la kumsugua,mpaka mwenyewe anaombaga Pooh!,utasikia baba chanja inatosha jamani ya moto,,,
,,,lakini nakuambia ndugu yangu,usiamini kiasi hiko,mapenzi hatana mtabiri,,,alijiamini kuongea hivyo Mwakifiro kwasababu tayari alishamsugua mkewe,,,,ama kweli wanaoongea sana kwamba wanajua ndio hakuna kitu hata kidogo,,,alijisemea maneno hayo Mwakifiro na kumdharau jamaa huyo aliyekuwa anajigamba kweli kwamba mkewe hawezi kumsaliti,,,,Mwakifiro kwa jinsi alivyokaa macho yake yalikuwa moja kwa moja kwenye mlango wa Jirani,,,basi kwa kujiamini Jirani huyo alitoka na kumgeuzia matako Mwakifiro kisha akamtingishia na kumwinulia mguu mmoja,wakati anayafanya hayo,jamaa naye alikuwa amekaa na Mwakifiro ila hakumwona kwasababu alimpa mgongo,Mwakifiro alibakia kucheka tu huku akitikisa kichwa
Wakiwa wamekaa hapo,jamaa akaitwa na mkewe aende akale cha mchana,pindi alipoondoka tu,huku nyuma Mwakifiro aliingia majaribuni kwa mtoto wa shule ambaye alikuwa anakaa nyumba ya pili kutoka ya kwao,,,alikuja binti mdogo aliyenona mwili wake ambapo matako na mapaja yake,hipsi zake zilinona hatari,alikuwa ni mrefu wastani,ungeweza kusema ni kibonge lakini umbo lake la mvuto lilikuwa silaha tosha ya kukufanya umwone ni Mrembo,alivalia Sketi Fulani fupi iliyomwonyesha mapaja yake na juu Blauzi Fulani iliyoacha mabega yake wazi,walizoea kutaniana sana
,,,we babu,Mama Daki yupo,,?,
,,,yupo ndani huko usinisumbue mimi,,,aliongea hivyo Mwakifiro huku akijua wazi Mama Daki hayupo wala Daki,alipoingia tu ndani naye alimfuata kwa nyuma na kuingia ndani kisha akafunga mlango
,,,babu mi sitaki bwana mchezo wako huo,,!,aliongea hivyo binti huyo ambaye alijua kabisa kinachofuata kwani kuna siku alifungiwa ndani humo na kumshindwa kujizuia,alishikwashikwa mwili wake mpaka kuingizwa vidole,kilichomnusuru mpaka hakupigwa dudu ni kwamba alienda mwezini yaani alikuwa kwenye siku zake
,,,mtoto ulivyo na matako mazuri hivyo,nipe leo utamu hata niingize kichwa tu,,,
,,,babu mi sitaki bhana,,,aliongea hivyo huku akilalamika mtoto huyo aliyejikalisha kabisa kwenye kochi
Basi mzee Mwakifiro,alimfuata mtoto huyo aliyekuwa anaogopa na kuona aibu huku akijisogeza pindi aliposogelewa,,,Mwakifiro hakuweza michezo hiyo,aliishika Sketi yake na kuivuta,kumbe Sketi yenyewe ilikuwa ni ya kuzungusha,hivyo ikamvuka binti huyo na kumwacha akiwa uchi kabisa,,,mapaja yake manono yalionekana laivu,huku matako ndio yakituna kwa utamu,kitumbua kwa mbali kilionekana kwani alibana mapaja yake,,naye Mzee Mwakifiro alitoa msuli wake na kuliacha dudu lake lililosimama wazi,kisha akamfuata binti huyo aliyejificha sura yake n akumwachia tako lote Mwakifiro,,,,

,,kwani leo uko katika siku zako,,?.alihoji Mwakifiro
,,,ndiyo,kwanza sitaki,,,alijibu mtoto huyo ambaye kifuani alisimamisha vichuchu vyake kiuchokozi kabisa
,,,jamani,ngoja nihakikishe,,,aliongea hivyo Mwakifiro kisha akaipeleka mikono yake mpaka kwenye tako la binti huyo lilituna kwa utamu,akawa analipigapiga kama huku akimsifia jinsi matako yake yalivyo mazuri yakuvutia,kama utani,mkono wa Mwakifiro ulishuka mpaka kwenye mapaja hayo yaliyonona na kurudi mpaka kwenye kiuno kupitia kwenye matako hayo ukimshikashika
,,,mmmh,,,mmmh,,,mmmm,,,mh,,taratibu kwa sauti ya chini alianza kulalamika mtoto huyo aliyeanza kuhisi utamu kwa jinsi alivyokuwa akishikwashikwa matako yake,kiuno na mapaja yake manono,mkono mwingine wa Mwakifiro ulihamia kwenye Chuchu za mtoto huyo aliyekuwa anaona aibu huku akiinamia chini,vidole vya mwakifiro vilipozigusa Chuchu hizo mtoto wa watu alishtuka kwa kupandisha kifua chake,hapa akashindwa kujizuia kabisa,,,aaaaaaaaah,,,sssssssssssss,,,aaaaaaaaaaaah,,,mmmmh,,,mtoto wa watu alianza kulalamika kwa utamu kitendo kilichomjulisha Mwakifiro kuwa hapo ndipo nyege za mtoto huyo zilipo
Alichokifanya Mwakifiro,aliona akimshika kwa mikono,mtoto huyo hatafaidi zaidi,alimgeuza na kumlaza kwenye kochi kisha akaanza kumnyonya Chuchu zake,hapo mtoto akavunja ukobe,alilalamika kwa sauti ya juu ambapo yeye mwenyewe alikuwa akielekeza mkono wake kwenye kitumbua chake,lakini Mwakifiro aliuona kwa bahati nzuri akauzuia kisha akauingiza wake kwenye kitumbua che mtoto huyo kilichoanza kuloa,dole lake liliingia vyema na kumsugua kiarage chake mtoto huyo aliyekuwa hana kwenye kuguna kimahaba,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,,,,mamaaaaaaaaaaaaaaaa,,,,,uuuuuuuuuuuuuuuuuuwiiiiiiiiiiiii,,,aaaaah,,,ooooooooooh,,,,,,ssssssssssssssss,,,,,mtoto alikukuruka na kurusha miguu kwa utamu mpaka akakojoa kabla Mwakifiro ajaingiza dudu lake,ikapita dakika moja,mtoto wa watu akawa amefumba macho huku mdomo wake uliolegea ukiwa wazi kama anasubiria kitu amezeshwe
Basi Mzee Mwakifiro akiwa amesimamisha dudu lake aliusogeza mdomo wake na kuanza kumnyonya denda binti huyo aliyekuwa amechoka hasa,alimnyonya denda kwa muda kisha akaanza kumpanua mapaja taratibu,dudu la Mwakifiro lilikuwa kubwa hasa,basi Mwakifiro alilichukua dudu lake na kulichomeka kwenye kitumbua cha mtoto huyo aliyerudisha kiuno nyuma haraka na kusababisha dudu la Mwakifiro kwenda pembeni kidogo,,,,
,,,lako kubwa bwana,,,aliongea mtoto kwa sauti ya kutokea puani huku sura yake ikiwa imejaa uwoga na kudeka
,,,sio kubwa,tulia mtoto mzuri,tena utahisi utamu zaidi ya huu uliouhisi,,,maneno hayo yalimfanya mtoto huyo kutulia kimya na kumwachia kila kitu Mwakifiro
Kwa mara ya pili mtoto alijilegeza kabisa,,,basi Mwakifiro alichukua dudu lake na kulingiza tena kwenye kitumbua hicho ambapo kwa mwanzoni ilikuwa vigumu mpaka Mwakifiro akataka aghairi zoezi hilo,lakini baada ya kuingia kichwa mpaka kwenye ule mstari wa mwisho wa kichwa cha dudu,Mwakifiro akaanza kuingiza hapo mpaka kwenye ule mstari na kutoa,akamsugua hapohapo mpaka kitumbua kilipoachia njia Mwakifiro akaingiza dudu lote ambapo mtoto wa watu alimngangania Mwakifiro kama ruba,hakujielewa,alipata utamu wa ajabu kiasi kwamba naye alijitahidi kuzungusha kiuno kwa kasi hasa
Mwakifiro ilifika wakati akakojoa bao lake ndani ya kitumbua cha mtoto huyo,basi zile shahawa zilivyomwagikia ndani ya kitumbua mtoto huyo alijihisi utamu kweli,,,Mwakifiro alipomwaga alichomoa dudu lake na kuketi kwenye kochi,lakini mtoto huyo alikuwa ni kama ameonjeshwa hakumwachia Mwakifiro,alimfuata kwa juu Mwakifiro na kulichomeka dudu hilo kwenye kitumbua chake ambapo lilikuwa halijasimama vyema
,,,sikiliza mjukuu wangu,siku nyingine tutafanya zaidi,,,
,,,hapana mi nataka leo na sasa hivi hapa,,,
,,,yamekuwa hayo jamani,si ulikuwa hutaki wewe,,?
,,,hata kama,tuendele kidogo tu,,,
,,,hapana,utaniua jamani,si unaona nimezeeka,,,mtoto huyo baada ya kulazimisha sana ilimbidi kuondoka huku akahidi atakuja siku nyingine kwa ajili ya kusuguliwa kwa mara ya pili
Ni muda mrefu kidogo umepita ambapo kwa watoto wa shule kilikuwa ni kipindi cha likizo,iliwalazimu kwenda nyumbani kusalimia wazazi kisha kama kawaida kurejea shuleni kuendelea na masomo,ikawa kama zari kwa Editha mtoto wa Sophia na Kairo mtoto wa Kriss kukutana kwenye basi hilo,kumbe walikata tiketi kwenye siti zinazofuatana bila kujua,ndani ya basi kwa uzuri wa Editha na jinsi alivyoumbwa na lile umbo lake,ukimwangalia hajakuongelesha lakini unaweza kujibu poa kana kwamba amekusalimia mambo,,,,
,,,mzima mrembo,,?
,,,mi mzima sijui wewe,,!,kwa sauti ya mnato alijibu Editha huku akiendelea na mambo yake kama unavyojua pozi za kike,sio mwanamke unamsalimia ndio kama umefungulia redio kwa huo uongeaji utatamani ukimbie wewe,walitambulishaan majina yao,ambapo walianza kupiga stori zile za mapenz kwa kuulizana mambo ya kikubwa kabisa,kama unavyojua Editha alikuwa ana ugwadu hajafanya mapenzi muda mrefu hivyo alijikuta akishiriki Maongezi hayo kikamilifu
,,,unajua mimi sipendi sana wasichana wadogo,napenda wale wakinamama wakubwa,nikiwa nawachezea matako wakati na nawapa dozi ndio napenda,,,
,,,mmh,basi we mbaya,sikuwezi kwakweli,,,
,,,unajua watoto wadogo mpaka uwatongoze,uwape maneno matamu mengi ndio wakuachie uchi lakini wakubwa hawana hizo,wanakuelewa kabla hata hujasema,wanakusaidia tena na ahsante wanakupa ukiwatumikisha vizuri,,,aliongea hivyo Kairo kwa kujiamini na kutoonyesha hata dalili moja ya kumtaka Editha,kitendo hivho kilimuuma sana Editha japo alishiriki Maongezi hayo,ilikuwa ni kwa shingo upande tu,akajihisi sio mzuri,basi yeey ndiyo akaanza kujirahisisha kwa Kairo
,,,kwani mimi siwezi kuwa kama hao wamama,,,?
,,,aah,unaweza kwasababu una matako mazuri jamani,na yalivyo makubwa hayo ninaweza nikayachezea mpaka ukamwaga,,,
,,,mmh,inaelekea unayajua wewe,,,
,,,sio sana,ila ni mzoefu na kuchezea matako,na kile kitobo cha haja kubwa,yaani usipojamba,mimi sio mji mkuu wa Misri,,,kauli hiyo ilimfanya Editha kucheka na kukubaliana na maneno ya Kairo ambaye alikuwa akimuwinda muda mrefu tu,editha alilewa na maneno ya Kairo akajikuta anamkaribisha Kairo nyumbani kwao ambapo alijua wazi mama yake kwa siku hiyo hayupo,yupo kwenye mishemishe za kutafuta hela,,,,

ITAENDELEA

CHACHANDU YA MUHOGO – 4

Related image

Chombezo : Chachandu Ya Muhogo
Sehemu Ya Nne (4)
,,huyo ndio baba yako,siwezi kukuficha,,,
,,,hivi Daki kwanini unaleta utani,,?
,,,ndio ukweli huo,babu ndio alivyo,,,alijibu hivyo Daki na kumuweka wazi Editha aliyekuwa bado hana hisia zozote juu ya baba yake,hakuona aibu wala kumchukulia uzito sana,basi Daki alimvuta Editha kwa kumshika mkono ambapo tako la Editha liliyumbayumba wakati anavutwa kama hataki vile
Kwenye dirisha waliwasili Daki na Editha na kwa bahati nzuri au mbaya palikuwa na uwazi Fulani uliowawezesha kuona kilichoendelea ndani,bila uwoga Editha alisita lakini alilazimishwa na Daki mpaka akachungulia,,,aaaaaaaaah,,,,sssssssss,,,aaaaaaaaaaah,,,uuuuuuh,,,mmmmmmmh,,,,ooooh,,,aaaaaaah,,,mmmmmmmh,,,,zilisikika kelele za malalamiko ya kimahaba ndani humo ambapo Editha alimshuhudia Mwakifiro akiwa amemkunja Minaa kwenye kochi hilo kama samaki wale wakavu wakukaushwa,dudu la Mwakifiro lilionekana vyema linavyoingia kwenye kitumbua cha Minaa ambapo matako ya Minaa yalikuwa yakitikisika kutokana na kukutana na mapaja ya Mwakifiro wakati anapampu
,,,mmh,huyu ndo baba yangu mzazi,,?,aliuliza tena kwa sauti ya chini Editha huku akionyesha kutoamini jambo hilo
,,,ndio,tatizo lake anapenda sana nyapu,,,alijibu hivyo Daki huku jina Nyapu akimaanisha kitumbua
,,,ni babu kweli huyu au maisha tu,,!
,,,ni babu kwasababu ana wajukuu lakini sio mzee sana,,,
,,,mmh,anashughulika,,!,wakiwa hapo nje,wakasubiri mpaka babu alipomaliza shughuli yake ndani
Basi Minaa na Mwakifiro walingia bafuni na kuanza kuoga pamoja,huku Daki na Editha waliingia ndani na kuketi sebuleni,Minaa na Mwakifiro walipomaliza mpaka kujiandaa na kuvaa nguo zao,ile wanatoka Sebuleni wanakutana na Daki na Editha,kwa upande wake Mwakifiro hakujisikia vibaya hata kidogo kwani alijua wazi Editha ni mpenzi mpya wa Daki,Minaa kwavile alikuwa najuana na Daki,walisalimiana haraka kisha akaondoka binti wa watu akiwa mwepesi kwa kichapo cha Mwakifiro
,,,Daki,,!,nilikutuma wapi na umefanya nini,nilijua utaenda kufanya niliyokutuma,,,aliongea hivyo Mwakifiro kwa jazba baada ya Minaa kuondoka
,,,babu,huyu ni mwanao,ndiye Editha mwenyewe huyu,,,
,,,unasema,,?,aliguna kwa kujishtukia Mwakifiro huku usoni akiwa na sura ya kujishtukia,alimwangalia Editha ambaye naye alimkazia macho yaliyomfanya Mwakifiro kuzidi kujisikia vibaya
,,,nashukuru nimekujua baba yangu,ila mpaka nipate uthibitisho kutoka kwa mama yangu,,,
,,,kwanini una mashaka na mimi mwanangu,,,
,,,basi tu,nitakuja siku nyingine mungu akipenda,,,
,,,kwahiyo ndiyo unaondoka,,?,,,swali la Mwakifiro liliambatana na simu iliyopigwa kwa Editha ambayo alikuwa ni mama yake akimwambia arudi nyumbani haraka sana,Editha alimuaga Daki na Mwakifiro baba yake kisha akaondoka ambapo Daki ndiye alimsindikiza,walipofika Stendi,walipeana busu matata ndugu hao ambao bado tamaa ziliwajaa mioyoni mwao kisha Editha akaondoka
Kilikuwa ni kigiza cha usoni ambapo biashara nyingi zilikuwa zikiendelea
,,,,hello,handsome,njoo unitombe jamani,kuma yako hii yote,,,,
,,,,we kaka njoo hata unitie vidole jamani elfu tano tu,,,,
,,,,ona matako haya yamejaa utamu,,,
,,,nitakunyonya mboo mpaka ukojoe,,,
,,,we kaka ona basi jamani,,,hizo zote zilikuwa ni kauli za kibiashara ambazo Makahaba walizitumia kuitangaza biashara yao na huo ndio ulikuwa mfumo wa maisha yao ya kila siku,Daki akiwa anapita alikumbana na kauli hizo ambapo zilimsisimua japo alijikaza na kuwapita
Kwa upande wa Sophia,aliweza kufanya kazi ya kujiuza mwili wake na kuyaendesha maisha yake vizuri kabisa kwa kufanya biashara na kumsomesha mwanaye Editha ambaye huwa anamwita wa bahati mbaya,kwani alimpata bila kutarajia na ikawa kama bahati akamtunza,kazi ya kujiuza mwili wake,mwanaye hakuijua wala kuihisi hata siku moja,tena alipiga vita suala la Editha kuwa na mabwana wakati wa masomo,Editha alichoelewa mama yake ni mtafuta pesa kwa kufanya biashara anazoziona
Siku hiyo Sophia alipata dili la kuingiza laki tano hivyo aliwasili kwa huyo Mzee kwa ajili ya kusuguliwa ambapo ndani ya chumba cha huyo Mzee ndipo Sophia aliwasili,wakiwa ndani ya chumba,Sophia alivalia khanga moja tu aliyoifunga kihasara kiasi kwamba hata ingepulizwa na upepo wa nguvu ingeanguka yenyewe,ndani hakuvaa kitu chochote,kitumbua na matako yake yalionekana laivu bila chenga kwani khanga hiyo iliangaza kila kitu kwa ndani
,,,unaonekana ni mtamu,,,aliongea huyo Mzee aliyejulikana kwa jina la Kriss
,,,hata wewe dudu lako ni tamu jamani,ona lilivyotuna kwa hasira,,,
,,,ndio,si limemwona mwenzake,,,aliongea hivyo Kriss huku akipeleka mkono wake kwenye mapaja makubwa ya Sophia yaliyokuwa ndani ya khanga ambayo ilionekana haimtoshi vizuri kwani kuna maeneo ya mwili ilishindwa kuyafunika
,,,jamaniii,,weweee,,,alishtuka huku akiongea hivyo kimahaba kwa sauti iliyotokea puani
,,,unajisikiaje,una matako laini jamani,,,mkono wa Kriss uliendelea kutembea ambapo sasa ulikuwa kwenye kiuno cha Sophia ukitembea kukizunguka na kumsababishia Sophia kuanza kusisimka
,,,,aaaaaah,,,aaaah,,mmmh,,,alilalamika Sophia huku naye akiunyoosha mkono wake uliolifikia dudu la Kriss lililosimama kwa hamu,akaanza kulipapasa kwa nje huku akiziminyaminya kende zake zenye uviringo wa wastani,alilishikashika dudu hilo kwa nje ambapo liliongezeka ukubwa wa kutuna
Sasa ikawa kila mmoja anamshambulia mwenzake,ila Sophia ndiye alihitajika asiwe mzembe kwani yeye ndiye aliyotakiwa amzidi kete Kriss,basi ile khanga ya Sophia ikavuka na kumbakisha mma wa watu akiwa uchi kabisa,matako yake na hipsi zake zilinona kiasi kwamba hata ukiziangalia zenyewe tu lazima rijali ungedindisha dudu lako,halafu mama huyu hakuwa na ule unene wa manyama mengi,unene wake ulikuwa mzuri ndio maana watu walimpenda na kujikuta wakimhonga pesa nyingi
Mkono wa Sophia uliingia ndani ya bukta nyepesi ya Kriss na kulishika dudu lake ambapo kwa joto la mkono tu Kriss alianza kuhisi raha,mama huyo aliyekuwa na mitindo adimu ya kufanya mapenzi,alimvua ile bukta kama ana ugomvi na yeye,kisha akatanda katikati ya mapaja yake na kulishika vyema dudu hilo lililosimama na kuanza kulitumbukiza mdononi mwake,,,,kichwa dudu la Kriss kilipokelewa na ulimi wenye joto wa Sophia kisha kuzamishwa ndani kabisa ambapo Kriss wa watu alianza kuangaika na miguu yake,,,,aaaaaaaah,,,aaaaaaaaah,,,,,,mmmmh,,,aaaaaaaah,,,,alilalamika Kriss kwani alichofanyiwa na Sophia hakuwahi kufanyiwa na mwanamke yeyote,sio tu kunyonywa dudu lake bali Sophia aliongezea utundu uliomfanya Kriss kuanza kurusharusha miguu kama mtu mwenye kifafa kwa utamu aliouhisi,,,

Sophia alinyonya dudu la Kriss bila kulishikilia na mikono,halafu mkono mmoja ukawa unazishika kende zake huku mkono mwingine ukipishana vidole kwa kuviingiza kwenye kitobo chake cha haja kubwa,vitendo hivyo vitatu vilienda sambamba ambapo Kriss alisisimka kwa namna ya pekee mpaka akarusha bao lake lililochomoka na kumwagikia nje kwenye mashuka,,,basi Sophia akachukua kitambaa kisafi na kumkamua dudu lake kutoa shahawa zilizobakia,dudu likawa jipya kabisa
Kama ilivyo kawaida mwanaume unapomwaga huku dudu likiwa nje ya kitumbua,lazima liwahi kusimama tena,basi Kriss pesa zake ndizo zilizongea,Sophia alilikalia dudu hilo na kuanza kulikatikia mpaka ambapo alijilaza sambamba na mwili wa Kriss,akawa anamnyonya masikio yake Kriss aliyekuwa naye anajitahidi kumsugua huku akiyashika makalio yake makubwa,Kriss wa watu hakuchelewa kumwaga kwa mara ya pili ambapo aliacha mdomo wazi kama anataka kufa
Bada ya tendo hilo,Sophia aliingia bafuni na kuoga pamoja na Kriss kisha Sophia akaaga anaondoka,Kriss akiwa kwa nyuma yake alimsindikiza ambapo walikuja kushtuka walipofika sebuleni na kumkuta kijana Fulani wa makamo amekaa hapo kwenye makochi,salamu yake ndiyo ilimjulisha Sophia uhusiano uliopo kati ya Kriss na huyo kijana
,,,mbona uliniambia uko mwenyewe,,?,halafu ni mwanao,,?
,,,ni kweli,huyu amekuja tu mara moja,huwa Siishi naye hapa,,,
,,,mtajuana wenyewe,kwaheri,,,aliongea hivyo Sophia huku akielekea kwenye mlango wa kutokea,huku nyuma Kriss alimpa ada ya shule mwanaye huyo aliyejulikana kwa jina la Kairo kisha akaondoka,mama Kairo na Kriss waliachana muda mrefu ila hakuweza kupinga kwasababu tayari walishamzaa Kairo
Huku kwa upande wa Daki,ilikuwa ni siku ya jumatatu,ambapo kwa upande wa Daki aliomba iishe mapema,alikuja mgeni mmoja wa kike ambaye alikuwa ni mwanafunzi mwenzao,kibaya zaidi wakapangwa kwenye darasa moja,jina lake aliitwa Suzan Mwakifiro,kiukweli jina hili lilimshtua Daki na alipomwangalia Suzan,kwa mbali alifanana sura na babu yake
,,,mmh,ni mtoto wa babu nini,,?,kwa utani Diana alimtamania Daki
,,,sijui maana historia ya yule mzee ni hatari,,,
,,,inabidi umuulize baadaye ili ujue kama ni kweli au jina tu,,!
,,,sawa mama chanja wangu,,,alijibu hivyo Daki ambapo Diana alicheka kusikia jina la mama Chanja
Ilikuwa ni siku hiyo hiyo Daki alimfuata Suzan na kuanza kuongea naye ambapo lengo lake haswa ni kujua kama kweli ni mtoto wa Mwakifiro,akamchukua na kumpeleka sehemu fulanikwenye madarasa ya kidato cha kwanza yaliyokuwa hayatumiki,pia palikuwa ni mbali na ofisi za walimu
,,,Suzan,nimekwita hapa kuna mambo baadhi nahitaji kukuuliza,,,aliongea hivyo Daki huku jicho lake likiwa kwenye paja nono la Suzan lililokuwa nje ya Sketi ya shule
,,,niulize tu,nakusikiliza,,,sauti nyembamba ya kumbembeleza aliongea hivyo Suzan ambaye mapigo yake ya moyo yalikuwa yakienda mbio kwani alijua tu lazima atatongozwa
,,,umependeza na sketi yako,,,aliongea hivyo Daki ambapo hisia zake zilikuwa zimeshahama na kusahau alichotaka kumuuliza,jicho lake lilikuwa kwenye paja laini la Suzan
,,,mmh,ahsante,najijua nina mapaja mazuri,,,aliongea hivyo kwa kujiamini huku akivuta sketi yake fupi izibe mapaja yake
,,,usiyafunike bwana,mi naona raha kuyaangalia,,,
,,,kweli,,?,lakini hata wewe mbona ni Handsome boy,,!
,,,lakini siwezi kufikia uzuri wako,naomba usimame mara moja jamani,,,Maongezi taratibu yalihama na kuanza kuwa ya kitandani,Suzan aliinuka huku akijihisi aibu kisha akawa anamsikiliza Daki
,,,we ni mzuri jamani,angalia tako hili duuh,halafu huna hata kitambi,Chuchu nzuri,sura ya mvuto,mmh,umebarikiwaa,,,aliongea hivyo Daki huku akimsogelea Suzan aliyekuwa akiona aibu huku akichekea chini,tayari akawa amemshamsogelea karibu kabisa,wakawa wanagusana miili yao
,,,we mkaka unataka kufanya nini aisee,ujue tuko shuleni hapa,,!,aliongea hivyo Suzan ambaye uhandsome wa Daki ulimchanganya kwa ghafla,Daki ahakuongea,alipomsogelea zaidi dudu lake lililosimama kwa makusudi alimgusisha kwenye mapaja yake Suzan ambaye alitoa sauti Fulani ya kudeka,,,mungu wangu jamani weweee,,,ujue shuleni hapa we unasimamisha tu,,!,kauli hiyo ilimpa ruksa Daki ambapo mikono yake ilipenya na kumshika kiuno Suzan aliyeshtuka kidogo kwa nyege,,,we mkakaaa,,jamaniii,,,mi sitakiii,,aliongea kwa sauti ya kimahaba huku akijitahidi kujitoa kwa mikononi mwa Daki kwa kiuwongo na kweli
Daki alimshambulia Suzan kwa kumshikashika mapaja yake yaliyokuwa wazi ndani ya sketi fupi,mikono yake ilimpanda na sketi mpaka kwenye usawa wa chupi ya Suzan,huku juu Daki alifanya kama anamngatangata Suzan kwenye shingo yake ambapo Suzana alianza kuishiwa nguvu na kushindwa kumzuia tena Daki,,,pindi Daki alipompelekea mdomo Suzan hakukataa,alishiriki vyema kujibu mashambulizi ambapo walinyonyana denda huku wakishikanashikana sehemu za miili yao
,,,,mmmh,,,,aaaaaaah,,mmmmh,,,aliguna hivyo Suzan baada ya mikono ya Daki kuzama ndani ya chupi na kuyaminyaminya makalio yake laini,kilikuwa ni kitendo cha haraka kwa Daki kumpandisha juu sketi na kumvua chupi Suzan aliyekuwa tayari ameshapandwa na nyege,kitumbua na matako ya Suzan yalikuwa wazi kabisa,hapo ndipo dole la Daki lilipofanya kazi,,,,,alilishusha mpaka kwenye kitumbua chake n akuliingiza ndani kabisa kisha kukisugua kitumbua chake,,,,aaaaaaah.,,,,,mmmmmmmmmh,,,,,aaaaaaah,,,ssssssssss,,,aaaaaaaaah,,,hapo ni kama aliamsha mashetani ya Suzan,mtoto wa watu alilegea mwili,macho ndio usiseme kama yanataka kuanguka,,,aliyafumba na kufumbua kwa utamu wa dole hilo
Huku darasani,Diana ni kama machale yalimcheza,wengi walikuwa hawapendi jinsi Diana anavyompenda sana Daki halafu Daki hajatulia,,,eti,umemwona wapi Daki,,,watu wanakula raha zao huko,nenda kasomee upolisi uwe unawafunga wanaotembea na Daki,kashuhudie kule kidato cha kwanza,,,aliuliza Diana n akujibiwa hivyo kwa kejeli ambapo alitoka mbio kwenda kuona nini kinaendelea kwasababu kwa mara ya mwisho anakumbuka alimruhusu Daki akaongee na Suzan,kibaya zaidi alioangaza macho darasani kabla ya kutoka hakumwona Suzan,,,,,

ITAENDELEA

CHACHANDU YA MUHOGO – 3

Related image

Chombezo : Chachandu Ya Muhogo
Sehemu Ya Tatu (3)

,jamani Ndakii,,tabia mabaya hiyoo,,,aliongeza kusema hivyo Editha aliyekuwa amemgeuzia matako yake manene yaliyolendemka hasa,jinsi ambavyo Editha alivyokuwa akipigapiga miguu yake chini ishara ya kudeka Fulani basi matako yake nayo yalikuwa yakitikisika kama yanataka kuanguka,utamu ulizidi ambapo Daki alisimamisha dudu lake kwa tamaa kweli
Lakini Daki akiwa amejificha hapo mara simu ya Editha iliyokuwa hapo sebuleni kwenye kochi iliingia meseji,,,samahani mpenzi wangu,nitachelewa kidogo,lakini usiniwekee asilimia nyingi za kuja,,,iliandikwa meseji hiyo ambapo Editha alipomaliza kuisoma alipimpigi asimu huyo aliyekuwa mpenzi wake ambaye siku hiyo walipanga waje wasuguane hasa
,,,Ndaki lakini sasa ndio umefanya nini bwana,,!
,,,sio kosa langu mpenzi naomba nielewe,ni dharula tu imetokea,,,
,,,dharula gani hiyo mpaka mimi unione sina umuhimu,au dudu lako limeshakuwa la serikali,,?
,,,hapana jamani usifike huko,,,
,,,;lazima nifike,sasa hizi nyege nitazipeleka wapi sasahivi,na ukisikia kidume mwenzako yupo juu anapasha misuli usishangae,,,
,,,jamani,mpe,,,,hata hajamalizia kuongea neno Mpenzi Editha alikata simu na kuirusha kwenye kochi kisha na yeye akajitupa kwenye hilo kochi mpaka khanga yake ikafunuka na kuliachia paja lake wazi kabisa,,,,
Daki hakutoka pale alipojibana ambapo kwa kupitia upenyo kidogo alimwona Editha kila alichokifanya,basi Editha alikwenda na kufunga mlango na funguo kabisa kisha akirudi kwenye kochi na kuchukua rimoti ya Tv,akaiwasha kisha akairuhusu CD hiyo aliyoisimamisha kwa muda,,,kumbe ilikuwa ni X au Pilau kama wasemavyo waangaliaji wengi kuficha makali ya jina X
Basi Editha alijipanua mapaja mwanuu,moja magharibi lingine mashariki kisha akaanza kujiingiza vidole huku akilalamika kwa sauti ya chini kabisa,dole la Editha liliingia kwenye kitumbua chake huku mkono mmoja akijishika Chuchu zake,mpaka hapo khanga yote ilishamvuka,,alikuwa uchi kabisa,mapaja yake yaliyonona yalionekana vyema kiasi ambacho Daki hakuweza kuvumilia tena
,,,we ni nani,,?,aliuliza Editha alipomwona Daki mara baada y akajitokeza na kujifunga khanga yake
,,,naitwa Daki,naishi nyumba ya jirani hapo,nilikuja kurekebisha redio yenu(Sabufa) hapa,mama yako alinipigia simu,,,
,,,mama,,?,ngoja nimuulize,,,!aliposema hivyo Editha akawa anataka kuchukua simu yake ampigie mama yake kwani redio haikuwa mbovu,ile anafikisha mkono wake kwenye kochi ili achukue simu,tayari Daki akawa ameshafika naye karibu yake akimzuia kwa kuuweka mkono juu ya mkono wake
,,,sikiliza Editha,najua una nyege,na mimi ninazo pia,,,
,,,kwahiyo,,?,kwanza wewe ni nani,,?,Daki aliuchukua mkono wa Editha na kumshikisha sehemu ya zipu yake ambayo ilikuwa umetuna hasa,Editha alipogusa dudu la Daki kwa kulazimishwa alijifanya anatoa mkono ili asitoa kitumbua chake kirahisi lakini ukweli ni kwamba nyege alishazipandisha na alihitaji kushtushwa
Ukimya ukatawala kwa sekunde Fulani ambapo akili ya ngono ndio ilikuwa vichwani mwao wote wawili,kweli nyege mbaya sana,Daki alipoupeleka mdomo wake karibu na mdomo wa Editha,kwa mwanzoni Editha alionyesha kutopenda kitendo hiko kwa kutulia kimya bila kufungua mdomo wake,Daki alipoona hali hiyo ya utulivu aliongea na kumshika matako yake manono yaliyojaa utamu,,,Editha alishtuka huku akiileta mikono yake nyuma kujifany akama anamzuia Daki asimshike,mikono ya Daki ilikuwa kama ina ugomvi na matako ya Edith akwa alivyokuwa akiyashikashika,,,mikono yake ilimpanda mpaka kwenye kiuno ambapo Editha hakuwa na ujanja,alitulia huku akihema kwa kasi,mwenyewe aliutfuta mdomo wa Daki ulipo na kuanza kufungua kinywa chake kwa ajili ya kunyonyana denda,,,,
Denda lilikazana huku wakigombaniana ndimi zao,daki aliona hafaidi kushika matako hayo yaliyokuwa ndani ya khanga,alitoa khanga yote na kumbakiza uchi kabisa Editha aliyekuwa ameshapanu mguu mmoja kwa utamu aliouhisi,wakati denda linaendelea,ikabidi Daki amsaidie Editha ile kazi aliyokuwa anajifanyie yeye mwenyewe ya kijiingiza vidle kwenye kitumbua chake,,,,
Dole la Daki lilishuka chini na kuingiza kwenye kitumbua cha Edtha kilichojaa nyama na kutuna mashavu yake,,,,aaaaaaaaah,,,,aaaaaaaaaah,,,,,,ssssssssssssssss,,,,,aaaaaaaah,,,,alilalamika Editha huku mdomo wake ukishindwa kushiriki vizuri tendo la denda kwa utamu wa kuingizwa dole,basi Dole la Daki lilimsugua Editha kiarage chake kilichosimama kwa nyege,,,mmmmh,,aaaah,,masikini wa watu Editha alikamatika hasa,alipiga kelle za utamu huku akijitahidi kukikatikia kidole cha Daki,basi alichokifanya Daki,alilitoa dudu lake kupitia hapo kwenye tundu la zipu kisha akaliingiza haraka kwenye kitumbua cha Eitha kilichokuwa kimelowa hasa,akamshika vyema huku wakiwa wamesimama hivyo na kuanza kumsugua,,,,aaaaaaaah,,,,aaaaaaaaaaaiiiiiiiissssssss,,,aaaaaaaaah,,,mmmmh,,,,alilalamika Editha kwa utamu wa dudu la Daki lilipoingia ndani ya kitumbua chake
Dudu la Daki lilianza kumsugua Editha ambapo lilizama lote na kutoka kwenye kitumbua hicho kilichokuwa na joto wastani lililomsisimua zaidi Daki,mikono ya Daki ilikuwa ikiyashika matako ya Editha yaliyokuwa laini na makubwa kwa kuyaminyaminya kama anakanda unga wa ngano,pia mikono ya Editha ilikuwa shingoni mwa Daki akimshika hasa n akumpapasa kichwa chake,,,,mguu mmoja wa Editha linyanyuliwa kwa pembeni na Daki ili apate nafasi nzuri ya kumsugua hasa Editha mwenye nyege za kutosha,

Editha wa watu alilalamika kwa utamu wa dudu la Daki lililokuwa linaingia na kutoka kwenye kitumbua chake,,,daki alishindwa kujizuia bao lilipokuwa linakaribia,naye alianza kuweweseka kwa utamu,,,aaaaaaah,,,ooooooossssssssss,,,aaaaaaah,,,hapo Editha hakuwa mjinga,naye aliyakata na kumkumbatia Daki huku dudu lote likizama kwenye kitumbua chake kinono chenye mashavu laini,,,,alianza Editha kutoa uji wake huku akifuatiwa na Daki aliyejikaza hasa,miguu yote ilikaza ambapo kufumba na kufumbua alijikuta yuko chini juu ya Editha,,,aaah,,,aaaaaaah,,alimalizia utamu wake kwa kulia hivyo Daki ambapo dudu lake lilikuwa limeshachomoka nje ya kitumbua,kweli nyege mwanaharamu,walipomaliza kusuguana ndipo akili zikawajia vizuri,Editha alimsukuma Daki kwa nguvu na kujitoa mwilini mwake kisha akijifunga khanga na kuketi kwenye Kochi,,,mungu wangu,mbona nimegawa utamu halafu hata mtu simjui,hata Kondomu hatujatumia,,,alijisemea hivyo Editha moyoni huku akiona aibu kumwangalia Daki mwenye macho makavu asiyejishtukia hata kidogo
,,,Editha,usiogope,kuna jambo inabidi ulijue,,,
,,,jambo gani,kwanza uongee haraka uondoke,,,
,,,usiwe na hasira,vitu kama hivi vinatokea hasa maji yanapofika shingoni mama,,!
,,,mama yako nani,we chizi nini,,,
,,,haya,lakini unamjua baba yako,,?
,,,tena ukitaka uniudhi na nikufukuze ndani humu,niulize tena maswali hayo ya kipuuzi,,,
,,,sio upuuzi Editha,weka hasira kando,baba yako namjua,,,hapo ndipo Editha alipokaa vyema na kumwangalia Daki kwa umakini,kwani alitamani sana kumwona baba yake
,,,umesema,,?,kwa upole aliuliza Editha
,,,baba yako ni babu yangu na amefanana na wewe sehemu kubwa,kwa mama yako pengine umechukua mwili tu,,,
,,,yuko wapi sasa hivi,unaweza ukanipeleka,,?
,,,ndio,naishi naye,kwavile sio mbali sana,twende,utarudi baadaye mida ya usiku,,,
,,,una uhakika na unachokiongea ili nikuamini,,?
,,,sidhani kama kweli huniamini kwani usingenipa tamu yako niifaidi bila kondomu,,,
,,,,Pumbavu wewe,,!,aliongea hivyo Editha na kuingia ndani kisha akajisafisha na kuvaa mavazi ya kutokea,safari wakaianza akiwa na Daki pembeni yake,njiani ilikuwa ni kutaniana tu kwani Daki ilipaswa amwite Editha Mama mdogo,damu ziliendana n akufurahia,walijiachia kwani kila mmoja alimjua mwenziye kiundani zaidi
Huku kwa mkubwa wa kazi Mwakifiro,mzee ambaye damu yake bado inachemka,siku hiyo akiwa ametulia nyumbani ambapo alibaki yeye mwenyewe,Daki ndio safarini kurejea na Editha,mlango ulibishwa hodi ambapo Mwakifiro akiwa na amevaa msuli wake na Vesti aliinuka na kwenda kufungua,,,whaaoo,,!alikuwa ni yule binti aliyetumika kama mfano wa kusuguliwa ili Daki ajifunze mbinu,safari hii alipendeza hasa sio kama mwanzoni alionyesha kabisa ni binti wa mtaani mwenye shida,,,nimekuja kukusalimia babu,,,aliongea hivyo binti huyo aliyekuwa na dimpo kwenye mashavu yake,,,Mwakifiro alimkaribisha mpaka ndani kisha akafunga mlango kabisa utadhani alijua nini kitaendelea ndani hapo
Waliketi makochi tofauti huku Mwakifiro tayari alishaanza kuvuta hisia za kumsugua binti huyo aliyekuja kitofauti kweli,jicho la Mwakifiro lilitua kwenye mapaja ya mtoto huyo yaliyojaa na kunona hasa ambapo yalikuwa ndani ya Skin jinz nyeusi,huku juu alivalia blauzi ndefu mithili ya gauni fupi,lililozichora Chuchu zake na tumbo lake lisilo na mabonde,kwa jinsi alivyokaa makalio yalitawanyika na kufanya hipsi zake zitune hasa hapo kwenye kochi
,,,mbona unakaa mbali jamani,salamu itafika kweli huko,,?,alianzisha Maongezi hayo Mwakifiro huku akimmezea mate kweli binti huyo
,,,babu bwana,hapa panatosha,,,alijibu kwa mapozi huku akiona aibu usoni mwake binti huyo
,,,sogea hapa mjukuu wangu unisalimie vizuri,babu yako nimekumisi,,,dudu la Mwakifiro lilishaanza kusumbua kwenye msuli wake ambapo alichoongozwa nacho ni tamaa ya ngono tu
Basi naye binti huyo alijisogeza kivivu kama hataki Fulani hivi,akanyanyuka kwenye kochi lake na kumfuata Mwakifiro kisha akaketi kama mtu aliyechoka sana ambapo alimwegamia Mzee huyo na kumsisimua zaidi Mwakifiro,mikono ya babu alimshika mabega yake binti huyo na kumgeuza kisha wakawa wanaangaliana
,,,hivi unajua sikio la huba wewe,,?,alihoji hivyo huku sura zao zikiwa zimekaribiana
,,,hapana,ndio nini,,,aliuliza binti huyo ambaye kwasasa alionekana kabisa aibu zimemtoka
,,,sawa,leo nitakufundisha,mdomo ndio sikio la Huba,sikio la mapenzi au sikio la mahaba,,,
,,,mmmh,una maana gani babu,,?
,,,njoo ninongoneze kwenye sikio la huba nililokwambia,,,
Basi Binti huyo aliufuata mdomo wa Mwakifiro ambapo hakukuwa na kunongonezana wala kuambiana chochote,walianza kunyonyana Denda la nguvu ambapo zilisikika kelele za ndimi zao zikigombaniana mate,ilikuwa ni utamu hasa ambapo binti huyo aliyezoeleka kwa jina la mtaani Minaa,mikono yake aliizungusha shingoni mwa Mwakifiro na kuingiza vidole vyake kwenye masikio ya babu huyo aliyekuwa ametulia akisisimka kimyakimya
Mina alipandisha paja lake nono lililojaa nyama mahaba juu ya mguu wa Mzee Mwakifiro ambapo lilishikwa na mkono wa babu uliokuwa unatembea mpaka kwenye makalio,hakukuwa na muda wa kupoteza,ndani ya dakika kadhaa wote walikuwa kama walivyozaliwa,hapo Mwakifiro ndipo alipomtambua Minaa
Binti huyu alipiga magoti na kumsogelea Mwakifiro aliyekuwa uchi amesimamisha dudu lake ambapo aliketi kwenye kochi na kuegemea,mkono mmoja wa Minaa ulishika dudu hilo lilisimama,kisha ulimi wake ulianza na kuzilamba kende zake,,,aaaaaah,,,aaaaaaaah,,,alianza kuguna kwa utamu Mwakifiro huku akimwangalia Minaa,ulimi wa Minaa ulishuka mpaka kwenye lile eneo karibu na kitobo cha haja kubwa,Mwakifioro alitaka asimame kabisa kwani utamu ulizidi,,,basi Minaa alicheza na hilo eneo la katikati ya kende na kitobo cha haja kubwa mpaka Mzee wa watu akawa anaunyanyua mguu wake juu ili ulimi wa Minaa upate nafasi nzuri ya kumnyonya,mkono mmoja wa Minaa ukawa unalisugua dudu la mwakifiro kama unampigisha punyeto,,,,aaaaaaaaah,,,aaaaaaaaah,,,,aaaaaaaah,,oooooh,,,alizidi kupiga kelele za utamu Mwakifiro ambapo binti huyo alihamia kwenye kichwa cha dudu la mwakifiro lililovimba hasa,akipanua mdomo wake na kuutoa ulimi ambao ulianza kukilamba kile kichwa na Dudu mpaka kwenye ule mstari,ulimi wake ulirudi kwenye kitobo cha dudu na kukinyonya kichwa hicho kwa muda kisha akaliingiza dudu lote mdomoni na kuanza kulinyonya taratibu,vidole vyake vikawa kwenye kende vinazichezea kwa kuzifikicha japo sio kwa nguvu,,,,,aaaaaah,,,aaaaaaah,,,,Mwakifiro alipatikana,,,alinyonywa dudu lake ambapo bao lilianza kuja,,,alihangaika kwa kunyoosha kmiguu yake nakukunja uso wake huku akishika kichwa Minaa na kumkandamizia kwenye dudu lake azidi kulinyonya,,,,basi naye Minaa aliliandaa dole lake la kati kisha akalichomeka kwenye kitobo cha haja kubwa ambapo nakuanz akukiingiza na kutoa,,,,mamaaaaaaaa,,,,aaaaaaaaah,,,,aaaaah,,,ooooooooossssssssssssss,,,,,aaaaaaaah,,,,alikuwa ni Mzee Mwakifiro akimwaga bao lake lililoruka
Huku nje tayari Editha na Daki walikuwa wameshawasili muda si mrefu,na zile kelele walizisikia kabisa kwamba kuna kusuguana kunaendelea ndani humo
,,,Daki,,!,hapa ndio kwenu,,?
,,,ndio,,,
,,,sasa mbona sielewi,watu wanafanya mapenzi,baba yangu ndio ataishi kweli humu,,?,,

ITAENDELEA

CHACHANDU YA MUHOGO – 2

Related image

Chombezo : Chachandu Ya Muhogo
Sehemu Ya Pili (2)

Sophia kwenye maisha yake alibahatika kuwa na mtoto mmoja wa kike ambaye alikuwa anasoma kidato cha tatu shule ya mbali kidogo,leo alikuja kumtembelea mama yake mahali anapofanyia kazi,,
,,,mama kwanini unauza huku mgahawa halafu una maisha mazuri tu,,!
,,,we mtoto,nyamaza hivyohivyo,wakikusikia wateja wangu wanaweza kujua nawakejeli,,,aliongea hivyo kwa hasira Sophia huku akimkata jicho mwanaye aliyekuwa na nia njema ya kutaka kujua ukweli
,,,sawa mama,,,
,,,kwanza biashara zinaendaje,maana umerudi inabidi unisaidie kusimamia mwanangu,,,
,,,jana nilikuwa huko na sikuona kasoro yeyote,watu wanafanya kazi vizuri tu,ila,,,
,,,umeanza hivyo mwanangu,nini tena,,,
,,,uliniahidi likizo hii utanionyesha baba yangu,,,
,,,aaah,kwanini unamkumbuka hivyo wakati nilishakwambia alikukataa tangu ukiwa tumboni,,?
,,,sio kwa nia mbaya mama,nahitaji kumwona tu,wenzangu shule wananitamanisha wanavyokuwa na baba zao mi nabakia kuchekwa tu jina la baba yangu nisiyemjua,,,
,,,ni kweli mwanangu,sawa,iko siku utamwona tu hata kama sio kipindi hiki,sawa mwanangu,,?
,,,sawa mama,,,
Sophia na mwanaye aliyejulikana kwa jina Editha,walikuwa katik amaongezi hayo ambapo mtoto alikuwa anadai kuonyeshwa baba yake asiyemwona tangu azaliwe,Sophia alimficha kwa muda wote huo huku akiwa hana hata mpango wa kumwambia ukweli kuhusu baba yake
Tukirudi kwa Mzee Mwakifiro siku hiyo akiwa ameketi nyumbani kwao kwa nje kwenye kiti cha kulala ambapo gazeti ndilo alikuwa amelishika akilisoma,wakati anafunua ukurasa mwingine ili aendelee kusoma habari,mara akamwona jirani yake wa kike aliyekuwa na mambo ya Kiswahili hasa,alikuwa ndani ya khanga moja tu ambayo iliangaza mpaka ndani akawa anaonekana kwa mbali
Macho ya Mzee Mwakifiro yalimsindikiza jirani huyo aliyekuwa anatembea kama anafanya makusudi kwani tako lote lilikuwa linatingishika kama linataka kuanguka,matako yake yalikuwa yakigongana na jinsi yalivyokuwa makubwa wastani ukizingatia ndani ya khanga moja ndio balaa zaidi lilizidi,halafu ni kama alikuwa anafanya makusudi vuile kwani alipogeuka na kukutana uso kwa uso na Mwakifiro akacheka huku akikaza mwendo na kuzidisha kutingisha matako yake
Macho ya Mzee Mwakifiro hayakuacha kumwangalia hata alipoingia bafuni,aliposikia kopo la kwanza la maji akijimwagia akajua kabisa tako lote lipo nje linapata maji,picha aliyojijengea kichwani ikaanza kumfanya adindishe dudu lake
Baada ya muda jirani huyo aliyekuwa bado binti kabisa kwa kumkadiria hakuzidi miaka ishirini na sita,akatoka bafuni akiwa na ndoo yake mkononi,bado Mwakifiro alimkazia jicho na kumfanya jirani huyo kucheka kwani utani kwao haikuwa kitu kigeni,,basi jirani alienda mpaka kwenye jiwe Fulani kwa ajili ya kusugulia miguu,akaanza kujisugua miguu yake,,hapo ndio Mwakifiro alizidi kudindisha baada y akuona matako ya jirani yakiyumba kwa utamu,yaani ni kama roho yake ilikuwa inataka kupaa kwa jinsi alivyojisikia,,,
,,,jirani makusudi hayo jirani,,,aliongea Mwakifiro kwa utani huku hali ikiwa kweli imebadilika ndani ya zipu yake
,,,jamani mchumba na uzee wote huo bado tu,,,
,,,zipo ndio,kwani huwa zinakufa?,ng’ombe hazeeki maini bwana,,,
,,,tulia bwana,mizigo ya wenyewe hii,,,
,,,aaah,nikaribishe hata nikupake mafuta jirani,,,
,,,usije ukataka mengine halafu ukanifia bure,,,
,,,mi nakuja bwana,Jirani eeh,,!
,,,njoo,,,
,,,kweli,,?
,,,njoo,,,alirudia kusema hivyo Jirani huyo na kuondoka kuingia chumbani kwake,huku nje Mzee Mwakifiro alikuwa amedindisha mpaka kupitiliza kwavile walishazoeshana utani basi akawa anajishauri ni kweli amemaanisha au lah!,ila kwa ujasiri Mzee huyu aliinuka na kumfuata Jirani yake
Alipousukuma mlango wa jirani ulikuwa wazi,akaufungua na kuingia,akamkuta jirani akiwa bado hajatoa khanga yake ila alikuwa amekaa kitandani,mapaja yake yalinona yalituna na kuonekana manene kiasi ambacho hata khanga yenyewe ikawa haitoshi kumficha vyema mapaja yake,kuna baadhi ya sehemu ya upaja wake ikawa inaonekana laivu,,,
,,,yaani umekuja kweli,utaniletea balaa we Mzee,,!
,,,usijali bwana,kwani jamaa yuko wapi,,?
,,,amesafiri,sa unachotaka nini bwana babu,,,alipoulizwa swali hilo Mzee Mwakifiro alimsogelea jirani aliyekuwa anasogea naye pembeni kama kumkwepa kusababisha paja lake lizidi kufunuka japo alijitahidi kujifunika vizuri
,,,una paja zuri Jirani,,,mkono wa Mwakifiro uliwasili kwenye paja laini la Jirani na kuanza kumshikashika
,,,babu bwana,ondoka,tukifumwa hapa nitauliwa na yule bwana we mwenyewe unamjua,,,aliongea hivyo Jirani huku akiushika mkono wa Mwakifiro uliokuwa unazunguka kwenye paja lake kwa mtindo uliomsisimua na kumsababishia kutoutoa kabisa
,,,Jirani hizi Chuchu kama mtoto mdogo jamani,mmh,,,alizidi kuongea hivyo Mwakifiro huku akipeleka meno yake na kukifungua khanga yake Jirani aliyojifunga kupitia kifuani kisha akakiacha kifua hicho wazi,,,,ulimi wake Mwakifiro ulizivamia Chuchu hizo na kuanza kuzinyonya kwa zamu haraka,,,babuuu,,,babuuu,,aaaaaaaah,,,jamaniiii,,,,alitaka kuongea kitu lakini hakuweza kupingana na hali halisi aliyokuwa anajisikia pindi ulimi wa Mwakifiro ulipokuwa unazinyonya Chuchu zake
Mkono wa Mwakifiro haukutaka kuingia ndani ya kitumbua kwanza,ulianza kuyashikashika mapaja huku ukiiangia mpaka katikati ya mapaja karibu kabisa na kitumbua,,,aaaaaaaaah,,,,mmmh,,,sssssss,,,babuuuu,,mtoto wa watuy alianza kulegea,hata wakati mkono wa Mwakifiro ulipokuwa ukifika karibu na kitumbua jirani alikuwa kama anashtuka kwa kurudi nyuma kwani alijua fika kidole kikizama kwenye kitumbua chake kifuatacho ni utamu wa kufa mtu,,,,,,,

Mwakifiro alipenyeza dole lake lililoingia ndani kabisa ya kitumbua cha jirani aliyekuwa ameshaanza kulegea,dole la Mzee Mwakifiro lilizama ndani ya kitumbua na kukisugua kile kiarage chake kilichosimama kwa hamu,basi Jirani kwa kupagawa na utamu aliamvuta Mwakifiro na kuanza kumpa zawadi ya denda,walinyonyana ndimi zao huku Dole la Mwakifiro likiendelea kuzama kwenye kitumbua cha Jirani kilichonona kwa kutuni mashavu yake ya pembeni
Jirani kwa kujiachia alijitanua mapaja yake ili kuruhusu Dole la Mwakifiro lipenye vyema kwenye kitumbua chake kimono kilichoanza kutoa mchozi wa utamu,Mwakiforo hakukubali kunyonyana denda muda wote,alijitoa ulimini mwa Jirani na kuhamia kwenye ngome za masikio yake masafi yaliyokuwa na tundu Fulani dogo lililomwezesha kupenyeza ulimi wake alioukunja na kuwa mwembamba kisha akauingiza ndani ya masikio,,,,aaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaaaaah,,,ooooooh,,,ssssssssssssssssh,,,alilalamika jirani huku Mwakifiro akiendelea na zoezi lake la kumsugua kiarage chake na dole lake mpaka kuna muda aliingiza viwili kabisa
Mikono ya Jirani ikaanza kutafuta dudu la Mwakifiro lilipo ambapo alilito n akumvuta Mwakifiro aje amsugue,basi Mwakifiro alimpanda Jirani kwa juu na kumwingiza dudu lake lililoingia kwa kuteleza kutokana na kuwepo kwa ute w akutosha ndani ya kitumbua chake,,,,,aaaaaaaaaah,,,,,aaaaaaaaaah,,,,ilikuwa ni kazi ya dakika kumi na tano ambapo Mwakifiro alipokojoa naye Jirani alikuwa hoi,mtoto wa watu alilalamika wakati mchezo ukichezwa,hatimaye alimwaga bao lake dakika za mwanzoni kabisa na kumsubiria Mwakifiro naye aachie bao lake
,,,mzee wewe una mambo jamani,,,
,,,ngoja niende mama,maana tukifumwa hapa ntauliwa,mtu mwenyewe naishi kwa figo kwa moja tu,,,
,,,ushaanza vituko vyako,na uodnoke kweli,ila mmh,,
,,,nini tena mama,ushanogewa hivyo,namba zangu za simu unazo na jina sijabadilisha Facebook na Twitter,,,
,,,(kicheko),,,aliangua kicheko Jirani huyu aliyekuwa amejipitisha tu khanga kuziba mapaja,matiti na kitumbua,,,
Mwakifiro aliondoka kwa mwendo wa umakini huku akiangalia huku na kule kama ataonekana,alifanikiwa kuchomoka salama ambapo alipofika nyumbani alimkuta Daki akiwa ameketi sebuleni,,,
,,,babu umetoka wapi,,?
,,,tulia Daki,usijaze inzi basi,,,
,,,haya bwana,,,
Mwakifiro alipitiliza mpaka bafuni na kuoga kisha kurejea sebuleni tena ambapo aliporudi alikuwa mtu wa tofauti sana,hakuwa mchangamfu kama mwanzoni
,,,babu vipi tena,,!,ghafla uso umebadilika kuna nini,,?
,,,kuna kitu hukijui Daki mjukuu wangu,,,
,,,kitu gani hicho babu,mbon aunaongea tofauti leo,,!
,,,mimi babu yako,nilikuwa mtu wa wanawake sana enzi za ujana wangu hata nilipofikia hatua ya kuoa,tabi hii ilikuwa ni kama iko kwenye damu,sikupenda kufanya mapenzi na mwanamke mmoja,nilifanya na wengi sana,nakuambia hii kwasababu hata mama yako hajui siri hii,,,
,,,nakusikiliza babu,siri gani hiyo,,,
,,,nina watoto wengi sana,kiukweli hawana idadi huko mtaani,mikoani na kila sehemu ambapo nilikuwa naishi,si chini ya watoto watano au saba nilikuwa nawaacha kwa wnawake tofauti,,,
,,,kwani hiyo ni dhambi babu,,?
,,,kweli waweza sema sio dhambi lakini ukizungumzia uzinzi hiyo lazima useme ni dhambi,kubwa zaidi,kwa akili ya ujana niliona njia bora ya kuwa mbali na matatizo hayo ni kukimbia mimba,na nilifanya hivyo kwa kila mwanamke aliyeniambia ukweli au mimi kuhisi dalili,hii ndio dhambi kubwa niliyoifanya,lakini niliwaambia kitu kimoja wasibadili jina langu,yaani watoto watakaozaliwa wasitumie jina la baba mwingine kama ni damu yangu,,,
,,,mmh,kweli hiyo ni dhambi kubwa,babu usiwaze sana,hutokea katika maisha,lakini mbona kama nakuona kuna kitu unataka kuniambia bado,,!
,,,ni kweli,nahitaji kukupa kazi,kuna mama Fulani anaitwa Sophia,nahitaji uende kwake na ujitahidi kumwomba msamaha kwa niaba yangu labda atakuelewa,kwake nina mtoto mkubwa sana,huyo ndiye nina Kumbukumbu naye nzuri na najua anapoishia,,,
Kwa moyo mmoja alikubali Daki kufanya kazi hiyo ila kwa siku za mwisho wa wiki ambazo mama yao huwa anatoka nyumbani hapo,basi Mwakifiro alimpa maelekezo yote Daki na kumtuma rasmi kazi hiyo,kumbe Sophia yule Mpika mihogo alishawahi kufanya amapenzi na Mwakifiro ndio akapata yule mtoto wa kike anayesoma kidato cha tatu,Editha
Basi Daki kw maelekezo ya babu yake aliweza kusafiri mpaka kwenye nyumba ya Sophia ambayo ilikuwa ni nzuri hasa,mazingira yalikuwa tulivu sana ambapo alielekea moja kwamoja na kubisha hodi,kwa asilimia zote alijua ndio hapo kwani alipewa maelekezo yaliyokamilika,ilipita dakika moja mlango haukufunguliwa,aliusukuma na kuingia ndani ya nyumba,,,
Palikuwa na utulivu hapo sebuleni ambapo kabla hajakaa vizuri alisikia sauti ikisema,,hata ukiingia kimyakimya najua tu,nakuja baby wangu,,,sauti hiyo ilikuwa ni ya kike ambapo Daki hakuelewa bado,,,ananiita baby,,?,au aliweka miadi na baby wake nini,,?,duh,zari hili,,alijisemea moyoni Daki huku akiangaza macho kule sauti ilikotokea,,alipoikia hatua za mtu akija sebuleni hapo,akajificha ili aone ni nani huyo,,,,whaoo!,alikuwa ni Editha aliyerithi umbo la mama yake hasa kwa upande wa makalio,hipsi na kiuno,mtoto alikuwa na mvuto wa hatari,kilichommaliza nguvu Daki ni ile khanga aliyoivaa
Editha,kumbe alitoka kuoga hivyo khanga yenyewe iliganda kwenye mwili na kumsababishia Daki kudindisha haraka dudu lake,ndani ya khanga Editha hakuvaa kitu chochote hivyo khanga hiyo inasana pale kwenyemstari wa ikweta n akusababisha matako yake kuonekana laivu ukubwa wake uliomsisimua Daki,akitembea sasa ndio mama weweeee huku nyuma kama anafanya makusudi,,huo mguu kwanza hapo chini ni wa shampeni sio wa bia tena,,,,babyyyyy,,,aliita hivyo kwa kuvuta Editha huku akijua ni mpenzi wake,,,Ndakiii,,aliita hivyo ambapo Daki alishtuka kwani alihisi ni yeye anaitwa hivyo,,

ITAENDELEA

CHACHANDU YA MUHOGO – 1

Related image

Chombezo : Chachandu Ya Muhogo
Sehemu Ya Kwanza (1)

Haya yalikuwa ni Maongezi kati ya Mjukuu na babu yake,hii ni baada ya kuona wanawake wanamtosa sana,hali iliyompelekea kuwa muwazi kwa babu yake kwani ndiye pekee mkubwa aliyekuwa anaweza kumwambia siri zake,walikuwa wamekaa nje chini mwembe
,,,mjukuu wangu sikiliza,umepata bahati sana ya kuwa na babu kama mimi ambaye unaweza ukaniambia kila kinachokusumbua,,,
,,,ni kweli babu,sasa hilo jambo unanisaidiaje,,?
,,,hiyo ni kazi ndogo sana,cha kufanya,ukimpata mwanamke mlete kwangu halafu nitakwambia kitu kizuri juu yake,,,
,,,haya babu,kwahiyo una uhakika haya matatizo nilivyokwambia hayatatokea,,?
,,,ndio,ila unachotakiwa kufanya ni hiki,ukimleta msichana wako aje na mwenziye mkubwa kidogo au sio babu,,?
,,,aaaah!,na wewe unataka babu eeh,,!
,,,ndio hivyo nichangamshe damu kidogo,CHACHANDU yangu inatakiwa kuchachuliwa,,,
,,,sasa itakuwaje mimi nikiwa na msichana wangu halafu wewe na huyo mkubwa,,?
,,,ooh,ni kweli,basi fanya hivi,mlete huyo msichana mkubwa ambaye unahisi atanifaa mpange kila kitu halafu mi nije nimalize tu,,,
,,,sawa,,,
Maongezi hayo kati ya babu na mjukuu yaliishia hapo ambapo walikubaliana kuwa mjukuu alete msichana mkubwa kidogo kisha kupitia babu na huyo msichana wakifanya mapenzi ndio mjukuu apate kujifunza,mjukuu huyu kwa jina alijulikana kama Daki huku babu yake akiitwa Mwakifiro,walichagua siku ya Ijumaa kwa ajili ya kufanya walichopanga kwani siku hiyo mama Daki huwa anaondoka na kuelekea kwenye biashara zake na kurudi Jumatatu,hapo nyumbani waliishi watu watatu tu,Daki,Mwakifiro na mama Daki aliyejulikana kwa jina la Stumai
Kama walivyokubaliana,Mzee mwakifiro siku hiyo ya Ijumaa ilipowadia ambapo mama Daki aliondoka,basi Daki alifanya kila njia kwa kutumia pesa na maneno ya ushawishi ili kumpata wa kufanya amapenzi na babu yake,alimpata ambapo walikubaliana kuwa siku hiyo atakuja saa kumi na mbili jioni
Daki alipoona binti huyo haji na muda waliokubaliana umepita,alichukua simu yake na kumpigia,,,
,,,mbona huji jamani babu anakusubiri,,,
,,,nilikuwa namalizia kazi za nyumbani,sasahivi ndio nakuja,,,babu aliposikia hivyo mpaka dudu lake lilisimama kwani walimweka loudspeaker,
,,,haya babu anakungoja nyumbani,,,
,,,lakini,kwanini isingekuwa na wewe jamani,babu kabisa,,?
,,,we usijali,mwenyewe utafurahi ukimaliza hili tukio,,,
,,,haya nakuamini,,,
Simu ilikatwa kisha Daki alijificha kwenye chumba Fulani ambacho kilikuwa na madirisha yaliyomwezesha kuona kinachoendelea sebuleni kwa uhuru,ni kweli ndani ya dakika kumi mtoto aliwasili ambapo alipobisha hodi Mwakifiro alimfungulia mlango na kumkaribisha vizuri,Mzee Mwakifiro aliitwa babu kwavile alikuwa na mjukuu lakini umri haukwenda sana,pia umbo lake lilimsapoti kuficha idadi ya miaka aliyonayo,kwani hakuwa mrefu,alikuwa mwembamba ambaye ujana wake alikuwa ni mtu wa mazoezi hasa hivyo hata mkongojo hakujua
Kweli binti huyo alikuja kikazi hasa,alivalia khanga kwa kuifunga kiunoni ambayo ilimwonyesha jinsi gani ndani alivyo,kuanzia chupi yake iliyokuwa na rangi ya bluu ilionekana vyema,ni kweli mbali na maisha magumu aliyonayo binti huyo lakini alijaaliwa umbo la utamu,kifuani Chuchu nzuri zilizochomoza ambazo zilimtoka babu mate mdomoni,huku juu alivalia blauzi Fulani iliyomchora vizuri Chuchu mpaka eneno la tumbo
,,,nilijua hautakuja,nikasema leo nitapiga punyeto nini,,,alianzisha Maongezi Mwakifiro ambapo binti huyo aliyekaa pembeni yake alikuwa akiangalia chini
,,,hamna,,,kwa sauti ya aibu alijibu hivyo,,,
,,,ila una Chuchu nzuri,,,aliongea Mwakifiro huku tayari mkono wake ukiwa umeshafika kwenye kifua kiteke cha binti huyo,vidole vyake viwili,gumba na kile cha kwanza viliigusa Chuchu na kuanza kuipekecha kidogo
,,,mmh,babu,,,aliguna binti huyo huku akikwepesha matiti yake ile sitaki nataka
,,,usiogope,leo nataka nikusugue mpaka usahau vijana wote uliowahi kukutana nao,,,
,,,mmmh,una maneno kumbe,,,!
Wakiwa wameketi kwenye kochi moja lenye siti mbili,Mwakifiro alimshika kidevu binti huyo na kumgeuzia upande wake ambapo binti mwenyewe alielewa,aliyafumba macho yake na kupanua lipsi za midomo yake iliyolegea,,midomo ilikutana kisha wakaanza kunyonyana denda,mkono wa Mwakifiro ulifika kwenye kiuno laini cha binti huyo ambapo binti mwenyewe alipoguswa alishtuka kidogo huku akivuta maneno,,sssssssssssssssssss,,mmmmh,,,vidole vya mwakifiro viliingia kwenye khanga moja na kuishusha yote ambapo,vidole vyake vikawa vinayashikashika matako yake,,,Daki akiwa kwenye kile chumba kabla hata mechi kuanza alishaanza kudindisha dudu lake
Dakika mbili kila mtu alikuwa kam alivyozaliwa,Mwakifiro alikuwa na dudu la maana,lakini halikumshtua sana binti huyo aliyekuwa anajiamini,Mwakifiro alimlaza binti huyo kwenye kochi na kuanza kumnyonya Chuchu zake,,,ama kweli mtoto huyu alikuwa anajua kuitikia mapigo ya utamu,ulimi wa Mwakifiro ulipozigusa Chuchu zake kule kwenye ncha kabisa alishtuka na kukipandisha kifua chake juu huku akito amiguno ya kimahaba,,,,aaaaaaaaaah,,,,sssssssssss,,,,ooooooooooooh,,alijibana midomo yake kwa meno kwani ilikuwa ni utamu ulimi wa Mwakifiro ulipokuwa unazinyonya Chuchu hizo kwa ufundi hasa zote mbili kwa zamu,,,,Daki alikuwa makini kuangalia hatua kwa hatu maana yeye hakuwa anajua kitu chochote na ndio sababu ya kuachwa na wanawake mara baada wanapomaliza kufanya mapenzi
Mwakifiro alimvamia kitovu cha binti huyo nakuanza kukipekecha na ulimi wake uliojaa joto kiasi na mate,,wakati anamnyonya kitovuni,mikono yake ilikuwa inamshikashika zile Chuchu zilizoanza kusimama kwa nyege,vidole vyake vilevile viwili gumba na cha kwanza ndivyo vilikuwa vinafanya kazi hiyo,,,mmmmmmh,,,aaaaaah,,,aaaaaaisiiiiiiissssssssss,,,ooh,,alilalamika mtoto wa watu huku akimshika kichwani Mwakifiro
Ulimi wa Mwakifiro uliendelea kushuka mpaka kwenye mapaja laini yaliyonona ya binti huyo na kuanza kuyalambalamba na ulimi wake mpana kama anachora namba nane au sifuri kwa kurudiarudia,,,ilikuwa kama inamtekenya huku akimpa
raha,,,,oooh,,unantekeeenyaaaaa,,,,aaaaah,,,ooooiiiiiiiiiiissssshhhhhhhhh,,,aaaah,,jinsi ulimi wa Mwakifiro ulivyokuwa unakuja karibu na kitumbua chake kisafi na kinono,,,,mmmmmmmh,,,aaaaaaaaaaaah,,ooooooooooh,,,,aaaaaaaaaaiiiiiiiiiissssssssssss,,,,ulimi wa Mwakifiro bado haukufika kwenye kitumbua lakini ulikuwa katikati ya muunganiko wa mapaja na kitumbua,yaani pembeni kidogo ya mashavu ya kitumbua,binti alikuwa akichezesha miguu yake huku akijiminyaminya matako yake hapo kwenye kochi,,,,
Taratibu ulimi mpana wenye joto wa Mwakifiro uliingia rasmi kwenye kitumbua laini cha binti huyo aliyekuwa ameshikilia foronya ya kochi hiyo kama ana ugomvi nayo kwa utamu aliouhisi,,,,,mamaaaaaaaaaaaaa,,,,,uuuuuuuuuuuuuuuuuhh,,,,,,babababuuuuu,,,bababaaaaaa,,,aaaaah,,,,bububuuuuuu,,,,,aaaah,,,ooooiiiiiiiiiiiiiiiiiissssssssssssssssssssssssaaaaaaaaaaaaah,,,mtoto wa watu alikuwa hajielewi kwani kiarage chake kilinyonywa kiufundi hasa kiasi kwamba alihamisha mikono yake kichwani mwa Mwakiforo n akumkandamizia kwenye kitumbua chake,,
Mwakifiro aliingiza ulimi wake mpaka ndani kabisa ya kitumbua huku akimsugua vyema kiarage chake,,,,kuna muda babu alikuwa akikipigapiga kwa haraka kiarage hicho na kumuongezea msisimko wa ajabu mtoto wa watu aliyekuwa mara aume midomo yake,mara amshikeshike kichwa babu,mara avute foronya za makochi,mara arusherushe miguu yake kama nataka kufa,,,,lakini Mzee Mwakifiro hakumwacha aliendelea kumnyonya kiarage chake huku mkono mmoja ukiwa kwenye kitovu mwingine kwenye Chuchu ya kulia ukiendelea kumshikashika taratibu,,,binti alianz akuzungusha kiuno akiweka vidole vyake mdomoni kwa utamu
Binti huyp baada ya kunyonywa kwa muda,alianza kuhisi mwili unamsisimka kwa raha,hapo kelele ziliongezeka za mautamu ambapo Mwakifiro aligundua hilo,alichokifanya,haraka alishika dudu lake lililosimama hasa kama kurubembe la ukwaju,kisha akalichomeka kwenye kitumbua cha binti huyo kilichobana hasa,akaanza kumsugua,,,jamani kuna raha mwanamke anapokojoa akiwa ahajaingizwa dudu lakini akikojoa kutokana na msuguano wa dudu ndio inakuwa raha zaidi,basi Mwakifiro alimsugua na dudu lake lililokuwa linatereza kwa kuzama lote na kutoka haraka,,,,mmmmmmh,,,ooooooooooooooooohh,,,,,amamaaaaaaaaaa,,,,bauuuuuuuuuuuuu,,,,bauu,,,aaaagh,,ooooh,,,,aaaasssssssssssssiiiiiiiiiiiiiiiii,,,mtoto wa watu alilalamika kwa utamu huku akimkumbatia kisawasawa baba huyo ambapo ulimi wa huyo babu ulikuwa ndani ya masikio ya huyo binti ukiingia na kutoka,,,,,,,,,,,,,,

Kuna Mzee Mwakifiro alikuwa anamsugua binti huyo kama hataki ambapo binti wa watu alikuwa hoi huku naye akizungusha kiuno kama yondo sista,,,,aaah,,,aaaah,.,,,mmmh,,,oooouuuuhhhiiiiiiiiiissssssssssssssssssshhhhhhhh,,Mzee Mwakifiro alijitahidi kumkunjakunja binti huyo kwa kumgeuza kulia kushoto,mara miguu juu chini ili kumsugua ipasavyo,hatimaye na yeye baada ya muda alikojoa ambapo Daki kupitia dirishani alipoiona sura ya babu yake alitamani kucheka kwa nguvu ila alishindwa kwa kuogopa sautio yake itasikiwa,Mwakifiro aliikunja sura kama mtu anayetaka kulia na kucheka kwa pamoja au mtu anayejikamua haja kubwa msalani,kiukweli kama watu wangekuwa wanapigwa picha wakati wakiwa wanakojolea ndani ya kitumbua kila mtu angejikataa kuwa sio yeye
Baada ya hapo Mzee Mwakifiro alikuwa hoi kwelikweli,alijilaza kwenye kochi huku binti huyo naye akimjia kwa juu na kujilaza kifuani kwake,kweli ukipewa mambo ukadata huoni kama unakosea kusuguliwa na Mzee,ilipopita Nusu saa binti huyo aliondoka huku Mwakifiro akimtaka siku nyingine aje akiwa na nafasi ambayo hiyo iyakuwa ni bure kama kweli akija
,,,(kicheko cha nguvu,,),babu kweli umebabua mtu,,,aliongea Daki huku akicheka kwa nguvu kwani Mwakifiro alijigeuza n akulala kifudifudi huku mataka yake meusi yakionekana,,,
,,,we mtoto utampata laana wewe,,!,aliongea Mwakifiro ambaye alimzoesha mazoea mabaya sana Daki ya kutaniana naye kiasi kwamba akawa kama ni mtu anayelingana naye umri jinsi mambo wayaongeayo
,,,kweli nimejua kitu babu,ila ungeweza kunielekeza tu kwa mdomo ningeelewa,nawe ulikuwa unataka kusuuza rungu tu,,,Daki aliongea hivyo huku kusuuza rungu akimaanisha ni kusugua mwanamke
,,,hivi mwalimu wako darasani kama anakufundisha hatua za Upishi wa kababu bila kuzipika utakuwa mpishi mzuri kweli,,?
,,,haya bwana,nakujua we hukosagi la kusema,kaoge sasa jembe langu,,,alitumia msamiati mwingine kumwita Jembe babu yake akimaanisha ni mtu wa karibu anayemkubali
Daki alikuwa anasoma shule ya sekondari kidato cha Tano ya karibu na nyumbani ambayo ilikuwa ni ya kutwa,hivyo aliweza kwenda shule na kurudi nyumbani kila siku,usafiri aliokuwa anautumia ni baiskeli kwenda nayo shule,maisha yao ya nyumbani yalikuwa ni ya kawaida lakini mama yake alijitahidi kupambana na huku n akule kiasi kwamba aliweza kumwacha apesa nzuri mwanaye huku akiamini kuwekeza katika elimu pia kwa mtoto kunalipa,hakutaka kuona mwanaye anakuwa na tamaa ya vitu vidogo kwani aliridhika na maendeleo yake ya shuleni kimasomo
Shule nyingi sana huwa haziwabani vidato hivi viwili vya tano na sita kama wafanyavyo kwa wanafunzi wa vidato vya nne kushuka chini,hivyo Daki kutokana na kujitahidi kwenye masomo alitengeneza uhusiano mzuri na walimu,hata wakati mwingine aliitwa ofisini na kushirikishwa baadhi ya mambo yawahusuyo wanafunzi wenzake,Daki alichukua muunganiko wa masomo ya HGE,yaani History,Geograph na Economics,kuna muda walimu walimpa madarasa ya chini ili awasaidie kuwafundishia hivyo alijulikana na walimu kitaaluma zaidi
Daki akiwa shuleni,Diana Makuyo ndiye aliyekuwa tulizo lake la moyo,Diana alimpenda sana Daki ndio maana wote walipomwacha kwasababu ya kutojua mambo kitandani yeye alibakia na kuendelea kuvulia,sio kwamba alikuwa ni mbaya,uzuri aliokuwa nao ulimfanya kujulikana na watu wengi bila hata kufanya tukio kubwa,wengi walimtongoza lakini mtoto alizama kimahaba na Daki hivyo aliwatolea nje yaani aliwakataa
,,,baby kuna kitu nahitaji kukijua kutoka kwako,,,aliongea hivyo Daki huku akiwa amekaa na Diana kwenye darasa Fulani lililokuwa na meza na viti visivyotumika
,,,niulize tu mume wangu jamani,,,mtoto aliongea kwa kunata kimahaba na zile Dimpozi zake shavuni zilionekana vyema na kumng’arisha haswa
,,,kwenye suala la mapenzi tunapokuwa tunafanya huwa unajiskiaje,niambie ukweli,,,
,,,mmmh,ni raha kabisa,yaani najisikia raha baby wangu,usipime,,,
,,,kweli,,?
,,,yes baby wangu jamani,kwanini unauliza,,,sauti nyororo iliyolegezwa ikalegezeka kimahaba aliiongea Diana na huku sura yake ikiwa karibu kabisa na ya Daki
Daki hakujibu chochote zaidi aliongeza kuupeleka mbele mdomo wake ambapo ulikutana na lipsi laini za Diana aliyekuwa na weupe angavu,wakaanza kunyonyana denda ambapo taratibu wote wakaanza kunogewa,daki alichokuwa anajua siku zote ni kuwahi kumsugua mwanamke bila kumuandaa vyema,akataka atumie dakika zilezile alizotumia babau yake na hatua alizozipitia mpaka mwisho halafu amwone Diana
,,baby subiriii jamaniiii tuko shu,,uu,,lee,,eee,,,sauti yake nyororo ya kimahaba Diana ilisitasita ambapo tayari Daki aalikuwa ameshapeleka mkono wake kwenye titi la kulia na kuanza kuchezea Chuchu yake,,,Daki hakuongea lakini Diana alionekana kuwa na wasiwasi kwani huo ulikuwa ni muda wa masomo,,,usijali mpenzi,nina hamu na wewe,,tafadhari usinikatishe,,,Diana alikuwa mpole huku jicho lake legevu likiwa linarembuka mrembuo wa kimahaba huku midomo yake ikiwa wazi imelegea ikitaka tena ulimi wa Daki,basi walikutanisha tena midomo yao n akuendelea kubadilishana mate,Daki alinyanyuka na kumbeba Diana aliyekuwa ana umbo la wastani sio mnene wala mwembamba ila nyuma alijaaliwa cha kuteka macho ya wanaume apitapo mbele yao,mtoto alikuwa ana umbo zuri lililojigawa vyema kiasi kwamba akivaa sare za shule zilimpendezesha hasa na umbo lake,mbaya zaidi alikuwa anavaa sketi fupi iliyomwishia juu usawa wa magoti ila magoti yenyewe yalikuwa yanaonekana kwa mbali
Baada ya kumweka juu ya meza ambayo Diana alikuwa akiegemea anaegemea ukutani,Daki akiwa ndani ya sare za shule,alimfungua vifungo vya shati Diana na kumpandisha vesti aliyokuwa amevaa ndani yake kisha taratibu kwa kutumia ulimi wake uliokuwa na mate kwa mbali,alimnyonya Chuchu huku kuna muda akichanganya na kuing’ata japo sio kwa nguvu,,,,aaaaaaaaah,,,,aaaaaaaaaaiiiiiiiiiiiiiisssssssssssss,,,,oooooooooooooh,,,,,mmmmmmmmh,,,alilalamika Diana huku akijizuia hasa kutotoa sauti kubwa,,,,Dakia lishuka zaidi mpaka kwenye kitovu cha Diana kilichokuwa cheupe wastani na kuanza kuingiza ulimi ndani yake,,,,mmmmmmh,,,aaaaaaaaaaah,,,,ulimi wa Daki ulirudi masikioni mwa Diana na na kuanza kuuingiza ndani ambapo Diana wa watu alikuwa akipandisha bega juu huku akifanya kama anamsukuma Daki ile sitaki nataka,,,mmmmh,,aaaaaaissssssssss,,,,,aaa,,,oooooh,,alizidi kulalamika mtoto wa watu kwa sauti ya chini ambapo Daki ni kama hakusikia sauti yeyote
Alimpandisha tena sketi yake mpaka juu na kumwacha akiwa na chupi yake nyeupe iliyokuwa na madoa ya njano,basi alimshusha na chupi kisha akaiva kichwani,,Diana alitamani kucheka lakini alijikaza kwani utamu aliuhisi kweli,,,,basi Daki alishusha kichwa chake katikati ya mapaja ambapo Diana mwenyewe alijua ni nini anatakiwa afanye,alipanua mapaja yake vyema na kumruhusu ulimi wa Daki upenye vizuri kwenye kitumbua chake laini kilichovimba mashavu yake kwa utamu,,,,,amamaaaaaaa,,,aaaaaaaaaaaaaaaassssssssssssssssssss,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaasssssssssssssshhhhhhhhhhhhh,,,,mmmmh,,,mtoto wa alilalamika kwa utamu ambapo hakuchukau muda alirusha bao lake lililomwagikia usoni Daki,,,,aaaaaaaaah,,,aaaaaaaah,,,,alimalizia kulia hivyo huku akimkumbatia Daki aliyesitisha kumnyonya
Muda huo dudu la Daki lilikuwa limesimama hasa kama askari anayeimba wimbo wa taifa,alifungua zipu yake kisha akalitoa dudu lake lililokuwa n aukubwa wa wastani,hakufanya ajizi,alilichomeka kwenye kitumbua cha Diana na kuanza kumsugua kwa kasi huku akiwa amemshika kiuno chake,,,alifanya akama babu yake,ulimi wake ulikuwa masikioni mwa Diana wakati akimsugua kitumbua,,,,aaaaaah,,,aaah,,ooooooooooh,,,,Diana alianza kuja tena ambapo alimg’angania Daki na kumvuruga shati yake upande wa mgongoni kwa kumshika bila fumula maalumu,,utamu ulizidi kunoga ambapo Daki ile anakaribi kumwaga kumbe naye Diana bao la pili ndilo lilikuwa linakuja,palikuwa patashika nguo kuchanika,Daki alimsugua Diana kama hana akili nzuri huku Diana naye akijitahidi kuzungusha kiuno chake hapo juu meza mpka wakamwaga wote,,,,baada ya kumwaga,waliinamiana wote vichwa vyao huku kila mmoja akiwa hoi,,,,
,,,ahsante sana mume wangu,,,daki alishangaa kuambiwa hivyo wakati siku nyingine akimaliza alikuwa haambiwi hivyo
,,,ahsante na wewe pia,,,
,,,yaani nimejisikia raha wakati natoa bao,jamani,naomba tuwe tunafanya kila siku ili niwe nasikia ile raha tu,maana kama niko hewani sirudi chini wala siendi juu,,,kwa jibu hilo Daki alielewa kabisa alikuwa hamtendei haki nyakati za nyuma,,,lakini Maongezi hayo yakiwa yanaendelea huku nje ya dirisha kulikuwa na mwalimu mmoja wa kike aliyekuwa ameshuhudia mchezo mzima,,,Itaendelea
Wanwake wengi huwa hawawezi kusema kama wameridhika kwenye suala la kusuguana kitandani kwa uwoga,ukiwa kama mwanaume usitegemee mwanamke atakwambia suala hili,ukichelewa kulifanyia kazi njia pekee atakayoifuata ni kutafuta anayeweza kulitatua,,,

,Daki,nakupenda sana,kila siku namwomba mungu akulinde Handsome wangu,na atuongoze tuwe pamoja katika maisha ya baadaye,,,aliongea hivyo Diana na kumkumbatia Daki kwa hisia
,,,usijali mpenzi wangu,mi pia nakupenda sana,,,alijibu Daki huku akimshikashika mgongoni Diana
,,,ahsante sana,,,Daki alipokuwa ameangalia mbele kwake alikutana uso uso na mwalimu huyo aliyekuwa ameshuhudia mchezo mzima,cha kushangaza mwalimu huyo alitabsamu na kuondoka,Daki akaogopa kumwambia Diana kwani alimjua Diana anavyoogopa vitu kama hivyo,angeweza hata kulia au kupaniki mpaka kuzimia kabisa
Huu ulikuwa ni mji wa mbali kidogo na ule waliokuwa wanaishi kina Mwakifiro,huku palichangamka zaidi kwa biashara nyingi za hapa na pale huku waliokuwa wakipiga pesa sana ni mama ntilie kwasababu palikuwa na utengenezaji wa daraja,hivyo wafanyakazi wengi chakula chao cha mchana na chai mpaka usiku walikula kwa mama ntilie
Ila kama ujuavyo,kwenye biashara kila mama ntilie ana mbwembwe zake za kuwavutia wateja,na nyota pia uhusika,mama Ntilie mmoja aliyejulikana kwa jina la Sophia ndiye alikuwa anajulikana na kupata wateja wengi kwa umashuhuri wake wa kupika chakula kitamu na usaifi wa hali ya juu kwenye kibanda chake,pia alikuwa mbunifu kwa kutengeneza kibanda cha nyasi cha duara ambapo pembeni aliweka miti Fulani iliyokuwa kama nguzo,kiukweli kibanda chake kilipendeza ambapo chini aliweka mkeka Fulani uliokuwa unazuia vumbi,mbali na hapo alizungushia uzio wa majani kwa kushikiza na miti ambapo wengi sana walipenda kwenda hapo,,,lugha yake ya uchangamfu na jinsi yeye mwenyewe alivyo ilikuwa ni sababu tosha ya kuwavutia wateja
Sophia alikuwa ni mama Fulani wa kikubwa ambaye alikuwa na umbo lililowavutia wengi mbali na misosi aliyokuwa anapika,mama alikuwa na tako nene lilitingishika hata akijichezesha kidogo tu,uso wake haukuchoka sana,kwani dompo zake zilionekana vyema,hata jinsi yeye mwenyewe alivyokuwa akijiweka ilionyesha tosha anataka kurudia enzi zake za usichana
Wafanyakazi wadogo wote walipomalizika kupata kifungua kimhywa kwa siku hiyo ambapo mama huyo sifa yake nyingine kubwa ni kuuza mihogo mitamu na chachandu yake juu,kiukweli mihogo yake hata mama ntilie wenzake wasio na kinyongo walinunua na kuila,walikuja wachina Fulani ambao walikuwa wanajua kuzungumza lugha ya Kiswahili vizuri sana,hawa walikuwa ndio wameshika mpango huo wa kujenga daraja,pesa sio kitu cha kushangaza kwao
,,,mama hogo,leo taka moto moto,,,
,,,ipo kwa ajili yenu,na chachandu juu yake,,,basi wachina hao walipokuwa wanakunya chai ambapo wao huwa wanatumia ya maziwa na mihogo walikuwa wanazungumzia kitu fulani kwa lugha yao ya kichina ambayo ilisikika kama makorokocho kwenye masikio ya Sophia,lakini Sophia alihisi kwa asilimia kubwa anasemwa yeye,kwani wachin hao walikuwa wakiongea n amuda mwingine kumwangalia kwa kuibia kisha kulamba midomo yao,walipomaliza kunywa chai,wakaondoka huku mmoja wakamwacha hapo kibandani japo alikuwa ameshamaliza kunywa chai
,,,mama hogo,,,
,,,nambie mpenzi,,,alizoea kuwaita hivyo wateja wake wa kiume ili kuwavuta zaidi
,,,wewe tako nzuri sana,mimi ninunue hata kwa dakika chache tu,,,
,,,mmmh,sa unaongea kwa maneno tu jamani mpenzi,,,Sophia aliongea hivyo huku akimsogelea Mchina huyo aliyekaa kwenye kiti cha mbao kilichowekwa sponchi juu yake kisha Akakaa naye karibu kabisa,,,
,,,bei gani kupata utamu huo,,,
,,,elfu themanini tu jamani,nitakupa utamu mpaka mwenyewe ukubali,,,
,,,Mchina hakusubiri,alitoa pochi yake na kutoa pesa aliyoambiwa kisha Sophia akenda kule kwenye uzio na kufunga mlango
Alipokuwa anarudi alitembea kwa madaha,huku jicho lake likimwangalia mchina huyo kwenye zipu yake jinsi ilivyotuna,,,mchina anapenda kitumbua huyu,,!,alijisemea moyoni Sophia na kumsogelea mpaka kwa karibu kabisa,,,akaanza kumshikashika kifuani kushuka chini mpaka kwenye dudu lake lililotuna,akagundua kitu,akachukua barafu lililokuwa kwenye chumba maalumu alichotoka nacho nyumbani na kuja nacho hapo akalimeza mdomoni na kulimung’unya kisha akalitema pembeni,mdomo wake ukawa na ubaridi Fulani hivi,,,akamfungua zipu n akulitoa dudu lake kisha akalitumbukiza mdomoni na kuanza kulinyonya,,ubaridi ule ulimsisimua mchina na kufumba macho yake madogo kisha kulegeza midomo yake,,,alimnyonya dudu lake huku akichezea viazi vyake mahaba kwa vidole vyake,,,,aaaaaaaah,,,mmmmmmmmh,,,,,aaaaah,,,,alilalamika Mchina ambapo Sophia hakutaka kumchelewesha alipanua mapaja yake yaliyojaa utamu kisha akamgeukia na kukalia dudu la Mchina,dudu hilo lilizama taratibu kwenye kitumbua cha Sophia mpaka ndani kabisa,mchina alikuwa amekaa tu,Sophia ndio alikuwa kiongoza wa mchezo
Naomba niwaambie kitu kimoja jamani,unene wa mtu sio kitu kwenye suala la kuzungusha kiuno,Sophia alikuwa na umbo nene la kimahaba lakini alizungusha kiuno huku akimshikashika kwa kumwingiza ulimi masikioni mwake,,,aaaaaaaah,,,,aaaaaiiiiiiiiissssssssss,,,,aaaaaaaaaah,,,,uuuuuuuuh,,,oooooh,,,alilalamika Sophia kumsindikiza Mchina aliyekuwa analalamika hasa huku akishikilia matako ya Sophia yaliyokuwa laini na makubwa,dudu la Mchini lilikunwa vyema ambapo kuna muda Sophia alikuwa akizungusha kiuno kwa minyato,taratibu kama hana haraka huku akitoa miguno ya kimahaba,,,mikono ya Sophia iliyokuwa na kucha Fulani za wastani zilimtekenya Mchina kwenye Chuchu zake zilizojitokeza kiasi na kumsisimua zaidi,,,aaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaah,,,aaaa,,,,mama
hogoooooo,,,,hogoooooo,,,,aaah,,,,,Sophia alijua tu Mchina anataka kumwaga hivyo alikandamiza kiuno chake kwenye dudu la Mchina huku akiongeza kumnyonya masikio n akumshikashika Chuchu zake,,,,,mchina wa watu alimwaga bao lake huku akiwa hoi haswa,Sophia ili kumkoleza zaidi baada ya kumwaga alianza kumnyonya denda huku akimshikashika kichwani mwake,,,
,,,mama hogo,,chukua hii baadaye kwa Hoteli nikukute,,,mchina alifungua pochi na kutoa laki na nusu kisha kimkabidhi Sophia na kuahidiana wakutane kwenye Hostel baadaye kwa ajili ya raha zaidi,,,,

ITAENDELEA

SITAISAHAU FACEBOOK – 5

Image result for facebook

Simulizi : Sitaisahau Facebook
Sehemu Ya Tano (5)

John alikuwa ananiona? Nilijiuliza.
Lile joto likazidi. Abiria wakashuka garini.
Kuna kitu hapa!! Mapambano mapya!! Nikajisemea huku nikiendelea kumzuia John.
John sasa akanizidi nguvu.
Akanitoka. Akashuka chini. Nikajaribu kumkimbilia.
Huko nikamkuta akiwa anafanya jambo la ajabu. John alikuwa anajarfibu kuisukuma gari kwa kuitikisa.
Ajabu! Ikaanza kutikisika kweli. Mtikisiko ule ukawashtua wengi. Sasa vilio vikaanza kusikika. Kila mtu kuitetea nafsi yake.
Watu wakashuka upesi kwa kugombania mlango. Basi likaanguka.
Lilipoanguka John akatazama mahali. Na mimi nikageuza jicho kutazama. Yalikuwa makaburi
Makaburi yaliyo na historia ya kushangaza. Makaburi ambayo yalimtoa nishai mchina alipojaribu kupitisha umeme juu yake. Umeme ukagoma kuwaka.
Haya yalikuwa makaburi ya Kiyeyeu.
Yalikuwa yanafuka moshi wa dhahabu!!
Vita!!
Mayowe yakatawala, akinamama wakiwa wamesahau watoto wao na wanaume nao wakiwasahau wake zao sasa kila mmoja alikuwa akiipigania nafsi yake. Sikuwa katika umoja na akina Jesca tena! Hapa sasa kila mwenye macho hakungoja kuambiwa tazama!!
Makaburi yale mawili yaliendelea kufuka ule moshi wa rangi ya dhahabu.
Wenyeji wa kijiji kile walikuwa katika taharuki kubwa sana huku wakizungumzia juu ya kukasirika kwa mizimu.
Nani sasa aliyeikasirisha? Walijiuliza.
Vilio vilisikika tena kutokea gizani. Watu wakakimbilia huko. Waliporejea ilikuwa taarifa ya mama mmoja aliyekuwa anakimbia ameshambuliwa na kitu kisichofahamika na hatamaniki tena. Amekufa!!
Hali ikatulia kwa muda. Akajitokeza mzee mmoja wa makamo akitembea kwa kutumia mkongojo.
Huyu hakuogopeshwa hata kidogo na hali iliyokuwa inaendelea. Alisimama mbele ya kundi na kuanza kusema anachokifahamu, alielezea historia fupi ya makaburi ya Kiyeyeu na majanga yanayotokea iwapo wazee wale waliolala katika makaburi yale wakikerwa na jambo. Hapa sasa akafikia kusema kuwa kuna mtu mmoja katika msafara alikuwa ameikasilisha mizimu!!
Ni lazima abaki ili kuwanusuru wenzake. Kama akiendelea mbele basi litatokea balaa kubwa zaidi ya hili. Alizungumza kwa sauti ya juu na kila mmoja aliweza kusikia. Sauti yake na umri wake vilikuwa vitu viwili tofauti!!
“Hivyo kama unajua una lolote la kuikera mizimu hii ni heri ubaki nyuma kuwanusuru wenzako.” Alizungumza kisha akatuachia mtihani wa kuamua aidha kujitokeza ama la!
Maneno yake niliamini kabisa yalikuwa yanamlenga John. Nilijisikia uchungu sana, John alitakiwa kubaki nyuma. Yaani harakati zangu zote hizo zinaishia hapa!! Niliumia sana.
Niliangaza huku na huko. Sikumuona John!! Nilitaka kumuita lakini niliamini kuwa hawezi kunisikia.
Kimya kilitawala akisubiriwa mtu huyo ambaye ameikera mizimu aweze kujitoa kundini. Hakuna aliyejitokeza.
Mzee akaendelea kusubiri!! Bado hakujitokeza mtu yeyote.
Kimya kilikatishwa na sauti ya mwanaume akipiga mayowe. Tukageuka nyuma kumtazama. Alikuwa amejishika shingo yake huku akipiga kelele. Mara damu zikaanza kumtoka puani, masikioni na mdomoni. Badala ya kumsaidia kila mtu akawa anamuogopa!!
Hatimaye akaanguka na kutulia tuli! Alikuwa amekata roho!!
Kina mama wakapiga kelele sana, wanaume wakabaki kushangaa.
Yule mzee wa kimila akaipaza tena sauti yake, “Kama asipojitokeza mtu huyu majanga yataongezeka. Mizimu inakasirika.”
Sasa watu wakaanza kusemezana huku wakisisitizana kuwa mtu huyu ajitokeze ili mizimu itulie. Bado hakuweza kujitokeza mtu yeyote.
Zikaanza kutolewa hirizi miilini mwa watu, lakini yule mzee wa kimila akapinga kuwa hizo ndio tatizo.
Waliokuwa na dawa za kienyeji wakatoa. Bado haikuwa tiba.
Kiza kinene kikatanda kama dalili ya mvua. Mwanga mkali ukamulika bila kutoa kelele. Watu watatu wakasalimia na ardhi.
Ilikuwa radi!! Na walikuwa maiti tayari.
Roho ikaniuma sana, nikajiona mimi ndiye muhusika. Nikatamani John atokezee nimtangaze kuwa ndiye chanzo. Lakini John hakuwepo tena!!
Vile vifo vya radi ya ghafla vilimshtua kidogo yule mzee.
Mara akabadilika sura na kuwa kama aliyekasirika!!
Akatoa amri ya watu kujipanga msitari. Amri ikasikilizwa. Wanaume na wanawake mstari mmoja, mistari ilipopangwa ndipo nilimuona John. Na yeye alikuwa amepanga mstari. Akaanza kupita na kufanya kile anachokijua mwenyewe. Alimfikia John, na yeye akamuona akamshika mkono. Ina maana John anaonekana? Nilijiuliza.
Nikiwa katika hali ya mashaka ya kila kinachoendelea. Mara yule mzee mkongwe alinifikia, alikuwa anatabasamu, mgongo wake uliopinda ulimfanya awe ameinama na kuwa mfupi sana!!
“Shkamoo babu.” Nilimsalimia.
“Marahaba mjukuu wangu.” Alinijibu kwa ukarimu sana.
Kisha akanishika mkono.
Alipofanya hivyo kwa wasafiri wengine hakutumia muda mrefu, lakini kwangu ni kama alitumia sekunde nyingi.
“Unaitwa nani binti.”
“Isabela!!”
“Nani alikwambia unaitwa Isabela.” Aliniuliza huku akinitazama usoni.
“Naitwa Isabela mzee.” Nilitaharuki kutokana na maswali ya mzee huyu.
“Hilo sio jina lako binti.”
“Sio jina langu?”
“Na litakugharimu sana na kuwaumikza wengine katika maisha yako.” Kauli nzito za mzee huyu zilinishangaza.
Isabela sio jina langu? Ni miaka zaidi ya ishirini tangu nipewe jina hilo. Sasa leo ananiambia kuwa hilo sio jina langu? Maajabu haya.
“Hautaendelea na safari hii…kuwaepusha wenzako na mabalaa yasiyowahusu.” Alininong’oneza. Nikahisi ubaridi ukinipenya mwilini, mapigo ya moyo yakapungua kasi. Nikakata tamaa.
Mimi tena? Sio John!! Maajabu haya.
“Kama unao upendo waruhusu wenzako waende zao. Janga lako haliwahusu hata kidogo.” Alinisihi. Nikatikisa kichwa kukubali. Huku nikiamini kwa asilimia kadhaa kuwa tatizo ni John na yule mzee hajui kitu.

Mzee akawatangazia watu kuwa tatizo limekwisha. Na kweli nilipokubali tu waondoke zao. Nilipogeuka makaburini. Ule ukungu haukuwepo tena.
Abiria wakaingia katika basi lile la ziada lililokuja kutuchukua.
Tofauti na mawazo yangu. Kuwa John atazuia basi lisiondoke baada ya yeye pia kuwa mmoja kati ya abiria. Haikuwa hivyo. Basi liliwaka vyema. Na kutoweka!!
Ilikuwa usiku mnene lakini kinyume na taratibu za usafiri Tanzania, basi lile lilisafiri usiku. Hayakusikika malalamiko ya kubanana tena. Kila mmoja alitaka kutoweka eneo lile. Hata madereva na makondakta wote walikuwa waoga.
Nilibaki na yule babu!!! Akina Samson, Jesca, na Jenipher walitaka kubaki na mimi lakini kwa maneno ya yule babu kuwa mzigo wangu hauwahusu. Niliwaruhusu waende zao huku nikiwapatia pesa nyingine ya ziada.
“Nendeni mkautangaze ushuhuda huu popote pale. Msifiche hata moja lililotokea. Hata kama sitafika huko mtakapokuwa. Naamini sisi ni washindi.” Niliwaeleza. Wakalia kwa uchungu. Samson akagoma kabisa kuondoka lakini hatimaye alikubali kuondoka.

Nilibaki na mzee yule tukizungumza. Alinieleza juu ya jina langu. Akadai kuwa hakuwa akijua nilikuwa naitwa nani lakini Isabela halikuwa jina langu.
“Rejea nyumbani ukalitafute jina lako. Jina lako limepotea ama limefichwa. Na ukiendelea kuamini kuwa wewe ni Isabela basi maisha yako yatakuwa ya tabu sana. Utawatesa wenzako nawe utateseka sana.” Alinieleza yule babu.
“Unaweza kwenda kupumzika nyumbani kwangu. Kesho upatafute nyumbani kwenu. Ukalitafute jina lako.”
Tuliongozana na yule mzee hadi nyumbani kwake. Hapo tulipokelewa na mbwa wengi sana waliomlaki bwana huyu kwa furaha.
Wahehe na mbwa!! Niliwaza.

******

Nililala katika mkeka. Ni kama nililala kwa sekunde kadhaa hatimaye pakapambazuka.
Mzee akaniamsha, akanisihi sana nihakikishe Napata jina langu halisi na hapo nitaendelea na maisha yangu vizuri.
“Jina langu ni nani?” nilijiuliza kwa sauti akanisikia.
“|Hata mimi silijui lakini ni lazima ulipate ili kuzikwepa laana za ukoo wako. Fuatilia historia yako vyema mwanzo hadi mwisho. Historia ya kweli ipo kwa mama…kamuulize mama yako. Wewe ni nani? Lakini nakukumbusha kuwa wewe sio Isabela”
Mzee alinisindikiza hadi njia ya mabasi.
“Usizungumze na mtu yeyote, kwa usalama wako na abiria wenzako.” Alifanya kunisemesha kwa sauti hafifu. Nikamsikia na kumwelewa.

Basi likapita. Nikapanda!! Mzee alinilipia nauli huku akichukua fursa ya kuzungumza na kondakta.
Safari ya kurejea Makambako. Safari ya kwenda kulitafuta jina langu. Jina lililopotea.
Kaka aliyekuwa pembeni yangu alikuwa anaongea maneno mengi sana. Lakini sikuwa namjibu chochote.
Hatimaye tukaifikia Makambako!! Nikashuka garini nikaikanyaga ardhi ya Makambako kwa huzuni sana!! Hatua kwa hatua nikaanza kuelekea nyumbani.
SIRI SIRINI

Mwanamke wa makamo ambaye sasa mvi zilikikaribia kichwa chake chote alikuwa anafagia uwanja. Alikuwa akiimba nyimbo anazozijua yeye huku akionekana kuzifurahia. Nilimtazama kwa makini. Nikatamani ningekuwa nimekuja kwa mazuri huenda ningemshtua kisha tukacheka wote. Lakini nilikuwa nimekuja kwa mengine magumu sana.
Huyu alikuwa ni mwalimu Nchimbi. Mama yangu mzazi.
Nikanyemelea. Akashtuka akageuka.
“Belaaa….Belaaa mwanangu.” Akautupa ufagio, akanikimbilia, akanikumbatia kwa nguvu. Joto lake likaupenya mwili wangu ulio dfhaifu. Nikaamini kuwa nilikuwa nimemkumbuka sana. Chozi likanitoka. Nikamkumbatia kwa nguvu zaidi.
“Karibu mwanangu…mbaya wewe..yaani kimya kimya au uliongea na Suzi..wabaya sana nyie.” Alilalamika nikajilazimisha kutabasamu.

Tuliingia ndani. Tukafanya mazungumzo ya hapa na pale. Hadi tulipokatishwa na nyimbo nyingine kutoka kwa mlevi. Huyu alikuwa baba yangu mzazi. Asubuhi sana alikuwa anatokea kilabuni.
Sijui alilala huko? Nilimuuliza mama./
“Hamna sema ameamkia huko.”
“We Helena wewe…Aaah!! Suzy..ina maana haunioni uje kunipokea…si ku hizi hamsalimii watu!!” alizungumza kilevi. Macho yake hayakumwezesha kujua iwapo mimi ni Isabela.
Akapita akiacha nyuma harufu ya pombe kali. Akaingia chumbani.
Baada ya kelele za hapa na pale akasikika akikoroma!!!
Nilijikaza sana na sasa nikaamua kumueleza mama kilichonileta pale nyumbani.
“Mama hivi hili jina la Isabela ni nani alinitungia.”
“Mbona wauliza hivyo mwanangu.”
“Nipe jibu mama..ama ukoo wangu ni upi.”
“We mtoto umekuwaje lakini.”
“Nijibu mama.”
“Mbona kila kitu kipo wazi..ukoo wako ni huu wa baba yako, na jina hilo ni mimi na baba yako tulikupatia.” Alinijibu.
Niliondoka sebuleni nikaenda chumba cha wasichana nikajinyoosha. Nikapitiwa na na usingizi.
Nilikuja kushtuka nikiwa na njaa kali.
Nikaliendea jiko.
Nikajihudumia vilivyokuwepo, kisha nikareje chumbani.
Majibu ya mama yalikuwa hayajaniridhisha hata kidogo.
Nitamuuliza baba pia!! Huenda kuna kitu anajua.
Kwa nini aliniita Isabela.
Nikasinzia huku nikiwa nimejiahidi hivyo kichwani mwangu.

*****

Asubuhi na mapema nilikuwa wa kwanza kuamka. Nilihitaji kumuwahi baba akiwa katika akili zake vyema kabisa.
Kabla hajalewa!!
Niliwahi na kujifanya naosha vyombo.
Hatimaye nikasikia mlango wa chumbani unafunguliwa. Baba akatoka.
“Aaah!! Bela mwanangu…lini tena umetuvamia wewe…umemaliza mitihani lakini.”
“Nimemaliza..shkamoo baba….”
`aliijibu salamu. Tukabadilishana mawazo na hatimaye kama kawaida yake akaniomba pesa.
“baba kabla ya hilo…nahitaji kukuuliza kitu.”
Alinisikiliza kwa makini, nikamueleza kile nilichomueleza mama. Baba alionekana kushtushwa na habari hiyo. Alijaribu kujiweka sawa lakini nilikuwa nimemsoma.
“Fanya hivi…nipatie hiyo pesa nikirejea tutaongea ni stori ndefu kidogo..si unataka kujua maana ya Isabela na kwanini tulikuita hivyo..nifanyie kwanza nienda kupata supu kidogo.” Alijaribu kukwepesha mada.
Niliheshimu maamuzi yake. Nikaingia ndani nikarejea na pesa kidogo nikampatia. Akatoweka.
Moyoni nilipata matumaini makubwa sana!! Niliyaamini yale maneno ya yule mzee.
Sasa mimi ni nani kama sio Isabela? Na kuna siri gani inazunguka hapa. Nilijiuliza. Wa kunijibu alikuwa ni baba.

Nilisubiri sana. Hadi pale ilipokuja taarifa kuwa baba amekutwa mtaroni. Hana jedraha lakini haijafahamika bado kama anapumua ama amekufa!!
Hii ilikuwa ni habari ya kushtua sana.
Mimi na mama tukakimbia kuelekea hospitali ambayo tulielezwa kuwa amelazwa.
Bahati mbaya zilikuwa mbio za kuwahi upepo.
Baba yangu hatukuwa naye tena!! Kifo cha utata. Hakuwa amelewa. Alikutwa na ile pesa niliyompa.

Hakika mimi sio Isabela, na kuna siri mzee wangu amekufa nayo!! Nilizungumza na nafsi yangu.
Jina langu ni nani sasa? Na kwa nini waliniita Isabela?

****

Ulikuwa msiba wa mtu maskini hata utata ungegubika vipi bado angezikwa na kusahaulika. Ndivyo ilivyokuwa kwa baba yangu.
Licha ya kifo chake kuwa na utata hapakuwa na la ziada alitakiwa kuzikwa.
Msiba huu ulivuta watu wengi kiasi kutokana na jina la mwalimu Nchimbi ambaye ni mama yangu. Mwalimu!! Hivyo wanafunzi walijaa sana.
Historia fupi ya marehemu ilisomwa.
“….marehemu ameacha mjane na watoto wanne..mmoja wa kiume na watatu wa kike….Sebastian John, Suzan John, na Helena John.” Alimaliza kutaja majina ya watoto wa marehemu.
Sauti za kuguna zukatawala ghafla, watu wakawa wanaulizana hao watoto wanne mbona hawajatimia? Kina mama wakashindwa kumezea wakauliza palepale.
Ujumbe ukamfikia msomaji baada ya kijana mmoja kuagizwa.
Msomaji akaanza kupekua hapa na pale. Kimya kikatanda!!!
“Anaitwa Isabela John huyu hapa.” Shangazi yangu alipaza sauti akanitambulisha ili kuondoa ile sintofahamu. Nikanyoosha mkono juu. Watu wakageuka na kunitambua.
Tendo lile la watu kugeuka kuniangalia likanifanya nipatwe na aibu kidogo. Inakuwaje mimi jina langu linasahaulika?
Sikuuliza!!! Nikauchuna.
“Kwa hiyo mtoto wa nne ni Isabela John….samahani sana kwa mkanganyiko huu.” Aliomba radhi yule msomaji. Waungwana hawakulalamika.
Alipotaka kuendelea kusoma yanayoendelea katika risala hiyo akawa anatawaliwa na kigugumizi. Hali hii sasa ikaanza kuwakera watu. Lakini kabla hili halijapita akaanza kupiga chafya.
“Samahani!” akaomba radhi tena.
Haikukoma, ikaongezeka chafya ya pili, mara ya tatu ya nne, chjafya mfululizo. Akaachia lile karatasi lililoandikwa risala. Hali ikaonekana dhahiri kuwa si nzuri!!
Akajikunja kunja huku akionekana kuzitafuta pumzi zake. Mwili ukakosa muhimili akaanguka chini.
Wale waliokuwa na ghadhabu sasa ikawalazimu wakimbilie kutoa msaada. Msoma risala akatulia akiwa amejishika kifuani. Akafanana na ile maiti ya baba iliyopo katika jeneza.
Baadhi ya wanaume wakamchukua garini.
Tuliosalia tukaendelea na taratibu nyingine, hatimaye tukazika. Watu walikuwa wanajiuliza kimemsibu nini yule bwana. Hakuna hata mmoja aliyeweza kutoa majibu hata mimi pia nilikuwa katika sintofahamu.
Siku iliyofuata asubuhi na mapema la mgambo likalia. Msoma risala alikuwa amepoteza maisha!!!

*****

Suala la baba kuondoka na siri kubwa aliyotakiwa kunieleza lilikuwa ni jambo lililoutafuna sana mwili wangu. Nilikuwa najiuliza bila kufikia muafaka.
Maisha yaliendelea. Chuo kilikuwa kimefungwa jijini mwanza na nilikuwa nina kumbukumbu kuwa niliomba ruhusa maalumu kabla ya mitihani haijaanza. Hivyo nilitakiwa sasa kufuatilia iwapo mtihani umekaribia ama la.
Nilitafakari nani wa kumuuliza. Nikamkumbuka Maria. Nilijilazimisha kuamini kuwa yale ya mimi kumuona katika pori nchini Zambia zilikuwa ni ndoto tu.
Nikajaribu kuvuta kumbukumbu za wapi nimewahi kuhifadhi namba yake sikupata jawabu. Hilo nalo likawa tatizo.
Nikafikia uamuzi wa kwenda katika huduma za internet café sio mbali sana kutoka nyumbani kwetu. Wakati huo sikuwa na nywele kichwani hivyo nilikuwa nimejitanda ushungi.
Nilifika kwa wakati muafaka nikapata nafasi, nikatazama yaliyonipeleka kisha nikalipia huduma ile.
Wakati nasimama niweze kutoka nikagonganisha macho yangu na mtu ambaye niliamini kuwa haikuwa mara yetu ya kwanza kuonana. Alikuwa ni msichana mnene. Nikavuta kumbukumbu lakini sikulipata jina lake.
“Mambo…” nilimsalimia, akatabasamu kisha akanijibu.
“Ujue nilidhani nakufananisha. Nilikuangalia wakati unaingia ujue nikahisi nimekufananisha.”
“Na mimi hivyo hivyo!!” nilimuunga mkono.
Tukasogea nje na kupiga stori za hapa na pale.
Wakati wa kuagana ndipo tukakumbuka kuulizana majina.
“Naitwa Isabela.”
“Mh!! Isabela!! Ulibadilisha jina ama..maana nakumbuka walikuwa wanakuita nani vilee.” Alijaribu kuvuta kumbukumbu. Mimi nikawa namtazama tu! Nilibadilishaje jina sasa mimi.
“Hata sijabadili mbona.” Nilimwelewesha. Akazidi kupinga.
Hatukufikia makubaliano, akapigiwa simu akaniaga huku akisisitiza kuwa nimemdanganya jina. Mimi sio Isabela.
Nilimsindikiza kwa macho hadi akatokomea. Nilijitazama iwapo nilifanana na mmoja kati ya ndugu zangu lakini hakuna niliyefanana naye ambaye ningeweza kumtupia lawama kuwa watu wananifananisha naye.

*****
Kile kitendo cha yule dada kuonekana kana kwamba amenifananisha kisha akakataa kuwa jina la Isabela si la kwangu nilikipuuzia na kumchukulia yule dada kuwa amepoteza kumbukumbu zake kwa kuwa miaka imepita mingi sana.
Nilivyotoka pale moja kwa moja nikaenda nyumbani kwa dada Suzi kwani tangu nirejee Makambako sikuwa nimeenda kumsalimia mume wake na familia kwa ujumla zaidi ya kukutana msibani.
Nilimkuta yupo nyumbani akiwa na familia yake jikoni wakiandaa chakula.
Alinipokea vyema tukasalimiana kisha nikataka kumsaidia kupika.
“Kuliko kunisaidia kupika ni heri unisaidie kumbeba huyu mwanao.” Alizungumza huku akijitoa mtoto aliyekuwa amembeba mgongoni. Nikampokea na kumbeba.
Ghafla mtoto akaanza kulia taratibu kisha anaongeza kilio.
“He! Haka nako lini tena kameanza kuchagua watu.” Nilimuuliza dada. Hakunijibu zaidi ya kuguna akimaanisha kuwa huenda ni jambo la kawaida.
“We dogo wewe..mama yako mdogo huyo.” Alisema akimaanisha kumweleza yule mtoto mdogo wa mwaka mmoja. Japo hakumuelewa.
Mtoto akazidi kutoa kilio.

“Hebu mchukue mwanao nadhani ana kisilani cha usingizi.”
Nilimkabidhi dada Suzi mtoto wake, cha ajabu hakunyamaza zaidi ya kuongeza kulia. Sasa Suzi akashtuka na kulichukulia uzito hili suala ambalo mwanzo ulikuwa kama mzaha fulani hivi. Alimkagua mwanae kama amechubuka mahali. Hakuna kitu!
Huenda basi ameumwa na mdudu, hata hilo pia halikuwepo!!!
Mapishi yakakoma kwa muda. Mtoto analia kwa sauti ya juu sana. Machozi yanamtoka kwa wingi mno. Hatari!!
Ilianza dakika moja na sasa zilikuwa zinatimia sitini, yaani saa zima bila kilio kukoma. Mtoto alikuwa analia sana.
Majirani wakakisikia kilio hicho kikuu wakajongea pale nyumbani kwa Suzi. Na wao pia wakashangaa.
Suzi akajaribu kumpa titi mtoto aweze kunyonya, akalikataa. Kila mmoja alijaribu kumbeba bila mafanikio.
Kimbilio lililofuata likawa hospitali.
Huko napo hapakuwa na nafuu yoyote. Madaktari walimfanyia uchunguzi na kurejea na majibu yasiyoridhisha hata kidogo. Walisema kuwa mtoto hakuwa na ugonjwa wowote ule. Hivyo hawakuwa na msaada wowote ule.
Tulirejea nyumbani. Tulipofika huku kila aliyetazama tukio hili akiwa katika mfadhaiko wa hali ya juu na kuegemeza imani zao katika mambo ya kishirikina. Ni hapa na mimi nilijishtukia na kuanza kuamini kuna jambo. Lakini jambo lenyewe ni mimi!!
Niliamini kuwa ni mimi baada ya kuyakumbuka maneno ya yule mzee kule Iringa. Aliyeniambia nisipofuatilia jina langu basi nitasababisha majanga mengi sana popote nitakapokuwa.
Usiku mzima mtoto alikuwa analia. Na kama hiyo haitoshi mara mkono wake wa kushoto ukaanza kujikunja. Suzi naye akawa analia sasa maana hakuwa na njia nyingine.
Baba wa mtoto alipigiwa simu akiwa safarini kuelekea Songea akalazimika kuhairisha safari, mama yetu alikuwa hapo nyumbani pia.
Suzi alikuwa Amelia sana na alikuwa amewaacha walokole wenzake wakimwombea kwa namna zote mtoto yule. Lakini hali iliendelea kuwa tete.
Mtoto huyu akifa itakuwa juu yangu!! Niliwaza na kufikia maamuzi.
Dada Suzi alikuwa mtu pekee ambaye angeweza kunisaidia katika hili. Maana tayari tulikuwa tunamtambua kuwa alikuwa mwanamke wa kipekee aliyeweza kuhifadhi siri nzito nzito.
Huenda hata siri aliyokufa nayo baba nayo angeweza kuwa nayo!! Nikarusha karata yangu.
Nikamfuata dada Suzi nje alipokuwa amekaa chini ya mti akilia kwa juhudi zote.
“Da Suzi.” Nilimuita, akageuka akanitazama na macho yake mekundu yaliyovimba kutokana na kulia kwa muda mrefu.
“Nahitaji kuzungumza nawe dada.”
Alinitazama tena bila kusema lolote.
“Kuna jambo nahisi….”
“Nini?”
“Naweza kuwa najua chanzo cha tatizo hili.”
Suzi akageuka mzima mzima akanitazama kwa umakini kabisa akisubiri niseme neno.
Sikuwa na haja ya kumueleza kuwa ile ninayotaka kumwambia ni siri, nilikuwa namuamini sana.
“Suzi…” nilianza kumuelezea kwa kirefu na mapana juu ya maisha niliyopitia, nikamueleza juu ya ile mimba ya maajabu ambayo mwisho wake ulikuja baada ya kukatwa ilea lama ya 666 katika makalio yangu, nilimueleza pia juu ya Dokta Davis na pesa zake haramu, ndoto za maajabu zote pia nilimuelezea.
Dada Suzi alinisikiliza vyema sana nilipokuwa namueleza juu ya makaburi ya Kiyeyeu huko Iringa na jinsi nilivyokutana na babu nisiyemfahamu aliyenieleza kuwa jina la Isabela sio jina langu. Natakiwa kulitafuta jina langu.
Alishangazwa na kukwama kwa basi letu hadi pale niliposhuka mimi, kifo cha mwanaume aliyekuwa anasoma risala ya marehemu baba pia alishangaa nilivyomweleza kuwa yawezekana ni moja ya majanga niliyoyasababisha.
“Hata baba alikuwa ameniahidi kunieleza jambo fulani lakini ajabu kabla hajaweza kunieleza ametutoka. Nahisi ni yaleyale. Najua dada yangu hauamini mambo haya lakini niamini mdogo wako.”
Nilimsisitiza na ili kumfanya aamini tuliingia ndani nikamfunulia kovu langu. Hapo sasa aliweza kuniamini.
“Kwa hiyo mwanangu anaweza kufa pia.” Aliniuliza kwa wasiwasi.
“Sijui nisemeje lakini kiukweli naogopa sana…” nilimjibu.
“Sasa Bela mimi nafanyaje hapa katika hili.”
“Dada kama unaweza kujua lolote lile kuhusiana na mimi tafadhali nieleze tumuokoe mtoto. Hana makosa hata kidogo.” Nilimsihi Suzi. Kilio cha mtoto kilikuwa juu kama kilivyoanza na alikuwa anazidi kujikunja mkono.
Suzi alinitazama usoni kama anayesoma kitu fulani kwangu.
“Bela…yapo baadhi ninayoyajua….nitakueleza, sio kwa imani za kishirikina hapana!! Nakueleza kwa kuwa ni lazima uyajue. Kama mwenyezi Mungu amenipa pigo hili ili nikueleze siri hii basi nakueleza. Lakini jitahidi kuwa na moyo mgumu.” Nilianza kutetemeka kwa maneno hayo ya dada, hakika nilikuwa namuheshimu kwa kuwa na siri nzito nzito.
Kabla ya kunieleza aliniongoza katika sala. Nikamfuatisha hadi alipomaliza.
Sasa uwanja ukawa wake nami nikawa katika zamu ya kusikiliza.
“Siri hii hata aliyenieleza hajui kama alinieleza.”
“Kivipi?”
“Mzee alikuwa amelewa siku hii. Na pesa ya kulewa nilimpa mimi. Baada ya kulewa akawa anasemezana nami kwa njia kama ya kupitiwa ama hajui anazungumza na nani.”
Nikakubali kwa njia ya kichwa.
Suzi alinielezea juu ya upendo wa baba kwa mama yangu ulivyomlazimisha kufanya jambo hili la ajabu. Tendo la kuiba mtoto na kumpatia mama bila yeye kujua.
“Aliiba mtoto…kivipi?”
“Baada ya mimi kuzaliwa mama alizaa mtoto mwingine, akafariki dunia akiwa tumboni. Siku chache kabla ya kuzaliwa. Baada ya hapo akashika mimba nyingine tena. Alipojifungua tu mtoto akafariki tena.” Alinieleza dada Suzi, taarifa ile ya pili ikanisisimua kuliko ile ya kwanza, maana nilikuwa naifahamu hiyo kuwa iliwahi kutokea. Hii ya pili sikuwa naifahamu.
“Baba akazungumza na manesi, akawapatia pesa nyingi ambazo ziliwafanya wasahau wajibu wao. Wakakiuka maadili wakaiba mtoto na kumpelekea mama halafu yule mtoto aliyekufa akapelekwa wanapojua wao.”
“Kwa hiyo mama alipozinduka?”
“Akajikuta ana mtoto wa kike….akaamini ni mtoto wake wa kumzaa.”
“Kwa hiyo mama anajua kuwa hayo yalitokea?” niliuliza kwa hamaki.
“Si yeye wala ndugu mwingine anayefahamu jambo hili. Kama nilivyokwambia hata mimi baba alinieleza akiwa amelewa.”
“Sasa huyo mtoto mwingine yupo wapi sasa hivi? Na anaitwa nani jamani”
Ndiye huyu mbele yangu, anaitwa Isabela.”
Nilipiga yowe la mshtuko!! Suzi akawahi kuniziba mdogo na kunikanya kuwa niwe mtulivu kama kweli nimeamua kuichukua siri hiyo. Nikajilazimisha kutulia.
“Isabela…wewe sio mtoto wa familia hii ya mwalimu Nchimbi, mimi sio dada yako wa damu, mwalimu sio mama yako na hata marehemu pia hakuwa baba yako.” Alisema Suzi huku akiwa amenitazama usoni moja kwa moja. Nikashtushwa na kauli hiyo. Nilitegemea kuwa Suzi atabadili kauli hiyo huenda amesema kimakosa, lakini hakubadili.
Mapigo ya moyo yakaenda kasi sana!! Nikatamani ile iwe filamu na itamalizika baada ya muda fulani. Lakini hali ikaendelea kuwa kama ilivyo.
“Dada Suzi, kwahiyo mimi…eeh!” nilikuwa nimepegawa.
“Hiyo ndiyo siri Isabela. Haya je inahusika kwa namna yoyote na tatizo la mwanangu???”
“Dada yawezekana kweli yahusika sana. Kwa maana hiyo mimi sio Isabela. Hili jina alinipa nani.”
“Baba na mama….namaanisha mwalimu Nchimbi na marehemu mume wake.”
“Basi mimi sio Isabela. Mama yangu na baba yangu watakuwa wapi Mungu wangu!!” nilijiuliza huku nikijikuna kichwa changu pasipo kuwashwa.
Wakati najikuna kichwani zikarejea zile kumbukumbu za kudekezwa sana na mwanamke huyu ambaye sasa naambiwa kuwa sio mama yangu. Upendo wa dhati alionionyesha tangu nikiwa mdogo ulizidi kunifanya kimya kimya nipingane na kauliza dada yangu. Lakini ule uwezo wa dada kutunza siri ulinirejesha kuamini kuwa ule ni ukweli.
“Kwa hiyo inakuwaje.” Alinishtua Suzi na kunifanya nikumbuke kuwa tulikuwa na tatizo.
Natakiwa kulipata jina langu na ukoo wangu!! Nilimwambia Suzi.
*****
Kama ilivyokuwa kwangu ndivyo ilivyomuwia mwalimu Nchimbi ugumu sana kuweza kuamini alichokuwa anaelezwa na dada Suzi. Alimanusuru azimie kama zisingekuwa jitihada za dada Suzi kulegeza maneno makali na kuyafanya laini.
Hatimaye mama aliyekuwa mbishi kipindi chote cha maziungumzo alikubali kwa shingo upande kuwa mimi sio mwanaye.
Kwa kuokoa maisha ya mtoto wa dada Suzi ambaye alikuwa analia mfululizo tuliamua kwa pamoja kushirikiana kulitatua tatizo hili.
Hospitali!! Hapa ndio tulianzia kumtafuta mama yangu. Ilikuwa hospitali ya serikali na ni miaka mingi sana ilikuwa imepita. Kila kitu kilikuwa kimebadilika, hakuwepo wa kuweza kutusikiliza na kutusaidia.
Mtoto akiwa amebaki nyumbani, sisi tukiwa katika hekaheka hizi ndipo mama alipokuja na wazo la kumwendea mkunga ambaye alimzalisha. Mama alikiri kumkumba mama huyo ambaye ni mstaafu tayari.
Hakuna aliyelalamika kuhusu kuchoka. Tulitembea kwa miguu. Tulipofika maeneo ambayo mama alihisi kuwa ndipo anaishji yule mkunga tulianza kuulizia. Ilituchukua muda mfupi tu kuweza kuyapata makazi yake.
“Ameenda sokoni lakini atarudi muda si mrefu.” Msichana tuliyemkuta pale nyumbani alitujibu.
Tukajiweka katika mkeka tulioukuta pale nje na kumsubiri.
Kama tulivyoelezwa mama huyo mkongwe kiasi alifika, kwa kumtazama alionyesha kuwa ujanani alikuwa mrembo sana lakini mwenye maringo.
Licha ya uzee huo bado alikuwa na maringo kiasi katika sauti yake.
Alitukaribisha huku akiwa amesimama kwa namna ya kutusikiliza shida yetu ni ipi.
Kila mmoja akamwachia mama jukumu la kuzungumza.
“Naitwa mama Isabela au …” kabla hajamaliza kujitambulisha ilisikika sauti kutokea dirishani, “Shakamoo mwalimu!!”
“He! We ni nani tena unanisalimia umejificha…” alisema mama kwa kitetemeshi cha ualimu.
Yule mkunga akasaidiana nasi kutazama mlangoni. Akatoka msichana kwa makisio ni umri wa miaka kumi na moja.
Akamsalimia mama kwa kupiga magoti.
Kabla ya kujibu mama akaanza kuvuta kumbukumbu.
“Eliza….nimekosea!!!” alimkumbuka jina lake kwa usahihi.
“Mjukuu wangu huyu, kumbe ni mwanafunzi wako.” Yule mkunga aliyekuwa amesimama akasema huku sasa akikaa. Mwanafunzi yule akawa ameujenga urafiki kati yetu.
Tukakaribishwa ndani!!!
Baada ya utambulisho mama alianza kujielezea juu ya jambo lililotuleta. Alianzia mbali sana hadi akalifikia lengo letu.
Mama yule kwanza, alishtushwa na taarifa hiyo kisha akasema kuwa hajui lolote kuhusu tukio hilo.
“Kwa hiyo una uhakika kuwa nilizaa mtoto na akawa hai?” mama alimuuliza akiwa amemkazia macho. Mkunga akawahi kukwepesha macho yake, nikamsoma na kugundua anatudanganya.
“Sikumbuki..ujue nimewazalisha akinamama wengi sana…hakika sikumbuki.” Alijitetea huku akiwa na hofu.
Aliusimamia uongo wake huo hadi pale nilipoamua kuyaingilia mazungumzo haya, hasira ilikuwa imeanza kunitawala.
Nikarusha karata yangu!!!
“Mama mimi nadhani nimpigie simu yule baba aliyeshuhudia tukio hili, najua nikimpigia atakuja na yule askari. Kwa hiyo tutaufahamu ukweli.”
Yule mama akatowa yowe la hofu huku akizungumza kikabila cha kwao, hakika alitaharuki kusikia polisi.
“Mwanangu…usipige simu subiri tunayazungumza haya yanaisha.”
Uwanja ukawa wake akazungumza.
Kama dada Suzi alivyosimuliwa na marehemu baba juu ya uwepo wangu katika familia ile ndivyo ilivyokuwa kwa nesi huyu ambaye mara kwa mara alitusihi tuyamalize kindugu.
“Na mama yangu ni yupi?” nilimuuliza ghafla akashangaa.
“Sikuelewi unaniuliza mimi au?”
“Ndio nakuuliza wewe…..mimi ni huyo mtoto azliyeibiwa.”
Akakodoa macho yake kwa hofu. Nikaiskia hasira ikinichemka sana nikatamani kumrukia.
“Kwakweli mimi sijui labda Gloria ndio atakuwa anafahamu.”
“Gloria ndio nani?” mama alimuuliza.
“Tulikuwa naye..huyo ndiye aliyenishawishi.
*****
Hatukupoteza muda, tulimpa nafasi kidogo ya kujiandaa tukaondoka kuelekea kwa huyo aliyemuita Gloria. Haikuwa safari ndefu sana, tulitumia taksi.
Na yeye tulimkuta vilevile akiwa yupo katika uzee.
Baada ya salamu mbili tatu. Moja kwa moja ikawa zamu ya yule nesi kumueleza mwenzake juu ya tukio la miaka zaidi ya ishirini iliyopita.
Kama ilivyokuwa wakati tunamueleza na yeye alileta ujanja wa kutaka kumruka mwenzake lakini alipothibitishiwa kuwa akileta udanganyifu yupo shahidi na polisi pia. Naye akanywea!
“Tunachohitaji kujua ni kitu kimoja tu!! Mama aliyeibiwa mtoto ni nani.” Nilikoroma kwa hasira. Suzi na mama wakawa wakimya.
“Ni Dina….Dina yule…..”
“Dina ni nani na anakaa wapi.”
“Dina ni kichaa…eeh! Mungu nisamehe mimi nisamehe…” alianza kulia yule mwanamke.” Hakuna aliyembembeleza.
Neno lake la kuwa Dina ni kichaa liliniacha njia panda, ina maana mama yangu ni kichaa na anaitwsa Dina? Hapana haiwezi kuwa!!! Nilipinga kimya kimya.
Baada ya kutulia tena akatueleza juu ya kichaa aliyepewa mimba miaka mingi iliyopita. Mimba iliyotaka kuchukua uhai wake kwa sababu ya kukosa matunzo. Ilikuwa kama bahati diwani wa kata hiyo ambaye alikuwa mwanamke alipata kukutana na kichaa huyu. Wakati huo mimba ilikuwa na miezi saba. Huruma ilimshika kutoka na na imani yake ya kiroho..”
“Ooh!! Jesus jesus!!” Suzi alinong’ona huku akiwa kama anasali.
Akaendelea yule mama. “Basi akafika mwenyewe hospitali na kutoa amri ya mwanamke yule kusaidiwa. Hatua za haraka zikachukuliwa. Mwanamke akaanza kukamatwa kinguvu na kupelekwa kliniki. Baadaye akafungiwa kabisa bila kutoka hospitali. Hatimaye miezi tisa ikatimia akajifungua bila kufanyiwa upasuaji. Mtoto wa kike!!!!
Wakati anajifungua mtoto huyu ndipo ilipatikana biashara hii ya kuiba mtoto. Hakika hali ilikuwa ngumu sana kiuchumi. Utawala wa serikali ya awamu ya kwanza ulikuwa umechachamaa sana hivyo kwa pesa tuliyotangaziwa na yule kijana ambaye simkumbuki jina mimi na mwenzangu hatukuweza kuikataa.
Pia tuliamini kuwa yule kichaa asingeweza kumlea mtoto wake. Hivyo kwa huruma tukamchukua yule mtoto na kumuuza.”
Simulizi ile ilinisisimua sana!! Nilikuwa natetemeka kwa kila neno alilotamka yule mwanamama. Nilijihisi kama nusu mwanadamu nusu nimekufa!!
Kimya kikatanda. Kila mmoja akiwaza lake. Mimi nikizidi kuamini maneno ya mzee yule wa Iringa. Kuwa lile halikuwa jina langu na wala haukuwa ukoo wangu.
“Mama yangu yupo wapi?” hatimaye niliuliza.
“Kwa kweli ni siku ya nne hivi sijamuona lakini huwa anapatikana stendi na majalalani.” Nikasisimka tena kusikia maneno haya. Mama yangu anaishi majalalani!!!
Niliumia.
Hapakuwa na jipya tena kwa pale. Kwa kuwa huyu mama alikuwa anamtambua Dina ilimlazimu kuzunguka nasi siku nzima kumtafuta.
Siku ya kwanza hatukufanikiwa kumuona.
Siku ya pili majira ya mchana baada ya kuzunguka siku nzima bado kimya. Tukapewa taarifa za juu juu kuwa aliingia katika gari ya kwenda Mbeya.
Huo ukawa mwanzo wa safari nyingine.
“Tulimshusha Uyole.” Kondakta alitueleza baada ya kufanikiwa kulipata lile gari alilosadikiwa kupanda mama yangu.
Wakati huu nilikuwa mimi na mama pamoja na yule mkunga. Dada Suzi alirejea nyumbani kwa ajili ya kulea mtoto ambaye sasa kilio kilikuwa kinapungua na kidogo alikuwa ananyonya.
Safari ya kwenda Mbeya ikafuata. Tukaweka kituo Uyole. Kama vile chokoraa tulianza kuzurura huku na huko bila mafanikio. Yule mkunga ndiye aliyekuwa anaulizia mara kwa mara maana ni yeye alikuwa anaujua muonekano wa huyo Dina.
Siku mbili Uyole bila mafanikio. Mama alikuwa amechoka dhahiri lakini asingeweza kusema, nadhani kwa kuwa aliamini nipo katika matatizo pia ni kama mwanaye wa kumzaa, maana hata titi lake nilikuwa nimenyonya.
Siku ya nne inakuja habari nyingine kuwa Dina alionekana sokoni. Asubuhi na mapema tukafunga safari kuelekea Uyole sokoni.
Tulisubiri kwa masaa kadhaa.
Kelele za akina mama zilitushtua, walikuwa wanahangaika huku na huko kutaka kushuhudia jambo huku wengine wakiwa wanakimbia.
“Yule pale Dina!!” mkunga alipiga kelele huku akitujelekezea kwa kidole.
Mwanamke mnene, akiwa na malapulapu mwilini alikuwa akiwaponda watoto na mawe. Huku akiwa na fimbo mkononi. Alikuwa anajongea eneo la soko. Jambo hilo liliwapagawisha akina mama na sasa walikuwa wanapiga kelele.
Nilimtazama mwanamke huyu anayesadikiwa kuwa ni mama yangu. Mara ghafla nikajikuta nipo wima, nikakimbia mbio mbio. Umati ulikuwa unashangaa na hata mwalimu Nchimbi alibaki kunitazama tu asijue la kufanya.
Macho yetu yalipogongana nikaona kitu!!
Ni kama kioo mbele yangu na nilikuwa najitazama.
Damu nzito kuliko maji!!!
Sikuogopa mawe aliyoshikilia, mavazi yake machafu!!
Nikamsogelea na kumkumbatia.
Maajabu!! Na yeye akanikumbatia huku akizungumza kabila nisilolielewa. Kimya kikuu kikatawala!!
Hakuna aliyetusogelea.
“Mama!!” nilinyanyua kinywa changu na kumuita!!
“Su…Subira…..” aliniita kwa mshangao.
Alipotaja jina hilo. Nikajikuta kama nasukumwa chini. Nikaanguka kama mzigo.
Nikajikuta katika filamu ya ajabu huku mimi nikiwa wa ajabu zaidi.
Nilikuwa napambana na mamia ya watu. Na sasa nilikuwa ana kwa ana na Dokta Davis. Alikuwa ananiogopa sana, nami sikuwa na huruma. Nikiwa na panga kubwa mkononi. Nilimkaribia na kumfyeka.
Nikatazama maadui wengine wanaonikabiri na wao nikawatenda nilichomtenda Davis.
Likafuata pambano kuu la kupambana na joka la maajabu.
Lilinisumbua lakini kila liliponijeruhi na mimi niliondoka na kipande kimoja cha mwili wake.
Pambano lilikuwa kali hadi walipotokea viumbe weupe sana wakaniweka kando kisha wakalimaliza joka.
Kisha wakakiteketeza kijiji kile cha maajabu. Lakini cha kushangaza mimi sikuungua kabisa.
Moto ulipokwisha nikajikuta nimesimama peke yangu. Uchi wa mnyama. Nilikuwa nimechoka na nilikuwa natokwa jasho.
Ule ujasiri niliokuwanao ukayoyoma na sasa nikawa naogopa.
Mara ghafla…”Mamaaaaaa!!” nikapiga kelele kubwa na kutaka kukimbia.
Nilipojaribu kufanya hivyo nikakabiliana na kamba ngumu zikiwa zimeifunga mikono yangu na miguu. Nilikuwa natokwa jasho sana.
Niliangaza huku na kule bila kupata majibu.
Mara kundi la watu likafika pale chumbani.
Wote walikuwa wakinishangaa. Nikamuona mwalimu Nchimbi.
“Mama ni nini hiki…mbona nimefungwsa hivi.” Niliuliza huku nikiwa nashangaa.
Mwanaume mmoja nisiyemtambua akaanza kunielezea juu ya vurugu nilizokuwa nafanya licha ya kupigwa sindano ya usingizi.
“Ni ugonjwa wa kushangaza sana.”
Alinielezea tukio zima la kuanguka baada ya kukumbatiana na kichaa ambaye alitoweka pia baada ya mimi kuanguka.
“Mama yangu!!” niliwaza!! Kisha nikatabasamu na akili ikiwa imerejea sawia.
Nilipofunguliwa kamba niliwaelezea juu ya yote yaliyokuwa yananikabili katika maono yangu ya ajabu.
“Nimeikamilisha kazi!!!” hatimaye nilitamka hayo.
Tulikuwa hospitali ya mkoa ya Mbeya. Baada ya siku nne niliruhusiwa kuondoka. Niliambatana na mwalimu Nchimbi.
“Naitwa Subira!!” nilimweleza mama.
“Najua!!” aliniambia, nikashangaa.
“Umejuaje.”
“Ulisisitiza sana wakati ukiwa umepoteza fahamu zako.”
Nilitabasamu naye akatabasamu.
*******
Mtoto wa dada Suzi alikuwa halii tena japo mkono wake ulibaki kuwa vile umejikunja.
Amani ikautawala moyo wangu!!!
Taarifa pekee iliyoniumiza ni juu ya kifo cha mama yule kichaa aliyekufa baada ya kugongwa na gari.
Japo nilipata nafasi ya kusikia neno moja tu kutgoka kwake lakini alikuwa amenisaidia mengi mno.
Familia yangu ilimzika kwa heshima zote kama ndugu.
Baada ya kuyaweka haya yote pembeni niliirejesha akili yangu jijini Mwanza.
Mama alikopa pesa nikasafiri kurejea chuoni.
Safari ilikuwa njema sana.
Maria akawa mwenyeji wangu jijini Mwanza. Akanielezea juu ya yote yaliyotokea. Hapakuwa na lolote baya, zaidi ya maajabu ya kanisa fulani kudai limemtoa John msukule kutoka gamboshi.
Nilitabasamu na kukiri kuwa dini imegeuka biashara. Lakini sikumwelezea Maria juu ya yote tuliyoyapitia.
“Jesca na Jenipher je?” nilimuulizia na kutegemea jibu la maajabu tena.
“Kumbe mwenzangu na wao hawakufa..eti vilizikwa vinu badala ya watu!! Dunia ina mambo.” Alijibu.
“Kwa hiyo bado wapo chuo.”
“Hapana hawapo kwa sasa. Lakini Jesca yupo mtaani.’
“Amakweli dunia ina mambo…” nilimuunga mkono.
Maria hakujua lolote lile kuhusu yaliyonisibu mimi. Na alikuwa kama anayenifahamisha juu ya yaliyotokea huku akiamini kuwa ile ruhusa niliyoomba ndio iliyonifanya nitoweke ghafla.
“mwenzangu na mimi siku moja sijui nikaota madudu gani. Wacha nipagawe..” Maria alinisimulia alichokiota na kilikuwa sawa na kilke kichotutokea msituni.
Maria hakujua kama ni kweli alikuja kule msituni!!!
“Nilipiga kelele wewe nikamuita Mungu, mama na mizimu yote!!” aliendelea kusimulia.
Baada ya mazungumzo hayo marefu. Niliingia kuoga.
Baada ya kuoga nikiwa katika kutafuta nguo ya kubadilisha nikakutana na kadi ya benki. Nikaitazama huku nikiweka mbali kabisa tamaa.
Nilipokuwa nimebadilisha nguo, nikaanzisha moto mdogo nyuma ya nyumba na kuviteketeza baadhi ya vitu ambavyo nilihisi vitakuwa vinanikumbusha juu ya Dokta Davis. Nilitaka kuiteketeza kadi ya benki pia lakini nikakumbuka kuwa ilikuwa pia kwa ajili ya matumizi ya chuoni. Nikaghairi zoezi hilo.
******
Baada ya wiki moja nikapata fursa ya kukutana na John!! Nilikutana naye akiwa anaelekea kanisani.
“Bwana asifiwe dada..Bela.” alinisalimia huku akionekana kutokumbuka lolote.
Nikamjibu, tukabadilishana naye mawili matatu. Akaenda zake huku akinisihi kuwa akitoka kanisani atanitafuta.
Niliondoka pale nikiwa natabasamu na kujipongeza kwa vita ile kuu ambayo nimeibuka kuwa mshindi. Vita ambayo nimepoteza kipande kidogo tu cha nyama yangu lakini kwa ukombozi wa mamia ya watu..kutoka katika milki ya Shetani na chapa yake ya 666.
Japo sikutaka tena kurejea katika mtandao huo lakini nilikiri kwa kila neno la lugha ninayoifahamu kuwa kamwe SITAISAHAU facebook.
 MWISHO

SITAISAHAU FACEBOOK – 4

Image result for facebook

Simulizi : Sitaisahau Facebook
Sehemu Ya Nne (4)

“Kwani mtu akifa anakuwaje?” aliniuliza, sikujibu.
Akaendelea, “hebu tuachane na hayo..msichana mdogo kama wewe ukifa sio vizuri ujue.”
“Kama ukiwa makini hautakufa. Tena wewe hautakufa, nitakusaidia usife sawa!!”
“Sawa!!” nilijibu kwa nidhamu kubwa.
“Njoo huku…”
Nikamfuata hadi mahali patulivu kabisa. Sasa hii ilikuwa ofisi kweli. R.I.P akanipokea. Akaniacha ofisini kwa muda, kisha akaingia tena baada ya dakika kadhaa.
Hakuwa yule tahira, hakuwa mchafum,chafu kama nilivyokueleza mwanzoni. Huyu alikuwa na hadhi ya yule mvulana ninayemuhitaji. Alikuwa mtanashati.
Hakuwa akicheka hovyo! Alikuwa makini na mtaratibu.
Roho Iliyo Potea (R.I.P). Alianza kwa kujitambulisha jina lake halisi. Kisha akaniupongeza sana kwa ujasiri wangu hadi kufika hapo.
Akajieleza kwa ufupi maisha yake ya utafutaji huku na kule hadi alipojikuta akitafuta kwa njia za mashetani. Ni katika maelezo haya alinieleza juu ya namba 666. Nilishangazwa sana na maelezo yake lakini nilipiga moyo konde nikiamini tiba ipo.
Baadaye akanieleza jinsi alivyojitoa katika harakati hizo za kumtumikia shetani. Haikuwa njia rahisi. Aliwapoteza ndugu zake kadhaa lakini mwisho akawa amejikomboa.
Hiyo chapa uliyopigwa lazima ifutwe! Ni njia hiyo tu ya kukukomboa kutoka ufalme huo.
Nilikuwa makini nikimsikiliza.!

USIKU MNENE

Safari ya kuelekea kuitoa ilea lama ilikuwa imewadia. Pesa taslimu milioni moja ilikuwa imenitoka tayari ili kufanikisha jambo hili.
Tulitumia usafiri wa gari binafsi. Tulikuwa watatu. Mimi, RIP na mwenzake ambaye sikuwa namjua jina. Yeye alikuwa anaendesha gari.
Sasa gari ilisimama. Tukashuka garini. Nilikuwa nimevaa upande wa kanga kama RIP alivyoniagiza. Tulitembea kwa muda hadi tukakifikia kichaka. Hapakuwa na vibuyu wala dawa za kienyeji lakini tulikuwa mbele ta kaburi, hilo kaburi lilikuwa likimsubiri mtu limmeze. Yaani lilikuwa wazi.
Mara akachomoa kisu, akachomoa na kisahani.
Nikaamuriwa kuvua nguo!! Nikavua. Nikawa uchi mbele ya wanaume hawa wawili. Sikuwa na aibu!!
R.I.P akatoa sindano akavuta dawa. Akanigeuza, nikageuka.
Akanidunga sindano. Hii ya sasa ilipenya. Nikaisikilizia maumivu yake kisha taratibu nikasikia mguu wangu wa kulia unakufa ganzi.
Kisu kikatwaliwa upesi. Ilikuwa saa sita kasoro dakika sita. Hii ni kwa mujibu wa RIP.
Sikujua kinachoendelea lakini nilipotazama chini niliona kitu kama maji vile. Ghafla ikasikika sauti. Sauti ya kike ikiniita kwa mbali. Sauti ile ilikuwa inanisihi sana nikimbie.
Nikimbie kwenda wapi sasa.
RIP na mwenzake walikuwa wameshikilia kile kisahani. Sasa niliweza kuona kipande cha nyama. 666 zilionekana zikiwa katika mng’aro wa dhahabu.
Nikiwa sijajua lolote linaloendelea. Mara ghafla ile sauti sasa iliweza kusogea zaidi na zaidi.
Hatimaye aliyekuwa anaita kwa juhudi zile nikamuona. Alikuwa ni Maria, yule rafiki yangu tunayeishi naye. Alikuwa yu uchi wa mnyama. Alikuwa akikimbia kwa juhudi zote lakini hakuwa akikimbia bure kuna kitu ama mtu alikuwa anamfukuza.
Nikajaribu kupiga kelele. RIP na mwenzake hawakunisikia.
Maria alikuwa anakimbizwa na nyoka. Nyoka mkubwa alikuwa
anang’ara sana. Nashangaa wenzangu hakumuona.
Nikajikuta natimua mbio uchi. Na nilikuwa kitendo cha sekunde chache yule nyoka akavamia eneo lile. Sikushuhudia sana kilichowatokea wenzangu. Sasa nikaanza kuhangaika huku na huko katika pori hilo ambalo sikuwa nalifahamu.
Mguu mmoja ukiwa umekufa ganzi. Ningeweza vipi kukimbia mbio ndefu. Isabela mimi nikaanguka chini. Sasa nikawa najivuta kama nyoka. Nalia kama mtoto. Sikuwa na uelewa bado kwa nini mguu wangu ulikufa ganzi. Lakini kumbukumbu za kuchomwa sindano ile kali zilikuwa kichwani mwangu.
Nikiwa bado sijapata jibu sahihi. Lile joka la maajabu sasa likatokeza mbele yangu. Mdomoni likiwa na kipande cha nyama. Nyama ile yenye namba 666.
Nikajiinamia kwa uchungu. Nikafanya dua fupi. Nikajilaani kwa kila hatua ya maisha yangu niliyopitia. Nikatamani ningekuwa na nguvu niweze kutimua mbio. Lakini tayari nilikuwa nimelegea. Macho yakazidi kuhesabu hatua za yule nyoka kunifikia. Sijawahi kuona nyoka mkubwa kama huyu!!! Nakufa kwa kumezwa na nyoka. Inauma sana!!
Joka likazidi kusogea!! Joka kuu likawa linatambaa!!!
Kabla joka halijanifikia. Lilibadilisha uelekeo. Ni kama kuna kitu lilikuwa limehisi. Likaanza kutambaa kuelekea upande mwingine.
Joka linatoka mara sasa namuona John. John yule mpenzi wangu ambaye alipotea katika mazingira ya kutatanisha pale chuoni.
“John…John!!” nilianza kumuita. Sauti ilikuwa imekauka. Haikutoka.
Joooooh!!! Nikajaribu tena, nikawa kama ninafanya mnong’ono. John akawa anaenda zake. Nikalia sana kuikosa nafasi hii hadimu ya kusikiwa na John!! Huenda angeweza kuwa msaada mkubwa kwangu.
Ubaridi ulipenya katika mwili wangu. Mwanzoni niliuhisi kuwa wa kawaida lakini baadaye nikahisi kama maumivu hivi. Nikajipapasa. Nilipoutazama mkono wangu ulikuwa na damu. Nikageuka kujitazama sehemu zangu za nyuma.
Maajabu!! Nilikuwa na kovu kubwa sana!! Na palikuwa pamechimbika. He! Ina maana nilikatwa nyama yangu ya…..!! niliduwaa.
Maumivu yakazidi. Na sasa giza likazidi kuchukua nafasi yake baada ya mbalamwezi kutoweka. Giza nene!! Hapo bado nilikuwa sijaweza kunyanyuka imara. Nikajaribu kujikunjua nisimame. Maumivu makali katika makalio. Nikaanguka kama mzigo. Nilipoanguka palikuwa na kisu kipya, kikiwa na damu.
Nikaendelea kulia. Sauti haitoki.!! Nilikuwa katika jaribio kuu maishani.

Ikiwa bado sijaweza kusimama. Lile joka lililopotea njia sasa lilionekana tena. Safari hii lilikuwa linakuja kwangu tena.
Bora nife!! Nilijiapiza. Sasa nikaanza kutambaa kumfuata huyo nyoka. Mkononi nikiwa na kisu ambacho nilikiokota, bila shaka ni kile kilichotumika kunikata nyama.
Nikawa natambaa kama joka lile linavyotambaa. Sikuwa naijua nia yangu. Lakini nilihisi ni vyema kufa kuliko mateso haya.
Lile joka likazidi kunisogelea, macho yake makali yakiangaza huku na huko. Urefu wa joka lile la dhahabu likiwa na kipande cha nyama mdomoni ulinitia kwenye hofu. Nikajiuliza iwapo kisu changu kinaweza kupenya katika ngozi yake, nikajipuuza maana kisu changu kilikuwa kidogo sana. Nikasita kutambaa. Nikatulia tuli, huku nikiamini kuwa ni heri linimeze kistaarabu kuliko kunimeza likiwa na hasira baada ya mimi kujaribu kupambana nalo. Nikafumba macho nikakitupa kisu changu chini, nikajinyoosha tayari kwa kumezwa.
Haikuwa ndoto kwamba nikifumbua macho nikutane na mashuka yangu masafi ya kuvutia yakinibembeleza kulala badala yake nilipofumbua macho. Joka kuu hili hapa!!
Ubaridi wake ukapenyeza sasa, lilikuwa juu ya mwili wangu, pumzi zikawa zinaniishia. Ndio ninamezwa au? Nilijiuliza.
Nikaanza kugalagazwa kadri lilivyokuwa linajivuta. Sasa ile hamu ya kufa ikatoweka baada ya lile kovu langu makalioni kupatwa maumivu makali. Maumivu yaliyosimamisha misuli yangu. Nilipogeuka kujitazama nikakuta kuna mwiba umezama nikajivika ujasiri nikauchomoa. Sikuwa navutwa tena. Nilitazama mbele nikalishuhudia lile joka likienda zake.
Inamaana huyu nyoka hakuniona ama!! Nilitafakari. Nikashangaa.
Damu zilikuwa zikinitoka tena, sasa haikuwa katika kovu tu, bali na sehemu nyingine. Lile joka lilikuwa limenivuta hadi katika mti wa miiba na ni hapo nilipojitonesha.

Pori likatulia kimya, kimya kikawa kirefu sana. Nikawa nahisi kiu kikali. Lakini hapakuwa na maji. Usingizi ukanisaidia kuikwepa karaha hii. Nikasinzia.
Mwanga wa jua ndio ulionishtua. Nikakurupuka. Ni uchi!! Nikajishangaa kisha nikawahi kujiziba lakini bahati mbaya hakuwepo ambaye alikuwa ananichungulia. Nilikuwa peke yangu katika pori lile.
Hakuna mnyama, hakuna mmea ninaoufahamu, hakuna hata mdudu!! Lilikuwa pori la maajabu, pori la mateso makali kwa kiumbe hai.
Nilisimama wima, nikajisikia dhaifu sana lakini sikutakiwa kuendelea kuwa lelemama, nikiwa nachechemea nilianza kuzunguka huku na kule niangalie uwezekano wa kupata msaada. Harakati zangu sasa zikazaa matunda, kwa mbali nilimuona mtu akiwa analima. Alhamdulilah!!
Lilikuwa jambo maalumu kwa wakati maalumu. Nikajongea kwa kujikaza hadi nikalifikia lile shamba. Hakika mtu huyu alikuwa mchapakazi. Alikuwa peke yake na shamba lilikuwa kubwa sana.
“Kaka!!….Kaka…” Sauti ilitoka kwa taabu, nadhani hakuweza kunisikia.
Nikataka nimsogelee. Lakini ghafla akageuka. Ni kama aliuhisi uwepo wangu pale.
Japo alikuwa amechakaa sana. Nguo zikiwa zimeraruka, lakini niliweza kumtambua. Huyu mtu alikuwa ni marehemu. Zaidi ya kuwa marehemu, kifo chake niliwahi kukiota. Basu!!
Hakusema neno alipogeuka na wala hakunitazama, ni mimi niliyeiona alama ya 666 kifuani pake. He! Anamilikiwa!! Nilitafakari. Nikatimua mbio. Mbio za kuchecheme ziliniumiza lakini nitafanyaje??
Akili yangu ilikuwa sawa kabisa. Nilikuwa namkumbuka vyema Davis. Nilijuta kukutana na bwana huyu katika mtandao na kumuamini sana. Nilijutia na pesa alizokuwa akinipatia.
Mara nikaanguka!! Nilikuwa nimegongana na kitu kigumu. Ajabu na kweli haukuwa mti bali mtu. Jesca! Jesca na urembo wake alikuwa amebeba ndoo kubwa ya maji, alikuwa peku na alikuwa amepauka sana. Hata Jesca naye hakunitazama, badala yake aliendelea na safari zake huku akinipa nafasi ya kuitazama alama ya 666 katika mkono wake.
“Jesca!! Jesca!!” hakunijibu na dhani hakunisikia. Akatoweka.
Sasa sikukimbia tena, ina maana hawa watu hawanioni. Na kama
hawanioni hata lile joka halinioni. Nilijiuliza.
Kwani kuna kitu gani sifanani nao? Nilipojiuliza hivyo. Nikaikumbuka alama ya ‘666’ iliyokuwa imetolewa katika upande mmoja wa makalio yangu.
Alama hii ni ile ninayoijua ama kuna utofauti? Nilitafakari. Jesca huyo akawa ametoweka. Nilipoendelea mbele kidogo nikakutana na kile kisu nilichokitupa. Nikakitwaa. Nikazunguka huku na huko nikiwa uchi nikaipata ile kanga yangu, nikaivaa, wakati naivaa ndipo nilikumbuka juu ya watu wawili niliokuja nao huku katika kujisafisha na alama hiyo mbaya.
Nilipowakumbuka nikalikumbuka na kaburi lililokuwa wazi. Nikazungukazunguka na sasa nilikumbana nalo. Huenda walikuwa wamejichimbia kaburi hili. R.I.P na mwenzake walikuwa wamejizika huko.
Amakweli wewe ni Roho Iliyo Potea!!! Nilikiri kimoyomoyo baada ya kugundua kuwa sasa RIP amepotea kweli. Nilisikitika kuwa hakuwa amenieleza mambo mengi juu ya alama hizi za maajabu.
Jambo moja la muhimu alilonieleza ni kwamba nilikuwa namilikiwa. Kuna mtu alikuwa ananimiliki. Ili nisimilikiwe ilikuwa lazima alama hiyo ifutwe.
Sasa nilikuwa nimekatwa kipande cha nyama. Damu ya hedhi hainitoki tena na sihisi kichefuchefu cha mimba. Ina maana ndio similikiwi tena? Na mimba nayo imetoka. Nilishangaa.
Lakini sasa mbona siwezi kutoka humu porini? Nilijiuliza sikupata jawabu.
Mawazo yangu yalikatishwa na sura ya mtu mwingine aliyekatisha mbele yangu. Huyu alikuwa ni marehemu mwingine ambaye tulisoma chuo kimoja enzi za uhai wake.
Hivi niko peponi ama jehanamu? Kwa nini sasa nakutana na maiti tu.
Huyu naye hakuonekana kunifahamu. Alikuwa na alama yake sikioni. Nikakumbwa na moyo wa kujaribu. Kama mimi nimekatwa kipande cha nyama na alama imetoweka, nikaamua kujaribu kutumia mbinu ya RIP ambaye sasa ni marehemu.
Nikamnyatia yule binti. Nikakiweka kisu changu tayari nikamkaba. Bila kukumbuka maumivu atakayoyapata nikafyeka sikio lake. Nikasisimuka lakini katika nafsi nikikiri kuwa kile kisu kilikuwa kikali sana. Sikio chini!! Yule binti naye chini, akawa anatoa kilio kikubwa sana. Kitu cha ajabu hakuna msaada alioupata. Mimi nikajiweka mbali niweze kuwa shahidi wa nini kitakachotokea.
Mara upepo mkali ukaanza kuvuma. Miti ikayumba, pori likatulia na sasa alitokeza nyoka mkubwa, ni yule yule wa awali. Nikataka kukimbia, nikakosa ujasiri nikaendelea kujificha, joka lile likatambaa hadi katika ule mwili unaogalagala, kisha likakwapua lile sikio na kisha kuanza kuzurura huku na huko hadi lilipotoweka ndipo nilipomsogelea yule binti. Alikuwa ametulia tuli na damu haikuwa ikivuja sana.
Nikamgusa. Akajigeuza, akanitazama. Mungu wangu!! Tiba inafanya kazi ile. Aliniita jina langu. Akakaa kitako.
Sikuwa nikiamini lakini sasa nikampongeza RIP yule tahira niliyemdharau sasa alikuwa njia.
“Na wewe umejiua?”
“Nimejiua?” nilimuuliza.
“Isabela kwa nini uliniua?” alinihoji. Nikashangaa.
“Mimi nilikuua wewe.”
Yule binti alinieleza kila kitu, akanisimulia alivyouwawa akiwa ndotoni. Akakiri kuniona mimi nikimmaliza huku ninacheka. Akanielezea juu ya sauti alizozisikia. Ni sauti zile zile na mimi nilizisikia katika kifo chake na pia katika mazishi ya yake, hata Jesca alipokufa zilisikika.
Niliamini tena kauli ya RIP kuwa kuna mtu ananimiliki na ananifanya anavyotaka yeye kwa wakati wake. Huyu mtu ni nani? Nilijiuliza huku tuhuma za kwanza nikizitupia kwa Dokta Davis.
******
(OPARESHENI UKOMBOZI)
Jenipher alinieleza mambo mengi huku akinisaidia kupata chakula na maji. Chakula kilikuwa kizuri na maji yalikuwa safi lakini namna ya kuvipata ilikuwa ya namna yake. Wakati huo na yeye hakuweza kuonekana.
Chakula na maji pekee havikuwa vitu tulivyokuwa tukihitaji. Kikubwa tuliuhitaji ukombozi wetu na wanadamu wengine wanaomilikiwa na watu wabaya.
Sasa ilikuwa ni lazima kuuvaa moyo wa ujasiri ili kufanya harakati za ukombozi. Tuliwahitaji wanaume wenye nguvu waweze kuungana nasi.
Basu akawa chaguo la kwanza! Tulimtegea siku akiwa katika kulima shamba kubwa lisilotoa mazao.
Tulifanikiwa kumpata kwa wakati. Huku tukiwa tunajiamini kabisa. Tulimvaa kwa nguvu akaanguka chini huku akiwa haoni lolote. Anaangaza kushoto na kulia. Nikachomoa kisu.
Alama ipo kifuani!! Huu sasa ukawa mtihani. Nichome au nisichome..nikimchoma maana yake ninamuua. Nikabaki kujiuliza.
Hali hiyo ya kujiuliza, ikapoteza sekunde kadhaa. Ni katika sekunde hizo, nilimshuhudia Jenipher akirushwa mbali kisha nikamwona nyoka akimshambulia. Nikajitoa katika mwili wa Basu nikiwa na kisu changu nimesimama wima. Nilimshuhudia Jenny anavyohangaika. Na nyoka yule alikuwa ni mdogo sana. Nikajitoa muhanga.
Bila kusita mbio mbio. Kisu mkononi huku nikipiga kelele nikamfikia yule nyoka nikamfyeka. Akagawanyika vipande viwili.
Jenny akasimama. Hakuwa amejeruhiwa. Tukatoweka mahali hapo. Tukamwacha Basu akiwa katika taharuki asijue nini kimetokea.

Hatukuwa tumezungumza lolote. Hadi pale tulipokutana na mwanaume mwingine. Huyu alikuwa ametoka kukata kuni. Tulimpisha njia kisha tukamfata kwa nyuma tukamvamia, akapiga mweleka. Alipojaribu kurusharusha miguu. Alama ile chafu ikaonekana katika paja lake. Bila kujiuliza Isabela mimi nikafanya kama nachuna mbuzi. Nikaikata nyama ya paja lake. Mwanaume huyu akalia kama mtoto.
Nilipoiondoa nikaitupia mbali. Baada ya muda akatokea yule nyoka akakichukua kile kipande.
Sasa tukazidi kufunguka akili kuwa yule nyoka anawaona watu wenye alama. Na yawezekana ni nyoka huyu yupo katika kuwamiliki wanadamu kwa chapa yake ya hatari.
Swali kuu likabaki. Tunatoka vipi katika pori hilo.
Mwanaume yule hakuzimia, alikuwa na timamu zake. Tukamweleza kwa kifupi naye akajieleza kuwa, tamaa ya utajiri imemtupia katika shimo hili baya.
Yule mwanaume alijitambulisha kwa jina la Samson alikumbuka vyema kuwa kabla ya kufika hapo alikuwa mkazi wa jijini Mwanza na alikuwa mwanafunzi katika chuo cha biashara (CBE) tawi dogo la jijini Mwanza.
Huyu alikuwa Samson kweli maana alikuwa ni mbabe sana. Lile kovu lake la kwenye paja halikumsumbua. Tulitembea kidogo akachuma majani fulani akayasagasaga akayaweka katika lile kovu. Hapa sasa aligumia kwa maumivu. Bila shaka ile dawa ilikuwa kali sana.
Akaniwekea na mimi katika kovu langu. Nikapiga mayowe. Akanikamata imara. Hadi maumivu yalipotulia kidogo. Jenipher hakutaka kovu lake la sikioni liguswe aliweza kuyakadiria maumivu makali ya dawa ile.
Siku mbili zilipita. Kovu lilikuwa linakauka kwa kasi. Nilimshangaa kijana huyu.
Siku hiyo ya pili harakati za kujikomboa zilianza rasmi. Jeshi letu bado lilikuwa dogo. Tulihitaji jeshi kubwa zaidi.

Samson alituongoza hadi katika ngome ambayo yeye alikuwa akishi hapo kabla. Walioishi katika ngome hii ni wanaume wababe wanaoweza kufanya kazi ngumu. Tuliindia hapa na kuwakuta wanaume sita waliojaa haswahaswa. Kama ilivyo kawaida hawakuweza kutuona japo kila mmoja alikumbwa na hisia za namna yake mwenyewe.

Mimi kisu mkononi. Samsoni panga kubwa mkononi, Jenipher kazi yake kukaba kwa bidii zote. Sisi wawili tukawa tunakata tu!!
Iwe sikioni hiyo alama. Sikio sio lako tena!!
Iwe kwenye mkono. Samsoni anaushusha mzima mzima.
Kama ni kiganja. Mimi naondoka nacho kwa kutumia kisu changu. Ikishindikana tu, panga kubwa la Samson linatimiza wajibu.
Waliokuwa wamewekewa alama katika vifua vyao hawa walitupa wakati mgumu sana na tulilazimika kuwaacha wanaume wawili. Wanne tukaungana nao.
“Sam kwani we kabila gani?” nilimuuliza wakati tunaondoka.
“Msukuma wa Bariadi!!” alinijibu huku akijaribu kutabasamu.
Amakweli!! Hana huruma mtu huyu kama vile…kama kabila gani vileee…..
Nilipotea katika mawazo nikarejea katika uhalisia. Joka kuu tukapishana nalo. Wenzangu wakakumbwa na uoga. Mimi sikuogopa tena. Nilijua kazi gani linaenda kufanya.
Jeshi lilikuwa kubwa sasa na kila mmoja alikuwa na nia ya kuwa huru hivyo tulipambana kwa bidii sana.
Mapambano yalikolea sana kwani kila siku tuliongeza timu ya ukombozi.
Kilichotutatiza ni kuijua njia ya kutokea. Sasa tukiwa tunajiamini kabisa siku hii hatukutembea kwa kundi kubwa bali kila mmoja alienda njia yake huku akijiamini kabisa kuwa hawezi kuonekana. Nia ikiwa kutafuta njia.
Shughuli hii ilianza asubuhi kabisa. Mimi na Jenipher tulienda njia yetu. Huku jeshi jingine nalo likienda njia tofauti.
Masaa yakapita na jioni ikawadia. Ile jioni ambayo tulikuwa tumekubaliana tukutane.
Tulingoja kwa muda mrefu lile eneo tulilokubaliana tukutane lakini wenzetu hawakutokea.
Tulisubiri sana, hatimaye giza likaanza kuiingia. Nikaingiwa na wasiwasi, huenda wenzetu waliipata njia na sasa wapo huru wametusahau sisi. Nilijilaani kwa kuruhusu hali hii ya kila mmoja aende kivyake.
“Jenny”
“Bela” aliitika.
“Unaweza kuwa unajua lolote kuhusu hawa watu.”
“Mh!! Kwakweli hata mimi nipo katika mashaka.”
“Wanaweza wakawa wamepata njia na kutoroka?” nilimuuliza.
“Kama hawajatoroka basi kwenye kambi ya usiku lazima watakuwepo.”
“Kambi ya usiku ndio nini?”
“Kila usiku wanachama ama wananchi wa mji huu huwa wanaitishwa kitu kama gwaride hivi, tena leo ni gwaride kuu.”
“Linafanyika wapi.”
“Nitakupeleka Bela. Lakini panatisha sana huko. Na sijui kama patakuwa salama.”
“Jenny pawe salama ama pasiwe salama..kwa sasa haina maana ujue bora kufa sasa..maisha gani haya unadhani.”
Jenny alikubaliana na mimi, akaniongoza kwenda katika kambi kuu. Kila mtu alikuwa kimya sana. Nilikuwa namfuata Jenny anapoelekea. Hadi tulipoona mahali panafuka moshi
“Huko wanakula nyama…na damu pia.”
“Kwa mifugo gani sasa?” nilihoji kwa sauti ya chini.
“Wananchi wanaotaka kutoroka huwa wananyonywa damu.” Nilishtuka sana kuisikia kauli hiyo.
“Na leo kuna mwananchi alitumwa damu kutoka Naijeria, ndio leo anaileta sasa.”
“Na wewe umekula nyama ya mtu?” nilimuuliza.
“Hapana hizo wanakula viongozi wakubwa tu. Mwananchi ukila ama kunywa damu wanasema unakuwa kama wao. Kwa hiyo hairuhusiwi hata kidogo”
Alinieleza kwa utulivu mkubwa.

Tukaifikia KAMBI YA USIKU.

Shangwe zilikuwa kubwa na watu takribani hamsini walikuwa wakisheherekea.
“Ndio watu wote hawa ama kuna wengine?”
“Ni hawa tu!! Ujue hii ardhi ndio kwanza ilikuwa imeanzishwa.”
Nilikuwa kimya nikiwatazama watu kwa mbali tulipojificha. Nilimuona John, nikamtambua na Jesca. Baadaye kila mmoja akatulia kuna mtu alitaka kuzungumza neno.

“Leo raisi atakuwa amekuja. Isabela tuyondoke hapa.”
“Raisi ndio nani?” niliuliza kwa jeuri. Kuna kitu kama hasira kilikuwa kimenikaba kooni na sikuhisi uoga hata kidogo.
“Mkuu wa Nchi hii. Huwa haoneshi sura yake lakini anaitwa mtukufu raisi.”
“Na yule anayeonekana ni nani?”
“Yule tulitambulishwa kwake kama waziri wa miundombinu…njia zote anazifahamu yeye.”
Niliposikia hivyo nikatamani sana kumtia mikononi, mtu yule aliyeitwa waziri wakati namfahamu kwa jina la Osmani!! Huyu alikuwa ni Osmani mwanaume aliyenipatia namba ya simu 6666666. Na ni huyu huyu aliyenijia ndotoni akiwa na John wakimkwapua mama yangu mzazi.
Sikuwa na uoga. Nilipiga hatua sasa nikawa nimejichanganya na watu hawa wachache waliokuwa wakimtumikia shetani.
Osmani alikuwa akiongea kwa maringo na kutumia amri sana.
Kila mtu alikuwa anamsikiliza.
“Leo damu ipo nyingi, nyama za kusaza.”
“Manson, Fanson, Rinzon, Wenton, Zeiron.” Alitaja vitu nisivyovijua na kila alipotaja kuna mtu aliitika na kwenda mbele. Walikuwa wanaume watano waliojaa vyema.
Bila shaka walikuwa wanaujua wajibu wao. Niliwaona wakizichukua kamba nene kabisa. Pamoja na visu.
Walitulia kwa dakika kadhaa, mara wakaletwa mbele yao watu ambao walionekana wazi kuwa walikuwa wamechoka sana.
Nilimuona Samson akiwa amevimba sana kutokana na kipigo. Hasira ikanipanda. Nikatulia tuli!!
Wanaume wale walioitwa kwa majina ya ajabu wakatumia kamba zile kutengeneza namna ya vitanzi, kisha wakavitundika mtini.
Mwanaume mmoja akamchukua mvulana kutoka katika lile kundi. Mvulana yule hakuwa na sikio. Nikamkumbuka ni mimi niliyemkata ili kumtoa katika ulimwengu huu wa giza.
Nikiwa sijatafakari nini cha kufanya, nikashuhudia damu ikikingwa kutokea shingoni. Kisha akatupwa katika kitanzi. Alikuwa maiti!!
Samsoni akavutwa akataka kuleta ukorofi. Akachapwa na mjeledi akapiga yowe kubwa huku akitukana matusi mazito mazito kwa kabila la kisukuma.
Alipotukana akanikumbusha wakati aliokuwa ananiambia jina lake. Nikajisikia uchungu.
Liwalo na liwe!! Nikaanza kusogea mbele. Bado Samson alikuwa akiwasumbua. Maajabu nikafika mbele ya hawa wanaume hawakuweza kuniona. Nikajaribu kumsukuma mmoja aliyekuwa na kisu tayari kwa kumchoma Samson. Haya yakawa maajabu makubwa. Isabela mimi namsukuma mwanaume mkubwa kama yule anaanguka kwa kishindo hivyo. Samson mwamba wa kisukuma, msukuma kutoka Bariadi akafanya jambo ambalo hadi leo ni kumbukumbu kwangu. Haraka akaokota visu viwili, akavimba kwa hasira kifua chake kikaweka mfereji mkubwa. Samsoni alikuwa amevimba kama mcheza mieleka.
Nikabaki kushangaa. Akamrukia mwanaume mmoja sijui ndio Frazon, Manson ama vipi. Kisu kimoja. Mwisho wa uhai.
Akakichomoa akamrukia yule ambaye alikuwa chini baada ya mimi kumsukuma. Visu viwili vikazama katika sehemu zake za siri. Damu ikaruka. Nikasisimka sana!! Samson hakujali.
Sasa yule Osman akawa ametaharuki. Hajui nini kinatokea. Na yeye hakuwa ananiona. Nikamwona akimjaribu kumfuata Samsoni huku akiwa na jambia. Samson hakuwa anamuona.
“Saaam!! Saam!! Nilimuita.” Maskini hakunisikia.
Osmani na jambia. Akalichomoa mahali ambapo linahifadhiwa.
Akalielekezea alipo Samson. Alipoanza kukimbia na mimi nikashtuka nikaanza kukimbia. Kabla hajamfikia. Mimi nikamfikia. Nikafanya kumsukuma. Akapepea kama karatasi. Takribani mita arobaini kutoka pale nilipokuwa. Samson alipogeuka, hakunitazama mimi bali alitazama chini. Akakumbana na jambia.
Msukuma huyu mkali kabisa wa mapambano akatupa visu chini akatwaa jambia.
Ilimchukua dakika chache. Manson, Fanson, Rinzon, Wenton, Zeiron. Wote wakawa tayari kwa kuzikwa kama hiyo nchi yao ina huo utaratibu wa kuzika.
Samson alikuwa kidume!! Nilikiri.
Kidume yule ambaye hakuzisikia sifa nilizokuwa nampa. Alizidi kunidhihirishia kuwa kile kifo cha yule mvulana cha kuchomwa kisu shingoni kilimuuma. Aliendelea na zoezi la kuwaondoa wananchi kadhaa kwa fujo zile alama za 666 popote zilipo katika miili yao. Ilimradi tu hakuwaua.
Nia ikiwa kukuza jeshi letu!!
Nami nikamuunga mkono!! Jenny naye huyo akaokota kisu kikubwa kaanza kufanya kazi.
Tulilolifanya hapo lilikuwa kosa kubwa sana. Alama za 666 zilizokuwa zinaanguka katika mfumo wa vipande v ya nyama. Ukaleta balaa.
Joka kubwa kuliko lile la awali likaibuka. Joka hili sasa lilikuwa halijulikani wapi mbele na wapi nyuma.
Lilikuwa na vichwa viwili. Mbele na nyuma.
Halikujulikana linatambaa kwenda kaskazini ama kusini, magharibi wala mashariki.
Yule bingwa wa mapambano Samson akajikuta analiachia jambia lake, Jenny aliyekuwa anaanza kunogewa na shughuli ya kukata nyama za watu naye akatulia tuli.
Nami nikakumbwa na uoga na nikakiona kifo kikibisha hodi.
Isabela nakufa!! Nakufa nikiwa katika u…”
Kabla sijamaliza kuwazua. Ghafla……..Ghafla!!!!!
Ilikuwa ghafla sana!!!!

Joka lilijinyanyua juu. Sote tukawa chini yake. Joka lenye rangi ya dhahabu!! Sasa ikawa patashika kila mtu analazimisha kujificha nyuma ya mwenzake. Hakuna aliyetaka kufa. Mimi, Jenipher na wale wengine waliokuwa wanatambua yule nyoka amekuja kufanya nini pale tulijiweka mbali na vile vipande vya zile nyama zenye namba 666.
Joka likavimba kama linataka kutema sumu. Likavimba zaidi kama linataka kupasuka. Hatimaye likautoa ulimi nje. Likatanua mdomo kama linataka kutumeza sote. Kisu chan gu bado kilikuwa mkononi.
Mara likajirusha na kujizungusha kama pangaboi. Hapa hakuna kitu kilichosalia. Kila mmoja wetu alirushwa mbali kabisa. Mimi sikuumia lakini wenzangu waliumizwa.
Nilipogeuka nilimwona kiumbe akiwa amelowa damu akiwa na jambia mkononi. Alikuwa akikimbia mahali ambapo joka lipo. Alikuwa ni Samson yule jasiri wa kisukuma.
Macho yako yalifumba kisha yalipofumbua alikuwa ameingia mzimamzima katika kinywa cha yule nyoka. Jambia na yeye wakawa wamemezwa.
Hali ya hatari!! Nilijitahadharisha.
Joka lilikuwa linameza vile vipande vya mabaki ya nyama yenye chapa ya 666. Ndipo hapa nilimuona tena yule Osmani aliyetambuliwa kama waziri wa miundombinu. Nikakumbuka kuwa ni huyu bwana nimeambiwa kuwa anazijua njia zote za kutoka katika mji huu wa kishetani. Nikamnyemelea huku nikiwa makini na yule joka na pia nikiwa makini asiweze kuhisi chochote kile.
Nikamfikia nikamkaba shingoni. Nilikuwa na nguvu za ajabu sana. Nikamvuta hadi katika kichaka nilichokuwa nimejihifadhi hapo.
Hakuwa ananiona!! Jambo hilo lilinipa nafasi nzuri ya kumtawala. Kwa ukombozi wa wengi na kujitoa katika adha ya kufia katika mji huo. Nikanyanyua kisu changu nikazamisha katika paja lake. Akatoa kilio kikubwa sana. Kilio kile kikasababisha lile joka linyanyuke mara moja. Likaanza kuangaza huku na huko. Nami nikatulia tulii kuangalia nini kinatokea. Joka likanyanyuka kisha likatanua midomo yake. Kisha likionekana dhahiri kuwa na hasira lilitapika. Maajabu!! Samson yule jasiri katika vita hiyo akatangulia kisha jambia lake likafuata.
“Njia ya kutoka hapa ni ipi?” nilimuuliza Osman huku bado akiwa katika himaya yangu.
“Sijui.” Akanijibu kwa jeuri. Nikamchoma tena kisu katika sehemu ileile kilipopitia awali.
“Nasemaaaaa!” akapiga kelele.
“Dakika moja tu nakupa sema upesi.”
Osman akaanza kutoa maelekezo ya namna gani ya kutoka katika kijiji hicho cha maajabu!!
Maelezo yalikuwa yamenyooka!! Japo yalikuwa na masharti. Sikuwa na budi kuendelea kumshikilia. Ni huyu angetuwezesha kutoka.
Joka lilizidi kuhangaika.
Sasa lilitazama mahali alipokuwa Osmani na mimi. Likatambaa kwa hasira kali sana likawa linatufuata. Nikajikuta namuiachia Osmani. Nikaanza kukimbia. Joka likawa linaufuata uelekeo wangu.
Mungu wangu!! Kumbe linaniona sasa hivi. Nimekwisha.
Nilizidi kutimua mbio. Hatimaye mbio za sakafuni zikaishia
ukingoni! Nikaanguka chini. Joka nalo hilo likanifikia.
Likaachama mdomo wake mkubwa.

Sasa nakufa! Nilikubali yaishe.
Achaaaaaa!! Nilipiga kelele za mwisho za kutokwa na roho. Huku nikitegemea zitakuwa kelele za mwisho. Haikuwa hivyo. Niliweza kuwa hai tena. Joka lilikuwa limeufumba mdomo wake. Likatulia tuli.
Nikaduwaa kulikoni nyoka huyu hajanimeza. Au! Au! …nikakosa majibu.
Joka likaendelea kutulia kama lina urafiki na mimi. Kwa uoga nikasimama na kuanza kutambaa taratibu. Joka limetulia halina habari. Nikasimama. Bado tuli! Nikaanza kuondoka hadi nikatokomea! Nyoka ametulia.
Maajabu makubwa sana haya!!

*****
Nilirejea hadi kule walipokuwa wanakijiji wenzangu. Osmani alikuwa amehitisha mkutano tena. Alionekana mwenye furaha sana na ni kama alikuwa anatoa karipio kali.
Samson niliyedhani amekufa kumbe alikuwa amezimia tu baada ya kutemwa na yule nyoka. Nilimkuta akiwa amefungwa kamba nyingi sana. Bila shaka adhabu yake ilikuwa imewadia.
Nilimuona Jesca pia. Lakini John pekee ndio nilikuwa sijamuona.
Nilikuwa na hasira. Nikatumia ule mwanya wa joka kutulia. Nikamvamia Osmani. Nikamkaba tena. Safari hii sikutaka mambo mengi sana, nilihitaji njia ya kutokea.
“Wakati wa kuwa watumwa wa shetani umekwisha. Tunatakiwa kuishi maisha yetu tuliyoshi awali. Manyanyaso haya yote na yasiendelee. Tusikubali kabisa uonevu huu. Sasa tunatoka humu. Kila mwenye nia na aungane nami sasa. Tunatokaa!!” niliunguruma kwa sauti kuu. Wale wasiokuwa na Chapa walinisikia na kuniona. Wale waliokuwanayo waliduwaa wasijue kinachoendelea.
Samson alifunguliwa kamba alizokuwa amefungwa. Sasa Osmani akawa anatuongoza kuielekea njia ya kutokea.
Chapa ya 666 ilikuwa katika mkono wake wa kuume.
Kijiji kilikuwa kikubwa sana. Tulipenyeza njia hadi njia bado hatukufika tulipokuwa tunahitaji.

Sasa tulifika mahali palipokuwa na majani makavu lakini laini sana. Tulipokuwa pale. Osmani akaniponyoka. Kisha akapiga mluzi fulani hivi. Wakatokeza kenge wa ajabu. Wakubwa kama mamba. Walikuwa wanne. Na dhahiri walikuwa na njaa. Walishambulia katika namna yha ajabu na upesi sana.
Waliua! Watu kumi wakaanguka chini. Mamba wale badala ya kula nyama wakawa wananyonya damu.
Ilikuwa zamu yangu sasa. Osmani alikuwa pembeni akitucheka. Kuna unga fulani alijipaka usoni, sasa aliweza kuniona vizuri.
“Achaaaa!!” nilijikuta natamka neno lililoniokoa midomoni mwa joka lile kuu. Kenge hawa wa ajabu wakatulia palepale wakafunga vinywa vyao. Osmani akashangaa na mimi pia nikashangaa.
Samson ambaye naye alikuwa amekata tamaa alishangaa.
Nikawahi kuipoteza hali yangu ya kushangaa. Nikamwendea Osmani. Nikamkaba tena. Nikampiga makofi mawili akaanza kutema damu.
“Njia ya kutokea!!” niliamuru.
Akageuka, akatunyooshea mkono. Palikuwa na mlango mdogo wa mbao zilizooza. Nikawaamuru wanakijiji wsaliosalia wapite. Wakapita!!
Hadi walipomalizika ndipo mimi na Osmani tulipita. Kabla hatujamaliza kupitia nilisikia kilio kikubwa. Kuna mtu alikuwa akiniita.
Sauti ile ilikuwa ya John!
Nikasita kutoka. Nikarejea nyuma niweze kuchungulia.
John alikuwa anagalagazwa na lile joka kubwa.
Huruma na mapenzi yangu kwa John ikanijia. Nikaweka kando yote aliyowahi kunitendea. Nikarudi kwa kasi. Neno acha likiwa mdomoni mwangu. N ilipofika nikaamuru kwa sauti kuu. Joka lile likatii kwa nidhamu. Nikaduwaa. Nikamchukua John na kuanza tena kuitafuta njia ya kutokea.
Kosa kubwa! Nilimuacha mbali waziri wa miundombinu!
Osmani akawa amepotea! Sikujua ni wapi pa kupita.
John hakuwa akiniona wala kunisikia. Nilitamani ajue ni mimi nipo naye. Lakini haikuwa hivyo.
Nilifanikiwa kukipata kisu. Nikaamini sasa nitaiondoa alama ya 666 katika mwili wake na ataweza tena kuona.
Hofu! Na kukata tamaa. John alikuwa na alama ile shingoni mwake. Mwili ukafadhaika.

Siwezi kumchinja John!! Siwezi!! Niliapa.
Lakini nitafanya nini sasa.
Kitu kama tetemeko la ardhi likatwaa mawazo yangu. Nikamvuta John asiyejielewa nikamkumbatia. Tetemeko hilo lilivyopita hapakuwa tena na lile joka.
Lakini kitu kipya kikajitokeza. Ulikuwa mwanga mkali kama jua vile!! Nikatafakari ni kitu gani hicho. Sikuweza kutambua.
Mara ule mwanga ukapotea. Nikaja kushtuka nimepigwa kibao katika shavu langu. Nikaanguka.
Niliposimama nikapigwa tena, na sikumuona kiumbe aliyekuwa ananifanyia hivyo.
Mapigo yakaongezeka. Nikawa navuja damu.
Sikuweza kusimama tena.
Sauti ya Jenipher ikanijia kichwani, “Ukinywa damu unakuwa kama wao!!”
Maneno hayo yakanifanya nipatwe na ari mpya. Nikatambaa nikamfikia John.
Badala ya kumchinja! Nitamnyonya damu walau kidogo tu.
Nikamfikia. Nikamkamata. Akaanguka chini, nikajirusha shingoni mwake. Nilipoifikia shingo yake nikamkumbuka yule mganga wa kinaijeria. Hapo sasa nikakumbuka sio mara yangu ya kwanza kunywa damu. Nikapenyeza meno yangu pale pale kwenye alama ya 666 aliyopigwa shingoni.
Damu ikaanza kutoka. Nikaimeza huku nikiwa nimeikunja sura yangu.
Nguvu za ajabu zikaniijia.
Amakweli wa giza pambana naye kigizagiza.
Sasa niliweza kumuona adui yangu aliporejea tena. Alikuwa ni Dokta tuliyekutana katika mtandao, alikuwa ni Dokta Davis.
Alikuwa ananisogelea tena aweze kunipiga. Nikaudaka mkono wake. Akataka kujitoa hakuweza. Nikaweka sawa kisu changu nilichokuwa nimekificha kwa nyuma. Nikazamisha katika sehemu zake za siri huku nikipiga kelele.
Akaanguka chini na kuanza kujirusharusha.
Nikamkumbuka yule ninja wa kisukuma, Samson ambavyo hakuwa na huruma. Na mimi nikamuiga. Nikamrukia Davis na kuanza kumchoma visu.
Nilimchoma kwa fujo zote.
Nikafadhaishwa baada ya yule Davis ambaye sasa niliamini naenda kummalizia alipogeuka kuwa joka kubwa la kijani. Haraka nikawahi kujitoa lakini nilikuwa nimechelewa sana. Joka lile likawahi kujiviringisha kuanzia kiunoni likawa linapanda juu. Sasa lilikuwa limenifunga hadi kifuani.
Ajabu!! Lilikuwa linawasha sana nilitamani kujikuna lakini haikuwezekana na mikono ilikuwa imefungwa tayari.
Nililiamuru liniachie lakini halikuiheshimu amri yangu. Nikazidi kuwashwa, nikajaribu kujigalagaza, haikuwezekana. Sasa likaanza kujikaza, muwasho ukaenda likizo, maumivu yakaingia kati. Lilizidi kukaza, mara likaongeza kujiviringisha hadi likaniziba usoni. Kifo kikanukia harufu ya kukera.
Nikabaki jicho moja tu kuona nje!! Viungo vingine vyote vilikuwa vimefunikwa. Sikuwa na ujanja. Jicho langu likamuona John akiwa ameshangaa kama tahira. Nilijaribu kutoa sauti haikutoka, nilikuwa namwomba John kwa mara ya mwisho aweze kuniokoa. Hakuweza kunisikia.
Nikatazama juu nikakutana na mawingu yenye rangi inayoshabihiana na buluu, nikaikumbuka rangi ya mtandao wa kijamii. Ni huku nilikutana na Dokta Davis. Akanipa zawadi ya utajiri, akanipatia kazi nyepesi inayonipatia kipato kikubwa. Nikamuamini sana. Sasa alikuwa amegeuka joka kubwa na lilikuwa linaniua.
Hakika lazima nife!! Jitihada zangu zote hazikuwa na maana tena.
John hakuwa msaada wowote kwangu. Na hakuwepo mwingine wa kunipa msaada.
Nilipofikiria ni nani mwingine wa kunisaidia akili yangu ikarejea kwa mwalimu Nchimbi. Mama yangu mzazi. Nikajaribu kuita sauti haikutoka. Mama naye hakuwa na msaada katika hali hii.
Nikayakumbuka maneno ya mama. Miaka mingi sana nikiwa mdogo aliwahi kunikambia maneno.
“Yupo mtu anakusikia hata usipotoa sauti.” Hili lilikuwa jibu alilonipa baada ya kumuuliza iwapo mabubu na viziwi wanaweza kuzungumza na Mungu. Jibu lake hadi ukubwani halikunitoka.
Nami sasa nilikuwa bubu. Jaribio la mwisho kabisa ni kuzungumza na yule anayesikia wakati wote. Ajuaye unachokiwaza. Kila wakati, mahali popote.
Mungu!
“Eeh! Baba sijui kama nilistahili adhabu hii. Na kama ilikuwa stahili yangu baba. Nichukue kwako sasa. Nimeumia na IMETOSHA.” Nilizungumza katika nafsi yangu. Kisha nikasubiri kuiaga dunia hii chungu.

(HARAKATI NDOLLA ZAMBIA)

Nilijikuta naifuatilie ile njia tuliyopita awali hadi nikaufikia ule mlango. Nikamtanguliza John nami nikatoka.
Maajabu mengine. Niliwakuta wale waliotangulia wakiwa katika sintofahamu wasijue nini cha kufanya.
Kwa kukadiria muda ilikuwa saa sita mchana. Na tulikuwa katika ulimwengu halisi lakini hatukutambua ni wapi hapo tulipo.
Magu, Bariadi, Sumbawanga, Songea!! Kila mtu alifanya utabiri wake.
Hatukuendelea kukaa pale. Tukaanza safari kuelekea tunapoelekea bila kutambua ni wapi.
Baada ya kilometa takribani sita tukaingia kijijini.
Mimi nikiwa na upande wa kanga pekee. Wenzangu wakiwa na nguo zilizochakaa sana. Tukakiona kijiji. Baadaye tukaanza kukutana na watu.
Kila mtu akiwa na lake la kufanya. Hakuna aliyetuuliza swali. Walikuwa weusi sana, wengine walifanana na nyani huku wanawake wengi wakiwa na maziwa makubwa.
Ni wapi sasa hapa? Nilijiuliza.
Tulitamani sana kuzungumza na watu hawa lakini hawakuwa wakarimu.

Njaa iliuvunja uamuzi wetu wa kusubiri watuanze. Njaa ilituuma na hatukuwa na chochote cha kuweka tumboni.
“Ha…habari..”
“Nkesuu…” sijui kama aliniuliza ama alinijibu salamu.
Lugha ya wapi hii!! Niliwahi kusikia mahali, ni wapi vile. Niliumiza kichwa. Kila mmoja alikuwa ananitazama mimi kama mwokozi katika mapambano haya.
“Me come great…” nilizungumza kiingereza kibovu ili nipate kujua wanazungumza lugha gani na ni watu wa wapi. Hakunijibu akanikazia jicho kwa shari. Ni hapo nikapata jawabu sura hizi nimewahi kuziona wapi. Ni kwenye basi. Siku ya safari yangu kuelekea Ndolla Zambia kwa Dokta Davis kusaini mkataba ule ulionifikisha hapa nilipo.
“Sam…it’s either Congo or Ndolla….(Sam ni aidha Kongo ama Ndolla)” nilimnong’oneza yule msukuma.
“Ndolla??”
“Yes! Ndolla Zambia..” nikamjibu. Akashangaa. Yule bwana tuliyemuuliza akawa amesonya na kutoweka.
Watu hawa sio wazuri hata kidogo. Wameathiriwa na vita za wao kwa wao. Wakitugundua ni hatari. Naamuru!! Hakuna mtu kuzungumza na mgeni yeyote, I WILL!!! Nilitoa tamko kama amiri jeshi mkuu wa mapambano hayo.
Kila mmoja akanielewa.
Safari ikaendelea, tulikuwa tumechoka lakini tuliuhitaji sana ukombozi, tulihitaji uhuru wetu.
NDOLLA TOWN 40 KM AHEAD. Kilisoma hivyo kibao kigumu cha chuma. Nikajipongeza katika nafsi yangu kwa kuwa na kumbukumbu nzuri.
Jesca alikuwa mtu wa mawazo mazito. Hakuwa akiongea na ule urembo wake wa enzi zile haukuwa na nafasi hapa. Pia ugomvi wetu wa kumuwania John kimapenzi haukupewa nafasi pia. Kila mmoja alitazama anajikomboa vipi.
Tulitembea kimafungu mafungu. Jumla tulikuwa watu ishirini na moja lakini, tulikuwa kama hatufahamiani. Kila mmoja na lake. Likitokea la kuzungumza nilikuwa nachukua nafasi hiyo.
Tulipoufikia mto, kila mmoja aliyatumia maji anavyoweza, wengi walikunywa na wachache walioga. Pumziko la dakika ishirini kisha tukaendelea mbele. Tukaufikia mti wa maembe. Hapa sasa kila mtu alikula kulingana na ukubwa wa tumbo lake. Angekuwa mjinga ambaye angeacha kubeba akiba ya maembe matamu ya Zambia.
Sasa kasi ikaongezeka na mazungumzo yakaibuka. Njaa kitu kibaya sana.
Mimi na John tulikuwa tumeambatana. Ile hali ya yeye kutoniona iliniumiza sana lakini sikuwa na namna.
Kilometa zikazidi kukatika, tulitembea hadi usiku, kwa kukadiria tulitumia masaa yanayozidi kumi. Kuzikamilisha zile kilometa.
Mji wa Ndolla ukatukaribisha. Ulikuwa mara yangu ya pili kuja katika mji huu na mara ya kwanza kufika nikiwa katika matatizo.
Nilijipongeza tena kwa tabia yangu niliyoionyesha siku ya kwanza. Tabia ya kushangaa shangaa. Hivyo kuna baadhi ya vitu nilivikumbuka. Hadi tukaipata stendi.
Kama nilivyoamuru kila mmoja alijitenga kama hatujuani. Kanga yangu ikiwa imefungwa vyema. Ni hiyo pekee ilikuwa ngao yangu. Nikaingia katika stendi ile ambayo ilikuwa inazidiwa hadhi na stendi ya Ubungo jijini Dar es salaam katika nchi yangu ya Tanzania.
Nilizunguka hapa na pale. Nikaiona ofisi ya magari ambayo nilikuwa naitaka.
“Mambo vi wewe…inakuwaje…mishemishe vipi…oya acha kuzingua…” maneno haya yalikuwa yanazungumzwa katika ofisi hizi.
Nikainama chini jicho langu la kulia likatangulia kumwaga chozi la kushoto nalo kwa uchungu likamwaga chozi. Nikajiinamia chini nikalia kwa uchungu mkubwa. Uchungu wa kuikumbuka nchi yangu Tanzania. Kilio hichohichoi kwa namna ya kipekee kilikuwa kilio cha furaha. Ndio lazima nifurahi. Sasa ningeweza kumvuta mtu na kuzungumza naye Kiswahili.
Ni hivyo nilifanya. Mwanaume kipande cha mtu akavutika kunisikiliza. Kwanza sikutaka kumuelezea kuwa tupo wengi. Niliitetea nafsi yangu. Nilikuwa natetemeka kwa baridi. Akanipatia sweta zito nikajistiri. Nikajielezea kuwa nimepotezana na bwana aliyenileta Zambia.
“Umesema wewe mwenyeji wa Makambako.”
“Ndio kaka.”
“Makambako sehemu gani hiyo?”
“Ni karibia na stendi kuu. Hapa Magegele …..”

Alaa Magegele napafahamu sana huko…kabla ya kuhamia huku nilikuwa naenda na mabasi ya Dodoma Mbeya…sasa hapo Magegele kuna mgahawa tulikuwa tunakula tulimzoea sana yule mama kiukweli..hata wewe nikutajia lazima utakuwa unamjua..”
“Mama Kesho.” Niliwahi kumjibu. Akacheka sana, hakuna mtu wa Makambako ambaye hakumjua mama huyu. Alikuwa mkarimu sana.
Tulizungumza mambo mengi usiku ule. Alizungumza nami kwa ukarimu. Ni nani alikwambia kuwa watanzania sio wakarimu.
Kuna tofauti kubwa kati ya mtanzania na mbongo!! Mtanzania ana utu lakini mbongo anajifanya mjanja mjanja. Huyu bwana alikuwa mtanzania haswaa.
Upesi nikapata chakula. Kisha akaingia ndani akatoka na nguo. Zilikuwa za kike.
Akanieleza abiria huwa wanasahau nguo zao na kamwe hawarudi tena kuzichukua. Nikamshukuru. Akanipatia na kiasi cha pesa. Akaniomba nirejee majira ya saa tano asubuhi aweze kunifanyia utaratibu wa kunisafirisha kurejea Mbeya kisha Makambako Iringa.
Ilikuwa bahati ya kipekee sana kupata msaada huu. Lakini hapo hapo ilikuwa bahati mbaya sana maana nisingeweza kusafiri peke yangu. Na yule bwana sikumueleza tupo wengi zaidi ya kikosi cha timu ya mpira wa miguu.
Ubarikiwe sana!! Nilimpa Baraka hizo.
Kisha nikiwa na mavazi kamili sasa. Nikapiga hatua kwa hatua. Kigiza giza kikanifanya nionekane kama kivuli. Mkono mmoja mfukoni kuzilinda Kwacha (Pesa halali kwa matumizi ya Zambia) nilizopewa, mkono mwingine ukiwa umeshika kiroba cha nguo nilizopewa na yule bwana. Isabela nikiwa na raba nyepesi miguuni. Nikatoweka huku nikiamini nina mzigo mkubwa wa kuwaokoa rafiki zangu ambao walinitazama kwa jicho la huruma.
Nilijihesabu kama mshindi wa vita ya 666. Lakini bado nilikuwa na vita nyingine ya kurejea nyumbani.
Mshindi akifia ugenini huyo ni mshindwa lakini akirejea nyumbani hata kama amejeruhiwa vipi bado ataitwa mshindi.
Mapambano yameanza rasmi!!! Nilikiri huku nikiwa nayatamani hayo mapambano ambayo yatakuwa magumu kushinda vita ya joka kuu la msituni.

Nilimchukua Jenipher, Jesca na Samson. Kikawekwa kikao cha dharula. Mada kuu ikiwa tunatoka vipi.
Nilimpatia Jenipher na Jesca baadhi ya nguo. Wakajihifadhi.
Mazungumzo yalikuwa marefu sana na pambazuko lilikuwa linakaribia. Mengi yalizungumzwa na sasa tukawa tumefikia katika maamuzi mawili. Kubwa kabisa likawa kukimbilia ubalozini kupata msaada.
Wazo la kupata simu tuweze kufanya mawasiliano nyumbani pia lilitujia vichwani!! Lakini hatukulitilia sana maanani katika nchi za kigeni. Tulitaka tufike kwanza Tanzania ndipo tufanye mawasiliano.
Ubalozini!! Hiyo ndio ikawa mada.
Lakini swali likaja kwa John ambaye bado alikuwa na alama 666 na hakuwa akionekana. Lakini kama hiyo haitoshi, tukapata hofu ya usumbufu wa maswali mengi kutoka kwa chombo husika kitakachokuwa kinahusika na mambo ya uhamiaji.
Kwa jinsi tulivyokuwa wengi tuliamini kuwa itatuwia ngumu sana kupata msaada upesi. Pia ubalozi wa Tanzania katika nchi ya Zambia ulikuwa una makao yake Lusaka. Mji mkuu wa Zambia.
Hilo lilikuwa gumu sana. Tulikuwa tunahitaji pesa. Pesa!!
Kama tukipata pesa tunaweza kupanda mabasi yatakayotufikisha Mbeya. Hapo sasa tutakuwa katika ardhi salama ambayo tunaweza kupata msaada.
Pesa tutaitoa wapi? Hilo likawa swali.
Tukakubaliana kuingia katika mapambano ugenini. Mimi, Jesca, Jenipher na Samson. Tukafunga mjadala.
Asubuhi ikazidi kujongea. Hapa sasa nikachukua maamuzi. Nikatembelea kundi moja baada ya jingine. Nikawapatia chakula kidogo kidogo nilichonunua kwa kutumia pesa niliyopewa na kaka yule wa kitanzania. Huku katika kila kundi nikiwapa moyo kuwa tumekaribia kuondoka kurejea nyumbani.
Siku iliyofuata kila mtu alikaa kwa tahadhari bila kuzungumza na raia wa Zambia.

*****
Majira ya saa nne asubuhi nilikuwa katika ofisi ya yule mwanaume wa kitanzania aliyeahidi kunisaidia niweze kufia Mbeya. Nilimkuta akiwa amebanana kulingana na majukumu. Nikatulia mpaka alipomaliza. Nikaingia.
Alinichangamkia sana. Akamkabidhi mwenzake ofisi akanipeleka mgahawani. Chai ya maziwa na chapatti nzito kabisa.
Mazungumzo yakiendelea!!!
Akanielezea mpango wake huku akinisihi niwe mvumilivu katika safari maana patakuwa na tatizo la kuhamishwa siti na wakati mwingine kukosa kabisa pa kukaa maa nitasafiri kama ‘staff’. Hilo halikuniumiza kichwa sana, maana niliamini naweza kusimama cha msingi nia yangu kutimia. Kilichoniumiza kichwa ni hawa wenzangu. Itakuwaje!!
Nilimshukuru yule bwana. Akanipatia namba yake ya simu. Ni hapo nilimtambusa jina lake aliitwa Saidi.
“Ukinipigia simu we niite Side boy.” Aliniambia wakati ananiaga.
Alinipatia kiasi kingine cha pesa.
Nilishukuru kwa kuzaliwa mwanamke maana bila hivyo sidhani kama ningepata msaada.
Jioni ilipofika. Jesca hakuwa ameambulia lolote. Na Sam hadi wakati huo hakuwa amerejea. Tukajipa moyo kuwa huenda amefanikiwa kupata kibarua chochote huko alipo. Ikafika giza nab ado Sam hakuwa amerejea. Hofu ikaanza kutuingia na kuamini kuwa Sam anaweza kuwa aliongea Kiswahili na kugundulika kuwa ni mtanzania asiyekuwa na uhalali wa kuishi Zambia.
Hatukujua kuwa ni wapi tuanzie kumtafuta. Kama tukisema twende polisi na sisi tutakuwa matatani. Tatizo jipya!!
Jesca na Jenipher wakawa wananisikiliza mimi.
Kimya kikatanda!! Makundi mengine hayakujua nini kinaendelea.
Nilijiuliza maswali mengi sana bila kupata majibu. Samson amefanya jambo gani la kitofauti hadi wakati huu hajarejea.
Au amerejea tena katika kijiji cha Dokta Davis. Niliwaza peke yangu bila kumshirikisha mtu yeyote hisia zangu.
Saa nne usiku nilikuwa nimepitiwa usingizi.
Nilisikia kama natikiswa nikadhani ni Jesca amejigeza lakini nilikuwa naendelea kubughuziwa. Japokwa nilikuwa nimelala chini niliutamani usingizi.

Nilijikaza nikafumbua macho.
Usingizi ukakatika palepale. Alikuwa ni Sam!!
“Bella!! Bella!!” alinong’oneza. Nikamtazama usoni nikahisi kuna nhali ya tahadhari. Nikajipa utulivu wa lazima.
Akanishika mkono akaninyanyua. Akanivuta pembeni kidogo.
“Ulikuwa wapi Sam.”
“Bwana Mkubwa!!.”
“Kafanyaje…ndio nani?” nilitaharuki.
“Sio mtu ni sehemu inaitwa hivyo.”
“Pamekuwaje…”
“Nimekutana na mtu!! Aah!! Nimemuona mtu….amepata madini.”
Bado sikuweza kumuelewa Sam anamaana gani. Nikamuomba anielezee kwa kirefu.
Akanieleza juu ya mgodi wa Bwana Mkubwa ambao upon je kidogo ya mji wa Ndolla. Mgodi huu alipoutaja tu! Sikuwa na swali lolote. Nilikumbuka somo la Historia kidato cha pili hadi cha tatu. Mgodi huo ukanikumbusha madini hadimu ya Risasi (Copper) ambayo hupatikana kwa wingi katika nchi ya Zambia. Hasahasa Ndolla.
Sam akaendelea kunielewesha. Na sasa akanigusia juu ya bwana ambaye amepata madini hayo siku hiyo.
“Kwa hiyo ulikuwa huko.”
Akanijibu kwa kutikisa kichwa juu na chini akimaanisha kuwa ni kweli alienda ‘Bwana Mkubwa’.

Samson alikuwa amekuja na habari ambayo mwanzoni nilikuwa ninapingana nayo lakini hatimaye kulingana na shida tuliyokuwanayo nikaamua kukubaliana naye. Wizi!
Samson alinihakikishia huyo bwana ana pesa nyingi sana. Amefuatilia nyendo zake hadi alipofanikisha kuyauza yale madini.
“Alinipa lifti kwenye gari yake. Nilijifanya sijui lolote lile. Aliponishusha mjini nikamfatilia na kumuona aliyauza.”
“Sasa tunampata wapi?”
“Yupo anakunywa pombe sasa hivi. Ni hapo pekee pa kumkamatia.” Alinisisitiza.
“Nzuri zaidi ni mtanzania…” alinisisimua kwa kauli hiyo. Nikamwomba Mungu huyo bwana asiwe na tabia za kitanzania bali awe mbongo.
Nilitulia kwa dakika chache kisha nikamuamsha Jesca. Hakunisikia. Nikapekua huku na huko. Nikachukua mafuta. Nikaenda bafu za kulipia nikaoga. Nikajipaka mafuta. Nikavaa kanga moja.
Samson akawa kioo changu akakiri kuwa kwa namna ile lazima anitamani.
Samson akaniongoza hadi nikafika eneo la tukio.
Jirani na bwana huyu palikuwa na kiti kipweke ambacho hakikuwa na mlevi aliyekikalia. Nilikitoa upweke nikajiweka juu yake.
Haraka akafika muhudumu wa kizambia, mweusi na mbaya kumtazama. Nikaagiza soda.
Meza yangu haikuwa mbali sana na yule bwana ambaye Samson alinielekezea. Nilikunywa soda taratibu huku nikiisoma akili ya yule bwana aliyepata bahati ya kupata madini Bwana mkubwa.
“Yaani wahudumu wengine nao….ona sasa.” Nilizungumza kwa hasira. Kama najiongelesha. Sauti ikamfikia mlengwa ambaye ni yule bwana anayekunywa pombe.
Akajileta mtegoni.
Akasogeza kiti karibu nami.
“Wewe ni mtanzania kumbe..ama unaibiaibia Kiswahili. Nimefurahi kukusikia ukisema Kiswahili.”
Nikatabasamu, nikalegeza jicho kimaksudi.
“Yeah! Mtanzania halisi…..na wewe je?”
“Mimi ndio orijino kabisa.” Alijibu. Nikacheka tena.
“Dah!! Miezi miwili sijarudi nyumbani aisee. Maisha haya.” Nililalamika.
“Aaah! Mimi kila wiki huwa naenda aisee.”
Maongezi yakawa maongezi. Kama bahati alinipendelea vile. Yule bwana alikuwa na tabia za kibongo. Akaniingizia mada za mapenzi.
Sasa nane usiku tukawa tunatafuta chumba kwa ajili ya kutimiziana haja. Yeye akinitaka kimwili na mimi nikimtaka kipesa.
Alilipia chumba cha bei ghali sana. Nilimshuhudia wakati anauacha mkoba wake mapokezi. Nikagundua mchezo unataka kuharibika.
Nikajipa moyo. Nikaenda hadi chumbani!!
Hapakuwa na jipya huko. Mzee huyu mwenye matamanio. Alinivagaa na kuanza kunisumbua huku na huko. Sikuwa na hisia hata kidogo. Niliwaza pesa tu.
Nilipomtazama umri wake nikagundua huyu hana lolote la kuweza kunishinda. Akili ya maajabu ikanivaa, nikajikuta nimevamiwa na wazo kuwa kama nisipokuwa makini naweza kutumika kimwili na nisipate chochote kile.
Nikaamua kutumia nafasi moja tu kusawazisha mambo haya!!!
Pata potea!!
“Mh!! Hauna kinga?” nilimuuliza baada ya kuwa nimempelekesha akalegea kabisa macho yake na nikajua kuwa alikuwa anahitaji mwili wangu.
Ni hapa nilikuwa napahitaji.
“Sina mpenzi wangu…njooo tu hivyo hivyo” akajibu. Nikamtukania mama yake kimoyomoyo kwa ujinga aliozaa.
Nikasimama. Nikamtazama kwa jicho la kimapenzi huku moyo wa chuki ukimtusi. Ubongo unaohitaji pesa nao ukifanya kazi kwa bidii kubwa.
“Ngoja niende kuchukua mpenzi wangu, naogopa mimba mwenzako, ujue nimeolewa eeh!!” nilimlaghai. Akaingia mkenge. Nikachukua upande wangu wa kanga, nikashusha ngazi mpaka mapokezi.
Nikamkuta mwanadada mweupe akiwa ameuchapa usingizi.
“Nipatie mkoba wa mzee!!” nilimwambia huku nikiwa nimetega mkono!! Moyo ukiwa hauamini kama nitafanikiwa.
“Mmm. Hapana mwambie aje mwenyewe dada, hajaturuhusu kumkabidhi yeyote zaidi yake.” Alinipinga yule dada kwa kingereza chake kibovu kisha akaendelea kuuchapa usingizi. Nilitamani sana kumrukia nimkabe. Lakini alikuwa ametenganishwa na nondo. Nisingeweza hata kumgusa.
Niliondoka pale nikiwa nimetaharuki sana, mpango ulikuwa unakaribia kushindikana sasa, na asubuhi inayofuata nilitakiwa kusafiri kuelekea Mbeya.
Nikapanda hadi juu kule chumbani nikaufungua mlango kwa ghadhabu kubwa.
Yule bwana akashtuka.
“Ndio ujinga gani huu huku Zambia I hate such embarrassment!!” nililalamika.
“Nini tena mamito.” Aliniita kimapenzi akiwa amelegea.
“Yaani hadi kuchukua kinga I need to go with you!!”

“He!! Wamekunyima?” aliponiuliza swali hilo, nikajikuta Napata nafasi ya mwisho.
“Fanya hivi naomba umpigie umwambie anipe!! No discussion!!” niliwaka, zile hasira za kutaka kuikosa pesa ile zilikuwa zimenipanda.
Mbongo akachukua simu akainyanyua. Nikaomba mizimu yote asije akasemam maneno mengi kwenye simu.
“Halo!! Chumba namba 12….mpe huyo dada nilichomuagiza…na muache mambo ya kipumbavu” akakoroma kwa kiingereza kilichonyooka. Kisha akakata simu kwa hasira.
Sikusema neno!! Nikafungua mlango, nikatoka.
Nikiwa nimeukunja uso kwa ghadhabu nikafika mapokezi. Yule dada usingizi ulikuwa umekatika!! Tukatazamana!!
Yeye anaogopa na mimi naogopa!!!
Maskini yule dada bila kujua kwamba ameambiwa anipatie kinga. Akadhani yule mbongo amemaanisha ule mkoba. Akaniomba msamaha kwa kila namna kisha kwa ukarimu kabisa akanipatia ule mkoba. Ulikuwa mzito kiasi. Nilipotaka kuondoka yule dada aliyekuwa amejikita katika kutafuta anachojua yeye, aliniita, nikageuka na kumshangaa kidogo.
“Unatakiwa kuweka sahihi.” Alinielezea kwa ukarimu.
Nikaona kama huyu binti ana nia mbaya na mimi. Nikabaki wima najiuliza iwapo niende mbele ama nirudi. Tukatazamana kwa sekunde kadhaa. Nikaona isiwe tabu. Nikarejea nikachukua kalamu niweze kuweka sahihi. Mara nikasikia fujo za mlango kufunguliwa.
Nikaomba Mungu usiwe mlango wa yule jamaa mbongo. Kisha nikasikia hatua kubwa kubwa zikitambaa.
“How long does it take to…to…..hell..” (Inachukua muda gani ku…ku…. ). Ilisikika sauti yenye kitetemeshi cha hasira. Alikuwa yule mbongo.
Sasa badala ya kuweka sahihi nikabaki kulishikashika tu lile daftari na kalamu. Mkojo ukatoka safari yangu ya mbali na sasa ulikuwa unahitaji kutoka. Nikabana miguu yangu!! Mkoba mkononi.
Ninafumaniwa Isabela mimi!!
Nikataka nikimbie!! Miguu ikawa mizito. Sikuwahi kufanya kitendo cha wizi hivyo lazima hali kama hii ingenitokea.

ingenitokea.
“Iam sorry boss..i have already given her (samahani mkuu..nimempatia tayari.)” yule dada wa mapokezi alijitetea kwa uoga.

Mara vile vishindo vikasita.
Yakafululiza matusi ya nguoni kutoka kwa yule mlevi wa kibongo.
Hapo sasa nikaangusha saini yangu.
Narudi vipi na ule mkoba sasa!! Nikajikaza nikaanza kuondoka.
Nilipogeuka nikakutana na kosa ambalo nililitegemea. Yule dada wa mapokezi alikuwa amebonyea chini tena.
Asante! Nilimshukuru kwa kitendo hicho.
Ghafla nikabadili uelekeo. Nikaelekea katika vyoo.
Upande huu, nikaambaa na korido hadi nikaufikia mlango wa kutokea. Nikamuachia tabasamu mlinzi aliyekua kwa nje na yeye akatabasamu. Tabasamuu la kizee. Kisha nikatoweka. Nikapiga hatua kwa hatua hadi nikalifikia geti kuu la kutokea. Hapa nilitakiwa kuandika jina. Nikaandika jina lililokuja kichwani mwangu lakini sio jina sahihi.
Geti likafunguliwa. Mimi na mkoba wangu. Nikatoka.
Nilipogeuka nyuma nikakutana na maneno mazuri ya kupendeza.

The Savoy Hotel
12 Buteko Avenue
Ndola
Zambia

Haya hayakuwa yananihusu. Niligeuka na kutazama mbele. Nikaanza kutokomea. Nikashtuliwa kwa kuguswa begani.
Nikageuka upesi nikaikuta amani ambayo nilikuwa naihitaji.
Samson…jemedari wa kisukuma.
Akanikumbatia kunipongeza. Lile joto lake likanikumbusha mengi. Nikapuuzia.
Oparesheni ilikuwa imekamilika.

****

Pesa zilikuwa kwa mafungu yanayolingana. Zilikuwa zinang’ara kuonyesha kwamba hazikuwa zimepitia mikono mingi.
Ilikuwa saa kumi alfajiri. Sasa nikiwa pamoja na Samson tulipita katika vijiwe ambavyo wenzetu walikuwa wanalala. Wote wakaamshwa. Hatimaye tukawa na mkutaniko wa pamoja wa kwanza tangu tuwe katika ardhi ile.
Niliwakumbusha juu ya ahadi yangu!! Sasa ilikuwa imetimia.
Hakuna aliyekuwa anafahamu thamani ya kwacha ya Zambia katika shilingi ya kitanzania. Hilo halikutupatia shida. Nikawachukua wenzangu watano wa kwanza. Nikaliendea basi linalotoka Ndolla kuelekea Mbeya mjini.
“Kwacha ngapi?” niliuliza. Akanijibu. Nikalipia nafasi za watu watano.
Wakaingia garini. Kiongozi wao akiwa Jesca
Nikarejea na kuwachukua wengine. Hawa kiongozi wao akawa Jenipher.
Kundi la nne nikalikabidhi kwa Samson.
Kisha nikabakisha kundi lililosalia mikononi mwangu.
John!! Akiwa ameambatana nami!! Nilichukua siti ya watu wawili. Nikamuweka John kisha nikambebesha mfuko fulani.
Hakuruhusiwa mtu kukaa pale.
Safari ikaanza huku maelekezo yota ya tunakutana vipi yakiwa kwa viongozi wa msafara.
Hatimaye tukaiacha Ndolla majira ya saa kumi na mbili. Safari ya kurejea Tanzania.

*****
Pesa zilibaki nyingi sana. Hivyo tuliamini kabisa hakuna kitakachoharibika. Jesca alikuwa na akiba yake, Jenipher na Samson vilevile.

(Mshikemshike )

TUNDUMA, Mbeya.

Mji ulikuwa umetulia sana. Hapakuwa na harakati za hapa na pale. Ilinishangaza sana kwa boda kama hii kuwa katika utulivu huu.
Tulikuwa tukihangaika kutafuta mahali pa kulala. Nyumba za kulala jirani na kituo cha mabasi zilikuwa zimejaa. Hivyo ilitulazimu kidogo kuzunguka. Hatukupata mahali pa kulala kwa wingi tuliokuwa nao. Sasa tuliamua kuishi maisha yetu ya Zambia. Tukaamua kulala katika stendi ya mabasi.
Baada ya kufikia uamuzi huo. Sasa mwenye kutafuta chakula aliruhusiwa lakini pa kulala tulikuwa tumeamua kabisa ni hapo hapo stendi.
Wanaume watatu waliamua kusindikizana kwenda kutafuta chakula.
Mkuu wa msafara huo Jesca aliwapatia pesa wakatoweka kwa ahadi ya kurudi upesi.
Ahadi ikavunjwa maradufu!! Hawakurudi.
Hadi tuliposinzia. Haikuwa kama yaliyomkuta Samson kule Ndola. Hawa hawakurudi kabisa.
Kesho yake. Tulipotoa taarifa polisi tulikutana na taarifa ya vifo vya watu watatu kwa kukatwa na mapanga.
Walikuwa wenzetu!! Lakini hatukukiri!! Hatukuhitaji kuwa karibu kabisa na polisi. Kwa kifupi hatukuwa tunajua hatma yetu. Hasahasa mimi ambaye nilikuwa na siri nzito.
Baada ya taarifa hizo kutapakaa. Tukajua nini kinachoendelea ndani ya mji wa Tunduma. Majambazi wa ajabu walikuwa wameuvamia mji. Hawa walikuwa na hadhi ya kuitwa majambazi wastaarabu. Walibandika matangazo kabisa kuwa kama mwanaume anatembea usiku basi awe na tahadhari aidha simu ama kiasi cha pesa shilingi. Elfu hamsini lakini bila hilo wakikutana ama zao ama zake.
Kumbe ndicho kimewasibu wenzetu!! Nilisikitika kuzipoteza roho hizi.
Asubuhi hiyo nilitaka kwenda kubadili pesa. Lakini bahati mbaya sikuwa na kitambulisho chochote. Nikaitupa kazi hiyo kwa Samson. Akazunguka mtaani kuzibadili baada ya kugundua kuwa Kwacha moja ni sawa na shilingi 0.3 ya kitanzania.
Baada ya zoezi lile kukamilika na kupata pesa ya kutosha sasa kila mmoja alitakiwa kuubeba mzigo wake mwenyewe. Aliyesema kuwa anaishi Dar alipewa nauli aondoke zake, wa Arusha naye vilevile. Na pesa ya ziada kila mmoja alipewa.
“Muutangaze ushuhuda huu bila kuipunguza wala kuongeza neno!” niliwaambia wakati tunaagana. Kila mmoja alikuwa na furaha huku wakiniona mimi kama Mungu wao. Sikujali sana!!
Safari ya Mwanza tukabaki watano. Mimi, Jesca, John, Jenipher na Samson.

****

Siku ya safari kama ilivyo kawaida nikalipia siti ya watu wawili, Jesca na Jenipher wakakaa siti moja huku Samson akikaa peke yake.
Alama ya John shingoni ilinikwaza sana. Nilitamani aweze kutuona. Lakini alikuwa anauona ulimwengu wake mwenyewe.

Safari nzima ilikuwa tulivu sana. Nilikuwa natafakari mambo mengi sana. Nilitamani kwenda Makambako kwa mama lakini niliamini haukuwa wakati sahihi.
Nilihitaji nkujua kitu kuhusu Maria. Maana alinitokea kule porini siku ya kwanza kabisa na kamwe sikumuona tena.
Nini kilimsibu? Nilijiuliza.
Tulipita miji mbali mbali. Tukaipita Makambako, nikainama nikajifuta machozi, tukaiacha Mafinga, tukaingia Iringa mjini. Na hapa hatukusimama sana tukaendelea na safari.
Sasa gari lilisimama!! Hatukushangaa sana. Tulidhani ni kwa madhumuni ya kuchimba dawa. Lakini hatukuiona dalili hiyo.
Dereva akateremka. Akaangaza gari lake bila kuona tatizo.
Akaangaza tena. Hakuna tatizo.,
Msaidizi wake naye akashuka. Hakuna msaada!!
Wakashuka mafundi wakajaribu kugusa hapa na pale. Gari lilikuwa limezima.
Walijaribu kufanya kila wanaloweza lakini hapakuwa na matumaini. Dakika zikaanza kwenda. Masaa yakaenda. Hatimaye jioni.
Abiria wakashindwa kuvumilia. Wakatoa matusi mengi lakini haikusaidia. Gari halikuweza kuwaka.
Duh! Leo tunalala njiani!! Nilimweleza John japo hakunisikia.
John alichoweza kuona ni chakula na mengineyo lakini si watu!! Na watu halisi pia hawakuweza kumuona yeye.
Simu ilipigwa ili gari jingine liweze kuja kutuchukua. Basi lilifika likiwa na abiria wengine. Likazimishwa ili tuweze kubananishwa wote twende Dodoma. Abiria walilaani kitendo kile kwa lugha zote, huku wakilalamikia usalama wao.
“Kama hutaki basi hili hapa lala utasafiri kesho!!.” Zilikuwa kauli ngumu kutoka kwa mpigadebe. Hakuna aliyependezwa na kauli hiyo. Wakati huu sikuweza kukaa na John badala yake tulikuwa tumesimama. Ni Jesca pekee aliyepata nafasi ya kukaa. Yalikuwa mateso.
Walipofanikiwa kutubananisha kama viroba. Dereva akisifiwa na wapambe wake akaingia garini aweze kuendesha tuondoke.
Ikaanza tena kama utani, akachokonoa kwa mara ya kwanza likagoma, akajaribu mara ya pili bado hali ileile.
Akajaribu tena na tena. Injini haikuweza kuwaka. Kila mmoja akawaza lake.
Watu wakakimbilia kwenye imani za kishirikina.
Lakini huyo mshirikina ni nani? Hakuna aliyejua.
Abiria wakashuka. Kila mmoja akarejea kwenye basi alilokuwa amepanda awali. Hapakuwa na safari tena.
Usiku ukafika wanakijiji wakapika chakula na kutuuzia kwa bei mbaya sana. Hatukuwa na ujanja tukanunua.
Saa nne usiku mambo yakananza kubadilika. Hali ya hewa ilibadilika na kuwa ya kushangaza hata wanakijiji walikiri kuwa hiyo haijawahi kutokea. Badala ya baridi kali la Iringa sasa lilitanda joto.
Joto hilo ni kama lilimshtua John. John akasimama akataka kuondoka. Nikamzuia. Akawa anatumia nguvu!! Nikamzuia John, John akanitazama kwa jicho la hasira. Macho yake yakiwa mekundu sana.
John alikuwa ananiona? Nilijiuliza.
Lile joto likazidi. Abiria wakashuka garini.
Kuna kitu hapa!! Mapambano mapya!! Nikajisemea huku nikiendelea kumzuia John.
John sasa akanizidi nguvu.
Akanitoka. Akashuka chini. Nikajaribu kumkimbilia.
Huko nikamkuta akiwa anafanya jambo la ajabu. John alikuwa anajarfibu kuisukuma gari kwa kuitikisa.
Ajabu! Ikaanza kutikisika kweli. Mtikisiko ule ukawashtua wengi. Sasa vilio vikaanza kusikika. Kila mtu kuitetea nafsi yake.
Watu wakashuka upesi kwa kugombania mlango. Basi likaanguka.
Lilipoanguka John akatazama mahali. Na mimi nikageuza jicho kutazama. Yalikuwa makaburi
Makaburi yaliyo na historia ya kushangaza. Makaburi ambayo yalimtoa nishai mchina alipojaribu kupitisha umeme juu yake. Umeme ukagoma kuwaka.
Haya yalikuwa makaburi ya Kiyeyeu.
Yalikuwa yanafuka moshi wa dhahabu!!
Vita!!

ITAENDELEA

SITAISAHAU FACEBOOK – 3

Image result for facebook

Simulizi : Sitaisahau Facebook
Sehemu Ya Tatu (3)

Taarifa ile kila mmoja kati yangu na huyo rafiki yangu tulipokea kimshtuko. Hasahasa mimi. Nilijiuliza kwa nini? Sikupata jibu.
Maisha yakaendelea!!
Hapakuwa na mauzauza tena. Na kizuri zaidi hatimaye mama alizinduka kutoka katika usingizi ule wa kifo. Suzi akajivutia kwake kwamba ni maombi yamemwamsha, mimi sikuwa na lolote la kusema.

Mama hakuwa na kumbukumbu yoyote ile, alibaki kushangaa shangaa tu. Kwetu ilikuwa siku ya furaha sana. furaha iliyopitiliza. Sasa mama aliweza kula peke yake na hakuhitaji msaada tena. Walau furaha yangu ikarejea huku nikisahau kuhusu imani za kishirikina na kuamini mama alikuwa katika ugonjwa wa kawaida tu!!
Sasa vipi kuhusu John na ile ndoto niliyoiota? Nilijiuliza. Maana mama alikuwa amezinduka lakini John bado hakuonekana. Chuo kilishindwa kusema lolote maana mwanafunzi wa chuo kikuu anachukuliwa kama mtu mzima hakuna anayemlinda, hakuna uzio uliowekwa kumzuia asitoke, hivyo maisha ya mwanafunzi wa chuo yapo mikononi mwa msomaji mwenyewe. Chuo kitasema nini kuhusu kutoweka kwa John!! Ajabu ni kwamba hakutoweka katika mazingira yoyote yanayoelezeka bali ni ghafla tu akagundulika kuwa hayupo chuo
Nami nikaichukulia ile taarifa kama ilivyo. Kwanza upendo wangu kwa John ulikuwa umepoa sana. nilikuwa nimeanza kuhisi kuwa huyu si mtu mzuri kwangu.

****

(Mimba ya maajabu)

Baada ya siku tatu. Mama akiandamana na dada yangu Suzi walirejea Makambako. Kama kawaida pesa ilikuwepo. Kwa nini sasa mama yangu asipate jambo la kukumbukwa maishani. Na Suzi naye apate la kujitambia kwa walokole wenzake. Nikawapandisha ndege. Sasa nikabaki kuishi peke yangu tena!! Sikuwa na uoga mkubwa japo sikumruhusu rafiki yangu huyu kuondoka. Tukaendelea kuishi wote.
Usiku huu ambao mama yangu alikuwa ametoweka nilikumbwa na hisia ama jambo la ajabu katika mwili wangu.
Kichwa kilikuwa kinauma, nilijaribu kumeza dawa lakini hazikunisaidia sana zaidi ya kuniweka katika majaribu ya kupitiwa na usingizi.
“Maria!! Mi nalala shosti.” Nilimwambia rafiki yangu. Aliyekuwa amejikita katika kuangalia filamu. Hivyo hakuitilia maanani sana taarifa yangu.
Mguu na njia nikakivamia kitanda nikaanza kuutafuta usingizi. Mara hizo hisia za kuumwa kichwa zikatoweka. Nikawa katika hisia nyingine zinazokera. Nikaanza kumkumbuka sana John . nikaukumbuka usiku ule mimi na yeye katika hoteli ya kifahari. Nikakumbuka pia jinsi nilivyoanza kuishi naye kama mchumba wangu. Mara nikayakumbuka mapenzi yake.
Ni hapa sasa nikaanza kuhangaika!! Nilikuwa namuhitaji John.
Nilikuwa nahitaji awe nami kitandani!! Lakini hakuwepo.
Nilitaka kujilazimisha kuamka niweze kukabiliana na hisia hizi lakini sikuweza. Nikahisi macho mazito sana!!
Mara likawa giza nene!! Kisha ndani ya sekunde kadhaa nikajihisi kama nina mikono ya ziada najipapasa. Mh!! Nikataka kufumbua macho bado yalikuwa mazito.

*****

Nilikuwa nimejilaza na kanga niliyokuwa nimeivaa wakati naandaa chakula. Ile mikono ya ziada nikawa naisikia kabisa ikiiondoa bila idhini ya akili yangu!! Nikajilazimisha kuamka. Sikuweza. Sasa nilikuwa sina nguo mwilini.
Kisha ile hali ya kumkumbuka John ikazidi. Nikawa katika kuhitaji huduma fulani hivi ambayo ni John pekee aliweza kunitimizia.
Penzi……..
Sikuchukua muda mrefu nikapata kile ninachokitamani. Lakini lilikuwa kama gogo limeniangukia kifuani. Nikaanza kupalangana kulitoa. Pumzi zikazidi kuniishia lile gogo halikutoka kifuani kwangu.
Sijui kama zilikuwa dalili za kufa ama vipi.
Jamani nakufaaa! Nilipiga mayowe. Sijui kama sauti ilikuwa inatoka ama la! Hofu ya kifo ikanitawala.
“He!! We naye unalala uchi? Kulikoni leo?” Niliisikia sauti ikiniuliza. Nikadhani bado nina lile gogo kifuani. Nikanyanyuka kwa nguvu sana. Maria alikuwa akitazamana nami uso kwa uso. Alinishangaa nami nikamshangaa.
“Unaota wewe!”
“Kwani kuna nini?” Nilimuuliza huku nikijishangaa kweli nipo kitandani, uchi kabisa. Halikuwepo lile gogo pale kitandani.
Wasiwasi ukatanda!
“Kweli ni ndoto..ndoto mbaya.” Nilimuunga mkono Maria.

****

Haikuwa ndoto kama nilivyodhani na kujiaminisha kuwa ile kanga ilitoka bahati mbaya katika mwili wangu. Kichefuchefu na kukosa hamu ya kula vikaanza kuniandama, mara niwe nataka vyakula vichachu, mara nikivipata navichukia. Ile hali ikanifanya nihisi ninakaribia kuugua ama nina ugonjwa tayari. Mtu menye pesa kama mimi kwa nini niugue niendelee kukaa ndani wakati kuna hospitali zinaweza kunihudumia vyema.
Majuma matatu baada ya hali ile nikafikia uamuzi wa kwenda hospitali.
Sikumshirikisha Maria kwa sababu nilihisi ni jambo la kawaida sana. Nikajikokota hadi hospitali. Daktari akanipokea nikamueleza kila dalili inayonifanya nijihisi aidha nina malaria ama ugonjwa mwingine wowote ule. Sikuwaza hata kwa mbali majibu aliyoyatoa daktari.

Mimba!!! Una mimba Isabela, yalikuwa majibu
Sijui kama akili iliniruka name nikaruka nikamkunja daktari ama ni mizimu ilifanya hivyo. Sijui!!
Daktari akatapatapa akanitoa na kunituliza. Huku akisisitiza kuwa ninayo mimba. Na majibu hayo yapo sahihi. Alikuwa ameghadhabika kiasi.
Maajabu haya!! Nimeipatia wapi hiyo mimba.
Mimi ni muelimishaji wa mambo ya kimapenzi na mahusiano na jinsi ya kujilinda na magonjwa ya zinaa na mimba zisizotegemewa. Sasa nina mimba ya maajabu!! Anayeelimisha ameibeba…..
Nimshirikishe Maria? Nilijiuliza. Nikasita. Maria alikuwa mropokaji sana angeweza kunisambazia habari hiyo na heshima yangu ikashuka. Sikuwa tayari kuabika mbele ya maelfu ya wanafunzi anaoniheshimu sana.
Nikimueleza mama atanilaani!! Maana alikuwa akiniamini sana, bora basi angekuwepo John ningesema ni ya kwake.
Sasa hapa namsingizia nani?
Hapana sina mimba mimi!! Nilijikataa penye ukweli.
Nikaenda hospitali nyingine. Jibu lilikuwa MIMBA.

Akili ikahama, na nikaanza kuamini kumbe ule mtihani wa mama kupoteza fahamu ulikuwa mdogo sana. kumbe tatizo likikukumba wewe ndio utaugundua uzito wake.
Nikimbilie wapi Isabela mimi!!! Nilitaharuki.
Hisia zangu zikaenda kwenye lile gogo usiku ule. Nikajiona nimedhalilishwa kupewa mimba na gogo.
Tena ndotoni!! Chumbani kwangu.
Eeh!! Mungu nionee huruma mja wako. Nilikumbuka kumshirikisha sasa Mungu. Baada ya miezi kadhaa ya raha bila kufanya ibada.

*****

Dada yangu Suzi. Alikuwa ni mlokole lakini licha ya hayo yote alikuwa jasiri katika kutunza siri. Hili lilifahamika kwetu sote tangu tukiwa wadogo. Alitunza siri nyingi sana kifuani mwake. Siri za baba, siri za mama, zote alizibeba bila kuzitoa. Ama kwa hakika alikuwa mtu wa kipekee mwenye kifua haswa.
Nikamuona mlokole huyu ni mtu sahihi katika kumueleza linalonisibu.
Nikampigia simu tukapanga wakati tulivu kabisa wa kuzungumza.
Tukapendekeza iwe usiku. Mumewe akiwa ameingia kazini.
Usiku ukafika nikampigia simu.
Baada ya salamu za hapa na pale nikautua mzigo.
“Dada, yaliyonikuta ni makubwa mdogo wako…” nilianza kumuelezea mkasa ulivyokuwa huku nikisita kumshirikisha ukweli kuwa kuna ndoto ikiambatana na hisia ilinishika na nikahisi nafanya mapenzi ndotoni. Nilihofia ataleta ushauri wa kwenda kwa wachungaji feki kuombewa. Sikutaka kabisa kusikia mambo yake ya kilokole.
Nilipomaliza ukawa wakati wake kunishauri ama kusema lolote.
Kwa sauti tulivu tena iliyojaa unyenyekevu Suzi alianza kunieleza neno kwa neno.
Sasa nikaanza kutetemeka alipoyatamka haya. Nikaketi chini, mapigo ya moyo yakaongezeka.
Nikatamani nife kwa muda. Kisha nikakumbuka kuwa nilikuwa naogopa kufa!!! Nikalipuuzia wazo hilo.
Wasiwasi ukazidi. Lakini Suzi alikuwa akiusema ukweli aliouficha moyoni kwa muda mrefu.
Suzi aliongea huku akitia msisitizo kwa aliyokuwa anayasema.
Ilikuwa ni historia ambayo sikuwahi kuisikia kamwe lakini sasa Suzi alikuwa ananifumbua macho. Uhusiano wa matukio alivyoupangilia ulinitia katika mashaka.
Wakati nampigia simu wazo langu kuu lilikuwa kuitoa ile mimba ambayo hata sikuwa na uelewa imeingia vipi katika mwili wangu. Nikamdanganya kuwa mpenzi wangu amenipachika lakini hatukuwa na mpango wa kupata mtoto katika kipindi hicho.

“Bela, Bela..usije ukathubutu kuitoa hiyo mimba!!! Usithubutu!!” alinikanya Suzi, hapo ni baada ya kunieleza kuwa kila msichana aliyethubutu kutoa mimba katika ukoo wetu alipoteza kizazi ama uhai.
Maneno hayo yaliambatana na mifano kadhaa ya ndugu zangu ambao hadi leo hii wanalilia watoto. Umri unakwenda na hakuna dalili ya mimba. Wengine wanaachika na kuolewa tena lakini hakuna mabadiliko. Wanabaki kuwa wapweke na kumshushia lawama Mungu. Kumbe kuna siri mioyoni mwao. Mimba zilizotolewa!!
Anti Rozi, mamdogo Sikujua, hao ni baadhi ya ndugu zangu waliokuwa wakinyanyasika katika ndoa zao kwa kuwa hawazai. Na kama na mimi ningethubutu basi ningekuwa katika mkondo huo.
Maneno hayo makali kutoka kwa bingwa wa kutunza siri yakanichoma haswaa.
Hapana!! Sipo tayari kudhalilishwa katika ndoa. Nilikiri.
Kwa maongezi yale kati yangu na dada Suzi ilimaanisha kuwa sikutakiwa kuitoa ile mimba! Mimba ya gogo! Isabela niende kuzaa gogo. Hapana!
Sasa ni kipi natakiwa kufanya hapa? Nilijiuliza bila kupata majibu. Ugumba sikuutaka na hata kuzaa na gogo n’do sikutaka kabisa kusikia.
Suzi akaniaga nikakata simu!!
Hofu kuu ilinitawala baada ya kuwa peke yangu tena. Bado nilikuwa nimeishikilia simu na nilikuwa natetemeka sana. Ni kama dunia ilikuwa imenigeukia na kunizomea baada ya kuwa imenivua nguo zote. Niliamini kuwa dunia ilikuwa inanionea. Haikuwa inanitendea haki hata kidogo. Kwa nini mimi kila siku, kwa nini wengine wanacheka, kilio kwangu tu kila siku? Mungu alikuwa ana upendeleo ama?
Nililitazama tumbo langu dogo kisha nikafumba macho na kujenga picha jinsi litakavyokuwa siku za usoni. Tumbo kubwa kabisa na kila mmoja ataliona. Aibu kubwa! Halafu pia nitachekesha kiasi fulani, nilivyokuwa cha ufupi halafu na tumbo kubwa?? Fedheha.
Kama hiyo haitoshi itafikia kipindi nitaugulia uchungu na hatimaye nitajifungua. Mtoto wa nani huyu? Nilijiuliza bila kupata jawabu sahihi. Sikutaka kujipatia jibu la gogo.
Mawazo yakaniumiza kichwa nikameza dawa za kutuliza maumivu. Nikasinzia!
Asubuhi nikashtuka kutoka usingizini. Tatizo lilelile haikuwa ndoto, nilikuwa na mimba. Nikawaza na kuwazua bado hapakupatikana jibu sahihi. Nikajaribu kupuuzia lakini suala hili liliniumiza kichwa.
Sasa nikakumbuka kuwa nilikuwa na pesa za kutosha katika akaunti yangu. Sasa kwa nini niendelee kuhangaika kiasi hiki. Ina maana pesa haiwezi kutatua tatizo hili.
Nikafikiria kugawana pesa zangu na mganga mwingine wa jadi. Lakini huyu sikutaka awe anatokea hapa Tanzania. Nilihitaji mganga
mwingine kabisa kutoka nje ya nchi.
Sikumshirikisha Maria, maana angegundua kuwa nina mimba. Hili nililiepuka sana.
Kimya kimya nikampata mganga. Alijitambulisha kuwa anatokea Naijeria. Huyu alikuwa ananifaa.
Nikamfungia safari! Alikuwa amejiundia ofisi yake nje kidogo ya jiji la Mwanza, maeneo ya Shamaliwa kata ya Igoma. 
Nililitazama tumbo langu dogo kisha nikafumba macho na kujenga picha jinsi litakavyokuwa siku za usoni. Tumbo kubwa kabisa na kila mmoja ataliona. Aibu kubwa! Halafu pia nitachekesha kiasi fulani, nilivyokuwa cha ufupi halafu na tumbo kubwa?? Fedheha.
Kama hiyo haitoshi itafikia kipindi nitaugulia uchungu na hatimaye nitajifungua. Mtoto wa nani huyu? Nilijiuliza bila kupata jawabu sahihi. Sikutaka kujipatia jibu la gogo.
Mawazo yakaniumiza kichwa nikameza dawa za kutuliza maumivu. Nikasinzia!
Asubuhi nikashtuka kutoka usingizini. Tatizo lilelile haikuwa ndoto, nilikuwa na mimba. Nikawaza na kuwazua bado hapakupatikana jibu sahihi. Nikajaribu kupuuzia lakini suala hili liliniumiza kichwa.
Sasa nikakumbuka kuwa nilikuwa na pesa za kutosha katika akaunti yangu. Sasa kwa nini niendelee kuhangaika kiasi hiki. Ina maana pesa haiwezi kutatua tatizo hili.
Nikafikiria kugawana pesa zangu na mganga mwingine wa jadi. Lakini huyu sikutaka awe anatokea hapa Tanzania. Nilihitaji mganga
mwingine kabisa kutoka nje ya nchi.
Sikumshirikisha Maria, maana angegundua kuwa nina mimba. Hili nililiepuka sana.
Kimya kimya nikampata mganga. Alijitambulisha kuwa anatokea Naijeria. Huyu alikuwa ananifaa.
Nikamfungia safari! Alikuwa amejiundia ofisi yake nje kidogo ya jiji la Mwanza, maeneo ya Shamaliwa kata ya Igoma.
Nyumba yake ilikuwa nzuri sana, tofauti na wale waganga waliotangulia ambao walikuwa wakiishi katika vibanda vya nyasi huku wakiwa mabingwa wa kuomba kuku na mbuzi kama njia ya kutibu tatizo.
Huyu alikuwa katika nyumba nzuri sana. Huenda na tiba yake ilikuwa nzuri.
Nilipokelewa vyema na kuandikisha jina langu getini. Nikafikishwa ofisini kwake. Na penyewe palivutia sana.
Alikuwa anaye mkarimani wa kumsaidia kuweza kuwasiliana na wateja wasiojua kiingereza. Mimi sikuhitaji mfasiri nilikuwa najua kiingereza hivyo tulizungumza moja kwa moja.
Alinisikiliza kwa makini, miwani yake machoni. Kisha akaanza naye kunipa maelekezo.
Alitoa maelekezo mengi. Mwisho akaniambia nirejee usiku wa saa mbili aweze kunipatia tiba. Wakati huo ilikuwa saa kumi na moja jioni.
Saa mbili nilikuwa kwa mganga tena. Sasa alinipeleka mahali anapotolea tiba.
“Una mimba ya jini..jini la hatari..na ukilitoa kwa njia ya kuzaa.UTAKUFA! hakika UTAKUFA!” Alizungumza kwa msisitizo. Nikatetemeka kusikia suala la kufa.
“Hongera umewahi sana..bado halijakomaa. Sasa unatakiwa ulitoe sasa hivi. Linatakiwa kutoka.”
“Nitoe!.” Nilijikuta najibu huku ninatetemeka. Akacheka.
“Vua nguo zako zote.” Alitoa maelekezo.
Nikasita, akacheka tena. Kisha akanitazama.
“Toa nguo zako!!.” Aliamuru kwa kiingereza chake chenye lafudhi ya Afrika magharibi. Alikuwa mweusi tii.
Nikasalimu amri, mtaalamu huyu ndiye aliyekuwa ameshika mpini nami mikono yangu kwenye makali. Yeye mshindi.
Nikasaula moja baada ya nyingine. Nikaacha chupi. Akakoroma huku akitetemeka. Nikaiondoa na hiyo iliyobaki. Sasa nijizibe wapi? Juu ama chini nikakosa maamuzi.
Nikabaki katika mfadhaiko!.
“Lala hapo kitandani!” aliamuru. Nikajilaza kitanda cha futi sita kwa sita chenye shuka jeupe kabisa.
Mara taa ikazimwa. Giza likatawala. Kimya nacho kikatanda. Sauti ya mganga pekee akiunguruma kwa sauti ya chini ndiyo ilisikika. Mimi hofu tupu!
Mara kitandani tukawa wawili. Mikono ikinipapasa. Tiba gani hii! Nilishangaa lakini sikuuliza.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida nikapatwa na kiu kikali sana ghafla. Kiu kilichokausha koo langu kabisa.
“Thirsty (kiu)….” Nilinong’ona, mganga hakujibu. Nikajaribu tena kunong’ona sauti haikutoka. Lakini sikuwa katika uhitaji wa maji ya kunywa. Kuna kitu cha ziada nilikuwa nahitaji, sijui ni kitu gani sijui!! Lakini nilikuwa nahitaji.
Mikono niliendelea kunipapasa. Sasa hakuwa anaunguruma tena lakini alikuwa anahema juu juu sana. Huku napapaswa huku nahisi kiu cha ajabu.
Mara yule mganga akafika kifuani akaendelea kunishambulia. Kuja kutanabai alikuwa yu uchi! Hofu ya kubakwa ikanikumba. Nikajaribu kupiga kelele. Sauti haikutoka. Nikajaribu kumsukuma, alikuwa mzito kupita kiasi. Alikuwa na uzito kama lile gogo la usiku ule. Gogo lililonitia mimba. Kiu kikanifadhaisha na sasa sikuweza kujizuia zaidi nilitakiwa kupata kinywaji. Lakini sio maji wala soda.
Mganga akazidi kunikumbatia. Nikafanya jaribio la kumn’gata ili asitimize kitendo chake cha kunibaka. Maajabu!! Ile ladha ya chumvichumvi la jasho ikanipendeza, nikaitamani na nikazidi kumng’ata, damu! Damu ikaanza kumtoka, sikutaka hata tone moja linipite kando. Alijirusha rusha lakini sikubanduka. Hadi pale kiu kiliponiisha.
Wakati kiu kinaisha na yeye alikuwa ametulia tuli!
Nimekunywa damu!! Nilighafirika. Nikasimama wima huku nikiwa siamini kabisa kilichotokea pale ndani. Nikatapatapa katika giza mara nikabonyeza bila kutarajia kitufe. Taa ikawaka!
Macho yangu ana kwa ana na dude kubwa jeusi. Asili yake Naijeria likiwa limetulia kitandani. Shuka nyeupe sana bila hata tone la damu.
Dude lile lilikuwa uchi wa mnyama. Lilitia kinyaa kulitazama maungo yake.
Nikajifuta midomo nikaitazama. Hapakuwa na damu!! Na sikuwa na kiu tena. Kumbukumbu za kumshambulia yule mganga wa jadi zilikuwepo akilini na pia tukio la kumnyonya shingoni lilikuwa linaishi katika akili yangu. Sasa mbona hakuna damu. Mbona mashuka hayajachafuka.
Nikavaa nguo zangu huku nikiziona dalili za kufa mbele yangu.
Nikamtikisa yule daktari pale kitandani. Hakuamka. Na alidumu hivyo hadi nilipotoka. Hatua kwa hatua. Hadi nikatoka nje, hofu ikiwa inaniadhibu.
Sikusimama sana barabarani nikapata taksi.
“Nyegezi kona.”
“Nyegezi?” aliniuliza. Nikakubali.
Akawasha gari tukaondoka. Sikutaka kuzungumza lolote. Nilikuwa najiuliza ni kipi kinanitokea mfululizo kiasi hicho.
Simu yangu ikaita. Nikaitoa nikiamini ni Maria. Hakuwa yeye alikuwa Dokta Davis.
Nikachelewa kupokea. Ikawa imekatika.
Nikategemea atapiga tena! Hakupiga badala yake akatuma ujumbe.,
“Nakutakia usiku mwema!”
Sikumjibu.

****

Amani ikatoweka kabisa moyoni mwangu. Sikuyafurahia maisha yangu ya chuo. Sikuifurahia tena kazi niliyopewa na dokta Davis na kampuni yake.
Nikiwa nimejaribu kwa waganga na kushindwa kupata msaada wowote. Na sikuwa nikiamini sana ulokole na imani za uponyaji sasa niliamua LIWALO NA LIWE. Nitailea mimba yangu hadi nitakapojifungua.
Lakini nitakuwa na amani sana iwapo sitakuwa nachangamana na makundi ya watu. Na ili nisichangamane basi nilitakiwa kuiachia kazi niliyokuwa nimeipata. Kazi yenye kipato kizuri kabisa.
Nikatokwa na machozi nilipofikiria kuandika barua ya kuacha kazi!! Roho iliniuma sana.
“Na chozi langu likuangukie wewe uliyeniletea makwazo haya!!” nilitamka hayo wakati naweka nukta ya mwisho ya barua ile ya kumweleza Davis na kampuni yangu nia ya kuachana na kazi yao.
Sikuweza kuwaelezea kuwa nilikuwa na mimba. Niliwaambia shule imenibana sana na utendaji wangu kimasomo ulikuwa umeshuka sana.
Nikaituma kwa njia ya barua pepe kwenda kwa Dokta Davis.
Barua ikawa imefika!
Nikayasubiri majibu.
Zile milioni milioni ziliniuma sana kuziacha ziende mbali nami.
Lakini sikuwa na ujanja.
Laana na zitue kwa mbaya wangu!!

****

Zilipita siku nne, kila siku nilikuwa napitia barua pepe yangu kutazama kama kuna majibu yoyote kutoka kwa Dokta Davis lakini mambo yalikuwa tofauti Davis hakupiga simu wala hakujibu ujumbe niliomtumia. Nilijiuliza je? Nimpigie simu ama niendelee kuvuta subira. Hali hiyo ya kungoja sana ikanitia mashaka, kumpigia simu pia nikasita kwa kukumbwa na maswali mengi. Kama hajaisoma ile e-mail itakuwaje? Na kama ameisoma pia nilitegemea maswali mchanganyiko ambayo yangeweza kunitia katika majaribu ya kumweleza Davis juu ya ile mimba ya kimaajabu! Jambo ambalo sikutaka kabisa litokee.
Nikaendelea kuwa kimya!
Siku zikasonga mbele. Amani finyu moyoni! Maria sasa akawa kama ndugu yangu, tuliendelea kuishi wote.

*****

Zilipokatika siku saba za kuikamilisha wiki moja, ustahimilivu ukanishinda, mateso ya nafsi yakanikita. Ujasiri ukaikimbia subira.
Nikaamua kujaribu kupeleleza, kwanini? Davis hadi sasa hajasema neno.
Sijui kwanini nilikuwa namuogopa Davis kwa kipindi hicho. Lakini sikuweza kumpigia simu.
Nifanyeje? Nilijiuliza!
Facebook! Jina hilo likanivamia kama jinamizi linalotisha lakini lenye msaada.
Kwanini naogopa? Nilijiuliza.
Ilikuwa saa moja usiku, nikiwa kitandani. Mkononi glasi ya juisi, kompyuta yangu ndogo ikiwa inamalizia hatua za kuwaka. Ilipomaliza, nikaingia katika mtandao. Tangu nitingwe na kazi niliyopewa na kampuni ya Dokta Davis na matatizo yaliyokuja baadaye nilikuwa nimeususa kabisa mtandao wa kijamii wa facebook, kwanza jina langu tayari lilikuwa kubwa pale chuoni hivyo nilikuwa napata usumbufu mtandaoni, pili sikuwa na muda kuingia kule mara kwa mara. Lakini siku hii nililazimika kuingia mtandaoni.
Nia kubwa ikiwa kutazama akaunti ya Dokta, ni lini mara ya mwisho kuandika kitu mtandaoni. Kama ningejua hilo ningeweza kuhusisha hofu yangu ya kwamba aidha kuna jambo baya limemkumba Davis.
Mdomo ukabaki wazi, nikapumbazwa na picha iliyokuwa katika akaunti yangu! Nikaitazama kwa makini! Haikuwa ndoto! Alikuwa yeye! Sasa ni lini ameiweka hapa? Nilijiuliza!
Nikataka kumuita Maria, nikagundua hatakuwa na la kunisaidia. Kwanza ye mwenyewe hana hulka na mtandao huu!
Nikabaki kuishangaa picha ya John! Alikuwa anatabasamu!
John alizipata wapi namba zangu za siri za akaunti yangu ya facebook? Nilijiuliza bila kupata majibu.
Mh! Au hii picha niliweka mwenyewe? Lini sasa? Nikajiuliza.
Kwa hili sikushtuka sana. Nikajipa moyo kuwa huenda niliwahi kuiweka hii picha ya John bila kujitambua kutokana na kukolea katika penzi. Penzi la John ambaye hadi wakati huu hakuwa akifahamika ni wapi alipo. Nikiwa nimeamua kumpuuzia John na hiyo picha sasa nikaamua kuendelea na kile kilichonifanya niingie mtandaoni.
Nikataka kuifungua akaunti ya Dokta Davis niweze kuikagua.
Hata kabla sijaanza kuikagua akaunti ya Dotka, nikakutana na kitu kingine cha kushangaza, hapa sasa nilijikuta naitupa laptop na kuruka mbali nayo kama nimepigwa shoti ya umeme. Ama nimeona kitu cha kushtua sana.
Ilikuwa picha nyingine, hii ilikuwa ina ujumbe juu yake ‘In love with the guy!’ marafiki zangu walikuwa wameishambulia kwa maoni, wengi wao wakisifia picha hiyo, huyu kwenye picha naye alikuwa anatabasamu, tofauti ya picha hizi ni kwamba John alikuwa amevaa fulana yake, lakini huyu mwingine alikuwa kifua wazi.
Kwa mtazamo wangu hii picha ilikuwa picha mbovu, isiyokuwa na mvuto. Hasa hasa kwangu ambaye hadi kumsifia mvulana amependeza lazima nichunguze vitu vingi, sasa kati ya hizo sifa huyu hakuwanayo hata moja.
Huyu hakuwa mwingine alikuwa ni yule mganga wa kinaijeria. Kamwe nisingeweza kumsahau maana nilimuona kwenye mwanga huku lile tukio la kujaribu kunibaka kisha akatulia tuli kitandani na lenyewe lilikuwa limenasa katika kichwa changu.
Tatizo!!
Bado nilikuwa wima natetemeka huku nikiiogopa ile laptop.
Nani ameingia kwenye akaunti yangu na kufanya haya?
Ujanja wa mtu muoga ni kukimbia shari. Palepale nikaitumia kanuni ile. Nikatimua mbio nikapishana na Maria alikuwa amekamata glasi iliyokuwa na juisi nikamsukuama yeye na glasi yake.
Yeye akawahi kujizuia lakini glasi ikasambaratika vipande. Nikamsikia akitoa yowe la hofu!
Maria, Maria njoo!! Nilimuita wakati huo tayari nikiwa sebuleni.
Maria kwa hofu akanifuata. Nikamkumbatia. Mapigo yake ya moyo yalikuwa juu sana. Lakini yangu yalikuwa juu zaidi. Kila mmoja alikuwa katika kuogopa.
Sikuweza kuzungumza chochote. Nikamvuta Maria tukaelekea chumbani. Nia yangu kumueleza kila kitu kilichonisibu hadi nikatimua mbio. Tulifika chumbani, ajabu Maria alikuwa anatetemeka kuliko mimi muhusika.
Tulitulia kitandani, nikaisogeza laptop nikaanza kumuelekeza Maria, kile nilichokiona. Hasahasa picha ya yule mganga. Lakini sikumweleza lolote juu ya mimi kumfahamu.
“Jamani Bela…wame’HACK’ akaunti yako..mbona haka kamchezo ka kawaida tu!.” Alinieleza.
Ni kweli jambo hilo nilikuwa nalifahamu. Lakini huyu mganga amejuaje kuwa mimi naitwa Isabela hapa facebook? Nilijiuliza.
Ok! Kama ni kweli ameingilia akaunti yangu na kunidhalilisha hivi. Naapa atakiona cha mtemakuni. Nilimuapia Maria. Wakati huo sikumbuki kuwa palikuwa pia na picha ya John.

****


Sikuwa katika utani. Nilikuwa nimekerwa na kitendo cha yule mganga kunifanyia huu upumbavu. Kesho yake pesa ikaongea nikawapa pesa nzuri maaskari. Nikawapa na ushahidi. Ndani ya Defender kwenda kumkamata yule mganga. Lile jaribio la kutaka kunibaka lilikuwa moja kati ya mambo yaliyonitia hasira.
Niliikumbuka vyema njia na tulifika bila usumbufu.
“Mzee alitutoka. Ni wiki sasa imekatika.” Mke wa mganga alitueleza kwa huzuni kuu. Moyo ukawa wa moto ghafla. Mganga amekufa!! Mbona tarehe ya ile picha na kifo cha huyu mganga vinashangaza sasa. Tarehe aliyoweka ile picha tayari alikuwa marehemu.
Ewe! Mwenyezi Mungu nichukue mimi Isabela, dunia imenishinda!!! Nilisali kimoyomoyo. Mauzauza yalikuwa yamenizidi nguvu.
Nilirejea nyumbani nikiwa mwingi wa mawazo. Sikumueleza lolote Maria. Nilimpita akiwa anajisomea. Zaidi ya salamu sikusema neno. Moja kwa moja chumbani nikajinyoosha kitandani nikaanza kulia.
Nikiwa bado sijasinzia vizuri. Simu yangu iliita. Alikuwa ni rafiki yake na John.
Kidogo nisipokee. Lakini alipopiga tena na tena nikaamua kupokea.
“Mambo vipi shemu?”
“Poa!” nilimjibu kwa kujilazimisha.
“Sijakuelewa kabisa shem! Una matatizo gani?” aliniuliza.
“Kwa nini mbona niko poa sema nimechoka tu.”
“Umechoka ndo unaandika mambo gani sasa haya kwenye facebook?” alizungumza kwa hasira kidogo. Nikakaa kitako, usingizi hakuna tena!!!
“Nimeandika nini kwani eeh!! Hebu ngoja.” Nikamkatia simu.
Haraka haraka nikafungua simu yangu sehemu ya mtandao. Jasho lilikuwa linanitiririka. Sijui ni kipi kilikuwa kimeandikwa. Na ni nani ameandika kama ambaye ameiingilia akaunti yangu tayari alikuwa ni marehemu.
“1986-201..REST IN PEACE ISABELLA” Ilisomeka hivyo katika akaunti yangu.
Karibia kila mtu alikuwa anauliza kulikoni nimeandika hivyo.
Lakini bora ningekuwa nimeandika mimi! Mimi hata sijaandika. Nikaanza kulia nikajigalagaza kitandani, nikavua nguo zangu. Nikavuruga nywele zangu. Nikalia kama mtoto.
“Nimekukosea nini Mungu wangu eeeh!! Nimekosa nini sasa!!” nililaumu sana, uchungu ukanikaba kooni. Ukasafiri hadi moyoni, ukanisurubu kila upande. Suluba nisiyoelewa chanzo chake. Suluba kamilifu.
Naelekea kuchnganyikiwa? Nilijiuliza. Lakini nikajicheka. Tangu lini mwendawazimu anautambua wazimu wake? Huenda mimi ni kichaa tayari.
Munkari ya kusoma ikapotea na mitihani ilikuwa karibu kabisa.
Liwalo na liwe!!
Nilitamani sasa kwenda kwa viongozi wa kiroho waweze kunishauri na kuniombea kama inawezekana lakini tatizo lilikuwa katika kuwaeleza kuanzia mwanzo. Zile ndoto za John anaua na mengine yote. Niliogopa kuaibika.
Nikakaa kimya na siri yangu, mateso pia yakabaki kuwa yangu!!!
Nilipowaza mitihani, wazo la kuwa nina mimba pia likajileta pia katika orodha.

(Sharti gumu!!)

Ule ujumbe ulioonekana katika akaunti yangu, ulinishtua sana. Sasa sikuwa na ujanja tena nikafikia hatua ya kukubali kuwa yamenishinda na ninatakiwa kumshirikisha mtu mzigo huu.
Kitu cha kwanza niliiondoa akaunti yangu ya facebook katika matumizi ‘deactivation’. Sikuhitaji tena kuwa katika mtandao huo. Baada ya hatua hiyo nikaandika barua ya kuomba ruhusa ya kutofanya mitihani hiyo iliyokuwa mbele yangu pale chuoni.
Kwa kuwa nilikuwa nafahamika sikupata usumbufu nikapewa ruhusa hiyo upesi. Nikaamua kufunga safari kuelekea nyumbani. Lengo kuu likiwa kumueleza mama kila kitu kilichonitokea na kutishia uhai wangu. Sikuwa na ujanja mwingine.
Usiku nilikuwa nimetingwa katika kujiandaa. Ni Maria pekee ambaye nilimueleza kuwa nitasafiri, na wakati huo alikuwa akinisaidia kufungasha mabegi yangu. Tayari kwa siku inayofuata.
Ilikuwa saa sita kasoro dakika kadhaa. Nilitulia nikamtazama Maria na yeye akanitazama mimi. Kisha kila mmoja akageuka na kutilia maanani kile kinachosikika. Mlango ulikuwa unagongwa.
Hakika ni palepale katika nyumba yangu niliyokuwa naishi.
Nani huyu muda huu? Nilimuuliza Maria kana kwamba yeye alikuwa anamfahamu aliyepo mlangoni. Maria hakuwa na cha kunijibu.
Nikiwa nimemshika mkono Maria tuliufikia malango, tukaulizia ni nani? Hakujibu. Tukauliza tena!! Kimyaa!!
Kila mmoja akamshikia mwenzake kwa nguvu sana!!
Ghafla mlango ukabamizwa kwa nguvu sana.
Mungu wangu!! Watakuwa majambazi! Nilihisi.
Kabla sijajua nini cha kufanya, mlango ulisukumwa bila kutoa kelele ukafunguka. Waaa!!
Ghafla pakawa giza. Nikasukumwa kando na mikono ya baridi sana. Nikajaribu kupiga kelele sauti haikutoka. Nikajaribu tena sikuweza kabisa. Kisha nikasikia mlio mkubwa. Kisha kama gunia la mahindi kitu kikatua chini huku kikipiga kelele. Ilikuwa sauti ya Maria.
Kama vile haitoshi nikashikwa tena na yule mtu mwenye mikono ya baridi. Akaanza kuniburuza. Moja kwa moja hadi chumbani kwangu.
Akaninyanyua akanitupa kitandani.
Nikajaribu tena kupiga kelele sauti haikutoka.
Mara taa ikawashwa!! Chumba kikang’ara.
Ana kwa ana na mtu ninayemfahamu!!
Ni yule niliyemuandikia barua ya kuomba kuacha kazi!!
Dokta Davis mbele yangu!!
Dokta wa maajabu.
Alikuwa amevalia suti nyeupe. Na hakuwa akitabasamu!!
Nikajaribu kuzungumza, sikuweza!! Akacheka, nikamsikia.
“Isabela……” aliponiita, nikajaribu kuitika sauti ikatoka.
Maajabu haya!!
“Milioni thelathini, mama yako mzazi, ama wewe!” alinieleza kwa utaratibu.
Sikumuelewa. Nadhani hata yeye aliitambua hali hiyo.
“Ni hivi..hadi sasa umetumia shilingi hizo…sasa unatakiwa kabla sijaweka saini yangu katika barua yako kuhalalisha wewe kuacha kazi nahitaji ufanye maamuzi. Nakupa wiki moja tu!! Uwe umerejesha pesa hizo, ama mama yako akae mbali nawe maisha yako yote na mwisho ni uchaguzi ujitoe wewe kwa usiku mmoja!!”
“Usiku mmoja?” nilijiuliza. Ikawa tena kama ananisikia.
“Usiku mmoja wewe na mimi na kisha nitakuacha huru na uamuzi wako wa kuamua kuacha kazi. Ole wako umueleze mtu…nitachukua maamuzi ambayo hautaamini”
Sikuamini kama maneno hayo yanatoka kinywani mwa mtu huyu. Na ameweza vipi kufika Tanzania bila kunieleza. Mbaya zaidi amekuja nyumbani kwangu usiku mnene.
Kabla sijamjibu lolote. Alizima taa. Kisha nikasikia mlango unafungwa. Nikaendelea kutulia kama nilivyo huku naogopa.

Nilidhani yupo jirani na eneo lile. Sikuthubutu kusimama. Baada ya dakika kadhaa nikasikia hatua zikijongea kuja katika mlango wa chumba changu.
Anarudi! Niliwaza nikaendelea kutulia. Jasho likilowanisha shuka zangu.
Taa ikawashwa. Kwa ncha za macho nikamtazama aliyepo mbele yangu. Alikuwa ni Maria. Uso wake ukiwa umevimba.
“Bela…nimeanguka mwenzako.” Alianza kunieleza. Nikageuka kumtazama huku nikipatwa na hisia za kumwogopa.
“Mh!! Mbona hivyo Bela. Kimekusibu nini?” aliniuliza.
Sikuwa na cha kumjibu. Nilibaki kushangaa. Maana niliamini na yeye amemuona dokta Davis lakini hakuonekana kujua lolote.
Nilitamani sana kumueleza lakini hofu ya onyo la Dokta ilinitawala. Maria akanisogelea akanikumbatia. Nikahesabu alama kadhaa za vidole katika shavu lake. Huenda kabla ya kuanguka alipigwa kofi.
Siku iliyofuata nilitakiwa kusafiri. Maria aliwahi sana kuniamsha lakini sikuwa na uwezo tena wa kusafiri. Onyo la Davis kuwa iwapo nitamwambia mtu yeyote atafanya anachojua.
Niliunda sababu kadhaa nikafanikiwa kumshawishi Maria kuachana na safari hiyo. Alishangaa lakini hakuwa na jinsi maana msafiri nilikuwa ni mimi.
Siku ya pili hiyo zikasalia siku tano Dokta afanye yake aliyoyaahidi.
Bado sikuwa nimepata jibu sahihi la kumpa. Milioni alizonitajia kwa kweli sikuwa nazo hata nusu yake. Kumuondoa mama yangu katika uso wa dunia ni jambo ambalo sikutaka kulisikia.
Kulala na mimi usiku mzima. Lilikuwa ni sawa na tukio la kubakwa kwa hiari. Udhalilishaji!!
Nikajilaani kumuamini sana Davis. Majuto yakaninyanyasa.
Bila kumuaga Maria, niliamua kutoweka pale nyumbani kwangu na kwenda kupanga katika nyumba ya kulala wageni. Maeneo ya Igoma.
Nilizima simu yangu! Siku zikazidi kukatika na sasa ilikuwa imesalia siku moja ya mimi kutamka jibu langu.
Nikaiwasha simu yangu!! Nikaitafuta namba ya Davis. Nikafungua sehemu ya ujumbe nikamtumia.
USIKU MMOJA MIMI NA WEWE. Nitakueleza wapi nipo uje!!
Ujumbe ukapokelewa! Lakini haukujibiwa!!

****
Siku ya tukio ikafika!! Nilikuwa najaribu kumpigia simu Dokta huyu wa maajabu nimuelekeze wapi nipo lakini simu yake haikuwa inapatikana. Nilijaribu tena na tena bado hali ilikuwa ileile.
Hofu ikanitawala! Huenda Davis ameamua kufanya anachojua yeye. Vipi kama ameamua kumtokomeza mama yangu!! Nilianza kulia baada ya kufikiria hayo.
Nikiwa katika kulia simu ya chumbani ilianza kuita.
Nikaitazama kisha nikaipokea.
“Kuna mgeni wako..”
“Mgeni?”
“Anaitwa Davis.” Sauti ya muhudumu ilinijibu.

Kulisikia jina hilo tu. Nikakurupuka kutoka kitandani bila kujua ni wapi ninakimbilia. Nilikuwa naogopa sana jambo ambalo lilikuwa linakuja mbele yangu. Kufanya mapenzi bila hiari na kiumbe cha ajabu sana.
Haya yote niliyataka mwenyewe!! Sasa nikaanza kuhisi kuwa Davis hakuwa mtu mzuri kwangu!!
Davis ni MCHAWI!!!
Naenda kufanya mapenzi na mchawi!!
Ghafla nikaijiwa na kumbukumbuku za chapa ya shetani 666, niulipokumbuka hili nikakumbuka na mshahara wangu ulikuwa una hizi namba, hata simu ya Osmani nayo ina 666, Davis aliwahi kunitumia nauli nayo ilikuwa na 666 na sasa nipo katika chumba namba 66 namsubiri huyu mfalme wa 666
Hapana! Hapana! Niliipinga nafsi yangu. Na sasa nilikuwa nimeamua kumkimbia mchawi huyu. Kuikimbia chapa ya shetani!!!
Nikawa najiandaa kukimbia
Nilipokishika kitasa ili kuufungua nitoke nikakumbwa na kihoro! Mlango ukafunguka kama vile ulikuwa katika kungojea amri yangu!!
Niliamini kabisa si muhudumu anayeweza kuingia katika chumba cha mteja bila ruhusa. Kwa hiyo kama sio muhudumu basi angekuwa Dokta.

Hakika. Alikuwa ni yeye! Nikatazamana naye ana kwa ana, akapiga hatua mbili akawa ameingia vyema ndani ya chumba. Akaufunga mlango.
Alitaka kuongea jambo lakini mlango ukagongwa tena, akasita kisha akaufungua! Alikuwa muhudumu.
“Barcadi, na Sprite!” aliagiza Davis bila kutoa malipo ya awali. Vinywaji alivyoagiza nilijua fika ni kwa ajili yangu na yeye!
Mlango ukafungwa tena.
Sasa aliufunga na funguo kisha akaziacha pale mlangoni zikining’inia.
Mimi nilikuwa wima mkoba begani nikitetemeka.
Davis akaliendea kochi kubwa hapo chumbani akaketi. Kisha kwa ishara akaniita!
Naitwa na shetani! Nilihamaki. Nikasita kwenda.
“Hautaki?” aliuliza, sikumjibu!. Akaitwaa simu yake kubwa ya kisasa.
“Tabasamu kidogo nikupige picha Bela?” alinishawishi. Sikushawishika.
Alipochoka kunichekesha nisiyecheka akatoweka na kwenda bafuni. Nikabaki chumbani peke yangu! Hapo likanivamia ghafla wazo la kutoroka! Funguo zilikuwa mlangoni! Kwanini nisikimbie? Nilijiuliza. Hapo sasa ndipo nikagundua kwanini sina ubavu wa kukimbia. Huyu bwana alikuwa anahodhi maisha ya mama yangu! Mwalimu Nchimbi.
Nilipotambua hilo nikafadhaika. Nikakiendea kitanda nikajitupa, nikautupa na mkoba wangu!
Ilikuwa lazima nifanye mapenzi na Davis ili kuokoa maisha yake.
Nilifadhaika bila kujua nini la kufanya. Mlango wa maliwatoni ukafunguliwa. Kichwa kilikuwa kizito hata kunyanyuka kushuhudia ni kimbwanga gani kipya atakizua Dokta huyu!
Akajikoholesha kama anayerekebisha koo. Nikaijua nia yake! Nikanyanyua kidogo! Macho wazi!! Yowe la uoga likanitoka kwa nilichokiona.
Hili lilikuwa kubwa kupita yote!
Kilichokuwa mbele yangu ni kiumbe kile kile kinachoitwa Davis.
Lakini sasa hakuwa na nguo. Maungo yake yote yakawa yananidhihaki, japo alikuwa mweusi tii. Lakini ule mwanga pale ndani uliniwezesha kutambua kuwa alikuwa amelowana damu katika viungo vyake vya uzazi, na hiyo damu ilikuwa mbichi na ni kama ilikuwa inaendelea kumtoka lakini ajabu haikuwa inadondoka katika marumaru!
Hapa sasa nilimsahau kwa muda mwalimu Nchimbi, nikauacha mkoba nikakimbilia mlangoni.
Ajabu! Ule funguo haukuwepo tena mahala pake! Dokta akacheka sana huku akinifuata kwa hatua ndogo ndogo!
Nilitegemea huenda nitapoteza fahamu. Lakini hiyo haikutokea niliendelea kushuhudia kiumbe huyu akinifuata.
Alipochoka kunichekesha nisiyecheka akatoweka na kwenda bafuni. Nikabaki chumbani peke yangu! Hapo likanivamia ghafla wazo la kutoroka! Funguo zilikuwa mlangoni! Kwanini nisikimbie? Nilijiuliza. Hapo sasa ndipo nikagundua kwanini sina ubavu wa kukimbia. Huyu bwana alikuwa anahodhi maisha ya mama yangu! Mwalimu Nchimbi.
Nilipotambua hilo nikafadhaika. Nikakiendea kitanda nikajitupa, nikautupa na mkoba wangu!
Ilikuwa lazima nifanye mapenzi na Davis ili kuokoa maisha yake.
Nilifadhaika bila kujua nini la kufanya. Mlango wa maliwatoni ukafunguliwa. Kichwa kilikuwa kizito hata kunyanyuka kushuhudia ni kimbwanga gani kipya atakizua Dokta huyu!
Akajikoholesha kama anayerekebisha koo. Nikaijua nia yake! Nikanyanyua kidogo! Macho wazi!! Yowe la uoga likanitoka kwa nilichokiona.
Hili lilikuwa kubwa kupita yote!
Kilichokuwa mbele yangu ni kiumbe kile kile kinachoitwa Davis.
Lakini sasa hakuwa na nguo. Maungo yake yote yakawa yananidhihaki, japo alikuwa mweusi tii. Lakini ule mwanga pale ndani uliniwezesha kutambua kuwa alikuwa amelowana damu katika viungo vyake vya uzazi, na hiyo damu ilikuwa mbichi na ni kama ilikuwa inaendelea kumtoka lakini ajabu haikuwa inadondoka katika marumaru!
Hapa sasa nilimsahau kwa muda mwalimu Nchimbi, nikauacha mkoba nikakimbilia mlangoni.
Ajabu! Ule funguo haukuwepo tena mahala pake! Dokta akacheka sana huku akinifuata kwa hatua ndogo ndogo!
Nilitegemea huenda nitapoteza fahamu. Lakini hiyo haikutokea niliendelea kushuhudia kiumbe huyu akinifuata.
Nikawa narudi kinyumenyume hadi nikafika mwisho. Davis akazidi kunisogelea. Sasa alikuwa amenifikia!
Akanishika mkono! Kiganja chake kilikuwa cha baridi sana!! Akanitazama usoni, nami nikamtazama. Akaniachia kisha akasonya kwa dharau. Akakiendea kitanda akajirusha pale!
Bado mashuka hayakuchafuliwa na damu mbichi.
Hakika sikuwa tayari kufanya mapenzi na kiumbe kile cha ajabu!! Niliapa!
Muwasho ulianza kama wa kawaida tu katika chuchu yangu moja, nikajikuna, muwasho ukapita.Mara ile chuchu ya pili nayo ikawasha nikaikuna ikatulia.
Sasa zikawa zinawasha zote kwa pamoja, muwasho usiofanana na ule wa kumwagiwa upupu. Huu ulikuwa wa tofauti. Nikatazama kitandani yule Dokta alikuwa amesinzia. Nikaitoa Sidiria yangu ili nijikune vizuri. Nikabaki bila nguo kwa juu. Nikafanya jitihada za kujikuna!! Ile hali ya kujikuna ikautwaa uoga wangu nikahamia katika hisia za raha! Raha ya kujipapasa! Mazito!
Ni heri ningekuwa na mikono mitatu huenda ningeweza kuipinga hali hii. Maana sasa kati kati ya mapaja muwasho ukazaliwa. Niache wapi? Nikune wapi? Nikajiuliza.
Raha ikawa karaha!
Nikaanza kulia huku nagalagala chini. Nilijikunja na kujikukunjua bila mafanikio! Nilihitaji msaada wa hali ya juu! Msaada wa kukunwa!
Mara kama ameshtuka ndotoni yule kiumbe pale kitandani aligutuka. Akasimama akanitazama kisha akachuchumaa. Akanisogelea karibu zaidi. Sikuwa na nguvu mwilini.
Hakuwa na nguo nami sikuwa na nguo!
Kama vile alijua ninapowashwa! Akaanza kunikuna kwa namna ya kupapasa! Nikahisi raha ya kipekee ambayo sijawahi kuipata duniani. Bila kujitambua nikamkumbatia Dokta Davis.
Akaendelea kunikuna! Sasa nilikuwa hoi.
Fanya unalotaka! Ndivyo ningeweza kusema kama angeniuliza.
Lakini hakuniuliza!
Nikajikuta katika ulimwengu wa mahaba mazito! Kama kukunwa hakika nilipata mkunaji!
Muwasho ukatoweka kabisa. Jasho mwili mzima.
Nikapitiwa na usingizi kutokana na uchovu.

*****

Saa kumi na moja alfajiri hapakuwa na Dokta wala nguo zake pale ndani. Nilikuwa peke yangu.

Maumivu kifuani kama niliegemezewa gogo! Maumivu haya yakanikumbusha ndoto za kuota nazini na gogo!
Nikashtuka! Mbio mbio bafuni nikatapika!
Kumbukumbu ya kufanya mapenzi na Davis usiku uliopita ilinijia kichwani!
Yupo wapi sasa shetani yule? Nilijiuliza.
Ile hali ya maungo ya Davis kuwa na damu ilinisisimua na kujiona kuwa sina thamani tena ulimwenguni.
Kama sina thamani, bora nife! Niliamua!
Nitakufa vipi sasa? Hilo likawa swali la kujiuliza. Nikayakumbuka maneno ya dada Suzi. Kuhusu utoaji mimba na madhara yake!
Nikafikia maamuzi ya kutoa mimba! Kisha nitajua nini cha kufanya!
Wakati natoka pale chumbani na kupita mapokezi nilikumbana na swali, “mwenzako bado yupo? Maana tunataka kufanya usafi”. Mwenzangu? Mwenzangu nani? Wanamaamisha Dokta Davis. Sikuwajibu nikajongea na kupotea eneo lile.
Nikaamua kurejea nyumbani kwangu. Tayari nilikuwa na taarifa kuwa mama anaendelea vizuri kiafya!
Tumbo! Tumbo! Tumbo lilianza ghafla kuniuma, upande wa kushoto!! Nililalamika sana, dereva wa teksi akaegesha pembeni akaniuliza kulikoni.
“Nipeleke hopitali!! Nipeleke nitakulipa” nilimsihi huku nikizidi kuugulia.
Kama nilivyoomba akaendesha hadi hospitali iliyokuwa jirani. Alikuwa ni kati ya masalia ya watu wakarimu waliobaki hapa duniani. Aliwahi kuwaita manesi. Japo walichelewa lakini walikuwa kunibeba kutoka ndani ya gari lile.
Moja kwa moja nikakimbizwa wodi ya wanawake!!
Nikapatiwa huduma ya kwanza!!
Baada ya muda damu ikaanza kunitoka!! Nilikuwa nimeingia katika siku zangu ama? Nilijiuliza bila kupata majibu!! Mjamzito naingia katika siku zangu!!
Kadri damu ilivyokuwa inavuja ndivyo maumivu yalizidi kupungua na hatimaye kuisha kabisa.
Majibu ya daktari yalikuwa kwamba. Ni tatizo la kawaida tu kwa mwanamke kuumwa tumbo akiwa anaingia katika siku zake. Lakini mimi nilikuwa mjamzito sasa!! Au mimba imetoka. Sikutaka kuondoka na dukuduku. Nilimvuta daktari tukazungumza kinagaubaga.
Akafikia hatua ya kunipima ujauzito!!
Hakuchukua muda mrefu akarejea. Alikuwa hajachangamka na ni kama alikuwa na jambo anahitaji kunieleza.
“Ina miezi miwili sasa!!.” Aliniambia katika namna ya mshangao.
“Ni maajabu wewe kuingia katika siku zako!!” aliendelea. Mimi nikiwa msikilizaji.

“Kwa hiyo ni nini Dokta.”
“Rudi baada ya siku saba. Kama ikiendelea hivyo. Ama la basi utakuwa mshtuko tu.” Alimaliza.
Nikaondoka zangu huku nikiitazama dunia jinsi inavyonizomea.

****

Maria hakushangazwa na hali yangu ya kuvuja damu!! Aliamini ni kawaida tu kwa msichana. Hakujua kama nina mimba!!
Siri nikabaki nayo. Mimi na daktari!!
Siku ya kwanza, ya pili, ya tatu….damu zinaendelea kuvuja tena bila kukoma!!!! Kazi ikawa ipo kwangu kila mara kubadili nguo zangu.
Siku ya nne, ya tano….bado tatizo likawa lile lile. Mateso sasa!!! Mimba gani hii!!!
Sikuingoja siku ya saba ifike. Nikarejea hospitali.
Daktari alinipokea vizuri. Nikampa kwa siri kiasi fulani cha pesa ili aweze kunihudumia kwa upendeleo.
“Hadi leo bado damu inakutoka?” alishangaa daktari. Nikamthibitishia kuwa bado zinatoka tena mfululizo.
Akakuna kichwa chake chenye mvi nyingi kasha akahamia kidevuni. Na penyewe akajikuna kwa muda.
“Hebu njoo…” akanipeleka katika chumba kingine. Akanipima tena mimba.
Daktari akashtuka!!!
“Kwa mara ya kwanza katika miaka yangu 20 ya kazi!!!” alihamaki.
“Nini? Nini dokta.” Niliuliza.
“Wiki iliyopita ilikuwa na miezi mingapi vile.”
“Miwili ulisema.”
“Sasa imefikaje miezi sita leo???” aliniuliza. Nikahisi kuzizima. Nikakaa chini!!!
Daktari naye alikuwa ana hofu!!

****

Ni kama daktari alikuwa haamini ambacho amekiona, katika mwili wangu na alichokuwa akifanya pale ni kunitoa tu katika hofu. Mabadiliko ya mimba yangu yalimfanya achanganyikiwe.
Tulirejea katika chumba chake cha ofisi. Mazungumzo yaliyokuwepo ni juu ya kuitoa mimba ile.
Daktari alikataa kata kata akidai kuwa mimba ikifikisha miezi sita na msichana akijaribu kuitoa basi lazima atapatwa na matatizo na kuna uwezekano wa kufa.
Maelekezo ya daktari yaliyoambatanishwa na neno KUFA yalinipa ahueni ya nafsi kwa sababu nilikuwa nataka kufa. Sikuwa na ujasiri wa kujiua na hakika nilikuwa naogopa kufa.
Lakini kufa kwa namna anayoitaja daktari hata hakunipa hofu badala yake nikavutika na kumsihi anisaidie kuitoa ile mimba.
Mazungumzo yalikosa kabisa muafaka. Daktari yule alikuwa mbishi sana hakutaka kushiriki katika utoaji mimba huu. Nilipoona daktari huyu amekuwa na msimamo sana niliamua kutumia njia fulani ambayo hugeuza ukweli kuwa uongo na uongo kuwa ukweli. Nikaangusha mezani shilingi laki mbili. Akazikataa, nikaaga nikatoka. Niliporejea niliziongeza zikafika laki nne.
Daktari akazikodolea macho, kisha akatazama kushoto na kulia.
“Umekuja na nani?” akaniuliza.
“Mwenyewe!” nikamjibu. Akatazama tena kushoto na kulia kisha akazikwapua zile pesa akazizamisha katika sehemu zake za siri. Nikakwepesha macho.
Akanifanyia ishara ya mkono. Nikamfuata hadi katika chumba kilichokuwa na harufu kali ya madawa. Akakifunga na funguo tukabaki wawili tu! Kimya.
Daktari alikuwa na hofu. Nililitambua hilo. Sikutaka kuuliza chochote.
“Toa nguo zote.” Aliniamuru. Kauli yake ikanikumbusha kauli ya yule Mnaijeria aliyetaka kunibaka kwa kujifanya ananifanyia tiba ya asili. Huyu sasa alikuwa daktari, nikaamua kucheza pata potea. Kwanza nilikuwa natokwa damu. Sidhani kama angeweza kujaribu kunibaka.
Nikaziondoa zote, wakati huo yeye alikuwa amejikita katika kuchanganya madawa yake ambayo sikuelewa kazi yake ni ipi. Nikabaki kumsubiri.
Njoo hapa!! Aliniamuru huku akinielekezea kitandani.
Geuka hivi!! Nataka kukuchochoma sindano. Nikageuka huku nikiwa katika uoga. Kifo! Nilikuwa naogopa kufa.
Nikahisi kitu cha baridi kikinipapasa. Nikauma meno yangu kungoja uchungu wa sindano. Nilingoja huo uchungu lakini hamna nilichohisi.
“Acha kujikaza wewe sindano itakatikia ndani.” Alinigombeza daktari. Nikashangaa hizo lawama zinatoka wapi wakati mimi hata sijajibana. Alipoona simjibu kitu akanichapa kibao. Nikashtuka.
“Mkubwa hivyo unaogopa sindano alaa!!” alinigombeza. Sikumjibu!!
Nikatega tena aweze kunichoma!! Hali ikawa vile vile.
“Sasa mimi nakuchoma hivyo hivyo.” Alichukua maamuzi yake binafsi.
Nikageuka. Nikayasubiri maumivu!!
Badala ya maumivu nikakumbana na yowe kubwa kutoka kwa daktari. Nilipogeuka na mimi nikiwa na hofu nikamkuta amekaa chini. Mbali na mimi. Alikuwa ana hofu!! Jasho likimtoka.
“Daktari!!.” Nilimuita. Hakunijibu, alikuwa katika mshangao. Alikuwa akinitazama kwa wasiwasi.
Nilikuwa siijui tena thamani ya kuwa na mavazi na aibu ya kuwa uchi. Nilitapatapa hivyohivyo pale ndani. Daktari akiwa bado ananishangaa.
“Vaa nguo!” aliniamuru kwa sauti ya chinichini. Nikaziendea nguo zangu na kuzivaa.
Kisha nikamfuata hadi ofisini!
“Chukua pesa zako!!” alinikabidhi pesa zile. Nilisita kuzichukua akanisihi nizichukue. Nikatii!!
Nini kimetokea daktari? Nilimuuliza. Hakunijibu bali alisikitika.
Kisha akaanza kunielezea juu ya nini alichokiona. Ilikuwa ni alama ya maajabu katika mwili wangu sehemu za makalio. Mwili wangu ulikuwa umetoboka na matundu hayoyaliweza kuonyesha alama ya ‘666’.
Mungu wangu!! Nikashangaa, daktari yeye akawa ni wa kusikitika tu!
“Usipokuwa mkweli utakufa wewe na familia yako nzima kama wenzako.”
“Wenzangu? Wapi”
“Mnaomtumikia”
“Nani?” nilihoji kwa hofu.
“Mmiliki wa hiyo alama. Kwani siku wanakuwekea hawakukuambia.” Alinihoji kwa utulivu mkubwa.
Nikawa kama mwendawazimu na sikuwa na lolote ninalojua kuhusu hiyo alama katika makalio yangu.
“Daktari sijui lolote mbona.”
“Haya shauri zako, atakufa mama, baba, mdogo wako, dada, shangazi, mjomba, wifi, na marafiki ikibidi kisha watakumalizia wewe tena kwa uchungu mkubwa.” Daktari alinieleza haya kama simulizi ya kawaida huku akinitajia orodha ya watakaokufa. Kwa lugha nyepesi alikuwa kama babu anayemsimulia mjukuu simulizi ya kutisha. Nikatetemeka sana!! Vifo!!
“Sasa daktari jamani mimi ninakuficha nini. Mimi sijui kitu.” Nilishindwa kuendelea kuongea nikaanza kulia. Nililia sana maana nilikuwa nimekata tamaa. Mbaya zaidi nilikuwa nimepigwa chapa ya 666.
Badala ya maumivu nikakumbana na yowe kubwa kutoka kwa daktari. Nilipogeuka na mimi nikiwa na hofu nikamkuta amekaa chini. Mbali na mimi. Alikuwa ana hofu!! Jasho likimtoka.
“Daktari!!.” Nilimuita. Hakunijibu, alikuwa katika mshangao. Alikuwa akinitazama kwa wasiwasi.
Nilikuwa siijui tena thamani ya kuwa na mavazi na aibu ya kuwa uchi. Nilitapatapa hivyohivyo pale ndani. Daktari akiwa bado ananishangaa.
“Vaa nguo!” aliniamuru kwa sauti ya chinichini. Nikaziendea nguo zangu na kuzivaa.
Kisha nikamfuata hadi ofisini!
“Chukua pesa zako!!” alinikabidhi pesa zile. Nilisita kuzichukua akanisihi nizichukue. Nikatii!!
Nini kimetokea daktari? Nilimuuliza. Hakunijibu bali alisikitika.
Kisha akaanza kunielezea juu ya nini alichokiona. Ilikuwa ni alama ya maajabu katika mwili wangu sehemu za makalio. Mwili wangu ulikuwa umetoboka na matundu hayoyaliweza kuonyesha alama ya ‘666’.
Mungu wangu!! Nikashangaa, daktari yeye akawa ni wa kusikitika tu!
“Usipokuwa mkweli utakufa wewe na familia yako nzima kama wenzako.”
“Wenzangu? Wapi”
“Mnaomtumikia”
“Nani?” nilihoji kwa hofu.
“Mmiliki wa hiyo alama. Kwani siku wanakuwekea hawakukuambia.” Alinihoji kwa utulivu mkubwa.
Nikawa kama mwendawazimu na sikuwa na lolote ninalojua kuhusu hiyo alama katika makalio yangu.
“Daktari sijui lolote mbona.”
“Haya shauri zako, atakufa mama, baba, mdogo wako, dada, shangazi, mjomba, wifi, na marafiki ikibidi kisha watakumalizia wewe tena kwa uchungu mkubwa.” Daktari alinieleza haya kama simulizi ya kawaida huku akinitajia orodha ya watakaokufa. Kwa lugha nyepesi alikuwa kama babu anayemsimulia mjukuu simulizi ya kutisha. Nikatetemeka sana!! Vifo!!
“Sasa daktari jamani mimi ninakuficha nini. Mimi sijui kitu.” Nilishindwa kuendelea kuongea nikaanza kulia. Nililia sana maana nilikuwa nimekata tamaa. Mbaya zaidi nilikuwa nimepigwa chapa ya 666.
“Ndio maana nimejishangaa sana, iweje leo nikubali kuchukua rushwa, nikubali kutoa mimba msichana. Ama kweli kila mwenye alama hii hatakataliwa na dunia kwa lolote.” Daktari alinong’ona kama anasema mwenyewe vile. Nilisikia kila kitu.
Sasa nilikuwa nimechanganyikiwa!
“Nitakusaidia.” Alinyanyua uso daktari akanieleza huku akinitazama vyema usoni.
Nilifarijika sana kusikia maneno yale. Kisha akaendelea, “Lakini uwe mkweli kwa kila kitu. Ukijaribu tu kuficha lolote lile. Nasema ukijaribu kuficha lolote lile. Wewe, marafiki na ukoo wako wote utatokomea. Mimi nakueleza haya kama mzee wako, katika kipindi changu cha miaka ishirini ya udaktari nakutana na matukio mengi. Lakini hili ni la tatu katika maisha yangu. Wenzako wawili, mmoja miaka saba imepita na mwingine mwaka juzi, nilitaka kuwasaidia lakini wakaleta ujanja ujanja. Tuliwazika!! Aah!! Hatukuwazika insearch labda niseme tuliyafukia mabaki yao.” Alimaliza kunielezea kisha akashusha pumzi kali sana.
Macho yangu nilihisi kama yanajilazimisha kutazama mbele. Machozi yalikuwa yamezidi. Mapigo ya moyo yalikuwa juu, sasa nikaanza kuamini niliyokuwa nayatazama katika filamu za kinaijeria. Kumbe uchawi upo? Hakika uchawi upo!!
“Kesho njoo!!” alinipa ahadi hiyo.
“Kwa hiyo sitatokwa damu tena?” niliuliza swali la kijinga.
“Kwani mimi ndiye niliyekuwekea” Daktari naye akanipa jibu la kijinga kama nilivyotegemea.
“Usimwambie mtu yeyote kuhusu maongezi haya.” alinionya
Nikaaga! Kiguu na njia hadi nikaipata taksi.
Njia nzima nilikuwa nawaza na kuwazua. Zile ndoto zangu za kumjengea mama nyumba nzuri, wadogo zangu kusoma shule za kimataifa, mimi kuwa maarufu zaidi chuoni, ndoto za kwamba nataka kuwa mtakatifu! Zote zilikuwa zimekufa. Sasa nilikuwa nahangahika huku na huko huku nikisurubika na mateso ya nafsi.
Swali likajengeka katika kichwa changu. Dokta Davis linizuia nisimueleze mtu kuhusu mambo haya. Sasa daktari ananisihi nisifiche kitu. Hapa sasa nimuamini nani? Nilijiuliza.
“Kata kushoto!!” nilimuelekeza dereva.
Mawazo yangu yakawa yameishia hapo.
Maria aliniona kuanzia mbali. Akanikimbilia, akafika akanikumbatia.
“Da Bela jamani. Mbona mnyonge hivyo!.”
“Nimemkumbuka sana John.” Nilidanganya, huku siri kubwa nikiwa nayo mwenyewe.
Maria akaniongoza hadi ndani. Nikajibweteka kwenye sofa sebuleni. Maria akaniletea maji ya matunda niliyokuwa nayapenda, nikayagida kwa fujo kisha nikagundua kuwa nilikuwa na njaa. Chakula kilikuwa tayari!! Maria akanihudumia. Sasa niliweza kupumzika!! Sikutaka kwenda chumbani. Nililala sebuleni.
Kila baada ya masaa kadhaa nilikuwa naamka na kubadilisha pedi na nguo ya ndani kisha kuoga. Hali hii japo ilikuwa haijatimiza hata mwezi kwangu ilikuwa mateso makubwa. Sasa sikuweza kwenda kwa marafiki wala nisingeweza kwenda. Nilijihisi ninanuka, japo Maria hakuwa ameniambia hata siku moja lakini nilijijua mwenyewew kuwa sikuwa kawaida hata kidogo.
Siku hii ikamaliza bila tatizo!!

(Mateso ya 666)

Asubuhi ya siku iliyofuata niliwahi sana kuamka. Badala ya kumuomba Mungu anijalie uzima na aniepushe na matatizo haya mimi niliwekeza imani yangu yote iliyosalia kwa daktari yule ambaye hadi sasa sikuwa namfahamu jina lake.
Saa nne kamili asubuhi. Nilikuwa katika mlango wa kuingia ofisini kwake. Japo kulikuwa na watu kadhaa waliohitaji kuonana naye. Mimi nilipewa kipaumbele, nikawapita nikaingia ndani.
Ahaaa!! Binti! Vipi kwema? Alinichangamkia sana. Nikamjibu salamu yake. Nikakaa kitako kumsikiliza.
“Ngoja niwaondoe hawa watu hapo nje. Wewe nitakupigia simu uje mahali.” Alininong’oneza. Nikamuelewa nikampatia namba yangu ya simu kisha nikaaga.

****

Sikuchoka kusubiria. Japo alichukua muda sana. Baada ya masaa mawili na nusu. Aliniita odisini kwake. Nikaenda upesi nikamkuta akiwa pamoja na mwanaume ambaye laiti kama ningekutana naye wakati ule ambao nilikuwa na jeuri ya pesa sidhani kama alikuwa na hadhi ya kupokea salamu yangu. Nilimsalimia kwa kuwa tu alikuwa pamoja na daktari.
Nilipomsalimia badala ya kunijibu, akanikonyeza!! Nikataka kusonya nikasita.
Kwa ncha za macho yangu nikamtazama mwanaume huyu, kuanzia mavazi yalivyochoka, amechakaa nywele zake na hata ngozi ilikuwa imepauka. Nikaamini hata akili yake haiku sawa. Nilipokumbuka jambo hili la akili kutokuwa sawasawa nikaamini atakuwa ni mgonjwa wa akili. Na daktari huyu alikuwa katika kumpa tiba. Kimoyomoyo nikamsamehe kwa kosa la jinai alilofanya la kunikonyeza.
“Binti..kama nilivyokueleza jana!! Usisite kuusema ukweli wote. Ukificha haitakusaidia kitu zaidi ya kuuangamiza ukoo wako wote.” Alinieleza kwa utulivu. Yule tahira akacheka.
“Sawa daktari.” Nilimjibu. Tahira akacheka tena!! Akaanza kunikera.
“R.I.P mtu wako niliyekwambia ndio huyu.” Sasa daktari hakuwa akizungumza na mimi, bali alikuwa akisemezana na yule tahira. Nikashtushwa na hali ile, ina maana ananikabidhi mimi kwa yule chizi au alikuwa anamtania. Niliomba iwe hivyo lakini haikuwa. Alimaanisha.
Sasa tahira akanivagaa akanishika mikono. Nikajitoa mikononi mwake akacheka!!
“Nenda naye ofisini kwake huyo akakupe maelekezo. Anaitwa R.I.P”
“Na yeye anaitwa nani.” Yule mtu niliyedhani ni tahira sasa aliuliza.
“Jitambulishe binti.” Tahira alinieleza huku akinishika makalio. Kidogo nimtukane. Nikasita baada ya kuona daktari hakushtushwa na jambo hilo.
Nitafanya nini sasa!! Nikaanza kufuata uelekeo alionipeleka. Mara kwa mara alikuwa anacheka. Tulipishana na watu wengi lakini hakuna aliyemshangaa. Huyu sio tahira!! Nililazimika kuamini
Mlango ukafunguliwa nikaingia ndani!! Ofisi yake ilikuwa na hewa nzito sana ya madawa lakini yeye aliifurahia.
Karibu ukae…aaah!! Usikae kwanza hebu njoo huku.” Akanivuta kwa nguvu, nikamfuata. Akafungua kabati moja kwa fujo.
Mungu wangu!! Maiti!! Nikaruka pembeni, akacheka!!
“Binti hawa nao walikuwa wajing wajinga tazama….njoo..njoo” akaniita. Nikasogea.
Akavuta kabati jingine likafunguka.
Maiti ya mwanamke. Akamgeuza. Alikuwa na alama ya 666 katika makalio yake. Maiti huyu nilikiri kuwa kabla ya kuwa hivi alikuwa mrembo sana.
Sijui nini kilimuua maskini!!
Akanipeleka katika kabati jingine akavuta tena. Akatoka mtoto mdogo. Hana kichwa na y eye ana alama ya 666..R.I.P kazi yake ilikuwa kucheka tu kama tahira. Wakati mimi nilikuwa katika hofu kuu.
Sasa nilikuwa nimechanganyikiwa. Maiti karibia tano zilikuwa pamoja nasi, waziwazi. Amani ikatoweka moyoni.
“Na wewe ukificha neno lolote tu!! Utakufa na vizazi vyote vitakavyofuata.” Aliongea bila kucheka sasa.
Nilikuwa natetemeka.
“Hata huyo uliyemkalia na yeye nadhani ni walewale..hebu funua.”
“Wapi?” nilimuuliza, likiwa neno langu la kwanza hapo ndani.
Akanionyesha kwa kidole. Ni pale nilipokuwa nimekaa. Nikafunua nikiwa natetemeka.
“Mamaaa!!” nikapiga kelele. Kumbe nilikuwa nimekaa juu ya maiti. R.I.P akacheka sana!!
Zile dharau zangu zikawa zimeishia hapa!! Nikamuheshimu!!!
R.I.P hakujali kama nilikuwa nimeshtuka ama la! Aliendelea kuongeaongea huku akiwatukana matusi mazito ya nguoni wale maiti kama vile wanamsikia. Hakika alifanana na mtu aliyerukwa akili. Kuishi na maiti napo kazi sana huenda ndo maana amechanganyikiwa.
“Ulisema unaitwa nani vile.”
“Naitwa Isabela.”
“He!! Unaitwa Isabela, yupo mwenzako humu hebu njoo umuone.” Akanivuta kwa kutumia nguvu sana hadi mkono ukashtuka. Yeye hakujali hayo. Akanivuta vuta hadi tukafikia kabati jingine. Nikajiandaa kushuhudia maluweluwe mengine.
“Hili nalo lilikuwa linakula nini sijui likanenepa hivi. Majitu mengine mapumbavu sana ujue. Heri yako wewe haujanenepa sana.” Alizungumza peke yake.
Akatumia mikono miwili akavuta. Likatoka bonge la mwanamke. R.I.P akaanza kucheka, kicheko kikubwa hadi akatoa machozi.
“Anaitwa Isabela huyu, mpumbavu sana huyu alienda kunenepeana huko. Amewasumbua sana siku ya kumleta humu ndani. Kuna vindugu vyake, vyembamba hivyo basi likawa linawaponyoka. Linaanguka puu!!”alisimulia huku anacheka. Mimi sikuwa namuelewa.
Kisha tukarejea tena mahali tulipokuwa nikalazimika kukaa juu ya lile jokofu la kuhifadhia maiti.
“Au nimlete Isabela make nae, Isabela bonge.” Aliniuliza. Mimi nikawa namshangaa. Yaani alikuwa kama mpumbavu fulani.
“Isabela….umewahi kufa wewe?” aliniuliza.
Swali gani sasa hili la kijinga!! Nikawaza.
“Bado”
“Mwenzako niliwahi kufa. Na wewe una hamu ya kufa.”
He!! Umewahi kufa….kivipi.”
“Kwani mtu akifa anakuwaje?” aliniuliza, sikujibu.
Akaendelea, “hebu tuachane na hayo..msichana mdogo kama wewe ukifa sio vizuri ujue.”
“Kama ukiwa makini hautakufa. Tena wewe hautakufa, nitakusaidia usife sawa!!”
“Sawa!!” nilijibu kwa nidhamu kubwa.
“Njoo huku…”
Nikamfuata hadi mahali patulivu kabisa. Sasa hii ilikuwa ofisi kweli. R.I.P akanipokea. Akaniacha ofisini kwa muda, kisha akaingia tena baada ya dakika kadhaa.
Hakuwa yule tahira, hakuwa mchafum,chafu kama nilivyokueleza mwanzoni. Huyu alikuwa na hadhi ya yule mvulana ninayemuhitaji. Alikuwa mtanashati.
Hakuwa akicheka hovyo! Alikuwa makini na mtaratibu.
Roho Iliyo Potea (R.I.P). Alianza kwa kujitambulisha jina lake halisi. Kisha akaniupongeza sana kwa ujasiri wangu hadi kufika hapo.
Akajieleza kwa ufupi maisha yake ya utafutaji huku na kule hadi alipojikuta akitafuta kwa njia za mashetani. Ni katika maelezo haya alinieleza juu ya namba 666. Nilishangazwa sana na maelezo yake lakini nilipiga moyo konde nikiamini tiba ipo.
Baadaye akanieleza jinsi alivyojitoa katika harakati hizo za kumtumikia shetani. Haikuwa njia rahisi. Aliwapoteza ndugu zake kadhaa lakini mwisho akawa amejikomboa.
Hiyo chapa uliyopigwa lazima ifutwe! Ni njia hiyo tu ya kukukomboa kutoka ufalme huo.
Nilikuwa makini nikimsikiliza.!
 ITAENDELEA

SITAISAHAU FACEBOOK – 2

Image result for facebook

Simulizi : Sitaisahau Facebook
Sehemu Ya Pili (2)

Nikiwa katika kumkimbia John. Sasa aligundua kuwa kuna jambo limenisibu. Akanifuata kwa kasi. Akanivagaa. Nikajilazimisha kujitoa mikononi mwake huku nikipiga kelele. Ghafla akaninasa vibao viwili.
Sasa hapo ndio nikachanganyikiwa mwenzenu na kuamini kuwa dunia imefika mwisho. Nililia huku nikimtaja mwalimu Nchimbi.
Lakini cha ajabu na kukera huyo mwalimu Nchimbi hata hakuwa akinisikia.
Iliniuma. John akaniongeza vibao vingine viwili. Sasa yale maumivu akili ikasogeleana.
“John una damu!! Una damu!!”
“Damu??” aliniuliza.
“Mgongoni umekuwaje wewe.”
“Mgongoni pamekuwaje kwani…alilalamika huku akijipapasa”
Maajabu mengine jamani!. Mkono wake haukuwa na damu. Akanigeukia.
Nikatamani kuiaga dunia niende likizo mbinguni. Hakuwa na kovu. Mgongo laini kabisa wa kiume ukatazama nami. Nikaruka mita kadhaa.
Akapoteza uelekeo kuniona naruka vile nikataka kukimbia nje.
Akanidaka kanga yangu. Kanga ikateleza ikauacha mwili.
Shanga nane za rangi tofauti zilizokishika vyema kiuno changu ndio pekee zilizosalia katika mwili wangu. Sasa John alikuwa amebaki na kanga mkononi mimi nikiwa nina shanga kiunoni. Nusu nilikuwa nje na nusu nilikuwa ndani.
Swali likavamia kichwa changu.
Nikimbie na shanga kiunoni kwenda nje ama nirudi chumbani kwa John huyu wa maajabu!!! John niliyemuhisi kuwa sasa ni ………….
Nikabaki katika kizungumkuti.
Nikiwa katika kujiuliza iwapo nirejee ndani ama nikimbie hivyo hivyo uchi na shanga kiunoni, mara John akaanza kunisogelea huku akiniomba mkono wangu.
Anakuita akuue!!! Sauti iliniambia.
Hapohapo nikaamua kutimua mbio. Ilikuwa ni kama bahati kwenye kamba ya kuanikia nguo nikakutana na kanga nikaikwapua nikawa nakimbia huku naifunga.
Ikawa kama ni muendelezo wa igizo. Wakati nadhani nipo peke yangu katika kukimbia mara nikashangaa tukiwa watatu. Wote wasichana. Mimi nilikuwa kimya. Wenzangu walikuwa wakipiga kelele za kuomba msaada.
John anatafuna watu!! Niliwaza. Nikaongeza mwendo zaidi. Sikuwa tayari kutafunwa. Mawazo yangu yote yalikuwa kwa mwalimu Nchimbi. Anavyonitegemea!!! Atabaki na nani? Nikazidi kukaza mwendo. Kanga ikiwa imenikaa vizuri katika staili ya kupitia shingoni.
Mara mmoja akaanguka huku akipiga kelele. Ni hapo ndipo niligeuka, kutazama kulikoni. Niliamini kabisa kuwa ni John anatafuna mtu pale lakini ghafla nikashuhudia mbwa mkubwa akimgalagaza msichana mwingine. Nikatoa ukelele wa hofu kuu
He!! John kageuka mbwa!!! Nimekwisha mimi. Ewe mwenyezi Mungu nisaidie. Sasa nilikumbuka kusali.
Msikimbie nyie!!! Sauti kutoka nyuma ilitukanya. Haikuwa sauti ya John lakini ilikuwa sauti ya kiume.
“Spider acha!! Spider shenzi acha!!! Acha!!!.” Sauti ile ilikuwa inakanya kwa ghadhabu. Waliposimama na mimi nikasimama. Lakini nikiwa nimejiweka tayari tayari kukimbia iwapo itabidi.
Yule mbwa aliheshimu amri ile akaacha kumshambulia yule binti pale chini. Akaondoka kuifuata sauti ilipotokea. Baada ya yule mbwa kuondoka alitokeza yule kijana aliyekuwa anaamrisha. Alitutaka radhi wote kwa pamoja.
Mh!! Mimi sihusiki na hili lakini!! Nilijikanya.
Kumbe huyu mbwa sio John!!!
Au au au!! Ile ndoto imeniathiri akili!!!
Nilitaka kurudi chumbani ili niweze kuzungumza na John lakini wasiwasi ukanitawala zaidi.
Sikurudi, siku hiyo nililala kwa rafiki yangu.
Mbwa!! Hiyo ndio ikawa pointi ya kujitetea, hakuna aliyejua ni kipi kimenikimbiza kiasi kile.
Nikaoga, kisha nikalala na kuamka salama.

“HOFU YATAWALA CHUONI SAUT” Alizungumza kwa sauti kuu mtangazaji. Akaanza kuielezea habari hiyo. Mimi nilikuwa nimelala bado. Lakini sikio lilikuwa wazi.
“Kijana mwingine amekutwa amekufa kwa kugeuzwa shingo yake, amekutwa na kisu kikiwa na damu lakini hakuwa na kovu lolote mwilini mwake. Huenda alikuwa katika kupambana na muuaji kabla ya mauti kumkuta.”
Sijui hata ni muda gani niligeuka, na kukaa kitako. Habari ilikuwa imenishtua. Nilidhani kuwa ni ndoto tena imejirudia lakini haikuwa ndoto hii ilikuwa ni habari inaendelea.
Salma alikuwa ameshika tama akisikitika, hakupata nafasi ya kuniona jinsi nilivyokuwa katika mshtuko mkuu. Nilijilazimisha kulala tena lakini haikusaidia, taarifa hiyo ikanirudisha katika kumfikiria John.
Hapana John hawezi kuwa muuaji!!! Nilipingana na maono yangu ya usiku. Nikapuuzia.
*****
(Kizaazaa ufukweni)

Jina langu lilikuwa limeanza kukua pale chuoni kutokana na elimu ya mahusiano niliyokuwa naitoa. Mwanzoni watu hawakujua ninamaanisha nini lakini mwishowe wakaanza kunielewa. Wasichana waliotendwa walikuwa wanakuja kupata ushauri kwangu. Waliokuwa wakigombana na wapenzi wao nilihusika katika kusuluhisha.
Nilianzisha vikundi kadhaa vya kupinga unyanyaswaji wa wanawake hasahasa katika suala la mapenzi. Kwa kuwa mapenzi yalikuwa yameteka asilimia kubwa ya mawazo ya watu basi nilieleweka kirahisi.
Kwa kutumia pesa alizokuwa akituma Davis na kampuni yake niliweza kuandaa semina kadhaa huku nikialika wataalamu wa saikolojia. Masomo waliyotoa yaliwagusa wengi.
Sasa kila mtu aliweza kunifahamu walau kwa jina kama hajapata nafasi ya kujua sura yangu.
Kampuni iliyoniajiri ya SAVE THEM ilipotuma wajumbe wake kutoka marekani kufika chuoni kwetu kwa ajili ya tamasha kubwa kabisa lililohusisha mambo kadha wa kadha huku nikipandishwa cheo na kuwa muwakilishi wao katika vyuo vikuu vyote nchini ni hapo ndipo jina langu lilikuwa zaidi.
Vile vifo vya wanafunzi sita katika siku sita mfululizo vilikumbukwa kwa kusimama kimya dakika moja kabla ya ufunguzi wa tamasha lile.
Vifo vikasahaulika na mambo mengine yakaendelea.
Ile ndoto niliyoota kisha nikamfuma John na damu mgongoni niliamini kuwa yalikuwa ni mauzauza tu haukuwepo ukweli wowote.
John alikuwa amerejea kuwa mpenzi wangu rasmi na penzi lilikuwa moto sana. Jesca akasahaulika!!!
Isabella mimi sikushangaa sana sasa nilipoteuliwa katika baraza la mawaziri wa serikali ya wanafunzi. Nilikuwa naheshimika.
Malipo makubwa niliyokuwa napata yalibadilisha maisha ya nyumbani. Yote haya yalikuwa ndani ya miezi miwili.
Kila mara nilikuwa nikifikiria kuhusu hapa nilipo naishukuru facebook, kwani ni hii ilinikutanisha na dokta Davis na sasa nilikuwa mtu kati ya watu.
******
Ilikuwa siku ya sita ya juma yaani kuanzia jumatatu sasa ilikuwa jumamosi. Siku hii kimvua cha rasharasha kilinikumbusha kulitafuta sweta langu ambalo lilikuwa chini kabisa ya kabati langu la nguo.
Licha ya kuwa na nguo nyingi nilikuwa na sweta moja. Mafua yalikuwa kidogo yananisumbua, uchovu wa siku iliyopita pia ulikuwa unanisumbua. Siku iliyopita ilikuwa siku ndefu sana, ilikuwa ijumaa ya kukumbukwa, kampuni ninayofanyia kazi ilikuwa imenihamishia katika nyumba kubwa kabisa ya vyumba vine, sebule na mahala pa kulia chakula. Ilikuwa na geti na ua kubwa tu. Baada ya kujaza vitu ndani, nilialika watu kwa ajili ya uzinduzi rasmi. Nilialika marafiki wapatao sitini, akiwemo raisi wa chuo, watangazaji wa redio SAUT, marafiki wenye hadhi ya kuwa marafiki zangu, waalimu wenye heshima zao pale chuoni akiwemo ‘Dean of students’ aliyeitwa Mama Nasania, John naye alialika marafiki zake. Hapakuwa na michango wala kadi za michango. Na katika sherehe hiyo hapakuwa na kipengele cha kutoa zawadi.
Ndio hakikuwepo hicho kipengele. Sasa zawadi gani ya wewe kumpatia Isabella akaifurahia. Nilikuwa na kila kitu.
Kwa kuwa sikuwa na ratiba yoyote zaidi ya kupumzika niliamua kumeza dawa aina ya pilton. Ili mafua yaweze kupungua kiasi kabla sijaamua kwenda hospitali kumwona daktari.
Sijui nilikuwa nawaza nini hadi nikabwia tembe mbili za Pilton.
Leo nitasinzia aisee!! Nilijisemea, huku nikiendelea na shughuli za hapa na pale ndani kwangu. Nilikiweka chumba katika hali ya usafi sana kwani siku hiyo John alikuwa na ratiba ya kulala nyumbani kwangu. Kwa mara ya kwanza!!!
Nilikuwa katika hali ya ufahari sana. Wadogo zangu waliopoteza heshima kwangu sasa wakawa wananiita dada kwa herufi kubwa.
Hatimaye ule wakati ukafika. Madawa yakanitwaa nikaanza kurembua macho. Sikuwa na ujanja wowote nilikiendea kitanda nikakiangukia usingizi ukanitwaa.
Giza nene likatawala hadi pale ulipokuja mwanga tena nikiwa natazama filamu katika kioo kikubwa.
Filamu hii ya sasa ilikuwa inachekesha na ilinisahaulisha kabisa uchovu niliokuwanao. Vijana mchanganyiko wa kike na wa kiume walikuwa wapo katika fukwe ambazo sijawahi kuziona kabla, mara wakimbizane mara warushiane maji. Wengine waoga wa kuogelea kama mimi. Wengine wamevaa nguo za kuogelea huku wale walionichekesha wakiwa wamevaa suti ufukweni.
Sikuanza tu kucheka kwa sababu wamevaa suti. Ila nilikuwa nacheka zaidi maana hata John na yeye alikuwa amevaa suti. Tena kibaya zaidi alikuwa amevaa suti na moka. Kama anaenda kanisani jamani!!!!
John hakujali lolote. Aliendelea kupunga upepo.
Kipengele cha kuchekesha mara kikaisha ghafla likatokea giza, nikakereka, ile giza ni kama iligundua kuwa nimekereka. Ikatoweka, mwanga ukarejea tena.
John hakuonekana. Nilipoangaza kidogo nikamuona John akiwa anaogelea na suti yake.
Wenzake wakiwa wameacha vichwa juu, yeye alikuwa amezamisha mwili mzima baharini.
He!! Nikashtuka nikataka kufumbua macho ila macho yakawa mazito!!!
John ana mkia!!!! Mkia wa samaki!!!
Nikatapatapa nipige kelele lakini bado sikuweza nilijihisi nimewekewa kitu kizito kifuani. Na mdomo ulikuwa kama umewekewa zipu ya kuuzuia usiamke.
Ule mkia wenye kiwiliwili cha John ukaanza kuyakata maji katika hali ya kushangaza.
Mara!!! Meno, meno ya John yalikuwa mengi, huenda ni zaidi ya thelathini na mbili. Halafu yalikuwa makali.
Au ni ya bandia? Nilijiuliza.
Meno yale hayakuwa ya urembo kama nilivyodhani. Jibu likaanzia pale yaliporarua mikono ya mwanadada mmoja, mikono ikatoweka, wa pili akajaribu kukurupuka mguu mmoja akauacha baharini, wa tatu akasalia bila kichwa, mvulana wa nne aliyeshuhudia bahari ikiwa na rangi nyekundu alikuwa mtaalamu wa kuogelea alikata maji, John aliye katika mfumo wa samaki naye akamfuata kwa kasi. Yule bwana akafika ufukweni, John alipofika huko akashindwa kupiga mbizi. Akawa kama anatukana kwa lugha anazojua mwenyewe. Yule aliyeokoka akawa anataka kukimbia lakini akaghairi akafanya kitendo ambacho kiliniharibia kabisa filamu yangu.
Akaokota mawe na kuanza kumrushia yule samaki mtu.
Mawe yakawa yanampata barabara. John samaki akawa anajaribu kukwepa. Yule mtu akajua anaishinda vita ile na kweli John alionekana kuzidiwa. Lakini pasipo kutegemea na katika hali ya kushtua sana. Nyuma ya yule mtu akatokea tena mtu aliyenishtua sana. Huyu sasa alikuwa ni John wangu huyuhuyu. Huyu alikuwa John kamili na hakuwa na mkia. Yule aliyekuwa anaponda alipogeuka kutafuta mawe akakutana na sura ya John, alikuwa kifua wazi.
Pasipokutegemea John alisukumwa chini, akapinduka, lakini yule bwana alijaribu kukimbia tayari mguu wake ulikuwa umekamatwa.
John alipogeuka ilea lama ya kuchanwa na kisu ikaonekana. Nikabaki kama zoba siwezi kupiga kelele wala kutoa msaada wowote.
Huyu naye akageuzwa shingo, kisha ghafla pakawa giza sikuweza kuona mbele. Lakini nilihisi kama napoteza fahamu hivi.
Macho yalipopata ujasiri na kufunguka nilikuwa nimezungukwa na watu wenye nguo nyeupe.
Kila jicho likinitazama mimi.
Hofu mpya ikaanza.

Watu hawa walitabasamu vizuri lakini sikujua kwa nini wanatabasamu.
“Pole sana!!.” Mmoja waoa liniambia.
“Nini kwani…eeh!! Hapa ni wapi.”
“Hospitali ulipoteza fahamu.” Mwanaume aliniambia.
Sasa akili ilianza kuunganika upya nikawatambua kuwa wale ni madaktari. Kilichonisibu nikashindwa kukielewa vyema. Nikavuta kumbukumbuku nikakumbuka kuwa ni ndoto. Ndoto nyingine ya maajabu. Ndoto iliyonifanya nizimie dah!! Hii ilikuwa hatari zaidi ya kawaida.
Nikatamani kumshirikisha mtu yeyote kati ya wale madaktari lakini nikaamini kuwa hawataelewa.
Mtu sahihi wa kumueleza ni John. Huu ni wakati muafaka wa kumueleza kila kitu kinachotokea. Ni John pekee ambaye anaweza kunielewa juu ya shida hii. Sikuona mtu mwingine wa kumueleza.
Nilipumzika kwa masaa kadhaa kisha John akaruhusiwa kuondoka na mimi. Ni yeye aliyenileta pale hospitali baada ya kugundua kuwa nilikuwa nimezimia.
Ilikuwa ni tukio la kawaida mtu kuzimia lakini lilikuwa si la kawaida kwa sababu aliyezimia ni Isabela. Mtu mwenye heshima zake pale chuoni. Kila mtu alitaka kujua nini kimenisibu. Nashukuru John alikuwa akiwajibu kwa niaba yangu.
Sasa tulikuwa chumbani. John alinikorogea uji wa ulezi akatia maziwa na pilipili manga. Alijua kuwa ninaupenda sana uji wa aina hiyo.
Nilipomaliza kunywa kikombe cha kwanza. Nilitaka kuanzisha ile mada juu ya nini kilinitokea ndotoni.
Maajabu!! Nilipomuita naye aliniita ndani ya sekunde hiyo hiyo. Tukajikuta tunacheka.
“Nani sasa aitike ya mwenzake.”
“Ladies first.” John alidakia. Basi sikuwa na ujanja mimi nikaitika nimsikilize John anasema nini.
“CR (Class representative) wa PR (Public relation)….”
“Amekufa??.” Niliuliza hata kabla John hajamaliza kunieleza. Tayari picha ilianza kuja kichwani.
“Yeah! Umejuaje kwani?.” Aliniuliza.
“Ni yule alikuwa ndugu yako au sio..”
“Ni yeye Michael ndio jina lake. Binamu yangu.” Alisema kwa masikitiko makubwa sana John kisha akainama. Hapakuwa na haja ya kuuliza kama alikuwa anajizuia kutoa machozi.
“Pole John.” Nilimwambia kwa sauti ya chinichini.
“Wamemnyonga binamu yangu wameona kumuua Jesca haitoshi aaah!!.” Alilalamika mwisho akashindwa kuendelea akaanza kulia kwa sauti ya juu. Nikawa katika hali mbili ghafla. Kwanza hofu kubwa kwani alichozungumza John sasa kilitaka kuwa kile ambacho nilikiota. Pili nikawa katika kumbembeleza Michael kwa juhudi zote. Huku nafsi ikiniambia ninambembeleza muuaji.
Lakini muuaji gani huyu sasa asiyejitambua kuwa ameua? Nilijiuliza.
Nikahisi kuchanganyikiwa.
“Isabela.” Aliniita.
“Bee!!.”
“Nitahakikisha namfahamu huyo muuaji…kitambulisho chake kilidondoka na polisi wamedai wanafanya upelelezi.” John alitoa kauli nyingine. Kauli ambayo ilinishtua upya. Niliona kitambulisho kwenye ndoto. Lakini mwenye hicho kitambulisho alikuwa ni John mwenyewe na muuaji ni John.
Ina maana John anaapa kujitafuta mwenyewe ama!!
Nilichanganyikiwa!!!
Nilitamani kumweleza John juu ya ile ndoto lakini sasa hamu yote ilikuwa imetoweka. Sikuwa na haja ya kumweleza, ataniamini vipi. Kwamba ni yeye aliyemuua binamu yake kwa kumnyonga na kuwa hicho kitambulisho ni cha kwake.
Hapana hawezi kuniamini hata kidogo!! John ataniona mjinga na ataidharau ndoto yangu.
Nikaghairi kumweleza. Siri hiyo ikajikita na kuanza kuutesa moyo wangu. Mateso makali.
Baada ya maziko hayo. Sasa chuo kilikuwa kimesimamia kidete juu ya upelelezi juu ya vifo mfululizo vya wanafunzi katika chuo cha mtakatifu Augustino. Kitambulisho kilichookotwa eneo la tukio kilikuwa kimeamsha hamasa ya kumjua muuaji. Polisi walikuwa makini sana katika hili na walikuwa watulivu wakiendelea na upelelezi kimya kimya.
Alipotoka msibani John alikuwa na jingine jipya. Alikuwa amepoteza kitambulisho cha chuo.
“Yaani sijui hata kimepoteaje. Maana kilikuwa kwenye Wallet yangu. Sasa ah!!” Alinieleza John. Sasa ndoto ikawa imekamilika kabisa.
Ni John alikuwa muuaji. Lakini muuaji wa ndotoni.
Ndani ya siku saba nilikuwa nimekonda sana. Uzito ulikuwa umepungua. Ni serikali ya ubongo wangu pekee iliyojua ni nini kinanisibu.
Si John wala mtu mwingine aliyejua nini kinanisibu.
Nilikuwa nawaza juu ya usalama wa John. Niliona kama anaenda kukutana na hatia kubwa sana ambayo hawezi kuikwepa. Lakini kosa lile alilifanya katika ndoto yangu mimi pekee!!!
Kivipi niwe na hofu!!
Nilijifariji kuwa ile ilikuwa ni ndoto tu lakini hapana bado nilikuwa hoi bin taabani
Suala la kupoteza kitambulisho chake lilinipagawisha.kimawazo.

****

Hakuna ambaye hakujua kuwa sikuwa na tabia ya kunywa pombe baada ya kuanza rasmi kuwa muelimishaji rika la vijana. Nilikuwa nahamasisha sana kuhusu jambo hili na kuipinga vikali pombe.
Wataalamu wa mambo walikiri kuwa pombe husaidia kupunguza mawazo sana. Sasa Isabella mimi nilikuwa na mawazo. Tena mawazo makali yaliokuwa yakishambulia ubongo wangu.
Kitambulisho!!!
Hichi ndio kiliniua kabisa. Hamu ya kula, raha ya kuwa na pesa zote hazikuwa na maana tena.
Siku hii nikaamua kwenda kugida pombe. Lakini kwa siri kubwa kabisa nikaamua kwenda mbali na chuo. Mbali na John.
Mbali ya kila jicho linalonifahamu kwa ukaribu.
Mkolani!!!! Nikajichimbia huko. Nikatafuta baa safi kabisa, nikajiweka sehemu ambayo si rahisi kugonganisha macho na watu.
Moja, mbili, tatu…nikaanza kuhesabu idadi ya chupa zinazokuwa tupu mbele yangu. Ni siku nyingi nilikuwa sijapata kinywaji hichi. Basi ilikuwa burudani.
“Dada mna vyumba hapa?.”
Nilimuuliza muhudumu mmoja. Akakiri kuwa vyumba vipo. Nikamwomba anifanyie Booking.
“Standard, Suite ama Deluxe.” Aliniuliza. Swali hilo likanikumbusha wakati tunampeleka dokta Davis kuchagua hoteli ya kulala.
Alijibu vipi vileeee.
“Deluxe.” Nilimwambia kwa kujifan ya nimefikiria sana.
Sikuwa na muda wa kuulizia bei. Pesa ilikuwepo ya kutosha.
Baada ya kusikia kichwa kinachemka sasa nikahamishia makazi chumbani. Elfu sabini ilinitoka kwa malipo ya chumba.
Hata sikujuta!!
Mashambulizi ya kunywa pombe yaliendelea kwa fujo. Kitanda cha sita kwa sita kikinisubiri iwapo nitapitiwa na usingizi.
Chumba hakikuwa na mbu hata mmoja. Nani kakudanganya raha ni mpaka uende ulaya?
Hata Mwanza kuna raha, sehemu yoyote kuna raha.
Cha muhimu hizo raha jipe mwenyewe!!!
Isabella nilikuwa najipa raha mwenyewe.
Muhudumu wa kike alikuwa bize kila mara kuja kunitazama kama nimemaliza pombe alete nyingine ama labda nahitaji kutafuna kuku akachome ama afanye lost ni mimi tu!!!. Na hiyo ndio ilikuwa kazi yake kwa ujira wa elfu ishirini niliyompa.
Ni kweli nilikuwa nimelewa lakini bado nilikuwa ninao uwezo wa kuona. Safari hii mlango ulipofunguliwa aliingia mwanaume, huyu hakuwa na mavazi kama ya yule muhudumu.
Alijitambulisha kwa jina sikuweza kusikia. Akataja wadhifa wake, ulikuwa wadhifa mkubwa lakini hata hivyo pia sikuweza kusikia vyema.
Macho yalikuwa yameanza kupoteza nuru. Nikaingia gizani.

Saa nne asubuhi ndipo niliamka.
“Dada mchemsho tuweke nini na nini?.” Aliniuliza yule dada niliyemlipa usiku uliopita. Hakika alifanya kazi yake ipasavyo.
“Leta supu ya mbuzi..supu ya mbuzi unanielewa.” Nilimwambia. Akanielewa akaondoka.
Hangover ilikuwa inacheza na kichwa changu. Na sikuwa na mawazo yoyote.
Baada ya kunywa supu niliyoipenda kabisa nilijisafisha na kubadilisha nguo. Nikalipia bili zote, kisha yule dada nikamwongeza pesa nikaondoka.
Nilipotoka nje niliangaza hapa na pale nikaona teksi, nikaipungia mkono.
“Nipeleke mjini.”
“Elfu nane.”
Akanitamkia sikumjibu. Nikaingia garini. Akaondoa.
Hapakuwa na foleni. Dakika ishirini nikawa nimefika.
Nikatoa pesa yake na kumpatia.
Nikaanza kuondoka baada ya kuwa nimemweleza kuwa hiyo elfu mbili abaki nayo. Nilikuwa nimetoa noti ya shilingi elfu kumi.
Sasa nilikuwa naondoka kabla hajaniita tena.
“Umedondosha kikadi chako.” Aliniambia. Nilipogeuka. Nilitazama chini, ni kweli nilikuwa nimedondosha kitu. Nikajongea na kukiokota.
“Asante!!” nilimshukuru. Sasa nilimtazama usoni kwa mara ya kwanza.
Nilitaka kumuita jina lake kwa sababu nilihisi ninalijua jina hilo. Hata sura mbona nilikuwa nimewahi kuiona hapo kabla? Lakini kabla sijajua anaitwa nani. Teksi ilipigiwa honi ikapisha njia ikaondoka zake.
“Ah!! Huenda aliwahi kunibeba hapo kabla.” Nilijipa moyo.
Nikafungua pochi yangu na kuhifadhi hicho nilichookota.
“Mungu wangu!!!!” nilipiga kelele kwa nguvu sana. Nilikuwa nimesimama wima.
Kwa kuwa halikuwa eneo la watu wengi nilipata sekunde kumi za kuhakikisha nilichokiona.
Hakika kilikuwa chenyewe.
Kilikuwa kitambulisho cha chuo ni heri kingekuwa changu.
Kitambulisho cha John mikononi mwangu. Kitambulisho kinachoaminika kupotea ,msibani huko Iringa , kitambulisho nilichokiona ndotoni.
Kitambulisho cha muuaji!!!
Ewe dunia funguka unimeze!!! Ni sala niliyoiomba kimyakimya.
Nilikuwa nimezizima siwezi kwenda mbele wala kurudi nyuma.
Harufu ya kifo!!!!

Nilisahau ni jambo gani lilikuwa limenipeleka huko mjini. Yale mawazo niliyoamini nimeyapunguza kwa kunywa pombe sasa yalikuwa yamerudi kikamilifu. Tena mara mia zaidi.
Hofu ikatanda. Nikachukua teksi nyingine nikarejea nyumbani kwangu.
Nilikuwa natetemeka, na kila nilipoguswa na kitu nilishtuka. Hata nywele zangu za bandia kichwani ziliponigusa shingoni nilitetereka.
Nilipohakikisha kuwa nimeifunga milango vyema kabisa na ndani nilikuwa peke yangu. Nilifungua mkoba wangu nikakitoa kitambulisho.
Hapakuwa na mabadiliko. Kilikuwa kitambulisho rasmi cha chuo kikuu matakatifu Augustino. Mmiliki akiwa John Joseph.
Mpenzi wangu.
Nililazimisha akili yangu kutafuta kumbukumbu huenda siku moja aliwahi kunipatia kile kitambulisho. Hapana kitu kama hicho.
Au aliweka mwenyewe bahati mbaya akakisahau? Hilo swali walau kidogo liliamsha uhai na kunipunguzia hofu.
Akija nitamuuliza!!! Nilimaliza hivyo. Nikautua mzigo wa mawazo.
Nikaingia maliwatoni nikasafisha mwili wangu kijuu juu. Nikajitupa katika sofa iliyokuwa sebuleni. Ule uchovu wa ulevi jana usiku ukawa unanishawishi kusinzia.
Nikajifikiria kwenda kulala chumbani. Mara mlango ukagongwa.
Nikajikausha!! Ukagongwa tena.
Nikaenda kufungua. Alikuwa ni John.
Alilazimisha tabasamu!! Nami nikatabasamu. Hatukusalimiana.
Tayari kakereka jana sikulala nyumbani!!! Niliwaza, huku nikijiandaa kukabiliana na maswali atakayoniuliza kwa fujo. Wanaume wana mikwara!!!!
Akafika hadi katika lile sofa nililokuwa nimejilaza awali. Akajitupa hapo. Akazishusha pumzi kwa nguvu sana. Kisha akajishika kichwa. Mimi yangu macho nikawa nasubiri lawama.
“I hate this…..” Alisema huku akiwa kama anajisea mwenyewe.
Yaleyale!!! Nikajisemea.
“Uko ok!! John!!” Hatimaye nilimuuliza. Hakunijibu!!
“John jamani….” Nilibembeleza. Bado hakunijibu kitu. Nikaamini kuwa John amekerwa sana na kitendo changu cha kulala nje biula taarifa.
Wazo!!! Wazo likanijia. Nikasimama tena bila kumuaga nikatoweka pale hadi chumbani. Nikazama katika mkoba. Nikachomoa kile kitambulisho.
Nikakisokomeza katika sidiria niliyokuwa nimevaa. Kisha nikarejea sebuleni. Wanaume dawa yao ndogo tu!! Mfanyie kitu anachopenda kwa wakati!! Baaasi hakuna ujanja tena.
John akishaona kitambulisho chake ndo basi tena anasahau kuhusu suala langu la kulala nje. Najua mada itageuka na yatazaliana maswali.
Umekitoa wapi? Ilikuwaje? Dah!! Siamini.
Kwisha mchezo!! Nilijiaminisha.
Sasa nilikuwa mbele ya John. Bado alikuwa kama anayefikiria kitu kabla ya kuzungumza. Nikamsubiri labda atasema kitu hakusema. Nikamuita akaitika kwa kichwa chake kutingishika.
“I hate…my country (naichukia nchi yangu).” Alisema huku akitazama mbele. Nikaurudisha mkono uliokuwa umekama kile kitambulisho tayari kwa kumshangaza. Nikakirudisha katika sidiria ili nipishe kwanza anachotaka kusema John.
“Nini tena mpenzi wangu jamani.” Tayari nilikuwa ubavuni mwake wakati anayasema haya. Hakujibu upesi bali alicheka kwanza. Kicheko cha kujilazimisha.
“Eti kile kitambulisho….kile kitambulisho kile.” Alianza kuzungumza, nikafarijika kusikia mada ni juu ya kitambulisho na sio wivu wowote wa kimapenzi. Kisha akamalizia, “kile kitambulisho eti kimeibiwa ama kupotea katika mazingira ya kutatanisha. Serikali yetu bwana..haya sasa kuna haja gani ya kuipenda?” Alimalizia, bado alikuwa ametazama mbele tu. Akiyang’ata meno yake kukabiliana na pepo la hasira.
Mshtuko!! Nikatoa kelele ya kuogopa, lilikuwa yowe ambalo hata John aliyekuwa anatazama mbele lilimshtua akapata nafasi ya kuniangalia.
Nilikuwa wima!!! Mikono kichwani mara kiunoni, wakati mwingine najiziba uso. Mithili ya mwendawazimu.
John alidhani nasikitika kwa jinsi alivyonitazama lakini sikuwa katika kusikitika, nilikuwa naogopa sana. Kitambulisho kilichoibiwa si ndio hichi katikati ya maziwa yangu ama!!! La haula!!
Ndio hichi kitambulisho cha muuaji. Muuaji mwenyewe si ndio huyu mbele yangu. John ndiye muuaji anayejitafuta mwenyewe.
Mbiombio nikakimbilia chumbani. Sikujiamini tena kuwa mbele ya John. Sikuwa na uwezo wa kumueleza chochote juu ya kitambulisho chake. Kitambulisho kile kilikuwa na utata mkubwa.
Nilipokuwa natimua mbio kwenda chumbani, John naye nyuma akanifuata. Muuaji nyuma yangu, lengo langu nifike chumbani niwahi kujifungia mlango. Maziwa yakaruka kwa fujo wakati nakimbia, kitambulisho kikazidiwa ujanja kikakosa pa kujificha. Upesi kikachoropoka.
Kitambulisho haramu kikadondoka katika marumaru.
Nikasita kuendelea mbele. Sikutaka John akione kile kitambulisho.
Niliweza kusimama nikageuka. John huyo anakuja mbiombio. Macho ya John kwangu. Macho yangu katika kitambulisho kilichokuwa katika marumaru. Kila mmoja na wazo lake.
Kitambulisho sasa kikawa katikati yetu. John na mka zake modeli ya ‘wanchoma kumoyo’ akakikanyaga bila kutambua kile kitambulisho wakati ananikimbilia. Kitambulisho ni manira laini sana, kikaisikia kero ya kukanyagwa na bwana John. Zilikuwa zimebaki hatua moja na nusu niweze kukichukua ndipo nikakumbana na wakati mwingine matata ambao nisipousimulia utanilaumu mwisho wa simulizi. Mi sitaki lawama!!!
John akateleza, baada ya kukanyaga kile kitambulisho. Marumaru ikampokea kwa shangwe, kisogo kikatoa mlio kama chuma kilichogongana na chuma kingine. Kitambulisho kikaachana na kile kiatu kikawa mbele yangu.
Shida yangu ilikuwa kukiwahi kitambulisho. Sasa kitambulisho kimetulia na John ametulia tuli sakafuni.
Mamaaaa!!! Niliita tena, mama mwingine nani sasa zaidi ya mwalimu Nchimbi huko Makambako? Atanisikiaje sasa wakati nipo Mwanza. Ujinga!!
Nikimbie!!! Nilijiuliza huku nikitetemeka.
Kwenda wapi sasa?? Ujinga mwingine.
Mara damu nzito nyuma ya kisogo cha John. Macho yamefumbwa kistaarabu. Mdomo wazi.
Nikahisi kuchanganyikiwa sasa. Damu ikazidi kusambaa katika marumaru ile nyeupe.
“Atakufia huyu Isabella shtuka fanya kitu.” Sauti ikaniambia. Sasa hapo nikashtuka, nikainama nikakwapua kitambulisho chenye utata. Nikakimbia nje.
Taksiii!! Nikapiga kelele. Ikasimama, ikaanza kurudi nyuma. Macho ya dereva taksi badala ya kunitazama usoni na kunisikiliza shida yangu, yakawa yananitazama huku mapajani. Nilipojitazama, mbio nyingine mpya kurudi ndani. Nilikuwa nimevaa kinguo kifupi sana. Hakina tofauti na chupi. Kanga iliyokuwa inanisitiri ilikuwa imedondoka huko ndani.
Dereva teksi alinisubiri. Nikarejea nikiwa nimeegesha kanga kiunoni.
Nina mgonjwa!! Ni mume wangu. Ameanguka!!! Nilimsihi huku nikimvuta. Akanifuata. Tulipofika ndani bado John alikuwa ametulia tuli vilevile.
“Ameanguka!!.” Nilijibu bila kuulizwa. Dereva akafanya jitihada za kumnyanyua John. Wapi haikuwezekana. Kila aliposhikwa ili anyanyuliwe alilegea na kuangukia upande mwingine.
Mimi nilikuwa mtazamaji na nilikuwa namuogopa sana John.
“Hebu ngoja nakuja!!!.” Aliniaga dereva. Nikaamini anaenda kuleta msaada zaidi. Nikangoja kwa muda fulani dereva hakurudi!! Nilipotoka nje hapakuwa na dereva wala teksi.
Nilitamani kupiga kelele. Nikahaha huku na huko. Baada ya robo saa nikaona teksi. Ilikuwa inakuja pale kwangu. Iliposimama alikuwa ni yule dereva. Nyuma yake ikafuatia Ambulance.
Wakashuka wataalamu. Wakamtwaa John asiyejitambua.
Bahati nzuri walikuwa wananitambua. Ukarimu ukaongezeka maradufu.
John akafikishwa hospitali. Agha Khan.

Hakuwa amepasuka sana. Ulikuwa ni mpasuko wa kawaida. Akashonwa. Lakini akatakiwa kupumzika. Fahamu zilimrejea baadaye. Hakuwa msumbufu, alielewa upesi nini kinachoendelea.
Siku iliyofuata ndio siku ambayo John alitakiwa kutoka.
Nililazimika kurejea nyumbani kuchukua pesa kwa ajili ya malipo.
Nikiwa katika teksi, niliwaza juu ya kile kitambulisho. Nikahisi kitaniletea matatizo iwapo nitaendelea kukishikilia, tayari kilitaka kuutwaa uhai wa John. Sasa kitazua mengine.
Sasa nimpatie ama vipi? Nilijiuliza. Sikupata majibu.
Ile ndoto ya muuaji anadondosha kitambulisho ilikuwa inanikera maana haikutaka kufutika kabisa. Haikuwa ndoto kama ndoto nyingine maana sasa niliiona sura ya muuaji. Muuaji alikuwa John.
Nguvu ya penzi lake ikanikwamisha kumwambia mtu yeyote ukweli huu. Hata yeye pia sikumwambia.
“Hichi kitambulisho simpatii.” Niliamua kusimamia upande huo.

Wazo la kukitia moto lilikuja baada ya kuwa nimefika nyumbani. Dereva teksi alibaki nje akinisubiri.
Nilikiendea kile kitambulisho nikatoka na mafuta ya taa na kiberiti.
Dakika tano baadaye, moshi ulikuwa ukipepea juu, kitambulisho kilikuwa kinateketea. Sikuondoka hadi pale nilipohakikisha natazama na majivu mbele yangu.
Hata hayo majivu, niliyakusanya nayo nikayafukia na mchanga.
Rasmi nikawa nimekizika kitambulisho!!!
Kitambulisho cha muuaji.
Baada ya hapo nilifanya usafi kidogo kuondoa zile damu katika marumaru.

Nikiwa ndani ta gari kurudi hospitali walau nilijisikia kuwa nimeutua mzigo mkubwa uliokuwa unanielemea. Mzigo wa kitambulisho.
Nilifanya malipo kisha teksi ileile ikaturudisha nyumbani. Mimi na John. Sasa alikuwa anajitambua kabisa. Alitakiwa kupumzika. Na hicho ndicho nilichofanya baada ya kufika nyumbani. Nikamwongoza hadi chumbani akaenda kulala.
Mimi nikarejea katika usafi mkubwa sasa sehemu mbalimbali katika nyumba. Redio ilikuwa ikiniliwazana mziki mkubwa niliojaribu kuuimba kwa kukoseakosea.
Na ni redio hiyo hiyo iliyoniziba masikio nisiweze kumsikia mtu amliyeingia ndani bila mimi kujua. Alama za matope katika marumaru zilinishangaza na kujiuliza yametoka wapi.
Hakungoja niumize akili yangu sana akanijibu.
“Haujambo binti.”
Sikumwambia chochote, nikawa namshangaa bado. Akatabasamu.
“Haujambo!!!.” Akanisalimia tena, sasa alikuwa analazimisha nijibu.,
“We ni nani katika nyumba yangu?.” Nilimuuliza.
“Osmani kwani vipi.”
Osmani!! Nikaliweka jina katika kumbukumbu kama niliwahi kukutana nalo hapo kabla. Yes!! Niliwahi kukutana nalo. Hata pale chuo tulisoma na akina Osman, wengi tu. Lakini huyu ni Osmani yupi. Nikaendelea kufikiria. Akatabasamu tena kama vile anaisoma akili yangu. Tabasamu lile likanisogeza kwenye jibu, niliwahi kuliona tabasamu hili. Ndotoni!! Hapana.
Hoteli, na nilikuwa nimelewa!!! Ndio siku hiyo nililiona.
Si hapo tu, na siku nyingine tena. Lini?
Huyu alikuwa ni dereva wa teksi aliyekuwa nami siku ya sakata la kitambulisho. Ni huyu aliyenikumbusha kuwa nimedondosha kitambulisho.
“Unataka nini katika nyumba yangu?.” Nilimuuliza nikiwa na hofu.
Akatabasamu tena.
“Nina mazungumzo na wewe.”
“Nitakupigia kelele za mwizi naomba utoke ndani ya nyumba yangu.” Sasa nilifoka. Nikiwa nimesimama wima. Lakini dhahiri nilikuwa katika kutetemeka.
Akatabasamu kama kawaida yake. “Kweli unataka niondoke au unatania. Halafu nirudi saa ngapi. Au usiku ndio itakuwa vyema?.” Aliniuliza kwa utulivu kama vile nilikuwa nampa ushirikiano mkubwa kabisa.
Sikumjibu!! Midomo ilikuwa inatetemeka. Sasa wazo la imani za kishirikina likanitawala. Hapa kuna namna.
Hapa kuna namna kweli mamaaa weeeee!!! Nilipiga kelele kubwa, kelele haswa. Yule aliyejiita Osman alikuwa amepotea mbele yangu. Alichoacha ni matope yale aliyoingia nayo.
Riadha kubwa kuelekea chumbani. Mlango ulikuwa umeegeshwa nikasukuma. Nikamrukia John kitandani nikamkumbatia kama vile tunagombana. Naye akiwa katika usingizi wake akatoa yowe kubwa la hofu. Akanisukuma huko. Nikamrukia tena. Hadi alipokuwa sawa ndipo aliniuliza kulikoni.
Limtu John, limtu!! Nililia.
John akanituliza akanishawishi kwamba zile ni ndoto za mchana. Wala sikupoteza muda kukubaliana naye. Ile haikuwa ndoto.
Amesema anarudi baadaye John. Nilimkumbusha.
“Atanikuta mimi hapa na atakoma kuingia katika nyumba hii usiogope.” Aliongea kiujasiri John. Mimi nimemkumbatia bado.
Sikumueleza lolote juu ya huyo Osman. Kwamba niliwahi kukutana naye hotelini nikiwa nimelewa na pia aliwahi kunipatia kitambulisho ambacho kimepotea Iringa.
Niliogopa sana kuzua mengine.
Nikajikunyata na siri yangu.

Nilikuwa ninaenda na John kila hatua. Siku hiyo. Iwe jikoni, bafuni, na popote pale. Sikutaka kumwachia. Masaa yakahesabika na uoga ukaanza kukimbia.
Usiku ukafika. Bado ni mimi na John. John mara nyingi alikuwa ananicheka. Alishangazwa na uoga wangu.
Laiti kama angezijua baadhi ya ndoto nilizowahi kuota huenda naye angeogopa ten asana tu!!!.

Hii sasa haikuwa ndoto. Nilitamani kubaki kumkumbatia John lakini. Nimuheshimu nani sasa John ambaye hata nyumbani sijamtambulisha kama mchumba ama mwalimu Nchimbi. Mama yangu mzazi aliyeniagiza maji ya kunywa. Nikamtazama John nikatamani kumtukana kwa kusababisha nichelewe kuitikia wito. Nikamsukuma huko. Nikajitoa mikononi mwake.
Nikamsonya!! Nikavaa kanga yangu nikafungua mlango nikatoka.
Nikaenda hadi lilipo jokofu, nikachukua maji yaliyokuwa katika kopo dogo. Nikachukua na kikombe nikajongea sebuleni.
Hapo mama atagomba kweli!!! Nilijishauri.
Sasa nilikuwa sebuleni. Mama hayupo.
Mwalimu Nchimbi naye kwa kununa. Hapo keshanuna huyo.
Nikataka kwenda kumuangaza nje. Lakini sikuona maana hiyo nikataka kumuita, mdomo ukawa mzito sana. Nikageuka huku na huko. Hola!! Nikageuka tena. Hakuna kitu.
Nikajisonya!! Kisha nikaguna mwenyewe kuwa ninamtafuta mtu gizani.
Mpuuzi kweli mimi!!! Nikasogea ukutani nikaanza kupapasa. Nikakipata kiwashio, nikabonyeza. Waaa!! Pakapendeza.
Nikageuka. Waaaa!!! Mdomo wazi, mtu anakula chakula.
Pwaaaa!! Nikaachia kikopo na glasi.
Osmani!!!
Osmani anakula chakula nilichopika mimi.
“Kaa hapo sahivi jamaa si amelala au.” Aliniambia kwa sauti isiyosikika vizuri, alikuwa na pande la nyama mdomoni.
Puuuu!! Nikaanguka. Lakini fahamu zipo pamoja nami. Namtazama Osmani.
“John!!!! John!!!” Nilianza kuita kwa sauti ya juu sana. Osman alinitazama akacheka huku akijiziba mdomo. Nikaita tena. Hakuna John aliyetokea kunisaidia.
“Amelala wewe acha kelele.” Alinionya Osman ambaye sasa alikuwa amemaliza kula na alikuwa anakunywa maji. Nikamshangaa.
Alikuwa ananijibu bila wasiwasi wowote.
“Unajua nini Isabela. Tulia tuzungumze, mbona haya mambo madogo tu!!.” Aliendelea kuzungumza Osmani. Kidogo nikatulia sasa, akafanya tabasamu kisha akaendelea kuongea.
“Nimefuata kitu kimoja tu hapa!! Kimoja tu.”
“Nini?.” Niliweza kumuuliza sasa. Nikijilazimisha kuwa jasiri.
“Kitambulisho changu.” Alinieleza huku akiwa amenikazia macho. Sauti yake ilisikika vyema kabisa. Hakuwa katika kutania hata kidogo.
“Kitambulisho? Kitambulisho gani?.” Nilihoji. Bado nilikuwa chini.
“Kile nilichokupa siku ile. Pale wapi sijui. Unapajua wewe.”
“Sina kitambulisho cha mtu.” Nilijibu kwa jeuri.
Kama vile jibu lile lilikuwa sawa na kumtukana aliruka akanifikia, kiganja chake kikanyooka akanitandika kofi moja. Maumivu yakapenya hadi mahali machozi yalipojihifadhi, yakatoka kwa fujo huku kilio nacho kikisindikiza.
“Sasa nadhani unaweza kuniambia. Kitambulisho kipo wapi.”
“Nilikichoma moto.” Nilijibu huku kigugumizi kikinitawala na kilio cha kwikwi.
Yule bwana akakodoa macho baada ya kuisikia taarifa hiyo.
“Umefanyaje?” aliniuliza, sikumjibu. Nilikua natetemeka sana, nilianza kumuogopa sana Osmani, kwanza niliwaza kile kitambulisho ni cha John iweje aseme chake? na kwanini siku ile alinipa akasema nilikidondosha? Mhh!! Ushirikina!! Nilianza kuamini kwenye imani hizo ambazo nilikuwa siziamini kabisa hapo kabla.
Wanafunzi wa SAUT wanaanza kuniroga, wananionea wivu!! nilihisi
“ Isabella Isabella!!alinishtua John kutoka kwenye mawazo niliyokua nayo, nilipoangalia kwenye kiti alipo kaa Osmani nikapigwa na butwaa! Osman hakuwepo, Kheeee!! Nikashangaa, John akafikiri nimemuitikia yeye akatoka kutoka kwenye mlango wa chumbani alikosimama akanifuata. Uso wake ulikuwa umetawaliwa na uzembe wa usingizini. Bila shaka alikuwa ametoka kuamka.
“Vipi baby mbona upo mezani? nilishangaa chumbani sikuoni, chooni haukuwepo kulikoni mpenzi au njaa”? Aliniuliza John kwa sauti ya kukwaruza kwaruza. Bado nilikuwa nimekaa chini palepale nilipoanguka baada ya kumshuhudia Osmani akiwa ndani ya chumba changu. Nilishindwa nianze kumjibu vipi John.
Mdomo ulikuwa mzito. Pepo la usingizi lililokuwa linamkabili John lilizidi kutwaa nafasi. Akaonekana kushindwa kuvumilia. Akajivutavuta kuelekea chumbani. Mh!! Nibaki peke yangu hapana!!!
Nilikata shauri. Hata taa sikukumbuka kuzima nikatimua mbio. Nikamfuata John. Sasa nilikuwa katika wasiwasi mkubwa hii haikuwa ndoto tena!!!
Nilichokiona ni kweli kilikuwa kimetokea.
Nilifika chumbani na kumkuta John naye akimalizia kujifunika shuka. Nikaingia kwenye shuka kwa fujo. Hakuligundua hili vurumai labda kwa sababu ya usingizi mzito. Nikamkumbatia John huku nikitetemeka.
Hayawi hayawi hatimaye yakawa!! Asubuhi ikafika.
John wangu akaamka wa kwanza. Kuamka kwake kukanifanya na mimi kuukatisha usingizi wangu usiokuwa na ladha kabisa.
“Hivi jana ilikuwa ndoto eeh!!.” Alianzisha mazungumzo John.
“Umeamkaje mpenzi jamani.” Nikamkatisha kwa salamu, maana hatukuwa tumesalimiana. Akanijibu kisha akaendelea kuzungumza.
“Jana si nikaota aisee. Dah!! Ndoto nyingine nazo!! Ila kuota pesa ni dalili za utajiri.”
“Ndoto gani tena. Nikamuuliza.”
“Eti amekuja mgeni sijui ilikuwa nyumba gani. Umezungumza naye, alipotoka eti akakuachia wewe Cheque mezani sijui milioni ngapi huko. Nilipotokea si wivu ukawa umenizidi. Nikawa mkali. Akawa kama anahairisha kukupatia. Mi nikaondoka, baadaye nikawa nachungulia mh!! Akaiweka sijui chini ya sahani ile. Ulipotoka kumsindikiza nikawahi kufunua nikakuta amekuandikia kiujumbe hata sikukielewa. Sasa nikawa nakusubiri unieleze yule ni nani. Mara kuku wako haoo wakawika kumekucha tayari!!!” Alimalizia kwa kicheko kirefu John. Nami nikaungana naye. Tukacheka.
“Una wivu we mwanaume!!.” Nilimweleza.
“Ah!! Ndoto tu hizo.” Alifunga mjadala.
Wakati John anaingia kuoga, mimi niliamka na kuanza usafi wa hapa na pale. Nikiisaili nyumba yangu. Sasa nilikuwa sebuleni. Nilipofika pale palikuwa kawaida tu!!
Hivi kumbe jana nilikuwa naota!! Nilijisemea.
Nikaanza kutoa vyombo mezani. Tayari kwa kuviosha na ambavyo havijatumika nivirudishe mahala pake. Ni hapo ndipo nilipopatwa na mshtuko mwingine mkubwa. Chini ya sahani moja palikuwa na karatasi. Karatasi ya rangi ya kijani kibichi. Hili jani ama karatasi? Nilijiuliza. Nikajikaza nikausogeza mkono nikalishika.
Lilikuwa karatasi!! Nikalinyanyua kwa uoga mkubwa. Bado liliendelea kuwa karatasi. Mkono wa pili nao ukajisogeza ukalipakata.
Kisha nikaligeuza.
Maandishi!!! Ya rangi nyeupe. Kiswahili sanifu, maneno machache.
AFE AMA UKUBALIANE NAMI.
Nani sasa? Nikajiuliza.
UTAMFAHAMU HIVI KARIBUNI.. Maandishi yale yalimalizia kama yanayojibu swali langu.
Mwisho zikawekwa alama ambazo nilihisi kuwa ni namba za simu. +666666666. Simu ya wapi hii!! Nilitafakari.
Nikahisi wazimu unataka kunipanda. Akili zikasogeleana niliposikia John akiufunga mlango wa bafuni. Nikatwaa kile kikaratasi nikakificha kabatini.

Sikutaka John agundue kitu chochote. Maana kugundua kwake kungesababisha nimueleze pia juu ya kitambulisho, pia juu ya mauaji aliyoyafanya ndotoni na sasa yametokea kweli. Haukuwa wakati muafaka wa kumueleza.
******
Jina langu lilizidi kukua katika chuo cha mtakatifu Augustino, wasichana wengi walitamani sana wawe kama mimi maana hakuna kitu ambacho nilikua sina, takataka zote za urembo nilikua nazo, cha ajabu mimi Isabella sikuonekana kuwa karibu na msichana yeyote yule, hata rafiki yangu Happy nilimsahau, hela kitu kingine bwana nilisahau mema yote aliyonitendea Happy maana maisha yalivyokua yananipiga mtu wa kwanza kumfuata alikua yeye lakini kwa wakati ule nilimsahau kabisa
Mtu wa jirani yangu alikua John nilisahau kabisa kuwa John aliniacha kwa ajili ya umasikini wangu, sikufikiria kabisa kuwa anaweza kuwa yupo nami kisa ya pesa nilizokua nazimiliki,pesa za kutotolea jasho zaidi ya kuwaelimisha tu watu kidogo. kweli mapenzi ni upofu.

****

(Utata)
Mama weeeeeeeeeeee!!!nilishtuka kutoka kwenye ndoto mbaya, ndoto iliyonitoa jasho jingi nililowa utafikiri nilijimwagia maji,.
Ilikuwa ndoto mbaya nyingine katika orodha ya ndoto zangu za hivi karibuni. Niliota nipo kwetu Makambako, siku hiyo tulienda kupamba ukumbi wa sherehe na mama yangu ambaye alizoeleka kama Mwalimu Nchimbi, tulimaliza saa tano usiku, hatukupata gari la kuturudisha nyumbani tukaanza kutembea kwa mguu kwa sababu mahali pale hapakuwa mbali sana na nyumbani, mara tukashangaa nyuma vijana wawili wanatukimbiza. Tuliamini kuwa walikuwa vibaka. Mama akaanza kukimbia na mimi nikafuata nyuma huku tukipiga kelele za kuomba msaada, hatukupata msaada wowote tukazidi kukimbia kwa juhudi zote na sasa kila mmoja akaanza kuchoka.
Mama akasema maneno fulani ya kukata tamaa huku akimkabidhi Mungu madaraka ya kuamua kitakachotokea kwetu. Mimi sikuwa na neno la kuongezea nikiwa nimekata tamaa niligeuka nyuma kutazama vijana haoa watatuua kwa silaha gani. Badala ya kutilia maanani silaha zao kali walizobeba, macho yangu yakatua kwenye sura zao.
Osmani!! Alikuwa anatabasamu. John!! Yeye alikuwa amekunja sura kwa ghadhabu. John wangu!! Nilishangazwa sana na uwepo wa John katika kunikimbiza mimi na mama yangu
Niliendelea kutulia nikitegemea maswali kutoka kwa viumbe hawa wasioonyesha huruma hata kidogo. Sikuulizwa swali.
Mara wakagawana majukumu. John akamwendea mama na Osmani akanifuata mimi. Alikuwa ameshikilia kitu mfano wa mkia, aliponifikia akanitandika nao mikononi. Maumivu yakapenya nikatokwa na yowe kubwa sana nikaanza kugalagala. Akaniacha pale akamfuata mama. Wakasaidiana na John kumnyanyua mama halafu wakaanza kukimbia naye huku wakimburuza.
Nilipiga kelele nikiwasihi wamuache mama yangu. Lakini hakuna walichobadilisha walizidi kukimbilia na kupotelea gizani. Nilipiga mayowe sana lakini hakutokea mtu wa kunisaidia. Nilipoanza kujigalagaza kwa kukata tamaa ndipo nikakutana na ardhi ya ajabu, ardhi inayonesanesa. He!! Ardhi ya wapi hii?
Nilijiuliza huku nikijilazimisha kufumbua macho yangu, macho yalikuwa mazito sana kufumbuka. Nikajilazimisha hadi yakafumbuka.
Nikakutana na giza nene, nikaanza kupapasa huku na huko, nikakutana na vitu vingine viwili vinabonyea nilipojilazimisha zaidi kuvitazama ndipo nikakutana na mito miwili katika kitanda changu. Na ile ardhi ndio hiki kitanda changu cha sita kwa sita. Ndoto!!!
Nikawasha taa lakini nikahisi maumivu makali katika mikono yangu, Kheee!nikashtuka kukuta mikono yangu imevimba na ina alama ya kama michirizi hivi, hofu ikanitanda mhh!! ina maana ilikua ya kweli ama? Kama ni kweli kwa hiyo John amempeleka wapi mama yangu?
Wamempeleka wapi mwalimu Nchimbi!! Nikaendelea kutahamaki. Hali hii sasa ilikuwa ya hatari kupita zote.
Gusa popote katika maisha yangu ila chunga usimguse mama yangu. Nichezee uwezavyo, ninyanyase uwezavyo lakini kamwe usiyafanye haya kwa mama huyu aliyenibeba tumboni kwa miezi tisa. Kwa gharama yoyote lazima ujutie ama la nijute mimi.
Kama hii ni kweli John lazima anieleze ni wapi wamempeleka!!
Nilijiapiza.

Upesi nikapapasa na kuipata simu yangu ya mkononi. Bila kujalisha ulikuwa usiku wa saa ngapi ilikuwa lazima nimpigie mama niweze kujua nini kinatokea huko walipo , nikajaribu kumpigia hapatikani!! Nikaogopa kukubaliana na ukweli huo. Kwamba na ndoto ile ilikuwa sahihi kama zilizopita na kuondoka na uhai wa wanadamu.
Mungu wangu mama hapatikani ana nini jamani? nilijiuliza hivyo huku nikisahau kuwa huo ulikua usiku na inawezekana akawa amezima simu.
Ilikua kama saa tisa za usiku..nikampigia baba naye akawa hapatikani, kwa baba sikuwa na wasiwasi niliamini huenda amelala vilabuni.
Nilijiuliza maswali mengi huku nikijiuliza kwanini mambo yale yananitokea mimi, ni wapi nimekosea.
Niliumiza kichwa sana hatimaye usingizi ukanitwaa. Na kuwaza kukakoma!!!
Bila kujua hatma ya mama!!!
Nilishtuka baadaye kutoka usingizini baada ya simu yangu kuita kwa mda mrefu, kuangalia jina ni la mdogo wangu, usingizi wote ukaniisha nikakumbuka ile ndoto ya usiku, hofu ikanitanda nikawaza au mdogo wangu alikua ananipigia kunipa habari za msiba wa mama? mara simu ikakatika.
Nikampigia mdogo wangu!!! Nijue kulikoni, wakati huo natetemeka mwili mzima. Jasho likinitoka. Sikutaka kuamini hii ndoto.
Kwa hili nilichanganyikiwa kuliko vipindi vyote nilivyowahi kuchanganyikiwa!!
Simu ikaita. Mara ya kwanza haikupokelewa!!!
Nikazidi kutetemeka!!!
Mara ya pili simu ikapokelewa.
“Dada..shkamoo.”
Alinisalimia. Sikuweza kumjibu. Nikamuulizia mama. Akasita kunijibu. Nikamsikia akihema juu juu. Wasiwasi wangu ukazidi.
“We Helena!!” nilimuita katika simu.
“Abee!!” aliniitikia.
“Si nimekuuliza kama mama ni mzima.”
“Yeah! Ni mzima. Ila ana homa.”
“Naweza kuongea naye sasa hivi?.” Nilimuuliza hakujibu swali lile akazalisha mengine. Nikaanza kuiamini ndoto yangu!!!
“Niambie mama ana nini?” sasa nilimkaripia.
“Mama ana homa kali amelala!!.”
Nikakata simu. Nikasimama wima. Hofu kuu!!
Nifanye nini sasa!! Nilijiuliza. Kisha nikaamua kwa ujasiri kumtafuta John, tayari ilikuwa alfajiri. Nikabonyeza namba zake. Nikawa nasikiliza huku nikitawaliwa na uoga.
Simu yake haikuwa hewani. Wasiwasi ukazidi.
Ina maana John ndio ameenda Makambako kwa mwalimu Nchimbi!!
Nilijiuliza. Sikupata jawabu. Hakuwepo wa kunijibu vilevile.
Ilikuwa lazima nifanye kitu. Hapakuwa na muda wa kujilaza tena!!!
Nikaufunga mlango nikatoweka!!
Teksi niliyochukua ikanifikisha nyumbani kwa John. Nilikuwa nimeamua kuitoa siri yote ilimradi kuokoa maisha ya mama. Nilijiuliza
John atanifikiriaje kwa haya mashairi ambayo naenda kumuimbia. Litakalokuwa na liwe!! Nilijitia imani.
Kama nilivyopiga simu ya John bila kupokelewa ndivyo ilivyokuwa katika mlango wake. Mlango haukufunguliwa na yeyote. Nilibaki katika mshangao hadi alipofika jirani yake na kunitaarifu kuwa hata yeye hajui
John alipoenda, ni masaa kadhaa yalikuwa yamepita.
Nilikubaliana naye. Nikatoweka, moyoni nikiwa nazidi kuifuga hofu.
John hapatikani nyumbani kwake masaa yamepita, mama yangu ana homa kali. Matukio haya yanayowiana yalinitia mashaka. Mama yangu amekufa! Niliwaza huku nikiichukia hali iliyonikumba. Sikujua ni uelekeo upi natakiwa kwenda, nilisimama chini ya mti nikaanza kuwapigia simu rafiki zake John, wote wakakiri kuonana na John lakini masaa kadhaa yaliyopita. Hakuna aliyemuona muda mfupi uliopita.
“Hakuwa na safari yoyote?” Nilimuuliza mmoja wao. Akapinga hoja hiyo. Nikazidi kuumia.
Nilirejea nyumbani kwangu nikiwa nimekata tamaa sana. sikuweza kulala wakati jina la mama likinishambulia kichwa changu.
Nilijaribu mara kwa mara kupiga simu ya John. Hali ikawa ileile.
Hatimaye nikafikia maamuzi binafsi. Nikaamua kurejea Makambako nikashuhudie tatizo gani limemsibu mama yangu.

Kama ilivyokuwa awali nikazungumza tena na kiongozi wa darasa kwa ajili ya kunitetea kwa lolote litakalotokea mimi nikiwa safarini.
Nikampatia kiasi kikubwa cha pesa ili kumshawishi zaidi. Akashawishika.
****

Ndege ndogo ya shirika la serikali ilitua katika uwanja mdogo wa ndege Iringa mjini uliojulikana kwa jina la Nduli. Nilitamani kushuka upesi upesi lakini ulikuwepo utaratibu wa kushuka.
Hali ile ua kupanda ndege kama wengine wanavyofanya kwenye magari ilinifanya niamini kuwa pesa ndio kila kitu. Wachache wangeweza kuamini kuwa nilikuwa jijini Mwanza masaa yaliyopita kisha nikawa jijini Dar na sasa mjini Iringa.
Kitendo cha kusubiri basi kuelekea Makambako na chenyewe nilikiona ni cha kupoteza muda. Nikakodi gari aina ya Noah.
“Mwendo mkali tafadhali!” nilimsihi.
Safari ikaanza.
Hali ya mama ilikuwa mbaya zaidi ya homa aliyonielezea mdogo wangu kwenye simu. Ule muda waliokuwa wanashangaa nimefika vipi Iringa mimi niliutumia kumshangaa mama jinsi alivyokuwa anatokwa jasho huku akitetemeka. Alitokwa na vipele vya baridi na kuacha maswali kama anahisi baridi ama la! Maana wakati huo pia jasho lilimiminika.
“Mmeenda hospitali?.” Niliuliza swali langu la kwanza. Hakuna aliyenijibu. Nikawatazama nikingojea majibu.
Dada yangu akanijibu kuwa walikuwa na mpango huo. Nikatambua anamaanisha nini.
Upesi nikamwagiza mdogo wangu akaenda kuchukua teksi na baada ya muda kidogo mama alikuwa katika machela za akikimbizwa katika wodi ya wagonjwa mahututi. Hospitali ya Ilembula.
Madaktari walipima vipimo vyote. Kama nilivyotegemea. Mama hakuwa na ugonjwa wowote. Lakini ajabu!! Alikuwa amezimia. Mama hakuwa akiongea.
Baada ya siku nne tukashauriwa kumrejesha mama nyumbani.
Hatukuwa na ujanja tukarejea na mzigo wetu, akawa anahudumiwa chakula kwa njia za mipira. Wakati dada na mdogo wangu wakijiuliza nini kimemsibu mama, nilibaki na siri nzito sana. niliamini kabisa tatizo hili la mama linahusiana kabisa na ile ndoto.
Kwa hiyo John ni mchawi!!! Nilijiuliza.
Kama ni mchawi basi huyu napambana naye kishirikina. Dawa ya moto ni moto!! Nilijiapiza lakini sikuweza kumshirikisha yeyote kati ya dada ama mdogo wangu. Imani zao za kilokole zilipingana na matendo haya.
Nikaamua kufanya kimya kimya!! Ilimradi kuokoa maisha ya mama.
Kwa mara ya kwanza nikaingia katika kibanda kidogo cha mganga wa jadi. Nje nikalisoma bango akiwa anajisifia kuwa yeye ni bingwa katika Nyanja tofauti tofauti.
Nilijielezea tatizo langu. Akasema hilo ni tatizo dogo sana. akazungumza lugha alizozijua yeye. Akafoka sana hatimaye akaanza kucheka kama tahira vile. Mwisho akanipatia dawa na maelekezo.
Nikatimiza yote aliyohitaji lakini hakuna kilichobadilika.
Siku zilizidi kusogea, na kipindi cha mitihani kikajongea zaidi. Nikawa katika mitihani mingi kwa wakati mmoja.
Uamuzi wa mwisho niliofikia ni kuondoka na mama akiwa mgonjwa hivyo hivyo. Pia nikaondoka na dada yangu kwa ajili ya kumuhudumia.
Nyumbani akabaki mdogo wangu pamoja na baba.

****

Nilikuwa na pesa na zilizidi kuongezeka lakini ajabu nilikuwa nakonda sana. si ugonjwa wa mama pekee ulionifanya kuwa hivyo bali ile ndoto ya John akishirikiana na Osmani kumchukua mama yangu katika namna ya kuumiza. Walikuwa wanambuluza chini. Sasa mama yupo hoi kitandani. Ajitambui. Na yeye John hajulikani alipo.
Maajabu!!

AFE AMA UKUBALIANE NA MIMI!! Niliukumbuka ujumbe huo, niliotumiwa siku chache kabla mambo hayajaharibika. Nikaanza kujiuliza ni kitu gani kilimaanishwa. Kisha nikaikumbuka ile namba +6666666. Haraka nikakimbia chumbani, nikachukua simu nikaingiza zile namba. Simu ikaita lakini haikupokelewa. Nikajaribu tena na tena hali ikabaki kuwa kama ilivyo.
Wiki moja ilipita. Nilikuwa najilazimisha kwenda chuo. Na siku hii pia nilikuwa nimeenda.
Lakini hali ya pale chuoni niliona kama hainifariji kabisa. Nikaamua kurejea nyumbani majira ya mchana walau nimuone mama yangu!!
Nilipofika getini kabla ya kugonga nilisita. Kwa mbali nilisikia vurumai ikitokea ndani. Na hakuwepo mtu zaidi ya dada yangu pale ndani.
Au mama ameshtuka!! Nilijipa imani. Lakini haikudumu kwa muda mrefu. Mlango ukafunguliwa nikamwona mwanaume.
Ina maana Suzi ameanza kuingiza wanaume hapa ndani!! Nilikisia kwa mashaka. Kisha nikaamua kuulinda ushahidi. Nikafungua geti nikutane na yule mwanaume nimuhoji. Tayari nilikuwa nimekasirika.
Kwa mwendo wa upesi nikaingia ndani. Hatua za harakaharaka sasa nikawa nakabiliana na yule mwanaume. Tofauti na mategemeo yangu kuwa atashtuka. Aliunyanyua uso wake akanitazama. Nilitaka kukimbia lakini mwili ukawa dhaifu. Sijui kama alikuwa anajaribu kutabasamu au alikuwa anazomea.
Uso wake ulikuwa umevimba sana na ulikuwa umechubuka. Ni kama alikuwa amekwanguliwa.
Mwanaume huyu wa ajabu akasimama wima akajaribu kuongea akashindwa akanielekeza kwa vitendo kama ananizuia vile kuingia nyumbani kwangu.
Kuna nini sasa!! Nilijiuliza.
Akazidi kunisisitiza kwa vitendo nisiingie. Hakuweza kutoa sauti.
Kabla hata sijajua nimjibu vipi kwa ishara alinyanyua miguu yake akaliendea geti akatoweka.
Akaniacha nikiwa katikati ya kuingia ndani ama kurejea getini. Hali yake usoni ilinitia mashaka sana, nilihisi na mimi nikiingia nitatoka kama yeye. Uoga ukatanda!!
Bado sikujua nifanye nini. Sikukumbuka hata kumpigia simu Suzi ambaye ni dada yangu. Nikaanza kunyata kuusogelea mlango, kisha nikaghairi nikaliendea geti nikalifungua likawa wazi kabisa.
Nikaufikia mlango nikataka kuufungua, roho ikawa inasita.
Niligundua kuwa nilikuwa natetemeka sana!! nikakishusha kitasa. Mara nikasikia vishindo vikisogea kwa kasi pale mlangoni. Mawazo yangu yakaenda moja kwa moja kwa kiumbe ambacho kimemtia majeraha yule bwana niliyepishana naye. Mbio! Nikatimua.
Nyuma vishindo vikaendelea kunifuata kimyakimya.
Ilikuwa vyema kwamba nililiacha geti wazi. Nikapenya na kuzidi kukimbia. Sasa mdomo ulifunguka nikaanza kupiga kelele kama chizi. Huku ninazidi kukimbia!!!
Nilipoweza kugeuza shingo kutazama nyuma. Kweli kilikuwa kiumbe cha ajabu!! Kiwiliwili kile kilikuwa kimevaa nguo za dada yangu. Suzi. Lakini usoni hakuwa Suzi. Huyu naye alikuwa ameumuka uso wake. Alikuwa anatisha. Nikiwa nimejikita mawazo yangu katika kumtathimini yule kiumbe anayenikimbiza mchana kweupe mara nikajikwaa.
Yule kiumbe naye akawa ananikaribia!!!

Maajabu yule kiumbe aliponifikia na yeye hakuwa akizungumza lolote kama yule. Ishara za vidole zikawa zinanielekeza jambo fulani. Sikuelewa lolote!! Cheni yake shingoni ikanifungua akili kuwa yule alikuwa ni dada yangu!! Lakini sasa amekuwaje.
Sikupata jibu umati ukawa umetuzunguka! Kila mtu akitaka kuhoji na kufahamu nini kimetokea. Suzi aliwashangaza wengi sana. Alikuwa amevimba na hakuweza kuzungumza lolote.
Kwa ishara hizohizo sasa akaanza kuwaelekeza washangaaji wengine wakamfuata. Baadhi wakiwa na silaha mikononi. Wanawake wakiwa nyuma nyuma…..na baada ya kuifikia nyumba kila mtu akawa anaogopa kuingia ndani ya nyumba yangu. Nyumba ambayo niliizindua kwa mbwembwe za hali ya juu.
Nilifadhaika.
Mwanaume mmoja aliyekuwa ameshikilia kisu tayari kwa lolote litakalokuja mbele yake aliingia ndani. Sisi tukabaki kushuhudia nini kitatokea. Suzi ambaye bado sura yake ilikuwa imeumuka alikuwa amejiweka mbali kabisa huku akionekana kutawaliwa na uoga.
“Mbona hamna kitu!!” Alizungumza yule mwanaume baada ya kutoka. Mmoja baada ya mwingine wakaanza kuingia katika nyumba yangu. Hakuna madhara waliyopata.
Suzi alikimbizwa hospitali. Baada ya siku tatu aliweza kuzungumza.
Kumbe yule mwanaume ambaye nilikutana naye siku ya tukio akiwa ameumuka usoni alikuwa ni kiongozi wa kiroho katika kanisa analolifahamu Suzi maana yeye ndiye alimleta kwa ajili ya kumfanyia maombi mama yangu mzazi.
Wakiwa katika maombi mara akaanza kiongozi wa kiroho kulalamika huku akiwa chini anagalagala hovyo. Hakuwa akinena kwa lugha lakini alikuwa akilia kwa kabila la kwao huku akimlaani paka aliyekuwa amemkaba koo huku akimshambulia.
Suzi alikuwa anashangaa tu mtu huyo akilia na kuomba msaada. Baadaye alitulia. Huo mda aliotulia tuli ndio ambao Suzi aliutumia kumsogelea. Dhahama ikahamia kwake!!
Sasa aliweza kumuona paka mkubwa rangi nyeusi!! Paka akamkwaruza kadri alivyoweza. Suzi alikimbilia chumbani lakini bado hakumkwepa paka huyu.
Wakati nafika na kuufungua mlango ndio wakati huo ambao paka alipotea na kumwacha Suzi ambaye alitimka mbio na kunikuta mimi nikiwa nimeanza kukimbia tayari.
Sasa alikuwa ameweza kuongea.
“Ajabu paka huyu hajamdhuru mgonjwa.” Suzi alishangaa. Nami nikashangaa zaidi. Paka hakuwa amemjeruhi mama hata kidogo!.
Simulizi hiyo ya Suzi iliniogopesha sana. nikamualika rafiki yangu Maria aishi nasi kwa muda. Wiki ya kwanza tangu afike pale. Mambo yalikuwa vizuri tu. Hapakuwa na mauzauza na michubuko katika paji la uso wa Suzi ilikuwa inafifia.
Jioni moja nilikuwa najisomea kwa maandalizi ya mitihani iliyokuwa imekaribia. Suzi ambaye hatukuwa tunasoma darasa moja alinikatisha kidogo. Akaleta maongezi yanayohusiana na imani za kishirikina juu ya kupote kwa John. Nilitega sikio nikamsikiliza kwa makini hadi akayamaliza maongezi yake.
“Ujue nini Bela hapa kuna mtu hawapendi anakufanyizieni” alizungumza huku akiwa amenikazia macho binti huyu wa kisukuma.
Kimya nikawa namsikiliza!!
“Na hapa ukilemaa wanampoteza na mama.” Alitamka maneno yaliyonishtua. Sasa hapo nikamtilia maanani. Ushauri wake wa mwisho akanisihi niende kwa mganga wa jadi kabla mama hajachukuliwa.
Kwa kuwa aliweka neno mama sikuwa na ujanja. Siku mbili baadaye nikaingia kwa mganga wa jadi kwa mara ya pili.
Mara anikwangue kiganja mara anikwangue kichwani mzee huyu!! Mimi kimyaa namsikiliza atasema nini. Akaomba pesa akapewa.
Akatoa masharti yake!! Hayakuwa magumu sana. tukatii na kuondoka.
Alituomba turejee baada ya wiki moja. Tuliporejea tukakuta matanga. Mganga mjanja mjanja hakuwa nasi tena duniani. Alikuwa amekufa!! Kifo cha ghafla. Siku moja baada ya sisi kuondoka pale.
Taarifa ile kila mmoja kati yangu na huyo rafiki yangu tulipokea kimshtuko. Hasahasa mimi. Nilijiuliza kwa nini? Sikupata jibu.
Maisha yakaendelea!!
Hapakuwa na mauzauza tena. Na kizuri zaidi hatimaye mama alizinduka kutoka katika usingizi ule wa kifo. Suzi akajivutia kwake kwamba ni maombi yamemwamsha, mimi sikuwa na lolote la kusema.

Mama hakuwa na kumbukumbu yoyote ile, alibaki kushangaa shangaa tu. Kwetu ilikuwa siku ya furaha sana. furaha iliyopitiliza. Sasa mama aliweza kula peke yake na hakuhitaji msaada tena. Walau furaha yangu ikarejea huku nikisahau kuhusu imani za kishirikina na kuamini mama alikuwa katika ugonjwa wa kawaida tu!!
Sasa vipi kuhusu John na ile ndoto niliyoiota? Nilijiuliza. Maana mama alikuwa amezinduka lakini John bado hakuonekana. Chuo kilishindwa kusema lolote maana mwanafunzi wa chuo kikuu anachukuliwa kama mtu mzima hakuna anayemlinda, hakuna uzio uliowekwa kumzuia asitoke, hivyo maisha ya mwanafunzi wa chuo yapo mikononi mwa msomaji mwenyewe. Chuo kitasema nini kuhusu kutoweka kwa John!! Ajabu ni kwamba hakutoweka katika mazingira yoyote yanayoelezeka bali ni ghafla tu akagundulika kuwa hayupo chuo
Nami nikaichukulia ile taarifa kama ilivyo. Kwanza upendo wangu kwa John ulikuwa umepoa sana. nilikuwa nimeanza kuhisi kuwa huyu si mtu mzuri kwangu.

****

Baada ya siku tatu. Mama akiandamana na dada yangu Suzi walirejea Makambako. Kama kawaida pesa ilikuwepo. Kwa nini sasa mama yangu asipate jambo la kukumbukwa maishani. Na Suzi naye apate la kujitambia kwa walokole wenzake. Nikawapandisha ndege. Sasa nikabaki kuishi peke yangu tena!! Sikuwa na uoga mkubwa japo sikumruhusu rafiki yangu huyu kuondoka. Tukaendelea kuishi wote.
Usiku huu ambao mama yangu alikuwa ametoweka nilikumbwa na hisia ama jambo la ajabu katika mwili wangu.
Kichwa kilikuwa kinauma, nilijaribu kumeza dawa lakini hazikunisaidia sana zaidi ya kuniweka katika majaribu ya kupitiwa na usingizi.
“Maria!! Mi nalala shosti.” Nilimwambia rafiki yangu. Alikuwa amejikita katika kuangalia filamu. Hivyo hakuitilia maanani sana taarifa yangu.
Mguu na njia nikakivamia kitanda nikaanza kuutafuta usingizi. Mara hizo hisia za kuumwa kichwa zikatoweka. Nikawa katika hisia nyingine zinazokera. Nikaanza kumkumbuka sana John . nikaukumbuka usiku ule mimi na yeye katika hoteli ya kifahari. Nikakumbuka pia jinsi nilivyoanza kuishi naye kama mchumba wangu. Mara nikayakumbuka mapenzi yake.
Ni hapa sasa nikaanza kuhangaika!! Nilikuwa namuhitaji John.
Nilikuwa nahitaji awe nami kitandani!! Lakini hakuwepo.
Nilitaka kujilazimisha kuamka niweze kukabiliana na hisia hizi lakini sikuweza. Nikahisi macho mazito sana!!
Mara likawa giza nene!! Kisha ndani ya sekunde kadhaa nikajihisi kama nina mikono ya ziada najipapasa. Mh!! Nikataka kufumbua macho bado yalikuwa mazito.

ITAENDELEA

SITAISAHAU FACEBOOK – 1

Image result for facebook

Simulizi : Sitaisahau Facebook
Sehemu Ya Kwanza (1) 

“Isabela….Isabela…” nilisikia sauti ya mwanamke ikiniita, niligeuka mara moja maana sauti ile ni kama niliwahi kuisikia mahali. Lakini sikukumbuka ni wapi. Giza totoro lilinizuia kuweza kumtambua mtu yule aliyeniita kwa ufasaha kiasi kile tena gizani.
Nilianza kujiuliza iwapo nirejee nyuma kurudi kumtafuta ama niendelee mbele ambako pia sikuwa na uhakika ni wapi. Manyunyu ya mvua yalikuwa yamenilowanisha hasa na nguo yangu ilikuwa imeshikana na mwili. Nilikuwa natetemeka huku michubuko kadhaa katika mwili wangu ikiniwashawasha. Kilikuwa kitendawili aidha niende mbele ama nirudi nyuma kuifatiliza hiyo sauti.
Ile hali ya kujiuliza niende mbele ama nirudi nyuma ikanifanya niwe kama naigiza igizo lisilokuwa rasmi.
“Isabelaaaa!!!.” Iliita tena sauti hii. Sasa ilisikika dhahiri kuwa sauti ile ilikuwa katika kulia, mwenye sauti ile alikuwa katika uchungu mkubwa na bila shaka aliuhitaji sana msaada wangu. Nilitamani kuitika lakini midomo ikawa mizito. Nilipolazimisha kuitika nikawa kama nanong’oneza, sauti haikutoka. Koo lilikuwa limekauka sana. Hapo ndipo nikagundua kuwa nilikuwa na kiu sana.
Nikiwa bado katika kigugumizi mara nikasikia kama hatua za mtu ama mnyama zikikatiza taratibu. Mara moja nikajiziba mdomo wangu, pumzi zangu zisiweze kusikika kwa huyo mtu. Sikuamini hata kidogo kwamba huyo anaweza kuwa yule mwanadada aliyekuwa ananiita kwa jina langu, maana huyo alisikika kutokea upande mwingine na wala sio huu aliosikika huyu anayekatiza. Nikaamua kutulizana.
Baada ya muda pakawa kimya, kwa tahadhari kubwa nikaanza kunyata kwa kutembelea vidole kwa mbele vya miguu. Moyo ulikuwa katika mwendo kasi ambao hapo kabla sikuwahi kuufikiria.
Moyo wangu ulikuwa katika majuto makubwa na tamaa yangu ilikuwa inaniponza sasa. Pesa nisizozitolea jasho zikawa zimenifikisha katika maluweluwe haya. Maluweluwe ya kutisha. Ulimwengu ukawa unanihukumu.
Nilimfikiria yule dada aliyekuwa ananiita, nilielewa kabisa kuwa nilikuwa namfahamu lakini swali likaja.
Anaitwa nani?? Ni wapi tulionana??
Baada ya dakika thelathini za kutangatanga katika kipori hicho kidogo hatimaye niliifikia barabara.
Ilikuwa ni barabara ya vumbi ukubwa wake ulikuwa unatosha gari kupita bila wasiwasi. Nikaamua kuifata barabara ile ili niweze kutoka eneo lile la hatari kabisa. Niliifata barabara ile kwa urefu mkubwa sana…miguu ilichoka lakini sikuwa tayari kukubali kukaa chini. Hata kama ningelia kwa wakati ule isingesaidia kitu nilikuwa katika hali ngumu sana.
MIEZI SITA NYUMA

Maisha ya chuo yalikuwa yamenipiga haswa, mwalimu Nchimbi ambaye ni mama yangu mzazi naye alikuwa ameungana na waalimu wenzake katika mgomo wa nchi nzima dhidi ya masilahi finyu ya waalimu hivyo hakuwa na senti yoyote ya kuweza kunisaidia, baba naye alizidi kupata umaarufu katika vilabu vya pombe kwa kucheza na kuimba hovyo baada ya kuwa amegida za kutosha.
Kaka yangu alizidi kuchanganywa na madawa ya kulevya huku dada yangu mkubwa akiwa bize na ulokole aliouamini kuliko hata mume wake waliyezaa naye watoto watatu. Sikuwa na mtu yeyote wa kumwomba msaada kwani kaka yangu mwingine ambaye kidogo alikuwa anajiweza alikuwa haambiliki wala hashikiki mbele ya mke wake halafu kibaya zaidi mke wake tayari tulikuwa tumegombana.
Mkopo wa asilimia ishirini niliokuwa napokea ulikuwa unaishia katika kulipa madeni.
Maisha yalikuwa yameniwia magumu sana, na marafiki hawakuwa na kikubwa cha kunisaidia.
Muda wangu mwingi nilikuwa naupoteza katika kusoma vitabu na pia kuperuzi mitandao ya kijamii, facebook ukiwa namba moja. Picha zangu ziliwafanya watu wengi wasiweze kuamini kuwa nina matatizo lakini ukweli nilikuwa naujua mimi binafsi.
Kawaida ya wavulana walikuwa hawaishi kutoa maombi yao ya kuwa wananipenda lakini nilijaribu kuwakwepa kwani niliamini kuwa kujiingiza katika mahusiano ni sawasawa na kujiongezea matatizo katika maisha yangu kwani wanaume hawaaminiki hata kidogo.
Kila mwanaume huwa ana mbinu zake za kumuingia msichana, na mimi kama msichana nilikuwa nimezikariri na kumwelewa mwanaume iwapo anakaribia kunitongoza ama la. Lakini kati ya wanaume wote aliibuka mwanaume mwingine naweza kumuita wa ajabu kupita wote. Yeye alikuwa hatabiriki leo mara anaelekea kwenye mapenzi mara kesho siasa, akisema leo kuhusu mpira wa miguu basi siku nyingine ataleta masuala ya dini.
Jina lake lilisomeka kwa kifupi kama Dk. Davis. Na kamwe sikuwahi kulijua jina lake kamili zaidi ya kujua kuwa anaitwa dokta davis. Kwa kuwa ule ni mtandao wa kijamii sikuwa na haja ya kumjua sana, haikuwa na maana yoyote ile.
Picha za dokta Davis zilikuwa za kawaida sana na hakuonekana kama ni mtu anayeweza kuwa na msaada wowote. Ule udokta wake nikauchukulia kama ule wa kutafuta sifa facebook.
Haikupita siku bila Davis kunitumia ujumbe, sikumtilia maanani sana.
Siku moja majira ya jioni, nikiwa nimekaa chumbani kwangu, hasira zikiwa zinafukuta kichwani baada ya wanachuo wenzangu tuliokuwa tunaishi hostel moja jijini Mwanza, kunisimanga kuwa silipii umeme halafu ni bingwa wa kuutumia. Kwanza nilitaka kuulaani umasikini lakini nikahisi nitakuwa nauonea. Nikaanza kumlaani mwalimu Nchimbi, mume wake, baba na babu zao kwani niliamini kama wangefanya kazi kwa bidii bila shaka wangeupiga kikumbo umasikini.
Laana zangu, ambazo nilitaka kuzifikisha hadi kwa mizimu yao zilikatishwa na mlio katika simu yangu. Ulikuwa ujumbe umeingia. Niliogopa kuufungua maana niliamini ni watu wanaonidai. Nilitamani kuzima simu lakini nikakukumbuka kuwa nilikuwa nimem-bip mama yangu dakika saba zilizopita na alikuwa hajanipigia bado.
Nikapiga moyo konde nikaufungua ule ujumbe.
“Umepokea Tshs. 66,666 kutoka kwa Magreth Pearson. Salio lako jipya ni 66,666”
Zile laana zikakoma mara moja, mawazo yote yakahamia katika simu yangu. Nikausoma vyema tena ule ujumbe. Ulikuwa upo sahihi. Nilipoangalia salio langu kweli lilikuwa lieongezeka.
Nikajiuliza huyu Magreth ni nani. Jibu halikupatikana.
Nikazungusha kichwa huenda yupo mtu nilikuwa namdai jibu likawa hapana ni mimi nilikuwa nadaiwa.
“Huenda ni mtu kakosea kutuma!!!” likaja wazo hilo. Likachukua nafasi kubwa. Mara moja pepo la tamaa likaniingia nikamwomba msamaha kimoyomoyo huyo aliyetuma kimakosa. Kisha nikazima simu. Sikuwa nataka tena habari za mwalimu Nchimbi huko kijijini Makambako.
Upesi upesi nikakimbilia katika vibanda vya kutolea pesa nikawasha simu na kuitoa ile pesa upesi.
Kisha kwa mara nyingine nikazima simu tena.
Kitu cha kwanza niliwakata kidomodomo wanachuo walionisemasema. Nikalipia umeme!!!!
Heshima kidogo ikarudi!!! Usiku huo nilipika pilau, pilau yenye hadhi ya kuitwa pilau.
Najua iliwauma!!! Nilifanya makusudi!!!
Kesho yake baadhi wakawa marafiki zangu tena.
Baada ya siku tatu nikaiwasha simu yangu. Hapakuwa na meseji yoyote iliyoingia ikilalamika juu ya kukosea kutuma pesa!!!!
Sikuhangaika kujiuliza kulikoni.

*******

Ile pesa ilipokwisha nikarejea kwenye msoto kama ilivyo ada, nikawa najiliwaza katika mtandao wa kijamii wa facebook.
Kama kawaida Dokta Davis, alikuwa amesheheni katika kisanduku cha kuhifadhi ujumbe.
Leo Davis alikuwa na topiki nyingine kabisa, Dokta Davis alikuwa anazungumzia biashara ya mtandao.
Biashara ya mtandao?? Nikajiuliza…cha kushangaza kabla sijamuuliza hilo swali tayari alikuwa amenipa majibu.
Akaniuliza kama napenda kufanya biashara.
Kidogo nisimjibu maana kwa picha zake biashara kubwa kwake labda ya kuuza ubuyu karanga za kuchemsha. Sasa anataka kufanya biashara gani na mimi?? Nilijiuliza na kupatwa hasira kidogo. Lakini kwa kuwa sikuwa na kazi ya kufanya nikaendelea kuchat naye lakini vinginevyo nisingemjibu upuuzi wake aliotaka kuniambia.
“Unaweza kuvuna hadi milioni mbili…si lazima iwe mwisho wa mwezi!!!.” Ujumbe wake ulisema. Mh!! Macho yakanitoka, nikaingiwa na dharau kabla ya kuendelea na mazungumzo hayo.
“Kivipi??” nilimuuliza ilimradi tu..
“Kirahisi sana.” Alijibu. Sikuridhika na jibu lile nikambambika maswali mfululizo hatimaye Davis akanitumia kwa kirefu ni biashara gani hiyo aliyotaka kufanya nami na kwanini anichague mimi.
Baada ya dakika mbili nilikuwa nimemaliza kuusoma ujumbe mrefu wa Dokta Davis. Nilikuwa natetemeka, mapigo ya moyo yalikuwa katika mwendokasi wa kutisha sana. Macho yalikuwa hayafumbi bali yanaitazama simu yangu!!! Nilikuwa simuoni Dokta Davis lakini nilikuwa katika TAHARUKI!!!!!
SIKUAMINI!!!!!

(Biashara ya mtandao)

Kilichonishangaza zaidi ni faida iliyoandikwa na Dokta Davis. Sikuipinga lakini mtaji wake haukuonekana kabisa, swali likawa ni biashara gani hii isiyohitaji mtaji lakini ina faida kubwa kiasi hiki??
Nilitaka kumuuliza lakini nikakumbuka kuwa tayari aliita biashara ya mtandao.
Shida zilizokuwa zikinikabili sikutegemea kuwa naweza kumruhusu roho wa kukataa anitawale.
Mara moja nikakubaliana na Davis kuwa naweza kuifanya biashara ya mtandao. Sikutaka hata kidogo kukumbuka kuwa katika biashara huwa kuna faida na hasara.
“Lakini tunatakiwa kuonana sasa itakuwaje!!! Au hakuna mkataba?” nilimuhoji.
“Keshokutwa kama ukiwa na nafasi njoo unipokee Airport, haitakuwa mbaya kama utakuja na rafiki yako mmoja anayejua kuongea kiingereza kiasi.” Alinijibu.
Siku hiyo ikapita, lakini haikumalizika bila maajabu mengine.
Ilikuwa saa moja jioni. Sikuwa na mpango wowote wa kupata pesa, ujumbe ukaingia kwenye simu yangu.
“Nitumie namba yako ya akaunti kuna kipesa kidogo nataka nikuwekee ili mtumie kama nauli kuja uwanja wa ndege kunipokea. Nilishangazwa na meseji hiyo kutoka katika namba ambayo hakika haikuwa ya mtandao wa Afrika mashariki. Bila kuuliza nikajibu ujumbe
ule lakini haukuweza kwenda, simu yangu haikuwa na salio la kutosha.
Ni kama vile upande wa pili ulitambua hilo. Simu ikaanza kuita nikapokea. Alikuwa Dokta Davis, nilimtajia namba za akaunti yangu kwa ufasaha. Ilikuwa mara ya kwanza kusikia sauti yake.
Sio siri dakika kumi zilikuwa nyingi ukaingia ujumbe kuwa pesa tayari imewekwa. Sikukumbuka kufunga mlango nilikaza mwendo hadi ‘ATM’ nikaiweka kadi yangu huku nikiwa siamini kama ni kweli ama la.
“Salio lako ni 666,666” macho yalisoma tarakimu hizo, nilitumia mkono wangu kuzihesabu moja baada ya nyingine huku nikijiuliza kuwa hiyo ni elfu sitini ama laki sita? Jibu lilikuwa laki sita. Kijasho!!
Niliondoka ATM na shilingi laki mbili. Kinyago gani angenibabaisha pale chuoni? Mimi ndio mimi.
Usiku mzima nilikuwa naitafakari pesa na kazi niliyoahidiwa na Dokta Davis. Nilianza kujiuliza ni nani ambaye anafaa kuwa nami katika msafara wa kwenda kumpokea mtu huyu muhimu, Dokta Davis. Niliwachambua marafiki zangu mmoja baada ya mwingine, hatimaye nikamchagua Mariana. Huyu alikuwa ni rafiki yangu hasa, lakini tatizo kiingereza kilikuwa kinampiga chenga..nikamsikitikia sana kwa kuikosa nafasi hii hadimu. Mwishowe nikamchagua Happy ambaye hatukuwa karibu kivile lakini alikuwa ana vigezo. Vigezo alivyotaka Davis

MCHEZO RASMI UKAANZA

Ndege ilitua muda ambao dokta Davis alikuwa amenieleza kabla, alitupigia simu baada ya kuwa ameshuka na tukafuata maelekezo ya jinsi ya kuonana naye.
Happy alikuwa mkimya sana kwani hakuwa akijua mengi hivyo aliniachia mimi majukumu yote.
Hatimaye tukaonana na Dokta Davis. Kwa jinsi alivyokuwa muonekano wake na sisi basi ilimpasa yeye aje kutupokea sisi na wala si sisi kwenda kumpokea yeye. Lakini ndio hivyo ni sisi tulienda kumpokea yeye.
Lafudhi yake ilikuwa na mchanganyiko wa kiingereza cha Afrika magharibi na Marekani. Alikuwa na mwili mdogo tu usiokuwa na chochote cha kuvutia sana. Hakuonekana kuwa mtu mwenye pesa.
“Happy, huyu ni rafiki yangu wa siku nyingi.” Nilimtambulisha Happy kwa Davis bila kumwambia kama tulikutana facebook. Nikamtambulisha na Happy huku tukienda kwenye taksi iliyotuleta.
“Nipeleke hoteli nzuri kabisa.” Alizungumza Dokta. Nami bila kusita nikamuelekeza dereva kwa kiswahili hoteli nzuri ya kifahari. Moyoni nilikuwa na wasiwasi bado kama Dokta Davis atazimudu gharama za hoteli hiyo. Muonekano wake bado ulikuwa kikwazo kwangu. Hakufanania kabisa kumiliki pesa nyingi!!
Alipolipa kwa mfumo wa dola bili za hoteli alinikata wasiwasi wangu!!!
Hapo kabla nilikuwa sijawahi kuingia hoteli yenye hadhi kama ile. Nilikuwa nashangaa shangaa tu pale ndani, sikujua ni wapi mlango unafunguliwa, sikuona mahali pa kuwashia taa baada ya kuingia ndani, na ilinishtua kengele iliyopiga kelele baada ya kuwa mlango haujafungwa vizuri. Hata Happy naye nilimwona akishangaa shangaa, lakini Davis alionekana mzoefu sana wa sehemu kama hizi. Heshima ikaanza kujengeka.
Tulizungumza mengi sana na Davis, alitawala maongezi kutokana na maswali aliyokuwa anatuuliza. Tulimweleza maisha magumu tunayopitia pale chuoni. Alisikitika sana na kuulaani umasikini.

****

Siku hiyo alitupatia shilingi laki moja kwa ajili ya nauli za kurudi chuoni kila mmoja ya kwake. Happy alipagawa nayo kila mara alirudia kusema asante huku Davis akimwambia asijali ni hali ya kawaida.
Nilipofika hostel niliyokuwa ninanishi nilitamani kila mtu
anitambue Isabella nilikuwa nina shilingi ngapi mfukoni. Nilifika ndani na kujibweteka huku nikijisikia mwanamke mwenye bahati kupita wote. Nani wa kunisumbua!!
Nilimkumbuka John Paul, huyu alikuwa ni mpenzi wangu ambaye licha ya kuachana bado nilikuwa nampenda. John aliniacha kisa sikuwa na pesa, aliniacha kwa sababu umasikini ulikuwa damuni mwangu, huenda John alidhani naweza kumwambukiza umasikini, John akaniacha na kuunda uhusiano na msichana wa kitajiri, aliyekuwa anamiliki gari yake mwenyewe na kila mara alibadili nguo za bei ghari. Aliitwa Jesca.
Niliumizwa sana na hali ile ya kuachwa na John, nilijipa moyo kuwa siku moja nami nitapata bahati ya kupendwa tena. Lakini bahati mbaya kila aliyekuja alionekana kuwa ni mdanganyifu.
Yale matendo ya kejeli aliyonifanyia John, niliamini sio kwa kupenda kwake bali msukumo kutoka kwa Jesca yule binti wa kitajiri.
Hasira ikanipanda maradufu sasa nikauona ule wakati wa kulipiza kisasi ulikuwa umefika.

Wakati wa kumwonyesha John kuwa sasa nina pesa!!! Nikawaza kumiliki gari, nikawaza kuwa mwanadada asiyepitwa na vazi lolote jipya. Na kubwa zaidi nikamuwaza Dokta…..dokta Davis.
Nikamjengea picha kaka huyu iwapo atakuwa mpenzi wangu, kwanza nitakuwa na amri juu ya pesa zake, na pili nitakuwa Mrs. Davis. Lolote analofanya lazima nishirikishwe.
Mh!! Itawauma kweli Isabella nina mchumba kutoka Marekani. Nilijisemea huku nikitabasamu.
Zile picha za dokta Davis ambazo mwanzoni niliziona kuwa hazina mvuto sasa nikaziona kuwa hazina mfano dokta akawa dokta kweli. Uchafu gani mwingine wa kunisumbua humo facebook?? Nilijiuliza. Kisha nikagundua nilianza kujengeka kiburi kichwani!!!
Usingizi ulinipitia nikaja kushtuka saa kumi na mbili asubuhi.
Ni kama niliamka wakati sahihi. Dokta akapiga simu.
“Mchukue gari ya kukodi, mwambie dereva tutamtumia siku
nzima.” Alitoa maelekezo hayo Davis. Nikafuata maelekezo.
Baada ya saa zima nilikuwa katika gari la kukodi.
Kabla ya kwenda kwa dokta nikaamua kwanza kulipa kisasi, nikamuamuru dereva twende chuo. Bahati ilikuwa upande wangu, ile nashuka kwenye gari kwa mbwembwe zote. Karibia wanafunzi kumi niliosoma nao darasa moja waliniona.
Macho yao yalionyesha kutoamini nami sikuwajali.
Nikajizungusha zungusha hapo kisha nikamwamrisha dereva, tukaenda kumchukua Happy. Huku nyuma najua niliacha gumzo!!!
Tulipofika nyumbani kwa Happy, Happy hakuwepo!!! Nikajaribu kupiga simu yake, haikupokelewa. Niliwauliza majirani wakadai kuwa alitoka lakini hawajui kama alirudi ama la.
Anachezea bahati huyu!! Nilijisemea.
Nikapanda ndani ya gari. Safari ya kwenda kwa dokta ikafuata.
Maajabu nilimkuta Happy akiwa amefika tayari!! Alikuwa na dokta wakinisubiri.
Mchomo wa wivu ukanishambulia na kunijeruhi moyoni, nikaanza kuhisi zile ndoto zangu zimeanza kufifishwa. Happy alinisalimia akiwa na tabasamu mwanana. Dokta akiungana naye kutabasamu. Nami nikajilazimisha nikatabasamu!!!
“Kesho nitarejea nyumbani mara moja….kuna dharula imejitokeza. Lakini kitu kimoja nahitaji mfanikiwe kupitia mimi.” Alianza kutueleza dokta, tukiwa ndani ya gari la kukodi. Kisha akaendelea, “Nitarejea hivi punde tu!! Na nikiwa huko nitakuwa nawasaidia, msisite kunieleza lolote nami nitawasaidia, hata mimi kufika hapa nilikuwa nasaidiwa kwa hiyo ni zamu yangu kusaidia.” Aliongea kwa ukarimu mkubwa.
Kwa mahesabu ya harakaharaka zile dola thamani yake ilikuwa milioni sita za kitanzania. Hizo ndizo Dokta alituachia tugawane.
Kwangu mimi ilikuwa kama ndoto ya mchana!!!
Siku iliyofuata dokta huyu wa ajabu akarejea huko anapojua
yeye!! Hakutaka kusindikizwa uwanja wa ndege.
Ile hali ya kumshuhudia Happy akiwa na Dokta Davis ilinitia mashaka sana na kuhisi kwamba muda wowote ule nitanyang’anywa tonge mdomoni. Hivyo nikalazimika kuchukua tahadhari na kuanza kumpeleleza Happy kujua iwapo ana mawasiliano ya ukaribu na Davis ama ni wasiwasi wangu tu.
Niliamini kabisa Davis alikuwa ni mali yangu na si ya mtu mwingine hivyo, Happy kama alitaka kunizunguka basi alikuwa hanitendei haki hata kidogo.
Ilikuwa siku tulivu ya jumamosi nikiwa chumbani kwangu. Chumba ambacho kwa sasa kilikuwa na mabadiliko kidogo tofauti na awali. Simu yangu iliita alikuwa ni dokta Davis. Nikapokea.
Dokta alizungumza mengi huku kubwa zaidi akinigusia kuhusu biashara tuliyozungumza. Ni hapo ndipo nikaikumbuka biashara ya mtandao. Siku tulivyochat naye katika mtandao wa facebook huenda sikumuelewa vyema. Sasa alikuwa ananielewesha vyema ni jinsi gani mimi nitahusika katika biashara hiyo inayolipa mamilioni mengi kwa muda mfupi.
“Sasa hapo biashara hiyo inafanyikaje? Huo mtandao uko vipi?.” Nilimuuliza kwa utafiti. Kwani hakuwahi kunielekeza moja kwa moja juu ya biashara hiyo ya mtandao.
“Umeuliza swali hili wakati muafaka sana. Nilitaka kukueleza kuwa
umependekezwa kuwa mwakilishi wetu katika nchi yako. Hongera sana.” Aliniambia na kabla sijauliza chochote aliendelea, “Ni lini utapata walau siku nne za kuwa free uweze kunitembelea huku niweze kukupa maelekezo zaidi?”
“Wewe upo wapi??” Nilimuuliza.
“Lusaka Zambia, lakini tutakutana Ndola.”
“Ndola ndio wapi?.” Nilijawa na maswali mfululizo.
“Mkoa mmoja hapahapa Zambia.”
“Kwa sasa nipo free sana. Hatujaanza kuwa bize.” Nilimjibu huku nikiwa nafurahia mazungumzo hayo.
“Waweza kukimbia mara moja kuja huku ofisini kwetu kwa ajili ya kusaini mikataba?.” Aliniambia, nikacheka kimya kimya yaani yeye Zambia alipaona karibu sana eti ananiambia nikimbie mara moja.
“Naweza ila…”
“Usijali mambo ya nauli na kila kitu kampuni itakulipia. Kesho zitaingizwa kwenye akaunti yako.”
Ni hilo haswaa nilitaka kumuulizia na sasa alikuwa amenipa jibu tayari.
Baada ya kukata simu ile nilitamani sasa kila mtu aitambue furaha yangu, nipo chuo mwaka wa pili napata kazi nje ya nchi, mshahara zaidi ya milioni mbili. Nani kama Isabella.mara nikamsahau Happy aliyekuwa anakisumbua kiichwa changu.
Nikafumba macho, nikatamani sana kumshrikisha mwalimu Nchimbi ambaye ni mama yangu mzazi lakini nikaona ni mapema sana, nikataka kumwambia Happy lakini nikahisi huyo alikuwea mpinzani wangu katika kumuwania Davis. Nikakaa kimya sikumwambia mtu yeyote.
Siku moja kabla ya kuondoka nilizungumza na kiongozi wa darasa letu Class Represenative ‘CR’ kuhusu kazi zitakazokuwa zinatolewa darasani awe ananiandika kuwa nipo japo sitakuwepo, mwanzoni alinikatalia lakini nilipotoa noti moja baada ya nyingine hadi zikafika noti kumi nyekundu alilainika na kugeuka kibaraka. Tena akawa mzungumzaji mkuu!! Pesa bwana!!

(Safari ya Zambia)

Kesho yake asubuhi nilikuwa katika basi la kampuni ya Abood kuelekea Mbeya kisha Tunduma halafu safari ya kwenda Ndola. Kusaini mkataba!! Mkataba nisioufahamu!!
Nilijihisi kama malikia na lilikuwa kosa kubwa sana kujaribu kunifananisha na mwanafunzi yeyote wa chuo kikuu cha mtakatifu Augustino ambacho nilikuwa nasoma. Hata wale wa huko Dar pia hawakutakiwa kufananishwa na mimi Hakuna ambaye angeweza kukaa ngazi moja na mimi
kwa sababu wengi wao waliishi kwa kutegemea mkopo sasa mimi nilikuwa nina pesa yangu na kubwa zaidi nilikuwa naingia kazini. Hao watoa mikopo ningepata fursa ya kukutana nao nadhani ningekuwa na jeuri ya kuwashushia
mvua ya matusi.
Nikiwa safarini kuelekea Mbeya nikitokea mjini Dodoma baada ya safari ndefu kutoka Mwanza siku iliyopita, tulipofika Makambako nilianza kuifikiria familia yangu niliwaza kumjengea mama yangu nyumba ya kifahari kisha nimtoe baba yangu katika ulevi sugu kwa kumuwekea pombe za kisasa ndani. Hizo niliamini zitamnenepesha badala ya kumkondesha. Wadogo zangu waliokuwa wakisoma shule za kata nao nadhani walitakiwa kusoma shule zenye hadhi ya mshahara nitakaokuwa napokea dada yao. Tena wote nawapeleka shule za bweni!!! Nilijiapiza huku pua zangu zikinusa kwa mbali harufu nzuri ya sabuni ambayo nilitumia asubuhi kuoga katika hoteli ya kifahari mjini Dodoma.
Nilitoa tabasamu hafifu kisha nikaendelea kuuchapa usingizi.
Nilifika Mbeya salama. Dereva teksi wa kwanza niliyekutana ndiye alipata bahati ya kuniendesha msichana ambaye nilikuwa na malengo makubwa kama mimi. Alitakiwa kujisifu kama angekuwa kichwani mwangu.
Alinifikisha hadi hoteli maridadi yenye hadhi ya kulaliwa na watoto wa vigogo na vigogo wenyewe. Nililipia na kulala hapo kesho yake mapema nikawa Tunduma halafu mwisho ikafuata safari ya Ndola. Hata ule uchovu haukusumbua mwili wangu.
Ndani ya basi tulilokuwa tumepanda walikuwepo watu mchanganyiko. Hakuna aliyekuwa na hadhi kama mimi. Yaani nilikuwa najisikia kuwa na uwezo hata wa kuamuru basi hilo lisimame na likasimama lakini sikufanya hivyo.
Majira ya saa kumi na moja jioni kwa mara ya kwanza katika maisha yangu nilikanyaga ardhi ya nchi tofauti na Tanzania. Isabella ndani ya Ndolla
Mwanzo wa safari ya kwenda Marekani!!! Nilijiwazia hivyo.
Nilitegemea kuhangaika sana baada ya kuwa nimeshuka pale kituoni. Lakini la!! Haikuwa hivyo. Nilipotelemka tu. Nilitumia dakika moja tu kushangaa wanawake wawili waliokuwa wamependezea katika mavazi yao ya suti walinipokea begi langu dogo huku wakinisalimia kwa nidhamu kubwa sana.
Niliwajibu kwa tabasamu, sasa nilianza kuamini kuwa Dokta Davis atakuwa ni mtu mkubwa sana. tofauti na mwonekano wake.
Niliongozwa hadi katika gari aina ya Noah, nilitaka kuingia humo lakini nikaambiwa hilo ni kwa ajili ya mizigo. Nikacheka moyoni huku nikiwaza kuwa laiti kama ningepewa hilo gari. Chuo wangekoma!!
Mh!! Mzigo gani sasa?? Nilijiuliza. Hakuwepo wa kunijibu.
Baada ya hapo nikapelekwa katika gari iliyokuwa na milango sita.
Hapo nikafunguliwa milango nikaingia ndani. Niliokutana nao mle ndani wote walikuwa na nyuso zilizong’aa tofauti na ule wa dokta Davis. Japo walikuwa weusi na sura zao zikitangaza roho flani hivi isiyokuwa na ukarimu sana
lakini walitabasamu.
Naishi kama mfalme nchi za watu?? Mwalimu Nchimbi natamani ungeyaona haya goodbye umasikini!!!! Nilijitamba kichwani mwangu huku nikikaa vyema na kuzijibu salamu za watu pale ndani.
Safari ikaanza. Sikuwa naujua mji hata mmoja lakini safari nayo haikuwa fupi.
Nilitamani sana niulize kuwa pale ni wapi lakini ningeanza kumuuliza nani?? Hilo likawa swali. Laiti kama dokta angekuwepo hapo sawa.
Nikiwa bado nashanga shangaa hapa na pale mara mwendo ulipungua kisha honi ikapigwa. Geti likafunguliwa na watu waliovaa nguo nyeupe sana. Gari zikaanza kuingia, yetu ikiwa ya pili kuingia.
Tulipotaka kushuka milango ilifunguliwa na akina kaka wenye kila sababu za kuitwa watanashati na wanamazoezi. Nikazidi kuvimba kichwa kwa mema haya niliyokuwa natendewa.
Nikiwa bado sijafungua kinywa kuzungumza tangu nijibu salamu garini, walinifuata akina dada watatu wakanielekeza kwa ishara za mikono niwafuate. Sikuwa na kipingamizi niliwafuata. tuliingia katika chumba kilichokuwa na mvuto hata kwa yule asiyejua ubora wa chumba. Lakini mimi nilikuwa naujua ubora niliambua.
“You have to re-dress madame” (Unatakiwa ubadili mavazi yako).
Waliniambia kwa pamoja. Sauti zao tamu zilinikonga moyoni.
Wakanipa maelekezo na baada ya dakika kadhaa nilitoka mle ndani nami nikiwa nang’ara katika mavazi meupe sana.
Nilikuwa nimependeza sikuhitaji kumuuliza mtu.
Sasa tukarejea katika magari tena. Mi nilijua tumefika mwisho kumbe lile lilikuwa geti la kwanza tu.
Mwendo wa dakika tano tukashuka tena. Tukaingia geti jingine kubwa. Hapo tukatelemka na kuanza kutembea juu ya kapeti jekundu.
Red kapeti!!! Niliwaza. Nikafanya tabasamu.
Nikiwa juu ya lile kapeti nikajihisi kuwa na hadhi ya Rihanna, Beyonce ama Lady Gaga. Kisa tu nipo juu ya zulia jekundu.
Hapa kama ni kazi nimepata!! Nilijiaminisha.

Nilikuwa makini katika kulikanyaga lile zulia jekundu, sikutaka kuonekana mshamba katika hilo. Nilijilazimisha kutembea mwendo wa kilimbwende wakati niliamini kuwa iwapo nitathubutu kuingia katika mashindano ya ulimbwende basi nitashika nafasi ya mwisho ama sitapata walau kigezo cha kusimama jukwaani kama mlimbwende. Maana nilikuwa cha ufupi na nilikuwa na dalili ya kuwa kibonge.
Niliongozwa hadi katika chumba kikubwa sana, kila kitu pale ndani kilikuwa cheupe kasoro ngozi yangu ambayo ilifanya kama uchafu pale ndani. Sikujali!!!
“Utalala hapa ndani…na hawa watakuhudumia.” Nilipewa wakinamama wawili kwa ajili ya kunihudumia. Umri wao sidhani kama unatofauti sana na wa mwalimu Nchimbi yule mama yangu mzazi. Lakini matabasamu yao ni kama walikuwa na miaka kumi na nane.
Ungekuwa wewe ungejisikiaje. Mwenzako nilijisikia kama malkia.
Nilipata huduma zote za msingi hadi nilipopitiwa na usingizi na kuamka siku iliyofuata. Baada ya kuwa nimeoga na kupewa nguo nyingine nyeupe tena nilikaribishwa kifungua kinywa.
Ilikuwa kufuru nyingine tena niliyoweza kuishuhudia. Meza ilikuwa imesheheni kila aia ya makorokoro. Kazi kwako mlaji kujihudumia. Kiaibuaibu nikajinyima kula nilivyovitamani nikala nilivyovizoea. Na ushamba pia ulichangia. Kuna vyakula sikuelewa kama vinaliwa kwa kijiko ama uma, harufu yake nzuri ikabaki kunisurubu. Nikaogopa kujaribu!!!
Majira ya saa tano asubuhi niliongozwa tena kuelekea katika ile gari ya milango sita. Nikaingia humo kwa namna ileile kama malkia. Safari yetu ikaishia katika sehemu nyingine ya kifahari. Sikuwa naielewa nchi ya Zambia hivyo sikujua lolote.
“Mukuba Hotels.” Hilo ndilo neno nililoweza kulisoma baada ya kuunyanyua uso wangu juu. Sikujua maana ya Mukuba. Lakini bila shaka zilikuwa lugha za huko kwao. Hii hoteli ama jumba la kifalme!! Nilijiuliza.
Tuliingia hadi ndani huku mimi nikiwa mfuata mkia nisiyejua lolote linaloendelea mbele. Baada ya kukatiza kona kadha wa kadha sasa tukakutana na mlango ulioandika kwa maandishi yenye rangi ya dhahabu!! Dr. Davis. Moyo wangu ukapiga kwa nguvu. Paa!!
Ina maana Davis anaishi hapa? Nilitamani kuuliza ila nikasita.
Nikiwa nasubiri ajitokeze mtu kwa ajili ya kubisha hodi ili tuweze kuingia ndani maana sikuona mahali pameandikwa ‘PULL/PUSH’ mara mlango ule wa vioo ulianza kufunguka wenyewe.tukaingia ndani.
Sasa tulikuwa watu watatu pekee!! Wale wawili baada ya kuingia ndani pamoja nami wakatoka nje. Bila kusema neno!!
Sasa nikabaki peke yangu.
Kiti cha kuzunguka kilichokuwa kimegeuziwa ukutani kikazungushwa taratibu. Vazi la suti likanisabahi, kisha uso ukanyanyuka.
“You are most welcome!!” Alinikaribisha. Kisha akatabasamu. Alikuwa anafanana na Davis lakini sikutaka kuamini. Labda ndugu yake au au au…
“Ndo mimi mbona unashangaa.” Aliniwahi. Ni kama alijua nilichokuwa nawaza. Alikuwa ni Davis. Sauti yake ilikuwa ileile.
Nikachukua nafasi. Bila kusema lolote alibonyeza kitufe mara kikashuka mfano wa kitrei cha kuwekea vyombo.
“Unatumia kinywaji gani.” Aliniuliza mimi nikiwa bado nashangaa.
“Aaaah!! Chochote.” Nilijiumauma.
Akabonyeza vitufe kadhaa, kikaondoka na kurejea tena baada ya dakika tano.
Maajabu ya nane ya dunia. Kile kitrei kilikuwa na glasi mbili za juisi. Akatwaa moja akanipatia. Sijawahi kuona tangu nizaliwe!!
“Asante.” Nilimshukuru. Hakujibu.
Dokta Davis aliyekuja Tanzania hakufanana hata kidogo na huyu. Huyu alinuka pesa tena pesa nyingi.
“Karibu Ndolla Zambia, hii ni ofisi yangu ndogo ya huku, nyingine ipo Lusaka, Accra na kubwa zaidi ipo Washington.” Alinielezea kwa sauti iliyojaa ujivuni. Lakini alikuwa amechangamka!!
Nilikuwa makini kumsikiliza.

“Isabela…. .”
“Abee!!.” Niliitika.
“Kampuni yangu imeamua kufanya kazi na wewe.”
“Nashukuru sana Dokta.” Nilishukuru, hakujali hilo akaendelea
“Unauchukia umasikini?.”
“Nauchukia kuliko niavyoweza kujielezea.” Nilisisitiza.
“Na….anyway..unaenda sana kanisani.”
“Aaah!! Kiukweli ni mara chache chache.”
“Kwa nini?.”
“Aaah!! Mambo huwa yanakuwa mengi sana.”
“Ok!! Achana na hayo…Isabella kazi uliyopata hapa ni kazi nyepesi na kila mwezi itakuingizia shilingi milioni sita laki sita na elfu sitini na sita kila mwezi.” Alizungumza Dokta bila wasiwasi, alimanusura nipoteze fahamu. Mwili ukawa wa baridi. Nikajaribu kujishtua huenda ninaota, haikuwa hivyo. Hali ile ilikuwa halisi.
Nilikuwa Zambia na nilitangaziwa dau hilo kubwa.
“Unawazungumziaje wanaume kwa ujumla?.” Davis hakujali ule mshtuko wangu akanitupia swali jingine, bila shaka milioni sita kwake si lolote si chochote.
“Aaah!! Kiaje labda” Nilimuuliza huku nikifinya finya mikono yangu.
“Vyovyote vile lakini hasahasa katika kazi ya mapenzi.”
“Viumbe waongo, wasiokuwa na huruma, wanyanyasaji na…”
Nilishindwa kuongea nilikuwa nimemkumbuka John, mwanaume aliyeamua kuachana nami kisa sina pesa. Sasa hapa nazungumzia juu ya kupata pesa.
“Labda ukiambiwa uwape adhabu utatoa adhabu gani kwao.”
“Dah!! Sijui watoweke duniani…aaah!! Sijui ila nawachukia wanaume wenye tabia hii.” Nilimjibu huku nikilegeza koo kwa kugida funda mbili za juisi ile. Ilikuwa tamu sana. sijui tunda gani lile!!!
“Safi sana…kumbe kazi utaiweza kabisa lakini lazima kwanza ubadili kwanza mawazo yako hayo ya kuombea wanaume watoweke. Lengo la kampuni yangu mimi ni kuwabadili wanaume kuacha na mfumo huo wa unyanyasaji na pia kuwafunza wanawake kuepukana na vishawishi vya wanaume wadanganyifu. Tunaamini kuwa utaweza kutuwakilisha vyema katika nchi yako. Ukimuelimisha msichana mmoja kwa siku basi ujue umeielimisha jamii kubwa sana.” Aliongea kwa umakini mkubwa huku akiwa amenikazia macho. Nilikwepesha kutazamana naye.
“Nitaweza hata usitie shaka.” Niliikubali kazi. Zikaangushwa karatasi nne mezani nikasaini mkataba mnono.
“Baadaye kidogo pesa ya utangulizi itaingizwa katika akaunti yako.” Alimaliza Dokta.
Tunaweza kuzunguka zunguka kidogo uitazame ofisi yangu. Lilikua ombi la Dokta nikakubaliana nalo.
Tulizunguka kona tofauti tofauti. Nilikuwa nikimtazama Davis kwa kuibia ibia na yeye pia alifanya hivyo. Yale mawazo ya kumfanya awe mpenzi wangu yakawa yananisumbua akili nilitamani kumwambia lakini mdomo ukawa mzito.
Laiti kama nikiwa naye!! Hata hii ofisi pia itakuwa mali yangu!! Niliwaza.
*****
MWANZA

Ulikuwa usiku wa kipekee sana kwangu, ndio kwanza nilikuwa nimerejea jijini Mwanza, kwa usafiri bora wa ndege. Kwa mara ya kwanza katika maisha yangu. Sijui niseme mara ya pili!! Maana mama alinihadithia kuwa nilipokuwa mtoto niliwahi kupanda ndege!!!
Baada ya kushuka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere bila kuwa na wa kunipokea sasa hapa uwanja wa ndege wa Mwanza nilihitaji mtu fulani ajue kuwa nimekuja na ndege!! Huyo mtu ni nani kama sio John!!!
Nilimwomba John afike kunipokea. Nilifanya hayo makusudi ili kumkomoa kwa ubaya alionifanyia. Ubaya wa kuniacha na kuwa na mahusiano na msichana mwingine.
Ni kweli John alikuwa amenitenda vile lakini John bado alikuwa moyoni mwangu. Nilikuwa nampenda sana John. Walikuwepo wanaume wengi lakini nafasi ya John bado nilikuwa sijaona wa kumrithisha.
John aliposikia nakuja na ndege hakusita kunikubalia. Labda ili athibitishe kwamba kweli nimekuja na ndege ama la. John alinipokea huku akinipapatikia, niliifurahia hali hiyo. Tulichukua taksi iliyotufikisha katika hoteli yenye hadhi ya juu ya La kairo jijini Mwanza tukajipatia chumba. Chumba cha bei ya juu kabisa!! Sikuwa na wasiwasi kuhusu pesa!!
Wakati huo John tayari alikuwa amemdanganya mpenzi wake wa wakati huo Jesca kuwa hatarejea chuoni siku hiyo kwa kuwa kuna rafiki yake anaumwa. Ameenda kumsalimia.
Usiku majira ya saa nne, tayari tulikuwa tumelia sana baada ya kukumbushiana yaliyopita. John akaniomba msamaha nami sikusita kumsamehe. Kilichofuata hapo ni kurejesha hisia za zamani na kuanza kushambuliana, kila mmoja akijitahidi kuamsha hisia za mwenzake, baadaye kidogo. Vita!!!
Vita ya miili. Kila mmoja akitamani kuibuka mshindi, hapakuwa na mwamuzi. Wakati vita hiyo ikiendelea ikaanza kusikia kama sauti ikiniongelesha kwa kabila kama kihehe vile, lakini sikuweza kuielewa lakini niliwahi kuisikia mahali. Ni kweli niliwahi kuisikia mahali, lakini sasa sikuwa nakumbuka ni wapi. John alikuwa bize, huenda alikuwa akifurahia peke yake. Nilitamani kumwambia John azisikilize zile sauti lakini hakuweza kunisikia alikuwa ulimwengu mwingine.
John alipokoma, na sauti zile nazo zikatoweka. Ni kama vile zilikuwa kando ya dirisha zikitusemesha ama zikinisemesha.
“John walikuwa wanasemaje?.”
“Nani?. Hao wahudumu ama.?” Aliuliza kwa utafiti.
“Hapana!!!anyway acha ilivyo.” Nilimaliza mjadala.
John hakuuliza zaidi.
Nilielekea bafuni kujisafisha, kisha nikarejea tena pale kitandani. John alikuwa amesinzia. Sikuwa na hamu naye tena bali nilizitafakari zile sauti zilikuwa zikisema nini.
Lakini kama John , hajazisikia basi hakuna sauti yoyote!!! Nilijipa moyo.
Asubuhi John alikuwa wa kwanza kuamka. Aliingia aliwatoni akajisafisha na kuniamsha. Nami nikafanya kama alivyofanya kisha tukaondoka. John akaelekea alipopajua nami nikaelekea chuoni.
Zile sauti nilizozisikia usiku ule sikuzikumbuka tena. Nilichokumbuka ni kwamba mimi na John tulikumbushia enzi.
******
Sikuweza kujua ilikuwa ni saa ngapi, lakini niliamini ilikuwa ni usiku tena usiku sana. Kuna sauti zilikuwa zimezungumza nami, tena kwa lugha ninayoielewa, zilikuwa sauti zenye furaha sana.
Nikiwa bado natafakari sauti hizo zilizungumza nini na mimi. Mara simu yangu iliita. Alikuwa ni rafiki yangu wa darasani. Nikajiuliza kulikoni. Nikaipokea simu.
“Isabella, Isabella….Jenipher jamani. Jenipher!!”
“Amekuwaje tena. Eh!! Nambie.”
“Jenipher yupo hoi hospitali hapa.” Alijitahidi kuongea bila taharuki lakini alisikika akitetemeka. Baada ya pale hata kabla sijamjibu, simu yake ilikatika.
Nilipojaribu kumpigia hakupatikana. Nikajilazimisha kulala, huku nikiamini kuwa lile ni tatizo la kawaida tu
Asubuhi palipopambazuka, taarifa ilikuwa nyingine, taarifa ya kushtua nafsi!! Jenipher msichana aliyekuwa akiishi na huyo rafiki aliyenipigia usiku uliopita.alikuwa amefariki baada ya jitihada za madaktari kugonga mwamba.
Ilikuwa habari ya kusikitisha sana kwani kilikuwa kifo cha ghafla mno.
Sikuzikumbuka zile sauti za usiku ule zilikuwa zinasema nini na mimi.
Sasa nikawa nawaza juu ya msiba huo!! Msiba wa ghafla!!

Mwili wa marehemu uliagwa katika viwanja vya Raila Odinga. Kila aliyehudhuria alijawa na simanzi, hasahasa kutokana na kilio cha mama mzazi wa binti yule ambaye alikuwa haishi kumlilia mwanaye huyo wa pekee aliyefanikiwa walau kufika chuo kikuu.
Tofauti na watu kuwa na majonzi niliweza kubaini sura ya mtu mmoja ilikuwa na hofu kuu. Huzuni ikiwa mbali naye.
Huyu alikuwa ni John. Sikujua kwa nini alikuwa katika hali ile. Niliyalaumu macho yangu kwa kumtazama vile huenda alikuwa sawa lakini hapana nafsi haikuridhika.
Muda wa kuaga ulifika ilianza familia ya marehemu iliyoungana nasi pale chuoni, kisha wakafuata wanafunzi wa kike. Nilinyanyuka na kuungana na msafara mrefu uliokuwa na nia moja ya kumsindikiza marehemu.
Jua kali lilikuwa likinisumbua sana na kunifanya nitokwe jasho sana, si mimi pekee niliyelalamika bali na baadhi ya wasichana waliokuwa nyuma yangu nao walilalamika. Lakini mwendokasi wa foleni haukuwa mbaya tuliamini kuwa muda si mrefu kila mmoja atakuwa amemuaga marehemu.
Kwa akili zangu timamu nilisikia mivumo kwa mbali sana. Sikuwa nimesinzia ili nijilaumu kwamba ni ndoto. Hapana nilikuwa najitambua kabisa. Mivumo ile ilikuwa mithili ya mkutano wa injili unaofanyika mbali kiasi na wanatumia spika kubwa kuhamasisha watu wengi waweze kusikia. Kisha sauti hizo kutwaliwa na upepo kisha kurudishwa. Sikuweza kusikia maneno yote na hata hayo niliyoyasikia yalikuwa nusunusu. Nilitaka kumuuliza aliyekuwa mbele yangu lakini bahati mbaya hatukuwa tukifahamiana. Lakini wa nyuma yangu nilikuwa namfahamu nikaamua kumuuliza kama kuna kitu anasikia.
“Eti dada unasikia nini?.” Nilimuuliza.
“Sijui hata kuna nini huko mbele hata dah!! Jua kali kweli.” Alinijibu nje kabisa ya swali nililomuuliza. Nikameza mate kulainisha koo langu, alikuwa amenikera.
Ghafla nikagundua kuwa foleni ile ilisimama, sasa nikagundua kwa nini yule binti alinijibu vile. Kumbe hakunielewa kabisa.
Kimyakimya nikamsamehe!!!
Foleni ile haikuweza kusogea mbele, nilikuwa bado katika kutafakari,
kulikoni ghafla ilitawanyika. Haikuwa foleni tena bali purukushani. Kila mmoja akataka kutazama kilichopo mbele. Mwanzoni ilikuwa foleni ya wasichana lakini sasa ulikuwa mchanganyiko wa jinsia zote. Kila mmoja akijitahidi kwa kadri anavyoweza kutazama mbele kuna nini.
Nilikuwa mmoja kati ya walioparangana na kufanikiwa kuona mbele. Alikuwa ni Jesca , aidha kwa hiari ama lazima alikuwa amekumbatia ardhi isiyokumbatika. Alikuwa ametulia tuli kumaanisha labda amekipenda kitendo kile. Tulibaki kushangaa kwamba kuna nini kimetokea. Wasichana tukiwa katika mshtuko wanaume walijiongeza wakavua mashati yao na kuanza kumpepea Jesca. John akiwa mstari wa mbele kumtetea huyu mpenzi wake kutoka katika hali aliyokuwanayo.
Niliweka kando hasira na chuki dhidi ya binti huyo ambaye kwa maksudi alininyang’anya tonge mdomoni kwa kumchukua mpenzi wangu John kutoka katika himaya yangu.
Niliuvaa ubinadamu, huruma ikanishika.
Jesca hakutingishika hata kidogo. Sasa alibebwa mzega mzega hadi akawekwa katika kivuli. Zoezi la kumpepea liliendelea.
Yule mwanadada mwingine aliyekuwa ametulia tuli katika jeneza na yeye alikuwa amesahauliwa kwa muda. Cha ajabu hata mama yake mzazi naye macho yake yalikuwa yakifuatilia kwa ukaribu tukio la Jesca kuanguka.
Sio maajabu haya!!!!
Harakati za kumpepea Jesca ziliendelea hadi gari ya huduma ya kwanza ilipofika eneo lile. Jesca alipakizwa na gari ikaondoka kwa kasi huku ikipia ving’ora vya kuashiria hatari ama dharula.
Nilifanya ishara ya msalaba na kumkabidhi Jesca kwa Mungu kutokana na tatizo lililomsibu.
Zoezi la kuaga liliendelea tena upesi upesi. Wakati huu sikumuona tewa John. Bila shaka aliongozana na mpenzi wake alyekuwa amekumbwa na maswahibu.
Ile kufikiria kuwa Jesca ni mpenzi wa John. Wivu ukanipiga kikumbo nikajisikia vibaya. Nikahisi kuwa naonewa. Kisha nikaukumbuka usiku wangu wa mwisho na John. Ulikuwa usiu wa kipekee….na…na……na usiku wa kwanza kusikia sauti zile zisizokuwa na maana. Sauti za maajabu.
Sasa zinamaanisha nini? Hilo lilikuwa swali. Nje kabisa ya uwezo wangu kujibu. Lakini nani hasa wa kunijibia????
Baada ya taatibu zote za kuuaga mwili kufanyika. Zilifuata taratibu za kifamilia. Kuondoka na mwili wao.
Mwili ambao ulikuwa umeagizwa kuja kusoma kwa lengo la kuisaidia familia hapo baadaye mwili huu sasa ulikuwa unarejeshwa nyumbani kwa ajili ya kuzikwa. Inauma sana.
Baada ya watu kusambaa niliwasha simu yangu kwa ajili ya kumpigia
John na kumjulia hali Jesca. Lakini kabla sijapiga, iliingia simu ya Dokta Davis. Nilishtuka kwanza maana ile kazi niliyoagizwa hata siku moja nilikuwa sijaifanya. Nikaanza kutunga uongo kisha nikapokea simu.
“Pole sana na kazi!!! Usijali utazoea. Naona unachoka sana hata kupiga simu inakuwa tabu. Bila shaka ulifika salama na kazi uliianza mara moja.” Aliongea bila kuweka kituo Dokta Davis. Nilibaki kujichekeshachekesha, kisha nikakiri kuwa kazi inaenda vizuri sana.
“Safi sana …safi sana.” Alinisifia Dokta. Nikajisikia vibaya kwa kuwa nimemdanganya.
Tulizungumza mengi huku akinisihi niangalie akaunti yangu maana kuna pesa ilikuwa imeangulizwa.
Taarifa hiyo ilikuwa furaha sana kwangu. Kiukweli nilikuwa napenda sana pesa.
Nilipotoka pale eneo la viwanja vya Raila Odinga nilijivuta taratibu hadi nikazifikia ATM, nikazama ndani nikadondosha kadi yangu. Nikatazamana na akaunti yangu ikiwa imekenua, kunifurahisha mimi. Milioni tatu, laki sita na elfu sitini na sita zilikuwa zimeongezeka katika akaunti yangu. Nilitabasamu mwenyewe, huku nikichomoa kadi yangu. Sikuwa na haja na pesa kwani kwenye pochi yangu laki moja na nusu ilikuwa inasubiri matumizi yangu.
Nilipokuwa natoka katika kituo hicho cha kujichotea pesa. Nilianza kuwaza kuhusu umaarufu. Wanafunzi mia nne wa darasani kwetu pekee kunifahamu hilo niliona kama halitoshi. Nilihitaji walau nusu ya chuo waweze kunifahamu. Sikupata muda wa kufikiria kuwa sifa haziliwi wala hazinenepeshi.
Mawazo yangu hayo yasiyokuwa na maana sana yaliingiliana na mlio wa simu.
“Isije ikawa taarifa mbaya…” niliwaza.
Nikaipokea simu nimsikilize shemeji yangu alikuwa akisema nini. Huyu alikuwa ni rafiki yake na John.
“Pole shemeji yangu…” Aliniambia kwa sauti iliyokata tamaa.
“Mh!! Asante..bana ndo mipango ya Mungu.” Nilimjibu.
“Haya bwana mi ndio naelekea huko kumpa kampani mshikaji.”
Kumpa kampani mshkaji?? Mshkaji gani tena hapa. Nilijiuliza. Sikupata jibu simu ikawa imekatwa.
Baada ya dakika kadhaa nilikuwa katika taksi nikielekea maeneo ya Kijiweni ambayo ndio nilikuwa naishi. Hapakuwa na foleni kama kawaida hivyo baada ya dakika chache nilifika chumbani kwangu. Njaa ilikuwa imenishika, sikudumu sana pale ndani nilivua viatu vyangu vya kufunika na kuvaa vya wazi kisha nikatoka. Kuelekea kwenye mgahawa kupata chakula.
Nikiwa katika mgahawa niligundua kuwa kuna kitu napungukiwa
katika himaya yangu. Simu!!!
Nilikuwa nimeisahau kwenye pochi yangu.
Sikutilia maanani sana kwa kuwa tayari nilikuwa najua ni wapi ipo.
Nilijikita katika kusubiri chakula huku nikifanya tathmini ya hapa na pale juu ya kazi ya kipekee hiyo niliyokuwa nimepata kutoka nchi za kigeni. Ilikuwa ni kazi moja ya kipekee sana iliyokuja katika maisha yangu wakati muafaka kabisa.
Nikiwa katika kuiwaza hiyo kazi, nikakumbuka ‘umaarufu’ na wenyewe pia nilikuwa nautaka kwa namna yoyote, siwezi kuimba mziki, sijui kuigiza. Sasa nitakuwaje maarufu!!!
Pesa, pesa ndio kila kitu. Pesa zitanipa umaarufu. Nikiwa kimya hivihivi kila mtu atajilinganisha na mimi wakati mimi nipo matawi mengine kabisa. Niliwaza hayo!!!
Au nigombee uraisi wa chuo?? Nilijiuliza. Nikakatishwa na chakula kilicholetwa mbele yangu. Hivyo sikupata nafasi ya kutafakari majibu.
Baada ya saa zima nilirejea chumbani. Moja kwa moja katika mkoba wangu. Simu ilikuwepo. Nikaitwaa nikajilaza kitandani.
Nikatazama kama kuna mtu alinipigia.
Yeah!! John alikuwa amepiga na wengine watatu, mama pia akiwemo. Nikawapanga katika orodha nianze na yupi. Niliamini nikianza na mama hatutamaliza maongezi maana tulikuwa na mengi ya kuzungumza.
Nikaamua kuanza na John. Nilipopiga simu ikawa inatumika, nikaamua kumpigia mama.
Tulizungumza mengi huku akiniahidi kuwa siku inayofuata atanitumia shilingi elfu ishirini za kitanzania kwa ajili ya matumizi pale chuoni.
Kidogo nicheke kwa sauti kubwa lakini nikajibana kucheka.
Pesa ninayotumia kwa nauli ya siku moja, leo hii mama anataka anitumie kwa ajili ya matumizi. Kichekesho!!!
Wakati naendelea kubadilishana mawazo ya hapa na pale mama. Simu ya John nayo ilianza kuingia. Nikamdanganya mama kuwa salio limeisha nikakata simu nikamtwangia John huku nikiwa bado nakitafakari kielfu ishirini cha mama.
John hakuwa anaongea, lakini nilisikia kwa mbali vilio vya kwikwi. Kuna nini? Nilijiuliza.
“Halo, halow…John.” Niliita sikujibiwa.
Niliendelea kumsikiliza, alikuwa kimya, nikakata nikampigia rafiki yake. Yeye alipokea upesi tu!!
“Vipi upo na John?”
“Nimeachana naye muda si mrefu, amechanganyikiwa kabisa.”
“Amechanganyikiwa? Kwa nini?.” Nilimuuliza kwa wasiwasi.
“Dah!! Yaani amezinguana na madaktari huko hospitali hataki
kuamini kabisa.”
Simu hii ilizidi kunichanganya. Nikajikadiria majibu yangu, ina maana John ana Ukimwi ama? Mungu wangu nimekwisha!!! Nilihamaki.
Suala la kusikia John, kuzinguana na madaktari, amechanganyikiwa. Utata!!!
Sasa na mimi nikaanza kuhaha, kana kwamba niliyoyawaza ni sahihi.
Upesi nikanunua muda wa maongezi nikampigia tena rafiki yake John. Nikamsihi anieleze nini kimetokea.
Bila kusita akaanza kunieleza. Mwishowe nikapata jibu kamili. John hakuwa ameathirika na UKIMWI bali mshtuko. Jesca aliyeanguka wakati wa kuaga mwili wa marehemu viwanja vya Raila Odinga na yeye amefariki.
Cha ajabu na kushtua hakuna ugonjwa wowote uliohusika katika kifo hicho. Nilifadhaika nikakaa chini, sikukumbuka hata kuaga tayari nilikuwa nimekata simu.
Mbona hivi vifo vinakuja mfululizo kiasi hiki?? Nilijiuliza na hakuwepo timamu yeyote wa kunijibu.
Jesca naye kama ilivyokuwa kwa aliyetangulia aliagwa na wanafunzi uwanja uleule wa Raila Odinga. Halikuwa jambo la kushangaza bali lilimezwa na huzuni. Haikuwa mara ya kwanza vifo kutokea katika maisha ya chuo, lakini hiki kifo cha Jesca kilikuwa cha ghafla mno. Iliuma sana!!!

****

Wiki mbili zilikatika tangu Jesca aache simanzi kubwa katika chuo cha Mtakatifu Agustino. Nilikuwa karibu sana na John nikimfariji kwa kumpoteza mpenzi wake. John kwa kiasi kikubwa sana alifurahia ukaribu wangu kwake. Kiasi kikubwa upweke ukawa unatoweka.

USIKU WA MANANE

Kila kona ya jijini Mwanza ilikuwa imetulia, upepo ulikuwa unavuma kiasi cha kuyumbisha miti midogomidogo iliyoota pembezoni mwa barabara. Magari machache yalikuwa yakiipa usumbufu barabara ya lami ambayo ilikuwa katika mapumziko baada ya suluba ya mchana.
Gari dogo aina ya Corolla ilipata hitirafu ambayo ilionekana kuwasumbua vichwa abiria waliokuwa ndani yake. Kila mmoja alionekana kumsukumia mwenzake mzigo wa kutafuta suluhu ya ya gari hilo. Wale abiria
watatu wote walikuwa wanafunzi wa chuo cha mtakatifu Augustino.
Baada ya muda wa kujadiliana hatimaye mwanafunzi mmoja aliyetambulika kwa jina la Joseph alivua shati lake akaweka pembeni akaingia katika ufundi. Wenzake wawili walitulia wakimtazama.
Baada ya dakika kadhaa mwanafunzi mmoja alibanwa haja ndogo. Taratibu akajivuta kichakani. Sijui kwanini aliamua kukitafuta kichaka cha mbali wakati usiku ulikuwa mnene na hapakuwa na watu wakipita hovyo. Alikifikia kichaka taratibu akaanza kuifungua zipu yake tayari kwa kukidhi haja yake ya wakati huo.
Ghafla aliiachia suruali yake na kutazama mbele katika namna ya kukodoa huku akiwa na hofu kuu. Alikuwa akitetemeka huku akifanya namna ya kushtua kama anatisha kitu kibaya kinachomkabili. Nilitamani sana kujua ni nini hicho mbele yake lakini nikaendelea kuwa mtazamaji wa filamu hiyo ya ajabu.
Kisha kama aliyesukumwa akaanguka chini. Akawa anajaribu kupambana kwa kujirusha huku na huko. Alikanyagakanyaga lakini hakufua dafu. Alirusha mikono hewani, bado alionekana kukabwa ipasavyo.
Ghafla nikajiona kuwa mtu wa ajabu sana, kwa nini nashuhudia jambo hili na sitoi msaada wowote. Nikataka kupiga kelele. Lakini koo lilikuwa limekauka.
Kwanza ni filamu!! Nilijiambia tena.
Mara yule kijana akatulia tuli. Nami hapo nikashtuka!!!!
Ndoto!! Ndoto mbaya.
Nilikuwa nimeung’ata kwa meno upande wa kitanda. Nilikuwa natokwa jasho na nilikuwa naunguruma kama mbwa mwenye ghadhabu anayejiandaa kubweka.
Nilihisi kama maumivu kwa mbali katika bega langu.
Taharuki!! Kamwe sijawahi kuota ndoto kama hii!! Mbaya sana.
Nilitazama saa ilikuwa saa tisa usiku. Giza nene nikiwa peke yangu kitandani.
Nilisimama nikafanya ishara ya msalaba. Nilikuwa natetemeka. Na nilivyokuwa muoga wa filamu za kutisha, basi nilikuwa sikamatiki kwa hofu.
Nilikuwa nimebanwa na mkojo lakini nilipaogopa sana chooni. Nikaamua kurejea kitandani. Mkojo ukazidi kunibana. Sasa nikajiona kuwa bwege, nina choo ndani halafu naogopa kukitumia.
Ni ujinga kujikojolea kitandani wakati kuna choo ndani ya nyumba!!!
Nikaiuweka uoga kando nikaenda bafuni. Nikachuchumaa niweze kukojoa, nikahisi maumivu kiunoni.
Mh!! Nimelala vibaya ama!! Nilijiuliza huku nikijilazimisha kuchuchumaa.
Nilipochuchumaa ndipo nikagundua kuwa nanukia marashi yasiyokuwa ndani ya chumba changu. Hilo pia nikalipuuzia.
Nikamaliza haja zangu nikarejea kitandani. Nikajidhihaki kwa hofu ya kijinga niliyoiruhusu initawale.
Usingizi ukanipitia. Sikuota tena!!!!
Asubuhi majira ya saa mbili nikashtuka usingizini. Ilikuwa siku ya jumamosi, nikaamka kuwahi saluni kutengeneza nywele.
Kabla ya kufika saluni nilipita hotelini nikapata kifungua kinywa.

****
Niliwakuta wateja wawili tu hapo saluni, hivyo mahesabu yangu yalikuwa sawa, sikuwa nimechelewa sana.
Nilisubiri kidogo zamu yangu ikafika. Baada ya mimi kuanza kuhudumiwa walimiminika wateja wa kutosha.
Kila mmoja na haja yake.
Saluni huwa ni eneo zuri sana kwa wale wabahili wa kununua magazeti ya udaku, kujipatia habari nyingi burebure tena kwa uhakika kwa sababu hata nafasi ya kuuliza maswali huwa inapatikana.
Penye wengi pana mengi. Na sasa tulikuwa wengi pale saluni. Mara kimya kikatawala alipoingia mwanamke mnene. Sikuwa namjua jina lakini haikuwa mara ya kwanza kumwona.
Baada ya kimya hicho ambacho uswahilini kinaitwa ‘jini kapita’ wote tulilipuka na vicheko.
Hata yule mama mnene na yeye alilipuka kwa kicheko kikubwa. Kisha tena akauvaa uso wake wa awali.
“Mnacheka wakati watu tuna msiba” Alikoroma, nusu akimaanisha na nusu ukionekana dhahiri kuwa ni utani.
Wengine wakacheka na wengine wakakaa kumsikiliza.
“Halafu mjue sitanii jamani.” Alikazia kisha akaendelea, “Basu ametutoka.”
“Basu? Basu ndio nani?.” Mwanamke moja aliuliza.
Nami nikapatwa na kihoro cha kuuliza. Nikajizuia lakini sikuweza.
“Basu huyu wa BBA (Bachelor of Business Administration).” Niliuliza.
Mama yule mnene kumbe na yeye alikuwa mwanafunzi. Akaiunga mkono kauli yangu. Kwa kueleza kuwa ni mwanadarasa mwenzake.
Basu alikuwa amekufa!!!
Nini kimemuua jamani, si juzi tu alikuwa anacheza mpira kwenye haya mashindano ya FAWASCO? Niliuliza.
Msomaji mashindano ya FAWASCO ni mashindano ya michezo mbalimbali huwa yanafanyika chuoni SAUT. Na katika mashindano haya watu wengi walitokea kumfahamu Basu kutokana na umahiri wake uwanjani.
Yule mama mnene akashusha pumzi kabla ya kujibu kwa sauti ya kunong’oneza.
“Ameng’atwa shingoni huko Nyegezi Kona. Amekutwa kwenye mawe huko.”
“Niniiii!!!!.” Kila mmoja wetu alishtuka kwa namna yake. Wahudumu walisimamisha walichokuwa wanafanya wote wakamgeukia mama mnene. Hakuna kauli aliyobadilisha alimaanisha alichokisema.
Mapigo yangu ya moyo yalikuwa yanaenda kasi. Ile mashine kichwani ikageuka mzigo. Nikahisi kizunguzungu.
Alichokizungumza yule mama kilifanana na hali fulani halisi, ilikuwa ni hali gani na kwa nini nilikuwa natetemeka? Nilijiuliza. Sikupata jawabu. Nikafumba macho nikakumbuka saa nane usiku!!!!
NDOTO!!! NDOTO YA KUTISHA!! Ndoto iliyonipelekea kushituka nikiwa na maumivu makali. Na si maumivu tu. Nilikuwa nimekiuma kitanda kwa nguvu sana. Na…na …..na nilikuwa nakoroma kwa hasira. Kama Mbwa!!! Nilikuwa kama mbwa!!!
Hiki nini!! Nilitaharuki kwa hofu. Sikusema kitu chochote, niliulazimisha utulivu!!! Lakini moyoni hapakuwa na amani.
Inamaana nimekiota kifo cha Basu? Nilijiuliza. Bado sikupata jibu.
Nilivuta kumbukumbu ya sura ya Basu, nikamfananisha na yule mhanga wa kwenye ndoto.
Hofu!!! Alikuwa mtu mmoja.
Nikapiga ukelele wa hofu.
“He Mungu wangu nimemuunguza dada wa watu.” Yule muhudumu alipiga kelele huku akizima mashine.
Hakugundua kuwa nilikuwa dunia nyingine kabisa tofauti na hiyo aliyokuwa anadhania.
Alinimwagia maji akaniosha nywele. Sikujali ubora wa kazi, nilikuwa nimehamakinika. Akili ilimuwaza Basu.
Kama amekufa kifo cha kufanana na kwenye ndoto maana yake nini?
Au nataka kuwa mtakatifu??? Nilijiuliza. Huku nikiamini moja wapo ya dalili za kuwa mtakatifu ni kuyajua yanayokuja kupitia ndoto.
Mh!! Utakatifu gani huu lakini hata kanisani penyewe siendi?? Nilitengua mawazo yangu.
“Dada nakuita jamani!!.” Sauti ya yule muhudumu ilinishtua. Inavyoonekana alikuwa ameniita mara nyingi sana.

Nilikuwa sipo kawaida na niliombea sana wasiitambue hali hii.
Simu yangu ikaita nikaitoa kuitazama alikuwa ni Dokta Davis.
Nikapokea na kuiweka sikioni.
“Samahani nipo saluni.” Nilimsihi.
“Usijali nilikuwa nakutaarifu ukatazame salio katika akaunti yako.”
“Hamna shida.” Nilimjibu na kukata simu.

(Kovu la ajabu mgongoni)

Nilipotoka pale saluni nilitaka niende kwanza nyumbani kwangu lakini nikaona kwanza nipitie benki kutazama salio.
“Laki sita elfu sitini na sita na mia sita sitini na sita.” Hiki ndio kiasi kilichokuwa kimeongezeka katika akaunti yangu. Sikushtuka sana safari hii, nilikuwa nimeanza kuizoea pesa hii kubwakubwa.
Sikuwa na haja yoyote ya kutoa pesa kwani bado nilikuwa na pesa nyingi ndani. Niliingia katika bajaji iliyokuwa imenileta nikamuamuru anipeleke Kijiweni, huku ndipo nilikuwa naishi.
Tulipoifikia kona ya kijiweni nilitelemka na kuliendea duka la madawa nikachukua dawa za kutuliza maumivu.
Nilipofika chumbani nikanywa na kujipumzisha kidogo kwa minajiri ya kuoga baada ya dakika kadhaa. Nilikuwa bado nawaza kuhusu kifo cha Basu kwa kung’atwa, lilikuwa jambo la kushangaza sana. Na kilikuwa kifo cha kustaajabisha, kivipi afe kama ndoto yangu ya usiku? Nilijiuliza sana. Sikupata jibu. Nikajitia imani kuwa hizo ni ndoto.
Suala la kwamba ninaandaliwa kuwa mtakatifu lilinisaidia kupungaza hofu.
Lakini utakatifu gani sasa huu wa kuupata bila kwenda kanisani??
Kwani watakatifu wote walikuwa wanaenda kanisani!! Nilijiuliza. Kisha nikaukatisha mgogoro huu wa nafsi kwa kumpigia simu John, nilizungumza naye kidogo akaniambia yupo njiani kuelekea Nyegezi kona kutazama maiti ya Basu.
Aliposema jina hilo nikashtuka lakini hakugundua kwa sababu hakuonyesha wasiwasi na wala hakuuliza swali.
“Basu…Basu amekufa?” Nilijifanya sijui lolote. John akanieleza stori ileile kama mama mnene wa kule saluni aliyosema.
Nikaingia katika fumbo, sikumjua mfumbuzi!!!
Nikapitiwa na usingizi!!!

****

Nilikuwa nautazama sasa umati wa watu ambao sikuelewa ni shughuli gani walikuwa wakiifanya. Sikuwatilia maanani sana na wala sikujua
eneo lile ni wapi. Mara nikamuona mtu ambaye ninamfahamu. Nilitamani kumuita lakini niliamini kwa zile hekaheka alizokuwa nazo wala asingeweza kunisikia. Nikapuuzia!!
Sikujua nilikuwa nimejikita katika shughuli gani lakini kuna jambo nilikuwa nafanya.
Mara nikamwona tena yule mtu ambaye nilionekana kumfahamu, sasa alikuwa katika mtafaruku. Wenzake wote walikuwa wakimpigia kelele katika namna ya kupingana. Alikuwa peke yake na hakuna aliyemuunga mkono. Mara wenzake wakaanza kumzonga sasa hayakuwa mabishano tena bali ugomvi. Mtu mmoja anachangiwa na watu zaidi ya kumi. Ugomvi ukawa ugomvi. Kuna jambo walikuwa wanalazimisha. Jambo hilo huyo mmoja hakuunga mkono kabisa.
Baada ya kuzidiwa mara yule mtu akawaponyoka. Akaanza kukimbia. Alikuwa anakimbia huku akiangalia nyuma. Nilikuwa natabasamu nikimtazama maana alionekana kuwa na hofu kuu.
Alipogeuka mara ya kwanza lilikuwa kundi la watu watano wakimfukuza, akazidi kukimbia, alipogeuka tena walikuwa watatu, akajitahidi kujitetea kwa kuendelea kukimbia, wakabaki wawili. Safari hii hakugeuka.
Alipokuja kugeuka sasa alikuwa amekaribia kukamatwa. Lakini cha kutia moyo alikuwa anakabiliwa na mtu mmoja tu. Japo alikuwa amechoka lakini hata huyu aliyekuwa anakabiliana naye alikuwa anahema juu juu. Walikuwa wanatazama kama majogoo yanayofanyiana ubabe.
Mara jogoo lililokuwa linamkimbiza jogoo mwenzake likamrukia yule mkimbizwa. Wakaanguka chini, ugomvi ukazuka.
Wakagalagana hapo chini kwa namna ya kuchekesha. Nami nikawa nacheka.
Mara yule mtu niliyekuwa namfahamu akaangushwa vibaya. Halafu yule aliyemuangusha akachomoa kisu kidogo, upesi akamchana nacho mgongoni. Akatoa ukelele wa uchungu na hofu.
Kuchanwa huko kukawa kumemrejesha upya katika ugomvi. Sasa alikuwa na nguvu kamilifu. Yule aliyekuwa na kisu alipojaribu kumchana tena akawa amechelewa mkono wake ukadakwa, kisha kikafanyika kitendo cha sekunde kadhaa tu cha kuikamata shingo ya mwenye kisu na…na….na…

“Mamaaaaa!!!” Nikakurupuka usingizi!!
Nilikuwa nimelala masaa sita. Niliyapikicha macho yangu huku na huko niweze kuangalia vyema mbele.
Ukungu ulikuwa umetanda. Nikajipikicha zaidi nikaweza kuona, na sasa niliweza kusikia. Mlango ulikuwa unagongwa kwa nguvu. Fahamu zikanirejea vizuri, nikauendea bila hata kuulizia nikafungua.
Alikuwa ni jirani yangu.
“Kakasirika kweli John dah!! Amegonga mlango, kapiga simu yako
hupokei.” Alinieleza huku na yeye akionekana kukasirika.
Nilipiga mwayo mrefu kisha nikamuuliza kuwa alikuja saa ngapi. Akanijibu. Kisha akajieleza shida aliyokuwa nayo nikamsaidia . akaondoka!!!

*****
Sikuweza kuhudhuria msiba uliomuhusu Basu, akili yangu ilikuwa imechoka sana. Baada ya harakati za hapa na pale nilijipikia chakula kisha nilipomaliza nikalala tena.
Mara hii mlango ulipogongwa nilisikia vyema kabisa. Nikasimama na kwenda kumfungulia. Alikuwa John na ilikuwa saa tatu usiku.
John alikuwa amefanya mfano wa hasira usoni, nililitambua hilo na sikuwa na haja ya kumuuliza kwa nini amekasirika.
Baada ya kuzungumza naye dakika kama kumi hivi huku nikijiweka karibu naye. Alilainika na uso wake ukaunda tabasamu.
Tulizungumza mengi na mpenzi wangu huyu wa zamani. Na kama vile tulikuwa tumeambiana kwa pamoja tukageukiana tukakumbatiana kwa nguvu. John alikuwa analia.
Nilijua kuwa anamlilia Jesca, sikutaka kumuuliza najua angelia zaidi. Nilichofanya ni kuzidi kumkumbatia, viatu vikabaki sakafuni, sasa tukawa kitandani. Lugha iliyozungumzwa ilikuwa lugha ya mapenzi.
John alikuwa mtulivu kama aliyesafiri kwenda ulimwengu wa mbali. Nikaitoa shati yake akawa amebakiwa na singlendi. Nikataka kuitoa na ile.
“Ngoja nikaoge kwanza baby…” aliniambia kwa sauti nzito yenye kutamanisha.
Nikatulia nikamtazama naye akanitazama.
“Twende wote pliiz.” Nilimsihi. Hakujibu chochote nikajua kuwa maana yake ni kwamba twende.

Nikaziondoa nguo zangu, nikajivika upande wa kanga.
“He!! Sa na hiyo singlendi waipeleka bafuni kufanyaje tena!!!” Nilimuuliza John baada ya kumuona akiingia na ile singlendi bafuni.
“Si haujataka kunivua sa mi ntafanyaje?.” Aliniuliza kitoto. Nikatabasamu, nikamwendea, akakimbilia upande mwingine wa chumba nikamfata tukawa kama tunagombana. Japo hatukutumia nguvu sana!!!
“Ukiweza kunivua nakubeba mgongoni!!” Alinipa motisha nikazidisha juhudi. Nikaitoa nikawa mshindi.
Mshindi kubebwa mgongoni!! Ikumbukwe hiyo.
Mimi ndiye mshindi, mgongo mali yangu.
John akachuchumaa nikawa nyuma yake.
Ile nataka kupanda mgongoni nikaona kitu cha ajabu.
Kovu!!! Kovu bichi!!! Kovu katika mgongo. Kovu la kuchanwa na kisu!!
“Mamaaaaa!!” nikapiga kelele. John akasimama. Tayari nilikuwa katika kona ya chumba nikiwa natetemeka sana!!!
“Sabe sabe!! Umekuwaje…” aliniuliza huku akinisogelea. Nikawa namkimbia, lakini wakati huu haukuwa mchezo tena nilikuwa katika hofu ya ukweli. Nilikuwa namuogopa John.
John alinisihi niache utani!!! Lakini sikuwa natania. Nilikuwa katika kumaanisha.
Hali ilikuwa tete. John alikuwa ananitisha.
Nikiwa katika kumkimbia John. Sasa aligundua kuwa kuna jambo limenisibu. Akanifuata kwa kasi. Akanivagaa. Nikajilazimisha kujitoa mikononi mwake huku nikipiga kelele. Ghafla akaninasa vibao viwili.
Sasa hapo ndio nikachanganyikiwa mwenzenu na kuamini kuwa dunia imefika mwisho. Nililia huku nikimtaja mwalimu Nchimbi.
Lakini cha ajabu na kukera huyo mwalimu Nchimbi hata hakuwa akinisikia.
Iliniuma. John akaniongeza vibao vingine viwili. Sasa yale maumivu akili ikasogeleana.
“John una damu!! Una damu!!”
“Damu??” aliniuliza.
“Mgongoni umekuwaje wewe.”
“Mgongoni pamekuwaje kwani…alilalamika huku akijipapasa”
Maajabu mengine jamani!. Mkono wake haukuwa na damu. Akanigeukia.
Nikatamani kuiaga dunia niende likizo mbinguni. Hakuwa na kovu. Mgongo laini kabisa wa kiume ukatazama nami. Nikaruka mita kadhaa.
Akapoteza uelekeo kuniona naruka vile nikataka kukimbia nje.
Akanidaka kanga yangu. Kanga ikateleza ikauacha mwili.
Shanga nane za rangi tofauti zilizokishika vyema kiuno changu ndio pekee zilizosalia katika mwili wangu. Sasa John alikuwa amebaki na kanga mkononi mimi nikiwa nina shanga kiunoni. Nusu nilikuwa nje na nusu nilikuwa ndani.
Swali likavamia kichwa changu.
Nikimbie na shanga kiunoni kwenda nje ama nirudi chumbani kwa John huyu wa maajabu!!! John niliyemuhisi kuwa sasa ni ………….
Nikabaki katika kizungumkuti.
ITAENDELEA

REBEKA (ZAIDI YA MWANAMKE) – 5

Image result for adrian mcdonald photography

Simulizi : Rebeka (Zaidi Ya Mwanamke)
Sehemu Ya Tano (5)

ILIPOISHIA:
Walimalizia vinywaji vyao kwa Rebeka kukibugia chote naye Kanuth alifanya vilevile. Haikuchukua Muda Rebeka alizidiwa na zile dawa alilegea kilichoendelea hakujua. Kanuth aliwaita wanzie ambao walifanya tendo la udhalilishaji huku wakimpiga picha mnato na video.
Baada ya kufanya tendo lile walimdunga sindano ya kukata sumu ya dawa na kumuacha akiwa amelala. Waliondoka wakisherehekea ushindi mzito walioupata wa kumkomoa Roja Mo pia kumdhalilisha Rebeka.
SASA ENDELEA…
****
Sindano aliyopigwa Rebeka ilimuwahisha kuamka, alipozinzuka usingizini alijishangaa kujikuta peke yake. Mwanaume aliyejitambulisha kwake kama bwana Bingo hakuwepo hilo hakulijali alinyanyuka kitandani na kutulia kwa muda mwili ukiwa mchovu.
Alijishangaa kwa kuzidiwa na pombe si kawaida yake kuzidiwa kiasi cha kulala, siku zote hunywa kwa kipimo kilekile. Kumbukumbu zake zilimjulisha hakunywa sana, alitulia ameinama kitandani akiwa ndani ya shuka.
Kichwa alikisikia kizito alijiuliza ametumia pombe gani ambayo kwake ni ngeni. Aliamua kunyanyuka baada kusubiri bila kumuona mtu. Aliangalia saa yake ndogo ya dhahabu ya mkononi na kukuta ni saa kumi na moja jioni.
Alijiona kumbe usingizi ulikuwa mzito wa masaa zaidi ya manne. Moyoni alishukuru kuwa bwana yake Roja Mo yupo safari bila hivyo dili lake linge bumburuka. Aliamua kwenda bafuni kuoga, lakini alipoteremsha mguu alihisi maumivu makali chini ya kinena kitu kilichomfanya arudi tena kitandani.
Pembeni alipotupa macho alikuta kuna mipira ya kiume kondomu kumi na mbili zilizokwisha tumika, alijikuta akiguna.
“Mmh! Inamaana huyu bwana kanitumia kwa mipira yote hii kweli kanikomoa.”
Alijilazimisha kuamka kuelekea bafuni kuoga kila hatua aliyopiga maumivu yalikuwa makali lakini aliuma meno na kwenda hadi bafuni na kuoga akiwa kwenye maumivu makali sana sehemu za siri.
Alitembea kwa shida hadi kwenye kabati na kuchukua nguo zake alizivaa kwa shida na kuamua kuondoka huku mwili ukimuuma kama kidonda hadi kwenye gari lake. Lakini alishindwa kuendesha alipojalibu kukanyaga mafuta maumivu yalikuwa makali sana kitu kilichomfanya ajilaze juu ya uskani akiwa ameuma meno.
Aliteremsha kioo na kumwita kijana mmoja ambaye alikuwa nje ya teksi yake kwa shida kwa kuwa hata alipomwita mtu kwa sauti maumivu yalikuwa makali. Bahati nzuri yule kijana alimsikia na kuja.
“Vipi sister inaonekana una matatizo mbona machozi yanakutoka?”
“Samahani kaka yangu naomba msaada wako.”
“Upi huo?”
“Wewe ni dereva?”
“Ndio na gari langu hili hapo.”
“Nilikuwa naomba unisaidie kunitafutia dereva ambaye atanisaidia kuniendeshea gari langu mpaka kwangu.”
“Kuna malipo?”
“Kiasi chochote atakachotaka.”
“Haina haja mimi natosha kwani mbali?”
“Sio mbali sana ni mjini.”
“Utanipa elfu kumi na tano.”
“Haina wasi ingia twende,” yule dereva alikabidhi gari lake kwa mtu na kuliendesha gari la Rebeka ambaye kila muda ulivyokuwa ukienda ndivyo hali yake ilivyozidi kuwa mbaya.
“Dereva naomba unipeleke moja kwa moja Ambe Hospital.”
“Kwani dada unaumwa nini?”
“Sio muhimu sana kujua kama kunifikisha hospitali,” Rebeka alijibu kwa shida.
Yule kijana aliendesha kwa mwendo wa kasi ili kumwaisha hospitali. Njia nzima Rebeka aliugulia.
“Mama nakufa sijui..sijui amenifanya nini..Oooh nakufa.”
Yule kijana aliyekuwa na maswali mengi kichwani lakini aliogopa kumuuliza kwa kuogopa majibu ya yule mwanamke. Aliliingiza gari Ambe Hospital hata bila maelekezo alikimbia mapokezi na kuwaeleza kuna mgonjwa mahututi.
Walikuja na machela hadi kwenye gari na kumchukua mgonjwa ambaye muda ule hakuwa na kauli. Walimbeba kwenye machela hadi wodini, dereva alijikuta akiulizwa maswali asiyoyajua.
“Eti kaka mgonjwa anatatizo gani?”
“Kwa kweli mimi sijui aliniomba msaada niendeshe gari lake nimwahishe hospitali.”
“Ina maana humjui?”
“Simjui.”
“Ha! huyu si Rebeka mke wa tajiri Roja Mo,” muuguzi mmoja alimfahamu.
“Aaaah kweli,” mwingine alimfahamu.
“Mnamjua kumbe?”dereva aliuliza.
“Ndio ni mke wa tajiri Roja Mo.”
“Basi mimi nilitoa msaada tu wacha niwahi nimeacha gari langu halina mtu.”
Dereva alikwenda hadi kwenye gari siku zote alijua jungu kuu halikosi ukoko. Ndani ya gari alikuta pochi ya Rebeka alipofungua alikuta kuna pesa nyingi zilikuwa kama milioni mbili. Alichukua elfu ishirini na zingine alizirudisha kisha alifunga gari na ufunguo aliwapa wahudumu wa gari ili atakapopata nafuu wampe na kuondoka zake.
****
Rebeka alizinduka saa tano za usiku na kuweza kuelezea tatizo lake aliweza kupata huduma nzuri zilizomfanya apate nafuu kwa haraka. Lakini bado ilikuwa hawezi kutembea akiwa wima kwa maumivu ya chini ya kitovu.
Daktari alimhakikishia ndani ya siku mbili angalau ataweza kusimama na kutembea japo si umbali mrefu. Lakini alimhakikishia ndani ya wiki mbili atakuwa amepona kabisa.
Rebeka akiwa amejilaza kitandani macho yakiangalia juu ya dali alijiuliza maswali mengi juu ya kitendo kile cha jana kwanza hana kumbukumbu kama alikuwa na akili zake wakati wakifanya mapenzi pili yule bwana alikuwa na uwezo gani wa kutumia Kondomu 12 peke yake tatu kwa nini ameamua kumkomoa japo kampa pesa nyingi.
Akiwa katikati ya lindi la mawazo aliingia mhudumu na kumkabidhi bahasha kubwa ambayo ilionekana ndani ilikuwa na picha. Kabla ya kuipokea alimuuliza:
“Nani kakupa?”
“Ameniambia anaitwa bwana Bingo.”
“Bwana Bingo! yupo wapi?”
“Baada ya kunipa hii bahasha ameondoka na gari lake.”
“Amesemaje?”
“Ameniuliza jina lako na upo wodi gani kisha alinipa bahasha hii na kuondoka.”
“Akusema kitu chochote?”
“Hapana.”
“Haya asante,” Rebeka aliipokea ile bahasha na muuguzi alitoka nje ya chumba na kumwacha Rebeka peke yake akiifungua ile bahasha.
Baada ya kuifungua ile bahasha alikutana na picha ambazo zilikuwa zikionyesha mwanzo wa kukutana na bwana Bingo baada ya kuhalibikiwa na gari. Nyingine zilionyesha akizipokea zile pesa. Moyoni alijiuliza zile picha zina maana gani aliendelea kuchomoa picha mojamoja.
Picha zingine zilionyesha aliingia benki na nyingine zilionyesha magari mawili yakiwa yameongozana la mbele la kwake la nyuma la bwana Bingo. Nyingine zilionyesha akiingia Lyasingo Hotel na nyingine zilionyesha wakiingia chumbani na yote waliofanya ya kuvua nguo na kwenda bafuni kuoga na baada ya kuoga wakimalizia kinywaji chao.
Zilizofuata alitamani ardhi ipasuke na immeze akiwa amelazwa kitandani kama alivyozaliwa na pembeni kulikuwa na wanaume wanne na bwana Bingo alikuwepo wote wakiwa watupu.
Zilizofuata zilikuwa za udhalilishaji mkubwa ambazo hazitizamiki machoni mwa watu ni kichefuchefu. Zilikuwa zikionyesha matukio ya udhalilishaji kitendo cha kinyama alichotendewa na wanaume wale wanne ambao walimuingilia kwa zamu kila mmoja zaidi ya mara tatu.
Rebeka alitamani kulia lakini atafanyaje ni tamaa zake ndizo zimemponza. Kwa mara ya kwanza woga ulimwingia na kujiuliza Roja Mo akijuasijui itakuwaje. Aliamua kuzificha ili wahudumu wasizione.
Akili yake ilichanganyikiwa na kujiuliza maswali mengi yasio na majibu juu ya kitendo alichofanyiwa na bwana Bingo na kundi lake kumbe kutoa pesa nyingi kiasi kile kilikuwa ni kwa ajili ya kumdhalilisha. Alijiuliza na zile picha walizompiga zilikuwa za nini na kwa nini wamempelekea pale hospitali.
Alijikuta kwenye majuto makuu na kumkumbuka mume wake Mabogo na kuona heri mara mia maisha aliyokuwa akiishi na Mabogo kuliko ya muda ule. Alijiuliza sura yake atauweka wapi akikuta na na wanaume wale ni sawa na kutembea uchi japo atakuwa amevaa nguo.
Aliapa akitoka hospitali atatoroka na kwenda sehemu yoyote asiyojulikana kukimbia aibu ile.

Roja Mo aliporudi safari zake alipatwa na mshtuko kusikia mkewe yupo hospitali amelazwa. Hakuwa na haja ya kuingia ndani alikwenda moja kwa moja hospitali. Rebeka alipomuona alitamani kukimbia lakini aliificha hofu yake.
Alipogundua uso wa Roja Mo una wasiwasi walimtoa hofu kwa kumchanulia tabasamu lililo upoza moyo wa Peza na kuhoji kwa wasiwasi.
“Vipi mpenzi kulikoni?”
“Aaah ni tumbo la kike tu lilinibana gafla jana.”
“Oooh afadhali..vipi hali yako kwa sasa?”
“Naendelea vizuri”
“Huduma ya hapa unaridhika nayo au tubadili hospitali?”
“Kwa kweli ni nzuri sana nawashukuru manesi na madaktari wamenipa huduma na dawa nzuri.”
Rebeka alitoka hospitali baada ya siku nne na kupewa masharti ya kutokufanya kazi nzito kwa miezi miwili. Toka atoke hospitali muda mwingi alikuwa ni mtu mwenye wasiwasi juu ya kitendo cha kinyama alichofanyiwa, alimuomba Mungu Roja Mo asijue.
Zilipita wiki mbili hali ikiwa ya kawaida kitu kilichofanya moyo wa Rebeka upunguze wasiwasi kwa kujua itabakia siri kati ya watenda na mtendewa. Aliweza kutembea japo si kwa kuendesha gari zaidi ya kuendeshwa.
Siku moja akiwa amemtembelea mwanaye na mumewe Mabogo alipofika moyo ulimshtuka pale alipomkuta Bibiana mke mwenzie akiwa mjamzito wa mimba kubwa. Japokuwa mimba ni kitu cha furaha kwake kilikuwa ni kama mkuki uliomwingia moyoni mwake.
Katika mawazo yake alipanga kurudi kwa Mabogo kumuomba msamaha na Bibiana arudi kuwa mhudumu wa ndani ambaye atamlipa kiasi chochote anachotaka lakini mambo yalikwenda sivyo Bibiana alikuwa mjamzito na yeye muda si mrefu atakuwa mama wa mtoto. Alikuwa na imani baada ya kupata mtoto atasababisha Mabogo kumfuta kabisa mawazoni mwake.
Rebeka alijikuta kila muda maumivu yanadizi moyoni mwake na kuona kama ni laana ya Mungu kwa kumkimbia mumewe na sasa anamuadhibu. Hata hamu ya kwenda kijijini kuwasalimia ilitoweka na kuamua kurudi mjini ili apange mikakati mipya ya kumtoroka Roja Mo na kwenda mbali sana hata ikiwezekana bora ajiue kabisa.
Alirudi hadi nyumbani alipoingia ndani alimkuta Roja Mo akiwa sebuleni akisoma gazeti la siasa juu ya uchaguzi, alipomuona alilitupa pembeni na kumlaki kwa kumkumbatia kwa furaha.
“Yaani huwezi kuamini nilikuwa nakuwaza sasa hivi sijui mimi bila wewe itakuwaje?”
“Hata mimi nimeamua kurudi nilipokuwaza tu bila wewe sina maisha yaani uliposafiri nilipata shida sana siku moja kwangu ilikuwa mwaka.”
Baada ya kupigana mabusu na kujitupia kwenye kochi wakiwa bado wamekumbatiana walishtushwa na mlio wa kengere ya mlangoni.
“Pumzika wacha nikafungue,” Roja Mo alimwambia mkewe wakati huo Rebeka alikuwa akienda ndani kubadili nguo ili aende akajimwagie maji.
Roja Mo alikwenda hadi mlangoni na kufungua alikutana na mlinzi wa getini ambaye alimkabidhi bahasha kubwa aliyekuwa na maandishi makubwa ya wino wa kalamu yenye wino mzito ya rangi nyekundu ilikuwa na maandishi yaliyoandikwa MLA CHA MWENZIE NA CHAKE HULIWA.
Baada ya kuisoma alimgeukia mlinzi ambaye alijua lazima ataulizwa swali alikuwa bado amesimama mbele yake.
“Nani kakupa hii bahasha?”
“Wale rafiki zako.”
“Kina nani hao?”
“Si wale ambao mara nyingi huongozana nao muda wote mmoja ni yule mfupi mweupe ulinitambulisha kama sikosei anaitwa Kanyute”
“Oooh si Kanyute ni Kanuth.”
“Ndiye huyo huyo walikuwa wote wanne.”
“Wameelekea wapi?”
“Mmh, sijui waliponipa tu waliingia kwenye gari na kuondoka wakati huo mimi nakuja kwako.”
“Walisemaje?”
“Waliniuliza kama upo nilipowaambia upo walinipa mzigo huu na kuniambia nikuletee..tena nimekumbuka waliniuliza na mama kama yupo?”
“Uliwajibu nini?”
“Niliwajibu yupo ajabu aligonga mikono na kusema shughuli imekwisha walikumbatiana na kuondoka wakicheka kwa furaha.”
“Shughuli imekwisha wana maana gani na hili neno mla cha mwenzie wana maana gani?”
“Bosi kwa kweli maswali kama hayo mimi utanionea wewe ndiye unayewajua vizuri.”
“Ooh! Samahani kaendelee na shughuli zako.”
Yule mlinzi aligeuka na kurudi kwenye lindo lake na kumwacha Roja Mo akiwa ameshikilia bahasha mkononi ambalo lilionekana lina picha.a Alifunga mlango na kurudi kwenye sofa na kujilaza kisha aliifungua ile bahasha ili aone kuna kitu gani.
Wakati Roja Mo anafungua bahasha Rebeka alikuwa amejifunga kanga moja na juu alikuwea ameweka taulo begani akielekea kuoga. Alipotoka chumbani alishtuka kumuona Roja Mo akifungua bahasha moyo ulimpasuka alijua huenda ni ile siri ambayo sasa inamfikia bwana yake.
Alitamani kuikimbia na kuinyakua kabla Roja Mo hajaanza kuziangalia zile picha. Miguu ilikuwa mzito alibakia amesimama kama sanamu akimwangalia Roja Mo alichambua picha moja baada ya nyingine.
Roja Mo ambaye baada ya kuanza kuziangalia zile picha hazikuwa tofauti na zile alizopewa Rebeka kote alipotazama hapakumshtua sana japo sehemu ya Rebeka kuongozana Lyasingo Hotel lilimfanya jasho limtoke alijua kazidiwa akili.
Pigo kubwa lililomfanya apige kelele na kuzirai lilikuwa ni zile picha chafu alizokuwa amepigwa Rebeka na ujumbe wa maneno unaosema:
Mheshimiwa kazi imekwisha huwezi kutuzidi akili sisi ndiye tuliyekukaribisha mjini ongea na watu uvae viatu, siku zote mla cha mwenzie na chake uliwa. Chetu chako cha kwako chako mwenyewe hii haipo ukijua kupokea ujue na kutoa.
Hii shughuli unayoiona imeghalimu milioni mia mbili hamsini kwa hiyo ili issue hii ibakie siri yetu malipo yake milion mia nne bila hivyo kona yote ya nchi hii na jirani picha za mpenzio zitazagaa kuanzia kesho tunataka hizo pesa, wewe si kiburi basi hapa ni maji marefu.
Upatapo ujumbe huu tujulishe tupo sehemu yetu ya kawaida.
Roja Mo baada ya kusoma ujumbe ule alipiga ukelele na kuzimika kwa kusema
“Oooh wamenimaliza.”
Rebeka aliyekuwa akimfuatilia Roja Mo alishtuka kama mtu aliyepigwa na shoti ya umeme na kujikuta akikurupuka kumkimbilia.
Alimkuta akiwa chini ameishapoteza fahamu, alizitupia macho zile picha zilikuwa zile zile chafu. Wazola ghafla lililomuijia ni kutoroka kwa kuhofia Roja Mo alipata fahamu huenda atachukua maamuzi mabaya.
Alikumbuka kauli ya Roja Mo kuwa yupo tayari kutoa roho ya mtu ili kuhakikisha anamlinda kwa gharama yoyote tena alimuonyesha siraha kwa kusema mwenye pesa hata akiua hadharani hafungwi wanaofungwa ni masikini tu.
Hakutaka hata kumsaidia alikimbilia chumbani na kuchukua vitu vyake muhimu na kuvipaki kwenye mabegi na pesa zilizokuwepo kwenye kabati kama milion sabini na kupitia zile picha na kuviweka kwenye gari lake na kuondoka huku mlinzi alikiwa amepigwa butwaa.
Rebeka alipitia kituo cha mafuta kujaza mafuta na safari ya sehemu isiyojulikana ilianza. Pamoja na kuelezwa usifanye kazi nzito lakini aliamua liwalo na liwe. Aliendesha gari kwa kasi kufuata barabara inayotoka nje ya mji.
****
Mlinzi ile hali ya uondokaji wa tajiri wake kike Rebeka ilimtia wasiwasi maana hata mlango hakufunga. Aliamua kwenda ndani japo huwa haruhusiwi kuingia ndani bila sababu maalumu. Alipoingia ndani aliona hali imekaa sagarabagara. Alikwenda kwa mwendo wa taadhari hadi subuleni. Macho yake yalitua kwenye mwili wa mtu aliyekuwa amelala chini.

Alijua akishafanikisha zoezi lile litakalo fuata ni kumsaka Rebeka na kumrudisha nyumbani alijua lazima kakimbilia kwao. Wakati akiwa njia kuelekea Kim hotel nako Kim Hotel matajiri wanne walikuwa wakijipongeza kwa kufanikisha zoezi lao.
Walikuwa wakinywa kwa furaha huku wakiongea maneno ya kejeri.
SASA ENDELEA…

” Roja Mo ni mshamba tu hawezi kushindana na sisi mji tumempokea wenyewe hata kutongoza tumemfundisha eti leo atuzidi akili?”alisema Lemba kwa kujigamba.
“Picha tulilocheza kama ulaya vile sasa kazi kwake alipe milioni mia nne au tuzitawanye kama tulivyo mwambia sisi ndio watoto wa mjini,” aliongezea Muarami.
“Tena tumekosea si anajifanya ana pesa tungemwambia milion mia sita,” alisema Yusuf.
Wakiwa katikati ya maongezi mlango ulifunguliwa na kuingia Roja Mo ambaye alionekana mpole kitu kilichomtia huruma kila mmoja aliyekuwamo mule ndani. Kwa sauti ya upole alisema:
“Kwa hiyo wakubwa mnataka kiasi gani?”
“Kama tulivyo andika milioni mia nne liba ya milioni mbili tuliyo fanyia kazi,” alijibu Lemba aliyekuwa na glasi ya pombe mkononi.
“Mimi nina milioni mia tatu mtapokea?”
“Hata milioni tatu na nusu hatupokei,” alijibu Yusuf.
“Basi pokeeni cheki hii ya milion tatu zingine nitaleta.”
Roja Mo alipitisha mkono nyuma kama anataka kuchomoa cheki walishangaa kujikuta wakitazamana na mdomo wa bastora.
“Mmefanikiwa kumuondoa ndani mke wangu lakini na ninyi mnaondoka duniani sasa tunataka tuone mmeweza kutumia milion mia mbili kuvunja ndoa yangu nataka na sasa mtumie sijui ni kiasi gani kuokoa uhai wenu,” Roja Mo alisema kwa sauti ya chini
” Roja Mo umefika mbali usifanye hivyo, tulijua tunaonyeshana jeuri ya pesa tu na si kingine,” alijitetea Muarami.
“Ya kunidhalilisha au sio?”
“Lakini ni wewe uliyevunja makubaliano yetu sasa nani mwenye kosa?”
“Ikifikia hatua ya mtu kuwa na mke ilitakiwa kuheshimu kwani mpango wetu ulikuwa umekwisha kwa vile mliniahidi kufanya uliyofanya nami sina budi kufanya niliyoyaahidi kwenu. Haya kila mmoja aombe dua yake ya mwisho sipendi muingie kwenye ufalme wa mbinguni bila kujiandaa.”
“Usifanye hivyo Roja Mo ” Kanuth alisema huku akimsogelea Roja Mo
“Kanuth tena wewe ndiye adui yangu namba moja usinyanyue mguu rudi nyuma,” Kanuth alisuasua kurudi nyuma kitu kilichomzidisha hasira Roja Mo na kuongea kwa sauti ya juu.
“Nasema moja rudi…” Kanuth alikuwa bado anaomba msamaha.
“Mbili..rudi nyuma..tatu…moja..tatu..mbili..tatu mwisho.”
Hakuongeza kauli nyingine zaidi ya milio miwili iliyotua kifuani kwa Kanuth na kumtupa kwa nyuma ikiwa imehalibu vibaya kifuani na kuyachukua maisha yake.
Yusuf alijua sasa kazi imeiva alipotaka kutoa bastora yake naye alikuwa amechelewa kwani risasi mbili zilitua kwenye kifua upande wa kushoto wa moyo na kumnyamazisha palepale.
Chumba kilikuwa kikinuka damu Lemba na Muarami walijikuwa wapo kwenye wakati mgumu wa kuokoa maisha yao, Lemba aliamua liwalo na liwe aliamua kumvaa Roja Mo lakini wakati akijirusha kumvaa alikutana na risasi iliyotua kichwani iliyomfanya amuangukia Roja Mo kama mzigo.
Kitendo cha Roja Mo kuanguka na mwili wa Lemba ambaye naye alikuwa tayari mgeni wa Mungu. Mwarami alipata nafasi ya kuitoa bastora yake na kuwa tayari kwa kujihami. Roja Mo baada ya kuanguka chini aliupindua mwili wa Lemba na kutaka kummalizia Muarami.
Walijikuta kila mmoja akiachia risasi zilizompata kila mmoja kifuani na kumtupa kwa nyuma na kuchukua uhai wa kila mmoja. Ndani ya chumba kulikuwa na maiti za watu watano. Mlio wa milipuko ya risasi iliwafanya polisi waliokuwa wakimfuatilia Roja Mo waingie ndani na kwenda moja kwa moja kwenye chumba cha tukio kwa taadhari kubwa.
Ndani ya chumba walijikuta wakipingwa na butwaa kwa kukuta maiti za watu watano warafiki wakubwa lilikuwa fumbo zito ambalo hakuna aliyelijua. Polisi walizichukua maiti zote na kuzipeleka hospitali ya mkoa na kuanza uchunguzi wa vifo vya marafiki watano mara moja.
****
Rebeka aliendesha gari kwa mwendo wa masaa sita bila kupumzika na kuvuka mikoa miwili dhamira yake ni kuvuka mikoa zaidi ya mitano aende kuanza maisha mapya mpakani mwa nchi.
Aliingia mkoani majira ya saa mbili usiku aliona muda ule unafaa kutafuta sehemu ya kupumzika ili kesho aendelee na safari yake.
Alitafuta hotel yenye hadhi na kupanga, baada ya kupata chumba alijimwagia maji na kumtuma mhudumu amletee chakula hakuwa ha haja ya kutembea mwili ulikuwa umechoka sana.
Akiwa amejiegemeza kwenye tendego la kitanda akila chips kuku na bia yake ya castel macho yakiwa kwenye Luninga akiangalia taarifa ya habari. Pamoja macho yalikuwa kwenye Luninga lakini alikuwa akisinzia kwa uchovu.
Habari za mauaji ya kutisha ilimshtua baada ya kusikia sehemu aliyotoka, alitulia bila kuweka kipande cha chipsi mdomoni wala kutafuna chakula kidogo kilichobakia mdomoni na kusikiliza, alimsikia mtangazaji akisema:
“Kumetokea mauaji ya kutisha ya matajiri watano waliouana kwenye chumba cha hotel ya Kim, mpaka sasa hakuna anayejua sababu ya mauaji yale ya kutisha majina ya matajiri hao ni Roja Mo,….”Rebeka hakutaka kusikiliza tena alijikuta akiangua kilio wakati huo miili ya marehamu na sura zao zilikuwa zikionyeshwa.
Rebeka alijutia tabia yake kama angetulia kwa mume wake yote yasingemkuta, lakini alikumbuka sehemu ile haifai watu wajue yeye ni nani. Aliamua kulilia moyoni japo maumivu yake yalikuwa sawa na kukipasua kifua kwa kisu butu bila ganzi.
Alilala pale mpaka siku ya pili asubuhi alfajiri alianza safari yake ya kuelekea mpakani mwa nchi. Alitumia masaa sita kufika mpakani mji uliokuwa umechangamka sana. Alitafuta hotel yenye hadhi na kupanga pale.
Ndani ya miezi miwili Rebeka alikuwa maarufu pale mpakani, alikuwa mgeni lakini mwanamke mwenye pesa na mrembo ambaye kila tajiri alimtaka. Lakini hakuwa tayari kurudia makosa kama yaliyomkuta na kumfanya atangetange.
Kwa miezi minne alinunua jumba kubwa la milion hamsini ambalo lilikuwa likimilikiwa na mzungu ni jumba ambalo ndilo lilokuwa la kifahari pale mpakani. Kama kawaida alirudia biashara zake kwa vile alikuwa mzoefu alitengeneza hela nyingi.
Jina lake lilikuwa midomoni mwa watu lakini hakutumia tena jina la Rebeka alijiita Eva. Kila mmoja alimpenda alikuwa mwanake mwenye roho nzuri mcheshi asiye na malingo tofauti wengine ambao hata nusu ya uzuri wake hawamfikii lakini wanachagua watu wa kuongea nao.
Rebeka au Eva akiwa kwenye duka lake kubwa ambalo lilikuwa lina kila kitu na kuajili wafanyakazi zaidi ya kumi na kuwalipa mshahara mzuri. Akiwa anasoma gazeti aliona habari za kifo picha haikuwa ngeni machoni mwake.
Ilikuwa ya bwana yake Kuchu maelezo yalisema kuwa Kuchu amejiua baada ya kugundua ana ugonjwa wa upungufu wa kinga mwilini (ukimwi). Habari zile zilimshtua na kujiuliza ina maana hata yeye huenda anao anaishi nao bila kujua.
Siku ya pili aliamua kwenda hospitali kupima damu majibu hayakuwa tofauti na mawazo yake kweli alikuwa ameathirika japo hakuwa na tatizo lolote mwilini. Kila aliyemuona hawezi kuamini hata akimwueleza ameathirika ataona anataka kumnyima tu.
Aliporudi nyumbani alikuwa na mawazo mengi juu ya taarifa zile japo alijiona anapendeza machoni mwa watu lakini alikuwa muathirika maiti inayotembea au marehemu mtarajiwa.
Kweli shetani hupenda pale mtu unapokuwa na matatizo Rebeka alipata wazo baya la kutokukubali kuondoka peke yake alitaka kuacha simulizi ya marehemu kaacha orodha ndefu. Kuanzia hapo Rebeka alipunguza safari za kujijenga kimaisha kazi nyingi aliwatuma watu.

Aliamua kuwa mtu wa kustarehe nao kina baba wakwale hawakuchoka, safari ile alikuwa mpole kila aliyemtongoza alimkubalia bila masharti kama mwanzo.
Kila aliyempata alijiona amepata kumbe amepatikana hakukubali kufanya mapenzi kwa kutumia mpira. Kila aliyempata alipolazimishwa kuvua mpira alitii amri, kila ulipoenda na mtu nyumba ya wageni alikuwa wa kwanza kuvua nguo ili uingie kichwakichwa hata wazo la kondomu linapotea.
Kila aliyegusa aliondoka nao naye aliugawa kama peremende, sifa zake mbaya ziliwanyima raha wake za watu mtu alikuwa tayari kukorofishana na mkewe ili tu ampate Rebeka.
Rebeka baada ya kumaliza waume za watu akawaanzia vijana ambao aliwahonga ili kufanya nao mapenzi wao waliona wamepata kumbe maskini walikuwa wamepatikana. Kila mmoja alimchukia pale mpakani hasa wanawake.
Siku moja akiwa peke yake amekaa dukani mwake walipita watoto wazuri wakitoka shuleni, walikuwa watoto wenye afya njema. Aliwaangalia alijikuta machozi yakimtoka moyo ulimuuma na kujiuliza nafsini hivi ataendelea kugawa maradhi yale mpaka nini nini hatma yake mbele ya Mungu.
Alijiuliza watoto wazuri kama wale wazazi wake watakapofariki lazima wataishi maisha ya kutangatanga kwa kukosa lishe bora elimu. Kilio cha mateso yao lazima kitamhukumu akiwa duniani au akiwa amekufa.
Jioni akiwa amekaa akiangalia kipindi cha mahubiri alimsikia mhubiri akisema kuwa kila mwenye mzigo wa dhambi ampelekere Bwana kwani ndiye mwenye uwezo wa kusamehe na kumfanya mtu aingie dunia mpya akiwa safi mbele ya Mungu.
Rebeka aliona hiyo ndio njia pekee iliyobakia ya kwenda kutubu mbele ya Bwana ili asamehewe makosa yake toka kumkimbia mume wake mpaka siku ile.
Jumapili Rebeka akiwa amepakatia Biblia mpya ambayo aliinunua siku alipopata wazo la kwenda kutubu madhambi yake. Hakuna aliyeamini kumuona Rebeka akiingia kanisa wapo walio mshukuru Mungu kwa kumuonyesha njia lakini wapo waliomuona shetani wa kike walitamani kutoka kanisani wamwache peke yake.
Rebeka baada ya kuingia kanisani alitafuta sehemu ya nyuma pembeni na kutulia tuli kusubiri ibada ianze. Baada ya ibada wapo waliokuja kutoa ushuhuda mbele ya kanisa. Kila mmoja alisema yale aliyoyafanya ambayo yalimchukiza Mungu.
Walikuwa wanaume na wanawake wapo waliohasi nyumba zao kwa ajili ya nyumba ndogo wapo waliotoka nje ya ndoa zao wapo waliotelekeza nyumba zao kwa ajili ulevi. Hata wachawi walitoa ushuhuda wao jinsi walivyo watesa watu kuwaua na kula nyama zao.
Ulikuwa ushuhuda wa kusisimua uliowaacha watu midomo wazi, akiwa amebakia mmoja akimalizia ushuhuda wake, Rebeka alitaka naye kwenda lakini moyo ulikuwa mzito lakini alijiuliza asipokwenda pale ambako kila mmoja alisema mabaya yake yeye anasubiri nini.
Alijilazimisha kunyanyuka na kupita katikati ya mistari miwili ya waumini walio kuwa wamekaa. Kila mmoja alimtupia jicho kutaka kujua anakwenda wapi. lakini hakujali macho ya watu alikwenda kwa mwendo wa taratibu Mchungaji alipomuona alimfuata na kumshika mkono na kumpandisha kwenye madhabahu.
“Karibu mama,” Rebeka hakumjibu zaidi ya kububujikwa na machozi ilikuwa tofauti na wote waliokuja kutoa ushuhuda ni yeye tu ndiye aliyetoa machozi.
Mchungaji alimpa kipaza sauti lakini alioendelea kulia huku akiwa ameshikilia mikono kifuani ikionyesha ana maumivu makali moyoni. Mchungaji alimuinamia na kuongea naye kwa sauti ya upole.
“Najua una maumivu makali moyoni mwako na kujutia makosa yako lakini huu ndiyo wakati wako wa kuyatubu yote, kama Bwana alivyosema wote wenye mizigo mizito njooni kwake naye atakutueni haya mama ongea yaliyokusibu.”
Rebeka alinyamaza na kuanza kuongea kwa sauti iliyochanganyikana na kilio maisha yake yote tokea alipotoka tumboni kwa mama yake mpaka siku ile aliyosimama pale alimalizia kwa kusema:
“Nilipojijua mimi mzuri ndio mwanzo wa kuisaliti ndoa yangu na nilipojijua nimeathirika ndipo nilipoaanza kuusambaza ugonjwa kwa wanaume wote wakware na nilipojijua namkosea Mungu ndipo nilipokuja hapa kutubu….kwa sasa hivi mimi ni muathirika wa gonjwa wa UKIMWI.”
Kauli ile ilikuwa kama mshare wa moyo kwa wanawake wote waliokuwa na uhakika kuwa Rebeka alitembea na waume zao. Kanisa muda mfupi baada ya ushuhuda mzito liligeuka jumba la vilio, wengi walilia mpaka kujitupa chini huku wakisema kwa sauti:
“Ooooh Mungu wangu tumekwisha…Eva umetuuua.”
Ilibidi shughuli zote za kanisa zisimamishe na kufanya kazi ya kuwahudumia kina mama na kina baba ambao wengi wao walikuwa wamepoteza fahamu. Rebeka alijutia nafsi yake lakini ndiyo hivyo maji yalikwisha mwagika
Baada ya masaa mawili kanisa lilirudi kwenye hali yake ya utulivu na maombi mazito yalifanya kuzifariji roho za wote walioathirika na ushuhuda wa Rebeka.
Siku ileile Rebeka alitangaza pale pale kanisani kuwa mali zake zote anazikabidhi kanisani ikiwa kusaidia watoto yatima na wajane aliomba baada ya kuondoka jumba lake liuzwe na pesa ziingizwea kwenye mfuko wa kanisa.
***
Siku ya pili Rebeka alijipakia kwenye gari lake na kuamua kurudi nyumbani kwa wazazi wake hakuwa na hamu ya kuishi tena mjini. Nyumbani kwao alipokelewa na wazazi wake wote na ndugu na jamaa.
Kijijini ilikuwa furaha isiyo kifani kwa wazazi wake bahati nzuri alimkuta mwanaye ambaye alikuwa amefuatana na baba yake. Mwanaye alikuwa kwenye afya njema, wazazi wake walitaka kujua alikuwa wapi muda huo wao walijua na yeye alikuwa amekufa kwenye mauaji yale ya kutisha ambayo hayataondoka akilini mwa watu haraka.
Baada ya mapumziko na kupata chakula aliwaweka sebuleni ndugu na jamaa na kuwaelezea tamu na chungu ya maisha yake. Kila mmoja alijikuta machozi yakimtoka Rebeka naye alikuwa akiongea huku akilia kwa majuto ya kuufuata moyo wake kwa kila ulilotaka.
Wakiwa katikati ya majonzi kila mtu akitokwa na machozi Mabogo na mkewe Bibiana waliingia wakiwa na mtoto wao Mafuru. Macho yake yalitua kwenye uso wa baba mkwe alikutana na michirizi ya machozi ilibidi ajiulize kulikoni.
“Jamani kulikoni kuna habari gani?”
Kauli ile ilimfanya Rebeka anyanyue uso na kukutana na mumewe Mabogo alijikuta akisema:
“Aaah Mabogo!”
“Mungu wangu ni wewe Rebeka!?”
Rebeka bila kuongeza neno alijitupa mzimamzima kwenye miguu ya Mabogo
“Mume wangu nimekwisha kweli mshahara wa dhambi mauti.”
“Rebeka una maana gani kusema hivyo?”
“Nimeathirika.”
“Nini?”
“Nimeathirika nimevuna nilichopanda.”
Kauli ile ilimfanya Mabogo kutokwa na machozi kama mtoto mdogo, alimnyanyua na kumkumbatia kwa mahaba mazito huku akimweleza maneno yaliyomliza kilio cha sauti Rebeka:
“Rebeka mpenzi mwanamke niliyempenda kwa moyo wangu wote na kwa nguvu na akili zangu zote najua tatizo lililokutokea si lako ni letu sote nakuahidi kauli yangu ni ileile niliyoitoa mbele ya padri siku ya kutufungisha ndoa nitakupenda kwa uzima na ugonjwa mpaka Mungu atakapomchukua mmoja wetu.
“Pamoja na yote yaliyokukuta lakini amini wewe ni mwanamke zaidi ya wanawake ni mwanamke jasiri mwenye moyo wa upendo na huruma kwa watu wote, Mungu huwa hampi vyote mwanadamu tatizo ni maamuzi bila kufikiria faida na hasara zake wewe ulifikiria faida bila kujua hasara zake ambazo ni furaha ya muda mfupi lakini majuto ya muda mrefu.
“Hilo ndilo kosa kubwa ambalo mwenyezi Mungu atakalo tuhukumiwa wanadamu ametupa akili ya kuwaza kabla ya kutenda kitu kilicho tutofautiana na wanyama ambao ni mahayawani…Lakini Nakuhakikishia Rebeka kuugua sio kufa ondoa wasiwasi moyoni mwako. Yoyote anaweza kufa sio lazima uugue kufa ni ahadi unaweza kufa bila kuumwa au kwa ajari wakati asubuhi uliamka mzima afya njema.
“Jione kiumbe uliyezaliwa upya tena sasa hivi umezaliwa kiroho ni maisha yaliyo bora mbele ya Mungu…Rebeka nakupenda sintasita kukupenda bado mke wangu mbele ya Mungu.”
Rebeka alijikuta akilia kilio kilichomliza kila mmoja pale lakini Mabogo alimfariji kitu kilichomfanya moyo ulitulia. Mabogo alimuacha Rebeka kijijini kwa hakutaka tena maisha ya mjini alijenga kanisa kubwa na kituo cha kuwahudumia waathirika wa Ukimwi na kununua gari la kijiji litakalo kuwa likihudumia watu wenye matatizo.
Jina lake lilikuwa tena midomoni mwa watu mwanamke jasiri mwenye moyo wa huruma na upendo alifahamika kama dada wa kanisa. Pesa zake zote alizitumia kwa maendeleo ya kanisa. Pamoja ya yote linalomuumiza moyo wake ni upendo wa mume wake Mabogo anaamini mpaka anaingia kaburini Mabogo ni mwanaume bora mwenye sifa zote za kuwa mume wa mtu ambaye pamoja na kumfanyia yote bado upendo wake bado mbichi usioisha moyoni mwake.
Lakini ndio hivyo Bibiana ndiye mrithi wake hana jinsi amekubali yaishe. Sasa hivi Rebeka mama wa shamba mjini anakuogopa kama ukoma
Mwisho kila mtu ameona moyo si wa kuuendekeza kila mmoja aridhike anachopata tuziheshimu ndoa zetu hata kama tunakula mara moja kwa siku. Tamaa ya mwili ni majuto ya moyo Mungu huwapenda wenye subira ya moyo ambao huwapa farijiko la milele. Hadithi hii ni tunu kwa wote waliokuwa waaminifu kwenye ndoa zao, hata kwa walio athirika nawaeleza kuugua si kufa waishi kufuta ushauri maisha yao hayatakuwa na dosari kufa kwa mtu ni ahadi.

MWISHO

REBEKA (ZAIDI YA MWANAMKE) – 4

Image result for adrian mcdonald photography

Simulizi : Rebeka (Zaidi Ya Mwanamke)
Sehemu Ya Nne (4)

ILIPOISHIA:
Hakuwa Rebeka yule waliomzoea alikuwa kwenye mavazi ya gharama kubwa mkononi alikuwa na simu ya milioni, kila kidole kilikuwa na pete ya dhahabu na shingoni alikuwa na mkufu wa milioni mbili na nusu.
Rebeka alionekana mwanamke wa gharama kitu kilichofanya hata marafiki wa Kuchu kukili moyoni kuwa Rebeka si hadhi ya Kuchu.
SASA ENDELEA…

Kuchu ambaye alikuwa bado amepigwa butwaa alishtusha na salamu ya Rebeka.
“Jamani habari za saa hizi?”
“Nzuri,” walijibu wote kasoro Kuchu ambaye alikuwa bado amejikunyata kwa majonzi, Rebeka ile hali aliijua lazima itatokea lakini haikuwa ngeni machoni na moyoni mwake. Mwanaume ambaye ilikuwa ni vigumu kutoa maamuzi ya kuvunja mapenzi ni mumewe Mabogo, lakini aliweza kukaza moyo na kumeza mfupa itakuwa Kuchu mtu aliyempenda penzi masilahi.
Rebeka akiongea kwa kujiamini alisema:
“Jamani naomba mnipe nafasi niongee na mpenzi wangu,” wale marafiki wa Kuchu walitoka nje na kuwaacha wapenzi, wakati huo Kuchu alikuwa bado amejiegemeza upenuni mwa sofa akiwa ameangalia chini kwa hudhuni huku machozi yakimtoka.
Rebeka alimsogelea na kukaa pembeni yake na kuzifanya pua za Kuchu kupokea manukato ya bei mbaya. Rebeka aliupitisha mkono wake laini shingoni kwa Kuchu na kumpapasa kitu kilichofanya mwili wake kusisimka na kujikuta akiongea kwa sauti ya kilio.
“Lakini kwa nini mpenzi umeamua kunifanya hivyo?”
“Aaah mpenzi kukufanya nini tena?”
“Yaani umeamua kuniacha kosa langu nini?”
“Huna kosa lolote mpenzi.”
“Hapana mpenzi ni wazi kuna kitu ambacho nilikuwa nakuudhi lakini hukutaka kuniambia na kuamua kunihukumu bila kujua kosa langu lakini bado nilikuwa na muda wa kujirekebisha.”
“Wala siyo kama unavyofikilia basi tu kila chenye mwanzo kina mwisho wake kama nilivyotoka kwa mume wangu wa kwanza na wewe vilevile.”
“Yaani umeona umenifilisi ndio unanikimbia.”
“Wasiwasi wako tu mimi kwa taarifa yako naondoka kama nilivyo kuja siondoki na nyumba wala gari vyote nakuachia pia zile pesa ulizobahatika kuziona milion kumi nitakuachia sitaki uyumbe kimaisha nina imani tumeelewana,” Rebeka alisema kwa sauti ya upole.
“Siyo hivyo Rebeka nimekuzoea.”
“Huwezi kunizoea kama mume wangu Mabogo.”
“Lakini kumbuka wewe bado mke wangu bado sijakupa talaka.”
“Kuchu usinichekeshe mimi na wewe tumefunga ndoa kwa mkuu wa mkoa, lakini Mabogo tumefunga kanisani ndoa inayotambuliwa na Mungu wewe na Mabogo nani mume wangu?”
“Tuachane na hayo Rebeka bado nakupenda usiniache nitakuwa kwenye wakati mgumu,” Kuchu alijitetea.
“Kuchu fanya kama mtu kufa, hufa akiwa anaipenda dunia lakini kila kitu na wakati wake na mapenzi vile vile hujivunii mapenzi yetu yamezaa faida nimekuachia kila kitu au ulitaka niondoke na vitu vyangu?”
“Hapana.”
“Basi ndio hivyo nimekuja kukuaga rasmi kuwa sasa hivi ni mke wa mtu naomba upokee pete yako kwa kuwa sasa hivi haina nafasi. Ila nakuomba uwe mstaarabu kama Mabogo zaidi ya hapo utajiingiza matatani nami sipendi ifikie hatua hiyo kwa kuwa niliye naye kwa sasa uwezo wake una karibiana na nguvu za mkuu wa nchi,” Rebeka alisema kwa kujiamini.
Rebeka alimkabidhi pete Kuchu ambaye hakuipokea zaidi ya kupiga magoti kumuomba Rebeka abadili mawazo.
“Kuchu kubadili mawazo ningebadili kwa mume wangu ambaye nilimuacha nikiwa nampenda na bado nampenda mpaka kufa moyoni mwenye nafasi ni yeye kwa mwingine penzi masilahi….Ila Kuchu usikate tamaa zichange kama mambo yako yatakuwa safi na mimi sijazeeka unaweza kabisa kurudisha majeshi nyumbani.”
Rebeka aliangalia saa yake na kumueleza Kuchu.
“Kuchu muda niliopewa na mume wangu umeisha naomba ruksa niondoke ila kabla ya kuondoka tuongozane kwenye gari nikupe milioni zako ishirini nina imani milioni moja ina uwezo wa kukurudishia furaha yako kwa kuoa mpenzio uliyekuwa ukimpenda kabla yangu.
“Sina imani kama ulikuwa ukinipenda mapenzi ya dhati zaidi ya kuvutiwa na umbile na sura yangu kwa kuniweka ndani kama fenicha bado naamini aliyenipenda mapenzi ya kweli ni mume wangu Mabogo kwa kuwa ameniokota nikiwa sina hata viatu si ninyi mliyenipenda kwa kuniona nimeisha pendeza kabisa.”
Kuchu hakuwa na la kuzungumza zaidi ya kuvuta kamasi kwa ndani huku akifuta machozi kwa mkono. Hata nguvu za kunyanyuka kutoka nje hakuwa nazo Rebeka alikwenda hadi kwenye gari na kuchukua mkoba wenye burungutu la pesa na kumpelekea Kuchu ndani aliinama na kumpiga busu kisha alisema:
“Kwa heri ya kuonana,” Kuchu hakujibu hilo Rebeka hakulijali aliondoka bila kugeuka nyuma hadi kwenye gari na kuondoka zake.
******
Maisha ya Mabogo na Bibiana yalishamili kila kukicha na Bibiana alitumia uwezo wake wote kuziba pengo la Rebeka. Hakuna aliye amini kuwa Nyangeta si mtoto wa kuzaa wa Bibiana, alipata malenzi yote ya mtoto tena yenye mapenzi mazito.
Mabogo na yeye hakuwa na hiyana aliamua kumuoa kabisa Bibiana kwa mkuu wa mkoa baada ya kanisani kugomewa kwa kujua ndoa ilikuwa moja ya Mabogo na Rebeka ambayo hutenganishwa na kifo.
Harusi ilipendeza iliyohudhuliwa na watu wengi mmoja wapo aliyehudhulia lakini bila kualikwa alikuwa Rebeka ambaye alimzawadia Bibiana gari dogo aina ya LAV4. Aliyemuona Rebeka siku ya harusi hakuamini hata shoga zake walikuwa wamempotea alikuwa amebadilika kwa kiasi kikubwa kwa mwili hata mavazi na mapambo ya bei mbaya.
Wengi walimfananisha na mzungu kwa kuonyesha mapenzi ya dhati kwa mke mwenzie Bibiana msichana aliyemuacha kama mtumishi wa ndani ambaye aligeuka kuwa mke mwenzie.
Muda wote wa harusi alionekana mwenye furaha aliyekuwa mstari wa mbele kwenye shughuli zote za harusi. Hata baada ya harusi alipata muda wa kuongea na maharusi kwa kutoa nasaha zake kwa kumuomba Mabogo amtunze Bibiana na ampende kama alivyompendwa yeye.
“Nina imani moyo wa Mabogo ulikuwa na nafasi moja ya upendo kwangu lakini naomba ile nafasi yangu japo nina imani huwezi kumpa yote basi mpe hata nusu ya upendo…
“Si kwamba moyo wangu una furaha basi tu ni macho tu yanacheka na midomo kutabasamu lakini moyoni ni majuto nina imani Mungu huumba wanaume na wanadamu wenye mfano wake mmoja wapo ni wewe Mabogo.
“Mwanaume unayejua mapenzi kwa mwanamke na ni mwalimu mwema, naweza sema najutia maamuzi yangu ya kuachana na wewe vilevile naweza sema siyajutii kwa kuwa kila kitu hupangwa na Mungu ila amini bado nakupenda na upendo wangu utakoma pale roho itakapo tengana na mwili…
“Lakini upendo wangu usikufanye usimpende mke mwenzangu, Bibiana, kwanza nashukuru kwa kuweza kutuliza maumivu ya moyo ya mume wangu. sitakoma kumwita mume wangu kwa kuwa ndoa yetu tayari tuliisha iandika kwenye kitabu cha Mungu na haifutiki mpaka kifo.
“ Bibiana nakuomba umlee mume wetu kama ulivyomlea ukiwa mtumishi wa ndani, japo nipo mbali nanyi kila kizuri utakacho kifanya nitakupa zawadi ambayo itakuwa kumbukumbu maishani mwako hii ya leo ni mwanzo vilevile habari nimezipata juujuu japo hamkutaka nijue.
“Lakini Mabogo mimi na wewe ni ndugu na aliyetuunganisha ni Nyangeta. Nioneni ni mmoja ndani ya familia nakuombeni msinitenge vilevile nikiomba ushauri msisite kunipa. Mabongo sitampenda mwanaume yoyote chini ya jua zaidi yako, wewe ni zaidi ya mwanaume Mungu akulinde na akuongoze kwa kila jambo.”
Baada ya nasaha zile Rebeka alimkabidhi Mabogo milioni hamsini kama mchango wake wa harusi na kuanzia maisha mapya ya kifamilia. Mabogo ambaye hakuwa na kinyongo tena na Rebeka alishukuru kwa moyo aliouonyesha na zawadi alizotoa za gari na pesa taslimu. Rebeka aliondoka na kuwaacha maharusi wapumzike na kurudi nyumbani kwake.

Wakati tajiri Roja Mo akitumia uwezo wa kipesa wa kumdhibiti Rebeka asiguswe na mtu kwa kumwekea walinzi ambao walikwenda nao kila kona aliyokwenda kitu kilicho mnyima raha Rebeka na kujikuta anakorofishana na Roja Mo.
“Sikiliza Roja Mo hii tabia ya kunifanya kama gaidi hatari mimi siiwezi.”
“Una maana gani tena ma sweet?”
“Hivi hawa watu uliowaweka wanifuate mpaka chooni ni wa nini?”
“Ha! Ina maana wanakufuata mpaka chooni?”
“Kunisimamia nje ya choo nikiwa chooni kuna tofauti gani hata nikipumua wanasikia mimi siwezi mambo yenyewe kama ndio hivyo mimi siwezi bora tuachane nina imani huniamini ndio umeniwekea walinzi ili nisikimbie…
“Sikiliza Roja Mo nimekuvumilia sana lakini sasa naona inatosha pesa zako zote nakurudishia hata sasa hivi sina dhiki kiasi hicho. Tena tuongozane nikakupe pesa zako na liba juu hutaona nateteleka pesa ninazo nahitaji mapenzi ya kujitanua mimi mbona sikufuati unapokwenda au kumtuma mtu…
“Au huniamini bora tuachane mapenzi bila kuaminiana hayana raha na wala hayana muhimu ya kuwapo bora tuachane utakufa na presha bure.”
“Nakuamini lakini nawaogopa rafiki zangu wanaweza kunipora.”
“Kivipi?”
“Wanaweza kukupa pesa zaidi yangu na kukuchukua kitu ambacho sipendi kitokee maishani mwangu.”
“Ha! Roja Mo ina maana ulikuwa ukinidandanya?”
“Kuhusu nini?”
“Si uliniambia kuwa pesa za rafiki zako wakizichanganya ndio zinafika robo ya za kwako sasa mbona sikuelewi?” Rebeka alikuja juu.
“Pamoja na hayo mwanamke mzuri kama wewe hutakiwi utembee hivihivi kulindwa ni haki yako kama mke wa Rais.”
“Ni mke wa Rais kwangu kama unataka niwe na wewe nataka uhuru umenikuta na uhuru wangu sipendi uninyang’anye..siku zote heri maskini huru kuliko tajiri mtumwa nasema tena sitaki.”
“Nimekuelewa..lakini safari za mbali basi nitakupa mtu akusindikize.”
“Ina maana kwetu siku hizi nimepapotea?”
“Sina maana hiyo kwa usalama wako.”
“Sasa sikiliza tuondoe mzizi wa fitina kuanzia leo kila kona nitakayo kwenda tutaambatana na wewe.”
“Itakuwa vigumu si unajua mimi nina mihangaiko kuongozana na wewe kila wakati kazi zitasimama.”
“Sasa unataka kuniambia mimi mwanamke nikishikwa na hamu zangu unaniruhusu kuzimalizia kwa mlinzi wako?”
“Kwa nini?”
“Ndiyo maana hutembea peke yangu nishikwapo huwahi nyumbani kukuwahi ili umalize hamu zangu au tukiwa pamoja tunaweza kunimazia kwenye gari.”
“Mmh, haya.”
“Mmh, haya umekubali lipi kati ya yote tuliozungumza?”
“Safari zako utakwenda peke yako,” Roja Mo alikubali yaishe.
Baada ya mjadara mrefu hatimaye Rebeka aliweza kwenda safari zake akiwa peke yake bila mlinzi. Wakati huo Roja Mo alimweka mtu kwa siri afuatilie nyendo zake.
Naye Rebeka katika mizunguko yake kuna mtu alimuona zaidi ya mara zote anazokuwa kwenye mizunguko yake lakini hakumtilia maanani. Siku moja akiwa anatoka chumbani ambako aliingia kwa ajili ya kulala lakini usingizi haukupatikana na kuamua kurudi sebuleni kukaa na mpenziwe wake.
Alipotoka Sebuleni bila taarifa alimuona kijana ambaye hakuwa mgeni machoni mwake kwa kumuona maeneo mengi anayokuwepo.Yule kijana alikuwa akimpa Kamera automatic digito. Alisimama kimya mlangoni bila kusema lolote na kushuhudia tendo la kukabidhia ile kamera.
Baada ya kukabidhiana Roja Mo alimpa yule kijana pesa ambazo zilikuwa nyingi kiasi zilikuwa noti za elfu kumi kumi. Rebeka alijikuta akijiuliza zile pesa alizopewa na za nini na ile kamera ni ya kazi gani vilevile alijiuliza yule kijana kukutana naye kila sehemu alizo kwenda alikuwa na nia gani?.
Yule kijana aligeuka ili aondoke aliponyanyua macho walikutanisha na Rebeka na kumfanya kushtuka na kupoteza muelekeo wa kwenda japo hapakuwa na kitu alijikwaa na kuanguka.
Kama angekuwa peke yake angetimua mbio, alijikuta akiaga mara mbili.
“Aaaah! Mama, shikamoo, kwa heri.”
Rebeka alitabasamu huku akipiga hatua kuelekea kwenye makochi alipokuwa amekaa Roja Mo. Naye Roja Mo alishikwa na butwaa kwa kitu ambacho hakuwa amekitegemea alijua Rebeka muda ule atakuwa amelala.
Aliiweka ile kamera ndogo pembeni yake ili Rebeka asiione lakini kumbe Rebeka alikuwa ameishaiona muda mrefu na yeye kujifanya hajui chochote. Alipofika karibu wakati yule kijana jasho lilikuwa likimtoka kwa hofu.
“Vipi kaka yangu mbona hivyo?”
“Aaah anasumbuliwa na maralia ndio maana anatetemeka na jasho kumtoka,” aliwahi kujibu Roja Mo.
“Oooh! Basi awahi dawa si unajua kuiwahi homa ni vizuri..pole sana,” Rebeka alisema kwa sauti ya upole.
“A.a.asa.ante.”
Yule kijana aliondoka kabla ya kuondoka alipopiga hatua mbili Rebeka alimwita kitu kilichomfanya yule kijana kushtuka na kijikuta akilazimisha miguu yote itembee kwa wakati mmoja na kumfanya ampige mweleka mwingine.
Kitu kilichozidi kumpa wasiwasi Rebeka na kujiuliza yule kijana ana siri gani na mumewe. Mwanguko nusra umchekeshe Rebeka, Roja Mo alishangaa ni wasiwasi gani alioupata yule kijana lakini aliamini Rebeka hajui kitu.
Yule kijana baada ya kuamka pale chini alirudi huku bado hofu ipo moyoni Rebeka alimtoa hofu.
“Oooh! Pole sana kaka yangu inawezekana ni maralia kali uliiachia muda mrefu na kusababisha kukimbilia kwenye viungo,” yule kijana hakujibu kitu aliangalia chini tu.
“Samahani kwa kukurudisha nilitaka kuuliza kama amempa pesa za dawa kama bado nimpatie hata elfu tano,” Rebeka alisema kwa sauti ya upole.
“Nimeisha mpa elfu kumi,”alijibu Roja Mo.
“Zitamtosha au tumuongezee?”
“Nina imani zinatosha kama zitapungua nimemwambia arudi.”
“Siyo mbaya wahi basi kununua dawa kaka yangu.”
“Aa.asante mama,” yule kijana alijibu na kugeuka kwenda zake.
Baada ya yule kijana kuondoka Roja Mo alibadili mada:
“Vipi mpenzi mbona hukulala?”
“Yaani kulala peke yangu wewe ukiwa sebuleni wala usingizi hauji ndio maana nimekufuata nilale kwenye kifua chako.”
“Haya njoo ulale au twende chumbani?”
“Vyovyote vile.”
“Basi twende chumbani hata mashetani yakipanda ni rahisi kuyapunga.”
“Kama ulijua.”
Waliponyanyuka Roja Mo aliiziba ile kamera kwa mto wa kochi tukio lote Rebeka aliliona na kujawa na maswali mengi juu ya ile kamera. Hakusema kitu waliongozana chumbani lakini kabla ya kuingia chumbani Rebeka alirudi kwenye kochi na kunyanyua mto wa kochi na kuichukua ile kamera.
Tukio lile la ghafla lilimfanya Roja Mo abakie kinywa wazi na kushindwa aongee nini. Rebeka aliichukua ile kamera na kusema:
“Mpenzi hii kamera ilikuwa wapi?”
“Aaa..aa mbona ipo.”
“Oooh sawa.” Rebeka aliishika ile kamera mkononi akionyesha kutokuwa na wasiwasi nayo. Kitu kilichompa imani Roja Mo kuwa hajui lolote wala hajui kinachoendelea ndani ya kamera.
Waliingia mpaka chumbani Rebeka aliiweka ile kamera juu ya droo ya kitanda na kujitupa kitandani kitu kilichozidi kumpa uhakika Roja Mo hakuna tatizo lolote na kuondoa hofu na kuendelea kufaidi mapenzi.
Rebeka mwanamke aliyekuwa amekubuhu kwenye fani ya mapenzi alitumia uwezo wake wote kumchosha Roja Mo na kumlazimisha kulala usingizi bila kupenda kwa uchovu. Baada ya kupata uhakika Roja Mo amelala aliamka na kuifungua ile kamera iliyokuwa juu ya droo ya kitanda.

Aliangalia picha zilizo hifadhiwa alikuta picha nyingi zote zikiwa za kwake za siku ile na kila kona aliyofika ilikuwa imepigwa picha. Lakini hakukuwa na picha mbaya pamoja na kutokuwa na picha mbaya ilionyesha ni jinsi gani asivyo muamini kitu ambacho alijua bado ni kumnyima uhuru.
Aliirudisha kama ilivyokuwa na kujilaza pembeni ya Roja Mo kwa kuwa na yeye alikuwa amechoka usingizi ulimpitia. Alipoamka walikwenda kuoga na kupata chakula cha usiku bila kuonyesha mabadiliko yoyote.
Wakiwa kitandani Rebeka ndipo alipo muuliza Roja Mo kuhusiana na picha zile
“Mpenzi nina imani bado huna imani na mimi kwa hiyo hakuna umuhimu wa mimi kuwa na wewe.”
“Ha! kwa nini?” Roja Mo alishtuka.
“Nilikueleza nini na unafanya nini?”
“Lakini si nimefanya kama ulivyo niagiza.”
“Hujafanya.”
“Lini umefuatwa na mtu?”
“Siku zote toka tulipokubaliana haya toka utume vibaraka vyako nimefanya lipi baya?”
“Rebeka mbona sikuelewi?”
“Tatizo unanifanya mimi kama mtoto mdogo au kuwa na pesa unaweza kuwa na akili nyingi.”
“Bado sijakuelewa una maana gani mbona kila dakika unanipa presha?”
“Mimi na wewe nani ampae mwenzie persha…Sikiliza Roja Mo nimechoka yaani kumbe kila niendapo nafuatwa na watu ya nini kama huniamini tukae pamoja?”
“Nisamehe Rebeka nakupenda sana.”
“Anayenipenda ni mmoja.”
“Nani huyo?”
“Mume wangu.”
“Mbona sikuelewi mume wako nani kama sio mimi?”
“Nyinyi wote hamuwezi kuwa waume zangu bali mmoja.”
“Ni kauli gani za kunidhalilisha hivyo Rebeka?”
“Aha! Mimi ndiye ninaye kudhalilisha kama sio wewe kuniwekea watu mpaka chooni sasa hivi kila ninalofanya napigwa picha mbona mwaka huu makubwa!”
“Sina maana hiyo, sipendi kukupoteza nakupenda sana.”
“Usijidanganye mapenzi kama kifo siku ikifika haina ujanja hakuna aliyeweza kuzuia kifo hata mtu umpende vipi ni Mungu pekee na mapenzi vilevile na kwa mtindo huu hatufiki mbali.”
“Basi nakuhakikishia lolote litakalo tokea kwa upande wangu litakalo kukwaza ruksa kutoa maamuzi yoyote.”
“Mimi tena siongei ni vitendo tu vitafuata.”
Kauli ile ilimuweka Roja Mo kwenye wakati mgumu sana wa kujilinda asimkosee lolote Rebeka kauli yake mwenyewe ilikuwa sawa na kitanzi alichojivisha mwenyewe.
*****
Wakati Roja Mo akiwa kwenye mtihani mzito wa kulinda vitendo vyake vya vivu wa kitoto wenzake walikuwa kwenye mkakati mzito wa kuhakikisha wanamshikisha adabu kwa kitendo chake cha kupenda kula vya wenzie lakini vya kwake vigumu.
Kikao kiliendesha chini ya Alfonsi Lemba katika mkakati wa kumchukua Rebeka binti aaliyekuwa gumzo na tishio machoni mwa wanmaume kila mwanaume mwenye pesa bila kutembea na Rebeka alijiona amepungukiwa kitu fulani maishani mwake.
Kikao kiliendelea kila mmoja alitoa maoni yake kuhakikisha wanampata Rebeka na kuhakikisha wanafanya kitu kitakachomfanya Rebeka aukimbie mji na kumtia aibu ya mwaka Roja Mo.
“Sasa wakubwa mnasemaje kwa kuwa tupo wote mimi si muongeaji peke yangu”alisema Lemba
“Vilevile kama tulivyo zungumza ni mchango kabambe kila mmoja avunje benki mkataba wa harusi ile nimesikia ni milioni mia mbili themanini”alisema Muarami
“Mm,h kweli mshikaji alipania…lakini kwa vile tumeamua kumshikisha adabu kila mmoja milioni mia moja sifa kubwa ya Rebeka penzi kwake masirahi kama atapa zaidi aliyopewa na Roja Mo tutaweza kufanikisha mpango wetu,” aliongezea Kanuth.
“Jamani kwa upande wangu milioni mia moja ni nyingi labda sabini nitajitahidi kidogo japo vilevile nitakuwa nimeumia,”alisema Yusufu Msumi.
“Lakini mimi nawazo tusiwe na wazo la kuvunja mkataba bali tumteuwe mmoja wetu amtokee Rebeka kwa penzi la saa moja la malipo ya milioni mia mbili lazima atakubali mi namjua yule mwanamke anaijua pesa hawezi kukubali kuiacha milioni mia mbili kwa saa moja sijui wazo langu mnasemaje?”alisema Lemba.
“Ndiyo maana tulikuchagua mwenye kiti kwa mipango ya kuona mbali nina imani ni mpango mzuri na wenye gharama nafuu kama ukifanikiwa,” alisema Kanuth.
“Nina imani mia kwa mia lazima ataingia ni mtego wa kibwege sana,” alisema Yusufu.
“Siku zote ndege mjanja unaswa na mtego mbovu,” aliongezea Muarami.
“Haya nani wa kumtuma kufanikisha mpango wetu,” aliuliza Lemba.
“Kuna mwingine zaidi ya doctor love Kanuth,” alisema Muarami.
“Basi Kanuth ndiye tuliyempa jukumu zima la kuhakikisha Rebeka anaingia anga zetu tayari kufanya kitu cha kihistoria ambacho kitachukua muda kupotea akilini mwa mwatu na wewe usitufanye kama Roja Mo tutatoana uhai ooho,” walimtaadhalisha.
“Mmh, kweli Rebeka maneno mengine usipo kuwa na moyo utaganda kama ruba lakini lazima Kanuth uishinde nafsi ili tumshikishe adabu Roja Mo ,” alisema Muarami.
“Mimi kwangu kitu cha kawaida nyinyi wenyewe mtanivulia kofia na kunipigia saruti.”
“Mchango mpaka kesho jioni uwe umekamilika kazi iishe wiki hii hii ili tufikirie mambo mengine maana suala hili limetukosesha raha kabisa ,” Lemba alifunga kikao
Kikao kilifungwa kila mmoja aliondoka tayari kwa utekelezaji wa kuleta pesa kiasi cha milioni hamsini kila mmoja tayari kufanya dhalilisho kwa mwanamke mrembo mwenye kila sifa ya uzuri binti mrembo Rebeka.
***
Baada ya kukabithiwa milioni mia mbili Kanuth alikuwa akitembea nazo kwenye gari kufuatilia nyendo za Rebeka kila kona aliyokwenda. Ilichukua wiki ndipo siku moja alibahatika kumkuta Rebeka akiwa ameharibikiwa na gari.
Kanuth alisimamisha pembeni yake wakati huo Rebeka alikuwa akijiandaa kumjulisha fundi wake aje. Ulikuwa muda mzuri kwa Kanuth kujaribu bahati yake, kipindi kile Roja Mo alikuwa amesafiri nje ya mji kwa siku moja kwa ajili ya shughuli zake.
Baada ya kusimamisha gari alimfuata Rebeka ambaye ilionyesha simu aliyopiga ilikuwa haipatikani. Sura ya Kanuth haikuwa ngeni kwa Rebeka lakini hakukumbuka aliiona wapi.
“Samahani shemeji.”
“Bila samahani kaka yangu.”
“Una tatizo gani?”
“Hata sielewi gari limenizimikia ghafla.”
“Ngoja nijaribu bahati yangu.”
“Kwani wewe ni fundi?”
“Huwa najaribu mara nyingi gari langu matatizo madogo madogo humaliza mwenyewe.”
“Jaribu na hapa,” Rebeka aliongea huku akiokota jani kavu chini, macho ya Kanuth yaliyua juu ya umbile la Rebeka mapigo ya moyo yakimwenda mbio alijikuta akisahau kutoa msaada na kuendelea kuyaacha macho yake yaendelee kufaidi umbile la mwanamke ambalo mwake lilikuwa adimu. Alikiri Roja Mo kuwa alikuwa na kila sababu kutotoa basi ule si mpira wa kutoa pasi lazima ufunge mwenyewe.
Hata Rebeka alipo nyanyuka baada ya kuokota jani alikutanisha macho na Kanuth, Koleta ambaye alikuwa hana habari kama kanuth alikuwa akimwangalia alimuuliza
“Vipi kaka yangu tayari?”
“Oooh..aah..mmh, ulisema imeharibika nini?” Kanuth alibabaika.

“Aaaah kaka yangu mbona nimekueleza mapema sijui gari imenizimikia ghafla.”
Kanuth hakuongea kitu alifungua boneti na kuangalia ndani labda kuna kitu kimelegea au kuchomoka. Kwa bahati nzuri alikuta ni waya wa betrii imechomoka aliokota jiwe na kuurudisha ule waya kwa kuupigilia ambao ulikaa vizuri.
Alimuomba Rebeka aingie kwenye gari na kuliwasha kwa kunyonga ufunguo. Alipowasha gari lilikubali kitu kilichomfanya Rebeka kumshukuru Kanuth.
“Oooh kaka yangu Mungu akujalie sana.”
“Akujalie wewe aliyekupa upendelea wa sura umbile sina wasiwasi na tabia yako.”
“Asante,” Rebeka alijibu kwa kuachia tabasamu pana lililouchanachana moyo wa Kanuth na kumpa wakati mgumu kutamka kilicho mpeleka pale.
“Sasa kaka yangu sijui nikupe kiasi gani cha ufundi?”
“Hapana msaada wangu kwa viumbe kama nyinyi ni thawabu kwa Mungu, moyo wangu ungefarijika zaidi kama ungekubali mualiko wangu japo wa ghafla wa chakula cha mchana.”
“Nashukuru kwa mwaliko wako hata mimi ningejisikia faraja kuongozana na wewe kupata chakula cha mchana mwanaume mwenye moyo wea huruma lakini utanisamehe kwa leo.”
“Usifanye hivyo Rebeka.”
“Ha! unanifahamu?”
“Rebeka nani asiyekuja hapa jijini mwanamke mwenye kila aina na uzuri na mvuto.”
“Itakuwa vizuri kama unanijua ni rahisi kunielewa.”
“Kukuelewa kivipi?”
“Mimi ni mke wa mtu kwa hiyo maeneo mengine siruhusiwi kwenda na mtu tofauti na mume wangu.”
“Hilo nalielewa au sina hadhi ya kufuatana na wewe?”
“Mimi ni mtu wa kawaida ila naheshimu ndoa yangu vile vile mume wangu ni mtu maarufu.”
“Rebeka cha mtu uliwa na mtu chuma pekee huliwa na kutu.”
“Mbona sikuelewi una maana gani maana nimeona kama maongezi yamepoteza muelekeo?” Rebeka alishtuka.
“Rebeka maongezi hayajapoteza mwelekeo bali kila kiumbe anautashi wa kuongea yale yausibuyo moyo wake na siku zote mtu huutetea moyo wake mbele ya mhusika japo mke wa mtu naomba penzi lako la siku moja hata kwa saa moja na kuligharamia kwa kiasi chochote ukitakacho.”
“Mmh! Usinichekeshe kaka yangu mwanaume kuugusa mwili wangu nina imani itakubidi uuze shamba la mzee wako nyumba yako kama unayo na gari zote bado nina imani itakuwa haitoshi.”
Kauli ile ilimshtua Kanuth na kujiuliza huenda dau la milion mia mbili halitoshi. Lakini bado hakuonyesha kuteteleka japo moyo ulikuwa yukivuja jasho, alijikaza kiume na kumuuliza:
“Sidhani kama pesa niliyonayo ndani ya gari langu japo hailingani na hadhi ya uwezo wangu, wengine hatuna matangazo lakini mambo yetu makubwa nina imani hata huyo anayekumiliki ana pesa za kujitangaza lakini hapa anafunga breki.”
Kauli ule ilimfanya Rebeka amuangalie upya Kanuth kuanzia kichwani mpaka miguuni na kumthaminisha. Ni kweli alionyesha ni mtu mwenye pesa lakini siku zote aliamini bwana yake Roja Mo ndiye mwenye pesa kuliko tajiri yoyote pale mjini.
Lakini alijua siku zote wanaume ni watu wa majingambo japo katika maisha yake hayo aliyaona miaka mingi iliyopita akiwa kijijini. Lakini toka aingie mjini wanaume wote wanaomfuata huwa wamejiandaa vilivyo.
Akiwa amejitanua kama ndege tausi kwenye hifadhi moja wapo ya taifa Rebeka aliongea kwa kujidai kuangalia yule bwana ana dau gani la chapuchapu. Hesabu aliyoweka ni milioni mia moja hamsini.
“Kwa shepu hii utanipa kiasi gani?”
“Kwa kukuonyesha uwezo wangu wa kipesa mimi ndiye naitwa bwana bingo kufanya mapenzi na mimi ni sawa na kushinda bingo.”
“Ooh sikusimama kusikiliza ukijinadi kama mgombea ubunge kinachotakiwa pesa hapa penzi masilahi.”
“Kwa saa moja nitakupa milioni mia mbili.”
“Etiii!?” Rebeka alishtuka.
“Ndiyo wala sijakosea kutamka milion mia mbili kwa saa moja moja kwa vile ni haraka lakini tukipanga siku nzima nitakupa bilioni moja.”
“Unasema kweli bwana bingo?”
“Kwa jeuri yangu pesa yenyewe ipo kwenye gari nitakupa sasa hivi nenda kaisabie kwako jioni nijulishe tuonane wapi?”
“Siamini unanitania,” tamaa ya pesa ilimuingia Rebeka na kutaka kuiona ile pesa siku zote aliuapia moyo wake kuwa hata ipisha pesa aliifananisha na samaki na chambo.
Kanuth alikwenda mpaka kwenye gari na kurudi na fuko lenye pesa milioni mia mbili taslimu. Alipomfikishia aliufungua ule mfuko na kuyafanya macho ya Rebeka kukutana na maburungutu ya pesa mpya mpya tu. Moyo ulimwenda mbio na kuzitamani zile pesa na kuwa tayari kufanya naye mapenzi hata ndani ya gari.
Lakini aliogopa kuwekewa kanyaboya ilibidi aombe kuzihakikisha.
“Siamini kama zote ni pesa halali!”
“Nakuomba tuondoke na wewe hadi benki yoyote unayo iamini kisha wakusaidie kuzihakiki kisha wakusaidie na kuhesabu ili ujue tupo duniani kwa ajili ya kustarehe na viumbe wazuri kama nyinyi.”
“Basi tuongozane hadi NMB.”
Waliongozana pamoja kwa mbali Rebeka akiwa mbele na Kanuth nyuma hadi NMB. Rebeka aliteremka na zigo lake na kuingia benki na kumwacha Kanuth mbali na kidogo na benki akimwangalia Rebeka akiingia benki.
Muda ule Kanuth alinyanyua simu na kuwajulisha wenzie ambao muda wote walikuwa wakisubili taarifa kama zile.
“Mm’hu, lete taarifa?”
“Ndege kaishaingia kwenye mtego.”
“Kwa hiyo sasa hivi upo wapi?”
“Nipo benki amekwenda kuzihakiki akitoka kitaeleweka.”
“Kwa hiyo sisi tunasubili tujua wapi mnapokwenda.”
“Hiyo msiwe na wasi kila mmoja ajiandae na kisu kuja kujikatia uwezo wake.”
Kwa mbali Kanuth alimuona Rebeka akitoka kwenye mlango wa benki na kuingia kwenye gari lake na kwenda moja kwa moja alipo kuwa amesimamisha gari lake Kanuth.
Alipofika aliachia tabasamu pana lililozidi kumuumiza Kanuth huku akisema:
“Sasa baba kazi kwako tafuta uwanja mechi ichezwe.”
“Twende Biski Hotel.”
“Hapana kule mume wangu anafahamika sana.”
“Basi Lyasingo Hotel.”
“Kama huko sawa.”
Waligeuza magari yao na safari ya kwenda Lyasingo hotel ilianza kama kawaida yao waliachana kwa mbali kitu kilichofanya mtu yoyote asitilie wasiwasi. Wakati huo Kanuth alikuwa ameisha wajulisha washikaji wake wapi waliko elekea.
Waliwasiri kama walivyopanga na kupata chumba cha bei mbaya. Baada ya kuingia ndani Kanuth alijifanya ni mtu asiye na papara lakini angekuwa peke yake angemrukia kwa sababu uzalendo ulikuwa umeushinda kuchelewa kuvua nguo kulikuwa kama kukosa alichokifuata.
Alijichelewesha kuwasubiri rafiki zake, alipopata uhakika wameishafika ndipo alipokwenda naye kuoga kabla ya mpambano. Wakiwa bafuni wakioga aliingia Mwarami na kuweka dawa ya kulevya kwenye kinywaji cha Rebeka na kutoka nje.
Walipotoka kuoga Kanuth alimuomba Rebeka wamalizie kinywaji ili mpambano uanze Naye Rebeka alikuwa kama mbwa kwa chatu baada ya kuziona milioni mia mbili alikubali chochote alichoambiwa na Kanuth.
Walimalizia vinywaji vyao kwa Rebeka kukibugia chote naye Kanuth alifanya vilevile. Haikuchukua Muda Rebeka alizidiwa na zile dawa alilegea kilichoendelea hakujua. Kanuth aliwaita wanzie ambao walifanya tendo la udhalilishaji huku wakimpiga picha mnato na video.
Baada ya kufanya tendo lile walimdunga sindano ya kukata sumu ya dawa na kumuacha akiwa amelala. Waliondoka wakisherehekea ushindi mzito walioupata wa kumkomoa Roja Mo pia kumdhalilisha Rebeka.

ITAENDELEA

REBEKA (ZAIDI YA MWANAMKE) – 3

Image result for adrian mcdonald photography

Simulizi : Rebeka (Zaidi Ya Mwanamke)
Sehemu Ya Tatu (3)

 ILIPOISHIA:
Sauti ya kilio ya Nyangeta aliwakatisha katika kati ya dimbwi la huba na kumfanya Bibiana anyanyuke kukimbilia chumbani akimwacha Mabogo bado yupo chini ambaye alishtuliwa na sauti ya Bibiana
“Mpenzi twende tukaoge.”
Bibiana alimfuta pale chini alipokuwa amekaa chini ya zuria na kumshika mkono na kumnyanyua. Walikumbatiana kwenye mapenzi mazito kwenda bafuni kuoga.
SASA ENDELEA…

MWAKA MMOJA BAADAYE
Maisha ya Rebeka na bwana yake Kuchu yalishamili, yaliyojaa upendo wa hali ya juu wala hakujutia maamuzi yake ya kukubali kuolewa na Kuchu kwa mkuu wa mkoa kwa kuwa alipata alichokitaka na zaidi asichokijua.
Kuchu alimlea kama malkia kitu kilicho mfanya Rebeka awe kivutio kwenye macho ya watu wenye pesa. Kila sherehe za watu maarufu Kuchu alikwenda naye na kuonekana yeye ndiye mwenye mwanamke mzuri kuliko wote.
Wapo walio kuwa na pesa kuliko Kuchu nao walimtamani kuwa naye, walijua kwa mtoto mzuri kama yule siku zote kidume ni pesa hakuna kinachoshindikana kwa pesa hasa wakizingatia Kuchu amempata kwa kumpora mtu kwa kutumia jeuri ya pesa.
Kama kawaida yake Rebeka alikuwa akitembelea gari lake la kifahari popote alipo kwenda. Wakati huo mmoja wa matajiri wenye pesa kuliko Kuchu ambaye alionekana ni mtoto kifedha alikuwa akimfuatilia Rebeka nyendo zake.
Aliliona gari la Rebeka na kulifuatilia kwa nyuma mpaka lilipoingia eneo la maegesho ya Super Market kubwa pale jijini. Rebeka aliteremka na kuingia ndani ya super market ili anunue mahitaji muhimu.
Roja Mo alikuwa kwenye gari lake la kifahari aliliegesha karibu kabisa na gari ya Rebeka na kutulia huku akila muziki laini kutoka kwenye gari lake la kifahari aina ya Toyota Vx new model.
Macho yake aliyaelekeza kwenye mlango wa super market kumsubiri Rebeka mpaka atakapotoka. Aliogopa kumfuata ndani kwa kuogopa macho ya watu pia kwa bahati mbaya huenda Kuchu anaweza kuja ghafla anaweza kuvuruga mambo yote.
Alitega mtego wake kwa kumsubiri Rebeka kwa kujua lazima atakuja pale baada ya manunuzi. Rebeka naye ndani aliendelea na manunuzi ya vitu muhimu kwa ajili ya matumizi ya nyumbani kwake. Baada ya kuchukua kila alichokipata alilipia na kubebewa na mtumishi wa kwenye ile Super market mpaka kwenye gari lake.
Roja Mo alimuona akiwa ameongozana na mfanyakazi wa super market akiwa amembebea bidhaa zake alizonunua, alitoka kwenye gari lake na kuanza kujifanya anafuta vumbi kioo kwa mbele.
Yule mfanyakazi baada ya kuweka vitu kwenye boneti aliondoka na kumwacha Rebeka akifunga boneti ili aondoke. Baada ya mfanyakazi kuondoka Roja Mo aliona huo ndio wakati wake wa kurusha chambo wake kwa mwanamke mzuri kama Rebeka.
Rebeka baada ya kufunga boneti alilihakikisha kwa kulinyanyua kwa juu alipopata uhakika lipo sawa alielekea kwa mbele ili aondoke.
Roja Mo alimuona akija kwa mbele naye alikuwa kama akielekea kwenye mlango wa gari yake. Alikutana uso kwa uso na Roja Mo hakumjali alimpita kuelekea kwenye mlango wa gari yake bila kumsemesha lakini Roja Mo aliamua kumsalimia.
“Hujambo binti mrembo?”
“Sijambo shikamoo,” alimjibu huku akifungua mlango wa gari lake kabla hajaingia ndani aliongeza neon.
“Samahani binti,” kauli ile ilimfanya Rebeka asite kuingia ndani ya gari na kugeuka kumsikiliza Roja Mo alimtizama bila kusema neno kwa ishara nimekusikia unasemaje Roja Mo alirudia kwa kuomba msamaha tena kitu kilichomfanya Rebeka aongee.
“Nimekusikia unasemaje maana naona samahani nyingi?”
“Unajua siku zote unapotaka kuongea na binti mrembo kama wewe lazima upate idhini yake.”
“Haya ongea.”
“Kwanza lazima nikusifie binti umependeza.”
“Asante.”
“Sijui unajijua kuwa wewe ni mzuri?”
“Hapana labda uniambie wewe,” Rebeka alijibu huku akimtazama usoni.
“Basi wewe ni mmoja wa wanawake wazuri.”
“Asante sina budi kumshukuru Mungu kwa kunifanya nionekane mzuri machoni mwa watu.”
“Kwanza sijui unanijua?” Rebeka alikaza macho na kumkumbuka.
“Mmh! Wewe si sijui Mo “
“Wengi huniita hivyo lakini jina langu naitwa Roja Mo “
“Ooh, ni bahati kukutana na watu maarufu kufikia hatua yakuongea naye uso kwa uso,” Rebeka aliongea huku akiachia tabasamu pana sifa za Roja Mo alizisikia kuwa ni mmoja wa matariji wanao tikisa jiji.
“Kama sikosei unaitwa Rebeka?”
“Upo sawa kabisa.”
“Basi Rebeka wewe ni uwa ridi zuri lililoota sehemu isiyo yake.”
“Una maana gani?”
“Yaani maisha unayoishi bado sijaridhika nayo na hadhi uliyonayo.”
“Bado sijakuelewa una maana gani?”
“Sikiliza Rebeka wewe ni hadhi ya watu kama sisi wenye pesa wenye kukufanyia kila kitu kinacholingana na hadhi yako.”
“Kwani mimi nina nini kikubwa mpaka nionekane tofauti au nipewe sifa ambazo huziona ni tofauti na ninavyojiona?”
“Hujiulizi ni nini kiliochomfanya Kuchu atikise vijipesa zake kwa kuvunja ndoa yako…mpaka sasa hivi toka akuoe hajarudisha hata robo ya pesa zake na maisha mnayo ishi unamuumiza akijitahidi miaka miwili lakini nakupa mwaka mmoja utaona mabadiliko ya maisha yake. Unajua ameishauza magari yake mawili na mashamba yake baadhi?”
“Mmh! Yote hayo umeyajuaje?”
“Sisi ndiyo mji tumeuweka kiganjani tunajua kila kitu ndio maana nimeona ua kama wewe linataka udongo wenye rutuba na kumwagiliziwa maji yasiyo koma wala si ya kutegemea mvua kama Kuchu.”
“Umeongea mengi bado sijakuelewa ulikuwa unataka nini?”
“Utanielewa kwa kuwa wewe ni mmoja wa wanawake wanao angalia mbele.”
“Una maana gani?”
“Sipendi siku moja nikuone unatembea kwa miguu wakati ulikuwa na gari kama leo kauza zake kesho atauza yako mwisho nyumba mtarudi kupanga na hatimaye kukukimbia na kukuacha unaadhirika nitajisikia vibaya siku nitakayokukuta pekupeku mitaani…
“Amini amini Rebeka, Kuchu amebeba mzigo mzito kuliko uwezo wake.”
“Mbona tunaishi maisha ya kawaida.”
“Wewe unaona ya kawaida ila mwenzio maji ya shingo kusema anaona aibu labda asubiri kipindi cha mavuno.. ni leo? Mvua zisiponyesha hapo ndipo kazi ana shughuli gani zaidi ya mashamba na zile gari zake na mbili ameishauza?”
“Nimekusikia ulikuwa unasemaje?”
“Sasa tutaelewana unajua Rebeka wewe sasa hivi ni mke wa mtu siwezi kuongea kwa nafasi tutapanga siku ambayo utakuwa na nafasi ambayo nitaongea mengi ikiwa na mipango ya maisha bora mpaka kifo kitakapokuchua usiijue shida ni nini Mungu si mjinga kukupa uzuri siku zote kizuri hukaa pazuri ndiyo maana malaika wapo mbinguni wanakula raha na wewe unatakiwa uishi pepo ya duniani.”
“Sawa nimekuelewa vizuri zaidi ya uliyoongea, sasa tutaongea lini?”
“Siku yako ambayo utakuwa na uhakika Kuchu hatatualibia maongezi yetu.”
“Hilo halina shida nitapanga safari ya kwa mama hata siku mbili nina imani itatutosha sidhani kama una la ziada wacha niwahi.”
“Sijajua lini?”
“Leo lini?”
“Jumanne.”
“Alhamisi.”
“Nitakuona vipi?”
“Nitatoka nyumbani saa tatu asubuhi baada ya Kuchu kuelekea shamba, ruhusa nitamuomba leo hii hawezi kunikatalia hapa ageuzi,” Rebeka alijipata.
“Lazima utumie tunu aliyokupa muumba.”
“Nina imani yote kwa leo tumemaliza yote tukikutana hiyo siku ambayo nina imani mtoto hatumwi dukani,” Kauli ile ilimfanya Roja Mo achekelee moyoni kwa ushindi alioupata ambao alitegemea ungemtoa jasho.
Roja Mo ili aonekane sifa alizozisikia Rebeka na zake hasa alimwambia asubiri alikwenda hadi kwenye gari lake na kumuandikia cheki ya milioni ishirini na kumkabidhi huku akisema binti hizi ni lashalasha mvua kamili inakuja.
Rebeka hakuamini mambo bado milioni ishirini siku akimpa mambo ya kweli lazima atamnunua ndege.

Rebeka aliipokea ile cheki na kushukuru huku naye akijinadi kuonyesha shukurani zake kwa vitendo.
“Nina imani Roja Mo hutazijutia pesa zako.”
“Hilo sina shaka nalo na hii na lashalasha mvua kamili inakuja.” Roja Mo alijigamba.
“Mmh! Mimi yangu macho.”
Waliagana Roja Mo na Rebeka kila mnmoja aliingia kwenye gari lake na kwenda na safari zake Rebeka akirudi nyumani na Roja Mo akienda katika shughuli zake. Njiani Roja Mo alikuwa akijiona mshindi kati ya kundi la matajiri ni yeye atakuwa wa kwanza kutembea na msichana mrembo Rebeka.
Naye Rebeka alijiona ni msichana mwenye bahati aliye na mvuto machoni kwa wanaume. Yeye kwake mapenzi aliyaona ni masirahi wala si sitarehe tena. Kwake sitarehe ilikuwa kwenye ndoa yake ya kwanza na mzazi mwenzie Mabogo lakini hakuwa tayari tena kuona mapenzi kama sterehe hata kizazi alikuwa amefunga ili astarehe na wanaume wenye pesa.
Alirudi hadi nyumbani akiiangalia mara mbili mbili ile cheki ya milioni ishirini. Alijkwenda moja kwa moja hadi chumba cha kulala na kusimama mbele ya kioo kikubwa na kujiangalia upya kama ndio mara yake ya kwanza kusimama kwenye kioo kile cha kujipodolea.
Aliuchunguza uso wake kwa kituo na kugungua kitu fulani kilichomfanya aachie tabasamu pana lililozidisha uzuri wa sura yake alijikuta akijisemea mwenyewe kwa sauti ya chini:
“Mmmh kumbe mimi mzuri.”
Hakuishia hapo alivua nguo zote na kuuangalia mwili wake kwa kituo alianzia kifuani matiti yake madogo kama hajawahi kunyonyesha yalikuwa ya muundo wa duara yaliyo jaa vyema na kumfanya mwanaume yoyote rijali apende kuyashika au kumtia ashki ya mapenzi.
Aliteremsha macho yake hadi kwenye kwenye tumbo lake dogo kama mtu asiye kula sana chini kulikuwa na kiuno chembamba kilichoingia ndani na kuyaacha makalio yatoke kwa nyuma na kumfanya kila amuonae lazima ageuze shingo.
Rebeka alijikuta akijitamani mwenyewe kwa kusema ningekuwa mwanaume ningefaidi kumpata mwanamke mwenye umbuile kama lake. Moyoni alijiona kumbe hakufaa kuwa na watu kama Kuchu bali kama Roja Mo watu wenye pesa zisizo na kikomo.
Katika maisha yake mwanaume alimuona ni mmoja ni mumewe Mabogo ambaye pamoja na kumsaliti bado alimheshimu na kumpenda lakini wengine wote ni penzi masirahi. Alivaa nguo zake na kujifunga kanga moja na kuelekea bafuni kuoga kisha aliingia jikoni kuandaa chakula cha mchana siku zote mumewe Kuchu chakula cha mchana alikuwa nyumbani.
Majira ya mchana Kuchu alirudi akiwa na mawazo mengi kitu kilichomshtua Rebeka hapo ndipo alipomsogelea na kumuuliza.
“Vipi sweetheart?”
“Aah! Mikosi kila kukicha gari langu nililokuwa nikilitegemea limepata ajari mbaya.”
“Ooh, pole sana sasa itakuwaje?”
“Tatizo pesa sasa hivi sina na gari ndilo nalitegemea kipindi hiki nachosubiri mavuno,” kauli ile ilimfanya Rebeka akumbuke maneno ya Roja Mo kuwa pesa za Kuchu za msimu na uchumi wake ulikuwa ukididimia kila kukicha.
“Sasa utafanyaje?” Rebeka alimuuliza bwana yake.
“Ni hivi nilikuwa naomba tuiuze gari yako ili nitengengezee gari yangu ndani ya miezi miwili nitakununulia nyingine.”
“Kuchu utani huo yaani mimi nilikuwa nataka unibadilishie gari lingine wewe una wazo la kuliuza kwa taalifa yako kama umenishindwa bora uniambie mapema leo gari kesho nyumba kesho kutwa mimi mwenyewe.”
“Hapana Rebeka sasa hivi mambo yamekuwa magumu nahitaji msaada wako kama mke wangu.”
“Sikiliza Kuchu nimefanya dhambi kubwa ya kumkimbia mume wangu kwa ahadi zako, sasa leo imekuwa kinyume bora nirudishe kwa mume wangu.”
“Hapana Rebeka bado nakupenda ugumu wa maisha usivunje pendo letu ni hali ya mpito tu.”
“Kuchu mimi sikupendi kama unavyofikiria bali penzi lako lilijali masirahi zaidi.”
“Hilo nalielewa lakini ni kipindi hiki tu nina imani mambo yatakuwa mazuri.”
“Wewe nitakuvumilia kwa vile ndio ubinaadamu lakini mali zangu sikubali mtu aziguse tafuta ufumbuzi mwingine.”
Kuchu hakuwa na jinsi zaidi ya kukubali kwanza alishukuru kwa Rebeka kukubali kuendelea kuwa naye pamoja na matatizo aliyokuwa nayo. Aliingia chumbani kujilaza alishangaa kukuta pembeni ya dresing table kuna kikalatasi cheupe.
Alikiokota na kuanza kukisoma hakuamini kukuta ni cheki ya hela nyingi yenye jina la Rebeka alishangaa na kujiuliza Rebeka pesa nyingi kama zile amezipata wapi. Wakati huo Rebeka alikuwa amekumbuka kuwa cheki yake ameisahau juu ya dresing table.
Aliingia ndani mkuku na kumkutanayo Kuchu bado anaishangaa alifika na kuinyakuwa mkononi mwa Kuchu huku akibwata.
“Nani kakwambia unichukue.”
“Mbona hivyo Rebeka kwani ya nani?”
“Hilo sio swali shida yako nini?”
“Rebeka ni hela nyingi umezitoa wapi?”
“Nimeuza nyumba yangu.”
“Ha! kwa nini?”
“Mtu kuuza chake kuna maswali wewe mbona umeuza magari yako nani aliyekuuliza?” kauli ile ilimfanya Kuchu afunge mdomo wake.
Rebeka baada ya kuchukua ile cheki alitoka sebuleni na kwenda kukaa kwenye kochi akiwa amefura kama unga ulioumuliwa na amila. Kuchu naye alitoka nje na kumkuta kwenye hali ile ilibidi aingie kazi ya kumbembeleza.
Rebeka alijiona ni mshindi kwa kujua Kuchu hatamuulizia tena juu ya cheki ile. Kuchu alikuwa amechanganyikiwa kwa kujua alitegemea kuiuza nyumba ya Rebeka kwa siri mpango wake umegonga mwamba. Lakini alishangaa kuiza kwa bei ndogo ya milioni ishirini nyumba ambayo kwa bei ya chini angeweza kuuza kwa milioni sabini nyumba aliyojenga kwa milioni hamsini.
Nyumba aliiona chungu hata hamu ya kula hakuwa nayo aliamua kutoka nyumbani kwake ili akatafute ufumbuzi mwingine au sio ataumbuka huku akijiona pia Rebeka kumkimbia jambo ambalo hakulitaka kuliona katika maisha yake kwa kujiapia kumlinda kwa hali na mali kuhakikisha hampotezi.
Rebeka alifurahia hali ile kwa kupata nafasi ya kwenda benki alisubiri mpaka robo saa na kuwa na uhakika Kuchu hayupo ndipo alipoupara harakaharaka na kuingia kwenye gari na kuelekea benki kuchukua milioni zake ishirini.
Alipofika benki alikwenda hadi kwa keshia na kumpatia ile cheki ambayo moyoni alikuiwa bado haamini huenda amepewa cheki hewa. Lakini hakujutia sana kama atakuwa amemdanganya atakuwa amejidanganya mwenyewe kwa kuwa bado hajampata hana hasara.
Mawazo yake yalikatishwa na muhudumu wa kike wa benki kumwita
“Dada hesabu pesa zako,” macho yake hayakuamini maburungutu ya pesa yakiwa mbele yake.
“waaaooo yaani siamini.”
“Kwa nini dada?”
“We acha tu,” Rebeka alizihesabu zile pesa huku mikono yake ikitetemeka zilikuwa pesa nyingi sana kuzishika maishani mwake. Mhudumu wa benki nusra acheke lakini aliishia kushika shavu kwa kumuonea wivu.
Pesa zote Rebeka aliziingiza benki na kurudi nyumbani akiwa njiani alichekelea moyoni na kumshukuru muumba kwa utundu wake alioupitisha juu yake na kuonekana kipusa mbele ya wanaume hasa wenye pesa. Alijiapia moyoni kumpa Roja Mo penzi ambalo hatajutia pesa alizozitoa hata kumfanya asahau nyumbani kwake.
Majira ya usiku Rebeka kama kawaida yake alijipamba kwa manukato ya kunukia na kuvaa kanga moja. Kuchu alirudi majira ya saa mbili kasoro usiku na kulakiwa na Rebeka Kama kawaida yake kwa kuonyesha uchangamfu wake wa kawada.
Naye kuchu alijitahidi kuonyesha uchangamfu lakini siku zote amuonapo Rebeka hata awe na mawazo gani mawazo yote hufutika hasa anapokumbatiwa na kulisikia joto la Rebeka hupagawa na kusahau kila kitu.

Kama kawaida Rebeka alimvua nguo palepale sebuleni na kumpatia kipande cha kanga na kuelekea naye bafuni kuoga pamoja. Baada ya kuoga na kupata chakula cha usiku, siku hiyo Rebeka alimpa mapenzi mazito yaliyomrusha akili na kumfanya mwanaume mzima kutoa chozi na kumuomba msamaha Rebeka.
“Samahani mpenzi usiniache bado nakupenda ukiniacha nitachanganyikiwa.”
“Nani kakwambia kuwa nakuacha bado nakupenda lakini ni makosa kuuza aseti za ndani mimi nakupenda kwa hali yoyote jisikie upo na mke muelewa.”
“Asante sana Rebeka nilikuwa kwenye wakati mgumu kutafuta pesa na kukutuliza wewe.”
“Usihofu mimi siyo tatizo kwako fanya mambo yako kwa utulivu nina imani mambo yatakuwa mazuri maisha kama bahari kuna kupwa na kujaa.”
“Ooh! Asante Mungu kunipa mke mwelewa.”
Rebeka alichekelea moyoni kwa kumuona anacheza mpaka asubiri pesa za msimu kama ndizi za kupepea. Moyoni alijiapia kumpenda mwanaume mmoja tu duniani si mwingine ni mzazi mwenzake na mumewe baba Nyangeta Mabogo lakini kwake mwanaume yeyote penzi kwake masirahi.
Rebeka aliona hiyo ndiyo sehemu muhimu ya kuombea ruhusa ya kwenda kusaliti mapenzi kwa awamu ya pili ya kwanza kuisaliti ndoa yake takatifu iliyojulikana mpaka mbele ya Mungu na hii ya pili ya kumsaliti mpenzi wake ambaye kwa sasa maisha yake yalikalia kuti kavu kuanguka si ajabu.
“Mpenzi kesho kutwa nilikuwa naomba ruhusa nikimbie mara moja nyumbani.”
“Aah! Mpenzi kuna nini tena si wiki jana ulikuiwa kule?”
“Nilisahau kukueleza samahani kwa hilo nina shda na mama tuna maongezi nilijua nitakueleza lakini mambo yamekuwa mengi naomba unisamehe kwa hilo mpenzi wangu.”
“Sawa lakini uwahi kurudi si unajua nyumba bila mwanamke inapooza.”
“Kwa jioni sitaweza kurudi siku hiyo bali siku ya pili asubuhi na mapema si unajua maongezi mazuri usiku.”
“Hakuna tatizo kwa vile na mimi mambo yangu sio mazuri utawapelekea laki moja.”
“Mbona nyingi kila siku siyo lazima uwape nyingi hata kama huna usihofu kule ni kwenu sio lazima kila nikienda lazima pesa nikikosa ina maana nisiende?”
“Wengine hawajui hivyo.”
“Labda wawe wanaishi peponi.”
“Nashukuru kwa kulitambua hilo,” Kuchu naye alikuwa anatafuta njia ya kumtoa Rebeka ili aweze kufanya upekuzi juu ya hati za nyumba na gari alikuwa haamini kama nyumba kama ile kuuzwa kwa kiasi. Kukataa ilikuwa danyanya toto lakini akili ilikua inalenga wapi. Alimshukuru Mungu kwa Rebeka kupata safari itakayo mweka mbali na nyumbani kwao ili afanya upukuzi wa kina bila wasiwasi wowote.
Rebeka alimkumbatia Kuchu kwa mahaba mazito na usingizi mororo uliwapitia.

*****
Siku ilifika kama ilivyopangwa kama Rebeka aliamka na mapema na kumwandalia mpenzi wake kifungua kinywa Kuchu tayari kwenda kwenye mihangaiko yake. Baada ya kifunguia kinywa Kuchu alimuaga Rebeka na kumuomba awasalimie wote kijijini baba na mama mkwe.
Kila mmoja alimla kisogo mwenzie kwa kujiona amefanikiwa mpango wake. Baada ya kuondoka Kuchu, Rebeka alijiandaa na saa tatu juu ya alama alitoka mwenye mlango wa geti la nyumbani kwake.
Roja Mo aliyekuwa amefika saa moja kabla ya muda waliopanga alilishuhudia gari alilokuwemo Rebeka alikuwa na uhakika lazima atakuwa peke yake. Baada ya kumshuhudia Kuchu akitoka muda si mrefu, alimwacha ampite ndipo alipomfuata kwa umbali mfupi.
Rebeka aliendesha gari lake si kwa mwendo mkubwa kwa kujua kuna mtu alikuwa akimfuata baada ya kulipita gari la Roja Mo jirani na nyumbani kwake. Roja Mo alikuja nyuma yake mpaka magari yao kuacha mji ndipo alipo ongeza mwendo baada ya kuwa na uhakika hakuna mtu aliye kuwa akiwafuata.
Alilipita kidogo na kulipigia honi naye Rebeka alijibu kwa kuwasha taa na kuzizima kuonyesha ushara amempata. Baada ya mwendo mfupi waliacha njia ya kwenda shamba na kuelekea kwenye hoteli moja ya kitalii iliyo na hadhi ya kimataifa Biski Hotel.
Waliongozana pamoja hadi hotel ya Biski na kuyaegesha magari yao sehemu salama ya kuegeshea magari pale unasimamisha gari mbele ya hoteli kisha unaliacha kuna wahudumu kazi yao kupeleka kwenye maegesho.
Ni vitu vilivyokuwa vigeni kwa Rebeka waliongozana hadi mapokezi ambako walipata chumba cha hadhi ya juu cha bei kubwa kuliko vyumba vyote vya hoteli ile. Kwa upande wa Roja Mo maeneo yale hayakuwa mageni kwake. Mara nyingi alionekana pale wengi walimjua kwa utajiri wake jina lake lilitawala akilini mwa watu wapo waliomjua kwa sura na wapo waliomjua kwa kusikia au kumuona kwenye vyombo vya habari.
Roja Mo na Rebeka waliongozana hadi kwenye chumba waliochopanga. Kilikuwa cha hadhi ya juu ambayo kwa Rebeka kilikuwa ndio mara yake ya kwanza kuingia aliona kama miujiza alijikuta akijitupa juu ya kitanda kipana kilichotandikwa maridadi
Roja Mo alimuangalia Rebeka na kumuona jinsi alivyokishangaa chumba alijua ni ugeni wa mambo alimuuliza:
“Vipi mbona kama umeshangaa sana?”
“Siamini yaani najiona kama nipo ndotoni vitu hivi huzoea kuviona kwenye televisheni tena sio nchini nchi za watu leo hii na mimi nimekilalia siamini.”
“Amini hivi vitu ndivyo hadhi yako..unataka kuniambia Kuchu hajawahi kukuleta sehemu kama hizi?”
“Utani huo Roja Mo sehemu kama hizi si za watu kama Kuchu nimeamini wewe ni matawi ya juu,” Rebeka alimwaga sifa.
“Huwezi kuamini yaani kama ningepata muda niliotaka kukupeleka hoteli za Ulaya wewe Rebeka si wa kulala hooteli ya hadhi ya chini lakini baadaye tutapanga lazima na wewe upande ndege.”
“Utani huo!”
“Huwezi amini hata mke wangu hajawahi kulala sehemu kama hii ni wewe peke yako mwenye hadhi ya kulala sehemu kama hizi.”
“Usiniambiee!” Rebeka alikurupuka kutoka kwenye kile kitanda na kumvamia Roja Mo kwa kumrukia kama nyani na kuanguka wote kitandani.
“Rebeka ninataka kukufanyia vitu ambavyo vinafanana na hadhi yako, Kuchu anacheza tu uwezo wake haulingani na hadhi yako.”
“A.a.lafu eti alitaka kuuza gari langu ili atengenezee gari lake,” Rebeka alimwanga siri ya ndani.
“Kiko wapi?…hata mwezi haujafika tayari kile nilichokisema kimetokea.”
“Yaani siamini.”
“Haya ni madogo makubwa yanafuata.”
Rebeka alijitahidi kumpa Roja Mo penzi zito liliomrusha akili na kujikuta akitangaza ndoa siku ile ile. Bila kujielewa alijikuta akimuandikia cheki ingine ya milioni hamsini.
“Rebeka amini hapa ni maji ya bahari yasiyo na mwisho wala yasiyojulikana lini yatapungua sahau kukauka.”
Wakati wa kupeana raha Rebeka alitaka watumie mpira wa kiume Kondomu lakini Roja Mo alikataa kwa kusema yeye anajiamini vile vile hata Rebeka anamuamini.
“Rebeka wasiwasi wa nini wewe mke wa mtu hata mimi mume wa mtu vilevile sina tabia ya kurukaruka na siwezi kugharamikia penzi kwa kufanya mapenzi kwa mpira kuna raha gani si bora nimalize haja zangu kwa sabuni?”
“Siyo kwamba sikuamini si unajua kuna mimba zisizo tegemewa ambazo siku zote uharibu mipango ya maisha ya watu.”
“Rebeka ni mipango gani itakayo halibika kama ukishika ujauzito, nini kitakachopungua kwenye maisha yako?”
“Hakuna.”
“Au Rebeka unipendi?”
“Aiii honey nisipo kupenda wewe nimpende nani?”
“Nilitaka kushangaa kwanza kama leo Mungu akijalia tukapata mtoto utakuwa mwanzo mzuri namshangaa Kuchu au jogooo lake haliwiki.”
Rebeka hakujibu alimumunya midomo na kuachia tabasamu la mbali moyoni alijisemea “Angejua hapa hapendi mtu bali pochi.”
Siku hiyo hakuna aliyerudi walilala pale pale hadi siku ya pili.

Wakati huo nyumbani baada ya kuondoka Rebeka, Kuchu hakuwa mbali alirudi hadi nyumbani baada ya kuliona gari la Rebeka likikamata njia ya kurudi kijijini kwao.
Alirudi hadi ndani na kwenda moja kwa moja kwenye kabati la nguo na kupekua. Ajabu hakuchukua muda mwingi kukutana na hati za nyumba na gari, alichukua ile hati ya nyumba lakini ya gari aliiacha kwa kujiua atawahi kugundulika.
Aliikumbatia kwa furaha alirudisha vitu kama vilivyo kuwa hakuwa na haja ya kupoteza muda alikwenda kwa mnunuzi wa nyumba ambaye alipatana naye kipindi kirefu. Mnunuzi kwa vile alikuwa na shida na nyumba alimuongezea milion ishirini juu yaani ikawa milioni mia.
Kuchu sasa alijiona ni mwanaume mbele ya wanaume kwa kuweza kutengeneza gari lake na kuweza kununua mengine mawili alijua mpaka anajua atakuwa na pesa ya kununua nyumba nyingine.
Siku hiyo aliingia baa kupata moja moto moja baridi kwa kweli kidogo moyo ulitulia vilevile alikuwa tayari kuliuza gari la Rebeka na kumnunulia la bei ya juu kwa kumuongeza milioni ishirini.
Kwa vile alijua Rebeka arudi usiku ile alirudi usiku wa manane akiwa chakali na kujilaza sebuleni kwenye kochi bila kuvua nguo wala viatu hata mlango alisahau kufumga bila mtumishi wa ndani nyumba ingelala wazi hata kuibiwa na vibaka.
****
Rebeka alirudi nyumbani kwake majira ya saa mbili asubuhi alishangaa kumkuta bwana yake amelala sebuleni alifika na kumshtua.
“Kuchu mume wangu umerudia pombe zake yaani kuyumba kidogo umechanganyikiwa hivyo?”
“Wala jana sijalewa sana lakini kitanda nilikioa kipana kama bahari ndio maana niliamua kulala hapa mazoea yana tabu”
“Oooh pole mpenzi wangu nimeisha rudi twende basi tukaoge”
Alimnyanyua na kuelekea bafuni baada ya kuoga na kupata kifungua kinywa Kuchu alikumbuka anatakiwa gereji kwa ajili ya kulipia vifaa vya gari ili gari litoke kesho tayali kuanmza kazi
“Vipi mpenzi mbona huna hamu na mimi wala kuulizia hali za shamba”
“Ni kweli mpenmzi utanisamehe si ujajua sasa hivi shughuli pevu mambo yamekuwa mazito lazima nihangaike ili kuhakikisha nakufurahisha wewe malkia wangu”
“Hilo nalijua lakini sipendi nmiwe tatizo kwako”
“Huwezi kuwa tatizo kwangu kwa kuwa kukutafutia nmi wajibu wangu”
“Unajua nini sweet huu ni wakati muafaka wa mimi nikusaidie kupunguza ukali wa maisha”
“Una maana gani?”
“Nataka nirudie biashara zangu za zamani ambazo kwa sasa nina zoefu nazo”
“Wewe unajua sasa hivi hali yangu ya kipesa sio nmzuri mtaji utapata wapi?”
“Suala la mtaji lisikuumize akili nina pesa za mtaji baada ya kuuza nyumba”
“Mmmh sawa”
Kauli ile ilimfanya Kuchu awe na mawazo tele kichani na kujiuliza inma maana zile milion kumi amezitoa wapi?Lakini hakutaka kumuuzi kwa kujua kukuudhi ni mwanzo wa kuachika.
Baada ya makubaliano walipanga kuanzia wiki ijajo ataanza shughuli ya biashara vile vile akutakiwa kuhoji ni biashara gani.Kuchu alijiona sawa na mbwa mkubwa asiye na meno hata akibweka ni kazi bure aliishia kunyamaza akijua lazima Rebeka ameisha ota mapembe.
Moyoni alijutia uamuzi wake wa kuishi na Rebeka maisha ya kifahari yaliyomghalimu pesa nyingi na kujikuta uchumi wake ukiyumba.Lakini alimuomba Mungu ili Rebeka asigungue upesi kama nyumba yake imeuzwa kama gari lake la milioni nane amekuwa mkali kiasi kile nyumba ya milioni sabini si patachimbika.
***
Kama ilivyo kawaida matajiri wanapokutana kila mmoja alikuwa na majingambo yake. Kikundi hiki wa matajiri sifa zao kubwa ni kushindana kupata Mwanamke mzuri hushindana kwa dau kubwa kumpata kimwana yoyote.
Kila msichana mwenye sifa hushindana kumpata atakaye fanikiwa kumpata kabla ya wenzake hupewa milioni mia moja hamsini kama zawadi ya kuwadizi kete wenzie. Mara nyingi wamekuwa wakitafuta ni msichana gani gumzo mjini au katika vyombo vya habari mamisi wote waliwanasa kwa mitindo hiyo ya kutoa pesa nyingi ambazo huzirudisha kwa mtindo huo wa kulipwa. Wao hushindana kila mtu kwa wakati wake kuhakikisha anampata na akiishampata huchukua picha za mchezo mchafu na kuziwakilisha kwa wenzake hapo hupewa kitita chake na kutoa ruksa kila mtu aonje kwa wakati wake.
Matajiri watano walikutana kama kawaida yao siku ya pili toka Roja Mo afanikiwe kumnasa Rebeka ambaye kwa kipindi kile kila mmoja alikuwa akimpigia mahesabu makali. Kikao chao kama kawaida kilihudhuriwa na Sabri, Yusuf Msumi, Mualani na Kanuth.
Kanuth kama kawaida yake haya mkuu lete utamu naona leo unafuraha isiyo kifani.”
“Jamani mnakumbuka tuliweka dau kiasi gani kwa atakaye mnasa Rebeka?”
“Rebeka yupi, mke wa Kuchu?”
“Haswaaa.”
“Milioni mia mbili.”alisema Yusuf
“Haya wakubwa nipeni changu,” alisema huku akinyoosha mkono.
“Muongo utawahi wewe mdomo wa zege” alijibu Sabri.
“Sasa hivi naitwa mdomo wa kasuku kila siku niwapeni nyinyi leo na mimi nimelamba dume la mchezo.”
“Haya baba tusiandikie mate tupe vielelezo”alisema Mualami.
Roja Mo alitoa kamera yake ndogo na kuchoka waya kwenye screen kisha aliiwasha wakubwa walianza kuangalia live kwa macho yao. Hakuna aliyeamini alikuwa Rebeka kweli hawakuwa na jinsi milioni mia mbili ziliwatoka.
Roja Mo baada ya kupata kiasi kile alisema kwa lugha ambayo wengi hawakuipenda.
“Jamani huyu siyo kama mchezo wetu wa kila mtu kuonja bali huyu mmuheshimu kama shemeji yenu nina mpango wa kuoa kabisa.”
“Utani huo utamuoaje mke wa mtu?” Sabri aling’aka.
“Kwani hata Kuchu naye alimpata kwa njia hii hii hakuna la ajabu,” Roja Mo alijitetea.
“Hii haiwezekani mara ngapi umekula vyetu leo wewe umepata umeona kitamu cha kula peke yako?” alihoji Yusuf.
“Jamani eeeh, nimeisha sema yoyote atakaye ingiza timu tutaonana wabaya nitammwaga mtu ubongo,” Roja Mo alikuwa mkali.
“Usitutishe bwana labda mzikwe kaburini lakini kama duniani lazima tutamlamba hata kwa bilioni kumi nitamtia mikononi,” Sabri hakukubali.
“Si wewe, hata mimi,” aliongezea Mualami.
“Si kwa mtu mmoja mmoja bali kwa watu wote”alimalizia Kanuth.
“Nimeisha sema kazi kwenu kuchezea sharubu za Simba,” Roja Mo alitoa onyo.
Roja Mo alisema yale na kuondoka akiwaacha wenzake wakijadiliana juu ya kauli yake iliyokwenda ndivyo sivyo.
*****
Kitendo cha Roja Mo kula vya wenzake lakini vya kwake kuwa vigumu viliwafanya matajiri wenzake kufanya mkutano wa muda ili kumkomoa Rebeka. Walipanga kumpata kwa gharama yoyote lakini lazima wamkomoe Roja Mo na Rebeka kwa tabia zake za kugeuzwa kipusa na kuonekana yeye ni zaidi ya wanawake wote duniani.
Wakati wakipanga hivyo Roja Mo alikuwa ameandaa harusi ya siri ambayo alingeifanya kwa siri ili kuwashitukliza rafiki zake wasiweze kumchezea kwa kuwa atakuwa mke wa mtu tayali.
Ilikuwa ndoa ya mkataba walioandikishiana mbele ya wanasheria ambayo Roja Mo alimlipa Rebeka Milioni sabini nyumba ya thamani ya milioni hamsini na gari aina ya Toyota Vx new model na mkataba wandoa ya miaka mitano.
Ndoa ilifungwa na kuhudhuliwa na watu wachache wenye nyadhifa serikarini na matajiri wa mbali tofauti na rafiki zake akina Mualami,Sabri, Kanuth na Yusuf.
Ilikuwa ndoa iliyofanyika kwenye hoteli ya kifahali ya Biski Hotel iliyogharimu milioni mia moja. Baada ya ndoa Rebeka aliohamia rasmi kwenye nyumba yake iliyokuwa nje ya mji iliyokuwa na hadhi kubwa.
Kwa upande wa Kuchu alikuwa kwenye kipindi kizito cha kumtafuta mkewe ambaye alikuwa amepotea zaidi ya wiki nzima. Alipokwenda kwao walishangaa kuambiwa hawajui habali zozote za Rebeka wao wanajua yupo mjini na yupo kwake japokuwa mwanzo walipinga kitendo cha mtoto wao kumkimbia Mabogo lakini zawadi na pesa ziliwaziba mdomo na kumuona mwanaume anayefaa kuwa na mtoto wao ni Kuchu na si Mabogo.
Taarifa za kutokuwepo kulimchanganya kwa hali ya juu na kumpa presha alijua lazima amezidiwa akili na wajanja kama alivyomzidi mume wa Rebeka wa ndoa. Alijikuta akipoteza mwelekeo alirudi nyumbani na kuwa kama aliyefiwa, rafiki zake wa karibu walimuonea huruma kwa kumwambia kuwa mwanamke kama Rebeka ni hatari kwa mwanaume mwenye kipato kidogo vilevile walimwambia asiumie sana kwa kuwa hata yeye alimpata kwa mtindo ule.
Rebeka kama kawaida yake alikwenda kwa Kuchu akiwa kwenye gari aina ya toyota Vx hadi ndani. Aliteremka hadi ndani na kumkuta Kuchu akiwa na rafiki zake walipo muona wote walishtuka.
Hakuwa Rebeka yule waliomzoea alikuwa kwenye mavazi ya gharama kubwa mkononi alikuwa na simu ya milioni, kila kidole kilikuwa na pete ya dhahabu na shingoni alikuwa na mkufu wa milioni mbili na nusu.
Rebeka alionekana mwanamke wa gharama kitu kilichofanya hata marafiki wa Kuchu kukili moyoni kuwa Rebeka si hadhi ya Kuchu.

ITAENDELEA

REBEKA (ZAIDI YA MWANAMKE) – 2

Image result for adrian mcdonald photography

Simulizi : Rebeka (Zaidi Ya Mwanamke)
Sehemu Ya Pili (2)

ILIPOISHIA:
Lilikuwa wazo zuri ambalo mumewe aliliunga mkono, familia ilizidi kuongezeka upendo kila mmoja limheshimu mwenzie kwa heshima ya mke na mume. Rebeka aliweza kufuta ile dhana ya kuwa mwanamke akiwa na kipato kikubwa zaidi ya mumewe huwa na dharau.
SASA ENDELEA…

Siku zote shetani ni mshirika mzuri penye neema, penye upendo kupenyeza ushawishi wake kuhakikisha mwanadamu anapotea. Siku zote wakiwa katika biashara zao shoga zake hupata kinywaji kidogo pia wapo waliokuwa si waaminifu kwa ndoa zao.
Yote hayo aliyaona lakini alijisemea kila mtu anajua anachokifanya na kilichomtoa nyumbani na kumpeleka kule. Tatizo likaja kila akifuata mzigo anapata nusu kitu kilichomfanya aharibu malengo yake. Hakujua kumbe ulikuwa mtego ambao bila kutegemea ulimnasa.
Sehemu aliyokuwa akichukua mzigo alipojitokeza kijana mmoja ambaye ndiye aliyekuwa msanyaji mkuu wa mizigo toka shamba na kuwauzia wafanya biashara. Kila alipojaribu kumtongoza alimtolea nje kitu kilichomnyima raha hata alipowatumia mashoga zake aliwatolea nje.
Lakini hali ya kuyumba kwa biashara yake ilibidi aombe msaada wa shoga zake ambao ndiyo wazoefu wa kazi ile jibu alilopewa lilimkata maini.
“Shoga siku hizi toa kitu upate kitu.”
“Mna maana gani?”
“Usione sisi tupo hapa ni wake za watu lakini tunapozidiwa hutumia tulichonacho ili kurekebisha mambo, kwani ukitembea naye ukirudi nyumbani mumeo atajua au sisi hatupo na waume zetu hata hao matajiri wapo walioua. Pia wapo wanaume waliokubali kugeuzwa wanawake, utajiri hauji kwa maji yanayotililika mlimani.”
“Shoga toa, harua haina makombo kwanza bwana mwenyewe unakutana naye unapokuja kwenye biashara hata mzigo mwingine utapata bure na zile gharama za kutoa mzigo shamba atazilipa yeye. Apate bahati gani shoga mpe wewe si mtoto siku zote harua haina makombo,” mwingine aliunga mkono.
Yalikuwa maneno mazito yaliyotaka maamuzi ya kina sio kukurupuka, Rebeka alijifikiria kwa muda, wakati huo shetani naye aliongeza ushauri wake pale alipomshauri:
“Kwani mara moja ina nini utapungukiwa na nini kwani umefunga safari kutafuta mali na mali inapatikana kwa njia nyingi moja wapo ni hii…Hata huyo mumeo si muaminifu lakini hakuna kilichopungua mwilini mwake nawe pia hivyohivyo.”
Bila kutalajia Rebeka alianzisha mahusiano na kijana aliyekuwa na pesa sana kwa kumiliki mashamba mengi ya mpunga na vilevile ndiye mufuataji mkubwa wa mazao yote yanayotoka shambani.
Kijana Kurukuchu vilevile ndiye aliyekuwa na magari yanayobeba mizigo kutoka shamba na kuleta gulioni. Rebeka siku ya kwanza kukutana kimwili na Kurukuchu au kama wengi wapendavyo kumwita tajiri mtoto Kuchu alipewa laki tano taslimu.
Rebeka aliona kama miujiza kupata pesa nyingi kiasi kile kwa starehe ya muda mfupi. Alirudi nyumbani na mchele mwingi ambao alipata kwa gharama ndogo sana.
Pesa aliyo hongwa na ya mauzo aliyopata alimpa mume wake anunue kiwanja na kuanza jenzi wa nyumba mara moja. Yeye aliendelea na kazi kama kawaida, muda wa kurudi mwanzo ulikuwa baada ya siku tatu ulibadilika na kuwa wiki mwishoe ukawa mwezi mumewe alipohoji alizibwa macho na pesa alizopewa na mkeo kwa kisingizio siku hizi biashara wanazifuata mbali.
Penzi la Kuchu na Rebeka lilizidi kukuwa kila siku mpaka pale Kuchu alipomshawishi Rebeka aachane na mumewe ili wawe mke na mume. Pamoja kwenda nje ya ndoa yake Rebeka hakuwa tayari kuivunja ndoa yake kwa kuwa mumewe alikuwa bado anampenda penzi la nje lilikuwa kwa ajili ya pesa.
Kuchu alipoona Rebeka ana msimamo alipomuahidi kumjengea kwao nyumba ya kisasa pia yeye mwenyewe kumjengea nyumba ya kifahari pamoja na kumnunulia gari la kifahari. Siku zote pesa shetani ilisababisha Yuda kumsaliti Yesu.
Rebeka kwa mara nyingine ngome iliyokuwa kwenye moyo wake ilibomoka na kukubali kulivunja penzi lake kwa Mabogo na kuivunja ndoa yake. Kuchu alimuahidi ahadi yake angeitimiza ndani ya miezi mitatu hapo ndipo Rebeka atakapovunja penzi lake na Mabogo.
Ndani ya miezi mitatu Kuchu alitimiza ahadi yake kwa kuwajengea wazazi wa Rebeka nyumba ya kisasa na kumjengea Rebeka jumba la kifahari na kumnunulia gari la kifahari aina ya Morano ya kutembelea.
Baada ya kutimiziwa ahadi zile ikabakia kazi ya Rebeka kuvunja ndoa yake na mumewe. Ilikuwa baada ya kufanya mizunguko yake kuhakikisha kile alicho ahidiwa na Kuchu. Alisimamisha gari lake kwenye nyumba yao mpya.
Alirudi nyumbani huko akiwa katika wakati mgumu katika maisha yake kwenda kuivunja ndoa yake ambayo aliahidi hataisaliti na kutenganishwa na kifo lakini pesa zilivunja nguzo za moyo wake.
Alikwenda hadi ndani na kumkuta mumewe akiwa na mwanaye na mfanyakazi wa ndani wakiwa wanacheza sebleni. Alipoingia Mabogo alinyanyuka kumlaki mkewe kwa furaha.
“Ooh! Mpenzi yaani hufi haraka tena sasa hivi mwanao alikuwa akiuliza mama atarudi lini?”
Mabogo alimlaki mkewe kwa kumkumbatia kitu kilichomfanya Rebeka aanze kulia mumewe anampenda lakini kile alichoahidiwa katimiziwa. Alimuangalia mumewe kisha alimwangalia mwanaye machozi yalianza kumtoka kitu kilichomfanya Mabogo ahoji mkewe akupatwa na nini.
“Mpenzi, mama watoto.. mama Nyangeta una tatizo gani laazizi wangu?”
Maneno yale yalikuwa kama mshale wa sumu kwenye moyo wa Rebeka uliosababisha maumivu makali ya moyo yaliyomfanya aangue kilio cha sauti.
“Basii inatosha baba Nyangeta….oooh maskini nimekuwasaliti mume wangu sina jinsi utanisamehe mume wangu….nimekusaliti nimemsaliti mtoto wetu kipenzi….oooh Mungu wangu nisamehe kwa maamuzi ya hatari niliyoyaamua sina jinsi…”
Maneno ya Rebeka, mumewe aliyasikia lakini hakuyaelewa alijiuliza mkewe amekubwa na nini na kipi alichomsaliti. Lakini moyoni mwake aliapa kumsamehe mkewe kwa lolote atakalo lifanya hasa kulingana na biashara zake.
“Mke wangu hata kama ulitoka nje ya ndoa yetu najua ni shetani mbaya aliyekupitia lakini hilo nililijua na kuuapia moyo wangu nitakusamehe kwa majaribu yoyote.”
“Sio hivyo mume wangu hili ni kubwa kuliko unalolifikiria…Nina dhambi kubwa mbele ya Mungu nimekukosea mume wangu nimekuwa nyoka uliyenifuga nimeota meno nakuuma mume wangu, eeeeh Mungu wangu mimi ni kiumbe gani?” Rebeka alisema kwa uchungu huku akili.
“Mbona sikuelewi mke wangu una nini leo?”
“Sina jinsi lakini ndio hivyo mume wangu maamuzi niliyoyamua siwezi kuyabadili japo moyo unaniuma nakupenda mume wangu…”
“Hilo nalijua ndio maana nipo tayari kukusamehe kwa kosa lolote hata kama umeisaliti ndoa yetu.”
“Kila neno lako mume wangu ni kama mshale wenye maumivu makali moyoni mwangu nayajutia maamuzi yangu lakini sina jinsi imekuwa hivyo utanisamehe sana najua nitakuweka kwenye wakati mgumu nakuomba vumilia Mungu atakupatia mke mwema ambaye atayapoza maumivu yako.”
Rebeka aliongea yale huku akilia alikuwa amekaa chini ya zuria mbele ya mumewe wake kitu kilicho mweka mumewe kwenye mtihani mzito uliokuwa na majibu magumu. Mabogo alimnyanyua mkewe na kumkalisha juu ya kochi wakati huo mwanaye Nyangeta alikuwa akilia.
Mtumishi wa ndani alimchukua na kutoka naye nje kumbembeleza na kuwaacha tajiri zake waongee. Baada ya kutoka Mabogo alimsogelea mkewe na kumwinamia akiwa amepitisha mkono kwenye shingo yake aliutembeza shingoni kwa Rebeka taratibu huku akiongea kwa sauti ya upole iliyochanganyikana na majonzi yenye kitetemeshi cha kilio.
“Mke wangu ni nini kilichokusibu hebu nidadavulie ili nami nielewe, elewa mimi ndiye mwenzio hata kanisani unakumbuka walituhusia kuwa wewe ni mwili wangu wa pili na wewe mimi ni mwili wako wa pili hivyo kuunda mwili mmoja….
“Rebeka mke wangu kwa nini unaniacha gizani hebu niweke kwenye mwanga ili nijue nini kilichokusibu mke wangu ni muda mfupi nilikuwa nakuwaza lakini kwa bahati na wewe ukatokea moyo wangu ulijaa furaha kukuona wewe furaha ya moyo wangu joto la baridi kwenye baridi kali kato la kiu yangu pumbazo la moyo wangu…..” maneno ya Mabogo yalikuwa mwiba mkali kwa mkewe kitu kilicho fanya amkatishe kwa sauti ya kilio kikali
“Basiii..basi mume wangu asiendelee kusema kila neno lako laweza kuchukua uhai wangu, ukweli wangu ni maumivu ya moyo wako ni sawa na kuupasua kwa kisu butu bila ganzi, najua maumivu yake yanaweza kukuathili kiakili na kimwili.”
“Usiogope Rebeka siku zote kweli huwa chungu lakini dawa..vilevile maumivu ya kweli huwahi kupoa kuliko maumivu ya uongo niambie ukweli nipo radhi kwa lolote ulilokuja nalo kwa siku ya leo,” Mabogo alimtoa hofu mkewe.

“Japo moyo unaniuma na nafsi kunisuta na kukumbuka uliponitoa na leo nilipo nimekuwa wizi wa fadhira…mume wangu siku zote mbuzi hajichungi mwenye anaweza kutamani majani ya shamba la jirani, pengine ni kishawishi cha mwenye shamba ili amkamate mbuzi wako.
“Mume wangu mbuzi wako amekamatwa shamba la watu na huwezi kumrudisha tena.”
“Rebeka kama nimekuelewa lakini sina uhakika na nikiwazacho una maana gani hebu niweke wazi.”
“Mabogo mume au baba mtoto wangu baba Nyangeta kuanzia leo hii mimi si mkeo tena,” Rebeka alisema huku machozi yakimmwagika kama maji.
“Atiii?” Mabogo alishtuka.
“Kama nilivyokueleza mbuzi wako amekamatwa shamba la jirani na huwezi kumrudisha tena.”
“Hapana Rebeka una maanisha..au sijakuelewa una maana gani?”
“Kuanzia leo mimi si mkeo sasa hivi mimi ni mke wa mtu mwingine najua ni uamuzi wa kukushtua ambao ni wa kikatili lakini sina jinsi. Sipendi na wala nisingependa maishani mwangu kutengana na wewe mume mtu aliyenitoa tongotongo za macho lakini maisha hubadilika kila siku unazoishi unalolitazamia silo linalokuwa, naomba unipe ruksa japo moyo wako hautakuwa radhi,” Rebeka alisema kwa sauti kavu huku akifuta machozi.
“Rebeka mke wangu unayosema ni kweli au leo umelewa?”
“Sijalewa ila siku hizi mume wangu nakunywa pombe najua hukutegemea mimi kuongea maneno haya maishani mwako lakini huu ndio ukweli.”
“Japo siamini, Rebeka mke wangu nimekukosea nini kililofanya uchukue uamuzi mbaya kama huo sawa na kuondolewa moyo wangu sijui kama nitaendelea kuishi.”
“Mabogo mume wangu kipenzi changu huwezi kuamini pamoja na leo tunatengana rasmi, lakini bado nakupenda mume wangu…na mapenzi yangu kwako hayatafutika mpaka naingia kaburini.”
“Kama ni hivyo kwa nini unaniacha?”
“Imebidi sina jinsi ujanikosea wala kuniudhi wewe ni mmoja wa wanaume waelewa wanaume wenye mapenzi ya kweli wenye upendo wa dhati…Najua napoteza lulu ya maisha yangu nayapoteza mapenzi ya kweli ambayo dunia ya leo ni nadra kuyapata…kilichomshinda Yuda Sikalioti na kumsaliti Yesu ndicho kilichonishinda na kuvunja ndoa yetu si kingine penzi masirahi.”
“Ni nini ulichokosa mke wangu bado nakupenda bado nakuhitaji nini hatima ya maisha yangu nini hatima ya maisha ya mtoto wetu mwenetu ataishi maisha gani atayakosa mapenzi ya baba na mama,” Mabogo baada ya kuamini mkewe hatanii alipiga magoti mbele ya mkewe huku akilia.
“Yote hayo niliyafikiria kabla ya kutoa uamuzi, siku zote dawa ya jipu ni kulikamua japo linauma…kuhusu malezi ya mtoto sidhani kama yatateteleka wangapi wamelelewa na bibi zao hata watu baki lakini wameishi maisha mazuri. Kitu kizuri mtoto hata kosa malezi ya baba na mama utakaa naye nikiwa na hamu naye nitakaa naye.
“Kingine ni kwamba pesa nilizozipata kwenye biashara zangu nina imani zipo kama milioni kumi na mbili. Nsina imani zitasaidia malezi ya mtoto wetu na wewe mume wangu najua tutaachana hapahapa duniani lakini kwa Mungu wewe ni mume wangu.
“Sitachukua chochote humu ndani hata nguo zangu, nitaondoka mimi mwenyewe nyumba na vyote tulivyochuma pamoja ni mali yako na mwenetu. Ila kwa sasa masuala yote ya mtoto niachie mimi nitampatia kila aina ya huduma muhimu vile vile mhudumu nitamlipa mshahara wa miaka mitano kwa mkupuo ili usifikilie suala hilo hela zako ufanyie kazi nyingine.”
“Rebeka mke wangu bora ungeninyang’anya kila kitu ndani na kuniachia moyo wako ni muhimu kuliko chochote duniani… Rebeka nimekuzoea mke wangu,” Mabogo aliendelea kubembeleza huku amepiga magoti.
“Hakuna nisiloelewa yote nayajua lakini sina jinsi naomba unikubalie nina muda mchache mume mwenzio ananisubiri.”
“Hapana Rebeka huondoki wewe bado mke wangu…nasema huendi kokote,” Mabogo aliona kuna haja ya kutumia nguvu ya kiume.
“Mabogo acha akili za kitoto usifanye uamuzi wangu ukakuumiza zaidi naomba tuachane kwa amani ili panapo matatizo tusaidizane,” Rebeka alisema kwa sauti ya upole.
“Lolote na liwe nasema huondoki kama sio nitamwaga damu ya mtu.”
“Mabogo mapenzi si lazima usisababishe nikakasilika na kutoa maamuzi yatakayokuumiza mara mbili.”
“Nasema sikubali…toa maamuzi yoyote kumbuka nimekutoa kijijini hata ulikuwa hujui kuvaa viatu leo hii unapendeza unaniacha watu hao walikuwa wapi mpaka niwatengenezee mimi?”
“Mabogo nasema hivi kila usemalo ni kweli tupu na una haki yoyote ya kufanya, lakini kumbuka penzi alilazimishwi nina imani umenielewa kuwa mstaarabu.”
Rebeka alinyanyuka huku akipigapiga mgongoni Mabogo aliyekuwa ameinama akilia
“Sweet naomba uniitie mtumishi na Nyangeta niwaage.”
Mabogo alinyanyuka kama mbogo na kumsukuma Rebeka aliyeanguka chini huku akibwata.
“Muongo mkubwa mnafiki unanipaka mafuta kwa mgongo wa chupa eti sweet!”
“Huwezi amini Mabogo nakupenda kuliko mwanaume yoyote duniani nimeisha kueleza penzi masirahi nipo radhi kukulipia mahali na kukufanyia sherehe kwa gharama zozote ili kuhakikisha unakuwa na mke atakayeziba pengo langu.”
Rebeka alimjibu huku akiamka pale chini alipoanguka hakuonyesha hasira yoyote, Mabogo hakumjibu neno lolote zaidi ya kuondoka kuelekea jikoni. Wakati huo Rebeka alikuwa akimwita kwa sauti ya juu mhudumu ili amlete mtoto amuage. Alishtushwa na sauti ya Mabogo nyuma yake alipogeuka alikuta mumewe ameshika kisu kikubwa.
“Rebeka ukivuka mlango tu kutoka nje shingo yako halali yangu.”
“Mabogo kwa nini unataka kujiingiza kwenye matatizo bure ukiniua utapata nini?”
“Bora wote tukose au na mimi najiua.”
“Sipendi ufikie uamuzi huo Mabogo, wanawake wapo wengi kwa nini ujikatie tama?”
“Rebeka mke wangu wanawake wapo wengi lakini sio kama wewe…Oooh Rebeka mbona unanitesa hivyo kosa langu nini?”
“Mabogo huna kosa wala hujanikosea wala mapenzi yangu kwako yamefutika kama hutaki kunielewa fanya utakavyo sina jinsi wala usisubili nivuke mlango niulie hapahapa.”
“Nisamehe Rebeka ni hasira tu siwezi kukudhuru bado nakupenda”Mabogo aliyasema yale huku akitupa kisu chini na yeye kumuangukia miguuni Rebeka.
“Rebeka usiondoke.”
“Lazima niondoke Mabogo nina deni la watu la sivyo maisha yangu yataishia gerezani sidhani kama utakuwa na mimi.”
“Rebeka tutauza kila kitu ili tulilipe hilo deni ilimradi nikubakize.”
“Mabogo deni lenyewe ni kubwa hata uuze chochote ulichonacho nilichonacho hutaweza kulipa hata moja ya kumi ya deni hilo naomba uniache tu niende.”
“Ha.a..aa..ya sina jinsi nimejitahidi kadili ya uwezo wangu lakini nimeshindwa uamuzi unao mwenyewe kusuka au kunyoa,” Mabogo alikubali yaishe.
Mabogo alitoa kauli ya kukata tamaa ambayo alitegemea Rebeka kubadili mawazo. Machozi yalikuwa yakimtoka kama mtoto mdogo aliyekuwa akimlilia mama yake. Lakini msimamo wa Rebeka ulikuwa uleule alimshika mume wake mabegani na kumuinua alimketisha kwenye kochi na kuongea kwa sauti ya upole na ya chini:
“Baba Nyangeta najua umeumia jikaze wewe ni mwanaume siku zote wanaume ameumbwa kupambana na mitihani mingi siku zote unatakiwa kuishinda naomba uushindea na mtihani huu.”

“Sina jinsi nimekubali matokea siku zote unaweza kumlazimsha punda kumfikisha mtoni lakini huwezi kumlazimisha kunywa maji, Mungu atanisaidia japo ni kazi ngumu lakini nina imani atanisaidia.”
“Nashukuru kwa uamuzi wa kiume…asante sana mume wangu ubakie salama na mtoto wetu lakini muda wote tutakuwa pamoja kwa lolote usisite wala kuongopa kunitafuta hata mimi vilevile.”
Maneno yale aliongea huku akiwa amemkumbatia mumewe kila mmoja machozi yalimtoka. Wakati huo mtumishi wa ndani alikuwa ameishafika baada ya kuitwa na Rebeka. Alimkumbatia mwanaye na mtumishi wa ndani huku akimsisitiza amlee kwa mapenzi yote na kumuahidi kumuongezea mshahara mnono.
“Kwani dada unakwenda wapi?”
“Nina safari kidogo tuongozane nje kwenye gari nina mzigo wako.”
Waliongozana na mtumishi wa ndani hadi nje kwenye gari na kumpatia mshahara wake wa miaka mitano kisha alirudi ndani kumuaga mumewe kwa kumpiga busu na kuondoka kuelekea makazi yake mapya. Mabogo hakuwa na haja ya kumsindikiza alibakia kwenye kochi kama mtu aliyekuwa kwenye njozi ya mchana.
Mawazoni alijilaumu kwa kumruhusu mkewe kufanya biashara kutokana na wanawake wengi wanapokuwa peke yao hukosa uaminifu si kumkimbia mumewe. Alikumbuka kauli aliyosema Rebeka kuwa mbuzi aliye kuwa akijichunga kaingia shamba la watu na mwenye shamba kamrubuni na kumtaifisha kabisa kusababisha mbuzi kulikimbia zizi lake alilolizoea.
Vile vile alikumbuka maneno ya Rebeka kuwa mwanaume ameumbwa kupambana na mitihani na mmoja wa mtihani ni ule pia alimsisitiza asimame kiume aushinde. Mabogo japo alijua jeraha alilojeruhiwa ni baya lakini alikubali matokeo kwa kuwa imeisha tokea.
Alimuangalia mwanaye aliyekuwa amepakatwa na mtumishi alijikuta akipata nguvu pale wazo lilipomuijia kuwa la muhimu kwa wakati ule ni kumtunza mtoto wake kwa hali yote na kwa akili yake yote. Alijua siku zote mwanadamu ambaye hutaachana naye ni mzazi wake na mwanaye au ndugu wa damu si mwanamke au mwanaume wote hao huweza kutengana japo dini inakataza mnapooana hamtaacha mpaka kifo kiwatenganishe mnaweza kutengana na baadaye kurudiana.
Mabogo aliyahamisha macho yake kwa mwanaye na kumwangalia mtumisi ambaye alikuwa bado akimuangalia tajiri yake na kujawa na mawazo tele kichwani ni nini kilichomsibu. Kwa sababu kabla ya kuwapisha wazungumze na mkewe alikuwa mtu wa furaha lakini baada ya kurudi amemkuta akiwa mtu aliyebadilika amekuwa mnyonge tena mtu aliyevimba macho na kuwa mekundu ilionyesha alikuwa analia
Alijiuza maswali mengi juu ya hali ya tajiri yake alikuwa amejikunyata upenuni mwa kochi alijikuta akimuuliza bila kutalajia kauli ilimtoka kinywani:
“Shemeji kuna nini mbona uko hivyo?”
“Yaani we acha tu umasikini mbaya sana.”
“Una maana gani?”
“Dada yako ametukimbia.”
“Una maana gani kusema ametukimbia si amekwenda safari?”
“Si mara kumi angekwenda safari hata ya miaka kumi na kujua siku moja atarudi.”
“Shemeji sikuelewi ina maana harudi?”
“Ndiyo maana yake.”
“Amekwenda wapi?”
“Amekwenda kwa wenye pesa mimi si lolote kwake kuanzia leo si mke wangu tena.”
“Utani huo shemeji na Nyangeta?”
“Kuanzia leo wewe ndiye mama yake.”
“Mmh! Makubwa hata siamini.”
“Kuanzia sasa amini hivyo usifikilie kuna mama wa kumlea Nyangeta zaidi yako ndiyo maana amekupa zile pesa kwa ajili hiyo.”
“Shemeji nakuahidi nitamlea Nyangeta kwa moyo wangu wote kama mwanzo na kwa akili yako yote,” msichana wa kazi alimuahidi bosi wake.
“Nitashukuru kwa hilo.”
****
Rebeka baada ya kutoka kwa mumewe alikwenda hadi kwa shoga zake ambao hawakuamini kumuona akiendesha gari. Alipofika hakuwa na muda aliwaaga shoga zake na kuwaeleza kuwa muda wowote atawaletea kadi za harusi yake na Kuchu.
“He! Makubwa, mwenzetu wewe kiboko yaani umelamba ukaona haifai umechonga na mzinga kabisa?”
“Si nyinyi mlisema penzi masirahi.”
“Kweli dada penzi masirahi…utakaaje na mwanaume wewe ndiye unaye mlisha sijui yupo kwenye hali gani mwanaume Yule? Picha yake kama naiona jinsi alivyokuwa akikupenda unaweza kumfanya ajinyonge.”
“Lakini namuonea huruma yule mwanaume ni mpole sana ina maana amekuachia uondoke hivihivi?”
“Ndani palikuwa hapatoshi nusra anichinje.”
“Ehe, patamu hapo ikawaje?”
“Nilimweleza penzi alilazimiswi na kumpa ruhusa ya kuniua lakini alishindwa najua mume wangu ananipenda lakini penzi masirahi. Ukiwa na huruma hujengi kila umuonaye na shida barabarani utamsaidia.”
“Ni kweli wenye roho ngumu ndio mwenye maendeleo hata mimi nikipata mume kama Kuchu naachia ngazi. Ona umetukuta kwenye kazi lakini leo hii mwenzetu unaendesha gari hupigwi na baridi la usiku kama zamani kazi umetuachia sisi…sasa hivi shoga unakula kwa upole.”
“Yaani shoga una bahati mimi kanichezea tu na kuniacha lakini wewe kugusa tu umepata nyumba na gari kijijini kwenu sasa hivi nao wanatanua maisha mazuri bado mumeo umemuachia maisha mazuri.”
“He! shoga ina maana hata wewe umetembea na Kuchu?” Rebeka aliuliza kwa ushtuko.
“Unanishangaa mimi nani katika kundi letu ajatembea na Kuchu, kila mmoja alitembea naye kwa wakati wake yule baba samaki haachi kitu ndio maana tulifanya bidii akupate ili tutimize idadi yetu ya kutembea nje ya ndoa zetu lakini wewe mwenzetu amekuwa na bahati yako kugusa tu amenogewa na kunasa una ulimbo nini mwenzetu?”
“Basi hata sielewi toka siku ya kwanza alipagawa na kunipa laki tano.”
“Ona sasa sisi wote aliyezidi alipata elfu ishirini lakini wote tulipata elfu kumi na kupunguziwa bei ya mchele.”
“Bibi eeeh, kajiingiza mwenyewe hilo ndilo penzi masirahi ukisikia, wacha mumeo apagawe kama hela umemuachia aoe mwanamke.”
“Sasa jamani wacha niwahi ila nina imani mkija kwenye biashara sasa mna mwenyeji wenu wa uhakika.”
“Shoga nenda mbona umetukomboa.”
Rebeka aliagana na shoga zake na kuingia ndani ya gari kurudi kwa mumewe mpya Kurukuchu au maarufu kwa jina la Kuchu tajiri kijana. Baada ya kwenda mwendo wa kilometa kama kumi alijikuta akiisikia sauti ya mumewe ikimuomba msamaha asiondoke kilio cha mume wake kilimfanya asimamishe gari pembeni na kuanza kulia kwa muda.
Lakini hakujutia maamuzi yake alijua ni maamuzi ya kawaida kwa mwanadamu imezoeleka anayeacha ni mwanaume lakini yeye alikuwa mmoja ya wanawake wanao fanya mapinduzi ya kifikra. Baada ya kulia kwa muda alipiga moyo konde na kuendelea na safari yake.

Mabogo toka akimbiwe na mkewe Rebeka alikuwa mtu wa mawazo kila kukicha hata kazi zilimshinda mawazo yote yalikuwa kwa mkewe, mwanamke aliyemtegemea kwa maisha yake yote aliyekuwa muhimili wa maisha yake.
Alijua makosa aliyofanya yalikuwa ya kawaida kama mwanadamu kwa kujua wote wanadamu wana mapungufu ndiyo maana mwenyezi Mungu yupo tayari kumsamehe yoyote anaye omba msamaha kwa kulijua kosa lake. Hakuwa na wazo la kwamba siku moja Rebeka atasema kuwa waachane hasa akizingatia mtoto wao Nyangeta alikuwa bado mdogo aliyekuwa akihitaji malezi na mapenzi ya wazazi wake wote wawili kama mwenyezi Mungu hajamchukua mmoja wao.
Kila alipotoka kazini alikuwa hanakaa upenuni wa kochi na kujishika tama na machozi humtoka moyo wake ulitawaliwa na majonzi. Mtumishi wake wa ndani Bibiana alikuwa na yeye anakosa raha kila akiiangalia hali ya tajiri yake.
Alijitahidi kuonyesha mapenzi utiifu na huruma kwa bosi wake na malezi bora kwa Nyangeta ili kuhakikisha hakuna mapungufu katika malezi ya mtoto. Mtoto alikua kwa afya bora ambayo alikuwa na imani hata kwa mama yake asingeipata.
Akiwa amesimama kwenye mlango muda mfupi baada ya kutoka kumlisha Nyangeta na kumuosha kisha kumlaza kitandani na kumbembeleza mpaka alipopitiwa usingizi. Siku zote Nyangeta alijua Bibiana ndiye mama yake japo humwambia amwite dada lakini mtoto hakuwa tayari kumwita dada zaidi ya mama jambo ambalo aliliacha liendelee.
Bibiana alikuwa amesimama akimwangalia bosi wake ambaye alikuwa bado kameegemea kochi mkononi alikuwa na picha ambayo aliiangalia na kutiikisa kichwa. Bibiana alishuhudia machozi mufurizo yakimtoka bosi wake, alijiuliza hali kama ile itaendelea mpaka lini.
Miezi wa sita ilikatika toka Rebeka aondoke alitakiwa kuwa na moyo wa ujasiri afya yake ilizidi kudhoofu kwa mawazo utafikiri amefiwa lakini ni jambo la kawaida mwanadamu kutokewa na hali ile. Siku zote Bibiana alijiangalia na kujiona na yeye ni mwanamke aliye kamilika ambaye mwanaume yoyote rijali alikuwa na matamanio kwake.
Alijiuliza ni wanaume wangapi wamemtamkia kumtaka kimapenzi kila siku, watu walikuwa wakitofautiana mwanzoni alipokuja wa hali ya chini lakini siku zilivyozidi kwenda na hali yake ya kimwili kimavazi na kimaumbile kilifanya hata watu wenye wadhifa wao kumtaka kimapenzi.
Bibiana alijikuta akimheshimu Mabogo kama mume wake na Nyangeta kama mtoto wake. Hakuwa tayari kutembea nje kwa kumheshimu Mabogo vilevile mawazo yake yalivyo mpelekea huenda ndiye mwenye uwezo wa kumshawishi kumsahau Rebeka kwa kumfanyia kila alilotaka kubwa kumlelea mtoto wake kwa mapenzi mazito.
Siku zote aliamini kama uzuri alikuwa nao kama Rebeka atamzidi kidogo sana lakini alikuwa na uhakika yeye ni mzuri anayefaa kuziba pengo lile kuwa mama wa nyumba hasa akizingatia ameishi ndani ya nyumba ya Mabogo kama mke wa Mabogo na si mfanyakazi kwa kuwa amekuwa akifanya kazi zaidi ya mke wa ndani.
Alijiona anafaa kuwa mke wa mtu mwenye sifa kubwa kwanza ya usafi wa nyumba pili alijua kumlea mtoto vizuri hata kumzidi mama mwenye nyumba hata malezi ya Nyangeta yeye ndiye anayeyajua, mama yake alijua kuzaa tu.
Alijikuta akipata ujasiri wa ajabu na kumfuata pale alipokuwa amekaa tajiri yake na kukaa pembeni yake wakati huo ulikuwa ni muda mchache toka atoke kuoga. Alikuwa na kanga mbili tu. Kabla ya kwenda aliidondosha ile kanga na kumsogelea na kanga upande mmoja.
Alikaa pembeni yake na kupitisha mkono kwenye shingo ya Mabogo ambaye alichokifanya ni kuigeuza ile picha ili Bibiana asiione. Bibiana alichokifanya alipitisha mkono wake laini kwenye shingo ya Mabogo iliyosababisha joto lenye msisimko lipenye kwenye ngozi ya Mabogo na kuusisimua mwili wake.
Bibiana aliinama na kufanya joto la matiti yake yauguse mwili wa Mabogo ikifuatiwa na harufu nzuri ya manukato ambayo hayakuwa tofauti na ya mkewe Rebeka ambayo alimuachia hata alipomaliza alinunua kama yaleyale.
Kwa sauti ya chini alipenyeza sauti yake kwenye ngoma za sikio la mkono wa kulia:
“Mabogo nini tatizo…lililokwisha tokea limetokea lililopo kuganga yajayo…hivi wewe ni mtu wa aina gani mwenzio anafurahia maisha wewe kila siku unaombeleza…sipendi kuongea hili, usiwe mjinga wa mapenzi isiwe kama kipofu aliyefumbua macho na kumuona punda kila akiambiwa umemuona simba anauliza mkubwa kama punda ukimuuliza umemuona tembo anauliza mkubwa kama Punda…
“ Na wewe vilevile utafikiri Rebeka ni mwanamke wako wa kwanza, aibu mwanaume hatakiwi kuwa hivyo kama alivyoongea Rebeka kabla ya kuondoka mwanaume unatakiwa kuishinda mitiani….
“Wape wengine nafasi wapo wazuri kushinda Rebeka na wenye tabia nzuri kumheshimu mwanaume kwa shida na raha, hebu fungua ukurasa upya wa maisha yako jipe moyo utashinda bora angekuwa amekufa lakini mzima wa afya njema tena mwenzio anatumbua maisha. Usiwe kama kipofu aliyeona siku moja na kukutana na sura ya Rebeka….”
Mara Nyangeta alilia ndani kitu kilichofanya Bibiana kwenda ndani kumwangalia analilia nini. Alipita mbele ya Mabogo akiwa katika upande wa kanga tu, macho ya Mabogo yalimsindikiza na kugundua alikuwa na madini ndani yaliyohitaji kuchimbwa baada ya kunyang’anywa mgodi wake na wenye pesa.
Toka zamani alimtamani kimapenzi lakini alimheshimu kwa kumuona Bibiana ni mtu muhimu maishani mwake kwa kuogopa kumgusia suala la mapenzi kungekuwa na matokeo mawili kupata au kukosa vilevile kujivunjia heshima akizingatia Bibiana aliyemuonyesha heshima ya hali ya juu pia mtu muhimu aliyeyaangalia maisha yake na ya mwanaye.
Ndani ya nyumba yake kilichopotea ni upendo wa Rebeka lakini kila kitu kilifanyika kwa ufasaha zaidi tena kwa umakini mkubwa ambao hata Rebeka hakuweza kuufanya. Kikubwa alichomsifu Bibiana ni kumlelea mwanaye zaidi ya mkewe.
Siku zote aliogopa kumkosea Bibiana na kumkimbia na kumuacha mwanaye Nyangeta ambaye angepata shida, alikubali kufa kizungu na tai shingoni. Hakuamini alichokifanya Bibiana muda mfupi kilimfanya ahamie dunia nyingine ambayo aliitamani muda mrefu.
Alipopita mbele yake kwenda chumbani kumwangalia Nyangeta ambaye alimtunza kama mboni ya macho yake mwili ulimsisimka na kujikuta akipanda na ashki ya mapenzi ambayo alikuwa ameyakosa zaidi ya miezi tisa.
Akiwa yupo katikati ya mawazo Bibiana alirudi akiwa peke yake kwa ujasiri mkubwa Mabogo alimuuliza:
“Alikuwa analia nini?”
“Alikuwa ameshtuka tu, nimembembeleza ameendelea kulala.”
Macho yao yalikutana Mabogo aligundua macho ya Bibiana yalikuwa yapo kwenye wakati mgumu yalikuwa yamelegea. Kwa upande wake aliona huo ni muda muafaka wa kuhamia ile dunia aliyoitamani muda mrefu.
Bibiana alirudi kukaa palepale alipokaa mwanzo na kupitisha mkono wake kwenye shingo ya Mabogo ambaye kitendo kile alikisubili kwa hamu kubwa. Lakini safari ile Bibiana alikuwa akihema na mwili ukimtetemeka. Aliongea kwa sauti ya muhemo kama mtu aliye maliza mbio ndefu:
“Mabogo nini kimepungua kwangu nimekataa wanaume wangapi kwa ajili ya kumlea Nyangeta naogopa kumkubali mtu kwa kuogopa kumuona akiteseka…lazima nikipata bwana nitatengana na Nyangeta nampenda na nataka akulie kwenye mikono yangu….
“Sihitaji malipo yoyote zaidi ya kunifanya niendelee kuwa karibu na Nyangeta mpaka Mungu atakapo chukua uhai wa mmoja wetu nampenda Nyangeta na wewe nakupenda vilevile nayahitaji mapenzi yako….
“ Naomba nipe nafasi nikupokee ukitoka kazini nikuite mpenzi nimekuzoea sihitaji kuwa karibu ya mwanaume yoyote zaidi yako nakupenda Mabogo nipe haki yangu niliyoiota na kuitafuta kwa muda mrefu nakuahidi nitakuwa mke mwema usinihukumu kwa kosa la Rebeka na kuona wanawake wote si waaminifu.”
Mabogo hakuwa na jinsi wala hiyana alimpokea juujuu na kuhamia dunia nyingine iliyoifariji mioyo yao kila mmoja aliona ni mwenye bahati yaani riziki fil kitako kumkuta alipokaa.
Sauti ya kilio ya Nyangeta aliwakatisha katika kati ya dimbwi la huba na kumfanya Bibiana anyanyuke kukimbilia chumbani akimwacha Mabogo bado yupo chini ambaye alishtuliwa na sauti ya Bibiana
“Mpenzi twende tukaoge.
Bibiana alimfuta pale chini alipokuwa amekaa chini ya zuria na kumshika mkono na kumnyanyua. Walikumbatiana kwenye mapenzi mazito kwenda bafuni kuoga.

ITAENDELEA

REBEKA (ZAIDI YA MWANAMKE) – 1

Image result for adrian mcdonald photography

Simulizi : Rebeka (Zaidi Ya Mwanamke)
Sehemu Ya Kwanza (1)

Waumini wa kanisa wote walikuwa kimya wakiendelea kumsikiliza msichana Rebeka aliyekuwa akitoa ushuhuda kwa yale yote aliyoyafanya ambayo yaliyomfanya kila mmoja abakie kinywa wazi wengine bila kutegamea walibubujikwa na machozi.
Baada ya ushuhuda wake wengi waliangua kilio kilichomshtua kila mmoja aliyekuwa mule kanisani wengi wao walikuwa wake za watu walisikika wakisema:
“Oooh! Masikini tumekwisha.”
Wengi wao waligaagaa chini kwa kilio cha majuto kwa kweli ulikuwa msiba mkubwa uliokuwa ndani ya kanisa uliompa kazi mchungaji amnyamazishe yupi nani amuache.
Hata waliokuwemo kanisani ilibidi wafanye kazi ya ziada kuwatuliza kina mama waliokuwa wakilia kwa kujitupa chini wengine kufikia hatua ya kujiumiza na kutokwa na damu na wengine kupoteza fahamu.
Ilikuwa ni vigumu kujua nini mahusiano ya ushuhuda wa Rebeka na wale kina mama. Rebeka ambaye alikuwa kama mtu aliyepagawa mikono kichwani machozi yalimwagika kama chemchem ya maji, alijutia kile alichokifanya pale alipojijua….. Ni swali zito kwa msomaji ili kuyajua yote tuungane na mtunzi mahili Ally Mbettu kwenye riwaya hii itakayo kusisimua muda wote na kukupa mafundisho.
*****
Ilikuwa siku ya jumapili Msichana Rebeka alipotumwa na mama yake aende akasanye kuni kwa ajili ya kupikia chakula cha mchana. Hali ya hewa ilitishia kwani kulikuwa na hali ya mawingu iliyoashilia muda wowote mvua itanyesha.
Rebeka alikwenda msituni kuokota kuni huku akimuomba mwenyezi Mungu mvua imuchie kwanza ili aokote kuni kwanza ndio inyeshe. Kutoka kwao hadi msituni ni mwendo wa dakika kumi hadi robo saa.
Akiwa ameshikilia panga mkononi kipande cha kamba na kanga chakavu kwa ajili ya kuwekea ngata ya kubebea kuni. Kila hatua aliyopiga ndivyo wingu lilivyozidi kuwa zito mpaka kuanza kuweka kiza. Lakini hali ile haikumzuia Rebeka kwenda kuokota kuni.
Alifanikiwa kufika msituni bila mvua kudondosha tone la maji na kuanza kuokota kuni ambazo zilikuwa na chache kitu kilichomfanya aingie ndani zaidi ya msitu. Kuni zenyewe zilikuwa moja moja hivyo ilimpa kazi sana kupata mzigo mkubwa.
Akiwa bado anaendelea kutafuta kuni ghafla iliteremka mvua nzito iliyoambatana na upepo mkali. Ukali wa upepo ulimfanya Rebeka ajibanze nyuma ya mti mkubwa ili kusubiri mvua ipungue.
Mvua iliendelea kwa muda wa masaa mawili bila kukatika hata ilipokatika muda ulikuwa umeisha kwenda sana.
Rebeka alikusanya zile kuni zake chache alizookota, lakini zilikuwa zimetota maji ya mvua. Alikuwa hana jinsi alizibeba hivyohivyo na kurudi nazo nyumbani akiwa anatetemeka kwa baridi kali kutokana na nguo zake kulowa na mvua.
Alirudi huku akiwa na hasira za kunyeshewa na mvua na kuni alizozifuata hakuzipata na chache alizopata zilikuwa zimeloweshwa na mvua ambazo zilikuwa hazifai kwa kupikia siku ile. Kibaya zaidi ndani hapakuwa na kuni za ziada za kupikia siku ile.
Alirudi nyumbani akiwa amefura kwa hasira hasa akizingatia asubuhi kifungua kinywa alichokipata kilikuwa cha mkono mmoja alitegemea mchana angalau angedanganya tumbo.
Taratibu aliliacha poli na kuingia sehemu za makazi ya watu huku akiwa amebeba kuni zake chake huku akitetemeka kwa baridi aliona amecheza pata potea kuni hakupata na mvua imemnyeshea.
Akiwa anaelekea maeneo ya nyumbani kwao kabakiza kama nyumba kumi afike kwao alishangaa kusikia jina lake likitajwa tena lile la utani ambalo alikuwa akitaniwa shuleni. Ilimshangaza kwani ilikuwa imeishapita miaka mitatu toka amalize elimu yake ya darasa la saba.
Jina lile lilifia shuleni kibaya zaidi shule aliyokuwa akisoma ni ya kijiji cha sita toka kijijini kwao. Elimu ya msingi aliomea kwa baba yake mkubwa ambaye alimchukua kwa wazazi wake akiwa na miaka sita. Alikuwa na imani pale kijijini hakuna aliyekuwa akilijua jina lake la utani alilokuwa nalo shuleni.
Jina lake la utani aliitwa mama maua kutokana na kupenda kupanda maua kitu kilichopelekea kupewa cheo cha bibi afya. Kabla ya kujibu aligeuka akiwa na kuni zake kichwani kuangalia nani anaye mwita ilikuwa baada ya kumwita midomo minne bila kumjibu mpaka pale alipomtaja jina lake halisi la Rebeka.
Alipogeuka alikutana na mtu ambaye waliachana miaka minne iliyopita ni mmoja wa wanafunzi wenzie lakini alikuwa amemzidi darasa moja. Kabla ya kumaliza yule kijana alikuwa ni kaka mkuu wa shule, alipomfahamu ni nani alitabasamu kwa kumtaja jina lake.
“Aaaah Mabogo!” Rebeka alisema huku akishika mdomo.
“Siamini ni wewe Rebeka mama maua!” Mabogo alisema huku akimchanulia tabasamu pana.
“Ni mimi Mabogo za siku?”
“Nzuri.”
“Mmh, na huku unafanya nini?”
“Nikuulize wewe?”
“Mimi huku ndipo kwa wazazi wangu na ndipo nilipozaliwa.”
“Hata mimi ni kwetu ila sikukulia huku.”
“Umenenepa upo wapi mbona sijakuona hapa kijijini?”
“Nipo mjini tunaganga maisha.”
“Hata mimi naona shepu za mjini zinaonekana, shavu dodo!”
“Aaaah kawaida…kwanza pole na mvua ina maana mvua yote imekuishia mwilini?” Mabogo alimuuliza kwa sauti ya huruma.
“Mabogo iishie wapi haya ndio maisha yetu ya kijijini kama mbuzi mbele kamba nyuma kiboko.”
“Pole sana.”
“Mabogo siwezi kusema asante kwa sababu bado hali hii naendelea nayo wala sina daliliza kujikomboa.”
“Samahani Rebeka umeolewa?”
“Niolewe wapi maisha yenyewe kama haya ukimbilie kuolewa si ndio ungekutana na mimi na kunipa shikamoo….Umeisha muona Zawadi?”
“Bado.”
“Ukimuona utamsahau mpaka sasa ana watoto wawili na mimba juu ukimuona kama gari zetu za shamba za spilingi kufungia mti wa muhigo najua utajua ni jinsi gani alivyochoka mdomoni kabakia na meno mawili yote yameisha kwa kipigo mumewe mlevi mbwa.”
“Una mpango gani na maisha yako?”
“Nikipata nakula nikikosa na lala.”
“Sasa Rebeka nisikuweke sana najua kibaridi kinakichonyota nenda nyumbani ila jioni baada ya shughuli zako zote naomba tuonane.”
“Nikipata muda, hapa najua siwezi kwenda popote kwa kuwa kuni za kupikia hakuna hivyo lazima nikitoka nitaulizwa ingekuwanimeisha maliza kazi zote na wazazi wangu kwenda kwenye kinywaji hapo huwa na uhuru mkubwa.”
“Unataka kuniambia kuni hizi ndizo za kupikia?”
“Nikwambie mara ngapi Mabogo yaani mvua leo imejua kunitenda.”
“Basi usihofu nitakusaidia kuni maana jana kama tulijua kulikusanya kuni nyingi kwa ajili ya kuziuza si unajua mdogo wangu ana miradi yake.”
“Sasa Mabogo si kuni za biashara?”
“Ndio za biashara lakini nitakulipia mimi.”
“Acha tu Mabogo sipendi uhalibu bajeti yako.”
“Bajeti nitakuwa nayo mimi na serikali watasemaje…Kwanza Rebeka leo nimefurahi sana kukuona, pokea msaada wangu ili leo mpate kupika chakula cha mchana msaada wangu si kwako tu hata kwa wote walio nyumbani.”
“Sawa Mabogo nitashukuru kumbe roho yako ya upendo na huruma ujaiacha.”
“Hata wewe msimamo wako haujauacha kweli nimeamini u mwanamke wa shoka imeonyesha jinsi gani pamoja na elimu yako ya msigi lakini amekuwa na upeo wa kuona mbele.”
Mabogo aliingia ndani na kutoka na mzigo wa kuni aliomkabidhi, Rebeka alishukuru na kuondoka huku akimuahidi kurudi baadaye.

Rebeka baada ya kazi zake zote alizopangiwa kuzifanya alizifanya kwa haraka na kwa umakini ili asije ulizwa kwa nini hakumaliza kazi. Muda wa wazazi wake ulipotimu wa kuelekea kilabuni alimuuliza mama yake:
“Mama kuna kazi gani nyingine?”
“Leo mwanangu umenifurahisha pumzika na chakula cha usiku nitakusaidia.”
“Asante mama.”
Baada ya wazazi wake kuondoka Rebeka alisubiri kwa muda wa robo saa ndipo alipo anza safari ya kwenda kwa Mabogo ili akajue amemwita amweleze nini au ndio anataka kumtafutia kazi ya utumishi wa ndani. Kwake ilikuwa sawa kwa vile maisha ya kijijini yalikuwa yamemchosha kila siku alikuwa hana mapumziko kuamka asubuhi na kulala mtu wa mwisho japo kuna siku huwahi kulala lakini sio kuaka.
Alichepua mwendo jua lilikuwa ndio linaanza kuzama aliitafuta ile nyumba ili asipotee kwa sababu hakuinakili sana akilini. Bahati nzuri nyumba zilikuwa hazifanani alikumbuka eneo alilofika asubuhi na kuitwa na Mabogo na nyumba aliyotoka.
Alikwenda hadi kwenye ile nyumba huku akijiuliza maswali mawilimawili kama akitoka mzazi wake atamwambia anamtafutia nini, kwa kuwa yeye ni msichana na Mabogo ni mvulana kibaya zaidi huenda hajazoeleka pale kijijini.
Akiwa amesimama mlangoni akihema huku akijiuliza agonge au asigonge alishtushwa na mlango uliokuwa ukifunguliwa, kwa haraka alirudi nyuma na kujibanza nyuma ya nyumba na kusikilizia ni nani aliyetoka.
Alisikia watu wakiongea:
“Sasa Lyasi wacha mimi niende kwa shangazi si unajua nina siku moja nirudi mjini.”
“Si ulisema una mgeni?”
“Ni kweli nimemsubiri lakini naona shughuli zimemzidi ila kama nisipoonana naye au akija asipo nikuta mwambie tutaonana nitakaporudi tena kijijini si unajua nina ahadi ya kujenga kaburi la bibi.”
“Hilo nalielewa lakini kwa nini usimsubiri…unajua nini Mabogo?”
“Nitajuaje bila kuniambia.”
“Yaani nashangaa yule msichana mpaka kusimama na kukusikiliza naona ajabu.”
“Ajabu ya nini kwangu si mgeni vilevile sina nia naye mbaya najua ninyi labda kila mkikutana naye mnatanguliza mapenzi atakubali wangapi?”
“Kwa hiyo humsubiri?”
“Kama nilivyo kwambia nadhani unajua vizuri kelele za shangazi nikiondoka bila kumuaga atasema kwa vile baba amekufa na yeye hatumjali.”
“Kweli Bro nenda.”
Mabogo alianza msafara kwenda kijiji cha pili kwenda kumuaga shangazi yake. Rebeka aliyekuwa nyuma ya nyumba aliyasikia yote moyoni alijiuliza.
“Ina maana Mabogo anaondoka kesho atakuwa amekuja muda mrefu au ndio wa mjini hawapendi kukaa sana kijijini?”
Hakutaka kumshtua haraka alimwacha atangulie kidogo na mdogo wake Lyasi kuingia ndani ndipo alipomfuata kwa nyuma kwa kuchepua mwendo mpaka alipoakaribia alimponda na kipande cha udongo. Mabogo alishtuka na kugeuka nyuma alipigwa na butwaa kumkuta Rebeka.
“Ha! Rebeka ndio unafika?”
“Nimefika muda toka unaaga kuwa unakwenda kwa shangazi kuaga unaondoka kesho ina maana umekuja muda mrefu?”
“Mmh! Rebeka mbona siamini wewe hukuwepo niliyoyasema umeyajuaje, kama kuelezwa na Lyasi si rahisi kukueleza na kuniwahi hapa umejuaje?”
“Niamini Mabogo nimefika kipindi,” ndipo Rebeka alipo mweleza alivyokuja na kujificha nyuma ya nyumba na yote aliyo yaongea
“Kumbe Rebeka kama ningekuwa nakusema vibaya ningeumbuka.”
“Siku zote mwanadamu anatakiwa achunge ulimi wake.”
“Na kweli nimeamini…Sasa Rebeka itakuwaje sasa hivi nimepanga kwenda kumuaga shangazi na nisipokwenda itakuwa tatizo shangazi yetu mtata sana.”
“Kwani shangazi yako anakaa kijiji gani?”
“Kijiji cha jirani.”
“Kuna ubaya tukienda wote?”
“Hakuna ubaya wasiwasi wangu kukuchelewesha.”
“Nina imani ulichoniitia ni muhimu kuliko kuchelewa kwangu.”
“Sipendi ukosane na wazazi wako.”
“Mabogooo ina maana utachelewa sana?”
“Sidhani ni kumuaga tu na kuondoka kama nilikwenda kumjulia hali siku niliyofika na siku ya kuondoka ni vizuri nimjulishe.”
“Hamna tabu tutakwenda pamoja wazazi wangu kwa muda huu hawana shida na mimi pia hata nikichelewa chakula cha usiku anapika mama zile kuni ulizonipa zimenisaidia mpaka mama kanipunguzia kazi.”
“Itakuwa vizuri…tena safari yangu itakuwa nzuri isiyo na uchovu.”
Safari ilianza ya kuelekea kijiji cha jirani huku kila mmoja akitafuta njia ya kuanza mazungumzo, lakini Rebeka alikuwa wa kwanza kuanzisha:
“Mabogo hujanijibu umekuja lini?”
“Leo ni siku ya tatu.”
“Yaani siku tatu tu unarudi mjini?”
“Nimekuja ghafla hata kazini nimeaga siku mbili yaani alhamisi na ijumaa kwa vile jumamosi huwa hatuendi ndio maana nimepata siku nne.”
“Kwani mjini unafanyakazi gani?”
“Nipo kwenye shirika la umma.”
“Mmh, wenzetu mnafaidi sio sisi kila kukicha afadhali ya jana.”
“Mbona kawaida tu.”
“Tusidanganyane Mabogo hali ya kijijini inatisha kila kukicha wimbi la vijana kukimbilia mjni linaongezeka maisha ni magumu, kwa vile mi’ mwanamke lakini ningekuwa mwanaume na mimi ningekwisha timkia mjini.”
“Usemayo ni kweli yote hii ni serikali kusahau kuboresha vijiji na kuvisahau kila kitu wao wanatazama mjini.”
“Kumbe hilo unajua ulitaka kunipima akili?” Rebeka aulimuuliza huku akimtazama usoni.
“Samahani Rebeka umeolewa?”
“Mabogo ina maana wewe ni msahaulifu sana?”
“Kwa nini?”
“Asubuhi nilikujibu swali lako.”
“Ooh, sorry nilipitiwa nilitaka kukuuliza una mpango gani?”
“Vile vile nilikujibu kuwa mpango wangu nikipata nakula na nikikosa nalala.”
“Ni hivi nia yangu kwako sio mbaya ni nzuri tu.”
“Ni gani hiyo?”
“Unaonesha ni mwanamke mwenye msimamo pia mwenye uelewa mpana japo uko kijijini, umenivutia na kukuona unanifaa katika maisha yangu.”
“Utani huo Mabogo ina maana hujaoa?”
“Yaani kazi ndio mwaka wa kwanza lazima uwe makini na chaguo lako la kwanza usije lamba garasa.”
“Kwa mana hiyo unataka kuniambia huna rafiki wa kike au mchumba?”
“Jibu nimeisha kujibu sitegemei kuomba kazi wakati nina kazi.”
“Inategemea masirahi zaidi.”
“Nina fikiri kazi ya mtu makini huwa hakurupuki kuanza kazi mpaka awe na uhakika wa masirahi mazuri.”
“Tuachane na hayo ulikuwa una maana gani?”
“Nia yangu uwe mke wangu.”
“Ni jambo zuri mwanamke yoyote duniani uliomba usiku na mchana, ni kweli usemayo au ndio kutaka kuuchezea mwili wangu kwa kisingizio cha kunioa lakini ukitapa ulichokitaka uniache kama wasemavyo mjini kwenye mataa.”
“Nimekuelewa nia yangu ni mke si ngono suala la ngono liondoe akilini mwako tutakutana kimwili baada ya kuwa mke wangu wa halali.”
“Siamini maneno yako, kweli wewe ni mwanaume wa kwanza kutotanguliza ngono mpaka siku ya ndoa yetu.”

“Kuku wangu mwenyewe kwa nini nimshikie manati au nidokoe finyago ya nyama kwenye chungu wakati nyama ipo kwa ajili yangu.”
Walijikuta wamefika kijiji cha pili bila kujijua Mabogo alimkalibisha Rebeka kwa shangazi yake.
“Ooh, baba! Karibu sana mbona usiku?”
“Shangazi si unajua siku zangu zimeisha kesho narudi mjini.”
“Na kweli…Oooh samahani nimesahau kumkaribisha mgeni, karibu mama.”
“Asante shangazi.”
“Mabogo na huyu ni nani?”
“Mkweo mtalajiwa.”
“Ooh! Karibu mkamwana wangu tena wewe mwenyewe kamkamatie kuku umchinjie nimpikie mkamwana wangu.”
“Shangazi muda umekwenda tutachelewa.”
“Hapana ulijua unakuja na mkamwana wangu ilikuwaje ukaja naye usiku hawezi kuondoka mpaka nimempatia heshima yake asijesema mkwe mchoyo au unataka nije kwako aninyime chakula?”
Mabogo hakuwa na jibu ilibidi akamate kuku na kumchinja kisha shangazi yake amtengeneze kwa ajuli ya chakula cha mgeni. Japo alijua Rebeka anaweza kuchelewa lakini hakuwa na jinsi, waliondoka kurudi kijijini kwao kiza kikiwa kimeingia.
Shangazi yake aliompa Rebeka zawadi ya kuku ili awapelekee wazazi wake kama ishara ya kukubalika. Rebeka aliipokea kitu kilichompa faraja moyoni kwa kujua hata kama akiingia nyumbani saa ngapi anacho cha kujitetea na muongeaji wake mkubwa atakuwa Mabogo.
Waliwasiri kijijini majira ya usiku, kijiji kilikuwa kimya wengi walikuwa wameisha lala. Kama kawaida vijijini majira ya saa tatu nyumba nyingi huwa wameisha lala. Rebeka na Mabogo waliwasiri nyumbani kwao na kukuta wameisha jifungia ndani lakini aliwasikia wazazi wake wakizozana juu ya Rebeka kutokuonekana.
Baba yake alimshtumu mkewe kwa kitendo cha kumkataza asipike labda walikuwa na lao jambo.
“Mume wangu kuna ubaya gani kumpumzisha mtoto kwani yeye ni punda?”
“Siku zote mtoto wa kike hatakiwi kudekezwa atakuja kututia aibu akiolewa ataonekana goigoi.”
“Kama kumpumzisha mwanangu nimefanya kosa basi sikatai lakini bila yeye leo tusingekula.”
Rebeka hakutaka waendelee kubishana alijua kama atachelewa wanaweza kushikana bila sababu za msingi siku zote mama Rebeka huwa hakubali kuonewa. Aliamua kugonga mlango sauti kutoka ndani iliuliza ni nani anayegonga Rebeka alijibu.
“Ni mimi.”
“Wewe nani?” baba yake aliuliza.
“Mimi Rebeka.”
“Unatoka wapi?”
“Baba Rebeka sasa hivi tulikuwa tunataka kukatana masikio kwa ajili ya Rebeka badala ya kumfungulia unamuuliza maswali kama anafukuzwa?”
Mama Rebeka alisema yale huku akitoka sebuleni na kwenda kufungua mlango
“Ooh! Mwanangu ulikuwa wapi mama? He! na kuku umemtoa wapi usiku huu na huyu ni nani?” mama Rebeka aliuliza.
Rebeka kabla hajamjibu mama yake wakati huo na baba yake alikuwa ameisha toka nje alimkaribisha Mabogo.
“Mabogo karibu japo ni usiku hapa ndipo kwetu na walio mbele yako ni wazazi wangu baba na mama.”
“Asante sana… samahani sana wazazi wangu kwa kumrudisha mwenenu usiku mkubwa kama huu, najua sio tabia yake naomba kwanza mnisamehe kwa hilo.”
“Sawa baba, lakini wewe ni nani?”
“Naomba nimwache Rebeka azungumze kwanza, mimi nitakuwa mjibuji wa maswali mtakayo niuliza.”
Rebeka alieleza habari zote kuanzia kufahamiana na Mabogo kuanzia shule ya msingi na asubuhi alivyo msaidia kuni na jioni walipokutana na maongezi waliyo yaongea na kuku yule alipomtoa.
“Baada ya maelezo hayo wazazi wangu napenda kuwaomba radhi kwa kitendo nilichokifanya cha utovu wa nidhamu kwa kuondoka kwenda kijiji cha jirani bila ruksa yenu,” Rebeka aliwaomba radhi wazazi wake.
“Mwanangu Rebeka nakujua vizuri siwezi kukuhukumu ila nakusameheni wote…sasa wewe na mwenzio mmefikia hatua gani?”
“Hakuna hatua yoyote zaidi ya nyinyi wazazi wangu mtambue kuna kitu gani mbele yangu ni nyinyi kusikiliza na kutoa maamuzi.”
“Hakuna anayepinga jambo la heri la muhimu kijana walete wazazi wako kwanza wewe ni mtoto wa nani hapa kijijini?”
“Mtoto wa marehemu Mkama Mabogo.”
“Acha utani na wewe ndiye nani?”
“Naitwa Mabogo.”
“Ooh! Kijana kumbe ni mtoto wa rafiki yangu marehemu Mkama wa Mabogo, wewe ni mwanangu hakuna kitakacho badilika kamilisha vitu vyote kulingana na mila zetu.”
Mabogo aliagana na wazazi wa Rebeka na kurudi kwao kulala ili asubuhi aondoke tayari kurudi na kukamilisha mipango yote ya harusi jukumu kubwa alimuachia shangazi yake na mdogo wake Lyasi.
Rebeka kwa upande wake usiku ulikuwa mfupi kwake muda mwingi aliwaza juu ya ndoa yake, aliona kama miujiza kuolewa mjini kitu alichokiomba usiku na mchana aliogopa kuolewa kijijini kwa kuogopa kuchakazwa na kuzalishwa bila mpangilio miaka kumi kwenye ndoa na watoto kumi kila mtoto na mimba juu hupumziki.
*****
Mipango ilikwenda kama ilivyo pangwa hatimaye Rebeka aliolewa na Mabogo kwa sherehe kubwa iliyokuwa simulizi pale kijijini na kuhamia mjini na mumewe. Baada ya harusi aliyaanza maisha mapya mjini kama mke wa mtu na kufanya mabadiliko makubwa na maisha yake.
Hali ya maisha ya mumewe ilikuwa ya kawaida kipato cha kawaida lakini kilikidhi mahitaji yote muhimu. Ndani mwake hakuna kilichopungua yalikuwa ni maisha ya kati ambayo mtu huwa halali na njaa na kula anachokitaka sio anachokipata.
Mumewe alionyesha mapenzi ya dhati kwa mkewe naye Rebeka alionyesha mapenzi ya dhati kwa mumewe. Ilikuwa ndoa iliyojaa neema na Baraka, katika miezi miwili Rebeka alishika ujauzito hapo mapenzi kwa mumewe yaliongezeka na alipo karibia kijifungua kama zilivyo mila nyingi za kiafrika alirudi nyumbani kwao kujifungua.
Mungu alimjalia kujifungua salama mtoto wa kike waliomwita Nyangeta jina la mama yake Mabogo.
Baada ya arobaini kuisha alirudi mjini kuendelea na maisha yake. Maisha waliyoishi Rebeka na mumewe yaliwaumiza wengi waliojiuliza wanasiri gani ya kuishi muda wote huo bila kukosana.
Siku zote palipo na neema hapakosi fitina watu walitafuta kila njia ya kutafuta urafiki na Rebeka mpaka wakafanikiwa jambo ambalo mumewe alimuonya kuwa asipende mashoga wa mjini wengi wao ni wahalibifu wa ndoa za watu zilizotulia.
Mwanzo aliweza kumsikiliza mumewe lakini hawakuchoka alifikia hatua ya kukubali kuongea nao. Mwanzo walianza kama marafiki wema ambao walimfundisha mambo mengi ya maisha ambayo aliyaona kama kufunguka macho angejuaje bila kumkaidi mumewe.
Mawazo waliyompa ni mwanake kujishughulisha asiwe golikipa kuna leo na kesho mumewe anaweza kufariki ghafla atashindwa aanzie wapi pia walitaka kujua maisha yake ya kijijini. Rebeka bila kuficha alianika mambo yake hadharani hapo ndipo walipo mwambia:
“Ona shoga kama ulivyosema familia yako ni hohehahe kwa nini uendelee kumtegemea mumeo?” wa kwanza alisema na wa pili aliongezea:
“Hivi kama ukifanya kazi ukipata pesa zako ambazo hazitahusiana na mumeo unaweza kusaidia wazazi wako hata kumpunguzia mzigo mumeo hata kukunyanyasa hawezi.”
“Mimi ningejuaje?” Rebeka alisema kwa unyonge.

“Si wewe na ndani ndani na wewe alitaka hata akikunyanyasa utakosa pa kukimbilia lakini ukiwa na pesa zako hawezi kukunyanyasa siku hizi wanawake tumeamka.”
“Nilikuwa sijui kumbe ndiyo maana alinikataza nisiwe karibu na nyinyi alijua hili.”
“Sasa kazi kwako muombe mumeo mtaji ukipata tu njoo tukuonyesha biashara tena tunakuhakikishia utanunua hata gari utakuwa na kipato hata kumzidi mumeo.”
“Aiiiih jamaniii,” Rebeka alisema kwa sauti ya aibu.
“Utabakia ‘aiii jamani’ fanyia kazi yote tuliyo kueleza.”
“Nitayafanyia kazi nipeni wiki bila hivyo nyumba itawaka moto hawezi kunifanya golikipa kila siku kusubili tonge,” Rebeka alijitutumua.
Rebeka aliagana na majirani zake na kurudi ndani akiwa na wazo la kumuomba mtaji mumewe kwa nguvu kwa hiyari alijiona anauweka usiku kwa kumtegemea mumewe kila kukicha kumbe anaweza kufanya kazi na kuwa na pesa nyingi.
Mumewe aliporudi alishangaa kumkuta mkewe akiwa hayupo kwenye hali yake ya kawaida aliyoizoea lakini hakutaka kumuuliza mapema alisubiri mpaka muda wakiwa kitandani ndipo alipomuuliza:
“Rebeka mke wangu una tatizo gani?”
“Sina,” alijibu kwa sauti ya chini.
“Hapana mke wangu nakujua vizuri una tatizo gani?”
“Sina nimesema,” alikataa.
“Hapana bado sijakuelewa mimi ni nani?”
“Mume wangu.”
“Yanapotokea mabadiliko ndani nani wa kumwambia?”
“Wewe.”
“Haya niambie una tatizo gani?”
“Hivi mume wangu tutaendelea na maisha haya mpaka lini?” Rebeka alimuuliza mumewe huku akikaa kitako.
“Maisha gani?”
“Yaani kama huyaoni hivi kwa bahati mbaya siombei ila kwa mapenzi ya Mungu wewe afariki ghafla mimi nitasimama upande gani?”
“Bado sijakuelewa una maana gani?”
“Unajua dunia ya leo maisha kusaidiana si kufa tu hata magonjwa hivi leo wewe uugue si tutakuwa wote tumeugua nani wa kutusaidia.”
“Hakuna.”
“Sasa hii hali wewe unaipenda?”
“Siipendi…wewe ulikuwa unatakaje?”
“Mimi nilikuwa na wazo la kutafuta biashara kwa ajili ya kuongeza kipato kidogo chako na changu tunapata kitu kamili tunaweza kupiga hatua kimaisha.”
“Mke wangu ni wazo zuri lakini biashara yataka mtaji mkubwa vilevile ufahamu wa kuifanya biashara hiyo?”
“Mpaka nakwambia hili jambo nimelifanyia kazi kwa kipindi kirefu ninachosubiri ni kutekeleza tu.”
“Mmh! Haya unataka kufanya biashara gani na mtaji wake kiasi gani?”
“La muhimu ni mtaji biashara nitakujulisha ni biashara gani.”
“Haya mama kiasi gani?”
“Laki saba.”
“Laki saba mke wangu mbona nyingi.”
“Na biashara yake ni kubwa ambayo wewe mwenyewe utafurahi faida yake lazima utajilaumu kwa kuchelewa kukueleza.”
“Haya mama nipe wiki mbili nitakukamilishia hizo hela.”
“Mume wangu wiki mbili mbona nyingi wewe benki si una hela nilitegemea kuniambia kesho unanipa hizo hela.”
“Mke wangu mbona umenibana hivyo huniachii nipumue?”
“Linaloweza kufanyika leo lisingoje kesho na mchuzi wa mbwa unywe ungali moto.”
“Haya kesho asubuhi tutaongozana hadi benki na kukuchukulia hizo hela sawa mpenzi?”
“Hayo ndio maneno ya kiume,” Rebeka alitabasamu.
Rebeka aliuona utajiri ukiwa mbele yake alijiona ndani ya miezi miwili atakuwa na pesa nyingi sana na kuweza kuwasaidia familia yake bila kumtegemea mumewe.
****
Siku ya pili Mabogo aliondoka na mkewe hadi benki na kumpatia mkewe kiasi alichotaka na kuacha akiba elfu hamsini. Alimuomba Mungu hela yake isipotee bure atakuwa ameadhirika kwa kuwa muda huo hakuwa na akiba nyingine.
Rebeka alipozipata zile hela breki ya kwanza kwa shoga zake na kuwaonyesha zile pesa alizopewa na mumewe kwanza walimpongeza kwa ushupavu aliouonyesha kwa mumewe na kuweza kuzipata zile pesa tofauti na wao wapo waliodiriki kutoa hata miili yao ili wapate pesa za biashara.
“Sasa shoga mambo mazuri, sasa unatakiwa kuomba ruhusa ya kufuata biashara na mama Stera mkoani na safari yake kesho.”
“Mmh! Atanikubalia mbona haraka hivyo?” Rebeka alishtuka.
“Asikukubalie kivipi hela atoe akukataze usisafiri sasa hiyo biashara utaifanyaje?”
“Mmh! Wacha nijaribu.”
“Usijaribu, fanya kweli ukimlegezea utakuzuia biashara ya kusafiri ndio yenye pesa au unataka biashara ya kukopesha kanga mtu kukulipa mpaka mwezi na hela yenyewe haulipwi yote.”
“Hilo tena halina mjadala akipenda asipopenda nitasafiri,” Rebeka alisema kwa kujiamini.
Rebeka aliagana na shoga zake na kurudi nyumbani kumsubiri mumewe kwa hamu ili kumuaga tayari kwenda safari akubali asikubali lazima ataondoka. Siku hiyo mumewe alichelewa kurudi alirudi saa tano usiku lakini alishangaa kumkuta mkewe akiwa bado yuko macho si kawaida yake.
Mabogo alishtuka kumkuta mkewe akiwa bado hajalala akimgojea, kabla ya kuoga na kula alihoji kulikoni kumkuta bado hajalala kitu siyo kawaida yake. Rebeka alimjulisha kilichomfanya achelewe kulala.
“Sawa mke wangu sikukatalii lakini mbona haraka hili jambo lilitakiwa mapema pia nani atakayebakia na mtoto?”
“Mtoto kesho utampeleka nyumbani nikirudi nitamfuata.”
“Sasa mama Nyangeta unaelewa kabisa mimi ni mtumishi wa serekali huo muda wa kumpeleka mtoto nitautoa wapi?”
“Hiyo mimi sijui ila elewa mimi kesho alfajiri nakwenda safari unafikili maendelo yanamsubiri mtu.”
Siku zote Mabogo hakutaka kubishana sana na mkewe alimkubalia shingo upande ile hali haikumshtua Rebeka akili yake iliyokuwa imeelekea kwenye utajiri. Walilala mpaka alifajiri alipopitiwa na shoga yake kwenda mkoa kwa ajili ya biashara.
****
Rebeka alirudi baada ya siku tatu akiwa amekuja na biashara ya mchele aliouuza kwa jumla na kujikuta akitoa hela ya manunuzi na usafiri alijikuwa amepata faida laki tatu.Vile vile alileta mchele mwingi kwa ajili ya matumizi ya ndani.
Kwa mara ya kwanza mumewe alimuona mkewe ni mwanamke anayeona mbali mwenye wivu wa kimaendeleo. Tokea siku ile hakuwa na shaka naye na maisha yalizidi kuwa mazuri ndani ya mwezi mmoja Rebeka aliweza kurudisha hela ya mumewe na kuweka pesa ndani shilingi milioni moja na laki tano taslimu.
Pamoja na kupata pesa zile aliendelea kumheshimu mumewe na upendo uliongezeka mara dufu. Rebeka alipanga kama biashara itaenda vizuri basi watafute kiwanja ambacho wataanza kujenga polepole.
Lilikuwa wazo zuri ambalo mumewe aliliunga mkono, familia ilizidi kuongezeka upendo kila mmoja limheshimu mwenzie kwa heshima ya mke na mume. Rebeka aliweza kufuta ile dhana ya kuwa mwanamke akiwa na kipato kikubwa zaidi ya mumewe huwa na dharau.

ITAENDELEA

NAMPENDA ADUI YANGU – 5

Related image


Chombezo : Nampenda Adui Yangu
Sehemu Ya Tano (5)

Ilipoishia…..
Wakati mtu huyo damu zikiendelea kumtoka alingia mwingijne na kuendeleza kupigana.Kenny aliendelea kujipanga sawasawa na kukwepa mateke na ngumi vilivyo rushwa na adui yake huyo.Dakika tano baadaye mtu huyo wa pili naye alianza kuumizwa jambo hilo liliwapa hofu wenzie ambao waliamua kutumia njia nyingine.Wakati Kenny akiendelea kupigana na mtu huyo aliyetambua alikuwa ni kijana wa Mr.Carlos Mato alishtushwa akipigwa kichwani na kitu kizito.Alianguka chini na baada ya muda mfupi alipoteza fahamu.
Endelea…
Watu hao walikuwa ni vijana wa Mr.Carlos ambao walifanya doria kwa siku kadhaa shuleni hapo wakimtafuta.Baada ya kupigana na Kenny kwa muda mfupi na kuona wakizidiwa walikonyezana na mmoja wao alimpiga Kenny na kitako cha bunduki waliyokuwa nayo kichwani.
Walimpakia Kenny kwenye moja ya gari zao mbili aina ya Mercedez Benz walizokuwa nazo katika moja ya buti ya gari hizo.Waliwasha gari zao na kuondoka kwa kasi kuelekea maeneo ya Mikocheni katika makutano yao ya kazi ya ujambazi.Mmoja wao alimpigia simu Mr.Carlos akimweleza juu ya kukamatwa kwa Kenny John Mushi jambo ambalo Mr.Carlos alionesha furaha.Aliahidi kufika katika nyumba yake hiyo ya Mikocheni ihusikayo na vikao vya ujambazi na dawa za kulevya.Baada ya muda kidogo gari hizo Mercedez Benz zilikuwa zikingia katika geti la nyumba hiyo ya Mikocheni ya Mr.Carlos Mato.Mara baada ya kuingia walimshusha Kenny ambaye alikuwa bado amepoteza fahamu na kuanza kumburuza kuelekea katika eneo la chini la nyumba hiyo ya ghorofa.Walimburuza Kenny mpaka kwenye chumba kimoja kilicho kuwa kidogo ndani ya nyumba hiyo, watu walikuwa wengi wakiwa na pilikapilika tofauti. Walimkalisha Kenny kwenye kiti na kumfunga na kamba akiwa amepoteza fahamu hivyohivyo.
Wakati huo walimsubiri Mr.Carlos afike ambaye robo saa baadaye aliwasili na gari lake kwa kasi.Alishuka haraka na kuanza kukimbia kuelekea sehemu ya chini ya nyumba hiyo.Mkononi alikua ameshika bastola yake “Yuko wapi huyo kenge nimmalize mwenyewe ehh!…..”aliuliza Mr.Carlos akionesha hamu ya kumuona Kenny.Aliongozwa mpaka chumba ambacho Kenny alifungwa akiwa amezimia “ehh!huyu ni mwenyewe anafanana kabisa na baba yake niliyemfanyia kitambo….”Aliongea Mr.Carlos akikishika kichwa cha Kenny na kukigeuza kila upande.
Aliagiza walete maji ya baridi ili wamumwagie lengo lake lilikiwa alitaka azinduke.Zoezi hilo lilitimizwa ndani ya dakika kadhaa na Kenny alimwagiwa maji. Baada ya muda mfupi alizinduka na alikutana na sura ya mubaya wake Mr.Carlos “Kijana ndani ya masaa ishirini na nne tutaitumia vizuri hewa unayoitumia…..eeh! hautakuwa hapa utaenda kuongeza orodha ya familia yako”Alisikika Mr.Carlos akiwa amekaza uso na mishipa ikiwa imemtoka kila eneo la uso wake.Mr.Carlos alicheka kidogo kisha akatabasamu aliwakonyeza vijana wake ambao walianza kumpiga viboko kila eneo la mwili wake akiwa amefungwa.Kenny alipiga kelele za kuumia lakini watu hao waliendelea kumpiga.Muda huo Mr.Carlos alikuwa akipiga makofi juu ya kile kilichoendelea,dakika kumi badaaye Mr.carlos aliwataka wamuache.
Walimfungua Kenny na alikuwa amevimba kila eneo la mwili wake “kijana umeona huo ni utangulizi tu ahhh!…”aliongea Mr.Carlos kwa madaha
“siwezi kufa kabla yako …”Aliongea Kenny kwa sauti ya kukatakata baada ya kipigo hicho.Alikuwa amelala katika sakafu ya chumba hicho,Mr.Carlos kwa mara nyingine aliwataka vijana wake wamshushie kipigo Kenny.Jambo ambalo lilitekelezwa walianza kumpiga tena kila eneo la mwili wake akiwa amelala sakafuni kwa mara nyingine tena Kenny alipiga kelele za kuumia na baada ya muda mrefu wa kipigo aliamua kujifanya amepoteza fahamu kwa mara nyingine tena.Jambo hilo liliwafanya waache kumpiga na tayari alikuwa ametokwa damu nyingi eneo lililomzunguka.
Wakati huo ilikuwa yapata saa saba na nusu usiku Mr.Carlos aliwaita nje ya chumba kile vijana wake kadhaa.Aliwataka Kenny akauawe eneo la pembeni kidogo na Dar es salaam na mwili wake uachwe huko huko.Baada ya kushauriana walikubaliana waende kumuulia maeneo ya Kibaha mkoa wa Pwani.Walirudi kwenye kile chumba na Kenny bado alikuwa amelala kama hana fahamu “safari njema Kenny John Mushi….unahitajika mbinguni”Alisikika Mr.Carlos akiongea wakati huo Kenny alikuwa akinyanyuliwa kupelekwa nje.Walimbeba mpaka kwenye zile Mercedez benz zilizomleta na safari ilianza kuelekea maeneo ya Kibaha, Mr.Carlos aliwasha gari lake na kuondoka kuelekea nyumbani kwake akiamini kazi ilikuwa imeisha.
Kenny alikuwa kwenye buti la moja ya gari zilizokimbia katika barabara iliyoelekea Morogoro.Vijana wa Mr.Carlos walitaka kumaliza kazi ya kumuua Kenny ili waendelee na kazi nyingine za Tanzanian Gangstars.Waliamini hakuna kilicho shindikana hivyo walijua Kenny alikuwa na muda mfupi wa kuwapo Duniani.Ilikuwa saa tisa kasoro robo wakati huo gari hizo ziliendeshwa kwa kasi maeneo ya Kimara wakielekea Kibaha.Kenny akiwa kwenye buti kukiwa na joto kali na nafasi ndogo ambayo hewa ilipenya, alijaribu kufungua mlango wa buti hiyo pasipo mafanikio.Hakukubali auawe kirahisi hivyo akiwa hajalipa kisasi kwa muuaji wa familia yake.Alijaribu kupiga mateke mlango wa buti la gari hilo pasipo mafanikio jambo lililompa hofu kuhusiana na maisha yake.
Baada ya dakika kadhaa walikuwa eneo la Mailimoja, kulikuwa na foleni kubwa ya gari zilizotoka mkoani Dar es salaam.Mercedez Benz hizo za vijana wa Mr.Carlos waliokuwa wakimshikilia Kenny ziliingia katika foleni hiyo.Walikua hawaelewi foleni hiyo ilisababishwa na nini muda huo wa saa kumi kasoro.Baada ya kusogea wakiendesha gari zao wakiwa katikati ya foleni hiyo walishuhudia askari wengi wakifanya ukaguzi wa gari moja mpaka jingine.Walitaka kugeuza gari zao lakini haikuwezekana kwa vile walikuwa katikati ya foleni.
Waliendelea kusogea huku wakipanga mbinu za kuvuka kikwazo hicho.Wakiendelea kusogelea ukaguzi huo waliamua kumuita askari mmoja na kumuuliza kilichoendelea wakati zamu yao ikikaribia.Walielezwa kwa ufupi kuwa kuna ujambazi ulikuwa umetokea Dar es salaam masaa machache yaliyokuwa yamepita.Wakati huo Kenny akiwa ndani ya buti la moja ya gari hizo alishtushwa na kupungua kwa kasi za gari hizo alihisi kuuawa kwake kulifuatia.Vijana wa Mr.Carlos Mato walisogeza gari zao na zilianza kukaguliwa .Askari walikonyezana kuonyesha hali ya kutowamini watu hao hiyo ilitokana na mavazi yao ya suti za kufanana na miwani iliyopoteza sura zao.
Walianza upekuzi wa gari hizo kiufasaha wakitaka kuhakikisha kama hazikuwa zinahusika na ujambazi uliotokea.Muda huo Kenny hakuwa na amani akiamini saa ya kufa kwake ilishafika lakini aliwaza kupigana mpaka mwisho wa zoezi hilo ili ashinde.Baada ya ukaguzi wa gari hizo pasipo mafanikio askari walitaka kukagua buti za gari hizo.Jambo hilo liliwatia moyo askari hao kutokana na hofu ilionyeshwa wazi na watu hao.Walikagua gari la kwanza na kuona halikuwa na kitu na waligeukia la pili wakitaka kulikagua.Hapo ndipo hofu ya watu hao iliongezeka kabla askari aliyekagua kufungua buti la gari hilo,walishangaa gari hizo na ziliondolewa kwa kasi eneo hilo la ukaguzi.
Askari hao waligundua watu hao walikuwa ni majambazi waliwasha haraka gari zao na pikipiki na kupiga simu kituo cha polisi cha mbele kuelezea tukio hilo.Nao waliondoa gari zao na pikipiki kufuatilia zile Mercedez Benz mbili.
Vijana wa Mr.Carlos walijitahidi kukimbiza gari zao ili kuukwepa mkono wa polisi ,dakika chache tu tangu wakimbie toka kituo cha kukaguliwa walishuhudia gari za polisi na pikipiki vikija kwa kasi nyuma yao.Waliongeza kasi za gari zao na kuwaacha polisi hao kwa kiasi fulani.Baada ya kukimbiza gari zao kwa kilometa kadhaa walishtushwa na gari nne mbele za polisi zilizopangwa barabarani.Polisi hao walielekeza bunduki zao kwao walisimamisha gari zao na kutoa bastola zao walizozitoa kwenye makoti yao ya suti.Walishuka na kuanza kurushiana risasi na askari wa pande zote, waliokuwa wameziba barabara na wale waliokuwa wakiwafukuzia nyuma.Baada ya kuona walizidiwa walianza kukimbia kuelekea vichakani huku wakiendelea kurushiana risasi.Tayari mmoja wao alikuwa amepigwa na askari hao ambao nao pia askari wawili walikuwa wamepigwa na majambazi waliopambana nao.

Mary aliendelea vizuri na afya yake na alikuwa nyumbani kwao maeneo ya Mbezi Beach.Moyoni aliumia kitendo cha kupigwa alichofanyiwa na Kenny bado hakujua chanzo chake.Alijilaumu kwa kutumia muda wake na gharama nyingi kumsaidia mtu ambaye hakuwa na msaada kwake.Alijiuliza lengo la Kenny siku aliyompiga lakini hakupata jibu,aliamini wasingetokea watu waliomuokoa siku hiyo asingekuwa hai,kilicho muudhi zaidi alijitahidi kumtoa Kenny katika hisia zake lakini haikuwezekana na dalili zote za kumsamehe zilianza kuonekana.Alitaka kujua sababu iliyomfanya Kenny ampige na alikuwa na lengo gani akilini hakujua alikuwapo sehemu gani.
Siku zote baba yake Mr.Carlos alimweleza Mary kuwa msako wa kumtafuta Kenny uliendelea na hangekuwa na msamaha kwa kijana huyo.Jambo hilo ndilo lililomfanya Mary aamini Kenny akikamatwa angeishia jela kutokana na uwezo wa baba yake.Siku moja ya Jumamosi Mary baada ya kuwa amelala kwa muda mrefu aliamka na kwenda kuoga.Baada ya zoezi hilo alielekea sebuleni kwao na kukaa kwenye sofa. Ilikuwa ni baada ya kumsalimia baba yake Mr.carlos aliyemkuta sebuleni hapo ikiwa ni saa nne asubuhi.Aliungana na baba yake kuangalia televisheni iliyokuwa imewashwa,baada ya muda mfupi ilifika wakati wa taarifa ya habari.Katika muhtasari wa habari hiyo mtangazaji alieleza juu ya watu nane waosadikiwa kuwa majambazi waliouawa maeneo ya Kibaha.
Mr.Carlos alishtuka na kukaa vizuri katika sofa alilokaa akisubiri kwa hamu taarifa ya habari hiyo ianze kutangazwa.Muda huo kijasho chembamba kilianza kumtoka kwani vijana wake aliowatuma wakamuue Kenny John Mushi walielekea maeneo hayohayo ya Kibaha.Taarifa hiyo ya habari ilianza kusomwa ikieleza watu kumi walikuwa wamefariki katika mapigano ya askari na majambazi nane.Wawili kati yao wakiwa askari na majambazi nane waliokuwa wamemteka kijana aliyejitambulisha kwa jina la Kenny John.Mr.Carlos alipandwa na hasira na shati lake jeupe lilianza kulowa jasho lililomtiririka.
Mary alikuwa ameshtuka kusikia jina la Kenny John na alikaa vizuri kuanza kuifuatilia habari hiyo. Mtangazaji aliendelea kwa kusema kijana Kenny John alikuwa amelazwa hosptali ya Muhimbili na alikuwa na mmajeraha mengi. “sasa tumuone Kenny John Mushi aliyetekwa na majammbazi hao”Aliongea mtangazaji huyo na picha ya kituo hicho cha televisheni ikaanza kumuonesha Kenny John aliyekuwa amelazwa huku akihojiwa “aahm! mtu anayehusika na majambazi hawa wote waliouawa mimi namfahamu na ninasuburi nipone ili nimfichue mtu huyu mwenye maovu mengi ambayo nayafahamu…..”Aliongea Kenny John na kutohitaji kuongea zaidi tena,aligeuza kichwa chake upande wa pili wa kitanda alichokua amelazwa.
Taarifa hizo zilimshtua Mr.Carlos Mato na kuanza kupiga makelele kama mtu aliyechanganyikiwa “Hamjamuua kwa nini? Mimi siwaelewi na hiki nini tena…aah!”Alipiga kelele Mr Carlos akitoka nje ya nyumba yake akiwa na hasira kupindukia.Aliwasha gari lake na kuondoka kwa kasi eneo la nyumbani kwake.Wakati huo Mary alikuwa akitokwa na machozi, picha ya Kenny akiwa ameumizwa vibaya ilimfanya amuonee huruma.Kwani alikuwa ameumizwa zaidi ya vile alivyokuwa yeye.Kilichomshangaza ni hasira alizozipata baba yake jambo lililoanza kumtia hofu na kuhisi huenda kulikuwa na jambo kubwa ambalo hakulijua.
Sentensi aliyolalama baba yake ya kutouawa kwa Kenny ndiyo aliyompa wasiwasi zaidi,hakuelewa ni kwanini Kenny apewe adhabu kama hiyo, wazo la kuujua ukweli wa mtu aliyemteka Kenny na sababu iliyomfanya ampige ndivyo vilimkaa kichwani akiwaza kufanya jambo.Alitaka Kenny amweleze vizuri kila kilicho endelea ingawaje hakuwa na uhakika kama mtu huyo alirudi katika hali ya kutomchukia.Jambo lililokuwa gumu kwake ni agizo kwa walinzi wa nyumba hiyo kuwa asiruhusiwe kutoka alilolitoa baba yake.Alianza kufikiria njia ambayo angeitumua kutoka nyumbani kwao hapo lakini hakupata jibu.
Mr.Carlos alikimbiza gari lake na baada ya dakika kadhaa alikuwa Mikocheni katika nyuma yake maalumu kwa vikao vya ujammbazi.Aliwaita vijana wake katika kikao cha dharura muda huo alikuwa amechanganyikiwa akili yake ilikuwa haijatulia vyema aliwataka vijana wake waende wakamteke Kenny John akiwa hospitali. Agizo hilo liliwafanya vijana wake waanze kupanga mbinu za kwenda kumteka Kenny John, baada ya dakika kadhaa walipata njia ya kuitumia.Mr.Carlos alikuwa amepanga kuongozana nao ili kuhakikisha Kenny anatiwa mikononi mwao.
Baada ya kufikiria kwa muda Mary alipata njia ya kuwalaghai walinzi wa getini katika nyumba yao.Aliingia chumbani kwake nakuchukua fedha zote alizokuwa nazo sambamba na kadi ya kuchukulia fedha Benki, aliweka katika suruali aliyokuwa ameiivaa.Baada ya kujianda alianza kutembea kwa kunyata akihofia mama yake kugundua kuwa aliondoka,Kiafya alikuwa akiendelea vizuri na alikuwa na makovu kadhaa usoni na sehemu tofauti za mwilini mwake.Mara baada ya kutoka nnje ya nyumba yao alienda akikimbia katika chumba walichokaa walinzi kilichokuwa getini. Mara baada ya kufika getini hapo alianza kuigiza kwa kulia “Jamani mnisaidie mama kaanguka anaumwa” alisikika Mary akilia akiwa sisitiza walinzi hao.Walinzi hao walitoka mbio kwenye chumba hicho na kuanza kukimbia wakielekea kwenye nyumba hiyo ya Mr.Carlos.Wakati huo Mary nae aliwafuata nyuma akikimbia kwa kasi ndogo tofauti na wao.Hatimaye waliingia ndani kabla yake haraka alichofanya ni kuanza kufunga mlango wa nyumba hiyo.Mara baada ya kufunga mlango huo akitumia funguo zilizokuwa mlangoni hapohapo.
Alitoka mbio mpaka kwenye geti kubwa la kutokea la nyumba yao wakaalo walinzi na kulifungua. Kisha alirudi na kuwashwa gari dogo la kutembelea aina ya Toyota Hilux ambalo awali alichukua funguo zake.Aliondoka kwa kasi eneo hilo la nyumbani akiwaacha walinzi wakipiga kelele za kutaka wafunguliwe baada ya kugundua walikuwa wamedanganywa. Alikimbiza gari hilo lengo lake likiwa ni kufika hospitali ya taifa ya Muhimbili na hatimaye kumpata Kenny.Jambo alilohofia ni jinsi ambavyo baba yake Mr.Carlos alivyoshtushwa na tukio lililokuwa limetokea.Lengo lake lilikuwa ni kumuokoa Kenny na kuujua ukweli wa mambo ambayo yeye hakuyajua.
Mwishoe aliifika hospitali hapo akiwa amesimamisha gari sehemu ya mbele ya hospitali hiyo.Alishuka na kuanza kukimbia kuelekea eneo la mapokezi la wagonjwa.Mara baada ya kujitambulisha kama ndugu wa Kenny John alielekezwa wodi alilokuwa amelazwa kijana huyo.Alianza kutembea haraka haraka kuelekea kwenye wodi hilo na hatimaye alipofika aliongoza kitanda namba ishirini na tano kama alivyoelezwa. Lakini kitandani hapo hapakuwa na mtu kama alivyokuwa ameelezwa awali, akahisi kuanza kuchanganyikiwa taratibu.

Lakini kitandani hapo hapakuwa na mtu jambo lililomfanya aanze kumuulizia Kenny John kwa wagonjwa waliolazwa vitanda vya pembeni.Walimjibu alikuwa ameondoka muda mrefu na hawakujua alielekea wapi muda mfupi akiwa hajui jambo la kufanya aliingia askari mmoja ambaye naye alianza kumuulizia Kenny John. “Yuko wapi huyu? nimepewa jukumu la kumlinda au ametekwa tena?”Alilalama askari huyo baada ya kusikia kuwa Kenny John alikuwa ametoka na hakurudi tena.Mkononi alikuwa amebeba juisi ya kopo na chakula alichokuwa amemnunulia Kenny John.
Mary aliamua kuanza kuzunguka kila sehemu ya hospitali hiyo kwa lengo la kumtafuta Kenny lakini hakupata nafasi hiyo ya kumuona.Baada ya kumtafuta kwa muda mrefu pasipo mafanikio aliwasha gari na kuanza kuondoka hospitalini hapo.Mita kadhaa akiiacha hospitali hiyo alipishana na Mercedez Benz mbili zikiwa na kasi kuelekea hospitalini hapo.Alisimamisha gari alilokuwa nalo kwa lengo la kutaka kuwaona watu ambao wangeshuka kwenye magari hayo.Akiwa ametoa kichwa nje akitazama gari zile,alishuhudia watu saba wakishuka kwenye gari hizo.Mwishoe alishuka mtu ambaye alimhisi ni baba yake aliyewaonesha ishara wale wengine wakanza kuelekea kwenye hospitali mtu huyo aliyemhsi baba yake ambaye alimuona upande wa mgongoni tu aliingia tena kwenye moja ya gari hizo.
Mary alishangazwa na kilichokuwa kinaendelea jambo lililomfanya aingiwe na wasiwasi na maneno ya baba yake.Aliamini watu hao walimtaka Kenny, kilichomshangaza ni kujiingiza kwa baba yake katika tukio hilo lililokuwa la kipolisi zaidi.Hakutaka kufuata kumuliza kwani wakati huo alishakuwa na kesi ya kutoka nyumbani kwao.Kikubwa aliamini Kenny hakuwepo hospitalini hapo hivyo wasingemkuta,aliondoa gari lake kwa kasi na kuiacha hospitali hiyo.Jambo aliloanza kufanya ni kumpeleleza Kenny kila sehemu aliyopita aliendesha gari akizunguka maeneo tofauti ya jiji akimulizaa pasipo mafanikio.Aliamua kwenda kituo cha mabasi cha Ubungo akiwa na wazo alilohisi huenda Kenny alikuwa na malengo ya kurudi kwao Moshi. Katika kituo hicho cha mabasi hakumwona Kenny aliendelea na mzunguko katika maeneo waliyowahi kuyatembelea wakati akiwa na uhusiano naye bado hakufanikiwa kumuona.
Baada ya kuzunguka kwa muda mrefu pasipo mafanikio yeyote ilikuwa yapata saa moja kasoro robo.Aliamua kuendesha gari lake kuelekea shuleni ambako awali Kenny John alisoma katika shule ya Azana.Alihisi huenda Kenny alikimmbila eneo hilo kwa vile alifahamiana na wanafunzi wengi.Mara baada ya kufika maeneo ya shuleni hapo alisimamisha gari lake kando ya geti kuu la shule hiyo na alianza kutafuta mbinu ya kumuulizia Kenny.Baada ya dakika kadhaa alimuona kijana mmoja akingia shuleni hapo,akaamua kumuita na kumulizia kuhusu Kenny.Alimjibu amsubiri kidogo aende akamuulize kama alikuwepo shuleni hapo hatimaye kijana huyo alirudi na taarifa za kutokuwapo kwa Kenny John, taarifa hizo zilimchanganya Mary aliyeamua kulala kwenye usukani wa gari alilokuwa nalo.Wakati huo ilikuwa vigumu kwake kurudi nyumbani kwa vile alitoroka na kama angerudi aliamini hangeweza kupata nafasi ya kutoka tena.
Kilichomuuma zaidi hakuelewa hali ya kiafya ya Kenny John na hisia za kuwa huenda alitekwa tena zilianza kumjia kichwani, alijikuta akitokwa na machozi pasipo ridhaa yake wakati huo hakuona jambo jingine la kufanya kwani alikuwa amezunguka sehemu nyingi akimtafuta pasipo mafanikio.

* * * * *
Baada ya kukaa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili kwa masaa kadhaa Kenny aliamua kutoroka.Hiyo yote ilitokana na kuamini kwa vyovyote vile Mr.Carlos angemtafuta baada ya kusikia alikuwa hai, kikubwa zaidi ni vitisho vya kutoa siri za Mr.Carlos ambaye alivitoa wakati akihojiwa na kituo cha televisheni.Huku akiwa anachechemea na kuvimba sehemu nyingi za mwili wake aliwaaga wagonjwa wenzie akidai alielekea chooni.Muda huo askari aliyekuwa akimlinda alikuwa ameondoka akidai alienda kumtafutia chakula.Alijitahidi kutembea na hatimaye alitoka nje na kukodi taski kwa kutumia fedha za watu walizompa baada ya kuona ameumizwa vibaya.Alielekea maeneo ya ufukweni mwa bahari ya Hindi na huko alikaa katika eneo la peke yake akitathimii yote yaliyokuwa yamejiri.Tayari alielewa alikuwa ameanzisha vita na Mr.Carlos na mwisho wa vita hivyo alipaswa ashinde kwa kulipiza kisasi.Muda huo hakuelewa njia ambayo angeitumia kupata fedha za kukamilisha mipango yake dhidi ya Mr.Caarlos.Jambo ambalo aliligundua alikosea na akaanza kujilaumu ni kitendo alichofanya cha kumpiga Mary.Katika wakati huo mguu aliyokuwa nao aliamini Mary pekee alikuwa na uwezo wa kumsaidia kwa jinsi alivyompenda.Lakini tayari alikuwa ameharibu uhusiano wake na Mary hivyo hakuwa na njia nyingine.
Alitamani kupigia simu Mary lakini alihofia asingekubali kuongea naye zaidi hakuwa na simu muda huo.Jambo alilojiuliza kichwani lilikuwa endapo Mary angegundua uovu wa baba yake angekaa upande gani.Hakupata jibu lakini aliamini Mary angekaa upande wenye haki.Baada ya kukaa kwa muda mrefu katika fukwe hizo,alianza kuwaza ni sehemu gani angelala siku hiyo.Hatimaye aliamua arudi shuleni kwao ambako aliwaacha rafiki zake kadhaa ili apate hifadhi ya siku moja. Aliamini siku iliyofuata angejua afanye nini na wazo lake kubwa lilikuwa ni kurudi kwao mkoani Kilimanjaro.Aliondoka maeneo hayo kwa taksi ikiwa ni majira ya saa moja na nusu usiku na safari ilianza kuelekea shuleni kwao.Moyoni hakuwa na amani sana kwa vile eneo hilo la shule ndilo eneoambalo alikamatwa na watu wa Mr Carlos.
Baada ya dakika kadhaa taksi hiyo ilisimama mbele ya geti la shule hiyo kando kidogo kulikuwa na “Toyota Hiliux”.Kenny alishuka ikiwa ni baada ya kumlipa dereva taksi. Huku akichechemea alianza kutembea kuelekea kwenye geti la shule hiyo, akiwa ametembea mita kadhaaa alishtushwa na sauti ya kike iliyomuiita kwa nguvu toka kwenye Toyota Hilux iliyokuwa pembeni kidogo.Alipogeuka alimuona Mary akiwa ameshuka toka kwenye gari hilo na alikimbia eneo alilosimama Kenny na kumrukia akimkumbatia.Wote walianguka chini kabla ya Mary kumsaidia Kenny kusimama.
“Tuondoke eneo hili ni hatari”Aliongea Mary akimvuta mkono Kenny kabla ya mazungumzo yoyote.Jambo ambalo Kenny alilitii na waliongozana kwenye gari hilo alilokuwa nalo Mary na waliondoka eneo hilo kwa kasi. “Mary naomba unisamehe kwa yote yaliyotokea”Aliongea Kenny kabla ya yote mara baada ya gari hilo kuondolewa “Mmh! pole wewe kwa yaliyokukuta, mimi nilishakusamehe….ingawaje sielewi mambo mengi” “usijali nitakueleza kila kitu usicho kifahamu”Alijibu Kenny na Mary alikuwa akiendesha gari wakielekea maeneo ya Magomeni.
Walitumia muda kidogo kufika Magomeni kutokana na foleni iliyokuwa barabarani.Mary aliendesha gari mpaka kwenye hoteli moja ambayo alilipia na waliongoza kwenye chumba walicho elekezwa.Jambo alilotaka kujua ni kuhusu mambo yote yaliyo kuwa yametokea ambayo binafsi hayajua.Mara baada ya kuingia kwenye chumba hicho Mary alianza kutokwa na machozi kutokana na jinsi ambavyo alimuona Kenny.Alikuwa ameumia sehemu kubwa ya mwili wake akiwa na majeraha mengi yaliyokuwa yamefungwa.Kenny alimtuliza asilie na alihitaji achukulie jambo hilo ni la kawaida alianza kumsimulia yote yaliyotokea.Alianza kwa kuzielezea familia zao,yake ya John Mushi na Mr.Carlos Mato.Alimueleza Mary jinsi baba yake Mr.Carlos alivyoiua familia yake akianza na dada yake Juliana aliyemubaka kabla ya kumuua..Alimweleza pia alivyochoma nyumba yao na kumuua baba na mama yake na kumaliza kwa kuwaua Babu na Bibi yake.Kenny alimweleza jinsi alivyoipata siri hiyo na kumaliza kuhusiana na jinsi alivyompiga Mary alidai alifanya hivyo kutokana na hasira aliyokuwa nayo.
Alidai katika maisha yake alimchukia Mr.Carlos na familia yake lakini kwa wakati huo hakuona umuhimu kuwachukia watu wasio na hatia.Muda huo Mary alilia kwa uchungu akiwa haamini unyama uliokuwa ukifanywa na baba yake.Jambo ambalo lilianza kumuingia akilini ni kuhusiana na maneno aliyoyataja baba yake kuwa kwa nini Kenny hakuuwawa.Alianza kukubaliana na yote aliyoelezwa na Kenny na alimtaka siku iliyofuata watoe taarifa katika kituo cha polisi. Jambo hilo Kenny alikataa kabisa akimweleza mtandao wa baba yake ulikuwa mkubwa na alishirikiana na maofisa wa polisi.Bado Mary alisisitiza wafanye hivyo, upendo na heshima vyote alivyomjengea baba yake vilikuwa vimepotea ndani ya muda mfupi. Hakumtamani hata kidogo mzazi wake huyo, unyama aliokuwa ameufanya ulikuwa ni mkubwa kupindukia. Kenny alimtaka Mary waongozane wote kuelekea mkoani Kilimanjaro, siku iliyofuata walilitelekeza gari la Mary katika hoteli hiyo waliyofikia. Ikiwa ni majira ya saa kumi na moja alfajiri walikuwa kituo cha mabasi cha Ubungo wakikata tiketi ya basi la kuelekea Moshi. Mara baada ya zoezi hilo walisafiri kwa basi mpaka Moshi na punde walipofika walipanda gari jingine lililoelekea Moshi vijijini kata ya Kibosho.
Mara baada ya kufika nyumbani kwao Kenny alimwelezea pia shangazi yake kuhusiana na mauaji ya familia yao. Shangazi yake alishtushwa na taarifa hizo naye aliungana na Mary kuwa wakatoe taarifa kituo cha polisi. Siku hiyohiyo walitoa taarifa kituo cha polisi Moshi mjini na kuelezwa taarifa hizo zingefanyiwa kazi.
Kamanda wa polisi mkoani Kilimanjaro alishtushwa na taarifa alizozipata kuhusiana na Mr. Carlos Mato mtu aliyemuamini kuwa ni mwenye uwezo kifedha. Hakuwahi kufikiria jambo linalohusiana na ukatili kama huo unaomuhusu Mr. Carlos Mato. Kabla ya yote alichukua simu yake na kumpigia Mr. Carlos Mato na kumweleza yote aliyoyasikia. “sasa kamanda nitakupa fedha yoyote lakini ufanye jambo hili siri” aliongea Mr. Carlos Mato “sasa hata nikifanya siri, wewe utafanya nini kwa sababu watu hawa wataenda hata kituo kingine cha polisi” aliongea kamanda huyo wa polisi na kumuuliza Mr. Carlos swali. “Mimi leo hii nitahakikisha nawaua wote” alisikika Mr Carlos Mato aliyeonekana kuchanganyikiwa. “Fanya hivyo lakini mimi nahitaji milioni thelathini” “Bila shaka kamanda nashukuru kwa taarifa yako” aliongea Mr. Carlos akijibu akiwa amechanganyikiwa.
Tayari kamanda huyo wa polisi wa mkoa wa Kilimanjaro aliamini yote aliyoelezwa na kujua jinsi ya kumnasa Mr. Carlos Mato. Aliwaeleza Kenny, Mary na shangazi yake walirudi nyumbani siku hiyo, alituma gari kumi za polisi eneo la Kibosho wilaya ya Moshi vijijini. Aliwataka askari kujificha katika mashamba ya kahawa na miomba kumsubiri Mr. Carlos Mato aende eneo hilo la nyumba ya marehemu mzee Mushi, jambo ambalo askari hao walilitekeleza ikiwa ni baada ya kuyaficha magari yao wakati huo uilikuwa yapata saa tano usiku. Walijificha katika maeneo yaliyozunguka nyumba hiyo yaliyokuwa na giza. Hapakuwa na mwanga hata kidogo kwani hata taa za nyumba hiyo zilizimwa.
Walikaa eneo hilo kwa muda mrefu pasipo Mr. Carlos Mato kutokea eneo hilo, waliendeleza uvumilivu hadi saa kumi na robo usiku walishuhudia Mercedes Benz mbili zikiwasili maeneo hayo na kusimama mbele ya nyumba ya marehemu mzee Mushi. Alishuka katika gari hizo Mr. Carlos Mato na vijana wake sita wakiwa na bastola mikononi mwao walianza kugonga mlango wa nyumba hiyo, wakiwa wanaendelea kugonga walishtushwa na taa kali zilizowaka kutoka maeneo tofauti ya eneo hilo na waliambiwa wanyoshe mikono juu. Mwanga huo ulikuwa mkali na uliwaumiza macho pasipo kuwaona waliowamulika. Mr. Carlos na vijana wake walinyosha mikono juu baada ya kuweka silaha zao chini. Walishuhudia gari za polisi zikisogezwa eneo hilo na walizungukwa na askari ambao pia waliwasogelea.
Mr.Carlos tayari alikuwa mikononi mwa polisi na kesi dhidi yake ilifunguliwa mahakama ya hakimu mkazi ya Kisutu mkoani Dar es salaam. Siku ya kwanza tu ya kesi hiyo kuanza kusomwa, kesi iliyohudhuriwa na mamia ya watu ambao wengine walikuwa nje, Mr. Carlos alikubali kufanya mauaji ya familia ya John Mushi. Alielezea mauaji mengine ya zaidi ya watu hamsini aliowaua na alikubaliana na hukumu yoyote akimaliza kuongea alisema kuwa “ naomba nusu ya utajiri wangu apewe kijana Kenny John Mushi”. Maelezo ya Mr. Carlos Mato yaliwashtua wengi waliohudhuria hukumu ya kesi hiyo waliodhani alionewa. Hatimaye hukumu iliyotolewa dhidi yake ilikuwa ni kunyongwa hadi kufa kufuatia vifungu vya sheria vya nchi ya Tanzania.
Gari la polisi lilisogezwa na Mr. Carlos aliisogelea familia yake na kupiga magoti “nawaomba mnisamehe na ishini katika misingi ya maadili msiwe kama mimi” aliongea Mr. Carlos akiwakumbatia wanawe Jane, Joseph na Mary wakiwa na mama yao wakilia kwa sauti za juu mahakamani hapo. Siyo wao tu hata watu wengine waliotendewa mema na Mr. Carlos walikuwa wakilia kutokana na adhabu aliyohukumiwa. Mr. Carlos alimgeukia Kenny John Mushi aliyeongozana na familia yake naye alimwambia “nisamehe mwanangu …” kabla hajaendelea alivutwa na askari na kuongozwa mpaka kwenye gari la polisi akaondoka nao eneo hilo la mahakama ya Kisutu.
Baada ya miaka mitano Kenny na Mary walikuwa wakiishi katika jiji la Paris, Ufaransa na tayari walikuwa wamepata mtoto wa kiume waliyompa jina la Carlos.Familia yao ilijawa na furaha na walishasahau yaliyojiri miaka ya nyuma katika maisha yao.Mwanao walimuita Carlos wakimweka karibu babu yake mtoto huyo aliyekufa kwa kunyongwa.Siku ya Jumamosi mwezi Desemba tarehe thelathini na moja,ilikuwa ni siku ya kuzaliwa kwa Mary, Kenny alimnunulia zawadi nyingi na kabla hajamkabidhi alisikika akisema”Siku zote za maisha yangu niliichukia familia ile na kuwaona wote ni adui zangu,Hata siku moja sikufikiria ingetokea kuwa NAMPENDA ADUI YANGU kutoka kwenye familia ile, Kumbe adui wengine ni wake wema”Alimalizia Kenny na kusisitiza “Nakupenda sana mke wangu……nakupenda…..!” Walikumbatiana wakiwa na furaha.

MWISHO

NAMPENDA ADUI YANGU – 4

Related image

Chombezo : Nampenda Adui Yangu
Sehemu Ya Nne (4)

Ilipoishia…..

Mtu yeyote ambaye angemuona angegundua Kenny alikuwa mtu wa mazoezi, kutokana na muonekano wake wa kuvutia ndiyo uliosababisha atafutwe na wasichana wa shule tofauti mkoani Kilimanjaro, lakini alipuzia hisia zao na siku zote hakufikiria kitu kingine zaidi ya malipo ya kisasi. Kenny alifahamika vizuri shule tofauti mkoani Kilimanjaro kutokana na kipaji chake cha kuigiza kilichowavutia wanafunzi wa kike.Katika matamasha mengi ya mashule,watu walifurahishwa na jinsi alivyokuwa mcheshi katika kuigiza akiwa na kila sababu ya kuwa muigizaji.

Endelea….

Hatimaye alimaliza kidato cha nne na kuchaguliwa kujiunga shule ya sekondari Azana ya jijini Dar es salaam. Hiyo ilifuata baada ya kufaulu vizuri mtihani wake wa kidato cha nne kwa kupata daraja la kwanza.Alichaguliwa kujiunga shule hiyo kupitia masomo ya biashara aliyokuwa anayaweza vizuri.Watu kadhaa wa karibu wa familia hiyo ya Kibosho, Moshi vijijini walichanga fedha na kuziwasilisha kwa mama Mushi amabaye alikuwa akiishi naye.Kenny anafurahishwa na upendo wa watu ambao waliuonesha moyoni aliwaza kusoma kwa bidii na mwishoe kutimiza ndoto zake.
Baada ya maandalizi yake kukamilika alijiunga na shule hiyo ya Azana kidato cha tano akiwa na mipango mingi kichwani mwake.Masomo yalianza na yeye hakuchelewa kufuatilia kwa umakini kilichokuwa kinafundishwa.Alijitahidi kusoma kwa bidii ili elimu yake ije kumsaidia malipizi ya kisasi kwa Mr.Carlos.Siri ya mauaji aliyoyafanya Mr.Carlos kwenye familia yake hakuna aliyeijua.Ilikuwa ni siri ambayo hakuwahi kumueleza mtu katika maisha yake.Hakupenda siri hiyo ijulikane kwa vile aliamini ingemfikia Mr.Carlos na kuwa tatizo.
Baada ya miezi mitatu akiwa anaendelea na masomo yake kama kawaida tayari alishaifahamu nyumba ya Mr.Carlos iliyokua maeneo ya Mbezi Beach.Hizo zilikua jitihada zake ambazo zilimpa taabu sana na kumumiza kichwa kwa vile aligundua Mr.Carlos alikuwa na uwezo mkubwa wa kifedha tofauti na alivyofikiria.Siku moja ya Jumapili alikuwa katika matembezi kama ilivyokuwa kawaida yake kufanya hivyo siku hiyo kila wiki.Baada ya muda mrefu wa kutembea aliamua kuanza kurudi shule kwa mguu akitokea maeneo ya Magomeni.
Alikuwa akitembea taratibu na kichwani alikuwa na mawazo kadhaa.Aliendelea kutembea na kuzidi kukisogelea kituo cha daladala cha Jangwani ambacho kwa umbali aliliona gari likiwa limeegeshwa, alipofika kituoni hapo aliwaona wasichana wawili waliokuwa na sifa zote za kuitwa warembo wakiwa nje ya gari hilo.Walivaa nguo za rangi nyekundu na kuendana kila kitu, mmoja wao alimuita na alitimiza wito huo na kuanza kusogea karibu na eneo walilokuwa.Mara baada ya kuwasogelea aligundua mrembo mmoja alikuwa ni mtu mzima tayari ingawaje sura yake ilimuonesha kama alikuwa na umri mdogo lakini mrembo mwingine kati ya hao aliyemuona alibaini alikuuwa na umri mdogo kama yeye au alimzidi kabisa.
“samahani kaka tunaomba ukatununulie mafuta ya gari”Alisikika yule mkubwa akiongea wakati huo yule msichana mwingine alibaki kimya akimtazama vizuri Kenny
“Hakuna shida nipeni fedha”Alijibu Kenny, alipewa fedha na kuambiwa kidumu cha kuchukulia akinunue pia kwa vile hawakuwa nacho.Alianza kuondoka kuelekea kituo cha kuuza mafuta kutimiza ombi hilo.Aliwaacha wakibishana kutokana na kuisha mafuta kwa gari hilo.Wakati akiendelea kuelekea kituo cha kuuza mafuta,kuna jambo lilimtatiza kichwani,alihisi kumfahamu mrembo aliyembaini ni mtu mzima lakini hakukumbuka ni wapi alionana naye.Baada ya kukumbuka kwa muda mrefu bila mafanikio aliamua kupuuzia.Mara baada ya kununua mafuta alirejea haraka na kuanza kuwasaidia kuweka mafuta kwenye gari lao.
Warembo ambao Kenny aliwaona waliua ni watoto wa Mr.Carlos mkubwa akiwa ni Jane ambaye awali alisoma na dada yake marehemu Juliana.Na mwingine aliitwa Mary ambaye alikuwa mtoto wa mwisho wa Mr.Carlos.Mary alikuwa amepata mshtuko wa moyo pale Kenny alipowasogelea baada ya dada yake Jane kumuita awasaidie kuwanunulia mafuta.Alikuwa amevutiwa na muonekano na sura ya Kenny ikiwa pamoja na mwili wake ulionekana kujengeka kimazoezi.Hata punde alipowasogelea bado alimchunguza Kenny na kugunua mambo mengi yaliyomvutia.Aliamini hakuwahi kukutana na mwanaume aliyemvutia kama Kenny lakini kitu kilichomuumiza kichwa ni jinsi gani angeweza kupata nafasi ya kuwa naye karibu.Mara baada ya Kenny kuondoka kuelekea kununua mafuta ndipo mawazo yalimzidia akiamini alikuwa na muda mfupi wa kumuona Kenny kwa mara ya mwisho.
Baada ya kufikiria kwa muda kidogo aliamua kumuliza dada yake ni kiasi gani cha fedha watampa Kenny kwa msaada wake alioutoa. “Tumpe elfu ishirini,siumeona mtu mwenyewe anatembea kwa mguu….”alijibu dada yake Jane akiongeza kuwa kama kijana huyo alikuwa na matatizo kifedha wangekuwa wamemsaidia kidogo. Mary aliona huo ndiyo upenyo wa kumpata Kenny,aliingia kwenye gari na kufungua pochi yake akatoa elfu ishirini.Mara baada ya kutoa fedha hizo alichukua kadi yake ya mawasiliano ya namba ya simu na barua pepe kisha akaiviringisha na zile fedha kwa pamoja.Alitoka nje ya gari na tayari Kenny alikuwa amerudi, alianza kuweka mafuta hayo kwenye tenki la gari hilo.Muda wote huo Mary aliutumia kumchunguza vizuri Kenny, alibaki kimya ingawaje dada yake Jane aliongea na Kenny mara kadhaa. Mapigo yake ya moyo yalimwenda mbio na hisia juu ya mahusiano na Kenny zilizidi kila sekunde iliyojiri, alitamani wabaki eneo hilo akimtazama Kenny. Mara baada ya zoezi hilo Jane alizunguka upande wa uskani na kuwasha gari ambalo liliwaka bila shida yeyote. “mpe fedha hizo tuondoke”alisikika Jane akiwa ndani ya gari.
Mary alimsogelea Kenny na kushika mkono wake wa kulia akamuwekea ile kadi aliyoviringisha na zile fedha.Mapigo yake ya moyo yaliendelea kwenda mbio hususani alipoushika mkono wa Kenny.Mara baada ya kuweka zile fedha na kadi kwenye mkono aliufunga mkono huo kwa vidole vya Kenny.”Tafadhali usisahau kunitafuta….”Alisikika Mary kwa sauti ya chini huku akiuachia mkono wa Kenny,aligeuka na kuelekea kwenye gari.Punde alipanda gari hilo liliondolewa eneo hilo na kumuacha Kenny akiwa amuduwaa.
Kenny alifungua mkono wake wa kulia na kuona aliwekewa fedha zilizo viringishwa na kitu.Akaamua kuzitoa fedha hizo punde alipotoa aliona kadi ya mawasiliano ikiwa na jina moja la Mary.Kilichomfurahisha zaidi ni fedha alizoziona kwani hakuwa na fedha hata kidogo.Lakini hakutambua ni kwa nini Mary, kama kadi yake ivyoandikwa alitaka amtafute.Hakuelewa kitu cha ziada ambacho mrembo huyo alikitaka kutoka kwake,alianza kutembea kuelekea shule kwao akiwa na furaha.Siku hiyo ilisha pasipo kumpigia Mary kila wakati alipoazima simu akitaka kumpigia hakufanya hivyo.Siku mbili baadaye aliamua kumpigia,baada ya kuona yeye aliombwa kumpigia Mary na hakuwa na tatizo lolote.Simu iliita kwa muda mfupi na ikapokelewa,Kenny alijitambulisha kwa jina kabla ya kumweleza kuwa yeye ndiye aliyewasaidia gari lao lilipoisha mafuta. Mary alimweleza Kenny akate simu na muda mfupi baadaye alimpigia na kuanza kumpeleleza Kenny kiundani na kugundua alisoma Azana.Maongezi yao yaliendelea kwa muda mrefu na Kenny alibaini Mary alisoma Nchini Ufaransa.Alikuwepo nchini Tanzania katika likizo yake ndefu, Mary alimwomba Kenny akihitaji wawe marafiki jambo ambalo Kenny alikubali.
Baada ya mazungumzo yao marefu Kenny alikuwa amegundua vitu vingi kutoka kwa Mary aliyegundua alikuwa na huruma.Mary alikuwa amejitambulisha kwa jina la Mary Benson alifanya hivyo ili Kenny amchukulie alitoka katika familia ya kawaida.Aliamini angesema alitwa Mary Carlos Mato, Kenny angemuogopa kutokana na utajiri mkubwa wa baba yake.Walinza urafiki wao huku Mary akimtembelea Kenny mara kwa mara akimpa zawadi tofauti ikiwa ni pamoja na simu. Kudhihirisha umuhimu wa Kenny kwake alimlipia ada ya shule ya miaka yote miwili.
Mambo ambayo anatendewa Kenny kama fadhila ndiyo yanayomuibua hisia moyoni mwake,anagundua anampenda Mary, lakini alijawa na hofu ya kumweleza akiamini huenda msichana huyo alitaka wawe marafiki tu.Wiki moja ikiwa imebaki Mary aanze safari ya kurudi shule aliamua kumpigia simu na kumweleza ukweli wake.Alishangazwa na furaha ambayo Mary aliionesha kupitia simu ya kuelezwa anapendwa na Kenny.Siku iliyofuata alimpelekea zawadi ya kadi na maua shuleni kwao.Mary akiwa na furaha alimweleza alikuwa anajiandaa kumwambia anampenda baada ya kuona hambiwi,walianza uhusiano wao wote wakiwa na furaha.
* * * * *
Mary Carlos Mato alikuwepo nchini Tanzania katika likizo yake na alisoma shule ilokuwa jijini Paris,Ufaransa.Alifurahishwa na mwanzo wa urafiki wa kimapenzi na Kenny John mtu aliyemuwaza toka siku ya kwanza kumuona.Kichwani aliwaza kusoma kwa bidii na kuweka mazingira ya Kenny kusoma nchini Ufaransa kama yeye.Ingawaje aligundua Kenny hakuwa na maisha mazuri katika familia yake lakini aliamini hakuna lililoshindikana kwa wao kuandaa maisha yao ya baadaye yenye furaha.Dada yake Jane alikuwa tayari ameshaolewa nchini Uingereza na alikuwa akirudi nchini Tanzania kuwasalimia wazazi wake na baada ya siku chache alikuwa akirudi tena London,Uingeraza.
Hatimaye muda wa likizo wa Mary ulisha na safari ilianza akisindikizwa na baba yake mpaka uwanja wa ndege.Alikua amemuaga Kenny na waliahidiana kuwa wangewasiliana kwa barua pepe na simu.Mary ambaye muda mwingi walikuwa pamoja au kupigiana simu akiwa katika likizo yake,hatimaye alipofika shuleni alianza masomo pasipo kusahau kuwasiliana na Kenny kila mara hususani kwa kutumia barua pepe.Mara nyingi siku za mwisho wa wiki Mary alimpigia simu Kenny kumjulia hali.
Baada ya miezi kadhaa Mary alirudi tena Tanzania katika likizo yake nyingine alipokelewa na familia yake na walielekea mpaka nyumbani kwao Mbezi Beach.Siku iliyofuata mapema aliondoka kwao na kwenda kukutana na Kenny kama walivyokuwa wameahidiana.Kila mmoja alimfurahia mwenzie na kumuona kama alikuwa mzuri wa kuvutia zaidi ya awali.Baada ya siku kadhaa Mary anaamua kumueleza ukweli wa jina lake baada ya kutoona umuhimu wa kumficha Kenny.Hilo lilifuata baada ya kuona tayari walishakuwa kwenye uhusiano na aliamini ni vema Kenny akamtambua vizuri.Wakiwa katika maongezi yao Mary aliamua kumueleza “Eeh wewe siyo Mary Benson! kwa hiyo wewe ni Mary nani?”Alimiliza Kenny wakati huo walikuwa kwenye fukwe ya bahari ya hindi wakipulizwa na upepo.
“Mimi naitwa Mary Carlos Mato”Alimjibu Mary akiwa amemgeukia Kenny. “Aaah Mary Car.lo.s Maato…” Aliuliza Kenny akiwa na kigugumizi,alipata mshtuko na kudondosha hata kopo la juisi alilokuwa nalo mkononi.Mary alimueleza tena jina lake hilo,Kenny aliondoka kwa kukimbia eneo hilo la fukwe hata alipoitwa hakugeuka.Hakuamini kitu alichokuwa ameelezwa na Mary alipanda daladala na kuelekea shuleni kwao.Kichwani alijawa na mawazo akiwa haamini alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na adui yake.
Punde alipofika shuleni kwao aliongoza moja kwa moja katika bweni na kulala katika kitanda chake akiwa na mawazo na kutoelewa vizuri kilichoendelea, akiwa na mawazo hayo anakumbuka siku ya kwanza alipokutana na Mary akiwa na dada yake ambaye alijaribu kumkumbuka bila mafanikio.Aliamka na kwenda kuchukua begi lake na kufunua kasha alitoa bahasha ambayo alikuwa akiwekea picha, katika moja ya picha zilizokuwa katika bahasha hiyo alimuona dada yake Mary yaani Jane akiwa na dada yake marehemu Juliana.Sura ya Jane ilikuwa ni ileile ambayo alikutana nayo akiwa na Mary ingawaje alikuwa mtu mzima tayari.Hapo aliamini kile alichoambiwa na Mary kuwa aliitwa Mary Carlos Mato.
Hasira zilimpanda na kutoona umuhimu wa uhusiano wake na Mary kilichomshtua ni hisia zake za kuwa huenda Mary alitumwa na baba yake.Mawazo ya kulipiza kisasi yanaanza kumjia akiwaza kuanza na Mary,aliamini angeweza kumuua Mary kirahisi ili iwe taarifa kwa Mr Carlos kuwa kazi ilianza.Siku zote alikuwa akimchukia Mr.Carlos na famila yake na wakati huo alimchukulia Mary akimuona kama Mr.Carlos.

* * * * *
Mary akiwa anashangaa jinsi ambavyo Kenny alishtuka kuelezwa yeye alikuwa mtoto wa Mr.Carlos Mato.Jambo alilolifikiria ni uwezo wa baba yake kifedha, alihisi jambo hilo huenda lilimuogopesha Kenny.Alijaribu kumuandikia ujumbe mfupi wa maneno kumuelezea kilichomfanya asimwambie jina lake hilo awali lakini haukujibiwa.Mara kadhaa alimpigia simu Kenny lakini hakupokea zaidi ya kukata.Alijaribu kumfuata shuleni kwao lakini Kenny hakuwa tayari kuonana naye.Mambo hayo yalimuumiza kichwa Mary nakuona alifanya makosa kumueleza Kenny awali juu ya jina lake.
Kenny alikuwa haingii darasani muda mwingi akiwa bwenini kwake akiwaza ni jinsi gani ataweza kumbaka na hatimaye kumuua Mary.Alitaka kufanya hivyo kama alivyofanyiwa dada yake Juliana.Kuna wakati alihofia maamuzi yake hayo lakini alijipa moyo kuwa angeweza.Kutimiza hilo alimpigia simu Mary akimweleza siku ya jumapili alitaka waende maeneo ya Bagamoyo.Alimweleza alitaka kumjulisha Mary jambo lililomfanya akate mawasiliano naye. Hatua hiyo Mary aliipokea kwa furaha na siku hiyo ilipofika aliwahi kwenda kumchukua Kenny na wakaanza safari kuelekea Bagamoyo.Njiani Kenny alibaki kimya tu, hakuongea hata kidogo na hakuonyesha ucheshi wake alioufanya siku nyingine.
Mary alijitahidi kumchekesha na kumsimulia mambo tofauti lakini Kenny alikuwa mbali akiwa na mawazo mengi kichwani.Hatimaye walifika Bagamoyo na Mary alimpeleka Kenny katika hoteli moja ya kitalii.Mara baada ya kutulia na kuagiza vinywaji Kenny alianza kumueleza Mary sababu iliyomfanya ashtushwe baada ya kuelezwa kuwa Mary alikuwa mtoto wa Mr Carlos Mato.Kenny alimweleza kuwa aliogopa kuwa na uhusiano na mtoto wa mtu mwenye fedha kama Mr.Carlos Mato.Sababu ambayo Mary aliielewa kwani ndivyo hivyo ambavyo hata yeye alihisi.Muda wote wakiwa katika hoteli hiyo Kenny alikuwa akitumia pombe kali jambo ambalo lilimshtua Mary. Hakuwahi kumuona akinywa pombe hizo,hakutaka kumueleza lolote akihofia kumtibua tena.Baada ya muda mrefu wa kuwepo Bagamoyo walianza kurudi Dar es salaam,kilometa kadhaa kutoka Bagamoyo Kenny alimwambia Mary asimamishe gari.Baada ya kusimamisha gari Kenny alishuka kwenye gari akimtaka Mary pia ashuke.Mary alikubali akidhani Kenny alitaka kumwambia kitu, mara baada ya kushuka Kenny alimsogelea kama alitaka kumweleza jambo.Baada ya muda mfupi wa kutazamana pasipo Kenny kusema kitu,Mary alishtuka kuona Kenny alikurupuka na kumpiga ngumi ya uso, iliyompasua mdomo wake na damu zilianza kumtoka.
Mary alikuwa ameanguuka chali baada ya kupata dhoruba hiyo,Kenny ambaye alikuwa amelewa aliikamata miguu ya Mary na kuanza kumvuta akimbuluza kuelekea katika vichaka vilivyo kuwa pembeni kidogo na barabara hiyo.Mary alikuwa akilia kwa sauti kubwa akiwa haelewi kilichoendelea.Baada ya kumbuluza umbali wa mita kadhaa toka barabarani alimwachia Mary na kuanza kumtazama akiwa anatetemeka na mishipa ikiwa imemtoka usoni mwake.Wakati huo Mary alitetemeka na tayari alikuwa amelowa damu nguo zake alizozivaa.
Baada ya muda mfupi wa kumtazama akivua shati lake na kuanza kumshushia kipigo Mary kila sehemu ya mwili wake. Baada ya dakika kumi Mary alikuwa anavuja damu nyingi na tayari alipoteza fahamu.Kenny alikuwa anatokwa jasho kama maji akiwa anatafakari nini cha kufanya alisikia sauti za watu wakija mbio wakielekea kwenye kichaka alichokuwa.walikuwa wakipiga kelele za kila aina ,akagundua tayari zoezi lake liliuwa limeingia dosari.Alitoka mbio na kuanza kukimbia akielekea vichaka vya mbele zaidi akimucha Mary pale pale.
Watu wanne wapita njia walishtushwa na kelele za mwanamke akilia kama vile alitendewa unyama.Waliliona gari likiwa limesimama barabarani,waliamua kuanza kukimbia kuelekea katika kichaka ambacho kelele hizo zilitoka.Wakiwa wanaendelea kukimbia kuelekea kwenye kichaka hicho walimshuhudia mtu mmoja akikimbia kutokomea vichaka vya mbele zaidi.Lakini walimuona msichana mmoja akiwa amevuja damu nyingi kunzunguka eneo alilokuwa na hakuwa na fahamu.Waliamua kuachana na mtu aliyekimbia kutokomea vichakani na kuanza kumsaidia msichana huyo aliyeumizwa vibaya.Walimtathimini mtu aliyefanya kitendo kile alikuwa na lengo la kumuua kutokana na vile msichana huyo alivyokuwa ameumia.Wakiwa barabarani wanabahatika kupata gari lililompeleka Mary hospitali ya wilaya ya Bagamoyo. Baada ya taarifa hizo kuwafikia Polisi walifanya uchunguzi wao na kubahatika kuipata namba ya simu ya Mr.Carlos Mato, baba wa msichana aliyopigwa waligundua aliitwa Mary.Walimpigia simu Mr.Carlos Mato na kumweleza kila kitu kilichokuwa kimetokea.Masaa machache baadaye aliwasili katika hospitali hiyo.Mr.Carlos Mato alipandwa na hasira baada ya kumuona mwanaye akiwa na majeraha mengi baada ya kupata kipigo.
Hakuelewa kilitokea nini mpaka mwanae aliumizwa vile,alikuwa akisubiri azinduke ili aweze kuujua ukweli.Saa tatu na nusu usiku Mary alipata fahamu na kuanza kumueleza Mr.Carlos yale yaliyojiri mpaka wakati huo.Mary alikuwa na hasira na Kenny kutokana na vile alivyompigwa, alimueleza baba yake Mr.Carlos Mato kuwa mtu aliyempiga alimuomba msaada wa kusafiri naye toka Bagamoyo.Mary alieleza kijana huyo aliyejitambulisha kwa jina la Kenny John alimweleza alikuwa akisoma shule ya Azana.Alitoa maelezo yaliyodhihirisha hakuwa na uhusiano wowote na Kenny John.
Mr.Carlos Mato alipandwa na hasira hata machozi yalimtoka bila mawasiliano.Alimtaka kamanda wa polisi wa wilaya hiyo kuhakikisha Kenny anakamatwa.Usiku mzima askari wa jeshi la polisi walimtafuta Kenny John pasipo mafanikio ,mpaka siku iliyofuata msako bado uliendelea.Vijana wa Mr.Carlos waliungana na polisi wa Bagamoyo kimyakimya kumsaka Kenny John.Lakini siku hiyo pia ilisha pasipo mafanikio yeyote jambo lililomuongeza hasira Mr.Carlos.Akiwa anamtathimini kijana mdogo Kenny John, jina hilo linampa hisia za kutaka kuujua ukweli zaidi wa mtu huyo.
Kumbukumbu zake zilimkumbusha huenda mtu huyo alikuwa ni mtoto wa John Mushi.Baada ya kukumbuka kwa muda kidogo aligundua hakuwahi kumuua mtoto wa mwisho wa John Mushi.Alichukua simu yake na kuanza kumpigia mwanae Jane aliyekuwa Uingereza kutaka kujua mtoto wa mwisho wa John Mushi aliitwa nani.Alifanya hivyo kwa vile mwanae Jane ndiye alikuwa karibu sana na familia hiyo.Jane alimjibu kwa kumweleza mtoto wa mwisho wa John Mushi aliitwa Kenny.Jambo hilo ndilo lilianza kumumiza kichwa Mr.Carlos akiamini kama Kenny ni mtoto wa John Mushi basi alitaka kulipa kisasi.Hasira zilimpanda akijilaumu kwa nini hakumuua Kenny, kilichomuumiza zaidi ni kwamba siri ya mauaji aliyoyafanya ilikuwa na dalili zote za kuwa imevuja.Aliwasha gari lake na kuondoka kwa kasi kuelekea shule ya sekondari ya Azana mara baada ya kufika katika shule hiyo alitaka kujua maelezo yaliyohusiana na Kenny. Hakupata taabu kupata maelezo yote kutokana na uwezo wake kifedha na hapo ndipo alipogundua aliyempiga mwanae alikuwa ni Kenny John Mushi.Hasira zilimpanda na alitokwa na jasho ndani ya dakika chache tu, aliondoka shuleni hapo bila kuaga jambo lililowashangaza walimu wa shule hiyo.Aliongoza mpaka kwenye nyumba yake ya Mikocheni aliyoitumia katika vikao vya ujambazi na biashara ya dawa za kulevya.
Aliitisha kikao na vijana kadhaa akitaka kukamatwa kwa Kenny.Tayari aligundua kuwa siri yake ya mauaji ilikuwa imevuja,alitaka Kenny auawe haraka iwezekanavyo ili siri hiyo isimfikie mtu mwingine.Aliwataka vijana saba kufanya doria maeneo ya shule ya Kenny John akiamini angerudi baada ya siku kadhaa.Vijana wake hao walikuwa na picha za Kenny wakifanya doria hiyo ili kuhakikisha wanamkamata.Mr.Carlos hakuwa na amani kabisa kwa vile hakuna taarifa zozote zilizopatikana za kukamatwa kwa Kenny jambo lililomfanya asipate usingizi.
* * * * *
Baada ya kutoroka toka eneo alilokuwa anampiga Mary alikimbia kwa kasi kwa masaa kadhaa mpaka katika kijiji cha Fukayosi.Alifika katika nyumba ya babu mmoja na kumuomba msaada wa kukaa kwa siku kadhaa.Kenny moyoni aliumia kwa kipigo alichokua amempiga Mary lakini alijitahidi kupuuzia jambo hilo.Hisia zake za kumpenda alizozijenga kwa muda mrefu ndizo zilizomuibulia mawazo kuwa hakufanya vyema.Alimuonea huruma Mary lakini aliona kipigo kilikua haki yake kutokana na matendo ya mauaji aliyofanya Mr.Carlos ilikuwa haki yake kwani hata familia yake ilifanyiwa hivyo.
Hakutaka kumkumbuka tena Mary na alijaribu kuziweka hisia zake katika mambo mengine, lakini babu huyo aliyempa elfu kumi aligundua kupigwa kwa Mary kulichangiwa kwa kiasi kikubwa na kulewa sambamba na hasira alizokuwa nazo Kenny.Tayari alielewa mambo yalishaharibika na shule haikuwa na maana tena.Alichowaza ni kukaa kwa babu aliyemhifadhi kwa siku kadhaa ili arudi shule kuchukua begi lake na kuikimbia Dar es salaam hakujua angeenda wapi,lakini kilichokuwa kichwani mwake alielewa tayari kazi ya kulipa kisasi ilikuwa imeanza.Siku sita alikuwa anashinda ndani ya nyumba ya babu aliyofikia na alikuwa akipanga mipango tofauti.Muda huo pia aliutumia kukumbuka mazoezi ya ngumi aliyokuwa amejifunza kwa miaka kadhaa.Aliamini hakuna jambo ambalo lingemshinda katika kulipa kisasi kwa Mr.Carlos.Siku ya saba alimuaga babu ambaye alikuwa akiishi naye na alianza safari kuelekea jijini Dar es salaam akiwa na kofia na miwani.Vyote hivyo alivitafuta kijijini hapo Fukayoni na vilipoteza muonekano wake wa awali.
Majira ya saa mbili usiku aliingia shuleni kwao kwa ukimya mkubwa na kuongoza mpaka kwenye bweni lake.Taarifa za haraka alizipata toka kwa rafiki zake zilidai tajiri maarufu Mr.Carlos Mato alifika shuleni hapo kumulizia.Hakupoteza muda zaidi ya kuchukua begi na kuanza kutoka eneo la shule hiyo.Mita kadhaa akiwa ameliacha geti la shule hiyo aliwaona watu watatu wakiwa mbele yake.Walikuwa wamevaa suti nyeusi na miwani rangi nyeusi iliyopoteza muonekano wa sura zao.Alisita kidogo kutokana na muonekano wao,aligeuka nyuma na kuona watu wawili waliovaa vilevile wakiwa nyuma yake.Aligundua tayari palikuwa na shari,akiwaza nini cha kufanya akiwa anatembea taratibu.Alisikia mmoja wa watu hao waliokuwa mbele akisema “simama hapohapo kwa usalama wako”Alitii amri na kusimama akatupa begi lake pembeni kidogo,tayari alielewa kazi ilkuwa imeanza.Alianza kukunja shati lake mkono wa kushoto na mara baada ya kumaliza alikunja na mkono wa kulia.Wakati akifanya hayo watu hao walitabasamu wengine walicheka “kijana unataka kutupiga?”Aliuliza mmoja wao huku akinyosha mikono yake, aliwakonyeza wenzake na kuwataka watulie alimsogelea Kenny na walianza kupigana kwa kasi ya ajabu.Baada ya dakika kadhaa yule aliyeanzaa kupigana na Kenny tayari alikuwa amepasuliwa paji lake la uso na damu nyingi zilimtoka.Kenny alikuwa salama kabisa na hakuumizwa hata kidogo.Alifanikiwa kumpiga mtu huyo baada ya kumpiga ngumi kadhaa zilimpata vizuri usoni.
Wakati mtu huyo damu zikiendelea kumtoka alingia mwingijne na kuendeleza kupigana.Kenny aliendelea kujipanga sawasawa na kukwepa mateke na ngumi vilivyo rushwa na adui yake huyo.Dakika tano baadaye mtu huyo wa pili naye alianza kuumizwa jambo hilo liliwapa hofu wenzie ambao waliamua kutumia njia nyingine.Wakati Kenny akiendelea kupigana na mtu huyo aliyetambua alikuwa ni kijana wa Mr.Carlos Mato alishtushwa akipigwa kichwani na kitu kizito.Alianguka chini na baada ya muda mfupi alipoteza fahamu.

ITAENDELEA

NAMPENDA ADUI YANGU – 3

Related image

Chombezo : Nampenda Adui Yangu
Sehemu Ya Tatu (3)

Ilipoishia…

Mr John Mushi alikuwa nyumbani kwake akisubiri kwa hamu saa tano usiku ifike, tayari alishamwaleza mlinzi juu ya ujio wa mgeni wake huyo. Hasira alizokuwa nazo kipindi cha msiba wa mwanae zinaanza kumrudia. Anawaza kuhakikisha muuaji ananyongwa katika kufuata misingi ya sheria za nchi ya Tanzania. Ilipofika saa nne usiku anakumbuka kitu muhimu ambacho alikuwa amekisahau. Alikuwa hajamtaarifu Mr Carlos ambaye alikuwa rafiki yake wa karibu katika kipindi chote kigumu cha msiba wa mtot wake.

Endelea….
Anachukuwa simu na kumpigia Mr Carlos akimueleza aende nyumbani kwake kuna mtu anatarajia kutoa siri ya mauaji ya Juliana.
Taarifa hizo zinamshtua sana Mr Carlos ambaye anaammini hakuna mtu aliyejua siri hiyo zaidi ya James aliyekuwa marehemu. Anabadilisha nguo za kulalia alizokuwa amelala nazo na kuvaa nyingine. Kwa kasi anaondoka nyumbani kwake na gari lake baada ya kumuaga mkewe. Safari inaanza kuelekea Kimara Baruti, akiwa na shauku ya kumjua anayeifahamu siri hiyo. Aliamini akiwahi kufika ingekuwa vigumu kwa mtu huyo kutoa siri hiyo. Tayari alihisi dalili za shari hivyo aliwapigia simu vijana wake kuwa tayari muda wowote kwa kazi.
Saa tano na dakika tano usiku ule alikuwa katika njia iliyoelekea nyumbani kwa Mr John Mushi akiwa ametanguliwa na taksi mita kadhaa. Hatimaye alipo karibia geti la Mr John Mushi aliona ile taksi ikisimama mbele ya geti hilo. Alichofanya ni kufunga breki za gari lake na alimuona mtu mmoja aliyekuwa na gongo akishuka akiwa amekatwa mguu wa kushoto. Baada ya kumtazama vizuri alibaini alikuwa ni James, yote hayo yaliweza kutokana na taa iliyowekwa nje ya geti hilo. Wakati huo Mr Carlos jasho lilimtoka akiwaza nini cha kufanya, hatimaye James alifunguliwa geti na kuingia na taksi aliyokuja nayo iligeuza na kuondoka.
Aliwapigia simu vijana wake na kuwaelekeza eneo alipo akiawataka waende na madumu ya mafuta ya petroli pamoja na bunduki za kutosha. Nusu saa baadae gari tano ziliwasili zikiwa na vijana kumi na nne wa Mr Carlo akiwemo pia Tabayu. Mtu aliyeingia kwa Mr John Mushi alikuwa ni James ambaye mara baada ya kuketi ndani kwa Mr John alianza kumsimulia mambo yote yaliyomuhusu Mr Carlos kwa ufupi na alieleza mkasa mzima wa kifo cha mwanae. Baada ya kusimuliwa mambo hayo ilikuwa yapata saa tano na nusu. Akiwa amechanganikiwa, alichukua simu na kupiga kituo cha polisi lakini iliita pasipo kupokelewa. Hasira zilimpanda kwa kiasi kikubwa hakuamini mtu aliyemtegemea kama rafiki yake alifanya unyama wa kutisha kama ule.
Aliamua kumpigia simu baba yake mzee Mushi na kumwambia maneno matano “Mr Carlos Mato nitakufa naye” baada ya kusema hayo alikata simu
Mr Carlos baada ya dakika kadhaa za kukaa nje alielewa tayari Mr John Mushi alishaupata ukweli kutoka kwa James. Alichukuwa simu yake na kumpigia kwa makusudi, alipokea na kuzungumza maneno matano tu “Nitakuuwa kwa mkono wangu mwenyewe” maneno hayo yalimpa taswira nzima Mr Carlos aliyewaruhusu vijana wake kuanza kazi.waliongozwa na Tabayu ambaye hakutambua alivamia nyumba ya nani. Walimkamata mlinzi na kumnyonga wakitumia kamba ya katani na kufanikisha zoezi hilo ndani ya dakika kumi.
Walianza kumwaga mafuta ya petroli kuzunguka nyumba ya Mr John, dakika tano baadae walikuwa wamekamilisha zoezi hilo. Walimwaga petroli zaidi ya madumu kumi na tano. Tabayu aliendelea kumwaga chini mafuta hayo kutoka kwenye nyumba hadi nje alipokuwa anawasubiri Mr Carlos.
Mara baada ya kukamilisha zoezi hilo la kumwaga petroli Mr Carlos aliwasha kiberiti na kuelekeza kwenye mafuta yaliyomwagwa chini na Tabayu. Punde tu alipoachia njiti ya njiti ya kiberiti aliyoiwasha, moto uliwaka kwa kasi kubwa kuelekea kwenye nyumba ya Mr John. Hatimaye ulikamata nyumba hiyo na kuanza kuwaka kwa kiwango kikubwa. Muda huo Mr Carlos na vijana wake walikuwa wakishuhudia tukio hilo. Baada ya dakika mbili nyumba za majirani zilianza kupiga kelele za yowe. Mr Carlos alichukua bunduki na kupiga hewani risasi zaidi ya kumi na hatimaye kelele hizo zilitulia. Mara aliposhusha bunduki hiyo alielekeza kwenye paji la uso wa Tabayu na alisikika akisema “wewe ni msaliti …….” Hakuongeza jambo zaidi ya kumfyatulia risasi mbili kichwani.
Aliwaamuru vijana wake waondoke eneo hilo haraka, jambo ambalo walilifanya na gari zao ziliondolewa kwa kasi katika eneo la nje la nyumba ya Mr John. Vijana wa Mr Carlos hawakutambua chanzo cha kuuwawa kwa Tabayu walikimbiza gari zao na kuingia barabara ielekeayo Morogoro na kila gari liliendeshwa kuelekea sehemu ambayo dereva wa gari aliamua.
Mr Carlos aliendesha gari kwa kasi kuelekea nyumbani kwake Mikocheni. Alikuwa amechukizwa na taarifa za uongo ambazo awali Tabayu alizitoa akidai alimuua James. Jambo hilo ndilo lililomfanya amuue Tabayu mbele ya vijana wake wengine wa Tanzania Gangstars. Alilewa alielekea nyumbani kwa ajili ya kujiandaa na msiba mkubwa wa familia nzima ya Mr John Mushi. Ingawaje John Mushi alikuwa rafiki yake, anaamini hakuna urafiki ambao ungeendelea baada ya kugundulika kwa siri zake. Kufa kwa Mr John Mushi na familia yake pamoja na James aliona ni jambo la msingi katika kutunza siri zake.

Siku iliyofuata vyombo vya habari vilitawaliwa na taarifa za kifo cha Mr John na familia yake. Magazeti ya jioni yalionesha picha ya nyumba ya Mr John ikiwa imeungua na kukosa hata mabaki zaidi ya kuta za nyumba hiyo. Taarifa zilieleza watu watano walifariki katika tukio hilo, mmoja alipatikana nje ya uzio wa nyumba hiyo akiwa amepigwa risasi kichwani. Mwingine ambaye aliyebainika kuwa alikuwa ni mlinzi mwili wake ulipatikana akiwa amenyongwa upande wa ndani katika geti la nyumba hiyo. Taarifa hizo zilitoa maelezo ya awali zikiamini ndani ya nyumba iliyoungua alikuwepo John, mkwewe na mfanyakazi wa ndani wa jinsia ya kike.
Ukosefu wa taarifa hizo ulitokana na kushindikana kupatikana kwa mabaki ya wahanga hao. Vitu vyote viliungua na kuwa majivu, muda wa saa tano na nusu asubuhi Mzee Mushi na mkewe waliwasili wakiwa na mjukuu wao Kenny kwa usafiri wa ndege wakitokea Moshi. Kenny ambaye alikuwa na miaka saba akiwa ni mtoto pekee aliyebaki wa marehemu John Mushi. Alinusurika katika janga hilo kwa vile alikuwa shuleni katika shule ya East Africa International School iliyokuwa mjini Moshi akiwa darasa la kwanza. Mzee Mushi na mkewe waliona mwanzo wao wa kupoteza mwelekeo wa maisha kwani John alikuwa mwanao pekee aliyekuwa amebaki baada ya wengine kufariki. Mzee Mushi ambaye muda wote alikuwa analia alitatizwa na sentensi aliyoambiwa na mwanae iliyoeleza “Mr Carlos Mato nitakufa naye…”. Hakupata picha yeyote kutoka kwenye sentensi hiyo, kuna wakati alihisi mwanae alimananisha kufa na Mr. Carlos kutokana na urafiki wao wa karibu. Lakini pia alihisi huenda mwanae alimananisha kumuua Mr. Carlos na yeye kujiua. Utata huo unakaa kichwani mwake pasipo kumweleza mtu yeyote na anaamini Mr. Carlos Mato mwenyewe ndiye atakayeelezea jambo hilo.
Kenny John mwanae John Mushi alilia kwa uchungu akijigongesha kila upande wa chumba kilichokuwa maalum kwa wafiwa katika nyumba iliyokuwa ya jirani yao. Ingawaje alikuwa mdogo, hasira zake na kwikwi vilimfanya aamini kuwa aliweza kulipiza kisasi kwa yeyote ambaye angehusishwa na tukio hilo, kilichomuuma zaidi ni kupoteza familia yake katika kipindi kifupi ikiwa ni baada ya kifo cha dada yake Juliana. Haelewi ataanzia wapi zoezi hilo lakini siri yake hiyo moyoni ndiyo inayompa hasira na kujijengea imani ya kulipiza kisasi.
Mr. Carlos ndiye aliyehusika na maandalizi ya kila kitu kilichohusu msiba wa rafiki yake Mr John. Jambo hilo linamfanya asitulie muda wote wa msiba huo akitafuta mahitaji tofauti ya msibani hapo. Watu waliokuwa msibani hapo walifurahishwa na upendo aliouonesha. Ikiwa ni pamoja na kuhusika na msiba wa Juliana kwa asilimia kubwa na wakati huu msiba wa familia nzima waliamini Mungu atamzidishia Mr. Carlos kwa wema wake. Kutokana na kukosekana kwa miili ya marehemu Mr. Carlos akishirikiana na familia ya marehemu. Wanashauriana kujenga makaburi katika eneo ambalo janga la moto ulioaminiwa kusababishwa na majambazi lilitokea.
Halikadhalika wanashauriana kuchukuliwa majivu ili yakazikwe mkoani Kilimanjaro kama kielelezo cha kufariki kwa familia hiyo. Jambo ambalo walianza kulitekeleza haraka, ikiwa ni ujenzi wa makaburi matatu katika eneo la ajali hiyo iliyosababishwa ya moto. Mpaka nyakati za jioni siku hiyo zoezi hilo lilikamilika, inasubiriwa siku iliyofuata ili safari ianze kuelekea Mkoani Kilimanjaro.
Mr. Carlos Mato kuna jambo lilimtatiza kichwani nalo ni kuhusiana na maduka ya marehemu Mr. John Mushi. Hahitaji maduka hayo yaendelee, anaamini kama yakiendelea kwa kuendeshwa na ndugu wa marehemu Mr. John Mushi lingeweza kutokea tatizo. Jambo alilolihofia ni upelelezi ambao ndugu wa marehemu Mr. John Mushi wangeufanya kupitia fedha ambazo wangelikuwa nazo. Kupoteza ndoto hizo anaelekea kando kidogo na kuwapigia simu vijana wake akiwataka wahakikishe wanachoma maduka yote matatu ya nguo ya marehemu Mr. John Mushi ikiwa pamoja na stoo zake. Zoezi hilo aliwakata lifanyike saa nane usiku wa siku ile, baada ya maelezo hayo alijiona yuko safi akiamini hakuna linaloshindikana kwa vijana wake wa Tanzania Gangstars.
Mzee Mushi baada ya muda mrefu wa majonzi, anashindwa kuvumilia anataka kujua ukweli wa kauli ya mwanae. Hilo aliamini liliwezekena kwa vile Mr. Carlos Mato mwenyewe aliyetajwa alikuwepo msibani hapo. Anaamua kumuita kando na kuanza kwa kumuuliza kuwa mara ya ya mwisho alipata kauli kutoka kwa mwanae iliyokuwa “Mr Carlos Mato nitakufa naye…” alihitaji kujua chochote kutoka kwa Mr. Carlos Mato akiamini alitambua kutokana na ukaribu wake na marehemu. Kauli hiyo ulimshtua Mr. Carlos Mato ambaye hakuonesha hali yeyote kwa Mzee Mushi ya mshtuko wake. Baada ya ukimya wa sekunde kadhaa Mr. Carlos anakubali kauli hiyo inaukweli ndani yake. Lakini anamuomba Mzee Mushi atulie na kumuahidi kumjulisha maana yake mara baada ya msiba huo. Mr Carlos anaongeza kwa kusema ukweli wa kauli hiyo ungemchanganya zaidi Mzee Mushi jambo ambalo halikuwa jema wakati huo.
Siku iliyofuata wakiwa kwenye maandalizi ya safari kuelekea Mkoani Kilimanjaro. Zilipatikana taarifa za kuchomwa moto maduka matatu na stoo nne vyote vikiwa mali ya marehemu Mr. John Mushi taarifa hizo zinaifadhaisha zaidi familia hiyo, Mr. Carlos Mato na marafiki wengine wanashauri tukio hilo lisiwe kikwazo cha kusafirisha msiba huo. Lakini maswali mengi yalikuwa vichwani mwa watu juu ya unyama wa mtu aliyefanya matukio hayo. Hakuna jibu linalopatikana hivyo safari ya kuelekea Moshi, Mkoani Kilimanjaro inaanza na zaidi walitegemea jitihada za polisi kufichua mtenda uovu huo.
Baada ya msiba Mr.Carlos alirudi jijini Dar es salaam kuendeleza shughuli zake.Kichwani alianza kupoteza kumbukumbu za Jina la rafiki yake Mr.John Mushi aliyemuua.Alimini amepoteza uwezekano wote wa kuvuja siri zake, kitu kilichokuwa mbele yake aliwaza kukuza mtandao wake wa Tanzanian Gangstars.Wema aliokuwa akiuonesha mbele za watu katika msiba unakoma, kwani alishidwa kumsaidia mzazi wa marehemu John Mushi ambaye maisha yalianza kumuwia magumu.Katika kupanua mtandao wake wa Tanzanian Ganastars Mr Carlos aliamua kuanza kuuza Dawa za kulevya.Biashara hiyo aliifanya katika nchi za Pakistani,Iran,Iraq zikiwa miungoni mwa nchi za bara la Asia.Nchi nyingine zikiwa ni Uingereza,Ujerumani pamoja na Marekani na alifanya biashara hiyo karibu kila nchi ya bara la Afrika.
Lakini pia bado aliendeleza kazi ya kuongoza kundi lake katika matukio ya ujambazi katika ukanda wa Afrika, miezi sita baadae akiwa anaendelea na shughuli hizo alipata kikwazo kutoka kwa mzee Mushi. Alikuwa akimuhitaji kujua misingi ya kauli ya “Mr Carlos Mato nitakufa naye..” Mzee Mushi alikuwa akipiga simu kila siku akitaka kujua kauli hiyo aliyoelezwa na marehemu mwanae inamaana gani

. Jambo hilo lilimkwaza Mr Carlos ayepanga kuzizimisha kabisa ndoto za mzee huyo. Mzee Mushi katika mawazo yake alikuwa akihisi huenda Mr Carlos alihusika na mauaji ya mwanae kwa namna moja au nyingine. Mr Carlos aliandaa safari mahususi kwa ajili ya kuimaliza familia ya mzee Mushi ambaye alitambua kuwa alikua akiishi na mkewe.
Alinza safari akiwa na vijana wake wa kazi wawili kuelekea mkoanai Kilimanjaro. Waliondoka jijini nyakati za jioni lengo lao likiwa ni kufika mjini Moshi usiku wa manane.Saa nane usiku Mr Carlos anaegesha gari lake nje ya nyumba ya Mzee Mushi baada ya safari ndefu iliyotawaliwa na kasi kubwa ya gari lake.Aliwaacha vijana wake kwenye gari na kuanza kuelekea kwenye nyumba ya Mzee Mushi. Kulikuwa na giza nene kutokana na tatizo la kukatika umeme katika eneo hilo la Kibosho.Mara alipofika mlangoni Mr Carlos alianza kugonga huku akijitambulisha.Baada ya dakika tano alisikia vishindo vya mtu akitembea kuusogelea mlango huo.Hatimaye alifunguliwa mlango na Mzee Mushi aliyekuwa na tochi mkononi.Hali kadhalika mkewe alikuwa nyuma yake na wote walionekana kujawa na hofu juu ya ujio wa Mr Carlos usiku huo jambo ambalo halikuwahi kutokea awali. Mzee Mushi alimueleza mkewe awashe taa ya mafuta jambo ambalo alianza kulitekeleza mara baada ya kuwasha taa hiyo wote waliketi kwenye viti wakitaka kujua tatizo la ujio wa Mr.Carlos.
“Mzee Mushi usihofu nimekuja kuwaongeza na mkeo katika idadi ya watu kuzimu hivyo muwe na amani tu”Aliongea Mr.Carlos kauli yenye utata huku akitoa bastola yake kwenye koti lake suti. Wakati huo mzee Mushi na mkewe walikuwa wanatetemeka kiasi cha kulitikisa kochi walilokuwa wamekalia.
“Lakini kabla sijawaua ninaomba muutambue ukweli huu ili mkiwakuta huko waliotangulia mbele za haki msipate taabu ya kuwauliza.Mimi Mr Carlos Mato ndiye niliyemubaka na kumua mjukuu wenu Juliana na mimi ndiye niliyeiua kwa moto familia ya Mr.John Mushi mengine yanayonihusu nitawasimulia na mimi nikija kuzimu,tangulieni salama”Alimaliza Mr Carlos Mato na kumiminia risasi mbili za kichwa Mzee Mushi kabla ya kumgeukia mkewe kwa risasi hizohizo.Alicheka na kisha kutabasamu,alijisikia fahari kwa matukio ya kila jambo alilolifanya, utu kwake ulikua umeshapotea hakuwa na huruma hata kidogo.Alitoka mbio kuelekea kwenye gari lake ambalo aliwaacha vijana wake.Waliondoa kwa kasi gari hilo kutoka kwenye eneo la nyumba hiyo ya mzee Mushi, Mr Carlos alijisifu akisema “kazi imeisha na hakuna matata”
* * * * *
Kenny John kama alivyoandikishwa shule akiwa mtoto wa marehemu Mr.John Mushi alibahatika kuupata ukweli aliokuwa akiutafuta siku zote.Baada ya kusoma kwa miezi sita katika shule ya East Africa International School ya mjini Moshi babu yake alishindwa kumudu gharama za shule hiyo.Aliamua kumuandikisha katika shule ya msingi ya wilayani Moshi vijijini katika kata ya Kibosho ili aendelee na masomo.Siku chache za awali akiwa kwa babu yake anakumbana na shida ya kuishi maisha ambayo awali hakuyazoea jambo hilo linamfanya muda mwingi ajifungie chumba alicholala kikiwa karibu na sebule nakulia kwa kwikwi .Jambo hilo mzee Mushi aliligundua na alijitahidi kuwa karibu na mjukuu wake.
Hasira zake haswa ziko kwa muuaji wa familia yake ikiwa ni pamoja na yule aliyemubaka na kumuua dada yake.Kilichomuudhi ni kutopatikana kwa taarifa zozote juu ya wauaji hao kutoka Jeshi la polisi.Aliamini kama jambo hilo lilifanywa na binadamu kama yeye basi siri hiyo lazima angeigundua.Siku chache akiwa nyumbani kwa babu yake wakati wa usiku wa manane alishtuka usingizini baada ya kusikia mngurumo wa gari.Aliamka na kufunua kidogo pazia la dirisha la chumba alichokua analala alimshuhudia Mr.Carlos Mato aliyemtambua kama mjomba wake akishuka kwenye gari hilo.Mara baada ya kushuka Mr.Mato alianza kutembea akielekea kwenye nyumba hiyo ya babu yake na punde taa za gari hilo zilizimwa.
Sekunde chache baadaye alisikia kelele za mlango ukigongwa na hatimaye ulifunguliwa na babu yake Mzee Mushi.Alimsikia Mzee Mushi akimweleza bibi yake awashe taa ya mafuta.Alitamani kwenda sebuleni ila kutokana na uchovu aliokua nao alimua kubaki chumbani kwake.Mawazo yake yote yalimfanya awe na furaha akiamini mjomba wake Mr.Carlos Mato huenda alienda kumchukua ili wakaishi wote jijini Dar es salaam.Jambo hilo lilimfanya atege sikio vizuri kusikiliza ambacho kingendelea,hilo liliwezekana kwa vile chumba hicho kiliruhusu kusikika kwa sauti za watu sebuleni.
Alishtushwa na Sentensi ya kwanza iliyoeleza”Mzee Mushi usihofu nimekuja kuwaongeza na mkeo katika idadi ya watu kuzimu,hivyo muwe na amani tu”Sentensi hiyo ilimfanya Kenny kuamka taratibu na kukaa katika kitanda chake.Mshtuko huo uliongezeka kutokana na maelezo yaliyotolewa na Mr Carlos kuwa yeye ndiye aliyemubaka na kumuua Juliana na ndiye aliyehusika na kifo cha familia yake.Hasira zilipanda na kwikwi kwa pamoja akiwaza kufanya jambo, kabla hajafanya lolote alishtushwa na mlio wa risasi uliosikika sebuleni.Aliishiwa nguvu na kuangukia kitanda chake alibaki ametoa macho hata mdomo ulikua mzito kuongea.Alisikia tu mlio wa gari likiondoshwa mbele ya nyumba yao lakini hakuwa na nguvu ya kuinua hata meno.Baada ya nusu saa watu wengi walikusanyika nyumbani kwao na walimsaidia kwa kumtoa nje ili apulizwe na upepo.Vilio vya watu vilitawala eneo la nyumba ya Mzee Mushi, watu wengi hawaelewi makosa yaliyofanywa na familia hiyo.Zinaibuka hisia kuwa Mr John Mushi huenda alifanya dhuluma ambayo mtu aliyedhulumiwa alikuwa analipiza.Lakini hilo nalo lilionekana siyo kigezo cha msingi cha mauaji hayo katika familia hiyo.
Baada ya muda mfupi Kenny alirudi katika hali yake ya awali na kuanza kulia kwa sauti ya juu.Alipelekwa mpaka kwenye chumba kilichowekwa miili ya babu na bibi yake wakiwa wamefariki.Alilia akiwakumbatia akiwa haamini kuwa alikuwa nao katika masaa machache yaliyokuwa yameshapita.Hasira zake zinatawala juu ya muuaji wa familia yake Mr.Carlos Mato, alilia akijibamiza katika kuta za chumba hicho.Majirani kadhaa walijitahidi kumtuliza moyoni aliumia sana akiwakumbuka wazazi wake na dada yake Juliana zaidi ni kifo cha babu na bibi yake.Jambo lililomkaa moyoni ni kulipa kisasi kwa mkono wake mwenyewe pasipo msaada wa mtu mwingine.Hataki siri hiyo hata polisi wajue kwani haoni mchango wao kwake.Siku zote hakuhisi na kudhania mtu aliyekuwa akiheshimika kama mjomba yake alikuwa katili kiasi kile.
Siku iliyofuata taratibu za mazishi zilifanyika na Mzee Mushi na Mkewe wakazikwa.Mara baada ya mazishi polisi walimuita kando Kenny na kuhitaji kutoka kwake chochote kilichohusiana na kifo cha bibi na babu yake.Hakutoa siri hiyo hata kidogo,ingawaje alikuwa na umri a miaka nane wakati huo lakini alikuwa na mtazamo wa mbali.Alijua hata akiwapa siri hiyo askari wa Jeshi la Polisi wangeishia kutomuadhibu Mr.Carlos Mato kutokana na uwezo wake kifedha.Jambo hilo pia aliona lingekatisha jitihada zake za kufanikiwa kumuua Mr.Carlos Mato kwani aliamini angekufa kabla ya Mr.Carlos.
Jambo lililomdhihirishia Mr.Carlos Mato alikuwa akiigiza katika misiba na kumuona ni muuaji hakushiriki msiba huo kama alivyokuwa akishiriki hapo awali.Baada ya msiba huo Kenny alianza kuishi na mtoto wa babu yake mkubwa.Alikuwa ni mama mtu mzima ambaye katika maisha yake hakubahatika kupata mtoto.Mama huyo ambaye Kenny alimtambua kama shangazi yake alikuwa hana kazi yoyote.Waliishi katika nyumba hiyo ya marehemu babu yake Mzee Mushi wakitegemea shamba la kahawa lililozunguka nyumba hiyo pamoja na mauzo ya ndizi.Kwa vile Mzee Mushi alifanikiwa kuwa na shamba kubwa la migomba ya ndizi kama ulivyo utamaduni wa wachaga.
Maisha yaliendelea kwa taabu, kila siku mara baada ya kuamka Kenny alijenga utamaduni wa kuitazama picha ya familia yao kabla ya kufariki kwa Juliana. Mara zote alidondokwa na machozi lakini pia hakuacha kuzitazama picha za muuaji Mr.Carlos Mato na kila baada ya kuzitazama alikunja uso kama alikuwa amepigwa.Hasira zake siku zote aliwaza kulipiza kisasi kwa njia yeyote.Aliendelea na msomo katika shule ya msingi Umbwe akijitahidi kujifunza mambo tofauti ili yamjenge katika maisha yake ya baadaye.Siku zote aliamini atafanikiwa kulipiza kisasi kwa kuitafuta elimu na mwisho kuwa na fedha za kutozidiwa na Mr.Carlos.Alielewa wazi asipotafuta maisha yake mazuri hawezi kufanikisha jambo lolote.

* * * * *
Mr.Carlos moyoni alipata amani akiamini kila kitu alikuwa amekimaliza, jitihada zake ziligeukia katika kundi lake la Tanzanian Gangstars ili kuhakikisha mafanikio katika maisha yake.Aliamua kujenga nyumba yake nyingine maeneo ya Mbezi Beach na ile ya awali ya Mikocheni ilianza kutumiwa kwa shughuli za biashara ya Dawa za kulevya na kuendeleza vikao vya ujambazi.Vyumba vingi vya nyumba hiyo vilihifadhiwa silaha tofauti za shughuli zake.
Mr.Carlos pia alifungua maabara katika nyumba yake ya awali ya Mikocheni, maabara hiyo ilikuwa maalumu kwa ajili ya upasuaji wa maiti na kuweka dawa za kulevya na kusafirisha kirahisi, alikuwa akinunua maiti kwa wafanyakazi wa hospitali tofauti waliofanyia mochwari.Maiti nyingine alizozinunua zilikuwa ni zile ambazo hazikutambuliwa.Utajiri wake uliendelea kukua siku hadi siku, jambo lililomfanya ajijengee tabia katika jamii ya kutoa msaada mara kwa mara.Jina la Mr.Carlos Mato linakuwa kubwa kila kona ya Tanzania hakuna asiyemtambua hata nchi za karibu.Yote hiyo ilitokana na utajiri wake na ukarimu aliokuwanao kwa raia wa nchi.Wakati huo wanawe walisoma sehemu tofauti bara la ulaya akiwepo mtoto wake wa pili Steven na wa mwisho aliyeitwa Mary. Mwanaye Jane tayari alikamilisha masomo yake na alikuwa akifanya kazi jijini London nchini Uingereza.
Watu wengi hawatambui siri ya misaada ambayo Mr.Carlos aliitoa kwa watanzania.Alikuwa akitangaza ofa ya kuwapeleka nchini India watu kutibiwa magonjwa ya moyo,mapafu na mengineyo lakini siku zote alikuwa na makusudi yake.Mara nyingi aliwapeleka watu zaidi ya Thelathini kutibiwa nchini India,matatizo hayo ya mapafu na moyo.Lakini kati yao ilikuwa ni lazima itokee watano wanarudishwa wakiwa wamefariki.Taarifa zilizokuwa zinatolewa zilidai walizidiwa sana na madaktari walishindwa kuokoa maisha yao.Lakini ukweli haukuwa huo watu hao waliofariki wengi wao waliuawa kwa makusudi na miili yao ilikuwa ikitumiwa kusafirisha dawa za kulevya kabla ya kurudishwa nchini Tanzania. Jambo hilo halikumharibia Mr.Carlos hata kidogo katika uhusiano wake wakaribu na wananchi.Watu waliamini vifo vya ndugu zao vilitokana na kushindikana kwa jitihada za madaktari wa India.Fedha ambazo Mr.Carlos alizipata kupitia kusafirisha dawa za kulevya zilikua mara tatu ya zile alizozitumia kuwatibu wachache waliorudi salama.
Hivyo ndivyo maisha ya Mr.Carlos yalivyoendelea pasipo watu kuujua ukweli wake wowote.Alipoteza utu kwake kuua lilikuwa jambo la kawaida, jina la rafiki yake wa enzi hizo marehenu Mr.John Mushi lilipotea kabisa kichwani mwake na hakukumbuka yaliyojiri.

* * * * *
Baada ya masomo yake ya shule ya msingi, Kenny John anafanikiwa kufaulu na kuchaguliwa kujiunga shule ya sekondari Umbwe.Shule iliyokuwa Moshi vijijini kata ya Kibosho ambayo ilipakana na shule ya msingi Umbwe aliyoisoma kabla ya kufaulu kwake.Shangazi yake aliyeishi naye ambaye alizoeleka kama mama Mushi alianza jitihada za kuuza kahawa pamoja na ndizi ili kufanikisha kujiunga kwa Kenny kidato cha kwanza kutokana na ugumu wa maisha ilimpasa aanze kuandaa fedha za ada ya Kenny mapema.Wakati huo Kenny alifanya vibarua sehemu tofauti na fedha aliyopata alimpa shangazi yake aongezee kwenye ada.Siku zote alikuwa tayari kufanya kazi yoyote ambayo aliamini ingemsaidia katika maandalizi ya kulipiza kisasi kwa Mr.Carlos.
Hatimaye alijiunga na shule hiyo ya wavulana ya Umbwe iliyokuwa ya bweni na kuanza masomo yake.Alifurahi sana akiamini ndoto zake za kulipiza kisasi zilianza kukamilika.Akiwa shuleni hapo iliyokuwa na kidato cha kwanza hadi cha sita,mapema alijiunga na kikundi cha wanyanyua vyuma na kuanza kujenga mwili wake.Alifanya hivyo kwa vile alitambua mtihani ambao ungemkabili miaka ya usoni.Hakuishia kujenga mwili kwa kunyanyua vyuma bali pia alisoma kwa bidii ili kukamilisha ndoto zake.Siku zote akiwa shuleni hapo hakupenda kungalia televisheni ya shule kutokana na sababu kubwa ya vituo vingi kumuonesha Mr.Carlos akitoa misaada sehemu mbalimbali.Jambo kubwa lililomuudhi kwa vile alimtambua Mr.Carlos vizuri na aliamini misaada aliyoitoa haikuwa ya bure.Akiwa shuleni hapo alichukizwa pia na tabia ya wanafunzi kubishana juu ia matajiri waliongoza Tanzania na wengine walimtaja Mr.Carlos jambo lililomfanya asipende kukaa karibu na mabishano hayo.
Mafanikio yake kitaluuma yalionekana kutokana na juhudi zake na alifanikiwa kuongoza darasa lake mara kadhaa.Miaka mitatu baadaye akiwa kidato cha tatu alionekana akiwa mrefu,kifua kilicho tanuka na sura ya kuvutia.Mtu yeyote ambaye angemuona angegundua Kenny alikuwa mtu wa mazoezi, kutokana na muonekano wake wa kuvutia ndiyo uliosababisha atafutwe na wasichana wa shule tofauti mkoani Kilimanjaro, lakini alipuzia hisia zao na siku zote hakufikiria kitu kingine zaidi ya malipo ya kisasi. Kenny alifahamika vizuri shule tofauti mkoani Kilimanjaro kutokana na kipaji chake cha kuigiza kilichowavutia wanafunzi wa kike.Katika matamasha mengi ya mashule,watu walifurahishwa na jinsi alivyokuwa mcheshi katika kuigiza akiwa na kila sababu ya kuwa muigizaji.

ITAENDELEA

NAMPENDA ADUI YANGU – 2

Related image

Chombezo : Nampenda Adui Yangu
Sehemu Ya Pili (2)

Ilipoishia…

Moyoni alivunja dhana ya uoga na kujikuta akiweka dhamira ya kuhakikisha anampata kimapeanzi katika siku za usoni. Heshima aliyo jijengea kwa rafiki yake John anaipoteza ndani ya dakika chache za maamuzi yake.
Hatimaye safari inakamilika baada ya kuwafikisha wanafunzi hao shule ya Northern England katika jimbo la Middlesbrough nchini Uingereza na anawaachia fedha za kutosha, hata hivyo Juliana hukugundua jambo lolote lililokuwa kichwani mwa mjomba wake Carlos.
* * * *
Endelea….

John alikuwa amejijenga katika biashara zake akiwa na uwezo wa kuingiza Tanzania kontena tano za mzigo wa nguo. Nguo alizonunua Dubai nchini United Arab Emirates (U.A.E). Hakuwa na shaka kwa mahitaji ya familia na ndugu zake walioishi kwao wilaya ya Moshi vijijini mkoani Kilimanjaro. Siku zote alimtegemea mtoto wake wa kwamza Juliana akiamini akisoma atakuwa tegemeo la familia. Alimpenda sana kitu kilichomfanya amtimizie mahitaji yake yote aliyohitaji. John alibahatika kupata watoto wawili tu, Juliana na Kenny aliyekuwa na umri wa miaka mitano.
Mr Carlos baada ya kurudi Tanzania alielekea moja kwa moja nyumbani kwake Mikocheni na kulakiwa na mkewe. Hakupenda watoto wake wawepo nyumbani hivyo kujenga mazingira ya wanawe kutojua shughuli alioifanya, ikiwa ni pamoja na vikao vya ujambazi. Kudhihirisha hilo hata mtoto wake wa mwisho aliyekuwa na miaka minne kati ya watoto wake watatu alikuwa amepelekwa shule ya bweni, watoto wake hao walikuwa ni Jane aliyekuwa masomoni Uingereza, Steve aliyekuwa na miaka kumi na wa mwisho aliitwa Mary.
Carlos aliendeleza shughuli zake na kundi lake la ujambazi la Tanzania Gangstars kwa umakini mkubwa. Dhamira yake ya kumpata Juliana kimapenzi bado ilimkaa kichwani na aliwaza kuifanikisha kwa njia yeyote. Anaendeleza urafiki wa karibu na John asiye tambua dhamira ya Carlos kwa mwanae Juliana. Miezi sita baadae Jane na Juliana wanarejea tena Tanzania kwa ajili ya likizo yao nyingine tena. Ujio wao unakuwa wa faraja kwa Carlos ambaye sio kwamba alimkumbuka mwanae tu bali pia ilikuwa wakati wa kuhakikisha anampata Juliana.
Kadri siku zilivyokuwa zinaenda Carlos alitafuta njia ya kumpata Juliana lakini hakufanikiwa, mpaka akaanza kupoteza matumainia ya kumpata, muda mwingi Jane alikuwa na Juliana kama ilivyo kuwa kawaida yao. Siku moja ya Jumapili wakati Mr Carlos akiendesha gari lake kutoka kwenye geti la nyumba yake ya kifahari. Ikiwa yapata saa tisa na nusu alasiri mara tu baada ya kutoka nje ya geti hilo alishuhudia gari dogo “Toyota mark II” likiwa na uelekeo wa kuingia nyumbani kwake. Alifunga breki za gari lake na kuziba sehemu ya mbele ya geti hilo. Hatimaye ile “Toyota mark II” nayo ilisimama na alishuka msichana mmoja mrembo na mrefu aliyependeza kwa nguo alizovaa. Toka chini mpaka juu alivaa mavazi yenye rangi nyekundu ikiwa ni pamoja na pochi aliyoishika mkononi, Mr Carlos moyo wake ulilipuka kwa furaha baada ya kugundua alikuwa ni Juliana.
Juliana alisogelea kwenye gari lake na kumsalimia Mr Carlos ikiwa ni baada ya kumpa fedha dereva taksi wa “Toyota mark II” ambaye aligeuza gari lake na kuondoka.
“Anko unaenda wapi tena? Mimi ndiyo nakuja kwenu hivyo” alimuuliza Juliana, Mr Carlos ambaye mawazo yake tayari yalishafika mbali akiamini ni lazima siku hiyo afanye mapenzi na Juliana hata ikimbidi atumie nguvu ya ziada . “aah! huko hakuna mtu Jully” alimjibu Mr Carlos akiwa ameutupisha jina hilo kama ilivyokuwa kawaida yao. Carlos alimueleza Juliana kuwa Jane alikuwa ameondoka na mama yake na kumuahidi angempeleka sehemu waliyokuwapo kwa mapumziko. Baada ya kusikia hayo Juliana alifungua mlango wa nyuma wa gari aina ya “Toyota Surf” na kukaa katikati ya viti vyake.
Mr Carlos aliendesha gari kuliondoa mlangoni alipo liegesha na kuliegesha tena pembeni kidogo. Alimueleza Juliana kuwa anaenda kuchukua fedha hivyo asubiri kidogo jambo ambalo alimuelewa mjomba wake. Alibaki ndani ya gari hilo ambalo vioo vyake havikuruhusu mtu wa nje kona yaliyokuwa ya kijiri ndani ya gari hilo.
Mr Carlos alitumia mlango mdogo wa geti la nyumba yake aliingia na kunyoosha kuelekea sehemu ya chini ya nyumba yake. Mara baada ya kuingia katika sehemu hiyo ambayo ni maalumu kwa vikao na vijana wake aliongoza mpaka kwenye stoo ya silaha. Punde alipofungua alichukua begi dogo na kuweka bastola ikiwa na risasi alichukua bomba la sinidano na kufyonza aina fulani ya dawa iliyokuwa kwenye kichupa kidogo. Baada ya dawa hiyo kumtosha nayo aliiweka kwenye lile begi, aliongeza kisu, kiberiti pomoja na misokoto miwili ya bangi. Alianza kuondoka katika sehemu hiyo ya chini ya nyumba yake baada ya kufunga milango yote. Taratibu alisogelea geti na kumuaga mlinzi kwa mara ya pili ambaye naye pia alikuwa ni jambazi. Alipenda kuajili watu hao ili kutunza siri za kazi zake. Alilisogelea gari lake na kufungua mlango wa nyuma wa gari hilo ambako Juliana alikaa akimsubiri. Mara baada ya kufungua alikaa siti ya pembeni na Juliana akasikika kwa sauti ya chini akimueleza Juliana “kuna majambazi wamevamia eneo hili” aliongea akiwa amemgeukia dada huyo, “unasemaje majomba….” Alishtuka Juliana na kuuliza sentensi ambayo hakuimalizia, Mr Carlos alimbana mdomo wake kwa mkono wa kushoto uliokuwa na kitambaa chake cheupe. Juliana alijaribu kutoa mkono huo lakini ilishindikana, kwa kasi Mr Carlos alitoa bomba la sindano kwenye begi lake na kumchoma kwenye moja ya mishipa ya Juliana ya shingoni. Alimbana zaidi kwa mikono miwili ili asiweze kujitoa, kwani Juliana aliagaika kwa kila namna ili ajinasue kwenye mikono ya Mr Carlos.
Dakika tano baadae Juliana alitulia kabisa hakuchezesha hata mkono wake. Ni muda ambao Mr Carlos alishuka na kufunga milango sawasawa kabla ya kuzunguka upande wa pili wa uskani na kuwasha gari, aliliondoa kwa kasi eneo la nyumbani kwake. Baada ya masaa matatu walikuwa eneo la kilometa kadhaa kando ya mto Ruvu mkoani Pwani. Alikuwa katika eneo lililokuwa na vichaka vingi ambalo halikuwa ma makazi ya watu. Juliana alilazwa katikati ya siti za nyuma za gari la Mr Carlos, alionekana kuwa katika usingizi mzito. Hakuwa amevaa nguo hata moja, alikuwa mtupu kama alivyozaliwa. Mr Carlos ndiye aliyemvua nguo hizo na aliziweka pembeni kidogo mwa gari hilo mara baada ya kufunga milango yote ya gari lake. Mkononi alikuwa ameshika msokoto wa bangi akiuvuta akiwa ameegemea gari lake. Mwanzoni hakupanga kumuua Juliana ila alifikiria kufanya hivyo ikabidi. Alipanga kuongea na Juliana ili awe msichana wake wa starehe ya ngono. Mara baada ya kumaliza kuvuta misokoto miwili aliyokuwa ameiweka awali nyumbani kwake alimsubiri Juliana azinduke kutoka usingizini. Ilikuwa yapata saa kumi na mbili na nusu, alihisi gari lake likitikisika hivyo haraka akaingia kwenye gari alimuona Juliana akiwa amezinduka lakini alijishangaa.Baada ya kutoelewana maongezi yao yaliyojaa ubishani kwa muda mrefu, Mr Carlos alichukuwa jukumu la kuanza kumbaka. Masaa matatu baadae alikuwa ameshatimiza zoezi lake, muda huo Juliana alikuwa ameshapoteza fahamu.
Mr Carlos alichukua simu yake na kumpigia kijana wake aliyemuamini James na kumuelekeza sehemu alipo, akimtaka aende eneo hilo la Ruvu, baada ya zoezi la kupiga simu aliizima kabisa. Masaa mawili baadaye James alikuwa amewasili eneo husika na kuelezwa yote yaliyokuwa yametokea. Lengo la Mr Carlos lilikuwa ni kutaka kumuua Juliana, alitaka amsidie kumtupa msichana huyo katika mto Ruvu. Baada ya kuelewana vizuri Mr Carlos alitoa kisu kilichokuwa na ncha kali kwenye begi lake na kuingia ndani ya gari na kumtoa Juliana. Mara baada ya kumtoa Juliana alimueleza James kuwa amzibe mdomo Juliana ambaye alikuwa bado kapoteza fahamu. Bila ya huruma Mr Carlos alimshindilia Juliana kisu alichokielekeza kifuani mwa msichana huyo mara tatu. Walimshikilia kwa muda kidogo wakati akijaribu kujitupa huku na huko na mwishowe alituria kabisa. Walimbeba juujuu kuelekea upande ambao kulikuwa na mto Ruvu, wakiziacha gari zao zikiwa hazijawashwa hata taa moja na kufanya eneo hilo kuwa la giza. Baada ya kutembea kwa muda mfupi waliufikia mto huo na kuurusha mwili wa Juliana kwenye maji. Walirudi kwa kukimbia eneo waliloacha magari yao, Mr Carlos alichukua jukumu la kuchoma nguo ambazo awali alimvua Juliana.
“James hii ni siri, kama zilivyo siri zetu za ujambazi” alisikika Mr Carlos akimweleza James “bila shaka” alijibu James kikamavu kumhakikishia bosi wake kutovuja kwa siri hiyo, waliwasha magari yao na kuondoka kwa kasi eneo hilo na safari ikaanza ya wao kurudi jijini Dar es salaam.
* * * *
Saa kumi na moja asubuhi simu ya Mr Carlos iliita ikiwa ni dakika chache tu tangu aiwashe mara baada ya kusoma jina anagundua ni rafiki yake Mr John Mushi. Bila uoga anaipokea “haloo” “haloo vipi Mr Carlos nimekutafuta sana toka jana” aliuliza Mr John sauti iliyomfikia Carlos kupitia spika yake ya simu.
Pole rafiki yangu nilichoka sana, jana hivyo ikanibidi nizime simu mapema na kulala, kwani vipi?”aliuliza Mr Carlos ingawaje jibu alilijua
“Juliana hakurudi jana nyumbani, kwani hakuja kwenu”? “hapana hakuja…..” alijibu Mr Carlos ambaye baada ya kujua tatizo la rafiki yake John Mushi alimuahidi angekuwa nyumbani kwake baada ya muda mfupi. Alimweleza John kuwa hilo lilikuwa tatizo kubwa na lilihitaji ufumbuzi wa haraka.Mr Carlos alimuaga mkewe na kuondoka alfajiri hiyo akimweleza kuwa rafiki yake John alikuwa na matatizo
Hakuchukua muda mrefu sana Mr Carlos alikuwa akipiga honi ya gari yake mbele ya geti la nyumba ya John Mushi iliyokuwa Kimara Baruti, mara baada ya geti hilo kufunguliwa aliendesha gari lake mpaka sehemu ya kuegesha magari. Alipokelewa na John aliyekuwa nje wakati huo, ambaye alimueleza kwa uchungu hofu yake kwa mwanae ambaye hakurudi nyumbani.Mkewe na mwanae mdogo Kenny walikuwa wakilia kutokana na hofu ya uhai wa Juliana. John na Carlos waliongozana mpaka ndani na kuanza kushauriana juu ya jambo hilo, tayari simu ilikwisha pigwa kituo cha polisi kutoa taarifa ya kupotea kwa Juliana jambo ambalo John alikuwa ameshakwisha lifanya. Taarifa hiyo kituo cha polisi haikusaidia kwani mpaka inatimia saa tano asubuhi, hapakuwepo na taarifa zozote za kupatikana Juliana. Mr Carlos aliyeonekana kuwa na majonzi makubwa alishirikiana bega kwa bega na rafiki yake kutafuta ufumbuzi wa tatizo hilo, hatimaye Mr Carlos anaamua kuchukua jukumu la kugharamia matangazo katika vituo vya televisheni na radio kutangaza kupotea kwa Juliana. Matangazo hayo nayo hayasaidii lolote kwani hakuna taarifa zinazopatikana.
Maelezo ya mlinzi wa Mr John anadai siku ya tukio la kupotea kwa Juliana aliondoka akidai angerudi baada ya muda mfupi na hajui kilichoendelea. Mchakato wa kumtafuta Juliana unaendelea pasipo mafanikio, hata siku nne zinapita bila kupatikana kwake. Tayari vijana kadhaa wasio na ajira wanaoishi maeneo ya Kimara Baruti wanakamatwa, likiwa ni shinikizo la Mr Carlos. Alidaiwa huenda vijana hao waliokaa vijiweni walihusika kwa namna moja au nyingine hivyo walitaka maelezo yoyote kutoka kwa vijana hao.
Hata hivyo hakuna lililofanikiwa, siku ya tano zilipatikana taarifa za kutolewa mwili wa msichana ulioharibika vibaya katika mto Ruvu. Jambo lililomfanya Mr John kuhitaji kuutambua mwili huo, aliongozana na rafiki yake Carlos mpaka katika hospitali kuu ya taifa ya Muhimbili.Mara baada ya John Mushi kuuona mwili huo akiwa rafiki zake kadhaa akiwemo Mr Carlos hakutambua chochote. Hiyo ilitokana na kuharibika kwa mwili huo ambao hata sura yake haikueleweka hata kidogo.
Madaktari walichukua jukumu la kuanza kufanya uchunguzi wa mwili huo. Masaa nane baadaye wanatoa taarifa kuhusu mwili huo kuwa ulikuwa wa Juliana. Walidai alibakwa kabla ya kuuawa kwa kuchomwa na kisu chenye ncha kali kifuani mwake. Taarifa hizo zinammaliza nguvu John Mushi haamini aaliyoyasikia lakini anajikaza kiume akisaidiwa na rafiki zake wakiongozwa na Mr Carlos. Mikakati ya mazishi inaanza kufanyika ikiongozwa na Mr Carlos ambaye anagharamia mambo mengi muhimu ya msiba huo. Baada ya maandalizi yote kukamilika mwili huo unasafilishwa kuelekea mkoani Kilimanjaro kwa maziko.
Familia ya Mr John inajawa na majonzi ikiwa ni pamoja na ndugu na jamaa waliojumuika katika msiba huo wa kusikitisha. Jane analia kwa uchungu akiwa haelewi kisa cha kifo cha rafiki yake waliyejaliana kama ndugu. Baada ya mazishi kufanyika wilaya ya Moshi vijijini eneo la Kibosho ,watu wanatawanyika na siku kadhaa baadae John anarudi jijini kuendeleza shughuli zake.hasira zake ni kwa mtu aliyemfanyia kitendo cha unyama mwanae.Anawahimiza askari wa jeshi la polisi kuendeleza jitihada kuhakikisha aliyehusika na mauaji hayo ya kinyama anakamatwa.
John hakusahau fadhila alizofanyiwa na mr. Carlos katika kipindi kigumu cha kumtafuta mwanae ikiwa ni pamoja na gharama alizogharamia katika msiba.Anaandaa siku maalum ambayo anaenda na familia yake nyumbani kwa mr.Carlos kushukuru fadhira zake. Bado mr.Carlos anamuahidi kuendelea kushirikiana naye kuhakikisha aliyehusika na tukio hilo anakamatwa .
Mwezi mmoja baadae hali ya kiafya ya John inadhoofu kwa kiasi fulani hii ilitokana na kutopata taarifa zozote za muuaji wa mwanae. Lakini anafarijika na mawazo tofauti aliyoona yanamjenga aliyopewa na rafiki yake wa karibu mr.Carlos.
* * * *

Katika matendo mengi ya kinyama aliyoyafanya katika maisha yake , mr.Carlos hakuna hata mkasa ambao ulimgusa zaidi ya ule aliomfanyia Juliana. Hiyo yote ilitokana na ukaribu wake na John Mushi, ikiwa pamoja na msichana huyo aliyekua akiwa anamuona tangu utoto wake. Hata hivyo jambo hilo halimuumizi kichwa na analichukulia kama la kawaida tu . Katika upelelezi wa kesi hiyo Mr. Carlos anachangia kuudhoofisha baada ya kumshauri John wasubiri ushauri wa polisi , jambo hilo linasababisha ufuatiliuaji mubovu wa kesi hiyo unaofifia siku hadi siku.
Baada ya muda mrefu kuwa na rafiki yake, akimfariji kwa matatizo aliyoyapata. Mr Carlos anaamua kuandaa mbinu za kufanya ujambazi katika kiwanda cha pamba mkoani Mwanza. Kufanikisha hilo anaamua kusafiri kwa ndege hadi mkoni Mwanza na kuanza upelelezi wake mwenyewe na kubaini mapungufu ya ulinzi wa kiwanda hicho. Anampigia simu kijana wake anaemuamini zadi James na kumueleza juu ya ujambazi aliotaka waufanyae.
James anawapigia simu majambazi wenzake na kuwaeleza wakusanyike nyumbani kwa Mr. Carlos maeneo ya Mikocheni. Masaa mawili baadae tayari vijana wa Tanzania Gangster walikuwa nyumbani kwa Mr. Carlos wakishiriki kikao cha mbinu za kuvamia kiwanda cha pamba. Ilikuwa yapata saa saba na nusu usiku, Mr. carlos aliawafundisha mbinu kadhaa za kufanikisha ujambazi huo. Mbinu ambazo alizitoa akiyakumbuka vizuri mazingira ya kiwanda hicho. Baada ya masaa mawili ya maelekezo aliyoyatoa Mr. Carlos, alitoa maagizo kuwa ujambazi huo ufanyike ndani ya siku tano. Kazi ilianza siku iliyofuata kwa kundi la watu saba kusafiri kuelekea mwanza. Mr carlos aliwachagua watu aliyowaamini sana wakiongozwa na James. Aliwapa silaha za kufanikisha zoezi hilo kama ilivyokuwa kawaida yake.
Majambazi wengine ambao hawakuchaguliwa kuelekea mkoni Mwanza, walielezwa waendelee na shughuli nyingine za unyang’anyi jijini, siku iliyofuata wale majambazi walianza safari kwa kutumia magari mawili kuelekea Mwanza. Walipenda kutumia magari kutokana na usafiri huo kuwa na ukaguzi hafifu wa polisi ukilinganisha na usafiri wa ndege. Moyoni Mr carlos alianza kuingiwa na furaha na kuamini kupata mamilioni ya fedha. Hiyo ilitokana na uwezo wa kundi lake ambalo halikushindwa jambo lolote kirahasi. Anaamua kuendelea na shughuli zake kama kawaida akisubiri siku tano alizitoa kuleta mafanikio.
Siku ya tano ambayo ndiyo siku ya ujambazi alikuwa nyumbani kwa Mr. John pamoja wakiangalia televisheni sambamba na kubadilishana mawazo.Ilikuwa yapata saa nane mchana kituo hicho kilisitisha matangazo mengine. Mtangazaji alieleza kulikuwa na habari za ujambazi zilizo wafikia kutoka mkoani Mwanza Mr John na Carlos wote walikaa vizuri kusikiliza habari hiyo. Mtangazaji alieleza kuwa watu tisa wakiwemo polisi wanne na majambazi watano walikuwa wamefariki. Alidai tukio hilo lilitokea katika kiwanda cha pamba mkoani Mwanza. Majambazi wawili kati ya hayo saba walitoroka kwa gari na mmoja wao akiwa kujeruhiwa mguu.
Taarifa hiyo ilimfanya Mr Carlos kutoa jasho kila sehemu ya mwili wake. Usoni alitokwa jasho kama alikuwa ametoka kuoga, ni jambo ambalo Mr John alishangaa na hakupata jibu. Mr Carlos aliondoka nyumbani kwa Mr John bila kumuuaga jambo ambalo hakupata jubu. Mr carlos aliondoa gari lake kwa hasira na moja kwa moja kuelekea nyumbani kwake, mara baada ya kufika nyumbani kwake na kumpa taarifa hizo mkewe alianza kumtafuta James kwenye namba yake ya simu,hakupatikana. Hofu ilimjaa moyoni akiwaza kama kulikuwa na vielelezo vyovyote vinavyo mtambulisha yeye na tukio hilo. Kitu kilichomuudhi zaidi ni kutofanikiwa kwa zoezi hilo. Aliona kama ni kudhoofu kwa kundi lake la Tanzania Gangster. Alijaribu kwa muda tofauti kupiga namba za majambazi wengine alizokuwa nazo hazikupatikana hewani.
Siku moja baadae jeshi la polisi mkoani Mwanza lilieleza kuendekea na zoezi lake la kuwasaka majambazi wangine waliotoroka. Ni siku ambayo alipokea simu kutoka kwa rafiki yake John akitaka kujua sababu ya mshtuko wake. Mr Carlos alimueleza Mr John alishtuka kutokana na sababu yake ya kuwa mmoja ya wamiliki wa kiwanda kilichovamiwa cha pamba. Alimueleza alikuwa na hisa nyingi katika kiwanda hicho,sababu ambayo Mr John aliiridhia na kumpa pole kwa mkasa huo. Hiyo yote iltokana na imani aliyomjengea rafiki yake, na hakutaka kujua jambo zaidi.
Siku ziliendelea kuongezeka bila ya polisi kuwakamata majambazi waliotoroka. Mr Carlos naye hakupata simu kutoka kwa vijana wake James na Tabayu walio kimbia. Alitambua kuwa hao ndio walio pona kwenye mkasa huo baada ya majina ya waliofaraiki kutangazwa na yao kutokuwepo. Hatimaye wiki mbili zilikatika bila taarifa yeyote ya majambazi waliotoroka.

* * * *
James na Tabayu walikuwa katika kijiji cha Kibiri kilichokuwa karibu na jangwa dogo la Njiri kusini mwa nchi ya Kenya. Walikuwa kwa babu mmojo mwindaji aliyeishi kwenye pori dogo pembeni ya kijiji hicho. Walifika eneo hilo baada ya safari ya misukosuko iliyofuatia baada ya kushindwa kwa jaribio la ujambazi, mara baada ya kushindwa na kukimbia mkoani Mwanza walielekea mkoani Mara na kutelekeza gari lao kabla ya kusafiri kwa mabasi. Waliunganisha safari yao mpaka eneo hilo kuuhofia usalama wao. Hawakuwa na simu kwa vile ya simu ya James waliyoitumia zaidi aliipoteza katika purukushani hizo za kuukimbia mkono wa jeshi la polisi
James alikuwa ameumizwa na risasi liyopenya sawasawa kwenye goti lake la kushoto.hakuna huduma yeyote aliyoipata wakihofia wakienda hospitali wangehitaji maelezo ya kutosha. Babu mwenyeji wao ambaye aliishi peke yake aliwaelewa maelezo yao kuwa walivamiwa na majambazia nyumbani kwao. Babu huyu alichukua jukumu la kufanya jitihada za kuitoa risasi hiyo katika mguu wa James. Alifanya jitihada hizo kwa kutumia mjani ya porini, baada ya jitihada zake za siku ya tatu, anafanikiwa kuitoa risasi kwenye mguu uliokwisha anza kuoza. Tabayu hakufanya jambo lolote zaidi ya kutaka kujua hatma ya mguu wa James. Baada ya kutoa risasi hiyo James akaanza kutumia majani ya porini katika jitihada za yule babu za kuuponya mguu wake. Majani hayo hayakumsaidia kitu zaidi ya mguu huo kuendelea kuoza kwa kasi. Tabayu anaamua kuchukua jukumu la kuondoka porini pale na kwenda kijiji cha karibu ili kufanya mawasiliano na Mr Carlos. Hilo lingewezekana kwa kuwa alikuwa na kadi ya mawasiliono ya bosi wake. Anaanza safari kuelekea kijiji hicho na kutumia mwendo wa saa moja.
Mara baada ya kupata sehemu ya kupiga simu katika kijjiji hicho, anampipgia simu Mr Carlos na kumueleza mkasa mzima ulivyokuwa. “kwa hiyo mguu wa James unaendelea kuoza” aliuliza Mr Carlos, “ndiyo….” alijibu tabayu, “kwani huna hata bastola?” aliuliza tena Mr carlos, “ninayo bosi kwani ulitakaje”
“kama unayo unasubiri nini mmalize kwa kumuua, kwenye kundi la Tanzania Gangster hatukai na walemavu ” alisikika Mr Carlos akimuagiza Tabayu. Mr Carlos alimtaka Tabayu mara baada ya kumuua James arudi haraka Dar es salaam. Tabayu alianza tena safari ya kurudi porini alikomuacha James. Kazi aliyo agizwa na bosi wake ilikuwa ngumu na hakufikiria kuifanya hata kidogo. Alimuheshimu sana James japokuwa Tabayu alikuwa katili aliona ni vigumu kumuua bosi wake James kwani aliwaongoza vizuri katita matukio mengi ya ujambazi na aliwapa fedha za kutosha zilizokuwa zikitlewa na Mr Carlos. Kichwani aliwaza jambo la kumuepusha James katika adhabu ya kifo. Mara baada ya kurudi nyumbani kwa yule babu, aliamua kuongea na James wakiwa peke yao. Alimueleza kila kutu alichoelezwa na bosi wao Mr Carlos jambo ambalo lilimsikitisha sana James. Hakuamini aliyoyasikia kuwa auawe ni agizo kutoka kwa bosi wake aliyemfanyia kazi ya ujambazi kwa miaka zaidi ya kumi na nane.Bado walikuwa na fedha za kutosha zilizobaki katika maandalizi ya ujambazi mkoani Mwanza katika jaribio waliloshindwa. Siku iliyofuata baada ya kumwachia fedha babu aliyewahifadhi walianza safari. Wakati wote huo James anasaidiwa kutembea kwa mguu mmoja mwingine ukiwa ameunyanyua juujuu. Walipanga kuingia Tanzania kwa njia za ubatili katika mpaka wa Tanzania na Kenya wa mkoa wa Kilimanjaro.
Baada ya safari ya muda mrefu yenye misukosukowanafanikiwa kufika Moshi mjini mkoani Kilimanjaro.Tabayu mapema anampeleka James hospitali ya Mawenzi ili aweze kupata matibabu. Madaktari wanatoa maelekezo kuwa James anatakiwa kukatwa mguu kwa vile ulikuwa umeharibika sana. James haamini maelezo hayo, baada ya majonzi ya muda mrefu anawaruhusu wamukate, kutokana na maumivu makali aliyokuwa akiyapata. Baada ya zoezi hilo Tabayu anampa fedha zote zilizobaki ambazo walikuwa nazo na kumuongeza nyingine kutoka kwenye akaunti yake ya benki. Kwa ujumla anapata kiasi cha millioni tano ikiwa ni baada ya kulipa fedha zote za matitabu. Tabayu anamuaga na kumueleza kuwa anakwenda kwa Mr Carlos kwani kutofanya hivyo kungeibua picha mpya kwa bosi wao. James anamshukuru tabayu kwa msaada wake zaidi ikiwa ni kukaidi agizo la kuuawa kwake. Anamuacha akiuguza mguu ampaka atakapo ruhusiwa.

* * * *
Mr Carlos anachukulia kushindwa jaribio lake la ujambazi kama changamoto anaendelea na kazi yake hiyo. Katika harakati zake hizo anapata mkufunzi wa ujambazi katoka bara la Asia ambaye anawapa vijana wake mafunzo ya wiki mbili. Kazi inaendelea kwa kasi ileile, anaanza kulisahau jina la James kufuatia maelezo ya kuuawa na Tabayu. Ni taarifa ambayo aliwaeleza mara baada ya kuripoti, Mr carlos hakuumia moyoni kufariki kwa James ingawa alifanya naye kazi kwa miaka mingi. Aliamini kuwa kama James angekuwa hai asingeweza kuwasaidia jambo lolote zaidi ya kuvujisha siri kwa vile angekuwa mlemavu.
Baada ya kulazwa katika hospitali ya Mawenzi mjini Moshi kwa mwezi mmoja hatimaye James anaruhusiwa kuondoka. Alikuwa amepewa gongo la kumsaidia kutembea kwa vile alikuwa amekatwa mguu wake wa kushoto.alipanda basi kuanza safari kuelekea jijini Dar es salaam. Hakuwa tayari kurudi katika nyumba yake aliyojengewa na Mr Carlos maeneo ya kinondoni. Kwani kufanya hivyo aliamini ni kuhatarisha maisha yake. Alimtambua vizuri Mr carlos na alielewa kuwa nyumba hiyo tayari ipo mikononi mwa jambazi mwingine.
Katika maisha yake yote James hakujijenga hata kidogo akithamini zaidi pombe na starehe ya kubadilisha wanawake wa kila aina. Hadi wakati huo hakuwa ameoa au kuishi na Familia, alichofanya ni kwenda kupanga nyumba maeneo ya Manzese na kufungua biashara ya kuuza mahitaji ya nyumbani. Biashara hiyo ilikuwa ndogo ambayo ilimtosha kuendesha maisha yake.
Mwezi mmoja baadae akiendelea na biashara hiyo, anaingiwa na hisia ya uovu wa Mr Carlos. Hiyo yote inatokana na matendo yake ya kinyama ikiwa ni pamoja na kutaka yeye auawe. Mtu pekee ambaye anaona anafaa kuutoa uovu huo ni Mr John Mushi ambaye mwanae Juliana aliuawa mbele ya macho yake. Anaanza jitihada za kuipata namba ya simu ya Mr John Mushi na mwishoni anapata njia. Anamtumia kijana mmoja kwenda kwenye maduka ya nguo ambayo yalikuwapo Kariakoo yakiwa maarufu katika mtaa wa Msimbazi.
Kijana aliyemtuma anafanikiwa kuipata namba ya simu ya Mr John Mushi. Siku hiyohiyo iliyokuwa Jumapili anampigia simu akimueleza angeenda kwa Mr John Mushi. Lengo kubwa alisema alitaka kumwambia mauaji ya mwanae Juliana. James hakutaja jina lake na aliahidi kuwasilisha ujumbe huo kwa Mr John Mushi saa tano usiku. Alichomuambia Mr John Mushi atulie asubiri ujumbe wa kumtaja muuaji wa mwanae. James hakuwa na shaka kwani nyumba ya Mr John Mushi alikuwa anaifahamu vizuri kwani walienda mara nyingi na Mr Carlos alipokuwa akitumikia kundi la Tanzania Gangster.
Mr John Mushi alikuwa nyumbani kwake akisubiri kwa hamu saa tano usiku ifike, tayari alishamwaleza mlinzi juu ya ujio wa mgeni wake huyo. Hasira alizokuwa nazo kipindi cha msiba wa mwanae zinaanza kumrudia. Anawaza kuhakikisha muuaji ananyongwa katika kufuata misingi ya sheria za nchi ya Tanzania. Ilipofika saa nne usiku anakumbuka kitu muhimu ambacho alikuwa amekisahau. Alikuwa hajamtaarifu Mr Carlos ambaye alikuwa rafiki yake wa karibu katika kipindi chote kigumu cha msiba wa mtot wake.
ITAENDELEA

NAMPENDA ADUI YANGU – 1

Related image

Chombezo : Nampenda Adui Yangu
Sehemu Ya Kwanza (1)
Ilikuwa siku ya Jumatatu mwezi Julai tarehe mosi, siku ambayo hali yake ya hewa na anga kwa ujumla vilikuwa tulivu. Majira hayo ya saa moja asubuhi hali haikuwa shwari katika eneo la mto Wami mkoani pwani. Katika eneo hilo ilikuwa imetokea ajali mbaya ya gari la mizigo aina ya ‘Scania’ lililogongana uso kwa uso na gari dogo aina ya ‘Toyota land cruiser’ lililokuwa linatoka mkoani Kilimanjaro.
Ajali hiyo ilikuwa umbali wa nusu kilometa kuufikia mto huo, ‘Toyota land cruiser’ hiyo ilikuwa imeharibika vibaya na kupoteza muonekano ambao ilikuwa nao kabla ya ajali hiyo. Gari hilo liligeuka kuonesha matairi yake juu, kulikuwa na kelele za watu zilizotoka katika gari hilo lililokuwa pembeni kidogo ya barabara hiyo. Kelele hizo zilitoka pia kwenye ‘Scania’ lililoishia kugonga ukuta wa pembezoni mwa barabara mara baada ya kugongana na ‘land cruiser’ hiyo.
Dakika kumi baadaye lilionekana gari aina ya ‘Toyota hilux’ likija kwa kasi eneo la tukio na lilipunguza kasi yake kadri lilivyosogelea eneo hilo, hatimaye lilisimama kando kidogo na eneo lililokuwa na ajali hiyo. Alishuka kijana mmoja ambaye kwa wastani angekadiliwa kuwa na miaka thelathini katika gari hilo dogo lililotokea upande wa mkoa wa Kilimanjaro wa barabara hiyo. Kijana huyo alitoka mbio mpaka kwenye “Scania” lililokkuwa limegonga ukuta wa pembezoni mwa barabara.
Mara baada ya kulisogelea alishuhudia dereva wa gari hilo akiwa amebanwa na uskani wa gari hilo kifuani kwake na damu zilimtoka mdomoni hali kadharika puani. Alisikia kelele za mtu akilalamika upande wa pili wa gari hilo aliamua kuzunguka upande huo. Hilo lilifuata baada ya kuamini dereva wa gari hilo alishapoteza maisha punde alipozunguka upande wa pili alishuhudia kijana aliyehisi alikuwa utingo wa gari hilo akiwa amebanwa miguu yake na sehemu ya mbele ya gari hilo iliyokuwa imebonyea kwa kiasi kikubwa. Dakika mbili baadaye akiwa bado anahangaika ni jinsi gani atamtoa kijana huyo walifika askari wa kituo kidogo cha polisi wa eneo hilo la mto wami ambao walisikia kelele za ajali hiyo iliyotokea umbali mfupi na kituo hicho.
Askari hao walishilikiana na kijana aliyefika eneo hilo la tukio kabla yao kumnasua mtu waliyeamini alikuwa utingo kwa kutumia jeki ya ‘Scania’ hilo kupanua sehemu aliyobanwa muda mfupi ulitumika na zoezi hilo lilikamilika na haraka walimchukua kijana huyo mpaka kwenye gari ‘Toyota hilux’ ya kijana mwokoaji aliyekuwa akitokea mkoani Kilimanjaro. Baada ya kumpakia kijana huyo aliyejeruhiwa walikimbia kuelekea eneo ambalo ‘Toyota land cruiser’ iligeuka juu kuwa chini, na chini kuwa juu walishuhudia mama mmoja akiwa amebanwa na sehemu ya chini ya gari hiyo na tayari alikuwa ameshafariki. Pembeni kidogo mwa gari hilo walimuona kijana mmoja ambaye kichwa chake kilipasuka na damu nyingi ilikuwa imemtoka na kuzunguka eneo alilokuwa. Askari mmoja alimsogelea na kumuangalia mapigo yake ya moyo, mara alipoinuka alitikisa kichwa kuashiria naye pia alishafariki.
“Nadhani wahanga wa ajali ni hawa tu” aliongea askari mmoja akiwaeleza wenzake jambo waliloafiki lakini wakataka kuchunguza zaidi eneo hilo wakiamini huenda kuna mtu alilushwa mbali na ajali hiyo. Askari mwingine alimuamuru kijana mwenye ‘Toyota hilux’ kuandaa gari lake tayari kwa safari kuelekea hospitali wakiamini hapakuwapo na mtu mwingine.
Kijana huyo aliingia kwenye gari lake hilo na kuliwashwa akisubili maelezo ya askari. Muda mfupi baada ya askari kuzungukazunguka eneo la tukio alisikika mmoja wao akitoa taarifa ya kumuona mtu akiwa hai akiwa ameumia vibaya. Askari wengine walikimbia na kuelekea eneo hilo na kumbeba mtu huyo aliyevuja damu na mkono wake wa kushoto ulionekana umevunjika na hakuwa na fahamu. Mara baada ya kumpakia kwenye gari safari ilianza kuelekea kijiji cha karibu cha Msata ili kupata huduma ya kwanza kwenye Zahanati ili majeruhi hao wapelekwe hospitali kubwa. Ndani ya gari hilo alikuwamo pia askari aliyeongozana na kijana mwenye gari na askari wengine walibaki eneo la tukio kuweka miili ya waliofariki katika mazingira mazuri.
* * * *
“Nashukuru sana ndugu yangu kwa kuniokoa” alisikika kijana mmoja mwenye kifua kipana na misuli akiwa amejiegesha kwenye kitanda chake ambaye alionekana kuvunjika mkono wake wa kushoto pia, uliofungwa ‘P.O.P’ alikuwa anamueleza kijana mwenzie aliyeshiriki kumuokoa katika ajali aliyoipata, ikiwa ni siku nne baada ya ajali hiyo kutokea “usijali ni mambo ya kawaida aahm! Naitwa John Mushi, sijui unaitwa nani?” alijibu kijana huyo na kuuliza swali 
“Mimi naitwa Carlos Mato”, waliendelea na maongezi marefu na kufahamiana zaidi John Mushi alikuwa ni kijana aliyekuwa wa kwanza kufika katika eneo la ajali na kumuokoa Carlos Mato akishilikiana na askari wa kituo cha polisi Wami pamoja na kijana mwingine aliyejitambulisha kwa jina la Joseph Emmanuel. Wote walikuwa wamelazwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili. Joseph alikuwa amevunjika miguu yote miwili wakati Carlos alikuwa na majeraha mengi mwilini na kuvunjika mkono wake.
Hiyo ndiyo ilikuwa tabia yake John Mushi aliyeishi Kimara- Baruti kuwatembelea wagonjwa wake kila siku kabla ya kwenda kwenye biashara zake kariakoo. Jambo hilo liliwafariji sana Carlos na Joseph na kujenga urafiki baina yao. Baada ya wiki mbili wote walihuruhusiwa, Joseph Emmanuel anaamua kurudi kwao mkoani Mwanza, na Carlos alipelekwa nyumbani kwake Mikocheni kwenye nyumba ya kifahari aliyoijenga. Moyoni aliumia kusikia dereva wake na mama aliyemtaja kuwa ni mfanyabiashara mwenzie walifariki eneo la ajali. Lakini anajiona hana jinsi na kumuachia yote mwenyezi Mungu, kadri siku zinavyoenda John na Carlos wanakuwa marafiki na kufahamiana vizuri hadi familia zao. Carlos anamwonyesha rafiki yake biashara yake ya kuuza komputa aliyoifanyia maeneo ya Posta jijini Dar Es Salaam na kumueleza kuwa pia alikuwa na mashamba ya chai mkoani Iringa.
Hali kadharika John anamuonesha biashara yake ya kuuza nguo aliyoifanya maeneo ya Kariakoo, wanaishi maisha ya kawaida pasipo mmoja kati yao kutaka kujua maisha ya mwenzie kwa undani zaidi. Carlos muda mwingine anaonekana mhangaikaji wa maisha kwani hata dukani kwake huwezi kumuona zaidi ya watu aliowaajili lakini John mara nyingi anakuwa dukani kwake na ananua mzigo wa nguo zake Dubai nchini United Arab Emirates (U.A.E).
* * * *
Carlos Mato alikuwa mzaliwa wa kijiji cha Uwemba wilayani Njombe mkoani Iringa, elimu yake ilikuwa ni kidato cha nne aliyoitimu shule ya sekondari Uwemba. Maisha yake yalikuwa na matatizo mengi yaliyoanza tangu akiwa shule ya msingi. Carlos akiwa shule alitambulika kwa tabia ya uvutaji bangi,wizi na ubabe jambo lililopelekea achukiwe na wanafunzi wenzie kwa vile aliiba vitu vyao, alikuwa na nguvu, kifua kilichojaza, kitu kilichomfanya awe akiwaonea wanafunzi wenziwe katika mambo mbalimbali ya shule hususani kuwapiga.
Mapema mara baada ya kumaliza shule alikabiliwa na kesi iliyopelekea kushtakiwa kwenda jela miaka miwili kwa kosa la kuvunja duka kijijini kwao na kuiba kila kitu kilichokuwemo, vitu ambavyo vilikamatwa kwenye chumba chake. Baada ya shtaka hilo mtuhumiwa Carlos alianza kutumikia kifungo chake katika gereza la wilaya ya Njombe. Akiwa gerezani anaweza kufahamika haraka kutokana na ubabe wake na moyoni anaingiwa na tamaa ya kuwa jambazi mkubwa zaidi ili aweze kufanikisha ndoto zake za maisha yake. Kifungo alichokipata hakiwi funzo kwake kuachana na wizi bali kinakuwa nafasi kwake kujifunza mbinu mbalimbali za ujambazi kutoka kwa wafungwa wengine ambao walikuwa majambazi sugu. Carlos anajifunza mbinu mbalimbali za ujambazi akiwa na rafiki yake James aliyefungwa kifungo cha miaka mitatu. Baada ya miaka miwili kuisha Carlos anatoka gerezani na taarifa anazozipata kaka yake kati ya watoto wawili waliokuwa wa marehemu mzee Mato alikuwa anaumwa. Siku mbili baadaye anafariki na kumuachia wosika Carlos abadili tabia yake. Zaidi ya hilo anamuachia gari moja “Land rover” na nyumba moja akimpa jukumu la kuhakikisha mama yao anaishi maisha mazuri, hii ilifuatia kutokana na kaka yake kuwa hajaoa na kutokuwa na familia.
Baada ya kifo cha kaka yake, Carlos anapata upenyo na njia ya kukamilisha kazi yake ya ujambazi. Anaanza kufanya ujambazi mikoa ya kanda ya kusini, akitumia gari alilloachiwa na kaka yake, mahakamani anakuwa akikabiliwa na kesi kadhaa ambazo anazishinda kutokana na ukosefu wa vielelezo kamili vya uhalifu wake. Mwaka mmoja baadaye anamuajili James aliuyemuacha gerezani na kazi yao inakamilika maradufu. Tayari Carlos anafanikiwa kumiliki nyumba kadhaa na maduka wilayani Njombe. Baada ya mafanikio hayo ya miaka kadhaa anaamua kuamia jijini Dar es salaam na kufungua biashara zake sambamba na kuongeza mtandao wake wa ujambazi kwa kuajili vijana wengine wengi.
Siku ya Jumatatu mwezi Julai tarehe mosi, siku ambayo Carlos Mato alipata ajali ni siku ambayo alitoka mkoani Moshi kufanya utafiti wa kuangalia uwezekano wa kufanya ujambazi katika benki ya Moshi Investment bank (MIB) iliyokuwako Moshi mjini mkoani Kilimanjaro. Alishapata mbinu na kuandaa mipango kabambe ya kuwapa vijana wake ili waweze kupora mamilioni ya fedha katika benki hiyo. Lakini mipango hiyo ilikwamishwa na ajali aliyoipata ya gari lao kugongana uso kwa uso na lori la mizigo. Baada ya miezi mitatu ya kuuguza majeraha yake Carlos anajitambua kuwa alikuwa ameshapona kabisa. Anaona huo ni muda muafaka wa kuendeleza kazi ya kundi lake lililoitwa ‘Tanzanian Gangstars’ zilizokuwa zinafifia wakati wa ugonjwa wake. Anachukua simu kwa nia ya kumpigia kijana wake James aliyemuamini katika kazi. “James nawahitaji haraka nyumbani mikocheni na wenzio wote kwa ajili ya kikao” alisikika Carlos kwa sauti yake ya kukwaluza.
“Ndiyo bosi nimekuelewa” ulijibu upande wa pili simu, ikiashiria James alielewa
Baada ya dakika arobaini na tano magari saba ya kutembelea ya aina tofauti yaliwasili nyumbani kwa Mr. Carlos kwa muda tofauti. Vijana hao waliokuwa wakiwasili huku wengi wao wakiwa wamevaa miwani ya rangi nyeusi waliongoza eneo la chini la nyumba ya ghorofa ya Mr Carlos ambalo lilichimbwa wakati wa ujenzi wa nyumba hiyo. Eneo hilo lilikuwa tulivu na hakuna aliyeruhusiwa kuingia humo zaidi ya Carlos na vijana wake. Siku zote Carlos hakupenda kufanyia vikao vya kazi zao sehemu nyingine zaidi ya nyumbani kwake akiamni palikuwa salama zaidi tofauti na mahotelini na sehemu nyinginezo.
Mara baada ya Mr Carlos kufungua kikao hicho vijana wake walikaa kimya wakijua angetoa mipango kadhaa ya kufanikisha jambo la ujambazi. Hilo ndilo lililotokea, Mr Carlos alitoa mipango kadhaa ya kufanikisha zoezi la ujambazi katika benki ya Moshi Investment bank (MIB) ambayo vijana wake walikubali na alitoa siku mbili za zoezi hilo kukamilika ikiwa ni pamoja na kutoa silaha za kufanikisha ujambazi huo.
* * * *
Hali ya hewa ikiwa shwari mkoani Moshi majira ya saa saba mchana lilioneka gari aina ya “Toyota mark II” likipaki mbele ya Moshi Investment bank (MIB) iliyokuwa umbali mfupi tokea eneo iliopo stendi kuu ya mabasi ya Moshi mjini. Walishuka watu watatu, wawili wakiwa wamevaa suti za kiitaliano na mmoja wao alivaa suti wavaazo wachungaji wa madhehebu ya dini za kikristo. Waliongoza kuelekea mlango wa benki hiyo, vijana wawili wenye suti za kiitaliano walimfuata nyuma yule aliyevaa suti zifananazo na za wachungaji wakiwa wamebeba mabegi yenye muonekano wa kiofisi mikononi mwao. Waliongoza mpaka ndani na kuelekea eneo la maelezo ya taarifa mbalimbali zinazohusu benki. Kijana aliyevaa suti inayowiana na za wachungaji alianza kutoa maelezo akiongea na mhudumu wa meza hiyo.
“Mimi ni mchungaji wa kanisa la Born Again Christianity Church lililopo Kibosho wilaya ya Moshi vijijini”
“Nakusikiliza unataka nikusaidie nini” alisikika dada huyo aliyekuwa akipanga karatasi mezani”tunapesa nyingi tunataka huduma ya kuwa sehemu tulivu tuhifadhi fedha za kanisa.
“huduma hiyo ipo ila zinafika milioni ishirini?
“ndiyo zinafika” alijibu mchungaji kama alivyojitambulisha
“basi nifuateni………” aliongea dada huyo akimuacha dada mwenzie kwenye meza hiyo, wakati huo kulikuwa na foleni za mistari mitano ya watu waliokuwa wanawapeleka kuhifadhi au kutoa fedha zao katika madirisha madogo ya huduma hiyo.
Aliyejitambulisha mchungaji na wenzie walimfuata yule dada wa mapokezi ambaye aliwapeleka chumba kimoja pembeni kidogo na madirisha ya kupokelea fedha na alirudi kuendelea na majukumu yake. Katika chumba hicho walimuona mama mmoja aliyekuwa wa makamo, mara baada ya kuvuta viti na kukaa walidai walitaka kuweka fedha milioni themanini. Aliwapa lisiti ya kuwekea fedha “pay-in-slip”, na mchungaji akaanza kuijaza, mara baada ya kuijaza alimkabidhi na kuchukua moja ya begi walilobeba wenzie akaanza kutoa fedha zilizotungwa vizuri ambazo zingekadiliwa kuwa ni milioni moja. Baada ya kutoa mafungu hayo ya fedha mara tano, mara ya sita mkono wake ulitoka na Bastola aliyomuelekezea yule mama kwenye paji lake la uso.
“kimya! kwa usalama wako usitoe hata miguno ya kelele”, alisikika mtu huyo ambaye awali alijitambulisha kuwa ni mchungaji, wakati hayo yakiendelea wenzie nao walichukua bastola mbili kwenye lilelile begi nao pia walimuonesha yule mama “sasa tunataka utoe fedha zote zilizopo humu ndani” alisikika tena akimuamuru yule mama ambaye alikuwa akitetemeka kupindukia. Amri hiyo alikuwa kama hajaielewa na baada ya dakika kadhaa za kurudiwa amri hiyo, Alianza kutoa fedha ambazo zilikuwepo kwenye chumba hicho, na kuziweka mezani kijana mwenye suti ya kichungaji alimkonyeza mmoja kati ya wale wawili ambaye kwa haraka haraka alizichukua fedha hizo na kuziweka kwenye lile begi lililochukua fedha hizo lililokuwa mezani. Begi ambalo aliweka fedha ambazo pia walikuja nazo na dakika moja baadaye lilikuwa limejaa. Akachukua begi jingine ambalo lilikuwa halina kitu na kuanza kuweka fedha nyingine katika begi hilo.
“Wewe usilete ujinga hatutaki kumwaga damu” alisikika tena, mara baada ya kuona alitoa fedha hizo kwa kasi ndogo.
Dakika tano baadaye mabegi yote yalikuwa yamejaa fedha na tayari zilikuwa zinawatosha hawakuwa na begi jingine la kubeba. Walimuamuru yule mama kulala chini kifudifudi, ambaye tayari alikwisha jisahidia haja ndogo, haraka alitimiza amri hiyo. “pesa hizi hazitutoshi! Ebu vamieni na vyumba vingine” alipaza sauti mmoja wa watu hao lengo likiwa kumfanya mama huyo aelewe kuwa bado waliitaji fedha “we mama ukijitikisa tu, nakusambaratisha mgongo wako” alisikika mmoja wa watu hao jambo lililomfanya mama huyo atulie kwa uoga na mwishoe aliishia kupoteza fahamu.
Taratibu waliinua mabegi yao na kuufungua mlango polepole na kuanza kuelekea nje mwa benki hiyo, walitoka katika uwazi wa benki hiyo sehemu ambayo shughuli za kibenki ziliendelea, walitembea kiustaarabu na hakuna mtu aliyehisi kuwa walikuwa wameshafanya ujambazi wa fedha nyingi. Hatimaye walifika katika meza ya maelezo na kutoa shukrani zao. Waliongoza na mwendo wao wa polepole mpaka nje kwenye gari lao “Toyota mark II” na kuliwasha na waliliondoa benki hapo kwa mwendo wa taratibu ili wasigundulike na askari waliokuwa nje ya benki hiyo.
Baada ya kuwa mbali na benki wakiwa wanaelekea barabara inayoenda mkoani Arusha, waliongeza kasi ya gari lao ambayo haikuwa ya kawaida. Dakika ishirini baadaye walikuwa eneo la uwazi la wilaya ya Hai, walipunguza kasi ya gari lao baada ya kuliona gari jingine aina ya “Mercedez Benz” lililosimama pembeni mwa barabara kuelekezwa Moshi mjini. Pembeni mwa gari hiyo alikuwako kijana mwingine ambaye pia alivaa suti akiwaelekeza wasimame.
Mara baada ya kusimama, haraka walihamia kwenye lile gari aina ya “Mercedez Benz” na waliacha bomu lililobakiwa na dakika nane kwenye ile “Toyota mark II” waliyokuwa nayo awali, waliondoa lile “Mercedez Benz” kwa mwendo kasi wa kawaida wakiwa wanaelekea Moshi mjini ambako ndiko wale vijana watatu walikuwa wameshafanya uharifu. “Du! James we mkali” alisikika kijana jambazi akimpongeza mwenzie James “we unafikili mbinu za Carlos ni za kitoto” walifurahia na kuamini walishashinda mamilioni ya fedha ambayo hata wao hawakujua kuwa zilikuwa shilingi ngapi?. Muda huo walikuwa na lengo la kuutoroka mkoa huo wa Kilimanjaro ili kukamilisha ushindi waliamini bomu waliloliacha kwenye “Toyota mark II” wangewapoteza kabisa askari kama wangejaribu kuwafuatilia.
Dakika tano baadaye wakiwa usawa wa njia panda ya barabara ielekeayo Kibosho, Moshi vijijini walishuhudia gari tatu za polisi zilizopiga vingora zikielekea barabara ya Arusha ambako ndiko walitokea. Wote walijikuta wakicheka baada ya kuamini hakuna ambalo wangalipata askari hao. Kilichofuata ni kuongeza kasi ili kuachana na mkoa wa Kilimanjaro wakifuata barabara kuu ielekeayo mkoani Tanga na Dar Es Salaam.
* * * *
Muda mfupi baada ya mchungaji na watu wake kuondoka, kama alivyoamini dada wa meza ya maelezo. Walifika watu wengine ambao pia walikuwa na pesa nyingi akawa anawaongoza kuelekea kwenye chumba maalum kwa wateja kama hao. Punde tu baada ya kufungua alimuona mama wa makamo waliyemtambua zaidi kwa jina la mama Massawe akiwa amelala kifudifudi huku akiwa amezungukwa na kiasi kidogo cha majimaji. Jambo hilo lilimfanya apige kelele na wafanyakazi wenzie wakaenda mbio kuona ni nini kilichotokea. Wakati huo askari wa benki walikuwa tayari wakijua kulikuwa na tatizo limejitokeza, wafanyakazi hao walianza kumpepelea hewa ili aweze kizinduka, mara tu alipozinduka alisikika akilalamika “majambazi, majambazi …….”. baada ya kutulia kidogo alitoa maelezo juu ya majambazi hao walijitambulisha walitokea katika kanisa la ‘Bom Again Christianity church’.
Haraka ilipigwa simu polisi na gari mbili za polisi zilifika benki hapo na baada ya uchunguzi wa haraka walibaini gari la majambazi hao lilikuwa limeelekea njia ya Arusha, waliondoa gari zao kwa kasi likiongezeka na jingine la askari wa benki hiyo na kufanya magari hayo kuwa matatu.
Askari hao walipiga simu kwa askari wa mkoa wa Arusha kuwataarifu wakague kila gari ambalo lingeingia mkoani humo. Kilometa kadhaa toka Moshi mjini wakiwa eneo la wilaya ya Hai walishuudia gari likiwa limelipuka na moto mkubwa ukiwaka waliegesha gari zao umbali mrefu kidogo na kuanza kulitathimini gari hilo ambalo mabati yake yalirushwa kila upande wa barabara hiyo, mmoja wa askari wa benki alidai anaamini lile ndilo gari waliloondoka nalo majambazi katika benki ya Moshi Investment Bank (MIB) na aliamini huenda walipata ajali.
Mkuu wa kituo cha polisi wilaya ya Moshi mjini aliamuru gari moja la polisi na lile la askari wa benki yaendelee na safari ya kutukuzia majambazi katika barabara ielekeayo Arusha. Hilo lilifuatia baada ya kuhisi ajali hiyo haihusiani na majambazi hao,alibaki na askari wengine ili wafanye uchunguzi katika ajali ya gari lile lililokuwa linawaka moto. Baada ya saa moja na robo la kuwaka gari hilo Afisa mkuu wa polisi alisogea na askari wake eneo lililowaka gari hilo. Hakuna kitu walichokiona kama kielelezo cha jambo lolote zaidi ya kiasi kidogo cha majivu na vyuma vigumu ambavyo havikuungua. Hata ikatimia masaa matatu hapakuwa na taarifa za kukamatwa kwa majambazi eneo lolote
* *
“niliwaambia vijana wangu, si mmeona? kulipuwa gari la milioni nne na kupta milioni sabini kuna hasara gani?” alisikika Carlos kwa sauti ya kukwaruza akiwa na vijana wake wakipongezana kwa kufanikisha ujambazi wa milioni sabini. Kikao chao hicho kilikuwa kinaendelea muda huo kama kawaida kwenye nyumba yake maeneo ya Mikocheni Dar es salaam. Wakati wakiendelea na kikao hicho alimsifu James ambaye alikuwa anamuamini kuliko wote kati ya vijana wake. Hiyo ilitokana na James kujua mbinu nyingi ambazo waliwahi kujifunza wote walipokutana gereza la wilaya ya Njombe.
Maisha ya Carlos na kundi lake la ujambazi la Tanzania Gansters yaliendelea kama kawaida huku akijitahidi kuhakikisha siri ya kazi yake hiyo haivuji. Matukio ya ujambazi makubwa yanaendelea nchini Tanzania, kitu kinachowafanya makamanda wa polisi wa mikoa kukosa jibu kabisa. Baada ya miaka kadhaa jina la Carlos Mato linaanza kufahamika na kusikika masikioni mwa watu kutokana na uwezo wake wa kifedha. Watu wengi wanaamini mafanikio yake yametokana na maduka ambayo anayamilikia sehemu tofauti za jiji la Dar es salaam.
Urafiki wa Carlos Mato na John Mushi ambaye pia alijijenga kiasi Fulani kiuchumi,unakuwa zaidi ya awali. Carlos na mkewe mzaliwa wa mkoa wa Pwani walishabahatika kupata mtoto aliyeitwa Jane. Carlos alimpenda sana mkewe kutokana na usiri mkubwa wa mke wake aliyejua kazi aliyoifanya mumewe. Wakati huo Jane alisoma shule ya msingi ya kimataifa, shule ambayo mtoto wa John Mushi aliyeitwa Juliana pia alisoma. Jane na Juliana walikuwa marafiki kutokana na urafiki wa wazazi wao na walichukuliana kama ndugu wa familia moja.


* * * *

Jane na Juliana baada ya kumaliza masomo yao ya awali ya shule ya msingi nchini, walijiunga na shule ya sekondari ya Northern England katika jimbo la Middlesbrough nchini Uingereza. Furaha ndiyo inatawala mioyo yao wakiwa na amani kutokana na kutimiziwa kila kitu walicho kihitaji kutoka kwa wazazi wao. Walikuwa wakirudi Tanzania kila baada ya miezi sita kwa ajili ya likizo. Carlos na John walikuwa wakipokezana kuwapeleka mabinti zao pindi shule ilipokuwa ikifungua. Wakiwa mwaka wa pili wa masomo yao wanarudi likizo nchini Tanzania ya miezi miwili wanaonekena wakiwa na maumbile makubwa kama walizaliwa miaka ishirini iliyopita, uzuri wa sura zao na muonekano wa urembo walionao unakuwa kivutio kwa watu wanaodhani ni mapacha. Hiyo ilitokana pia na kuwa kwao pamoja kila sehemu waliyoelekea. Pamoja na maumbile yao kuwa makubwa wote wana umri wa miaka kumi na sita. Baada ya mapumziko yao hapa nchini Tanzania wanasindikizwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu J.K Nyerere tayari kwa safari kwa kutumia shirika ndege la Tanzania Airways. Familia zote mbili zina jumuika kuwaaga na walikuwa wakiongozana na Carlos ambaye ni baba yake Jane.
Safari inaanza wakitarajia kupitia miji ya Addis Ababa wa Ethiopia, Cairo nchini Misri na hatimaye London nchini Uingereza. Carlos alikuwa amekaa na Juliana katika siti mbili zilizokuwa zinafuatana, katika muda wote wa safari Juliana aliyekuwa mcheshi aliutumia kumsimlia Mr Carlos mambo mbalimbali ya nchini Uingereza. Safari iliendelea na simulizi zake kwa mjomba wake Mr Carlos kama alivyo mtambua kutoka utoto wake ziliendelea.
Mr Carlos ambaye kwa muda mrefu alikuwa kimya akimsikiliza Juliana, aliingiwa na tamaa ambayo alijitahidi kuizuia ili isije ikatokea katika maisha yake. Alimtamani kimapenzi mtoto wa rafiki yake wa siku nyingi bwana John Mushi yaani Juliana. Kadri safari ilivyoendelea tamaa hizo ziliongezeka na alijaribu kushiriki mazungumzo yao na Juliana ili kupoteza tamaa zake, haikuwa hivyo. Wakati huo Jane alikuwa siti ya nyuma yao na hakufuatilia maongezi hayo. Baada ya muda mrefu wa ucheshi wake Juliana alisinzia na kuegemea bega la mjomba yake Mr Carlos. Ni muda ambao Mr Carlos aliutumia kuchunguza uzuri wa mtoto wa rafiki yake na kuweza kugundua mengi, kutokana na aina ya nguo ya kubana aliyoivaa Juliana. Moyoni alivunja dhana ya uoga na kujikuta akiweka dhamira ya kuhakikisha anampata kimapeanzi katika siku za usoni. Heshima aliyo jijengea kwa rafiki yake John anaipoteza ndani ya dakika chache za maamuzi yake.
Hatimaye safari inakamilika baada ya kuwafikisha wanafunzi hao shule ya Northern England katika jimbo la Middlesbrough nchini Uingereza na anawaachia fedha za kutosha, hata hivyo Juliana hukugundua jambo lolote lililokuwa kichwani mwa mjomba wake Carlos.

* * * *
ITAENDELEA

UCHU – 5

Simulizi : Uchu
Sehemu Ya Tano (5)


Ilikuwa saa nne na nusu usiku, wakati Jean na kundi lake walipoondoka Kibumba kuelekea Goma.

“Hakika nimeridhika na ari ya wanajeshi wetu na uwezo mkubwa wa vikosi vyetu, pia nimefurahishwa sana na aina ya silaha tulizonazo, hii inaonyesha ni jinsi gani tumedhamilia kufanya kweli”, Jean alisema kwa kujiamini.

“Nilikwambia toka mwanzo kuwa ukifika na kuona lazima utaamua tuingie vitani, kwani hakuna sababu wala haja ya kusubiri, vita vianze moja kwa moja, tuchukue madaraka”, Col. Gatabazi alitamba huku Jean akitingisha kichwa kukubaliana nae.

“Twendeni Goma tukafanye maamuzi. Sijui kwa upande wa wenzangu, lakini mimi nafikiri tuanze mashambulizi alfajiri na mapema ila kwanza tukamate vikosi vya hapa Gisenyi kabla ya jua kuchomoza, maana adui hajui nguvu zetu, sisi nguvu yake tunaijua”, Jean alishauri, wote kwa pamoja wakakubaliana.

“Mimi niko tayari wakati wowote, hata sasa vijana wangu wako tayari, uamuzi wenu tu ndio unasubiliwa”, Col. Gatabazi alijibu.
“Haya twendeni Goma tukafanye uamuzi mara moja”, Jean alijibu wakaondoka haraka kuelekea Goma.

Ilipofika saa tano kamili za usiku, Willy Gamba na Bibiane walikuwa tayari wamewasili Kibumba. Bibiane alizijua vizuri njia za vichochoro za sehemu hii. Hivyo, walifika bila tatizo lolote. Bibiane alimuonyesha Willy sehemu yalipo maghala makubwa ya silaha ambayo baada ya Willy kuyaona, alitaka waanzishe mapambano dhidi ya watu wakiwa kwenye maghala hayo kwani aliamini hapo ndipo nguvu kubwa ya Akazu ilikuwa imewekwa.

“Sehemu hii inalindwa sana”, Bibiane alimwambia Willy baada ya kutoka kwenye msitu na kuona kambi kubwa ya kijeshi ambayo ilimshangaza hata Willy.

“Walijenga lini kambi kubwa ya jeshi kama hii?”, Willy aliuliza kwa mshangao.

“Hapa kulikuwa na kambi ya jeshi la Zaire, na Akazu walipewa kambi hii baada ya matukio makubwa ya Rwanda, na mara moja wakaleta vifaa vyao vya kivita na kuifanya kuwa kambi ya jeshi ya kisasa kabisa. Ina kila kitu kama unavyoona, taa, maji, mawasiliano, yaani kuna kila kitu cha kisasa nakwambia. Hata maafisa wa mashirika ya kimataifa yanayoshughulikia wakimbizi wanapotokea hapa kwa bahati mbaya wanaamini ni kambi ya jeshi la Zaire, maana kambi za wakimbizi ziko kilomita moja tu kutoka hapa upande ule wa kilima, hata wakiuliza basi huambiwa kuwa hii ni kambi ya jeshi la Zaire, na raia hawaruhusiwi kabisa kusogea karibu na kambi hii”, Bibiane alimwambia Willy, ambaye wakati huo alikuwa ameshikwa na mshangao.

“Maghala ya silaha ni yapi?”, Willy alihoji huku akichungulia kuangalia vizuri kambi hii akitumia kiona mbali. Bibiane alitumia nafasi hiyo kumwelekeza kila kitu. Kwa vile kambi ilikuwa ikiwaka taa utafikiri mchana waliweza kuona kila kitu vizuri kabisa.

“Kambi hii yote imezungukwa na seng’enge yenye umeme wenye nguvu kubwa unaoweza kumuua hata tembo haraka kama inzi, yaani ukigusa tu unakaushwa kwa umeme kama nyama”, Bibiane alieleza.

Willy aliamua kwanza walifiche gari la jeshi walilokuwa wakitumia kwenye msitu ule, wakachukua mizigo yao ya kazi na kasha wakatafuta njia ya siri kwa ajili ya kuingia pale kambini.

“Hii kambi inaweza kuwa na askari kama wangapi kwa kukisia kwako?”, Willy alimuuliza Bibiane.

“Eeeh… wanafika elfu tano na zaidi, wenye mafunzo ya juu sana, wale askari wa kikosi cha Rais wako hapa pia na askari wenye ujuzi mkubwa. Kuna makomandoo waliofuzu vizuri kama mia tano, halafu kuna askari wa kawaida wenye mafunzo mazuri vilevile zaidi ya elfu nne na mia tano. Hivyo, kuna askari kama elfu kumi hapa, na ndilo tegemeo kubwa la Akazu kurudi madarakani. Lakini kusema kweli wanaweza kushika tena madaraka, ukichukulia ari, uwezo na vifaa vya kijeshi walivyo navyo”, Bibiane alimweleza Willy.

KKwa kweli kambi hii ilikuwa kubwa sana kiasi cha kumtia hofu Willy Gamba, kwani hakutegemea kabisa kukutana na kambi kubwa ya adui yenye idadi kubwa ya askari kama hii.

“Hebu nipe muda nifikiri kabla ya kujitumbukia huko”, Willy alimwambia Bibiane.

“Hatuna muda Willy, hatuna muda kabisa kabisa, lazima ufahamu kuwa tunatafutwa na adui, na wakihisi tuko huku hakika tumekwisha”, Bibiane alilalamika wakati Willy akimwangalia tu bila kusema kitu.

Baada ya Willy kutafakari kwa dakika kadhaa alilazimika kumwambia Bibiane. “Nikisema nahitaji muda wa kufikiri nina maana dakika tano tu, lakini niwe peke yangu, naamini sasa umenielewa?”, Willy alimwambia Bibiane huku akielekea kwenye kichaka kilichokuwa hatua chache kutoka walipokuwa wamesimama.

“Kumbe unaamini uchawi, wewe unakwenda kuloga, mimi nifanyeje sasa?”, Bibiane alimkebehi Willy.

“Jifanyie lolote kwa imani yako”, Willy alijibu huku akipotelea kwenye kichaka. Inasemekana katika hali kama hii ya hatari Willy husali sana akimuomba Mungu. Baada ya dakika kadhaa Willy alirudi alimkuta Bibiane akiwa amebeba silaha za kiasi chake akiwa tayari kwa kusonga mbele kwa ajili ya mapambano dhidi ya jeshi la Akazu.

“Ehe, sema sasa tunasonga mbele ama tunarudi nyuma kumsubiri Col. Rwivanga?”, Bibiane aliuliza.

“Tunaendelea”, Willy alijibu kwa mkato huku akitoa vifaa vyake vya kazi kwenye mkoba wake.

Willy alibeba silaha na vifaa vilivyokuwa vimebaki, na kwa hadhari kabisa wakaanza kuelekea kwenye ile seng’enge yenye umeme.

“Mara nyingi ulinzi si mkali sana upande wa ua kwa kuwa wanaamini hakuna kitu kinachoweza kuzipenya hizi seng’enge bila kufa kwa umeme, maana kila siku wanyama wanakutwa wamejikaanga wenyewe. Vilevile, kitu chochote kinachokaribia mita moja ishara inaonekana kwenye chumba maalum kinachodhibiti usalama wa kambi hii kama kuna kitu kinasogelea seng’enge mara moja hatua za haraka za usalama wa kambi zinachukuliwa.

“Yote haya yamefanywa lini?”, Willy alitaka kujua.

“Sababu ya pesa Willy, pesa, askari wa kukodishwa kutoka Afrika Kusini ndio wameleta vifaa na teknolojia hii iliyopo hapa kambini. Tukifanikiwa utajionea mwenyewe”, Bibiane alidokeza.
Walipokuwa mita kumi kutoka usawa wa seng’enge walisimama na Willy alitoa kifaa maalum kwenye mkoba wake. “Tutapita chini ya seng’enge, baada ya kuchimba handaki”.

“Itatakiwa liwe mita mbili kwenda chini, vinginevyo tutakaushwa kama mikaa”, Bibiane alisema huku akionyesha wasiwasi.

“Hili bomu”, Willy alisema akiwa ameshika bomu dogo lenye ukubwa wa yai la kuku. “Lina uwezo wa kuchimba handaki la urefu wa mita kumi na upana wa mita tatu, na kina cha mita tatu unasemaje?”.

“Sikupingi, kwa teknolojia ya sasa hata mimi nimeona maajabu mengi katika vifaa vya vita, teknolojia imeendelea sana. Haya chimba tuone”.

Willy alishika kisu na kuanza kuchimba shimo la mita moja kwenda chini, kisha akawasha lile bomu na kulitumbukiza pale shimoni na kulifukia.

“Litalipuka baada ya nusu dakika turudi nyuma haraka tulale chini”.

“Halitasikika baada ya kulipuka?”.

“Hapana, bomu hili limetengenezwa mahususi kwa ajili ya matumizi kama haya, ili kuziba mlio ndio sababu tunalizika chini ya ardhi”, Willy alimwambia Bibiane na kumtoa hofu.

Baada ya nusu dakika bomu lile lililipuka na kutoma sauti kidogo, hii yote ilitokana na kazi ya Willy na kukatokea handaki zuri kwa ajili ya wao kupita bila kikwazo.

“Bwana, hakika kazi yako nimeipenda, sasa tuingie ndani tukafanye kazi iliyotuleta, kikwazo hiki ndicho kilikuwa kinanipa wasiwasi mkubwa”, Bibiane alisema wakati wakiingia ndani ya handaki ili wapite kwa ajili ya kuwakabiri wanajeshi zaidi ya elfu kumi ndani ya kambi yao.

Nkubana na wale askari watatu walifika mpakani yapata saa tano na robo usiku. Walishangaa kukuta moja ya magari yao halipo na wale madereva wa magari hayo pia hawaonekani. Kwanza walifikiri huenda baada ya wao kuchelewa wale askari waliona waondoke, lakini askari mmoja aliona damu mahali gari moja lilikuwa limeegeshwa.

“Hebu angalieni vizuri huenda Willy Gamba kafika hapa na kufanya uharibifu tena”, Nkubana alieleza huku mikono yake ikiwa imeshika nyonga.

Wakati Nkubana na askari wake wakitafakari, ndipo mmoja wa wale askari alipoona maiti za wale madareva wa magari zikiwa zimetupwa nyuma ya ua palepale kituoni.

“Shenzi kabisa huyu ni WIlly Gamba alikuwa hapa, na kachukua hata gari pamoja na sare zetu. Mtu huyu ni mshenzi sana, ole wake nikimuona sintangoja kumpeleka kwa Jean, nitamuua mwenyewe keshanisumbua sana. Twende haraka Kibumba, lazima atakuwa ameelekea huko”, Nkubana aliwaamru askari wake.

Walitafuta funguo za magari haya na kwa bahati nzuri. gari moja lilikuwa na funguo zilizoachwa ndani. Hivyo wakaliwasha gari hilo na kwa kasi kubwa wakaondoka kuelekea Kibumba, wakiamini kuwa watamkuta Willy huko.
…………………………………………………………………………………………………

IX

Mapigano makali kati ya kikosi cha Luteni Nyamboma na jeshi la Meja Kasubuga yaliendelea kwa kila upande kutumia mbinu kuukabiri upande mwingine. Kwa muda wa saa moja na nusu, Luteni Nyamboma hakurudi nyuma, lakini alikuwa amewapoteza askari wake wapatao kumi na watano, lakini nao pia walikuwa wamefanikiwa kuwaua askari zaidi ya arobaini wa jeshi la Meja Kasubuga. Luteni Nyamboma alipoona anaelemewa na risasi zinamwishia aliwaamru askari wake waliobaki kurudi nyuma ili wakimbilie mpakani ambako waliamini kuwa wangepata msaada zaidi.

Walirudi nyuma kwa hadhari na walipoona sasa wanaweza kukimbia ili kuwatoroka wanajeshi wa jeshi la Meja Kasubuga walifanya hivyo. Meja Kasubuga alimru jeshi lake liwafukuze na kuwakamata. yeye mwenyewe alirudi ofisini kwake ili aweze kupeleka habari Makao Makuu Kigali kueleza mambo yaliyokuwa yametokea. Col. Rwivanga ndiye aliyepokea simu na alipoangalia saa yake ilikuwa saa tano usiku.

“Afande, tumevamiwa hapa na jeshi la Intarahamwe na Wahutu wenye msimamo mkali, tumepoteza askari kama arobaini hivi, lakini tumefanikiwa kumrudisha adui nyuma, amekimbilia mpakani mwa zaire”, Meja Kasubuga alimweleza Col. Rwivanga na kisha kueleza kwa kirefu mapigano yalivyokuwa.

“Hivyo, inaonekana hao ni askari wenye ujuzi mkubwa?”, Col. Rwivanga aliuliza.

“Sana afande, mpaka mimi nimeshangaa, nafikiri fununu tulizonazo kuwa kuna kambi kubwa ya mafunzo yenye wakufunzi wenye utaalamu wa hali ya juu kuhusu mambo ya kijeshi ni kweli kabisa”.

“Willy yuko wapi?”.
“Katika prukushani hii Willy na mwenzake wamechomoka, naamini wamekwishavuka mpaka. Huyu mtu ataleta kasheshe kubwa, nadhani niruhusu sasa mimi na kikosi changu tuvuke mpaka ili tuwasaidie, maana alitaka kwenda Kibumba na huko ndiko kunasemekana kuna jeshi zima la Intarahamwe. Kwa vyovyote hawezi kurudi, kwani taarifa za siri tulizonazo kama ni kweli kuna askari zaidi ya elfu kumi katika kambi hiyo, na wakimbizi wote katika sehemu hiyo wamepewa mafunzo ya hali ya juu ya kijeshi. Kwani wale wakimbizi wanaokataa kushiriki mafunzo ya kijeshi wanauawa, elewa kuwa kuna wakimbizi zaidi ya laki moja wanaume, achilia mbali wanawake na watoto. Hivyo, Willy yuko katika hatari kubwa, huenda hakujua vizuri nguvu ya adui”, Meja Kasubuga alimwambia Col. Rwivanga.

“Wewe fanya kazi moja kwanza, wafukuze hao wavamizi mpaka mpakani, wakivuka mpaka wewe na jeshi lako msivuke, mtusubiri hapo hapo mpakani. Mimi, Meja Tom Kabalisa wa Banyamlenge na Bwana Mpinda wa vikosi vya vyama vinavyopinga serikali ya Zaire tutakuja usiku huu kwa helkopita, naamini saa nane usiku tutakuwa tumefika hapo mpakani, msivuke mpaka tufike”, Col. Rwivanga aliagiza.

“Sawa afande, mimi naendelea na mapambano, jeshi langu sasa linaelekea mpakani hivi sasa. Mkifika helkopita itue ile sehemu ya kawaida, tutakuwa tumeimalisha ulinzi eneo hilo, nitawasubiri”, Meja Kasubuga alisema.

“Asante na kwaheri, msifanye chochote kwanza”, Col. Rwivanga alisisitiza na palepale akajiweka tayari kisha akatoka kwenda kuwafuata akina Mpinda na Kabalisa kwa ajili ya kuelekea kwenye uwanja wa mapambano.

Willy na Bibiane walitambaa chini kwa chini kama nyoka na hatmaye wakayafikia majengo yaliyokuwa upande wa pili kutoka sehemu waliyotokea.

“Haya ni maghala ya kuhifadhia silaha, ni makubwa sana yana silaha nyingi za kisasa na vifaa vya kila aina vya kijeshi, zikiwemo silaha mpya za kisasa kabisa kwa ajili ya vita”, Bibiane alieleza.

“Itabidi tuingie ndani kwanza ndio tutajua cha kufanya”, Willy alieleza.

“Mlango uko upande ule kabisa, yaani unatazamana na majengo ya upande ule kabisa, ambako ndiko kuna ofisi na nyumba za kulala askari. Ulinzi upande ule ni mkali sana na lango la upande ule linafunguliwa kwa chombo maalumu ambacho kinahifadhiwa kwa mmoja wa makamanda wa juu wa jeshi lao”, Bibiane alieleza.

“Kuta za maghala haya zimejengwa kwa teknolojia gani, au wametumia nini kujenga, tofali za simenti ama mabati?”, Willy aliuliza.

“Kampuni moja ya Afrika Kusini iitwayo Super Frame ndiyo iliyojenga maghala haya pamoja na mabanda yote unayoyaona tena kwa muda wa mwezi mmoja tu. Kila kitu kililetwa hapa kwa helkopita kubwa zilizokodishwa kutoka Urusi na hapa waliunganisha tu hizi kuta na kuezeka. Wakati wa joto  kuta zake zinaleta ubaridi na wakati wa ubaridi kuta hizi zinaleta joto, hivyo sijui zimetengenezwa kwa teknolojia gani?”, Bibiane alijibu.

“Nimeelewa, baada ya hayo maelezo yako, teknolojia hii imetoka Marekani na inatumika kwa kujenga nyumba za gharama nafuu, lakini zenye kudumu kwa muda mrefu hata zaidi ya matofali ya saruji”, Willy alijibu.

“Wewe kuna kitu usichokijua katika Ulimwengu huu”, Bibiane alitania kisha akaendelea. “Sasa tunafanyaje Bwana kujua?”.

“Utaona, sasa hivi tutaingia ndani”, Willy alijibu kisha akafungua na kupekua kwenye mkoba wake, akatoa kifaa kimoja kilichofanana na kalamu lakini hiki ni kinene kidogo. alikifungua akatoa mfuniko wa mbele na kukifungua tena nyuma, baada ya kukifungua zilitoka betri mbili ndogo sana, Willy akazikagua kuona kama ziko sawa, kisha akazirudisha.

“Haya, rudi nyuma hiki chombo kinatoa miale aina ya leza bimu na hii miale ina nguvu za ajabu na miale hii inakata huu ukuta utadhani kisu ndani ya siagi, rudi nyuma yangu kabisa”, Willy alisema Bibiane akarudi nyuma kwa hofu.

“Nasubiri kuona”, Bibiane alitania.

“Subiri utaona japokuwa umeingiwa na hofu, lakini usiogope maana hapa hakuna ujanja zaidi ya kumuomba Mungu”.

Willy alisukuma nyuma ya kile chombo kama mtu anavyosukuma kalamu wakati anataka kuandika, na mara moja miale myekundu ilijitokeza Willy akaielekeza kwenye ukuta na taratibu alikata saizi ya mlango sehemu ile walipokuwa, alipomaliza akakizima kile kifaa chake.

“Mbona hujakata chochote?”, Bibiane aliuliza.

“Subiri kidogo, hii ni sawa na sayansi inayotumiwa na madaktari siku hizi kupasua mwili wa binadamu, wewe uko wapi mama, wenzio twaelekea karne ya ishirini na moja, karne ya sayansi na teknolojia wewe bado upoupo tu. Siku hizi mtu anafanyiwa opresheni, anapasuliwa tumbo, halafu baada ya saa moja anarudi nyumbani mwenyewe na haoni sehemu iliyopasuliwa”, Willy alimkoga Bibiane aliyekuwa anashangaa.
Willy aliiangalia saa yake kisha akaufungua mkoba wake akatoa kitu kama bawaba kisha akaipachika kwenye ukuta kikanasa.

“Hiyo ni sumaku?”, Bibiane alihoji.

“Ndiyo, inashika kitu chochote hata kama ni mbao”.

“Ama kweli wewe mkali Willy, sikutegemea kabisa”.

“Au vipi”, Willy alijibu. Huku akiitumia ile bawaba alivuta taratibu na ile sehemu ikachomoka na kuacha uwazi wenye ukubwa wa mlango.

Willy na Bibiane walijikuta wanaangalia ndani ya ghala kubwa sana lililojaa silaha.

“Ingia sasa, mbona kama umepigwa na radi!” Willy alimweleza Bibiane.

“Bado nashangaa, hakika mambo uliyonionyesha ama kweli ujuzi huzidiana”, Bibiane alijibu huku akiingia ndani ya ghala la silaha.

Willy akitumia chombo kingine kwa kukishikanisha na ile bawaba, ile bawaba ilitoka akaiweka upande mwingine wa kipande cha ukuta alichokuwa amekata, kisha na yeye alipoingia ndani ghala alivuta kile kipande cha ukuta kwa nguvu zake zote na kukipachika mahali pale tena. Mtu yeyote angepita pale kwa macho tu bila darubini asingejua kuwa pale pamekatwa. Bibiane hakuna na neno la kusema isipokuwa kuangalia ile sehemu tu.

“Wewe ni mkali kwelikweli”, Bibiane alirudia kusema.

“Kwa mambo mengi si hili tu”, Willy alisema kwa kumwemwesa.

wakiwa ndani Willy alishangaa kuona ghala kubwa sana la silaha. Kwa vile taa zilikuwa zikiwaka kwa ndani hawakuamini macho yao. Hata Bibiane hakujuwa kuwa Akazu walikuwa wamejiimarisha kiasi hiki. Mara ya mwisho Bibiane kufika hapa ilikuwa kama miezi mitatu iliyopita na katika hii miezi mitatu silaha nyingi, yakiwemo makombora ya masafa marefu na mafupi, vifaru, ndege aina ya MIG 21 na 23. mizinga, magari ya kivita, helkopita za kivita zilikwishaletwa eneo hili! Hakika ilikuwa ajabu na kweli.

“Hawa watu wanajipanga kupigana na Rwanda tu ama nchi nyingine jirani?”, Willy aliuliza kwa mshangao.

“Nia yao ni kupigana na serikali ya Rwanda basi, hakuna kingine”, Bibiane alijibu na kuongeza. “ila wanataka kuyapiga majeshi ya RPF kipigo kitakatifu, wasijejaribu tena mara baada ya kufukuzwa Rwanda”.

“Fedha za kununulia vifaa hivi vyote watakuwa wamepata wapi?”, Willy aliuliza.

“Miaka yote hii unafikiri walikuwa wakifanya nini?, wamewaibia wananchi mali zao zote. Akazu na Jean ni matajiri ajabu. Wana uhusiano na Rais wa Zaire na kiongozi wa waasi wa UNITA kule Angola. Almasi za Angola na Zaire dalali wake ni Jean. Sasa wewe fikiria wana utajiri wa kiasi gani?”, Bibiane alijibu.

“He, sasa nimekuelewa mama”.

“Kila kitu kilipangwa kwa ustadi wa hali ya juu. Hii ingewezekana kuchukua silaha zao kwa kutumia muda mfupi sana kwama wangeshambuliwa. Willy aliamini kuwa hii kweli ilikuwa kazi ya askari wa kukodishwa kwani hakika hili lilikuwa ghala la silaha lililotayarishwa na kupangwa na watu wenye ujuzi wa juu sana.

Willy na Bibiane walitembea kwa hadhari lakini kwa haraka wakijificha ndani ya vivuli vya zile silaha. Waliziangalia silaha hisi kiasi kwamba walianza kusahau kilichowaleta hapa.

“Unayaona makombora haya Willy”, Bibiane alimwonyesha Willy makombora yaliyotengenezwa Urusi. Kisha akaendelea. “Haya makombora ni aina ya SAM 16 yalitekwa na majeshi ya Ufaransa wakati wa vita vya Ghuba, Februari 1991 na kupelekwa kwenye maghala ya silaha huko Ufaransa lakini kutokana na mahusiano wa karibu kati ya Jean na viongozi w ngazi za juu wa Ufaransa waliamua kumuuzia Jean makombora hayo. Katika makombora haya yamo yaliyotumika kuipiga ndege iliyokuwa imewabeba marais wa Rwanda na Burudi Aprili 6, 1994. Ni Jean na Akazu ndio waliamru rais auawe kwa sababu alikuwa ameanza kwenda kinyume na maagizo yao wakati wa mkutano wa Arusha, nakumbuka niliwahi kukueleza”.

“Kama ndivyo, basi hawa Akazu na Jean ni wabaya kwelikweli, sasa naamini”, Willy alisema huku hasira zikimpanda dhidi ya watu hawa.

“Lililobaki sasa ni kuziteketeza silaha hizi zote, naamini kuwa jeuri na nguvu ya Jean na Akazu tutakuwa tumeimaliza”, Bibiane alieleza.

“Mkuki wa nguruwe, kwa binadamu mchungu, itabidi sasa tutumie yale mabomu yako aliyokuletea Jean, maana kazi kama hii ndio saizi yake”, Willy alishauri.

“Unafikiri kwanini nilisema tuyachukue, nilijua. Kwanza ni madogo, na pili yana nguvu kubwa ya ajabu. Ghala kubwa kama hili, matano au sita yanaliteketeza kabisa na hakibaki kitu. Hili senduku linatosha kuiteketeza Kigali nzima. Nia ya Akazu ilikuwa wakishindwa mpango huu basi waiteketeze Kigali nzima na vyote vilivyomo bila kujali maisha ya watu”, Bibiane alieleza.

Willy alimwangalia Bibiane kwa jicho kali, baada ya kutafakari akaelewa kwanini Willy alibadilika vile, ikamlazimu Bibiane kubadili maneno. “Haya tuyatege, nafikiri ulikuwa unasoma maelezo sasa unajua nini cha kufanya”.

“Bila shaka”, Willy alijibu sasa akiwa makini tayari kwa kazi. Kwa hesabu zake alitega mabomu ambayo alihakikisha angeteketeza kila kitu ndani ya lile ghala. Bila kushitukiwa walitoka kwa kupitia sehemu ileile na kisha wakairudishia ile sehemu ya ukuta kiasi kuwa hakuna ambaye angefikiria kuwa kuna mtu aliyewahi kupitia pale.

“Umesema kama ukitumia hii saa ya kulipua haya mabomu unatakiwa kuwa umbali gani, nina maana haya mabomu tuliyotega”, Bibiane aliuliza huku wakiambaa na ukuta kuelekea kwenye mabweni ya kulala askari.

“Umbali usizidi kilomiota moja”, Willy alijibu.
Nkubana aliamua kuwasiliana na Col. Gatabazi kwa simu ya upepo. Alipompata alikuwa tayari amewasili Goma na walikuwa wameanza mkutano. Nkubana alieleza kwa kirefu yote yaliyotokea na kisha akashauri. “Huyu Willy Gamba hajui nguvu zetu. Hivyo, ameamua kwenda kujinyonga huko Kibumba, mimi naelekea huko kwenda kuongeza nguvu na kuwashitua makamanda wetu ili tumkamate kabla hajaleta kasheshe zake”.

“Sawa, fanya hivyo, Jean anahitaji kumuona akiwa hai”, Col. Gatabazi alikubaliana na Nkubana na kumweleza shabaha ya bosi wao Jean.

“Vilevile nitazungumza na makamanda hapa ili waniruhusu tupeleke jeshi mpakani kumsaidia Luteni Nyamboma kudhibiti mpaka wa Zaire, mpaka hapo amri ya kuishambulia Rwanda itakapotoka. Sisi tuko tayari, naamini uamzi utatoka haraka ili kazi ianze alfajiri ya leo. Hebu ngoja kidogo usizime radio yako”, Col. Gatabazi aliwaeleza wenzake mambo yalivyokuwa Gisenyi na jinsi ambavyo Nkubana alikuwa akihisi kuwa Willy ameelekea Kibumba. Mara moja Jean alisimama baada ya kusikia habari hii ya Willy kuelekea Kibumba. Haraka alichukua radio na kutoa maagizo kwa Nkubana.

“Sikia, sisi tunakuja huko sasa hivi, tutakuja kwa ndege yangu na mimi nitaondoka. Sasa hivi bado tunawasiliana na Kamanda Bazimaziki awahi uwanja wa ndege. Waeleze wakiwakamata Willy na Bibiane wasiwaue kwanza mpaka tufike, hao ni halali yangu”, Jean alitoa amri.

“Unafikiri ni busara sisi viongozi wa juu kwenda huko?”, Anatoile kabuga alihoji.

“Bila shaka, huko ndiko yaliko majeshi yetu na ndiko tutakapotoa amri”, Jean alieleza msimamo wake.

“Mimi pia nafikiri tuwe pale wakati wanajeshi wanaelezwa kukaa tayari kwa ajili ya kuanza vita alfajiri, hii itawaongezea mori”, Jenerali Kasongo alijibu.

“Na mimi nimefurahi sana kwa uamzi huo, kuanzia sasa ofisi yetu kubwa ya kuratibu shughuli za vita itakuwa hukohuko Kibumba, maana ndiko kwenye vifaa vyote, sioni sisi tutafanya nini hapa wakati kila kitu chetu kiko kule”, Col. Gatabazi alieleza kwa sauti ya juu.

“Sawa, wengi wape”, Kabuga alijibu.

Kisha wakawasiliana na Col. Marcel Bizimaki, ambaye ni Kamanda wa jeshi la Akazu wakitumia njia ya simu ya satellite, wakamweleza kuwa wote walikuwa wanarudi hapo tena, kwa ajili ya kutoa mwongozo na ruksa ya kuanza mapambano dhidi ya adui alfajiri ile. Vilevile, alielezwa aweke vikosi vyake vyote kwenye tahadhari ili waweze kumsaka na kumkamata Willy Gamba akiwa hai.

“Karibuni, nitawapokea na nitawaweka kwenye nyumba ya mkufunzi wetu mkuu. Kamanda Moris ambayo ina ulinzi mkali pia inalindwa na mitambo ya kisasa ya usalama. Na mtakapokuwa pale kwake itakuwa rahisi kwenu kuona kwa macho jinsi majeshi yetu yanavyosonga mbele kupitia mitambo ya kisasa kabisa”, Col. Bizimaziki alitamba.

Kundi zima liliondoka kuelekea uwanja wa ndege, likiwa tayari kuelekea Kibumba, ambako kuna umbali usiozidi dakika kumi kwa ndege, Jean alifikiria kuwa ni vizuri kuwa na ndege yake karibu, ikiwa kwa bahati mbaya kikatokea kitu na kutakiwa kuondoka ghafla na kujisalimisha aweze kufanya hivyo kwa ndege yake. Wakati wanaelekea uwanja wa ndege. Co. Gatabazi aliwasiliana tena na Nkubana.

“Uko wapi sasa?”.

“Nimekwisha kuwasili Kibumba na sasa naelekea kwenye lango kuu la kuingilia ndani, nimewasiliana nao kwa radio wananisubiri”, Nkubana alimweleza Col Gatabazi.

“Sawa, kazi yako kubwa ni kumkamata huyo Willy na kikaragosi chake huyo Bibiane na uwalete kule mlimani ilipo nyumba ya Kamanda Moris, sisi tutakuwa huku muda si mrefu”, Col. Gatabazi aliagiza.

“Nitafanya hivyo afande. Mara hii kaingia mkenge yeye mwenyewe”, Nkubana alijibu.

“Lakini mtu huyu ni hatari sana, naomba umwambie Kamanda Bizimaziki mchukue tahadhari kubwa sana. Hata tulipofika sitaki makosa yatokee”, Col. Gatabazi alisisitiza.

“Sawa afande, tutafanya hivyo, lakini mtu mmoja na mwanamke mmoja wanaweza kufanya nini mahali kwenye kambi kubwa ya jeshi kama Kibumba?”, Nkubana alihoji.

“Wewe chukua hadhari ya hali ya juu huyu mtu si wa kawaida”, Col. Gatabazi alisisitiza na kuzima radio.

Nkubana alifahamu kuwa viongozi wake walikuwa na mashaka na Willy, lakini Nkubana yeye hakuna na wasiwasi. Aliamini kuwa huu ndio ulikuwa mwisho wa Willy Gamba. Ulinzi na uwezo wa kambi ya Kibumba ulikuwa mkali mno, kiasi kwamba ilikuwa vigumu sana kwa mtu mmoja kuingia na kutoka salama. Gari lilisimama na kumwondoa Nkubana katika mawazo yake. Walikuwa wamefika kwenye lango kuu na kusimama kama ilivyo sheria ya kusimama na kukaguliwa kabla ya kuingia ndani ya ngome hii.
Nkubana alipoangalia saa yake ilikuwa yapata saa sita na nusu usiku.

“Saa ngapi sasa?” Bibiane alimwuliza Willy Gamba.

“Imefika saa sita na nusu sasa”, Willy aliMjibu.

Walikuwa tayari wana saa moja ndani ya kambi hii ya kijeshi na bado walikuwa hawajapata tatizo lolote. Sasa ndio walikuwa wanaanza kutega mabomu kwenye bweni la mwisho ili baada ya hapo kama itawezekana watafute namna ya kutoka nje, kwani mabomu waliyokuwa wameyatega na kuyaprogramu kwa saa ya Willy ili kuyalipuwa lazima wawe mbali, maana yalikuwa na uwezo wa kuharibu kambi nzima na vitu vyote vilivyomo kama yangefanya kazi kama ilivyotarajiwa. Wakati wanafikiri hivi, ghafla taa za kiwanja cha ndege zikawashwa.

“Aha, kumbe ule ni uwanja wa ndege!” Willy alinong’ona.

“Ndio, unafikiri zile ndege za kijeshi zinaruka kutokea wapi!”, Bibiane ambaye naye hapo awali alikuwa hajui uwanja ulikuwa wapi, alijibu.

“Kwanini wanawashwa taa wakati huu?”, Willy alijiuliza.

Wakiwa wameduwazwa na kitendo hiki na wakiwa sasa wameondoka kwenye ukuta wa bweni la mwisho na kujibanza kwenye kivuli cha lori kubwa la jeshi lililokuwa limeegeshwa pale, Bibiane alijibu. “Huenda ndege za kivita zinatolewa ili zikashambulie mahali ama ndege ya Jean inataka kutua”.

“Nafikiri hilo la pili ni sawa. Hii itakuwa raha sana mimi kukutana uso kwa uso na huyu bwana yako”, Willy alikejeli Bibiane akafadhaika.

“Si bwana yangu tena, bwana yangu ni wewe Willy, maana wewe ndiyo uko na mimi sasa, sema, fanya kila unachotaka nifanye”, Bibiane alijibu kwa sauti ya mahaba. Willy alimwangalia, kisha akamshika na kumbusu.

Mara wakasikia king’ola na askari wakatoka na kuanza kuelekea kwenye kiwanja cha ndege.
“Hapa kuna hatari, nafikiri wametushitukia”, Willy alisema huku ile kengere yake ya hadhari ikilia kichwani mwake. Kisha akaendelea. “Kinachotokea hapa ni sisi kutoka ndani ya kambi hii. Wataanza kutusaka sasa hivi”.

Mara tena wakasikia mwungurumo wa ndege na magari sita aina ya Landrover ya wazi yakiwa yamebeba askari yakielekea karibu na uwanja, yalipokaribia yakasimama. Kisha, yakafika magari mengine mawili aina ya Landcruiser GX nayo yakasimama pale vilevile kusubiri ile ndege itue. Pale kwenye uwanja mkubwa, vikosi vya askari vilizidi kujipanga kwa ajili ya mapokezi.

Ile ndege ilipotua watu wanne walitoka ndani ya Landcuiser zilizokuwa zimesimama kando na kusogea karibu ili kuilaki ile ndege. Wakiwa bado wamefichwa na kivuli cha lile Lori walitumia viona mbali vyao na kuwaangalia kwa makini wale watu waliotoka kwenye yale magari.

“Yule aliyetangulia ni Col. Marcel Bazimaziki, huyu ndiye kamanda mkuu wa majeshi yote ya Akazu. huyo wa kushoto ni Kapten Nkubana aliyekutoroka Kigali, ndiye aliyetumwa kuniua, kumbe naye keshafika huku. Wa kulia ni kamanda Morris huyu ni mkuu wa vikosi vya kukodiwa ambavyo vinafundisha majeshi ya Akazu. Huyu wa nyuma simfahamu”.

Ndege ilisimama na milango ikafunguliwa na watu wakaanza kutoka. Jean ndiye alikuwa wa kwanza kutoka ndani ya ndege hii.

“Aha huyu ndiye Jean nafikiri?”, Willy aliuliza.

“Bila shaka huyo ndiye Jean, ambaye ndiye mzizi wa fitina katika Rwanda. na yule anayemfuatia ni Anatoile Kabuga, huyo ndiye kiongozi wa Akazu, anayefuata ni Jenerali Kasongo, kamanda wa majeshi ya Rais wa Zaire, rafiki mkubwa wa Jean, anayetokea sasa pale mlangoni ni Col. Gatabazi na huyo anayetokea mwisho simfahamu, maana sijawahi kumuona”, Bibiane alieleza.

“Asante, sijui bila wewe ingekuwaje, umefanya kazi yangu iwe rahisi kiasi fulani”.

“Ni kweli, lakini ungetumia njia nyingine, wewe si wa kushindwa jambo”.

Baada ya kutoka ndani ya ndege, kundi la Jean liliingia ndani ya zile Landcruiser wakaondoka huku wakisindikizwa askari kwa ulinzi mkali.

“Unadhani watakuwa wanaelekea wapi sasa?”, Willy alimuuliza Bibiane.

“Sijui, nilitegemea huenda wanataka kuzungumza na vikosi vilivyofanya gwaride pale uwanjani, lakini wameondoka moja kwa moja kuelekea upande ambao ndiko kuna lango kuu. Huenda wanakwenda kupumzika kwa kamanda Morris, nyumba na ofisi ya kamanda Morris iko juu ya hicho kilima, huwezi kuona ukiwa hapa kwa vile kumefichika kwa miti”, Bibiane alieleza.

Kati ya magari yaliyobeba askari moja halikuendelea na msafara isipokuwa lilielekea kwenye gwaride. Gari hilo lilipofika hapo lilisimama na watu waliotoka ndani walikuwa Nkubana na askari wengine watano. Kisha Nkubana akaanza kuhutubia hilo gwarinde na kikosi kimoja wapo kikapiga hatua moja mbele na vingine vikatawanyika. Willy na Bibiane hawakuelewa nini kilikuwa kinaendelea.

“Lililopo ni sisi kuondoka hapa kambini haraka iwezekanavyo. Vinginevyo tutakamatwa hata kabla hatujamaliza kazi iliyotuleta”, Willy alieleza.

“Mimi bila kummaliza huyu Jean siendi kokote ng’o”, Bibiane alijibu kwa hasira.

“Lazima ufahamu kuwa hatuwezi kukabiliana na watu wote hawa, lazima kutumia akili ya ziada, wewe unajua katika kazi yetu hii swala ni kuendelea kuishi; lazima uhakikishe unajilinda ili ubaki salama. Hapa tukitaka kuanza mapambano ni sawa na kujinyonga sisi wenyewe. Pili ili tuweze kulipua mabomu tuliyotega ni lazima tutoke nje kabisa ya eneo hili, la sivyo sisi pia tutakuwa tumejiteketeza pamoja na adui”, Willy alimuasa Bibiane kisha wakaona wale askari wa kikosi wanakabidhiwa silaha na kuelekea kwenye seng’enge ya ua wa kambi.

“Ehe, umeona kazi hiyo, hawa jamaa wanategemea tutakuja hapa, lakini hawajui kama tumeingia ndani na kazi imefanyika”, Willy alieleza.
“Lakini wakifika pale tulipoingilia lazima watajuwa tuko ndani”, Bibiane alijibu.

“Ndio sababu nikasema tutafute njia tutoke humu ndani”, Willy alisisitiza.

Wakati wote Willy alikuwa akipanga mbinu za kuweza kutoka ndani ya kambi hii wakiwa salama.

“Hebu nifuate tuangalie hali ikoje upande wa lango kuu”, Willy alimwambia Bibiane.

“Kule hatuwezi kupita, afadhari tuwahi palepale mahali tulipotumia mwanzo”, Bibiane alisema na Willy akamuunga mkono na kuona alikuwa na mawazo sahihi hivyo, haraka haraka wakaelekea sehemu waliyokuwa wameingilia, huku askari wa doria wakizidi kujipanga na kupewa silaha ili kuzidi kujipanga kando ya ua huu wa seng’enge wakiwa tayari kulinda kambi yao. Ile tembetembea ya hawa askari kiasi fulani iliwasaidia sana akina Willy na Bibiane kutobainika mapema kwani walikuwa wamevaa mavazi ya kijeshi kama wale askari. Nkubana na watu wake waliweka ulinzi mkali upande la lango kuu wakiamini kuwa Willy angeweza kujaribu kuingia pale kambini kwa kutumia lango kuu.

Hakuna askari wala kiongozi katka kikosi chicho aliyefikiri kuwa adui wangeweza kupitia sehemu nyingine yoyote kwani waliamini kwamba hakuna kitu ambacho kingeweza kupita ua ulioizunguka kambi hii. Hivyo, hata hawakuweka askari kuzunguka ua ilikuwa ni kwa hadhari tu. Kumbe kitu ambacho hawakujua ni kwamba teknolojia yotote inaweza kushindwa na teknolojia nyingine yenye maarifa ya juu zaidi. Willy alikuwa ndani na tayari alikuwa ametega mabomu kila upande.

Huyu Willy Gamba lazima atakuwa kaingia hapa, hatujui kapita njia ipi na yuko sehemu gani?”, Nkubana alimwambia Col. Gatabazi kwa njia ya radio.

“Haiwezekani, hakikisha kwanza”, Col. Gatabazi alijibu kwa hofu.

“Hakika ni yeye Willy Gamba, tumekuta sehemu imechimbwa chini ya ua mita kama tatu hivi kwenda chini, hata hatujui imetumika nini kuchimba ardhi. Kwa maana hiyo, tumeanzisha operesheni kali ya kumsaka ndani na nje ya kambi, japokuwa hatuna uhakika kama bado yuko ndani ama ametoka. Hakika mtu huyu ni hatari sana, itabidi kuongeza ulinzi katika eneo hilo hususan mahali mlipo, nitatuma askari zaidi kuimarisha ulinzi hapo”, Nkubana aliahidi.

“Kuna madhara yoyote kafanya huyo Willy”, Col. Gatabazi alihoji kwa wasiwasi.

“Mpaka sasa hakuna, tumekagua sehemu zote ni salama isipokuwa hapa kwenye ua palipochimbwa ardhi, ni sehemu hii tu”.

“Nani kagundua eneo hilo limechimbwa na muda gani umepita toka hali hiyo itokee”, Col. Gatabazi aliuliza tena kwa shauku.

“Niko hapa katika eneo husika afande”, Nkubana alijibu. Baada ya ukimya wa sekunde kadhaa akaendelea. “Askari wetu mmoja wa doria aliyepangwa kulinda eneo hili la ua anasema haiwezi kuwa zaidi ya dakika kumi na tano hivi zilizopita. Nafikiri bado hajaingia ndani, anasubiri ama ameona ndege wakati mnaingia, anaweza kuwa anajipanga kujaribu kuanzisha mashambulizi. Ujue yuko pamoja na Bibiane ambaye anaijua sehemu hii vizuri sana”.

“Bibiane anataka kulipa kisasi, kwa hiyo lazima watakuwa wanaelekea hapa baada ya kuona tumetua kwa ndege, ongeza ulinzi, nafikiri umebashiri sawasawa”, Col. Gatabazi alijibu.

Baada ya kuzungumza na Nkubana kwa radio, Col. Gatabazi aliwafahamisha wenzake kuhusu maelezo ya Nkubana. “Huyu mtu ni hatari sana, lazima atakuwa anaelekea hapa, nimeagiza ulinzi uongezwe zaidi. Nia yake ni kutuangamiza sisi kwani Bibiane atakuwa amemweleza yote kuhusu uongozi wetu. Naomba wote tuwe katika hadhari, huyu mtu ananitia wasiwasi maana anaonekana amepania ni mjuzi na haogopi kitu. Watu wa aina hii ni hatari sana”, Col. Gatabazi alieleza.

“Hapa hawezi kuingia, ajaribu aone moto, hii itasaidia kumkamata kirahisi maana nyumba hii inalindwa na mitambo maalumu ya kisasa, kuna kamera zimetegwa eneo hili. Na tunaweza kuona sehemu zote zinazoizunguka nyumba hii kwa mara moja, kwenye chumba chetu kuna vifaa vya kuangalia usalama wa nyumba hii, kuna televisheni nne ambazo zinaangalia mzunguko wa eneo hili kwa umbali wa kilomita moja. Hii ina maana hata sehemu ya upande huu wa kambi tunaona. Halafu pale kambini kuna mitambo kama hii, sijui imekuwaje hawakuweza kumuona!”, Kamanda Morris alieleza kwa mshangao.

“Hebu twende kwenye hicho chumba chako”, Jean ambaye pia alianza kuingiwa na hofu, alieleza. Wakaelekea kwenye chumba cha mawasiliano na usalama wa kambi hiyo.

Walipoingia ndani ya chumba hiki waliwakuta askari kama sita hivi waliokuwa wakisimamia kuendesha ile mitambo ya ulinzi mle ndani. Wakiwa ndani waliweza kuona picha za maeneo yote yaliyozunguka ile nyumba, waliwaona pia askari waliokuwa wakilinda eneo hilo. Kwa kweli, kulikuwa na askari wengi kila mahali wakiwa tayari kupambana na adui kwa njia yoyote. Kupitia mitambo hiyo waliweza kuwaona askari wengine zaidi wakiongezeka na kujipanga kwa ulinzi zaidi.

Kwa vile kambi hii inao komandoo zaidi ya mia tano waliofuzu vizuri mafunzo yao, hii ilimpa jeuri Jean na Col. Gatabazi kuwa na imani kuwa hakuna adui anayeweza kuleta rabsha mbele ya vijana hao ambao pia walikuwa sehemu ya ulinzi wakati huo.

“Kukitokea kitu chochote cha hatari, sisi tutakuwa wa kwanza kukiona hata kabla ya askari wa hapo nje hawajakiona. Tumeweka taa kali za ulinzi ili eneo hili lionekane kama mchana na kamera zetu zichukue picha kwa ufasaha zaidi”, Kamanda Morris aliwaeleza na kufanya wageni wake waridhike na maelezo hayo na kuamini kuwa hakuna madhara.

“Lakini ikitokea bahati njema Willy Gamba akamatwe, huyu atakuwa mfungwa mikononi mwangu, msimuue tafadhari, nileteeni hapa nimle nyama taratibu. Nasisikia kuonja nyama yake”, Jean aliagiza.

“Na Bibiane?”, Col. Gatabazi aliuliza huku akimwangalia Jean.

“Huyu nitapenda kufanya naye mapenzi kwa mara ya mwisho kabla hajaenda ahera”, Jean alijibu huku uso wake ukionyesha uovu wa ajabu na mate yakimjaa mdomoni.

“Huyu mtu ni mgonjwa”, Col. Gatabazi alijisemea moyoni.

“Tunaweza kuendelea na mkutano”, Jean aliagiza baada ya kujiridhisha na hali ya usalama wa kambi, wakarudi kwenye chumba cha mkutano walikokuwa Kamanda Morris, Bizimaziki na wataalamu wengine wa kijeshi waliokodishwa, waliendelea kuwaeleza jinsi mipango ya mashambulizi ilivyokuwa imepangwa.
Meza moja ilikuwa na ramani ya nchi za Zaire, Rwanda na Burundi na baadhi ya nchi zote za maziwa makuu zikitumiwa kuonyesha jinsi ambavyo jeshi la Akazu lilivyojiandaa kusonga mbele katika kuivamia Rwanda, wakitumia askari wa miguu, magari ya kisasa ya kivita, vifaru, makombora ya masafa mafupi na marefu pamoja na ndege za kivita, yote ni kuivamia nchi hiyo kijeshi.

Wakiwa ndani ya kambi hii, Willy na Bibiane walijificha kwenye vichaka vilivyokuwa kando ya njia ambayo magari ya jeshi yalikuwa yanapita kuelekea kwenye jumba analoishi Kamanda Morris.

Walikuwa wamefanikiwa kuvuka kizuizi cha kwanza kutoka kambini bila kushitukiwa, na moja kwa moja walitumia vichaka kujificha huku wakiua askari waliokuwa wakilinda maeneo hayo, mpaka wakafika sehemu hii wakitafuta nafasi nzuri ya kuishambulia nyumba ya Kamanda Morris ili waweze kuukabiri uongozi wa juu wa Akazu.

“Ikitokea gari lisilo na askari wengi nyuma au hata likiwa na askari wawili ama watatu tulivamie na kulifanya letu ili tulitumie litupeleke kule juu bila kuwashtua walinzi. Kwa vile tumevaa sare zao tunaweza kujaribu kuingia mpaka ndani bila shida ndipo tuanze mapambano, kama tutakuwa bado hatujashitukiwa”, Willy alimwambia Bibiane.

“Kama nilivyowahi kukwambia nyumba hii inalindwa kwa mitambo maalumu ya kisasa. Nje kuna kamera nne zinazopeleka picha kwenye televisheni ndani ya chumba cha udhibiti wa mitambo, ambamo kuna askari wanaangalia mitambo hii kwa zamu, kwa saa ishirini na nne kila kinachotokea nje kinaonekana kwenye televisheni hizi, kamera hizi ninafanya kazi katika mzunguko wa kilomita moja kutoka eneo la kambi. Vilevile ndani ya chumba hicho kuna vifaa vya kisasa kwa ajili ya kunanasa sauti na mazungumzo yoyote ya radio kwa radio kwa umbali wa zaidi ya kilomita mia moja. Pia wanaweza kunasa picha zinazoletwa kwa rada kama kuna kitu kinaruka sehemu hii. Hivyo, tukijaribu kufanya chochote lazima tutaonekana moja kwa moja”, Bibiane alimuasa Willy.

Baada ya kutafakari kwa sekunde kadhaa, Willy alitoa kile kitochi chake chenye miali ya leza akampatia Bibiane.

“Sikia, mimi ninacho kingine, kama tutafanikiwa kuikaribia ile nyumba tutagawana njia, wewe utaelekea mashariki mimi nitapita magharibi, kitu cha kwanza kabisa ni kuua zile kamera za upande wako kwa kutumia miali ya chombo hiki. Ukiwasha tu na kuelekeza miali hii kwenye hizo kamera basi zinakufa papohapo, hazifanyi kazi tena. Harafu unaweza kukitumia haraka kukata ukuta kama tulivyofanya wakati tunaingia kwenye maghala ya silaha, Pia unaweza kukitumia chombo hiki kupofua mtu yeyeto macho. Tukifanikiwa kuifikia ile nyumba basi tuivamie na kuanza mapambano, hapo ndipo kuna kufa ama kupona. Jean na wenzake ama sisi. Tukifanikiwa tutaonana ndani, nataka umuonyeshe Jean mafunzo yote aliyokupeleka ulihitimu vizuri na unao iwezo mkubwa wa kutumia nafasi kama ulivyofundishwa”.

Wakati Willy bado anaeleza waliona gari aina ya Landrover la jeshi linakuja, nyuma ya gari hilo kulikuwa na askari wawili waliokuwa wamesimama wakiwa wamevalia mavazi ya kijeshi kama wao.

“Gari hilo, kazi kwako Bibiane”, Willy alitoa amri, na gari lilipokaribia wote walilirukia kwa nyuma na kuingia ndani bila kutoa kishindo. Wale askari wawili walikuwa wakizungumza huku wakiangalia mbele. Willy alimuonyesha ishara Bibiane, na kwa kutumia vipaji vyao vya karate, waliwavamia wale askari na kuwaua palepale na kisha kuwainamisha chini ndani ya lile gari bila kutoa kishindo cha kuwashitua wale waliokuwa mbele ya gari. Wakawalaza vizuri na kuwafunika kwa turubai lililokuwa ndani ya lile gari.

Kisha wakajifanya ndio wale askari kwani walivaa kofia za chuma za wale askari waliowaua. Gari lilipopunguza mwendo na kusimama, Willy alitoa ishara wote wakaruka na kuelekea pande mbili tofauti. Bibiane akaelekea kulia, Willy kushoto. Kwa vile wote walikuwa wamevaa nguo za kijeshi kama wale askari wengine, hakuna aliyewashitukia. Willy aliongoza kwenye ile nyumba bila wasiwasi huku akipigiana saluti na askari wengine wa pale. Alipofika karibu kabisa na nyumba ile aliona ile kamera. Wakati Willy anaiona ile kamera ya upande huu wa kushoto, Bibiane naye alikuwa akijipenyeza upande wa kulia, akaiona ile kamera wa upande wake.

Kama vile walivyoambizana, wote walitoa zile tochi zao zenye miali ya leza na kuzielekeza kwenye kamera hizo. Macho ndani ya zile kamera yalikufa palepale na kukatisha mawasiliano ya kutuma picha za pande zote mbili kwenye televisheni. Na baada ya kufanya hivyo tu Willy alijipenyeza na kwenda kuitafuta ile kamera ya upande wa kusini.

Mle ndani ya chumba maalumu kilichokuwa na mitambo walishituka baada ya televisheni zinazopokea picha kutoka kulia na kushoto kushindwa kutuma picha.

“Tumeingiliwa, hii si bure”, Kiongozi wa wale askari waliokuwa wakiendesha mitambo ndani ya chumba alisema na kwenda kumweleza Kamanda Morris. Kamanda Morris na wenzake walikuwa katikati ya mkutano wakati yule askari alipofungua mlango na kuingia ndani.

“Kuna nini?”. Kamanda Morris alimuuliza kwa shauku huku kundi zima likisimama kumwangalia yule askari kwa taharuki.

“Televisheni zote za kulia na kushoto hazileti picha, inawezekana zimeharibiwa”, yule askari alisema.

“Tayari yuko hapa”, Col. Gatabazi alijibu na kuinuka kutoka kwenye kiti. Kabla mtu mwingine hajasema lolote, mlango ulifunguliwa na askari mwingine kutoka chumba cha kingine mitambo nae akaingia na kueleza. “Sasa kamera zote hazileti picha”.

Kundi zima la Akazu na mamluki wao wakaingiwa na hofu.

“Huyu mtu ameweza kufika mpaka kutuingilia hivi kwa namna gani, Nyinyi hamna ulinzi wa kutosha hapa”, Jean alifoka kwa hasira huku akionyesha hofu.

“Usitahayali Jean, lazima ufurahi kuwa mtu wetu kajileta mwenyewe na hataweza kuondoka hapa akiwa hai”, Col. Gatabazi alijibu huku akielekea mlangoni na kwenda nje akifuatiwa na Kamanda Morris.

“Twende zetu tukamsake, mambo yameiva sasa”, Col. Gatabazi alimwambia Kamanda Morris.

Nkubana ambaye naye alikuwa amefika kwenye eneo la nyumba hii akiwa anahisi Willy na Bibiane wangekuwa wamefika, alizunguka eneo hili kwa hadhari kubwa huku akiwachunguza kwa makini kila askari waliokuwa karibu yake, aliwaangalia machoni mwake. Kutokana na kitendo cha pale mpakani alijuwa kuwa Willy na Bibiane walikuwa wamevaa sare za jeshi sawa na wao. Wakati Bibiane anapiga miali ya leza kuua ile kamera ya kusini Nkubana alikuwa karibu nae kabisa lakini alikuwa bado hajamtambua. Ile miale ilipotoka kwenye tochi ya Bibiane na kuunguza jicho la kamera likatoa mwanga wa kati baada ya sekunde kadhaa jicho lake likaungua.
Nkubana alisitushwa na mwanga uliotokea na kuua kamera. Akamwangalia Bibiane na macho yao yalipokutana mara moja wakatambuana. Kama umeme Nkubana alitoa bastola yake kiunoni ili awahi kummalize Bibiane. Bila hata kufikiri kuwa Bibiane alikuwa fundi zaidi, alimuelekezea ile mionzi ya leza machoni na palepale akajitupa chini kukwepa risasi, Nkubana alipiga risasi hovyo kwani alikuwa amekwisha pofuka macho na kupiga makelele, “Bibiane huyu hapa kanipofua macho”.

Risasi zote alizorusha Nkubana hazikumpata Bibiane ambaye alijiviringisha na kuinuka mahali penye mlango ambao Col. Gatabazi na Kamanda Morris walikuwa wanaufungua ili kutoka nje, baada ya kumsikia Nkubana akipiga kelele. Hivyo, mlango ulipofunguliwa tu, Bibiane alijitupa pale mlangoni na kuwakumba Col. Gatabazi na Kamanda Morris, kitu ambacho hawakukitegemea na wote wakaangukia ndani huku wakifuatiwa na risasi zilizoelekezwa kwa Bibiane.

“Acheni acheni kupiga risasi, mtaleta madhara makubwa”, Ofisa mmoja wa jeshi la Akazu aliamru baada ya kuona kilichotokea. Bibiane ndiye aliyekuwa wa kwanza kuinuka na alipoinuka huku katoa Bastola yake, askari mmoja aliyekuwa analinda mle ndani alimpiga kichwani kwa kitako cha bunduki; Bibiane alianguka chini na kuzirai.

Jean, aliyekuwa anaangalia yaliyokuwa yanatokea huku akiwa amezugukwa na kundi la viongozi wa Akazu na marafiki zake wa jeshi la Zaire, aliagiza, “Msimuue. Nasema mpelekeni bafuni mmwagieni maji. Kwanza mfungeni kamba, sikujua mtoto huyu ni hatari kiasi hiki. Kumbe sikupoteza fedha zangu bure nilipompeleka kwenye mafunzo ya kijeshi. Nilikuwa nasikia sifa zake tu leo nimemuona mwenyewe akiwa kazini, nimefarijika sana”.

Col. Gatabazi na Kamanda Morris sasa walikuwa wamesimama huku wakiwa na hasira ya kutaka kummaliza Bibiane.

“Wewe huna akili nzuri kweli, huyu mwanamke ni mtu hatari halafu unasema umefarijika, huyu ni mtu wa kuuawa sasa hivi si mtu wa kusubiri”. Col. Gatabazi alihamaki.

“Poa, Col. tulikubaliana kuwa kabla sijamuua ni lazima nifanye naye mapenzi mara ya mwisho. Hakuna mwanamke aliyewahi kuniridhisha kimwili kama huyu. Ngoja azinduke halafu nitimize ahadi yangu ndipo nitakuachia umuue”, Jean alieleza.

Willy aliposikia purukushani na milio ya risasi upande ule wa kusini na kelele alizopiga Nkubana alijua kuwa kwa Bibiane mambo tayari yameharibika. Alitumia hii vurugu na yeye akakimbilia ule upande wa kusini. Alipofika akamuona mtu anataka kubebwa ili aingizwe ndani, alikuwa haoni na hakujua yule ndiye alikuwa mtu aliyepambana na Bibiane na kupofuliwa macho. Kwa vile nia ya Willy ilikuwa kuingia ndani na kuwaangamiza viongozi wa Akazu, aliona amepata upenyo wa kuweza kufanya hivyo. Huku akijifanya kama mmoja wa askari wa pale, aliwahi na kumuondoa askari aliyekuwa anataka kumbeba Nkubana kumpeleka ndani na kumuonyesha ishara ambayo yule askari hakuelewa lakini akafikiri huenda yule ni askari mwenzake ndiye aliyeamriwa kufanya vile.

Willy alimshika Nkubana kiunoni na kumweleza. “Afande ngoja nikuongoze ndani ukapumzike, huyu mshenzi Willy atatutambua leo”.

“Nia aibu kwangu, mimi Nkubana kufanywa hivi na mwanamke, mimi nia yangu ilikuwa kumuangamiza kabisa Willy kwa mikono yangu, nasikia uchungu sana”, ndipo Willy alipotambua kuwa huyu aliyekuwa amemshika alikuwa Nkubana. Alifurahishwa sana na kazi ya Bibiane.

“Usihofu Afande, tutakulipizia, hapa huyo Willy kafika, atawezaje kutoka hapa, huyu mtu ni mwendawazimu. wakati Willy akieleza hayo walikuwa wamefika mlangoni na kuingia ndani ya sebule kubwa ya nyumba hiyo.

Bila kuhisi kuwa huyu aliyekuwa akimuongoza Nkubana alikuwa ni Willy Gamba, Col. Gatabazi alimweleza.

“Mkarishe pale kwenye kiti, halafu askari toka haraka mkamsake huyo Willy Gamba”.

“Ndio Afande”, Willy alijibu huku akielekea kwenye pembe nyingine ya ile sebule kulipokuwa na makochi. Wakati huo Willy alimsikia Kamanda Morris akitoa amri kwenye kipaza sauti kuwa askari wote walioko pale wapange mstari mara moja kuizunguka nyumba na kila mmoja amnong’oneze afisa wake lile neno la siri wanalotumia wakati wa usiku. Wakati huo huo Willy aliliona kundi la Akazu na Jean likizunguka meza na mmoja wao kutamka, “Nafikiri tuyaamrishe majeshi yetu yaanze kusogea, tunapoteza muda kwa huyu Willy, mtu mmoja asitupotezee muda hata kama ni hodari atakua wangapi, sanasana hawazidi mia, ndio atakuwa amefanya nini?”, Kabuga alieleza.

“Namuunga mkono bwana Kabuga. Askari wachache wabaki wamshughulikie huyo Willy, wengine waanze kuelekea mpakani, huku kusubirisubiri kunaweza kutuletea madhara. Tumeshaona tuko tayari kabisa, hakuna wakati tumekuwa tayari kama wakati huu”, Col. Gatabazi alieleza.

“Oke, nami nakubali, kwanza huyu Bibiane kesha fufuka?”, Jean aliuliza.

Willy alikuwa amekwisha mkalisha Nkubana huku akili yake ikipiga hesabu za haraka namna ya kuwateka hawa Akazu na vibaraka wao.

“Wewe askari njoo hapa, na wewe uninong’oneze neno la siri tunalitumia usiku”, Kamanda Morris alimwita Willy wakati alipotaka kutoka nje. Willy alikuwa hajui hilo neno la siri, hivyo mtego huo ulikuwa umemnasa. Karibu na Kamanda Morris alikuwepo Jean akaagiza chumba cha mitambo askari wamlete Bibiane aweze kuulizwa alipo Bibiane.

“Willy alimsogelea Kamanda Morris na ghafla alimrukia Jean na kumkaba na kuvuta kwenye ukuta, bastola kichwani kwa Jean na kusema, Jean huna haja ya kumtafuta Willy, niko hapa. Kundi zina lilisimama huku askari wote wakiwa wamepigwa na butwaa. Kamanda Morris, Jenerali Kasongo, Meja Masamba, wale askari wa kukodiwa na hata Nkubana, japo alikuwa kipofu walitoa bastola zao.

“Msifanye mchezo wowote, wekeni silaha zenu zote hapo kwenye meza, mkifanya mzaha huyu bwana yenu Jean atakuwa historia nitamwangamiza”, Willy Gamba alieleza kwa ukali. Wote walijua hatari. “Na mtu asisogee hapa wala asiondoke humu ndani. Ila wamlete Bibiabe”, Willy aliendelea kuamru.

“Fanyeni anavyosema”, Jean alieleza huku akitetemeka huku mkojo ukimtoka chapachapa.

Kamanda Morris alitaka kutoka ili kwenda kumleta Bibiane, lakini Willy alikataa, “Mtu hatoki huku ndani, nimesema kwa lugha inayoeleweka, umenipata wewe Kaburu”.

“Kampuni yenu ya mamluki naijua safari hii mmeingia hasara, mmetengeneza faida kubwa katika biashara hii, lakini leo nasema tena, safari hii mmeingia hasara”.
Kamanda Morris alimwagiza askari mmoja amlete Bibiane, ambaye alikuwa tayari amepata fahamu. Na Kamanda Morris akawa amesema na neno moja ambalo Willy hakulielewa. “Umesema nini wewe kibaraka?”, Willy alihoji huku macho yake yakionekana mekundu.

“Nimeita mwisho jina la yule askari”, Kamanda Morris alijibu. Lakini Willy machale yalimcheza. Wakati bado anafikiria lile neno aliwahi kulisikia wapi, ghafla ukuta aliokuwa ameuegemea ukapitishwa umeme na yeye akamsukuma Jean upande mwingine na kuruka nyuma ya makochi.

Nguvu ya ule umeme ilikuwa kubwa kiasi cha kumfanya Willy kupoteza fahamu baada ya kuanguka chini. Kamanda Morris alikuwa amejiwekea usalama wa kila aina na alikuwa amemzidi Willy maarifa, mara moja kila mmoja alichukua silaha yake, na Bibiane kabla hajafanya lolote alikuwa ameshikiliwa vizuri na askari watatu.

“Mfungeni kwenye hicho kiti, sasa tutamla nyama vizuri”, Col. Gatabazi aliagiza. Bwana Kabuga akiwa bado anatetemeka kwa kuwa mambo kama haya yalitokea kama miujiza alidai arudi kwenye ndege ili waondoke eneo hilo.

“Hapana, kaa uone maana ya utawala”, Jean alijibu baada ya kuinuka kutoka mahali alipokuwa amedondoka na macho ya chuku akiwa ameyaelekeza kwa Bibiane aliyekuwa anafungwa kwenye kiti. Kisha, akamwendea Bibiane na kumnasa kibao, akisema “Mbio za sakafuni huishia ukiongoni, janja yako kwisha. Lakini kabla mwisho wako haujafika niliahidi nitafanya mapenzi na wewe kwa mara ya mwisho”.

“Utawahi, kwani na wewe unadinda”, Bibiane alijibu.

Jean alimnasa tena kibao na kusema, “Umesahau nilivyokuwa nakunyanyasa kitandani”.

“Wewe ni mgonjwa na huu ndio mwisho wako”, Bibiane alijibu kwa dharau.

“Unachekesha, huu ndio mwanzo wangu na mwisho wako”, Jean alijibu na kugeuka nyuma, kwani wakati mawazo yake yakiwa kwa Bibiane, Kamanda Moris alileta kifaa cha umeme na kumfunga Willy kwenye kiti na kumtingishatingisha ili azinduke.

“Willy alipozinduka tu, Jean alikuwa wa kwanza kumfikia na kuanza kumpiga vibaya sana mpaka Willy akaanza kutoa damu puani.

“Wewe mwanaume gani, mpaka mwanaume mwenzako afungwe ndio umpige, si umfungue tuone nani mwanaume hapa, kati yako Jean na Willy”, Bibiane alisema kwa dharau.

“Ngoja amalize hasira zake, huyu mshenzi hatufanyia mambo mabaya sana”, Col. Gabatazi alidakia huku akisogea na kumchakaza Willy kwa makofi yaliyomfanya azirai tena.

“Basi inatosha, kabla hajala umeme nataka nimpe maneno yake. Nikimaliza kusema Kamanda Morris fanya kazi yako. Huyu tayari tumemhukumu kifo, na atakufa si kwa risasi bali kwa umeme, kama wahalifu waliohukumiwa kunyongwa kule Marekani.

“Kufa si tatizo, kila mtu atakufa”, Willy alisema baada ya kuzinduka na kuongeza, “Ila hata mkitumaliza leo, lakini hamfiki popote”.

“Wewe ni mwehu, sisi tuna jeshi la kuikamata Rwanda chini ya wiki moja, unasema nini mwehu wewe, utapata habari utakapokuwa ahera”, Col. Gatabazi alitamba.

“Wewe ndiye nani”, Willy aliuliza.

“Mimi ndiye Col. Gatabazi”.

“Nijulishe basi kwa wengine maana kata anayehukumiwa kifo hujui majaji waliomhukumu”, Willy alihoji akiwa na maana ya kuvuta muda kama kuna njia nyingine ya kujiokoa aweze kufanya hivyo.

“Huyu hapa ni Anatoire Kabuga, ndiye kiongozi wa Akazu. Najua unafahamu Akazu ni nini. Wale rafiki zetu toka jeshi la Zaire. Anayeingiza ni Col. Marcel Bizimaziki, ambaye ni kamanda wa Akazu anayesaidiwa na huyu mzungu. Kamanda Morris kutoka kampuni ya kijeshi ya Afrika Kusini. Na waheshimiwa huyu ndiye adui yetu namba moja Willy Gamba, kutoka Tanzania lakini na yeye tuna habari kuwa kazi hii anaifanya kwa kukodishwa. Hivyo, hawakilishi msimamo wa Tanzania hata kidogo katika suala hili; yeye na Kamanda Morris hawana tofauti na huyu Bibiane ni msalti kama mnavyomjua. Niliwahi kumshawishi Jean kuwa karibu sana na mwanamke akajua siri zake ni balaa kwani wao fikira zao zinatoka chini na si juu kichwani. Si watu hawa, lakini hakunisikia, sasa ona madhara aliyotufanyia”, Col. Gatabazi alilalamika.

“Kazi na dawa, bila kuwa karibu na mwanamke mzuri anayekupa mapenzi vizuri huwezi kufikiri sawasawa, usisahau Col. Gatabazi hata sisi tumenufaika sana na huyu kiupmbe, mimi binafsi nilikuwa na bahati ya kufaidi mwili wake hivyo usinionee wivu, ngoja nikafaidi mara ya mwisho”, Jean alijibu. Akimuonyesha ishara askari aliyekuwa karibu amfungue kamba ili ampeleke chumbani. Willy sasa fahamu zake zilikuwa zimerudi na akili yake ilikuwa ikifanya kazi ya ziada namna ya kuponyoka toka ndani ya balaa hii.
Aliona azidi kununua muda kidogo wa kuomba.

“Huenda nimefanya yote haya bila kujua undani wa suala zima hili, kwa sababu kwa akili ya mtu yeyote haya mauaji mliyofanya na kuyatekeleza yanafanya akili isikubali maana yalikuwa ya kikatili na kunyama. Kabla sijanyongwa naweza angalau kuelezwa sababu zilizowafanya mkatekeleza mauaji mabaya ya aina hii ambayo ni ya kipekee baada ya Dikteta Hitler?”.

Wakati Willy anamuuliza Col. Gatabazi, Jean na Kamanda Morris walikuwana wananong’onezana na Kamanda Bizimaziki ili askari waondoke kuelekea mpakani. Willy, huku macho yakifunguka kwa shida kutokana na kipigo aliweza kuwaona jinsi wanavyonong’onezana na vilevile akaweza kuona jinsi Bibiane anavyofunguliwa kamba kutoka kwenye kiti na kupelekwa kwenye mlango uliokuwa ukielekea chumbani. Aida, alihisi Jean alikuwa anataka kufanya nini. Yote haya yalifanyika wakati Willy akiongeza kasi ya kuwaza jinsi ya kujinasua ili aweze kukamilisha kazi yake iliyomfikisha haba badala ya kukata tamaa.

Acha mimi nimjibu, wewe endelea na shughuli inayotusubiri, ambayo ni muhimu zaidi. Nimefurahi kuona kuwa huyu Willy anataka kujua sababu na sababu nitazitoa mimi”, Anatoile Kabuga, Kiongozi wa Akazi, alijibu huku akiangalia saa yake iliyoonyesha kuwa ilikuwa saa nane na nusu usiku.

 Meja Kasubuga alipigana vikali na jeshi la Luteni Nyamboma na kufanikiwa kuwazidi nguvu na hivyo askari wa jeshi hilo walilazimika kukimbilia mpakani. Luteni Nyamboma alikuwa amepoteza askari wengi sana, walipfika mpakani wakitegemea kumkuta Nkubana ili awaongezee nguvu ya askari warudi kuendeza mapambano, lakini hakumkuta Nkubana. Hivyo, Luteni Nyamboma akaamua kuelekea Kibumba na masalia ya askari wa kikosi chake waliobaki. Luteni Nyamboma alipoangalia saa yake ilikuwa saa nane usiku. Walitumia magari waliyoyakuta pale mpakani, Luteni Nyambona na askari wake waliondoka kuelekea Kibumba.

Hata hivyo, Luteni Nyamboma alilazimika kuwaacha askari wa jeshi la Zaire pale mpakani kwa ajili ya ulinzi ili baada ya kazi ya Gisenyi Luteni Nyamboma awafuiate Kibumba.

Meja Kasubuga alipofika mpakani aliyaona magari yanaondoka kasi eneo la mpakani. Meja Kasubuga akagundua kuwa magari yale yalikuwa yakielekea Kibumba. Asingekuwa ameamriwa na Col. Rwivanga awasubiri pale mpakani hakika Meja Kasubuga angeyafuata magari yaliyoondoka na kikosi kile. Baada ya kufika mpakani, jeshi la Meja Kasubuga lilifanikiwa kukitwaa kikosi cha jeshi la Zaire kilichokuwa kikiwasaida wanajeshi la Intarahamwe na hii ikawa ngome ya jeshi lake kwa muda.

Kikosi hiki kilichokuwa mpakani mwa Zaire na Rwanda kilikuwa kimejijenga vizuri kivita, kikiwasaidia wanajeshi wa Intarahamwe na kundi la Akazu lililokuwa likifanya jitihada ya kuivamia serikali ya RPF ili kutwaa madaraka ya kuiongoza Rwanda kijeshi.

Baada ya kuhakikisha usalama wa eneo hili, Meja Kasubuga alielekea sehemu iliyoandaliwa, ambayo Col. Rwivanga alimweleza kuwa angetua hapo kwa Helikopta akiwa na kiongozi wa kikundi cha Banyamulenge na kiongozi wa vikosi vya vyama vinavyoipinga serikali ya Zaire. Meja Kasubuga alipoangalia saa yake ilikuwa saa nane na dakika kumi. Muda ambao Col. Rwivanga aliahidi kuwa atafika Gisenyi. Hivyo, Meja Kasubuga na kikosi chake wakaamua kusubiri.

Col. Rwivanga alikuwa na matumaini makubwa na kikosi cha Meja Kasubuga, hivyo baada ya kuondoka Kigali kwa Helikopta ya jeshi, walisafiri moja kwa moja usiku huo kuelekea Gisenyi. Col. Rwivanga hakuwa na papala wakati wote alikuwa akitafakari jambo kabla ya kulifanyia kazi. Alikuwa mmoja wa maofisa wa jeshi walioheshimiwa na kutegemewa sana na serikali ya Rwanda. Alikuwa mtu mwadilifu asiyependa kuisalti nchi yake, kutokana na msimamo wake dhabiti aliogopwa sana na vibaraka hususan wanaotaka kuigawa Afrika.

Alikuwa akijitosheleza kiulinzi, kutokana na hali hiyo nyumba yake haikuwekewa ulinzi kutoka jeshini, kama ilivyo kwa maofisa wengine wa ngazi za juu kama yeye. Alikuwa mmoja wa makomandoo wa jeshi waliofuzu vizuri mafunzo yake, lakini kutokana na cheo chake jeshini alibaki kuwa ofisa wa jeshi aliyeheshimiwa sana. Alikuwa mpole asiyependa makuu, alikuwa na subira, hata ukimchoma kidole machoni hatakufanya kitu. Lakini akilazimika kuchukuzwa na upuuzi alifanya kitu ambacho hakuna awezaye kuamini, hakuwa na mchezo tena. Huyo ndiye Col. Thomas Rwivanga, Afisa wa jeshi mwandamizi.

Anatoile Kabuga alimwangalia Willy kwa jicho baya sana, alimuona kuwa ndiye kikwazo na adui wao namba moja kwa kuwachelewesha Inyenzi na washirika wao kushika madaraka ya nchi ya Rwanda. Hata hivyo aliamini kuwa hakuna mtu mwingine zaidi ya Willy atakayeweza kupena na kuingia katika ngome yao.

“Nitakupa historia kidogo”, Anatoile Kabuga alianza kumweleza Willy Gamba. “Willy Gamba, lazima ufahamu kuwa sehemu hii ya Maziwa Makuu katika Afrika watu wa kwanza wa asili ni wabantu. Wabantu ndio walioishi eneo hili la Maziwa Makuu kwa karne nyingi sana tena wakiishi kwa raha mstarehe bila migogoro wala matatizo mpaka walipokuja watu wenye asili ya Kihemetiki ambao baada ya kufika eneo hili walianza kuleta chokocoko, vita wakitokea Kaskazini na Mashariki mwa Afrika. Kwa ufupi, Watutsi wamo kwenye kundi hilo. Tangu wafike katika sehemu hii amani imekosekana kabisa. Karne mbili zilizopita walianza kuweka Ufalme wao katika eneo hili baada ya vita vikali na wabantu wa sehemu hii na kuwashinda. Waliweka wafalme wao waliowaita wafalme wa Kihima ambao walitawala kutoka Bahari ya Hindi mpaka Atlantiki, sehemu ambayo sasa ni Zaire, Rwanda, Burundi, Tanzania, Uganda na Kenya”, alinyamaza kidogo kisha akaendelea.
“Willy Gamba. Nitakueleza kwa kifupi sana maana hatuna muda wa kupoteza. Lakini kwa sababu wao walikuwa wachache na wakawa wanaendeleza utawala wa mabavu na unyanyasaji kwa wabantu ambao ndio waliokuwa wengi, hali inayoendelea mpaka sasa, mapigano ya kuukataa utawala huo yaliendelea sehemu zote, hatmaye ufalme huo ukaangushwa katika sehemu zingine na kubaki sehemu ambayo sasa ni Rwanda na Buurundi. Na hali hii iliendelea mpaka wakati wa Ukoloni ambapo katika Rwanda utawala wa ukandamizazi wa Watutsi dhidi ya Wahutu na wabantu ambao ndio wengi katika Rwanda, uliendelea. Miaka yote hii mpaka vita vya pili vya dunia Watutsi wachache waliendelea kutawala na kuwanyanyasa Wahutu wakihakikisha kuwa hawapati elimu, madaraka na hata mali. Ni mpaka juzi tu, mwaka 1957, Wahutu walipojikomboa na kushika madaraka, na hawa Inyenzi wakakimbilia nchi jirani ikiwemo Tanzania. Wakati wa utawala wetu tulijaribu sana kuwaweka karibu lakini siyo wote waliotaka kutawaliwa na walio wengi sababu wao walijiona wana hadhi ya juu kuliko sisi. Vilevile, waliapa kuwa lazima watatafuta njia mbadala warudi kututawala maana sisi ni watumwa wao. Na kwa taarifa yako kila Mtutsi anamuona kila Mbatu kama mtumwa wake. Ndivyo wanavyokuona wewe hata kama unawasaidia kwa sababu wewe ni Mbantu na ndivyo wanavyoniona hata mimi. Sasa basi tatizo kubwa lilikuja wakati nchi jirani ilipopata kiongozi mwenye asili hiyohiyo ya Kitutsi, na akawa na nguvu na akaahidi kuwasaidia Wahutu ili wautoe utawala wa wabantu katika Rwanda, Yaani watu wenye asili ya Kitutsi tu ndio watawale sehemu hii ya maziwa makuu ikiwemo Zaire, Rwanda, Burundi, Tanzania, Uganda na Kenya. Sisi tulipopata habari hizi tukajua eneo lote hili la maziwa makuu halitapata amani ikiwa hawa Watutsi wanazidi kuzaliana na kuwa wengi eneo hili. Njia pekee ya kuleta amani ni kuhakikisha mmewaua waume, wake kwa watoto, ili kuua kabisa nguvu yao. Leo hawa tusipowaangamiza nakueleza wewe Willy Gamba, Tanzania haitakuwa na amani na wala Zaire, Uganda na Kenya hawana amani maana hawa wana asili ya kujipanua. Ni watu hatari ajabu, na kama mngejuwa kuwa hawa ni watu wa kuteketezwa kabisa hata mmoja asionekane katika sehemu hii”.

“Ngoja nikukata kauli, umesema watu wengi katika eneo hili la maziwa makuu ni wabantu, hawa Watutsi wachache watatawala vipi”, Willy aliuliza huku akisogeza vidole vya mkono wake wa kulia kujaribu kama vingeweza kuifikia saa yake aliyovaa mkono wa kushoto.

“Unasema nini, tunavyozungumza nani anatawala Rwanda, Burundi na Uganda, watu wengi katika nchi hizi ni watu gani, sisi wabantu, sasa nini kitawashinda kutawala Zaire, Tanzania na Kenya kama wameweza katika nchi hizo, njia pekee ni kuwateketeza ili waishe, wasiendelee kutunyanyasa na kuleta vita vya mara kwa mara katika eneo letu. Hawa na Wayahudi hawana tofauti. Ngoja nikwambie Willy Gamba, hawa Watutsi hata kama ukiona Mtutsi amezaa na wewe lazima atatembea na Mtutsi mwenzie ili azae Mtutsi, kazi yako wewe itakuwa ni kukuza damu isiyokuwa yako. Na wamehakikisha wanawake wao wamesambaa dunia nzima, lakini kila mwanamke wa Kitutsi ahakikishe mahali alipo anapewa mimba na Mtutsi mwenzie tu. Huku wanawake wao kusambaa ni njia mojawapo ya kujipanua ili waweze kufanya kampeni yao kwa kuhurumiwa na mataifa mengine. Hivyo, mauaji haya tuliyofanya ni kwa niaba ya wabantu wote na sasa hivi tuko tayari kuurudisha utawala wetu Rwanda na Burundi ili heshima ya mbantu katika eneo hili ipatikane. Baada ya kuichukua tena Rwanda mara hii tutataka viongozi wote katika eneo hili waelewe ukweli huo na watuunge mkono kuwatokomeza Watutsi hawa. Vinginevyo nakwambia Willy Gamba watatawala tena sehemu yote hii, la sivyo hakuna amani katika eneo hili. Vita vitaendelea kwa miaka mingi. Sisi Akazu ndio tumaini pekee la sehemu hii, bila sisi kesho tawala zote za sehemu hii zinazotawaliwa na wabantu zitatikiswa na kumalizwa. Hivyo, wewe Willy ni msaliti, unawasalti wabantu kwa kuwasaidia Inyenzi ili waweze kutawala ardhi halali ya wabantu. ndio sababu tumekuhukumu kifo. Na, wote wawe wabantu au taifa lingine, wakibainika wanasaidia Inyenzi lazima wauawe. Na sasa wewe utauawa ili Akazu ifanye kazi yake ya kuwakomboa wabantu”, Kabuga alisema kwa sauti nzito iliyoashiria hasira ya ajabu ambayo kila mtu pale ndani alihisi kapagawa.

“Yote hayo uliyoyasema yanaweza kuwa na ukweli mwingi tu, lakini ukweli huwa hautoi uhalali wa kuangamiza kabila zima. Hii ni kinyume na haki za binadamu. Njia nyingine itafutwe kuwadhiti na si kuwaangamiza”, Willy alijibu huku kidole chake cha karibu na gumba kwenye mkono wa kulia kikiwa kimefika kwenye ufunguo wa saa yake na kukandamiza ufunguo wa saa na kusubiri kuona kifo chake ama kifo cha jeshi la Akazu.

“Unasema haki za binadamu, sisi wabantu hatuna haki mbona…………”, Kabuga hakumaliza sentensi yake teknolojia ilianza kufanya kazi yake.

Col. Rwivanga, Mpinda na Meja Tom Kabalisa waliwasili mpakani mwa nchi za Rwanda na Zaire katika sehemu waliyokuwa wamekubaliana na Meja Kasubuga mnamo saa nane na dakika arobaini usiku.

Hali ya usalama ilikuwa imeimalishwa katika eneo hili, ambapo vijana wa Meja Kasubuga walikuwa makini kwa kila jambo, baada ya Helikopta ya jeshi la Rwanda waliyosafiri hadi mpakani kutua, Col. Rwivanga alikuwa wa kwanza kushuka akifuatiwa na Mpinda, kasha Meja Kabalisa.

“Mambo yakoje hapa”, Col. Rwivanga alimuuliza Meja kasubuga wakati wakisalimiana baada ya heshima ya kijeshi.

Meja Kasubuga alieleza kwa urefu jinsi mapambano yalivyokuwa, kisha akamalizia, “Huyu Willy atakuwa kauawa kule Kibumba maana kajipeleka mahali ambapo panatakiwa vikosi vyote husika, huyu Willy ingawaje Afande unamsema ni hatari lakini hana akili ya tahadhari, angesubiri twende wote, ndipo angeweza kuwa msaada kwetu maana maiti haina msaada wowote.

“Nakubaliana na wewe lakini yule ni mtu mwenye maisha mengi, unaweza kumuona kaibuka”, Col. Rwinga alisema wote wakacheka kwa utani huo.

“Kweli, akiibuka tena atakuwa mtu wa maisha mengi”, Meja Tom Kabalisa wa Banyamulenge alijibu kwani na yeye alijua nguvu za Intarahamwe kule Kibumba na ndio sababu alikuwa hajathubutu kufanya lolote. Kisha akaendelea. “Col. Rwivanga, nafikiri sasa tumweleze Meja Kasubuga mipango ikoje ili….”, Kabla Meja Kabalisa hajamaliza kusema sentesi yake, mripuko mkubwa usio kifani ulisikika mpaka huko walikokuwa

“Ooh Willy Gamba, kweli u-hatari”, Meja Kasubuga aligwaya.

Wakati huo Jean alikuwa ameanza kumvua nguo Bibiane ili atimize ahadi yake kama alivyoahidi kuwa atafanya nae mapenzi kabla ya kumuua, wakati akikaribia kutimiza ahadi yake, ghafla mlipuko mkubwa ulitokea eneo hilo na kuleta hofu, palepale nyumba ile ikasambaratika vipande. Bahati nzuri nyumba hii ilikuwa imetengenezwa kwa mbao tupu ili likitokea tatizo kama hili Kamanda Morris asihatarishe maisha yake.

Kwa vile Bibiane alikuwa akiutegemea mlipuko kama huo, ulipotokea tu hakuzirai kama wengine. Alizitupa mbao zilizomwangukia mwilini mwake, akainuka na kuanza kumsaka Willy ambaye wakati huo alikuwa amefungwa kwenye kiti pale ukumbini. Kumbe mlipuko ulipotokea kile kiti kilirushwa pamoja na Willy Gamba mpaka nje kwenye bustani. Bibiane aliangalia huku na huko kwa tahadhari kubwa, maana watu wote walikuwa wamelala chini kwa hofu. Vilio vilisikika eneo lote la kambi hii mara akamuona Willy Gamba na kiti chake akiwa nusu amezirai.

Milipuko ile iliendelea kuleta hofu na kusababisha mwanga mkubwa katika eneo lote. Milio na mwanga ilionekana na kusikika mpaka Goma, Gisenyi na sehemu nyingine kwani sasa mizinga na makombora nayo nayo yalianza kulipuka bila mpangilio na kusababisha Jean na wenzake kupatwa na taharuki. Bibiane alitoa kisu chake kidogo alichokuwa amekifika kwenye nywele zake, akiwa tayari kabisa kummaliza Jean. Na kwa kutumia hiki kisu alifanikiwa kuzikata kamba alizokuwa amefungwa Willy Gamba kisha akamtingisha hadi Willy akapata fahamu. Baada ya Willy kuzinduka Bibiane akamshika mkono. Willy alisimama wakakimbia kuelekea sehemu ile ya Magharibi ya kambi mahali ambapo kulikuwa na mstu mkubwa.

Walipokimbia kama mita hamsini hivi Bibiane alitoa bomu la kurusha kwa mkono akalitupa kwenye ile nyuma kisha wakajitupa chini. Bomu hilo liliporipuka likasambaratisha eneo hilo halikubakiza mtu wala kitu kilichokuwa ndani ya nyumba hii au mita thelathini kuzunguka nyumba hii. Wakati wanaelekea kwenye ule mstu mabomu, mizinga na makombora yaliyokuwa ndani ya maghala makubwa ya kuhifadhia silaha yaliendelea kuripuka yenyewe.

“Kazi ipo Willy, wamelikoroga acha walinywe sasa”, Bibiane alisema kwa kebehi.

“Kazi yenyewe si kidogo, wamelala matajiri wataamka masikini”, Willy alijibu wakiwa wemeingia kwenye msitu.

“Naona sasa tumechoka, kazi hii inatosha kabisa kwa siku moja ya leo”, Willy alieleza wakiwa wametokeza kwenye sehemu ya majani mazuri chini ya mbaramwezi. “Hapa panafaa kupuzika,  au vipi”, Willy aliuliza.

“Hapa tumetafutiwa na Mwenyezi Mungu ili tupumzike baada ya hii kasheshe. Nilikuwa natamani ufike muda nipate mahali ambapo dunia itakuwa mimi na wewe tu. Na mahali hapo ni hapa, yaani mimi, wewe, mbaramwezi, nyota, malaika na Mungu”, Bibiane alieleza.

Willy alivua gwanda lake la juu akatandika chini kwenye majani, Bibiane akavua pia na kusema. “Hili tutajifunika”.

Willy akamwinua na kumbeba mikononi kisha akambusu na kumlaza juu ya gwanda lake.

KAMPALA

JKS aliamka mapema asubuhi huku roho yake ikiwa na furaha nyingi sana. Sasa hivi alikuwa akielekea benki kwa ajili ya kuchukua pesa zake. Hisia za urais wa Tanzania zilimjia katika mawazo yake, akatamani kuwa kiongozi wa Tanzania ili atimize ndoto yake ya kuwa mheshimiwa rais wa Tanzania.

Baada ya kustafutahi kwa chai nzito, alipiga simu kwenye benki yake hapo Geneva na kuuliza mahali ilipo. Baada ya kupata maelekezo sehemu na mtaa ambao benki ipo, alipiga simu mapokezi na kumuomba mhudumu amletee teksi saa tatu kamili ili impeleke benki.

Baada ya kujiweka sawa, alitelemka chini taratibu ilikuwa majira ya saa tatu kamili, akiwa amebeba mkoba wake wa ngozi ya mamba mkononi aliokuwa amepewa kama zawadi na rafiki yake Jean.

Alipofika chini alikuta teksi inamsubiri mbele ya hoteli. Alifungua mlango wa nyuma kama VIP akaingia, akampa dereva anuani ya benki, baada ya kuthibitisha ni eneo gari dereva aliondoa gari huku mawazo ya JKS yakiwa juu ya baraza lake la mawaziri baada ya kuukwaa  urais.
Jean alikuwa amempa jina la meneja wa benki na kumweleza kuwa akifika benki amwone meneja huyo. Alipofika benki alitelemka na kumwambia mwenye teksi amsubiri akaingia ndani ya benki na kuelekea mapokezi. alimwonyesha yule msichana wa mapokezi jina la meneja. Asubuhi ile meneja alikuwa bado hana watu wengi, hivyo akamkaribisha vizuri sana.

“Karibu Mheshimiwa, nikusaidie nini?”, meneja wa benki aliuliza JKS baada ya kuingia ofisini kwake.

“Asante”, JKS alijibu na kutoa bahasha yenye maelezo yake yote. Meneja aliipokea kwa tabasmu na kuifungua bahasha na kuanza kusoma. Alivuta Kompyuta yake na kuanza kushughulika. Meneja, akiwa anatabasamu tena alimgeukia JKS na kumweleza, “Samahani, hii akaunti imefungwa jana na aliyeifunga ametoa pesa zote na kusema mtu yeyote akifika hapa kuuliza juu ya akaunti mwenye kitambulisho namba hii, aelezwe kuwa akaunti hiyo imefungwa maana mkataba umeisha. Samahani sana mheshimiwa, nina wateja wengine wananisubiri”.

JKS alichanganyikiwa. Aliinuka, mara akamuona yule meneja wa benki anakuwa mkubwa zaidi na yeye JKS anakuwa mdogo na chumba kinazidi kuwa kidogo, akasikia anakosa pumzi halafu giza nene likamuingia mara akaanguka chini na kupoteza fahamu.

Ilikuwa yapata saa moja asubuhi Willy aliposhituka kutoka usingizini baada ya kuota ndoto mbaya ya vita ambayo aliota Bibiane akipigwa risasi sita kifuani na kupoteza maisha, alipotaka kupiga kelele alishituka kutoka usingizini, akamwona Bibiane amemlalia kifuani wakiwa kitandani akakumbuka kuwa kumbe walikuwa Hoteli ya Sheraton, iliyoko mjini Kampala, baada ya kuletwa hapa jana jioni kwa ndege ya serikali ya Rwanda baada ya kuchukuliwa na helikopita ya jeshi ya akina Col. Rwivanga kutoka kule porini Kibumba walikolala baada ya usiku wa kasheshe walipofanikiwa kuiteketeza ngome ya Akazu. Taratibu Willy alimwondoa Bibiane kwenye kifua chake na kumlaza kwenye mto. Alichukua chombo cha kuwashia televisheni ili kusikia taarifa ya habari ya saa moja.

Baada ya kuwasha televisheni mtangazaji alisoma taarifa ifuatayo.

“Zaire. Vikosi vya wapinzani wa serikali ya Zaire, vikiongozwa na mpinzani mkuu Bwana Mpinda vimeanzisha mapigano makali dhidi ya serikali hiyo vikisaidiwa na vikosi vya waasi wa kabila la Banyamulenge vikiongozwa na Meja Tom Kabalisa Mubanyamulenge, aliyeasi kutoka jeshi la Zaire. Bwana Mpinda amekaririwa na vyombo vya habari kuwa nia yao ni kuuondoa utawala wa kidikteta wa serikali iliyoko madarakani Kinshansa. Wamejigamba wakisema usiku wa kuamkia jana walishambulia kambi kubwa ya kivita iliyoko Kibumba, karibu na Goma na kuteketeza silaha nyingi, vikiwemo vifaru, ndege za kivita, mizinga mkibwa na midogo na kuua askari wapatao elfu kumi”.

“Pamoja na kwamba habari hizi hazijathibitishwa na vyombo vingine vya habari vya ndani na nje, raia wa sehemu hiyo wamethibitisha kutokea kwa milipuko mkubwa ya ajabu ambayo hawajawahi kuisikia katika kambi hiyo. Na wanasema wanajeshi karibu wote na silaha zilizokuwa kwenye kambi hiyo zimeteketezwa kwa milipuko hiyo iliyosikika mpaka Gisenyi na Goma”.

“Habari zilizotufikia hivi punde katika chumba chetu cha habari zinasema waasi tayari wamekamata miji wa Goma na Bukavu na bado wanasonga mbele kuchukua maeneo mengine. Vilevile, kuna habari ambazo hazijathibitishwa kuwa vikosi hivyo vya wapinzani vinasaidiwa na vikosi vya jeshi la RPF la Rwanda”.

“Hii ina maana kuwa wapinzani wamekusudia kuung’oa utawala wa sasa ambao umedumu madarakani kwa zaidi ya miaka thelethini sasa ambao wameupachika jina kuwa utawala wa mabavu, unyanyasaji uliojaa rushwa na udikteta. Bado hakuna taarifa yoyote ya kukanusha habari hizo kutoka kwa serikali ya Zaire, mji Kinshansa”.

“Na huko Jijini Dar es Salaam, Tanzania kuna habari kuwa waziri wa ngazi ya juu nchini humo kwa jina maarufu la JKS amefariki dunia akiwa katika benki moja huko Geneva, Uswisi baada ya kupatwa na shinikizo la damu. Kiongozi huyo aliondoka nchini Tanzania siku mbili zilizopita na kuelekea London kwa ajili ya matibabu ya moyo, bado haijabainika kwa nini alikwenda Geneva, na alifuata nini kwenye benki hiyo. Waziri huyo ndiye aliyekuwa akitegemewa kuwania urais wa Tanzania baada ya rais wa sasa kumaliza muda wake”.

Willy alitabasamu baada ya taarifa hii iliyonoga. Kisha, akachukua simu na kumpigia Mzee Musoke na kumwomba waonane mchana kama walivyokuwa wamepanga wakati akiwa mjini Kigali ili ampatie ripoti ya kazi yake aliyoifanya kwa mafanikio.

“Nimefarijika kusikia kazi yako kwenye taarifa ya habari ya asubuhi hii, wewe ni mwanaume wa shoka”, Musoke alimsifu Willy.

“Asante mzee, tutaonana hiyo saa nane”, Willy alimjibu Musoke na kukata simu. Kisha akapiga simu nyingine.

“Pepe mpenzi”.

“Uko wapi”, Pepe aliuliza.

“”Niko Kampala narudi kesho”.

“Ooh Mungu wangu, toka umeondoka sijapata usingizi. Njoo mume wangu nina hamu sana na wewe, nakupenda sana”.

“Na mimi zaidi, kesho mama, kwaheri”, Willy akakata simu.

Bibiane alikuwa akisikia lakini alijifanya kama hamsikii alimgeukia Willy na kusema. “Uko wapi Willy?, njoo ulale, najua siku yangu ni leo tu, hivyo lazima niitumie siku hii kikamilifu”.

MWISHO wa HADITHI YA UCHU

UCHU – 4


Simulizi : Uchu
Sehemu Ya Nne (4)

Kwa kutumia pesa, Jean aliweza kuwakamata wakuu wa nchi nyingi duniani, hasa katika Afrika na Asia, lakini vilevile viongozi wa ngazi za juu katika serikali za nchi za Ulaya. Alipata kila alichokitaka kwa kutumia pesa. Hivyo, simu ilipolia alijua analetewa habari njema za kuuawa kwa Bibiane na Willy Gamba maana alikuwa amesema alikuwa amesema wakishauawa aelezwe. Kila alipopewa taarifa ya kuuawa kwa mtu alipata faraja ndani ya moyo wake, Ndio sababu maelfu ya Watutsi walipouawa alisikia raha isiyo kifani. Hakika mtu huyu alikuwa mgonjwa, tena mgonjwa sana!.

“Jean”, aliitikia kwenye simu.

“Col. Gatabazi hapa”.

“Sema Col. Gatabazi”.

“Kazi imeharibika”.

“Nini?”.

“Kazi imeharibika. Vijana wote wameuawa. Bibiane yuko hai na ameokolewa na Willy Gamba. mimi na Nkubana tunaondoka kwenda Kibunda, hatuna muda maana wakati wowote wataanza kutusaka, afadhari tuyaandae majeshi yetu tayari kwa vita”, Col. Gatabazi alimwambia Jean.

“Ilikuwaje”, Jean aliuliza kwa sauti ya kukata tamaa. Col. Gatabazi alimweleza kwa ufupi kama Nkubazi alivyomweleza.

“Basi tuonane kesho Goma, saa tisa mchana nitakuwa huko, natarajiwa kuja na ndege yangu, lakini nitampitia rafiki yetu Kinshasa”, Jean alieleza na kukata simu kabla hata Col. Gatabazi hajajibu kitu.

Jean alipokata simu ya Col. Gatabazi, alitumia muda huo kupiga simu Zambia, Zaire, Afrika Kusini, Angola, Kenya na kumalizia Tanzania.

“Umenipata JKS?”, Jean alimuuliza JKS baada ya kumweleza yote yaliyotokea na maelekezo mengine huku JKS akipatwa na shinikizo la damu.

“Nimekupata”, JKS alijibu kwa sauti ya kutetemeka.

Bibiane alipomaliza kuoga alimkuta Willy amemtengea kikombe.

“Kahawa au chai?”

“Kahawa.”

Willy alimmiminia kahawa na alipotaka kumwekea sukari Bibiane alikataa.

“Bila sukari,” alisema.
Kwa mara ya kwanza vilevile Bibiane alimuangalia Willy vizuri na kumuona mwanaume mzuri sana, na alipofikiria namna alivyowasambaratisha akina Xavier na kundi lao, mwili wake mara moja ulisisimuka. Halafu, palepale akamfikiria Jean na jinsi alivyompenda na kumfanyia kila kitu lakini akaamua kumuua. Hasira ilimpanda sana, na akaapa kiroho kuwa kwa vile yupo hai atalipiza kisasi.

“Unafikiri nini?” Willy alimwuliza Bibiane.

“Ahera.”

“Umeshapona sasa?”.

“Xavier alisema mimi na wewe tutaonana ahera baada ya masaa machache, akili yangu inafikiri huenda tupo ahera.” wote walicheka.

“Uko tayari kuzungumza lolote,” Willy alimuuliza Bibiane huku sauti yake ikiwa imebadilika ghafla na kuwa sauti yenye uzito fulani.

“Niko tayari, nimekuambia kila unachotaka,” Bibiane alijibu kwa sauti ya mahaba.

“Wewe ni nani?” Willy alimwuliza.

“Mimi naitwa Bibiane Habyarimana, ni Mnyarwanda, na wewe?”.

Willy alishtuka namna alivyo mjibu na kuzidi kuimarisha hisia zake kuwa huyu msichana vilevile alikuwa si mtu wa hivihivi ila alikuwa mtaalamu katika nyanja kama yake. Mara ya kwanza alipohisi, ilikuwa jinsi alivyojirusha nyuma ya kochi pale nyumbani kwake baada ya yeye kuwapiga risasi wale watu wawili, na alivyochupa dirishani kumfuata Xavier. Kwanza alifikiri alikuwa na mafunzo ya kijeshi tu, lakini kutokana na jinsi ya majibizano yao aligundua alikuwa na utaalamu zaidi.

“Willy Gamba, Mtanzania,” alijibu na wote wakaangaliana kama wanapimana saizi. “Ningependa nijue historia yako nzima, na usinifiche kitu, mpaka kufikia uhusiano wako na hawa wauaji na hasa huyu aliyekuhukumu kifo bwana Jean”, Willy alimwambia Bibiane.

“Nimeshatoa kauli yangu kuwa nitakueleza kila kitu unachotaka niseme. Hivyo, usiwe na wasiwasi nitakueleza, ila itabidi uwe na subira maana ni hadithi ndefu”, Bibiane alijibu.

Bibiane alimweleza Willy kwa kirefu maisha yake ya utoto, maisha ya shule, juu ya baba yake na mama yake na akaendelea, “Mwaka nilipoanza kazi baada ya kuhitimu digirii ya kwanza ya lugha katika Chuo Kikuu cha Kigali, wazazi wangu wote wawili walikufa kwa ajali. Nilikuwa nimeanza kazi Wizara ya Mambo ya Nje kama mkalimani.

“Inasemekana kuwa wazazi wangu hawakufa kwa ajali ya kawaida ila waliuawa na vikaragosi vya Watutsi ambao walifikiri kuwa baba yangu alikuwa ndugu yake na Rais. Hivyo waliwaua wazazi wangu ili kumkomoa Rais. Kitendo hicho kiliniuma sana nikawachukia sana Watutsi”, Bibiane alieleza.

“Pole sana”, Willy alisema kwa sauti ya huruma.

“Kwa kunisikitikia kutokana na yaliyowakuta wazazi wangu, serikali ikanihamishia ofisi ya Rais, huko ndiko nilipokutana na Jean Yves Francois, yeye ni Mfaransa anaishi Paris lakini alikuwa rafiki kipenzi na Rais. Tulionana naye nyumbani kwa Rais ambako alikaribishwa na tulianza urafiki siku hiyohiyo”, Bibiane alieleza Willy huku akimwangalia kwa jicho la kuiba.

“Huyu Jean Yves Francois ndiye aliyekufundisha ujasusi?”, Willy alimuuliza.

“Umejuaje?”.

“Nimehisi”.

“Jean ni mfanyabiashara na alikuwa akifanya biashara na kundi la marafiki wa Rais pamoja na familia ya Rais, wakati mimi nafahamiana naye serikali ilikuwa imeanza kuwa na matatizo kwani Watutsi waliokuwa humu ndani na nje, nchini kwenu na Uganda walikuwa wakipigana ili waiangushe serikali. Jean ndiye aliyekuwa akimsaidia Rais kwa kumjenga kijeshi, kiusalama na kiutawala. Huyu Jean ana utajiri usio kifani, kwani ndiye anayezifadhili serikali na wakuu wengi wa nchi za Afrika. Kwa vile mimi pia nilikuwa kwenye himaya yake alinipeleka kwenye mafunzo ya kiusalama sehemu mbalimbali duniani”.

“Na ukahitimu vizuri”, Willy alidakia.

“Vizuri sana”.

“Ehee, endelea”.

“Si ni wewe unanikatisha”.

“Huu utajiri aliupataje?”, Willy aliuliza.

“Sijui mwenyewe ameupataje, ila anashughulika na mambo ya silaha. Hapa alikuwa analeta silaha, halafu anachukua chai yote na kahawa inayolimwa katika nchi. Hili suala ni moja ya malalamiko mengi ya wananchi maana Jean ndiye aliyekuwa akipanga bei anayotaka, na hakukuwa na mtu wa kusema kitu, maana alikuwa akifanya biashara na Rais na kundi lake, lililokuwa likiitwa Akazu. Kusema kweli Jean na hilo kundi la Akazu ndio waliokuwa wanatawala na si baraza la mawaziri au Bunge”, Bibiane aliendelea huku sasa Willy akimsikiliza kwa makini zaidi.
“Huoni kuwa hiyo haikuwa sawa?”, Willy aliuliza.

“Mimi ningefanya nini, nilibaki kufanya kila nilichoagizwa kama ilivyokuwa kwa wengine wengi maana sasa hii ndio ilikuwa namna ya maisha. Ama uko na Akazu, vinginevyo hupati kitu cha aina yoyote, iwe mali, elimu au kazi ya aina yoyote Rwanda”.

“Kwa hiyo rushwa ndio ilitawala utawala uliopita?”, Willy aliuliza.

“Inategemea unavyotafasiri rushwa”, Bibiane alijibu huku akiwa kama haelewi anasema nini.

“Rushwa ni pale vyombo vya serikali vinaposhindwa kufanya kazi zake, kwa sababu hiyo kushindwa kutoa haki kwa wananchi wake, na kuwafanya wananchi wengi wapoteze imani, utu, uhuru na maadili kwa serikali yao kwani wote sasa huishi kama wanyama ambapo mwenye nguvu na pesa ndiye anayepata anachohitaji”, Bibiane alisema.

“Hivyo ndivyo, maana nchi inakosa maendeleo kwani mapato yote ya nchi badala ya kuendeleza watu wote huingia kwenye mifuko ya watu wachache. Na kama ulivyosema uhalali wa serikali kama chombo cha watu unakwisha, badala yale wale wanaofaidika ndio wanakuwa na nguvu zaidi ya serikali yenyewe”, Willy alitafasiri rushwa.

“Kwa tafasiri hiyo nakubali kuwa rushwa ndiyo imetawala. Na sasa Watutsi na Wahutu walipoanza kudai demokrasia isingewezekana maana Jean na Akazu hawakutaka kusikia kitu kama hicho kwa vile kingeweza kuingila maslahi yao. Na ndio sababu Watutsi walipokazana na kusikia eti wako tayari hata kupigana na Akazu, kwa kufadhiliwa na Jean, walianza kulifundisha jeshi la wahutu lililoitwa Intarahamwe ili liweze kuwadhibiti Watutsi wa ndani na nje ya Rwanda”.

“Kwa hiyo huyu bwanako Jean ndiye alikuwa Rais hapa?”.

“Si hapa tu, mimi najuwa nchi nyingi ambako amewakamata wakuu wa nchi na viongozi wa ngazi za juu serikalini na anawajaza mapesa kila wakati”.

“Huoni kuwa yeye ndiye ananufaika zaidi, maana anajaza mapesa watu wachache lakini yeye anachukuwa mali za wananchi wengi”, Willy alijaribu kumwelimisha Bibiane.

“Najuwa, maana hata huko kwenu Tanzania pia amewakamata wakubwa, ndio sababu nchi yenu imekuwa ikisita juu ya suala hili la Rwanda”.

Willy alisitushwa na taarifa hii lakini hakutaka kujionyesha maana kweli msimamo wa serikali ya Tanzania ulikuwa unalegalega kabla na hata baada ya mauaji.

“Ina maana maamzi yoyote ilikuwa lazima Jean akubaliane nao?”.

“Ndiyo, na mapesa yalitembea sana kuhusu swala hili na viongozi wengi wamenufaika. Unafikiri kama swala hili lingefanyiwa maamuzi mapema mauaji yangetokea!”, Bibiane alimwambia Willy kwa njia ya kushangaza.

“Kwa hiyo huyu Jean ndiye aliamru mauaji haya?”.

“Baada ya Rais kuonekana kwamba angekubali mkataba wa Arusha. Jean na Akazu walikasirika sana maana hawakutaka, kama nilivyosema mwanzo, kugawana madaraka na mtu mwingine. Hii ingegusa maslahi yao. Kwa hiyo, kwanza ndio waliamru Rais auawe na pili tayari walikuwa wamewatayarisha na kuwahamasisha Wahutu kuwamaliza Watutsi wote asibaki mtu ili wajihakikishie uwezo wa kutawala milele. Mpango ulikuwa kwamba hata kama jeshi la RPF la Watutsi lingeshinda jeshi lao lazima baada ya kuchukuwa nchi wangeshindwa kutawala maana wangemtawala nani huku Watutsi wote wakiwa wameshauawa, waliobaki ni Wahutu watupu ambao hawawaungi mkono. Hivyo, ingewachukuwa siku chache kuuangusha na kuutokomeza kabisa utawala wa RPF. Hii ingebaki nchi ya Wahutu chini ya utawala wa Jean na Akazu.

Bibiane alipofika hapa ndipo Willy alipoanza kuelewa kwa undani mambo yalivyokuwa. Kumbe mauaji yote haya yalitokana na watu wachache kutaka kulinda maslahi yao ya kunyonya mali ya wananchi, na kutumia hiyo mali kuweza kuwachochea wananchi kuuana!.

Kwa mara ya kwanza Willy aliona jinsi ambavyo nchi zote za Afrika zilivyo hatarini kutokana na rushwa. Kwa vile viongozi wa nchi hizi kuabudu rushwa, hivyo Willy akaamini kuwa tukio kama la Rwanda kumbe linaweza kutokea mahali pengine katika Afrika!.

“Baada ya RPF kushinda na mipango ya Jean kushindwa, wana mikakati gani sasa?”, Willy alihoji.

“Kama nilivyosema hawajashindwa. Wewe ndiye umeingilia ndani ya mipango yao, kuna mpango kabambe wa kuisambaratisha serikali ya RPF kutokea jimbo la Kivu, Zaire. Akazu wamekuwa wakiliimarisha jeshi lao katika makambi ya wakimbizi kule Goma na Bukavu, Zaire, huku Jean akiwatumia rafiki zake kutoka Afrika Kusini hasa waliowahi kuwa katika idara ya ujasusi ya makaburu, alikokuwa akinunua silaha na kuzipitishia Angola ya UNITA, Zaire na Zambia kwa kutumia viongozi wa ngazi za juu za serikali za nchi hizo ambao wako kwenye orodha ya malipo kutoka kwa Jean. Kwa hiyo mambo bdo sana Willy, vita ndio sasa karibu vitaanza”.

“yaani dunia inafikiri kuwa kambi zilizoko Zaire ni za wakimbizi kumbe ni kambi za jeshi”.

“Ni kambi za jeshi na serikali ya Zaire inajua na ndio inayosaidia hata mafunzo. Hata katika kambi zilizoko kwenu Tanzania kuna wanajeshi wa jeshi la zamani na Intarahamwe, na kuna watu wazito katika serikali yenu ambao wanalipwa na huyu Jean ili kuwasaidia hawa watu, kwa hiyo hili si dogo. Kama ulivyosema pesa ni kitu kibaya sana, watu hawaoni tena madhara ya mauaji yaliyotokea bali wanaona pesa tu”.
“Swala la rushwa ni swala linalohujumu haki za binadamu, yapaswa lichukuliwe hatua kimataifa katika uzito huo wa haki za binadamu”, Willy alijibu kwa hasira.

Bibiane alikaa kimya bila kujibu kitu.

“Wewe ulikuwa uwasaidie vipi Jean na Akazu katika kutekeleza huu mpango wao wa kuivamia tena Rwanda”, Willy aliuliza.

“Usije ukanipeleka kwenye mahakama ya mauaji ya Arusha maana mauaji yale sikuyajuwa pia sikushiriki, nilikuwa Nairobi nikitokea kwenye mkutano Arusha. Ila juu ya hili la sasa Jean amekuwa akinituma kupashana habari kati ya kambi za wakimbizi ambazo ni kambi za jeshi lao huko Zaire, yeye na Akazu. Vilevile kuna wanajeshi na viongozi wa RPF ambao tayari wamenunuliwa na wako upande wa Akazu, mmoja wao ndiye anayetarajiwa kuchukua madaraka mara tu jeshi la Akazu litakapotwaa madaraka tena”.

Willy hakuamini masikio yake kuwa tayari hata ndani ya RPF kuna wasaliti.

Mara moja Willy alielewa jinsi alivyotaka kuuawa na akagudua kuwa kweli kama anavyosema Bibiane kuna kiongozi wa juu na karibu sana katika serikali ya Tanzania amabye anamtumikia Jean na kundi la Akazu.

“Utasaidia kunipa majina ya watu wote unaowajuwa kuwa wanahusika, maana hiyo ndio njia pekee tunaweza kulikosha jina lako”, Willy alimuasa Bibiane.

“Swala la Jean kunisaliti mimi, na kunihukumu kifo, bila kujali yote niliyomtendea kwa hali na mali ikiwa pamoja na kumpa mwili wangu auchezee atakavyo, na jinsi nilivyojitoa kumstarehesha. Willy mimi niko upande wako, kama uko tayari kupambana nao nihesabu na mimi. Jean akishaambiwa kuwa umenichukua ninavyomjua atataka apambane na wewe yeye mwenyewe, ikifika hapo niachie mimi. Majina na mipango yao yote ni juu yako na uongozi wa RPF mjuwe la kufanya kwani jeshi la Akazu, likisaidiwa na viongozi wa nchi kadhaa ambao ni marafiki na Jean watakuwa tayari kuingilia kati. Ni lazima liwahiwe mapema kabla halijajiimarisha sawasawa”, Bibiane alieleza.

“Nafikiri swala la vita si letu, ni la serikali ya Rwanda na RPF, mimi nipe hayo majina na kutokea hapo ndipo nitajua kama kazi yangu imeisha au ndio kwanza inaanza”, Willy alieleza taratibu.

Bila kuwa ameandika mahali popote, Bibiane alitoa kichwani jina hadi jina akianza na kundi la Akazu mpaka viongozi wa nchi mbalimbali wanaolipwa na Jean huku Willy akiyaandika chini kwa mshangao mkubwa, kwani watu waliokuwa wanatarajiwa wengi wao ni viongozi wanaoheshimika Afrika na kote duniani. Alishangaa zaidi Bibiane alipotaja jina la yule waliyekuwa wakimwita JKS wa Tanzania.

“JKS, hii imenishangaza sana, maana huyu ndiye anayetegemewa kugombea urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu unaokuja,” Willy alimweleza Bibiane.

“Najua kabisa, na tayari Jean ameshamtengea mamilioni ya dola za Kimarekani zitakazo msaidia katika kampeni hiyo ya uchaguzi kuusaka urais. Nia ya Jean ni kuwa na marais vibaraka kote Afrika ili yeye na wenzake huko Ulaya, waweze kufanya vile wanavyotaka katika nchi hizi. Jean anaongoza kundi la wafanyabiashara wakubwa wanaomiliki makampuni makubwa ya kimataifa. Na nia yao ni kuhakikisha kuwa Afrika inakuwa soko lao tu, na hata siku moja Afrika isisimame kiuchumi. Ingawaje nchi zao zinapigia kelele rushwa, lakini nchi hizohizo ndizo zinazoyasaidia makampuni makubwa kwa madogo kutoa rushwa kwa nchi zinazoendelea, maana makampuni hayo yakitoa hongo, hongo hii huchukuliwa kama gharama na kutolewa kwenye kodi ya mapato. Hii yote inaonyesha unafiki wa nchi za magharibi, na kila wakati Jean alikuwa akinieleza kuwa kelele zote hizi kuhusu rushwa, demokrasia na soko huria ni kelele za kinafiki tu, lakini huku nyuma katika vikao vya viongozi wa nchi za magharibi ni kuchochea rushwa. Wanajuwa kuwa rushwa ikiisha Afrika basi demokrasia na soko huria vitashamiri na hivyo uchumi wa nchi hizo utakua haraka sana, kitu ambacho hawataki kitokee. Jean anasema, rushwa ndiyo sera inayotumiwa kuendeleza umaskini katika nchi za Afrika ili nchi zilizo endelea ziendelee kuitawala Afrika kiuchumi. Kwa hiyo, iwapo JKS ataitawala Tanzania rushwa itazidi mara dufu, na kutokana na fedha alizotengewa na Jean lazima atashinda, kwani kila walipoweka mtu wao hajawahi kushindwa uchaguzi”, Bibiane alieleza.

Sasa Willy alikuwa na picha kamili namna JKS alivyokuwa anahusika na swala zima la Rwanda. na sababu za Tanzania kutokuwa na msimamo dhabiti juu ya swala hili na kuweza kuyumbisha mikutano kule Arusha kiasi cha kutofikia maamzi kwa muda mrefu maana swala hili la Rwanda kwa muda mrefu lilikuwa chini ya Tanzania kwa muda mrefu na JKS alikuwa mmojawapo wa viongozi walioonyesha kuchoshwa na mauaji ya Rwanda. Na alifanya hivyo kwa shinikizo la Jean aliyekuwa akimlipa pesa nyingi na uchu wake wa kutaka madaraka kwa njia ya ruswa ili aweze kuyatumia kwa faida yake na kujinifaisha yeye na rafiki zake. Na ni hii rushwa iliyowanyima Wanyarwanda haki yao mpaka kufikia hatua ya kuuawa vibaya namna ile kweli ni aibu! Aibu sana kwa Afrika nzima.

“Vizazi vijavyo vitakapoyasoma na kuyaelewa matukio haya, hakika hawataamini, watajuwa sisi wote tulikuwa wendawazimu kabisa, kwani ni sisi wote ndio tulioachia hali hii ikafikia hapo ilipo, kwa kuwapa walarushwa madaraka kwa gharama ndogo ya kuuza kura zetu na wao kutumia madaraka tuliyowapa kwa malipo ya fedha kidogo, lazima wayatumie kutuangamiza”, Willy alisema kwa uchungu huku akikuna kichwa chake.

Mara moja Willy alimkumbuka Malisa wa Arusha, aliyekuwa mshauri wa JKS katika masuala ya uhusiano wa Kimataifa kabla hajarudi Chuo Kikuu. Hivyo basi, alijuwa Malisa ndiye aliyemweleza JKS kuhusu msimamo na mipango ya PAM na kuteuliwa kwa Willy kufuatilia jambo hili. Willy aliamini kuwa JKS ndiye aliyetoa taarifa za safari ya Rwanda kwa Jean na kundi lake na ndi sababu ndege aliyopanda ikapigwa kabla ya kutua uwanja wa ndege wa Kigali.

“Kwa hiyo JKS ndiye aliyotoa habari zangu zote kwa Jean?”, Willy aliuliza kwa shauku.

“Ndio, na ndio sababu Col. Gatabazi aliamru ndege hiyo ipigwe kabla ya kutua uwanja wa ndege, lakini kwa bahati na umahiri wako ukawaponyoka”, Bibiane alijibu huku akimwemwesa. Mara mlango wa mbele ukafunguliwa na Col. Gatabazi akaingia ndani.
Willy alipoangalia saa yake ilikuwa yapata saa tisa usiku. Wote walisimama, na Willy akawatambulisha.

“Pole Kanali, leo tumepata mgeni na anaitwa Bibiane, na Bibiane huyu ndiye mwenyeji wetu. Col. Rwivanga, kiongozi katika serikali mpya ya RPF”.

“Nashukuru kumfahamu”, Col. Rwivanga alijibu.

“Nami nimefurahi kukuona leo, nimekuwa nikisikia sifa zako nyingi kwa muda mrefu, toka kwa Col. Gatabazi kuwa wewe ni mpiganaji hodari, hongera”, Bibiane alijibu kwa tabasamu akimwangalia Col. Rwivanga.

“Asante kwa sifa hizo zilizotoka katika kinywa cha msichana mrembo kama wewe”, Col. Rwivanga alijibu akaendelea, “Ehe, imekuwaje Willy, hebu nipe habari kamili, maana kazi tumeiona kwa Bibiane, sasa halafu ikawaje hivi”, Col. Rwivanga alionekana kuwa wasiwasi na Bibiane.

“Mimi naomba nikalale ili mzungumze vizuri, nionyeshe chumba cha kulala”, Bibiane aliomba.

Willy na Col. Rwivanga aliangaliana na Willy ndiye alikuwa wa kwanza kujibu, “Kwa vile nyumba hii ina vyumba viwili tu vya kulala, basi kalale chumbani kwangu, maana tayari hata kuoga umeoga huko. Mimi nitalala hapa sebuleni kwenye kochi hamna taabu”.

“Asante”, Bibiane aliwaaga na kuelekea chumbani huku wote wakimwangalia. Kisha wakatazamana na kutabasamu.

“Ehe, hebu nipe mambo”.

Willy alichukua muda mrefu kumweleza mambo yalivyotokea na mambo mengine yote aliyoelezwa na Bibiane. Col. Rwivanga akasimama na kumshika mkono Willy kwa hatua aliyofikia haraka na kwa umakini mkubwa.

Baada ya Col. Gatabazi kuvaa nguo vizuri, walichukua silaha mbalimbali na fedha zilizokuwa pale ndani. Wote walivaa mavazi ya kijeshi na kutumia gari ndogo aina ya MB 230E, ambalo awali Nkubana alikuwa amepewa na Col. Gatabazi kwa ajili ya Operesheni ya usiku. Gari hii ni mojawapo ya magari yaliyokuwa yameachwa na viongozi wa serikali iliopita, baada ya kukimbia mji wa Kigali, wakati RPF inaingia madarakani.

Nkubana alikaa kwenye usukukani kwa ajili ya kuendesha gari, Col. Gatabazi akakaa upande wa kulia, maana gari hili lilikuwa na usukani upande wa kushoto.

“Aha, kumbe gari limejaa mafuta kwenye tenki”.

“Ndio, nilijaza kwa sababu kama hizihizi kama dharura itatokea”, Col. Gatabazi alijibu.

“Tuchukue njia gani?”, Nkubana aliuliza.

“Najua sasa hivi wataanza kututafuta. Hivyo, twende na barabara kubwa iendayo Ruhengeri. Kwa vile bado mawasiliano ni shida kati ya vikosi, tunaweza kupata bahati tukafika Gisenyi kabla habari zetu hazijaenea. Kwa vile vikosi vya RPF vinanifahamu na kuniheshimu njiani hatutaulizwa wala kupata tatizo lolote, watajua kuwa niko kazini. Kwa hiyo tutumie barabara kubwa mpaka Ruhengeri, halafu moja kwa moja mpaka Gisenyi, halafu tutavuka mpaka na kuingia Goma. Upande ule Jean ameshafanya mipango, hatutakuwa na shida. Nimemweleza amweleze Mkuu wetu wa Majeshi Col. Marcel Bazimaziki atukute mpakani”Col. Gatabazi alieleza.

“Sasa hivi ni saa sita na robo, itatuchukua masaa kama manne kwa gari hii, kwa hiyo saa kumi na moja alfajiri tutakuwa Goma?”, Nkubana aliuliza huku akitia gea na kuondoa gari kwa kasi kuelekea Goma.

Baada ya Jean kumweleza JKS mambo yote yaliyokea Kigali, palepale JKS usingizi ulimtoka. Aliona na kuamini kuwa huo ndio ulikuwa mwisho wake. Ndoto zake za kuwa Rais wa Tanzania zilianza kuyeyuka mfano wa seluji. Hakujua afanye nini. Aliamini kuwa Willy Gamba akipata habari zake kuwa yuko kwenye mtandao wa kuisaliti Afrika haitamchukua zaidi ya siku mbili kabla mambo yake hayajabainika na kuanikwa hadharani.

JKS alimjua vizuri Willy Gamba alivyokuwa makini na hodari katika kufanya kazi zake. Alifikiri asubiri Willy arudi kwanza nchini ndio amkabiri yeye mwenyewe au aieleze serikali ya Tanzania kilichokuwa kinafanyika Rwanda. Aliona kashifa kubwa inakuja mbele yake. Ingawaje Rais wa sasa wa Tanzania alikuwa rafiki yake mkubwa, lakini ingekuwa vigumu sana kuizuia kashifa hii, maana vyombo vya habari vingemmaliza kabisa. Kisha, akakumbuka kuwa alikuwa na mapesa mengi ambayo Jean alimwekea kwenye akaunti zake katika mabenki ya huko Uswisi na Cyprus.

Baada ya kutafakari kwa muda mrefu huku jasho jembamba likimtoka. JKS akaamini kuwa mapesa hayo yangeweza kuzuia kashifa hii kwa kuwanunua wamiliki wote wa vyombo vya habari Tanzania kama Radio, magazeti na taasisi zingine kama polisi, usalama wa Taifa na idara zingine nyeti za serikali ambazo zingeonekana kumletea madhara kwenye safari yake ya kuelekea Ikulu.

“Watanzania karibu wote wana njaa, nitawanunua kwa mapesa tu. Hapo ndipo Willy atajuwa jeuri na nguvu ya pesa. Hakuna mtu atakayemsikiliza tena Willy Gamba, mimi nitaendelea na mambo yangu bila hofu. Uchu wangu wa kuwa Rais wa Tanzania utafanikiwa”, JKS alijisemea mwenyewe huku akiwa amelala mfano wa mtu aliyeko katika usingizi mnono akiota ndoto.

Hivyo, baada ya kutafakari hili na lile kwa mapana na marefu, JKS aliamua kuwa atamfuata Rais ili amuombe ruhusa na kusafiri kwenda Ulaya kwa ajili ya kuangaliwa afya yake kwa madaktari wake walioko Uingereza, na angemwambia daktari mkuu wa Hospitali ya Muhimbili atoe ushauri wa haraka. Akiwa amejiwekea malengo kuwa akifika Ulaya akusanye mapesa yake halafu ndipo ajue kitu cha kumfanyia Willy Gamba aliyemwona mchawi wa safari yake ya kuelekea Ikulu ya Tanzania.
JKS aliamini kuwa akiwa na mapesa mkononi, ataweza kufanya chochote atakavyo. Akapiga moyo konde, akamkumbuka tena Willy Gamba moyo wake ukapata maumivu makali, akahisi mtu huyu ni mchawi. Hata hivyo akaapa kuwa hatarudi nyuma.

GISENYI

Ilikuwa yapata saa kumi na mbili alfajiri wakati Willy Gamba na Bibiane walipokuwa wakiondoka nyumbani kwa Bibiane kuelekea Goma, nchini Zaire. Baada ya Bibiane kwenda kulala usiku na kumwacha Willy akimpa habari Col. Rwivanga kuhusu yote aliyoelezwa na Bibiane, usiku, uleule Willy na Col. Rwivanga waliamua kwenda haraka kumkamata Col. Gatabazi nyumbani kwake, baada ya kuchunguzi wa kina waligudua kuwa nyumba hiyo imefungwa na hakuna mtu. Mara moja Col. Rwivanga akahisi kuwa Col. Gatabazi alikuwa ameelekea kwenye majeshi yake huko Kibumba karibu na Goma kama ambavyo walikuwa wameelezwa na Bibiane. Hivyo, waliafikiana kuwa asubuhi na mapema Willy aondoke na Bibiane kwenda Goma, kuwasaka Col. Gatabazi, Nkubana na Jean.

Wakati huo Col. Rwivanga alikuwa akijiandaa kwenda kutoa taarifa za uhalifu huo kwa serikali ya RPF ili iandae jeshi la kushambulia sehemu ya Kibumba na kuliangamiza jeshi la Akazu pamoja na Jean kabla halijaishambulia Rwanda tena. Hivyo, Willy Gamba na Col. Rwivanga walirudi nyumbani na Willy akatafuta usingizi wa saa moja kwa ajili ya kujiweka sawa. Ilipofika saa kumi na moja alifajiri Willy alimuamsha Bibiane ili waanze safari.

Willy akilipokuwa akijipumzisha, Col. Rwivanga alitoka usiku huo kwenda kumwona mkuu wa shirika la Msalaba Mwekundu ambaye alikuwa rafiki yake na kumwomba gari. Col. Rwivanga alipewa gari ya Msalaba Mwekundu aina ya Toyota Land Cruser GX ambalo alipanga Willy na Bibiane walitumie kwenda mpakani kwenye kambi ya wakimbizi ya Kibumba. Vilevile Col. Rwivanga aliwatanguliza vijana wake watatu askari wa kikosi maalumu cha upelelezi kutoka jeshi la RPF ili wawahi kufika Gisenyi na kutoa taarifa za Col. Gatabazi kwa makamanda wa RPF walioko Gisenyi. Pia alituma taarifa ya siri kwa Meja Tom Kabarisa, kiongozi wa waasi wa Banyamulenge kikundi kilichokuwa kikipigana kupinga serikali ya Zaire, kilichokuwa na makao makuu yake sehemu za milimani, karibu na mji wa Goma. Hawa Banyamulenge walikuwa ni watu wa asili wa Kitutsi ambao walihamia miaka mingi eneo hili na Mashariki mwa Zaire kutokana na misukosuko ya muda mrefu ndani ya Rwanda.

Kwa muda mrefu watu hawa waliishi kama wananchi wa Zaire, lakini miaka ya hivi karibuni serikali ya Zaire ilianza kuwabagua kiasi cha kuwanyima haki hata ya kupiga kura na kisha kuwataka wahame maeneo waliyokuwa wakiishi ndani ya Zaire ili warudi kwao Rwanda. Lakini walikataa katakata kutii amri hii ya serikali ya Zaire na kuanzisha kikundi chao cha wapiganaji ili kiweze kulinda maslahi yao. Kikundi hiki kilikuwa na mahusiano mazuri na maofisa wa jeshi la RPF. Wakati na baada ya mauaji ya Watutsi na Wahutu kukimbilia eneo hili la Ziwa Kivu, uhusiano wa Banyamulenge na uongozi wa RPF uliimarika zaidi kwa sababu za kiusalama kwa pande zote mbili.

“Mimi niko tayari kwa safari, lakini naomba tupite pale nyumbani kwangu ili nipate nguo za safari ya namna hii na nyenzo nyingine ambazo zinaweza kutusaidia katika safari yetu”, Bibiane ambaye alikuwa ametokea chumbani na kujiegemeza kwenye ukuta alisema.

Willy na Col. Rwivanga waliokuwa wanapanga mikakati huku wameupa mgongo ule upande wa chumba waligeuka na kumwangalia. Alfajiri hii Bibiane alionekana mrembo hata zaidi ya jana yake.

Willy na Col. Rwivanga walitazamana tena na kutabasamu huku macho ya Col. Rwivanga yakimweleza Willy kuwa. “Haya kazi unayo”.

“Mmenisikia?”, Bibiane aliuliza tena.

“Sawa”, Willy alijibu kisha kama amekumbuka kitu akahoji, “Lakini sijui kama pale kwako tutaweza kuruhusiwa kuingia”.

“Tutaenda wote”, Col. Rwivanga alijibu.

Kisha Col. Rwivanga alimmalizia Willy maelezo na mipango yote, wakaondoka kuelekea nyumbani kwa Bibiane.

Kwa vile kulikuwa bado hakujapambazuka, walipofika nyumbani kwa Bibiane ilibidi Col. Rwivanga atoke na kujitambulisha kwa askari wapatao wanne waliokuwa wamejitokeza baada ya kusikia mwungurumo wa gari. Kisha lango la mbele lilifunguliwa wakaingiza gari ndani. Baada ya maelezo mengine mafupi, Bibiane aliruhusiwa kuingia ndani.

“Karibuni”, Bibiane aliwakaribisha Willy na Col. Rwivanga ndani.

Bibiane aliingia chumbani na kuwaacha Col. Rwivanga na Willy sebuleni. Nyumba ilikuwa bado kabisa haijakaguliwa. Hivyo, kila kitu kilikuwa kimebaki kama kilivyokuwa isipokuwa maiti za wale tu ndizo zilikuwa zimeondolewa.

“Willy njoo”, Bibiane alimwita Willy chumbani kwake. Willy na Col. Rwivanga waliangalia na kutabasamu, baada ya sekunde kadhaa Col. Rwivanga alimuonyesha Willy ishara aende chumbani kama alivyoitwa.

Willy alipoingia chumbani alimkuta Bibiane anavaa suluali lakini sehemu ya juu yote ilikuwa bado iko wazi yaani hajavaa kitu hata sidiria.

“Hatuna muda wa kukaa hapa hivyo itabidi unisaidie vitu vingine ili tuweze kuondoka mapema”, Bibiane alimwambia Willy ambaye alikuwa kama amepigwa na butwaa. Hakika msichana huyu alikuwa mzuri, umbo lake jinsi alivyoumbika hutaamini kama alizaliwa kutoka tumboni kwa mwanamke isipokuwa alishushwa kutoka juu. Hakukuwa na maelezo ya kutosha kueleza urembo wa msichana huyu bali ujitahidi kumtafuta ili uthibitishe mwenyewe kama Willy alivyojionea.
Usinitie majaribioni”, Willy alisema huku akirudisha mlango.

“Aaa mshirika, mapigo yangu nikitaka utayaweza?. Kazi kwanza mambo mengine baadaye. Nimekuita kwa sababu hatuna muda wa kukaa hapa nataka kukuonyesha kitu”, Bibiane alisogea kwenye ukuta akabonyeza sehemu na ukuta ule ukafunguka. Willy alishangazwa kuona kumbe ule haukuwa ukuta isipokuwa kabati la siri lililojificha likiwa na zana mbalimbali za kazi za kisasa kabisa.

“Pale mwisho kuna makasha mawili makubwa yameandikwa ‘hatari’, yatoe”, Bibiane alimwambia Willy huku akichukua sidiria na kuendelea kuvaa.

Willy aliyatoa na kuyaweka chini.

“Fungua”, alisema huku akiendelea kuvaa. Willy alipofungua alikuta ni mabomu aina ambayo hakuwahi kuyaona wala kuyatumia kabisa.

“Haya ni mabomu aina ya teknolojia ya kisasa kabisa, ambayo Jean aliniletea siku chache tu zilizopita, akanielekeza niyahifadhi mpaka nitakapopata maelekezo zaidi. Lakini yule mtu wa DOSE aliyeleta silaha hizi alinieleza jinsi zinavyotumika na kweli ni aina ya mabumu ya kisasa na hatari sana”, Bibiane alieleza huku akivaa viatu na kutengeneza nywele zake. Alimweleza Willy jinsi mabomu hayo yanavyofanya kazi na kumalizia. “Hayo mabomu mawili yana uwezo wa kulipua nusu ya mji wa Kigali, na kwa kutumia saa hii ninayokupa unaweza kulipua mji wa Kigali huku umeketi mahali unakunywa chai.

“Ili mradi tu usiwe umetega na nyumba yako au ya majirani zako”, Willy alitania na wote wakacheka.

Willy alikubaliana na Bibiane kuwa waende na makasha yote mawili, maana kutokana na maelezo ya Bibiane, Jean na Akazu walikuwa wameandaa jeshi kamili kwa ajili ya kuivamia Rwanda, wakiwa na silaha kali na za kisasa kutoka Ufaransa na Afrika Kusini, huku wakitumia kisingizio cha wakimbizi. Kisha Bibiane alitoa bastola nne, mbili zikiwa ndogondogo sana alizoziweka kwenye mkoba na mbili kubwa alizomkabidhi Willy, vilevile alichukua risasi nyingi sana.

“Nafikiri sasa tuko tayari”, Bibiane alisema huku akimsaidia Willy kubeba kasha moja na mfuko wake wa nguo.

“Ehe, vipi huko ndani?”, Col. Rwivanga aliuliza.

Kabla Willy hajajibu Bibiane alijibu.”Salama kabisa”.

Wote wakacheka, kisha kwa kifupi, Willy akamweleza Col. Rwivanga kuhusu kilichokuwa ndani ya yale makasha waliyotoka nayo ndani.

Baada ya hapo, Willy na Bibiane waliingia ndani ya gari na kumtakia Col. Rwivanga heri ya kuonana, kisha wakaanza safari ambayo hawakuwa na uhakika kama mambo yangeendaje huko.

“Mungu awe pamoja nanyi, naamini atawasaidia”, Col. Rwivanga aliwaaga, askari waliokuwa wakilinda nyumba ile waliwafungulia lango wakatoka na kutokomea kuelekea Kibunda.

Ilipofika saa nne asubuhi JKS alikuwa tayari ameshapata kibali kutoka kwa Rais ili aweze kwenda Uingereza kwa matibabu. Daktari alikuwa ameiandikia serikali barua kufanya haraka na kila njia JKS aondoke siku ileile kwani alihisi kuendelea kusubiri kungeweza kumletea shinikizo la damu lenye nguvu kubwa ambalo huenda wao wasingeweza kumsaidia kabisa.

Ni barua hii ya Daktari iliyomfanya Rais akubali kutoa kibali harakaharaka na kuamru kuwa ifikapo jioni ile JKS awe ameondoka kwenda Uingereza kwa matibabu. Hadi saa saba mchana Wizara ya Afya ilikuwa imefanya mipango yote na ikawa wamempatia usafiri kuondoka na ndege ya shirika la ndege la Uingereza usiku ule.

JKS alikataa kusindikizwa na maofisa wa serikali kwa kisingizio kuwa atapokelewa na watoto wake walioko mjini London, Uingereza ambao alisema watamwangalia kwa karibu zaidi wakati wa matibabu yake. Bila watu kujua, alifanya mipango yake mwenyewe ili usiku uleule aweze kuunganisha ndege kwenda hadi Geneva, Uswisi, kitu ambacho alifanikiwa. “Hakika Willy Gamba hataniweza, nikirudi na mapesa yote yale, hakika naamini ataiona dunia na ardhi ya Tanzania chungu”, JKS alijisemea mwenyewe huku mapigo ya moyo yakimwenda mbio.
……………………………………………………………………………………………………………..
III
Wakati Willy na Bibiane wanaondoka Kigali kuelekea Goma, saa kumi na mbili asubuhi. Col. Gatabazi na Nkubana walikuwa wanapokelewa na Col. Marcel Bazimaziki na kikundi cha wanajeshi wa jeshi la Zaire kikiongozwa na Meja Massamba kwenye mpaka wa nchi hizo za Rwanda na Zaire.

“Pole sana na safari, ulipokaribia kufika Gisenye natumaini umepita ile njia yetu na nadhani hukupata shida”, Col. Bazimaziki aliwasalimia kuwapa wageni wake mkono huku kila kikundi cha askari kikijiweka sawa kutoa heshima kwa gwaride rasmi lililoandaliwa kwa ajili ya Col. Gatabazi ambaye kama walivyokuwa wameelekezwa kuwa baada ya muda si mrefu ndiye atakuwa kiongozi wa Rwanda.

“Safari ilikuwa safi kabisa na hizi Benz ni gari imara sana ha hata kile kinjia tulichopita hatukupata taabu sana. Asante kwa kutuma mtu wa kutuongoza, maana tungeweza kubabaika kufika hapa”, Col. Gatabazi alijibu.

“Jean tulizungumza kwenye simu yetu aliyoleta hivi karibuni ya Satellite. Sasa mawasiliano ni mazuri sana kati yake na sisi. Hata kabla ya kuja kukupokea tulizungumza nae, alikuwa akielekea uwanja wa ndege, nae tayari amepanda ndege na imeondoka Paris tangu saa kumi na mbili.

“Anatumia ndege yake ile ya Falcon, atakuwa hapa saa kumi na mbili jioni, maana atapitia Kinshasa kuonana na viongozi wa serikali kule, mkutano utafanyika uwanja wa ndege ili waweke msimamo, halafu watakuja na Jenerali Kasongo ili kuangalia hali pamoja na wewe mwenyewe ukiwepo ili mkiridhika na hali kazi ianze”, Col. Bizimaziki alieleza na kisha Col. Gatabazi akaelekea kwenye gwaride ili apokee heshima zake kutoka kwa kikundi cha wanajeshi wa Zaire.
Baada ya kupokea heshima na kukagua gwaride. Col. Gatabazi na wenyeji wake waliamua kuondoka kuelekea Kibumba kwanza na kisha jioni ndio waelekee Goma kwenda kuonana na Jean na maofisa wengine wa juu.

“Acheni hilo gari hapa mpakani, hakuna matatizo askari wa jeshi la Zaire wapo wataliangalia maana kule kwenye makambi lazima kwenda na magari ya jeshi la Zaire ndio idara na taasisi za Kimataifa zinazoshughurikia wakimbizi haziwezi kushituka”, Col. Bizimaziki alieleza.

“Sawa, vipi minong’ono kwamba watu wetu wanajitayarisha kuishambulia tena Rwanda huku wakitumia kinga ya wakimbizi?”, Col. Gatabazi aliuliza.

“Usijali kabisa kuhusu hilo, serikali ya Zaire itakanusha vikali huku sisi tumetia pamba masikioni. Na kama ujuavyo kiongozi wa baraza la Akazu, Anatoile Kabuga. Alitusihi tusisikilize propagada za vyombo hivi isipokuwa tujiimarishe kijeshi tayari kwa kuikomboa nchi yetu kutoka kwa wavamizi wa Kitutsi. Kwanza nilitaka kusahau, vilevile Bwana Kabuga anakuja pamoja na Jean ili maamuzi yaweze kufanyika, ameeleza kuwa mjumbe mwingine wa Akazu ambaye anaweza kufika ni John Ngeze ambaye sasa yuko Afrika Kusini, lakini ameambiwa apande ndege ya shirika la ndege la Afrika Kusini inayoingia mjini Kinshasa saa sita na kama akiwahi atawasubiri pale uwanjani na wao wakiwahi watamsubiri|.

“Lo, kumbe tutakuwa na mkutano mkubwa”, Col. Gatabazi alinena.

“Wakati umefika kwa wewe Col. Gatabazi kuchukua nchi kutoka mikononi mwa wavamizi wa Kitutsi. Siri zote za adui yetu unazijua, nguvu ya RPF yote unaijua, ya kijeshi na kisiasa. Sasa nini kitazuia?, wao hawajui nguvu yetu wanafikiri tunacheza. Utaenda sasa hivi kujionea mwenyewe salaha za kisasa, magari, vifaru. Tuna silaha ambazo zina uwezo wa kupiga masafa marefu hadi kilomita mia mbili, na kuna mafunzo makali yanayoendelea kutoka kwa askari wale tuliowakodi kutoka Afrika Kusini na wana kazi kubwa na vijana wetu wana ari kubwa maana wanajua tusiposhika nchi tena maisha yao yako hatarini. Ni kweli kama ulivyosikia wakimbizi tumewazuia kurudi ili siku tutakapoamua kuanza kazi ndiyo siku ambayo wakimbizi wote wanaume tutaandamana nao. Wakirudi wakati huu uhalali wa kuivamia tena Rwanda hatutakuwa nao. Hii vurugu ya wakimbizi kwanza inaficha mambo yote tunayoyafanya, pili itatupa uhalali na nguvu za kuvamia. Rafiki zetu wote watasema. “mlitaka wafanye nini, yaani mamilioni ya watu yabaki kuwa wakimbizi nje ya nchi yao”, Col. Bazimaziki alieleza, kisha wakaelekea kwenye kambi.

Walipofika huko kambini walitumia muda mrefu kuangalia aina mbalimbali za silaha za kisasa kabisa, mafunzo makali ya kijeshi, ari ya vijana wa Kihutu, hasa wale Intarahamwe waliotaka siku hiyohiyo kwenda kuvamia Inyenzi na kurejesha madaraka yao. Kutokana na aina ya silaha walizonazo na mafunzo waliyokuwa wakipata na moto waliokuwa nao wa kutaka kupigana na adui. Col. Gatabazi aliamini kabisa kuwa wakisaidiwa na Wahutu waliokuwa ndani ya Rwanda ushindi ulikuwa wao asilimia mia. Col. Gatabazi alipandwa na mori akatamani kama vita vingeanza saa ile. Kisha, wakaondoka kuelekea Goma.

Ilikuwa saa kumi na moja na nusu jioni, Jeana na wenzake walipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Goma. Baada ya kuwasiliwa, walipokelewa na Col. Gatabazi aliyesindikizwa na askari wake. Jean aliwasili akiwa pamoja na kiongozi wa Akazu, Bwana Anatoile Kabuga, Bwana John Ngeze, ambaye ni Mjumbe wa Baraza la Akazu, Jenerali Kasongo, ambaye ni mshauri wa Rais wa Zaire, Meja Karongo, Mkuu wa kikosi cha jeshi linalomlinda Rais wa Zaire, Bwa, George Karikutis, ambaye ni dalali wa mamluki aliyefanya mipango yote ya kuwawezesha Jean na wenzake wa Akazu kupata askari wa kukodi.

Baada ya kuwasili uwanja wa ndege walipelekwa moja kwa moja hadi Ikulu, ambako Rais alitoa kibali Jean na wenzake wafikie kwenye jumba hilo. Ikulu hii ilikuwa ya kifahari sana. Ili uweze kuelewa kwa kifupi, vyoo, bafu na vyumba vya kulala alivyokuwa akitumia Rais vilijengwa kwa vito vya dhahabu tupu. Sasa naamini utakuwa umeelewa maana yake. Karibu na Ikulu hii kulikuwa na Jumba jingine kubwa ambalo Majemedari wa jeshi wa ngazi za juu walikuwa wakifikia. Ndani ya jumba hilo ambalo pia lilikuwa la kifahari sana, ndimo alipofikia Col. Gatabazi na wenzake. Kisha, wakaenda kukaa kwenye sebule ya kifahari ajabu. Wasichana warembo sana wapatao kumi hivi walijitokeza kwa ajili ya kutoa huduma, wakiwa wamevaa kaputula fupi, matiti nje, yaani asilimia tisini walikuwa uchi.

“Hivi ndivyo mzee anavyoishi hapa duniani Jean, hapa panaweza kuwa peponi ukitaka. Mzee ameyafanya maisha yake hapa duniani kuwa sehemu ya peponi. Hivyo, na wewe onja pepo kidogo ukiwa hapa”, Jenerali Kasongo alimweleza Jean, ambaye wakati huo alikuwa akitikisa kichwa, maana pamoja na utajiri wake mkubwa usio kifani alikuwa hajawahi kukalia viti na meza za kahawa vilivyotengenezwa kwa dhahabu tupu, ukiacha sehemu za kukaa ambazo zilivishwa kwa ngozi ambazo hata yeye hakuwahi kuziona kabisa duniani.

Huku wale wasichana wakiendelea kuwahudumia, kila mmoja alikuwa amejichagulia mrembo wa kumhudumia, wakileta vinywaji vya kila aina vilivyokuwa ndani ya jumba hilo. Baada ya muda mazungumza yalianza.

“Ehe, hebu Nkubana tueleze ilikuwaje hata huyu Willy Gamba akachafua mipango yetu namna hii, maana inaniuma sana kufikia hatua ya Bibiane kuwa mikononi na mshenzi huyu. Hebu tueleze”, Jean aliuliza kwa hasira.

Huku akitetemeka Nkubana alieleza jinsi mambo yalivyokuwa huku wote wakimsikiliza kwa makini sana, kisha akamalizia kwa kusema, “Tulichukua tahadhali ya kila aina, lakini nafikiri huyu Willy Gamba alikuwa na bahati kuliko sisi. Katika biashara kama hii yetu, wakati mwingine ni bahati tu inaweza kukusaidia”, Nkubana alijitetea.

“Unafikiri huyu mtu ana mipango gani sasa?”, Jenerali Kasongo aliuliza.

“Sijui, lakini naamini Bibiane anaweza kumleta huku. Hizi ni hisia zangu, maana Bibiane atakuwa na uchungu wa kutaka kulipiza kisasi na siri zetu zote anazijua. Hivyo, atataka amtumie Willy Gamba baada ya kuona umahiri wake, alipize kisasi”, Nkubana alijibu.

“Mbona hiyo itakuwa raha, maana nitaua ndege wawili kwa jiwe moja, Col. Bazimaziki na Meja Massamba, moja ya kazi zenu ni kuweka kikosi imara chenye wapiganaji jasiri cha kuweza kuwakamata hawa watu wawili, nataka Nkubana akiongoze kikosi hicho, Nkubana, ukiweza kuwakamata usiwaue hao ni halali yangu. Nataka niwafanyie kitu ambacho wakiwa ahera wasinisahau milele”, Jean aliamru.
“Sawa bosi”, Nkubana alijibu hku Col. Bazimaziki na Meja Massamba wakiitikia kwa vichwa vyao.

“Ratiba ikoje?”, Jean alimuuliza Col. Gatabazi.

“Nafikiri kwanza twendeni wote tukaangalie hali ya vikosi vyetu ilivyo, hasa hapa Kibumba, maana mtapata mwanga baada ya kuona jinsi tulivyojiandaa tayari kwa vita. Tumetuma habari kwa vikosi vyetu vingine vilivyoko karibu na Bukavu, navyo vijiweke tayari. Ile simu moja kati ya simu nne za Satellite ulizoleta tuliwapelekea na sasa tunawasiliana vizuri sana kati ya hapa na sehemu zingine zote ambako kuna vikosi vyetu, lakini kwa kuwa nguvu yetu kubwa iko hapa nafikiri twende mara moja Kibumba mkajionee wenyewe, kwani ni kilomita thelathini tu kutoka hapa Goma. Halafu tukirudi tutakula chakula hapa na baadaye kidogo tutaanza mkutano wetu. Mimi naamini kuwa mkishaona kama nilivyoona mimi mkutano wa leo utaruhusu tuanze uvamizi leoleo”, Col. Gatabazi alimalizia.

Wote walikubaliana naye. Kabla hawajaondoka alichukua simu ya Satellite akapiga simu Tanzania. Nia yake ilikuwa kumpata JKS ili ampatie habari za wakati ule kuhusu nyendo za Willy Gamba kama alikuwa amezipata kutoka kwenye vyanzo vyake vya habari. Kwa mshangao alipata habari kutoka kwa mke wa JKS kuwa alikuwa ameumwa ghafla na kuondoka jioni ile Tanzania kuelekea Uingereza kwa ajili ya matibabu. Na mama huyo alieleza kuwa mumewe aliondoka kwa ndege ya shirika la ndege la Uingereza. Mara moja Jean alihisi kuna tatizo. huku akitingisha kichwa huku wengine wakimwangalia kwa kustaajabu, Jean aliwaambia wenzake wote wamsubiri nje.

Walipotoka nje Jean alipiga simu zingine tatu zilizomchukua dakika kama kumi hivi na baada ya kuzipiga aliagua kicheko kwa sauti mpaka askari aliyekuwa karibu akashangaa akifikiri kuwa huyu mzungu alianza kupata uchizi kwa kucheka peke yake hivi. Jean alipoangalia saa yake ilikuwa yapata saa moja na nusu jioni, hivyo aliungana na wenzake wakaondoka kuelekea Kibumba.

Mjini Kigali baada ya Willy Gamba na Bibiane kuondoka wakielekea mpakani mwa Zaire, Col. Rwivanga alikwenda moja kwa moja kuonana na Mkuu wa Majeshi mnamo saa mbili, akamweleza yote aliyoyapata kutoka kwa Willy kutokana na maelezo ya msichana mrembo Bibiane.

“Kamanda, hali ni mbaya, tusipofanya haraka tunaweza kuvamiwa,” Col. Rwivanga alimuasa Mkuu wa Majeshi.

“Sasa tunafanyaje?” Mkuu wa Majeshi, Jenerali Bunyenyezi, alimuuliza Col. Rwivanga.

“Nafikiri mpigie simu Rais aitishe kikao cha Baraza la Mawaziri na makamanda wa vikosi vyote haraka ili tuliangalie swala hili kwa undani zaidi, maana tukifanya mchezo hawa Interahamwe wanaweza kutuvamia, wamepania sana kufanya hivyo, wanaweza kutuvamia, silaha wanazo tena kali na za kisasa, mafunzo wanapewa na askari wa kukodi, maana wapiganaji wao hawana njia nyingine ila kupigana tu ili warudi. Wamekataza hata wakimbizi halali wanawake kwa watoto wasirudi Rwanda kwa hiari yao ili wawatumie katika uvamizi huu. Kamanda, hii ni hatari na ni hatari sana lazima uamuzi upatikane leo”, Col. Rwivanga alishauri.

Jenerali Bunyenyezi alimpigia simu Mkuu wa nchi, nae aliposikia uzito wa swala lenyewe aliamua kuitisha mkutano saa sita na nusu ili watu wote wanaohusika waweze kuwepo maana swala hili lilikuwa na maana ya kuanzisha vita dhidi ya Interahamwe waliokuwa mpakani mwa Zaire na Rwanda.

Baada ya Col. Rwivanga kuona umuhimu wa mkutano huu aliwasiliana na Col. Tom Kabalisa, Kiongozi wa Banyamulenge, Baada tu ya kuwasiliana na Mkuu wa Majeshi kwa njia ya simu ya Satellite ambayo serikali ya Rwanda ilikuwa imewapa kurahisisha mawasiliano na kumweleza ajitayarishe kuja Kigali kwenye mkutano muhimu na kwamba angemtumia helikopta ya kumchukua awe Gisenyi saa nne na watu wasiozidi watatu wa ngazi za juu katika uongozi wao wanaoweza kufanya maamuzi. Kwa miezi mingi Col. Tom Kabalisa alikuwa anasubiri huo muda hivyo alifurahi sana kupata habari hizi.

Baada ya kupata habari hizi walikubaliana kuitisha mkutano wa dharura mnamo saa sita na nusu mchana. Rais alipiga simu tena kwa Jenerali Bunyenyezi na kumwambia afike ofisini kwake haraka akiwa pamoja na kiongozi wa upinzani wa Zaire, aliyekuwa akiunganisha vyama vyote vya upinzani na ambaye askari wake waliwahi kupigana vita bega kwa bega na majeshi ya RPF, wakati wa mapambano dhidi ya Serikali ya Rwanda ili wapate uzoefu kutoka kwao. Bwana Mpinda ambaye nae alikuwa mjini Kigali kwa mazungumzo.

Haikuchukua zaidi ya saa moja wote walifika ofisini kwa Rais.

“Bwana Mpinda karibu sana. Nimekuita pamoja na Kamanda hapa ili tuzungumze kama uliyonieleza juzi, maana naona hali imegeuka, sasa inakupendelea wewe”, Rais alicheka kidogo na wote wakatabasamu.

“Asante sana Mheshimiwa Rais, nashukuru Mungu, kama umegeuza uamuzi wako na uko tayari kutuunga mkono sisi”, Mpinda alijibu.

“Kama nilivyosema naona hali inakupendelea, kuna mambo ambayo yametokea na kuashiria tulifikirie kwa makini ombi lako. Askari wako wote bado wako kwenye ardhi ya Rwanda?”, Rais aliuliza.

“Hapana Mheshimiwa, wengine wengi bado wapo lakini baadhi yao  wamevuka wapo mpakani, wakisaidia kufundisha jeshi la Wabanyamulenge”, Mpinda alimwambia Rais.

“Kamanda Bunyenyezi, nataka basi ufanye mpango na kiongozi wa Banyamulenge nae awepo kwenye mkutano wa saa sita na nusu”, Rais aliagiza.

“Na hilo tumelifikiria, na Col. Rwivanga ameshatuma Helikopita kwenda kumchukua”, Kamanda Bunyenyezi alijibu.

“Oh, vizuri sana. Sasa bwana Mpinda unakaribishwa kwenye kikao saa sita na nusu, na naomba ujieleze vizuri, na kama ukiweza kuwashawishi mawaziri na makamanda wangu, basi utakuwa umefanikiwa. Hii ni nafasi nzuri sana kwako kwani na sisi sasa tunalazimika kutumia mpango wako ili nasi tukidhi lengo letu. Hivyo, kazi kwako kukishawishi kikao kama kweli una mipango thabiti ya kuweza kufanya kazi”, Rais alimalizia.
“Mheshimiwa Rais, naenda kukaa na makamanda wangu, na kwa vile viongozi wa Banyamulenge nao watakuwepo na wako upande wenu na wetu, basi naamini nitaweza kukiridhisha kikao kuwa tuko tayari kufanya kweli”, Mpinda alijibu.

“Haya Bwana Mpinda kwa heri. Kamanda Bunyenyezi, wewe ngoja kidogo”.

Walimtoa nje Bwana Mpinda na wakamrudisha kwenye nyumba ya wageni ya Serikali alikokuwa amefikia na makamanda wake. Rais na makamanda wake walipobaki nyuma, walitafakari swala zima kwa undani. Wakaangalia jinsi ambavyo wangeweza kufaidika kwa kuwatumia wapinzani wa Serikali ya Zaire ili waweze kutimiza lengo lao kuwaondoa Intarahamwe na Wahutu wote wenye siasa kali pale mpakani kwao ili wasije wakaivamia Rwanda, huku bila kulaumiwa na Jumuia ya Kimataifa kuwa wamevamia nchi nyingine na kuwaua wakimbizi.

“Nafikiri hii ndio nafasi yetu ya pekee kumaliza tatizo hili. Kwa hiyo, inabidi tulieleze kwenye mkutano vizuri”, Kamanda Bunyenyezi alieleza.

“Je, hawa wapinzani na waasi wa Banyamulenge wakishindwa, itakuwaje? si siri itavuja?”, Rais aliuliza.

“Hilo litakuwa jambo jingine, sisi tutakuwa tumetimiza lengo letu na tutakuwa tumewaondoa na kuwamaliza kabisa hawa Intarahamwe karibu na mipaka yetu. Tutakuwa tumewatokomeza mstuni huko Zaire. Shida na wasiwasi kwetu vitakuwa vimemalizika kabisa. Kazi yako itabaki kujenga nchi na si kupigana tena”, Kamanda Bunyenyezi alijibu.

“Kweli, sasa tumepata kisingizio; Mungu yuko pamoja nasi, maana chochote tungefanya serikali ya Zaire na Jumuia ya Kimataifa visingetupa nafasi. Basi nenda kajitayarishe, Mkutano utakuwa mgumu sana, maana najua mawaziri wengi itakuwa vigumu kukubali”, Rais alijibu.

“Asante Mheshimiwa Rais, nafikiri watatuelewa kwa sababu hii ni kwa faida ya Taifa la Wanyarwanda ambalo limeteseka sana, lazima wananchi wapate muda wa kupumua na si vita kila siku”, Kamanda Bunyenyezi alijibu na kueondoka kwenda kujitayarisha.

Mpinda alipofika kwenye nyumba aliyokuwa amefikia, aliteremka haraka kutoka ndani ya gari na kuingia ndani ya nyumba hii, akawagongea wenzake waliokuwa ndani ya vyumba, akiwataka kwenye mkutano pale sebuleni.

Alifikiria na kuona kwamba Mwenyezi Mungu alikuwa ameyajibu maombi yake. Hii ilikuwa nafasi aliyoisubiri kwa muda mrefu sana. Na yeye vilevile kama wenzake wa Rwanda aliona nafasi hii ilikuwa inazifaa pande zote tatu zilizokuwa zinahusika kwenye harakati hizi za mapambano. Kati ya wote waliokuwa katika sakata hilo, alijiona ndiye mwenye fursa ya kufaidika zaidi ingawaje Serikali ya Rwanda ndio ingefaidika zaidi kwa kuhakikisha kuwa haina mgogoro au wasiwasi wa kushambuliwa na Wahutu wenye msimamo mkali chini ya wanamgambo wa Intarahamwe na Banyamulenge ambao nao wangefaidika kwa kutobuguziwa tena na Serikali ya Zaire, na wangeendelea na maisha yao raha mstarehe.

Makamanda hawa walipokusanyika pale sebuleni Mpinda aliwaeleza kila kitu jinsi mambo yalivyokuwa wamejipa.

“Tunachotakiwa kufanya ni kukishawishi na kukikahakikishia kikao cha Serikali ya Rwanda na viongozi wa Banyamulenge kuwa tutakapoanzisha vita hii ni kweli uwezo wa kushinda tunao?. Pande zote zimekubali kuwa sababu tunayo na nia tunayo, swala hapa ni uwezo, wakiridhika kuwa uwezo upo, basi mambo tayari”, Mpanda aliwaeleza wenzake.

“Mkuu, wala tusipoteze muda wa kufikiri, sisi tumekuwa hapa tukijaribu kuwashawishi siku zote, tusingekuwa na uhakika na uwezo wetu kivita tusingekuja kuomba watuunge mkono, uwezo tunao. Nenda kawaeleze kwa uhakika kama watatoa msaada kidogo tu, basi nchi yetu tumeikomboa kutoka kwenye mikono ya utawala wa Kidikteta na kifashisti”, Col. Mkengeri, mmoja wa makamanda wa wapinzani wa serikali ya Zaire alijibu. Wenzake wote walitingisha vichwa kukubali maneno yake.

“Azimio, tunakwenda wote kushiriki kikao hicho”, Mpinda alijibu.

Willy Gamba na Bibiane walisafiri salama kutoka Kigali mpaka Gisenyi bila kukutana na kituko cha aina yoyote Barabarani. Lile gari lenye alama ya Msalaba Mwekundu liliwafanya wasafiri bila kupata usumbufu na habari zilikuwa zimetumwa mapema na wale askari watatu waliotumwa kutangulia mbeke ili lile gari la maofisa wa Msalaba Mwekundu lisibugudhiwe.
Walipofika Ruhengeri walipumzika huku kila mmoja wao akili yake ikifanya kazi jinsi ya kukabiliana na jambo lililokuwa mbele yao.

Baada ya mapumziko ya saa moja hivi, Willy na Bibiane waliendelea na safari yao na kuwasili Gisenyi saa nane za mchana. Moja kwa moja walikwenda Hoteli Meridien-Izuba, ambako walipanga kuonana na maofisa ambao Col. Rwivanga alikuwa amewapasha habari waonane nao na wawape habari kamili kuhusu uhalifu unaofanywa huko Gisenyi na Kibumba, ili kama walikuwa wamebahatisha kupata habari zozote wazipate hapo.

Meridien Hoteli Izuza ilikuwa moja ya hoteli nzuri sana ingawa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Rwanda vilikuwa vimeiathiri kidogo hoteli hii, lakini ilibaki kuwa safi pamoja na misukosuko ilivyokuwa sehemu hii. Ikiwa kwenye ufukwe wa Ziwa Kivu, mpakani mwa Zaire, huku kwa mbali ukiangalia milima ya volkano ya Virunga, kweli Meridien-Izuda palikuwa mahali pazuri sana pa kupumzika.

“Umepapenda hapa?”, Bibiane alimuuliza Willy Gamba.

“Mbona wewe unapenda kusoma mawazo yangu?”, Willy aliuliza.

“Ubaya uko wapi Willy, fikiri kama tungekuwa tunakuja hapa kwa ajili ya mapumziko na si hii kazi ya hatari, huoni kuwa ingekuwa raha sana, mimi naona tungestarehe sana”, Bibiane alijibu.

Huku akitabasamu Bibiane alitoa mkoba wake ndani ya gari huku Willy akijibu. “Sawa mama umeshinda”.
Baada ya gari la Msalaba Mwekundu lililokuwa likitumiwa na Willy na Bibiane kusimama, askari wanne walielekea kwenye gari hilo, walipofika karibu mmoja wao moja kwa moja akauliza. “Natumaini nyinyi ni Bwana na Bibi George Mambo wa Msalaba Mwekundu kutoka Makao Makuu Nairobi?”.

“Bila shaka”, Willy alijibu bila kusita huku Bibiane amejikausha utafikiri kweli alikuwa mke wake, baada ya kutambulishwa vile, Willy alitambua kuwa huyu mwanamke alikuwa kweli amefundishwa vizuri mambo ya upelelezi maana Willy hakumweleza mapema jinsi ambavyo wale askari wangetambulishwa hapa. Kazi yote hii ilikuwa imefanywa na Col. Rwivanga.

“Kamanda Kasubuga anawasubiri pale ofisini kwake”, yule askari alimweleza Willy Gamba.

“Twende”, Willy alimweleza Bibiane.

“Hapana, wewe nenda tu, mimi nitakusubiri hapa”, Bibiane alijibu na Willy akaelewa maana na sababu ya Bibiane kubaki pale, akafurahi moyoni kuwa kweli alikuwa amepata mshirika katika kazi.

Kamanda Kasubuga alikuwa mtu mwenye rika la Willy na baada ya Willy kuingia ofisini kwake aliinuka kwenye kiti alichokuwa amekaa akisoma faili moja hivi, huku akitabasamu akamlaki Willy.

“Karibu sana”, Kamanda Kasubuga alimkaribisha Willy.

“Asante”, Willy alijibu huku wakishikana mikono na Kamanda Kasubuga alimwonyesha ishara yule askari aliyemleta Willy awape faragha kidogo, yaani aondoke awaache peke yao.

Baada ya yule askari kutoka Kasubuga alisema, Lo! Bwana Willy Gamba ni wewe huyu, Sifa zako na wewe mwenyewe hufanani. Col. Rwivanga amenieleza yote na mimi nikamweleza kuwa nimekusikia sana nilipokuwa Tanzania. Mimi nimefanya kazi na Jeshi la Tanzania na vyeo vyangu vyote mpaka hiki cha umeja nimevipata nikiwa Tanzania”.

“Alaa! nashukuru sana”, Willy alijibu na kuketi kwenye kiti.

“Oke, bila kupoteza wakati, habari kutoka kwa kijana wetu ambaye juzi tu tumeweza kumnunua kutoka katika jeshi la Zaire linalolinda mpaka na sisi zinaeleza kuwa leo hii yapata saa kumi na mbili na nusu asubuhi waliwasili watu wawili upande ule wa Zaire na kupokelewa kwa heshima zote za kijeshi na kisha wakaondoka kuelekea kwenye makambi ya wakimbizi kule Kibumba. Baada ya maelezo ya jinsi wale watu walivyofanana tulielewa mara moja kuwa mmoja wao alikuwa Col. Gatabazi. Hivyo, Col. Gatabazi kafika na yuko Kibumba”, Meja Kasubuga alieleza.

“Hizo ni bahari njema sana, sasa ngoja na sisi tupumzike halafu giza likiingia na sisi tutakwenda Kibumba”, Willy alijibu huku Meja Kasubuga akimwemwesa.

“Sawa mzee, ila tumewawekea chumba kimoja maana ni mimi tu ninajua wewe ni nani, hawa askari wengine wote wanajua kweli wewe ni afisa wa Msalaba Mwekundu na kwamba kwa vile unajua utakaa Rwanda kwa muda mrefu umekuja na mke wako”, Meja Kasubuga alimweleza Willy.

“Hapa taabu”, Willy alijibu kwa mkato.

“Safari ya Kibumba, tumeagizwa na Mkuu wetu kuwa tufuatane, maana siku zote nimetaka kuvuka na kikosi changu cha hapa lakini nimekuwa nakatazwa, lakini leo nimeamriwa tufuatane wote, sijui safari itakuwa saa ngapi?”.

“Sijui, tutaangalia wakati huo si na wewe unakaa hapa hapa hotelini?”.

“Ndiyo mzee, niko chumba namba 110, nyie mtakuwa nambari 220 kwenye vyumba vinavyofuata”.

“Sawa”, Willy alijibu na kuaga. Aliporudi pale kwenye gari alimkuta Bibiane anapiga soga na wale askari.

“Tupelekeni chumba namba 220”, Willy aliwaeleza wale askari.

Askari mmoja aliingia ndani ya gari baada ya kushusha mizigo yao, akawapeleka kwenye banda lililokuwa na chumba nambari 220. Yule askari alipoondoka Bibiane akasema, “Kwa vile kuna kitanda kimoja tu wewe utalala ng’ambo ile na mimi ng’ambo hii”.

“Lo, kumbe ulikuwa unajidai bure, sasa umeanza masharti”.

“Si tulisema kazi kwanza?”, Bibiane alijibu huku akifunga mlango kwa funguo na kuanza kuvua nguo huku akiendelea kusema, “mimi nitaoga kwanza.

“Sawa mama”, Willy alijibu huku mawazo yake yakiwa tayari yameanza kupanga mipango ya usiku ule. “Tukimaliza wote kuoga tuitishe chakula kidogo halafu tupumzike angalau kwa masaa mawili ndipo safari ya Kibumba ianze”, Willy alimwambia Bibiane.

“Amri itatoka kwako baba, mimi kazi yangu ni kutii amri tu”, Bibiane alijibu huku sasa akiwa amevua nguo zote pale kitandani.

Meja Kasubuga baada ya kuachana na Willy Gamba, alimtafuta Col. Rwivanga akitumia simu ya Satellite na kumweleza kuwa Willy alikuwa amefika salama na kwamba Willy na Bibiane walipanga kuelekea Kibumba usiku uleule.

Col. Rwivanga alifurahi kupata simu ya Meja Kasubuga lakini akakataa Willy na mwenzake wasiondoke, “Hapana mwambie Willy na mwenzake wasiondoke mpaka kesho, kuna mabadiliko ya mipango ya kazi huku, waambie wapumzike tu hakuna tatizo. Meja Tom Kabalisa atakuja kumuona Willy kesho asubuhi, nami nitafika huko kesho asubuhi. Hivyo, mambo yote tutapanga kesho baada ya sisi kufika huko”.

“Nimekusoma, nitamweleza kuhusu taarifa hii afande”.
Kasubuga aliona si vyema kumweleza Willy wakati ule, bali amwache mpaka baadaye ili apumzike kidogo, lakini muda si mrefu alikuja askari mmoja na kusema kuwa wale wageni wa Msalaba Mwekundu walikuwa wakihitaji chakula. Meja Kasubuka akaona huo ulikuwa muda mwafaka vilevile kuwaeleza kuhusu maagizo kutoka kwa Col. Rwivanga. Hivyo, akaamua yeye mwenyewe ndiye awapelekee chakula kitakapokuwa tayari ili awaeleza kama alivyoagizwa.

“Chakula kilipokuwa tayari Meja Kasubuga aliwapelekea yeye mwenyewe na kuwaeleza kuhusu maagizo aliyopewa kutoka kwa Col. Rwivanga.

“Sawa tumekusikia”, Willy alijibu bila kuonyesha kama alikuwa na maana gani au alipanga kufanya nini usiku ule.

KASHESHE
Ilikuwa yapata saa tatu na nusu usiku wakati Willy na Bibiane walipokuwa wakijiandaa kuelekea Kibumba, walivalia sare za Msalaba Mwekundu huku wakiwa wamebeba silaha mbalimbali ndani ya mifuko ya nguo na mikoba waliyokuwa wamebeba yenye alama ya Msalaba Mwekundu. Walibeba silaha zote za hatari yakiwemo mabomu ya kisasa yaliyotolewa na Bibiane.

Willy alikuwa amevaa saa iliyoendana na yale mabomu akiwa tayari kuyatumia wakati wowote wakati wa safari yao. Walipofika kwenye gari na kufungua mlango ili waweke mikoba yao tayari kwa safari, mara moja Meja Kasubuga alijitokeza akitoka gizani akiwa ameshika bastola yake mkononi akawauliza. “Mnakwenda wapi Willy, hamkusikia maagizo ya Col. Rwivanga kwamba msifanye chochote wala msiende Kibumba mpaka mtakapowasiliana nae kesho, haraka ya nini Willy?, mimi sintaruhusu muondoke”.

“Sisi hatuendi Kibumba Meja, tuko hapa hapa sehemu ya mpakani ili kufanya utafiti wa hali ya usalama katika maeneo hayo”, Willy alijibu.

“Siamini, huenda mnataka kuvunja amri ili mvuke mpaka, hilo sintaruhusu na nimeamru kikosi changu hapa kiwazuie msiondoke hapa hotelini mpaka hiyo asubuhi, mimi nina amri zangu. Willy naomba tafadhali rudini ndani tusije tukavunjiana heshima kwa kuwakamata na kuwaweka chini ya ulinzi mpaka Col. Rwivanga atakapofika hapa”, Meja Kasubuga alionya.

Willy na Bibiane waliangaliana, maana wao walikuwa wameamua kuendelea na kazi yao usiku ule. Hawakuona sababu ya kusubiri kesho yake kwani wao walikuwa na mipango yao tofauti ambayo haikuwahusu akina Col. Rwivanga. Nia yao ilikuwa kuwasaka Col. Gatabazi, Nkubana na Jean. Wakati lengo la Col. Rwivanga na jeshi la RPF ilikuwa kuliangamiza jeshi zima la Akazu.

“Naona kama hutuamini Meja, hakuna tatizo tutarudi ndani tukalale”, Willy alijibu kwa sauti ya unyonge sana.

“Samahani bwana Willy, mimi natii amri niliyopewa na wakubwa wangu wala msijaribu kunitoroka maana hiyo haiwe…..”, kabla hajamaliza kusema sentensi hiyo, milio ya bunduki aina ya AK 47 ilisikika upande mwingine wa hoteli.

“Tumeingiliwa”, Meja Kasubuka alisema huku akikimbia kuelekea sehemu ulipotokea mlipuko huku akitoa amri kwa wanajeshi wake kujitokeza tayari kwa mapambano dhidi ya wavamizi.

II

Wakati Jean na wenzake wanatoka Goma kuelekea Kibumba saa moja na nusu ya jioni ile, Nkubana akiwa na kikosi cha askari shupavu wenye mafunzo thabiti wapatao thelathini hivi, walielekea mpakani kutafuta habari za Willy na Bibiane, kwani walikuwa na hisia kuwa lazima wangewatafuta kwa vile Bibiane aliijua mipango yao yote.

Nia ya Nkubana ilikuwa kupeleleza ili amuwahi Willy kabla Willy hajawawahi, maana hii ndio sheria ya mchezo wao huu. Nkubana na kikosi chake walipofika mpakani upande wa Zaire ilikuwa yapata saa mbili na nusu na ndipo walipoelezwa na vikaragosi wao waliokuwa wamejipenyeza ndani ya vikosi vya jeshi la RPF pale Gisenyi kuwa mtu mgeni aliyekuwa amefikia pale Meridien Hotel alikuwa ofisa wa Msalaba Mwekundu na mkewe.

“Huyo mkewe alifananaje?”, Nkubana aliuliza kwa shauku.

“Afande, ni mwanamke mrembo ajabu, utanisamehe afande lakini kusema kweli nilipomwangalia yule mwanamke mara moja nilizini afande, ni mzuri sanasana chotara yule?”, askari alijibu huku mawazo yake yakiwa yamerudi kwa yule mwanamke na kuanza kumfikiria huku mwili wake unasisimka.
Hata Nkubana alipokuwa anakieleza kile kikosi chake. “Watu wetu wamefika yafaa tupange mipango madhubuti tuwashambulie na kuwakamata hai kama bosi alivyoagiza”, yule askari hakusikia kabisa mpaka Nkubana alipomshitua tena. Wewe vipi, una tatizo la kifafa”, maana alianza kutetemeka.

“Hapana afande, hapana, nafikiri ukame umetuathiri sana mawazo”.

“Ukame gani, wewe ni mwehu nini?, hetu tufahamishe huyu jamaa na mkewe wanakaa upande upi pale hotelini?”.

Yule askari alieleza kila kitu kwa ufasaha jinsi hotelini ilivyo na akawaelekeza namna ya kuingia mpaka kwenye chumba walichofikia akina Willy bila kushukiwa na askari wa RPF waliokuwa wakilinda eneo hilo.

“Inapofika saa tatu mara nyingi askari wengi wanaondoka kuelekea mpakani na wale wanaobaki mara nyingi wanakuwa upande wa Ziwa. Hivyo itabidi tuvuke mpaka kabla ya saa tatu na nitawaonyesha sehemu salama ya kupita, halafu tutajibanza sehemu mpaka hapo askari wengi watakapotawanyika kuelekea kwenye malindo ya usiku halafu ndipo tutavamia kwani askari watakaobaki tutaweza kuwamudu”, yule kikaragosi alielekeza.

“Maelezo yako ni safi sana, unafikiri kutakuwa na askari kama wangapi, yaani watakaokuwa wamebaki kwa ajili ya kulinda hoteli?”, Nkubana alihoji.

“Hawawezi kuzidi hamsini pamoja na mimi, maana leo ni zamu yangu kulinda hoteli”, yule askari alieleza.

“Ulikuwa ulinde upande gani?”, Nkubana aliuliza kwa shauku.

“Unande ule niliokueleza kuwa tutapita halafu tujibanze maana askari anayelinda sehemu hiyo ni mtu wetu, anajuwa kila kitu”, yule askari alibainisha.

Nkubana alimwangalia kwa makini yule askari na akaridhika kuwa alisema ukweli na akamwamini.

“Kwanza nenda na askari wangu mmoja mkavinjari, halafu mrudi. Kama kila kitu kiko tayari na mambo shwari ndipo tutaanza kazi”, Nkubana aliwatuma ili kuwa na uhakika wa mambo na kuthibitisha maneno ya yule askari alivyoeleza. Baada ya wale askari wawili kuondoka. Nkubana alibaki akiwaweka sawa askari wake tayari kwa kuishambulia hoteli ya Meridien-Izuda ili waweze kuwakamata Willy na Bibiane.

Wale askari waliporudi na kumweleza Nkubana kuwa mambo yalikuwa shwari na vilevile kupata habari kuwa yule mtu wa Msalaba Mwekundu na mke wake walikuwa wamelala baada ya safari ndefu habari hizi zilimfurahisha sana Nkubana, akafikiri kuwa angeweza kumteka Willy na Bibiane wakiwa wamelala na huenda wakiwa wanafanya mapenzi. Alisikia hasira inampanda na palepale akakiamru kikosi chake. “Haya sasa tunakwenda kazini”.

Willy aliangaliana na Bibiane. “Unasemaje tuwasaidie hawa ama vipi?”, Bibiane aliuliza.

“Hapana tuendelee na mipango yetu. Hii imekuwa bahati nzuri kwetu, naamini Meja Kasubuga ana uwezo wa kuukabiri uvamizi huu, na nahisi walengwa wa uvamizi huu ni sisi tunatafutwa, huenda kikosi cha Col. Gatabazi kimesikia ama kuhisi kuwa tuko hapa. Wakati wao wanatusaka hii itatupa nafasi nzuri, kwanza kumtoroka Meja Kasubuga na pili kuendelea na mipango yetu. Panda gari twende zetu Kibumba tukawasake hawa majahiri”, Willy alieleza huku wakipanda gari na kuondoka kwa kasi kuelekea Kibumba.

IV

Wakati kikosi cha Nkubana kikisonga mbele kuelekea hoteli Meridien-Izuda kilishitukiwa na askari mmoja wa doria ambaye baada ya kusikia nyayo za watu zisizo za kawaida akapanda juu ya mti na kuchungulia chini ya kjinjia kilichotelemka kutoka mlimani kuelekea hotelini. Akisaidiwa na mbalamwezi askari hjuyu aliweza kukiona kikundi cha askari kadhaa kikielekea hotelini hapo, baada ya kuthibitisha kuwa walikuwa askari wa adui na jinsi walivyokuwa wakisonga mbele kwa tahadhari kubwa huku silaha zao zikiwa zimewekwa tayari kwa mashambulizi.

Huyu askari wa doria alitelemka kwenye mti haraka haraka na kimya ili asiwagutue wale wavamizi waliokuwa hatua kumi tu karibu na ule mti na kwa kutumia uzoefu wa sehemu ile alikimbia kwa kutumia njia za mkato na kwenda kutoa taarifa kwa kikosi kilichokuwa kwenye maandalizi ya kuondoka kuelekea mpakani kisiondoke kwani kulikuwa na uvamizi.

“Kuna kikosi cha adui kinaweza kutushambulia sasa hivi, kimetumia kichochoro namba tatu na kitafika hapa sasa hivi, askari huyo alimweleza Mkuu wa kikosi hicho Sajenti Ibrahim.

“Oke, wewe kimbia kwa Afande Kasubuga umweleze wakati sisi tunaelekea huko kuwasimamisha mpaka tupate msaada”, Sajenti Ibrahim aliamru na palepale akawaamru askari wake waweke silaha zao tayari na kusonga mbele kuelekea kichochoro namba tatu. Njia zote zilizokuwa zinaelekea kwenye hoteli hii zilipewa namba ili iwe rahisi kuzitambua kwani zilikuwa nyingi. Yule askari wa doria alikimbia mpaka ofisini kwa Meja Kasubuga lakini hakumkuta, kwani ndio wakati Meja Kasubuga alikuwa amewasimamisha Willy na Bibiane wasiondoke, na kabla hajajuwa ampate wapi na yeye alisikia milio ya bunduki akajuwa tayari mapambano yameanza.

Sajenti Ibrahim na kikosi chake walifanikiwa kuwaona wale askari wavamizi wakisonga mbele kuelekea hotelini na kwa vile hakujuwa walikuwa na nguvu kiasi gani aliamru askari wake waanze kushambulia hata bila kulenga shabaha kwa uhakika ili kuwatia kiwewe. Na kweli hii ilimshitua Nkubana kwani hakutegemea kukutana na upinzani haraka kiasi hicho kutokana na maelezo ya yule askari muasi.

“Luteni Nyamboma”, Nkubana alimwita msaidizi wake, “Wewe endelea kukabiliana na hawa adui zetu ili mimi na askari watano tuweze kupata mwanya wa kwenda kumkamata Willy. Fanya mashambulizi makubwa ili askari wote wafikiri kuwa wanashambuliwa na kikosi kikubwa ili wote waje upande huu na sisi tupate urahisi pale Willy alipo”.

“Sawa, nimekusoma Kamanda”, Nyamboma alijibu.
Nkubana aliwachagua askari watano wazuri pamoja na yule kikaragosi wao. “Wewe tupeleke chumba cha yule mtu, tumia uzoefu wako wa hapa”.

“Sawa afande, yule askari alijibu huku akitetemeka maana alistaajabu namna walivyokuwa wamebainika na kuonekana kwa adui mapema namna ile.

Mapigano makali yalianza na, kama Nkubana alivyotaka, askari wengi wa kambi ile walielekea upande wa mapigano kuongeza nguvu wakiongozwa na kiongozi wao Meja Kasubuga. Nkubana na askari wake hawakupata kikwazo mpaka walipofika kwenye chumba alichopangiwa Willy.

Baada ya Nkubana kushuhudia umahiri wa Willy Kigali, hakutaka kufanya makosa tena. Aliwapanga askari wake vizuri na kwa hadhari kubwa, walipofika kwenye chumba cha Willy na kwa amri moja wakaupiga mlango kwa nguvu zao zote na askari wawili wakaingia na mlango ndani ya kile chumba. Chumbani hawakumkuta mtu isipokuwa mikoba miwili iliyokuwa na nguo, Nkubana akautambua mkoba mmoja kuwa ulikuwa wa Bibiane, maana alipata kuuona pale sebuleni kwa Bibiane mjini Kigali.

“Watakuwa wapi hawa?”, Nkubana alihoji, kisha akaendelea. “Wanaweza kuwa wamejiunga na askari wa hapa wanaopigana na kikosi chetu au wamevuka mpaka”.

Yule askari kikaragosi alikuwa ametoka nje na akarudi na kusema. “Gari lao halipo, nafikiri wamekimbia mapigano”.

Nkubana aliposikia hivyo woga ulimwingia kwani alijua mtu huyu amevuka mpaka. “Itatubini na sisi tuvuke mpaka sasa hivi. Wao wameondoka na gari sisi itabidi twende kwa miguu sasa”, Nkubana aliamru huku ule upande wa mapigano makali yalikuwa yakiendelea.

“Itabidi turudi kuongeza nguvu”, askari mmoja alishauri.

“Hapana, Luteni Nyambona ana ujuzi wa kutosha, akiona amezidiwa atarudi nyuma na kukimbilia mpakani. Huu ni wakati mzuri kwetu kuondoka kuwafuata hawa washenzi”, Nkubana alijibu huku wakiondoka kuelekea mpakani.

V
Usiku ule Willy na Bibiane walipokuwa wakielekea kwenye mpaka wa Rwanda na Zaire, mbalamwezi iling’aa sana na kuyaonyesha mandhari safi ya milima ya Volkano ya Virunga.

Milima hii ilijulikana toka zama za kale, ambapo hata Wagiliki wa zamani waliizungumzia sana milima hii wakiita milima ya mwezi. “Sasa wewe mwenyewe unaweza kuona kwanini waliita hivyo”, Willy alimsimulia Bibiane.

“Inaonekana wewe umesoma sana historia”, Bibiane alieleza.

“Unajuwa kitu chochote hakiwezi kuwa kitu bila historia. Ili uijue dunia hii lazima ujue historia. Hata binadamu hawezi kuwa binadamu kama hana historia. Ndio maana mimi nikikwambia naitwa Willy, lazima utaniuliza Willy nani, nitakujibu Willy Gamba. Halafu utataka kujuwa baba yangu anatoka wapi halafu nitakwambia. Hii yote ni kutaka kujua historia yangu ili uweze kujua namna utakavyoniweka. Hata nchi. Nchi isiyokuwa na historia si nchi. Haiwezi kuwa na maendeleo. Sijui kama umenielewa vizuri mpaka hapo?”, Willy alijibu na kuhoji.

“Nimekuelewa vizuri sana Willy. Kwa muda huu mfupi nitakaokuwa na wewe hakika nitajifunza mambo mengi”, Bibiane alimwambia Willy.

“Sasa walikuwa wanakaribia sana mpakani, na Bibiane akasema.

“Tukivuka mpaka tu, lazima tutakutana na kikosi cha jeshi la Zaire, Unasemaje?”.

“Unazijuwa njia nyingine tunazoweza kukwepa mambo ya mpakani?”, Willy aliuliza.

“Ndiyo Willy, na ndio sababu nimesema hivyo, hapo mbele utakata kulia nitakuonyesha njia ya siri wanayotumia wapelelezi wa Akazu, lakini tuwe na tahadhari kubwa. Willy akakata kulia baada ya mwendo wa dakika kadhaa mara njia iliisha. Kukawa na njia ya majani tu. “Endelea tu. Ukikata tena kushoto. Tutakuwa tayari tuko Zaire. ni kilomita kama moja tu kutoka hapa”, Bibiane alimwambia Willy, baada ya kutembea mwendo wa kilomita moja na baada ya kupita sehemu ya miti mingi walitokea mahali pa wazi na upande wa kushoto wakaona taa zinawaka.
“Pale ndio mpakani upande wa Zaire na ile ni kambi ya jeshi la Zaire”, Bibiane alieleza.

“Tunaweza kupata magari ya jeshi pale?”, Willy alimuuliza Bibiabe.

“Lazima. Unataka tukaibe gari moja la jeshi?”, Bibiane alihoji.

“Unasoma sana mawazo yangu. Tusiibe, tukachukue tu?”, Willy alijibu na kuendelea. “Ili tusije tukatia shirika la Msalaba Mwekundu dosari, yafaa tusiwe na gari lao kwenye uwanja wa mapambano. Hapa tutapata mahali pazuri pa kulificha halafu tukachukue gari la jeshi la Zaire. Itakuwa vilevile vigumu kusimamishwa na askari hovyohovyo”.

“Je kuhusu nguo itakuwaje?”, Bibiane alihoji tena kwa shauku.

“Kuhusu nguo tutawavua askari walioko mpakani”. Willy alisema huku Bibiane akicheka sana.

“Wewe una mambo. Mbona naanza kusikia raha, usiku huu naona itakuwa kasheshe tupu”, Bibiane alinena.

Walitafuta sehemu iliyokuwa na msitu wakalificha gari la Msalaba Mwekundu na kuitoa mizigo yao. Gari lilifichika vizuri sana kiasi kwamba ingekuwa vigumu mtu kuligundua mara moja.

“Tutalipitia kabla jua halijachomoza”, Willy alinena.

“Kama tukiwa hai”, Bibiane alijibu.

“Ili uweze kubaki hai fikiri kuwa utakuwa hai. Na ukiwa hai ukifikiri utakufa. Utakufa tu”, Willy alifafanua.

“Sawa bosi. Tutarudi hapa kwenye gari letu tukiwa hai”, Bibiane alisema.

“Mawazo safi kabisa”, Willy aliongeza. Wakiwa wamebeba silaha zao na kila kitu walichohitaji kwa mapambano usiku ule walianza kuinyemelea ile kambi ya jeshi mpakani Zaire. Walipofika pale kituoni waliyaona magari matatu ya jeshi aina ya Landrover ya wazi nyuma yakiwa yameegeshwa. Walipoangalia vizuri waliwaona askari watatu. Kila mmoja akiwa ameegemea kwenye gari lake.

“Hao watakuwa madereva wa hayo magari”, Bibiane alibobota kwa sauti ya chini.

“Hata mimi nafikiri hivyo, nahisi yalikuwa yamewachukua wale askari walioshambulia kule Meridiane hoteli, maana inaonekana hawa askari wanaosubiri watu”, Willy alijibu.

Kwa vile yale magari yalikuwa karibu na ua wa michongoma na pale mahali. Willy alifikiri namna ya kuwashambulia bila ya kuwagutusha watu wengine pale kikosini. Mara akawaona askari wote wanakuja kuzungumza na yule askari aliyekuwa kwenye gari la mwisho karibu kabisa na ua.

“Bibiane kazi kwako, hapohapo wewe mshambulie yule wa kushoto. Mimi nitamalizana na wale wawili. Wa kati na kulia”, Willy aliagiza huku hawa askari wakiwa sasa wameegemea kwenye magari yao huku wameipa visogo sehemu ile waliyokuwa wamejibanza akina Willy.

“Wale tutumie bastola zenye kizibo tusipoteze muda”, Bibiane alishauri.

“Hapata, tunahitaji kila risasi tuliyonayo isipotee bure, pale ambapo tunaweza kulinda risasi nashauri tutumie njia nyingine, au unaogopa hutaweza kumkaba sawasawa?”, Willy alimuuliza Bibiane.

“La, hasha! naweza sana Willy na wewe mwenyewe utanishuhudia leo; haya twende”, Bibiane aliamru.

Huku wakitambaa chini kama nyoka, waliwanyemelea wale askari. walipofika usawa wa gari la kwanza Willy alisema. “Sasa”, wote wawaili walirukia na bila kuwapa nafasi hata ya kushituka, Willy aliwapiga wawili karate kwenye vichwa akitumia mikono yake miwili na kupasua vichwa vyao palepale. Bibiane alimrukia yule wa kushoto na kumbana shingo na kisha kuikata kwa mikono yake. Hawa askari waliuawa kama kondoo. Hawakutoa upinzani wa aina yoyote, huenda kwa vile hawakutegemea kushambuliwa kama lile mahali pale. Kisha walizivuta maiti zao mpaka nyuma ya ua, wakawavua zile sare za jeshi na kuzivaa haraka haraka. Bibiane alichekelea sana maana zilikuwa kubwa. Hata hivyo akazifungafunga zikamwenea hivyohivyo.

“Utaweza kukimbia ama kupigana na adui ukiwa na magwanda haya?”, Willy alimuuliza Bibiane huku akicheka.

“Tena ndio mazuri zaidi hasa kwa judo na karate”, Bibiane alijibu.
Willy na Bibiane walibeba mizigo yao na kisha wakachungulia ndani ya magari na kukuta la gari la katikati likiwa na funguo. Waliweka mizigo yao ndani na kuliwasha na kisha kuondoka. Walipoangalia saa ilikuwa yapata saa nne na nusu usiku. Waliondoka bila mtu yeyote pale kuhisi kitu. “Moja kwa moja Kibumba”, Bibiane alisema.

ITAENDELEA

UTAMU WA MCHEZO – 5

Related image

Chombezo : Utamu Wa Mchezo
Sehemu Ya Tano (5)

“Clement noo nipo period please”

“Why ukuniambia kabla lakini?.

Nilimuona clementina akiangaika nahisi alitafuta sababu ili nisimfanye siku hiyo ila hali yangu ilikuwa mbaya na ubaya muogo ulikuwa umesimama si mchezo nikitazama nimeshaona mzinga wa asali. Ila sikutaka kuforce nikamuasha kwanza nikakaa pembeni nione atafanyaje.
***********************

UPANDE WA CLINFORD.
” bro sikia me natoka naenda hapo nyumba ya pili pale kwa kina sarah mzee akirudi mwambie nimeenda kujisomea na wenzangu sawa?

“Poa haina noma lakini vipi kuhusu lile suala maana kaka yako amerudi atagundua?

” sikia mimi ndo nimekupa kazi kwahiyo kila kitu kipo chini yangu usijari naomba wakirudi nitumie ujumbe me nitarudi sawa?

“Poa haina noma”

Nilimalizana na mlinzi pale ili niende kwa sarah maana akinitumia ujumbe kuwa yupo peke yake nyumbani. Niliingia ndani hata sijui nilikuwa naenda kufanya nini ila ghafla nikasikia watu wananong’ona chumban kwa dada clementina “mmmh huyo sio kaka clement na dada clementina? Kheee jamani awajaacha tu mchezo wao? Jamani hapa dada sina km ni hivyo kagawa nyumba mzima kwanzia mzee mpaka mlinzi getini yani we waache ipo siku wataumbuka”
Nilijisemea moyoni ila nikaamua ili kupata ushahidi nilienda kugonga chumbani kwa kaka clement ila sikupata mwitikio wowote nikafungua mlango taratibu ila hapakuwa na mtu zaidi niliona beg lake na nguo alikuwa amezivaa vikiwa kitandani nikaamini kuwa ndiye aliyekuwa chumbani kule.

“Hey bby please usisahau cd ya x leo nina ny** haswa nakuomba cliff” iliingia msg ya sarah nami fasta nikarudi chumbani kwangu nikabeba laptop yangu maana mule niliziweka za kutosha tu hasa za kiafrika zikiwepo za bongo na east africa kwa ujumla.
*****************

UPANDE WA CLEMENTINA.

Nilijinyanyua kutoka pale kitandani nikavuta kanga yangu pembeni nikajifunga nikaingia bafuni. Nilishika koki ya bomba nikafungua shower kisha nikasimama bila hata kuoga nikijitafakari hasa kwa yale mapichapicha yaliyokuwa yanaendelea pale ndani na mwisho wake utakuwaje. Bado sikupata majibu wa maswali yangu nikanyanyua sabuni nikaanza kujipaka mwilini mwangu huku nikipata taswira ya mama yangu nikajua kwa haki sikmtendea kabisa na kama ikilijua hili nitapata radhi ya kuokota makopo kabisa ila sasa nifanyaje maana sina maamuzi juu ya mwili wangu tena najihisi mwili wangu upo kifungoni tena kifungo kibaya cha uasherati kwamba siwezi kujitoa kirahisi.

“Hey cleme unaoga muda wote huo” ilisikika sauti ya kaka.

“Noooo nakuja wait please”
Niliitikia huku najisemea moyoni “mmh huyu nae king’ang’anizi yani hata alijui huyu ni dada yangu toka nikae lenyewe linawaza kunilala tu na hata bora angekuwa afadhali ila ule mdudu wake wenyewe mkubwa hata radha ya mapenzi hakuna na kibaya nimetoka kudate na yule mlinzi yani km mapacha wote miguu ya mtoto khaaaa wifi yangu mvumilivu kweli kwa dude lile khaaaaa”

“Vipi”

“Mmh jaman clement nisubiri uko jamani nakuja”

“Na mimi nataka kuoga tuoge wote”

“Cleme una akili kweli? Naona sasa unavuka mipaka naona umesahau me ni nani yako na wala ujatambua kuwa hapa tu tunafanya makosa yani unanifanya km mke wako cleme na unajua mimi ni dada yako toka wewe ziwa nikadakia mimi kweli clement?

” i know clementina ila nakuomba usifike uko hata mimi sipendi ila nina hisia na wewe sana sijui why?

“Chizi kweli ebu toka clement umenitibua toka nitapiga ndulu sasa hivi”

“Haaaaaa nooo uwezi kunifanyia hivi cleme”

“Mlinziiiiiiii”
Kabla sijamaliza alinishika mdomo akanikunja mithili ya mbwa aliyekamatwa na chatu.
“Upuuzi gani unataka kufanya kheeee mshenzu mkubwa wewe sasa nahisi umenisahau ujue mimi ni mnyama sana ngoja nikuonyeshe ujui hapa nilipo natafutwa na police uko nilipotoka tu nimefanya mambo kama haya”

“Noooo cleme mimi ni dada yako usinifanyie hivyo please tukubaliane basi nakuomba”

Sikuweza kufanikiwa kwani kwa mara ya kwanza niliingiliwa kinyume na maumbile baada kuona eti mbele hapata utamu km nyuma akuwa clement kaka yangu alikuwa mnyama hata kwangu mdogo wake nililia kwa kwikwi nikakumbuka mstari mmoja ndani ya kitabu kitakatifu usemao “mshahara wa dhambi ni mauti” .
**********************.

UPANDE WA CLINFORD.

“Upo na nani humu ndani?

” kheeee jamani cliff nipo alone”

Niliamua kumuuliza sarah maaana mazingira yalikuwa ni tofauti na siku zote nilihisi kuna kitu pale yani pamoja na kuweka mahanjumati/picha za x bado mtambo haukusimama kabisa. Sarah alisimama akishika blauzi yake na kuipandisha juuu na nguo ya chini pia akabakiwa na sidiria tu kisha akajana kupiga magoti mbele yangu kisha akanivua pensi yangu na tshirt juu huku nikimtazama tu tofauti na siku zote. Alizamisha mkono ndani ya boksa yangu.

“Nooo baby unawaza nini? Please usinifanyie hivyo”

“Sarah ebu sogea mbele yangu shenzi toka unajifanya mshenzi sio wewe wa kunifanyia hivi”
Niligundua kulikuwa na camera juu ya friji iliyofichwa sio rahisi kuiona ila muda wote niliokuwa pale nilijaribu kuchunguza na ndio sababy ya kutokuwa na amani.

“Baby sorry sikuwa na nia mbaya just for enjoyment baby”

“Enjoyment ulinishirikisha? Awewe umekuwa mcheza ngono sio?

” samahani baby please”

Kabla ajamaliza kuongea mara simu ikaita jina likitokea bro security nilipokea fasta.

“Dogo upo wapi? Njooo fasta hapa nasikia kelele tokea chumbani kwa dada yako na kaka yko njooo fanya haraka”


Hali haikuwa hali tena, pamoja na clement kuwa na kesi ya ubakaji yeye na group la wanafunzi wenzake siku moja iliyopita alimtendea vivyo hivyo mdogo wake clementina.

CLEMENTINA..
Nilipata maumivu makali mgongoni na sehemu zangu za haja kubwa na kikubwa alinihanisi kwa kunimwagia mbegu zake(clement) hii tayari ilikuwa matarajio yangu niliumia moyoni nilizidi kupata maumivu makali.

Mara mlango ukafunguliwa akaingia clinford na kaka mlinzi niliwahi nikajifunika na shuka machozi yakinitoka uko sehemu zangu za nyuma nikihisi tayari zimeharibiwa kutokana na maumbile makubwa ya clement(uume).

“I told you dada(nilikwambia dada) unaona sasa”

“Naona mdogo wangu clinford kweli mshahara wa dhambi ni mauti i deserve to die(nastahili kufa)”

“Usiseme hivyo mungu ni mwenye huruma hatakusamehe ila dada mama yuko njiani anakuja, kwani kaka kakimbilia wapi?

” Ohh Mungu wangu nitamwambia nini mama jamani”

Clinford alimvuta nje mlinzi na kuanza kupanga nae mikakati.

“Bro mambo yameshaharibika kama unavyoona sasa tufanyaje?

” nakusikiliza wewe”

“Me naona tumtoe hapa dada(clementina) maana inaweza ikatokea mama akaja muda wwote sasa huu ukweli hapaswi kuujua kaka”

“Sawa kaongee nae basi”

Clinford alitoka na kurudi chumbani kuongea na clementina juu ya suala kumuamisha pale.

“Clinford sitaki nitabaki hapahapa kama ukweli mama haujue nimetenda dhambi sawa lakini nisife na hii dhambi”

“Dada nisikilize mimi mama utamwambia ila iponye nafsi yako kwanza ukapate ushauri wa mafaktari na hayo mengine ukiwa sawa utakuja kusema”
***********

Baada ya clement kufanikiwa kutoroka baada ya kutimiza hazma yake ya ubakaji alidandia lori la cement kwa kuonga kiasi kidogo cha pesa limfikishe mpaka mtwara ambapo atavuka boarder na kuingia msumbiji-maputo.

“Sawa kaka panda twende haina shida”
Aliongea dereva baada ya kupokea kiasi kidogo cha fedha.

“Nashukuru kaka” alijibu huku akiwa anapanda kweli lori hilo”

Safari iliendelea huku zikisikika sauti za kukohoa(clement) kutokana na lile vumbi la cement. Hali ilivyozidi kuwa ngumu dereva alisimamisha gari.

“Vipi kaka?

” aisee vumbi humu nakohoa”

“Shuka basi usubiri basi”

“Aaah dereva wee twende tu”

“Ndi uvumilie weee mtoto wa kiume unajikohoresha wee ndo nini sasa?

” samahani dereva”

“Sasa hapo mbele kuna mzani utashuka kisha utanikuta mbele sawa?

” sawa kaka”

Safari iliendelea huku clement akizidi kukohoa tu kama kawaida unadhani wahenga walikuwa wanaongopa waliposema ‘kikohozi akijificha’ wakifananisha na mapenzi.

“Kakaaa shuka hapo sasa, wewe utatangulia mbele nitakukuta uko sawa” aliongea dereva.

“Sawaa kaka, ila tutatoka kweli hapo kwa hiyo foleni?

” tutatoka usijari” alijibu dereva na kipande hicho kilikuwa na upepo mno.

Taratibu clement alianza kuongoza na njia akiwa amevaa sweta lake lenye kofia ya kichwani. Pamoja na hayo yote clement bado hakujiona mwenye makosa ila alichukulia ni sehemu ya maisha alizidi kusonga akavuka mizani na kuendelea mbele zaidi.
**************
CLINFORD..

“Ndio mzigi ninao kaka sema kuna majanga yametokea hapa home subiri nisolve kisha tutapanga wapi tuonane” aliongea clinford kwa kificho akiwa hospitali ya amana kumleta dada yake clementina.

“Mzigo una dakika ngapi? Aliuliza yule wa upande wa pili.

” kama mlivyosema ni dakika 45″

“Ulisema una nyingine pia ni ipi?

“Aisee ninayo ya dady na dada nilifanikiwa kurekodi japo ina dakika 15 tu”

“Sawa huo nao ulete tutakupa nusu ya bei ya kazi ya awali” alijibu yue wa upande wa pili.

“Sawa nashukuru hivyo nitawadai dollar elfu 4000”

“Ndio ndio kwa kazi zote mbili”

Simu ilikatika clinford akawa anatabasamu tu huku anaitazana simu yake mara mbilimbili maana kama deal litafanikiwa ataingiza kiasi hicho cha US dollar 4000. Hayo yalikuwa ni makubaliano ya clinford na meneja masoko wa kampuni moja ya wacheza ngono(ponographic group quality production) ambaye huyo jamaa ni agent wao nchini tz ambalo shirika lao lilisambaa world wide.

Mlinxi alipokea ujumbe kutoka kwa nurse.
“Samahani kaka mgonjwa awezi kuhudumiwa mpaka apate pf3 kutoka kwa jeshi la polisi”
Aliongea nurse.

“Dada yangu tusaidie”

“Aah ndivyo utaratibu uliopo nchini” alijibu nurse

Kitendo kile kilimfanya mlinzi kutka na kuanz kumtafuta clinford mpka alipomkuta nyuma ya ukuta wa choo.

“Vipi bro wameanza kumuhudumia? Alihoji clinford.

” hali tete wanaka pf3 kutoka police” alijibu mlinzi

“Kheeee tunafanyaje sasa bro?

” ni way out zaid ya kutoa ripoti polisi”
Alijibu mlinzi..
**********

CLEMENTINA.

Baada ya nurse aliyekuwa zamu kutoka wakati clinford na mlinzi wanajaribu kushughulikia pf3(kibari cha matibabu kinachotolewa na polisi kwa watu walikubwa na matukio ya ubakaji, ukatilia unaotokana na ujambazi nk)

“Hivi nina sababu gani ya kuishi endapo wanachuo wenzangu, marafiki, mama, ndugu zangu na majirani wakisikia clementina katembea na baba yake, kaka na mdogo wake na zaidi mlinzi wa getini!!!!! No nakunywa dawa najicommit suicide(najiua) “

Clementina alichanganya dawa zilikuwa pembeni ambazo nurse alizileta kwa ajiri ya kumuhudumia mgonjwa aliyekuwa jirani naye(kitanda cha pili).
Haraka haraka alifungua vichupa nakuvimimina pamoja akaanxa kunywa ule mchanganyo.


Nilichanganya ile dawa na kwa haraka haraka nikaichanganya kwa mbali nikawa nasikia hatua za watu km wawili au zaidi wakija upnde ule wa wodini, nilifanya haraka nikanywa ile dawa.
Nilitulia ndani ya sekunde 40 ndipo nilianza kupata cha mtema kuni maana dunia yote niliibeba kichwani yale maumivu mfano wake hakuna utumbo ulikuwa unajikunja na kuachia alama za ramani zilijengeka kwenye paji la uso wangu, nilitamani nighairishe lile zoezi maana kumbe kifo kinauma namna ile takribani muda ulivyozidi kwenda na nguvu nazo zilianza kuisha mwilini mwangu nikaanza taratibu kupoteza fahamu na huku yale maumivu yakiama kutoka tumboni na kuja kichwani mpaka miguuni sikuweka tena matumaini ya kuishi kwakuwa nilikuwa ni mfu tayari.
**************.
CLINFORD.
Nilitazamana na kaka mlinzi tukiwa hatna pa kuanzia japo tunajua wazi sehemu inayotakiwa kupata kibari ni polisi ila je twende tukamshtaki kaka clement na akamatwe kwa kesi ya ubakaji (hapa bila kujua hii ni kesi ya pili kwa clement ya ubakaji).

“Inabidi tuokoe maisha ya clementina kwanza usimuangalie huyo wa mbali mtazame huyu tuliyenaye tunamsaidiaje twende tukatoe ripot” aliongea kaka mlinzi.

Yale maneno yaliniingia akilini na kweli palepale nilichukua hatua ya kwenda kutoa taarifa polisi kituo cha osterbay. Haikuwa rahisi kupata pf3 ila baada ya kusema tukio ni la leo tu alinielewa ila kilichowashangaxa kuwa hawa waliofanya kitendo hiki ni mtu na kaka yake tena wa damu.

“Haloo ebu fatilia faili la mtuhumiwa tujue km amewahi kufanya matendo yeyote ya uhalifu”
Aliongea kamanda wa zamu pale kituon

Nilitulia kimya kabla ya kutoka na polisi mmoja tuliyeambatana nae kuja hospitali(amana). Muda huo nilikuwa na ujasiri tofauti na zamani nilikuwa nawaogopa mno.
****************””

Tulishangaa kuwakuta manesi wakiangaika mno mule wodini nilikuwa wa kwanza kukimbilia wodi alilolazwa dada clementina ila nikazuiwa kuingia yule polisi aliniuliza.

“Amelazwa wodi gani”

“Ni hiyo wodi nilikwenda wakanizuia kuingia”

“Ni muda gani mmemleta? Aliuliza tena afande.

” hili litakuwa saa la tatu sasa ila ndo hivyo ajaweza kupatiwa huduma mpk muda huy kutokana na hiyo pf3″

Alisogea mpaka pale nami nikamfata nyuma nyuma ili kama ataingia nami niingie pia. Alipofika tulipata nafasi ya kufahamu nini kilichokuwa kinaendelea.

“Mgonjwa amekimbizwa icu kutokana na hali yake kubadilika ghafla ila muda si mrefu tutawapa taarifa ya mgonjwa” aliongea nesi ambaye kusema ukweli sikumuelewa kabisa kwani aliongea kwa haraka.

Tulitoka eneo lile tukakaa kwenye benchi la wagonjwa nilikuwa na huzuni mno na nilijiuliza maswali mengi “kubakwa tu ndio apelekwe icu kweli? Aiwezekani kuna jambo limetokea” ilibidi nivunje ukimya nikamuuliza polisi.

“Eti kubakwa tu ndo apelekwe icu?

” tusubiri ripoti ya daktari” alinijibu kiasi kwamba sikuweza tena kuuliza swali jingine ila mimi huwa sikomi nikatengeneza hoja nyingine nikavuta kama dakika mbili nikauliza tena.

“Kuna haja ya kurekebisha hizi by laws(sheria ndogo ndogo) yani kuhudumiwa mpk hiyo pf3 tutawapoteza ndugu zetu wengi” niliongea pasi kumtazama usoni nilipomtazama usoni tu nililipata jibu langu.

Alionyesha ni mtu aliyekereka na maswali yangu ila mimi nikitaka kujua jambo utaniambia tu “yani huyu ataongea tu ngoja” niliendelea kuuliza.
“Afande hivi mbona hampo karibu na jamii yenu nyie vyombo vya sheria?

” dogo mbona msumbufu? Sisi kama jeshi la polisi kazi yetu ni kutekeleza na kusimamia sheria , kazi ya kutunga sheria ni ya bunge na kutoa hukumu ni ya mahakama sisi ni watu wa katkati tu” alijibu kidogo akanipa mwanya wa kumuuliza tena swali.

“Kwanini wati wanakuwa tortured(wanateswa) hasa wakifika kwenu)?

” dogo hakuna mtu anayeteswa hila ushirikiano wako ndiio utakusaidia kuepuka adhabu sema kweli utaokoka na adhabu” alijibu

“Hii yote ni kwasababu watanzania wengi awajui sheria ila mnafanya vitendo vya ukatili mno na mnavunja haki za binadamu” nilitoa hisia zangu wazi
“Dogo chunga kauli yako, nakuonea huruma kwasababu wewe nimtoto angekuwa mtu mzima mida ingebadilika, sasa nikikwambia utolee ushahidi wa hilo unaloongea na sheria inayovunjwa utatoa? (Kimya)” alitazama kulia ns kushoto kisha akanibwenga konzi takatifu nilihisi kama nyundo imetua kichwani mpaka misuli ya shingo iliregea ghafla kwa ile dozi.
Wakati nipo pale simu yangu ikaita nilikuwa naanza kupata usingizi kutokana na kukaa muda mrefu bila kuongea.

“Nyie mpo wapi hapa nyumbani hamna mtu na mama yako yupo njiani nampigia clementina hapokei simu upo wapi? Alifoka mzee tu punde nilipopokea simu hata salam hakutoa.

” amana hospital”
Nilimjibu kwa kifupi

“Unaumwa?
Alipoa na kuniuliza

” hapana dada clementina ndiye anaumwa na sasa hivi yupo icu”
*************

“Nooo clement wa kufanya hivi kweli mtoto niliyemzaa” alifoka pale hospitali na mpaka muda huo hatukapata taarifa ya kueleweka kutoka kwa daktari.

“Mzee punguza sauti” aliongea askari

“Ebu niache wewe mtoto anauma wewe” aljibu uku analia

Sikutaka kushangaa sana maana baba anampenda sana sana clementina siku zote ndiye mtoto wa pekee anbaye akutaka akasome nje na nyumbani ila mimi au clement hata marekani atatupeleka. Na muda huohuo mama nae alikuja maskini alikuwa amechoka mno na ndio alikuwa ametoka safarini.

“Mama clementina kwanzia leo clement sio mwanangu” aliongea tena kwa jazba.

“Mtoto ni mtoto tu kwani kafanyaje? Aihoji mama

” kambaka dada yake clementina”
Aliropoka mzee huyu

“Kheeeee nini huyu clement”
Alishuku mama

“Nampa radhi km mimi nitamsamehe clement basi nitakaa uchi barabarani siku nzima” aliendelea kumchanganya mama nikaingilia kati

” kwani wewe na clement mna tofauti gani? Maji ufata mkondo na kama ukiamua kukaa uchi akuna atakayeshangaa maana watajua umerukwa na akili”

Palepale mama aliaanguka chini na kupoteza fahamu kabisa ila alivyoanguka sijui kama uzima utakuwepo tena. Eeh mungu msaidie mama yangu..

Nilipatwa na bumbuwazi la ghafla nikamtazama mzee bp nayo ipo juu bro security alikuwa tayari karudi nyumbani nikakimbia kurudi chumba cha wauguzi nikiwa kama chizi “nisaidien jamani nisaidie wazazi wang” niliongea na kutoka kurudi nilipokuwa mwanzo ambapo wazee walikuwepo hali ilikuwa tete mno mama fahamu hazikuwepo, mzee naye aliegemea kiti tu.

Taratibu za first aid/huduma ya kwanza ilianza chapchap sasa hapo nilitoa usharo pembeni nikawa naangaika huku mara kule furaha yangu ilikuwa ni kuiona familia yangu ikirudi ktk hali yake tena japo haikuwa rahisi maana mpaka wakati huo sikujua hali ya dada clementina maana tayari alikuwa icu baada ya kunywa dawa ya kusafishia vidonda na kuchanganya na nyingine za aina tofauti, mama na baba pia toka wameanguka sikupata fursa ya kuwaona kwa muda huo wa dakika 30 zilizopita, nafsi ilinisuta kwani nami ni sehemu wa kupelekea matatizo kutokea. Nilijiinamia huku chozi likinitoka kwani nilimkumbuka na kaka clement ambaye labda angetusaidia kwa wakati huu ila sasa yeye ni chanzo kikubwa cha aya kutokea naye kakimbia kaniachia majanga.

Simu yangu ya mkononi iliita takribani mara nne ila ya tano ndio niliyopokea niliona namba ya rafiki yangu george nilikaa kumsikiliza.
“Clifford hongera mwanangu umeongoza tahossa chemistry, bios na mathematics na over-all umekuwa wa kwanza” aliongea kwa furaha sana george

“Asnte kaka nashukuru kwa taarifa”

“Nasikia umezawadiwa vitabu za science, dictionary na mwaka wa form four mzee shabani robert atakulipia ada na mliongia tano bora mtatembelea mbuga ya wanyama mtakayopenda kwa siku tatu” alizidi kuongea george.

“Daah mungu ambariki sana” niliongea kumridhisha tu ila ckuwa excited/msisimko na aliyokuwa anazungumza”

“Kaka polen sikia kaka yako anatafutwa na polisini leo nimeliona kwenye gazeti jina lake anatafutwa na jeshi la polisi na hat redioni pia wametangaza, kumbe ndo maana haunaamani??”

“We njoo tu amana hospital tuongee”
***********************

CLEMENT.
Niliingia mtaani nikaanza kutafuta wenyeji wanionyeshe boda niingie msumbiji ili nifike maputo maana rafiki zangu niliosoma nao advance meta high school wengi wanaishi hapo. Nilishangaa kitu kimoja kila nikipita mtaan watu wananishangaa kama ni mtu maarufu au kuna kinachoendelea ila nilipotezea nikaendelea kusaga na njia mtaani. Kwakuwa nilikuwa na kiasi kidogo chw pesa nikapata geust nikaingia angalau nioge sikuoga siku tatu..

Nikiwa chooni nilisikia hodi nikawza mengi pale reception nimemalizana nao ni nani hao au polis, sikupoteza muda wakatimlango unagongwa nikajiandaa ili nipitie dalini na kweli nilifanikiwa nikatoka kupitia chumba cha jirani kwani hapakuwa na silingi board, mteja w kile guest alikuwa ni mwanaume na mwanamke (alikuwa uchi kitandani wakati bwana wake anaoga”) nilimtaka anipe wigi na dela akatoa baibui yake akanipa maana alikuwa nayo yote yani dela na baibui kwa hand beg. Sikutaka niwaharibie nilimpa kiasi kidgo cha fedha kwa usumbufu nikatoka nje watu walijaa kweny chumba nilichokuwa wakipasua mlango mimi nilirudishia mlango nikatka.

Dada reception aliniuliza “dada unatoka?” Nilimjibu kw ishara ya kuzungusha kidole(ikimaanish nipo around). Nilitoka kwa spidi sasa nilivuka barabara bila kuangalia magari liikuja noah ikanivamia na kunirusha huko mtaroni.
***********
BAADA YA MWEZI KUPITA.

Hali ya maisha ilikuwa ngumu mno dada alijaharibia kizazi kumbe alitoa mimba kwa madawa makali hivyo hatoweza kuvaa kabisa, mama nae alipararazi bega la kushoto mpk mguu wa kushoto nililia sana maana hata baba tayari alikuwa ni mtu wa msongo wa mawzo anaweza kukutuma maji ukamletea akakuuliza haya ya nini mimi?(menta infinity).

Hakuna siku ambayo sitakuja kuisahau kama siku ya jumamosi mei ambapo nilikuwa natoka moi kumpelekea mama chakula ikapigwa simu na shangazi ummy anaishi moshi yeye alimpigia baba wakaongea hakujua ni nini kinaendelea ila nilimuona baba akikaa kimya asimjibu lolote nikachukua simu na kuweka sikiooni “mwili utaingia leo nadhani jioni kwahiyo tumeonelea kaka msiba tuufanyie huku tu moshi” mapigo ya moyo yalienda kasi kaka yangu clement sitaki kuamini nilikuja kuona mfululizo wa simu zinaingia kwanguu baada kuzima ile ya mzee ambaye naye presha ilipata mno. Nilitumiwa jumbe nyingi za pole wakati mimi tu sikujua au uhakika wa jambo nikajipa ujasiri kikaingia whatsapp group ya maschool mates nikaanza kupitia consetvations nikaona videos moja kati ya hizo ilikuwa inaonyesha mwili wa kaka ulivyotolewa mtaroni akiwa amevaa wigi na baibui wengi wakisikika wakisema

“Masikin dada wa wati alikuwa anavuka barabara” Alisema mmoja.

“Kheee kumbe ni mwanaume itakuwa ni jambazi katoka kuiba” alidakiwa wa pili mwanaume.

Nilitokwa na machozi baada ya kuona comments za rip clement, wakinipa pole mm pia.

Nilikuwa kimya nikiitazama feni inavyozunguka mawazo yakanipeleka mbali sana nikakumbuka kipindi kile kama familia tunaishi kwa amani hakuna matatizo tulifanya vizuri hata kimasomo na afya zetu zilikuwa njema kwa siku nyingi sikuwahi kuona mzee bloody pressure ikipanda, namkumbuka marehemu mama mdogo rose naye alikuwa ni miongoni mwa watu walioleta furaha kweny familia leo hii ile hali haipo tena baada ya kuisha kwa msiba wa kaka clement kuna mtu alinifata na kunipa namba yake kuwa nimtafute baada ya..
Sikulitilia maanani hilo maanani maana hali za wazazi wangu zilikuwa mbaya mno dadie ilifikia stage aliwekewa mipira ya kupumulia, mama nae alikuwa kitandani wiki ya nne sasa sijui ni kipi kitaendelea nikitazama dada clementina ameisha si yule ninayemjua na kibaya zaidi ajakubaliana na hali hiyo anataka hata kujiua kwasababu ya jambo ambalo tayari limeshafanyika na uwezi kulibadilisha. Clementina ni mpenzi mkubwa wa movie za serias siku hiyo nilitoka mjini nikapitia movie shop nikachukua movie ya nikita, destiny to love you na katuni ya kirikou ili tu nitakapofika home nikiweka itaondoa stress zake.

“Shikamoo, vipi umeshindaje?

” marahaba, salama tu” aliitikia dada cleme

“Vipi upo sawa?

” yeah nipo sawa vipi uko utokapo? Aliuliza dada

“Salama tu nimekuletea movie hizo hapo me nakuja naenda kuoga, vipi shangazi yupo ndani? Niliuliza shangazi maana yeye alikuja pale baada ya ile hali ya msiba na ule ugonjwa isingekuwa njema tukabaki pekee nyumbani.

” yupo jikoni nadhani anapika”

Niliienda mpka jikoni nikamsalimia kabla ya kuingia chumbani kwangu, nilipofika kitandani nikakuta daily mbele yangu imeandikwa kwa ndani Comrade Clement Michael mzumbe university, Law. Roho iliniuma mno machozi yalinitoka nikakumbuka jinsi nilivyokuwa nashindwa masomo ya arts kama histry alikuwa akinifundisha na kunipa mbinu za kufahuru hayo masomo maana mimi nilitilia sana mkazo masomo ya science yeye ndiye aliyebadilisha mindset yangu juu ya masomo haya. Haikuwa kazi rahisi kusahau wema wake kwa familia na ushauri wake pia japo ametenda kwa ubaya mwishoni mwa maisha yake ila bado ni icon yangu the first born. Nilikumbuka vitabu vyake alivyonipa nikavikusanya vyote na madaftari yake “kupitia haya nitatimiza ndoto zangu promise you brother i will never let you down(nakuahidi kaka sitakuangusha)” nilibeba yale yote nikamuonyeshe dada clementina nilipofika pale sikumkuta mtu zaidi zile cd zilikuwa pale mezani

“Shangaziiiiiiiiiiii” niliita kwa nguvu nikiogopa uenda dada katoroka

“Abeeeeeeeee mwana weee njoo huku” alijibu shangazi

“Shangazi dada hayupo” niliongea huku macho yananitoka

“Aaha yupo chumbani kwake usijari, kama unahitaji kuongea naye kamgongee” alitoa ushauri wake shangazi
***************

Tulitazama kwa muda bila kuzungumza lolote nilimuona dada akitoka machozi na mimi machozi yalianza kunitoka nikamkubatia dada naye akanikumbatia tukawa tunalia wote, hapo ndio alipata fursa ya kutoa ya moyoni mwake.

“Clinford nimekata tamaa ya maisha najuta yaliyokwisha tokea, nilikuwa tayari kumsamehe clement maana hata mimi ni mchafu kuliko, lakini amekufa clement, clinford nimetembea na wewe, clement, mlinzi na kibaya zaidi baba mzazi nina laana ya mzazi ona sasa nimejiharibia hata kizazi sina tena mimi ni wakufa tu clinford”

“Noo cleme mungu ni mwenye rehema atakusamehe, usione watu wanatembea barabarani vifuani mwao wamebeba makubwa hayo madogo cha msingi kuomba rehema, kisha tuungane kuwauguza wazazi wetu naomba usiweke mawazo haya mabaya maana si ewewe ila shetani ndani yako yaepuke hayo”
*************

Niliumia nilipomuona mama yangu awezi kutembea tena alipararaizi upande wa kushoto roho iliniuma mno kwani mimi nilikuwa chanzo, tulimsukuma na kibaiskeli huku moyoni najishuhudia mengi ya kunihukumu, ila niliendelea kusukuma kile kibaiskeli mara nilisikia nesi wawili wanakuja kwa mwendo.

“Ni yule au* nesi mmoja aliuliza

” ndiyo huyo mvulana” alijibu mwingine

“Kaka samahani unaitwa na baba yako” alisema yule nesi wa kwanza.
*************

Kwa unyenyekevu mkubwa nilikaa chini kusiiliza maneno ya mzee.

“Mwanangu clinford nakuomba msamaha kwa yote yaliyotokea kweny familia yetu ila ni nyie kuwa hapo mlipo ni historia ndefu huko nyuma baba yenu nilikuwa sina kazi mjini zaidi ya kuangaika kwenye maofisi kutafuta kazo bila kupata ikawa siku moja nilipopata kazi hali haikuwa vile nilivyodhani.

Nilikuwa na kiu ya kuendelea kujua kuhusu maisha ya mzee ila kikohozi kilipunguza concentration/umakini wa kufatilia jambo lile nilichukua maji kwenye chupa nikampa baba akanywa angalau kikohozi kikatulia.

“Baada ya kuangaika zaidi ya miaka miwili bila kupata ajira nilikata tamaa nikaamua kuondoka dar na kurudi simiyu(sehemu aliyokuwa akiishi awali) hata huko sikujua naenda kufanya nini ila rafiki yangu niliyewahi kusoma naye tabora boys nilikutana naye kwenye msafara wa kukata tketi tazara, nilishangaa maana ni muda mrefu umepita toka tulipoachana kwa mara ya mwisho”
**********
JINSI ILIVYOKUWA..

“vipi ndugu yangu za siku nyingi? Aliongea Billy

” wouw! Ni muda sana bila uko wapi siku hizi? Sikujibu kile nilichoulizwa zaidi ya kuunganisha mazungumzo.

“Nipo na wizara ya ujenzi nafanya kazi kama injinia msaidizi katka miradi ya miundombinu ya barabara” aliongea billy kwa bwebwe.

“Oooh kweli mungu amtupi mja wake billy naomba nishike mkono usiniache ndugu yangu hapa unaponiona narudi simiyu nimetafuta kazi bila mafanikio yeyote”
Niliongea kwa masikitiko

“Kwa sasa nasafiri kikazi naelekea shinyanga wewe nenda nikirudi nitakutumia barua ya kuja kufanya kazi wakatu nimeshatengeneza nafasi sawa” aliongea billy kwa namna nilivyomtazama alikuwa ni tofauti na billy wa kipindi kile shule kwani alikuwa mjanja mjanja kipindi hiki ikabidi niitikie tu.

Tulibuku tiketi kabla ya kusafiri yeye billy alikata daraja la kwanza mimi kwakuwa sikuwa na fedha nilikata daraja la mwisho, tuliachana pale nikiwa sina imani kamq billy atanitafuta tena.
********

Maisha mwanza hayakuwa mazuri nilikuwa nafanya biashara ya kutengeneza bakoroboi na kuuza angalau nipate fedha ya kula.
Muda ulizidi kusonga sikupata barua kutoka kwa billy mpaka nikapoteza imani na hiyo kazi.

Maisha yalizidi kuwa magumu zaidi ilikuwa siku hiyo jioni sikufanikiwa kuuza koroboi hata moja ambayo nilikuwa nayapanga sokoni. Nilirejea nikiwa mnyonge maana kiasi cha fedha nilichokuwa nakipata ni kidogo mno nacho nilikihifadhi ili endapo nitahitajika nirudi mjini nisichelewe. Mambo yalizidi kuwa magumu kuna wakati nalala na njaa au kula hata mlo mmoja kwa siku ili mradi mambo yaende sawa.

Hali ya simiyu ilinishinda na ule ukimya wa billy ulinifanya nifikiri kurudi dar-es-salaam ili kama kazi nihisubiri hukohuko.
*********
Sikuwa na cha kula njiani ndani ya treni, hapa pembeni nilikuwa nimekaa na msichana mzuri aliyeonekana ametoka shule anarudi nyumbani. Muda wote tulikuwa kimya kwa ile safari toka imeanza. Siku hiyo jioni watu walikuwa wamelala kutokana na uchovu wa safari mimi sikupata usingizi kwani nilikuwa na mawazo kichwani kwangu juu ya hatma ya maisha yangu na uko niendako. Nilisiikia mtu anavuta begi(yule msichana) nilimvizia na kumkamata tuliangaishana mpaka watu waliamka*
**********

Safari ilikuwa ndefu ila michale ya saa kumi jioni tulianza kuingia dar nilitabasamu sana yule mdada ndiye aliyekuwa akinisaidia katika ile safari alinipa anuani ya kwao na kuniahidi pindi nitakapomtafuta atanijibu kwa wakati. Aliniachia kiasi kidogo cha fedha shilingi kumi, ilikuwa ni kiasi kikubwa sana cha fedha hata alipotoa alikificha sana maana nyakati za nyerere hapakuwa na ubadhilifu wa fedha kama nyakati hizi hivyo ukionekana na kiasi kikubwa cha fedha hukumu yako ni jera umepata wapi kiasi kikubwa cha pesa kama hicho(socialism era)..

Nilifikia manzese maana ambapo palikuwa na nyumba chache sana, hapo nilimtafuta mjomba wangu akiyekuwa anaishi hapo toka nikiwa dar nyakati zile nilikuwa naenda kumsalimu.
Nilishtushwa niliposikia kuwa mjomba tayari alikuwa ameama mazingira yale nilichoka nikakaa chini na kushika kichwa “nitaenda wapi mimi?


Nilikosa mtu wa kunisaidia nikaanza kufanya biashara ndogo ndogo ili kujikwamua kimaisha haikuwa rahisi mpka siku zilipotangazwa dhabuni nikaiona kupitia gazeti la the citezen nikaamua na mimi kujaribu bahati yangu ndipo nilipopata bahati ya kupata kazi…

Nyakati zile hapakuwa na changamoto kama nyakati za sasa ilipofikia kipndi nikawa nafanya kazi chini ya wizara ya ujenzi hapo ndipo yalianza mizengwe wakati huo tayari nina familia ya watoto wakubwa tu clement, clementina na cliford, rafiki yangu wa muda mrefu Billy alinieleza kuwa kama nahitaji kuongezewa mshahara au cheo kikubwa zaidi twende kwa mtaalamu(sangoma) ili afanye mambo na kunipa dawa za kuweza kunifanya nikubalike na wakuu zangu wa kazi.
Nilikubaliana na masharti yote kutoka kwa sangoma ila lilikuja suala moja lililonipa shida.

“Suala lipi baba” aliuliza clinford

“Mganga aliniambia km unahitaji kufanikiwa zaidi tembea na mtoto wako wa kike”

‘Kheeee ili iweje sasa” alizidi kuhoji clinford

Ilikuwa ili nifanikiwe mambo yangu, nilipata shida sana ila mama yako aliposafiri ndipo nilipofanikisha malengo yangu hali ambayo ilinisaidia sana kazini na kipato.
**********

CLINFORD.
Nilimtazama baba akinisumulia kwa shida nikajikuta machozi yananitoka nikamtazama tena nikagundua hata kuhema kwake kulikuwa si kwa kawaida.

“Clinford mungu akusaidie mwanangu usome kwa bidii zile ndoto zako za kuwa daktari siku moja zitimie sisi kazi yetu duniani imekwisha penda familia yako na kamwe usiwasahau mimi nilipambana kote huko ilimuishi vizuri na isitokee siku mkakosa mahitaji muhimu, mungu”

Niilisikia neno la mwisho “mungu” ila hakumalizia akawa kimya nilimshika mkono wa kulia nikauweka kweny paja langu la kushoto kisha nikamfunika vizuri na shuka ” daddy pumzika utanimalizia baadae najua umechoka” nilimkisi kwenye paji la uso nikatoka nje angalau kutafuta chakula maana nilikuwa na njaa mno.

Nilipokuwa kantini pale hospitali nilimpigia simu dada clementina kujua anaendelea nyumbani simu iliita bila kupokelewa nikampigia shangazi akawa anaongea kwa kutokuwa na utulivu.

“Shangazi ebu tulia kwanza una nini kuna nini?

” dada yako shangazi kwanini lakini clementina? Aliongea shangazi

“Amekuwaj sasa shangazi?

” anatokwa na mapovu na mwili wote unatetemeka”

Niliacha kula ili niende nyumbani tumuwaishe clementina hospitali maana shangazi peke yake asingeweza kumudu wakati nataka kutoka nikakumbuka kuwa sikuacha mazingira salama nikapitia wodini nilishangaa kuona pale kitandani baba kafunikwa shuka tofauti na lile.
**********
Maisha yangu yalibadilika kwa kiasi kikubwa sana toka niliposhuhudia ndani ya mwaka mmoja nampoteza baba na kaka huku nikimuacha mama akipooza na dada clementina akiondoka pasipojulikana baada ya kupona tatizo lake nilikuwa mpweke kila nikikumbuka familia ile leo nipo na mama pekee ndugu wengine siwaoni.

Niliishi maisha ya wokovu nikiamini mungu pekee anaweza kusaidia maisha yangu kwani yote yaliyotokea yalikuwa ni funzo kwangu.

**********************MWISHO*********************

UTAMU WA MCHEZO – 4

Related image

Chombezo : Utamu Wa Mchezo
Sehemu Ya Nne (4)
Nilimtazama mzee na dada clementina wote walikuwa na aibu na speechless/hawana cha kusema. Nilikuwa na hasira sana na mzee ukizingatia ktk familia ambye nina uwezo kimasomo ni mimi zaidi ya kaka clement ambye nae alifail kidato cha sita ila akapitia njia za panya sasa yupo chuo mzumbe na dada clementina yeye ndo aliishia form four akapata four akaend collage now yupo diploma ya business administration na wote hao hawakuchukua sayansi kama mimi wala hawakuwah kuwa namba kumi bora kama mimi nilivyo ila bado mzèe anithamini iliniuma sana au kwasababu clementina ndo mtoto wa kike peke yake halafu bila aibu anatembea na mwanae wa kumzaa huyu mzee itakuwa mshrikina sio bure.
Niliyawaza hayo nikiwa bado nimesimama mbele yao huku wakiwa na aibu kwa kuigundua siri yao. Nilimtazama dada nikamuona jinsi alivyojidharirisha kwa kuamua kutembea na dadie, mimi na sijui kama kaka clement hajatembea nae maana alikuwa na mtindo wa kwenda chumbani kwake sana.
“dada baba me naondoka naenda kwa mamkubwa siwezi kuendlea kukaa nyumba danguro kama hii”
“no mwanangu usiondoke tutadhalilika huko nje kama siri hii ikivuja uko tusamehe mwanangu nakununulia laptop sasa hivi nawapigia simu dukani na nakupa hela ya shopping”
Niliondoka hadi chumbani kwangu nikafika na kujitupa kitandani huku nawaza “mmh mzee ana maanisha au kama kweli alivyoniahidi aah sitoi siri kwani maisha yao wenyew watajua kama rahana wamepeana wenyewe ngoja nipretend kama nimemaind hivi hivi” niliwaza na kupata jibu laiti wangejua nisivyojari wao wakitaka kufanya wafanye wawezavyo ila me mahitaji yangu niyapate mara mlango ukafunguliwa akaingia dadie.
“ebu hongea na huyu mtu wa dukani mwambie unataka laptop ya aina gani?
“hallo yeah ndio nataka apple kama zipo”
“yeah zipo ni 1.3m bei yake”
“sawa mzee atakupa ebu ongea nae”
“yeah sally ebu ilete haraka hapa nyumbani si unapakumbuka?
Hapo nikaamini kuwa mzee alikuwa hatanii yani hiyo laptop niliitamani muda mrefu mpaka hapa nilipo nina laki6 nilijizojichanga kununua laptop leo napata ya bure alitoa na bunda la pesa akanipatia la shopping nilifurah kupita kiasi.
***
Majuto yalinipata clementina mimi nikawa sina pa kwenda kuomba msaada wa ushauri kwa hata diana yule rafiki yangu niligombana nae baada ya kugundua anatembea na mdogo wangu clifford kiukweli maisha yangu yalikuwa na majuto mengi kweli uzuri bila akili sehemu za siri ndo zitaumia ndio mimi pamoja na uzuri nilionao sikuwa na msimamo sasa familia nzma wamenipitia kuna wakati nalia hata nafikiria niondoke pale nyumbani nikaishi mbali ila sasa sijamaliza chuo ndio tatizo “this time around nikimaliza chuo miezi mitatu iliyobaki nitaondoka mungu amenipa nafasi ya kuwa kwenye familia bora nimeshndwa kuitumia kuna wenzangu wanaishi ktk mazingra magumu kama renata lakini bado wana msimamo why mimi haya na wakati kila ninachohitaji nakipata?” niliendelea kuwaza nikiwa bado kitandani nikamkumbuka mama ila atanichukuliaje akigundua nimetembea na dadie haya kwangu ni majuto.
Nilinyanyuka nikavua nguo zangu ili nikaoge maana nilichoka mwili na akili ilikuwa ni lazima nioge ili nipumzishe akili. Wakati huohuo mlango ulifunguliwa dadie akaingia na kunikuta mtupu nikawahi kanga nikajifunika huku nikaanza kulia wakati huohuo mlango wa chumbani kwangu ukagongwa mara mbili kisha mgongji akafungua hakuwa mwingne ni cliff akiwa na laptop mpya aliingia kwa nyuso ya furaha mara akabadilika.
Nilipata hata aibu kwa mazingra yale dogo atajua tumedate mi na dadie niliachia tabasamu la aibu bdo dogo akuweza kulionyesha lake zaidi aliendelea kubunda akishangaa.
“baadae sista”
“cliff njoo mara moja”
Niliita wakati ameshafunga mlango nilijiachia kitandani huku nina machungu moyoni mimi nawashanganya familia yangu kwanzia baba na wanawe nilikosa amani huku mzee akishuhudia hali ile, nilimuona akishuka taratibu akapiga goti kisha akaanza kunifata pale kitandani kwa upole wakati huo nilihisi kichwa kinataka kupasuka kwa ile adha.
“mwanangu kweli nimekukosea sana naomb nisamehe bure mwanangu kuna sababu kwanini nimefanya hvyo mwanangu”
“baba kweli umekosa vimada ukö nje mpaka unatembea na mimi kweli? Hivi familia hii ina laana gani ili jambo likitoka nje me najiua nakunywa sumu nakufa”
“nooo! Cleme mwanangu usifanye hvyn nimefikiria kukuamisha hapa nyumbni bora uende mbali usionekane hapa hata miaka miwili”
“dadie wewe umeshanogewa na huu mchezo hata ukinipeleka huko utakuwa unakuja tu, kwani umeshaniomba msamaha mara ngapi? Ila mpaka sasa tumeshasex zaidi ya mara saba yani hapo ulipo hakuna usilolijua kwangu aibu gani hii wee mzee hivi unadhani heshma ya ubaba itaendlea kuwepo maana hakuna nisichokijua kwako tena aibu kushare na mama mzazi mwanaume”
“basi nisamehe cleme”
“niache kwanza toka humu ndani ulifata nini yani mijanaume mishenzi hayajui huyu mwanangu au dada yangu madudu yanasimama tu”
“khee hayajui dada yao ina maana hata cliff nae?
“toka huko wewe ntapiga yowe sasa hivi”
***
Nilikaa kitandani nawaza sana na tokea nifike sikushka simu japokuwa sikuwa nayo usku mzima ila sikuwa na mood nayo kabisa nilitazama picha yangu ya graduation standard seven nikaona sura yangu changa ya kitoto ni miaka minne iliyopita sikuyajua mapenzi sikuwah kuwaza nitakuja kutembea na dada yangu wala kuja kufanya mapenzi kama dozi kama nifanyavyo sasa chozi likanidondoka mara na mlango ukagongwa, hapo najisemea moyoni “sifanyi ngono tena mpaka nikioa” mlango bado uligongwa nikaitikia kwa sauti ya kukwaruza “yes get in” huku jicho limenitoka kuelekea mlangoni.
“diana umeingiaje ingiaje humu wewe?
“cliff usiongee kwa nguvu baba yako yupo na dada?
“ndio wapo ndo najiuliza umeingiaje humu?
“wewe ndo umeyataka yote nakupigia simu yako upokei tokea jana usiku nilikuwa nataka uje home nimebaki mimi na stella mdogo wangu”
“stellaaa”
“ndio yule anasoma st mary form three kama wewe”
“ndio, simu ile pale yani sijaigusa tokea jana uwezi amini ila hapa nyumbani hali si shwari kama vipi tangulia ntakuja kwenu”
“no no cliff mwili wangu una umepata joto please naomba lishushe angalau kama hapa shda twende hata chooni”
“usijali hapahapa tu ngoja niwashe subfower langu nitulize stress na mlango naweka funguo”
“nakupenda cliff”
Niliwasha subfoor nikaweka flash na kufungulia sound ya nguvu kisha nikaendlea kusimama sijui nilikuwa nafikiria nini mara simu yangu ikaita sikutaka kuigusa simu kwa siku hiyo kwani nilishajua walionipigia ni mademu hvyo sikuwa na mood ya kuzungumza nao kwa siku hiyo.
“cliff mbona upokei simu? Aliuliza diana
“achana nayo”
“kumbe ndo maana na mimi nimekupigia sana haujapokea kumbe ni makusudi”
“diana we niache tu nimevurugwa yani nahisi kichwa kimevurugwa na hapa nyumbani sielewani na mtu yeyote”
“mh makubwa ngoja niondoke basi utakuja home”
“no wee baki hakuna shaka mböna upo salama tu hapa”
Nilimtuliza mdada japokuwa kichwani kwangu nilikuwa na stres mingi juu ya tabia ya dada cleme nilisimama kwa muda mrefu mwishowe nikaamua kukaa baada ya mwili kuchoka.
Diana alinilalia kifuani huku akinishika kidevu changu ambacho ndo kilianza kuchomoza vindevu viwili vitatu. Mara mkono anaupitisha kifuani kwangu huku ananiangalia usoni khaaaa! Akanitoa tshirt na singlend yangu nilianza kusikia ulaini wa mikono yake ukanipa mshawasha wa kuendlea na kale kamchezo. “ngo ngo ngo ngoo” ulisikika mlio wa mlango kukiashiria Nyuma yake kulikuwa na mgongaji.
Nilikasirika kwani mijitu ya humu ndani ni misumbufu pamoja na kunikera bdo inanigongea mlango.
“cliff mdogo wangu naomba nisamehe nina jambo nataka kukwambia”
“bwana niache nenda huko kaongee na you’re dadie” nikafunga mlango.
Kisha nikageuka upande wa pili kwa aibu nikamtazama diana nae alikuwa akinitazama muda mrefu tu.
“mna nini jamani cliff”
“huyu rafiki yako mshenzi kweli yanii ila achana nae”
“me siwezi kuendlea kuwa hapa nakuomba twende kwetu nipo mimi na mdgo wangu”
“poa ngoja nikamtazame huyo mtu na baba yake”
Nilimuacha diana ndani nikaingia ukumbini hapakuwa na mtu, sebureni na maeneo mengneyo hadi chumbni kwa cleme pia nikatoka nje gari lake lipo ila la baba alikuwepo, nikarudi ndani nikiwa na furaha.
“vipi mbona…
“wameondoka wote kinachofata sasa?
“tuanze huku tukamalizie kule ama?
“hapo umenena dia naomba kinena”
“unasemaje wewe”
“kama ulivyosikia naomba kinena”
“cha nini mbna mchokozi cliff”
“usideke nipo serias”
Nilimvamia nikaanza kumvua vitait vyao au kikondom hadi magotini kisha likafata kufuli jeupe nikazama chumvini au uvinza nilinyonya kama ndama kwa mamae.
“basi basi basi baby ntajikojolea naomb niende chooni baby” alilia diana nikajua utani ghafla kojo lilianza kunirukia usoni, mdomoni ukashuka hadi kifuani tena ujuavyo mkojo ulivyo wamoto nilitulia kama vile nataka kubanikwa.
“uuh uuh uuh” nilitoa miguno ya kulalama
“am sorry baby sikukusudia”
“usijari nipe hilo taulo hapo kitandani”
Nilichukua nikajifuta huku naitazama k ya diana ilivyotait kadogo mpaka nikiangalia rungu langu namuonea imani ila hana jinsi kikombe ni lazima akinyee. Nilizungusha rungu kwenye k yake kisha nikazamisha taratibu mpaka ikazama yote akaanza kulia huku ananiita jina langu cliff cliff nilijiweka sawa nikaanza kuzungusha mauno sasa kwa spidi huku namsifia uzuri wake ili kunogesha huba.
Je unapenda kujua kilichoendelea na je unamsifiaga mpenzi wako kwenye mambo yetu yalee.
Niliajitahidi kumpa sifa huku nikiendelea kugumia raha ya ulaini wa kile kitu diana hakuwa fundi wa kulisakata ila alijua kulia kitu kilichonipa hamsha hamsha na kunifanya nimuweke mikao nitakayo.
Kitendo cha kusikika mngurumo wa gari huko nje kilinishtua san nikajua mzee atakuwa amerudi sasa na goli nalo linakuja nitafanyaje maana heri lawama kuliko fedheha.
“diana nyanyuka baba anakuja”
“noo baby usiniache utaniua endelea”
alisema huku ananikamata kwa nguvu zote nilijiegemeza tena kifuani kwake maana me nilikuwa juu yeye alikuwa chini. taratibu nikamuona akichezesha kiuno na kuruhusu rungu kusugua k yake balabala hapo na mimi mshawasha ukarudi tena nilisugua kwa kasi sikujali kulia kwake, mtu aliyepo nje nilikuwa na uchizi wa ghafla.
****************
Clementina..
Tulifika supermarket na dadie nikatazama baadhi ya vitu na kuvichukua maana nilitaka kumpikia mama pishi zuri pindi atakaporejea kutoka msibani alipokaa takribani mwezi naah.
mzee alilipa tukapanda kwenye gari na kuondoka nilikuwa namtazama mzee pasipo yeye mwenyewe kujua ila roho ilikuwa inanisuta kila nikiwa nae maana nashare na mama yangu mzazi na isitoshe ni baba angu pia sio wa kusingiziwa “au huyu mzee ana imani za kishirikina kweli unakuwa comfortable kutembeq na binti yako wa kumzaa au ndo masharti ya mganga? nilijiuliza moyoni ghafla nilijikuta nabwatuka.
“hivi ulifikiria nini hasa lakini?
“kwa lipi?
“kutembea na binti yako na kumfanya mke wa pili na kama haitoshi ukampa na ujauzito”
“eti nini una ujauzito!
“exactly! na sipo tayari kuutoaa sijui utamwambia nini mama na kati ya leo au kesho anarudi akinikuta na halii hii itakuwaje?
“aaaah noo cleme utaniua kwa presha sasa tufanyaje kama kutokea limetokea”
“nikwambie ukweli heshima yako km mzazi imepotea nakuchukulia km wahuni wengine wee utajua cha kufanya”

Ukimya ulitawala na tulikaribia maeneo ya nymbani kwa mbaali nilimuona diana akitokea nyumbani “yani mtoto huyu!
“hivi huyu mtoto ananitafuta nini hasa”
‘mtoto gani tena”
“wee mzee ishia hapo hapo hii ndio familia uliyoitaka na umeipata hauna aya wee mzee ila za mwizi zinakuja”
Niliropoka maneno ya shombo mbele ya baba yangu na kiukweli nilikuwa namshukulia km mtu fulani tu sio kama mzaxi. muda huo namfikiria huyu dogo cliford alivyo Malaya huyu mtoto ndo kwanza form 4 miaka hiyo 16 kisha tembea na wanawake wa kumpita hata umri wake nisiusemee moyo mapenzi anayajua haswaa na ndio sababu ya hata mie kudata kwake na hata aka kadiana kananeng:enekea hilohilo penzi.

Nilifika chumbani kwangu nikabadili nguo zangu na nilikuwa na nguo xa ndani mpya nikazijaribu pale kuna zilizonibana na yote kwasababu hips zangu pia zilionhezeka kwa kiasi fulni. muda wote huo nilikuwa najiimbia wimbo wa ndi ndi huku nakunja nguo zangu na hapo nafikiria nikajiliwaze kwa dogo japo najua niliondoka alikuw ameboreka, kabla sijaamua simu iliingia.
“haloo”
“yeah haloo mamb”
“poa nani? (niliuliza baada ya kuona namba niliyopokea ilikuw ngeni).

“me clement bwana vipi mdingi anasemaje?
“aaha wewe ndo kusema umefuria au?
“aaah wapi yangu haina chaji ila nampango wa kuja uko sema nasubiri nimalizie mtihani wa ds nitakuja”
“njoo mwaya nimeborekaje” mara mlango ukaanza kufunguliwa taratibu nikashtuka na kutazama alikuwa ni mlinzi wetu wa getini nilishangaa.
“weee paulo umeanza lini hii tabia ya kuingia chumban kwangu bila hodi”
“usijari clementina nimekuja kwa uzuri si kwa ubaya

“sawa hasa ungenikuta uchi”
“uchi gani unaouzungumzia! kama ni wa clementina nimeshauzoea picha zako enheeee”, aliongea huku ananikabidhi picha.

“my Godness, nani kafanya hivi paulo”
“usinitie kelele nami nataka mzigo maana picha ninazo mtandaoni na humu pia zimejaa”
**********
CLINFORD..
Mmh nilijibanza nyuma ya pazia nikimtazama paulo atakula kwele mzigo kama tulivyopanga. mjicho niliukaza vilivyo huku napiga jicho hukuhuku nisifumwe pale.
Mchezo ulianza hivi kati ya Dada Clementine na paulo. nilimshuhudia Paulo alivyokuwa na papara yani alimvamia akamtoa chp na kutoa gobore lake maaaamaaa kama punda ana zigo huyu jamaa nilitazama pembeni ile kujiweka sawa jamaa kisha zamisha dudu lake zilianza kukuru za hapa na pale na vilio nikaanxa kuumia na Mimi nikapenyeza mkono wangu ndani ya boksa…
Niliyajua yote Yale maana nilimjua dada yangu namna alivyo mdhaifu sana niliona jinsi kichwa chake kikining’inia nikamuonnea huruma ila sasa ni mshenzi wa Tabia.
“Huyu jamaa ana dude kama punda yani maskini hadi huruma” nilijikuta najisemea kimoyo moyo huku mkono wangu upo ndani ya boksa ukichezea dudu kwa Yale mahaba ya mlinzi na dada clementina nilishtuka niliposhikwa bega mapigo ya moyo yalienda mbio niligeuza shingo taratibu huku nautoa mkono kwenye kaptula yangu niligeuka kama mateka kwa muda huo. Sikuamini macho yangu kumuona kaka clement nilipagawa, alitazama macho yangu akawa km kuna kitu anataka kuniambia. Kwa taratibu sana akaongea.
“Clinford mlinzi ameenda wapi na kuasha geti wazi?
“Mmh mlinnnnz iii si ju i yupo nje” niliongea kwa Kikigugumizi
Mara mlinzi huyo akatoka chumbani kabeba nguo za Clementina sote tulishangaa japo Mimi nilishangaa kitu kimoja (na hizo nguo za Clementina anapeleka wapi) nilivuta mate na kuanza kumeza taaratibu.

“Wewe huu utaratibu wa mlinzi kuingia çhumbani kwa wasichana umeanz Lin?
YALIYOPITA.
ndugu msomaji napenda kuchukua nafasi hii kukuomba radhi kwa yote yaliyojitokeza nimeonelea tuendelee na simulizi yetu hii ila ningeomba kwa wote mliokosa episodes za nyuma kurudia ili twende sawa.
Mara ya mwisho tuliona clinford anashikwa bega na kaka yake clement alipokuwa pale dirishanikufatilia mkanda mzima kati ya mlinzi na dada yake clementina. Kama unakumbuka kaka yake/clement alikuwa masomoni chuo cha mzumbe.
“Wewe toka lini umeanza kuingia chumba cha wasichana na hizo nguo unapeleka wapi?
Aliuliza kaka clement uku anamtolea macho kaka mlinzi.
Muda huo mapigo ya moyo wangu yanaenda mbio naogopa yule mlinzi asije nitaka kwa ile kesi nikaonekana nami ni baradhuli tu, nilitazama chini kisha nikamtazama mlinzi nikapata ujasiri wa ghafla na kumwambia kaka ” aah bro achana nae bhan”
Bro alimtazama kisha akaongea “kama kuna kitu kinaendelea nitajua tu si nimerudi, dogo nenda kaingize mizigo ipo kwenye bajaj pale nje msaidiane na huyo kaka yako” hapo nilipumua nikamshika mkono kaka mlinzi tukawa tunaelekea getini.
“Umesikia wewe usiogope me nitakutetea”
“Naogopa nisije kufukuzwa kibarua changu na usawa huu unaujua mdogo wangu”
“Weee mwanaume bro usijari inshuu hii hata angejua mzee bado ningesimama upande wako” nilijidai kumtia moyo japo pale nilikuwa naanya tetemo mwili mzima nikijua kaka aliniona nilichokuwa nafanya na zaidi aliyasikia ya kule ndani.
*************************†**********
UPANDE WA CLEMENTINA.
Ngooo ngoo ngoo ngooo(mlio wa kugongwa kwa mlango ulisikika)
Moyoni mwangu nilijawa na aibu sana huku nikijiona ni mtu nikiyepata rahana kwa namna mambo yalikuwa yanaendelea pale ndani “sijui nifanye nini mimi clementina? Maisha haya mpaka lini lakini mimi sina tofauti na wale makahaba wanaojiuza lakini mimi naweza kuwazidi wale pia maana nimetembea na baba, kaka, mdogo wangu na leo mlinzi wetu hii ni rahana kubwa me ni bora tu nife” niliwaza na kuwazua na kiukweli nilikuwa nimesongwa na lindi kubwa la mawazo niliendelea kusikia ile sauti ya mlango kugongwa ila sikuwa pale tena niliwaza mbali nilijaribu kujitahidi kuamka nikashindwa machozi yalinitiririka mithili ya chemchem au kijito cha maji yakianzia kweny mboni za macho yangu kutelemka mpaka kwenye mapaja yangu. Nilikuwa uchi la hasha nilikuwa mithili ya mnyama aliyetengwa na jamii yake nilitamani kujitetea na kujaribu kutaka watu wasiijue ile siri ya ndani ya familia yetu lakini “hivii hii siri itaweza kudumu? Na kibaya zaidi mama akijua mimi natembea na baba itakuwaje? Mimi si nitarahaniwa lakini tayari nina raana hata kabla ya mama kulijua ili”
“Wewe clementina ebu fungua mlango ina maana usikii kama nagonga” ilisikika sauti ya kaka clement kwa nguvu hapo ndo nikarudi kweny akili za kawaida nikakimbilia bafuni nikawasha maji nikarudi na kuwasha redio kwa sauti ya chini kidogo nikaruhusu maji kurowanisha mwili wangu lisha nikanyanyua kanga na kujifunika nikasogea hadi mlangoni nikafungua mlango.
Kaka clement tayari alikuwa ameshaondoka pale mlangoni kwangu alikuwa karibu na kitasa cha chumba chake nikamuita kwa sauti ya kukwaruza “clement vipi?
Clement aligeuza shingo akanitazama huku akiashilia mkono kweny kitasa na kunisogelea mpaka pale nilipokuwa mlangoni kwangu tukakutana uso kw uso.
” vipi una matatizo gani” Aliongea huku ananitazama usoni.
“Hapana nilikuw bafuni naoga sikusikia na hivyo nimewasha na radio ndo kabisa”
“Unanidanganya sio? Macho yako yanaonyesha una shida na inaonekana ulikuwa unalia unaweza kuniambia ni nini?
” hapana tu nilimkumbuka mama tu sio kingine
“Kwahiyo kumkumbuka mama ndo kunakuliza, hahaas nyie watoto wa kike kwa kudeka nimekaa na clinford hapo nje hata habari zaa mama yake ajaniuliza na anajua nilipitia uko”
‘We mgeni na clinford? Yule yeye anajari mambo yake tu hana muda na mtu”
“Hahaaaa nafurahi kukuona tena dada yangu mmmh umependeza lakini” aliongea huku ananitazama kifua changu na maeneo ya kiuno changu.
“Haaa no si ni kanga tu hii jamani we kaka” niligundua ile kanga ilinasa mwilini vilivyo na kwakuwa sikuwa na nguo yoyote ndani ilikuwa rahisi kuniona na isitoshe niliipandisha juu sana kiasi kwamba mapaja yalionekana.

“Mmh ebu kwanza” alinisikuma kwa ndani na kufunga mlango huku suruali yake kwa mbele ikiwa imetuna haswa tayari kwa mashambulizi mie nikawa sijielewi nizuie vip na hapo dakika 30 nyingi nimetoka kulala na mlinzi kwa hakika kama nitadate nae atajua tu hapa kuna mtu kapita muda huu nitafanyaje sasa.

Wakati nafikiria hivyo uku nimesimama mfano wa sanamu la askari posta, alishika upinde wa kanga yangu na kuivuta pyaaaaaaaa!!! Nilibaki mtupu nilishindwa hata kuiwahi. Alinivamia akaanza kunyonya matiti yangu muda huu nikijaribu kumzuia akaingiza kidole chake kwenye papichu yangu. Nikaruka km mwehuu noooooooooo.


ITAENDELEA

UTAMU WA MCHEZO – 3

Related image


Chombezo : Utamu Wa Mchezo
Sehemu Ya Tatu (3)

“naenda kwa kajuni rafiki yangu nasoma nae kuna maulid kwao”

“maulid wapi unaenda kwa tinah wewe, hivi uoni aibu wewe? Sasa kama mjanja toa mguu wako hapa”

Niliingia bafuni nikiwa na hasira na maneno ya dada cleme najuta kwanini nilimwambia ni bora ningeondoka zangu.

Nilipomaliza kuoga nilinyoosha vizuri kanzu yangu nikachukua na suruali yangu nyeusi nikavalia kwa ndani na sendo zangu nilizonunuliwa na dada cleme mwezi mmoja uliopita nazo nilipigilia kwani nilijua fika ukimfatisha dada cleme basi nitamkosa mtoto salha ambye siku ya kesho saa tisa mchana anaöndoka kwenda india huko kurudi mpaka baada ya mwezi. Nilijipulizia body spray yangu kisha nikageuka upande wa pili kwenye kioo na kujitazama nikaona kuna kasoro kwenye nywele zangu nikachukua wese nikajipaka kabla ya kupitisha kitana “sasa hapa nipo fit tatizo kutoka hapa yani ndipo lilipo tatizo lakini lazima niende”

Nilipiga hatua kadhaa kabla sijafikia mlango wa chumba changu, nilitazama kitasa kama kilikuwa kigeni kwangu na nilikishka kwa tahadhari kubwa kabla sijakibinya na kufungua mlango taratibu nikapenyeza kichwa kisha kiwiliwili na kurudishia mlango pia kwa mwendo uleule wa taratbu. Hapo nilikuwa natafuta mlango wa nyuma na nikaupata kwa kutumia udhaifu wa sauti ya sebure na mimi nikafungua mlango na kutokea nje sikuwa na muda wa kuremba hapohapo nikamwangilia halipo mlinzi nikajua atakuwa ameenda kutafuta kahawa ngoja nitumie upenyo huu kuondoa ushahdi kwani endapo angekuwepo yeye ningetumia kiswahli kingi ili anielewe.

Wakati natoka nilimuona jimmy jirani yetu yupo na gari nikaona hii ndiyo fursa kwangu kuchomoka ukizingatia gari lenyewe full tinted “inakuwaje jimmy?
“poa niambie mdogo wangu!

“poa kaka unaelekea wapi now?

“naenda msasani”

“naomba lift kaka utaniasha mbelembele nitajua nitaunga unga mpaka nifike safari yangu”

“okey panda twend”

“waenda wapi tena naona umetupia kiostadhi, asalam walekyu?

“naenda hapo kwa mtoto mmoja si unajua tena bro, walekyu mslam”

“upo njema mdogo wangu sema nini sista yupo?

“hehehe mzee huyo anarejea home, nashukuru kaka la sivyo angenikuta njiani”

“kwani haujaaga?

“nimemwambia sista sema sasa si unajua mzee naye mtata haswaa, hivi uliniuliza kuhusu dada cleme aha yupo haende wapi?

“anhaa nimeongea na bro wako clement ananiambia yupo arusha field”

“yeah kaka kama wiki ya pili sasa anatafuta maisha nae”

“naomb namba ya sister basi”

Alinikumbusha jambo kwani nilikumbuka hata simu nilisahau nilipoichomeka chaji ndio hapohapo ila atajua mwenyewe.

“kaka eti ona simu nimesahau ila namb yake ya airtel ninayo kichwani leta nikuandikie”

Alinipa sim yake nikamuandikia kisha nikashangaa anaelekea upanga mahali ambpo nilikuwa nakwenda pia.
“kaka unaenda upanga kwenye kule ubalozini?

“napita ubalozi kuna kitu nafatilia”

“basi niache hapo ubalozini”
***

Baada ya kumpiga mkwara cliff nilirudi kwa wageni nikapiga nao stori mbili kadhaa kabla dadie nae kufika ndipo nilinyanyuka zangu na kwenda kuangalia chakula maana njaa nayo ilinikamata si mchezo maana toka nimekunywa juice saa sita mpaka now sijatia kitu tumboni. Nikiwa jikoni gft nae alikuja.

“dada cleme eti clifford yupo wapi?

“yupo chumbni kwake nimemsema huko kaamua kwenda kulala”

“jamani kwanini sasa?

“sasa saa kumi na mbili hii anataka kwenda wapi nimemkataza asitoke”

“ngoja nikamuamshe”

“amenuna yule mtagombna huko”

“aah ntambebeleza atanielewa”

Nilimuasha akaongèe nae huku mimi nikiendlea na kazi ya kula mara akarudi tena gft “dada hayupo mbona?

“wewe!

“hayupo kweli”

“mh cliff huyu ni mbishi hata aelewi la mtu”
Tulitafuta tafuta na wewe nikagundua mlango wa nyuma umefunguliwa nikajua ni yeye katorokea nyuma nikawasha simu yake kuangalia aliyechat nae mara ya mwisho nikaona salha mahindri nikapiga ile namba. Ilíita muda mrefu bila kupokelewa.
“basi gft ameenda kwa demu wake salha mtoto wa kihndi”

“mböna umenyong’onyea hvyo dada”

“gift ebu niache nina stress zangu”

“stres hzo zimekuja baada ya cliff kuondoka au demu wake kutopokea simu?

“unajua gft nitakuzabua makofi wewe unachukulia easy eti?

“ebu achana na mimi nina stress zangu”

“mh dada cleme hizo stress zimekuja baada ya kugundua cliff kaondoka au demu wake kutopokea simu?

“gift usinisumbue ntakuzaba makofi wewe unachukulia easy tu”

“mh haya dada nisamehe usinizabue makofi dada yangu”

“fyoooooo”

“jamani dada cleme mimi nimekosea nini mpaka unifyonye?

“utajijua mimi naenda kulala maana hapa nishavurugwa, ukitaka kulala ukalale huko chumbni kwa cliff au kile chumba cha tatu cha wageni”

“dada cleme me naogopa kulala peke yangu”

“bwanaeee unanidekia me bwana ako kama hauwezi kesha”

Nilifunga mlango wa chumbani kwangu kwa nguvu nikamuasha dogo gift amesimama anaongea pumba zake “èeh haya makubwa sasa huyu cliff hatatuua wengi hata wewe nawe?” nililinyamazia lile fumbo huku nikiupa nafasi ubongo wangu utafakari lile jambo kwa kina kabla sijalitolea maamuzi.

“wewe gift hilo fumbo unampa nani?

“jamani dada mbona sijaongea neno baya”

“aya wewe ingilia mambo yasiyo kuhusu na ushambenga wako huo utakutokea puani”

Alinitazama yule mtoto hata kabla sijafunga mlango nilisikia sauti ya dadie ikiniita “clementina clementina hey clementina”

“yes dadie am coming/nakuja baba, halafu wewe punguza dharau mdogo wangu bado mdogo wewe”

“hiiii dada cleme jamani”

“nyokooo dada dada toka huko”

Nilijifunga kanga yangu vizuri kisha nikawa naelekea sitting room kwa mwendo wa madaha kidogo huku naashia tabasamu pana.

“yes dadie”

“wageni wanataka kuondoka sasa mtabaki na gift atakuwa anajisomea na mwenzie cliff”

“hamna shida dadie, jamani shangazi hamlali naona muda umeenda”

“aah hapana shangazi tuna majukumu ya kikazi tukichukua likizo basi tutakuja hamna neno”

“sasa cleme ebu muite cliff wageni wana jambo wanataka kumwambia” aliongea dadie.

“dadie cliff ametoka ameenda kwenye sherehe ya rafiki yake kuna muda alikupigia simu ukupokea”

“anhaa ndio ndio nilitingwa lakini huwa sipendi huyu mtoto atembee usiku lakini sawa hamna neno, dada cliff ndo jembe langu nalitegemea sana sana yeye ana masihara kwenye kitabu”
“mmh dadie ina maana mimi na kaka clement sio majembe yako?

“aah nyie mmeshakua namuangalia huyu mdogo wenu kitinda mimba”

Nilitabasamu tabasamu la uongo huku nikijiwazia moyoni “huyu dadie angejua huyo clifford alivyo mshenzi hata asinge mwamini ila siku zote maji ufata mkondo” yalikuwa ni mawazo yangu akaja gift nae nikamkumbatia kana kwamba nampenda sana kumbe mpaka sasa ameshanichefua si mchezo. Tuliwasindikiza wageni na sisi watatu tukarudi ndani.
***

Kaka jimmy aliniasha mitaa ya ubalozi sasa hapo mbele alinieleza salha kuwa pembeni na ubalozi ndipo wanapokaa wao sasa pakanishanganya maana kuna nyumba tatu zimepakana na ubalozi nikapiga hesabu za haraka haraka nikapata jibu, jibu lenyewe lilikuwa ni kwenda kugonga hodi kila nyumba kati ya hizo tatu.

Nilipiga hatua kadhaa nikafika kwenye nyumba ya kwanza nikachungulia getini nikaona watoto wa kihindi wawili yani wa kike na kiume wanacheza folleyball nikajisemea itakuwa ni hapa nikabofya kengele. Wale watoto wakastop kucheza mpira wakaelekeza macho yao getini na wa kike akaanza kuita kwa lugha ya kihindi hapo kwangu ikawa chenga tu. Nilisubiri ndipo wa kiume akaja kufungua mlango.

“hello how are you boy?/hu hali gani mvulana?

“am fine what do you asking for?/unaulizia nini?

“am asking for salha is she around?/namuulizia salha je yupo?

“are you ostadhi or?/wewe ni ostadhi?

“yes i am/ndio ni”

“wow okey get in, she is cooking/wow ingia ndani yeye anapika”

Nilifurahi sana baada ya kujua hapa nimelenga penyewe na shabaha yangu haikupotea bure, niliingia mpaka ndani nyumba ilikuwa nzuri sana huku kuta zikipambwa na picha nyingi nyingi za kuvutia. Nilipita hadi sebureni nikashtuka kuona kuna zuria/carpet la manyoya sebure nzima hapakuwa na kiti zaidi ya tv ya flat iliyokuwa ukutani na dekoda iliyochini yake, home theater basi. Lilikuwa ni jambo geni kwangu ila hapa tayari moyoni mwangu nikajua nimeingia sehemu yenye dini kwelikweli maana kitendo cha kukaa nikaokota kitabu kilikuwa cha mafundisho ya dini ya kiislamu. Dogo yule wa kiume alienda kumuita dada yake na huyu wa kike aliwasha tv na kuweka channel ya cartoon si unajua tena watoto na katuni. Humo ndani kinazungumzwa kihindi na kiingereza labda tuseme kihindi 55%, kiingereza 35%, kiswahili 10% ila nilipenda life style yao tu.

“hey ostadhi karibu jamani hug me please/nikumbatie tafadhari”

Nilinyanyuka fasta fasta unajua tena mtoto kakuashia body nikamuashia na la kwangu tukakumbatia takribani 6minutes kisha akanivuta mpaka jikoni akafunga mlango kisha akaninong’oneza masikioni “usijari kuhusu hao madogo there are don’t care/hawajari”

Salha alinivuta mpaka jikoni na kufunga ule mlango kisha akaninong’oneza “usijari kuhusu hao madogo”

“mmh”

“waguna nini sasa kesho me naondoka we fanya kazi ya kuguna upoteze hii bahati na unajua me nikienda india kurudi narudi na wazazi and then nikiingia ndani kutoka shda”

“nimekuelewa hny but vipi sasa kuhusu majirani huwa hawaingii huku?

“si mpaka wafunguliwe geti maana hata wewe ulivyokuja nilikuona nikiwa huku juu”

“poa sasa malizia kupika tuswali”

“hahaha ostadhi unaona biliani inavyopikwa? Unajua au wewe unajua kula tu?

“mh sijui ndo unifundishe maana pale nyumbni me ndo chief cooker/mpishi mkuu”
“mh giant genius wewe unaweza kupika kweli wewe?

“salha umenidharau hvyo me hapa napika kila kitu kasoro hiyo biriani pishi lake sikuwahi kukutana nalo”

Salha aliingia ndani ya kabati akatoa kitabu cha mapishi akafungua hadi page namba 34 akaanza kunionyesha hatua za kuandaa ukitaka kupika biriani nikaona maelezo ni kwa kihindi ila chini palitafsiriwa kwa english nikaona hiki kinafaa kuondoka nacho. Niliendlea kuvumilia harafu na hapo ilikuwa michale ya saa mbili kasoro niliweza kumsikia adhana kwa mbali kidogo ila kwa nyumba yao hawa wanapiga nyimbo za kihindi 24hrs, nilimtazama salha nikatazama uzuri wake na vile nywele ndefu zilizoning’inia mgongoni mtoto model tena hapa kiunoni pameingia ndani na kutengeneza umbo la nane yani ni mweupèee na hii kwangu ilikuwa ni nafasi ya kipekee ya kula tunda tena tunda adimu. Niliona mikono yangu ikitetemeka maana nilitamani kumshika salha kiuno chake ila nilijawa na uoga kweli ila ile sauti kubwa ya redio sijui tv ilinipa morali na ujasiri wa aina yake nikawa nami sterling wa kihindi suon deo nilisogea taratibu na kufika hadi kisogoni mwake kisha nikashika kiuno kwa mikono miwili mtoto alishtuka akajigeuza kwa mbele tukawa face to face nilitazama macho yake nae akanitazama pia nakumbuka jay rafiki yangu ambaye nae ni mhindi aliwahi kuniambia mwanamke wa kihindi anapokutazama usoni hapo ndipo anapoanza kupata hisia na wewe na kuuona upendo wako kwanzia machoni maana wao hufanya mapenzi kwa hisia sana ila macho ni kiunganishi cha hayo yote kwani anapokutazama anaweza kuhisi upendo wako kwake kupitia macho yako.

Nami somo liliniingia na kuruhusu bibie kuyasoma macho yangu na wakati huo nachezea nyonga yake laini hamna mfano, niliona mboni ya macho yake inaanza kufifia na kope zake kufumba na kufumbua huku ishara ya machozi kujaa ndani ya jicho lake na lilipojikusanya lilitengeneza chozi zito lililotelemka taratibu kukatisha kwenye kope za chni na kushuka katikati ya pua kuja kwenye mashavu kuelekea usawa wa kidevu “salha why this au ujapenda?

“hapana cliff naona upendo wako kupitia macho yako”

“ndo unakufanya utoe machozi?

“hapana cliff mimi silii ila nafurahi kuona unanipenda halafu wewe ni mwanaume wa kwanza kunifanyia hivi”

Nilimshangaa salha yani pale hata picha alijaanza kapagawa na machozi kitita je nikianza itakuwaje lakini sikutaka kuonyesha papara nikamuasha amalizie kupika mimi nikaketi pembeni huku gobore langu likiwa limesimama si mchezo nikawasha data na kuingia whatsap kwenye kagroup ketu kwa watoto wa shaban robert. Nikakuta wakina calvin, paul, soud, rashma, rukia, sadati, shei wakiwa wanachat me nikaweka kibonzo cha kutoa mshangao.

“unashangaa nini giant? Aliuliza calvin

“utwambie giant naona unapiga msuli utukimbize tena next term” alidokeza dada rashma.

“mmh mnajua vizuri cliff au mnamsikia huyo asomi ila ubaoni namba moja dah kweli kuna magenius na wengne wasindikizaji” alitype rukia masoud.

“hivi ni kweli giant genius huwa asomi? Aliuliza dada shei

“anasoma bwana we unamsikiliza rukia” alijibu calvin my best friend

Nilicheka tu walivyokuwa wanachat mimi nimetulia zangu mara nikaweka kikatuni cha kukimbia baada ya kuona salha ameshamaliza mambo yake.

“aaha giant rudi bwana” aliotype rashma na rukia kwa pamoja.

Ila mimi nilichofanya ni kuzima mobile data kisha nikanyanyuka kwa spidi kidogo nikamfata salha aliyeegemea kwenye kuta za jiko kisha nikaanza kuchezea kitovu chake kilichoingia ndani, nilifanya hivyo kwa muda kabla ya kupandisha hadi kwenye chuchu zake na uzuri vilikuwa vidogo mno hata sio vya kuvaa sidiria nilitazama chuchu zake na kuzibinya binya kisha nikaanza kuzinyonya huku natoa kanzu yangu mpaka nikabaki kifua wazi hapo utamu ulikuwa mkubwa na mimate ilikuwa inanitoka huku mtoto nae alikuwa anajizuia kulia zaidi alibana meno yake ila kilio kilipenya kwa mbali na kadri nilivyokuwa naendlea sauti ikaongezeka. Wakati miili yetu ndo imepata moto mara tukasikia honi kali geti kwakuwa sisi tulikuwa ghorofa ya juu tulichungulia khee “giant my uncle go in this direction/ni mjomba wangu nenda usawa huu”

“niende wapi sasa?

“nenda huko juu ya tank kabisa”

nilitoka na singlend yangu na suruali yangu nyeusi hadi huko juu ya tank duu.


Nilibaki kwenye tank la maji kule juu nikiwaza namna ya kufanya maana kulikuwa na ubaridi kweli na vile nilikuwa na singlend baridi lilipenya mpaka kwenye mifupa.

Taratibu usingizi nao ulianza kunichukua ila kulikuwa na mbu wengi mno waliokuwa wananisumbua hamna mfano. Wakati huo nikitafakari juu ya uamuzi wangu kuamua kuja kwa watu kwa kukurupuka bila hata kufikiria.
“yani leo nitalala huku kwenye mbu namna hii, yani najuta ni mara kumi ningemwambia tukutane sehemu kuliko nilivyofanya ona sasa kumbe uncle wake huwa anakuja na hakuniambia yeye alisema wamebaki wenyewe?”
Tafakari yangu ilishtushwa na sauti ya kitu kilichogonga tank la maji mfano wa jiwe. Nilisogea mbali kidogo ili kujilinda na ile hali ambayo kwangu iliniogopesha na alarm ya hatari ilianza kulia kichwani mwangu huku heart beating/mapigo ya moyo yakizidi kuongezeka. Kwa mara ya pili lile tank likagongwa tena na jiwe kubwa zaidi huku nyuma ikifatana na sauti ambayo nilihisi ilikuwa ni ya salha ila sikuwa na uhakika mpaka aliporudia kwa mara ya pili na tatu “clifford clifford ebu shuka bwana mbona muoga”
nilitoka kule mafichoni huku ninanyata na kufika mpaka usawa aliopo salha japo mimi nilikuwa kwa juu hivyo nilikuwa namtazama kwa kuibia ibia maana nilihisi uenda kuna mtego wa kunikamatisha.

“njoo bwana ameshaondoka mbna muoga hvyo mtoto wa kiume wewe”

“aah salha jiangalie wewe mtoto wa kiume na mwili wa chuma na maini ya plastiki, kujiamini hata simba ufanya hvyo, haya niambie ameondoka kweli?{hapo niliongea kwa sauti ya chini mno}”

“kitambo alileta tiketi za ndge kwa ajiri ya hiyo safari ya kesho, ndo nikawa nakuandalia chakula my hubby”

“madogo wanajuaje sasa? Nimeondoka au nipo?

“wanajua umeondoka ila utarudi, sema ngoja nikawafukuze wakalale ili tuwe huru”

Sikutia neno hapo maana nilikuwa na hamu ya kula biliani na yale mambo matamu matamu ya chini ya kapeti. Salha aliondoka nikasikia sauti yake akiwakaripia wadogo zake baada ya kuzima tv iliyokuwa na sauti ya juu japokuwa sikuelewa lugha maana waliongea kihindi.

Tuliketi mimi na salha tukila hiyo biliani wakati huo watoto wamelala ilikuwa raha kwani salha alikuwa amenilalia hata kula akutaka yeye na mimi anadeka tu.
***

Wakati nipo usingizini nilisikia mlango wangu unagongwa nilishtuka nikahisi uenda cliff amerudi nilinyanyuka nikachukua upinde wa kanga kisha nikajifunika kwakuwa sikuvaa kitu chochote ndani.

“nani?”
nilijaribu kuuliza ila sikupata jibu zaidi ya ile hali kuendelea.

“wewe cliff nini unataka?

Bado sikupata jibu nikaamua kufungua maana kwa asilimia kubwa nilijua atakuwa ni cliff maana yeye ndio mwenye masihara ya hvyo. Kitendo cha kufungua mlango nilibebwa mzobemzobe na kubwagwa kitandani huku kanga yangu nikiiasha chini baada ya kutoka maungoni mwangu.

“no no daddy i can’t do that”

Nilijaribu kumzuia baba asinifanyie huo ujinga wake maana nae alikuwa ameshadondosha taulo lake na moja kwa moja alianza kuninyonya maziwa yangu huku akinichezea kinena changu nikiwa natetemeka huku machozi yakinidondoka na sauti ya kilio cha kwikwi ikinitoka bila hata kujijua. Dady alinifunga mdomo kwa lengo la ile sauti isipenye na gft akasikia.

“cleme punguza kulia basi si unajua mama yako hayupo”

Nilimtazama tu bila kujibu wakati huo tayari alianza kuniingiza dudu lake huku akitoa misauti yake.


Nilitoa machozi hata sikutaka kufurahia na kuungana nae kufanya ule uchenzi na dadie kabisa.

Yeye alionyesha alikuwa na ugwadu wa muda mrefu maana toka alipoingza boo lake ilichukua takribani dakika30 hakuchomoa wala kukojoa yani mzee huyu mchana ananipenda mno na kunipa heshma zote ila usiku ananilala mwanae wa kunizaa na mbya zaidi bila kondom na ili hali inasemekana ni malaya wa kutupwa hata marehemu mamdgo rose alitembea nae ndo kikawa chanzo cha marehemu kugombana na mama alipoondoka kwenda chuo huko mzumbe akawahi kurudi mpaka alipofariki.

Nilipata maumivu hasa baada ya ule ute kwny k kukauka na kufanya msuguano uwe mkali/high friction na hapo ndipo yowe zilizidi maana nilishndwa kujizuia ila akaniziba kwa kiganja cha mkono wa kulia. Huku akiendlea kusugua taratibu
“clementina ebu jaribu kujilegeza na akili zako ziweke hapa bila hvyo utaumia zaidi ya mwanzo” alizungumza kauli ambyo kwangu ilikuwa kama kibehi.
Wakati huohuo alijivuta na kusogelea dressing table yake akachukua lotion akatikisa na kujipaka boo lake kisha akanipaka kwny papichu yangu kisha akazamisha vidole viwili kisha vitatu uchezeaji ule ulianza kuamsha hisia za kungonoka zikanipanda taratibu nikaanza kulia utamu huku nabana mapaja yangu ila nakshi yenye akish ndani yake.

“hodi dada cleme, dada nasikia unalia vipi umenaumwa?
****

Niliendlea kumchezea salha ila kwenye nyeti sikuweza kufanikiwa kufika maana alijaribu kunizuia kwa mikono yake na kuna muda alikimbia nilipojaribu kumshka, hali ilipojirudia nikabidi nimkaripie.

“hvi wewe salha una matatizo gani?

“cliff naogopa unajua sijawah kusex”

Kwa yale maneno sikuweza kusadiki kuwa hakuwah kusex maana uwezi hamini wakati flani alikuwa anasugulisha mk*** wake kwenye goti langu na kuniamsha zaidi hashki za kugongana.

“am sorry cliff siwezi kufanya kwa njia hiyo”

“njia hiyo!

“ndio naogopa mama akijua’

“me nipo tayari vyovyote ili mradi nipate utamu”

Nilijiaminisha kama ule mzgo naula kwani salha alikubali kutoa chupi yake na kuanza kuinyonya mb** yangu nikaona hapa raha ntapata na chenji hairudi.
***

Baada ya kuchèzeana kwa muda mrefu ukafika ule wakati nikashka rungu na kuanza kulifikisha wakati salha ameenda kunywa maji.

Nilishangaa salha alibadili mlango na kuikalia huku zenji/nyama ya bata au wengne wanaita tigo akakalia yote mpaka ikazama bila kikwazo kisha mtoto wa kihndi alianza kukata mauno feni na huku nikishangaa kuona kwa mara ya kwanza nala tgo

Niligugumia utamu ule nilioupata kutoka kwa salha huku nikiendlea kushikiria kiuno wakati salha anajikunja kunja kama dolphn ila kwa akili zangu za kawaida ningekujua kama kuna kufanya ule usodoma nisingeweza kukubali ila kwakuwa nimechomekewa ngoja nitafute hiyo nyama ya bata.
Baada ya bingili bingili la muda mrefu tulipumzika pembeni huku nikijawa na maswali meng juu ya kale kamchezo haramu ka kupeana nyama ya bata na huku wengne hatuna uzoefu huko, nilimeza funda la mate kabla ya kurekebisha koo langu tayari kwa kutoa dukuduku la moyoni lakini nilikumbuka kitu kama wazo vile “ebu ngoja nimfanyie umafia kwa style moja kisha naingiza mbele nijue kuna nini au bikra huyu anagawa mbele na nina wasiwasi yule uncle wake aliyekuja atakuwa ndiye anapakua huu mzgo aghaa kama kunichukia na iwe hvyo mademu wapo kibao na tena namfanyia kusudi nammwagia humo humo liwalo na liwe” nilijiwazia huku macho yangu yakionyesha kutazama kifuani kwake ila akili ilikuwa mbali na kumbe muda wote ule aliniuliza maswali sikumjibu akajua namfanyia kusudi.

“yani cliff nakuuliza maswali unanitazama tu sawa, umeshapata ulichohitaji”

“bado sijapata nilichokihitaji” nilijikuta naropoka.

“khaaa! Cliff unahitaji nini kutoka kwangu”

Baada ya kuona nimeharibu kwa kauli ya kukurupuka nikamvuta mpaka kifuani tukawa tunatazama ila cha ajabu alijipindua na kunilalia kwa mgongo, hapo alizidi kunichanganya na kuzidi kuipalia hasira yangu nilitaka kujua kwanini alikuwa anazuia huku kwa bibi nisile ningeanza kumpoteza mawazo kwa kuonyesha sijali ile hali zaidi niliendlea kumchezea chuchu zake naye akakamata mtambo akaupaka mate na kuanza kuhusugua kwa kiganja chake ndo akaamsha madudu yangu nilimgeuza akakaa dog style toto hili la kihindi linanenepa mkalio kumbe linaliwa tigo ili kulinda hapo baadae haonekane ilijitunza sasa mimi kwa hili nataka nimtibulie malengo yake maana najua kama kuolewa ataolewa na mhindi mwenzie cha muhimu ni kumpelekea humohumo atajua mwenyewe. Nilimpelekea kwenye tgo kama dakika mbili kisha nikabinua zaidi kiuno nikaiona imekaa poa nikapitisha moja kwa moja mpaka ikazama yote mtoto alilia sana mpaka nikamuonea huruma alivyolia ila nikasugua kwa nguvu mpaka damu zilianza kuvuja kwa wingi hali hiyo ilinishtua sana.

Nilijifanya kama sisikii kile kilio alichokuwa anakitoa salha na zile damu zilizokuwa zinamtoka japo hazikuwa nyng ila kwangu havikunipa uoga wowote maana hali hiyo nimewah kukutana nayo hapo kabla.

Nilikuwa na alama za kucha mgongoni na meno begani mwangu huku uso ukiwa umevimba kwa makofi hadi tendo halikuwa na raha tena maana nilitumia ngvu zaidi na huku salha hakiwa hataki ila maji ndo nimeshavulia nguo niliendlea kusugua mpaka mwenyewe hakaishiwa nguvu akawa analia tu maana kama bikra ndo imeshatoka tena. Niliendlea mpaka nikasikia wazungu wanakuja nilishndwa kujizuia nikamwaga humo humo mchezo ukaishia hapo nikajilaza pembeni hata k yake sikutamani kuiangalia maana ilinichosha ghafla tu. Salha alionyesha alikuwa na hasira na mimi hakutaka kunitazama zaidi ya kulia na kunilaumu yani hasira zake sijawah kuona maana alianza kutoa shuka na godoro na kuviweka chini nikajitazama na kumtazama nikaona nilimkosea ila kwa wakati ule nilihitaji kuoga niliingia bafuni nikawasha shower na kuanza kuoga mara akaja hadi chooni na kufunga maji huku anafoka “unaoga kwa raha gani na umeshaniharibu toka bafuni cliff”
nilimtazama na kichup chake nikamshka na kumvuta kifuani kwangu nikawasha maji na kuanza kumla maziwa yake hapo alikuwa kimya wakati huo nampapasa sehemu zote za mwili wake ila papichu yake hakutaka niishke kabisa zaidi alibana mapaja na kunipa wakati mgumu maana dudu liliwaka si mchezo, nilimshka nyonga nikamnyanyua juu na kumkalisha kiunoni mwangu hapo ikawa nzuri kwangu kwani nilifanikiwa kumdhibiti nikachezea papichu yake kwa chini ila ilikuwa kiharagwe sio yenyewe nilitaka asikie raha kisha nitumbukize mtambo wa kusagia.

Kilio kilikuwa zaidi ya mara ya kwanza unajua ukitonesha kidonda japo nilijaribu kusugua taratibu mno ila alilia kuliko awali na kufanya wadogo zake waliokuwa chumba cha pili kuamka na kuja kugonga mlango nilimziba mdomo hapo nikapata nafasi ya kupiga bao jingne amblo lilitoka kidgo mno kisha nikamkumbatia kwa muda huku akilia kifuani mwangu wakati huo madogo bdo wanagonga mlango huku anaongea kihndi sikuelewa hata moja zaidi ya kusikia jina.

“cliff baki hapa ngoja nikawatimue hao wakalale”

“sawa”

Aliondoka na kuniasha nashangilia mwenyewe kama vita nimeshnda yani nilikuwa kama crazy “hahaha kwisha habari yake maringo tupa kule”
nilijisemea kwa sauti kidogo ila nilishtuka kidogo baada ya kusikia salha akiwafokea wadogo zake kana kwamba wao ndo waliomkorofisha kumbe watoto wa watu walionyesha mapenzi kwa dada yao. Ghafla ukimya ulitawala kisha mlango ukafungwa kwa nguvu mno.

Aliingia bafuni kama mbogo akanirushia taulo “jifute uondoke cliff”

“mbona sikuelewi salha?

“uelewi nimeongea lugha yako unataka nikiongeleshe kihindi eti? Toka kwani hauna kwenu cliff

“sawa natoka”

“do hurry up utoke nimeshoka na harufu yako inanitia kinyaa”

Nilimtazama salha kwa jicho la huruma angalau anihurumie maana saa tisa usiku kutoka upanga mpaka nyumbani masaki ni hatari kama ujuavyo usiku. Ila sijui sina uso wa huruma ama nini yani alinitolea kauli ileile kuwa ataki kuona kivuli changu.

Nilianza kutembea taratibu na kufata ile barabara “mwanamke katili huyu, ila na mimi nimemkomesha kweli leo hatakaa anisahau kama mimba imeingia atajua na mama yake ngoja niangalie kama nitapata bajaj nilisimamishe japokuwa amenitimua afadhal elfu ishrini zake zitasaidia usafiri” nilikuwa najiuliza na kujijibu mwenyewe na nilikuwa naongea kwa nguvu kana kwamba tupo kikundi. Nikaona kunyoosha na road safari itakuwa ndefu nikakunja mtaa wa wahndi huyo nikaanza kukata mitaa uzuri nikakuta watu wengi wamekaa sehemu wanakunywa kahawa na mimi nikajiunga nao, nahisi wale ni walinzi wa majengo ya pale maana hata msukuma yule mlinzi wa home nae anapenda kukaa na wenzake kunywa kahawa nje ya geti. Stori zilizokuwa zinaongeleka ni za uchaguzi tu na mpira nikaona nitoe ofa ili jamaa asiondoke nikiitafuta saa kumi na nusu nianze safari.

“wape wote kahawa bro ntalipa mimi”

wakati anamimina kahawa ghafla zilisikika risasi kuja upande wetu.


Ule mlio wa risasi ulizikusogea upande tuliokuwepo nikiwaangalia wenzangu kama wamezubaa yani ni mimi ndio nilikuwa na kitete nikakimbilia ndani kama liwalo na liwe. Baada ya mimi kuingia ndani huko nje nili$ikia mpanganyiko nikajua kimenuka haswa kama bahati kulikuwa na beseni kubwa langu lilowekwa nguo ila hazikulowekwa nikaingia na kujifunika na mashuka yale yaliyokuwa na harafu ya marashi na hubani kwa mbali nikajua ndo nyumba za kihindi wanapenda mambo hayo.

Nikiwa mule nilisikia purukushani kwa muda kisha hali ikarudi kuwa tulivu nikajiapia kuwa sitatoka pale mpaka ntakapoona miale ya jua ndio safari itaanza.

Usingzi ulinipitia yani niliona kama kitanda kumbe nipo ndani ya beseni kumbe muda mrefu palisha kucha mimi nipo usingzini na ulalaji wa mule hakuna kujigeuza ni upande huohuo mmoja mpaka miguu ilipata ganzi.
“mamaaaa mtu”
kelele zile zilinishtua sana ikabidi niamke na kujikuta nimesimama hata sijui ilikuwaje kuwaje ila nilijawa na woga na sikutaka kupoteza muda nikakimbilia getini ili nifungue mlango ila geti lilikuwa limefungwa sasa yule dada anapiga kelele “kaka nashiruu kuna mtu huku fanya haraka” yani alikuwa anapiga kelele kama za mwizi wakati naangaika kufungua geti nilisikia fagio la mgongo ambalo lilinipeleka mpaka chini.

“wewe umèfata nini humu wewe mwizi?

“kaka mimi sio mwizi si tulikuwa tumekaa wote jana tunakunywa kahawa nje”

“kachanganyikiwa huyu ulikunywa kahawa na nani shenzi unavaa mavazi ya kiislam safi kumbe mwizi leo tunakuchoma moto”

Ghafla watu walijaa nikawa kati huku kila mtu akizungumza lake ila baba mwenye nyumba alikataa nipingwe kwenye nyumba yake hvyo aliamuru wanitoe lile eneo jamani watanzania watu walianza kunipiga mateke kuwa mimi mwizi huku wakitaka nitolewe wanishughulikie.

“jamani cliff mbona sio mwizi tunasoma nae” niligeuka kuitazama hiyo sauti alikuwa naj msichana tunayesoma nae darasa la sayansi kumbe pale ni kwao.

“wewe usiniletee matatizo ebu nenda ndani”

“babu kweli ndio yule mvulana nakuahadithiaga ana akili darasani ndio huyo”

Niliona watu wanaanza kuondoka nikabaki chini pale kisha wachache walianza kunihoja na weng wao walijua nimekuja kumendea binti yani naj kumbe ilikuwa zali kwangu.

“jana usiku nilitoka kwenye party ya rafiki yangu upanga kwetu ni masaki bahati mbya gari liliniasha hvyo nilianza kutembea kwa miguu ndo nikafika hapa nikakuta kijiwe tukaanza kupiga story mara wakatokea majambaz kwa kujiami nikakimbilia ndani”

“aah kumbe upuuzi” waliokuwa wanaondoka wakawa wanaongea kila mtu lake.
***

Nilioga nikaingia jikoni nikachemsha maziwa na kuandaa chai nikaweka mezani ila baba akimaliza kujiandaa anywe hatoki mara ghafla nilimuona cliff akiingia bila salamu akapitiliza chumbani kwake.

“cliff we cliff acha dharau mdogo wangu yani unanipita kama sanamu sawa umekuwa”

Hakunijibu kwa lolote zaidi aliendlea na yake mlango ukabamizwa kwa nguvu kama ana ugomvi nao.

Wakati huo baba alishafika akawa anakunywa chai.

“asante kwa mambo ya jana mwanangu hii siri yako nimekununulia nyumba kinyerezi ila usimwambie mama yako wala hao ndgu zako maana patashimbika”

Kabla sijaongea neno alipita cliff akawa anatafuta chaji akamsalimia hata dadie ila alichukua chaji na kuondoka alienda na kugeuka.
“ndicho mlichokalia mzee mimi nakuomba hela ya shopping unaninyima eti komaa mtoto wa kiume na huku wengne unawanunulia hadi nyumba me nawaashia uhuru wenu naondoka wewe dada si mke wa pili yani unamsaidia majukumu ya kulea familia mama endlea”


ITAENDELEA

UTAMU WA MCHEZO – 2,

Related image

Chombezo : Utamu Wa Mchezo
Sehemu Ya Pili (2)

Niliangalia vitu alivyoleta cliff nikaona ni sawa nikaenda chumbani kwangu nikavaa viatu tayari kwa safari.

Nilipofika sebureni nilishangaa kumkuta tinah na cliff wanaangalia porn.

“hey hey hey tina mambo gani sasa shoga yangu? Si unajua huyo mtoto unaangalia nae vitu hvyo lakini mbona ujiheshimu!

“aah cleme shoga yangu am very sorry, eh umetupia yani umependeza unaenda kwa shem nini?
“umeshaanza hapana naenda mjini tu nadhani sitakawia”

“vipi nikusindikize? Kwanza mjini kubwa hata hapa tulipo mjini wewe unaenda mjini ya wapi?

“wala hata usinisindikize ntaenda mwenyewe, hee bibie huku masaki napo umepaona ni mjini? Yani pamezubaa kila mtu na time zake mtu unashinda ndani kutwa kucha napo utasema mjini me naenda huko zinapoliwa bata”

“hee makubwa, haya mama safari njema na mimi ngoja nitoke”

“eeh wewe hiyo laptop jioni naitaka nina assgment yangu sasa nikurudi tu nitakupígia uniletee, en cliff naomba unisaidie kuniinjikia maharage sawa mdogo wangu?

“sawa ila niletee zawadi”

“huyu nae, wewe kaa ucheze game hapo and then maharage yaungue utanikoma”
¤¤¤¤

Mara zote nikibaki nyumbani huwa napenda kucheza game na kuangalia serias na najikuta siku inaisha kwa style hiyo, mimi tangu tumeamia masaki nimekuwa ni mtu wa kukaa ndani kutembea kwangu ni kwa nadra tu na hasa hasa nikitumwa na dada cleme.

“mmh hapa lazima na mimi ninunue laptop au ipad maana humu ndani wananinyanyasa sana na laptop zao”

Nilijisemea nikiwa nahesabu mkwanja ambao niliupiga nilipotumwa sokoni na dada, ilikuwa ni elfu20 nikijumlisha na pesa ya awali ilitimia laki tano na arobaini na mimi lengo langu itimie mil1.2 nichukue apple kama anayoitumia dadie.

Mimi huwa napenda sana kuchezea sana vitu vya umeme na kuna sehemu nilitafuta chanel ya porn kwenye king’amuzi cha euro hapo kuna mida yangu huwa naangalia hasa hasa alfajiri kama kumi kumi hivi kwasäbabu usiku huwa nasoma na pia dada yeye huwa wa mwisho kutoka sebureni na mitamthilia yake.

Wakati ule naangalia porn na dada tinah ilinifanya nidindishe na mara zote mimi huwa nikipandwa na hisia hasa baada ya kuangalia pornograph huwa najichua hapo ndipo napata usingzi sasa dada amenipunguzia adhabu kwani sasa hivi ninaangalia mambo yangu alafu yakinipanda naenda kukamua kwa sista siku inapita kwani huwa napata kitu chenyewe, japo ni halamu lakini najitahidi kutunza siri ili mtu yeyote mule ndani asijue.

Niliweka ile channel ya makorokosho na kuanza kutazama mapicha picha yangu, mara zote nikawa pekeyangu huwa natoa nguo na kubakiwa na boksa na ndivyo hvyo nilivyofanya siku hiyo pia.

Kitu kilisimama hasa na kaute kale kepesi kililowanisha boksa kwa mbele kidogooo’ nilikuwa naangalia jinsi behind the scene wanavyotengeneza zile movie, mara nilisikia mlango unagöngwa huku naitwa jina langu.

“hodi hodiiiii, cliff cliff nifungulie”

Nilichomoa kadi kwenye dekoda fasta nikakimbilia chumbani na kuvaa nguo kisha nikarudi sebureni na kuact kama nimetoka kulala huku maeneo ya mbele nikiyaficha kwa mto.

“aaaah tinaaa karibu”

“mmh ulikuwa umelala?

“yeah nilipitiwa na usingizi”

Nilijifanya namdanganya tina lakini nikimuangalia usoni alikuwa anatabasamu tu nikaanza kuhisi jambo. “sista tinah mbona unatabasamu hivyo?

“hapana cliff nimefurahi kukuona, hivi cleme anarudi saa ngapi?

Aliuliza huku anaenda kushusha mapazia madirishani na kunifanya sasa niamini tinah hakuondoka ila alikuwa yupo around na uenda michezo yote alíiöna.

“yeye anarudi hapa kama si saa moja basi mbili hivi”

“alafu cliff nina ugumu ujue, ebu kalete ile card ya dekoda tuangalie yale madude uenda nikapoa”

“duuu dada tinah kumbe ulikuwa unanichungulia”

“aaha ni kawaida tu”
Nilienda fasta kuchukua kadi ile narudi nilimkuta dada tinah akiwa na chp na sidiria nyeupe tu huku akijipepea kama vile anajihisi joto na huku nilikuwa nimewasha AC. Mambo haya mimi nayapendaje! Basi nilijisogeza kama mbwa mbele ya chatu yani naenda tu.

“cliff chomeka basi”

“chomeka basi cliff”

Nilikuwa naweweseka kufanya maamuzi kwani dada tinah alikuwa amekaa kimetigo then ananiambia chomeka sasa nichomeke nini eti. Nilikuwa nimesimama bado kisha nikamvamia na kuivuta miguu kichwa kikawa chini na miguu nikaitanua mfano wa mama mjamzito akiwa leba nilimuweka sawasawa na kuanza kupitisha ulimi kuzunguka kitovu chake mimi utundu huu wa kuyafanya yote haya nimeupata kupitia movie za pilau ambazo nazingalia almost kila siku.

“jackson jamani sio hivyo chomeka kadi ya dekoda jamani sio dude jamani utaniua mie jamani”

“aah kumbe nichomeke kadi samahani”
nilijitoa maungoni mwa tinah na kusimama ila kusema ule ukweli msumari wangu ulikakamaa kama nimekunywa viagra.

Niliamua kuichomeka ile kadi nikaweka pasword za ile channel na kama kawaida yao mwanzo mwenga wao ni makorokosho sasa wakati huo ilikuwa porn moja inaitwa “america college life in sexy” yani ukiiona hiyo movie imechezwa kama serias na ina stori kama za kawaida ila kwenye kupakua wanapakuana ukweli ukweli na ilikuwa baada scene2 wanakula mzigo hadi raha yani kwanza stori yenyewe tamu ya watoto wa chuo yani bata zinaliwa chooni, beach, madarasani, ofisini yani huko sio malectures wanafunzi ni kugongana mwanzo mwisho.

Nilitaka kumrusha roho tinah niliweka kisha nikaenda chumbani kwangu huku nyuma tinah alianza kulia akiniita.

“jamani cliff naomba nisamehe nipo chini ya miguu yako naomba nifungulie mlango” alikuwa analia nje ya mlango wa chumba changu.

Nilikuwa nacheka mwenyewe tu ndani “yani huyu demu ana nyge za ajabu eti analilia mb** yangu ngoja nikamsugue mpaka ataomba poo” nilifungua mlango na kumkuta amepiga magoti analia kweli nilimshika mabega kama namnyanyua kisha mwenyewe alisimama nikataka kumbeba lakini nilishinwa kwani alikuwa mzito na hata kiumbo yeye alikuwa na umbo kubwa kunizidi. Unajua ni nini kilitokea?
****

Nilikuwa naendesha gari lakini huku kichwani nawaza sana juu ya dogo cliff alivyokuwa anaangalia porn na tinah nikawa nafikiria huyo tinah amepata ujasiri gani wa kufanya alivyofanya? Yani mazoea mengne ya kijinga hata siyapendi mtu kumkaribisha nyumbani basi anakuwa huru kufanya anachojisikia tena nimemsuahi tu bure nikampasulia tu kama urafiki si basi kwani nini bwana. Tena nina wasiwasi anamtongoza dogo ngoja nirudi nitamuuliza kama ana namba yake.

“hello dogo vipi tinah amerudisha laptop?

“mmh dada si amechukua muda si mrefu tu hapa”

“mh haya sawa usitoke nyumbni hapo”

Nilijikuta nimempigia simu cliff hata bila kutarajia, nilipaki pembeni kisha nikampigia tinah nae.

“niambie shoga yangu”

“mh poa tu wangu anasemaje shem?

“eehe we tinah unaongeaje umebana sauti kama unakazwa bwana”

“ehe jamani cleme nilikuwa nimelala jamani”

“wee bwana sasa hiyo kazi ya chuo utafanya saa ngapi na mimi nikirudi nataka hyo laptop dadaaa”

“jamani nitakuletea ngoja niamke”

Nilikata simu hapo kidogo nikawa na matumaini kuwa hawapo wote maana nilikuwa na wasiwasi uenda tinah akarudi tena na kama ikamuonja mdogo wangu wallahi ya mtume atanogewa na jambo ilo sitaki hata kulisikia.
Nilikaa pale nikimsubiri baby wangu anipigie simu ili tutoke, wakati nipo pale niliona tshirt nzuri na pensi nikaona nimnunulie mdogo wangu cliff kwani nilikuwa na kiasi kidogo cha pesa.
***
“hee cliff na mimi amenipigia jamani mbona dada yako ana wivu hvyo?

“hata sijui kwanini ila achana nae”

“alafu cliff bdo kidogo ashtuke akauliza mbona unaongea kama unakazwa nikajua uenda ameshtuka basi tunaniu haraka asije akatukutia hapa”

Nilijipinda tena nikawa kama jogoo anampanda tetea yani ududu niliusikia ukigusagusa kuta za k nae tinah alikuwa analia kama kifaranga kilichoashwa na mama yake. “cliff jamani tamu eeh jamani nisugue polepole jamani aah uwíii tamu eeh eh ehe eehe mamamamamamaa” kusema ule ukweli tinah alikuwa fundi kwenye yale mambo maana kuna muda alikuwa anibana mb** yangu na kuiashia sasa akaiashia napenyeza tena anabana ule utamu hausimuliki yani ni raha ya kipekee sijawahi sikia.

Sebene lilikuwa kali sasa kuna wakati nilianza kuchoka maana ule mzika injini tata yani nilipiga nipigavyo lakini mtu yupo yani kwa kipigo kile dada cleme yupo miguu juu icu kabisa na feni juu.

Niliingia dukani nikaangalia vile nguo wasiwasi wangu ilikuwa ni namba anayovaa cliff ilibidi nipige simu tu, ila simu iliita kwa muda mrefu bila kupokelewa “cliff nae anafanya nini mpaka hapokei simu? Au itakuwa amelala shauri yake me namletea yeyote atajua yeye” nilijisemea mwenyewe baada ya kuona hakukuwa na response upande wa pili.

“kaka naomba nitolee na hiyo jeans ya draft draft nimeipenda”

“aah sawa dada usijari mteja tena, nikutolee na nyingne ipi?

“aah kaka sio natoa tu niambie mpaka hizi nguo shiling ngapi?

“hapo hizo tshrt3~87000, jeans 2~80000, pensi1~35000, jumla dada ni 220000/=”

“jamani kaka nipunguzie elfu 5 hapo iwe 215000, maana nitakosa hata hela ya maji”

“eh dada nawe haya bwana kwakuwa wee ni mtoto mrembo haina shda leta hiyo hela”

Nilifungua wallet yangu nikatoa hela yote iliyoitajika nikampa yule mkaka kisha akanipa mizigo yangu nikarudi kwenye gari, muda wote huo nilikuwa namsubiri mpenzi wangu john ambye naye alikuwa haeleweki mara yupo kigamboni anavuka mara yupo chuo na wakati siku hiyo tulipanga twende akanionyesha anapoishi, niliamua kupiga simu tena.

“hello nakuja nimeshafika”

“jamani john umeniweka kweli leo”

“am sorry baby nakuja navuka road”

Nilifungua vioo nikawa naangalia upande wa barabarani niamini kweli alikuwa anakuja au ni fix tu, kwa mbali nilimuona amevuka sasa ananitafuta nilipomuona nilimpunga mkono akawa anakuja.

“wewe nawe kumbe unapotea hadi hapa”

“aah hapana sikujua kama umepaki hapa, haya basi tuanze safari”
¤¤¤¤

“cliff si upokee simu jamani?

“aah huyo dada cleme anasumbua kinyama wewe tupumzike kwanza”

“haya nakusikiliza wewe mimi nipo fit”

Nilikuwa napumulia mdomo na pua kwa wakati mmoja yani tinah alikuwa na kiuno fen maana mtu aliukalia ududu hajatoka yeye ni kupekecha tu. Nilikuwa namtazama tinah jinsi alivyokuwa anavuja jasho.

“vipi nikuwashie fen?

“yani utakuwa umefanya la maana hapa nina jasho mpaka mk***i wèe mtoto ufai yani wewe ndio size yangu yani muda wowote kwanzia leo ukitaka kunit***a wewe nipigie simu nitakwambia wapi tukutane kila kitu kitakuwa juu yangu”

“mh dada tina unaxema kweli?

“kweli cliff yani umenit**ba mpaka k**a imewaka moto maji yamekauka wewe ufai”

Tulikuwa tumepumzika tunasubiri ngwe ya pili ya lala kwa buriani, kusema ukweli dada tinah mzuri na hana ufundi sijawah kuona na ku** yake ilikuwa kama inaivuta mb** yangu mfano wa tonge la ugali mdomoni mwa kibogoyo.
Nilimbeba dada tinah huku dudu likiwa limesimama tena nikawa nampeleka chumbani kwangu unajua kwa jinsi alivyokuwa mzito nilitamani kulia sasa tulivyofika kitandani nilimwaga na kumlalia juu na kuanza kumung’unya chuchu zake huku dudu langu nikipiga piga kin**a chake akaanza kulia na ndani ya dakika kadhaa kile kidude kililowa nikaona hapa hapa sasa hivi ni zamu yake nilianza kusugua taratibu ila kwa kuizungusha mb yangu “aisiií uuuwii taaaaamu aaah dadieeee tamu ooooh mama yangu nakufaaaa” utamu wa mchezo ulimfanya tinah awe kama mwanafunzi anayejifunza kusoma.

Kiza kilitanda chumba kizima ila kumuashia ilikuwa ngumu kwani mimi nilikuwa najimaintain kwani wazungu wakija najizuia ilinifanya niende muda mrefu bila kupiz.
***

Nilianza kuchezea kifua cha john kilichokuwa na garden love nzuri usipime, huyu mkaka yani kwenye yale mambo ni gogo kusema ukweli tofauti na mtu yeyote atakayemuona nje na sexybody anajua yule kaka fundi lakini wapi.

Nilianza kula koni yake huku namchezea makengele yake akawa analia kama demu yani alikuwa ananikera sijapata kuona mpaka nikamkumbuka dogo cliff kwani yeye huwa ananikunjaga atakavyo mpaka raha sasa huyu mzigo tu kazi kulia mie ndo nijìhudumie yani kero.

Nilipomalizana nae niliondoka zangu ilikuwa michale ya saa 1 usiku, sasa nikawa nawaza hizo foleni jioni ile.

Nilipoipata sayansi huyo nikanyooka kuitafuta msasani kisha niingie nyumbni masaki, haikuchukua muda nilifika home mlinzi alikuwa tayari amefika akanifungulia geti ila cha ajabu taa za ndani hazikuwashwa hata moja nikajua cliff itakuwa ametoka niliingia sebureni nikawasha taa na kuingia jikoni nikakuta suprise chakula kimepikwa tayari. Nilirudi sebureni nikaikuta laptop yangu lakini kwa chini niliona tait nyeupe nilishtuka na kujisemea ina maana tait yangu imefikaje fikaje huku? Ila nilipoishika haikuwa yangu. Humu ndani kuna kitu kinaendlea.

Nilikuta laptop yangu kwenye kochi ila kwa chini niliona tait nyeupe nikaanza kujiuliza ile tait imetoka wapi na nani kaileta pale? Nilijiuliza maswali bila majibu “mmh inawezekanaje hii na hii tait sio yangu hapa kuna namna sio bure”

Nilifikiria kwa haraka haraka na jina lililokuja kichwani ni tinah kwasababu yeye ndiye aliyeondoka na laptop yangu na ile nguo ya ndani itakuwa yake tu kwasababu mimi na tinah kimaumbile tupo tofauti kidogo mimi ni mpana kidogo ila sio bonge sema nina mwili flani hivi ila best yangu tinah yeye ni modo na mwili ni mrefu mpaka kuna kipindi nilikuwa namuita miss masaki. Nilibaki nimeduwaa nikiwa nimeshika mlango wa kutenganisha sebure na vyumba, niliwaza sana na akili yangu ikanipa kama ni tinah basi hajaondoka na isingekuwa rahisi kuondoka akaasha kufuri lake nilitoa mguu wangu na kuanza kutembea taratibu kuelekea chumbani kwa dogo cliff lakini hapa katikati nilikuta nguo zimesambaa kwenye korido zote nilizibeba nikaja nazö mpaka mlango wa chumba nikavuta pumzi na kuhesabu mara tatu kabla sijafungua mlango kuwafumania watu.

Nilifungua mlango vuuuupyu! Nikakimbilia kuwasha taa ile nawasha nilikuta tinah na cliff wamelala uchi wa mnyama yani inaonekana huo mchezo wameuanzia sebureni mpaka chumbani na ni tokea muda ule naondoka yani saa sita kasoro mpaka muda ule saa mbili kasoro na ndio maana wamepika, wamekula na wamekulana kwa raha zao nilisikia kifua kinafura kwa hasira nilisogea mpaka pale then wazo linanijia nikashote maji bafuni nije niwamwagie na nilifanya hvyo tena kwenye bomba la maji ya baridi nilijaza ndoo nikaja nikawamwagia wote wawili.

“mamaaa nakufaaa”

“nyoko zako kufa ms*n** wee umalaya utakuua umebeba maukimwi uje uniulie mdgo wangu sasa leo nakukomoa utatembea hadi kwenu uchi ili kesho ujifunze.

“jamani cleme naomba nisamehe usiloeke nguo jamani nakuomba nisamehe”

“nani akusamehe shenzi zako leo ndo utamjua cleme ni nani si umezoea nakuchekeaga unaona mimi mjinga kumbe unakuja na k*** lako unataka utomb** burebure eeh si ndio haya nipe hela ya chumba sasa si umeshafaidi?

“samahani nakuomba sana nisamehe please naomba nipo chini ya miguu yako”

“dadaa”

“weee kaa hivyo hivyo kimya, mama naomba unyanyuke udeki hapo chini hayo maji yatoke”

Basi nilimfanyisha kazi tinah siku hiyo atakaa anisahau maana hataamini kama ni mm huyuhuyu.

“cleme nimeshamaliza”
“wee tinah bafuni kwa mama kule umedeki?

“nimedeki jamani kweli twende ukaone”

“haya msubiri dadie harudi”

“jamani nisamehe usimwambie dadie jamani”
****

Nilikaa pale nikiwa na aibu sana yaliyotokea yaliniumiza na dada tina alipewa adhabu na dada cleme mpaka niliumia roho. Dada tinah hakula siku hiyo alikuwa amenuna sana na aliwahi kulala kuliko sikuzote. Nami nilikaa pale na chakula changu nilikula sijui vijiko viwili nikasinzia hapohapo mpaka mzee aliporudi.

“wewe clifford nenda kalale ndani”

“shkamoo dadie”

“marahaba vipi mbona unasinzia hapa bwana kama umechoka zima tv ukalale”

“ah mzee nataka kuangalia mpira”

“wewe mpira wa saa sita mpira gani bwana”

“sawa naenda kulala”

Mzee aliondoka na kuniasha nikiwa nimetulia najifikiria usingzi ukanipitia tena mara nikasikia natingishwa nikazinduka.

“cliff twende ukalale”

“dada cleme kitanda kibichi siwezi kulala”

“twende tukalale chumbani kwangu”

“enhee”

“eeh embe twende ukalale”

Niliamka chapchap nikabeba shuka langu huyu nikawa namfata dada cleme huku nimejaa uoga, aisee chumbani kulikuwa na ubaridi nahisi aliwasha aircondition sasa mimi nikawa naweweseka na uoga mana namjua dada cleme akikasirika anavyokuwa. Mara mlango ukawa unagongwa niliogopa nikamtazama sista alikuwa ana wasiwasi akasema.

“nani tena?

“mimi ebu fungua”

“aha dadie nimelala kesho”

Nilisikia ukimya wa ghafla nikahisi kitu iweje mzee aje kugonga usiku ule saa saba? Nikiwa natafakari mara dada alikuja akanikalia na kuanza kunila romance kheee jamani!!!

Dada cleme alikuja akanikalia na kuanza kunipa romance nilikuwa sina hisia za kusex kwa wakati huo kwani nilikuwa nafikiria ni kwanini dadie alikuja kugonga ule usiku saa saba ina maana kulikuwa na kitu kinaendlea na nilikuwa tayari kupeleleza ili nijue ukweli. Dada aliendlea kunifakamia ila alishangaa sikuwa na hata chembe ya ushirika na yeye.

“una nini lakini cliff? Au unamfikiria tinah?

“hapana najihisi maumivu ya kichwa”

“khaa nilijua tu”
Dada alikasirika akageukia pembeni mwa kitanda na Kuanza kulia wakati huo simu yake ikaita akaitazama kisha akaiweka pembeni mara ya kwanza, ya pili mpaka ya tatu bado hakurespond zaidi aliweka simu chini ya mto na sonyo juu “fyuuuuuu” nilimtazama nikajua mashetani yake yamempanda maana akiwa na hasira anakuwa mbaya kama shetani na unamuona usoni kabisa, niliona nitulize hasira yake hata kama sitampa udabwi ila angalau faraja yangu itamfaa sana. Nilimgeukia nikamshka mabega yake.

“am sorry my dear sister i like always to see you’re happiness”

“thank you, i love you cliff please i beg you don’t cheat me”

Niliumia sana moyoni kuona dada yangu wa kuzaliwa aliyeniashia ziwa akinipenda kuzidi na sio kwamba ni kwasababu mimi ni mdogo wake hapana ila ni mapenzi ninayompa yanamridhisha sana. Niliendelea kumpapasa maana najua madhaifu yake yani hakikupenda hata ukimshka nywele tayari umeshamtia ny** na hata kwangu alikuwa dhaifu sana hvyo kitendo kile kilifanya anigeukie na maneno yake matamu.

“cliff nakupenda sana naomba usiniache ntakufa jamani”

“usijari ila wasiwasi wangu wakijua”

“hapana cliff niamini mimi hawawezi kujua”

“basi nashukuru nitakupa yote uridhke”

“kwani cliff una girlfriend?

“hapana sina”

“aaha asante sana naomba niwe girlfriend wako na nataka niachane na paul yani ananikera hata mambo hawezi na mtu yupo busy siku nzima”

“kheee! Usiachane nae nakuomba”

“mmh mlango unagongwa aaha inanikera, ebu cliff jifiche uvunguni”

Nilizama uvunguni kisha dada akaenda kufungua mlango.
“vipi mbna haupokei smu?

“no hapana najisikia vibaya tutaonana kesho”

Ile kutoka nami nilitoka uvunguni na kuanza kumpa mambo ya utundu na nilimuonyesha jinsi ya kunyonya nyapu yake kwanza unaanza kuramba mashavu kisha mlango wenye then kin*** lazima udate.
***

Toka nimeanza kuona hali ile ya dada cleme kufall in love kwangu nilikosa amani na kumbuka tayari alishamkataa mpenzi wake john. Nilitamani niame mji na ukiangalia pale shuleni kwetu/shaban robert darasa lote la form3 iwe michepuo ya sayansi, sanaa na biashara nilikuwa naongoza mpaka nikatungwa jina “giant genius” kutoka na urfu wangu hadi watoto wa kihindi walikuwa wananipenda hasa huyu salha rajesh.

“sweetie next holday naenda india”

“wow! I think you will miss tanzania and you’re fellows”

“yeah but more it’s you my baby”

“eh nice couple ever, how is it” alikuja mark kuingilia maongezi yetu.

“aaha jamani clifford wait for few minutes nakuja”

“poa poa”

Hapo niliona ndio muda mzuri kuomba ushauri kwa mark kuhusu yanayo nisibu.

“dah kaka huo mchezo uache mara moja yani kutoka na dada yako ni hatari sana”

“nitafanya fanyaje lakini?

“kaka jitahidi kwani mmeanzaje na mshndwaje wewe uoni aibu kudate na dada yako?

Nilitoa macho wakati rafiki yangu akiniambia juu ya tabia yangu ya kudate na sista.

“wewe hivi have you think about pregnant or have you using condom?

“no kaka sijawahi kutumia kondom kaka na nafikiria nitamkwepa vipi dada?

“wewe ni mwanaume tumia akili na onyesha msimamo, watoto wazuri kama kina salha, reshma, ryotya unawaasha unaenda kutembea na dada yako una akili wewe?

“sasa kaka nifanyaje?

“wagonge hao watoto watatu nakwambia ukweli rikizo inakaribia wanaenda india mpaka mwakani, sasa hapo bado utakumbukwa?
Enhee salha huyo anakuja ebu mcheck mtoto alivyokuwa mzuri then unaremba na unajua kuwapata watoto wa kihindi kazi akifika muombe mzigo me naondoka utanikuta getini”

Robert aliondoka na kuniasha peke yangu nikimsikilizia salha haje ambaye kusema ukweli kwa form3 wote hakuna aliyemfikia kwa uzuri ana nywele ndefu, ni mweupe tena ana dimpoz halafu mrefu modo na uzuri darasani anajitahidi kama awi wa tano au sita na kwa mchepuo wa science ndio msichana pekee anayewachallenge wavulana nikiwepo mimi pia.

“hey baby mbona rob ameöndoka?

“aha ametupisha tuzungumze si unajua yule ana heshma”

“mh mna yenu nyie heshima ya wapi hacheni umbeya, so itakuwaje sasa maana ndo naondoka hvyo?

“kwani india unaenda lini?

“mmh i thnk next saturday but dady and momy and few relatives their already gonne, we are leftin me and my young bro and sisy”

“can i met you within these two days?

“mmh it possible but the matter it will be where or in my home?

“i don’t know i left all to you ma baby mama”

“okey, i’ll answer the day to come”

“nichum basi kipenzi
“jamani giant genius i can’t infront of majority bt i’ll do so when we met, kama vipi nisindikize nahisi dereva atakuwa ameshakuja”

Nilimsindikiza na kama ujuavyo siku hiyo ilikuwa ni siku ya kufunga shule na wote tulipewa ripoti ambayo mimi niliongoza pia but wengi wanaonifahamu hawashangai kwani mzee wangu pia alikuwa mkali wa pcm na mpaka sasa ni mkemia mkuu mkoa wa dar-es-salaam na hata mimi nataka kuwa kama yeye my dady.

“jamani honey kwaheri najua ntakumiss ila naomba nimjue wifi yangu ukifika home nipe niongee nae”

Niliweweseka baada ya kumuulizia dada cleme ambye aliwah kuniambia hataki nitoke na mwanamke yeyote sasa how comes nikamtambulishe kwake. Mpaka salha anaöndoka me nilikuwa nawaza tu yale mambo.

“hey giant genius how are you?

“hey you cliff”

“ooh what’s up?

Alikuwa ryotya na rashma ambao wote nasoma nao class moja na wote ni ndugu ya rashma anamuita baba yake ryotya mjomba sasa watoto hawa wananikubali na nimekuwa nawakwepa sana coz kama salha akijua atakasirika na kunipa kibuti.

“vipi wewe unawaza nini?

“hapana am cul, don’t worry”

“please can you give me ya contact?
Aliuliza ryotya.

“hey genius and me too” akadakia rashma

“yes give me yours then i’ll call you two”

Tulizungumza kwa muda mrefu kisha wakaondoka na kuniasha peke yangu pia rashma alipiga kama hatua kumi akarudi tena kwangu na kumuasha ryotya anatembea.

Kwa kunong’oneza akaniambia.
“please genius during holiday nitamuomba uncle uwe unakuja kunifundisha nyumbani”

“have you thnk it is possible?

“yeah in my side its”

“okey utanijulisha, kwenu wapi kwani? Na vipi hamuendi india?

“upanga bwana wewe kwenu si masaki? Hatuendi ndio mpaka nimalize four”

“ndio, bye bye ona ryotya anakuangalia kwa jicho kali”

“hatoke zake, kwaheri giant genius”

“aah am not giant genius. I am clifford mario”

Niliendlea kucheka mara akapita anita akanikuta natabasamu bado.

“hi giant! Mbona unacheka?

“mbona nacheka? Wewe inakuhusu nini? Shame upon you black maandazi”
***

Ilikuwa alhamisi ambayo nilipanga niende msasani kwao na salha. Nilidamka nikafanya yangu yote nikajiandaa mida kama ya saa sita nikawa natoka sasa nafungua geti tu nikaona gari nissan murano nyeusi inaingia ndani moyo ulijawa na ghadhabu kubwa sana baada ya kuona ule ugeni ulikuwa wa shangazi wa rombo alikuja na mume wake na mtoto wao wa kike anaitwa gift, niliwakaribisha hadi ndani huku nikiwa na hasira kweli nikakaa nje nikawaza na kumpigia dada harudi nae akanijibu anasubiri mtihani nao ulikuwa wa kumalizia semister ya 2. “hili nalo gundu leo ndo nilipanga nikamgonge salha haya mageni yamekuja na siwezi kuondoka dah” nilikasirika sana.

“hey clifford mambo, umekua mrefu”

“aah kiasi tu”

“hivi unanikumbuka?

“nop” nilijibu shortcut.

“kipindi kile ulipokuja rombo after graduate standard seven tukasoma pre form one, ila baadae ukaja dar me nikajiunga na maua seminary”

“sawa nimekumbuka”

“unasoma wapi kwani”

“nini bwana mbona unanisumbua” nilijikuta natamka kwa ngvu.
“bwana we usinisumbue” nilijikuta nalopoka.

“samahani kwa kukusumbua ila kosa langu ni nini au haujisikii tu kuongea na mimi”

“all above are real answers/yote hapo juu ni majibu sahihi”

“cliff samahani najua unaweza ukawa ujapenda ujio wangu hapa kwenu ila ungejaribu hata kupretend kuwa upo charming ili niione ile sura yako halisi hata nikiondoka hapa nione kama sikupoteza muda kuja kukuona”

“so?/kwahyo?

“asante sana kwa majibu yako lakini jua miaka mitatu si michache muda wote huo umepita bila mimi na wewe kuonana cliff kumbuka ulipokuja kwetu kipindi kile tupo pre-form one hata siku moja sikuwah kuonyesha dharau kwako wala kukujibu majibu mabaya, kwanini unanifanyia hvi lakini? Nimekukosea nini hasa, hata kama nimekosea ulipaswa kunieleza unanifanya nijute kuja huku, ila sawa me naondoka”

“no gift”

Nilijaribu kumzuia lakini tayari alishaingia ndani niliona jinsi dhamiri yangu ilivyo nihukumu nalipa mazuri-mabaya sikustahili kufanya nilivyofanya hata chembe ngoja niende nikajishushe.
***

Niliona chenga tu pale yani mtihani ulikuwa wa kawaida na maswali yanaeleweka lakini mimi kwangu ulikuwa jiwe yani sikusoma kabisa hvyo yale niliyapitia yote niliyaona ila sikuweza kuyajibu kwani sikujua hata nianzie wapi zaidi nilitumia uelewa tu na ndio mtihani wa kumaliza semister ya 2.

Nilimaliza kwa kwanza nikatoka nje nikiwa na mahangover kibao ndio nikawa nawaza kurudi home.
***

Niliwaza nikaona niingie ndani angalau niwaandalie wageni chakula huku nikiwa namsubiri dada cleme arudi maana nilikuwa na hamu na salha.

“jamani samahani nimewaasha wenyewe, sijui niwaletee kinywaji gani”

“aah usijari clifford mwanangu tuletee maji tu yanatosha”

“jamani shangazi maji t?

“ndio mwanangu yanatosha hata usijari, hivi vipi shule?

“aha namshukuru mungu shangazi mambo yanaenda sawa”

“umekuwa wa ngapi safari hii?

“hahaha shangazi bwana nimekuwa wa kwanza”

“hee kati ya watoto wangapi?

“mia mbili na kumi na nane”

“eeh shangazi njoo njoo nikupe zawadi yako”

Shangazi alinihug na mjomba kwa pamoja wakanipa elfu thelathni nilifurahi sana na wao walionekana ni wenye furaha nami.

“wewe gft umeona mwenzako anajitahdi na hapo yupo sayansi, wewe upo arts lakini ni mtu wa 20 jitahdi mwanangu”

Nilitoka nikaenda jikoni, huku nikiwa na furaha kwani dhamira yangu ya kununua laptop karibia itimie pale ilibaki elfu ishirini tu nikanunue apple. Nilinyanyua simu nikampigia salha baada ya kuona sms zake nyng.

“sawa honey wangu kama kuna wageni so unaweza kuja saa ngapi?

“mh hapa namsubiri dada tu aje”

“poa ukija unalala huku huku hamna kurudi so uage kabisa”

“mh poa honey subiri nijiandae hapa nikipata upenyo saa kumi na mbili nipo hapo”

“nikwambie kitu baby?

“yes niambie”

“nimekuandalia biriani halafu ukija njoo na beg au umevaa kanzu”

“khee kwanini?

“mh mwenzangu hapa kwetu naofia majirani so ukija hvyo angalau itakuwa poa”

“usijari hny nitavaa kanzu yangu swafi tena kesho ijumaa wewe ukiwa unatoka na mimi natoka kama tunaenda msikitini kumbe ndo safari”

“hahaha haya mpenz wangu baadae ngoja nikupikie biriani”

Ile namaliza kuongea gft na huyo alikuja “hey cousin ongera wangu ila umeniashia msala huko”

“why sasa?

“si wewe umefaulu mimi nimefail yani hapo nimekimbia maneno tena, naomb unifundishe”

“mh leo nina safari ila wewe mwambie mama yako ubaki hapa niwe nakufundushe mpk ukifungua shule”

“mh unaenda kwa wizo nini?

“mh wapi kuna rafiki yngu kaka yake anaoa”

“aya nionyeshe vifaa nipike”

“viazi hvyo nimemenya, fungua friji chukua sausage na mfuko wa nyama mmoja leta nipike nawe uone mapish yangu”

“mh hapana acha nipike mimi bwana me nataka nikupkie cousin wangu”

“aha hapana wewe mgeni bwana”

“mwanamke hanaga ugeni bwana cousin niachie jiko nikuonyeshe mapishi”

“haya mama kazi kwako ngoja nipeleke maji nakuja”

Niliondoka na chupa mbili za maji na glass mbili ili nimpelekee shangazi na uncle, kisha nikarejea tena jikoni nikamkuta gft anakarangza jamani kanguo kalipanda juu na kuonyesha kufuri lake jeupe yani nilidata si utani nilijisogeza nikamshka kiuno aliruka mpaka kalai la mafuta likamwagika mamaaaaaaa!

Nilimshika dada binamu nyonga akashtuka na kuruka “Mamaa weee” kalai likamwagika mwagika.

“unaona sasa cliff”

“vipi umeungua?

“mafuta hayana moto ila ndo yamemwagika yote”
“ahaaa ukuwasha jiko?

“si uliwasha mimi nikaona moto mdogo nikaongeza”

“mmh umeongeza wapi umezima sasa hivi viazi tungepikaje na mafuta hayajacheka?

“bwana wee ni jambo la kushukuru sijaungua”

“mmh inaonekana una genye za kutosha tu”

“ebu toka zako huko nao, mafuta mengne yapo wapi? Halafu leta na ndoo ya kudekia”

Niliingia stoo nikatoa kidumu cha wese la kupikia kisha nikachukua la kudekia, wakati yeye anadeki mimi niliwasha jiko nikaweka karai huku nikiendelea kuosha viazi na kuweka pembeni.

“mh cousin atakayeolewa na wewe atapata raha maana kupika unajua kazi zote unafanya hadi raha”

“wewe nikioa naasha hapa si nafanya kumsaidia dada na mama”

“hiloo natamani ungenioa mimi”

“khaa wewe si dada yangu?

“mh binamu!

“binamu kinyama cha hamu mtoto wa shangazi hahahahaha”

“unacheka nini sasa? Ndio kinyama cha hamu kazi kwako kukata hamu yako”

“eeh kirahisi hvyo?

“wewe unataka kigumu unaambiwa kizuri kula na nduguyo”

“mmh methali hiyo haina maana hiyo bwana”

“mmh una mambo wewe haya tupike basi wakati huo ngoja nikazuge zuge kule nipoteze lengo”

“mmh hao hata hawana shda hofu yako tu si unaona hata karai limeanguka na kelele zote ina maana hawajasikia?

“eehe hawawezi kusikia unajua kule ukiwasha tv usikii chochote kinachoendelea huku”

“nikuulize kitu?

“uliza”

“umewahi kunyonya au kunyonwa?

“ahaaa nimewahi kunyönya ndio”

“me napenda kunyonywa ujue niambie utani??

“ntakunini wewe kama kunyonywa usijari ntakunyonya mpaka ukojoe kojo”

“duuu! Mpaka nitoe mkojo basi wewe mkali, haya wakati mafuta yanachemka anza kuninyonya taratibu huku tunapika ila funga mlango maana wanaweza wakasikia kelele”

Basi nilifunga mapazia na mlango nikampandisha mtoto kwenye kuta za jiko kama ujuavyo jikoni huwa kuna kiukuta flani ambacho unaweza kukaa na mara nyingi utumika kwa shughuli za jikoni kama unapoosha vyombo, kukata viungo na mengneyo.

“mmh wasichana mna tabu ndo nini kuvb nguo zote hvyo? Mara kitait, chp, tait mmh mna kazi na kigauni juu”

“mmh mwenzangu maumbile yenu ni sawa na ya kwenu ni lazima uvae hvyo”

Niliguna tu nikaendelea na shughuli zangu baada ya kuona uch tena hata sikuwa na muda wa kupoteza nikapima oil. Mmmh.

“unaguna nini tena?

“hapana si unataka kunyonywa?

“ndio ninyonye”

Niliguna kwa yangu maana k ya dada binamu ilijaa maji na mimi sikuwahi kukvana na demu mwenye mimaji kama dada binamu yani kidole kilipitiliza bila kikwazo. Nilijitahidi kumnyonya kwa dakika kumi kisha nikaweka dudu lenyewe yani ni kero maana lilikuwa linaelea hata radha hakuna ila ndo ntafanyaje angalau nipate kimoja niachane nae. Ubaya wake sasa alikuwa hakawii kupiz ndani ya dakika 5 alikuwa kisha mwagika na naniu zake kama bomba zikitoka zinakuwa nyng mfano anavyomwaga mwanaume.

Niligeuza chipsi kistaili huku goma linakolea ile ile na kama ujuavyo hawa mimaji ukijifanya kuchomoa basi lazima uanze mwanzo tena.

Nilimpndua na kumshikisha ukuta hapo nilikuwa nasugua kama kisu kinanolewa basi chpsi nazo zinakauka nafanya kuzitoa naweka viazi vingne tunaendlea nilikanyaga tena gea pwitopwitopwito pwito mtoto akapiz tena mpaka akaanguka chini na mimi kilikuwa kinakuja nikamwaga nje kikamwagikia kichwani hapo mimi moja yeye tatu. Nilipata wasiwasi uenda huyu demu malaya sikutaka kwenda nae raundi ya pili.

“hodi hodi wèe cliff ebu fungua”

“mh dada huyo amka jifute hayo madude halafu kakae jikoni me namfungulia”

Nilimuharakisha akasimama akazuga anapika pale me nikamfungulia dada.

“hee gift haujambo!

“sijambo shkamoo dada clementina”

“marahaba, karibu mwaya naona umekuwa mmama now, vipi shule?
“asante, kawaida tu dada, naendelea vizuri”

“naona mnapikapika, ila wewe mgeni ungemuasha kingunge hapike”

“kingunge leo hapumzike”

“unamdekeza shauri yako kavivu haka”

“mbona amekata viazi vyote na kila kitu kaandaa yeye”

Wakati tupo pale mara simu yangu ikaita kuangalia kwenye screen alikuwa ni salha fasta nikakimbia chumbni kwangu “yes baby”

“baby njoo fanya haraka au nitume dereva aje?

“mmh usitume nakuja nipe dakika 10”

“mmh haya” nilikata simu ile nakata dada huyo hapo.

“cliff hapa hauendi popote najua huyo ni tinah ukijaribu kutoka nampigia dadie”

UTAMU WA MCHEZO – 1

Related image

Chombezo : Utamu Wa Mchezo
Sehemu Ya Kwanza (1)

“wewe clementina ebu amka uendi chuo wewe?”

“mama jamani naumwa”

“mtoto mvivu wewe unaumwa unaumwa nini unaona shida kuamka ebu amka usaidie kazi uende chuo”

“aah mama naamka lakini mama nilikwambia mwambie dadie alete mfanyakazi ila mbishi ona kazi zote unafanya peke yake”

“una wazimu wewe upo mimi pia mfanyakazi tuna mtoto wa kulea ebu nitolee ujinga wako yani wewe huku utakapoolewa utawapa shida tu”

“mmh mama tuyaashe naona unaenda mbali”

“ndo uamke hapo”

Nilijivuta kutoka kitandani nikachukua kanga yangu na kujifunga kiunoni kisha blauzi yangu nikaingia jikoni kucheki ustarahabu nikagundua mambo yote sawa nikarudi zangu chumbani angalau nikajisafishe huu mwili. “ooh mungu wangu saa tatu na robo! Aki ya mama hizi movie na internet vitaniua kila nikijitahdi kuwahi kulala saa tisa, nane, kumi ndo mida yangu” nilijikuta naropoka baada ya kuangalia simu yangu, hapo chuo saa nne kipindi cha kwanza CBE.

“mamie see later am just go to the collage/mama tutaonana baadae naenda chuo” nilimuaga mama baada ya kumaliza kunywa chai.

“okey baadae”

Nilichukua toyota VX ya mama nikaenda nayo chuo kwani mama hakuwa na safari siku hiyo. Mara zote huwa naenjoy nikiwa na this car more than nikitumia gari yangu spacio, basi hapo nitasikiliza mizika mpaka chuo na nyimbo ninazozirudia mara nyingi ni nicki minaj-night a still young, wizkid-ojuelegba, daimond-ukimuona, burna boy-soke na zahara-destiny. Nazipenda sana hizi nyimbo.

“eeh vipi clementina unachange magari daily mtoto wa kisure sana wewe”

“aah jèff wa kisure mimi au wewe unayetumia mitablet ya nguvu”

“aha wewe ya kichina tu hii usipagawe sana”

” acha kuzingua wewe, oya vipi paul yupo? Maana sikuwa na mpango wa kuja chuo but nimekuja kwa ajiri yake”

“yani cleme you don’t care umechelewa kipindi, paul ameenda kivukoni mara moja na kule kwenu lecture kisha ingia nusu saa zilizopita”

“ahaa lecture gani huyo?

“si hon. Msingwa”

“mzinguaji yule stori nyingi ngoja nisubiri kipindi cha junior yule ndo namkubali”

“poa bwana mida me naenda zangu classroom profesa rwemamu anaingia muda si mrefu”

Nilibaki nimekaa pale nachat mara whatsaap, instra, fb, imo na wechat ili mradi tu muda uende ama aje paul au niingie kipindi cha pili. Paul ni mpenzi wangu miezi sita sasa yeye yupo stashahada pale mimi nipo diploma in business adiministration.
**:-*

Baada ya kumsisitiza sana dadie amlète dada wa kazi maombi yalijibiwa siku hiyo nikiwa na kaka clement na dogo langu clinfford baba alikuja na mfanyakazi mdada wa kinyeramba mweupe ana shepu tu utasema si mfanyakazi labda mtoto wa ndani pale. Wote tulifurahi ujio wake ila mama hakupenda na hata chakula siku hiyo akula kwa ghaziba iliyomjaa.

Mida ya saa sita hivi nilipomaliza kuangalia movie ya series ya the marine nilikuwa koridoni kuelekea chumbani nikasikia sauti kutoka chumbani kwa baba na mama hisia zikanipanda..

“mdogo wangu rose umetembea nae, mama neema, wafanyakazi wa ndani wote waliokuja hapa umewapitia kwakweli bac clement sikubali kama unataka huyo mfanyakazi hawepo basi mimi naondoka”

Kulalama kule kwa mama kulinifungua akili nakumbuka mama mdgo rose ameanza kukaa nyumbani tangu mdogo na amesomeshwa hapahapa lakini cha ajabu hataki hata kukanyaga nyumbani tangu haondoke kumbe inawezekana waligombana na mama. Na ki2 kingne kinanishangaza ni mama hapendi niwe karibu sana na baba nikapata jibu kumbe anaogopa nisitembee nae, nilijikuta namshangaa baba kwa jinsi alivyokuwa malaya kumbe rafiki za mama na ndgu zake wengi kisha wapitia na hili hali mama yangu ni mzuri mama wa watu na sijaona hata kasoro kwake kama kupenda baba anapendwa nilijikuta najisemea moyoni “mmh ngoja nikalale mimi mtoto sipaswi kuingilia mambo ya wakubwa”
Nilipofika kitandani nililitafakari lile suala kwa kina kabla usingizi haujanipitia saa nane hivi.

Nilikurupuka baada ya kusikia alarm ya simu yangu inahita siku hiyo nilikuwa na kipindi saa mbili net hivyo nilichofanya nilioga haraka sikunywa hata chai nikachukua funguo ya gari kabatini tayari kuondoka na wakati huo sikuweza kumuona mama nikajua yale mambo huenda waliyamaliza hiyo jana usiku.

Nilikaa darasani lecture akawa anafundisha na mimi nilikuwa makini kumsikiliza huku nikinote baadhi ya vitu mara nikaona simu inatoa mwanga ishara ya kuonyesha kuna mtu anapiga mimi mara zote nikawa class ama nazima au kuweka silence nilichukua na kuitazama lilitokea jina la lovery mamy kutokana na kukaa katkati ya watu nikaamua kuiasha iite tu kwani zilibaki dak10 kipindi kimalizike. Mama alipoona kimya alituma ujumbe “cleme mwanangu mimi naondoka nipo kwa mama yako mkubwa wa msasani” moyo ulipasuka nikajua mama ameöndoka maisha yatakuwa magumu. Kipindi kilipoisha niliondoka sikutaka kusubiri kipindi cha pili nilipitia msasani kwa mamkubwa nilikaa pale na mama nae akaniahidi atarudi baada ya wiki hapo kdogo nikafarajika na kurudi nyumbani.

Kulikuwa na utulivu sana nyumbani nikajua dada wa kazi atakuwa peke yake nilipaki gari nje nikaingia ndani kisha nikafungua mlango taratibu na kufunga mlango. Niliona ukimya umetawala ila jikoni palikuwa na purukushani na kilio kama mtu anapigwa nilifungua mlango nilishangaa nilichokiona.

Ukimya ulitawala pale ndani na kunipelekea nianze kufikiria uenda huyu dada wa kazi ametoka kwenda ama dukani au yupo anaoga au anapika jikoni. Nilianza kutembea taratibu nikaiasha sebure nikafungua mlango wa kuelekea vyumbani. Wakati huo nilisikia purukushani za watu huko jikoni yani kilio si kilio.

Katika zile purukushani nilifanikiwa kugundua sauti mbili kwanza iliyokuwa inalalamika ilikuwa ya kike na huyo aliyekuwa anahema alikuwa mwanaume. Nilifungua ule mlango taratibu na moja kwa moja nilikutana na nyuso za watu wawili yani baba na mfanyakazi wa ndani, wote walinikodolea macho hata mimi nilikuwa nawashangaa kwa jinsi walivyokunjana yani wana miili mikubwa kuliko hata mimi ambye ni modo lakini waliweza kumudu ile shughuli huku jasho likiwatoka, nilijikuta nacheka tu “hahahaha haya bwana” kisha nikaondoka na kwenda chumbani kwangu.

Wakati nimetoka huko nyuma zilitokea purukushani za ajabu kama mwizi aliyekimbizwa kwa masaa kadhaa huku nikisikia wakiongea wao wakidhani wananong’onezana kumbe nawasikia.

“jamani dadie me nilikukatalia ukutaka kusikia ona sasa siri imevuja mimi sitaki ugomvi hapa naondoka nirudishe tu kulekule nikauze fremu yangu”

“haaapana usiondoke wewe unajua fika mama clementina ameondoka me nitabaki na nani?

“wee mzee mpumbavu kweli kwahiyo unataka me nikae hapa niuliwe? We unadhani clementina hawezi kumwambia mama yake na hili hali anajua kisa kilichomtoa mama yake ni mimi, ngoja nikwambie ukiwa na shda na mimi utanifata kule ebu niashe niende”

Yale maongezi yalikatika ghafla na nikasikia mlango ukifunguliwa na kisha kufungwa nilicheka nusura nipasue simu yangu. Nilivua brauzi yangu na kubakiwa na shimizi yangu kisha nikavua jeans yangu nikabaki na boksa. Mara zote mimi huwa sipendi kujibana na ndio maana nikiwa nyumbani huwa nashnda na kanga ama nguo nyepesi na nguo ya ndani tu hata sidiria huwa sivaagi kutokana na udogo wake. Mlango ulisikika ukifunguliwa tena inaonekana dadie alibaki palepale mlango akimsubiri.

“ndo unaenda kweli?
“sasa je! We ulidhani naenda uongo kwaheri”

“so ngoja nikupe pesa then nikusindikize”

“aah no we baki na mwanao kama pesa utanirushia tigo pesa.

“khee kweli umevurugwa leo mpaka pesa unakataa”

“aah wewe si unaona madogo kuvunja ndoa ya mtu”

Ukimya uliendelea kutawala muda huo nikawasha aircondition kutokana na lile joto na hapo nilikuwa na cd ya window nikataka kuiupdate kwenye laptop yangu ili nifanye baadhi ya assigments wakati naendelea kuupdate nikawasha data kwenye simu yangu ili nichat kidogo na washkaji zangu.

Baby wangu akawa amenitumia picha fasta nikaanza kuidownload huku chini ikiwa na maneno “on my way to bath hahahaa amazing body” ile picha ikafunguka wow alikuwa na boksa iliyoichonga vilivyo ile machine nikaanza kuizoom yale maeneo dah! Nilidata hisia za kunaniu ikanijia na mimi nikawasha kamera yangu na kutegesha ili nipige selfie nae nimtumie picha ya kwanza nilipandisha shimiza na kuasha chuchu nje na ya pili nilitoa boksa kabisa nikamtumia. Kama dakika mbili akanijibu “baby you’re looking so sexy u just attract me to do sex with you” nilicheka sana nikaanza kutoka nguo zote na kubakiwa mtupu tukaanza sex chat.

“so baby nipigie imo basi au skype tudo”

“oh good idea which i heard never thought”

Tukawa tunafanya sex kupitia skype yani nililowa kabisa haya maeneo nikawa nalia kama mtoto na wakati huo nikawa najisikia kabisa kuvunja dafu kwani kitendo cha kuuona tu nilihisi kama unaingia huku.

“ooh my God/OMG”
alishangaa baba baada ya kuzama chumbani kwangu bila hodi “aaah ishiiii baby nakojoaaaaaa dadie mbonaaa upigi hodi??

“uuh baby nakojoaaaa aah honey jamani, dadie mbona upigi hodi?

“wewe umetoka kwangu mimi nina haki ya kukujua mwanangu hakuna shida”

Nilijitahidi kubana miguu ila tayari alikuwa ameshaona kila kitu na kweli nilikuwa nimeshajimwagia yani mapenzi haya.

Nilimshuhudia dadie akivua nguo moja baada ya nyingine na kubakiwa na kufuri alinisogelea pale kitandani huku anaongea maneno anayoyajua yeye “yani huyu mwanaume anakutesa hvyo mwanangu kukupigisha punyeto na mimi sipendi mwanangu upate shda nikiwa hai baba yako nipe japo kidogo” alianza kunishka shika chuchu zangu huku nikijiandaa kumsukuma ili nikimbie ila chambulio lake la pili alienda moja kwa moja kwenye k*n* changu na kuanza kukichezea kama anapiga gita “jamani dadie niache please me siwezi kufanya hvyo ni laana”

“aah mwanangu hakuna laana yeyote bwana hivi anapata hasara gani mtu aliyeupanda mti na ule mti ukakua na kutoa matunda je mwenye mti ana haki ya kula matunda yake?

“dadie ni sawa lakini!

“lakini nini clementina mwanangu?

Yani nilegea mwili wote na uhakika niliishiwa nguvu za mwili wangu kusema ule ukweli mimi kwenye mambo hayo huwa sijui nipoje kama nimepigwa dozi ya nusu kaputi huwa natepeta kama mlenda uliozidi bamia. Dadie alianza kuchomeka vidole vyake anatoa na kuingiza na wakati huo analishka dude lake ambalo lilikuwa nene fupi, niliona kama ni drama baba aliyenilea kunisomesha na leo hakuwa na chembe ya aibu kunichezea mimi kiasi kile. Dude lake lilikakamaa mpaka ule msuri wa katikati ulisimama vilivyo akanivuta miguu na kunilaza huku naniu yangu ikitazama kwa juu kisha akapaka mate lile dude lake akaizamisha mpaka ndani nilihisi joto joto linavukuta huku na kule kutait kwa kile kitu nilishndwa kujizuia kutoa ukelele wa aja “uuuuuuuuwi” baada ya hapo nilikuwa nalia huku chozi linanitoka si kwamba naumia ila dadie alijua kusugua vilivyo yani aligusa vile sehemu ambzo mwanamke yeyote hata awe na hisia za mbali ukimsugua lazima alie na hapo utakojoa hata bao tatu.

Alinipa style nyingi ila kuna style moja ndio iliyofanya nikojoe ni ile style ya katalelo ambayo unapitisha miguu kiunoni na yeye pia kisha unaukalia uku mnazamana mkiwa mmekaa, sasa uzuri wa hii mnakuwa ngozi kwa ngozi kama ruba na nilipenda jinsi chuchu zangu zilivyotekenywa na kifua chake nilisahau kila kitu na kujikuta natamani nisitoke maana nikiwa palepale nilivunja dafu mara mbili na mzee alinikojolea safari mbili japo kaumri kameenda ila uwezi ukamfanisha na hawa vijana wa sembe hata huyo john mpenzi wangu hakuwahi kunivunjlsha dafu mara mbili.
***

Nililala palepale hata sijui dadie alitoka muda gani ila nilikuja kushtuka mdogo wangu clifford anayesoma form three aliporejea kutoka shule na muda wake ni saa kumi au kumi na nusu.

“sister cleme sister clemee”

“abeeee”

“kwani dada kaenda wapi?

“dada gani?” nilishasahau kama siku hiyo rose yule dada wa kazi aliondoka.

“dada rose maana hapa upo wali ila nyama haijaungwa wala maharage!

“subiri mdgo wangu nakuja au kama una njaa sana nenda kwa julio mwambie akupe chipsi nitampelekea hela baadae”

Clifford alifurahi sana akaondoka na ule ukimya ulitawala sasa hapo nilianza kujisikia vibaya yale manii ndani ya uke wangu yalininyima raha “hivi mimi ni mjinga kiasi gani mpaka nakubali kufanya uchenzi na baba yangu tena wa kunizaa? Nimekuwa mjinga sana na hìli hali najua baba ni malaya wa kutupa? Itakuwaje kama ana ugonjwa wowote na mimi tayari nitakuwa nimeambukizwa? Mimi nitaweka wapi uso wangu endapo mama akigundua siri hii na hata jamii?” nililia sana baada ya kujiangalia sehemu zangu za siri.

Nililia sana na kujilaumu kwa kitendo nilichokifanya cha kulala na baba yangu nilikosa raha kabisa nikaamka na kuelekea bafuni kuoga huku akilini mwangu nikiwaza kuwa endapo mama hatarudi kwa siku mbili hizi nitamfata hukohuko kwa mamdogo msasani.

Wakati naoga nilisikia mlango wangu wa chumbani ukifunguliwa sikujua ni nani aliyeingia mimi niliendelea kuoga zangu. Na baada ya dakika kumi na tano nilitoka bafuni nikachukua taulo na kuanza kujifuta mwilini mwangu huku macho yangu yalielekea kwenye kitanda lakini cha ajabu kuna kitu kiliongezeka tofauti na laptop, simu na nguo chache nilivyoviasha pale. Kulikuwa na bunda la pesa noti za elfu kumi kumi nilitupa taulo pembeni na kusogea mpaka kitandani taratibu nilizinyanyua zile pesa huku natetemeka na kuanza kuhesabu zilikuwa takribani milioni moja na ishirini ni kile kiasi cha ada tunayolipa chuo ila imezidi laki nne na hapo chni kulikuwa na karatasi ilibidi nilinyanyue kwa mkono wa kulia baada ya zile pesa kuziamishia mkono wa kushoto.

Barua ilisomeka.
“mwanangu clementina najua nimekuudhi sana na inawezekana utanichukia sana mimi baba yako lakini naomba unisamehe najutia kosa langu na moyo wangu unaniuma sana kwa kilichotokea ni shetani amenipitia nisamehe sana nimekupa hicho kiasi cha pesa ukafanye matumizi yako usijari leo hii naenda kukulipia ada na ile nyumba ya boko nimekupa wewe na hilo gari unalotumia kwanzia leo ni lako kabisa asikusumbue mtu”

Nilishangb machozi yote yalikauka na nilianza kurukaruka mule chumbani yani ilikuwa ni furaha ya ajabu nilipiga hesabu za haraka haraka hii mil moja ukijumlisha na milioni mbili za kule bank nina uhakika biashara yangu niliyoipanga ya saluni sasa itatimia, nilivaa harakaharaka kwa ajiri ya safari ya kwenda bank huku kuweka vile pesa “yani hapa sasa tutaenda sawa oooh dady ukitaka tena niambie nikupe hata nyama ya bata ntakupa” nilianza kuongea kama chizi huku natoa nguo zangu kwenye kabati kuchagua niipendayo.

“dada cleme dada cleme unaenda wapi sasa?
Aliniita dogo wangu clifford baada ya kuona naingia kwenye gari.

“sikia clifford mdgo wangu nafika bank mara moja sawa nakuomba mdgo wangu nisaidie kitu kimoja unga nyama na yale maharage alafu mchele nilowekee ntakuja kupika mwenyewe”

“aah bwana mimi nina kazi za shule”

“mmh clifford ntakuwa sikuashii simu yangu ya apple ile ooghoo”

“haya poa usijari ila uwahi kurudi bwana”

“nitawahi ebu shka hii hela dady akiniulizia mwambie nimeenda kwa rafki yangu mara moja”
***

Dadie alinidekeza hamna mfano kila nilichotaka alinipa nikawa na furaha sana na kujiona kama mama mwenye nyumba japokuwa kuna wakati roho iliniuma kumsaliti mama yangu ila sikutamani mama harudi.

Tabia ya kula tunda na baba iliendelea na kwakuwa baba ni mkurugenzi ktk kampuni ya clearing and forwarding yenye matawi takribani mikoa kumi na mbili nchi nzma yeye hakuwa na muda mwingi wa kukaa ofisini na kuna wakati huwa ananipigia nikiwa chuo na huniita ama nyumbani au hotelini tunakwenda kuponda raha.

Nakumbuka siku hiyo alikuwa yupo nyumbani hakutoka na mimi nilienda chuo ila kama saa tisa nilikuwa nimerudi na kumkuta anaangalia movie kwenye MGM channel ya euro dicoda nami niliungana nae baada ya kutoka chumbani kubadilisha nguo huku nikiwa nimevaa mtandio na chp yangu huku juu nilivaa kitopu cheupe.

Alinichezea sana pale kiasi kwamba sikujiweza kabisa akaninyanyua na kunipeleka chumbani kwake alianza kunisugua kwa kidole gumba kwenye clitoris yangu nililia kama mtoto na kwa raha ile niliyoipata yani hata ukiniambia nini uwezi kunitoa, mzee huyu alikuwa fundi wa style tofauti na wakati ameingza mche kwenye kinu nilijikuta naashia gesi chafu bila kujizuia maana mche ulikuwa mfupi ila huo unene ndicho kilichokuwa kinaniliza.

Alinigeuza atakavyo nami sikuwa mbishi maana kama raha naipata kweli haswa nakumbuka kuna muda alisimama kidogo kama amehisi jambo ila akaendlea tena na tena mpaka safari ikawa imeisha kila mtu akawa hoi nikijua ndani tupo peke yetu nilishika chup yangu na kitopu mkononi nikaelekea chumbani kwangu ile nafungua tu nilimkuta kaka clement amekaa kitandani kwangu nami ndo hvyo tena nipo naked kukimbia natamani kuingia natamani.

Nilikurupuka vilevile mtupu na chp yangu mkononi nikafungua mlango taratibu kwa kunyata na kufunga nikaanza kutambaa na ukuta wa kolido kutafuta mlango wa chumba changu, nilifika na kufungua kitasa mpaka mwisho nikaingia kwa mgongo na kufunga mlango huku pumzi kubwa ikinitoka nikijua kazi nimemaliza, nikageuka kukiface chumba moja kwa moja nilitazama kitandani na sikuamini macho yangu nilikutana uso kwa uso na kaka clement niliregea mwili wote nikawa nimesimama sijui nifanye nini sasa uchi wangu umeonwa na baba mzazi hadi na kaka yangu pia!

“wewe cleme nimekuja kuazima moderm yako yangu siioni, vipi una kazi nayo au?”

Yale maswali niliyasikia lakini domo lilikuwa zito kumjibu nikabaki nimeduwaa kama askari wa lindo. Nilimchuhudia kaka akinyofoa ile moderm na kuikunja mkono wa kushoto na kwa muda ule inaonekana ndo alikuwa ametoka chuo kwani beg lake la laptop bado lilikuwa mgongoni. Alisimama kwa shida kidogo na kutokana na kutuna kwa mbele ila hakuona shda pia akaja mpaka usawa wangu na kunitazama kwa ukaribu kisha akaongea kwa kunong’oneza “ila wewe akili hauna, sasa kaoge mimi nakuja” jamani nilihisi kuchanganyikiwa nikajua labda atanisamehe mie dada yake yawezekana shetani kanipitia lakini haikuwa hvyo kaka clement nae alitaka anionje pia, nilijidharau sana nikajiona mpumbavu kuliko pia nikaona jinsi nilivyokuwa mdhaifu kuzuia hisia zangu. Nilichukua kanga yangu na kuingia bafuni kuoga.
Nilioga lakini muda flani nilibaki nashkilia ukuta huku roho inanihukumu hamna mfano, wakati huohuo mlango mkubwa wa chumbani ulisikika ukifungulia na hapohapo akuchukua muda pia mlango wa bafuni ukafunguliwa loh! Kaka clement alikuwa na kibukta kifupi kweli en then alikuwa kifua wazi na lile body lake la mazoezi na kukatika kwa kifua/six parts ambapo mara nyingi akitokaga gym huwa namsifikia na kumtania kuwa wifi yangu anafaidi leo kipo mbele yangu na kwa kunishughulikia mimi hapo tu.

Kunyanyuliwa kule si kwa kawaida yani kama nachukua kikombe au sufuria kabatini mimi nilijikuta nipo mwilini mwake na utupu wangu ule ule tukaanza kubadilishana mate huku mikno yangu ikichezea kifua kilichojengeka kwèlikweli. Alikunja vidole viwili nikaanza kuvisikia vikipenya ukeni kwangu nami nilijikunja kama samaki dolfin na kumpa nafasi bro anyonye matiti yangu aah iiii uuuh alinitoa kifuani kwake na kuniweka chni kisha akaja kuniwekea dude lake mdomoni kweli huyu alikuwa mwanamazoezi hata limtambo lake lilikuwa na mishipa kwa juu tena kubwa kweli nikawa nafikiria ili linaingia kwangu kweli?

Sikuwahi kunyonya gobore ila leo nililazimishwa kufanya hivyo nikawa napata shida kutokana na ukubwa wa lile dude and then mara nyingi huwa nasikia ukiendekeza huo mchezo unakömaa sura na mashavu yanashuka kabisa.

Aliniinamisha na kuliingza mpangoni yani lilikuwa la moto kwelikweli nikawa naona kama kifo vile yani lilibana na lilikuwa la moto kwelikweli hapo ajaanza kusugua nilisikia maumivu, sasa akaanza kulisukuma nililia kwelikweli mpaka likawa limekausha maji yote jamani.

“dadaaa dadaa cleme dadaaa” ilisikika sauti ya dogo clifford nami nikachukua kanga na kujifunga huyo nikatoka bafuni nikiwa na hasira kukatishwa.

“hivi clifford utaasha utoto lini wewe dadadadada fyuuu”

“hilo lilikuwa limelala”

“clifford unajua nitakupiga wee unajua muda wote wa matani shauri yako”

“haya nisamehe jamani dada, hivi kama sikosei kaka clement amerudi eeh maana nimeona vitu vyake?

“bwana me sijui muulize?

“simuoni na mimi nataka nicheze game kwenye laptop yake”

“bwana clifford usinisumbue”

“toka huko” clifford alinipiga ngumi begani kwa hasira nilimchukua nikamzungusha lakini wakati anajitetea akashka kanga yangu na kuitoa mwilini mwangu nikabaki mtupu tena mbele ya mdogo wangu aibu gani hii jamani eeeh!!!

Clifford alijitetea na kwa bahati mbya akashika upinde wa kanga yangu na kubaki nao mkononi na kuniasha mimi mtupu. “hkaaa aibu gani hii familia nzima hadi mdogo wangu clifford!

Nilijikuta naongea kama niliyeshanganyikiwa huku nikiendlea kuwa mtupu mbele ya mdogo wangu clifford, nae pia aliendelea kunikodolea macho kwenye maungo yangu muhimu bila hata ya woga kuwa huyu ni dada. Nilipata ujasiri nikampokonya ile kanga na kujifunga kiunoni nikaingia chumbani kwangu na kukutana uso kwa uso na kaka clement aliyekuwa amesimama pale mlango wa bafuni.

“vipi anasemaje dogo?

“clement toka nenda chumbani kwako”

“kwanini lakini? Nitaendaje na huku dogo unasema amerudi?”

“utajua mwenyewe utaendaje kwani mbona uliingia humu ndani na ili hali ukijua baba yupo ebu toka clement nakuheshimu”
Kwa wakati huo nilivurugwa kutokana na mfululizo wa matukio ya ajabu baada ya mama kuondoka, nililia sana hata sikumwangalia clement kama kaka tena na zaidi huyu baba kwangu lilibaki jina lakini kwa heshima ya baba ilishapotea kabisa, nilimtazama clement alivyokuwa anaangaika kutaka kutoka nje mara anafungua kitasa na kurudi hadi kwangu “cleme mbona hvyo lakini?

“hivi una akili wewe? Ebu toka”

Nilimfokea kwa mara ya kwanza kwani ktk malezi yetu sikuwahi kufanya hivyo ila mara zote ni yeye alikuwa akinipiga na mara ya mwisho alinikutaga na martine jirani yetu akanipiga vibao na kugombna na huyo jamaa wakati martine hakuwa mpenzi wangu na kupelekea kumchunia wiki nzima bila kumuongelesha, na ugomvi wetu ni tokea utotoni mpaka tunakuwa.

Niliamka kwa hasira na kumshika mkono kisha nikafungua mlango na kumfukuzia huko kisha nikarudi kitandani na kuanza kulia, nililia mpaka nikapitiwa na usingizi, walinigongea mlango mpaka wakachoka sikufungua mlango. Kama michale ya saa mbili kasoro simu yangu iliita na kunifanya nijivute kuamka.

“hallo mamy”

“eehe mwanangu mnaendeleaje na baba yenu” mama kama alikuwa anaongea peke yake sikumjibu na badala yake nikamuuliza.

“mamy unakuja lini?

“nitakuja mamy jamani kwani una nini mwanangu?

“mama me nakuja sasa hivi”

“kuna nini huko mamie?

“mama me nakuja bwana”
****

“mwanangu kuna nini huko nyumbani?

“mama hamna kitu nilikuwa nimekumiss siwezi kukaaa mbali na wewe ndio maana nimekuja”

“haya mwanangu karibu ila tutarudi nyumbani wikiendi hii japo moyo wangu ni mzito kurudi”

“haaa mama vyovyote ni sawa tu, ila siwezi kurudi pekeyangu”

Tuliendelea na mapishi pale huku mama mkubwa akitabasamu tulivyokuwa tunazungumza.

Siku ya tatu kuwepo pale niliamka asubuh sana hata tofauti na ninavyofanyaga nikiwa nyumbani, nilifanya shughuli zote huku mimi, aunty na mama tulikuwa tunatoka siku hiyo mama na aunty walikuwa wanaenda dukani na mimi chuo.

Wakati tunatoka ili kuingia kwenye gari mara mtu aligonga mlangoni na kunifanya niashe mlango wa gari wazi na kwenda kufungua geti. Loooo! Nilikutana uso kwa uso na baba yani niliishiwa pozi kabisa, nikampa nafasi ya kuingia ndani.

Sikumshangamkia zaidi ya kumsalimida na hata mama pia alikuwa amebadilika ghafla na kufanya ile furaha yetu kupotea, nilikaa pembeni wakizungumza na walifikia muafaka na nilisikia aunty akimwambia dadie “usijari shem watakuja tu hiyo kesho”
***

Siku ya pili yake mama alinisubiri mpaka nilipotoka chuo kisha akampigia dadie akatufata yani alikuwa mpole mzee martine kiasi kwamba kulinifanya niamini uenda amejifunza.

Siku hiyo angalau furaha ilirejea tukapika na kula pamoja mezani huku tukitaniana but dogo alikuwa ananiangalia sana na mimi nilikuwa nakwepesha macho lakini nikimuangalia tena bado tu nilijisikia aibu sana na nilipomaliza kula niliaga na kwenda kulala japokuwa haikuwa desturi yangu kulala mapema ila niliitaji kulala mapema ili niamke usiku kusoma maana tulikuwa na test ndani ya hyo siku.

Usiku niliota ndoto sijui ile ila nilikuwa nafanya mapenzi na mdgo wangu clifford, kwanza nilikuwa na ubaridi mkubwa ila ghafla baridi likapotea na joto likatanda mwilini mwangu na mikono ya kiume ilinitomasa mwili mzima na kunifanya nizidi kujitanua pale kitandani yani hata sielewi kuwa ni usingzi au kweli ila kitendo cha mche kuzama ukeni kwangu kulifanya nifumbue macho na kumkuta mtu akipiga makasia mwilini mwangu. Nilijivuta na kuwasha taa pembeni mwa kitanda. Kweli niliyokuwa nahisi yalitimia, alikuwa mdogo wangu clifford na tayari alishazamisha dudu lake why mimi lakini?.

Nilisikia ule mche ukizama uke wangu nilijivuta na kuwasha taa. Loh! Alikuwa ni mdogo wangu clifford.

Nilimtazama jinsi jasho lilivyokuwa linamtoka yani kumtoa juu yangu nilishndwa kutokana na kusikia ule utamu kusema ukweli ilikuwa ni fedheha sana kwangu lakini uwezi amini pale ndani kati ya baba, kaka clement wote hawakumfikia huyu dogo yani yeye alikuwa na kitu ambacho cha size ya kati, kinene kiasi ila alijua jinsi ya kukitumia maana alikuwa anazungusha na kugusa engo zote za k**a yangu na kunifanya nidate na mtu mwenyewe kuchoka achoki yani alianza kunipeleka mpwitompwito na mimi nilimbana na miguu yangu kiunoni na kumfanya apush kidogo tofauti na mwanzo alivyokuwa mwanzo alikuwa anapush kwa nguvu sana. Nilifika mshindo yani katka maisha yangu yote nilishndwa kujizuia kutoa kelele nililia “uwiiiiiii” muda huo wote wawili tulihisi zile kelele zimepenya basi palepale clifford alitumbukia uvunguni na mimi fasta nikashusha shuka ili hata mama akija asishtuke.

Kama dakika mbili mama akafungua mlango huku anahema akiwa na hofu alinikuta nimekaa kitako pale kitandani.

“eh mama kuna nini tena? Aliuliza mama.

“mamy nimeota ndoto nakabwa mama”

“eeh mwanangu pole uwe unasali kabla ya kulala mwana”
mama alinyanyuka akaenda kuwasha taa ya chooni akatazama na kutoka akarudi akataka kufunua chini ya kitanda nikamzuia kwa miguu akarudi na kusimama mbele yangu.

“kwahiyo utaweza kulala peke yako au tulale wote?

“hapana mama wewe kalale nitalala mwenyewe”

“mh mwanangu hapana ngoja tuombe kwanza..
Baba ktk jina la yesu ninaharika uwepo wako ulinde nyumba yangu, linda vijana wangu na binti yangu pia namfuka kwa damu yako uepo wako uwe pamoja nasi ktk jina la yesu amen”

“amen!

“haya my baby lala salama, kama likitokea jambo niite, ila mwamini mungu atakulinda”

“asante mamy, usiku mwema”

Mama aliondoka na alipopotea kabisa na ukimya ukatawala, nilinyanyua shuka na kumtoa clifford akiwa amelowa jasho kwa lile joto la kule chini.

“eeh pole mwaya jamani”

“mama yako anakupenda kweli haya mimi naenda kulala”

“clifford!

“yes”

“kesho tena eeh?

“haya usiku mwema”

“umesahau” nilimuonyesha boksa yake ilikuwa ktk ya shuka.
***

Maisha yaliendelea ila kusema ukweli nilikuwa najiona kama nisiye na thamani, ila kuna siku tukiwa tumekaa mara akapigia simu alipokea na sauti ya upande wa pili ilikuwa inalia na kujulisha kuwa kuna msiba wote tulishtuka na hata mama pia alibadilika ghafla na hapo ndipo tukajua mambo yamebadilika.

“cleme kaniletee beg langu”

“mama kuna nini?

“mama yako mdogo rose”

“amekuwaje tena mama?

“rose amèfariki, jamani mdogo wangu amekufa tukiwa kwenye ugomvi mungu weee”

Moyo ulipasuka na kumkumbuka mamdogo rose aliyekuwa amekaa pale tokea tukiwa wadogo yani yeye amenizidi miaka 2 alikuwa kama dada kwangu ila nakumbuka mara baada ya kutoka chuo cha ualimu wakati anasubiri ajira ndipo ulitokea ugomvi kati yake na mama akaondoka nyumbani yani moyo uliniuma sana sijawah kuona hasa nikimkumbuka mamdogo rose.
***

Mama aliondoka na kwenda kwenye msiba na huku kaka clement nae alienda field arusha tukawa tumebaki mimi, dady na dogo clifford. Maisha yakaendelea kama kawaida.

Siku ya jumamosi rafiki tinah alikuja kunitembelea ambye ni jirani yetu tu yeye anasoma chuo cha ardhi.

“hee shoga upo?

“mh mbona nipo jamani”

“masaki hii hii, au ndio geat kali?

“aah wapi jamani wewe ndio umenitupa hauji nyumbani kama zamani”

“ila kweli sijaja muda mrefu mwenzangu chuo mambo tait wangu, enhe dogo cliff yupo?

“eh clifford amejaa tele na hapa ameenda sokoni kununua vitu maana humu ndani tumeishiwa kila kitu”

“ameenda soko lipi?

“si kisutu pale, ameenda kuchukua vitu vya jumla”

“anhaa, nitamsubiri ila naomba niazime laptop yako si una pilau?

“pilau ndio nini?

“bwana naniu za kikubwa”

“aaha zipo ingia file la cotton, then junior, castro kisha invisible hapo ndo utazikuta”

“eeh mwenzangu umezificha sio rahisi kuziona”

Kusema ukweli kwa muda nilikuwa na mpango wa kukutana na baby wangu john pale nilikuwa namsubiri cliff arudi kisha ndipo nitoke.
Nilikaa pale mpaka cliff aliporudi akaingiza vitu na mimi nikarudi chumbani kwangu kuchagua nguo ya kutokea.

Nilimaliza na kurudi pale sebureni cha ajabu nilimkuta tinah na cliff wanaangalia zile porn kwenye laptop yangu.

ITAENDELEA

RIGWARIDE LA AFANDE – 5

Related image

Chombezo : Rigwaride La Afande
Sehemu Ya Tano (5)

“Bwana mimi naogopa peke yangu.”

“Hivi husikii wewe. Unadhani nani atakuja kujibanza hapa kwa maafande, hajipendi?”

Nikatoka hadi chooni. Ile nageuza kurudi ndani, yule afande mbaba naye anatoka kwake, akanishika mkono…
TAMBAA NAYO MWENYEWE…

“Wewe binti utakula jeuri yako. Nimesikia habari zako zote…kwa nini umefanya hivi lakini? Kama si mimi ungemjua afande Mwita wewe?”

“Bwana niache,” nilimwambia kwa sauti ya chini lakini yenye hasira…

“Sikuachi, wewe ni wangu, nikuachie nini sasa? twende kwangu…”

“Ha! Sitaki bwana.”

Alinishika kwa mabavu na kuniingiza chumbani kwake, akanikalisha kitandani…

“Kaa hapa!” aliniambia kwa ukali kidogo, nikakaa!

“Lakini sasa kule kwa afande Mwita kuna nguo zangu,” nilimwambia…

“Kachukue urudi hapa. Tena angalia asiamke. Wewe unaacha kuja kwetu wenye pesa unahangaika na afande mwenye mkopo kazini, atapata wapi pesa?” alisema yule afande mbaba.

Nilijikuta nasimama, nikatoka…

“Basi usifunge mlango,” nilimwambia. Moyoni niliamini niko sahihi kwa vile, afande huyo ndiye wa kwanza kuniona mimi, wengine ndiyo wakanitamani.

Yeye ndiye niliyekutana naye maeneo ya hospitali akiwa amekaa kwa msafisha viatu.

Basi, niliingia chumbani kwa afande Mwita, nikaweka shuka kitandani, nikavaa nguo zangu na kutoka polepole nikifunga mlango kwa machale sana.
Niliingia chumbani kwa afande yule mbaba. Chumba kilikuwa kimepoa. Afande alikaa kitandani akinisubiria kwa hamu kweli. Nilipoingia tu, akasimama na kwenda kufunga mlango na funguo, kachakacha, akanirudia na kunipandisha kitandani…

“Hapo sawa…hapo sawa,” alisema afande huyo kwa sauti iliyojaa uchu wa hali ya juu.

Tulikuwa wote kitandani sasa, joto la Dar usipime. Mlio wa feni ulitikisa chumba kizima…ziii…ziii!

Mara kwa mbali tukasikia mlango wa chumba kimoja wapo mle ndani ukifunguliwa…

“Afande Mwita huyo. Huo ndiyo mlango wake unavyolia,” alisema afande huyu mbaba.

“Haa! Atakuwa ananitafuta. Si ataingia kila chumba?” nilimuuliza…

“Hapana, ulipotoka kwenda kuchukua nguo zake na mimi nilitoka kwenda kufungua mlango wa uani nikauacha wazi…”

“Ili..?” nilimuuliza kwa kushangaa…

“Ili akitoka na kuukuta uko wazi ajue umeondoka zako.”

Niliachia tabasamu la kitandani. Niliamini kweli ni mbinu ya hali ya juu. Moyoni nikamsifu kwa ujanja huo.

Afande alitoka kitandani na kwenda kuzima feni haraka kisha akarudi…

“Huyu binti mjinga sana…inaonekana ni malaya tu… sasa anavyotoroka saa hizi akiuawa je? Mama yake si atanila nyama. Nikimkamata atanijua mimi ni nani?” tulimsikia afande Mwita akisema kwa kulalamika.

Tukacheka ndani kwa ndani, afande akanikumbatia na kunipa busu moja tu, zito!

Mara tukasikia mlango wa uani ukifungwa, mara tukasikia mlango wa chumbani kwa afande ukifungwa. Tukajua ameingia ndani kulala. Amesalimu amri…

“Lakini asubuhi nitatokaje mimi?” niliuliza.

“Nitajua mimi, wewe tulia.”

Kweli nilitulia. Afande akanishika na kunivutia kwake. Tukawa beneti, ziro distensi. Nikajua anataka nini. Mwee! Nilichoka lakini basi tu…

“Si tungelala kwanza baby,” nilimwomba…

“Wee! Utakula jeuri yako. Hapa hakuna kulala.”

“Plizi mpenzi wangu, kama hautajali naomba nilale kidogo ndipo nitakuwa huru kwa chchote utakachohitaji kutoka kwangu,” nilizidi kumwomba.

“Nasema hivi, utakula jeuri yako hapa hakuna kulala,” alisisitiza huku akiniangalia kwa macho ya uchu wa mapenzi.

Nilijua hata nikibisha vipi, hata nikiomba msamaha vipi, afande asingekubali. Lazima angetaka mpira uchezwe.

Na hii yote ilichangiwa na umbo langu kwani kwa mwanaume yeyote rijali, akiniona tu nilivyo hawezi kulala hata kama angetoka muda huohuo kucheza soka.

“Haya baba nakusikiliza,” nilimwambia.
“Wewe utakula jeuri yako, mimi siyo baba yako,” aliniambia na kunivutia mwilini mwake.

Sikuwa na la kufanya zaidi ya kujiachia kwa mbaba huyo mjeshi huku nafsi yangu ikiwa mbali kabisa na jambo alilotaka tulifanye kwani muda mfupi nilitoka kuchezeshwa ligwaride na afande Mwita tena kwa staili ya kusimama.

Basi, kwa tabutabu hivyo tuliingia uwanjani. Ushirikiano haukuwa wa kutosha kwangu, ila afande yeye alijitutumua mwenyewe mpaka mwishomwisho wakati anatangaza nia ndiyo na mimi nikapata nguvu ya kumsaidia kufika safari yake!!

Baada ya hapo tulilala zetu. Usingizi wenyewe kwangu ulikuwa wa maruweruwe.

Hali hiyo ilitokana na hofu niliyokuwanayo kufuatia kuwachanganya maafande wale kwa nyakati tofauti na kwenye jengo moja.

Niliwaza itakuwa vipi kama atafika saa kumi na mbili na kuambiwa na afande Mwita kwamba mimi nilitoroka usiku.

***

Nilikuja kushtuka kwenye saa kumi baada ya kuangalia saa ya kwenye simu yangu. Nikajisikia kwenda haja ndogo, nikamwamsha afande huyu mbaba…

“Nataka kwenda chooni.”

“Si unakujua?” aliniuliza.

“Ndiyo…”

“Nenda tu, mimi nakulinda.”

“Unanilinda wakati uko ndani?” nilimwuliza.

“Wewe nenda tu, usiwe na wasiwasi.

Nilitoka kitandani. Huyu bwana hakuwa na shuka, alikuwa akitumia blanketi. Na kwa joto la Dar blanketi hilo lilikuwa tu pembeni kwa kitanda limetulia.

Kwa hiyo ili kwenda chooni ikabidi nivae nguo zangu ndiyo nitoke. Nilivaa zote bwana!

Nikaenda chooni. Wakati natoka, afande alikuwa macho,  tena aliwasha taa kwa kutumia swichi ya kitandani, wenyewe mnaiita bed nini sijui..! nadhani ni bedi swichi!

Nikiwa chooni, nikasikia miguu ikitembea kuja usawa huo nikajua ni afande mbaba ameamua kunifuatulia.

Mara nikasikia ikiingia bafuni, nikasikia kukohoa. Mkohowo huo ulitaka kufanana na wa afande Mwira. Nikatulia kimya na kufuatilia ili nijue ni nani!

“Ee nivumiliee…nakupenda sana wewe…hata moyo wangu eee…” aliimba na ndipo nikajua ni nani sasa…

“Mh!” niliguna. Moyo ukaanza kwenda mbio. Nilijua nimeumbuka…

Ilipita kama sekunde kadhaa, nikasikia maji yakimwagika, mtu akiwa anaoga.
Nikajua mtu huyo hawezi kutoka muda huo, nikatoka mbio hadi chumbani kwa yule afande mbaba, nikamkuta amesimama eti alitaka kunifuatilia chooni maana nilichukua muda mrefu.

Kulipokucha, baadhi ya maafande walishaondoka kwenda kazini, lakini afande Mwita alibaki. Afande yule mbaba pia alibaki.
Saa moja juu ya alama, afande Mwita akaja kumgongea afande wangu mbaba…
“Mura,” aliita afande Mwita. Sijui mura maana yake nini!!
Jamaa naye huku chumbani akaitika kwa kusema neno hilohilo.
“Upo?” aliuliza afande Mwita…

“Nipo mura…vipi, hujuenda kazini leo?”
“Bwana nina msala…”
“Msala gani tena?”

Afande Mwita akamsimulia mwenzake kuhusu kisanga chake chote…
“Mura…hivi ninavyokwambia sasa hivi hapa nawaza. Je, mama yake akija sasa hivi itakuaje? Nitamwambia binti yake yuko wapi?”

“Daa! Mura hapo kweli umeshikwa pabaya. Ni kuomba Mungu, maana isijekuwa alipotoroka amekumbana na majambazi ameuawa, itakula kwako mura.”
Walipitisha ukimya kila mmoja akitafakari, mimi nikashikwa na hali ya kutaka kupiga chafya! Ilibidi nijizuie kwa nguvu zangu zote mpaka nikachukua shuka na kulitumbukiza kinywani ili tu nisipige chafya. Nikafanikiwa.

Baadaye afande Mwita alirudi chumbani kwake, afande wangu mbaba naye alirudi kitandani akiwa anafunga mlango…
“Da! Jamaaa anasumbuka sana. Angejua upo ndani kwangu sijui ingekuwaje? Angenifyatua na risasi,” alisema afande wangu.

Mimi niliachia tabasamu tu kwani dhamira ilinisumbua kuona mtu hakulala kisa mimi na kumbe nipo sehemu ya usalama kabisa…
“Sasa mimi nitatokaje?” nilimuuliza afande wangu kutaka kujua…

“Ala! Sasa uondoke kwenda wapi mpenzi wangu? Hapa umefika! Mimi nikienda kazini nakufungia ndani mpaka nitakaporudi. Yaani wewe na mimi ndiyo tumeshakuwa mke na mume tayari.”

Niliogopa kusikia hivyo kwani nilijua mazingira yatakuwa magumu sana. yaani nikae chumbani mchana kutwa au usiku mwingine nikimsubiri yeye, ngumu sana!
***
Nyumba ilikuwa kimya sana, afande Mwita aliondoka na afande wangu pia aliondoka. Yeye afande wangu aliondoka baada ya kupika ubwabwa na nyama akaniachia, eti nikijisikia njaa nile.

Nilikuwa nimepitiwa na usingizi wa asubuhi baada ya ule wa usiku kuamkia asubuhi. Nadhani mnaujua. Yaani watu wakiamka asubuhi, baadaye kama watakuwa bado kitandani lazima wapitiwe na kausingizi kengine ka mwishomwisho!
Nilishtuliwa na mlango mkubwa kugongwa…

“Ngo ngo ngo…hodi!” Ilikuwa sauti ya kiume, nikajua siyo mama. Awali nilijua ni mama amenijihimia.

Sikuamka, niliendelea kumsikiliza lakini ikafika mahali hodi hiyo ikawa ni kero sasa. nikatoka kitandani, nikafungua mlango na kwenda hadi mlango mkubwa lakini nilikwenda kwa kunyata ili kuchunguza kwanza…

“Ngo ngo wenyewe hodi humu ndani,” ile sauti iliendelea kuita baada ya kugonga.
Nilipata upenyo na kuangalia nje kupitia nafasi ya mlango, kipande cha mbao na kipande kingine. Niliwaona wanaume wawili wamesimama.

Nilisonya, nikarudi zangu ndani, chumbani, nikapanda kitandani kulala. Sikumbuki waliondoka muda gani, lakini nilishtuka mimi saa sita na nusu baada ya simu yangu kuita sana. Nilitoka kitandani na kuifuata ilipo. Alikuwa afande wangu, mbaba maana si nilimsevu siku ya kwanza kabisa…

“Haloo…”
“Dear hujambo?” alinisalimia…
“Sijambo, mzima wewe?”
“Mimi mzima, umeshaamka wewe?”
“Khaa! Sasa ningekuwa sijaamka, ningepokea simu? Si ningekuwa bado usingizini,” nilimuuliza…
“Kumbe wewe jeuri ee? Basi kuna siku utakula jeuri yako, mimi nipo kazini, take care hapo nyumbani, nimegundua umebaki peke yako,” aliniambia kwa sauti yenye amri…
Wakati tunaongea, nikasikia mlango wa uani ukifunguliwa, nikakata simu haraka sana bila kumwambia kwa nini nakata simu.

Nikatoka kitandani, nikatembea hadi mlango wa chumbani, nikatulia hapo kimya kabisa! Aliyefungua mlango nikasikia anaufunga, kwarakachakwarakacha.
Nikaogopa, sikujua ni jambazi au mtu wa aina gani! Mara nikasikia mlio wa viatu kutembea…ko…ko…ko! Nilitetemeka.

Nilipata tabu sana kumwambia inatosha maana kila nilipojaribu kusema, hakuwa ametoa ulimi wake kinywani mwangu, nikabaki namsukuma lakini wapi! Alining’ang’ania mpaka nikajikuta naishiwa nguvu na kulegea…
SASA ENDELEA…

“Twende chumbani basi,” akaniambia…”
Aliponieleza hivyo nikabaki nikimwangalia kwa kumlegezea macho, kwa kuhofia kufumwa na afande Marwa na Mwita nilishindwa kumkubalia au kukataa.

“Mbona unaniangalia ina maana hujanisikia?” aliniuliza.
“Mimi kwenda ndani na wewe sitaweza kufanya hivyo…”
“Kwa nini?” aliniuliza.

Nilimweleza kwamba ikitokea wenzake wamerudi ghafla itakuwa balaa kwani wanaweza kunijeruhi kwa kipigo kama siyo kuniua kabisa.
Nilipotoa kauli hiyo, alicheka na kuniambia kumbe nilikuwa muoga, sasa kama sikutaka kuingia ndani atatoa siri yangu.

Aliponiambia hivyo, moyo ulipiga paa kwani nilielewa hatari iliyokuwa mbele yangu kama angemwambia afande Mwita kwamba niliingia chumbani kwa afande Marwa lingekuwa bonge la msala.

“Bado unaendelea na msimamo wa kutotaka kuingia ndani, kwanza hatuendi kukaa muda mrefu sijui unaogoa nini binti mzuri,” aliniambia.
Aliponisifia kwamba nilikuwa binti mzuri, japo moyoni sikuwa tayari kufanya naye mapenzi nilifurahi na kuachia tabasamu.

Moja kwa moja alipoona nimetabasamu akajua nilikubaliana naye akanishika mkono na kuniongoza chumbani kwake kama vile nilikuwa mkewe.
Tulipofika hakunipa nafasi, akakivamia kifua changu na kuanza kukishika na kuhamia maeneo mengi aliyopendezwa nayo.

Licha ya pale mlangoni kula denda lililonifanya niishiwe nguvu na kulegea, jamaa huyo ambaye kwa muda mfupi niliokuwa naye nilibaini alikuwa akipenda sana kula denda, akanivutia maungoni mwake, akatoa ulimi na kuuelekeza kinywani mwangu.
Alipofanya hivyo, niliudaka na kinywa changu, akaanza kuuchezesha huku akiuvuta na kuung’ata kimtindo ulimi wangu mwili ukanisisimka.

Pamoja na utundu alionifanyia, moyo wangu haukuwa radhi kubilingika na jamaa huyo ambaye hakunivutia kama ilivyokuwa kwa maafande wenzake akina Mwita.
Aliporidhika kwa denda, alinivutia kitandani ambapo aliniomba nivue nguo ili tuingie katika awamu ya mwisho lakini nilimkatalia kwamba sikujisikia vizuri.

“Wewe binti unajua sikuelewi hata kidogo,” aliniambia.
Nilimweleza kwamba ni kweli sikujisikia vizuri na kumpa ahadi kwa kuwa bado nitakuwepo pale asijali nikiwa vizuri nitampa penzi ambalo hakuwahi kulipata tangu alipoanza mapenzi.

Kauli yangu ilimchekesha na kunieleza niache kumtania kwani kwa umri wake alikuwa amekutana na wanawake mbalimbali waliojua mapenzi.

“Sijakataa lakini siku hiyo ndiyo utaamini maneno yangu wewe kuwa mvumilivu, si unaelewa kwamba siku zote mvumilivu hula mbivu?”
“Huo msemo umeshapitwa na wakati, tafadhali naomba japo mara moja, hivi huwezi kujua kama hapa nilipo nipo katika wakati mgumu sana binti mzuri?”

“Si wewe pekee uko katika hali hiyo, mimi mwenyewe nipo kwenye mateso lakini hali yangu hainiruhusu kwa leo,” nilimwambia.
“Unaumwa nini kwani?” aliniuliza.

“Jamani wewe, hivi kwa nini huniamini ninapokwambia siko vizuri, matatizo mengine ni ya sisi wanawake,” nilimwambia.

Nilipomweleza maneno hayo, nilimuona akiwa mpole kisha akaniuliza nilitarajia kuwepo pale kwa muda gani, nikamwambia pale yangekuwa makazi yangu ya kudumu.
“Kwa hiyo Mwita ndiyo kaamua kukuchukua jumla uwe mke wake?” akaniuliza.
“Yeye ndiyo kasema hivyo, sijui sasa kama atabadilika lakini kwa upande wangu naelewa nitakuwa hapa kwa muda mrefu,” nilimwambia.
“Haya lakini umenikatili sana wewe mtoto, leo nilitaka kufurahi na wewe na wewe ufurahi na mimi,” aliniambia.

Kwa kuhofia kukutwa na afande Mwita, nilimuomba aniruhusu niondoke ombi ambalo hakulipinga zaidi ya kusisitiza kwamba nitakupojisikia vizuri nimfahamishe kumpa asante yake ya kunifichia siri.

“Usijali kwa hilo,” nilimjibu kisha nilitoka mle chumbani kwake na kwenda chumbani kwa Mwita.

“Mh! Hawa maafande sasa wataka kunigeuza chombo chao cha starehe maana kila kunapokucha anaibuka mwingine na kunitaka, huyu ningemlegezea naye angenitafuna,” Rhoda alijisemea moyoni akiwa ameketi katika kitanda cha afande Mwita.

Wakati Rhoda akiwaza hivyo, yule afande aliyemkosa alilaani sana kitendo cha Rhoda kutojisikia vizuri na kujipa imani kwamba zisingepita siku mbili lazima angempata.

Rhoda akiwa anatafakari vitendo vichafu alivyokuwa akifanya na maafande wale, akasikia sauti ya mwanamke aliyekuwa akizungumza kama mama yake akisalimiana na mtu nje.

“Mh! Huyu mbona ana sauti kama ya mama, au atakuwa yeye!” aliwaza.
“Humo ndani hakuna mtu wenyewe wamekwenda kazini na leo watachelewa kurudi,” yule afande aliyetaka kutoka kimapenzi na Rhoda alimfahamisha mwanamke huyo.

Mimi nilibaini ni mama haraka sana, nikashtuka!
“Nimekuja kumfuata mwanangu, yupo humu ndani?” mama alimuuliza yule afande.
“Yule binti mzuri, mfupi hajasuka nywele?” yule afande ambaye hakumfahamu mama alimuuliza. Mimi moyoni nikawa nasema we afande, mbona unajiweka kimbelembele sana, una nini lakini?

“Ndiyo huyohuyo!” mama alijibu.
“Yupo ndani na dakika chache nilikuwa nazungumza naye, wewe ingia hapo ndani kisha bisha hodi kwenye mlango wa kulia kwako,” yule afande alimwambia mama.
Kila kitu kikawa wazi sasa.

Wakati mama Rhoda anatembea kuelekea alikoelekezwa, yule afande akamwomba samahani, aliposimama akamwuliza kama ni kweli mimi nilikuwa mwanaye wa damu.
“Ni binti yangu kabisa, leo nimemfuata nataka arudi nyumbani. Binti ni malaya sana huyu, ananitia aibu kubwa. Mimi mama yake sikuwahi kuwa hivi,” mama alifoka.
“Kwa hiyo mama unataka kuondoka naye au?” aliuliza afande.

“Si mwanangu,” alisema mama kwa sauti ya kuwaka akimaanisha swali la afande lilikuwa la hovyo.“Da! Mimi nilizungumza naye kitu fulani mama. Sasa kama unaondoka naye, basi ungeniacha nimalize naye mazungumzo,” alisema yule afande mpaka mimi nikahisi hana akili nzuri kichwani…

“Yanahusu nini?” mama alimuuliza akiwa anagonga mlango wa chumba nilichokuwemo…
“We malaya,” mama aliniita kwa jina hilo.

Niliumia sana moyoni. Mama yangu mzazi kuniita mimi malaya.
“Abee,” niliitika kwa nidhamu ya hali ya juu.
Nilikwenda kufungua mlango huku moyoni nikiwa namlaani sana yule afande kwa kumwambia mama kwamba nilikuwemo ndani.

Nilipofungua tu mlango, nilikutana na uso wa mama. Alinishika mkono na kunitoa kwa nguvu kwenye chumba hicho…
“Leo ndiyo utajua mimi ni nani?” alisema.

Nilimsihi mama aniache nizirudie sendozi zangu lakini alikataa, nikawa natembea pekupeku.
Yule afande alitoa kichwa chumbani kwake kutuangalia. Akatingisha kichwa…
“Mama ungemwacha afunge basi japo mlango wa watu,” alisema yule afande…
“Kwani na nyie mnaibiwaga!?”
Sasa kazi ilikuwa ni kuikata mitaa, kutoka upande wa Hospitali ya Temeke, kuvuka barabara na kuingia upande wa pili kuelekea Mtaa wa Wailes ambako ndiko nyumbani.
Mama kama kawaida yake, wakati akinikokota, mimi nilikuwa kwa nyuma, yeye mbele ila mkono wangu wa kulia ndiyo ulikuwa mkononi mwake. Vuta picha hapo nilikuaje?!
Watu njiani walikuwa wakinicheka, wengine walinijua wakasema…

“Rhoda leo vipi! Polisi nini? Pole wa kwetu.”
Sikuwa na muda wa kuwajibu si kwa kupuuza bali kwa kasi ya kupelekeshwa.
Sikujua ni kwa nini kama mama alishindwa kujua kwamba aibu ninayoipata hata yeye inamhusu. Maana kama mimi ni malaya, yeye anahusika kwa sababu si ndiyo mlezi wangu!

Kufika mtaani sasa, ndiyo usiseme. Wasichana wenzangu walitoka majumbani kwa kuitana kiumbeya…
“Jamani Rhoda kakamatwa na mama yake, alilala kwa mwanaume,” alisema binti mmoja anaitwa Pashuu.

Mama aliniingiza ndani, chumbani kwangu, akaniweka kitandani…
“Vua nguo nakwambia,” alisema kwa ukali mama.
Moyoni nilishangaa sana mama kuniambia nivue nguo kwani nilijua anajua mimi nilikuwa kwa mwanaume maana aliniacha mwenyewe, japo ni kwa wanaume, sasa alitaka nivue nguo ili iweje?

“Sasa mama nikivua nguo halafu…”
“Weee! Paka shume we,” mama alikuja juu.
Ilibidi nivue ili nisubiri hatua nyingine kutoka kwake. Nilipomaliza nikabaki nimemtumbulia macho kumwangalia tu…
“Enhe! Ulilala naye?”

“Nani mama?”
“Pumba** kwani nilikuacha kwa nani?” mama aliniuliza huku akinipiga…
“Ndiyo mama.”
“Yupi?”

“Mhh!” Swali hilo la mama lilinifanya nigune kwanza. Yupi kivipi wakati anajua aliniacha kwa nani!
“Sijakuelewa mama.”
“Hujanielewa nini? Wewe si ulikuwa chumba cha kushoto? Mbona leo umetokea chumba cha kulia?”

Moyo ulifanya paa! Nikaamini kwamba, kweli mzazi ni mzazi tu, huwezi kumdanganya! Kumbe mama alijua niliingia chumba cha kushoto na amenikuta chumba cha kulia…
“Alihamia kule.”

“Wewe, siyo kwamba umewachanganya? Nakujua mwanangu Rhoda.”
“Hapana mama alihamia kule. Lakini ni yuleyule.”
Mama aliniacha, akaniambia ni marufuku kuanzia siku hiyo kutoka hata kufika kibaraza cha nyumbani. Akasema nikija kuvunja amri yake hiyo nitakiona cha moto!
***
Saa tisa usiku siku hiyo, nikiwa chumbani kwangu nimelala, simu yangu iliita, kuangalia hivi ni afande Mwita anapiga, sikupokea.

Alipiga kama mara saba, alipoacha ikaingia simu ya afande Chacha, nayo iliita weee, sikupokea. Ikaja simu ya afande Mwira, nayo ikaitaa weee sikupokea! Nikaanza kuogopa sasa.

“We Rhoda, hiyo simu inatoka wapi usiku huu?” mama aliniuliza kutokea chumbani kwake…
“Siijui namba mama, labda amekosea.”

Nilichofanya, niliamua kuizima simu. Lakini kabla sijafanya hivyo, meseji iliingia. Ilitoka kwa afande Chacha, yaani yule wa kwanza kabisa mbaba, aliandika…
“Utakula jeuri yako.”
“Poa,” nilimjibu, ndiyo nikazima simu.

Nilipata tabu kuupata usingizi maana muda mwingi nilikuwa najifikiria ni kwa nini walinipigia simu wote? Ina maana wako pamoja? Kivipi?

**
Mwezi mmoja ulikatika bila kupata mawasiliano kutoka kwa yeyote kati yao. Lakini siku hiyo niliamka ninaumwa. Afya haikuwa njema. Nilipokuwa najisaidia, nilisikia maumivu makali sana, halafu sehemu ya chini ya tumbo ikawa inauma pia…
“Mama,” nilimwita…

“Nini?” mama aliniitikia kindava. Eti nini!
“Naumwa mama…tumbo linaniuma, hapa chini linauma sana,” nilimwambia mama baada ya kuja.
“Ni kwa sababu gani?”
“Sijui mama,” nilisema nikijishika tumbo kwa maumivu…
“Lakini wakati nimekwenda chooni nilihisi haja ndogo yangu ina rangi ya maziwa,” nilimwambia mama…
“Hee! Twende hospitali haraka sana. Jiandae,” alisema mama na kunipa hofu kwani niliamini mshtuko wake una jambo alilolijua.
Nilijiandaa harakaharaka, nikamwambia mama, tukaondoka hadi Hospitali ya Temeke. Mimi wasiwasi wangu mkubwa nimenasa ujauzito. Nikawa najiuliza kama ni kweli ni wa nani sasa..?
“Itakuwa Afande Mwira? Mh! Sidhani, labda afande Mwita…lakini yule siyo, ila itakuwa afande Chacha yule mbaba.”
Niliwaza mengi mpaka ikafika mahali nikawa nasubiria niingie kwa dokta na kuambiwa maelekezo.
Daktari alikuwa amekaa kwenye kiti chake miwani usoni wakati mama akimsimuliza matatizo yangu, ninavyojisikia.
Vipimo vilichukuliwa kwa kuambiwa nikajisaidie haja ndogo. Nilipomaliza, nikawapa kikopo kisha tukaambiwa tukae nje. Mama hakuonekana mwenye raha sana. Kila mara aliniangalia kwa kuibia.
“Rhoda…” aliita daktari kabla hata hajamalizia jina la baba, nikawa nimeitika, tukaenda na mama…
“Karibuni sana,” alisema daktari…
“Eee…kipimo tayari…eee! Kipimo chetu kinaonesha Rhoda umeambukizwa ugonjwa wa zinaa.”
Palepale mama aliangua kilio, mimi nikafuatia…
“Sasa hapa…sasa hapa si mahali pa kumalizia vilio vyetu. Tunaruhusu kulia kwa mtu aliyefiwa tu. Haya ni matatizo ya kujitakia, msinipigie kelele,” alisema yule daktari huku akiniandikia dawa…
“Itabidi uchome sindano za PPF tatu kwa siku tatu na utumie dawa inayoitwa Azithromycin. Fuata maelekezo tafadhali,” alisema dokta huku akiniangalia kwa macho makavu.
Tulitoka na mama tukiwa tumeinamisha vichwa chini. Nilijiuliza kisa cha mama kulia ni nini! Nilitarajia baada ya maelezo ya daktari palepale angenishika masikio yangu na kuyang’ata lakini sivyo…
“Mwanangu Rhoda nisamehe mimi…nisamehe sana mwanangu. Mimi ndiyo sababu ya wewe kuupata huo ugonjwa, nisingekuacha naamini yasingekukuta,” alisema mama mpaka nikamshangaa…
“Usijali mama…Mungu atanisaidia mama. Nitapona tu,” nilimwambia mama…
“Sawa mwanangu, lakini lazima twende kwa yule askari tukamwambie, lazima atoe pesa za kukutibu. Leo atanitambua mimi ni nani!” mama alikuja juu.
Nilimkubalia mama kwenda kwa wale maafande lakini yeye akijua ni afande mmoja tu. Moyoni nilisema hata kama nitakwenda kuumbuka lakini yote aliyataka mama na ameshakiri mwenyewe.
Tulikata mitaa, tukachanja uchochoro mpaka tukatokea kwenye ile nyumba na kuwakuta wanawake wawili nje, mmoja akichagua mchele. Kwanza nilishtuka sana, nikajua wale wanawake ni wake wa wale maafande. Nilitaka kumwambia mama lakini hakuonesha dalili ya kunisikiliza…
“Hodi hapa,” alisema mama akiwa amenishika mkono…
“Karibuni,” tulipokelewa…
“Tunamuulizia askari mmoja anaitwa…eti wewe anaitwa nani yule askari wako?” mama alisema, akaniuliza mimi.
Kutaja jina nilishindwa, nilijua kama ana mke kati ya wale, itakuaje sasa! Si nitakula kichapo?! Nikakaa kimya!
“Wewe si nakuuliza?” mama alinijia juu…
“Anaitwa afande Mwira,” niliamua kumtaja yule wa kwanza kabisa.
Wale wanawake waliangaliana, kisha mmoja akasema…
“Hapa wamekuja askari wapya! Wale wa zamani wote wamehamishwa! Si mnajua polisi hawakai sehemu moja kwa muda mrefu!”
Nilimwangalia mama, naye akaniangalia mimi…
“Kwa hiyo na nyinyi ni maaskari?” aliuliza mama…
“Hapana, sisi ni wake zao.”
Mama alinishika mkono tukageuza kuondoka…
“Kwani kuna nini mama?”
“Ah! Basi! Mungu atatulipia,” alisema mama tukiwa tunakata kona kuingia kwenye uchochoro.
Tulifika nyumbani na kukaa kwenye mkeka, mama alilia na mimi nililia. Mimi nililia kwa sababu niliamini niko kwenye starehe kwa sababu ya ujana wangu na uzuri lakini kumbe nachuma janga sasa nakula na wa nyumbani.
Nilijuta kuutumia mwili wangu vibaya. Nilijuta kutotumia akili yangu kujiongeza kwamba, natakiwa kutulia. Kama ni boifrendi nilikuwa naye, sasa kwa nini nilizama kwenye mapenzi ya mchanyato!
“Rhoda,” aliniita mama…
“Abee mama.”
“Tulia mwanangu, utapona na Mungu atakusaidia.”
“Natulia mama. Nakuahidi kuanzia leo, tena kuanzia sasa, mimi nimetulia mama.”
Mama alinifuata, akanikumbatia, tukakumbatiana!

MWISHO.

RIGWARIDE LA AFANDE – 4

Related image

Chombezo : Rigwaride La Afande
Sehemu Ya Nne (4)

Nilishtuka sana mwenyewe kubaini kuwa, nimesema kwa sauti. Nikamwona afande Mwita akiniambia shiii!
“Ah! Haya sasa, mambo yote tayari sasa…tunasubiri nini?” alisema mama akiashiria kwamba, amenisikia…
“Rhoda hakuna jinsi, itabidi nifungue mlango tu utoke, mama yako ameshasikia kila kitu,” aliniambia afande Mwita kwa sauti ya chini. Uso wake ulijaa wasiwasi na mshangao mkubwa.

Niligeuka kuangalia dirisha, nikabaini ni kama la kwa yule afande wa muda ule. Lilikuwa dirisha kubwa, lakini halikuwa na nondo…
“Kwani siwezi kutokea dirishani?” nilimuuliza.

“Afande mwita ungekuja na huyo binti, mama yake ameshamsikia,” alisema afande Mwira huku sauti yake ikimalizikia kuonesha anaingia chumbani kwake. Bila kupoteza muda, nilipanda kwenye lile dirisha ili nirukie nje, afande Mwita akanishika mguu kunizuia…

“Ukiumia je?” aliniambia kwa sauti huku amenitumbulia macho.
Sasa akiwa bado amenishika mkono, alifungua mlango ili tutoke na tuonekane na mama.

Mama ile kuniona tu akanivaa, tukaenda wote mpaka chini…
“Mama unaniua…”

“Na mimi lengo langu ufe, malaya mkubwa wewe. Sasa huyu ndiye nani? Kwa nini ulin’tajia mtu mwingine wakati anayehusika ni huyu,” alisema mama kwa sauti ya juu, nikajua nje ‘nzi’ watajazana sasa hivi…

“Mama hata mimi siye ninayehusika, shetani tu ametupitia mimi na yeye. Mtu wake ni huyu afande uliyeingia naye ndani…”
“Wewe baba wewe…acha uongo wako. Hauna maana. Mimi ni mtu mzima, najua kila kitu. Wewe ndiye nimekunasa na mwanangu, lazima utamuoa,” mama alisema akiendelea kunishushia kipondo cha nguvu.

Ikabidi afande Mwita aingilie kwa nguvu, kiaskari sasa ili kuniokoa. Ikawa ndiyo salama yangu…

“Mama ukiendelea kumpiga huyu binti hatua kali za kisheria zitafuata juu yako,” alisema afande Mwita.
“Mimi ninachojua baba, huyu binti kuanzia sasa anaishi kwako na ni mkeo. Kula, kunywa, kulala mpaka matibabu ni juu yako, kwa heri Rhoda,” alisema mama na palepale kuondoka zake huku akitembea kwa hasira.

Nilibaki chini huku nikiendelea kulia kidogokidogo, kilio changu kikisindikizwa na kwikwi kwa mbali huku mkono mmoja nikiufunika uso…

“Ingia ndani sasa,” afande Mwita aliniamuru, nikasimama na kuingia ndani kwake.
Nilifikia kwenye kitanda na ndiyo nikaacha kulia na kuangaliana na afande Mwita.
Nasema kuangaliana kwa sababu wakati namwangalia, nilibaini na yeye ananiangalia. Kwa hiyo ni sahihi kabisa nikesema tulikuwa tunaangaliana. Nilimlegezea macho, yeye akanikazia na kusema…

“Ndiyo umeshakuwa mke wangu sasa.”
Kwa mara ya kwanza nilijikuta nikitabasamu…
“Unatabasamu mazuri hayo?” alinijia juu…

“Jamani sasa nilie…mama kanikuta kwako, nimekwambia nitokee dirishani ukanikatalia. Nikisema ulitaka mwenyewe kuozwa kwa nguvu nitakuwa nakosea?”
“Utakuwa unakosea sana. Wewe ndiyo ulitaka ujulikane uko kwangu. Ni nini kilikufanya useme kwa sauti muda ule?”

Wote tukawa kimya, mimi mwili ulishalegea kwa kipigo cha mama. Japo kwa muda mfupi lakini nilichoka sana.

Tukiwa chumbani, tulimsikia afande Mwira akija mlangoni kwa afande Mwita…
“Afande,” aliita kwa sauti ambayo hakupenda kurudia tena kuita kwamba, afande Mwita hakusikia…
“Ee afande.”

Kulipita ukimya wa sekunde kama tano, afande Mwira hakusema njoo wala lolote lingine, afande Mwita akajua shida yake aende. Alifungua mlango, akasimama katikati…
“Ee bwana pole sana. Lakini ndivyo maisha yalivyo. Sasa utafanyaje?”

“Ndiyo niko naye hapa binti,” alisema afande Mwita huku akigeuka na kuniangalia nilipokuwa kwenye kitanda kisha akaufungua mlango kidogo ili afande Mwira anione, nikaachia tabasamu baada ya kukutana macho na afande Mwira, ‘nikakumbuka mbali’.
“Hujambo binti?”

“Sijambo, shikamoo.”
“Marhaba…pole sana…”
“Asante,” niliitikia nikiwa najificha uso.
“Au afande Mwita ungemwambia aende kwa ndugu yake yeyote kama anaye hapa Temeke,” alisema afande Mwira…

“Akha! Mi sina ndugu hapa Dar,” nilidakia mwenyewe tena si kwa kusema Temeke tu, Dar nzima.

“Lo! Imekula kwako afande Mwita…sasa lakini wewe binti naye, ikawaje mpaka ukakubali kumleta mama yako hapa nyumbani?” alisema afande Mwira. Kabla hajajibu, afande Mwita akasema anakwenda chooni mara moja. Afande Mwira akabaki amesimama mlangoni…
“Kwanza utakuwa mke wa nani humu ndani sasa?” aliniuliza kwa sauti ya chini, nikatabasamu…
“Wewe hapo,” nilisema kwa sauti ya chini. Akanifuata kitandani haraka sana, akanipa denda, nikalipokea bwana…

Tuligandana ndani ya denda kwa muda wa sekunde kadhaa mpaka tuliposikia mlio wa mlango wa chooni, tukaachana, afande Mwira akarudi kusimama palepale mlangoni…
“Kwa hiyo ndugu yangu afande Mwira utanisaidiaje na huu ugeni?” alisema afande Mwita akimpita mwenzake mlangoni, akaingia ndani na kukaa kitandani…

“Da! Mzigo huu bwana itabidi uwepo tu hapa nyumbani. Mimi naamini baada ya siku kadhaa, mama ataurejesha moyo wake nyuma, atamwita au atamfuata binti yake.”
“Kweli?”

“Kabisa. Kwa sasa si unajua ana hasira.”
“Lakini kweli kabisa. Hapo na mimi nadhani iwe hivyo,” alisema afande Mwita akimuunga mkono mwenzake.

Tulikutana macho na afande Mwira, nikaachia tabasamu nikijua kwamba, yeye hatafanya hivyo kwani alikuwa anatuangalia wote, mimi na afande Mwita. Nikamkonyeza kama mara tatu hivi…
“Sasa mimi narudi kazini, sijui itakuaje?”

“Oke, basi mimi utanikuta naye. Leo sitoki kwenda popote pale,” alisema afande Mwira huku akianza kutembea.
Alipofika usawa wa dirisha kwa nje, afande Mwita alimuita afande Mwira…
“Haloo, afande Mwira hebu nisuburi kidogo,” alisema afande Mwita huku akitoka chumbani.

Alizunguka, akaenda kusimama na afande Mwira usawa wa dirishani. Walizungumza kwa sauti ya chini lakini nilichobaini ni kwamba, afande Mwita alikuwa anaazima pesa kwa afande Mwira. Nilisikia kwa mbali akisema ‘nitazirejesha mwisho wa mwezi.’
“Twende nikakupe ndani,” alisema afande Mwira kwa sauti…

“Nenda kalete, utanikuta hapahapa,” alisema jamaa yangu afande Mwita.
Afande Mwira alitoka, afande Mwita akasimama usawa wa dirishani akimsubiri. Lakini mtu aliyesimama dirishani nje ilikuwa si rahisi aone ndani kukoje.
Afande Mwira alifungua mlango, akazama ndani kwake. Mara akatoka, akasikika akitembea kuja kwenye chumba nilichokuwepo. Akashika kitasa, akasukuma mlango, akazama ndani kabisa ya chumba.
Wote tukawa tunamwangalia afande Mwita alivyosimama kule nje ya dirisha akisubiri. Afande Mwira akanisogelea na kusema…
“Jamaa yako kaniazima pesa…ndiyo nimemfuatia sasa.”
Niliachia tabasamu laini huku nikimlegezea macho afande huyo kwani alikuwa amesimama akiniangalia kwa chini. Mimi mfupi yeye mrefu.

Akanikumbatia, nikamkumbatia, akanibusu ndani kwa ndani, nikambusu ndani kwa ndani ili jamaa nje asisikie. Nikamwangalia tena, akaniangalia tena.
“Mh! Kwa hali ninayohisi sitakubalia aondoke mpaka tufanye kweli hata kama huyo afande Mwita yupo hapo nje,” nikawaza.

Muda wote huo tulikuwa tukiachana kuangaliana, tunakimbiza macho nje kupitia dirishani kumwangalia afande Mwita. Alikuwa akitembeatembea hapa na pale akisubiri pesa.

Nilimwona afande Mwira akinipa denda, nikalikubali, tukadumu hapo tukihema kwa mhemko wa mahaba mazito huku afande akinishikashika sehemu mbalimbali za kifuani. Nikajikuta naishiwa nguvu zote.
“Ila wewe mtoto unanipa raha sana tena sana,” afande huyo aliniambia huku akiwa kaishika vizuri nido yangu ya kulia.

“Kwa nini unasema hivyo dia?” nilimwuliza.
“Kwa mengi, kwanza siyo muoga na pili unayajua mapenzi sana,” afande Mwira alinifagilia.

Tukiwa tumesimama kila mmoja wetu akiwa hajiwezi, afande Mwira akanitegesha sawasawa, nikategeka vilivyo.
Akaniangalia kuashiria kwamba alihitaji nimpe, kwa kuwa akili ilikwishahama nami nikamwangalia huku macho yangu yakimweleza ‘sasa unangoja nini bwana!’

Kwa kuwa macho nayo huwa yanazungumza, afande Mwira alinielewa akanivutia kwake na shughuli ikaanza palepale. Ilikuwa nusu tabu nusu furaha kwetu kwani macho yalikuwa yakicheza ndani na nje aliko afande Mwita.

Lakini tulijitahidi kwa tabutabu hivyohivyo mpaka tukajikuta tunazoea. Sasa tukawa kama tupo huru kama nje hakuwepo afande Mwita. Maana mimi nilianza kuweweseka sasa, nikawa napagawa kwa maneno.

Kadiri afande Mwira alivyokuwa akiwajibika ndivyo nilivyoshindwa kujizuia kupiga mayowe ya raha, ilibidi afande Mwira anishike kinywa ili nisipige kelele au sauti yangu isitoke nje ambako ingesikika vilivyo na kuzua balaa.

Ili kwenda na muda, nikakazana sana, nikaona mwenzangu akitetemeka na mimi nikatetemeka. Loo! Afande Mwira akawasili kituo kikuu kama mimi nami nilivyowasili muda huohuo.

Nikiwa nimeishiwa nguvu baada ya kumaliza mwisho wa safari isiyo na bughudha zaidi ya raha, afande Mwira alinikumbatia kisha kunichumu mara kadhaa midomoni na shavuni.

Aliponifanyia hivyo kama tuliambiana tuangalie nje alikokuwa afande Mwita, tulipofanya hivyo tulimuona akitembea kuelekea upande wa choo, akazama ndani.
“Jamaa yako kasubiri hadi kabanwa na haja ndogo,” afande Mwira akiwa bado kanikumbatia akaniambia.

Kutokana na kauli yake hiyo, nikacheka kwa sauti kwa sababu nilijua hakuna mtu ambaye angenisikia na kumuuliza alijuaje kama ni haja ndogo na siyo mzigo mkubwa!
Afande Mwira alicheka na kuniambia anaangalia saa kama afande Mwita atakaa kule msalani kwa zaidi ya dakika tano basi itakuwa amekwenda kukata gogo.
“Afande Mwira una maneno, sasa kukata gogo ndiyo nini?” nilimwuliza.
“Na wewe kukaa kote katika hili jiji tena Temeke, hujui maana ya kukata gogo?” afande Mwira akaniuliza kisha kufunguka moja kwa moja maana yake.
Nilicheka sana mpaka akaniziba mdomo kwa kiganja maana alihofia rafiki yake angesikia jambo ambalo hakupenda litokee.

Tukiwa tunaangalia nje kupitia dirishani, tulimuona afande Mwita akitoka msalani ndipo afande Mwira akaniachia haraka na kutoka huku akijiweka sawasawa. Alikwenda nje, akampa pesa afande Mwita na kumwomba msamaha kwa kumchelewesha…

“Usijali afande Mwira bwana. Kawaida sana, mimi nakushukuru kwa kila kitu, umenifaa maana nilikuwa sina kitu,” alijibu jamaa yangu. Akaja ndani. Lakini ghafla alisimama na kuniangalia sana…

“Mbona macho yako mekundu na kama ulikuwa unalia?” aliniuliza…
“Ni kweli nilikuwa nalia…”
“Unalia nini?”

“Nawaza mama kunisusa hapa…”
“Hilo umelijua muda huu? Mbona muda wote ulichangamka?”
“Imetokea tu, hata mwenyewe nashindwa kuelewa.”
“Halafu mbona nasikia harufu ya jasho la mwanaume?”
“Mh!” Niliguna, nikaogopa mwenyewe…

“Mbona mimi silisikii,” nilisema nikijishauashaua na kuangalia pembeni.
“Niambie ukweli Rhoda, kuna mwanaume gani aliingia humu ndani?”
“Hakuna jamani! Kwani we umemuona nani?”

“Kuna harufu ya jasho la mwanaume humu, huwezi kunificha mimi,” afande alinijia juu. Na mimi niliendelea kukataa. Moyoni nilisema haitatokea nikakubali.
“Afande Mwira hajaingia?”

“Sijamwona. Na angeingiaje wakati nilikusikia ukisema unamshukuru kwa kukukopesha fedha. Si ina maana aliingia ndani kwake kukuchukulia!”
Niliposema hivyo tu, nilimwona afande Mwita akiishiwa nguvu na kukaa kwenye kochi…
“Wewe umejuaje kama alinikopesha fadha?” eti alitaka kubisha.
“Si nilikusikia hapa dirishani ukisema usijali afande Mwira bwana. Kawaida sana, mimi nakushukuru kwa kila kitu, umenifaa maana nilikuwa sina kitu.”
Afande Mwita aliishiwa nguvu. Akawa anaangalia pembeni huku akiimba nyimbo za kwao. Mimi moyoni nikasema ‘kwisha kazi wewe.’
***
Giza liliingia, sikumwona mama wala kupata simu yake. Nilikuwa nimelala wakati afande Mwira aliposema anakwenda baa kupata bia mbili tatu.
Nilipitiwa na usingizi na nilikuwa sijala, kuja kushtuka ni pale afande Mwira alipoingia chumbani akiwa amebeba mfuko wa rambo…

“Amka ule, nimekuletea chipsi kuku,” aliniambia.
Niliamka haraka sana. ilikuwa chipsi kuku mzima! Du! Mate yalijaa yenyewe mdomoni, akatoa na kopo mbili za bia. Nilijua pale tunazitumbua pesa za mkopo kutoka kwa afande Mwira…

“Kunywa na bia hizi,” alisema afande akiniwekea kwenye stuli…
“Asante baby…”
Kwa mara ya kwanza nilimuita baby lakini akanikataza nisimuite jina hilo yeye si mtoto…

“Nani baby wako wewe! Koma kabisa! Niite mpenzi. Mimi si mtoto mpaka unaniita baby.”
Nilijua jamaa zangu wa kule hawajuagi mambo hayo. Nikamwomba radhi na kumuita mpenzi.
Baada ya kula, tulikwenda kuoga wote. Taulo lilikuwa moja. Kwa hiyo nililivaa mimi, yeye akavaa bukta.

Tulipotoka kuoga tulipanda kitandani kulala. Kazi ikaanza hapo…
“Wewe mbona kama unasinzia. Hakuna kulala hapa,” aliniambia…
“Ha! We, yaani nisilale kisa nini wakati nasikia usingizi?”
“Hapa kwangu hakuna kulala.”

“Kwa nini? Ina maana na wewe hutalala?”
“Tutalala wote baadaye,” alisema na kuanza kunishikashika. Nikamwelewa sasa kumbe alikuwa na maana gani kusema kwake hakuna kulala…

“Sasa si ungesema tu,” nilisema moyoni huku nikianza kumuunga mkono kwa alichokuwa akikifanya yeye. Tulishikanashikana, tukashikanashikana.
Ni yeye ndiye aliyeanzisha mchezo na mimi nikaingia uwanjani kupambana naye.
Ilikuwa ni bandika bandua…bandika bandua!

“Sasa tungepumzika kwanza jamani,” nilisema…
“Tutapumzika,” alijibu kwa mkato huku akiendelea kupeleka mashambulizi upande wangu. Mwili uliisha nguvu lakini kama vile tena, sikuruhusiwa kutoka uwanjani kabla kipyenga cha mwisho wa mchezo hakijapulizwa.
Ilifika mahali mimi nikawa nalia tu kwa sauti ndogo maana sikuwa naweza hata kusogeza mpira hatua tatu mbele lakini nilimshangaa mwenzangu yeye, nguvu kama ndiyo kwanza anaanza mechi.

Shetani akamjalia akanitangazia kwamba anafika juu ya kichuguu, ikawa salama yangu. alipofika kichuguuni alijitupa huko, akajilaza akiangalia juu na kuhema kwa nguvu.
Tulipitiwa na usingizi bila kujijua, tukauchapa usingizi. Mimi nilikuja kushtuka saa tisa usiku baada ya kuangalia saa ya kwenye simu. Nilijisikia kwenda haja ndogo, nikamtingisha afande Mwita ili aamke, anisindikize…

“Nini wewe?” aliniuliza.
“Nisindikize chooni bwana.”
“Hapa kwetu hakuna wachawi, wezi wala vibaka, wewe nenda tu,” alisema afande Mwita huku akigeukia ukutani…
“Bwana mimi naogopa peke yangu.”
“Hivi husikii wewe. Unadhani nani atakuja kujibanza hapa kwa maafande, hajipendi?”
Nikatoka hadi chooni. Ile nageuza kurudi ndani, yule afande mbaba naye anatoka kwake, akanishika mkono…

ITAENDELEA

RIGWARIDE LA AFANDE – 3

Related image

Chombezo : Rigwaride La Afande
Sehemu Ya Tatu (3)

Nikapeleka mkono kinywani sasa maana kinywa kilikuwa wazi, akakivuta na ulimi, nikakitoa. Nikajua kumbe anapenda vitu vikiwa kinywani, nikamsogelea huku natoa ulimi, akapanua kinywa tena!
JIACHIE MWENYEWE…

Nikamuingizia kidole, akakipokea. Sijui ilikuwaje, nikajisahau, nikakikandamiza vibaya akashtuka…
“Ha! We una nini tena? Si umeshakula? Unataka nini?” alisema mfululizo akiwa amekaa na kunitumbulia macho pima…

“Samahani sana bro, nilijisahau tu…”
“Ulijisahau ukadhani?” aliniuliza akionekana ni mtu makini kuliko watu makini unaowajua wewe…
“Nilidhani wewe ni boifrendi wangu…”
“We una boifrendi?”
“Ndiyo…”
“Kabisa… kabisa?”
“Kabisa…”

“Ina maana wewe ni mzoefu wa mapenzi?”
Swali hilo lilinifanya niachie tabasamu laini na kuona aibu kwa mbali. Kwani lilikuwa swali la mtego sana. Alitaka niseme ndiyo mimi ni mzoefu ili iweje sasa?
“Mbona unatabasamu?” aliniuliza.

Kwanza, mpaka hapo ujue tulikaa beneti kwenye kochi moja na nilikuwa nimemwegemea…
“Nimefurahi tu, swali lako zito sana.”
“Uzito uko wapi? We huogopi mimba?” aliniuliza akiniangalia kwa karibu yake.
“Nazijua siku za hatari kwa mimba,” nilimjibu huku nikiwa namshikashika kidevu chake chenye ndevu za kuhesabia. Si unajua mapolisi!

Nilishangaa kumwona ametulia tuli. Nikazidi kumshikashika kidevu, nikahamia kwenye kifua, nikawa nakipapasa nikimwangalia kwa macho ya mlegezo…
“Tukifumwa je?” aliniuliza…
“Na nani?”

“Afande Mwira…”
“Kumbe harudi tena usiku, ni muda wowote?”
Nikamwona anacheka, alijua nimemuuliza kwa maana ya kumtega pia maana ni yeye aliyesema wale kurudi kwao ni saa kumi usiku, sawa tutafumwa na nani!
“Una maswali we binti,” alisema.

Nikamkatisha kwa kumuuliza swali jingine kabisa…
“Kwani we unaitwa nani?”
“Afande Mwita.”
“He! Yule afande Mwira, wewe afande Mwita…”
“Si mimi, kuna afande Mwita wawili humu ndani. Pia kuna afande Marwa na afande Chacha.”

“He! Kwa hiyo wote ni wa kule?”
“Kulekule ndiyo. We kwenu wapi?”
“Morogoro, lakini baba kazamia Dar miaka kibao tangu yuko yanki!”
“Yanki ndiyo nini?”
“Kijana.”

Afande Mwita alicheka, akanishika kwa mabegani. Akanivutia kwake, nikaelekea bila ubishi, tena alichelewa kunivutia kwake. Akanibusu, nikabusika! Yaani ile mwaaa…na mimi nikafanya mwaaa! Ndiyo kubusika huko…
“Utatunza siri?” aliniuliza kwa sauti ya chini kabisa…
“Kivipi?”

“Yaani hutamwambia chochote afande Mwira kwamba uliingia chumbani kwangu?”
Badala ya kumjibu, nilipeleka mkono hadi kwenye sehemu ya mbele ya suruali. Nikataliitalii hapo mpaka akaniangukia kabisa kwangu, puuu…hoi afande Mwita…

Nikasimama bwana, aibu nikaiweka kando. Loo! Mimi ni mwanamke, yeye ni mwanaume, sasa cha ajabu kipi? Nikamchojoa nguo moja baada ya nyingine…
“Lakini we mtoto kweli upo radhi kabisa?” aliniuliza majibu.
“Kwa nini?”
“Yaani umeamua kutoka moyoni?”
“Kwamba?”
“Kwamba tunaingia kwenye mechi?”
Badala ya kumjibu nilimwangalia kwa macho yangu yale ya kulegeza. Hata kama ni wewe, nikikuangalia kwa macho yangu hayo mwenyewe utaona aibu…
“Lakini hutasema?” aliniuliza.

Badala ya kumjibu nikapiga magoti. Sasa ningemjibu nini wakati kila kitu anakijua. Mimi nitasemaje wakati mwenyewe ndiyo nimeanza uchokozi? Afande wa watu mwenyewe alikuwa amejilalia zake, anakoroma na ameniacha nimeshiba…

“Eti, nihakikishie kwanza, hutasema?” alinishika kichwani na kuniuliza wakati mimi mwenzake nishaanza kuimba nyimbo nzuri za mahaba. Nilitingisha kichwa kwenda juu na chini kwa ishara ya kumkubalia. Ningetikisa kwenda kulia na kushoto maana yake ni kukataa.

Basi, akajiegemeza na kuniacha niendelee kuimba. Wakati naimba yeye akawa anaitikia kwa sauti ya besi. Sasa ukichanganya sauti yangu na yake, tulitoa mlio mmoja mzuri sana kwa wapita njia kama walipita kweli nje.

Mwenzangu, japo nilisema niimbe kwanza mpaka ashindwe yeye lakini nilishindwa. Nikaacha kuimba, nikasimama na mimi nikaanza kujichojoa, moja baada ya nyingine. Tukawa saresare maua, anayejua kuchagua.

Akiwa amekaa, nikasema hapahapa, hakuna kuutumia uwanja wa taifa, tukaamua kuutumia uwanja wa shamba la bibi.
Kumbe jamaa bwana ni mtaalam. Alinishika, akanikamata, akanibana, akaning’ang’ania. Uwanja ukawa hautoshi, akanitupia uwanja wa taifa. Tukaendelea. Lo!

Kazi ikawa kwenye mapozi, mara aliniambia nisimame juu ya uwanja, mara aliniambia nikae. Mara aliniambia nimbebe mtoto mgongoni! Mh!
Nilipomtangazia kwamba nataka kutafuna korosho akaniachia, akapunguza mashambulizi akisema nisitafune korosho wala karanga mpaka tutafune wote.

Nilimkubalia, tukaendelea. Lakini akiwa anatangaza kutafuna korosho, na mimi nikatangaza kumuunga mkono, mlango si ukagongwa bwana!
“Ngo…ngo…ngo…we Rhoda…”

Sauti hiyo ilinishtua sana, kidogo nipoteze maisha. Sasa ufahamu ulinirudia kutoka kwenye kupotezea kwenye mapenzi mazito.
“Nani?” eti mwenyeji wangu aliniuliza mimi badala ya mimi nimuulize yeye…
“Atakuwa mama,” nilimjibu kwa sauti ya chini sana.
Ni kweli, sauti niliyoisikia ilikuwa ya mama yangu mzazi…
“Rhoda,” aliita tena.

Safari hii sauti yake ilikuwa dhahiri kabisa kwa sababu niliisikia kwa utulivu nikiwa nimeinua kichwa…
“Mwambie sipo,” nilimfundisha mwenyeji wangu.
Hapo tuliweka mpira kati, tukawa tunashughulikia la mama kwanza. Naamini hata mwenyeji wangu hakuwa ngangari tena. Ungangari anguepata wapi wakati kuna dalili za ndoa ya mkeka..?

“Hawezi kuingia kweli?” aliniuliza, nikabaini jamaa ni afande lakini muoga sana…
“Ungetoka haraka uongee naye,” nilimwelekeza. Akatoka uwanjani na kuniacha peke yangu, akasimama katikati ya chumba…
“We nani unayemuulizia Rhoda?”
“Mimi mama yake…”
“Kwanza unamuulizia Rhoda gani?”
“Si nilikuja na Rhoda hapa?”
“Rhoda gani?”

“Nilikuja na binti yangu muda si mrefu, kuna mwanaume tulikuja kumuulizia, kuna mtu akasema amekwenda kazini atarudi saa tisa usiku. Nikamwacha binti yangu huyo mpaka mwanaume aje…
“Sasa nimekwenda nyumbani nikagundua mjinga nitakuwa mimi. Kumsusia binti yako kwa mwanaume ni kama kumuongezea umalaya, kuna faida gani? Ndiyo nimemfuata sasa…”

“Oke, nakumbuka. Yule binti ulipoondoka tu wewe na yeye akaondoka, alisema atarudi hapa usiku.”
“Loo! Mtoto huyu, atakuwa amekwenda wapi sasa?”
“Huna namba zake za simu?”

“Ninazo, ila umeme nyumbani umekatika na simu yangu iliisha chaji tangu usiku.”
“Pole sana mama.”
“Haya baba, ngoja nirudi kama hatakuwa nyumbani nitarudi baadaye.”
“Sawa mama.”

Hayo mazungumzo kati ya mama na afande Mwita nilikuwa nikiyasikiliza kama yalikuwa yakitoka redioni.
Baada ya mama kuaga, nilimwona afande Mwita akinijia kitandani kama katoka gerezani…
“Teh! Teh! Teh!” alicheka akiwa anaingia uwanjani na kuanzisha mechi tena. Mechi ikaanza kusakatwa, safari hii tulikuwa na ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya.
Libeneke lilikuwa safi, afande Mwita alinitendea haki mpaka mwenyewe nikawa namuuliza maswali ya ajabu ajabu…

“Una mke?”
“Sina…”
“Mchumba…”
“Sina…”
“Lakini unategemea kuwa naye?”
“Sidhani…”

“Niwe mimi basi jamani…”
“Na afande Mwira je?” aliniuliza kwa kujitutumua kibabebabe.
Wakati nakaribia kupata ushindi, nilimbana vilivyo afande Mwita mpaka nilipotulia naye akatulia kumbe yeye pia alipata ushindi sema tu, mtangazaji wake hakutaka kuweka yale mashamsham ya mpira kukaribia wavuni.

“Da!” nilihamaki kwa sauti lakini moyoni nilisema…
“Mimi Rhoda nimeshaharibika tayari…kwa siku moja wanaume wanne? Mh! Hata dada Liz hakuwa hivi…huu uwezo au umalaya?”
Nilimgeukia afande Mwira nikamwona anasinzia kwa mbali, nikamgusa na mkono, akafumbua macho kuniangalia yakiwa yamelegea kama amelewa pombe za kienyeji…
“Unalala siyo mpenzi wangu?” nilimuuliza kwa sauti iliyotoka nje kwa kupitia tundu za pua…kimahabamahaba… si unajua tena…

“Usingizi bwana…tulale japo kidogo basi,” aliniambia kwa sauti yenye amri huku akigeukia ukutani.
Moyoni nilimsifu kwa msuli alionao kwani alisakata kabumbu bila kuhema sana kama wenzake akina afande Mwira, Chacha na yule mbaba.
Wote tulipitiwa na usingizi, tena ule wa fofofo. Mimi nililala kama nipo kitandani kwangu nyumbani maana nilijiachia. Mimi nikilala huwa sibakizi nguo yoyote zaidi ya kujitupia shuka tena nusu mwili, usiku sana kama kutakuwa na kijibaridi.
Wote tulishtuliwa na sauti ya ukali ya mama akiita kwenye mlango wa chumba cha afande Mwita…
“We Rhoda…” huku akigonga mlango kwa nguvu…

“Mm! Mama amerudi tena,” nilisema kwa kumnong’oneza sikioni afande Mwita…
“Naamini hakwenda. Alikuwa nje akifuatilia…”
“Sasa amejuaje mimi nimo ndani? Maana ameita kama ana uhakika wakati ulishamwambia niliondoka muda uleule.”

“Kwanza ameingiaje ndani, mlango nilifunga,” alisema afande Mwita.
Alitoka kitandani, akaenda hadi mlangoni na kuanza kuongea na mama…
“We mama…”

“Mimi namtaka binti yangu tu.”
“Si nilikwambia aliondoka!”
“Sijaamini…mbona nilisikilizia dirishani nikasikia kitanda kikilalamika kwa muda mrefu, uko na nani kwani?”

“Sasa mama hapo utakuwa unaingilia uhuru wangu binafsi. Yaani kitanda changu kulia wewe inakusumbua nini? Unapotaka kujua niko na nani ili iweje?”
Ghafla nilimsikia mama akitembea kutoka nje huku akinilaani kwa maneno makali kabisa…

“Mtoto hasikii, amekuwa kama hana baba wala mama. Yeye kulala kwa wanaume haoni tabu. Ananiumiza sana huyu mtoto.”
Nilinyamaza kimya, hata dalili ya kukohoa iliponijia, nilijiminya sana.
Akiwa anapita usawa wa dirisha, nikamsikia akisema…
“Na mimi hapa leo sitoki mpaka nimwone huyo mwanaume aliyemchukua binti yangu. hata akirudi saa kumi na moja, atanikuta tu.”

Kauli hiyo ilinitisha sana, niliogopa. Sasa mama aliamua kupambana na mimi na afande Mwita, eti hataondoka kurudi nyumbani.
Simu yangu niliitoa mlio mapema sana ili kukwepa kuumbuka ikipigwa…
“Unamsikia mama yako anavyosema?” aliniuliza afande Mwita…

“Namsikia, sasa itakuaje? Atakaa kweli, mimi namjua mama yangu, akisema amesema, hatoki huyu mpaka usiku umkute hapahapa,” nilimwambia afande Mwita.
“Ataondoka tu, akibisha nitamwitia mwizi, sitanii hata kidogo,” alisema afande Mwita.
Ghafla, nilimsikia afande Mwita akishtuka na kusema…
“Ohooo..!”

“Vipi tena?” nilimuuliza na mimi nikiwa nimeshtuka…
“Sikia hapo nje,” alisema, nikatega sikio vizuri.
Nilijua mama anaendelea kuongea, lakini nilichokisikia, kilinishtua sana…
“…kwa hiyo wewe mama umekuja kumfuata huyo binti yako?”
“Ndiyo…sasa kuna mtu kasema huyo mwanaume kaenda kwenye lindo, sijui ni askari. Akasema atarudi saa tisa usiku. Nikaondoka, nikamwacha binti hapa, baadaye kurudi naambiwa eti nilipoondoka na yeye akaondoka,” alisema mama.

Sauti ya kiume iliyokuwa ikihoji niliihisi kama ni ya afande Mwira…
“Mama mimi sijui lolote. Mimi ndiyo afande Mwira mwenyewe na kweli nilikwenda kwenye lindo na bado nipo kwenye lindo, nimerudi kwa dharura tu,” alisema huyo mwanaume ambaye mwenyewe alijiweka wazi kwamba ni afande Mwira…
“Kimenuka,” nilimwambia afande Mwita…
“Tulia wewe,” alinitia moyo wa ujasiri…
“Lakini baba mimi kwa akili zangu naamini binti yangu hakuondoka, yupo humuhumu ndani.”

“Mh! Mama una uhakika? Ndani atakuwa kwa nani sasa?”
“Yule mwanaume aliyetujibu mmekwenda lindo si yupo?”
“Kwa hiyo atakuwa ndani kwake?”
“Naamini.”

“Ngoja nikakuangalizie,” alisikika akisema afande Mwira…
“Anakuja,” nilisema.
“Tulia wewe…nimeshakwambia tulia. Mbona hutulii?”
Nilitulia kama maji kwenye jagi. Lakini mapigo ya moyo yalikuwa yakinienda kwa kasi ya ajabu.

Viatu vya afande Mwira vilisikika vikipita dirishani. Inavyoonekana, wenyeji wa nyumba hiyo wanatumia mlango wa nyuma kuingia ndani na si mlango mkubwa wa mbele.
Lakini mimi niliingizwa kwa mlango mkubwa japokuwa niliondoka kwa kupitia dirishani.

Mara, mlango wa uani ukafunguliwa, viatu vikatembea tena mpaka mlangoni kwa afande Mwita…
“Afande Mwita,” aliita huku akigonga mlango kwa ustaarabu kidogo.
“Afande Mwira…”
“Vipi za kazi bwana?”

“Njema. Nimerudi.”
“Oke. Na mimi nimefuata simu yangu niliisahau. Kuna mama hapo nje anamtafuta binti yake anaitwa Rhoda, unamjua?”

“Huyo mama nimeshamjibu, alipoondoka yeye na binti yake aliondoka. Sasa sijui anataka nimwingize hadi chumbani akague au vipi?” afande Mwita alimjibu mwenzake huku mkono wake mmoja ukitua kwenye ncha ya nido langu moja, nikashtuka na kutoa kaukelele kidogo maana nilisisimka mwili mzima. Na mimi sehemu yangu ya kuchanganyikiwa ni hiyo.

“He! Kuna nini tena?” aliuliza afande Mwira, maana yake alisikia ule ukelele wangu…
“Hakuna kitu…ye aende zake tu bwana…”
“We baba wewe…unasema binti yangu aliondoka muda uleule wakati nimemsikia sasa hivi ameshtuka hapo, sijui umemtekenya!” alisema mama ikionekana na yeye yupo mlangoni.
Afande Mwita badala ya kujibu, akajisahau na kunishika tena, safari hii nikasema kwa sauti kabisa…
“Bwana nini?”


ITAENDELEA

RIGWARIDE LA AFANDE – 2

Related image

Chombezo : Rigwaride La Afande
Sehemu Ya Pili (2)

ILIPOISHIA
Kwa mbali nilijikuta nasisimka kama binadamu. Kama mwanamke, tena mwanamke mwenyewe msichana, kijana kama mimi, damu bado changa! Lakini moyoni nilijiambia…

“Ila mimi ni kiboko…nyumba moja, wanaume watatu tena afadhali ingekuwa siku mbalimbali, leoleo?! Mh!”

Wakati nawaza hivyo, yule mwanaume alinitegesha, nikakaa mkao wa kutengwa…
“Ngo… ngo…afande Mwira,” sauti iliita nje baada ya kugonga mlango…
ENDELEA MWENYEWE SASA…

“Unaona sasa?” nilimsema yule. Kumbe ni afande Mwira…
“Shii,” alinipa ishara kwa mkono kuashiria kwamba nisiseme. Nikakaa kimya. Hapo tayari niko kitandani ujue, tena nimeshategwa!

“Afande Mwira,” ile sauti iliita tena. Safari hii kwa juu kidogo. Niliweza kuitambua kwani nilikuwa makini nayo, nikabaini ni ya yule mbaba wa kwanza kabisa…
“Ee afande,” aliitika afande Mwira sasa…
“Umelala?”

“Hapana, vipi?”
“Tuongee kidogo basi.”
Mimi mapigo ya moyo yalishika kasi, kusikia tuongee kidogo maana si afande Mwira alishasema kuwa, kuna mwenzake ana tabia ya kuingia bila kupiga hodi.
Ingawa mlango ulifungwa lakini nilikuwa nina wasiwasi, hasa nilipojaribu kukumbuka kwamba, huenda nilikuwa natembea kwenye mtego wa wanaume.

Afande Mwira alitoka kitandani, akavaa bukta na kwenda kufungua mlango kisha akasimama mlangoni ili yule mwenzake asiingie…

“Vipi…yaani kuna kabinti bwana nilikuja nako leo…weee! Moto! Kabinti katundu kitandani kama kamechezwa ngoma za kwetu. Kuna siku nitakaleta tena utakaona…kabinti kamjini…pale niko tayari kuteketeza hata mshahara wangu ili nikaoe,” hayo maneno yalikuwa yakitoka kwenye kinywa cha yule mbaba.

Hapo hakuna shaka moja kwa moja kwamba alikuwa ananizungumzia mimi. Nilishangaa sana na misifa hiyo kwangu…kumbe mpango wake ni kunioa, nilichekea moyoni…

“Lo! Kanakaa wapi?” aliuliza afande Mwira ambaye mimi nilikuwa kitandani kwake…
“Kwao.”
Afande Mwira alicheka, mimi mwenyewe pia nilijikuta nikicheka maana sikutegemea jibu hilo. Mtu anaulizwa ‘anakaa wapi?’ anajibu ‘kwao’. Lazima itakuwa kwao, sasa huko kwao ni wapi?

“Mbona unacheka afande Mwira?”
“Nacheka maana umenipa jibu ambalo lipo….”
“Anasema anakaa mitaa ya Wailes kule, kwa baba yake na mama yake.”
Hakuna kubwa waliloendelea kuzungumza, afande Mwira akamuaga mwenzake, akarudi ndani akifunga mlango kwa kitasa taratibu sana…
“Hivi wewe binti, kumbe upo hivyo?” afande Mwira aliniuliza…
“Nikoje?”

“Yaani humu ndani leo ulikuwa kwa wanaume wangapi?”
“Kwani vipi?”
“Huyu afande anasema ulikuwa kwake lakini mimi si nilikusikia ukihema kwa afande mwingine?”
“Labda mwingine. Nyie wenyewe mnaonekana humu ndani mnapenda sana wanawake…”
“Kwani we unakaa wapi?”
“Si Sinza…”

“Sinza! Hukai mitaa ya Wailes wewe?”
“Aka! Wailes napajulia wapi mimi.”
Nilimwona akilainika, akaachana na maswali yake, akazidi kunitega, filimbi ikapulizwa, mchezo ukaanza.

Safari hii niliamua moja, kwamba hata kama nitajiachia vipi sitahemuka tena kwani niligundua nikihemuka ndiyo nasikika na wengine, halafu wananifanyia taiming.
Huyu naye alikuwa wa aina yake, badala ya mimi kuwa na sauti ya muhemko nilimshangaa yeye akaanza kupiga kelele…

“Weee! Weee! Ndiyo nini sasa?” nilimuuliza mwenzangu kwa sauti ya chini…
“Ni kawaida yangu…hii ni kawaida yangu binti,” alinijibu kwa sauti ya juu huku akiendelea na kelele zake.

Ilibidi nisitishe kutoa ushirikiano kwani sasa nilianza kuhisi tunaumbuka wote. Nilijua kelele zake za mahaba zingefika hadi kwenye vyumba vya maafande wengine halafu wangefuatilia kujua kwa afande Mwira kuna nini kinaendelea…
“Sasa inakuaje tena binti…eee! inakuaje?”
Kusema kweli kwa sauti ya juu aliyokuwa anaisema, ilibidi niache kabisa kuendelea na soka…

“Kama uko hivyo siwezi kuendelea na wewe. Unapiga kelele kama ndiyo siku yako ya kwanza bwana,” nilimsema.

Lakini nikahisi dalili kwamba kuna mtu au watu wameshika kitasa cha mlango…
“Wee unasikia…kuna watu mlangoni…kitasa chako kimeshikwa na mtu,” nilimwambia hivyo, ndiyo kidogo kwa mbaaali nikamwona anaacha manjonjo na kukazia macho kwenye mlango.

“Afande Mwira…afande Mwira,” sauti za mtu zaidi ya mmoja zilisikika.
Nilimwona afande Mwira akinyong’onyea kila sehemu ya mwili mpaka kule!
“Eee,” aliitika…
“Mbona unapiga kelele?” hii sasa ilikuwa sauti ya yule mbaba wangu wa mwanzo kabisa…

“Niko sawa jamani…mbona kama tunaanza kufuatanafuatana?”
“Kama upo sawa hebu fungua mlango basi,” ilisema sauti nyingine lakini nayo niliikumbuka ni ya yule afande wa pili aliyenikatia nusu laki.
Nilijua kimenuka, msichana naumbuka. Tena mbaya zaidi naumbukia kwa mtu niliyeamua kwenda naye bureee! Kwa kumwonea huruma…
“Fungua bwana…inasemekana uko na kale kabinti…”

Nilimwona afande Mwira anatetemeka, lakini hakunishinda mimi. Nilitetemeka zaidi kwani nilianza kuhisi hali ya kupoteza fahamu kutokana na kuzomewa kwa kitendo changu cha kuwanyang’anya wanaume watatu kwenye nyumba moja na kwa siku moja, tena muda huohuo.

Nilimtaka afande Mwira asingue kwani kufanya hivyo kungenileta balaa zaidi kuliko kutofungua…
“Na leo atakula jeuri yake,” yule mbaba wa mwanzo alisema ndiyo nikazidi kuchanganyikiwa zaidi, nikaogopa sana.

Ilifika mahali nikahisi nataka kulia, niliulaumu sana moyo wangu kwa kitendo kile.
Sasa wale maafande wakawa wanagonga mlango kwa nguvu huku wakitishia kuvunja kama yule afande niliyenaye hatafungua mlango mwenyewe.
“Kwani siwezi kupita kwenye hili dirisha?” nilimuuliza baada ya kuangalia dirisha na kugundua halina zile nondo zinazokatisha katikati ili mwizi asipite. Ni zile nyumba zilizojengwa zamani kidogo.

Cha ajabu yule afande chumbani badala ya kunijibu, akawa eti anataka tuendelee na zoezi letu la mechi ya kitandani. Nikamkatalia katakata na kutoka kitandani…

“Hivi wewe una ukali kweli? Yaani unaona kabisa unagongewa na wenzako tena wanaonekana wanajua kila kitu halafu bado unataka tuendelee!” nilimsema nikiwa napanda dirisha, akanisaidia kutoka kwa kunisukuma, nikaangua upande wa pili…tii!
Kusema ukweli niliumia, hata niliposimama ili nitembee nilijikuta nachechemea.

Nikachechemea mpaka nyumbani ambapo mama aliponiona nachechemea akataka kujua kisa…
“Nimeumia mama…”
“Umeumia na nini?”
“Nilianguka kwenye mtaro mama.”

“Kwanza unatoka wapi?”
“Nilikwenda sokoni mama…”
“Kununua nini na nani amekutuma?”
“Vitu vyangu…”

“Viko wapi?”
Niliangalia chini kwa aibu maana maswali ya mama yalikuwa ya msingi…
“Si nakuuliza wewe!”

“Nisamehe mama,” nilisema nikiwa naangalia chini kwa aibu…
“Kwanza hutoki kwa mwanaume wewe?” mama alinipiga swali jingine gumu sana. Nilitetemeka, moyoni nikasema…
“Si mwanaume mama, natoka kwa wanaume watatu, hapa nimechoka ile mbaya.”
“Si nakuuliza wewe.”

“Ndiyo mama…”
“Sasa..?”
“Sitoki huko mama…”
“Twende chumbani kwako.”

Jamani, mama yangu namfahamu vizuri sana, aliposema twende chumbani kwangu nilijua anataka akanipekue. Sasa unadhani ingekuaje?! Ningekubali kwenda? Wee!
“Mama nisamehe, tusiende chumbani.”

“Basi niambie ukweli.”
Nilishindwa kumwambia ukweli mama. Hata ungekuwa wewe ungemwambiaje!
“Leo humu ndani huingii mpaka useme unatokea wapi?”
“Mama natoka kwa rafiki yangu.”
“Wapi?”
“Temeke Mwisho.”

“Twende sasa hivi tukamuulize kama kweli wewe ulikwenda kwake. Usimpigie simu wala usimtumie meseji,” alisema mama. Alinipa mawazo mengine tena, nikaona hakuna haja, ni kulisanua tu.

“Mama nilikwenda kwa mwanaume kweli,” nilimwambia mama huku nikimwangalia kwa macho ya umakini sana ili asije akanivaa na kunipiga.
“Mwanaume gani?”
“Simjui mama…”

“Ha! We mtoto…mwanaume humjui na unakwenda kwake? Twende sasa hivi ukanioneshe hiyo nyumba uliyoingia,” alisema mama akinishika mkono.
Kweli, mama hakuwa na mchezo wala utani, tulianza safari. Mama yangu mimi ni mkali sana hivyo sikuweza kumkatalia hata kidogo.

Tulikata mtaa, tukatokezea kwa mbele, tukaingia barabara kuu, tukavuka, tukatokea kwenye mtaro, tukauruka.

Sasa watu wakawa wanatuangalia. Wapo waliosema napelekwa kuozeshwa kwa nguvu, wapo waliosema nakwenda kukeketwa, wengine walisema napelekwa hospitali kutolewa mimba maana ni mitaa ya hospitali.

Nilifikiria namna ya kumpotosha mama, kwamba badala ya kumpeleka pale kwa jina afande Mwira nitafute nyumba yoyote yenye kufuli niseme ni hapo, lakini mwenyewe katoka…

“Bado hatujafika?” mama aliniuliza kwa ukali. Aibu hana wala kuniwazia mimi kwamba naaibika, wala!
“Ni pale mama, tumefika,” nilimwambia nikimwonesha nyumba nyingine nikijua mlango umefungwa lakini kumbe wenyewe walikuwepo maana ile tunakaribia tu, wakatoka wanawake watatu.

“Ndiyo pale wanapotoka wale wanawake?” aliniuliza mama.
“Hapana, kwa nyuma.”
Na kweli, kwa nyuma ndiyo nyumba ya akina afande Mwira ilipo, tukafika sasa…

“Ni wapi?” mama aliniuliza kwa ukali…
“Hapa mama,” nilimwonesha mama ile nyumba. Cha ajabu sasa, mlango ulifungwa kwa kufuli jambo ambalo lilinishangaza sana mi mwenyewe…

“Mbona pamefungwa na kufuli?” mama aliniuliza swali ambalo si langu. Sasa mimi ningejibu nini kwa huyu mama, kwani mimi ndiye nilifunga kufuli?
“Mama hata mimi sijui kwa nini kuna kufuli,” nilimjibu tukiwa tumesimama.
Mara tukasikia mtu akitembea kwa ndani na kutokea mlango wa uani ambao ulisikika sawasawa.

Kutembea kule kukawa kunakuja mbele tuliposimama sisi, yaani mimi na mama.
“Karibuni,” mwanaume mmoja, mrefu sana, mweusi tii, alitukaribisha huku uso wake ukionesha dalili zote za kutoka kulala…
“Huyu alikuja hapa?” mama aliuliza bila salamu.

“Kuja kufanya nini?”
“Nimeuliza alikuja hakuja?” mama alikuja juu.
“We mama…una akili kweli? Huna salamu…huna maneno mazuri unauliza huyu alikuja hapa…alikuja kwa nani na kufanya nini?”
Mama alinigeukia mimi…

“Kumbe unanidanganya siyo?”
“Mama ni hapa, siwezi kukudanganya mama,” nilimjibu mama nikijua hashindwi kuniachia kichapo mbele ya yule mtu mweusi tii!
“Kwani binti unamtafuta nani au ulikuja kwa nani?” yule mtu mweusi tii aliniuliza…
“Namtafuta afande Mwira na wenzake.”

“Unawajua?”
“Nawajua.”
“Muda huu wameshakwenda kwenye lindo. Kurudi hapa ni saa kumi usiku. Mimi ndiyo nimerudi muda si mrefu,” alisema yule mtu.

Mama alikunja sura, akamwangalia yule mtu, akamuuliza…
“Huyu hujawahi kumwona hapa baba?”
“Hapana…”
“Hapana mama…”
Mimi na yule afande, wote tulikataa kwa pamoja ila sema mimi niliongezea na neno ‘mama.’

Mama alisimama akijifikiria kwa muda kisha akafyatuka…
“Sasa huyo afande Mwira sijui, nataka umjulishe kwamba namwachia mzigo huu. Akija hiyo saa ngapi sijui, atamkuta. Hawezi kumchezea mwanangu hivihivi naona. Kama alimwona anafaa angejitokeza nyumbani.”

“Mama…mama punguza jazba, nimekwambia afande Mwira na wenzake wanarudi saa kumi usiku, utamwachaje mwanao hapa? Kwanza mbona anaonekana ni binti mkubwa, ina maana hawezi kujichunga mwenyewe?”
“We unaangalia mwili, ana ukubwa gani huyu? Amejaa tu manyamanyama…mtu ana miaka 22 ndiyo mkubwa?” alisema mama huku mate yakimtoka kinywani kama mvua za kushtukiza…

“Huyu ana miaka 22?” aliuliza yule mtu kwa sauti yenye mshangao…
“Mimi ndiyo mama yake, namwacha hapa. Akija huyo afande Mwira mkabidhi, nitamfuatilia kesho,” alisema mama akiondoka.

Nilitamani kumfuata mama kwa nyuma lakini nikajua nikifanya vile kwa wakati ule, moto utawaka. Nikaamua kusubiri baadaye sana.

Lakini moyoni nilisema, ‘mama ungejua…si afande Mwira tu, na wenzake. Sasa kama kubaki au kukabidhiwa nije kukabidhiwa kwa nani?’
Sasa tukabaki mimi na yule mtu tunaangaliana…
“Unaitwa nani wewe?” aliniuliza kwa sauti ya chini huku akiniangalia kwa macho ya mlegezo…

“Rhoda…”
“Unaishi wapi?”
“Kule Wailes…”
“Unaishi na baba yako?”
“Ndiyo, lakini kasafiri…”

“Sasa huyo afande Mwira mlikutana wapi?”
“Kule barabarani.”
“Akaja na wewe hapa?”
“Ndiyo.”

“Kwa ajili ya nini?”
Eti hilo nalo lilikuwa swali jamani? Mtu anajua afande Mwira ni mwanaume, mimi ni mwanamke. Sasa anadhani pale nitakuwa nilifuata nini?!
“Kwani we unamzungumza afande Mwira gani?” nilimuuliza swali badala ya kumjibu…
“Si huyu wa chumba cha kati…”

“Mwanaume?” nilimuuliza kwa kebehi…
“Ndiyo,” alijibu…
“Huyohuyo,” nilimjibu.
Akaniambia basi karibu ndani ukae umsubiri afande Mwira tuone inakuaje?
Wakati anasema hivyo alikuwa akitembea kuelekea ndani nikamfuata kwa nyuma mpaka ndani kwake, yaani chumbani kwake. Nilichobaini ni kwamba, ile nyumba kila mtu alikuwa ana chumba tu. Na chumba hicho ndiyo kilikuwa sebule na chumba cha kulala…

“Kaa hapo,” aliniambia akinionesha kochi kubwa. Nikakaa pwaa! Maana mimi naye, wowowo peke yake ni shughuli nzito…

Nilijitupa kwenye kochi na kumwangalia yule mwanaume ambaye naye alionekana kunishangaa sana mimi lakini sikujua ni kwa nini anishangae vile…

“Kwani wewe una matatizo gani na mama yako mzazi?” aliniuliza yule mwanaume huku macho yake yakipepesa kwingine na si kwangu…

“Unajua mama ‘angu ana matatizo makubwa. Eti kisa nilikuwa humu ndiyo akamaindi na kuamua kunirudisha.”

“Ulikuwa humu kweli au ulimdanganya?”

“Nilikuwa humu kweli?”

“Humu kwangu?”

“Hapana, kwa afande Mwira.”

Niliamua kukomaa na afande mmoja tu kwa vile nikisema watatu, ningekuwa kituko cha mwaka huu unaoisha kwa tumbuatumbua.

“Ni nani yako?”

“Mpenzi wangu wa ghafla.”

“Khaa! Mpenzi wako wa ghafla? Oke! Sasa unadhani mpaka afande arudi usiku wa saa kumi utalala wapi?”

“Nitarudi nyumbani.”

“Mama ‘ako atakuelewa?”
“Najua hatanielewa,  lakini sasa wewe unadhani mimi nitalala wapi kama siyo nyumbani?”

“Oke..umekula?”

“Sijala na njaa imenikaba ile mbaya.”

“Nikupe nini ule?”

“Umepika nini kwani?”

“Sijapika chochote. Wewe sema utakula nini?” aliuliza huku akiniangalia kwa macho yenye maswali mengi kuhusu mimi.

“Utakachoamua wewe mimi nitakula tu,” nilimjibu kwa sauti iliyojaa ushawishi kwa mwanaume yeyote rijali wa kweli.

Alikwenda kwenye friji, akatoa mayai matano, akaenda pembeni ya mlango ambapo pana meza yenye jiko dogo la gesi, akasetiseti mambo yake pale, akaanza kukaanga mayai bwana.

Alipomaliza akayaleta meza ndogo ya katikati kisha akaenda kuchukua chupa ya chai, akaileta, akarudi tena kwenye friji akatoa mkate, akauleta mezani, akaniambia karibu chai…

“Nakunywa peke yangu?” nilimuuliza kwa sababu nilimwona yeye akikaa kwenye kochi jingine pembeni…

“Sasa ulitaka unywe na nani? Afande Mwira si nimekwambia atarudi usiku sana?” alisema.

Nilihisi anaweza kuwa mwanaume mwenye utofauti na wenzake. Hakuonekana kunishobokea kama maafande wenzake wa mwanzo, akina afande Mwira.

Nilijiungia chai, nikanywa wewee na mayai yote matano nikayamaliza, nikashiba vizuri sana. Nilitoa vyombo mwenyewe nikaviweka kwenye ndoo chini ya meza ya jiko. Nikarudi kukaa na kumshukuru huku simwangalii usoni…

“Nakushukuru sana kwa chai, nimeshiba,” nilisema, lakini hakujibu, nikamshukuru tena, pia hakujibu, nikamwangalia. Kumbe alikuwa amelala zamani gani!

Nilimfuata na kumtingisha…
“Oyaa! Anko…anko.”

Alishtuka na kunikodolea macho mekundu ya kutoka kulala…

“Vipi?” aliniuliza…

“Nasema asante sana kwa chakula. Nimeshiba.”

“Sawa, pumzika sasa, ukijisikia kwenda kwenu nenda,” alisema, akaendelea kujiliza.

Nilianza kuamini kuwa, duniani kuna wanaume wakamilifu na wengine siyo. Na huwezi kumjua kwa kumwangalia kwa macho ya kawaida mpaka vitendo.

Yaani jamaa alivyo na mvuto, mwili wenye siha njema, yuko na binti kama mimi, mbichi, nina mvuto wa kisichana halafu anachengachenga…mh!

Nilichofanya, badala ya kukaa pale kwenye kochi, nikaenda kujilaza kitandani. Miguu ilining’inia, kuanzia kiunoni kwenda juu kulikuwa kitandani.

Kila dakika kadhaa, niliinua shingo kumwangalia mwenyeji wangu pale alipolala, nikabaini anakoroma…

“Loo! Maskini…ananikosa hivihivi kwa kuendekeza usingizi,” nilisema moyoni huku na mimi nikiwa nanyemelewa na usingizi kwa mbali maana nilikuwa nalishia kama samaki kwenye bwawa.

Nilishindwa kujivumilia, maana mwanaume ni mwanaume, mwanamke ni mwanamke, kitendo cha kuwepo wawili chumbani kwangu hakikuvumilika. Afadhali basi angekuwa anko wangu au mtoto wa shangazi, lakini simjui, hanijui, loo!

Niliinuka, nikatembea kwa kunyata mpaka alipokuwa amelala, nikakaa jirani yake lakini nikijitahidi nisimguse kwanza.

Baada ya kukaa, nilimgeukia kumwangalia. Kumbe alikuwa ametoka kunyoa, nilikuwa nahisi manukato ya kunyolea yale.

Nilipeleka mkono kumshika kidevu, nikakipapasa, akatingishika, nikaacha. Akaendelea kukoroma, nikapeleka mkono kifuani, nikaanza kumpapasapapasa kwa mbali sana, akatingishika, akapeleka mkono pale kifuani kama aliyehisi pana mdudu kwa hiyo alitaka kumtoa. Nikaacha, akaendelea kukoroma.
Nikapeleka mkono kinywani sasa maana kinywa kilikuwa wazi, akakivuta na ulimi, nikakitoa. Nikajua kumbe anapenda vitu vikiwa kinywani, nikamsogelea huku natoa ulimi, akapanua kinywa tena!


ITAENDELEA

RIGWARIDE LA AFANDE – 1

Related image
Chombezo : Rigwaride La Afande
Sehemu Ya Kwanza (1)

“We binti njoo hapa,” nilikuwa napita kwenye mtaa mmoja kule Temeke, nikaitwa hivyo na mbaba mmoja aliyekaa kwenye benchi la kijana anayeosha viatu, wenyewe mnamuita ‘shuushaina’!
Kwa jinsi yule mbaba alivyonitumbulia macho, mwenyewe nikaogopa, nikajikuta nimemfuata…
“Shikamoo,” nilimwamkia huku nikiangalia pembeni kwa woga.
Mimi nilitarajia ataniambia amenifananisha na msichana anayemjua…
“Marhaba! Unaitwa nani wewe?”
“Rhoda.”
“Rhoda nani?” aliniuliza kwa ukali mpaka nikataka kukimbia. Moyoni nikasema ‘he! Huyu mbaba vipi? Mbona ana maswali kama polisi wa Kilwa Road?’
“Rhoda Musalanga,” nilimjibu.
“Unakaa wapi?”
“Kule juu Wailesi.”
“Kwa mzee nani?”
“Khaa! Kwa mzee nani kivipi? Si kwa baba yangu!” nilijipa ujasiri na kumjibu hivyo…
“Baba yako anaitwa nani?” kabla sijamjibu, nilimwona yule kijana msafisha viatu akiachia tabasamu. Niliamini amejua swali la yule mbaba ni la kijinga…
“Jamani, si nimekwambia naitwa Rhoda Musalanga, si ndiyo baba yangu mzazi…”
“Una simu?” aliniuliza swali jingine. Ina maana swali lake la awali alishalijua jibu lake.
“Kwani we unataka nini?”
“Nataka nini! Si nataka namba yako ya simu, hebu nitajie,” aliniambia huku akiwa amenitumbulia macho. Sijui ilikuaje, si nikajikuta nikizitoa namba zangu. Nilimtajia moja baada ya nyingine, kisha akatumbukiza mkono mfukoni na kutoa noti mbili za shilingi elfu kumi…
“Hizi utakunywa soda…umeolewa?”
“Akha! Mi sijaolewa,” nilimjibu kwa kukataa mpaka na mabega.
Kifupi mimi nilikuwa nimemaliza masomo ya sekondari na nina miaka 22 tu, lakini kutokana na umbo langu kuwa kubwa, wengi waliamini niko kwenye ndoa tayari.
Kwanza nilikuwa mrefu, si mnene sana lakini pia si mwembamba. Umbo langu ni namba nane! Katikati katikati kweli, juu kifuani palijaa sawasawa na katikati kwenda chini nilijengeka kama vile nilitengenezwa kwenye kiwanda cha magari cha Mjapan.
“Nitakuoa mimi… we nenda,” aliniambia yule mbaba huku akimwangalia msafisha viatu.
Kwangu lilikuwa tukio la ajabu sana. nilifika nyumbani na kukaa kimya, sikumwambia mama wala dada yangu, Agatha. Najua ningemwambia dada Agatha angeniambia nimpeleke na yeye kwa yule mbaba.
Nilikwenda Temeke kwenye maduka makubwa, nikanunua makufuli yangu matano kwa zile pesa, nikazidi kuwa wa kisasa zaidi. Maana mtaani naitwa Amber Rose kutokana na umbo langu lilivyo. Na vijana wengi walishatangaza dau mpaka la pesa nyingi ili wanipate lakini walikosa bahati hiyo, akaipata mmoja tu, Mwafyale ambaye ana duka la vipodozi Temeke Mwisho.
Sasa niliishi nikitegemea kupata ujumbe wowote kutoka kwa yule mbaba maana mimi sikuwa na namba yake.
Kweli bwana, saa saba juu ya alama mchana akanipigia simu, nikapokea haraka sana maana nilikuwa na shauku ya kutaka kujua nia yake kwangu…
“Hujambo?”
“Sijambo…shikamoo…”
“Unaamkia mara ngapi kwa siku?”
“Nilisahau, samahani sana…”
“Utakula jeuri yako…uko wapi?”
Nilitamani kwanza kujua maana ya mimi kula jeuri yangu kabla hata ya kumjibu nilipo. Lakini nikahisi ni msemo, nikamjibu swali lake…
“Mimi niko nyumbani…”
“Wapi?”
“Si nilikwambia jamani…huku mitaa ya Wailesi…”
“Utakula jeuri yako…njoo hapa mitaa ya Temeke Hospitali…mimi nakaa hapa,” alisema kwa sauti ya ukali iliyojaa amri…
“Kwani huyu mbaba ni nani? Mbona amri amri…mtu simjui hanijui halafu ananiamuru kama mwanaye, kwa nini lakini?” niliwaza moyoni, lakini nikashindwa kumuuliza…
“Nije kufanya nini sasa..?”
“We…utakula jeuri yako…unajifanya hujui siyo?”
“Mimi sijui!”
“Wewe njoo utajua kwa nini nimekuita.”
“Mkeo je?”
“Sina…”
“Mh! Wewe ulipo hapo huna mke kweli?”
“Nilimfukuza.”
“Kwa nini?”
“Haikuhusu…wewe njoo haraka.”
Nilijikuta nikimpa dakika kumi na tano tu kwamba, nitakuwa nimefika mitaa hiyo.
Niliingia bafuni kuoga chapuchapu kisha nikavaa. Tena kwa ndani nilivaa kufuli moja mpya. Nje nikapigilia suruali ya skin’taiti nyeusi na blauzi juu nyeupe, miguuni sendoz, nikaondoka zangu bila kumuaga mama wala dada.
Nilipofika mitaa ya hospitali nilimtwangia simu, haraka sana akapokea…
“Oya mi nipo hapa hospitali…”
“Njoo moja kwa moja mpaka kwenye kontena mbele hapa, utanikuta.”
Nilitembea kunyoosha njia mpaka kwenye kontena, nikamkuta amekaa na wenzake wawili wakinywa bia. Yeye alivaa pensi na fulana…
“Kaa hapa…wee mletee bia huyu yoyote lakini ya baridi,” alimwambia mhudumu.
Niseme ukweli, nakunywa pombe kwa hiyo agizo hilo kwangu halikuwa geni na aliyenifundisha kunywa pombe ni jamaa yangu, Mwafyale, mwenyewe nimezoea kumwita Mwana FA.
“Yoyote?” aliuliza mhudumu. Mhudumu mwenyewe ni jianajike f’lani. Ukimwangalia hivi ana sura ya kufumaniwafumaniwa tu…
“Kwani huuzi bia?” yule mbaba aliuliza…
“Sasa si nimekwambia lete yoyote lakini ya baridi…”
“Eti anti, nikupe bia gani?”
“Yoyote.”
Yule mhudumu aliondoka akicheka.
Baada ya kunywa bia moja, mbaba alinisimamisha na kuniambia…
“Twende huku la sivyo utakula jeuri yako.”

Jamani wewe…wapi sasa?”
“Hutaki?”
“Siyo kama sitaki…nataka kujua tunakwenda wapi?”
“Si kule…mimi si mtu mbaya kwako. Ningekuwa mbaya ningekupa pesa yangu? Twende.”
Maneno yake yalikuwa kama kumsukuma mlevi, kwani nilijikuta miguu ikikubali kwenda yenyewe bila kulazimishwa huku nikiwa najishangaa.
Tulikwenda kuingia kwenye nyumba moja kubwa sana. Ina vyumba huku na huku, katikati ni korido pana. Ilionekana kila chumba kilijitegemea. Kwa hiyo hakukuwa na chumba na sebule. Ilikuwa maalum kwa ajili ya kupanga tu.
Basi, yule mbaba aliingia kwenye chumba cha katikati kwa kufungua kufuli na funguo alizokuwa nazo.
“Karibu, pita,” aliniambia huku akinipitisha mlangoni, akaweka pazia la mlango vizuri kisha akaufunga kwa kitasa cha ndani.
“Kaa hapo,” naweza kusema aliniamuru kwa sauti yake na vile alivyonikodolea macho. Alitaka nikae kitandani. Nikakaa na yeye akakaa jirani kabisa na mimi na kuanza kusema…
“Sikia mrembo. Wewe ni mzuri sana. ukiwa na mtu kama mimi utafaidi mengi sana. Mimi najua kutunza si kama wanaume wengine. Je, uko tayari?”
“Mh!” nilijikuta nikiguna mwenyewe kabla ya jibu maana sikujua kule kulikuwa ni kutongoza au ni nini!
Nilimwangalia usoni kwa macho ya kumsoma, nikamwonea huruma jinsi asivyojua kumwingia mwanamke, hasa mrembo kama mimi.
“Sawa,” nilimjibu baada ya moyo wangu kuamua niwe naye. Niliamua kuwa na yeye na Mwanafyale wangu au Mwana FA maana huyu si ameniahidi kunitunza na elfu ishirini kwake si kitu!
“Haya, lala kitandani sasa,” aliniambia huku akinishika miguu ili nipande kitandani…
“Haa! Sasa mbona mapema hivi bwana…mimi sitaki kama ni hivyo…”
“Wewe unataka kula jeuri yako siyo? Si umeshakubali,” aliniambia akinizidi nguvu na kunipandisha kitandani mwili mzima, akanivua nguo zote. Si unajua tena, mwanamke ni mwanamke tu, siku zote hatuna ujanja kwa wababa wenye miguvu kama yule.
“Mimi sitaki bwana, unataka kunibaka siyo?” nilimuuliza…
“Wewe nakubaka wakati umekubali mwenyewe kuja mpaka ndani na tumeongea, umekubali. Usiseme maneno hayo siku nyingine,” aliniambia huku yeye akivua nguo zake kiaina na kuwa juu ya kitanda. Hapo wote tulikuwa kama tulivyozaliwa.
Alinisogelea, akanihemea kwenye sikio la kushoto, mwili ukasisimka sana. Kuumbwa ni kuumbwa tu, ningefanyaje sasa mwenzenu?
Alipogundua nimesisimkwa na kitendo chake hicho cha kunihemea sikioni, akabadili, akanihemea kwenye shingo, nikasisimka tena zaidi na kutaka kutoa mlio wa mahaba. Akanigeuza, nikalala kifudifudi. Hapo umeshajua awali nililalaje!
Akaanza kunilamba shingoni huku akitoa mlio wa kuhemka kwa sauti yake nzito. Mwenyewe bila kupenda, nilimtoa kisha nikageuka na kuangalia angani. Nikamkaribisha kwangu maana sikuwa na namna zaidi ya kukatwa kiu.
Heee! Haikupita dakika moja, mbaba akamaliza. Nikamchukia moyoni maana mwenzake ndiyo kwanza. Lakini cha ajabu akaunga. Hee! Dakika moja nyingi akamaliza.
“Mh,” niligunia moyoni mwenyewe.
Nilijua ameshachoka sasa! He! Akaanza tena! Dakika mbili mbele nyingi, akamaliza…
“Ndiyo nini sasa?” nilimuuliza.
“Kwani we unapata tabu gani?” aliniuliza kwa sauti ya kukatakata huku akianza tena! Nilianza kuhisi na yeye ni miongoni mwa majini au viumbe wa ajabu! Yaani mpaka mara hizo kweli jamani?! Akamaliza… akaanza tena…
“Aaa…hii sasa sifa bwana,” nilimwambia.
“Sihitaji sifa yako wewe!” alinijibu, nikabaini haujui msemo huo ndiyo maana alinijibu vile!”
Hali hiyo aliendelea nayo ndani ya karibu dakika arobaini na tano nikabaini kuwa, alikuwa mgonjwa kwani katika hali ya kawaida, mtu hawezi kuwa vile.
Alipindukia upande wa pili na kupitiwa na usingizi. Hapohapo alianza kukoroma kwa kishindo. Nilitoka kitandani, nikaenda kukaa kwenye kochi dogo, nikaanza kukikagua chumba. Kilikuwa kikubwa lakini kilionekana kidogo kwa vile kilikuwa na vitu vingi sana! ni chumba sebule, masofa manne, kitanda, kabati la nguo, la vyombo. Redio kubwa, tivii ya maana, yaani kila aina ya samani inayotakiwa kuwepo ndani ya nyumba ilikuwemo.
Katika hali ya kushtusha, nikaona suruali ya polisi na shati lake, nikatumbua macho…
“Mamaaa…afande,” nilisema moyoni. Nikaanza kuwa na wasiwasi. Kiasili mimi ni mwoga sana wa polisi. Kwa hiyo kujua niliingia ndani ya chumba cha polisi peke yake, ilitosha kunifanya niugue kiuno palepale.
Nilivaa haraka sana, nikasimama na kumwamsha ili niondoke bila kutaka senti tano yake…
“We mbaba…mbaba wewe,” nilimtingisha kwa upole.
“Ee…ee! Unasemaje?” alishtuka kutoka usingizini. Kabla sijamwambia madhumuni ya kumwamsha, akanishika mkono, akanivutia kitandani, nikaanguka puu! Akaanza tena!

Nilijitahidi kupiga kelele lakini akaniziba midomo ili nisisikike nje…
“Lengo lako nini sasa? Watu wasikie waseme nakubaka si ndiyo? Utakula jeuri yako sasa.”

Wakati anasema maneno hayo, alikuwa akiendelea na zoezi lake na jasho chapachapa maana feni ya chumbani ilikuwa inatoa upepo wenye moto badala ya baridi. Ilibidi nivumilie kwa muda.

Alipomaliza, alitoka kitandani, akaenda kutungua pensi kwenye msumari na kuingiza mkono mfukoni. Alitoa noti nyekundu kadhaa, akanipa mkononi huku akisema…
“Usije ukasema mimi ni fisadi. Hizi zitakusaidia kwa siku mbili tatu, sawa?”
Niliitika sawa haraka sana maana nilitamani kutoka mle chumbani ili nikajue zile noti ni shilingi ngapi!

“Si naweza kwenda sasa?” nilimuuliza huku nikimuangalia kwa macho ya kulegea. Nilikuwa nimechoka sana. Kiu yote ilikatika!

“We nenda, angalia usibakwe lakini,” aliniambia utadhani ni usiku.
Nilipotoka, nilipita kwenye korido haraka sana. Mbele nikikaribia kutoka nje, nikakutana na polisi anaingia, nikashtuka. Nikasema mwenyewe moyoni hii nyumba wanaishi mapolisi nini?

“We unatoka wapi?” yule polisi aliniuliza kwa sauti yenye amri…
“Kule kwa yule…”
“Kule kwa yule nani?”
“Mi simjui jina.”

“Unatoka kwa mtu usiyemjua jina? Inawezekana kweli?”
“Kweli tena.”
“Chumba gani, twende uoneshe,” aliniambia huku akinishika mkono kwa nguvu. Niliwaza kwamba, huenda nikimtambulisha yule mbaba, inaweza kuwa soo kwake maana sikujua huyu ni nani kwake…

“Mi sitaki bwana,” nilisema kwa sauti ya chini…
“Wewe utakuwa unatoka kuiba humu ndani,” alianza dalili za kunibambika kesi sasa…
“Hapana! Natoka kwa mtu wa humuhumu ndani, kweli tena.”

Alizidi kuning’ang’ania, akaniinamia ili kuniambia kitu kwa siri…
“Sikiliza…mimi nakutaka, nikupe shilingi ngapi?”
“Mimi sitaki,” nilisema kwa sauti iliyolegea, hasa baada ya kusikia nipewe shilingi ngapi. Nilihisi huenda ni mipango ya wote wawili, huyu na yule mbaba niliyetoka chumbani kwake…

“Hakuna atakayejua, nitakuingiza kwa siri na kukutoa kwa siri,” alisisitiza kwa sauti iliyotua juu ya sikio langu la kushoto. Nilijikuta miguu ikitembea yenyewe mpaka chumbani kwake. Akafunga mlango.

Tulisimama tukikodoleana macho. Aliniangalia kwa macho yenye uchu mkubwa wa mapenzi maana alikuwa akiyatembeza macho hayo kuanzia miguuni hadi kichwani huku akiwa kama anataka kusinzia…

“Binti umeumbwa vizuri sana. Umezaliwa na nani?”
“Si na mama,” nilimjibu kama niliyeshangazwa na swali lake…
“Hakuwa na baba?”

“Ah! Mi naondoka,” nilimwambia sauti ya kukasirika kwa chini. Lakini lengo langu halikuwa kuondoka bali ni kumsikia atanipa shilingi ngapi…
“Sasa nikupe ngapi? Si useme ili na mimi nijue moja tu,” aliniuliza.
“Elfu hamsini nataka,” nilimjibu kama vile jibu hilo nilitoka nalo nyumbani.

Aliingiza mkono mfukoni na kutoa noti nyingi, akahesabu hamsini tu na kunipatia huku akinishika mkono na kunikalisha kitandani. Hapo sasa nilikuwa najua nina zaidi ya hamsini, maana zile za yule mbaba nilikuwa sijazihesabu.

Nilijichojoa nguo mwenyewe huku nikimwangalia kwa macho ya kulegea kimahaba. Afadhali ya huyu ana sura ya kuvutia kuliko yule mbaba, nilijisemea mwenyewe moyoni.
Nilipomaliza nguo ya mwisho akanisogelea karibu kabisa, akajishika kiuno. Nikajua lengo lake ni nimvue nguo, nikafanya hivyo. Nilimchojoa moja baada ya nyingine mpaka akawa kama alivyozaliwa, wote tukawa sawa, nikapanda mwenyewe kitandani.

Na yeye alifuatia, akaja huku akihemuka tayari! Alinishikashika kama mara tatu tu kisha akaanzisha mechi ya nguvu. Nilikuwa naogopa asije kuwa kama yule wa dakika chache kamaliza, dakika chache kamaliza.

Huyu sasa alianzisha shughuli mpaka ikawa kero. Wakati anaanza nilisikia mtangazaji wa kwenye redio ya jirani akianza kusoma taarifa ya habari ya saa saba mchana. Akamaliza, yakaja matangazo ya vifo, akamaliza, yakafuatia matangazo madogomadogo, yeye bado tu!

Ilifika mahali nikahisi anataka kunikomoa kwa ajili ya ile fifte yake aliyonipa. Na vile sikuwa na kiu ya kivile, ni tamaa ya pesa tu, nikasema nimrudishie pesa yake lakini moyoni nikajiona mjinga, yaani mechi ianze, ifike katikati halafu nimrudishie pesa zake, haiwezekani, nikakomaa…

“Bwana mimi nachelewa sasa,” nilijaribu kutumia ujanja huo…
“Sasa hivi tu,” alisema haraka.

Tulikuwa tunatokwa jasho mpaka basi. Godoro lote lilijaa jasho. Alikuwa akiendelea na mechi huku akijifuta jasho mwenyewe. Nilianza kuhisi kifo kinanijia, maana sasa niliishiwa nguvu na kushindwa kufanya lolote, akanitahadharisha…
“Uvivu wako unaweza kusababisha tukaondoka na giza,” alisema, moyoni nikamkatalia. Afike na giza amekuwa nani yeye..!

“Nimechoka bwana,” nilisema huku nikianza kujitahidi tena ili nione kama atamaliza…
“Ti! Ti! Ti! Ti! Ti! Tiii! Hivi sasa ni saa nane kamili mchana,” mtangazaji wa kwenye ile redio ya nyumba ya jirani alisema…

Nilimsukuma yule mwanaume, akaangukia pembeni…
“Haaa! Utadhani upo kazini bwana,” nilimwambia.

Alinishika kwa nguvu na kuniambia nimpe dakika tano tu atakuwa amemaliza. Kwa vile nilikuwa chumbani mwake, nikajua nikisema nikatae angenibaka hivyo ningeumia. Nikakubaliana naye, nikamwambia nampa dakika tano tu.
Akaanza bwana, lakini pia safari hii akatutumuka mpaka nikasikia redio ikisema ni saa nane na nusu na kipindi cha muziki wa kizazi kipya kikaanza. Nikajua ni yaleyale wakati nataka kumsukuma tena ili niondoke na kuondoka ndani ya chumba hicho, ndiyo akafanikiwa kumaliza.

“Da! Sikutaki tena,” nilimwambia kwa sauti yangu iliyojaa hasira.
Nilitoka na kukaa kwenye kiti kwanza. Nikamwangalia kwa macho yasiyoamini. Nilimtafakari yeye lakini pia nikamtafakari Mungu na uumbaji wake. Nilimshangaa yule wa kwanza kutumia dakika chachechache na kumaliza kila wakati halafu huyu kutumia lisaa lizima na kumaliza kwa tabu.

Sasa kwenye kutoka ikawa ishu nyingine kwani sikujua nje alisimama nani! Nilimwomba yule mwanaume anisaidie kutoka kwenda kuangalia akanikatalia…
“We toka tuuu! Kwani unamwogopa nani?”

“Namwogopa yule wa kwanza jamani, toka…”
“We toka, hakikisha unakuwa makini tu,” aliniambia. Nilimshangaa sana. Nilipata picha kwamba, ndani ya nyumba ile waliishi maisha ya kutoheshimiana ndiyo maana yule mwanaume alijiaminisha vile.

Nilifungua mlango huku najitengeneza vizuri nguo na nywele maana nywele zilikuwa timtimu kwa kugalagazwa kitandani.

Nilitoka haraka sana, ile nataka kufika kwenye mlango wa nje, nikashikwa mkono na mtu aliyetoka kwenye chumba kilichopakana na cha yule mwanaume wa pili. Nilishtuka sana, mimi nilijua yule mbaba mwenyewe wa kwanza…
“Ingia…ingia tuongee tafadhali,” alisema…

“Sitaki,” nilimjibu lakini alikuwa amenikamata kwelikweli. Akanizidi nguvu, nikaingia chumbani kwake…
“Usipige kelele, mimi si mtu mbaya,” aliniambia kwa sauti ya chini aliyoielekeza kwenye masikio yangu…

“Unasemaje?” nilimuuliza kwa hasira.
Akaniinamia mpaka sikioni tena maana alikuwa mrefu sana kwangu, akaniambia…
“Unajua wakati uko kwenye chumba cha afande Kipara niliumia sana niliposikia mlio wa kitanda, nikaamua kusimama mlangoni ili ukitoka na mimi nikudake kwa siri, lakini ungetoka na afande Kipara mwenyewe nisingekushika.”

Bado nilikataa. Nilikuwa nimechoka sana kwa wakati huo nilichokuwa nahitaji ni kurudi nyumbani kupumzika.

“Mimi sitaki bwana…”
“Aaa binti…vibaya hivyo! Sasa unadhani mimi nitajipoza vipi kama wewe unanigomea?”
“Mimi sijui,” nilimwambia huku nikijitoa kwenye mikono yake kwa nguvu.

Moyoni niliamini mawili. Moja, wanaume wote kwenye ile nyumba walikuwa na mpango mmoja, kunichangia kwa mtindo ule. Kwa hiyo kila mmoja alijua nimeingia, sasa niko kwenye mechi kitandani na sasa natoka. Au, wakaaji wa mle ndani walizoea kuchukuliana mademu kwa kuzungukana wakitumia pesa zao…
“Simalizi hata dakika kumi,” alisema yule mwanaume wa tatu.

Moyoni nilimwonea huruma. Masikini, mwanaume wa watu, mzurizuri halafu anaongea kwa kwa upole na anachotaka kwangu ni uamuzi wangu ambao haupingwi na mtu, kwa kweli niliamua kukubaliana naye tena kwa bure…

“Lakini isifike dakika kumi kweli,” nilimwambia kwa sauti ya kumuonya mapema…
“Sifiki…da! Hata siamini,” alisema…
“Huamini nini sasa?”

“Kama kweli umenikubalia baby, maana ulivyokuwa ukilalamika chumbani kwa afande Kipara nilijua huyo mtoto ni mzuri sana, sasa kukuona laivu hapa hivi nimekukubali, wewe ni mzuri bwana…umeumbwa ukaumbika,” eti alianza kuniita baby palepale na kuanza kunipamba.

Niliachia tabasamu la kujilazimisha maana mwili ulikuwa hautaki kabisa kuingia kwenye mechi kwa siku hiyo kutokama na mchakachaka niliokutana nao ambao sijawahi hata kuusikia kwa wenzangu.
“Panda basi kitandani baby,” aliniambia kwa upole sana.
Kwa unyonge nilianza kuchojoa huku nikisema…

“Una bahati sana wewe…nimekuonea huruma kwa sababu ya ulivyokuwa ukiomba kama unalia. Halafu shukuru kwetu tumelelewa kutokuwa wachoyo,” nilimwambia sasa nikipanda kitandani baada ya kuchojoa zote.

Alikuja kitandani kama anataka kupitiliza afike dirishani. Lakini ghafla akatoka. Kumbe alisahau kufunga mlango…
“Da! Afande Kipara anapenda kuingia kwangu bila kupiga hodi, angetukuta katikati ya mchezo,” alisema akiwa anarudi kitandani.

Kwa mbali nilijikuta nasisimka kama binadamu. Kama mwanamke, tena mwanamke mwenyewe msichana, kijana kama mimi, damu bado changa! Lakini moyoni nilijiambia…
“Ila mimi ni kiboko…nyumba moja, wanaume watatu tena afadhali ingekuwa siku mbalimbali, leoleo?! Mh!”

Wakati nawaza hivyo, yule mwanaume alinitegesha, nikakaa mkao wa kutengwa…
“Ngo… ngo…afande Mwira,” sauti iliita nje baada ya kugonga mlango…

ITAENDELEA

UCHU – 3

Simulizi : Uchu
Sehemu Ya Tatu (3)

Lakini historia inaonyesha kwa bunge lao la wakati huo lilikuwa linaitwa ‘abini’, nalo liliwashirikisha Wahutu na Watutsi pamoja. Na kwa vile utawala wa Wanyinginya ulikuwa na nguvu, machifu wa Kihutu katikati ya kusini mwa Rwanda walimezwa na kukubalika kama Wanyinginya. Hapa ndipo swala la ukabila wa Kihutu na Kitutsi ulipotambuliwa, si kutokana na ukoo wa Kihutu au Kitutsi bali kwa kutokana na hadhi mtu aliyokuwa nayo. Ukiwa mtawala, hata ukiwa Mhutu uliitwa Mtutsi. Kama huna mali uliitwa Mhutu, na hivyo hii hali iliashiria kuoana kwingi kati ya Wahutu na Watutsi. Ndiyo sababu hata wewe umeshindwa kututoa tofauti,” Padri Karangwa alinena.

“Kama si vitambulisho hivi mara nyingi kweli huwezi kujua Mhutu ni yupi na Mtutsi ni yupi maana vile vile tunazungumza lugha moja, tofauti na nyinyi,” Padri Sibomana alidakia.

“Huko ndiko ninakokwenda,” Padri Karangwa alisema na kisha kuendelea, “Kusema kweli tofauti halisi ambayo ilibaki ilikuwa kwa wahutu wa kaskazini ambao waliendelea na utawala wao mpaka hapo wakoloni walipofika. Pamoja na kwamba utawala wa Wahutu wa kaskazini haukumezwa na utawala wa ukoo wa Nyiginya, bado wahutu hawa na watutsi waliishi bila matatizo.”

“Matatizo yalianza lini? Willy aliuliza.

“Usiwe na haraka, mimi taaluma yangu ni ualimu nakupeleka taratibu uelewe na huko tutafika,” Padri Karangwa alimjibu na kisha kuendelea, “Tatizo hasa lilianza wakati wakoloni walipofika Rwanda mwishoni mwa karne ya kumi na tisa. Wamisionari wa Kijerumani na kisha askari wa Kijerumani walipofika Rwanda walikuta utawala uliojengeka wa ukoo wa Nyinginya ambao kama nilivyosema ulikuwa ukoo wa Kitutsi. Kama walivyokuwa wakoloni wote walitumia tawala walizozikuta kuwasaidia kutawala. Hivyo, Wajerumani na kisha Wabelgiji baada ya kukuta utawala wenye nguvu ulikuwa wa kitutsi wakaamua kuutumia huu utawala na kuubadilisha uwe wa kinyanyasaji ili ile sera yao ya gawa utawale iweze kufanikiwa. Kwa kusaidiwa na wakoloni sasa watutsi walifuta nafasi yoyote waliyokuwa nayo wahutu kabla ya wakoloni na kuwanyang’anya mali na madaraka, na hii yote ilichochewa na wakoloni ili kuwagawa watu wa nchi hii. Na, kwa vile ilikuwa vigumu kuwatofautisha wahutu na watutsi kwa urahisi mnamo mwaka wa 1933-34 vitambulisho vilianzishwa na wakoloni kwa wananchi wote wa Rwanda vikiwatambulisha kikabila yaani Wahutu, Watutsi au Watwa na vitambulisho hivi hivi ndivyo vilivyotumika katika mauaji haya na mengine mengi yaliyokwisha tokea.

“Kwa kutumia vitambulisho hivi basi maendeleo ya Wahutu na Watwa yalizimwa kabisa?”, Willy aliuliza.

“Ndiyo, yalizimwa na hata shule nafasi zote zilitolewa kwa Watutsi, kanisani nako baada ya Omwami kubatizwa kuwa mkatoliki hata kanisa liliwabagua Wahutu. Kanisa Katoliki wakati huo ndilo lilikuwa linamiliki karibu shule zote katika Rwanda. Hivyo liliwasomesha Watutsi na kuhakikisha Wahutu hawapati nafasi ya kusoma ila walibaki na haki ya kuhubiriwa tu”, Padri Karangwa alijibu.

“Kwa hiyo vitambulisho vilikuwa moja ya mambo yaliyojenga ukabila ndani ya Rwanda?”, Willy aliuliza tena.

“Ndiyo, kabla ya vitambulisho ilikuwa vigumu kujuwa huyu ni kabila gani na vitambulisho kama nilivyosema hapo mwanzo, vilianzishwa na wakoloni wa Kibelgiji ili kujenga ukabila ili wautumie huu ukabila kuwagawa Wanyarwanda kwa faida yao ili iwe rahisi kuwatawala. Baada ya kupewa vitambulisho watu wote waliotambuliwa kama Wahutu walinyanyaswa na kunyimwa hazi zozote na elimu na vilevile mali na hata Wahutu wa Kaskazini ambao walikuwa wakijitawala wenyewe, wakoloni mnamo mwaka 1912 walimshinikiza na kumsaidia Omwami atwae madaraka katika sehemu hizi. Kutwaa madaraka Kaskazini mwa Rwanda kwa Watutsi kulikataliwa na Wahutu wa sehemu hii na mapigano makali yalitokea yakiongozwa na Mhutu aitwae Ndugutse. Kwa vile Watutsi walikuwa wakisaidiana na wakoloni, Wahutu walishindwa na wakatawaliwa na Watutsi. Wahutu wengi waliuawa na huo ndio ukawa mwanza wa uhasama na chuki kati ya Wahutu wa Kaskazini na Watutsi. Sasa, ukiangalia mwanzo mwa hii vita ulikuwa umechochewa na wakoloni maana, kama nilivyosema hapo mwanzo, wakoloni walipofika walikuta makabila haya yakiishi kwa amani”, Padri Karangwa alijibu.

“Ilikuwaje sasa baadaye Wahutu kuja kutawala Rwanda”, Willy aliuliza.

“Baada ya vita kuu vya pili Watutsi walianza kuomba uhuru kama ilivyokuwa katika nchi zingine za kiafrika. Wakoloni wa Kibelgiji kuona hivi, na jinsi Watutsi walivyokuwa na nguvu na walivyokuwa wamesoma, wakaingiwa na wasiwasi, wakajuwa Watutsi wasingewahitaji iwapo watapata uhuru. Hivyo Wakoloni wa Kibalgiji wakaamua kuwageuka na kuwasaidia Wahutu kuwaunga mkono. Viongozi wa Kihutu walikuwa wachache na wote walikuwa na kisomo kidogo walichopata kwa Wamisionari. Hivyo, kwa vile hawakuwa na nguvu zozote za kiutawala, walipoanza siasa, siasa yao ikawa ya kikabila. Hivyo mwaka 1957 chama cha kupigania haki za Wahutu, kikiongozwa na Gregoire Kayibanda, kilianzishwa kikiitwa Permehutu. Na Wakoloni wa Kibelgiji, wakiwa sasa wamewageuka Watutsi, walianza kukisaidia chama cha Permehutu, huku wakikitafutia nafasi ya kuuangusha utawala wa Watutsi. Nia yao ikiwa kuwaingia kwenye madaraka Wahutu ambao hawakuwa na nguvu ili waendelee kuwategemea kama wangepata uhuru. Hii ingewasaidia wakoloni kuendeleza maslahi yao kwani Wahutu wangewategemea sana kuwalinda dhidi ya Watutsi waliokuwa na nguvu za kijeshi na utawala. Kwa hiyo wakoloni ndio wangeendelea kutawala kiaina kwani watawala wa Kihutu wangekuwepo kama mfano tu.
“Je, viongozi wa Kitutsi hawakushituka?”, Willy aliuliza.

“Walianza kushituka lakini mambo yalitokea kwa ghafla sana wakati Omwami Rudahigwa alipofariki kiajabu mjini Bujumbwe mwaka 1959. Jeshi la Ubelgiji lilisimamia kuangushwa kwa utawala wa Kitutsi ambao ulikuwa na umwagaji wa damu vibaya sana. Jeshi la Ubelgiji lililowasaidia Watutsi kuanzia mwaka 1912 sasa liliwasaidia Wahutu na ile chuki ya mwaka 1912 ya Wahutu wa kaskazini ilijitokeza na inasadikiwa kuwa Watutsi wapatao elfu kumi waliuawa na wengi wao wakakimbilia nchi jirani. Hivyo, Wahutu ndio wakawa watawala chini ya Kayibanda baada ya kusaidiwa na wakoloni wa Kibalgiji kuwaweka madarakani”, Padri Karangwa alieleza.

“Kwa nini baada ya hapo vitambulisho viliendelea, si Wahutu wangeachana navyo sasa maana vilikuwa vinawabagua?”, Willy alitaka kujua.

“Hapana, mambo sasa yaligeuka; Wahutu sasa ndio walikuwa watawala. Hivyo, wakaanza kuwanyanyasa Watutsi. Na vitambulisho hivyo hivyo vilivyowasaidia Wahutu kuwatambua Watutsi na kuwabagua, hata Watutsi wengine wakabadili vitambulisho vyao na kujiita Wahutu maana sasa kibao kilikuwa kimewageukia. Ingawaje Watutsi ndio waliokuwa wamesoma lakini sasa walibaguliwa na Wahutu waliokuwa hawana kisomo maana ndio waliochukua madaraka serikalini. Elimju yote sasa ilitolewa kwa wahutu na Watutsi wakabaki kuangaika na kunyanyaswa. Wengi wao wakaanza kukimbia. Kwa vile jeshi asilimia kubwa lilibaki la Kibelgiji hivyo hakuna kitu ambacho Watutsi wangefanya. Ingawaje Watutsi waliokimbia walijaribu kuishambulia Rwanda kwa kuunda jeshi la msituni lakini hawakufua dafu. Jeshi zaidi la kuongeza nguvu liliitwa mara moja toka Ubelgiji kuja kutokomeza maasi mara uvamizi wa kitutsi ulipoanza. Kwa hiyo, katika miaka yote ya sitini hali iliendelea kuwa ya wasiwasi nchini Rwanda huku watutsi wakiendelea kuuwawa na kunyanyaswa”,

“Ilikuwaje Habyarimana akafanya mapinduzi, maana yeye ni Mhutu na utawala ulikuwa Wakihutu? ” Willy aliuliza.

“Swali zuri,” Padri Karangwa alijibu na kisha akaendelea, “Serikali ya Kayibanda ilianza kuishiwa mbinu na Wabelgiji wakaanza kuichoka maana sasa ilikuwa inakuwepo kwa sababu ya ukabila tu. Mnamo mwaka 1973 Kayibanda akafanya makosa. Kwa vile Watutsi walikuwa wamenyimwa nafasi yoyote katika serikali, kibiashara na sehemu zingine zozote, sehemu waloyokimbilia ilikuwa ni ndani ya kanisa. Hivyo, Seminari nyingi zilijaa Watutsi pamoja na vyuo vikuu ambavyo viliitwa vyuo vya Watutsi. Kwa hiyo, mwaka 1973 ili kuwaondoa Watutsi katika vyombo vyote vya elimu, serikali ilianza kushambulia seminari, shule na vyuo vikuu. Kwa vile vyombo vyote vya elimu vilikuwa mikononi mwa kanisa katoliki Askofun wa kanisa katoliki akaanza kupiga makelele na kulaani serikali. Hata hivyo, huyu Kayibanda kabla ya kushika madaraka alikuwa katibu wa  Askofu huyu na alikuwa akiwaunga mkono wahutu. Hapo ndipo Wabelgiji tena wakapata nafasi na kumtumia Meja Generali Habyarimana kufanya mapinduzi na kumtoa rais Kayibanda.Haybarimana alikuwa Mhutu wa kaskazini na Kayibanda wa kusini. Utawala wake ulipokelewa kwa shangwa na Watutsi na Wahutu ukifikiriwa utakuwa utawala wa haki na usawa lakini hali haikuwa hivyo, badala ya kuwa na mgawanyiko wa Watutsi na Wahutu mambo yalizidi. Sasa kukawa na upendeleo kwa Wahutu wa kaskazini na kuwabagua Watutsi na Wahutu wa kati na kusini. Ndiyo sababu Wahutu wenye siasa ya wastani waliuawa katika mauaji ya aprili wakiwamo wanasiasa, wafanyakazi wa serikali na wafanyabiashara, wote walikuwa wa kusini. hivyo, kufika wakati wa sasa sera ya gawa nitawale iliendelea katika Rwanda.”

“Maelezo yako toka mwanzo yameonyesha kuwa Wahutu na Watutsi kama watu hawakuwa na tatizo kati yao. Wamekuwa wakitumiwa na watawala wa kikoloni na watawala wa kizalendo ambao wamekuwa wakiwachonganisha ili wakosane na kwa kukosana kwao wao wafaidike,” Willy alieleza.

“Haswa, ndiyo sababu nimeeleza yote haya uweze kulielewa tatizo la Rwanda. Tatizo letu si ukabila, tatizo letu ni uongozi.”

“Sasa nini kilifanya hali ifikie mauaji, kama ni tatizo la uongozi nchi nyingi za Kiafrika zina tatizo hilo. Na kama ni kutumiwa na mataifa ya nje nchi nyingi zinatumiwa hivyohivyo, mauaji kama haya ni ya pekee katika dunia, hayana mfano,” Willy alimuuliza Padri Sibomana ambaye alikuwa akisikiliza kwa muda mrefu bila kusema kitu.

“Nafikiri hilo swali lako ndilo kila mtu anajiuliza, maana mauaji haya tuliyo yashuudia hayana mfano, hata ya Hitler yalichukua muda mrefu maana vita vilipiganwa kwa miaka, lakini mauaji haya yanashinda fikra kwani yalianza dakika chache tu baada ya kufa Rais na kusambaa nchi nzima utafikiri moto wa petroli,” Padri Sibomana alisema.

“Wakati wa Habyarimana kulijitokeza kikundi kidogo cha watu kilichomzunguka ambacho ndicho kilichokuwa kinafaidika na utawala wake. Kikundi hiki kilikuwa cha watu wa kaskazini kutoka sehemu za Gisenyi na Ruhengeri nacho kilijulikana kwa jina la Akazu. Kikundi hiki kilijilimbikizia mali na madaraka, kilijenga ngome ya kukizunguka na hakuna kikundi kingine kilichoweza kupenya ngome hiyo. Hivyo, ili Rais na kikundi hiki waweze kuendelea kujilimbikizia mali na madaraka kilihakikisha kuwa hakuna biashara wala nafasi ya uongozi inayoweza kupatikana mahali popote bila kikundi hicho kutoa ruksa. Kikundi hiki kilikuwa cha Wahutu. Hivyo, uhalali wa serikali ulipoanza kushitukiwa, kwa vile kikundi hiki cha Akazu kilikuwa kimejilimbikizia mali nyingi, kilianza kuitumia mali hii na ya serikali kujenga jeshi lake, redio yake, magazeti na kutumia vyombo hivi kuwachochea Wahutu, ambao ndio wengi, wawachukie Watutsi ambao sasa walikuwa wanausaili uhalali wa serikali hii wakiwemo Wahutu wapendao amani na usawa ambao waliitwa Wahutu wenye msimamo wa wastani. Kufikia mwaka 1990 kulikuwa hakuna Mtutsi mwenye madaraka katika serikali, kwa mfano kati ya wakuu wa mikoa kumi na moja hakukuwa na Mtutsi hata mmoja; kati ya vyeo 143 vya juu serikalini hakukuwa na Mtutsi hata mmoja; kati ya mabalozi wote walioteuliwa kwenda nje Mtutsi alikuwa mmoja tu. Na kati ya wabunge sabini, ni watutsi wawili tu waliokuwa wabunge. Katika jeshi walihakikisha hakuna Mtutsi na hasa jeshi la kumlinda Rais lote lilikuwa na Wahutu na Wahutu hao vilevile walikuwa ni ama ndugu za Rais au wa mkewe”, Padri Karangwa alieleza.

“Sijaelewa vizuri jinsi hali hii ilivyoashiria kufikia mauaiji yaliyotokea”, Willy alisema huku akionyesha sasa kuwa makini zaidi.

“Huku ndiko ninakokwenda. Hawa Akazu pamoja na familia ya Rais walifikia kujiita miungu wadogo. Walifanya kila walichotaka. Kuna habari za kuaminika kuwa kuna Mzungu mmoja rafiki yake sana na Rais ambaye alikuwa anawatengenezea fedha kwa maana ya kuchapisha na wao wanamlipa mazao kama kahawa kwa bei yake, na mazao mengine yoyote aliyohitaji; na pia kuna tetesi kuwa hata bangi ililimwa na watu hawa na kusambazwa na huyu Mzungu. Kusema kweli, hawa watu walitajirika kuzidi kiasi na wakajisahau kabisa. Ili kubaki katika hali hii kama nilivyosema mwanzo, ilibidi sasa wachochee ukabila. Walikuwa wameshafilisika kisiasa, uhali wa utawala ulikuwa hauna msimamo tena. Hivyo, kimbilio lilikuwa ni ukabila na kuhakikisha Wahutu wananufaika na utawala, na ilikuwa ni rahisi sana kuwachochea na kufanya lolote ambalo viongozi wao wa Kihutu walitaka wafanye. Uchochezi wa Wahutu ulizidi kuanzia mwaka 1988 baada ya kongamano la Watutsi lililofanyika Washington D.C Marekani na kuamua kuiondoa serikali tawala madarakani. Mkutano huo pia ulihuhudhuliwa na Wahutu ambao walikuwa wakipinga mwenendo wa serikali tawala. Haja ya wakimbizi wa Kitutsi kurudi nyumbani kwa njia yoyote ile ndiyo ilikuwa msukumo wa kongamano hili huku Marekani, kwani Rais alikuwa akieleza kuwa wakimbizi hawana haki tena ya kurudi Rwanda kwa kuwa nchi ilikuwa ndogo mno na isingeweza kuwapokea tena”. Padri Karangwa alinyamaza kidogo na kuchukua glasi ya maji.

Padri Sibomana akatumia wakati huu kumkata kauli kidogo. akasema, “Padri alilisahau swala la wakimbizi wa Kibanyarwanda Uganda, maana hili lina uhusiano mkubwa mno na hali hii yote anayoieleza”.
“Bila shaka Padri Sibomana, nilikuwa bado niendelee huko ila kwanza nilitaka kuonyesha mshikamano wa Wahutu ulikuwaje”, Padri Karangwa alijibu.

“Sawa Padri, endelea”, Padri Sibomana aliafiki.

“Kama alivyo kumbusha Padri Sibomana, wakimbizi wengi walijiunga na jeshi la NRA la Uganda katika miaka ya themanini. Hao walimsaidia Rais wa sasa wa Uganda kuchukua madaraka. Kwa kawaida, wakimbizi mara kwa mara hujiingiza kiurahisi jeshini kuliko kukaa bure na hii vile vile huwapa tamaa ya kutafuta njia za kijeshi kurudi kwao. Na hivi ndivyo ilivyokuwa kwa wakimbizi wa Kibanyarwanda waliokuwa Uganda, wengi wao wakiwa Watutsi na Wahutu wachache. Makamanda wengi wan NRA walikuwa wakimbizi wa Kibanyarwanda. Baada ya kushika madaraka Uganda ubaguzi ulianza wa wakimbizi wa Kinyarwanda Uganda. Waliwapinga hasa waliokuwa wapinzani wa serikali na raia wa kawaida wa Kiganda waliona  hawa wakimbizi kama wanaokuja kuwanyang`anya haki zao kwa vile walikuwa wakishika vyeo vya juu katika jeshi la NRA ambali sasa ndilo lililokuwa likitawala Uganda. Ilikuwa ni hali hii na nia ya kurudi kwao kwa hali yoyote sasa, iliyo ashiria kuzaliwa kwa RPF. Hivyo makamanda wa Kinyarwanda walikuwa NRA sasa waliamia RPF.

“Inasemekana Rais wa Uganda, ili asiwe na matatizo nyumbani kwake kwa sababu nilizozisema hapo juu, alikuwa msukumo mkubwa wa kuisaidia RPF ili wakimbizi hawa walazimishe kurudi kwao kwa kutumia nguvu za kijeshi. Kutokana na hali hii mnamo tarehe 1 oktoba 1990 watoto wa wakimbizi wa Kinyarwanda, ambao walikuwa wapiganaji wa NRA, walikusanyika kusini- magharibi mwa Uganda na siku hiyo ya tarehe moja wakaivamia Rwanda. Ingawa hawakufanikiwa, lakini nguvu yao ilifahamika na kusababisha kiwewe kwa utawala wa Rwanda, na hapa ndipo mipigano ya kuwaangamiza Watutsi wote na Wahutu waliokuwa wanaunga mkono jitihada za Watutsi ilipoanza kupangwa na Akazu. Kama nilivyosema hapo mwanzo ili uchochezi kwa Wahutu dhidi ya Watutsi upate kufanikiwa, kundi lililokuwa linafaidika na utawala huu liliunda jeshi lake lililoitwa Interahamwe. Interahamwe maana yake ni “wale wanaovamia na kupigana pamoja”. Jeshi hili liliundwa toka sehemu mbali mbali nchi nzima na kufundishwa na kikosi maalumu cha Rais kataka kambi za Gabiro na Bigongwe, na wote waliochaguliwa walikuwa Wahutu isipokuwa kamanda wao alikuwa Mtutsi ambaye baba yake alikuwa amechukua kitambulisho cha Kihutu. Wengi wa Interahamwe walikuwa ni vijana ambao walikuwa hawana kazi, Wakipewa vinywaji na pesa wakifundishwa kuwachukia Watutsi na kufanya maasi ya aina yoyote ile tokea kubaka, kunyang`anya mpaka kuua. Wizara ya ulinzi ndiyo iliyotoa silaha na kutoa sehemu za kufanyia mafunzo ingawa Interahamwe ilibaki mali ya Akazu na cha tawala. Vilevile wakimbizi wa Kirundi nao walichukuliwa na kuingizwa katika jeshi hili Iterahamwe. Inasemekana kuwa hawa wakimbizi wa Kirundi, ambao ni Wahutu, walikuwa wakatili zaidi kuliko hata wenzao wa Rwanda. Wakuu wa Interahamwe hawakuishia hapo tu bali walienda mpaka Goma, Zaire, ambako nako walichukua askari wa kujiunga na Interahamwe. Wazaire waliochukuliwa ni wale wenye asili ya Kihutu lakini Wazaire wanye asili ya kitutsi kwa jina la Wabanyamulenge, wao walikataa kwani wao walikuwa wanaunga mkono harakati za RPF.

“Hawa Interahamwe walikuwa wengi kiasi gani?” Willy aliuliza.

“Hata kufikia tarehe 6 aprili na baada ya kifo cha Rais na mauaji kuanza inasemekana kwamba kila Mhutu sasa alikuwa Interahamwe, lakini Interahamwe waliochukua mafunzo haswa walikuwa wamefikia kiasi cha elfu kumi.”

“Inasemekana yalifanyika mauaji mengi kwa silaha hafifu kama rungu, panga na kadhalika.Hii ni kwasababu haya marungu yaliweza kutengenezwa kienyeji na kwa urahisi au vipi?” Willy aliuliza.

“Hapana, marungu na mapanga haya yaliagizwa na kundi la Akazu kutoka China. marungu haya yalipendekezwa na Akazu kwani kila yalipotumiwa yalitoa maumivu ya ajabu kwa adui. Na inasemekana kuwa watu wengi walitoa pesa kununua kuuawa na risasi kuliko kustaimili kifo cha rungu. Marungu haya, kwa mfano yalianza kuingia Rwanda tokea januari 1993 yakipakuliwa toka Mombasa kupitia Nairobi na kuhifadhiwa kwenye maghala Kigali na Kibungo. Lakini, pamoja na marungu haya serikali ya Rwanda, kati ya mwaka 1992 na 1994, iliagiza silaha kubwa kubwa toka Ufaransa. Vile vile silaha zingine zilitoka Ulaya ya mashariki kupitia Zaire. Ufaransa, hata hivyo, ndiyo iliyokuwa mfadhili mkubwa wa siliha kwa serikali ya Rwanda. Inasemekana yule mzungu rafiki wa Rais na Akazu ndiye alipanga mipango yote ya uuzaji wa silaha kati ya Ufaransa na Rwanda. Inasemekanaq kuwa Mfaransa huyu ambaye pia alikuwa na uhusiano wa karibu na Ikulu ya Ufaransa alifikia kuwa mshauri mkuu wa Rais na ndiye aliyekuwa anamshauri Rais afanye nini, aseme nini na hata mauaji mengi inasemekana yalitokana na ushauri wake. Na kwa vile Rais na watu wake walitaka kutawala maisha, huyu mtu ambaye alikuwa akiwapa silaha za hali ya juu ili RPF isiweze kufurukuta, walimwonja kama Mungu, hata ndege ya Rais inasemekana ilitolewa kama zawadi nja mtu maarufu wa huko Ufaransa kwa mipango ya huyu mtu,” Padri Karangwa alieleza.

“Kwa hiyo mauaji haya ya Rwanda yalipangwa, na siyo kwamba yalitokea tu kwa bahati mbaya, kwa kuchukizwa na kifo cha Rais?” Willy aliendelea kumdadisi Padri.

“Bila shaka. Hili kundi la Akazu lilikuwa na vyombo vya propaganda vingi ambavyo vilisaidia kuingiza chuki kati ya Wahutu na Watutsi ili iwe rahisi kuwatumia Wahutu katika mpango wao wa kuwamaliza Watutsi ili waweze kutawala milele. Magazeti kama Kangura na Stesheni ya Redio ya RTLM vilikuwa vinamilikiwa na kundi hili. Gazeti hili lilianzishwa katikati ya mwaka 1990 na liliungwa mkono na chama tawala pamoja na Rais na familia yake huku likiongozwa na rafiki wa Rais. Vilevile lilikuwa likifadhiliwa na huyo Mfaransa. Kazi kubwa, kama nilivyo sema hapo awali , ilikuwa ni kuchochea chuki kati ya Wahutu na Watutsi, huku radio hiyo na gazeti hilo vikiwahamasisha Wahutu wajiweke tayari kuwashambulia na kuwavamia Watutsi ambao kila wakati liliwasema kuwa wanataka kurudisha utawala wao wa kifalme, kila Mhutu amwue Mtutsi aliye karibu nae. Maneno makali kama haya ambayo yaliyotokea kila siku katika vyombo hivi yalikuwa ni chanzo kikubwa kwa mambo yaliyotokea kwanzia tarehe 6 Aprili alipouawa Rais,” Padri Karangwa alieleza.

“Naona saa zimeenda, tumezungumza sana maana sasa yapata saa tatu na nusu usiku. Lakini kabla hatujamaliza Padri hasa nani alimuua Rais?” Willy aliuliza.

Sura ya Padri alibadilika na kisha akauliza, “Unataka maoni yangu binafsi?”

“Ndiyo kwani kwa maoni yako kutokana na ulivyonieleza unaweza kuhisi, na hisia zako zinaweza kuwa sahihi,willy alijibu.

“Maoni yangu binafsi ni kwamba Rais aliuawa na Akazu. Ilipoonekana kuwa Rais alikuwa ameamua kutia sahihi ya makubaliano ya Arusha, hiki kikundi chake cha Akazu kikajua huu ndio utakuwa mwisho wao kufaidika. Hivyo wakaamua kumuua Rais ili katika machafuko hayo, waweze kupanga serikali mpya na kusimika utawala wao mpya ambao ungewahakikishia kuendelea kufaidi. Ukweli kuwa watu wake ndio waliomuua kwa kuogopa utawala wa kidemokrasia ambao ungefuata baada kutia saini makubaliano ya Arusha, ulijitokeza katika gazeti lao la Kangura, katika gazeti hilo ilitabiriwa kuwa Rais angeuawa na askari wa jeshi la Rwanda mnamo mwezi wa machi 1994 kufuatia kukubali kwake kusaini makubaliano ya Arusha. Gazeti hilo ambalo lilichapishwa mnamo mwezi wa Januari 1994 liliendelea kusema kuwa atakayemwua Rais atakuwa ni Mhutu. Na likasema kuwa waandishi wa gazeti hilo na rafiki zake na Rais huyo walimuasa asiweke saini makubaliano ya Arusha lakini ilionekana kuwa Rais alikuwa amebanwa sana na serikali zilizokuwa zikisuluisha mgogoro kiasi kuwa alikuwa hana msimamo. Hivyo, gazeti hilo katika toleo hilo, lilisema kuwa Rais atauawa na hapo ndipo vitatokea vita na damu nyingi itamwagika na jeshi la UNAMIR lisingeweza kufanya kitu. Lilizidi kumshauri Rais akatae kutia saini makubaliano hayo vinginevyo kifo chake hakitaepukika. Na yote yaliyoandikwa kwenye toleo hilo ndiyo yaliyotokea. Rais alipokubali tu kutia sahihi makubaliano ya Arusha basi hawa watu wake wakatimizi ahadi yao kwani wao ndio walioshika hatamu zote za serikali kuanzia utawala mpaka jeshini. Kwa hiyo, baada ya kusikia amekubali makubaliano ya Arusha basi walikiamurisha kikosi cha mizinga cha Kanombe, na ndege ya Rais ilipokuwa inakaribia kutua makombora matatu yalipigwa, mawili yakaipiga ndege; Rais na watu wote waliokuwemo, ikiwa pamoja na Rais wa Burundi, wakauawa. Akazu walipanga kuwa baada tu ya Rais kuuawa basi jeshi lao la Interahamwa lingeanza mauaji mara moja ya kuakikisha kuwa Watutsi wote pamoja na yeyote aliyekuwa anawaunga mkono anauawa. Mbinu hii ilikuwan ni kutaka RPF kukosa watu wa kuwaunga mkono ndani ya nchi hiyo na hivyo kushindwa vita. Lakina ya mungu mengi, mambo hayakwenda moja kwa moja kama walivyotarajia,” Padri Karangwa alieleza na kuchukua glasi ya maji na kunywa.

“Lo maelezo yako yameniingia vizuri na nafkiri kutokana na ulivyoeleza kweli Rais aliuawa na mfumo wake mwenyewe wa kung`ang`ania madaraka kwani hata wakati alipokuwa amefikia kubadili mawazo yake, mfumo wake  aliokuwa ameuweka haukumpa nafasi. Hivyo, ilibidi ummalize ili ubinafsi wa watu wake waliomzunguka uendelee,”m Willy alisema huku akiwa kama anajisemea mwenyewe.

“Watu ka nyinyi basi ndio mnaotakiwa mueneze habari hizi ili viongozi wengine wajue kuwa utawala wa mabavu, na wakung`ang`ania madaraka ili wewe tu ndio ufaidike una mwisho wake, na mwisho wake ni mbaya ata ufanyeje,”Padri Sibomana alidakia.

“Tutajitahidi kueleza ukweli huu,” Willy alijibu.

“Nafikiri itakuwa vizuri kesho kama ukipata nafasi uje nikuonyeshe mauaji yalivyo fanyika, uone ukatili usio kifani,”Padri karangwa alimweleza Willy.

“Nitajitahidi, lakini kwa vile nina shughuli nyingi inabidi nirudi haraka Arusha. Kama sitaweza kufika maelezo yako yanatosha. Na kabla basi sijaondoka nikuulize swali.”

“Uliza usiwe na wasiwasi, sisi tumefurahi kuwa nawe hapa wala hatuoni kama muda unaenda” Padri Karangwa alijibu.

“Unafikiri baada ya RPF kuchukua madaraka kutakuwa na maana na uelewano Rwanda? au niulize tena vingine baada ya haya mauaji ya kikatili dhidi ya Watutsi yalivyofanywa na Wahutu, unafikiri kutakuwa na uelewano kati ya makabila haya hata kama RPF itaweka utawala wa demokrasia?”

“Hilo swali gumu lakini nafikiri ndilo swali lenye maana kubwa sana. Uelewano kwa sasa utakuwa mgumu. Vidonda vya mauaji ya ndugu zao Kitutsi bado vibichi na kama binadamu lazima kutakuwa na kisasi, kwa hili tusijidanganye. Pili,  baada ya RPF kuchukua madaraka maelfu ya Wahutu wamekimbia ni wakimbizi huko Tanzania, Zaire, na nchi zinginezo. Kati ya hawa waliokimbia na hasa waliokimbilia Zaire, ni wale Interahamwe na wanajeshi wa serikali ya zamani. Kwa vyovyote, hawa nao wataanza kujikusanya na kuunda tena jeshi la kuja kuvamia tena Rwanda, na Serikali ya sasa haita kubali. Hivyo, vita vitaendelea na itaendelea kwa muda mrefu kama jumuiya ya kimataifa itaendelea kulipa kisogo swala hili la Rwanda. Tatu, miongoni mwa wakimbizi wanaoumia ni wanawake na watoto, na watoto hawa taabu watakazozipata huko watakuwa wanaelezwa kuwa ni sababu ya Watutsi ambao wamewafukuza nchini mwao na hivyo kujenga chuki tena. Watoto wa Kitutsi vilevile watakuwa wanaelezwa ndugu yako fulani aliuawa na Wahutu; na kwa vile kila familia iliathirika chuki hii itazidi kujengeka maradufu. Mimi maoni yangu ni kwa serikali ya RPF isilipize kisasi. Wakimbizi wote warudishwe nyumbani. Wale ambao wanajulikana kabisa ndio waliusika na kuongoza mauaji haya ya kikatili, wakamatwe kokote duniani waliko na wafikishwe maakamani. Kama dunia hii isivyokuwa na usawa, wale wote walioongoza mauaji haya kwa vile wana pesa tayari wapo nchi za nje wanakula starehe. Wanaohangaika sasa ni wanawake na watoto; hii si sawa. Lazima hawa watu wakamatwe hasa kundi la Akazu, wote wakamatwe wafikishwe maakamani,”Padri Karangwa alimalizia huku sasa machozi yakimlengalenga.

“Kwa kweli, hali ya nchi yetu hii itayumba kwa muda mrefu. Wote wanachotegemea sasa ni serikali ya RPF iweze kuwahamasisha wananchi waweze kusameheana ili tujenge taifa jipya. Nakubaliana na Padri Karangwa kuwa ili tukio kama hili lisitokee tena, wote waliohusika na kitendo hiki wafikishwe mbele ya maakama wahukumiwe na adhabu kali itolewe ili kitu kama hiki kisitokee tena popote duniani, maana ni kitu cha kutisha ambacho kinafanya akili isikubali kuwa binadamu anaweza kuwa katili na mharibifu namna hii kama ilivyotutokea sisi hapa. Hapa Willy, dunia isinyamaze mpaka hapo wote waliohusika wameadhibiwa,” Padri Sibomana alitoa maoni yake.

Huku akiinuka, Willy alishukuru na kusema, “kusema kweli sina maneno ya kuweza kueleza jinsi ninavyo shukuru kwani naweza kurudi Arusha kesho maana yote nimepata niliyotaka kujua kwenu na nimejifunza mengi, asante sana. Nipatapo nafasi nitawatembelea tena. Nikishindwa kuja kesho mara nyingine nitakuja kwa mapumziko. Asanteni sana, tena sana.”

“Nasi tunashukuru sana kwani kuja kwako kumetufariji kumbe kuwa huko duniani kuna watu wanaoyajali matatizo yetu yaliyotupata. Asante sana,” Padri Karangwa alimalizia, kisha wakamsindikiza Willy mpaka kwenye gari lake; akaondoka.
BIBIANE

Ilikuwa yapata saa nne usiku wakati Willy Gamba alipokuwa akielekea nyumbani kwa Col. Rwivanga, akitokea Centre Christus. Walikuwa wamekubaliana na Col. Rwivanga kuonana baada tu ya Willy kutoka kwa Mapadri. Wakati anakaribia kukata kona kuingia Barabara inayoingia sehemu ya Kimihurura ili aelekee nyumbani kwa Col. Rwivanga alipitwa na gari nyingine aina ya Landrover 110, lililokuwa likienda kasi sana na kama asingekuwa makini katika uendeshaji wangeweza kumgonga maana pamoja na kuonyesha ishara ya taa kuwa anahitaji kuingia kushoto lakini gari hilo lilipita kasi bila kujali ishara ya taa.

“Hawa wanajeshi ndio sababu hupata ajali mara kwa mara, uendeshaji wao ni wa ovyo sana”, Willy alijisemea moyoni na kisha akakata kushoto kuelekea nyumbani kwa Col. Rwivanga.

“Endesha kwa tahadhali Felician, tungeweza kumgonga yule mtu ikaleta balaa hata kabla hatujaanza kazi. Kazi yetu ni kummaliza Willy Gamba na wala si kugonga magari ya watu ovyo”, Xavier Nkubana alikaripia Felician.

Nkubana na wenzake waliwasili jioni ile mjini Kigali kwa ndege ya serikali ya Tanzania ambayo iliwasili na ujumbe wa Serikali ya Tanzania uliofika kuchunguza tukio la kulipuliwa kwa ndege ya Tanzania iliyokuwa inamilikiwa na Kampuni ya ndege ya Tanzaiar. Ndege hii iliwaleta maafisa kutoka idara ya usalama wa anga, mambo ya nje, polisi na waandishi wa habari. Nkubana na wenzake walifanyiwa mpango na kupanda ndege hii kama wafanyabiashara wa kinyarwanda waishio Tanzania walikuwa wakirudi nyumbani Rwanda kuangalia hali ya nchi ilivyo kwa wakati huu ili kama ikiwezekana waanzishe biashara tena kati ya Tanzania na Rwanda. Waliingia Rwanda bila tatizo lolote na kupokelewa vizuri na viongozi wa serikali ya Rwanda na kupelekwa kwenye Hoteli ya Des Mills Collines. Kwa vile walijulikana kama wafanyabiashara, baada ya kufikishwa hotelini waliachwa ili waendelee na mambo yao, na wale maofisa wa serikali ya Tanzania wakaanza kushugulikiwa na wenzao kuhusu mambo ya hotelina mambo mengine ya kiusalama.

Baada ya kuchukuwa vyumba na kuoga. Nkubana aliondoka na kuelekea nyumbani kwa Co. Gatabazi na kuwaacha wenzake wakipumzika, kwani ratiba yao ya kazi ilikuwa usiku ule ule. Ilikuwa yapata saa moja hivi Nkubana alipowasili nyumbani kwa Col. Gatabazi aliyekuwa akimsubiri.

“Karibu sana”, Col. Gatabazi alimkumbatia Nkubana kwani walikuwa hawajaonana kwa muda mrefu.

“Asante, naona mambo mazuri”, Nkubana alijibu.

“Mambo mazuri gani haya! Mambo yatakuwa mazuri baada ya sisi wenyewe kuchukuwa madaraka ya nchi hii. Kila siku nasikia uchungu moyoni kuona ‘Inyenzi’ inazidi kujiimalisha hapa. Lazima mambo yafanyike haraka kabla hawajajizatiti sawasawa, karibu ndani”, Col. Gatabazi alijibu huku akiwa ameushikilia mkono wa Nkubana kisha akamwongoza kuelekea sebuleni.

“Utakunywa nini?”, Col. Gatabazi alimuuliza.

“Nipe chai kama ipo”.

“Tena na mimi sasa hivi nilikuwa nakunywa chai”, Col. Gatabazi alijibu na kwenda kuchukuwa chupa ya chai na vikombe viwili vya chai, wakakaa mezani pale sebuleni.

“Karibu”.

“Asante sana”. Nkubana alichukua kikombe chenye chai na kuanza kunywa.

“Ehee, hamkupata tatizo lolote?”.

“Wewe unacheza na mipango ya JKS nini?, atakapokuwa Rais wa Tanzania na wewe hapa mbona tutakula kuku mpaka tuchoke! Tumekuja kwa heshima zote na kupokelewa na ‘Inyenzi’, na kutupeleka mpaka hotelini. Wangeweza hata kutulipia hoteli lakini sisi tumekataa maana tumekuja kama wafanyabiashara hivyo ni vizuri kujitegemea”, Nkubana alijibu.

“Vijana wako katika hali nzuri?”.

“Wako na moto kama nini, maana wanataka kumaliza kazi usiku huuhuu, na baada ya hapa tunaelekea Bukavu tukasaidie kupanga mapambano dhidi ya ‘Inyenzi’, JKS ametueleza mipango yote nasi tumeafiki”.

“Hiyo safi, lakini kwanza mambo ya hapa. Huyu Willy Gamba ni mtu hatari kabisa. Inabidi tumfanyie mkakati mzuri. Siyo mtu wa kawaida”, Col. Gatabazi alieleza lakini kabla hajajendelea Nkubana alimkata kauli.

“Yaani huna maana sisi watu watano ambao ni sawa na jeshi zima la askari shupavu, bado una wasiwasi? Hivi umesahau kuwa sisi ni makomandoo, tupe mipango tujuwe yuko wapi, kazi ingine tuachie sisi wenyewe”, Nkubana alijigamba.

“Imebidi nikutahadharishe kwanza, msije mkamwendea kwa pupa. Ni lazima tupange mipango mathubuti. Inabidi kwanza kueleza nyendo zake kutokana na upelelezi niliofanya toka mambo yaliyotokea juzi usiku”, Col. Gatabazi alijibu.

“Sawa endele”, Nkubana alijibu huku akionyesha kuwa Col. Gatabazi alikuwa anazidi kupoteza muda kwani anaamini hakuna mtu. Hata awe wa uwezo wa aaina gani asingeweza kutamba mbele ya kikosi chake.

Nkubana alikuwa kati ya askari waliopatiwa mafunzo ya kijeshi na kijasusi kwa pamoja. Alikuwa na cheo cha Meja Jeshini lakini aliingia hata katika kambi za RPF huko Uganda na kuchukuwa habari na ndiye ambaye mara nyingi aliifanya RPF isifanikiwe katika mashambulizi yake kwani yalijulikana mapema. Inasemekana mauaji yote yaliyofanywa kwa watu na wanajeshi waliokuwa wakitoa habari kwa RPF yalifanywa na yeye. Alikuwa jasiri na shupavu lakini uso wake kila siku utadhani wa padri hata namna yake ya kusema akiwa na watu wa kawaida. Pia inasemekana kuwa ‘Akazu’ walimchagua kufuatilia maofisa ambao baadaye waliwafundisha Intarahamwe, na kuwapa amri kumi ili wazieneze kwa Wahutu. Mhutu yeyote ambaye asingezifuata na kuzitekeleza basi auawe hapohapo.
Na hizi amri kumi za Wahutu zilikuwa kama ifuatavyo.

1. Kila Mhutu ajue kuwa mwanamke wa Kitutsi kokote aliko, yuko kwa manufaa ya watutsi. Kwa       hiyo mtu yeyote atakayeoa, kufanya urafiki au kumwajiri mwanamke wa Kitutsi kama mfanyakazi wake au mkewe basi Mhutu huyo ni msaliti, lazima auawe.

2. Kila Mhutu ajue kuwa ni mwanamke wa Kihutu tu anjayefaa kama mke, kama rafiki na kama mfanyakazi wake ofisini.

3. Wanawake wote wa Kihutu lazima wewe imara na wawahamasishe waume zao, kaka zao na watoto wao wa kiume kumchukia Mtutsi.

4. Kila Mhutu lazima ajue kuwa Mtutsi yeyote si mwaminifu katika biashara. Hivyo, Mhutu anayefanya biashara na Mtutsi, anayewekeza fedha zake au za serikali katika kampuni za Kitutsi, anayekopesha ama kukopa kwa Mtutsi, anayewasaidia wafanyabiashara wa Kitutsi ni msaliti, anatakiwa kuuawa.

5. Kazi zote za juu katika siasa, utawala, uchumi, jeshi na usalama lazima wapewe Wahutu.

6. Katika sekta ya elimu (walimu, watoto wa shule na nguo), lazima wengi wawe Wahutu.

7. Jjeshi la Rwanda liwe kwa Wahutu tu. Na mwanajeshi haruhusiwi kuona Mtutsi.

8. Wahutu waache kuwaonea huruma Watutsi, unyama unyama tu dhidi ya Watutsi.

9. Wahutu popote walipo duniani lazima wawe na umoja kwa kila njia na wajaribu kuzima propaganda za Watutsi na kuungana katika kuwaangamiza Watutsi.

10. Mapinduzi ya kijani ya mwaka 1959 na itikadi za Kihutu lazima zifundishwe kwa kila Mhutu. Na Mhutu yeyote anayemwonea Mhutu mwenzake kwa kueneza itikadi hizi basi huyo Mhutu auawe, maana ni msaliti.

Kwa kutumia askari wa vikosi alivyovifundisha Nkubana alihakikisha kuwa amri hizi zinatekelezwa na zinachochea chuki ya Wahutu dhidi ya Watutsi kama alivyoagizwa na Akazu.

Huyu ndiye Nkubana, mtu jasiri, aliyehitimu katika shule mbalimbali za kijeshi, kijasusi na kikomandoo ulimwenguni, lakini mafunzo yake yote yalikuwa ya dhamira moja tu, ya kuhakikisha kuwa utawala wa Kihutu uliokuwa madarakani unaendelea kutawala milele na milele kwa njia moja tu kuhakikisha Watutsi wote wanafyekwa ili wasiwepo tena duniani. Hivyo, kwake mtu yeyote aliyemuunga mkono Mtutsi lazima afe na yeyote aliyesaidia Mhutu basi yeye Nkubana alimsaidia kwa lolote. Hivyo ndivyo walivyoweza kuelewana na kundi la Jean kwani lilikuwa upande wa Akazu. Na habari za Willy Gamba kuwa alikuwa anajaribu kuharibu mipango ya Wahutu kurudi madarakani, zilimuudhi sana na kusikia hasira isiyo kifani dhidi ya Willy Gamba.

“Lazima usiku huu huu afe”, Nkubana alijishitukia amesema kwa hasira hata Col. Gatabazi aliyekuwa ameanza kueleza mipango akashituka. Akashtuka.

“Haya sasa endelea, huyu mtu ameniudhi sanasana, tayari hukumu yake ya kifo imeshapita”.

Col. Gatabazi ilibidi aanze upya kumpa mipango ya usiku ule kama walivyokuwa wamepanga na Jean na JKS.

Willy Gamba alimkuta Col. Rwivanga anakula chakula. Alipomuona Willy alionekana kufurahia “Nimekusubiri sana mpaka nikaamua bora niendelee na chakula maana ni zaidi ya saa nne sasa na unajuwa mimi nakula mara moja tu kwa siku, njaa ilikuwa inauma sana”, Col. Rwivanga alijitetea.

“Usijali Kamanda”, Willy alijibu huku akielekea jikoni kuchukua sahani na kisha akaketi kwenye meza pamoja na Col. Rwivanga na kupakuwa chakula.

“Hiki chote kilikuwa chako peke yako”, Willy alimkejeli Col. Rwivanga.

“Hapana, nilijuwa tu utanikuta nakula”, Col. Rwivanga alijibu huku akicheka. Willy alichota kijiko cha kwanza na kukitia mdomoni, chakula kilikuwa wali na mchemsho wa nyama.

“Lo, mpishi ni wewe?”.

“Kwani vipi?”.

“Kitamu sana chakula hiki”, Willy alijibu.

“Wapi, na wewe una njaa vilevile, upishi wangu mimi ni mchemsho tu”.

“Hapana si njaa ila wali umepikwa vizuri na nyama ya mchemsho, napenda sana mimi”, Willy alieleza.

“Ehe vipi huko, umewakuta?”.

“Bwana nimewakuta wale mapadri na nimewekwa shule hasa, na sasa hivi naijua historia ya utawala wa nchi vizuri sana kuanzia kabla ya ukoloni”.

“Wacha bwana”.

“Nakuambia wale mapadri wanaijua nchi hii kuliko viganja vya mikono yao”, Willy alimweleza Col. Rwivanga, kisha akamgusia kwa muhtsari mambo muhimu aliyoelezwa.
“Kumbe hili swala la Akazu hata hawa wazee wanalifahamu sana?”, Col. Rwivanga aliuliza baada ya maelezo ya Willy.

“Sana, na wamesema bila hawa watu kukamatwa hakuwezi kuwa na amani katika nchi hii”.

“Hilo ni kweli kabisa na sisi tunalijua na ninafikiri ndio walio nyuma ya hili swala la kutaka kukuua maana hawa watu wana mahusiano dunia nzima na pesa nyingi. Hivyo, tunajua wanajipanga kuja kutuhujumu, hilo tunajua. Ila hatujui kwa sasa hivi wanafanya shughuli zao kutoka wapi. Nia yetu imekuwa ni kuimarisha serikali yetu, halafu ndipo tuangalie habari yao”, Col. Rwivanga alieleza.

“Ni sawa, lakini mimi nafikiri jambo hili mgelishughulikia sasa hivi wakati bado nao wamechanganyikiwa, lakini mkisubiri watakusanya nguvu halafu itakuwa shida tena”, Willy alishauri.

“Kutokana na matokeo ya siku hizi mbili nasi tumeshituka sana, maana inaonekana hawa watu bado wana watu ndani ya serikali yetu na wameanza kutuhujumu. Kama unavyosema, nasi tumeamua kulishughulikia mara moja swala hili na tutakuwa na mkutano na makamanda wote wa jeshi pamoja na baraza la mawaziri kesho saa moja na nusu asubuhi”, Col. Rwivanga alieleza.

“Hivyo itakuwa vizuri. Ingawaje mimi kazi iliyonileta haikuwa ya mapambano, lakini kwa sababu wao ndio wamenianza na mimi naomba ruksa yako unilinde mbele ya wakubwa wako, kwani nataka nami kwa kiasi fulani nijuwe habari ya watu hawa na vipi wameamua kutaka kuniangamiza. La maana hasa nataka nijuwe nani hasa anahusika na kutaka kuniua mimi. Hilo Col. Rwivanga ningependa sana unipe hiyo nafasi nifanye kazi yangu”, Willy alijieleza.

“Ni sawa lakini tungeomba na sisi utufahamishe kila hatua unachofanya ili tuweze kukusaidia itakapobidi kwani ukweli ni kuwa kazi hii ni yetu na wala si yako”, Col. Rwivanga alijibu.

“Asante Col. Rwivanga. Vipi yule msichana wa jana usiku, Bibiane umepata habari zake?”.

“Ahaa, ndio nilikuwa nakusubiri nikueleze. Hivi usingewahi ungenikuta nimeshaenda kumfuata. Huyu msichana inasemekana ni mkalimani, anajuwa lugha kama nane hivi na amekuwa akifanya kazi serikalini kama mkalimani hivyo, alikuwa akisafiri na Rais au mawaziri ama maafisa wakubwa wa serikali wanaposafiri nje ya nchi na vilevile ndiye aliyekuwa mkalimani wa serikali kama wageni wasiojuwa kifaransa wakija nchini hapa. Inasemekana wakati wa mauaji yeye hakuwepo. Alikuwa Nairobi, lakini ni kati ya watu wa kwanza kabisa kurudi na amekaa katika nyumba yake aliyokuwa akiishi toka zamani mtaa uleule wa Silas Biniga, lakini nyumba ya nne mbele kwenye kona watu wamekuwa hawana wasiwasi nae kwani inasemekana ana asili ya Kitutsi ingawa ni chotara na uzuri wake watu wengi wameuchukulia tu kuwa huenda ni chakula ya wazee. Kwa hivyo hakuna ambaye amediliki kumgusa. Hivyo nataka nikajuwe habari zake”, Col. Rwivanga alieleza.

“Hapana, usiende wewe, maana wewe ni afisa wa ngazi za juu na unajulikana hapa la pili wewe ni mwanajeshi. Kazi hii ni ya mpelelezi kama mimi. Tatu, nina kisasi naye. Naomba uniachie, usiku huu lazima nitapambana naye kama bado yuko hapa mjini na nitakujulisha habari zake baadae”.

“Sawa Willy, kazi kwako, mzee naye alinieleza ndio zako hizo ikibidi msichana au mrembo”.

“Zamani siyo sasa, sasa nimestaafu maana nimeoa lakini kwa msichana kama yule ambaye hatishiki na mtu kuuawa, nataka mimi mwenyewe nijuwe habari zake. Habari ulizonazo ni kwamba bado yuko mjini?”.

“Jioni hii ameonekana akiendesha gari lake aina ya MB 190E. Na hilo ni gari lake hata kabla ya mauaji na kabla sisi hatujaingia hapa. La ajabu si sisi wala si Intarahamwe aliyegusa gari lake, ni jambo la kushangaza na limefanya nitaka kujuwa huyu binti vipi mambo yake”.

“Basi niachie maMBO yake utayapata. Si bure huyU binti ni mtu hatari, na hatari sana”.

Baada ya Col. Gatabazi kumwelezea mipango yote kama walivyokuwa wamepanga na Jean, Nkubana aliomba gari ili akawachukuwe wenzake na kuanza kazi ya kumsaka Willy. Col. Gatabazi aliwapa gari aina ya Landrover 110 ya Jeshi ambayo hutumika kwa ajili ya wageni wa Serikali. Kwa sababu ya kazi maalum iliyokuwa ikiwakabili, kutokana na unyeti wa kazi hiyo, Col. Gatabazi aliwaachia gari hilo waendeshe wenyewe. Nkubana alikwenda, moja kwa moja akawaamsha wenzake, baada ya mazoezi makali, walioga na kupata chakula pale hotelini, kisha wakaanza kazi ya kupeleleza habari za Willy Gamba.

Kutokana na maelezo waliyokuwa wamepewa na Col. Gatabazi, mara moja walijua kuwa Willy yuko Meridien Hoteli, mara baada ya kupata namba ya chumba chake cha kulala waliamua kwanza wakafanye shughuli nyingine ili wasubiri wakati mzuri wa kupambana na Willy Gamba ambaye pia walikuwa wakimhofia kwa kiasi fulani.

Baada ya kupanga vyema mipango yao ya kuhakikisha wanamuua Willy Gamba usiku huo. Walirudi hotelini wakapata kinywaji kidogo kwa ajili ya kujiweka safi. Ilipotimia saa nne hivi usiku wakaamua kwenda kwa wote kwa Col. Gatabazi kwa ajili ya mikakati ya ziada. Ni wakati huo walipokuwa wakielekea kwa Col. Gatabazi ndipo walipokaribia kuligonga gari la Willy Gamba bila wao kujuwa kuwa ndiye mtu anayepanga kumuangamiza usiku huo.

Kwa kasi ileile, gari hilo liliingia nyumbani kwa Col. Gatabazi, aliyekuwa nje ya nyumba yake akitafakari jinsi Willy alivyokuwa akiwanyima usingizi. alipowaona akawapokea kwa tabasamu kisha akawaongoza hadi kwenye sebule ya nyumba yake.

“Vipi mmepata habari zozote kuhusu Willy Gamba?”, Col. Gatabazi aliwauliza baada tu ya kuketi kwenye makochi.

“Habari za Willy zote tunazo, huyo tutaanza biashara yake, atakuwa marehemu baada ya saa sita usiku”, Nkubana alijibu kwa majidai na kujiamini.
“Nasema tena lazima muwe makini sana, huyo mtu ni hatari sana, na amri ni kwamba mara hii isishindikane, akionekana tu ua mara moja”, Col. Gatabazi alisisitiza.

“Col. tafadhali usitutishe na huyo mtu wako, atakuwa hatari gari mbele yetu! Vipi una matatizo nini Col. Gatabazi?”, Nkubana alijibu kwa mshangao huku vijana wake wote wanne wakicheka kwa dharau.

“Acha wasiwasi mzee, kazi ya Willy hesabu imeisha, amezoea kucheza na wafanzi leo atakutana na waalimu wa kazi”, Felician alimhakikishia Col. Gatabazi.

“Ehe, Bibiane umemtaarifu kuwa tutakwenda nyumbani kwake leo?”, Nkubana aliuliza.

“Bibiane ana taarifa zenu, na wakati ndio huu, twendeni basi mara moja, hiyo gari acheni hapa maana anakaa ileile nyumba yake”, Col. Gatabazi alijibu.

“Ahaa, kweli gari tuache tu hapa, tutalipitia wakati wa kwenda mjini”, Felician alijibu.

“Haya twendeni anatusubiri, lakini mjuwe kutokana na mipango ilivyo mimi nitawaacha pale nyinyi mtaendelea nae”, Col. Gatabazi aliwaelza.

“Sawa hamna tabu”, wote walijibu kwa pamoja na kuondoka kuelekea kwa Bibiane.

Wakati Willy anafika nyumbani kwa Bibiane. Col. Gatabazi alikuwa akifunguliwa lango la mbele nyumba hiyo akatoka na kuondoka akihofia matatizo aliyokumbana nayo kwa Luteni Biniga. Willy alichukuwa hadhari kubwa sana maana alichukuwa vifaa vya kazi si mchezo. Kwa vile nyumba ya Bibiane ilikuwa kwenye kona ya barabara mbili, Willy alibana kwenye kona moja na kuchungulia mbele ya nyumba na kuona lango likifunguliwa. Alimuona mtu mmoja akitoka na kukatisha barabara na kuelekea kwenye uchochoro na kutokomea. Willy alirudi nyuma kidogo na kuhisi kuwa sehemu ile ndiyo ilikuwa nyuma ya nyumba hii. Kwa hadhari sana alikwea ukuta uliozungishiwa vyuma vilivyochongoka juu. Kwa vile Col. Rwivanga alimweleza kuhusu hilo. Willy alikuwa amejitayarisha vizuri kabisa kwa lolote. Alikwea na kuchungulia ndani, baada ya kuangaza vizuri macho yake aliweza kuona kivuli cha mtu amebana kwenye ukuta wa nyumba hii karibu na upande wa pale alipokuwa yeye. Mtu huyu alikuwa amebeba bunduki kubwa. Hivyo, Willy alihisi ni mlinzi wa pale nyumbani.

Baada ya muda kidogo, Willy alimuona mtu mwingine anakuja akitokea upande wa mbele kuja upande huu ambao huyu mwingine alikuwa amebana. Willy alijining’iniza juu ya ukuta kwa nje ili asionekane huku macho yake yakiwa usawa wa ukuta. Yule mtu alikuja moja kwa moja mpaka usawa wa yule mwingine alipokuwa amesimama.

“Unataka sigara?”, yule aliyekuja eneo hilo alimuuliza mwenzake.

“Sitaki, hao jamaa ndani si wamalize mambo yao haraka ili waondoke na sisi twende zetu, maana hapa tunapoteza muda na huku kazi yenyewe bado”, yule wa pili ajibu.

“Mbona kama una wasiwasi, vipi unaogopa?”.

“Kwanini nisiogope, mimi si binadamu bwana?”.

“Acha woga wewe, wajuwa Kaisari alisema watu waoga mara nyingi hufa kabla ya tarehe ya vifo vyao kufika, komaa mtoto wa kiume”, mwenzake alisema kwa kujiamini.

“Bwana, hebu nenda kalinde sehemu yako na umwambie huyo Nkubana aharakishe kutoka sehemu hii”.

Baada ya kuelezwa, yule mtu aliyekuja sehemu hii kutoka mbele aliondoka kimyakimya kurudi kule alikotoka huku mwenzake akimsindikiza. Willy akatumia nafasi hiyo. Kama tumbili aliukwea ule ukuta haraka sana. Kufumba na kufumbua akaruka juu ya vile vyuma na kujitosa ndani bila hata kusababisha kishindo na kujibanza kwenye ukuta. Kwa vile Willy alikuwa amevaa nguo nyeusi pale alipokuwa amejibanza ilibidi umsogelee karibu sana ndipo uweze kumtambua maana upande huu wa nyumba hapakuwa na mwanga. Mara akamsikia yule mlinzi akirudi upande wake, kutokana na mazungumzo aliyokuwa ameyasikia alihisi hawa nao bila shaka walikuwa kundi lilelile kama alilopambana nalo kwa Luteni Biniga. Bila shaka walikuwa wamekuja kwa malipo kwa huyu mwanamke. Willy alijitayarisha na kujibanza kwenye ukuta utafikiri buibui. Yule mtu alikuja akinyata taratibu utafikiri alikuwa amehisi kitu. Willy alikuwa amebana kwenye kona kabisa ya upande wa pili wa nyumba. Huyu mtu alipofika hapo tu, kama Simba anapomrukia Swala, Willy alimtia kabali kwa nguvu zake zote. Yule mtu hakuweza hata kuguna maana kabali ile ilikuwa kali, na huku akitumia utaalam kumuua kimyakimya kwa kumnyonga, Willy alimuua yule mtu. Kisha, alimvuta mpaka kwenye ua wa nyumba na kumvua shati, akavua lake na kuvaa la yule mtu kwani ukubwa wa mwili na urefu walikuwa wanalingana. Akatwaa silaha yake ya AK 47 ‘Machinegun’ ya Kirusi na kuelekea mbele.

Alipofika kwenye kona ya mbele, Willy alimuona yule mtu mwingine akichungulia dirishani, si mbali na aliposimama Willy. Willy alikohoa kidogo na yule mtu akageuka kuangalia. Alionyesha ishala ya kumwita. Na yule, akijuwa fika kuwa alikuwa mwenzake, alikuja haraka bila hadhari. Alipokaribia, na kwa ajili ya giza aliamini ni yule mwenzake, alianza kusema, “Huko ndani naona mambo yanaa…”, kabla hajamalizia sentesi yake, Willy alimrukia na kumpiga karate ya shingo na kumuua palepale. Alianguka chini kwa kishindo, na Willy alipomrukia pale chini akammaliza. Baada ya Willy kumkagua alimkuta na Bastola mbili, moja yenye kiwambo cha sauti na nyingine ya kawaida. Vilevile alimkuta na kisu ambacho ukikibonyeza kinachomoka na kutoka urefu wa nchi tisa. Kile kisu kilikuwa silaha hatari sana ikitokea watu wanapigana huku mmeshikana. Willy alijihisi mtu mwenye bahati kwani silaha kama hii kama ingebidi kumenyana bila kujuwa kuwa mtu anayo anakuondoa duniani haraka sana.

Sasa Willy alikimbia mbele kuangalia kama kulikuwa na mtu mwingine, lakini hakukuwa na kitu. Alipozunguka upande mwingine tena hakuna kitu. Kisha akachukua dakika chache kuhakikisha kuwa hakuna hatari nyingine, na alipohakikisha ndipo alipokwenda pale dirishani alipokuwa anachungulia yule mtu wa pili. Dirisha lile lilikuwa sebuleni na lilikuwa wazi kidiogo. Pazia la dirisha lilikuwa limerudishiwa kidogo kiasi kwamba ungeweza kuona ndani na kusikia maneno yote yaliyokuwa yanazungumzwa.
Willy alishangazwa kuwaona wanaume watatu na mwanamke mmoja ambaye mara moja alimtambua kwani alikuwa Bibiane. Hawa wanaume wote walikuwa wametoa Bastola zao wakizungumza na yule mwanamke. Wawili walikuwa wamesimama na mmoja ameketi kwenye kiti kilichokuwa kinaangaliana uso kwa uso na alichoketi Bibiane.

“Nakwambia hivi, sisi tumetumwa kuja kukuua na huyo huyo bwanako Jean. Faida yako kwake imesisha sasa wewe ni mzigo na yeye hataki kubeba mzigo”, yule aliyeketi alimweleza yule mwanamke huku akionyesha kwenye sura yake maudhi na usongo wa ajabu.

“Wewe unatania. Jean! hawezi kusema hivyo. Kwa yote niliyomtendea na jinsi tunavyopendana, Xavier sema jingine kama wewe na Col. Gatabazi mmeamua kuniua basi niuweni, msimsingizie Jean, Jean ni wangu wa kufa na kuzikana”, Bibiane alijibu huku akionyesha sura ya hofu maana aliwajuwa hawa jamaa ni wauaji.

“Wanawake ni watu wa ajabu. Epa”, yule mtu ambaye Bibiane alimwita Xavier alimwita mmoja wa wale waliosimama.

“Eee”, yule mtu alijibu kwa woga vilevile.

“Siku zote nakwambia wanawake ni wajinga, wewe huamini. Huyu anafikiri eti Jean alikuwa anampenda, Jean alikuwa anamtumia tu kama chombo. Kwanza alikuwa anakutumia kwa mambo yake ya kazi zake za kumwingizia pesa na pili, anapokuwa huku Afrika alikuwa akijisaidia kutimiza haja zake za kimwili; hata siku moja hajawahi kukupenda. Pale tu wewe na Col. Gatabazi mlipomweleza kuwa wewe umemwona Willy Gamba na Willy Gamba kukuona mara moja alijuwa Willy Gamba atakutafuta na akikupata utatoa siri, na ukitoa siri si ndiyo mambo yetu yameisha! kwa hiyo, mara moja ametoa hukumu ya kifo kwako na sisi tumekuja kutekeleza amri. Kwa kweli ni uhalibifu kwa kiumbe kizuri kama wewe kuuawa, lakini wewe sasa ni mzigo kwetu nasi hatubebi mzigo,” Xavier alieleza.

Kwa maelezo haya Bibiane alijua kweli hukumu imetoka kwa Jean na huo ndio ulikuwa mwisho wake. Pamoja na ujuzi wake wote wa kupigana hakuthubutu mbele ya Xavier na wenzake kwani aliwajuwa vizuri, walikuwa wabaya mara kumi yake, na alijuwa kuwa hao hawabembelezeki hivyo, alikata tamaa na hasira zikampanda dhidi na Jean na machozi yakaanza kumtoka.

“Ukionana naye mwambie atakufa kifo kibaya sana. Nami naamini kuwa huyo Willy Gamba anayemuogopa kweli ndiye atakayenilipia kisasi”, Bibiane alisema huku akitetemeka kwa hasira.

Xavier alisimama na kurudisha kiti chake nyuma. Bibiane naye akataka kusimama. “Hapana, kaa hapohapo, usilete ujanja hapa. Huyo Willy baada ya muda si mrefu mtaonana ahera, nasikia huko watu huonana tena. Hamtapishana zaidi ya masaa mawili na yeye atakuwa marehemu kama wewe”.

Willy, ambaye alikuwa anasikia na kuona yote haya akiwa dirishani, alipoangalia usoni mwa yule aliyeitwa Epa, akajuwa huyu ndiye akayemuua Bibiane. Aliangalia nafasi aliyokuwa, akajuwa angeweza kumpiga risasi Epa na yule mwingine, lakini si Xavier. Kwa vyovyote Xavier angemmaliza Bibiane, lakini hakukuwa na njia. Hawa walikuwa ni wauaji wataalam, tena huenda wa kulipwa. Hivyo, ilikuwa ni afadhali kwake kupambana na mmoja kuliko watatu na kwa maajabu ya Mungu angeweza kumponyesha Bibiane ambaye akili yake ilimweleza kuwa angeweza kuwa mtu muhimu kwake.

Xavier alimkonyeza Epa. Yeye akavuta kiti na kuanza kugeuka. Bibiane akafumba macho, lakini kabla Epa hajafyatua risasi, palepale Willy akiwa dirishani na mikono yake yote ikiwa na Bastola, alimpiga risasi ya kichwa Epa na yule mwingine kifuani, na Bibiane akajirusha nyuma ya kiti, Nkubana kama umeme akamimina risasi dirishani. Lakini Willy alikuwa tayari amejitupa chini na kujiviringisha na kisha kuchukua AK 47 akamimina risasi kama hamsini hivi kumtia kiwewe Nkubana. Haya mambo yote yalitokea haraka sana kama kufumba na kufumbua. Nkubana alipoangalia akajuwa Epa na Karekezi walikuwa wamekufa na hakujuwa wamezungukwa na watu wangapi. Alijirusha kwenye dirisha upande wa pili ambalo lilikuwa la kioo kitupu na kuangukia nje na kisha kujiviringisha tena. Bibiane alichukua Bastola iliyodondoka kutoka kwa Epa na kujaribu kumpata Xavier lakini naye alijitosa nje akaurukia ukuta wa mbele kwa nanma ya ajabu na kuangukia uapnde wa barabarani. Willy alipokimbia upande ule wa pili ili kumuwahi Nkubana alikuwa amechelewa, Xavier naye alikuwa ndio anaishia baada ya kuruka ule ukuta.

Bibiane alipoinuka pale alipokuwa amejitupa kumfuata Xaviar akajikuta anaangalia kwenye mdomo wa AK 47.

“Tupa silaha yako mama, uko chini ya ulinzi”, Willy alimweleza Bibiane.

“Aheri ya Musa kuliko ya Firauni, Bila shaka wewe ni Willy Gamba”.

“Naamini wewe ni Bibiane”.

Willy alimshika mkono Bibiane na bila hata kumwelezana wanaelekea wapi, wakakimbia kwa tahadhari kuwa kutoka eneo hilo kabla askari na watu wengine hawajafika kuangalia kilichotokea hapo kwani mlio wa risasi za Ak 47 ulikuwa umetikisa eneo hilo na kusikika vibaya sana wakati huo wa usiku

NGUVU YA RUSHWA

Nkubana, huku damu zikimtoka, alikimbia moja kwa moja mpaka nyumbani kwa Col. Gatabazi. Alipolisukuma lango la mbele alikuta likiwa wazi. Akaingia ndani, moja kwa moja kwenye mlango wa mbele ambao ulikuwa umefungwa. Aligonga kwa nguvu mpaka Col. Gatabazi aliyekuwa anaoga, alitoka haraka huku akiwa amejifunga taulo na bastola mkononi. “Nini”, aliuliza kwa shauku baada ya kuona hali aliyokuwanayo Nkubana.

“Vaa tuondoke hapa, mambo yameharibika.

“Nini?”, Col. Gatabazi aliuliza tena.

“Nakwambia vaa twende, mambo yameharibika”, Nkubana alimjibu huku akielekea sebuleni, akafungua friji akatoa maji baridi na kunywa huku Col. Gatabazi akimwangalia kwa mshangao.

“Huyu mtu wako ni mchawi. Kawaua vijana wangu wote na sasa yuko na Bibiane. Kwa kuwa ilikuwa tumuue Bibiane, sasa atakuwa upande wa Willy Gamba. Hivyo, lazima tayari mambo yako yataelezwa, na Jeshi la RPF litakuwa hapa sasa hivi. Lililopo tuondoke hapa tufuate majeshi yetu Kihumba”.
“Hebu nieleze vizuri imekuwaje, maana siamini kabisa mtu mmoja kufanya kazi kubwa namna hiyo, tena kwa watu wenye uwezo mkubwa kama wewe?”, Col. Gatabazi aliuliza kwa hofu huku akielekea chumbani kujitayarisha kwa ajili ya kuondoka eneo hilo. Nkubana alimweleza kila jambo lilivyotokea kwa Bibiane na jinsi alivyopoteza vijana wake.

Willy Gamba akifuatana na Bibiane usiku huo, huku mkononi mwake ameshika bunduki kubwa aina ya AK 47, walitembea kwa tahadhari kubwa kuelekea nyumbani kwa Col. Rwivanga. Walipofika hawakumkuta na nyumba yake ikiwa imefungwa. Kwa vile Willy alikuwa amepewa ufunguo wa ziada, walikuwa wameamua kwa ajili ya swala la kiusalama Willy awe analala pale, Alifungua mlango na kumvuta Bibiane ndani. Aliwasha taa ya sebuleni na kumsukumia Bibiane kwenye kochi.

Kwa mara ya kwanza ndipo Willy alipomwangalia Bibiane vizuri. Alistaajabu kuona kiumbe kizuri kama hiki kilivyojiingiza kwenye vitendo vya ugaidi wa ajabu. Hakika huyu msichana alikuwa mzuri. Ukisikia mrembo, urembo hio huu. Willy katika maisha yake alishawaona wasichana warembo lakini huyu alikuwa msichana mrembo kwelikweli.

“Asante kwa kuniokoa”, Bibiane alimshukuru Willy Gamba huku akiwa amelegeza macho yake na kuonyesha tabasamu la aina yake mbele ya Willy ambaye alikaa kimya akimwangalia bila kujibu.

“Sasa niko upande wako, usipate taabu kunilinda, kwa jinsi ulivyookoa maisha yangu sasa nifanye vyovyote upendavyo”, Willy kwa kumwangalia Bibiane machoni aliamini kuwa anasema ukweli.

“Nenda kaoge”, Willy alimweleza Bibiane huku akielekea kwenye chumba alichokuwa akilala. Bibiane aliinuka taratibu na kumfuata Willy. Chumba alichokuwa akilala kilikuwa na maliwato ya ndani. Hivyo, alimuonyesha ishara Bibiane alifungua mlango na kuingia ndani.

Wakati Bibiane anaoga, Willy aliingia jikoni na kutayarisha kahawa. Alipoangalia saa yake ilikuwa yapata usiku wa manane. Alishangaa kwa nini Col. Rwivanga alikuwa hajarejea,  akajiuliza ameelekea wapi wakati huo.

Simu ilipoita Jean alikuwa amelala. JKS alikuwa amemweleza kuwa vijana walikuwa wamefika salama na kazi ya kumsaka na kumuua Willy Gamba ilikuwa ifanyike usiku ule. Alikuwa amefikiria jinsi Bibiane angeshangaa sana baada ya kuelezwa kuwa Jean ndiye aliyetoa amri ya yeye kumuua. Jean alikuwa mtu aliyefurahia uovu, alikuwa mtu katili afadhali ya mnyama. Alifurahi kusikia mtu akipata maumivu, na hapo ndipo roho yake ilipopata faraja. Pamoja na miaka yoye sita aliyokaa na Bibiane, utafikiri walikuwa mtu na mke wake, yaani mume na mke, bado alipomweleza Col. Gatabazi kuwa lazima Bibiane auawe moyoni mwake hakusikia masikitiko. Kilichomfurahisha na kumridhisha ilikuwa ni pesa na nguvu ya pesa, na si mapenzi. Jean aliabudu pesa kwani aliamini kuwa pesa ndizo zilizompatia uwezo alionao duniani.

Kwa kutumia pesa, Jean aliweza kuwakamata wakuu wa nchi nyingi duniani, hasa katika Afrika na Asia, lakini vilevile viongozi wa ngazi za juu katika serikali za nchi za Ulaya. Alipata kila alichokitaka kwa kutumia pesa. Hivyo, simu ilipolia alijua analetewa habari njema za kuuawa kwa Bibiane na Willy Gamba maana alikuwa amesema alikuwa amesema wakishauawa aelezwe. Kila alipopewa taarifa ya kuuawa kwa mtu alipata faraja ndani ya moyo wake, Ndio sababu maelfu ya Watutsi walipouawa alisikia raha isiyo kifani. Hakika mtu huyu alikuwa mgonjwa, tena mgonjwa sana!.

“Jean”, aliitikia kwenye simu.

“Col. Gatabazi hapa”.

“Sema Col. Gatabazi”.

“Kazi imeharibika”.

“Nini?”.

“Kazi imeharibika. Vijana wote wameuawa. Bibiane yuko hai na ameokolewa na Willy Gamba. mimi na Nkubana tunaondoka kwenda Kibunda, hatuna muda maana wakati wowote wataanza kutusaka, afadhari tuyaandae majeshi yetu tayari kwa vita”, Col. Gatabazi alimwambia Jean.

“Ilikuwaje”, Jean aliuliza kwa sauti ya kukata tamaa. Col. Gatabazi alimweleza kwa ufupi kama Nkubazi alivyomweleza.

“Basi tuonane kesho Goma, saa tisa mchana nitakuwa huko, natarajiwa kuja na ndege yangu, lakini nitampitia rafiki yetu Kinshasa”, Jean alieleza na kukata simu kabla hata Col. Gatabazi hajajibu kitu.

Jean alipokata simu ya Col. Gatabazi, alitumia muda huo kupiga simu Zambia, Zaire, Afrika Kusini, Angola, Kenya na kumalizia Tanzania.

“Umenipata JKS?”, Jean alimuuliza JKS baada ya kumweleza yote yaliyotokea na maelekezo mengine huku JKS akipatwa na shinikizo la damu.

“Nimekupata”, JKS alijibu kwa sauti ya kutetemeka.

Bibiane alipomaliza kuoga alimkuta Willy amemtengea kikombe.
“Kahawa au chai?”

“Kahawa.”

Willy alimmiminia kahawa na alipotaka kumwekea sukari Bibiane alikataa.

“Bila sukari,” alisema.

Kwa mara ya kwanza vilevile Bibiane alimuangalia Willy vizuri na kumuona mwanaume mzuri sana, na alipofikiria namna alivyowasambaratisha akina Xavier na kundi lao, mwili wake mara moja ulisisimuka. Halafu, palepale akamfikiria Jean na jinsi alivyompenda na kumfanyia kila kitu lakini akaamua kumuua. Hasira ilimpanda sana, na akaapa kiroho kuwa kwa vile yupo hai atalipiza kisasi.

“Unafikiri nini?” Willy alimwuliza Bibiane.

“Ahera.”

“Umeshapona sasa?”.

“Xavier alisema mimi na wewe tutaonana ahera baada ya masaa machache, akili yangu inafikiri huenda tupo ahera.” wote walicheka.

“Uko tayari kuzungumza lolote,” Willy alimuuliza Bibiane huku sauti yake ikiwa imebadilika ghafla na kuwa sauti yenye uzito fulani.

“Niko tayari, nimekuambia kila unachotaka,” Bibiane alijibu kwa sauti ya mahaba.

“Wewe ni nani?” Willy alimwuliza.

“Mimi naitwa Bibiane Habyarimana, ni Mnyarwanda, na wewe?”.

Willy alishtuka namna alivyo mjibu na kuzidi kuimarisha hisia zake kuwa huyu msichana vilevile alikuwa si mtu wa hivihivi ila alikuwa mtaalamu katika nyanja kama yake. Mara ya kwanza alipohisi, ilikuwa jinsi alivyojirusha nyuma ya kochi pale nyumbani kwake baada ya yeye kuwapiga risasi wale watu wawili, na alivyochupa dirishani kumfuata Xavier. Kwanza alifikiri alikuwa na mafunzo ya kijeshi tu, lakini kutokana na jinsi ya majibizano yao aligundua alikuwa na utaalamu zaidi.

“Willy Gamba, Mtanzania,” alijibu na wote wakaangaliana kama wanapimana saizi. “Ningependa nijue historia yako nzima, na usinifiche kitu, mpaka kufikia uhusiano wako na hawa wauaji na hasa huyu aliyekuhukumu kifo bwana Jean”, Willy alimwambia Bibiane.

“Nimeshatoa kauli yangu kuwa nitakueleza kila kitu unachotaka niseme. Hivyo, usiwe na wasiwasi nitakueleza, ila itabidi uwe na subira maana ni hadithi ndefu”, Bibiane alijibu.

Bibiane alimweleza Willy kwa kirefu maisha yake ya utoto, maisha ya shule, juu ya baba yake na mama yake na akaendelea, “Mwaka nilipoanza kazi baada ya kuhitimu digirii ya kwanza ya lugha katika Chuo Kikuu cha Kigali, wazazi wangu wote wawili walikufa kwa ajali. Nilikuwa nimeanza kazi Wizara ya Mambo ya Nje kama mkalimani.

“Inasemekana kuwa wazazi wangu hawakufa kwa ajali ya kawaida ila waliuawa na vikaragosi vya Watutsi ambao walifikiri kuwa baba yangu alikuwa ndugu yake na Rais. Hivyo waliwaua wazazi wangu ili kumkomoa Rais. Kitendo hicho kiliniuma sana nikawachukia sana Watutsi”, Bibiane alieleza.

“Pole sana”, Willy alisema kwa sauti ya huruma.

“Kwa kunisikitikia kutokana na yaliyowakuta wazazi wangu, serikali ikanihamishia ofisi ya Rais, huko ndiko nilipokutana na Jean Yves Francois, yeye ni Mfaransa anaishi Paris lakini alikuwa rafiki kipenzi na Rais. Tulionana naye nyumbani kwa Rais ambako alikaribishwa na tulianza urafiki siku hiyohiyo”, Bibiane alieleza Willy huku akimwangalia kwa jicho la kuiba.

“Huyu Jean Yves Francois ndiye aliyekufundisha ujasusi?”, Willy alimuuliza.
“Umejuaje?”.

“Nimehisi”.

“Jean ni mfanyabiashara na alikuwa akifanya biashara na kundi la marafiki wa Rais pamoja na familia ya Rais, wakati mimi nafahamiana naye serikali ilikuwa imeanza kuwa na matatizo kwani Watutsi waliokuwa humu ndani na nje, nchini kwenu na Uganda walikuwa wakipigana ili waiangushe serikali. Jean ndiye aliyekuwa akimsaidia Rais kwa kumjenga kijeshi, kiusalama na kiutawala. Huyu Jean ana utajiri usio kifani, kwani ndiye anayezifadhili serikali na wakuu wengi wa nchi za Afrika. Kwa vile mimi pia nilikuwa kwenye himaya yake alinipeleka kwenye mafunzo ya kiusalama sehemu mbalimbali duniani”.

“Na ukahitimu vizuri”, Willy alidakia.

“Vizuri sana”.

“Ehee, endelea”.

“Si ni wewe unanikatisha”.

“Huu utajiri aliupataje?”, Willy aliuliza.

“Sijui mwenyewe ameupataje, ila anashughulika na mambo ya silaha. Hapa alikuwa analeta silaha, halafu anachukua chai yote na kahawa inayolimwa katika nchi. Hili suala ni moja ya malalamiko mengi ya wananchi maana Jean ndiye aliyekuwa akipanga bei anayotaka, na hakukuwa na mtu wa kusema kitu, maana alikuwa akifanya biashara na Rais na kundi lake, lililokuwa likiitwa Akazu. Kusema kweli Jean na hilo kundi la Akazu ndio waliokuwa wanatawala na si baraza la mawaziri au Bunge”, Bibiane aliendelea huku sasa Willy akimsikiliza kwa makini zaidi.

“Huoni kuwa hiyo haikuwa sawa?”, Willy aliuliza.

“Mimi ningefanya nini, nilibaki kufanya kila nilichoagizwa kama ilivyokuwa kwa wengine wengi maana sasa hii ndio ilikuwa namna ya maisha. Ama uko na Akazu, vinginevyo hupati kitu cha aina yoyote, iwe mali, elimu au kazi ya aina yoyote Rwanda”.

“Kwa hiyo rushwa ndio ilitawala utawala uliopita?”, Willy aliuliza.

“Inategemea unavyotafasiri rushwa”, Bibiane alijibu huku akiwa kama haelewi anasema nini.

“Rushwa ni pale vyombo vya serikali vinaposhindwa kufanya kazi zake, kwa sababu hiyo kushindwa kutoa haki kwa wananchi wake, na kuwafanya wananchi wengi wapoteze imani, utu, uhuru na maadili kwa serikali yao kwani wote sasa huishi kama wanyama ambapo mwenye nguvu na pesa ndiye anayepata anachohitaji”, Bibiane alisema.

“Hivyo ndivyo, maana nchi inakosa maendeleo kwani mapato yote ya nchi badala ya kuendeleza watu wote huingia kwenye mifuko ya watu wachache. Na kama ulivyosema uhalali wa serikali kama chombo cha watu unakwisha, badala yale wale wanaofaidika ndio wanakuwa na nguvu zaidi ya serikali yenyewe”, Willy alitafasiri rushwa.

“Kwa tafasiri hiyo nakubali kuwa rushwa ndiyo imetawala. Na sasa Watutsi na Wahutu walipoanza kudai demokrasia isingewezekana maana Jean na Akazu hawakutaka kusikia kitu kama hicho kwa vile kingeweza kuingila maslahi yao. Na ndio sababu Watutsi walipokazana na kusikia eti wako tayari hata kupigana na Akazu, kwa kufadhiliwa na Jean, walianza kulifundisha jeshi la wahutu lililoitwa Intarahamwe ili liweze kuwadhibiti Watutsi wa ndani na nje ya Rwanda”.

“Kwa hiyo huyu bwanako Jean ndiye alikuwa Rais hapa?”.

“Si hapa tu, mimi najuwa nchi nyingi ambako amewakamata wakuu wa nchi na viongozi wa ngazi za juu serikalini na anawajaza mapesa kila wakati”.

“Huoni kuwa yeye ndiye ananufaika zaidi, maana anajaza mapesa watu wachache lakini yeye anachukuwa mali za wananchi wengi”, Willy alijaribu kumwelimisha Bibiane.
“Najuwa, maana hata huko kwenu Tanzania pia amewakamata wakubwa, ndio sababu nchi yenu imekuwa ikisita juu ya suala hili la Rwanda”.

Willy alisitushwa na taarifa hii lakini hakutaka kujionyesha maana kweli msimamo wa serikali ya Tanzania ulikuwa unalegalega kabla na hata baada ya mauaji.

“Ina maana maamzi yoyote ilikuwa lazima Jean akubaliane nao?”.

“Ndiyo, na mapesa yalitembea sana kuhusu swala hili na viongozi wengi wamenufaika. Unafikiri kama swala hili lingefanyiwa maamuzi mapema mauaji yangetokea!”, Bibiane alimwambia Willy kwa njia ya kushangaza.

“Kwa hiyo huyu Jean ndiye aliamru mauaji haya?”.

“Baada ya Rais kuonekana kwamba angekubali mkataba wa Arusha. Jean na Akazu walikasirika sana maana hawakutaka, kama nilivyosema mwanzo, kugawana madaraka na mtu mwingine. Hii ingegusa maslahi yao. Kwa hiyo, kwanza ndio waliamru Rais auawe na pili tayari walikuwa wamewatayarisha na kuwahamasisha Wahutu kuwamaliza Watutsi wote asibaki mtu ili wajihakikishie uwezo wa kutawala milele. Mpango ulikuwa kwamba hata kama jeshi la RPF la Watutsi lingeshinda jeshi lao lazima baada ya kuchukuwa nchi wangeshindwa kutawala maana wangemtawala nani huku Watutsi wote wakiwa wameshauawa, waliobaki ni Wahutu watupu ambao hawawaungi mkono. Hivyo, ingewachukuwa siku chache kuuangusha na kuutokomeza kabisa utawala wa RPF. Hii ingebaki nchi ya Wahutu chini ya utawala wa Jean na Akazu.

Bibiane alipofika hapa ndipo Willy alipoanza kuelewa kwa undani mambo yalivyokuwa. Kumbe mauaji yote haya yalitokana na watu wachache kutaka kulinda maslahi yao ya kunyonya mali ya wananchi, na kutumia hiyo mali kuweza kuwachochea wananchi kuuana!.

Kwa mara ya kwanza Willy aliona jinsi ambavyo nchi zote za Afrika zilivyo hatarini kutokana na rushwa. Kwa vile viongozi wa nchi hizi kuabudu rushwa, hivyo Willy akaamini kuwa tukio kama la Rwanda kumbe linaweza kutokea mahali pengine katika Afrika!.

“Baada ya RPF kushinda na mipango ya Jean kushindwa, wana mikakati gani sasa?”, Willy alihoji.

“Kama nilivyosema hawajashindwa. Wewe ndiye umeingilia ndani ya mipango yao, kuna mpango kabambe wa kuisambaratisha serikali ya RPF kutokea jimbo la Kivu, Zaire. Akazu wamekuwa wakiliimarisha jeshi lao katika makambi ya wakimbizi kule Goma na Bukavu, Zaire, huku Jean akiwatumia rafiki zake kutoka Afrika Kusini hasa waliowahi kuwa katika idara ya ujasusi ya makaburu, alikokuwa akinunua silaha na kuzipitishia Angola ya UNITA, Zaire na Zambia kwa kutumia viongozi wa ngazi za juu za serikali za nchi hizo ambao wako kwenye orodha ya malipo kutoka kwa Jean. Kwa hiyo mambo bdo sana Willy, vita ndio sasa karibu vitaanza”.

“yaani dunia inafikiri kuwa kambi zilizoko Zaire ni za wakimbizi kumbe ni kambi za jeshi”.

“Ni kambi za jeshi na serikali ya Zaire inajua na ndio inayosaidia hata mafunzo. Hata katika kambi zilizoko kwenu Tanzania kuna wanajeshi wa jeshi la zamani na Intarahamwe, na kuna watu wazito katika serikali yenu ambao wanalipwa na huyu Jean ili kuwasaidia hawa watu, kwa hiyo hili si dogo. Kama ulivyosema pesa ni kitu kibaya sana, watu hawaoni tena madhara ya mauaji yaliyotokea bali wanaona pesa tu”.

“Swala la rushwa ni swala linalohujumu haki za binadamu, yapaswa lichukuliwe hatua kimataifa katika uzito huo wa haki za binadamu”, Willy alijibu kwa hasira.

Bibiane alikaa kimya bila kujibu kitu.

“Wewe ulikuwa uwasaidie vipi Jean na Akazu katika kutekeleza huu mpango wao wa kuivamia tena Rwanda”, Willy aliuliza.

“Usije ukanipeleka kwenye mahakama ya mauaji ya Arusha maana mauaji yale sikuyajuwa pia sikushiriki, nilikuwa Nairobi nikitokea kwenye mkutano Arusha. Ila juu ya hili la sasa Jean amekuwa akinituma kupashana habari kati ya kambi za wakimbizi ambazo ni kambi za jeshi lao huko Zaire, yeye na Akazu. Vilevile kuna wanajeshi na viongozi wa RPF ambao tayari wamenunuliwa na wako upande wa Akazu, mmoja wao ndiye anayetarajiwa kuchukua madaraka mara tu jeshi la Akazu litakapotwaa madaraka tena”.
Willy hakuamini masikio yake kuwa tayari hata ndani ya RPF kuna wasaliti.

Mara moja Willy alielewa jinsi alivyotaka kuuawa na akagudua kuwa kweli kama anavyosema Bibiane kuna kiongozi wa juu na karibu sana katika serikali ya Tanzania amabye anamtumikia Jean na kundi la Akazu.

“Utasaidia kunipa majina ya watu wote unaowajuwa kuwa wanahusika, maana hiyo ndio njia pekee tunaweza kulikosha jina lako”, Willy alimuasa Bibiane.

“Swala la Jean kunisaliti mimi, na kunihukumu kifo, bila kujali yote niliyomtendea kwa hali na mali ikiwa pamoja na kumpa mwili wangu auchezee atakavyo, na jinsi nilivyojitoa kumstarehesha. Willy mimi niko upande wako, kama uko tayari kupambana nao nihesabu na mimi. Jean akishaambiwa kuwa umenichukua ninavyomjua atataka apambane na wewe yeye mwenyewe, ikifika hapo niachie mimi. Majina na mipango yao yote ni juu yako na uongozi wa RPF mjuwe la kufanya kwani jeshi la Akazu, likisaidiwa na viongozi wa nchi kadhaa ambao ni marafiki na Jean watakuwa tayari kuingilia kati. Ni lazima liwahiwe mapema kabla halijajiimarisha sawasawa”, Bibiane alieleza.

“Nafikiri swala la vita si letu, ni la serikali ya Rwanda na RPF, mimi nipe hayo majina na kutokea hapo ndipo nitajua kama kazi yangu imeisha au ndio kwanza inaanza”, Willy alieleza taratibu.

Bila kuwa ameandika mahali popote, Bibiane alitoa kichwani jina hadi jina akianza na kundi la Akazu mpaka viongozi wa nchi mbalimbali wanaolipwa na Jean huku Willy akiyaandika chini kwa mshangao mkubwa, kwani watu waliokuwa wanatarajiwa wengi wao ni viongozi wanaoheshimika Afrika na kote duniani. Alishangaa zaidi Bibiane alipotaja jina la yule waliyekuwa wakimwita JKS wa Tanzania.

“JKS, hii imenishangaza sana, maana huyu ndiye anayetegemewa kugombea urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu unaokuja,” Willy alimweleza Bibiane.

“Najua kabisa, na tayari Jean ameshamtengea mamilioni ya dola za Kimarekani zitakazo msaidia katika kampeni hiyo ya uchaguzi kuusaka urais. Nia ya Jean ni kuwa na marais vibaraka kote Afrika ili yeye na wenzake huko Ulaya, waweze kufanya vile wanavyotaka katika nchi hizi. Jean anaongoza kundi la wafanyabiashara wakubwa wanaomiliki makampuni makubwa ya kimataifa. Na nia yao ni kuhakikisha kuwa Afrika inakuwa soko lao tu, na hata siku moja Afrika isisimame kiuchumi. Ingawaje nchi zao zinapigia kelele rushwa, lakini nchi hizohizo ndizo zinazoyasaidia makampuni makubwa kwa madogo kutoa rushwa kwa nchi zinazoendelea, maana makampuni hayo yakitoa hongo, hongo hii huchukuliwa kama gharama na kutolewa kwenye kodi ya mapato. Hii yote inaonyesha unafiki wa nchi za magharibi, na kila wakati Jean alikuwa akinieleza kuwa kelele zote hizi kuhusu rushwa, demokrasia na soko huria ni kelele za kinafiki tu, lakini huku nyuma katika vikao vya viongozi wa nchi za magharibi ni kuchochea rushwa. Wanajuwa kuwa rushwa ikiisha Afrika basi demokrasia na soko huria vitashamiri na hivyo uchumi wa nchi hizo utakua haraka sana, kitu ambacho hawataki kitokee. Jean anasema, rushwa ndiyo sera inayotumiwa kuendeleza umaskini katika nchi za Afrika ili nchi zilizo endelea ziendelee kuitawala Afrika kiuchumi. Kwa hiyo, iwapo JKS ataitawala Tanzania rushwa itazidi mara dufu, na kutokana na fedha alizotengewa na Jean lazima atashinda, kwani kila walipoweka mtu wao hajawahi kushindwa uchaguzi”, Bibiane alieleza.

Sasa Willy alikuwa na picha kamili namna JKS alivyokuwa anahusika na swala zima la Rwanda. na sababu za Tanzania kutokuwa na msimamo dhabiti juu ya swala hili na kuweza kuyumbisha mikutano kule Arusha kiasi cha kutofikia maamzi kwa muda mrefu maana swala hili la Rwanda kwa muda mrefu lilikuwa chini ya Tanzania kwa muda mrefu na JKS alikuwa mmojawapo wa viongozi walioonyesha kuchoshwa na mauaji ya Rwanda. Na alifanya hivyo kwa shinikizo la Jean aliyekuwa akimlipa pesa nyingi na uchu wake wa kutaka madaraka kwa njia ya ruswa ili aweze kuyatumia kwa faida yake na kujinifaisha yeye na rafiki zake. Na ni hii rushwa iliyowanyima Wanyarwanda haki yao mpaka kufikia hatua ya kuuawa vibaya namna ile kweli ni aibu! Aibu sana kwa Afrika nzima.

“Vizazi vijavyo vitakapoyasoma na kuyaelewa matukio haya, hakika hawataamini, watajuwa sisi wote tulikuwa wendawazimu kabisa, kwani ni sisi wote ndio tulioachia hali hii ikafikia hapo ilipo, kwa kuwapa walarushwa madaraka kwa gharama ndogo ya kuuza kura zetu na wao kutumia madaraka tuliyowapa kwa malipo ya fedha kidogo, lazima wayatumie kutuangamiza”, Willy alisema kwa uchungu huku akikuna kichwa chake.
Mara moja Willy alimkumbuka Malisa wa Arusha, aliyekuwa mshauri wa JKS katika masuala ya uhusiano wa Kimataifa kabla hajarudi Chuo Kikuu. Hivyo basi, alijuwa Malisa ndiye aliyemweleza JKS kuhusu msimamo na mipango ya PAM na kuteuliwa kwa Willy kufuatilia jambo hili. Willy aliamini kuwa JKS ndiye aliyetoa taarifa za safari ya Rwanda kwa Jean na kundi lake na ndi sababu ndege aliyopanda ikapigwa kabla ya kutua uwanja wa ndege wa Kigali.

“Kwa hiyo JKS ndiye aliyotoa habari zangu zote kwa Jean?”, Willy aliuliza kwa shauku.

“Ndio, na ndio sababu Col. Gatabazi aliamru ndege hiyo ipigwe kabla ya kutua uwanja wa ndege, lakini kwa bahati na umahiri wako ukawaponyoka”, Bibiane alijibu huku akimwemwesa. Mara mlango wa mbele ukafunguliwa na Col. Gatabazi akaingia ndani.

Willy alipoangalia saa yake ilikuwa yapata saa tisa usiku. Wote walisimama, na Willy akawatambulisha.

“Pole Kanali, leo tumepata mgeni na anaitwa Bibiane, na Bibiane huyu ndiye mwenyeji wetu. Col. Rwivanga, kiongozi katika serikali mpya ya RPF”.

“Nashukuru kumfahamu”, Col. Rwivanga alijibu.

“Nami nimefurahi kukuona leo, nimekuwa nikisikia sifa zako nyingi kwa muda mrefu, toka kwa Col. Gatabazi kuwa wewe ni mpiganaji hodari, hongera”, Bibiane alijibu kwa tabasamu akimwangalia Col. Rwivanga.

“Asante kwa sifa hizo zilizotoka katika kinywa cha msichana mrembo kama wewe”, Col. Rwivanga alijibu akaendelea, “Ehe, imekuwaje Willy, hebu nipe habari kamili, maana kazi tumeiona kwa Bibiane, sasa halafu ikawaje hivi”, Col. Rwivanga alionekana kuwa wasiwasi na Bibiane.

“Mimi naomba nikalale ili mzungumze vizuri, nionyeshe chumba cha kulala”, Bibiane aliomba.

Willy na Col. Rwivanga aliangaliana na Willy ndiye alikuwa wa kwanza kujibu, “Kwa vile nyumba hii ina vyumba viwili tu vya kulala, basi kalale chumbani kwangu, maana tayari hata kuoga umeoga huko. Mimi nitalala hapa sebuleni kwenye kochi hamna taabu”.

“Asante”, Bibiane aliwaaga na kuelekea chumbani huku wote wakimwangalia. Kisha wakatazamana na kutabasamu.

“Ehe, hebu nipe mambo”.

Willy alichukua muda mrefu kumweleza mambo yalivyotokea na mambo mengine yote aliyoelezwa na Bibiane. Col. Rwivanga akasimama na kumshika mkono Willy kwa hatua aliyofikia haraka na kwa umakini mkubwa.
Simu ilipoita Jean alikuwa amelala. JKS alikuwa amemweleza kuwa vijana walikuwa wamefika salama na kazi ya kumsaka na kumuua Willy Gamba ilikuwa ifanyike usiku ule. Alikuwa amefikiria jinsi Bibiane angeshangaa sana baada ya kuelezwa kuwa Jean ndiye aliyetoa amri ya yeye kumuua. Jean alikuwa mtu aliyefurahia uovu, alikuwa mtu katili afadhali ya mnyama. Alifurahi kusikia mtu akipata maumivu, na hapo ndipo roho yake ilipopata faraja. Pamoja na miaka yoye sita aliyokaa na Bibiane, utafikiri walikuwa mtu na mke wake, yaani mume na mke, bado alipomweleza Col. Gatabazi kuwa lazima Bibiane auawe moyoni mwake hakusikia masikitiko. Kilichomfurahisha na kumridhisha ilikuwa ni pesa na nguvu ya pesa, na si mapenzi. Jean aliabudu pesa kwani aliamini kuwa pesa ndizo zilizompatia uwezo alionao duniani.

ITAENDELEA

UCHU – 2

Simulizi : Uchu
Sehemu Ya Pli (2)


Ilikuwa saa kumi na mbili alfajiri simu ya JKS ilipolia na kumwamsha usingizini.

“Hallo, nani?”, JKS aliuliza huku amebanwa na usingizi.

“Phillipe”.

“Ehe, sema”, alijibu kwa shauku.

“Matanga hayatakuwepo, mtu wetu hakulala pale, na hata hajulikani kalala wapi, alionekana akiingia lakini hakuna aliyemuona wakati akitoka. Funguo za chumba kaziacha chumbani, Kavurugavuruga kitanda lakini hakukilalia. Tumefanya utafiti katika hoteli na nyumba zote za kulala wageni Arusha nzima,hayupo. Mtu wako ni mjuzi, naamini maneno yako”, Phillipe alimalizia.

“Haya asante, kazi imeanza”. JKS alikata simu baada ya kusema.

IV

Baada ya kutelemka Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, akitokea Arusha alikwenda kwenye ofisi za Tanzaniar za pale uwanjani na kwa bahati alimkuta meneja hajaondoka, hivyo akafanya mipango ya kukodi ndege yao kesho yake alfajiri ili impeleke Kigali. Ingawa ndege zao zilikuwa na kazi nyingi kesho yake, lakini kwa vile ile biashara ya kwenda Kigali ilikuwa nzuri, meneja alimkubalia ila akaomba Willy asaidie kupata ruhusa ya kutuwa kwenye uwanja wa ndege wa Kavihanda wa mjini Kigali. Willy alilipa na kuahidi kuwa angejitahidi kupata hiyo ruhusa. Alipewa kila kitu ambacho kingehitajika kule Kigali ili kibali kipatikane.

Willy alifika nyumbani yapata saa mbili usiku baada ya kupokelewa uwanja wa ndege na kuletwa moja kwa moja nyumbani na Ismail, dereva wa AVIS. Alitoa shilingi elfu tano akampa Ismail kama bakshishi.

“Asante sana mzee, gharama zitawekwa kwenye akaunti yako”, Ismail alijibu.

“Kama kawaida. Asante kwa kuja kunipokea na kwa heri”, Willy alijibu na kutelemka kwenye gari.

“Kwa heri mzee”, Ismail alimwaga.

Pepe alikuwa jikoni akipika wakati Willy alipoingia ndani. Mara alipomwona alitoka jikoni akamkimbilia sebuleni huku akiwa ameshikilia kipande cha nyama.

“Karibu nyumbani bwana wee”, kabla Willy hajajibu, Pepe alimkumbatia na kumbusu. Tumbo la Pepe lilipoligusa la Willy, akahisi mtoto akicheza tumboni.

Kitu ambacho kilimwongeza furaha. Willy, bila kujua akadondosha mkoba wake, na kuendelea kumbusu Pepe. Mara Pepe akamsukuma kidogo na kuangalia jikoni asije akaunguza, na kumwekea Willy kile kipande cha nyama alichokuwa ameshikilia mdomoni, kisha alitabasamu na kukimbilia tena jikoni ambako Willy naye alimfuata.

“Siku nyingine utafanya moyo wangu usimame kwa raha unazonipa”, Willy alisema akiwa amemshikilia Pepe begani, huku Pepe akikaangiza nyama kwenye chungu.

“Sasa nimpe nani raha kama si wewe mume wangu”, Pepe alijibu.

“Kuoa kutamu”, Willy alijibu.

“Kutamu sana, kama ukioa ama kuolewa na akupendaye ki-kwelikweli”, Pepe alijibu huku akimtupia jicho la mahaba.

Willy alimgeuza na kuanza kumbusu tena.

“Inatosha kwa sasa. Ngoja kwanza nikakuwekee maji uoge, halafu utakuta chakula tayari ndipo unieleze kwanini umechelewa kuja nyumbani”, Pepe alieleza.

“Nakwambia kuoa kutamu, najisikia kama mtoto wa miaka mitatu, nilivyokuwa nafanyiwa na Mama Willy”, Willy alijibu kwa dhati kabisa kwani kila aliporudi nyumbani Pepe alimfanya ajisikie kama mtoto, na hivyo kusikia raha isiyo kifani.

Baada ya kuoga na kula, huku wakizungumza mambo yao ya kawaida Willy alifikiria jinsi ya kuanza kumweleza Pepe juu ya safari yake.

Ni mpaka walipokwenda kulala ndipo Pepe alipotoa wasiwasi wake. Wakiwa wameingia kitandani na kujifunika shuka, Pepe alijilaza juu ya kifua cha Willy na kuuliza.

“Chifu keshanieleza huenda ukasafiri kesho, mbona husemi?”.
“Mara moja Willy alimfikiria Chifu ambavyo alijaribu kumsaidia ili asipate tatizo lolote kuhusu masuala ya nyumbani.

“Nilikuwa najishauri nitaanzaje kukueleza”.

“Unaenda kesho lakini”, Pepe aliuliza kwa sauti kali kidogo.

“Ndio alfajiri”, Willy alijibu kwa unyonge.

“Sawa”, Pepe alijibu.

“Sawa ya ukweli au ya hasira?”.

“Sawa ya kikwelikweli, naelewa. Naelewa ya kwamba mpaka umekubali kuondoka uniache, kweli ni lazima uende, nami yafaa nikubaliane nawe. Willy nataka uelewa kitu kimoja, najuwa unavyonipenda, na unajuwa ninavyokupenda kwa hiyo uamzi wako ndio uamzi wangu, najuwa lingekuwa jambo la hivihivi tu usingekubali na Chifu asingejaribu kama alivyojaribu kunisihi nikueleze. Nimeelewa. Willy, nakupenda Willy, nakupenda sana”, Pepe alisema na kuanza kububujikwa na machozi ambayo yalianguka kifuani kwa Willy.

Kwa mara ya kwanza maishani mwake, Willy naye machozi ya mapenzi yalimtoka. Mara mtoto tumboni kwa Pepe alicheza na mara hii kwa fujo sana, na kwa vile walikuwa wamekumbatiana ndani ya shuka Willy naye alimhisi.

Kitendo hiki cha mtoto kiliwatoa kwenye haya mawazo yao ya majonzi ya kuachana kwa muda na kuwarudisha katika hali yao ya furaha ya kawaida”.

“Mtoto hataki tuwe na majonzi”, Willy alimnong’oneza mkewe.

“Haswa”, Pepe alijibu na kumkumbatia kwa kujibana kabisa kwenye mwili wa mumewe na kuweka mguu wake juu ya mapaja yake.

KAZI IMEANZA

Baada ya kuzungumza na Phillipe JKS alimpigia simu ofisa mmoja wa usalama aliyekuwa anashughulikia maswala ya uchukuzi wa abiria. JKS ndiye aliyemsaidia sana ofisa huyu kupanda hadi kufikia ofisa usalama mwandamizi.

“Mulamba”, JKS aliita baada ya simu kupokelewa.

“Ndiyo, nani mwenzangu?”.

“Pole kwa kukuamsha, naona ulikuwa bado umelala, huyu ni JKS”.

Mulamba mara moja usingizi ulimtoka na kuinuka kabisa kitandani na kuketi kwenye ncha ya kitanda.

“Ndiyo mzee, hapana nilikuwa nimeamka ila bado nilikuwa najinyooshanyoosha tu kwani jana nilichelewa kulala”, alimjibu kwa woga. Ile sauti ya woga ilimfurahisha JKS maana alipenda na kufurahia kutetemekewa.

“Hamna neno, sasa sikiliza, hii ni amri toka juu kuliko hata mimi. Si unamjuwa Willy Gamba?”.

“Ndiyo mzee, nani asiyemjua katika fani yetu hii”, Mulamba alijibu.

“Amepewa kazi toka ngazi za juu, na jana alienda Arusha na ndege za Shirika la Ndege Tanzania. Kwa vile sasa hayuko tena kwenye ajira ya serikali, hii kazi amepewa nje ya mipango ya kiserikali maana ni kazi nyeti na serikali haitaki itambulike kuwa inahusika. Ila alitakiwa ajulikane yuko wapi kila wakati, lakini toka jana jioni hajulikani aliko. Sasa imeamriwa tutumie ofisi yako tujuwe yuko wapi na ripoti hiyo isiende kwa mtu yeyote ila mimi”, JKS alimaliza.

“Hilo nitalifanya sasa hivi mzee, ila nataka kujua alikuwa anatarajia kwenda wapi baada ya kutoka Arusha?”, Mulamba aliuliza.

“Baada ya kutoka Arusha alitakiwa kurudi hapa Dar es Salaam, halafu anende Kigali. Kuna ndege ya asubuhi sana ya ATC toka Kilimanjaro ambayo itaondoka saa moja, kama yumo nipe habari, kama hayumo tafiti ujuwe anakuja Dar es Salaam na usafiri gani, nipate habari haraka. Angalia usafiri wote mabasi, malori na kadhalika.

“Usiwe na wasiwasi mzee, nitakujulisha baada ya saa chache, tutampata tu. Tukimpata tumfanyeje?”.

“Usifanye chochote, wewe eleza tu yuko wapi”.

“Haya, asante”.

“Kwa heri”, JKS alikata simu.

Baada ya kukata simu ya Mulamba, JKS alipiga simu Paris kwa Jean na kumweleza mambo yaliyotokea Arusha na hadhari aliyokuwa amechukuwa tayari. Jean, akiwa bado na usingizi kwani Paris ilikuwa yapata saa kumi na nusu za asubuhi, tulikuwa tunapishana saa mbili.

“Nataka utakaponipigia tena simu unieleze kuwa tayari keshauawa, vinginevyo usinipigie simu mpaka utakapofanikiwa kazi hiyo. Natuma pesa leo asubuhi kupitia kwa yule rafiki yangu mwenye kampuni ya kitalii ya Concord Tours zikusaidie kukamilisha kazi. Vilevile nitawapigia simu na marafiki zangu wengine huko Afrika Mashariki wakupe msaada wowote utakaohitaji”, Jean alimalizia na kukata simu bila bila kumsubiri JKS ajibu.
Kwa mara ya kwanza katika maisha yake JKS alisikia woga. Alizijua nguvu za Jean na akajuwa itabidi atimize hii kazi, vinginevyo mambo yangeweza kumgeukia. Alifikiria jinsi Jean alivyokuwa amemwahidi kumsaidia kuunyakuwa urais wa Tanzania na alikuwa anaujuwa uwezo wa Jean kuifanikisha azma yake hiyo. Na dhamira ya JKS kuwa Rais ilizidi vitu vingine vyote, lakini leo huyu Willy Gamba angeweza kumfanya akose nafasi hii. Asubuhi hii alisikia jasho la baridi likimtiririka mgongoni na kujisemea kwa sauti. “Kwa kila hali lazima aondoke”.

Bila kujua amesema kwa sauti kubwa mke wake aliyekuwa amelala bado alishtuka na kuuliza. “Unasemaje?”.

“Hapana, sijasema kitu”, JKS alijibu.

Mke wake alimjua sana. Hivyo, akanyamaza lakini alijuwa mzee alikuwa anasumbuliwa na kitu fulani.

Willy alitua kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza mnamo saa mbili na nusu za asubuhi. Asubuhi kabla hajaondoka nyumbani alimpigia simu rafiki yake mmoja ambaye alikuwa na wadhifa wa juu ndani ya Chama cha Msalaba Mwekundu na kumwomba msaada kati ya ndege zao zilizokuwa Mwanza moja impeleke Kigali. Willy aliwahi kukisaidia sana Chama hiki, na huyu rafiki yake aliona bahati sana kupata fursa kama hii ili nae alipe angalau fadhila kidogo za Willy kwa yote aliyowahi kuwatendea.

“Bila shaka Willy, sasa hivi nitapiga simu Mwanza na hiyo saa mbili na nusu unayotegemea kufika Mwanza utakuta ndege ndogo ya injini mbili aina ya Cessina yenye namba MMT 3 ikikusubiri. Sisi tunaruhusiwa bila matatizo kutua Kigali kutokana na hali ilivyo Wilayani Ngara. Hivyo, huna haja ya kuhangaika kupata kibali cha kutua, hicho sisi tunacho na utakuta maofisa wetu pale Mwanza wameshawasiliana na Kigali”, yule rafiki yake Willy alieleza.

“Nitafurahi sana, na kama vilevile mtawaeleza kuwa mimi ni afisa wenu”, Willy aliongezea.

“Bila shaka”, rafiki yake alijibu huku akicheka maana alijua Willy haendi Kigali bure.

Kwa hiyo, Willy alipotelemka ndani ya ndege ya kukodi ya Tanzanair alikuta ndege ya Chama cha Msalana Mwekundu iko tayari.

“Ina maana mimi sasa nitarudia hapa?”, rubani wa Tanzanair alimuulizia alipomwona anashuka na mfuko wake.

“Ngoja kidogo”, Willy alimjibu.

Willy alikwenda mpaka kwenye ile ndege na kumkuta rubani na ofisa mmoja wa Msalaba Mwekundu wakimsubiri Willy.

“Karibu mzee”, wote wawili walitamka kwa pamoja Willy akawapa mikono kuwasalimia.

“Asanteni sana”, alijibu.

“Sisi tuko tayari, ila tu tunaomba uende na ndugu yetu mmoja ambaye anaenda huko vilevile kikazi”, yule afisa alimwambia willy.

Willy alimwangalia yule jamaa, na kumwona ni wa makamu yake na wa umbo lake.

“Sawa, lakini ningeomba aje na ile ndege ndogo ambayo nimekuja nayo ili rubani awe na mtu wa kuzungumza nae, maana hiyo nayo inakuja Kigali, ila kwa sababu lazima ijaze mafuta na kukaguliwa kidogo ndio sababu imebidi mimi nikifika tu hapa nipate ndege nyingine kwa vile nina miadi maalumu ya kiserikali pale uwanja wa Kigali na mtu ambaye ataondoka saa moja kuanzia sasa”, Willy alieleza.

“Basi, vizuri sana. Je, ndege yako ina vibali vyote vya kutua?”, yule ofisa aliuliza maana alijua jinsi hali ilivyokuwa uwanjani pale Kigali.

“Hamna taabu, kila kitu kipo”, Willy alijibu, kisha akaenda kwa rubani wa ndege yake.

“Sasa ukishajaza mafuta utakuja na yule bwana pale, naye anakuja Kigali. Ukishamshusha tu basi wewe urudi”, Willy alimweleza.

Yule rubani alishangaa kwanini wasitumie ndege moja badala ya ndege mbili. Lakini kwa vile haikuwa shughuli yake na kwa vile alikuwa ameagizwa kwenda mpaka Kigali aliamua kubaki ameshangaa lakini atekeleze wajibu wake.

“Sawa mzee”, yule rubani alimjibu huku sauti ikionyesha mshangao. Willy alitoa dola mia za kimarekani, akampa.

Tabasamu safi likaonekana usoni mwa rubani.

“Asante sana mzee”, alijibu tena na kupeana mikono ya kuagana. Willy alikwenda kwenye ndege, na rubani wa Chama cha Msalaba Mwekundu akaiondoa ndege kuelekea Kigali ikiwa yapata saa tatu kasoro robo. saa za asubuhi.

Ilikuwa saa tatu na dakika kama tano hivi, Mulamba alipompigia simu JKS. JKS alikuwa tayari amefika ofisini.

Simu ya moja kwa moja kwa JKS ililia na haraka akainua. “Nani”, aliuliza kwa shauku.

“Mulamba, mzee”.
“Haya vipi mmempata?”.

“Mzee huyu mtu tumeweza kupata nyendo zake zote, ila hatukuweza kumpata yeye kabisa maana alikuwa hatua moja mbele kila tulipokuwa karibu kumpata”.

“Una maana gani, hebu sema mambo ya kueleweka”, JKS aliuliza kwa ukali.

“Ndio nilitaka nikupe ripoti kamili mzee. Kutokana na taarifa za uchunguzi wetu, aliondoka Arusha jana kwa ndege ya kukodi ya Tanzanair, hivyo hakulala Arusha ila alilala hapa Dar es Salaam. Leo asubuhi ameondoka Dar es Salaam kwa ndege hiyo hiyo ya kukodi ya Tanzaniair na anaelekea Kigali. Habari za watu wangu nilizozipata hivi punde ni kwamba ameondoka Mwanza mnamo saa tatu kamili kuelekea Kigali. Hali ndivyo ilivyo mzee. Sijui tukusaidie nini tena?”, Mulamba aliuliza.

“Ndege hiyo ya Tanzaniar ni namba ngapi?”, JKS aliuliza.

“Namba zake ni MHZT 12”.

“Sawa basi asante, nikikuhitaji nitakutafuta”.

“Haya, asante mzee”, Mulamba alijibu huku akipumua kwani alikuwa amejawa na wasiwasi angetakiwa kufanya nini tena kwani hakutaka kazi yoyote ya kuhusiana na Willy Gamba, maana mtu huyu alikuwa ni moto wa kuotea mbali. Alibaki anashangaa tu hasa ni nini kilikuwa kinatokea kati ya serikali na Willy Gamba.

JKS alijishika kichwa na kujua kazi imekuwa ngumu na yeye peke yake asingeiweza. Huyu Willy Gamba alikuwa kweli kabisa mtu wa hatari na hakika kuwapo kwake Rwanda kungezua balaa, lazima kila njia ifanyike kabla hajaleta madhara. Hakukuwa na njia nyingine ila kurudi kwa Jean maana yeye alikuwa na uwezo mkubwa kufanya mambo Rwanda kuliko yeye. Uwezo wa JKS uliishia ndani ya mipaka ya Tanzania, isipokuwa tu propagada ya kisiasa ndio angeweza kusaidia kokote ulimwenguni kwani alikubalika sana duniani kote kisiasa. Ingawaje Jean alikuwa amemwamru ampigie simu ikiwa Willy ameshauawa, lakini JKS alionelea afadhali atukanwe kuliko kunyamaza. Aliinua simu akampigia Jean kwenye simu yake ya kutembea nayo (Mobile).

“Hallo”, Jean alijibu baada ya kupokea.

“JKS hapa”.

“Ehe, mambo mazuri?”, Jean aliuliza kwa shauku.

“Hapana, mambo yanazidi kuwa magumu”, JKS alijibu na akamweleza jinsi sasa Willy Gamba alivyokuwa anaelekea Kigali.

“Mbona mtu huyu nitampenda”, Jean alijibu kwa kejeli.

JKS alinyamaza. Hakuwa na la kusema.

“Hapa kweli tunashughulika na mtu mjuzi, huyo anatakiwa apambane na watu wenye ujuzi kama yeye. Basi niachie huyo mtu kwa sasa. Nitarudi kwako baadae, nipe hiyo namba ya ndege na maelezo mengine yote kuhusu hiyo ndege na huyo mtu wako”, Jean alimalizia.

JKS alimpa maelezo yote huku akifurahi kuwa Jean ameelewa na hakuweza kumkasirikia. Baada ya kumpa maelezo JKS alikata simu na kuinuka kitini na kwenda kusimama dirishani mwa ofisi yake na kuwaangalia ndege aina ya tausi waliokuwa wakicheza nje tu ya dirisha lake.

Mara mawazo yake yakarudi kwa Willy Gamba. Kuuawa kwa Willy ndio kupata kwake Urais, maana huyu mtu asipouawa anaweza kuchokonoa ukweli wa mambo na kuleta kashifa ambayo ingeweza kumgusa hata yeye kwani JKS alikuwa mmoja wa watu waliokuwa wanahusika na swala zima la Rwanda, tokea maswala ya kisiasa mpaka kufikia mauaji. Na serikali ya Tanzania ilikuwa imeweka mambo yote yahusuyo Rwanda chini yake na ofisi yake kwa vile aliaminika kuwa ni kiongozi mwadilifu.

Baada ya kukata simu ya JKS, Jean alipiga simu Rwanda kwa rafiki yake alikuwa ndani ya Jeshi la RPF. Baada ya RPF kushika madaraka Rwanda, Col. Gatabazi alikuwa wa kwanza kupata simu iliyofanya kazi. Hii yote ilikuwa kwa hisani ya Jean ambaye alikuwa na uhusiano wa karibu na mkuu wa jeshi la Ufaransa lililokuwa Rwanda pamoja na mkuu wa Idara ya Usalama wa Nje wa Ufaransa (DGSE). Inasemekana kuwa Jean ndiye aliyewasaidia hata kupata vyeo hivi kutokana na kuwa kwake karibu na uongozi wa juu wa serikali ya Ufaransa.
Jean alikuwa kama ndiye mshauri mkuu wa serikali ya Ufaransa kuhusu maswala ya Rwanda. Kutokana na kuwa kwake karibu na Rais pamoja na watu wote muhimu ndani na nje ya serikali ya Rwanda. Kwa hiyo baada ya Kigali kuangukia mikononi mwa RPF tu na maofisa wa jeshi hilo kujinyakulia nyumba za kukaa zilizokimbiwa na maofisa wa serikali ya MNRD. Col. Gatabazi ambaye siku zote alijulikana kama mkereketwa mkubwa wa RPF, hakuwa mkereketwa ila msaliti na ndiye aliyekuwa akitoa siri zote za RPF kwa Jean, na Jean akazitoa kwa rafiki zake wa serikali ya MNRD. Kwa hiyo, baada ya kupata nyumba tu Jean alihakikisha kuwa Col. Gatabazi anapata simu ili kila kilichokuwa kinaendelea ndani ya RPF kimfikie.

Kutokana na huo uhaini wake Col. Gatabazi alijipenyeza na kujiweka karibu kabisa na kiongozi wa RPF na akaaminika sana. Inasemekana alikuwa Mhutu, lakini mama yake alikuwa Mtutsi. Baba yake alifariki akiwa na umri wa miaka miwili na akakulia kwa mjomba wake na kwa vile alikuwa amechukuwa umbo la mama yake alitambuliwa kama Mtutsi tu. Ila yeye alijuwa ni Mhutu na inasemekana aliwahi kuambiwa kuwa baba yake aliuawa na wajomba zake kwa vile hawakutaka dada yao aolewe na Mhutu. Hivi kinyongo alikuwa nacho moyoni na ndio sababu alipopata nafasi ya kuwasaliti Watutsi alifanya hivyo kwa moyo mmoja.

Baada ya serikali ya MNRD kuanguka na RPF kuingia, Jean alimhakikishia Col. Gatabazi kuwa serikali hiyo isingeweza kukaa madarakani kwa muda mrefu kwani ingepinduliwa na yeye angeiongoza serikali inayofuata. Jean alimhakikishia kuwa serikali ya Ufaransa isingeiruhusu serikali ya RPF ikae madarakani kwani viongozi wake walikuwa na mwelekeo wa Kiingereza kwa kukaa kwao Uganda na hivyo wangeathiri nguvu (influence) ya Ufaransa ndani ya Rwanda kitu ambacho Ufaransa isingekiruhusu kabisa. Kwa hiyo kwa kushirikiana na viongozi wa serikali ya MNRD waliokimbia na watu wengine walio ndani kama Col. Gatabazi kwa msaada wa serikali ya Ufaransa. Jean alikuwa anatayarisha jeshi la kuivamia tena Rwanda na kuchukua madaraka toka kwa RPF. Kwa hiyo, Col. Gatabazi alikuwa anajitayarisha kuwaggeuka wenzake mara wakati wa kufanya hivyo utakapofika.

Col. Gatabazi alikuwa anataka kutoka nyumbani kwenda ofisini kwake, Merridian Hotel, ambako ndiko ofisi zake zilikuwa kwani ndiye aliyekuwa anashughulikia uratibu wa shughuli zote za vikosi mbalimbali vya jeshi la RPF na kuripoti kwa mkuu wa majeshi.

Simu ililia. Hallo Col. Gatabazi?”.

“Jean”.

“Mbona leo unanipigia simu saa hizi? Saa zetu unazijuwa”, Col. Gatabazi aliuliza.

“Kuna dharura”, Jean alijibu na kumweleza juu ya Willy Gamba na athari za kuwa kwake Kigali.

“Hivyo ni vizuri hiyo ndege yake ingetunguliwa ikiwa hewani iwe mwisho wa tatizo la huyu mtu maana toka jana anatusumbua, nafikiri hiyo ndio njia rahisi”, Jean alimalizia.

“Si Tanzania italalamika sana na kwa sasa hivi serikali ya RPF inataka sana kueleweka vizuri, hasa kwa serikali kama ya Tanzania”, Col. Gatabazi alijibu kwa njia ya kuuliza swali.

“Usijali, Tanzania inaunga mkono kwa kusema hiyo ndege iliruka anga zetu bila ruhusa hata haikutoa habari huko Tanzania kama ilikuwa inakuja Kigali. Hilo niachie mimi na wewe utasikia itakavyokuwa maana utacheka”, Jean alijibu.

“Basi ngoja niwahi kwani watatua kwenye dakika thelathini zijazo kutokana na maelezo yako ya saa walizoondoka mjini Mwanza”.

“Asante, kwa heri, ila nipigie simu baada ya tukio”.

“Sawa”, Col. Gatabazi alijibu.

Ndege ya Chama Cha Msalaba Mwekundu ilitua kwenye uwanja wa ndege wa Kayibanda mjini Kigali yapata saa nne kamili. Willy Gamba alichukua mkoba wake na kutelemka.

“Asante”, Willy alimshukuru rubani na kumpa dola mia za kimarekani.

“Asante sana mzee”, yule rubani alishukuru na kufunga mlango tayari kwa kuruka tena.

Willy alikwenda moja kwa moja kwenye jengo la uwanja wa ndege na kuelekea Uhamiaji. Ulinzi uwanjani ulikuwa bado mkali lakini kwa sababu alikuja kwa ndege ya Chama Cha Msalaba Mwekundu na alikuwa amefanyiwa mpango na rafiki yake Dar es Salaam aje apokelewe na mmoja wa maafisa wa Msalaba Mwekundu walioko Kigali, yeye akiwa kama Afisa wa habari wa Msalaba Mwekundu kimataifa na ndivyo Chifu alivyomtayarishia pasipoti aliyoikuta nyumbani, taratibu zake pale uwanja wa ndege zilikwenda haraka bila kipingamizi chochote.

Katika pasipoti yake hii jina lake lilikuwa George Mambo.

Alipojitokeza tu nje, alimkuta mwenyeji wake aliyekuwa amevaa beji ya Msalaba Mwekundu na kwa vile na yeye toka alipotua tu aliweka beji aliyokuwa amepewa na Msalaba Mwekundu wakatambuana mara moja.

“Bwana George Mambo natumai”, yule mwenyeji wake alisema huku akitoa mkono wa salamu.

“Ndio mimi. Habari zako”, Willy alijibu na kusalimu.

“Nzuri, mimi naitwa Vicent Nyemazi, ni afisa wa habari hapa, na mimi ni Mhutu ila mimi siyo Mhutu mwenye siasa kali”, Vicent alijibu huku akitabasamu.

“Vizuri sana na pole kwa yote yaliyotokea hapa nchini kwenu”.

“Asante sana, ndio hali ya dunia. Gari nimeegesha hapo mbele”, Vicent alieleza.
“Mkahawa wa hapa umefunguliwa?”, Willy aliuliza.

“Ndio, uko wazi”.

“Unajuwa nimeondoka asubuhi sana, sijanywa hata chai na ndege zetu kama unavyojuwa si kama ndege za abiria, hamna chochote hata kikombe cha chai”, Willy alijibu huku akiangalia saa yake.

“Sawa, twende hapa kuna mkahawa mzuri, na hali imeanza kurudi kama zamani, hivyo vitu vingi vinaendelea kama kawaida.

Walipanda juu kwenye mkahawa na willy aliagiza kahawa na kipande cha mkate na Vicent akaagiza kahawa peke yake. Willy aliangalia saa yake kwa chati kabisa, akajuwa ile ndege ya Tanzanair ilikuwa karibu kutua, na alitaka tu kuona kama kungeweza kuwa na fununu za kuja kwake. Hii ilikuwa hadhari tu kwani aliamini hakuna mtu ambaye angeweza kujua kuwa anakuja kwa jinsi alivyokuwa ameondoka Dar es Salaam kisirisiri.

“Ah, vipi hali ya huko Ngara, nasikia hali ya wakimbizi ni mbaya sana, yaani chakula, maji na madawa ni taabu”, Vicent aliuliza.

“Ni kweli hali ni mbaya, jumuiya ya kimataifa inajaribu kusaidia lakini wakimbizi ni wengi mno. Fikiria watu kama wa mji huu mnamo wiki moja watengeneze mji mwingine ambao haukuwepo kabisa, ambako ni porini tu hakuna huduma za kijamii za aina…”. Kabla Willy hajamaliza kueleza mlio mkubwa ulitokea na mara ukatokea mlipuko. Willy na Vicent walikimbilia dirishani kuangalia kwenye uwanja wa ndege ambako ndiko mlipuko ulikotokea. Kwenye barabara zinakoondokea na kutua ndege wakaona vipande vya ndege vimesambaa na kuwaka moto.

“Kazi imeanza”, Willy alisema na kumvuta Vicent mkono. Wakakimbilia chini kuangalia kwani vishindo vya kukimbia uwanjani vilisikika kutoka kila pahala.

Walipofika chini na kuelekea uwanjani walikuta magari ya jeshi aina ya Landrover yakiwa yamejaa askari yakielekea pale mabaki ya ndege yalipoangukia na wengine wakija huku kwenye jengo la uwanja ili kuzuia watu wasiende kule uwanjani.

Vicent na Willy walionyesha beji zao za Msalaba Mwekundu wakiomba wafike kwenye tukio lakini walikataliwa na askari ambao kwa sasa walikuwa wamechachamaa. Willy aligundua kuwa kumbe walishajua atafika na maskini yule rubani na afisa wa Msalaba Mwekundu waliuawa kwa kufikiri ni yeye. Willy alimshukuru Mungu kwa kumfanya afikiri na kufanya kama alivyofanya.

Kweli kama Msoke alivyosema, kazi hii tayari ilionyesha kuwa ni ya hatari. Ila kilichomshangaza Willy ni jinsi yule mtu aliyeshambulia ndege ya Tanzanair alivyojuwa kuwa yeye angekuwemo mle ndani ya ile ndege. Hii ilionyesha kuwa kati ya wale maafisa wa PAM miongoni mwao kulikuwa na msaliti, lakini kwa sasa hakukuwa na haja ya kufikiria hicho ila kufanya kilichomleta Kigali. Huyu msaliti angetafutwa baadaye. Jinsi ile ndege ilivyokuwa imepigwa na kombora. Willy alijua kabisa kuwa hakuna mabaki ya binadamu ambayo yangeweza kutambuliwa, kwani kombora lililotumika lilikuwa kubwa wakati ndege yenyewe ilikuwa ndogo.

“Twende zetu, nipeleke hotelini, acha wanajeshi wafanye kazi yao”, Willy alimvuta Vicent wakaondoka huku wakisesera kuelekea kwenye gari la Vicent.

“Kwanini wameipiga ile ndege?”, Vicent aliuliza huku akifungua mlango wa gari.

“Huenda ilikuwa na hatari, bado unajuwa mambo hayajatengamaa hapa”, Willy alijibu.

“Unafikia hoteli gani?”.

“Nafikiri jaribu Meridian Hotel kama kuna nafasi”, Willy alijibu na kuikacha Hotel Des Mille Collines aliyokuwa amepangiwa na rafiki za Musoke, kwani sasa hakukuwa tena na kumwamini mtu yeyote kwa vile hakujuwa nani alikuwa ametoa amri ya kupigwa kombora ndege aliyopaswa kuwemo na huyo mtu alikuwa anajuwa habari kiasi gani kumhusu yeye Willy.

“Sawa, pale hotelini wanatua na watu wetu kutoka mataifa ya nje wako pale. Na vilevile pana usalama maana ofisi zingine za jeshi ziko pale, na maafisa wengine wa jeshi wanakaa pale”, Vicent alimweleza Willy. Wakati wakielekea Meridian Hotel walikutana na magari madogo ya jeshi, kama matatu, yakielekea uwanja wa ndege. Willy aliona wengi walikuwa maofisa wa vyeo vya juu na akahisi walikuwa wanakwenda kutathimini tukio lililotokea.

Walipofika Meridian walikuwa watu wako vikundi vikundi wakizungumza, bila saka walikuwa wamepata habari za tukio la uwanja wa ndege. Vicent likwenda mapokezi na kuzungumza na mmoja wa wafanyakazi wa pale ambaye alionekana kumfahamu sana, na baada ya muda kidogo Willy aliitwa kujaza fomu za kupatiwa chumba. Baada ya kupewa funguo alichukua mkoba wake na vicent akamweleza kuwa atamsubiri kwenye mkahawa wa hoteli.

“Si utataka twende ofisini?”, Vicent aliuliza.

“Bila shaka”, Willy alijibu.

“Basi utanikuta hapo kwenye mkahawa”.

“Asante”, Willy alijibu na kuelekea kwenye ngazi kwani alikuwa ameelezwa lifti zilikuwa hazifanyi kazi. Alikuwa amepewa chumba namba 412, ghorofa ya nne.
V
Baada ya Col. Gatabazi kuhakikisha kuwa hakuna kitu kilichobaki ndani ya ndege na ndege yenyewe, alielekea nyumbani kwake ili akampashe habari Jean. Alipompata Jean alimweleza. “Kazi tayari, mtu wako hata mfupa haukuonekana, kawa hewa”.

“Safi sana, hakika mimi hupenda mtu wa vitendo na siyo maneno”, Jean alijibu.

“Lililobaki ni la kujieleza kwanini tumeipiga hiyo ndege, lakini tayari mkuu nimemwandikia taarifa safi ambayo hawezi kuwa na mashaka nayo. Wasiwasi wangu Tanzania tu”, Col. Gatabazi alieleza.

“Nilikwambia Tanzania niachie mimi. Tuongee jioni. Kama kawaida mzigo mwingine unatua leo, na ni shehena kubwa”, Jean alijibu na kabla Col. Gatabazi hajajibu alikata simu.

Baada ya kukata simu ya Col. Gatabazi. Jean alimpigia simu JKS, Dar es Salaam. JKS, aliyekuwa na wasiwasi mkubwa aliipokea simu haraka ilipolia. “Nani”.

“Jean hapa. Kigali Bingo!!, mambo safi”.

MIGUU YA NYOKA

Willy alipowasili kwa Col. Thomas Rwivanga, alimkuta anamsubiri. willy alikuwa amemweleza kuwa angekuwa anaendesha gari la Msalaba Mwekundu na angekuja peke yake bila  Vicent. Col. Rwivanga alikuwa amemweleza njia ya kupita mpaka huko nyumbani kwake, Kimihurura.

Col. Rwivanga aliposikia mwungurumo wa gari alitoka nje na kwenda kumpokea Willy.

“Habari yako?”, Col. Rwivanga alimsalimia Willy huku akimpa mkono.

“Safi, na wewe?”, Willy alimjibu.

“Safi kabisa, nafurahi sana kuonana na wewe, Mzee Musoke amenieleza habari zako, nami nilikuwa na shauku kubwa ya kukutana nawe. Karibu ndani”, Col. Rwivanga alimkaribisha Willy.

“Asante sana, nimekaribia”, Willy alijibu huku akiingia ndani na kuketi.

“Nikupe kinywaji gani?|”.

“Klabu soda inatosha”, Willy alijibu.

Col. Rwivanga alileta Klabu soda mbili na kuzifungua, wakaanza kunywa.

“Ehee, habari ya maisha?”, Col. Rwivanga aliuliza.

“Safi, naamini Mzee Musoke amekueleza kwanini niko hapa”.

“Ndio amenieleza”.

“Imebidi nikuone mapema maana kuna jambo lililotokea ambalo linaonyesha kuwa katika uongozi wenu kuna mtu aliyejuwa kuwa mimi nimo ndeani ya ile ndege iliyotunguliwa leo asubuhi, akiwa na nia ya kuniua, bahati nzuri sikuwemo ila nilitakiwa kuwemo kwenye ndege hiyo. Na ninafikiri yeyote yule aliyeagiza hiyo ndege itunguliwe anaamini kuwa mimi sasa ni marehemu”, Willy alimweleza Col. Rwivanga ambaye wakati huo alikuwa akimwangalia kwa mshangao mkubwa.

“Hivi swala unaloijia hapa ni nyeti kiasi hicho, mpaka wanataka kukuua! Mimi Mzee Musoke aliponieleza, sikutegemea kama kunaweza kuwa na hatari yoyote, maana wewe unakuja kutathimini tu hali ya mambo yalivyotokea mpaka kufikia watu wengi namna ile kuuawa. Lakini sasa inaonekana kuja kwako kumetia watu wasiwasi na wameamua kukumaliza kabisa hata hujaanza huo uchunguzi. Ndugu Gamba hii inaonekana kuna jambo kubwa ambalo hata sisi hatulifahamu. Hii ni hatari na ni hatari kubwa”, Col. Rwivanga alijibu.

“Je, unaweza kujuwa ni nani au ni vipi ile ndege ilitunguliwa?, Huenda tukaanzia hapo ndipo tutajuwa hasa ni nani anahusika na kwa sababu gani?”, willy aliuliza.
“Taarifa niliyopata kuhusu tukio hilo kwenye kikao cha makamanda wa jeshi, ambayo imetolewa na Col. Gatabazi, ambaye ndiye mkuu wa utawala jeshini, inasema ndege hiyo ilipoitwa kwenye rada ijitambulishe haikufanya hivyo. Kwa hiyo Luteni Silasi Biniga, ambaye ndiye anaongoza wanajeshi wanaolinda uwanja alimtaarifu Meja Juvenal Mukama, Mkuu wa Kikosi cha Mizinga kinacholinda mji huu, ambaye alitoa amri kuwa kama inakaribia kutua na bado haitoi taarifa yoyote itunguliwe. Na ndivyo ilivyofanyika. Baada ya kujuwa kuwa ilikuwa ndege ya kukodi ya kampuni ya kukodisha ndege ya Kitanzania, habari zilipelekwa Dar es Salaam, na habari tulizopata toka Wizara ya mambo ya Nje ya Tanzania ni kwamba ndege hiyo ilikuwa imekodiwa na mtu mmoja kwa jina la Juma Omari aliyejitambulisha kama mwandishi wa habari na masuala yote ya kupata vibali vya kutua alifanya mwenyewe. Hivyo, serikali ya Tanzania inaunga mkono kutunguliwa kwa ndege hiyo ambayo imeingia anga ya watu bila kibali wala kujitambulisha na huku rubani na kampuni hiyo ikijuwa hali ya hatari iliyomo nchini Rwanda. Taarifa hiyo tumeipata jioni hii na serikali ya Tanzania imezidi kusema itaichukulia hatua kampuni hiyo ya ndege kwani inaweza kuwa inatumiwa na maadui wa Rwanda na kuweza kuleta uhusiano mbaya kati ya nchi zetu rafiki”, Col. Rwivanga alieleza na ukawa ni wakati wa Willy kushangazwa na maelezo hayo.

“Rafiki yangu, hapa kuna jambo kubwa maana sababu ya kutunguliwa ndege hii ni moja tu, ambayo ni kutaka kuniua mimi. Lakini sasa maelezo ya makamanda wenu. Col. Gatabazi na maelezo kutoka Dar es Salaam, yamenichanganya kabisa na nahisi kuna kitu kikubwa tusichokijua”, Willy alijibu.

“Sasa tufanye nini?”, Col. Rwivanga alimwuliza.

“Kwanza, nataka aliyetaka kuniua aendelee kufikiri kwamba ameniua. Pili, huenda huyu Lt. Silasi Biniga anaweza akawa na habari zinazoweza kutusaidia kufumbua hiki kitendawili hivyo anafaa kuonwa na kuulizwa”, Willy alijibu.

“Basi niache huyu mimi nitamwuliza”, Col. Rwivanga alijibu.

“Hapana, niachie mimi, swala hili linaweza kuwa vilevile linaugusa uongozi wenu. Mimi nikiwa mtu baki naweza kupata ukweli bila kuleta kasheshe sasa hivi. Ni lazima tujitahidi tujue undani wa jambo hili maana ni zito. Naomba tu unieleze huyu Luteni Biniga anakaa wapi nami nitaenda kumwona”, Willy alijibu.

“Inaweza kuwa hatari kwako, unajuwa hawa watu ni wanajeshi safi”, Col. Rwivanga alimwasa Willy.

“Usijali, hatari ndio jina la kazi yangu”, Willy alijibu.

Wote wakacheka, maana Musoke alikwishampa Col. Rwivanga maelezo kamilifu kuhusu Willy na uwezo wake.

“Sawa, huyu Luteni Biniga anakaa barabara ya tatu tu kutoka hapa kwangu, sehemu hiihii ya Kamihurura”. Kisha akamweleza mtaa na nyumba ilipo.

“Sasa hivi naanza kushangaa, wakati wanajeshi wa cheo chake wengi bado wako kambini na wengine wako huko Ndera ambako ndiko kuna nyumba za maofisa wa ngazi ya chini yeye anakaa sehemu ambayo wanakaa maofisa wa ngazi za juu. Sijui huenda ikawa tu bahati yake”, Col. Rwivanga alisema kama vile anajisemea mwenyewe.

“Nafikiri nikionana naye nitajua. Naona niende kama saa tatu hivi. Nitaacha gari hapa na kwenda kwa miguu”, Willy alisema.

“Uamzi wako. Kwa vile bado kuna muda mpaka saa tatu ngoja nitengeneze chakula kidogo”, Col. Rwivanga alieleza.

“Na mimi nitakusaidia kupika, kupika ni moja ya starehe zangu”, Willy alieleza huku wakiinuka kuelekea jikoni.

Willy alipofika kwenye nyumba ya Luteni Biniga taa za ndani zilikuwa zikiwaka. Nyumba hii ilikuwa imezungushiwa ua kama alivyokuwa ameelezwa na Col. Rwivanga. Badala ya kubisha hodi langoni aliamua kupita kwenye uchochoro, akapanda ukuta kisha akatumbukia ndani. Alitambaa chini kwa chini mpaka akaufikia ukuta wa nyumba hii. Dirisha la nyuma lilikuwa limefungwa, hivyo aliendelea kuambaa na ukuta. Ndipo aliposikia sauti za watu wakizungumza na kucheka. Alichungulia dirishani na kuwaona watu watatu. Wanaume wawili na mwanamke mmoja. Mazungumzo yao yalikuwa kwa lugha ya Kifaransa, ambayo Willy aliielewa vizuri sana, mazungumzo yao ndiyo yaliyomshitua na kumweka chonjo.

“Kazi mimi nimeifanya kwa ustadi mkubwa. Hiyo pesa kweli iko kwenye akaunti yangu Nairobi?”, mmoja wa wale vijana alimwuliza yule mwanamke.

“Siyo wewe tu, nyote kesho pigeni simu kwenye benki zenu. Mambo safi. Nimeelezwa na wakala wa mlipaji kuwa pesa zimetumwa kwa njia ya ‘swift’ na tayari ziko kwenye akaunti zenu”, yule mwanamke alijibu.

“Mimi nilihitaji kulipwa dola laki moja. Ndizo zilizotumwa na kuwekwa kwenye akaunti yangu?”, yule mwanaume wa pili aliuliza.

“Ndio. Sasa kwenye akaunti yako kuna dola laki tatu. Zimeingia pamoja na zile za malipo ya kuwatorosha wale makamanda wa Intarahamwe kwenda Zaire”, yule mwanamke alijibu.

“Kama kesho nikijuwa pesa yangu yote hiyo iko benki, basi mimi nitatoroka kwenda Kenya. Halafu Afrika Kusini. Sitaki kukaa hapa tena, tusije tukabainika kuwa tuko kwenye upinzani”, mwanaume wa pili alisema.
Hapa Willy aliamini kuwa wakati wa kukabiliana ana kwa ana na watu hawa ulikuwa umefika kwani walionekana kana kwamba wanataka kuondoka. Mawazo na akili ya Willy yalivutika sana kwa yule mwanamke kuliko hata kwa wale wanaume wawili ambao alihisi ni Luteni Silasi Biniga na Juvinali Mukama. Alipogeuka tu kutaka kwenda kubisha hodi kwenye mlango wa mbele, alijikuta akiuangalia mtutu wa bunduku kubwa aina ya ‘Sub Machine Gun’.

“Usisogee hata hatua moja. Hapohapo ulipo weka mikono yako juu, geuka nyuma na utembee kuelekea mlango wa mbele ya nyumba hii”, Willy alimrishwa na yule askari na kutii amri kama alivyokuwa ameamriwa.

“Nani huyo tena”, Silasi Biniga aliuliza katika hali ya mshangao.

“Nini Ananie”, Juvinali naye aliuliza.

“Inkotanyi”, Ananie alijibu.

“Bibiane wewe nenda. Sisi ngoja tujuwe huyu mtu ni nani?”, Juvenali alimweleza yule mwanamke huku yeye na Luteni Biniga wakichukuwa bastola zao na kutoka nje kwenda kumkabiri mtu huyu aliyekuja kuwapeleleza ili kabla hawajamuua wajuwe ni nani na anajuwa nini kuhusu wao. Wakati Bibiane anatoka ndani alikutana na Willy pamoja na mtu aliyemkamata, wakiwa wamefika mbele ya nyumba, kwenye mlango wa mbele.

“Simama hapo”, Ananie alimwamru Willy huku akiwa bado ameweka mikono yake kichwani. Bibiane alipotoka nje alimwangalia Willy. Willy naye akamtazama. Kulikuwa na mwanga wa kutosha kuweza kumtambua mtu. Bibiane alimwemweseka kwa Willy kisha akalekea kwenye lango kubwa la kutokea nje na kutokomea gizani.

“Luteni Biniga…, lazima mtu huyu ni Inkotanyi, amekuja kupeleleza kuhusu tukio la leo”, Ananie alimwambia Luteni Biniga walipotoka nje pamoja na Juvinali. Luteni Biniga alimwangalia Willy na kwa sura yake akabaini kuwa mtu huyu hakuwa Mnyarwanda. Bila kuchelewa Luteni Biniga alimpiga Willy kwa kitako cha bastola kwenye paji la uso na Willy akaanguka chini. Alipoanguka Juvinali naye alimpiga teke la tumboni. Willy alipotaka kuinuka alipigwa teke la ubavuni. Ni hapa ambapo mambo yaligeuka. Baada ya Juvinali kutupa teke kali lililompata Willy vilivyo ubavuni. Willy akahisi amevunjika mbavu, kama sumaku.

Willy aliunasa mguu wa Juvinali kabla haujarudi na kuupinda, kisha akauvuta upande wake, haraka sana akamlalia juu. Hii yote ilitokea kwa haraka mno kiasi cha kuwatatanisha Luteni Biniga na Ananie wasijuwe wafanye nini kwani wangefyatua risasi wangemuua Juvinali. Bastola ya Juvinali ilianguka chini karibu yao. Tena kwa kutumia nguvu zote alizokuwa nazo Willy alimrusha Juvinali kwa Ananie aliyekuwa kama hatua mbili kutoka pale walipokuwa. Juvinali akamkumba Ananie, wakaanguka huku bunduki ya Ananie ikitema risasi zilizomwingia Juvinali na kumwua hapohapo.

Wakati Willy alipomrusha Juvinali kwa Ananie. Haraka aliirukia ile bastola na kumpiga risasi kadhaa Luteni Biniga. Kabla hajafyatua bastola yake, risasi zikampata Luteni Biniga kwenye paja la uso na kumwua pale pale. Ananie naye kwa kutumia nguvu zake zote. Alijaribu kuitoa maiti ya Juvinali ili aichukuwe tena bunduki yake. Lakini hakuwahi. Willy alimpiga tena teke la kichwa na kumtoa fahamu. Willy akaivuta maiti ya Juvinali na kuitoa juu ya Ananie na kuanza kumvuta Ananie ili aweze kumuuliza maswali. Mara akasikia mlio kama wa king’ola. Akajuwa ama yule mwanamke ameripoti au ule mlio wa bunduki na bastola umesikika. Hivyo akajuwa angekutwa pale, kwa hasira aliivunja shingo ya Ananie na kumtupa chini. Akakimbilia ukutani. Akauparamia ukuta na kuangukia kwenye uchochoro wa mtaa wa pili; akakimbilia kwa Col. Rwivanga.

Alipoingia nyumba ya Col. Rwivanga. Ndipo Col. Rwivanga alipojuwa kuwa alipokuwa ameumia sana. Col. Rwivanga alikuwa ameusikia mlio wa bunduki lakini kwa Kigali halikuwa jambo la ajabu, ingawa alikuwa na wasiwasi. Lango la ua wake lilipofunguliwa tu alikuwa nje na ndipo alipomwona Willy akiingia huku akipepesuka. Col. Rwivanga alimsaidia wakaingia ndani. Willy alikuwa anatoka damu puani, Col. Rwivanga akajuwa kuwa alikuwa ameumia sana maana alipoonekana kama ana nyuso mbili kwa vile paji lake lilikuwa limevimba vibaya sana.

“Utadhani umekanyagwa na trekta”, Col. Rwivanga alisema baada ya kumwona Willy.

“Nakwambia ni zaidi ya trekta. Sijawahi kupigwa teke lenye nguvu kama lile”, Willy alijibu.
Dkt. Daniel Robinson alikuwa daktari mkuu wa Hospitali ya King Faisal mjini Kigali na alikuwa rafiki mkubwa wa Col. Rwivanga kabla Dkt. Robinson hajaja Rwanda alikuwa daktari katika Hospitali ya Mulago mjini Kampala, ambako alikuwa akiishi karibu na Col. Rwivanga. Na kwa muda wote walipokuwa Kampala walikuwa marafiki wa karibu sana.

Kwa hivyo wakati RPF walipoingia tu Kigali, Col. Rwivanga ndiye aliyekuwa kiongozi wa kikosi cha kwanza kabisa kilichoongoza mapambano dhidi ya majeshi ya serikali. Na kituo cha kwanza kabisa ni kuwaokoa watu waliokuwa Hospitali ya King Faisal ambako kuliwa na maelfu ya watu wakiwa pamoja na rafiki yake Dkt. Robinson. walikuwa wamejisalimisha ndani ya Hospita, lakini baada ya Intalahamwe kuwa wamewaua watu wengi Hospitali hapo pamoja na wagonjwa.

Baada ya Col. Rwivanga kuingia na kikosi cha kulinda usalama, watu wengi walipona. Siku zilizofuata majeruhi na wengineo aliponea katika Hospitali hiyo, hivyo Col. Rwivanga alimpigia simu Daktari Robinson ambaye ni Mzungu Mwingereza na kumweleza juu ya Willy kujeruhiwa.

“Niko njiani!”, Dkt. Robinson alimweleza Col. Rwivangga, wakati walipokuwa wanamsubiri Daktari, Willy alimweleza Col. Rwivanga yote yaliyotokea nyumbani kwa Luteni Silas Biniga.

“Nini maana ya Inkontanyi?, maana waliniita hivyo”, Willy aliuliza baada ya kumaliza maelezo yake.

“Inkontanyi huwa ina maana ya RPF. Maana yake hasa ni mpiganaji mkali na maarufu katika Kinyarwanda. Lilikuwa ni jina lililopewa kikosi kimoja cha Mfalme wa Bugiri katika karne ya kumi na tisa hivyo. Walihisi kuwa wewe utakuwa ni mpelelezi wa RPF”, Col. Rwivanga alieleza.

“Kwa hiyo. Inamaana wao siyo RPF”, Willy aliuliza.

“Bila shaka, kama ulivyosikia na hili limenitia wasiwasi sana kutambua kuwa katika uongozi wa katikati. Na bila shaka wa juu wa RPF tumeingiliwa na wasalti. Kinachoonekana wazi ni kuwa hawa waliopambana nawe nao ni watu wanaofanya hivi vitendo ni wapenda pesa. Sasa mtu au kikundi hatari ni kile kinachotoa pesa hicho ndicho yafaa tukijuwe na kukiangamiza ili Rwanda iweze kurudi hali yake ya amani”, Col. Rwivanga alijibu.

“Basi mtafute yule mwanamke niliyesikia wakimwita Bibiane na jibu lako utakuwa umelipata”, Willy alijibu huku akionekana kuwa maumivu yalikuwa yamezidi. Mara akasikia honi ya gari.

“Daktari huyo rafiki yangu, ngoja utubiwe usife maana kazi sasa ndiyo imeaanza”, Col. Rwivanga alimtia moyo Willy.

Col. Gatabazi alikuwa kati ya watu wa kwanza kufika kwa Luteni Silas Biniga, maana alikuwa akiishi nyumba ya nne tu kutoka pale. Alipofika hakuamini macho na akili yake ilishindwa kukubali. Watu wote hawa waliouawa walikuwa watu makini katika kundi lake, watu ambao alijua ndio wangemsaidia kuchukua madaraka muda utakapofika. Hili jambo lilimshitua sana. Watu wote hawa walikuwa askari shupavu, jasiri na waliojuwa kazi yao vizuri.

Yeyote yule aliyefanya kitendo hicho hakuwa mtu wa kawaida na kama ni kikundi, hakikuwa kikundi cha kawaida. Hawa watu watatu walikuwa na uwezo wa kuangamiza kikosi kizima cha jeshi la maadui lakini leo wameuawa kirahisi na wote kwa pamoja! Suala hili lilimshitua sana Col. Gatabazi, akaingiwa na woga na wasiwasi.

Gari la jeshi lenye king’ola, lilikuwa tayari limefika pale likiwa na askari wa doria wa sehemu zile, askari hao walifika mara baada ya kusikia milio ya risasi.

“Vipi hamjaona au kukutana na mtu au watu wowote waliofanya kitendo hiki?”, Col. Gatabazi aliwauliza wale askari wa doria kwa ghadhabu.

“Hapana afande, kote hapa ni shwari”, mmoja wapo alijibu.

“Haiwezekani kuwa shwari wakati maafisa wanaotegemewa kama hawa wameuawa hovyohovyo hivi”, Col. Gatabazi alieleza tena kwa ukali.

“Huenda wameuana wao wenyewe afande”, askari wa pili wa doria alijibu.
Col. Gatabazi alimwangalia kwa jicho baya mpaka yule askari akarudi hatua moja nyuma.

“Chukueni hizi maiti pelekeni hospitali na poteeni hapa mara moja”, Col. Gatabazi aliamrisha mara moja.

Col. Gatabazi alirudi nyumbani kwake ili apige simu Ufaransa. Alipofungua mlango wa mbele aliukuta uko wazi. Alishituka, akatoa bastola yake tayari kukabiliana na lolote ambalo lingetokea mbele yake. Alifungua mlango kwa ghafla huku bastola yake ikiwa tayari tayari.

“Vipi! mbona wasiwasi?”, Bibiane alimuuliza huku akiweka mguu mmoja juu ya mwingine pale sebuleni alipokuwa ameketi.

“Hujui kumetokea mauaji mabaya sana usiku huu na vijana wetu watatu wameuawa?”, Col. Gatabazi alihoji huku akirejesha bastola yake kwenye mkoba wake na macho yake yakiangalia mapaja ya Bibiane ambayo yalikuwa yameachwa wazi kwa kitendo chake cha kuweka miguu juu ya mwingine na kufanya nguo yake iliyokuwa fupi na ya kubana kuyaacha wazi.

Bibiane Habyarimana alikuwa mtoto wa Kinyarwanda ambaye baba yake alikuwa Mhutu na Mama yake chotara wa Kitutsi na Kifarasa. Alikuwa msichana aliyeumbika kwa sura na mrembo katika warembo. Alikuwa na urefu wa futi tano na inchi nane, hivyo, alikuwa mwanamke na urefu wa kutosha. Alikuwa na nywele ndefu za singa, macho makubwa ya blue, mashavu ya kumimina, pua ya kuchonga, midomo ya tasi, meno meupe yaliyopangika na kuacha mwanya kwenye safu ya juu. Hakika, alikuwa kapendelewa na muumbaji. Mwili wake mzima ulikuwa na muundo wa nyigu, juu mwembamba chini kajaa, akimalizia na miguu minene ivutiayo macho.

Ilimchukua Col. Gatabazi muda mrefu kupata la kusema maana kila alipoonana na msichana huyu alijikuta ulimi wake unakuwa mzito, anashindwa hata kusema. Mara nyingi alipatwa na kigugumizi kwani moyo ulimwenda mbio.

“Aliyewaua mimi nimemwona”, Bibiane alieleza bila wasiwasi utafikiri alikuwa anazungumza kitu cha kawaida tu.

“Unasemaje?”, Col. Gatabazi alimuuliza kwa mshangao.

“Aliyewaua nimemuona mimi. Nilikuwepo alipofika pale kwa Luteni Biniga”, Bibiane alijibu tena kwa utulivu, kisha akasema, “Hamna hata kinywaji humu ndani”. Kila wakati Col. Gatabazi alishangazwa na tabia ya huyu binti.

“Kinywaji kipo, huenda kweli tunakihitaji maana sasa wewe unazidi kunichanganya”, Col. Gatabazi alisema na kuelekea kwenye kabati la vinywaji akatoa chupa ya whisky na gini, akaleta barafu na glasi mbili.

“Utakunywa nini?”.

“Whisky niwekee barafu tu usiiharifu na maji”.

“Sawa mama, ehee unamaje eti ulikuwepo kwa Luteni Biniga?”, Col. Gatabazi aliuliza kwa shauku ya kutaka kujua.

Bibiane alimweleza kwa kirefu yaliyotokea pale kwa Luteni Biniga na kumalizia, “Watakati natoka ndani walikuwa wakimwuliza maswali pale nje, awaeleze yeye ni nani. Sikuwa na wasiwasi maana nilijuwa yule kaisha. Mbele ya wale wanaume hakuna ambaye angefanya kitu. Niliposikia risasi zinalia ile ya kwanza nilijuwa kauawa, lakini niliposikia milio ya risasi inazidi nikawa na wasiwasi nikarudi haraka kuchungulia na nikaona uliyoyaona, lakini mimi nilikuwa na bahati ya kumwona akiruka ukuta upande ule mwingine, akapotelea gizani. Yule ni mwanaume wa shoka na hapa kazi ipo, sina shaka yule ni Willy Gamba kama Jean alivyomwelezea. Hivyo, umeshindwa mtihani wako wa kwanza huyu mtu hakufa ndani ya ile ndege mliyoitungua. Fanya utafiti, utakuta amekuja na ndege nyingine, kakuzidi maarifa, tayari alishajuwa ni Luteni Silas Biniga aliyeamrisha ile ndege kupigwa. Mtu huyu ni hatari, mbona ni hatari sana! Kazi kwako Gatabazi. Kama unataka Uras kwanza inakubidi huyu mtu ummalize. Hizi habari zitamsikitisha sana Jean, wewe unajua.
“Usipommaliza haraka basi ujuwe wewe umekwisha kwani atakuumbua na RPF watakumaliza na utakuwa umewaangamiza Wahutu”, Bibiane alimalizia na tabasamu la mauti.

Woga ulimwingia Col. Gatabazi maana naye alihisi kuwa huenda yule alikuwa Willy Gamba. Rwanda hakukuwa na mtu mwenye uwezo kama huo. Jean alimweleza kwa kirefu uwezo wa huyo Willy Gamba na sasa aliudhihilisha. Vilevile, alijuwa Jean angekasirishwa sana kuona huyu mtu amejipenyeza mpaka kuleta maafa makubwa hivi.

Mtu wa kuweza kumsaidia kumweleza Jean mpaka amwelewe na kumsaidia katika mapambano na mtu huyu alikuwa ni Bibiane. Ingawa alikuwa akimtamani sana Bibiane, lakini alikuwa mwangalifu sana asimguse maana alijuwa siku moja angeweza kumtumia.

Bibiane alikuwa karibu sana na Jean alikuwa mpenzi wake lakini vilevile Bibiane alikuwa mhitimu wa fani ya upelelezi na usalama na akiwa amesomeshwa kwa msaada wa Jean. Jean alikuwa akifanya mambo yake kwa ufasaha. Alihitaji kuwa na mtu Afrika Mashariki na Kati ambaye angeangalia mambo yake bila kuhisiwa. Pamoja na kuwa alikuwa ametumbukia katika lindi la mapenzi na Bibiane, lakini kwa upande mkubwa alimtumia Bibiane kufanikisha mambo yake yaliyokuwa yakimletea maslahi.

Sababu hizi ndizo zilizomfanya Jean amugharamie Bibiane mafunzo ya hali ya juu ya upeleelezi na kweli msichana huyu alifuzu vizuri na alikuwa mjuzi. Idara ya upelelezi na usalama ya Ufaransa inayoshughulikia usalama wa nje (DGSE) ilimuongezea ujuzi msichana huyu na mara nyingi walimtumia katika kazi zake.

Ni huyu msichana, kwa kutumwa na DGSE, alikisambaratisha kikundi cha wanajeshi waliotaka kuipindua serikali ya Hassan Gouled wa Djibouti na kufanya wakamatwe, kwani siri zao zote alitoa wa serikali kupitia DGSE mpaka leo haikujulikana jinsi alivyoweza kupata ushahidi huo ambao hata kikundi hicho cha wanajeshi kilibaki kimepigwa na butwaa. Msaada huo wa Bibiane kwa DGSE ulimwongezea Jean uhusiano wa karibu.

Hivyo hata Bibiane alitumia idara hiyo kwa kumsaidia katika mambo yake. Ni Bibiane aliyekuwa kiungo kikubwa kati ya Jean na familia ya Rais. Ingawaje na yeye aliitwa Bibiane Habyarimana hakuwa na uko na Rais kwani familia za Kinyarwanda hutumia jina lake na siyo jina la ukoo kama jamii zingine.

vilevile, msichana huyu ndiye aliyekuwa kiungo kikubwa na wakubwa wengine wa serikali katika Afrika. Kutokana na umbile na sura yake ya kuvutia, ambayo kila siku ilimuonesha kuwa msichana mdogo asiyezidi umri wa miaka kumi na minane, hakuna aliyeweza kumuhisi kama mmoja ya watu hatari waliokuwa kiungo cha uhaini na ugaidi kati ya wakuu wa serikali, wafanyabiashara na magaidi wa Ulaya. Inasemekana wakati wa mkutano wa amani uliofanyika mjini Arusha, Tanzania, Bibiane alikuwapo kama mkalimani.

Baada ya mkutano huo, rais alimpa nafasi aondoke nae kwenye ndege yake, kwani alikuja kama mkalimani wake lakini Bibiane alikataa na kuondoka na Jean kwa barabara kupitia Nairobi, nchini Kenya. Inasemekana alijua nini kingetokea, kwani yeye aliingia kwa ndege ya jeshi la Ufaransa akitokea Nairobi, mara tu baada ya marais kuuawa tarehe 6 aprili Bibiane alisaidia kumchukua mke wa rais na familia yake ya watu kumi na watano na kuwapeleka Ufaransa.

Pia. Inasemekana. Kwa kusaidiana na Jean aliwawezesha Protais Naimana na Feldinand Zigilanyilazo kuwapatia visa ya kusafiria na kuwawezesha kwenda Ulaya. Hivyo. yote hii inaweza kukuonyesha jinsi gani msichana huyu mwenye umri wa miaka ishirini na saba tu alivyoweza kufanya mambo makubwa. Alikuwa msichana hatari sana.

Lazima tumweleze Jean hali halisi”, Col. Gatabazo alimweleza Bibiane.

“Piga simu!”.

“Sawa. Lakini uzungumze nae kwanza”.

“Sawa!”, Bibiane alijibu. Alimwangalia Col. Gatabazi. Akaona kuwa ameingiwa na woga. Bibiane aliwaponda sana wanaume walioonekana waoga. Kwa mara ya kwanza alimponda Col. Gatabazi, aliwapenda sana watu jasiri mwanaume yeyote shupavu aliifanya damu yake ichemke na kuchochea tamaa zake za mwili. Lakini mwanaume mwoga hata awe mzuri na sifa aina gani alimtia baridi. Mara hii alihisi baridi na kumchukia Col. Gatabazo mawazo yake yalitembea na kumfikiria Jean. Ile kumfikiria tu alihisi damu yake ikichemka. Kwake Jean ndiye alikuwa mfano wa mwanaume ampendaye, jasiri, shupavu anayepata kile anachokitaka hata iwe kwa gharama gani, hata ikibidi kuhatarisha maisha yake.

Ndivyo Jean alivyokuwa. Bibiane alimpenda Jean kikwelikweli. Ingawa Jean alikuwa mzungu, lakini alikuwa mzungu wa aina yake. Alijuwa kupenda na alijuwa jinsi ya kumfurahisha mwanamke mpaka kumaliza haja zake za kimwili. Lakini zaidi ya yote alimpenda kwa ujasiri na ushupavu wake katika mambo yake.  Iwe biashara, iwe siasa yeye alikuwa ndie bingwa wa mchezo.

Alifikiria jinsi watu wenye vyeo vikubwa, wakuu wa nchi, matajiri walivyo yeyuka kama barafu mbele ya Jean kila alipopambana nao. Kila siku ndiye aliyetokea kuwa mshindi. Hata rais alipojaribu kumgeuka na kukabiliana na mambo kinyume na matakwa yake, Jean aliibuka mshindi na rais akapoteza maisha. Hata hali ya sasa ya Rwanda, kuwepo RPF, ilikuwa kata ya mbinu zake. Na Bibiane aliamini kabisa kuwa hii ilikuwa ni mipango yake ili baadae aiondoe serikali ya RPF na kumuweka mtu wake Col. Gatabazi. Mwanzo Bibiane alirudi kwa Col. Gatabazi.
Alimfikiria na kisha akatambua mtu kama yeye ndiye angewafaa yeye na Jean, mtu mwoga, mtu anaependa fedha, mtu ambaye anafanya kile ambacho angeambiwa. Kiongozi kama viongozi wengine wa Afrika, mtu anayejifikiria yeye na wala sio nchi au watu wake, mtu mbinafsi, kama walivyo watawala wengi wa kiafrika, Col. Gatabazi alifaa sana kutawala Rwanda.

“Njoo Jean yupo kwenye simu,” Col. Gatabazi alimshtua Bibiane kutoka kwenye lindi la mawazo.

“Oh asante sana”” alijibu.

“Mpenzi hujambo?” Bibiane alimsalimia Jean.

“Sijambo, pole na matatizo huko,” Jean alijibu.

“Col. amekueleza?”

“Amesema wewe ndiye utanipa safi!”

“Una maana sikupagi safi?”

“Wacha masihara huu si wakati wake. Hebu nieleze imekuwaje?”

“Huwenda na mimi ningekuwepo ningekuwa nimekufa,” Bibiane alijibu.

“Sawa tu hiyo ingekuwa kifo kazini,” Jean alijibu kwa sauti kavu.

Mara Bibiane akasikia damu yake inasisimka kwani alitaka mwanamume kama huyu asiye na huruma. Huyu ndiye aliyekuwa mwanamume wa kiwango chake.

“Yaani ningekufa asingejali.”

“Bila shaka nigejali, lakini kama ungekufa katika mstari wa kazi ni vizuri zaidi kuliko kufa kibudu,” Jean alijibu na kuendelea, “Hebu nipe imekuwaje”.

Bibiane alichukuwa muda kumwelezea jinsi mambo yalivyotokea.

“Yaani huyu Willy Gamba umemuona kwa macho yako?.

“Ndiyo kwanza sikumtilia maanani sana, nilishtuka kuwa ni yeye baada ya kazi aliyokuwa ameifanya. Mwanzoni nilifikiri ni ka-Inyezi kalikopata fununu ambako vijana walikuwa tayari kushughulika,” Bibiane alijibu

“Lazma umsaidie Col. Gatabazi kummaliza huyu mtu, Na mimi nitafanya mipango ya kukupeni msaada wa watu wenye ujuzi wa juu wawasaidie kumuondoa huyu funza anayetaka kula nyama yetu,” Jean alijibu.

“Ukisema wewe sisi tutatekeleza, tunaomba hua msaada wako haraka maana hata siye tuna wasiwasi ,” Bibiane alijibu.

“Usiwe na wasiwasi, unajua watu kama huyo Willy Gamba ndio nawataka mimi,”

“Najua Jean, wewe tena! Bwana nakuwaza, nataka nije huko unikumbatie, najua huwezi kuja huku sasa!. Bibiane alijibu kwa sauti ya mahaba.

“Baada ya kazi hiyo ya Willy Gamba tuonane Nairobi hata mimi nakutamuni sana,” Jean alijibu.

“Haya kazi kwanza.”

“Halafu kama kazi,” Jean alimalizia na kumuomba Col. Gatabazi tena.

“Kwaheri mpenzi!”

“Kwaheri Bibiane. Col. Gatabazi atakupa mipango yote,” Jean alimalizia.
 Jean alipozungumza na Col. Gatabazi alimweleza mipango yake ya kummaliza Willy ambayo ilikuwa ikiendelea kichwani mwake.

“Nafikiri mawazo yako ni sahihi tutafanya hivyo. Asubuhi nitawasiliana na wewe,” Col. Gatabazi alijibu.

Simu ilipolia ilimshitua sana JKS, maana alikuwa tayari amelala na ilikuwa yapata saa sita za usiku kwa saa za Afrika Mashariki.

“Hallo”, JKS aliita.

“Jean”.

Mara moja usingizi ulikwisha.

“Ehe, salama huko?”, JKS alijibu kwa shauku maana tokea alipopewa taarifa kuwa Willy Gamba alikuwa ameuawa basi roho yake ilikuwa imetulia kabisa.

“Mambo siyo mazuri, rafiki yako hakufa na kaibuka na mambo mapya”, kisha akamweleza yote yaliyotokea Kigali.

“Basi huyu ana miguu ya nyuka”, JKS alijibu huku sauti yake ikionyesha wasiwasi.

Si wewe mwenyewe ulisema ni mtu hatari, na huu mchezo anaujuwa, sasa basi kazi imefika na inabidi sasa iwe kazi hasa, maana wakati wote tumekuwa tukimchezea”, Jean alijibu.

“Sasa mimi nitakusaidia vipi?”, JKS aliuliza.

“Utanisaidia mimi au utajisaidia vipi?, unasema kana kwamba wewe haumo kwenye huu mchezo! mchezo huu ni hatari kwako kuliko mimi maana huyu mtu akigundua kuwa wewe umekuwa mmoja wa watu ambao wamekuwa wakiuhujumu mwelekeo wa nchi yako kuhusu suala hili la Rwanda na masuala mengine basi ujuwe umeisha na urais wa Tanzania utauangalia kwenye ndoto zako tu. Kwa hiyo mtu huyu ni hatari kwako kuliko kwangu, hivyo ni kwa faida yako auawe mara moja!!”, Jean alimwasa JKS.

“Tufanye nini sasa?”, JKS alijibu kwa sauti ya woga.

“Kati ya vijana wetu wazuri na mahiri na wale vijana walioko Arusha ni wazuri sana. Hao ndio saizi ya huyu Gamba kutokana na uzoefu walionao na ujuzi pia ambao wanao. Kwa hiyo. Nataka wote wanne na kiongozi wao, Xavier Nkubana, waende wakaimalize hii kazi. Sasa ninachotaka ufanye ni kuwatafutia pasi mpya za kitanzania waonekane ni Watutsi ambao zamani walikimbilia Tanzania na sasa wanakwenda kuangalia hali ilivyo. Siku zote walikuwa wakifanyakazi yao kwa siri na hakuna atakayewashitukia. Hivyo watafutie hizo pasi na usafiri. Uhakikishe kesho wako Kigali. Wakifika Kigali wawasiliane na Col. Gatabazi atawapa maelekezo ya kufanya. Lazima tusishindwe juu ya jambo hili”, Jean alisisitiza.

“Hilo ulilosema hesabu limefanyika, nitatumia nguvu za dola kuhakikisha kesho wako Kigali mapema kabisa. Nkubana amenipigia simu leo na kusema vijana wanasikia kuchoka kukaa tu bila kazi. Hivyo, nikiwaeleza kuwa wanarudi Kigali kwa kazi ngumu, watafurahi sana”, JKS alijibu.

“Hiyo safi, basi fanya hivyo na wakishafika nipe taarifa. Hata hivyo, Col. Gatabazi atanipa taarifa, wakiondoka tu mpigie simu Col. Gatabazi”, Jean alimalizia na kukata simu.

Saa ileile JKS alipiga simu Arusha ambako ndiko Xavier Nkubana na wenzake walikuwa wakikaa. Tokea kifo cha Rais wa Rwanda, wao walibaki Tanzania kama wakimbizi na JKS aliwafanyia mipango yote. Hakuna mtu hata mmoja aliyewahisi kwa ubaya, walikuwa wakiishi kwa starehe na kifahari, kama kawaida ya wageni katika Tanzania.

Tanzania ni nchi ya namna ya kipekee kwani wageni ndio wanastarehe kuliko wenyeji. Kwa mtu mgeni kuishi kifahari ilikuwa ni sawa, lakini Mtanzania akitokea kuishi hivyo basi watu humhisi kuwa si mtu mwaminifu na husumbuliwa mara kwa mara na vyombo vya dola mpaka imewafikisha watanzania mahala ambapo hata kama wana uwezo huishi kwa kujibana kwa kuogopa kubuguziwa. Lakini mgeni hata akiishi kifahari vipi alionekana ni sawa na hakuna chombo cha dola ambacho kingeweza kumgusa, na vilevile wananchi hubaki kumsifia kwa ufahari wake.
Hivyo, Nkubana na wenzake waliishi Arusha kwa raha mstarehe wakiwa wameifanya Arusha kama sehemu yao ya kufanyia mipango ya kuihujumu serikali ya RPF. Kusema kweli hawa jamaa walikuwa wauaji katili sana, na si kweli kuwa walikuwa wamebaki Tanzania wakati wa kifo cha Rais, ila walikuwa miongoni mwa watu walioongoza mauaji ya Watutsi. Inasemekana mmoja kati yao, Felician Nzirorera, ndiye aliyekuwa akitangaza na kuchochea watu kwa kutumia radio ya RPLM iliyokuwa ikimilikiwa na Wahutu wenye siasa kali. Radio Televisheni Libre Des Milles Collines (RTLM), iliyokuwa radio ya uchochezi, na mauaji yalipoanza wengi wa watangazaji wake walijiunga katika mauaji na wakubwa wao kukimbilia nje baada ya kuchochea mauaji.

Lakini Nzirorera aliendelea kwa muda mrefu akiwa anatangaza kwa kuhama na stesheni yake ya redio kwenye gari akiwachochea Wahutu kuendelea kuwauwa Watutsi. Na ni mtu huyu pamoja na wenzake aliyekuwa akila starehe hapo mjini Arusha akiendesha magari ya fahari badala ya kuwa amekamatwa kungojea mahakama maalumu ya wauaji hapo Arusha. Kama si JKS kuwasaidia na kuwapa sifa tofauti kuwa wao walikuwa ni maafisa safi wa serikali waliojikuta kwenye mapambano ambayo hawakuwa washiriki, leo hii wangekuwa kati ya watu waliokuwa wakitafutwa na mahakama ya kimataifa ya mauaji ya Rwanda.

Simu ililia chumbani mwa Nkubana, bahati nzuri alikuwa ndio kwanza amerudi toka hoteli Sabasaba kwenye disko ambako alijipatia msichana wa kustarehe naye usiku huo. Simu ilipolia Nkubana alimwacha yule msichana sebuleni na kwenda kuchukua simu chumbani.

“Hello, Xavier”.

“JKS”.

“Shikamoo, vipi kulikoni”.

“Sikiliza kwa makini”.

JKS alimweleza yote kuhusu ambavyo yeye na wenzake walikuwa wakitakiwa kwenda Rwanda kumsaidia Bibiane na Col. Gatabazi kummaliza Willy Gamba.

“Hiyo safi sana, tulikuwa tunakaa hapa, tunalewa na kustarehe tu na wanawake maana hatukuwa na kazi. Sisi tuko tayari hata sasa”, Nkubana alijibu.

JKS alimweleza mipango yote na jinsi ambavyo wangesafiri mpaka Kigali.

“Hakika mzee, wewe hushindwi kitu. Kweli madaraka ukijuwa kuyatumia ni matamu sana maana kila kitu kinawezekana, sijui bila wewe tungefanya nini. Asante sana. nitawaeleza wenzangu. Hivyo, saa mbili asubuhi tutakuwa tayari. Na hesabu hiyo kazi huko Kigali imeisha maana tuna uchu na damu”, Nkubana alijibu kwa majidai.

“Asante na kwa heri”.

Nkubana alikuwa amewaacha wenzake kwenye disko. Aliporudi sabuleni alimkuta yule msichana amelala kwenye kiti.

“We, amka turudi kwenye disko”.

“Kwanini, mimi nataka kulala, nimechoka”.

“”Kwani umekuja kulala hapa, kulala ni nyumbani kwako, hapa uko kazini, kazi ya kunistarehesha mimi, kwa vile nasikia nataka kucheza disko tena, utanifuata”.

Yule msichana akiwa anashangaa, Nkubana alimuinua na wakaelekea kwenye gari ili kurudi disko sabasaba.

CENTRE CHRISTUS

Ilikuwa yapata saa moja ya usiku wakati Willy alipofika kwenye kituo cha kidini cha Centre Christus. Alikuwa bado anasikia maumivu ya ubavuni yaliyotokana na mapambano ya juzi yake. Hata hivyo, aliamua kuendelea na kazi kwa vile muda ulikuwa hamruhusu kungoja apone kabisa.
Langoni mwa kituo hiku alimkuta mtawa mmoja aliyemwuliza jina, na baada ya kujitambulisha mtawa huyu alimchukuwa Willy na kumpeleka kwenye nyumba ya Padri Marcel Karangwa ambaye alimkuta akimsubiri.

“Karibu sana Willy Gamba, karibu Kigali. Kigali inanuka mauti; hata nyumba ya Mungu inanuka mauti”, Padri Karangwa alimkaribisha sebuleni mwa nyumba yake.

“Nashukuru sana Padri hasa kwa kukubali mimi nije nikuone mara tu baada ya maafa yaliyotokea kwenye kituo chako hiki, nashukuru sana”, Willy alijibu.

“Unakaribishwa sana, Bwana Musoke amenieleza kila kitu, nasi tunafarijika sana kukutana na watu kama nyinyi ambao mnaweza kuleta matumaini ya amani ya nchi kama hii. Kweli, tuko tayari kukupa maelezo yoyote unayohitaji kwa shughuli yako”, Padri Karangwa alimweleza Willy.

“Asante Padri, mimi nisingependa nichukuwe muda wako mwingi kwa vile una majukumu makubwa ya kukijenga upya kituo hiki na kurudisha imani ya watu katika nyumba ya Mungu”, Willy alijibu wakati mmoja wa watawa akileta chai na kahawa.

“Utakunywa chai au kahawa”, Padri Karangwa alimuuliza Willy.

“Chai ya rangi”, Willy alijibu na kupewa chai ya rangi na kipande cha mkate na Padri Karangwa akapewa kahawa.

“Bwana Musoke alisema ungependa kujuwa kwa kifupi hasa ni nini kiini cha chuki iliyokithiri kati ya makabila haya ya Kitutsi na Kihutu”.

“Sawa kabisa”, Willy alijibu.

“Kwanza kabisa mimi ni Mtutsi…”. Alipoanza kuongea akaingia Padri mwingine. Padri Karangwa alimkaribisha na kumjulisha kwa Willy Gamba. “Huyu Padri Boniface Sibomana na ni mmoja wa watu waliopona mauaji”. Kisha akamjulisha Willy Gamba. “Na huyu ni Willy Gamba, mwandishi wa habari kutoka Tanzania, ambaye pia amekuja kama wengine wengi waliomtangulia kutupa pole na kutaka kuelewa vipi watu wa nchi moja wanaweza kugeukiana na kuuana kikatili namna hii.

Willy na Padri Sibomana walipeana mikono na wakaketi chini kuendelea na mazungumzo.

“Kama nilivyokueleza mimi ni Mtutsi, lakini Padri Sibomana ni Mhutu, sasa sema tofauti yetu sisi kimaumbile ni nini?”, Padri Karangwa alimwuliza Willy. Willy aliwaangalia wote wawili. kweli kimaumbile kati ya hawa wawili hasa hakukuwa na tofauti.

“Hakuna”, Willy alijibu huku mapadri hawa wawili wakitabasamu.

“Kama hakuna jibu la swala zima la mauaji ya Watutsi na Wahutu wenye msimamo wa wastani, basi mauaji haya yalishinikizwa kisiasa na kikundi cha watu wachache wenye madaraka makubwa katika Serikali ya Rwanda. Mara nyingi vita ya wenyewe kwa wenyewe katika Rwanda ikisingiziwa kuwa ni vita ya kikabila. Hii si kweli na inapotosha ukweli, ila yanapotokea mauaji kama haya ndipo ujenzi wa chuki wa kikabila unajengwa. Wahutu na Watutsi wameishi pamoja kwa karne nyingi na tofauti zao si hizi tunazoziona leo, kwani hakukuwa na chuki kati ya makabila haya. Ni utawala wa kikoloni wa kugawa nitawale na baadaye. Serikali zetu zilizoongozwa na ubinafsi na uchu wa madaraka uliohubiri kuwepo tofauti kati ya wahutu na Watutsi, tofauti ambazo awali hazikuwepo. Kwa kifupi ni kwamba ili mbinu za kisasa za kuyatumia makabila haya mawili ili watawala wabaki kwenye madaraka ambayo yamesababisha mauaji haya ya kikatili ambayo tumeyashuhudia”, Padri Karangwa alinyamaza kidogo ili anywe kahawa yake wakati Willy na Padri Sibomana wakimsikiliza kwa makini.

Kisha Padri Karangwa aliendelea. “Kama nilivyosema mwanzo, mauaji ya kikatili Rwanda hayakutokea ghafla tu kiwendawazimu eti kwa sababu kabila moja lilikuwa likilichukia kabila lingine. Mauaji ya Rwanda yalikuwa yamepangwa siku nyingi na kwa ufasaha kabisa na watawala wa nchi yetu. Ili kulielewa hili na ili mtu asisingizie kuwa mauaji haya yametokana na ukabila inabidi kwa kifupi tuangalie historia ya Rwanda kwa maana ya makabila haya mawili ya Watutsi na wahutu”, Padri Karangwa alieleza.

“Nafikiri kweli ni vizuri tupate historia fupi ya jinsi chuki ilivyojengeka maana mauaji haya ya Watutsi na Wahutu wenye siasa kali ni ya kinyama yaani binadamu ameweza kuwa mharibifu na mkatili kiasi hiki”, Willy alisema kwa kusikitika.
“Historia ya Rwanda inaonyesha kwamba watu wa kwanza kuishi Rwanda walikuwa wawindaji ambao ni kizazi cha kabila dogo la Watwa. Inasemekana kuwa wakulima, ambao ni Wahutu, ndio waliofuatia na kisha wafugaji ambao ni Watutsi, ndio walikuwa wa mwisho kufika, na wote waliishi pamoja kila ukoo ukiwa na utawala wake wa kichifu. Kusema kuwa Watutsi walikuja kama wavamizi na kutaka kutawala kwa nguvu makabila mengine si kweli, kwani wana historia wengi wameupinga usemi huo, ila kitu ambacho kilitokea ni kwamba karibu vizazi ishirini vilivyopita ukoo mmoja wa Kitutsi ulioitwa Nyinginya ulipata sifa katikati ya Rwanda na kuanzisha utawala wa kifalme ambao ulitawanyika kwenda kusini mwa Rwanda ya sasa.

ITAENDELEA

UCHU – 1

Simulizi : Uchu
Sehemu Ya Kwanza (1)
ARUSHA

Christopher Temu, ambaye Jumapili hii nyumbani kwake Arusha, alikuwa amefikiwa na ugeni mkubwa kutoka Umoja wa wanaharakati wa Afrika (Pan African Movement PAM) kutoka sehemu mbalimbali za Afrika. Temu alikuwa mwanachama wa chama hicho.

Hii haikuwa mara ya kwanza kwa watu hawa kukutana nyumbani kwa Temu kwani watatu kati yao walikaa nyumbani kwake kwa muda usiopungua miezi sita. Mnamo mwaka 1992 na 1993 walihudhuria mkutano uliofanyika Arusha kuvisuruhisha vikundi mbalimbali vilivyokuwa vikipambana katika mgogoro wa nchi ya Rwanda, ili mgogoro huo umalizike kwa njia ya amani

Kikundi hiki cha PAM. ambacho kilikuwa kinahudhuria kama kikundi cha wapenda amani wa Afrika. Kilikuwa kinaweka shinikizo kwa kila upande uliokuwa unahusika na mgogoro huo ili umalizike kwa amani. PAM ilianzishwa mwanzoni mwa karne ya 19 ikiwa na lengo la kupambana na utumwa, ukoloni mkongwe, ukoloni mamboleo, kupigania haki ya watu weusi na kuhakikisha kuwa waafrika wanaweza kupambanua mambo yao wenyewe.

Hivyo, mara hii kikao kilichokuwa kinafanyika nyumbani kwa Temu kilikuwa cha kutathmini juhudi zote zilizofanywa kuumaliza mgogoro wa Rwanda kwa amani, lakini bila mafanikio. Wakiwa wamekaa kwenye bustani nzuri iliyokuwa nyuma ya nyumba hii iliyojengwa kisasa. Ikiwa kwenye barabara ya Njiro kwenye kilima kidogo ikiuangalia mji wa Arusha kwa upande wa Kijenge. Mkutano uliendelea mchana huu wa saa kumi alasiri huku bia aina ya safari na ndafu, iliyokuwa inachomwa hapohapo kwenye jiko la mkaa vikiendelea kuwa viburudisho vya wageni hawa.
“Ndugu zangu. Fundisho kwa Rwanda ni fundisho kwetu sote, na sisi tukiwa tumejitolea kuona Afrika inajikomboa na kujitawala kwa amani ni lazima tukae chini kulitafakari swala zima la Rwanda tuone makosa yalitokea wapi, na kwanini hali ilifikia hapo ilipofikia na watu zaidi ya milioni moja kuteketea bila Afrika wala dunia kufanya chochote”, Jackson Musoke kutoka Uganda ambaye pia ndiye Mwenyekiti wa PAM Kanda ya Afrika Mashariki alieleza.

“Ni kweli kabisa maneno uliyosema, lakini mimi nafikiri wakati mkutano wa amani ulipokuwa unaendelea hapa Arusha. Ukweli wa mambo Rwanda ulikuwa haufahamiki. Na hivyo maamuzi mengi yaliyofanyika hayakuzingatia hali halisi ya mambo ilivyokuwa Rwanda wakati huo. Na ningependa niseme kuwa hata hivi sasa tunavyokaa hapa hali halisi na ukweli wa mambo Rwanda bado haujulikani. Ndio maana Jumuia ya Kimataifa, Umoja wa Mataifa, Umoja wa Nchi Huru za Afrika bado wanafanya maamuzi ambayo yanazidi kuleta matatizo nchini humo, na kuifanya serikali ya sasa iyumbe katika kutekeleza shughuri zake za kuleta amani iliyo ya kweli katika nchi hiyo”, Alfred Kimani kutoka Kenya aliongezea.

“Sasa tutafanya nini ili huo ukweli wa mambo uweze kujulikana na matatizo yaliyo mengi katika nchi hiyo yaweze kutatuliwa?”, Temu aliuliza.

“Mimi nafikiri tuunde tume ya uchunguzi, ikafanye uchunguzi, ichimbe chanzo cha matatizo Rwanda toka kabla ya uhuru mpaka sasa, na kujaribu kuelewa kabisa tatizo ni nini na nani anahusika na matatzo kwani mimi siamini kuwa tatizo hasa ni kabila tu. Miaka yote tumefikiria hivyo na kujaribu kumaliza tofauti za kikabila lakini mambo bado yako pale pale”, Abdul Abakutsi toka Nigeria alijibu.

“Vilevile, kama tatizo ni la kikabila, lazima uchunguzi ufanyike ili ipatikane namna ya kulitatua tatizo hilo maana hatuwezi kukaa tu na kusema kwa sababu ni tatizo la kikabila, basi halina ufumbuzi”, Lukaka Makwega kutoka Zambia aliongeza.

“Tulipokuwa hapa kwa ajili ya mkutano wa amani, ilionekana kwamba serikali tawala ndiyo iliyokuwa inachochea ukabila. Swali hapa ni kwanini serikali inachochea ukabila?. Ni kwa sababu inataka kubaki madarakani kwa njia ya gawa utawale au Rais alikuwa na sera za kikabila yeye mwenyewe au kulikuwa na kitu kingine kilichokuwa kinachochea hali hii, maana kinachotisha zaidi ni jinsi mauaji hayo yalivyotokea. Inaonekana kuwa dakika ishirini tu baada ya ndege ilikuwa imemchukua Rais kutunguliwa mauaji yalianza sehemu zote. Hii inaonyesha mauaji yamepangwa kabla. Ina maana ilijulikana kuwa Rais atauawa siku hiyo?. Na kama Rais ndiye aliyepanga mauaji haya, je alijuwa kuwa atauawa, na kwa hiyo akapanga akiuawa alipiziwe kisasi?. Na kama alijuwa atauawa kwani alirudi na ile ndege! Mimi vilevile naanza kukubaliana na wenzangu kuwa huenda kuna mambo zaidi yasiyojulikana ambayo yanaleta matatizo nchini humo. Nami naamini kuwa mambo hayo yakifichuliwa ufumbuzi wa matatizo ya ndugu zetu hao utapatikana haraka”, Charles Malisa wa Tanzania alichangia.

“Kuna kitu kingine nilichokisema mwanzoni ambacho kinatisha sana. Jumuia ya Kimataifa haikufanya kitu chochote pamoja na kuona jinsi watu walivyokuwa wakiuawa kinyama. Majeshi ya kulinda amani ya Umoja wa Mataifa yalikuwepo. Na Jeshi la Ufaransa lilikuwemo nchini humo wakati wa mauaji. Nchi kama Marekani ambazo zimejitokeza kama Polisi wa dunia, vilevile haikushtuka. Na kila mtu anakubali kuwa haya yalikuwa mauaji ya kikatili yaliyopangwa kuliko yale ya Hitler aliyowaua Wayahudi. Kwanini hali ilibaki hivi! Na nchi za kiafrika nazo zilikaa tu zikiangalia kabila moja ndani ya nchi ya kiafrika likiangamizwa kabisa ili lisiwepo tena. Jamani hapa kuna sababu na kuna jambo ambalo halieleweki. Uchunguzi ni kitu cha lazima”, Musoke alisisitiza.

“Abakutsi ametoa ushauri wa kuunda tume ya uchunguzi, sijui ni tume ya watu wa namna gani anayozungumzia, maana nchi yenyewe ya Rwanda bado iko katika hali ya kivita bado wanauana. Serikali ya sasa bado haina uwezo wa kudhibiti hali ya usalama katika nchi hiyo. Mambo yote bado shagalabagala. Tukisema watu kama sisi twende huko kufanya uchunguzi hakika hatutaambulia kitu kama si kutafuta kuuawa. Uchunguzi ni muhimu lakini lazima tufikirie uchunguzi huu ufanywe namna gani”, Makwega alishauri.

Watu wote waliohudhuria kikao hiki walinyamaza kimya wakitafakari kwa kina kuhusu uzito wa suala hili nyeti.

“Lete ndafu na utuongeze vinywaji, tunatakari huku tukilegeza makoo”, Temu alimwagiza mtumishi wake. Bia baridi aina ya Safari zikaletwa na mabwana hawa wakaendelea kulegeza makoo na kutafuna ndafu, huku wote wakitafakari mazungumzo yao kwa makini.

Baada ya kimya kirefu Abakotsi alivunja kimya hicho. “Huenda ikawa ni lazima tuunde kikosi cha siri cha upelelezi, kipeleleze kwa sirisiri halafu kituletee taarifa maana serikali zetu zinao vijana wanaoweza kufanya upelelezi kama huo na ukazaa matunda. Kama bwana Makwega alivyosema, tume ya kawaida haiwezi kuambulia kitu, kwani mambo ni magumu huko. Nia yetu ni kupata ufumbuzi na si kupeleka watu wakauawe. Mnasemaje jamani?”.
“Hapo umenena, hiyo ndio njia pekee ya kuweza kuingia ndani na kupeleleza kiini cha matatizo hayo. Mimi nakuunga mkono ila tutaiomba serikali gani itupe msaada huo?. Nyinyi wenyewe mliona jinsi serikali zetu zilivyonyamaza na kuacha kana kwamba hazikujua kuwa mauaji yalikuwa yakifanyika Rwanda”, Makwega alinena.

“Wote tunakubaliana kuwa njia nzuri ya kupata kiini cha matatizo yaliyosababisha hali ya Rwanda ikafikia pale ni kutuma kikosi cha upelelezi?”, Musoke aliuliza.

“Ndiyo”, wote walijibu kwa pamoja.
“Basi, tuahirishe mkutano kwa leo, tuonane hapa kesho mchana saa kama hizi ili niweze kuwasiliana na watu fulani fulani ambao naamini wanaweza kutusaidia bila kugongana na serikali zetu”, Musoke alisema.

Nyuso za wajumbe, ambazo kwa muda mrefu zilikuwa zikionyesha wasiwasi, zilikunjuka na kuonyesha furaha. Ndipo wote walipokumbuka kuwa Musoke ndiye aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Upelelezi ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kabla haijavunjika. Hivyo, alijuana na wakuu wa idara hizi katika Afrika Mashariki, na alisemekana hadi sasa alikuwa akiombwa ushauri wa kiupelelezi mara kwa mara.

Baada ya kumaliza vinywaji vyao, wote waliondoka kuelekea kwenye hoteli zao walikofikia. Usiku ule Musoke aliporudi hotelini kwake, pale Mount Meru, aliwapigia simu rafiki zake, yaani wakurugenzi wa upelelezi wa Kenya, Uganda na Tanzania. Alizungumza nao kidiplomasia na kila mmoja alimuomba ushauri na kumweleza sababu za kufanya hivyo. La kusikitisha ni kwamba, kwa vile yeye alikuwa sasa anaongoza chombo ambacho si cha kiserikali, serikali zisingeweza kumsaidia mtu au kikundi cha watu, kwa vile ingeshindwa kujieleza iwapo mkasa wowote wa kiupelelezi ungetokea.

Hilo ndilo lililokuwa jibu la kila mkurugenzi wa upelelezi. Wote waliomba samahani kwa hilo kwani walimheshimu sana, lakini ilikuwa nje ya masharti yao ya kazi, hasa wakati huu ambapo siasa za nchi hizi ni kutoingilia mambo ya ndani ya nchi zingine!

Swala hili lilimkasilisha sana Musoke. Wakati wenzao katika PAM wanapigania Afrika iwe moja, wengine wanadai eti ni kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine!

“Ole wetu Afrika”, Musoke alijililia. Ni wakati alipokaribia kukata tamaa, baada ya kufikiri sana namna ya kuweza kufanya ndipo alipomkumbuka Mzee mmoja mstaafu. Alifikiri huyu angeweza kumtatulia shida yake kwani ni Mzee aliyeisaidia sana Afrika, hasa wakati wa ukombozi wa nchi zilizo kusini mwa Afrika. Yeye alijuana na wapelelezi wengi na maamuzi yake yalikuwa ya pekee, na ndiye aliyekuwa kitovu cha ukombozi Kusini mwa Afrika. Mpaka leo wengi walimjua kwa jina la “Chifu” tu.

Musoke aliangalia ndani ya kitabu chake cha simu, akaipata namba ya Chifu ya nyumbani na kumpigia simu.

Alipoangalia saa ilikuwa yapata saa tano usiku.

“Hallo”, alisikia sauti ya Chifu, ikiwa na nguvu kama ya kijana wa miaka thelathini.

“Mzee, shikamoo, Musoke hapa”.

“Marahaba Musoke, habari za siku nyingi, nini kinakufaya unipigie simu saa hizi?”.

“Umekasirika Mzee?”.

“Hapana, shauku”.

“Bado tu uko vilevile, utafikiri hujastaafu?”.

“Mwili ndio unastaafu lakini nafsi huwa haistaafu maana nafsi haizeeki isipokuwa mwili”.

“Ahsante nitazingatia, huo ushauri, maana nami naitwa mzee sasa na nafsi yangu imeanza kukubali”.

“Hapana usiruhusu kabisa. Haya, lete habari zinazokufanya umpigie simu mzee kama mimi saa hizi kwanza uko wapi?”.

“Niko Arusha”.

“Aha, nilifikiri uko Kampala”.

“Niko Arusha, Chifu”. Ilikuwa ukimwita Chifu mara moja anajuwa kazi imeanza.

“Haya lete hizo habari”.

Musoke alimweleza habari zote toka mwanzo mpaka mwisho. Pia alimweleza jinsi idara za upelelezi za serikali zilivyokataa kumsaidia kwa kitu nyeti kama hiki.

“Pole sana”, Chifu alimjibu baada ya kuyasikia yote.
“Tatizo lako ni kubwa, la kuangaliwa kwa makini sana. Mimi mwenyewe nimekuwa nikishangazwa sana na mambo yalivyo Rwanda. Enzi zetu sisi tusingeruhusu hali kama hiyo itokee, wewe mwenyewe unajuwa msimamo wetu ulivyokuwa”.

“Ndio Chifu, lakini serikali zetu za sasa kila mtu eti na nchi yake, eti hiyo ndio wanaiita demokrasia”, Musoke alijibu.

Wakati wanazungumza kwenye simu mawazo ya Chifu yalikuwa yanakwenda kama Kompyuta kutafuta nani angeweza kumsaidia Musoke na Chama chake cha PAM katika azma yao ya kutafuta kiini cha matatizo ya Rwanda. Chifu mwenyewe alikuwa mwana PAM, na aliamini Umoja katika Afrika.

“Jack”, Musoke alishituka kusikia Chifu akimuita kwa jina lake la kwanza. Hii ilikuwa na maana amekwisha pata jawabu. “Nafikiri nitakupatia ufumbuzi wa tatizo lako. Mtu mmoja tu katika Afrika hii ambaye anaweza kuifanya kazi yako. Hivi sasa ameacha kazi za kiserikali maana ameowa na anafanya shughuli zake. Lakini kutokana na imani yake katika Umoja wa Afrika anaweza akaifanya kazi hii, huna haja ya kuwa na kikosi, maana yeye pekee ni kikosi. Nitazungumza naye, nipe namba yako ya simu na chumba chako; nitakupigia simu kesho asubuhi”.

“Ahsante Chifu, nilijuwa wewe ndiye utakayenimalizia matatizo yangu”, Musoke alijibu kisha akampa namba ya simu ya pale hotelini na namba ya chumba. Alipomaliza tu akasikia simu ikikatwa. Akajuwa tayari Mzee yuko kazini.

Chifu alipokata simu ya Musoke, alipiga simu nyingine.

“Hallo”.
“Chifu”.

“Aha shikamoo”.

“Marahaba, tuonane kusho asubuhi, tutastafutahi pamoja pale Kili, kama kawaida.

“Sawa Mzee, kesho”, Chifu alijibiwa.

“Kesho, ahsante”, Chifu alijibu na kukata simu.

KAZI KWAKO

“Umesikia George Foreman amerudi ulingoni na kutwaa ubingwa”, Chifu aliuliza.

“Sikusikia tu, nimeona kwenye televisheni”.

“Basi na wewe nataka urudi ulingoni”, Chifu anasema kwa tabasamu huku akiupaka mkate wake siagi.

“Mimi! mimi nimeoa na mke wangu ana mimba. Mchezo huo sifanyi, sifanyi ng’o”.

Chifu anaangua kicheko kiasi cha kuwafanya watu wote ndani ya chumba cha mkutano wamwangalie.

“Kwani mimi sijui umeoa! Kwani mimi sijui mke wako ana mimba! Najua, lakini nakutaka ulingoni tena. Kwani George Foreman hana mke, hana watoto, mbona karudi ulingoni”, Chifu aliendelea kusema kwa kebehi.
“Huenda alikuwa anataka pesa, huenda alikuwa anatafuta sifa, mimi sitaki vitu vyote hivyo, sirudi ng’o”, Chifu alielezwa kwa busara.

“Sikiliza nikueleze kwanza. Mimi ndiye niliyekuruhusu uache kazi na kukushauri uoe na nisingependa uharibu ndoa yako. Najua unampenda sana mkeo, sasa nasema nisikilize kwa makini nikueleze, kama utakataa itanibidi niingie mimi mwenyewe ulingoni”, Chifu alijibu kwa masikitiko kiasi cha kumfanya mwenzake apoe hasira zake.

“Chifu, hebu nieleze kuna nini? Kitu cha maana namna hiyo, kiasi cha kusema utafanya kazi hiyo mimi nisipokubali? Unajua mimi siwezi kukuruhusu wewe kufanya hivyo.

“Basi sikiliza”.

Ilimchukua Chifu saa nzima kumweleza suala la Rwanda na jinsi msimamo wa PAM ulivyohusiana pamoja na vipengele vingine vingi ambavyo hata akina Musoke wasingeweza kumweleza maana hawavijui.

“Unafikiri Serikali ya sasa ya huko haiwezi kufanya kazi hiyo”, Chifu aliulizwa.

“Haiwezi. Inahitaji ujuzi wa hali ya juu kufanya kazi hiyo, katika hali ya machafuko namna ile, maana hata wao hawajui nani ni nani katika nchi yao. Hawamwamini mtu yeyote na wao hawaaminiki vilevile na kuweza kupata habari za kina kama zinavyotakiwa, unahitajika ujuzi wa juu sana. Na katika Afrika nzima kama si wewe basi itanibidi mimi mwalimu wako nikaifanye.

“Umenipa mtihani mkubwa sana. Unafikiri kazi kama hii inaweza kuchukua muda gani?”.
Chifu alipoulizwa swali hili, moyo wake ilitulia akijuwa kazi itafanywa.

“Inategemea na wewe mwenywe, wiki moja au mbili, mwezi yote yategemea wewe. Kwani Pepe atajifungua lini?”.

“Bado ana miezi miwili”.

“Nakutakia heri. Nafikiri utamaliza kazi kabla ya hapo. Tafadhali, hafadhari iwe kitu cha kwanza kwako maana huko kuna hatari nyingi, usifanye mchezo kama unataka kumwona mtoto wako”, Chifu sasa alikuwa amebadilika na kumwasa mwenzake.

“Nikifa utamlea wewe”, Alijibu.

“Sasa nina miaka sabini, nitamlea miaka mingapi mie”, Chifu alijibu.

“Wewe ndiye uliyetaka, shauri yako, damu yangu itakuwa juu ya kichwa chako”.

“Pole sana. Ndege ya Shirika la Ndege Tanzania inaondoka saa tano na nusu kwenda Kilimanjaro. Tiketi hii hapa, umepatiwa nafasi kwenye ndage hiyo. Musoke mtaonana uwanja wa ndege, atakuja kukupokea, si unamfahamu?”.

“Ndio, namfahamu”.

“Haya kwa heri. Ukirudi toka Arusha, kabla ya kwenda Kigali, njoo unione nitakuwa tayari na taarifa za kukusaidia kule”.

“Asante, nitafanya hivyo.

Chifu alilipa wakaondoka.

Ilikuwa saa tatu na nusu Chifu alipompigia simu Jack Musoke kule Arusha.

“Naam Chifu. Nilikuwa nasubiri huku kiroho kinanidunda. Haya nipashe”.

“Willy Gamba ndiye mtu wako, mpokee uwanja wa ndege saa sita na nusu mchana”.

Musoke alipigwa na butwa. Hakuweza kujibu kwa ajili ya furaha na msisimko. Hata Chifu alipokata simu hakusikia. Utafikiri kapigwa na radi.

“Willy Gamba! Willy Gamba! Jamani huyu Chifu nitamfanyia nini kwa kumleta willy Gamba! Mungu anatupenda sana Waafrika maana sasa kazi itafanyika”, Musoke alijisemea kama kichaa.
Baada ya kuachana na Chifu, Willy Gamba alikwenda tena kwenye ofisi za Shirika la Ndege Tanzania ATC kujua kama kutakuwa na ndege ya kurudi siku ile ile jioni, maana Chifu alimkatia tiketi ya kurudi kesho yake jioni ambayo hakuiafiki. Alitaka arudi siku ile ile.

“Kuna ndege toka Kilimanjaro jioni”, Willy alimuuliza kimwana mmoja kati ya vimwana walikuwa kwenye kaunta wakiwashughulikia wateja.

“Hakuna ndege jioni, kuna inayoondoka saa tano na nusu hapa na kuondoka kule saa saba na dakika kumi basi’, yule kimwana alijibu huku akimrembulia macho.

“Hakuna ndege ya shirika lingine lolote?”.

“Hakuna, labda uchukuwe ya kukodi huko Tanzanair”, kimwana alijibu kwa kebehi akijuwa kuwa Willy hawezi kumudu gharama za kukodi ndege.

“Unaweza kunifanyia mpango ili hiyo ndege inichukuwe uwanja wa ndege wa Kilimanjaro saa kumi na mbili jioni?”, Willy aliuliza katika hali ya kuomba.

“Sisi haturuhusiwi, sisi tunahusika na kuuza tiketi za ATC tu”, yule kimwana alijibu kwa wasiwasi. Willy alitoa kadi yake, na kumweleza. “Mimi ni mteja wenu mzuri sana. Nenda hapo Tanzanair kanikodishie, nitamtuma katibu mahsusi wangu, atakuja kukuona mkalipe na kwa kufanya kazi hiyo na wewe utapata chochote kwani hakuna kazi ya bure siku hizi. Wewe unaitwa nani?”.

Akiwa amepigwa na butwa yule msichana alijibu. “Naitwa Mariam”.

“Oke, Mariam fanya hiyo kazi kungali mapema, mimi naenda uwanjani kuwahi ndege yenu ya saa tano. Katibu wangu anaitwa Dudu, atakuja kumaliza mambo ya malipo na wewe”.

Kabla Mariam hajaanza kulalamika Willy alikuwa amekwisha nyanyuka na kuondoka.

“Wanaume wengine utafikiri wana dawa. Huyu mwanaume kanitia butwa, sasa itanibidi nifanye hiyo kazi yake; nimeshindwa hata kupata mwanya wa kukataa”, Mariam alimweleza mwenzake aliyekuwa amekaa karibu naye.

“Hukuona macho yake! Akikuangalia tu roho inadunda, hiyo ndiyo dawa yake, ni mwanaume anayevutia sana, ana sumaku ya kiume, mwanamke hawezi kumkatalia kitu naye anajuwa hivyo”, Husna alimjibu Mariam.

Mariam aliondoka na kwenda kumtafutia Willy ndege huku kiroho chake kinarukaruka. “Sijui nitamwona tena yule mwanaume, kaniachia kadi yake, ngoja nitamtafuta”, Mariam alifikiri huku akielekea ofisi za Tanzanair.
Willy Gamba alipofika ofisini kwake kwenye jengo la Sukari, Mtaa wa Ohio, ilikuwa saa nne na robo. Dudu aliangalia saa yake na kumwangalia Bosi wake kwa macho ya kumshitaki kuwa kachelewa.

“Shikamoo bosi”, Dudu alimsalimia Willy.

“Marahaba, najuwa umeninunia kwani sikuwahi kutimiza miadi na wateja.

“Kumbe unajuwa, na ukafanya makusudi”, Dudu alijibu.

“Siyo makusudi, ila ndiyo sababu kuna usemi kuwa, bosi hachelewi kazini, huwa amepita kwenye shughuli kadhaa wa kadha, nami nilipita kwenye shughuli kadha wa kadha. Sasa sikiliza, mimi naondoka kwenda Arusha kwa ndege ya ATC saa tano unusu, nina muda mfupi sana. Kumetokea dharura. Nataka nirudi leo jioni, maana dharura hii inaweza kunifanya nisafiri kwa muda wa wiki kadhaa nje ya nchi. Kwa vile ATC hawana ndege kutoka Kilimanjaro jioni, nimemuomba msichana mmoja aitwaye Mariam pale kwenye ofisi ya mauzo ya ATC anifanyie mpango wa ndege ndogo ya kukodi ya Tanzanair. Hivyo, uende ulipie na ndege iwe kwenye uwanja wa ndege wa Arusha saa kumi na mbili jioni, umeelewa?”.

“Nimeelewa bosi, naona kweli dharura, mpaka kukodi ndege, nani atalipia gharama hizi bosi?”.

“Nina mteja ambaye atalipia”, Willy alijibu.

Dudu alikwisha fanya kazi na Willy kwenye ofisi yao hii ya watu wawili kwa muda wa miaka mitatu. Hivyo alikwisha mwelewa vizuri Willy na alifurahi sana kufanya kazi na mtu sifa na mwenye roho nzuri kama Willy. Hata siku moja hakupata ugonjwa wa moyo toka kwa bosi wake huyu. Alikuwa mtu tofauti sana na watu wengine ambao Dudu aliwahi kufanya nao kazi.

Baada ya kuacha kazi serikali, ambako alifanya kazi kama mpelelezi, na akawa mpelelezi wa kutegemewa si Tanzania tu bali Afrika nzima, Willy Gamba aliamua kuanzisha ofisi yake binafsi ya upelelezi, hasa iliyohusu mambo ya Bima. Aliamua kuacha kazi akiwa na umri mdogo wa miaka 42 tu. Kwa vile alitaka aoe kwani kazi yake serikalini ilimfanya asafiri sana nje, kitu ambacho kilimfanya asioe maana ndoa yake ingekuwa ya wasiwasi. Hivyo aliomba na kwa shingo upande na baada ya malumbano ya muda mrefu na waajiri wake huku akisaidiwa na Chifu ambaye alikuwa Bosi wake kabla hajastaafu, alikubaliwa kuacha kazi. Ndipo baada ya kuacha kazi, akamwoa mchumba wake ambaye alikuwa amesubiri kwa muda mrefu huku akimvumilia kwa safari zake nyingi.

Huyu mchumba wake aliitwa Pepe. Pepe alikuwa mtoto wa watu, msichana aliyeumbika, mzuri wa sura na tabia, na kwa uzoefu wake mwingi kwa wasichana, Willy aliamua lazima amwoe Pepe na kila wakati alimwambia mama yake ambaye kila siku alikuwa akimpigia kelele aoe, na asipomuoa Pepe basi hataoa tena.

Mama yake Willy alikuwa na wasiwasi sana na Pepe, kutokana na jinsi mtoto yule alivyokuwa mzuri wa sura. Alifikiri kuwa msichana mzuri kiasi kile hawezi kuwa mke wa nyumbani kwani lazima atakuwa na maringo. Lakini Mama yake Willy alikuwa kakosea kabisa. Huyu msichana alikuwa amelelewa kwao, wazazi wake walimlea kwa kumtayarisha ili aje awe mke wa mtu. Walimsomesha vizuri mpaka chuo kikuu, lakini walihakikisha kuwa Pepe anapata mafunzo ya namna ya kuishi na watu na maisha ya ndoa yanapewa kipaumbele. Na kweli pamoja na uzuri usioelezeka wa maumbile ya Pepe, tabia yake ilikuwa nzuri isiyoweza kuelezewa vilevile. Hii ndio inaonyesha kuwa tabia ya mtu haitokani na maumbile yake, bali zaidi inatokana na malezi.

Hivyo, baada ya kuacha kazi, Willy alifanya vitu viwili kwa mara moja. Alianzisha ofisi yake binafsi na akamwoa Pepe. Na hii miaka yao mitatu ya ndoa ilikuwa miaka mitamu iliyojaa kila aina ya raha, starehe na mapenzi yasiyo kifani. Kila mtu aliyewaona na kujuwa walivyokuwa wanaishi, aliwaonea wivu.

Dudu naye aliajiriwa na Willy alipofungua tu ofisi yake, Chifu ndiye aliyemtafutia mfanyakazi huyu. Hivyo hata ofisini kwake kazi zilifanyika vizuri na kwa uelewano mkubwa. Kweli Willy alikuwa hatoka nje ya Tanzania kikazi, ila tu kwa mapumziko ambayo alisafiri pamoja na Pepe wakitalii nchi nyingi sana, na kumwonyesha dunia ilivyo.

“Kama ndege inaondoka saa tano na nusu itabidi uwahi maana siku hizi msururu wa magari kwenye barabara ya Nyerere ni hatari”.

“Kweli kabisa, niitie taksi, AVIS, na uwaeleze waje wanipokee jioni, kama yule dereva wao Ismail yupo ningependa aje yeye”.

Ofisi za AVIS zilikuwa ofisi mpya jijini Dar es Salaam na haikuwa mbali na ofisi za Willy. Tangu ianzishwe ilikuwa na uhusiano wa karibu na ofisi ya Willy vilevile meneja wao walikuwa rafiki wa Willy.

“Pepe ana habari”, Dudu aliuliza baada ya kuagiza taksi.

“Hajui, na ndio maana ningependa nirudi jioni ili kama nitasafiri nje ya nchi nijuwe nitamwelezaje. Na maelezo ili yaeleweke usiku ndio mzuri, hasa mkiwa ndani ya shuka”.

“Au vipi”, Dudu alidakia.

“Hivyo akipiga simu mwambie nitachelewa kurudi nyumbani, huenda hadi saa mbili usiku. Pale shuleni kwao kama kawaida ya Dar es Salaam, simu bado haifanyi kazi”.
“Nitamweleza baba, usiwe na wasiwasi”.

Taksi ilifika. Willy akachukua mkoba wake tayari kuelekea uwanja wa ndege.

“Shikamoo”, Ismail alimwamkia Willy.

“Marahaba Ismail, maana sasa abiria tayari wana ‘check-in’ fanya kila njia sitaki kuachwa na ndege hii”.

“Inaondoka saa ngapi?”.

“Saa tano u-nusu”.

“Dakika hamsini zimebaki, utawahi acha mimi nifanye kazi yangu”, Ismail alimjibu Willy wakaondoka. 

Kweli Ismail aliijuwa kazi yake maana walipotoka kwenye jengo la Sukari aliingia Mtaa wa Ohio ili kukwepa msururu wa magari, akaingia Barabara ya Titi Mohamed, alipofika Mnazi Mmoja akaingia Mtaa wa Uhuru, halafu Lumbumba na kisha Mtaa wa Lindi tukatokea Ilala na kushika tena Mtaa wa Uhuru, tukaingia Barabara ya Nelson Mandela. Ndipo akashika Barabara ya Nyerere kwenye taa za Tazara, na ndani ya dakika ishirini tulikuwa Uwanja wa Ndege.

“Asante Ismail”, Willy aklimshukuru na kumkabidhi shilingi elfu moja kama asante. “Usisahau jioni?”.

“Nimeshaelezwa mzee, utanikutwa nakusubiri”.

Willy alijulikana sana na wafanyakazi wa ATC na Dahaco, kwenye kaunta ya kujiandikisha kabla ya kuondoka na kwa vile alikuwa na mkoba wake tu walimchukuwa mara moja na kulipia kodi ya kiwanja na kuelekea chumba cha kuondokea.

Ndege ya Shirika la Ndege Tanzania ATC iliondoka Dar es Salaam saa tano na nusu kamili. Willy alikuwa na tiketi ya daraja la kwanza, na alipoingia ndani ya ndege akitafuta mahali pa kukaa alimwona mwalimu wake, mzee Petro Magoti, akimchekea.

“Njoo ukae hapa Willy, habari za siku nyingi?”.

“Nzuri, shikamoo”, Willy alijibu huku akiuweka mkoba wake chini ya kiti chake.

“Marahaba, nimefurahi kukuona baada ya miaka kama mitatu hivi”.

“Asante mwalimu, unajuwa nilikwambia wakati tulipoonana Mwanza kuwa nilikuwa natarajia kuacha kazi ya kuajiriwa ili nijiajiri mwenyewe, sasa tayari nimefanya hivyo. Na pia sasa nimeoa.
“Aha, hongera, nimefurahi sana nikisikia wanafunzi wangu mkiendelea vizuri”, Mzee Magoti alijibu.

Mzee Magoti alikuwa Mkuu wa Shule ya Sekondari ambako Willy alisoma. Kwa vile Willy alikuwa na akili nyingi sana darasani, walimu wengi walimpenda sana na kumheshimu. Hata wakati matokeo ya mtihani wa Cambridge wa darasa la kumi na mbili yalipotoka Willy alipata ushindi wa juu kuliko mwanafunzi mwingine yeyote katika Afrika Mashariki na hivyo kuiletea shule ya Mwalimu Magoti heshima kubwa. Kutokana na matokeo hayo mazuri hata Mwalimu Magoti alipandishwa cheo hata kushika nyadhifa mbalimbali katika Wizara ya Elimu hadi kufikia kuwa Kamishna wa Elimu. Na alipostaafu walimu walimchagua kuwa Mwenyekiti wa Chama chao kama miaka miwili iliyopita.

“Nimekusikia ukiunguruma kwenye magazeti kuhusu matatizo ya walimu”, Willy alimzungumzia.

Ndege ilikuwa inaweka speed ili iruke. Hivyo kama ilivyo kwa abiria wengi wakati huu kila mtu hunyamaza kimya akingojea ndege ipae ndipo waendelee na mazungumzo.

“Ndio kijana wangu, hali ni mbaya sana mashuleni mpaka sasa walimu wana mgomo baridi. Watoto hawasomi kabisa,  shule ambazo zinasemekana zinasoma, hasa zile za Sekondari, mwalimu anaweza kuingia darasani mara moja kwa wiki. Sasa utasema huku ni kusoma kweli, si hatari kwa maendeleo ya hawa vijana wetu ambao watakuwa viongozi wetu wa baadaye”, Magoti alijibu.

“Lakini mzee, wewe ukiwa kiongozi wa walimu si uzungumze nao waelewe athari za kufanya hivyo kwa taifa hili”, Willy alimshauri.

“Bwana mdogo, wewe unaweza kumshauri mtu mwenye njaa! Walimu hawa wote wana njaa, ndicho kilio chao. Mishahara ya serikali wewe mwenyewe unaijuwa. Na kutokana na kupanda kwa gharama za maisha, mshahara wa mwalimu wa kawaida anaweza kuutumia kwa siku tatu tu katika mwezi na ukaisha, je, siku ishirini na saba afanyeje?”, Mzee Magoti aliuliza.

“Lakini mzee hii inahusu watu wote walioajiriwa serikalini. Wote mishahara yao haitoshi”, Willy alijibu.

“Ahaa, sasa unasema. Yote hii inategemea unyeti wa kazi. Ili watu wajiongezee kipato wanahangaika na kufanya shughuli nyingine. Sasa hivi ukienda kwenye maofisi mengi ya serikali hukuti watu, ukiuliza katoka nje kikazi. Kweli kikazi, maana anakwenda kufanya kazi kwenye miradi yake binafsi, iwe kwenda kukamua ng’ombe wake maziwa au kuwatafutia majani, au iwe kwenda kununua bia kwenye kampuni ya bia ili apeleke kwenye kiduka chake pale nyumbani, yote wanasema kaenda nje kikazi. Sasa kwa mwalimu hahitaji kutoka. Mimi nimekuwa mwalimu karibu maisha yangu yote, ualimu ni kazi ambayo unahitaji saa ishirini na nne, siyo kazi unayoweza ukafanya na kazi nyingine, hutaweza kuifanya sawasawa, Saa hii unafundisha. saa hii unasahihisha kazi za wanafunzi, saa hii unatayarisha masomo kwa ajili ya kesho. Kweli kazi ya ualimu ni nyeti inayohitaji muda wako wote. Sasa walimu nao wanapofanya kama wafanyakazi wengine na kuwa na miradi matokeo yake ndio hayo! wanafunzi hawafundishwi”, Mzee Magoti alieleza.
Mhudumu wa ndani ya ndege alifika na kuwauliza watakunywa nini.

“Mimi chai”, Mzee Magoti alijibu.

“Na mimi chai”, Willy naye pia alijibu.

“Msingependelea bia au pombe nyingine kali”, yule msichana aliendelea kuwashawishi.

“Hapana ni mapema mno”, Mzee Magoti alijibu huku Willy akitingisha kichwa kukubaliana naye.

Hata kama Willy angependa bia lakini haikuwa heshima mbele ya mzee aliyemheshimu kama huyu kufanya hivyo.

“Haya, chai yenu inatengenezwa.

“Asante”, walijibu, tena kwa pamoja. Kisha wakaendelea na mazungumzo yao.

“Sasa Mzee Magoti, si mmeieleza serikali na serikali inajuwa tatizo hili, na athari zake kwa taifa hili! Maana hawa vijana ndio taifa la kesho, na kama hawasomi ina maana karibuni tu tutakuwa na taifa la wajinga. Yaani wakati dunia inaingia kwenye karne ya ishirini na moja, elimu ndio kitu muhimu kwa taifa lolote, ili liweze kwenda sambamba na mataifa mengine katika sayansi na teknolojia: kama maneno unayosema ni kweli basi tuko hatarini”, Willy alieleza mawazo yake kwa Mzee Magoti.

“Maneno yako ni kweli kabisa kijana. Na hiki ndicho tunachopigia kelele sisi mpaka sasa hatuelewani na viongozi wakifikiri tunajaribu kuwachochea wananchi. Lakini viongozi wetu hawajali kabisa. Jibu lao kila siku ni kwamba hali ya uchumi ni mbaya, na serikali haina fedha. Lakini sababu kubwa kwa nini hawajali. ni kwa sababu wao na marafiki zao hawaathiriki na tatizo hili walimu hapa nchini, maana wao wanasomesha watoto wao nje. Hivyo hawajali kama watoto hawasomeshwi: wa kwao wanasoma nje na katika shule za hali ya juu”, Mzee Magoti alijibu kwa uchungu sana.

“Mzee Magoti umegusa kitu cha hatari sana. Yaani viongozi wetu wamekuwa na ubinafsi. Kwa vile wao wana pesa, basi wanapeleka watoto wao nje na hawajali nini kinawapata watoto wa wakulima na wafanyakazi, ambao hawana uwezo wa kupeleka watoto wao nje”.

“Barabara kabisa Willy, lakini zaidi ya hapo wanajenga tabaka la watawala na watawaliwa. Kwa vile watoto wa wakulima na wafanyakazi ambao ndio wengi katika nchi hii, watapata elimu duni, basi hawa watoto wa viongozi na matajiri ambao ni kama asilimia (2%) ya idadi ya watoto wote wa nchi hii, watarudi na elimu nzuri na hivyo ndivyo watakavyoshika madaraka hapo baadaye maana wao watakuwa wamesoma vizuri, na kama ulivyosema ndivyo wataenda sambamba na mataifa mengine. Hii ni hatari kubwa kwa taifa hili”, Mzee Magoti alijibu tena kwa uchungu.

“Ina maana viongozi wetu wanaiachia hali hii ya kushuka kwa kiwango cha elimu nchini kwa makusudi kabisa ili wawape watoto wao na wa matajiri nafasi ya kuendelea kuiongoza nchi hii, na kuwanyima watoto wa watu wa kawaida nafasi hii! Kama hii ni kweli, basi tunaelekea kubaya, maana katika nchi hii tangu uhuru watoto wa watu wa kawaida, ambao ndio sisi, serikali ilitupa nafasi nzuri na kutusaidia ili tuinuke na tuweze kuliondoa taifa katika ujinga na kuweza kuinua taifa na familia zetu kutoka katika hali duni”, Willy alieleza.

“Nchi imegeuka, ubinafsi umetawala roho za viongozi wetu, wanajifikiria wao tu. Si viongozi wa wananchi tena, ila wanatafuta uongozi kwa faida yao wenyewe. Hata ukiangalia ni viongozi wachache sana kwa sasa ambao sio matajiri. Wanaingia katika uongozi wakiwa hawana kitu, lakini baada ya muda mfupi unawakuta wamejilimbikizia mali. Afadhali wangefanya hivyo halafu wakaendelea kuwasaidia wananchi ili na wao hali zao ziinuke, la hasha, sera zao ni za kuwadidimiza wananchi wawe masikini pamoja na vizazi vyao ili wasiwe na sauti kabisa. Sauti wanataka ibaki yao na vizazi vyao ili wabaki madarakani kama vile wafalme.

“Sikilizeni… tunakaribia kutua kwenye uwanja wa ndege wa Kilimanjaro. Mabibi na mabwana, inuweni viti vyenu wima, fungeni mikanda yenu ya viti tayari kwa kutua”, sauti ya msichana ilisema.

“Mzee, basi nitakutafuta ili unielimishe zaidi kuhusu mambo yalivyo katika nchi yetu hii kwa sasa, maana kwa muda mfupi huu nimeelimika kwa kiasi fulani”, Willy alimweleza Mzee Magoti maana ndege ilikuwa inaelekea kutua na hivyo wasingekuwa na muda wa kuzungumza zaidi.

Mzee Magoti alitoa kadi yake yenye anwani na simu.

“Basi ukirudi Dar es Salaam, nipigie simu tuonane”.

“Asante Mzee”.

Ndege ilipogusa chini wote wakawa kimya mpaka iliposimama kabisa.

“Haya kwe heri Mzee Magoti”, Willy alimpa mkono. Akachukuwa mkoba wake na akawa wa kwanza kutoka. Alipoiangalia saa yake ilikuwa saa sita na nusu mchana .

Willy aliposhuka kutoka ndani ya ndege, alimkuta Musoke anamsubiri.

“Shikamoo”.

“Marahaba, habari za siku nyingi, haujabadirika bado, ila umetia uzito kidogo”, Musoke alimweleza Willy.

“Asante, unajua nimeoa, sasa mapochopocho yananimaliza”. Wote walicheka na kuelekea kwenye gari ambalo lilikuwa la kukodi lakini Mzee Musoke alikuwa analiendesha mwenyewe.

“Nimefurahi sana umekubali wito”.

“Unajua tena Chifu, ni vigumu sana kumkatalia kitu, hasa anachokiamini yeye kuwa ni kitu muhimu”.

“Najua, lakini lazima nikushukuru”, Musoke alijibu huku kiroho kikizidi kumdunda kwa furaha kwa kuwa na uhakika kuwa Willy yuko naye tayari kwenda kutekeleza kazi hii nyeti, ambayo inaweza kuleta ufumbuzi mkubwa kwa mataifa ya Afrika.

TAFUTA UKWELI

Ilikuwa yapata saa saba unusu. Musoke na Willy walipofika nyumbani kwa Temu. Walimkuta Temu akitembeatembea mbele ya nyumba yake katika bustani huku ameweka mikono yake nyuma. Kwa vile nyumba ilikuwa juu kwenye kilima, na wao walimwona kabla hajawaona mpaka walipopiga honi ya gari ili kufunguliwa lango la mbele. Alipoona ni gari la kukodi la Musoke, mara moja alikimbia na kulifungua lile lango hata askari wake anayelinda nyumba yake hakuwahi mbio za mzee huyu. Hii yote ilionyesha shauku aliyokuwa nayo Temu juu ya suala hili la Rwanda.

“Shikamoo”, Willy alimshalimia.

“Marahaba, karibu”.

Temu alipeana nao mikono na wote na kuwakaribisha kule uani kwenye bustani ya nyumba.

“Wengine?”, Musoke aliuliza.

“Saa nane watafika”.

“Vizuri”.

Walipokuwa wameketi kule uawani kwenye kivuli kizuri cha miti, Musoke alitumia nafasi hiyo kuwafahamisha.

“Bwana Temu, huyu ni kijana wetu, anaitwa Willy Gamba, sasa hivi anafanyakazi za kujitegemea, lakini alikuwa kwenye idara ya upelelezi ya Tanzania kabla hajaamua kuacha kazi ili ajitegemee. Yeye ameombwa na marafiki zetu wengine aje atusaidie kwenye hili tatizo letu”, Musoke alieleza huku Temu akionekana kushikwa na butwaa.
“Na bwana Gamba, huyu ni mzee Temu na ndiye Mkuu wa PAM upande wa Tanzania.

Willy aliinuka na kumpa Temu mkono.

“Mimi siamini macho na masikio yangu”, Temu aliendelea kuonyesha kama mtu aliyeshituka sana. “Hivi kweli Willy Gamba yupo! na ni wewe! Hivi ni kweli baba yangu, ni kweli. Mimi siku zote husikia habari za Willy Gamba na huamini kuwa ni hadithi tu, maana mambo ambayo ameyafanya wakati wa ukombozi wa nchi zilizo kusini mwa Afrika tulifikiri ni propaganda tu ya kamati ya ukombozi ya OAU. Kumbe mtu mwenyewe upo na ni kweli. Eehe, ama kweli kuishi kwingi kuona mengi. Basi bwana Musoke, kazi yetu itafanikiwa”, Temu alieleza.

“Huyu kijana wetu Mwenyezi Mungu amemjaalia uwezo mkubwa sana katika kazi hii ya upelelezi. Hakuna mtu unayeweza kumlinganisha naye hapa Afrika, sijui huko Ulaya, lakini hata majasusi wa huko Ulaya ndiye aliyekuwa akiyakomesha wakati wote huo. Kwa kweli hata mimi niliposikia amekubali na ni yeye anayekuja basi roho yangu ilitulia, najuwa tutafanikiwa. Hivi kwanini wamekukubalia kustaafu mapema hivi?”, Musoke alimuuliza Willy lakini kabla ya kujibu, mhudumu wa pale nyumbani alifika na kutaka kujuwa watakunywa nini.

“Bwana Gamba unataka kunywa nini?, kunywa kitu kidogo, maana huko ndani wanatengeneza chochote cha mchana, sisi wachaga ndizi ndicho chakula chetu, sijui wewe utapendelea?”, Temu aliuliza.

“Kinywaji naomba klabu soda, na nitafurahia sana macharari”, Willy alijibu huku Temu akicheka na kufurahi kusikia macharari.

“Kumbe unayajuwa eeh basi baba yangu tutakula hayo maana wanaandaa. Na wewe mzee Musoke?”.

“Mimi nitakunywa ki-wiski kidogo, unajuwa sisi wazee lazima ushituwe damu kidogo upate joto”.

“Sawa kabisa, nenda kalete haraka”, Temu alimwagiza mhudumu wake.

“Ehe Willy, kwanini umeruhusiwa kustaafu mapema hivi?, au kwa sababu ya Afrika Kusini kupata uhuru?”, Musoke aliuliza tena.

“Hapana, mimi niliomba kustaafu ili niweze kuoa na kuanza maisha ya kifamilia maana kazi hii haifai kama umeoa na una familia. Sasa hivi nimeoa na mke wangu ni mjamzito. Na hata kazi hii nimekubali tu, kwanza kwa sababu na mimi nimeumwa sana na hali hii ya mauaji ya Rwanda na pili kwa sababu Chifu alisema nisipokwenda mimi atakwenda yeye. Na unajuwa bwana Musoke, mimi nisingependa hata kidogo kuruhusu kitu kama hicho”.

“Ni kweli kazi hii inahitaji kuweka mawazo yako pamoja, usiwe na fikira zingine, lakini ndivyo hivyo, taifa bado linakuhitaji mara kwa mara kama hivi, ingawaje si sana kama ulivyokuwa jikoni”, Musoke alikubaliana na Willy. Mara wakaona wenzao wengine wanaingia na wote wakasimama kuwasalimia.

Temu alichukuwa nafasi ya kuwafahamishe wenzake kwa Willy Gamba. “Hawa ni wana PAM kutoka sehemu mbalimbali za Afrika. Na wamekuja kwa ajili ya kikao hiki cha kutathimini jinsi mambo yalivyokuwa huko Rwanda. Huyu ni bwana Kimani kutoka Kenya, huyo ni Abakusi toka Nigeria, huyu ni Makwega toka Zambia na huyu kijana mwenzio ni Malisa kutoka hapa hapa Tanzania”. Kisha akageuka na kumgusa Willy. “Na huyu ndiye mgeni tuliyemtarajia kwa ajili ya kazi yetu. Bwana Willy Gamba.

Kimani na Malisa waliwahi kusikia habari zake nao walishikwa na mshangao kama wa Temu. Musoko alitumia nafasi hiyo kunong’ona na Abakusi na Makwega kuwaeleza Willy Gamba hasa alikuwa mtu wa sifa za namna gani. Bila hata kusema mengi, alipoeleza kazi zake mbili alizofanya na kuutingisha ulimwengu kwa kuwazuia majasusi wa Afrika Kusini tayari wote wakamtambua na kupigwa na butwaa vilevile.

“Wakati mwingine binadamu akili inashindwa kuamini kitu. Mimi nilisikia jinsi mpelelezi wa Afrika alivyoyaangamiza majasusi kule Kinsasa, Zaire, na nikaamini kuwa zilikuwa hadithi tu. Sasa namuona hapa mtu mwenyewe, akili inashindwa kuamini. Inashangaza”, Abakusi alisema.

“Kama Willy Gamba ndiye huyu kijana, basi mambo yetu yameiva”, Makwega naye alinena na kutokwa na wasiwasi aliokuwa nao usiku.
Bila kupoteza muda mkutano uliendelea huku wakipata huduma za vinywaji na chakula.

“Nafikiri wasiwasi wetu wote sasa umepungua baada ya kumpata kijana huyu?”, Musoke alisema kama vile akitoa maoni ya mkutano.

Wote walitingisha vichwa kama ishara ya kukubali.

Kwa vile kijana huyu yuko hapa, tumpe maelezo tunataka atufanyie nini. Nafikiri mimi niendelee na kama mtu ataona nimepwelea mahala naomba asisite kuongezea, sawa”.

“Sawa”, wote walimjibu mzee Musoke.

“Bwana Willy, wewe mwenyewe naami unazo habari nyingi kuhusu matukio ya Rwanda. Ila sisi, kama wana PAM tungetaka tupate undani zaidi wa mambo yalivyotokea huko Rwanda mpaka yakafikia yalipofikia na watu zaidi ya milioni moja katika nchi ya watu milioni tano kuteketezwa kwa siku kadhaa tu. Kitu hiki kinatisha na kama hakiwezi kuangaliwa kwa undani na kuthibitiwa inaweza kutokea tena si Rwanda tu bali hata mahali pengine Afrika. Sijui unanielewa?”, Musoke alimuuliza Willy.

“Nakuelewa, ila nataka nijie ni nini hasa mnataka mimi nifanye maana kule sasa kuna serikali ya RPF, kuna mashirika ya kimataifa, kuna mashirika yanayotetea haki za binadamu, mnafikiri mimi nitafanya nini zaidi ya watu hawa na wenye uwezo na mapesa mengi nyuma yao, maana na wao wanachunguza kwa kina maovu yaliyotendeka Rwanda”, Willy alisema akitaka ufafanuzi zaidi.

“Sawa bwana Gamba, kitu tunachotaka sisi ni uchunguzi wetu wenyewe. Hawa watu wengine wote wanaweza kuwa na nia zao tofauti. Serikali ya RPF ni mhusika kwa kiasi fulani. hatuwezi kupata ukweli asilimia mia toka kwao. Mashirika ya kimataifa yenyewe yanaweza kuwa na ajenda tofauti, tena wanaweza kutoa ripoti kutokana na ajenda yao. Wanaotetea haki za binadamu nao wana mtazamo wao kwa maana ya kuonyesha kuwa kulikuwa na ukiukwaji wa haki za binadamu Rwanda. Sisi tunataka uende zaidi ya pale, ujue kama haki za binadamu zilikiukwa, na kwa nini zilikiukwa, lazima kuna sababu. Mauajiyaliyotokea nini kiini chake, maana yanaonekana yalikuwa yamepangwa toka mapema. Na vilevile kwanini Afrika na dunia kwa ujumla, ikiwa kimya pamoja na nchi jirani kama Uganda, Tanzania, Zaire na Burundi hazikufanya chochote kuzuia mauaji haya. Tukishajuwa chanzo na sababu zilizofanya mpaka binadamu akafikia kuwa mbaya kuliko mnyama, nafikiri tutakuwa tumejifunza; na hili fundisho litatusaidia kuweka mkakati wa kuzuia kitu kama hicho kitakapotokea. Vilevile tujue namna ya kukidhibiti kabla hakijaleta maafa makubwa kama haya”, Musoke alijibu.

“Oke, nimeelewa nini mnataka, nitajitahidi niweze kuchimbua mambo uliyoyataja hapo ili nipate vyanzo vyake”, Willy alijibu.

“Lakini haitakuwa kazi lahisi, lazima uwe macho maana ukweli wa mambo haya unaweza kuwa na athari nyingi kwa watu mbalimbali ndani ya Rwanda na pengineko duniani. Kwa hiyo ikijulikana kuwa kuna mtu anatafuta ukweli na ikaonekana kuwa ataupata, basi ujuwe masiha yako yanaweza kuwa hatarini maana mpaka sasa tunaamini kuna watu wanajaribu kufukia ukweli usijulikane. Na hawa watu watakuwa watu hatari. Tafadhali, hadhari ni lazima”, Abakusi alimwasa Willy.

“Nitalitazama hilo”, Willy alijibu na kuendelea, “Na malipo yangu yatalipwaje, maana sasa ni mfanyabiashara na si mfanyakazi wa serikali tena. Kazi hii nimeichukua binafsi”.

“Malipo utalipwa na PAM. Kwa ajili ya kazi hii PAM iliwaomba michango wafanyabiashara wa kiafrika ambao wanaunga mkono msimamo wa PAM na wametoa michango mizuri sana na tukitoka hapa tutapitia hotelini kwangu nikupatie malipo yako. Sijui utahitaji kiasi gani?”, Musoke aliuliza.

“Mimi vilevile, kama nilivyosema, naunga mkono madhumuni ya PAM, kwani ni mpaka pale Mwafrika atakapojitambua kuwa lazima azungumze na Waafrika wenzake kupambana na ukoloni mambo leo ndipo atakapokuwa amejikomboa kutoka katika umasikini, ujinga na maradh. Kwa jinsi hiyo na mimi nikiwa mshabiki wa PAM nitaomba nilipwe gharama zangu tu nitakazotumia, lakini utaalamu wangu nautoa bure”.

Makofi na kupeana mikono ya shukrani vilisikika.

“Sijui hii kazi unafikiri itachukuwa muda gani?”, Kimani aliuliza.
“Mimi nitawafanyia kazi, nipeni muda”, Willy alijibu.

“Wiki mbili?”, Makwega aliuliza pia.

“Nitajitahidi”.

“Basi tuonane hapa baada ya wiki mbili”, Musoke aliagiza.

“Sawa”.

“Lakini Willy Gamba atakuwa anawasiliana na mimi Kampala kwa kila hatua atakayofikia. Kama ikionekana kazi inakuwa bado baada ya hizo wiki mbili, nitawajulisha”, Musoke alieleza.

“Sawa”.

“Haya, asanteni sana wazee, tutaonana Mwenyezi Mungu akitujaalia baada ya wiki mbili. Sasa hivi ngoja niende na mzee Musoke akanikamilishie masuala ya mapesa”, Willy aliaga huku akiwachekesha.

“Nilitaka kusahau. Tumekupatia nafasi ya kulala Impala, ukienda tu pale mapokezi watakupa funguo, tumelipia kila kitu, kazi kwako. Sijui kama utahitaji usafiri kesho kukupeleka uwanja wa ndege?”, Temu alieleza na kuuliza.

“Hapana, nitajitegemea kwenda uwanja wa ndege”.

Musoke alipoangalia saa ilikuwa saa kumi na nusu. Willy alipewa mkono wa heri na wajumbe wa PAM huku kila mmoja akimwombea mafanikio na usalama. Willy aliupokea mkono huo wa heri huku naye kimoyomoyo akiomba sala zao ziwe pamoja naye, kwani hawa walikuwa watu wenye roho za ubinadamu, ambao walikuwa wakitumia muda wao kujaribu kuwasaidia wengine bila malipo ya aina yoyote. Kweli Mungu awabariki.

Musoke na Willy aliondoka, wakaelekea Maunt Meru.

“Kesho umesema ndege saa ngapi?”, Musoke alimwuliza Willy.

“Saa tatu asubuhi”.

“Nije nikupeleke?”.

“Hapana, nina marafiki wengi hapa watanipeleka”.

“Na leo jioni tunaweza kula pamoja?”, Musoke alimkaribisha chakula cha usiku.

“Hapana, nitakwenda kwa dada yangu jioni, alifiwa na mjukuu wake na nilikuwa sijapata nafasi ya kumsalimia na hii ndio nafasi pekee niliyopata”.

“Umeua ndege wawili kwa jiwe moja”.

“Bila shaka”, Willy alijibu huku akijuwa kabisa kuwa angeondoka jioni ile. Willy kama kawaida yake, aliendelea kuonyesha kama angelala Arusha. Hii inaonyesha jinsi ambavyo Willy hamwamini mtu yeyote mara akishakuwa kazini.

“Huwezi kujuwa, kikulacho ki nguoni mwako, uzoefu wa siku nyingi umenifundisha”, Willy alijisemea moyoni.

Walipofika Hoteli ya Mount Meru, walikwenda chumbani kwa Musoke na kuanza kuelezana tena. Kwa vile Musoke naye alikuwa na uzoefu wa siku nyingi na kazi ya upelelezi alijuwa Willy angetaka nini.

“Bwana Gamba, unajuwa kazi hii inaweza ikawa ngumu na ya hatari kuliko hata jinsi tunavyotegemea. Hivyo, jitayarishe kwa yote, nadhani unanielewa?”, Musoke alimwuliza.

“Nakuelewa sana, kazi hii naichukulia uzito uleule wa kawaida, sintaipuuza hata chembe. Kwa kawaida uzoefu umenionyesha kuwa kwa kawaida kazi rahisi ndio hugeuka kuwa ngumu sana”.
“Vizuri, mimi ninao wenyeji kule Rwanda, ambao nafikiri wanaweza kukusaidia kupata fununu za awali”, Musoke alisema na kufungua mkoba wake na kutoa kitabu chake cha anuani. “Yuko rafiki yangu ambaye kwa miaka amekuwa akiipinga siasa ya chama cha MRND. Yeye ni mwanajeshi. Alikuwa kamanda katika jeshi la kumlinda Rais, lakini kwa vile hakukubaliana na sera yao, aliacha na kuanza kwa siri kueneza habari kwa vyombo vinavyotetea haki za binadamu jinsi serikali ya Rwanda ilivyokuwa inavunja haki za binadamu nchini humo. Wakati Rais alipouawa Aprili 6, 1994, yeye alikuwa Nairobi kuonana na Katibu wa Chama cha kutetea Haki za Binadamu ulimwenguni. Hata hivyo, huku nyuma mke wake na watoto wake sita na wapwa wake wawili, wote waliuawa tarehe 7, Aprili. Hii ina maana angekuwepo Kigali na yey vilevile leo angekuwa marehemu. Anakaa Kimihurura nyumba namba 168. Simu yake kwa bahati ni moja ya chache zinazofanyakazi sasa hivi na ni namba 50486. Yeye ni Mhutu.

“Umeishazungumza naye?”, Willy aliuliza.

“Nitazubumza naye, tuna uelewano mzuri, na yeye anajuwa mengi kwa watu wachache waliokuwa wanaipinga serikali waliobaki. Na ujuwe huyu mtu alikuwa karibu sana na serikali ya Rwanda, na huenda karibu sana na Rais mpaka kufikia kuwa kamanda wa jeshi lake. Hivyo, anajuwa serikali ilivyoondolewa madarakani na RPF vizuri sana, na ndio sababu vilevile kumtafuta ili kumuua ili kuua ukweli wa mambo”.

“Vizuri, nikifika Rwanda nitamtafuta kama nitamhitaji”.

“Tumekupangia kwenye hoteli iitwayo Des Mille Collines. Hoteli hii ni maarufu maana wakati wa mauaji watu wengi, hasa wa mataifa ya nje, walijificha hapa na hivyo hata wanyarwanda waliokuwa wanatafuta ili kuuawa kati ya walionusurika ni wale waliobahatika kufika hoteli hapo. Hivyo, nayo itakupa fursa nzuri kupata fununu mbalimbali.

Vilevile ningependa umwone Padre mmoja ambaye tunafahamiana na yeye alinusurika kimiujiza baada ya mapadri, maburuda , watawa na watu wote waliokuwa kwenye kituo hicho cha dini kiitwacho Centre Christus, kuuawa na Wahutu wenye siasa kali. Padri huyu anaitwa Jean Marie Karangwa. Utapata mengi toka kwake vilevile”.

“Bado yuko kwenye kituo hicho?”, Willy aliuliza.

“Ndio yupo, na anajaribu kukianzisha upya. Na wa mwisho ambaye ningependa umwone ikiwa unahitaji msaada, maana huwezi kujuwa, unaweza kuwa kwenye hatari ambayo inahitaji msaada wa kiserikali, hasa kijeshi. Huyu ni rafiki yangu saana, tumekaa naye jirani mjini Kampala na ni mmoja wa makamanda wa RPF, mtu shupavu kama wewe na msomi kama wewe na kijana wa rika lako. Naamini mkionana mtashibana tu. ana roho safi sana. Anaitwa Col Thomas Rwivanga, namba yake ya simu 60314”.

“Asante, nikihitaji msaada wake nitamtafuta”, Willy alijibu.

“Utaondoka lini na kwa njia gani?”, Musoke aliuliza.

“Mimi kesho kutwa nitakutafuta Kampala nikiwa Kigali kukujulisha nimefika”.

Musoke hakuuliza zaidi maana alielewa maana yake. Kisha akatoa bahasha kubwa iliyokuwa na pesa za dola za Kimarekani. Idadi yake haikuzungumzwa, lakini bila shaka ilikuwa maelfu ya madola.

Baada ya kumpa mzigo huo walisimama na kuagana.

“Haya, nakutakia safari njema na kazi njema. Nakuombea heri”, Musoke alimshika mkono akionyesha uchungu kidogo.

“Asante sana, tuombe Mungu”, Willy alijibu na kuondoka.

Willy alipoachana na Musoke alikodi teksi pale nje ya Mount Meru Hotel na kuelekea Impala. Alipofika Impala alijitambulisha. “Naamini nina nafasi ya chumba hapa, naitwa Willy Gamba.

Msichana wa mapokezi aliangalia kwenye orodha yake ya majina kisha akaliona jina la Willy Gamba.

“Ndio baba, chumba 212”, alijibu huku akitoa funguo na kumkabidhi.
“Una mizigo?”.

“Hapana, huu mkoba wangu una kila kitu”.

“Kila kitu?”.

“Kila kitu nakuambia, utashangaa nikiufungua, mrembo zaidi yako atatokea”.

Yule msichana akacheka na Willy akapandisha ngazi.  Alikifungua chumba na kukuta kidogo lakini kizuri sana. Aliangalia saa yake akaona ilikuwa saa kumi na mbili kasoro robo.

Alikwenda kitandani akatoa blanketi,  akaliweka pembeni na kufunua shuka na kutengeneza kama kwamba kulikuwa na mtu aliyelala pale.  Kisha, akauweka ufunguo kwenye kufuli la mlango kwa ndani, akachukua mkoba wake.  Akafungua mlango na kuurudisha bila kuufunga na funguo kwa vile aliziacha ndani makusudi na kutelemka chini.  Alipoangalia pale mapokezi na kuona wapokeaji wapo shughulini,  alichepuka na kutoka nje. Akelekea kwenye maegesho ya teksi na kukodi teksi kuelekea uwanja wa ndege wa Arusha.

Ilikuwa yapata saa kumi na mbili na robo alipofika uwanja wa ndege na kukuta ndege imeshatua tayari. Rubani wa ndege alimfuata na kumpokea mkoba wake.

“Habari za jioni?”, Rubani alimshalimia.

“Za jioni nzuri asante”.

“Huna mzigo zaidi?”.

Sina,  ni huo huo”.

Rubani aliufungua mlango wa ndege hii ya Tanzanair,  aina ya Cessina Mark 4, na kumkaribisha abiria wake huyu mmoja, ambaye walikaa pamoja kwenye viti vya mbele, na kisha akawasha injini  za ndege, na kuruka.

Baada ya Musoke na Willy Gamba kuondoka nyumbani kwa Temu, kila mtu alitawanyika kuelekea kwenye hoteli yake.

Malisa aliyekuja kwenye mkutano huo akitokea Dar es Salaam, alikuwa amefikia Hoteli ya Sabasaba. Alijulikana sana katika kundi la wasomi na kiserikali alikuwa mmoja wa watu waliokuwa mstari wa mbele katika kupigania kuwepo Umoja wa Afrika. Hata maafisa wa ngazi za juu serikalini mara nyingi walitafuta ushauri kwake kila walipotaka kuzungumzia swala la Umoja wa Afrika.

Malisa alikuwa msomi na Mhadhili wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika kitivo cha Sayansi ya Jamii. Mara hii alipokuwa anakuja kwenye mkutano huu Arusha, Afisa mmoja wa ngazi za juu kabisa serikalini alimwomba amweleze mazungumzo na makubaliano ya mkutano wao, kwani serikali ilipenda kujuwa mambo gani PAM inafikiria kuhusu tatizo la Rwanda ili serikali nayo iweze kusaidia. Huyu Afisa wa serikali alimpa namba zake za simu za nyumbani na kumwomba ampigie baada tu ya mkutano.

Malisa alipofika Hotelini tu, ikawa yapata saa kumi na mbili na robo, alichukua ufunguo wa chumba chake mapokezi na kueleka chumbani. Alipofika chumbani alimwomba opereta wa simu pale hotelini ampatie simu ya Dar es Salaam na kumpa namba.

“Subiri kidogo nitakuita”, opereta alimwambia.

“Haya asante, lakini nifanyie haraka maana nataka kutoka nina miadi”, Malisa alimwomba opereta.

“Sasa hivi”, aliambiwa.

Baada ya muda si mrefu simu iliita chumbani kwa Malisa.

“Hallo”.

“Namba yako ya Dar es Salaam inaita”, opereta alijibu.
“Haya asante”, na akaunganishwa na namba hiyo ya Dar es Salaam ambayo iliendelea kuita.

“Hallo”, mtu aliitikia baada ya muda kidogo.

“Hapa ni Arusha, mzee yupo?”, Malisa aliuliza.

“Yupo, subiri”.

Na baada ya muda kidogo akasikia, “Hallo, nani mwenzangu?”.

“Malisa hapa, shikamoo”.

“Marahaba, habari ya huko?”.

“Salama”.

“Vipi mkutano”.

“Tumemaliza”.

“Ehee, hebu nipe maazimio yenu kwani wazee huku wana shauku ya kusikia”.

“Haya tega sikio nikueleze, mambo ni mazuri sana”, Malisa alijibu na kumweleza mambo yote tokea mwanzo mpaka mwisho.

“Hizo ni habari njema”, yule afisa alijibu na kuendelea. “Willy Gamba ni kijana wetu na ni mtu shupavu. Kwa hakika ataifanikisha hiyo kazi. Na mimi nitawaeleza wazee naamini wataridhika na hatua mliyochukuwa. Mnajua sisi kama serikali ni vigumu kuchukua hatua yoyote dhidi ya nchi nyingine, lakini nyinyi mkiwa umoja usio wa kiserikali mnaweza kutusaidia sana kwa mambo kama haya. Willy amefikia wapi?”.

“Yuko hoteli ya Impala chumba namba 212. Huenda mzee si vizuri kumpigia simu sasa hivi tu atashituka”, Malisa alijibu.

“Na kweli, ingawa ni kijana wetu basi tuache nyinyi muendelee nae. Asante sana kwa kazi nzuri, na mwanzo mzuri, watu wenye uchungu na Afrika kama nyinyi ndio mtakaoisogeza Afrika mbele katika kuleta maendeleo wakati tukielekea katika karne ya sayansi na teknolojia. Asante sana”, yule afisa wa serikali alijibu na kukata simu.

Bila kujua alichokuwa amefanya, Malisa alifurahi sana kusikia sifa alizozitoa mtu huyu mashuhuri katika serikali ya Tanzania, kwa umoja wao. Minongono mingi jijini Dar es Salaam ilikuwa ni kwamba afisa huyu, ambaye watu wengi walipenda kumwita kwa kifupi tu kama ‘JKS’ alitegemewa kugombea Urais baada ya muda wa Rais wa sasa kumalizika.
Baada ya kukata simu ya Malisa tu, JKS alipiga simu nyingine. Mara hii ilikuwa simu ya masafa marefu, alipga Paris, Ufaransa. Na mara moja ikaitikiwa.

“Hallo, naomba kuzungumza na Jean Yves Francois”.

“Subiri kidogo”, alijibiwa.

“Hallo Francois, nani anaita?”.

“Yaani huwezi kutambua sauti”.

“Ah JKS. Ehe, nipe habari”.

“Habari nzuri, sijui wewe huko?”.

“Huku salama, tunasubiri tu kwa hamu kusikia Umoja wa Mataifa mahakama ya mauaji ya Rwanda ianze lini”.

“Nasikia itaanza miezi minne ijayo huko Arusha”.

“Aha, majina?”, Jean aliuliza.

“Majina ni yaleyale mpaka sasa”.

“Kwa hiyo upande wa watu wetu hakuna aliyeguswa?”.

“Bado kabisa, ila kumetokea hali ambayo inaweza kutuletea madhara”.

“Hali gani?”, Jean alihoji kwa shauku.

“Unakumbuka niliwahi kukueleza juu ya chama kiitwacho kwa kifupi PAM?”, alimwuliza.

“Nakikumbuka na nimekitafiti vilevile kujua msimamo wake. Wanachama wake wanapigania umoja wa waafrika ili kuleta haraka uhuru wa watu weusi dhidi ya ukoloni mambo leo, ili watu weusi waweze kujiamulia mambo yao wenyewe. Na vilevile walikuwa mojawapo ya makundi yaliyotoa shinikizo katika mkutano wa Arusha ili mgogoro wa Rwanda umalizike kwa njia ya amani. Hata mkutano wa Algers, walikuwepo wawakilishi wao, niliwaona maana nilikuwepo. Haya sema watu kama hawa wanaweza kuleta madhara gani?”, Jean aliuliza.

“Wanaweza kuleta madhara makubwa sana”, JKS alimjibu na kisha akaanza kueleza kwa kirefu jinsi Malisa alivyomweleza, na hatua ambazo tayari zilikuwa zimechukuliwa.

“Huyu Willy Gamba ni hatari, anaweza kuchambua kila kitu mpaka akafikia ukweli unaweza kukugusa hata wewe”, JKS aliasa.

“Lililopo ni kuzuia asiende”, Jean alijibu.

“Tutamzuia vipi na hayuko chini yetu?”, JKS aliuliza.

“Mbona huelewi, kwani maiti inasafiri?”.

“Aha, sasa nimekuelewa, lakini hiyo ni kazi kubwa”, JKS alijibu.

“Hiyo ni kazi ndogo kabisa, si umeeleza kuwa mtu wako ameeleza kuwa leo huyo Willy Gamba analala Arusha. Hotel ya Impala na chumba amekupa namba zake, au sikukuelewa vizuri?”, Jean aliuliza.

“Ni sawa kabisa, alinipa kila habari bila kuelewa maana yake, na mimi aliponieleza sikuelewa habari hiyo itakuwa muhimu”, JKS alijibu.

“Hiyo ilikuwa muhimu sana. Unakumbuka kuwa tuna watu wetu kule Arusha, ambao walikuwa wasafiri na Rais aliyeuawa, lakini kwa ajili ya ujumbe wa Rais wa Burundi hawakwenda na wapo kule Arusha kama wageni wa serikali yako?”, Jean aliuliza katika hali ya kukumbusha.

“Hao! hata juzi nilizungumza na kiongozi wao maana alikuwa ametokea Ngala kwenda makambi ya wakimbizi wa Rwanda kwa ajili ya kuwachukuwa vijana kumi muhimu ambao waliingia Tanzania baada ya kufunga kazi kule Rwanda. Alikuwa anataka msaada wangu kwa ajili ya makazi, nami nimewafanyia mpango katika nyumba za mashirika ya serikali pale Arusha na sasa wako salama salimini”, JKS alijibu.

“Hiyo ni kazi nzuri sana. Kwa kazi hiyo na kwa habari ulizonipa leo, nitapeleka dola za kimarekani elfu ishirini kwenye akaunti yako kule Uswisi, kufika kesho jioni pesa zitakuwa zimeingia. Na kama kazi hii ya usiku ikifanikiwa dola zingine elfu ishirini zitapelekwa”, Jean alimweleza JKS.

“Asante sana, nami nitafanya kazi kwa upande wangu. Nitampigia simu kiongozi wao hapo Arusha, Bwana Phillipe Habimana, atume vijana wawili waimalize hiyo kazi. Umeshatoa agizo, na agizo lako litatimizwa”, JKS alijigamba.

“Oke, vizuri; unajuwa vijana wetu wana ujuzi wa hali ya juu, na swala la kuua kwako si swala tena la maana wameishaua sana kiasi kwamba kuua kwao sasa ni sawa na kunywa chai”, Jean alijibu huku akiangua kicheko cha kejeli.

“Tena sana, juzi tu kwenye kambi huko Ngala wamemaliza kuua vikaragosi vinavyojipendekeza kwenye serikali mpya, kwa kuwashawishi wakimbizi waanze kurudi ili ionekane serikali ya sasa imeshaleta amani na usalama Rwanda ili iweze kuungwa mkono na jumuia za kimataifa. Ni baada tu ya kumaliza hiyo kazi ndipo Phillipe alipokwenda kuwachukuwa kwa msaada wangu. Hivyo, nikiwaagiza leo, hakika huyu Willy ajihesabu ni marehemu maana bado wana mori kabisa”, JKS alijibu.

“Haya basi, nipigie simu kesho, baada ya kumaliza hiyo kazi. Na kama ukisikia habari zingine zozote, fanya kama kawaida na mimi nitafanya kama kawaida yangu”, Jean alijibu na kukata simu.

Jean na JKS walikuwa wanafahamiana yapata miaka mitano sasa. Uhusiano wao ulianza wakati JKS alipokuwa na wadhifa wa kuamua juu ya ununuzi wa silaha mbalimbali zilizokuwa zinahitajiwa na serikali ya Tanzania. Jean Yvers Francois alikuwa kijana bado yapata miaka therathini na minane, na alikuwa tayari mfanyabiashara maarufu sana duniani. Alikuwa akifanya biashara ya kuuza silaha katika nchi zinazoendelea, na alimudu sana kupata biashara hiyo kwa urahisi kwa vile watu wengi walisema kuwa alikuwa mtoto wa kiongozi wa ngazi za juu kabisa katika serikali ya Ufaransa.

Kwa kutumia wadhifa wa baba yake na umaarufu aliokuwa nao baba yake katika nchi zinazoendelea, kijana huyu hakukosa biashara hii ya silaha na biashara nyinginezo zilizokuwa zikipita mbele yake. Lakini vilevile alinong’onwa kuwa, kijana huyu alijua kuwazawadia waliompa biashara, hasa viongozi wa ngazi za juu katika nchi za Kiafrika. Kutokana na sifa hii ya kutoa asilimia kumi na zawadi zingine, kijana huyu alikuwa akitafutwa na biashara badala ya yeye kuzitafuta hata ikasemekana kwamba viongozi fulanifulani wa nchi za Kiafrika iliwabidi wazungumze naye kwanza kabla hawajatoa maamuzi yoyote muhimu ya kibiashara.
Kwa hiyo, wakati JKS alipoagizwa na serikali ya Tanzania kutoa zabuni ya kisiri kwa makampuni yanayotengeneza silaha, mara moja alimtafuta Jean, maana viongozi wenzake walishawahi kumweleza kama angetaka kunufaika na wenzake pia wanufaike basi Jean ndiye  alikuwa mtu wa kuwasiliana naye. Ingawa wakati huo walikuwa hawafahamiani, lakini JKS alikuwa tayari ana anuani ya Jean kutoka kwa rafiki zake. Hivyo hakusita, akawasiliana naye. Ni baada ya kuwasiliana naye na kufanya biashara ya kwanza ndipo urafiki wa karibu sana ulipoanza kati yao.

Kwa vile Ufaransa ilikuwa na uhusiano wa karibu sana wa kiserikali na serikali ya Rwanda, Jean alijikuta ana uhusiano wa karibu sana na uongozi wa serikali ya nchi hiyo kuliko ilivyokuwa serikali za nchi nyingine za Kiafrika alizokuwa akifanya nazo biashara. Inasemekana kuwa, kwa njia moja ama nyingine, Jean ndiye aliyekuwa mshauri mkuu wa uongozi huo na hakuna uamuzi wowote uliofanyika bila yeye kuhusishwa. Kiuchumi, Jean alimiliki njia zote muhimu za uchumi wa Rwanda kwani uongozi wa serikali ya Rwanda ulimpa uwezo wa kufanya biashara yoyote aliyoitaka nchini humo, na uongozi huo ulinufaika kwa kujilimbikizia mali, na kumwachia anyonye jasho la wananchi wa Rwanda kwa kununua mazao yao yote kwa bei rahisi na kuwauzia bidhaa kwa bei ghali.

Kwa jinsi hii Rwanda ilimtajirisha Jean na viongozi wa serikali isivyo kifani. Na ndio sababu wakati wa mkutano wa kusuruhisha pande zote za mgogoro wa Rwanda mjini Arusha, Jean alikuwepo. Inasemekana alimtumia sana JKS kujaribu kuipotosha serikali ya Tanzania ili isione ukweli wa mambo ulivyokuwa Rwanda kutokana na urafiki wao wa karibu uliotokana na kupeana bakshishi.

Baada ya Jean kukata simu, JKS alitafuta kitabu chake cha simu na kutafuta simu ya Phillipe Habimana kule Arusha. Baada ya kuipata alimpigia simu.

“Hallo Habimana”.

“Habari za leo”, JKS alijibu na mara moja Phillipe akaitambua sauti.

“Nzuri mzee, shikamoo”.

“Marahaba, sikiliza kwa makini, nina kazi nataka vijana wako wakaifanye usiku huu, tafadhali sitaki makosa ya namna yoyote yafanyike kwani yanaweza kuleta madhara kwa suala lenu zima. Nimeshazungumza na Jean.

JKS alitoa maagizo yake kwa kirefu na akamalizia.

“Narudia tena, mtu huyu ni hatari sana; vijana wako wasifanye mzaha wakafikiria ni mtu wa kawaida, si wa kawaida, hadhari yote ichukuliwe”.
“Hamna matatizo mzee, hesabu kazi imekwisha, tuonane kwenye msiba wa Willy Gamba”, Phillipe alijigamba.

BODY SPRAY (HANDSOME BOY) – 5

Image result for africa in love


Chombezo : Body Spray (Handsome Boy)
Sehemu Ya Tano (5)

Yule mhudumu aliinama akampima joto la shngoni kisha akaweka mkono wake kifuani akatikisa kichwa kuashirikia hapakuwa na uhai wowote juu ya felista.”kaka hili ni tatizo mtu huyu amefariki tena ameanza kuwa wa baridi kabisa ebu ngoja”yule jamaa alisonga mbele akatoa taarifa kwa wahudumu wengne na taarifa zikatoka hadi nje ya ndege abiria wakazuiliwa wasichuke mpka polisi watakapokuja kufanya uchunguzi wao. Muda wote huo natetemeka sina namna yani kama mtu aliyekuwa karibu yangu anaweza kusema naumwa degedege ule ugonjwa.Baada ya muda wale polisi wa usalama pale uwanjani waliingia ndani wakatuhoji takribani nusu saa kisha wakauchukua ule mwili na wakanichukua na mimi tukaenda hadi rumande ambapo kwa siku hiyo nililala mahabusu wakati mwili unafanyiwa uchunguzi.Kama saa mbili asubuh kesho yake alikuja mkurugenzi wa shirika letu akiwa na wafanyakazi wengne wawili wakiwa na majonzi walikuja na kuanza kuniuliza juu ya lile tukio la felista kufa, sikuwa na jipya kama nilivyowaeleza askari na wao ni hvyohivyo kuwa felista alikuwa mzima wa afya na wote tulifanya kazi kwa uzuri hapo sijui kilichotokea.”ngoja nikwambie dickson unajua uchunguzi wa daktari umefanyika na inaonekana felista amekufa kwa kunyongwa ina maana alikosa pumzi na wewe ndio mtu wake wa karibu muda wote hivyo ni lazima serikali wakutie nguvuni ebu sema ukweli””jamani ukweli ndio huo sijui lolote bosi sijui kimempata nini felista sijui nani aliyemuua mbona hamniamini?””haya bwana sawa sisi tumekuja kukuona ila pia tunakuombea kesi hìi iishe urudi kazini ila ni kesi kubwa”***Usiku ule nililia sana kwanini niliamua kufanya vile, nikawa najiuliza mke wangu akijua sijui hatakuwa kwenye hali gani? Yani kweli waswahili usema “bora aibu kuliko fedheha” na “heri nusu shari kuliko shari kamili” mimi yamenikuta ya kunikuta kisa kuogopa kuchekwa kuwa mwanaume nisiyekamilika kwa kukosa maumbile ya kiume hali inayonipelekea kutoa uhai wa felista kama makubaliano ya kulimaliza tatizo najuta sana.***Siku ya hukumu ilipofika baada ya kusota kwa mwaka mzima na miezi sita jera ndio kesi yangu ilikuwa inatolewa hukumu mke wangu alikuwa amekonda kwa kulia, mama yangu pia mara zote alikuwa mwenye huzuni. Kila mtu aliniombea lakini cha ajabu upande wa washtaki walikosa ushahdi wa kunifunga na hata mwaka mmoja ule nilipaswa nilipwe fidia kwa kuonekana sina hatia, sikuamini nilipoashiwa huru nikamkumbatia mama na mke wangu pamoja na mtoto tukawa tunarejea nyumbani na furaha.Usiku ule nikiwa ndotoni niliota nafanya mauaji tena, safari hii nilikuwa na kisu namuua salma na amina wale wasichana nilipokuwa nimepanga kipindi kile nilishtuka nikakutana uso kwa uso na jini sadia akiwa ameshika kisu kikubwa kinang’aa.”dickson upaswi kulala ebu amka utekeleze wajibu wako

.Niliangalia kulia na kushoto sikubahatika kumuona jini sadia ila cha ziada nilikumbuka ile sauti yake iliyonipa maagizo nikaue lakini kwa jinsitabu niliyoipata kule mahabusu sikuwatayari kutimiza azma hiyo kama kuwa impotent ni bora niwe.Nilirudisha shingo yangu mpaka usawa wa mto nikavuta shuka hadi kifuani nikalala zangu mara mke wangu akajigeuza na kuanza kunishka shka kifua. Alinichezea kwa muda kabla ya kutaka kuchuka kwa babu nikamzuia ili kuficha aibu yangu kwani sikuwa na machne yangu kwa mwezi sasa pale nilipo aja kubwa na ndogo zinatoka sehemu moja yani ilikuwa ni mateso sana kwangu.”mume wangu bwana nina mwezi wa pili sijakutana na wewe honey nina hamu””najua mpenzi ila nimechoka labda kesho mke wangu””dah yani mume wangu we acha tu, haya sawa bwana ntavumilia”Aliongea kwa unyonge akatoa mikono yake kifuani na kugeukia upande wa pili na mimi hapo roho inaniuma hamna mfano yani hasira na jini sadia zikazidi maradufu.Asubuhi palipokucha nilipaswa nirudi kazini kwa mara ya kwanza toka nilipotoka kwenye kesi yangu nami nilikuwa nimemiss sana watu wangu wa karibu na marafiki pale ofisini.”wow! Mr. Dickson welcome once again in you are office/mr.dickson karibu tena kwenye ofisi yako” alifurahi david katibu wa mambo ya utendaji.”nashukuru sana sana”Watu wote walifurahi ujio wangu kwa mara ya pili hata mi mwenyewe nilijisikia kuwa watu wanathamini uwepo wangu hasa kutoka na utendaji wangu wa kazi na pia mahusiano mazuri na wafanyakazi wenzangu.”jamani anna, janeth, prisca, madam wa ukwee nanyie wakinababa wenzangu nilisahau kuwaambianina saloon yangu kwa ajiri ya wakinadada ipo sinza vetenari mtembelee basi hata muwapeleke wake zenu wakapendeze panaitwa DICK&ANGEL HAIR BEAUTY SALOON AND MASSAGE””khee mwenzetu kumbe umewekeza dah hongera ntampeleka shemeji yangu na nyie wakina prisca mmesikia nadhani hata bei kule mtapunguziwa si bosi mwenyewe mpo nae ofisini hahahahahaha! Alisema stanley.”eeh ntakuja wikiendi hii vipi umeanza lini jamani na sisi utupe hizo chaneli jamani?” aliuliza prisca”nina muda sasa nadhani kabla sijaja kufanya kazi hapa hiyo ndo ilikuwa kazi yangu msione hapa jamani nasuka na mambo yote ya urembo nafanya na pia nina duka la vipodozi city centre pia jamani tutembeleane””khaa jamani mwenzetu umejipanga jamani yani! Nitakuja saluni kwako na nataka wewe unitengeneze nyweld zangu jamani dick mjanja wewe” alinisifia janethWote walicheka na mazungumzo yalikatisha baada ya bosi kuingia madam lucrisia wote tulimsalimia akapita ofisini kwake na kuniita.”ndio bosi””kwanza pole na matatizo najua kuteleza si kuanguka sasa endlea na majukumu yako ya hapo awali ila sasa utakuwa unakaimu kiti changu na mshahara pia utaongezwa nakuomba kuwa makini sana””nashukuru sana, asante bosi””sawa wewe kaendelee na kazi haya mabadiliko nitawaeleza na wenzio pia”**Janeth kwakuwa akuniona muda mrefu alikuwa na hamu na mimi mno wakati wengne wapo lunchna mimi nilikuwa namalizia kazi kidogo niende lunch pia nilishangaa kuona mlango unafunguliwa akaingia janeth mtoto alijazia haswa na mwili wake soft soft akafunga na funguo kisha akaja moja kwa moja akasimama nyuma yangu akaanza kunichezea kidevu mara kifua.Niligeuza kiti nikamgeukia nikaingiza mguu wangu mmoja katikati ya miguu yake nikampandisha sketi yake juu mpaka kiunoni akabakiwa na chupi tu nikaitoa Mpaka chini kabisa nikaanza kumchezea k*s** chake pakaanza kulowa nikampèleka juu ya meza nikamuweka na kuanza kuingza vidole na kusugua kuta zote juu na chini kushoto kulia akawa analia sana nikamziba mdomo chezea mtoto mwenyewe katoka kuolewa ana wiki mbili tu ni mtamu sana halafu k yake ni mnto wa hatari.”dia ingiza basi jamani”Nilitamani kutokwa na machozi baada ya kukumbuka kuwa mimi sina maumbile yangu palepapo flati
Nilishndwa hata nisemaje maana janeth alikwishatepeta kwa dozi ya kumchezea mwili wake tena aliasha hata kwenda lunch on time ili mradi aonje radha aliyoikosa kwa muda mrefu niliokosekana pale ofisini.”baby naona sipo sawa ebu nenda kanawe ukapate lunch””jamani baby kwanini sasa au haujisikii?””sio hvyo jane naöna sipo sawa”Nilimtoa janeth kwenye mood akaketi vizuri na kunitazama ndipo akaona ni kwa namna gani namaanisha.”lakini dick ungenieleza mapema kama hauko sawa ona sasa””lakini janeth kosa langu lipo wapi? Umekuja hapaumeforce tufanye hvyo lakini sikuwa sawa””kwahiyo nimekuforce? Lakini dick ninayemjua mimi sio huyu wewe dick wa kuniambia hivyo leo! Sio bure sumbawanga imekubadilisha””lakini janeth Wewe si una mwezi toka uolewe sasa kuna tatizo gani ungekuwa single sawa””sawa dick nashukuru kwa yote najua sumbawanga imekubadilisha ngoja mimi niende chooni nikajimalize mwenyewe”Kauli ile ya janeth iliniuma sana na niliona jinsi nilivyodharaulika nilimchukia jini yule na niliapa lazima nitarudi kwenye hali yangu ya kawaida. Kweli mimi wa kumuasha mwanamke vile?***”lakini mbona sikuelewi dick””happy taratibu basi, unajua leo nina mawazo ukokazini majanga””sawa dick lakini mbona nikitaka kukupapasa hata nikutulize angalau mawazo utaki jamani””happy naomba nielewe next time tutamet””hapana dick kwahiyo lengo lako lilikuwa univue nguo na unichezee kila upendavyo kisha uniashe?””sina maana hiyo happy naomba niende nitakuja kesho””nimeshakuzoea dick kesho yako mwakani we nenda nisikubembelezesana kama una almasi”Baada ya kauli ile nilinyanyuka nikasogea hatua kama tano mpaka ulipo mlango ile nafungua happy aliniita kwa sauti ya puani.”baby jamani usiende please naomba nisamehe””yameisha happy lakini nawahi nyumbani”Happy alikuja kwa madoido mpaka pale mlangoninikiwa bado nimeshikilia kitasa alisogea na kuanza kunipa romance huku akilegeza macho nasauti ya kudeka huku mkono mmoja ameuweka kifuani, niliganda kama mnara ila nilikuja kushtuka alipoweka mkono wake usawa wa zipu na kutafuta dick yangu lakini hakuöna kitu, alinyong’onyea ghafla na kuvuta pumzi uuuuuuuuh! Na kujitupa kwenye sofa puuu!”dick kwanini ukuniambia kama una tatizo?”nitaanzia wapi mpenzi wangu?”kwani ulitembea na mke wa mtu?””hapana happy ni story ndefu kidogo””haya njoo keti unieleze kinagaubaga””happy miezi mitatu sasa nipo katika hali hii, nakumbuka tatizo lilinipata nikiwa kikazi sumbawanga nilikutana na mganga aliyekuwa anafanya maajabu na mimi nikajikuta nakubali kubadilishwa jinsia kama mchezo lakini ghafla yule mganga alianguka palepale na kufa ndo mwanzo wa tatizo aliyeniroga ameshakufa””usiseme hivyo mpenzi mimi nitakusaidia kukupeleka kwa mtaalamu””mtaalamu! Mtaalamu yupi huyo wa wapi?”yupo bagamoyo uwezi amini tokea nipo form 4 hadi leo nimekuwa nikienda kwake hajawahi kushndwa mpaka leo unaniona chuo namtegemea yeye””sasa tunafanyaje?””kesho asubuhi sana tuamkie bagamoyo inabidi ulale hapa leo, weka alarm mapema tuanze safari”***Tulilala usiku ule mimi na happy lakini kama kaka na dada. Ule usiku niliota nimelala na mwanamke lakini ghafla nikaamka na kwenda kuchukua kisu jikoni nikarudi taratibu na kumchoma cha shngoni, palepale ile ndoto haikuendelea nami sikushtuka.Saa kumi na moja alarm ikaanza kuita kama mara mbili nikawa naona uvivu kuamka ila ile mara ya tatu niliamka mara nilitazama pembeni yangu.”khaa! Hiki nini tena ooh my God!!

.Sikuamini macho yangu baada ya kukuta mwili wa happy ukiwa umeuliwa kikatili na bisu la shingo hata kuangalia mara mbili sikuweza. “ni nani ameingia humu ndani na kufanya ukatili huu? Binadamu sisi mbona hatuna utu jamani mtu unamuua binadamu mwenzio? Lakini huyu mtu kapitia wapi? Ina maana bila kushtuka now ningelala na maiti mpaka asubuhi?” nilinyanyuka na kukaa pale kitandani nikiwa na ujasiri mkubwa sana kwani kwa kawaida mtu yeyote angeanza kuchanganyikiwaíla nikakumbuka mara ya mwisho niliota ndoto lakini matokeo ya ile ndoto niliua OMG! itakuwa ni mimi nimeua na ni jini sadia huyu mwanamke sijui ananitafutia nini?”sasa hapa nifanye kitu kimoja nichomoe hili bisu shngoni ili nisije kukamatwa kwa uwepo wa ushahdi” nilifumba macho na kuhesabu moja mbili taaaatu! Fyooooo, eeh jamani.Tayari nilishaipata barabara kuu na nilikuwa naitafuta sinza sikujua kwanini naenda sinza lakini nilikuwa kama mtu aliyeshanganyikiwa haswaa. Nilipaki gari langu sinza makaburini ilikuwa ni alfajiri sana kisha nikazima gari na kuwasha taa ya ndani hapo nimechoka hatari.”hivi ni nini malengo ya kufanya haya mauaji? Mimi nimeshakubaliana na matokeo sina maumbile yangu sawa nitaishi nitakavyojua lakini nakubalije kuendesha na lile zombi shenzi sana lile shetani”Nilitukana sana na kumchukia yule jini kwani ameniharibia maisha yangu sana. Wakati nipo pale nikaanza kupata concept nzima ya lile tukio. Inavyoonekana yule jini alinichezea akili yangu kuwa lile tukio nilione kama ndoto kumbe naua kweli alafu baada ya kuua nilale na maiti mpaka asubuhi nitakapokamatwakirahisi kwasababu tulilala mapema jana yake lakini asubuhi nilikuwa na uchovu sana kumbe inawezekana ile mara ya tatu alarm inaita ningeendelea kulala uenda yangenikuta makubwa zaidi. Nimegundua kitu hapa huyu jini mimi anipendi kama anavyosema na ndio maana anataka niingie matatizoni. Lakini sawa nitapambana mpaka mwisho.”kaka mbona leo asubuhi sana kuna nini tena?””kaka we acha tu ebu tuingie ndani nikueleze vizuri” niliongea na rafiki yangu richard baada ya kufika kwake kama saa kumi na moja na nusu.”sawa kaka nimekuelewa lakini kwa hapo naona kabisa una wakati mgumu cha kufanya ni kukata tiketi alaka kwenda dubai kwa sista mery kama unaenda kuchukua mzigo wa biashara yetu””dah kaka nashukuru sana kwa kunipa wazo zuri lakini nitamwambia nini wife””we achana na hayo mambo fanya nilivyokwambia kaka usipoteze muda, kama happy amekufa jeshi la polisi litataka kujua chanzo cha kifo chake na wataanza kufanya uchunguzi hapo ndipo utakapo tiwa nguvuni sasakabla hayo hayajakukuta ebu ondoka mapema”***Nilimaliza mipango ya visa na kila kitu nikawa nimekata tiketi ya kwenda dubai lakini nitapitia egypt kisha doha na kuingia dubai ni safari ya karibia siku nzima. Mke wangu na rafiki yangu richard walinisindikizahadi airport kisha nikaagana nao nikaingia hadi sehemu ya ukaguzi nikapita na kuingia chumba maarumu ya abiria wanao subiri ndege ya kwenda dubai. Tulikuwa abiria wengi mno na pale zilibaki dakika 15 kabla ya kuingia ndani ya ndege. Nilienda chuoni mara moja wakati namaliza kujisaidia haja ndogo maraaskari akaja sijui alijitambulishausalama wa taifana kuniambia nipo chini ya ulinzi nikasurender huku nikimlia timing na kweli akanipa upenyo nilimpiga ngumi kama nane za usoni kisha nikamkalisha kwenye sink la choo kama anajisaidia haja kubwa nikafunga mlango huyo nikaondoka wakati huo abiria walikuwa wanaingia ndani ya ndge na mimi nikajifunika na koti langu nikazama ndani ya ndge kabla ndege haijaondoka mara wale jamaa wa usalama walikuwa wanaranda randa nje mara wakaingia ndani ya ile ndge hapohapo mapigo ya moyo yalinienda mbio
Walianza kuangalia mule ndani kwa muda mfupi kisha mmoja akatoka na mwingne akawa bado anatazama tazama vizuri lakini nae akatoka wakati wapi nje alitokea mkuu wao sijui yule akawaamuru warudi tena ndani ya ndege wakague pass zetu za kusafiria maana tayari lile tukio alishaliona kwenye camera maalum zilizofungwa kila sehemu. Walirudi ndani tena wakati huo tumbo joto kama nimebeba madawa ya kulevya yani nilikuwa na hofu kubwa sana.”kaka unaweza kutupatia pass yako ya kusafiria samahani kwa usumbufu””aah pass sawa hii hapa”Yule jamaa aliitazama sana tofauti na viti vyote alivyopita mwanzo au hata jirani yangu kisha akanirudishia akaenda nyuma zaidi alipomaliza akarudi tena kwangu.”jamani vipi tena mnataka niwape tena pass yangu au?””kaka kama tunakutilia mashaka unaweza kuambatana nasi kwa dakika2 mpaka kwenye chumba chetu cha uchunguzi nadhani haitakusumbua sana unaweza kuasha mizigo yako””mbona sielewi kuna kipi hasa mpaka nikafanyiweuchunguzi ina maana nimeingiaje ingiaje hapa?”Mama wee wakaingia wale askari wa jeshi la polisi wa kawaida wakanitia nguvuni na kunipiga pingu mikoñoni.”jamani mnanikamata nina kosa gani?””twende wewe unajaribu kuikimbia serikali? Ina mikono mirefu muuaji mkubwa wewe”***”Jamani mtaniua bure mimi sijui chochote””na hiki kitambulisho ni cha nani? Tumejaribu kuchunguza tukakuta kuna kitambulisho hapa katika nyumba aliyokuwa anaishi marehemu ebu tuambie ukweli kabla hatujakulazimisha useme””kwakweli afande happy alikuwa ni mpenzi wangulakini mimi nimeoa tayari na muda sasa tumekuwa hatuna mahusiano najua hapo kuna mtu amefanya mauaji na kuasha kitambulisho changu””je siku ya tukio ulikuwa maeneo gani?””nakumbuka nilikuwa bar mpaka saa kumi usiku nikalala guest na kesho yake nilirejea nyumbani””haukulala na happy wewe kisha ukatimiza matakwa yako kisha ukamuua?””hapana afande sikufanya hivyo””una ugomvi na nani?””hapana sina ugomvi na mtu nashangaa kwanini wamenifanyia hivi?””aah unadhani inaingia akilini hata ungekuwa ni wewe dickson unaambiwa hivyo ungemuelewa huyo mtu?”***Hakuna maisha magumu kama mahabusu yani kulikuwa na harufu mbaya na pia kulikuwa na giza muda wote ila nakumbuka siku ya nane toka nipo mule ndani alinitokea yule jini na kuniambia atanitoa mule ndani kwa kuigeuza ile kesi kwani yeye ndiye aliyeitengenezana ndio atakayo imaliza.Asubuhi yake nilikuja kuitwa na kuambiwa nimeashiwa kwa dhamana aliyenikatia dhamana simjui lakini sikutaka kuuliza ila niliambiwa siku yakusomwa kesi natakiwa niwepo mahakamani nikamshukuru sana mungu nikapewa vitu vyanguna kuondoka.Nilikuwa nikuhudhuria ile kesi mpaka nikaona kama haina nguvu tena hata watu pia waliisha kuja kusikiliza ile kesi mpaka nilipoambiwa na mahakama nipo huru.Sikuwa na la kumficha mke wangu nikamweleza yote yale ndo akanileta kanisani.”jamani wapendwa napenda kuwaambia mungu yupo hayo ndo maisha yangu niliyoyapitia namshukuru mungu kwa kunipa mke muelewa kwa yale yote bado alikuwa mvumilivu kwangu, nakumbuka siku ambayo narudishiwa jinsia yangu niliambiwa na yule jini sadia kuwa nikutanenae daraja la salenda saa 9 usiku kwa lengo la kunirudishia jinsia yangu kisha nikaishi nae baharini kweli alifanya hayo yote ila baada ya hapo nikaliitia jina la bwana nilishangaa kuona kitu cha ajabu kama mwanga mweupe kisha yule jini akatoweka na kuniasha nikishangaa na tokea hapo ndo nipo huru sasa na familia yangu”Ile ilikuwa ni simulizi ndefu niliyoitoa kanisani na kuandaa kanda za kaseti na cd baada ya watu wengi kuipenda sana simulizi yangu.HAKUNA LISILOWEZEKANA KWA MUNGU..Simulizi ya THE PRETENDER{INVISIBLE MAN} itakujia karibuni ikiwa katika muonekano mpya.***MWISHO***

BODY SPRAY (HANDSOME BOY) – 4

Image result for africa in love

Chombezo : Body Spray (Handsome Boy)
Sehemu Ya Nne (4)

“umeshaanza wivu wako mke wangu siku hizi nimetulia”

“hata mimi naona, ila kuwa makini”

Nilipuuzia mambo ya mke wangu nikalala zangu nikiwa nimekumbatia mto nikajigeuza pembeni. Mke wangu akaja na kunikumbatia akiwa anataka.

“mke wangu bwana leo nimechoka”

“hapana mume wangu naomba hata kidogo”
Nilimgeukia nikampa chakula cha usiku mpaka alipotosheka tukaenda kuoga wote tukalala wakati huo hata sara alikuwa amelala kabisa na kinachonifurahisha huyo mtoto asumbui kabisa.

Kesho yake nilikuwa kazini sasa katika kitengo changu kuna mdada mgeni ameajiriwa chni yangu hata mwezi hana yeye anadeal na mambo ya office records/kumbukumbu za ofisi. Yule dada alikuwa ni mrefu ana hips kubwa na mtako huoo na kinguo anachovaa kilinitoa roho kama akiinama napata tabu na muda mwingi alikuwa anafungua kifungo mpaka unaona sidiria yake na wakati huo hata yale maziwa yake na cheni ile aliyovaa shingoni ilikuwa inapita katikati ya yale matiti yake nisichukue mzigo nini. Mimi kuna style naitumia kuopoa watoto wazuri kama wale unajua nilifanyaje?

Kama kawaida zangu nikiona watoto warembo kama wale mbele ya upeo wa macho yangu huwa sipindi kuremba nachukua contact na kumtafuta whatapp au instragram hapo ni mwendo wa kutumiana video na mapicha picha ili mradi tu.

Ile siku ambayo huyu mdada anayetunza kumbukumbu kwenye ofisi yetu alinipa namba ilikuwa hivi. Nilivutiwa kiukweli na umbile laki na utamu wa sauti yake kwa mwanaume yeyote rijali ni lazima atakubali ninachokisema inahtaji nguvu za ziada kumkwepa sema kwa namna nilivyofanya ilikuwa ni kumpima imani yake tu.

Ulikuwa ni muda wa kutoka kula nikapitia dukani na kununua wembe kisha nikaja nao ofisini nikawa nimeketi nae akiwa kwenye computer anaendelea na kazi yake nikawa nakata kucha na nikafanya kusudi tu kwenye dole gumba nikajikata na kile kiwembe sehemu kubwa damu ikaanza kutoka nyingi.

“uuh tse tse tse” nilitoa kilio na kulia kama namuita paka.

“nini tena kaka dick jamani”

“dah nimejikata na wembe now ona damu”

Damu zilikuwa ninatamba kwenye mkono nikakimbilia chooni kunawa kisha ye mwenyewe akanifata na kuniita kwa nje.
“bosi dick, kaka dick, kaka dick, dawa hii hapa na pamba”

“asante dada we ingia tu”

Nilifungua mlango akaingia yule mdada na mimi nilikuwa kwenye sinki la kunawia nikawa namruhusu anioshe kidole akaniwekea spirit maana mule ofisini kuna box la first aid kit nikawa najifanya kuguna guna ili mradi tu nimpe moyo tiba inaingia lakini muda huo namuangalia kalio.

“vipi hapo unaöjaje”

“hapo sawa nashukuru japo inauma”

“haya pole jamani itapoa sasa hivi”

“vipi unaitwa nani?”

“jamani wewe sio ndio umenisajiri hapa! Me naitwa dorlen audax”

“wow! Nice to knw that mamaa mamaa”

Nilijifanya nimetereza nikamshikilia kiuno tena kwa mikono miwili eti najizuia.

“vipi tena bosi?”

“dorlen una kiuno laini shem anafaidi”

“aah jaman asante”

“vipi niendelee kushka jamani naöna raha”

“jamani bosi me nina mchumba”

“aah dorleen nini mchumba bwana me nina mke unaona pete ya ndoa hii sema penzi la kuibia linakuwa tamu kweli we nipe kidogo nakupromise utaenjoy baada ya hapa”

“mmh haya nakuja ngoja nikaangalie kawa wakina rose kama wamerudi”

Alitoka akiwa anachungulia chungulia na mimi nikafungua zipu yangu na kuitoa machne yangu nilikuta tayari nimeshamwaga unajua tena haya mambo ya nje ya ndoa. Mara dorleen huyu akiingia na kunikuta nimeishka machne yangu na wakati huo alikuwa amesimama akitoa mimacho kama amebanwa na mlango.

Nilimfata na kumkutekenya kwenye mbavu kidogo aende chini nikamdaka na kumpa kinywa akawa ananitazama pia huku tunabadilishana ndimi nilimchezea kweli kweli mpaka akawa ameregea nikaipandisha ile sketi na kuikuta tait nyeupe nikaitoa mpaka down vyombo vikawa wazi nikaanza kuviosha kwa ustadi maalum kiukweli nimewah kutembea na mademu lakini huyu alikuwa na utamu wake na ile kitu ukizamisha ina lia fyokofyokofyoko kama vile inavutia kwa ndani.
***

Ilikuwa jioni wakati natoka kazini nipo ndani ya gari nimeingia barabara ya vumbi nilimuomba mtu anatembea mbele yangu ni msichana mrembo kweli nafsini mwangu nikisikia sauti inaniambia.

“dick mgonge huyo mwanamke nakwambia dickson fanya maamuzi haraka maana usipofanya hvyo uhai wako utapotea fanya hivyo”
“dickson mgonge huyo mwanamke kama utafanya hivyo uhai wako nitautoa”

Khaa! Uchenzi niue kisa nini nani ameyachoka maisha nikanyee debe kamwe siwezi kumgonga mtu asiye na hatia. Nilifanya maamuzi kutoka moyoni na kipindi nilichompita yule dada nilizidi kumuangalia kwenye sitemirror lakini ghafla alipotea sikumuona tena nikasimamisha gari na kuanza kutembea kurudi na nikichunguza angalau hatua zake zimeelekea wapi, lakini sikuona kitu zaidi ya alama za matairi ya gari na viatu nilivyovaa nilihisi kuchanganyikiwa.

“jamani hile #body_spray imenisababishia matatizo kumbe natumia mipurfume ya majini sijui itakuaje jamani naanza kuchanganyikiwa na isitoshe yule mtu ningemgonga inawezekana ni mke wangu, ningemuua mke wangu kwa mikono yangu mwenyewe kisha niwe na yule sadia jini kamwe haiwezekani” nilijawazia nikiwa nimesimama pale na nikapata wazo la kuwahi nyumbani nikajue usalama wa mke wangu maana yule jini ananitafuta sana.

Niliingia ndani ya gari na kuliwasha lakini cha ajabu nilisahau eti njia ya kwenda nyumbani nikawa nimebaki njia panda ikabidi nisimamishe gari ili niulize nyumbani kwangu ni wapi. Alipita mkaka mmoja nikamsimamisha.

“habari za leo kaka”
“salama bro dick naona ndo unatoka kazini bwana”

“ndio kaka ila samahani, eti unaweza kunielekeza nyumbani kwangu ni wapi maana nahisi nimechanganyikiwa na mke wangu nikimpigia simu haipatikani nisaidie kaka”

“kweli haya maajabu ya mwaka kaka punguza ulevi kupitiliza wenzio hatulewi hadi tukafikia namna hii ebu rudisha gari nyuma kisha ukunje hapo kulia piga honi mbele ya hilo geti hapo ndo kwako huko ulipokuwa unaenda ungepotea bure”

“asante sana kaka nimechanganyikiwa sana”

Nilipoingia ndani nikakimbia moja kwa moja hadi chumbani na nilipofungua mlango macho niliyatupa kitandani na sikumuona mtu zaidi pale kitandani nilikuta simu ya mke wangu ikiwa imezimwa na nguo na viatu vya mtoto vilikuwa kitandani. Presha ilinipanda kweli kweli nikatoka pale na kuanza kupita kila chumba sikuweza kumuona mtu, nikafungua mlango wa jikoni na kukutana na sura ya mke wangu akiwa amembeba mtoto mgongoni huku anachemsha maziwa huku anapika chakula chetu nilimsogelea na kumbeba msobemsobe na kumfunika na mabusu kwenye uso mzima.

“kulikoni mwenzetu? Mbona umeingia hapa kama unatahamaki kisha ukaja kunikumbatia kwa nguvu?”

“mke wangu we acha tu, sema ni mambo ya kawaida niambie mtoto anaendeleaje?”

“mtoto anaendelea vizuri alikuwa analia muda si mrefu ila naona amenyamaza nafikiria atakuwa amelala, vipi za kazi?”

“haa nzuri tu, sema nipo chumbani”

Nilitoka pale na kuingia hadi chumbani nikachomeka chaji simu wa mke wangu kisha nikaenda hadi dressing table nikawa najiangalia kwenye kioo yani macho yangu yalikuwa mazito na kama vile nilikuwa na usingzi mzito sana.

Kitendo cha kulala tu palepale ndoto ikanijia, nipo sehemu kubwa kuwahi kuiona na tazama mimi nilikuwa nimevaa nguo za kiislamu kama mtu anayekwenda kuoa nami nisijue kama yale yote yalikuwa kwa ajiri yangu. Nikiwa nashangaa pale wakaja wanaume watatu wa kiarabu wakanichukua na kunipeleka chumba maalumu humo kulikuwa kunanukia marashi mazuri na ile harafu ya body spray yangu ndo ilitawala sana. Wale watu walianza kuswali kwa lugha flani ili kwa kunong’ona sana. Muda mfupi tu akaingia mwanamke ndani ya shela lakini kwa haraka haraka sikumtambua maana lile dude la usoni liliuficha uso wake.

Niliona matukio ya ajabu ajabu na kikubwa sana ile ndoa ilihudhuriwa na watu wengi sijawahi kuona na wakati wa kufunga ndoa ulipofika niliambiwa nimfunue bibi harusi nilifanya hivyo taratibu ile kuja kuona ilikuwa ni sura ya sadia nikazimia palepale hata ndoa haikufungwa.
Hapo ndo nilizinduka kutoka usingizini nikasikia mtu anaoga bafuni nikajua atakuwa mke wangu maana mtoto alikuwa amemlaza kwenye kitanda chake, ndani ya dakika kadhaa nae alitoka bafuni.

“ndo umeamka mume wangu, bora ukaoge twende tukale”

“yani mke wangu hata sijielewi ebu hayo makopo yote ya perfume, lotion, body spray nikusanyie nikachome moto”

“mume wangu sijakuelewa bado unaanisha tuvichome moto”

“ndio vipi mbona kama haunielewi ngoja nikusaidie”

Nilizikusanya zile chupa na kopo zote nikazibeba na moja kwa moja nikawa naelekea mlangoni.

“ebu muweke mtoto kitandani uje kunifungulia mlango”

“lakini umepatwa na nini mume wangu yani hivyo vitu vyote vinafika laki mbili na arobaini leo unaenda kuvichoma moto”

“nimekwambia njoo unifungulie mlango kama hiyo hela nakupa sasa hivi, naona unathamini pesa kuliko utu haya unataka haya matatizo yaje kumpata na mtoto?”

“hapana mume wangu haya nakuja”

Alikuja akanifungulia mlango nikaweka yale makopo yote ndani ya mfuko kisha nikaenda hadi nje ya geti nikafungua nikawa najifikiria nianze safari ya kwenda dampo ila kama bahati wakapita wanafunzi watano wa kike inaonekana usiku ule wametoka kujisomea au kujadiliana.

“hey nyie wanafunzi, ebu njooni”

“shikamoo!!”

“marakhaba! Samahani wadogo zangu naomba mnitupie haya makopo dampo na mkikuta umewashwa moto itakuwa vizuri sana, hii mtakunywa maji shule”

“haya asante”

Waliondoka wote na mimi niliingia ndani nikatoka tena kuwaangalia nikawa nawasikia kwa mbali wakigawana yale makopo ya perfume, lotion, airfresh, body spray.

“hiiíii anitha na hii perfume inanukia vizuri nachukua mimi”

“hasha ushamba hiyo ni airfresh, hapo si una lotion mbili chukua na body spray na perfume moja moja kwako tumemalizana”

“jamani joyce yule kama sijui kashanganyikiwa ametupa vitu hivi na elfu kumi juu kusema ukweli mimi kesho muda wa kurudi lazima nikagonge geti”

“mmh lita me naogopa mwenzangu kama vipi ukienda kugonga sisi tunakaa mbali huko”

Nilijifikiria nikagundua vile vitu visije kuwapa madhara nikakimbia ili niwaonye wasitumie vile vitu lakini waliponiona wote walikimbia nami nikarudi ndani.

Nilimkuta mtoto peke yake nikajua mama yake hayupo mbali nikaenda jikoni lakini sikumkuta nikanyata mpaka sebureni ndo nikamkuta anaandaa chakula.

“we mbona umemuacha mtoto peke yake”

“mume wangu siku hizi umeanza kuchanganyikiwa mtoto si huyu hapa mgongoni”

Nilirudi mbio hadi chumbani kutazama mtoto yupo vilevile jamani hiki ni nini? Kuna roho ikaniambia muue huyo sio mtoto wako nikawaza sana nikamsogelea mpaka karibu nikagusa pumzi yake nikagundua yupo mzima nikarejea hadi sebureni sikumuona mke wangu tena. Nilianza kuita “angel angel angel we angel”
“abee njoo nipo chumbani”

Nilitetemeka mwili mzima nikajisemea “ooh jesus christ help me” nikaenda ila kabla sijafika mara nikaona damu kuelekea chumba cha wageni nikafungua ule mlango kwa ujasiri wa kupambana na nitakacho kutana nacho mara fuuuupu!! Paka mkubwa mweusi amekufa sakafuni..

“ooh my Godness what the meaning of these?”

Niliurudisha mlango taratibu na kuanza kutafuta wapi kilipo chumba chetu nikakutana na mlango nikafungua na kumkuta mke wangu anavaa huku mtoto amemlaza kitandani.

“angel mke wangu humu ndani kuna mauzauza yani nahisi kuchanganyikiwa”

“jamani mume wangu uchanganyikiwe na lipi au bado yule jini anakusumbua?”

“nahisi itakuwa hivyo maana nilipotoka nje nikaingia moja kwa moja chumbani nikamkuta mtoto kitandani nikajua umemuasha peke yake sasa nilipokuja sebureni muda ule nilishangaa kumkuta mtoto umemuweka mgongoni nilizidi kuchanganyikiwa nikaingia jikoni kunywa maji nilipotoka nikakuta michirizi kuelekea chumba cha wageni nilipofungua nikamkuta paka mkubwa mweusi ndo nimetoka huku na kuja huku ndani bado nashangaa hiki nini”

“mume wangu unanitisha hizo ni demon spirits/roho za mashetani zinakufata mume wangu ebu twende tukamtoe huyo paka jamani mbona naogopa mume wangu”

“we twende ukaone”

Tulitoka nje ya chumba chetu mpaka kwenye kolido cha kushangaza hapakuwa na dalili ya kuwepo kwa damu wala huyo paka aliyekufa.

“yuko wapi sasa jamani”

“yani alikuwepo hapa muda si mrefu sijui ameenda wapi”

“mume wangu fumba macho tuombe ukiamini hayatakusumbua tena hayo mambo, unaamini?”

“ndio wife naamini niombee”

“tuombe, baba katika jina la yesu tunakwenda kinyume na hila zote za shetani na nguvu za giza zishindwe na kurudi kuzimu ktk jina la yesu na tunaziseka kuzimu kwa damu ya yesu, namuweka mume wangu mikononi mwako na shughuli zake pia na familia yangu mungu naomba uilinde naomba nikiamini. AMEN!!”

“AMEN!!!”

Nilipata amani kidogo baada ya yale maombi nikaoga nikala nikasali tena na kulala nikiamini ulinzi wa mungu upo pamoja nasi. Nakumbuka muda tuliolala ilikuwa saa na robo na hakichukua muda nikapitiwa na usingizi baada ya mke wangu kunipa stori mbili tatu za kule reba kipindi alipokuwa anajifungua nadhani alipoona kimya akajua nimeshalala nae akalala pia. Kwa mbali nilisikia simu yangu inaita nikafunua mto na kutoa simu alikuwa ni yule sekretari wetu ambae nilishatembea nae jana yake kazini na muda huo anapiga ilikuwa saa sita usiku sikupokea nikasikiliza pumzi za wife kwanza nikajua amelala nikapokea simu.
“hello”

“hello jamani dickson nimemisi penzi lako jamani”

“ndio najua jamani lakini si unajua nimeoa na muda huu nipo wife”

“najua lakini nashndwa kuvumilia dick unajua mapenzi me sikuachi ungekuwa muislamu ningekwambia unioe niwe nyumba ndogo”

“sawa nimekuelewa tutaonana asubuh kazini?”

“jamani basi tuchat mpenzi wangu”

“poa wangu”

Nilikata simu tukaanza kuchat kama vile tunafanya mapenzi_sex chat mpaka nikapitiwa na usingizi nikalala fofofo.

Katika ya usiku wa manane niliota nipo kwenye shamba kubwa la maua ya kila aina kwa mbali nilimuona msichana mrembo anakuja nilipo na aliponikaribia akanipita na kuendelea mbele kisha akageuka nyuma na kuanza kuniita lakini nikawa nasita kwenda mara ghafla ile ndoto ikakatika baada ya kusikia naamshwa.

“dickson amka dickson amka twende”

Nilikurupuka na kuangalia ile sauti ya kike imetokea wapi na mke wangu amelala fofofo.

Nilijisemea “inawezekana mke wangu anaweweseka, lakini mbna sijawah kumuona hata siku moja jamani?” niliwaza wee mwishowe nikapuuzia na kuendelea kulala.

Nikiwa nimelala tena nikajikuta nimeamka bila hata kujitambua nikaenda jikoni nikawa nasumbuka kufungua mlango nikawa naugonga kwa nguvu kumbe huku nyuma mke wangu alisikia zile kelele akaamka na kunifatia kwa nyuma wakati huo nilishafanikiwa kufungua ule mlango kisha nikaenda na kuchukua kisu kikubwa ili nije kumchoma mke wangu kama bahati alijibana nyuma ya mlango akapushi kile kisu kikadondoka chini akaingia kwenye friji akatoa maji na kunimwagia usoni fahamu zikarudi.

“mume wangu inabidi nikupeleka kwa mchungaji ona ulitaka kuja kuniua si unaona hiki kisu”

“dah yani mke wangu hata sielewi ni kwanini mambo haya yanatokea nahitaji msahada mkubwa sana”

“usijali mume wangu twende tukalale asubuh tutampigia mchungaji atwambie ratiba yake ili twende tukamuone”

Nililala pale kitandani na mke wangu alinikumbatia lakini bado nilikuwa naogopa sana kwakweli nilijuta sana tabia yangu ya umalaya na kupenda kutumia vitu nisivyovijua kama ile #body_spray ndo imeniletea mpaka yule jini ananitesa sana nashndwa kufanya mambo yangu vizuri.

Mauza uza yaliendelea kunisumbua ndotoni mara niliota sina maumbile yangu haikuishia hapo nilikuwa natoka sehemu na gari nikawa nakunja sehemu akapita mdada nikamgonga na palepale akadondoka na kufa palepale nilishtuka na kukaa.

“eeh mungu nisaidie nakosa raha jamani hali hii mpaka lini”

Nilinyanyuka na kwenda sebureni nikawasha tv na kuangalia hata kipindi sikukielewa ili mradi tu niangalie niepuke zile ndoto mbaya kwani nilichoka sana.
***

“mume wangu amka uende kazini muda umeshafika”

“aah nimechoka mke wangu yani nimekuja kupata usingizi saa kumi na moja yani nimechoka jamani”

“we nenda kazini ukirudi nitakwambia mchungaji alichoniambia”

Nilijiandaa vizuri kisha nikapata kifungua kinywa nikaondoka kazini, nilipofika nikamkuta yule sekretari na wafanyakazi wengine wamefika kabla sijaingia ofisini nikapewa barua ikabidi niulize imetoka wapi? Akaniambia nisome nitaona.

Sikuamini nilikuwa na safari ya kikazi ya kwenda sumbawanga nilifurahi sana kwani trip za mkoani zinakuaga na hela sana na ile safari nilitakiwa niende na judith msichana anadeal pia na mambo ya masoko.
***

Tulichukua ndege mpaka sumbawanga tukapanga hotel moja na judith sema vyumba vilikuwa tofauti nilijiona kama nipo sayari nyingne maana hotel ilikuwa ni nzuri sana nilimuita judith nikafungua laptop tukawa tunafanya mahesabu ya kiasi tutakachotumia tukiwa pale na pesa waliyotoa kampuni pia tukagundua tunatoka pale na faida kubwa tulicheka na kugonganisha mikono. Wakati huo tuliangalia kazi yetu ya kesho. Wakati huo nilishamuonyeshea judith dalili zote za kumtaka na yeye akawa anaelekea kabisa.

Kesho yake niliamka asubuhi nikaanza kazi iliyotuleta pale kwa siku 8 nilifanya kazi na kupita ofisi kama nne nikawa nafanya tafiti za hapa na pale, ilipofika kama michale ya saa kumi jioni niliingia hotel moja jirani nikapata chakula wakati nipo pale nikaona watu wa mazingaomba wanafanya mambo yao. Nilisogea na kuanza kuangalia.
“haha kaka njoo hapa ndio wewe uliyevaa suti njoo”

Nilisogea na kumsikiliza alichokuwa anakisema na watu walikuwa wanashangilia.

“huyu jinsia gani?”

“mwanaumeeeeeee” wote wakajibu

“sasa nataka nimbadilishe ili muone mimi noma”

Watu walitulia kuniangalia waone nitabadilika kweli, yule mwanamazingaombo alianza kunipuliza na kuniomba niteme mate kwenye kopo nami nikafanya hvyo.

“haya weka mkono ushke maeneo yako”

“mama yangu mganga nirudishie jinsia zangu sitaki hayo mambo”

Kabla hajataka kunirudishia jinsia yangu mara radi ikapiga ghafla watu wote walikimbia wakati yule mganga akitapatapa na kutoa povu mdomoni na puani.

Nilidhani inaweza kuwa ni hadithi ambayo bdo msimulizi alikuwa anaendelea kuahadithia lakini sikuweza kutoa mkono wangu ndani ya suruali yangu hali iliyozidi kunitia uchungu nikajikuta natokwa na machozi kwa nilipoteza sifa zote kama mwanaume.

“ebu tazama nimebaki haya mavazi ya kiume lakini si mwanaume nitamwambia nini mke wangu? Je jamii itanichukuliaje? Huu ndio mwanzo wa kukimbiwa na mke”

Nilitafakari moyoni nikajenga hoja na mawazo kedekede pamoja na maswali yasiyo na majibu nikatazama hata kuona kama kuna mtu aliyeniona jinsi nilivyokuwa nateseka lakini hapakuwa na mtu zaidi ya waliokuja kutoa ule mwili wa yule mwanamazingaombo na kuondoka zao wakiwa bize na mambo yao. Ebu tazama jambo ili lilivyogusa moyo wangu au ni jini sadia ameamua kunikomesha? Sasa mbona ananitafuta hivi jamani huku ni ktafutana ubaya kabisa.

Nilizungumza mwenyewe kama chizi huku nikienda pale mezani nikabeba beg lenye laptop yangu nikapanda kwenye gari nikawa narudi kule hotelini nikiwa naendesha kwa mwendo wa taratibu sana lakini cha kuogopesha ni lile wingu kama la mvua lililotanda angani hasa eneo la tukio. Ilikuwa ni safari ya takribani dakika30 mpaka kufika hotelini nilipofikia mimi.

Niliongeza mwendo nikiwa nataka kufika mapema angalau nipate muda wa kupumzika yale mawazo yanitoka. Kwenye ile barabara magari yalikuwa machache sana na kunipa uhuru wa mimi kuweza kuendesha kwa spidi niliyoitaka mimi wakati naendelea kuendesha mara usingizi ukaanza kuninyemelea wakti naendesha. “Ooh my God ni nini hiki” nilijitamkia baada ya kujikuta naasha njia na kuingia vichakani nilirudisha gari nyuma na kurudi tena barabarani safari ikaendelea, wakati naendesha nilimuona msichana mdogo wa miaka kama tisa au nane akiwa amesimama pale barabarani nilipiga breki nikasimamisha haraka.
“aah wewe unafanya nini hapa? Wewe nakuuliza uoni kuwa ni hatari?”

Nilijaribu kumsemesha yule mtoto lakini hakuonyesha kujari nilirejea kwenye gari nikafungua mlango ile nawasha gari sikumuona tena yule mtoto, nilizidi kuchanganyikiwa nikapiga moyo konde nikaendelea na safari mara nikaguswa bega langu nilikanyaga breki na kugeuka nyuma alikuwa yule jini anayenisumbua miaka yote.

“hahahaha dickson nilikwambia mimi sikimbiliki haya yote yaliyokukuta ni kwaajiri ya ubishi wako sasa kamwe sitakurudishia viungo vyako mpaka ufate masharti yangu”

“masharti! Masharti gani?”

“nataka kila mwanamke uliyewahi kutembea nae kamuue”

“nimuue ili iweje?”

“nimekwambia kama unataka usalama wako nisikutoe dunian kama yule mganga ebu fata masharti yangu”

“sadia nini lengo lako hasa? Mbona umenifanyia mambo mengi lakini uridhke unataka niue tena nimekukosea nini?”

“ebu fata masharti mwanamke wa pili kumuua nitakurudishia maumbile yako una siku 15 kufanya hvyo”

“hapana siwezi kufanya hvyo kama unaniua niue”

Nilishangaa nasukumwa hadi nje kupitia kioo cha mbele nikaanguka kwenye rami nikachubuka na vile vioo viliniumiza pia, akanivuta tena hadi ndani lakini akiwa amekaa ndani kwa kutumia nguvu za giza.

“basi nitafanya nisamehe nisamehe”
**

Safari ilianza kurejea dar lakini nilimtazama felista aliyekuwa pembeni yangu nikawa nasukumwa kufanya mauaji kwani nae pia alikuwa miongoni mwa wanawake niliotembea nao.

Nilitazama abiria wote nikagundua kila mmoja yupo busy nikamkaba kisha akawa anapoteza nguvu mpaka akakata roho nikachukua earphone nikamuweka masikioni nikamshikisha na simu nakamvalisha kofia kisha nikalala kama sijui chochote.

“abiria ndege yetu imefika kwenye uwanja wa ndege wa mwl.julius nyerere hvyo wote mnashauri kufunga mkanda pindi itakapotua asanteni..” ilikuwa sauti ya muhudumu wa ndege palepale nikajifunga mkanda nikasahau kumfunga felista ile ndege inatua na mtikisiko mwili wa felista ulianguka chini puuu!!! Watu wote waligeuka na mimi woga ukanijaa..

Nilitahamaki na watu wote walitoa macho kuitazama maiti ya felista iliyokuwa pale chini, wakati huo ndege ilikuwa imeshatua ardhini hapo natetemeka kweli. Alikuja mhudumu wa ndege wa kiume na kuniuliza maswali pale na hata abiria waliokuwa wananitazama walionekana wana maswali mengi juu yangu.

“vipi kaka mbona hivi?”

“hata mimi nashangaa kaka huyu ni mfanyakazi mwenzangu lakini nimepatwa na mshtuko pia baada ya kuona ameanguka chini ghafla sijui amepatwa na nini?”

Yule mhudumu aliinama akampima joto la shngoni kisha akaweka mkono wake kifuani akatikisa kichwa kuashirikia hapakuwa na uhai wowote juu ya felista.

“kaka hili ni tatizo mtu huyu amefariki tena ameanza kuwa wa baridi kabisa ebu ngoja”
yule jamaa alisonga mbele akatoa taarifa kwa wahudumu wengne na taarifa zikatoka hadi nje ya ndege abiria wakazuiliwa wasichuke mpka polisi watakapokuja kufanya uchunguzi wao. Muda wote huo natetemeka sina namna yani kama mtu aliyekuwa karibu yangu anaweza kusema naumwa degedege ule ugonjwa.

ITAENDELEA

BODY SPRAY (HANDSOME BOY) – 3

Image result for africa in love

Chombezo : Body Spray (Handsome Boy)
Sehemu Ya Tatu (3)

“haaa umenivutia kweli me nataka hata goli moja tu nitakulipa usijali nafanya fasta”

“kaka wewe si umekuja na mpenzi wako? Na hata mimi nimeolewa pia”

“aah acha ushamba bwana kwahiyo huyo mume wako kakufungia alarm bwana ebu nipe mambo hayo”

“ila we kaka una hatari”

Niliongea vile huku napitisha mikono yangu nikanyanyua ile sketi yake fupi ya blue na shati jeupe pamoja na skafu kama ya chama cha alama ya vidole viwili. Ile kitu ni tamu kama asali sema kuna wakati inageuka na kuwa chungu kama shubiri. Nilifanikiwa kuzamisha sukari guru yangu kwenye nyapu ya yule dada nikaanza kusugua gaga hapo mguu mmoja nimeushikilia upo juu na mwingine umekanyaga chini na kama ujuavyo penzi la wizi huwa linanoga kweli hata chp yenyewe iliwekwa upande na hata mimi sikuweza kuiona inafananaje.

Nilipiga mchezo mpaka pakawa panawaka moto na kukojoa sikojoi akaona kama namkomoa akasema anataka kula koni ajaribu kama atanikojolesha wakati ngoma inanoga nimekishikilia kichwa chake nakipigisha mambo kwelikweli mara mlango wa chooni ukawa umeguswa kitasa na kutaka kufunguliwa ila uligota mgongoni mwangu.

Mlango uliendelea kusukumwa na mimi sikumpa nafasi ya kufungua nikaendelea kuweka kizingiti baada ya muda nikaona ukimya wa hali ya juu nikajua tayari angel atakuwa amerudi kitandani. Nikatulia kidogo na kuanza kuongea na yule mdada kwa sauti ya kunong’ona

“sasa we nenda hela yako nitakuletea pale kaunta”
“haya usisahau maana nyie mkisha onja ndo basi tena”

“usijari mwaya ngoja nimuangalie bi mdada”

Nilifungua mlango taratibu na kumkuta angel amelala kabisa lakini akiwa amejifunika na shuka. Nilienda kufungua mlango nikamtoa yule dada ile narudishia angel akashtuka.

“umetoka wapi muda huu?”

“nimetoka kupeleka nguo ulizotapikia ili wakazifue”

“anhaa njoo unifungulie mlango wa chooni me siwezi kufungua alafu nataka nikakojoe nimebanwa”

Nilimfungulia akabaki anashangaa nimefunguaje funguaje na wakati yeye kafungua zaidi ya mara tatu lakini haukufunguka.

Nilimtazama alivyokuwa anajisaidia nikawa natabasamu baada ya kumaliza nikamnyanyua na kumpeleka hadi kitandani angel alinisihi nisimnanii kwani alikuwa kwenye tarehe mbaya kama nina kondom sawa. Dah kusema ukweli nilipomuona kifua chake, mgongo wake na hapo kwenye kitovu na chini kidogo nilidhamiria kula lile tunda adimu. Sijui alilegeza wapi nikachomeka kitu chomboni nikaanza kusugua gaga mpaka nikasikia kama kuna sumaku kule ndani inanivuta kitu kilikuwa kinatekenya kweli na nilidhamiria kumuoa kabisa, angel maana alikuwa na vigezo vyote. Cha kwanza ni mzuri wa sura na tabia, pili ana elimu na kazi nzuri so pale uhakika wa Maisha.
***
Mapenzi mimi na angel yalikolea sana na kunifanya nijipange kwa ajiri ya ndoa yangu na yeye kwani tayari nilishamvisha pete ya uchumba na kwakuwa nilijua tayari ana ujauzito wangu nilijua nitatumia kama kigezo kumuoa. Nilipanga nae mipango mingi na nilikuwa tayari kuitwa baba.

Nilirejea kutoka job nikawakuta wamama pale kibarazani nikasalimia na kupita hadi ndani kwangu. Lakini cha ajabu nikakuta barua mezani yenye alama ya kiganja cha mtu. Iliandika hivi “dickson mimi nakusihi kwa mara nyingine tena hiyo mipango yako unayotaka kufanya lazima utafeli tu si unajifanya mjanja”

kichwa kiliniuma sana kwani nilijua ni jini sadia maana nilifunga mlango ile barua itakuwa ameileta yeye.

Nilikurupuka kutoka chumbani huyo mpaka nje nikaenda na kukaa katikati ya wale wamama huku ninahema kweli. “jamani nani aliingia ndani nauliza jamani nisaidieni”

“kwani kuna nini ndani kwako dick jamani?” aliongea mama mwenye nyumba

“barua barua kuna barua”

“khee jamani ebu twendeni tukaione hiyo barua”

Walinyanyuka wakawa wanaenda chumbani kwangu huku mimi nawafata kwa nyuma wakaingia ndani mimi nikabaki nje ili nisikie kitakachojiri kama ipo niliapa sitalala mule ndani kamwe.

“mbona hamna kitu hapa mezani umeiweka wapi sasa?”

“chungulia hadi ufunguni huko itakuwa imeanguka”

Walijitahidi kusogeza sofa, meza kabati lakini awakuiona wakaanza kuongea wenyewe huko ndani huku mimi nikiwa standby kwa lolote tu ni mwendo tu.

“nenda ndani dickson amna kitu bwana ni uoga tu”

“anhaa kumbe uoga basi ngoja nibaki tu hapa nje naomba nifungieni huo mlango, mzime na taa nipeni huo ufunguo”

“jamani inawezekana kweli sasa sijui tumpigie simu mchungaji lusekelo?” alisema mama anna aliyekuja kwa rafiki zake.

“mmh sasa hivi ni usiku itakuwa ngumu labda tukamuone kesho jumatano ni siku ya maombi na maombezi”

“sawa amna neno mmoja kwani amna mtu wa kiume abaki nae kwa usiku wa leo?” aliuliza mama anna asijue maisha yetu pale ndani.

“hapa amna ila nitabaki nae mimi” alisema mother house.
***

Nilienda kuoga mlango ukiwa wazi na mama mwenye nyumba akiwa mlangoni kuniangalia na niliapa kama kikitokea kitu nitamrukia kweli kama tukianguka sawa tu. Nilioga nikamaliza na kujifunga taulo mpaka ndani kwangu ile naingia ndani pale mezani nakuta msosi umetengwa na juice pia na jinsi nilivyokuwa na njaa sikutaka kwenda kuvaa kwanza nilikaa kitako na kuanza kujipakulia mother house akanishka mkonö. “mmh najua una njb acha nikupakulie mezani mpaka chumbani nitakupakulia pia”
Nikawa mpole na kupagawa na ule usemi kuwa mpaka chumbani nitapakuli haya yangu macho na jinsi ninavyoyapenda hayo mambo ya kupakuwa hata sinaga shida maana zangu ni kukwangua mpaka ukoko na kuumwagia mchuzi wa nyama ili kuulainisha.

“hapa mama nashukuru sasa naweza kulala sasa nisikusumbue wewe nenda kalale me nitalala mwenyewe”

“utaweza kweli kulala mwenyewe wewe?”

“nitaweza tu mama usiwe na wasi”

“basi nikwangulie ukoko kwenye sufuria ukiweka mchuzi tu me naondoka nao”

“jamani mama haya japo kijiko sina”

“usijari hata kwa mkono tu we kula mimi nipo vizuri”

Ukoko ulikwangulika vizuri na kwa jinsi nilivyokuwa na uzoefu wa kukwangua ukoko wa kila aina ya mchele kwanzia vip, kitumbo, super ya mbeya, morogoro na shinyanga ile ya high class. Wabeja sana nilijikuta namwaga mchuzi kwenye ukoko nikajitupa pembeni. Nikamuasha mama nae anamalizia malizia akajifuta na kanga yake kisha akanibusu akaniweke noti za elfu kumi nne na kuondoka zake.

Nilipitiwa na usingizi mara mtu akawa ananitikisa kwa nguvu baada ya kuniita sana sijaamka. Alikuwa ni amina aliyekuwa na kanga moko tu.

“afadhali nimekukuta maana nimekuulizia sana mimi nina jambo moja dick”

“jambo gani?”

“hivi kweli una mpango wa kunioa au unanichezea tu?”

“mpango upo sema soma kwanza”

“sawa nasoma lakini nimekwambia hivyo makusudi kwani nimeamua kubeba mimba yako”

“niniiii?”
“unashangaa nini sasa haya nikane kama haukunipa wewe maana si ndo mlivyo wanaume”

“unajua amina una makusudi sana yani kweli kabisa unaniambia kirahisi eti nimeamua kubeba mimba yako na masomo itakuaje? Au mama yako akijua itakuaje?”

“masomo nimebakiza miezi3 nimalize shule na mama huyu si ataambiwa tu”

“sawa hamna tatizo me mbona sina neno nahitaji kweli huyo mtoto lakini kuwa muangalifu nenda kalale kesho nadhani tutaonana jioni nikirudi”
Amina aliondoka kumbe nyuma ya mlango alikuwepo sada dada yake na alisikia kila kitu ile natakakuzima tv nashangaa mlango unafungulia sada huyo.

“naona safari hii umeamua kuiabisha familia yetu na nilikwambia hapo kabla dick ona mimi na mdogo wangu umetutia mimba yani wanaume nyie”

Nilikaa kimya na sikumjibu lolote akaanza kunipiga piga kifuani na mwishowe akanilalia kifuani na kukb iguuni mwangu “dick nakupenda sana najua mimi unanichezea tu lakini hata kama ukioa sitaacha kukupenda” yale maneno yalinichoma sana.

“nakuomba mpenzi usitoe hiyo mimba kiukweli nataka mtoto kwa sasa nakuahidi nitamlea nakuomba”

“sawa dick hata mimi nataka kuzaa na wewe ili iwe kumbukumbu kwangu pia hata ukija kuoa nitakuwa nikikaa na mwanangu nakukumbuka”

Nilimnyanyua na kumpakata kwenye mapaja yangu na kumnong’oneza kwa maneno ya mahaba nikawa kama namtekenya masikio akadata bwana kuondoka haondoki namwambia kesho basi hataki anataka nipalilie mimba maana kama nilimboast flani.

“dick naomba nitie japo vidole maana vimenipanda”

Nilimsweka vidole kwelikweli yani sio kidogo ilikuwa takribani dakika 40 mpaka akapasua yai nikamuasha akalale yani ametepeta mtoto wa watu mpaka aibu akawa anajishika kwenye ukuta na kunifanya nimuite.

“Sada! Sada! Sada”

“beee”

“kama utojali njoo ulale”

“hapana kesho baby ngoja nikalale tu hapa ninajisikia vibaya”

“pole bby wangu usiku mwema basi”

Niliagana nae kisha nikafunga mlango na kuzima kila kitu nikajitupa kitandani nikawa natafakari pale nimempa mimba mtu na dada yake nitaleaje kama wote wakijifungua na pale niliombea fundi rangi wamalizie niamie kwangu maana yale mauzauza ya pale ndani yalinishinda kabisa. Nikaona sina namna ngoja nimuombe ushauri bestfriend wangu richard nikampigia simu.
“hello kaka umeshalala?”

“hapana ndo nilikuwa najiandaa kulala mbona usiku leo kaka?”

“dah richard rafiki yangu wee tu yani hapa nimewatia mimba watoto wa mama mwenye nyumba yani hapa nyumbani nimechafua sana kaka alafu sasa kuna mtu ndo nina mpango wa kumuoa sijui itakuaje?”

“dah kaka hapo mbona umeharibu tayari kwanini usingeniomba ushauri kabla lakini anyway”

“nisamehe sana kaka alafu nilisahau kukuambia kitu kuna jini kaka ametokea kunipenda ananipata tabu sana yani naogopa”

Kabla sijamalizia kuongea simu ya angel ikaingia nikamwambia richard akate simu nikaongea na angel neno la kwanza aliniambia hivi.

“dick muda sasa sijaziona siku zangu nahisi nina mimba”

“we angel ebu acha masihara we ujui nyie wanawake siku hizi tarehe zinabadilika badilika katika mzunguko sasa nenda kapime kwanza onhoo”

“ndio nakubali tarehe huwa zinabidilika badilika lakini nina dalili zote za mimba na kumbuka siku ile nilikukataza usimwage ndani ukaniahidi utamwaga nje na ukufanya hvyo ulitegemea nini? Me nataka ukubali tu kuwa mimba ni ya kwako kwani uwezo wa kulea ninao mimi”

“mama huko umefika mbali, angel tatizo lako unapenda tubishane inawezekana ni malaria tu lakini umeshikia bango na maneno yanakutoka hamna mfano”

“dick mume wangu nitaenda kupima niakikishe kama kweli lakini najua mpango wetu wa kuoana upo palepale”

“hilo tu mpenzi ondoa shaka alafu kesho jioni uje hapa home”

“mwenzangu hapo kuja siwezi nyumba ukiingia watu wanakuangalia mpaka macho yanadondoka bwana, natamani nije nikupikie mume lakini nayo kazi inachosha sana”

Nilifanikiwa kumbembeleza angel mpaka akakubaliana na mimi lakini baada ya kukata simu nikatafakari, sada na mdögo wake amina nimewatia mimba haya na huyu tena angel nae ana dalili zote za mimba nilinyanyua simu kwa lengo la kumtafuta richard lakini cha ajbu usingzi ukanipitia palepale hata sikujua ni muda gani niliolala.

Nikiwa kwenye usingizi niliota amekuja mwanamke mwenye vazi jeupe mfano wa malaika vazi lililomfunika mpaka miguuni akanishka mkono lakini nikakataa akanivuta kwa nguvu na kunipaka kitu usoni nikajikuta namfata kama zuzu hata sikujua tuendapo na tazama kitu mfano wa merikebu kilikuja na wote tulipanda lakini safari ilikuwa ya muda mfupi sana akaniambia “dickson karibu kwenye milki yetu hii dunia nyingine yenye kila kivutio”

Nilitetemeka hasa palipoona tunaingia ndani ya maji na kwenda chini kwenye mahali nzuri na samani za kila namna. Tulifika mpaka mbele ya ndugu zake ambao ni watu wenye asilia ya ualabu. Alikuwa ni mzee.

“kijana naona kuna wanawake hawa watatu na mwanangu amekuchagua wewe je upo tayari? Na Tambua kama hautakuwa tayari kukuashia urudi duniani”

Wakati wanaendelea kuongea niliwaona sada, angel na amina wakiwa mfano wa watu ndani ya tv. Niliona tena nimelala kitandani lakini ni kama nimekufa nilimuona sada akilia kwa uchugu sana baada ya kuniamsha kwa muda mrefu.

“unajua dickson niliapa mwanaume atakayetumia bidhaa yangu nae akitoka afrika huyo ndie atanioa na wewe ni wa kwanza kutumia lotion na kikubwa body spray yangu hivyo wewe una bahati sana”

“bahati kumuoa jini! Nilijisemea moyöni huku naangalia kule na kuona watu wamezunguka mwili wangu tayari kwa kuukimbiza hospitalini nilitamani nirudishiwe uhai wangu japo sekunde moja nipate kuaga ya milele.

Mara sadia akaning’oneza “sitakuua ebu rudi tutaonana kesho” alinifumba macho ile nafumbua asubuhi nipo kitandani napiga chafya na watu wote walishtuka sasa mimi nilijiona nimeamka kutoka usingizini nikawasalimia lakini bado wakawa na wasiwasi nikabeba ndoo ya maji nikaenda zangu kuoga tayari kwenda kazini.

Watu walitawanyika na kila mtu aliongea lake mara nikamuona angel anaingia ndani haraka haraka huku anahema na alipöniona alinikumbatia mpaka nikaangua nae kitandani.

“jamani ungeniua we dick nilikuwa naongea na dokta hospitali eti nikapigiwa simu sijui na nani eti umekufa khaa! Hivi jana tumeongea leo ufe wakati nina taarifa njema kwako mume wangu”

“ipi hiyo?”

“si nina mimba ya mwezi na nusu sasa am very proud on this/najivunia na hili”
Hapo nilizidi kuchanganyikiwa maana sadia aliniandikia ujumbe ile juzi kuwa kila nitalofanya nitafeli je inawezekanaje wazazi wa angel wakakubali angel haolewe na mimi na wakati kuna skendo ya kuwapa mimba ndugu wa familia moja.

“wee dickson njoo utusaidie sada analia huku tumbo linamuuma”

mamaa yangu mimba yangu imekuaje au amekunywa dawa ya kutoa mimba? Jamani mimi!!

Nilipita na kutoka nje nikapita hadi chumbani kwao na sada na kumbeba tukamuweka kwenye bajaj mpaka dispensary ya karibu tukamuweka kwenye kitolori mpaka ndani.

Niliketi pale kwenye benchi kama chizi na nilitamani niingie ndani nione kinachotokea lakini nilishindwa kutokana na kutoruhusiwa kuingia mule ndani baada ya muda nilimuona nesi aliyekuwa zamu ule usiku akija na daftari kubwa mkononi.

“kaka wewe ndo umekuja na mgonjwa anaitwa sada saleh?”

“ndio nesi kuna nini kimetokea?”

“mgonjwa amepata mshtuko na imepelekea ile mimba kuharibika kwani mtoto alikufa tangu zamani na ndio maana alikuwa anaumwa tumbo lakini tumefanikiwa kumfanyia operation na anaendelea vizuri”

“nesi kwahyo mimba imeharibika?”

“ndio lakini mama yupo salama”

Nilichanganyikiwa kwelikweli lakini yameshatokea nitafanyaje? Tulirejea nyumbani saa sita za Usiku nikalala nae ndani kwangu japokuwa usiku kucha sikulala alikuwa analia maumivu nilimpa pain killer akanywa kidogo akapata usingizi.
***

Lile balaa alikuishia hapo amina nae alienda hospitali kufanyia vipimo ikagundulika kuwa mimba imetungwa nje ya kizazi nae mimba iliharibika nilitambua kuwa atakuwa yule jini sadia nikampigia simu angel baada ya kuona lile balaa linaendelea.

“hello angel umeenda kliniki kweli?”

“ndio nimeenda mbna unaniuliza leo kulikoni mwenzetu”

“kwani kujua hali ya mpenzi wangu na maendeleo ya mtoto wangu ni makosa?”

“hapana mpenzi wangu nashukuru kwa kunijari”

“vipi mimba imekaa sawa?”

“imekaa sawa mpenzi wangu mbna una wasiwasi lakini?”

“hapana nataka twende kwa mchungaji kesho ebu jiandae nitakwambia kesho”

“jamani kuna Nini honey? Mbna leo sikuelewi umekunywa au?”
“hapana me nimekwambia hvyo naomba nisikilize”

Nilikata simu nikawa nafikiria ni kipi nitakachofanya na pale nilitaka kuahama maana sikuwa na amani kabisa na nilitamani ndani wa mwezi ule wale mafundi wamalize ile kazi tu niamie.

Nilienda na kumueleza hali iliyotokea mchungaji na mbele ya mchumba wangu angel kwani sikutaka iwe siri tena na mchungaji akaniambia inabidi nikiri kuwa sitarudi ile dhambi tena na niwe tayari kuokoka na pia akaniambia endapo nitashiriki dhambi yeyote hasa uzinzi yule jini atabeba na wenzie wengi watakuja na kunishambulia mimi. Nilikaa na kutafakari mienendo yangu nikagundua mimi ni mtu wa kupenda wanawake ila kwa hili inabidi nistop na nisitumie tena ile body spray kwani ndio chanzo cha matatizo yale. Tuliombewa pale na kurudi nyumbani tukiwa na furaha japo angel alikuwa ananisihi niache tabia yangu ya umalaya kwani tunaweza kumpoteza mtoto aliyetumboni pia.

Maisha yaliendelea nikaamisha vitu vyangu kwenye nyumba yangu mpya ya mbezi kimara nikategemea kuwa endapo ndoa yangu na angel ikikamilika tutaamia pale, pale kwa kina sada nilibakiza kitanda tu na vitu vichache kwani kodi yangu ilikuwa bado miezi miwili.

Nakumbuka ilikuwa jioni muda wa saa moja nilisikia hodi mlangoni kwangu nilinyanyuka na kwenda kufungua sikuamini alikuwa ni jasmine mdogo wake angel alikuja kimitego kabisa tokea nilipomfungulia mlango kwani alinikumbatia na kuanza kudeka kifuani kwangu.

“jamani shem we una roho mbaya unajua mimi ndo nilikuwa wa kwnza kabla ya dada angel lakini kusoma ndo kumetutenganisha eti mimi mdogo leo naomba unipe nafasi kiduchu nikuonyeshe ufundi wangu”

aliyabwaga maneno yule mtoto niliyedhani ni mdogo kumbee!!! Wakati huo kuna nafsi inaniambia nisifanye ile ni dhambi na tayari nilionywa na nyingne inaniambia udhaifu huo utaonekana sio rijali.

“sawa jasmine usijari hata mimi nina hamu kweli lakini naomba niende chooni mara moja nakuja”

Kitendo cha jasmine kuniashia mwanya nilichomoka mpaka kwenye pub flani nikaagiza soda na nyama choma huku naangalia big game baina ya chelsea v/s manchester city hyo yote ilikuwa kumkwepa jasmine nilijua atasubiri mwishowe ataondoka maana sikutaka kusumbuliwa na lile jini kisha nipoteze mtoto na nimpoze mke wangu angel kwa kashfa ya kutembea na mdogo wake haataaa huo upuuzi siwezi kuuvumilia tena.

Nilikaa pale nikala mpaka mpira ulikwisha ukaja mwingne kati ya barcelona na real sociedad nao ukaisha mimi niliendelea kuwa pale mpaka nihakikishe yule mtoto kùle ameondoka. Ile pub ilifungwa ilipofika saa6 na mimi nikanyanyuka nikaanza mwendo wa kurejea nyumbani nikiwa kama nanyata baada ya kufika karibu na sebure yangu nikafungua mlango taratibu maana kulikuwa na kiza ile nafungua tu paka mweusi akatoka ndani na kukimbilia nje alinipita katikati ya miguu yangu kwa woga niliruka kama swala “mamaaa! Ushindwe ushindwe ushindwe” nilikemea pale lakini nikiwa na woga mkubwa nikawasha na kujitupa kitandani kama gunia tuuuupu!!!
***
***
***

Ilikuwa ni siku nzuri sana baada ya mimi na angel kufunga ndoa na cha furaha zaidi baba mkwe alitukabidhi nyumba maeneo ya mbezi beach na gari aina ya land cruser mkonge la kutembelea nilifurahi sana na ile nyumba yangu ya mbezi kimara waliamia familia yangu yani baba, mama, wadogo zangu denilson na debora pamoja na mfanyakazi wa ndani. Sitakuja kuisahau siku ya ndoa yangu na niliamua kubadili mfumo mzma wa maisha yangu na kuwa na hofu ya mungu sana maana kwa hali iliyonitokea huko nyuma imenifundisha mengi sana.

Kiuchumi tulikuwa vizuri nilipata kazi ya kuwa meneja wa masoko katika kampuni ya baba mkwe ya clearing and forwarding na mshahara nilioupata ulinitosha kabisa wakati huo mke wangu angel alikaribia kujifungua kwani alibakiza mwezi mmoja sema tumbo lake lilikuwa dogo kiasi sio rahisi kumjua ana mimba.

Miezi ilisogea sana lakini tatizo la mke wangu alikuwa kila mara anataka kuniona na kuna siku alichukua gari akanifata hadi kazi kisha baada ya kuridhka akarudi zake huo ndo ulikuwa mchezo wa mke wangu hata nikitoka kazini inanilazimu niwahi kurudi ili asianze kuwaza sana, na tarehe za kujifungua zilipokaribia alimuita mdogo wake ili aje kumsaidia kumtengezea chakula japokuwa mfanyakazi alikuwepo unajua mke wangu apendi kabisa mfanyakazi anipikie chakula wakati yeye yupo na hata chanzo cha kumuita mdogo wake ni hicho. Sasa yeye hakujua mimi na jasmine tulivyokuwa tunawindana.
Jasmine palikuwa na hali ya kuheshimiana kama hamna kilichotokea ila siku hiyo usiku mke wangu alipata uchungu wa kujifungua nikamuwaisha hospitali kwa msahada wa majirani lakini hakuweza kujifungua siku hiyo kama saa nane nikawa narejea kutoka hospitalini nipo hoi nikaingia chumbani kwangu ili kulala nikamkuta shem wangu jasmine akiwa amelala kitandani kwangu na chp tu nilivua viatu nikaweka sehemu maalum ya viatu nikaenda hadi sebureni nikawasha air condition nikalala zangu kwenye zuria sasa wakati usingzi unanoga nikagundua kama maeneo yangu ya mwili yote yapo wazi nilikurupuka na kumkuta jasmine akiwa amekalia kichwa sasa anakisukuma kizame chote.

“mama yangu wee jasmine umenisababishia matatizo”

“mmh matatizo gani mume wetu me nilikuwa nataka kuönja radha yako kumbe mtamu hivi”

“hapana bwana mimi kuna jini ananitafuta na mchungaji alisema nisije nikafanya kitendo hiki nje ya ndoa kitanisababishia matatizo”

“bwanaee jini hata mimi mwenyewe jini mimi sitoki mpaka unimalize utamu”

jasmine aliendelea kusugua kama vile kapewa dakika fulani utamaliza maana alikuwa anazungusha kiuno chake pande zote za dunia. Mara simu yangu ikawa inaita nikapokea na kuanza kuongea kama naweweseka kumbe alikuwa ni nesi ananiambia.

“samahani kwa usumbufu, mke wako imeshindikana kujifungua kwa njia ya kawaida kwani njia imekuwa ni ndogo na mtoto ni mkubwa hivyo anatakiwa kufanyiwa operation”

Kichwa kiliniuma maana najua mambo ya operation kuna kupata mtötö ukamkosa mama au ukawakosa wote kwa pamoja, nilimsukuma jasmine pembeni nihisi yeye atakuwa ndio chanzo cha yote yale maana mchungaji alishanikataza tayari.

“jasmine wewe ndo chanzo cha haya yote mke wangu alikuwa anaendelea vizuri tu ona sasa nilikataa mimi”

“ishia hapohapo dick mimi itakuwaje niwe chanzo mimi dokta au nesi? Unatakiwa kujua mimi yule ni dada yangu kwanini unanifikiria vibaya?”

“bwana niache me niende zangu”

“unamuasha nani hapa na mimi naenda”

Ile nafungua mlango wa gari jasmine nae akaingia ndani akawa amekaa nikawasha gari tukaanza kuelekea hospitali lakini huko njiani tulikuwa tunabishana mpaka tunafika hospitali.

Nilikuwa na haraka kujua ni kipi kinaendelea na kweli mke wangu alitakiwa kufanyiwa operation nikampigia simu mchungaji kama bahati nimepiga kama mara tatu ya nne ndo alipokea.

“hello mchungaji mke wangu anatakiwa kufanyiwa operation yani hata sijui”

“nimekuelewa ila kuna sehemu umekosea unatakiwa kutubu bila hvyo hyo dhambi itakutesa”

“nimekuelewa mchungaji mfanyie maombi mke wangu basi”

Mchungaji alimfanyia mke maombi kupitia njia ya simu kisha tukaagana akaniambia nimjulishe kitakachoendelea.

Nilikaa pale hospitali nikamuhudumia mke wangu na mara zote alikuwa analia “dick kama kuzaa ndo hivi sitazaa tena hapana siwezi” yalikuwa maneno ya mke wangu akimwambia mdogo wake jasmine baada ya mimi kutoruhusiwa kuingia ndani.

Saa tano asubuhi ndo mke wangu alijifungua bila hata operation nilimshukuru mungu kupata mtoto wa kike ndo alikuwa wa kwanza kwangu nikawa nasubiri akiruhusiwa nimuone maana niliambiwa amezaliwa na kg.5.6 ni uzito mkubwa sana na pia alikuwa bonge pia.
***

Mwezi ulipita toka mke wangu hajifungue na mtoto nilimuita saraphina jina la shangazi yake au dada yangu. Mara zote nilikuwa najitahdi kuwahi kurudi nyumbni kama ujuavyo wanawake wanaotoka kujifungua wanapenda kuwa karibu na waume zao.

“vipi tutoe mwingne?” nilimtania

“aah aku sizai tena labda baada ya miaka mitatu au minne maana hapana ile kazi kubwa sema nyie wanaume amjui tu”

“haya bwana mke wangu yaishe maana unataka tuanze kubishana bure”

“hapana mume wangu hatubishani ila nakuomba kesho ukienda kazini kuwa makini kuna ndoto mbaya nimeota leo usiku”
“mmh inahusu nini tena?”

“we kuwa muangalifu mume wangu nakupenda ndio maana nakwambia”

ITAENDELEA

BODY SPRAY (HANDSOME BOY) – 2

Image result for africa in love


Chombezo : Body Spray (Handsome Boy)
Sehemu Ya Pili (2)

Niliagana nae pale akawa anaondoka na anna nilikuwa namtazama na kujikuta nameza fundo la mate lililojaa mdomoni hapana kabisa bro nae alikuwa amesimama kweli kweli nilirudisha mwili ndani nikafunga mlango na kwenda kuwasha tv pale nikawa nacheck kipindi cha mkasi cha eatv huku nimeitoa bakora yangu nje najisemesha kimoyo moyo “yani endapo huyu angel angechelewa dakika kumi angekuta mdogo wake kafa kifo cha mende sema sio mbaya nimeshajuana nae nitakula wote wawili maisha si kusaidia kwanza wanawake wenyewe wapo wengine sie tupo wachache na things are made to be used{vitu vimeumbwa vitumike}” nilikuwa nakaangalia haka kasupa dupa kangu kanavyowatoa roho watu mpaka katakuja kuvunja ndoa za watu bure maana wanakapenda na kenyewe kazi yake ni kumwaga risasi tu nilienjoy kukachezea. Mara mlango ukafunguliwa taap sada huyu na hotpot la chakula na mdogo wake amina nyuma na jagi la juice aisee nilivyoirudisha ndani kweli mimi fundi akuna aliyeona lile tukio na jinsi ninavyojua kuzuga niliamisha mawazo yao kabisa.

Walitenga msosi pale nikiwa nawaangalia yani nikiwa nipo nyumbani sijawai kupika japo nina jiko la gesi na kila kitu ndani ila cha ajabu pale ndani wanagombeaga kuniletea chakula si mama suzie, mama said, mother house wote hao.

Nilitazama mtu na ndugu wake wakigombania kubaki mule ndani mara “nenda kalale wewe si mwanafunzi” na huyu nae “na wewe kalale kesho si unaenda kazini” wanasema ugomvi wa wanandugu shka jembe ukalime mimi kwangu nashika kijiko nakula.

“he he he mnagombana nini sasa?”

“si huyu mtoto ana hata adabu kwa dada yake”
“wewe una heshima kwa mdogo wako? Hapa hatoki mtu”

Niliona dawa yao ndogo nikabeba chakula changu, juice na mkeka wangu huyo nje nione watang’ang’ania humo ndani. Amina alikuwa wa kwanza kutoka nje na kuja kukaa kwenye mkeka akafatia dada yake alikuwa na hasira kwelikweli.

“ngoja nikamwambie mama aje kukutimua huku”

“huyo wivu tu kamuite tu mimi naogopa”

“wewe amina ebu mheshimu na dada yako basi” nilijaribu kusuruhisha

“sawa kaka dick but nafanya haya yote because nimemis yale mambo so hata nikienda kulala sitapata usingizi”

“mmh na mimi leo nimeshoka na pia nina kazi ya kufanya ebu kanifatie laptop yangu ndani juu ya kabati kisha pale kwenye meza ya deki fungua droo ya chini kabisa chukua moderm ya voda”

Alinyanyuka mtoto wa kike huku nyuma akaniashia msala kwani zigo lilitepeta mbaya. Nikawa najiramba lips zangu tu. Kama dakika 4 alirejea na vitu vyote nilivyomtuma dah mtoto alikuwa anabadilika kila siku nilikuwa namuona mpya. Alikaa vibaya mwenzangu nikaona paja sijui alifanya kusudi.

“we amina ndani umevaa nini?”
“mmh nilikuwa nimejiandaa nimevaa kanga tu na chupi”

“umenipandisha midadi sijui hata hiyo kazi kama itafanyika”

“ha ha ha una mambo kaka dick kama hiyo dick yako”

Nilimfunua ile kanga kwa pembeni nikakutana na chupi yenye maua maua na hapa kati imeandikwa kwa maandishi mekundu I LOVE YOU wewe ogopa sana ilituna hapa mbele na kunipa shahuku ya kuona kilicho ndani. Nilipetipeti mapaja yale weee nikachomeka vidole pembeni inapoishia ile chupi na kuvuta kwa pembeni ile ivuke upande wa pili na pale pabaki wazi bibi amina akawa anakenua tu na kwa juu kidole kilikuwa kinaonekana washa nikipake mate na kukipekesha mpaka bwawa likajaa water nikawa napima oil bado mama wee kidogo nifumwe na mother house bahati nzuri laptop ilikuwa on so tukazuga tunacheza game.

“haya wewe nenda kalale usiku wote huu unafanyaje?”

“mama bwana me nikaa na kaka dick”

“wewee nimesema kalale”

Mama alimtimua mwanae akakaa yeye toka kitambo nilijua janja yake alikuwa msanii tu.

“uwiii! Uzee naona unanijia” alisema mama akiwa anaketi kwenye mkeka

“hapana mbona bado kijana unalipa kabisa”

“hahaha usinichekeshe mwanangu wa kwanza ana miaka 21 japo sikatai nilimzaa nikiwa shuleni lakini umri umeenda”

Nilitazama mama akiniegemea kwenye mapaja yangu huku ananichezea kidevu, alionekana ni mwenye furaha.

“lakini dick uliniahidi utanisuka mpaka leo kimya au upo besy nini?”

“yeah mama ila nitakusuka usijari, haya niambie”

“sawa ila dick nina wanangu hapa nakuomba chonde chonde usije ukawagusa alafu ukawatia mimba hasa huyu mwanafunzi”

Huyu mama kama alionyeshwa kwani wote nilishaweka kambani wote wawili sema nilikuwa napretend tu. Tuliendelea kula upepo pale nje huku nachezea ile mipaja minene na mitako ile mikubwa. Nilishangaa kuona kivuli cha mtu nilishtuka.

Nilitazama kwa makani lakini sikumuona mtu yeyote nilihisi uwenda ni mazingara nikaendelea kumpetipeti mother house mpaka akawa anataka nimpe kabisa nilinyanyuka nikatoa vitu vyangu ili ikiwezekana tuingie chumbani tukale raha.
Hakuna kitu kitamu duniani hapa kama km, hasa iliyokuwa na matunzo na usafi tena ombea ajue kujiswafisha kama Motherhouse akuwa kama wale watoto wa kusoma ambao bado hawajajua kuoga na mara nyingi wamekuwa wakinuka mikojo raha ya nyama ya bata ule umeipata, nami nilikuwa kama AT mzee wa kula nyama ya pweza. Nilijitahidi kulimudu lile zigo tana lilikuwa lina kilo kama si 80 basi 90kg maana pale nilijitahidi kuliweka style ninazotaka nilishndwa kutoka na mwili mkubwa na pale nilitumia uzoefu tukalishinda kwa akili za kumgusa maeneo yenye kuamsha hisia.

Nilimuamsha mama akaenda nyumbani kwake kulala na mimi nikaenda chooni kujisaidia aja ndogo nikarejea hadi chumbani kwangu ile nataka kufunga mlango dada vero akawa amekuja hata sijui ile saa sita yote akulala alikuwa anafanya Nini? Potelea pote.

“mambo dickson samahani naomba niongee na wewe “

“khee dada vero usiku huu kweli? Tutaongea kesho”

“hapana dick ukiona nimekujia usiku wote huu nina shida”

Nilitoka kwenda kumsikiliza anachokisema ila kwa muda ule niliöna ni mbaya nikamwambia haingie ndani akaketi kwenye sofa akiwa amevaa taulo na juu alijifunga kanga.

“samahani kwa usumbufu, dick wewe umekuwa mtu wangu wa karibu sana naomba unisaidie jambo hili, kuna mwanaume ametokea kunipenda na amesema yupo tayari kunitolea posa anioe na pia yule marko mwalimu mwenzangu tunaebangaiza Wote nae amesema kesho anataka akajitambulishe nyumbani na kutoa kishika uchumba, hapo hata sielewi niende upande gani”

“kwani kati ya hao wawili nani unayempenda?”

“nampenda marko japo anakitu ila tumetoka nae mbali toka chuo vikindu”

“basi cha msingi hamua moja ebu acha tamaa fanya jambo la maana usipagawe na mali na pesa hivyo vyote Haviwezi kununua utu Wa mtu”

“nashukuru sana dick umenisaidia sana lazima nikupe zawadi yako”

mamaa weeee! Alitupa taulo Kule kanga ya juu kule akabakiwa na kikamba kamba/bikini ambayo mara zote huwa haina shida nilitazama akijitia vidole kwa bibi vero na Mimi kamanda dick alitaka kuchana boksa hatoke nje.

Nilianza kama Utani nikijua ni kitendo cha dakika kumi kumbe wapi lisaa lilikatika palepale utamu ukawa unazidi sikutaka kuashia kiuno nilikuwa kama naendesha baiskel napandisha mlima nilivuta nikaweka waa! Nilitegua kiuno chake ili kwamba akienda kwa mume wake asinisahau.
***

Nilimtoa pale ghetto saa kumi toka saa sita usiku aliyokuja alikuwa hoi mpaka nikamuonea huruma sijui kama wanafunzi huko shule hii Leo kama watasoma??

Usiku wa pili yake niliwahi Kulala nakumbuka michale ya sita usiku nilisikia kama upepo mkali ikiambatana na harufu Kali sana ya body spray kama yangu lakini hii ilikuwa kali zaidi. Nilifumbua macho mbele yangu nilimuona msichana mrembo mfano wa malaika.

Nilitetemeka mwili nikahisi huenda ni ile feni lakini haikuwa hivyo kutokana maana niliiwasha kutokana na kuwepo kwa joto lakini kwa muda ule nilijawa hofu kubwa wakati huo yule malaika alikuwa anacheka. Alikuwa msichana wa kiarabu mrefu, mwenye dimpozi kama nilivyo mimi sema yeye zake zilikuwa kama mashimo ya mdako. Alinisogelea na mimi nilikuwa namkimbia lakini mwishowe nikagota kwenye engo ya ukuta.

“usiogope dick nipo hapa kwa ajiri yako nimefunga safari toka mbali kwa ajiri yako nikiwa nakufatilia tokea kwetu”

“kwani wewe nani? Na umetoa wapi? Unataka nini kutoka kwangu?”

“hahahahahahahahahahaha, mimi naitwa sadia, nimetoa falme za kiarabu, nimetokea kukupenda na ninataka unioe nikupele kwetu”

“mimi sipo tayari kwani nina malengo yangu na sina mpango wa kuoa kwa sasa hivi”
Nilimuöa akibadilika usoni akawa mwekundu na uzuri ulianza kupotea ikaja sura ya kutisha ikatawala kucha ndefu na meno yenye ncha kali kama dubu yalimtoka nilitamani kukimbia lakini nitapenya wapi nilipiga kelele sana na wakati huo alianza kuongea lugha ya kiarabu lakini kwa maneno yanayojirudia rudia. Nilifumba macho kwa uwoga huku nikimuona kichwa chake kikageuka na kuwa cha mbuzi na mikono kama fisi akuwa na nguo tena niliweza kuona matiti kama ya bibi kizee na sehemu zake za siri zilizojaa nywele nyingi.

Alikuja sada na mama suzie wakafungua mlango na kuingia ndani hapo jasho linanitoka sana na kuangalia vizuri sikumuona yule jini tena zaidi ya kuhema kwangu kwa nguvu.

“vipi dick umepatwa na nini mbona kelele nilikuwa nimelala nikasikia mtu anakoroma sana”

“jamani jini nimemuona hapohapo uliposimama sada mlivyokuja na yeye ametoweka”

“dick sema kweli umemuona jini kweli? Ni jinsia gani?”

“kweli nimemuona ni wa kike alikuwa anataka nimuoe nilipokataa akabadilika na kuwa kama mbuzi”

“mama yangu wee huyu jini mahaba tena sharifa huyo, yeye kakwambia anaitwa nani?”

“anaitwa sadia”

“itakuwa kakudanganya huyo jini sharifa ana wivu sana, sasa sada inabidi ulale nae mpaka asubuhi ningelala mimi lakini baba suzie anarudi asubuhi asije akanikosa”

“sawa nitalala nae dickson ondoa shaka upo na mimi eeh”

“sawa nashukuru”

Sada alikaa kitandani akaanza kujivuta kunifata nilipo, nilimtazama alivyokuwa anakuja lakina tention yangu haikuwa kwake nilifikiria mengi pale. Wakati huo sada alikuja na kulalia kifua changu na kuanza kunichezea kidevu changu akaanza kunichekesha ili kuniondoa mawazo akiwa ananisimulia hadithi hadithi za kuchekesha nilijikuta nimesahau na kuzama kwenye mahaba.

Nilianza kulipata joto la sada wakati alipokuwa amenilalia kifuani na kunipa mate nilianza kupandwa na midadi nikawa nampetipeti mwili wake kwa shahuku ya kuifikia nyapu yake, kweli malengo yangu yalitimia nikaanza kulipetipeti kwa kidole cha kati nikaona mtoto anajikunja kama nyoka hapohapo nikaweka kitu shomboni nikaanza kusugua gaga na sikutaka kuiasha kabisa maana ilikuwa tamu sana kama ujuavyo utamu wa ile kitu. Wakati naelekea kupasua bao nilianza kuona sura ya sada inabadilika na kuwa kama ya sadia totally, nilianza kulia tena huku bao linatoka “mamaaaaa nakufaaaaaaa”

Nilinyanyuka na kukimbia nikiwa uchi wa mnyama huku natoka nje nilipofika nje nilimkuta mama said. Mama suzie, mother house, amina na dada vero kila mtu ametoka kivyake mwenye tait, nightdress, kanga ni hivyo.

“wewe dickson ebu tulia kaa chini utulie”

“umepatwa na nini ebu niambie?”

Nilikuwa nahema kama mbwa mbele ya chatu sikuweza kujibu swali lolote nililoulizwa zaidi zaidi walikuwa wanashauriana wao la kufanya. Alikuwa mother house napenda kumuita hivyo au unaweza kumuita mama mwenye nyumba.

“jamani mama suzie umevaa kitu ndani tumpe nguo ya kujisitiri?”

“mmh hapa ndani nina chupi tu labda nimfatie ndani”

“acha tu ngoja amina akachukue ndani na msahafu tumsomee dua kidogo ila kesho tutamuita shekhe amsomee vizuri”

Amina aliingia ndani na kurudi akiwa amejifunga kanga na nyingine akiwa nayo mkononi akampatia mama yake.

“mama msahafu sijauona sijui umeuweka wapi?”

“bwana wee macho makubwa lakini hauoni, mwambie dada yako sada atafute yeye ndo alikuwa anakitumia kwa mara ya mwisho”

Niliposikia jina la sada nilishtuka nikajua very well kuwa sada alikuwa ndani kwangu na ndo chanzo cha yale yote. Bahati nzuri amina akadengua kwenda.

“mama bwana si kesho atakuwa shekhe iddi au hata ostadhi omary”

“we nae kwa ubishi haya nenda kalale kesho si shule”

Amina aliöndoka kwa manung’uniko na wakati huo wale wote walianza kwenda vyumbani mwao nikabaki na mother house akanifunika uchi wangu kwa kanga lakini sijui wazo gani likamtuma kwni wakati natoka ndani mboo ilikuwa imedinda na kumpa maswali kichwani mwake mara akaifunua kanga tena na kukutana na mauteute ya yai.

“vipi huyo jini umefanya nae nini maana naona umepasua yai?”

“yani mama we acha tu sema niache tu nikalale tumsubiri shekhe hiyo kesho”

“mmh hapana dick uwezi kulala peke yako ebu twende chumbani kwangu ukalale na mimi”
Sikuwa na neno zaidi nilikosa nguvu za kutembea kwa woga ule. Mama akaniambia nipande mgongoni mzee nikadandia mgongo huyo msobemsobe, sasa yule dick akawa anamgusa gusa mama mgongoni mwe mwe mwe akasimama tena nyg nyingne bwana. Kumbe yule mama nae alikuwa anafurahi lile dick likimsugua mgongoni akafika chumbani akawasha taa na kunibwaga kwenye mkitanda mkubwa kweli sijui 7 kwa 6 puuuu!! Na kwa vile nilikuwa nimejifunga kama nimetoka jando au kutahiriwa kanga ilifunuka na msumari ulisimama ndiiiii.

“mmh dick umebarikiwa mwenzangu na unavyojua kuitumia ndo maana hata jini sadia amekupenda kwani anaujua huo utamu”

Mama bwana anapenda ujana huyo japo umri umesogea kidogo eti nae akasogeza kichwa chake na kuanza kula koni mwinyumwinyumwinyu nilikuwa natamani kulia kwa ule utamu haswa haswa lile joto la mdomoni.

Niliona nisilaze damu nikamtoa kanga ya kifuani na kukutana na chakula cha watoto na lilikuwa tindi kwelikweli, nilikula msosi ule na utamu ukaamia kwa madiba bondeni nikaramba ramba na wewe nikawa namtetemesha mtu mzima mpaka anatoa machozi.

Niliposhoka nikajitupa pembeni nikivuta pumzi kabla ya game, mara mtu huyo na unene wote akaja akaikalia dadadadaaa alikuwa na kilo sema utamu bila hvyo angetoka pale. Nilimtazama akisugua gaga huku anahema kwelikweli ule mwili si mchezo. Nilitazama dirishani nikaona mtu anachungulia ila macho kama ya paka yanang’aa kwelikweli nilipiga yowe tena
uwiiiiiiiii!!!!

“nini unafanya sasa dick au unataka nipate aibu humu ndani lakini?”

“angalia dirishani angalia dirishani uwiii”

“mbona sioni kitu? Haya fumba macho”

Nilifumba macho huku nikiwa na wasiwasi mwingi yule mama bado aliendelea kusugua tena safari hii alikuwa anaforce kingi na yule mama alikuwa ni mtu wa nyg kweli kila dakika 5 anavunja dafu kidogo nikapata na mimi muamko wa kulicheza goma japo ngoma ya watoto huwa akeshi tulimaliza na kupitiwa na usingizi mzito.

Nilichelewa kuamka na kujikuta naamka mida mibaya saa3 asubuhi siku yenyewe ilikuwa ijumaa nilipaswa nikachukue mauzo ya wiki na kwenda bandari kutoa mzigo hapo hapo saa8 niende airport kumpokea best yangu richard anayelejea kutoka dubai. Kumbe amina akwenda shule bwana sasa alipoamka akaja kwa mama yake kuchukua hela ya sokoni ile anagonga ndo nikashtuka na nilihisi kuna asilimia chache za mlango kufungwa kwani jana yake niliingia ndani kwa kubebwa sasa sikujua kama mlango alifunga muda gani.

Amina alipoöna hajibiwi alifungua mlango na kunikuta nimekaa kitandani najifikiria Jinsi ya kutoka, alishangaa na kutaka kulopoka nikamziba mdomo tukawa kama tunabisha lakini kwa chini chini. Mara mama suzie akawa anaita.

“amina weee, aminaaa kuna mgeni wako hukuuu”

Amina alikausha kama ajasikia, tukawa tunaendelea kubishana.

“khee dick na mama yangu nae unatoka nae we mwanaume kiwembe, hata sijui lengo lako lipi kwa familia yetu, nipe basi na mimi cha fasta basi”

“bwana amina tuyaache hayo unajua nataka niende kazini kama vipi utakuja baadae nikirudi,vipi hapo nje kuna watu wengi?”

“hahaha unalo leo hata huko kazini Ughailishe tu kuna watu wengi hatari”

“mama yangu mambo yangu yamekwama nitafanyaje mimi”

“nakutani nje alikuwepo mama suzie peke yake na yeye ndo yupo ngoja nikamuangalie nakuja wewe nenda kaoge kabisa chumbani kwa mama”

“dah nashukuru sana pia itaokoa muda”
Baada ya dakika kama kumi nilimaliza kuoga nikakaa dressing table na kuanza kujipaka mafuta pale na kuziweka nywele zangu sawa. Amina nae akaingia akiwa na haraka.

“dick fanya fasta mama suzie ameenda gengeni sema pale barazani yupo angel dada yake aggy”

Sikutazama nyuma muda huo huo nilitoka na kumkuta angel yule mdada niliyeuona uzuri wake siku ile usiku akija kumfata mdogo wake sasa leo niliuöna uzuri wake vizuri alikuwa amevaa blauzi ndefu ikafatana na kinguo kama tait wenyewe wanaita kikondom, ilibidi nimsalimie.

“mambo angel”

“poa za toka siku ile?”

“dah mungu anasaidia naona umekuja kututembelea”

“yeah”

“karibu sana wangu sema hata kuja nyumbani kwangu?”

“hapana nilijua upo kwenye miangaiko kumbe leo haujatoka”

“hapana ndo natoka, vipi we ujaenda chuo?”

“leo nipo off ninaumwa ndo naenda kupima amana”

“poa basi nisubiri nami naelekea hukohuko”

Safari ilianza kati ya mimi na angel japo amina alinipiga jicho baya. Licha ya kuchat na angel whtsapp na instra bado nilikuwa na shauku ya kuonana nae.
***

Angel alijikuta yupo mikonöni mwangu baada ya kumwambia aenf hoteli yeyote aagize anachotaka mimi tena nilitoka kukusanya mapato ya wiki na kupeleka bank muda huo nikawa nalejea mara simu ya richard inaingia.

“hello mbona sikuoni kaka upo wapi?”

Nilipatwa kgugumizi kwani nilipaswa kuönana na angel pale hotelini na kama ningepuuza ingeonekana nina ahadi hewa wakati huohuo rafiki yangu amekuja nifanyaje?

Nilibaki dilemma nikisingizia naumwa anaweza akaja kuniona home, sijui nimdanganye nipo nimekuja kuchukua mauzo? Lakini muda huo nafikiria simu ilikuwa bado hewani.

“hallo hallo mbona kimya unakuja au?”

“na na nakuja kaka nimetoka bank kupeleka hela ya mauzo samahani sana kaka”

“khaa mbona leo mapema au una miadi na mtoto nini?”

“hahaha hapana bwana kawaida kaka”

“mmh kaka unaona leo haupo sawa kama siku zote, ila usijari nimechukua taxi ya kunileta mpaka nyumbani kama unaweza kuja leo poa ila kesho itakuwa poa zaidi kwani nitakuwa nimepata muda zaidi wa kupumzika”

“poa kaka nashukuru basi nitakuja kesho mungu akipenda”

“poa mwana pamoja”

Kauli ile ilikuwa nzuri kwa upande wangu na sikutaka kupoteza muda nikampigia simu angel.

“hello angel samahani kwa kukuweka sana upo sehemu gani?”

“hamna shaka wangu nipo riverside kwa hapa nje nje ukitokeza mimi nitakuona”

“sawa nipe dakika 10 nitakuwa hapo sawa mama?”

“sawa nakusubiri”

Mfukoni nilikuwa kama na laki hivi ambayo ingetosha kabisa kukata maji na kila kitu pale. Baada ya dakika 15 nilifika hadi getini nikachuka na kupepesa macho yangu kushoto kulia nikashtukia naitwa nikageuza shingo na kumuona angel.

“dick njoo nimeketi hapa”
Nilisogea mpaka pale nikamkuta angel akinywa stonetangawizi nikaagiza nyama choma na castlelite pale huku angel akitaka redbulls kopo mbili. Nilitamani sana kukaa na angel na kupiga nae story lakini mara nyingi nilikuwa besy na kazi nae alikuwa besy na masomo na kazi anayoifanya kama agent kwenye upande wa kutafuta masoko katika kampuni ya cocacola, kwao wapo vizuri kiupande wa pesa kwani baba ni mkuregenzi tra na mama yupo airport pesa kwao sio tatizo si wenzangu na mie wa pesa za madafu za kulipia hela ya pango na kubadili mboga tu.

Tulikunywa sana na hapo baada ya kumshawishi sana akanywa tusker pale chupa kama nne mwenzangu katepeta akatoa kadi yake ya bank aina ya TEMBO CARD akaniambia nikamtolee laki3 yeye nitamkuta akiendelea kunywa pale. Na alivyoonekana alikuwa amelewa tororo. Nilichukua bodaboda mpaka sheli ya makutano pale ubungo nikaingia kwenye Atm machine nikatoa kile kiasi nikarudi tena pale tukaendelea kuchoma nyama na kujaza meza mpaka pale laki nzima ilikatika na zile laki3 zilizobaki nilikuwa nazo mimi.

Nilianza kumchezea mapaja angel kwa kupitisha mikono chini ya meza na mtoto mwenyewe alikuwa na nyg za hatari maana nilipoanza mchezo wangu aliegemea kwenye meza akawa anauma uma meno hapo tu tayari umeshampa nguvu adui yako nikaenda kubook chumba nikarudi kumbeba.

“vipi tunaenda wapi dick? Unanipeleka wapi?”

“we twende ukapumzike mama najua umechoka?”

Alitulia kama amemwagiwa maji na nikamshika kiuno na kumpeleka hadi kwenye ile room iliyoandaliwa vizuri sana na mimi nilipenda sana huduma zao chumba kilikuwa kisafi sana. Nilimuweka mtoto kitandani taratibuu kwani alikuwa mzito kweli japo akuwa na mwili wa kawaida ila kilo ndo hatari.

Nilianza kumtoa nguo moja baada ya nyingi. Nilianza na blauzi nikafanikiwa kuitoa na kuyaasha maziwa yakiwa ndani ya sidiria nyeupe, hapo nilisimama kidogo na kuchunguza kile kitovu kilivyo kizuri. Nilimgeuza kidogo kutafuta zip ya sketi yake, na kuitelemsha mpaka sakafuni mtoto akawa ndani ya tait nyeupe nayo nikaitoa hadi chini. Oooh mama alibakiwa na chp ya wavuwavu fulani kwa hapa juu iliyönipa fursa ya kuona maeneo ya juujuu.

Kupata bahati ya kuwa na yule mtoto kwangu ilikuwa ni bahati ya mtende ni ili niweze kumuoa ni lazima nimtie mimba kama ikiwezekana wazazi wake wasiwe na pingamizi juu ya hilo.

Sebene lilianza na kitendo cha kuitoa ile chp kama wavu fulani nilijikuta mate yananitoka na kusema ule ukweli sikuwa tayari kuasha asali ile japo najua kuna nyuki lakini japo nitie kidole nisikie radha yake. Niliweka kidole changu kwenye mtungi nikapima oil nikagundua maji yale hayanywewi na watu wengi na ndo maana yana matunzo sio kama yale ya kina mama suzie, mama amina, mama said au hata sista vero ambayo mitungi yao uchotwa sana maji. Nilisugua kisamwende mpaka nikaanza kuona anarespond akawa anabana miguu lakini uzuri kidole kilichapenya kunako kwahiyo alikuwa anakukuruka nacho akigeuka huku anacho mwenzangu kumbe pombe zilimjia vibaya akacheua na kunitapikia kwenye nguo zangu hadi kitandani na nguo zake pia zilizokuwa sakafuni.

“khaa balaa gani tena? Ina maana kesho hatutoki humu ndani mpaka nguo zikauke nyapafuuu”

Nilijisemea mwenyewe nikiwa sina hata mtu wa kunijibu nikavua nguo zote mpaka boksa nikachukua taulo nikavaa muda huo hata msumari bado haujapoa nilimnyanyua angel nikatoa shuka na kuziweka nguo zote kama furushi nikatoka nje kuelekea kaunta. Kabla hata sijafika kaunta nikakutana na yule mdada anayesimamia pale.

“eeh dada samahani kwa usumbufu nimepatwa na tatizo nahitaji msahada wako kidogo”

“bila shaka ndo kazi yetu”

“mpenzi wangu niliyekuja nae ametapika, na kwa bahati mbaya ametapikia shuka, na nguo zetu sasa naomba msahada wa kufua na mashuka mengne mawili”

“sawa hamna neno haya kazilete”

Nilimpa mgongo nikazama hadi chumbani nikamkuta huyo angel amelala kihasara hasara na kwa namna alivyo uchi nilisimama nyuzi 90 nilienda nikapiga vidole viwili vitatu nikabeba yale mafurushi nikawa natoka nayo nje nikiwa nimeyatanguliza kwa mbele yangu ili nizuie ile hali ya kusimamisha asije akaijua yule mdada nikaumbuka.
Nilimkuta yule mdada akiwa amesimama palepale kwenye kona ya kuchuka kwenye ngazi mara aliponiona alitabasamu na mimi nilitabasamu na hata kabla sijampa lile furushi akalichukua yeye mwenyewe sijui alishkaje shikaje akaondoka na taulo langu na kukutana na sukari guru ikiwa imesimama kama mnara wa voda.

“khaaa samahani samahani sana kaka”

“aah usijari”

Nilimshka mkono na kumvutia hadi mule chumbani kwetu nikijua fika angel amesinzia kwa zile pombe nilimuingiza hadi ndani moja kwa moja chooni nikaanza kumpumulia kifuani kwenye matiti yake makubwa yaliyopigwa jeki. Alianza kulia “kaka mbona unanifanyia hivi lakini jua kuwa mwenzio nipo kazini na kaunta hamna mtu itakuwaje wateja wakija kutaka chumba au kukabidhi funguo?”

ITAENDELEA

BODY SPRAY (HANDSOME BOY) – 1

Image result for africa in love


Chombezo : Body Spray (Handsome Boy)
Sehemu Ya Kwanza (1)

Baada ya kumaliza chuo pale TIA kozi ya accountancy upatikatikana wa kazi ulikuwa mgumu mimi na rafiki yangu Richard philipo tulijitahidi kuzunguka maofisi mengi hapa town na kutuma application nje ya dar ili kutafuta kazi lakini wapi, tukienda mabenki mara wanataka uzoefu, mara kujuana, mara kahela kidogo/takrima na wakati mwingne hata tulithubutu kukatishwa tamaa na maneja waajiri wengi waliotwambia “toeni chochote kitu ili mpate kazi kama hamtaki muwe na mareferees napo kama hamna bora msipoteze muda mjini rudini shamba mkalime” roho iliniuma lakini nitafanyaje kusoma nimesoma kwa shda na wakati wa kujilipa ndo huu mpaka sasa mambo hayaendi sawa. Nakumbuka hiyo siku tulikuwa tumetoka kuomba kazi benki ya AZANIA sasa hapo tumeshazunguka sana yule secretary akatwambia tuache nakala ya vyeti vyetu na CV kisha watatupigia simu kama tutaitajika lakini sasa nafasi zinatakiwa 15 tunacompete/shndania watu 209 hapo utagundua nafasi yetu ni finyu sana kupata nafasi.

“oya dickson haya maisha mpaka lini kaka? Hapa hatujui tutapata kazi mbele ya watu wale 209 dah sijui itakuaje?”

“sikiliza nikwambie richie mwanaume upaswi kukata tamaa ni kupambna mwanzo mwisho upaswi kurudi nyuma hapa unapaswa kuwa baba wa baadae familia yako unapaswa kuiandaa leo nae mama richard anakutegemea na wadogo zako rajabu na rahma wanataka kusoma, we have 2 struggle man”

Tulikuwa tunabadilishana mawazo mimi na best yangu richard tukiwa tumeketi ndani ya uwanja wa karume tukitafakari safari ya toka saa moja asubuhi na tulipokunywa chai na mandazi matatu matatu ya kukopa kwa mama vickie mpaka saa tisa hatukuweka kitu tumboni.

“sikiliza nikwambie dick maisha haya ni kuthubutu we unaonaje tukajiajiri wenyewe kuliko kutegemea kuajiri, me nina shamba langu mbezi kibanda cha mkaa tuweza kulitumia lile kupata mkopo benki”

“dah yani aki ya mungu nyie wachaga mna akili ya biashara aisee hapo nimekukubali, lakini kaka ni biashara gani sasa tuianzisha?”

“me naona duka ya cosmetics/vipodozi linalipa hasa tukiliweka hapa city centre”
****
Biashara ilikolea sana na wateja wetu wengi walikuwa ni wakina dada, wamama na wanaume sio wengi na vitu vilivyokuwa vinanunuliwa kwa wengi ni body spray za 13000, 30000 na 80000, pia lotion za remon na aloe vera na perfume. Mimi nilikuwa na uhakika wa kuondoka na 50000 kwa siku sasa hapo pombe situmii wala sigara.

Ndani ya mwaka mmoja tulifanikiwa kulipa mkopo wa mil.80 tukawa tunadaiwa mil.20 hapo tuliona tusilipe wote tukafungua saloon ya kike mtaa wa bamaga sinza pale mimi mwenyewe nilijifunza kusuka mitindo yote na pia tuliwaajiri wasichana watatu wa kusaidia pale. Kwahiyo ofisi ya town alibaki richie mimi nikawa kwenye ofisi mpya ya bamaga mwendo wa kupiga kazi hakuna kulala basi ndani ya miezi mitatu nikajijengea jina pale sinza yote kwenda hadi tegeta kuja ubungo na maharusi wengi wakawa wanakuja pale kwangu kupambwa.

Jioni ya jumapili tulikutana na richie kujadili maendleo ya biashara zetu na kufikiria kulipa pesa iliyobaki then tukope tena tukachukue mzigo dubai.

“hivi richie unamkumbuka sister jane mganga nae alimaliza pale TIA mbele yetu{akaitikia} yule si alienda dubai tunaweza kumtumia yeye kuagiza bidhaa badala ya kwenda sisi wenyewe”

“dah kaka wazo zuri sema ngoja nitafute email yake tujue tutafanya vipi biashara”
****

Ule mzigo wa dubai ulikuja kipindi hicho richie bado alikuwa dubai me nilibaki kuangalia biashara, katika ule mzigo sister jane alinipa zawadi ya body spray chupa2 na lotion yake pamoja na mafuta yake ya kweli.

Ilikuwa ni jumatatu siku ya kazi hapo nilipigiwa simu na wateja wangu kuna kama vichwa vinne vinanisubiri ilibidi nipitie dukani town kwanza ndo niende sinza. Kwa mara ya kwanza natumia body spry ile kwakweli ilikuwa na harufu nzuri sijawai kuona muda wote ikanifanya nijinuse. Sasa kila nilipokuwa napita kila mtu aligeuza shngo yake. Wakati naingia pale saløøn wadada wote walitahamaki baada ya kusikia ile harufu upendo ndo aliropoka..

“hapna jamani nimeshndwa kuvumilia jamani dick unanukia vizuri na ulivyo mtanashati na dimpoz nahisi wifi anafaidi”

“eeh bora umesema wewe wangu jamani dick wewe ni mwanaume mzuri jamani hizo dimpoz zako kwa hakika hapana umebarikiwa we mkaka” aliongea mama nuru aliyekuja nimsuke.

“nyie jamani acheni ujinga kusifia bwana za watu wengne mmeolewa mna miji yenu lakini bado vinawasha” aliongeza aisha abasi huyo binti wa kisambaa

“jamani huu ni muda wa kazi hayo mengne baadae rehema naomba niletee vifaa vyote nianze kazi” niliamua kumaliza yale malumbano na kazi ilianza mara moja na mdada wanamuita anna bernad yeye anakaa mbezi juu lakini cha ajabu hawa wanawake sijui wapoje huko mbezi kuna saloon nyingi lakini kaja hapa kwa “dick hair beauty&saloon” haya ndo mambo ya kike ila mimi ninachojari mkwanja hayo mengne hayanihusu. Unajua tena mambo ya saloon maneno ndo jadi yake hapo ni umbea hakuna. Upendo akaanzisha tena.

“ila jamani twende mbele turudi nyuma hiyo body spray ya dick me nimeipenda samahani dick nipe namba yako ya simu”

“tse tse tse tse yamekuwa hayo ya kuomba namba za simu halloo kula nile mie machuzi utoe weye ” walicheka wote kicheko cha kinafki. Cha ajabu nilipomtajia namba yangu wote walinyanyua simu zao na kuandika.

“haya upendo nataja, ni 0716082149 na nyingine 0684979066”

“nyooo yamewashuka chuuu! Kumbe kuanza kazi mmengoja mimi niombe nyie muandike mna bahati waone” nae upendo aliwatolea uvivu
***

Nilirejea home/ghetto na kujiegesha kwenye sofa mpaka usingizi uliponichukua na kuasha cd ya fally ipupa live in dar ikiendelea kugonga kwenye home theater yangu. Bwana bwana kumbe Amina yule mtoto wa mama mwenye nyumba aliingia ghetto kwangu akajipakaa lotion yangu, mafuta ya nywele na mwisho ndo akaniamsha eti kuniomba body spray yangu.
“dickson! Dick! Dickson! Dick”

“Mmh! Mmh! Mmh! Naaam! Naam!”

“samahani dick naomba nijipulizie body spray yako tafadhari nataka niende kwenye send off ya lilian?”

“chukua tu usijari”

“asante, ila kaka dick mbona upo besy sana unafanya kazi wapi?” mtoto huyu ana maswali.

“mimi nimejiari mwenyewe nina saloon sinza bamaga na tuna duka la vipodozi hapo town tu”

“hongera sana na sisi tukimaliza masomo mtuajiri, vipi una mpenzi? Kwani sijawai hata siku moja ukija nae hapa?”

“hahahaha mtoto huna maswali wewe mpenzi sina kwa sasa labda kwa siku za usoni”

“wow! Lakini samahani kwa hili unajua dicksön wewe ni mzuri napenda mwili wako hasa ninapokutana na wewe unakwenda gym, urefu wako hasa hasa hizo dimpoz zako unanichanganya kabisa”

Nilijukuta nimebaki kimya kwani sikuamini yale maneno yote yalikuwa yanatoka kinywani mwa msichana mdog vile wa kidto cha tano tu. Aliniaga anatoka ila atarejea baadae kuangalia movie nikajiuliza huyu mtoto nimeanza anzaje mazoea nae? Na wakati sikuwa nataka mazoea na mtu kwenye ile nyuma lakini chanzo ni #bodyspray kutoka dubai ndo inapelekea haya yote. Wakati anatoka tu mara simu ya upendo ikaingia akawa ananiuliza nipo wapi anitoe hofa mmh mwenzangu ktk maisha yangu sipendi vitu vya kudandia visije vikanitokea puani. Nilimdanganya kesho yake itakuwa poa ila kwa leo nina hangover. Nikiwa ndani nikasikia ubishani mkubwa kati ya amina na mama swaumu.

“we mtoto unaenda wapi yani usione mkaka mzuri unataka awe wako”

“mama tuheshiane usitake tuvunjiane heshma naomba niache kama nilivyo kwani kutmbw natmbw mie au wewe? Fyoo kubwa zima una soni wala aya”

Amina akaingia ndani na sinia lenye chakula akiwa amevaa dela lake alilochomekea kwenye nguo ya ndani. “karibu msosi kaka dick” aliongea amina huku ananinawisha na kufunua sahani ewaa ilikuwa ni biliani. Mara umeme nao chaaaaaap! Mambo gani tena!

“umeme wa tz bwana hata hautabiriki ona sasa” nilinung’unika nikajua leo nalala bila feni na lile joto pale ndani imekula kwangu.

“usijari ngoja nikakufatie taa ya chemli” aliongea amina huku ananyanyuka

“hapana usiende nina taa inayotumia solar power hiyo hata ukiwa unaitaji kujisomea uje kuifata”

“nashukuru sana kaka dick kwa kunijari kula basi au?”

“haha au nini sasa mbona we mgomvi?

“unataka ulishwe na my wizo, leo hayupo naomba nimrithi kidogo kama itawezekana”

“haaa bwana mbna nilikwambia sina au unanichora?”

“haya bwana ila amini tayari umeshampata”

“khe nani tena huyo?

“Hata sijui we fikiria tu”

Kwa kauli ile ikanifanya niamini kuwa mtoto ananikubali me si mtu mzima. Niliendlea kula mpaka nikamaliza huku tunapiga stori akarudisha vyombo fasta hata dk3 nyingi huyo hapo kafungua mlango.

“kwani kaka dick mwanamke unayetaka kuoa unapenda awe na sifa gani? Na uwe umempita miaka mingapi”

“napenda mwenye kunipenda mimi na ndugu zangu, aniheshmu, anijari asitende na hasa napenda nimpite miaka mi3”

“kwani wewe una miaka mingapi?

“mimi nina miaka 22 wew je”

“wow kumbe nina sifa za kuwa mke wa dicksön edward ha ha ha”

Tulipiga story pale mpaka muda ukawa umesonga sana sasa nashndwa kumwambia nenda kalale yeye akawa anaendlea kupiga story mimi nikapitiwa na usingizi kwani niilikuwa mchovu sana. Kutahamaki najikuta natikiswa na mkono.

“we kaka unafanya nini na Amina mdogo wangu? Ebu angalia saa ngapi sasa hv”

Niliangalia saa ilikuwa ni saa 6
usiku, kumuangalia amina amelala huku ameniegemezea miguu yake dela lake limepanda mpaka kifuani na kuifanya ikulu yake ijichore vizuri kwenye nguo ya ndani aliyovaa.

“nimekuuliza dickson, ndo maana siku hz ananukia vizuri hapa nyumbani umeamua kumpa hadi body spray”

“hapana dada aliniazima kwa muda ila mbona hunaonekana una jazba?

“ndio nina jazba we si unajifanya mjanja unatembea na mdogo wangu ngoja nikamwambie mama”

“hapana sada, we unamjua mama yako alivyo mkorofi kweli nakwambia toka moyoni ule ukweli wangu wote sijamgusa amina”

“anha bado unabisha nisubiri hapo” aliongea kwa vitisho huku akawa kama anataka kuondoka.

“amina ni kama mdogo wangu, na isitoshe sikumfanyia chochote yule ni mwanafunzi kesi ile jamani niambie unataka nini basi?”

“nataka kama ulichompa amina”

“khee makubwa nilichompa nini body spray au?”

“usifunge mlango nakuja sasa hv ngoja nimpeleke amina kulala”

Sada alimuamsha mdogo wake na amina akawa ananiaga vibaya mpaka nikawa nakasirika kuwa dada yake atanielewa vibaya. Ndani ya dakika kumi na tatu sada alirejea akiwa na kanga moko2.
“haya nimekuja na mimi sasa”

“ebu chukua tochi nenda hapo chumbani kwenye dressing table utakuta chupa ya blue ya body spray ndo hiyo chukua”

Nilipomwambia haende chumbani fasta hata dakika tatu nyingi halikuwa chumbni tayari. Muda mrefu ulipita hata bila sada kurudi nikabidi nimuite.

“Sada we sada umeiona?”

“abeee! Sijaipata njoo unionyeshe”

Nilizama chumbani kwangu he he he he sada alitanua miguu kama mwanamke aliyereba nikasimama palepale mlangoni kuingia ndani nataka kuikimbia ile dhambi nataka sasa hapa nikawa na mgogoro nafsia nenda usiende nenda usiende, lakini mwili ulinishnda nikajikuta nakuwa kama kondoo anayepelekwa machinjioni. Nikasogea mpaka kwenye mapaja yake na kuyashka nikaanza kuongea kama nigugumizi.

“sasa ndo haujaiona”

“yeah sijaiona lakini usijari tutaitafuta umeme ukirudi”

“haya basi nenda kalale usiku sasa”

“sitaki nataka kulala hukuhuku mpaka umeme ukirudi”

Kupepeti ni kozi ambayo naweza kuifanya kwa ustadi mkubwa unajua kipindi najifunza mambo ya saloon nilijifunza na kufanya massage so muda huo nilitumia huo ujuzi ili kwamba kama huyu mdada akipata mshahara wake tugawane nusu kwa nusu.

“ha ha ha ha dick usiache kunichua najisikia raha hamna mfano mmh mh mh mh raha”

Nilibinua chp ya mtoto huyu wa kizaramo na kutumbukiza vidole kupima oil, asitoe machozi nini mtu mzima alikuwa analia kama mtoto mdogo huku mkono wake ukawa unaitafuta bukta yangu ili aikamate gobore langu. Nikawa nasogeza kiuno changu kwa nyuma kusudi asiniguse “mmh jamani me sitaki naomba nishike na mimi” hata sikutaka kumpa hiyo nafasi niliendlea kuchezesha vidole vyangu viwili vya kati mpaka akakojoa taaap.

Kumbe nje kulikuwa na mtu ananiita kwa dirishani kwa sauti ya chini “dickson dick dick dick” nilikaa kimya baada ya kugundua sauti ile ilikuwa ya kike na pale ndani nilikuwa na demu pia sasa huyu wa nje ikabidi nimvalie miwani ya mbao nitamjua mbele ya safari.

“sasa wewe nenda kalale muda umekwenda sana wangu” niliamua kumaliza so maana kulikuwa na dalili za kubuma kwa miche ile. Sada aliongelea puani kama vile mgonjwa

“sitaki bwana naomba unitulize hamu yangu dick naumia”

“he he he usinivute basi nakuja mwenyewe”

Nilijikuta najitoa mikononi mwa sada aliyeonesha kuwa amezidiwa sana. Sasa nikawa najifikiria kweli nigonge bila dhana maana sikuwa nayo hata moja mule ndani. Nikakumbuka njia moja ya kibailojia ya kuongeza mafuta ili kupunguza friction wakati wa tendo kitendo kitakachoepusha michubuko, nilienda na kuchukua mafuta nikaipaka nanii yangu na kumsogelea mdada aliyekuwa amejimanua kama anataka kuzaa. Nilianza kucheza lile sebene siku hiyo sikupata bao mapema kutokana na msuguano kuwa mdogo ilichukua dk15 kupata goli la kwanza sasa hapo nikaunganisha kulitafuta bao la pili. Sasa zile kelele kutoka chumbani sijui zilitoka mpaka kwa wapangaji wenzangu wakina mama said, dada vero, mama stellah wote walitoka vyumbani mwao na kuchungulia dirisha la sebureni huku wakisukuma kutaka kuona sasa hako kagoli kaka kanakuja nikawa nakasikia kuanzia magotini kanapanda mpaka nikamwaga mwaaa!

Mwenzangu sijui walishauriana nini wakawa wanagombana na kuanza kugonga mlango. Nikapata mchecheto wa Kufungua ule mlango. Wakati najifikiria nikasikia sauti ya mdogo wake akiwaambia “ebu pisheni me niingie bwana”

“hapa ukifungua wote tunazama usijione special sana kisa mtoto wa mwenye nyumba” aliongea mama said

“si ndo hapo hapa nilipo nina mshawasha wa kuuona huo msumari nienda mwaka wa pili sasa sijaona live zaidi ya kwenye pilau “X”,alitoa ya moyoni sista vero
“hivi mabwana zenu kwani hawawatoshi au ndo umalaya sasa mtu havuke huu mlango ntamkomesha naenda kutembea na mabwana zenu wote tena kwa zamu nikiwategea wakiwa wanaingia kuoga” alikuwa amina akiöngea kwa msisitizo

“we mtoto kama unatafata kurogwa jaribu hilo jaribio lako watu na akili zao hapa usidhani sisi watoto wenzio kama kuchepuka wanachepuka hata njiwa nyoko wee” mama suzie akutaka kuwa nyuma

Huku ndani nikamsukuma sada na ubonge wote ule chini ya kitanda na kumuelekezea feni maana anaweza akafa kwa joto. Kumbe bwana amina alikuwa na funguo ya pale kwangu akafungua na wote wanne wakazama ndani amina akawa anawanyamazisha kwa style ya kuweka kidole mdomoni wote wakanyamaza. Nilishangaa mwenzangu mara sista vero kaenda kwenye dressing table yangu ameanza kujipulizia body spray yangu mara anataka kuondoka nayo hapo ndo amina akampokonya walikuwa kama watoto. Unajua ni akili gani niliyoitumia kipindi nakula mzigo na sada alikuwa anatoa kelele mpaka zikawaamsha sasa nilipogundua wanakuja nikawasha laptop yangu na kuweka pilau ya mablack kwa sauti ya juu hapo ndo walizidi kupagawa kabisa.

“jamani mbona mnanitafutia hatari sasa niambieni mnataka nini sasa?”

“kuangalia pilau” wote wakajibu na kukaa kitandani macho wakiyaelekeza ilipo laptop sasa zile sauti ndo hatari mwenzangu nikaona kila mtu akijichezea nyapu yake na mimi wakati huo msumari wangu umesisimka hatari na hisia za kungonoka zikanijia lakini wanawake wanne siwawezi labda wangekuwa wawili napo ningepata shida na kumbuka nimetoka kwenye timbwili la kumgonga sada nusu saa iliyopita.

Kila mtu alikuwa bize kuchezea ikulu yake na kila mmoja alikuwa anatoa mlio wake kama simu ya kichina iliyoishiwa charge nilimuangalia amina aliyekuwa upande wangu akiwa amelowa jasho huku analembua kwa jinsi alivyokuwa anajisugua na kidole chake kwenye k yake. Na pembeni yangu kulia alikuwa sista vero yeye alifumba macho kabisa na kuitanua miguu yake akaona hata kanga inamsumbua akaitoa na kuitupa chini hapo yupo na chp 2 kitendo kile kiliwafungua wengne akili nao wakasimama na kutoa kanga mwenye night dress kama amina wakazivua hadi chup na wengne tait hapo pakawa kama danguro ni kilio hapa kilio huku kama tupo wodi ya wazazi.

Niliamua kuwasaidia nikampakata amina sasa msumari ukawa unamgusa mgongoni nae akutaka iwe hvyo akajisogeza kwa juu na kuutoa ndani ya boksa na kuukalia na kuanza kuuingiza taratibu huku anazungusha kiuno ukawa unazama mpaka mwisho akatulia kidogo kabla ya kuanza kuzungusha kiuno mtoto fundi huyo aki ya mama niliendlea kumtia madole mama said na sista vero waliokuwa kushoto na mwingne kulia sema nyapu ya mama said ilikuwa na maji mengi hatari lakini ya sista vero ilikuwa kavu na amina ilikuwa mnato alivyokuwa anasugua ilikuwa inalia “fyoko fyoko fyoko”
Huku pembeni nilikuwa nawamsugua mama said kwenye kiaragwe na vero pia aliye upande wa kulia utamu kunoga kama kuna asiyelia pale ndani basi ni sada aliyekuwa chini ya kitanda lakini wote “ishii ishii uuh” mamaaa amina alikusudia kuniua sio bure kwa jinsi alivyokuwa anaikatikia aki ya mama sindano kama inakatikia kwenye tako maana ganzi hatari mpaka nikajilaza na kufumba macho goli lilipokuwa linatoka na miguu ikakamaa “amina oishii namwaga namwaga oishii” amina nae hakuwa mbali “aah babie hata mimi nakojoa ha ha tamu dudu yako” mama said nae ule uji ukamtoka k yote ilikuwa imelowana chapachapa hapana chezea full mimaji. Sista vero alimsukuma amina na kuikalia yeye mamama maaa wee alikuja na moto mpya kama vile kocha kafanya sub alikuwa anakata mauno huku akiwa analipandisha gauni lake juu ili lisimzuie kuiona mb** inavyoingia hiyo kwake ndo ilikuwa raha. Amina kwa kushindana na watu wazima mtoto huyu “we vero nimekuashia leo kwasababu kesho shule bila hvyo mbona ungekesha unajichua usingenitoa kirahisi” vero nae kwa sauti ya kusitasita “nyoo umeona wapi ngoma ya watoto ikakesha wewe kalale tuashie ukumbi mambo haya uyawezi umri bado” he he he he amina kusikia anavunjia adabu alikuja na kumvuta sista vero wakadondoka kwenye zuria sasa hapo ndo ujue tabia wanayoifanya wazaramo kuwacheza watoto wadogo mbaya, amina alianza kumla mate sista vero na kuikuna k yake dada wa watu alijitahidi kujitoa wapi sasa mimi wakati naendlea kuwatazama mama suzie alipotokea sijui akaja akapitisha miguu yake katikati ya mbavu zangu na kuikalia akawa anairukiarukia huku tunatazamana hapo amefumba macho mwekundu usoni na jasho jingi nilinyanyuka nae na kutembea nae huku napiga mambo juu kwa juu usintanie alikuwa kamili huyu mama maana alitaka hadi kuniangusha bila ukuta kunizuia yeye hata hakujali usalama wetu hapo mb inamkuna kisawasawa hayo mengine tutajadili baadae. Nilifika sebureni nikakaa alizidi kuirukia mama wee bao ilo akawa analia “uuh dickson uwii dick utantia mimba dick uuh tamu utantia mimba nasikia utamu” na mimi hapo ndo nikawa nazidi kuifata k kwa juu zaidi na kadili yeye alivyokuwa ananyanyuka kwa juu ni utamu raha raha utamu.
***

Nilidamka asubuhi baada ya kulala masaa mawili tu tena nilikuwa uchi kumbe bwana sada alisinzia kulekule uvunguni mwa kitanda sasa nataka kufunga mlango nikakumbuka kwenda kumuangalia kweli yupo amevaa night dress yake ndani alikuwa ana kitu na kwa muda ule palipambazuka kwa kawaida watoto wa shule ndo ulikuwa muda wao kama suzie, said na hata amina pamoja na wakina sista vero muda huo uenda kazini kwani yeye ni mwalimu wa sekondari. Nilimpa mbinu ya kujifanya anatoka kwenda kufagia uwanja lakini wapi alikuwa hataki na nilijua kuna kitu alichokuwa anakitaka lakini tayari nilichaoga sasa “hapana sada ningojee jiöni please nachelewa job hata wewe unachelewa dukani” alianza kudeka kama mtoto huku anafungua zipu yangu “sitaki honey nipe kidogo nipate nguvu ya kwenda kuoga unajua yako tamu kama umeiwekea sukari” muda huo tayari kisha itoa ipo kwenye kiganja cha kushoto nilimnyanyua kama kiroba cha unga cha kilo25 na kumuweka gambani piga mambo piga mambo nikamtoa staili ile nikamlaza na kumtanua miguu akawa kama yupo leba napo nikapiga mzigo mpaka akatoa gesi chafu hapana kabisa, “hodi hodi humu ndani dickson upo” alikuwa ni sauti ya mama mwenye nyuma mbona nuksi tena maana nipo na bintiye.

Nilitoka kumsikiliza, nilimkuta anacheka cheka tu nakajisemea moyoni “huyu mama vp au anataka mambo nini?” nilimtazama na kuona kabisa hana cha kuöngea basi tu alitaka kuniöna na nadhani alichokuwa anakitaka alishndwa kuongea akazugia hivi.

“ndo unaenda kazini?”

“ndio mama si unajua kijana kuchangamka”

“kweli hata mimi naona, kwani unajishughulisha na nini?”

“mimi nina saloon ya kike pia nina duka la vipodozi city centre”

“eeh kumbe upo vizuri na mimi utaniletea perfurme kama unayoitumia naona nzuri yani inanikosha kweli”

“usijari mama kuna mzigo umeagizwa kutoka dubai ukiingia ntakuletea usijali”

“ntashukuru sema nina mambo mawili nataka unisaidie”

“mambo gani tena mama?”
“amina aliniambia kuwa umesoma mambo ya accountancy naomba unisaidie kumfundisha na pia ningeomba unisuke maana si unajua shughuli zangu za masherehe sherehe”

“sawa mama muda wangu mara nyingi ni usiku ndo npata nafasi so mwambie ajiandae kwanzia saa mbili mpaka nne hivi tutakuwa tunasoma, alafu hiyo ya kusuka we nunua nywele me utakuja kuniambia unataka style gani ntakusuka tu mama usijari”

“haya baba nashukuru kazi njema”
***

Nilipitia dukani pale city centre kufanya mahesabu kama ujuavyo yupo joan peke yake. Ile naingia tu na mteja nae akawa anaingia alikuwa ni mdada mrèfu tena chombechombe amechanganya damu kama ya kinyarwanda na uzungu flani. Alikuwa anataka body spray, airfresh na lotion nilimtolea kila alichokitaka akatabasamu na kunipa hela huku akiwa anachat kwa kutumia tablet nilimtazama vizuri na nilijua huyu mdada inaonekana hana pesa. Nilimfungia vitu vyake na kumkabidhi.

“vipi me nataka body spray kama yako mbona hapa sijaiona?”

“dah dada yangu kuna mzigo tumeagiza kutoka dubai nafikiri uje after three days”

“mmh kwakweli kwa siku hiyo nitakuwa safarini ila chukua busnes card yangu mzigo ukija utanijulisha kupitia namba yangu au hata email”

Aliweka earphone zake akawa anaondoka nikiwa namtazama wowowo lake duu kweli wenye pesa wanafaidi nilikodoa mimacho na kumeza mate hapo nilimfanya joan aliyekuwa anakunywa supu aanze kucheka mpaka ikamtoka mdömoni.

“ha ha ha ha vipi kaka kweli umedata mtoto huyu chukua”

“mmh joan me hawa siwawezi wana matumizi makubwa labda nitafutie muda wa kuoa ndo umèfika hivyo”

“jamani kaka dick unanipa kazi mwenzangu, alafu mke mwema anatoka kwa bwana mimi siwezi kukutafutia ila wewe muda ukiwadia utampata tu na ulivyo mtanashati kila mwanamke anatamani kuwa nawe”

Niliishia kucheka, na kumuangalia joan kwa macho ya tamaa unajua joan nilimpokea akiwa amefukuzwa na shangazi yake mimi ndo nilimpa kazi pale ila richie alikataa, namshukuru mungu mtoto huyu ni mwaminifu sijawai kuona maana ninaweza nisiende pale hata wiki mbili lakini mauzo yakaenda sawa ndo maana hata akiwa na shida nipo tayari kumsaidia na hapo hana mwaka toka amalize form4, sasa alianza kupendeza na kuvutia macho ya wanaume wengi hata mimi pia nilianza kumtamani sema ni mdogo kama alivyo amina tu.

Niliondoka na kuahidi kesho yake jioni baada ya kufunga kazi nitahitaji kukutana nae nikaondoka zangu mpaka saloon bamaga kuchukua mauzo kama ujuavyo hela haina uaminifu.

Nilitoka kule kama saa moja jioni nikarejea nyumbani nikapita kibarazani na kumkuta mama suzie na mama said wanapika niliwasalimia nikapita ndani kwakuwa nilisweat nilichukua ndoo kwa lengo la kwenda kuoga nikaenda bombani nikakinga maji na kurudi ndani kuchukua shampoo na sabuni. Nilikuta mlango wa bafu upo wazi nikafungua nilimkuta mama mwenye nyumba yupo na kanga moja alafu kajimwagia maji yupo tepetepe. Dah majaribu haya.

Nilijiondoa mule bafuni na kuomba msamaha “eeh jamani samahani sana mama” yule mama aliniomba shampoo yangu ile nampa akanivuta mpaka kifuani mwake nikagusana na ule mwili wa bonge nyanya uliokuwa mkubwa kwelikweli. Hapo nilishuhudia dick akidinda kwa kushndwa kuvumilia ule mgusano wa miili yetu yani ilikuwa distance zero. “ma’am mbo” nilitaka kuongea akaniziba mdomo akawasha taa ya bafuni na kufunga mlango. Yeye alikuwa na maji ya moto sasa akanitoa taulo na kunimwagia yalitelemka mpaka kwenye wizara ya mambo ya ndani nayo boksa ilikuwa tepetepe mwenzenu sisi watoto wa bara hatuyajui mambo ya kuogeshwa kama huku pwani sasa mwenzangu huyu mama japo alikuwa ni mtu mzima kidogo lakini alikuwa kungwi si mchezo na ndo maana vijana wa rika letu huko mtaani wanapenda wamama kwa ajiri ya mambo kama haya ya kupetipetiwa na kufanyia massage. Mama huyu bwana alianza kunipiga soapsoap mwili mzima huku nikiwa nimekaa kwenye kigoda mambo kama haya uwezi kuyapata kwa mabinti wa siku hizi labda awe amefundwa kwelikweli lakini wengi wao wana jeuri hawana hata heshima.

Ilipofika maeneo nyeti wala mama akuogopa kuelekea huko japo nilijaribu kumzuia lakini wapi akautoa mkono wangu na kuweka pembeni akapitisha dodoki kwnye kengele akasugua pale kama dakika5 akapanda juu na kushika maiki hapo zoezi la kuogeshana yakaja mambo ya pwani ni kukuna nazi tu. Alianza kuichezea dick yangu kwa kiganja chake niliwa nasikia joto la mwili likipanda kama nipo kwenye ovena alichukua kopo la maji na kunimwagia mbøna raha sasa jamani na povu lilivyokuwa linatiririka kwenda chini. Nilitamani lile zoezi lisiishe yani hapo nilisahau kama nje kuna watu barazani hata mama hilo akuonyesha kulijari kwa muda huo. Mimi nilijifanya boya ili akiingia kwenye 18 zangu nampindua kile kigoda kitamuhusu yeye, alitoa kanga yake na kubamki mtupu paja paja, alikuwa na kitovu kikubwa cha duara, bonge la wowowo na hapo kwa madiba palikuwa pananawiri kwelikweli msumari wangu ulizidi kusimama mpaka nyuzi 90 na kufanya hadi michipa kuanza kuuma. Alijipaka sabuni mpaka usoni nikawa naona hii ndio nafasi yangu ya kumuonesha kuwa na mimi kungwi kweli kweli nilimshka nyonga na kumvuta mpaka kitovu chake kikawa usawa wa uso wangu nikafuta povu na kuanza kuramba kukizunga, mahaba niue nilicheza na maungo yake nyeti mpaka mwenyewe akaniapreciate kuwa najua kwani bila hata kumgonga tayari alishokojoa sasa hapo alikuwa amelegea kabisa nikamkarisha kwenye kigoda na kumpa mautamu ukiona mtu mzima analia ujue yamemgusa kwelikweli.
Nilimtazama usoni alikuwa ni mwingi wa aibu tofauti na ninavyömjua mimi nilishka uso wake kwa lengo la kuweka usawa ili tutazamane “bwana me sitaki hivyo bwana napatwa na aibu” nilizidi kukishka kichwa chake ili asipindishe pembeni akiwa ananitazama ule mkono wa kushoto nikatumbukiza kwa madiba huku natekenya ile honi nilimuona akifumba macho na kutoa ukelele wa ajabu ajabu nilitamani niulambe ule urimbo wake lakini nikapata wasiwasi nisije nikababuka mdomo bure maana vitu vingne kama acid, kitu rahisi kwangu ilikuwa ni kumpelekea injini yangu hainyonye atakavyo. Nilifanikiwa kwa hilo mama akaiweka kinywani na kuanza kuramba, aliramba wee mimi nilikuwa nasikia utamu wa ajabu mpaka nguvu za miguu zikaisha kilichönisaidia ni ukuta la sivyo ningepiga mueleka nikafa kama steven kisa k. Utamu bwana sijui upoje unaweza ukatoa sifa ya kitu hata kama hicho kitu hakistaili ama ukitoa matusi mengi yote ni kwasababu ukiwa pale hata akili nayo inaama unakuwa kwenye sayari nyingne, nilijikuta namwaga tena ndani ya mdomo wa mama na kwakuwa yalikuja vibaya mama aliyameza yote nikatoa kata baada ya kumaliza kunywa maji kwenye mtungi, “ishiiiii umenifanya nimeze yote jamani dick nipe hiyo dick” unajua wengi wanapenda kufupisha jina langu la dickson na kuniita “dick” na neno dick lina maana ya maumbile ya mtoto. Nilitumbukiza dick yangu kwenye andaki la bi mama kwa mara ya kwanza naonja mzigo wa mama mtu mzima kama yule anayeonekana alikuwa kungwi kipindi chake alinipa penzi na mauno ya kufa mtu niliona staili ile naumia mgongo nikamshka na kumuweka ya kuinama au kuchuma mboga raha ya style hii kwanza dick ni lazima izame mpaka mwisho na kugusa maeneo nyeti ya mwanamke hapo hata afanyaje au awe mgumu vipi kukojoa hapaepukiki ni lazima uridhke, mama alishndwa kukata mauno yake kwani nilimbana miguu, nikamuinamisha na kumpa vitu mpaka nilipolizika nikaichomoa na kumuangalia yule mama alikuwa hoi atamaniki nilifungua mlango na kumkuta amina akiwa nje na rafiki yake wakisubiri niwafundishe book-keeping. Sasa pale tutatoka na style gani na wao walikuwa wanaongea macho yao yakitazama kule bafuni, nilihesabu moja, mbili, taaatu nikatoka nje na amina aliponiona aliachia tabasamu huku akimuoneshea mwenzie “anna kaka dickson niliyekwambia si huyo hapo” niliwafikia na hakuna aliyenisalimia zaidi ya kunipa mambo.

Nilivaa bukta yangu na vest yangu nikatoka pale sebureni nikavuta meza na kuweka karibu nikazima tv na kuanza kuwafundisha topic ya banking wakati naendlea kuwauliza “mmenielewa hapo?” wote wakatikisa vichwa na kuitikia “ndio” nilikutanisha macho na anna mtoto mzuri mwenye macho makubwa na alionekana alikuwa ni mtoto wa kishua wale wa kina dadie and mamie. Kikaptula alichovaa kilikuwa kifupi so haikunipa tabu kuyaona mapaja yake manono tamaa hii nikajikuta naropoka “nikimaliza topic hii nitatoa maswali mkifanya vizuri jumapili wote nawatoa out nitawapeleka mlimani city cinema, kwenye game na kisha water in world beach kwenda kuogelea” wote walifurahi sana lakini amina alikumbuka kuwa aliweka kitu kwenye jiko la gesi bila kuzima gesi hvyo alitoka mbio na kuniasha mimi na anna tu.

Baada ya amina kuondoka nilibaki na anna aliyekuwa ananitazama kwa kuibia ibia na mimi nilimuoneshea ishara flani ya kubana lips zangu kwa kuzinyonya flani duu nilimfanya yule mtoto anielewe ni kipi namaanisha. Niliamua kuvunja ukimya.

“anna kwenu mpo wangapi”

“sisi tupo wawili wote wasichana dada yangu anaitwa angel yupo chuo udsm na mimi ndo namfatia wote tumezaliwa tumbo moja”

“sasa sikia anna niandikie namba yako ya simu hapa” nilimwambia huku nampa simu yangu nikiwa na machale machale ili amina asitukute.

“mimi situmii simu sasa hivi labda nikupe namba ya sister nayo nipigie kwanzia saa2 usiku ila kwa wikiendi hamna shida”

Nilipokea simu na kuonesha kidole changu kwenye shavu, nadhani ndugu msomaji umenielewa namaanisha nini kama ujui nilikuwa nataka kiss japokuwa nilikuwa kama napiga samasoti kwenye transformer kwani ni hatari sana endapo nitagundulika namrubuni mwanafunzi kwao wao sheria inawalinda haijalishi yeye kakufata ama wewe umemfata ila ombea usijulikane, niliendelea kusisitiza.

“bwana kaka dick amina atatukuta hapahapa nitakupa nikiwa naondoka”

Niliona linalowezekana sasa hivi lisingoje baadae nilisogea nikamuona anafumba macho ile nataka kumkiss amina huyo nilizuga kama namuelekeza.

“umeona hapa hivi ndivyo unatakiwa kufanya”

“nimekuelewa teacher dick”

“mmh jamani kumbe nilipokuwa sipo mmeendelea kusoma tabia mbaya”

Nilijiöna kama winga teleza yani unaweza kuwazuga mabeki wa timu pinzani sasa mimi kwa watoto wa kusoma huwa hawanipi shida labda watu wazima nao hawana shida vile ndo maana mule ndani kwa muda mfupi tu nimeshawagonga kwanzia mama mwenye nyumba, watoto wake sada na amina, mama suzi, mama said na sista vero wote wameikalia na wote wanajua kuwa wanashea lakini ndo kwanza hawana habari wanaigombania usiku na mchana nishindwe mimi2. Hapo ndipo watu wanaposema wanawake wamezaliwa na mama mmöja haukatai.

Muda ulipomalizika wa kusoma nilimwambia amina akaniwekee maji bafuni japokuwa kabla ya kuwafundisha nilioga hiyo yote nilitaka kumla mate anna.

Alipotoka tu kama alinipa mwanya nilimvuta anna kifuani kwangu akawa anasikia ile harufu ya body spray yangu akatulia kimya cha ajabu ndo mara ya kwanza nakaa na kuongea nae mara zote nilikuwa namuona akipita tu akiwa anatoka shule. Sasa watoto wa kishua kama hawa huwa wanabanwa sana na ndo maana wakikutana na wanaume kwa mara chache wanawai kutepeta. Ndo ilivyokuwa leo na anna alinikiss kwenye lips baada ya kiss likazaliwa romance na nilianza kumshika shika kifua chake alikuwa na kifua kidogo mno na chuchu zenye kuchöma zilizobinuka kwa juu mfano wa embe dodo nilitembeza mkono mpaka kwenye kitovu ile napitisha mkono kuzunguka kiuno chake mlango ukagongwa huku ikifuatiwa na sauti ya kike nyuma yake. Nilijitoa maungoni mwa anna fasta nikanyanyuka na mto na kujiziba hapa mbele kwani tayari nilidinda, nilifungua mlango na kumkuta mdada mzuri hatari.

“mambo! Anna yupo huku eti?”
Ile amina anaondoka tu ni Kama alitupa nafasi fasta bila kuchelewa nikamvuta anna kifuani kwangu nikakutanisha lips zetu baada ya kiss likazaliwa romance nilianza kusavei kwenye kifua chake chenye chuchu ndogo mno zilizosimama na kubinukia kwa juu mfano wa embe dodo niliendelea mpaka kwenye kitovu nikawa nakichezea kwa kukizunguka sikudumu hapo kwa muda mrefu nikaweka mkono wangu kuzunguka kiuno chake mara nikasikia hodi huku ikifatiwa na sauti ya kike nyuma yake nilijitoa maungoni mwa anna na kuchukua mto wa kujikinga hapa mbele kwani nilikuwa nimedinda nikafungua mlango, aisee nilikutana na mtoto mzuri hatari.

“mambo! Eti anna yupo huku?”

“pouwa! Yeah yupo na mwenzake nawapiga msasa kidogo kidogo karibu sana”

“hee asante sana kaka yangu kwa msahada wako ndo hivyo wadogo zetu hawa tusaidiane saidiane”

“usijari kwa hilo ili ni jukumu letu sote, karibu sana ama dickson sijui mwenzangu unaitwa nani?”

“me naitwa angel ndo dada yake na huyu kirikou”

“nashukuru kukufahamu but ningependa kukuuliza maswali mawili kama sio matatu”

“yeah u may ask”

“unasoma au kufanya kazi?”

“nasoma na kufanya kazi nipo chuo nasoma IT coarse ya network pia nafanya kazi vodacom sijui mwenzangu”

“dah mimi nina 1degree ya mambo ya account but kutokana uhaba wa kazi nimeamua kuwa enterpreneur/mjasiriamali nina saloön yangu ya kike na pia tuko na partinership business na rafiki yangu tuna duka la vipodozi city centre, ndo hivyo tunajiköngoja”

“wow! It so nice kweli unaönekana wewe ni mchapakazi na ni mwanaume haswa mpaka umethubutu kufungua saloon ya kike! Unatisha sana mkaka. Haya ni nani anafanya kazi zote za saloon?”

“ofcoarse ninao mabinti wawili niliowafundisha ila pia mara nyingne huwa nafanya mimi hasa kwa wale wateja wangu wakubwa na maharusi”

“unanitisha we mtu aisee ninataka kupaona hapo sijui inawezekana?”

“hilo linawezekana ni lini sasa?”
“mmh i think day after tömorrow ila ni better ukanipa namba yako si umejoin whatsap?”

“yeah yani nipo mitandao yote hiyo, my contact ni 0716082149”

“okey am very happy to know you, if God wishes we’ll met day once again{nina furaha kukufahamu kama mungu akituwezesha tutakutana tena}”

ITAENDELEA

HATI FEKI – 5

Simulizi : Hati Feki
Sehemu Ya Tano (5)

*** *** *** ***

MAX mara moja alifika eneo la maliwato kumsubiri Steve aingie. Aliwasiliana na John ili aweze kuzuia watu kuingia eneo hilo na badala yake awashauri watumie maliwato nyingine. Wakati huo hakukuwa na watu wakiingia maliwatoni huko na hivyo ilikuwa ni nafasi nzuri ya Max na John kufanikisha mpango wao.

Haikuchukua muda Bosi Steve aliingia, Max alisubiri hadi amemaliza na kuchomoa bastola yake na kumnyooshea Steve. Bosi Steve alishtuka kusikia sauti ya Max ikimwambia.

“Usijiguse na simama hapo hapo kama ulivyo,” kabla ya kugeuka kumwangalia aliyetoa sauti hiyo alipigwa ngumi na kuzirai. Max aliwasiliana na John kwamba kashamteka hivyo wajitayarishe kuondoka.

Antony alifungua mlango wa gari na kulisogeza mpaka karibu na mlango wa kutokea na hivyo ilimchukua Max dakika mbili kumfikisha Steve ndani ya gari hali ya kuwa amezirai.

Walifika katika nyumba moja kuukuu iliyoko maeneo ya Mianzini wakiwa wameshamteka Bosi Steve. Nyumba hiyo haikuwa inatumiwa na mtu yeyote. Ilikuwa ni saa moja na nusu usiku.
Baada ya Steve kuzinduka John alikuwa amesimama mbele yake. Alishtuka kumwona John.

*****
Ukumbini Mosses Ndula na Askari wake walikuwa wakimtafuta Bosi Steve bila ya mafanikio. Waliamua kutoka na kuelekea nje ya ukumbi wakidhani atakuwa huko kwani hata simu yake haikupatikana. Walizunguka kila mahali nje ya hoteli wakijua labda anavuta sigara sehemu.

“Atakuwa ametekwa, hivyo wasiliana na kikosi cha anga ili kuzunguka na helikopta kujua watekaji,” Mosses Ndula alimwambia mmoja wa askarti wake ili aweze kuwasiliana na askari wa kikosi cha anga waanze kazi ya kumtafuta Bosi Steve mara moja.

Mosses alijua lazima ni John kafanya mpango huo baada ya kufanikiwa kuwatoroka askari wake.

“Huyu lazima atakuwa ni John na Aminata….Lazima tuwafuatilie,” aliwaza Mosses huku akiingia ndani ya gari.

Max alishauri wampeleke Steve kwenye vyombo vya sheria ili akadhibitiwe huko wakati wao watakapokuwa wakiendelea na zoezi zima la kuivamia ngome yake na kuiteketeza. John aliafikiana na Max na hivyo waliongozana na magari matatu ili kuhakikisha wanamfikisha salama Steve.

Wakiwa njiani kuelekea maeneo ya mjini kati waliona helikopta ikiwazunguka na kuanza kuwatupia risasi. Ni katika barabara ya Moshi Arusha ambapo kina John walikuwa wakielekea kituo cha polisi ili kumshikilia Steve.

“Max jamaa washatuona tutoke tupambane nao, naona wanataka kuzima huu mpango, ni nani kawaambia tumepitia njia hii”? aliuliza John huku akitoa bunduki yake na kuanza kushambulia helikopta ya askari wa Mosses Ndula iliyokuwa ikiwalenga kwa risasi.
Max na John walijitahidi kurudisha mashambulizi. Waliteremka askari wa Mosses Ndula kutoka katika helikopta na kuvamia gari lililokuwa limembeba Bosi Steve na hivyo kufanikiwa kuzima zoezi la kina John la kumpeleka kituo cha polisi. Walifunga barabara na kuzuia gari lililokuwa limembeba Steve. Walifanikiwa kumchukua na kuondoka naye.

“Aaah, hawa jamaa wametuziidi ujanja. Sijui imekuaje… sikutegemea itakuwa hivi isitoshe hatukubeba silaha za maana. Itabidi sasa tujipange upya,” alisema John kwa hasira huku akiiangalia ile helikopta ya Mosses ikitokomea angani.

John na Max waliamua kurudi nyumbani kwa ajili ya kujipanga upya. Walimpigia simu Antony na kumjulisha ya kwamba watakutana tena baada ya kuwa wameshapajua.
John alimpigia siu Aminata na kumjulisha ya kwamba mambo hayakuwa mazuri na hivyo wameamua kurudi nyumbani na kuanza upya mipango yao.

Katikan jumba la Steve, Mosses anazidi kuchanganyikiwa, anawaita watu wake ili kujipanga kwa ajili ya mapambano. Steve aliyekuwa amekaa tu katika kiti kilichokuwa karibu yake hakuongea lolote. Alikumbuka alivyoambiwa na Mosses kwamba asindikizwe ila yeye alikataa.

“Wale washenzi wameshaanza, sasa tusiwakawize. Tuhakikisheni tunawatokomeza,” Mosses alisema hayo huku Steve akitingisha kichwa kukubaliana naye. Amempa majukumu yote Mosses ya kuongea na kutoa amri kwa vikosi vyake na hivyo lolote litakalotokea Mosses ndiye alikuwa mwenye amri zote.

Alikutana na Mosses wakati Mosses alipokuwa akiunganisha watu wake kwa ajili ya kuanza shughuli za mgodi ambao aliuchukua kwa Mzee Amigolas. Urafiki wao ulizidi kuwa mkubwa kwani walisaidiana kutafuta wanunuzi wa madini nje ya nchi pamoja na kushirikiana katika usafirishaji.

Hali ilipokuwa mbaya kwa Mosses, Steve alijua na hivyo aliamua kumtafuta kwani mbali na kuwa akijishughulisha na mgodi, alijua kwamba Mosses alikuwa akijishughulisha na biashara nyingine pamoja na kujulikana na watu wengi maarufu na hivyo alijua akiwa naye ataweza kufanikisha biashara zake. Hivyo alimchukua na kuwa naye kama msaidizi wake katika kupanga na kuamua mambo ya kibiashara na kutafuta madili mengine yoyote. Pia katika kuiimarisha gome yake kwa kuongeza vikosi ambavyo vingedhibiti hali ya wasiwasi ambayo ingeweza kuikumba ngome yake.

Mosses kwa kuwa alikuwa hana la kufanya baada ya kufilisika pale alipotoroka, sasa anakubali kuungana naye. Anataka kuwamaliza kabisa Aminata na John. Zoezi lake la kwanza alishindwa kutokana na askari wake kuzidiwa nguvu na hivyo anaamua kuanza msako wa kuwakamata na kuwaua peke yake.

“Sihitaji mtu yeyote awaue John na Aminata…. Kazi hiyo nitaifanya mimi,” alisema Mosses huku akiitikiwa na Steve aliyekuwa akimsikiliza pamoja na vikosi vyake.

“Tunaanza kazi sasa hivi, popote walipo watafutwe na waletwe hapa.

Askari wote walitawanyika na kuwaacha Mosses pamoja na Steve. Waliingia ndani ya chumba cha silaha na kuanza kuangalia moja moja. Walichukua zile ambazo alijua zitawafaa na kutoka.

“Tusipokuwa makini hawa jamaa watatuharibia mipango yetu. Inabidi tusimame imara. Hata kama wale wanaongozwa na serikali. Kwanza nitaongea na waziri wa ulinzi ili awapunguze nguvu,” Steve alisema huku akifikiria kuongea na Waziri wa Ulinzi ili awazuie askari wake waliotumwa kuja kuvuruga mippango yake.
Alimpigia simu na kuongea naye baada ya kurudi katika ofisi yake.

Alikuwa akisikilizwa na Mosses ambaye hawakuachana. Simu yake kwa waziri wa ulinzi ilikuwa ni kwa ajili ya kuzima mipango ambayo alikuwa hajaelewa dhamira yake.

Waziri wa ulinzi walifahamiana. Hivyo baada ya kumsihi, waziri wa ulinzi alimwahidi kufanya vile alivyotaka. Aliita wakuu wa polisi na kuwaeleza juu ya hali inayotakiwa kuwepo. Mpango huo haukuwaingia John na Max ambao walikuwa pia ndani ya mkutano huo ulioitishwa na waziri wa ulinzi.

Aminata ambaye alikuwa pia katika mkutano huo. Alifahamu kuwa hiyo ilikuwa imepangwa. Wakiwa wanamsikiliza waziri wa ulinzi, walikonyezana na kuamua kutoka nje.

“Huyu waziri naona ana mawasiliano na wale watu, kwa nini atoe kauli kama zile? Huku ni kuzima mipango yetu.

“Itabidi tuanze na huyo waziri….nani sasa atakayemzuia?”
“Hapana, tutamzuia kwa kuwasambaratisha wale wapuuzi. Tuhakikishe kwanza wale watu hawafanikiwi, kama waziri anajinufaisha kupitia kwao, sasa tukiwazima hatoweza. Na tutamfatilia pia. Tukipata hata picha yao ya pamoja tutahakikisha anawajibika baada ya mpango wetu kufanikiwa,” Max alisema huku John, Aminata na Antony wakimsikiliza na kukubaliana naye juu ya mipango yao.

“Nadhani tuondokeni,” John alisema.

“Hapana, tazameni kule…. Wamekutana naye… naona wanampongeza kwa kauli yake aliyoitoa. Sasa tusiwape nafasi. Hakikisheni hawawaoni na kila mmoja aondoke eneo hili tutakutana kesho kwangu,” Max alimalizia kusema huku kila mmoja akiingia ndani ya gari lake tayari kwa kurejea nyumbani na kukutana siku inayofuata kama walivyopanga.

*****
Mosses anaamini tayari mpango wa Aminata na John ambao anaamini wametumwa na serikali umeshazimwa. Hasira zinamkabili kila awakumbukapo. Anahisi bado wataendelea kumwandama kama ilivyokuwa kwenye mpango wake wa mgodi.

“Sitaacha kuwatafuta hadi nihakikishe nawasambaratisha….washenzi wale walizima mpango wangu mkubwa sana…. mimi sio wa kuajiriwa… tayari nilishamiliki mgodi na kuwa mtu mkubwa sana,” aliwaza Mosses huku akiwa ameshikilia sigara yake ambayo ilikuwa ikiteketea taratibu katikati ya vidole vyake. Aliifuata chupa ya mvinyo na kuweka kidogo na kuibwia yote.

Sasa aliondoka na kuufungua mlango kwa nguvu. Alimkuta Steve amesimama akimsubiri.

“Nilikuja kukuchungulia. Ulikuwa unawaza sana. Nini zaidi ndugu?” aliuliza Steve kauli ambayo ilimshtua sana Mosses ambaye aliamini kwamba hakuna mtu yeyote aliyemwona alipokuwa amesimama. Alienda hadi pale alipokuwa Steve.

“Hakuna baya mkuu….ni hawa washenzi wawili… sitamani wawepo duniani… nataka nihakikishe wanatokomea kabisa katika ulimwengu huu.”

“Tuma askari wakawatafute bana….usiwaze na uwezo tunao. Waambie sasa hivi waanze msako. Watu wale hawawezi kutusumbua sisi.”

Mosses alifanya kama alivyoambiwa na Steve. Aliwatuma askari kumi kwenda kuwatafuta na kuwakamata Aminata pamoja na John.

“Ndio mkuu,” waliondoka kwa pamoja na kwenda kuchukua gari moja tayari kwa kuwatafuta na kuwapata John na Aminata kama walivyotumwa.

*****
Wakiwa ndani ya gari la Max, ulikuwa ni usiku saa tatu. Walikuwa wakirudi kutoka kikao kilichowahusisha wapelelezi wa Mkoa wa Arusha na Mwenyekiti wao wa upelelezi kilichofanyika katika hoteli ya Ngurdoto.
Aminata ambaye ndiye alikuwa akiendesha gari, aliyaona magari mawili yaliyokuwa yamesimama na kufichwa ndani ya kichaka. Alibaki akiwa anayaangalia tu huku akipunguza mwendo wa gari. Aliyashangaa yalivyokuwa yamesimama pasipo kuona mtu yeyote.

Ghafla gari moja lilitoka na kusimama mbele yao na askari wengine wakitoka vichakani na kuwaelekezea bunduki zao. Wote walishtuka na ghafla walipunguza mwendo na kusimama. Walichomoa bastola zao na kuziweka tayari.

Haikuwa kazi rahisi kama walivyofikiria kwani walishajua wale ni askari wa Mosses. John alitoa bastola yake na kuanza kuwatupia risasi. Aminata na Max nao walianza kuwashambulia huku Aminata akiongeza mwendo kulipita lile gari lililokuwa mbele yao.

Max alilishambulia na kufanikiwa kumuua dereva wake baada ya kuwamaliza wale waliokuwa wamejificha vichakani. Lile gari lilienda na kugonga mti kisha kusimama. Haraka John na max walitoka na kuwafuata. Waliwaua wote na kuwaacha hapo hapo na kisha kuondoka.

“Jamani mnaona,” alisema Aminata aliyeonekana kupatwa na wasiwasi.

“Usiogope… sasa wamechokoza.” Alisema John.

“Watajua tu watu wao wameuliwa na watajua lazima ni sisi. Sasa tusirudini home sasa hivi. Tutafuteni mahali tujiweke sawa alafu tuende. Zana zote zipo kwenye buti ya gari nlilompa Antony na mabegi mengine yapo kwangu. Tuyafuateni kwanza.”

“Mi nadhani tungeekwenda hukohuko Mererani tukavamie kabisa. Hapo tutakuwa hatujawapa nafasi, kabla hawajajua kama watu wao wamekufa,” Max alitoa wazo ambalo lilikubaliwa na kila mmoja.

“Lakini…. Nadhani tuwasiliane na Antony kwanza… yeye ndo anapajua.

“Kweli, mpigie simu mwambia aje kamili. Aje usiku huuhuu, mwagize apitie kwangu Michelle atampa yale mabegi aje nayo,” alisema Max.

John alitoa simu yake na kuanza kuongea na Antony.

“Tayari nipo huku. Nyie njooni tu huku.”

“Haa! Ok, sisi ndo tunageuza, uko kwa wapi. Na vipi mabegi tuliyoyapeleka kwa Max.”

“Nliyaweka yote kwenye gari lake kabla hatujaachana nyie mkaenda kwenye kikao. Mimi nipo kwenye hoteli tuliyofikia kipindi kile. Nimefanikiwa kuingia hadi ndani na kutoka.”

“Ndani wapi Antony?” alihoji kwa mshangao John.

“Katika lile jumba lao. Nimeshapaona vizuri.”

“Ilikuajekuaje kaka. Ngoja tuje afu utatuelezea poa,” John alimkatisha Antony asiendelee kuzungumza ili wafike kwanza.

Antony alikuwa tayari ameshafika Mererani. Alifanya juhudi zote ili kuhakikisha anafanikiwa kuingia ndani ya lile jumba ambalo lilikuwa limefichwa. Jumba lililomilikiwa na Steve.

Alifanikiwa kumrubuni askari mmoja wa Mosses na kumteka kisha kumuua na kuchukua mavazi yake. Alijichanganya na kufanikiwa kuingia. Alifanya kama walivyokua wakifanya wao na hivyo asingeweza kujulikana mapema kutokana na kufanana nao.

Alifanikiwa kutoka na kurudi katika chumba chake alichopanga katika hoteli moja maarufu ambayo waliitumia wakati wa mashambulizi dhidi ya Mosses.

*****

Saa tano usiku kina John walikuwa wameshafika na kuungana na Antony. Walimkuta akiwa amevalia zile sare za askari wa Mosses.

“Haah! Vipi tena Antony…umetusaliti nini?” aliuliza John huku akimkagua Antony na kuingia hadi ndani.
“Hapana….kwa hali ilivyo sidhani kama kuna kupumzika….viongozi wao wote wametoka. Kama mtakuwa mmesikia helikopta.
Wametumia helikopta. Sasa tusizubae kabisa.”

“Sawa tuanze na hao vibaraka wao.”

“Usiku huu huu?” alihoji Aminata.

“Ndiyo… kesho asubuhi watahadithia,” Antony alisema. John na Max walicheka.

“Sasa sikilizeni, kutokana na nlichokiona ndani kule… nadhani sio pa kuchanganya. Mimi nitaanza kuingia nao alafu nitaacha mlango wa kuingilia ndani wa upande wa nyuma ukiwa wazi. Nyie mtapitia huko. Mkifika ndani mtakuta mi nimeshasambaratisha baadhi yao.”

“Kweli,” aliitikia John aliyeonekana kuwa na shauku ya kupambana. Aminata alimwangalia na kutabasamu akikumbuka walivyoweza kupambana nao walivyokuwa wakidai mgodi wao.

Alimwangalia zaidi na kumkumbuka mtoto wao ambaye hakujua lolote lililokuwa likiendelea. Alikumbuka pia John alivyomwambia abaki asiende kwenye mapambano ili mtoto wake asije akakosa uangalizi.

“Mimi nitawasubiri hapa hotelini na nikiona mmezidiwa nitawasiliana na vikosi vyetu waje,” alisema Aminata. Kauli yake iliwashtua wote.

“Hakuna tatizo, naamini sisi watatu tutaweza. Hakuna kumwonea huruma hata mmoja. Ni kuwaangamiza wote,” John alisema huku akiikoki bunduki yake na kuifunga vizuri. Max naye lifanya vivyo hivyo. Antony yeye allikuwa tayari amejikamilisha. Bunduki mbili nyuma ya mgongo na bastola iliyojaa risasi pamoja na mabomu mawili ya kurusha kwa mkono.

John alimwangalia na kukumbuka mazoezi aliyokuwa akiyafanya. Anakumbuka pia alivyorudi nyumbani wakati baba yao alivyokuwa hai. Antony alitoroka katika mafunzo ya kijeshi aliyokuwa akifanyia katika kikosi kilichokua na kambi yake Monduli.

Alikuwa amebakiza miezi michache tu amalize mafunzo yake ya kijeshi. Mzee Amigolas alikuwa amefanikiwa sana. hapo pakawa pamemchanganya Antony na hivyo aliamua aachane na kutumikia jeshi na kuamua kuwa karibu na baba yake. Miaka michache baadaye aliweza kupewa na baba yake miradi ya kusimamia ambayo ilikuwa Nairobi nchini Kenya.

Alikuwa akiwasiliana na mmoja wa wanajeshi ambaye alimtumia ili aweze kupata vifaa vya kijeshi. Alifanikiwa kuvipata na hivyo kuvihifadhi tayari kwa mapambano na hivyo aliamua kwenda mwenyewe Mererani ili kufahamu zaidi kuhusu jumba hilo.

“Naona umeshiba tayari kwa mapambano,” John alimwambia Antony huku akimpigapiga begani.

“Niko tayari, sijui nyinyi kama mko tayari tutoke.”

“Nadhani kwa wakati huu ulinzi utakuwa umeimarishwa sana….watatuona. sasa kwa nini tusiteke moja ya magari yao alafu tusogee nalo kabla Antony hajaingia nalo,” John alitoa wazo ambalo liliwafanya Anthony na Max wajilize kama wameafiki.

“Kweli… antony itabidi uwazuie wewe ambaye umevaa sare zao alafu na sisi itabidi tukisha wateka na kuwaua tuchukue nguo zao tuingie nazo,” alisema Max na kukubalika kwa wote.

“Kweli… tena naskia gari zinapita…. Antony toka ukacheki moja ulisimamishe.”

Antony alitoka na kufanikiwa kusimamisha gari moja ambalo lilikuwa lina watu watatu. Magari mengine yaliendelea kwenda wakati yeye akiwa amelisimamisha lile moja. Hawakumwelewa. Walibaki wanamshangaa iweje yupo nje wakati huu.

Hakuna aliyemhoji. Aliwahadaa ili aweze kupoteza muda ili magari mengine yaweze kufika mbali na sehemu walipo. Hakuna aliyekuwa na wasiwasi naye kwani walijua ni mwenzao.

Ghafla Antony alitoa bastola yake aliyokuwa ameifunga kiwambo cha kuzuia sauti na kuwafyatulia wote. Aliwapeleka hadi walipo kina John na Max na kuwaweka katika chumba kimoja na kuwatoa nguo zao ambazo John na Max walivaa na kuchukua pia silaha zao.
Aminata aliachwa nao kwenye kile chumba ambacho kilikuwa nje ya ile hoteli bila ya mtu yeyote kuingia. Aliwataarifu wahusika wa hoteli ile na kuwatolea kitambulisho na kuwaeleza kwamba wako kazini na hivyo wasiogope wala kushiriki kwani ni hatari.

Kuona vile watu waliokuwa kwenye ile hoteli waliamini na kuwapa nafasi ya kufanya wanalolitaka bila kutoa taarifa kama Aminata alivyowaagiza wakae kimya wasubiri kitakachotokea.

*****
Antony, Max pamoja na John walitoka na kuelekea kule yale magari yalikoelekea wakipitumia lile gari alilolisimamisha Antony. Walifika na kufunguliwa mlango mkubwa na walipita bila ya kuwa na wasiwasi wowote. Baada ya kufika eneo la kupaki magari walishuka na John na Max wakaanza kumfuata Antony.

Wakiwa wamebeba mabegi yao na silaha kama baadhi ya askari walivyokuwa wamebeba. Waliwasiliana na kuanza kuyatega mabomu kila upande kuhakikisha wanaliporomosha jengo zima.
Helkopta iliyokuwa imewapeleka Mosses na Steve ilikuwa ikirudi na hivyo askari wote walitakiwa kusimama katika paredi tayari kwa kuwapokea na kusikiliza machache kutoka kwao kama ratiba ya siku hiyo ilivyokuwa ikisema. Kwa John, Antony na Max hilo ililikuwa kazi kubwa sana kwao na hivyo waliamua kukimbia na kwenda kujificha.

Baada ya Mosses na Steve kuingia na kuona vikosi vyote vikiwa vinawasubiri. Mosses aliwapa taarifa juu ya vifo vya askari ambao alikuwa amewatuma kwenda kuwaangamiza kina John. Kinyume na matarajio yake. Walishindwa kufanya hivyo na hivyo wote waliuliwa.

“Tumepoteza wazembe…wazembe ambao nimewapa kazi ya kuwashika watu wawili tu lakini watu hao wawili wamewashinda na kuwaua kabisa….inaonekana ni kiasi gani mlivyo wazembe,” Mosses aliongea kwa kufoka. Hakuamini kama askari aliowatuma wameuliwa. Hasira zilimpanda sana.

Kina John walisikia yaliyosemwa na Mosses. Waliamua kutoroka ili wakishatoka wayaache mabomu yalipuke yenyewe. Walitaka kutafuta njia ili watoke kwani isingekuwa rahisi wao kutoka kwani wangeonwa kwa kuwa askari wote walikuwa wameitwa sehemu moja.

Wakati akiendelea kutoa maneno makali kwa askari wake. Ghafla alisikia sauti ya risasi iliyofyetuliwa na Max kumlenga mmoja wa askari aliyekuwa mlangoni ambaye aliwaona. Hali hiyo iliwashtua na hivyo Steve aliwaamrisha askari kadhaa waende wakaangalie ni nini. Kufika tu, walikutana na kichapo kikali. John na Max waliwamiminia risasi huku Antony akisonga mbele kueleke mlangoni. Ghafla walishangaa askari wengi wakija na kuanza kuwarushia risasi huku wakikimbia. Mosses alijua mambo yameshaharibika.

“Tusitoke hadi tuhakikishe wanaisha…. Sio wengi sana hawa. Wavuteni kwenye maeneo tuliyotega mabomu. Ila tuweni waangalifu maana baada ya dakika ishirini na tano sasa yatalipuka. Itabidi tuwahi kutoka nje.

Risasi zilianza kurindima. Walifanikiwa kuwaua baadhi yao huku wengine wakijaribu kukimbia. Waliwafuata huko huko walikokwenda.

Mosses na Steve walionekana kuchanganyikiwa baada ya kuona mashambulizi ya ghafla yaliyozuka katika jumba lile. Alipiga simu na kuwaarifu vikosi ambavyo vilikuwa mgodini vije visaidie mapambano.

“Nani kawaruhusu hawa wajinga kuingia?” alifoka sana Steve huku akiitoa bastola yake na kuikoki vizuri.

Aliona kama Mosses ndo aliyesababisha yote yale kwani kabla ya kuwa naye hakuna baya lililomtokea. Na sasa vikosi vyake na mipango yake inaharibika. Mosses na yeye alijua kwamba Steve lazima atamgeuka na hivyo aliamua kutoka kwa lengo la kukimbia.
Antony na Max walikuwa wameshaingia na kuanza kushambulia katika chumba alichokuwa Steve na baadhi ya askari.

Waliwaua wote na kubaki na Steve ambaye hakuwa na ujanja wowote wa kutoroka zaidi ya kusalimu amri na kuweka silaha chini. Baada ya kuona askari wengine wakija Antony na Max walianza kuwashambulia pamoja na kumpiga risasi Steve na kumuua palepale huku wakiwashambulia askari waliokuwa wakiongezeka mmoja mmoja.

Antony alipigwa risasi ya begani na hivyo alikuwa akitumia mkono wa kushoto huku akimhimiza Max watoke nje. Max alikuwa amemshikilia na mkono mmoja huku akiendelea kuwashambulia hadi walipotoka nje huku akizidi kuwashambulia.

*****
Aminata na Francis walikuwa njiani wakiwafuata kina John. Huko alikutana na kundi la askari wa Mosses wakielekea kwenye jumba la Steve kusaidia. Waliwashambulia kwa risasi mfululizo hadi kuhakikisha wameisha wote ambao nao walikuwa wakijibu mashambulizi kwao.

Walifika muda mfupi baada ya kusikia mashambulizi yakiwa makali. Aminata na Francis walifika mbele ya lango kubwa na kuwashambulia askari waliokuwa wakiwasubiri kina John.

Alimwona Mosses akiifuata helikopta kwa lengo la kutoroka lakini mara helikopta ile iliondoka na hivyo hakuweza tena kuipata. Aminata aliwahi na kuilenga ile helikopta na kuilipua.

Mosses alishtuka baada ya kuona imemuacha na kisha kulipuka. Alikuwa bado hajamwona Aminata.

Ghafla alimwona Aminata akimfuata. Alianza kumrushia Aminata risasi ambazo zilikuwa zikimkosa huku Aminata akizidi kumsogelea. Alimfyatulia risasi ambayo ilimpata begani na kukaa chini. Mosses alikuwa akiangaliana na Aminata pasipo kuamini kwamba hajaambulia chochote kutokana na mipango yake.

Hasira zilimvaa huku akihema sana. Bastola yake ilikuwa mbali na alipo na hivyo hakuweza kuiokota. Alisimama ghafla na kunza kukimbia. Alifanikiwa kumtoroka Aminata lakini mbele yake alikuwa amesimama John ambaye alikuwa ameshamwona.
Aminata ambaye alikuwa akija kasi kumfukuza Mosses alishangaa kumwona Mosses akiwa amesimama ghafla huku akiwa ameshika bega. Mbele alimwona John. Alikuwa amemnyooshea bunduki Mosses tayari kwa kuifyetua kumlenga.

Mosses alishindwa la kufanya na kujikuta akiwa amezungukwa na John na Aminata. Mirindimo ya risasi iliendelea huku Mosses akionekana kukata tamaa.

“Ulijua hatutakukamata…. Mshenzi mkubwa wewe.. ulitaka kututisha na jeshi lako la mamia ya wanajeshi… Uwezo wa kikosi chako haukuuweza sasa umeungana na Steve… tumegundua kwamba ulifanya hila za kuchukua mgodi wa mzee wetu Amigolas kwa kutumia Hati Feki lakini tuliurudisha katika himaya yetu….
Ulimuua mwenyewe na sasa tumekupata… huwezi kutusumbua mtu kama wewe…. Tuligundua mengi kuhusu wewe, sasa mwisho wako umefika…. Hata kama ulifanikiwa kutoroka huwezi kukimbilia kokote… huwezi kutukimbia sisi… Tulijua tu ipo siku tutakukamata… na sasa hatukupeleki mahala popote kwani sasa wewe ni halali yetu… utakuwa maiti kama ulivyofanya kwa ndugu zangu,” John alikuwa anaongea kwa hasira na uchungu huku akiangaliwa na Aminata. Mosses alikuwa akijivuta kuelekea sehemu ambayo bastola yake ilikuwepo. Ghafla John alifyetua risasi ambayo ilimpata ya kichwa Mosses ambaye alikuwa akitaka kumfyetulia risasi John baada ya kuishika bastola yake. Alianguka chini na kufariki pale pale.

“Aminata,” aliita John huku akimfuata baada ya kuangalia saa yake na kugundua kwamba ni dakika mbili tu zilibakia kabla ya mabomu kulipuka na hivyo.

“John,” aliitikia Aminata huku akimfuata John. Walianza kukimbia wakielekea katika lango kuu la kutokea. Walikuwa wakisikia milio ya risasi huku wakiwaona Antony na Max wakirudi nyuma huku wakikimbia kuwafuata wao.

Mabomu yalianza kulipuka wote wakiwa wameshatoka nje ya lango kuu. Walisimama karibu na gari ambalo alikuja nalo Aminata na kuangalia lile jumba lilivyokuwa likilipuka.

“Antony… una nini,” Aminata alimuuliza Antony ambaye alikuwa ameshikilia bega lake la kulia huku likivuja damu.

“Tuwahini tumpeleke hospitali alipigwa risasi na wale washenzi.. tuwahini,” alisema Max huku wote wakiingia ndani ya gari ili kuwahi hospitali. Ghafla magari ya polisi yalikuwa yamefika na kuwasimamisha bila ya kujua wao ni nani. Wa kwanza kutoka alikuwa ni Max ambaye alitoa kitambulisho na kuwaonyesha.

“Mkimaliza kutukamata sisi hakikisheni na huyo waziri wa ulinzi anatiwa nguvuni… anayo kesi ya kujibu,” alisema John huku akitoka nje ya gari na kusimama na Max. polisi walielekea katika jengo lile lililokuwa likiwaka moto baada ya kulipuliwa na kuanza kukagua.

Watu walikuwa wengi waliokuja kushuhudia baada ya kusikia mlipuko ule. Wengi walikuwa wakishangilia kutokana na manyanyaso waliokuwa wakipewa na askari waliokuwa wakilinda jumba lile huku wengine wengi wakiuliwa pale walipojaribu kuingia katika barabara iliyokua mefichwa kuingia katika jumba lile.

“Wazari wa Ulinzi anahusika…. Haiwezekani askari wote wale wamilikiwe na mtu mmoja alafu ni mfanyabiashara,” alisema Max wakiwa nje ya Hospitali ya Mount Meru wakisubiri matibabu ya Antony.

“Tusimamieni tuhakikishe anashtakiwa.”

*****
Ilikuwa ni Jumapili wiki moja baada ya shambulio lile. Wengi walikuwa wakilifuatilia kwa karibu ili kujua hatima ya waziri wa ulinzi ambaye inasemekana alihusika pamoja na kundi lililokuwa likiongozwa na Steve na Mosses Ndula.

Katika taarifa ambayo ilikuwa ikirushwa hewani, baadhi ya mambo yalikuwa yakizungumzia ambayo yaligusa sana hisia za watu na kufnya kila mtu afatilie kwa makini sakata hilo.

“Habari ambazo zimetawala katika mkoa wa Arusha na nchi nzima zinasema kwamba, Waziri wa Ulinzi alishirikiana na mfanyabiashara maarufu kuanzisha kambi ya siri ya kihalifu iliyokuwa inatishia amani katika mkoa wa Arusha nan chi nzima. Inasemekana ya kwamba waziri huyo alichukua baadhi ya wanajeshi wan chi na kuwapeleka ili kuimarisha kambi hiyo ya kihalifu iliyokuwa ikisimamiwa na mfanyabiashaara mkubwa Steve Muro. Kambi hiyo ilikuwa Mererani karibu na migodi ya madini ambayo ni maarufu ya Tanzanite na ilikuwa ni kambi ya siri ambayo haikuwa rahisi kujulikana.

Tuhuma zinapelekwa kwa waziri huyo ambaye ameshindwa kusimamia usalama wa nchi kwa kufanya mambo kwa masilahi yake binfsi. Pia katika kambi hiyo alikuwapo mkuu wa vikosi hivyo ambaye alijulikana kwa jina la Mosses Ndula ambaye awali inasemekana kuwa ndiye aliyekuwa akifanya biashara za magendo na baadhi ya viongozi wakubwa wa nchi pamoja na uhalifu.

Katika tukio ambalo linathibitishwa kwamba alihusika nalo ni lile la mauaji ya mzee Amigolas mfanyabiashara mkubwa wa madini ambaye alikuwa ni mpinzani mkubwa wa Steve Muro pamoja na familia yake kisha kuiba hati ambayo hata hivyo ilisemekana kuwa ni feki na hivyo baada ya watoto wake mzee Amigolas, John na Antony kubaini hayo, waliamua kufanya kila wawezalo ili warudishe haki zote chini yao ambapo walifanikiwa.

Kwa sasa polisi wanamshikilia waziri huyo ili aweze kufikishwa katika vyombo vya sharia ili kujibu tuhuma hizo.”

“Mmesikia,” Max alisema akiwaambia John na Aminata wakati wakielekea nyumbani kwa Antony kumjulia hali. Antony alikuwa akiishi peke yake katika nyumba ambayo aliinunua katika maeneo ya Sombetini. Aliwaacha John pamoja na mke wake Aminata wakae katika nyumba yao iliyokuwa maeneo ya Njiro.

“Niliipeleka ile ripoti kwa maofisa wa polisi ili iweze kusomwa kwa wananchi wajue ukweli wa mambo. Nchi ilikuwa imeshaanza kugeuzwa mradi wa wachache. Tumefanikiwa kumdhibiti.
Antony alirudi akitokea Mererani ambako alienda kusimamia na kuhakikisha hali katika mgodi wao unakuwa salama. Aliwakuta kina John na Aminata wkiwa nje ya nyumba yao pamoja na mtoto wao Amigolas na Max.
“Mambo yatakuwa mazuri, kwa muda huu mchache nimeshamalizana na wote.”

“Subiri kwanza,” alidakia John…. “Francis umempa kazi,” aliuliza John.

“Eeeh, kweli. Nakumbuka ulimwahidi.”

“Ndio, yupo kazini na kazi zimeanza,” Alisema Antony huku akikaa chini kwenye bustani ya majani karibu na Amigolas.

“Poa, nadhani mambo hata huku si mabaya,” alisema John. Wote walionekana ni wenye kujivunia jambo moja tu…. USHINDI.

MWISHO

HATI FEKI – 4

Simulizi : Hati Feki
Sehemu Ya Nne (4)

NAJUA Aminata lakini lazima tuanze hili jambo mapema kabla hawajagundua mipango mingine hivyo ni lazima nikutane na Max mara moja ili tujue tutawafanyaje,” John alimhakikishia Aminata juu ya hilo.

“Sawa mpenzi lakini nahofia sana maisha yetu, na mi sitakuacha tutaenda wote kila mahali ukifa na mimi nife hapo hapo,” Aminata alimfariji John.

“Aminata, nimekumbuka kitu,” alisema John.

“Kitu gani tena mpenzi?” Aminata aliuliza.

“Mi naona ungeliacha hili suala kwetu sisi. Sitaki mtoto wetu apate shida ya kuwa bila ya wazazi. Nakuomba usiende. Tuachie mimi na Max. Najua tutaweza,” John alijaribu kumshawishi Aminata ili asijihusishe na mpambano ambao alitaka kufanya na Max na Antony bila ya kuwashirikisha wengine.

“Siwezi John, sitakaa kwa hofu juu yako, isitoshe huu mpango ni wa kwetu pia. Unakumbuka ni Mosses pia aliyewaua wazazi wangu na ndugu zangu? Mi sitaweza John. Isitoshe nna hasira sana na huyo Mosses. Najua hajui alilolifanya kwa wazazi wangu limeniuma kiasi gani. Sitakubali nimwone akiendelea kutanua wakati mi nna hasira na maumivu moyoni. Lazima nipambane nao. Bora nife na hata ukinkatalia John.”

“Lakini Aminata, huoni tukipotea wote mtoto atapata shida?”

“Kweli John lakini mi sitaweza kukaa mwenyewe kusubiri kama hutaki kwenda na mimi nitakufuata,” Aminata alimkaripia John kumzuia asijaribu kumwacha kila aendapo.

“Aminata unajua kwamba hili sio jambo la kufanyia mzaha? Wewe unajua tuna mtoto, mimi nikifa unadhani ataishije maisha ya kuwakosa baba na mama? Mimi najua nitaweza pamoja na Max na Antony. Naomba nikuwakilishe maana jambo hapa ni kummaliza Mosses.”

“John kwani hata nisipoenda maisha yangu yatakuwa hatarini kwa vile wameshajua mimi ni mke wako, hivyo popote watakaponiona watataka kunikamata,” Aminata alimwambia John.

“Ila sitakuwa na wewe, nitakupa ramani ya kila tunapokwenda ili kama tukizidiwa utusaidie. Sawa mpenzi.”

“Sawa mpenzi.”

Saa nane na nusu usiku wote walikuwa wamekwisha lala. Asubuhi John alikuwa ndiye wa kwanza kuamka na kwenda moja kwa moja hadi sehemu ya mapokezi kwa lengo la kupiga simu. Alitaka kuwasiliana na Max. alitaka kumjulisha kule walipo ili aweze kuwafuata na gari.

Simu iliitikiwa na Max ambaye alionekana kushtuliwa toka usingizini pasipo kuamini kwamba aliyempigia alikuwa ni John.

“Haloo Max mimi John, njoo mshikaji wangu, hapa Mainland Hotel mida hii niko na Aminata. Siko fresh mshikaji wangu njoo na nguo za kubadilisha, mwambie shemeji aje na nguo amsaidie Aminata tuweze kutoka hapa. Tafadhali naomba usimjulishe mtu yeyote juu ya hili ila we njoo mengine nitakuambia tukishafika kwako. Naomba pia uje na pesa ya kulipia tupo gesti na chakula,” wakati huo Max yeye alikuwa akimsikiliza John kwa makini zaidi ili ajue nini cha kufanya.
“Sawa kaka nimekupata, nipe muda kidogo nitakuwa hapo na shemeji,” Max alifanya kama alivyotakiwa, alimwambia kila alichosikia Michelle ambaye alipatwa na woga. Waliharakisha asubuhi hiyohiyo mapema na kuwafuata walipo.

Walikuwa wamepaki gari nje ya Mainland Hotel tayari kumchukua John na Aminata. Alifika pamoja na Michelle ambaye walikaa pamoja kwa kipindi kirefu bila ya kufunga ndoa.

Michelle alitoka na mzigo wa nguo katika begi na kufuatana na Max mpaka ndani sehemu ya mapokezi, waliulizia na kuruhusiwa kuingia. John na Aminata walikuwa wako chumba namba 143.
Max na Michelle waligonga na kufunguliwa na John.

“Haa! John ni nini nkilichokusibu hivyo shemeji yangu?” Michelle ndiye aliyekuwa wa kwanza kuhoji mara tu baada ya kuingia ndani.

“Karibuni, Max na Shemeji Michelle, is a long story my friends naomba kwanza tuondoke hapa nitawapa kisa kizima huko kwako. Nadhani umekuja na ule mzigo niliokuagiza Max?” alihoji John baada ya kuwaomba wakazungumzie jambo hilo nyumbani.

“Bila shaka John tumekuja nao huo hapo kwa shemeji yako,”

Mishelle aliukabidhi ule mzigo wa nguo kwa John. Wakati huo Aminata alikuwa ameingia bafuni kuoga tayari kwa safari ya kurudi nyumbani. Wakati John akiwa anawakaribisha Max na Michelle.

“Aminata pole sana japo sijajua lolote ila hali halisi inaonyesha hamkuwa katika hali yenye ushwari,” aliamka Max kutoka katika kiti alichokuwa amekaa kumsalimia Aminata.

“Kwani John hajawaelezea yaliyotokea shemeji?” alihoji Aminata.

“We mjeshi gani unataitiwa,” Max aliyemfahamu vizuri Aminata alimtania.

“We acha tu Max, hali ilivyokuwa si mchezo. Kwani hujaelezewa bado na John.

“Hapana Aminata ila ameahidi kutusimulia pindi tutakapofika nyumbani kwangu,” John na Aminata walikuwa tayari wameshavaa, John alichukua kiasi cha pesa alicholetewa na Max.

Alilipia gharama zote za hoteli kuanzia malazi na chakula. Waliondoka hotelini hapo saa mbili asubuhi kuelekea nyumbani kwa Max.

Waliingia moja kwa moja hadi sebule kubwa aliyoitumia Max wakati wa mazungumzo na wageni wake. Michelle aliamka mara moja kwenda kutengeneza chai.

“Naitamani hiyo stori shemeji naombeni niweke chai kwanza ndiyo uanze kusimulia,” Michelle alimsihi shemeji yake John. John, Max na Aminata waliangua vicheko baada ya kuona Michelle akihaha kutaka stori isianze.

Baada ya dakika tano Michelle alikuwa tayari ameshaandaa chai na wote wakiwa wameshakaribishwa na kuanza kunywa.

“Haya shemeji ruksa sasa, ila samahani sana kwa kukuchelewesha japo sijui kama inanihusu mimi,” Michelle alimsihi shemeji yake John. Michelle alikuwa ni mcheshi sana na aliyependa kufurahi saa zote, alionekana ni mchangamfu wakati wote. Hiyo ndiyo sababu hasa iliyomfanya Max kuvutiwa na binti huyo ambaye kwa sura alikuwa ni mzuri wa aina yake.

“Eebwana ilikuwaje kaka mbona sielewi?” Max aliuliza kwa shauku la kutaka kujua ni nini kilichowapata John na Aminata.

“Dah! Kaka kazi yetu tunayoifanya bila ujasiri umekwisha. Tulijikuta tumezungukwa na kundi la watu. Tumepigwa hapo tukafungwa vitambaa na sijui tulipelekwa wapi,” John alisimulia kisa kizima hadi walipofanikiwa kuwaua wale askari wa Mosses na kutoroka.

Walikaa kimya kama dakika mbili huku kila mmoja akitafakari kutafta namna ilivyokuwa. John alakuwa akiwaangalia huku akiangaliana na Aminata ambaye alionekana kufurahishwa sana na uwepo wa John katika maisha yake. John alitabasamu na kuendelea.

“Isitoshe, wale jamaa kumbe wameungana tena wawili… mmoja ndo yule aliyechukua mgodi wa mzee kwa hati feki tukafanikiwa kuukomboa.”

“Si ndo wao nawafatilia kuhusu kuulipua,” Max alidakia kwani ndiyo kazi aliyopewa aitekeleze.

“Nadhani itakuwa ni wao maana wana kisa na sisi. Antony tutampata wapi wakati huu?” anatakiwa kuwa na sisi kwani kipindi kile alikuja tukafanikisha.”

“Kwani alirudi Nairobi?”

“Ndiyo, na sasa itabidi aje tena,” John alisema huku akichukua kikombe cha chai na kubwia kidogo. John aliendelea kusema.

“Sikuwahi fikiria kutekwa kirahisi namna ile, inaelekea wale jamaa walilifanya mipango yao siku nyingi kuhakikisha kwamba wanatuangamiza, ila walipata wapi picha yangu? Au ya Antony ile?” John aliuliza swali ambalo hakuna aliyejua jibu lake.

“Unajua ni nini John? Max alianza kumwambia John. Mi nadhani hao jamaa watakuwa wameweka makachero wa kutufuatilia pamoja na kuifuatilia serikali ni nini wanafanya pamoja na wewe, si unajua mzee wako alikuwa karibu sana na serikali,” John alitikisa kichwa kuonyesha kwamba amekubaliana na jambo ambalo Max alikuwa amelizungumza.

“Na tena hao hao makachero ndio watakuwa wamewapa hiyo picha yako, inawezekana pia picha yangu watakuwa nayo. Kwani hawajakuonyesha picha za watu wanaowatafuta?” wote walibaki kimya kutafakari nini cha kufanya juu ya watu hao. Vikombe vya chai vilinyanyuliwa na kila mmoja alikunywa kidogo na kurudisha.
Hiyo ni katika kufikiria cha kufanya.

“Ebwana kaka kwani watu hao waliwapeleka wapi?” aliuliza Max ambaye bado alikuwa anashauku ya kujua kwamba kina John walipelekwa wapi..

“Dah! Kaka sehemu tuliyoingizwa hata siijui, ila inaonekana ni bonge la jumba alilomiliki yule mkubwa wao ila sijui ipo pande zipi. Inabidi kaka tufanye mpango wa kujua wapi hilo jumba lilipo ili tuweze pia kufanikisha kazi yetu. Mikakati tutaipanga wenyewe, tumtafute Antony kabla ya kuijulisha serikali juu ya mkasa huu kwani serikali imetupa kazi hivyo haipaswi kuonyesha kama tumeshindwa, nna uhakika hii kazi ni ndogo sana,” alimaliza John huku akitikisa kichwa kuonyesha kazi anayoenda kuifanya ni ndogo sana.

“Shemeji ilikuwaje ukaweza kuwatoroka hao jamaa pamoja na wifi yangu?” Michelle ambaye alikuwa na hamu ya kujua stori nzima aliona kwamba hajaridhika na hicho kidogo alichosema John na hivyo alihoji zaidi ili kupewa uhondo zaidi.

“Shemeji, hiyo ilikuwa ni sehemu ya kazi yangu, hata wifi yako hakuamini kitu kilichotokea, sikuwa tayari kupoteza maisha yangu mikononi mwa wale washenzi hivyo ilikuwa ni lazima nitumie mbinu nizijuazo hadi tukapona. Wifi yako alikuwa kashakataa tamaa lakini kilio chake nilikisikiia na hivyo ilinibidi nichukue hatua na kuwafundisha adabu washenzi wale,” John alikuwa anaongea huku akimwangalia Michelle ambaye alikuwa akisikiliza kwa makini na kwa huruma kwa kile kilichotokea.

“Ni wapumbavu sana kwani niliwalaghai wanifungue kamba ili niweze kuagana na mke wangu, hawakujua kwamba ile ilikuwa mbinu mojawapo ambayo hawajawahi kukutana nayo milele hadi mauti yao yalivyowafika siku hiyo. Nilipambana na mmoja nikahakikisha namnyang’aya silaha kisha nikaiwahi na kuwafyatulia risasi wale wawili waliobaki. Hivyo tukapata nafasi ya kuondoka eneo hilo. Nilichukua silaha zao zote na kutoweka nazo.
John alimaliza huku wote wakicheka kwa furaha ya kuwa pamoja baada ya kipindi kifupi cha kutekwa kwa John na Aminata.

“Dah! Poleni sana, kaka umeonyesha jinsi ulivyokomaa na mafunzo tuliyopewa kipindi kile, unakumbuka watu arubaini waliondolewa kwa ajili ya kushindwa zoezi lile jepesi tuu la kumsoma adui amekaaje. Watu kama hao wangekuwa wameshakufa siku nyingi. Ila kaka hongera sana,” Max alimsifia John huku wote wakicheka kwa furaha.

Alimwona John ni mwenye kupokea mafunzo na kuyaelewa haraka kwani hata Aminata alipomfundisha pamoja na Antony walichukua muda mrefu mpaka kumaliza mafunzo. Hata Aminata alishangaa kuona wakielewa mafunzo haraka. Alijua ni kwa sababu ya haraka yao ya kutaka kulipiza kisasi cha mauaji ya baba yao kuchuku mgodi wao.

“Shemu, sasa nimeambiwa nisiende, unadhani wawili mtaweza?” Aminata aliuliza huku akinyanyua kikombe cha chai na kunywa. John alisimama na kukaa karibu na Max. alipatwa na aibu baada ya Aminata kusem vile. Hali hiyo ilimfanya Aminata aelewe kwamba anataka kumwambia kuhusu kubaki kwake wasiende pamoja. John alitaka kuongea jambo na Max huku Aminata akimwangalia kwa jinsi alivyokuwa akimsogeleahuku Max akiwa tayari kumsikiliza John.

“Max nadhani sasa tumtafute Antony ili tufanye mipango,” John alimsihi Max kuonesha kuwa alikuwa na shauku ya kupambana na adui zao.

“Ni kweli, na mbona tumeshalizungumzia hilo, Max alisema huku akimwangalia Aminata na kuhisi kwamba kulikuwa kuna jambo linaloendelea baina ya John na Aminata.

“Nitampigia simu aje, nadhani mipango tutaifanyia nyumbani kwangu kesho jioni,” John alisema huku akijaribu kumsisitiza Max kwamba ana nia ya kuwasiliana na Antony ilia je.

“Kwani Antony alisema hatakuja mwanzo?”

“Hapana,” alijibu John.

“Basi mpigie simu ili tuanze hii ishu mara moja,” Max alisema huku John akijitayarisha kumwambia jambo ambalo alijua ni lazima angebembeleza ili Max amwelewe.

“Aminata nataka akae na shemu ili sisi tuende, najua ni kazi yake lakini kwa sasa naomba akae kwanza pembeni tuende mi na wewe,” John ambaye alikuwa amekaa karibu zaidi na Max alimwambia kwa sauti ya chini.

“Kwa nini tusiende naye, unajua anajua mbinu nyingi sana, tuwe naye bana,” Max alimsihi John.

“Hapana, nimemwambia kuwa tunaye mtoto na likitokea baya atatukosa wote. Nimeonelea yeye abaki afu tuende mimi na wewe na Antony.”

“Mi sijajua, kwani yeye alisemaje?”

“Alikataa kabisa, naomba umshauri basi.”

“Mi kukushauri ntakushauri twende naye kwani najua Aminata ni komandoo, anaweza kupambana na matukio mengi ameweza kwa nini hili ashindwe na tena tuko wengi, labda Michelle ndo siwezi nikamwambia aende maana hajui lolote, ila Aminata mi naomba tuwe naye. Kumbuka ni mwalimu wako na anajua zaidi haya mambo.”

“Dah, ila kama ni hivyo tutamwelekeza tulipokwama atusaidie.” John alionekana kutokufurahia kwenda pamoja na mke wake, Aminata. Alitafuta njia yoyote itakayomfanya asiende ili awe karibu na mtoto wao.

“Sawa kama atakuja tu kama msaada. Mi nadhani wawili tukiongezeka na Antony tutaweza.”

“Basi watabaki hapa kwako.”

Max alikuwa anaishi maeneo ya Kijenge. Aliishi pamoja na Mishelle japo hawakuwa wamefunga ndoa.
Kwa kuhofia maisha yao kwa kipindi walichokuwa wakiugulia maumivu waliyoypata baada ya kuwekwa nguvuni na Mosses, John na Aminata ilibidi washinde na kulala nyumbani kwa John mpaka kwa kipindi hicho. Habari za kutekwa kwao zilienea sehemu nyingi. Waandishi wa habari na viongozi walifika na kuwatakia hali.

Waliwaeleza ya kwamba hawakujua walipopelekwa wala nani aliyefanya unyama ule. Hivyo hawakutaka polisi wafuatilie ili wao wakamilishe lengo lao baada ya kubaini kwamba baadhi ya viongozi walikuwa wakiwasaidia Steve na Mosses katika harakati zao za kufanya uhalifu kwa masilahi yao na viongozi.

Ni katika kikao ambacho kilikuwa kikizungumzia masuala ya ulinzi na amani nchini. Maofisa usalama wote walikuwepo wakiwemo Max, John na Aminata. John na Aminata walishangaa kuwaona Steve na Mosses ambao hawakuwa wahusika. Max ambaye alikuwa hajawajua alielezwa na John na Aminata.

Yaliyoongelewa huko yalikuwa ni yale yale ya askari kulinda raia na mali zao. Hawakusikia lolote kuhusu uhalifu unaoendelea. Walihisi jamaa wameshaongea na waziri wa ulinzi ambaye ndiye aliyekuwa mgeni rasmi katika kikao hicho na ambaye ndiye aliyesisitiza ulinzi wa askari kwa raia.

“Bado… hajaongea kitu kabisa… sijasikia akizungumzia lolote kuhusu uhalifu mkubwa unaoendelea kuumiza watu. Na wahalifu wenyewe wapo hapa hapa na wao wanasikiliza,” Aminata aliwaka akiwaambia John na Max ambao walikuwa wamesimama wakimsikiliza waziri wa Ulinzi.

“Huyu mtu aliteuliwa na rais kimakosa, hafai kuwepo….., dawa za kulevya zimepitishwa mara ngapi hapa… ulinzi upi kwa raia wakati raia na mali zao wanalia hawajui pa kukimbilia. Leo anasisitiza badala ya kuwakamata hao wanaojifanya wajuaji alafu ndio rafiki zake,” Max alisema huku akiitikiwa na Hancy kwa kutikisa kichwa chake.

Hawakuendelea tena kukaa pale. Max na John walianza kutoka nje. Aminata alikuwa akiangaliana sana na Mosses ambaye alikuwa ameshikilia glasi ya wine akiwa amesimama pembeni ya Steve. Alishtuka sana baada ya kugundua yule alikuwa ni Aminata na hivyo aliita walinzi wake na kusimama nao karibu.furaha yote ilimwondoka akawa hajui la kufanya. Hakumweleza Steve hadi pale waliporudi katika jumba lake ndipo alipomsmulia kisa kizima.

“Sasa kwa nini wakusumbue hivyo, tuwatafuteni na tuhakikishe tunawapoteza, alisema Steve kwa kufoka. Tukio ambalo liliendeshwa wiki moja baadaye kwa kuwateka John na Aminata wakati wakiwa njiani kuelekea kwa Aminata kupumzika.

*****
Ni baada ya kula chakula cha jioni ndipo Max akalikumbuka gari la Aminata ambalo baada ya kutekwa liliachwa palepale barabarani. Habari zilipomfikia Max aliamua kufuatilia na kulipata gari lile na kulipeleka kituo cha polisi kwa ajili ya usalama.

“Shemeji sidhani hata kama unalikumbuka gari lako?” Max
alichokoza Aminata ambaye alisahau kabisa kuhusu gari lake walilolitumia kabla ya kutekwa.

“Sidhani kama nilishawahi kulifikiria tangu tutekwe, kikubwa kilikuwa ni juu ya maisha yetu na nashukuru tupo hai,” Aminata alimjibu kuonyesha kuwa hakujali sana anasa zaidi ya uhai wake. Huku akicheka aliomba aelezwe kuhusu gari lake.

“Gari lako shemeji nililikuta Barabara ya Barakuda nikalipeleka polisi kwa usalama zaidi. Nilikuwa njiani kuja kwako kuangalia kama John alikuwa huko baada ya simu yake kuwa haipatikani. Ukilihitaji tutaongozana kwenda kulitoa huko,” alimaliza Max.

Baada ya maongezi yao ya muda mrefu Max aliwakaribisha wageni wake John na Aminata katika chumba cha kulala na yeye na Michelle wakaongozana kwenda kulala.

*****

Asubuhi ya siku inayofuata John na Max walielekea ofisini kwa Max tayari kukutana na Antony ambaye alikuwa amesharudi nchini akitokea nchini Kenya ambako alikuwa amerudi kwa ajili ya biashara zake. Safari hii hakuwa zaidi akijihusisha na biashara bali alikuwa anatafuta zana za kufanyia kazi. Kazi moja tu ambayo baada ya kuambiwa na John kwamba Mosses alikuwa hai na kwamba walitekwa sasa alijua ni lazima wammalize.

Aliamu kurudi akiwa tayari kwa mapambano n kwenda kukutana na kina John na Max ili kupanga mikakati ya kupambana na maadui zao. Walifika ofisini saa mbili asubuhi na kumkuta Antony akiwasubiri nje na gari lake. John alifurahi kumwona pacha wake. Alijua yuko tayari kupambana.

John aliendelea kuzungumza na Max na Antony juu ya yaliyotokea. Walimweleza Antony kila kitu juu ya mipango yao. Alifanya hivyo ili waweze kuwa tayari katika kuhakikisha wanapata njia ya kukabiliana na maadui zao.

“Safari hii tusiwakawize, najua wapo wengi sana hasa baada ya kuniteka, nilikutana na kundi kubwa. Sasa itabidi tuichukue hii nchi kwa muda watu watatu, tunavamia Mererani tunashambulia migodi afu tutajua tu jengo lao lilipo. Sawa?” Max alisema akiwapa mbinu John na Antony.

“Sawa sawa,” John na Antony waliitikia kuonyesha wako tayari kupambana.

Max alianza kugawa majukumu kwao.

“Antony,” aliita Max.

“Ndio mkuu,” aliitikia Antony huku akimwangalia Mx kwa kuwa tayari kusikia ambacho alikuwa anataka kumwambia.

“Wewe utatumia ile Range Rover nyeusi yenye mitambo mingine ya mawasiliano,” Antony alikabidhiwa Range Rover iliyokamilika mitambo ya kuweza kuwasiliana nao. Gari lake alitakiwa na Max aliache kwani siku zote Max alitumia Range Rover kwani lilikuwa na teknolojia ya mawasiliano iliyokuwa anawajulisha askari wenzake taarifa za aliko na pia wakiwasiliana.
Aliunganisha mawasiliano ya kwenye gari na simu ya John nay a kwake ili popote atakapokuwa waweze kuwasiliana na Antony ambaye ndiye atakayekuwa akilitumia lile gari.

“Nadhani tumemalizana Antony,” Max alimkabidhi antony funguo huku Antony akimwangalia. Alimwona ni mtu aliyejua mbinu nyingi sana katika kupambana na hivyo alijua watashinda tu.

“I think we should start tonight if possible kabla hawajashtukia mipango. Nimeshajua mavazi yao, wale jamaa wanapenda mavazi meusi na miwani meusi, wanatumia gari nyingi zenye rangi ya maziwa na nyingi ni Mini Bus, hivyo Antony utatumia ile Range kuzunguka nayo na kutufahamisha walipo. Ila itakuwa vizuri kama tungejua jengo lao ili tuweze kuwavamia,” John alitoa wazo ambalo Max aliliafiki.

“Kweli John, ni vizuri tukajua wapi wanakotokea ili tujue tunaanzia wapi, nashauri Antony afanye utaratibu kwanza wa kuweza kufika huko kwa kuwafuatilia mpaka watakapoishia,” Max alitoa pendekezo ambalo hata Antony mwenyewe aliafiki na kuona kuwa hilo ndo la msingi zaidi.

Mi nitawafatilia kwanza nikishajua wanaingia wapi nitawashtua then mtanifuata, au sio?” alihoji Antony. Wote walikubali na kuonyesha ishara ya ushindi mapema kwani kila mmoja aliamini mwenzake anaweza kazi.

*****

Saa kumi na mbili jioni, Antony anaondoka na gari kuelekea Mererani. Anawaacha John na Max ambao walikuwa wakimfuata taratibu ili asije akakwama. Mpango wao wa kwenda kulipua mgodi wao kama hatua ya kwanza ya kujua mahali lilipokuwa jingo lile.

Saa mbili na nusu usiku walikuwa wamefika. Hali ilikuwa ni shwari na hivyo, Max alitoka na mabomu mawili ya kutegwa na kwenda moja kwa moja hadi katika uzio. Alitumia mbinu zake kuingia ndani. Alifanikiwa kufika hadi eneo la kuingilia machimboni na kuyatega yale mabomu mawili kisha akaondoka.

Wakiwa kwenye gari wakisogea mbali kidogo la lilipokuwa lango kubwa la kuingilia katika mgodi wa Steve. Max alimwonyesha Antony kifaa cha kulipulia na kubonyeza.

Mlipuko mkubwa ulitokea katika mgodi. Eneo zima likawa halikaliki kwani watu walikimbia ovyo. Dakika chache baadaye Antony alilipua bomu la pili na hivyo kupelekea wasiwasi zaidi uliowafanya baadhi ya wachimbaji kukimbia na kutokomea mbali. Waliamini kwamba wameshinda mpango wao wa kwanza katika kuonyesha kwamba wataweza kuwafikia kiurahisi.

Askari baadhi, walikimbilia gari na kuanza kuondoka wakielekea eneo lilipokuwa jengo lile. Hawakujua kwamba Antony alikuwa akiwafuata nyuma. Aliwafuata hadi alipoona wakiingia. Alishangaa sana kwani hakuona njia bali aliona kichaka. Magari yaliingia kichakani huko. Aliyafuata hadi alipofikia kile kichaka.

Alisimama kwa muda huku akisoma ramani ya magari yalipokuwa yakielekea hadi yalipoishia ambapo aliona lango kubwa likifunguliwa na magari yale kuingia.

Max na John walikuwa wakisubiri mawasiliano na Antony. Waliwasiliana na Antony kujua alipofikia.

“Nimefanikiwa kujua ngome yao ilipo John, inaelekea si rahisi kuingia lakini tukimteka mmoja wao itakuwa rahisi,” alisema Antony ambaye alikuwa njiani kuwafuata wenzake waliokuwa wakimsubiri ndani ya nyumba moja lililoko kule Mererani.

“Utatukuta palepale pa mwanzo tulipokutana,” alisema John wakati akiwasiliana na Antony. “Sawa kwa kuwa nimeshapajua….tusiwaache wale jamaa kwani wataleta maafa makubwa sana, inaelekea ni mtandao mkubwa kiasi cha baadaye kutishia amani ya nchi,” alisema Antony.

“Ni kweli Antony, inabidi tufanye mikakati ya kuwavamia kwa mbinu kali, njoo hapa utatupata,” alisema John.

Antony alifika na kuwaeleza yote waliyoyakuta huko. Waliamua kurudi kwanza mjini kabla hawajarudi tena Mererani kwa ajili ya kushambulia na kufanya lile ambalo walidhamiria kulifanya katika kupambana na uhalifu.

*****

Siku nmbili baadaye John, Antony, Aminata pamoja na Max walikuwa wameshagundua mpango wa Bosi Steve wa kwenda katika mkutano ambao uliwahusisha wafanya biashara wakubwa.
Max alitoa wazo la kwenda huko kuhudhuria ili kujua kitakachoongelewa ikiwa ni pamoja na kumwona Steve na kumtisha. Walikubaliana wafanye hivyo ikiwa ni pamoja na kumteka Steve ili waweze kuwadhibiti na kuwadhoofisha askari wa Mosses Ndula na Mosses mwenyewe.

“Jamani kama tunavyojua leo wanapanga kuingia The Hall City Garden kwa ajili ya mkutano wa wafanyabiashara wakubwa nadhani mpango wetu tutaukamilisha wa kumteka Steve.

Tuanzeni kujipanga namna ya kufanikisha mpango wetu ili tusije tukakose,” Max alisema huku wote wakiwa wanamsikiliza.

“Kweli, inabidi tujipange kabisa ili tusishindwe, tunaweza tukawa tumerahisisha sana kazi. Sasa iweje?” aliuliza Aminata ambaye alikuwa pembeni ya John wakimsikiliza Max.

“Sasa itabidi Antony uwahi ukumbini ili usome mchezo mzima kisha utatusubiri nyuma ya jengo hilo ukiwa tayari umeliweka gari katika mazingira mazuri,” alisema Max.

“Sawa mkuu,” aliitikia Antony huku Max akiendelea kutoa maelezo ya nini kifanyike.

“Mimi na John tutaingia ukumbini alafu Aminata atakuja pale kama mgeni. Wakiwa wanamshangaa pasipo ya sisi kuonekana itakuwa ni njia rahisi ya sisi kumkamata,”

“kweli, ila na mimi nitakuwa makini maana wanajua sehemu nyingi za mikutano huwa tunaingia wote,” alisema Aminata huku akimwangalia Max ambaye alikuwa akitikisa kichwa chake kuonyesha kwamba amekubaliana na mawazo yake.
Antony aliwaacha John na Max na kuondoka kwa ajili ya kufanya maandalizi kwani mkutano wa wafanyabiashara hao ulikuwa uanze majira ya saa kumi na nusu jioni.

Alifika na kuangalia hali ilivyokuwa kasha kuwataarifu wenzake. Wahudumu walikuwa wakipitapita kugawa vinywaji kwa watu ambao walikuwa wakisubiri mkutano kuanza.

“Tumefanikiwa kuingia, Max sasa kazi ni moja tu kuhakikisha Steve anakuwa mikononi mwetu,” alisema John. Waliwasiliana na Antony kuhakikisha kwamba ameshaegesha gari lake nyuma ya ukumbi kwani wana kila sababu ya kufanikisha mpango wao.

Ilikuwa ni zamu ya Bosi Steve kuwasili katika ukumbini ambapo alisindikizwa na Mosses Ndula pamoja na askari wanne waliovalia suti nyeusi na miwani nyeusi kuonyesha kuwa walikuwa makini sana na kazi yao.

Wakati bosi Steve akiingia chumba cha mikutano, Antony aliwasiliana na John, alimjulisha juu ya kuwasili kwa Steve na hivyo John alielekea upande wa mlango wa kutokea wa nyuma ya jengo ili kuhakikisha kuwa unakuwa wazi. Wageni wote walisimama wakati MC akizungumza machache kukaribisha wageni ili mkutano uanze.

Max alikuwa akiangalia nyendo zao huku akimwangalia zaidi Steve ambaye alikuwa mwenye furaha sana. Mhudumu alipitisha glass za wine na Steve aliichukua moja na kuanza kunywa.

Wakati mkutano unaendelea Bosi Steve alitoka na kuelekea maliwatoni. Alimhakikishia Mosses Ndula kuwa atarudi kwani Mosses Ndula alimsihi kuongozana na mlinzi mmoja.

“Usijali ndugu nitarudi mara moja, unakumbuka kabla ya safari ya huku tulikunywa wine nyingine nyumbani kwangu hivyo nahisi haja ndogo, kabla mkutano haujaanza vizuri naona ni bora nikatoe haja ndogo ili niweze kufuatilia, nitatumia dakika tano tu,” alisema Bosi Steve kabla ya kuondoka.

Max alimwona akielekea maliwato. Alihakikisha hamuachi baada ya kuona akiwa mwenyewe bila msindikizaji.

Max mara moja alifika eneo la maliwato kumsubiri Steve aingie. Aliwasiliana na John ili aweze kuzuia watu kuingia eneo hilo na badala yake awashauri watumie maliwato nyingine. Wakati huo hakukuwa na watu wakiingia maliwatoni huko na hivyo ilikuwa ni nafasi nzuri ya Max na John kufanikisha mpango wao.

Haikuchukua muda Bosi Steve aliingia, Max alisubiri hadi amemaliza na kuchomoa bastola yake na kumnyooshea Steve. Bosi Steve alishtuka kusikia sauti ya Max ikimwambia.

“Usijiguse na simama hapo hapo kama ulivyo,” kabla ya kugeuka kumwangalia aliyetoa sauti hiyo alipigwa ngumi na kuzirai. Max aliwasiliana na John kwamba kashamteka hivyo wajitayarishe kuondoka.

Antony alifungua mlango wa gari na kulisogeza mpaka karibu na mlango wa kutokea na hivyo ilimchukua Max dakika mbili kumfikisha Steve ndani ya gari hali ya kuwa amezirai.

Walifika katika nyumba moja kuukuu iliyoko maeneo ya Mianzini wakiwa wameshamteka Bosi Steve. Nyumba hiyo haikuwa inatumiwa na mtu yeyote. Ilikuwa ni saa moja na nusu usiku.
Baada ya Steve kuzinduka John alikuwa amesimama mbele yake. Alishtuka kumwona John.

*****
Ukumbini Mosses Ndula na Askari wake walikuwa wakimtafuta Bosi Steve bila ya mafanikio. Waliamua kutoka na kuelekea nje ya ukumbi wakidhani atakuwa huko kwani hata simu yake haikupatikana. Walizunguka kila mahali nje ya hoteli wakijua labda anavuta sigara sehemu.

“Atakuwa ametekwa, hivyo wasiliana na kikosi cha anga ili kuzunguka na helikopta kujua watekaji,” Mosses Ndula alimwambia mmoja wa askarti wake ili aweze kuwasiliana na askari wa kikosi cha anga waanze kazi ya kumtafuta Bosi Steve mara moja.
ITAENDELEA

HATI FEKI – 3

Simulizi : Hati Feki
Sehemu Ya Tatu (3)

MOSSES Ndula na wenzake hawakuwa na ujanja tena zaidi ya kutii na kuweka silaha chini na kunyanyua mikono juu. John na Aminata walianza kusogea kuwafuata polisi waliko ili waweze kujitambulisha.

“Heshima yako mkuu,” Polisi mmoja aliyekuwa amewafuata Aminata na John alitoa saluti kwa Aminata. Aminata alikuwa bado amewaelekezea Mosses na watu wake bastola hadi walipoweka silaha chini baada ya kugeuka na kuwaona polisi nao wakiwa wamewaelekezea mitutu ya bunduki na hivyo wasiweze kukimbia. Polisi waliwashangaa Mosses na watu wake wawili.
“Huyu jamaa aliwahi kuja pale kituoni na wanasheria wake,” polisi mmoja alisema huku akistaajabu kulikoni mtu mkubwa vile akimbizwe na gari kama mhalifu.

“Nyamaza… kila kitu kitajulikana huko huko. Waliwachukua Mosses Ndula pamoja na wenzake hadi Kituo cha Polisi. Mosses hakuonekana kutishika wala kujali. Dereva alikimbilia porini na hivyo hakuweza kutafutwa wala kujulikana.

Aminata alimfuata kiongozi wa wale polisi na kumsihi wasikubali akatoroka hadi pale watakapofika mjini Arusha kesho yake.
“Sawa mkuu,” tutawafikisha wote kama amri yako ilivyosema.”

****
Msafara wa kuwapeleka mahabusu Mosses na mlinzi wake ulianza. John na Aminata wao waliamua kurudi. Walielekea Mererani na moja ya magari ya polisi kwani gari lao lilikuwa limepasuliwa tairi wakati wa mashambulizi ya kurushiana risasi wao na Mosses. Waliingia siti ya nyuma wakiendeshwa na mmoja wa polisi waliokuwa wamefika pale.

“Ninafururaha sana tumekamilisha hii safari yetu ya muda mrefu. Sikutegemea kusambaratisha jeshi zima japo sio kubwa na. kilichobaki sasa ni kujua kama Antony ameshafanikisha kuuzuia mgodi kule Mererani.” Aminata alisema wakati wakiwa njiani kuelekea Mererani kuangalia kilichoendelea usiku huohuo.
John alitoa simu yake kwa nia ya kumpigia Antony.

Lakini kabla hajabonyeza namba alisikia ikiita simu yake.

“Antony anapiga. Utafkiri alijua nataka kumpigia.”

“Akili zenu sawa, kweli nyie pacha,” John alicheka huku akipokea simu yake.

“Haloo kaka,” alisema John akiitikia simu ya upande wa pili alipokuwa Antony.

“Shwari tu kaka. Nawasikilizia nyie. Mnaendeleaje huko?”

“Tumeshawatia nguvuni wawili japo mmoja kakimbia. Nadhani ni dereva wake. Ila mhusika mkuu tayari tunaye.”

“Kwa nini msingemuua broo?”

Polisi waliwahi kumchukua. Hata hivyo hawezi kuleta madhara. Kesho asubuhi tutaenda kwa ajili ya kuanza kumfungulia kesi.”

“Sawa, sasa wapi mnaelekea sasa hivi?”

“Tunakuja huko kuangalia usalama.”

“Huku tumeshikiliwa na polisi. Nadhani Aminata akija itakuwa safi.”

“Usijali. Tunakuja na gari la polisi. Nadhani kila kitu kitakuwa poa. Baadaye kaka.”

“Poa Broo.”

John na Antony walimaliza maongezi yao. Sasa John alimgeukia Aminata ambaye alikuwa amejiegemeza kwenye bega la John na kulala. Alimbusu kwenye paji la uso. Busu lile lilimshtua Aminata na kujikuta akimuuliza John.

“Vipi, kina Antony wako poa huko?”

“Ndiyo mpenzi, wanakusubiri wewe ukawanasue maana wako chini ya ulinzi wote. Wamekalishwa chini. Nadhani linasubiriwa karandinga kuwapeleka kituoni.”

“Haiwezekani bana,” Aminata alisema huku nay eye akitoa simu yake na kupiga makao makuu kwa ajili ya kutoa taarifa za kuwekwa chini ya ulinzi huku akiwataka wasiwaondoe watu hao hadi atakapofika eneo la tukio.

“Tayari mpenzi. Nimeshawaambia wasiwapeleke kokote hadi nifike.”

“Asante mpenzi,” John alimshukuru Aminata huku akimvuta na kunanza kumbusu.

*****
Wakiwa njiani kuelekea Arusha Mjini kuwapeleka Mosses na mlinzi wake Mahabusu. Polisi hawakujua kwamba Mosses alikuwa na bastola.

“Samahani mkuu,” kabla sijapatwa na hili janga nililtokea katika starehe zangu. Nahisi kwenda haja ndogo. Tafadhalin,” alisema Mosses huku akiwa amefungwa pingu. Ndani ya koti lake kulikuwa na bastola.

“Hakuna, mpaka tufike,” Polisi mmoja alisema kwa ukali.
“Hapana, kwa kuwa tumemfunga. Tumwache ajisaidie,” polisi mmoja aliyekuwa akiendesha gari alisema huku akiegesha gari pembeni ili Mosses ajisaidie.

“Nshukuru sana,” Mosses alisema huku akitoka nje ya gari.
Ni katika maeneo ya Tengeru ambapo Mosses anafanikiwa kuwatoroka polisi baada ya kuitoa bastola yake ndogo na kuwapiga nayo.

Alitokomea kusikojulikana pamoja na yule mlinzi wake ambaye muda wote alikuwa amechoka baada ya damu nyingi kumtoka baada ya kupigwa risasi ya begani.

Kuona vile, Mosses aliamua kumpiga tena risasi na kumuua kwani aliona atasababisha wakamatwe. Alipita katikati ya mashamba na kutokomea kabisa.


*****
Asubuhi, watu walikuwa wamejazana katika eneo hilo ambapo miili ya polisi ilikutwa hapo. Polisi watatu wakiwa wamelala chini. Walikuwa wameshakufa. Habari zilienea kila mahali.

“Aaah. John,” aliita Aminata kwa ukali.

“Sema mpenzi, nini tena huko?”

“Huwezi amini…”

“Nini?” aliuliza John kwa mshtuko.

“Yule mshenzi, amefanikiwa kutoroka, kawaua wale polisi na sasa hajulikani aliko.”

“Dah….sasa itakuaje Aminata.”

“Dah hata….hata sielewi tuanzie wapi tena…tutampataje sasa?” aliuliza Aminata ambaye alikuwa ameshakata tamaa.

“Ngoja nimshtue Antony,” John alisema huku akiifuata simu yake na kumpigia Antony ambaye alifika pale dakika kumi baadaye ili kujua itakuaje.

“Itabidi tumtafute wenyewe tena.” Aminata alisema huku akinyanyuka tayari kuvaa kwa ajili ya safari ya kurudi mjini Arusha.
Antony alitoka na kwenda hadi kwa wale wachimbaji ili kuongea nao. Aliwataka wakae tayari na kujitayarisha tena kuanza kazi kwani wanafuatilia hati miliki na jina la kampuni ili waweze kuendelea na shughuli.

“Kwa hiyo, tutamtuma kiongozi wenu awataarifu mambo yatakapokuwa mazuri,” alisema Antony huku akishangiliwa na wachimbaji wote.

“Antony wamemubali sana, naona wanamweshimu. Inawezekana jana usiku aliwatuliza sana,” John alisema akimwambia Aminata wakati wakiwa ndani ya gari la Antony wakimsubiri kwa ajili ya safari.

“Unajua mmefanana sana na mzee wenu. Ndo maana wamewatambua haraka. Na pia yule jama aliyetutaarifu.”
“Mbago…au sio?” aliuliza John.

“Yah, huyohuyo, amesaidia sana jitihada hizi,” Aminata alimaliza kuongea. Antony alikuwa ameshafika kwenye gari na kuanza kuingia.

“Nitawaendesha mwenyewe waheshimiwa,” wote walicheka na safari ya kuelekea Arusha ilianza.

*****
Walifika mjini na kuelekea moja kwa moja hadi nyumbani kwa kina John, Njiro. John na Aminata walianza kuyasahau ya mapambano na sasa waligeukia penzi lao usiku huo. walirudi ndani ya penzi lao zito ambalo kwa muda walilisahau.

“Mpenzi, nadhani haina haja ya kuchelewesha mipango yetu. Tuoane kabisa,” John alikuwa wa kwanza kumsihi Aminata juu ya ndoa. Hakujua juu ya siri ambayo ilikuwa ndani ya moyo wa Aminata. Aminata alimwangalia sana John kwa shauku ya kumwambia. Alijua atafurahi sana baada ya kumtamkia juu ya ndoa.

“Sidhani kama kuna pingamizi John. Muda tuliokuwa pamoja ni dhahiri kwamba tumeshajuana na haina haja ya kukawiza,” Aminata alisema huku akimsogelea John ambaye na yeye alimvuta karibu Aminata na kuanza kumshushia mabusu motomoto.

“John,” aliita Aminata huku akiwa bado kifuani kwa John.

“Sema mpenzi wangu,” John aliitikia huku akimweka sawa Aminata kusikia kauli ambayo alikuwa anataka kumwambia.

“Hujui lolote kuhusu mimi?” aliuliza Aminata huku akichezea kideevu cha John aliyekuwa akimwangalia wakati wote.

“Hapana, sifahamu mpenzi. Nijulishe tafadhali,” John alimsihi Aminata amweleze alichokitaka.

“Niangalie vizuri utajua.”

“Aminata….una mimba yangu?” John aliuliza kwa furaha.
“Ndiyo mpenzi.”

John alifurahi kupita kiasi. Alimkumbatia Aminata kila wakati. Furaha aliyokuwa nayo hakutamani kumwachia.

Ilibakia kucheza na kupeana mapenzi motomoto usiku huo. Aminata alijua kuutumia vizuri mwili wa John na hivyo hakumpa nafasi ya kupumzika. Alimshika sehemu zote na kumwonyesha utundu wake. Alitaka kumwongezea furaha zaidi ya ile aliyokuwa nayo ya kufanikiwa kusambaratisha kundi la Mosses na kujua kwamba alikuwa ana mimba yake.

*****

John na Aminata walifunga ndoa na kuishi pamoja. Antony alisimama imara hadi kuhakikisha mgodi unaanza tena kazi.
Miezi mitatu baada ya hali kutulia mgodi ulirudi tena na kuanza kufanya kazi. Waliajiri wataalamu mbalimbali kwa ajili ya kusimamia na kuongeza wachimbaji wengine ambao walikuwa chini ya mbago.
Sakata la Mosses lilikuwa limebaki mikononi mwa polisi ambao walikuwa wakiendelea na msako juu yake popote alipo. Walifanikiwa kuweka vizuizi ktika mipaka yote. Mawasiliano yake pia yalirekodiwa pale ambapo aliitaka kuwasilianana na watu aliowafahamu.

Mosses hakuwa na pakukimbilia zaidi ya kuzunguka tu ndani ya nchi. Hakuna aliyetaka kujihusisha naye kwa kuhofia kukamatwa baada ya kusikia Mosses anatafutwa kwa udi na uvumba na polisi.
Aliamua kuishi kwa kujificha. Hakuwa na hata pesa kwani akaunti zake zote zilifungwa na kiasi alichokuwa nacho mfukoni kilimalizika.

Aliishia kushinda maeneo ya Sinoni ambapo huko alifahamiana na vijana wengi aliokuwa akiwatumia kumfanyia biashara ya kusambaza dawa za kulevya kwa kuziuza kwa wateja wake.

Aliwaza na kumkumbuka Aminata ambaye alishawahi kufika Kambi ya Fisi. Alikumbuka kwamba ni Aminata ndiye aliyesababisha yeye kumuua Dula ambaye ndiye aliyetoa siri za kundi lao.

“Nitakutafuta wewe mwanamama,” aliwaza huku akitngisha kichwa chake kuonyesha dhamira yake ya kumtafuta Aminata.

“Nitakuua kabla ya mimi kufa… lazima ufe wewe mama,” Mosses alisema huku akicheka na kuiweka sigara yake mdomoni tayari kwa kuiwasha.

*****
Wakiwa ndani usiku. John na Aminata wallikuwa wakifurahia mimba ya Aminata ambayo ilibakiza siku chache tu aweze kujifungua. Aminata alikuwa akipenda sana kucheza na John kla wakiwa pamoja.

Alimkumbusha shauku yake ya kutaka kumwona Mosses aiwa yuko jela au amekufa. Hilo lilimwingia sana John ambaye pia hakuridhika kusikia Mosses alikuwa ametoroka na hakujulikana aliko.

“Usijali…cha msingi ni kuwa makini na huyu mtu kwani sidhani kama amekufa bali atakuwa tu mitaani.” John alisema huku akimshika aminata aliyekuw amesuimama akielekea dirishani. John alibaki amesimama huku akimwangalia Aminata akienda kuweka pazia la dirisha vizuri.

Ghafla Aminata alirudi kasi na kumkumbatia John.

“Nini Aminata?”

“Nimemwona mtu….”

“Mtu gani, acha woga. Aminata.”

“Mosses, kweli, nimechungulia tu nayeye akaniangalia afu akakimbia.”

“Sasa we unamwogopa?”

“John, kwa hali hii..sitaki matatizo. Waniache kwanza nijifungue mtoto wangu.” John alicheka sana na kumbeba Aminata hadi chumbani tayari kwenda kulala.

(END OF SEASON 1)

MWISHO WA SEHEMU YA KWANZA

MOSSES ANAFANIKIWA KUTOROKA. ANAUA POLISI NA KUTOKOMEA. TAARIFA ZAKE ZINAVUMA NA MSAKO MKALI JUU YAKE UNAANZA.

ANAJIFICHA KILA SEHEMU KUHAKIKISHA HAKAMATWI.
AMINATA BAADA YA KUWA MJAMZITO ANAOLEWA NA JOHN NA KUISHI PAMOJA HUKU ANTONY AKIRUDISHA HADHI YA MGODI NA KUANZA KAZI.

AMINATA ANAMKUMBUKA MOSSES NA MARA ANAIONA SURA YAKE NA KUOGOPA WAKATI AKICHUNGULIA DIRISHANI….ANAHISI KAMWONA MOSSES.

JE HIYO NI SURA HALISI YA MOSSES AU NI TASWIRA TU ILIYOMWINGIA AMINATA KWA WOGA

HII NI SEHEMU YA MWISHO YA SIMULIZI HII KALI YA HATI FEKI (SEASON 1)

…. USIKOSE SEHEMU YA PILI (SEASON 2) YA SIMULIZI HII TAMU…..

***SEASON TWO***

Katika RIWAYA hii SEHEMU YA KWANZA (SEASON ONE), John, Antony na Aminata wanaingia katika mtihani mgumu wa kulipa kisasi na kurudisha mali yao ambayo ilichukuliwa kwa hila na Mosses Ndula. Wanafanikiwa kuwatokomeza na kuurudisha mgodi huku John na Aminata nao wakionekana kuimarika katika penzi lao. Aminata anapata mimba ya John.

Antony baada ya kufanikiwa kurejesha mgodi anaweka mambo vizuri na kisha anarudi Nairobi kuendelea na shughuli zake ambazo zilisimama kwa muda.

Mosses Ndula, anafanikiwa kutoroka polisi. Anajificha mtaani Sinoni kwa rafiki na vijana wake ambao alifanya nao kazi. Wanamchukua na kumpa hifadhi. Kwa kuonyesha hajaridhika na ushindi wa kina John na Aminata. Anawaza namna ya kuwafuata tena tena na tena.

SEHEMU HII YA PILI (SEASON TWO) Mosses Ndula anaonekana kufufuka upya. Anakutana na mfanyabiashara mkubwa wa madini na tajiri Steve Mikaeli. Anamchukua Mosses na kufanya naye kazi pamoja na viongozi wengine wa serikali.

Je, watafanikiwa kuwasambaratisha kina John ambao ndio wapinzani wao wakubwa katika biashara ya madini kama ilivyokuwa kwa mzee Amigolas.

Endelea…..

*****

Biashara ya madini ilikuwa kubwa sana kwa John na Antony. Kulikuwa na ushindani ambao ulikuwa ukiendelea bila John na Antony kufahamu. Hila za kila aina zilikuwa zikifanywa ikiwa ni pamoj na kuwateka na kuwaibia wafanyakazi wa mgodi wa Amigolas.

Jambo hilo liliwafanya baadhi ya wafanyakazi wa mgodi kushangaa huku wengine wakirubuniwa na kuhamia katika mgodi wa Steve.

Steve Mikaeli, ambaye baada ya kusikia taarifa za Mosses anaamua kumtafuta na kumficha kabla ya kumwibua tena.
Katika taarifa zake za kuonekana katika mitaa ya Sinoni. Steve anawatuma watu na siku hiyo hiyo anaonekana n taarifa zinafika polisi ambapo alikuwa akitafutwa huku wengine wakisema kuwa ametoweka na helikopta baada ya kufuatwa na watu wasiojulikana na kupelekwa kusikojulikana.

Akiwa tayari amefika na kuongea vizuri na Steve na kuelewana. Sasa Mosses alijua mambo yake yatakwenda vizuri ingawa bado hakuwa amemwambia hadi pale Steve alipomuuliza ili ajue ukweli wa yeye kuwa katika hali ile.

“Kuna wajinga waliokuwa wakinifuatilia. Wametaka kuharibu maisha yangu lakini hawakuwezaa,” Mosses aliongea kwa hasira huku akionekana kutaka kupiga chochote au yeyote ambaye atakuwa amesimama mbele yake. Hilo lisingewezekana kwa kuwa aliyekuwa mbele yake alikuwa ni bosi wake, Steve.

Steve alionekana akimsikiliza kwa makini hukun akujua ushindani wake wa ibiashara utaongezeka ikiwezekana kuua kabisa biashara ya madini katika mgodi wa mzee Amigolas kwa kumtumia Mosses. Alitaka kuhakikisha Mosses anawahadaa wachimbaji wa mgodi wa Amigolas na kuwafanya wajiunge na mgodi wake.

Jambo hilo lilionekana kumfurahisha sana Mosses ambaye alijua wazi hiyo itakuwa mbinu moja wapo ya kuwachokoza John na Aminata ili aweze kuwakamata.

Aliamini kwa kuwahadaa huko wangethubutu kujitokeza na kwamba huo ndio ungekuwa mwisho wao kwani angewamaliza kabisa. Alifurahia na kujiona mpya kabisa ambapo ka kipindi kirefu alikuwa amesahaulika. Ujio huu ulimfanya afurahie zaidi kwani aliamini atakuwa na sura na mwonekano mpya kwa wale wasiomjua.

John alikuwa chini ya ulinzi mkali. Ulinzi mkali wa askari wa Mosses Ndula. Hakujua kwa nini wameweza kutekwa kirahisi hadi kujikuta mikononi mwa Mosses. Hawakuweza hata kujiokoa kwani jeshi la Mosses Ndula lilionekana kuwa imara. Alitakiwa kusema ukweli juu ya jambo ambalo Serikali inataka kujua kwani inaonekana kama alitumwa na chombo hicho kikuu cha dola.

Mosses alijua John na Aminata watakuwa wanatumiwa. Alifahamu sana mambo ya baba yake, Mzee Amigolas ambaye alikuwa yupo karibu sana na viongozi wakubwa wa nchi. Amigolas alijihusisha upande mwingine na serikali. Alisaidia viongozi kila mara wakati wa kampeni.

Hakutaka wajue kwamba alikuwa anafanya hila za kuwateka na kuwaua kama alivyodhamiria hivyo aliwauliza maswali ili ajue endapo wangekufa asingeweza kutafutwa na polizi zaidi kwani ni miezi michache imepita baada ya kufanikiwa kumaliza tofauti zake na polisi ambao walikuwa wanamtafuta na kusaidiwa kwa kivuli cha Steve ambaye sasa ndiye bosi wake.

“Tatizo lako John hutaki kuongea ukweli, usipoangalia nitakuangamiza mshenzi mkubwa wewe.” Mosses Ndula alimfokea John. Mlinitafuta mkanipata. Sasa nimewapata mimi. Mi ndio Mosses,” Mosses alisema huku akicheka sana na kumtandika kibao kikali John huku akiendelea kucheka zaidi.

John alijikuta akisukumiwa ngumi mbili nzito huku ikishuhudiwa na Steve, Bosi huyo mkuu anayemiliki kampuni ya uchimbaji madini huko Mererani. Aliyekuwa mpinzani mkubwa wa mzee Amigolas.
Aliongoza genge la wahuni waliotaka kuipindua Serikali ya nchi kwa kuwa alikuwa ana uwezo wa kufanya hivyo.

Alifanya kila njama kwa kushirikiana na baadhi ya viongozi wa Serikali ili kufanikisha azma yao. Habari zilienea na kuwapa hofu watu kwamba jeshi la nchi linataka kuipindua Serikali. Habari zilivuma kwamba majeshi ya Serikali ndiyo yaliyotaka kuipindua nchi. Nchi haikukalika hadi pale kiongozi mkuu alipotoa tamko kwamba hakuna habari kama hizo. Nchi ilitulia tena kama kawaida. Vyombo vya habari vilitakiwa kutangaza amani kama ilivyokuwepo awali.

Ndiye huyo Steve. Hela haimpigi chenga. Tajiri wa kutupwa aliyeweza kununua hata robo tatu ya nchi. Ana uwezo wa kununua chochote atakacho. Aliyemchukua Mosses Ndula na kumweka sawa. Akampa uwezo wa kuamua atakalo kwa masilahi yake na genge hilo ambalo Mosses ndiye aliyelitengeneza na kuunda jeshi. Sasa anafanya kisasi kwa Aminata na John.

Ililazimika kwa Serikali kufanya kazi ya ziada ya kuweza kuwabaini wahusika wa mauaji yaliyosababishwa na genge la Mosses ambaye alifanya mauaji mengi kwa kutumia kivuli cha Steve na yeye mwenyewe kwa upande mwingine kwa kuwa aliweza kuwa karibu na viongozi wengi hasa waziri wa Ulinzi Steve na Mosses waliweza kuziteka hisia za viongozi wengi na pale walivyotoa wazo kila kiongozi waliyekutana naye alikubaliana nao. Hakuna kiongozi aliyeweza kufika katika ngome ya Steve.

*****
Max mmoja wa askari wa upelelezi aliyefanya kazi yake imara. Aliaminiwa sana na serikali na hasa katika matukio aambayo yangehitaji ujasiri mkubwa na mbinu nyingi za kikomando. Aliyafahamu mafunzo imara aliyoyapata katika kambi mbalimbali ambazo amekuwa akizipitia ili kujiimarisha mwenyewe.

Baada ya kumaliza mafunzo yake nchini Urusi na kurejea nchini, Max alikutana kwa mara nyingine na Aminata. Mwanafunzi mwenzake waliyekuwa wakisoma pamoja katika mafunzo ya askari upelelezi na baada ya hapo Max alichaguliwa kujiunga na kambi ya kijeshi na kufuzu mpaka alipochaguliwa tena akapate mafunzo zaidi nchini Urusi.

Alipewa jukumu la kufuatilia nyendo za watu mbalimbali wanaoshukiwa ili kujua ukweli wa vikosi hivyo vilivyofanya shambulio la kushtukiza. Shambulio lililosababisha na baruti kulipuliwa katika mgodi wa Amigolas. Ilisemekana ni watu wa Steve wakiongozwa na Mosses ndio waliosababisha mlipuko huo wakati wa usiku baadhi ya wachimbaji wakiwa chini ya ardhi wakitafuta Tanzanite.

Max alitii amri hiyo na kuahidi kuanza kazi hiyo haraka iwezekanavyo. Baada ya mienzi kadhaa ya kufanya uchunguzi wao Mosses Ndula na Bosi Steve walikuwa tayari wamepata taarifa kutoka kwa baadhi ya makachero wao waliowatega karibu na Serikali ili kujua ni nini kinachoendelea na jinsi ya kuendelea kujiimarisha, pia waliwaweka ili kuhakikisha wanachunguza ni kwa kiasi gani Serikali inajua kuhusiana na genge lao. Kwa uwezo aliokuwa nao Steve, aliongeza ukubwa wa genge lake. Sasa alitawala sehemu kubwa ya watu.

Wachimbaji wengi walikufa na wengine kujeruhiwa huku mgodi wa mzee Amigolas ukitishiwa kufungiwa. Hata ilipojulikana kwamba ni Steve ndiye aliyeamuru yafanyike mauaji hayo hakuweza kuchukuliwa hatua na hivyo kesi yake kuzimwa na kuonekana ilikuwa ni bahati mbaya kutokana na kushindwa kulipua vizuri baruti katika mgodi.

*****
“Huwezi kutusumbua wewe mtu mmoja na huyu mke wako leo lazima mtakufa,” Mosses Ndulah alifoka kwa hasira huku amemsogezea John mdomo wa Bastola aliyokuwa ameishika. Kutokana na ngumi mzito aliyopewa na Mosses Ndulah, John damu zilitapakaa usoni. John alikuwa aimwangalia Aminata ambaye alikuwa hajitambui kwani Steve aliyekuwa sambamba kusikiliza kauli za Mosses Ndula alimchapa Aminata kwa kutumia kitako cha Bastola yake na kuzirai.

Vikosi vya Mosses Ndula vilikuwa vimetapakaa kila mahali kuzunguka jengo kubwa la gharama lililotumiwa na Mosses Ndula katika kuimarisha ngome ya Bosi Steve. Jengo la Bosi Steve lililoko Mererani, hakuna aliyejua ndani ya jengo hili kulikuwa kuna nini kwani hata barabara iliyoelekea katika jingo hilo haikuonekana, lilizingirwa na msitu mkali lenyewe likiwa katikati ya msitu huo mkubwa.

Si rahisi kuona barabara inakoingia mpaka kwenye jengo hilo kubwa hivyo wapitanjia wa kawaida hawakuwa na urahisi wa kuingia ndani ya jengo hilo japo kwa mbali waliweza kuliona. Wengi walidhani kwamba lilikuwa halikaliwi na mtu. Wengine walijua linakaliwa na majini kama imani zao zilivyowatuma.

Hata walinzi hawakuweza kuonekana kwa urahisi kwani hawakuwa wakitoka mara kwa mara hasa wakati wa mchana. Wengine walijua ni sehemu ya ajabu kwani wengi walioingia huko hawakurudi waliuliwa ili kuzuia siri kufichuka.

John na Aminata pia hawakujua wako wapi kwani waliingizwa ndani ya jengo hilo walikuwa wakiwa wamezirai kutokana na kipigo kikali kutoka kwa Mosses Ndula na vikosi vyake.

Jioni ya saa mbili na nusu walikuwa ndani ya Land Cruser V8 kabla ya kutekwa John na Aminata, walikuwa wakielekea nyumbani kwa Aminata kwa ajili ya mapumziko kwani ilikuwa ni majira ya jioni. Aminata ndiye aliyetoa wazo kwa John kwamba waende kupumzika.

John alikubali na kuondoka. Walikuwa wakijiburudisha jioni. Hawakuwa na mengi ya kufanya zaidi ya kuwa pamoja.
Baada ya kujifungua mtoto wao Amigolas, sasa waliishi kwa furaha huku wakiamini kwamba mambo yametulia. Mtoto wao alipelekwa shule za bweni ili kumwezesha asome zaidi. Ni miaka mitano baada ya kuzaliwa na kuifanya familia ya John kuwa na furaha baada ya kumpata Amigolas mpya.

Sasa waliishi maisha ya wawili. Walifanya hivyo ili kumwepusha mtoto wao na balaa linaloweza kuwatokea kwani Aminata alikumbuka siku aliyomwona Mosses dirishani na kushtuka. Aqalimsihi sana John wampeleke Amigolas shule za bweni ili asije akapatwa na madhara kwani aliamini bado hawajamalizana na Mosses Ndula.

Wakiwa wanapita barabara iliyotokea Hospitali ya Mount Meru, Aminata alitazama kwenye kioo cha gari na kuona msururu wa magari ukiwafuta huku yote yakiwa yamewasha taa kuashiria jambo fulani.

“John embu geuka nyuma ujionee hayo magari, sijui yanaelekea wapi,” John aligeuka na kujionea, alihisi jambo hivyo akamwambia Aminata aingilie barabara inayoelekea Kijenge kisha aongeze mwendo. Aminata alimshangaa John kwa maneno aliyoyatoa na kukemea kwa hasira.

“Kwani umeambiwa wanatufuata sisi?” John alizidi kumsihi afanye hivyo. Aminata alibaki akimwangalia John ambaye hakuwa hata na wasiwasi huku yeye akiendesha gari kama alivyoelezwa. Wakiwa makutano na Barabara ya Kijenge karibu walikuwa tayari wamezingirwa baada ya gari nyingine kutokea upande wa chini wa barabara ya Uhuru.

Aminata alifunga breki kwa nguvu zote kutokana na gari kuwa katika mwendo wa kasi. Gari zilizokuwa zinakuja mbele yao nazo zilisimama na kisha watu takribani saba waliteremka kuwafuata. John na Aminata hawakuwa na silaha ya aina yeyote hivyo wakajikuta wakiishia katika mikono ya vikosi vya Mosses Ndula.

“Aminata kwani kuna nini?” Aminata hakujibu kitu bali alikaza macho ili kuwatambua watu waliokuja mbele yao kama aliwajua. Alimwona Mosses na watu wake wakija.

“Ni Mosses.”

“What?” John alihamaki baada ya kumwona Mosses akiwafuata huku ameshikilia bastola akifuatana na watu wengine waliokuwa wameshikilia silaha nzito.

“John tutafanyaje hapa na hatuna hata silaha?” Aminata alisema huku akimwangalia Mosses bila kuamini macho yake kwamba amerudi tena na bado anaendelea na ukatili wake. John kabla ya kumjibu Aminata. Mosses Ndula ndiye aliyekuwa wa kwanza kushika kitasa cha gari la kina John na kumchomoa John kwa nguvu. Alimtupia John ngumi nzito na kuzirai. Bosi Steve alimchapa Aminata kwa kitako cha bunduki na kuzirai.

Waliwachukua wote mpaka katika jengo lao kubwa lililokuwa kule Mererani. John na Aminata hawakuweza kutambua waliko. John ndiye wa kwanza kuzinduka na kujikuta akivuja damu sehemu za usoni na kwenye jicho la upande wa kulia.

“Mnataka nini nyie watu, si mseme na mtuachie twende zetu? Kwanza hapa ni wapi”? alifoka John kwa hasira baada ya kumwona Mosses Ndula karibu yake. Mosses Ndula alicheka kicheko cha dharau na kumchapa kibao tena John, wakati huo Aminata alikuwa analia huku kashikiliwa na Bosi Steve.

“Ulitaka kuchukua mali za baba angu, sasa hujaridhika unataka kunichukulia na mimi” haya fanya uwezavyo.”

“Unajidai hujui kilichosababisha kuwepo hapa we nyang’au? leo utatutambua kwamba sisi siyo hiyo Serikali yako inayowatuma kufanya uhuni wakati uhuni wenyewe hamuujui” Bosi Steve alimkaripia John na kumchapa tena ngumi ya tumboni.

“Sisi hatujatumwa na mtu. Wala hatuna tunalolitaka kwenu,” John alisema huku akimwangalia kwa hasira Mosses ambaye alikuwa amemwekea bastola kichwani.

“Kimya, Malaya mkubwa wewe, unataka kuleta upelelezi wa kizamani hapa, leo na wewe utanitambua, baada ya kufa kwa huyu nyang’au wa kiume utafuata wewe Malaya mkubwa, Bosi Steve alimkaripia Aminata ambaye alikuwa akilia.

“Chanzo cha yote haya ni huyu mpumbavu mwenzako….wote leo mtakufa. Namkumbuka sana. Alimlaghai mtu wangu ili kujua mambo yangu…sasa atayajulia aghera.”

Haikuwa rahisi kwa John kuweza kumjulisha rafiki yake Max aje kumwokoa.

John na Max walijuana baada ya Max kusikia kwamba Aminata ameolewa na John. Yeye alikuwa kwenye mafunzo Urusi na hivyo hakuweza kuhudhuria wala hakujua lolote. Aliukumbuka tu urafiki wake na Aminata wakiwa pamoja chuo.

Alipotezea hata lile lengo lake la siku moja kumwambia Aminata kwamba anampenda. Sasa aliamua kuacha mambo ya livyo. Aliamua kuwa karibu nao kwani kazi aliyopewa ilikuwa inawahusu wote na hivyo iliwalazimu kujuana.

Baada ya kurudi walikuwa wakiwasiliana na hapo John alipata kumfahamu na kujua alilokuwa akifanya. Ukaribu wao ulimpa nafasi John kujiingiza katika masuala ya upelelezi hasa baada ya kushawishiwa sana na mke wake Aminata. Aliaanza kujifunza masuala ya jeshi na baadaye alihamia kwenye upelelezi. Alitumia muda mfupi kutokana na kufahamiana na wakufunzi ambao walimfananisha na Antony ambaye aliwahi pia kupitia jeshi. Pia Aminata alimsaidia katika kujua mafunzo ya upelelezi.
Katika jumba la Steve John sasa hakuwa na lakufanya zaidi ya kusubiri kama ataweza kujiokoa mwenyewe. Aliona kweli itakuwa vigumu sana kuokoka katika mikono ya wahuni wale lakini akaapa kwamba lazima atajitahidi kujiokoa. Alijua wakiweza kuchukua silaha zao yeye na Aminata wataweza kujikwamua kutoka kwao.
Alikwisha tambua kwamba genge lile lilikuwa ndiyo lile lililokuwa linasakwa na Serikali na hivyo kutokana na kwamba John alikuwa mmoja wa aliotumwa kulifuatilia alijua itakuwa genge hilo limejua azma ya Serikali juu yao na hivyo kutaka kukomesha matakwa ya Serikali. Alifikiria kama ataweza kuwasiliana na Max lakini hakuona njia yoyote.

Hakuwahi kufika sehemu ambayo alipelekwa na wala hakujua yuko wapi kwa wakati huo hivyo alihofia pia iwapo akijaribu kujiokoa atapita wapi kurudi kule alikokuwepo awali.

*****
Max amekuwa mpelelezi wa Serikali kwa kipindi kirefu na amekuwa akiaminiwa na Serikali juu ya majasusi na maharamia wa nchi ambayo wanataka kuipeleka nchi pabaya. Wauaji na wadhalimu wa mali za walio wengi kwa kutumia mabavu aliweza kuwadhibiti vilivyo kwa kutumia mbinu za kiintelejensia.

Hakupenda udhalimu wala manyanyaso ya watu wachache dhidi ya raia wasio na hatia.

Alifurahi kuwa karibu na John pamoja na Aminata. Kazi walizofanya pamoja za kupambana na uhalifu ziliwafany wawe ni watu walioheshimika sana. hata viongozi wan chi waliwajua kwamba waliweza kazi ingawa kulikuwa na matatizo ambayo yalipelekea wafanye kazi kwa ugumu.

Moja ya kazi ambazo walipewa ni ya kufichua wapi zilipokuwa almasi na kuwashikilia wahusika. Almasi hizo zilikuwa zimefichwa katika kitongoji cha Kigamboni Dar es Salaam.

Hilo lilifanikiwa kwa hali ngumu kwani walikumbana na mashambulizi ya hatari ambayo yalipelekea Max kuvunjika mkono. Mazx aliipenda kazi yake na hivyo baada ya kupona mkono wake aliamua kurudi na kuendelea na kzi hiyo.

Habari za kutoweka kwa John zilitawala kila kona, watu waliweka makundi kujadili juu ya habari hizo. Max naye alizipata habari hizo. Alijua lazima na Aminata atakuwa na John kwani mara nyingi walitoka pamoja hasa wikiendi.

Alijua sasa lazima afanye awezalo ili awasake walipopelekwa. Hakujua juu ya jumba la Steve.

Ndani ya jengo la Steve, Mosses Ndula na Bosi Steve wakati wote walikuwa wakitaka kujua ni kwa nini Serikali inataka kuwafatilia, hivyo waliendelea kumhoji John wakati wote. John alionyesha ujasiri mkubwa kwa kutokuonyesha ushirikiano wowote kwao.

Alipewa adhabu mbalimbali ili aweze kusema lakini hakuwaeleza jambo lolote kuhusiana na Serikali akidai kwamba yeye hakufahamu jambo lolote na hivyo wanamwonea tu.

“Mna uhakika gani kama mimi nimetumwa na Serikali kuja kuwachunguza, kwani ni katika mazingira gani ambayo mmenikamata?”

“Wewe unataka kutuambia hii picha hapa siyo wewe, au tumeifananisha hiyo sura?” Mosses Ndula alimfokea huku akimkaba John shingoni. Alimwonyesha picha ambayo alikuwa na Aminata wakimpongeza baada ya kuhitimu mafunzo ya upelelezi. John alishangaa sana.

“Kama mlinikosa mwanzo…..sahauni kuhusu kunipata.”
“Mimi sina shida na wewe kama unavyofikiria.”
“Sasa mbona unawachelewesha….fanya kama tulivyokubaliana bwana Mosses. Muda unakwenda,” Bosi Steve alitoa kauli hiyo baada ya kuona hakuna ushirikiano wowote ulioonyeshwa na John na Aminata.

Moses alkuwa akiwaangalia kwa hasira wote wawili, alishindilia mdomo wa bastola aliyokuwa ameishika juu ya kichwa cha John huku akimkaba shingo kwa nyuma. Hasira zilikuwa zimempanda sana.

“Leo safari yako ya kuzimu imetimia, lazima ufe ili tuweze kuzima hizo janja zenu za kutaka kutudhibiti, nataka nikuambie kwamba leo wewe na huyo malaya wako mtaongozana kwenda kuzimu kisha itafuata hiyo Serikali yenu. Bosi Steve alimwamuru Mosses Ndula awaarifu vikosi vya mauaji kutekeleza tukio hilo mara moja.

Mosses Ndula bila ya kuchelewa aliwaamuru kikosi cha mauaji kufanya kile Bosi Steve alichotaka.

“Wapelekeni nje ya mji karibu na pori dogo na kisha baada ya kuwaua muache miili yao katikati ya barabara. Aliwaamuru wafanye hivyo wakihakikisha kwamba hakuna mtu yeyote atakayewaona wala kuwadhani wakati watakapokuwa wameshafanikisha tukio hilo.

Bosi Steve na Mosses Ndula walibariki mauaji hayo na kisha kuwaaga askari wa kikosi cha “MALIZA KAZI” ambao ndiyo waliopewa dhamana ya kutekeleza adhabu ya kifo. Walikuwa ni askari watatu waliowachukua John na Aminata mpaka eneo waliloagizwa.

Wakiwa njiani hali ilikuwa ni shwari kwani hakusikika kiumbe wa aina yeyote aliyelia wakati huo, wakiwa wanatoka waliwafunga vitambaa usoni ili wasitambue walikokuwepo na wanakokwenda, iliwachukua takriban dakika arobaini kufika. Waliwashusha kutoka kwenye gari aina ya MARK II nyeusi na kuwavua vitambaa ambavyo waliwafunga ili wasiweze kutambua eneo waliloko.

John alitumia ujasiri wake kutaka kuwalaghai askari wale ambao walikuwa watatu. Aliomba afunguliwe mikono ili aweze kuongea mara ya mwisho na Aminata kisha atakuwa tayari kufa.

Kwa vile askari wale walikuwa wameshika silaha za moto hawakuhofia jambo lolote ambalo John angeweza kusababisha kwani hakuwa na silaha ya aina yoyote wakati huo. Walimfungua John na Aminata kamba walizokuwa wamewafunga mikononi kisha kuwasogeza kando ili waweze kuzungumza maneno ya mwisho kabla ya kifo chao.

“Usijali Aminata niko kwa ajili yako, hakuna baya litakalokukuta usiku huu, kumbuka kwamba tuko wawili na nina imani kwamba tutashinda. Nakupenda sana Aminata,” alimalizia John huku amemshika Aminata mikono.
“Najua unanipenda sana John lakini hadi sasa sioni kama tutasalimika na unaona wamebeba silaha wakati wewe huna hata moja, sijutii kuwa na wewe John hii ni kazi yetu wote, sijui mtoto wetu ataishije bila ya wazizi wake. Najua atapata tabu sana lakini Antony yupo, atakaa na baba mdogo wake. Kwa kuwa nakupenda nitakufuata huko huko kuzi….

Kabla hajamalizia neno alilokuwa anamwanbia John, John aligeuka na ngumi nzito na kumtupia askari aliyekuwa karibu yao akiwasubiri wamalize kuzungumza. Askari yule alianguka chini na kuzirai na mara moja John aliiwahi silaha yake na kuwamiminia risasi askari wawili waliobaki. John alipata nguvu za kukimbia pamoja na Aminata. Aminata hakuamini macho yake. John alikuwa amemkabidhi Aminata silaha moja kati ya tatu na yeye akabakiwa na mbili. Walipita njia za vichaka hadi walipoona eneo lililokuwa na mwanga.

Zilikuwa zimepita saa takriban tatu bila ya jibu lolote toka kwa askari wa Mosses Ndula kuhusiana na kifo cha John. Wala hawakuona dalili za askari hao kurudi mapema. Ilibidi watumwe askari wengine wawili kufuatilia juu ya kinachoendelea. Gari la askari waliotumwa lilifika eneo la tukio saa tano na nusu usiku na kushuhudia damu nyingi ikiwa imemwagika.

Waliona askari wao wakiwa wamelala chini wakiwa hawana hata silaha moja. Walishangaa kuona walikuwa wawili wakati kambini waliondoka watatu. Mara wakasikia sauti ya askari ikilia kwa maumivu makali. Walimfuata na kumbeba na kumwingiza kwenye gari.

Waliwachukua wale maiti wawili na kuwapakia kwenye gari na kuondoka nao kurudi kambini kwani walijua isingekuwa rahisi kwa wao kuwatafuta John na Aminata wakati huo kwani lazima watakuwa wamejificha mbali sana, hivyo waliona ni bora wakatoe taarifa juu ya kilichotokea.

Waliwafikisha wale maiti pamoja na yule askari mwingine majeruhi kwa wakuu wao. Bosi Steve alikasirika sana kusikia kwamba John na Aminata walitoroka baada ya kuwashinda askari wake nguvu. Alimmiminia askari aliyebaki risasi na kumuua.

“Wafuate wenzako mshenzi mkubwa wewe,” alifanya tukio hilo la mauaji kwa askari yule akiwa na hasira sana. Askari wengine waliokuwepo eneo lile walipata woga wakijua kwamba wanaweza wakauawa.

”Nataka John na Aminata warudishe hapa haraka sana,” alifoka Bosi Steve.

Mosses Ndula aliwaamuru askari wavae nguo za kiraia ili waingie katika msako wa kuwatafuta John na Aminata kabla habari hazijazagaa juu ya kutekwa kwao na kutoroka.

Wakati huo John na Aminata walikuwa wamepata sehemu ya kulala na kupumzika ambapo walijua hakuna mtu yeyote ambaye angeweza kutambua sehemu waliko. Walikuwa katika hoteli ya MIDLAND.

Aminata hakuamini kwamba wamepona wakati wote alikuwa anafurahi wakati John yeye alikuwa akitafakari hatari atakayokumbana nayo hapo mbele.

“Vipi John mbona unaonekana una mawazo mpenzi, sijui hata nikushukuru vipi mpenzi wangu kwa ushujaa uliouonyesha na kupelekea kupona kifo kile, nilijua ni lazima wangetuua mpenzi. Nakupenda sana jasiri na shujaa wangu,” Aminata alimkumbatia John kwa nguvu huku akimtupia mabusu motomoto ambayo wakati huo John hakuwa katika hisia hizo kama alizokuwa nazo Aminata.

Aminata alishanga kitendo cha John kubaki akimwangalia tuu asijue la kufanya. Wakati huo John alikuwa katika hali ya majeraha makubwa yaliyosababishwa na kichapo kikali alichopata toka kwa Bosi Steve na Mosses Ndula.

Aminata kuona hivyo mara mija alimtoa John shati alilokuwa amevaa na kuanza kumfuta damu na kuuguza majeraha aliyokuwa nayo japo kuwa nay eye alikuwa akiugulia maumivu aliyoyapata baada ya kupigwa na Steve hadi kuzirai.

Ni furaha ndiyo iliyommaliza maumivu. Alijihisi mwenye nguvu huku akimhudumia mume wake tayari kwa kumweka sawa.

“Nadhani maisha yetu yapo hatarini zaidi kuliko hatari tuliyokutana nayo. Hawa jamaa lazima watutafute hivyo Aminata naomba uwe makini sana na tena ikiwezekana usikae mbali na mim,” John alimwambia Aminata ambaye kwa wakati huo alikuwa akimfuta John damu iliyoenea mwilini na kumuuguza majeraha aliyoyapata.

“Najua John, siko tayari kufa. Ntapambana kama tulivyopambana. Sijasahau kabisa mapambano. silaha tayari tunazo. Tutaweza tu. Huyu Mosses nadhani hatujui… haifai tukamkawiza. Tujipangeni twende.”

”Nakupenda sana Aminata,” alirudia tena John maneno yale yale aliyomwambia Aminata wakati wote, ila safari hii ilikuwa ni kumdhibitishia kwamba yuko tayari kufa kwa ajili yake. Aminata alilia kwa uchungu baada ya kukumbuka kwamba walinusurika kifo pamoja, alimvamia John na kumkumbatia kwa nguvu zote huku akimpa mabusu motomoto yaliyomfanya John asahau hata maumivu ya majeraha aliyokuwa nayo.

Mlango uligongwa ghafla wote wakashtuka. John alificha silaha nyuma na kuelekea mlangoni. Aminata hakujua la kufanya zaidi ya kusubiria kitakachotokea. Alikuwa tayari kashasimama karibu na silaha ingawa hakuichukua. Alikuwa ni mhudumu wa hoteli aliyegonga ili awaulize jambo.

“Hodi kaka yangu, samahani kwa usumbufu, je mngehitaji chakula?” John aliyekuwa amebeba silaha alirudi nyuma na kuiachilia silaha juu ya kiti jambo ambalo haikuwa rahisi kwa yule mhudumu kugundua ni kitu gani. John alimuuliza Aminata kwamba angependelea chakula gani.

“Chochote utakachokula mpenzi mimi nitakula.” Aminata alijaribu kumwonyesha John mapenzi ya dhati ilimradi amfurahishe na ajue wazi kwamba anampenda sana. John alimwomba mhudumu awaletee wali na nyama choma pamoja na glass mbili za juice ya Passion. Baada ya dakika kama tano, mhudumu alikuwa amesharejea na alichoagizwa na John.

Hawakuwa na hela ya kulipia na hivyo John alimkumbuka Max. alitaka amtaarifu aje mahala walipo ikiwa ni pamoja na pesa ya kulipia chumba pamoja na chakula.

“Aminata, nahitaji kupiga simu kwa Max haraka iwezekanavyo kesho nikutane naye ili tujue la kufanya, hawa washenzi lazima tuwaangamize hata kama wanajeshi la watu milioni kumi,” John alimtaarifu Aminata juu ya alichofikiria.

“Bila hivyo Aminata sisi tutakufa na ujue kwamba hapa tulipo tupo kazini kwa hiyo kuwaangamiza hao washenzi itakuwa ni sehemu ya kazi yetu. Sitakubali walete madhara kwa wengine kama walivyotaka kuleta kwetu. Nitahakikisha kwamba wanaangamia wote,” John alizidi kuongea kwa hasira. Alimkumbuka Mosses na Syteve. Alijiapiza ni lazima awamalize.

“Sikiliza John, inabidi tutulie kwanza ili tuweze kuwatafuta wenzatu tujadiliane juu ya hilo suala lakini si kwenda mbio hivyo. Na isitoshe wale inaonekana ni hatari zaidi wanaweza wakatudhuru mpenzi. Mi nna imani akiongezeka Max na Antony tutawamaliza,” Aminata alimsihi John.

Najua Aminata lakini lazima tuanze hili jambo mapema kabla hawajagundua mipango mingine hivyo ni lazima nikutane na Max mara moja ili tujue tutawafanyaje,” John alimhakikishia Aminata juu ya hilo.

“Sawa mpenzi lakini nahofia sana maisha yetu, na mi sitakuacha tutaenda wote kila mahali ukifa na mimi nife hapo hapo,” Aminata alimfariji John.

“Aminata, nimekumbuka kitu,” alisema John.

“Kitu gani tena mpenzi?” Aminata aliuliza.
“Mi naona ungeliacha hili suala kwetu sisi. Sitaki mtoto wetu apate shida ya kuwa bila ya wazazi. Nakuomba usiende. Tuachie mimi na Max. Najua tutaweza,” John alijaribu kumshawishi Aminata ili asijihusishe na mpambano ambao alitaka kufanya na Max na Antony bila ya kuwashirikisha wengine.

ITAENDELEA

HATI FEKI – 2

Simulizi : Hati Feki
Sehemu Ya Pili (2)

*****
USIKU wa saa sita. Mosses ndula aliwaita watu wake wote kwa ajili ya kikao cha ghafla. Kikao ambacho ilikuwa ni lazima awahusishe wote. Hakumwacha hata dereva ambaye kazi yake ilikuwa ni kupewa amri ya nenda huku, simama hapo nisubiri au kamchukue Fulani. Wote walikuwepo usiku huo.
Akiwa na sura yenye furaha ya ushindi mkubwa mwezi mmoja baada ya kumaliza kushughulikia hati yake ya umiliki wa mgodi. Sasa alitaka kuwaeleza jambo watu wake.

Alihisi kuna jambo la kuimarisha katika himaya yake ambayo sasa aliona inaimarika baada ya kumpindua mmiliki mkuu wa mgodi, mzee Amigolas na kuumiliki.

“Nadhani imebaki kuanza kazi tu,” alisema Mosses Ndula akiwa na furaha baada ya kuwa amefanikisha kuipata hati ya umiliki ya mgodi. Alikuwa ameinyanyua juu huku akimwonyesha mmojammoja hati hiyo kumaanisha kwamba sasa kila kitu kilikwenda vizuri.

“Mkuu, mi naona bado hatujafanikisha.” Alisema mmoja wa watu wake aliyekuwa amesimama pamoja na Mbashala aliyeitwa Nova, dereva wake wazamani.

“Nisisikie tena….Wewe unasema kama nani? Minasema na wewe unasema?” Mosses Ndula alitoa bastola yake na kumpiga risasi ya kichwa na kufariki papo hapo. Hakutaka kusikia pingamizi lolote kutoka kwa mtu yeyote.

“Sipingwi wala kushushwa, kila nikifanyacho ni zaidi ya mfikiriavyo…. Toa hiyo takataka hapo,” alifoka huku wasaidizi wake pamoja na walinzi wakiwa wanarudi nyuma kwa woga. Wawili kati yao waliutoa mwili wa Nova na kuupeleka kusikojulikana na kuutupa. Kikao kilikuwa kikiendelea ambapo tayari wote walikuwa wakisikiliza tu. Hakuna aliyejaribu kunyanyua mdomo wake kuongea kitu baada ya dakika chache zilizopita kushuhudia mwenzao akitolewa uhai. Wote walisimama kimya wakisubiri Mosses atakachokisema.

Mosses Ndula hakutaka kubadili uamuzi wake juu ya kuachia mgodi. Kufanikiwa kwake kumsainisha kwa lazima Mzee Amigolas ilikuwa ni faraja kwake na kujiona tajiri mkubwa. Alihonga sana polisi na kuweza kujilimbukizia mali nyingi kwa muda mfupi. Alijuana na viongozi wengi na hata baadhi ya kesi zake zilizimwa kimya kimya kwani waliamini yeye ndo angeweza kuwafanikishia biashara zao haramu.

Alipata kujiamini sana. Ni suala moja tu ambalo aliliwaza sana. Kumiliki mgodi. Mgodi uliokuwa ukitema madini kila kukicha. Mgodi wa mzee Amigolas. Na sasa hati anayo. Kicheko kiilimtoka kila alipofikiria kazi yake ilikuwa rahisi sana hasa baada ya kumtumia wakili wake na kufanikisha kubadilisha hati ya umiliki kwa madai ya kwamba mzee Amigolas alisaini wiki moja kabla hajafa baada ya kuuziana.

Alijiamini kwa kuwa hati sasa iko mikononi mwake. Alijua ikitokea kesi yoyote basi angeonyesha hati hiyo kama kithibitisho. Alicheka. Alimkuwa haishi kumpigia wakili wake simu na kumpa shukrani tena na tena.

Alikumbuka vitisho alivyovitoa kwa mzee Amigolas na familia yake.
“Watoto wadogo sana wale…. Kazi tunajua sisi,” aliwaza na kucheka kwa kicheko cha ushindi. Sigara yake na glass ya wine vilikuwa mkononi vikisindikiza furaha yake. Pafu moja moja lilimkosha na kujiskia fahari.

Siku hiyo kabla ya kumuua mzee Amigolas, alitoa hati ambayo alimpa mzee Amigolas aisaini. Mzee Amigolas alishangaa na kushtuka.

Alikumbuka hati yake ilikuwa ndani ya nyumba yake, iweje Mosses yuko nayo. Alibaki akimwangalia Mosses. Alijua hati yake imechukuliwa. Aliona sehemu alizosaini kabla zikiwa tupu. Alijua kuna mchezo umechezwa. Alijua tayari kadhulumiwa.

“Shika kalamu hii hapa,” Mosses alimkabidhi mzee Amigolas kalamu huku akimnyooshea bastola. Mzee Mosses alikuwa akitetemeka sana. Alijua atakufa. Alimwomba Mosses asimuue.

“Kusaini nasaini. Tafadhali usiniue. Umeshawaua mke wangu na watoto. Naomba uniache. Tafadhali naomba usiniue,” mzee Mosses alimaliza kusaini ile hati na Mosses aliichukuwa na kuiweka mfukoni.

“Mzee mpumbavu wewe, nikikuacha nitawezaje kuchukua hii mali? Lazima ufe.”

“Tafadhaaa….” Kabla hajamalizia kusema alichotaka kusema Mosses alimfyatulia risasi Mzee Amigolas na kumuua. Damu iliruka na kuchafua kila mahali. Kisha Mosse na watu wake walitoka na kukimbia.

*****
Bodi inayosimamia mgodi ambayo iliwekwa na Mzee Amigolas hawakujua kinachoendelea. Hawakuwa na taarifa juu ya kuuzwa kwa mgodi hali iliyowachanganya wote. Wakiwa wanajitayarisha kuelekea nyumbani kwa Mzee Amigolas, walivamiwa na kundi la walinzi wa Mosses Ndula na kuuliwa.

Habari zilifika kila mahali ikiwa ni pamoja na John na Antony waliokuwa wakijitayarisha kwa ajili ya kuanza kumsaka na kumjua aliyefanya mauaji nyumbani kwao.

“Bodi nzima ilikuwa ikija huku John na wote walivamiwa na kuuliwa na majambazi,” Antony alimweleza John ambaye alikuwa amemwegemea Aminata asijue la kufanya.
“Mi nadhani kazi ianze, la sivyo hata sisi tutakuwa hatarini. Ni afadhali tuwe katika mapambano kuliko kuwasubiri waanze kutusaka sisi. Antony hakikisha unaidhibiti hiyo hati isipotee ikiwezekana uipeleke sehemu salama zaidi.”

“Sawa mimi nitafanya hivyo. Nitaipeleka Nairobi kwa mtu ninayemwamini na kumkabidhi hadi itakapohitajika.” Wote walikubaliana na kuamua kuanza kazi.
Kazi ambayo walikuwa wamejipanga vilivyo.

******
Uzuri wa Aminata ulimchanganya sana John. Hakujua kwamba hata kwa upande wa Aminata alikuwa na swali na jibu sahihi kwamba inawezekana kama ikitokea wakiwa wapenzi. Walijikuta wakitoka kwa ajili ya mipango yao.

Hiyo ilikuwa ni baada ya Antony kwenda Nairobi na hivyo katika kumsubiria waliamua kutumia muda huo kujuana na kuanza uhusiano wa kimapenzi.

Walikuwa pamoja kila wakati. Walijikuta wakiingia kwenye penzi zito ndani ya wiki moja tu ambayo Antony aliitumia akiwa Nairobi.

“John, tupo kwenye kipindi kigumu sana lakini siwezi kuuzuia moyo wangu juu yako,” sauti nyororo ya Aminata ilitooka ikiwa imelainishwa na juice baridi ambayo walikuwa wakiburudika ndani ya jumba kubwa na marehemu Mzee Amigolas.

“Hata mi nakupenda sana Aminata, unansaidia sana. Namwomba Mungu tufanikiwe kwenye haya mapambano ili tuendelee kuwa pamoja,” John alisema huku akizishika nywele za Aminata ambaye nay eye alimruhusu John afanye analolitaka. Hali hiyo iliendelea huku mazungumzo nayo yakiendelea.

“Ni wazi hadi sasa tumeshashinda.”

“Ki vipi unasema hivyo mpenzi?” john alikuwa ameshaanza kumpapasa kifuani Aminata na kuyashika vizuri matiti yake yaliyokuwa yamesimama imara. Aminata hakuwa na la kusema. Alizungusha mikono yake nyuma ya mwili wa John na kuanza kumpapasa.

“Nina uhakika na kile nkisemacho John. Kama nlivyokuambia….hee! nini hiko John?” ulikuwa ni mshindo mkubwa wa risasi ambao ulimwangusha chini mlinzi wa nyumba ya Mzee Amigolas. Kwa mara nyingine tena nyumba ya Mzee Amigolas inavamiwa na walinzi wa Mosses Ndula.

“Nimewaona,” John alikuwa akichungulia kwa nje kuona ni kina nani. Walikuwa vijana watatu waliokuwa wamevalia kofia nyeusi za kufunika uso ili wasionekane. Haraka John na Aminata walijihami na kutoa bastola zao na kuzishika kikamilifu.

Penzi liliwekwa pembeni na sasa ukawa ni mpambano kati yao na walinzi wa Mosses. Waliwajibu kwa risasi na kufanikiwa kumpiga mmoja na kudondoka chini. Risasi mfululizo ziliwafanya walinzi wa Mosses Ndula washindwe kuifikia nyumba ya Mzee Amigolas na kujikuta wakirudi nyuma na kutoka nje. Waliwasha gari lao na kukimbia.

*****
“John, wanaondoka,” Aminata alisema huku akiichukua nguo yake na kuvaa. John alichukua haraka funguo za gari ili kuwawahi.
“Tusiwaruhusu wakaondoka John. Tuwafuatilie hadi mwisho wao ikiwezekana tuwamalize wote.” Aminata alisema huku akiufungua mlango na kutoka.

“Sidhani kama watafika mbali. Kwa sababu watakuwa wameelekezwa, hapa wataishia njiani. Hafiki mtu.”

John na Aminata walitoka nje na kuchukua gari na kuanza kuwafukuza. John alihimili usukani vilivyo na kukanyaga mafuta hadi alipowaona. Hawakutumia mwendo mrefu sana wakawa wamewakaribia kabisa. Waliwaona wakikata kona na hivyo waliongeza mwendo na kuikaribia kona huku John akiwa amezima taa za gari ili wasiwaone.

“John usiwakaribie kwanza, watakimbia zaidi. Twende taratibu ili wasijue.”

“Hawatakatiza.”

Kila njia waliopita waliwafuata nyuma. Wakiwa Barabara ya Uhuru. Gari la walinzi wa Mosses Ndula lilikatiza na kuibukia Barabara ya Fire ambayo ilikuwa haina magari. walijua wamewapoteza na hivyo kupunguza mwendo. Hapo wakanza kutupiana lawama baada ya kushindwa kuvamia nyumbani kwa John.

“Risasi imetuharibia kaka,” mmoja wao alianza kulalamika baada ya kuona kwamba mlio wa risasi uliwashtua John na Aminata.

“Kwa nini usingefunga kizuizi sauti isitoke?”

“Dah, askari yule tayari alikuwa ameshanielekezea mdomo wa bunduki aliyokuwa nayo. Hivyo sikuwa na muda wa kuitoa na ukikumbuka lengo letu ilikuwa ni kumteka na kumfunga kamba ndo tuingie kimyakimya.” Yule jamaa alijitetea huku akijilaumu mwenyewe.

Jasho lilikuwa likiwatoka kwani walikimbiza gari sana kuhofia watu kuwakamata baada ya kusikika kwa mlio wa risasi. Sasa walikuwa wakiendesha kawaida baada ya kuona hali ni shwari na hakuna aliyewaona baada ya kukimbiza gari na kuiacha barabara ya Kijenge na kuibukia barabara ya Uhuru na kuingia barabara ya Fire.

Zaidi ya mwendo wa kilomita moja wakawa wanajadiliana na kulaumiana juu ya kitendo kile. Wote wakwa wamenyamaza kimya bada y mmoja wao kuwatishia bastola na kuwaamuru wote wanyamaze.

“Nimesema yaishe. Mnafanya ujinga alafu mnalaumiana. Tutarudi siku nyingine kama leo0 imeshindikana. Nisikie mtu analalamika. Tutamwambia bosi kwamba mambo mabaya. Hawakuwa wamelala na hivyo tulishindwa kulifikia geti.
“lakini akiuliza kwa nini askari amekufa baada ya kusikia taar4ifa. We unadhani itakuaje.”

“Aaaaaah, na we tumia akili. Walipotuhisi sisi askari mmoja alitoka akaanza kurusha risasi ndo tukamuua. Ili mradi sisi wote tuko salama na hawakutujua. Kwa hiyo tusiogopeni. Bosi atatuelewa.”

Ghafla walishangaa kuona gari mbele yao. Aminata na John walifika na haraka. Waliingia kwa mbele yao na kuwazuia wasiweze kukimbia. John alisimamisha gari na Aminata akatoa kichwa dirishani na kuanza kuwarushia risasi ambazo zote zilikuwa zikililenga gari. Aliendelea kuwarushia risasi. Risasi mfululizo zilifyatuliwa na Aminata huku John akiendelea kuwazuia wasiweze kupita.

Wale watu walisikia sauti ya ving’ora vya polisi na hivyo waliona ni hatari zaidi. Waliongeza mwendo kurudisha gari nyuma ili wakimbie lakini risasi moja iliyofyetuliwa na Aminata ilimjeruhi dereva na kusababisha ashindwe kuhimili usukani na gari lao kupindukia ndani ya mtaro wa maji machafu.

Hakuna aliyeweza kutoka kwani walifunga ilango. Mpaka walipoweza kufungua milango ili watoke, polisi walikuwa tayari wameshafika. Ilikuwa ni rahisi kwa John na Aminata kuwaweka chini ya ulinzi. Watu wengi walijazana kushuhudia watu hao wakikamatwa.

Polisi nao walifika mara moja lakini walishindwa kuwachukua wakiwa hai kwani Aminata na John waliwamaliza palepale. Aminata aliwatambua watu wale. Mmoja wao alishangaa kumwona Aminata kabla ya kupigwa risasi.

Askari waliwashangaa John na Aminata. Waliwatambua baada ya Aminata kuwaamrisha wawachukue maiti wale. P[olisi walitii amri ya Aminata. John alishangaa tukio lile la amri iliyotolewa na Aminata. Alitabasamu baada ya kuona akitolewa heshima na wale polisi.

“Mkuu tumekuelewa,” alitania John huku akiingia kwenye gari na kumfungulia Aminata mlango.

“Mwone kwanza.” Alijibu Aminata.

“Mapambano sasa yameanza. Tusirudi nyumbani.” John alisema huku akiwasha gari tayari kuwafuata wengine eneo la Kambi ya Fisi.

“Hapana mpenzi, tukamcheki kwanza mlinzi imekuaje, atakuwa amefariki au yu hai.” Aminata alimsihi John warudi kwanza nyumbani kwa ajili ya kucheki hali ya mlinzi ambaye alikuwa amelala chini baada ya kupigwa risasi ya kifuani.

Walifika na kukuta umati wa watu wakiwa wameuzunguka mwili wa marehemu. Ulikuwa umefunikwa na polisi walikuwa wameshafika baada ya majirani kupiga simu na kutoa taarifa juu ya mauaji na baadaye magari mawili kutoka kwa kasi yakifukuzana. John alisikitika sana.

Walifanya mipango na kuhakikisha askari wao anazikwa ndipo waendelee na mapambano. Alijua lazima wale watu wameshapata taarifa kuhusiana na kufa kwa watu wao wengine na hivyo mara tu baada ya mazishi ya yule askari, John na Aminata waliamua kuendelea kuwafatilia wale watu wa Mosses.

“John, tuwawahi kabla hawajatuwahi, kwa sasa hawajui tulipo. Tumeanza na hao watatu. Tuhakikishe tunawamaliza wote,” Aminata alisema baada ya kuona mambo yamekwisha tulia.

“Itabidi tusilale kwenye hii nyumba Aminata wala kwako tusiende, huenda wameshajua niko na wewe,” John alimsihi Aminata wasiendelee kuishi hapo badala yake wahamie hata hotelini ili wafanikishe kwanza mipango yao kisha watarudi.

Walifunga nyumba na kisha kuondoka jioni na kwenda hotelini kuishi huko, waliamua wawe wanabadili hoteli mara kwa mara ili wasijulikane wako hoteli gani. Huko walikua wakifika usiku tu.

Mchana kutwa walishinda barabarani wakiangalia baadhi ya watu wa Mosses ili kuwamaliza. Waliangalia pia njia ambayo wataitumia kuvamia ngome yao iliyokuwa kambi ya Fisi.

“Antony,” Aminata alisema baada ya kumkumbuka Antony.

“Amekuwa kimya sana huko Nairobi,” alisem John.
Anarudi lini sasa?”

“Alisema anarudi kesho. Nadhani tumtaarifu juu ya wapi tulipo ili asije akaenda Njiro.“

“Kweli John,” John alitoa simu yake na kumpigia Antony.

“Nadhani kila kitu kina kwenda swa. Mi nakuja kesho.”

“Sawa lakini usifike nyumbani, ukishuka uwanja wa ndege nitakujulisha wapi utufuate.”

“Sawa kaka, nitakufahamisha nikifika.”

Antony alikuwa ndo anajitayarisha kwa ajili ya safari ya kurudi Tanzania.

*****
Mambo mawili kwa wakati mmoja. Huku mapambano huku mapenzi. Vyote vilimtawala Aminata. Hakuweza kutul;ia tu juu ya mwili wa John. Safari hii alivuka mipaka iliyomfanya John astaajabu. Hakuwa na la kujibu wala kuongea pale alipomwona Aminata akichojua nguo moja baada ya nyingine na kubakiwa na nguo za ndani. Mawazo ya kupambana aliyokuwa nayo yalikatika na kujikuta akimvamia Aminata kama vile Aminata alivyokuwa tayari kumpokea.

Safari hii walifikia katika hoteli ya 7’7 iliyoko katikati ya mji wa Arusha. Walijivinjari taratibu kwa kipindi hicho amabacho walikuwa wakijiandaa kwenda kuendeleza tena mapambano.
Mikono yao haikutulia katika kushambuliana wenyewe pale katika mbao za futi sita kila upande. Ofisa alizidisha utundu wake na kuhakikisha mtuhumiwa wake katika penzi hashindi kesi.

Alimpagawisha John kwa kila aina ya vimbwenga ili mradi aiweke safi nafsi yake na kukata kiu aliyokuwa nayo kwa kipindi kirefu.

Mpaka asubuhi ambapo walipata wazo. Wazo la kwenda Mererani. Hiyo ni baada ya kuwakosa pale Kambi ya Fisi na baada ya kujulishwa na Mbago ya kwamba mgodi ulikuwa ameshaanza kufanya kazi chini ya usimamizi wa mmiliki mwingine aitwaye Mosses ndula.

Jambo hilo liliwashangaza sana na hivyo John aliona pasipokuchelewa ni bora wawafuate kulekule kwani endapo wangewashirikisha polisi hakuna ambacho kingefanyika. Walijiamini kwa kuwa hati miliki ya ukweli wanayo wao na kujua ya kwamba lazima ile aliyomiliki nayo Mosses Ndula ni feki.

****

Ilipita wiki moja pasipo kufanya chochote. John na Aminata walikuwa bado wakiendelea kukaa hotelini. Huko walikula raha zote wakisubiri mambo yatulie ili Mosses Ndula asijue kama kuna mpango wa kufanya uvamizi. Pia Antony alichelewa kurudi na hivyo walikuwa wakimsubiri arudi ndipo waende pamoja.

Ni baada ya kufahamishwa na Mbago ndipo walipoaamua kuwafata huko huko waliko na hivyo ilibidi zoezi la kufanya uvamizi kusimama baada ya kuwakosa eneo la Kambi ya fisi ambapo Mosses Ndula na genge lake walikimbia na kutelekeza kambi yao.
Baada ya kuzipata habari zile, John na Aminata waliondoka baada ya siku mbili. Waliamua kutangulia na kumwacha Antony. John alimweleza Aminata ya kwamba wangefika kwanza kisha wampigie simu na wamwelekeze ni wapi walipo.

Alfajiri ya saa kumi na moja John na Aminata walikuwa njiani kuelekea Mji mdogo wa Mererani. Walitaka kwanza kujua hali ya mgodi. Walikwenda taratibu pasipo kuwa na haraka. Walifika ni kuchukua chumba katika moja ya nyumba za kulala wageni iliyokuwa maarufu na iliyotumiwa zaidi na wafanyabiashara wakubwa waliokuwa wakifika Mererani kwa ajili ya kununua madini au hata kukagua migodi yao.

Ni usiku huohuo ambapo Aminata alijihisi mabadiliko. Mabadiliko ya kimwili na hivyo alijua bado yupo kazini na asingeweza kumwambia John kwani hajui ambalo angeamua na kushindwa kuendelea na kazi. Siku hiyo Aminata aliimwonyesha John hisia zake zote na kuficha hali yake hata pale alipohisi kichefuchefu.

Mara kwa mara alimtoroka John ili asimgundue. Alirudi na kuendelea na raha zao na mipango yao ya uvamizi. Alihakkisha John hahisi jambo lolote kwake.

Asubuhi waliamua kutoka kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa eneo zima la mgodi. John alikuwa amesahau sehemu nyingi na hivyo aliishia kuangaza tu macho. Waliamua kwenda moja kwa moja wakifuata njia ambayo aliikumbuka.

Walifika na kushangaa mabadiliko makubwa ikiwemo kuzungushiwa kwa uzio mzito wa umeme ili kudhibiti watu kuingia. Ndiyo hukuhuku Mosses Ndula na genge lake waliweka makazi yao. Walijenga nyumba ndogondogo kwa ajili ya kambi yao. Uzio huo ulilindwa na walinzi waliokuwa wakisimama imara mlangoni na wengine walikuwa juu ya vibanda maalumu vya kuangalizia wezi na watu wanaokuja na kuondoka. John na Aminata waliwafuata baadhi ya wakazi wa huko na kuulizia kinachoendelea.

“Samahani sana ndugu, habari yako,” walimsalimia mkazi mmoja aliyekuwa akizungukazunguka maeneo hayo.

“Nzuri tu,” aliitikia salamu yule kijana.

“Siye hatufahamu nani ameingia hapa maana hata sisi tuna hofu kubwa ingawa hawajawahi kutudhuru wala kutufanyia fujo. Hata mkuu wao anaonekana ni mtu mwema sana,” alikuwa ni mmoja wa wakazi wa mji huo ambaye alielezea ujio wa Mosses Ndula na kikosi chake ambao waliweka kambi hapo bila ya kuwadhuru wakazi wa eneo hilo.

“Umeshazunguka na kuona mwisho wa uzio huu uliozungushiwa?” Aminata alimuuliza yule mkazi.

“Njooni niwapeleke,” yule mkazi aliwachukua na kuwazungusha kila kona ili wauone uzio huo ulikopita na ulikoishia.

Aliwaeleza ni namna gani wanapalinda pale na mtu yeyote akitaka kuingia lazima akaguliwe na kwamba unalindwa na askari wanaojiamini sana.

Ilikuwa saa tatu asubuhi…pilikapilika katika eneo lile hazikuwepo kama awali. Ulinzi ulifanya watu kulikimbia lle eneo kwani lililindwa sana. baadhi ya viongozi wa serikalini walifika pale wakiongozana na Mosses Ndula.

Viongozi hao ni wale waliojihusisha naye katika biashara za dawa za kulevya kabla hajaacha na kuamua kufanya umafia na kumiliki mgodi.

Walifanikiwa kusimama katika moja ya nyumba ambazo zilikuwa karibu na uzio ule na uanza kuangalia ukubwa wa uzio. John alikuwa amemwona moja ya walinzi wakija. Aliwashtua Aminata na yule kijana nay eye kuzunguka kwa nyuma.

Yule askari alifika na kuwaweka Aminata na yule kijana chini ya ulinzi lakini kabla hawajatii amri ile John alikuwa ameshafika na kumpiga kabala moja iliyomfanya ashindwe kujigeuza. Haraka Aminata alimnyang’anya silaha yake na kumficha kule ndani yule askari.

Walimhoji juu ya Mosses na kuhusu mgodi. Yule askari alilazimishwa hadi akasema. Aminata alichukua kiwambo cha bastola yake na kukifunga kisha alimpiga risasi yule askari wa kuhofia akipata nafasi ataenda kuwaelezea wakuu wake.

Waliamua kuondoka katika ile nyumba na kwenda pamoja na yule kijana hadi hotele waliyokuwa wakikaa. Walipanga waende tena jioni ili wapaone kwani kwenye giza wasingeweza kuonekana vizuri. Yule kijana alikuwa bado hajawaelewa John na Aminata pamoja na kwmba liongozana nao. Jua lilizama na wote waliamua kwenda tena.

Ilikuwa ni saa mbili na nusu jioni. John, Aminata pamoja na yule kijana walianza kuzunguka uzio ule. Hakuna aliyemweleza yule kijana zaidi ya kumwomba tu waonyeshe kama alivyowaambia. Walikuwa bado wakizunguka ule uzio. Wao walichotaka kujua ni jinsi gani watakuja kuwavamia.

Waliangaza kila walipopitishwa ili wajue wataingiaje. Hakuna aliyewaona kwani giza lilikuwa limekuwa kali kiasi katika eneo hilo. Yule mkazi aliwashangaa ni kwa nini wanapafatilia kiasi hicho wakati hawataweza kuingia kwani ni hatari.

“Kwani kuna nini kati yenu na hawa jamaa?” alihoji yule mkazi.

“Sikiliza….. hiyo siyo kazi yako…tunachotaka ni kuujua huu mgodi uzio wake unaishia wapi,” John alidakia kwa kumtaka yule mkazi asiingilie lakini ghafla Aminata aliingilia.

“Hapana John, huyu jamaa anatusaidia. Inapasa tumweleze kwani bila yeye tusingeweza kufika hapa.”

“Okey… ni kwamba huu mgodi ni mali yetu na hati tunayo….kwanza jina lako nani?” John alikatisha aliyokuwa akiyaelezea kuhusu mgodi na kutaka kujua jina la yule mkazi.

“Mi naitwa, Francis. Ni mkazi wa huku na kuna kipindi nilishawahi kufanya kazi katika huu mgodi. Nakumbuka kipindi hicho ulikuwa ukimilikiwa na mzee mmoja ‘bonge’ hivi alikuwa akiitwa Amigolas. Yule mzee ndiye aliyetuajiri sisi na kipindi hicho ndiyo huu mgodi ulikuwa ukianza kukua kwani kabla ulikuwa hautambuliwi.

Nasikia kwa sasa ni marehemu na kabla ya kifo chake aliamua kuuuza huu mgodi, alikuja akatutoa wachimbaji wote na kuamua kuajiri wachimbaji aliyewataka yeye na nadhani huyu jamaa ndiye aliyeununua. Inaonekana pia ni mtu mkubwa sana.

“Hapana,” John alimkatisha…. “Huu mgodi haujauzwa. Mzee unayemsema ni baba yangu. Hakuuza mgodi huu ila umechukuliwa kwa nguvu na ndiyo chanzo cha kifo cha mzee wangu. Hivyo nataka kuurudisha huu mgodi kwani hata hati halali ninayo na hati wanayoitumia ni feki.

Hapa tulipo tunataka tuwaangamize wote na kumaliza huu mtandao wao. Kama utaona hatari usijihusishe maana hapa haponi mtu.” John aliongea kwa hasira akimtaka Francis azingatie aliyosikia na awe tayari kwa lolote kama alivyoona kwa yule askari ambaye walimuua jana yake.

Ghafla simu ya John iliita. Ilikuwa ni simu ya Antony. John aliwahi kuizima mlio ili wasije wakasikiwa. Aliipokea na kumtaarifu Antony kwamba atampigia baada ya dakika tano.
Baada ya dakika tano, John, Aminata pamoja na Francis walikuwa wameshafika hotelini. John alimpigia simu Antony na kuongea naye.

“Vipi kaka, uko poa?”
“Niko poa kaka, mko wapi?

“Tuko Mererani. uje maana mgodi umeshavamiwa. Jamaa ameuchukua kweli. Njoo tuanze kazi mkuu.”

“Dah, haiwezekani. Nakuja.”

Antony alichukua gari yake na kuanza safari ya kuelekea Mererani kuungana na John na Aminata. Alijipanga vizuri kuhakikisha kweli anakwenda kwa kazi moja tu, kukomboa mali za baba yao.

*****
USALAMA katika ngome ya Mosses uliwatisha kidogo kina John. Walifika na gari karibu na uzio wa mgodi ule na kuangalia kwa mbali kidogo shughuli zilizokuw zikiendelea kule ndani.

Mosses Ndula alifanikiwa kuweka ulinzi mkali. Si polisi wala mtu yeyote aliyeruhusiwa kuingia mle ndani. Hata viongozi nwa serikali na wateja wake wa madini waliofika pale walikaguliwa ipasavyo kuhakikisha hawaingii wala kutoka na chochote. Hakuamini mtu yeyote kwani alijua alifanyalo.

Hata Mosses Ndula alikuwa akitoka kwa msafara wa gari tano hadi sita zikiwa zimebeba walinzi wake pamoja na wasaidizi wake. Gari zote zilikuwa nyeusi zenye vioo vyeusi ambapo ilikuwa ni nadra sana kwa mtu wa nje kuchungulia ndani. Pia mtu asingejua ni gari gani alilopanda Mosses Ndula kwani magari yote yalifanana.

Hakupenda kujulikana japo alijulikana kwa taarifa zake tu kama mmiliki. Hakuna aliyemfahamu kwa sura. Alikuwa si mtu wa kukaa eneo moja. Aliwatumia zaidi wasaidizi wake. Ni katika dili kubwa tu ndipo yeye angetokea na kujihusisha nazo. Dili alizocheza na watu wakubwa ambazo zilihitaji awepo.

Ni mara chache sana John na Aminata waliweza kuuona msafara huo ukipita wakati wa jioni. Hawakuweza kufanya chochote. Francis aliwaelezea juu ya mambo yanayoendelea.

“Mkiona hivyo, mjue mida hii wanaenda sehemu. Na leo ni wiki endi wanaenda hoteli za kifahari na kumbi za starehe. Mosses alipenda sana kustarehe. Alifanya hivyo pasipo kujulikana.

“Huu ndo mwanya wa kuingia ndani na kuwashambulia watakaobakia huko. Tuanzeni leoleo hakuna kusubiria tena,” Aminata alisema huku akiyaangalia yale magari ya Mosses yaliyokuwa kwenye msafara.

Francis alikuwa ni kijana na hivyo alijua mambo mengi yaliyoendelea kwani tangu kuingia kwao alishuhudia ikiwa ni pamoja na kipindi walipoondolewa na kukaa bila kazi. Alikubali kushirikiana nao katika kazi.

“Kwa kweli nna hamu ya kurudi kazini, nitasaidiana na nyie nihakikishe tunawaondoa hawa jamaa,” Francis aliwaambia John na Aminata.

“Safi sana Francis. Na tunakuahidi makubwa endapo tutafanikisha huu mpango,” John alimwambia Francis ambaye alionekana kufurahia dili hilo.

“Uwe makini lakini kwa sababu wanatumia silaha kali sana,” Aminata alimsihi Francis aliyejitolea kuwasaidia kuukomboa mgodi. Aliomba silaha ambayo itamsaidia.

“Hutaweza kutumia silaha wewe, nadhani utafuata tu maelekezo. Pia muda wa kukufundisha hakuna,” Aminata alimwambia Francis.
“Naweza dada angu. Nilishapitiaga jeshi.”

“Acha utani,” John ambaye alikuwa akitazama eneo la uzio wa mgodi, alisema huku akionyesha kwamba hataki utani.

“Kweli John. Naweza na nakuhakikishia nilimaliza mafunzo sema taabu za kule zilinishinda. Ila niko fiti sana.”

John na Aminata walionyesha kupuuzia. John aliwasiliana na Antony ambaye alikuwa ameshawasili mjini Mererani. Alitaka kwenda hadi walipo.

“Tayari tupo karibu na uzio. Na wameondoka hivyo tunataka kuingia.”

“Basi nakuja hapo hapo mlipo tujue tutaingiaje.”

Baada ya dakika kumi na tano, Alifika hadi walipokuwepo John na Aminata. Walikuwa pembeni ya hoteli ya kawaida ambayo ilikuwa ikitazamana kwa mbali kidogo na lango la kuingilia mgodini. Tayari walikuwa wametimia akiwa ameongezeka Francis ambaye alitambulishwa kwa Antony.

“Karibu Antony,” alisema Aminata ambaye alikuwa akimwangalia Antony aliyekuwa ameshika bastola yake huku akiisafisha kwa kitambaa. Kutokana na baridi iliyokjuwepo mjini Mererani, wote walikuwa wamevalia makoti ya kuwakinga nayo.

“Kazi inaanza sasa. Kama tulivyosema, Antony atabakia nje kwanza afu mi na John tutaingia pamoja na Francis. Francis atafika langoni na kuwahadaa kwa kuzungumza na askari kisha mi na John tutakata nyaya na kuingia ndani kisha wakimkatalia Francis kuingia atarudi na kutufata sehemu tuliyoingilia. Sawa?”

“Nimewaza jambo,” Antony alisema.

“Jambo gani tena?” Aminata aliuliza huku akiona kwamba kuna jambo linguine litaingilia uamuzi wao.

“Yule jamaa aliyekuja home kutueleza kuhusu mgodi kuuzwa na aliyewajulisha kuwa jamaa wameanza kazi. Kwani si anafanya nay eye huku?”

“Dah… kweli. Aminata,” aliita John aliyetaka kumweleza jambo Aminata.

“Sema.”

“Kwa nini hatukuwaza jambo kama hilo. Ingewezekana angetusaidia katika kujua kinachoendelea huko ndani ikiwa ni kuwaeleza na wenzake juu ya mpango wetu ili wawe tayari na tuingiapo waweze kutusaidia.”

“Kweli, sasa kwa sasa tunaingia au?”

“Subiri niwasiliane naye kama anapatikana tuweze kufanya naye hii ishu,” John alisema huku akitoa simu yake na kutafuta jina la Mbago. Alimpigia simu.

Simu ya Mmbago iliita bila ya kupokewa. John alipiga tena na tena. Simu haikupokewa.

“Ok, tusichoshane, nimepiga sana hapokei. Sijui kwamba ndo hawaruhusiwi simu huko?”

“Kweli, ndo mlikuwa mnampigia mtu wa huko ndani?”
“Ndiyo, inamaana hawaruhusiwi mawasiliano.”

“Ndiyo hawaruhusiwi. Wanaacha simu zao ndo waingie. Pengine hakuzima yeye ila wanazima na kuingia wakitoka ndo wanazichukua. Na mara nyingi hutoka saa tano usiku,” Francis aliwaelezea kuhusu t5aratibu za mgodi ule. Yeye alifahamu kwani wapo rafiki zake ambao huwa anawatafuta na hawapati.

Hivyo hugundua ya kwamba watakuwa wamezuiliwa simu. Ni hadi pale alipowauliza ndipo walipomwambia ya kwamba hawawezi kutumia simu hadi pale wanapotoka nje ya mgodi.
“Sasa basi, haina haja ya kupoteza muda wale jamaa wakarudi tukashindwa kazi yetu.”

“Ndiyo, tusichelewe basi. Tuanzeni mara moja kabla hawajarudi.”
Mosses Ndula na walinzi wake walikuwa wametoka. Huo ulikuwa ni mwanya kwa kina John kuutumia kuingia ndani na kuwasubiria huko.

******
Alikuwa ni Francis wa kwanza kutoka na kuelekea moja kwa moja hadi katika lango kuu la kuingilia mgodini. Alifika na kubonyeza kengele ambapo alifunguliwa na walinzi. Aliruhusiwa aingia ndani hadi sehemu ya mapokezi na kuanza kuhojiwa. Hakuonyesha wasiwasi wowote zaidi ya kuangalia kwa makini sehemu ambayo John na Aminata walikuwa wakipitia bila kuonwa na askari.

Wakati huo John na Aminata walikuwa wameshatoka na kwenda moja kwa moja hadi kwenye uzio wakiwa wamesheheni kila aina ya silaha waliyoona itawafaa kwa mapambano. Francis hakwenda na silaha.

“Umefuata nini hapa na unatoka wapi?”

“Natokea mjini, nimesikia kuna kampuni mpya ya uchimbaji madini imeanzishwa hivyo nimekuja kuomba kazi ya kuchimba,” Francis alianza kuelezea huku akitazama kama John na Aminata wanaendelea kutafuta njia ya kuingilia.

“Kazi hapa hakuna, wachimbaji wapo wengi, na kwa nini unakuja jioni yote hii karibia usiku unaingia? Ondoka haraka hapa. Uje kesho asubuhi,” mmoja wa wale askari alimfokea Francis ambaye taratibu alianza kurudi nyuma kuelekea mlango ulipo ili atoke aende zake.

Francis hakuonyesha woga. Aliwaona kina John wakiwa wanaingia na yeye aliamua kutoka kiustaarabu ili wale askari wasije wakashtukiwa.

John na Aminata walikuwa wamejificha nyuma ya gari kubwa la mizigo. Hakuna aliyewaona. Walishika silaha zao kikamilifu na kuanza kuelekea mahala nyumba zao zilipo.

Waliwakuta askari wawili nje. Waliwafyatulia risasi. Walitumia bastola zao walizokuwa wamefunga viwambo ili sauti isisikike. Kisha waliingia kwenye zile nyumba na kuanza kuwashambulia askari waliokuwemo ndani.

Walitoka na kuelekea katika nyumba nyingine wakifanya hivyohivyo. Askari wa lango la kuingilia hawakujua kilichoendelea kwani walikuwa wakiua bila ya watu kuwaona. Sasa walifikia eneo la machimbo. Waliwakuta askari wane wakiwa wanawaamrisha wachimbaji wakae chini.

Mmoja wa wachimbaji wale alikuwa Mbago ambaye aliwaona kina John na Aminata. Aminata na John waliwavizi wale askari kwa nyuma na kuwapiga risasi na kuwaua.

Baadhi ya askari waliona tukio lile na hivyo walikimbilia eneo lile ili kuwashambulia kina John. Mbago na wenzake walikuwa wameshachukua zile bunduki ambazo zilikuwa zikitumiwa na wale askari na kuanza kuwashambulia wale askari waliokuwa wakija.
John na Aminata walitoka na kuwaacha pale wakiwamaliza.

“Asibaki hata mmoja….ueni wote,” Aminata alisema kwa sauti kuwaambia wale wachimbaji baada ya kuona sasa mapambano yameanza. Nao walifanya hivyo kwani walichoka na dhuluma na mateso ya askari wale. Nia yao ilikuwa kuwamaliza na pia kumshikilia mkuu wao Mosses Ndula.

*****
Risasi mfululizo zilirushwa na kina John na Aminata kabla ya kuondoka. Walikuwa wakiwazuia wale askari wa Mosses kuwafikia kabla wale wachimbaji hawajasogea na kukaa sawa.
Mbago na wachimbaji wenzake waliendelea kuwamiminia risasi wale askari wa Mosses ambao waliongezeka. Risasi zilirindima kiasi cha kuwafanya wakazi wa Mererani kukimbiakimbia wakihofia maisha yao.

Aminata na John walikuwa wakiwafuata askari wa lango kuu. Walikuwa wote wameshauliwa. Hawakuona mtu yeyote zaidi ya milio ya risasi iliyosikika kutoka kwa wachimbaji waliokuwa wakiwashambulia askari wa Mosses.

“Twendeni huku,” Antony ambaye alikuwa na Francis alitoka katika moja ya ofisi zilizokuwa karibu na lango kuu na kuwashtua kina John na Aminata ambao walikuwa amesimama kwa kujihami wakiangaza huku na kule kuangalia kama kuna adui anakuja.

Antony aliwaelekeza John na Aminata wawafuate walikokua wanakwenda baada ya kuona taa za magari zikiwa zinakuja kuelekea lango kuu.

“Tumeshawamaliza. Nimeona magari yanakuja kule. Njooni huku,” Antony alisema huku akizunguka nyuma ya gari kubwa la kubebea mchanga. Walisimama yeye pamoja na Francis huku kina Aminata John wakisimama ghafla.

“Hapana, tusikae wote upande mmoja. Nyie nendeni na sisi twende huku,” Aminata aliamua kuwagawa na yeye na John walirudi kule ziliko ofisi za Mosses na kuwaacha Antony na Francis wakaenda kujificha nyuma ya magari huku wakiwasubiri Mosses na wenzake warudi. Hakutaka kumwachia John.

Antony alimwangalia na kutabasamu. Aminata naye alitabasamu kama vile kila mmoja alielewa jambo. John hakuwa na la kusema. Alibaki akiangaza huku na kule. Aliyaona magari na hivyo alimshika mkono Aminata na kwenda kujificha kabla hawajaonwa.

Magari yalikuwa yamerudi yote. Hawakuona mtu katika lango kuu zaidi ya miili ya wafu ambao ilikuwa imetapakaa damu. Askari waliokuwa wameongozana na Mosses waliteremka haraka kwenye gari na kuanza kuangalia huku na huko. Hawakuona lolote zaidi ya miili ya askari wenzao.

Ghafla John aliwatokea na kuwamiminia risasi ambazo ziliwashtua Mosses na wenzake.

“Wafuateni,” alifoka Mosses akiwaamuru askari waliobaki wawafuate wenzao. Huko yaliwakuta yaliyowakuta wenzao. Yeye pamoja na walinzi wenzake wligeuza gari na kuanza kuondoka.
Antony alikutana na Mbago pamoja na wachimbaji wengine. Walivamia migodini na kuwatoa watu wote na kuhakikisha hakuna askari yeyote wa Mosses aliyesalia. Antonuy alitaka kuwajulisha juu ya kilichokuwa kikiendelea. Usiku huohuo ambapo hali ya mji wa Mererani haukuwa tena shwari ilisikika tu milio ya risasi.

Msafara ulivurugika. hali ilizidi kuwa mbaya zaidi. Mashambulizi sasa yalihamia barabarani. Mosses na watu wake waligeuza na kuanza kukimbia wakielekea mjini. John na Aminata waliwaona na hivyo hawakuwaachia.

“Wanaondoka. Tusiwaache,” John alisema huku akilikimbilia moja ya magari yaliyokuwa yamebaki. Alifyetua risasi iliyompata dereva na kumlenga ya kichwani. Aminata naye alifyatua na kuwalenga walinzi wengine wa Mosses. Hapo sasa wakawa wamepata gari. Mosses na mbashala pamoja na walinzi wawili na dereva walikuwa wakikimbia sasa. Waliwaacha umbali mdogo na hivyo walijua si rahisi wawafikie.

Hakuna aliyejua aliyeamua kuvamia na kufanya mashambulizi katika mgodi wako. Mosses alikuwa amechanganyikiwa kwani hakuwa na taarifa ya kuwapo kwa John na Antony, mpacha wa mzee Amigolas.

“Tembea na spidi zote,” alifoka kwa nguvu kumkaripia dereva aongeze kasi. Alizidi kuwaza.

“Mbashala…. Nani wale? Unawajua?” alimuuliza Mbashala ambaye na yeye hakufahamu lolote.

“Au ni serikali wamewatuma majasusi wao kufanya huu unyama. Nitaongea na kiongozi.”

“Kiongozi gani?”

“Mkuu wangu.. Haiwezekani hili. Mambo yanaharibika sasa…. Sijui ni kina nani hawa wanaharibu mipango yangu,” alisema Mosses ambaye alionekana kukasirika.

John na Aminata walizidi kuwakaribia kwani Mosses alijua hakuna aliyekuwa akiwafuata nyuma. Dakika tano baadaye mlio wa risasi iliyofyetuliwa na Aminata ulilenga gari na kuwashtua kina Mosses.

“Endesha, tuko kwenye hatari,” alifoka Mosses akimwamuru dereva wake. Dereva alipatwa na woga. Alitamani aruke aache gari lenyewe kwa kuhofia maisha yake. Alijua hila zote za Mosses zimefika mwisho na huo pia unaweza ukawa mwisho wake.

Hakuwa na la kufanya. Kuona vile dereva alizidi kukimbiza gari. Alitafuta njia ambazo zilikuwa na kona nyingi ili kuwapoteza lakini hawakuwaacha mbali.

Yule dereva aliogopa sana kwani Mosses alikuwa ameshikilia bastola yake na hivyo hakuweza kusimamisha gari ili kukimbia.
Tayari walikuwa wameshaingia barabara kuu ya Moshi Arusha.

*****
Antony alifanikiwa kuipata ile hati ambayo alikuwa nayo Mosses Ndula. Alikuwa ameihifadhi ndani ya sanduku kulekule mgodini katika ofisi yake ambapo walifanya upekuzi pamoja na wale wachimbaji. Aliichukua kama ushahidi baada ya kupata taarifa juu ya kukamatwa kwake. Antony aliwaeleza wale wachimbaji kila kitu. Aliwataka sasa watulie.

“Polisi walipata taarifa juu ya tukio hilo. Walituma baadhi ya askari kwenda kwa ajili ya kuangalia na kusaidia kule mgodini. Polisi walikuwa tayari wamefika katika mgodi huo na kuwaweka chini ya ulinzi wachimbaji wote pamoja na Antony.
Polisi wengine walikuwa wakiwafuata John na Aminata waliokuwa wakiwakimbiza Mosses na watu wake.

“Wekeni silaha zenu chini,” polisi mmoja alitoa amri. Antony aliwasihi wachimbaji waliokuwa na silaha waweke silaha chini na kuwasikiliza wale polisi.

Mosses na watu wake walikuwa wakielekea eneo la Maji ya Chai. John na Aminata hawakuwa mbali nao. John alijitahidi sana kuwafikia. Walianza kuwarushia risasi ambapo na wao walikuwa wakizijibu kwa nyuma. Mosses alijua mambo yameshaharibika na hivyo aliamuru gari lisimamishwe ili waweze kuwashambulia kwa risasi na kuwamaliza kina John.

Haikuwa rahisi kwani wakati wanarushiana risasi Aminata alifanikiwa kuwaua walinzi wawili. Alikuwa ni mlinzi pamoja na msaidizi wa Mosses ‘Mbashala’ na kufanya wabakie watatu. Dereva alikuwa tayari amekimbia na kuwaacha Mosses na walinzi wake wawili wakiendelea kurushiana Risasi.

Polisi walifanikiwa kufika eneo la Maji ya chai na kukuta bado mapambano yakiendelea. Walisimama na kutoka nje ya magari yao na kuanza kuwafyetulia risasi kina Mosses ambao nao walijibu mapigo.

“Acheni,’ Mosses aliwaamuru watu wake kuacha kushambulia kwani aliona ameshazidiwa na hivyo wangeuliwa. Hakuonekana mwenye kukata tama. Alijua atashinda huko mbele. Aliamua kuwazuia wenzake ambao mmoja wao alikuwa akivuja damu baada ya risasi ya John kumpata ya begani.

Mosses Ndula na wenzake hawakuwa na ujanja tena zaidi ya kutii na kuweka silaha chini na kunyanyua mikono juu. John na Aminata walianza kusogea kuwafuata polisi waliko ili waweze kujitambulisha.

“Heshima yako mkuu,” Polisi mmoja aliyekuwa amewafuata Aminata na John alitoa saluti kwa Aminata. Aminata alikuwa bado amewaelekezea Mosses na watu wake bastola hadi walipoweka silaha chini baada ya kugeuka na kuwaona polisi nao wakiwa wamewaelekezea mitutu ya bunduki na hivyo wasiweze kukimbia. Polisi waliwashangaa Mosses na watu wake wawili.

“Huyu jamaa aliwahi kuja pale kituoni na wanasheria wake,” polisi mmoja alisema huku akistaajabu kulikoni mtu mkubwa vile akimbizwe na gari kama mhalifu.

“Nyamaza… kila kitu kitajulikana huko huko. Waliwachukua Mosses Ndula pamoja na wenzake hadi Kituo cha Polisi. Mosses hakuonekana kutishika wala kujali. Dereva alikimbilia porini na hivyo hakuweza kutafutwa wala kujulikana.

Aminata alimfuata kiongozi wa wale polisi na kumsihi wasikubali akatoroka hadi pale watakapofika mjini Arusha kesho yake.
“Sawa mkuu,” tutawafikisha wote kama amri yako ilivyosema.”
KINA JOHN WANAFANIKIWA KUUVAMIA MGODI. WANASHAMBULUIA NA KUUA ASKARI WOTE.

MOSSES ANAFANIKIWA KUKIMBIA PAMOJA NA WATU WAKE LAKINI NAYE ANATIWA NGUVUNI NA POLISI BAADA YA KUFUKUZWA NA JOHN NA AMINATA.

SAFARI YA KUMPELEKA KITUONI MJINI ARUSHA NDIYO INAYOFUATIA.

JE POLISI WATAFANIKIWA KUWAPELEKA KITUONI AU MOSSES KUTOROKA

ITAENDELEA

HATI FEKI – 1

Simulizi : Hati Feki
Sehemu Ya Kwanza (1)

***KIDOKEZO***

JOHN AMIGOLAS YUKO MAHABUSU BAADA YA KUKUTWA AKIWA NA MWILI WA MFANYABIASHARA MAARUFU, GULAM, MARA BAADA YA KUPIGWA RISASI NA MAJAMBAZI AMBAO WALIMVAMIA NA KUCHUKUA PESA ZAKE ZOTE NA KUKIMBIA NAZO HUKU WAKIMPIGA RISASI NA KUMUUA. JOHN ANASHIKILIWA NA POLISI.

ENDELEA
ASUBUHI ya siku hiyo John alikuwa amesimama peke yake.nywele zikiwa timtim huku amepauka baada ya muda mrefu wa kutokuoga na mgomo wa kutokujishughulisha na chochote hadi atakapopata hatma ya jambo lililomleta hapo.

Mawazo yalikuwa yakimwandama baada ya usingizi wa mang’amung’amu ambao alikuwa hajauzoea. Hakuna aliyejali. Labda kwa kuwa hawakupewa taarifa juu. Juu ya hali aliyonayo. Hakuna aliyejua ni nini kilichomkumba.

Alipiga ndoo teke. Ndoo iliyokuwepo karibu na sehemu aliyokuwa amelala. Sababu za yeye kuwepo hapo pamoja na ndoo havikumwingia akilini. Alivuruga kitanda na kukaa chini huku akiwa ameshika kichwa chake.

Hasira zilikuwa zimempanda sana John ambaye alikuwa mahabusu kwa wiki moja sasa bila ya kupewa dhamana. Aliumia zaidi baada ya kuona hakuna msada wowote na kwamba alidhaniwa kwamba yeye ndiye aliyemuua mfanyabiashara mmoja wa magari.

Hiyo ni baada ya polisi kumwona yeye kwani ndiye aliyekutwa katika eneo la tukio pasipo kuwepo mtu mwingine. Eneo ambalo damu zilikuwa zimetapakaa baada ya watu wenye silaha kumvamia mfanyabiashara aliyekuwa tayari amekufa akiwa amelala chini.

Mfanyabiashara huyo, Gulam alikuwa akielekea benki kuweka fedha zake na mara alijikuta akiishia mikononi mwa watu wanne waliokuwa na bastola. Walimvamia na kumwibia hela zote na kisha kumuua. Watu hao walifanikiwa kukimbia na gari yao aina ya Mark II pasipo kukamatwa.

Katika kuwahi kumwokoa, John alikuta yule mfanyabiashara tayari ameshakata roho. Alijaribu kuwaita watu ili kusaidiana lakini baada ya mlio wa risasi kusikika watu walitawanyika na hivyo John alibaki pale peke yake hadi polisi walipofika dakika chache.

John alikuwa na bastola yake ambayo aliitoa mara tu baada ya kusikia mlio ule na kuishika. Hali hiyo alipelekea polisi kumkamata kwa kumshukia kwamba ni yeye aliyefanya mauaji yale baada ya kukutwa.

Bastola aliyokuwa nayo alikuwa akiitembea nayo siku zote kwani alikuwa na kibali cha kuimiliki. Wakati wa tukio hakuweza kuonyesha kibali na hivyo alifungwa pingu katika mikono yake.

Sasa aliishia mikononi mwa polisi kwani majambazi wale walifanikiwa kutoroka na pesa za mfanyabiashara yule. Alijaribu kujielezea kwamba siye yeye aliyefyatua risasi ile lakini polisi hawakumwelewa. Alipelekwa kituo cha polisi cha kati kwa ajili ya mahojiano na kupisha uchunguzi.

Gari lake aina ya Land Cruiser V8 liliachwa karibu na benki ambapo mauaji yalitokea. Hakujali na wala hakuwajulisha ndugu zake walifate. Aligundua kwamba alikuwa amelifunga vizuri na hivyo alielekea polisi.

*****
John hakujua lililoendelea nyumbani kwao kwani alijua si rahisi ateseke mahabusu wakati Mzee wake anaweza kumwekea dhamana akawa huru. Akiwa bado kituoni ndani, siku inayofuata alipata taarifa juu ya kifo cha Mzee wake Amigolas. Baba yake mzazi. John alichanganyikiwa sana hadi kupoteza fahamu.

Hakuwa amemini kama ni kweli baba yake amefariki dunia. Baadhi ya askari walimsaidia kumpepea hadi akazinduka, alizinduka akiwa hajitambui vizuri. Bado alikuwa haamini kama ni mzee Amigolas aliyefariki.

“Amigolas, baba… Amigolas…baba,” ndio majina yaliyokuwa yakitajwa na John siku nzima. Hakujua juu ya familia yake kwani taarifa zilizokuja zilikuwa za baba yake kuuliwa.

Polisi walimwonea huruma lakini asingeweza kuachiwa kwenda kuona hadi uchunguzi wa tukio lake utakapokamilika.

Hakuna mtu aliyejua lolote kuhusu John kwani siku hiyo ndo siku ambayo nyumbani kwa kina John palipata pigo kubwa sana. Ni siku hiyohiyo John alikuwa aachiwe huru baada ya uchunguzi kuonyesha kuwa si yeye aliyeua.

“John aachiwe huru,” mkuu wa kituo alitoa kauli hiyo baada ya kupiga simu na kuongea na Afande Mushi.

“Naomba hilo file la John Amigolas, anatakiwa aje aweke saini. Na umtoe huko ndani. Taarifa kutoka kwa mkuu zinasema kwamba si yeye aliyeua. Afande Nicco, kamtoe huko aliko umlete hapa,” Afande Mushi alitoa amri na kusisitiza kwa afande Nicco ambaye alileta faili la John na kwenda kumtoa. Alikabidhiwa vitu vyake na kuruhusiwa japo alikuwa akionekana kutojitambua.

Alitoka nje ya Kituo cha polisi. Aliangalia uelekeo na kwanza alitaka kulifuata gari lake. Alitaka kujua ni kina nani waliotekeleza mauaji kwa baba yake na ni kwa sababu gani. Gari lake lilikuwa limeshaletwa hadi kituoni. Aliingia na kuwasha.

Aliifuata Barabara ya Uhuru kuelekea Hospitali ya Mount Meru, hospitali kubwa jijini Arusha. Alijua kwamba mwili wa baba ake utakuwa umehifadhiwa huko. Hakutaka hata kurejea kwanza nyumbani kwani angechelewa kupata uthibitisho kwa kuona kweli mwili uliopelekwa hospitali ni wa baba yake Mzee Amigolas.
Alifika hospitali na kukuta umati wa watu ukiwa unafuatilia juu ya maiti zilizoingizwa hospitalini hapo asubuhi. Alisikia tu minong’ono ya watu ambao walikuwa wakisikitika kutokana na kuona maiti zikiingizwa na kupelekwa chumba cha kuhifadhia maiti.

Alisogea na kukutana na mmoja wa majirani zao ambaye alishirikiana na polisi kuzileta maiti hospitali hapo.

“Gaudence, ni…ni kweli maiti iliyoletwa ni ya baba yangu, tafadhali naomba niambie, we ni kama ndugu yetu. Tafadhali Bwana Gaudence,” John alikuwa akimuuliza Gaudence ambaye ni mmoja wa majirani zao huku akilia kwani alijua kuwapo tu kwa Gaudence hospitalini hapo kunadhihirisha ya kwamba mzee Amigolas amefariki kweli.

“Pole sana John, ni kweli na si baba tu, wameuliwa pia ndugu zako pamoja na mama yako Magdalena.”

“Unasemaje?” John aliishiwa nguvu na kukaa chini huku akilia. Gaudence alimsaidia kumwinua na kumpeleka katika gari lake alilokuwa amefika nalo hospitali.

“Usilie bwana John. Jikaze….hii ni kazi ya Mungu. Tuko pamoja.”

“Ina maana na wadogo zangu Isack, Neema na Jenipha?”

“Ndiyo John, wameshapelekwa chumba cha maiti, tunachosubiria ni taarifa za polisi kama watu waliowaua wanajulikana na itatangazwa pia katika vyombo vya habari baada ya uchunguzi,” Gaudence alimwambia John ambaye muda wote alikuwa amejiinamia huku akilia.

Aminata alikuwa ameshafika hospitali. Alikuwa anazunguka huku akifatwa na waandishi wa habari, alikuwa akielekea ndani kuonana na daktari mkuu wa hospitali hiyo. Baada ya muda alirudi akiwa anaangaza huku na huko. John alimtazama. Alihisi kukumbuka kitu lakini machungu ya kumpoteza mzee wake hayakumpa nafasi ya kutafakari lililotokea.
Aminata alimfuata baada ya kujua kuwa ni John. Alimfuata ili kuthibitisha.
“Habari yako kaka?” Aminata alimsalimia John ambaye alikuwa akimwangalia muda wote.

“Salama tu dada, karibu,” John alipata picha juu ya Aminata, alikumbuka kwamba alishawahi kumwona akiwa ameongozana na polisi wakati akikamatwa na baada ya hapo hakumwona tena hadi alipoachiwa huru.

“Inawezekana huyu ni mpelelezi,” aliwaza John huku akimwangalia Aminata aliyekuwa tayari amefika alipokuwa John.

“John, nadhani ndiyo wewe,” Aminata alimuuliza John jina lake kama kuthibitisha kweli alikuwa ndiye John mtoto wa Amigolas.

“Yes, ndiyo mimi. Kuna tatizo na mimi dada,” John hakuelewa Aminata alichomaanisha. Ndiyo kwanza ametokea mahabusu na sura ya Aminata aliikumbuka tayari. Hakujua Aminata alikuwa anashida gani na yeye.

“Nahitaji ushirikiano wako, baada ya kumaliza mazishi naomba unitafute,” Aminata alimaliza kuongea na kuondoka kulifuata gari lake. Aliwasha na kuondoka. John aliachwa na maswali kichwani. Alitakiwa amtafute Aminata baada ya mazishi ya ndugu zake.

*****
Taarifa za vifo zilimfikia Antony ambaye alikuwa nchini Kenya. John ambaye ni pacha wake, alimfahamisha na hivyo Antony alipanga kurudi kumzika baba yake pamoja na ndugu zake. Maumivu yalikuwa makubwa sana kuwapoteza.

Baada ya siku mbili Antony aliwasili akitokea Nairobi nchini Kenya ambako alikuwa akifanya shughuli zake za biashara huko. Mzee Amigolas alikuwa amefungua maduka makubwa ya vitu mbalimbali vya umeme na nguo za kifahari. Maduka hayo yalisimamiwa na Antony.

Antony aliungana na ndugu zake katika mazishi huku akiwalilia sana. Ulikuwa ni msiba mzito sana kwa John na Antony ambao walibaki wenyewe. Antony alilia sana. Hakuamini macho yake kwa kuwapoteza watu wake wa karibu. Watu wengi walifika nyumbani kwa marehemu Mzee Amigolas. Na hii ni kutokana na kuwa maarufu kutokana na biashara zake.

Mzee Amigolas alikuwa ni mfanyabiashara maarufu wa madini aina ya Tanzanite. Alimiliki mgodi mkubwa wa madini hayo huko Mererani. Alikuwa ni tajiri mkubwa sana ambaye kutokana na utajiri wake na umaarufu wake, aliweza kushirikiana na matajiri wenzake kusafirisha madini nje ya nchi na kuyauza.

Utajiri wake ulijulikana kwa watu wengi. Alikuwa amewekeza kwa kujenga nyumba nyingi na hoteli mbalimbali mkoani Arusha pamoja na mikoani kama Dar ea Salaam. Pia maduka makubwa ya biashara nchini nan je ya nchi. Alikuwa ana nyumba kubwa sana maeneo ya Njiro aliyoishi pamoja na familia yake.

Alimuoa Magdalena na kufanikiwa kupata watoto watano yeye na pacha wake Antony, Isack, Neema pamoja na Jenipha.

Nyumba yake ilikuwa kubwa sana na yenye ulinzi mkali sana. Alimiliki magari mengi ya kifahari ambayo yalitumiwa zaidi na watoto wake. Watoto wake wawili mapacha John na Antony walikuwa wakisimamia baadhi ya biashara za baba yao. Antony ambaye ndiye aliyekuwa mdogo. Alikuwa akisimamia biashara za baba ake nchini Kenya. Wadogo zao Isack, Neema na Jenipha walikuwa wakisomea nchini Uingereza. Waliishi huko na mama yao Magdalena.
Hadi mauti yanawakuta, walikuwa likizo kwa ajili ya sikukuu ya Chrismass na Mwaka Mpya. Hawakuwa na taarifa juu ya kuvamiwa usiku kwani wauaji walianza kuwaua walinzi wawili pamoja na mbwa wao kwa kuwapiga risasi kabla ya kufanikiwa kuingia ndani. Hakuna aliyesikia sauti ya risasi kwani walikuwa wameweka viwambo vya kuzuia sauti isitoke. Na huo ndiyo ukawa mwisho wa kuonana na ndugu zake ambao wote waliuliwa.

Hakuna taarifa za kukamatwa kwa wahusika japo polisi walikuwa wakiendelea na uchunguzi. Alitaka kumuuliza John kaka yake kama alikuwa akijua lolote linaloendelea kuhusiana na vifo hivyo. Hakujua wazo alilokuwa nalo John kwani alihisi John lazma atakuwa na la kufanya na yeye angetoa ushirikiano.

“Kaka, unampango gani baada ya haya yote,” Antony alimuuliza John siku mbili baada ya kumaliza mazishi.

“Dah, bado…ila nawasubiri hao polisi wakamilishe uchunguzi wao.

Wakati huo John alikuwa akifikiria namna ya kumpata Aminata. John na Antony walianza kufatilia mali za baba yao ili wazirithi. Walizunguka kote na kuongea na watu waliokuwa wameachiwa na kujua maendeleo ya biashara hizo. Walifanikiwa kwenye mali nyingi isipokuwa mgodi wa baba yao.

Utata ukaanza kugubika kwenye suala la umiliki. Baada ya kifo cha baba yake mgodi ulisimama kufanya kazi. Hakuna kilichoendeshwa na wafanyakazi wote walitawanyika wasijue la kufanya.

Hata wachimbaji hawakuelewa. Tukio lililowashangaza wachimbaji wote. Baadhi ya watu walifika na kuwaamuru wasitishe uchimbaji wa madini hadi watakapoambiwa. Iliwashangaza sana. Wachimbaji wote walijua kwamba mwisho wao wa kufanya kazi umefika.

“Mgodi umeuzwa, hahitajiki mtu hapa…..ondokeni,” mmoja wa viongozi wa juu wa kundi la Mosses Ndula, Mbashala aliwapa taarifa. Hali hiyo ilileta sintofahamu huku baadhi ya wachimbaji wakilalamikia.

“Mbona tusipewe taarifa mapema, mnakuja kutuambia wakati tuko kazini, Mzee Amigolas hawezi kutufanyia hivyo, hata watoto wake hawana roho mbaya hivyo, na kama angekuwa anauza mgodi kweli angetufahamisha mapema na kujua hatma yetu, nyie mnakuja tu mnatuambia mgodi umeuzwa…. nendeni, sisi tuende wapi?” Mmoja ya wachimbaji aliyejulikana kama Mbago, ambaye alikuwa ndiye kiongozi wa wa wachimbaji ambaye anamjua sana bosi wake, Mzee Amigolas na watoto wake alikuwa akipingana na watu waliotumwa na Mosses Ndula.

“Tuonyesheni basi vielelezo siyo mnatuambia tu kwa mdomo, kama ni uongo je? Siku zote karatasi za uthibitisho zinatangulia….tutajuaje kama nyie ni matapeli.” Mbago aliwataka watoe vielelezo ili wapate uhakika wa kile walichoambiwa.

“Hizo nakala za maelezo hatujaja nazo, ila ukweli ndiyo huo. Mgodi umeuzwa na mnatakiwa mfuate utaratibu uliowekwa. Hakuna chenu hapa. Kuanzia sasa hakuna atakayewalipa,” Hakuna aliyemwelewa. Walianza vurugu. Mbashala na wenzake waliwanyooshea bastola wachimbaji lakini hawakurudi nyuma wala kutetereka.

Baada ya kuona wanazidi kusogea. Mlinzi wa Mbasha alifyatua risasi moja hewani. Hata hivyo wale wachimbaji walizidi kiusogea huku wakiokota mawe makubwa.

“Aaagh…mama n’kufaa,” mmoja wa wachimbaji alipiga kelele baada ya risasi nyingine kufyatuliwa na kumpata ya begani. Sasa waliamua kurusha mawe.

“Nani kakuambia upige risasi.” Mbashala alimfokea Yule mlinzi huku wakiingia haraka kwenye gari na kuondoka. Waliwarushia mawe na kufanikiwa kuharibu kioo cha gari lao.

Baada ya kufanikiwa kuwafukuza. Mbago aliwaita wenzake wote na kujikusanya kwa ajili ya kikao ambacho kngewasaidia kujua hatima yao katika machimbo hayo.

“Jamani sikilizeni, naomba tuzungumzie hili jambo,” Mbago aliwatuliza wachimbaji ili azungumze nao. Wachimbaji wote walitii na kukaa chini huku wengine wakiwa wamesimama kumsikiliza kiongozi wao. Yule aliyepigwa aliopelekwa hospitali na kuendelea na matibabu.

“Hili jambo sidhani kama tunakubaliana nalo wote, au siyo jamani?”

“Ndiyoo!Ndiyooo!” Wachimbaji walijibu kwa sauti za kelele kuashiria kuafikiana na kiongozi wao.

“Mwenzetu kapigwa risasi. Inaonyesha hawa watu wanataka kutuingilia kwa nguvu bila kufuata sharia. Wote tunaona kwamba hakuna ndugu au motto yeyote wa mzee wetu Amigolas aliyefika kutueleza. Hata hao wasaidizi wake hawajaja. Iweje wachukue tu mgodi. Lazima tujue.”

“Ndiooo! Ndiooo!” wote walishangilia kauli aliyoitoa Mbago.

Sasa, mi nadhani si jambo zito sana. Mi n’taenda hukohuko nyumbani kwa bosi n’kajue moja. Kama kuna kazi au hakuna. Sisi tumeajiriwa na kama mgodi umeuzwa walipaswa watuambie. Kwani watoto wa Mzee Amigolas si wapo. Mi nafahamiana na John, mtoto wa marehemu. Nitaenda kwao kuongea naye. Hata yeye anaweza kutusaidia. Kesho nitakwenda kujua moja.”

“Ndiooo!” Haki haitapotea. Tujue mojaaa,” wachimbaji walishangilia baada ya kusikia kauli ya kiongozi wao.
“Nitaongozana na Masud na Baraka,” Mbago aliwateua wachimbaji wawili ambao angeongozana nao hadi nyumbani kwa Mzee Amigolas.

“Tukamjulieni hali mwenzetu aliyepigwa risasi.”

Polisi walikuwa wameshafika katika eneo hilo. Walihakikisha hali ya usalama inarudi. Mbago alikuwa ameshatoa taarifa polisi juu ya watu waliokuja kuuvamia mgodi na kuwafukuza kazi kwa nguvu. Polisi waliwapa taarifa juu ya mgodi ule. Mosses Ndula alikuwa polisi pamoja na wakili wake. Walikuwa wamepeleka hati ya kuonyesha kwamba kauziwa mgodi na Mzee Amigolas kabla ya kufariki na kwamba umiliki wake ungeanza baada ya miezi sita.

****
John alikuwa njiani akielekea kituo cha polisi cha kati. Hakuwa na taarifa zozote kuhusiana na yaliyotokea Mererani baina ya wachimbaji na watu wa Mosses Ndula. Kichwani kwake alikuwa akifikiria juu ya Aminata. Alitaka kujua ni vipi atampata Aminata.

Aminata Peter, ni mwanamke aliyesomea masuala ya upelelezi na kuwa moja wa wapelelezi wakuu wa jeshi la polisi. Taaluma yake ilimfanya ajuane na watu wengi ikiwapo kugundua njama mbalimbali za watuhumiwa.

Kama ilivyokuwa kwa John na Antony, Aminata alipata pigo kama lililowapata baada ya baba yake pamoja na mama na ndugu zake kufariki baada yua kuuliwa na majambazi wakati wakiwa njiani. Tukio hilo lilitokea baada ya kuwekewa mawe makubwa barabarani na hivyo kushindwa kupita na kuvamiwa.

Baada ya kufanikiwa kuwazuia kupita. Majambazi hao walipora vitu vyao vyote pamoja na kuwafyatulia risasi na kuwaua wote.

Wakati wa tukio hilo la kusikitisha Aminata alikuwa yuko shuleni. Shule ya bweni na hivyo hakuweza kusafiri pamoja na familia yao. Alilia sana kuwapoteza ndugu zake. Upelelezi ulikuwa ukifanyika lakini matokeo hayakumridhisha Aminata ambaye alikuwa na shauku kubwa sana ya kutaka kuwajua wauaji.

Baada ya kumaliza kidato cha sita, Aminata alijiapiza kufa na kupona hadi ajue mtandao wa wauaji wale. Ikiwezekana autokomeze kabisa. Hakumwambia mtu mwingine yeyote juu ya mpango wake huo. Alianza msako wake taratibu.

Alipenda kutoka mida ya usiku ili akakutane na baadhi ya vijana na kuzoeana. Alijua lazima watakuwa baadhi wanaufahamu huo mtandao.

Kwa mara ya kwanza Aminata anaingia ndani ya himaya ya Mosses Ndula. Anakutana na sura za watu wajuao kazi. Sura za kila aina ya wahuni. Haogopi.

Anakutana na kijana mmoja ambaye alikuwa anavuta sigara mlangoni. Anamwangalia sana kisha anapita. Yule kijana anamfuata.

“We nani?” anamuuliza Aminata.

“Mambo kaka angu, mi naitwa Stellah. Nimeshawahi kukuona mahali mjini karibu na Posta.

“Inawezekana,” yule kijana aliwaza huku akionyesha kuvutiwa na Aminata. Aminata alikuwa ni mzuri sana na hivyo kila aliyemwangalia alimtamani.

“Unataka nini huku?” alihoji yule kijana.

“Nadhani nitakuwa nimepotea njia. Samahani sijui huku ni wapi. Naomba unisindikize niweze kutoka huku. Samahani lakini kaka yangu.

“Aah, niko kazini hapa…lakini nitakusindikiza uweze tu kutoka hapa.” yule kijana alikuwa ndiye mlinzi wa mlangoni katika ngome ya Mosses ndula iliyokuwa eneo la Kambi wa Fisi. Huko ndiko Mosse alijua kwamba hasingeweza mtu yeyote kujua kinachoendelea.

“Asante kaka yangu,”aminata alimshukuru yule kaka na kisha alimuuliza jina lake.

“Naitwa Dula,” alisema yule kijana.

“Sasa Dula, nitakutafuta siku nyingine basi. Nimependa ulivyonisindikiza. Napenda tuwe marafiki zaidi.
“Aaah, siamini,” Dula aliwaza huku akitabasamu kwa kutokuamini kama ni yeye. Hakujali kwamba ameacha mlango peke yake na kama atatafutwa na mkuu wake ambaye alikuwa ndani. Alimwacha Aminata akiondoka na kumwachia namba za simu ili wawasiliane.

Dula alirudi haraka. Alifika mlangoni na kwa bahati nzuri hakuna aliyefika hapo tangu atoke na Aminata. Aliendelea kusimama hapo hadi Mosses alipotoka na kuchukua gari lake na kuondoka pamoja na wapambe wake.

Aminata alifika nyumbani. Ilikuwa ni usiku wa saa tano. Hakuogopa kutembea mwenyewe. Baada ya kuondoka mitaa ya Kambi ya Fisi. Alichukua teksi iliyompekleka hadi nyumbani kwake Sakina. Alijilaza juu ya kitanda na kuanza kutafakari juu ya kumwingia Dula ili aweze kumwambia kuhusiana na Mosses pamoja na kundi lao wote.

*****
Asubuhi alimpigia simu Dula na kumtaarifu kwamba wakutane Café la Azziz.

“Unapajua hapo.”

“Ndiyo, lakini ni sehemu hatari sana kwetu sisi hasa ukizingatia na jinsi tunavyojulikana mjini.”

“Unamaanisha nini Dula? Acha woga, we ni mwanamume. Njoo mjini bana. Huko kwenu mbali.”

“Ok poa bibie. Nakuja hapo.” “kumwacha mtoto mzuri kama yule…ni sawa na kuokota dhahabu alafu kuitupa ukiwa na akili zako timamu, waccha niende. Nitamdanganya bosi,” aliwaza Dula huku akitafuta kijana mwenye bodaboda ili aweze kumfikisha aliko Aminata.

Dula alichukua usafiri wa bodaboda hadi alipokuwa Aminata. Kutoka eneo la Kambi ya Fisi hadi Café la Azziz haikumchukua zaidi ya nusu saa. Alimkuta Aminata akimsubiri.

“Dula nikuombe kitu,” Aminata alimwambia Dula mara baada tu ya Dula kushuka katuika bodaboda.
“Nini tena bibie?” alihoji Dula.

“Samahani lakini, sipendi harufu ya sigara.”

“Aaah, hilo tu bibie? ok nikiwa na wewe sitovuta hadi niondoke.”

“Ntashukuru sana.”

“Vipi bibie, za tokea jana?”

“Nzuri tu Dula.”

Dula alikuwa akimwangalia sana Aminata ambaye alikuwa akiendelea kunywa soda yake taratibu. Aliupenda uzuri wake. Alijiona mwenye bahati hasa baada ya kumwona Aminata akiomba msaada na kutaka kuwa marafiki. Hakujua lengo hasa la Aminata hadi kufanya hivyo.

Aminata aliutumia mwanya huo kuwajua vizuri. Alifurahia ushirikiano na Dula. Kila alipomhitaji Dula alikuwa akifika mara moja. Wakati mwingine alimfuata yeye ili Dula asijue lengo lake. Hata baadhi ya rafiki wa Dula walianza kumjua Aminata.

Wakiwa katika ukumbi wa starehe wa Triple A. Aminata alitaka kujaribu bahati yake kwa kumuuliza mengi kuhusiana na kundi lao. Kwa kipindi kifupi cha kujuana na Dula aliweza kuonana na wengi katika kikundi hicho akiwemo Mosses ambaye baada ya Dula kumtambulisha alionekana kumtamani sana Aminata.

“Unakaribisha sana shemeji. Wakati wowote.” Alisema Mosses kisha kutoka baada ya kumsalimia Aminata.

Aminata alimwangalia sana. Mosses alikuwa ni mrefu mweupe. Sura yake ilikuwa ikifanana na chotara wa Kiarabu. Ni Mnyamwezi wa Tabora lakini maisha yake alikulia Arusha. Alifanikiwa kusoma hadi kidato cha sita. Ni biashara za magendo ndizo zilizomfanya Mosses asiendelee na chuo kwa ni alifaulu vizuri lakini pesa ilimfanya asitamani tena kusoma. Na huo ndio ukawa mwisho wa kurejea yaliyo vitabuni.

Alianzisha kampuni ya magendo ambayo haikusajiliwa ya kununua magari na kuyauza. Baada ya miaka sita iligundulika lakini hawakuweza kumkamata kwani alikimbilia nchini Kenya na kuishi kwa miaka miwili. Baadaye Mosses alirudi na kuanza ujambazi. Ngome yake aliiweka katika msitu mmoja wa Kambi ya Fisi. Huko hakuweza kuonwa na yeyote kwani alijiimarisha kwa kuweka uzio na walinzi wa kutosha. Alianza kufanya ujambazi na utekaji wa magari akishirikiana na watu wake.

*****
Aminata alifanikiwa kujua juu ya Mosses. Sasa roho yake ilitulia. Hakujali kuhusiana na kifo cha Dula ambaye baada ya kubainika ametoa siri za kundi.. Mosses alimpiga risasi na kufa. Aminata baada ya kusikia habari hizo aliamua kujificha kwa muda.

Alikimbilia jijini Dar es Salaam ambako aliamua kusomea masuala ya Upelelezi na jeshi. Alijua Dula hakumdanganya baada ya kumweluezea ukweli ya siku walivyoteka gari la mzee Peter na familia yake na kuwaua kisha kuchukua mali.

Aminata alitumia mbinu kubwa sana kumshawishi Dula ili amwelezee. Ni pale alipoamua kumvulia nguo akimaanisha kwamba ni wapenzi. Hapo sasa Dula alidiriki kuunyanyua mdomo wake na kumwambia Aminata kila kitu.

Usiku huo Dula alijua ungekuwa mrahisi sana. Baada ya kumwambia Aminata juu ya siri za kundi lake. Aminata alimtamkia Dula kuwa anampenda sana na kumwahidi kuwa wake. Dula alifurahi sana. Alimkumbatia Aminata kwa nguvu na kumbusu. Hapo ilikuwa ni kazi rahisi. Dula alijiandikia ushindi kwa mtoto mzuri Aminata.

“Mbona sikuelewi tena Aminata,” Dula alihoji baada ya kumwona Aminata akitoka kitandani na kukaa kitako katika moja ya masofa yaliyokuwa katika chumba cha hoteli waliyofikia.

“Hapana Dula, usijali. Siko tayari leo. Nimeumwa sana leo.”

“Kwa hiyo tutalala tu hivi hivi?”

“Siyo hivyo. Ni kwa leo tu. Wewe ni mpenzi wangu. Siku yoyote utanitumia uwezavyo.”

Dula alikubali kwa shingo upande na kulala.

*****
Aminata alifanikiwa kumaliza mafunzo yake ya upelelezi. Alirudi Arusha na kujiunga moja kwa moja na Jeshi la Polisi. Ni ujanja wake na uchapaji kazi wake ndio ulipelekea kutunikiwa cheo cha Ofisa Upelelezi. Ilikuwa ni furaha kwake.

Kati ya mambo ambayo aliyafanya ni uchunguzi na kugundua biashara ya dawa za kulevya iliyomhusisha kigogo mmoja mkubwa serikalini.

Ni katika mpaka wa Tanzania na Kenya. Eneo liitwalo Namanga ndipo tukio hilo lilipotokea. Akiwa kati ya maafisa wapelelezi wadogo na walioibukia katika kazi hiyo. Aminata aliiamrisha kushushkwa moja ya mabegi ambalo ndani lilikuwa limesheheni nguo.
Aliliangalia lile begi na hasa baada ya ofisa mmoja mkaguzi kuliwekea alama kumaanisha kwamba lilikuwa safi na kwamba hakukuwa na chochote kibaya. Ofisa huyo alizima alamu ya mashine ya kukagulia na kuipitisha juu ya begi hilo. Baada ya kumaliza aliiwasha. Aminata alikuwa ameona tukio hilo.

“Nasema shusha tena hilo begi. Sijaridhika na ukaguzi wake.” ofisa yule aliogopa kidogo na kumjia juu Aminata.

“Nimelikagua, halina shida. Haya mzigo mwingine.” yule ofisa aliamrisha baada ya lile begi kupakiwa kwenye gari.

“Nimesema, fungua begi,” Aminata alitoa tena amri ambayo safari hii yule ofisa aliitii na kufungua begi. Aminata alitumia kifaa maalumu na kugundua ndani ya lile begi kulikuwa na dawa za kulevya.

Haraka alichukua simu yake ya upepo na kuwasiliana na polisi ambao walifika maramoja na kuwachukua wale wahusika ambao walikuwa wamewekwa chini ya ulinzi mkali.

Walipelekwa Kituo cha Polisi cha Kati cha mjini Arusha kwa ajili ya mahojiano huku uchunguzi ukiendelea kuhusiana na biashara hiyo. Watuhumiwa baada ya uchunguzi walifikishwa mahakamani akiwemo kigogo wa serikalini ambaye ndiye aliyewatumia watuhumiwa wenzake kuziingiza dawa hizo zilizotokea nje ya nchi.
Wakati wa sherehe moja kubwa ambayo iliwahusu maofisa wapelelezi. Aminata alipata bahati ya kupandishwa cheo na kuwa Ofisa mkuu. Baadaye alihamishiwa jijini Dar es Salaam. Alishindwa kupinga kwani mkuu wa polisi alitaka iwe hivyo. Aminata alihamia Dar es Salaam.

Huko Dar es Salaam, palikuwa hapakaliki. Mara nyingi alirudi Arusha kwa ajili ya kazi yake moja tu. Kazi ya kuuangamiza mtandao wa Mosses Ndula. Ulikuwa ni mtafutano baina yake na Mosses Ndula ambaye alidhamiria kumweka Aminata mikononi mwake.

*****
John alikuwa hana raha. Alimfikiria sana wakati huo. Alikumbuka kwamba hakumwachia namba za simu Aminata bali alimwambia tu amtafute baada ya mazishi ya ndugu zake.

Alifikiria sana atampataje na mwisho aliamua arudi kituo cha polisi kwani mara ya kwanza kufika kituoni hapo alikuwa amefungwa pingu huku Aminata akiwa ni moja ya watu waliompeleka kituoni hapo kutokana na kesi yake kuwa kubwa japo iligundulika kuwa si yeye aliyemuua mfanyabiashara anayedaiwa kuuliwa. Aliingia na kumkuta Afande Nicco na kumsalimia.

“Habari yako afande.”

“Ahh! We mwalifu, umerudi tena, umejileta eeh?” Afande Nicco aliongea kwa mzaha uliosababisha John acheke.

“Karibu tena, leo umekuja kumshtaki mtu au kunisalimia tu?” Aliendelea na utani afande Nicco.

“Hapana nimekuja kukusalimia na kuulizia jambo moja. Kuna dada mmoja alikuwa pamoja na Afande Mushi waliponileta siku ya kwanza. Anaitwa Aminata.”

“Aminata, we unataka kutembea na ofisa upelelezi?” Alisema Afande Nicco kwa mshangao na kauli zake za utani. John alicheka kidogo.

“Hapana, kuna jambo anataka nizungumze naye, aliniambia nimtafute.”

“Kwani huna namba zake za simu?”

“Hapana, hakunipa siku hiyo. Kama unayo naomba unisaidie.”

“Sawa mi n’takupa namba zake za simu na kwa nini hakukuachia namba zake?” Alihoji Afande Nicco.

“Sielewi, ila alisema tu nimtafute.” Afande Nicco alimpa John namba za simu kisha waliagana. John aliwasha gari lake na kuelekea nyumbani. Alichukua zile namba na kumpigia Aminata.

“Haloo!”

“Habari yako, sijui nani mwenzangu?” Sauti ya upande wa pili ilikuwa ni ya Aminata ambaye alitaka kujua ni nani aliyempigia simu.

“John, mtoto wa Amigolas, marehemu sasa, tulikutana Hospitali ya Mount Meru na kunitaka n’kutafute baada ya mazishi ya ndugu zangu.”

“Ooh! John, pole sana. Ila umechelewa sana kunitafuta. Mimi nipo hapa McDonald’s Pub kama utaweza kufika hapa muda huu itakuwa vizuri zaidi.” Aminata aliongea kwa furaha baada ya kujua aliyempigia simu ni John.

“Nakuja hapo sasa hivi Aminata.”

“Sawa nakusubiri John.”

Aminata alikumbuka dhamira yake. alijua akiwa na John mpango wake utafanikiwa kwa asilimia mia moja. Alijua pigo alilolipata yeye ni sawa na alilolipata John na hivyo ingekuwa rahisi sana kufanya kazi pamoja.

Alikuwa tayari ameshaijua vyema familia yote ya mzee Amigolas. Aliijua baada ya kutaka kuwa katika upelelezi wa wauaji wa familia hiyo.

Japokuwa alishafahamu mtandao mzima lakini Aminata hakudiriki kuwaeleza polisi juu ya mtandao huo kwani lengo lake lilikuwa ni moja tu. Kulisambaratisha.

******
John aliwasha gari lake . Askari wa mlangoni aliwahi kufungua geti na John kuondoa gari kwa kasi ili amuwahi Aminata. Ilimchukua dakika 10 mpaka kufika McDonald’s Pub. Alikuta magari mengi nje. Alilipaki gari lake karibu na mlango wa kuingilia ndani. Aliteremka na kutoa simu yake na kumpigia Aminata.

“Haloo Aminata.”

“John, njoo moja kwa moja hadi counter, nipo peke yangu hapa.”

“Sawa Aminata, nakuja hapo sasa hivi,” John alielekea hadi counter na kumkuta Aminata akiwa ameshikilia glasi ya wine. Mhudumu alipomwona John alimkaribisha.

“Karibu kaka, n’kusaidie nini?”

“Hapana sitatumia chochote.”

“John, you should take something… mhudumu, mletee wine kama yangu,” Aminata alimwagizia John wine. Walikaa na kuanza kuongea baada ya wine kuletwa.

“John,” aliita Aminata.

“Yes Aminata, nakusikiliza.”

“Pole sana na msiba wa wazazi wako na ndugu zako. Nauhakika polisi bado wanaendelea na uchunguzi. Mimi ni ofisa upelelezi ndiyo maana uliniona siku ambayo ulikamatwa niliongozana pamoja na Inspekta Morris na Afande Mushi.

Wote kwa sasa wanafanya uchunguzi wa nani anahusika na vifo vya wazazi wako na ndugu zako.”

“Natamani sana kuwajua watu hao,” alisema John huku kainamisha kichwa chini na kusababisha huruma kwa Aminata.

“Utawajua John, kabla hawajakamatwa, mimi na wewe tutawakamata.”

“Tutawakamata vipi lakini?” Alihoji John kwa mshangao kwani hakuwa na uzoefu wa kukamata wahalifu. Iweje apewe jukumu hilo.

“Mi siyo polisi, n’tawezaje Aminata.”

“Namaanisha, nataka ulipe kisasi na si kuwakamata. Kama walivyoua ndugu zako, yapasa na wao waangamizwe. We ni mwanamume. Amka. Wale wakikamatwa na polisi baadaye watatoka. Inatakiwa wamalizwe kabisa.”

“Kumbe unawajua Aminata?” Alihoji John.

“Ndiyo John, ni mtandao mkubwa sana wa kihalifu, unaoogopeka sana. Kiongozi wao anaitwa Mosses Ndula, huwa hakai hapa nchini, anakuja bila yeyote kujua nakuondoka. Na huyo ndiye jabali lao. Ndiye aliyewatuma watu wake wawaue wazazi na ndugu zako. Inawezekana pia wakawa wanawatafuta na nyie wawili.”

“Sisi wawili, mi na nani?”
“Unamfahamu pacha wangu, unamfahamu Antony?”

“Ndiyo John, kwenu nawafahamu japo nyie hamnifahamu. N’mefanya kazi nyingi sana kumsaidia baba yako. Na hiyo ilinifanya niwajue….. Nadhani ni muda wa kwenda. Nitakuelezea mengi tukifika kwangu.”

“Naomba tuongozane, twende pamoja nyumbani kwetu ukapafahamu,” John alimwambia Aminata ili waongozane kwenda kwao.

“Sawa John,” Aminata alikubali na kuongozana na John. Hakutumia usafiri wake. Aliliacha na kuondoka pamoja na John aliyekuwa na usafiri wake.

*****
Walitumia dakika ishirini tu kufika Njiro nyumbani kwa kina John. Walikuta watu watatu wakiwa wamesimama nje ya geti. Mlinzi aliwafungulia na kuingia. John alikuwa bado hajawatambua hadi alipofikia geti kabisa. Mlinzi alifungua geti kubwa na kuliruhusu gari la John kuingia. John sasa alimtambua mmoja kati ya wale wageni.

“Hawa ni wachimbaji wa mgodi wa baba,” John alimwelezea Aminata.

“Namkumbuka mmoja tu, aliyevaa kapelo. Sijui wanataka nini.” John alishuka kwenye gari na kumfungulia Aminata mlango, alimkaribisha kisha kuwafuata wale wachimbaji.

“Mbago bila shaka,” John aliuliza.

“Ndiyo mkuu, ni mimi, habari za siku nyingi bosi?” Antony naye alikuwa akitoka nje baada ya kusikia gari likiingia na watu wakiongea. Alisimama mlangoni. Aminata alimwangalia sana kisha kumgeukia John. Hakuona tofauti kati yao. Walikuwa wamefanana sana.

“Salama tu, habari za Mererani bwana Mbago.” Aliwasalimia na wachimbaji wengine walioongozana na Mbago.

“Kule hali siyo nzuri kabisa bosi.”

“Kwa nini sio nzuri?” Alihoji John.

“Hatuelewi hatma yetu kwani mgodi umeuzwa bila ya kupewa taarifa. Ndio tumechukua uamuzi wa kuja kujua moja ikiwamo kuhoji imekuaje kimyakimya.” Alielezea Mbago kwa masikitiko huku wenzake wakiitikia kwa kichwa kuashiria anachosema ni kweli.

“Mgodi umeuzwa?” John na Antony kwa pamoja walitahamaki. Haraka Antony aliingia ndani na kutoka na hati ya umiliki wa mgodi inayoonyesha mmiliki halali wa mgodi ni baba yao Amigolasi.

John aliangaliana na Aminata kwa muda. Hakujua amwambie nini hadi pale Antony alipotoka nje na karatasi iliyoonyesha hati ya umiliki wa mgodi.

“Haiwezekani, hati hii hapa,” Antony aliwaonyesha. “Hii si ndo hati ya mzee? John embu itazame mwenyewe. Ni nani huyo anayeleta mchezo?” Antony alimkabidhi ile hati John ambaye aliiangalia kisha nay eye kumpa Aminata aiangalie.

“Nani kaja kuwapa hizo taarifa? Alihoji John huku akimwangalia Aminata kana kwamba Aminata alijua kinachoendelea. Aminata alikuwa kimya akisikiliza malalamiko na utetezi wa pande zote mbili. Wachimbaji na mabosi wao. Mbago aliwaelezea namna ilivyokuwa hadi wakaamua kuwafukuza kwa mawe na kisha kuitisha kikao cha kujadili safari ya kuja kuonana na wao.

“Mmefanya vizuri sana. nashukuru sana kwa hizo taarifa. Kuna watu wanataka kutudhulumu haki yetu. Labda sio mimi.” John alisema kwa ukweli huku akimrudishia Antony ile hati ili aipeleke ndani.

“Tutalishughulikia hilo, ila waambie wenzako kwamba mgodi haujauzwa, kazi ipo na mambo yakitulia m’taendelea kama kawaida.” Antony alihitimisha ili kuwaruhusu Mbago na wenzake wawawahi kuwajulisha wenzao.

“Tunashukuru sana bosi. Siye tunaenda. Mbaki salama.” Mbago na wenzake waliondoka baada ya kupata jibu. Hawakujua kwamba wamewaachia John na Antony kazi kubwa sana. John alionekana kuchanganyikiwa.

****
Ni aminata peke yake ndiye aliyeweza kumliwaza John. Aliamua kuwa naye karibu zaidi ili aweze kumtoa katika hali ile. Si kwa hilo tu bali pia Aminata alikuwa anaonyesha kila dalili za kumpenda John kimapenzi. Ni kwa kipindi kirefu sana amekuwa kattika hali hiyo ya upweke kwa ajili ya kazi.

Aminata alikuwa ameshapajua nyumbani kwa kina John na hivyo alifika mara kwa mara ili kuendeleza mipango yao.

Aminata alipata nafasi ya kuongea usiku huo. Hakwenda nyumbani kwake bali aliamua kulala nyumbani kwa kina John kwa ajili ya kuongea mengi. Aminata alimsimulia John yote yaliyomtokea hadi akaamua kuwa mpelelezi.

“Niliamua nikajiapiza kwamba sitawasamehe nan i lazima niwakamate na niwaangamize mimi mwenyewe. Baada ya kukufatilia na kujua wewe ni mtoto wa mzee Amigolas, na bada ya kuona pigo nililolipata mimi na wewe umelipata pamoja na pacha wako. Na pia John wewe unaonekana si lele mama. Wewe na Pacha mnaonekana mmeshiba sana. ni watu wenye nguvu za kupambana. Hivyo kwa mafunzo niliyoyapata tukichanganya na ninavyowaona nyie. Tutawamaliza hata kama wako wengi vipi.” Aminata alimwambia John huku akicheka kwa lengo la kumshawishi wawe pamoja.

John alisimama. Alijiona kama mshindi na asiyeogopa hatari yoyote. Alikumbuka wazazi wake na ndugu zake walivyouliwa. Aliwakumbuka Mbago pamoja na wenzake waliokuja siku chache zilizopita kuwaeleza juu ya migodi. Yeye kama mwanamume iweje akae nyuma wakati Aminata amejitoa kupambana dhidi ya dhulma.

“Tuko pamoja Aminata lazima tuwaangamize. Kesho asubuhi nitaongea na Antony tujue tunaanza lini kazi. Hata kama wameshajimilikisha mgodi lazima tuurudishe. Hizo ni dhuluma. Hatuwezi kuziacha zikatufilisi sisi. Walishachukua roho za ndugu zangu. Sasa wachukue na yakwangu nay a Antony kama wanaweza.” John alisema kwa hasira kali.

Aminata alimfuata na kumshika kisha kumkalisha juu ya kitanda. Pamoja na baridi kali ya mjini Arusha, John alitokwa na jasho kali. Joto lilisababishwa na hasira. Hapo Aminata alimwelewa John kwamba yu tayari kwa mapambano.

“John,” aliita Aminata…. “Wewe ni mwanamume unayeonekana shupavu. Ni mwanamume unayeweza kupambana na pia unamvutia sana mwanamke. Mvuto wako siwezi kuuvumilia pamoja na kwamba unayo hasira. Leo nipo kwako. Sitalala peke angu. Najua Antony ameshalala. Niazime mwili wako kwa usiku huu wa hii baridi,” Aminata alishindwa kuvumilia kila alipomwangalia John ambaye alikuwa amevua shati na kubakiwa na kaushi iliyombana vizuri na kufanya misuli yake itoke nje.

Aminata alipata nafasi ya kuushika mwili wa John kila alipokuwa akimbembeleza. Hapo alijihisi kumvamia John japokuwa alikuwa na hasira. Alijaribu umtuliza mpaka alipoweza kumwambia alichokitaka.

John aliyasikia aliyoyasemaAminata. Hakuonyeshwa kushangaa kusikia maneno yale. Hakuwa na kufanya zaidi ya kunyinyakulia ushindi murua wa mezani baada ya mpinzani wake kuweka mikono chini kuashiria hawezi kushindana.

Ukawa ni mgeuzano wa kila aina katika mbao za futi sita kila upande. Godoro la kisasa zaidi ya lilivyotumika kabla lilionja joto ya migusano na vilio vya mahaba kutoka kwa ofisa mpelelezi Aminata.

Tukio liliendelea tena na tena. Ukawa ni usiku wa bashasha uliolakiwa vizuri na miili iliyokuwa tayari kujifunga na kuwa pamoja. John alisahau hasira zake na kudhulumiwa kwa mgodi. Aminata naye akasahau kazi yake ya ofisa upelelezi. Mtifuano mkali ulimalizika pakiwa panaelekea kupambazuka. Wote walifurahia mchezo huo
Asubuhi John alimfata Antony. Alimwelza juu ya kila alichoambiwa na Aminata. Antony hakuwa na pingamizi kwani alijua hakuna njia nyingine endapo wahusika walishajimilikisha mgodi. Hivyo alijiunga nao ili kuhakikisha wanafanikiwa.

John alimwita Aminata na kumweleza juu ya Antony kukubali. Aminata alifurahi sana. alimwangalia Antony vizuri kwa lengo la kuwatofautisha pindi watakapokutana. Antony ambaye ndiye aliyekuwa mdogo, alikuwa mweupe kidogo kuliko John. Pia Antony alikuwa ni mpole kwa zaidi ya John.

“Mmefanana sana nyie watu. Antony ni mweupe hapo ndo sitawachangamya.” Antony aliangaliana na John kisha wakacheka.

“Acha utania wako Aminata,” John alisema huku akimshika mkono Aminata na kumtambulisha vizuri Antony.

“Huyu anaitwa Aminata. Ni shemeji yako.”

“Nilishaelewa mapema, nilikuwa nasubiri tu nisikie kauli yako. Hongera kaka.”

“Asante.” Hapohapo Aminata nay eye akaongea kuwaambia John na Antony juu ya mpango wake.

“Nataka kwanza mjue kitu gani tutaanza nacho. Kazi ni kubwa sana kuliko huku kutambulishana. Inahitajika mfanye mazoezi hasa ya kulenga shabaha. John we ulikutwa na bastola lakini sidhani kama unajua kuitumia vizuri.”

“Najua sana, sema nakusikiliza.”

“Mmmh. Na mbona wale majambazi walikimbia hukuitumia wakati yule mfanyabiashara alivyovamiwa benki? Au hukujua kama uko nayo?” John na Antony walicheka sana kisha wakasema kwa pamoja.

“Basi tufundishe ofisa.”

Zoezi likaanza mara moja. Aminata aliwapeleka sehemu maalumu wa ajili ya kuwafundisha nyumbani kwake Sakina.

Jambo la kwanza alilofanya Aminata ni kuwafundisha mbinu mbalimbali za kutumia. Aliwafundisha kutumia silaha kwa kulenga shabaha pamoja na namna ya kuwa makini wakati unapokabiliana na adui yako anayekuhisi unamchunguza. Baada ya muda wote walijua.

AMINATA ANAFANIKIWA KUWASHAWISHI JOHN NA ANTONY KUJIUNGA NAYE KWA AJILI YA KUANGAMIZA KUNDI LA MOSSES NDULA. ANAWAPA MAFUNZO AMBAYO ALISHAYAPATA AKIWA KATIKA MAFUNZO YA JESHI.

JE WATAFANIKIWA KATIKA MPANGO WAO WALIOUDHAMIRIA…..

USIKOSE SEHEMU YA SIMULIZI HI
ITAENDELEA

SEX MACHINE – 5

Related image

Chombezo : Sex Machine
Sehemu Ya Tano (5)

Huku Nairobi kwa siku iliyofuata, asubuhi, Catherine aliamka mapema sana. Aliamka saa kumi alfajiri, aliingia kwenye uwanja wa mazoezi na kuanza kupasha mwili taratibu. Kwa muda huo huo, kwa upande mwingine wale vijana wanne walikuwa pembezoni mwa barabara wakikimbia kutafuta pumzi na kuyaweka mapafu yao vizuri. Ilipofika mida ya saa kumi na nusu, alionekana father D.A akiwa ndani ya chumba chake maalumu akiwa anachukuwa mazoezi yake ya Kishaolin, alikuwa akifanya mazoezi ya nguvu sana tena yakiwa ni ya hisia kali. mivumo ya kurusha mikono ilikuwa ikisikika hadi kwenye korido ndefu ya kutokea nje ambako ndiko Catherine alipokuwa akipasha mwili. Chriss muda huo ndiyo alikuwa anaamka ikiwa tayari imetimu saa kumi na moja kamili. Huu ndiyo ulikuwa muda wa kijana huyo kufanya mazoezi. Alinawa maji ya uso kidogo kisha akapita hapo koridoni akiwa anaelekea mahali pa kuchukulia mazoezi. Hapo akasikia mvumo wa nguvu sana uliokuwa unatokea kwenye chumba kimoja, akasimama ili kusikiliza mvumo huo unapotokea. Akasikia kuwa mvumo huo ulikuwa ukitokea kwenye chumba kimoja, ikabidi kusogea mahali hapo na kuchungulia ili kujua ni kitu gani kinachotoa mvumo wa namna hiyo. Alishangaa sana baada ya kumuona father akiwa anarusha makonde ya nguvu hewani tena huku akitumia mitindo ambayo hakuwahi kuiyona. Chriss alivutiwa sana baada ya kuona mtindo mmoja wa komfuu style ambayo ilikuwa ni style ya kuvutia sana. Hakutaka kupoteza muda mahali hapo, aliondoka mbio kwa mwendo wa kasi hadi kwenye uwanja wa mazoezi. Alitafuta sehemu nzuri na kianza mazoezi taratibu hadi pale mwili ulipokuwa umepata moto ndipo mazoezi yakawa yanazidi kupamba moto. Alichukua mazoezi kwa muda mrefu kidogo tena alikuwa akijituma na alionekana akiwa na hisia za hali ya juu mno kwa kile alichokuwa akikifanya mahali hapo. Wakati yeye akiwa anachukua mazoezi hayo, hakuwa akijua kabisa kuwa wenzake wote walikuwa wamemaliza mazoezi yao na walikuwa hapo wakimtazama yeye kwa jinsi alivyokuwa akijiumiza. Ilikuwa ni timu nzima ya Father D.A ambayo ilikuwa ikimtazama yeye mahali hapo.
“kikosi kimekamilika sasa” alijisema father D.A alipokuwa hapo na vijana wake wakiwa wanatazama jinsi ndugu yao anavyo jifua.
“sikujua kama unaweza kutumia mitindo ya kishaolin kijana wangu?” aliongea D.A kwa sauti ya juu na kumfanya Chriss abaki kuganda kama anayetaka kupigwa picha. Alijishangaa sana kutumia mtindo ambao hakuwahi kujifunza hata siku moja. Ulikuwa ni mtindo ambao aliuona asubuhi wakati huyo father alipokuwa akijifua kwenye chumba chake cha siri.
“kwani ulishawahi kupitia mafunzo yoyote ya tempo kijana?” aliuliza D.A huku akiwa anasogea taratibu na vijana wake mikono yake akiwa ameikunjia kwa nyuma.
“hapana fadher sikuwahi kupitia tempo lolote mimi nimejifunza mapigano kwenye vyuo vya kawaida tu” alijibu Chriss akiwa amesimama sawasawa na kugeuka nyuma ambapo alipatwa na mshangao kidogo baada ya kuiona timu nzima ikiwa ipo mahali hapo. Catherine alikuwa akikitazama kifua cha kijana huyo na jinsi kilivyokuwa kinachuruzika jasho na kukifanya kimeremete, kifua kilichopasuka katikati. Alijikuta akimeza mate ya tamaa bila hata kujijua.
“mbona unaitumi hii mitindo ya ki Tempo kama vile uliwahi kujifunza hapo nyuma?” alizidi kumchimba kijana huyo D.A.
“nisamehe father, nilipokuwa natoka ndani kuja hapa, nilisikia sauti za mvumo kwenye chumba chako cha siri, ndipo nikachungulia ili kujua ni nini. Nikaona ukichukua mazoezi kwa mitindo hii, ndipo na mimi nikawa najaribu kama nitaweza, nisamehe sana kwa kufanya hiki kitu pasipo ridhaa yako” aliomba radhi Chriss. Fadha akamtazama huyo kijana kwa undani sana kisha akaachia tabasamu pana usoni mwake baada ya kujua kuwa kweli alichokisema kijana huyo mahali hapo, hakuwa akidanganya. Catherine na wale vijana wengine, wakabaki wakiwa na mshangao mkubwa baada ya kusikia eti, hiyo mitindo aliyokuwa akiionesha Chriss mahali hapo, haikuwa ni miongoni mwa mitindo ambayo alikuwa nayo bali amejifunzia hapo hapo tena ikiwa ni kwa muda mfupi tu na kwa kumuangalia fadher pekee. Lilikuwa ni jambo la ajabu sana kwao kwa mtu kujua mitindo ya mapigano pasipo kufundishwa.
“unauwezo wa pekee sana, tulikuwa tumekaa pale kwa muda kidogo tukikufuatilia, nimependa unavyojifua na unaonekana ni mwepesi mno na unaweledi wa hali ya juu sana. Hauna muda mrefu sana na kesho unatakiwa uwe Tanzania hivyo muda huu ni vizuri tukautumia ili kuujua uwezo wako zaidi, hebu kuja hapa.” aliongea father huku akiwa bado mikono ameitupia nyuma kama kawaida yake. Alisogea hadi sehemu ambayo ilikuwa imekaa vizuri kisha akamwambia kijana huyo, anahitaji kufanya naye mazoezi ili kumjua zaidi. Chriss akajawa na hofu ya kimtindo lakini hakuwa na jinsi zaidi ya kukubali kupambana na mzee huyo aliyeonekana mpole sana na mwerevu mno. Aliikunjua mikono kwa mtindo wa karate, father yeye alikuwa bado mikono yake ameitundika nyuma kama kawaida akimtazama kijana huyo. Alikuwa akizunguuka huku akiwa makini sana kwa mzee huyo Chriss, kwani alijua kabisa kuwa father si daraja lake hata kidogo. Alipeleka mashambulizi kama manne hivi lakini yote yalikuwa patupu, father aliyatoka yote na kumfanya kijana huyo arudi nyuma ili kujipanga upya. Chrissa alisogea tena, safari hii akiwa anakuja kwa kasi kubwa sana. Alikuwa akipeleka mashambulizi ya nguvu tena akiwa kwenye kasi ya aina yake. Kasi ambayo D.A ilikuwa ikimchanganya na kumpa.wakati mgumu sana wa kuweza kukwepa mapigo hayo. Alitumia uzoefu. Aliyumba D.A, kwenda kushoto, kulia na kuweza kuyatoka mapigo hayo kwa utaalamu wa hali ya juu. Chriss hakupunguza kasi na kila alipokuwa akishambulia, ndivyo alivyokuwa akizidi kumsogelea mzee huyo karibu zaidi hadi akawa anampa wakati mgumu wa kuweza kuyatoka mapigo hayo. Hakutaka kutoa nafasi ya father kuweza kupumua. Father aliikosa nafasi hata ya kurudisha mashambulizi. Alikwepa hadi sasa akaiona ile mikono ikiwa inakuja kama nane au tisa kama siyo kumi. Uwezo wake wote wa kukwepa ukawa umefika mwisho, pumzi ilikuwa imekata na kijana huyo alikuwa hapunguzi kasi ya kuleta mashambulizi. Father alijikuta akipokea pigo moja la nguvu sana lililomrudisha nyuma kwa hatua kadhaa. Hapo ndipo father alipoitoa mikono yake nyuma na kujifuta kifuani pale ambapo pigo hilo lilitua, aliunguruma kidogo kama Mbwa dume na kuizunguusha mikono yake kama feni kisha akakaa kwa mtindo wa taichi. Chriss alimtazama father kwa udadisi mkubwa kabla ya kutafuta mtindo mwingine wa kuweza kupambana na mtindo aliouweka mzee huyo. Father hakusubiri, aliamua kushambulia kwa kasi kubwa sana, wakakutana katikati. mpambano ukawa wa aina yake, si Chriss wala father aliyekubali kurudi nyuma, wote walikuwa katika nguvu ya juu mno. Walisimama sawa. Father akigusa, Chriss analipiza. Chriss akigusa, father anarudisha. Hadi wanakuja kusimama, hakuna aliyepigwa. Father alikuwa anahema si utani. Chriss akakaa mkao wa aina yake, mkao ambao aliuiga kutoka kwa fadha asubuhi, wakati yeye anaiga, father alitabasamu na kumuonesha kuwa yeye ni mwalimu na anamitindo mingi isiyopungua ishirini na kitu. Alianza kulegea father na kuyumbayumba huku akiwa ameweka mikono yake kama nyoka anayeshambulia lakini haikuwa style ile ya nyoka ambayo watu wengi wamezoea kuitumia au kuiona. Hii ilikuwa tofauti, mikono ilijikunja kuanzia kwenye kifuti halafu hapa juu kwenye kiwiko ikawa imelala kidogo. Hakuacha kuyumba yumba kama kimbaumbau anayesukumwa na upepo au mlevi kisha akatamka neno moja tu.
“D.A.” Chriss akadhani labda ule ulikuwa ni mchezo wa kuigiza ambao father alikuwa akiuonesha mahali hapo, kumbe alikuwa akimtaja nyoka hatari sana mahali hapo. Chriss yeye hakulijua hilo. Akaenda mbele kwa kasi ya kushambulia. Alikosea. Alikutana na pigo moja kubwa na baya sana kisha mzee huyo kubaki akiwa anatetemeka mikono, hiyo ilionesha kuwa pigo hilo lilitumia hisia kali. Alikuwa amefumba macho kama siyo yeye mahali hapo. Chriss kwa wakati huo alikuwa akigalagala chini kwa maumivu makali sana. Catherine na wenzake wote pale wakakumbwa na taharuki ya nguvu sana, hawakutegemea kumuona mzee huyo akiwa katika hisia za namna hiyo. Chriss alikuwa akihangaika bila kutoa sauti yoyote, ila alionesha hali ya kuitafuta sauti lakini haikutoka hata mara moja.
“father?” Catherine alijikuta akiita kwa sauti ya kuuliza. Father hakuinyanyua hata sura yake kumtazama muitaji na badala yake, alimsogelea huyo kijana aliyekuwa akitapatapa hapo chini na kufumba macho tena. Akanyanyua mkono wake wa kushoto juu na kuushusha kifuani kwa Chriss kwa nguvu sana. Chriss alikurupuka ma kukohoa sana, damu zikawa zinamtoka mdomoni kila alipokuwa akitema mate. Alikohoa kwa muda hadi pale alipokuja kutulia na kuhema juu juu.
“nimefanikiwa sasa, umekuwa kijana hodari na makini zaidi. Nimekupa mafunzo ya hisia kwani huko utakapokwenda ninaimani kuwa huwenda yule mshenzi atakuwa ameandaa vijana wanaotumia Star Poison (SP).” maneno hayo aliyoyaongea father yalisikiwa na kila mmoja lakini hakuna aliyeelewa hata mmoja. Father D.A alinyanyuka na kumuambia Catherine amchukue huyo mtu hapo na ampeleke kwenye chumba cha mapumziko kisha aanze kumwambia yeye ni nani, kwanza wote tuelekeeni kwenye meza ya chakula.”
“meza ya chakula?” walijikuta wakisema kwa pamoja na kuangaliana. ndipo walipogundua kuwa miongoni mwao, mmoja hakuwepo, Amiri hakuwepo na walipomuangalia fadha alikuwa akiondoka eneo hilo na kuelekea ndani huku mikono yake ikiwa nyuma kama kawaida. Walipofika huko ndani kila mmoja aliingia kwenye chumba chake huku Catherine akiwa anamdemeza kijana Chriss. Alimpeleka hadi kwenye chumba chake na kumuingiza bafuni ambako alimuacha huko. Baada ya muda wote walikutana kwenye meza ya chakula cha asubuhi ambacho kiliandaliwa na kijana Amiri.
“vipi Chriss unajisikiaje sasa?” aliuliza father mezani hapo.
“niko vizuri father, najisikia vizuri sana sasa.” alijibu kijana huyo.
“ulikuwa ni lazima uingie kwenye uchovu ule, kupokea mapigo ya kihisia tena kwa muda mfupi ni ngumu sana, tena wewe uko vizuri sana, kwa mtu mwingine angelala siku nzima……

alisema father. Wakanyamaza hapo na kuipa nafasi midomo yao kuendelea kupata chakula hicho cha asubuhi.
Chriss muda wote alikuwa na mawazo sana ya kujua kuwa kuna nini ambalo lipo mbele yake na anatakiwa kulijua? Aliwaza sana lakini hakukuwa na jibu ambalo liliulainisha moyo wake. walipo maliza kupata hicho kifungua kinywa, Catherine aliondoka na Chriss hadi kwenye chumba alichotakiwa kumpeleka. Kilikuwa ni chumba kitupu kisicho hata na kitu kimoja. Catherine alikuja na picha moja mkononi lakini hakuwa amemuonesha hadi walipofika ndani hapo. Kimya kikatanda kwa muda. Kimya ambacho hakikudumu sana baada ya kijana huyo kukivunja.
“madame Cathe……..!”
“Chriss, wewe ni mtu mkubwa sana kwetu sote humu ndani, sisi ndiyo tunapaswa kukupa heshima wewe na siyo wewe kunipa heshima mimi” aliongea Catherine akiwa amemkatisha kauli Chriss.
“mimi ni nani kwani Cat?”
“wewe ni ROI na siyo Chriss tena, jina la Chriss tunaliuwa leo kama ambavyo tumeliuwa la Sex Machine” aliongea Catherine na kumfanya kijana huyo kukumbwa na mshangao mkubwa na hali ya sinto fahamu ikimtawala. Mbona anakuwa ni mtu wa danadana sana? Mbona hana ukamilifu sasa? Kwanini kila siku yeye ndiyo awe mtu wa kupokea mambo mapya yanayomhusu yeye? Yeye ni kiumbe wa aina gani kwani? Hayo yalikuwa ni maswali yaliyokuwa yakipita kichwani mwake pengine, maana alimtazama Cat na kusema.
“nashindwa kujielewa vizuri mimi, na nashindwa kujielewa vizuri kwa sababu ninyi mnaonielewa hamtaki kunieleza mimi ni nani na kwanini kila siku sikamiliki” alikuwa hatanii kijana huyo ndani ya hayo maneno yake hata kidogo.
“na ndiyo maana umeletwa hapa Roi, na ndiyo maana hautaruhusiwa uondoke hapa kwenda Tanzania hadi ujifahamu”
“haya nifahamishe sasa?” aliongea Chriss ambaye kwa muda huu alikuwa akifahamika kwa jina la Roi. Nadhani wale waliowahi kuifuatilia riwaya ya Dereva Tax, watakuwa wanamkumbuka huyu kijana. Sasa huku ndiko historia ya kijana huyo ilipotokea. Cat alibaki kimya muda huo, aikuwa akikumbuka mbali sana dada huyo. Aliyakumbuka maisha yaliyowahi kutokea miaka ishirini iliyopita, alikumbuka hata jinsi mtu aliyekuwa akimpenda na kumjali, alipouwawa kwa kupigwa risasi kisha na mkewe kuuwawa pia kwa kifo hicho hicho……….!
Kumbukumbu zake zilikuja kukatishwa na swali kutoka kwa kijana huyo.
“vipi, hauko tayari mimi nijijue ni nani? Mbona umebaki kimya na hutaki kusema chochote?” ndivyo alivyouliza Chriss/Roi.
“napambana na uchungu mzito sana Roi, ni kumbukumbu ambayo nikiikumbuka, inanifanya nijione bado ninadeni kubwa sana kwa baba yako.” aliongea Cat. Kisha akajikohoza na kusema tena.
“inabidi ujue kila kitu leo Roi.”

“ni kama miaka ishirini iliyopita, nakumbuka ilikuwa ni mwaka 1997. kipindi cha uwepo wa Raisi wa awamu ya tatu Mh. John Pomela. Sikuwa mdogo wa hivyo kipindi hicho na hata wewe ulikuwa nafikiri umetimiza takribani miezi kadhaa lakini umbo lako lilikuwa si dogo sana na kukufanya kuonekana mkubwa kwa macho ya kila aliyekuwa akikutazama. Baba yako alikuwa ni mfanya biashara mkubwa sana na alikuwa ana utajiri kiasi, alifahamika kila kona kutokana na tabia ya kuwa mtu wa kusaidia watu. Alikuwa akipendwa na kila mtu baba yako, alikuwa akifahamika sana sehemu kubwa ya mji wa Morogoro. Ni nani utamuuliza jina la Isihaq asilifahamu. Baba yako alikuwa na rafiki yake mmoja, huyu aliseama kuwa ni rafiki yake wa siku nyingi sana na ni kweli muda wote walikuwa pamoja na walionekana wakiwa wanajadili mambo mengi sana wakiwa pamoja. Siku moja, nafikiri ilikuwa ni siku ya juma tano, Baba alichelewa sana kurudi nyumbani siku hiyo hadi mama, ambaye ni mama yako, akapatwa na wasiwasi. Usishangae mimi kumuita baba yako baba, Roi na pia usishangae kumuita mama yako mama. Mimi hapa hadi nakuwa na kujitambua nilijikuta mikononi mwao na wao ndiyo walionipa jina hili la Catherine. Nilipopata makamo kidogo ndipo wakaniambia kuwa mama yangu alikufa kwenye mikono ya mama yako akiwa hospitali wakati mama yangu amekwenda huko kujifungua. Sijui walikutana vipi lakini niliambiwa hivyo. Wakati wa kujifingua ulipofika, mama alikumbwa na ugonjwa mbaya sana wa kupoteza fahamu kiasi cha kushindwa kufanya jitihada za kuweza kusukuma mtoto. Fahamu zake zilikuwa zinapotea na kurudi, hali hii ikaleta hofu kubwa kwa madaktari. Hawakujua huo ulikuwa ni ugonjwa gani na dokta mkuu alipofika hapo hospitali, alielezwa hali ya taharuki hiyo ambayo hata yeye ilimchanganya. Daktari akasema kuwa hawata subiri kuona mama huyo atakaa tayari muda gani aweze kujifungua wakati mtoto alikuwa tayari kutoka kwa hiyo kama wakizidi kupoteza muda hapo, kuna hatari ya kumpoteza mama ama kuwapoteza wote wawili. Akatoa amri kuwa liwalo na liwe lakini lazima mama huyo ajifungue. Kwani aliamini ugonjwa huo unaweza kuwa ni kifafa cha mimba ambacho kimemkuta mama huyo ghafla. Na waliamini hivyo, kutonakana na ugonjwa huo kufanana kila kitu na kifafa mimba. Amri ya dokta ikawa ni mama kujifungua kwa njia ya upasuaji, mama akaingizwa kwenye chumba cha upasuaji na kutaka kuchomwa sindano ya nusu kaputi, kabla ya kuchomwa hiyo sindano, akarudiwa na fahamu. Akauliza hapo alipo yuko wapi na aliuliza akiwa katika uchungu mkali sana. Madaktari wakamwambia kuwa yupo kwenye chumba cha upasuaji na anatakiwa kufanyiwa upasuaji ili kuweza kujifungua. Mama akaomba kuitiwa yule dada aliyemleta hapo hospitali na kujitolea kumsaidi. Mama huyo alikuwa ni mama yako. Mama yako akaitwa kipindi hicho yeye pia alikuwa amekwenda hapo hospitali kwa tiba maalumu. Mama yako akaingia huko kwenye chumba cha upasuaji na kusogea hadi kwenye kitanda alichokuwa amelazwa mama yangu. Ndipo mama yangu alipompa mama yako wosia. Kwa nilivyoelezwa niliambiwa kuwa mama yangu alisema hivi.

“dada, najua kuwa umenikuta njiani nikiwa katika hali mbaya sana ya uchungu. Walinipita wengi na magari yao, wanawake kwa wanaume lakini wewe ukaonesha moyo wa kunisaidia. Naomba usiwe na moyo wa kunisaidia mimi tu bali msaidie na huyu mwanangu ambaye hata kuwa na ndugu, ndugu yake ni mimi ambaye nitakufa leo kwa huu upasuaji na kumuacha mikononi mwako. Naomba uwe ndugu yake na mwangu awe ndugu yako, najua atakuwa na ndugu mwanangu mimi baada ya kufa na kunifanya mimi ninayemtelekeza leo, nikaishi kwa amani huko niendako.” alikomea hapo mama yule mwenye uchungu mkubwa wa kutaka kujifungua na mama yako akataka kusema jambo lakini alikuwa amesha chelewa kwani tayari mama yule ugonjwa wa kupoteza fahamu ukawa umemrudia tena, akapoteza fahamu na madaktari wakamchoma na dawa ya usingizi juu. Walifanikisha zoezi lao la kunitoa duniani nikiwa salama lakini mama hakwenda kinyume na kauli yake. Kweli aliniacha mikononi mwa mama yako. Mama yako akarudi nyumbani na mimi, akamueleza baba yako kilichotukia, bila malalamiko wala
nung’uniko, akakubali niwe miongoni mwa familia yake. Lakini hakwenda kinyume na mama alivyotaka, mama alitaka niitwe Catherine ili historia yake ibaki duniani.” aliweka kituo kwanza hapo Cat. Roi alishusha pumzi nzito sana na kabla hajaongea chochote, Cat akamuwahi.
“samahani sana kwa kukuchanganyia historia mbili kwa wakati mmoja Roi, lakini nilikuwa nataka usiwe na swali jingine kuhusu mimi nataka utege sikio ili uweze kusikia kwa umakini.” akazidi kuendelea.

“wasiwasi ulikuwa mkubwa kweli lakini ilipofika saa tano za usiku ndipo aliporudi nyumbani. Mama akamuuliza ni kwa nini amechelewa hivyo. Akasema kuwa alipitia kwa rafiki yake aliyemtaja kwa jina moja la Joesan. Akasema kuwa walikuwa na maongezi mengi sana na kubwa likiwa ni kutaka kumpa kiasi kikubwa cha pesa bwana huyo ili naye aingie kwenye uwanja wa kibiashara. Mama akamuuliza amkopeshe au ampe? Baba akasema kuwa ni kweli bwana huyo alitaka kukopeshwa kiasi kidogo cha pesa ili kuimarisha biashara yake lakini akaonelea si vema kumkopesha wakati aliishi naye kama ndugu pia wakiwa ni marafiki wa siku nyingi sana. Siku takribani nne zikapita lakini huyo bwana aliyejiita Joesan hakuacha kuja nyumbani kila wakati, muda mwingine alikuwa akija hata kama baba hayupo na muda mwingine alikuja watu wote wakiwa hawapo, alipokuwa akija hakuwa na jambo jingine ambalo alikuwa akilizungimza zaidi ya kuizuunguka nyumba na kutembea tembea bila jambo la muhimu kisha huondoka. Siku ya tano, ambayo ndiyo ilikuwa siku ya ahadi ya baba na huyo Joesan, ya kutaka kukutana na kuelekezana jinsi ya kukabidhiana hiyo pesa pia na kuelekezwa jinsi ya kuitumia pesa hiyo. Pia siku hiyo ilikuwa ni siku ambayo baba alisema kuna safari ya kwenda Arusha kwenda kuangalia biashara zake na alipanga kwenda na familia nzima. Baba akasema kuwa limekuwa ni jambo zuri sana kwani Safari yake ya kwenda Arusha, imeingiliana na safari ya kukutana na rafiki yake ili kwenda kupanga mbinu za kibiashara na jinsi ya makabidhiano na Joesan, alipanga kukutana na baba Mombo.
Siku iliyofuata, tuliingia kwenye gari na kuanza safari ya kuelekea Mombo kisha Arusha. Tulifika Mombo mapema sana baba akatafuta nyumba nzuri ya kulala wageni. Tukashuka hapo na kuingia ndani ya Lodge hiyo. Ilipofika jioni ndipo baba akasema kuwa muda wa kwenda kukutana na rafiki yake ulikuwa ukiwadia. Akasema atakwenda peke yake na hato chelewa kurudi kwani hayatakuwa maongezi marefu sana. Tukakubali lakini cha ajabu, ilipofika saa mbili usiku, ambao ndiyo ulikuwa muda wa miadi, baba akabadili maamuzi. Akasema ni lazima twende wote ili pia tuujue mji wa Mombo vizuri, mama hakuwa mtu wa kupinga…………….

ila mimi nilipata mashaka na moyo wangu ulikuwa hautaki kabisa kuamini hilo jambo. Sikuwa na jinsi ya kuzuia hata kidogo. Tukatoka mimi nikiwa nimekubeba wewe, tukaingia kwenye gari na safari ya kwenda huko anapopajua yeye ikaanza. Haikuwa safari ndefu lakini kila tulipokuwa tukisonga mbele, ndivyo hofu yangu ilivyojuwa ikizidi maradufu. Nakumbuka baba alisema hivi.
“huku mbona hakuna nyumba wala mitaa? huyu Joesan siku hizi anaelekea kuchanganyikiwa au? Huku si porini kabisa Mungu wangu!” alisema hivyo baba nakumbuka lakini alichukulia ni mzaha tu wa rafiki yake na alikuwa akisema kuwa anamjua sana rafiki yake huyo kwa mzaha. Tukafika sehemu moja iliyokuwa nyeupe kiasi na vichaka vya kuhesabu, hapa tukaona pikipiki kubwa likiwa limepaki. Walikuwa watu wawili, baba akasema tumsubiri garini, tukafanya hivyo na yeye akashuka. hatukujua kilichoendelea huko nje hadi pale tulipomuona huyo Joesan akiinua bastola na kumuelekezea baba kwenye paji la uso. Mama alivyoona vile akashtuka na kukurupuka. Akasema.
“Catherine na mimi nikifa usimuache mdogo wako hakikisha unakuwa naye bega kwa bega, inabidi usirudi nyuma nenda Arusha mwanangu” alipomaliza kusema hivyo Mama akashuka garini na kukimbia kule ambako baba alikuwa amenyooshewa bastola huku akipiga kelele za kuomba msaada. Lilikuwa kosa sana. Kitendo cha mama kupiga kelele ndiyo ilikuwa tiketi yake ya kwenda kuzimu. Taa ya gari ilikuwa inamulika kule ambako walikuwa wamekaa hivyo nilishudia mama akipokea risasi kadhaa zilizo tua kifuani mwake na kumdondosha chini. Baba hakukubali kuona mkewe anakufa mbele ya macho yake, akapambana lakini masikini ya Mungu baba hakuwa na uwezo hata wa kujua ngumi inakunjwaje, hakuwa mpambanaji baba. Joesan alimpiga kama anapiga kibaka, alipiga sana Joesan hadi nikajiukiza, hivi kweli yule alikuwa ni rafiki yake. Maana nilishuhudia ngumi zikitua mdomoni na kusababisha damu nyingi kuruka na kutoka na meno. Kila akipigwa, damu zilikuwa zikiruka mithili ya mtu anayesukutua maji na kuyatema. Kipigo kilikuwa kikali mno. Baba akaona kuwa hapo hawezi kufua dafu kwa huyo bwana hata afanye nini na tayari alishajiona hata yeye ni wa kufa tu hivyo aliona ni bora akafe akiwa karibu na mkewe pale alipoangukia, baada ya kupigwa risasi. Alikuwa akikimbia huku akilitaja jina langu na kuniambia, Catherine kimbia, kimbia mwanangu, kimbia na mdogo wako, Joesan ameamua kuingiwa na tamaa ya kuutaka kabisa utajiri wangu. Nakufa Cath……………!!!” hakumalizia, ukelele ukamtoka wa uchungu, wakati huo mimi nikiwa tayari nipo chini ya gari, sikuwa na jinsi ya kufanya Roi, ningefanyaje wakati nilikuwa binti mdogo sana. Nami nilikuwa na hofu ya kufa. Baba kila alipokuwa akipigwa hizo risasi hakukubali kuanguka, alizidi kukimbia akiwa na lengo la kufa akiwa na mama. Joesan akazidi kumimina mvua ya risasi, alipiga risasi nyingi zilizozama mgongoni na kutoboa tumbo, damu zilikuwa zikiruka kama machinjioni. Joesan alipoona baba haanguki, aliamua kumaliza mchezo kwa kupiga risasi ya kichwa. Hiyo ndiyo iliyompeleka baba chini lakini akiwa ametimiza kile alichokikusudia kwani alianguka pembeni kidogo ya mama akiwa tayari ni marehemu, hakuweza hata kulishika paji la uso la mkewe lakini alikufa akiwa karibu naye kabisa. Nilipoona hali imekuwa ngumu, sikuweza kukaa mahali hapo tena, nilikimbia bila kuonekana na kuvipita vichaka kadhaa usiku huo na kutulia mahali ili kuweza kujua kama kunakitu watafanya kwako kwani sikuweza kukimbia na wewe usiku ule. Mombo kulikuwa na baridi sana, nikakuhurumia hivyo nikamuomba Mungu akujaalie tu wasikufanye kitu. Kweli walipokukuta mahali hapo hawakukufanya chochote bali nilimsikia Joesan akiahidi kuwa kwa kitendo cha kumuuwa rafiki yake alichokifanya, hivyo eti, atalipa fadhila kwa kukulea wewe. Baada ya hapo waliichukua ile miili ya wazazi wako kisha wakaaingiza garini na kulitia moto gari hilo. Baba na mama walikufa kwa risad
si pia miili yao kuteketezwa kwa moto. Hakuna kaburi la baba na mama Roi, hakuna. Joesan akaita kwa jina moja tu baada ya kuona amekamilisha yale aliyoyakusudia.
“Babuu, twende zetu bwana hapa pasije pakajaa askari ikawa tabu bure.” alisema hivyo akiwa amekuweka kifuani kwake. Huyo mwenzake akapanda pikipiki na kuliwasha, Joesan akadandia na kutokomea kizani. Nililia sana, nililia sana Roi. Haswa nikikumbuka jinsi ambavyo nngeweza kuishi mwenyewe. Nililia pasi na kifani. Ilinibidi kuwa na moyo wa kijasiri wa kurudi pale kwenye ile Lodge. Tulikuwa tumelipia kulala kwa siku moja kisha asubuhi yake ndiyo tuelekee Arusha. Akili za kitoto zikanifanya niwe nalia kila wakati na kila sekunde. Wakati naingia ndani, kuna babu mmoja alikuwa amekaa kwenye kiti kirefu akiwa na birauli yake ya kinywaji, akaona jinsi nilivyokuwa napita huku nalia. Kama akashtuka yule babu kisha akaniita. Nikaenda, nikamsalimia akaitika na kuniuliza.
“vipi mbona unalia?” Sikuweza kumjibu kwa kweli ni kama alikizidisha kilio changu lakini sikuwa nikitoa kwa sauti, nilikuwa nikilia kilio cha kwikwi. Yule babu ambaye hakuwa mzee wa hivyo sana, alikuwa ni mtu wa makamo tu. Akanitupia swali jingine baada ya kuona la kwanza nimeshindwa kulijibu. Aliniuliza, mbona uko mwenyewe na nilikuona ukitoka na wazazi wako pamoja na mdogo wako ukiwa umembeba, wako wapi wote? hapo nili nyamaza na kuanza kuangaza kila kona kabla ya hata sijafikiria kulitoa hilo jibu. Yule babu akajua hapo si salama na akajua kuna kitu cha ziada, hata nilipotaka kuanza kusema, akaniziba mdomo na kuniambia.
“oooh! Hapa si salama kwa usalama wako, twende, utakwenda kuniambia vizuri ndani”. Akanishika mkono na kunipeleka hadi ndani ya chumba chake kisha nikakaa kitandani na kumueleza kila kitu tangu mwanzo wa safari hadi hapo aliponiona. Alichofanya ni kuniuliza swali moja tu.
“umeshuhudia kila kitu?” nikamwambia ndiyo. Kisha akaniuliza tena.
“umekula?” nikamjibu kwa kutikisa kichwa kwa ishara ya kukataa l
alipotaka kuniagizia chakula pia nilikataa. Sikuwa na hamu ya kula kabisa. Hakusema kitu kingine huyo mzee, alinichukua na kunilaza kwenye chumba kingine hadi asubuhi alipokuja na kunichukua. Akaniambia, Catherine utaishi na mimi na siku ukija kurudi Morogoro, unakuja kwa kazi moja tu ya kumtafuta ndugu yako na kulipiza kisasi. Alisema hayo maneno tukiwa ndani ya gari tukiwa tunaelekea Arusha. Huo ndiyo ukawa mwanzo wa maisha yangu mapya.

Niliishi kwa furaha sana Roi, lakini bado nilikuwa na uchungu mkubwa juu ya walezi wangu. Pamoja na umri wangu kuwa mdogo lakini lile tukio la baba yako na mama yako kupigwa risasi kisha kutiwa moto baada ya kufungiwa ndani ya gari, hiyo ikawa ndiyo ndoto yangu ya kila siku na muda mwingine baba yako alikuwa akija na kuniuliza kama nilikukumbuka siku ile. Nilikuwa sina jibu la kumpa zaidi ya kulia, Nilijiona kama nimekupelrka kwenye kifo, basi akawa anaondoka akiwa amenyong’onyea sana. Nikamuahidi ipo siku nitakuwa nawe pamoja. Siku moja huyo mzee ambaye nilikuwa nikiishi naye huko Arusha, alinikuta nikiwa nalia sana. Hakunisemesha, aliniacha hadi kilio changu kilipokoma chenyewe ndipo akanifuata na kuniambia inabidi tutoke kwani amenitafutia shule nzuri nchini Marekani. Nilishangaa sana lakini sikuwa na uwezo wa kumpinga pia nilikuwa na ndoto pia za kusoma. Tukaondoka hadi nchini Marekani. Huko akaamua kunipeleka kwenye kituo kimoja. Akanikabidhisha kwa rafiki yake mmoja kisha yeye akaondoka. Alikuwa kama kanitelekeza hivi. Haikuwa shule niliyoizoea mimi au zile shule ambazo niliona watoto wenzangu wakiwa wanasoma, hiyo ilikuwa ni shule ya mafunzo maalumu. Niliteseka sana, yalikuwa ni mafunzo ya kufa kabisa. Muda mwingi tuliutumia kufanya mazoezi magumu na makali kupita maelezo na muda mchache tulijifuza vitu vya ki teknolojia. Baada ya miezi mitatu ya mafunzo ndipo nilipojua ni kwa nini yule babu alinipeleka pale. Kipindi chote hicho, hakuwahi kuniambia jina lake hata mara moja, mimi nilimfahamu kwa jina la babu tu. Mwezi wa nne ulipofika ndipo akapiga simu kwa yule rafiki yake ambaye ndiye alikuwa mwalimu wangu mkubwa aliyekuwa akinifundisha kwa nguvu sana na muda mwingine nilikuwa nikipata mafunzo ya ziada nikiwa nyumbanu kwa sababu nilikuwa nikiishi naye. Babu alifurahi sana kuisikia sauti yangu ya furaha. Akasema niliondoka bila kukuaga ili tu usinikumbuke, nilitaka ujue kama vile nimekutelekeza ili uwe na uchungu wa kujifunza. Sasa akaniambia kuwa natakiwa kujifua kwa juhudi na bidii kubwa kwani nikitoka hapo ndiyo natakiwa kumtafuta ndugu yangu na kulipa kile nilichokiahidi. Hueezi amini, aliponiambia maneno hayo, nilijikuta nikiongeza bidii kweli na kuwa mtu wa pekee sana hadi walimu wangu wakawa wananishangaa. Miaka mitatu ya mafunzo nilikuwa nimefuzu kwa daraja la kati. Akaniambia daraja lililobakia ambalo ni la juu, atanifundisha mwenyewe. Nikarudi Arusha na kuendelea na n’gwe ya mwisho. Nikafuzu daraja la tatu nikiwa na umri wa kuwa binti mkubwa. Siku moja babu alinifuta na kuniambia kuwa hawezi tena kuishi Arusha kwani Mtoto wake wa kiume aliyekuwa akiishi Morogoro, ameuwawa na kisha mjukuu wake kutekwa. Ilikuwa ni kama utani lakini ilippfika mida ya saa tano usiku, tuliondoka Arusha kwa siri sana na kurudi Marekani. Huko ndiko alipotengeneza vikosi imara vya kazi. Alinitambulisha kwa wale vijana. Zomba na wenzake pamoja na kunionesha lile handaki ambalo sisi tulipaita shimoni. tukaianza mikakati ya kuhakikisha tunakurudisha nyumbani wewe pamoja na Mery kisha tuimalize kazi hii tukiwa pamoja”

ndivyo alivyotoa historia hiyo Catherine. Roi akajikuta anadondoka chini na kukaa bila hata kutarajia, alichoka vibaya sana.
“Joesan kumbe umeniulia wazazi wangu?” aliwaza Roi. Wakati akiwa anazidi kuwaza hapo, Cat alimwambia anyanyuke na amfuate. Alijinyanyua mahali hapo akiwa na uchungu mkubwa sana. Wakaingia kwenye chumba kimoja ambacho kilikuwa kina scrine moja kubwa ukutani. Cat akachukua rimoti na kusimama karibu na Roi kisha akasema.
“Joesan alikulea kweli akakubadilisha jina kabisa pamoja na ubini wako, ukawa mtu usiyeelewa nini historia yako. Alikupa historia ya uwongo na akafanikiwa. Alikuita Christiano Robin Isaya. Na mara nyingi alikuwa akilitaja jina lako, alikuwa akipenda kusema kuwa jina la pili linaweza kuwa la kwanza, nadhani unakumbuka kama ulishawahi kumsikia?”
“ndiyo, nakumbuka Cat” alijibu Roi, Cat akaendelea.
“basi alikuwa na maana kubwa sana, alikuwa hataki kukuweka mbali na maisha yako ya asili……………………….

 Alikuita hivyo ili kuendana kidogo na jina lako la asili kwani jina lako ambalo wazazi walikupa ni Rajab Ishaq Omair. Sasa alipokuwa akisema kuwa jina la pili linaweza kuwa la kwanza, alikuwa anamaana ya kwamba herufi R ndiyo iliyotakiwa kutangulia na kuleta jina la Rajab na siyo Robin, ambalo kwake lilisimama kama ubini wako. Herufi ya jina la mwisho alilokupa ambalo ni Isaya ilikuwa ndiyo iwe katikati na kusimama kama Isihaq ambalo ndilo jina la baba yako mzazi. Baba yako alikuita Roi kwa sababu azijuazo yeye, lakini kubwa alisema kuwa ameunganisha majina matatu kuwa pamoja na kuleta jina hilo Roi. La kwanza likiwa ni jina lako, pili, akiwa amechukua jina la babu yako na kuliweka katikati na la baba kuliweka mwisho. Father naye akatafuta maana yake ikiwa ni kunisaidia mimi pia akiwa na mpango wa kulipa kisasi cha kijana wake ambaye wauwaji ni hao hao ambao walikuwa na maana moja tu ya kutekeleza mauwaji hayo. Yeye alikuita hivyohivyo Roi lakini akiwa na maana ya Rivange Of Isihaq (ROI). Upo hapa kwa ajili ya kulipiza kifo cha baba yako Roi” alisimama Cat na kumgeukia kijana huyo na kumuangalia usoni. Roi hakummaliza binti huyo hata kidogo. Kumbe alikuwa anamzigo mzito aliubeba kifuani mwake na leo ndiyo alikuwa akimtemea.
“sasa umewezaje kugundua kuwa Joesan alinigeuza kuwa mashine ya ngono kwa mitambo maalumu?” aliuliza Roi.
“ilikuwa ni ngumu kujua japo nilikuwa katika harakati za kukutafuta ili urudi nyumbani, lakini nilikuwa sijui kama Joesan amekufanya vile. Ni siku moja nilipokuwa kwenye Casino moja huko Brazil. (hapo Catherine alivuta kumbukumbu nyuma na kumpa picha halisi kijana huyo na jinsi alivyoanza kufuatilia nyendo zake.). Walivyo taja jina J, from Tanzania, nikalitilia mashaka. Sasa Cheap niliyoitega kwenye simu ya BC, yule mmarekani mwenye kikosi kilichotuvamia kule baharini, ndiyo ikanipa mwanga na hapo ndipo nilipojua kuwa tayari amesha kuathiri. Nikampa taarifa Father, father akaniambia ipo mashine ya kazi ambayo imeundwa na mtu mmoja hatari sana. Charls. Ambayo itakurudisha kwenye uwezo wako halisi. Nikaanza kukufuatilia kwa safari yako ya kwanza kabisa ya kwenda kutekeleza ngono nchini Uingereza ndani ya jiji la London. Nikakutafuta hadi nikagundua hoteli uliyofikia na kupanga mipango ya kukamilisha kazi ile. Ulipokuwa unatafuta mbinu za kuingia mule ndni yalile jingo, nami pia nilikuwa nazitafuta vivo hivyo. Tulikutana wote ndani ya jumba la yule mama. Na wote tuliingia kwa tiketi za watu wengine. Hapo nikafanikiwa kukuweka cheap memory iliyokuwa na uwezo wa kunasa kila kilichokuwa kikirekodiwa na lile vazi ulilopewa. Kazi hiyo niliifanya wakati nikiwa nyuma yako. Hebu angalia hapo kwenye hicho kioo mambo uliyokuwa ukiyafanya ndani ya lile jingo.” aliposema hivyo Cat, akawasha kile kioo pale mbele. Kila kitu alichokuwa akikifanya kijana huyo kilionekana. Roho ilimuuma sana, hakuamini kama yale ndiyo yalikuwa maisha yake ndani ya kipindi cha mwaka mmoja na nusu. Catherine akamwambia kijana huyo kuwa kila picha iliyokuwa inarushwa hapo baada kunyoywa na kile kifaa alichomuwekea, walizitengeneza kwa mfumo wa video kwa kutengeneza Santuri. Walifanya hivyo ili kubakiwa na ushahidi. Historia ikaendelea, akaambiwa kuwa yeye ndiye aliyekuwa ametekeleza mauwaji ya kifo cha waziri wa zamani wa awamu ya tatu, waziri Musolin pamoja na mlinzi wake mmoja pia akauwa kiongozi mwingine wa Kenya Don Kemoi. Alifanya matukio mengi sana na yote akiwa ameyashuhudia hapo. Nilikuwa nikikanyaga kila ulipopita. Ulipita sehemu nyingi sana hadi nikajua unaweza kufa lakini mungu alisimama upande wetu.
“walipofikia kwenye hatua ya kutaka uwaingilie kimwili mashoga, hapo ndipo walipoanza kuujua huu moto. Kwanza nilivamia kwenye kampuni yao na kutega kamera zangu za siri ambazo nyingi bado zipo ila moja tu ndiyo iligindulika na aliyegundua hiyo kamera ni mzee Rafael, huyu naye nadhani unamjua. Nilipotoka ndani ya hiyo kampuni yao ya uwongo wanayosema inajihusisha na masuala ya utalii kumbe ni maabara mbaya inayo haribu maisha ya watu. Na ikiwa ni baada ya kuiba siri zao baadhi. Niliondoka na kwenda nyumbani kwa Joesan na kumuuwa mkewe kisha nikaondoka na Mery. Hapo ndipo walipochanganyikiwa na huku Joesan akipata maumivu makali sana kwa kumuondolea mkewe duniani. Sikufichi Roi, niliuwa mashoga wote ambao walipangwa kushiriki ngono na wewe, niliuwa na kukuacha wewe katika taharuki kubwa pamoja na mabosi waliokuwa wakikutumia. Sikuishia hapo” Alipofika hapo Cat akatulia na kumeza mate kisha akampa picha amabazo alikuwa akipigwa na vijana wake wa kazi pindi alipokuwa akitekeleza hayo mauwaji ya mashoga. Mwisho kabisa akamalizia jinsi ambavyo alicheza mchezo wa kumtia mikononi yeye mwenyewe, huko nchini Marekani ndani ya jiji la Miami. Roi alikuwa hoi. Aliumia sana, akaapa kumpa Joesan kifo kile alichowaulia wazazi wake ikiwa ni kama kuwafurahisha wazazi wake huko waliko. Alikuwa amekaa kimya chini sakafuni. Kimya kikatanda mule ndani ni mihemo tu ya wastani ndiyo iliyokuwa ikisikika. Cat akampa Roi picha moja kubwa kiasi yenye ukubwa wa A3. Roi akaitazama ile picha na kujikuta akishtuka na kumtazama mrembo huyo kabla ya kumuuliza.
“hii picha ilikuwa chumbani kwangu nilipokuwa nikiishi na huyo mshenzi Joesan, wewe umeipataje hii au uliichukua siku uliyokwenda kumchukua Mery?”
“hapana hizo picha zilikuwa mbili na hata sijui kwa nini zilikuwa mbili, lakini nakumbuka hivyo, baba yako ndiye aliyenipa picha hizo nikae nazo. Moja ikatengenezewa fremu na kuwekwa ukutani pale sebuleni kwetu nakumbuka. Na moja nikawa natembea nayo kama nguo zangu za mwilini, sikutaka kuiacha hata kidogo. Siku nilipokuwa nakwenda kumchukua Mery, nilishtuka sana kuikuta picha ile chumbani kwako. Nikaamini kuwa Joesan alikuwa anakuangamiza huku familia yako ikiwa inakutazama. Sikuichukua ile picha ipo na kila siku nikiangalia kupitia kamera zangu nilizotega kwenye kile chumba naona jinsi Joesan alivyo na ghadhabu na ile familia yaani utadhani labda imemkosea. Jamani nyie wanadamu hawana shukurani aaaah! Sijapata kuona.” aliongea Cat. Roi akatulia na kusema ni lazima akaichukue picha ya familia yake hawezi kuicha kwa yule mshenzi hata siku moja. Lakini muda huo huo akabadili maamuzi, akasema kuwa, acha akamilishe kazi kwanza na ile picha itakuwa ya mwisho.

walipomaliza kupeana historia hiyo, Roi aliamka kutoka hapo sakafuni akiwa mpya kabisa. Alimshukuru sana Catherine kwa kuwa na moyo wa upendo. Akamsogelea na kumkumbati kwa nguvu sana. Pumzi za Roi zilipokuwa zikishuka, Cat alikuwa akihisi kitu moyoni mwake. Alikitega kifua chake kizuri kilichowauwa wanaume wengi wakora. Chuchu msumari zikawa zikakita katika kifua cha mwanaume huyo. Roi alitoka kifuani hapo taratibu huku akiwa anamtazama huyo binti kifuani. Aliporudisha macho usoni alikutana na tabasamu la ndani kabisa hadi kijana huyo akaangalia pembeni. Cat alijitoa haraka na kumwambia Roi amfuate. Wakatoka humo ndani hadi kwenye chumba kingine ambacho kilikuwa na mazagazaga mengi sana. Father D.A. Alikuwa ameketi kwenye kiti kilicho na meza kubwa ya duara mbele yake huku kukiwa na kiti kimoja ambacho kilikuwa hakijakaliwa na mtu. Cat akamwambia Roi akae huku yeye akiwa amesimama.

“nadhani hakuna wasiwasi tena kichwani mwako Roi?” lilikuwa ni swali la kwanza la D.A baada ya Roi kuketi.
“ndiyo, father hakuna” alijibu Roi.
“hivyo ndivyo nilivyokuwa nataka kusikia kisha tuingie kwenye hatua ya mwisho na ngumu ya kuhakikisha unalipa yale waliyotendewa wazazi wako. unakwenda kupambana na watu
wenye uweledi mkubwa kijana wangu, watu makatili lakini pia wakiwa ni watu wanaotumia zaidi silaha za kuuwa tofauti na mikono” alipofika hapo akanyamaza na kutulia kitini hapo kama si yeye aliyekuwa akiongea muda huo mfupi. Akavuta gilasi ya maji na kupiga funda moja kisha akasema.
“unakwenda kupambana na mtu anayetumia zaidi sumu. Huyu mzee anafahamika kwa jina la Lee Kim. Mzee aliyekuwa akikutumia kwa kazi ya kulipa visasi vyake vya kishenzi huku akikutumia kama kifaa cha kumuingizia pesa kwa kukosa utu. Ni mtu wa siku nyingi sana na alikuwa hanipendi kwa tamaa zake za kipumbavu. Aliapa kuniuwa kwa kipindi kirefu sana. Aliponikosa na, ndipo akamuua baba wa Mery ambaye alikuwa ni mwanangu wa pekee. Aliniumiza sana lakini sikutaka kufanya papara kutokana na yeye alikuwa ameshajenga mizizi imara ndani ya nchi ya Tanzania. Huyu mzee hana utu hata kidogo na anatakiwa afe na siyo kuingia kwenye mikono ya sheria. Lee anatumia sumu ya Star Poison (SP) Sumu hiyo aanaitumia kuipakaa kwenye risasi zake amabazo zinaumbo la nyota, anazoziita Star Bullet (SB). Ni sumu ambayo kama utafanikiwa kupigwa na hiyo risasi kwa kupapuza eidha ikakuchubua au kuingia kwenye nyama ambayo si ya kukusababishia madhara makubwa zaidi ya jeraha, basi utakuwa ukiishi kwa maumivu makali sana na ni kwa muda mfupi tu kama wa masaa 27 hadi 36 kisha unapoteza maisha. Huwa risasi hizo hazilifanyi jeraha la muhanga kutoa damu, ni sumu inayokausha damu kwa haraka sana. Ukiwahiwa na kupewa dawa ambayo tunayo, utakuwa umepona lakini kama hautowahiwa jua wewe ni buriani.” aliongea father.
“sasa mimi nitaweza kupambana na huyo mtu kweli?” akauliza Roi.
“ndiyo, utaweza. Kwanini usiweze. wahenga walisema kuwa dawa ya moto ni moto wenyewe. Hivyo kama wao wanatumia sumu na sisi tunatumia sumu na pia tutakupa mavazi maalumu ambayo utavaa wewe tu kwa sababu wewe ndiye utakayekuwa kipaumbele kwa kila jambo, hivyo mavazi hayo yatakufanya hizo risasi zao zisifue dafu hata kidogo.”
“ohoo hapa sawa.” alijibu Roi kwa furaha sana kisha mzee huyo akasogeza begi dogo la kuvaa mgongoni na kulifungua, akasema.
“humu kuna dhana mbalimbali kama visu, Cheni za kukata na bastola tatu. Hizi bastola ndizo zinazohitaji maelezo zaidi. Ukizitazama hazijafungwa kiwambo cha kuzuia sauti lakini hizi huwa hazipigi kelele pindi zinapofanya kazi yake. Zinatumia risasi nyembamba sana na zina sumu mbaya kuliko, usicheze mchezo mchafu na hizi silaha hata kidogo. Risasi zake zimetengenezwa kwa mfano wa meno ya nyoka hatari anayepatikana kwenye misitu ya huko Australia. Nyoka hao wanaitwa Death Adder (D.A). Na risasi hizo zinaitwa Bullet pin (BP) au Snake Teeth Bullet (STB). Sumu iliyotumika kuundia hizi risasi ni hatari ……………….
sana kijana wangu na imechanganywa na sumu ya kiumbe nyika huyo niliyekutajia na kemikali nyingine. Hii inauwa papo hapo kwa sababu inashambuli mara tatu, kwanza inashambulia mfumo wa upuaji, pili inashamulia neva zote na hapo hapo inasimamisha mapigo ya moyo kwa haraka sana. Sumu hii haichagu sehemu ya kuleta madhara kama ya kwake, hii inapokutana na damu tu, hapo hapo inaanza kazi.” lilikuwa ni somo kubwa na linalohitaji utulivu na usikivu mkuwa endapo utakuwa si muelewa unaweza kusababisha madhara makubwa sana. Somo likawa limekwisha ikabakia tu mzee huyo kuhitimisha ili Roi kesho aelekee nchini Tanzania.
“hakikisha utakapofika Tanzania Roi, unakutana na mzee mmoja anayeitwa Rafael, huyu atakupa mengi na ninaimani atakusaidia.” alisema father na Roi akauliza.
“lakini Rafael si miongoni mwa watu wa huyo Mr. Kim?”
“ndiyo najua lakini wewe ukifika mwambie uko hapo kwa ajili ya D.A, halafu tulia”
“ok, sawa father nimekuelewa” alijibu Roi kisha D.A akamgeukia Cat ambaye alikuwa ametulia kimya akifuatilia hayo maongezi, akasema.
“niliwahi kukuambia kuwa nataka ukirudi Tanzania ni kwa ajili ya kwenda kulipa kisasi na kumpata ndugu yako. Roi ameshapatikana, sasa pati iliyobaki na ya mwisho ni kummaliza huyo mkorea kisha sisi turudi nyumbani tukalijenge Taifa letu. Utaongozana na Roi kwenda Morogoro na mtamchukua kijana mmoja kwa ajili ya kuwapa msaada zaidi.” alihitimisha na kisha yeye akaondoka hapo akiwaacha wenyewe wawili. Walitazamana kwa kina sana bila kusemezana. Cat akamsogele huyo kijana na kijana huyo akasimama. Cat akasema.
“sasa nimeamini kuwa wewe pekee ndiyo mwenye uwezo wa kumuangusha Lee Kim. Father nakimbuka alinipa hizo silaha mara moja tu tena kwa masharti makali pindi nilipokwenda kuwapa salamu wale wapuuzi kwa kumuuwa Martha. Lakini wewe hata hakupi kwa mashart hayo tena amekukabidhi nyingi tu”
“hata kama ni mimi Cat, lakini tambua kama pembeni yangu haupo wewe, hakuna kinachofanyika. Umekuwa ni mtu muhimu na wa pekee sana kwenye maisha yangu. Sina cha kukulipa zaidi Cat, ni Mungu ndiye anayeweza kukulipa wewe, wewe ni wa pekee sana” aliongea Roi na kumfanya Cat akose namna yoyote ya kuongea wakabaki wanatazamana tu. Cat akavuta picha ya mbali sana kwa kijana huyo, akiuwangalia mwili wake alijikuta akivutika zaidi. Alishamuona kila kitu kijana huyo, alichobakisha ni kuvifanyia kazi vile alivyoviona tu basi. Catherine akawa anazidi kumsogelea Roi hadi akawa anaipata pumzi ya kijana huyo iliyokuwa ikipumuliwa kwa jinsi ambavyo walikaribiana. Alikuwa anaufuata mdomo wa Roi ili tu kutimiza ahadi ambayo alimuahidi kijana huyo kuwa akishajitambua yeye ni nani na kumtambua yeye ni nani kwenye maisha yake, na ndiyo siku atakayomkabidhi moyo wake. Hakuna kitu ambacho kingemzuia Cat kutokuwa kimapenzi na Roi. Hawakuwa ndugu wa kuzaliwa japo waliishi kama familia moja kipindi hicho cha utoto lakini hiyo si sababu ya kumfanya Cat asiutoe moyo wake na kumkabidhi kijana huyo. Sasa walikuwa wamesogeleana kabisa. Wote wakiwa na lengo la kupokeana. Wakati wanakaribia kugusana, wakiwa wamebakiza zero distance, Wakashtuliwa na sauti ya Mery iliyoingia ndani ya chumba hicho.
“dada nimekutafuta kote huko sikukuona, kumbe uko huku na kaka Chriss, mmenikimbia si ndiyo?” alilalamika Mery.
“hapana hatuja kukimbia, tulikuwa tuna maongezi kidogo huku na babu” alisema Cat huku akimbeba.
“oohoo! Kama ni hivyo sawa”
“lakini kuanzia leo huyu usimuite kala Chriss sawa?”
“nimuite nani?”
“utakua unamuita kaka Roi”
“oo jamani ni jina zuri sana, hata mimi nitabadilisha jina nikisha kuwa umchezaji mkubwa wa Tenes” alisema Mery. Wote hapo wakacheka lakini ghafla Mery akanuna hadi wakapatwa na wasiwasi na kumuuliza kwa nini amenuna na alikuwa na furaha. Akajibu kuwa, walikuwa wanamcheka, inamana hawezi kuwa mcheza Tenes mkubwa kama yule dada wa Uingereza sijui ndiyo nani yule.
“jamani siyo hivyo Mery tulikuwa tunafurahi sana kwa kuchagua mchezo huo ukiwa bado na umri mdogo, hivyo kama utakuwa na nia na kuongea juhudi, utakuwa maarufu kweli.” Mery aliposikia maneno hayo alijikuta akifurahi na kuona kumbe watu wote mule ndani walikuwa wanapenda kipaji chake. Cat alimuangalia Roi muda wote huku akiona kama Mery alikuwa ameharibu. Roi akamsogelea na kumng’ata sikio na kumwambia kuwa yeye yupo kwa ajili yake hivyo aache papara kwani hata yeye anamtamani sana. Siku ikaisha kinamna hiyo.

******************************************************************************

Siku iliyofuata, Roi, Cat pamoja na Jay, walikuwa ndani ya gari wakiwa wanaelekea uwanja wa ndege. Dakika chache baadae, walikuwa ndani ya uwanja huo wa Jomo Kenyata wakiwa wanasubiria ndege ianze safari kuelekea kilimanjaro kisha wachukue tena ndege hadi Morogoro. Siku hii ndiyo siku ambayo wana kampuni walikuwa wakimsubiria SM wao kwa ajili ya kumpa pole na kumpongeza kwa kuweza kupambana hadi kufanikiwa kumtoka yule mwanamke aliyejifanya mteja kumbe ndiye muuwaji na mkwamishaji wa mipango yao. Walisha wasiliana na Suzane kuwa atakapofika uwanja mdogo wa hapo morogoro, yeye ndiye atakayemfuata kwani amemmisi sana. Katika siku ambazo hakuwepo. Ndege ndogo ya shirika la Emirates, ilitua na kutoa matairi yake, katika uwanja wa hapo Morogoro. Wakashuka watu hao na kupitia kwenye ukaguzi wa hapo uwanjani kisha kutoka ili kuelekea mahali zilipo gari.

“SM!, SM!” sauti ya kike iliita. Roi akageuka kutazama sauti inapotokea. Alikuwa ni mwanamke mrembo sana mwenye umbo la kuvutia ambaye alikuwa anakuja mahali alipo. Wakati akiwa anashangaa Catherine akampita na kumwambia kuwa huyo ni mwanamke ambaye alikuwa anauhusiano naye wa kimapenzi na ndiye aliyekuwa ameihifadhi namba yake kwa jina la Honey. Chriss akajua kazi ipo. Akazuga na kujifanya hajamuona, alijua fika Catherine alimwambia yale kwa kumtega, alijichanganya na watu akapotea na kutokea mahali ambapo Suzane alikuwa amepaki gari. Tayari kwa muda huo walikuwa wameshaachana na akina Jay, hakupata tabu kumjua Suzane, kwa sababu ni mwanamke aliyekuwa akimfahamu kitambo tu pia alikumbuka kuwa alishawahi kushiriki naye kitanda. Walikumbatiana na mwanamke huyo kwa furaha kubwa, Roi alikuwa akifanya vile vile vitendo alivyokuwa akivifanya wakati ni Sex Machine. Hakuonesha mabadiliko yoyote mahali hapo. Muda huo Cat na Jay, walikuwa wanaingia kwenye Tax na kuondoka taratibu maeneo hayo. Suzy akaondoa gari hiyo kwa kasi kubwa sana huku akiwa na furaha kubwa pasi na kujua kuwa humo ndani ya gari hakukuwa na SM bali kulikuwa na Roi mwenye hasira ya kuuwawa kwa wazazi wake. Walifika kwenye kampuni yao, wakaegesha gari maegeshoni, wakashuka. Moja kwa moja ilikuwa ni ndani ya kampuni hiyo. Humo ndani walikuta tafrija fupi iliyokuwa imeandaliwa kwa ajili ya kumpongeza. Walimmwagia Pombe ikiwa ni furaha kubwa kwake. Muda ukafika wa kuelezea yale yote yaliyotokea huko, hapo wakiwepo wafanyakazi wote wa kitengo hicho cha kishenzi. Alieleza kila kitu lakini hakugusia habari za kuvamiwa na maadui kule Brazil kwa sababu ile ilikuwa ni oda ya nje ya kampuni. Muda wote huo wakati wakiwa wanasikiliza yale yaliyomtokea kijana huyo huko nje, Rafael alikuwa hana amani hata kidogo kwani muda wote jicho la kijana huyo lilikuwa likimtazama yeye. Amani aliikosa hadi kijana huyo alipoondoka hapo na keulekea ofisini kwake baada ya kulikabidhi lile vazi kwa Tai ambalo lilikuwa limeharibika vibaya. Alitulia ofisini hapo akiwa na tabasamu la aina yake kwa kutokujulikana.
“mmekwisha sasa.” alijisemea Roi huku akiwa hapo kwenye kiti amekaa. Alikaa kwa muda kidogo akifanya hiki na kile mwishoe akaondoka na kuwaaga wafanyakazi baadhi kuwa anaelekea nyumbani kupumzika kwani amechoka sana.
“nimekumiss sana SM, leo usiku nitakuja kwako kwa ajili ya kukupongeza” aliongea Suzane. Roi akamtazama na kumuonea huruma sana, laiti angejua kuwa hapo anaongea na mtu anayejitambua, asingethubutu kabisa kumkaribia.
“ooh no, Suzane, leo niko na uchovu sana wa safari hivyo sidhani kama nitamudu kukupa vitu vizuri” alijibu Kijana huyo.
“jamani kidogo tu si unajua nimemisi kifaa chako cha kazi na nataka unikandamize nacho chote leo”
“najua lakini nadhani ni vizuri zaidi kama tutafanya kesho kwani leo sitakuwa vizuri” alisema hivyo Roi. Suzane ikabidi amuelewe kijana huyo kwa shingo upande. Hakuwa na jinsi ya kufanya japo alikuwa kweli akimuhitaji kijana huyo kwa dhati kubwa. Roi alikumbuka maneno ya Cat kuwa kwa muda huo haruhusiwi kufanya mapenzi na mtu yeyote ndani ya hiyo kampuni kwani kufanya hivyo ni kuwapa nafasi ya kumjua. Roi kwa wakati huo alikuwa ana kila kitu cha asili kwenye mwili wake. Alitoka hapo na kupita kwenye korido kubwa, wakati akiwa anachuku uelekeo wa kutoka nje, alimuona Mzee Rafael akiwa anatokea upande wa nje. Roi aliachia tabasamu pana alipokuwa amegongana macho na mzee huyo. Hali hiyo ikampa maswali mengi sana mzee wa watu. Hakuwa na raha hata kidogo, haikuwahi kutokea hata siku moja kuliona tabasamu la huyo kijana, iweje siku hiyo. Mzee Rafa aligeuka na kumtazama huyo kijana kisha hakuonesha kitu chochote hapo, aliyageuza macho yake na kuzitazama kamera za koridoni hapo na kuondoka akaingia ofisini kwake.
“lipo jipya hapa siyo bure?” aliwaza mzee huyo mara tu alipojikalisha kitini mwake.

“ni wapi mmefikia Cat?” aliuliza Roi mara baada ya kuwa garini mwake.
“Kilakala juu utatukuta, njoo hadi kiwanja cha mpira cha kilakala kilicho nyuma ya shule ya chekechea……………..

A to Z kisha tutakupa maelelekezo mengine.” alitoa maelekezo ya awali Cat. Roi akawasha gari na kutokomea. Alifika kwenye huo uwanja, haikumpa tabu kwani uwanja huo wa mpira wa miguu, uko barabarani kabisa. Hapo akapewa maelekezo mengine na kuambiwa aifuate barabara inayopanda juu upande wake wa kushoto. Akafanya hivyo. Dakika chache akawa ndani ya jumba kubwa lenye fensi ya maana kabisa. Jumba lenye kupendeza kimtazamo wa nje tu. Roi akapaki gari mahali pa maegesho na kushuka. Catherine na Jay wakatoka nje na kumlaki.
“hapa mlipaandaa kabla nini, maana ni pazuri sana eti, pako kifalme sana Cat?” alisema Roi.
“kwahiyo panavutia sana eeh!” aliuliza Cat akiwa na alama ya mshangao kidogo. Inamaana hata hapo Roi alikuwa hapakumbuki. Alitingisha kichwa kusikitika kisha akamwambia.
“hii ni nyumba yako Roi, uliinunua ukiwa ni Sex machine na si hii tu bali ulinunua nyumba mbili, hii ya huku na nyingine iko mjini”
“mbona kama najiona kichaa Cat, unaongea nini sasa?”
“hata mimi nilikuwa sijui hilo ila father ndiyo alinipa hizi ripoti kabla hatujaondoka Nairobi na aliniambia kuwa wakati wewe ukiwa unaelekea Kwenye kampuni yenu, mimi na Jay tutafikia hapa. Roi usishangae, hii nyumba uliifanya ni moja ya nyumba zako za siri sana. Hukutaka mtu yoyote ajue kuwa kama unanyumba huku. ila hiyo moja ndiyo inajulikana” alisema Cat kwa utulivu sana.
“ipi hiyo inayojulikana?” akauliza kwa haraka mno.
“unakumbuka kuwa kuna binti alikuita tukiwa uwanja wa ndege?”
“ndiyo nakumbuka.”
“huyo binti ndiye uliye kuwa ukishiriki nae kila kitu na ndiye alikusaidia kuzipata hizi nyumba.” alitulia kwa takriban dakika moja nzima kisha akaondoka hapo na kuingia ndani, alijawa na ghadhabu sana kijana huyo. Wenzake wote wakamfuata huko ndani. Roi aliingia kwenye chumba kimoja akavua nguo kisha kuingia bafuni. akaoga na kumaliza haja zake za msingi kisha kurudi ndani. Alipofika chumbani akamkuta Cat akiwa na nguo laini akiwa amejilaza kitandani. Akashangaa.
“vipi Cat, nataka kubadili nguo” alisema Roi.
“huu nimeuona ni muda muafaka wa kufanya hili jambo Roi.” aliongea Cat huku akijinyanyua pale kitandani. Akasema tena.
“kinachofuata ni kazi na hakuna muda mwingine kama huu. Nahitaji ushughulikie huu mwili Roi. Huu ndiyo muda wa kuitengeneza historia nyingine ya maisha yetu. Nakupenda sana na siwezi kuzificha hisia zangu tena. Sitaki kuwa mtuhumiwa wa moyo wangu mwenyewe.” alizidi kuongea dada huyo kisha nguo zikaanguka sakafuni, Roi akakumbwa na mshtuko hatimae taulo likamdondoka, wakakumbatiana, wakapeana midomo na kuiruhusu miili yao ihisi joto la asili. Wakatupana kitandani na kuiruhusu miguno adimu ya mahaba ikimeze hiko chumba. Wakafaidi kile kilichopadwa kufaidiwa na wawili hao.

MAZIMBU

Usiku wa saa tatu, mzee Rafael alikuwa ametulia ndani kwake akijipatia chakula cha usiku taratibu. Muda mwingi alikuwa akifikiria jambo fulani, aliendelea kula kwa upole sana hadi akamaliza kisha akarudisha vyombo mahali vinapokaa baada ya kuvifanyia usafi. Akawa anapata sharubati kusukumizia chakula alichokula. Aliipeleka birauli kinywani, alipoirudisha chini, alisikia mchakacho kwenye kitasa cha mlango. Akageuka na kutazama mlango huo. Akaona kitasa kinanyongwa na mlango kufunguka akajua kuwa mtu huyo anayetaka kuingia, hakuwa na dhamira nzuri na yeye. Aliruka na kujificha mahali akatulia kimya. Mtu huyo ambaye alikuwa akiingia hapo hakuwa mwingine, alikuwa ni Roi. Alifungua mlango taratibu hadi akapata uwazi wa kuweza kuona ndani. Akaona birauli ikiwa imetulia pale juu ya meza ambayo aliamini kuwa si muda mrefu palikuwa na mtu mahali hapo. Akapiga hatua na kuingia ndani humo kwa uangalifu mkubwa sana. Wakati akiwa anazidi kuingia ndani humo, mzee Rafael alifyatuka mahali alipo na kumvamia kijana huyo kwakushtukiza lakini kijana huyo alijua zamani jambo hilo. Alihama zamani sana na kumuacha mwenyewe mahali hapo.
“tulia mzee wangu ni kitu kidogo sana nimekifuata mahali hapa ila naona kama unataka kuharibu urafiki” alizungumza Roi kwa sauti ya upole. Rafael hakugeuka lakini sauti ya mtu huyo aliyevamia hapo nyumbani kwake aliitambua vema tu.
“nilijua tu utakuja mahali hapa ila sijajua nini hasa kimekuleta kijana wangu?”
“kwani umeshanifahamu?”
“ni vigumu sana kukusahau SM, unaweza kuniambia kilichokuleta hapa nyumbani kwangu?”
“labda ni roho yako mzee wangu maana ni ngumu sana kumuacha mtu ambaye unajua fika amekutendea mabaya” maneno hayo yalimfanya Rafael kushtuka sana. Kumbe alichokuwa akikiwaza ni kweli tupu. Alijua kuwa ingetokea siku kama hiyo ya kutokea kijana huyo. Alikuwa tayari kufa mzee huyo, aliona ni bora sana kufa lakini ajue kuwa Taifa lake linakuwa katika hali ya usalama. Akifa yeye na watu waliomuajiri na kumfanya atumikie mambo hayo yasiyofaa, ni sawa kabisa na yuko radhi kwa jambo hilo.
“ha ha haaa! Nilijua kuwa kuna siku ningekufa na ningeuliwa na watu wanaoisaka haki ya Taifa lao na wananchi wao kwa ujumla, wewe unayetaka kuniuwa ni kipi hasa unachotaka kulifanyia Taifa lako?” aliongea mzee huyo huku akiwa na kicheko kikubwa sana kisha akageuka kumtazama kijana huyo aliyepo hapo. kisha akaendelea kusema.
“najua kuwa kwa sasa siyo Sex machine tena wewe ni Chriss si ndiyo, wewe ni Chriss, umerudi kwenye jina lako la awali ama?”
“ndiyo nimerudi kwenye jina langu la awali na si awali tu bali ni asili kabisa, kwa sasa mimi ni Rajab Isihaq Omair au waweza kuniita Roi. Ni mtoto wa marehemu Isihaq, baba yangu ni Isihaq Omair. Baba yangu ndiye aliyedhurumiwa uhai na huyu mnaemuita Boss” aliongea kwa hisia za juu sana kijana huyo huku akisogea kari na mzee huyo.
“wewe ni mtoto wa Isihaka?”
“ndiyo.” alijibu Roi.
“nini kimekuleta hapa sasa ni kuja kuniuwa pekee ama kuna jingine?”
“hilo silo lililonileta Rafael,” aliweka koma Roi na kumuangalia mzee huyo na kufanikiwa kuuona mshtuko mkubwa kwenye sura ya mzee huyo. Rafael alishtuka sana na kukumbwa na taharuki kubwa, alisema kuwa yuko hapo kwa ajili ya kutaka roho yake pengine, mbona amebadilisha na kusema kuwa hayupo hapo kwa ajili ya jambo hilo? Ni lipi sasa? Kichwa cha Rafa kilijaa maswali lukuki dhahiri ya shahiri alikuwa na mkanganyiko mkubwa wa mambo. Alipotaka kuinua mdomo kuuliza, akawahiwa.
“nimekuja kwa kazi moja tu kama jina langu la zamani lilivyonituma, nimekuja kwa ajili ya RIVANGE OF ISIHAQ (ROI) lakini siwezi kufanya malipizi hayo ikiwa sijapata mwanga na kile unachokijua kutoka kwenye kampuni ya SC.” aliweka tuo hapo Roi.
“hakuna kitu chochote ninachokijua kijana wangu, mimi ni mtu mdogo sana ndani ya ile kampuni” alijitetea mzee Rafa.
“nilikuwa na uwezo mkubwa wa kukulazimisha ili useme lakini wewe si wa kulazimishwa na ulikuwa ukionekana muda tu kuwa uko kinyume na wale wapuuzi. Sema ulibanwa na sheria kali za kampuni ile. Labda nikuweke wazi kuwa anayetaka unisaidie kazi hiyo ni
father D.A.” Mzee Rafael alishtuka nusura alambe sakafu au kusujudu kwenye hiyo nafasi kwa kutaka kuanguka. Macho yalimtoka pima. Kitendo cha kuambiwa kuwa aliyehitaji msaada ni father D.A, alishtuka sana. Alinyong’onyea mithili ya kamba ya mkonge inayonyong’onyea pindi ikiwa imefungwa juu na kuning’inia. Alipiga hatua za taratibu na kwenda kukaa pale kwenye kiti alipokuwa amekaa awali wakati akijipatia chakula cha usiku. Kijana Roi naye akajivuta na kwenda kukaa mahali hapo na kuzidi kumtazama mzee huyo kwa jinsi alivyokumbwa na unyong’onyevu wa namna yake. Rafael alikinyanyua kichwa chake juu na kulitazama dari la hapo sebule akafumba macho yake akiwa anaziruhuhusu fikra zake zikumbuke mengi yaliyotukia nyuma.

“hakikisheni anakufa ndipo tutakapoondoka hapa tukiwa tumeridhika kujitoa kwake kwenye kundi la kimafia” sauti nzito ilisikika ikiongea mahali hapo huku muongeaji akiwa amekamata jambia kuukuu mikononi mwake. Kikosi cha watu zaidi ya kumi na watano kikamvamia mtu mmoja anayekimbilia kuwa kwenye umri wa makamo. kipigo kikatembea mahali hapo. kila jamaa hao walivyojaribu kumzidi mtu huyo katika mapigano walifeli. Mtu huyo alikuwa mahili sana katika nyanja za mapigano. Walitembezewa kichapo na wingi wao. Walikuja wengi kumvamia k
mtu huyo aliyeonekana mpole kabisa lakini akiwa ni moto wa kuotea mbali. Aliwachangua wote mahali hapo kila mmoja akaangukia kwake kisha mtu huyo akasimama kwa tambo kubwa na kusema.
“nimeamua kujitoa kwenye kundi la mafia na kwenda kuishi maisha yangu mwenyewe. Tumefanya unyama sana na kupokonya watu roho zao zisizo na hatia. Mimi ni mtanzania safi sitaki tena kuuwa jamani naombeni mniachie niondoke na sitawatafuta wala kuwachomea popo……!!” hakumaliza bwana huyo, ukwenzi wa uchungu ukamtoka mtu huyo. Lile jambia lililokuwa mikononi mwa mtu yule mweusi ambaye ndiye aliyetoa amri vijana wale wampige mtu huyo, alikuwa amelipitisha lile jambia kwenye mgongo wa yule mtu, lilimkata sana. Alijipinda kwa nyuma yule mtu kwa maumivu makali hapo hapo yule bwana mweusi akasema.
“tunaongozwa na sheria pia taratibu, hakuna sheria kwenye kundi letu inayosema kuwa mtu anaweza kujitoa atakavyo kama mwanamke asiyefunga ndoa aondokavyo kwa mumewe. Ulikubali kujiunga na huwezi kujitoa, umeshakuwa mtu muhimu sana kwenye kundi hili la mafia” ndivyo alivyokuwa akibwata mtu huyo. Wale vijana waliopigwa, walikuwa tayari wameshasimama wakisubiri amri nyingine. Amri ilivyotolewa ya kuvamia, wakachezea tena kichapo na kudondoka chini tena. Lakini hapo hapo, yule mtu mweusi ……………..

, yule mtu mweusi alimshtukiza tena. Alipitishiwa panga jingine la mgongoni, mkononi na mkononi tena kijana yule akawa hana nguvu. Hapo sasa wale vijana wakapewa amri ya kushambulia. Walimpiga sana, walimpiga bila kujali kuwa wanaweza kuuwa. Lakini ghafla bin vuu, yule mtu ashtukia kundi lile la vijana lililokuwa likimuadhibu, likirushwa mbali na kila mmoja akiwa anahisi maumivu makali. bwana mmoja amabaye hakuwa amzee wala kijana, alitua mbele ya mtu yule aliyekuwa akiadhibiwa. yule mtu hakuamini hata kidogo kuona ameibukiwa na msaada lakini pamoja na msaada huo kuibuka, alijua fika hapo hauwezi kufua dafu kwa kundi hilo la mafia. wale watu wakaja tena. walikosea tena walikosea sana. Walikula mkong’oto wa nguvu sana. Ndani ya sekunde kumi na tano wote wale walikuwa marehemu. Yule mtu mweusi akajisogeza naye na jambia lake, wapi! Hakufanya kitu pia naye akasafirishwa kuzimu.

Mzee Rafael alishusha pumzi nzito sana baada ya kukumbuka kumbukumbu hiyo na kumuangalia yule kijana ambaye alikuwa hapo mbele yake akiwa bado anahamu ya kujua hiyo kumbukumbu imeishia wapi. Rafael alijiweka vizuri kitini na kusema.
“baada ya kunipa ule msaada yule bwana, alinichukua na kunipeleka mahali alipokuwa akiishi. Alinipa matibabu hadi nikatengemaa kabisa kiafya. Hapo ndipo alipojitambulisha kwangu kwa jina hilo la Father D.A na kunipa kazi ambayo alitaka nimsaidie na yeye akaahidi kinisaidi siku moja. Aliniambia kuwa kuna kampuni inajihusisha na masuala ya utalii iko Morogoro maana kwa kipindi hicho tulikuwa mjini Arusha. Akaesema kuwa kampuni hiyo si kwamba inajihusisha na masuala ya utalii tu laa hasha. Ilikuwa inafanya mambo ya kijasusi na utalii ni kama mwamvuli tu. Akaniambia kuwa anataka nikaombe ajira kwenye kampuni hiyo. Nikamwambia kuwa siko tayari kufanya ujasusi kwa sababu si kazi nzuri na hata pale aliponiokoa na kifo, nilikuwa najitoa kwenye kikosi cha mafia. Akaniambi anajua hilo na anafanya hivyo ili kuleta amani ya nchi. Basi mimi nikakubali kumsaidia lakini nilimwambia kuwa afanye haraka maana sitopenda kuuwa kila wakati. Akaniambia si muda mrefu. Basi akanipa njia za kuja kwenye kampuni hiyo kutoka Arusha. Nilipofika hapa nikakutana na mwenzangu ambaye kwa sasa ni marehemu, tukaingia hapa kwa njia nilizopewa nikampa na mwenzangu, tukapewa majaribio na tuliposhinda, tukaajiriwa rasmi.” alimaliza kutoa historia hiyo mzee Rafa. Roi akawa ameelewa sasa kwa nini Father amemtuma mahali hapo.
“amechelewa sana kuja hadi nilikata tamaa na kutaka kufanya njia za kujitoa mwenyewe kwa kujua labda amenitelekeza” aliongea tena Mzee huyo. Roi akamwambia kuwa kila kitu kina chanzo, huwezi kukurupuka halafu utegemee kushinda.
“ni kweli kabisa kijana. Haya niambie ni nini unahitaji nikusaidie?” alisema Rafa kisha Roi akatulia kidogo na kusema.
“umeishi miaka mingi sana kwenye ile kampuni toka kijana hadi sasa ni mzee, kuna vingi vya siri na vya muhimu unavijua”
“ni kweli kijana, ni kweli kabisa.” alidakia Rafa.
“nataka vichache lakini vyenye umuhimu” aliongea Roi na mzee Rafael kuanza kumpa vitu vya msingi. alimwambia kuwa kila kitu kinachoendelea mule ndani ni unyama mtupu, alimchambulia vingi hadi nyumba sita za siri za mr. Kim.
“vijana wengi wa hapa morogoro na nje ya morogoro, wameharibiwa na huyu mzee. Ni bora hata wewe uligeuzwa kuwa mashine ya ngono lakini mamia ya vijana wamebadilishwa na kuwa mashoga. kuna mitambo iliyotengenezwa na kijana anayefahamila kwa jina la Tai, mtambo huo unakazi ya kuwapadikiza vija homoni za kike kwa wingi na hatimaye kuwa mashoga. Wengi anaishi nao kwenye jumba lake miongoni mwa majumba hayo sita ya siri kama wake zake. Kila siku anatafuta wa kulala naye na akiwachoka anakwenda kuwaweka kwenye jumba namba 03. Jumba ambalo ukilitazama kwa nje huwezi kujua kama ndani kuna ushetani. Hili ni Happy Club”
“mzee wangu unaizungumzia ile Happy Club pale masika?” alidakia Roi na kumkatisha mzee huyo. Mzee akajibu ndiyo. kisha akaendelea.
“kuna mashoga wengi mule ndani na wengine walitawnywa mitaani ili wazidi kujaa huko kwenye mitaa” alipomaliza hivyo, Roi alimshukuru mzee huyo na kumwambia kuwa muda si mrefu anakwenda kuibadilisha hali hiyo na kuifanya Morogoro iwe ni ya amani pamoja na Tanzania kwa ujumla. Roi aliondoka hapo kwa siri sana huku akiwa na wingi wa tabasamu usoni mwake. Hakutaka kwenda Kilakala, alipitia kwenye nyumba yake aliyopewa na Kampuni baada ya kuelekezwa na Cat.
############@#@###@##@@@@@@##@@#@@@@@@@@####

“ooh, my umekuwa kijana mzuri utadhani hukuwa kwenye matatizo huko nje ya nchi?” ilikuwa ni sauti ya Merina ikimwbia Roi ambao bado wao walikuwa wakimfahamu kwa jina la SM.
“Merina naomba uwe mbali na mimi bwana si unajua wewe ni mali ya bosi” alijibu Roi/Chriss.
“unadhani nakolea basi hata akipanda, anakuwa hoi mapema sana, wewe ndiyo unajua kunikuna pande zote kila nitakapo kupa unapatendea haki”
hata sasa huta kolea ukikunwa na mimi, siyo kama zamani Merina” alisema Roi na kumfanya Merina kushtuka kidogo.
“kivipi, kwanini unasema hivyo?” likawa swali.
“sitakuwa huru kukushindilia, nitakuwa na hofu we si unajua bosi ninavyomuogopa” alisema.
“tena huyu anatakiwa akae mbali kabisa na wewe, hii ni muzigo ya bosi” aliongea Suzane akiwa anaingia humo ndani ya ofisi. Tena akiongea kwa kuweka utani.
“muzigo ya bosi nini, mzigo wa bosi unaujua wewe, mzigo anatembea nao kwenye suruali hapa ni kama mwanzo, kwanza nimeukumbuka sana ule mchezo tuliocheza sikuile tukiwa watatu. Leo tuko wawili lazima ukome maana unajifanya hutaki kutiwa madole ya huko nyuma, leo lazima nikutie na utaliwa huko nyuma na SM leo nasimamia mwenyewe hiyo kazi.” alisema Merina na kumfanya Suzane kuganda kama kapigwa picha ya mnato. Alijua kweli kwa muda huo sasa bikira ya nyuma inamtoka maana mbele ya huyo jambazi wa kike si mchezo.
“SM mtoto mnato huyu hajawahi kuguswa nyuma leo rinda unazichangua mwenyewe wa kwanza raha iliyoje hiyo” alizidi kuropoka kahaba huyo wa kike. Muda wote huo Roi alikuwa akiwachora tu kama anayewaambia yaani nyie hakuna kitu mnachokiwaza hapo zaidi ya huo uchafu. Wao hawakujua mahesabu ya huyo kidume hapo. Muda wote huo alikuwa anafikiria mbinu ya kuwatoka hapo bila kumtilia mashaka.
“mbona huoneshi hamasa yoyote SM?” aliuliza Merina baada ya kumuona kijana huyo kaganda mahali hapo akiwashangaa tu.
“kwanza namtazama Suzy kwa jinsi alivyoduwaa baada ya kusikia kuwa leo ananipa utamu wa nyama ya bata hadi anatia huruma. Unadhani nakuacha mama, leo utaita jina langu la zamani, kitu kipya hicho kipira, nakifungua mwenyewe”
“bwana usiseme hivyo SM mwenzako hapa karoho kananidunda sijui kama hata nitaweza.” alilalamika Suzy, Merina akacheka kwa nguvu sana. lakini Roi akamalizia.
“pili nawaza kumtungua mamaa bosi, itawezekana kweli”
“enhee, kwenza bibi wewe ondoka” alisema Suzy. Merina akaweka ngumu kuwa hatoki ni lazima aliwe leo hapo hata kwa kufunga mlango. Roi akaona kazi anayo. Ghafla mlango wa hiyo ofisi ukafunguliwa na Joesan akaingia.
“na nyinyi hamchoki kuwa na huyu mtu, hebu nipisheni kidogo nina maongezi nae.” aliongea Joe. Wale mabinti wakatoka humo wakiwa wamechukia kabisa. Roi alitabasamu na kuona kuwa sasa kazi imekuwa nzuri. Maongezi yakafuata. Hakuna kikubwa walichokiongea mahali hapo hata moja la msingi, kubwa lilikuwa ni kuhusu habari za Urusi na Marekani. Joesan alimwambia kijana huyo kuwa Chalcovich hakukubali hata kidogo alipozipata habari kuwa amedhulumiwa, akahiidi kumuuwa kila mtu aliyeshiriki. Alikwenda ufaransa yeye na kikosi chake na kwenda kumuangamiza bwana yule wa kule Ufaransa kisha akageukia Marekani na kwenda kukutana na BC. Huko ndiko kulikokuwa na mapigano makali, vijana wote wa BC waliangamizwa lakini pia vijana wote wa Chalco, waliangamizwa nao. Wakabaki wababe hao wawili BC na Chalco. Chalco akamwambia BC kuwa anauwa yeye kisha anakuja kunimalizia na mimi huku. Nilipozipata taarifa hizo nilicheka sana, nani anaweza kunigusa mimi wakati nikiwa nalindwa na mtu mithili ya jini. Nani anaweza kukuuwa wewe Sex machine. Roi akajibu hakuna huku akiwa anamlamba kisogo.
“Sasa mabwana wale walipigana sana hadi mwisho wa siku wakauwana wenyewe kwa risasi. Roi aliposikia kuwa makundi yote matatu yameangania sambamba na viongozi wao, alitabasamu na kujua kuwa mpango wao umefanikiwa. Joesan akasema.
“kesho kuna kazi moja tu ambayo anatakiwa kuifanya ya kuitafuta harufu ya mtu anayejiita D.A. Hapo sasa ukiuwa huyo mtu, hata wewe ukifa haina shida.” alisema Joe. Roi alimtazama Joe kwa uchungu mkubwa sana, Joesan. Hakuamini kama huyo jamaa hapo mbele yake ndiye yule aliyekuwa akijifanya kuonesha upendo mkubwa kwake.
“nilipambana kwa ajili yako mbwa wewe, nilihakikisha hupati maumivu na wakati mwingine nilidiriki kuyabeba mimi maumivu ili tu uwe na amani kwa kudhani umeonesha wema kwangu na kunipa msaada mkubwa kwa kudhani umenilea baada ya wazazi wangu kufa. Niliamini wewe unaundugu na mama kama ulivyowahi kuniambi, kumbe ulikuwa unaning’ong’a, kumbe ulikuwa ukinilamba kisogo kwa ulimi wako wa kifirauni, kumbe wewe ni muuwaji Joesan. Hata kufa Father D.A Joesan, bali utakufa wewe na utakufa kifo walichokufa wazazi wangu kunguni wa miaka arobaini wewe” aliwaza Roi, moyoni alikuwa akilia na moyo wake ukimwaga machozi ya moto yaliyokuwa yakimuunguza lakini usoni alikuwa akitabasamu, tabasamu ambalo Joesan aliliona kama linamtukuza na kumpa sifa ya umungu.
“kwangu mimi huyo D.A hatachukua hata masaa sabini na mbili, atakuwa mikononi ……………….
mwangu akiwa tayari ni mfu” alisema Roi akiwa na ujumbe moyoni mwake uliokuwa ukisema ‘msumeno safari hii unarudi nyuma na kuitenda haki’ kisha akatabasamu tena. Joesan akamwambia huyo kijana kuwa kesho asubuhi awahi ili apewe mwanga wa kuweza kujua angalau chimbo za huyo D.A. Roi akaitikia na kuomba ruhusa ya kwenda kupumzika. Akaruhusiwa na kunyanyuka mahali hapo. Alikuwa na hasira, na laiti kama moyo wake ungekuwa ni mfuko wa nailoni, kwa muda huo ungekuwa umeshatoboka kwa jinsi hasira dhiri ya Joesan zilivyowamba moyoni mwake. Akatoka humo ndani na kuelekea kwenye korido ya kumtoa nje. Akiwa katikati ya ile korido, akasikia sauti zikisema nyuma yake, alipogeuka, alikuta ni Suzy na Dokta Emmy. Akampa hai dokta kisha akataka kuondoka.
“kwani Sex machine anajua?” akasikia swali hilo kutoka kwa Emmy likiwa limemlenga Suzy. Suzy akajibu kuwa SM hajui kitu kwani hata Boss mwenyewe pia hajui. Suzy alipojibu hivyo, Emmy akamsogelea kijana huyo na kumwambia kuwa mzee Rafael amepoteza maisha asubuhi ya kuamkia siku hiyo. Roi habari hizo zilimshtua sana, alishtuka kupita kawaida.
“jana usiku nilikuwa nae leo niambiwe amefariki?” alijiuliza na kuamua kuuliza kabisa.
“jana si tulikuwa tunacheka nae vipi leo…..na nini sababu ya kifo chake?”
“Mkuu ndiyo amemuangamiza kwa sababu alikuwa hamuelewi nyendo zake muda kidogo, alikuwa mkimya na hata mazoezi ya kuwafundisha vijana alipunguza, alikuwa ni mtu wa mawazo mengi kila wakati sasa hali hiyo ilikuwa ikimpa maswali mengi sana mkuu” aliongea Emmy. Roi akang’ata meno kwa siri sana kisha akageuka na kutaka kuondoka Suzy akamwambia kuwa atamfuata nyumbani kwa ajili ya kufanya mapenzi na yuko tayari kwa mambo yote hata kama atakuwa peke yake. Kabla hajajibu chochote, Merina aliwapita hapo bila kuongea neno na kwenda mahali zilipo ngazi za kupanda juu ya flow nyingine. Roi akamtazama kwa macho ya muda kidogo, akajua Merina hakuwa binadamu wa kawaida tena kama siyo mnyama ni roboti. Hakuwa akicheka hata mara moja. Akaondoka hapo bila kuonngea kitu hadi kwenye maegesho ya magari.

KIFO CHA MZEE RAFAEL.

Asubuhi ya siku hiyo, Rafa kama kawaida yake alikuwa akitoka kutanya mazoezi ikiwa ni kama dozi kwenye maisha yake, alipoingia ndani, aliekea moja kwa moja jikoninkwa ajili ya kujiandalia kifungua kinywa. Aliandaa kwa utulivu na utaratibu mkubwa kisha akarudi mezani kwa ajili ya kuujaza mwili kwa kifungua kinywa hicho. Akiwa anazidi kujiburudisha kwa chai ya rangi na supu ya kuku, mlango ukafunguliwa bila ya yeye mwenyewe kujua. Akashukia kitu cha baridi kikiwa kisogoni kwake.
“msaliti wa kampuni” yalikuwa ni maneno machache tu aliyoambiwa kwa majira hayo. Rafa hakugeuka wala kutetereka, alikuwa ametulia kimya huku akikirudisha kikombe mezani kutokea kinywani mwake. Akashusha pumzi nzito na kusema.
“kwa mnavyodhani nyinyi ni sawa.”
“ni nani basi uliyekuwa ukimmwagia siri za kampuni labda unaweza kuokoka na kifo”
“mmeshaamua kuniuwa, sidhani kama mtu mzima kama mimi nitakuwa namwaga siri kipumbavu” alisema fadha kisha kimya akapiga.
“ulipunguza mazoezi kwa vijana wa kazi, ulikuwa ukijitenga sana na wafanyakazi wenzako na pia ulikuwa ni mtu wa mawazo kila wakati. Bado utanidanganya tu kuwa wewe si msaliti?” alisema mvamizi huyo.
“hahaha hahaha, aahahaha haaa! Merina, wewe ni jasusi na kibaraka wa Lee najua”
“sheet! Yote hayo unayajua? Haki nimegundua kuwa wewe ni spy sasa. Kufa na uende kwa amani” aliongea Metina na kuitoa usalama silaha yake.
“mnasema nimetoa siri, kifo changu ndiyo kitafanya siri nilizozitoa zirudi mikononi mwenu au zitazigeuza kuwa uongo?”
“haijalishi lakini ninaimani ukifa hakuna siri itakayokuwa uchi tena na tutafanya yetu kwa uhuru zaidi.” aliongea tena Merina, hapo hapo akairuhusu risasi ipige kwenye mfupa wa shingo ulioungana na uti wa mgongo. Rafael akadondoka chini na kupoteza maisha huku akiwa anaamani moyoni mwake kwani alijua muda wowote Tanzania inakuwa salama.

“ahadi ya father haikutimia kwa mzee Rafael, amekufa akiwa anakaribia kuwa huru na maisha yake.” alikuwa akiwaza Roi kisha akapandisha vioo vya gari yake kisha akageuka kiaina kutazama juu ya jingo la kampuni ile. akamuona Merina akiwa amesimama juu ya lile jingo akiwa anaongea na simu.
” huyu binti ameanza kunifuatilia, tayari ameanza kunitilia mashaka, pumbavu zake.” aliongea kwa sauti ndogo kijana huyo na kutoa simu yake mfukoni huku gari ikiingia barabarani.
“Cat wasiliana na Father mwambie Mzee Rafa ameuwawa baada ya kuwa wakimtilia mashaka muda mrefu na pia kwa sasa kuna dalili za kuwa wamenza kunitilia mashaka na mimi pia. Tukutane Kilakala muda huu” alimaliza kuongea na kuiweka simu kwenye mfuko wa shati. Akiburuza gari kwa kasi kubwa sana.

DAKIKA TANO NYUMA

“nadhani huyu mzee ndiye aliyekuwa akifanya hali ya hewa kutoilewa ndani ya kampuni yangu. Kifo chake kinaweza kubadilisha hii hali. Asante sana Shetani wa kike kwa kuweza kufanya hayo mauwaji.” alikuwa ni mr. Kim akiwa pembeni ya Merina huku mzee huyo akiwa haonekani sura. Aamma! Inamaana kumbe Merina anamjua huyo mzee kwa sura kabisa. Tena Merina akiwa anajulikana kwa jina la Shetani wa kike? Mpya hii. Kama uliukuwa hujui basi, hiki ndicho kifaa cha kazi kilichoandaliwa na mr. Kim. mzee wa kikorea asiyeeleweka yeye na mipango yake. Hakuwa ni mzee wa mchezo mchezo kabisa. Merina ni moto wa kuotea mbali huo na usiombe ukakuwakia, ni moto ambao Kim alitoa ufundi wake wote katika kumfundisha yaani huyo ndiye aliyekuwa jicho pekee la babu huyo.
“hata nyendo za SM sizielewi kabisa kwa sasa. Nilikuwa namchombeza ili nifanye naye ngono lakini alinikatalia kwa kigezo cha kuogopa kuwa eti, mimi ni mali ya boss. Huyu hajui kuwa sisi tunamjua na hakuwa mtu wa hivyo, alitengenezwa ili afanye ngono hata na mama yake mzazi au baba yake, lakini cha ajabu eti, anakataa mali ya bosi?” aliongea Shetani wa kike Merina. Mkuu akahema kwa nguvu na kumwambia kuwa s
aanze kumchunguza taratibu. Merina akaondoka. Kwahiyo hata pale juu alipokuwa anamtazama, ulikuwa ndiyo mwanzo wa kuanza kumchunguza.

KILAKALA

“kiongozi, D.A amehuzunika sana na si kuhuzunika pekee, father amelia kabisa kiongozi. Amesema kazi ianze leo usiku anataka lifikapo jua la kesho kutwa kuwe hakuna kiumbe kilichobakia.” Alisema Jay. Mara muda huo huo Catherine akaingia na kumpiga busu Roi na kukaa.
“nadhani sasa hakuna cha kuchelewa tunawaumiza kwanza…!” alisema Roi lakini alipokuwa aksema hayo, simu ya Catherine ikaita. Wote wakakaa kimya kuisikiliza simu hiyo.
“niambia Amiri nini kimejiri kwenye watoto wangu niliowatotoa kwenye kampuni yao?” aliongea Cat baada ya kuipa uhai simu hiyo.
“wameita kikao cha wafanya kazi wote lakini Sex machine hayupo, hiyo inamaana kuwa tayari kazi imeanza” aliongea Amiri na sauti yake ikasikika na kila mtu mahali hapo kupitka spika ya nje ya simu hiyo.
“kilikuwa kinahusu nini hicho kikao?”
“Tai kijana mshenzi wa kiingereza, ametoa mtambo fulani mdogo sana, mtambo huo unatoa mionzi hatari na mionzi hiyo inasafiri kwa nguvu ya umeme yaaani system yake imeundwa kitaalamu sana, inatembea na umeme hivyo inamaana kuwa mtambo huo ukiwashwa na kuruhusiwa mionzi hiyo isambaye kwa kutumia nyaya za umeme zilizosambazwa tanzania nzima, niwazi watanzania wengi wanakwenda kuathirika. Hebu fikirieni ni sehemu gani ya Tanzania kwa sasa haijapitiwa na umeme. Na mionzi hiyo inaathiri ubongo moja kwa moja na kuleta mtindio wa ubongo. Mionzi hiyo itakoporuhusiwa inamaana kuwa wote wanaotumia umeme majumbani mwao, ndiyo watakaokuwa waathirika wa kwanza kisha sumu hiyo kuzagaa mitaani. Tanzania inakwenda kuangamia kupita huo mtambo.” alikomea hapo Amiri. Watu wakapumua kwa nguvu sana. Hakuna aliyeamini kitu kama hicho kingefanywa na mgeni lakini huku watanzania wakiwemo ndani yake. Joesan amekuwa mjinga kiasi gani.
“tupe information inzima Amiri” aliongea Cat.
“hakuna binaadamu mwingine anayeweza kuuendesha huo mtambo zaidi ya huyo Tai. Kwa maana hiyo Tai akifa hakuna mwingine atakayeweza kuunyanyua na kuupa uhai. Mnatakiwa kumuuwa Tai leo kwani hawtabiriki kuanzia sasa. wameshaandaa ndege za kuwaondoa hapo nchini. Kumbukeni tu kuwa mtambo huo ukiwashwa hakuna atakayeweza kuu contral tena.” alimaliza Amiri na kukata mawasiliano. wakachoka. Roi akasimama kama kiongozi na kuwapangia majukumu mapya ya usiku huo.
“Tai atakufa kwa mikono yangu isiku wa leo ila Jay hakikisha Dokta Emmy anakufa kwani hawa ndiyo kikwazo kikubwa kwetu, wakiondoka hao hata kazi itakuwa nyepesi” alimaliza kuongea huku akimwambia Cat kuwa yeye atakuwa hapo kwa ajili ya lolote litakalotokea. Wakakubaliana.

Saa 22:30. Usiku. Roi anazama ndani ya nyumba ndogo tulivu kabisa ambayo inapatikana ..
 inapatikana maeneo ya hapo mjini, mtaa wa Boma Road. Alizama taratibu ndani kwa uangalivu mkubwa. Nyumba ilikuwa kimya kiasi cha kudhani labda hakukuwa na kiumbe anayeishi humo ndani. Akaona taa zinawaka sebuleni, akasogea hadi kwenye kona ya kuingia kwenye sebule hiyo. Alipotokea hapo, alimuona mzungu huyo ambaye alikuwa ameinamia Kompyuta kubwa sana, akiwa anabonyeza kitufe hiki na kuacha kile. Akamrushia sindano kwenye meza ambayo ilitoa kelele ndogo ya kushtua baada ya sindano hiyo kuangukia kwenye meza hiyo. Alishtuka huyo mzungu na kuangalia mbele ambako alikumbwa na mshtuko mkubwa baada ya kumuona kijana huyo akiwa amekaa kwenye kochi bila hata presha yoyote ile.
“Sex mac……!”
“my name is Roi, don’t call me Chriss or Sex machine” alionge kwa utulivu mkubwa bila hata kumtazama mzungu huyo.
“ooooh! Mungu wangu kumbe ni kweli umekuwa mtu, sasa kwanini umekuja huku kwangu jamani si uonevu huo” alipiga kelele mzungu huyo. Alikuwa ni muoga sana.
“kwani watu si ndiyo wanatembeleana, nimeona tu nikutembelee my friend au hupendi?” aliuliza Roi.
“ndiyo usiku hivi? hapa….nna…wewe hukuja kirafiki, si kweli hukuja kirafiki eeeenh!?” mzungu huyo aliuliza vitu vya kijinga sana, alikuwa amechanganyikiwa waziwazi. Alikuwa akiujua mziki wa kijana huyo, sasa unafikiri angekuwa na amani mahali hapo?
“usipige kelele utawafanya watu wajenge wasiwasi tulia tu” alisema Roi.
“haaa! angalia sasa ulivyo muongeaji mzuri hivyo, Sex machine niliyemtengeneza mimi wala hakuwa muongeaji alikuwa akifuata tu kila atakachoelekezwa” alizidi kujichanganya mzungu huyo.
“kumbe wewe ndiyo ulinitengeza na kuniharibu akili?” aliuliza Roi huku akisimama taratibu. Mzungu huyo akaogopa na kuanza kujipapasa. Kosa alilolifanya hapo huyo mzungu ni kusogeza kitu kama simu. Alichelewa. Roi aliruka na kumvamia kwa mateke mawili ya nguvu yaliyomtoa huyo mzungu mahali hapo na kupigizwa ukutani. Alikema kwa mayowe ya maumivu kisha mzungu huyo, alisimama ghafla na kutaka kukimbilia swichi moja iliyopo ukutani hapo ili azime taa aweze kutoweka, Kosa. Kisu kilirushwa kwa nguvu na kwa ustadi mkubwa na kumchoma kwenye kitanga chake cha mkono ukelele wa uchungu ukamtoka.
“huwezi kunikimbia hata kidogo na najua kuwa nyumba yako kila kona ina vitu vya kujihami kwa sababu ya woga ulionao. Kwanini unafanya kazi na maharamia halafu unakuwa mwoga?” aiuliza Roi huku akiwa amesimama pale pale alipokuwa mwanzo. Kijana huyo alikuwa akilia kwa maumivu na uchungu mkubwa. Lakini hakutaka kufa kizembe bila kutoa taarifa kwa wakubwa wake au kukimbia mahali hapo. Alikamata stuli moja iliyopo hapo ndani, akamrushia Roi. Roi akaisukumia pembeni ile stuli halafu akabaki anamtazama huyo jamaa kwa dharau na udadisi wa hali ya juu. Akainama akiwa na lengo la kubonyeza kifaa kimoja kilichopo chini ya kochi. Nalo likawa kosa. Teke zito lilipiga kwenye paji la uso na kwa vile alikuwa ameinama, alibinuliwa huku akipaa hewani hadi anafika chini baada ya kutoka huko juu alikokuwa amerushwa, alikuwa na akili sio zake, pigo lile lilimvuruga kabisa akili. Roi akachomoa bastola na kumpiga nayo ya kifua bila bastola hiyo kutoa sauti yoyote. Muda mfupi tu Tai alijitupa chini akiwa marehemu. Na muda huo huo, Roi akapokea simu kutoka kwa Catherine. alipopokea simu hiyo. Akaambiwa kuwa haraka sana iwezekanavyo awahi nyumbani kwa Dokta kwani Jay yupo katika hali mbaya baada ya kuvamiawa na mtu mwingiene aliyevaa kinyago usoni. Roi hakupoteza muda, alikurupuka na kuparamia pikipiki na kuelekea mahali nyumba ya Dokta Emmy ilipo. HATARI.

*******
Jay hakuwa mwenyeji wa mji wa Morogoro hivyo alipokuwa anakwenda kwa kwa dokta Emmy kwa kuelekezwa njia za kupita hadi kufika mahali ambapo dokta Emmy anaishi. Alipofika mahali hapo, alikuta mlango umefungwa. Mmiliki wa nyumba hiyo alikuwa amelala tayari. Jay alichokifanya ni kupita njia za kitaalamu azijuazo yeye mwenyewe hadi akafanikiwa kupita sebuleni ambako alipokelewa na giza kali. Akaanza kuingia kila chumba kumtafuta mmiliki wa nyumba hiyo ambaye ndiyo kwanza alikuwa akibingilia kitandani kwa muda huo. Chumba ambachi dokta huyo alikuwa wmelala, taa ilikuwa bado inawaka japo ilikuwa ni kwa mwanga mdogo sana. Jay alifika kwenye mlango wa chumba hicho na kukamata kitasa cha mlango huo. Alipokinyonga, mlango huo ukaitikia lalini ndani Emmy alikuwa tayari ameshaona jinsi kitasa chake cha mlango, kinavyo tikisika. Emmy alikuwa ni mwoga sana hivyo mara nyingi huwa kuna vitu anaviweka ili kuwa kama ulinzi kwake. Mlango ule ulipokuwa unanyongwa kitasa chake, Emmy alishtuka sana baada ya kushtuliwa huko na mitego yake midogo aliyoitega. Alichokifanya dokta Emmy ni kutoa taarifa haraka sana kwa kubonyeza kifaa fulani kidogo sana mfano wa simu ya Nokia torch kisha akawa ametulia pale pale kitandani akisubiri kumuona huyo mvamizi. Jay alizama ndani na alipoingia tu ndani humo, hakuwa na muda wa kupoteza. Alimnyooshea bastola binti huyo ili kutaka kumuua. Ghafla Emmy akakurupuka na kujifanya ndiyo anaamka kutoka usingizini. Kitendo hicho kikamfanya Jay kushtuka kidogo na kupoteza dhamira yake. Teke moja kutoka kwa Emmy, lililopigwa kwa ufundi mkubwa sana baada ya dokta huyo kujifyatu kiubavu ubavu, iliirusha mbali bastola ya Jay. Jay hakutaka tena kuchelewa, alimvamia dada huyo na kumpa makonde ya nguvu hadi akamdondosha chini. Wakati Jay akiwa anamfuata mtu huyo ili kumuadabisha, ndipo mlango ulipofunguliwa kwa nguvu nyingi kisha Jay kujikuta akipokea kichapo mfululizo kutoka kwa mtu aliyevamia hapo ambaye hakumfahamu kutokana na mtu huyo kuvaa kinyago usoni. Jay alisimama kwa shida sana ili kujaribu tena bahati yake mbele ya mtu huyo. Mvua ya kichapo ikamnyeshea tena. alipigwa kwa ufundi mkubwa na kila mahali ambapo pigo lilitua kwenye mwili wa kijana huyo, lilikuwa likiacha madhara makubwa mno. Jay alivunjwa vunjwa vibaya sana. Hapo ndipo Cat aliona kupitia vifaa maalumu waliokuwa wamefungiwa watu hao. Kifaa hicho kilikuwa mfano wa camera ndogo lakini hii huwa haipigi picha wala kutuma picha bali hurusha taarifa tu, mara baada ya muhusika kukumbwa na matatizo. Amiri pekee aliyeko Uganda ndiye aliyeona jinsi Jay alivyokuwa akipigana na mtu asiye daraja lake na alikuwa tayari amepata madhara makubwa kwenye mwili wake. Amiri aliliona hilo kwa kuvamia kamera za ulinzi ambazo zikitegwa kwenye chumba cha dokta Emmy. Hapo ndipo alipotoa taarifa kwa Catherine kisha Catherine kuzirusha taarifa hizo moja kwa moja kwa Roi.
“hutafanikiwa ulilolipanga mwanaume, utakufa wewe kisha mtakufa wote kwa pamoja. Utamwambia bwana wako aliyekutuma kuwa umekutana na Shetani wa kike” alibwata mwanamke huyo kwa kiburi kizito. Kumbe hakuwa mwingine mwanamke huyo alikuwa ni Merina. Aliposema hivyo binti huyo, alimsogelea Jay na kumpiga pigo baya sana la kifuani lililopelekea kijana huyo kutapika damu. Jay akadondoka chini akiwa marehemu tayari. Merina kabla haja mgeukiukia Emmy pale chini, uvamizi mwingine wa nguvu ukaibuka mule ndani na mlago kubaki wazi. Roi alikuwa amechelewa sana, alikuta tayari Jay ameshapoteza maisha. Kitendo cha yeye kuvamia mahali hapo kilimpa hofu Merina kwa kiasi kikubwa sana ni kweli alikuwa mpambanaji mzuri na hatari lakini bado alikuwa akimjengea hofu sana Roi ambaye yeye alimfahamu kama SM.
“ooh! SM umebadilishwa akili kumbe tayari?” aliuliza binti huyo akiwa kama anayejiweka mkao mzuri wa kimapambano lakini si hivyo, hapo alikuwa yupo katika mahesabu makali.
“jina hilo la SM kamuite baba yako kuanzia sasa silo jina langu hilo. Call me Roi.” alijibu Roi na kujiandaa kwa ajili ya kumuadabisha huyo mrembo lakini kumbe mrembo huyo alikuwa tayari ameshapiga mahesabu makubwa sana ya kuweza kutoroka mahali hapo. Hakuona haja ya kupambana na mtu huyo kwa wakati huo. Merina alikuja kwa mtindo wa kama anadansi kisha akaruka, akadanda ukutani na kjizunguu akiulenga mlango uliokuwa wazi. Roi aligundua kuwa binti huyo analenga kukimbia, Merina akiwa tayari ameshajaa kwenye ule mlango. Alimsindikiza na pigo zito la kwenye mbavu hadi binti huyo akatoa mguno wa maumivu. Alidondokea kwenye korido akaamka kwa kasi kubwa kisha akachoropokea nje huku akiwa anakimbia kwa kuinamia upande mmoja kutokana na pigo alilopigwa mbavuni, akatoweka. Roi alichokifanya ni kummalizia Emmy japo mwanamke huyo aliomba msamaha kwa kijana huyo lakini haikufaa kitu, aliuwawa. Roi alimsogelea kijana wake na alitoa chozi la uchungu sana. Ni kwa muda mfupi wameishi pamoja lakini walikuwa wakishilikiana kwa nguvu moja na upendo wa hali ya juu mno.
“Mungu aihifadhi roho yako mahali pema peponi Jay, tulikupenda sana na mungu amekuhitaji, umekufa ukiwa na nia ya kuliokoa Taifa na pia kunisaidia mimi kulipa kisasi. Damu yako italipwa hata kama si hivi karibuni.” aliongea Roi sambamba na kufuta machozi kisha akaokota bastola na kutoweka maeneo yale kwa tahadhari sana.

Ilikuwa ni siku ya huzuni, siku ambayo pande zote mbili ziliumia. Mr. Lee Kim, aliondokewa na viungo muhimu sana kwenye kazi yake huku D.A akipoteza kifaa kimoja cha kazi. Amiri, Chars na Zomba, walilia kupita kawaida. Hawakuamini kama kijana mwenzao angekufa mapema kiasi hicho. Zomba ndiyo alilia zaidi, kijana ambaye walikuwa wakicheza karata tatu pamoja huku wenyewe wakisema kuwa wanacheza kamari, walikuwa wanatengeza na kubuni vifaa mbalimbali pamoja wakiwa wote. Anakuwa mwenyewe sasa. Kilio kilikuwa ni kikubwa mno.
“father tunaomba ruhusa yako tukatie nguvu huko Tanzania ili hadi kesho tuwe tumewasambaratisha.” alisema Zomba ambaye alikuwa tayari amevaa nguo za kazi kwa ajili ya safari hiyo muda wowote. Vijana wenzake wote nao wakatoka vyumbani mwao na kusimama mbele wakiwa wanamuunga mkono Zomba. D.A aliwatazama kisha akasema.
“najua ni jinsi gani mlivyokumbwa na ghadhabu juu ya kifo cha ndugu yenu. Lakini mkumbuke kuwa huko wapo watu ambao tunawaamini sana. Wasaidieni mkiwa hapa. Kwani wamesha sema kuwa kesho ndiyo kilele na ndipo itakapojulikana mbivu ma mbichi. ………………..

“father tunaomba ruhusa yako tukatie nguvu huko Tanzania ili hadi kesho tuwe tumewasambaratisha.” alisema Zomba ambaye alikuwa tayari amevaa nguo za kazi kwa ajili ya safari hiyo muda wowote. Vijana wenzake wote nao wakatoka vyumbani mwao na kusimama mbele wakiwa wanamuunga mkono Zomba. D.A aliwatazama kisha akasema.
“najua ni jinsi gani mlivyokumbwa na ghadhabu juu ya kifo cha ndugu yenu. Lakini mkumbuke kuwa huko wapo watu ambao tunawaamini sana. Wasaidieni mkiwa hapa. Kwani wamesha sema kuwa kesho ndiyo kilele na ndipo itakapojulikana mbivu ma mbichi. Lakini kwa hiki kilichotokea hapa Roi anaweza hata kuwavamia usiku wa leo” aliongea father. Vijana hao hawakuwa watu wa kumpinga father tangu anakuwa nao wakiwa bado ni vijana wadogo. Pia waliyaamini maneno yake kwa kiasi kikubwa sana. Wakaonelea ni bora kufanya kama father alivyosema. Japo walikuwa na ghadhabu sana. Walirudi vyumbani mwao na kubadili nguo kisha wakarudi kwenye nafasi zao za kazi huku wakiahidiwa kuwa kesho jioni ni lazima mambo yatakuwa shwari na wanaweza kurudi Tanzani.
“father kazi inatisha fadher, hawa jamaa wako kikaoni kwa sasa ndani ya kampuni na wanampango mbaya sana” aliongea Amiri akiwa anashangaa sana baada ya kukaa kwenye kompyuta yake kubwa ya kazi.
“wasiliana na Cat na umwambie kila unachokiona” aliongea father huku akinyanyuka na kuingia chumbani kwake kwenda kufuatilia hayo yaliyokuwa yakiongelewa hapo na wote walikuwa wanashuhudia hayo kupitia kamera ndogo za siri ambazo aliwahi kuzitega Cat siku moja usiku alipoivamia kampuni ile. Kila mmoja hapo akawa na harakati zake.

“Wanajaribu kutuchanganya zaidi sasa basi cha kufanya ni kuwaonesha kuwa sisi siyo watu wa mchezo hata kidogo.” iliunguruma sauti ya mkuu, alikuwa bado hataki kuonekana hata kidogo lakini wakati anaongea hayo, alikuwa hapo hapo ndani ya kampuni.
“mimi” akendelea.
“kesho nitauwasha huo mtambo hata kama sijui ni jinsi gani unawashwa lakini nitauwasha tu ili nchi hii waone kile kitawatokea. Nitahakikisha nauwa watanzania wote kiakili pumbavu zao. Joesan, hakikisha muda huu nitakapomaliza kuongea haya, ita vijana na waingie mtaani, wakabidhi silaha na wahakikishe wanafanya mauwaji kwa kila watakeyekutana naye njiani. Hii itafanya polisi kujaa mitaani lakini pia kuwavuta maadui zetu karibu. Wao wanazuia sisi tunaharibu hivyo ni lazima waende mtaani kuzuia hili huku sisi tunafanya kitu kitakachokwenda kuiharibu Tanzania kwa ujumla.” alimaliza kuongea Kim lakini Joesan alikuwa ni kama amepigwa na butwaa, alikuwa akishangaa na kujiuliza, yaani vijana niwaamrishe wakauwe kila watakauekutana naye mtaani! alikuwa akijiuliza namna hiyo Joesan. Moyo wake ulikuwa kama unasita kufanya kitu hicho, nguvu ya kufanya aliona kama inamsaliti huku moyo ukimwambia ‘yaani uko tayari kuteketeza ndugu zako kwa amri ya huyo mkorea ambaye anauwezo wa kukimbilia kwao? Kumbuka hata kama utaweza kukimbia ndani ya nchi hii na kwenda kujificha kwenye nchi nyingine, bado utakuwa mtumwa si huru tena. Uhuru mzuri ni ule wa nyum…..!!”
“unashangaa nini wewe, hujui nimekuagiza nini. Hawa watanzania wamesha kusaliti na hata kama utatoka na kwenda kanisanani kuungama dhambi zako hadi kanisa litakuhama wewe na utabaki peke yako ukichomwa na jua.” sauti hiyo aliyokuwa akiisikia Joesan, ilikatishwa, tena alikuwa akifoka Kim mahali hapo. Joesan akashtuka na kujikuta akijitafuna. Kim akazidi kubwata.
“huna unachopoteza kwa sasa utauwa watanzania wote na wewe utakwenda nchi yoyote duniani kula raha” Joesana akajua kweli ni bora auwe ili akaishi mbali kwa furaha. Akatoka hapo na kwenda kwenye kempu la vijana wa kazi kwenda kuwapa amri kisha kuwakabidhi silaha. Huku nyuma Kim alizidi kutoa maelekezo.
“house no. 05, ina silaha za maangamizi hizi ni siha zenye sumu kali sana hivyo mimi nitakapo maliza kuuwasha huu mtambo hapo kesho, nitaelekea 05 kwenda kuilipua ile nyumba na kisha tunaondoka hapa nchini kabla sumu ile haijasambaa. Sumu hiyo ni hatari sana, ni zaidi ya dilaha za Nyuklia na itaharibu kabisa watu wote wa hapa morogoro. Haitanuacha mtu hai hata kidogo. Moshi wake ukisambaa tu hewani basi hakuna mtu atakayebaki maana kila atakayeivuta hiyo hewa ni kifo, ni zaidi ya Carbon monoksaid hiyo hewa.” alizidi kuongea mzee huyo. Alishindwa kuipa jina zuri sumu hiyo ambayo haikuerza kushindanishwa na vitu vyote vya hatari avijuavyo yeye. Muda huo akamwambia Merina kuwa asiwe mbali na yeye kwani ndiye anayemtegemea zaidi. Suzane na wafanya kazi wengine wao wakawa na kazi ya kuhakikisha ulinzi wa hiyo kampuni. Wakati wakiwa hapo. Huko mtaani hali ilishaanza kuwa tete. Vijana walikuwa wanauwa kweli, kuanzia masika kuja mjini huku wengine wakichukua uelekeo wa kwemda kituo kikuu cha magari Msamu, wengine wakiwa wanaelekea maeneo mbalimbali ya mji huo. Zilikuwa ni risasi za sumu pekee ndizo zilizokuwa zikitumika hapo. watu walichanganyikiwa kweli. Raia walikufa kwa wingi sana huku waliobahatika kupona wakiukimbia mji huo. Roi na Cat, walikuwa wameshapewa habari zote na kila mpango uliokuwa ukipangwa ndani ya kampuni ile. Roi alifikiri kwa muda na kumwambia Cat akimbilie Kilakala kwa ajili ya kupanga nini cha kufanya kwani tukio hilo lilikuwa ghafla sana na lilikuwa ni mtego. Baada ya kumpa maelezo hayo, Cat alipanda gari na kuelekea kilakala kisha yeye akakimbilia kule ambako alikuwa akiishi wakati akiwa ni Sex machine, kwenye ule mjego ambao alikuwa amepewa na kampuni. Hapo alikuwa na zana za kutisha na alifanya hivyo kwa makusudi kwani alijua fika kuwa nyumba ile itakuwa imewekwa kamera za siri ambazo zilikuwa zikimfuatilia. Aliamini akiwa kule ni lazima watamuona kuwa anakimbilia kule. Hapo alijua ni lazima wale vijana wanaouwa mtaani watapunguzwa kwa wingi na wengine kuletwa kule alikokimbilia yeye kwa ajili ya kumuuwa. Wakati Roi anatoka hapo kwenye nyumba yake ya mjini ambayo alikuwa ameinunua pamoja na Sauda, akiwa anapanda Pikipiki tu, Sauda kumbe naye alikuwa akija maeneo hayo baada ya kumkosa mpenzi wake huyo kwa muda mrefu. Hivyo wakati huo anapanda pikipiki na kuondoka, Sauda aliita sana lakini Roi hakusikia kutokana na kuchanganyikiwa. Hali ile ya taharuki iliyolivamia jiji ilikikuwa bado haijafika maeneo hayo. Hivyo Sauda akaona kama kijana huyo anamkimbia, hivyo akapanga kumfuatilia. Alikuwa yupo ndani ya gari yake Noah. Akaiongeza kasi gari yake hiyo na kuanza kumfukuzia kwa nyuma. Roi alikimbiza pikipiki lake kwa kasi kubwa hadi anafika mahali nyumba ilipo na kuzama ndani.

Wakati Roi anafika ndani ya nyumba ile huku kwenye kampuni walimuona kweli kupitia kamera za siri ambazo zilitegwa mule ndani. Kundi kubwa la vijana wauwaji waliomwagwa mtaani wakaambiwa waache kuuwa na waelekee kwenye nyumba aliyokuwa akiishi Sex machine na wakaiteketeze nyumba ile Sex machine akiwa ndani. Kundi hilo likaingia kwenye mitaa hii na ile hadi wakatoke kwenye nyumba hiyo ambayo walikuwa wanaiona kwa mbali. Wakati wanazidi kuja, Sauda akawaona watu wale jinsi wanavyotisha huku wakiwa wamebeba silaha za hatari. Walikuwa wengi sana kiasi cha kutokutazamika.
“lile ni jeshi?…..ah!, ah!, lile siyo jeshi…..Jeshi gani halina sare maalumu. Hebu nnifikirie kama niliwahi kuona jeshi ambalo linafanyaga mazoezi au maandamano likiwa vifua wazi?…..Mbona sijawahi kuona na hata sikumbuki……labda jeshi la mazombi?” alikuwa akijiuliza sijui kujiswalika maswali sijui nini, maana alikuwa hata haeleweki Sauda. Akaona ngoja atulie hapo hapo aone kuna nini kinajiri kwa kunfi lile kubwa la viumbe wale wa kutisha ambao alishindwa kuwalinganisha na binadamu. Mdada huyo akaona hapo usalama hakuna. Tena watu wale walikuwa wanazidi kusonga mbele bila kusimama. Akaigeuza gari yake na kupita njia nyingine na kutokea kwenye barabara kubwa. Akaendesha gari kwa kasi huku akipiga simu polisi na kuwaelekeza watu hao walipokuwa wanaelekea. Alilia sana Sauda baada ya kuona kundi la viumbe wale likielekea keenye nyumba ambayo alikuwa ameingia mpenzi wake. Hakutaka kwenda mbali sana, aliegesha gari yake kando ya barabara, sehemu ambayo inautulivu ili kupata kusikia kitakachotokea huko nyuma. Kama siyo milio ya risasi basi ulikuwa ni mlipuko mkubwa sana. Kwani kwa zile silaha alizoziona, alijuwa fika ule ndiyo ulikuwa mwisho wa penzi lake.

Polisi walikuwa tayari wamemwagwa mtaani wakipambana na watu hao, shughuli ilikiwa pevu mno, hakuna askari polisi hata mmoja aliyelitegemea tukio hilo kwanza lilikuwa ni tukio la ghafla sana kutokea. Wakaamua kugawana, wengine wakaelekea mahali ambako simu hiyo imepigwa na wengine wakibaki mitaani. Polisi walijaribu kuzuia hali hiyo lakini wapi. Watu wale hawakurudi nyuma walizidi kusonga mbele na kuzidi kusababisha mauwaji makubwa ya askari polisi pamoja na raia wao. Wale jamaa walikuwa ni kama wameharibiwa akili. Walikuwa wanalengo la kuuwa tu na si jambo jingine. Miliyo ya risasi ilizidi kurindima ndani ya mji wa Morogoro. mr. Kim alikuwa akicheka kwa furaha kubwa na kujua sasa amefanikiwa.

“D.A, onesha uwezo wako sasa, zuia ninachokifanya kama unaweza, zuia sasa nione, zuia.” alijitapa Kim. Watu walikufa mitaani, walikufa kama uchafu na huku kwenye nyumba tayari askari walikuwa wameshashindwa kuwazuia hao mabwana na walikuwa wameizunguuka nyumba hiyo tayari kuivamia. Askari wengi hapo walikuwa wamepoteza maisha sasa wakawa hadi wanaogopa kushambulia tena wakawa wamebaki kuona nini lengo la watu hao kuizunguuka hiyo nyumba.
“Catherine unanipata?” aliuliza Roi akiwa amekaa sehemu moja upande wa juu wa ile nyumba akiwa anaangaliana na jingo moja lienye usawa na hiyo nyumba.
“ndiyo, nakusikia kiongozi, watu wanakufa sana mtaani na polisi wameelemewa tunafanyaje sasa?” alihoji Cat.
“hatuna jinsi Catherine, hata kama serikali ikitukamata poa lakini huu ndiyo muda wa kutumia zana zetu za kazi, hakuna njia nyingine. Hawa walionizunguuka hapa wote ni marehemu watarajiwa kwani kuna mzinga mkubwa wa bomu huko ndani una fukuta, wakianza kupiga rusasi zao tu wamejiuwa wenyewe. Chukua pisto Bomba three na two, zama nayo mtaani tutakutana huko” alimaliza kuongea Roi kwa kutumia kisafirisha sauti alichokuwa amekibana kwenye fulana yake iliyombana vizuri huku kipokea sauti kikiwa sikioni kisha hapo hapo akakimbia kwa kasi kubwa kule juu kisha akarukia kwenye nyumba ya jirani na kukimbia tena na kurukia upande mwingine. Askari walibaki …………….

Chukua pisto Bomba three na two, zama nayo mtaani tutakutana huko” alimaliza kuongea Roi kwa kutumia kisafirisha sauti alichokuwa amekibana kwenye fulana yake iliyombana vizuri huku kipokea sauti kikiwa sikioni kisha hapo hapo akakimbia kwa kasi kubwa kule juu kisha akarukia kwenye nyumba ya jirani na kukimbia tena na kurukia upande mwingine. Askari walibaki wakishangaa uwezo wa yule mtu kule juu. Hapo wakajua kuwa kundi la watu wale wadioeleweka walikuwa wakimtaka mtu yule. Walitaka kumlenga kwa risasi kwa kudhani ndiye chanzo lakini walichelewa. Wale jamaa waliotumwa kuuwa waliwahi kupiga risasi kwenda mule ndani. Muda huo huo askari wale walishuhudia mlipuko mkubwa sana ambao hata kwenye muvi za kivita hawajawahi kuuona. Walishuhudia wale jamaa wakifa kifo kibaya sana kwa kurushwa hewani na kudondoka chini wakiwa maiti. Wote waliangamia na kubaki wawili tu wakiwa wanachechemea, askari polisi wakawamalizia kwa hasira. Mlipuko ule ukaleta ushindi kiasi fulani kwa polisi lakini ukazalisha kilio kizito kwa Sauda ambaye alikuwa ameigamia usukani wake wa gari. Kwa mlipuko ule mazima aliamini SM wake si hai tena. Alilia pasipo kunyamaza, penzi lilimliza Sau. Mwanaume kama SM alijua hawezi kutokea tena katika maisha yake. Hakutaka hata kidogo kuacha kulia mahali hapo.

Mtaani nako kulikuwa kumechafuka mwanadada Cat alikuwa kachafukwa na roho. Alikuwa akiwakausha wale wauwaji kama kachanganyikiwa. Pistol Bomba 3 na 2 zilikuwa zikiteuka risasi za Snake Teeth Bullet (STB) kama uchafu. Kila risasi ilikuwa ikiondoka na mtu na nyingine zilikuwa zikiondoka na kundi la watu. Mtoto huyo mzuri alikuwa juu ya pikipiki kubwa kabisa akiwa analiendesha kwa weledi mkubwa huku akizitema hizo sindano za sumu. Roi naye alikuwa mtaani na pikipiki lake akifanya yake. Ndani ya masaa mawili tayari mji ulishaanza kupoa kabisa. Kim alibadilika ghafla badala ya kucheka akawa analia kwa uchungu. Vijana wake walikuwa wakipukutika mtaani kama uwele kwenye jua kali.
“jamani Roi SM amekufa na sasa tunapambana na mzimu wake. Huyu mtoto kumbe ni laana hivi. Yaani hata sijui amewatokaje wale mashetani wangu na kuwauwa wote kisha eti, arudi na mtaani!” alichanganyikiwa Kim, tena alidata vibaya sana.
“nadhani unayajua majengo ya siri ya huyu Kim my love, hakikisha yote unayatekeza kwa kuyalipua lakini uhakikishe watu wasiokuwa na hatia wanakuwa hai. Bakisha jingo moja tu ambalo ni Happy Club, hilo litabaki kama ushahidi kwetu.” aliongea Catherine walipokuwa wamekutana yeye na Roi mara baada ya kuwapukutisha wengi.
“nimekupata mke wangu, kuwa makini hawajaisha bado na sijui ni nini wanafikiria…….,Nini plani yako baada ya kuwamaliza kabisa hawa?” aliuliza Roi.
“nikiwafyeka hawa wote hakuna budi kulivamia kampuni ninaimani kwa hali hii Kim hatangoja kesho leo leo anaweza kuwasha huo mtambo”
“ok, kuwa makini my love nategemea kupata mtoto wa kwanza nawe baada ya kumaliza huu mchezo” alisema Roi kisha Catherine akatabasamu kisha kulipa utani huo.
“sina mpango wa kuzaa na malaya kama wewe ila ninahamu sana ya kukufaidi baada ya hili gemu kuisha” Roi akacheka kisha akaiondo pikipiki yake kwa kasi kubwa. Roi alihakikisha anaanza Nanenane ambako huko kuna majumba si chini ya matatu ya Mzee huyo na kuyamalizia mengine. Alipofika huko alifanya yake kwa kuuwa kila aliyekuwa mlinzi wa majumba hayo, kisha wale wote ambao walikuwa wafanyakazi wa kawaida, huku wengi wakiwa ni wanawake watoa huduma, wakitolewa nje. Majengo yote yalitiwa moto na kulipuliwa kabisa. watu walishangilia huku wengine wakilia kabisa kwa furaha.
“mkombozi huyu ametoka wapi jamani” walisikika watu wakisema hivyo. Wale ambao walikuwa ni kama kiburudisho kwa wateja. Mashoga wengi waliotolewa. Lilikuwa ni kundi kubwa la vijana ambao waliharibiwa. Wote hao walikabidhiwa mikononi mwa polisi huku aliyetenda hayo akiwa haonekani.

Joesan aliona sasa hali ni tete na muda wowote jumba bovu linamuangukia, alichokifanya ni kuchukua gari na kukimbilia kwenye jingo lake la siri lililoko Mazimbu road. Huko kwenye hilo jumba, kumbe hakuwa akifanya mambo yake ya kimawasiliano tu bali alikuwa na chumba kidogo alichokuwa akiifadhi pesa. Kila pesa alizokuwa akiziingiza kwa biashara zake haramu, chache alikuwa akizipeleka benki lakini nyingi, akizihifafhi ndani ya nyumba hiyo. Alikuwa na pesa nyingi kupindukia.

Sasa wakati akiwa anatoka ndani ya ile kampuni kwa mtindo wa kutoroka, baada ya kumuona hata mkuu wake wa kazi, mtu aliyekuwa akimtegemea, akiwa kachanganyikiwa, na asijue la kufanya, alijua hapo hali si hali. Aliona bora ni kuziwahi pesa zake na kukimbia nchi. Kwa mabaya aliyoyafanya laiti kama serikali itamtia mikononi, hakuna msalie mtume hapo ni kunyongwa hata kama sheria ya kunyongwa imefutwa. Sasa ni heri akutane na mkono wa serikali kuliko kukutana na kijana aliyemnyanyasa na kumuulia wazazi wake. Aliona ni bora kifo cha kunyongwa kina afadhali kuliko hukumu atakayopewa na kijana huyo. Kila wkikifikiria kifo chake kitakavyokuwa alikosa kabisa amani moyoni mwake. Alifika Mazimbu road lakini huku nyuma tayari jicho kali la Amiri mwenye uchungu wa kuuliwa ndugu yake, lilishamuona.
“kiongozi umeshamaliza kazi ya kuteteketeza hizo nyumba za huyo hayawani?” aliuliza swali Amiri kwa Roi. Jibu likaja kuwa si yote, amebakisha mawili moja akiwa halijui hilo likiwa ni jingo no. 05. Jingine hakuwa na mpango wa kuliteketeza hivyo aliliacha kama ushahidi ambalo ni 03 au Happy Club. Hilo walikubaliana waliache ili liwe ni ushahidi wakati wa kujisalimisha serikalini kwa kufanya uharibifu wa mali nyingi pamoja na rasilimali watu.
“faster Mazimbu road, nakupa location sasa hivi, Joesan amekimbilia huko nafikiri anampango wa kutoroka.” alisema Amiri. Hapo Roi akawa kama anawazimu. Alipopewa tu mueekeo, alikimbiza pikipiki lake kwa kasi ya hatari sana hadi mahali alipoelekezwa. Alipaki pikipiki nje na kuzama ndani kwa makini sana kwani alijua kuwa lolote lingeweza kutokea. Milango yote ilikuwa wazi. Alinyata taratibu hadi alipofika mahali ambako alimkuta Joesan akikusanya pesa na kisha kuzijaza kwenye mabegi.

*********

Huku nako Catherine baada ya kuteketeza kundi lote la wale jamaa, hakutaka kujua Roi ameelekea wapi pia hakutaka hata kuwadiliana nae. Moja kwa moja aliondoka hapo alipokueepo akichukua uelekeo wa lilipo jumba la kampuni la SC company. Huko ndani ya kampuni kulikuwa kumeharibika tayari. Kim hakuwa mtu wa kujificha tena aliamua kujitokeza mwenyewe bila kupenda, kila mtu aliyekuwa akimuona akabaki kumshangaa. Huyo ndiye alikuwa mkuu wa hiyo kampuni yenye kuharibu future za watu na kuwaendesha vile wanavyotaka wao wakisha waharibu. Lee Kim alikuwa ni mfupi mwenye mwili usioeleweka kama ni mnene au umevimba, alifanana kabisa na nyoka jamii ya Kifutu au Moma. Alikuwa na weupe uliofifia, nywele fupi zilizoweka uwaraza katikati, sura pana sambamba na macho madogo yaliyojifinya kwa ndani huku yakiwa yamehifadhiwa kwa mawani ya macho. Kim alikuwa na kazi moja tu nayo ni kuhakikisha anawasha ule mtambo ambao ulikuwa na kazi mbaya ya kumwaga mionzi yenye kudhoofisha afya kwa kuziharibu neva pamoja na kushambulia ubongo wa kati. Ni dhahiri kabisa mtambo huo ukiwashwa unakwenda kuharibu watanzania na kuwageuza kuwa mazuz kama siyo wenda wazimu kabisa. Kim alisogea hapo mtamboni na kuutazama lakini muda huo huo akapewa taarifa aliyoichukia na kumchanganya. Ni juu ya kulipuliwa majengo yake yote anayoyategemea.
“Wanataka kuniangusha chini hawa aaaaghr!!”
“unadhani labda utafanikiwa D.A. Nakwenda kuuwa akili zenu wajinga nyinyi na mtakufa nawaambia. Mtakufaaaaaa!!” Alifoka Kim na kuanza kubonyeza batani za ule mtambo hovyo hovyo bila kufikiri. Alikuwa akifanya hivyo huku akijivuta nywele zake kwa hasira sambamba na kupiga kelele. Wakati yeye akizidi kufanya hivyo, tayari Cat alikuwa amelivania jingo hilo akiwa anafanya mauwaji ya kimya kimya kwa kila mlinzi anayemsogelea. Kim pamoja na walinzi wa ndani walishamuona dada huyo jinsi anavyokuja na tayari alishawafyeka walinzi wote wa nje hapo alikuwa akipiga hatua za kujiamini kabisa kwa kuzama upande ule walipokuwa wakina Kim.

Joesan huko ndani nako alikokuwa akikusanya kila kilicho chake kutimka, alihisi hali ya hatari imesha mkaribia. Alijizunguusha haraka sana akiwa na bastola mkononi mwake.
“na wewe unataka kufa kama walivyokufa wazazi wako?” aliuliza Joesan lakini hakujibiwa kitu. Kila alivyokuwa akiuliza jibu halikuja. Akajua kuwa hapo hakuwa na mtu bali mzimu. Akaitoa usalama bastola yake kisha kuachia risasi iliyompiga Roi tumboni na kumrusha ukutani. Akasema bwana huyo kwa kujiamini.
“umesau kuwa nilikuahidi kuwa utakufa tena utakufa kwa kifo kitakachosababishwa na mikono yangu? Baba yako na mama yako niliwauwa mimi na kuuteka utajiri wao wote kisha kukulea wewe uje kuwa mateka wangu kama siyo mtumwa utakayenitumikia hadi kifo chako, hawajakwambia hao waliokubadilisha kutoka kwenye kuwa mashine ya ngono hadi ubinadamu tena? Hawakukuambia?” aliongea Joesan huku akiwa anesimama hatua chache kutuka kwa kijana huyo ambaye alikuwa akihisi maumivu makali ya tumbo kwa kupigwa na ile risasi ye nguvu sana. Roi alikuwa akihema kwa tabu sana na kila alipokuwa akijitahidi kusimama, alikutana na pigo zito lililomrudisha hapo chini.
“mimi ndiye Joesan ambaye sijawa kushindw katika swala la uhitaji wa pesa. Ngoja ufe bila kelele yani unakufa kama Ng’ombe aliyekumbwa na ugonjwa wa kimeta.” alizidi kujitapa Joesan. Aliongea maneno ambayo yalimtia hasira na uchungu mkubwa kijana huyo. Alirudishiwa machungu yale aliyoyapata wakati anapewa historia ya vifo vya familia yake. Vazi alilopewa na D.A ambalo lilikuwa na uwezo wa kuzuia risasi zenye nguvu kubwa ambazo ndizo zilikuwa zikitumiwa na Lee Kim, liliweza kuzuia ile risasi japo alihisi maumivu makali sana kutokana na uzito wa msukumo wa risasi ile. Joesan akamwambia …………….

Aliongea maneno ambayo yalimtia hasira na uchungu mkubwa kijana huyo. Alirudishiwa machungu yale aliyoyapata wakati anapewa historia ya vifo vya familia yake. Vazi alilopewa na D.A ambalo lilikuwa na uwezo wa kuzuia risasi zenye nguvu kubwa ambazo ndizo zilikuwa zikitumiwa na Lee Kim, liliweza kuzuia ile risasi japo alihisi maumivu makali sana kutokana na uzito wa msukumo wa risasi ile. Joesan akamwambia kijana huyo ambaye sasa alikuwa anataka kufanya kitu kitakachomuacha hoi bwana huyo, kuwa sasa ndiyo anampiga risasi itakayokwenda kufuta historia yake. Hapo akajishangaa tena alijishangaa kuliko hata mshangao wa kawaida ulivyo. Alishangaa kuona bastola ikimtoka mikononi kama mtoto aliyeponyokwa na Panzi aliyemkamata kwa kumuwinda kwa muda mrefu. Joesan alipiga yowe la uchungu, uchungu wa kutokwa na silaha yake mikononi mwake. Alibaki kushangaa huku akitega mikono kuisubiria ikitoka huko juu ilikoligonga dari, irudi mikononi mwake. Roi akamdaka na kumtupia sebuleni yeye na begi lake la hela ambalo alikuwa amelikamata mkononi.
“uliweza kuuwa Joesan lakini huwezi kumuuwa mtu aliyekuja kwa kulipa kisasi. Naona kama unakufa wewe sasa Joe.” aliongea Roi huku akiwa anapiga hatua za taratibu kumfuata bwana huyo. Joesa n alipapatika pale alipoangukia na kusimama kutaka kukimbia, alichelewa. Alichezea mateke kama manne hivi mfululizo na kujikuta akibwagika tena chini.
“ulikuwa unataka kukimbia wakati bado hujakamilisha kazi yako.” alisema Roi.
“nimesha maliza kila kitu na ndiyo maana nataka kuondoka hii nchi.” alijibu kwa kiburi bwana huyo.
“bado”
“bado nini?”
“bado hujakufa Joesan, lazima ufe kwanza ndiyo uondoke” alisema Roi na kuzidi kumfanya huyo mtu achanganyikiwe. Akamsogelea na kumpa kipigo cha dakika tano, hicho kilikuwa ni kipigo cha kumnyong’onyeza. Joesan alikuwa hoi kwa kipigo hicho mbaya zaidi alikuwa akipigwa mbele ya hela zake mwenye. Mbona hizo hela hazimsaidii sasa. Mbona anapigwa zikiwa zinamuangalia. Roi baada ya kutoa kichapo kile, alimuweka chini na kuanza kumkumbusha yote mabaya aliyoyatenda, alimkumbusha kila kitu kilichopita.
“wewe ni mtanzania kweli wewe? Wewe ni mtanzania gani uliyekuwa tayari kuwauwa watanzania wenzako. Tazama, ni vijana wangapi leo hii wamekuwa mashoga kwa kuendekeza ujinga. Joesan unakufa leo kama kalenda ya leo inavyo soma. Hivi utakwenda kujibu nini sasa mbele ya mungu. Pesa kwako imekuwa ndiyo ibada, umekuwa humsikilizi mtu wa aina yoyote mbele ya pesa. Umethubutu kunigeuza mashine ya mgono kwa sababu ya tamaa zako. Nimefanya dhambi kubwa sana kwa kuwaingilia watu kinyume na maumbile, nimetenda dhambi ambayo Mungu anazichukia kupita dhambi zote naweza kusena hivyo. Unakumbuka Mungu alichowafanyia wana wa Nuhu wewe? Unakumbuka Mungu alichowafanyia wana wa Sodoma na Gomola nakuuliza. Tena narudia tena kukuuliza kwa mara ya mwisho, hivi unakumbuka Mungu alivyoifanya ile nchi juu ya dhambi ya mapenzi ya kuingiliana kinyume na maumbile? Mbona wewe ulikuwa chanzo cha matendo hayo ukiongozwa na yule mkorea kisa tu pesa. Haya sasa pesa hiyo hapo na nyingine ipo huko ndani, sema nayo basi ikusaidie.” alikuwa na uchungu mkubwa sana Roi. Ametendewa mabaya mno, ameumizwa sana, amejikuta anafanya vitu ambavyo vinamchukiza Mungu sababu ya mtu huyo aliyeamini ni ndugu yake, mtu aliyeishi naye kama mjomba wake. Alipiga kelele kubwa sana na kuanza kumpiga Joesan kama anapiga mpira ama ngoma. Alipiga mateke, alipochoka alipiga ngumi kisha akamburuza hadi kwenye mlango wa kutokea nje akiwa na ile bastola ya Joesan ambayo ilimpiga risasi ya tumbo mkononi mwake. Alimbwaga kizingitini kama mzigo. Joesan alikuwa akivuja damu kila kona ya mwili wake hata kama hakuwa na uwezo wa kusema lakini moyoni alikiri kuwa amepigika. Yuko wapi Sembugi? Wako wapi vijana wake aliokuwa akiwatumia kuuwa. Hawakuwepo. Alipigwa peke yake, wale vijana wake wa kazi hawakuwepo na hata kuwakumbuka kuwa alikuwa na vijana wa kazi, alishindwa na hata kama angewakumbuka wangefika hapo kufanya nini. Vijana waliozoea uuwaji wa kawaida wa kimtaani kwa huyo Jasusi wa kimataifa Roi wangethubutu hata kishika viatu vyake. ni wazi hakuwa na msaada. Joesa alikurupuka na kuliangalia begi lake la pesa, hakuliona. Yaani alikuwa ni kama anayetoka usingizini, alipoangalia kule ndani aliliona akaona hata, haweza kufa wakati alikuwa na uwezo wa kutoroka pengine kwa uwezo wa Mungu na zile pesa zikamfikisha mbali. Eti, bado alikuwa na imani ya kutoroka tu hapo alipo. Alisimama ghafla na kuanza kukimbia kuelekea mahali begi lilipo kule ndani. Alikuwa akikimbia huku akichechemea kwa kuuburuza mguu moja kutokana na kipigo alichokula. Mguu ambao ulikuwa umevunjika vibaya sana. Roi hapo ndipo alipoikumbuka historia aliyowahi kupewa na Catherine. Picha ya baba yake alipokuwa akikimbia hivyo kumuwahi mkewe, ilimjia. Ilikuwa ni hivyo hivyo sema utofauti ni kwamba Baba yake alikuwa akimkimbilia mkewe na Joesan alikuwa akizikimbilia pesa zake.

“acha nilivae koti lako la miaka kadhaa nyuma” alisema kwa sauti ndogo Roi kisha akanyanyua mkono ule uliobeba silaha yake mwenyewe. Silaha ambayo ilitaka kumtoa uhai baada ya kupigwa tumboni kama asingekuwa amezawadiwa lile vazi la kumkinginga na risasi za aina ile na father D.A. Risasi ya kwanza ikamtoaka na kupiga katikati ya uti wa mgongo wa bwana Joesan. Risasi iliyotengua pingili mbili za uti wa mgongo wa bwana yule. Ikiwa ni risasi ambayo pia iliuwa mawasiliano ya baina ya upande wa miguu na kichwani.
“aaaaaaahhghrr!” alipiga kelele za maumivu makali Joesan huku akiwa ameganda katikati kama Zombi aliyeshushiwa shoka la kichwani. Begi la pesa alikuwa akiliona lile pale lakini kulifikia ndiyo ikawa mtihani. Akajaribu kupiga hatua, hakuweza. Miguu ilikuwa mizito. Risasi ya Star ilikuwa imevunja pingili ya uti wa mgongo kisha kuharibu mawasiliano maxima. Nguvu zote zilimkimbia kitu kilichomsbabishia yeye kushindwa kutembea kwani risasi ile ilikata mawasiliano baina ya vingo vya chini na juu kwa asilimia mia moja na zaidi. Akabaki kugeuka ili kutaka kumuomba kijana huyo msamaha. Ujinga kiasi gani. Unaomba msamaha ukiwa tayati si wa kuishi. Alijidanganya pia kwani sauti haikutoka. Sumu ya Star bullet ilishasambaa mwilini mwake. Risasi tatu za kifua nyingine zikammaliza kabisa mara baada ya kugeuka na kumpeleka chini. Roi alikuwa bado hajaridhika alimsogelea na kumburuza hadi garini na kumtumbukiza humo ndani ya gari yake kisha akalisogeza gari karibu kabisa na nyumba yake kwa lengo la kuiteketeza maiti ya mtu huyo sambamba na hiyo nyumba yake ya mafichoni lakini kabla hajatia moto mara simu ikaita. Hakutaka kuipokea kwanza hadi alipowasha moto. Joesan akafutika katika historia ya dunia yeye na pesa zake.

Catherin wakati anazidi kuingia mule ndani, vijana wa kumuadabisha walikuwa wameshaandaliwa. walikuwa ni wanaume watatu walioshiba mazoezi na wenye misuli minene. Kim hakuwa na habari na mwadada huyo kwani aliamini hapo yuko na wanawake wawili ambao wako vizuri. Alikuwepo Suzane huku akikuwepo Merina ambaye macho yake yote yalikuwa kwa Kim akiwa anazidi kupambana na mtambo ule ili kuuwasha. Cat alipokanyaga tu hapo, hao jamaa wakaruhusiwa. Kabla hawajamsogelea jamaa wale akacheka kwa sauti kubwa na kusema.
“kila mlichokuwa mkikifanya humu ndani, kilikuwa kinarushwa kwetu kwa camera hizi ndogo nilizoziweka humu zikiwa kwenye kila kona ya jumba hili.” alimaliza kusema hayo huku akitoa kamera moja kwenye picha moja ya kizamani iliyopo ukutani kisha kumpiga nayo ya kichwani Kim pale alipokuwa akikazana kuwasha mtambo.
“mpuuzi wewe tena mwanaharamu mkubwa, uliwezaje kuingia humu kwenye ulinzi mkali kila kona?” aliuliza Kim kwa hasira baada ya kupigwa na ile kamera kichwani.
“siku mliodhani umeme umekat……?!”
“aaaaah!” aling’aka Kim kisha akasema.
“maliza huyo kahaba nyinyi, mbona mnamuangalia sasa amenitukana sana, mimi ngoja nimalizie kuuwasha huu mtambo niwaangamize.” alitoa amri Lee Kim. Mkono ukachezwa baada ya wale jamaa kupokea amri ile kwa mara ya pili. Catherine hakuwa mama wa mchezo, alijua kucheza na mwili wake pia alijua kuwa hakutakiwa kuchukua muda mrefu mahali hapo, kwa jamaa hao kwani wapo wanawake wenzake hao ndiyo aliokuwa akiwahitaji zaidi. Jamaa wale walikuwa wakirusha ngumi huku wakiwa wanapiga kelele za nguvu. Ngumi zote walizokuwa wakirusha zilikuwa zinapiga hewa. Hakutaka kuchelewa Catherine, aliwageuzia kibao watu hao kwa muda mfupi tu. Walipigika jamaa hao kwa muda mfupi sana kisha Catherine akasonga mbele kuzidi kuwafuata wale wadada kabla ya kumstopisha Kim asiendelee na ushenzi wake. Suzane akasogea mbele kwa ajili ya kazi ya kupambana na Cat lakini Merina akamstopisha na kumwambia Suzy kuwa ni muda wa kuuwa na kupotea kwenye hii ardhi ya Tanzania hivyo huyo kinyago atamuadabisha yeye.

Wakati Shetani wa kike anamsogelea Cat taratibu, ndipo huko Nairobi father akaona lile tukio. Akamwambia Amiri haraka iwezekanavyo, Roi anatakiwa awepo hapo. Ndipo kijana huyo akapigiwa simu na wakati huo yeye akiwa anamaliza kazi ya kumpoteza kabisa Joesan yeye na pesa zake. Merina alizidi kusogea taratibu huku ule mtambo ukianza kuunguruma na kuwasha taa. Merina alifyatuka na kupeleka mapigo ya karate ya kushtukiza kwa Cat lakini dada huyo akayaona na kuyapisha. Mikono myepesi ya Merina ikaanza kufanya yake. Kwa jinsi ilivyokuwa ikichezeshwa mahali hapo ni kama ilikuwa imevunjika. Cat alishangaa sana huo uwezo, ulikuwa ni uwezo mkubwa ambao abadani yeye hakuwa nao. Kitendo chake cha kushangaa, kilikuwa kosa kubwa sana. Alikula mapigo mengi yaliyotua kifuani hadi akakohoa damu. Merina alikuwa na lengo la kuuwa hapo kabisa kabisa. Alimrukia Cat kwa double kick, Cat akajitahidi na kuzikwepa lakini Shetani wa kike aligeuka hapo hapo juu na kimtandika Cat ngumi maridadi ya pua. Cat aliyumba huku akivuja damu na maumivu makali yakimtambaa mwili mzima. Shetani wa kike Merina alikuja kwa kasi kwa lengo la kuchangua kabisa kifua cha Cat, Catherine akajua anakufa. Alimsubiri dada yule aje na alivyokuja kweli kwa kasi ile ile, akampisha, Merina alipita mazima. Merina akageuka tena lakini ghfla, kelele za kumshtua kila mtu pale ndani zikasikika. Merina aligeuka ili kujua ni nani huyo aliyekuwa akija kwa fujo ………….

Shetani wa kike aligeuka hapo hapo juu na kimtandika Cat ngumi maridadi ya pua. Cat aliyumba huku akivuja damu na maumivu makali yakimtambaa mwili mzima. Shetani wa kike Merina alikuja kwa kasi kwa lengo la kuchangua kabisa kifua cha Cat, Catherine akajua anakufa. Alimsubiri dada yule aje na alivyokuja kweli kwa kasi ile ile, akampisha, Merina alipita mazima. Merina akageuka tena lakini ghfla, kelele za kumshtua kila mtu pale ndani zikasikika. Merina aligeuka ili kujua ni nani huyo aliyekuwa akija kwa fujo namna hiyo. Alikuwa ni Roi. Kile kitendo cha yeye kugeuka, ikawa ni nafasi kwa Cat. Pigo baya sana likamtoka Cat ambalo lilitua kwenye titi la kushoto la Merina pamoja na teke lililopiga magotini. Merina alipinduliwa vibaya na kutupwa mbali huku maumivu yakilivamia titi lake sambamba na kifua kwa ujumla. Roi alijua uhatari wa Merina hivyo akataka abaki naye lakini Suzy akamuwahi kwa mateke mepesi akimwambia.
“njoo upambane na mimi mpenzi.?” Ni bora basi Suzy asingemuita huyo bwana mpenzi maana hilo neno ni kama lilikwenda kuzinyanyua juu chuki zake dhidi ya mwanamke yule. Kichapo alichokipokea hapo hadi Kim akajikuta anaacha kazi yake na kuangali jinsi Suzy anavyokufa kwa maumivu. Suzy alipigwa hadi akapoteza kabisa nguvu. Alipoona juwa kitakachomuamsha ni mapenzi ya Mungu, ndipo alipomuacha na kumgeukia Merina, huko alimuona Cat akiwa amechoka sana kusimama baara ya kupokea kichapo kutoka kwa mtoto wa kike anayejiita Shetani wa kike. kwake Cat ilikuwa ni shida sana kupambana na Merina. Shetani wa kike alikuwa anakwenda kwa pigo la kumalizia. Japo Cat alichoka na kupigika sana lakini pia Merina alikuwa taabani alikuwa akijikaza tu mahali hapo. Pigo lile la kifua lilimuumiza sana. Alivyokuwa anajindaa kushusha pigo, alishutukia akichezea mapigo ya kushtukiza yaliyokuwa yakitokea nyuma. Merina akadondoka kwa Cat. Cat akala kichapo cha haraka haraka kabla ya kudondoka chini akiwa hoi. Merina akageuka kumtazama Roi. Roi akamsogelea. Hapo ndipo palipojulikana kweli huyo ni Shetani wa kike. Ule uchovu aliokuwa akiuonesha hapo ukawa umekwisha. kule kwenye mtambo, mambo yalikuwa yanatisha. Kim alishindwa kuuwasha ule mtambo na badala yake ukawa umeandika Fire. Hapo Kim akakumbuka maneni ya Tai kuwa.
“ukikosea tu kuingiza namba za kuukontro mtambo huo basi unakuwa umetega bomu baya sana la masaa ambalo litakwenda kulipuka bila kumwaga sumu ya mionzi iliyokusudiwa. Mionzi hiyo itakwenda kugeuka moto ambao si mdogo. Kweli kwenye kioo hapo juu kitakuandikia Fire. Sasa lilipokuja tu hilo neno fire, Kim akajua si heri tena. Siri akabaki nayo mwenyewe. Akaamua amsaidie Merina kumuangusha huyo kiumbe asiyepigika. Roi. kichapo kilikuwa kikali sana, watu walipigana na ilikuwa ni piga nikupige. Roi akaona hapo anaweza akazidiwa endapo wote wawili wakiamua kutumia nguvu za kishaolin. Akaamua kudili kwanza na Kim. Alimchezesha kwa mapigo ya kiaina aina ambayo alijifunza kutoka kwa D.A hadi akampiganisha ukutani. Roi aliruka juu na kuukamata mkono mmoja wa Kim kisha akaufunga juu kwenye mbao ngumu kwa kutumia visu vyake vyenye cheni zinazo kata. Kim alipiga kelele sana lakini hakuweza kujinasua. Roi akamrudia Merina, zilipigwa, zilipigwa hadi Merina akapigwa tena chini. Kijana huyo akaruka tena na mkono wa pili wa Kim, baada ya ngumi nyingi za tumbo za kumlegeza kisha akaufunga kama wa awali. Mzee huyo akabaki kusimamia ncha ya vidole huku maumivu ya kukatwa na zile cheni yakimchonyota kwenye chemba ya moyo wake. Hapo sasa ndipo Kim alipopiga kelele kama mtoto.
“nifungue wewe unataka nife humu?” alifoka sana. Kila akijivuta alishindwa, damu zilikuwa zikimwagika sana kwa jinsi cheni zile zilivyokuwa zikimkata. Sauti kali ikasikika mule ndani, ilikuwa ni sauti kutoka kwenye ule mtambo. ulikuwa ukitahadharisha kuwa kwa muda huo zilikuwa zimesalia dakika mbili tu na moto uweze kutokea. Kim alijua kuwa sasa anakufa kifo kibaya sana tena vitu vilivyokuwa vikitengenezwa kwa amri yake ndiyo vilikuwa vina muuwa. Merina alikuwa chini baada ya kupigwa pale mwanzo kabla Kim hajafungwa mkono wa pili. Alijinyanyua kwa kasi na kutaka kumrukia kijana huyo asiyewezekana. Suzy yeye alikuwa siyo wa kuamka tena hapo alipolala labda kama atawekewa roho iliyo hai. Kipigo kile alichopigwa awali pekee, kilitosha kumuondoa duniani. Merina kabla hajafanya alichokitaka. Roi aliikunja mikono yake kwa hisia kali na kupiga kelele.
“D.AAAAA!!!” kelele hizo zilipaa angani kisha zikazunguuka mule ndani na kujenga mwangwi mzito uliojirudirudia. Kelele zilizomfanya Kim kuchanganyikiwa na kujikuta na yeye akipiga kelele za haja.
“Merina Kimbiaaaaaa, kimbia haraka Merina!!” Kim alipiga kelele kwa kumtaka akimbie, alishaelewa maana ya jina hilo. Huyo kijana alikuwa anataka kumpiga Merina kwa kuuwa kabisa. Pigo hilo lilikuwa ni pigo la hisia kali za mabuda. Merina aka jump kwenye kioo kimoja kisha kimya kikatanda. Roi alimtazama Kim kisha akautazama mtambo, zilikuwa zimebaki sekunde arobaini na tano tu. Akajua kifo cha mtu huyo ni huo mtambo. Alimkamata Cat kisha akarudi naye nyuma kidogo na kuchukua kadi kisha kujirusha kwenye kioo cha dirishani. walipofika chini walinyanyuana na kujikokota kwa taabu sana lakini kwa haraka mno ili kukaa mbali na jumba lile. Hawakufika mbali. Mlipuko mkali ukasikika huku nyuma ambao uliwasukuma kidogo kisha moto mkali kuibuka. Roi akampakiza Catherine kwenye gari na kumuelekeza njia ya kupita na kumwambia aondoke haraka sana kwani anahitaji kujua ni wapi Merina alipo. Alitaka kuhakikisha hakuna kiumbe anayetakiwa kubaki mahali hapo. Catherine hakupoteza muda aliwasha gari na kutoweka japo alikuwa akiendesha kwa shida lakini ilibidi, hakutakiwa kubaki mahali hapo ambapo muda wowote pangejaa askari polisi. Baada ya kama dakika nne au tano za kuwepo mahali pale Roi akitafuta kwa nacho ili kujua ni uelekeo gani ambao labda Merina atakuwa amechukua, kwani aliamini kwa ule mlipuko ni lazima Kim angepoteza maisha. Lakini ghafla bin vuu!, alishuhudia kwa macho yake mwenyewe. Helkopta ikipaa angani kwa kasi kubwa sana likitokea upande wa pili wa jingo hilo linaloteketea. Kilichomshtua na kumchanganya zaidi ni ndani ya helkopta ile, alimuona Merina akiwa ndiye muongozaji wa ile Helkopta huku nyuma alimuona Kim akiwa ameungua vibaya sana na pia alikuwa yuko katiaka hali mbaya kwa mtazamo.

“shit! Huyu Merina kweli ni shetani na inavyoonekana amekula kiapo cha kuwa karibu na Kim” aling’aka Roi akiwa na ghadhabu nyingi kisha akasema.
“hamuendi popote wanaharamu nyinyi” aliongea hivyo akiwa tayari amechomoa bastola kubwa yenye uwezo mkubwa na kutaka kuilipua ile Helkopta. Wakati anainyooshea ilr Helkopta kule juu, Vyuma vya bundiki zikitolewa usalama vilisikika ikiambatana na sauti kali nyuma yake.
“shusha silaha yako chini kwa usalama wako. Ukikaidi nisawa na kukiruhusu kifo chako.” Roi aliitazama ile helkopta kwa hasira jinsi inavyo chana mawimbi kisha akageuka kutazama sauti za amri zilizomsimamisha. Walikuwa ni askari maalumu wa jeshi la polisi wakiwa katika gwanda zao na mitutu ikiwa hewani kumuelekea yeye. Aliishusha ile silaha na kuiangusha chini kisha pingu zikafuatia. Wakati anataka kukokotwa kupelekwa garini akasema.

“wameona kuwa nimewekwa chini ya ulinzi nanyi, hivyo wanaweza kukamilisha maangamizi yao waliyoyapanga wale. Naombeni mukaiweke chini ya ulinzi mkali Club ya Happy na muifanyie uchunguzi mkali kwa msaada wa jeshi maalumu linalohusika na ugunduzi na utambuzi wa silaha za kivita. Hapo nitakuwa tayari kufungwa maisha au kinyongwa, maana watanzani wataishi kwa amani ya milele.” aliongea hivyo kijana Roi kisha kuwa tayari kutembea kulifuata gari la polisi. Kiongozi ambaye alikuwa anaongoza kile kikosi maalumu kitoka Dar es salaam, alimtazama yule kijana kwa muda sana kisha akalikumbuka sekeseke la masaa matano nyuma, akajua huwenda lisemwalo lipo na kama halipo unaweza kulitengeneza kwa upuuzi wa kutokuyatilia maanani maneno ama ushauri wa msingi kama huo. Kiongozi huyo akanyanyua simu ya upepo na kuiweka sikioni.
“ndiyo afande, kitumwe kikosi maalumu kwa ajili ya kwenda kuiweka chini ya ulinzi mkali Happy Club haraka sana Over!”
“umesomeaka kiongozi over?”
“copy and out” ndivyo walivyo kuwa wakipeana taarifa maafande hao. Roi alitabasamu sana baada ya kumaliza kivumbi kile. Japo mahasimu wake wakuu hawakufa wote lakini aliamini palipo na nia siku zote hapakosi njia na mwenye hulka ni vigumu kuiacha. Aliingia kwenye gari hiyo ya polisi bila ubishi wowote, na safari ya kituo kikubwa cha polisi Morogoro, ikaanza.

Father alishusha pumzi nzito sana baada ya kuona kijana wake ameingia mokononi mwa polisi. Alifikiri kwa muda na kuona kuwa hakuna kitakacho haribika kwani ushahidi mkubwa upo wa kuithibitishia serikali na aliamini kwa kazi ile kubwa ya kushukuriwa aliyoifanya, hakuna baya litakalo mkuta kijana wake.
“Amiri kusanya kila kilicho cha muhinu turudi nyumbani. Roi watanzania wanakwenda kujua sifa zake kama serikali itaamua kumuanika hadharani lakini kama haitamuanika, ha ha haaa!” akacheka D.A bila kumalizia ni nini kitatokea kama hawata muanika. Chars na Zomba wakapewa taarifa hiyo kuwa sasa wanarudi nyumbani tanzania, wala hata hawakutaka kumwambia father D.A amalizie alichotaka kukisema. Ilikuwa ni furaha tu ya kurudi nyumbani baada ya miaka kibao kutokomea wakiwa ughaibuni.
“vipi tunaweza kusafiri na mashine zetu za kazi mkuu?” Chars akauliza.
“ndiyo nyingine zinasafirishika lakini mtambo wako ni mkubwa sana Chars hivyo ndege haitaweza kuubeba huo” alijibu D.A. Chars kama alinyongea hivi na kujiona hana bahati lakini Zomba akasema.
“ndege hii ikotofauti sana. na ile tulioiteketeza kule Brazil. Hii inaweza kufunguka kwa nyuma bila shida halafu ipo nafasi ya kubeba hata gari ndogo mbili. Chars my brother usiwe na shaka, safari hii hatutaiteketeza bali tunaondoka nayo mitambo yote kwenda nayo nyumbani tena ngoja nikusaidie kuufungua.” Maneno hayo ya Zomba, yalimfanya Chars kuwa na furaha sana. Wakakusanya kila kitu na kupaki ndegeni humo kisha wakaingia na wao. Mery akiwa wa kwanza baada ya kuambiwa anarudi nyumbani Tanzania. Zomba alikava nafasi ya urubani kisha kukiwasha chombo hicho ambacho amekifanyia mutundu mwenyewe akiwa pamoja na ndugu yake Jay, ambao waliishi kwa fadha kama familia moja tangia wakiwa wadogo kabisa. Na ndiyo maana wakapenda kumuita mtu huyo father. Ndege hiyo ilichomoka kwa kasi ya ajabu sana. Bila kusomeka kwenye rada ya aina yoyote ile. Waliiacha nyumba hiyo kubwa bila kuiharibu wala nini.

Baada ya siku tatu za uchunguzi mkali uliofanywa na askari polisi maalumu wakishirikiana na wanajeshi wa kikosi cha uundaji wa silaha, Mzinga, ndani ya Happy Club, Hapo ndipo walipogundua kuwa hilo ndilo lililokuwa jingo namba 03 na 05. Yaani jingo la silaha kali za sumu na huku ikiwa ni Club. Walikwenda hadi chini kabisa ya ardhi, huko wakakuta mashehena ya silaha za kutisha baadhi wakizifahamu kwa majina lakini nyingi wakiwa hawazifahamu. waliogopa hata kuzitoa silaha nyingine, wakaamua kutoa chache zile wanazozifahamu na nyingine kuziacha humo hadi watakapopata wataalamu wa kuzijua silaha hizo. pia walitoa mashoga wengi sana humo ndani pamoja na watoto wa kike huku wengene wakiwa ni wadogo kabisa. Walipohojiwa wakasema kuwa walikuwa wakiishi humo kwa amri mwanzoni wakati wanaingia lakini kadiri walivyokuwa wakiishi, ndivyo walivyokuwa wakiyazoea mazingira. Vijana wote kutoka kwenye majumba yote ya siri ambao walikuwa wamehifadhiwa baada ya majumba yale kulipuliwa. Walikuwa ni vijana wengi mno wavulana kwa wasichana. Wasichana walikuwa ni zaidi ya mia moja na Hamsini huku wavulana wakiwa ni zaidi ya themanini. Hebu fikiria ndugu msomaji, wavulana wote hao wameharibiwa maisha. Ni ukatili kiasi gani uliokuwa ukifanyika mahali hapo. Ulikuwa ni unyama na ushetani mkubwa sana. Serikali ilijaa hapo kwa muda. Kitendo cha kugundua jingo hilo ndipo wakayahusisha na baadhi ya matukio ya mauwaji yaliyopita. Hakukua na mtaalamu mwingine wa kuzitambua zile silaha bali Father D.A ilibidi ajitokeze na kutoa historia nzima kuanzia mwanzo hadi meisho ilivyokuwa hadi kuamua kuvaa jukumu kama yeye ikiwa ni kama kulipa kisasi laikini pia kumzuia asiendelee kuwaharibu vijana wa Tanzania mzee huyo. Ilikuwa ni ngumu kueleweka lakini alipoamua kuileta timu ya vijana wake hatari wa kazi mahali hapo, maafisa wakubwa kabisa wa majeshi mbalimbali nchini, wakiwemo na viongozi wakubwa wa serikali. Hawakuwa na budi kuwaelewa na kuamini kuwa hao walikuwa ni watu muhimu sana kwani kwa mziki ule ni wazi majeshi ya nchi yangesumbuka sana kuzuia. Father akajitolea kuwafahamisha juu ya silaha zile.

Siku tatu nyingine mbele, Viongozi wakuu wa nchi walikuwa wameizunguuka meza wakijadili jambo. kilikuwa ni kikao cha siri kweli ambacho kilikuwa kikimjadili kijana Roi pamoja na watu wake. Kila mtu alimuona kijana huyo anamoyo na imani ya pekee kabisa na laiti asingelikuwa yeye basi Tanzania ingekuwa pabaya na wangekumbuka shuka ni asubuhi tayari.
“kuna kila sababu ya kumuweka mahali huyu kijana” alisema mtu mmoja mweusi na mnene kiasi aliyepiga suti nzito ya gharama, lakini wakati wanaendele kujadili mahali hapo, bwana mmoja mwenye suti nyeusi akapokea simu na alipo maliza kuongea na simu hiyo, akatulia na kuwaambia watu wale waliokuwa kama wakifuata muongozo wake.
“jamani mkuu wa nchi amesema kuwa kijana huyo ahifadhiwe mahali pa siri sana akiwa huru huku ngazi za juu zikifikiria ni nini afanyiwe kwa ajili ya nchi yake. Na wale wenzake wataishi huko waliko fikia ambako wao wamekuchagua wenyewe. Serikali inawathamini sana watu kama hawa. Hivyo basi kikao hiki kinavunjwa na maamuzi yatakayotolewa mutajulishwa.” Roi alitoka ndani akiwa kwenye ulinzi mkali sana kisha watu wale wenye silaha waliokuwa wakimlinda kama mifugo na mchunga wakazuiwa na kuambiwa kuwa huo ndiyo mwisho wa kumlinda kijana huyo na badala yake watapangiwa kazi nyingine. Roi alikumbatiana na watu wake kisha akavutwa pembeni na mtu yule mwenye suti nzito ya gharama kwa ajili ya kuteta jambo.
“wiki moja ya mapumziko unapewa ukiwa na familia yako kisha mkuu wa nchi anakuitaji White House Dar es salaam” aliongea mtu huyo. Roi akatikisa kichwa kukubali kisha akaifuata gari yenye vioo vya giza tupu, akavunguliwa mlango na Cat huku dada huyo akiwa kwenye tabasamu pana.
“karibu nyumbani mtukutu” alionge Catherine. Roi akaushika ule mlango na kugoma kuingia.
“nipe sharubati mtoto” alisema Roi kisha kumkumbatia na kuanza kunyonyana. Walinyonyana sana hadi D.A uzalendo wa kukaa ndani kwa muda mrefu ukamshinda, akaamua kushusha kioo na kuchungulia.
“nyie watoto twendeni nyumbani jamani.”
“father anazingua” alisema Roi akimuangalia Cat usoni kwa jicho la mahaba.
“twende nyumbani ukapumzike kifuani mpenzi wangu” alisema Catherine kisha wakaingia garini, Zomba akaliondoa gari hilo ambalo ni zawadi ya pekee kutoka serikalini.

MWISHO

SEX MACHINE – 4

Related image


Chombezo : Sex Machine
Sehemu Ya Nne (4)

Catherine akiwa anaikanya ardhi ya nchi hiyo ya Obama, kwa upande mwingine, Sex machine alikuwa anaikanyaga ardhi hiyo hiyo uwanjani hapo. Kila mmoja alichukua usafiri wake na kuondoka uwanjani hapo safari ikiwa ni sehemu moja utofauti ni kwamba huyu mmoja, alikuwa anakwenda kufanya ngono na shoga kikongwe na huyu mwingene, alikuwa anakwenda kumuuwa shoga huyo kabla hata sex machine haja mgusa. Lakini wote walikuwa wanatakiwa kuingia ndani ya hoteli hiyo ya V Ice.
Gari ya kwanza kufika kwenye hoteli hiyo ya hapo jijini Miami, ilikuwa ni ile iliyombeba Catherine. Alishuka garini humo na kukamilisha malipo kisha akaingia ndani ya hiyo hoteli. kila kitu alikuwa anakijua kwahiyo haikumpa tabu. Alifika mapokezi na kufanya itifaki za hapo alipomaliza wakati anaondoka, kijana mtanashati mwenye suti safi alikuwa naye anaingia mapokezi kukamilisha utaratibu wa kukamilisha kupata chumba. Catherine akageuka na kumtazama huyo kaka bila kificho chochote kwenye sura yake na kutabasamu huku anaondoka. Chriss alikuwa anaongea na dada wa mapokezi lakini akili yake yote ilikuwa ikimfikiria huyo dada. Ni kama sura hiyo anaikumbuka, aliwahi kuiona mahali lakini akivuta picha ilikuwa haiji.
“ni wapi nilipata kuiona sura hii mbona kama inanijia kumbukumbu zake. Ni wapi jamani?” alijiuliza. Ghafla akakumbula tukio moja ambalo lilimtokea sehemu fulani huko nchini Uingereza ndani ya jiji la London. Tukio hilo ni tukio la kutekwa kwake na mwana dada Moline kisha akaja kuokolewa na huyo dada na yeye kumsaidi Moline. Kila awapo huyo dada kuna tukio linafanyika, akaweka imani hiyo. Kwahiyo hata hapo huwenda kuna kitu kikatokea. Labda ni hatari kwake. Aliwaza. Alipomaliza kuwaza hivyo, huku nako alikuwa amesha maliza kujaza na yeye kukabidhiwa kadi ya chumba. Akatoka hapo akiwa na tabasamu ili asiweze kushtukiwa na dada wa hapo mapokezi, tabasamu likiwa kama fimbo ya kumnyong’onyeza dada huyo. Alipofika kwenye lifti akakuta inatumika akajua huo ni mchezo kachezewa. Kumbukumbu za kuuwawa kwa mashoga zikamjia, akawaza kuwa hata hapo huwenda hilo tukio linaweza kutokea. Akaamua kutumia mazoezi ya mbio kwa kupanda ngazi, alitumia muda mrefu lakini alifanikiwa kufika juu ambako chumba cha mteja wake kipo. Kipindi hiki kilikuwa si cha yeye kuchukua chumba bali ni kutoa tu maelezo mapokezi kuwa kuna mwenyeji wangu yuko chumba namba fulani. Kwahiyo hata kuchukua hicho chumba ni geresha tu ili kuwafanya wafanyakaxi wa hoteli hiyo wadiweze kumtilia mashaka. Akakitazama hicho chumba na kugusa kitasa.

TURUDI DAKIKA TANO NYUMA.

Catherine alipotoka pale mapokezi, alielekea kwenye lifti na kuiruhusu lifti hiyo impeleke flow namba tano, lifti hiyo iliporuhusiwa, ikatii. Alipofika flow husika, hakutoka kwenye ile lifti. Aliharibu kwanza system ya kuiendesha lifti ile kisha akatoka na kuelekea kwenye chumba husika. Ndiyo maana hata Sex machine alipofika kwenye ile lifti akaona kuwa inatumika lakini si hivyo. Lifti hiyo ilikuwa imeshaharibiwa zamani. Catherin alikwenda hadi kwenye mlango husika na kunyonga kitasa mlango ulikuwa umefungwa kwa ndani lakini aliyepo ndani humo, akajua kuwa ni mgeni wake, akafungua mlango. Catherine alimsukumia huyo mzee kwa ndani kisha hakufunga mlango bali aliurudisha tu. Na kumgeukia mzee yule kikongwe asiye na haya wala soni, asiyetulia na kufanya ibada kwa ajili ya kutubia dhambi zake. Badala yake anazidi kufanya mambo ambayo alikuwa akiyafanya toka ujani mwake, huku yakiwa ni mambo ya kiharamu kabisa yasiyompendeza Mungu.
“huna bahati leo na sikuachi hai” alisema Catherine. Yule mzee akataka akimbilie kwenye kengele ya kupiga alam ili kutoa taarifa kuwa ameingiliwa na muuwaji. Alikosea. Nasema alikosea kwa sababu alikula mtama mmoja wa nguvu kutoka kwa mwanadada huyo kisha akamnyanyua na kumuwekea kisu shingoni. Nakuuwa si kwa kukuonea bali kukubali kwako, kufanya mapenzi kinyume na maumbile na ikiwa Mungu hapendi. Ulifnya kwa muda mrefu sana huu mchezo lakini huku ridhika na hukutaka kuacha. Unaamua kufanya mchezo huo mchafu hadi muda ambao ulipaswa kupiga magoti chini na kumuomba Mungu akusamehe kwa kujifananisha na wanawake na kuthubutu hata kukubali kuunyima haki mwili wako kama mwanaume na ukageuzwa kinyume na maumbile. Kama ungeniambia kuwa nikikuacha hapa utaacha huu mchezo, nisinge thubutu hata kukuwekea hiki kisu kooni lakini kitendo chako cha kukimbilia kengele ili tu utoe taarifa kwenye ulinzi wa hii hoteli kwa kuhisi nakuonea, Nakuapia. Kisu hiki hakirudi mahali kilipotoka bila kumwaga damu yako na Mungu ananiona kuwa sikuonei. Utaacha huu mchezo mchafu?” alisema mengi Catherine kisha akamuachia swali la kumtega.
“kama unaniachia niachie tu lakini tayari mimi nimekwisha kuuzoe huu mchezo na leo ni siku ya kuufurahia mchezo huo kutoka kwa kijana anayesifika kwa kujua kukuna kutoka tanzania, please, niache wee muwaji kisha uende na sitatoa taarifa popote pale.” aliongea mzee huyo ambaye hakuwa tayari kuiacha kazi hiyo ambayo kwake ni kama ibada.
“basi ngoja ufe kama uko tayar..!” alikwama kidogo baada ya kuona kitasa cha mlango kimeguswa. Akajua kuwa kijana amewadia sasa ni lazima apambane ili achomoke pia amsaidie na Sex machine. Kijana Sex machine alipofungua tu mlango na kuingia ndani, aliushudi mwili wa mzee aliyepatakiwa kuja kumchambua nywele za makalio na kumuingilia kinyume, ukiwa unadondoka chini huku akimuona mtu ambaye amejificha sura kwa kitambaa cheusi akiwa amekamata kisu huku mikono yake ikiwa imevikwa gloves. Dada yule alikiachia kile kisu na kuanguka mwilini mwa yule mzee aliyekufa kwa kuchinjwa kisha akajiweka katika mkao wa kupambana. Sex machine akaweka brifcase chini na kumkabili huyo muuwaji. Ulikuwa ni mkono mkali sana kila mmoja alionesha weledi katika nyanja hiyo ya mapambano. Dada alipeleka mashambulizi makali kwa lengo la kupima uwezo wa kijana huyo, akakuta mapigo yake yote yamepanguliwa na.kupewa pigo moja la komfuu. Catherine aliserereka na kupiga mweleka mbaya, Sex machine akawahi pale chini ili kumdhibiti lakini Catherine akakataa na kumtoka kijana huyo na kumpiga pigo ambalo Sex machine aliliona akakwepa. Pigo hilo lilikuwa limepigwa kwa umaridadi sana hivyo Sex machine wakati anakwepa, alikutata na kitu kingine kilichomtupa kitandani na hapo hapo Catherine akakimbilia mlangoni na kuufungua mlango huo lakini kabla hajatoka, alisema.
“njia ninayopitia ni hapo kwenye dirisha. Kuna kamba itakayonifikisha chini na kutoweka eneo hili naomba na wewe utumie njia hiyohiyo kwani mimi ndiye niliyeharibu ile lifti ya kuja huku juu. Pia walinzi wanaokiongoza hiki chumba na hoteli nzima hii kwa kamera maalumu za ulinzi, wamesha kitilia mashaka hiki chumba na mimi nitakapotoka tu watahakikisha wanaweka ulinzi kila kona. Kwa kukusaidia my love naomba tutoke wote ili usije kuingia kwenye mikono ya polisi wa Marekani. Muda watakao utumia kupanda ngazi kuja hapa ufanye ndio muda wa kufikiri na kutoa maamuzi, Tutaonana my love” aliposema hayo Catherine, hakusubiri kitu kingine, alitotoka na kuchumpa dirishani kwa kutumia kamba maalumu aliyoiweka hapo kwa kuishikisha mahali akapotea. Camera zilikuwa zimesha msoma huyo mtu aliyeruka hapo kwahiyo kwa haraka sana hali ya hatari ikamfikia kila raia anayehusi na ulinzi ailiomo humo ndani mwa hoteli maana haikujulikana ni nini kimekwenda kutukia mule ndani ya kile chumba. walinzi walianza kuja ……………

walinzi walianza kuja hadi kwenye lifti walipofika hapo kwenye lifti wakakuta imeharibika, hapo wakajua hali si shwari huko juu.
Muda huo Sex machine hakungoja kusikia tena maelezo mengine alitoka mbio huku akisiki ving’ora vya hatari vikilia. Alikwenda hapo dirishani kweli alikuta kamba. Alibinjuka na kutembea na hiyo kamba lakini hakufika chini alijipushi kwenye jingo moja na kutembea juu ya paa la jingo hilo na kuchumpia upande wa pili. Huko alikuta watu wachache ambao walikuwa na mishe zao. Huku nyuma mambo yalikuwa si shwari walinzi wale walikuwa wanakuja huku kwa mbali kukisikika sauti za ving’ora vya gari za polisi. Chriss alidandia pikipiki aliyoikuta imeegesha hapo na kuwasha kwa haraka bila hata kumuomba muhusika na kutoweka. Kwa mbali Catherine naye aliondoka baada ya kuona Sex machine amefanikiwa kuwatoroka walinzi na askari waliokuwa wanakuja mahali hapo.

Catherine alipotoka hapo, kitu pekee alichokifikiria ni kwamba, lazima Chriss akitoka pale ni katika Hoteli ambayo ndiyo atakayokwenda kukutana naye kwa ajili ya kazi inayofuata na kazi hiyo, mhusika mkuu alikuwa ni yeye hivyo, alipiga mwendo wa haraka sana hadi katikati ya jiji hilo la Miami. Aliitafuta hoteli husika na kuelekea hadi hapo. Gari aliyopanda ilipomfikisha hapo ikamuacha na yeye kuingia ndani ya hoteli hiyo ya kifahari sana. Alilipia Chumba alichopanga kukutana na Sex Machine na kwenda kutulia akimsubiri mtu huyo.

Chriss alikimbiza pikipiki hilo alilolikwapua kwa ajili ya kumtoa kwenye lile sekeseke, hadi alipofika katikati ya jiji. Hapo alilitelekeza lile pikipiki na kuingia kwenye Saloon moja kubwa mjini hapo. Akatengeneza nywele kwa mtindo mwengine na kuchonga ndevu vizuri kwa mtindo wa ‘O’ kisha akatoka humo ndani akiwa tofauti kidogo. Alipotoka ndani ya Saloon hiyo, alielekea moja kwa moja hadi kwenye duka kubwa la nguo linalopatikana mjini hapo. Alinunua nguo za gharama na za kileo. Alinunua Jeans nyeusi, akachukua na fulana ya rangi nyeupe pee!, akaingia kwenye chumba cha kubadilishia nguo. Akabadili nguo hizo chini akapiga raba safi nyeupe kisha kuchukua na kapelo. Alipotoka hapo, hakuna hata aliyedhani kuwa huyo ndiye yule aliyehusishwa na vurugu baada ya mauwaji yaliyotukia kwenye hoteli ya V. Alikuwa ni kijana bomba wa kileo kabisa, ambaye ukiangalia mavazi, mwendo, na jinsi alivyotoka na pigo zake, huwezi kuamini kama ni yeye yule wa mwanzo na si kuamini tu, hata kumtambua ingekusumbua. Brifcase lake la gharama lilikuwa mkononi, alikuwa akitembea kwa mwendo wa kuringa lakini wa haraka kidogo na muda wote alikuwa akiangalia saa yake ya mkononi. Alikatiza nje ya nyumba moja ya biashara ambayo ilikuwa wazi akataka kuingia humo lakini akasimama ghafla baada ya kuona matangazo na matukio ya mchana yakirushwa kwenye chombo kimoja cha habari. Kubwa na lililomvutia ni taarifa ya kifo cha yule kikongwe kule hotelini. Kifo chake kikawapa watu hisia tofauti baada ya muuwaji kutokujukikana, wengi walisema muuwaji ni mwanamke ambaye hakuonekana sura kutokana na kujiziba sura wakati wa kutoka humo hotelini kwa kutumia njia za panya. Wengine wakasema ni mwanaume ambaye sura na muonekano wake vikaonekana na ni mara baada tu ya mwanamke huyo kutoka ndipo naye akatoka kwa kupita njia moja ya kuruka dirishani kwa kamba. Picha yake ikaoneshwa kwenye luninga hiyo, hakuwa akionekana sura vizuri ni kama alikuwa akiikwepa kamera hivyo kuonekana sura yake kwa uchache sana. Alitabasamu Chriss baada ya kuutazama muonekano wake wa mwanzo na huo kisha akaondoka hapo kwa kuchepukia mtaa wa pili kisha kuvuka barabara na kueleke upande mwingine kabisa mbali na eneo hilo. Alizipita kona kadhaa kisha kuibukia mbele ya hoteli kubwa ambayo ndiyo aliyokuwa akiitaka. Alizama ndani na kaufanya kila alichotakiwa kufanya. Akapelekwa mahali chumba kilipo. Akaingia akajifungia ndani ya chumba hicho kimya. Alilipia chumba hicho kwa muda wa siku tatu kwani hapo alikuwa na kazi kubwa sana ya kufanya. Ya kwanza ilikuwa ni kukutana na mwanamke mmoja tajiri sana ambaye alikuwa akihitaji huduma ya ngono na ni ndani ya hoteli hiyohiyo kwenye chumba ambacho kiko mkabala na chumba chake. Pili ilikuwa ni lazima afanye mauwaji kwa mfanya biashara mmoja mkubwa na tajiri sana ndani ya mji huo wa miami na Marekani kwa ujumla. Mwisho ni kufanya mauwaji ya meneja wa hoteli ambayo amefikia. Hakuwa akijua kuwa anachokipanga yeye na wengine wanapanga mipango yao. Hivyo kwake ikawa ni ngumu sana kupata kujua nini kitakwenda kumtokea.

Chriss alishusha pumzi nzito sana baada ya kufikiria kazi hizo zote zilizoko mbele yake huku mtekelezaji akiwa ni yeye. Alichoka sana lakini hakuwa na budi zaidi ya kuhakikisha zote zinafanyika na kwa weledi wa hali ya juu mno. Alinyanyua mkono na kuangalia muda, ilikuwa imetimu saa kumi na mbili za jioni. Muda huo ndio mda ambao alitakiwa kuingia ndani ya chumba cha pili kwenda kumkamua mtu.

“leo nina hamu sana ya ngono, natumai itakuwa ni gemu tafu sana kwangu na huyo mwanamke lazima asimulie. Ninauchu sana kama nyapara aliyefungiwa chumba cha peke yake kwa miaka mingi” aliwaza kijana huyo huku akijinyanyua mahali hapo alipokuwa amekaa, akaelekea mlangoni na kushika kitasa cha mlango huo. Alikuwa katika vazi hilo hilo na wala hakuwa na sababu za kufanya chochote kuhusu ulinzi kwani chumba hicho alichokuwa akienda hakikuwa na mwanaume zaidi ya mwanamke pekee hivyo hata walinzi wa hapo, pengine hawakuweza kulitilia shaka jambo hilo. Aliufunga mlango wake vizuri na kupiga hatua za kuhesabia hadi ulipo mlango wa chumba cha huyo dada. Akakikamata kitasa cha mlango na kukinyonga, kitasa kikanyongeka na mlango ukaachia, akausukuma bila ya kuwa na presha wala wasiwasi wowote. Alipoingia ndani ya hicho chumba, alikutana na mtoto mkali sana. Alikuwa ni mrembo kweli huyo binti aliyemkuta humo ndani na alikuwa katika mavazi ya kutega sana. Alikuwa amevaa bikini nyekundu chini na juu alikuwa amekiziba kifua chake kwa sidiria nyekundu. Alikuwa amekaa kitandani lakini akiwa amempa mgongo Criss. Harufu kali ya uturi ikazikumba pua zake. Urembo wa mtoto huyo kwa nyuma tu ukawa umeweza kuzinyanyua sehemu za kazi za kijana huyo. Akaanza kuhisi hamu ya hatari sana na hali hiyo inapomtokea kijana huyo, hakuna kitu anachokisikiliza zaidi ya kutekeleza kile kinachotakiwa kutekelezwa. Alipiga hatua moja mbele, akavuta ya pili. Binti huyo alikuwa hapo hapo na wala hakugeuka nyuma.
“karibu sana handsome boy ndani ya historia mpya ya maisha yako” maneno hayo yakamfanya kijana huyo kusimama ghafla. Kwa nini alisimama? Kilichomsimamisha siyo sauti nzuri ya dada huyo laa!, bali kilichomfanya hasa asimame ni kusikia kuwa anakaribishwa kwenye historia mpya ya maisha yake. Tena sauti hiyo akiwa anaikumbuka kabisa. Ni sauti aliyokutana nayo ndani ya hoteli ya V. Na ni sauti hiyo hiyo mbayo, mmiliki wake, alikuwa akipambana naye kule hotelini. Anakumbuka kuwa alimtahadharisha akimbie, leo hiyo hiyo kabla hata ya kupinduka kwa jua, anamkaribisha kwenye historia mpya ya maisha yake. Ni historia ipi hiyo?
“ni nani?” alijiuliza.
“na kwa nini anikaribishe kwa mtindo huo?” alizidi kujiuliza mawazoni Chriss.
“mbona umesimama? Karibu nipo hapa kwa ajili yako boy.” alizidi kuongea dada huyo safari hii akiwa anasimama taratibu lakini akiwa bado amempa mgongo kijana huyo. Umbo mwanana kabisa, makalio yaliyovibwa na kutengeneza mlima mzuri wa wastani lakini ulionona na kuufanya uvutie kuutazama ama kuuminyaminya. Mkanda mwembamba uliopita katikati ya mapande hayo mawili makubwa ya nyama, uazidi kumfnya Sex machine azidi kukodoa macho ya kumtamani dada huyo lakini hakutaka kukurupuka kwanza kwani hali ya hewa ya mahali hapo hakuielewa.
“ni nani wewe?” aliamua kuuliza Chriss lakini swali lake halikupata jibu na badala yake huyo dada akageuka na kumtazama usoni. Mshtuko mkubwa ulimkumba Chriss, macho yakamtoka asiami hicho alichokutana nacho mahali hapo.
“vipi, hata huku upo? Inamaana umesha uwa na huku? Wewe ni nani kwani?” aliuliza maswali mfululizo huyo kijana lakini ndiyo kwanza huyo dada alitabasamu. Kimya kifupi kikapita huku dada huyo akimkodolea macho huyo kijana, yalikuwa ni macho yaliyoangaliwa kidadisi sana. Chriss alishangaa kumuona dada huyo, chozi likimdondoka machoni mwake huku akionekana akiwa ni mwenye kutabasamu muda wote.
“jina langu ni bikini nyekundu, hilo ndilo jina langu na nipo hapa kwa ajili ya kupata huduma yako Chriss”
“whaat!? Umeniitaje?” aliuliza kijana huyo akiwa ni mwenye mshangao mkubwa.
“Chriss, si ndilo jina lako, au wewe ni nani labda, haujifahamu” alisema Catherine au bikini nyekundu kama alivyojitambulisha mahali hapo. Chriss alifkiri kwa muda halafu kitu kama sindano ikachoma ndani ya moyo wake, yalikuwa ni maneno machache lakini yalimuingia akilini vizuri sana. Akafikiri ni wapi alipata kulisikia jina hilo akiitwa. Alifikiri kwa haraka sana, akakumbuka ni siku ambayo alikuwa akifanya mapenzi na Suzane, aliitwa jina hilo hilo la Chriss lakini alipotaka kujua zaidi kuhusu jina hilo, binti yule hakumuweka wazi zaidi ya kuzuga na kujifanya ni kama amechanganya. Leo jina hilo hilo analikuta kwa huyo binti anayejiita bikini nyekundu. Akamtazama vizuri machoni. Mungu wangu! Alikuwa ni yule aliyemuokoa kule London. Akaona kama ndoto ya mchana ikiwa inamletea maluweluwe machoni mwake. Akataka kusema kitu lakini alichelewa, binti huyo alimsogelea na kuanza kumzunguuka, alimzunguuka taratibu huku akiwa anamtazama kwa makini sana.
“karibu uufaidi mwili wangu Sex machine kwani kumbuka kuwa upo hapa kwa ajili ya kuwatumikia mabwana wako, ukumbuke kuwa wanakuona kila unapokwenda na kila unachokifanya bila ya wewe mwenyewe kujua. Umekuwa kama Mbwa ambaye hana mfugaji wewe mwanaume” hayo yalikuwa ni maneno yenye kumuumiza kupita kawaida. Yalikuwa ni matusi mazito kwake. Ni kweli alikuwa hana sauti kwa watu wanao mtuma lakini si kwa kutukanwa namna hiyo. Akamgeukia akiwa ni mwenye ghadhabu sana, ni dhahiri alitaka kumrarua huyo binti lakini hakuwahi na badala yake aliwahiwa na maneno na bikini nyekundu.
“nimelipa pesa nyingi sana kwenye kampuni yenu kwa ajili ya huduma yako, hebu fikiria ni

hebu fikiria ni hasira kiasi gani utakazo wapa waliokutuma kwa kumpiga mteja ambaye robo tatu ya pesa bado hajalipa?” alisema binti huyo kwa kujiamini huku akiwa anamtazama usoni kijana huyo ambaye alikuwa akitweta kwa hasira. Ni kweli aliyoyasema huyo msichana na ni kweli tupu kuwa atakuwa amekwenda kinyume na mkataba wake unavyomtaka afanye.
“ni kweli anayosema huyu dada lakini mbona kama anajua vingi kuhusu mimi, yeye ni nani kwani na huyu ndiyo yule niliyekutana naye kule na kuniokoa, mbona ananichanganya sasa?” alijiuliza Chriss. Hakuwa na jibu na kila alipotaka kumuuliza ni kama dada huyo alikuwa akienda na hisia zake kwani alikuja na kumkumbatia kwa nyuma na kumwambia.
“nataka kuona unavyowadatisha wanawake wengi kila kona ya dunia” kisha baada ya kusema hivyo, alimkumbatia kwa nguvu nyuma yake na kumwambia tena.
“ooouh! Nina muda mrefu sana sijapata kugusa joto la mwanaume, leo ni zamu yangu na nataka unifanyie kila aina ya manjonjo hadi nikukumbuke kila wakati” alikuwa akimnong’oneza sikioni ili tu kuziamsha hisia za mwanaume huyo. Chriss hata awe na hasira kiasi gani lakini anapoguswa na kifua laini cha mtoto wa kike, basi hasira zote huyeyuka kama unga wa muhogo kweye upepo. Chriss alishaanza kupandisha joto na mara tu vazi lake likaanza kazi ya kurekodi lakini hapo hapo Catherine, akanyofoa kidude fulani kwenye vazi la Sex machine. (SMC). Catherine alikuwa amemkumbatia Sex machine hapo nyuma kwa makusudi makubwa kabisa. Alikuwa anajua kuwa muda wowote vazi alilolivaa SM, linafanya kazi yake. Joto lilipanda kwa nguvu sana hadi Sex machine akageuka na kutaka kumkamata huyo binti na kumlaza kitandani. Binti huyo akaidaka mikono ya huyo kijana na kuiweka pembeni na kuanza kumpa mate. Alitumia muda wa kama dakika tatu kufanya hivyo hadi SM akapagawa kabisa na kuhitaji kuzitoa nguo za huyo binti kifuani. Binti akagoma na kumrudisha nyuma kwa nguvu hadi sex Machine akashtuka na kupatwa na mshangao.
“mimi ni wako na nakuhitaji kweli boy lakini si sasa” alisema huyo dada Chriss akataka kumfuata kwa kasi kwa ajili ya kwenda kutumia nguvu ili tu kumla uroda. Akili ilishamruka kwa wakati huo, hakuwa yeye kabisa mahali hapo alichokihitaji ni ngono tu na si kitu kingine. Alikuwa hajui pia kama hilo vazi alilopewa alivae, lilikuwa likimrekodi na kurusha picha kwenye ofisi za kampuni anayofanyia kazi. Pia hata hivyo kwa wakati huo alikuwa hajui kama kwa wakati huo, kile kifaa kinachotumika kurusha picha hizo kimesha ng’olewa na huyo dada na kuharibiwa kabisa. Simu yake iliita kwa fujo sana na kumshitua. Ilikuwa imewekwa vibration na kufanya mtetemo wa aina yake kwenye mfuko wa suruali aliyokuwa amevaa. Hapo alikuwa bado yupo na nguo zake za kawaida akiwa hajavua nguo hata moja. Akamtazama huyo binti kwa udadisi wa hali ya juu huku akiwa sasa hana imani naye kabisa. Alipoitazama simu hiyo ilikuwa ni private number. Akaiweka sikioni.
“Sex machine, fanya kila njia umuangamize huyo dada au kama itashindikana potea kabisa mahali hapo, hapo hapakufai kabisa, fanya haraka” ilikuwa ni sauti ya bosi wake. Joesan. Chriss alipoirudisha hiyo simu mfukoni alimfuata huyo dada huku akiwa si yule aliyekuwa amepandwa na pepo la ngono bali huyu alikuwa ni wa kutaka kuuwa. Catherine huo mchezo akaujua tayari, kwani kitendo cha vazi kuanza kurusha picha na kisha kukata ghafla, alijua mapema kuwa kitawachanganya wana kampuni wa huko. Catherine akawa makini zaidi kwani tayari uwezo wa huyo kijana alishaujua na alijua kabisa kuwa kijana huyo anauwezo mkubwa kuliko yeye. Akatakiwa kutumia akili zaidi kuliko nguvu kwani kama ataleta kujua mahali hapo, atafeli na hatobaki hai, tayari kijana huyo bila shaka ameshapewa go aheed ya kuuwa. Chriss alikuja na stail ya karate, akampelekea binti huyo makonde ya nguvu lakini hakuwa amepata hata moja, mapigo yote yalipishwa na kupiga hewa. Catherine akapanda hewani na kudansi kama wale wanawake wa kichina wanavyo dansi kwenye nyimbo zao za asili kisha akashuka na kunyooka kama nyoka wa jangwani na kumpa kijana huyo pigo zito la kushtukiza lakini aliliona akahama kushoto. Pigo hilo likasugua kidogo kwenye paji lake la uso. Catherine akapinduka upande wa pili na kusimama katika mtindo wa kupendeza kabisa. Wakageukiana na kutazamana. Chriss alizunguuka kwa kasi kama kimbunga akiwa anamfuata Catherine kwa kasi sana. Catherine akajua kuwa pigo hilo ni pigo la kifo na mpigaji amedhamiria kuuwa. Akacheza na akili yake kwa haraka sana. Hali ya hatari ilisha jionesha mahali hapo. Alijiandaa akiwa anamsubiri huyo kijana hivyo hivyo. Chriss alipomkaribia Catherine, binti huyo aliruka pembeni kwa haraka sana na kuangukia kitandani. Lakini wakati anaruka pembeni, alifanikiwa kumchoma kijana huyo na kitu chenye ncha kali. Alibingilia kwa haraka sana na kusimama pembeni akiwa na kitu kama kisu mkononi mwake. Chriss akajitazama pale alipohisi pamekwaruzwa na kifaa hicho chenye ncha kali. Damu zilikuwa zikimtoka sehemu hiyo yenye jeraha, alimtazama binti huyo kwa hasira sana na kumfuata kwa kasi ya hatari sana lakini kabla hajamfikia, akaanza kuhisi kizunguzungu, macho yalianza kuhisi giza, hatimaye yalianza kuwa mazito na kujikuta akianza kuona nguvu zikimtoka na mwili kuwa mzito. Miguu ikamsaliti kwa kushindwa ama kukataa kuubeba mwili, akadondoka chini kama mzigo wa mawe, akatulia kimya na kusahau yote ya duniani kwa muda. Catherinr alisogea hadi dirishani na kuchungulia nje kisha akanyanyua simu na kuiweka sikioni.
“fanyeni haraka na muhakikishe mnakuja kama wauguzi kuna kazi natakiwa kuimalizia kwa mtindo huo” alisema na kuishusha simu chini na kumsogelea Chriss, alimuangalia jinsi alivyo lala pale chini na kusema.
“huu ni mwanzo mzuri sasa unarudi kama zamani” alipomaliza kusema hivyo akakumbuka kitu, mh!, akagumia na kusogea tena pale dirishani. Akaona magari mawili, moja likiwa la wagonjwa na jingine likiwa ni gari ya kifahari aina ya Rolls Royce Phantom V12 6.7. Zikiwa zinaingia kwa pamoja ndani ya uzio wa hoteli hiyo. Kila moja ilielekea katika maegesho ya magari na kutoka watu watatu kwenye ile gari ya wagonjwa wote wakiwa ni wanaume. Wakaelekea moja kwa moja kwenye mlango mkuu wa kuingilia ndani ya hoteli hiyo. Wengine wawili wakatoka kwenye ile Rolls, hawa wakiwa ni mwanamke na mwanaume. Mwanaume akionekana ni mzungu na mwanamke akiwa na asili ya kichina au ki korea. Wakionekana kuwa na mshangao mkubwa baada ya kuona wauguzi wakiingia mule ndani wakiwa na machela. Muda wote huo Catherine alikuwa pale pale kwenye lile dirisha akizidi kufuatilia matukio hayo kwa umakini mkubwa kisha akajitoa pale dirishani baada ya kujiridhisha.
“natakiwa kumsaidia huyu kijana kuuwa ili nizidi kuwachanganya wakina Joesan, lazima nihakikishe nauwa wote waliotakiwa kuuwawa. Si katika kazi yangu lakini haina jinsi. Maana ukitaka kumkamata mwizi, huna budi kushirikiana naye. Naanza na huyu Meneja wa hii hoteli kisha anafuatia huyo mwingine. Lazima nianze na huyu meneja maana nataka nikitoka hapa sirudi tena.” alisema Catherine na kwenda kukaa kwenye kitanda akisubiri watu wake.

Wale wauguzi walipofika mapokezi, wakazuiwa na kuhojiwa ni wapi wanaelekea na kufanya nini?
“kuna mgonjwa wetu tunamfuata huko juu ni mgonjwa sana na amepoteza fahamu, alikuwa yupo na mkewe kwahiyo tupo hapa kwa ajili yake” walijibu namna hiyo baada ya kuulizwa.
“chumba namba ngapi?”
“chumba namba 26” walijibu lakini badala ya kuruhususiwa, yule binti akanyanyua simu na kupiga mahali.
“njooni eneo hili kuna jambo haliko sawa kidogo” alitoa maelekezo dada huyo wa mapokezi kisha akaendelea kusubiri. Baada ya sekunde kadhaa, askari wawili waliohusika na ulinzi wa hoteli hiyo walifoka nahali hapo. Wakapewa maelezo na kuwageukia wale
jamaa kisha wakauliza.
“kwanini hizo taarifa hazikufika kwenye ofisi zetu kwanza huo siyo utaratibu”
“utararatibu huo ni wa kwenu nyinyi na wateja wenu, sisi hapa tumekuja kwa ajili ya mgonjwa wetu. Na sioni sababu ya kutuchelewesha hapa ikiwa tumesha wapa maelezo tayari” alifoka mmoja wa hao wauguzi akiwa na hasira sana mahali hapo. Akaongezea.
“tambueni kuwa huyo mgonjwa akipatwa na tatizo zaidi, mtawajibika. Msifikirie kuwa huyo ni kama wateja wenu hawa mliowazoea, huyo ni mtu muhimu sana” alipomaliza kusema hivyo, wale walinzi wakagwaya na kuamua kuwapisha watu hao. Walipita kwa kasi sana huku askari hao wakiwa wanafuata nyuma.
walipofika kule juu wale askari walisimama mlangoni na wale wauguzi wakapiliza hadi ndani ambako walimchukua Chriss na kumuweka kwenye machela hiyo walioingia nayo hotelini hapo.
” hakikisheni anafika shimoni haraka sana na adhibitiwe vizuri kabla hajaamka, akiamka huyo kabla ya kufika shimoni shughuli yake siyo ndogo” alisema Catherine. wale jamaa waliovaa kiuguzi, wakatoka mule ndani. Walipofika chini wakiwa wanataka kupitia kwenye mlango mwingine, wakazuiwa.Wakasimama wakimsubiri mtu huyo aliyewazuia mahali hapo. Alikuwa ni yule mzungu. Alionekana akiwa amekasirika sana huku akiwa na mshangao ndani yake.
“nini kimetokea ndani ya hoteli yangu na huu utaratibu ni wa namna gani?” aliuliza mzungu huyo. Kabla hajajibiwa akamuona mwanamke ambaye alikuwa amevaa kofia kubwa la urembo na mawani ya jua akiwa anafika mahali hapo. Vile alivyo na nguo alizovaa ilikuwa ni vigumu sana kumgundua ni wa kike au wa kiume. Sauti pekee ndiyo ambayo itakujuza kama ukimpa nafasi ya kuongea.
“wewe ni kama nani unayeuliza?” aliuliza Catherine akiwa amejificha kwenye hiyo kofia na mawani kwa ajili ya kuto kujulikana vizuri. Yule mzungu alimgeukia yule mwanamke na kumtazama kwa hasira sana na kujibu kwa jeuri. Alijua kuwa ni mwanamke baada ya mtu huyo kuongea.
“mimi ndiyo meneja wa hoteli hii na ni wajibu wangu kuuliza endapo kama kuna jambo haliko sawa”
“ni sawa na unahaki hiyo lakini si kwa afya ya mume wangu, isitoshe nakushangaa unafoka wakati mume wangu amepatwa na tatizo ambalo halijawahi kumtokea hata siku moja katika maisha yake? Nisikilize vizuri, nina wasiwasi na hoteli yako haiko katika usalama wa afya za watu” aliongea kwa sauti ya juu sana na yeye pia Catherine kisha ……………………………….

Catherine kisha sauti yake ikabadilika na kuwa kama ya kunong’ona hivi, ilikuwa inzito kidogo na kusema jambo hilo ambalo lilimshtua sana huyo meneja. Alionekana kuwa na hofu sana. Ni tatizo gani hilo lililomkumba huyo mteja wake? Alijiuliza sana pasipo kuwa na jibu zuri. Akiwa bado anazidi kushangaa asijue ni nini cha kufanya kwa wakati huo, Catheri akawageukia wale watu wake na kuwaambia kuwa waondoke na wamuwahishe kwenye matibabu haraka kwani alikuwa na mashaka makubwa sana na afya ya mume wake huyo. Wale wauguzi wakaondoka. Yule mzungu akageuza shingo lake huku na huko kuangalia kama kuna mtu yeyote amesikia hayo maneno kwani endapo kama kuna mtu atakuwa amesikia basi alikuwa na hofu nyingine ya kupata wageni ambao wangekuja kuiukaguzi, hilo likawa ni jambo asilotaka litokee kabisa.
“na…naomba…ka…ma kuna uwezekano tukaliongelee hili jambo kwenye ofisi yangu si hapa kwani hapako kiusalama kabisa mahali hapa” alikuwa mpole kabisa tofauti na alipokuwa akiongea hapo mwanzo, sauti yake ilikuwa imeshuka na akionekana ni mtu mwenye wasiwasi mkubwa. Catherine alimuangalia baba huyo wa kizungu na asiwe na kitu cha kuongeza alijua tayari ameshamvuta mtu huyo kwenye kumi na nane zake na kilichobakia ni kumaliza kazi tu.
“sina imani tena na usalama wangu pia, naweza kumkosa mume wangu mimi” alisema Catherine huku akiwa analia kabisa akionekana ni mtu mwenye uchungu mkubwa. Jambo hilo likamfanya mzungu huyo kuzidi kuchanganyikiwa mahali hapo.
“unataka tufanye nini sasa madame? Niko hapa kwa lengo la kutaka……kutaka kutatua hilo tatizo na inabidi tupate mahali kwa ajili ya kuliongealea hilo swala” alisema mzungu huyo akionekana kuguswa sana na hilo jambo.
“ok, nadhani ingekuwa ni vizuri kama tukizungumzia kwenye gari yangu ama yako kama umekuja na gari” alisema Catherine akiwa katika harakati za kufuta machozi yaliyokuwa yameloanisha mashavu yake. Mzungu huyo alifikiri kwa muda kidogo lakini hakuwa na njia nyingine ya kuchagua zaidi ya hiyo ambayo mteja wake amechagua. Akamwambia kuwa basi waelekee kwenye gari yake. Wakatoka na kuingia kwenye gari ya meneja huyo na kuanza kulizungumzia hilo jambo. Kitu ambacho meneja huyo hakukigundua ni mwanadada huyo kuchezea begi lake la mkononi (hand bag). Yeye alijua kuwa ni maongezi yaliyo na umuhimu mkubwa kutokana na mteja wake kulia kwa kupatikana kwa matatizo ya mumewe na ikiwa ni kitu ambacho ni kigeni sana kutokea kwenye hoteli hiyo. Catherine alikuwa amevaa gloves maalumu kwa ajili ya kazi lakini Meneja huyo alijua labda dada huyo amevaa mavazi ya urembo. Kumbe dada huyo alikuwa kazini na hapo ikiwa ni katika harakati za kutimiza mauwaji. Hapo alikuwa akifungua chupa fulani iliyopo kwenye bag lake hilo, akajimiminia unga kiasi wenye rangi ya manjano. Unga huo ulikuwa ni sumu hatari sana inayouwa kwa haraka sana kama utafanikiwa kuuvuta kwa wingi kwenye mapafu yako. Catherine alipohakikisha kuwa unga huo uko tayari kwenye mkono wake, akaendelea kuonge maneno machache huku hali ya huzuni bado ikiwa machoni mwake. Lakini baada ya muda mdogo mbele, akawa tofauti, akabadili hata sura na maneno aliyokuwa akiyaongea hapo yakampa mshangao bwana huyo. Ghafla, Catherine alimpiga pigo moja kwenye mbavu na kabla mzungu huyo hajatoa ukelele, alimziba pua na mdomo kwa kutumia ule mkono ulio na unga ule wa sumu. Akawa anambana na kumuachia kwa awamu, kitendo hicho kilimfanya mzungu huyo kuivuta hewa kwa nguvu sana mara tu anapoachiwa bila kujua kuwa alikuwa akiiruhusu sumu hiyo ijae kwenye mapafu yake. Hazikupita hata dakika mbili mzungu huyo akatulia.
“inabidi ufe ili tuikamilishe misheni yetu kwa haraka na bila usumbufu wowote. Utanisamehe sana kwa kuyakatisha maisha yako.” alisema Catherine na kuzivua zile glove akazitia kwenye bag lake na kutoweka taratibu kwa kujifucha ficha ili asipate kuonekana. Alipofanikiwa kufika barabarani, alitazama saa yake na kugundua kuwa kwa muda huo windo lake la pili liko njiani kuelekea kwenye mkutano kama ambavyo Sex machine alivyopewa maelekezo na mabosi zake. Kifo sasa kilikuwa kinamuwinda Milkao, tajiri na mfanya biashara mkubwa. Catherine alikodi tax na kuondoka eneo hilo kwa kutoa maelekezo wapi anatakiwa aende. Alipofika mbele kidogo, alimuwekea bastola ya kichwani yule dereva na kumtaka aipaki gari hiyo kando ya barabara. Suka hakuleta ubishi mbele ya chuma hicho cha baridi, akasogeza gari pembeni kisha kusimama. Tendo bila kuchelewa, pigo moja zito la kitako cha bunduki lilimuendea yule dereva tax kisha akakaa yeye kwenye usukani. Akaliondoa gari kwa kasi kubwa, kasi ambayo ilikuwa marambili ya ile aliyokuwa akiitumia dereva au mmiliki wa gari ile. Muda mchache tu alikuwa nyuma ya msafara wa mfanya biashara huyo aliyekuwa akielekea mkutanoni. Ulikuwa ni msafara wa magari matatu, aliipiga fimbo gari yake hadi akafanikiwa kuupita huo msafara kisha akasimamisha gari yake kwa mbele. Msafara huo ulipofika hapo ukasimama wakashuka walinzi wa mfanya biashara huyo na kwenda kumkalipia mtu huyo aliyewasimamisha bila mpangilio mahali hapo. Catherin akiwa katika muonekano ule ule wa awali, akawa anabishana nao huku yeye akilalamika kuwa gari yake ilikuwa ni mbovu. Bila kuwa na mashaka na mtu huyo wakiamini kuwa huwenda kweli gari yake itakuwa mbovu, aliwazuga kwa kuwaabia huenda ni mwendo mkali aliokuwa akiutumia tofauti na uwezo wa gari yake. Akawambia watu hao wasubiri ajaribu kuliwasha kama linaweza kuwaka. Wakakubali na kumruhusu mtu huyo ambaye kwa wakati huo alikuwa amevaa koti refu na kofia yake kubwa kama kawaida huku yule dereva wa ile gari akiwa amemlaza vizuri nyuma ili asiweze kuonekana kwa urahisi. Gari hiyo ikawaka lakini pasipo na mataajio yao dada huyo aliirudisha gari hiyo nyuma kwa kasi kubwa na kusimama sawa na gari ya mfanya biashara huyo ambaye muda wote alikuwa akiangalia muda. Kitendo cha kusimama ghafla kiliwashtua sana na hawakukitegemea. Sauti za kutosha za milio ya risasi iliwafanya wakabaki kinywa wazi, kilikuwa ni kitendo cha ghafla sana na hawakuwa wanakitarajia kama kinaweza kutukia mahali hapo, hata walipokuja kutoa mitutu yao ya bunduki, tayari gari ilishageuzwa na kuondolewa eneo hilo kwa kasi kubwa huku nyuma akiwaacha wale jamaa wasijue cha kufanya kwani gari zao zote zilikuwa zimetolewa upepo kwa risasi na bosi wao akiwa na matundu ya risasi kichwani. Walidata, walichoka na hawakujua wakimbize kwa miguu au wapige kelele ya kuwa wamevamiwa na majambazi. Na wangempigia nani hizo kelele ikiwa hapo walipo wapo kwenye mbuga ndogo. Hoi.

“nifungueni hapa kabla sijafanya kitu kibaya, nasema nifungueni” alipiga kelele Chriss mara baada ya kuzinduka kutoka kwenye usingizi wa nusu kifo. Alikuwa akipiga kelele bila kujua anampigia nani kwani hapo alipokuwa amefungwa hapakuwa na mtu hata mmoja, alikuwa mwenyewe tu ndani ya chumba hicho ambacho hakikuwa na vitu vingi zaidi ya kiti chake alichofungiwa nacho.

Muda ulikuwa umekwenda sana na muda huo ikiwa tayari imetimia saa mbili kasoro za usiku. Nchini Tanzania ndani ya mji wa Morogoro, mr. Kim alikuwa amekaa kwenye luninga akiafuatilia habari kwenye kituo kimoja cha kimataifa kilicho kuwa kikirusha habari za moto, yaani habari zulizotokea punde. Alijikuta akiwa na furaha kubwa mara tu alipopata taarifa za vifo vya watu wake. Habari hiyo ilikuwa inasema kuwa ‘MUUWAJI ASIYEFAHAMIKA AVAMIA MIAMI.’ Asababisha vifo vya watu watatu, viwili vikiwa vimetokea kwenye hoteli tofauti na kimoha cha tajiri mkubwa na mfanya bishara maarufu, kikiwa kimetokea barabarani wakati mfanya biashara huyo akiwa anaelekea katika mikutano yake ya kibiashara. ilikuwa ni shangwe kubwa sana kwa Kim tena kusikia kuwa ni muuwaji asiyefahamika, hilo lilikuwa ni jambo ambalo hakuwahi kulitegemea kabisa kama atakuja pata muuwaji hatari kiasi hicho, furaha yake ikamfanya hata asiwe na muda tena wa kuangalia mwishilizio wa habari hiyo ambayo ilimuonesha mtu ambaye hakufahamika. Yaani mwanamke si mwanamke na mwanaume si mwanaume.

“D.A, zamu yako ndiyo inayofuatia mshenzi mkubwa wewe, huwezi kunifanya nikaishi bila amani na nina hakika utakufa tu na ukifa wewe hakuna kima yoyote atakaye nigusa, ha ha haaa!” alisema hivyo Kim na kuangua cheko kubwa sana. Lakini wakati yeye anasema hayo na kucheka, Father D.A alikuwa akitabasamu na kuzungumza maneno nachache tu kwa utaratibu sana.
“kwanini huendi kinyume na maamuzi yako wewe binti?” alijiuliza hayo father baada ya kumuona yule anayesadikika kuwa ni muuwaji, ambaye hakuwa ameonekana sura hata nusu na hakufahamika hata kidogo. Alifanya hayo yote kitaalamu sana.

Kwa kim kulikuwa ni furaha tu na majira hayo hayo, alimpigia simu Joesan na kumpa hizo habari za kuwa Chriss yupo hai na amefanikisha kufanya mauwaji ya watu aliotaka wauwawe, laiti kama angejua kuwa aliyefanya mauwaji yale ni binti hatari wa hasimu wake mkubwa toka zamani bwana D.A. Laiti kama angelijua hilo, sijui angetapika au sijui angefanya nini. Joesan alizipokea taarifa hizo akiwa haamini kabisa maana tangu hapo alijua kuwa kijana huyo yupo kwenye mikono ya watu makini na hatari hivyo hata afya yake ilikuwa mashakani. Alizichukua taarifa hizo kama zilivyo na kumjulisha kila mwana kampuni ile hasa wale wa kitengo chao. Taarifa hizo zikapokewa vizuri na kila mfanya kazi lakini Tai akajua kuwa hata kama akiwa hai huyo SM basi ana kazi ya kuunda tena vazi jingine maana hilo halitakuwa vazi tena. Taarifa hizo zilipofika kwa mzee Rafael hakushangaa sana na kuwaambia hata yeye amezishuhudia kwenye luninga. Furaha ilikuwa kubwa kweli kwa kuwa hai kwa SM lakini walakini na sintofahamu, ilikuwa kwa mzee Rafa. Hakuamini hata kidogo kama aliyefanya mauwaji yale ni SM. Hakuwa na imani hiyo hata kidogo kwani kila alivyomuangalia muuwaji huyo anayehisiwa na jeshi la polisi la nchi ya marekani, alibaki na maswali, alikuwa hafanani hata kidogo na umbo la SM. Hata kidogo. Alitabasamu kwa chati na kujikohoza kidogo akitoa harara kwenye koo lake kisha akatulia kitini.
“wanasheherekea pasipo kujua ni nani aliyefanya hayo. Mbona mimi sina imani kabisa na hiyo habari, mbona SM hapatikani hewani au ndiyo alipoteza simu kwenye mapambano, Chriss ninayemjua mimi. Haya basi kama amepoteza simu kwenye mapambano mbona hata mtandao ukimtafuta kwa kutumia kifaa maalumu alichowekewa kwenye vazi lake ……….

pia hapatikani. Inamaana kuharibika kwa vazi ndiyo kuharibika kwa kifaa cha GPS? Wajipange, wajue wapo na mtu makini sana anayewafuatilia na kama ni hivyo tumekwisha au tutakwisha wote” aliwaza mzee huyo kwa kujiuliza wingi wa maswali. Rafael hakuwa mtu wa mchezo mchezo ni mzee asiyependa ujinga kabisa na haamini jambo kirahisi.
“nilikuwa mafia tangu nikiwa kijana mdogo hivyo najua mbinu nyingi sana za ki mafia, natamani kuwafumbua macho hawa wajinga lakini sijui dhamira ya huyu mkorea ndani ya Taifa langu. Kama ameweza kuwaharibu vijana wengi kuwa mashoga, hashindwi kuliteketeza Taifa hili. Nasema sijui anampango gani na Taifa langu la hapo baadaye nachelea kusema kuwa naweza kuwa nimechangia kuliharibu Taifa langu mwenyewe kisa pesa. Hapana sitaki kuchangia kuliuwa Taifa langu mwenyewe kwa kufuata matakwa ya mgeni. Japo nimefanya uharamia sana na mauwaji ya kutisha, sasa inatosha, siko radhi tena. Kwa macho tu matendo yake yanajionesha kuwa, hadi hapa alipofikia, hana nia nzuri na Taifa hili, ni vijana wangapi wa kiume ambao walitakiwa kuwa na wake zao na kujenga familia, leo hii wamekuwa mashoga kupitia yeye. Nani ataamini kama kijana Chriss alikuwa ni msomi mkubwa mwenye shahada ya sayansi ya kompyuta, angalia alivyomgeuza kuwa mashine hatari ya ngono na kifaa kibaya sana cha kufanya mauwaji. Niko tayari kuuwawa na hao walio na mpango mzuri na taifa hili kama wataamua kututeketeza wote lakini si kumfungua masikio Mr. Kim.” aliwaza mengi sana mzee Rafa kisha aliamua kuzima luninga yake na kuingia chumbani na kwenda kuukabidhi mwili wake kwenye kitanda ili kuupitisha usiku huo.

**********************************************

“ooh! Vizuri sana boy kama umeamka, habari yako?” aliongea Catherine akiwa ameingia ndani ya chumba hicho tena akiwa na yale mavazi yake ayapendayo. Alikuwa amevaa bikini nyekundu kama kawaida na akiwa mbele ya kidume hicho cha kazi.
“nimeamka ndiyo na nataka unifungue hapa niondoke kistarabu tu” alijibu Chriss akiwa na ghadhabu za kuzidi.
“huwezi kufunguliwa hapo kirahisi hivyo na ukitaka kuondoka kistarabu utaondoka tu na tutaondoka wote, sory” alijibu Cathetine.
“aisee nitawauweni kama ugonjwa uliovamia mifugo” aliongea SM lakini hakuna aliyemjibu tena mahali hapo. Badala yake Catherine alimgeukia kijana mmoja na kumwambia kuwa amchukue huyo SM na ampeleke kwenye chumba cha kazi. Kijana huyo akatii, akasukuma kiti hicho alichofungiwa SM huku yeye akiwa anafuata nyuma. Alipofika huko ndani kwenye hicho chumba, akaomba aitiwe dokta. Baada ya muda mfupi daktari alifika hapo na kusimama mbele ya dada huyo.
“Chars nadhani mtu mwenyewe ni huyu hapa, anatakiwa kufanyia kazi ili arudi kwenye hali yake ya awali” aliongea hivyo na kumtazama Chriss usoni. Chriss alikunja sura na kuvimba kabisa.
“mnataka kunifanyia nini nyie watoto wa changudoa?” aliuliza.
“tunataka kukufanya uwe mtu tena Chriss”
“mmeambiwa na nani kuwa hapa nilipo ni mnyama?”
“huwezi kujitambua hata kidogo kuwa uko katika hali gani kwani hata kichaa hajitambui kuwa yeye ni kichaa bali anayemtazama na kumshangaa ndiye anayemuona ni kichaa huku yeye akijiona ni mzima wa afya kabisa.
“upo katika matatizo makubwa sana Chriss” alisema Catherine. Hili jina Chriss ndilo lililokuwa likimuumiza kichwa kijana huyo. Kwake ni mara ya pili sasa analisikia tena likitajwa na watu wawili tofauti, mmoja akiwa ni Suzane na wa pili ni huyo binti asiyemuelewa ni nani kwenye maisha yake. kwani amekuwa akikutana naye mara kwa mara na kumuokoa pia kwenye matatizo, alijiuliza sana kuhusu huyo binti lakini hakuwa na namana. Alikuwa hajitambui na alishapandikizwa sumu ya ubishi mwilini mwake.
“sitaki chochote kutoka kwenu, naomba mniachie kwa upole tu niondoke zangu, nawaahidi kuwa mkiniachia kwa upole, sitawauwa hata mmoja lakini mkikaidi ni wazi hakuna atakayenizuia mimi tena kuwauwa ninyi” alizidi kuwaka kijana huyo.
“sikiliza Chriss, wewe hapo ulipo huwezi kutoka hadi utakapokuwa sawa ndipo utakuwa na ruhusa ya kutoka, hivi ni mwanadamu gani anayejitambua, anaweza kufanya mapenzi hadharani kama mnyama huku akiwa amezunguukwa na watu, ni kiumbe wa namna gani wewe usiye na maamuzi yako bali unaishia kuendeshwa tu kila siku na hao unaowaita mabosi zako.” aliongea Catherine kwa hisia kali sana lakini ni kama alikuwa akitwanga maji kwenye kinu au ni sawa na mtu anayempigia Mbuzi gitaa kwa kutegemea Mbuzi huyo anengue.
“ni wazi hakuna kiumbe yeyote mwenye akili timamu anayeweza kufanya hivyo ila kwa mimi chizi na nisiye na akili ni kawaida sana na naifurahia kazi yangu na unabahati sana wewe malaya, ningekunyonya hadi visivyo nyonywa maana nilikupania kupita kiasi pengine hata….!” hakufika hata mwisho wa kauli yake, konde zito likamuangukia Chriss, damu zikamtoka mdomoni, yalikuwa ni maneno yenye kuumiza sana. Catherine alinyanyuka hapo akiwa anafuta machozi na kwenda kwenye kioo kikubwa na kukiwasha kioo hicho, ilikuwa ni luninga kubwa. Picha mjongeo zikaanza kuonekana , alioneka kijana huyo akiwa anafanya mapenzi hadharani huku akiwa amezunguukwa na watu wakimtazama. Hadi pale alipomaliza na kupigiwa makofi kisha akaonekana akifanya mapenzi na wanawake si chini ya kumi na wawili, wote akiwaingilia kwa njia tofauti halafu luninga hiyo ikazimwa. Baada ya kuizima luninga hiyo, Chriss aliangua kicheko kikali sana alicheka huku machozi yakimmwagika, alikuwa amechanganyikiwa kijamna huyo. Hakuamini kama kazi ile aliyokuwa akiifanya ilikuwa iko katika rekodi. Inamaana hakuwa akijificha chumbani na mambo yakaishia chumbani, kumbe hadharani, mitaani itafikia hatua watu wataangalia ujinga na ushenzi ule aliokuwa akiufanya. Alimkumbuka Sauda mpenzi wake. Ni vipi kama Sau wake ataona hizo video. Ni wazi zile ndoto za kuwa mkewe zitanyakuliwa na upepo mithili ya kifaranga cha njiwa kibebwavyo na kunguru na kukiachia kutokana na kushindwa nguvu ya kukibeba kifaranga hicho kisichojua kutumia mbawa zake kuruka. Hebu fikiria kifaranga kiachiwe kutoka umbali wa nguzo ya umeme halafu kiangukie kwenye jiwe kama si lami. Ni wazi penzi lake litakufa kifo kibaya sana. Alicheka sana Chriss mwishowe akalia kabisa. Usiombe kufikia hatua ukacheka kicheko cha namna hiyo, kicheko kikali chenye maumivu, kicheko kinachodhihirishwa na sauti tu lakini moyo na sura zikiwa zinalia kwa uchungu mkubwa. Chris alijikuta kwenye maumivu makali mno ya moyo. kicheko kile kilimliza hadi Catherine mwenyewe mahali hapo.
“madame, anaweza akapata matatizo ya ubongo kutokana na kuzidiwa na mawazo, tumchome sindano tu kama vipi?” alisema dokta Chars.
“najua Chars kuwa wewe ni dokta na ndiyo maana umeliona hilo na mimi nataka nimchanganye zaidi akose kabisa neno la kusema ndipo tutafanya yetu.” alisema dada huyo huku akiwa anafuta machozi.
“ok” alijibu Chars.
“nyie malaya nitawauwa kama jinsi ninavyo lichana karatasi, tafadhali nifungueni niondoke, hasa wewe malaya wa kike mwenye nyeg*, usiponifungua hapa nitahakikisha unalala na mimi kwa siku tatu mfululizo tena ukiwa maiti yaani nakuingilia hivyo hivyo ukiwa wa baridi mjinga wewe, unafikiri nipo hapa kwa ajili ya k*m* yako peke yako” maneno hayo yalimfanya Catherine awe kama amepigwa na shot ya umeme, kifua kilimpanda juu na kushuka chini kutokana na ghadhabu zilizomjia ghafla, alimsogelea kijana huyo akamshushia makonde mazito hadi akazuiwa na Chars.
“basi muache madame, hatuendi hivyo na siyo lengo la kumuweka mtu huyo hapa”
“haiwezekani Chars, mtu upo kwa ajili ya kumsaidia halafu anakudharau, anakutukana, inauma sana.” alisema Catherine.
“sawa lakini hata kama utampiga hadi kufa, huwezi ukalibadilisha tusi au matusi aliyokutuakana kuwa salamu, hayo ni maneno na yamesha toka tayari.” alizidi kusihi Chars.
“unanijua mimi ni nani wewe, unanijua mimi, hivi unajua kama mimi ndiye niliyebeba historia nzima ya maisha yako. Hujui ndiyo maana una kiburi, nimeuwa Meneja wa hoteli ile ambayo tulikutana mimi na wewe hii yote ni kutaka nikufikishe kwenye historia ya maisha yako na kuwamaliza wabaya wako ambao wewe unawaabudu. Nimemuuwa Milkao tayari” aliongea kwa hasira kuu Catherine tena akiwa anafoka kabisa. Maneno hayo yakamfanya Chriss kutoa macho, hakutegemea kama kazi aliyoambiwa aitekeleze, dada huyo ameifanya.
“inamaana amenisaidia kufanya mauwaji, ni nani huyu dada, mbona kila wakati ni mtu wakunisaidia tu. Historia, historia ya maisha yangu? Ni kweli sijifahamu? Lakini mbona anajua mengi sana yanayonihusu mimi? Ni nani kwani huyu binti?” alijiuliza mawazoni kijana huyo lakini akiwa anahangaika angalau apate hata jibu moja la maswali aliyojiuliza, Catherine akaendelea.
“kazi ya kusafirisha mzigo wa madawa ya kulevya utaifanya wewe na hapo ndipo utakapomjua baba yako ni nani. Najua hata sura ya baba yako huijui hapo ulipo, unamjua baba yako wewe? Unamjua baba yako nakuuliz……..!!?
” inatoshaaaaaa! Inatosha, basi inatoshaa. Nifungulieni hapa niwauwe, nifungulieni nasema na nitawauwa wote halafu na mimi najiuwa nifungulieni!!” alikuwa akipiga kelele bila mpangilio ni wazi sasa yale maneno yalimuingia na yalikuwa yanaukweli ndani yake lakini hakuwa akijitambua hakujua kwa nini ana moyo wa namna ile, moyo usiokubali kujitambua yeye ni nani, kweli alikuwa akimaanisha kuwa hakuwa na haki ya kuishi tena na aliona ni bora kufa tu kabisa. Hapo ndipo alipokuwa akipasubiria Catherine.
“mchome sasa hiyo sindano na tumpeleke kwenye mtambo” aliongea na daktari akafanya yake alichukua chupa ya dawa na kuichanganya kisha akaivuta kwa bomba la singano na kumchoma kijana huyo. Baada ya sekunde kadhaa, usingizi ukamkamata, wakamfungua zile kamba na kumvua nguo zote kisha walimlaza kwenye kitanda cha matairi na kumpeleka kwenye mtambo.
“madame huoni noma kumtazama kijana huyu akiwa mtupu bila nguo?” alitania daktari. ……………………….

 Catherine akatabasamu na kuzidi kumtazama kijana huyo alivyo mzuri wa maungo.
“tena hakikisha anakuwa kama zamani nina mpango naye mkubwa sana hapo baadaye” alisema Catherine akiwa amezidi kutabasamu. wakafika mtamboni. Wakampandisha kwenye kitanda cha chuma, kitanda hicho kilikuwa ni sawa na kile alichotengenezewa SM japo hiki kilikuwa mfano wa sanduku la duara na lilijengwa kwa kioo kigumu sana kiasi cha kumuona mwili mzima mtu akiwa ndani ya sanduku hilo. Walipomuweka hapo, sanduku hilo likajifunga kisha daktari huyo akavuta kiti akaka na kukipampu, kikapanda juu taratibu kiti hicho hadi kikawa usawa na kompyuta kubwa inayotumika kuendeshea mtambo huo. akawasha hiyo kompyuta na kuisubiri ijifungue yenyewe na kujiweka tayari kisha akaingiza nywila na kuanza kazi ya kuichezea compyuta hiyo. Kitanda kile kilichokuwa kimeubeba mwili wa Chriss kilizunguuka kwa mzunguuko wa kwanza ,pili na tatu na kila mzunguuko uliokuwa ukizunguuka ulikuwa ukienda na kasi yake hadi unafika mzunguuko huo wa tatu, kasi ilikuwa kubwa sana kisha kikatembea na kwenda kuingia ndani kabisa ya mtambo huo. Kila alipokuwa akibonyeza vitufe vya kompyuta hiyo, ndipo mitambo hiyo ilivyozidi kujikonecti. Akaanza kubonyeza vitufe kadhaa, hapo sasa mambo ndipo yalipoanza kuwa magumu, chumba kizima kiliwaka taa nyekundu zilizokuwa zikiwaka na kuzima huku zikitoa mlio wa alarm za hatari. Dokta Chars alikuwa amechanganyikiwa, alibonyeza kila kitufe kwa haraka sana lakini mambo yalikuwa magumu haswa.
“vipi Chars?” aliuliza Catherine.
“amewekewa kitu cha hatari sana kwenye ubongo wake, kitu hicho ndicho kinacho contral akili yake kwa sasa na hata kama ungekuwa ukiongea naye kwa kipaza sauti bado tusingeweza kumbadilisha. Kinatumia mjongeo wa mapigo ya moyo na kuchukua taarifa ubongoni kisha kuzichuja.” alieleza Chars.
“kwaiyo hicho ndicho kinachosababisha hii hatari inayojionesha?”
“ndiyo, kwani pia ni mtego mbaya sana wa kuweza kumuuwa wakati wowote na muda wowote watakapo hitaji. Kinauuwezo wa kuibana mishipa ya damu yote inayopeleka damu ubongoni na ikasitisha zoezi hilo la kusafirisha damu kwa harka mno, kitu ambacho kingeleta zaidi ya madhara. Huyu walimtengeneza lakini walikuwa na wasiwasi naye huwenda angewageuka hivyo, wamemuwekea kifo kibaya sana ambacho ni kwa sekunde tu kinaweza kupasua kichwa chake. Hapa niliingia katika program ya kuweza kukitoa kitu hicho kwa kukivuta karibu na mshipa mkuu wa damu ili tuweze kukinyonya kwa bomba la sindano, ndiyo maana kikanitahadharisha. Ni kidogo sana kama kipande kidogo cha punje ya mchel…………! My god!” alistaajabu Chars baada ya kompyuta yake kumuandikia neno Danger kisha kuweka alama nyekundu kama mshale kuelekea kwenye sanduku lililokuwa likionekana hapo kwenye kioo cha kompyuta yake. Akabonyeza kitufe kingine, ikamuandikia Wait kisha kikaweka giza kioo kizima. Chars akabaki kushika kichwa huku Catherine akiwa mdomo wazi, hapo neno Mungu nisaidie likatawala. Kompyuta ilikaa hivyo kwa muda wa dakika tano kisha ikawaka na kuandika neno Continue huku ikimtaka abonyeze inter, akafanya hivyo na muda huo huo taa zile nyekundu zilizima na kwenye kioo cha kompyuta kukakaa mistari miwili mwekundu na manjano kisha ule wa manjano ukaondoka na kubaki mwekundu. Ule mwekundu ukawa unasogea taratibu na nyuma kuchora kijani.
“tumefanikiwa” alisema Chars huku akimuangalia Chriss kupitia kioo, akamuona bado anapumua.
“duh! Afadhali maana nilikuwa nimeshaanza kuandaa machozi, kwahiyo atachukua muda gani hadi kuwa yari?” alisema Catherine na kuuliza.
“atachukua muda wa masaa manane kwa mujibu wa mashine yangu hapa”
“si unasema kuwa huo mstari mwekundu ukiisha ndiyo kazi imekwisha, sasa mbona unaniambia masaa manane tena na ikiwa unatembea kwa kasi hivyo.”
“ukifika katikati huo mstari huta tamani kubaki humu ndani utakwenda taratibu sana” aliongea daktari na kuendelea na kazi yake kama ada. Mara wakiwa bado wana piga stori, kuna mtu aliingia humo ndani na kusema.
“madame, njoo kwenye ofisi yangu kuna jambo haliko sawa na linanichnganya” Catherine hakungojea, alitoka humo kwenye hicho chumba cha mitambo na kuelekea huko alikoitwa.
“wameshajua kuwa mauwaji yale yalifanywa na mtu makini sana hivyo serikali imeamua kuweka watu makini kumfuatilia mtu aliyesababisha mauwaji” alisema kijana huyo aliyefahamika kwa jina moja la Amiri mara baada ya Catherine kufika kwenye ofisi yake.
“mbona sikuelewi unachokimaanisha Amiri, wamegundua nini?” aliuliza Catherine kwa kutokuelewa na mshangao wa aina yake.
“nadhani unajua Madame kuwa kamera zetu za ulinzi nimeziunganisha na system ya kamera za CCTV za jiji hili”
“najua!” akajibu Catherine na kumfanya Amiri kijana makini anayeijua kuichezea compyuta kama ana lana nayo, kuendelea kusema.
“kuna wapelelezi kama watatu au wanne wanafuatilia hili tukio la mauwaji.”
“umejuaje Amiri?” Catherine akadakia kwa swali la kushtukiza.
“tazama hapa kwenye kioo cha hapo juu, unamuona huyo jamaa aliyevaa koti jeusi?”
“ndiyo nimemuona” alijibu Catherine baada ya kuyahamishia macho yake kwenye kioo cha kompyuta kubwa.
“sasa kuna huyo halafu kuna huyu hapa mwenye shati la drafti kisha huyo mwenye nguo nyeusi tupu kama anakwenda msibani nadhani wote umewaona vizuri?”
“ndiyo, Amiri nimewaona” alijibu Catherine, Amiri akaendelea kusema.
“nimekamata harakati zao kupitia kamera zangu na kilichofanya niwagundue kuwa wanafuatilia muuwaji, ni kuchunguza alama muhimu alizoacha muuwaji”
“unasemaje Amiri? Kwaiyo inakuwaje?” aliuliza akiwa katika taharuki kubwa Catherine.
“wanafuatilia hizi picha zilizopigwa na kamera zao za ulinzi na kwa bahati nzuri hawaja pata sura yako halisi, hapo hata mimi nikupe pongezi kwani hata vyombo vya habari vilivyorusha matukio ya mauwaji sambamba na picha ya wanaemhisi kuwa ndiye aliyesababisha mauwaji hayo, hakuweza kuionesha sura yako na pia hawana uhakika kama muuwaji ni mwanaume au mwanamke. Picha wanazozifuatilia hata mimi ninazo na hazita wasaidia sana kwenye upelelezi wao ila kinachonitia wasiwasi ni kufuata hatua zako kupitia uelekeo wako”
“hapo hata mimi ndipo panapo nichanganya Amiri, itakuwaje sasa na ndiyo kwanza Chriss yupo kwenye mtambo na mtambo huo unamaliza kazi baada ya masaa nane?” aliuliza Catherine akiwa amekusanya lundo la hofu na kuto kuelewa. Kijana Amiri akashusha pumzi ndefu na kusema.
“wamefikia hapa kwenye hii hoteli inayotoa huduma za asili ya wahindi. Hapa ambapo ulitelekeza lile gari baada ya kutoka kufanya mauwaji ya yule mfanya biashara, wameiona hiyo gari na hapa ndiyo wamechoka. Wamewasiliana kisha bilashaka wakakubaliana wapumzike. Kwaiyo huyu mwenye koti jeusi, ametulia kwenye hoteli hii na hawa watatu sijui wawili wapo kwenye hoteli moja. Sioni wakim
jongea tena, bila shaka watalala hapa ili kesho wavamie huku tulipo”
“inamaana wamesha gundua kuwa tupo huku?” akauliza Catherine.
“hapana hawaja gundua ila kesho ninaimani kuwa watafika hapa kwa sababu kuna kamera tatu za mwisho za CCTV kutoka hapo walipo hadi hapa na ninaimani lazima watajua kuwa ni njia ipi uliyopitia, hiki ndicho kinachofanya niamini kuwa kwa kesho tutavamiwa bila chenga.” alipomaliza kusema hivyo Amiri, Catherine alihema kwa nguvu hadi kifua chake kikapanda na kushuka. Alikuwa na hofu kubwa sana na maisha ya Chriss kwani kitendo cha kumtoa kwenye mtambo uliokuwa ukirudisha akili yake, ni kumfanya kijana huyo kuwa chizi mazima. Alifurahi sana kusikia kuwa kunauwezekano wa watu hao wanaodhaniwa kuwa ni wapelelezi, kufika siku inayofuata. Alimgeukia tena Amiri na kumuuliza.
“kutoka hapo hadi hapa wanaweza wakachukua muda gani?”
“ni muda mfupi sana lakini nadhani hadi ikifika majira ya saa moja na nusu au mbili kasoro, watakuwa hapa”
“wametukosa.” alisema Catherine akiwa anajiamiani sasa na kumfanya Amiri abakie na tabasamu usoni.
“hakikisha unazidi kuwafuatilia ikiwezekana hata usilale kabisa, utakwenda kulalia kwenye ndege. Fuatilia nyendo zote za hao jamaa hatua kwa hatua, hapa sisi ikifika kesho saa moja kamili tutakuwa hatupo. Ngoja nikawashtue Zomba na Jay wajiandae pia nijue kwa upande wao ni vipi wamejiandaa” alisema Catherine na Amiri akajibu poa. Catherine akatoka mule ndani na kuingia kwanza kwenye chumba cha kubadilishia nguo kisha akatoka na kuelekea kunako chumba cha hao vijana. Ulikuwa ni muda wa jujiandaa kwani muda wowote wangeweza kuvamiwa.
“niambie Zomba?” alisalimia mara tu baada ya kufika hapo.
“tuko safi madame vipi maendeleo yanavyokwenda?” alijibu Zomba na kurudisha tena salamu kwa dada huyo.
“huko yanakwenda vizuri ila ni maandalizi ya kutimka hapa ifikapo kesho mapema kwa sababu wapelelezi wameshamwagwa kila kona na wanatufuatilia, hofu yangu ni kwamba tusije tukaishia kwenye mikono yao ikawa noma. Tanzania haita tuelewa kwa kufanya mauwaji ya watu wasio na hatia, serikali yetu haitajua kuwa tunampango gani wa baadae na taifa letu na badala yake watatuona ni magaidi. Vipi gari ya kututoa hapa shimoni iko poa?”
“kwa hilo usitie shaka madame mtoto yuko safi na hapo alipo miguu inamuwasha kwa safari” alijibu Jay na kumfanya Catherine kuwa na amani. Akamalizia.
“jiandaeni kwa safari kuanzia sasa hakikisheni hakuna harufu yenu itakayo bakia humu na kuwapa mwanga hao paka ya kutufuatilia, nadhani mnajua kuwa wapelelezi wa nchi hii wakoje?” alipomaliza kuwauliza swali hilo baada ya kuhitimisha, vijana wakamtoa wasiwasi kisha wakatoka hapo na kwenda kuweka mambo yao katika hali ya usawa huku Catherine akirudi kwenye chumba cha mitambo.
“Chars, hebu angalia kwenye kioo cha hiyo compyuta hapo naona kama huo mstari umesimama?” aliongea Catherine baada tu ya kuingia humo ndani……………….

“nilikuambia madame kuwa ukifika katikati huo mstari utachukia hata kuutazama. Hapo ulipo unakwenda ila ndiyo unakwenda taratibu mno.” alijibu Amiri huku akiacha kazi aliyokuwa anaifanya mahali hapo.
“nenda kalale tu madame hapa kila kitu kitafanyika, hakuna sababu ya wewe kuwepo mahala hapa kwanza ulikuwa na kazi ngumu sana leo”
“ni kweli Amiri lakini sidhani kama nitapata usingizi, natamani huyo kijana atoke hapo hata sasa hivi, ameteseka sana isitoshe tayari wapelelezi wa nchi hii wanajaribu kupita nilipopita, bilashaka kesho watakuwa hapa”
“unasemaje madame?” aliuliza kwa kushtuka Chars.
“ndiyo hivyo Chars” alisema dada huyo.
“asante kwa kunifumbua, hawakuti kitu hapa hiyo kesho” alisema, akavuta hewa kidogo kisha akasema tena.
“usijali madame kwa imani na uwezo wa Mungu, hapa hakuta haribika kitu na atarudi kama alivyokuwa mwanzo.”
“sawa lakini kiukweli nitabaki na wewe hapa na sitaweza kwenda kulala hata kidogo”
“sawa lakini inabidi utazame pembeni maana ukiutazama huu mstari utazidi kukuchanganya na kukupa usingizi” aliongea Amiri na kumfanya Catherine kucheka. Walikaa hapo kwa muda mrefu huku kila mmoja akiwa na shughuli yake kwenye compyuta yake. Hakuna aliyekuwa akimsemesha mwenzake. Muda mfupi mbele, kimya kikatanda kabisa kwani tayari binti huyo alishapitiwa na usingizi mahali hapo.
“mapenzi ni kitu kizito sana na usiombe mapenzi yakaushambulia moyo wako kwa kasi ya namna hii, yaani hata kwenda kulala hataki. Anaonekana anampenda sana huyu kijana japo sina hata historia yao, lakini hapa bila kificho kuna mapenzi ndani yake.” alisema Amiri na kutabasamu kisha akageuka na kuitazama Compyuta yake kubwa inavyofanya kazi.

Asubuhi kulipokucha, bado mawasiliano ya Sex machine yalikuwa ni magumu sana. Saa kumi na mbili Joesan alikurupuka kutoka kitandani na kumruka Merina kisha akaikamata simu yake na kumpigia kijana huyo, majibu yalikuwa ni yaleyale ya jana kuwa namba hiyo ilikuwa haipo hewani alichoambiwa ni kuacha ujumbe ili anayempigia akiwa hewani aukute ujumbe huo. Joesan alitamani simu yake aipige chini kwa ghadhabu. Hiyo ilikuwa ni too much sasa kwa kijana huyo kutokuwa hewani kwa muda wa siku nzima. Hata kama atakuwa amekamilisha mauwaji lakini ndiyo asipatikane.
“atakuwa ameuwawa nini na yeye mbona kama moyo wangu hauko na amani” alijisemea kwa sauti kubwa pasipo kutarajia kabisa.
“ondoa shaka my dear, hawezi kufa kirahisi hivyo yule ni mtu makini sana, subiri tu atakutafuta” sauti kutoka kwa Merina ambaye alikuwa akibingilia kitandani, ikamshtua. Joesan akageuka na kumtazama binti huyo ni kama hakujua anaongea kitu gani. Aliwaza mengi sana bwana huyo. Kwanza ni huwenda Sex machine ameuwawa, pili labda huwenda ametekwa na kuingia kwenye mikono ya watu wasioleweka na tatu au labda atakuwa ameumia vibaya na kushindwa hata kutembea. picha zote hizo asizozipenda zilimjia kichwani mwake.
“ni bora basi angekufa akiwa tayari ameshasafirisha ule mzigo kuliko kufa akiwa hata mzigo hajausafirisha. Nimepoteza pesa nyingi sana kwa kutegemea kuingiza mabilioni ya shilingi kama ule mzigo ungefika nchini Brazil. Hawata nielewa hawa jamaa kama atakuwa amekufa huyu mpuuzi. Usife leo Sex machine, kufa baada ya kurudi Brazil. Kufa ukiwa tayari umeniweka kwenye kilele cha kuwa bilionea mkubwa kabisa Afrika nzima. Ndiyo utakufa Sex machine na utakufa kwa mikono yangu pindi tu nitakaporidhika na kile ulichoniingizia lakini si leo. Najua hadi utakapokufa, utakuwa unapesa nyingi sana kwenye akaunti yako ambayo kampuni inakulipa. Hizo zote zitakuwa chini yangu.” aliwaza Joesan akiwa ameikamata simu yake mkononi kama vile anaesubiri simu itakayoingia. Akajaribu tena kupiga lakini hakuna kilichobadilika kamwe.

Wakati Joesan akiwa anawaza muda huo wa saa kumi na mbili asubuhi, huku mambo ndiyo yalikuwa yanawamba.
“wamebakisha mwendo mfupi tu hadi kufika hapa na wanakuja kwa kasi sana bila shaka wameshajua kuwa tuko hapa.” alisema Amiri akiwa anaitazama kompyuta yake. Muda huo huo Chars akaingia ndani hapo akiwa na Chriss tena akiwa mpole sana na mtu anayeshangaa ni mahali gani alipo.
“kijana yuko tayari madame” alisema Chars.
“ok. well done, Chars. Hatuna muda tena hapa mambo yamesha haribika. Zomba na Jay nendeni mkaandae gari tafadhali, wamefikia wapi kwa sasa Amiri?” aliongea mambo mengi kwa wakati mmoja, alitoa maelekezo kwa vijana wake na kuuliza hili na lile.
“wamebakisha kamera moja tu ya ulinzi na muda wowote nitakuwa siwaoni hiyo itamaanisha kuwa watafika hapa ndani ya dakika arobaini na tano.” alisema Chars akiwa ananyonya kitu fulani kwenye kompyuta yake na kuiacha iendelee kunyonya.
“haribu system zote na kila kitu, hakikisha tukitoka hapa shimoni na shimo nalo linadidimia, hawatakiwi kujua kabisa kama kuna watu walikuwa wakiishi hapa au kuna kitu kilikuwa kinaendelea mahali hapa na wakijua basi wakute emty hakuna hata harufu yetu” alitoa maelekezo Catherine. Muda wote huo Chriss alikuwa kama haeliwi kilichokuwa kinaendelea mahali hapo. Alijiona kama mgeni vile. Alikuwa akikumbuka mengi sana yaliyopita na mara ya mwisho alikuwa katika kampuni ya Joesana akiwa amekubali kuwa Sex machine pasipokujua kama alikuwa amekubali kubadilishwa akili. Kitendo cha kujikuta hapo, kilikuwa kikimpa maswali mengi sana na hakuwa na muda wa kuuliza kwani kila mtu alikuwa busy mahali hapo.
“yes, nimemaliza kuchukua silaha zangu za kazi kwenye kompyuta sasa naangusha system zote chini” alisema Amiri na kuanza kazi hiyo na kwa wakati huo akiwa hawaoni kabisa hao jamaa.
“madame mtoto yuko tayari kwa safari” alikuja Zomba na kusema maneno hayo.
“madame gari zimesha fika karibu na mlango wa kuingilia humu shimoni” alisema Amiri na akiwa tayari amesha haribu kila kitu.
“nimeshaziba mlango wa kuingilia humu na itawapa shida kidogo kuweza kuingia, pia tayari nimesha weka hali ya hatari humu ndani kama mnavyoona taa hizi nyekundu zinavyo waka na kuzima muda wowote kuanzia sasa shimo hili linaporomoka. Twendeni garini” aliongea Amiri na muda huohuo wote wakaongoza mahali ilipo gari yao ya kuwatoa humo shimoni. Shimo ambalo liliandaliwa maalumu kwa ajili ya kumrudisha Sex machine kwenye maisha yake halisi. Shimo ambalo mtengenezaji wake na muanzilishi akiwa ni Father D.A. Ambaye alilitengeneza shimo hilo kwa sababu zake binafsi lakini zenye mantiki na misingi mikubwa kama hiyo. Kelele za kuvunjwa kwa mlango huko juu walizisikia lakini hawakuwa na muda wa kuogopa kitu kama hicho, walikimbia mahali lilipo gari. Walitembea kwa miguu kwa umbali mdogo huku wakipita kwenye njia mithili ya handaki hadi walipolikuta gari hilo. Ilikiwa ni gari aina Land Rover ya kizamani sana lakini ni yenye nguvu mno. Gari hiyo ilifanyiwa mautundu na vijana wawili Zomba na Jay, vijana wenye utaalamu mkubwa wa kuyafanya magari watakavyo na wanauwezo wa kuibadilisha gari katika muundo wautakao wao wenyewe. Wakaingia kwenye gari hiyo na Jay ndiye aliyekaa kwenye usukani wa gari hiyo. Huku nyuma shindo kubwa lilisikika na vumbi nene likaibuka.
“shimo limeanza kushuka sasa kwa sauti hiyo itakuwa vigumu kujua nini kinaendelea huku chini” alisema Amiri na mara Chars naye akasema.
“Jay hakuna kupoteza muda washa gari tuondoke hapa kwa kasi kubwa kwani kama shimo limeanza kushuka, inamaana ya kuwa muda si mrefu mlipuko mkubwa utaibuka kutoka kwenye mtambo”
“what??” akang’aka Catherine akifuatiwa na Zomba.
“ndiyo, nimeuseti ule mtambo kuwa baada ya shimo kuanza kutitia ndipo nao utakapolipuka” aliongea Chars gari ikiwa tayari umesha ingia kwenye njia ya huko chini ya ardhi ili kuweza kuwatoa humo shimoni. Mlipuko mkubwa ukarindima eneo hilo tena ukiwa ni mlipuko wa aina yake kabisa. Ulikuwa ni mlipuko ambao haukutarajiwa kutokea mahali hapo. Askari kadha waliokuwa juu ya shimo hilo walipoteza maisha pasipo kutarajia. Gari yao ilizidi kukata njia. Kulikuwa na giza kubwa mno lakini Jay, aliweza kutembea kwa mwendo mkubwa kutokana na taa za gari hiyo kuwa na mwanga mkali sana. Chars alikuwa ameshika kitu mfano wa saa ya ukutani mkononi mwake kisha akairusha nje ya lile gari.
“nini kile ulichokitupa?” aliuliza Catherine ambaye alikuwa amekaa karibu na Chriss.
“hilo ni bomu la masaa nililolibuni kama wiki mbili zilizopita, nilijua kuwa siku kama hii ingetubidi tuondoke, litalipuka baada ya dakika kumi na tano” alisema Chars kwa kujiamini sana.
“unaakili kweli Chars?” aliuliza Catherine akiwa anajiweka vizuri kitini. Alikuwa ni kama hawelewi vijana wake kuhusiana na hayo wanayoyafanya. Chriss alikuwa kama mtu anayeangalia sinema ya kusisimua, hakuwa akijua chochote.
“ninazo madame na kumbuka kuwa hawatakiwi hata kujua kama kuna njia humu chini. Hilo ni moja na pili, ukumbuke kuwa, askari wote wa mji huu watajaa hapa, halafu kumbuka hatutapaa mbali sana kutoka hapa, japo ndege tukayoitumia imefanyiwa utundu na hawa wachawi lakini pia ni moja ya kuwafanya wasione kama kuna ndege inapaa, hiyo itakuwa ni hatari kubwa sana kwetu. Hivyo basi, dakika kumi na tano baada ya hapa, sisi ndiyo tutakuwa tunaruka. Huku kwa muda huohuo bomu linalipuka unadhani macho yao yatakuwa wapi kama si hapa kwenye bomu? Na watakapokuwa wanadili na kuushangaa mlipuko, huoni kama sisi tutupaa bila kugundulika?” aliongea Chars kwa kujiamini sana. Catherine hakuona hata sababu ya kujibu hilo swali na badala yake alijilaza kitini tena akiwa na tabasamu pana. Kwa hakika alikubaliana na moyo wake kuwa hakuwa na vijana wa daraja dogo, alikuwa na vijana wa daraja la juu na wanaojua nini wanapaswa kufanya. ………………

Gari ilizidi kukimbia, giza lilikuwa nene sana ndani ya barabara hiyo ya chini. Chriss alikuwa ni mtu wa kushangaa maajabu yote aliyokuwa akiyaona mahali hapo. Baada ya mwendo huo mfupi wa kutembea chini kwa chini, walikuja kuibukia kwenye mbuga moja kubwa sana hapo ndipo kasi ilipoongezwa mara dufu. Gari hiyo ilikimbia kwa kasi kubwa sana huku nyuma ilitimua vumbi kubwa, hakuna mtu aliyekuwa akiongea mahali hapo hadi wakafika nje ya mji kabisa. Huko wakakuta ndege ambayo ilikuwa imeandaliwa maalumu kwa safari hiyo na ndege hiyo ilikuwa imehifadhiwa chimbo la hatati ambalo hata ingekuwaje isingeweza kuonekana na ilikuwa ni ndege iliyofanyiwa mautundu na wataalamu wawili Zomba na Jay. Ilikuwa ni ndege ya pekee sana, umbo lake la nje lilifanana kabisa na ndege za kivita. Waliitia moto ile gari ikawa inaungua taratibu na wao wakakimbilia kwenye ndege. Walipopanda ndani ya ndege hiyo, Zomba akaanza yake kwa kuipa uhai ndege hiyo ambayo ilikimbia kwa umbali mdogo uliokuwa uko tambarale na kupaa kwa kasi kubwa na muda huo huo huku nyuma kule shimoni, mlipuko mwingine mkubwa uliibuka na kusababisha mtafaruku mkubwa kwa wanausalama wa nchi hiyo ambao waliamini kuwa hali hiyo imesababishwa na matukio ya kigaidi. Habari zilisema kuwa ni baada ya wanausalama kugundua chimbo la maharamia hao muda mfupi nyuma na walipoamua kuvamia na kwenda kuwashtukiza ndipo kukatokea milipuko hiyo. Hivyo wanaamini huwenda magaidi hao wameamua kujitoa muhanga baada ya kugundua wamevamiwa na hawana pa kutokea.

Chars na Amiri waligongeana mikono wakati ndege yao ikiwa tayari ipo angani, walihakikisha ndege hiyo haionekani na rada ya aina yoyote ile kwani endapo ingeonekana ingekuwa ni habari nyingine kabisa na ingesababisha wao kupatikana kiurahisi. Tukio lililotokea Marekani lilikuwa limeenea duniani kote na kila upande ulikuwa macho kuangalia kama hao waliosababisha mauwaji hayo ambayo yaliongezeka kutokana na milipuko ile miwili kama wataweza kuonekana. Ndege hiyo ilishusha mbawa zake kando ya msitu mkubwa wa nchini Brazil kisha watu wote wakashuka ndegeni na kuingia ndani ya msitu huo. Ndani ya ndege alibakia Zomba pekeyake ambaye alikuwa akiharibu ndege hiyo kwa mfumo alioutengeneza yeye mwenye na kuiacha mahali hapo ndege hiyo ikiwa haina faida tena, akashuka na kuelekea upande ambao wenzake walikimbilia. Catherine akatoa ramani na kuitandika chini, wakaizunguuka ramani hiyo wote kisha Catherine akasema.
“tutapita katikati ya huu msitu ili tuweze kuwakwepa askari wanaohusika na usalama wa huu msitu kisha tutakuja kutokea hapa” akaonesha hapo walipotakiwa kufika halafu akaendelea.
“tutaiacha hii njia mnayoiona ambayo ni rahisi sana kutufikisha barabarani, sisi tutapita hii. Tunafanya hivyo kwani hapa ndipo tutakapo kutana na gari ambayo fadha ametuma watu wake kuja kutuchukua” akamaliza.
“huu msitu siyo ule unaopatikana wale nyoka wakubwa, Anaconda?” aliuliza Amiri na kuwafanya watu wote hapo wacheke.
“acha woga mtoto wa kiume wewe” Jay akamwambia.
“ni umbali gani kutoka hapa tulipo hadi kufika hapo kwenye hiyo gari” aliuliza tena Jay.
“ni kilomita mbili na nusu tu kama tutatembea kijeshi na itatupasa tutembee hivyo kwa sababu ninyi nyote mnatakiwa muondoke leo hii na ndege ya saa kumi kuelekea Afrika ya kusini kisha Nairobi kwenye kambi yetu ya muda ambapo ndipo tutakapoifanya kazi yetu ya mwisho. Hapa nitabakiwa na Chriss pekee ambaye anatakiwa kufanya kazi amabayo hajaimalizia” aliposema hivyo hakuna aliyesubiri amri nyingine, safari ya kuukata msitu huo ikaanza. Walitembea kwa muda mrefu huku wakibadishana mawazo na kuchangamshana ikiwa ni mbinu ya kujipunguzia hofu. Msitu ulikuwa mkubwa na wenye kutisha sana. Wote walikuwa matumatu kutokana na hofu juu ya msitu huo wa aina yake. Kila mtu kwenye safari hiyo alikuwa akipiga soga na mwenzake. Chars alikuwa akipiga stori na Amiri, Zomba yeye alikuwa na Jay. Chriss akajikuta yupo na Catherine.
“hupendi kuongea au hujisikii kuongea chochote na mimi maana tokea tumeanza hii safari umekuwa kimya tu?” aliuliza Catherine huku akijaribu kuongeza mwendo kumfikia Chriss maana yeye ndiye aliyekuwa mwisho kuliko wenzake wote.
“najiona niko tofauti sana na nyinyi na ndiyo maana niko kimya” alijibu kijana huyo.
“kivipi?”
“sijui mwanzo wala mwisho na nimejikuta tu nipo na nyinyi” aliongea Chriss huku akizidi kutembea kwa kasi.
“ni stori ndefu sana Chriss na inahitaji muda kuweza kukuhadithia, nitakupa kwa uchache tu tukifika mahali salama na stori kamili ni hadi tukiwa Nairobi.”
“huwezi kunigusia japo kwa uchache angalau?” aliuliza Chriss akiwa amesimama ghafla na kumuangalia binti huyo amabaye kwake alimsoma kama kiongozi wa kundi hilo dogo. Kitendo kilichopelekea hadi Catherine kusimama.
“Chriss, naomba uwe mpole na pia fahamu kuwa ni hitoria ndefu ambayo pengine haitakuwa nzuri sana kwako, wewe ni mtoto wa kiume hivyo unatakiwa uwe na subira” alisema Catherine huku akimpita kijana huyo na kuendelea na safari. Chriss akabaki hapo amesimama kwa muda mfupi kabla ya kuwakimbilia wenzake.
“madame, nafikiri hadi hapa tulipo tumebakiza hatua chache tu kuweza kufika mahali ilipo gari?” aliongea Chars ambaye ndiye aliye kuwa kiongozi mbele yeye pamoja na Amiri.
“tazama hapo bondeni upande wa kushoto, umeiyona hiyo pick up nyekundu?”
“ou! Kumbe tumefika tayari” alidakia Zomba na kukimbilia mahali lilipo gari, kila mtu alikuwa na furaha kubwa sana baada ya kuiona gari hiyo. Walikuwa wamechoka sana. Walifika hadi hapo na Catherine akaongea na mtu waliyemkuta hapo kisha wote wakapanda nyuma ya hiyo gari na kujituliza. Walikuwa wamechoka sana japo ilikuwa ni safari fupi lakini kwa mwendo walioutumia haukuwa wa kawaida hata kidogo. Gari hiyo ilitiwa moto hadi mjini. Walipofika mjini, Zomba, Amiri, Chars na Jay. Hawakupoteza muda walikamata gari iliyowafikisha uwanja wa ndege huko wakapanda ndege ambayo ilikuwa ikielekea Afrika ya kusini.

Catherine na Chriss walichukua hoteli kwa ajili ya kazi ya kumalizia. Usiku wa siku hiyo, Catherine alikuwa chumbani pamoja na Chriss wakiwa wanajadili jambo. Kwanza kabisa Catherine alichokifanya ni kumkabidhi Chriss simu yake. Chriss akashangaa baada ya kupewa simu hiyo lakini kabla haja uliza ndipo akapewa muktassri wa kile alichokuwa hakijui.
“unakumbuka nini Chriss hapo ulipo? Yaani namaanisha kuwa mara ya mwisho unakumbuka ulikuwa wapi?” alianza kwa swali binti huyo. Chriss akafikiri kwa muda na kusema kuwa kwa mara ya mwisho anakumbuka kuwa alikuwa kwenye kampuni anayofanyia kazi mjomba wake Joesan.
“unakumbuka ulienda ndani ya kampuni hiyo kwa lengo gani?” lilikuwa swali jingine?
“ilikuwa ni kwa ajili ya kwenda kupewa kazi”
“unaweza kuniambia kazi ambayo mjomba wako alitaka kukupa?” Chriss alifikiria kwa muda baada ya kuulizwa swali hilo kisha akainama chini kwa aibu ni kama hakuwa tayari kusema.
“unatakiwa kuwa huru kwa kila jambo kama kweli unataka kujua ni kwanini kwa mara ya mwisho uwe Morogoro na kisha uje ujikute Marekani” alizidi kumchimba kijana huyo Catherine. Chriss akayanyanyua macho yake na kumwambia kuwa yuko tayari kumwambia japo aliona si sahihi kusema hivyo kwani ilikuwa ni kazi ya aibu sana ila hakuwa na jinsi, alitaka kujua mengi kutoka kwa dada huyo.
“Sex machine” alijibu Chriss kisha kugeukia pembeni.
“najua na najua ulipambana kufa na kupona ili upite kwenye mtihani wako wa kwanza kama Sex machine na ukashinda. Joesan alikufanya kweli kuwa kifaa cha ngono na hukuwa ukijitambua kama wewe ni kifaa cha ngono na ulikuwa ukifanya ngono kwa kumuingizia pesa nyingi yeye na watu wake.” maneno hayo yakamfanya kijana huyo kushtuka na kumuangalia huyo binti kwa macho makavu ni kama hakuamini hayo aliyokuwa akiyasikia.
“nilikuwa mashine ya ngono kweli? Kivipi? Mbona sikumbuki kama niliwahi kufanya ngono hata siku moja?” alijikuta akiuliza maswali mengi sana kijana huyo, ni wazi aliona binti huyo anamdanganya.
“Joesan alikubadilisha kwa mtambo maalumu ambao ulibadilisha ubongo wako na kukufanya usikumbuke kitu chochote katika maisha yako zaidi ya taaluma uliyokuwa nayo”
“hapana unanidanganya Joesan mjomba wangu, hawezi kufanya hicho kitu hata kidogo. Joesan mjomba wangu anigeuze akili na kunifanya nisijue kitu chochote? Si kweli wewe mwanamke ni muongo na mnavyoonekana mna ajenda kubwa sana na mimi, mnataka kuniingiza kwenye mambo yenu ya kigaidi mnayoyafanya, mnataka na mimi niwe gaidi kama nyinyi si ndiyo?” aliongea mambo mengi sana Chriss, hakutaka kumuelewa binti huyo hata kidogo na hakuwa akiamini kila kilichokuwa kikiongelewa hapo. Aliamini hao ni magaidi na wanataka kumuingiza kwenye huo ugaidi na alisema hivyo kutokana na kile alichokishuhudia kule shimoni.
“sikiliza Chriss, sisi hatuna nia mbaya na wewe hata robo na badala yake wale uliowaona niko pamoja nao, wamejitolea kunisaidia katika harakati hizi za kukukomboa wewe kwenye mateso uliyokuwa ukiyapata pasipo kijitambua huku………….!!”
“wewe ni muongo na sitaki kujihusisha na mambo yenu, naomba uniache nitoke humu ndani na niende ninapopajua mimi, huwezi kumzushia mjomba wangu kuwa ameweza kunifanyia hayo, Joesan ananijali na kunipenda sana” Chriss alimkatisha Catherine na kusema maneno hayo huku akiwa tayari amesimama kutaka kutoka humo ndani.
“nisikilize Chriss, Joesan sisi hatumzushii na hata kama tutamzushia hatotusaidia chochote kile katika maisha yetu. Ila ukumbuke kuwa Joesan hakukufanya tu kuwa mashine ya ngono bali alikufanya Punda yaani alikugeuza kifaa hatari cha kusafirisha madawa ya kulevya……….

Sitaki uzidi kuniona mimi ni muongo au nazidi kumzushia mjomba wako. Chukua hiyo simu hapo chini ambayo ulitaka kuirudisha kwangu na uiwashe kisha utampigia Joesan. kwanza unakumbuka kwenye simu yako ulimsevu jina gani Joesan?” alisema Catherine na kumuuliza swali. Chriss akasema alimuhifadhi kwa jina la Uncle. Catherine akamwambia kuwa hapo kwenye hiyo simu hakuna jina la uncle wala shangazi, kuna majina matano tu. La kwanza ni Boss, ambaye ndiyo Joesan, la pili ni Suzane, tatu Merina, nne ni Honey na tano ni mzee Rafa. Hayo ndiyo majina pekee yaliyokuwamo humo kwenye hiyo simu, akamwambia kuwa, hilo kwanza ni ajabu la kwanza. Chriss hakutaka kuamini moja kwa moja, akaamua kuiwasha simu hiyo. Ilipowaka, kweli alikutana na majina hayo, hilo halikumshangaza sana pengine pia yaweza kuwa ni mchezo wao ili kumchanganya. Bado kichwa chake kilikuwa kigumu kuamini.
“hapo unatakiwa umpigie Joesan ambaye kwenye simu hiyo umemsevu kama Boss. Ukisha mpigia jifanye ulikuwa katika hali mbaya sana baada ya kupambana na yule adui wa kike na kushindwa kabisa kuendelea kubaki ndani ya hiyo hoteli kwa siku hiyo nzima, nasema hivyo kwa sababu sisi siyo tulio kuleta Marekani, bali aliyekuleta Marekani ni huyo anko wako na alikupeleka marekani kwa kazi maalumu, hivyo mwambie ulitekeleza mauwaji ya meneja wa hoteli kwa sumu na kwenda kumvamia mfanya biashara yule halafu ukazima kabisa simu ili kuzuia kufuatiliwa na watu wabaya ili uweze kujitibu kwa urahisi. Nakufundisha haya kwa sababu huwenda akakuuliza kuhusiana na mimi maana mimi ndiyo ulikuwa mteja wako wa mwisho kufanya ngono baada ya shoga ambaye nilimuuwa mimi kwa mikono yangu, sikutaka uthubutu kufanya mapenzi ya jinsia moja. Pia hawakujua kama mimi ndiyo nilikuwa na mpango wa kukukomboa na kukutoa kwenye kifungo walichokufunga. Baada ya hapo ndipo utakapojua kuwa Joesan si mtu mzuri kwako hata kidogo. Lazima atakuambia kesho uende Ufarasa ukachukue mzigo wa madawa ya kulevya.” alimpa malezo kijana huyo. Chriss ni kama alianza kumuelewa huyo dada na alikuwa akijifikiria jinsi ya kupiga hiyo simu. Liwalo na liwe kinachotakiwa kujulikana ni ukweli na hujihakikishia kuwa kweli huyo atakuwa ni Joesan yule anayemjua yeye maana sauti ya mjomba wake bila hata kuelezwa aliijua kinaga ubaga. Akapiga hiyo simu. Simu ya upande wa pili ikaita mara ya kwanza na mara ya pili ikapokelewa.
“Sex machine!” sauti hiyo iliita kwa mshangao mkubwa. Ilikuwa ni sauti ya Joesan kabisa. Chriss alitaka hata kuiachia hiyo simu kwa jinamizi kubwa la mshangao lililomkumba, ni kweli yeye alikuwa ni Sex machine pasipo kujitambua.
“yes, Boss” aliitikia Chriss.
“ulipatwa na nini SM hadi unafanya kampuni inachanganyikiwa kwa muda wa siku tatu nzima hauko hewani, hadi tulijua labda yule shetani wa kike alikuzidi maarifa. Nini tatizo Sex machine?” Chriss kiukweli alijikaza kiume lakini kama asingejikaza, hata hiyo simu angeshindwa kuidhibiti. Alikuwa akijihisi vibaya sana moyoni mwake. Ilibidi ajibu kama alivyoelekezwa na Catherine kwa muda huo. Maongezi yalikuwa marefu na mwisho akamwambia Mzigo aliotakiwa kuufuata nchini Ufaransa bado unamsubiria hivyo anatakiwa kesho atake asitake, ni lazima aende Ufaransa kuuchukua mzigo huo na aupeleke nchini Brazili. Chriss akajibu sawa lakini alikuwa akiumia sana kwa hizo amri alizokuwa akipewa hapo. Alikuwa Sex machine kweli, pia alikuwa msafirisha madawa ya kulevya. Alimtazama yule binti aliopo hapo na kujikuta akitamani hata kusema jambo kwa ajili yake lakini hakuwa na uwezo wa kufanya hivyo, midomo ilikuwa mizito na kooni alikabwa na dukuduku zito. Alijiona si yule Chriss wa zamani, alijiona hana thamani tena kwenye hii dunia, alikuwa amepoteza nguvu kabisa. Alitamani kulia lakini amlilie nani sasa.
“Joesan, ulisema unanipenda sana na hupendi nipatwe na matatizo katika maisha yangu, kumbe ulikuwa unanidanganya na kuzugisha ili niingie kwenye kazi zako za kishetani. Sikatai ni kweli nilikubali kuwa Sex machine lakini si kwa kutokujitambua” aliwaza Chriss akiwa amenyong’onyea kabisa.
“hutakiwi kufa moyo, hii ni vita kubwa sana na walikuwa na mpango wa kukutumia vile watakavyo wao hadi kifo chako.” akashtuka Chriss na Catherine akaendelea. Joesan ana kundi kubwa analofanya nalo biashara hizi. Ni makundi matatu kama sikosei na a……..oooh shit! hebu ngoja, sogea hapa karibu usikie hizi sauti.” alisema Catherine na muda huo huo Chriss akasogea na kuchukua ear phone moja na kuiweka sikioni. Walisikia kila kitu kilichokuwa kikiongelewa hapo hadi mwisho. Chriss alijikuta anachoka kabisa.
“huyu aliyekuwa anaongea na Joesan hapa anafahamika kwa jina la BC (Black Clockodile). Anajiita Mamba mweusi kwa lugha yetu ya taifa. Huyu ni miongoni mwa kundi lake linalohusika na hii biashara. Anamwengine yuko huko Urusi na mwengine yuko huko Ufaransa ambako unatakiwa uende kesho. Wanafurahi kwa kuwa wamejua uko hai na wanaweza kuendelea kufanya biashara zao vile watakavyo wao.”
“siendi” alisema Chriss.
“oooh no, ni lazima uende Chriss. Kama nilivyokuambia kuwa hii ni vita na wapiganaji wa vita hii kubwa ni wewe na mimi wengine watakuwa wanatupa msaada tu.” aliongea Catherine.
“nitaendaje sasa madame na mimi siyo sex machine tena?” aliuliza Chriss.
“utakwenda kwa kujifanya kuwa wewe ni Sex machine kama wanavyokufahamu na utauchukua huo mzigo kisha hapo ndipo tunapoharibu kila kitu na mipango yao yote. Mzigo hautafika wanapotaka uende sisi tutauharibu na kisha tutampigia mmoja baada ya mwingine na kumchonganisha na mwingine. Yaani tutampigia Joesan na kumwambia kuwa mzigo umevamiwa na kundi la BC na kutoweka nalo, kisha tunampigia Yule wa Urusi na Ufaransa na kumwambia kuwa vijana wa wa BC wamevamia na kupora mzigo. Tutafanya hivi kwa sababu kundi la BC ni kubwa kuliko makundi yote. Najua watapigana wenyewe kwa wenyewe kwa kudhulumiana huku sisi tukirudi Tanzania kwenda kujua nini kitafuata.” aliposema hivyo akatulia huku akimuangalia kijana huyo usoni.
“Joesan si anaweza kunitumia mimi kupambana na hao wenzake?” aliuliza Chriss.
“sidhani kama atawahi, muda huo sisi tunaweza kuwa tumeshaharibu kwa upande wao.” Chriss akakubali kuubeba uhalisia na kukubali kwa moyo wote huku akiwa na dhima ya kutaka kujua sababu kuu ya Joesan kufanya yote hayo. Kikao hicho cha usiku kikafungwa kwa makubaliano kuwa Chriss atakwenda Ufaransa na kisha kurudi Brazil Tena ambako wangefanya yao. waliagana baada ya hapo na kila mmoja akaelekea kwenye chumba chake kwa ajili ya kuupitisha usiku huo.

******************************************************************************

“sasa nimeamini mkuu kuwa huyu kijana ni levo nyingine kabisa, sikutegemea kama atakuwa hai hadi sasa. Kwa usalama wa nchi kubwa kama Marekani, ukiambiwa ameweza kuwatoka askari hatari na makini na kuweza kufanya mawasiliano na mimi?” alisema Joesan alipokuwa amemtembelea mr. Lee kwenye moja ya jingo lake la siri.
“mimi nilikuambia Joesan kama unakumbukumbu nzuri, niliwahi kukuambia kuwa yule kijana ni mtu hatari sana. Na sifa aliyonayo ni ya ujasusi yule. Kikubwa ni kuwa makini laa sivyo tutatafutana endapo atakutana na watu tofauti au akikutana na mahasimu wetu.” aliongea mr. Lee.
“nitahakikisha hilo halitokei kirahisi, nitafanya kila mbinu ilimradi Sex machine abaki kuwa Sex machine pasipo kujitambua” walizidi kuongea namna hiyo mida hiyo ya asubuhi bila kuwa na wasiwasi kabisa, walikuwa katika furaha kubwa kupita kawaida.
“na safari hii akiwa hapa, nitamtuma akamuuwe yule mzee nisiyependa kulisikia hata jina lake, namchukia sana D.A lakini huu ndiyo mwisho wake wa kujidai.” alizidi kusema kwa tambo mr. Kim.

Taarifa za kuwa Sex machine yuko hai na muda si mrefu atakuwa Tanzania, zilifika ndani ya kampuni na wafanyakazi wote wakaelezwa jinsi ambavyo kijana huyo hatari alivyoweza kutoka kwenye sekeseke la kukaribia kutekwa. Wafanyakazi wote walikuwa katika furaha kubwa baada ya sintofahamu ya muda wa siku mbili zilizopita. Kila mmoja akarudi kwenye nafasi yake ya kazi kwa kuamini hakuna kilichoharibika. Pamoja na furaha kuwagubika wafanyakazi hao, kuna mmoja hakuwa na amani kabisa na ukweli kuwa eti, Sex machine yu katika uhalisia ule wa awali. Alikuwa na furaha kubwa machoni kwa kumtazama tu lakini moyoni alikuwa na zaidi ya lundo kubwa la maswali mfululizo. Waswahili na wabobezi wa kiswahili hasa wale wanayoijua lugha hii ngumu nje na ndani yake, walipata kusema haya. ‘moyo huteta fikira, na fikira huleta neno upendapo kulitamka’ Unaweza usielewe ni kwanini walipata kunena maneno haya yenye fumbo kubwa. Je, unadhani waliondoka bila kulifukunyua neno hilo kwa kina hadi kulipatia maana? Si kweli waliacha maana japo maana hizo ni nyingi lakini kubwa ni hii. Hakuna asonekaye pasi na kuushirikisha moyo, hakuna awazaye, bila ya kuushirikisha moyo na moyo unapowaza ama kuteta, huleta fikira, hizi hujaa kifuani na kuleta kero kubwa kwa muwazaji na hatimaye hujikuta akitamka neno pasipo hata kufanya maamuzi kwa wakati mwingine. Napata picha ya hayo kupitia mzee Rafael, mzee ambaye kichwa chake hakilali pasipo kuwa na jambo lenye kutafakariwa ndani yake. Alipokuwa ofisini kwake mzee huyo, alikuwa katika tafakuri nzito iliyopelekea kutamka neno moja tu kutoka kinywani mwake na sidhani hata kama alipanga kulitoa neno hilo kwa majira hayo.
“tumekwisha!” ndilo neno lililotoka kinywani mwa mzee Rafa kisha kulilazimisha tabasamu na kujizunguusha pale kwenye kiti chake muda huo wa asubuhi na kuendelea kuwaza.
“bado nakitafakari kinasa sauti nilichokigundua chini ya meza yangu, pili mtu aliyefanya mauwaji ya meneja wa Hoteli huko Miami. Mwanamke, yule ni mwanamke, kuanzia mwendo hadi haiba yake. Japo alijaribu kujificha kidogo lakini kwa mtu kama mimi nilifanya shughuli hizi na maharamia wengi wa kike, najua mbinu na hata aina yao ya mauwaji. Inamaana mkuu na unyama wake wote ameshindwa kumng’amua kuwa yule hakuwa Sex machine?” Mawazo yalikuwa yakitiririka kichwani mwa mzee huyo mithili ya jasho mwilini. Hadi muda huo wa saa tano, bado hakuwa amefanya kazi yoyote ile zaidi ya kuwaza……………

“Pol, wewe ndiye utakayekiongoza kikosi chote kitakachohakikisha mzigo wote wa DF unaingia mikononi mwetu mara tu utakapoingia Brazil. Kikubwa ni kwamba mzigo huo uvuke salama kutoka ufaransa hadi Brazil kisha baada ya kutoka uwanja wa ndege, sisi tunafanya uvamizi wa ghafla na kutoweka na mzigo. Wazo langu la kutaka kumteka huyo kijana ili awe miongoni mwenu nimelifuta, hakikisheni hammuui hadi mzigo mmeuti mikononi mwenu. Nitakuwa nyuma yenu, mtakapohitaji msaada, nitawasliaidia” aliongea BC akiwa kwenye eneo lake kubwa kama uwanja wa basket ball, akitoa maelekezo kwa vijana wake. Alikuwa anadhamira kubwa ya kuuteka mzigo huo wote kisha ampe kesi Sex machine kuwa amevamiwa na kuporwa mzigo huo. Lakini hawakuwa na lengo la kumuuwa kijana huyo bali walichokihitaji wao ni mzigo tu. Lakini kama atakuwa mkaidi basi wahakikishe anakufa lakini wakiwa tayari wanamzigo.
“mkisha uchukua huo mzigo nadhani mnajua ni wapi mimi na nyinyi tutakutana, hivyo sitegemei kama kutakuwa na shida sana. Ninyi mko wengi sana, siamini kama mtu mmoja anaweza kuwashinda nyinyi mlio zaidi ya ishirini.” alizidi kuongea kwa tambo kubwa sana bwana BC. Kweli kwa wakati huo wanapanga mipango ya kuuteka mzigo atakaoubeba Sex machine, kijana Chiriss alikuwa angani akielekea nchini ufaransa ambako alitakiwa kuufuata mzigo kuelekea nao Brazil kama ambavyo biashara hiyo ilivyozoeleka. Safari hii ulikuwa ni mzigo mkubwa sana ambao ulikuwa ukisafirishwa kwenye begi kubwa la kuvaa mgongoni. Hawakujua kuwa wanayempangia huo mpango hakuwa Sex machine tena, SM wanaomjua wao hakuwa huyo kiakili bali kimwili tu. Huyo alikuwa ni mtu mwingine kabisa kiakili, mwenye mipango mingi ya kutaka kuijua historia yake kwa nguvu zote pia kujua ni kwanini Joesan mtu aliyekuwa akimheshimu kama ndugu wa mama yake kwa jinsi alivyoelezwa, awe na roho mbaya kiasi cha kutisha tena si cha kutisha tu, bali cha kumbadilisha hata yeye kuwa Sex machine. Huyu alikuwa na mpango wa kuuteketeza huo mzigo kwenye kina cha bahari kisha kuzusha kuwa vijana wa BC wamemvamia. Huku nako vijana wa BC wako uwanja wa ndege wa New York, wakielekea Brazil kwa lengo la kuupora huo mzigo huku BC mwenyewe akiwa nyuma kwa kuwafuatilia kwa njia azijuazo mwenyewe. Nini kitakachokwenda kujiri huko.
Ndege kubwa kutokea Brazil ilishusha mabawa yake ndani ya uwanja wa Charels de Gaulle na kuzikanyagisha tairi zake kubwa ndani ya barabara safi kisha kukimbia kwa kasi kubwa kabla ya kuelekea kwenye eneo la kusimamishia ndege. Abiria walishuka mmoja mmoja na kuelekea mahali pa ukaguzi. Ambako alikaguliwa na kutoka maeneo yenye usafiri kisha akachukua usafiri hadi katikati ya mji ambako alikuta mtu ambaye alimchukua hadi kwenye himaya ya mr. Santiano. Bwana moja katilli la Kifaransa.
, ambalo linaweka tamaa mbele kuliko utu. Mara njingi hakupenda kulitumia jina lake la kweli ambalo amelikatish kwa kujiita T. Ano. Jina maarufu na la kibiashara. Huyu ndiye yule bwana ambaye aliunda kundi la watu wanne akiwemo BC, Chalco na J. Chriss alizama ndani na kumkuta mtu huyo mrefu na mwenye mwili wa mzoezi ambaye hakuwa na maongezi mengi mahali hapo. Alikabidhi mzigo na kumucha kijana huyo aondoke bila kumwambia chochote kwani alijua ni wapi mzigo ulitkiwa kwenda. Moyo wa Chriss ulikuwa ukienda mbio sana, alijiona ni kama hakuwahi kubeba madawa hata siku moja katika maisha yake, hiyo aliona kwake ilikiwa ni mara ya kwanza kabisa. Hofu yake yote ilikuwa ni jinsi gani angeweza kupita kwa usalama ndani ya uwanja wa ndege wenye ukaguzi mkali kama wa Charels. Alijipa moyo na kukaza roho. Aliyakumbuka maneno ya Catherine kuwa alikuwa ni kifaa hatari cha kusafirishia madawa ya kulevya pia alikuwa ni mashine ya ngono. Aliamua kubeba uhalisia, hakutaka kufeli kwa kujipa hofu kizembe kwani aliamini kosa moja ambalo angelifanya, angekuwa ameharibu utaratibu mzima. Pia alifikiri kuwa akili yake ndiyo ambayo haijawahi kufanya hiyo biashara lakini mwili wake uliwahi hivyo akapiga moyo konde.
“lazima nifike Brazil na huu mzigo ili nijue mengi kuhusu mimi, huu ni wakati wangu wa kujua kuwa Joesan ni nani kwenye maisha yangu, kwanini hana huruma na mimi?” aliwaza Chriss alipokuwa ndani ya Tax akiwa anaelekea uwanja wa ndege.

“Siku zote mimi ndiyo namaliza kazi, utajiri wangu huu unazidi kukuwa mkubwa kwa kasi kubwa kwa sababu ya kuwageuka wenzangu. Nadhani mnajua kawaida yetu?” alisema bwana huyo wa kifaransa, bwana mwenye tambo kubwa na tamaa za kuzidi. Alisema na kuuliza swali akiwa mbele ya kijana wake mmoja akisubiri jibu kutoka kwa kijana huyo.
“ni kuuwa na kusafiri na mzigo” alijibu kijana huyo.
“napenda watu wenye kumbukumbu kama wewe, ni watu muhimu sana kwangu,” akaweka koma na kuwageukia vijana wake wengine. Akasema.
“nakiamini kikosi changu huwa hakikuni nazi, ninapokituma huwa kinafanya kweli. Hakikisheni huyu shoga mwenye ngozi nyeusi akipanda ndege ya mbele nyinyi mnakuwa nyuma. Tulimuuwa Cat bila kugundulika, tukatembea na mzigo. Tukamchinja Jojo kwa kifo kibaya sana baada ya kuleta ubishi pia tukaondoka na mzigo, hawakuweza kunigundua wala kujua kuwa mimi ndiye ninayewageuka. Na leo anakufa SM pia tunateka huu mzigo. Nataka niwahiidi kitu kimoja, tukifanikiwa kuondoka na mzigo huu, ninyi nyote ni matajiri na kazi ya madawa ya kulevya tunaacha kabisa kwa sababu huu ni mzigo mkubwa kuliko yote tuliyowa kuipora, ila muhakikishe huyu kijana wanayemsifia ambaye kwangu ni kama malaya niliyelala naye na kumfanya ninavyoweza halafu nikamtoa bila malipo, lazima afe na kumuanika bila nguo hadharani ili kuwaonesha kuwa sisi ni mafia na kazi hizi hatubahatishi.” alijitapa T. Ano na kuwaamrisha vijana wake kumi na wawili waelekee air port kwa njia tofauti na wao wataondoka na ndege ya pili baada ya aliyopanda SM kwani tayari ameshafanya malipo yote ya safari hiyo. Kazi si ndogo, tena si ndogo abadan, kizaazaa kikubwa kinachokwenda kukutana na kijana Mdogo wa kitanzania, kijana ambaye hajui kama kuna makundi mawili yote yakiwa ni hatari na yanayouhitaji mzigo huo mkubwa wa madawa ya DF. Mzigo uliyobeba utajiri mkubwa. Ikumbukwe kuwa, T. Ano ndiye aliyefanya mauwaji ya Sex machine wa awali na kusababisha Joesan kuingia kwenye matatizo makubwa na Mkuu wake wa kazi na leo tena mambo yaliyowahi kujitokeza miaka iliyopita yanataka kujirudia. Ni vipi kama Chriss akiuwawa, je, Mr. Lee atamuelewa Joesan tena? Haijulikani, hapo ni utata kila kona.

Roho ya Chriss ilikuwa nyeupe kabisa baada ya kufanikiwa kupita kwenye ukaguzi pasipo kutambulika na hiyo ni baada ya kufanya ujanja na akili kubwa ya kuzaliwa ndipo akafanikiwa. Alikuwa ndani ya ndege akisubiri ndege hiyo iiyache ardhi hiyo ya Ufaransa. Dakika tano mbele alikuwa angani akiwa na furaha kubwa kwa kufanikiwa kupita sehemu moja na kuwaza jinsi atakavyotoka kwenye uwanja wa Brazil salama na kwenda kuuteketeza mzigo huo. Hakujua kama nyuma yake kuna ndege ambayo anapishana nayo dakika kumi tu na hiyo pia ikiwa na watu wenye mpango kabambe na mzigo huo ambao yeye anampango wa kuuteketeza. Lakini kwa upande mwingine wa anga kulikuwa na ndege ya shirika la kimarekani nayo ikiwa imewabeba vijana ishirini nao pia wakiwa na lengo na mzigo huo.
Baada ya masaa kadhaa ya kuwa angani, ndege iliyombeba Chriss, ilitua bila shida kwenye uwanja wa kimataifa wa nchi hiyo ya Brazil. Kijana huyo alishuka na kutoka salama kwenye uwanja huo na kuelekea kwenye gari ambayo alikuwa na maelekezo nayo. Ndani ya gari hiyo alikuwamo mwanadada Catherine ambaye alikuwa akifanya mawasiliano na kijana huyo kila hatua aliyokuwa akipiga na kila wakati.
“kweli Chriss ulitengezwa kwa kazi hii maalumu, hata kama wasingekuingiza kweye mitambo na kukubadilisha akili, bado wewe ni mtu hatari. Mafunzo ya kijasusi ambayo Joesn alikupa, yamekufanya umekuwa ni sumu kali” aliongea Catherine akiwa ameegamia usukani wa gari.
“na huyo mshenzi alifanya yote hayo kumbe alikuwa na malengo maalumu?” aliuliza Chriss.
“haswaa!” alijibu Catherine baada ya Chriss kuongea hivyo.
“wapi tunakwenda kuuwangamiza huu mzigo wa madawa?” aliuliza Chriss.
“inabidi tuelekee kwenye kina kirefu cha bahari ambacho hakina watu karibu na kuutupa huu mzigo, lakini tutautupa tukiwa tumeufunga pamoja na jiwe zito ili kuufanya uzame na kuto kuonekana mazima” alisema Catherine na kuliondoa hilo gari taratibu.

“anaeleke upande wa beach ya Copa, vipi kwani ndiyo ambako huu mzigo unatakiwa kwenda?” aliuliza mtu mmoja nyuma ambaye alikuwa pembeni ya dereva na gari yao ilikuwa na vijana kumi wa BC huku nyuma kukiwa na gari nyingine inayofanana na hiyo, ambayo nayo ilibeba vijana kumi na kutimiza idadi ya vijana ishirini.
“haijalishi, tunachotakiwa kufanya ni kuhakikisha mzigo unaingia mikoni mwetu kabla haujafika kwa tajiri” alijibu mtu mwingine. Gari ile ya Chriss na Catherine ilipoondoka, walisubiri magari mengine mawili yatangulie ndipo wao wafuate nyuma lakini kabla hawajaondoka hapo, gari moja nyekundu ikawatangulia kisha na ya kibuluu nayo ikapita mbele kwa kasi. Vijana wale wa BC wakapatwa na mshtuko na wasielewe hizo gari ni kwanini zilikuwa zimewapita hivyo baada ya kutangulia gari mbili baada ya ile iliyokuwa na windo lao.
“kakikisha unazipita hizo gari mbili kamanda, hiyo gari ya huyo SM isituache sana.” alisema mtu mmoja wa gari ya nyuma kupitia kifaa cha mawasililiano. Hao walikuwa ni vijana wa BC. Hawakuwa wakijua kuwa hizo gari nyekundu na kibuluu zilizowatangulia zilikuwa ni za watu wanaoutaka huo mzigo pia. Safari ilikuwa ndefu kidogo, walikimbia kwa mwendo mkali sana lakini pamoja na kufuatiliwa nyuma na vikundi viwili tofauti, hakuna aliyegundua hata mara moja. Huku nyuma zile gari zilikuwa zikichezeana mchezo wa kushangaza sana. Kwani zile gari nyekundu na za kibuluu za vijana wa T. Ano, …….

hawakukubali kuziruhusu gari nyingine ziwapite hata kidogo hivyo wakati gari ya vijana wa BC zilivyokuwa zikitaka kupita wao walikuwa wakitanua na kufanya gari hizo zisiweze kupita. Vijana wa BC walijenga mashaka makubwa sana juu ya gari hizo nyekundu na kibuluu lakini kwa vijana wa T. Ano, wao waliona ni kama mchezo wa kuigiza tu na muda wote walikuwa wakicheka kwa jinsi walivyokuwa wakiwafanyia vituko wenzao wakidhani ni watu wa kawaida tu wa barabarani kumbe walikuwa ni watu wenye nia na dhamira moja.
“ha ha ha haaa!, wooouuuuu!, yeeaaaaa!” walikuwa wakifurahi namna hiyo vijana hao huku wakihakisha gari iliyoko mbele hawaipotezi. Ilikuwa ni vigumu sana kugundulika kwani mbele yao kulikuwa na gari kama mbili ama tatu kabla ya gari zao.
“kiongozi, wanakwenda wapi hao mbona kama wanachukua njia isiyo sahihi?”
“hata mimi nashangaa ujue, mimi nilijua wanakwenda beach lakini si hivyo”
“tuwe makini kiongozi hawa inawezekana walikuwa na mpango wao hebu waambie jamaa nyuma waandae vifaa vya kazi” walikuwa wakiongea vijana wa mbele wa T. Ano. Muda huo huo wakawasiliana na vijana wa nyuma na kuwaambia kuwa waandae mashine za kazi kwani muda wa maangamizi unawadia, huko mbele hakukuwa na njia iliyokuwa inakwenda mbali sana hivyo walijua tu gari hiyo kunasehemu itakuwa inaelekea.

Wale vijana wa BC walivyoona zile gari nyekundu na kibuluu nazo zimeingia njia ambayo gari iliyombeba SM imeleekea huko, walijawa na wasiwasi mkubwa hivyo hawakutaka kuufuta msafara huo. Wakaamua kupita njia nyingine ili kuweza kutokea kwa mbele.
Catherine alipoifikisha gari mbele, ilikuwa si mbali sana na zilipo kuta za bahari. alisimamisha gari na kushuka na begi moja dogo la mgongoni na kuelekea upande ilipo bahari ambapo kulikuwa na kijumba kimoja kirefu kwenda juu. Kijumba hicho kikiwa ni sehemu moja wapo ya utalii ama sehemu ya matembezi ya watu mbalimbali. Alifika ndani ta kijumba hicho huku nyuma Chriss alikaa upande wa dereva na kuiondoa gari hiyo kuendelea mbele zaidi.
“hapa sielewi kiongozi, vipi huyu mrembo tumuuwe?” aliuliza kijana mmoja.
“hapana huyu hana sumu na inaonekana ni kama hana analolijua, huwenda alipewa lifti tu, hebu tumfuatilie huyo wa mbele ambaye ndiye target yetu kubwa.” alisema huyo aliyeitwa kiongozi. Safari ikazidi kwenda mbele zaidi.
Chriss alifika hadi mwisho wa njia ile kisha akashuka na lile begi na kusogea nalo hadi kweye ukuta wa bahari ile, huko ndiko kulikoaminika kuwa na kina kirefu sana cha bahari kwani kulikuwa na mabango mbali mbali yaliyokuwa yakionesha tahadhari. Alichukua jiwe kubwa kiasi na kuliifunga kwenye lile begi kisha kusimama pale juu ya ule ukuta huku akiwa amelishika lile begi kutaka kuliachia majini.

“anampango gani kiongozi” aliuliza yule jamaa aliyekuwa muongeaji kila wakati.
“huyu mshenzi hafichi bali anaupoteza kabisa huu mzigo, kuweni makini hata kama mkimpiga risasi muhakikishe lile begi linabaki nje ya maji.” alisema huyo kiongozi.
“tufanye nini sasa?” aliuza tena.
“piga risasi moja pembeni, lazima atashtuka na kugeuka nyuma, hapo tutavunja miguu. Tukifanya hivyo, ataangukia kwa mbele na hapo ndipo tutammaliza kabisa.” alisema kiongozi huku wakiwa kwa juu kidogo wakimtazama kijana huyo kwa jinsi alivyokuwa amesimama pale kwenye ukuta wa bahari ile tayari kabisa kuuteketeza mzigo ule.

Kwa upande wa vijana wa BC, walikuwa tayari wamefika kwa mbele kidogo lakini walikuwa wakiwaona wale jamaa ambao walikuwa wakizitazama nyendo nzima za Chriss.
“hao jamaa kumbe siyo wema kwetu pia, inavyoonekana hata wao wanashida na huo mzigo” aliongea kijana mmoja upande ule wa wale vijana wa BC.
“nini kifanyike kamanda?” swali hilo aliulizwa mkuu wa kikosi.
“haraka sana shambulia watamuuwa yule na sisi tutaukosa mzigo.” sauti ya kushambulia ilitoka.

Kwa majira hayo hayo, Catherine naye alishuhudia lile tukio la wale vijana wa T. Ano lakini hakujua ni jinsi gani angeweza kumsaidi Chriss. Alibaki ametuliza jicho lake kwenye lenzi ya bunduki yake ya kudungulia lakini bado alikuwa katika sintofahamu. Kumbe alikuwa ameyatilia mashaka yale magari na ndiyo maana akashuka pale, kilichomshtua ni kwamba hakutegemea kuona kundi la watu wale ambao walikuwa si chini ya kumi na wawili.
“my god” aliishia kusema hivyo. Alitaka kumjulisha kuwa pale alipo yupo kwenye hatari lakini aliogopa kumchanganya. Aliishia kuita tu Chriss, kwa kutumia vifaa vya kunasia sauti walivyokuwa navyo,
” Chriss”. Sauti ile ndiyo iliyomfanya Chriss agande na kushindwa kulitupa majini lile begi kwa haraka.
“kuna ni…………!” sauti yake haikufika mwisho, mlio mkali wa risasi ukasikika na kisha miliyo ya risasi kulindima mahali hapo. Chriss alishangaa asijue la kufanya ni kama alipigwa na bumbuwazi la nguvu mahali hapo.

Wale vijana wa T. Ano kabla hawaja ruhusu risasi kumuelekea Chriss, tayari wao walikuwa wamekwisha wahiwa na vijana wa BC. Sasa hapo ikawa ni kutupiana risasi na kwa kuwa vijana wa T. Ano, hawakuwa wamelitegea lile tukio, walipukutika kwa muda mfupi lakini hata hivyo hawakukoma kupeleka mashambulizi na kujihami.
“usishangae Chriss, yupo mmoja hapo amekulenga tupa majini hilo begi na ujirushe kichakani” ilikuwa ni sauti kutoka kwa Catherine na wakati anamaliza kusema, alichia risasi kwa kutumia bunduki yake ya kudungulia aliyoifunga kiwambo cha kuzuia sauti na kumlenga kijana ambaye alikuwa amemlenga Chriss. Chriss alishautupa ule mzigo baharini na kujirusha kichakani, risasi kadhaa zikapita pale alipokuwa amesimama, hakusubiri, alitambaaa kama nyoka kwa haraka na speed kali, huwezi amini kama yule alikuwa ni binaadamu kwa jinsi alivyokuwa akitambaa hapo kichakani. Vijana wa BC walikasirika sana baada ya kumshuhudia SM akiuwachia ule mzigo baharini, waliamua ni bora kumuuwa tu kwani kilichokuwa kimewapeleka hapo walishakikosa hivyo hawakuona sababu ya kumuacha hai msababishi wa jambo hilo. walichelewa, Chriss alijirusha kando na risasi zao kupiga hewa na hata walivyomtafuta kupitia lenzi za bunduki zao waliambulia hewa kwani kijana huyo aligeuka na kuwa kama nyoka kwa haraka sana kwa jinsi ambavyo alivyokuwa akitambaa mithili ya nyoka. Kukawa hakuna njia nyingine zaidi ya kutupiana risasi na mahasimu wao. Ilikuwa ni vita kubwa kila kikundi kilikuwa imara sana. Kikundi cha T. Ano kilipunguwa sana lakini hakikuwa lelemama na bila shaka ndiyo maana hata T. Ano mwenyewe alikiamini sana kikosi chake. Vita hiyo haikukoma hata kidogo hadi kukawa kimya kabisa bila kusikika mlio wa risasi hata mmoja, vijana wote wa makundi hayo tofauti waliuwana. Alibakia mmoja tu mahali hapo ambaye alifahamika kwa jina la kiongozi lakini hakuwa na uwezo wa kufanya lolote kwani mwili wake wote ulikuwa umejaa matundu ya risasi. Alijivuta taratibu na kwa tabu hadi pale alipokuwa amesimama Chriss na kuushika ule ukuta wa kingo ya bahari. Hapo hapo alianza kuhisi maumivu makali na hatimaye akadondoka akiwa ameulalia ule msingi roho ikiwa inauwacha mwili wake kwa maumivu makali mno. Kimya kikatanda mazima.
Chriss yeye alikimbia hadi alipokutana na Catherine.
“hongera sana kijana, tunaingia kwenye gari hiyo na kupotea mahali hapa kabla wanoko wa mji hawaja jaa” alisema Catherine, wakakimbilia kwenye hiyo gari na kubomoa mahali fulani ndani ya ile gari, wakaunganisha waya. Mara gari hiyo ikaunguruma, Catherine akakamata usukani na kuliondoa gari hilo kwa kasi kubwa mahali hapo.

***********%%%%%%%%%************%%%%%%%%%*************%%%%%

Kimya kizito kilitanda ndani ya hoteli moja ndani ya mji mmoja mkubwa hapo Brazil, hakukuwa na mtu yeyote aliyekuwa akiongea na si kuongea pekee, bali hata wahusika walio ndani ya chumba hicho cha hoteli, kila mmoja alikuwa amekaa upande wake. Chriss alikuwa dirishani akiwa kama mtu anayeushangaa mji mkubwa wa Brazil na Catherine yeye alikuwa amekaa kwenye kochi moja lililopo chumbani hapo. Kimya hicho kilichukua muda wa kutosha hadi pale sauti ya mhemo mkubwa iliposikika. Hapo ndipo ikawa mwisho wa kimya hicho kwani yule mtu ambaye alishusha pumzi hizo ambaye alikuwa ni Chriss, aliamua kuuvunja kabisa ukimya huo.
“sijaelewa huu mchezo ulivyochezwa Catherine, ni wakina nani wale waliovamia mpango wetu wa kuyateketeza yale madawa ya kulevya” aliuliza Chriss. Catherine akashusha pumzi nzito sana kisha akasema.
“bila shaka hawa watakuwa ni vijana wa mmoja kati ya vikosi hivi vinne vinavyoshirikiana”
“na kile kikosi chengine? Vilikuwa viwili vile kumbuka?” alihoji zaidi Chriss.
“hapo ndipo ninapochanganyikiwa lakini kimoja wapo kinaweza kuwa ni kikundi kilichogeuka kama sio viwili.”
“unamaanisha kuwa walikuwa na mpango wa kugeukana?” aliuliza tena kwa mshangao Chriss.
“ndivyo ninavyofikiri mimi”
“sasa tunafanyaje, bado ule mpango wa kumwambia Joesan kuwa tumevamiwa na kikosi cha BC upo?”
“ndiyo ule mpango upo, tena utakuwa rahisi zaidi kwani ninaushahidi wa kumpa Joesan.” aliongea Catherine huku akitoa kifaa kidogo mfukoni mwake, mithili ya memori kadi na kukipachika kwenye kadi lida kisha akaichomeka kwenye kompyuta yake mpakato. Picha mbalimbali zikawa zinaonekana kwenye ile kompyuta moja baada ya nyingine.
“ungelikuwa bado haujarudi kwenye hali yako ya kawaida, pengine labda ungeweza kuwafahamu……………..

hawa watu lakini kwa nini walikuwa wengi hivi?” alisema Catherine kisha akauliza swali ambalo kwa kijana Chriss pia lilikuwa gumu.
“hebu ngoja, rudisha nyuma hiyo picha?” aliongea Chriss baada ya kuiona picha moja mahali hapo. Catherine akarudisha. Chriss akaitazama picha hiyo kwa umakini kisha akasema.
“huyu jamaa nimemkuta Ufaransa. Hapa sasa nimepata picha kuwa hivi vikundi vimegeukana na ninawasiwasi na hicho kingine pia kama siyo cha Mrusi basi ni cha BC.” aliweka tuo Chriss kisha akaendelea kuuliza.
“kumbe uliwapiga picha aisee uko vizuri, uliwezaje sasa?” aliuliza kijana huyo na kutulia.
“niliwapiga kwa ile bunduki ya kudungulia, ni bunduki ya aina yake sana ambayo inauwezo mkubwa. Haijawahi kutokea bunduki yenye uwezo mkubwa namna hii. Inanguvu ya kupiga mbali pia inauwezo wa kuchukua picha za mnato japo hazina ubora sana kulingana na umbali uliotumika lakini tukimtumia hizi picha Joesan, anaweza kuwafahamu na kujua kuwa hawa ni kina nani kama ambavyo wewe umeweza kumfahamu huyu mmoja. Aliongea dada huyo na kumgeukia Chriss kisha akamwambia kuwa hakuna sababu ya kuchelewa, muda huohuo wafanye mawasiliano na kutuma hizo picha. Chriss akakamata simu na kulicheki jina la bosi kisha akalipigia. Akamueleza kila kitu kuhusu kupotea kwa mzigo na jinsi alivyo vamiwa lakini hakusema kama wako wawili na alikuwa na mpango wa kwenda kulitupa lile bag baharini bali aliamua kuwabebesha mzigo mazima vijana wale waliovamia. Joesan hakuelewa hilo jambo, matusi mazito mazito yakamtoka na kumuona kijana huyo ameanza kuwa mzembe. Alitukana sana Joesana, hakutaka hata kumpa nafasi tena kijana huyo ya kuongea, alimuona ni kiumbe mpumbavu kabisa tena alivuka hadi mipaka na kumuambia ni mara mia hata angekufa yeye kuliko kupotea kwa huo mzigo. Chriss hapo ndipo alipojiaminisha kuwa Joesan alikuwa ni kiumbe mbaya sana tena hakuwa na nasaba za kibinadamu japo alivikwa ngozi ya ubinadamu na kila kitu kinachofanana na binadamu lakini kwa hakika aliamini kabisa kuwa huwenda bwana huyo ndani alikuwa na damu ya kiumbe hatari kabisa hapa duniani. Joesan alisema haoni sababu ya kumuacha hai kama kapoteza huo utajiri lazima angemuuwa tu. Chriss alitamani kulia lakini hakuwa na moyo wa kike, moyo unaoshindwa kuhimili maumivu, Chriss alikuwa na moyo mgumu tena moyo wenye kuwa na subira ndani yake.
“ngoja nikutumie picha za watu walionivamia bosi na kutaka kuniangamiza.” alisema Chriss akiwa anapambana na kifusi cha ghadhabu na hasira kilichojenga kichuguu kizito kifuani mwake. Joesan akamwambia azitume picha hizo na pia ajiandae kufa. Chriss aliikalia kompyuta yake ya kazi na kuichukua ile chiipu na kuanza kuzituma hizo picha, alituma picha zote hakuacha hata moja kisha akatulia kimya kusikilizia nini kitajiri baada ya picha hizo kumfikia mlengwa. Dakika kumi nyingi, Joesa alipiga simu na kumfanya Chriss kushtuka kidogo, alipomuangalia Catherine alimkuta akiwa ni mwenye kutabasamu.
“wamenigeuka washenzi wale, nasema haiwezekani, wamenigeuka aaaaghr!, Chriss sahau maneno yangu niliyoyasema hapo awali kwa sababu ya hasira. Panda ndege uje hata kama umekatika kichwa. Unahaki ya kushindwa kijana wangu, washenzi wale ni makatili na najua ulishindwa kwa sababu walikufanyia ambush lakini na sema wamekanyaga nyoja hatari mkiani ni lazima tuwamalize wote wajinga wale” alisema mithili ya mtu aliyedata Joesan, alikuwa akiongea maneno mengi bila mpangilio maalumu, ni wazi ya dhahiri kabisa alikuwa amepandwa na hasira mara zaidi ya nyingi. Chriss alitabasamu kisha akauliza.
“ni nani na nani hao walio nivamia boss” akauliza kwa kutega Chriss. Joesan akajibu kuwa ni kikosi cha T. Ano na BC. Chirss aliishusha simu chini na kuhema kwa nguvu sana huku wakicheka na kufurahi. Catherine wewe ni hatari sana aisee, nazidi kukukubali kila wakati, ni mwana mipango mzuri mno” alisifia Chriss akiwa anakwenda kumkumbatia dada huyo.
“kazi imebaki ndogo Chriss, wewe si wa kutumwa huku tena kuja kufanya mauwaji haya kwani si kazi yako hata kidogo. Hapo ulipo unakazi kubwa mno. Cha kufanya ni kuwachonganisha wenyewe kwa wenyewe wamalizane” alisema Catherine kwa kujitapa baada ya kutoka kifuani mwa kijana huyo.
“kivipi?” aliuliza Chriss.
“ingia hapo kwenye simu yako kuna namba, umeihifadhi kwa jina la Chalco, hiyo niliijenge mashaka muda tu japo sikutaka kukuamhia mashaka yangu, nafikiri hiyo hata upande wa whatsApp bila shaka ulishawahi kuitumia lakini hata kama hukuwahi kuitumia kwa WhatsApp, inabidi leo itumike. hebu ingia kwanza faster” alisema Catherine. Chriss hakusubiri, alifanya alivyoelekezwa na kukuta kweli namba hiyo inatumika huko pia.
“tuma hizo picha na umuandikie na maelezo. Mwambie kuwa hilo kundi limekuvamia na kuondoka na mzigo wote na hata kukukosakosa kukuwa japo umepambana vya kutosha. Sasa tunauhakika wa kufanya hivyo kwwni tukimwambia huyo ni wazi mambo yataharibika. Alipomaliza kutoa maelekezo hayo, muda mfupi kazi ikawa imekwisha.
” sasa hapo hatokujibu lakini naamini kwa huyo jamaa kutakuwa na kikosi cha kutosha na kwa ninavyowajua warusi, hawezi kukubali kushindwa au kudhulumiwa kikondoo, lazima atataka kulipa. Unafikiri wewe utahusika tena, hiyo ni vita ya wenyewe sisi tunakwenda kambini leo kwa ajili ya mambo mengine.” alimaliza kuongea namna hiyo Catherine kisha akanyamaza na kumuangalia kijana huyo aliyeko hapo mbele yake. Macho yake ya kulegea kidogo yakamfanya Chriss kuachia tabasamu pana kabisa usoni mwake.
“umekuwa wa tofauti sana na nilivyokuacha, ile alama yako ya kwenye shavu la kushoto haipo tena, imefutika kabisa.” aliwaza Catherine alipokuwa akimuangalia kijana huyo kisha akasema.
“acha mimi nikaoge na wewe pia kama utapenda, leo tunatakiwa kuwa Nairobi ili kesho kutwa uwe Tanzania kwa ajili ya mpango wako” alisema Catherine akiwa amekaa tayari kufungua mkanda wa vazi lake la suruali ili kuweza kulivua aelekee bafuni. Chriss alikuwa akiona kama masihara yaliyokuwa yanafanyika mahali hapo hivyo akawa amemkazia macho, hakuwa akipepesa hata mara moja. Catherine akalishusha vazi hilo hadi chini kidogo ya kiuno na kusitisha hilo zoezi.
“kwaiyo unataka kuona hadi hii nguo itakapotoka mwilini au?” aliuliza Catherine, Chriss akabaki akijitafuna kwa aibu. Ni kweli alikuwa akimtazama sana dada huyo pindi alipokuwa akiishusha suruali hiyo. Aibu yake ilimfanya ashindwe kabisa kumtazama dada huyo akabaki akitazama chini.
“nipe mgongo kabisa Chriss, hapo sina imani na wewe kabisa, nataka kuvua nguo zote” aliposema hivyo, Chriss aligeuka na kumpa mgongo binti huyo. Catherine alivua nguo zote na kujifunga kijitaulo kidogo kilichoishia juu ya mgoti na kumwambia Chriss kuwa anaweza kugeuka sasa. Chriss akageuka na kumtazama binti huyo ambaye alikuwa ameshampa mgongo Chriss. Kilikuwa ni kijitaulo kifupi sana hivyo mapaja yote yalikuwa wazi kwa asilimia kubwa sana. Kifuani hakuwa amevaa kitu, alikuwa ameiachia mikono yake na kukishikilia kile kijitaulo, hakuweza kuona kifua cha binti huyo Chriss kwani tayari binti huyo alikuwa akipiga hatua za madaha kabisa kuelekea ndani ya bafu hilo. Mwendo wake wa maringo ndiwo uliokuwa ukimpa maswali kijana huyo. Catherine alikuwa akirusha miguu kama hataki kuikanyaga sakafu ya humo ndani kwa jinsi alivyokuwa akitembea. Nyama zake za nyuma zilikuwa zikitikisika kwa uzuri wa kinamna namna kabisa. Chriss alijikuta akimeza mate kwa matamanio makubwa mno.
“majaribu haya sasa, inamaana hajui kama hapa ndani pana mwanaume au ni vipi? amenifanya nimeanza kumtamani sasa, wewe muache andelee kunitania tu, nitamlamba ohoo! Ananifanya hadi nimesimamisha kabisa aisee” aliwaza Chriss mara tu binti huyo alipopotelea bafuni.

Alipotoka huko bafuni, Chriss naye alipambua nguo na kubakiwa na boksa, yeye hata hakuona aibu mahali hapo na hata pia hakumzuia binti huyo asiangalie. Aliingia bafuni kuoga huku nyuma akiwa ameacha maswali mengi sana na mawazo ya kuzidi kwenye kichwa cha Catherine.
“Chriss unanichanganya sana na umbo lako hadi najihisi kuwa na wewe karibu lakini si sasa, hadi pale utakanijua mimi ni nani kwenye maisha yako na utakapo jijua wewe ni nani pia ndipo nitakapo kupa huu mwili. Nakupenda sana Chriss na nauahidi moyo wangu kuwa ipo siku kichwa changu kitalala kifuani mwako na pia mwili wangu utakuwa faraja yako.” aliwaza Catherine akiwa tayari ameshavaa nguo zake na kuwa tayari kwa safari.

Saa 18:30 jioni. Ndege kubwa iliyokuwa ikitokea South Africa, ilikanyaga katika ardhi ya Kenyata na kukimbia kwa kasi kubwa. Ilikuja kisimama mahali ambapo ndipo zinaposimamia ndege hizo kubwa za abiria kutokea mataifa mbalimbali. Chriss na Catherine walikuwa miongoni mwa wasafiri waliokuwa wakitokea nchini Brazil kupita Afrika ya kusini kisha Nairobi Kenya. Walishuka taratibu wakiwa ndani ya mavazi yao ya kawaida sana, kila mmoja akiwa amekamata mzigo mkononi mwake, Catherine alikuwa amebeba mdoli mkuwa wa Simba pamoja na kibegi chake kidogo cha mkononi. Chriss yeye alikuwa amekamata begi lililokuwa limemeza Kompyuta mbili mpakato, ya kwake na ya Catherine huku mgongoni akiwa amebeba begi jingine lililokuwa limeficha mavazi yake ya kazi ambayo alikuwa akiyatumia kipindi ni Mashine ya ngono. Walifanya itifaki za hapo uwanjani kisha wakaelekea mahali ilipo gari moja ndefu sana. Hii ilikuwa ni Benzi, milango sita yenye rangi ya Creem ambayo ilikuwa imeigamiwa na kijana mdogo aliyeyaficha macho yake kwenye mawani ya macho na kofia ya kapelo.
“hizi kofia siyo type yako Amiri, mbona unapenda kulazimisha vitu” alisema Catherine baada ya kumkaribia kijana huyo kisha akaivua hiyo kofia na kuitupia kichwani mwake. Nako haikudumu sana, ilichukuliwa na Chriss na kuipachika kwenye kichwa chake.
“hata wewe unalazimisha, mijinywele yote hiyo na kofia wapi na wapi” alisema Chriss.
“mh! Haya chukua wewe mwenye kichwa cha kuvaa kofia…..Amiri, ona huyu jamaa ameimaindi pia kofia yako”
“hapo sisemi kitu tena, mimi nimekuja kuwapokea tu. Najua mmetoka mbali na safari ……….

na safari yenu ilikuwa moja sasa siwezi kujua mlianza kuchokozana wapi” alitania Amiri.
“acha ujinga Amiri, umeshaanza uwenda wazimu wako” alisema Catherine. Wote wakaangua kicheko kikubwa sana wakiwa tayari wameshapakia garini. Safari ikaanza namna hiyo. Walifika Nyumbani kwa Father D.A, wakashuka garini na kuingia ndani ya jingo hilo. Vijana watatu wakatoka ndani ya huo mjengo na kuja kuwalaki.
“karibuni sana nyumbani, karibu madame, karibu sana kiongozi” walikaribishwa namna hiyo. Chriss alishangaa sana kupewa majina mbalimbali ya uongozi. Hakuwa akielewa ni kwanini vijana hao walikuwa wakimheshimu hivyo ghafla. Alikuwa ni mtu asiye na msaada wowote kule shimoni hadi wanafika Brazil, sasa iweje awe ni mtu wa kupewa heshima na vijana hao. Wakiwa wanazidi kujuzana hali na habari, Sauti ya mtoto wa kike iliyokuwa inatoka ndani iliwashtua wote hapo na kujikuta wakigeuka kumtazama binti huyo mdogo ambaye alikuwa akipiga kelele kwa kuliita jina na Dada. Alikuwa ni Mery. Alikuja hapo na kumrukia Catherine kwa furaha kubwa kabisa. Catherine alimzunguusha binti huyo kwa furaha sana. Akamkabidhi ule mdoli kama zawadi kwake.
“niliku miss sana mdogo wangu, hujambo?” alisema Catherine.
“hata mimi nilikumiss sana Dada, sijambo umeniletea zawadi gani, unakumbuka?” alisema Mery kisha kudai zawadi yake ambayo ndiyo akiyoahidiwa na dada yake tukiutoa huo mdoli.
“kama hakuna?”
“kama hakuna nitalia sana kwa sababu uliniahidi” alisema Mery. Lakini muda wote huo wakati Catherine na Mery wakiwa wanazungumza mahali hapo, Chriss alikuwa kama amepigwa sindano ya gazi mwilini mwake. Muda wote huo yeye alikuwa akishangaa tena akiwa anamshangaa huyo binti mahali hapo. Ni kama alikuwa akimkumbuka lakini kumbukumbu zikawa zinakataa. Alikuja kuacha kushanga pale ambapo Catherine alipoanza kumuuliza Mery kama hao watu waliopo hapo amewazoea na kama anawafahamu kwa majina pia.
“umesha wazoea wajomba wote?”
“ndiyo, nimeshawazoea tayari na wananipenda”
“unawafahamu kwa majina?”
“ndiyo, nawafahamu”
“hebu nitajie mtoto mzuri nikakupe zawadi yako” alisema Catherine na kumfanya Mery kuanza kuwataja watu hao kwa majina na kuwagusa kabisa akiwa bado yupo kwenye mikono ya dada yake.
“huyu hapa ni Uncle Charls, huyu hapa ni uncle Zomba, huyu hapa ni uncle Amiri na huyu hapa ni uncle Jay na……na…nahu…..huyu ni…..kakaaa, kakaaaaaa, oooh my God, my brother Chriss. I miss you very much my brother” alipiga kelele Mery hadi kina Zomba wakajikuta wanapigwa na taharuki kubwa mahali hapo. Mery aliruka kutoka mikononi mwa Catherine na kumrukia Chriss ambaye alimuwahi kwa kumdaka. Ilikuwa ni furaha kubwa sana iliyozirudisha kumbukumbu za Chriss mazima. Machozi yalimmwagika kijana huyo. Alijiona amerudi tena duniani baada ya kupotea katika sayari hiyo ki fikra na kiuhalisia takribani mwaka mmoja na miezi mitano. Alilia Chriss, alilia sana, hakujua hata amshukuru vipi Catherine kwa kumkutanisha tena na mtu aliyekuwa anampenda sana. Machozi yake hakuna aliyeweza kuyarudisha kwenye chemchem yake huko yalikotoka. Hata Catherine alipojaribu kumpa maneno ya kumtia nguvu na ushujaa bado Chriss alikuwa anadukuduku kubwa mno.
“asante sana dada kwa kuitimiza ahadi yako. Asante kwa kuniletea kaka Chriss” alisema Mery. Vijana wale wanne wakaungana na kumpigapiga mgongoni ikiwa ni moja ya kumpa uvumilivu kijana huyo. Mery alishindwa kujua acheke kama alivyokuwa akicheka mara tu alipomuona kijana huyo au aliye kama anavyolia kijana huyo ambaye ndiye kaka yake wa ukweli, japo hawakuzaliwa pamoja lakini historia zao zilifanana na hicho ndicho kilichomfanya Chriss kulia kwani aliamini kabisa Joesan na mkewe, hawakuwa uwezo wa kupata mtoto. Hivyo hata uchungu wa wa mtoto hakuwa nao. Sasa kama amethubutu kumgeuza yeye kuwa mashine ya ngono, inamaana huyu angekuja kuwa kahaba wa kimataifa.

“kuna muda unaweza ukajihisi umetengwa na dunia, kutokana na matatizo yanavyokuandama peke yako” sauti nzito ilisema kutokea nyuma. Sauti ambayo ilikikata kilio cha Chriss ghafla. Sauti hiyo baada ya kuweka koma, ikaendelea.
“matatizo ni ya wengi lakini yanatofautiana, yanatofautiana ndiyo, hata mimi nakubali. Yatofautiana kivipi?” akaiacha alama hiyo ya kuuliza mtu huyo ining’inie mahali hapo kwa muda kisha akairudia na kuifanyia kazi.
“yatofautiana kwa sababu kila anayekutwa na tatizo au matatizo, hujiona yeye ndiye mwenye matatizo makubwa kuliko wenzake wote waliowahi kukumbwa na matatizo kama yake au pengine kuzidi yake.” mtu huyo akaweka kituo kikubwa hapo na kuja mbele ya hao vijana ambao walikuwa wakimsikiliza bila kugeuka. Alipofika mbele ya macho yao, akanyanyua macho na kumtazama moja kwa moja Chriss.
“kijana, yaliyokukuta ni makubwa sana na laiti kama ungeyajua, usingelia bali ungeomba kuirudisha nyuma historia hiyo na isingewezekana. Karibu sana katika maisha mapya, maisha ambayo ndiyo ulipaswa kuishi toka zamani” alipomaliza kusema hivyo mzee huyo, aliitupia mikono yake nyuma kwa mtindo wa kupendeza kabisa na kuondoka hapo kwa hatua tatu mbele. Chriss akamkimbilia na kutaka kujua ni nini kingine kipo nyuma ya pazia lakini mzee huyo aliongeza mwendo na kuzidi kuondoka mahali hapo. Chriss alipotaka kukazana ili kutaka kumshika mzee huyo, alikutana na mikono laini ya kike iliyomshika bega na sauti tamu kupenya katika masikio yake.
“yule hawezi kuongea tena na wewe, alichotaka kufanya hapa ni kukupa nguvu na moyo wa kujikubali na kuamini kuwa wapo wenye matatizo makubwa zaidi yako. Kuwa na moyo wa kiume ili uweze kukubaliana na mengi. Yule ni master wa Tempo si chini ya nne, ni mwingi wa kufikiri na kujua njia za kumtoa mtu kwenye majonzi na uchungu alionao. Pia ndiyo maana akakuacha kwanza ulie kwa muda ndipo akupe haya maneno ambayo kwa mtu mpambanaji kama wewe, usingeweza kuminyana na badala yake ungechukua muda kuyatafakari.” aliongea Catherine. Yalikuwa ni maneno ambayo kama si mpambanaji ungeweza kuona labda binti huyo amekudharau lakini yalikuwa ni maneno kuntu sana na yenye kumtoa mtu kwenye huzuni aliyonayo, kumrudisha kwenye hali ya kawaida. Chriss alijua kweli pengine kuna mengi zaidi ya hayo anayoyajua yeye, alichofanya ni kuwatazama watu walioko hapo kila mmoja. Kila aliyemtazama alikuwa akitikisa kichwa chini juu kuonesha kuwa yaliyokuwa yamezungumzwa na dada huyo, yalikuwa ni mambo ya msingi sana. Akakirudisha kichwa kwa Mery, akakuta binti huyo anamtazama kwa macho ya kumwambia ‘kaka mwanaume wa kweli halii bali anacheka hata asikiapo mama yake mzazi amefariki kwa kuuwawa, ili tu kuupa moyo faraja ilihali unaumia’. Alimsogelea binti huyo na kumbeba kisha akampiga busu la kwenye paji la uso na kumwambia.
“nitazame ninavyocheka, hivi ndivyo nilivyo mdogo wangu, kilio kile kilikuwa ni cha kukukumbuka tu, kwa sababu sikupata kukuona muda mrefu na nakuahidi kuwa sitalia tena kwa sababu sitakubali kukaa mbali nawe tena”
“kweli kaka Chriss?” aliuliza Mery akiwa analirudisha lile tabasamu lililokuwa limefifia
baada ya kumshuhudia kaka yake akilia.

“kweli kabisa Mery, niamini mdogo wangu, nakupenda sana” alisema Chriss huku na yeye akirudisha tabasamu. Mery akasema.
“sasa nakuamini, na nakupenda pia kaka” kisha akamrudishia kaka yake busu la shavuni.

********************%%%%%%%%%%%%****************

“Rafael, nimewaiteni hapa ninyi watu watatu kwa sababu maalumu” aliongea Joesan akiwa kwenye kiti cha ofisi yake, akaendelea.
“nadhani mnakumbuka kilichotokea nyumbani kwangu siku tatu ama nne kama siyo tano zilizopita.” akaweka tuo na kuwatazama watu hao waliokuwa wakimsikiliza kwa makini kabisa. Watu hao wakatikisa vichwa vyao ikiwa ni ishara ya kuwa kilichoongelewa hapo kimeeleweka. Joesan akameza mate kidogo na kutulia kwa kama sekunde kadhaa, akamtazama kila mmoja kwa nafasi yake. Alimtazama Rafa, akarudi kwa Suzane na mwisho alimtazama Merina. akaendelea.
“kile kifo kilichomtokea mke wangu, hakikuwa kifo cha kawaida hata kidogo, ni kifo cha kupangwa na binadamu wenye mpango maalumu. Niseme tu kitu kimoja, waliotekeleza hayo mawaji si watu wa mzaha. Wana uweledi wa kuuwa na wanatumia akili nyingi na nguvu ndogo sana. Sitaki kuwasifia hao wauwaji mahala hapa, bali nilichowaitieni hapa ni kwamba sasa ndiyo ule wakati wa ninyi kufanya kazi yenu. Kila mmoja akae kwenye jukumu lake.” aliongea hivyo Joe kisha akaita.
“Suzane,” Suzane akaitikia, kisha bwana Joe akaendelea.
“ni wakati wa kuzifungua kucha zako ulizozificha muda mrefu. Kuwa tayari kwa kazi muda wowote, kuna watu wananusa harufu yetu na wewe Rafael, hakikisha vijana wako wanakuwa tayari kwa kazi kuanzia sasa. Merina wewe kazi yako ni moja tu ya kuhakikisha usalama wangu maana sina imani tena. Sex machine anaingia kesho kutwa hapa, nadhani akija yeye atakuwa na jukumu lake” alisema Joesan na kutulia kimya kama anayetaka kusikia nini kitachangiwa hapo. Alipoona hakuna cha zaidi, aliwaamuru warudi nafasi zao za kazi na yeye akabaki akiwa anatafakuri nzito mahali hapo.
“sikuwa nimewaza tofauti hata kidogo, nilijua tu kuwa kuna zaidi ya umeme, nilijua tu kuna kitu kiliendelea. Na sasa wamsubiri huyo Sex machine wao ili tujue kama kweli ni yeye au tayari ameshabadilishwa” alikuwa akiwaza mzee Rafael mara tu alipokuwa ameingia kwenye ofisi yake. Akili yake iligoma kabisa kumkubalia kuwa eti, Sex machine alikuwa yupo kama alivyokuwa hapo nyuma, aliamini kabisa kuwa kwa muda huo walikuwa na ……….

, Sex machine alikuwa yupo kama alivyokuwa hapo nyuma, aliamini kabisa kuwa kwa muda huo walikuwa na wakati mgumu sana na walipaswa kujipanga. Cha kushangaza hakupenda kile anachokihisi kuwaambia mabosi wake, haikujulikana ni kitu gani kilichofanya abaki nayo hiyo siri. Pengine kuna mengine au ni yale yale tunayoyajua.

ITAENDELEA

SEX MACHINE – 3

Related image

Chombezo : Sex Machine
Sehemu Ya Tatu (3)

“SM, ni siku nyingine tena tunakutana na kuongea mimi nawe, kumbuka kuwa ukutanapo na mimi basi mbele yako kuna kazi kubwa na ngumu” ilisikika sauti mara baada ya kijana huyo kuingia ndani ya chumba cha mawasiliano. Sauti hiyo ambayo ilikuwa na kazi ya kumpa maelekezo ya nini cha kufanya, ilionekana dhahiri haikuwa ikiongea kimzaha mahali hapo bali ilikuwa ikionesha kuwa kuna jambo la msingi lilikuwa mbele ya kijana huyo.
“kesho unatakiwa uwe Urusi na unakwenda kwa kazi moja tu ya kwenda kumuondoa duniani mfanya biashara mkubwa sana, huyu mfanya biashara ninasababu zangu binafsi za kumuua lakini kubwa zaidi ni kwamba, ndiye mfanya biashara pekee niliyenaye katika ushindani mkubwa sana wa kibiashara. Tazama ukutani” Sex machine akashusha pumzi nzito na kuelekeza macho yake kule alipoelekezwa. kukaonenekana picha kubwa ya kipande iliyomuonesha bwana mmoja mwenye asili ya kihindi kisha sauti ikaendelea.
“huyo ndiye ninayetaka afe kabla hata haja ikaribia siku ya kesho kutwa kwani mtu huyo kwangu ni kero kubwa sana kumuona” alipo sema hayo, akauliza kwa shauku ya kutaka kujua kama aliyoyasema yameeleweka vema.
“tumeelewana?”
“ndiyo, mkuu nimekuelewa”
“vizuri, utapata ramani nzima na maelekezo ya wapi anapopatikana mtu huyo”
“ok,” alijibu Sex machine na baada ya hapo, alkkuja Joesan akatoka nae humo na kuelekea katika ofisi ya Joe na kumuonesha hiyo ramani ikiwa ni pamoja na kumkabidhi kila kinachohitajika. SM alitoka humo ndani na kuelekea ofisini kwake ambako hakukaa sana. Alilifuata tu koti lake la suti na kulitundika begani na kutoka mule ndani akichukuwa muelekeo wa kuelekea kwake. Hakufika katika nyumba ambayo ndiyo anayokaa laa!, alicuhukua uelekeo wa Kilakala ambao ulimpeleka hadi kilakala juu, pembezoni kabisa na milima, huko ndiko ambako alinunua nyumba yake ya siri, huko hakukuwa na mtu ambaye alikufahamu. Japo alikuwa na nyumba ambayo aliinunua akiwa na Sauda, hii pia aliinunua na ni baada ya mpenzi wake huyo kumwambia kuwa kuna nyumba mbili na zote zinauzwa. Hapo akacheza mchezo wa kijanja na kuamua moja iwe ya pamoja na nyingine iwe ya siri na isitambulike na mtu yeyote. Lilikuwa ni jumba lenye eneo kubwa sana kuanzia ndani hadi nje. Nje kulikuwa na bustani kubwa ya kupendeza na hapo ndipo ambapo alikuwa amekaa kijana huyo akijipatia matunda kwa ajili ya kujenga afya. Alikuwa akila taratibu sana hakutaka kutumia papara lakini akiwa bado anaendelea kula matunda hayo, ghafla aliamka na kuanza kurusha mikono hewani na hatimae akanogewa na mchezo huo na kuamua kuchukua mazoezi kabisana. Yalikuwa ni mazoezi makali mno na yaliyochukuwa muda mrefu. ilipomaliza, alielekea ndani moja kwa moja hakukumbuka hata kuingia na kile chombo kilichokuwa kimebeba matunda. Aliingia moja kwa moja hadi bafuni ambako alijipatia maji na kutoka bafuni humo akiwa na kijinguo kidogo chepesi. Akafikia sebuleni ambako alianza kuipitia vizuri ile ramani na kufikiria mbinu za kuweza kuifanya kazi ile kwa urahisi.
“lazima niwepo kwenye hii hoteli ili nisiwe mbali na nyumba ya huyo muhindi” aliwaza Chriss alipokuwa akizidi kuipitia ile ramani. Hakupoteza muda sana aliingia chumbani na kujituliza.
“nafikiri nimefanya jambo la maana sana kuchukuwa hii nyumba huku, sitaki mtu yeyote ajue kama nina nyumba ya maficho, hata mpenzi wangu simuamini na ndiyo maana sikumshirikisha kwenye hili. Usalama ni kitu cha msingi sana ukizingatia kwa sasa nimeshajua siri nyingi za mkuu kwa hiyo kunaweza kukawa na mageukano baadaye nikajikuta nakosa pa kujificha na kupanga mambo yangu kwa umakini” aliwaza namna hiyo kijana huyo na mara, Simu yake ikaunguruma, alipoangalia kwenye kioo cha simu hiyo, akagundua alikuwa ni Joesan. Akaiweka sikioni na kumruhusu bwana huyo kuongea.
“kama unavyojua SM, Safari za mkuu ndizo zinazopelekea na mimi kuunganisha za kwangu. Baada ya kumaliza kazi ya Mkuu hiyo kesho sijui lini, ni lazima ubaki hapo hapo nchini Urusi huko nako utakutana na mtu anafahamika kwa jina la Chalcovich. Huyo atakupa maelekezo ya nini cha kufanya” alipewa maelekezo hayo na kisha simu hiyo ……………………………….

akukuwa na muda wa kuuliza wala kuomba ushauri ni kazi tu. Kijana huyo hakutaka kuwaza sana kwani tayari ni kama alishayazoea maisha hayo tayari.

URUSI NDANI YA UWANJA WA KIMATIFA. ASUBUHI YA SIKU YA JUMA TANO.

Chriss alikuwa yupo ndani ya uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Taifa hilo kubwa, ambako alichukuwa ndege ndogo ya kukodi iliyotakiwa kumfikisha pembezoni kabisa mwa mji huo wa Moscow. Baada ya kupanda tu ndege hiyo, iliwasha injini zake na kuacha uwanja huo. Haikuchukua Muda mrefu sana kufika huko na moja kwa moja alichukuwa hoteli na kutulia kupanga mikakati yake ya kufanya kile kilichompeleka nchini humo. Alikaa kitandani na kufungua begi lake dogo na kutoa mazagazaga fulani ambayo aliyaweka vizuri kisha akatoka mule ndani akiwa amevaa nguo nyepesi chini na juu akiwa na fulana ya kawaida iliyombana. Hakujali baridi ya nchini hapo. Alipanda hadi juu kabisa ya ghorofa na kusimama juu kabisa na kulishangaa jiji hilo kwa uzuri. kisha akanyanyua darubini yake ndogo na kuiweka usoni na kuanza kuzunguuka kila kona huku akiendelea kuangaza.
“vipi mbona sioni kitu inamaana siyo hoteli hii?” kilijiuliza kidume hicho na kuishusha ile darubini chini kabla ya kuipandisha tena usoni mwake.
“shiit! Siwezi kufeli namna hii, itakuwa ramani imenidanganya lakini mbona ilisoma hapa” alijiuliza tena mawazoni kwa wakati huu akiwa haelewi.
“hebu ngoja” alisema kwa sauti ndogo kisha akarudi tena chumbani.
“ndiyo ni hapa kabisa, nyumba ya huyo muhindi hii hapa na hoteli yenyewe ni hii hapa” alisema akiwa anaitazama vizuri ile ramani aliyopewa.
“kwahiyo mimi natakiwa kutazama sana hapa” akajishauri na kuchukua negi lake na kupanda kule juu.

MASAA SITA NYUMA.

“sikilizeni kwa umakini, huyu mtu kwa sasa yupo nchini Urusi na yupo ndani ya mji wa Moscow. Huko amekwenda kutekeleza mauwaji ya mfanya biashara mmoja hivi mwenye asili ya India….!” alisema mama mmoja wa kizungu huko jijini London lakini sentensi yake ilikatishwa kwa mbele kabla mama huyo hajafikia lengo.
“kwanini tusimchonganishe na serikali ya nchi hiyo ili akamatwe tu baada ya kufanya mauwaji hayo” ndivyo alivyodakia dada mmoja kwa kutoa wazo au kuchangia mada baada ya mama Doreen kuongea huko jijini London. Macho makali yalimuendea huyo dada na kutaka hata kumezwa kwa jinsi aliivyoonesha udhaifu mbele ya mwanamama huyo mwenye chuki mbaya dhidi ya wanaume.
“Kekoo, unahamu ya kufa si ndiyo?”
“hapana mama”
“unahamu ya kufa wewe malaya. Hivi unajua sababu ya kuwachukia hawa wanume wewe au unaongea tu kama ujinga wako ulivyo kutuma. Ninashida sana na huyu kiumbe anayejiita Sex machine kabla hata hajaingia kwenye mikono ya hao warusi. Amenitia aibu sana huyo malaya wa kutengeneza au wewe hujui? hawa wanaume ni washenzi na unapoamua kuwapa moyo wako wanaweza hata kuunyofoa na kuupeleka kwenye uwanja wa vumbi na kuufanya moyo wako ni kama mpira wa makaratasi. Si watu hawa Kekoo” alisema mama huyo huku akiwa mwekundu kwa hasira zilivyomjaa, aliwageukia wale majemedari wake wa kike na kuwaambia kwa sauti kavu kabisa iliyokosa uwanamke alionao.
“sikilizeni niwaambie kilichofanya hadi kuwachukia wanaume kwenye maisha yangu yote na kukataa kuingiliwa kimwili na wanaume japo kwa bahati mbaya sana nazinunua kwa gharama kubwa mbegu zao na kupandikiza na za kwangu ili kunipatia watoto. Wanaume walinifanya mimi nikazaliwa katika mazingira magumu na mama akapoteza maisha. Mama yangu alitokea kupendwa na tajiri mmoja mkubwa sana. Huyo alikuwa ni mmarekani na ilikuwa ni huko nchini Marekani. Pesa alikuwa nazo za kutosha huyu baba na alifanya anacho kitaka katika maisha yake. Alimpenda mama yangu akiwa ni binti kigoli, mrembo japo alitoka katika familia ya kawida lakini urembo wake haukubeba uhalisia wa maisha yake bali alionekana ni mtoto wa tajiri fulani hivi kutokana na kujua mwili wake unataka nini na kwa wakati gani. Baba huyo, akavutiwa na kutangaza mapenzi kwa mama yangu, mama hakupinga, kutokana na ugumu wa maisha na ukizingatia kuwa huyo baba alikuwa ni tajiri mkubwa, akakubali na kuingia katika penzi na mzee huyo. Baada ya mwaka mmoja wa mahusiano yao mama akapata ujauzito, hapa ndipo mama alipojuwa kuwa kumbe unaweza kuonekana una vingi na umekamilika kumbe umekosa kimoja na chenye thamani kubwa. Akakumbuka usemi uliowahi jusemwa zamani wa kuwa hakuna binadamu aliyekamilika. Baba huyo pamoja na mali, utajiri uliobeba utitiri wa pesa lakini upendo alinyimwa. Hakuwa na upendo yule mzee hata thumni, alikuwa ni katili na mnyanyasaji wa kutupwa, alikuwa ni mshenzi na mpenda ngono sijapata kusikia mwanaume anayependa ngono kwma huyo kwenye maisha yangu tangu nazaliwa hadi kuwa katika umri huu usiojua nini ladha ya penzi la mwanaume. Mama yangu hakujaliwa, akafukuzwa nyumbani na bwana huyo kikatili zaidi. Tendo hilo, mama lilimuumiza na kumtia wazimu. Mama yangu akachanganyikiwa hakujuwa ni wapi pa kupata msaada na nyumbani hakuweza kurudi tena na si kama labda kulikuwa mbali labda kungehitaji nauli au labda wazazi hawakumpenda laa! Mama hakupenda kurudi nyumbani na aibu ile, fedheha ambayo kama angeamua kuwapelekea wazazi wake nyumbani sidhani kama wangeishi hai. Ukizingatia baba yake kipindi hicho ambaye ndiye alikuwa ni babu yangu tayari alikuwa ni mzee na asiyejimudu tena, hakuwa na kipato wala mtoto wa kumsaidia, hawakuwa na kitu cha kujivunia zaidi ya numba ambayo ni mama ndiye aliyewajengea baada ya kuwa na mwanaume huyo. Ilikuwa ni nyumba nzuri na ya kisasa ambayo hata yeye na mimi kama ningezaliwa tungeweza kuishi. Aliogopa kuwaumiza wazazi wake mama yangu, aliogopa aibu na maneno ya majirani kuwa amechezewa na kupewa mimba na kutelekezwa. Unafikiri ni mama ndiye angeumia, laa! Wangeumia wazazi wake na hatimaye kuwafanya wasiishi kwa amani na kuumaliza umri wao wakiwa na furaha ya maisha. Mama akaishi kwa kudandia dandia na hatimaye akapata kwa kuishi japo si pazuri lakini hakutaka kujali kwani lengo na nia yake kubwa ilikuwa ni kuilea mimba yake. Hakupata mahitaji yoyote muhimu kutoka kwa mwanaume yule kama mjamzito.

Siku nisiyopenda kuikumbuka ni hii hapa, siku ambayo baba yule aliyabadilisha kabisa maisha ya mama yangu kipenzi, siku iliyomfanya mama alee na kuituza mimba yake akiwa gerezani. Ni siku ambayo ilisababisha mimi kuzaliwa gerezani na kumsababishia mama yangu kifo kutokana na dharau za askari magereza.

Siku hii mwanaume huyo alikuja nyumbani kwa mama akiwa amelewa kidogo lakini anajitambua, mbaya zaidi alikuja na malaya mmoja kama kuja kumkebehi mama. Matusi mazito na kashfa chafu zisizohimiliwa na sikio la binadamu yoyote yule mwenye akili timamu na kama siyo akili timamu basi sidhani kama binadamu yeyote mwenye nyongo, angeweza kuhimili kashfa, kejeli na maneno ya kuudhi kama hayo. Alikuja kimanyanyaso haswa lakini hayo yote mama aliyavumilia. Kitu kilichomkera ni yule malaya aliyekuja nae eneo hilo kutia neno na kumtukana mama yangu. Sikuwepo duniani kipindi hicho lakini kwa waliopata kuhadithiwa na mama, hawa wakiwa ni majirani zake waliokuwa wakimpa misaada mbalimbali ya hali na mali, walisema maneno hayo yalikuwa ni ya kuuma sana na yalikuwa hivi. Nanukuu.
“kumbe malaya uliyekuwa ukiishi nae ndiyo huyu asiyejua hata kubadili nguo” mwisho wa kunukuu. Mama akamuangalia yule mwanaume ambaye alimpa ile mimba na kumtelekeza na pengine isingekuwa mimba hiyo, asingekuja kutukanwa na huyo mrembo wake. Baba huyo alifurahi kusikia maneno ya mwanamke huyo na kucheka kabisa. Mama alilia sana na kujiuliza moyoni mambo mengi sana. Lakini alisema maneno machache tu ambayo ndiyo yalikuwa ya mwisho kwa mwanaume huyo na hakuongea naye tena hadi hivi mimi leo nayarudia kwenu. Nanukuu kwa mujibu wa nilivyoelezwa.
“kama si wewe hayawani kunipa hii mimba nisingekuwa hivi mimi” mwisho wa kunukuu. Kisha kilichofuata hapo ni damu kuruka kila pembe ya ukuta baada ya mama kunyanyuka na kipande kigumu cha ubao na kumshushia huyo mwanamke utosini. Yule baba macho yakamtoka baada ya kumshuhudia yule mwanamke wake akishuka chini taratibu huku sakafu ya eneo hilo ikimsubiri kwa hamu ya kutaka kumpokea na kuona ni jinsi gani ataweza kuparangana na kuipigania roho yake kwa suluba ya ubao ule uliotua kwa nguvu nyingi kichwani mwake. Mama hakuwa akilia bali mwili ulikuwa ukimtetemeka na kwa muda huo alikuwa akimfuata mwanaume huyo na kutaka kumtwanga na yeye pia lakini hakufanya hivyo ilionesha dhahiri mama alizidiwa na upendo juu ya mwanaume huyo na kama si upendo basi alitaka mimi nitakapozaliwa nimjue baba yangu maana alijua fika kuwa yeye si wa kuishi tena uraiani kwa kesi ile ya kuuwa ni lazima angeozea gerezani. Baba yule hakuamini kama amepona, alichoropoka na kutimua mbio huku mama akawa akimuangalia kwa uchungu mkubwa sana. Ni kama mtu aliyekuwa akisema kuwa, ‘ni keeli unaniacha wewe mwanaume kisa tu nimekuulia huyu malaya wako, kwa nini unaniacha sasa na unajua kuwa mimi sikuuwa kwa makosa bali ni yeye aliyenilazimisha’ nadhani alisema hivyo kutokana na jisi alivyokuwa akimuangalia, maaana unaambiwa alikuwa akimuangalia kwa huzuni na masononeko makubwa.

Hakutaka kukimbia wala nini, ni kweli hakukimbia sijui labda ni kutokana na kuwa alikuwa tayari kwa lolote lile mbele yake. Muda haukuwa mrefu sana ndani hapo pakajaa askari polisi na mama akachukuliwa na kupelekwa mahabusu. Siku ya kutajwa na kusomwa kwa kesi yule baba alikuwepo na alikuwa ni shahidi namba moja wa kumuangamiza mama gerezani. Inamaana hakujua kuwa mama alikuwa na kiumbe tumboni mwake, hakujua kama kiumbe hicho msababishi ni yeye. Lakini yote ya yote, mama alikutwa na hatia na ………………………………

na hakuwa na mtetezi wala mwanasheria wa kusimamia kesi yake acha huyo shahidi wa kumfariji. Mama akahukumiwa kifungo cha maisha gerezani na adhabu kali mara baada ya kujifungua. Sinashaka mama baada ya kunizaa alijiuwa ili kuikwepa adhabu, adhabu iliyopo mbele yake. Hebu jiulize ni ukatili kiasi gani walionao wanaume na ni mapenzi kiasi gani waliyonayo wakina mama? Naamini mama alikuwa na uwezo mkubwa wa kujiangamiza ningali tumboni mwake lakini hakufanya hivyo hadi pale kipenzi chake nilipokuja duniani.” alimaliza kuongea mama Doreen na kutulia akiwa na ghadhabu maradufu akasema.
“sikutaka kuwauwa wanaume ila kwa huyu sex machine kwa jinsi alivyonionesha dharau, nimeapa kumuuwa na nitamuuwa kwa mikono yangu mwenyewe. Hivyo Kekoo wewe ni kiongozi na nakutegemea so sitahitaji mtu huyo awe mikononi mwa jeshi la polisi la nchi hiyo ya Urusi. Nataka awe mikononi mwangu. Hayo maneno yako ya eti, tumchonganishe na jeshi la polisi la urusi, futa tena futa kabisa ubongoni mwako.”
“nimekuelewa mama na pole sana sikuwa nikijua hayo yote” alijibu Kekoo, mwanadada mrefu kwenda juu na mwenye mwili wenye mvuto wa pekee sana. Waliendelea kumsikiliza Mama huyo na kupokea maelekezo yote.
“nitawasubiri nje kabisa ya mji huo wa Moscow na gari kisha tuenda hadi katikati ya mji ambako kuna rafiki yangu yuko huko huyo atatusaidia ndege binafsi na kurudi hapa London.” ndivyo walivyopokea maelekezo hayo.

Sex machine alipopanda kule juu kwa mara ya pili, alizunguuka kuangalia usalama kisha akaweka darubini yake tena machoni kutazama kule ambako ramani ilimtaka awe makini napo. Ewalaaa! Nyumba ilionekana na alipoangalia vizuri alimuona tajiri huyo wa kihindi akiwa nyumbani kwake akizunguuka bustanini. Akaitoa darubini ile na kufunga silaha yake kwa ustadi wa hali ya juu sana, kwa muda mfupi tu akawa tayari amekamilisha zoezi hilo la kuifunga silaha hiyo ya kudungulia (Sniper rifle). akaseti lens vizuri ya kuonea mbali na kuelekea kule ambako nyumba hiyo ipo. Hakumuona pale bustanini. Utata.
“yuko wapi?” akajiuliza.
“mbona nilimuona hapa” akazidi kujiuliza maradufu huku akizidi kuangalia ni wapi mzee huyo yupo. Alipoangalia vizuri, alimuona maeneo ya chumbani kupitia dirisha la kioo akibadili nguo.
“pole sana mzee najua ulitaka kutoka ili kunipa wakati mgumu wa kazi yangu. Hebu chukua mzigo huo uliopikwa kwa ajili yako” alinong’ona akiwa tayari amemuweka mzee huyo kwenye shabaha yake. Alimlenga kwenye paji la uso na kubonyeza trige na kuruhusu risasi iliyotoka kwenye mashine hiyo ya masafa marefu, kusafiri kwa kasi kubwa. Risasi hiyo ilionekana ikikimbia kwa kasi kubwa hadi kwenye paji la mzee huyo wa kihindi. ikapenya na kuacha alama ya nyota kwenye paji lake hilo huku akitoa mlio mdogo wa maumivu na kudondoka chini taratibu.
“yess,” alisema. Kijana huyo na kuifungua haraka haraka silaha ile na kuirudisha mule kwenye begi na kuweka kifaa kidogo kama kiberiti na kuliacha begi hilo hapohapo na yeye akashuka chini na kurudi chumbani kwake ambako alibadili nguo na kukamata brifcase yake na kutoka mule chumbani. Alipofika chumbani hapo tu, kule juu alikoacha lile begi lililobeba silaha ya kudungulia, kukatokea mlipuko mdogo ulioteketeza kila kitu na kuacha majivu ambayo yalikuwa yakisukumwa na upepo. Alikuwa ameiteketeza kabisa ile silaha kupoteza ushahidi. Alikmata korido ndefu kisha akakunja kushoto na kuingia kwenye kijichumba kijidogo kisha akatokea kwenye lifti na kujifungia. Akataka kubonyeza namba fulani zilizopo ukutani lakini ghafla akasikia sauti kutokea nyuma yake. Sauti tamu ya kike, sauti ambayo ilimuacha hoi na kumshangaza.
“bonyeza namba nane hiyo itakuwa rahisi kukusaidia kutoka ndani ya jingo hili, ukieanda hadi flow namba moja, huko huwezi kutoka salama, askari wameshajaa huko chini” sauti hiyo ilimwambia namna hiyo tena kwa utaratibu mkubwa kabisa. Sex machine akaganda na kujifanya ile sauti haikuwa kwa ajili yake. Ni kama hakusikia, akaendelea na zoezi lake.
“tukio la mauwaji ulilolifanya huko juu tayari habari zimefika kwa jeshi la polisi la nchi hii na wamejaa hapo chini hivyo kama huniamini toka” ikaendelea kumuambia sauti hiyo. Kijana huyo akaganda kwa muda lakini hakutaka kupuuza maneno ya msichana huyo japo hakumjua. Alichanganyikiwa sana kusikia kuwa kila kitu alichokifanya huko juu kimejulikana. Na nani? akajiuliza lakini jibu hakulipata. Akairuhusu lifti hiyo ishuke hadi flow namba nane kisha akamgeukia msichana huyo aliyekuwa akimsemesha. Alikuwa ni Kekoo. Binti mrefu ambaye hakuwa na tabasamu hata kidogo eneo hilo. Lakini urembo wake haukujificha hata kidogo ndani ya hiyo sura. Hakumsemesha hadi flow namba nane, mlango ukafunguka, akatoka mule ndani kabla ya binti hiyo kutoka. Kekoo hakuwa na haraka na mtu huyo, alijua ni jinsi gani atakavyomkamata kirahisi kijana huyo.
“kama huamini chungulia kwenye hizo ngazi za kushuka huko chini” alisema Kekoo. Sex machine akaelekea upande wa hizo ngazi zilipo. Ghafla aligeuka na kurudi mbio. Alikutana na askari wa kirusi wakiwa wamebakisha hatua chache kuweza kufika hapo walipo, akarudi hadi aliko Kekoo.
“nifuate faster” alisema kwa sauti ya juu Kekoo na kuingia ndani ya chumba kimoja huko wakakuta dirisha moja lililo wazi.
“hakuna njia nyingine ya kutokea humu ndani zaidi ya hapa” aliongea tena binti huyo huku akimuonesha Sex machine kamba ikiyopo dirishani hapo.
“tuna jump” aliongea huku akitangulia na kijana makini akimfuata kwa nyuma. Walishuka na hiyo kamba hadi chini kabisa. Wale askari walipofika ndani ya kile chumba, walikuta chumba kikiwa kitupu na hata walipochungulia dirishani ambako kulikuwa na kamba, hawakuambulia kitu zaidi ya kamba tupu. Kekoo na Sex machine walipofika chini, haraka sana binti huyo alizidi kumuelekeza kijana huyo amfuate na hakuleta ubishi kwani kila kona ya eneo hilo kulikwa tayari kumezingirwa na askari. Wakafika sehemu ambayo kulikuwa na pikipiki kubwa Kekoo akadandia na wakatokomea eneo hilo.

Pembezoni mwa mji huo wa Moscow upande wa mashariki, kwa mbaliii, kunaonekana gari ndogo aina ya Subaru yenye rangi ya kibuluu ikiwa imeegeshwa pembezoni mwa barabara moja tulivu. Muda mfupi mbele pikipiki kubwa lililokuwa limembeba Sex machine na yule binti liliwasili mahali hapo na kupaki pembeni ya ile gari.
“hii ndiyo itatusaidia kututoa hapa hadi nje ya mji huu usioope ni msaada kwako, jeshi la nchi hii sio zuri kabisa na wakikukamata mateso yao huwa ni makali mno hadi unakufa, kuhusu mimi ni nani utanijua” alisema Kekoo na kumfunguli mlango wa gari hiyo kisha na yeye kuingia upande wa pili na kuliondoa gari hilo. Baada ya umbali mdogo alisimama na wakaingia wanawake wawili kwa haraka sana. Sex machine akashtuka baada ya kuona tukio hilo lililofanyika kwa haraka namna hiyo.
“vipi mbona sielewi?” akauliza Sex machine.
“utaelewa tu mpuuzi wewe” sauti ya nyuma ikamshtu na alipogeuka alikutana na kikosi ambacho hata hakukitegemea mahali hapo na wote wakiwa ni wanawake na hawana kabisa tabasamu. Alijiona mjinga sana kukamatika kipuuzi tena bila hata wakamataji kutoa jasho. Akataka kufanya kitu cha ghafla, alichelewa. Pigo moja la nguvu likatua kisogoni, alipigwa na kitako cha bastola hapo hapo giza likayavaa macho yake na kumfanya kupoteza fahamu.
“chukua hiyo sindano hapo mdunge huyo ili asije kuleta shida” sauti ya dada mmoja humo ndani ilisema.
“vipi hii gari ina mafuta ya kutosha?” Kekoo akauliza.
“usitie shaka mamito kanyaga gia tairi zinung’unike, si unajua mama anatusubiri na hatupaswi kuchelewa”
“nafahamu na ndiyo maana nimeuliza kama lina damu za kutosha maana nataka kukanyaga mafuta nianze kuendesha sasa maana naona mlikuwa mnaliendesha kirembo” alijibu Kekoo na kasi ya gari hiyo ikaongezeka maradufu. Dakika arobaini ziliwafikisha mahali ambako ndiko Mama Doreen alipo.
“well done my doughters, kazi imekwenda vizuri. Ndege iko tayari kama mnavyoona mtoeni humo garini na mumuingize ndegeni. Wakafanya kama walivyoelezwa. Walimkokota na kumuingiza ndegeni kisha Kekoo binti hatari kabisa akakaa kwenye upande wa rubani na kuiondoa ndege hiyo safari ya kurudi London na kile walichokifuata ikaanza. Kekoo alipoiweka ndege sawa aliiacha ijiongoze yenyewe yeye akajumuika na wenzake.
” umewezaje Kekoo kumkamata huyu jamaa?” aliuliza mama Doreen huku akimtazama Sex machine kwa hasira kali mno alitamani hata kumuangamiza kwa muda huo. Alizidi kuzidisha hasira zake dhidi ya wanaume, Alimchukia sana Sex machine kutokana na kitendo chake cha kuharibu future za binti yake. Mwenyewe alitaka siku moja binti yake huyo aje awe kama yeye lakini haikuwa hivyo, kijana aliyepo hapo ambaye hakuwa akijitambua kwa kuzidiwa na nguvu ya dawa ya usingizi, alizizima ndoto hizo.
“ilikuwa ni kazi nyepesi sana mama, nilichokifanya baada ya kufika hotelini hapo ni kusubiri kwanza atekeleze kazi yake kisha mimi ndipo nilipotoa taarifa polisi na kuwaelekeza mahali ambapo mauwaji hayo yametokea kisha nikaingia ndani ya hoteli hiyo hadi mahali kilipo chumba cha lifti ambayo nilikuwa na imani kuwa ni lazima apitie hapo na kumueleza kuwa polisi walikuwa eneo hilo na wapo hapo kwa ajili yake, hapo nikamchanganya na alipohakikisha mwenyewe kwa macho yake kuwa kweli eneo hilo lilikuwa na askari, akajikuta akifuata tu kila nilichokuwa nikimuelekeza.
” nakubali sana” alisema mama Doreen na kisha wote wakaanguwa kicheko cha kike na kugongeana mikono.

Masaa sita baadae, ndege hiyo ndogo ilituwa katika uwanja mdogo wa jumba la dada huyo na kutembea kwa kasi sana kisha ikapunguza mwendo taratibu na kusimama kabisa. Gari ndogo ya ajabu iliyo wazi ilifika mahali hapo, wakamtoa Chriss humo ndani na kumuingiza ndani ya hiyo gari kisha gari hiyo ikaondoka na kuingia ndani ya jumba hilo la kifahari. Alitolewa na kwenda kufungwa kwenye chumba maalumu na kumuacha humo akiwa bado hajarudiwa na fahamu hata kidogo………

“muacheni hapo fahamu zikimrudia ndipo tutakapompa mateso hadi kifo.” alisema mama Doreen.

LOS ANGELES.

Mwana dada mrembo alikuwa ametulia ndani ya nyumba yake ya kisasa akiwa mbele ya kompyuta yake mpakato akifuatilia kitu fulani lakini kadiri alivyokuwa akiendelea na kazi hiyo, ndipo alipoonekana kama mtu aliyechanganyikiwa mahali hapo.
“inakuwaje hii, alisomeka Moscow na sasa London, hii nini maana yake? inamaana alikuwa na safari ya kwenda london?” alijiuliza dada huyo huku akigeukia upande mwingine kwa kuzunguusha kiti chake akachukua maji kwe glasi na kurudisha kiti chake pale kwenye kompyuta. Akaangalia kwenye kioo cha kompyuta hiyo na kupiga funda moja la maji na kuirudisha glasi yake pale mezani.
“alitakiwa aende Urusi akafanye mauwaji kisha aende Ufaransa kwa ajili ya kuchukuwa mzigo wa madawa ya kulevya na baada ya hapo, alikuwa tena na safari ya Brazil, vipi tena Uingereza?” alizidi kujiuliza mwanadada huyo.
“ooop!” alichoka. akajiegamiza kitini kisha akatulia kwa muda huku akikazia macho kidude fulani chenye rangi ya kijani ambacho kilikuwa kimetulia kabisa.
“ngoja nijue yuko maeneo gani huko London” aliwaza tena kisha akaainamia tena ile kompyuta yake na kuanza kubonyeza bonyeza kicharazio cha kompyuta hiyo.
“shiiit!” aling’aka dada huyo baada ya kujua mahali mtu huyo alipo. Ile alama ilisomeka kwenye jumba moja la thamani sana na aliwahi kufika ndani ya jumba hilo. Na siku ambayo aliingia ni siku ambayo kulikuwa na ibada ya siri ambayo ilikuwa ikiendeshwa na mmiliki wa nyumba hiyo.
“hatari!” akasema kisha akanyanyuka na kuingia chumbani, alipotoka alikuwa amebadilika sana. alikuwa ndani ya suruali nyeusi ya jeans iliyombana sana. Juu alipiga kijitop cha rangi nyekundu huku akiwa na viatu vyekundu pia. Akatoka humo ndani kwa haraka sana na kuingia kwenye gari na kuondoka hapo nymbani kwake kwa mwendo wa kasi sana. Dakika chache alikuwa kwenye uwanja wa ndege. akatoka garini na kuingia ndani ya uwanja huo.

Sex machine alifumbua mcho taratibu na kuangaza kila upande wa chumba hicho. Kilikuwa ni chumba kidogo sana chenye mwanga hafifu mno. Alijishangaa kuona yupo hapo na akiwa amefungwa kamba kwenye kiti. Alijivuta kutaka kujitoa lakini ni kama alikuwa akijisumbua, alifungwa madhubuti sana na hakuweza hata kutikisika.
“niko wapi hapa na kwanini niko hapa? Nimefikaje?” alijiuliza maswali hayo kijana huyo huku akizidi kushangaa. Akaanza kuzivuta kumbukumbu nyuma na hapo akakumbuka kuwa kwa mara ya mwisho alikuwa mjini Moscow, akakumbuka alivyokuwa akiwakimbia polisi hadi kufanikiwa kuwatoka akiwa anaongozwa na binti mmoja. Mwisho akakumbuka akiwa kwenye gari na wanawake wengi kabla ya kupigwa na kitu kizito kichwani.
“nimetekwa” akasema kwa sauti ya chini sana na kujituliza akisubiri kuwaona hao waliomteka na kumfikisha mahali hapo. Dakika chache mlango wa chumba hicho ulifunguliwa na mwanga mkali ukakipiga chumba hicho. Wakaingia watu wawili ambao walikuwa ni wanawake. Wakamsolea hadi karibu kabisa na alipo yeye.
“Sex Machine, kijana hodari ambaye hukamatiki na ni mwenye uwezo wa kuvunja mitego iliyofungwa imara.” akasema Mama wa Doreen. Sauti hiyo ikamfanya Sex machine ashtuke kutoka katika kisima cha mawazo. Aliikumbuka sauti hiyo, ni wapi alipata kuisikia. Hakukumbuka mapema hadi alipoinyanyua sura yake juu na kumtazama muongeaji.
“kumbe umeamka!” alisema tena mwanamke huyo. Sura za wanawake wawili zilikuwa karibu kabisa na macho yake. Akaikumbuka sura hiyo ni sura ambayo aliiharibia binti yake siku kadhaa zilizopita.
“nilitaka uamke ili nikupe mateso yatakayo kuuwa taratibu.” alisema mama huyo huku akimkamata Sex machine kidevuni na kumnyanyua kichwa kwa nguvu. Makofi matatu ya nguvu yalituwa kwenye shavu la kulia la kijana huyo na kupelekea maumivu makali kisha akamsukuma nyuma na kumuacha. Akarudi nyuma.
“kekoo hebu peleka kichapo kwa huyo mpuuzi hapo” alitoa amri mama huyo. Kekoo akasogea na makonde ya haja. alimpiga kijana huyo ngumi nyingi sana za uso, zilikuwa ni ngumi zisizo na idadi. Sex machine aligugumia kwa maumivu makali aliyokuwa akiyapokea mahali hapo. kichapo hakikoma hata kidogo. alipiga binti huyo hadi Sex machine akalegea kabisa kutokana na kichapo alichokuwa akikipokea.
“usife sasa hivi wewe mwanaume unatakiwa ufe taratibu sana sasa ukiwa nyanya kiasi hicho utanishangaza.” aliongea Kekoo huku akiwa amemkamata kichwa kijana huyo kisha akamtandika ngumi kali iliyomyumbisha. Kelele za maumivu zikamtoka huku damu zikimchuruzika mtindo mmoja.
“ha ha ahaa! Vizuri sana hapo. Acha niendelee nae sasa” aliongea mama Doreen na kumuinamia kijana huyo ambaye alikuwa akipumuwa juu juu kama mtu mwenye presha ya kupanda.
“oou! Yupo katika hali mbaya sana ngoja tumuache apumzike kisha baada ya nusu saa tutakuja tena” alisema mama huyo na kutoka mule ndani huku Kekoo akimfuata nyuma. Chriss alikaa mule ndani akiugulia maumivu makali sana aliyoyapata kutokana na kipigo.
“inamaana mateso yote haya ni kwasababu nimemuingilia binti yake au kuna jingine?” alijiuliza kijana huyo huku akiwa amejiinamia. Aliendelea kukaa humo ndani pasipo kujua afanye nini ili aweze kutoka. Aliendeleza kuwaza hivyo hivyo hadi baada ya nusu saa wale wanawake walivyorudi tena. Walipoingia hapo hakukuwa na maongezi tena kilichofuata ni kipigo tu. Alipigika sana kijana huyo, alipigwa kupita kawaida, alipata maumivu makali sana Chriss hakujua kama anaweza kutoka mahali hapo. Aliamua kutulia tuli tu akiwapa nafasi ya kuweza kumpiga hadi watakaporidhika. Kipigo kikaendelea na wote walikuwa wakichangia. Ilikuwa ni kupokezana mahali hapo, akipiga mama Doreen, anapiga Kekoo lakini ghafla kishindo kikubwa kikasikika. Wote wakaacha zoezi walilokuwa wakilifanya kwa kijana huyo.
“nini hicho” aliuliza mama Doreen.
“hata sijui ni nini?”
“hebu nenda kaangalie Kekoo huko si kawaida hiyo” akatoa amri mama huyo, Kekoo akaelekea huko yeye akaendelea kusubiri mahali hapo. Sex machine akamtazama mama huyo na kumuomba amfungue kamba. Hilo lilikuwa ni kama tusi kwa mama huyo, alifoka sana, alifoka kupita kiasi.
“nani akufungulie mpuuzi wewe tena leo ndiyo nakuuwa kabisa, hivi unajua ni kiasi gani ulivyonichefua. Alimfuata akamkamata mabegani na kumtingisha, alimtingisha kwa nguvu sana huku akiongea maneno makali kwa uchungu mkubwa.
” nyinyi wanaume hamna ubinadamu hata kidogo ni washenzi sana, mnaweza hata kumuangamiza mtu anayeonesha upendo kwenu, nyinyi ni wauwaji, nyinyi ni wanyama kabisa” alisema mama huyo huku akilia kwa uchungu. Chriss akajua hapo kuna zaidi ya hilo la kumuingilia binti yake. Akawaza ni nini kilichomtokea mama huyo wa kizungu hadi kuonekana kuwachukia wanaume kiasi hicho. Alichanganyikiwa kweli na alifikia hatua ya kuchomoa bastola kwenye kiuno chake na kumchapa risasi ya bega kijana huyo. Risasi hiyo ikapiga na kuchana nyama, maumivu makali yalimtambaa mwanaume huyo. Bastola ikahamia kwenye paji la uso kuashiria kuwa inayofuata inapigwa hapo. Alikuwa akitetemeka mwili mzima kwa ghadhabu alizokuwa nazo lakini hakuendelea kufanya hivyo, kishindo kikubwa kingine kikasikika. Akashtuka na kuishusha ile bastola chini, akaangalia mahali mlango wa chumba hicho ulipo. Kishindo kingine kikajirudia, akamgeukia Sex machine na kumwambia.
“nakwenda kuangalia huko nijue kuna nini lakini nikirudi napasua kichwa chako” kisha akaelekea kunako kishindo hicho lakini kabla hajafika mlangoni, Sex machine akamuita kisha akamwambia.
“ungefanya jambo la busara sana kama ungenifungu…….!” hajamaliza kuongea, risasi ikachimba ukutani na kumnyazisha kimya. Mama huyo akafungua mlango na kotokomea nje ya chumba hicho. Purukushani zikasikika huko nje ya hicho chumba Chriss akajua si kwema. Akaanza kuminyana kutaka kufungua kamba alizofungwa ili kuweza kutoka mahali hapo ikiwezekana aweze kwenda kutoa msaada kwani aliamini kabisa mama huyo hakuwa na makosa yoyote ila huwenda kuna jambo zito linalomtesa akilini mwake. Hakuweza hata kidogo alikuwa amefungwa imara sana mahali hapo na hakukuwa na uwezekano wa kuweza kujifungua. Akakata tamaa na akajua kwa vyovyote kuna wavamizi wamevamia na kama ni hivyo basi huwenda hata yeye akawa kwenye hatari ya kuuwawa. ghafka bin vuu, mlango wa chumba alichopo ukafunguliwa kwa kishindo kikubwa na alipoangalia vizuri, alimuona mwanamke akiwa amevaa kofia iliyoweza kumfunika uso hivyo hakumjua ni nani. Mwanadada huyo alikuja hapo na kisu kisha akakata kamba zilizotumika kumfungia na kumuacha hapo akiwa huru lakini dada huyo alikwenda hadi mlangoni na kusita kidogo kisha akageuka ni kama kuna jambo alitaka kulisema lakini alishindwa. Akafungua mlango na kupotea. Sex machine akajiuliza ni nani? Mbona amejiziba sura kwa kofia, inamaana hataki kujulikana? Au ndiyo wavamizi waliokuja kuvamia ndani ya jingo hilo? Hakupata jibu na badala yake akaamua kucha kufanya hivyo kwani hata kama angeendelea kujiuliza, ingekuwa ni kazi bure maana asingepata jibu kamwe. Akakumbuka kuhusu wale wanawake waliomteka akiwa nchini Urusi, akapata hofu na kuamua kutoka ndani ya chumba hicho alichokuwa kahifadhiwa, tena alitoka kwa uwangalifu wa hali ya juu sana. Kitendo cha yeye kufungua mlango tu, alikutana na damu mtindo mmoja. Sebule yote ilichafuka kwa damu, akawaza na kujiuliza hapo ni nini kimetokea. Akazidi kutafuta kwa kuingia chumba hiki na kile, hapa na pale. Alipofika kona moja akamkuta Kekoo akiwa anamalizia pumzi ya mwisho. Akamsogelea na kumuinamia na kuanza kumtingisha.
“Kekoo nini kimekukuta? Yuko wapi mama?” aliuliza kwa kutumia majina aliyokuwa akiyasikia humo ndani wakiitana. Kekoo hakuwa na uwezo wa kuongea tena alinyanyua tu mikono juu kama mtu anayetaka kuomba jambo lakini haikuwezekana, Kekoo akaaga dunia………….

Bila shaka alikutana na kipigo kikali na alipigana na fundi haswa maana Kekoo hakuwa akivuja damu sehemu hata moja lakini alipokata roho tu, damu zikaanza kumtoka mdomoni hii iliashiria kuwa aliumia sana ndani. Chriss akamuacha mtu huyo mahali hapo japo alimtesa lakini huruma juu ya wanawake ilimuingia sana, aliamini katika maisha yake yote kwamba mwanamke ni mtu muhimu sana katika maisha ya mwanaume na hakupaswa kuteseka hata kidogo. Hakujali mateso makali aliyoyapata, alichojali na kukifikiria ni kuhakikisha anajua mahali mama wa nyumba hiyo alipo. Akazidi kutafuta kila mahali, alitafuta kila kona hadi akachoka na kukata tamaa kabisa. Akajua labda baada ya kuzidiwa mama huyo alitafuta upenyo na kukimbia. Akawa anatoka taratibu akipita kona hii na kupitia ile. Mahali fulani akasikia sauti ya mwanamke aliyekuwa akinung’unika kuashiria kuwa alikuwa amefungwa kitu mdomoni. Alipoangalia vizuri, alimuona mama Doreen akiwa amefungwa mahali. Chriss alimuwahi kwa lengo la kutaka kumfungu lakini mama huyo alimpiga kikumbo, Chriss akayumba lakini akiwa amefanikiwa kutoka na gundi ambalo mama huyo alizibwa nalo mdomoni. Mama huyo alihema kwa nguvu na kumwambia kijana huyo kuwa aondoke eneo hilo. Chriss akagoma na kumwambia kuwa hawezi kuondoka hapo hadi ahakikishe amempa msaada. Mama huyo akamwambia kijana huyo aangalie kwenye pembe moja mahali hapo na alipoangalia, alikutana na bomu kubwa la saa lililokuwa limebakisha dakika mbili tu kuweza kulipuka. Chriss akamgeukia yule mama na kumfungua huku mama akionekana mbishi kusikia, Chriss alilivuta gundi alilokuwa amefungwa na kubana mikono ya mama huyo na kulitupa kando, mama huyo alipiga kelele huku akilia na kumwambia aondoke mahali hapo na amuache afe mwenyewe.
“ni bora basi tufe wote lakini siwezi kukuacha ufe mwenye hauna hatia”
“nimesema niache nife mwenyewe niacheeeeee…..!”
kimya we mwanamke, mimi siyo wa hivyo na siko tayari kumuona mwanamke anakufa kipumbavu. Najua ulinitesa lakini mateso yale siyo kwa sababu eti nilimuingilia mwanao tu. Kipo cha ziada juu ya wanaume sasa nataka kukuonesha kuwa si wote wenye roho za kishetani na kishenzi kama unavyodhani wewe. Ukitaka nikuache hapa basi hakikisha unanishika kwa nguvu zako zote na tunakufa wote” maneno hayo ya kijasiri yalimvunja kabisa mdomo mama yule, hakuamini kama mtu aliyempa mateso makali na kutaka hata kumuuwa angekuwa na moyo wa namana ile. Hakuwa na jipya tena hapo kilichobaki ni kuwa mpole na kuweza kufunguliwa kamba zilizo bakia. Chriss aliangalia saa na kugundua kuwa zimesalia sekunde thelathini tu ili bomu hilo liweze kulipuka. Akaongeza kasi ya kufungua kamba hizo hadi anamaliza kumfungua kamba zote, zilikuwa zinesalia sekunde kumi na tano pekee. Binti yule alichoropoka kutoka mikononi mwa Chriss na kuingia mahali Chriss akashangaa lakini punde akarejea na alipofika tu akamwambia kijana huyo kuwa yupo tayari kwa safari. Zilikuwa zimesalia sekunde kumi.
“onesha njia ya siri itakayoweza kututoa nje” alisema na mama huyo akafanya kama alivyoelekezwa. Wakapita mahali huku mama huyo wa kizungu akiwa ni kiongozi wa kuelekeza njia. Walitokea nje ambako kulikuwa na uzio mkubwa, kwa mbali Chriss aliona mlango wa siri wa kuweza kuwatoa nje. Alimkamata mama huyo mkono na kukimbia nae kwa kasi kubwa wakafungua ule mlango, ile wanatoka tu nje ya ule uzio, Mlipuko mkubwa ukasikika. Chriss alimkamata yule mama mkono kwa nguvu sana na kuruka nae na kuangukia kwenye ngema fulani, kijana huyo akamfunika huyo mama kwa kumlalia kwa juu kuhakikisha hakuna madhara yoyote yanayomkuta. Mlipuko ule ulikuwa ni mkubwa sana hakuna kitu kilicho baki, nyumba yote iliteketea na kubaki kweupe kabisa ni moto pekee ndiyo ulikuwa ukiwaka. Mama yule aliamka kwa kilio kikali sana. Aliwalilia wafanya kazi wake wote huku akilitazama lile eneo ambalo eti, ndipo lilipokuwa jingo lake la thamani. Kilio kilikuwa kikubwa sana hadi Chriss/Sex machine akaja kwa nyuma na kumshika begani huku akimpiga piga mgongoni na kumwambia.
“nilishindwa kutoka na Kekoo kwani nilimkuta akikata roho na alikufa nikiwa nashuhudia lakini wafanyakazi wako wengine wote hawakuuwawa na huu mlipuko bali walivamiwa na watu hatari na kuwauwa, huu mlipuko ulikuwa ni kwa ajili yako tu.” akanyamaza Chriss na kuutazama ule moto uliokuwa unaendelea kuwaka kwa madaha na sifa ya kuweza kufanya ulichotumwa kisha akamshika yule mama vizuri ambae muda huo ni kama alipatwa na bumbuwazi maana alikuwa halii tena na badala yake alibaki akiukodolea macho moto ule.
“roho imeniuma sana kuwaona watu wenye thamani kubwa na wasio na hatia wamepoteza maisha” alipokomea hapo Sex machine, macho ya mama huyo yote mawili yalikuwa yanamtazama yeye kwa mshangao mzito. Ni kama vile mtu aliyekuwa akijiuliza. Mbona vijana wangu ndiyo waliotaka kumteka mwanzo kule brazil, mbona hata hivyo huyo Kekoo ndiye aliita polisi na kufanikiwa kumteka kule Moscow na mbona ndiye aliyempa mateso na kutaka kumuuwa, iweje leo aseme kuwa ni watu wenye thamani na wasio na hatia.” Alipokuwa katika mshangao huo mithili ya mtu anayejiuliza, macho yake yakashuka kwenye bega la kushoto la kijana huyo. Hapo alijikuta akiona aibu sana baada ya kukuta jeraha la risasi ambalo lilisababishwa na yeye, macho aliyashusha chini akiwa ni mwingi wa aibu, alipoyanyanyua juu, alimkuta kijana huyo ndiyo kwanza alikuwa akizidi kuushangaa ule moto. Akataka kunyanyua mkono ili kuweza kulishika lile jeraha lakini Chrisa akamkatisha zoezi lake hilo kwa kusema.
“hatuwezi kuendelea kuwepo hapa kwani hatujui maadui zako wako upande gani na vile vile askari wanaweza kuja muda wowote kuanzia sasa kutokana na mlipuko huu mkubwa, tuondoke.” akasema huku akimshika mkono na kumtoa eneo lile na kuondoka huku ving’ora vya gari za polisi vikisikika kwa mbali vikija eneo hilo la tukio.

Walifika kwenye hoteli moja kubwa mjini hapo, ilikuwa ni hoteli ya nyota tatu, hoteli yenye kila kitu ndani. Walikuwa wamekaa chumbani humo mara baada ya kila mmoja kwenda kuoga kwa nafasi yake na muda huo yule mama alikuwa akimtibu majeraha mbalimbali kijana huyo.
“pole sana najua unaumia” alibembeleza mama huyo kwa kiingereza safi kabisa.
“hapana endelea tu mbona ni maumivu ya kawaida sana kwani ilipiga nyama tu ile risasi na haikuacha madhara makubwa” aliposema hivyo Chriss, mama huyo akakumbwa na unyonge mkubwa. Alitamani masaa yarudi nyuma na auone wema wa kijana huyo pasipo kumjeruhi popote pale.
“naweza kufahamu jina lako sasa?” aliuza Chriss.
“Moline, Moline ndilo jina langu.” alijibu mama huyo akiwa na aibu.
“waliovamia pale walikuwa ni wanaume au wanawake?”
“walikuwa ni wanaume si wengi ni watatu tu lakini bila shaka walijipanga sana maana ni kwa dakika chache tu waliweza kuwamaliza walinzi wangu wote” alijibu dada huyo na kumfanya Chriss ashushe pumzi nzito. Hakushusha pumzi hizo kwa sababu eti, ya watu watatu kuweza kusambaratisha ulinzi wote na kutaka kumuangamiza Moline, laa! kilichomfanya kushusha pumzi hizo ni je, ni nani yule mwanamke aliyekwenda kumfungua yeye kule kwenye chumba cha mateso alikokuwa kafungwa. Hakutaka kuliweka bayana hapo kwa kuuliza lakini jambo hilo lilimuumiza sana moyo wake na kumfanya ajiulize kila wakati. Hiyo ikiwa ni mara ya pili kwake. Moja ilikuwa ni hapo hapo kwenye sherehe ya ibada ndani ya jingo hilo hilo kwa kukutana na mtu aliyekuwa akimtazama huku akitabasamu kila amtazamapo, pili ni siku hiyo. Alidata, lakini aliamini ipo siku isiyo na jina atamjua.
“hukuwahi kufanya tukio lolote lile baya kwenye maisha yako?” akauliza Chriss baada ya kutafakari ya kwake. Moline akatikisa kichwa kukataa kuwa hajawahi kufanya tukio baya.
“usipokuwa mkweli ni wazi utakuwa unaniongopea, haiwezekani watu wakutafute hadi ulipo na kuuwa walinzi wako wote kisha wewe kutaka kukuuwa kwa bomu, tena bomu la masaa” alisema Chriss na alivyosema tu bomu la masaa, Moline akakumbuka. alikumbuka mbali sana na alikumbuka jinsi ambavyo alimuangamiza mtu aliyesadikika kuwa ni baba yake. Ikabidi Moline ampe kila kitu kuhusu maisha yake ya kuwachukia wanaume. Alihadithia mwanzo mwisho kuanzia maisha ya mama yake hadi alipokuja kumuua baba yake.

“niliapa kumuangamiza yule mwanaume aliyesababisha kifo cha mama yangu gerezani pindi tu nikitoka kwenye kituo kilichokuwa kikinilea kama mtoto yatima. Ndiyo, baada ya mama yangu kufa gerezani, mimi nilikabidhiwa kwenye kituo maalumu cha kulelea watoto yatima. Nikalelewa pale na kukulia pale. Kweli nilipotoka pale, hapo tayari nilikuwa na umri mkubwa japo si sana lakini nilikuwa ninakisasi nimekibeba kuliko hata umri wangu. Elimu niliyoipata nikiwa kituoni na kupita shule mbalimbali nilizosoma, zikanifanya nigundue vitu vingi hata kufunga na kufungua silaha nilijua kwa kasi sana kwa kusoma baadhi ya mambo yanayohusiana na silaha. Hivi nilivifanya kwa siri kubwa Kwasababu nilidhamiria kumuuwa baba yangu. Na nilipofanya uchunguzi, nikaambiwa kuwa baba yangu si mtu mdogo kwani ni mafia na anamiliki kikosi hatari na yeye mwenyewe akiwa ni muuwaji, ikanibidi kuingia kwenye mafunzo mbalimbali ya kijasusi lakini mafunzo hayo, ulikuwa ukijifunzia mtaani na mafunzo hayo yaliendeshwa kwa siri sana na serikali ya marekani ya kipindi hicho ilikuwa ikipiga marufuku sana mafunzo hayo kutokana na kwamba yalikuwa yakizalisha watu hatari na wenye uwezo mkubwa wa kufanya uhalifu wa silaha na kufanya mauwaji ya kutisha. Maslahi yakafanya vyuo hivyo vya siri kuendelea kuweka usiri mkubwa na hata wakitumwa wapelelezi kuja kupeleleza, waliishia kufa tena kifo kibaya sana. tukajifunza kwa kasi kubwa na wote tuliokuwa tukijifunza ni watoto na wengi tukiwa ni mabinti wenye kuhitaji kilipiza visasi, kwani kuna rafiki yangu mmoja alikuwa akiniambia kila wakati na alikuwa akisema. (namnukuu).

“Moline kisasi kitaishi moyoni mwangu milele hadi siku nitakapolipa” mwisho wa kunukuu. Na alikuwa akisema kila wakati, akilala, akiamka na hata akila. Baada ya miaka miwili ……………

. Baada ya miaka miwili tukapewa jaribio la kuweza kufuzu kama tuko fiti na jaribio hilo lilikuwa ni la malipo

tungefanikisha. Lilikuwa ni jaribio la kuuza roho. Tukalifanya kwa ari kubwa na tukafanikiwa kuteka mzigo mkubwa uliokuwa ukitoka bank ya kati na kwenda benki kuu ya Marekani. Mzigo ule tukaufikisha kambini lakini cha ajabu ni kwamba hakukuwa na malipo makubwa tulipewa pesa ndogo sana na tukaambiwa kuwa tumefaulu na tutakapozidi kufanya matukio makubwa kama hayo nabkufanikiwa, watakuwa wanatulipa pesa nyingi sana na kutufanya tuwe matajiri. mimi na wenzangu watano wa kike, tukaona ile haikuwa haki na tulidhulumiwa na si kutudhulumu tu bali walipanga kututumia kwenye uharamia na inasemekana ndiyo kazi ya chuo hicho cha siri kilichokuwa kikitufundisha. Tukapanga mbinu hatari za kutoroka kambini hapo. Haikuwa rahisi lakini kwa kuwa tulidhamiria, tukaamua kutokomea usiku wa saa saba. Tuliuwa walinzi wote wa usiku na kutoweka usiku huo. Kitu ambacho tulikipanga baada ya kufika mafichoni, ni kuweza kumchunguza mkuu wa ile kambi. baada kama ya miezi sita ya uchunguzi huku tukifanya matukio makubwa ya kutisha ili kuweza kupora na kuishi mjini. Tulifanikiwa. Mbaya zaidi ni kwamba mtu aliyekuwa akimiliki ile kambi alikuwa ndiye baba yangu. Roho iliniuma sana kujua jambo hilo, hapo ndipo nilipojua wanaume si watu kabisa na hawastahiki kuishi katika hii dunia. Tukapanga mikakati ya kufanya maangamizi ya kutisha. Hatukuwa wengi tulikuwa watano tu. Siku ilipofika tulielekea mahali ambapo mzee huyo anaishi na tulipofika hatukuuliza, tulifanya mashambulizi makubwa tuliteka pesa nyingi sana ambazo alikuwa akizihifarhi kwenye chumba chake cha siri na kwenda kuzificha mahali, baba hatukumuuwa yeye alikimbilia kambini. Wenzangu wakaniambia kuwa mzee huyo aliwanyanyasa ki ngono walipokuwepo kambini hapo hivyo hawato kubali kumuacha hai. Ikatubidi kuivamia kambi kwa kushtukiza. Huko kulikuwa na mapambano ambayo sikuwahi kuyaota wala kufikiria kama ningekuja kuyafanya katika maisha yangu. Nakumbuka tulipambana kwa muda wa masaa matatu na kisha kukimaliza kikosi chote akabaki baba pekee lakini kwa upande wetu tuliwapoteza marafiki zetu watatu na tukabaki wawili tu na huyu mwenzangu alikuwa na majeraha mwili mzima. Akajikaza tukaingia ndani ambako ndiko alikojificha huyo baba. tulipofika, rafiki yangu alimpa kichapo kikali sana. Nakumbuka alikuwa akimpiga huku akiwa analia kwa jinsi baba huyo alivyomfanya, alisema alimnyanyasa sana kijinsia na kumdhalilisha mno alikuwa akimlazimisha mapemzi na yeye hakupinga kwa sababu alikuwa kuna kitu alikuwa akikitafuta. Alimpiga hadi akaridhika ndipo nilipomwambia aniachie na mimi nifanye yangu. Aliponipisha mimi sikumpiga bali nilichukuwa bomu kubwa nikalitega karibu yake huku tukiwa tumemfunga kamba na kisha nikatega saa tena kwa muda wa masaa mawili. Hapo ndipo baba huyo aliporopoka na kusema nimuache nisimuue na kuanza kunihadithia kila kitu kilicho pita kuhusu maisha yangu akasema kuwa yeye ni baba yangu. Nikachukua hadithi yake na hadithi niliyowahi kuhadithiwa na majirani waliokuwa wakiishi na mama yangu kabla hajaenda gererzani na kupoteza maisha huko baada ya kunizaa, nikajua kweli alikuwa ni baba yangu. Kosa alilolifanya ni kusema kuwa yeye ni baba yangu na kunikumbusha machungu. Ni bora basi hata asingesema na kuniacha nijue mwenyewe kuwa yeye ni baba yangu kuliko hivyo alivyoamua kufungua domo lake na kutoa maneno hayo yaliyozidi kunichefua. Neno ninalolikumbuka ambalo nilimwambi ni.
“nakupenda sana baba yangu na ndiyo maana nimekuwekea sauti nzuri hapo pembeni yako, hebu angalia basi jinsi spika hiyo inavyojitahidi kukuimbia” alipogeuka alilikuta ni lile lile bomu tena likiwa limebakisha sekunde za kuhesabika. Rafiki yangu alinishika na kunitoa mule ndani kwa nguvu sana hadi nje, huko tukapanda gari na kutoweka, tulipofika nje ya ile kambi, mlipuko mkubwa na wa kutisha ulisikika. Tukaongeza kasi na kutoweka. Tulikuwa na pesa nyingi sana ambazo zingetufanya kuwa matajiri hadi tunakufa. Tukapanga kila kitu baada ya kugawana pesa ile na mwenzangu akaelekea Brazil kuanzisha maisha yake na mimi kuhamia hapa uingereza. Na huyo mwenzangu alipokwenda Brazil, hakupenda maisha ya huko hivyo akahamia Urusi na ndiye aliyenipa ndege ambayo ilikufikisha wewe hapa baada ya kukuteka kule Moscow.” alisema Moline. Ilikuwa ni story yenye kuumiza sana na ilimuweka kimya Chriss kwa muda kidogo huku akimuangalia dada huyo jinsi ambavyo yupo katika uchungu mkubwa. Ni wazi alikuwa na haki ya kufanya yote yale na alifanya hivyo kwa sababu hakuwa na mtu ambaye alimshauri kitu kizuri juu ya maamuzi yake. Lakini je, kama ni kweli amuzi hilo ni sahihi ni vipi atamaliza hasira zake au kama ameshamuua baba yake, kwa nini sasa aliamua kuendelea na kisasi. Kisasi huwa hakiishi na unapo kuwa na nadhiri ya kulipa kisasi basi ni wazi kisasi hakina mwisho na kizazi na kizazi kitakuwa kikiendeleza kisasi hicho.
“Moline!” aliita Chriss. Moline akanyanyua kichwa kumtazama kijana huyo mpole kisha kijana huyo akasema.
“ni kitu gani ambacho unaweza kufanya kwa sasa ili roho yako iachane na kisasi ulichokibeba moyoni mwako?” aliuliza Chriss. Moline alijiinamia na kuona aibu kubwa sana juu ya hayo maneno yaliyojenga swali kwake. Hakuwa na kitu cha kusema pia hakuwa na jibu zuri kwa mwanaume huyo.Akajikakamua na kujibu kuwa hakuna kitu kingine ambacho kitamfanya alipe kisasi. Aliposema hivyo alikumbana na swali jingine.
“ninaimani bado hasira zako kwa wanaume wote duniani, hazijakwisha bado si ndiyo?” ki ukweli swali hili hakuwa na jibu nalo na badala yake alijivuta karibu na kumsogelea kijana huyo kisha akalishika lile bandeji ambalo lilikuwa limefunga kwenye jeraha la risasi, jeraha ambalo kama si yeye lisingekuwepo mahali hapo. Moyo ulimuuma sana. Kijana huyo hakustahili hata mchubuko kutoka kwake ni wazi kabisa alimkosea na kwa makosa hayo alipaswa kuomba msamaha. Chriss alichukua bastola na kuikoki vizuri kisha akamkabidhi na kumwambia.
“timiza ile ahadi yako ya kutaka kunipasua kichwa, huu ndiyo muda pekee wa kufanya hivyo ili roho yako ipate kuridhika” Moline aliumizwa sana na hayo maneno, aliumia sana na kujikuta akikosa namna ya kufanya.
“kama nimeweza kutibu jeraha nililolisababisha mwenyewe, ni wazi kabisa kuwa kwa sasa nimekuwa mpya wa nafsi. Hukustahili hata kuoneshewa kidole SM, hukustahili hata kupigwa kofi, hukustahili nasema hukustahili kabi……..!” alishindwa kumalizia na machozi yakaanza kumtoka. Akayafuta na kuvuta kamasi nyembamba zilizokuwa zikimchuruzika kisha akarndelea.
“nilidhani wanaume wote ni wakatili na wauwaji SM, baba yangu amenilisha sumu mbaya sana ambayo hata kama ingekuwaje nisingeweza kuitoa kwa kawaida. Sikutaka kuwauwa wanaume japo nilikuwa nikiwachukia sana ila nilichokiamua ni kuto kumruhusu mwanaume kuugusa mwili wangu kwa kuuingilia hadi pale nitakapokuwa marehmu. Kumbe nilikuwa nikikosea. Nilikosea sana kuliadhibu kundi kubwa la Ng’ombe kwa kutolipeleka malishoni, kwa kosa la Ng’ombe mmoja tu aliyeingia kwenye shamba la mkulima masikini. Nisamehe sana SM. Nasema nisamehe kwa sababu nakiri nimekosa na nimekukosea sana. Sikutegemea kama kipigo kile tulichokupa mule ndani, halafu eti upate ujasiri wa kuniokoa mimi.” alimaliza kuongea Moline na kutulia kimya akisikiliza kama maneno yake na msamaha kwa mwanaume huyo kama umesikika na kukubalika.
“nimefarijika sana Moline kwa kutambua wajibu wako na kile unachopaswa kukifanya. Huu sio muda tena wa kudili na kisasi japo kipo na kinakuzunguuka na wanaokizunguusha kisasi hicho ni wale ambao, wanataka wakilipe kwako kwa kile walicho kipoteza” alizungumza Chriss lakini kauli yake hiyo ikamfanya Moline kushtuka na kuamua kuuliza ni nani hao wanaotaka kulipa kisasi kwake. Chriss akatulia kidogo na kuvuta pumzi ndani ya mapafu yake kwa utaratibu kisha akageukia upande aliyoko mwana mama huyo ambaye alikuwa akimtazama kwa macho ya mshangao. Akasema.
“wapo watu waliomuamini sana baba yako na kumheshimu na siyo kumheshimu tu bali walimtegemea pia. Hao walijua kuwa mtu huyo ameuwawa na mtu wa karibu na pengine ni kwa lengo la kulipiza kisasi. Bila shaka walitafuta kwa muda mrefu sana kumjua mtu huyo, sasa maisha yako ambayo uliamua kuishi ndiyo yaliyokukamatisha mapema sana kwa watu hao. Hupaswi kuishi maisha yale tena na pia hutakiwi kuonekana tena ndani ya ardhi hii ya London kwani wauwaji waliokuja kwa lengo la kukuuwa wanajua kuwa umesha kufa.” maneno hayo yalimfanya ashushe pumzi nzito sana na kutulia kimya huku akimpa mwanya kijana huyo wa kuendelea kuongea.
“unao utajiri wa kutosha, unazo pia pesa kama siyo mali. Hutakiwi kuwa na marafiki wale wa zamani tena, unatakiwa kuwa na marafiki wapya ndani ya taifa jipya huku ukiwa na maisha mapya yenye mtazamo mpya. Hapo utweza kishi kwa amani bila kuwaza kufuatiliwa tena. Waamini wanaume na waone ni binadamu ambao hawakuumbwa na ukamilifu lakini pia kama yupo anayekukwaza kwa makusudi, huna budi kumuepuka na siyo kufanya maamuzi mazito yatakayoongozwa na hasira zako” alikomea hapo na kutulia. Moline alimuangalia kijana huyo wa kiafrika mwenye uzuri na upole wa aina yake, akageuka pembeni. Akataka kumuuliza kwanini ameamua kuwa Sex Machine, akasita. Akaona atakuwa ni kama anamchimba.
“nikaishi wapi tafadhali nichagulie taifa la kwenda kuishi” akasema.
“nenda ukaishi Brazil huko naamini kutakubadilisha na kuwa mpya. Kwani yule binti yako yuko wapi?” akajibu kisha akauliza.
“nilimpeleka nchini Urusi kwa rafiki yangu ili niweze kukamilisha mauwaji yako ndipo nimrudishe nyumbani, niliamua kumuachia huru na angeweza kufanya jambo lolote lile lakini sikutaka akutane na wewe tena. Nilikuchukia sana.”
“unanichukia tena?” akauliza Sex Machine huku akimtaza mama huyo kwa ukaribu zaidi. Mama huyo akatikisa kichwa kukataa kisha akauliza swali.
“ulishawahi kusomea saikolojia labda?”
“hapana sijawahi”
“kweli!?”
“ndiyo sijawahi ni uwezo binafsi tu” alijibu Chriss na kupelekea Moline kuto kuamini. Lakini ni kweli kwamba kijana huyo hakuwahi kusomea saikojia hata kidogo. Moline alijikuta akijihisi raha sana kuwa karibu na kijana huyo. walizidi kupiga soga za kawaida hadi pale Chriss alipoomba akajimwagie maji kwa mara nyingine kwa ajili ya kutoa ile harufu ya dawa, hapo ndipo ukawa mwisho wa maongezi yao. Chriss alinyanyuka na kuchukua taulo kisha akaelekea bafuni akiwa na bukta tu mwilini mwake. Kwa mara ya kwanza Moline alijikuta akijihisi hali ya hatari sana. Moyo wake aliuona kama ulikuwa ukipotea njia
[12/22, 5:40 PM] Ahmed Jiriwa: Riwaya: Sex machine 46.

kwa jinsi ambavyo ulikuwa ukiongeza kasi ya mapigo yake. Hakuwahi kuwa na hisia hizo katika maisha yake na kama ziliwahi kumtokea, si kwa wingi kiasi hicho. Alijkuta akimtazama kijana huyo anavyopotelea kwenye mlango wa bafu hilo la kisasa kabisa, bafu la kioo, bafu ambalo aliyeko bafuni alimuona wa chumbani na aliyeko chumbani alimuona wa bafuni.
“nimekuwaje hivi?” alijiuliza huku akishika titi zake ambazo hazikuwahi kukamatwa na mkono wa mwanaume zaidi ya mikono yake mwenyewe. Alihisi muwasho wa aina yake kwenye ncha za chuchu zake. Kila akifumba macho alikiona kifua cha SM kikiwa kimegawanyika na kujihisi kama amekilalia.
“mbona leo hivi jamani, najihisije hali hii mbona haijawahi kutokea hata siku moja” alishtuka sana na kusogea hadi karibu kabisa ya koo na kuchungulia ndani ya bafu hilo. Hapo aliachia mdomo wazi baada ya kumuona kijana huyo akiwa amesimama katikati ya chumba cha bafu akiyaruhusu maji yauogeshe mwili wake. Mzigo wa haja ukiwa unanepa kwenda kushoto na kurudi kulia, alihisi hisia za ajabu sana zikiuvaa moyo wake, tayari pepo mbaya alikuwa akimtafuta kwenye kumi na nane zake. Aliduwaa hivyo hadi akawa hajui kama mwenzake alikuwa akimtazama tena kwa muda sana. Yaani bumbuwazi lililokuwa limemkata lilikuwa kubwa sana kiasi cha kutazamana na anayemchungulia humo bafuni lakini hamuoni. Alikuja kushtuka baada ya kumuona anayemchungulia ameacha zoezi la.kuoga, ndipo akaona jinsi wanavyotazamana, akageuza macho yake pembeni kwa haraka sana.
“hivi atakuwa ameniona eeh? Oou jamani kaniona, aaa, sasa itakuwaje kama ameniona kuwa namchungulia?”…………………

alikuwa akizidi kujiuliza huku akikirudisha kichwa chake taratibu tena na kutaka kutazama kule bafuni kwa kuibia lakini alipoangalia tu akakutana na tabasamu huku kijana huyo akikimwagia maji kile kioo na kukifanya kisiweze kuonesha vizuri. Moline alitabasamu baada ya kuona mchezo ule.
“jamani ametabasamu hadi raha. oh my God! mbona anamdudu mkubwa vile hadi ananisisimua, sasa kwanini amemwaga maji ili nisimuone? Na mimi namuendea huko huko sasa haiwezekani aoge peke yake kwani mimi sistahili kuoga. Naenda hivyo hivyo hata kama nimekwishaoga tayari” aliongea hapo kisha akapambua nguo zote na kulionesha umbo lake zuri na lenye mvuto wa aina yake. Matiti mazuri yaliyo tuna na kutengeneza mduara kama embe Bolibo. Chuchu zake za kuvutia akazishika kidogo na kuziminya kisha akacheka kidogo baada ya kuvuta hisia kali sana.
“aaaaaaashhh!” akajitumbukiza ndani ya hilo bafu kwa ghafla. Sex machine alijua tu kuwa mwanamke huyo hawezi kuvumilia na ni lazima angelivamia bafu. Hakukuwa na wa kumsemesha mwenzake. Na alipoingia mule ndani ni moja kwa moja kumkumbatia kijana huyo na kumpa mdomo. ladha ya mate ikawafanya wagugumie na kuzidi kupapasana kwa hisia kali na sauti za mahaba kuchukua nafasi. Walizidi kushikana shikana hivyo na kuzidi kupeana ladha mbali mbali. Moline akili ilimruka mahali hapo alisahau au sijui alifanya makusudi. Inamaana kweli hakukumbuka kuwa yeye ndiye aliyekuwa akimsaka huyo kijana kwa kutaka kumuangamiza sababu ikiwa ni kuharibiwa binti yake? Itakuwaje kushiriki penzi na mwanaume aliyetembea na mtoto wako. Lakini mama huyo alizidi kufurahia mchezo huo tena akiwa anaonekana kuwa na hamu kubwa maana kwa jinsi alivyokuwa akiinyonya hiyo maiki ya SM, ni kama yuko kwenye mashindano ya jambo hilo. alikuwa akilalama mwanzo mwisho na kutoa sauti tamu yenye kuhamasisha. SM alikuwa akibweka kwa raha za aina yake kwani Moline alikuwa hanyonyi bali alikufuru. Inawezekana alijua kuwa kijana huyo ndiye aliyeivunja bikira ya binti yake ila ni kutokana na kutokujua uchungu halisi wa binti yule ambaye kumpata kwake ni kutokana na kuchanganya vinasaba vyake na vya mwanaume kwa kupitia mbegu za uzazi ambazo alizinunua kwa gharama kubwa na kuzipandikiza mbegu hizo kwenye maabara maalumu zinazohusika na kazi hiyo. Yai likaanguliwa kwenye Tube maalumu na kukuzwa humo hadi pale zilipounda kiumbe ambacho kilihamishiwa kwenye maabara nyingine kwa maendeleo zaidi. Pengine hili ndilo lililomfanya asiwaze juu ya kushiriki penzi la mwanaume huyo aliyetembea na binti yake. Kuzaa kwa uchungu kuna faida kubwa sana jamani. Kwa sbabu utakuwa unayajua maumivu ya kile unachokilea hivyo huto penda kufanya kitu ambacho kitautesa moyo wako kwa kuhisi utakuwa umemzulumu haki yake. Manung’uniko yalizidi na kwa muda huo tayari SM alikuwa amemkunja mama huyo kwa mtindo wa funga kamba za viatu na kumshindilia mpingo kwa nyuma. Alikuwa akilia kwa raha huku akijitukana mwenyewe kwa kosa la kutokuupa haki mwili wake kwa kipindi kirefu. alikuwa akijituma kwa nguvu sana na akimwambia kijana huyo amfanye kwa nguvu nyingi kwani raha anazozisikia hapo hazikuwa na kifano chake, hakupata kitu cha kufananisha raha hizo na zote alizokuwa akizipata duniani. SM alikuwa hapigiwi, alisukuma na kusukumiza ndani mara nyingine akawa anazamisha mpini wote ndani na kumng’ang’ania huku akiwa anamsugulia kwa ndani. Hapo ndipo palikuwa na kelele za kufa raia. Alilia hadi pale kijana huyo aliposhusha mzigo na kwa mara ya kwanza tangu kuwa Sex machine, anajikuta anakojolea ndani, mama huyo alitabasamu na kupumua pyuuuuuu! Bado mama huyo alikuwa akitaka mchezo uendelee, hivyo wakaamua kuoga na kuelekea chumbani kwa ajili ya mtanange mwingine ambao huo Moline angemtafutia SM jina la kumpa.

%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%

Asunuhi kulipokucha Moline alikuwa hoi bin taabani. Mchezo haukuwa wa kitoto hata kidogo, alikesha kifuani kwa SM kwa usiku mzima akihema kwa pumzi za raha alizokuwa akipewa na kidume hicho. Alideka kama mtoto mdogo kwa kila alipotakiwa kudeka, penzi alilopewa lilikuwa la aina yake, alitamani sana kuanza mambo yale tangu akiwa mdogo lakini haikuwa hivyo, aliishi kifungoni kwa muda mrefu sana hivyo yote ya yote aliamua kumtupia marehemu baba yake kwa kumfanya aishi maisha ya kuwa mtumwa wa fikra. Aliamshwa kitandani hapo na kelekea bafuni ambako alioga na kurudi kisha akapewa nguo mpya kabisa za kuvaa ambazo hakujua kijana huyo alizitoa wapi, hakuhoji, alizichukua na kuzitia mwilini nguo zile zilimkaa kisawa sawa kabisa kama vile alipimwa. Alibaki kumuangalia tu kijana huyo na kuishia kutabasamu. Chrisa alikuwa ameshapiga lile vazi lake na kufuatiwa na suti safi nyeusi ambayo ilikwenda kulifunika lile jeraha. Wakatoka wote na kuelekea uwanja wa ndege. walipofika, Chriss akachukua ndege itakayompeleka Ufaransa na Moline alichukua ndege inayoelekea nchini Brazil.
“naomba uwe unakuja kunitembelea SM, hata kama nitakuwa na mwanaume mwingine lakini wewe bado una nafasi yako tena kubwa mno na ya pekee sana” alisema hayo Moline alipokuwa amemkumbatia kijana huyo akiwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa London, akiondoka na kwenda kutafuta maisha mapya akiwa katika taifa jingine. Alifumbua macho na kutazama pembeni ya kiti na kumuona dada mmoja akiwa amepakata mtoto mdogo wa kiume ambaye alifanana kila kitu na mtoto huyo. Alitabasamu kwa tabasamu la wazi kabisa, aliwaza mengi kubwa likiwa ni kutamani kuzaa mtoto ambaye naye pia atakwenda kufanana naye au hata asipofanana naye basi afanane na mtu wa pekee anayempenda, mtu aliyemrudisha kwenye maisha mapya anayopaswa kuishi binadamu wa kawaida.
“nakwenda kuzaa mwanangu wa kwanza kwa uchungu. Asante sana SM najua ipo siku utakuja na kumkuta mtoto wako akiwa amesha zaliwa” aliwaza hivyo Moline kwani anajua kwa vyovyote vile ni lazima ashike mimba kwani ameshiriki mapenzi na kijana huyo akiwa yu katika siku za hatari za kushika mimba. Nakwenda kusahau kila kitu kilichopita sasa, Doreen sitakutupa mwanangu najua nimefanikiwa sana hadi hapo ulipofikia na ninaimani utaweza kuwa na maisha yako huko huko Urusi” alizidi kuwaza na kulishika tumbo lake dogo ambalo aliamini baada ya muda litakuwa likiishi kiumbe cha thamani kwani hata mtu aliyempa mimba ni wa thamani sana kwake.
Kwa upande wa Chriss yeye alikuwa na furaha tu kwa kuweza kumfanya mtu katili kurudi kwenye maisha ya kawaida na hakujua kwa nini furaha yake ilikuwa kubwa kila wakati. hakujua furaha hiyo ilisababishwa na nini hasa, lakini kikubwa na alichokuwa akikiwaza ni kuweza kumpa Moline maisha mapya.

Alikwenda Ufaransa akachukua mzigo na kuusafirisha mzigo huo wa dawa za kulevya aina ya FD. Akausafirisha hadi nchini Brazil na kurudi zake Tanzania akiwa salama kabisa.

Mambo yalizidi kuwa mambo, furaha ya Joesan ilikuwa ikizidi kila wakati lakini pia Chriss alikuwa akipata mafanikio makubwa sana kupitia kazi hiyo haramu huku akizidi kuwaingizia mamilioni ya shilingi mabosi zake.

Kikao kikubwa kilikuwa kimekaliwa. kikao hiki kilikuwa ni cha watu wa nne. Alikuwepo Joesan kama mkurugenzi wa kampuni lakini pia alikuwepo Suzane. Binti mrembo na anayeaminiwa na bwana Joe. Alikuwepo mzee Rafael, mzee mstarabu asiye na makuu, mzee mkimya lakini mwenye talenti kubwa ya mapigano. Hawa watatu waliweza kujaza nafasi za viti vlivyokuwepo eneo hilo la siri. ulikuwa ni usiku wa saa sita na kilikuwa ni kikao cha siri kuliko siri yenyewe. Kikao hiki hakuna aliyekuwa anajua mzizi wake ni nini zaidi ya Joesan pekee. Mtu wa nne kwenye kikao hicho alikuwa ni mkuu, mr. Kim ambaye yeye aliwakilishwa na sauti yake kama kawaida. Na kikao kikaenda kuanza rasmi kwa sauti ya mkuu kusikika ikijikohoza kisha kuzungumza bila kusikika popote ila waliopo eneo hilo walisikia kutokana na sauti hiyo kuipata kupita vinasa sauti walivyokuwa wameviegesha kwenye masikio yao. Walikuwa wametulia kimya wakisiliza na hakuna hata mmoja ambaye alitia neno ama kuingiza swali, kila mmoja alikuwa ni msikilizaji kisha wakatazamana. Lakini wakati hayo yakiwa yanaendelea, kuna mtu alionekana kwenye kona moja karibu kabisa na ukuta wa jingo la kampuni ya Safaries Company. Alikuwa amevaa koti jeusi lililokuja hadi kichwani na pia alipiga na mawani nyeusi ambayo haikuwa mawani ya kawaida. Hiyo ilikuwa ni mawani ambayo ilikuwa inauwezo wa kupiga picha na vile vile kurekodi kitu chochote na pia yenye uwezo mkubwa wa kuona gizani. …………………………

Tunamuona mtu huyo anaangalia saa yake ya mkononi na kuanza kutembea taratibu kwa kujiamini kisha anaruka ukuta wa jingo hilo, lenye ukuta ambao haukuwa mrefu sana wa kutisha. Wakati mtu huyo aliyejiziba kwa koti kubwa jeusi akiwa analikaribia lango la hilo jingo, umeme ukakatika mtaa mzima. Mtu huyo akafungua mlango kwa njia azijuazo mwenyewe na kuzama ndani. Muda huo kwa upande wa kule kwenye mkutano wa siri watu walikumbwa na mshtuko kila mmoja akawa anashangaa asijue nini cha kufanya.

“Mkuu anasema kamera zote za kampuni zimezima ghafla” alisema joesan kwa sauti ya chini kana kwamba wakati huo mkuu wao anaongea, alisikia peke yake na wakati wote pale walikuwa na vifaa vya kunasa sauti. Alichanganyikiwa sana Joesan. Kitendo cha kamera za kampuni kizima ghafla wakati si kawaida, kilimchanganya yeye na mkuu wake wasijue nini tatizo.

“inamaana mkuu hakuna hata kamera ya akiba ambayo inaonesha uhai?” aliuliza Joe.
“hakuna Joe zote zimezima” alijibu kim akiwa haamini.
“oh! Labda litakuwa ta……!”
“sina hakika Joe kwa hilo unalosema na mimi vitu vyangu ninavipeleka kisasa sana, sasa hilo tatizo ulilotaka kulisema hapo ni la nini labda” Kim alimkatisha Joe akiwa hayupo katika hali ya kawaida kabisa.
“fanya jitihada Joesan Tujue nini tatizo siyo kuniuliza maswali ya kipumbavu” alifoka Kim akiwa amechanganyikiwa kabisa.

Hapo ndipo utakapojua kuwa mzee huyo anajali zaidi mali zake kuliko utu. Kwenye matatizo ya kampuni zake huwa hakuna boss wala na ni mtu mwenye hasira mbaya sana bwana huyo. Kampuni kama hiyo iliyobeba siri kubwa za maisha yake halafu kamera zote zizime, hiyo ni hatari sana na tukio kama hilo halikuwahi kutokea. Joesan alinyanyua mkonga wa simu na kuiweka sikioni kisha akabonyeza namba kadhaa na kusikilizia, simu ya upande wa pili, simu hiyo iliita kidogo kisha ikapokelewa na yeye kuanza kuongea.

“Tai unanisikia!”
“ndiyo nakusikia kiongozi” alijibu Tai mtaalamu huyo wa mambo ya teknolojia na mjenzi pia akiwa ni msimamizi wa mitambo yote ya hatari inayotumika kuathiri watu akili.
“kamera za kampuni zote zimezima” alisema na wakati huo wakati Joe anaongea na simu, Mr. Kim alikuwa ameikazia macho luninga yake iliyokuwa ikiwaona watu wote waliopo kwenye hicho kikao na alikuwa ametega sikio kwa umakini sana kusikiliza nini kitajibiwa hapo.

“itakuwa ni tatizo la umeme kiongozi” aliongea Tai.
“usiseme itakuwa Tai tunataka uhakika, mkuu hayupo sawa na mimi ndiyo nimechanganyikiwa kwa asilimia kubwa sana” aliongea Joesan akiwa amepandisha sauti juu kabisa.
“hivi ninavyoongea na wewe kiongozi ndiyo natoka hapa na pikipiki nikacheki” aliongea Tai.
“ok, fanya hivyo na tupo hapa tunasubiri kitakachojiri huko, haiwezekani iwe ni umeme wakati kuna jenereta ambalo linajiendesha lenyewe umeme unapokatika” alisema Joe.
“jenereta halijafanyiwa marekebisho si unajua” alisema Tai na simu ikakatika hewani. Tai akapanda kwenye pikipiki lake kubwa na kuingia barabarani kuelekea huko kunako tukio lililowachanganya vichwa mabosi hao.

Lakini kwa upande wa kampuni tunamuona mtu huyo asiyefahamika akiwa anapita kila chumba na kufanya yake kwa haraka sana. Alihakikisha kila chumba anaingia tena akiwa makini sana na mara kwa mara alikuwa akiangalia mkono wake uliobeba saa. Haikujulikana alichokuwa anakifanya lakini hakuwa mtu wa kawaida hata kidogo, vitu vyake alifanya kwa kasi kubwa mno. Alionekana akipiga picha baadhi ya maeneo kwa kutumia ile mawani yake kitaalamu zaidi. Ni kitendo ya sekunde thelathini tu, alikuwa tayari amepita sehemu zote muhimu na kuweka alichopaswa kuweka na kutoka humo ndani huku mawani aliyovaa ikimsaidia kuona kwa ufasaha kabisa. Wakati yeye anatoka ndani ya lile jingo baada ya kufanya alichokikusudia, nje ya lile jingo upande wa mbele, Tai akafika na kupaki pikipiki lake kisha akapiga simu na kuiweka sikioni.

“ndiyo!” ilipokelewa simu hiyo kwa haraka sana na mpokeaji akiwa ni Joe.
“ni tatizo la umeme kweli kiongozi kama nilivyo hisi hakuna kitu kingine cha kuhisi zaidi ya umeme kwani mtaa wote huu hauna umeme” alisema Tai na kumfanya Joesan ashushe pumzi nzito akifuatiwa na Mkuu wake. Mkuu akaachia tusi zito kwenda kwa Tanesco kisha akasema.
“hakikisha kesho ile plate ya kunyonya nguvu za jua inafungwa na tunaachana na jenereta hii ni hatari tutakuwa tunapata shinikizo la damu namna hii hadi lini” Tai akajibu.
“umesomeka kiongozi”

Tai akakaa kwa muda pale kwa takriban dakika tatu, umeme ukarudi naye akaondoka. Lakini wakati umeme unarudi, mtu mwenye koti alisharuka ukuta na kupita kwenye chochoro alilokuja nalo na kuzipita nyumba kadhaa na kuibukia mtaa mwingine. Akajizunguusha na kurukia pikipiki kubwa. Wakati anarukia hilo pikipiki, na kutokana na eneo hilo kuwa na mwanga kiasi, ndani ya lile koti jeusi ikaonekana bikini nyekundu. Hee! Inamaana huyo alikuwa ni bikini nyekundu? Ni nani sasa huyo dada na hapa napo amefuata nini ndani ya hiyo kampuni. Kizunguzungu.
Aliitoa pikipiki hiyo kwa kasi kubwa hadi maeneo ya Forest usiku huohuo. Akatazama saa tena na kusogea karibu na lango moja kubwa kwenye jingo moja la kifahari sana hapa akatulia kidogo. Wakati huo kikao cha siri kikiwa kinaendelea kule kwa akina Joesan. Mtu yule mwenye koti akazama ndani ya ule uzio kama alivyoingia ndani ya jingo la kampuni na hapa napo umeme ukakatika mara tu baada ya kuukaribia mlango. Akaufungua na kuzama ndani taratibu, akapita sebuleni. Akaifuata korido ambayo ilikuwa kama inampeleka jikoni, hapa akatulia kwenye chumba kimoja kilichokuwa kimejitenga sana kisha akakifungua na kuzama ndani. Chumba hiki ndicho ambacho alikuwa akiishi Chriss kabla hajabadilishwa akili na kusahaulishwa ya nyuma. Akaangaza macho ndani ya kile chumba, kilikuwa ni chumba kisafi sana na inaonesha chumba hiki hakijawahi kuguswa ama kutumika tena tangu Chriss kutokuonekana. Akafungua mtoto wa meza mtu huyo na kukuta picha ya Chriss angali mdogo bado, hapo ilionekana akiwa na miaka kama mitatu hivi au miwili na ushee. Aliitazama kwa muda kidogo picha hiyo hadi machozi
yakamdondoka kupitia mawani ile aliyovaa na kujenga njia shavuni mwake kisha chozi hilo likaporomoka na kuangukia juu ya ile picha tena kwenye paji la uso la kijana huyo. Alishtuka kidogo na kuifuta ile picha kisha akairudisha kama ilivyo akiiambatanisha na kidude kidogo sana kisha akaurudisha ule mtoto wa meza, akasogeza kidogo mawani yake pale machoni, akatoa kitambaa na kufuta machozi kisha kuuelekea mlango ili kutoka mule ndani. Ila wakati anatoka, ukutani akaona picha iliyomuonesha akiwepo yeye, mama wa Chrisa na baba wa Chriss kipindi hicho wakati yeye akiwa ni binti mdogo kabisa, wakiwa wamesimama. akatabasamu kuziona sura hizo kisha akatoka akiwa anafuta kamasi na kuurudisha huo mlango akaufunga kama alivyoukuta. Kichwani alikuwa akiiwazia sana ile picha, pengine Joesan alikuwa na nia mbaya zaidi ya kuzidi kumfanya kijana huyu zezeta, aliwaza hayo kutokana na ile picha pale ukutani lakini hakuishia kuwaza tu. Akaongoza moja kwa moja hadi kilipo chumba cha Joesan, hapa aliponyonga kitasa, mlango ukafunguka akaingia taratibu lakini mwanamke aliyemo humo ndani akashtuka na kuamka ghafla na kukamata simu ya mkononi. Alichelewa. Mtu huyo mwenye koti kwa kasi ya ajabu sana, aliruka na kuipiga teke ile simu ikaenda kuangukia ukutani huku simu hiyo ikipoteza uhalisia kwa kuchanguka baada ya kupiga vibaya ukutani. Mama huyo mwenye nyumba alibingilia na kuanguka chini ya kitanda kisha akachomoka na bastola ambayo nayo haikudumu mikononi mwake hata kwa sekunde tatu, ilipigwa kitaalamu sana kisha mama huyo akachotwa mtama na kujibwaga chini kwa kishindo. Wakati purukushani zikiwa zinaendelea, Mery alishtuka kutoka usingizini lakini mtu mwenye koti jeusi alimuona, akajirusha pale kitandani na kwenda kumgusa kidogo shingoni. Mtoto huyo akapoteza fahamu kisha akamnyanyua na kumtupia begani na kuchomoa bastola ndefu aliyokuwa ameihifadhi pajani mwake kwa kuifunga na mkanda maalumu na kumuelekezea mama huyo. Martha macho yalimtoka baada ya kuona kila jitihada za kujitetea zimegonga mwamba na sasa alikuwa akitazamana na mtutu wa bunduki.

“Joesan!” aliita mtu huyo mwenye koti jeusi kwa kunong’oneza mithili ya mtu anayeongea jambo la siri kwenye sikio la mtu mwingine. Akaendelea.
“ni muda wako sasa wa kuhisi maumivu. Ulilolipanga kwa huyu binti limefeli kuanzia sasa na najua ulikuwa umepanga kumuuwa kisaikolojia huyu pia kama ulivyomuuwa huyo liyempa jina lako unalotaka wewe ili tu umuondoe katikta kuutambua ukweli wa maisha yake na historia ya wazazi wake huku ukizidi kumzunguuka kwa kumwambia kuwa, jina la pili linaweza kuwa la kwanza. Kila wakati ulikuwa ukifurahi pale ulipokuwa ukilitaja jina la kijana huyo ulilolitunga mwenyewe kwa maslahi yako. Eti, Christiano Robin Isaya. F*ck Joesan” alimaliza kuongea kwa kumtukana tusi kubwa bwana Joesan kisha akaitoa usalama ile bastola na kuilekeza kwenye paji la uso la Martha ambaye alikuwa amefumba macho kukipokea kifo hicho. Alikubali kuolewa na mwanaume katili na muuwaji hivyo alijua fika ipo siku naye atakuja kuuwawa pindi mumewe akiwepo au kuto kuwepo, hivyo hakuwa akiogopa tena bali alichokuwa akikifanya hapo ni kumlaani mumewe mwanzo mwisho na alikuwa tayari kufa kwani hata hivyo hakuwa na cha kupoteza kama ni maisha alipokula panatosha. Faida yake hakuiona tena kwanza hakuwa mtu wa kuijaza dunia kama Mungu alivyoagiza na badala yake alikuwa akila tu bila kuleta faida. Mshahara wa dhambi ni mauti. Kweli ni hivyo lakini Martha alikuwa akihusishwa na kila baya kwa ……………………………..

na badala yake alikuwa akila tu bila kuleta faida. Mshahara wa dhambi ni mauti. Kweli ni hivyo lakini Martha alikuwa akihusishwa na kila baya kwa kukubali kuishi na bwa huyo, alikuwa akishuhudia kila unyama aliokuwa akiufabya mumewe na hakuchukua hatua yoyote, hivyo ni kama alikuwa akiyashiriki hayo mabaya. Hata kama hakuwa na sauti kwa mumewe lakini pengine angeweza kwa na uwezo wa kufanya jambo na mumewe huyo kuchuuliwa hatua. Labda aliridhishwa na tabia ya mumewe. Yule mtu aliyemshikia bastola akasema sasa akiwa anasema kwa sauti ya juu kidogo.

“fill pain Joesan” alipomaliza kusema hivyo akampiga risasi moja ya kwenye paji la uso. Risasi ambayo haikuweza kuacha alama yoyote pajini hapo, hakukuonesha kama alipigwa risasi maeneo hayo kwani hakukuwa na damu wala alama ya risasi yenyewe. Kisha mtu huyo mwenye koti akapotea na yule binti na kutokomea nae gizani.

Asubuhi ya siku iliyofuata ndiyo mambo yalipobumbuluka pale Joesan alipoingia nyumbani kwake na kukuta kila kitu kiko tofauti. Alimkuta mkewe mpendwa amekauka akiwa wa baridi kabisa kuonesha kuwa kifo kilimkuta muda kidogo. Wazo la nini kilichomuuwa mkewe likakaa kichwani, alimgeuza kila kona lakini hakujua ni nini kimemsibu mkewe. Alipatwa na machungu makubwa bwana huyo, aliumia sana moyo. Hakuweza kufanya kitu chochote kwa wakati huo alijikuta nguvu zikimuishia na kukaa kabisa kitandani. Japo alikuwa akimfanyia vituko mwanamke huyo lakini ni wazi alikuwa na mapenzi naye makubwa sana. Mtima wake ulimuuma sana kwa tukio la kukuta mkewe akiwa amekufa. Machozi ya uchungu yalimtoka, alilia kiume kwa muda mrefu hadi pale dukuduku zito la uchungu lilipomtoka mtimani mwake, ndipo akapata wazo la kuchunguza nini hasa kilichopelekea mkewe kufa. Alikikagua chumba kile ndipo akaona simu ambayo ilikuwa imetawanyika vibaya sana pia aliona bastola ndogo ikiwa imeangukia kwenye pembe ya kitanda. Akajua mtu aliyemvamia mkewe hakuwa daraja dogo, ni mtaalamu na anaejua nini anafanya. Ni nani? Na kwa nini? Akabaki kujiuliza. Ni wazi mkewe alikuwa anampango wa kumpigia simu ili kumjulisha kuwa amevamiwa lakini adui kwa alivyo shapu akamuwahi na kuipiga teke simu. Mkewe akakimbilia kwenye silaha angalau aweze kujitetea nako adui akamuwahi na kuipiga silaha hiyo teke na kuanguka mbali kisha akamuuwa. Sasa alimuuwaje mbona sioni alama ya risasi wala alama yoyote inayoonesha kama kanyongwa? Alibaki kujipa maswali mfululizo huku akimjengea picha muuwaji alivyoingia na kutekeleza jambo hilo. Alijenga picha ya kuhisi kuwa muuwaji alinyata, alinyata hadi kwenye kitanda alichokuwa amelala mkewe kisha akataka kumkaba. Mkewe akashtuka na kukimbilia simu, simu ile akaipiga teke. Akawahi bastola, nayo akaibeta kwa guu lake alilolipiga kiufundi zaidi kisha akamuuwa. Kamuuwaje sasa mbona sijui hata kifo alichouliwa mkewangu? alijiuliza hivyohivyo mawazoni. Akaacha hapo na kugeukia jinsi muuwaji alivyoondoka. Alipofika kwenye muuwaji kuondoka, hapo akamkumbuka mtu ambaye alitaka kumsahau, mtu huyo hakuwa mwingine bali ni Mery.

“yuko wapi mery mbona simuoni na mara nyingi amekuwa akilala na anti yake? Au leo hajalala humu?” alijiuliza na kutoka mule ndani na kuanza kutafuta kila kona ya ile nyumba. Masaa mawili ya kutafuta yaligonga ukuta. Alimkosa tena si kumkosa tu bali hata harufu ya binti yule mdogo hakuihisi. Mtu mzima alizidiwa ujanja. Joesan kilio kikaibuka upya, hapa sasa alilia kama mtoto. Alipoteza kila kitu sasa, amemkosa mke na pia amepoteza mtoto ambaye kwake alikuwa na faida kubwa kuliko kitu kingine. Alirudi chumbani kwake kwa kasi kubwa na kwenda kuuinua mwili wa mkewe na kuuweka kitandani kisha akatoka mbio sana mule ndani hata sijui kama alikumbuka kufunga mlango. Aliingia kwenye gari na kuliondoa kwa mwendo wa kasi sana, moyoni aliumia sana bwana huyo alikuwa na maumivu makubwa mno, kila wakati alikuwa akijiuliza ni nani anayemkanyaga paka mwenye njaa mkia. Alifika kwenye kampuni akiwa na hasira sana mwili wote ulikuwa ukimchemka. Kila aliyekuwa akipishana na yeye na kumsalimia, hakuna aliyejibu salamu yake kwa jinsi ambavyo ghadhabu ziliwamba kwenye kichwa chake hata mdomo wake kushindwa kunyanyuka. Alipitiliza hadi ilipo ofisi ya Suzane na kabla hata ya salamu akatoa amri kwa binti huyo kuwa atoe taarifa kwa dokta Emmy aagize wauguzi nyumbani kwake wakauchukue mwili wa mkewe kwa ajili ya kuufanyia uchunguzi kisha akamwambia akimaliza amfuate ofisini kwake. Suzane aliondoka hapo huku akiwa hamuelewi bosi wake. Baada ya muda Suzy aliingia kwenye ofisi ya bosi wake na kutwaa nafasi.

“nini boss kimetukia?” aliuliza Suzy.

Joesan hakuwa na hata nguvu ya kusema alimtazama mwanamke huyo na kuigamia kwenye kiti chake akiwa ameyaelekeza macho yake pembeni, akasema kwa upole mkubwa sana.

“kuna mtu amevamia usiku bila shaka nyumbani kwangu na kufanya mauwaji ya mke wangu na wamemteka Mery pia”
“boss! Unamaanisha Martha ameuwawa?”
“ndiyo Suzane na muuwaji alikuwa na sababu za kufanya mauwaji yale, inaniuma sana Suzy, naumia moyoni kuliko kawaida, Suzy nauona moyo wangu kama unataka kutoka kwa jinsi ninavyoumia. Martha ni mwanamke wa maisha yangu, Martha alikuwa akifanana na mimi kwa kila kitu. Martha alikuwa hana kizazi kama mimi, nimemfanyi vituko vingi sana yule mwanamke lakini hakujali alisimama kwenye part yake kama mwanamke” machozi yalimtoka Joesan, muuwaji naye akalia ama kwa hakika ni zamu yake. Ameondolewa mtu muhimu sana kwenye maisha yake. Yule mtu mwenye koti jeusi hakukose pale aliposema ‘Joesan fill pain’
“wamempiga risasi au wamemuuwa kwa kifo cha namana gani?” aliuliza tena Suzy. Joesan aligeuka na kumtazama vizuri Msichana huyo na kusema
“hicho ndicho kinacho nifanya nimlete huku ili daktari Emmy aje kuufanyi uchunguzi, mke wangu ameuwawa kitaalamu sana Suzy sijui hata muuwaji ametumia kifaa gani cha mauwaji, kama muuwaji anasababu za kufanya hayo, ni wazi vita yake hawata iweza nitahakikisha nampoteza mmoja baada ya mwingine, wauwaji ninao wa kutosha sana kabla hata sijamhusisha na Chriss” alisema Joesan huku akiwa yu katika majonzi mazito sana. Suzy akawa na kazi ya kumfariji bosi wake hadi pale mwili huo ulipoletwa ndipo Suzy alitoka na kuelekea kwenye chumba cha uchunguzi. Huko alikutana na Emmy ambaye alimuomba ampishe kwanza ili afanye kazi yake kisha atawaita. Suzy alitoka na kuelekea ofisini kwake. Ofisi nzima ilipata taarifa hizo na kwenda kumpa pole boss wao na kumtaka apige moyo konde kwani huo ndiyo uwanaume. Baada ya kama lisaa moja mbele, muuguzi alikuja na kumwambia Suzane kuwa yeye na boss wanahitajika ofisini kwa dokta Emmy. Wakanyanyuka kwa haraka sana na kukimbilia kwenye ofisi ya dokta, walipofika, walikaa kwenye nafasi zao na wote wakamtazama daktari huyo wa kike ambaye alianza kwa kutoa pole kwa bosi wake kisha akasema.

“mkeo hajafa kwa mapenzi ya Mungu bali ameuwawa na ameuwawa kitaalamu sana. katika uchunguzi tulioufanya kwa kushirikiana na wenzangu, tumegundua kwamba kifo cha mkeo kimesababishwa na sumu na sumu hiyo imetokana na kupigwa na kitu chenye ncha kali kama sindano ambayo imepenya kwenye paji la uso na kutokea kisogoni. Ni vigumu sana kugundua kama kitu hicho kimepenya hapo kutokana na udogo wa kifaa hicho pia na sumu hiyo ambayo bado hatujaigundua ni sumu gani, kuwa na sifa ya kusimamisha mfumo wa upumuaji kwa haraka sana na kugandisha damu kwa kiasi kikubwa ndiyo maana sehemu iliyopata madhara haikuweza hata kutoa damu” akanyamaza dokta Emmy, kisha akaendelea tena.
“tumeligundua hilo la kuchomwa na kitu chenye icha kali, baada ya kumgeuza upande wa nyuma ndipo tulipogungua kuwa amepigwa na kitu hicho na bila shaka ni kitu ambacho kimepata msukumo wa kasi sana, kama kasi ya usukumaji wa risasi kutoka kwenye chemba yake. Hatukuweza kuipata hiyo sindano, naamini hivyo kuwa ni sindano maana hakuna kitu kidogo vile halafu kisiwe sindano” alihitimisha maelezo yake dokta Emmy.
“tofauti na hilo dokta?” akauliza tena Joesan.
“tofauti na hilo hakuna zaidi ya hilo labda cha kuongezea ni kwamba anahitaji maziko ya haraka sana kabla ya kutokea mabadiliko mengine mwilini mwake kwa sababu hatujui hiyo sumu itkuwa na madhara gani mengine.” aliposema hivyo Joesan aliomba ripoti hiyo ya daktari na kuondoka nayo kisha akawatangazia wafanya kazi wote kuwa siku inayofuata ndiyo maziko ya mkewe, akatoka na kuelekea chumba cha mawasiliano huko akaomba aonane na Mr. Kim. Bwana huyo akamwambia kuwa kwa muda huo itakuwa ngumu kuonana kwani yuko nje ya mji huo wa Morogoro ila anaweza kumueleza shida yake. Joesan akamueleza kila kitu. Mr. Kim alivyopokea hizo taarifa alishtuka sana alichofanya ni kumwambia Joesan kuwa alikuwa na muda kama wa siku tatu nne hivi za kuwa nje ya mji ila kwa hilo atakatisha siku na kesho baada ya mazishi ataomba wakutane mahali. Joesan akakubali na safari ya kwenda kutafuta mahali pa kujifariji ikaanza.

**********************************************

Siku ya pili, siku ambayo ilikuwa ni ya kihistoria sana kwa Joesan. Siku ambayo alikuwa akimpeleka mkewe kwenye nyumba yake ya milele. Hakuna siku yenye kuumiza kama hii, siku hii ndiyo siku pekee inayokupa imani kuwa sasa utabaki mwenyewe na yule uliye mpenda na akakupenda kwa dhati ameamua kwenda kuishi maisha mengine atakayoandaliwa na mola wake kama yapo huko aendako. Siku hii pia ni siku utakayojikuta ukitaka kumuomba msamaha uliyemkosea ili akusamehe kwa sababu unaamini hakuna siku utakuja kumuona tena. Lakini ndiyo hivyo tena, hakuna nafasi ya kufanya hivyo na hata kama utapewa nafasi ya kufanya hivyo si kama ile ambayo..

Lakini ndiyo hivyo tena, hakuna nafasi ya kufanya hivyo na hata kama utapewa nafasi ya kufanya hivyo si kama ile ambayo muhusika akiwa hai. Hii wewe ndiye utakaye kuwa muongeaji mkubwa lakini hutapata jibu lolote kutoka kwa muombwaji msamaha huo. Siku ya huzuni ya kweli, siku ya kukuonesha uthamani wa yule aliyekutoka, siku yenye kuuma na kutesa moyo na pia ni siku ambayo hutaamini kama kweli ndiyo mwanzo wa kubaki mwenyewe. Joesan akiwa ndani ya suti nyeusi tii na mawani ya giza ambayo iliyaficha macho yake yanayotoa machozi kila wakati. Tendo hilo la utokaji wa machozi lilijidhihirisha kwa bwana huyo baada ya kuitoa mawani yake mara kwa mara na kupitisha kitambaa chake machoni ikiwa ni ishara ya kupangusa machozi hayo. Pembeni yake alikuwapo Suzane ambaye naye alibeba macho yenye majonzi mazito pia hakukosekana Merina pamoja na wafanya kazi wengine wa kampuni ya SC Company. Walikuwepo watu wengi sana. Watu hao wapo waliompenda Joesan na kumuamini kutokana na utoaji wake misaada kwa taasisi mbalimbali zisizojiweza, pia miongoni mwao wapo wale ambao huwa hawakosi msibani na walipenda kuhudhuria kila msiba huku wakiwa kipaumbele kwa kila jambo. Lakini pia walikuwapo watu maalumu waliokuwa wakisubiri amri ya ‘haya fukieni’. Hawa nao walikuwa ni watu maalumu ambao ndiyo wameamua kujiajiri kwa kazi hiyo ya uchimbaji na uzikaji katika shughuli mbalimbali za mazishi ya watu wenye pesa zao kama Joesan. Katikati ya kundi lile kubwa la watu waliokuwa wamehudhuria mazikoni, alikuwepo mwanadada mrefu ambaye yeye muda wote alipenda kumuangalia Chriss. Chriss hakuweza kumuona mwanadada huyo kutokana na kuficha macho yake kwenye mawani ya jua.

“kwa hakika tunao muda mrefu sana wa kuishi duniani lakini pia tunao muda wa kufa. Tunaijali dunia sana na kuisahau siku ambayo ndiyo siku inayokwenda kubadilisha historia nzima ya maisha yako. Kwa nini hamjui kuwa, hapa ndipo mahala pa kujiuliza, umemtendea nini bwana Mungu wako, hapa ndiyo pa kujiuliza ni yapi mabaya yasiyompendeza bwana na unayafanya kwa makusudi huku ukijua kuwa ipo siku utakuwa huna ujanja. Tunatakiwa tujifunze kila siku na kila wakati kuwa ipo siku tutarejea kwake bwana mungu wetu. Mwenzetu amekwenda kwa amani……!” alikuwa akisema mchungaji ambaye ndiye aliyekuwa akiongoza mazishi hayo. Alikatishwa na kilio Cha Joesan, kilio cha uchumgu sana, kilio kilichomfanya hadi mchungaji huyo kupatwa na huzuni ya aina yake. Merina na Suzane wakamkaribia na kumpigapiga mgongoni huku wakimliwaza kwa maneno ya kishujaa. Yule mwanamke aliyekuwa akimtazana Chriss kila wakati akawa anatabasamu kwa tabasamu la mbali sana ambalo si rahisi kuligundua kirahisi. Chriss alikuwa yu katika uchungu pia japo alikuwa hajui huyo anayemfanya bosi wake kulia ndiyo yule anti yake aliyekuwa akimpenda na kumjali. Joesan alitamani kumwambia Chriss kuwa huyo anayetaka kuzikwa hapo ni yule uliyekuwa ukimuita shangazi lakini angeanza vipi hadi kueleweka, akajikuta akizidi kulia maradufu. Kwa kweli tuliumbwa kwa mavumbi na tutarudi mavumbini pia. Ulifika ule muda wa Joesan kwenda kutupa mchanga juu ya sanduku lile lililo ndani ya shimo la kaburi ikiwa ni hatua za mwisho za kumzika Martha. Joesan aliukama mchanga kwa nguvu sana na kukunja ngumi kwa ghadhabu kubwa hadi mchungaji akaogopa kisha akaongea moyoni.

“nenda kwa amani mke wangu ila naapa kuwa sitamuacha hai aliyesababisha haya kisha akatia mchanga ndani ya shimo lile na kugeuka kisha akaondoka mazima huku nyuma akiacha watu wakiendelea na shughuli za umaliziaji.

Watu wakaanza kutawanyika mmoja mmoja. Chriss yeye alikuwa akiondoka taratibu eneo hilo na kuelekea mahali lilipo gari lake, akapanda na kutaka kuondoka. Mara pikipiki kubwa XLR, likapiga breaki kwenye upande ule alioko yeye kisha mtu aliyeko juu ya pikipiki hilo akafunua kofia lile la kijikinga na kuionesha sura yake kisha akatabasamu na kuliruhusu pikipiki hilo kuondoka kwa mwendo wa kasi mahali hapo. Chriss alibaki mdomo wazi. Sura ya mwanamke huyo hakuijua hata kidogo na hakuwahi kuiona mahali popote pale. Hakujiuliza sana ila kitu kilichomshangaza ni kwanini msichana huyo alitabasamu maeneo kama yale ya kuhuzunisha. Aliondika hapo kwa kasi pia huku akiangalia kama anaweza kujua uelekeo ambao msichana huyo ameuchukua lakini hakuuona ikabidi aachane nae. Akachukua uelekeo wa nyumbani kwake.

Siku huyo hakukuwa na mtu aliyeingia kazini kila mtu alikuwa katika hali ya kimsiba msiba ni wafanya kazi wachache sana ndiyo walikwenda kazini mara baada ya kutoka msibani. Mzee Rafael yeye baada ya kutoka msibani, aliamua nusu siku hiyo akaimalizie nyumbani kwani hakuwa na kazi sana ofisini siku hiyo. Alikuwa ametulia Sebuleni kwake akiwa na tafakuli nyingi sana ubongoni mwake, aliukumbuka usiku wa siku ya tatu iliyopita. alikumbuka jinsi umeme ulivyokatika kiajabu ajabu na kamera zote za kampuni kuzima.

“ni kweli lile lilikuwa ni tatizo la kawida la hitilafu ya umeme? Hapana hili jambo siliafiki hata kidogo. Mbona kwenye ofisi yangu nilikuta alama za viatu?” alizidi kujiuliza mzee huyo.

“ninafanya jambo la maana sana kila ninapotoka ofisini kwangu kuiacha sakafu ikiwa na vumbi na sitaki ifanyiwe usafi hadi mwenyewe nifike kwanza. Kuna mtaalamu wa kazi ameingia humu kwenye kampuni na si bure kuna jambo alilifuata, hii inaweza kuwa hatari sana. Naweza kumwambia Boss hili swala, lakini hapana, hebu ngoja kwanza nilifikirie kwanza hili jambo, sitakiwi kukurupuka kusema lakini lile tukio halikuwa la kawaida na mtu aliyeingia humu ndani ndiye aliyetekeleza mauwaji ya mke wa boss na kama ni kweli basi ujue kazi imeanza” alizidi kuwaza mzee huyo hadi akapitiwa na usingizi hapo hapo sebuleni hadi alipokuja kushtuka muda ulikuwa umekwenda sana. Alijinyanyua na kuelekea kwenye chumba chake cha mazoezi hapo nyumbani kwake na kunyoosha mwili kidogo kabla ya kuingia jikoni na kujiandalia chakula. Hakuwa na mke mzee huyo, tangia mkewe alipopoteza maisha hakuhitaji tena kuoa japo watoto wake walimsihi sana kufanya hivyo lakini aligoma kwani maisha yake anayoishi ndiyo yaliyosababisha kifo cha mama yao, hivyo kuoa tena ni sawa na kuzidi kuleta matatizo kwenye familia yake. Akaona ni bora abaki mwenyewe kama ni kufa aje afe akiwa mwenyewe pia.
“pole sana kijana wangu kwa msiba mzito ulioupata.” alitoa pole Mr. Kim mara baada ya Joesan kufika kwenye moja ya majumba yake ya siri.
“nimesha poa mkuu ila nimeumia sana kwa pigo hili ni jambo lililokuja ghafla sana”
“najua umeumia sana lakini ndiyo kanuni za maisha, maisha unayoishi yana kanuni zake na hiyo ni moja ya kanuni za maisha unayoishi. Ukumbuke kuna watu umewaumiza sana hadi hapo, sasa huo ni uchungu wa maumivu ya watu waliowahi kuumizwa na wewe”
alisema Kim kwa utaratibu sana.
“daah! Sijategemea kama nitakuja kuumia kama nilivyoumizwa na hiki kifo si…….!”
“pole sana, hebu nipe hiyo ripoti ya uchunguzi wa dokta, Joesan” alikatishwa Joesan kwa kuombwa karatasi iliyobeba ripoti ya uchunguzi. Akampa mzee huyo. Kim akaipitia kisha akashtuka zaidi na zaidi kila alippkuwa akiisoma ripoti hiyo ya uchunguzi uliofanywa kwenye mwili wa Martha. Alishusha pumzi nzito na kuuangusha mgongo wake kwenye kiti na kutazama juu ya paa kabla ya kuunguruma kama dume la njiwa. Akageuka kwa upole sana akimtazama Joe aliyeweka utulivu wa hali ya juu. Bwana kim akajikohoza na kufinya macho yake madogo kabla ya kuunguruma tena, akasema.

“huyu ni D.A”
“nani!?” akauliza Joesan akiwa kama hajasikia vizuri. Mzee huyo akamtazama machoni na kumuangalia kwa muda mrefu kama anayemuuliza kwa macho kuwa kweli hujasikia au unaleta mchezo wa kuigiza. Au ni kweli hujaelewa. Lakini akarudia tena.

“huyu ni D.A, anajiita jina hili likiwa na maana ya DEATH ADDERS. Huyu ni nyoka hatari sana, Joesan. Na amejiita hivi kwa sababu ni miongoni mwa nyoka hatari sana aliokuwa akiwapenda. Nilishawahi kuishi naye tempo moja huyu mzee huko nchini China na baada ya kumaliza mafunzo yetu ya awali tukahamia kwenye tempo jingine tofauti na lile la mwanzo. La mwanzo lilikuwa ni tempo la Budha. Tulijifunza imani za kibudha na mimi na yeye ndiyo tulikuwa ni watu wenye uwezo mkubwa sana kuliko wanafunzi wote. Tulipofuzu ndipo mimi nikaamua kuongeza ujuzi kwa kwenda kujifunza kwenye Tempo jingine hili lilikuwa la Mashaolin au Buda. Cha ajabu nilimkuta huko na akawa yeye ndiyo anauwezo mkubwa kuliko mimi. Kitendo hicho kilinikera sana, kwanini anipite wakati mwanzo tulikuwa ni watu wenye uwezo sawa. (hapo alificha kidogo lakini alitaka kusema, kwa nini apitwe na mtu mweusi wakati mapigano ni ya watu weupe tena kutoka huko China na Korea). Akazidi kuongea.
“kila nilipojaribu kumfukuza, nilijikuta nikifeli. Lakini siku kata tamaa, nikaongeza juhudi hadi nikafanikiwa kuufikia uwezo wake. lakini hapo mimi na yeye tukawa hatupendani hata kidogo. Siku moja walimu wetu wakaweka shindano la kupambana. Tulijipanga wanafunzi wote, pambano likaanza kwa utangulizi wa wanafunzi wadogo kisha tukapangwa sisi mahasimu. Lilikuwa ni pambano gumu sana sitaki kudanganya na tulipambana kwa muda mrefu kwa kutumia silaha mbalimbali lakini alikuja kunishinda mwishoni kwenye mapigano ya bila kutumia silaha, alinipiga na kuniangusha vibaya sana hadi nikakubali kushindwa. Wanafunzi wote pamoja na walimu walimsifia sana, jambo hilo likazidi kunikera zaidi na kuweka chuki moyoni mwangu dhidi yake. Siku moja nyingine, tukapata tuwa ya kwenda Australia kama wanafunzi. Huko ndiko mimi na bwana huyo tulizidi kuchukiana mimi nilipenda vitu vyangu na yeye alipenda vyake huku akiwa na wafuasi wengi sana kuliko mimi. Tukaenda kutembelea kwenye pori lenye nyoka wakali na wanaosifika kuwa na sumu kali. yeye akatokea sana kumpenda huyo nyoka mwenuye meno makali na membamba sana anayekwenda kwa jina hilo la Death Adders. Huyo ni nyoka hatari sana na sumu yake ni hatari kupindukia. Tuliporudi kambini, mimi nikatengeneza silaha ambayo kama unakumbuka nilisema silaha hiyo imetengenezwa inchi Urusi lakini si kweli. Silaha hiyo niliitengeneza mimi kwa mikono yangu. Silaha hiyo ni ………………………….

Silaha hiyo niliitengeneza mimi kwa mikono yangu. Silaha hiyo ni bastola fupi na risasi zake ndio hizo zenye alama ya nyota ambazo nimezipa jina la Star Bullet. Hapo nikafarijika na kuamini ipo siku nitkuja kumuangamiza. Lakini D.A alikuwa kama shetani aisee, haikuwa vile nilivyofikiria, nilijidanganya. Kwa sababu na yeye alikuwa ni mtaalamu, akatengeneza silaha ya kwake ambayo nayo ilikuwa ni bastola lakini hiyo ilikuwa ndefu. yeye ya kwake ilikuwa ikitumia risasi nyembamba sana mfano wa meno ya huyo nyoka na kuziita Snake Pin Bullet (SPB) ambazo alizipika kwa mchanganyiko wa sumu kali ambazo sijui ni sumu gani na sumu gani. Hakutaka kusema mchanganyiko huo wa hizo sumu ni upi na upi lakini ukimuuliza sumu iliyopo kwenye risasi hizo, anasema ni sumu aina ya NEUROTOXINC. Kijana wangu hiyo si sumu ya mchezo ni sumu hatari mno ambayo inakuuwa kwa sekunde chache tu, inasifa ya kushambulia sana mfumo wa upumuaji na kuupa mshtuko moyo kwa ghafla sana. Nilipanga kumfanyia ubaya kwa sababu hakuwa mwema kwangu. Nilichelewa kwani alinishtaki kwenye uongozi wa kile chuo na mimi kufukuzwa kutokana na utengenezaji wa silaha hatari kinyume na imani za Mabuda. Nikaapa kulipa kwa kumtia hasara kisha kumuuwa taratibu. Nikapata habari kuwa amerudi kwao Tanzania na ameoa na anamtoto mmoja wa kiume. Nikapanga kuja Tanzania ili kumuangamiza niishi kwa amani, maana kuwepo hai mtu huyo kwangu niliona ni kama kulala ndani ya nyumba yako mwenyewe huku nje watu wakiwa wanilipua kwa moto. Kweli nikapanga safari na kuja huku kwa lengo la kuwekeza lakini ndani yake nilikuwa na kitu kingine. Na baada ya kumuuwa rafiki yako na kukuachia huyu kijana Chriss, nikasubiri ipite miaka mingine mingi ndipo nianze kumpa maumivu huyo mzee. Baada ya miaka kumi kupita huku tukiwa tumejiimaarisha angalau, ndipo nikakutuma umuuwe yule kijana ambaye binti yake ndiyo yule uliyekuwa ukiishi nae. Yule kijana alikuwa ni mtoto wa D.A. Yeye baada ya kuona ni mimi niliyesababisha mauwaji ya kijana wake, akakimbia kabisa hii nchi na sikuwahi kusikia habari zake tena hadi hii leo ambapo amekuja kumchukua mjukuu wake. Amejidhihirisha kwa silaha aliyoitumia pia amejidhihirisha kwa kuondoka na binti yake. Huu ni wakati wa kumtumia Chriss sasa kwani hata yeye anaonekana ana mpiganaji hatari na ndiye aliyekuja kutekeleza hayo mauwaji.” historia hiyo ilimfanya Joesan kushusha pumzi nzito sana. Ilikuwa ni historia ya kusimumua sana na iliusisimua sana moyo wa bwana huyo. Kumbe kufanya mauwaji ya yule kijana alidhani anapora mali na kuongeza utajiri, kumbe ndani yake kulikuwa na kisasi. Alichoka aisee lakini alijipa imani kuwa ni bora amejua na kujua huko kutamfanya awe makini zaidi kuliko wakati akiwa hajui.

“kile kikao” aliendelea mr. Kim.
“kile kikao cha siri tulichokaa siku ile usiku, tulikuwa tuna mjadili huyu mzee na ndiye niliyetaka kumtuma Sex Machine akanitafutie huyo mzee popote duniani lakini niliona ingekuwa ni kazi kubwa sana kutokana sijui ni wapi amejificha. Sasa kwa hili tukio alilolifanya ni wazi ameanza kujitokeza kutoka mafichoni, acha aje itakuwa rahisi sisi kumnasa kuliko kama ningemtafuta mimi.” aliongea Mr. Kim na kumalizia.
“Sex machine ataanza kazi ya kufanya mapenzi kwa kuwaingilia wanaume kinyume na maumbile (mashoga). Akishamaliza hilo, sasa tunampeleka moja kwa moja kwenye hii vita aliyoinunua huyo mpuuzi D.A.” alipo maliza kusema hivyo Kim, alipeana mkono na Joesan kisha akamwambia awe kawaida tu na ayachukulie maumivu ni sehemu ya maisha.

SAA 22:08 USIKU.

Maeneo fulani boma Road. Ndani ya jingo la orofa moja, ndani ya chumba kimoja. Muziki mwanana wa kitanzania ulikuwa ukimpa burudani binti mmoja mrembo, mwenye rangi ya chungwa. akiwa amevaa mavazi ya mazoea yaani mavazi penzi ya moyo wake. Alikuwa amevaa bikini nyekundu, juu akiwa amepiga kishati cha kibuluu ambacho alikuwa amefunga kifungo kimoja tu cha katikati na kuacha tumbo lake dogo wazi na sehemu kubwa ya matiti yake ikionekana. Mbele ya meza yake ya kioo iliyokuwa imebeba miguu yake mizuri minene ya kuvutia, miguu isiyojua shuruba kwa mtazamo, miguu ambayo inapendeza kuipapasa na kuishikashika. Pembeni ya hiyo miguu kulikuwa na Chupa kubwa ya mvinyo ambayo alishamimina kiasi fulani kwenye birauli. Alikuwa busy na kuangalia picha kwenye kompyuta yake mpakato aliyokuwa ameiweka mapajani. Kila picha alikuwa akiitazama kwa namna yake. Nyengine zilimfanya akunje sura nyingine zilimfanya atabasamu na nyingine zikamfanya asikitike. Mwisho aliruhusu video ya ngono akawa anaingalia huku machozi yakiwa yanamtoka. Hakuendelea sana kuitazama video hiyo, aliamua kuiweka kompyuta yake pembeni na kuizima kabisa. kisha akajilaza pale sofani na kutafakari hili na lile kabla ya kukaa vizuri na kuugida ule mvinyo wote ulioko kwenye birauli kisha akajinyanyua na kuaza kunengua. Umbo lake halisi likaonekana vizuri. Alikuwa na hipsi zilizotawanyika na kuufanya mlima mdogo wa makalio kusimama vizuri. mbele palijaa sana tukiachana na makalio mazuri.makubwa ya kuvutia na yanayopendeza kuyashika, pia alikuwa na paja za nguvu zilizo nona. Hakika alikuwa ni mrembo wa nguvu sana binti huyo. Alikuwa akicheza kwa maringo sana na alionekana kuujulia muziki wa kitazania. Alicheza sana na kumwagika jasho kabisa, alicheza kwa hisia mno. Bila shaka ilikuwa ni katika kupunguza wingi wa mawazo aliyokuwa nayo.
“ushahidi wa kukupata ninao Sex machine.” alisema maneno hayo tu na kuachana na
kucheza kisha akaingia zake bafuni na kwenda kuchezea maji. Bado alama za viatu alizozikuta Rafael ofisini kwake, zilizidi kumpa mawazo sana. Hakutaka kuamini kabisa kuwa aliye kuja kuvamia usiku alikuwa ni mwema kwake au kwa kampuni lakini kila akitaka kuliweka wazi jambo lile moyo wake ulisita. Kitu kimoja kilichomfurahisha ni kwamba alikumbuka kuwa ndani ya ofisi yake hakukuwa na jambo lolote lililofanywa na mvamizi huyo pia hakukuwa na kitu kilichopotea. Hicho ndicho kilicho mfanya awe na imani kuwa mvamizi huyo wa usiku alikuwa na jambo la hatari kwa kampuni na lenye faida kwake.

Mishe mishe zilikuwa nyingi sana katika kampuni hiyo, kila mfanyakazi alirudi kwenye nafasi yake na kuendelea na majukumu kama kawaida. Ofisi zote zilikuwa wazi hata ya Chriss pia ilikuwa wazi na kwa muda huo wa asubuhi, alikuwa akiminyaminya kicharazio cha kompyuta yake akifanya hiki na kile alimradi ni katika kuifurahisha nafsi yake. Joesan yeye alikuwa ni mtu mwenye mawazo mengi sana, hakuwa sawa kabisa, japo aliambiwa apige moyo konde na kupisha yaliyopita yapite, bado hakuonekana kuamini kama kweli yu peke yake kifamilia. Machozi yalitaka kumuanza kumtoka lakini roho ya kiume ikaziba nafasi na kuyafinya machozi yote yaliyokuwa yakiukaribia mlango wa kope zake za macho.

“kama ni kweli haya yaliyotokea, basi ni wakati wa kuwa macho na huu ni wakati muafaka wa kuliinua jeshi langu. Vijana wangu ni lazima wawe imara zaidi na sitakiwi kuwa nao mbali” aliwaza Joesan.

Ama kwa hakika waweza kufanya ubaya lakini usiwe na moyo mgumu wa kukabiliana na ubaya huo pindi tu ubaya utakapo pinduka na kukugeukia. Pigo moja la kuuwawa kwa mkewe, Joesan tayari alikuwa ni mwingi wa hofu sana. Aliona kuwa huo ndiyo wakati wa pekee kuhakikisha kuwa anafanya maandalizi ya kuweza kukabiliana na hao waliomuonesha kuwa hata wao wanaweza kumuweka roho juu. Alikuwa amesahau semi za wahenga kuwa ‘unapozika wana wa wenzako, ukubali nawe siku moja kuja kuzikiwa wa kwako. Joesan aliona raha kuwajaza watu uchungu kwa kuwapoteza watu wawapendao akiamini yeye si wa kukutwa na uchungu huo. Hakujua kuwa mtenda naye hutendwa, alaye nyama ya mwenzake naye huliwa ya kwake, kama hakujua haya yote basi anatakiwa afahamu na ajipange.

“nitahakikisha hakuna mtu anabaki hai, hata kama awe na nguvu kiasi gani lakini hapa wamechokoza sipo. Nituwaaaa nasemaaa!!” alikuwa akiongea kwa sauti ya chini hatimaye akaamua kupiga kelele kabisa kwa hasira alizokuwa nazo. Alijizunguusha pale kitini huku na huku kisha akakizunguusha na kumgeuza nyuma ambako alisimama na kukiacha kile kiti na kwenda hadi dirishani hapo akawa anaushangaa mji huo wa Morogoro kwa mapana zaidi. Aliwaza mengi hapo dirishani, tangu anauona mji huo wa Morogoro, hadi kupoteza kabisa taswira yake na kutokujua anaangalia nini, alikuwa ameduwaa tu na kama angetokea mtu wa kumshitua mahali hapo, basi angetoka na hicho kioo hadi chini. Mawazo yake yalikuwa mbali sana. Alipiga kite cha uchovu na kujitoa pale dirishani ambako hakujua alikuwa akitazama nini kisha akakamata simu yake na kuiweka sikioni baada ya kuwa ameingiza namba kadhaa kwenye simu hiyo na kubonyeza kitufe cha kupigia. Simu ikaita kwa muda mfupi na hatimae ikapokelewa.

“bwana mkubwa” ilisema sauti ya upande wa pili namna hiyo.
“Mpe taarifa Mandi, Sembugi, nawahitaji leo usiku na tukutane kwenye baa ndogo ya mafichoni kule Mriti mida ya saa tatu usiku leo.”
“sawa bwana mkubwa, hazita zidi hata sekunde tano tutakuwa tumekwishafika mahali hapo” akajibu mtu huyo ambaye alikuwa ni Sembugi. Joesan akamwambia powa na asikawie ni muhimu sana kisha akakata simu na kuiweka mfukoni halafu akatoka humo ofisini kwake hadi nje akataka kuelekea kwenye ofisi nyingine lakini akasita na kurudi tena ofini kwake. Alikuwa mithili ya mtu aliyechanganyikiwa sana. Alipofika mule ofisini, alichukua simu ya ofisi na kubofya namba mbili tatu na kuiweka sikioni.

“Suzane, naomba uje na merina ofini kwangu muda huu” alitoa amri kisha akairudisha ile simu kwenye kikalio chake na kuigamia kwenye kiti chake. Dakika moja baadae, mlango wa ofisi hiyo ukafunguliwa na mabinti wawili wakaingia na kutafuta nafasi. Joesan alitulia ……………..

Joesan alitulia kimya akiwa hawatazami ni kama hakuwaona mabinti hao. Sekunde kadhaa zikapita ndipo bwana huyo akasema.

“Merina!” aliita kisha akaendelea.
“nadhani unakumbuka nilikuuliza kama unakitu cha ziada ukaniambia kuwa unacho,” akaweka koma na kumtazama Merina kama anayetaka kusikia kitu kutoka kwake na kuendelea.
“ni muda wa kujua ni kitu gani kipo mwilini mwako. Nahitaji kuwa na timu imara na madhubuti na timu hiyo ninayoitegemea ni nyinyi mjue….., Suzane?!” akasema hayo kisha akaita jina hilo na huyo aliyeitwa akatikisa kichwa kuitika.
“nataka tuongozane hadi kwenye uwanja wa mazoezi amabao unatumiwa na mzee Rafael ili nikajue ni kitu gani kipo mwilini mwa Merina kisha nitawaambia kwa nini ninataka iwe hivyo” alisema Joesan na kunyanyuka mahali hapo kisha kutoka pamoja humo ofisini. walielekea hadi ulipo uwanja huo wa mafunzo ambako walimkuta Rafael akiendelea na kazi ya kuwafua vijana. Mzee huyo alipomuona Joesan mahali hapo alisitisha alichokuwa akikifanya na kumgeukia Joesan.

“boss nini tena mbona huku muda huu?” aliuliza mzee huyo ambaye ni mzee mpole sana asiye na papara katika mambo yake.
“Rafael!” aliita Joesan kwa dharau kubwa kana kwamba anayemuita hapo ni mtu anayelingana nae ki umri. Akasema.
“nataka unitafutie kijana unayemuamini katika mapambano na uniletee hapa mbele” maneno hayo yakamfanya Rafael kushtuka.
“mtu ninayemuamini? anataka kumfanya nini huyu katili? Mbona sielewi?” alizidi kujiuliza mzee Rafael lakini hakuwa na jinsi mahali hapo zaidi ya kumtoa kijana huyo aliyeambiwa amtoe. Kijana akaitwa na kusogea hapo mbele na kusimama kwa heshima kubwa.
“ndiyo huyu?” aliuliza Joesan kana kwmba hamuamini huyo aliyeletwa mahali yapo.
“ndiyo boss, huyo ndiye kijana ninayemuamini sana” alijibu Rafael. Joesan akamsogelea kijana huyo na kumzunguuka zunguuka kisha akasimama mbele ya kijana huyo na kusema.
“Merina huyu kijana ni mzuri katika nyanja za mapigano kama ulivyo msikia mwalimu wake alivyosema hivyo nataka nione uwezo wako leo hii mahali hapa, hebu pambana na huyu mtu tuone” alisema Joesan, Merina na yule kijana wakasimama tayari kabisa kuanza mapambano. Kila mmoja alikuwa kakaa mkao wa kupambana kweli, hakuna aliyeonesha tabasamu eneo hilo. Kijana yule akaja na mapigo ya karate lakini binti huyo akayatoka kwa utaalamu mkubwa sana. Alipotaka kumvamia kijana huyo, Joesan akasimamisha hilo pambano na kusema.

“nilisahau kitu kimoja kukisema kwenu kama sheria ya hilo pambano, kila mmoja hapo ajue kuwa anatakiwa kuuwa yaani sitaki kuona wote mnatoka hapo mkiwa wazima bila mmoja kufa. Maneno yale yalimfanya kila mtu pale kuogopa si kwa wapiganaji pekee bali hata Suzane na mzee Rafael walishtuka.
” wanatakiwa kuuwana? shit!” aliwaza mzee huyo akiwa anasikitika sana juu ya maneno hayo na hakujua kwanini bosi wake huyo ameamua kusema maneno hayo. Suzane alimtazama Merina na kumsikitikia sana, alijua hapo hawezi kuchomoka akiwa hai hata kidogo, ni lazima atalostishwa mahali hapo. Na kila akimuangalia kijana ambaye alikuwa akipambana nae, hofu ya moyo wa Suzane, ilizidi kuongezeka hatua kwa hatua. Maana kijana huyo alikuwa na mwili uliokubali mazoezi, hakuwa na sura ya kuonesha mzaha mahali hapo hata kidogo. Mpambano ulikuwa umesha ruhusiwa, kila mpambanaji alikuwa na muda mdogo tu wa kumsoma mwenzake na kujua atashinda kwa namna gani. Walizunguukana kama majogoo huku kila mmoja akiwa makini kumkabili mwenzake. Merina alikuwa kama si mtu wa kutaka kupambana kwa jinsi alivyokuwa amesimama na hakuwa pia amesimama katika tension yoyote ile. Yule kijana muda wote alikuwa akitabasamu na kumtisha binti huyo ambaye alikuwa hatishiki hata kidogo. Kijana huyo akaja kwa pigo kali la judo na kumshambulia Merina, Merina alirudi nyuma huku akikabiliana na mapigo ya mtu huyo kisha akayumba kidogo na kuikwepa ngumi iliyopigwa kitaalamu kabisa ambayo ilikuwa ikienda kuiharibu kabisa sura yake ya urembo. Alirudi juu kwa kunesa huku mashambulizi kwa upande wake yakiwa yanaendelea kwa kasi ya ajabu lakini ghafla ukelele wa uchungu na maumivu ulisijika hapo huku kijana huyo akionekana kushika mbavu zake baada ya msichana huyo kupiga pigo baya sana maeneo hayo. Pigo hilo lilimuweka Rafael katika mshangao mkubwa, lilikuwa ni pigo baya sana ambalo kitaalamu Rafael alijua kuwa mbavu changa za mwanafunzi wake hazikuwa salama. Uwanaume ndiwo uliyomfanya azidi kuoneshs ari ya kupambana lakini ki uhalisia kijana huyo alikuwa si wa kuendelea kupambana kabisa. Pigo lile lilikwenda kuharibu mbavu zake changa kwa kuzivunja vibaya sana. Alikuja kijana huyo huku akiwa ameinama upande mmoja, Merina alibadili mtindo wake wa kusimama na kumsubiri kijana huyo ambaye kwa namana yoyote ile alikuwa yu katika hali mbaya. Na laiti kama ingelikuwa ni majaribio ya kawaida ambayo hakutakiwa kufa mtu basi kijana huyo angenyanyua mikono juu kuonesha kuwa ameshindwa pambano hilo. Lakini hapo alikuwa ni lazima apambane hadi mwisho na ashindwe akiwa ni marehemu tayari. Alirusha makonde mawili huku akiwa anapiga kelele za hasira, makonde hayo hayakuwa na lengo, yalipiga hewa na kisha kupishwa kidogo akawa anakuja mzima mzima. Binti huyo aligeuka kwa kasi ya ajabu na kupiga pigo baya nyuma ya shingo la kijana huyo, hakuridhika hivyo bali aliruka juu Merina kwa mtindo wa ajabu sana na kukamata kchwa cha kijana huyo na kuzunguka nacho hadi kikatoa sauti ya mvunjiko mithili ya mti mkavu. Alipohakikisha amevunja shingo la kijana huyo, alirudi naye chini na kumpinda kwa nyuma kisha akapiga kweye koo la kijana huyo kwa nguvu sana akiwa amekiweka kijanja chake cha mkono mithili ya upanga kisha kumuacha akidondoka chini akiwa hana uhai tayari. Alimgeukia Joesan binti huyo na kumwambia kuwa kazi aliyompa amekwisha ikamilisha. Sura ya Merina haikuwa ile iliyokuwa ikitoa tabasamu kila wakati, hiyo ilikuwa ni sura nyingine kabisa, sura ambayo ilikuwa ni yenye kuhitaji mauwaji zaidi ya hayo aliyoyafanya hapo. Joesan kabla hajatoa jibu lolote, simu yake ya mkononi ikaita. Akaipokea na kuiweka sikioni.
“ongeza vijana wawili ili huyo binti auwe tena. Hapo sura yake na roho yake inahitaji zaidi ya mauwaji hivyo anaweza kuuwa wakati wowote, hebu fanya nilivyokuelekeza kwanza na haraka mno” sauti hiyo ikakoma. Ilikuwa ni namba ngeni japo sauti aliielewa. Akamtazama Merina, Merina alikuwa ameelekeza sura yake pembeni na alikuwa akitweta sana mithili ya kiumbe hatari anayejizuia kufanya ubaya. Joesan akamgeukia mwalimu Rafael na
kumwambia kuwa aongeze vijana wengine wawili mahili. Vijana bila kupinga wakaongezwa na walikuja kwa kasi sana huku wakiwa na mori wa kupambana lakini walichokutana nacho hata muda wa kuhadithi hawakuupata. kilikuwa ni kichapo cha sekunde kama kumi na mbili tu kilichotukia mahali hapo. Suzane akabaki mdomo wazi. Hakutegemea kumuona Merina katika uhatari kiasi hicho. Alianza kumuogopa binti huyo, lilikuwa ni shambulio lililokwenda kuwaharibu mazima wale vijana walioongezwa. Merina aliruka juu na kubingilia hewani kisha akarudi chini ghafla akiwaacha maadui zake wakiwa hawelewi hata washambule namna gani. Mwanamke huyo alizunguka pale chini akiwa amesimama na kuleta muonekano wa kushangaza. Ghafla alijirusha kwa wale vijana na kutupa kucha zilizowararuwa wote na kuwauwa kwa kifo cha aina yake. Dada huyo ndipo alipoamka na kutabasamu akiwa amejaa damu mikononi mwake. Suzane na umafia wote hapo alijiona ni mtoto mdogo sana na hawezi hata kujaribu kugusa huo moto. Walitoka hapo hadi ofisini, huko akaawambia kuwa anahitaji kupumzika hivyo kila mmoja aelekee kwenye wajibu wake. Merina na Suzane wakaondoka hapo.

“shost kumbe muda wote tuko wote hapa, hata huniambii kama unautaalamu mkubwa kiasi hicho?” alisema Suzy huku wakiwa wanatembea kwa mwendo wa haraka wakielekea mahali pao pa kazi maana Merina na Suzy walikuwa wapo ofisi moja.
“kawaida tu shost na nilitakiwa kuwa kimya hivyohivyo sema sikuwa na uwezo wa kumpinga boss kwani sina sauti juu yake na nimeambiwa hivyo kuwa yeye ndiye atakuwa mwenye sauti ya mwisho kwangu” aliongea hivyo Merina huku akiwa anaosha mikono yake kwa maji na dawa fulani ya kuondoa uchafu wa kila aina kisha wakafungua mlango wa ofisi yao na kukaa kwenye viti kila mmoja. Suzy hakuwa na jingine la kusema, alijua labda mtu huyo atakuwa chini yake kiutendaji na hivyo ndivyo alivyoambiwa na Joesan lakini kwa kauli ya binti huyo kwa uchechefu tu inaonekana yuko juu zaidi yake na ameletwa ndani ya hii kampuni kwa kazi maalumu. Kazi ambayo oda yake imetoka kwa mkuu bila shaka maana hata boss wao mwenyewe hajui hilo.

Kwa upande wa Joesan baada ya wale mabinti kutoka akapokea simu kupitia namba yake ya simu ya mkononi kama awali
Akairuhusu na kuisikiliza, sauti ilikuwa ni ya mkuu, kitu kilichomshangaza Joesan ni kitendo cha mkuu kumpigia moja kwa moja kwenye simu yake ya mkononi na ikiwa hajawahi kumpa namba yake.

“kijana wangu.” ndivyo alivyoanza mazungumzo mkuu. Akaendelea.
“binaadamu tunatakiwa kuishi kwa maandalizi ya baadae kwani hatujaumbwa tukakamilika, hivyo hupaswi kujiamini moja kwa moja hasa unapojua kuwa kwenye mafanikio yako, nyuma kuna lundo la maadui wasiyopenda mafanikio hayo. Nilijua kuwa itafika siku kama hii ya kuhitaji msaada, nilijua kuwa itafika siku kama hii ya kujiimarisha na wale wanaotaka kukunyima uhuru lakini pia nilijuwa pia utafika muda na siku kama hii ya kutakiwa kuitumia au kuyatumia maandalizi tuliokwisha kuyandaa kabla.” akakohoa kidogo na kushusha pumzi.kiasi na kuendelea kusema.
” huyo niliyekupa ni mtu atakayecheza pati nyingi sana kwako, kwanza ndiye atakayekuwa tulizo lako, namaanisha kuwa ndiye atakayekupa raha zote alizokuwa anakupa mkeo hadi  hadi zile ambazo mkeo alikuwa hakupi……………… ………..

Pili, huyo ndiye atakayekuwa mlinzi wako wa karibu sana, hatatoka hata hatua kumi na tano kuanzia sasa hadi pale utakapomuambia wewe. Kwa sasa anasubiri kauli yako ili atekeleze hayo yote niliyokuambia. Merina ni wako kuanzia sasa kama unataka iwe hivyo na ni mlinzi wako pia.” akamaliza mkuu na kukata simu hiyo. Joesan akabaki kapigwa na bumbuwazi kabisa asijue imekuwaje.

“aisee mkuu ni mtu hatari sana, sikutegemea kama siku ile kunipa huyu mtoto wa kike aniburudishe, alikuwa yuko katika mpango wa kuniandalia kifaa cha kunilinda” aliwaza Joesan kisha akacheka kwa cheko dogo hadi kubwa na kucheka zaidi.
“I’m Joesan!, I’m Joesannnnnnn!!!” alipiga kelele mahali hapo na sauti yake ikajaa mule chumbani na kujirudia rudia na kutengeza mwangwi mule ndani. Akachukua mkonga wa simu kisha kumpigia Suzy na kumwambia kuwa amwambie Merina afike kwenye ofisi yake muda huo. Kabla hata ya kuiweka ile simu chini, Merina alifika hapo na kusimama karibu kabisa na bwana huyo. Joesan akamwambia Merina akae, binti huyo akaketi na kumuangalia bosi wake usoni.

“huu ndiyo ule muda wa kukaa kwenye nafasi yako sawa” alisema Joesan.
“sawa boss lakini ukumbuke kuwa mimi na wewe tulishashiriki mapenzi, sasa sijajua ni nafasi zote ambazo natakiwa kukaa au moja?” aliongea Merina maneno ambayo mwisho yaliacha swali. Joesan akamtazama biti huyo ambaye alikuwa mrembo kweli kweli kisha akasema.
“unatakiwa kunilinda muda wote hivyo na usiku pia ni muhimu sasa huoni kama unatakiwa kukava nafasi zote?”
“hakuna shida boss nilitaka kuuliza tu maana ni wajibu wangu kuuliza kile nisichokijua ili nikijue” alisema Merina, Joe akatabasamu kwa faraja ya kupata mrithi wa mkewe tena mapema kupita kiasi hapo ndipo utakapojua kuwa utu wa Joe ni sawa na makalio ya Sokwe. anayaona yake yanathamani kuliko ayaonayo, kusahau kwa muda mfupi sana machungu.
“badili mavazi kuanzia sasa, nenda kwenye chumba cha mavazi na ukija hapa uwe umebadilika na kuwa na muonekano sawa na mumeo sawa”
“ok, sawa” Merina alijibu na kutabasamu kisha kunyanyuka na kuelekea huko alikoambiwa aende.

“hali kwa sasa haiko shwari, kaeni tayari mtakapoiona simu yangu mjue ni kazi, Sembugi najua kuwa unajua kazi zetu ni kuuwa hivyo kuweni tayari kuanzia sasa kuna kuku wanataka kulala na Mwewe kitanda kimoja” alisema Joesan alipokuwa amekutana na vijana wake ndani ya mriti bar. Hakukuwa na maongezi mengine baada tu ya mazungumzo hayo kila mmoja akajua lake. Ni kama walikuwa hawajuani. Joesan alikuwa ni mtu wa kutabasamu muda wowote akiamini ufalme wa dunia na mbingu ni wake kwa jinsi anavyoabudiwa na kila aliye chini yake. Akaungurumisha injini ya gari na kutitia gizani.

%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%

Asubuhi ya siku ya juma mosi ilikuwa tulivu sana, Merina alikuwa yupo katika vazi safi la suti. Alipendeza sana ndani ya vazi hilo, kila mmoja alikuwa akimtazama siku hiyo na alikuwa haamimini kama ipo siku wangekuja kumkuta Merina akiwa katika vazi hilo. Muda wote Merina alikuwa ni mtu wa kuvaa vijisketi vifupi vilivyoyaacha mapaja yake wazi
Dokta Emmy na wafanyakazi wengine kama Suzy, walimchukulia kama Malaya fulani tu ndani ya kampuni hiyo na ukizingatia pia alitoka kwenye jumba la huduma za kuwahudumia wanaume kimwili, ndiyo kabisaa walimchukulia hivyo. Siku hiyo hiyo, wanaambiwa kuwa mwanadada huyo si wa kumkaribia na kwa muda huo ndiyo amekuwa Bod gad wa boss, walishangaa lakini kwa Suzy na Rafael walikubali na kuona kuwa dada huyo hiyo nafasi ni halali yake.

“leo jioni ndiyo siku ambayo Sex machine anamalizia ile hatua ya mwisho ya kuanza kuwaingilia mashoga.” Joesan alikuwa akiwapa taarifa hiyo wale watu muhimu tu mahali hapo huku kwa pembeni yake akiwepo Merina ambaye alikuwa kikazi kweli. Alikuwa yupo na vinasa sauti masikioni mwake pia alikuwa na mawani nyeusi ya giza.
“Tai, kama tulivyokuwa tumeongea hii ni kazi makini sana na inayohitaji umakini mkubwa na uangalizi wa hali ya juu. Hapa ukikosea tu, ujue hautabaki hai. Hapa ndipo tunapokwenda kuwa matajiri wakubwa na nyinyi wafanya kazi muhimu kubadilisha maisha yenu.” aliweka tuo. Akatulia kidogo na kuruhusu maneno yake yapenye kwenye ubongo wa Tai. Ukimya ulikuwa mkubwa kiasi cha kumfanya bwana huyo kuhitimisha.
“ukimya unaoneaha kuwa tumeelewana hivyo basi kila mmoja ajue nini anatakiwa kufanya katika nafasi yake.” watu wakatawanyika baada ya Joesan kuhitimisha.

Saa kumi jioni ndiyo sex machine alitakiwa kuingia kwenye Happy Club kwa ajili ya kwenda kufanya wajibu wake, alikuwa amesha jiandaa kwa kazi hiyo na muda huo alikuwa tayari amepiga vazi lake la kazi (SMC). Muda ulipotimu, alikuwa yupo nje ya jingo hilo akipiga hatua taratibu kuelekea katika chumba ambacho shoga huyo aliyehitaji huduma hiyo ambaye alikuwa tayari amekwisha kuilipia kiasi kikubwa cha pesa, alikuwamo. Sex machine aliingia ndani kabisa ya Club hiyo, ambako huko hakukuwa kukusikika sauti yoyote ya muziki wala nini. Alikitazama chumba hicho na kushusha pumzi nzito sana huku akiwaza ni jinsi gani atakavyokwenda kumgeuza mwanaume mwenzake na kumla uroda, lilikuwa ni jambo gumu sana la kutokuaminika lakini ni kazi kwake hiyo na hakuwa na jinsi. Aliufungua mlango wa chumba hicho lakini hakutegemea alichokikuta humo ndani. Damu zilitapakaa na mwili wa mtu aliyetaka kumfanyia huo ushenzi alikuwa chini akiwa amechanguliwa kifua kwa risasi. Macho yakamtoka kwa mshangao mkubwa, lilikuwa ni jambo la kushangaza sana na hakulitegemea. Akausogelea huo mwili na kuutaza vizuri, alikuwa ni kidume kilichojaa misuli akionesha fika kuwa ni mchukuaji mzuri wa mazoezi lakini hakuamini kama alikuwa si riziki mwanaume huyo na laiti kama siyo kifo kumkuta, alitakiwa kumuingilia kama waingiliwavyo wanawake.

“ni nani muuwaji?” alijiuliza Sex machine lakini jibu lilikuwa ni uwongo kupatikana kirahisi kwa muda huo. Akayainua macho yake na kuyazunguusha mule ndani, alizunguusha macho kwa muda hadi alipoyatuliza baada ya kuvutika na kitu alichokiona dirishani. Alisogea hadi dirishani hapo, na kugusa sehemu ambayo ilikuwa na tundu. Ndiyo ilikuwa ni tundu la risasi.
“hapa ndipo ilipopenya risasi iliyoleta madhara kwa huyu bwabwa?” alijiuliza kisha akachungulia pale dirishani, hakuona kitu kilichompendezea. Lakini alipozidi kutazma kwa umakini aliona jingo refu kwa mbali kidoo ya jingo hilo.
“ooh shit! Muuwaji alikaa pale kisha kufanya udunguaji wa mtu huyu, kwanini afe sasa?” alizidi kujiuliza bila mafanikio. Akarudi pale kwenye ule mwili na kutoa simu yake mfukoni.

Kwenye upande wa ofisi ya Tai, kulikuwa na baadhi ya watu wakiwa wametulia kimya. Wote walikuwa wameyaelekeza macho yao kwenye luninga zilizokuwa zimeenea maeneo yote humo ndani, Joesan alikuwa ni miongoni mwa watu waliojaa humo kwenye hiyo ofisi ya Tai wakisubiri kuona ni jinsi gani Sex Machine atafanya ngono kinyume na maumbile tena kwa kumungilia mwanaume mwenzake. Muda ulikuwa ikienda kwa kasi kubwa na hakukuwa na kile walichokuwa wakikitegemea kutokea mahali hapo. Kila mmoja alikuwa akiitazama saa yake kila wakati.
“mbona anachelewa sana vipi?” aliuliza Tai. Hakuna aliyemjibu wote waliokuwamo humo ndani walikuwa kimya kabisa. Pumzi nyingi zikamshuka Joesan, waliamini kuwa endapo Sex machine atakapo onesha hisia za mapenzi kwa mtu aliyemkuta huko na lile vazi lingeanza kurusha picha, lakini ukimya wa hadi muda huo, ukamtisha kidogo.
“au hahitaji kumuingulia huyo shoga?” alijisemea moyoni Joesan. Lakini wakati akiwa anazidi kujiuliza, simu yake ikamtekenya mfukoni mwake. Akaitoa haraka haraka na kumtazama mpigaji, alikuwa ni Sex Machine.
“mh!” akagumia kisha akaiweka sikioni na kukaa kimya akisikiliza kwa umakini mkubwa.
“amekufa! Ameuwawa, kivipi sasa?” alishtuka sana baada ya kupokea hiyo simu, ulikuwa ni ujumbe kutoka kwa Sex machine ukimwambia kuwa huyo shoga ameuwawa. Joesan ikambidi kuuliza maswali ya kuchanganyikiwa na kikubwa alichotaka kujua ni jinsi huyo mtu alivyouwawa yaani kifo chake kikoje. Akaambiwa kuwa kifo chake kimesababishwa na kupigwa risasi ya kifua.
“hakuna kazi Tai huyo shoga ameuwawa kwa kupigwa risasi sasa sijui……..aaaghr!” alidata Joesan. Wakati huo akiwa tayari amekwisha kata hiyo simu na kutoka humo ofisini kwa kasi ya ajabu sana akifuatiwa na Merina nyuma. Taarifa hiyo haikumchanganya Joesan pekee bali ilimchanganya hata mkuu mwenyewe na kuamua kumuita Joesan, Rafael akiwapo na Merina kwenye chumba cha mikutano kwa ajili ya kujadili kifo hicho.
“inavyoonekana hakuna kundi moja linalotuandama, hili ni kundi jingine lililojitokeza kwetu na kuharibu mipango yetu” sauti ya mkuu ilirindima mahali hapo.
“hilo naliunga mkono mkuu kwani mtindo huu wa mauwaji umekuwa ni wa tofauti kwani hawa wametumia risasi za kawaida ikiwa ni tofauti na D.A.” alisema Joesan kukubaliana na alichokiongea mkuu wao mahali hapo.
“mkuu, kitu kinacho niumiza kichwa ni je, wamewezaje kufanya mauwaji hayo bila kuonekana na vyombo vyetu vya ulinzi hata mara moja? Lile jingo si linaulinzi wa kutosha lile?” mzee Rafael naye aliamua kuuliza.
“ewaa! Hilo hata mimi linanichanganya lakini hiyo inanipa picha kuwa hatupambani na watu wadogo, hapa tunapambana na watu wenye weledi mkubwa. Joesan, hakikisha unakuwa macho na umfuate Sex Machine au ikiwezekana umuite ofisi kwako na …………………………………………………….

na umwambie kuwa kesho anatakiwa asafiri tena kwenda Nairobi kwa ajili ya kazi. Kuna shoga kule tumeshafanya nae mawasiliano hivyo kila kinachotakikana nitakupa umuwasilishie” aliongea mkuu huyo kisha kikao hicho kikavunjwa na kila mmoja kutakiwa kuwa makini na sekta yake kwani kazi inavyoonekana imeshaingiliwa na mdudu mbaya.

NAIROBI KENYA.

Saa nne juu ya alama, ndege kubwa ya shirika la Tanzania ilikuwa inakanya matairi yake ndani ya uwanja huo wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta. Dege hilo lilikimbia kwa kasi baada ya kuikanyaga sakafu ya uwanja huo hadi lilipokuja kutulia mahali ambapo ndipo lilipotakiwa kusimama. Mlango wa ndege hiyo ulifunguliwa na watu kuanza kushuka mmoja baada ya mwingine. Mtu wa nne kutoka ndani ya ndege hiyo alikuwa ni Sex machine akiwa amenyuka suti yake ya maana iliyomkaa vizuri kabisa huku nyuma alikuwa akifuatiwa na mwanamke mrembo aliyevaa kawaida sana. Mwanamke huyo machoni alipiga mawani ya kirembo. Alikuwa akishuka taratibu sana hadi alipofika chini. Wakaelekea mahali pa ukaguzi kisha wakatokea upande wa pili, huko Sex machine alichukua usafiri wa tax na kuomba apelekwe kwenye hoteli ambayo aliichagua. Huku nyuma yule mwanamke naye aliingia kwenye tax nyingine kisha akamuomba dereva wa tax aliyopanda aifuatilie tax ya mbele yake.
“kuwa makini kaka yangu asijue kama kuna mtu anamfuatilia sawa” ndivyo alivyosema huyo dada ambaye bado jina lake halikujulikana ni nani.
“usijali sister hizi kazi hatuzianza leo, vipi ni nani kwani yule?” alijitapa dereva huyo kisha akauliza swali la mtego.
“usijali ni kifamilia zaidi yule ni mume wangu so nataka kujua ni wapi anaelekea maana hakuniambia kama leo ndiyo anaingia hapa nchini, sasa nashangaa kumkuta mahali hapa”
“ohoo, basi haina shida ngoja tutajua, tu” alisema kaka huyo huku akiyaruhusu magari mawili yampite na yeye kuwa wa tatu ikiwa ni katika kumzuga mfuatiliwaji asijue kama anafuatiliwa lakini akiwa makini kuhakikisha gari aliyoilenga haimuachi. Gari iliyombeba Sex machine ilisimama nje ya hoteli moja kubwa mjini hapo. Iliegeshwa vizuri gari hiyo na Sex machine akashuka akiwa tayari amekwisha kufanya malipo kwa dereva tax, akapiga hatua ndogo ndogo hadi mahali ulipo mlango wa kuingilia ndani ya hoteli hiyo.
“siamini kama huyu mwanaume anaingia hotelini yaani aaaah!” alistaajabu dada ambaye alikuwa yupo kwenye gari ya nyuma ambayo ilikuwa ikimfuatilia Sex machine. Aliongea kwa uchungu sana kiasi kwamba dereva wa gari hiyo, aliamini kabisa kuwa yule mwanaume aliyeingia ndani ya hoteli hiyo ni mume wa abiria wake aliyembeba.
“tuondoke suka, haki ya manani nyie wanaume ni washenzi sana” alisema huyo dada akiwa anafuta machozi na kuzidi kumchanganya huyo dereva. Machozi na sauti ya kilio ilimdhihirishia kabisa huyo bwana. Ukimya kwake ndiyo ikawa kitu pekee, hakuongea chochote zaidi ya kumuuliza ni wapi waelekee.
“twende na barabara hiyo ya mjini nitakuambia wapi nashukia” alisema na kutulia kimya kitini hadi mbele kidogo, ndipo akamwambia dereva huyo kuwa hapo ndipo anapo shukia. Dereva huyo aliegesha gari pembeni na dada huyo akashuka na kulipa kiasi alichotakiwa kulipa na kuondoka hapo kwa haraka sana. Alionekana kuwa ni mwenye haraka mno, alipokunja kona mbili tatu na kuhakikisha kuwa kutoka machoni mwa yule dereva tax ambaye alikuwa akimuangalia muda wote, alitoa simu ya kiganjani kwenye hand bagi yake, akabonyeza namba kadhaa na kuiweka sikioni.
“ndiyo fadher nimeshaianza kazi na imekwenda vizuri. Yupo ndani ya jiji hili na nimeshajua kila kitu hadi mahali mchezo huo mchafu utakapo fanyika.” alisema dada huyo baada ya kuiweka simu hiyo sikioni mwake.
“uko wapi kwa sasa?” sauti nzito ilimuuliza.
“nipo hapa mjini kwenye hii Super market kubwa sijui inaitwaje sijayasoma vizuri maandishi yake”
“ok, nimeelewa, nenda mbele kidogo kisha kunja kulia na uchepukie kwenye nyumba mbili za hapo, halafu moja kwa moja ingia kwenye gari nyekundu” ilimaliza kutoa maelekezo, sauti hiyo nzito ya kiume, huyo dada akairudisha simu kwenye kibegi chake. Akafanya kama alivyoelekezwa na kuingia kwenye hiyo gari.
“hongera kwa kazi nzuri, kuna mtoto hapo nyuma amelala, huyo ndiye atakayetumika kwa kazi ya leo” alisema mzee mmoja ambaye alikuwa akionekana upande wa mgongoni pekee na gari ikaingizwa barabarani kwa mwendo wa kasi sana ikichukua uelekeo wa mashariki. Huko ilizunguuka hadi kutokea upande mwingine kabisa wa hoteli aliyofikia Sex machine kisha gari hiyo ikasimama kwenye jingo la mbali kidogo na hiyo hoteli. Dada yule akakamata begi fulani akashika mlango wa gari na kuufungua kutaka kushuka, sauti ya yule mzee aliyekuwa akionekana mpongo ikamgutusha.
“unajua chumba alichofikia ndugu yako?”
“hapana huyo sina kazi naye leo nataka kumuuwa huyu shoga kabla hata ya kukutwa na Sex machine, zimebaki dakika mbili tu na sitakiwi kuchelewa, Sex machine si wa kufanya huo uharamu hata kidogo” alijibu huyo msichana na kushuka ndani ya hiyo gari. Alikimbia kwa hatua kubwa kubwa hadi kulikaribia jingo hilo ambalo bado lilikuwa katika ujenzi. Ni jingo ambalo kwa hapo lilipofikia tayari lilikuwa na orofa tano. Alifunua shati lake na kutoa kitu fulani alichokuwa amefunga kwenye mkanda wake wa suruali aliyokuwa ameivaa kisha akakibonyeza bonyeza vitufe vyake na kukirusha juu. Kifaa hicho kilijiendesha chenyewe kwenda juu yeye akawa ameshikilia kamba mbili ambazo aliipitisha moja kushoto na nyingine kuliani mwa kiuno chake kisha kuunganisha na loki fulani zilizopo kwenye mkanda wake wa suruali. Kifaa kile kilisafiri hadi orofa ya nne, kikaenda kukamata kwenye kingo ngumu za kule juu, yeye akaminya kitufe fulani ambacho alikuwa amekishika kwenye mkono wa kushoto huku akilitupia mgongoni lile begi aliloambiwa kuwa kuna mtoto wa kazi amelala. Kwakutumia gloves maalumu, alizikamata zile kamba mbili na kuanza kuvutwa kwa kasi kwenda juu. Lilikuwa ni tendo la haraka sana. Alipofika kule juu, alifyatua zile loki na kukiacha kile kifaa kikining’inia. Yeye akaelekea hadi kwenye dirisha moja ambalo lilikuwa likimuonesha ile hoteli aliyofikia Sex machine kwa mbali kidogo. Alifungua lile begi alilokuwa amelitupia mgongoni na kuanza kutoa bunduki kubwa isiyo na urefu wa kutisha. Akaifunga kiwambo cha kutokusafirisha sauti na kuikoki vizuri, akaiweka lenzi ya kuonea mbali kwa utaratibu mzuri kisha kuiweka jichoni akiwa amelifumba moja. Aliizungusha ile bunduki kila sehemu huku akiwa makini sana, akamuona mwanaume mwenye asili ya kihindi mwenye tumbo kubwa akiwa uchi hana hata nguo moja. Muhindi huyo alikuwa kwenye chumba kilichopo mkabala na chumba ambacho alimuona Sex machine akiwa ameiinamia kompyuta yake. Kwa jinsi ambavyo muhindi huyo alikuwa, ni wazi aliamini kuwa huyo ndiye aliyekuwa akisubiri huduma ya kuingiliwa kinyume na maumbile. Alijifananisha na meanamke kwa kila tendo. Mwanamke huyo akamuweka sawa mwanaume huyo asiye rijali, alama yake ya shabaha ikawa kwenye paji la uso la shoga huyo aliyetakiwa kuingiliwa na Sex machine. Akahesabu tatu mpaka moja kisha akavuta triger na risasi ikatoka kwa kasi kubwa, yule mwanaume akafumuliwa kisogo chake baada ya ile risasi kuchapa paji lake la uso. Alitupwa nyuma na kupigizwa ukutani akiwa mfu. Aliirudisha ile silaha kwenye begi lake na kwenda palepale
alipoingilia akapenya pale dirisha na kuanza kushuka kwa kasi kubwa hadi chini na kurudi garini tena.
“uko vizuri mno kuliko hata mimi sasa, ni dakika moja na nusu tu ulizotumia” alisema mzee huyo mara baada ya yule dada kukaa kwenye siti ya nyuma aliyokuwa amekaa awali.
“lazima niwe hivi Father nina hasira sana za kumrudisha ndugu yangu nyumbani” alisema huyo dada na kunyamaza kimya asiseme kitu tena. Yule mzee naye hakujibu kitu bali alichokifanya ni kurudi barabarani na kuondoka eneo hilo. Ni nani hao? Huyo dada anataka kumrudisha ndugu yake nyumbani je, ndugu yake ni nani? Au ni sex machine?
Duh!

DAKIKA 30 ZILIZOPITA.

Sex machine alipoingia pale hotelini, alichukua chumba ambacho hakikuwa mbali na ailpotakiwa kwenda kufanyia kazi yake. Kilikuwa ni chumba ambacho kilikuwa kikitazamana na chumba cha mwanaume aliyetakiwa kwenda kumuingili kimwili kwa lugha nyepesi tunaweza kusema kumlawiti, alishusha mizigo yake kitandani na kukaa kitako akiwa anatafakari. Hakujua kama huko nako kutatokea kama kule Morogoro au huku atafanikiwa kumla uroda mwanaume mwenzie. Kitendo hicho hakuwahi kukifanya hata mara moja lakini mwili wake ulikuwa uko katika uhitaji wa kutaka kujaribu huo mchezo japo hakuwa akijua nini madhara ya mchezo huo. Alitazama muda kwenye saa yake na kuona sasa limebaki lisaa limoja tu na muda huo akiwa tayari ameshafanya matusi kwenye ulinzi wa hoteli hiyo. hivyo alichokuwa akikisubiri hapo ni kutimia kwa muda tu na yeye kwenda kufanya yake. Dakika mbili ziliposalia ndipo kijana huyo akaanza kupunguza nguo na kutoka ndani ya chumba alichofikia na kuelekea chumba ambacho yupo huyo mteja wake. Ile anafungua mlango tu, alikuta huyo mwanaume aliye humo ndani akiruswa ukutani kwa kupigwa risasi huku kelele za kioo kumwagika zikifuata. Sex machine alikimbia hadi upande lilipo dirisha hilo kwa umakini mkubwa ili kuhakikisha mdunguaji huyo hawezi kumuona. Alichelewa. Wakati yeye anaambaa na ukuta mwenzake, alikuwa akiteremka chini kwa kutumia kamba zile maalumu. Sex machine alipochungulia pale dirishani, aliliona lile jingo na kuona dirisha lililokuwa limeelekea upande huo. Akajua hapo ndipo mdunguaji huyo alipokuwa amekalia. Muuwaji ni mtu wa namna ya hatari sana, muda huo huo yeye anaingia ndiyo mteja anadunguliwa? Hofu ikamtanda moyoni, akajiuliza kwanini kila Shoga aliyetakiwa kukutana naye alikuwa akiuwawa? Alijiuliza sana lakini jibu lilikuwa hakuna kabisa. Akatoka humo ndani kwa haraka sana, akajua kuendelea kwake kukaa humo ni kujikamatisha kizembe kwa polisi ………………….
kwani aliamini huwenda muuwaji akaita polisi mahali hapo na likamtokea tukio baya. Alifanya kila kitu kwa haraka na kuondoka kabisa ndani ya hoteli hiyo na kwena moja kwa moja uwanja wa ndege kuangalia kama anaweza kupata usafiri wa ndege mida hiyo ya alasiri. Bahati ikawa kwake, akapata ndege iliyokuwa inaondoka mida hiyo ya saa kumi. Alipoingia tu kwenye ndege hiyo iliyokuwa inaelekea kilimanjaro, alituma ujumbe kwenda kwa Joesan kumtaarifu kile alichokikuta ndani ya chumba cha mteja.

Joesan alichanganyikiwa zaidi baada ya kupata hizo taarifa. Ikabidi ampenna taarifa hiyo mkuu. Mkuu alivimba sana kwa ghadhabu. Nani aliyekuwa akitoa siri za hiyo mipango ya kibiashara? maswali hayo yote yalikuwa yakikigonga kichwa cha mzee huyo. Ni nani basi atakeyetaka kufanya hiyo biashara tena na bwana huyo ilihali mashoga wengi walikuwa wakiuwawa kwa mtindo huo. Hali ya sinto fahamu ikamkumba Mr. Kim. Hasira zikazidi kumpanda. Kila aliyekuwa akifanya naye mawasiliano kwa ajili ya kuingia naye katika makubaliano ya kibiashara, alikuwa akigoma na kuhofia uhai wake. Mashoga wengi duniani wwkajihami na kukataa kabisa biashara na huyo mzee wakiamini ni mkakati kwake wa kutaka kuwamaliza mashoga duniani. Kim akachanganyikiwa. Kikao kizito kikafanyika kwenye ukumbi wa mikutano. Mkutano huu wa dharula uliwahusisha watu watatu tu yaani Joesan, Sex machine na Mr. Kim akiwepo pia japo hakuonekana.

“tumekutana hapa Sex machine kwa jambo moja tu, kila njia ya kufanya ili ufanye ngono na wanaume hao imeshindikana. Hebu tuambie njia ambayo sisi hatuja itumia labda ambayo inaweza kutusaidia” ilikuwa ni sauti ya Kim ikiunguruma nahali hapo. Sex machine alimtaza Joesan na kukiweka kile kinasa sauti vizuri na kujikohoza kisha akasema.
“liwe ni tukio la kushtukiza, ninamaana ya kwamba asijue mtu yoyote zaidi ya sisi na mpango huo usifanyike ndani ya kampuni. Ninawasiwasi sana na usiri uliopo pale kwenye kampuni na sina imani nao kabisa, kama hakuna mtu anayevujisha hili, basi kuna vitu vimetegwa ambavyo vina safirisha sauti kwa hao watu” wazo hili likawafanya watu wale kuamini kuwa huwenda maneno yaliyoongelewa na kijana huyo yanaukweli ndani yake.
“Joesan, nafanya maongezi na mtu moja hapa hapa na hili litafanyika ndani ya hoteli ya Urugulu. Nataka kuona je ni kweli alisemalo huyu kijana na kama hili likifanikiwa basi lazima kufanyike uchunguzi wa ndani nje kwenye ile kampuni ili tujue ni nini kinasababisha siri zetu kuwa uchi” alisema Kim na wote wakakubaliana huku sex machine akiambiwa akae mkao wa kula ndani ya siku mbili atapewa taarifa. Hali ilikuwa tete mshoga wote duniani waligomea biashara na huyo mzee hadi aweke hali ya usalama vizuri.

Ndani ya jumba moja kubwa Nairobi, pembezoni kabisa mwa jiji hilo. Kunaonekana msichana akiwa amekaa kwenye kochi kubwa la gharama sana huku binti mdogo wa kike akiwa amekaa juu ya ki baiskeli cha matairi matatu akiwa ametulia tu bila kuendesha. Binti huyo mdogo hakuwa mwingine bali ni Mery, yule aliyekuwa akiishi na Joesan. Msichana huyo ambaye alikuwa mahali hapo, alikuwa ametulia kimya akiminyaminya simu yake kubwa. Uharakati huo wa kuminya minya simu uliendelea hadi pale alipotokea mzee mmoja mwenye mwili wa wastani, aliyeonekana yupo kimazoezi. Alifika hapo na kumbeba yule mtoto akafika nae hadi kwenye kochi na kuketi akiwa amembeba mtoto huyo.

“hujambo Maria?” alimsalimia yule mtoto mzee yule.
“sijambo babu”
“kweli hujambo? Mbona unaonekana kama huna furaha sasa binti yangu?”
“uliniambia kaka Chriss atakuja huku na kuishi na mimi lakini mbona haonekani au atakuwa kwa uncle Joe?” aliuliza binti huyo na kumfanya mzee huyo kuvuta pumzi nyingi ndani ya mapafu yake kisha kuzitoa kwa pupa. Akatulia na kumtazama binti huyo mdogo kisha akamwambia kwa sauti ya upole.
“kaka Chriss hayuko kwa huyo anko wako bali yupo safarini, atakuja muda siyo mrefu. Nimeongea naye jana kwenye simu na ameniambia hivyo, amekumiss sana Maria”
“kweli babu?” alisema Mery akiwa na furaha sana.
“ndiyo” akijibu Mzee huyo na kumtazama binti aliyoko kwenye kochi la mbele yake ambaye kwa muda huo alikuwa ameacha kuichezea simu yake, wakajikuta wakitazamana.
“Maria nenda chumbani ukalale, halafu hujalala kabisa leo kwanini?”
“nilikuwa naendesha baskeli” alijibu Mery na kutoka mikoni mwa babu yake huyo kisha akakimbilia chumbani kwake. Mzee huyo akawa anamtazama binti yule mdogo huku tabasamu safi likiwa usoni mwake.
“ninafuraha sasa kuishi karibu na binti huyu” alisema mzee huyo huku akirudisha macho yake kwa msichna aliyoko mbele yake.
“woga umemuisha amezoea mazingira sasa” alisema binti huyo baada ya kuacha kumuangalia yule mtoto.
“lazima azoee hapa kwani ndiyo nyumbani kwao, mwanzo ulikuwa ni ugeni unamsumbua” alisema yule mzee. Wote wakaangua kicheko cha nguvu na kupiga kimya cha muda kumruhusu shetani apite kisha mzee huyo akaendelea.
“niambie Catherine, mtoto nadhani umemsikia mwenyewe hapa alivyosema. Anamtaka kaka yake na kazi hiyo ya kumleta kaka yake hapa unayo wewe”
“najua father, najua na nimuahidi tu niko mbioni kumletea huyo kaka yake” alijibu huyo binti ambaye alikuwa akifahamika kwa jina la Catherine. Huyo ndiyo yule ambaye tulikuwa tukimfahamu kama bikini nyekundu.
“ni wapi ulipofikia kwa sasa Catherine?” aliuliza tena huyo mzee.
“sasa hivi nimeharibu kabisa biashara ya ushenzi ule aliokuwa akiufanya sidhani kama kuna shoga yoyote atakayejitokeza kukubali kushiriki mapaenzi yao ya kishetani tena. Na nimeapa mbele za Mungu, sitamuacha hai mwanaume yeyote yule atakayekuwa tayari kushiriki mapenzi hayo. Nitauwa” aliongea Catherine. Yule mzee alielekeza macho yake chini na alipokuja kuyainua juu, alishusha pumzi za kutosha kisha akamtazama tena binti huyo usoni. Akasema.
“namjua yule mzee niliishi naye kwenye chuo kimoja cha mafunzo mwanzo mpaka mwisho hadi tulipokuja kutengana baada ya yeye kufukuzwa. Ni jeuri sana yule na huwa hakubali kushindwa hata mara moja. Ninaimani kwa sasa kama hajatafuta njia nyingine ya kufanikisha hilo jambo lake basi yuko mbioni kutafuta ufumbuzi”
“father D.A nadhani unanijua mimi vizuri, si wa leo wala jana kwako, nimeishi nawe kwa kipindi kingi, unanijua nikiamua langu huwa halipingiki hata kidogo. Na kama yeye ni jeuri na mbishi, mimi ni kiburi fadha” akatamba binti huyo kwa ghadhabu sana. Alionesha kuwa hatanii hata kidogo lakini baada ya kusikilizwa sana na mzee huyo, cheko kubwa la nguvu likamtoka mzee huyo. Alicheka sana hadi huyo Catherine akashtuka.
“kwanini unacheka hivyo Father?” aliuliza Catherine lakini pia bado kicheko cha father D.A hakikukoma. Alicheka hadi akawa anatoa machozi kabisa. Alipokuja kuacha kucheka, alimtazama kwa makini sana binti huyo akamwambia kwa utulivu mkubwa.
“najua unahasira sana na mr. Kim lakini hasira zako haziwezi kumuangusha yule mzee hata kwa dakika moja. yule ni fundi na anajua kutumia mapigo ya maangamizi pia anauwezo wa kutumia silaha za siri na za dhahiri, sitakuruhusu umkaribie yule bwana ni katili mno.”
“hapana father lazima nihakikishe namdondosha yule mzee lazima, siwezi kumuacha hai hata kidogo.”
“hivi ulikuwa unajua kwanini nilikuwa nacheka?” akauliza.
“hapana” akajibu Catherine.
“nilikuwa nacheka kwa sababu moja tu ambayo ni hii. Nisikilize kwa umakini mkubwa. unahasira lakini weledi wako wa kupigana haufikii hata robo ya yule mzee”
“what?” aling’aka Catherine.
“ndiyo, hata robo humkuti yule. Wewe umejifunza Marsh arts kwenye Chuo kimoja tu huko China lakini Mr. Kim amejifunza mafunzo hayo kwa karibu vyuo vinne ndani ya nchi hiyo. viwili tulikuwa wote japo kimoja hakufuzu lakini viwili vya mwisho, alijifunza katika vyuo vingine yeye kama yeye, kwa hiyo yule ni mwalimu mwenye uwezo mkubwa wa kuweza kupewa dhamana na Taifa lolote duniani kufundisha ngumi” alisema Father D.A. Maneno hayo yakamchosha sana Catherine, alijihisi kukata tamaa kumuangusha mr. Lee Kim. D.A alijua kuwa binti huyo amevunjika moyo. Akamsogelea karibu na kumwambia kuwa asivunjike moyo kwani yupo mtu mmoja tu mwenye uwezo mkubwa wa kumupndoa kabisa duniani bwana Lee naye si mwingine bali ni…….! akaishia njiani. Hakutaka kumalizia kauli hiyo ambayo ilijenga maswali mengi kwa binti huyo. Catherine akataka kuuliza juu ya mtu huyo atakayeweza kumuangusha bwana Kim, akasita na kubaki kujiuliza mwenyewe tu. Ni yeye? Labda ni yeye kwasababu alishawahi kuniambia kuwa yeye alijifuza ngumi katika vyuo vitano huko huko nchini China na vyote vikiwa na aina zake na imani zake za kimafunzo. Sasa kama Kim amejifunza vyuo vinne, huwenda akawa ni yeye atakaye weza kumuangusha bwana huyo. Ndivyo alivyokuwa akijiuliza japo hakuwa na uhakika sana juu ya kujiuliza huko. Hakuwa na muda wa kumuuliza tena kwani kifaa chake cha kunasa sauti alichokiunganisha na ile simu yake kubwa, kikaleta mawimbi. Akanyanyuka na kumuacha mzee huyo mpole sana aliyeonekana kushiba imani kisha yeye akaelekea chumbani kwake ambako alichukua waya wa USB na kuchomeka kwenye ile simu akaiunganisha na kompyuta yake mpakato na kuanza kusikiliza sauti hizo. Alizisikiliza hadi sauti hizo zilipofika mwisho, akarekodi na kuzima kabisa Kompyuta yake. Alijitupa kitandani akiwa amechoka kiakiakili na kimwili, mawazo lukuki yakiwa yamekiandama kichwa chake.

“wanampango wa kufanya biashara kubwa ya madawa ya kulevya, biashara ambayo itakwenda kuwaweka levo nyingine kimaisha” alikuwa akiwaza Catherine.
“hapa ndipo wanapotaka pia kumgeuka Joesan hawa jamaa wawili, mh! akacheka kidogo na kuendelea………………………
” hawa wanataka kuleta vita na Joesan lakini kabla hiyo vita haijafika lazima kwanza niwe nimesha mteka Sex machine wao na kuwageuka wao. Hapa nitawachonganisha wote watatu ili kila mmoja amuone mwenzake hafai. Wao wakipigana sisi tunaingia kwenye ngome ya Mr. Lee.” alizidi kuwaza mwanamke huyo akiwa amejilaza hapo kitandani na hiyo ni baada ya kusikiliza zile sauti zilizokuwa zimenaswa na kinasa sauti chake. Ambazo alinyaka kutoka kwa BC, mtu ambaye alikuwa akinyaka kila mawasiliano yake. Na hapo bwana huyo hakujulikana anaongea na nani. Lakini pia kuna kitu cha pekee hapo huwe amekipata.

MOROGORO TANZANIA.

Saa tatu juu ya alama usiku kila mtu ndani ya kampuni alikuwa busy. Huyu alifanya hiki na yule kufanya kile. Lilikuwa ni jambo la ajabu sana hadi kufikia muda huo, hakukuwa na dalili ya kufungwa kwa kampuni hiyo. Uchakalikaji ulikuwa ni mkubwa sana mahali hapo. Lakini wakati hizo mishemishe zikiwa zinaendelea, hapo hapo ndani ya ofisi ya mzee Rafael, kulikuwa kimya kabisa utadhani labda hakukuwa na mtu ndani humo. Rafael alikuwa amekaa humo ndani akiwa ameshika kitu kimoja kidogo sana mfano wa spika ya simu. Kidude hicho alikuwa akikizunguusha vidoleni mwake tarabu huku akiwa na mawazo sana.

“hiki ni kinasa sauti, ni nani aliyefanya haya yote. Bila shaka mawazo yangu yalikuwa sawa kabisa. Hii inanipa picha ya yale makanyagio ya viatu niliyoyakuta siku ile ambapo kulitokea mzimiko wa umeme usiku” alizidi kuwaza Rafael. Kitu kile achokikuta chini ya meza yake kwa bahati mbaya, kilimpa picha ya kila kitu cha alama za viatu alizozikuta. Hakuamini kama eti, hiyo ni kwa ajili ya ulinzi wa Kim bali alichoamini ni kwamba kuna mtu au watu walikuwa wakifanya kazi hiyo kwa sababu maalumu. Hakutaka kusema kwa mtu yoyote yule kuwa amegundua hicho kitu, alitaka kuona nini hatima ya watu hao ila hakujua kuwa kufanya hivyo kwake ni hatari kwani huwenda ulinzi wa siri wa kimu ulikuwa ukimuona yeye bila kujua. Na alifanya hivyo makusudi kwani maisha ya kunyanyasika na kushuhudia mauwaji ya vijana anaowafundisha kwa kisingizio cha kuwapima majasusi wake, kilishamchosha. Alichokiona hapo ni yeye kuja kujaribiwa siku moja ili anekane anauwezo gani. Hilo jambo lilimuumiza sana na kumpa hofu kubwa moyoni mwake. Akaona ni bora asubirie kuona nini kinaweza kutukia.

Usiku huo huo Suzane alimvamia Sex machine nyumbani kwake lakini hakumkuta, akampigia simu ilikumuuliza ni wapi alipo simu ikaita kisha ikakata. Akakumbwa na mshtuko, jambo hilo halijawahi kutukia kwa maisha ya Sex machine kupigiwa simu halafu ikate. Akawa anajiuliza ni nini kinatukia mahali hapo. Akataka kupiga tena lakini simu yake ikawahi kuita, mpigaji alikuwa ni sex machine.
“uko wapi wewe na mbona nakupigia simu inaita halafu inakata” aliuliza kwa alama nyingi za kuuliza baada ya kupokea simu hiyo.
“napata supu ya pweza kidogo, halafu ni bora umenitafuta maana nilitaka nikupigie simu nikitoka hapa” alijibu kijana huyo. Suzy akashtuka wewe unasema unapata nini?”
“mbona unashtuka sana mtoto mzuri kwani mimi kunywa supu ya Pweza kuna ubaya?”
“tena sana SM, wewe una nguvu za asili hivyo mambo hayo siyo mazuri”
“nakutania Suzy, niko mjini nakuja sasa hivi hapo nyumbani so usiwaze.”
“ok, fanya haraka” alisema Suzy ma kujiegamiza kwenye gari ili kuendelea kumsubiri mwenyeji wake. Haukupita muda mrefu sana kijana huyo akawa anaingia hapo na pikipiki lake kubwa, akapiga breki na kushuka kisha akalivua kofia la usalama, akamfuata binti huyo ambaye alikuwa ametulia tu akimtazama kijana huyo jinsi alivyokuwa akimkaribia. Hakuna maongezi, salamu wala nini. Alimvamia na kuanza kumnyonya mate, alifanya hivyo kwa muda kidogo huku Suzy akitoa ushirikiano wa kutosha sana. Miguno ya maraha ikashika nafasi, binti huyo alikuwa akinungunika kila akishikwa na alikuwa akisikia raha za hatari sana.
“kwa nini umesusa muda mrefu kunipa penzi Suzane?” aliuliza SM huku akiwa anampapasa kwa utaratibu sana juu ya kufuli lake kwa mbele.
“mmmmh!, yaaaaa, aaaasssss!, si….si ulikuwa na mishemishe nyingi sana ya kikazi mpenzi wangu” aligumia hivyo Suzy huku akitoa jibu la swali aliloulizwa.
“yaa, ni kweli lakini hata nikiwa free umekuwa hunikaribii”
“acha lawama mpenzi huoni kuwa leo nipo kwa ajili yako, hebu twende ndani ukanitafune hadi niishe Joesan anitafute hadi akome” alisema binti huyo akiwa amejitoa kinywani mwa kijana huyo akimtazama usoni. Sex machine alimtitika binti huyo na kuelekea ndani, akamtupa kwenye kochi kubwa na kumpandia kwa juu. Alimvua nguo zote. Suzy akabakia bila nguo hata moja mwilini mwake. Mwili wake mtamu wa kuvutia ukaonekana ukiwa uko katika matamanio makubwa kabisa. SM alipambua za kwake na kuzitupia pembeni kisha akaanza purukushani na mbwembwe zake za kumuandaa mtoto huyo. Suyz kila akimuangalia kijana huyo, mashetani ya kikubwa, yalikuwa yakimpanda, mwili kumuwasha na kuhitaji mkuno wa kijana huyo. Mambo yakaiva, watu wakaingia kwenye maakuli. Shughuli ilikuwa si ndogo, shughuli ilikuwa pevu kweli kweli.
“baby niambie kweli kama hukuwa ukipata Supu ya Pweza huko ulikokuwa maana naona unasugua kwa pupa sana kama uko kwenye riadha za mbio ndefu.” alilalama binti huyo huku akiwa katika manung’uniko makubwa.
“sijanywa kitu chochote baby nilikuwa nakutania tu”
“sasa mbona leo unachelewa sana baby jamani, kwani roundi ya pili huwa unachukua muda gani kwa kawaida?”
“nakaribia mpenzi” alimwambia huku akiwa anashuka na kupanda kama anaendeshwa na rimoti.
“kwani nakuumiza?” aliuliza SM baada ya kuona Suzy analalamika sana.
“hapana huniumizi ila naona unachelewa baby, aaangh, aaaaiii!” alipiga kelele mwishoni baada ya SM kuzama ndani mazima na kuhisi kama kizazi chake kimeguswa kwa jinsi kijana huko alivyogonga ukuta wa ndani ya tupu ya Suzy kisha akamwambia kuwa ngoja nikubadilishie dizaini. Aliposema hivyo akampindua na kumuweka mtindo ambao haaumizi na kuanza kumuendesha kwa taratibu na kwa ufundi mkubwa hadi Suzy akabadili milio, badala ya kulia kwa kumuomba amalize sasa akawa anaomba apewe zaidi ya hapo alipofikishwa na muda mwingine akawa anaomba apewe wote. Sex machine, hakufanya ajizi akaongeza speedi huku akiwa amezama hadi kunako mwisho. kelele za raha zikakijaza chumba hicho. Suzane akaanza kulalama.
“asaaantee!, asante Chriss” akajikuta ametaja jina ambalo alionywa asilitaje. Hatari.

**********************************************

Kwa upande wa Joesan naye usiku huo alikuwa akipewa mambo adimu na matamu kabisa na Merina. Mtu ambaye kwa upande mwingine ni mlinzi wake wa karibu (Bodgad) lakini kwa upande mwingine alikuwa amechukua nafasi ya zaidi ya marehemu mke wake. Nasema zaidi kwa sababu, Joesan alikuwa akipewa vitu moto moto ambavyo mkewe

alikuwa hampi. Usiku huo Joesa alikuwa akipiga kelele kama mtoto baada ya kulalishwa kitandani huku binti huyo aliyeharibiwa kimwili na Kim akiwa juu amekalia kipisi cha kiazi kitamu kwa kukikatikia kikiwa ndani ya njia haramu ya tundu la haja kubwa. Joesan alikuwa amefumba macho akiwa mdomo wazi kama mwehu kwa jinsi raha zilivyomzidia. Ilikuwa ni laana iliyokuwa ikifanyika mahali hapo lakini ilimfurahisha sana bwana huyo na kufikia hatua ya kumtukana matusi makubwa ya nguoni mkewe kwa kushindwa kumpa utamu huo. Aliona kama mkewe alikuwa anaujua utamu huo ila alikuwa hampi na aliwapa wengine. Alimtukana sana kila alipokuwa akiipata nafasi ya kufanya hivyo.
“kwanini ulichelewa sasa kuja kunipa mambo haya we mwanamke, ona sasa ulivyokuwa mtamu hadi najikuta naota njozi nikiwa bado sijalala” alisema Joesan.
“oouh! Shit, kila….kila jambo huja kwa wakati wake mume wangu. Huu ni wakati wake na ndiyo maana niko hapa leo kukupa haya mambo. Ngoja sasa nikufikishe mwisho wa safari ili tulale.” alisema Merina kwa sauti ya puani huku akibana makalio yake na kuyaachia kwa utundu wa hali ya juu sana. Hali hiyo ilimfanya Joesana ahisi kitu cha hatari sana hadi akawa ananyanyuka na kutaka kukaa lakini hakuthubutu kufanya hivyo. Mikono laini ya Merina ilimrudisha pale kitandani. Alipiga kelele kubwa sana akiwa anamaliza haja zake huko huko kunako ushetani. Ama kwa hakika Merina alikuwa fundi na Mr. lee alifanikiwa kumharibu binti huyo kwa kiasi kikubwa sana. Walijikuta wakilala kila mmoja akiwa hoi.

Kwa upande wa Suzane na SM, mambo yalikuwa tofauti kido japo walikuwa wamesha maliza mchezo wao wa raha lakini Suzy alikumbana na maswali ya kuwa Chriss ni nani. Kitu ambacho alikikosea binti huyo mahali hapo ni kujiumauma na ilikuwa ni lazima ajiume ume kwani swali hilo liliulizwa kipindi ambacho utamu ulimzidia na SM alifanya hivyo makusudi ili kupata ukweli wa jina hilo pia ukizingatia kuwa alikuwa katika upelelezi wa kujijua yeye ni nani. Kwani hakukubali kwa haraka kuwa eti, yeye ni Sex Machine na hilo ndilo jina lake.
“samahani sana SM, sikuwa na maana ya kumtaja huyo mtu nikiwa na wewe hapa, ila kwa jinsi ulivyokuwa ukinifanyia hapa kitandani nimejikuta tu nikimtaja mtu huyo. Alikuwa ni mpenzi wangu na nilimpenda sana na yeye pekee ndiyo alikuwa akiweza kufanya utundu kama wako” alijitetea Suzy lakini kwa uelewa wa Chriss akawa anamashaka na majibu ya msichana huyo. Hakuwa na muda wa kuendelea kumuuliza maswali alichokifanya ni kufunika kombe mwanaharamu apite lakini ndani ya ubongo wake kukiwa na methali isemayo, ukitaka kumjua mchawi mpe mtoto au mpe mwana akulele. Kwani atakula nyama za wenzake ila ikifika zamu ya kutoa nyama yeye hapo ndipo utakapoona ……..

mapenzi kwa mtoto wako yatakapo zidi, hivyo alichokipanga Chriss ni kuzidisha utundu na ufundi kwenye mwili wa huyo msichana hadi atapike kilichokuwa siri. Na kwa ajuavyo vifua vya wanawake, hakuwa na shaka juu ya hilo kabisa. Wakaachana na hilo na kuhamia kwenye story nyingine huku Chriss akimsahaulisha kabisa huyo binti kuhusu hilo jina.
“SM pamoja na kwamba nimekuja kuburudika na wewe mpenzi wangu, pia kuna kazi ambayo imenileta” akasema Suzane.
“kazi gani?” akauliza SM. Suzane hakusema kitu bali alijiteremsha kitandani na kuchukua kibegi chake cha mkononi na kumgeukia na kumwambia kwa utulivu.
“kesho jiandae. Nimeambiwa hivyo tu na boss sasa sijui ujiandae na nini” alipomaliza kusema hivyo, akatoka humo ndani na kupotea gizani usiku huo.

Asubuhi baada ya kunyoosha mwili na kujimwagia maji, alichukua ulekeo hadi lilipo kabati lake akiwa uchi na kulifungua hilo kabati lililopo hapo ukutani. Akabonyeza kitufe kidogo kilichopo kwenye vazi hilo ambalo huwa halifuliwi hata kidogo. Akalipa mgongo kisha vazi hilo likajivika lenyewe mwilini mwa kijana huyo. Kilichofuatia hapo kilikuwa ni kutinga suti yake kisha akatoka akiwa na brifcase yake mkononi. Alipofika nje ya uzio wa nyumba hiyo, alikuta gari ndogo ikiwa inamsubiri, akaisogelea na kujiingiza garini. Safari ya kuelekea uwanja wa ndege ikaanza. Alitakiwa kufika uwanja wa ndege na bosi wake bila kujua kinachompeleka huko. Hawakuongea kitu chochote kingine humo ndani zaidi ya salamu. Ukimya ulidumu hivyo hadi walipofika uwanja wa ndege wa hapo Morogoro. Joesan na kampuni yake hawakuwa wakijua ni nani mvujishaji wa siri za kampuni hiyo, kitendo hicho cha kuto kujenga imani kwa kila kitu ndicho kilichopelekea Hata gari wanayosafiria wasiiamini. Ukimya huo ulikuja kuvunjika baada ya kushuka kutoka garini ndipo walipokaribiana na kuongea kwa sauti ya chini sana.

“Kuna kazi nne Sex machine, zote unatakiwa uzifanye ndipo urudi hapa nchini Tanzania. Moja utaifanya ndani ya V Ice Hotel, ambayo iko ndani ya jiji la Miami nchini marekani. Hapo utakwenda kukutana na tajiri mmoja lakini ni babu, namaanisha ni mzee sana huyo. Huyu ni shoga wa muda mrefu na kwa umri alionao ni kwamba kwa sasa anajishtukia kufanya shughuli hizo za kishoga na kuamua kuifanya kazi hiyo kwa siri sana kwa sababu tayari iko kwenye damu na kuiacha hawezi. Amekuwa akiikosa huduma hiyo kwa muda mrefu sana na amekuwa akijisikia vibaya kwa kukosa kusuguliwa kwa muda mrefu sasa. Amesema kuwa muda mwingi amekuwa akijichua mwenyewe sasa anahitaji kulipata joto halisi, hivyo kwa kukubali kwetu kumpa mtu wa kumhudumia, ameahidi kulipa mamilioni ya shilingi, Huo ni utajiri SM. Usiangalie mtu huyo alivyo, maana kama utamuangalia ni wazi mchezo unaweza kukushinda maana ni kikongwe siyo siri, pia anahiji usalama wa hali ya juu sana kutoka kwetu na ndiyo maana tumekuja kuongelea hapa sisi wawili. Kazi ya pili.” akanyamaza kidogo Joesan na kuvuta pumzi kidogo kisha kujiminya pua kwa juu na kuendelea.
“kazi ya pili ni ya mkuu, hii ni ya kumuondoa duniani mzee mmoja anayekwenda kwa jina la Milkao. Kama unavyojua kuwa vita ya mkuu ni kuhusu wafanya biashara. Kinacho nipa ugumu na wasiwasi wa kazi hii ni kwamba Hoteli utakayofikia kwa ajili ya kuifanya kazi hii ya kuuwa, ndiyo hoteli utajayoitumia kuifanya kazi ya tatu. Namaanisha nini? Ni kwamba kazi ya tatu ni kwenda kufanya mauwaji mengine ya meneja wa hiyo hoteli. Sasa sijui utaanza nani kati ya meneja na mzee Milkao japo haina uhakika sana kama huyo Milkao atafika katika hoteli hiyo akini wote wanatakiwa kufa. Kazi ya nne na ya mwisho ni yangu binafsi, hii inajulikana ni ya kwenda Ufaransa kuchukuwa nzigo na kuupeleka nchini Brazil kama kawaida. Mzigo ni uleule kilichoongezeka ni ukubwa tu wa mzigo huo. Huu ni mzigo mkuwa sana wa chupa hamsini za DF. Ni utajiri mkubwa pia. Nakuahidi SM, ukirudi salama ukiwa umefanikisha kusafirisha huo mzigo, kutembea na huyo shoga kikongwe pia kuuwa hao watu wote wawili, utajiri wa pesa nyingi sana unakuhusu na mkuu atakufanyia paty maalumu lakini pia kama moja kati ya hayo yatashindikana, pia utakuwa hujabadili kauli niliyoisema.” Alimaliza kuongea bwana huyo na kumruhusu SM aondoke muda huo kuelekea ndani ya ndege ambayo ilikuwa tayari kuondoka kuelekea Dar es salaam. SM alijitia ndani ya ndege na ndege hiyo ikaanza kuchukua kasi. Ilikuwa ni ndege ndogo ya shirika la Emirates.

Dakika chache zilitosha kumfikisha SM ndani ya uwanja wa kimataifa wa Mwalimu J.K. Nyerere. Aliteremka na kubadilisha ndege. Hapo ndege kubwa ya kitanzania ikachukua kasi na kuingia katika barabara maalumu kwa ajili ya kuruka. Muda mfupi ndege hiyo ikawa inaiacha ardhi ya Tanzania na kulikamata anga la kimataifa. Alipokuwa angani, SM aliwaza mengi sana, alifikiri jinsi majukumu yanavyozidi kuongezeka hadi akafikiria kuwa sasa watu hao wanampango wa kumuuwa. Lakini wakati akiwa anawaza, Nairobi kenya kwenye mtaa wa Ruiru, ndani ya jumba lile la Father D.A, tunamuona Catherine akitoka mbio chumbani kwake akiwa amekamata simu yake mkononi na kwenda hadi sebulenu ambako alimkuta Father akiwa anacheza na Maria.
“ooh, unashindwa hata kurusha mpira ili kuupiga, halafu unasema unataka kuwa mchezaji hodari wa tenes” alisema father alipokuwa anamuelekeza Maria jinsi ya kupiga mpira wa tenes.
“hapana babu nilikose…….!” alishindwa kumalizia Maria, sentensi yake ikabaki kuelea hewani. Sauti ya Catherine iliyokuwa ikimuita father, ndiyo iliyokuwa imemkatisha majira hayo.

“father hebu sikiliza hii sauti” aliongea Catherine huku akimkabidhi father D.A zile ear phone na kuziweka masikioni na kuanza kusikiliza. Alisikiliza kwa muda alipomaliza, akamfuata Maria na kumwambia aelekee ndani kwani muda huo muvi yake nzuri ya katuni ilikuwa imeanza. Maria alitoka hapo mbio na kuelekea ndani, alikuwa akihusudu sana katuni Maria na aliipenda kuliko michezo mingine hivyo hata kama yuko kwenye mazoezi ya kufundishwa Tenes lakini akiambiwa tu kuwa katuni imeanza ni lazima ataacha na kukimbilia ndani na mara nyingi akiikosa anaweza hata kulia.

Walibaki wenyewe mahali hapo. Akiwa tayari ameshaisikiliza hiyo sauti na sauti hiyo ilikuwa ni yale maongezi ya Joesan akimpa SM pale uwanja wa ndege wa Morogoro ambayo yalisafirishwa kitaalamu sana kupitia lile vazi.
“tunafanyaje sasa Catherine naona hii imekuwa too much aisee na kwa ulinzi ulivyo wa hapo Marekani na askari wa marekani walivyo makini Huyu kijana atakufa.” alisema fadha mara baada ya kumuondoa Maria kijanja mahali hapo.
“father, mimi naingia katika biashara na hawa wajinga…!”
“kivipi?” akawahi father kwa swali.
“naingia kwenye mtandao wao wa kibiashara na kuhitaji hiyo huduma najua watakataa kama nitaenda kwa dau dogo lakini kwa dau nitakalowatangazia na kuwalipa bakshishi, lazima wataingia mkenge. Ni dau kubwa sana father ambalo hawajawahi kulipata kwa huyo Sex machine kutembea na mwanamke. Mimi nitakuwa wa kwanza, na yule mzee anatamaa sana atakubali tu na kuingia kwenye hii biashara, akiingia tu basi kazi ni nyepesi”
“itakuwa ni wapi sasa” akauliza tena father.
“ni hapo hapo Marekani na ni kabla hajatekeleza mauwaji ya huyo Milkao na meneja wa hoteli” aliongea Catherine mamaa mipango, au waweza kumuita bikini nyekundu.
“lakini unahakikisha hashiriki hata kazi moja ya mauwaji au?”
“hapana hayo mauwaji ni lazima atekeleze na nitamsaidia mimi kufanya hayo mauwaji ili aniamini niweze kuondoka naye kiurahisi hadi shimoni huko atakwenda kubadilishwa na kuwa Roi na si Sex machine wala Chriss. Atarudi kwenye jina lake la zamani la Rajab Isihaq na kumpa jina la kulipiza kisasi cha baba yake na ndipo nitakapompa jina hilo la Revange Of Isihaq (ROI). Baada ya hapo anakwenda kumaliza kazi ya mwisho ya kuubeba mzigo wa Madawa ya kulevya ya FD na hapo ndipo tutakapokwenda kuanza kazi ya kuwachonganisha kisha Roi anarudi nyumbani kuja kumsalimia Mery madhani hata yeye atakuwa amemmiss” alipomaliza kusema hivyo, kicheko kikubwa kikaibuka kutoka kwa Father. Ilikuwa ni plan ambayo hakuitegemea kabisa katika maisha yake. Father alikubali kuwa anakichwa cha hatari na akimrudisha na Roi nyumbani, basi hapo atakuwa na vichwa vikali mno.
“anza kazi Catherine muda umekwenda sana kumbuka unatakiwa uwahi kabla huyo ndugu yako hajafanya huo uharamu”
“usiogope father leo ndiyo nitatumia zile ndege zinazokwenda kwa kasi sana ili kuwahi ndani ya Marekani kabla hata Chriss wao hajatua na atamkuta huyo kikongwe ni maiti tayari” alisema hivyo kisha akaingia chumbani kwake na kwenda kufanya mawasiliano na kampuni ya Joesan.
“mr. Lee wewe ni mshenzi sana. Najua unatimu ya mpira uliyoiandaa ili siku moja uje kuniangamiza kwa magoli mengi bila mimi kupata kitu, nikupe salamu za hisia tu huko uliko Roi ni mwanangu nasema hivi kwa sababu Roi ni mtanzania na mimi pia ni mtanzania, kifo cha mtanzania mwenzangu lazima kilipwe na damu ya kijana wake. Sina shaka na Joesan kwani huyo ni mtoto mdogo sana na huyo mlinzi wake atamalizana na Catherine maana Roi ndio daraja lako wewe. Mimi hutaniona hadi siku unakufa wewe.” aliwaza father na kufanya ishara fulani ikiwa ni imani za Ki Buda iliyochanganyikana na Budha Tempo kisha akafumba macho yake na kuipandisha mikono yake aliyoikutanisha pamoja hadi karibu kabisa na paji lake la uso. Ilikuwa ni nguvu njingi iliyokuwa ikitumika hapo na hisia kali za kiimani kutoka kwa father D.A akiwa anamtumia salamu mr. Lee Kim. Alitulia hivyo father kwa takriban dakika moja na sekunde tano. Muda huo huo kwa upande wa Mr. Lee ambaye alikuwa amepitiwa na usingizi kidogo sebuleni kwake ndani ya 03 house, alishtuka kutoka ndani ya usingizi huo, alinyanyuka kabisa na kutoka pale kwenye kijigodoro alichokuwa amekitandika chini na kwenda kusimama kwenye dirisha kubwa la nyumba hiyo.
“D.A nini unataka kufanya kwangu, unasema unataka kurudi Tanzania, ooh my God!” ……………………….

aliwaza mr. Kim akiwa hapo dirishani.
“umeamua kujitokeza sasa eenh! Mbona bado sijamaliza kazi yangu ya kuingiza utajiri mkubwa ili nikifika nchini kwangu niwe kama mfalme? D.A, hapana bado ni mapema sana na sitakubali nishindwe lazima niingize utajiri mkubwa kwa kuwatumia watanzani wenzako wajinga kama wewe” alizidi kuwaza mr. Lee.

“ha ha haaa, aaha ha ha haa!” ni salamu tu hiyo mbona picha linaanza” alicheka sana Father na kusema maneno hayo mara baada ya kutoka kutuma salamu kwa imani za ki tempo. Alijua kuwa kwa salamu hiyo ni lazima mzee mwenzie atakuwa katika mashaka makubwa kabisa, haukuwa uwongo, Kim alijikuta akiongea mwenyewe mithili ya mwendawazimu. Alipokuwa anazidi kuwaza hapo na kucheka, alishtuliwa na sauti ya kushangilia na alipo geuka nyuma Father, alimuona Catherine akiwa tayari amependeza na kibegi chake cha kike mkononi. Father akaunguruma kama dume la njiwa na kusema.
“mambo yameiva bila shaka maana nakuona uko ki mtoko?”
“nilikuambia father kwa watu kama wale ambao hawajaridhika na pesa hawezi kukataa dola milioni moja kwa kazi ya kumnunua Sex machine na tayari wamekwisha kuwasiliana na mtu huyo kulingana na mashart yangu kuwa nafanya hiyo kazi kwa siku fulani kisha nikawaroga na dola laki tano ambazo tayari nimeshapiga simu bank na kutoa kontact zote hiyo pesa wahamishiwe kwenye akaunti yao, Wataishia hiyo hiyo na kupata pigo wasilolitarajia.” alimaliza kusema Catherine kisha akatoa simu yake na kupiga mahali akaiweka sikioni.
“nahitaji mtoto mzuri wa anga anipele Kwa Obama haraka sana” alisema na kutulia kidogo kisha akaishusha simu hiyo na kuiweka kwenye mfuko wake wa suruali ya jeans aliyovaa ambayo alikuwa ameunganisha na visikilizia maaikio, kisha akampa mkono wa kwahe mzee huyo na kumwanmbia ndege ya haraka imepatikana.
“kwa muda huu ninavyojua mwendo wa ndege hizo ni lazima utafika sawa na SM huko Marekani” aliongea father.
“haitajalisha hata hivyo, mimi nitakuwa haraka zaidi kuliko yeye kwasababu ya kuwahi kuuwa kabla yake.”
“mwambie Roi nipo nyuma yake”
“ubaki salama na umwambie Maria namletea kaka yake” alimaliza kusema hayo na kuingia kweye gari ambayo iliondoka hapo kwa kasi sana kuelekea kwenye uwanja wa ndege wa Kenyata. Dakika chache zilimfikisha hapo uwanjani na kuelekea moja kwa moja ambako kunahusika na usafiri binafsi, huko akaenda kukuta ndege kubwa ya kukodi yenye muundo kama wa air force. Akafanya kinachotakiwa kufanywa kisha akakwea pipa hilo na safari ikaanza. Ni mwendo wa kasi sana ilikuwa ikitembea kuelekea mahali ambapo ilitakiwa kupaa na sekunde kadhaa mbele, ndege hiyo ikainuka na kuelekea mawinguni.

Chombezo : Sex Machine
Sehemu Ya Tatu (3)

“SM, ni siku nyingine tena tunakutana na kuongea mimi nawe, kumbuka kuwa ukutanapo na mimi basi mbele yako kuna kazi kubwa na ngumu” ilisikika sauti mara baada ya kijana huyo kuingia ndani ya chumba cha mawasiliano. Sauti hiyo ambayo ilikuwa na kazi ya kumpa maelekezo ya nini cha kufanya, ilionekana dhahiri haikuwa ikiongea kimzaha mahali hapo bali ilikuwa ikionesha kuwa kuna jambo la msingi lilikuwa mbele ya kijana huyo.
“kesho unatakiwa uwe Urusi na unakwenda kwa kazi moja tu ya kwenda kumuondoa duniani mfanya biashara mkubwa sana, huyu mfanya biashara ninasababu zangu binafsi za kumuua lakini kubwa zaidi ni kwamba, ndiye mfanya biashara pekee niliyenaye katika ushindani mkubwa sana wa kibiashara. Tazama ukutani” Sex machine akashusha pumzi nzito na kuelekeza macho yake kule alipoelekezwa. kukaonenekana picha kubwa ya kipande iliyomuonesha bwana mmoja mwenye asili ya kihindi kisha sauti ikaendelea.
“huyo ndiye ninayetaka afe kabla hata haja ikaribia siku ya kesho kutwa kwani mtu huyo kwangu ni kero kubwa sana kumuona” alipo sema hayo, akauliza kwa shauku ya kutaka kujua kama aliyoyasema yameeleweka vema.
“tumeelewana?”
“ndiyo, mkuu nimekuelewa”
“vizuri, utapata ramani nzima na maelekezo ya wapi anapopatikana mtu huyo”
“ok,” alijibu Sex machine na baada ya hapo, alkkuja Joesan akatoka nae humo na kuelekea katika ofisi ya Joe na kumuonesha hiyo ramani ikiwa ni pamoja na kumkabidhi kila kinachohitajika. SM alitoka humo ndani na kuelekea ofisini kwake ambako hakukaa sana. Alilifuata tu koti lake la suti na kulitundika begani na kutoka mule ndani akichukuwa muelekeo wa kuelekea kwake. Hakufika katika nyumba ambayo ndiyo anayokaa laa!, alicuhukua uelekeo wa Kilakala ambao ulimpeleka hadi kilakala juu, pembezoni kabisa na milima, huko ndiko ambako alinunua nyumba yake ya siri, huko hakukuwa na mtu ambaye alikufahamu. Japo alikuwa na nyumba ambayo aliinunua akiwa na Sauda, hii pia aliinunua na ni baada ya mpenzi wake huyo kumwambia kuwa kuna nyumba mbili na zote zinauzwa. Hapo akacheza mchezo wa kijanja na kuamua moja iwe ya pamoja na nyingine iwe ya siri na isitambulike na mtu yeyote. Lilikuwa ni jumba lenye eneo kubwa sana kuanzia ndani hadi nje. Nje kulikuwa na bustani kubwa ya kupendeza na hapo ndipo ambapo alikuwa amekaa kijana huyo akijipatia matunda kwa ajili ya kujenga afya. Alikuwa akila taratibu sana hakutaka kutumia papara lakini akiwa bado anaendelea kula matunda hayo, ghafla aliamka na kuanza kurusha mikono hewani na hatimae akanogewa na mchezo huo na kuamua kuchukua mazoezi kabisana. Yalikuwa ni mazoezi makali mno na yaliyochukuwa muda mrefu. ilipomaliza, alielekea ndani moja kwa moja hakukumbuka hata kuingia na kile chombo kilichokuwa kimebeba matunda. Aliingia moja kwa moja hadi bafuni ambako alijipatia maji na kutoka bafuni humo akiwa na kijinguo kidogo chepesi. Akafikia sebuleni ambako alianza kuipitia vizuri ile ramani na kufikiria mbinu za kuweza kuifanya kazi ile kwa urahisi.
“lazima niwepo kwenye hii hoteli ili nisiwe mbali na nyumba ya huyo muhindi” aliwaza Chriss alipokuwa akizidi kuipitia ile ramani. Hakupoteza muda sana aliingia chumbani na kujituliza.
“nafikiri nimefanya jambo la maana sana kuchukuwa hii nyumba huku, sitaki mtu yeyote ajue kama nina nyumba ya maficho, hata mpenzi wangu simuamini na ndiyo maana sikumshirikisha kwenye hili. Usalama ni kitu cha msingi sana ukizingatia kwa sasa nimeshajua siri nyingi za mkuu kwa hiyo kunaweza kukawa na mageukano baadaye nikajikuta nakosa pa kujificha na kupanga mambo yangu kwa umakini” aliwaza namna hiyo kijana huyo na mara, Simu yake ikaunguruma, alipoangalia kwenye kioo cha simu hiyo, akagundua alikuwa ni Joesan. Akaiweka sikioni na kumruhusu bwana huyo kuongea.
“kama unavyojua SM, Safari za mkuu ndizo zinazopelekea na mimi kuunganisha za kwangu. Baada ya kumaliza kazi ya Mkuu hiyo kesho sijui lini, ni lazima ubaki hapo hapo nchini Urusi huko nako utakutana na mtu anafahamika kwa jina la Chalcovich. Huyo atakupa maelekezo ya nini cha kufanya” alipewa maelekezo hayo na kisha simu hiyo ……………………………….

akukuwa na muda wa kuuliza wala kuomba ushauri ni kazi tu. Kijana huyo hakutaka kuwaza sana kwani tayari ni kama alishayazoea maisha hayo tayari.

URUSI NDANI YA UWANJA WA KIMATIFA. ASUBUHI YA SIKU YA JUMA TANO.

Chriss alikuwa yupo ndani ya uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Taifa hilo kubwa, ambako alichukuwa ndege ndogo ya kukodi iliyotakiwa kumfikisha pembezoni kabisa mwa mji huo wa Moscow. Baada ya kupanda tu ndege hiyo, iliwasha injini zake na kuacha uwanja huo. Haikuchukua Muda mrefu sana kufika huko na moja kwa moja alichukuwa hoteli na kutulia kupanga mikakati yake ya kufanya kile kilichompeleka nchini humo. Alikaa kitandani na kufungua begi lake dogo na kutoa mazagazaga fulani ambayo aliyaweka vizuri kisha akatoka mule ndani akiwa amevaa nguo nyepesi chini na juu akiwa na fulana ya kawaida iliyombana. Hakujali baridi ya nchini hapo. Alipanda hadi juu kabisa ya ghorofa na kusimama juu kabisa na kulishangaa jiji hilo kwa uzuri. kisha akanyanyua darubini yake ndogo na kuiweka usoni na kuanza kuzunguuka kila kona huku akiendelea kuangaza.
“vipi mbona sioni kitu inamaana siyo hoteli hii?” kilijiuliza kidume hicho na kuishusha ile darubini chini kabla ya kuipandisha tena usoni mwake.
“shiit! Siwezi kufeli namna hii, itakuwa ramani imenidanganya lakini mbona ilisoma hapa” alijiuliza tena mawazoni kwa wakati huu akiwa haelewi.
“hebu ngoja” alisema kwa sauti ndogo kisha akarudi tena chumbani.
“ndiyo ni hapa kabisa, nyumba ya huyo muhindi hii hapa na hoteli yenyewe ni hii hapa” alisema akiwa anaitazama vizuri ile ramani aliyopewa.
“kwahiyo mimi natakiwa kutazama sana hapa” akajishauri na kuchukua negi lake na kupanda kule juu.

MASAA SITA NYUMA.

“sikilizeni kwa umakini, huyu mtu kwa sasa yupo nchini Urusi na yupo ndani ya mji wa Moscow. Huko amekwenda kutekeleza mauwaji ya mfanya biashara mmoja hivi mwenye asili ya India….!” alisema mama mmoja wa kizungu huko jijini London lakini sentensi yake ilikatishwa kwa mbele kabla mama huyo hajafikia lengo.
“kwanini tusimchonganishe na serikali ya nchi hiyo ili akamatwe tu baada ya kufanya mauwaji hayo” ndivyo alivyodakia dada mmoja kwa kutoa wazo au kuchangia mada baada ya mama Doreen kuongea huko jijini London. Macho makali yalimuendea huyo dada na kutaka hata kumezwa kwa jinsi aliivyoonesha udhaifu mbele ya mwanamama huyo mwenye chuki mbaya dhidi ya wanaume.
“Kekoo, unahamu ya kufa si ndiyo?”
“hapana mama”
“unahamu ya kufa wewe malaya. Hivi unajua sababu ya kuwachukia hawa wanume wewe au unaongea tu kama ujinga wako ulivyo kutuma. Ninashida sana na huyu kiumbe anayejiita Sex machine kabla hata hajaingia kwenye mikono ya hao warusi. Amenitia aibu sana huyo malaya wa kutengeneza au wewe hujui? hawa wanaume ni washenzi na unapoamua kuwapa moyo wako wanaweza hata kuunyofoa na kuupeleka kwenye uwanja wa vumbi na kuufanya moyo wako ni kama mpira wa makaratasi. Si watu hawa Kekoo” alisema mama huyo huku akiwa mwekundu kwa hasira zilivyomjaa, aliwageukia wale majemedari wake wa kike na kuwaambia kwa sauti kavu kabisa iliyokosa uwanamke alionao.
“sikilizeni niwaambie kilichofanya hadi kuwachukia wanaume kwenye maisha yangu yote na kukataa kuingiliwa kimwili na wanaume japo kwa bahati mbaya sana nazinunua kwa gharama kubwa mbegu zao na kupandikiza na za kwangu ili kunipatia watoto. Wanaume walinifanya mimi nikazaliwa katika mazingira magumu na mama akapoteza maisha. Mama yangu alitokea kupendwa na tajiri mmoja mkubwa sana. Huyo alikuwa ni mmarekani na ilikuwa ni huko nchini Marekani. Pesa alikuwa nazo za kutosha huyu baba na alifanya anacho kitaka katika maisha yake. Alimpenda mama yangu akiwa ni binti kigoli, mrembo japo alitoka katika familia ya kawida lakini urembo wake haukubeba uhalisia wa maisha yake bali alionekana ni mtoto wa tajiri fulani hivi kutokana na kujua mwili wake unataka nini na kwa wakati gani. Baba huyo, akavutiwa na kutangaza mapenzi kwa mama yangu, mama hakupinga, kutokana na ugumu wa maisha na ukizingatia kuwa huyo baba alikuwa ni tajiri mkubwa, akakubali na kuingia katika penzi na mzee huyo. Baada ya mwaka mmoja wa mahusiano yao mama akapata ujauzito, hapa ndipo mama alipojuwa kuwa kumbe unaweza kuonekana una vingi na umekamilika kumbe umekosa kimoja na chenye thamani kubwa. Akakumbuka usemi uliowahi jusemwa zamani wa kuwa hakuna binadamu aliyekamilika. Baba huyo pamoja na mali, utajiri uliobeba utitiri wa pesa lakini upendo alinyimwa. Hakuwa na upendo yule mzee hata thumni, alikuwa ni katili na mnyanyasaji wa kutupwa, alikuwa ni mshenzi na mpenda ngono sijapata kusikia mwanaume anayependa ngono kwma huyo kwenye maisha yangu tangu nazaliwa hadi kuwa katika umri huu usiojua nini ladha ya penzi la mwanaume. Mama yangu hakujaliwa, akafukuzwa nyumbani na bwana huyo kikatili zaidi. Tendo hilo, mama lilimuumiza na kumtia wazimu. Mama yangu akachanganyikiwa hakujuwa ni wapi pa kupata msaada na nyumbani hakuweza kurudi tena na si kama labda kulikuwa mbali labda kungehitaji nauli au labda wazazi hawakumpenda laa! Mama hakupenda kurudi nyumbani na aibu ile, fedheha ambayo kama angeamua kuwapelekea wazazi wake nyumbani sidhani kama wangeishi hai. Ukizingatia baba yake kipindi hicho ambaye ndiye alikuwa ni babu yangu tayari alikuwa ni mzee na asiyejimudu tena, hakuwa na kipato wala mtoto wa kumsaidia, hawakuwa na kitu cha kujivunia zaidi ya numba ambayo ni mama ndiye aliyewajengea baada ya kuwa na mwanaume huyo. Ilikuwa ni nyumba nzuri na ya kisasa ambayo hata yeye na mimi kama ningezaliwa tungeweza kuishi. Aliogopa kuwaumiza wazazi wake mama yangu, aliogopa aibu na maneno ya majirani kuwa amechezewa na kupewa mimba na kutelekezwa. Unafikiri ni mama ndiye angeumia, laa! Wangeumia wazazi wake na hatimaye kuwafanya wasiishi kwa amani na kuumaliza umri wao wakiwa na furaha ya maisha. Mama akaishi kwa kudandia dandia na hatimaye akapata kwa kuishi japo si pazuri lakini hakutaka kujali kwani lengo na nia yake kubwa ilikuwa ni kuilea mimba yake. Hakupata mahitaji yoyote muhimu kutoka kwa mwanaume yule kama mjamzito.

Siku nisiyopenda kuikumbuka ni hii hapa, siku ambayo baba yule aliyabadilisha kabisa maisha ya mama yangu kipenzi, siku iliyomfanya mama alee na kuituza mimba yake akiwa gerezani. Ni siku ambayo ilisababisha mimi kuzaliwa gerezani na kumsababishia mama yangu kifo kutokana na dharau za askari magereza.

Siku hii mwanaume huyo alikuja nyumbani kwa mama akiwa amelewa kidogo lakini anajitambua, mbaya zaidi alikuja na malaya mmoja kama kuja kumkebehi mama. Matusi mazito na kashfa chafu zisizohimiliwa na sikio la binadamu yoyote yule mwenye akili timamu na kama siyo akili timamu basi sidhani kama binadamu yeyote mwenye nyongo, angeweza kuhimili kashfa, kejeli na maneno ya kuudhi kama hayo. Alikuja kimanyanyaso haswa lakini hayo yote mama aliyavumilia. Kitu kilichomkera ni yule malaya aliyekuja nae eneo hilo kutia neno na kumtukana mama yangu. Sikuwepo duniani kipindi hicho lakini kwa waliopata kuhadithiwa na mama, hawa wakiwa ni majirani zake waliokuwa wakimpa misaada mbalimbali ya hali na mali, walisema maneno hayo yalikuwa ni ya kuuma sana na yalikuwa hivi. Nanukuu.
“kumbe malaya uliyekuwa ukiishi nae ndiyo huyu asiyejua hata kubadili nguo” mwisho wa kunukuu. Mama akamuangalia yule mwanaume ambaye alimpa ile mimba na kumtelekeza na pengine isingekuwa mimba hiyo, asingekuja kutukanwa na huyo mrembo wake. Baba huyo alifurahi kusikia maneno ya mwanamke huyo na kucheka kabisa. Mama alilia sana na kujiuliza moyoni mambo mengi sana. Lakini alisema maneno machache tu ambayo ndiyo yalikuwa ya mwisho kwa mwanaume huyo na hakuongea naye tena hadi hivi mimi leo nayarudia kwenu. Nanukuu kwa mujibu wa nilivyoelezwa.
“kama si wewe hayawani kunipa hii mimba nisingekuwa hivi mimi” mwisho wa kunukuu. Kisha kilichofuata hapo ni damu kuruka kila pembe ya ukuta baada ya mama kunyanyuka na kipande kigumu cha ubao na kumshushia huyo mwanamke utosini. Yule baba macho yakamtoka baada ya kumshuhudia yule mwanamke wake akishuka chini taratibu huku sakafu ya eneo hilo ikimsubiri kwa hamu ya kutaka kumpokea na kuona ni jinsi gani ataweza kuparangana na kuipigania roho yake kwa suluba ya ubao ule uliotua kwa nguvu nyingi kichwani mwake. Mama hakuwa akilia bali mwili ulikuwa ukimtetemeka na kwa muda huo alikuwa akimfuata mwanaume huyo na kutaka kumtwanga na yeye pia lakini hakufanya hivyo ilionesha dhahiri mama alizidiwa na upendo juu ya mwanaume huyo na kama si upendo basi alitaka mimi nitakapozaliwa nimjue baba yangu maana alijua fika kuwa yeye si wa kuishi tena uraiani kwa kesi ile ya kuuwa ni lazima angeozea gerezani. Baba yule hakuamini kama amepona, alichoropoka na kutimua mbio huku mama akawa akimuangalia kwa uchungu mkubwa sana. Ni kama mtu aliyekuwa akisema kuwa, ‘ni keeli unaniacha wewe mwanaume kisa tu nimekuulia huyu malaya wako, kwa nini unaniacha sasa na unajua kuwa mimi sikuuwa kwa makosa bali ni yeye aliyenilazimisha’ nadhani alisema hivyo kutokana na jisi alivyokuwa akimuangalia, maaana unaambiwa alikuwa akimuangalia kwa huzuni na masononeko makubwa.

Hakutaka kukimbia wala nini, ni kweli hakukimbia sijui labda ni kutokana na kuwa alikuwa tayari kwa lolote lile mbele yake. Muda haukuwa mrefu sana ndani hapo pakajaa askari polisi na mama akachukuliwa na kupelekwa mahabusu. Siku ya kutajwa na kusomwa kwa kesi yule baba alikuwepo na alikuwa ni shahidi namba moja wa kumuangamiza mama gerezani. Inamaana hakujua kuwa mama alikuwa na kiumbe tumboni mwake, hakujua kama kiumbe hicho msababishi ni yeye. Lakini yote ya yote, mama alikutwa na hatia na ………………………………

na hakuwa na mtetezi wala mwanasheria wa kusimamia kesi yake acha huyo shahidi wa kumfariji. Mama akahukumiwa kifungo cha maisha gerezani na adhabu kali mara baada ya kujifungua. Sinashaka mama baada ya kunizaa alijiuwa ili kuikwepa adhabu, adhabu iliyopo mbele yake. Hebu jiulize ni ukatili kiasi gani walionao wanaume na ni mapenzi kiasi gani waliyonayo wakina mama? Naamini mama alikuwa na uwezo mkubwa wa kujiangamiza ningali tumboni mwake lakini hakufanya hivyo hadi pale kipenzi chake nilipokuja duniani.” alimaliza kuongea mama Doreen na kutulia akiwa na ghadhabu maradufu akasema.
“sikutaka kuwauwa wanaume ila kwa huyu sex machine kwa jinsi alivyonionesha dharau, nimeapa kumuuwa na nitamuuwa kwa mikono yangu mwenyewe. Hivyo Kekoo wewe ni kiongozi na nakutegemea so sitahitaji mtu huyo awe mikononi mwa jeshi la polisi la nchi hiyo ya Urusi. Nataka awe mikononi mwangu. Hayo maneno yako ya eti, tumchonganishe na jeshi la polisi la urusi, futa tena futa kabisa ubongoni mwako.”
“nimekuelewa mama na pole sana sikuwa nikijua hayo yote” alijibu Kekoo, mwanadada mrefu kwenda juu na mwenye mwili wenye mvuto wa pekee sana. Waliendelea kumsikiliza Mama huyo na kupokea maelekezo yote.
“nitawasubiri nje kabisa ya mji huo wa Moscow na gari kisha tuenda hadi katikati ya mji ambako kuna rafiki yangu yuko huko huyo atatusaidia ndege binafsi na kurudi hapa London.” ndivyo walivyopokea maelekezo hayo.

Sex machine alipopanda kule juu kwa mara ya pili, alizunguuka kuangalia usalama kisha akaweka darubini yake tena machoni kutazama kule ambako ramani ilimtaka awe makini napo. Ewalaaa! Nyumba ilionekana na alipoangalia vizuri alimuona tajiri huyo wa kihindi akiwa nyumbani kwake akizunguuka bustanini. Akaitoa darubini ile na kufunga silaha yake kwa ustadi wa hali ya juu sana, kwa muda mfupi tu akawa tayari amekamilisha zoezi hilo la kuifunga silaha hiyo ya kudungulia (Sniper rifle). akaseti lens vizuri ya kuonea mbali na kuelekea kule ambako nyumba hiyo ipo. Hakumuona pale bustanini. Utata.
“yuko wapi?” akajiuliza.
“mbona nilimuona hapa” akazidi kujiuliza maradufu huku akizidi kuangalia ni wapi mzee huyo yupo. Alipoangalia vizuri, alimuona maeneo ya chumbani kupitia dirisha la kioo akibadili nguo.
“pole sana mzee najua ulitaka kutoka ili kunipa wakati mgumu wa kazi yangu. Hebu chukua mzigo huo uliopikwa kwa ajili yako” alinong’ona akiwa tayari amemuweka mzee huyo kwenye shabaha yake. Alimlenga kwenye paji la uso na kubonyeza trige na kuruhusu risasi iliyotoka kwenye mashine hiyo ya masafa marefu, kusafiri kwa kasi kubwa. Risasi hiyo ilionekana ikikimbia kwa kasi kubwa hadi kwenye paji la mzee huyo wa kihindi. ikapenya na kuacha alama ya nyota kwenye paji lake hilo huku akitoa mlio mdogo wa maumivu na kudondoka chini taratibu.
“yess,” alisema. Kijana huyo na kuifungua haraka haraka silaha ile na kuirudisha mule kwenye begi na kuweka kifaa kidogo kama kiberiti na kuliacha begi hilo hapohapo na yeye akashuka chini na kurudi chumbani kwake ambako alibadili nguo na kukamata brifcase yake na kutoka mule chumbani. Alipofika chumbani hapo tu, kule juu alikoacha lile begi lililobeba silaha ya kudungulia, kukatokea mlipuko mdogo ulioteketeza kila kitu na kuacha majivu ambayo yalikuwa yakisukumwa na upepo. Alikuwa ameiteketeza kabisa ile silaha kupoteza ushahidi. Alikmata korido ndefu kisha akakunja kushoto na kuingia kwenye kijichumba kijidogo kisha akatokea kwenye lifti na kujifungia. Akataka kubonyeza namba fulani zilizopo ukutani lakini ghafla akasikia sauti kutokea nyuma yake. Sauti tamu ya kike, sauti ambayo ilimuacha hoi na kumshangaza.
“bonyeza namba nane hiyo itakuwa rahisi kukusaidia kutoka ndani ya jingo hili, ukieanda hadi flow namba moja, huko huwezi kutoka salama, askari wameshajaa huko chini” sauti hiyo ilimwambia namna hiyo tena kwa utaratibu mkubwa kabisa. Sex machine akaganda na kujifanya ile sauti haikuwa kwa ajili yake. Ni kama hakusikia, akaendelea na zoezi lake.
“tukio la mauwaji ulilolifanya huko juu tayari habari zimefika kwa jeshi la polisi la nchi hii na wamejaa hapo chini hivyo kama huniamini toka” ikaendelea kumuambia sauti hiyo. Kijana huyo akaganda kwa muda lakini hakutaka kupuuza maneno ya msichana huyo japo hakumjua. Alichanganyikiwa sana kusikia kuwa kila kitu alichokifanya huko juu kimejulikana. Na nani? akajiuliza lakini jibu hakulipata. Akairuhusu lifti hiyo ishuke hadi flow namba nane kisha akamgeukia msichana huyo aliyekuwa akimsemesha. Alikuwa ni Kekoo. Binti mrefu ambaye hakuwa na tabasamu hata kidogo eneo hilo. Lakini urembo wake haukujificha hata kidogo ndani ya hiyo sura. Hakumsemesha hadi flow namba nane, mlango ukafunguka, akatoka mule ndani kabla ya binti hiyo kutoka. Kekoo hakuwa na haraka na mtu huyo, alijua ni jinsi gani atakavyomkamata kirahisi kijana huyo.
“kama huamini chungulia kwenye hizo ngazi za kushuka huko chini” alisema Kekoo. Sex machine akaelekea upande wa hizo ngazi zilipo. Ghafla aligeuka na kurudi mbio. Alikutana na askari wa kirusi wakiwa wamebakisha hatua chache kuweza kufika hapo walipo, akarudi hadi aliko Kekoo.
“nifuate faster” alisema kwa sauti ya juu Kekoo na kuingia ndani ya chumba kimoja huko wakakuta dirisha moja lililo wazi.
“hakuna njia nyingine ya kutokea humu ndani zaidi ya hapa” aliongea tena binti huyo huku akimuonesha Sex machine kamba ikiyopo dirishani hapo.
“tuna jump” aliongea huku akitangulia na kijana makini akimfuata kwa nyuma. Walishuka na hiyo kamba hadi chini kabisa. Wale askari walipofika ndani ya kile chumba, walikuta chumba kikiwa kitupu na hata walipochungulia dirishani ambako kulikuwa na kamba, hawakuambulia kitu zaidi ya kamba tupu. Kekoo na Sex machine walipofika chini, haraka sana binti huyo alizidi kumuelekeza kijana huyo amfuate na hakuleta ubishi kwani kila kona ya eneo hilo kulikwa tayari kumezingirwa na askari. Wakafika sehemu ambayo kulikuwa na pikipiki kubwa Kekoo akadandia na wakatokomea eneo hilo.

Pembezoni mwa mji huo wa Moscow upande wa mashariki, kwa mbaliii, kunaonekana gari ndogo aina ya Subaru yenye rangi ya kibuluu ikiwa imeegeshwa pembezoni mwa barabara moja tulivu. Muda mfupi mbele pikipiki kubwa lililokuwa limembeba Sex machine na yule binti liliwasili mahali hapo na kupaki pembeni ya ile gari.
“hii ndiyo itatusaidia kututoa hapa hadi nje ya mji huu usioope ni msaada kwako, jeshi la nchi hii sio zuri kabisa na wakikukamata mateso yao huwa ni makali mno hadi unakufa, kuhusu mimi ni nani utanijua” alisema Kekoo na kumfunguli mlango wa gari hiyo kisha na yeye kuingia upande wa pili na kuliondoa gari hilo. Baada ya umbali mdogo alisimama na wakaingia wanawake wawili kwa haraka sana. Sex machine akashtuka baada ya kuona tukio hilo lililofanyika kwa haraka namna hiyo.
“vipi mbona sielewi?” akauliza Sex machine.
“utaelewa tu mpuuzi wewe” sauti ya nyuma ikamshtu na alipogeuka alikutana na kikosi ambacho hata hakukitegemea mahali hapo na wote wakiwa ni wanawake na hawana kabisa tabasamu. Alijiona mjinga sana kukamatika kipuuzi tena bila hata wakamataji kutoa jasho. Akataka kufanya kitu cha ghafla, alichelewa. Pigo moja la nguvu likatua kisogoni, alipigwa na kitako cha bastola hapo hapo giza likayavaa macho yake na kumfanya kupoteza fahamu.
“chukua hiyo sindano hapo mdunge huyo ili asije kuleta shida” sauti ya dada mmoja humo ndani ilisema.
“vipi hii gari ina mafuta ya kutosha?” Kekoo akauliza.
“usitie shaka mamito kanyaga gia tairi zinung’unike, si unajua mama anatusubiri na hatupaswi kuchelewa”
“nafahamu na ndiyo maana nimeuliza kama lina damu za kutosha maana nataka kukanyaga mafuta nianze kuendesha sasa maana naona mlikuwa mnaliendesha kirembo” alijibu Kekoo na kasi ya gari hiyo ikaongezeka maradufu. Dakika arobaini ziliwafikisha mahali ambako ndiko Mama Doreen alipo.
“well done my doughters, kazi imekwenda vizuri. Ndege iko tayari kama mnavyoona mtoeni humo garini na mumuingize ndegeni. Wakafanya kama walivyoelezwa. Walimkokota na kumuingiza ndegeni kisha Kekoo binti hatari kabisa akakaa kwenye upande wa rubani na kuiondoa ndege hiyo safari ya kurudi London na kile walichokifuata ikaanza. Kekoo alipoiweka ndege sawa aliiacha ijiongoze yenyewe yeye akajumuika na wenzake.
” umewezaje Kekoo kumkamata huyu jamaa?” aliuliza mama Doreen huku akimtazama Sex machine kwa hasira kali mno alitamani hata kumuangamiza kwa muda huo. Alizidi kuzidisha hasira zake dhidi ya wanaume, Alimchukia sana Sex machine kutokana na kitendo chake cha kuharibu future za binti yake. Mwenyewe alitaka siku moja binti yake huyo aje awe kama yeye lakini haikuwa hivyo, kijana aliyepo hapo ambaye hakuwa akijitambua kwa kuzidiwa na nguvu ya dawa ya usingizi, alizizima ndoto hizo.
“ilikuwa ni kazi nyepesi sana mama, nilichokifanya baada ya kufika hotelini hapo ni kusubiri kwanza atekeleze kazi yake kisha mimi ndipo nilipotoa taarifa polisi na kuwaelekeza mahali ambapo mauwaji hayo yametokea kisha nikaingia ndani ya hoteli hiyo hadi mahali kilipo chumba cha lifti ambayo nilikuwa na imani kuwa ni lazima apitie hapo na kumueleza kuwa polisi walikuwa eneo hilo na wapo hapo kwa ajili yake, hapo nikamchanganya na alipohakikisha mwenyewe kwa macho yake kuwa kweli eneo hilo lilikuwa na askari, akajikuta akifuata tu kila nilichokuwa nikimuelekeza.
” nakubali sana” alisema mama Doreen na kisha wote wakaanguwa kicheko cha kike na kugongeana mikono.

Masaa sita baadae, ndege hiyo ndogo ilituwa katika uwanja mdogo wa jumba la dada huyo na kutembea kwa kasi sana kisha ikapunguza mwendo taratibu na kusimama kabisa. Gari ndogo ya ajabu iliyo wazi ilifika mahali hapo, wakamtoa Chriss humo ndani na kumuingiza ndani ya hiyo gari kisha gari hiyo ikaondoka na kuingia ndani ya jumba hilo la kifahari. Alitolewa na kwenda kufungwa kwenye chumba maalumu na kumuacha humo akiwa bado hajarudiwa na fahamu hata kidogo………

“muacheni hapo fahamu zikimrudia ndipo tutakapompa mateso hadi kifo.” alisema mama Doreen.

LOS ANGELES.

Mwana dada mrembo alikuwa ametulia ndani ya nyumba yake ya kisasa akiwa mbele ya kompyuta yake mpakato akifuatilia kitu fulani lakini kadiri alivyokuwa akiendelea na kazi hiyo, ndipo alipoonekana kama mtu aliyechanganyikiwa mahali hapo.
“inakuwaje hii, alisomeka Moscow na sasa London, hii nini maana yake? inamaana alikuwa na safari ya kwenda london?” alijiuliza dada huyo huku akigeukia upande mwingine kwa kuzunguusha kiti chake akachukua maji kwe glasi na kurudisha kiti chake pale kwenye kompyuta. Akaangalia kwenye kioo cha kompyuta hiyo na kupiga funda moja la maji na kuirudisha glasi yake pale mezani.
“alitakiwa aende Urusi akafanye mauwaji kisha aende Ufaransa kwa ajili ya kuchukuwa mzigo wa madawa ya kulevya na baada ya hapo, alikuwa tena na safari ya Brazil, vipi tena Uingereza?” alizidi kujiuliza mwanadada huyo.
“ooop!” alichoka. akajiegamiza kitini kisha akatulia kwa muda huku akikazia macho kidude fulani chenye rangi ya kijani ambacho kilikuwa kimetulia kabisa.
“ngoja nijue yuko maeneo gani huko London” aliwaza tena kisha akaainamia tena ile kompyuta yake na kuanza kubonyeza bonyeza kicharazio cha kompyuta hiyo.
“shiiit!” aling’aka dada huyo baada ya kujua mahali mtu huyo alipo. Ile alama ilisomeka kwenye jumba moja la thamani sana na aliwahi kufika ndani ya jumba hilo. Na siku ambayo aliingia ni siku ambayo kulikuwa na ibada ya siri ambayo ilikuwa ikiendeshwa na mmiliki wa nyumba hiyo.
“hatari!” akasema kisha akanyanyuka na kuingia chumbani, alipotoka alikuwa amebadilika sana. alikuwa ndani ya suruali nyeusi ya jeans iliyombana sana. Juu alipiga kijitop cha rangi nyekundu huku akiwa na viatu vyekundu pia. Akatoka humo ndani kwa haraka sana na kuingia kwenye gari na kuondoka hapo nymbani kwake kwa mwendo wa kasi sana. Dakika chache alikuwa kwenye uwanja wa ndege. akatoka garini na kuingia ndani ya uwanja huo.

Sex machine alifumbua mcho taratibu na kuangaza kila upande wa chumba hicho. Kilikuwa ni chumba kidogo sana chenye mwanga hafifu mno. Alijishangaa kuona yupo hapo na akiwa amefungwa kamba kwenye kiti. Alijivuta kutaka kujitoa lakini ni kama alikuwa akijisumbua, alifungwa madhubuti sana na hakuweza hata kutikisika.
“niko wapi hapa na kwanini niko hapa? Nimefikaje?” alijiuliza maswali hayo kijana huyo huku akizidi kushangaa. Akaanza kuzivuta kumbukumbu nyuma na hapo akakumbuka kuwa kwa mara ya mwisho alikuwa mjini Moscow, akakumbuka alivyokuwa akiwakimbia polisi hadi kufanikiwa kuwatoka akiwa anaongozwa na binti mmoja. Mwisho akakumbuka akiwa kwenye gari na wanawake wengi kabla ya kupigwa na kitu kizito kichwani.
“nimetekwa” akasema kwa sauti ya chini sana na kujituliza akisubiri kuwaona hao waliomteka na kumfikisha mahali hapo. Dakika chache mlango wa chumba hicho ulifunguliwa na mwanga mkali ukakipiga chumba hicho. Wakaingia watu wawili ambao walikuwa ni wanawake. Wakamsolea hadi karibu kabisa na alipo yeye.
“Sex Machine, kijana hodari ambaye hukamatiki na ni mwenye uwezo wa kuvunja mitego iliyofungwa imara.” akasema Mama wa Doreen. Sauti hiyo ikamfanya Sex machine ashtuke kutoka katika kisima cha mawazo. Aliikumbuka sauti hiyo, ni wapi alipata kuisikia. Hakukumbuka mapema hadi alipoinyanyua sura yake juu na kumtazama muongeaji.
“kumbe umeamka!” alisema tena mwanamke huyo. Sura za wanawake wawili zilikuwa karibu kabisa na macho yake. Akaikumbuka sura hiyo ni sura ambayo aliiharibia binti yake siku kadhaa zilizopita.
“nilitaka uamke ili nikupe mateso yatakayo kuuwa taratibu.” alisema mama huyo huku akimkamata Sex machine kidevuni na kumnyanyua kichwa kwa nguvu. Makofi matatu ya nguvu yalituwa kwenye shavu la kulia la kijana huyo na kupelekea maumivu makali kisha akamsukuma nyuma na kumuacha. Akarudi nyuma.
“kekoo hebu peleka kichapo kwa huyo mpuuzi hapo” alitoa amri mama huyo. Kekoo akasogea na makonde ya haja. alimpiga kijana huyo ngumi nyingi sana za uso, zilikuwa ni ngumi zisizo na idadi. Sex machine aligugumia kwa maumivu makali aliyokuwa akiyapokea mahali hapo. kichapo hakikoma hata kidogo. alipiga binti huyo hadi Sex machine akalegea kabisa kutokana na kichapo alichokuwa akikipokea.
“usife sasa hivi wewe mwanaume unatakiwa ufe taratibu sana sasa ukiwa nyanya kiasi hicho utanishangaza.” aliongea Kekoo huku akiwa amemkamata kichwa kijana huyo kisha akamtandika ngumi kali iliyomyumbisha. Kelele za maumivu zikamtoka huku damu zikimchuruzika mtindo mmoja.
“ha ha ahaa! Vizuri sana hapo. Acha niendelee nae sasa” aliongea mama Doreen na kumuinamia kijana huyo ambaye alikuwa akipumuwa juu juu kama mtu mwenye presha ya kupanda.
“oou! Yupo katika hali mbaya sana ngoja tumuache apumzike kisha baada ya nusu saa tutakuja tena” alisema mama huyo na kutoka mule ndani huku Kekoo akimfuata nyuma. Chriss alikaa mule ndani akiugulia maumivu makali sana aliyoyapata kutokana na kipigo.
“inamaana mateso yote haya ni kwasababu nimemuingilia binti yake au kuna jingine?” alijiuliza kijana huyo huku akiwa amejiinamia. Aliendelea kukaa humo ndani pasipo kujua afanye nini ili aweze kutoka. Aliendeleza kuwaza hivyo hivyo hadi baada ya nusu saa wale wanawake walivyorudi tena. Walipoingia hapo hakukuwa na maongezi tena kilichofuata ni kipigo tu. Alipigika sana kijana huyo, alipigwa kupita kawaida, alipata maumivu makali sana Chriss hakujua kama anaweza kutoka mahali hapo. Aliamua kutulia tuli tu akiwapa nafasi ya kuweza kumpiga hadi watakaporidhika. Kipigo kikaendelea na wote walikuwa wakichangia. Ilikuwa ni kupokezana mahali hapo, akipiga mama Doreen, anapiga Kekoo lakini ghafla kishindo kikubwa kikasikika. Wote wakaacha zoezi walilokuwa wakilifanya kwa kijana huyo.
“nini hicho” aliuliza mama Doreen.
“hata sijui ni nini?”
“hebu nenda kaangalie Kekoo huko si kawaida hiyo” akatoa amri mama huyo, Kekoo akaelekea huko yeye akaendelea kusubiri mahali hapo. Sex machine akamtazama mama huyo na kumuomba amfungue kamba. Hilo lilikuwa ni kama tusi kwa mama huyo, alifoka sana, alifoka kupita kiasi.
“nani akufungulie mpuuzi wewe tena leo ndiyo nakuuwa kabisa, hivi unajua ni kiasi gani ulivyonichefua. Alimfuata akamkamata mabegani na kumtingisha, alimtingisha kwa nguvu sana huku akiongea maneno makali kwa uchungu mkubwa.
” nyinyi wanaume hamna ubinadamu hata kidogo ni washenzi sana, mnaweza hata kumuangamiza mtu anayeonesha upendo kwenu, nyinyi ni wauwaji, nyinyi ni wanyama kabisa” alisema mama huyo huku akilia kwa uchungu. Chriss akajua hapo kuna zaidi ya hilo la kumuingilia binti yake. Akawaza ni nini kilichomtokea mama huyo wa kizungu hadi kuonekana kuwachukia wanaume kiasi hicho. Alichanganyikiwa kweli na alifikia hatua ya kuchomoa bastola kwenye kiuno chake na kumchapa risasi ya bega kijana huyo. Risasi hiyo ikapiga na kuchana nyama, maumivu makali yalimtambaa mwanaume huyo. Bastola ikahamia kwenye paji la uso kuashiria kuwa inayofuata inapigwa hapo. Alikuwa akitetemeka mwili mzima kwa ghadhabu alizokuwa nazo lakini hakuendelea kufanya hivyo, kishindo kikubwa kingine kikasikika. Akashtuka na kuishusha ile bastola chini, akaangalia mahali mlango wa chumba hicho ulipo. Kishindo kingine kikajirudia, akamgeukia Sex machine na kumwambia.
“nakwenda kuangalia huko nijue kuna nini lakini nikirudi napasua kichwa chako” kisha akaelekea kunako kishindo hicho lakini kabla hajafika mlangoni, Sex machine akamuita kisha akamwambia.
“ungefanya jambo la busara sana kama ungenifungu…….!” hajamaliza kuongea, risasi ikachimba ukutani na kumnyazisha kimya. Mama huyo akafungua mlango na kotokomea nje ya chumba hicho. Purukushani zikasikika huko nje ya hicho chumba Chriss akajua si kwema. Akaanza kuminyana kutaka kufungua kamba alizofungwa ili kuweza kutoka mahali hapo ikiwezekana aweze kwenda kutoa msaada kwani aliamini kabisa mama huyo hakuwa na makosa yoyote ila huwenda kuna jambo zito linalomtesa akilini mwake. Hakuweza hata kidogo alikuwa amefungwa imara sana mahali hapo na hakukuwa na uwezekano wa kuweza kujifungua. Akakata tamaa na akajua kwa vyovyote kuna wavamizi wamevamia na kama ni hivyo basi huwenda hata yeye akawa kwenye hatari ya kuuwawa. ghafka bin vuu, mlango wa chumba alichopo ukafunguliwa kwa kishindo kikubwa na alipoangalia vizuri, alimuona mwanamke akiwa amevaa kofia iliyoweza kumfunika uso hivyo hakumjua ni nani. Mwanadada huyo alikuja hapo na kisu kisha akakata kamba zilizotumika kumfungia na kumuacha hapo akiwa huru lakini dada huyo alikwenda hadi mlangoni na kusita kidogo kisha akageuka ni kama kuna jambo alitaka kulisema lakini alishindwa. Akafungua mlango na kupotea. Sex machine akajiuliza ni nani? Mbona amejiziba sura kwa kofia, inamaana hataki kujulikana? Au ndiyo wavamizi waliokuja kuvamia ndani ya jingo hilo? Hakupata jibu na badala yake akaamua kucha kufanya hivyo kwani hata kama angeendelea kujiuliza, ingekuwa ni kazi bure maana asingepata jibu kamwe. Akakumbuka kuhusu wale wanawake waliomteka akiwa nchini Urusi, akapata hofu na kuamua kutoka ndani ya chumba hicho alichokuwa kahifadhiwa, tena alitoka kwa uwangalifu wa hali ya juu sana. Kitendo cha yeye kufungua mlango tu, alikutana na damu mtindo mmoja. Sebule yote ilichafuka kwa damu, akawaza na kujiuliza hapo ni nini kimetokea. Akazidi kutafuta kwa kuingia chumba hiki na kile, hapa na pale. Alipofika kona moja akamkuta Kekoo akiwa anamalizia pumzi ya mwisho. Akamsogelea na kumuinamia na kuanza kumtingisha.
“Kekoo nini kimekukuta? Yuko wapi mama?” aliuliza kwa kutumia majina aliyokuwa akiyasikia humo ndani wakiitana. Kekoo hakuwa na uwezo wa kuongea tena alinyanyua tu mikono juu kama mtu anayetaka kuomba jambo lakini haikuwezekana, Kekoo akaaga dunia………….

Bila shaka alikutana na kipigo kikali na alipigana na fundi haswa maana Kekoo hakuwa akivuja damu sehemu hata moja lakini alipokata roho tu, damu zikaanza kumtoka mdomoni hii iliashiria kuwa aliumia sana ndani. Chriss akamuacha mtu huyo mahali hapo japo alimtesa lakini huruma juu ya wanawake ilimuingia sana, aliamini katika maisha yake yote kwamba mwanamke ni mtu muhimu sana katika maisha ya mwanaume na hakupaswa kuteseka hata kidogo. Hakujali mateso makali aliyoyapata, alichojali na kukifikiria ni kuhakikisha anajua mahali mama wa nyumba hiyo alipo. Akazidi kutafuta kila mahali, alitafuta kila kona hadi akachoka na kukata tamaa kabisa. Akajua labda baada ya kuzidiwa mama huyo alitafuta upenyo na kukimbia. Akawa anatoka taratibu akipita kona hii na kupitia ile. Mahali fulani akasikia sauti ya mwanamke aliyekuwa akinung’unika kuashiria kuwa alikuwa amefungwa kitu mdomoni. Alipoangalia vizuri, alimuona mama Doreen akiwa amefungwa mahali. Chriss alimuwahi kwa lengo la kutaka kumfungu lakini mama huyo alimpiga kikumbo, Chriss akayumba lakini akiwa amefanikiwa kutoka na gundi ambalo mama huyo alizibwa nalo mdomoni. Mama huyo alihema kwa nguvu na kumwambia kijana huyo kuwa aondoke eneo hilo. Chriss akagoma na kumwambia kuwa hawezi kuondoka hapo hadi ahakikishe amempa msaada. Mama huyo akamwambia kijana huyo aangalie kwenye pembe moja mahali hapo na alipoangalia, alikutana na bomu kubwa la saa lililokuwa limebakisha dakika mbili tu kuweza kulipuka. Chriss akamgeukia yule mama na kumfungua huku mama akionekana mbishi kusikia, Chriss alilivuta gundi alilokuwa amefungwa na kubana mikono ya mama huyo na kulitupa kando, mama huyo alipiga kelele huku akilia na kumwambia aondoke mahali hapo na amuache afe mwenyewe.
“ni bora basi tufe wote lakini siwezi kukuacha ufe mwenye hauna hatia”
“nimesema niache nife mwenyewe niacheeeeee…..!”
kimya we mwanamke, mimi siyo wa hivyo na siko tayari kumuona mwanamke anakufa kipumbavu. Najua ulinitesa lakini mateso yale siyo kwa sababu eti nilimuingilia mwanao tu. Kipo cha ziada juu ya wanaume sasa nataka kukuonesha kuwa si wote wenye roho za kishetani na kishenzi kama unavyodhani wewe. Ukitaka nikuache hapa basi hakikisha unanishika kwa nguvu zako zote na tunakufa wote” maneno hayo ya kijasiri yalimvunja kabisa mdomo mama yule, hakuamini kama mtu aliyempa mateso makali na kutaka hata kumuuwa angekuwa na moyo wa namana ile. Hakuwa na jipya tena hapo kilichobaki ni kuwa mpole na kuweza kufunguliwa kamba zilizo bakia. Chriss aliangalia saa na kugundua kuwa zimesalia sekunde thelathini tu ili bomu hilo liweze kulipuka. Akaongeza kasi ya kufungua kamba hizo hadi anamaliza kumfungua kamba zote, zilikuwa zinesalia sekunde kumi na tano pekee. Binti yule alichoropoka kutoka mikononi mwa Chriss na kuingia mahali Chriss akashangaa lakini punde akarejea na alipofika tu akamwambia kijana huyo kuwa yupo tayari kwa safari. Zilikuwa zimesalia sekunde kumi.
“onesha njia ya siri itakayoweza kututoa nje” alisema na mama huyo akafanya kama alivyoelekezwa. Wakapita mahali huku mama huyo wa kizungu akiwa ni kiongozi wa kuelekeza njia. Walitokea nje ambako kulikuwa na uzio mkubwa, kwa mbali Chriss aliona mlango wa siri wa kuweza kuwatoa nje. Alimkamata mama huyo mkono na kukimbia nae kwa kasi kubwa wakafungua ule mlango, ile wanatoka tu nje ya ule uzio, Mlipuko mkubwa ukasikika. Chriss alimkamata yule mama mkono kwa nguvu sana na kuruka nae na kuangukia kwenye ngema fulani, kijana huyo akamfunika huyo mama kwa kumlalia kwa juu kuhakikisha hakuna madhara yoyote yanayomkuta. Mlipuko ule ulikuwa ni mkubwa sana hakuna kitu kilicho baki, nyumba yote iliteketea na kubaki kweupe kabisa ni moto pekee ndiyo ulikuwa ukiwaka. Mama yule aliamka kwa kilio kikali sana. Aliwalilia wafanya kazi wake wote huku akilitazama lile eneo ambalo eti, ndipo lilipokuwa jingo lake la thamani. Kilio kilikuwa kikubwa sana hadi Chriss/Sex machine akaja kwa nyuma na kumshika begani huku akimpiga piga mgongoni na kumwambia.
“nilishindwa kutoka na Kekoo kwani nilimkuta akikata roho na alikufa nikiwa nashuhudia lakini wafanyakazi wako wengine wote hawakuuwawa na huu mlipuko bali walivamiwa na watu hatari na kuwauwa, huu mlipuko ulikuwa ni kwa ajili yako tu.” akanyamaza Chriss na kuutazama ule moto uliokuwa unaendelea kuwaka kwa madaha na sifa ya kuweza kufanya ulichotumwa kisha akamshika yule mama vizuri ambae muda huo ni kama alipatwa na bumbuwazi maana alikuwa halii tena na badala yake alibaki akiukodolea macho moto ule.
“roho imeniuma sana kuwaona watu wenye thamani kubwa na wasio na hatia wamepoteza maisha” alipokomea hapo Sex machine, macho ya mama huyo yote mawili yalikuwa yanamtazama yeye kwa mshangao mzito. Ni kama vile mtu aliyekuwa akijiuliza. Mbona vijana wangu ndiyo waliotaka kumteka mwanzo kule brazil, mbona hata hivyo huyo Kekoo ndiye aliita polisi na kufanikiwa kumteka kule Moscow na mbona ndiye aliyempa mateso na kutaka kumuuwa, iweje leo aseme kuwa ni watu wenye thamani na wasio na hatia.” Alipokuwa katika mshangao huo mithili ya mtu anayejiuliza, macho yake yakashuka kwenye bega la kushoto la kijana huyo. Hapo alijikuta akiona aibu sana baada ya kukuta jeraha la risasi ambalo lilisababishwa na yeye, macho aliyashusha chini akiwa ni mwingi wa aibu, alipoyanyanyua juu, alimkuta kijana huyo ndiyo kwanza alikuwa akizidi kuushangaa ule moto. Akataka kunyanyua mkono ili kuweza kulishika lile jeraha lakini Chrisa akamkatisha zoezi lake hilo kwa kusema.
“hatuwezi kuendelea kuwepo hapa kwani hatujui maadui zako wako upande gani na vile vile askari wanaweza kuja muda wowote kuanzia sasa kutokana na mlipuko huu mkubwa, tuondoke.” akasema huku akimshika mkono na kumtoa eneo lile na kuondoka huku ving’ora vya gari za polisi vikisikika kwa mbali vikija eneo hilo la tukio.

Walifika kwenye hoteli moja kubwa mjini hapo, ilikuwa ni hoteli ya nyota tatu, hoteli yenye kila kitu ndani. Walikuwa wamekaa chumbani humo mara baada ya kila mmoja kwenda kuoga kwa nafasi yake na muda huo yule mama alikuwa akimtibu majeraha mbalimbali kijana huyo.
“pole sana najua unaumia” alibembeleza mama huyo kwa kiingereza safi kabisa.
“hapana endelea tu mbona ni maumivu ya kawaida sana kwani ilipiga nyama tu ile risasi na haikuacha madhara makubwa” aliposema hivyo Chriss, mama huyo akakumbwa na unyonge mkubwa. Alitamani masaa yarudi nyuma na auone wema wa kijana huyo pasipo kumjeruhi popote pale.
“naweza kufahamu jina lako sasa?” aliuza Chriss.
“Moline, Moline ndilo jina langu.” alijibu mama huyo akiwa na aibu.
“waliovamia pale walikuwa ni wanaume au wanawake?”
“walikuwa ni wanaume si wengi ni watatu tu lakini bila shaka walijipanga sana maana ni kwa dakika chache tu waliweza kuwamaliza walinzi wangu wote” alijibu dada huyo na kumfanya Chriss ashushe pumzi nzito. Hakushusha pumzi hizo kwa sababu eti, ya watu watatu kuweza kusambaratisha ulinzi wote na kutaka kumuangamiza Moline, laa! kilichomfanya kushusha pumzi hizo ni je, ni nani yule mwanamke aliyekwenda kumfungua yeye kule kwenye chumba cha mateso alikokuwa kafungwa. Hakutaka kuliweka bayana hapo kwa kuuliza lakini jambo hilo lilimuumiza sana moyo wake na kumfanya ajiulize kila wakati. Hiyo ikiwa ni mara ya pili kwake. Moja ilikuwa ni hapo hapo kwenye sherehe ya ibada ndani ya jingo hilo hilo kwa kukutana na mtu aliyekuwa akimtazama huku akitabasamu kila amtazamapo, pili ni siku hiyo. Alidata, lakini aliamini ipo siku isiyo na jina atamjua.
“hukuwahi kufanya tukio lolote lile baya kwenye maisha yako?” akauliza Chriss baada ya kutafakari ya kwake. Moline akatikisa kichwa kukataa kuwa hajawahi kufanya tukio baya.
“usipokuwa mkweli ni wazi utakuwa unaniongopea, haiwezekani watu wakutafute hadi ulipo na kuuwa walinzi wako wote kisha wewe kutaka kukuuwa kwa bomu, tena bomu la masaa” alisema Chriss na alivyosema tu bomu la masaa, Moline akakumbuka. alikumbuka mbali sana na alikumbuka jinsi ambavyo alimuangamiza mtu aliyesadikika kuwa ni baba yake. Ikabidi Moline ampe kila kitu kuhusu maisha yake ya kuwachukia wanaume. Alihadithia mwanzo mwisho kuanzia maisha ya mama yake hadi alipokuja kumuua baba yake.

“niliapa kumuangamiza yule mwanaume aliyesababisha kifo cha mama yangu gerezani pindi tu nikitoka kwenye kituo kilichokuwa kikinilea kama mtoto yatima. Ndiyo, baada ya mama yangu kufa gerezani, mimi nilikabidhiwa kwenye kituo maalumu cha kulelea watoto yatima. Nikalelewa pale na kukulia pale. Kweli nilipotoka pale, hapo tayari nilikuwa na umri mkubwa japo si sana lakini nilikuwa ninakisasi nimekibeba kuliko hata umri wangu. Elimu niliyoipata nikiwa kituoni na kupita shule mbalimbali nilizosoma, zikanifanya nigundue vitu vingi hata kufunga na kufungua silaha nilijua kwa kasi sana kwa kusoma baadhi ya mambo yanayohusiana na silaha. Hivi nilivifanya kwa siri kubwa Kwasababu nilidhamiria kumuuwa baba yangu. Na nilipofanya uchunguzi, nikaambiwa kuwa baba yangu si mtu mdogo kwani ni mafia na anamiliki kikosi hatari na yeye mwenyewe akiwa ni muuwaji, ikanibidi kuingia kwenye mafunzo mbalimbali ya kijasusi lakini mafunzo hayo, ulikuwa ukijifunzia mtaani na mafunzo hayo yaliendeshwa kwa siri sana na serikali ya marekani ya kipindi hicho ilikuwa ikipiga marufuku sana mafunzo hayo kutokana na kwamba yalikuwa yakizalisha watu hatari na wenye uwezo mkubwa wa kufanya uhalifu wa silaha na kufanya mauwaji ya kutisha. Maslahi yakafanya vyuo hivyo vya siri kuendelea kuweka usiri mkubwa na hata wakitumwa wapelelezi kuja kupeleleza, waliishia kufa tena kifo kibaya sana. tukajifunza kwa kasi kubwa na wote tuliokuwa tukijifunza ni watoto na wengi tukiwa ni mabinti wenye kuhitaji kilipiza visasi, kwani kuna rafiki yangu mmoja alikuwa akiniambia kila wakati na alikuwa akisema. (namnukuu).

“Moline kisasi kitaishi moyoni mwangu milele hadi siku nitakapolipa” mwisho wa kunukuu. Na alikuwa akisema kila wakati, akilala, akiamka na hata akila. Baada ya miaka miwili ……………

. Baada ya miaka miwili tukapewa jaribio la kuweza kufuzu kama tuko fiti na jaribio hilo lilikuwa ni la malipo

tungefanikisha. Lilikuwa ni jaribio la kuuza roho. Tukalifanya kwa ari kubwa na tukafanikiwa kuteka mzigo mkubwa uliokuwa ukitoka bank ya kati na kwenda benki kuu ya Marekani. Mzigo ule tukaufikisha kambini lakini cha ajabu ni kwamba hakukuwa na malipo makubwa tulipewa pesa ndogo sana na tukaambiwa kuwa tumefaulu na tutakapozidi kufanya matukio makubwa kama hayo nabkufanikiwa, watakuwa wanatulipa pesa nyingi sana na kutufanya tuwe matajiri. mimi na wenzangu watano wa kike, tukaona ile haikuwa haki na tulidhulumiwa na si kutudhulumu tu bali walipanga kututumia kwenye uharamia na inasemekana ndiyo kazi ya chuo hicho cha siri kilichokuwa kikitufundisha. Tukapanga mbinu hatari za kutoroka kambini hapo. Haikuwa rahisi lakini kwa kuwa tulidhamiria, tukaamua kutokomea usiku wa saa saba. Tuliuwa walinzi wote wa usiku na kutoweka usiku huo. Kitu ambacho tulikipanga baada ya kufika mafichoni, ni kuweza kumchunguza mkuu wa ile kambi. baada kama ya miezi sita ya uchunguzi huku tukifanya matukio makubwa ya kutisha ili kuweza kupora na kuishi mjini. Tulifanikiwa. Mbaya zaidi ni kwamba mtu aliyekuwa akimiliki ile kambi alikuwa ndiye baba yangu. Roho iliniuma sana kujua jambo hilo, hapo ndipo nilipojua wanaume si watu kabisa na hawastahiki kuishi katika hii dunia. Tukapanga mikakati ya kufanya maangamizi ya kutisha. Hatukuwa wengi tulikuwa watano tu. Siku ilipofika tulielekea mahali ambapo mzee huyo anaishi na tulipofika hatukuuliza, tulifanya mashambulizi makubwa tuliteka pesa nyingi sana ambazo alikuwa akizihifarhi kwenye chumba chake cha siri na kwenda kuzificha mahali, baba hatukumuuwa yeye alikimbilia kambini. Wenzangu wakaniambia kuwa mzee huyo aliwanyanyasa ki ngono walipokuwepo kambini hapo hivyo hawato kubali kumuacha hai. Ikatubidi kuivamia kambi kwa kushtukiza. Huko kulikuwa na mapambano ambayo sikuwahi kuyaota wala kufikiria kama ningekuja kuyafanya katika maisha yangu. Nakumbuka tulipambana kwa muda wa masaa matatu na kisha kukimaliza kikosi chote akabaki baba pekee lakini kwa upande wetu tuliwapoteza marafiki zetu watatu na tukabaki wawili tu na huyu mwenzangu alikuwa na majeraha mwili mzima. Akajikaza tukaingia ndani ambako ndiko alikojificha huyo baba. tulipofika, rafiki yangu alimpa kichapo kikali sana. Nakumbuka alikuwa akimpiga huku akiwa analia kwa jinsi baba huyo alivyomfanya, alisema alimnyanyasa sana kijinsia na kumdhalilisha mno alikuwa akimlazimisha mapemzi na yeye hakupinga kwa sababu alikuwa kuna kitu alikuwa akikitafuta. Alimpiga hadi akaridhika ndipo nilipomwambia aniachie na mimi nifanye yangu. Aliponipisha mimi sikumpiga bali nilichukuwa bomu kubwa nikalitega karibu yake huku tukiwa tumemfunga kamba na kisha nikatega saa tena kwa muda wa masaa mawili. Hapo ndipo baba huyo aliporopoka na kusema nimuache nisimuue na kuanza kunihadithia kila kitu kilicho pita kuhusu maisha yangu akasema kuwa yeye ni baba yangu. Nikachukua hadithi yake na hadithi niliyowahi kuhadithiwa na majirani waliokuwa wakiishi na mama yangu kabla hajaenda gererzani na kupoteza maisha huko baada ya kunizaa, nikajua kweli alikuwa ni baba yangu. Kosa alilolifanya ni kusema kuwa yeye ni baba yangu na kunikumbusha machungu. Ni bora basi hata asingesema na kuniacha nijue mwenyewe kuwa yeye ni baba yangu kuliko hivyo alivyoamua kufungua domo lake na kutoa maneno hayo yaliyozidi kunichefua. Neno ninalolikumbuka ambalo nilimwambi ni.
“nakupenda sana baba yangu na ndiyo maana nimekuwekea sauti nzuri hapo pembeni yako, hebu angalia basi jinsi spika hiyo inavyojitahidi kukuimbia” alipogeuka alilikuta ni lile lile bomu tena likiwa limebakisha sekunde za kuhesabika. Rafiki yangu alinishika na kunitoa mule ndani kwa nguvu sana hadi nje, huko tukapanda gari na kutoweka, tulipofika nje ya ile kambi, mlipuko mkubwa na wa kutisha ulisikika. Tukaongeza kasi na kutoweka. Tulikuwa na pesa nyingi sana ambazo zingetufanya kuwa matajiri hadi tunakufa. Tukapanga kila kitu baada ya kugawana pesa ile na mwenzangu akaelekea Brazil kuanzisha maisha yake na mimi kuhamia hapa uingereza. Na huyo mwenzangu alipokwenda Brazil, hakupenda maisha ya huko hivyo akahamia Urusi na ndiye aliyenipa ndege ambayo ilikufikisha wewe hapa baada ya kukuteka kule Moscow.” alisema Moline. Ilikuwa ni story yenye kuumiza sana na ilimuweka kimya Chriss kwa muda kidogo huku akimuangalia dada huyo jinsi ambavyo yupo katika uchungu mkubwa. Ni wazi alikuwa na haki ya kufanya yote yale na alifanya hivyo kwa sababu hakuwa na mtu ambaye alimshauri kitu kizuri juu ya maamuzi yake. Lakini je, kama ni kweli amuzi hilo ni sahihi ni vipi atamaliza hasira zake au kama ameshamuua baba yake, kwa nini sasa aliamua kuendelea na kisasi. Kisasi huwa hakiishi na unapo kuwa na nadhiri ya kulipa kisasi basi ni wazi kisasi hakina mwisho na kizazi na kizazi kitakuwa kikiendeleza kisasi hicho.
“Moline!” aliita Chriss. Moline akanyanyua kichwa kumtazama kijana huyo mpole kisha kijana huyo akasema.
“ni kitu gani ambacho unaweza kufanya kwa sasa ili roho yako iachane na kisasi ulichokibeba moyoni mwako?” aliuliza Chriss. Moline alijiinamia na kuona aibu kubwa sana juu ya hayo maneno yaliyojenga swali kwake. Hakuwa na kitu cha kusema pia hakuwa na jibu zuri kwa mwanaume huyo.Akajikakamua na kujibu kuwa hakuna kitu kingine ambacho kitamfanya alipe kisasi. Aliposema hivyo alikumbana na swali jingine.
“ninaimani bado hasira zako kwa wanaume wote duniani, hazijakwisha bado si ndiyo?” ki ukweli swali hili hakuwa na jibu nalo na badala yake alijivuta karibu na kumsogelea kijana huyo kisha akalishika lile bandeji ambalo lilikuwa limefunga kwenye jeraha la risasi, jeraha ambalo kama si yeye lisingekuwepo mahali hapo. Moyo ulimuuma sana. Kijana huyo hakustahili hata mchubuko kutoka kwake ni wazi kabisa alimkosea na kwa makosa hayo alipaswa kuomba msamaha. Chriss alichukua bastola na kuikoki vizuri kisha akamkabidhi na kumwambia.
“timiza ile ahadi yako ya kutaka kunipasua kichwa, huu ndiyo muda pekee wa kufanya hivyo ili roho yako ipate kuridhika” Moline aliumizwa sana na hayo maneno, aliumia sana na kujikuta akikosa namna ya kufanya.
“kama nimeweza kutibu jeraha nililolisababisha mwenyewe, ni wazi kabisa kuwa kwa sasa nimekuwa mpya wa nafsi. Hukustahili hata kuoneshewa kidole SM, hukustahili hata kupigwa kofi, hukustahili nasema hukustahili kabi……..!” alishindwa kumalizia na machozi yakaanza kumtoka. Akayafuta na kuvuta kamasi nyembamba zilizokuwa zikimchuruzika kisha akarndelea.
“nilidhani wanaume wote ni wakatili na wauwaji SM, baba yangu amenilisha sumu mbaya sana ambayo hata kama ingekuwaje nisingeweza kuitoa kwa kawaida. Sikutaka kuwauwa wanaume japo nilikuwa nikiwachukia sana ila nilichokiamua ni kuto kumruhusu mwanaume kuugusa mwili wangu kwa kuuingilia hadi pale nitakapokuwa marehmu. Kumbe nilikuwa nikikosea. Nilikosea sana kuliadhibu kundi kubwa la Ng’ombe kwa kutolipeleka malishoni, kwa kosa la Ng’ombe mmoja tu aliyeingia kwenye shamba la mkulima masikini. Nisamehe sana SM. Nasema nisamehe kwa sababu nakiri nimekosa na nimekukosea sana. Sikutegemea kama kipigo kile tulichokupa mule ndani, halafu eti upate ujasiri wa kuniokoa mimi.” alimaliza kuongea Moline na kutulia kimya akisikiliza kama maneno yake na msamaha kwa mwanaume huyo kama umesikika na kukubalika.
“nimefarijika sana Moline kwa kutambua wajibu wako na kile unachopaswa kukifanya. Huu sio muda tena wa kudili na kisasi japo kipo na kinakuzunguuka na wanaokizunguusha kisasi hicho ni wale ambao, wanataka wakilipe kwako kwa kile walicho kipoteza” alizungumza Chriss lakini kauli yake hiyo ikamfanya Moline kushtuka na kuamua kuuliza ni nani hao wanaotaka kulipa kisasi kwake. Chriss akatulia kidogo na kuvuta pumzi ndani ya mapafu yake kwa utaratibu kisha akageukia upande aliyoko mwana mama huyo ambaye alikuwa akimtazama kwa macho ya mshangao. Akasema.
“wapo watu waliomuamini sana baba yako na kumheshimu na siyo kumheshimu tu bali walimtegemea pia. Hao walijua kuwa mtu huyo ameuwawa na mtu wa karibu na pengine ni kwa lengo la kulipiza kisasi. Bila shaka walitafuta kwa muda mrefu sana kumjua mtu huyo, sasa maisha yako ambayo uliamua kuishi ndiyo yaliyokukamatisha mapema sana kwa watu hao. Hupaswi kuishi maisha yale tena na pia hutakiwi kuonekana tena ndani ya ardhi hii ya London kwani wauwaji waliokuja kwa lengo la kukuuwa wanajua kuwa umesha kufa.” maneno hayo yalimfanya ashushe pumzi nzito sana na kutulia kimya huku akimpa mwanya kijana huyo wa kuendelea kuongea.
“unao utajiri wa kutosha, unazo pia pesa kama siyo mali. Hutakiwi kuwa na marafiki wale wa zamani tena, unatakiwa kuwa na marafiki wapya ndani ya taifa jipya huku ukiwa na maisha mapya yenye mtazamo mpya. Hapo utweza kishi kwa amani bila kuwaza kufuatiliwa tena. Waamini wanaume na waone ni binadamu ambao hawakuumbwa na ukamilifu lakini pia kama yupo anayekukwaza kwa makusudi, huna budi kumuepuka na siyo kufanya maamuzi mazito yatakayoongozwa na hasira zako” alikomea hapo na kutulia. Moline alimuangalia kijana huyo wa kiafrika mwenye uzuri na upole wa aina yake, akageuka pembeni. Akataka kumuuliza kwanini ameamua kuwa Sex Machine, akasita. Akaona atakuwa ni kama anamchimba.
“nikaishi wapi tafadhali nichagulie taifa la kwenda kuishi” akasema.
“nenda ukaishi Brazil huko naamini kutakubadilisha na kuwa mpya. Kwani yule binti yako yuko wapi?” akajibu kisha akauliza.
“nilimpeleka nchini Urusi kwa rafiki yangu ili niweze kukamilisha mauwaji yako ndipo nimrudishe nyumbani, niliamua kumuachia huru na angeweza kufanya jambo lolote lile lakini sikutaka akutane na wewe tena. Nilikuchukia sana.”
“unanichukia tena?” akauliza Sex Machine huku akimtaza mama huyo kwa ukaribu zaidi. Mama huyo akatikisa kichwa kukataa kisha akauliza swali.
“ulishawahi kusomea saikolojia labda?”
“hapana sijawahi”
“kweli!?”
“ndiyo sijawahi ni uwezo binafsi tu” alijibu Chriss na kupelekea Moline kuto kuamini. Lakini ni kweli kwamba kijana huyo hakuwahi kusomea saikojia hata kidogo. Moline alijikuta akijihisi raha sana kuwa karibu na kijana huyo. walizidi kupiga soga za kawaida hadi pale Chriss alipoomba akajimwagie maji kwa mara nyingine kwa ajili ya kutoa ile harufu ya dawa, hapo ndipo ukawa mwisho wa maongezi yao. Chriss alinyanyuka na kuchukua taulo kisha akaelekea bafuni akiwa na bukta tu mwilini mwake. Kwa mara ya kwanza Moline alijikuta akijihisi hali ya hatari sana. Moyo wake aliuona kama ulikuwa ukipotea njia
[12/22, 5:40 PM] Ahmed Jiriwa: Riwaya: Sex machine 46.

kwa jinsi ambavyo ulikuwa ukiongeza kasi ya mapigo yake. Hakuwahi kuwa na hisia hizo katika maisha yake na kama ziliwahi kumtokea, si kwa wingi kiasi hicho. Alijkuta akimtazama kijana huyo anavyopotelea kwenye mlango wa bafu hilo la kisasa kabisa, bafu la kioo, bafu ambalo aliyeko bafuni alimuona wa chumbani na aliyeko chumbani alimuona wa bafuni.
“nimekuwaje hivi?” alijiuliza huku akishika titi zake ambazo hazikuwahi kukamatwa na mkono wa mwanaume zaidi ya mikono yake mwenyewe. Alihisi muwasho wa aina yake kwenye ncha za chuchu zake. Kila akifumba macho alikiona kifua cha SM kikiwa kimegawanyika na kujihisi kama amekilalia.
“mbona leo hivi jamani, najihisije hali hii mbona haijawahi kutokea hata siku moja” alishtuka sana na kusogea hadi karibu kabisa ya koo na kuchungulia ndani ya bafu hilo. Hapo aliachia mdomo wazi baada ya kumuona kijana huyo akiwa amesimama katikati ya chumba cha bafu akiyaruhusu maji yauogeshe mwili wake. Mzigo wa haja ukiwa unanepa kwenda kushoto na kurudi kulia, alihisi hisia za ajabu sana zikiuvaa moyo wake, tayari pepo mbaya alikuwa akimtafuta kwenye kumi na nane zake. Aliduwaa hivyo hadi akawa hajui kama mwenzake alikuwa akimtazama tena kwa muda sana. Yaani bumbuwazi lililokuwa limemkata lilikuwa kubwa sana kiasi cha kutazamana na anayemchungulia humo bafuni lakini hamuoni. Alikuja kushtuka baada ya kumuona anayemchungulia ameacha zoezi la.kuoga, ndipo akaona jinsi wanavyotazamana, akageuza macho yake pembeni kwa haraka sana.
“hivi atakuwa ameniona eeh? Oou jamani kaniona, aaa, sasa itakuwaje kama ameniona kuwa namchungulia?”…………………

alikuwa akizidi kujiuliza huku akikirudisha kichwa chake taratibu tena na kutaka kutazama kule bafuni kwa kuibia lakini alipoangalia tu akakutana na tabasamu huku kijana huyo akikimwagia maji kile kioo na kukifanya kisiweze kuonesha vizuri. Moline alitabasamu baada ya kuona mchezo ule.
“jamani ametabasamu hadi raha. oh my God! mbona anamdudu mkubwa vile hadi ananisisimua, sasa kwanini amemwaga maji ili nisimuone? Na mimi namuendea huko huko sasa haiwezekani aoge peke yake kwani mimi sistahili kuoga. Naenda hivyo hivyo hata kama nimekwishaoga tayari” aliongea hapo kisha akapambua nguo zote na kulionesha umbo lake zuri na lenye mvuto wa aina yake. Matiti mazuri yaliyo tuna na kutengeneza mduara kama embe Bolibo. Chuchu zake za kuvutia akazishika kidogo na kuziminya kisha akacheka kidogo baada ya kuvuta hisia kali sana.
“aaaaaaashhh!” akajitumbukiza ndani ya hilo bafu kwa ghafla. Sex machine alijua tu kuwa mwanamke huyo hawezi kuvumilia na ni lazima angelivamia bafu. Hakukuwa na wa kumsemesha mwenzake. Na alipoingia mule ndani ni moja kwa moja kumkumbatia kijana huyo na kumpa mdomo. ladha ya mate ikawafanya wagugumie na kuzidi kupapasana kwa hisia kali na sauti za mahaba kuchukua nafasi. Walizidi kushikana shikana hivyo na kuzidi kupeana ladha mbali mbali. Moline akili ilimruka mahali hapo alisahau au sijui alifanya makusudi. Inamaana kweli hakukumbuka kuwa yeye ndiye aliyekuwa akimsaka huyo kijana kwa kutaka kumuangamiza sababu ikiwa ni kuharibiwa binti yake? Itakuwaje kushiriki penzi na mwanaume aliyetembea na mtoto wako. Lakini mama huyo alizidi kufurahia mchezo huo tena akiwa anaonekana kuwa na hamu kubwa maana kwa jinsi alivyokuwa akiinyonya hiyo maiki ya SM, ni kama yuko kwenye mashindano ya jambo hilo. alikuwa akilalama mwanzo mwisho na kutoa sauti tamu yenye kuhamasisha. SM alikuwa akibweka kwa raha za aina yake kwani Moline alikuwa hanyonyi bali alikufuru. Inawezekana alijua kuwa kijana huyo ndiye aliyeivunja bikira ya binti yake ila ni kutokana na kutokujua uchungu halisi wa binti yule ambaye kumpata kwake ni kutokana na kuchanganya vinasaba vyake na vya mwanaume kwa kupitia mbegu za uzazi ambazo alizinunua kwa gharama kubwa na kuzipandikiza mbegu hizo kwenye maabara maalumu zinazohusika na kazi hiyo. Yai likaanguliwa kwenye Tube maalumu na kukuzwa humo hadi pale zilipounda kiumbe ambacho kilihamishiwa kwenye maabara nyingine kwa maendeleo zaidi. Pengine hili ndilo lililomfanya asiwaze juu ya kushiriki penzi la mwanaume huyo aliyetembea na binti yake. Kuzaa kwa uchungu kuna faida kubwa sana jamani. Kwa sbabu utakuwa unayajua maumivu ya kile unachokilea hivyo huto penda kufanya kitu ambacho kitautesa moyo wako kwa kuhisi utakuwa umemzulumu haki yake. Manung’uniko yalizidi na kwa muda huo tayari SM alikuwa amemkunja mama huyo kwa mtindo wa funga kamba za viatu na kumshindilia mpingo kwa nyuma. Alikuwa akilia kwa raha huku akijitukana mwenyewe kwa kosa la kutokuupa haki mwili wake kwa kipindi kirefu. alikuwa akijituma kwa nguvu sana na akimwambia kijana huyo amfanye kwa nguvu nyingi kwani raha anazozisikia hapo hazikuwa na kifano chake, hakupata kitu cha kufananisha raha hizo na zote alizokuwa akizipata duniani. SM alikuwa hapigiwi, alisukuma na kusukumiza ndani mara nyingine akawa anazamisha mpini wote ndani na kumng’ang’ania huku akiwa anamsugulia kwa ndani. Hapo ndipo palikuwa na kelele za kufa raia. Alilia hadi pale kijana huyo aliposhusha mzigo na kwa mara ya kwanza tangu kuwa Sex machine, anajikuta anakojolea ndani, mama huyo alitabasamu na kupumua pyuuuuuu! Bado mama huyo alikuwa akitaka mchezo uendelee, hivyo wakaamua kuoga na kuelekea chumbani kwa ajili ya mtanange mwingine ambao huo Moline angemtafutia SM jina la kumpa.

%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%

Asunuhi kulipokucha Moline alikuwa hoi bin taabani. Mchezo haukuwa wa kitoto hata kidogo, alikesha kifuani kwa SM kwa usiku mzima akihema kwa pumzi za raha alizokuwa akipewa na kidume hicho. Alideka kama mtoto mdogo kwa kila alipotakiwa kudeka, penzi alilopewa lilikuwa la aina yake, alitamani sana kuanza mambo yale tangu akiwa mdogo lakini haikuwa hivyo, aliishi kifungoni kwa muda mrefu sana hivyo yote ya yote aliamua kumtupia marehemu baba yake kwa kumfanya aishi maisha ya kuwa mtumwa wa fikra. Aliamshwa kitandani hapo na kelekea bafuni ambako alioga na kurudi kisha akapewa nguo mpya kabisa za kuvaa ambazo hakujua kijana huyo alizitoa wapi, hakuhoji, alizichukua na kuzitia mwilini nguo zile zilimkaa kisawa sawa kabisa kama vile alipimwa. Alibaki kumuangalia tu kijana huyo na kuishia kutabasamu. Chrisa alikuwa ameshapiga lile vazi lake na kufuatiwa na suti safi nyeusi ambayo ilikwenda kulifunika lile jeraha. Wakatoka wote na kuelekea uwanja wa ndege. walipofika, Chriss akachukua ndege itakayompeleka Ufaransa na Moline alichukua ndege inayoelekea nchini Brazil.
“naomba uwe unakuja kunitembelea SM, hata kama nitakuwa na mwanaume mwingine lakini wewe bado una nafasi yako tena kubwa mno na ya pekee sana” alisema hayo Moline alipokuwa amemkumbatia kijana huyo akiwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa London, akiondoka na kwenda kutafuta maisha mapya akiwa katika taifa jingine. Alifumbua macho na kutazama pembeni ya kiti na kumuona dada mmoja akiwa amepakata mtoto mdogo wa kiume ambaye alifanana kila kitu na mtoto huyo. Alitabasamu kwa tabasamu la wazi kabisa, aliwaza mengi kubwa likiwa ni kutamani kuzaa mtoto ambaye naye pia atakwenda kufanana naye au hata asipofanana naye basi afanane na mtu wa pekee anayempenda, mtu aliyemrudisha kwenye maisha mapya anayopaswa kuishi binadamu wa kawaida.
“nakwenda kuzaa mwanangu wa kwanza kwa uchungu. Asante sana SM najua ipo siku utakuja na kumkuta mtoto wako akiwa amesha zaliwa” aliwaza hivyo Moline kwani anajua kwa vyovyote vile ni lazima ashike mimba kwani ameshiriki mapenzi na kijana huyo akiwa yu katika siku za hatari za kushika mimba. Nakwenda kusahau kila kitu kilichopita sasa, Doreen sitakutupa mwanangu najua nimefanikiwa sana hadi hapo ulipofikia na ninaimani utaweza kuwa na maisha yako huko huko Urusi” alizidi kuwaza na kulishika tumbo lake dogo ambalo aliamini baada ya muda litakuwa likiishi kiumbe cha thamani kwani hata mtu aliyempa mimba ni wa thamani sana kwake.
Kwa upande wa Chriss yeye alikuwa na furaha tu kwa kuweza kumfanya mtu katili kurudi kwenye maisha ya kawaida na hakujua kwa nini furaha yake ilikuwa kubwa kila wakati. hakujua furaha hiyo ilisababishwa na nini hasa, lakini kikubwa na alichokuwa akikiwaza ni kuweza kumpa Moline maisha mapya.

Alikwenda Ufaransa akachukua mzigo na kuusafirisha mzigo huo wa dawa za kulevya aina ya FD. Akausafirisha hadi nchini Brazil na kurudi zake Tanzania akiwa salama kabisa.

Mambo yalizidi kuwa mambo, furaha ya Joesan ilikuwa ikizidi kila wakati lakini pia Chriss alikuwa akipata mafanikio makubwa sana kupitia kazi hiyo haramu huku akizidi kuwaingizia mamilioni ya shilingi mabosi zake.

Kikao kikubwa kilikuwa kimekaliwa. kikao hiki kilikuwa ni cha watu wa nne. Alikuwepo Joesan kama mkurugenzi wa kampuni lakini pia alikuwepo Suzane. Binti mrembo na anayeaminiwa na bwana Joe. Alikuwepo mzee Rafael, mzee mstarabu asiye na makuu, mzee mkimya lakini mwenye talenti kubwa ya mapigano. Hawa watatu waliweza kujaza nafasi za viti vlivyokuwepo eneo hilo la siri. ulikuwa ni usiku wa saa sita na kilikuwa ni kikao cha siri kuliko siri yenyewe. Kikao hiki hakuna aliyekuwa anajua mzizi wake ni nini zaidi ya Joesan pekee. Mtu wa nne kwenye kikao hicho alikuwa ni mkuu, mr. Kim ambaye yeye aliwakilishwa na sauti yake kama kawaida. Na kikao kikaenda kuanza rasmi kwa sauti ya mkuu kusikika ikijikohoza kisha kuzungumza bila kusikika popote ila waliopo eneo hilo walisikia kutokana na sauti hiyo kuipata kupita vinasa sauti walivyokuwa wameviegesha kwenye masikio yao. Walikuwa wametulia kimya wakisiliza na hakuna hata mmoja ambaye alitia neno ama kuingiza swali, kila mmoja alikuwa ni msikilizaji kisha wakatazamana. Lakini wakati hayo yakiwa yanaendelea, kuna mtu alionekana kwenye kona moja karibu kabisa na ukuta wa jingo la kampuni ya Safaries Company. Alikuwa amevaa koti jeusi lililokuja hadi kichwani na pia alipiga na mawani nyeusi ambayo haikuwa mawani ya kawaida. Hiyo ilikuwa ni mawani ambayo ilikuwa inauwezo wa kupiga picha na vile vile kurekodi kitu chochote na pia yenye uwezo mkubwa wa kuona gizani. …………………………

Tunamuona mtu huyo anaangalia saa yake ya mkononi na kuanza kutembea taratibu kwa kujiamini kisha anaruka ukuta wa jingo hilo, lenye ukuta ambao haukuwa mrefu sana wa kutisha. Wakati mtu huyo aliyejiziba kwa koti kubwa jeusi akiwa analikaribia lango la hilo jingo, umeme ukakatika mtaa mzima. Mtu huyo akafungua mlango kwa njia azijuazo mwenyewe na kuzama ndani. Muda huo kwa upande wa kule kwenye mkutano wa siri watu walikumbwa na mshtuko kila mmoja akawa anashangaa asijue nini cha kufanya.

“Mkuu anasema kamera zote za kampuni zimezima ghafla” alisema joesan kwa sauti ya chini kana kwamba wakati huo mkuu wao anaongea, alisikia peke yake na wakati wote pale walikuwa na vifaa vya kunasa sauti. Alichanganyikiwa sana Joesan. Kitendo cha kamera za kampuni kizima ghafla wakati si kawaida, kilimchanganya yeye na mkuu wake wasijue nini tatizo.

“inamaana mkuu hakuna hata kamera ya akiba ambayo inaonesha uhai?” aliuliza Joe.
“hakuna Joe zote zimezima” alijibu kim akiwa haamini.
“oh! Labda litakuwa ta……!”
“sina hakika Joe kwa hilo unalosema na mimi vitu vyangu ninavipeleka kisasa sana, sasa hilo tatizo ulilotaka kulisema hapo ni la nini labda” Kim alimkatisha Joe akiwa hayupo katika hali ya kawaida kabisa.
“fanya jitihada Joesan Tujue nini tatizo siyo kuniuliza maswali ya kipumbavu” alifoka Kim akiwa amechanganyikiwa kabisa.

Hapo ndipo utakapojua kuwa mzee huyo anajali zaidi mali zake kuliko utu. Kwenye matatizo ya kampuni zake huwa hakuna boss wala na ni mtu mwenye hasira mbaya sana bwana huyo. Kampuni kama hiyo iliyobeba siri kubwa za maisha yake halafu kamera zote zizime, hiyo ni hatari sana na tukio kama hilo halikuwahi kutokea. Joesan alinyanyua mkonga wa simu na kuiweka sikioni kisha akabonyeza namba kadhaa na kusikilizia, simu ya upande wa pili, simu hiyo iliita kidogo kisha ikapokelewa na yeye kuanza kuongea.

“Tai unanisikia!”
“ndiyo nakusikia kiongozi” alijibu Tai mtaalamu huyo wa mambo ya teknolojia na mjenzi pia akiwa ni msimamizi wa mitambo yote ya hatari inayotumika kuathiri watu akili.
“kamera za kampuni zote zimezima” alisema na wakati huo wakati Joe anaongea na simu, Mr. Kim alikuwa ameikazia macho luninga yake iliyokuwa ikiwaona watu wote waliopo kwenye hicho kikao na alikuwa ametega sikio kwa umakini sana kusikiliza nini kitajibiwa hapo.

“itakuwa ni tatizo la umeme kiongozi” aliongea Tai.
“usiseme itakuwa Tai tunataka uhakika, mkuu hayupo sawa na mimi ndiyo nimechanganyikiwa kwa asilimia kubwa sana” aliongea Joesan akiwa amepandisha sauti juu kabisa.
“hivi ninavyoongea na wewe kiongozi ndiyo natoka hapa na pikipiki nikacheki” aliongea Tai.
“ok, fanya hivyo na tupo hapa tunasubiri kitakachojiri huko, haiwezekani iwe ni umeme wakati kuna jenereta ambalo linajiendesha lenyewe umeme unapokatika” alisema Joe.
“jenereta halijafanyiwa marekebisho si unajua” alisema Tai na simu ikakatika hewani. Tai akapanda kwenye pikipiki lake kubwa na kuingia barabarani kuelekea huko kunako tukio lililowachanganya vichwa mabosi hao.

Lakini kwa upande wa kampuni tunamuona mtu huyo asiyefahamika akiwa anapita kila chumba na kufanya yake kwa haraka sana. Alihakikisha kila chumba anaingia tena akiwa makini sana na mara kwa mara alikuwa akiangalia mkono wake uliobeba saa. Haikujulikana alichokuwa anakifanya lakini hakuwa mtu wa kawaida hata kidogo, vitu vyake alifanya kwa kasi kubwa mno. Alionekana akipiga picha baadhi ya maeneo kwa kutumia ile mawani yake kitaalamu zaidi. Ni kitendo ya sekunde thelathini tu, alikuwa tayari amepita sehemu zote muhimu na kuweka alichopaswa kuweka na kutoka humo ndani huku mawani aliyovaa ikimsaidia kuona kwa ufasaha kabisa. Wakati yeye anatoka ndani ya lile jingo baada ya kufanya alichokikusudia, nje ya lile jingo upande wa mbele, Tai akafika na kupaki pikipiki lake kisha akapiga simu na kuiweka sikioni.

“ndiyo!” ilipokelewa simu hiyo kwa haraka sana na mpokeaji akiwa ni Joe.
“ni tatizo la umeme kweli kiongozi kama nilivyo hisi hakuna kitu kingine cha kuhisi zaidi ya umeme kwani mtaa wote huu hauna umeme” alisema Tai na kumfanya Joesan ashushe pumzi nzito akifuatiwa na Mkuu wake. Mkuu akaachia tusi zito kwenda kwa Tanesco kisha akasema.
“hakikisha kesho ile plate ya kunyonya nguvu za jua inafungwa na tunaachana na jenereta hii ni hatari tutakuwa tunapata shinikizo la damu namna hii hadi lini” Tai akajibu.
“umesomeka kiongozi”

Tai akakaa kwa muda pale kwa takriban dakika tatu, umeme ukarudi naye akaondoka. Lakini wakati umeme unarudi, mtu mwenye koti alisharuka ukuta na kupita kwenye chochoro alilokuja nalo na kuzipita nyumba kadhaa na kuibukia mtaa mwingine. Akajizunguusha na kurukia pikipiki kubwa. Wakati anarukia hilo pikipiki, na kutokana na eneo hilo kuwa na mwanga kiasi, ndani ya lile koti jeusi ikaonekana bikini nyekundu. Hee! Inamaana huyo alikuwa ni bikini nyekundu? Ni nani sasa huyo dada na hapa napo amefuata nini ndani ya hiyo kampuni. Kizunguzungu.
Aliitoa pikipiki hiyo kwa kasi kubwa hadi maeneo ya Forest usiku huohuo. Akatazama saa tena na kusogea karibu na lango moja kubwa kwenye jingo moja la kifahari sana hapa akatulia kidogo. Wakati huo kikao cha siri kikiwa kinaendelea kule kwa akina Joesan. Mtu yule mwenye koti akazama ndani ya ule uzio kama alivyoingia ndani ya jingo la kampuni na hapa napo umeme ukakatika mara tu baada ya kuukaribia mlango. Akaufungua na kuzama ndani taratibu, akapita sebuleni. Akaifuata korido ambayo ilikuwa kama inampeleka jikoni, hapa akatulia kwenye chumba kimoja kilichokuwa kimejitenga sana kisha akakifungua na kuzama ndani. Chumba hiki ndicho ambacho alikuwa akiishi Chriss kabla hajabadilishwa akili na kusahaulishwa ya nyuma. Akaangaza macho ndani ya kile chumba, kilikuwa ni chumba kisafi sana na inaonesha chumba hiki hakijawahi kuguswa ama kutumika tena tangu Chriss kutokuonekana. Akafungua mtoto wa meza mtu huyo na kukuta picha ya Chriss angali mdogo bado, hapo ilionekana akiwa na miaka kama mitatu hivi au miwili na ushee. Aliitazama kwa muda kidogo picha hiyo hadi machozi
yakamdondoka kupitia mawani ile aliyovaa na kujenga njia shavuni mwake kisha chozi hilo likaporomoka na kuangukia juu ya ile picha tena kwenye paji la uso la kijana huyo. Alishtuka kidogo na kuifuta ile picha kisha akairudisha kama ilivyo akiiambatanisha na kidude kidogo sana kisha akaurudisha ule mtoto wa meza, akasogeza kidogo mawani yake pale machoni, akatoa kitambaa na kufuta machozi kisha kuuelekea mlango ili kutoka mule ndani. Ila wakati anatoka, ukutani akaona picha iliyomuonesha akiwepo yeye, mama wa Chrisa na baba wa Chriss kipindi hicho wakati yeye akiwa ni binti mdogo kabisa, wakiwa wamesimama. akatabasamu kuziona sura hizo kisha akatoka akiwa anafuta kamasi na kuurudisha huo mlango akaufunga kama alivyoukuta. Kichwani alikuwa akiiwazia sana ile picha, pengine Joesan alikuwa na nia mbaya zaidi ya kuzidi kumfanya kijana huyu zezeta, aliwaza hayo kutokana na ile picha pale ukutani lakini hakuishia kuwaza tu. Akaongoza moja kwa moja hadi kilipo chumba cha Joesan, hapa aliponyonga kitasa, mlango ukafunguka akaingia taratibu lakini mwanamke aliyemo humo ndani akashtuka na kuamka ghafla na kukamata simu ya mkononi. Alichelewa. Mtu huyo mwenye koti kwa kasi ya ajabu sana, aliruka na kuipiga teke ile simu ikaenda kuangukia ukutani huku simu hiyo ikipoteza uhalisia kwa kuchanguka baada ya kupiga vibaya ukutani. Mama huyo mwenye nyumba alibingilia na kuanguka chini ya kitanda kisha akachomoka na bastola ambayo nayo haikudumu mikononi mwake hata kwa sekunde tatu, ilipigwa kitaalamu sana kisha mama huyo akachotwa mtama na kujibwaga chini kwa kishindo. Wakati purukushani zikiwa zinaendelea, Mery alishtuka kutoka usingizini lakini mtu mwenye koti jeusi alimuona, akajirusha pale kitandani na kwenda kumgusa kidogo shingoni. Mtoto huyo akapoteza fahamu kisha akamnyanyua na kumtupia begani na kuchomoa bastola ndefu aliyokuwa ameihifadhi pajani mwake kwa kuifunga na mkanda maalumu na kumuelekezea mama huyo. Martha macho yalimtoka baada ya kuona kila jitihada za kujitetea zimegonga mwamba na sasa alikuwa akitazamana na mtutu wa bunduki.

“Joesan!” aliita mtu huyo mwenye koti jeusi kwa kunong’oneza mithili ya mtu anayeongea jambo la siri kwenye sikio la mtu mwingine. Akaendelea.
“ni muda wako sasa wa kuhisi maumivu. Ulilolipanga kwa huyu binti limefeli kuanzia sasa na najua ulikuwa umepanga kumuuwa kisaikolojia huyu pia kama ulivyomuuwa huyo liyempa jina lako unalotaka wewe ili tu umuondoe katikta kuutambua ukweli wa maisha yake na historia ya wazazi wake huku ukizidi kumzunguuka kwa kumwambia kuwa, jina la pili linaweza kuwa la kwanza. Kila wakati ulikuwa ukifurahi pale ulipokuwa ukilitaja jina la kijana huyo ulilolitunga mwenyewe kwa maslahi yako. Eti, Christiano Robin Isaya. F*ck Joesan” alimaliza kuongea kwa kumtukana tusi kubwa bwana Joesan kisha akaitoa usalama ile bastola na kuilekeza kwenye paji la uso la Martha ambaye alikuwa amefumba macho kukipokea kifo hicho. Alikubali kuolewa na mwanaume katili na muuwaji hivyo alijua fika ipo siku naye atakuja kuuwawa pindi mumewe akiwepo au kuto kuwepo, hivyo hakuwa akiogopa tena bali alichokuwa akikifanya hapo ni kumlaani mumewe mwanzo mwisho na alikuwa tayari kufa kwani hata hivyo hakuwa na cha kupoteza kama ni maisha alipokula panatosha. Faida yake hakuiona tena kwanza hakuwa mtu wa kuijaza dunia kama Mungu alivyoagiza na badala yake alikuwa akila tu bila kuleta faida. Mshahara wa dhambi ni mauti. Kweli ni hivyo lakini Martha alikuwa akihusishwa na kila baya kwa ……………………………..

na badala yake alikuwa akila tu bila kuleta faida. Mshahara wa dhambi ni mauti. Kweli ni hivyo lakini Martha alikuwa akihusishwa na kila baya kwa kukubali kuishi na bwa huyo, alikuwa akishuhudia kila unyama aliokuwa akiufabya mumewe na hakuchukua hatua yoyote, hivyo ni kama alikuwa akiyashiriki hayo mabaya. Hata kama hakuwa na sauti kwa mumewe lakini pengine angeweza kwa na uwezo wa kufanya jambo na mumewe huyo kuchuuliwa hatua. Labda aliridhishwa na tabia ya mumewe. Yule mtu aliyemshikia bastola akasema sasa akiwa anasema kwa sauti ya juu kidogo.

“fill pain Joesan” alipomaliza kusema hivyo akampiga risasi moja ya kwenye paji la uso. Risasi ambayo haikuweza kuacha alama yoyote pajini hapo, hakukuonesha kama alipigwa risasi maeneo hayo kwani hakukuwa na damu wala alama ya risasi yenyewe. Kisha mtu huyo mwenye koti akapotea na yule binti na kutokomea nae gizani.

Asubuhi ya siku iliyofuata ndiyo mambo yalipobumbuluka pale Joesan alipoingia nyumbani kwake na kukuta kila kitu kiko tofauti. Alimkuta mkewe mpendwa amekauka akiwa wa baridi kabisa kuonesha kuwa kifo kilimkuta muda kidogo. Wazo la nini kilichomuuwa mkewe likakaa kichwani, alimgeuza kila kona lakini hakujua ni nini kimemsibu mkewe. Alipatwa na machungu makubwa bwana huyo, aliumia sana moyo. Hakuweza kufanya kitu chochote kwa wakati huo alijikuta nguvu zikimuishia na kukaa kabisa kitandani. Japo alikuwa akimfanyia vituko mwanamke huyo lakini ni wazi alikuwa na mapenzi naye makubwa sana. Mtima wake ulimuuma sana kwa tukio la kukuta mkewe akiwa amekufa. Machozi ya uchungu yalimtoka, alilia kiume kwa muda mrefu hadi pale dukuduku zito la uchungu lilipomtoka mtimani mwake, ndipo akapata wazo la kuchunguza nini hasa kilichopelekea mkewe kufa. Alikikagua chumba kile ndipo akaona simu ambayo ilikuwa imetawanyika vibaya sana pia aliona bastola ndogo ikiwa imeangukia kwenye pembe ya kitanda. Akajua mtu aliyemvamia mkewe hakuwa daraja dogo, ni mtaalamu na anaejua nini anafanya. Ni nani? Na kwa nini? Akabaki kujiuliza. Ni wazi mkewe alikuwa anampango wa kumpigia simu ili kumjulisha kuwa amevamiwa lakini adui kwa alivyo shapu akamuwahi na kuipiga teke simu. Mkewe akakimbilia kwenye silaha angalau aweze kujitetea nako adui akamuwahi na kuipiga silaha hiyo teke na kuanguka mbali kisha akamuuwa. Sasa alimuuwaje mbona sioni alama ya risasi wala alama yoyote inayoonesha kama kanyongwa? Alibaki kujipa maswali mfululizo huku akimjengea picha muuwaji alivyoingia na kutekeleza jambo hilo. Alijenga picha ya kuhisi kuwa muuwaji alinyata, alinyata hadi kwenye kitanda alichokuwa amelala mkewe kisha akataka kumkaba. Mkewe akashtuka na kukimbilia simu, simu ile akaipiga teke. Akawahi bastola, nayo akaibeta kwa guu lake alilolipiga kiufundi zaidi kisha akamuuwa. Kamuuwaje sasa mbona sijui hata kifo alichouliwa mkewangu? alijiuliza hivyohivyo mawazoni. Akaacha hapo na kugeukia jinsi muuwaji alivyoondoka. Alipofika kwenye muuwaji kuondoka, hapo akamkumbuka mtu ambaye alitaka kumsahau, mtu huyo hakuwa mwingine bali ni Mery.

“yuko wapi mery mbona simuoni na mara nyingi amekuwa akilala na anti yake? Au leo hajalala humu?” alijiuliza na kutoka mule ndani na kuanza kutafuta kila kona ya ile nyumba. Masaa mawili ya kutafuta yaligonga ukuta. Alimkosa tena si kumkosa tu bali hata harufu ya binti yule mdogo hakuihisi. Mtu mzima alizidiwa ujanja. Joesan kilio kikaibuka upya, hapa sasa alilia kama mtoto. Alipoteza kila kitu sasa, amemkosa mke na pia amepoteza mtoto ambaye kwake alikuwa na faida kubwa kuliko kitu kingine. Alirudi chumbani kwake kwa kasi kubwa na kwenda kuuinua mwili wa mkewe na kuuweka kitandani kisha akatoka mbio sana mule ndani hata sijui kama alikumbuka kufunga mlango. Aliingia kwenye gari na kuliondoa kwa mwendo wa kasi sana, moyoni aliumia sana bwana huyo alikuwa na maumivu makubwa mno, kila wakati alikuwa akijiuliza ni nani anayemkanyaga paka mwenye njaa mkia. Alifika kwenye kampuni akiwa na hasira sana mwili wote ulikuwa ukimchemka. Kila aliyekuwa akipishana na yeye na kumsalimia, hakuna aliyejibu salamu yake kwa jinsi ambavyo ghadhabu ziliwamba kwenye kichwa chake hata mdomo wake kushindwa kunyanyuka. Alipitiliza hadi ilipo ofisi ya Suzane na kabla hata ya salamu akatoa amri kwa binti huyo kuwa atoe taarifa kwa dokta Emmy aagize wauguzi nyumbani kwake wakauchukue mwili wa mkewe kwa ajili ya kuufanyia uchunguzi kisha akamwambia akimaliza amfuate ofisini kwake. Suzane aliondoka hapo huku akiwa hamuelewi bosi wake. Baada ya muda Suzy aliingia kwenye ofisi ya bosi wake na kutwaa nafasi.

“nini boss kimetukia?” aliuliza Suzy.

Joesan hakuwa na hata nguvu ya kusema alimtazama mwanamke huyo na kuigamia kwenye kiti chake akiwa ameyaelekeza macho yake pembeni, akasema kwa upole mkubwa sana.

“kuna mtu amevamia usiku bila shaka nyumbani kwangu na kufanya mauwaji ya mke wangu na wamemteka Mery pia”
“boss! Unamaanisha Martha ameuwawa?”
“ndiyo Suzane na muuwaji alikuwa na sababu za kufanya mauwaji yale, inaniuma sana Suzy, naumia moyoni kuliko kawaida, Suzy nauona moyo wangu kama unataka kutoka kwa jinsi ninavyoumia. Martha ni mwanamke wa maisha yangu, Martha alikuwa akifanana na mimi kwa kila kitu. Martha alikuwa hana kizazi kama mimi, nimemfanyi vituko vingi sana yule mwanamke lakini hakujali alisimama kwenye part yake kama mwanamke” machozi yalimtoka Joesan, muuwaji naye akalia ama kwa hakika ni zamu yake. Ameondolewa mtu muhimu sana kwenye maisha yake. Yule mtu mwenye koti jeusi hakukose pale aliposema ‘Joesan fill pain’
“wamempiga risasi au wamemuuwa kwa kifo cha namana gani?” aliuliza tena Suzy. Joesan aligeuka na kumtazama vizuri Msichana huyo na kusema.
“hicho ndicho kinacho nifanya nimlete huku ili daktari Emmy aje kuufanyi uchunguzi, mke wangu ameuwawa kitaalamu sana Suzy sijui hata muuwaji ametumia kifaa gani cha mauwaji, kama muuwaji anasababu za kufanya hayo, ni wazi vita yake hawata iweza nitahakikisha nampoteza mmoja baada ya mwingine, wauwaji ninao wa kutosha sana kabla hata sijamhusisha na Chriss” alisema Joesan huku akiwa yu katika majonzi mazito sana. Suzy akawa na kazi ya kumfariji bosi wake hadi pale mwili huo ulipoletwa ndipo Suzy alitoka na kuelekea kwenye chumba cha uchunguzi. Huko alikutana na Emmy ambaye alimuomba ampishe kwanza ili afanye kazi yake kisha atawaita. Suzy alitoka na kuelekea ofisini kwake. Ofisi nzima ilipata taarifa hizo na kwenda kumpa pole boss wao na kumtaka apige moyo konde kwani huo ndiyo uwanaume. Baada ya kama lisaa moja mbele, muuguzi alikuja na kumwambia Suzane kuwa yeye na boss wanahitajika ofisini kwa dokta Emmy. Wakanyanyuka kwa haraka sana na kukimbilia kwenye ofisi ya dokta, walipofika, walikaa kwenye nafasi zao na wote wakamtazama daktari huyo wa kike ambaye alianza kwa kutoa pole kwa bosi wake kisha akasema.

“mkeo hajafa kwa mapenzi ya Mungu bali ameuwawa na ameuwawa kitaalamu sana. katika uchunguzi tulioufanya kwa kushirikiana na wenzangu, tumegundua kwamba kifo cha mkeo kimesababishwa na sumu na sumu hiyo imetokana na kupigwa na kitu chenye ncha kali kama sindano ambayo imepenya kwenye paji la uso na kutokea kisogoni. Ni vigumu sana kugundua kama kitu hicho kimepenya hapo kutokana na udogo wa kifaa hicho pia na sumu hiyo ambayo bado hatujaigundua ni sumu gani, kuwa na sifa ya kusimamisha mfumo wa upumuaji kwa haraka sana na kugandisha damu kwa kiasi kikubwa ndiyo maana sehemu iliyopata madhara haikuweza hata kutoa damu” akanyamaza dokta Emmy, kisha akaendelea tena.
“tumeligundua hilo la kuchomwa na kitu chenye icha kali, baada ya kumgeuza upande wa nyuma ndipo tulipogungua kuwa amepigwa na kitu hicho na bila shaka ni kitu ambacho kimepata msukumo wa kasi sana, kama kasi ya usukumaji wa risasi kutoka kwenye chemba yake. Hatukuweza kuipata hiyo sindano, naamini hivyo kuwa ni sindano maana hakuna kitu kidogo vile halafu kisiwe sindano” alihitimisha maelezo yake dokta Emmy.
“tofauti na hilo dokta?” akauliza tena Joesan.
“tofauti na hilo hakuna zaidi ya hilo labda cha kuongezea ni kwamba anahitaji maziko ya haraka sana kabla ya kutokea mabadiliko mengine mwilini mwake kwa sababu hatujui hiyo sumu itkuwa na madhara gani mengine.” aliposema hivyo Joesan aliomba ripoti hiyo ya daktari na kuondoka nayo kisha akawatangazia wafanya kazi wote kuwa siku inayofuata ndiyo maziko ya mkewe, akatoka na kuelekea chumba cha mawasiliano huko akaomba aonane na Mr. Kim. Bwana huyo akamwambia kuwa kwa muda huo itakuwa ngumu kuonana kwani yuko nje ya mji huo wa Morogoro ila anaweza kumueleza shida yake. Joesan akamueleza kila kitu. Mr. Kim alivyopokea hizo taarifa alishtuka sana alichofanya ni kumwambia Joesan kuwa alikuwa na muda kama wa siku tatu nne hivi za kuwa nje ya mji ila kwa hilo atakatisha siku na kesho baada ya mazishi ataomba wakutane mahali. Joesan akakubali na safari ya kwenda kutafuta mahali pa kujifariji ikaanza.

**********************************************

Siku ya pili, siku ambayo ilikuwa ni ya kihistoria sana kwa Joesan. Siku ambayo alikuwa akimpeleka mkewe kwenye nyumba yake ya milele. Hakuna siku yenye kuumiza kama hii, siku hii ndiyo siku pekee inayokupa imani kuwa sasa utabaki mwenyewe na yule uliye mpenda na akakupenda kwa dhati ameamua kwenda kuishi maisha mengine atakayoandaliwa na mola wake kama yapo huko aendako. Siku hii pia ni siku utakayojikuta ukitaka kumuomba msamaha uliyemkosea ili akusamehe kwa sababu unaamini hakuna siku utakuja kumuona tena. Lakini ndiyo hivyo tena, hakuna nafasi ya kufanya hivyo na hata kama utapewa nafasi ya kufanya hivyo si kama ile ambayo..

Lakini ndiyo hivyo tena, hakuna nafasi ya kufanya hivyo na hata kama utapewa nafasi ya kufanya hivyo si kama ile ambayo muhusika akiwa hai. Hii wewe ndiye utakaye kuwa muongeaji mkubwa lakini hutapata jibu lolote kutoka kwa muombwaji msamaha huo. Siku ya huzuni ya kweli, siku ya kukuonesha uthamani wa yule aliyekutoka, siku yenye kuuma na kutesa moyo na pia ni siku ambayo hutaamini kama kweli ndiyo mwanzo wa kubaki mwenyewe. Joesan akiwa ndani ya suti nyeusi tii na mawani ya giza ambayo iliyaficha macho yake yanayotoa machozi kila wakati. Tendo hilo la utokaji wa machozi lilijidhihirisha kwa bwana huyo baada ya kuitoa mawani yake mara kwa mara na kupitisha kitambaa chake machoni ikiwa ni ishara ya kupangusa machozi hayo. Pembeni yake alikuwapo Suzane ambaye naye alibeba macho yenye majonzi mazito pia hakukosekana Merina pamoja na wafanya kazi wengine wa kampuni ya SC Company. Walikuwepo watu wengi sana. Watu hao wapo waliompenda Joesan na kumuamini kutokana na utoaji wake misaada kwa taasisi mbalimbali zisizojiweza, pia miongoni mwao wapo wale ambao huwa hawakosi msibani na walipenda kuhudhuria kila msiba huku wakiwa kipaumbele kwa kila jambo. Lakini pia walikuwapo watu maalumu waliokuwa wakisubiri amri ya ‘haya fukieni’. Hawa nao walikuwa ni watu maalumu ambao ndiyo wameamua kujiajiri kwa kazi hiyo ya uchimbaji na uzikaji katika shughuli mbalimbali za mazishi ya watu wenye pesa zao kama Joesan. Katikati ya kundi lile kubwa la watu waliokuwa wamehudhuria mazikoni, alikuwepo mwanadada mrefu ambaye yeye muda wote alipenda kumuangalia Chriss. Chriss hakuweza kumuona mwanadada huyo kutokana na kuficha macho yake kwenye mawani ya jua.

“kwa hakika tunao muda mrefu sana wa kuishi duniani lakini pia tunao muda wa kufa. Tunaijali dunia sana na kuisahau siku ambayo ndiyo siku inayokwenda kubadilisha historia nzima ya maisha yako. Kwa nini hamjui kuwa, hapa ndipo mahala pa kujiuliza, umemtendea nini bwana Mungu wako, hapa ndiyo pa kujiuliza ni yapi mabaya yasiyompendeza bwana na unayafanya kwa makusudi huku ukijua kuwa ipo siku utakuwa huna ujanja. Tunatakiwa tujifunze kila siku na kila wakati kuwa ipo siku tutarejea kwake bwana mungu wetu. Mwenzetu amekwenda kwa amani……!” alikuwa akisema mchungaji ambaye ndiye aliyekuwa akiongoza mazishi hayo. Alikatishwa na kilio Cha Joesan, kilio cha uchumgu sana, kilio kilichomfanya hadi mchungaji huyo kupatwa na huzuni ya aina yake. Merina na Suzane wakamkaribia na kumpigapiga mgongoni huku wakimliwaza kwa maneno ya kishujaa. Yule mwanamke aliyekuwa akimtazana Chriss kila wakati akawa anatabasamu kwa tabasamu la mbali sana ambalo si rahisi kuligundua kirahisi. Chriss alikuwa yu katika uchungu pia japo alikuwa hajui huyo anayemfanya bosi wake kulia ndiyo yule anti yake aliyekuwa akimpenda na kumjali. Joesan alitamani kumwambia Chriss kuwa huyo anayetaka kuzikwa hapo ni yule uliyekuwa ukimuita shangazi lakini angeanza vipi hadi kueleweka, akajikuta akizidi kulia maradufu. Kwa kweli tuliumbwa kwa mavumbi na tutarudi mavumbini pia. Ulifika ule muda wa Joesan kwenda kutupa mchanga juu ya sanduku lile lililo ndani ya shimo la kaburi ikiwa ni hatua za mwisho za kumzika Martha. Joesan aliukama mchanga kwa nguvu sana na kukunja ngumi kwa ghadhabu kubwa hadi mchungaji akaogopa kisha akaongea moyoni.

“nenda kwa amani mke wangu ila naapa kuwa sitamuacha hai aliyesababisha haya kisha akatia mchanga ndani ya shimo lile na kugeuka kisha akaondoka mazima huku nyuma akiacha watu wakiendelea na shughuli za umaliziaji.

Watu wakaanza kutawanyika mmoja mmoja. Chriss yeye alikuwa akiondoka taratibu eneo hilo na kuelekea mahali lilipo gari lake, akapanda na kutaka kuondoka. Mara pikipiki kubwa XLR, likapiga breaki kwenye upande ule alioko yeye kisha mtu aliyeko juu ya pikipiki hilo akafunua kofia lile la kijikinga na kuionesha sura yake kisha akatabasamu na kuliruhusu pikipiki hilo kuondoka kwa mwendo wa kasi mahali hapo. Chriss alibaki mdomo wazi. Sura ya mwanamke huyo hakuijua hata kidogo na hakuwahi kuiona mahali popote pale. Hakujiuliza sana ila kitu kilichomshangaza ni kwanini msichana huyo alitabasamu maeneo kama yale ya kuhuzunisha. Aliondika hapo kwa kasi pia huku akiangalia kama anaweza kujua uelekeo ambao msichana huyo ameuchukua lakini hakuuona ikabidi aachane nae. Akachukua uelekeo wa nyumbani kwake.

Siku huyo hakukuwa na mtu aliyeingia kazini kila mtu alikuwa katika hali ya kimsiba msiba ni wafanya kazi wachache sana ndiyo walikwenda kazini mara baada ya kutoka msibani. Mzee Rafael yeye baada ya kutoka msibani, aliamua nusu siku hiyo akaimalizie nyumbani kwani hakuwa na kazi sana ofisini siku hiyo. Alikuwa ametulia Sebuleni kwake akiwa na tafakuli nyingi sana ubongoni mwake, aliukumbuka usiku wa siku ya tatu iliyopita. alikumbuka jinsi umeme ulivyokatika kiajabu ajabu na kamera zote za kampuni kuzima.

“ni kweli lile lilikuwa ni tatizo la kawida la hitilafu ya umeme? Hapana hili jambo siliafiki hata kidogo. Mbona kwenye ofisi yangu nilikuta alama za viatu?” alizidi kujiuliza mzee huyo.

“ninafanya jambo la maana sana kila ninapotoka ofisini kwangu kuiacha sakafu ikiwa na vumbi na sitaki ifanyiwe usafi hadi mwenyewe nifike kwanza. Kuna mtaalamu wa kazi ameingia humu kwenye kampuni na si bure kuna jambo alilifuata, hii inaweza kuwa hatari sana. Naweza kumwambia Boss hili swala, lakini hapana, hebu ngoja kwanza nilifikirie kwanza hili jambo, sitakiwi kukurupuka kusema lakini lile tukio halikuwa la kawaida na mtu aliyeingia humu ndani ndiye aliyetekeleza mauwaji ya mke wa boss na kama ni kweli basi ujue kazi imeanza” alizidi kuwaza mzee huyo hadi akapitiwa na usingizi hapo hapo sebuleni hadi alipokuja kushtuka muda ulikuwa umekwenda sana. Alijinyanyua na kuelekea kwenye chumba chake cha mazoezi hapo nyumbani kwake na kunyoosha mwili kidogo kabla ya kuingia jikoni na kujiandalia chakula. Hakuwa na mke mzee huyo, tangia mkewe alipopoteza maisha hakuhitaji tena kuoa japo watoto wake walimsihi sana kufanya hivyo lakini aligoma kwani maisha yake anayoishi ndiyo yaliyosababisha kifo cha mama yao, hivyo kuoa tena ni sawa na kuzidi kuleta matatizo kwenye familia yake. Akaona ni bora abaki mwenyewe kama ni kufa aje afe akiwa mwenyewe pia.

“pole sana kijana wangu kwa msiba mzito ulioupata.” alitoa pole Mr. Kim mara baada ya Joesan kufika kwenye moja ya majumba yake ya siri.
“nimesha poa mkuu ila nimeumia sana kwa pigo hili ni jambo lililokuja ghafla sana”
“najua umeumia sana lakini ndiyo kanuni za maisha, maisha unayoishi yana kanuni zake na hiyo ni moja ya kanuni za maisha unayoishi. Ukumbuke kuna watu umewaumiza sana hadi hapo, sasa huo ni uchungu wa maumivu ya watu waliowahi kuumizwa na wewe”
alisema Kim kwa utaratibu sana.
“daah! Sijategemea kama nitakuja kuumia kama nilivyoumizwa na hiki kifo si…….!”
“pole sana, hebu nipe hiyo ripoti ya uchunguzi wa dokta, Joesan” alikatishwa Joesan kwa kuombwa karatasi iliyobeba ripoti ya uchunguzi. Akampa mzee huyo. Kim akaipitia kisha akashtuka zaidi na zaidi kila alippkuwa akiisoma ripoti hiyo ya uchunguzi uliofanywa kwenye mwili wa Martha. Alishusha pumzi nzito na kuuangusha mgongo wake kwenye kiti na kutazama juu ya paa kabla ya kuunguruma kama dume la njiwa. Akageuka kwa upole sana akimtazama Joe aliyeweka utulivu wa hali ya juu. Bwana kim akajikohoza na kufinya macho yake madogo kabla ya kuunguruma tena, akasema.

“huyu ni D.A”
“nani!?” akauliza Joesan akiwa kama hajasikia vizuri. Mzee huyo akamtazama machoni na kumuangalia kwa muda mrefu kama anayemuuliza kwa macho kuwa kweli hujasikia au unaleta mchezo wa kuigiza. Au ni kweli hujaelewa. Lakini akarudia tena.

“huyu ni D.A, anajiita jina hili likiwa na maana ya DEATH ADDERS. Huyu ni nyoka hatari sana, Joesan. Na amejiita hivi kwa sababu ni miongoni mwa nyoka hatari sana aliokuwa akiwapenda. Nilishawahi kuishi naye tempo moja huyu mzee huko nchini China na baada ya kumaliza mafunzo yetu ya awali tukahamia kwenye tempo jingine tofauti na lile la mwanzo. La mwanzo lilikuwa ni tempo la Budha. Tulijifunza imani za kibudha na mimi na yeye ndiyo tulikuwa ni watu wenye uwezo mkubwa sana kuliko wanafunzi wote. Tulipofuzu ndipo mimi nikaamua kuongeza ujuzi kwa kwenda kujifunza kwenye Tempo jingine hili lilikuwa la Mashaolin au Buda. Cha ajabu nilimkuta huko na akawa yeye ndiyo anauwezo mkubwa kuliko mimi. Kitendo hicho kilinikera sana, kwanini anipite wakati mwanzo tulikuwa ni watu wenye uwezo sawa. (hapo alificha kidogo lakini alitaka kusema, kwa nini apitwe na mtu mweusi wakati mapigano ni ya watu weupe tena kutoka huko China na Korea). Akazidi kuongea.
“kila nilipojaribu kumfukuza, nilijikuta nikifeli. Lakini siku kata tamaa, nikaongeza juhudi hadi nikafanikiwa kuufikia uwezo wake. lakini hapo mimi na yeye tukawa hatupendani hata kidogo. Siku moja walimu wetu wakaweka shindano la kupambana. Tulijipanga wanafunzi wote, pambano likaanza kwa utangulizi wa wanafunzi wadogo kisha tukapangwa sisi mahasimu. Lilikuwa ni pambano gumu sana sitaki kudanganya na tulipambana kwa muda mrefu kwa kutumia silaha mbalimbali lakini alikuja kunishinda mwishoni kwenye mapigano ya bila kutumia silaha, alinipiga na kuniangusha vibaya sana hadi nikakubali kushindwa. Wanafunzi wote pamoja na walimu walimsifia sana, jambo hilo likazidi kunikera zaidi na kuweka chuki moyoni mwangu dhidi yake. Siku moja nyingine, tukapata tuwa ya kwenda Australia kama wanafunzi. Huko ndiko mimi na bwana huyo tulizidi kuchukiana mimi nilipenda vitu vyangu na yeye alipenda vyake huku akiwa na wafuasi wengi sana kuliko mimi. Tukaenda kutembelea kwenye pori lenye nyoka wakali na wanaosifika kuwa na sumu kali. yeye akatokea sana kumpenda huyo nyoka mwenuye meno makali na membamba sana anayekwenda kwa jina hilo la Death Adders. Huyo ni nyoka hatari sana na sumu yake ni hatari kupindukia. Tuliporudi kambini, mimi nikatengeneza silaha ambayo kama unakumbuka nilisema silaha hiyo imetengenezwa inchi Urusi lakini si kweli. Silaha hiyo niliitengeneza mimi kwa mikono yangu. Silaha hiyo ni ………………………….

Silaha hiyo niliitengeneza mimi kwa mikono yangu. Silaha hiyo ni bastola fupi na risasi zake ndio hizo zenye alama ya nyota ambazo nimezipa jina la Star Bullet. Hapo nikafarijika na kuamini ipo siku nitkuja kumuangamiza. Lakini D.A alikuwa kama shetani aisee, haikuwa vile nilivyofikiria, nilijidanganya. Kwa sababu na yeye alikuwa ni mtaalamu, akatengeneza silaha ya kwake ambayo nayo ilikuwa ni bastola lakini hiyo ilikuwa ndefu. yeye ya kwake ilikuwa ikitumia risasi nyembamba sana mfano wa meno ya huyo nyoka na kuziita Snake Pin Bullet (SPB) ambazo alizipika kwa mchanganyiko wa sumu kali ambazo sijui ni sumu gani na sumu gani. Hakutaka kusema mchanganyiko huo wa hizo sumu ni upi na upi lakini ukimuuliza sumu iliyopo kwenye risasi hizo, anasema ni sumu aina ya NEUROTOXINC. Kijana wangu hiyo si sumu ya mchezo ni sumu hatari mno ambayo inakuuwa kwa sekunde chache tu, inasifa ya kushambulia sana mfumo wa upumuaji na kuupa mshtuko moyo kwa ghafla sana. Nilipanga kumfanyia ubaya kwa sababu hakuwa mwema kwangu. Nilichelewa kwani alinishtaki kwenye uongozi wa kile chuo na mimi kufukuzwa kutokana na utengenezaji wa silaha hatari kinyume na imani za Mabuda. Nikaapa kulipa kwa kumtia hasara kisha kumuuwa taratibu. Nikapata habari kuwa amerudi kwao Tanzania na ameoa na anamtoto mmoja wa kiume. Nikapanga kuja Tanzania ili kumuangamiza niishi kwa amani, maana kuwepo hai mtu huyo kwangu niliona ni kama kulala ndani ya nyumba yako mwenyewe huku nje watu wakiwa wanilipua kwa moto. Kweli nikapanga safari na kuja huku kwa lengo la kuwekeza lakini ndani yake nilikuwa na kitu kingine. Na baada ya kumuuwa rafiki yako na kukuachia huyu kijana Chriss, nikasubiri ipite miaka mingine mingi ndipo nianze kumpa maumivu huyo mzee. Baada ya miaka kumi kupita huku tukiwa tumejiimaarisha angalau, ndipo nikakutuma umuuwe yule kijana ambaye binti yake ndiyo yule uliyekuwa ukiishi nae. Yule kijana alikuwa ni mtoto wa D.A. Yeye baada ya kuona ni mimi niliyesababisha mauwaji ya kijana wake, akakimbia kabisa hii nchi na sikuwahi kusikia habari zake tena hadi hii leo ambapo amekuja kumchukua mjukuu wake. Amejidhihirisha kwa silaha aliyoitumia pia amejidhihirisha kwa kuondoka na binti yake. Huu ni wakati wa kumtumia Chriss sasa kwani hata yeye anaonekana ana mpiganaji hatari na ndiye aliyekuja kutekeleza hayo mauwaji.” historia hiyo ilimfanya Joesan kushusha pumzi nzito sana. Ilikuwa ni historia ya kusimumua sana na iliusisimua sana moyo wa bwana huyo. Kumbe kufanya mauwaji ya yule kijana alidhani anapora mali na kuongeza utajiri, kumbe ndani yake kulikuwa na kisasi. Alichoka aisee lakini alijipa imani kuwa ni bora amejua na kujua huko kutamfanya awe makini zaidi kuliko wakati akiwa hajui.

“kile kikao” aliendelea mr. Kim.
“kile kikao cha siri tulichokaa siku ile usiku, tulikuwa tuna mjadili huyu mzee na ndiye niliyetaka kumtuma Sex Machine akanitafutie huyo mzee popote duniani lakini niliona ingekuwa ni kazi kubwa sana kutokana sijui ni wapi amejificha. Sasa kwa hili tukio alilolifanya ni wazi ameanza kujitokeza kutoka mafichoni, acha aje itakuwa rahisi sisi kumnasa kuliko kama ningemtafuta mimi.” aliongea Mr. Kim na kumalizia.
“Sex machine ataanza kazi ya kufanya mapenzi kwa kuwaingilia wanaume kinyume na maumbile (mashoga). Akishamaliza hilo, sasa tunampeleka moja kwa moja kwenye hii vita aliyoinunua huyo mpuuzi D.A.” alipo maliza kusema hivyo Kim, alipeana mkono na Joesan kisha akamwambia awe kawaida tu na ayachukulie maumivu ni sehemu ya maisha.

SAA 22:08 USIKU.

Maeneo fulani boma Road. Ndani ya jingo la orofa moja, ndani ya chumba kimoja. Muziki mwanana wa kitanzania ulikuwa ukimpa burudani binti mmoja mrembo, mwenye rangi ya chungwa. akiwa amevaa mavazi ya mazoea yaani mavazi penzi ya moyo wake. Alikuwa amevaa bikini nyekundu, juu akiwa amepiga kishati cha kibuluu ambacho alikuwa amefunga kifungo kimoja tu cha katikati na kuacha tumbo lake dogo wazi na sehemu kubwa ya matiti yake ikionekana. Mbele ya meza yake ya kioo iliyokuwa imebeba miguu yake mizuri minene ya kuvutia, miguu isiyojua shuruba kwa mtazamo, miguu ambayo inapendeza kuipapasa na kuishikashika. Pembeni ya hiyo miguu kulikuwa na Chupa kubwa ya mvinyo ambayo alishamimina kiasi fulani kwenye birauli. Alikuwa busy na kuangalia picha kwenye kompyuta yake mpakato aliyokuwa ameiweka mapajani. Kila picha alikuwa akiitazama kwa namna yake. Nyengine zilimfanya akunje sura nyingine zilimfanya atabasamu na nyingine zikamfanya asikitike. Mwisho aliruhusu video ya ngono akawa anaingalia huku machozi yakiwa yanamtoka. Hakuendelea sana kuitazama video hiyo, aliamua kuiweka kompyuta yake pembeni na kuizima kabisa. kisha akajilaza pale sofani na kutafakari hili na lile kabla ya kukaa vizuri na kuugida ule mvinyo wote ulioko kwenye birauli kisha akajinyanyua na kuaza kunengua. Umbo lake halisi likaonekana vizuri. Alikuwa na hipsi zilizotawanyika na kuufanya mlima mdogo wa makalio kusimama vizuri. mbele palijaa sana tukiachana na makalio mazuri.makubwa ya kuvutia na yanayopendeza kuyashika, pia alikuwa na paja za nguvu zilizo nona. Hakika alikuwa ni mrembo wa nguvu sana binti huyo. Alikuwa akicheza kwa maringo sana na alionekana kuujulia muziki wa kitazania. Alicheza sana na kumwagika jasho kabisa, alicheza kwa hisia mno. Bila shaka ilikuwa ni katika kupunguza wingi wa mawazo aliyokuwa nayo.
“ushahidi wa kukupata ninao Sex machine.” alisema maneno hayo tu na kuachana na
kucheza kisha akaingia zake bafuni na kwenda kuchezea maji. Bado alama za viatu alizozikuta Rafael ofisini kwake, zilizidi kumpa mawazo sana. Hakutaka kuamini kabisa kuwa aliye kuja kuvamia usiku alikuwa ni mwema kwake au kwa kampuni lakini kila akitaka kuliweka wazi jambo lile moyo wake ulisita. Kitu kimoja kilichomfurahisha ni kwamba alikumbuka kuwa ndani ya ofisi yake hakukuwa na jambo lolote lililofanywa na mvamizi huyo pia hakukuwa na kitu kilichopotea. Hicho ndicho kilicho mfanya awe na imani kuwa mvamizi huyo wa usiku alikuwa na jambo la hatari kwa kampuni na lenye faida kwake.

Mishe mishe zilikuwa nyingi sana katika kampuni hiyo, kila mfanyakazi alirudi kwenye nafasi yake na kuendelea na majukumu kama kawaida. Ofisi zote zilikuwa wazi hata ya Chriss pia ilikuwa wazi na kwa muda huo wa asubuhi, alikuwa akiminyaminya kicharazio cha kompyuta yake akifanya hiki na kile alimradi ni katika kuifurahisha nafsi yake. Joesan yeye alikuwa ni mtu mwenye mawazo mengi sana, hakuwa sawa kabisa, japo aliambiwa apige moyo konde na kupisha yaliyopita yapite, bado hakuonekana kuamini kama kweli yu peke yake kifamilia. Machozi yalitaka kumuanza kumtoka lakini roho ya kiume ikaziba nafasi na kuyafinya machozi yote yaliyokuwa yakiukaribia mlango wa kope zake za macho.

“kama ni kweli haya yaliyotokea, basi ni wakati wa kuwa macho na huu ni wakati muafaka wa kuliinua jeshi langu. Vijana wangu ni lazima wawe imara zaidi na sitakiwi kuwa nao mbali” aliwaza Joesan.

Ama kwa hakika waweza kufanya ubaya lakini usiwe na moyo mgumu wa kukabiliana na ubaya huo pindi tu ubaya utakapo pinduka na kukugeukia. Pigo moja la kuuwawa kwa mkewe, Joesan tayari alikuwa ni mwingi wa hofu sana. Aliona kuwa huo ndiyo wakati wa pekee kuhakikisha kuwa anafanya maandalizi ya kuweza kukabiliana na hao waliomuonesha kuwa hata wao wanaweza kumuweka roho juu. Alikuwa amesahau semi za wahenga kuwa ‘unapozika wana wa wenzako, ukubali nawe siku moja kuja kuzikiwa wa kwako. Joesan aliona raha kuwajaza watu uchungu kwa kuwapoteza watu wawapendao akiamini yeye si wa kukutwa na uchungu huo. Hakujua kuwa mtenda naye hutendwa, alaye nyama ya mwenzake naye huliwa ya kwake, kama hakujua haya yote basi anatakiwa afahamu na ajipange.

“nitahakikisha hakuna mtu anabaki hai, hata kama awe na nguvu kiasi gani lakini hapa wamechokoza sipo. Nituwaaaa nasemaaa!!” alikuwa akiongea kwa sauti ya chini hatimaye akaamua kupiga kelele kabisa kwa hasira alizokuwa nazo. Alijizunguusha pale kitini huku na huku kisha akakizunguusha na kumgeuza nyuma ambako alisimama na kukiacha kile kiti na kwenda hadi dirishani hapo akawa anaushangaa mji huo wa Morogoro kwa mapana zaidi. Aliwaza mengi hapo dirishani, tangu anauona mji huo wa Morogoro, hadi kupoteza kabisa taswira yake na kutokujua anaangalia nini, alikuwa ameduwaa tu na kama angetokea mtu wa kumshitua mahali hapo, basi angetoka na hicho kioo hadi chini. Mawazo yake yalikuwa mbali sana. Alipiga kite cha uchovu na kujitoa pale dirishani ambako hakujua alikuwa akitazama nini kisha akakamata simu yake na kuiweka sikioni baada ya kuwa ameingiza namba kadhaa kwenye simu hiyo na kubonyeza kitufe cha kupigia. Simu ikaita kwa muda mfupi na hatimae ikapokelewa.

“bwana mkubwa” ilisema sauti ya upande wa pili namna hiyo.
“Mpe taarifa Mandi, Sembugi, nawahitaji leo usiku na tukutane kwenye baa ndogo ya mafichoni kule Mriti mida ya saa tatu usiku leo.”
“sawa bwana mkubwa, hazita zidi hata sekunde tano tutakuwa tumekwishafika mahali hapo” akajibu mtu huyo ambaye alikuwa ni Sembugi. Joesan akamwambia powa na asikawie ni muhimu sana kisha akakata simu na kuiweka mfukoni halafu akatoka humo ofisini kwake hadi nje akataka kuelekea kwenye ofisi nyingine lakini akasita na kurudi tena ofini kwake. Alikuwa mithili ya mtu aliyechanganyikiwa sana. Alipofika mule ofisini, alichukua simu ya ofisi na kubofya namba mbili tatu na kuiweka sikioni.

“Suzane, naomba uje na merina ofini kwangu muda huu” alitoa amri kisha akairudisha ile simu kwenye kikalio chake na kuigamia kwenye kiti chake. Dakika moja baadae, mlango wa ofisi hiyo ukafunguliwa na mabinti wawili wakaingia na kutafuta nafasi. Joesan alitulia ……………..

Joesan alitulia kimya akiwa hawatazami ni kama hakuwaona mabinti hao. Sekunde kadhaa zikapita ndipo bwana huyo akasema.

“Merina!” aliita kisha akaendelea.
“nadhani unakumbuka nilikuuliza kama unakitu cha ziada ukaniambia kuwa unacho,” akaweka koma na kumtazama Merina kama anayetaka kusikia kitu kutoka kwake na kuendelea.
“ni muda wa kujua ni kitu gani kipo mwilini mwako. Nahitaji kuwa na timu imara na madhubuti na timu hiyo ninayoitegemea ni nyinyi mjue….., Suzane?!” akasema hayo kisha akaita jina hilo na huyo aliyeitwa akatikisa kichwa kuitika.
“nataka tuongozane hadi kwenye uwanja wa mazoezi amabao unatumiwa na mzee Rafael ili nikajue ni kitu gani kipo mwilini mwa Merina kisha nitawaambia kwa nini ninataka iwe hivyo” alisema Joesan na kunyanyuka mahali hapo kisha kutoka pamoja humo ofisini. walielekea hadi ulipo uwanja huo wa mafunzo ambako walimkuta Rafael akiendelea na kazi ya kuwafua vijana. Mzee huyo alipomuona Joesan mahali hapo alisitisha alichokuwa akikifanya na kumgeukia Joesan.

“boss nini tena mbona huku muda huu?” aliuliza mzee huyo ambaye ni mzee mpole sana asiye na papara katika mambo yake.
“Rafael!” aliita Joesan kwa dharau kubwa kana kwamba anayemuita hapo ni mtu anayelingana nae ki umri. Akasema.
“nataka unitafutie kijana unayemuamini katika mapambano na uniletee hapa mbele” maneno hayo yakamfanya Rafael kushtuka.
“mtu ninayemuamini? anataka kumfanya nini huyu katili? Mbona sielewi?” alizidi kujiuliza mzee Rafael lakini hakuwa na jinsi mahali hapo zaidi ya kumtoa kijana huyo aliyeambiwa amtoe. Kijana akaitwa na kusogea hapo mbele na kusimama kwa heshima kubwa.
“ndiyo huyu?” aliuliza Joesan kana kwmba hamuamini huyo aliyeletwa mahali yapo.
“ndiyo boss, huyo ndiye kijana ninayemuamini sana” alijibu Rafael. Joesan akamsogelea kijana huyo na kumzunguuka zunguuka kisha akasimama mbele ya kijana huyo na kusema.
“Merina huyu kijana ni mzuri katika nyanja za mapigano kama ulivyo msikia mwalimu wake alivyosema hivyo nataka nione uwezo wako leo hii mahali hapa, hebu pambana na huyu mtu tuone” alisema Joesan, Merina na yule kijana wakasimama tayari kabisa kuanza mapambano. Kila mmoja alikuwa kakaa mkao wa kupambana kweli, hakuna aliyeonesha tabasamu eneo hilo. Kijana yule akaja na mapigo ya karate lakini binti huyo akayatoka kwa utaalamu mkubwa sana. Alipotaka kumvamia kijana huyo, Joesan akasimamisha hilo pambano na kusema.

“nilisahau kitu kimoja kukisema kwenu kama sheria ya hilo pambano, kila mmoja hapo ajue kuwa anatakiwa kuuwa yaani sitaki kuona wote mnatoka hapo mkiwa wazima bila mmoja kufa. Maneno yale yalimfanya kila mtu pale kuogopa si kwa wapiganaji pekee bali hata Suzane na mzee Rafael walishtuka.
” wanatakiwa kuuwana? shit!” aliwaza mzee huyo akiwa anasikitika sana juu ya maneno hayo na hakujua kwanini bosi wake huyo ameamua kusema maneno hayo. Suzane alimtazama Merina na kumsikitikia sana, alijua hapo hawezi kuchomoka akiwa hai hata kidogo, ni lazima atalostishwa mahali hapo. Na kila akimuangalia kijana ambaye alikuwa akipambana nae, hofu ya moyo wa Suzane, ilizidi kuongezeka hatua kwa hatua. Maana kijana huyo alikuwa na mwili uliokubali mazoezi, hakuwa na sura ya kuonesha mzaha mahali hapo hata kidogo. Mpambano ulikuwa umesha ruhusiwa, kila mpambanaji alikuwa na muda mdogo tu wa kumsoma mwenzake na kujua atashinda kwa namna gani. Walizunguukana kama majogoo huku kila mmoja akiwa makini kumkabili mwenzake. Merina alikuwa kama si mtu wa kutaka kupambana kwa jinsi alivyokuwa amesimama na hakuwa pia amesimama katika tension yoyote ile. Yule kijana muda wote alikuwa akitabasamu na kumtisha binti huyo ambaye alikuwa hatishiki hata kidogo. Kijana huyo akaja kwa pigo kali la judo na kumshambulia Merina, Merina alirudi nyuma huku akikabiliana na mapigo ya mtu huyo kisha akayumba kidogo na kuikwepa ngumi iliyopigwa kitaalamu kabisa ambayo ilikuwa ikienda kuiharibu kabisa sura yake ya urembo. Alirudi juu kwa kunesa huku mashambulizi kwa upande wake yakiwa yanaendelea kwa kasi ya ajabu lakini ghafla ukelele wa uchungu na maumivu ulisijika hapo huku kijana huyo akionekana kushika mbavu zake baada ya msichana huyo kupiga pigo baya sana maeneo hayo. Pigo hilo lilimuweka Rafael katika mshangao mkubwa, lilikuwa ni pigo baya sana ambalo kitaalamu Rafael alijua kuwa mbavu changa za mwanafunzi wake hazikuwa salama. Uwanaume ndiwo uliyomfanya azidi kuoneshs ari ya kupambana lakini ki uhalisia kijana huyo alikuwa si wa kuendelea kupambana kabisa. Pigo lile lilikwenda kuharibu mbavu zake changa kwa kuzivunja vibaya sana. Alikuja kijana huyo huku akiwa ameinama upande mmoja, Merina alibadili mtindo wake wa kusimama na kumsubiri kijana huyo ambaye kwa namana yoyote ile alikuwa yu katika hali mbaya. Na laiti kama ingelikuwa ni majaribio ya kawaida ambayo hakutakiwa kufa mtu basi kijana huyo angenyanyua mikono juu kuonesha kuwa ameshindwa pambano hilo. Lakini hapo alikuwa ni lazima apambane hadi mwisho na ashindwe akiwa ni marehemu tayari. Alirusha makonde mawili huku akiwa anapiga kelele za hasira, makonde hayo hayakuwa na lengo, yalipiga hewa na kisha kupishwa kidogo akawa anakuja mzima mzima. Binti huyo aligeuka kwa kasi ya ajabu na kupiga pigo baya nyuma ya shingo la kijana huyo, hakuridhika hivyo bali aliruka juu Merina kwa mtindo wa ajabu sana na kukamata kchwa cha kijana huyo na kuzunguka nacho hadi kikatoa sauti ya mvunjiko mithili ya mti mkavu. Alipohakikisha amevunja shingo la kijana huyo, alirudi naye chini na kumpinda kwa nyuma kisha akapiga kweye koo la kijana huyo kwa nguvu sana akiwa amekiweka kijanja chake cha mkono mithili ya upanga kisha kumuacha akidondoka chini akiwa hana uhai tayari. Alimgeukia Joesan binti huyo na kumwambia kuwa kazi aliyompa amekwisha ikamilisha. Sura ya Merina haikuwa ile iliyokuwa ikitoa tabasamu kila wakati, hiyo ilikuwa ni sura nyingine kabisa, sura ambayo ilikuwa ni yenye kuhitaji mauwaji zaidi ya hayo aliyoyafanya hapo. Joesan kabla hajatoa jibu lolote, simu yake ya mkononi ikaita. Akaipokea na kuiweka sikioni.
“ongeza vijana wawili ili huyo binti auwe tena. Hapo sura yake na roho yake inahitaji zaidi ya mauwaji hivyo anaweza kuuwa wakati wowote, hebu fanya nilivyokuelekeza kwanza na haraka mno” sauti hiyo ikakoma. Ilikuwa ni namba ngeni japo sauti aliielewa. Akamtazama Merina, Merina alikuwa ameelekeza sura yake pembeni na alikuwa akitweta sana mithili ya kiumbe hatari anayejizuia kufanya ubaya. Joesan akamgeukia mwalimu Rafael na
kumwambia kuwa aongeze vijana wengine wawili mahili. Vijana bila kupinga wakaongezwa na walikuja kwa kasi sana huku wakiwa na mori wa kupambana lakini walichokutana nacho hata muda wa kuhadithi hawakuupata. kilikuwa ni kichapo cha sekunde kama kumi na mbili tu kilichotukia mahali hapo. Suzane akabaki mdomo wazi. Hakutegemea kumuona Merina katika uhatari kiasi hicho. Alianza kumuogopa binti huyo, lilikuwa ni shambulio lililokwenda kuwaharibu mazima wale vijana walioongezwa. Merina aliruka juu na kubingilia hewani kisha akarudi chini ghafla akiwaacha maadui zake wakiwa hawelewi hata washambule namna gani. Mwanamke huyo alizunguka pale chini akiwa amesimama na kuleta muonekano wa kushangaza. Ghafla alijirusha kwa wale vijana na kutupa kucha zilizowararuwa wote na kuwauwa kwa kifo cha aina yake. Dada huyo ndipo alipoamka na kutabasamu akiwa amejaa damu mikononi mwake. Suzane na umafia wote hapo alijiona ni mtoto mdogo sana na hawezi hata kujaribu kugusa huo moto. Walitoka hapo hadi ofisini, huko akaawambia kuwa anahitaji kupumzika hivyo kila mmoja aelekee kwenye wajibu wake. Merina na Suzane wakaondoka hapo.

“shost kumbe muda wote tuko wote hapa, hata huniambii kama unautaalamu mkubwa kiasi hicho?” alisema Suzy huku wakiwa wanatembea kwa mwendo wa haraka wakielekea mahali pao pa kazi maana Merina na Suzy walikuwa wapo ofisi moja.
“kawaida tu shost na nilitakiwa kuwa kimya hivyohivyo sema sikuwa na uwezo wa kumpinga boss kwani sina sauti juu yake na nimeambiwa hivyo kuwa yeye ndiye atakuwa mwenye sauti ya mwisho kwangu” aliongea hivyo Merina huku akiwa anaosha mikono yake kwa maji na dawa fulani ya kuondoa uchafu wa kila aina kisha wakafungua mlango wa ofisi yao na kukaa kwenye viti kila mmoja. Suzy hakuwa na jingine la kusema, alijua labda mtu huyo atakuwa chini yake kiutendaji na hivyo ndivyo alivyoambiwa na Joesan lakini kwa kauli ya binti huyo kwa uchechefu tu inaonekana yuko juu zaidi yake na ameletwa ndani ya hii kampuni kwa kazi maalumu. Kazi ambayo oda yake imetoka kwa mkuu bila shaka maana hata boss wao mwenyewe hajui hilo.

Kwa upande wa Joesan baada ya wale mabinti kutoka akapokea simu kupitia namba yake ya simu ya mkononi kama awali
Akairuhusu na kuisikiliza, sauti ilikuwa ni ya mkuu, kitu kilichomshangaza Joesan ni kitendo cha mkuu kumpigia moja kwa moja kwenye simu yake ya mkononi na ikiwa hajawahi kumpa namba yake.

“kijana wangu.” ndivyo alivyoanza mazungumzo mkuu. Akaendelea.
“binaadamu tunatakiwa kuishi kwa maandalizi ya baadae kwani hatujaumbwa tukakamilika, hivyo hupaswi kujiamini moja kwa moja hasa unapojua kuwa kwenye mafanikio yako, nyuma kuna lundo la maadui wasiyopenda mafanikio hayo. Nilijua kuwa itafika siku kama hii ya kuhitaji msaada, nilijua kuwa itafika siku kama hii ya kujiimarisha na wale wanaotaka kukunyima uhuru lakini pia nilijuwa pia utafika muda na siku kama hii ya kutakiwa kuitumia au kuyatumia maandalizi tuliokwisha kuyandaa kabla.” akakohoa kidogo na kushusha pumzi.kiasi na kuendelea kusema.
” huyo niliyekupa ni mtu atakayecheza pati nyingi sana kwako, kwanza ndiye atakayekuwa tulizo lako, namaanisha kuwa ndiye atakayekupa raha zote alizokuwa anakupa mkeo hadi  hadi zile ambazo mkeo alikuwa hakupi……………… ………..

Pili, huyo ndiye atakayekuwa mlinzi wako wa karibu sana, hatatoka hata hatua kumi na tano kuanzia sasa hadi pale utakapomuambia wewe. Kwa sasa anasubiri kauli yako ili atekeleze hayo yote niliyokuambia. Merina ni wako kuanzia sasa kama unataka iwe hivyo na ni mlinzi wako pia.” akamaliza mkuu na kukata simu hiyo. Joesan akabaki kapigwa na bumbuwazi kabisa asijue imekuwaje.

“aisee mkuu ni mtu hatari sana, sikutegemea kama siku ile kunipa huyu mtoto wa kike aniburudishe, alikuwa yuko katika mpango wa kuniandalia kifaa cha kunilinda” aliwaza Joesan kisha akacheka kwa cheko dogo hadi kubwa na kucheka zaidi.
“I’m Joesan!, I’m Joesannnnnnn!!!” alipiga kelele mahali hapo na sauti yake ikajaa mule chumbani na kujirudia rudia na kutengeza mwangwi mule ndani. Akachukua mkonga wa simu kisha kumpigia Suzy na kumwambia kuwa amwambie Merina afike kwenye ofisi yake muda huo. Kabla hata ya kuiweka ile simu chini, Merina alifika hapo na kusimama karibu kabisa na bwana huyo. Joesan akamwambia Merina akae, binti huyo akaketi na kumuangalia bosi wake usoni.

“huu ndiyo ule muda wa kukaa kwenye nafasi yako sawa” alisema Joesan.
“sawa boss lakini ukumbuke kuwa mimi na wewe tulishashiriki mapenzi, sasa sijajua ni nafasi zote ambazo natakiwa kukaa au moja?” aliongea Merina maneno ambayo mwisho yaliacha swali. Joesan akamtazama biti huyo ambaye alikuwa mrembo kweli kweli kisha akasema.
“unatakiwa kunilinda muda wote hivyo na usiku pia ni muhimu sasa huoni kama unatakiwa kukava nafasi zote?”
“hakuna shida boss nilitaka kuuliza tu maana ni wajibu wangu kuuliza kile nisichokijua ili nikijue” alisema Merina, Joe akatabasamu kwa faraja ya kupata mrithi wa mkewe tena mapema kupita kiasi hapo ndipo utakapojua kuwa utu wa Joe ni sawa na makalio ya Sokwe. anayaona yake yanathamani kuliko ayaonayo, kusahau kwa muda mfupi sana machungu.
“badili mavazi kuanzia sasa, nenda kwenye chumba cha mavazi na ukija hapa uwe umebadilika na kuwa na muonekano sawa na mumeo sawa”
“ok, sawa” Merina alijibu na kutabasamu kisha kunyanyuka na kuelekea huko alikoambiwa aende.

“hali kwa sasa haiko shwari, kaeni tayari mtakapoiona simu yangu mjue ni kazi, Sembugi najua kuwa unajua kazi zetu ni kuuwa hivyo kuweni tayari kuanzia sasa kuna kuku wanataka kulala na Mwewe kitanda kimoja” alisema Joesan alipokuwa amekutana na vijana wake ndani ya mriti bar. Hakukuwa na maongezi mengine baada tu ya mazungumzo hayo kila mmoja akajua lake. Ni kama walikuwa hawajuani. Joesan alikuwa ni mtu wa kutabasamu muda wowote akiamini ufalme wa dunia na mbingu ni wake kwa jinsi anavyoabudiwa na kila aliye chini yake. Akaungurumisha injini ya gari na kutitia gizani.

%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%

Asubuhi ya siku ya juma mosi ilikuwa tulivu sana, Merina alikuwa yupo katika vazi safi la suti. Alipendeza sana ndani ya vazi hilo, kila mmoja alikuwa akimtazama siku hiyo na alikuwa haamimini kama ipo siku wangekuja kumkuta Merina akiwa katika vazi hilo. Muda wote Merina alikuwa ni mtu wa kuvaa vijisketi vifupi vilivyoyaacha mapaja yake wazi
Dokta Emmy na wafanyakazi wengine kama Suzy, walimchukulia kama Malaya fulani tu ndani ya kampuni hiyo na ukizingatia pia alitoka kwenye jumba la huduma za kuwahudumia wanaume kimwili, ndiyo kabisaa walimchukulia hivyo. Siku hiyo hiyo, wanaambiwa kuwa mwanadada huyo si wa kumkaribia na kwa muda huo ndiyo amekuwa Bod gad wa boss, walishangaa lakini kwa Suzy na Rafael walikubali na kuona kuwa dada huyo hiyo nafasi ni halali yake.

“leo jioni ndiyo siku ambayo Sex machine anamalizia ile hatua ya mwisho ya kuanza kuwaingilia mashoga.” Joesan alikuwa akiwapa taarifa hiyo wale watu muhimu tu mahali hapo huku kwa pembeni yake akiwepo Merina ambaye alikuwa kikazi kweli. Alikuwa yupo na vinasa sauti masikioni mwake pia alikuwa na mawani nyeusi ya giza.
“Tai, kama tulivyokuwa tumeongea hii ni kazi makini sana na inayohitaji umakini mkubwa na uangalizi wa hali ya juu. Hapa ukikosea tu, ujue hautabaki hai. Hapa ndipo tunapokwenda kuwa matajiri wakubwa na nyinyi wafanya kazi muhimu kubadilisha maisha yenu.” aliweka tuo. Akatulia kidogo na kuruhusu maneno yake yapenye kwenye ubongo wa Tai. Ukimya ulikuwa mkubwa kiasi cha kumfanya bwana huyo kuhitimisha.
“ukimya unaoneaha kuwa tumeelewana hivyo basi kila mmoja ajue nini anatakiwa kufanya katika nafasi yake.” watu wakatawanyika baada ya Joesan kuhitimisha.

Saa kumi jioni ndiyo sex machine alitakiwa kuingia kwenye Happy Club kwa ajili ya kwenda kufanya wajibu wake, alikuwa amesha jiandaa kwa kazi hiyo na muda huo alikuwa tayari amepiga vazi lake la kazi (SMC). Muda ulipotimu, alikuwa yupo nje ya jingo hilo akipiga hatua taratibu kuelekea katika chumba ambacho shoga huyo aliyehitaji huduma hiyo ambaye alikuwa tayari amekwisha kuilipia kiasi kikubwa cha pesa, alikuwamo. Sex machine aliingia ndani kabisa ya Club hiyo, ambako huko hakukuwa kukusikika sauti yoyote ya muziki wala nini. Alikitazama chumba hicho na kushusha pumzi nzito sana huku akiwaza ni jinsi gani atakavyokwenda kumgeuza mwanaume mwenzake na kumla uroda, lilikuwa ni jambo gumu sana la kutokuaminika lakini ni kazi kwake hiyo na hakuwa na jinsi. Aliufungua mlango wa chumba hicho lakini hakutegemea alichokikuta humo ndani. Damu zilitapakaa na mwili wa mtu aliyetaka kumfanyia huo ushenzi alikuwa chini akiwa amechanguliwa kifua kwa risasi. Macho yakamtoka kwa mshangao mkubwa, lilikuwa ni jambo la kushangaza sana na hakulitegemea. Akausogelea huo mwili na kuutaza vizuri, alikuwa ni kidume kilichojaa misuli akionesha fika kuwa ni mchukuaji mzuri wa mazoezi lakini hakuamini kama alikuwa si riziki mwanaume huyo na laiti kama siyo kifo kumkuta, alitakiwa kumuingilia kama waingiliwavyo wanawake.

“ni nani muuwaji?” alijiuliza Sex machine lakini jibu lilikuwa ni uwongo kupatikana kirahisi kwa muda huo. Akayainua macho yake na kuyazunguusha mule ndani, alizunguusha macho kwa muda hadi alipoyatuliza baada ya kuvutika na kitu alichokiona dirishani. Alisogea hadi dirishani hapo, na kugusa sehemu ambayo ilikuwa na tundu. Ndiyo ilikuwa ni tundu la risasi.
“hapa ndipo ilipopenya risasi iliyoleta madhara kwa huyu bwabwa?” alijiuliza kisha akachungulia pale dirishani, hakuona kitu kilichompendezea. Lakini alipozidi kutazma kwa umakini aliona jingo refu kwa mbali kidoo ya jingo hilo.
“ooh shit! Muuwaji alikaa pale kisha kufanya udunguaji wa mtu huyu, kwanini afe sasa?” alizidi kujiuliza bila mafanikio. Akarudi pale kwenye ule mwili na kutoa simu yake mfukoni.

Kwenye upande wa ofisi ya Tai, kulikuwa na baadhi ya watu wakiwa wametulia kimya. Wote walikuwa wameyaelekeza macho yao kwenye luninga zilizokuwa zimeenea maeneo yote humo ndani, Joesan alikuwa ni miongoni mwa watu waliojaa humo kwenye hiyo ofisi ya Tai wakisubiri kuona ni jinsi gani Sex Machine atafanya ngono kinyume na maumbile tena kwa kumungilia mwanaume mwenzake. Muda ulikuwa ikienda kwa kasi kubwa na hakukuwa na kile walichokuwa wakikitegemea kutokea mahali hapo. Kila mmoja alikuwa akiitazama saa yake kila wakati.
“mbona anachelewa sana vipi?” aliuliza Tai. Hakuna aliyemjibu wote waliokuwamo humo ndani walikuwa kimya kabisa. Pumzi nyingi zikamshuka Joesan, waliamini kuwa endapo Sex machine atakapo onesha hisia za mapenzi kwa mtu aliyemkuta huko na lile vazi lingeanza kurusha picha, lakini ukimya wa hadi muda huo, ukamtisha kidogo.
“au hahitaji kumuingulia huyo shoga?” alijisemea moyoni Joesan. Lakini wakati akiwa anazidi kujiuliza, simu yake ikamtekenya mfukoni mwake. Akaitoa haraka haraka na kumtazama mpigaji, alikuwa ni Sex Machine.
“mh!” akagumia kisha akaiweka sikioni na kukaa kimya akisikiliza kwa umakini mkubwa.
“amekufa! Ameuwawa, kivipi sasa?” alishtuka sana baada ya kupokea hiyo simu, ulikuwa ni ujumbe kutoka kwa Sex machine ukimwambia kuwa huyo shoga ameuwawa. Joesan ikambidi kuuliza maswali ya kuchanganyikiwa na kikubwa alichotaka kujua ni jinsi huyo mtu alivyouwawa yaani kifo chake kikoje. Akaambiwa kuwa kifo chake kimesababishwa na kupigwa risasi ya kifua.
“hakuna kazi Tai huyo shoga ameuwawa kwa kupigwa risasi sasa sijui……..aaaghr!” alidata Joesan. Wakati huo akiwa tayari amekwisha kata hiyo simu na kutoka humo ofisini kwa kasi ya ajabu sana akifuatiwa na Merina nyuma. Taarifa hiyo haikumchanganya Joesan pekee bali ilimchanganya hata mkuu mwenyewe na kuamua kumuita Joesan, Rafael akiwapo na Merina kwenye chumba cha mikutano kwa ajili ya kujadili kifo hicho.
“inavyoonekana hakuna kundi moja linalotuandama, hili ni kundi jingine lililojitokeza kwetu na kuharibu mipango yetu” sauti ya mkuu ilirindima mahali hapo.
“hilo naliunga mkono mkuu kwani mtindo huu wa mauwaji umekuwa ni wa tofauti kwani hawa wametumia risasi za kawaida ikiwa ni tofauti na D.A.” alisema Joesan kukubaliana na alichokiongea mkuu wao mahali hapo.
“mkuu, kitu kinacho niumiza kichwa ni je, wamewezaje kufanya mauwaji hayo bila kuonekana na vyombo vyetu vya ulinzi hata mara moja? Lile jingo si linaulinzi wa kutosha lile?” mzee Rafael naye aliamua kuuliza.
“ewaa! Hilo hata mimi linanichanganya lakini hiyo inanipa picha kuwa hatupambani na watu wadogo, hapa tunapambana na watu wenye weledi mkubwa. Joesan, hakikisha unakuwa macho na umfuate Sex Machine au ikiwezekana umuite ofisi kwako na …………………………………………………….

na umwambie kuwa kesho anatakiwa asafiri tena kwenda Nairobi kwa ajili ya kazi. Kuna shoga kule tumeshafanya nae mawasiliano hivyo kila kinachotakikana nitakupa umuwasilishie” aliongea mkuu huyo kisha kikao hicho kikavunjwa na kila mmoja kutakiwa kuwa makini na sekta yake kwani kazi inavyoonekana imeshaingiliwa na mdudu mbaya.

NAIROBI KENYA.

Saa nne juu ya alama, ndege kubwa ya shirika la Tanzania ilikuwa inakanya matairi yake ndani ya uwanja huo wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta. Dege hilo lilikimbia kwa kasi baada ya kuikanyaga sakafu ya uwanja huo hadi lilipokuja kutulia mahali ambapo ndipo lilipotakiwa kusimama. Mlango wa ndege hiyo ulifunguliwa na watu kuanza kushuka mmoja baada ya mwingine. Mtu wa nne kutoka ndani ya ndege hiyo alikuwa ni Sex machine akiwa amenyuka suti yake ya maana iliyomkaa vizuri kabisa huku nyuma alikuwa akifuatiwa na mwanamke mrembo aliyevaa kawaida sana. Mwanamke huyo machoni alipiga mawani ya kirembo. Alikuwa akishuka taratibu sana hadi alipofika chini. Wakaelekea mahali pa ukaguzi kisha wakatokea upande wa pili, huko Sex machine alichukua usafiri wa tax na kuomba apelekwe kwenye hoteli ambayo aliichagua. Huku nyuma yule mwanamke naye aliingia kwenye tax nyingine kisha akamuomba dereva wa tax aliyopanda aifuatilie tax ya mbele yake.
“kuwa makini kaka yangu asijue kama kuna mtu anamfuatilia sawa” ndivyo alivyosema huyo dada ambaye bado jina lake halikujulikana ni nani.
“usijali sister hizi kazi hatuzianza leo, vipi ni nani kwani yule?” alijitapa dereva huyo kisha akauliza swali la mtego.
“usijali ni kifamilia zaidi yule ni mume wangu so nataka kujua ni wapi anaelekea maana hakuniambia kama leo ndiyo anaingia hapa nchini, sasa nashangaa kumkuta mahali hapa”
“ohoo, basi haina shida ngoja tutajua, tu” alisema kaka huyo huku akiyaruhusu magari mawili yampite na yeye kuwa wa tatu ikiwa ni katika kumzuga mfuatiliwaji asijue kama anafuatiliwa lakini akiwa makini kuhakikisha gari aliyoilenga haimuachi. Gari iliyombeba Sex machine ilisimama nje ya hoteli moja kubwa mjini hapo. Iliegeshwa vizuri gari hiyo na Sex machine akashuka akiwa tayari amekwisha kufanya malipo kwa dereva tax, akapiga hatua ndogo ndogo hadi mahali ulipo mlango wa kuingilia ndani ya hoteli hiyo.
“siamini kama huyu mwanaume anaingia hotelini yaani aaaah!” alistaajabu dada ambaye alikuwa yupo kwenye gari ya nyuma ambayo ilikuwa ikimfuatilia Sex machine. Aliongea kwa uchungu sana kiasi kwamba dereva wa gari hiyo, aliamini kabisa kuwa yule mwanaume aliyeingia ndani ya hoteli hiyo ni mume wa abiria wake aliyembeba.
“tuondoke suka, haki ya manani nyie wanaume ni washenzi sana” alisema huyo dada akiwa anafuta machozi na kuzidi kumchanganya huyo dereva. Machozi na sauti ya kilio ilimdhihirishia kabisa huyo bwana. Ukimya kwake ndiyo ikawa kitu pekee, hakuongea chochote zaidi ya kumuuliza ni wapi waelekee.
“twende na barabara hiyo ya mjini nitakuambia wapi nashukia” alisema na kutulia kimya kitini hadi mbele kidogo, ndipo akamwambia dereva huyo kuwa hapo ndipo anapo shukia. Dereva huyo aliegesha gari pembeni na dada huyo akashuka na kulipa kiasi alichotakiwa kulipa na kuondoka hapo kwa haraka sana. Alionekana kuwa ni mwenye haraka mno, alipokunja kona mbili tatu na kuhakikisha kuwa kutoka machoni mwa yule dereva tax ambaye alikuwa akimuangalia muda wote, alitoa simu ya kiganjani kwenye hand bagi yake, akabonyeza namba kadhaa na kuiweka sikioni.
“ndiyo fadher nimeshaianza kazi na imekwenda vizuri. Yupo ndani ya jiji hili na nimeshajua kila kitu hadi mahali mchezo huo mchafu utakapo fanyika.” alisema dada huyo baada ya kuiweka simu hiyo sikioni mwake.
“uko wapi kwa sasa?” sauti nzito ilimuuliza.
“nipo hapa mjini kwenye hii Super market kubwa sijui inaitwaje sijayasoma vizuri maandishi yake”
“ok, nimeelewa, nenda mbele kidogo kisha kunja kulia na uchepukie kwenye nyumba mbili za hapo, halafu moja kwa moja ingia kwenye gari nyekundu” ilimaliza kutoa maelekezo, sauti hiyo nzito ya kiume, huyo dada akairudisha simu kwenye kibegi chake. Akafanya kama alivyoelekezwa na kuingia kwenye hiyo gari.
“hongera kwa kazi nzuri, kuna mtoto hapo nyuma amelala, huyo ndiye atakayetumika kwa kazi ya leo” alisema mzee mmoja ambaye alikuwa akionekana upande wa mgongoni pekee na gari ikaingizwa barabarani kwa mwendo wa kasi sana ikichukua uelekeo wa mashariki. Huko ilizunguuka hadi kutokea upande mwingine kabisa wa hoteli aliyofikia Sex machine kisha gari hiyo ikasimama kwenye jingo la mbali kidogo na hiyo hoteli. Dada yule akakamata begi fulani akashika mlango wa gari na kuufungua kutaka kushuka, sauti ya yule mzee aliyekuwa akionekana mpongo ikamgutusha.
“unajua chumba alichofikia ndugu yako?”
“hapana huyo sina kazi naye leo nataka kumuuwa huyu shoga kabla hata ya kukutwa na Sex machine, zimebaki dakika mbili tu na sitakiwi kuchelewa, Sex machine si wa kufanya huo uharamu hata kidogo” alijibu huyo msichana na kushuka ndani ya hiyo gari. Alikimbia kwa hatua kubwa kubwa hadi kulikaribia jingo hilo ambalo bado lilikuwa katika ujenzi. Ni jingo ambalo kwa hapo lilipofikia tayari lilikuwa na orofa tano. Alifunua shati lake na kutoa kitu fulani alichokuwa amefunga kwenye mkanda wake wa suruali aliyokuwa ameivaa kisha akakibonyeza bonyeza vitufe vyake na kukirusha juu. Kifaa hicho kilijiendesha chenyewe kwenda juu yeye akawa ameshikilia kamba mbili ambazo aliipitisha moja kushoto na nyingine kuliani mwa kiuno chake kisha kuunganisha na loki fulani zilizopo kwenye mkanda wake wa suruali. Kifaa kile kilisafiri hadi orofa ya nne, kikaenda kukamata kwenye kingo ngumu za kule juu, yeye akaminya kitufe fulani ambacho alikuwa amekishika kwenye mkono wa kushoto huku akilitupia mgongoni lile begi aliloambiwa kuwa kuna mtoto wa kazi amelala. Kwakutumia gloves maalumu, alizikamata zile kamba mbili na kuanza kuvutwa kwa kasi kwenda juu. Lilikuwa ni tendo la haraka sana. Alipofika kule juu, alifyatua zile loki na kukiacha kile kifaa kikining’inia. Yeye akaelekea hadi kwenye dirisha moja ambalo lilikuwa likimuonesha ile hoteli aliyofikia Sex machine kwa mbali kidogo. Alifungua lile begi alilokuwa amelitupia mgongoni na kuanza kutoa bunduki kubwa isiyo na urefu wa kutisha. Akaifunga kiwambo cha kutokusafirisha sauti na kuikoki vizuri, akaiweka lenzi ya kuonea mbali kwa utaratibu mzuri kisha kuiweka jichoni akiwa amelifumba moja. Aliizungusha ile bunduki kila sehemu huku akiwa makini sana, akamuona mwanaume mwenye asili ya kihindi mwenye tumbo kubwa akiwa uchi hana hata nguo moja. Muhindi huyo alikuwa kwenye chumba kilichopo mkabala na chumba ambacho alimuona Sex machine akiwa ameiinamia kompyuta yake. Kwa jinsi ambavyo muhindi huyo alikuwa, ni wazi aliamini kuwa huyo ndiye aliyekuwa akisubiri huduma ya kuingiliwa kinyume na maumbile. Alijifananisha na meanamke kwa kila tendo. Mwanamke huyo akamuweka sawa mwanaume huyo asiye rijali, alama yake ya shabaha ikawa kwenye paji la uso la shoga huyo aliyetakiwa kuingiliwa na Sex machine. Akahesabu tatu mpaka moja kisha akavuta triger na risasi ikatoka kwa kasi kubwa, yule mwanaume akafumuliwa kisogo chake baada ya ile risasi kuchapa paji lake la uso. Alitupwa nyuma na kupigizwa ukutani akiwa mfu. Aliirudisha ile silaha kwenye begi lake na kwenda palepale
alipoingilia akapenya pale dirisha na kuanza kushuka kwa kasi kubwa hadi chini na kurudi garini tena.
“uko vizuri mno kuliko hata mimi sasa, ni dakika moja na nusu tu ulizotumia” alisema mzee huyo mara baada ya yule dada kukaa kwenye siti ya nyuma aliyokuwa amekaa awali.
“lazima niwe hivi Father nina hasira sana za kumrudisha ndugu yangu nyumbani” alisema huyo dada na kunyamaza kimya asiseme kitu tena. Yule mzee naye hakujibu kitu bali alichokifanya ni kurudi barabarani na kuondoka eneo hilo. Ni nani hao? Huyo dada anataka kumrudisha ndugu yake nyumbani je, ndugu yake ni nani? Au ni sex machine?
Duh!

DAKIKA 30 ZILIZOPITA.

Sex machine alipoingia pale hotelini, alichukua chumba ambacho hakikuwa mbali na ailpotakiwa kwenda kufanyia kazi yake. Kilikuwa ni chumba ambacho kilikuwa kikitazamana na chumba cha mwanaume aliyetakiwa kwenda kumuingili kimwili kwa lugha nyepesi tunaweza kusema kumlawiti, alishusha mizigo yake kitandani na kukaa kitako akiwa anatafakari. Hakujua kama huko nako kutatokea kama kule Morogoro au huku atafanikiwa kumla uroda mwanaume mwenzie. Kitendo hicho hakuwahi kukifanya hata mara moja lakini mwili wake ulikuwa uko katika uhitaji wa kutaka kujaribu huo mchezo japo hakuwa akijua nini madhara ya mchezo huo. Alitazama muda kwenye saa yake na kuona sasa limebaki lisaa limoja tu na muda huo akiwa tayari ameshafanya matusi kwenye ulinzi wa hoteli hiyo. hivyo alichokuwa akikisubiri hapo ni kutimia kwa muda tu na yeye kwenda kufanya yake. Dakika mbili ziliposalia ndipo kijana huyo akaanza kupunguza nguo na kutoka ndani ya chumba alichofikia na kuelekea chumba ambacho yupo huyo mteja wake. Ile anafungua mlango tu, alikuta huyo mwanaume aliye humo ndani akiruswa ukutani kwa kupigwa risasi huku kelele za kioo kumwagika zikifuata. Sex machine alikimbia hadi upande lilipo dirisha hilo kwa umakini mkubwa ili kuhakikisha mdunguaji huyo hawezi kumuona. Alichelewa. Wakati yeye anaambaa na ukuta mwenzake, alikuwa akiteremka chini kwa kutumia kamba zile maalumu. Sex machine alipochungulia pale dirishani, aliliona lile jingo na kuona dirisha lililokuwa limeelekea upande huo. Akajua hapo ndipo mdunguaji huyo alipokuwa amekalia. Muuwaji ni mtu wa namna ya hatari sana, muda huo huo yeye anaingia ndiyo mteja anadunguliwa? Hofu ikamtanda moyoni, akajiuliza kwanini kila Shoga aliyetakiwa kukutana naye alikuwa akiuwawa? Alijiuliza sana lakini jibu lilikuwa hakuna kabisa. Akatoka humo ndani kwa haraka sana, akajua kuendelea kwake kukaa humo ni kujikamatisha kizembe kwa polisi ………………….

kwani aliamini huwenda muuwaji akaita polisi mahali hapo na likamtokea tukio baya. Alifanya kila kitu kwa haraka na kuondoka kabisa ndani ya hoteli hiyo na kwena moja kwa moja uwanja wa ndege kuangalia kama anaweza kupata usafiri wa ndege mida hiyo ya alasiri. Bahati ikawa kwake, akapata ndege iliyokuwa inaondoka mida hiyo ya saa kumi. Alipoingia tu kwenye ndege hiyo iliyokuwa inaelekea kilimanjaro, alituma ujumbe kwenda kwa Joesan kumtaarifu kile alichokikuta ndani ya chumba cha mteja.

Joesan alichanganyikiwa zaidi baada ya kupata hizo taarifa. Ikabidi ampenna taarifa hiyo mkuu. Mkuu alivimba sana kwa ghadhabu. Nani aliyekuwa akitoa siri za hiyo mipango ya kibiashara? maswali hayo yote yalikuwa yakikigonga kichwa cha mzee huyo. Ni nani basi atakeyetaka kufanya hiyo biashara tena na bwana huyo ilihali mashoga wengi walikuwa wakiuwawa kwa mtindo huo. Hali ya sinto fahamu ikamkumba Mr. Kim. Hasira zikazidi kumpanda. Kila aliyekuwa akifanya naye mawasiliano kwa ajili ya kuingia naye katika makubaliano ya kibiashara, alikuwa akigoma na kuhofia uhai wake. Mashoga wengi duniani wwkajihami na kukataa kabisa biashara na huyo mzee wakiamini ni mkakati kwake wa kutaka kuwamaliza mashoga duniani. Kim akachanganyikiwa. Kikao kizito kikafanyika kwenye ukumbi wa mikutano. Mkutano huu wa dharula uliwahusisha watu watatu tu yaani Joesan, Sex machine na Mr. Kim akiwepo pia japo hakuonekana.

“tumekutana hapa Sex machine kwa jambo moja tu, kila njia ya kufanya ili ufanye ngono na wanaume hao imeshindikana. Hebu tuambie njia ambayo sisi hatuja itumia labda ambayo inaweza kutusaidia” ilikuwa ni sauti ya Kim ikiunguruma nahali hapo. Sex machine alimtaza Joesan na kukiweka kile kinasa sauti vizuri na kujikohoza kisha akasema.
“liwe ni tukio la kushtukiza, ninamaana ya kwamba asijue mtu yoyote zaidi ya sisi na mpango huo usifanyike ndani ya kampuni. Ninawasiwasi sana na usiri uliopo pale kwenye kampuni na sina imani nao kabisa, kama hakuna mtu anayevujisha hili, basi kuna vitu vimetegwa ambavyo vina safirisha sauti kwa hao watu” wazo hili likawafanya watu wale kuamini kuwa huwenda maneno yaliyoongelewa na kijana huyo yanaukweli ndani yake.
“Joesan, nafanya maongezi na mtu moja hapa hapa na hili litafanyika ndani ya hoteli ya Urugulu. Nataka kuona je ni kweli alisemalo huyu kijana na kama hili likifanikiwa basi lazima kufanyike uchunguzi wa ndani nje kwenye ile kampuni ili tujue ni nini kinasababisha siri zetu kuwa uchi” alisema Kim na wote wakakubaliana huku sex machine akiambiwa akae mkao wa kula ndani ya siku mbili atapewa taarifa. Hali ilikuwa tete mshoga wote duniani waligomea biashara na huyo mzee hadi aweke hali ya usalama vizuri.

Ndani ya jumba moja kubwa Nairobi, pembezoni kabisa mwa jiji hilo. Kunaonekana msichana akiwa amekaa kwenye kochi kubwa la gharama sana huku binti mdogo wa kike akiwa amekaa juu ya ki baiskeli cha matairi matatu akiwa ametulia tu bila kuendesha. Binti huyo mdogo hakuwa mwingine bali ni Mery, yule aliyekuwa akiishi na Joesan. Msichana huyo ambaye alikuwa mahali hapo, alikuwa ametulia kimya akiminyaminya simu yake kubwa. Uharakati huo wa kuminya minya simu uliendelea hadi pale alipotokea mzee mmoja mwenye mwili wa wastani, aliyeonekana yupo kimazoezi. Alifika hapo na kumbeba yule mtoto akafika nae hadi kwenye kochi na kuketi akiwa amembeba mtoto huyo.

“hujambo Maria?” alimsalimia yule mtoto mzee yule.
“sijambo babu”
“kweli hujambo? Mbona unaonekana kama huna furaha sasa binti yangu?”
“uliniambia kaka Chriss atakuja huku na kuishi na mimi lakini mbona haonekani au atakuwa kwa uncle Joe?” aliuliza binti huyo na kumfanya mzee huyo kuvuta pumzi nyingi ndani ya mapafu yake kisha kuzitoa kwa pupa. Akatulia na kumtazama binti huyo mdogo kisha akamwambia kwa sauti ya upole.
“kaka Chriss hayuko kwa huyo anko wako bali yupo safarini, atakuja muda siyo mrefu. Nimeongea naye jana kwenye simu na ameniambia hivyo, amekumiss sana Maria”
“kweli babu?” alisema Mery akiwa na furaha sana.
“ndiyo” akijibu Mzee huyo na kumtazama binti aliyoko kwenye kochi la mbele yake ambaye kwa muda huo alikuwa ameacha kuichezea simu yake, wakajikuta wakitazamana.
“Maria nenda chumbani ukalale, halafu hujalala kabisa leo kwanini?”
“nilikuwa naendesha baskeli” alijibu Mery na kutoka mikoni mwa babu yake huyo kisha akakimbilia chumbani kwake. Mzee huyo akawa anamtazama binti yule mdogo huku tabasamu safi likiwa usoni mwake.
“ninafuraha sasa kuishi karibu na binti huyu” alisema mzee huyo huku akirudisha macho yake kwa msichna aliyoko mbele yake.
“woga umemuisha amezoea mazingira sasa” alisema binti huyo baada ya kuacha kumuangalia yule mtoto.
“lazima azoee hapa kwani ndiyo nyumbani kwao, mwanzo ulikuwa ni ugeni unamsumbua” alisema yule mzee. Wote wakaangua kicheko cha nguvu na kupiga kimya cha muda kumruhusu shetani apite kisha mzee huyo akaendelea.
“niambie Catherine, mtoto nadhani umemsikia mwenyewe hapa alivyosema. Anamtaka kaka yake na kazi hiyo ya kumleta kaka yake hapa unayo wewe”
“najua father, najua na nimuahidi tu niko mbioni kumletea huyo kaka yake” alijibu huyo binti ambaye alikuwa akifahamika kwa jina la Catherine. Huyo ndiyo yule ambaye tulikuwa tukimfahamu kama bikini nyekundu.
“ni wapi ulipofikia kwa sasa Catherine?” aliuliza tena huyo mzee.
“sasa hivi nimeharibu kabisa biashara ya ushenzi ule aliokuwa akiufanya sidhani kama kuna shoga yoyote atakayejitokeza kukubali kushiriki mapaenzi yao ya kishetani tena. Na nimeapa mbele za Mungu, sitamuacha hai mwanaume yeyote yule atakayekuwa tayari kushiriki mapenzi hayo. Nitauwa” aliongea Catherine. Yule mzee alielekeza macho yake chini na alipokuja kuyainua juu, alishusha pumzi za kutosha kisha akamtazama tena binti huyo usoni. Akasema.
“namjua yule mzee niliishi naye kwenye chuo kimoja cha mafunzo mwanzo mpaka mwisho hadi tulipokuja kutengana baada ya yeye kufukuzwa. Ni jeuri sana yule na huwa hakubali kushindwa hata mara moja. Ninaimani kwa sasa kama hajatafuta njia nyingine ya kufanikisha hilo jambo lake basi yuko mbioni kutafuta ufumbuzi”
“father D.A nadhani unanijua mimi vizuri, si wa leo wala jana kwako, nimeishi nawe kwa kipindi kingi, unanijua nikiamua langu huwa halipingiki hata kidogo. Na kama yeye ni jeuri na mbishi, mimi ni kiburi fadha” akatamba binti huyo kwa ghadhabu sana. Alionesha kuwa hatanii hata kidogo lakini baada ya kusikilizwa sana na mzee huyo, cheko kubwa la nguvu likamtoka mzee huyo. Alicheka sana hadi huyo Catherine akashtuka.
“kwanini unacheka hivyo Father?” aliuliza Catherine lakini pia bado kicheko cha father D.A hakikukoma. Alicheka hadi akawa anatoa machozi kabisa. Alipokuja kuacha kucheka, alimtazama kwa makini sana binti huyo akamwambia kwa utulivu mkubwa.
“najua unahasira sana na mr. Kim lakini hasira zako haziwezi kumuangusha yule mzee hata kwa dakika moja. yule ni fundi na anajua kutumia mapigo ya maangamizi pia anauwezo wa kutumia silaha za siri na za dhahiri, sitakuruhusu umkaribie yule bwana ni katili mno.”
“hapana father lazima nihakikishe namdondosha yule mzee lazima, siwezi kumuacha hai hata kidogo.”
“hivi ulikuwa unajua kwanini nilikuwa nacheka?” akauliza.
“hapana” akajibu Catherine.
“nilikuwa nacheka kwa sababu moja tu ambayo ni hii. Nisikilize kwa umakini mkubwa. unahasira lakini weledi wako wa kupigana haufikii hata robo ya yule mzee”
“what?” aling’aka Catherine.
“ndiyo, hata robo humkuti yule. Wewe umejifunza Marsh arts kwenye Chuo kimoja tu huko China lakini Mr. Kim amejifunza mafunzo hayo kwa karibu vyuo vinne ndani ya nchi hiyo. viwili tulikuwa wote japo kimoja hakufuzu lakini viwili vya mwisho, alijifunza katika vyuo vingine yeye kama yeye, kwa hiyo yule ni mwalimu mwenye uwezo mkubwa wa kuweza kupewa dhamana na Taifa lolote duniani kufundisha ngumi” alisema Father D.A. Maneno hayo yakamchosha sana Catherine, alijihisi kukata tamaa kumuangusha mr. Lee Kim. D.A alijua kuwa binti huyo amevunjika moyo. Akamsogelea karibu na kumwambia kuwa asivunjike moyo kwani yupo mtu mmoja tu mwenye uwezo mkubwa wa kumupndoa kabisa duniani bwana Lee naye si mwingine bali ni…….! akaishia njiani. Hakutaka kumalizia kauli hiyo ambayo ilijenga maswali mengi kwa binti huyo. Catherine akataka kuuliza juu ya mtu huyo atakayeweza kumuangusha bwana Kim, akasita na kubaki kujiuliza mwenyewe tu. Ni yeye? Labda ni yeye kwasababu alishawahi kuniambia kuwa yeye alijifuza ngumi katika vyuo vitano huko huko nchini China na vyote vikiwa na aina zake na imani zake za kimafunzo. Sasa kama Kim amejifunza vyuo vinne, huwenda akawa ni yeye atakaye weza kumuangusha bwana huyo. Ndivyo alivyokuwa akijiuliza japo hakuwa na uhakika sana juu ya kujiuliza huko. Hakuwa na muda wa kumuuliza tena kwani kifaa chake cha kunasa sauti alichokiunganisha na ile simu yake kubwa, kikaleta mawimbi. Akanyanyuka na kumuacha mzee huyo mpole sana aliyeonekana kushiba imani kisha yeye akaelekea chumbani kwake ambako alichukua waya wa USB na kuchomeka kwenye ile simu akaiunganisha na kompyuta yake mpakato na kuanza kusikiliza sauti hizo. Alizisikiliza hadi sauti hizo zilipofika mwisho, akarekodi na kuzima kabisa Kompyuta yake. Alijitupa kitandani akiwa amechoka kiakiakili na kimwili, mawazo lukuki yakiwa yamekiandama kichwa chake.

“wanampango wa kufanya biashara kubwa ya madawa ya kulevya, biashara ambayo itakwenda kuwaweka levo nyingine kimaisha” alikuwa akiwaza Catherine.
“hapa ndipo wanapotaka pia kumgeuka Joesan hawa jamaa wawili, mh! akacheka kidogo na kuendelea………………………
” hawa wanataka kuleta vita na Joesan lakini kabla hiyo vita haijafika lazima kwanza niwe nimesha mteka Sex machine wao na kuwageuka wao. Hapa nitawachonganisha wote watatu ili kila mmoja amuone mwenzake hafai. Wao wakipigana sisi tunaingia kwenye ngome ya Mr. Lee.” alizidi kuwaza mwanamke huyo akiwa amejilaza hapo kitandani na hiyo ni baada ya kusikiliza zile sauti zilizokuwa zimenaswa na kinasa sauti chake. Ambazo alinyaka kutoka kwa BC, mtu ambaye alikuwa akinyaka kila mawasiliano yake. Na hapo bwana huyo hakujulikana anaongea na nani. Lakini pia kuna kitu cha pekee hapo huwe amekipata.

MOROGORO TANZANIA.

Saa tatu juu ya alama usiku kila mtu ndani ya kampuni alikuwa busy. Huyu alifanya hiki na yule kufanya kile. Lilikuwa ni jambo la ajabu sana hadi kufikia muda huo, hakukuwa na dalili ya kufungwa kwa kampuni hiyo. Uchakalikaji ulikuwa ni mkubwa sana mahali hapo. Lakini wakati hizo mishemishe zikiwa zinaendelea, hapo hapo ndani ya ofisi ya mzee Rafael, kulikuwa kimya kabisa utadhani labda hakukuwa na mtu ndani humo. Rafael alikuwa amekaa humo ndani akiwa ameshika kitu kimoja kidogo sana mfano wa spika ya simu. Kidude hicho alikuwa akikizunguusha vidoleni mwake tarabu huku akiwa na mawazo sana.

“hiki ni kinasa sauti, ni nani aliyefanya haya yote. Bila shaka mawazo yangu yalikuwa sawa kabisa. Hii inanipa picha ya yale makanyagio ya viatu niliyoyakuta siku ile ambapo kulitokea mzimiko wa umeme usiku” alizidi kuwaza Rafael. Kitu kile achokikuta chini ya meza yake kwa bahati mbaya, kilimpa picha ya kila kitu cha alama za viatu alizozikuta. Hakuamini kama eti, hiyo ni kwa ajili ya ulinzi wa Kim bali alichoamini ni kwamba kuna mtu au watu walikuwa wakifanya kazi hiyo kwa sababu maalumu. Hakutaka kusema kwa mtu yoyote yule kuwa amegundua hicho kitu, alitaka kuona nini hatima ya watu hao ila hakujua kuwa kufanya hivyo kwake ni hatari kwani huwenda ulinzi wa siri wa kimu ulikuwa ukimuona yeye bila kujua. Na alifanya hivyo makusudi kwani maisha ya kunyanyasika na kushuhudia mauwaji ya vijana anaowafundisha kwa kisingizio cha kuwapima majasusi wake, kilishamchosha. Alichokiona hapo ni yeye kuja kujaribiwa siku moja ili anekane anauwezo gani. Hilo jambo lilimuumiza sana na kumpa hofu kubwa moyoni mwake. Akaona ni bora asubirie kuona nini kinaweza kutukia.

Usiku huo huo Suzane alimvamia Sex machine nyumbani kwake lakini hakumkuta, akampigia simu ilikumuuliza ni wapi alipo simu ikaita kisha ikakata. Akakumbwa na mshtuko, jambo hilo halijawahi kutukia kwa maisha ya Sex machine kupigiwa simu halafu ikate. Akawa anajiuliza ni nini kinatukia mahali hapo. Akataka kupiga tena lakini simu yake ikawahi kuita, mpigaji alikuwa ni sex machine.
“uko wapi wewe na mbona nakupigia simu inaita halafu inakata” aliuliza kwa alama nyingi za kuuliza baada ya kupokea simu hiyo.
“napata supu ya pweza kidogo, halafu ni bora umenitafuta maana nilitaka nikupigie simu nikitoka hapa” alijibu kijana huyo. Suzy akashtuka wewe unasema unapata nini?”
“mbona unashtuka sana mtoto mzuri kwani mimi kunywa supu ya Pweza kuna ubaya?”
“tena sana SM, wewe una nguvu za asili hivyo mambo hayo siyo mazuri”
“nakutania Suzy, niko mjini nakuja sasa hivi hapo nyumbani so usiwaze.”
“ok, fanya haraka” alisema Suzy ma kujiegamiza kwenye gari ili kuendelea kumsubiri mwenyeji wake. Haukupita muda mrefu sana kijana huyo akawa anaingia hapo na pikipiki lake kubwa, akapiga breki na kushuka kisha akalivua kofia la usalama, akamfuata binti huyo ambaye alikuwa ametulia tu akimtazama kijana huyo jinsi alivyokuwa akimkaribia. Hakuna maongezi, salamu wala nini. Alimvamia na kuanza kumnyonya mate, alifanya hivyo kwa muda kidogo huku Suzy akitoa ushirikiano wa kutosha sana. Miguno ya maraha ikashika nafasi, binti huyo alikuwa akinungunika kila akishikwa na alikuwa akisikia raha za hatari sana.
“kwa nini umesusa muda mrefu kunipa penzi Suzane?” aliuliza SM huku akiwa anampapasa kwa utaratibu sana juu ya kufuli lake kwa mbele.
“mmmmh!, yaaaaa, aaaasssss!, si….si ulikuwa na mishemishe nyingi sana ya kikazi mpenzi wangu” aligumia hivyo Suzy huku akitoa jibu la swali aliloulizwa.
“yaa, ni kweli lakini hata nikiwa free umekuwa hunikaribii”
“acha lawama mpenzi huoni kuwa leo nipo kwa ajili yako, hebu twende ndani ukanitafune hadi niishe Joesan anitafute hadi akome” alisema binti huyo akiwa amejitoa kinywani mwa kijana huyo akimtazama usoni. Sex machine alimtitika binti huyo na kuelekea ndani, akamtupa kwenye kochi kubwa na kumpandia kwa juu. Alimvua nguo zote. Suzy akabakia bila nguo hata moja mwilini mwake. Mwili wake mtamu wa kuvutia ukaonekana ukiwa uko katika matamanio makubwa kabisa. SM alipambua za kwake na kuzitupia pembeni kisha akaanza purukushani na mbwembwe zake za kumuandaa mtoto huyo. Suyz kila akimuangalia kijana huyo, mashetani ya kikubwa, yalikuwa yakimpanda, mwili kumuwasha na kuhitaji mkuno wa kijana huyo. Mambo yakaiva, watu wakaingia kwenye maakuli. Shughuli ilikuwa si ndogo, shughuli ilikuwa pevu kweli kweli.
“baby niambie kweli kama hukuwa ukipata Supu ya Pweza huko ulikokuwa maana naona unasugua kwa pupa sana kama uko kwenye riadha za mbio ndefu.” alilalama binti huyo huku akiwa katika manung’uniko makubwa.
“sijanywa kitu chochote baby nilikuwa nakutania tu”
“sasa mbona leo unachelewa sana baby jamani, kwani roundi ya pili huwa unachukua muda gani kwa kawaida?”
“nakaribia mpenzi” alimwambia huku akiwa anashuka na kupanda kama anaendeshwa na rimoti.
“kwani nakuumiza?” aliuliza SM baada ya kuona Suzy analalamika sana.
“hapana huniumizi ila naona unachelewa baby, aaangh, aaaaiii!” alipiga kelele mwishoni baada ya SM kuzama ndani mazima na kuhisi kama kizazi chake kimeguswa kwa jinsi kijana huko alivyogonga ukuta wa ndani ya tupu ya Suzy kisha akamwambia kuwa ngoja nikubadilishie dizaini. Aliposema hivyo akampindua na kumuweka mtindo ambao haaumizi na kuanza kumuendesha kwa taratibu na kwa ufundi mkubwa hadi Suzy akabadili milio, badala ya kulia kwa kumuomba amalize sasa akawa anaomba apewe zaidi ya hapo alipofikishwa na muda mwingine akawa anaomba apewe wote. Sex machine, hakufanya ajizi akaongeza speedi huku akiwa amezama hadi kunako mwisho. kelele za raha zikakijaza chumba hicho. Suzane akaanza kulalama.
“asaaantee!, asante Chriss” akajikuta ametaja jina ambalo alionywa asilitaje. Hatari.

**********************************************

Kwa upande wa Joesan naye usiku huo alikuwa akipewa mambo adimu na matamu kabisa na Merina. Mtu ambaye kwa upande mwingine ni mlinzi wake wa karibu (Bodgad) lakini kwa upande mwingine alikuwa amechukua nafasi ya zaidi ya marehemu mke wake. Nasema zaidi kwa sababu, Joesan alikuwa akipewa vitu moto moto ambavyo mkewe

alikuwa hampi. Usiku huo Joesa alikuwa akipiga kelele kama mtoto baada ya kulalishwa kitandani huku binti huyo aliyeharibiwa kimwili na Kim akiwa juu amekalia kipisi cha kiazi kitamu kwa kukikatikia kikiwa ndani ya njia haramu ya tundu la haja kubwa. Joesan alikuwa amefumba macho akiwa mdomo wazi kama mwehu kwa jinsi raha zilivyomzidia. Ilikuwa ni laana iliyokuwa ikifanyika mahali hapo lakini ilimfurahisha sana bwana huyo na kufikia hatua ya kumtukana matusi makubwa ya nguoni mkewe kwa kushindwa kumpa utamu huo. Aliona kama mkewe alikuwa anaujua utamu huo ila alikuwa hampi na aliwapa wengine. Alimtukana sana kila alipokuwa akiipata nafasi ya kufanya hivyo.
“kwanini ulichelewa sasa kuja kunipa mambo haya we mwanamke, ona sasa ulivyokuwa mtamu hadi najikuta naota njozi nikiwa bado sijalala” alisema Joesan.
“oouh! Shit, kila….kila jambo huja kwa wakati wake mume wangu. Huu ni wakati wake na ndiyo maana niko hapa leo kukupa haya mambo. Ngoja sasa nikufikishe mwisho wa safari ili tulale.” alisema Merina kwa sauti ya puani huku akibana makalio yake na kuyaachia kwa utundu wa hali ya juu sana. Hali hiyo ilimfanya Joesana ahisi kitu cha hatari sana hadi akawa ananyanyuka na kutaka kukaa lakini hakuthubutu kufanya hivyo. Mikono laini ya Merina ilimrudisha pale kitandani. Alipiga kelele kubwa sana akiwa anamaliza haja zake huko huko kunako ushetani. Ama kwa hakika Merina alikuwa fundi na Mr. lee alifanikiwa kumharibu binti huyo kwa kiasi kikubwa sana. Walijikuta wakilala kila mmoja akiwa hoi.

Kwa upande wa Suzane na SM, mambo yalikuwa tofauti kido japo walikuwa wamesha maliza mchezo wao wa raha lakini Suzy alikumbana na maswali ya kuwa Chriss ni nani. Kitu ambacho alikikosea binti huyo mahali hapo ni kujiumauma na ilikuwa ni lazima ajiume ume kwani swali hilo liliulizwa kipindi ambacho utamu ulimzidia na SM alifanya hivyo makusudi ili kupata ukweli wa jina hilo pia ukizingatia kuwa alikuwa katika upelelezi wa kujijua yeye ni nani. Kwani hakukubali kwa haraka kuwa eti, yeye ni Sex Machine na hilo ndilo jina lake.
“samahani sana SM, sikuwa na maana ya kumtaja huyo mtu nikiwa na wewe hapa, ila kwa jinsi ulivyokuwa ukinifanyia hapa kitandani nimejikuta tu nikimtaja mtu huyo. Alikuwa ni mpenzi wangu na nilimpenda sana na yeye pekee ndiyo alikuwa akiweza kufanya utundu kama wako” alijitetea Suzy lakini kwa uelewa wa Chriss akawa anamashaka na majibu ya msichana huyo. Hakuwa na muda wa kuendelea kumuuliza maswali alichokifanya ni kufunika kombe mwanaharamu apite lakini ndani ya ubongo wake kukiwa na methali isemayo, ukitaka kumjua mchawi mpe mtoto au mpe mwana akulele. Kwani atakula nyama za wenzake ila ikifika zamu ya kutoa nyama yeye hapo ndipo utakapoona ……..

mapenzi kwa mtoto wako yatakapo zidi, hivyo alichokipanga Chriss ni kuzidisha utundu na ufundi kwenye mwili wa huyo msichana hadi atapike kilichokuwa siri. Na kwa ajuavyo vifua vya wanawake, hakuwa na shaka juu ya hilo kabisa. Wakaachana na hilo na kuhamia kwenye story nyingine huku Chriss akimsahaulisha kabisa huyo binti kuhusu hilo jina.
“SM pamoja na kwamba nimekuja kuburudika na wewe mpenzi wangu, pia kuna kazi ambayo imenileta” akasema Suzane.
“kazi gani?” akauliza SM. Suzane hakusema kitu bali alijiteremsha kitandani na kuchukua kibegi chake cha mkononi na kumgeukia na kumwambia kwa utulivu.
“kesho jiandae. Nimeambiwa hivyo tu na boss sasa sijui ujiandae na nini” alipomaliza kusema hivyo, akatoka humo ndani na kupotea gizani usiku huo.

Asubuhi baada ya kunyoosha mwili na kujimwagia maji, alichukua ulekeo hadi lilipo kabati lake akiwa uchi na kulifungua hilo kabati lililopo hapo ukutani. Akabonyeza kitufe kidogo kilichopo kwenye vazi hilo ambalo huwa halifuliwi hata kidogo. Akalipa mgongo kisha vazi hilo likajivika lenyewe mwilini mwa kijana huyo. Kilichofuatia hapo kilikuwa ni kutinga suti yake kisha akatoka akiwa na brifcase yake mkononi. Alipofika nje ya uzio wa nyumba hiyo, alikuta gari ndogo ikiwa inamsubiri, akaisogelea na kujiingiza garini. Safari ya kuelekea uwanja wa ndege ikaanza. Alitakiwa kufika uwanja wa ndege na bosi wake bila kujua kinachompeleka huko. Hawakuongea kitu chochote kingine humo ndani zaidi ya salamu. Ukimya ulidumu hivyo hadi walipofika uwanja wa ndege wa hapo Morogoro. Joesan na kampuni yake hawakuwa wakijua ni nani mvujishaji wa siri za kampuni hiyo, kitendo hicho cha kuto kujenga imani kwa kila kitu ndicho kilichopelekea Hata gari wanayosafiria wasiiamini. Ukimya huo ulikuja kuvunjika baada ya kushuka kutoka garini ndipo walipokaribiana na kuongea kwa sauti ya chini sana.

“Kuna kazi nne Sex machine, zote unatakiwa uzifanye ndipo urudi hapa nchini Tanzania. Moja utaifanya ndani ya V Ice Hotel, ambayo iko ndani ya jiji la Miami nchini marekani. Hapo utakwenda kukutana na tajiri mmoja lakini ni babu, namaanisha ni mzee sana huyo. Huyu ni shoga wa muda mrefu na kwa umri alionao ni kwamba kwa sasa anajishtukia kufanya shughuli hizo za kishoga na kuamua kuifanya kazi hiyo kwa siri sana kwa sababu tayari iko kwenye damu na kuiacha hawezi. Amekuwa akiikosa huduma hiyo kwa muda mrefu sana na amekuwa akijisikia vibaya kwa kukosa kusuguliwa kwa muda mrefu sasa. Amesema kuwa muda mwingi amekuwa akijichua mwenyewe sasa anahitaji kulipata joto halisi, hivyo kwa kukubali kwetu kumpa mtu wa kumhudumia, ameahidi kulipa mamilioni ya shilingi, Huo ni utajiri SM. Usiangalie mtu huyo alivyo, maana kama utamuangalia ni wazi mchezo unaweza kukushinda maana ni kikongwe siyo siri, pia anahiji usalama wa hali ya juu sana kutoka kwetu na ndiyo maana tumekuja kuongelea hapa sisi wawili. Kazi ya pili.” akanyamaza kidogo Joesan na kuvuta pumzi kidogo kisha kujiminya pua kwa juu na kuendelea.
“kazi ya pili ni ya mkuu, hii ni ya kumuondoa duniani mzee mmoja anayekwenda kwa jina la Milkao. Kama unavyojua kuwa vita ya mkuu ni kuhusu wafanya biashara. Kinacho nipa ugumu na wasiwasi wa kazi hii ni kwamba Hoteli utakayofikia kwa ajili ya kuifanya kazi hii ya kuuwa, ndiyo hoteli utajayoitumia kuifanya kazi ya tatu. Namaanisha nini? Ni kwamba kazi ya tatu ni kwenda kufanya mauwaji mengine ya meneja wa hiyo hoteli. Sasa sijui utaanza nani kati ya meneja na mzee Milkao japo haina uhakika sana kama huyo Milkao atafika katika hoteli hiyo akini wote wanatakiwa kufa. Kazi ya nne na ya mwisho ni yangu binafsi, hii inajulikana ni ya kwenda Ufaransa kuchukuwa nzigo na kuupeleka nchini Brazil kama kawaida. Mzigo ni uleule kilichoongezeka ni ukubwa tu wa mzigo huo. Huu ni mzigo mkuwa sana wa chupa hamsini za DF. Ni utajiri mkubwa pia. Nakuahidi SM, ukirudi salama ukiwa umefanikisha kusafirisha huo mzigo, kutembea na huyo shoga kikongwe pia kuuwa hao watu wote wawili, utajiri wa pesa nyingi sana unakuhusu na mkuu atakufanyia paty maalumu lakini pia kama moja kati ya hayo yatashindikana, pia utakuwa hujabadili kauli niliyoisema.” Alimaliza kuongea bwana huyo na kumruhusu SM aondoke muda huo kuelekea ndani ya ndege ambayo ilikuwa tayari kuondoka kuelekea Dar es salaam. SM alijitia ndani ya ndege na ndege hiyo ikaanza kuchukua kasi. Ilikuwa ni ndege ndogo ya shirika la Emirates.

Dakika chache zilitosha kumfikisha SM ndani ya uwanja wa kimataifa wa Mwalimu J.K. Nyerere. Aliteremka na kubadilisha ndege. Hapo ndege kubwa ya kitanzania ikachukua kasi na kuingia katika barabara maalumu kwa ajili ya kuruka. Muda mfupi ndege hiyo ikawa inaiacha ardhi ya Tanzania na kulikamata anga la kimataifa. Alipokuwa angani, SM aliwaza mengi sana, alifikiri jinsi majukumu yanavyozidi kuongezeka hadi akafikiria kuwa sasa watu hao wanampango wa kumuuwa. Lakini wakati akiwa anawaza, Nairobi kenya kwenye mtaa wa Ruiru, ndani ya jumba lile la Father D.A, tunamuona Catherine akitoka mbio chumbani kwake akiwa amekamata simu yake mkononi na kwenda hadi sebulenu ambako alimkuta Father akiwa anacheza na Maria.
“ooh, unashindwa hata kurusha mpira ili kuupiga, halafu unasema unataka kuwa mchezaji hodari wa tenes” alisema father alipokuwa anamuelekeza Maria jinsi ya kupiga mpira wa tenes.
“hapana babu nilikose…….!” alishindwa kumalizia Maria, sentensi yake ikabaki kuelea hewani. Sauti ya Catherine iliyokuwa ikimuita father, ndiyo iliyokuwa imemkatisha majira hayo.

“father hebu sikiliza hii sauti” aliongea Catherine huku akimkabidhi father D.A zile ear phone na kuziweka masikioni na kuanza kusikiliza. Alisikiliza kwa muda alipomaliza, akamfuata Maria na kumwambia aelekee ndani kwani muda huo muvi yake nzuri ya katuni ilikuwa imeanza. Maria alitoka hapo mbio na kuelekea ndani, alikuwa akihusudu sana katuni Maria na aliipenda kuliko michezo mingine hivyo hata kama yuko kwenye mazoezi ya kufundishwa Tenes lakini akiambiwa tu kuwa katuni imeanza ni lazima ataacha na kukimbilia ndani na mara nyingi akiikosa anaweza hata kulia.

Walibaki wenyewe mahali hapo. Akiwa tayari ameshaisikiliza hiyo sauti na sauti hiyo ilikuwa ni yale maongezi ya Joesan akimpa SM pale uwanja wa ndege wa Morogoro ambayo yalisafirishwa kitaalamu sana kupitia lile vazi.
“tunafanyaje sasa Catherine naona hii imekuwa too much aisee na kwa ulinzi ulivyo wa hapo Marekani na askari wa marekani walivyo makini Huyu kijana atakufa.” alisema fadha mara baada ya kumuondoa Maria kijanja mahali hapo.
“father, mimi naingia katika biashara na hawa wajinga…!”
“kivipi?” akawahi father kwa swali.
“naingia kwenye mtandao wao wa kibiashara na kuhitaji hiyo huduma najua watakataa kama nitaenda kwa dau dogo lakini kwa dau nitakalowatangazia na kuwalipa bakshishi, lazima wataingia mkenge. Ni dau kubwa sana father ambalo hawajawahi kulipata kwa huyo Sex machine kutembea na mwanamke. Mimi nitakuwa wa kwanza, na yule mzee anatamaa sana atakubali tu na kuingia kwenye hii biashara, akiingia tu basi kazi ni nyepesi”
“itakuwa ni wapi sasa” akauliza tena father.
“ni hapo hapo Marekani na ni kabla hajatekeleza mauwaji ya huyo Milkao na meneja wa hoteli” aliongea Catherine mamaa mipango, au waweza kumuita bikini nyekundu.
“lakini unahakikisha hashiriki hata kazi moja ya mauwaji au?”
“hapana hayo mauwaji ni lazima atekeleze na nitamsaidia mimi kufanya hayo mauwaji ili aniamini niweze kuondoka naye kiurahisi hadi shimoni huko atakwenda kubadilishwa na kuwa Roi na si Sex machine wala Chriss. Atarudi kwenye jina lake la zamani la Rajab Isihaq na kumpa jina la kulipiza kisasi cha baba yake na ndipo nitakapompa jina hilo la Revange Of Isihaq (ROI). Baada ya hapo anakwenda kumaliza kazi ya mwisho ya kuubeba mzigo wa Madawa ya kulevya ya FD na hapo ndipo tutakapokwenda kuanza kazi ya kuwachonganisha kisha Roi anarudi nyumbani kuja kumsalimia Mery madhani hata yeye atakuwa amemmiss” alipomaliza kusema hivyo, kicheko kikubwa kikaibuka kutoka kwa Father. Ilikuwa ni plan ambayo hakuitegemea kabisa katika maisha yake. Father alikubali kuwa anakichwa cha hatari na akimrudisha na Roi nyumbani, basi hapo atakuwa na vichwa vikali mno.
“anza kazi Catherine muda umekwenda sana kumbuka unatakiwa uwahi kabla huyo ndugu yako hajafanya huo uharamu”
“usiogope father leo ndiyo nitatumia zile ndege zinazokwenda kwa kasi sana ili kuwahi ndani ya Marekani kabla hata Chriss wao hajatua na atamkuta huyo kikongwe ni maiti tayari” alisema hivyo kisha akaingia chumbani kwake na kwenda kufanya mawasiliano na kampuni ya Joesan.
“mr. Lee wewe ni mshenzi sana. Najua unatimu ya mpira uliyoiandaa ili siku moja uje kuniangamiza kwa magoli mengi bila mimi kupata kitu, nikupe salamu za hisia tu huko uliko Roi ni mwanangu nasema hivi kwa sababu Roi ni mtanzania na mimi pia ni mtanzania, kifo cha mtanzania mwenzangu lazima kilipwe na damu ya kijana wake. Sina shaka na Joesan kwani huyo ni mtoto mdogo sana na huyo mlinzi wake atamalizana na Catherine maana Roi ndio daraja lako wewe. Mimi hutaniona hadi siku unakufa wewe.” aliwaza father na kufanya ishara fulani ikiwa ni imani za Ki Buda iliyochanganyikana na Budha Tempo kisha akafumba macho yake na kuipandisha mikono yake aliyoikutanisha pamoja hadi karibu kabisa na paji lake la uso. Ilikuwa ni nguvu njingi iliyokuwa ikitumika hapo na hisia kali za kiimani kutoka kwa father D.A akiwa anamtumia salamu mr. Lee Kim. Alitulia hivyo father kwa takriban dakika moja na sekunde tano. Muda huo huo kwa upande wa Mr. Lee ambaye alikuwa amepitiwa na usingizi kidogo sebuleni kwake ndani ya 03 house, alishtuka kutoka ndani ya usingizi huo, alinyanyuka kabisa na kutoka pale kwenye kijigodoro alichokuwa amekitandika chini na kwenda kusimama kwenye dirisha kubwa la nyumba hiyo.
“D.A nini unataka kufanya kwangu, unasema unataka kurudi Tanzania, ooh my God!” ……………………….

aliwaza mr. Kim akiwa hapo dirishani.
“umeamua kujitokeza sasa eenh! Mbona bado sijamaliza kazi yangu ya kuingiza utajiri mkubwa ili nikifika nchini kwangu niwe kama mfalme? D.A, hapana bado ni mapema sana na sitakubali nishindwe lazima niingize utajiri mkubwa kwa kuwatumia watanzani wenzako wajinga kama wewe” alizidi kuwaza mr. Lee.

“ha ha haaa, aaha ha ha haa!” ni salamu tu hiyo mbona picha linaanza” alicheka sana Father na kusema maneno hayo mara baada ya kutoka kutuma salamu kwa imani za ki tempo. Alijua kuwa kwa salamu hiyo ni lazima mzee mwenzie atakuwa katika mashaka makubwa kabisa, haukuwa uwongo, Kim alijikuta akiongea mwenyewe mithili ya mwendawazimu. Alipokuwa anazidi kuwaza hapo na kucheka, alishtuliwa na sauti ya kushangilia na alipo geuka nyuma Father, alimuona Catherine akiwa tayari amependeza na kibegi chake cha kike mkononi. Father akaunguruma kama dume la njiwa na kusema.
“mambo yameiva bila shaka maana nakuona uko ki mtoko?”
“nilikuambia father kwa watu kama wale ambao hawajaridhika na pesa hawezi kukataa dola milioni moja kwa kazi ya kumnunua Sex machine na tayari wamekwisha kuwasiliana na mtu huyo kulingana na mashart yangu kuwa nafanya hiyo kazi kwa siku fulani kisha nikawaroga na dola laki tano ambazo tayari nimeshapiga simu bank na kutoa kontact zote hiyo pesa wahamishiwe kwenye akaunti yao, Wataishia hiyo hiyo na kupata pigo wasilolitarajia.” alimaliza kusema Catherine kisha akatoa simu yake na kupiga mahali akaiweka sikioni.
“nahitaji mtoto mzuri wa anga anipele Kwa Obama haraka sana” alisema na kutulia kidogo kisha akaishusha simu hiyo na kuiweka kwenye mfuko wake wa suruali ya jeans aliyovaa ambayo alikuwa ameunganisha na visikilizia maaikio, kisha akampa mkono wa kwahe mzee huyo na kumwanmbia ndege ya haraka imepatikana.
“kwa muda huu ninavyojua mwendo wa ndege hizo ni lazima utafika sawa na SM huko Marekani” aliongea father.
“haitajalisha hata hivyo, mimi nitakuwa haraka zaidi kuliko yeye kwasababu ya kuwahi kuuwa kabla yake.”
“mwambie Roi nipo nyuma yake”
“ubaki salama na umwambie Maria namletea kaka yake” alimaliza kusema hayo na kuingia kweye gari ambayo iliondoka hapo kwa kasi sana kuelekea kwenye uwanja wa ndege wa Kenyata. Dakika chache zilimfikisha hapo uwanjani na kuelekea moja kwa moja ambako kunahusika na usafiri binafsi, huko akaenda kukuta ndege kubwa ya kukodi yenye muundo kama wa air force. Akafanya kinachotakiwa kufanywa kisha akakwea pipa hilo na safari ikaanza. Ni mwendo wa kasi sana ilikuwa ikitembea kuelekea mahali ambapo ilitakiwa kupaa na sekunde kadhaa mbele, ndege hiyo ikainuka na kuelekea mawinguni.

ITAENDELEA

ITAENDELEA

SEX MACHINE – 2

Related image

Chombezo : Sex Machine
Sehemu Ya Pili (2)

Chriss au Sex machine alibaki akijishangaa sana na kujiuliza akilini mwake kuwa yeye ni nani, mbona amekuwa ni mtu mwenye bahati sana. kila akitafakari jambo hilo alilikosea majibu na kuamua kutabasamu mwenyewe tu maana hata alipojiuliza kuhusu chimbuko lake yaani ndugu zake ua asili yake kwa ujumla alibaki akiwa ameduwaa na hata hakutaka kumuuliza bwana yule aliyeonekana kuwa msaada mkubwa sana kwake. Alifungua mlango wa ile gari ambayo hakuwaza kama aliwahi kuota kuwa siku moja angekuja kuwa mmiliki halali wa gari kama hiyo. aliamua kuyaacha maisha yake yawe ya ndoto tu hivyo hivyo. Alikuta kweli funguo ya gari na vitu vingine kama kadi ya gari na kadhalika. Akaisoma ile kadi na kukuta imeandikwa S Machine lakini alipoendelea kusoma kadi ile ambayo ilikuwa na picha yake kabisa, alikutana na neno ambalo hakujua maana yake. ‘jina la pili linaweza kuwa la kwanza. Akatafakari kwa muda na wala asipate ufumbuzi, akaamua kuliacha kama lilivyo. akaifunga gari ile na kurudi ndani ambako aliikalia kompyuta na kuanza kazi ya kuicheze. Hapo alikuwa ni hatari kuliko hatari yenyewe na ni muda mfupi tu alikuwa amesha badilisha kila kitu kwa vile atakavyo yeye. Alipo maliza alitwaa taulo na kuelekea maliwatoni. Alijimwagia maji kwa muda mfupi na kurudi chumbani humo, akacheki muda, ulikuwa umekimbia sana. Akabadili nguo na kuelekea sebuleni. Hakushughulika na tumbo kwani hakuwa akihisi njaa hata kidogo na hata hakukumbuka ni muda gani alipata chakula. Aliutumia muda huo kuichunguza vizuri nyumba hiyo nje ndani hadi pale aliporidhika ndipo akarudi tena sebuleni na kuendelea na mambo mengine.

Joesan alipotoka kumkabidhi Sex machine nyumba na vitu vingine, alielekea moja kwa moja nyumbani kwake. Na muda huo alikuwa amekaa sebuleni akitazama muvi. Akili yake na mawazo yake yote yalikuwa kwenye simu yake, kila muda alikuwa akiitazama. “muda alioniahidi Suzane ndiyo huu lakini mbona sioni simu yake?” alijiuliza. “hebu ngoja nimpigie nijue nini kimemkuta au dili imeharibika?” alizidi kujiuliza na kuishika simu yake. Akafikiri kwa muda kabla ya kutenda hicho alichotaka kukitenda. Jambo zuri ni yule aliyekuahidi atimize ahadi na siyo kimbelembele, nafsi yake ikamwambia hivyo. Akairudisha simu mezani na kuendelea kuangalia muvi hiyo ambayo hata uendeleaji wake hakuuelewa. akaamua tu kutuliza macho yake hivyo hivyo, punde simu yake ikakoroma. Akaichukua haraka haraka na kuipokea. “boss!” upande wa pili uliita. “vipi mambo Suzane?”
“mambo mazuri tukutane tushikamane Pub nikupe maelekezo mazuri au kama uko nyumbani tunaweza tukafanya kesho kwani hata hivyo mambo yatafanyika usiku wa kesho.” akasema Suzane na Joesan akajibu basi ni vizuri jambo hilo likafanyika kesho. kisha yakafuata maongezi ya kawida.
Martha hakuwa na furaha kabisa tangu kutoweka kwa chriss pale nyumbani, amekuwa ni mtu wa kuwaza tu kila wakati lakini hakuthubutu kumuonesha mume wake kuwa jambo lile lilikuwa likimtesa sana. Aliumia moyoni, hali hiyo ikapelekea kuwa mbali na mumewe hakutaka kumkaribia kabisa. “masikini kijana wa watu amekosa nini kwa Mungu hadi kufikia hatua ya kumfanyia hivyo. Sijui anamtumia kwa kazi gani, ” nilisha kuzoea Chriss, nilikupenda nakiri hivyo lakini nitafanyaje sasa na wakati sina nijualo. Mungu atakusaidia mwanangu, sikutegemea kama Joesan utakuwa mkatila kiasi hicho mtu uliye muangamizia wa………!” aliwaza Martha lakini mawazo yake hayakufika mwisho baada ya Joesan kuingia mule chumbani. Aliamua kuyakatisha mawazo yake kwani kuendelea kuwaza ilikuwa ni kumrahisishia kuweza kumgundua kuwa hayupo sawa na hakutaka jambo hilo litokee. Joesan hakumsemesha mkewe wala kumuuliza chochote, alichokifanya ni kupanda kitandani na kulala. Akili yake ilisharudi kama zamani kujipa ubize na hata kutoonekana siku tatu nne nyumbani kwake bila taarifa, lilikuwa ni jambo ambalo mama huyo alishalizoea hivyo hakuwa akimuuliza chochote kwani hata kama ataamua kufanya hivyo asingeweza kupata majibu yenye kumridhisha. Baada ya muda bwana huyo alikoroma kabisa kuashiria kuwa tayari usingizi ulisha mteka. Alijigeuza upande wa pili na yeye kuamua kuutafuta usingizi huo ambao hakudhani kama ungekuja kwa haraka. Ni siku nne mumewe hajaonekana nyumbani, siku anaonekana hasemi alikuwa wapi? Haulizi chakula na wala hakuwa na muda na mkewe wala kumuuliza ameishije kwa kipindi chote ambacho hakuonekana nyumbani. Pia hakujali kqma mkewe anahitaji haki yake ya ndoa wala nini. Tena anajitupa kitandani na kukoroma kama Nguruwe pori aliyechoshwa na hekaya za wawindaji bila hata kumgusa mkewe. Joesan alifanya hivi kwa kujua labda akimuuliza mkewe, atakumbushwa habari za Chriss ambazo hakutaka hata zikumbukwe mahali hapo. Maisha ya kutokusemeshana yakawa ndiyo msingi wa nyumba hiyo kwa majira hayo, visa na vitimbi visivyoisha. Maisha magumu sana. Asubuhi ya siku iliyofuata Joesan alikurupuka kutoka kitandani na kuelekea maliwato kujiswafi, aliporudi alibadili nguo na kuondoka bila hata ya kumuaga mkewe. Hakuwa na presha ya mahitaji kila kitu kuhusu chakula kilikuwa kiko kamilifu kabisa hivyo hakuwa na wasiwasi hata kidogo.

“ndiyo naelekea ofini muda huu” alisema Joesan simu ikiwa sikioninna mkono mmoja ukiwa umekamata usukani.
“ok, nitakujulisha baadae kidogo.” akasema tena na baada ya sekunde kadhaa, akairudisha simu mfukoni. Alipaki gari maegeshoni na kushuka akaingia ndani ya jingo hilo huku akisalimiana na watu mbalimbali ikiwemo wafanya kazi wa kitengo cha utalii
Alifika ofisini kwake akiwa yeye ndiye mtu wa kwanza kabisa katika kitengo chao cha kishetani.
Kwa upande wa Sex machine bado alikuwa katika usingizi mzito sana. Mwili wake aliuhisi ukiwa na uchovu sana hata alipokuja kushtuka kutoka katika usingizi huo. Mwili wake uligoma kabisa kuamka juu ya hicho kitanda. Alibingilia huku na huko na hatimaye akaamua kukurupuka na kusimama wima. Akaanza kama utani kujinyoosha viungo vyake kwa kufanya mazoezi madogo madogo lakini kila hatua aliyokuwa akipiga, ndivyo mazoezi hayo yalipochanganya. Chumba kile kikawa hakifai tena akatoka nje kabisa nyuma ya nyumba na kuendelea na mazoezi makali ambayo hata mwenyewe yalimshangaza na kumuacha hoi. Hakuwa akijua uwezo huo wa kufanya mambo makubwa kiasi hicho aliutoa wapi. Mazoezi hayo yalikuja kukoma baada ya lisaa limoja na nusu. “uwezo wa kufanya haya yote nimeutoa wapi? Mbona sikumbuki kama nilishawahi kujifunza mahali mbinu hizi za mapigano?” alijiuliza kijana huyo. alikifikirisha sana kichwa chake ili aweze kukumbuka angalau lakini ilikua ni kama kuizunguuka nyumba ukitegemea utakutana na kitu kipya kwa kila mzunguuko wakati nyumba ni hiyo hiyo moja. “asante Mungu kwa kunifanya kuwa wa pekee sana” alishukuru tu kwani hakuwa na kingine cha kufanya zaidi ya kumshukuru Mungu wake tu. Alielekea ndani baada ya mazoezi hayo ya nguvu, akaenda kupiga maji ili kuweka mwili katika hali ya usawa. Alipo maliza kuoga alijihisi tofauti sana, mwili wake ulikuwa mwepesi kupindukia. Utofauti huo ukamfanya kujiona ni kiumbe sahihi. Alikuwa mwepesi wa kufikiri na kufanya maamuzi ya haraka sana hata mwili wake pia ulikuwa ni tofauti na ilivyokuwa siku iliyopita. Alifanya kila kitu kwa wepesi wa hali ya juu sana, alijiandalia kifungua kinywa kisha akajilia na kuendelea na kazi zake za kawaida akiwa na kompyuta yake mpakato akisubiri amri kutoka kwa wanao muongoza.

Kwa upande wa wale jamaa wa ughaibuni, mawasiliano yalizidi kupamba moto. Walizidi kuwasiliana huku wakiwa na furaha kubwa ya kuweza kuifanya biashara yao kuwa hai tena. Walidhani kila wanachokiongea ni siri kumbe nyuma yao kulikuwa na mtu ambaye alikuwa akinasa kila kitu kwa siri kubwa na bila wao wenyewe kujua………………………………………..

“wanafikia new Motel maeneo ya Masika. Jengo hili halina ulinzi wa kutisha sana ila kwa uchunguzi wa haraka nimepata kugundua kuwa kuna kamera mbili nje ya jengo hilo na ndani kuna kamera sita kwa ujumla. Moja unakutana nayo ukiingia tu, nyingine ipo kwenye korido ya flow hiyo ya chini kabla hata hujapanda ngazi kuelekea juu ambako ndiko kilipo chumba walichofikia wageni hao.” alitoa maelezo Suzane mara baada ya kufika ofisini kwa bosi wake. Kisha akaendelea tena. “kwa taarifa chache nilizozipata hapo chini ni kwamba wageni hao, watatumia usiku mmoja tu kuwepo hapa mjini hivyo huyo mwana mama amenisisitizia kuwa huu ndiyo muda mzuri wa kuutumia”
“hana mume?” akauliza Joesan kwa kudakia. “ooh! No, mume anae ila amesema mumewe ni mzee sana hivyo ikifika saa tano usiku atakuwa ameshalala. Ni mbovu sana wa usingizi na pia hajiwezi kwenye masuala ya kukitendea haki kitanda awapo na mkewe na mkewe bado ni msichana hivyo huduma yetu anaihitaji kwa udi na uvumba na yuko tayari kuongeza dau kama ataridhika nayo”
“namuamini sex machine huyu yuko vizuri kwani amesema atalipa kiasi gani?” alisema kisha akauliza Joesan. Suzane akasema kuwa atalipa dola laki moja na nusu na tayari ameshaingiza nusu ya malipo kwenye ile akaunti yetu”
“good”
“kikubwa tunacho takiwa kuwa makini nacho ni umakini mkubwa tena wa hali ya juu, lile ni jengo la kawaida lakini ulinzi wake ni mkubwa japo si wa kutisha kihivyo lakini hatupaswi kuudharau hata kidogo na ndiyo maana (SC) wamewapeleka pale. Mumewe pia anawivu sana ukizingatia na umri wake kupiga hatua halafu anamiliki mtoto mzuri. kukupiga risasi haoni shida” alimalizia Suzane. Joesan akamuangalia binti huyo makini na anayemkubali sana akasema. “hilo la ulinzi lisikupe presha Sex machine ni kifaa cha kazi tena ngoja nimpigie tukutane mahali ili upate kumpa hayo maelekezo kwa ufasaha zaidi, wapi unapendekeza?” akauliza. Suzane akajibu “Snake bar” akakuruza simu Joesan na kumpa maelekezo sex machine ya mahali wanapotakiwa kukutania kisha akakata simu na kuirudisha mfukoni. Wakatoka humo ofisini wakiwa wameongozana na kuelekea hadi yalipo maegesho ya magari, wakaingia kwenye gari ya mkurugenzi huyo wa (SC) na kuliondoa gari hilo taratibu. walifika Snake Bar wakaegesha gari mahali pazuri na kushuka kisha wakaelekea ndani ya baa hiyo. Walitafuta sehemu nzuri ndani ya baa hiyo wakakaa na kuagiza kinywaji wakawa wanapata taratibu huku wakisubiri. Muda si mrefu, Toyota Prado nyeusi iliegeshwa pembeni ya gari waliyokuja nayo kina Suzane, akashuka kijana safi mtanashati aliyelipuka kwa pamba safi. Juu alipiga shati la drafti la kileo chini akanyuka suruali safi ya jeans rangi nyeusi na raba kali zilizo owana na nguo ya juu. Alitoka chicha sana, aliposhuka tu kutoka ndani ya gari yake, kila mja muungwana alimtupia jicho la sifa juu yake. “mh! Kifaa hicho umekiona shost?” hawakusita kuulizana namna hiyo masister duu walipokuwa wakimtazama kijana huyo. Alifunga gari yake vizuri kwa loki na kupiga hatua za taratibu kuingia ndani ya baa elekezi. Hakupata tabu kumuona Joesan ambaye alikuwa amekaa kwenye pembe moja ya baa ile. Alifika mezani hapo na kuvuta kiti akaketi. “jamani umependeza sana kaka unazidi kuwa bomba” alisema Suzane na kumfanya Sex Machine kutabasamu na kujibu sifa hizo. Kiukweli Chriss alikuwa akimkosha sana Suzane, kila anapo muona moyo wake unakitu unasema japo alishindwa kuking’amua kitu hicho lakini ni wazi kwamba alivutiwa sana na kijana huyo. wakachapa soga za hapa na pale hatimaye wakaingia kwenye sababu iliyowafanya kufika mahali hapo. Kijana akapewa somo na kila mbinu aliyopaswa kuitumia ili kuweza kufanikisha kazi hiyo. “ukumbuke kuwa hilo ni jaribio lako la kwanza natumai utafanya kwa weledi wa hali ya juu mno” aliongea Joesan. Chriss akawahakikishia kuwa atafanya kwa uwezo wake wote na hata waangusha kwa kazi hiyo. Joesan akafurahi na kumuahidi kuwa endapo atafanikisha kumridhisha huyo mteja wao basi atampa kitita cha shilingi laki tano za kitanzania. “kila kazi iliyopo mbele yangu tegemeeni ushindi sijaumbiwa kushindwa hata kwa bahati mbaya” akajitapa kijana huyo na kizidi kuwafurahisha watu wale. zilifuata hadithi za kawaida za hapa na pale hatimaye Sex machine akaomba ruhusa ya kutaka kuondoka kwa kuwaambia anahitaji kujiandaa mapema kwa kazi iliyopo mbele yake. Wakamrusu kijana huyo, akatoka humo ndani akisindikizwa na macho ya Suzane huku nafsi ya mwana dada huyo ikiwa imejaa wivu na matamanio makubwa. Aliona ni jinsi gani mwanamke mwenzie anavyokwenda kufaidi, akiufikiria mzigo mpya wa kijana huyo ambao umeongezwa urefu kidogo ni wazi alitamani angelikuwa ni yeye ndiye anayekwenda kufanyiwa huo mchezo. “anawavutia wengi sana huyu kijana asipokuwa makini atakuwa anagonganisha magari kila siku” alisema Joesan lakini kauli yake hiyo haikuchangiwa wala kujibiwa chochote, mtu aliyekuwa akiongea nae mahali hapo alikuwa maili nyingi sana kihisia. Hakuwa hapo kimawazo kabisa hadi pale Joesan alipomgusa begani ndipo akashtuka na kujikuta akikumbwa na soni. “i’m sory boss, nadhani tunaweza kuondoka sasa.” akasema Suzane akiwa anajikanyaga kanyaga mahali hapo. “bila shaka Chriss anakuchanganya sana?”
“mmmh! Hapana boss si…sio …hivyo” Joesan akacheka sana hadi Suzane akashangaa kumuona mtu huyo anacheka namna hiyo. “ulisha nogewa na asali Suzane sasa naona dalili zote za kutaka kuchonga mzinga, au natania?” alizungumza bwana huyo mara baada ya kukoma kucheka kisha akaacha swali mwishoni. Suzane alibaki kimya bila kujibu swali hilo, hakujua alijibu vipi swali hilo. Joesan akamuinamia binti huyo na kumwambia akiwa amebadilika sura, hakuwa yule aliyekuwa anacheka muda mfupi uliopita. “yule yupo hapa maalumu kwa ajili ya kazi tu na si kumuingiza moyoni mwako kama mpenzi najua kuna kitu moyoni mwako Suzane, najua. Mimi ni mtu mzima naelewa. Hivi unajua nimevuka masika ngapi hadi kufikia umri huu,” akaweka koma na kutulia ili kutaka yale maneno yapate kuingia vizuri kichwani mwa dada huyo kisha akafungua kinywa chake tena na kuendelea. “ni nyingi nimezipita hivyo nawajuwa ninyi watoto wa kike mioyo yenu ni myepesi sana kupenda na hali hiyo ambayo mnayo, mnajikuta manaharibu kazi kabisa.” baada ya maneno hayo Suzane akageuza macho yake kumtazama boss wake. Kuhusu kuwa anampenda Chriss, hili hata halifichiki hata kidogo lakini neno la kusema kuwa anaweza hata kuharibu kazi, hili lilimfanya amuangalie Joesan kwa macho mawili na kusikiliza amri itakayotolewa na bwana huyo. “cha kukusaidia Suzane” akatulia Joesan na kupiga tarumbeta ya chupa ya safari baridii, alipoishusha mezani, akaendelea. “Chriss awe ni kiumbe wa kumaliza haja zako tu na si kumkaribia kila wakati kama mpenzi. na uchunge sana. Namaanisha uwe makini. Jina la yule kijana kwa sasa ni Sex Machine, mashaka yangu ni pale mtakapokuwa kwenye burudani yenu ya kuiburudisha miili yenu, unaweza ukamuita kwa jina la Chriss. Kumbuka yule ni kiumbe ambaye anauwezo mkubwa sana wa kunasa na kuhifadhi alicho kinasa na kukifanyia kazi kwa haraka sana. Tusije tukajiharibia wenyewe.” alipomaliza kusema hivyo, Suzane alishusha pumzi ndefu sana kisha akasema kwa sentensi fupi. “ondoa shaka boss”
“ok, sawa tunaweza kurudi ofisini sasa” akamaliza Joesan. Suzane alikuwa wa kwanza kunyanyuka na kutoka. Joesan alimuangalia kisha akatabasamu “wanawake wanashida sana” ndivyo alivyo waza na kulizidisha tabasamu lake usoni halafu akanyanyuka naye pia.

Moyo wa Sex Machine ulijawa hofu sana aliwaza mengi kwa wakati mmoja, hiyo ilikuwa ni kazi yake ya kwanza hivyo alikuwa akifikiria ni vipi ataifanya vizuri bila ya kukosea. Japo alikuwa yupo kwa ajili ya kazi hiyo na alitengenezwa hivyo. ubinadamu alionao ndiwo uliomfanya apatwe na hofu hiyo. Siku yote hiyo aliimaliza kwenye kompyuta yake akifanya hili na lile na kuboresha hiki na kile hadi ulipofika usiku, alikuwa hajafanya kitu kingine zaidi ya kuwa karibu na kompyuta. Alikumbuka kwa siku hiyo hakufanya mazoezi ya kuuweka mwili wake sawa na asingependa siku ipite hivyo. Alizima kompyuta ile mpakato na kuvaa nguo za kufanyia mazoezi akaingia mzigoni. Alikuja kuacha kufanya mazoezi hayo baada ya lisaa moja ndipo akaelekea bafuni kujiweka sawa. Aliandaa chakula kama kawaida yake akala na kumaliza akajiweka tayari chumbani hapo huku akiipitia ramani ya Hoteli hiyo ambayo ndiyo alitakiwa kufanya kazi usiku huo. Japo walimwambia kuwa watamuelekeza tu lakini walimpa kijikarasi cha angalau mwanga wa jinsi ya kuingia kwenye hoteli hiyo. Mida ya saa 22:30. Usiku. Simu yake iliita na alipoangalia mpigaji alikuwa ni Suzane, akapokea na kuiweka sikioni. “ndiyo,” akasema. “unatakiwa kutoka kuanzia sasa Sex Machine, utakwenda bila kutumia usafiri wako. Utajua wewe ni njia gani utatumia, sisi huku tutakuwa tukikupa maelekezo kulingana na muda tuliokubaliana na mteja wetu” alisema Suzane na muda huohuo Sex machine alitoka akiwa amevaa suti nyeusi mkononi akiwa na brifcase. Aliifunga nyumba yake vizuri na kuita bodaboda, akapanda. “masika” akamwambia dereva huyo wa bodaboda. Dakika kumi zilitosha kumfikisha Masika, alilipa ujira kwa dereva na kupiga hatua haraka haraka kuielekea Hoteli hiyo. Alikuwa katiaka muonekano wa kijana mwenye pesa sana na ukimtazama kwa macho ya kawaida lazima uamini kuwa ni msafiri aliyechelewa jambo fulani kwa jinsi ambavyo alikuwa akichapuka. “habari yako dada?” alisalimia kijana huyo mara baada ya kuingia ndani ya jingo hilo lenye mvuto wa aina yake. dada wa mapokezi aliyepewa salamu hiyo akajibu kwa bashasha na kuchanua tabasamu ikiwa ni mbinu ya kumkarimu mteja. “naweza kupata huduma?” aliuliza tena Sex machine huku akiitupia macho saa yake ambayo ilimwambia muda umekwenda kidogo kwani zilisalia dakika kumi tu kufika saa tano kamili za usiku. “ndiyo karibu sana” alijibu dada huyo wa mapokezi. akafanya itifaki zinazostahiki, akachagua chumba namba 35. Hiki ndiyo chumba ambacho kilikuwa mkabala na chumba cha mtu aliyekuwa anakwenda kumpa huduma. Alikabidhiwa funguo ya chumba alicho chagua na kuelekezwa mahali kilipo. Akapanda juu huku akizitupia macho kamera ambazo kwa muda huo hazikuwa na madhara kwake. Hadi alipofika kwenye chumba husika, akakifungua na kuzama ndani. Alipofika ndani humo kitu cha kwanza kilikuwa ni kuitoa kompyuta yake kwenye ile brifcase na kuiweka kitandani. akaanza kazi ya kucheza nayo ili kuhakikisha anazisimamisha kamera hizo za humo ndani kwa muda wa sekunde kumi na tano anapoingia ndani ya chumba cha mteja na sekunde kumi na tano nyingine ni baada ya dakika 45 anapotoka kwenye chumba cha mteja na kuingia chumbani kwake. Akiwa bado anaendelea na kazi ya kucheza na kamera hizo, ……………..

simu yake ikamtekenya mfukoni kutokana na kuweka vibration. Akaipokea huku mkono mmoja ukiwa unafanya kazi. “unatakiwa kuhesabu sekunde sasa hivi, zimesalia sekunde sitini pekee Sex machine” Sauti ya Suzane ikamuelekeza. “nimekupata mamii” akajibu sex machine na kuigandisha simu hapohapo begani akiendelea kucharaza kompyuta yake ilhali simu hiyo ikiwa tayari imekwisha katika. “ahaa, kumbe walitumia kamtego kadogo sana hawa washenzi maana walishaanza kunichanganya tayari” alisema moyoni Sex machine huku kwa muda huo ikiwa zimesalia sekunde tano tu. Alivua suti na kuitupa pembeni akavaa nguo ya kulalia kisha akaruhusu kompyuta yake ifanye kazi kwa kubonyeza Inter. akatoka mule ndani na kuangalia usalama kwenye korido ile iliyotenganisha vyumba vyao. Akaelekea kwenye mlango husika na kutekenya kitasa, mlango ulikuwa wazi kabisa kisha akaitazama kamera iliyopo juu ya dari sebuleni hapo, akatabasamu kwani alijua fika hakuna kitu inarekod kwa majira hayo. Ajitoma ndani taratibu huku nyuma kamera zikaanza kufanya kazi kama ada. Alimkuta mwana mama wa makamo kitogo hakuwa mtu mzima, pembeni ya kitanda kulikuwa na mzee aliyekuwa ametopea kwenye kina cha usingizi. Mzee huyo alikuwa akikoroma si kawaida, tumbo kubwa likiwa juu mithili ya mama mjamzito leba anayesubiri msaada wa daktari. Mwana mama huyo alipomuona tu kijana huyo, alitoka kitandani akiwa mtupu kabisa ni wazi alikuwa akimsubiri kijana huyo kwa hamu kubwa. Sex machine alimpokea na kumkalisha juu ya kochi moja lililopo ndani humo. Akaanza kumpa vitu vya awali ambavyo vilianza kumpagawisha mama huyo. Ukizingatia kijana huyo hiyo ilikuwa ni kama jaribio kwake, alitumia ujuzi wake wa kila rangi na kumfanya mama huyo kuaza kupiga kelele za raha. Sex machine akawa na kazi ya kumzuia asifanye hivyo kwani mumewe anaweza kuamka halafu ikawa shida mahali hapo. “sijawahi kupata huduma nzuri ya mapenzi, mwili wangu una hitaji kubwa sana ya huduma hiyo naomba usinikawize” alikuwa akinong’oneza namna hiyo mama huyo huku akijisevia mwenyewe mzigo huo ambao ulikuwa hewani kwa kazi. Mama huyo akaanza kuonesha maujuzi yake ya kizungu, Sex machine alikuwa ni kama kapagawa kwa jinsi ambavyo alikuwa kafumba macho, ni kwa mara ya kwanza anafaidi mautamu ya mzungu. Mwana mama huyo alikuwa akifurahi sana inaonekana mchezo huo alikuwa haupati kwa wakati au kama alikuwa akiupata kwa wakati, basi alikuwa hafikishwi panapostahili. Sex machine alikuwa akiunguruma tu kwa jinsi mwana mama huyo wa kizungu alivyokuwa mtamu na anavyojua kutumia mwili wake mnene. “oooh, hii kitu ni amazing sana” alinong’ona kijana huyo na kumbadilisha mzungu huyo mikao, hapo ndipo alipomuonesha kuwa yeye ni mashine ya ngono maana alipewa shughuli tete hadi akawa anaongea lugha isiyoeleweka sijui ndiyo ya asili yao huko ulaya au ndiyo mang’amng’am ya raha. Sex machine alipoona anataka kufika mwisho akaongeza speed, mama huyo akajikuta anaruka mifereji miwili kwa wakati mmoja na kubaki hoi, sheria ya kazi yake ikamwambia hapo alipo hatakiwi kumaliza haja zake ndani. Akachomoka na kumuogesha mama huyo kwa matone mazito ya mtindi. Mama wa watu akawa anatabasamu tu kwa furaha ya aina yake. Sex machine hakusubiri asante kwani alivyoitupia macho saa yake ikamwambia kuwa ametumia dakika 45 na tayari kompyuta yake ilishaamza kazi ya kuzisimamisha kamera akatoka haraka sana lakini kwa kutumia mtindo ule ule kama alivyo kuja hadi ndani ya chumba chake. Alipofika alioga na kujitupa kitandani akijipongeza kwa kuweza kuikamilisha kazi yake bila purukushani. Alikuwa akitabasamu muda wote hadi pale usingizi ulipokuja na kusafiri naye kwenye mji wa ndoto.

Siku iliyofuata pita nipite zilikuwa nyingi sana, huyu anapita huku, yule anapita vile. Alimradi kila mja muungwana na pilika zake za kila siku katika kuifanya mikono iende kinywani. Asubuhi hiyo kigiza kikiwa kina aga na kuupisha mwanga, Sex machine naye alikuwa ndiyo anatoka chumbani kwake ndani ya jingo ambalo alilitumia maalumu kwa jaribio lake la kwanza kama alivyoambiwa. Suti safi ikiwa mwilini mwake huku brifcase mkononi, hatua za taratibu mithili ya mtu anayeliogopa vumbi la mji huo. Alitembea kwa madaha kama Mbuni mbugani hadi zilipo tax, akasimama upande wa pili wa barabara akiwa na lengo la kuchukua usafiri arejee zake nyumbani lakina ghafla simu yake ikamuita na kuamua kuipokea bila kuangalia mpigaji. “njoo ofisini” ilimwambia sauti hiyo ya kike. “asubuhi hii?” akauliza. “ndiyo na usichelewe tafadhali” ikakazia sauti hiyo, akajibu poa na kuirudisha simu mfukoni ikiwa tayari imekatwa. Hakuona haja ya kuchukua usafiri tena maana hapo alipo na ilipo kampuni yao ni kama hatua kumi na kadhaa hivi za mtu mzima. Akahesabu hatua taratibu hadi anafika. Aliingia moja kwa moja ndani na kuelekea ofisini kwa mtu aliyempigia simu, akamkuta boss wake Joesan, Suzane, Merina pamoja na daktari wakiwa wamekaa kimya wakimsubiri yeye. Walipomuona tu, shangwe likaibuka huku baadhi yao wakimkumbatia kabisa. “hongera sana Sex machine kwa kazi nzuri, kuanzia jana saa sita usiku tumekuwa watu wa kupokea pongezi zako kutoka kwa mteja wetu na ameahidi akirudi nchini kwake atakuhitaji tena kwa dau kubwa zaidi” aliongea Suzane huku akimuangalia kijana huyo kwa furaha. Chriss alishtuka yaani shangwe zote zile, ni kwasababu tu ya kutaka kumpongeza? kilikuwa ni kitu kipya kingine kilichomuacha hoi. Hakujua kuwa kufanikiwa kwake ni mwanzo mzuri wa kuuingizia kampuni mamilioni ya shilingi. “pesa niliyo kuahidi tayari inachekea kwenye mifuko yako ya benki” alisema Joesan akiwa ni amebubujikwa na tabasamu la furaha usoni mwake. Walipiga stori wakacheka, tayari Chriss alikuwa ni mwanafamilia mwenzao japo walikuwa wakimtumia kwa manufaa yao pasipo yeye mwenyewe kujijua. Waliendelea na maongezi yao hadi pale Joesan alipoagiza kuwa kwa muda huo ni wasaa wa kila mmoja kuelekea kwenye majukumu yake na akamuagiza Merina akamuoneshe Sex machine, ofisi atakayokuwa anafanyia kazi. Merina akafanya hivyo, alimchukua kijana huyo na kumuongoza hadi mahali husika. Akamkabizi ofisi hiyo ambayo ilikuwa na kila kitu kinachotakikana kuwapo katika ofisi ya kileo. Merina akamwambia kijana huyo kuwa hapo ndipo atakapokuwa anapatikana kila awapo Tanzania na yupo huru kuitumia wakati wowote na muda wowote anapohitaji kuitumia “oo! Ni nzuri sana kwakweli nimeipenda sana, asate dada” alisema Chriss na kukaa kwenye kiti chake cha ofisi hiyo aliyokabidhiwa punde na kuzunguuka kama tufe. “imekupendeza sana ofisi hii kama mkurugenzi wa kampuni hii kwa jinsi ilivyo kukaa” alisema Merina huku akizunguuka mule ndani ya ile ofisi na kumfanya kijana huyo ayakague makalio yake kwa chati. ” ni mrembo sana huyu binti” aliwaza Chriss kisha akasema. “acha kunipaka mafuta kwa mgongo wa chupa Merina, mimi najiona kama sistahili kukalia kiti hiki halafu wewe unanifunga kamba bwana”
kweli vile kaka sikutanii, kama huamini nikufotoe picha moja hapo uone” alisema Merina huku akitoa simu yake ya kisasa kabisa na kutaka kumpiga picha Sex machine. “no, no,no Merina usifanye hivyo tafadhali” alimzuia. “nini sasa jamani mbona unanizuia sasa, au hupendi kupigwa picha na mimi SM” alisema Merina huku akiishusha simu yake ambayo alikuwa tayari ilikuwa usawa mzuri wa kuweza kupiga picha hiyo. “kiukweli nashindwa kukaa mbali kabisa na kijana huyu japo jana alinikomesha lakini dokta Emmy ameniambia kuwa ni kiherehere changu tu ila ni kijana ninayempenda sana lazima nilale nae tena kwa mara nyingine na mimi anipe raha kama ambazo ametoa kwa mzungu” aliwaza Merina akiwa ameing’ata lipsi yake ya juu akiwa anamuangalia Sex machine. “basi naomba tupige selfii moja au pia hutaki?” aliuliza Merina akiwa tayari amejivuta kwenye kiti na kutaka kumshika, sauti za viatu vya mchuchumio ikasikika. Merina akarudi kwenye nafasi aliyopo awali na kujizugisha kwa mambo mengine. “vipi umeipenda ofisi yako Sex machine?” lilikuwa ni swali kutoka kwa mtu aliyeingia ndani humo. “yaa, nimeipenda ni nzuri sana najiona mimi tu kila upande” alijibu hivyo Chirss na kusababisha vicheko vikali kutoka kwa mabinti hao. “unafikiri utani Suzane, akaweka koma na kutulia kidogo. Suzane akadiha kidogo hali iliyompelekea kuendelea. ” sikudanganyi, hapa mfalme ni mimi, wa korea wote wamesingiziwa. Najiona kama Mswati vile.”
“sawa bwana” akasema hivyo Suzane na kumgeukia Merina na kuomba apishwe, Merina hakuleta pingamizi. Suzy akayarudisha macho yake kwa kijana huyo mwenye mvuto wa pekee na kuongea kile kilichomleta mahali hapo. “kazi inaanza rasmi sasa, kesho unasafiri kwenda nchini Uingereza. Hapo ndipo utakapoanza kulitumia lile vazi lako la kazi” akameza mate lakini akisikiliza pia kijana huyo atasemaje. Alipoona kimya akaendelea “kuna mtoto wa tajiri mmoja mkubwa sana hapo London, anaishi na mama yake tu ila ulinzi aliouweka mama huyo kwa binti yake huyo ni mkubwa kupindukia. Na ramani nzima ya jengo hilo ni hii hapa” alisimama hapo Suzane na kuifungua ramani hiyo kwenye karatasi fulani ndogo mh, akaguna Chriss baada ya kuiona ramani hiyo jinsi ilivyo. “vipi?” akauliza Suzane lakini jibu hakulipata kwa haraka kama alivyotegemea, jibu likaja baada ya kama dakika moja kupita na si jibu pia badala yake lilikuwa swali. “umesema anayemiliki jingo hili ni mwanamke?”
“ndiyo, mama huyo haamini wanaume maisha yake yote kwani hata jinsi ya kumpata mtoto huyo, amenunua mbegu maabara na kupandikiza. Inasemekana hakuwahi kulala na mwanaume tangu utoto wake”
“hana walinzi sasa?” akawahisha swali Chriss. “walinzi anao ila walinzi wake wote ni wanawake hata wa getini ni wanawake pia na wako vizuri katika kila nyanja” alipofika hapo Suzane, Sex machine alichoka alijikuta anaiacha meza aliyokuwa kaiinamia akiiyangalia ile ramani, na kuigamia kitini akiwa hoi. “naingiaje sasa?” akajiuliza mwenyewe huku akiwa anamuangalia Suzane machoni kanakwamba anasubira jibu. Akajikuana kidevu chake kilikuwa bado hakijaingiza ndevu hata moja haikujulikana kuwa bado ni mtoto haja balehe ama ni ukoo wake tu ulizikataa ndevu. Swali lile alilo jiuliza, akaona akikaa nalo ni sawa na kipofu asiyejua njia halafu kagoma kuomba msaada kwa wenye macho. “mbinu zipo nyingi tu na kazi hiyo unayo wewe mwenyewe Sex machine. ukumbuke tu, binti huyo hajawahi kuingiliwa hata kwa sekunde moja hivyo ni bikra kabisa”, alivyosikia kuwa ni bikira, akashtuka. Si kama alishtuka eti, kwasababu mtoto ni bikira kwahiyo kwake ni zali, laa hasha! Alizijua shida za mabikira zilivyo. Itakuwaje? likawa swali jingine tata kichwani mwake. Na atatumia muda gani. Akiwa anaendelea kujiuliza, Suzy akasema. ” kila baada ya mwaka mmoja kuna ibada maalumu inafanyika, ibada hiyo ni kwaajili ya kujiombea yeye na binti yake, ili azidi kudumu na amuzi lake hilo la kutokuishi na mwanaume lakini awe na uwezo wa kupata mtoto akimhitaji na si kwa ……………………

kuingiliwa bali kwa kupandikiza mbegu ambazo anathubutu kuzinunua kwa mabilioni ya pesa. Maisha hayo kwake yamekuwa ni kama imani na anaamini kweli. Wanakuja wanawake wa kila aina wakiwemo watawa kwa ajili ya kutekeleza ibada hiyo. Siku hii wewe utakuwa miongoni mwao. Ibada hiyo itafanyika tarehe 6 october ambayo ni kesho kutwa.” aliweka tuo hapo na kumuangalia kijana huyo kama amemuelewa sawa sawa. Sex machine akatikisa kichwa kukubali na hiyo ilimaanisha kuwa ameelewa vizuri. Suzane akazidi kutoa maelekezo “tunaingiza pesa nyingi sana kwa kazi hii Sex machine, ni zaidi ya dolla milioni mbili…….!”
“what?” akang’aka Sex machine. “ndiyo, huyo binti amesema amekuwa akiteseka kwa kipindi kirefu sana, amekuwa ni mtu wa kuangalia picha za ngono tu na kujipa maumivu. Walishakwenda magigolo wengi ikiwa ni katika mbinu zake za kutaka kufanya nao mapezi, alishaagiza gigolo kutoka Tanzani miaka kadhaa nyuma lakini Gigolo huyo alifeli na kukoswakoswa kuwawa. Anasema wameishia kuuwawa vifo vya kikatili sana na yeye kushindwa kutimiza azma yake. anasema amepita kwenye mtandao wetu na kuona sifa zako ni tofauti na magigolo wote aliowahi kuwasikia na akaadhimia kufanya chochote ili tu afanye mapenzi kwa mara ya kwanza”
“anaumri gani?” hatimaye akauliza swali Chriss baada ya kuwa msikilizaji kwa muda kidogo. Suzane akajibu kuwa binti huyo ana umri wa miaka ishiri na sita kisha akaendelea kumpa maelezo. “utaingia kama mualikwa nadhani umenielewa nikisema mualikwa” Chriss akatikisa kichwa kuafiki. “utaandaliwa kila kitu kwa ajili ya safari hiyo hapo kesho nikutakie maandalizi mema ya safari” alimaliza Suzy kisha hakutaka kuendelea kuwepo tena mahali hapo. Chriss akabaki ametulia kimya akitafakari. Kichwa kilikuwa kikimgonga si kidogo kila alivyoitathmini kazi hiyo na ugumu wake, ni wazi alichoka. “mh! Kazi inaanza kuwa ngumu sasa, mtu anaulinzi wote huo halafu naambiwa niende na mmeshaambiwa kuwa kuna magigolo wamekufa” aliwaza Chriss. “mimi ni Sex machine ni tofauti sana na hao wanaojiita magigolo” aliwaza tena akazunguuka kitini pale na kuitupia macho saa yake ya ukutani, ilikuwa ni saa tano za asubuhi tayari. Akanyanyuka na kutoka ofisini mule na kwenda kutafuta mgahawa.

NIZYNIY NOVGOROD. URUSI.

Ndani ya jumba moja la thamani ya juu, bwana mmoja mrefu mwenye mwili mkubwa alikuwa juu ghorofani akiishangaa mandhari safi ya jiji hilo tulivu. Simu yake ya mkononi ikaunguruma, akatazama mpigaji na kuiweka sikioni. “sema mr. Black?” alianza maongezi mtu huyo. “mambo mazuri, tayari mzigo uko oda na kesho unakamilika nafikiri tunaanza Brazil a…….!” alisema mtu wa upande wa pili ambaye alifahamika kwa jina la Black lakini akakatishwa na bwana huyo. “huyo si mgeni kweye biashara na anatokea Africa, tusije tukacheza dili za bahati nasibu Black safari hii sitawaelewa napoteza gharama nyin……!”
Chalcovich!!! Wewe ndiyo unamjua leo J. Tumefanya nae biashara kwa muda mrefu sana na ni mtu makini, hawezi kutuletea mtu mjinga na unanijua vizuri, akija hapa ni lazima nimjaribu kwa makomando wangu akiwa mzembe namuulia mbali na tunaacha kabisa biashara hii, Kesho atakuwa Uingereza. Hizo ni taarifa za awali tu.” alisema Black Clocodile kwa tambo kubwa simuni. “umeshawasiliana na jamaa tayari?” akauliza swali Chalco. “ndiyo na kesho ndiyo anawasilisha”
“ok” akajibu Chalco na simu ikakatwa. Bwana huyo mrusi mwenye utajiri wa kutupwa aliendelea kuzunguuka kule juu hadi alipotosheka, akaelekea mahali na kukaa, akatulia hapo akizisoma nyakati.

Saa kumi na mbili jioni tayari Chrss/Sex machine, alikuwa ameshapanga kila kitu kwa ajili ya safari. Alishapangilia kila kitu hadi mbinu ambazo atatumia kuingilia ndani ya jingo hilo husika. Alipasha mwili kama kawaida na kufanya kila kinachostahiki kwa wakati huo. Alipo maliza alifungua brifcase yake na kucheki hati zote za kusafiria kama ziko sawa kisha akaelekea sebuleni na kupoteza muda kwa kuangalia filamu kali ya kipelelezi inayokwenda kwa jina la IRIS kutoka kwenye vichwa vya wakorea.
Saa 06:26 Asubuhi. Chriss alikuwa amesha jiandaa tayari na muda huo alikuwa akimsubiri Suzane kwa ajili ya kumsindikiza uwanja mdogo wa Morogoro. Haukupita muda mrefu sana gari ikaingia, Chriss akazama ndani na gari ikaondoka. Saa mbili kamili Sex machine anaiacha ardhi ya morogoro kuelekea Nairobi ambako angebadilisha ngege. Hadi inafika saa nane, Sex machine alikuwa ameshawasili siku nyingi jijini Nairobi na tayari alikuwa kwenye uwanja wa kenyata. punde akawa angani akiyakata mawingu kuitafuta London Uingereza. “inabidi kumfuatilia sana maana ni kama mgeni kabisa pale alipo” alizungumza Joesan akiwa kwenye kiti chake amekaa ofini kwake. “lakini Chriss ni mtu wa ajabu sana na vitu vyake anavipeleka kisomi zaidi” alimtoa wasiwasi bosi wake Suzane. Kila mmoja akarudi nafasi yake ya kazi kusikilizia mawasiliano na Sex machine. “habari za jioni?” alisalimia kwa kiingereza safi Chriss mara tu alipofika kwenye maegesho ya tax. “nzuri karibu?” alijibu kijana mmoja mtu mweusi na kumkaribisha kijana huyo. “nipeleke Loevender Hotel” alisema Chriss akiwa tayari yupo ndani ya tax hiyo. Safari ikaanza taratibu, ilikuwa safari ndefu kidogo. Chriss akawa anatazama nje tu kila alipokuwa akiona kitu tofauti. Alipenda kuwa mchunguzi wa kila jambo. “tumefika kaka” alisema dereva wa gari hiyo mara baada ya kusimama mbele ya jingo hilo la hoteli. Chriss alishuka na kulipa nauli kisha akaelekea ndani ya hoteli hiyo. Alikaribishwa vizuri na dada wa mapokezi, akalipa kila alichotakiwa kulipa akakabidhiwa kadi maalumu kwenda kuoneshwa chumba. Kilikuwa ni Chumba namba 56. Alikikagua chumba hicho nje ndani na kuitupia brifcase yake kitandani kisha akavua nguo na kuelekea bafuni. alijimwagia maji kwa muda mfupi na kuanza mikakati ya kazi yake. Alipoangalia saa yake ya mkononi tayari ilikuwa ni saa tatu usiku. akanyuka suti yake safi nyeusi na kutoka nje ya hoteli hiyo. Akachukua usafiri na kuelekea katikati ya mji. Alitembea taratibu ndani ya jiji hilo lenye sifa ya kuwa na watu wengi, pita nipite ya watu ilikuwa kubwa sana, kituo chake cha kwanza ilikuwa ni kwenye Sper market kubwa mjini hapo. akazunguuka ndani ya duka lile akiwa ni mtu anayetafuta kitu fullani. Alizunguka hivyo kwa muda hadi pale alipofika mahali ambapo ndipo kwenye kitu alichokuwa akikihitaji. Akagusa gusa halafu akapotezea. Akafikiri kwa muda nini afanye, jibu hakupata. Akaona akiganda hapo muda mrefu anaweza kushtukiwa hivyo akazidi kwenda hapa na pale huku ubongo wake ukifikiri cha kufanya. Akachukua ua fulani na kutembea nalo huku akilitazama kwa mtazamo wa kipekee kabisa mithili ya mtu anayestaajabu kuona kitu cha namna hiyo, alifanya hivyo huku macho yake makini yakiwa kwenye kamera za usalama za humo ndani hadi akajikuta amejigonga mahali lakini palikuwa ni pale alipokuwa amesimama mwanzo. “ooosh!!” alisema huku akijisugua mahali alipojigota kwenye paji lake la uso. “hey, are you ok?” mwana mama mmoja alimuuliza alipokuwa anajisugua namna hiyo. “yea, yea, i’m ok!” alijibu Chriss huku akilichukua ua lake mahali lilipokuwa limeangukia ambapo ni pale palipokuwa na vile vitu alivyokuwa akivishikashika hapo mwanzo. Hakunyanyuka na ua pekee. Alatoka humo ndani akiwa amelipia ua tu huku kile kingine alichokificha ndani ya vazi lake akiwa haja kilipia. Hakutaka kupoteza muda tena alicho kifanya ni kurudi kwenye hoteli aliyofikia “oou god” alisema Chriss alipokuwa chumbani kwake huku juu ya meza kukiwa na kadi moja ya pekee sana. Ndiyo, hicho ndicho kilichokuwa kimempeleka ndani ya Super Market ile. Hiyo ilikuwa ni baada ya kujua ni kitu gani kinachoruhusu watu kuingia ndani ya jumba la mama mwenye masharti magumu. Na alikuwa na maelezo kamili juu ya kadi zinazotumika japo aliambiwa kuwa kadi hizo zimechongeshwa maalumu tu kwa kazi hiyo na zipo kwa idadi maalumu, ila alitakiwa kuwa na mfano wa kadi hiyo ambayo atakwenda kuitumia mahali. Akishapewa kila kitu kutoka kwa mabosi zake hivyo ilikuwa ni kugushi kadi hiyo ili iendane na kadi husika ya kuhudhuria kwenye ibada hiyo maalumu. Haikuwa kazi ngumu kwake ni tendo lililochukua nusu saa tu hadi kukamilika kwake. Baada ya kuridhika na kile alichokifanya, alijitupa kitandani na kutafakari mustakabali mzima wa kuhitimika kwa kazi hiyo ngumu na ya aina yake. Alikuja kuchukuliwa na usingizi bila kujijua na kuja kushtuka saa saba usiku, akaamua kujiweka sawa kitandani na kulala kabisa. Asbuhi mida ya saa nne asubuhi za London, aliamua kulitembea jiji hilo ili aweze kulifahamu vizuri. Aliamua kuchukua gari ya kukodisha ili aweze kuwa na muda mzuri wa kufanya mambo yake ya siri akiwa peke yake. Alitembea hadi lilipo jumba hilo kubwa lenye ulinzi wa kutisha. Ukiachilia mbali ukuta mrefu wa jumba hilo pia kulikuwa na nyaya maalumu zilizokuwa zikipitisha umeme mkali kila baada ya sekunde moja. Kamera zilikuwa kila upande wa jumba hilo. Chriss alivuta hewa ndani na kuitoa kwa fujo kasha akawasha gari na kutitia zake. “kama nitafanikiwa kuingia ndani ya nyumba hii, basi hakuna nyumba nyingine yoyote ambayo itanishinda” aliwaza Chriss akiwa kwenye mitaa kadhaa ya jiji hilo. Hadi inafika mida ya saa nane za mchana, alikuwa hajapata kutia chochote kitu ndani ya tumbo lake na wala hakuwa akihisi njaa. Akili na mawazo yake yalikuwa ni kwenye jumba lile. “muda umekwenda sana limebaki lisaa moja tu kuelekea ibadani.” alisema Chrss moyoni na kuwasha gari na kuondoka kwa kasi sana kutoka eneo hilo alilokuwepo. Nusu saa baadae alikuwa tayari amekwisha jiandaa kabisa. “sina hakika kama huyu atafanikiwa, nitafurahi sana endapo na mimi nitafanya mapenzi” aliwaza binti huyo mdogo mwenye umbo zuri la kuvutia mtoto ambaye aliwekewa ulinzi mkali na mzazi wake ili tu asiweze kujihusisha na masuala ya mapenzi. “kama huyu hatafanikiwa kuingia humu basi sina budi kufa tu maana siioni thamani yangu kama mwanamke” alizidi kuwaza binti huyo na kila wakati alikuwa akitazama majira. Aliona kama muda hauendi kwa speed ile iliyozoeleka.
Wamawake walianza kuingia mmoj baada ya mwingine ndani ya mjengo huo ambao kama utaleta zengwe lolote ukiwa ndani basi adhabu yake ni kifo. lilikuwa ni jengo linalo milikiwa na mwanamke katili asiyependa kitu kinachoitwa mzaha hata kidogo. Wakati wanawake hao wa lika mbalimbali wakiwa wanaingia, mmiliki wa jingo hilo alikuwa juu ya flow ya pili akifuatilia kila kitu. “funga geti idadi iliyokusudiwa imeshaingia yote” alisema huyo mama na walinzi wa getini kupitia kipeleka sauti alichokuwa amekibana kitaalamu sana kwenye vazi lake ghali. Nq hiyo ni baada ya kupata idadi hiyo kwa kuhesabu mwenyewe pale juu alipokuwa amekaa. Swali la kujiuliza, kama watu wameingia kwa idadi ……………………….

tambulishi, Sex machine ameingiaje kama kweli ameingia na kama hajaingia, ataingia kwa njia gani tena. Walipofika ndani walizunguuka mahali fulani ambako palikuwa na mzunguuko maalumu ulio kuwa umetengenezwa kwa ajili ya ibada hiyo. Wakati hayo yote yanafanyika kuna mwanamke mmoja alikuwa akimkazia macho mwanamke wa kiafrika. Japo yeye pia alikuwa ni mwafrika lakini jicho lake halikukoma kumtazama msichana huyo ambaye alikuwa na sura nzuri ya kuvutia na mwenye umbo lililokuwa na sifa zote za kibantu na msichana huyo aliyekuwa akitazamwa muda wote akikuwa akiitazama saa yake kwa kificho sana. Yule dada aliyekuwa akimtazama mwenzake, mara kwa mara alionekana akitabasamu. “asanteni kwa kufika hapa kwangu siku ya leo kwa ajili ya kutekeleza ibada hii maalum ya kumuomba Mungu wangu azidi kumungoza binti yangu na mambo yasiyofaa. Ni miaka ishirini na sita sasa hajaguswa na uchafu wa aina yoyote ile.” alikuwa ni mama wa makamo wa kizungu ambaye alikuwa amejifunika mwili mzima isipokuwa jicho moja tu la kushoto ndilo lililokuwa wazi lakini pia lilikuwa limezuiwa kwa lenzi fulani hivi ambayo haikujulikana ameifunga hapo jichoni kwa kazi gani. “sasa” akaendelea mama huyo. “ni muda wa kuingia chumba cha giza kwa ajili ya kukamilisha ibada hii ili mungu wa binti yangu aweze kuipokea” alipofika hapa mama huyo, yule binti ambaye alikuwa akimtazama mwenzake kila wakati alitabasamu zaidi baada ya kumuona mwenzake akiwa anatazama saa tena. “kuna muda huwa wanaingia chumba cha giza kama ambavyo binti huyo alitupa maelekezo, sasa muda huu wewe ndiyo utautumia kwenda chunbani kwa huyo binti.” aliwaza mwanamke yule aliyekuwa anatazama saa yake ya mkononi kwa kificho. “kumbuka kuwa ibadada hiyo ya huko kwenye chumba cha giza inatumia muda wa nusu saa pekee. na mwanamke huyo huwa anatangulia yeye mbele na huko ndiko kwenye njia ya kuingia chumbani kwa binti huyo. ni kabla hujaingia kwenye mlango wa chumba cha giza, kushoto kwako, utachepukuka na kuingia huko. Kuanzia hapo hakuta kuwa na ulinzi tena na utafanya yako bila wasiwasi” alimaliza kuwaza mwanamke huyo na msafara huo ukiwa tayari umeanza. Alijiweka nyuma ili asiweze kugundulika lakini kuna dada alikuwa akimtazama sana na huwenda akawa amemgundua. Huyo ndiye alikuwa sex Machine bwana kijana mahili wa mipango mingi na mbinu za kutisha. Umati ule mdogo wa wale wanawake ulikuwa ukisonga tarati huku ukimya ukiwa umetawala sana ndani humo. Mwanamke yule ambaye alikuwa akiangalia muda kila wakati, alipofika mbele kidogo aliona uwazi ambao uko upande wa kushoto. Alipoukaribia uwazi huo, akachepuka na kupotelea kwenye uchochoro huo. Yule dada ambaye alikuwa akitabasamu muda wote, aligeuka nyuma na kujikuta yeye ni wa mwisho, akatabasamu tena na kuendelea kuingia ndani ya chumba hicho cha giza. Huyo mwanamke aliyechepuka kwenye ule uwazi hakuwa mwingine bali ni Sex machine ambaye alikuwa kwenye mtazamo tofauti sana. Huwezi kumgundua hata kidogo kama alikuwa ni mwanaume.

ILIVYOKUWA

Wakati Chriss anatoka pale hotelini ile asubuhi na kwenda matembezi, hakuwa anakwenda matembezi pekee bali kulikuwa na kazi maalumu ambayo alikuwa anakwenda kuifanya. Aliipiga fimbo gari yake hadi pembezoni mwa jiji hilo la London, huko alikwenda hadi kwenye jingo moja ambalo lilikuwa na muonekano wa kawaida lakini mtu aliyekuwa akiishi hapo hakuwa wa hali ya chini na alikuwa ni msichana mrembo mwenye asili ya kiafirika. Sex machine alipaki gari nje ya geti na kubonyeza kitufe fulani getini hapo. Muda mfupi lango hilo likafunguliwa na mwanaume mmoja mwenye silaha mkononi akachungulia. Pigo moja kali lililo tua kwenye mfupa wa pua likamfanya mlinzi huyo kugumia ndani kwa ndani, hajakaa sawa mlinzi huyo akaguswa kwenye mshipa wa shingo kitaalamu zaidi na kabla hajadondoka chini akamdaka na kumsogeza pembeni ya lile geti, akamuacha hapo na kusonga kwenye kibanda kimoja humo ndani. Huko akakutana na walinzi wawili nao wa kiume, akawapulizia dawa fulani na kuendelea kujibana mahali hapo hadi wale mabwana wakatopea kwenye usingizi mzito. Ndipo alipoelekea kwenye mlango wa kuingilia ndani ya nyumba hiyo. Haikumpa tabu Sex machine kwani alikuwa na ramani nzima ya jengo hilo na taarifa zote za ulinzi. Na taarifa zote hizo alizipata kwa mabosi wake, hapo ndipo alipotakiwa kuitumia kadi ile ya kugushi yaani aache ile na achukue kadi halisi na kila kitu kuhusu yeye. Alisha elekezw tayari, alibonyeza tena kengele mara muda huo huo mlango ukafunguliwa na mwanamke huyo wa kiafrika Chriss/Sex machine akamsukumia ndani na kumbana vizuri dada huyo ambae alikuwa amekumbwa na taharuki kubwa juu ya ujio wa mtu huyo nyumbani kwake. Kabla hajapata muda wa kuhoji, alijikuta akipuliziwa dawa fulani ambayo baada ya nuda mfupi ilimnyong’onyeza. Sex machine alimchukua dada huyo na kwenda kumlaza kitandani kabla ya kutoka nje ya nyumba hiyo. Akamchukua yule mlinzi ambaye alimzimisha naye akampa haki yake na kwenda kumuweka kwa wenzake wote wakiwa hawajitambui. Sex machine alifanya hayo yote kwa sababu alitakiwa kuitumia sura ya mwanamke yule ili aweze kuingia kwenye sherehe ya ibada. Alifanikiwa. Hivyo alipofika kwenye chumba chake cha hoteli alichofikia, alichukua sura ya bandia na kuivaa pamoja na mavazi maalumu ya sherehe hiyo lakini ikiwa ni sare ileile iliyokusudiwa na wahudhuriaji wa shughuli hiyo. Alikuwa akifanana kila kitu na mlengwa kuanzia sura, mavazi hadi kadi aliyochukua. Akaingia bila shida huku mama mwenye sherehe akiamini kuwa wote walioingia humo ni wale aliowakusudia kumbe mmoja wa wahudhuriaji wake alikuwa amefungiwa yeye na walinzi wake tena akiwa katika usingizi mzito wa muda maalumu. Hayo ndiyo mambo ya mkorea bwana Lee Kim. Mnyama. Ambaye kila kukicha anabuni mbinu hatari za kumuingizi pesa nyingi zinazozidi kunawirisha utajiri wake kote duniani.

Sex machine alicheza na ramani pekee, aliingia ndani kwa kufuata ramani hadi alipouona mlango wa chumba cha binti huyo ambacho hakikuwa kikifungwa abadani. Alinyonga kitasa na kumkuta binti huyo akiwa amejikunyata kinyonge kabisa lakini alipomuona mwanaume huyo, alikurupuka kitandani hapo na kumrukia kwa furaha kubwa kwani hakuamini kama angeweza kufika ndani ya chumba hicho hadi hapo alimpigia saluti kijana huyo ambae bado alikuwa kwenye mavazi yake ya kike. Alichokifanya Sex machine ni kuvua yale mavazi lakini sura hakuitoa alibakiwa na lile vazi lake maalumu ambalo aliambiwa kuwa vazi hilo halitoki mwilini hata kidogo. Binti yule hakuamini kama kwa mara ya kwanza anaushika uume wa kidume kinacho kwenda kumpa raha za dunia ambazo alikuwa akiziota kila kukicha. Mwili wote ulikuwa ukimtetemeka, hofu ikiwa moyoni mwake. Macho yake alihisi kama yamefumba na yanachokiona hapo ni ndoto. Alikuja kuamini kuwa hicho kilichopo mbele yake si ndoto bali ni hali halisi, baada ya kuutia mdomoni mpingo ule ambao kwa muda huo ulikuwa hewani. Alikuwa yupo katika furaha ya aina yake binti huyo bikira. Sex machine alilijua jukumu lake na hapo alijua ni nini kilicho mpeleka, njonjo za huba zikamuanza, utaalamu uliomfanya akachaguliwa na Suzane kuwa anaweza kazi, akauonesha kwa bint huyo wa kiingereza mwenye urembo wa aina yake. Binti tajiri na mwenye ulinzi wa kutisha. Kutokana na ugeni wake katika mchezo huo, alijikuta ndani ya dakika tano tu za kupashwa moto, akiwa amevuka mifereji mitatu ya kilele cha raha. Alijiona kama pepo ya daraja la juu kabisa anaigusa kwa viganja vyake vya mikono kwa jinsi alivyokuwa akijisikia. Sex machine akawa anacheza na muda na alijua kuwa mtoto huyo hatadumu naye kwenye mchezo kwasababu ya bikira aliyonayo. Dakika kumi zilipowadia tangu kuanza kwa shamra shamra ndipo akamkwea binti huyo, mwanzo akimpa raha ya aina yake kwani hakuwa ameenda kina kirefu hivyo kumfanya binti huyo apige kelele za raha na kumsifu kijana huyo kuwa hajawahi kuhisi wala kufikiria kuwa angekuja kupata raha na utamu wa aina hiyo. “lazima nikulipe zaidi nitakulipa mara mbili ya pesa nilizolipa kwenye kampuni yako, asante sex machine, asante sana. Kula mimi baby boy, kula yote ukiweza, kula kwa nguvu zote aaaaaaaaaa rahaaaaaaaaa, taaaaaaammmmmm, oooo yeeaa!” ndivyo alivyokuwa akilalama binti huyo kwa kimombo huku akiwa amefumba macho kwa hisia kali. Sex machine akaona huo ndiyo muda wa maangamizi na kumroga kabisa binti huyo, muda wa kuila bikira yake kwa chumvi ya mawe. Akazama ndani kwa kushtukiza na kutulia hapohapo. “maaaaaaaaaaaaaaa!” alipiga kelele kama anakufa binti huyo hadi mama yake kwenye chumba cha ibada akasitisha ibada kwa muda huku akiwa ni kama moyo wake unahisi kitu fulani lakini akakipuuza na kuendelea na hitimisho la ibada hiyo ambayo ilikuwa imebebakisha dakika tano pekee. Sex machine aliongeza speed za kumfikisha kileleni, kweli dakika mbili mbele akamuogesha binti huyo kwa mvua ya ajabu kama kawaida yake huku akiwa anaunguruma kwa burudani ya aina yake. Binti huyo hakusema kitu bali alikuwa analia tu mwanzo mwisho huku akiacha sifa kwenda kwa kijana huyo. “japo nimeumia lakini sitakusaha Sex machine na nakuahidi kukutafuta popote duniani maana wewe ndiyo umenifungua kutoka kwenye kifungo hiki. Naamini mama hatoniweka tena ndani kwa kuendekeza chuki zake kwa wanaume, nitaruhusiwa kutoka na kufanya maisha yangu kwani sitafanya jitihada zozote za kujisafisha hadi pale mama atakapo nikuta.” aliongea binti huyo huku akiwa anabubujikwa na machozi ya aina mbili, maumivu ya kutolewa bikira na furaha ya kitu adimu alichopewa na Sex machine. Sex machine aliona kama binti huyo anaongea sana na kawaida yake huwa hasubiri asante, aligeuka na kutaka kuondoka kwani muda ulikuwa umeshatimu tayari na muda wowote wanawake wale wanatoka chumba cha giza. Kilikuwa ni chumba cha giza kweli mana mkiingia humo hakuna kuonana na masharti ya humo ni hakuna kuwashwa taa. “Sex machine!” aliita yule binti. Sex machine akageuka. “kamata hii na utakwenda kutoa popote duniani, nakutakia safari njema na nakuombea utoke salama ndani ya nyumba hii mpenzi.” alisema dada huyo na kumkabidhi karatasi fulani kijana huyo ambayo aliitoa kwenye mtoto wa kitanda chake. Sex machine akatoa ishara ya kushukuru na kutoka mule ndani. Alipofika kwenye ule uwazi alijibana mahali na muda huo huo akamuona yule mama akipita usawa huo na kusimama kidogo na kutazama kule ambako Sex machine alikuwa amejibanza. hofu ikamshika akajua labda ameonekana lakini mama huyo akaondoka na wanawake wengine wakafuatia lakini mwanamke wa mwisho, akaonesha ishara ya kumuita huku usoni mwake kukiwa kumepambwa na tabasamu. Sex machine akasita na kutaka asitoke ………

lakini hakuwa na njia nyingine zaidi ya hiyo, ikabidi atoke na kuunga huku kichwani mwake akiwa na maswali ya kujiuliza kuwa mwanamke huyo ni nani na kwanini alionesha ishara ya kumuita, je, alimuona? Na kama alimuona inamaana mpango wake anaujua. Kama anaujua ni vipi kama akitoa siri si atakuwa matatani? Yote hayo yalikuwa ni mengi ya maswali aliyokuwa akijiuliza. Akapiga moyo konde na kujiweka tayari kwa lolote litakalo jitokeza.
“niseme tu asante marafiki zangu kwa kuweza kuniunga mkono kwa hili, huu ukiwa ni mwaka wa sita sasa tangu kuanza kwa ibada ya kumuombea mwanangu alindwe na mungu na asipatwe kuingili……!” akapaliwa na mate, akakohoa sana na alipomaliza kukohoa huko, akajikohoza tena kidogo kuliweka sawa koo lake kisha akamalizia kwa ufupi. “mtapita hapa nikiwamwagia maua ya baraka ili huko muendako kuwe na amani. Hakujua kuwa mingoni mwa hao anaowamwagia hayo maua yupo aliyeharibu utaratibu mzima wa maisha yake na laiti angejua nahisi angeangamiza aliyekuwemo na asiye kuwemo. Wote wakapita mahali hapo kwa utaratibu maalumu na kila aliyemwagiwa mauwa hayo alishika njia ya kumtoa nje ya jingo hilo. Yule dada hakukaa tena nyuma bali alikaa mbele kabisa na alimtupia macho Sex machine aliyekuwa amebeba umbo la mwanamke na kisha akatabasamu huku macho yao yakiwa yamegongana. Moyo wa Sex machine uliuma sana kwa jinsi ulivyokuwa ukijiuliza maswali yasiyo na majibu. Akaweka nadhiri moyoni lazima amfuatilie dada huyo hadi ajue anapoishi amjue ni nani na kwanini kila wakati anamtupia macho na kumtabasamia. walitoka hadi nje kabisa ya lile jingo na kitu cha kwanza alichokifanya Sex machine ni kumshukuru mungu wake kwa kumtoa salama ndani ya jingo hilo lakini cha pili ni kumtafuta yule dada. Alitafuta hadi akatafuta tena, patupu. Wanawake wote waliotoka mule ndani aliwaona lakini yule dada hakumuona wala usafiri wake hakuuona. “milima haikutani lakini binadamu ipo siku tutakutana na utanieleza wewe ni nani” alihisemea hivyo moyoni sex machine baada ya kukubali kushindwa kumpata dada huyo. Aliingia kwenye gari yake aliyoikodisha na kwasababu gari ile ikikuwa ni tinted, alivua yale mavazi na ile sura ya bandi na kubakia na muonekano wake wa awali kisha akachukua ile karatasi aliyopewa na yule dada aliyetoka kumgonga, ilikuwa ni hundi ya dola za kimarekani laki nne na nusu. Akatabasamu na kuitazama ile nyumba ambayo ilikuwa kwa mbali kidogo na hapo alipokuwa ameegesha gari yake. akaipiga busu la mbali. “natajirika kwa bakshishi tu mbali na mshahara wa kampuni” aliwaza Chriss na kutoweka eneo hilo. Chriss baada ya kuoga alijitupa kitandani akiwa ameshika ile hundi ya dola za kimarekani, tabasamu la mbali likamjia kakini ghafla kichwa chake kikavamiwa na maswali lukuki juu ya yule msichana aliyempa hofu kule kwenye lile jumba la yule mama. “hivi ni nani yule, mbona kama napata wasiwasi juu ya uwepo wake pale au alikuwa anajua kuwa mimi ni yule mwanamke ambaye nilimzuia kule kwenye ile nyumba ambayo nitoa zawadi ya usingizi mzito na mimi kuichukua nafasi yake? Kama ni hivyo sawa. Lakini kwa muda huu watakuwa wamekwisha amka na kuikuta kadi yake ipo kumbe mimi nimeshafanya yangu.” alijiuliza Chriss. “mh! Lakini kama ni hivyo alijuaje sasa kama mimi nimeingia kwenye kile kijiuchochoro cha kuelekea kwenye chumba cha yule binti hadi akanipa ishara ya kuniita wakati natoka mule ndani? Si bure yule naye alikuja pale na maana yake, na kama ni hivyo atakuwa anaufahamu ujio wangu wa ile sehemu. Kiroho kinanidunda na napatwa na kihoro cha kutaka kumfahamu kama si mbaya kwangu anaweza kuwa hatari kwangu. kitu kimoja kinachonishangaza ni kama kweli alinifahamu, kwanini basi asitoe taarifa kwa yule mama?” alizidi kukiumiza kichwa chake Chriss hatimaye akakata shauri kuwa ni lazima atamtafuta na kama anamfuatilia yeye basi atakutana nae mahali na hapo ndipo atakapo jua nje na ndani. Wakati yeye akiwa anawaza hapo, kule kwenye ile nyumba ya yule mama kulipokuwa kumefanyika ibada maalumu masaa mawili nyuma, mama yule alikuwa amepoteza fahamu si chini ya mara mbili na hiyo ni baada ya kumkuta binti yake ametapakaa damu sehemu zake za siri na si damu pekee bali alikuwa kachafuliwa kwa mbegu za kiume sehemu mbali mbali za mwili wake. Kitendo kile kilimfanya apate mshtuko mkubwa sana ambao ulimpelekea apoteze fahamu kwa mara ya kwanza, ya pili na tatu. Madaktari maalumu wa mule ndani wakawa wana kazi ya ziada ya kuhakikisha mama huyo anarudi katika hali yake ya kawaida. Punde mama huyo fahamu zikamrudia na kuchoropoa mbiyo hadi chumbani kwa binti yake na kumkuta akiwa ameshaoga tayari na muda huo alikuwa amekaa kimya kitandani kwake akiwa na hofu kubwa juu ya kile alichokifanya. Mama huyo aliikamata bastola na kumuelekezea binti yake akiwa ni mwingi wa ghadhabu. Mwili mzima ulikuwa ukimtetemeka jasho likimwagika, machozi nayo yakitiririka mashavuni na kujenga barabara kabisa. “kama hutaniambia ni nani aliyekufanyia hivi Doreen, napasua kichwa chako na hii risasi” alisema mama huyo huku mkono mmoja ukishindwa kuhimili uzito wa ile bastola kutokana na wingi wa hasira alizozibeba moyoni mwake. “mamii, sijabakwa hivyo sioni sababu ya kukutajia mtu aliyenifanyia haya” alijibu binti huyo lakini pasipo kutarajia, alishtukia anapokea kofi zito lililomyumbisha. “sina muda wa kubishana na wewe nyegere mdogo pumbavu, fanya kama nilivyo kuelekeza haraka sana. hivi unajua ni aibu kiasi gani nitaibeba kwa kunidhalilisha” sauti ya mkoromo wa hasira kali ilisikika mbele ya Doreen. Hofu ikamkamata haswa akajua kwa hasira alizozibeba mama yake ni wazi akileta mzaha atalitumbua jibu na usaha kumrukia usoni. “unasema au unataka kujua nini nitafanya kwako?”
“nitase……nitasema mamii!”
“now!” akaamrisha mama huyo. Ikabidi kueleza kila kitu anachokijua kuhusu kumpata Sex machine hadi jinsi alivyo zimwaga siri za ndani ya jumba hilo na kumpa mwanya wa Sex machine kuingia na kuweza kufanya naye ngono. Mama huyo alijihisi kama anataka kupasuka kwa jinsi mwili wake ulivyopata joto la ghafla kisha akasema kwa kujikakamua “ulichokitaka kimefanikiwa lakini nitamtafuta huyo Sex machine na nitamuua mimi mwenyewe kwa mikono yangu. Umeharibu nilichokuwa nimekipanga juu yako mwanangu, uko huru kwa sasa kutoka na kufanya chochote kwa sasa ila ukumbuke kuwa nawachukia sana wanaume na nitamuangamiza kila atakaye kukaribia” alimaliza mama huyo na kutoweka mule chumbani huku gauni lake kubwa jekundu liki pepea. Doreen akatabasamu na kuamini sasa anakwenda kuishi kwa amani ya moyo kuhusu kuishi na mwanaume hiyo ni mipango mingine atakayo ipanga.

*************************%%%%%%%%%%%%%%%%

Simu iliunguruma kwa muda mrefu sana muda huo wa usiku wa saa tano, Chriss akiwa mezani akicheki muvi kali ya kivita kwenye Kompyuta yake. Simu hiyo aliisikia sana ikiita lakini haikujulikana ni utamu wa muvi au aliamua tu kuiacha simu hiyo iendelee kuita kwa makusudi. Ilipoita kwa mara ya tatu ndipo alipoisimamisha muvi ile na kuifuata simu kitandani na kuipokea. “mbona napiga simu muda mrefu Sex machine na haipokelewi?” lilikuwa ni swali la kwanza kutoka kwa mpigaji ambaye alikuwa ni Joesan. “nilikuwa nimepitiwa na usingizi kidogo boss, nipe mpya.” akasema na kukaa kwenye nafasi aliyokuwa ameketi hapo awali. “kesho asubuhi unatakiwa uwe marekani na kuna mtu atakuja kukupokea utakapofika uwanja wa ndege wa kimataifa wa John F. Kenned. New York. Maelezo mengine utayapata huko kijana wangu” alimaliza kutoa maelezo Joesan na Chriss akajibu sawa. Simu ile ikakatwa. Pumzi ndefu zikamtoka kijana huyo baada ya kupokea simu hiyo iliyomtaka aelekee Marekani. “kazi baada ya kazi, mbaya zaidi hujui ni kazi gani unayokwenda kuifanya” aliwaza kijana huyo na kuamua kuizima kabisa ile kompyuta hata shauku ya kuendelea kuitazama muvi ile haikuwepo tena. Akaamua kujilaza na kuisubiria asubuhi aanze safari.
Saa nne asubuhi, tayari Chriss alikuwa hewani akiyakata mawingu na dege la Air British lililokuwa linapasua anga kwa kasi ya ajabu. Alikuwa ameweka ear phone akisikiliza mziki mtamu wa nyumbani. Baada ya masaa kadhaa ya kuwa angani hatimaye ndege hiyo ya shirika la ndege la uingereza ilichomoa matairi yake na kuomba kutua kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa jijini New York. Ilitua kisha abiria mmoja mmoja kutoka ndegeni humo alishuka. Abiria wa tatu kutoka mwanzo, alikuwa ni Chriss. Kijana anayejiamini na aliye mtanashati kupita maelezo, rangi yake ya maji ya kunde iling’arishwa na hali hiyo ya hewa ya jiji hilo. Macho yake yaliyozibwa na mawani ya jua yalikuwa yakiangaza kila upande wa uwanja ule wa kisasa kabisa. Alipofika chini, alishangaa anashikwa bega na kijana mmoja wa kizungu. “wewe ndiyo SM?” aliuliza kijana huyo wa kizungu. “hapana si mimi utakuwa umekosea” akajibu Chriss. Alikataa Chriss lakini ndilo jina aliloambiwa atalitumia nje ya kazi ya kampuni. Alitakiwa kujiita hivyo SM na si vinginevyo. “usiogope, naitwa Pol na nimetumwa na BC kuja kukupokea hivyo nifuate” akasema kijana huyo wa kizungu au Pol kama alivyo jitambulisha. Chriss akamtazama kijana yule kwa muda kisha akamfuata hadi kwenye gari ya maana. Akafunguliwa mlango na kuingia. “kumbe rangi hii muda mwingine inanidhamu” alisema Chriss na kutabasamu. “karibu sana New York City SM, unalionaje hili jiji?” alianzisha maongezi Pol. “nimekaribia, ni mji mzuri sana na umejengwa kitaalamu sana”
“ni mara yako ya kwanza kufika kwenye mji huu?”
“ndiyo, sikuwahi kufika kabla ya leo”
“oooh! karibu sana kwenye jiji la starehe, jiji lenye raha za kila aina na ni jiji ambalo ukizionja starehe zake huwezi kutamani kuacha” alizidi kusifia Pol huku tairi za gari hiyo zikisuguana na lami si kawaida. Chriss alitumia muda mwingi kutabasamu kwa chati sana huku akiyaruhusu macho yake yaushangae uzuri halisi wa jiji hilo sifiwa. Lango kubwa lililokuwa lina picha kubwa ya Mamba mwenye rangi nyeusi huku likiwa na maandishi makubwa mekundu chini kidogo ya mamba huyo yaliyosomeka BC yakiwa na maana ya Black Clocodile. Lilifunguliwa lango hilo na gari ile kuingia ndani kisha lango hilo kujifunga. “Karibu sana katika himaya ya BC mr. SM” alikaribisha kijana huyo mara baada ya kumfungulia mlango wa gari. Hakujibu kitu Chriss bali alishuka na kuzunguusha macho yake na shingo kusoma mazingira ya eneo hilo. Hiyo ndiyo iliyokuwa kawaida yake, hakubali kukaa mahali bila kucheki usalama wake wa awali. Alipojiridhisha, akamgeukia yule kijana na kuongozana naye hadii ndani kabisa ya jingo hilo lenye uchafu wa kila thamani ndani yake. “oooh! Karibu sana kijana, umefika mahali sahihi kabisa. Mpokeeni …………………………………

Mpokeeni brifcase yake mbona mnamuacha hivyo?” iliongea sauti hiyo kabla ya kutokea jamaa mweusi mwenye mwili wa mazoezi uliotuna misuli. Alionesha dhahiri kuwa pesa kwake si haba. Chriss alipotaka kupokelewa ile brifcase alikataa kata kata. Yule bwana ambaye ndiye BC mwenyewe akawaambia basi kama hataki kupokelewa msimlazimishe. Akafika hapo na kumpa mkono kijana huyo kisha akatoka naye hadi nje ya jingo lile upande wa nyuma. “ninakwenda kukupa kitu cha thamani kubwa sana kijana, ukipeleke mahali lakini mimi huwa simuamini mtu kwa kumtazama tu bila kumpa mtihani hivyo hapo ulipo ujue kuwa unaingia katika jaribio langu ili nijue ni kiumbe gani anabeba bidhaa hii” alisema bwana huyo mara tu walipofika hapo. Akatoa ishara na vijana wawili waliokuwa fiti wakaletwa. Pambana na hao Chui wenye hasira kijana hakikisha unauwa kabla hawajakuuwa” alisema BC na kusogea mahali akaitupia mikono yake nyuma na kucheki mpambano huo. Chriss aliliweka brifcase lake chini na kuwatazama vijana wale jinsi walivyokuwa wana kuja kwa mahesabu makubwa. “hawa ni wapambanaji kweli maana hata ujio wao si wa watu wa kawaida” aliwaza Chriss huku akizidi kutazama jinsi wanavyosogea. Akiwa haelewi aanzie wapi, alichezea makonde ya nguvu kutoka kwa kila mmoja wa maadui zake. Aliyumba na kujiweka sawa tena. Hajakaa sawa, mapigo mengine ya kushtukiza yalimuingia wote wakiwa wamemshambulia kwa wakati mmoja. “wanashambulia wote na kwa mtindo huu ni ngumu kujua yupi anakuja na yupi anasubiri, nimeelewa cha kufanya” alizidi kuwasoma mchezo wao wale vijana bila kujijua, walipokuja kwa mtindo uleule waliouzoea, walijikuta wakila kichapo cha nguvu na kila mmoja akiwa amedondoka chini kwa maumivu makali sana. yalikuwa ni mapigo mchanganyiko ambayo hata hawakujua jamaa huyo kayatumiaje. wakajizoa zoa na kuja kwa kuvamia, hili kwao lilikuwa ni kosa la mwaka na walipaswa kujuta kabla roho zao hazijachukuliwa na malaika mtoa roho. Walipokuwa wanakuja, Chriss aliruka na kuzunguuka hewani kama pia na kushuka na mateke makali yaliyokwenda kuzivunja shingo za wale jamaa wote kwa wakati mmoja. Aliporudi chini, aliweka suti yake safi na kuokota brifcase yake kisha akamgeukia BC ambaye muda huo alikuwa mdomo wazi kwa kuto kuamini kama vijana anaowaamini wamepigwa kwa muda mfupi namna ile tena mpigaji akiwa hata hana alama ya mchubuko mwilini mwake. “Pol mlete huyo jamaa chumba cha maongezi ni mkabidhi mzigo” alisema hayo na kuondoka kuingia ndani lakini kwa upande mwengine wa jingo refu sana la ghorofa kama hamsini hivi, kuna mwana dada aliyekuwa ametinga bikini nyekundu, alikuwa akishusha darubini yake huku akitabasamu kisha akairudisha darubini hiyo kwenye mkoba wake na kushuka kwa kamba maalumu na kutoweka lile eneo.

Bado najiuliza sana kuhusu huyu bikini nyekundu ni nani? Na kwanini kila muda tuna muona akifutilia kitu fulani? Ngoja labda tutamjua mbele ya safari.

Walifika katika chumba hicho cha maongezi na kukaa kisha kikaletwa kinywaji, BC alimimina kinywaji kile kwenye bilauri mbili na kumkaribisha SM kisha wakatazamana kwa muda huku kila mmoja akipata kinywaji kile kikali. “uko vizuri sana sikutegemea kitu ulichonionesha pale” aliongea BC. SM akatabasamu tu kidogo bila hata kuonesha meno yake. “mr. J safari hii hakukosea kabisa amepata mtu makini sana. Ok, twende kwenye kitu cha muhimu” aliongea BC na kuvuta mkoba mmoja hivi mdogo ma kuuweka juu ya meza ila kabla ya kuufungua mkoba ule, alinyanyua macho yake na kuwaangalia walinzi wake wawili. Alipowatazama tu namna hiyo, walinzi wale walitoka na kubaki wenyewe tu mule ndani. “Haya ni madawa ya kulevya, ni madawa mapya kabisa ambayo hayajapata kugundulika kokote duniani zaidi ya sisi tu ambao ndiyo wagunduzi wa hii kitu” alisema hayo bwana huyo huku akiwa bado hajaufungua ule mkoba, Chriss alitulia tuli akiwa msikilizaji tu mahali hapo. Bwana huyo akaendelea huku akiwa anaanza kuufungua mkoba ule. “ziko chupa sita tu na ni chupa ndogo ambazo zina urefu wa mm 120 na mzunguuko wake ni mm 38. Zimetengenezwa kwa mpira na zimetengenezwa hivi kwa kusaidi zisiweze kupasuka kiurahisi na kusabisha kututia hasara. hazina joto kali chupa zake ni imara na zimetengezw kw plastic ngumu ambayo inahimili joto.” alinyamaza na kutulia takribani sekunde kadhaa na kuzidi kutoa maelezo kwa kijana huyo ambaye muda wote huo alikuwa kimya kabisa. “usipate shaka kuhusu kupita na mzigo huo uwanja wa ndege. Hata kama wakuchunguze kiasi gani hawawezi kukugundua labda kama kuna mtu atakuwa anajua huu mchongo. Ni pesa nyingi tunaingiza kwa mzigo huo mdogo tu unao uona hapo.”
“ni mapya sana haya madawa machoni mwangu, yanaitwaje haya?” aliuliza Chriss. “ooh! Vizuri, haya madawa yanaitwa Driming future (DF). Ni madawa mapya kweli kama nilivyo kuambia” akajibu bwana huyo na kumsogezea ule mkoba ambao tayari ulikuwa umesha funguliwa na kukutana na vichupa sita vikiwa vimepangwa kwa ustadi mkubwa sana. Vilikuwa na rangi ya pinki, alivitazama kwa umakini sana na kuufunga ule mkoba kisha akatulia na kumtazama bwana huyo usoni. Tabasamu alilokutana nalo likamfanya atikise kichwa kuashiria kuwa ameona vizuri. Yule bwana akaendelea. “madawa hayo yametengenezwa kwa mfumo wa gesi ni madawa ambayo yanakubalika sana kwa matajiri wakubwa sana. Tunauzia watu wengi duniani wenye pesa zao. Ni madawa yenye watumiaji wachache kutokana na ughali wake lakani pia ni madawa ambayo yanauzwa kwa usiri mkubwa kuliko madawa yote ya kulevya duniani” alisema BC, Chriss akatikisa kichwa juu chini huku akiwa makini zaidi. “yanakwenda Brazil hayo madawa, nikutakie safari njema, ukifika Brazil tu kuna mtu atakuja kukupokea lakini hatakuja na bango la aina yoyote lenye utambulisho bali atakuonesha alama ya D kwenye kiganja chake cha mkono wa kushoto kinyume na hapo unatakiwa kuwa makini” alihitimisha BC na kumpa mkono wa kwaheri mgeni wake kisha Chriss alinyanyua brifcase yake na kuukamata na ule mkoba kwa mkono mwingine kishaa akapiga hatua ndogo ili kuelekea nje ya chumba kile. Alipopiga hatua tatu, akasikia sauti kutoka kwa BC ikimwambia, “kuwa makini sana SM. Naweza kukuhitaji zaidi ya hapa” Chriss aligeuka na kutabasamu kama ilivyo kawaida yake bila kusema neno, kisha akageuka na kutoka mule ndani. Akatoka nje kabisa ya lile jingo na kuelekea mahali ambako kulikuwa na tax, akaingia ndani ya tax moja aliyoichagua na kumwambia dereva wa gari hiyo ya kibiashara kuwa alikuwa akihitaji kupelekwa kwenye Hoteli moja nzuri. Yule dereva akatia moto gari na kuiingiza barabarani na kutembea mwendo wa kawaida huku akiwa kafungulia muziki laini. “wewe ni mgeni ndani ya nchi hii ya Marekani?” aliuliza yule dereva akiwa anatikisa kichwa taratibu. “si mgeni wa Marekani bali kwenye jiji hili sikuwahi kufika hata siku moja” jibu hilo likamfanya dereva wa hiyo gari amchungulie abiria wake kupitia kioo kilichopo pale mbele lakini alikutana na jicho lililokuwa likimtazama na kujikuta akiyaondoa macho yake na kuuliza swali jingine. “sasa huku kote umefikaje au kuna mtu ulikuwa umemfuata huku maana huu mtaa ni wa watu matajiri sana?”
“si jambo la kushangaza sana mimi kufika eneo hili” alijibu kifupi tu Chriss na kuamua kukaa kimya. Yule dereva naye hakuendelea tena kuuliza swali kwani tayari alikuwa nje ya hoteli kubwa na maarufu sana mjini hapo. “tumefika brother, hii ni hoteli nzuri na hata huduma zake ni za hali ya juu sana kwa watu kama nyinyi hapa ndiyo mahala pake” alisema dereva huyo na kumgeukia abiria wake. Chriss alifanya malipo na kushuka mule garini na kuelekea ndani ya hoteli hiyo. Ilikuwa ni hoteli nzuri kweli, kuanzia huduma hadi mandhari ya hoteli yenyewe. Alimaliza itifaki zote na kukabidhiwa chumba. Alikiangalia kile chumba vizuri kilikuwa ni chumba kizuri sana chenye huduma mbalimbali za kawaida. Alivua nguo na kuelekea maliwatoni, kwa ajili ya kuoga. Alipomaliza alirudi na kuvaa nguo zake za kawaida kisha akapiga simu na kuagiza chakula. Muda siyo mrefu, chakula kikaletwa mahali hapo na kukila kwa pupa sana kutokana na njaa aliyokuwa nayo. Aliutazama ule mzigo kwa makini sana na kuupaki vizuri kwenye brifcase yake na kufunga vizuri. kisha akajilaza kitandani na kutafakari ya dunia. kitu kikubwa kilichokuwa kinamfanya afikirie sana na kilichokuwa kikimchanganya, ni kuhusu yeye. Yeye ni nani? Ipi ni historia yake ya maisha? Na kwanini ajikute tu yu katika kampuni ile? Ni kweli jina lake ni Sex machine na hakuwa na jina jingine? Kichwa kilimuuma sana alipokuwa akifikiria mambo hayo. Ni ngumu sana kujielewa wakati kila unapojiuliza swali la msingi, jibu linakupitia kushoto. Unaweza ukajikuta umepagawa na kuchanganyikiwa kabisa kwa wakati mmoja. Yalikuwa ni mambo magumu sana kuyazuiya yasifanyike. Chriss hakukuwa na sauti ambayo aliiogopa kama ya Joesan. Joesa alikuwa ni kama Mungu wake kwa kipindi hicho na kila ambacho atakiamrisha bwana huyo, Chriss hana budi kulifanya. Hakuwa yeye yule Chriss ambaye alikuwa akipiga kelele kila siku kuhusu kuifanyia kazi taaluma yake,
yule ambaye alikuwa akimlilia Joesan amtafitie kazi. Huyu alikuwa ni kama kivuli tu kinachofuata mjongeo wa mtu au kitu aliye mbeba. Chriss ambaye hata hakumbuki kama alikuwa na msichana anayetwa Maida, Chriss ambaye hajui kama Joesana aliwahi kuishi nae nyumba moja huku akimheshimu kama mjomba wake. Huyu alikuwa ni Chriss mpya kabisa, Chriss ambaye anatumika kama mashine ya ngono na kifaa hatari cha kusafirishia madawa hatari yanayopigwa marufuku kwa kiasi kikubwa sana kutokana na kuwa na kemikali mbaya zinazo sababisha mtindio wa ubongo kwa asilimia kubwa sana. Inasemekana watumiaji wengi wa madawa hayo wameathirika kabisa kwa matumizi ya madawa hayo. Ni madawa ambayo ukiyatumia yanaharibu kabisa mfumo wa fikra zako na kukuletea picha za ajabu ambazo zitakufanya ucheke hovyo kila wakati bila mpangilio maalumu hadi pale kilevi hicho kitakapokwisha nguvu mwilini mwako. Wauzaji wa madawa hayo ambayo ni ghali sana wanatafutwa kila kona lakini imekuwa ni ngumu kuwakamata kwasababu wasafirishaji walikuwa makini na watu hatari mno. Alijinyanyua kijana huyo na kusimama lakini bado hakuwa na jibu la uhakika kuwa yeye ni nani na nini chimbuko lake. Amuulize nani? Joesan alikuwa akimuogopa vibaya sana. Hakuwa na budi kujipa moyo na aliamini ipo siku atakuja kujijua yeye ni nani. Alivaa vazi lake la kazi na kutupia na Suti yake ya gharama kisha akakamata brifcase yake na kutoka mule ndani. Muda huo ilikuwa tayari imetimu saa moja na robo usiku. Alichukua usafiri uliomfikisha uwanja wa ndege. Saa 20:07. Alikuwa anaiacha ardhi ya jiji hilo la New York. Ndege kubwa ya kimarekani ilikuwa ikichana mawingu kuitafuta Brazil…………………..

Usiku mkubwa Chriss anaikanyaga ardhi ya Brazil kwa mara ya kwanza, alichokifikiria sicho alichokikuta uwanjani hapo. Alitegemea kukuta pamepoa sana kutokana na muda kusonga sana lakini haikuwa hivyo,umati mkubwa wa raia alioukuta, ulimdhihirishia kuwa sasa yupo katika nchi nyingine kabisa. Watu waliokuja kuwapokea ndugu zao huku na wengine kama yeye waliokuwa hawana wenyeji walikuja kupokelewa kwa mabango maalumu. Alimaliza kile alichotakiwa kukifanya ndani ya uwanja huo, ikiwemo kukaguliwa na kadhalika. Alitoka upande ambao huko ndiko kulikokuwa na watu wengi waliokuja hapo kuwafuata wageni wao. Alikuwa kama mwenyeji Chriss, maisha yake yote hakutaka kujiweka mgeni katika nchi ambayo amekwenda kwa kazi maalumu hata kama ni kwa mara ya kwanza ndiyo anafika. Alimtazama kila mtu kwa mtindo wa pekee sana na ilikuwa ni ngumu kujua kama ni mgeni mahali hapo. Akiwa anazidi kutembea taratibu, hakujua kama mbele yake kuna jamaa mmoja wa ki-brazil alikuwa akimuangalia kwa kila hatua. Jamaa yule baada ya kumuona Chriss anamkaribia, akachomoka hapo kwenye gari na kumfuata kwa mbele kisha alipomkaribia kabisa, kijana yule akanyanyua mkono wake wa kushoto akawa kama anayempa hai kijana huyo. Chriss akaiona alama ya herufi ‘D’ kwenye mkono wa kijana huyo. Kijana huyo aligeuka na kuwapita watu kadhaa na kuchukua uelekeo wa kule alikoiacha gari yake,Chriss akamfuata kijana huyo taratibu hadi kwenye gari hiyo aina ya Ferrari 599xx. Akajifungulia mlango na kuingia. “karibu Brazil mr.” hiyo ndiyo ilikuwa kauli ya kijana huyo wa kibrazili kwa lugha ya kiingereza. Chriss akajibu ukaribisho huo kisha ukimya ukafuatia na gari kuondolewa hapo kwa kasi kubwa. Lakini wakati gari hiyo inaondoka, kuna warembo watatu nao walizama kwenye gari yao na kuifuata kwa njuma gari iliyombeba Chriss. Gari hiyo ilizidi kukimbia kwa kasi kubwa huku muziki wa nchi hiyo ukiwaburudisha, dereva wa gari hiyo alikuwa akiendesha huku akitikisa kichwa kutokana na kufurahishwa na muziki na jinsi gari yake inavyoitika kila anapoiita. Wakati ikiwa inazidi kukata upepo gari yao, Chriss aliona kwa mbali kama kuna gari nyingine ambayo ilikuwa inakuja kwa kasi nyuma yao. Chriss akawa anazidi kuifuatilia gari hiyo hadi pale ilipoanza kuwakaribia. “hakuna njia ambayo haina magari mengi tukapita hiyo?” aliuliza Chriss baada ya kimya kirefu. Yule kijana akamjibu ipo. Chriss akamwambia ni vema basi kama watatumia njia hiyo. Yule kijana wa ki-brazil akakunja kona kulia na kutokezea kwenye barabara nyingine kubwa ambayo kwa muda huo ilikuwa haina magari kabisa. “vipi unaogopa sana mwendo ninaoendesha? Usijali basi bosi hii njia tuliyopita kwa muda kama huu, huwa haina magari kabisa na unaweza kutembea kilomita nyingi na usikutane na gari hata moja” alisema kijana huyo lakini hakuwa akisikilizwa kwani Chriss muda wote huo, alikuwa yuko makini na gari inayowafuata nyuma ambayo baada ya wao kubadili njia nao wakabadili njia na kuwafuata huko huko, hiki ndicho ambacho alitaka kujiaminisha na cho Chriss, alitaka kujihakikishia je, ni kweli walikuwa wanafuatiliwa wao? Mwendo ulikuwa ni uleule huku sauti ya muziki ikiwa iko juu kiasi cha kuleta kero kwenye masikio ya Chriss. “zima muziki” akasema Chriss.
“aaah! Brother labda nipunguze tu kidogo we huoni kama hizi ni ngoma za kijanja nazipiga?”
“nasikia na wala sioni, fuata ninacho kisema, zima muziki kisha angalia kwenye site mirror” alifoka Chriss baada ya kuona haeleweki na tayari walikuwa wamekaribiwa kabisa. yule kijana alipotupa macho kwenye kioo cha pembeni, aliona gari ambayo tayari ilikuwa karibu na wao kwa hatua kadhaa. Yule dereva akaanza kuogopa, hofu ikiwa moyoni mwake huku akipiga kelele kuwa tumevamiwa. Mwendo akauongeza maradufu lakini bado ni kama alikuwa anacheza kwani gari ile ya nyuma ilizidi kuwakaribia na tayari kwa muda huo kuna dada mmoja kati ya wale watatu waliokuwamo kwenye gari hiyo, alishatoa kichwa akiwa na bastola mkononi. Chriss akamtazama dereva wake akamuona jinsi ambavyo alikuwa akitetemeka mikono. “sijatumwa huku nije kufa kizembe pumbavu wewe” alisema Chriss kwa sauti ya juu na kuruka mbele alimvuta yule jamaa kistadi na kumuweka kushoto huku brifcase yake akiwa nayo bega kwa bega. kijana yule hakuamini hata hapo kwenyekiti alichokuwa amekalia, ametokaje. Gari ikayumbishwa hadi yule kijana akatokwa na yowe la woga. Tayari muda huo Chriss alishahama njia na kufanya shabaha ya maadui zao ikosekane. Gari ikaachapwa fimbo hadi spidi ya mwiso, kelele za woga zikamtoka m brazil yule.”nani mwoga baina yangu nawe?” alimuuliza Chriss lakini hakujibiwa na kijana huyo muda wote alikuwa akipiga kelele na hao wanawake huko nyuma na gari yao wakashangaa jinsi walivyokuwa wakiachwa. Wakaongeza kasi nao hadi mwisho ili kuweza kuwakaribia na muda huo yule mwanamke alikuwa karudi ndani kutokana na upepo kuwa mkali. Chriss hakupunguza mwendo hata kidogo na alikuwa kama vile anayeongeza kila wakati kwa jinsi gari hiyo yenye nguvu ya Horse power 700. iIivyo kuwa ikichapa raber kwenye lami. Kwa mbele Chriss aliona kitu kama Truck lililokuwa linakuja upande waliopo, akili yake ikafikiri na kufanya kazi muda huo huo, majibu yalipokuja, akazidi kuikaribia huku akiwavuta maadui zake. Alipoona wamekaribia, aliongeza tena mwendo huku akiilenga ile Truck kubwa kabisa ambayo alishajua kuwa imebeba mafuta ya petrol. Yule dada ambaye alikuwa amechungulia nje hapo awali, alipoona wamekaribia kwa mara nyingine akatoa kichwa huku akipiga risasi na wakati huo anapiga risasi hizo, gari ya Chriss ilisha hama na kuifanya ile gari ya nyuma itazamane uso kwa macho na Truck ya mafuta.Na kwakuwa ilikuwa ghafla na ikiwa katika kasi ya ajabu, haikuwa rahisi kuikwepa na tayari kwa muda huo zile risasi zilishalichimba lile Truck na kusabisha mlipuko wa maana sambamba na mzinga mkubwa wa kugongana magari yale mawili. Ilikuwa ni ajali bab kubwa kuwahi kutokea mahali hapo na hakuna kiumbe aliye salia hata mmoja. Kelele za furaha na kutoamini, zilimtoka yule kijana wa ki-brazil huku akirukaruka kwa furaha ya aina yake. “aisee wewe ni shida jamaa yangu, sijawahi kuona mtu hatari kwenye uendeshaji gari kama wewe aisee. Umekuwa rafiki yangu sasa mbali na kazi pia naomba niwe rafiki yako brother naweza kujifunza mengi nikiwa na wewe” alisema yule kijana gari ikiwa imesimama na kupisha kwenye nafasi yake ya udereva ili aweze kumfikisha panapo stahili.

Muda si mrefu, gari ilisimama kando ya jumba moja lililopo pembezoni mwa bahari. Wakashuka mahali hapo huku Chriss akiwa na umakini wa hali ya juu sana kwani alijua kuwa mara nyingi wafanya biashara wa madawa ya kulevya huwa hawana utu kabisa unaweza ukaacha mzigo na wasikupe mzigo wakakukabidhi kifo. Na hicho ndicho kilichomtukia Sex Machine wa kwanza kwa habari alizopewa na bosi wake. Waliingia ndani ya jumba hilo na kumkuta mtu mkubwa mwenye mwili wa maana kama nyumba akiwa amekaa kwenye kiti kimoja kikubwa cha ngozi. Walinzi wenye silaha kali walikuwa wametanda kila anapopita Chriss, wakiwa katika sura mbaya kabisa za kusubiri amri. Kijana huyo mwenye kujiamini, alipita hadi alipokuwa amekaa mtu huyo bila kuwa na hofu yoyote. Wakakaziana macho na kisha bwana yule mwenye mwili mkubwa akachukua brifcase yenye fedha na kuifungua kisha akaiweka juu ya meza kubwa iliyopo hapo. “hayo ni malipo ya baada ya kuupata mzigo wangu, malipo ya awali nilisha yakamilisha na ndivyo biashara hii inavyofanyika. Onesha mzigo wangu uchukue chako” sauti nzito ya huyo bwana ilizungumza. Chriss hakuwa mtu wa maongezi, alifungua mzigo wake na kumuonesha. yule bwana akatoa kichupa kimoja na kukitazama vizuri halafu akakirudisha mule mule na kuwamuru ile brifcase ifungwe na kumruhusu Kijana huyo achukue chake. Chriss akaikamata ile brifcase yenye fedha na kuishika vizuri mkononi kisha akageuka, kabla hajapiga hatua hata moja, akasikia akiambiwa, “aliyekuleta hapa ndiye atakayekupeleka popote unapotaka kwenda kwa usiku huu” kisha Chriss akapiga hatua na kutoka mule ndani akifuatiwa na yule jamaa aliyemleta. “nipeleke kwenye hoteli yoyote” akasema Chriss baada ya kuwa garini. Safari ikaanza hadi kwenye hoteli noja maarufu mjini hapo na kabla ya kushuka, yule kijana alimpa Chriss business card. Chriss aliigeuza geuza na kumwambia kuwa atamtafuta siku yoyote atakayo kuja Brazil tena, hakutaka kumpa ya kwake. Hii ndiyo ilikuwa desturi yake, alijali usalama wake kuliko kitu kingine. Aliingia ndani ya hoteli hiyo na kufanya malipo na kuingia ndani ya chumba alichokichagua na kujiifungia. Alitupa kila kitu kitandani na kuvua nguo na kwenda kuupa mwili nguvu. Alipomaliza alirudi kitandani na kuanza kufikiria juu ya wale watu waliokuwa wakimfuatilia. “kuna watu walifahamu kuwa nakuja Brazil tofauti na walionituma?” aliwaza Sex Machine. “watakuwa ni kina nani wale, na walionekana kuwa na dhamira ya kitu fulani kwangu. Watajua wenyewe walichokutana nacho ndicho walichokuwa wakikitafuta” alizidi kuwaza kwa maswali na kujifariji ndani yake lakini bado alikuwa na hamu kubwa ya kutaka kuwajua watu wale ni wakina nani. Alifikia hatua ya kuwaza kuwa pengine wale waliompa mzigo ndiyo walivujisha hiyo siri kwa kutaka kumuingiza matatani. “hii kazi ni ya kuuza roho, mwanzo tu imeshaanza kunionesha uhatari wake namna hii huko mbele kunaweza kukawa na mtifuano wa maana” bado alizidi kuumiza kichwa Chriss. Ulipofika muda ambao aliona unafaa kulala, alijitupa kitandani na kuutafuta usingizi.

Asubuhi aliamka mapema sana, akachukua mazoezi mepesi na kujifanyia usafi. Alipomaliza alishuka chini ya hiyo hoteli na kwenda kupata kifungua kinywa. Alipo tabaruku na kuridhika, alirudi chumbani na kuchukua kilicho chake akakabidhi chumba na kutoka hotelini hapo. Alielekea uwanja wa ndege na kuchukua ndege ya kumrudisha Marekani ambako alikwenda kukabidhi fedha ya mzigo alioupeleka na kuamua kurudi zake Tanzania. Asubuhi ambayo Sex machine alikuwa akiondoka nchini Brazil, huko nchini Uingereza ndani ya jiji la London kulikuwa na kilio kikubwa kwenye nyumba ya mama Doreen. Taarifa alizopata kutoka Brazil hazikumfurahisha hata kidogo. “wamekufaje kirahisi namna hiyo inamaana hata hawaja mgusa, huyo Sex machine ni mtu wa namna gani?” alijiuliza mama Doreen. Ni wazi alichanganyikiwa kabisa mara baada ya kusikia kuwa eti, watu aliowatuma kwenda kumuangamiza huyo anayejiita Sex machine wameuwawa kwa mlipuko mkubwa mara baada ya kukutana uso kwa uso na Truck la mafuta, haikumuingia akilini mama Doreen aliwajua vijana wake vizuri ni watundu sana katika mambo ya uendeshaji magari leo wafe kijinga hivyo. “huyu mtu anajifanya ni hatari sana hajui kuwa sijawahi kusumbuliwa namna hii. Naapa sitamuacha lazima nimuuwe wakishindwa hawa wengine nitatafuta mbinu nyingine rahisi” alizidi kujipa imani mama ……….

Hakujua alisemalo hata kidogo na hatajua hadi siku anakutana na huyo kijana. Toyota Noah yenye rangi ya maziwa ilikuwa inatoka ndani ya uwanja mdogo wa Morogoro, ndani ya gari hiyo alikuwamo Chriss akiwa anaendeshwa na mwanadada mmoja ambaye alikuwa anafanya kazi uwanjani hapo. Ni baada ya kijana huyo kumaliza taratibu zote za usafiri. Akiwa anatoka uwanjani hapo taratibu ili kuweza kupata gari, ndipo dada huyo akasimamisha gari hiyo karibu kabisa na kijana huyo mtanashati. Akamsalimu na kumuuliza ni wapi anakoelekea, Chriss akamjibu kuwa anakwenda mjini. Dada huyo akampa lifti na kumwambia kuwa yeye pia anaelekea huko. Chriss akapanda na ndipo safari hiyo ikaanza.
“aaam, wewe ni mwenyeji wa mji huu?” aliuliza dada huyo baada ya kuwa kimya kwa muda kidogo.
“ndiyo ni mwenyeji vipi kwani dada, naonekana mgeni sana?”
“hapana, nilijua ni mara yako ya kwanza kufika ndani ya mji huu”
“ohoo! Vipi wewe ni mzaliwa wa huu mji?” alitupa swali Chriss huku akiwa anamtazama binti huyo mrembo kwa mitego mikubwa. Binti huyo alitabasamu na kujibu kuwa si mzaliwa wa huo mji ila ni mwenyeji kwani ana siku nyingi sana yupo ndani ya mji huo wa Morogoro.
“ok, nafikiri ni faraja kubwa sasa” akasema Chriss na kumfanya msichana huyo amtazame usoni.
“kwanini unasema hivyo?”
“si mtu wa siku nyingi sana hapa mjini na sijawa na marafiki bado hivyo ni faraja kubwa sana kwangu kupata rafiki” akasema Chriss, binti huyo akatabasamu na kuachia cheko dogo. Akamtazama kwa aibu kubwa ni wazi kulikuwa kuna kitu amekiona kwenye sura ya kijana huyo, kitu hicho kikamvutia na kumfanya awepo hapo kwa muda huo. Hakuwa mtu wa hivyo sana, ni watu wangapi alikuwa akiwapita atokapo kazini. Kwanza utaratibu wa kurudi mapema nyumbani hata yeye ulimshangaza ukiachilia mbali wafanya kazi wenzake. Tayari muda wake wa kuwepo kazini ulishakwisha kwa siku hiyo na kwakuwa hakuwa na kitu cha kumuwahisha nyumbani mapema, akawa anazuga tu kazini hapo, hapo ndipo alipomuona kijana huyo akipita kwenye ukaguzi na kujikuta akivutiwa naye. Hakutaka kuamini kama kijana huyo mwenye umbo la aina yake, hakuwa na mtu aliyekuja kumpokea uwanjani hapo tena aliamini kabisa kuwa kama kutakuwa na mtu aliyekuja kumpokea basi mtu huyo atakuwa ni wa jinsia ya kike. Mwili ulimsisimka kila amtazamapo kaka huyo mbaya zaidi ni pale alipohisi kuwa anatazamwa, tabasamu la kumchanganya kila mrembo, aliona kama limemtabasamia yeye.

Upendo ni kitu kisicho tarajiwa ni muda gani kinaanza na hata muda uanapofika wa kuanza kupandikizwa kwa neno upendo. Huna hakika kama ukipandacho katika moyo wa huyo umpendaye, vipi utameya. Unabakiwa na wasiwasi wa moyo labda huwenda pendo lako umelipanda kwenye moyo mithili ya mwamba mgumu na kuamini kuwa hata kama mbegu yako imepokelewa na moyo huo, pendo lako halita meya kamwe na badala yake litaunguzwa na jua kali na mwishowe kusambaratishwa na upepo mkali. Hujui kama ipo mimea inayostawi jangwani na inapendeza kuliko hata hiyo unayodhani imemea kwenye dongo la rutuba, ipo inayostawi kwenye miamba migumu na inafurahi kumeya humo pia ipo inayomea kwenye ukame wa kutisha na inavutia ukiitazama. Hakujua binti huyo kama yuko sahihi ama laa. Hakujua kuwa moyo wake ulipopenda ni penyewe ama si penyewe lakini ukweli usiopingika ni kwamba bila kutafuta vipimo vya daktari wa mapenzi ili kuweza kupima msukumo wake wa mapenzi, tayari macho yalishatanabaisha hilo. Alipenda binti huyo.
“nafikiri nikupe asante kwa kuweza kunifikisha hapa” alisema Chriss.
“huna haja ya kushukuri kaka nimefarijika sana kwa kuikubali lifiti yangu labda mimi ndiyo niseme asante”
“kunifikisha hapa bila kutumia garama yoyote ya usafiri ni jambo kubwa sana, hivyo nisipo shukuru mimi nitakuwa ni mtu wa ajabu sana”
“ok, sawa” akasema binti huyo huku akimpa mkono kijana huyo.
“naitwa Sauda” alijitambulisha. Chriss akaupokea mkono huo na kukutana na kadi ya biashara, akaipokea.
“naitwa SM, ukiita hivyo utakuwa upo sahihi sana na nashukuru kukufahamu” alihitambulisha Chriss na kutoa kadi yake ya biashara inayomtambulisha kwa jina hilo. Yule binti ni kama alitaka kuuliza lakini akashindwa, jina hilo lilimshtua kidogo lakini alipomuangalia mwenye jina hilo alikuwa akitabasamu.
“mh! Ni kweli anaitwa hivi? ngoja nitaangalia vizuri kesho kazini kwenye kumbukumbu za wasafiri” aliwaza huku akiwa amechanua tabasamu pana usoni mwake. Waliagana kisha kijana huyo akachukua usafiri na kuelekea mahali anapoishi.

Muda mwingi awapo nyumbani Chriss, alikuwa si mtu wa kupenda kutulia na kitu kimoja, alipenda kufanya hiki na kile ilimradi tu kuweza kuipitisha siku vile atakavyo. Alikuwa ametulia sebuleni kwake akiwa anacheza gemu kwenye kompyuta yake, alicheza gemu hilo kwa muda mrefu sana hadi pale nafisi yake ilivyoridhika kabisa.
“muda umekwenda sana” aliwaza Chriss mara baada ya kuangalia ukutani ambako kulikuwa na saa hiyo ya ukutani ambayo ilikuwa okionesha kuwa kwa muda huo ilikuwa ni saa 12:17 za mchana. Ikiwa ni siku moja tangu atoke safari. Alielekea chumbani huko alivaa suruali yake ya kitambaa ya rangi nyeusi na fulana iliyokaa vizuri. Akatoka ndani humo na kuelekea kwenye maegesho ya magari na kuingia garini. Alitulia humo kama mtu ambaye hakuwa na msukumo wa kwenda mahali popote kwa majira hayo. Alipoteza muda mrefu sana akiwa garini humo hadi pale alipoamua kuiwasha gari hiyo na kuisogeza taratibu hadi langoni. Akashuka na kujifungulia lango hilo kabla ya kurudi garini na kutoka nje kisha kufunga tena lango hilo. Akaingia barabarani na kuingia mtaani. Alizunguuka hapa na pale lengo likiwa ni kuufahamu mji huo wa morogoro kwa mapana zaidi mwisho akajikuta amefika kazini kwake, akapaki gari mahali pa kuegeshea kisha akaingia ndani ya jingo hilo moja kwa moja hadi ilipo ofisi yake. Akajitupa kitini na kutulia. Alitulia hapo kwa muda mrefu akifanya lile na kuacha hili hadi pale simu yake ya mkononi ilipoita.
“haloo?” alisema mara baada ya kuipokea simu hiyo.
“yes, haloo Sex machine, habari yako?” sauti ya kike ilimuuliza.
“nipo ofisini kwa sasa”
“oh! Good, tunaweza kuonana kumbe nakuja sasa hivi ofisini kwako” ilimwambia sauti hiyo. Akapata mashaka kidogo Chriss hakujua mtu huyo ni nani na anataka nini? Ikambidi kuuliza.
“unaweza ku………!”
“usijali Hb, ondoa hofu nakuja now” alimkatisha mtu huyo na kumfanya atulie kimya asubiri. Baada ya muda mfupi mlango wake ukagongwa, akaruhusu na mtu huyo aliyekuwa anagonga akaingia, alikuwa ni binti mrembo, binti anayefanya kazi hapo, mnene na mwenye sura ya duara na macho ya goroli, kwa jina zoelefu la kazi yake alifahamika kama dokta.
“aah! Kumbe ni wewe, karibu sana dokta?” alikaribisha chriss baada ya kumuona msichana huyo. Tabasamu tamu likiwa limekaa kwenye sura ya dada huyo na kuuweka urembo wake katika daraja la pekee kabisa. Sura yake na mwili wake vilikuwa havina ushirikoano hata kidogo, sura ya kitoto mwili mkubwa ukichanganya na sauti aliyojaaliwa nayo, ndiyo kabisa huwezi kudhania kama mtu huyo alikuwa anamiliki mwili mkubwa kiasi hicho labda utajiaminisha kwa kumuona. Huyu ndiye aliyekuwa kapewa jukumu la kumharibu Chriss kutoka kwenye kujitambua hadi kufikia hapo alipo. Chriss alitabasamu kila anapomtazama dada huyo bila kujua kuwa huyo ndiye aliyembadilisha akili kwa kiasi kikubwa. Dokta Emmy alikuwa mahali hapo kwa ajili ya kazi moja tu nayo ni kukamilisha kile alichokipanga kwa kijana huyo. Penzi. Ndiyo, penzi la Chriss na si kitu kingine walishajua huyo hana anachotakiwa kufanya kwa muda wote hapo zaidi ya kutekeleza matakwa yao na kuzikidhi haja zao. Alimsogelea kijana huyo na kumshika mabegani kisha akamnong’oneza sikioni kuwa anahitaji kufanya nae mapenzi. Chriss hakuwa tayari kufanya hivyo hata kidogo lakini binti huyo akamlazimisha nakumwambia ni lazima afanye hivyo kwani ni wajibu wake kufanya hivyo na ni agizo kutoka kwa boss. Alivyosikia kuwa agizo hilo ni miongoni mwa maagizo ya boss, hakuwa na jinsi zaidi ya kufanya anavyotaka binti huyo. Akaukamata mwili mnene wa dokta na kumvutia kwake na kuanza kumtomasa kila idara, alimshika kwa ufundi mkubwa sana, mdada huyo akawa analalamika kwa sauti yake ndogo kama ya mtoto. Chriss alizidi kuhakikisha hamuachi hata kidogo na kwa vile alitaka mwenyewe basi alitaka kumkomesha kabisa. Akamnyanyua na kumtupia mezani ambako aliendelea kunmyonya hapa na pale hadi dada hilo likawa hoi ndipo kidume cha kazi kikaingia mzigoni. Kelele zilikuwa kubwa sana, alipelekewa moto wa ajabu alisuguliwa hadi akawa anaongea lugha zisizoeleweka. Alibadilishwa kila mkao, ikafikia hatua ambayo Chriss alimkunja dokta huyo mkunjo ambao kwa mwili wake ulivyo mnene, ukakifanya kina chake cha tupu yake kuwa kifupi hivyo kijana huyo akazama kabisa hadi ndani na kwa vile uume wa kijana huyo ulikuwa mrefu, Emmy aliipata fresh. Alisuguliwa hadi akawa analia kwa maumivu na utamu anaoupata kwa wakati mmoja. Kelele zilijaa chumba kizima, ofisi ikageuka chumba cha gest. Kelele hizo zikawafanya wasijue kama nyuma yao kulikuwa na mtu aliyekuwa akifuatilia mchezo mzima. Binti huyo ambaye alikuwa amesimama nyuma, alikuwa si mwingine bali ni Merina na mara kidogo Suzane naye akatia timu ndani ya ofisi hiyo. Wote wakakumbwa na mshangao kwa kile walichokikuta ndani ya ofisi hiyo. Tamaa ya kuona mwenzao akipewa vitu, ikawajaa mioyoni mwao na kutamani wangekuwa ni wao ndiyo wanasulubishwa mezani hapo na kwa muda huo Emmy alikuwa amewekwa mtindo wa kifo cha Mende huku Sex machine akiwa juu kwa mtindo wa aina yake hivyo wakawa wanashuhudia mzigo huo wa kazi wa mwanaume huyo,unavyoingoa na kutoka kwenye mashine ya mwanamke mwenzao huku mwanamke huyo akilia kwa utamu aliokuwa ……………………………………….

aliokuwa akiupata kutokana na kusuguliwa vizuri. Wenyewe wakajikuta wkijiramba vidole na kujitia vidole kabisa kutokana na hamu waliyokuwa nayo,Suzane alifunga mlango kabisa wa ofisi hiyo ili kutoruhusu mtu yeyote kuweza kuingia tena kisha akavua nguo zake zote akifuatiwa na Merina ambaye ndiyo alikuwa hajielewi kabisa kwa hamu aliyokuwa nayo. Chriss alikuwa anataka kufanyiwa mchezo mchafu, mchezo ambao hakuwahi kuufanya katika maisha yake, mchezo huo kwa lugha ya kigeni uliitwa grou sex. Wakati akiwa anaendelea kumpa vitu Emmy, wale wengine walikuja kwa nyuma na kuanza kuzichezea korodani za mwanaume huyo huku Merina ambaye alikuwa fundi wa michezo hiyo kutokana na kuishi muda mrefu kwenye jumba la siri la Mr. Kim. Jumba ambalo wanawake hutumika kuwafurahisha wanaume na huwapa wanaume kile wakitakacho, yeye hapo alikuwa akitia vidole kwenye njia ya haja kubwa ya Emmy na kumfanya dokta huyo kushtuka na siyo dokta pekee aleyeshtuka mahali hapo, hata Sex machine alikumbwa na hali ya mshangao baada ya kushikwa korodani zake. Walipoangalia vizuri ndipo walipowaona wasichana hao ambao walikuwa katika matamanio makubwa kabisa. Merina hakuacha kuchochea vidole huko nyuma kwa Emmy na Suzane naye kwa muda huo alikuwa akinyonya chuchu za Emmy huku akiwa anatia vidole kwenye mashine ya Merina. Emmy alilia kwa utamu mchanganyiko aliokuwa akipewa hapo. Kitu cha Sex Machine ndani, kidole cha Metina ndani huku Suzane akiwa naye anafanya yake. Miguno ya mahaba ikaongezeka humo ofisini lakini hakuna aliyekuwa akisikia kutokana na mlango kufungwa madhubiti kabisa. Suzane aliutoa mpingo wa kijana huyo na kuutia mdomoni mwake na kumfanya kijana huyo kuona kama hayupo ndani ya sayari hii ya tatu kwa jinsi alivyokuwa akiinjoi raha hizo za kutiwa mdomoni ndizi yake na fundi ambaye pia hakumbuki kama alishawahi kufanya naye mapenzi kabla ya kubadilishwa akili yake. Alipagawishwa vibaya sana, huyu akishika hapa, yule anashika pale, yule akilamba kule, huyu ananyonya hapa. Ilimradi ilikuwa raha juu ya raha. Mbadilishano ndiwo uliokuwa kazi ya hapo akitoka Emmy anapanda Suzy, akitoka Suzy anapandiwa Merina. Mikito haikupungua hata kidogo na kila mmoja alikuwa akiisikia ndani jinsi inavyozitekenya nyama zake za ndani. Kila mmoja alikuwa akipata raha aliyoikusudia kuipata. na kila mmoja alilia awezavyo pale alipoguswa mahali pasipo paswa kuguswa. Kitu kilichowashangaza Emmy na Suzy, ni pale mwenzao alipouhamisha mpingo wa kijana huyo na kuuingiza njia isiyo stahiki, hapa wote walibaki midomo wazi na wala binti huyo hakuwa na wasiwasi kabisa juu ya kile anachokifanya mahali hapo tena alionekana kuufurahia kabisa mchezo huo na alifumba macho kwa raha kila kijana huyo anapozama na kutoka.
“ni kawaida sana mchezo huu, kule kwenye jumba la mr.Kim, huwa tunawahudumia wageni wake mbalimbali so kila mgeni anakitu anachokihitaji. Wengine hawataki mapenzi ya kawaida kabisa, wanataka kukuingilia kinyume na maumbile hadi wafike mshindo tena wanamalizia humo humo, wanadai hicho ndicho wakipendacho zaidi na wanapenda sana wanawake wa ki Afrika kwani maumbo yao ni mazuri na yanaamsha hisia za kumgeuza kinyume. Wengine wao wanataka kote kote yaani anakula kwa kubadilisha, anakula mbele na muda mwingine anakula nyuma lakini pia tunapokea mashoga ambao badala ya kutufanya sisi, sisi ndiyo tunawafanyia mchezo mchafu hadi wafikie mshindo sana sana atakacho kifanya ni kukutia vidole tu” alieleza Merina kwa urefu kabisa bila kificho hata Chriss mwenyewe jambo hilo lilimshangaza sana lakini kwa kuwa mzigo ulishazama kimiani, hakuwa na namna zaidi ya kushughulika. Akaendelea kusema Merina
“hivyo hata Sex machine ajiandae kufanya kazi kwa kuwaingilia mashoga kwani hata huyo mnayemuita mkuu, ambaye sisi kule tumemzoea kwa jina la mr. Kim, ni mtumiaji mzuri wa mapezi ya kinyume na maumbile na ni mtumia mzuri pia wa kuwaingilia mashoga. Hivyo huo nao upo kwenye mpango wake na anadai akifanya hivyo anakwenda kuwa tajiri wa dunia kwani ndiyo lengo lake kuu” Wote pale wakapata kitu kipya kabisa. Pamoja na Suzane kuwa karibu na Joesan, lakini hayo alikuwa hayajui. Waliendelea kupewa dozi hapo hadi wote wakaridhika huku kila mmoja akiwa ameridhika kabisa.Chriss alitoka hapo akiwa kachoka sana
Baada ya kuvaa nguo zake, Suzane alimchukua na kumpeleka bafuni na kumuacha huko kisha yeye akatoka. Chriss alioga kisha akatoka mule bafuni akiwa na uchovu wa kuzidi, njaa ilikuwa ikimtafuna sana. Alitoka taratibu hadi nje ya kampuni hiyo akaelekea hadi maegeshoni, alikuwa amechoka sana kijana huyo hadi akawa anafikiria ni jinsi gani ataweza kuendesha gari. Alitafakari kwa kitambo kidogo mwisho akakata shauri, akaingia ndani ya gari na kuigamia kwenye siti ya gari hiyo. Mawazo yalikuwa mengi sana kichwani mwake, alijiona ni mtu asiye na thamani kwenye maisha yake, alijiona amekuwa kifaa kibaya sana cha kutibu maradhi ya ngono ya kila mwanadamu atakayehitaji. Kwanini yuko hivyo? Na ni kwanini basi amejikuta hivyo? Yeye ni nani?
“inamaana hii huduma ni hadi kwa wanaume? Nawezaje kufanya hivyo mimi, nawezaje kumuingilia mwanaume mwenzangu? Ooh! My gosh” aliumia sana Chriss, maisha yake yalikuwa ni zaidi ya chokoraa ni bora basi angejikuta ni mtoto wa mtaani kuliko kujikuta ni kifaa maalumu cha kutimiza haja za watu. Ni kama ilikuwa imesha mchosha hali ile.
“Sex Machine!” alitamka hivyo kisha akajiuliza.
“nini maana ya hili jina? Niliumbwa hivi kuwa Sex Machine? Mbona kama najiona ni mtu tofauti sana” alijikuta akitokwa na machozi mfululizo, alikuwa analia masikini Chriss. Alilia kweli, moyo wake haukuridhishwa na kile alichokuwa akikifanya lakini cha ajabu akili yake ilishindwa kuuzuia mwili usiyafanye yale. Machozi yalimtoka hivyo hivyo hadi alipotulia kabisa baada ya kupitiwa na usingizi mahali hapo bila kutegemea.

“mambo yanaendaje humu ndani?” aliuliza Joesan ikiwa imepita mwezi mmoja tangu kuanza kazi kwa mashine ya ngono. Alikuwa ameingia kwenye chumba kimoja maalumu, hiki kilihusika na masuala ya upokeaji picha na kuzitengeza katika mfumo wa video. Hapa ndipo zilipokuwa zinapokelewa picha zinazonaswa na lile vazi analolitumia Sex Machine awapo kazini kingono. Chriss bila kujua chochote ni kwamba alikuwa akitengeneza video za ngono na watu maarufu duniani hawa walikuwa pia hawajui chochote kama wamo katika mpango wa kutengezea video hizo za ngono sambamba na kupigwa picha za utupu. Vazi hilo lilikuwa maalumu sana kwa ajili ya kazi hiyo. Mtaalamu Tai, ndiye aliyebuni hilo vazi na alilipwa pesa nyingi sana kwa ubunifu wa vazi hilo ambalo lilikuwa likifanya kazi hiyo bila wahusika wenyewe kujitambua. Walilipa pesa kubwa kwa ajili ya kuingiliwa kimwili lakini kumbe nyuma ya pazia walikuwa wanakwenda kumtajirisha mzee huyo wa kikorea endapo tu ataanza kufanya biashara ya kuuza kazi hizo.
“kwa muda huu wa mwezi mmoja, tayari tumesha tengeneza CD moja yenye vipande kumi na vitano. Hii ni kwa sex ya mtu mmoja mmoja” alisema Tai, mtu ambaye alikuwa akijizunguusha kwenye kiti kikubwa cha kifahari pale studio.
“hii inatosha au vitaongezwa hivyo vipande?” akauliza Joesana huku akiwa amewekewa picha moja ya ngono akiiangalia.
“hii ndiyo maxmam ya kila CD”
“ok, sawa, nini kinafuata baada ya hii?”
“kinachofuata ni kufanya group sex na hii tumeshaambiwa jinsi itakavyo fanyika…..!”
“itafanyikaje?” akauliza kwa kudakia Joesan.
“ataanza na wanawake wawili, watatu, hadi idadi ya mwisho ambayo itakuwa ni wanawake kumi na watano na watakuwa wa mataifa tofauti na hii itafanyika kwenye Area 02 (zero two).” alisema Tai.
“duuh! Si mchezo”
“na si hivyo tu, bali atatakiwa kufanya CD ya mwisho kwa mwaka huu kabla ya kuingizwa kwenye soko la kimataifa hizi kazi, na kazi hiyo itakuwa ni kuwaingilia mashoga”
“what?” alishtuka Joesan.
“yaa, tena hii mkuu anaithamini kuliko hizi zinazo tangulia kwasababu copy moja, itauzwa dola laki tatu kama siyo tano za kimarekani”
“ha ha ha haaa! Aha ha ha haaaa! Chriss umekuwa mtu mwenye thamani sana, kumbe nilikuwa nalea mtu mwenye thamani kiasi hiki. Ninaimani hata yule mdogo wa kike kule nyumbani, atanitajirisha uzeeni” alicheka kwa nguvu sana Joesan na kuongea vitu ambavyo kama unamtazama unaweza kuhisi kachanganyikiwa. Alipomaliza kucheka akaendelea
“Tai, endelea kufanya yako hapo kwenye mashine laki…………!” kabla hajamalizia kuongea, simu yake ya mkononi ikaita na kumfanya atie mkono mfukoni ma kuitoa. Akaiweka sikioni na kuongea machache kisha akairudisha tena mfukoni na kutoka mule studio. safari yake iliishia maegeshoni. Akazama garini na kuelekea Area six. Kwenye jumba namba sita ya siri inayomilikiwa na mr. Kim. Alifika hapo na kuegesha gari kisha akashuka, akaweka suti yake safi na kuingia ndani ya jingo hilo la siri. Alielekea sebuleni kabla hata hajapumzika, binti mrembo akaja kama kawaida na kumchukua na kumpeleka kwenye chumba ambacho alimkuta Mr. Kim akiwa amesimama dirishani akitazama nje. Baada ya Joesan kukaribishwa, alisimama hivyo hivyo yule binti akatoka mule ndani. Mr. Kim akageuka na kumtazama bwana huyo lakini bado sura yake haikuweza kuonekana vizuri, hivyo bado haikujulikana ni mtu wa namna gani. Kitendawili.
“karibu ukae” alikaribisha mtu huyo kisha yeye akiwa hajakaa. Joesan akaketi ma kumtazama mtu huyo ambaye alikuwa akimhanya kama ukoma. Akasema.
“tulipofikia ni pazuri na panaridhisha ila tunapoelekea ni pagumu na panayumbisha hivyo usiogope bali unapaswa kuwa ngangari” Joesan akatikisa kichwa kuafiki, mtu huyo akaendelea.
“sex machine atakwenda kufanya sex group na pia atasafiri kama alivyokuwa akisafiri kwenda nje ya nchi kwa ajili ya kwenda kuwaingilia mashoga. Lakini kinyume na hapo ni kwamba kijana huyo kuanzia sasa atafanya kazi zangu binafsi na kazi hiyo itaanza kesho, ni kazi ngumu sana ya kukopesha roho lakini ninachokihitaji ni mafanikio hata kama atarudi hapa hana viungo vya mwili ila awe ametekeleza nitakacho mtuma. Kesho nitamuhitaji chumba cha mawsiliano” akamaliza mr. Kim na kuondoka hapo akimuacha Joesan mwenyewe mahali hapo. Naye akajinyanyua na kutoka humo ndani.
Chriss akiwa matembezi kwa ajili ya kukonga moyo wake, mida ya saa tisa alasiri. Hapo ………………………….

Hapo ikiwa ni baada ya kutoka ofisini kwake mapema kabisa. Alikuwa maeneo ya Kaumba bar akipata kinywaji kikali akipendacho kukitumia, ilikuwa ni pombe kali sana na mara nyingi hupenda kuinywa akiwa na mawazo mengi kichwani mwake. Alikuwa ametulia kwenye kiti kirefu cha kaunta ya hapo bar akipata kinywaji hicho. pamoja na kunywa pia alikinogesha kinywaji hicho kwa stori mbili tatu na muhudumu wa baa hiyo. Maongezi yao yalikuwa marefu kidogo na alikuwa akiongeza kila alipokuwa akifika mwisho wa bilauri aliyokuwa akiitumia mezani hapo.
“angalia Hb usije ukashindwa kutembea” alimwambia muhudumu huyo baada ya kumuona Chriss anaongeza birauli ya nne.
“hizi huwa zinaanza kuniingia kichwani nikishapiga sita” alisema kijana huyo huku akionesha kuwa bado kabisa hajafanya kitu chochote tangu kuanza kuitumia pombe hiyo kali.
“duu! Kama ndiyo hivyo wewe ni mkali aisee, mimi nikipiga mbili tu hizo utanionea huruma”
“haya mambo yanawenyewe nyinyi mnaiga tu”
“ni kweli kabisa wala sikupingii kaka yangu” alisema dada huyo.
Maongezi yakaendelea hapo hadi wakawa kimya kabisa kuashiria kuwa hakukuwa na neno jingine la kuwafanya waendelee kuongea. Mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea hapo ni ya kinywaji na kinywa cha kijana huyo, alibugia kinywaji hicho chenye kilevi kikali utafikiri ana tanki la kuhifadhia pombe tumboni mwake. Simu yake ikaita na kuitoa mfukoni, alipoangalia kiooni, alikutana na jina Boss. Akakereka kidogo, jina hili alionapo basi ujue anahitajika ofisini hata kama ni usiku na hakutakiwa kupinga siku zote za maisha yake ya hapo amekuwa ni wa kufuata amri na si kitu kingine. Akagusa kitufe cha kijani pale kwenye kioo cha simu yake ya kisasa kabisa na kuiweka sikioni.
“tukutane ofisini, natokea Sua nategemea nikifika hapo na wewe utakuwa umefika” ulisema upande wa pili wa simu hiyo na kabla hajajibu chochote, simu hiyo ikakatwa. Pumzi nzito ikamshuka kijana huyo. Akakiangalia kinywaji chake ambacho alishakipiga nusu, akakiacha. Hamu ya kuendelea kumumunya kinywaji hicho ilimuingia mfukoni na kupotelea humo. Akajiamsha hapo kwa haraka sana na kulipa kile alichopaswa kulipa na kuondoka. Dakika tano nyingi, Chriss alikuwa nje ya SC Company. Alishuka garini na kuingia ndani ya jingo hilo lenye mambo ma kubwa ya kutisha yaendeshwayo humo kwa siri ya hali ya juu mno lakini yaliyofichamana kisawasawa.
“ndiyo Boss?” alisema Chriss baada ya kuwa ndani ya ofisi ya Joesan.
“ni vizuri umefika mapema. Ninayo mengi ya kukueleza lakini kwanza unalotakiwa kulifahamu ni kuhusu kesho” akakomea hapo na kuitazama simu yake ambapo hakuishia kuitazama tu bali alibonyeza kitufe fulani cha pembeni na simu hiyo ikacheka kwa kutoa mwanga uliomfanya mmiliki wa simu hiyo kuunguruma kama dume la Mbwa lenye wivu kisha akainyanyua simu hiyo na kuibonyeza bonyeza na kumuacha Chriss akiwa anamuangalia bwana huyo kwa macho ya kuoneshwa dharau za hali ya juu sana. Angefanyaje sasa na huyo ndiye kiongozi wake wa mwisho anayemuheshimu kupita heshima ya kawaida. Bwana yule akairudisha simu kwa kujifanya yu tayari kuendelea na pale alipoishia lakini ukweli ni kwamba, kile alichokuwa akikifanya kupitia simu yake alishakitekeleza sasa akamgeukia huyu bwege awezaye kumfanyia chochote na akatii pasipo shuruti.
“Sex Machine” akaita na kumtazama mtu huyo anayemuita, akaendelea.
“kesho ni kazi na kazi hiyo ni ngumu naweza sema hivyo, kama ulishawahi kufanya kazi ngumu basi ujue haifikii hata robo ya kazi utakayokwenda kuifanya kesho. Kuna kazi mbili.” akaweka tuo na kumkazia macho kijana huyo kisha akaendelea tena.
“kazi ya kwanza ni hapahapa Morogoro na utaifanya usiku huu, kesho ndiyo utasafiri hadi nchini Kenya na utakwenda moja kwa moja Kisumu, huko ndiko kazi yako itakwenda kufanyikia.” akamaliza. Chriss alitikisa kichwa kujua kuwa sasa kile alichokuwa akikiwaza ndicho kinacho kwenda kutimia na asipokuwa makini, zawadi yake ni kifo. Eidha kujiuwa mwenyewe au kuuwawa kikatili. Akataka kuuliza ni kazi gani, hakupata nafasi hiyo kwani Joesan alishaamka na kumwambia kuwa, hayo aliyompa ni maelezo ya awali ila mengi atayapata anakompeleka kisha akamwambia amfuate. Chrss akanyanyuka kama Kondoo asiyejua anapelekwa machinjioni ama la. Walingia ndani ya chumba cha mawasiliano na muda huo huo sauti nzito ikaongea.
“kazi iliyopo mbele yako ni kuzinyakuwa roho za watu nitakao kupa picha zao na majina yao kisha mimi uniletee taarifa za vifo vyao tu” ilisema sauti hiyo ya mkuu ambayo ni kwa mara yakwanza kijana huyo alikuwa akiisikia mahali hapo.
“huyu mmoja alikuwa ni waziri wa mali asili na utalii kipindi cha raisi wa awamu ya tatu. Huyu ndiye aliyekuwa mstari wa mbele kuninyang’anya migodi kadhaa niliyokuwa nikiimiliki akidai kwamba nimewekeza kinyume na taratibu. Akaichukua migodi ile na ikawa chini ya Serikali ya Tanzania. Haikuwa hivyo, niliwekeza kwa kufuata taratibu zote za kisheria lakini ukatumika ubabe na ubaguzi, wakanipora migodi miwili ambayo ilikuwa si mikubwa sana lakini ilikuwa inaelekea kuwa mikubwa kutokana na jinsi nilivyo tumia gharama kubwa katika uendeshaji wake. Mmoja ukawa chini ya Serikali na ule wa Buzwagi ambao ndio ulikuwa tegemezi kwangu, akauchukua kiongozi mkuu wa nchi wa kipindi kile. Alinitia hasara sana huyo mjinga na huyu ndiye aliyenifanya nikimbilie kenya kipindi hicho na mtaji wangu mdogo kwa ajili ya kwenda kuaza biashara kule ili nirudishe fedha zangu taratibu. Kwa jina anaitwa Dr. Mulisoni, picha yake atakupa bosi wako baada ya maongezi haya. Huyu amekuja ndani ya mji huu jana na amefikia kwenye hoteli ya Morogoro Hotel. Anaulinzi mkubwa sana na kati ya hao walinzi wanaomlinda kuna komando mmoja, ni vigumu kujua yupi ni komando na yupi ni askari wa kawaida kwa sababu wote wako ndani ya suti. Ukiteleza inamaana umekiita kifo. kila laheri katika kazi hiyo na yuko katika VIP room, chumba namba nane.” akatulia kuruhusu maneno hayo yamuingie Kijana huyo vizuri kisha akamalizia na huyo wa pili.
“Huyo wa Kenya naye alikuwa pia ni kiongozi pia wa serikali wa kipindi hicho natokea Tanzania baada ya kunyang’anywa ile migodi niliyokuwa nimewekeza. Yeye alikuwa akihusika na masuala ya uhamiaji haramu. Alikuwa katili sana huyu mtu na hakuwa na utu hata kidogo. Akanivamia siku moja nilipokuwa nafanyia biashara zangu na kunitaka vutambulisho vyangu na alipoona simng’azii akanisweka ndani na kufilisi kila kilicho changu na walipokuja kunitoa wakanitaka nirudi kwetu.Sikutaka kurudi nchini kwangu nikiwa masikini na hakuna ambaye angenielewa na pengine ningehukumiwa kifo kama ningerudi inchini kwangu kwani ingeonekana nalidhalilisha taifa langu. Niliwatoroka uwanja wa ndege na kupotea kabisa machoni mwao nami nikachagua nchi ambayo ni tulivu ndipo nikarudi tenaTanzania lakini hapa Morogoro. Huyu naye picha yake utaipata na anapatikana Kisumu kama ulivyopewa maelezo ya awali. Huyu wa hapa nataka kifo chake nikipate kwenye taarifa ya habari ya saa mbili usiku na wa huko Kisumu kesho iwe ni siku yake ya mwisho kuvuta hii hewa safi. nadhani tumeelewana na sitaki kusikia neno nimeshindwa kinyume chake labda ufe wewe wao wapone.” alimaliza kuongea mkuu. Chriss alitamani kulia lakini uwanaume na ujasiri vikamfanya ajikaze, Anakwenda kuuwa vingozi pengine ambao walikuwa wakitenda haki ya nchi zao na kwa ajili ya faida ya wanachi wao. Hakuwa na jinsi zaidi ya kufanya kila kilichozungumzwa hapo hiyo ilikuwa ni oda na yeye kama mtendaji hakuwa na sauti ya kupinga kuhusu jambo hilo. Alikabidhiwa picha za watu hao na kuzifutika kwenye bahasha ya khaki na kutoweka mule ofisini hakutaka tena kusikia bla bla nyingine mahali hapo. Alielekea moja kwa moja nyumbani kwake na kujifungia chumbani kwake akipanga mkakati wa kuweza kutekeleza mauwaji hayo ya kisasi tu cha mtu binafsi. Hadi inafika saa kumi na mbili na dakika kadhaa za jioni, alikwisha kupata mbinu ya kuweza kutekeleza mauwaji hayo. Alioga vizuri na kupiga suti ya gharama kisha akatoka ndani humo akiwa kama afisa fulani. Akawasha gari na kuelekea kunako hoteli hiyo kubwa mjini hapo. Saa moja kamili Chriss alikuwa ukumbini akifuatilia mkutano maalumu uliokuwa ukifanyika katiaka ukumbi huo wa hotelini hapo. Ulikuwa ni mkutano mkubwa uliowakutanisha wafanya biashara wakubwa wakiwemo viongozi mbalimbali wastaafu. Hoteli hiyo ilikuwa imejaa ulinzi mkali ukiachilia mbali vijana wa jeshi la polisi ambao walikuwepo hapo kuhakikisha usalama, pia kulikuwa kuna ulinzi maalumu wa viongozi waliohudhuria mkutano huo. Chriss alipoingia hotelini hapo kwanza alikuwa yu katika vazi ghali kabisa la suti hivyo kumpa ugumu mtu yeyote kumtilia mashaka maana kila aliyemtazama aliamiani kabisa ni kijana mwenye fedha chafu. Alijipenyeza hadi mapokezi na kuchukua chumba lakini alianza kuulizia chumba namba 9 VIP. Akaambiwa chumba hicho tayari kina mtu na ni kiongozi mkubwa tu. Akaulizia VIP kingine kama anaweza kupata, akambiwa kuwa kimebaki kimoja tu. Akaomba apewe hicho hicho. Akafanyiwa taratibu za hapo na kukabidhiwa kadi maalumu ya kufungulia mlango kisha akapelekwa hadi chumba kilipo. Wakati anapita humo akipelekwa mahali kilipo chumba, macho yake yote yalikuwa ni ulinzi wa kamera zilizopo kwenye korido zilizobeba vyumba hivyo, hadi anakabidhiwa chumba na kuingia ndani, tayari alishajua ni kamera za aina gani na pia alishajua ulinzi umekaaje mahali hapo.Akaingia chumbani kwake na kufungua brifcase yake ambapo ndani ya brifcase hiyo hakukuwa na kitu chochote zaidi ya kijichupa kidogo cheusi na kompyuta yake ya kazi. Alivaa glove na kukishika kichupa hicho ambacho ndani yake kilionekana kuwa na kimiminika fulani. Akatabasamu kidogo na kukirudisha mahala pake. Akatoa ile kompyuta na kuiweka mezani kisha akaifungua na kuanza kuitafuta system ya mfumo wa ulinzi wa hoteli hiyo kubwa, alipoupata, aliaacha hivyo hivyo na kutoka nje ya chumba chake. Akatembea taratibu kama hataki hadi kwenye vyumba vya VIP huko akapitapita hadi kilipo chumba namba 8 ambacho ndiyo chumba alichotaka kufanyia kazi. Alipofika hapo alizuga kidogo lakini si kwa kuweza kumshtukia kisha akarudi chumbani kwake.
“inatakiwa afe kitaalamu sana bila hata mtu yeyote kugundua” aliwaza kijana huyo na kusubiri mkutano uanze. Ilipofika saa moja kamili, watu wakikuwa tayari ukumbini humo na hapo ndipo tulipomuona Chriss akiwa ametulia akifuatilia mkutano huo. Mkutano uliendelea kwa muda wa lisaa zima hadi ulipofikisha saa moja na robo, Chriss akanyanyuka akijua kuwa zimebaki dakika kumi na tano tu kukamilika kwa mkutano huo ambao ulikuwa ni mkutano wa pili. Akanyanyuka na kuelekea chumbani kwake huku …..

huku kichwani akimfikiria mheshmiwa huyo mstaafu. Akakumbuka kuwa alimuona akiwa anatafuna Big G. Akajua kwa vyovyote vile big g ile ataitoa kinywani mwake kwa kutumia mikono pale itakapokuwa imekwisha utamu. Akafurahi kuona kuwa kazi inakwenda kuwa rahisi kabisa. Akafanya yake kwa muda mfupi tu na kutoka mule ndani akapanda haraka sana hadi kilipo chumba cha mheshimiwa. Akakitoa kile kichupa mfukoni na kukitingisha kisha akapulizia dawa iliyomo humo kwenye chupa pale kwenye kitasa cha ule mlango na sehemu ya kufungulia kisha akakirudisha mfukoni na kurudi chumbani kwake.
“akishika kile kitasa, tayari anakuwa ni marehemu mtarajiwa, sumu ile ni kali sana na ni sumu ambayo kama atathubutu kuigusisha na mate yakinywani mwake basi ndani ya dakika thelathini anakuwa si hai tena.” aliwaza kijana huyo akiwa anapaki vitu vyake kwenye begi kama kawaida na kutulia muda huo akiwa amerejesha kila kitu katika hali yake ya kawaida. Ni kitendo cha sekunde kumi na tano tu alikuwa amemaliza kazi. Chriss alikuwa ametumia sumu ya Presynaptic neurotoxins. Hii ni sumu kali sana ambayo inauwa kwa muda mfupi na pia inauwezo wa kumpoozesha mtu viungo vyake vya mwili mara baada ya muda mfupi tu kuingia kwenye mwili wa binadamu na inasemekana kuwa sumu hii hutumiwa na wauwaji mbali mbali na hata Chriss sumu hii aliipata huko nchini Australia alikokuwa katika shughuli zake za ufanyaji ngono. Ni sumu ambayo chanzo chake ni nyoka hatari wanaopatikana nchini humo. Alipohakikisha kuwa kila kitu kipo sawa, alirudi tena kwenye mkutano ambao ulikuwa upo katika hatua za mwisho kabisa. Muda mfupi mbele, mkutano ule ulifungwa na watu wakitangaziwa kuwa hapo kesho hawakutakiwa kukosa kwani ndiyo hitimisho na kutakuwa na mambo mazuri ya kibiashara ambayo yatatolewa hapo. Muheshimiwa Mulisoni alinyanyuka kwenye kiti chake alichokuwa amekaa na kuondoka taratibu akifuatiwa na walinzi wake watatu waliovaa kiraia ambao ilikuwa ni ngumu sana kuwajua. Alisalimiana na baadhi ya viongozi wenzake pamoja na baadhi ya wafanya biashara kisha akaongoza njia ya kuelekea mahali chumba chake kilipo. Alipofika chumbani hapo aliwaambia walinzi wake kuwa hatatoka tena hivyo wanaweza kupumzika kwani amechoka sana na anahitaji mapumziko na kama ni chakula basi anaweza hata kupiga simu na kuletewa. Alisema hivyo huku akiwa anaipitisha ile kadi sehemu maalumu ya kufungulia mlango kisha akakamta kitasa na kukinyonga kisha akazama ndani. Bg g iliendelea kuwa mdomoni kama kawaida, alivua koti lake la suti na pamoja na suruali, akabakiwa na bukta kisha akachukua taulo lakini kabla hajaelekea bafuni, alitumbukiza vidole mdomoni na kuitoa ile big g. Lile likawa kosa kwani vidole vyake viligusana na ulimi na kusababisha ile sumu aliyoichukua pale kwenye kitasa cha mlango ianze kufanya kazi kwa haraka sana. Kitendo cha kwenda kuitupa ile big g kwenye sehemu ya kuwekea taka mule ndani, hatua tatu za kurudi mahali alipotokea ikawa mtihani mzito. Kichwa kilianza kumuuma, mate yalikuwa yakimkauka kwa spiidi kubwa, akataka aishike chupa ya maji ili anywe, ilikuwa mbali. Miguu ikakosa nguvu, mwili ukamlege kabla ya kuanza kukakamaa na kudondoka sakafuni kwa kishindo kikubwa sana. Alianza kubadilika rangi taratibu na kuwa mweusi, hadi zinapita dakika thelathini, mh. Musolini alikuwa si haki yake kuwepo duniani tena kwani pumzi zilishamkimbia kwa kasi ya ajabu sana na kilikuwa ni kifo
cha maumivu mno.
Chriiss hakuona sababu ya kuendelea kubaki eneo lile la hoteli tena kwani aliamini muda wowote bomu lake linakwenda kulipuka. Alitoka mule hotelini kwa usiri mkubwa sana, kadi ya kufungulia mlango aliitelekeza mule mule ndani ya chumba alichofikia na kutoweka.
Saa mbili usiku Chiriss alipata ugeni nyumbani kwake na ugeni huo haukuwa wa mtu mwingine bali ni Joesan. Alimfungulia mlango na kumkaribisha ndani hadi sebuleni.
“karibu sana boss” ndivyo alivyo karibisha Chriss.
“nimesha karibia kijana vipi kazi imekwendaje?” akatupa swali Joesan baada tu ya kuujibu ukaribisho huo.
“kazi imekwisha na ninaimani kesho matokeo yatakuwa mazuri”
“ok, vizuri, kilichonileta hapa ni kazi ya kesho SM” alisema hivyo Joesan na kuweka tuo kisha akafungua ki-rasket kidogo cheusi alichofika nacho mahali hapo. Akatoa Bastola moja kubwa ya rangi nyeusi lakini kwa upande wa kitako, ilikuwa na rangi ya udongo, akaiweka mezani kisha akamtazama kijana huyo usoni.
“hii ni silaha hatari sana na inatumiwa na kampuni hii tu, ililetwa hapa nchini baada ya miaka mitatu ya kuanzishwa kwa kampuni hii.” akaweka tuo tena na kumtazama usoni kisha akaendelea.
“silaha hii ni ndogo kimtazamo na ukiitazama unaweza kusema ni Barreta Pistol lakini si hivyo, inatumia risasi za sumu na risasi zake zinaumbo la nyota. Risasi hizo zinauwezo mkubwa wa kukausha damu pindi tu inapopenya kwenye ngozi ya kiumbe yoyote yule. Pia inauwezo wa kuuwa ndani ya masaa 52 kama mhanga hajapatiwa maribabu ya haraka ya kuuwa sumu hiyo kama mhanga atakuwa amejeruhiwa kwa jeraha dogo. Na uwezo huo ndiyo unaofanya mtu aliyepigwa na risasi hizi, kuwa na wakati mgumu sana wa kupambana na kifo akiwa hana msaada wowote na ni lazima alama ya nyota ionekane pindi tu risasi hii inapopenya mwilini.” Chriss aliitazama silaha hiyo kwa muda mrefu sana pia akamtazama na Joesan usoni kisha akatulia kama hakuwa ameelewa kitu chochote. Alikuwa ameletewa bastola hatari sana ambayo hakuwahi hata kufikiria kuja kuitumia.
“inauwezo wa kulenga mbali pia na inakupa urahisi wa kushambulia kwani inabeba risasi nyingi tofauti na bastola za kawaida” akasema tena Joesan kisha akamtakia kijana huyo safari njema ya nchini kenya hapo kesho, akaondoka. chriss akawa anamsindikiza kwa macho bwana huyo. Hakuongea chochote wala kujibu chochote hadi bwana huyo anatoka humo ndani, muda wote alikuwa akimtazama tu usoni kwa kila alichokuwa akikizungumza mahali hapo. Aliishika silaha ile mpya kabisa katika macho yake na kuigeuza geuza mwisho akachukua kiwambo cha kuzuia sauti na kukifunga mdomoni mwa ile bastola. Akanyanyuka na kuelekea nje ya jingo la nyumba yake hiyo na kulenga sehemu maalumu ya kulengea shabaha na kuminya jicho moja. Risasi ikaruhusiwa, alilenga katikati ya sehemu aliyokusudia kulenga, akafungua jicho alilokuwa kalifunga na kuishusha chini bastola ile huku tabasamu mwanana likiwa usoni mwake.
“inanguvu sana hii silaha, wamenipa kitu kizuri sana nafikiri hapa sasa nitakuwa niko vizuri zaidi na nazidi kuimarika tararibu” aliwaza kijana huyo na kuingia ndani tena. Usiku ulikuwa mkubwa sana na kila muda ulipokuwa uanakwenda, ndipo vijana wa mh. Musolini walizidi kupatwa na wasiwasi. Haikuwa kawaida ya mzee huyo eti, hadi kufikia majira hayo, awe hajatoka ndani ya chumba chake.
“Juma umeona mhudumu yeyote kuingia kwenye chumba cha mzee hadi majira haya?” aliuliza kamanda mmoja kiongozi wa ulinzi wa kumlinda waziri huyo wa mali asili na utalii wa awamu ya tatu ambaye alikuwa makini sana kufuatilia kila hatua ya kile kilichokuwa kinatendeka mahali hapo.
“mbaya zaidi hata muda wa kahawa umepita leo, inamaana anaweza kupitisha siku bila kupata kahawa” mwingine aliuliza lakini jibu au majibu ya maswali yao hawakuyapata. Kengele za hatari zikalia vichwani mwao, askari mmoja akaenda hadi katika chumba cha mheshimiwa huyo akajaribu kugonga mlango lakini kimya kilitanda. Mashaka yakaongezeka. Nini kinatokea au nini kimetokea, yakawa ndiyo maswali ya kwanza ubongoni mwa askari huyo. Peke yake asingeng’amua jambo, wazo la kupiga simu likamjia, akanyanyua simu ya upepo na kuiweka sikioni.
“nimegonga mlango zaidi ya mara kumi lakin hakuna majibu yoyote” Alisema hivyo kijana huyo huku akiwa hatulii sehemu moja akaonelea ajaribu kushika kitasa na kukinyonga kuona kama mlango utatii. Haikuwa hivyo na tayari alishabeba sumu ile na ukizingatia alienda kienyeji tu bila usalama wowote. Akawa anasubiriwa kuupeleka mkono wake mdomoni ili kuiruhusu sumu hiyo ifanye yake. Baada ya dakika tatu, yule kiongozi wa ulinzi akikuja mahali hapo kwenye mlango wa chumba hicho na baadhi ya wahudumu huku wakiwa na kadi maalumu ili kuweza kufungua mlango huo bila ridhaa ya mwenye chumba lakini wakiwa wanafanya hivyo, haikujulikana yule askari wa kwanza alipeleka saa ngapi mkono wake mdomoni. Kilichoonekana hapo ni kuhangaika kwa askari huyo maalumu huku akionekana kupoteza kabisa nguvu za miguu. Taharuki ikawakumba wale wengine waliopo pale, hofu za mioyo yao ikiwa imepewa kipaumbele kabisa. Nini kinamfanya askari huyo ahangaike? Nini kimemkuta na maswali mengine kadhalika yakaulizwa lakini ni nani sasa wa kuyajibu. Jibu ni hakuna. Wakajua fika kwa mtindo huo mambo ni magumu. Macho yaliwatoka zaidi pale walipomuona askari huyo akipumua pumzi ya mwisho na kujinyoosha kama kuku afae ghafla. Uhai ulimtoka askari huyo mbele ya macho yao, hofu ya kuwa mh. atakuwa amekumbwa na matatizo kila mmoja alikuwa nayo lakini hakuna aliyeruhusiwa kuusogelea mlango kwa tahadhali hadi pale walivyo kuja madaktari wa dharula, ndipo wakavaa gloves na kuruhusiwa kuingia ndani humo. Aliyetangulia alikuwa ni mkuu wa ulinzi yule ambaye ni komando. Kitu alichokutana nacho kilimshtua sana, hakuamini kwa haraka namna hiyo kuwa amezidiwa ujanja na mtu ameuwawa kirahisi hivyo. Alijiona mjinga sana na hakuona thamani ya kupewa ukomando kama hakuweza hata kuinusa harufu ya mhalifu, alijiona kama na yeye ameshiriki kumuua kiongozi huyo wa serikali ya awamu ya tatu kipindi hicho akiwa ni waziri wa mali asili na utalii. Madokta walipoingia eneo hilo, waliutazama ule mwili wa marehemu bila kuugusa. Hawakutaka kufanya chochote hadi askari waweze kufika eneo hilo la tukio. Polisi walipofika na kufanya uchunguzi wao ndipo waliruhusiwa kuondoka na mwili huo kwa ajili ya kwenda kuufanyia uchunguzi wa kitaalamu.
“inavyoonekana kwa macho tu mh. atakuwa kauwawa na sumu” dokta alisema alipokuwa anachukua vitu fulani fulani vitakavyoweza kurahisisha uchunguzi huo. Mwili wa yule askari pia ulichukuliwa na kupelekwa kwenye hospitali ya mkoa wa Morogoro. Hadi inafika saa nne usiku, taarifa za kifo cha mh. Waziri wa awamu ya tatu zikazagaa. kila mwananchi alikuwa kama kapigwa na shoti kwenye moyo wake, ilikuwa ni habari ya kushtukiza sana. vyanzo vya habari vilisema kwamba.
“waziri huyo mstaafu wa awamu ya tatu aliyekuwa ni waziri wa mali asili na utalii mh. Musolini, kifo kilimkuta katika hoteli ya Morogoro, (Morogoro hotel) na inasadikiwa kuwa mheshimiwa waziri ameuwawa kwa sumu kali na hii ni baada ya uchunguzi wa awali wa madaktari………………………………

Hata hivyo pia mlinzi wake mmoja pia alikufa muda mfupi tu baada ya kupata mashaka kwa kujifungia ndani kwa muda mrefu kwa waziri huyo. Daktari aliyechunguza sababu ya vifo vya watu hao anasema, sumu hiyo kali ilipuliziwa kwenye kitasa cha mlango na kusabisha kila akiyegusa pale kukumbwa na kifo cha sumu hiyo.” mji ulizizima, kimya kilitanda mji mzima, kitendo cha mh. Kuhudhuria mkutano mkubwa wa biashara, ndiyo iwe kifo chake?
“au alikuwa na kisasi na watu” alisema mtu mmoja walipokuwa wakifuatilia taarifa hiyo luningani.
“wewe nawe domo lako haliwezi kuvumilia kitu kila utakachokiona unataka useme, ngoja usikiwe ukaisaidie polisi” alionywa mtu huyo na mwenzie.
“ni nani atakayesikia kuwa nimeongea wewe nawe muoga sana”
“siyo muoga we unafikiri ni kifo cha muuza kioski kama wewe, hicho ni kifo cha mtu muhimu ohoo!”
“angalia kule luningani wanavyosema, kumbe hata aliyekuwa akiendesha mkutano huo kawekwa chini ya ulinzi kwa upelelezi, sasa we endelea kuropoka.” walizidi kubishana watu hao hadi pale waliposikia habari ya kuwekwa chini ya ulinzi muendeshaji wa mkutano huo ndiyo wakawa makini kuendelea na kuitazama hiyo habari hapo.
Si kwa vijana wale tu waliokuwa wakiifuatilia hiyo habari bali kila aliyejaaliwa kuifuatilia alifanya hivyo kama si kwenye luninga basi ni kwenye redio na kama si kwenye redio, watu walizinasa habari hizo mitandaoni. Habari za vifo hivyo vilisambaa kama harufu ya pilau.
“ha ha ha haaa!” cheko zito lisilo na ukiritimba ndani yake bali utajiri mkubwa wa kukinahi kwa fedha lilisikika kutokea ndani ya chumba kimoja kwenye jingo moja la siri sana. Hili jingo hatukuwahi kuliona kabla, lilikuwa ni jingo kubwa na lenye thamani ya kawaida sana kwa nje lakini ndani humo kulikuwa na kufuru ya samani. Viti vya kutoka ughaibuni vyenye thamani ya kutupwa. Meza za vioo vyenye uzito mkubwa wa pesa. Hakika humo ndani kulikuwa na kila kilichokithirisha kwa thamani yake. Lilikuwa ni jingo lenye code no. Four (4). Jumba ambalo ndipo yalipokuwa makazi ya mwanaharamu Mr. Lee Kim. Mkorea mwenye roho ya kikatili sana. Alikuwa akicheka mara baada ya kuona taarifa ile ya habari kwenye luninga yake kubwa iliyojaa ukutani.
“huyu kijana ni like a Monster, sikutegemea kama angekuwa kitaaluma namna hii” aliwaza mzee huyo kasha akaachia tena cheko kubwa na kupiga funda zito la kinywaji laini kilichopo mezani kwake.
“acha amalize huyo wa kenya kesho kisha angie kwenye group sex baada ya hapo atamaliza na kitu kitakacho nibadilisha kabisa na kuwa tajiri mkubwa duniani, hapa ndipo nitakapomtumia kama muuwaji wangu wa kuniulia mahasimu wangu wote” aliwaza tena mzee huyo kisha akajinyanyua na kuelekea chumbani kwake huko alipokelewa na kijana wa kiume amabaye alikuwa hana nguo hata moja na alimvua nguo mzee huyo na kuanza kumfanyia mambo ambayo alipaswa kufanyiwa na mwanamke lakini yeye aliona ni sawa kabisa na alikuwa huru na hicho anachokifanya mahala hapo. Alifumba macho kwa raha za ufirauni huo aliokuwa akipewa na kijana huyo. Ni mambo ya kishenzi kabisa aliyokuwa anayafanya Kim na hii ndiyo ilikuwa tabia yake ya kutafuta kijana yoyote aliyetokea kumpenda na kuagiza vijana wake wamletee kijana huyo na anapoletwa katika himaya yake, hakuna kingine anachokwenda kumfanyia zaidi ya ushetani huo. Ameshaharibu vijna wengi toka sehemu mbalimbali za nchi hii kwa kuwaingilia kinyume na maumbile (kuwalawiti) pasipo ridhaa yao na hata inapotokea kijana ukawa mbishi, ujue utaingiliwa tu hata baada ya kipigo kikali au maiti kabisa. Hakuwa binadamu mzee huyo hata kidogo na huwa hapingwi juu ya kile akipendacho. kijana huyo alizidi kumpa burudani mzee huyo wa kikorea kwa kumtomasa mwili wake hadi pale alipokuwa tayari kumuingilia na kijana huyo hakuwa na jinsi zaidi ya kufanya hicho bwana wake anachotaka.

Chriss yeye aliamua kulala mapema sana, hata wakati habari ile inatoka, yeye alikuwa tayari yu katika usingizi mzito. Alikuwa amechoka sana na pia alikuwa akihitaji kupata usingizi mzuri ili aweze kuamka mapema kwa ajili ya safari. Asubuhi ya siku iliyofuata wakati Chriss akiwa safarini kuelekea uwanja mdogo wa ndege uliopo mjini hapo kwa ajili ya kuelekea nchini Kenya, Mr. Kim ndiyo alikuwa anaamka baada ya kulala usingizi mzito uliosababishwa na ushetani aliokuwa akiufanya usiku kucha kwa mwanaume mwenzie. Alilala na kijana huyo kama mke na mume na kufanya kila kilichowapasa kufanywa na wanandoa. Hakuwa kijana huyo pekee tu ndani ya jumba hilo, bali kulikuwa na vijana si chini ya ishirini na mbili na wote akiwa ameshawaharibia maisha tayari. Na marafiki zake wengi walikuwa wakitoka sehemu za mataifa mbalimbali na kuja ndani ya mji huo kisha yeye huwapokea kwa lengo la kwenda kuwaburudisha kwa kuwapa vijana hao ambao amesha waharibia maisha na kuwaingilia kinyume na maumbile yao vile watakavyo. Na hata wageni wake wakiwa wanahitaji wanawake basi huwapeleka kwenye jumba lake la kifahari ambalo ndilo aliloliandaa kwa ajili ya kumuingizia pesa na hili ndilo alilipa namba au code no. 03. Ni jumba kubwa lenye kila aina ya starehe ndani yake. Lilikuwa limejengwa mfano wa kasino na ni jumba pekee la siri la bwana huyo wa kikorea, linalotambulika na kila mtu. Linatambulika kama THE HAPPY CLUB. Watu wengi wenye pesa zao huitumia hiyo club kwa ajili ya kustahereka na starehe mbalimbali tambulishi lakini pia kumbe humo humo kulikuwa kukifanyika ufuska wa hali ya juu ambao ulikuwa unaendeshwa kimya kimya. Ni nani asiyeijua The happy Club, kama yupo asiyeijua basi huyo si mzaliwa wa Morogoro. Hata mtoto mdogo ukimtajia Happy Club, atakuambia Masika. Ni Club maarufu sana hiyo. Hadi inafika saa 08:30 asubuhi, Chriss alikuwa angani akiwa na ndege ndogo ya kukodi ikimpeleka nchini Kenya. Alikuwa akiiacha ardhi ya morogoro huku kichwa chake kikiwa na mawazo tele juu ya kile alichokiacha mjini hapo, kila kona ya mji, habari ilikuwa ni kifo cha mh. Waziri mstaafu wa awamu ya tatu na mlinzi wake binafsi. Kila mtu alisema vyake juu ya kutokea kwa vifo hivyo. Wengine walisema kuwa alikuwa mchapa kazi sana enzi za uteuzi wake baada ya kuteuliwa na Raisi wa kipindi hicho Dr. John Pomela. wengi waliskitika sana na kufikia hatua ya kutoa laana mbaya kwa aliyetekeleza au waliohusika kutekeleza mauwaji hayo. Yote hayo yaliuumiza sana moyo wa Chriss alipokuwa akiyasikia maneno hayo. Na ndiyo hasa yaliyompa maswali mengi kijana huyo na mawazo lukuki. Hadi ndege inatua kwenye uwanja mdogo wa Kisumu, hakujua kama hapo ndiyo ilikuwa mwisho wa safari yake kwani hata sauti ya kumtahadharisha afunge mkanda ili kuiruhusu ndege hiyo kuyatoa matairi yake kuikanya sakafu ya uwanja huo, hakujua ilitolewa muda gani. Ndege hiyo ndogo ya shirika la ndege binafsi, ilisimama na kisha rubani wa ndege hiyo akamwambia abiria wake kuwa wamefika salama Kisumu na hakuna budi kumshukuru Mungu kwa kuweza kuwafikisha salama safari yao hiyo. Chriss alishuka toka kwenye ndege hiyo na kuushangaa mji huo wa kisumu uliofikiwa na ziwa kubwa Afrika ya mashariki, ziwa Victoria. Alipomaliza itifaki za hapo uwanjani, kijana huyo alipiga hatua moja hadi mahali zilipo tax. Kijana mmoja machachari alimuwahi na kumuelekeza moja kwa moja kwenye gari yake na kumfungulia mlango pasi na kujua nini shida ya kijana huyo.
“niambie kaka nikupeleke wapi?” aliuliza kijana huyo mara baada ya kuingia garini mule upande wa kuendesha.
“kuna hoteli moja iko katikati ya mji huu naomba unipeleke katika hoteli hiyo” alisema Chriss akijua tu kijana huyo ni mwenyeji wa mji huo lazima atakuwa anaijua hoteli hiyo. Gari ikaongezwa mwendo, safari haikuwa ndefu lakini mwendo ulikuwa si wa kitoto. Walifika nje ya Hoteli hiyo, suka akasimamisha gari yake maegeshoni kisha akamgeukia abiria wake na kumwambia kuwa hapo ndipo hoteli hiyo ilipoweka makazi yake. Chriss akaitazama hoteli hiyo pasipo kushuka garini kisha akasema.
“ooh! samahani suka nipeleke KS Hotel”
“bila samahani boss kinachohitajika ni pesa yako tu” akajibu dereva wa hiyo gari huku akiigeuza na kuingia tena barabarani. Kwa mwendo mfupi wakafika ilipo hoteli hiyo. Hii ni hoteli ya kawaida sana lakini inayosifika kwa huduma ni hoteli ambayo wageni wengi hupenda kufika ndani ya hoteli hiyo. Hata Chriss alivyotaka kupelekwa kwenye hoteli hiyo, halikuwa jambo la kushangaza kwani kila mgeni ni faraja kwake akilala kwenye hoteli hiyo. KS ni hoteli iliyo na umbali mdogo kutoka ilipo hadi lilipo Ziwa Viktoria ambapo pembeni ya ziwa hilo ndipo ilipo nyumba ya Tajiri mmoja mkubwa. Tajiri huyo alikuwa ni mfanya biashara mkubwa na maarufu sana, alikuwa akifanya biashara ya kununua na kuuza madini mbalimbali kutoka ndani au nje ya nchi. Pia aliwahi kuwa kiongozi wa idara fulani miaka kadhaa iliyopita. Huyu ndiye aliyekuwa akihusika na masuala ya uhamiaji na ndiye aliyesimama imara katika kupiga vita uhamiaji haramu. Huyu ndiye aliyemfilisi mr. Lee Kim kipindi hicho na kumfanya mzee huyo wa kikorea kutaka kuchanganyikiwa na maisha kabisa mara baada ya kutaifishwa mali zake inchini Tanzania kwa kosa la kufanya uwekezaji usiofuata misingi na kutokulipa kodi serikalini, kipindi cha waziri wa kipindi hicho mh. Musolini ambae tayari ni marehemu kwa muda huo na sasa ni yeye ndiye anayefuatia kwa ajili ya kulipa yale waliyomfanyia mzee huyo kana kwamba kaonewa kumbe alistahiki. Don Kemoi. Ndilo jina halisi la tajiri huyo. Chriss alifika ndani ya hoteli hiyo na kupata chumba akafanya booking ya siku tatu. Alikuwa ametulia chumbani kwake na kuamua kuwasha Tv kwa lengo la kupoteza muda. Alikutana na habari ya kifo cha aliyewahi kuwa waziri wa mali asili na utalii kilichotokea siku ya jana. Hii aliiona kawaida lakini kilichomuumiza kichwa ni baada ya kusikia historia ya kiongozi huyo mstaafu. Ilikuwa ni historia nzuri sana ambayo haikuonesha dosari kwa kiongozi huyo na uchapa kazi wake wa kuigwa ukatolewa mahali hapo. Hakujua nini afanye. Akaona ile habari ni kama inamchanganya tu. Akazima luninga hiyo na kuifungua Kompyuta yake na kuanza kufuatilia mambo muhimu yatakayo mfaa kwenye kazi yake. Akaingiza jina la Kemoi na kuanza kumfuatili. Alipata mengi sana, kuhusu kazi yake na jinsi atakavyoweza kukutana naye. Aliporidhika, aliifunga kompyuta hiyo na kujilaza kitandani.
Saa kumi na mbili jioni, Chriss alipanda juu ya hoteli hiyo na kamera yake mkononi. Alipofika juu ya ile hoteli, juu kabisa, alizunguuka na kuanza kufanya kike kilichompeleka juu ya hoteli hiyo. Alichukua kamera yake na kuanza kuangaza kila kona ya mji huo hadi pale alipopata kile alichokihitaji. Aliivuta picha karibu na kuaza kuiangalia kwa utaratibu kabisa. Alikuwa akiitazama nyumba ya Don Kemoi, Nyumba ambayo ilijengwa pembezoni ………………………………………..
mwa ziwa viktoria. Nyumba nzuri kabisa na ya kifahari mno.
“ni ngumu sana kutekeleza hili lakini ngoja niwe na kitu cha ziada kitakacho nifanya niweze kuingia kwenye himaya yake bila kushtukiwa” aliwaza Chriss/Sex machine alipokuwa akizidi kuichunguza nyumba hiyo kwa ukaribu zaidi.
“anaonekana anaulinzi mzuri na inawezekana ikawa shida kidogo” akawaza tena na kuishusha hiyo kamera machoni mwake. akafikiri kidogo kwa muda huku akiwa anatembea tembea juu ya lile jingo.
“Yess,” akasema baada ya kufikiri huko. Na ni baada ya kupata jibu la alichokifikiri. Chriss mzee wa mipango na akipanga anachopanga kinakuwa katika mpangilio wa upangwaji uliopangiliwa kwa upangaji sahihi.
“lazima niingie pale kama mfanya biashara” akasema kwa sauti kidogo na kushuka kutoka juu ya lile jingo na kuingia tena chumbani kwake. Saa mbili usiku alitoka na kuelekea katikati ya mji wa kisumu na kuingia kwenye duka kubwa la bidhaa mbalimbali, alipotoka alikuwa na mfuko mdogo wa malboro. Akakunja kona kadhaa na kutokea kwenye uchochoro fulani hapa alikunja kulia na kutokea upande ambao ulikuwa umetulia sana hapa palionekana hapakuwa na watu kabisa. Nywele zikamsimama, machale yakamcheza, hali ya kuwa hapo alipo si salama ikamjia. Hakukosea, alikuwa amevamia kwenye anga la vibaka wavamizi na muda huo wakiwa katika mipango yao ya kupanga ni wapi wavamie kwa usiku huo. Kitendo chake cha kusimama hapo, kikawatia mashaka wale jamaa. Akasogea hadi alipo Sex machine na kumzunguuka.
“hey, we ni spai umekuja kutuchunguza ama niaje?” alisema kijana mmoja kwa lafudhi ya kimtaani.
“niko kwenye dili zangu kama nyiyi ambavyo mpo” Sex machine naye akajibu kwa lafudhi hiyo.
“acha uk*m* wewe mtoto mzuri kama wewe unawezaje kufanya mishe za night” aliongea mwengine kwa mtusi kabisa, Sex machine hakujibu kitu.
“oya jamaa, huyu bwege anataka kutuletea wasee anga zetu”
“ngoja tumpe kibano na kumpora kila kile amebeba na tunapote bila shaka mabuda hawako mbali” alisema kijana mwingingine na kuanza kumsogelea kijana huyo ambaye muda wote alikuwa ameinama chini kuficha sura yake. Wakaja kwa fujo kutaka kumpa kipigo cha mbwa mwitu, walikosea, kosa kubwa sana waliolifanya mahali hapo. Walipigwa kipigo ambacho kila mmoja alipomuuliza mwenzake ni jinsi gani walivyopigwa, hakuna aliyejua maana kipigo walichokichukua hapo kilikuwa cha kushtukiza na hata huyo mtu aliyewapiga hawakumuona tena mahali hapo alishawapotea na badala yake wakabakiwa na maumivu mazito. walijizoa zoa na kujinyanyua kisha kila mmoja kuchukua njia yake walisahau hata kuwa kwa muda huo walikuwa kwenye mipango yao. Chriss baada ya kutoa kichapo cha ajabu kilichowaacha watu hoi. Alichukua ndinga lililompeleka hotelini kwake na kutulia kama ambavyo apendavyo. Akaingia kwenye mtandao na kutuma email kwa bwana huyo kwa lengo la kumpelekea biashara ya dhahabu. Baada ya masaa kadhaa kupita, ujumbe ukarudi ukimtaka atume picha ya mzigo alionao kwa njia ya WhatsApp. Akafanya hivyo. Alikuwa tayari na picha hivyo haikumpa tabu. Hakuwa na mzigo wowote bali alitaka kuwa karibu tu na bwana huyo ili atekeleze kile kilichomleta hapo Kisumu. Mzigo aliotuma picha yake tu ukaonekana kumvutia kila mtu aliyeuona na taarifa zilipopelekwa kwa Don, akahitaji mtu huyo afike hapo na kufanya biashara. Hii ikawa ni hatua ya kwanza ya kufanikisha zoezi lake. Akapanga siku ya kwenda ambayo ilikuwa ni siku inayofuata. Akafungua ule mfuko wa maliboro na kutoa kile alichokwenda kuchukua kule dukani kisha akaanza kula taratibu. Alipomaliza, Alielekea bafuni kujimwagia maji na aliporudi alijitupa kitandani na kuipitisha siku.

Asubuhi ya siku iliyofuata Chriss alikuwa amejiinamia chumbani kwake, alikuwa ametulia kimya sana akifikiri hili na lile. Hakuwa na kitu cha kufanya sana zaidi ya kuutumia muda huo kufikiri ni njia gani itafaa kutekeleza mauwaji kwa njia nyepesi na ya haraka. Alifungua komputa yake na kufungua file moja ambalo lilikuwa na nyimbo nyingi mbalimbali kisha akachagua wimbo mmoja wa msanii kutoka Tanzania aliyekwenda kwa jina la Fid q wimbo unaoitwa Ielewe mitaa. Ukawa unamburudisha mahali hapo. yalipofika majira ya saa 12:15 mchana. Chriss alikuwa tayari yupo njiani kuelekea ambako miadi yake ilipo. Alikuwa yupo katika gari ya kukodi aina ya Baroon. Alikwenda hadi karibu kabisa ya mtaa ambao Jingo la bwana huyo lipo na kushuka kisha akapita kwenye duka moja la nguo akachukua kofia kubwa ya pama na miwani ya jua. Akapiga, na kurudi tena garini. Masaa machache mbele akafika kwenye lango la jumba la Don na mara lango hilo likafunguliwa na gari hiyo ikaingia ndani ya mjengo huo. Alishuka Chriss na kukaguliwa na walinzi wa hapo kisha akaongozwa hadi kilipo chumba fulani. Hapo alikuja mtu mwingine na kumchukua kijana huyo hadi kwenye upande mwingine kabisa wa hilo jingo. Huko alikaribishwa na akakaa kwenye kiti kisha baada ya muda mfupi, Don akatokea mahali hapo. Wakasalimiana kwa kupeana mikono kisha bwana huyo akachukuwa nafasi na yeye ya kukaa huku akiwa amesimamiwa na walinzi wawili wenye silaha na walio wakakamavu.
“umejuaje kuwa mimi ni mtu ninayehusika na mambo haya?” Don aliuliza swali na kijana huyo akajiweka sawa kabla ya kujibu kitu na kusema.
“si jambo la kushangaza sana mimi kuweza kukufahamu wewe, nimekuwa nikifanya biashara na watu maarufu mbalimbali na mara nyingi nakutana nao kupitia mitandao ya kijamii hivyo si ajabu leo kukutana na Don Kemoi” alisema Chriss na kumfanya bwana huyo achanue tabasamu kabla ya kujiweka vizuri kitini.
“biashara yako ni ya dhahabu pekee ama unafanya na madini mengine” akauliza tena Kemoi.
“no, nafanya biashara ya madini tofauti lakini nimeona wewe unadili sana na dhahabu hivyo nikaona tunaweza kufanya na wewe hii biashara vizuri, ukizingatia sina wateja wengi sana kwenyeali hii biashara ya dhahabu” alisema Chriss huku akiligeuza Brifcase lake jeusi lililotangaza ukwasi wa juu sana kwa kijana huyo kwa jinsi ambavyo lilikuwa likiwaka.
“wewe ni mfanya biashara mgeni kidogo machoni mwangu sijawahi kukuona wala kusikia sifa zako lakini mzigo niliouona kwenye picha uliowatumia vijana wangu ni mzigo mzuri sana, ni mfanya biashara kutokea Tanzania siyo?”
“yaa, mimi ni mtanzania na kama hivyo unavyosema ni kweli tupu kwani mimi biashara zangu zinakwenda kuuzwa nje ya nchi nyingine japo ni hapa hapa Afrika. Sikujua moja kwa moja, kama naweza kukutana na watu ambao naweza kufanya nao kazi hapa Afrika ya mashariki hivyo ni faraja kwangu kukutana na wewe Don”
“ha ha haa! Karibu sana mr. Twlib. Mimi nafanya biashara na watu wengi sana na mimi ndiye niliyemuingiza waziri Muso kuingia kwenye biashara hii mara tu alipostaafu uwaziri. Nimeumia sana kusikia kuwa amefariki dunia yule bwana. Alikuwa ni rafiki yangu mkubwa sana kabla na baada ya kustaafu madaraka yake. Pole sana kwanza kwa kifo cha kiongozi wako aisee”
“aisee hata mimi nilipatwa na mshtuko sana na leo nikiwa hotelini ndiyo nilipata hizo habari. Ni mipango ya Mungu tu na nimesha poa” alijibu Chriss huku akiwa na imani kuwa kama mtu huyo angejua kuwa aliyeuwa waziri ndiye huyo aliyepo mbele yake, ni wazi asingethubutu hata kusalimiana nae. Hakujua na hakujua pia kuwa hapo hapakuwa na biashara yoyote bali ni kama alimkaribisha izirail ndani ya nyumba yake. Huyo alikuwa ni muuwaji asiyetabirika Criss au Sex machine aliyejificha hapo kwa jina bandia la Twalib. Baada ya maongezi mengi, watu wakapanga kuingi kwenye biashara na Don akataka kuoneshwa huo mzigo. Chriss akacheki usalama akaona pame poa, akaangalia wale walinzi akasita kidogo na kuacha zoezi alilotaka kulifanya mahali hapo.
“vipi unawahofia walinzi wangu mr. Twalib?” aliuliza Don baada ya kumuona Mr. Twalib wa bandia amesimamisha zoezi la kutaka kufungua mzigo.
“hapana”
“naona umesitisha zoezi, kama unahofia naweza kuwatoa mbali kidogo na hapa na tukaendelea na biashara” Chriss akafikiri kwa haraka sana akaona kama atarusu walinzi hao watolewe hapo na kusogezwa pembeni, itakuwa ngumu kwake kuweza kufanya alichokitaka.
“naamini hawa ni watu wako wa karibu hivyo hawawezi kuwa na madhara” akasema na kuikamata brifcase na kuifungua. Alipomuonesha bwana huyo humo ndani, mshangao mkubwa ukamkumba Don. Ndani ya bagi hakukuwa na mali ya aina yoyote zaidi ya kifaa kidogo mfano wa kiberiti cha kuni. Mshangao ule ukawafanya hata wale walinzi kuinama. Hilo likawa ni jambo alilolitegemea kutokea hivyo akafanya kitu cha kushangaza sana na ambacho hakuna hata mmoja aliyetegemea. Alibonyeza kitu fulani mfano wa rimoti ndogo. Mlipuko mdogo usio na sauti ukatokea mahali hapo moshi mwembamba ukatoka kwa kasi na kujaa kwenye macho yao. Chriss alikuwa amejikinga na ile mawani hivyo haikuwa rahisi moshi ule kupenya kwa haraka na kabla ya kitu chochote kutokea, wale walinzi wa karibu wa Don walipokea zawadi ya visu vilivyotua kwenye makoromeo yao na hapo hapo wakaanguka chini wakiwa wanapambana na hatua ya mwisho ya kupigania uhai wao. Don hata hakupata muda wa kupiga kelele kwani lilikuwa ni tukio la ghafla sana kumtokea. Alikuwa akilalamika kwa jinsi macho yalivyokuwa yakimuwasha. Chriss alikamata shingo ya Don na kunyonga kisha akamkalisha pale kitini na kumuegamiza kwenye kiti alichokuwa amekalia. Kisha akawachukuwa wale walinzi na kuwaweka pamoja na kufunga kila kilicho chake akatoka mule ndani kama vile hakuna jambo baya lililotukia huko ndani. Tabasamu lilikuwa usoni mwake hali iliyowapelekea wasichana wa humo ndani kumsalimia kila anapopishana nao. Alifika garini mwake na kufunguliwa geti kisha akatoweka eneo lile. Hakuna kiumbe aliyemtilia shaka kwani hakuonekana kujali chochote na alitoka akiwa ametabasamu kuashiria kuwa kila kitu humo ndani kilikwenda sawa. Hakukusikika hata sauti ambayo labda ingeleta wasiwasi kwa watu hao. Hadi Chriss anaingia Hotelini kwake na kuoga kisha akaelekea mahali ambako alikwenda kujipatia chakula.

huku kwa Don bado hakuna aliyegundua chochote lakini ghafla kelele za mshangao …………….

kelele za mshangao zikasikika kutokea mahali ambako kikao cha biashara kati ya Don na mgeni wake. Watu walipokimbilia huko ndiko wakakuta vitu tofauti, waliwakuta walinzi wakiwa tayari ni marehemu tena walikuwa wamechomwa na visu vyenye sumu kali sana inayokausha damu kwa haraka. Don walimkuta akiwa ameegamia kwenye kiti. Hiyo ikawa ishara tosha kuwa hawakuwa na watu hao tena kimwili. Taarifa zikasambaa za kifo cha Don Kemoi na walinzi wake wawili. Habari kama unavyojua kuwa zinasambaa kama hewa ya oxjeni. Nazo zikaimeza nchi ya kenya. Ni nani aliyefanya mauwaji hayo? Watu wengi ndani ya nchi ya Kenya walijiuliza hivyo. Jibu likawa gumu kumjua mtu huyo sanasana walinzi walisema kuwa alikuwa ni mrefu mweusi kidogo, alivaa kofia ya pama na mawani ya jua. Na alikuja ndani ya jingo hilo kama mfanya iashara wa madini. Walipotaka kumchunguza mtu huyo kwenye kamera za ulinzi za jingo hilo, jibu likaja kuwa kamera zilikuwa zimezima kwa takribani dakika kumi na tano na kisha kufanya kazi tena baada ya mtu ayesadikika kuwa ndiye aliyefanya mauwaji kutoweka. Kilichofanikiwa kukamatwa ni namba za gari pekee, gari alilolitumia mtu huyo kufika kwenye himaya ya Don Kemoi. Hofu ikawatanda viongozi wa Afrika ya mashariki, Uganda, Rwanda na Burundi wakajua huwenda ikawa ni zamu yao baada ya Tanzania kisha Kenya. Viongozi wa awamu zilizopita wakawa waoga hata kupokea wageni.

Namba zile zikafanyiwa kazi hatimaye wakamtafuta mmiliki wa gari hilo na walipofika anapoishi mmiliki huyo akakiri kuwa namba hizo ni za gari yake na ilikodishwa siku iliyopita na haijarudishwa hadi muda huo. Kikawa ni kitendawili kwa askari polisi. Watafanyaje na huyo jamaa kweli kazi yake ni kukodisha magari na ni biashara yake ya muda mrefu na ndiyo inayompa heshima mjini. Wakawa na kazi moja tu ya kuitafuta gari hiyo popote ilipo. Namba za gari hiyo zikawekwa kila mahali na vyombo vyote vya habari vikatangaza kuhusu namba hiyo na kuwataka wananchi waisaidie polisi kwa kutoa taarifa popote pale itakapoonekana gari hiyo. Taarifa zikaja kuwa gari hiyo imekutwa imetelekezwa maeneo ya duka kubwa la bidhaa mbalimbali na mtelekezaji asijulikane. Hoi, Walichoka,Ikawa ni kazi ya kujua muuwaji ni nani na amepotelea wapi. Watasumbuka kwani mtu aliyesbabisha mauwaji hayo ni mtu makini na proffesional wa kazi hizo za kijasusi, ilihitaji mtu mwenye weledi wa juu sana kama kamanda Amata au Jakob Matata, wapelelezi hawa ndio kidogo wangeweza kunusa hafuru yake.
Siku ya pili asubuhi na mapema alikuwa kwenye uwanja wa ndege wa Kisumu. Askari walimwagwa kama njugu mawe wakitafuta muuwaji au mtu yeyote watakayemtilia mashaka, ukaguzi ulifanywa mara tatu tatu lakini hakuna kitu kilichopatikana hata harufu ya muuwaji hawakuipata. Kijana akakwea pipa la kukodi hadi Arusha kisha akapanda ndege ya abiria wakawaida kutoka hapo Arusha hadi uwanja mdogo wa morogoro. Hakuhitaji kupoteza muda aliondoka uwanjani hapo na kurudi nyumbani kwake ambapo aliamua kulala na alipouweka tu ubavu kitandani, usingizi ukaja ukamchota.
“nilikuona, nilikuona, nilikuona……wewe ni ………. na siyo………. kwa nini hivi unafanya, kwa nini hivi unafanya………aaaaaaaaaaaaaaaa!!!! Unanikumbuka, hautaki kunijua………….tulikutana ………….. aaaaaaaaaaaaa……………!!!!!!!!!” alishtuka kutoka usingizini Chriss ndoto mbaya sana ilikuwa ikimsumbua.
“wewe ni…… na siyo…….!!?” sauti hiyo ya mtu ambaye ni kama walionana mahali ilijirudia kichwani mwake. Yeye ni nani na siyo nani? Hakuwa akijua maana kila sauti hiyo inapofika kwenye jina ilikuwa inajichanganya kiasi cha kutokusikia ni majina gani hayo yaliyotajwa. Sura ya mtu aliyekuwa akiongea aliiyona ndotoni humo lakini hakumbuki aliiona wapi sura hiyo ya mwanamke mrembo ambaye kwenye ndoto hiyo alikuja akiwa hana tabasamu hata kidogo na kuifanya sura yake iwe ya kuogopesha.
“mimi ni nani Mungu wangu mbona sijifahamu? Na hii ndoto ni nini sasa aaah!” alijishika kichwa huku akijiuliza maswali hayo, jasho lilim mwagika kama nini sijui. Moyo ulikuwa ukibadili mapigo yake, ulikuwa ukipiga kwa kasi sana huwenda yeye hajijui ila kuna watu wanamjua historia yake na inawezekana ipo siku atajijuwa yeye ni nani. Alichukua simu yake na kuangalia muda, alichanganyikiwa kweli kwani hata kumbukumbu kuwa hapo mezani palikuwa na saa pia hakukumbuka hadi alipochukua simu mezani hapo na kuangalia muda. Ilikuwa ni saa mbili na uchafu wa dakika. Akastaajabu kijana huyo, kumbe hata muda umekwenda sana, akakumbuka kuwa alilala saa kumi za jioni na muda huo ndiyo anaamka.
“too much” akasema na kushuka kitandani akaelekea bafuni. Alipotoka akavaa nguo zake nyepesi na kuikamata simu yake. Akapiga mahali na kuiweka sikioni.
“uko wapi?” alisema.
“niko nyumbani kwa sasa” ulijibu upande wa pili wa simu hiyo.
“nakuja sasa hivi ninashida aisee”
“shida gani tena SM?”
“niruhusu basi nije”
“sijakukataza kuja ila sio kawaida yako”
“ok, dakika chache nitakuwa hapo” alihitimisha SM na kukata simu, hakutaka mjadala mrefu. Muda huo akimuacha binti wa upande wa pili wa simu kubaki na mshangao. Binti huyo aliyepigiwa simu na SM ni yule dada mfanya kazi wa kiwanja kidogo cha ndege. ambaye alikutana naye kwa mara ya kwanza wakati Chriss anatokea nchini Marekani. Dakika chache kweli gari iliunguruma nje ya nyumba ya dada huyo. Akaenda kufungua mlango na kumfuata hadi pale alipo. Akamkumbatia na kumuuliza.
“my love nini tatizo?”
“nimechanganyikiwa sana siko sawa kabisa baby” alisema Chriss.
“nini tatizo sasa?” alikazia binti huyo.
“oouh! Usijali twende ndani nitakueleza” akasema na kuelekea ndani. Walifika na kukaa kwenye sofa binti huyo akakaa kwa pembeni yake na kumlalia begani.
“hebu niambie basi”
“kazini leo wameniboa sana mpenzi, unajua mimi nikisafiri huwa sifungi ofisi yangu na ni katibu muktasi wangu ndiye mwenye mamlaka ya kuingia pekee. Sasa nimekuta tofauti kabisa kila kitu nimekikuta shaghalabaghala na nimeingia hasara kubwa sana”
“hasara ya vipi hiyo love?” ilibidi aulize dada huyo.
“kuna baadhi ya mikataba ya kibiashara imepotea na nilipomuuliza anasema ujinga, hakuna hata moja ambalo ananing’azia. Ameniboa sana alitaka kusababisha nifukuzwe kazi kabisa”
“shiit! Kwahiyo umelisovu vipi hilo tatizo jamani baby”
“nilitumia akili nyingi sana ya kuhifadhi vitu vyangu vya muhimu kwenye kompyuta yangu ya nyumbani, hiki ndicho kilicho niokoa laiti kama isingelikuwa hivyo, ningelifukuzwa kazi mapema sana”
“na huyo katibu muktasi nini umemfanyia sasa?” akauliza swali dada huyo.
“nimemuonea huruma tu na anaendelea na kazi” alijibu Chriss na kumfanya dada huyo avimbe kwa ghadhabu za wivu na kuacha kuongea kabisa, kila alichokuwa akiulizwa na mpenzi wake mahali hapo, hakujibu na alidengua hata kuamua kujisogeza pembeni. Hali hiyo ikamfanya kijana huyo kutabasamu kwa jinsi ambavyo mpenzi wake amenuna.
“yaani umenuna mke wangu?” aliuliza Chriss lakini aliyeulizwa wala hakuonesha ushirikiano wa kujibu na badala yake aliupindisha mdomo wake kama kigozi cha manati na kutazama pembeni kabisa.
“baby usifanye hivyo bwana”
“sitaki na naomba uniache, unawaacha wapenzi wako wanataka kukuharibia kazi halafu unawaacha ndiyo unakuja hapa kwangu” akalalama binti huyo na kumfanya Chriss acheke sana kwa jinsi ambavyo mtoto huyo wa kike alivyokuwa anaongea kwa kunung’unika. Kitendo hicho kikamuuzi kabisa mwanamke huyo, kitendo cha yeye kuongea halafu mpenzi wake anacheka. Akanyanyuka na kutaka kuondoka kabisa eneo hilo na amuache mwenyewe mahali hapo. Chriss akamdaka mkono na kumrudisha mahali alipokuwa amekaa.
“nilijua kuwa nikiongea hivyo utakasirika na mimi ndiyo maana nikaongea hivyo makusudi tu ili nione ambavyo utapokea” alisema Chriss kwa upole sana. Kauli hiyo ikamfanya Sauda amuangalie kwa kuto amini na ni kama kauli hiyo hakuisikia na alitaka mpenzi wake airudie.
“unasemaje?”
“amini nilichokuambia”
“baby unanidanganya umeshaniambia kuwa umemsamehe halafu ndiyo unaniambia hivyo mimi hata sitaki” aliongea Sauda kwa kudeka.
“niamini mpenzi na hata kama angekuwa mpenzi wangu nisingekubali kuendelea kumlea kinamna hiyo, yaani nifukuzwe kazi kwa uzembe wake halafu niendelee kumuacha. Please my love wewe unajua ni jinsi gani ninavyo kupenda siwezi kufanya hivyo ambavyo unafikiria.” aliamua kumbembeleza kijana huyo. Sauda akamlalia mpenzi wake, maneno hayo pekee yalimuonesha ni jinsi gani anavyopendwa. Chriss aliamua kudanganya kwa kila kitu kwani hakuwa na jinsi zaidi ya kuongea uongo mahali hapo. Lakini ukweli wa mambo aliujua mwenyewe. Kiukweli ni kwamba kijana huyo alisumbuliwa na ndoto ya ajabu aliyoiota na si kuhusu matatizo ya kazini. Mambo yale yakaisha wakaendelea na maongezi mengine. Pamoja na kwamba Chriss alikuwa ni mashine ya ngono na alikuwa akikutana na wanawake wa kila namna na kila rangi lakini kama binadamu, alikuwa na moyo ambao unahifadhi upendo na kila unapohitaji kupenda basi ni wajibu wake kupata mtu ampendae. Na kwa mantiki hiyo, Chriss akaingia kwenye upendo mzito na binti huyo. Na mapenzi yao yalikuwa ya ndani kabisa, walipendana kweli si utani. Sijui Sauda angejua kama mpenzi wake ni mashine ya ngono angejisikiaje. Hakuwa akijua kabisa kama kijana huyo kazi yake ni kutoa huduma kwa wanawake wenye pesa zao.
“mpenzi nahitaji nyumba ya kununua” alisema Chriss walipokuwa wamekumbatiana.
“kwanini unahitaji nyumba wakati nyumba unayo?” aliuliza Sauda.
“ile ni nyumba ya kampuni na hivyo napata mashaka endapo itatokea muda wowote nikifukuzwa kazi au nitakapoamua kuacha basi niwe na kwangu”
ouh! Basi ni jambo zuri kama utaamua kufanya hivyo, ondoa shaka mimi ni mwenyeji wa …………………………

mimi ni mwenyeji wa siku nyingi sana ndani, ya mji huu. Nyumba itapatikana na nzuri wewe andaa pesa tu”
pesa siyo tatizo baby” akasema Chriss na kumkumbatia mpenzi wake huyo na kummwagia mabusu ya kumwaga. Wakaingia kwenye upande mwingine wa sarafu kama wapenzi. Wakashikana shikana. Mara watekenyane, mara washikane hapa na hatimaye wote wakavua nguo na kubaki kama walivyozaliwa. wakaingia kwenye ulimwengu mwingine wa malavidavi. Walibingilishana pale kitandani, Chriss akaanza usumbufu kwenye mwili wa binti hiyo kwa kuanza kunyonya kifua laini cha mtoto huyo. Alikinyonya sana na kushuka hadi kilipo kitovu kilichoingia ndani cha binti huyo mrembo. Sauda alikuwa akilia tu kwa utamu na raha anazopewa mahali hapo. Chrisa akazidi kuunyanyasa mwili huo kwa kulamba kila sehemu iliyotakiwa kulambwa.
“ndiyo maana nakuwa na wivu sana kwako mpenzi, unauwezo mkubwa sana” alisema kwa shida sana Sauda alipokuwa akiingizwa ulimi ndani ya sikio lake la kushoto huku akiingizwa mashine ya kazi kwenye sehemu inayomfanya akamilike kuwa mwanamke kamili. kelele zilizidi kileta raha na furaha na kukifanya chumba hicho kuzizima kwa utamu uliokuwa unatolewa na kila mmoja mahali hapo.
“sijawahi kukutana na mwanaume kama wewe yaani najiona kama nimekutana na wanaume wanaocheza picha za ngono” alisema binti huyo na kumfanya kijana huyo acheke na kuzidi kumkandamiza, Chriss alicheka kwa sababu ni kama hisia za binti huyo zilikuwa zikilenga penyewe. Hata walipokuja kumaliza, binti huyo hakuwa na hamu tena ya mchezo hamu yote ilikwisha kabisa. Walielekea bafuni na kwenda kuoga wote. Binti huyo alikuwa amechoka na hakuwa na hamu kabisa ya mchezo lakini kwa Chriss alikuwa bado ana hamu sana, alikuwa tayari ameharibiwa kijana huyo na hakuwa akiridhishwa kwa penzi laini kama hilo walilolifanya mahali hapo lakini hakutaka kuhitaji tena mchezo kwa awamu ya pili kwani hiyo ingepelekea mpenzi wake kumgundua kuwa hakuwa kiumbe wa kawaida. Akaamua kuwa mpole na hata alivyoulizwa na mpenzi wake kuwa kama ameridhika ama la! Alikubali kuwa ameridhika huku moyoni akiwa na hamu kibao. Kijana huyo hakutaka kulala hapo kwa mpenzi wake kwa siku hiyo hivyo baada ya kutoka kuoga, aliaga na kuruhusiwa kuondoka. Alifika nyumbani kwake usiku huohuo akafungua geti na kuingia ndani. Cha ajabu na kilichomshangaza ni kwamba alipoingia tu mule ndani, alikuta kuna gari imeegeshwa maegeshoni. Akajiuliza sana kuhusiana na hiyo gari lakini hakupata jibu hadi pale aliposhuka kutoka garini mwake kwa uwangalifu mkubwa na kulisogelea hilo gari. Alipolikaribia ndipo akajua kuwa gari hilo ni la Suzane. Akagonga kioo cha gari hiyo na kumfanya Suzane kushtuka kutoka kwenye usingizi na kufungua mlango wa gari hiyo kwa haraka sana kisha akamvaa Chriss na kunusa nguo zake.
“ulikuwa kwa malaya SM si ndiyo?” akauliza Suzy huku akimtazama kijana huyo ambaye muda wote huo hakuelewa kilichomleta dada huyo usiku wote huo.
“umefuata nini hapa usiku wote huu?” badala ya kujibu alichoulizwa naye akauliza.
“nijibu kwanza nilichokuuliza we mwanaume”
“mimi mwenyewe malaya Suzy hivyo sioni ugumu wa kutafuta malaya wenzangu we niambie tu nini kimekuleta hapa muda huu au unataka penzi langu?” jibu alilolitoa kijana huyo lilimfanya Suzy akose namna ya kuendelea kuuliza tena kwani hata alipoambiwa aseme kilichompeleka usiku huo hakuwa na jibu.
“hutaki kunijibu siyo? Kwanza ujio wako unanichanganya sijajua umewezaje kuingia ndani kwangu Suzane” alisema kijana huyo.
“hili la kuingia kwako lisiwe swali, sisi tuna uwezo wa kuingia kwako muda wowote na hata kama umefunga na si hapa ndani ya uzio tu hata ningetaka unikute chumbani ungenikuta” aliongea kwa dharau kubwa na kujiamini sana. Kitendo hicho kikamkwaza Sex Machine na kuamua kuja juu.
“kwanini mnaifanya hii nyumba kama vyoo vyenu, kwanini lakini hapa ni nyumbani kwangu na sihitaji mtu yoyote aingie pasipo ridhaa yangu”
“hii nyumba tumekupa sisi na tuna mamlaka nayo pia” aliongea kwa dharau sana Suzy tena hata hakuwa akimuangalia kijana huyo usoni. Chrss alikasirika kupita kawaida akazidi kupanda na maneno makali.
“hata kama mmenipa nyinyi lakini si kwa kufanya kila mnachotaka naa……….!”
“SM!!! Umesahau wajibu wako si ndiyo? Hujafikia hatua ya kunipanda kichwani namna hiyo. Unatakiwa kujua unaongea na nani mjinga wewe, unajitia kiburi.” alifoka sana Suzy alimtukana kupita kawaida. Chriss akanywea na kuwa mdogo mithili ya punje ya mchele. Alijikuta akidondoka chini kwa magoti na kumtaka binti huyo msamaha. Si kama hakuweza kumfanya kitu binti huyo ila haikujulikana ni kitu gani ambacho amepandikizwa kwenye akili yake hadi anakuwa katika hali hiyo ya kunyenyekea kiasi cha kujishusha. Suzy alimgeukia na kumtazama akijifanya kuwa na ghadhabu huku moyoni akitabasamu kijana huyo alikuwa ni kama Zezeta fulani.
“SM!” aliita Suzy kwa upole tofauti na sauti yake ilivyo ya ukali. Kijana huyo akanyanyua kichwa kumtazama usoni binti huyo.
“unatakiwa kufika zero 01 house usiku huu” Sex machine akaangalia saa na kujikuta akishangaa.
“saa sita usiku nahitajika kwa mkuu, kuna nini sasa? Inasemekana hakuna mfanya kazi aliyewahi kuiona sura yake sasa mbona mimi natakiwa kwake?” alijiuliza maswali mengi sana kijana huyo lakini hakuwa na la zaidi hapo kilichofuata ni kunyanyuka na kumkaribia Suzane na kumuuliza.
“mbona saa hizi ni saa sita usiku, kuna nini huko?”
“ondoa shaka kijana ni kitu kizuri unaitiwa tena ni bahati sana kwako hii” alimjibu Suzy na kumfungulia mlango kijana huku na yeye akiingia upande wa dereva na kulitoa gari hilo ndani ya hilo lango na kwa mwendo wa kawaida likawa linasogea barabarani taratibu. Lilipoingia barabarani, mwendo ukaongezeka na kupotelea gizani. Muda wote huo Sex Machine alikuwa na mawazo sana hakujua ni nini anaitiwa huko. Na kikubwa alichokuwa akikiwaza ni kuhusu watu kuingia nyumbani kwake bila taarifa hili jambo lilimpa maswali mengi sana. Aliona uhatari mkubwa wa maisha yake kama jambo hilo likiwa linaendelea. Aliomba mungu sana Sauda apate nyumba kwa haraka kwani hali hiyo alishaichoka na hakutaka mtu yoyote ajue kuwa anatafuta nyumba ya kununua kwani alijua fika kuwa watu hao wanamfuatilia kila kona na hakutaka jambo hilo liendelee kwani hata yeye alikuwa na mamlaka yake na maamuzi yake hata kama yuko chini yao. Mawazo yake yalikuja kuacha kuendelea, baada ya gari hiyo iliyokuwa imewabeba, kupiga breki kwenye jingo moja kubwa sana. Jingo hilo la zero house. Wakashuka na kuingia ndani ya jingo hilo huku Suzy akiwa ndiye muongozaji. Pamoja na usiku kuwa mkubwa lakini shamra shamra na pilika pilika za humo ndani zilikuwa nyingi sana. Taa mbali mbali ziliwaka na kufanya humo ndani kuonekane kwa tofauti sana. Wanawake walikuwa wakikatiza huku na kule, jumba hilo lilikuwa halina mfanya kazi wa kiume bali wote waliokuwamo humo ni wanawake. Akaongozwa hadi kwenye chumba kimoja, hapa alikuta mabinti wazuri wakiwa wamejiachia Uchi kabisa bila hata haya yoyote tena walivyomuona kijana huyo ndiyo walizidisha matabasamu usoni mwao kabisa huku wakijishebedua na kuipitisha mikono yao kwenye sehemu zao nyeti wakimuonesha kijana huyo uzuri wa maumbo yao. Wakawapita mabinti hao na kuingia kwenye chumba kingine. Sex machine alitaka kuuliza kuhusu wanawake wale lakini alisita na kuzidi kuzama ndani kabisa.
“umewaona wale wanawake?”
“aliulizwa kijana huyo na Suzane.
” ndiyo” akajibu.
“wale wapo kwa ajili ya kazi moja tu ya kutoa burudani kwa wateja wa mkuu na katika chumba hiki tunachoingia kuna wengine” akatulia na mlango wa chumba hicho ukajifungua, wakaingia. Hapo waliona wanawake warembo kupindukia hadi Chrss akatamani kuendelea kubaki tu ndani ya chumba hicho. Walikuwa ni warembo sana, walivaa mavazi marefu hadi yakawa yanaburuzika kabisa chini lakini yalikuwa ni mepesi sana yalioonesha kila kitu cha ndani. Walijaaliwa maumbo ya kibantu, rangi zao za mvuto. Sex machine alijikuta akisahau kila kitu kichwani mwake na kuwashangaa malikia hao wa urembo na jinsi walivyo warembo wa kila kiungo.
“hao leo utachagua unayemtaka lakini ni baada ya kukutana na mkuu kwanza, tuwahi SM mukuu anatusubiri” sauti ya Suzane ikamrudishia akili yake ya kawaida kijana huyo ambayo ilikuwa imesha hama. Aliongeza mwendo na kisha wakakunja kulia na kutokea kwenye korido ndefu sana iliyokuwa imetulia kimya kabisa ni hatua zao pekee ndizo zilizokuwa zikisikika mahali hapo. Waliingia kushoto na kupanda ngazi fupi hadi juu na kutokea kwenye baraza ya juu. Walipofika mahali hapo, wakasimama na Suzy akasogea pembeni na kumuacha kijana huyo akiwa mwenyewe katikati. taa ya mwanga hafifu ikawaka na kummulika yeye lakini pande zote zikabaki giza.
“karibu Ziro one Sex Machine?” sauti nzito kutoka gizani ikaunguruma.
“nimekaribia Mkuu” akajibu Sex Machine. mtu huyo akaendelea.
“umebahatika kufika robo theluthi ya kinikaribia kijana lakini hata hivyo huwezi kuniona kamwe. Nimekuita hapa kwanza nikupe habari njema na habari hiyo ni pongezi kutoka kwangu za kuweza kiniondolea watu ambao wamekuwa wakiniumiza kichwa sana. Nimefarijika, maana umefanikiwa kuwakata kauli kama vile mtu atoavyo funza kwenye mguu wa mtu mwingine.” akaweka tuo na kuachia mhemo mkubwa sana kama mtu mwenye shinikizo la damu aliyetoka kushtuliwa muda mfupi halafu akaendelea.
“jambo la pili ni kukuambia kuwa kazi bado ni kubwa sana na nitakupa kazi hii baada ya kumaliza kazi zote za kampuni” akahitimisha na kimya kikatanda, mwanga ule hafifu ukaondoka na mwanga mkali ukawaka. Suzane akajitokeza na kumchukua kijana huyo na kuingia nae ndani. wakaelekea sehemu moja ambako walikuta watu wakiwa wanakunywa vinywaji kwa raha zao kanakwamba dunia hii wameumbiwa wao, hawakuwa na presha ya maisha hata kidogo. Miongoni mwa watu hao, alikuwapo mzee Rafael ambaye muda wote alikuwa akimtazama Sex Machine kwa jicho la pembe sana tangu kuingia kwa kijana huyo mahali hapo. Akajua fika kuna jambo ametenda la kumfurahisha mkuu na ndiyo maana akawa mahali hapo. Jicho lake kwenda kwa Sex Machine, halikugundulika na mwanga wa aina yoyote ile, lilikuwa ni la siri sana. Chrisss alitwaa nafasi kwenye sofa moja kubwa kisha akakamata kitabu fulani kilichopo mezani hapo akakipitia kidogo na ……………

na kuonekana kutomfurahisha, akakirudisha mezani na kutulia.
“vipi utapenda kuwa na mimi leo usiku huu?” swali kutoka kwa Suzane likakita ubongoni mwa kijana huyo. Chriss alimtazama binti huyo kisha akatikisa kichwa kushoto na kulia kukataa jambo hilo. Suzane akatabasamu kisha akasema.
“najua kuwa utakosa kujiamini kwa kuwa nilikufokea sana leo naomba usahau na unisamehe pia, ni hasira ndizo zilizonipelekea mimi kufanya vile na niko tayari muda wowote kama utanihitaji ila kwa sasa furahia kinywaji kinacholetwa” alipomaliza kusema hivyo Suzy, akaondoka kwa mwendo wa mnyama mpole wa mbuga zetu za wanyama, mnyama Twiga. Alikuwa akitingisha si haba na kumfanya Sex machine kutabasamu na kutaka hata kumuita hasa alipokumbuka utamu wa mtoto huyo wa kike alijikuta akinyoosha mkono kutaka kumuita lakini tayari Suzy alishakata kona kuelekea sehemu nyingine ya jumba hilo huko alikutana na baadhi ya wafanya kazi na kujumuika nao kwenye ulaji wa ulabu wa kigeni. Mkono wa Sex Machine ulirudi mezani baada ya kushtuliwa na sauti tamu ya mtoto wa kike iliyokuwa ikimkaribisha mahali hapo. Macho yake yakageuka na kumtazama mmiliki wa sauti hiyo adimu na adhwim kabisa. Hakuamini alichokiona hata kidogo, aliyakutanisha macho yake na mrembo wa haja tena akiwa kwenye vazi lile lile aliloliona kule kwenye kile chumba cha wale walimbwende. Vazi lisilo na kificho juu ya vile vilivyostahiki kufichwa na kuvianika hadharani kila mjamuungwana avione. Mate yakataka kumtoka, hakujua kuwa pia kama alikuwa anadeni la kupokea ukaribisho wa mtoto huyo.
“karibu kinywaji kaka yangu” sauti hiyo ikajirudia tena kwa mara ya pili ikiongezewa na neno kaka yangu mwishoni, kaka ya kugezwa, kaka isiyo na nguvu, kaka ya kutaka kumpa shida aliyeitwa jina hilo kwa jinsi neno hilo kaka lilivyotamkwa kwa matashtiti ya pwani japo mji huo haukuwa na bahari.
“asante mrembo” alijibu kijana huyo ambaye mwili wake ulikuwa ukiona vitu adimu kama hivyo hapo ambavyo havijafichwa vizuri na hili vazi, basi mwili wake unakuwa na joto la hatari sana na kujikuta akishindwa kufanya vitu vingine kabisa. Akapokea kile kinywaji sambamba na kumshika mkono binti huyo na kumkalisha kitini. Akapiga funda moja la kile kinywaji na kuiweka ile glasi mezani kisha akaanza kumshika shika binti huyo kuazia maeneo ya kifuani hadi tumboni hapa alitulia kidogo na kuanza kuchezea kitovu cha mtoto huyo wa kike kilichokuwa kimebonyea kwa ndani kisha akahama eneo hilo na kushuka chini kabisa. Aliingiza mkono ndani kabisa ya lile vazi alilokuwa amelivaa huyo binti na kupeleka mkono mahali ilipo heshima yake kama mwanamke lakini kwa hapo ilikosa kuheshimiwa kabisa na alitakiwa kufanya kile alichokuwa akielekezwa na wakuu wake. Alicheza na sehemu hiyo vile alivyotaka kijana huyo hadi pale binti huyo uzalendo wa kuendelea kuibana sauti yake ulipomshinda na kuamua kupiga kelele. Kelele hizo zilizidi na kuzidi kuwafanya watu waliopo mahali hapo wajikute wakishangaa hicho kilichokuwa kikiendelea mahali hapo. Sex Machine alizidi kufanya yake na kumvua kabisa yule binti lile vazi kisha binti huyo akawa mtupu wa ngozi kama alivyokuja ulimwenguni kwa mara ya kwanza. Umbo la mtoto huyo, umbo la kibantu, umbo lililojiachia kwa chini kuanzia kiunoni wazungu wakiita ni hipsi. Zilikuwa hipsi kweli tena za asili kabisa na sio hizo zilizopitia kwa wachina. Hilo ndilo lililomfanya Chriss apagawe kabisa na kuchanganyikiwa mazima. Alikuwa akimnyonya binti huyo kila upande kila kona na kila idara ya mwili wa dada huyo. Kelele hazikukoma na badala yake zilizidi maradufu. Malalamiko ya binti huyo yakafanya watu kujaa kabisa maeneo hayo na walijaa kimyakimya bila kupiga kelele. Dada huyo alifungua zipu ya suruali na kumtoa nyoka wa kijana huyo na kuwafanya watu wote pale wake kwa waume washangae kwa jinsi kijana huyo alivyokuwa akimiliki mzigo wa kutosha. Na si watazamaji pekee bali hata binti mshughulikaji alistaajabu ni wazi alionekana hakuwahi kukutana na kidume mwenye zana kama hiyo. Alitabasamu na kuitia mdomoni kisha akaanza makeke yake. Hadi Sex machine akadata. Muda wa kushughulika ukafika, mziki ukaanza. kujituma kwa huyo mtoto kukawafanya baadhi ya wanaume wa hapo kubaki wakiona wivu na kuona kama kijana huyo anafaidi kupita kiasi. Walipelekeshana kupita kiasi huku binti huyo akipiga kelele kwa sauti ya juu mno, sauti iliyomvuta kila mtu wa eneo hilo. Matokeo yake wakawa wamezunguukwa na watu kila upande. Dakika 45 za kumaliza mchezo huo ndiyo ilikuwa balaa, sex machine alikuwa akipiga kelele pale alipokuwa ndiyo anafika mwisho wa mchezo huo. Alipofika mshindo alistaajabu kuona anapigiwa makofi kila upande. Watu mchanganyiko weupe na weusi walikuwa wamesimama wakimpigia makofi hiyo ilimpa picha kuwa kila kitu kilikuwa hadharani. Alipomtazama huyo binti aliyekuwa akishughulika nae, alimuona akiwa amewamba tabasamu usoni mwake.
“inamaana haoni kama tulikuwa tumezunguukwa na watu” alijiwazia kijana huyo huku akimtazama msichana huyo ambaye alikuwa akivaa vazi lake kwa malingo sana. Pongezi nyingi zikatoka. Alipoangalia wale watu, alimuona Suzane na mtu kama Joesan wakipotelea kwenye kona fulani, hapo akajua kuwa kila kitu kilikuwa katika mpango. Angefanyaje sasa Chriss na wakati tayari mwili wake ulikuwa hauwezi kuzuia hisia hata kama mama yake angelikuwa hai na akaambiwa ashiriki naye tendo angeshiriki tu bila kupinga kwani hakuwa mtu wa kuelewa kuwa hili nilifanyalo hapa si mahala pake na hapafai kufanya hilo. Yeye alifanya tena kwa kujiamini sana ndivyo akili yake ilivyotengenezwa kwa wakati huo. Aliondoka hapo kwa kuchanganyikiwa sana huku akiangalia saa ambayo ilimwambia kuwa tayari ilikuwa ni saa tisa za usiku. Akamfuata Suzy na kumuomba ampeleke nyumbani akapumzike. Suzy hakusema kitu zaidi ya kumchukua kijana huyo na kutoka nae nje. Hakuongea chochote hata alipokuwa garini hadi anafikishwa nyumbani kwake alikuwa ni mtu wa mawazo sana na kila linapomkuta jambo la aibu kama hilo, hapo ndipo swali la kujiuliza yeye ni nani linapokuja. Alilala hivyo hivyo bila hata kuoga.

%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%

Chriss alikuja kushtuliwa asubuhi na mlio wa simu yake. Akaipokea kivivu sana ukizingatia pia hakulala kwa muda mzuri na alikuwa na uchovu sana. Alikutana na sauti ya Suzy iliyomtaka asichelewe kufika kazini. Akajinyanyua na kuingalia saa yake ya ukutani ambayo ilimwambia kuwa kwa muda huo ilikuwa tayari imetimu saa 06:46. Akajishauri kwa muda na kuamu kulala tena, haikuchukua muda sana akakurupuka na kutoka pale kitandani. Akakimbilia bafuni na kwenda kujimwagia maji, alioga haraka na kurudi tena chumbani akavaa na kutoka kuelekea kazini bila hata kupata kitu cha moto chochote tumboni. Alifika ofisini na kutakiwa kuelekea katika ofisi ya Suzy, akatundika koti lake la suti juu ya kiti chake cha ofisi na kuelekea kunako wito.
“ni muda wa group sex nadhani hilo ulikuwa nalo katika akili yako kuwa ni nini kinafuata baada ya kumaliza hatua ya kwanza” maelezo kutoka kwa Suzy yalikita moja kwa moja ubongoni kwa kijana huyo mara baada ya salamu. Chriss akainua kichwa juu na kukishusha chini, alifanya hivyo mara tatu kama ishara ya kukubali kile alichoambiwa. Binti huyo mrembo akaendelea.
“kazi hiyo inaanza leo jioni na itafanyika kwenye jumba la siri ambalo linatambulika kama Happy Club. Hapo ndipo michezo yote itakapofanyika na iko hivi, leo utaanza na watu wawili na utacheza mchezo mmoja ila kesho utacheza michezo miwili yaani asubuhi utacheza na wanawake watatu na jioni utakutana na wanne na utakuwa ukifanya hivyo kwa siku nne”
“ngoja Suzy,”
akasema Chriss kisha akandelea kwa kuuliza hilo alilotaka kuuliza.
“unataka kuniambia hao wote nitafanya nao mapenzi?”
“ndiyo, SM na hao wote wanatakiwa waridhike ni pesa nyingi utapata hapo na pia kampuni itaingiza pesa nyingi sana kupitia hapo kwani wanawake hao wametoka mbali sana kufuata huduma yako ni wazi wamepata sifa zako kwa watu mbalimbali ambao umeshiriki nao” kauli hiyo ya Suzy ikamfanya kijana huyo ashushe pumzi nzito sana.
“inamaana haya ndiyo maisha yangu? mbona nipo katika wakati mgumu sana?” alijiuliza SM akiwa hajielewi kabisa. Kukataa kwake ndilo lilikuwa swala lisilowezekana kabisa alijikuta akikubali. Na alitakiwa kufanya hivyo kwani hakuwa na sauti na si sauti pekee pia maamuzi kwake hayakuwepo pindi tu inapotoka amri kutoka kwa watu hao. Baada ya kupokea maelekezo hayo, alitoka hadi ofini kwake akajikalisha kitini kwake na kutafakari hili na lile.

“hivi yale yaliyofanyika pale zero one ni akili yake yule kijana au ni nini?” alikuwa akijiuliza mzee Rafael, mzee mwenye busara ya hali ya juu sana na ni mzee mwenye maono makubwa sana. Mzee huyu alikuwa akimshauri sana mzee mwenzake Mgobo ambaye ni marehemu kwa sasa kuhusu kuachana na kumfuatilia Joesan. Lakini kiburi pamoja na tamaa ndizo zilizomuingiza mzee huyo kwenye matatizo hadi alipokutana na kifo. Si kama kitendo kile cha kumshauri mzee mwenzake, kilitokana na kuipenda tabia inayoendelea ndani ya kampuni hiyo bali alijua fika kuwa anachokifanya mwenzake ni kitu cha hatari sana. Mzee huyu hakuwa akizipenda tabia hizo japo ni mfanya kazi wa kampuni hiyo kwa muda mrefu. Alipingana na tabia hizo pindi tu Joesan alivyokuwa akitekeleza mauwaji ya kinyama kwa kila mfanya kazi ambaye hata tenda kazi kwa weledi. Kitengo hicho kinachosimamia masuala ya kijasusi na masuala ya biashara haramu, kilikuwa ni kitengo cha siri sana na hakukuwa na mtu ambaye angethubutu kusema kuwa anaacha kazi na akaachwa hai. Muda wowote unaweza kupata ajira kweye kampuni hiyo hususan kwenye kitengo hicho lakini huna mamlaka ya kuacha na unaposema unaacha basi umekiruhusu kifo chako. Mara ya kwanza wakati Rafael anaingia kwenye kampuni hiyo kama mratibu wa mambo ya siri na mipango huku mwenzake ambaye alikuwa ni Mgobo kipindi hicho yeye alipewa kitengo cha ufundishaji ngumi kutokana na uwezo wake wa kimapambano, kipindi hicho Joesan akiwa kijana mdogo kabisa tofauti na wao. Alikumbuka kauli moja kutoka kwa Joesan ambaye ndiye alikuwa mkuu wa kampuni hiyo.
“niwakaribishe sana ndugu zangu na niwape maneno machache yatakayokwenda kuwa ni silaha kwenu vilevile ni kama onyo kwenu. Mnapoingia humu ndani mkumbuke kuwa ………
kuingia ni rahisi na kutoka ni vigumu, kila kinachoendelea hapa ni siri tena siri kubwa kukubalika kuingia ndani ya kampuni hii ni mkataba tosha na uzembe ni kukiita kifo chako mwenyewe.” alishusha pumzi nzito Rafael na kujiigamiza kitini kwake vizuri mara baada ya kukumbuka maneno hayo.
“nilikubali kuingia hapa kutokana na maisha yalivyo magumu mtaani, nilikubali kuwa mafia kwa sababu tu sekta hii naimudu na nilifanya mambo haya kipindi cha ujana wangu. Najua madhara ya kazi hizi, najua ni kiasi gani unapoteza roho za watu wengi unapokuwa katika kazi hizi, Chriss namhurumia sana huyu kijana.” aliweka tuo Rafael na kuvuta pumzi tena na kuziachia kisha alichukua chupa ya maji na kupiga funda moja kubwa kabla ya kuirudisha chupa ile mezani kwake na kuendelea kuwaza na kuwazuwa.
“sina jinsi na siwezi kumsaidia najua nikifanya hivyo nami naweza kuingia kwenye matatizo au hata kufa kabisa lakini ninaimani sitoweza kumuacha aendelee kuangamia. Chriss ni kama mwanangu, Chriss hakustahili kuwa namna ile. Kijana mzuri, kijana mtanashati, kijana ambaye ni mpole, hakustahili kuwa pale. Jana nimeumia sana kumuona anafanya mambo yale hadharani, Chriss amekuwa kama Mbwa kiasi cha kujifanyia, aaaaaah!, kujifanyia ujinga namna ile. Hivi kweli Joesan anaweza kufikia hatua mbaya kiasi hiki, angeweza kumfanyia hivi mwanae wa kumzaa?” Chozi zito lilimdondoka mzee Rafael, uchungu mkubwa aliokuwa nao mzee huyo moyoni mwake, sijui kama ungeonwa na Joesan, sijui angefikiriwa vipi.
“Chriss amekuwa hajitambui leo, amekuwa kama mnyama mbaya aaah!!” alitoa sauti kidogo na kujinyanyua kutoka pale kitini na kwenda mahali ambako ndipo ilipo shughuli yake. Akafika hapo ambapo anapatumia kwa kuzalisha vijana wenye nguvu na katili sana. Akawatazama vijana hao ambao anawaivisha yeye mwenyewe ili tu wawe silaha hatari za kufanya maangamizi popote pale watakapo tumwa.
“hakika naamini sasa kuwa dunia inamengi yaliyofichamana” akasema kauli hiyo na kuingia kati kabisa na kuanza kuwafundisha vijana hao.
“hapo unaweza kufa kizembe, watu hawapambani hivyo na ukithubutu kumkabili adui yako namna hiyo ni sawa na kumpelekea roho yako kizembe” aliwaka mzee huyo kwa sauti kubwa na alioneshwa hakupendezewa na mchezo aliokuwa anaufanya kijana wake mahali hapo pa mazoezi. Alimfuata na kumkunja kisha akamuita na kumwambia amshambulie.
“mimi ni adui yako, usinichukulie kama mwalimu wako. Sasa njoo unishambulie na ujue pia ukija kinyumbu utaumia” alisema mwalimu Rafael akiwa hana tabasamu hata la kuchonga usoni mwake. Alisimama wima na kijana wake akakaa kimapigano akiwa tayari kumvaa mwalimu wake. Alijivuta kwa kasi kubwa na kupeleka mapigo mawili ya karate lakini kijana huyo wa zamani alihama kitambo kingi na kusimama nyuma ya mwanafunzi wake huyo. Mwanafunzi aligeuka kwa kasi kabla hajapokea pigo la adhabu kutoka kwa mwalimu kisha akaja tena na mapigo mengi ambayo mzee huyo alisimama imara na kuyatoa kisha akapiga pigo moja la kifua ambalo lilimshinda nguvu kijana huyo na kumpeleka chini akiwa anakohoa.
“unarusha mikono vizuri lakini mikono yako haina malengo na ni mizito sana kiasi kwamba kama unakutana na adui mwenye kasi ya umeme, unaangamia” alizidi kuelekeza Rafaeli huku akiwa amempa mgongo yuke mwanafunzi halafu akageuka kwa kasi na kuanza kufoka, aliwambia kuwa wajikaze siyo kulegealegea.
“hapa ni jeshini vijana, maisha yenu yote yako hapa na jua ukileta mchezo unafia hapa. Unapigwa pigo moja tu hadi muda huu unagaagaa hapo chini kama mwenda na Upwa.” alimfuata yule kijana na kumyanyua kisha akampa makonde ya nguvu na kumrudisha tena chini kwa kipigo kikali.
“washenzi sana nyinyi, mnadhani hapa mmekuja kutafuta wachumba, hivi ni vita pambaneniiiiiiiiiii!!!!” alifoka kwa sauti kisha akasema.
“endeleeni kutiana vidole hapo, kesho tunaingia katika awamu nyingine na hiyo ni ngumu sana. Siamini kama mwalimu wenu Mgobo alikuwa akiwafundisha nyinyi, mmekuwa kama ndizi mbivu iliyooza” alipomaliza kusema hayo, aliondoka na kuwaacha vijana wakiendelea kufanya mazoezi ya nguvu.
Kila mmoja akabaki akijiuliza mwalimu wao ameamkaje kwanza tangu asubuhi hajaonekana na muda huo ambao anaonekana, anakuja na moto si utani. Hawakukosea, ni kweli isiyopingika kuwa mzee huyo hakuwa sawa hata kidogo. Alishakuwa na mawazo mengi sana juu ya mwenendo wa kampuni hiyo, hakupendezewa nao kabisa hasa pale alipomuona Chriss akifanya mapenzi hadharani bila kuwa na haya, hii ilimuumiza sana na ni bora hata alivyoondoka hapo kwenye uwanja wa mazoezi maana angeendelea kuwepo angevunja mtu mbavu kwa jinsi alivyo na ghadhabu.
“huyu mzee ni mwalimu mzuri naona vijana wanaiva kweli tofauti na walivyokuwapo mwanzo” alizungumza Suzane akiwa juu ya lile jingo pembeni yake akiwepo bosi wake bwana Joesan.
“yule mpuuzi sijui alikuwa anawafundisha nini hawa vijana, walikuwa wazembe sana ila kwa sasa Rafael anafanya vizuri na ninaimani nae sana” aliongea Joesan kisha wakaondoka hapo akiwa ametangulia Suzy mbele na bwana huyo kufuata nyuma baada ya kumuangalia dada huyo kwa macho ya kumtamani.
“huyu naye lazima nimpate na nilale nae hawezi kunikatalia mimi ni bosi wake bwana” alisema kisha akaskuti kwa muda na kuendelea tena.
“lakini hapana naweza kuharibu kazi Suzane ananiheshimu sana na anatenda kazi kwa moyo kabisa.”

Sex Machine alianza kazi rasmi na muda wa kazi hiyo kuanza ulishatimia tayari. Saa 18:30 jioni. Chriss anazama ndani ya Clabu Happy, jingo kubwa na ni jingo lenye kila uchafu ndani yake na hili ndilo jingo ambalo linamuingizia pesa nyingi sana mzee wa ki korea kuliko majingo yake yote. Hapo ndipo zinapofanyika sherehe mbalimbali za wanaume wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja almaarufu kama Mashoga. Na sherehe hizo hufanywa kitaifa na kimataifa na ni kwa siri kubwa sana. Ni nani anajua kama Happy Club inafanya mambo ya kifirauni kiasi cha kupitiliza kabisa. Serikali ya mkoa huo ilikuwa imevishwa mawani ya bati kiasi cha kuifanya isione yale yanayofanyika ndani ya Club hiyo. Hata kama wakijua basi wanashindwa kufungua midomo yao kutokana kupewa kifunga kinywa huku serikali ikichukua kodi nono kutoka kwa ukumbi huo wa starehe. Nani atajua na ajue muda gani? Nani anajua kama baadhi ya wafanya biashara wakubwa na viongozi mbalimbali wanaosapoti usodoma huo nao wanalijua jingo hilo na wanalitumia? Nani anajua kuwa hapo ndipo wanapoangamia mabinti wadogo kwa kujiuza au hata kuuzwa kwa vibosile wenye ukwasi wa mamilioni? Ni nani atajua. Jingo ambalo vijana wengi wanapopata pesa huenda kujiburudisha kwa kunywa kidogo na kusakata rumba na wapenzi wao na hata watu wasio na wapenzi, hubebwa na ile kauli ‘utalindwa na mfuko wako’ ikiwa na maana ya kwamba kama huna kitu ndiyo utaishia kuwahesabia wanawake wazuri na kuwaona kwenye magazeti na sinema mbalimbali hata kama ungekuwa handsome kiasi gani na wenye nazo ndiyo wanajichukulia na kwenda kuvinjari nao hata kama wanasura mbaya kabisa. Wewe utabaki kusema ni kizizi ndicho kinacho tumika lakini hukumbuki kuwa hakuna kizizi zaidi ya pesa. Pamoja na burudani na matamasha mbalimbali ya kuvutia lakini ndani yake hawakujua kama kuna vitu vibaya vinafanyika na laiti kama wangalijua, wasingali thubutu hata kulipitia pembeni yake jingo hilo lenye makazi yake Masika ndani ya mji huo wa Morogoro. Sex machine baada ya kuingia ndani hapo, alipokelewa na muziki uliokuwa unakita kwa nguvu sana kwenye ngoma zake za masikio huku vijana na wazee, wanawake na mabinti wadogo wakiruka ngoma siku hiyo ya weekend. Alipokelewa hapo na dada mmoja na kumoitisha kwenye korido kadhaa huku wakipanda ngazi kadhaa hadi wakatokea kwenye ukumbi mmoja mkubwa. Hapa alikuta wanawake na wanaume wakiwa wanacheza kamari huku wanawake wakiwa watupu kabisa. walionekana ni watu na mali za kidunia. Alipitishwa hapo na kuja kutokea kwenye korido moja kubwa hapa akaambiwa asubiri, akatulia hapo kimya na muda huo huo wakatokea wanawake wawili hawa walikuwa ni mabinti wadogo kabisa. wakampokea yule dada kisha yeye akarudi na kumuacha Sex machine akizidi kupelekwa ndani kabisa ya jingo hilo kubwa kabisa. Walimfikisha kwenye chumba fulani na kisha wale mabinti wakaondoka na baada ya sekunde sitini, wakatokea mabibi wawili wa kizungu, hawa walikuwa ni watu wazima na kwa kijana kama Chriss alitakiwa kuwaita bibi kwa heshima ya kiafrika. Mabibi hao walikuja na kumvua koti lake la suti na kuliweka vizuri kwenye sofa moja lililokuwa halijakaliwa na mtu kisha wakapambua nguo zao na kubaki wakiwa hawana hata kitu miilini mwao. Sex Machine akajua ama kweli ukishangaa ya Musa utayaona ya Firauni. Hapo kweli aliyaona ya Firauni. Mabibi wale wakaanza kumshika shika, Sex Machine alikunja sura kama mtu ambaye hakuwa tayari kufanya huo mchezo lakini haikuwa hivyo bali alikuwa akijiuliza ni jinsi gani ataanza, je, atawashikia wapi watu wazima hao ambao hata miili yao imeishaingia ubaridi damu hazichemki. Hakujua na pia alisahau yeye ni nani labda.. Bibi mmoja akautoa udude wa Sex machine na kuanza kuusugua na viganja vyake vyote viwili vya mikono yake huku mwengine akimlambalamba kijana huyo kwenye kifua chake ambacho kilikuwa kiko ndani ya vazi maalumu la kazi ambalo si rahisi kwa mtazamo wa kawaida kugundua. Hapo ndipo Sex machine alipopandishwa midadi, joto la mwili likapanda kwa kasi kubwa. Wale mabibi wakazidisha kasi ya kile walichokuwa wakikifanya mahali hapo. huyu alifanya hiki na yule alifanya kile. Midadi ikawapanda na wote wakatabasamu wakiamini sasa wamemuingiza mtu kwenye mpango wa kuweza kutimiza haja zao kumbe hawakujua kuwa kijana huyo ametengezwa maalumu kwa kazi hiyo ya ngono.
“yaaah, yaaah, oooyeeea!” walikuwa wakilalama mabibi hao kwa jinsi walivyokuwa wanazidi kushikwa kila upande wa miili yao. Sex machine alikuwa tayari udude wake umeshatiwa kinywani si chini ya mara moja naye kwa muda huo alikuwa amepiga magoti na kuanza kuzitembezea ulimi tupu zao kila moja kwa wakati wake na kucheza na mikono yake ili kuweza kuwapagawisha bila kupendelea upande mmoja. Kelele zilijaaa humo ndani si kitoto huyu akilalama hivi yule atalalama vile, Sex machine alikuwa akizifakamia …………

tupu hizo kila moja kwa nafasi yake. Mabibi hao walipagawa na mmoja akapanda juu na kuukalia udude wa kijana huyo na kuanza kujisukuma na Funyo aliyetupwa juani. Huyo mwengine akiwa analamba hapa mara pale alimradi tu kumpa kijana huyp mshawasha wa kuweza kumpa dozi ya haja mwenzake. Ulikuwa ni mchezo ambao kama ungepata bahati ya kuushuhudia, ungesema labda Sex machine angeweza kuwauwa mabibi hao kwa jinsi alivyokuwa akiwakunja na kuwakunjua na kuwasukumia dude lenye ujazo ndani ya tupu zao. Lakini wakati yote hayo yakiwa yanafanyika, lile vazi lililopo mwilini mwake lilikuwa likiendelea na kazi yake ya kurekodi kama kawaida na kurusha picha hizo automatic kwenye ofisi za Tai, mtaalamu wa mambo ya mitambo na Tai huzirusha studio kwa ajili ya kufanyiwa kazi. Chriss hakujua masikini kama hapo alikuwa akitengeneza video za ngono na kwa kipindi hicho alicho nacho ni kipindi cha Group Sex. Shughuli hiyo ilikwisha baada ya kila mmoja kuridhika, mabibi hao walikuwa hoi kabisa na hawakuwa na hamu tena ya mchezo huo na hapo walikuwa wawili je, angekuwepo mmoja peke yake ingekuwaje. Sex machine alijiweka sawa kisha kukaingia wale wanawake wadogo na kuchukua tena na kumtoa humo ndani hadi pale walipompokea ambapo walimkuta yule dada na kumuacha hapo na wao wakarudi. Kijana huyo alitoka ndani ya jingo hilo ikiwa tayari giza limesha chukua nafasi yake. Alikamata usafiri na kutitia eneo hilo. Alifika nyumbani kwake ikiwa tayari ni saa 20:53. Akaoga, alipomaliza alijituliza sebuleni kwake lakini muda huohuo simu yake ya mkononi ikaita, akaipokea na kuiweka sikioni.
“nyumbani.”
“muda huu?”
“ok, nakuja” mdivyo alivyosikika alipokuwa akiongea na simu hiyo. Akatoka hapo na kuchukua funguo ya gari yake kisha akafunga mlango wake na kuelekea maegeshoni. Aliliondoa gari hilo taratibu hadi alipoikanyaga lami hapo ndipo alipoongeza kasi ya gari yake. Dakika kumi na tano zilitosha kabisa kumfikisha huko alikokwenda, alipiga breki kwenye jingo moja na kushuka kisha akaelekea ndni ya nyumba hiyo.
“karibu jamani Baby?” alikaribisha mwenyeji.
“nimekaribia tayari haya nipe habari maana na wewe kwa kupenda kunipigia simu usiku hujambo” aliongea Sex machine.
“unafikiri muda wa kukupigia simu mchana mimi nitautoa wapi na wakati unajua fika kuwa kazi yangu mimi muda wote ni mishemishe tena ushukuru sana leo huwa hakuna mambo mengi kazini lakini ningekupigia saa tano kama kawaida”
“haya bwana, niambie baby wangu” aliongea Sex machine na kumuangalia Sauda usoni.
“mpenzi wangu hapa hakuna jipya sana nililokuitia, kikubwa ni kuhusu ile kazi uliyonipa nikufanyie imezaa matunda”
“waooh! Ni mjengo poa sana eenh?”
“siyo poa tu bali ni bonge la jumba la kisasa kabisa na lipo mjini siyo pembeni ya mji na pia ipo nyingine hii nayo ni nzuri zaidi lakini iko nje sana ya mji” alizidi kuongea Sauda.
“kazi nzuri nadhani sasa ni kuzinunua tu”
“he unazinunua zote baby?”
“hapana uwezo huo sina nitaangalia moja inayonifaa kisha nitaichukua hiyo hiyo”
“basi sawa nafikiri kesho ni siku nzuri kwa sababu siendi kazini nadhani tutaitumia nafasi hiyo kwa ajili ya kuziona na kufanya taratibu nyingine”
“kesho saa ngapi” aliuliza SM.
“kesho kuanzia saa tano hivi asubuhi” alijibu Sauda na kumfanya kijana huyo afikiri kwa muda kuhusu ratiba ya hiyo kesho na jinsi atakavyo jigawa maana siku hiyo ndiyo siku ambayo atakuwa ka michezo miwili asubuhi na jioni na asubuhi atakuwa na wanawake watatu na jioni anamaliza na wanawake wanne. alipopata jibu la kujua ni vipi atajipanga, alimjibu pouwa kisha wakakatisha maongezi na mtoto huyo wa kike akaingia jikoni kuandaa chakula kwa ajili ya kupata chakula cha usiku kwani Chriss alikuwa akilalamika njaa sana. Muda si mrefu chakula kikawa tayari, wote wakajumuika mezani.
Chakula kitamu sana mke wangu, najisikia raha sana ninapokula chakula chako” alisifia Chriss na kumfanya Sauda atabasamu kwa furaha sana.
“kweli baby?”
“natamani hata nisiwe nakula kwenye ma migahawa na kuja kula kwako sema tu umezidisha uchakalikaji mke wangu”
“nitafanyaje sasa mume wangu na ni kazi, ila nakuhakikishia ukishanioa naachana na hii kazi na kufanya biashara kwani hata elimu ya biashara ninayo ya kutosha na nitafanya hivyo kwa ajili ya kuwa karibu yako zaidi mume wangu na familia tutakayo ianzisha” maneno hayo yalimfanya Sex machine ashindwe kuendelea kula na akajikuta akiingia kwenye tafakuri nzito sana. Alijiuliza mengi Chriss, ni kweli kwa kazi ile ataruhusiwa kuwa na mke, kwani anahisi pia hata hapo alipo na mahuaiano naye ya kawaida tu kama watagundua wanaweza wakamuangamiza mwanamke huyo. Siri yake ya kutomwambia yoyote kama anampenzi na anampenda kuliko kawaida, ndiyo inayomfanya binti huyo aweze kuishi kwa amani. Aliamua siri hiyo asimwambie mtu yoyote zaidi ya kujulikana na moyo wake tu na si vinginevyo. Upole wake wa ghafla mahali hapo na kuacha kula kwa muda, kulimfanya Sauda ashtuke na kumuuliza mpenzi wake kulikoni. Pamoja na kumuita mara ya kwanza na ya pili lakini kijana huyo hakuonesha dalili ya kusikia hadi alipoguswa ndipo akashtuka.
“haaa! Baby jamani, yaani muda wote huo nakuita uko kimya nini tatizo?” aliukiza binti huyo mrembo.
“dah! Kila nikivuta picha sielewi, sijui itakuwaje hiyo siku ya harusi nipo kwenye suti za gharama na wewe ukiwa kwenye shela la thamani ya juu kabisa. Ni wazi nitakuwa chizi siku hiyo” alidanganya Chriss huku akitabasamu na kumfanya mpenzi wake asiwe na kitu cha kusema hapo zaidi ya kuchanua tabasamu usoni mwake na kumfanya azidi kuvutia sana.
“sijui akijua kuwa siwezi kumuoa itakuwaje? Roho inaniuma sana nampenda sana huyu mtoto kiukweli na kila nikiwa naye karibu naona kama tayari nimeoa aaaaghr!!!” aliumia kupita kiasi, hakujua afanye nini.
“nitakubeba juu juu siku ya harusi yetu kanisani, nitakurusha na kukudaka. Unajua nakupenda sana Sau mpenzi, wewe ni wa pekee sana, nafanya………..!” alikatisha kauli yake ni kama kuna kitu ambacho hakustahili kukisema na alitaka kukisema. Tone kubwa la chozi likamdondoka kutoka upande wa jicho lake la kushoto. Sauda akajua kuwa maneno hayo yanatoka moyoni mwa shababi huyo na ndiyo sababu anatoa chozi hilo. Ni kweli yalitoka moyoni hayo maneno lakini si hayo tu yaliyomtoa chozi bali kuna mazito yanayouchomachoma moyo wake na kuuwanika kwenye jua la katikati ya siku kisha kuumwagia mafuta ya petroli. Sau, akachukua jukumu la kumfuta chozi hilo mpenzi wake huyo na kumtia moyo kwa kumwambia hata yeye anampenda na yuko tayari kufa kwa ajili yake.
“ila sitaki unirushe juu mpenzi maana nahisi wakati wa kunidaka, anaweza kutokea Mbu jike mwenye wivu na kukuuma ili tu uniachie” kauli hiyo, ikampa tabasamu kijana huyo lakini cha ajabu, machozi ndiyo yalikuwa ya kuzidi. Kazi aliyokuwa akiifanya ilikuwa ni kama kaa la moto kwenye pembe ya ukuta wa moyo wake na hapo lilikuwa likifukuta joto na kuufanya moyo huo, utoe jasho lenye maumivu makali mithili ya Inzi mkubwa aliyeking’ong’a kidonda kilichojenga uwanda wa matumaini ya kupona.
“ninaimani hatatokea mtu yeyote mwenye kisongolokwinyo, acha huyo Inzi” alisema kwa sauti nzito ilioonesha dhahiri kuwa alikuwa akipambana na maumivu makali ya moyo.
“nitakuoa Sau wangu, nitakuoa na harusi yetu haita fungiwa ndani ya udongo wa nchi hii nisiouelewa kama uko na thamani hata ya kuruhusu shela lako la kunyurutika, liburutike juu yake” yalikuwa ni maneno mazito ambayo Sauda hakuyatilia maanani lakini ni wazi yalikuwa na maana kubwa sana. Alijiona kama yeye si wa nchi hii ya Tanzania kwa jinsi asivyo thaminika. Sauda alitoka kwenye kiti chake na kuja upande aliopo Sex machine kisha akampa kumbatio mwanana na busu la kumpoza machungu sambamba na kumfuta machozi kwa khanga aipendayo. Kijana huyo akapoa na kulirudisha tabasamu lake la awali mahala pake. Wakacheka, Wakala hadi wakakashiba kabisa. Wakatekenyana lakini Sauda hakuwa tayari kufanya mapenzi kwa siku hiyo kwani alisema amechoka sana. Akaahidi kufanya siku inayofuata kutokana na kuwa atakuwepo nyumbani tu siku hiyo. Chriss akaaga na kuondoka huku wakipeana ahadi ya kukutana siku inayofuta.

%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%

Siku ya juma pili ni siku ambayo watu wengi walikuwa hawaendi kazini, siku hii wengi waliitumia kufanya ibada na wengine wakiitumia kuwa karibu na familia zao. Ni siku ambayo hata Joesan alikuwa akiiheshimu sana, muda huo wa asubuhi aliamka mapema kabisa huku akiwa amepunguza kisirani kwa mkewe, hiyo ikiwa ni baada ya mkewe kuacha kuuliza habari za Chrss, hapo ndipo urafiki na mapenzi yaliporudi kwa kasi kubwa kama mwanzo. Siku hii hata Joesan alimjua Mungu na muda huo alikuwa kwenye kanisa moja kubwa linalopatikana mjini hapo akionekana akisali. Hapo ndipo utakapojua kuwa mwenye pesa ni vigumu sana kuuona ufalme wa Mungu kama pesa zenyewe zinachumwa kwa kuharibu damu za watu. Tajiri wa namna hii kuuona ufalme wa Mungu ni sawa na Ngamia kupita kwenye tundu la sindano. Kwani wakati yeye akiwa anafanya ibada muda huo, ndiyo muda ambao Sex Machine anaingia kazini kwenda kufanya kazi ya kitumwa. Wakati yeye anacheza na kumuimbia Mungu, huku kijana Chriss ndiyo alikuwa anavuliwa nguo kwa ajili ya kupambana na miili minne ya kike iliyoshiba tena yenye munkari ya kufanya tendo hilo asubuhi hiyo. Wakati yeye anamtolea sadaka Mungu, Sex Machine anawaingilia wale wanawake kinyume na maumbile kwa amri zao. Ni vipi Mungu atakwenda kukubali sala ya Joesana na wakati Chriss anaelekea kwenye jumba la 03 kwenda kufanya ngono. Ni vipi Mungu atazipokea nyimbo za Joesan, wakati Chriss anavuliwa nguo ili kuingia kwenye ngono. Na ni vipi Mungu atazipokea sadaka za Joesan, wakati Sex machine anawaingilia wanawake watatu ama wanne kinyume na maumbile kwa amri zao zisizo pingika huku wakijilinganisha na muumbaji wa ardhi na mbingu waishio wao. Huyo siyo Mungu huyu aliyemuumba Chriss labda au labda ni mungu …………………

waliomuumba wenyewe.
Kazi ya Sex machine iliendelea na wala haikukoma kamwe, aliwachezea wanawake kwa vile alivyotakiwa kuwachezea. Hakuwa na muda wa kupinga wala kuwapangia waliomtengeneza na kauli hiyo hakuwa nayo alikuwa mithili ya bubu Chriss/Sex machine. Alifanikisha kutembea hadi na wanawake kumi kwa wakati mmoja Chriss alijikuta akikosa nguvu na kushindwa kabisa kutembea baada ya kutoka kwenye mchezo huo, walikuwa ni wanawake wenye nguvu sana na waliompelekesha. Sex Machine alifikishwa mshindo zaidi ya mara nne na mchezo huo ulichukuwa masaa si chini ya matatu hadi kuisha kwake. Sex mchine alifanya kukokotwa mara baada ya kumaliza tu kuwaingilia wanawake hao na kupelekwa kwenye chumba ambacho alipumzishwa na kupewa chakula ambacho kilimpa nguvu hadi pale nguvu zake ziliporejea kabisa ndipo alirejea nyumbani kwake.

Huko London Mambo yalikuwa moto, mwana mama wa kizungu alikuwa akipanga vijana wake wa kazi ambao wote walikuwa ni wanawake. hakutaka kushindwa kabisa kumkamata huyo kijana anayeitwa Sex Machine. Mbinu kabambe zilikuwa zimeandaliwa za kuhakikisha kijana huyo anatiwa nguvuni iwe kwa mtindo wowote ule.
“kitu tutakacho kifanya ni kuingia kwenye mtandao wao wa kijasusi au kuvamia mawasiliano yao ili kuweza kujua ni siku gani atatumwa kwenda wapi. Nilikuwa na uwezo wa kuwaambia kuwa tutumiea njia ya kumhitaji kingono lakini si njia ni ipendayo na naichukia vibaya sana” alikuwa akitoa maelekezo mama huyo kwa vijana wake wa kike wa kazi. Akaendelea.
“hatutatumia njia tuliyoitumia awali bali tutatumia njia nyingine kabisa ambayo hata yeye itamchanganya. Tutakwenda wengi hii itasaidia, hata kama ni mzuri kwenye kupambana lakini kwa mfumo tutakao utumia ni wa kipekee sana na utamshinda.” aliposema hivyo mama huyo, wasichana wale wakafurahi na kukaa tayari kusubiri siku husika ya kazi.

“muache apumue kwa siku hizi mbili kisha nimtume kazi yangu ya kwenda kuniondolea mshenzi mmoja kisha akirudi, ataingia kwenye hatua ya mwisho ya kuwaingilia mashoga.” alizungumza mr. Kim akiwa na Joesan wakijipongeza kwa kupata mashine ya kazi.
“hakuna shaka Mkuu nadhani baada ya hatua zote kuisha tutakuwa tunachukuwa oda kubwa tu ili asiendelee kukaa bure lazima atumike kwani yupo hapa kwa ajili ya kazi hiyo tu” Joesan alichangia mada. Wakacheka na kufurahi wakaendelea kunywa kwa furaha kubwa kabisa. Pesa ilikuwa inaongea utawaambia nini watu hao ambao dunia wameifanya kama yao kwa jinsi wanavyofanya watakavyo. Starehe iliendelea mahali hapo, walijiburudisha na muziki ambao ulikuwa ukiongeza chachu ya kuendelea kukata kilevi hicho.

Chriss alikuwa amechoka sana na hakuwa na hamu ya kufanya kitu chochote kwa siku hizo mbili ambazo alipewa kwa ajili ya mapumziko, muda wote alikuwa ni mtu wa kujiwazia mengi na hakuacha kuikumbuka siku ya mwisho ya mchezo wa ngono aliokuwa akiufanya,siku ya juma pili.
“kwanini hawakuniambia sasa kama jana ndiyo ilikuwa ni siku ya mwisho kufanya group sex. Walikuwa na lengo gani na mimi kuniambia kuwa nakwenda kukutana kimwili na wanawake wa nne halafu kila baada ya sekunde moja wakawa wanaongezeka na kuwa wengi vile. Walitaka kuniuwa au? Aaaa! Mungu wangu ni kweli mimi thamani yangu ni hii ya kupambana kimwili na zaidi ya wanawake kumi? Niambie basi Mungu wangu, hawa si watu kabisa japo niliwaamini lakini sasa naona kuwa wanampango mbaya na mimi na lengo lao ni kuniangamiza.” aliwaza Sex machine na muda huo ndiyo Ikiwa ni siku ya mwisho kwake kukamilisha kazi yake ya group sex. Alizitumia siku hizo kwa ajili ya kufanya mazoezi ya kawaida na mepesi kwa ajili ya kujiweka vizuri zaidi kuurudishia mwili wake nguvu.
“unaweza ukawa na akili nyingi sana na akili yako ikakuponza. Unaweza ukawa na uwezo mkubwa wa kufanya maajabu makubwa na uwezo wako pia ukakuweka matatani. Sina hakika kama kila mwenye taaluma yake anaitumia vile apendavyo na kumridhisha, wengi hutumiwa na kupelekeshwa pasipo matakwa yao” Rafael alikumbuka maneno yake alipokuwa akiwaza siku moja akiwa kijana kabisa. Mzee huyo alikuwa ameketi kwenye kiti kidogo nje ya bustani ndogo ya nyumbani kwake mida ya jioni. Ni kama mzee huyu alikuwa na jambo kichwani mwake lakini hakutaka liwe bayana jambo hilo.
“maisha yanamwisho tunajua, lakini mwisho wa maisha hayo wengi hufika kwa kulazimishwa, nasema haya kwa sababu sidhani kama Chriss anajua kuwa anaongozwa na pale alipo hana anachokijua” alizidi kuwaza mzee huyo. Akawa anazidi kutembea kwa hatua za taratibu kwenye ile bustani ambayo ni mara chache sana kuona mandhari nzuri ya bustani hiyo kutokana na ubize na uchakalikaji wa kazi zake. Alitembea hivyo huk akizidi kuwaza hadi alipofika chini ya mti mdogo uliostawi na kuweka kivuli safi cha kuvutia, hapo alitulia na kuutazama mti ule kwa macho ya kuuchunguza akasema kwa sauti ndogo.
“Chriss umekuwa ni kama huu mti kwa sasa, unakivuli kizuri ambacho kama kingetumiwa vizuri na Taifa lako, ni wazi lingejivunia kuwa na kijana kama wewe. Unajua kwa nini nimekufananisha na huu mti, ni kwa sababu hata huu mti unakivuli kizuri lakini hauna thamani kwa mmiliki wake. Muda wote nimekuwa bize kuliko japo kukaa kidogo tu chini ya mti huu ili nao ujione kuwa umepandwa na kutunzwa kwa manufaa fulani” baada ya maneno hayo, hakukaa sana chini ya mti huo huyo mzee bali aliondoka na kurudi taratibu ndani kwake ambako alilielekea friji na kuto jagi lililojaa maziwa akajimiminia kwenye gilasi na kueleke kwenye meza ya chakula na kutulia hapo.
“sitakuacha uangamie kijana wangu, nitakuwa na wewe japo si kwa dhahiri lakini nitakusaidia naapa” alisema hivyo na kuikamata gilasi hiyo na kupiga funda kadhaa.

ITAENDELEA

TOROJO BAMIA ( WINGA TELEZA ) – 5

Related image


Chombezo : Torojo Bamia (Winga teleza)
Sehemu Ya Tano (5)

“Jamani mpenzi waambie wenzako muifanye kesho. “
“Bebi kazi hiyo ndiyo inatupa jeuri ya mimi na wewe kufanya yote haya.”
“Basi nipe hata chozi la mnyonge, hali ni mbaya,” Lily alilalamika alikuwa kama kachambia pilipili.
“Bebi nachelewa wananisubiri,” MJ alisema huku akivaa haraka na kwenda kumbusu Lily aliyekuwa kwenye hali mbaya.
***
MJ alionekana baada ya wiki na kusingizia alikuwa amesafiri nje ya nchi kutokana na simu yake kutopatikana hewani. Lily aliamini kabisa MJ alikuwa nje ya nchi.
Tabia za MJ kila kukicha zilikuwa zikimtesa Lily, hata haki ya kitandani hakuipata kama zamani, ilionesha huanza kutumika kwa wanawake wengine ndipo huenda kwake.
Mara nyingi amekuwa akiachwa njiani na MJ ambaye huonekana amechoka hata akijitahidi kumuamsha mnara ilishindwa kusoma network ulikuwa chini.
Siku zote Lily alimvumilia MJ kwa vile alikuwa akimpa kila alichotaka. Lakini karaha za mapenzi zilikuwa kubwa sana zisizo vumilika. Siku mmoja wakiwa katika maandalizi kuupanda mnazi wa raha, simu ya MJ iliita. Kama kawaida aliomba radhi na kunyanyuka kitandani akimwacha Lily na hamu zake.
MJ alikuwa ameitwa na demu wake mwingine ambaye naye alikuwa nazo.
“Jamani mpenzi mateso gani haya?”
“Bebi nakuja leo narudi.”
“Lakini kumbuka unanitesa, zimepanda wewe unaondoka, huna hata huruma jamani,” Lily alilalamika mpaka machozi yalimtoka.
“Narudi mpenzi sichukui hata dakika tano.”
“Mmh! Mimi nitafanyaje,” Lily alikubali shingo upande.
MJ alivaa pensi tishat na sandoz na kutoka kuelekea alipoitwa. Alipotoka Lily hakukubali alipitia gauni la kulalia bila kuongeza kitu ndani. Kuvaa viatu au ndala aliona anachelewa, alimfuatilia kwa nyuma. Kuchukua gari lake aliona mpango wake atavurugika alitoka hadi nje na kukodi teksi na kumfuatilia MJ ili ajue anakwenda wapi.
Baada ya mwendo mrefu kidogo alimuona MJ akipaki gari pembeni ya gari lingine. Baada ya muda alimuona msichana aliyekuwa amevaa nusu uchi akitelemka kwenye gari iliyokuwa imesimama na kuingia kwenye gari la MJ.
Alitulia kuangalia baada ya kuingia yule msichana MJ ataelekea wapi. Alipanga kama anakwenda hotelini basi fujo atakazomfanyia lazima uhusiano wake na Mj ufe siku ile, kwani alikuwa amechoka kugeuzwa futio la miguu.
Alitulia zaidi ya robo saa kusubiri gari la MJ liondoke, lakini alishangaa kuona muda unakatika bila gari kuondoka wala mtu kutoka. Alijiuliza anafanya nini muda wote wasiwasi wake ilikuwa labda anafanya biashara zake.
Kilichomshtua zaidi ni mavazi ya yule msichana alivyovaa ya nusu uchi. Wazo la kufanya mapenzi kwenye gari hakuwa nalo. Alimweleza dereva waendelee kusubiri mpaka waone mwisho wake. Baada ya nusu saa alimuona yule msichana akishuka nguo yake ikiwa imepanda upande mmoja na kalio moja kuwa nje. Kingine kilichomshtua alikuwa ameshikilia kufuli mkononi kuonesha kwenye gari kuna kitu kilikuwa kikiendelea.
Kabla hajafika kwenye gari lake MJ alimwita aligeuka wakati huo MJ alikuwa ametelemka na kumfuata yule msichana.
Alimsogelea na kumla denda na kuanza kupapasana huku MJ akizinyanyua nguo za yule msichana na kumfanya abakie makalio nje na kuonyesha hakuwa na kitu kingine zaidi ya kufuli alilolishika mkononi.
Lily roho ilimuuma sana, alishangaa kuwaona wakiingia kwenye gari la yule mwanamke na kupoteza tena zaidi ya dakika ishirini, Lily akiwa anashuhudia.
Wazo la kwenda kufumania alikuwa nalo lakini wasiwasi wake uwezo wa yule mwanamke. Pia ilionesha ni mwanamke wake wa muda mrefu hivyo asingefanya lolote. Alijikuta akimkumbuka Shuku na kujuta kujiingiza kwa MJ mwanaume mwenye tamaa ya wanawake.
Baada ya muda MJ alitelemka kwenye gari akiwa amesahau kufunga zipu. Aliishika suruali kwa mkono na kuingia ndani ya gari lake. Baada ya muda magari yote yaliondoka kwa kila moja kufuata njia yake.
Lily roho ilimuuma na kulia peke yake kilio cha kwikwi. Dereva wa teksi alishtuka kumuona akilia huku akiwa hajui nini kilichokuwa kikiendelea. Muda wote alikuwa akishangaa matukio aliyoyaona hata vazi la Lily lilimshangaza kuvaa gauni la kulalia bila kitu ndani tena bila hata viatu.
“Dada vipi?”
“Inatosha leo atanitambua,” Lily alisema kwa hasira.
“Yule ni shemeji?”
“Siyo muhimu kujua naomba unirudishe nyumbani.”
Dereva hakumjibu kitu aligeuza gari na kumrudisha alipomtoa. Walipofika Lily aligundua hakuwa na fedha alitoka yeye kama yeye bila kuchukua hata senti tano.
Alimuomba dereva akachukue fedha ndani huku akimweka dereva katika wakati mgumu kutokana na nguo aliyokuwa amevaa dodo zilizo jaa na kusimama vyema kifuani na makalio yaliyokuwa wakipishana wakati wa kutembea kama abiria wa Mbagala wakigombea kuingia ndani ya daladala zilimuweka kwenye wakati mgumu dereva wa teksi.
Baada ya kumpa chake alirudi ndani kuendelea msiba wake. Baada muda akiwa amejilaza kitandani akilia, MJ alirudi na kwenda moja kwa moja kwa Lily akiwa ameisha vua nguo na kujilaza pembeni yake.
“Bebi nini tena? Usilie nimerudi.”
Lily alitamani kumfukuza lakini alishindwa kwani hali yake kwa siku ile ilikuwa mbaya shetani mpenda shari alikuwa amepanda alitakiwa kushushwa. Alipanga baada kuzishusha ampe ukweli na kisha kila mtu ashike hamsini zake.
“Mpenzi mbona unanitesa hivi?” Lily alilalamika.
“Jamani si nimerudi.”
“Basi nipe raha zangu,” Lily alilalamika kama mtoto wa paka mwenye njaa aliyemuona mama yake. Kwa kinyaa alichokiona kama si kuzidiwa na mahanjamu asingekubali kuutoa mwili wake kwa MJ, kwa vile alijua anakula makombo japo harua haina makombo.
Kutokana na kuzidiwa na kiu ya dafu, Lily aliuvamia mnazi wa MJ ulikuwa umeinama na kuuupa mshikemshike, haukuchukuwa kunyanyuka. Aliurukia mnazi kama nyani mzoefu, hakusubiri usimame vizuri aliuparamia hivyohivyo.
MJ naye hakuwa mbali alianza kumsindikiza taratibu Lily aliyekuwa akitatalika kama bisi kwenye kikaango cha moto. Kutokana na kushikika hakutaka kutoa pasi baada ya kuuchukua mpira toka upande wa goli lake na kukimbia nao huku akiwapita mabeki waliokuwa wanamsindikiza.
Lily aliingia ndani ya kumi na nane na kutazamana na golikipa. Wakati anakiandaa kupiga bao ghafla chombo cha MJ kilizimika ghafla na kumfanya Lily apige kelele za kukatishwa raha zake zilizokaribia kuwa utamu.
“Jamaniii, MJ ndo nini?”Lily alilalamika kama mtoto aliyenyang’anywa pipi.
Kwa haraka aliruka toka juu ya mnazi na kujitahidi kuunyanyua chuma kikiwa bado moto. Lakini ilikuwa kazi ngumu kila alivyojitahidi ilikuwa kazi bure. Alijikuta akitumia zaidi ya nusu saa kutaka kuunyanyua mnazi kwa kila mtindo anaoujua huku jasho likimtoka, kwa kupapasa kunyonya kuugusisha hasi na chanya lakini wapiii! Mtalimbo uliendelea kulala dolo.
“MJ unanifanyia nini lakini? Kama hunitaki si ungeniambia kuliko kunipaka upupu ushindwe kunikuna ni mateso gani haya jamani,” mtoto wa kike alilia madafu.
“Siyo sikutaki bali hali ndiyo ilivyokuwa hata mimi sikutegemea,” MJ alijitetea.
“MJ umetumika?”
“Sijatumika mpenzi wangu ni uchovu tu.”
“Muongo umetumika!”
“Sijatumika mpenzi.”
“MJ mbona unanitoa thamani hivyo? Yaani utumike kwa wanawake zako kwanza ndipo uje unipake makombo?” Lily alizidi kulalamika kwa uchungu huku hamu zake zikiwa juu.
“Hakuna mpenzi ni uchovu kazi zetu nazo zinatuchosha sana,” MJ alijaribu kujitetea.
“MJ usiniudhi, biashara gani ya kufanya ngono na wanawake kwenye gari?”
“Sasa nani kafanya mapenzi kwenye gari?” MJ alijifanya hajui kitu.
“MJ mi si mtoto mdogo, ninachokisema kikuhadithiwa bali nimekishuhudia mwenyewe kwa macho yangu.”
“Lily umeshuhudia wapi?”
“Kwani leo ulienda wapi?”
“Kwenye biashara zangu.”
“Na yule mwana mke uliyefanya naye ngono kwenye gari lako kisha mkahamia kwenye gari lake?”
“Mwanamke! Mwanamke gani?” MJ alijifanya kushangaa.
“Unaniuliza mimi wakati wa kufanya uchafu wenu tulikuwa pamoja?”
“Wee nani kakwambia uongo huo?”
“Usingekuwa uongo kama ungekidhi haja zangu, jamani kumbe kila siku naachwa njia panda kumbe kuna watu wanaokutumia kisha unamalizia kunisha makombo.
“MJ kama ulijua bado una hamu na wanawake zako kwa nini umenitoa kwa Shuku?”
“Lily mbona umefika mbali.”
“Siyo mbali, MJ sikutegemea mwanaume mchafu kiasi hiki, yaani unatoka kwa wanawake zako ndiyo unakuja kwangu, mimi Lily? Hata siku moja haitatokea tena.
“Sikiliza MJ, sijafikia hatua ya kuteswa kiasi hiki, jamani kila siku nakuwa kama nichambia pilipili na kuniacha njia panda maji moto na vidole ndivyo vimekuwa wapenzi wangu kuna faida gani kuwa na mwanaume kama wewe?” Lily alisema kwa sauti ya kilio huku akimwaga chozi.
“Lakini Lily unakosa nini kwangu?”
“MJ kumbe unaninyanyapaa kwa ajili ya kuwa napata kila kitu? Basi unajidanganya sana. Kuanzia leo huu mwili utaona kama kituo cha polisi kwa muuza bangi.”
“Kama umeamua poa.”
“Nilijua lazima utasema vile kwa vile una shehena ya wanawake.”
“We si umeamua poa.”
“Na si kuugusa mwili huu naomba kila mmoja ashike ustaarabu wake.”
“Hata hiyo haina noma.”
“Poa, ukitoka hapa tusijuane siwezi kuna na mwanaume malaya kama wewe.”
“Umalaya umeuona kwangu, usingekuwa malaya usingemuacha Shuku.”
“Nakuapia nitamtafuta Shuku kwa gharama yoyote ili kurudisha penzi letu la kweli kuliko wewe tapeli mkubwa.”
“Kwa taarifa yako Shuku ameoa,” MJ alimkatisha tamaa Lily.
“Hata akioa haikuhusu.”
MJ hakulala kwa Lily aliondoka usiku ule na kwenda kulala kwake. Lily alibakia na mateso yake na kuamua kuchemsha maji ambayo kidogo yalimsindikiza mpaka kupata usingizi kwani hali ilikuwa mbaya. Alikuwa kama mtu aliyechambia upupu na mkunaji alikuwa amekatika kucha. Baada ya kupewa kampani na maji moto kama mzazi aliyejifungua aliapa kumtafuta Shuku kwa gharama yoyote.
*****
Shuku baada ya kutoka kwa MJ aliamua kuhama kabisa eneo alilokuwa akiishi na kuhamia sehemu ambayo hakumweleza mtu aliamua kuishi maisha yake. Baada ya kutulia kwa muda aliingia kwenye kazi ya kulangua mazao na kuyauza sokoni Kariakoo kwa vile alikuwa na mtaji wa kutosha toka kwa MJ.
Maisha yake kila kukicha yalimnyookea, aliweza kuyaendesha maisha yake bila kumtegemea mtu yoyote. Lily akiwa na dada yake sokoni Kariakoo alishtuka kumuona mtu kama Shuku akiwagawia watu fedha baada ya kushusha mazao kwenye gari.
“Shuku,” alimwita kwa sauti ya mshtuko.
Shuku bila kuitikia japo sauti haikuwa ngeni aligeuka na kumwangalia anayemwita na kukuta ni Lily.
“Vipi Lily?”
“Samahani Shuku nina mazungumzo na wewe.”
“Ngoja nimalize kazi yangu.”
“Hakuna tatizo nakusubiri.”
“Sawa.”
Lily alisogea pembeni kumsubiri Shuku huku akishangaa kumuona akiwa katika afya zuri zaidi kuliko ya awali. Kingine kilichomshtua na fedha nyingi aliyoshika mkononi aliyokuwa akiwagawia watu walionekana wakivuja jasho baada ya kazi nzito ya kupakua magunia kwenye gari.
Baada ya kugawia washusha mzigo alimwita dereva wa gari.
“Saidi unanidai shilingi ngapi?”
“Laki mbili.”
Shuku alihesabu laki mbili na kumpatia dereva kisha alirudisha fedha iliyobakia kwenye pochi na kumfuata Lily aliyekuwa haamini hali aliyomkutana nayo tofauti na alivyofikiria.
Kilichomshangaza zaidi ni kauli ya MJ kumshangaa rafiki yake kuondoka kwa ajili ya mwanamke na kuacha gari na fedha taslimu milioni kumi. Aliamini hasira zake ndipo zilingemfanya arudi katika maisha ya kubangaiza na kuchoka kama mpira wa makaratasi.
Baada ya kusogea kwa Lily alimsalimia.
“Za siku?”
“Nzuri sijui wifi hajambo?”
“Halafu nikujibuje?”
“Kama hajambo au tayari anakula udongo?”
“Kwa kweli sina jibu, vipi MJ hajambo?”
“Mmh! Yule mwanaume hafai.”
“Kwa nini?”
“Yule mwanaume malaya hatari.”
“Umejua leo?”
“Hata sijui, unajua alinieleza mengi kuhusiana na wewe. Kwa kweli aliyonieleza yaliuumiza sana moyo wangu. Lakini kumbe alitengeneza uongo.”
“Uongo upi?”
“Kuwa wewe unamtegemea na pia una tabia ya kuwatia wanawake mimba na kukimbia, eti mpaka unakwenda kwake ulikuwa umekimbia mimba nne.”
“Aisee,” Shuku alijikuta akiangua kicheko.
“Usicheke Shuku, MJ amekusema mengi mabaya lakini kumbe ilikuwa njia ya kunipata.”
“Lakini imekusaidia leo una gari na nyumba tatizo lipo wapi?”
“Nimeamua kuachana naye.”
“Halafu.”
“Nirudiane na wewe.”
“Mmh! Mbona ngumu.”
“Usifanye hivyo Shuku japo nasikia umeoa lakini bado nakupenda.”
“Lily sina gari sina nyumba tutaishije, nami kabwela?”
“Nisamehe kwa maneno yale ilikuwa hasira tu, Shuku nipo radhi kuishi maisha yoyote ili tu nisikupoteze mpenzi wangu. Nipo tayari kuuza magari yangu yote ili kukuongezea mtaji kwenye biashara zako nami kuwa mama wa nyumbani.”
“Lily kwa vile nipo kazini nitafute baadaye tutazungumza vizuri.”
“Shuku nipo tayari kukusubiri muda wowote.”
“Hapana nipe nafasi nifanye kazi, nimekwambia nitakutafuta kwa hiyo vuta subira.”
“Sawa nimekuelewa.”
Lily aliondoka na kumwacha Shuku akiendelea na kazi zake, wakati huo gari lingine kutoka shamba lilikuwa likiingia.
****
Shuku akiwa anamalizia kazi alijiuliza maswali mengi juu ya kutafutwa na Lily mwanamke aliyemshusha thamani. Hakutaka kuumiza kichwa aliendelea na kazi zake na baada ya kazi aliamua kurudi zake nyumbani kupumzika kwani alikuwa amechoka sana baada ya kufanya kazi kwa wiki mbili bila mapumziko.
Kutokana na uchovu alisahau hata kuwasiliana na Lily, kwa vile hakupenda usumbufu baada ya kuoga na kula alipanda kitandani na kuzima simu zote kabla ya kulala. Toka Shuku aondoke kwa MJ hakuwa na mwanamke mwingine, alitulia atengeneze kwanza maisha yake, hivyo alikuwa akikaa na kulala peke yake, akili yake aliiekeleza kwenye kutafuta ili asiipate aibu kama iliyomkuta kwa swahiba wake MJ.
Upande wa pili Lily alitegemea kupata simu kutoka kwa Shuku, lakini muda ulikatika bila kuona simu ikiingia. Aliamua kumpigia baada ya kuona muda umekwenda sana, lakini alipopiga simu haikuwa hewani.
Lily alijikuta akichanganyikiwa na kuona kama Shuku ameamua kumpotezea. Alijikuta siku ile inakuwa chungu kwake kitanda kilikuwa kichungu alitapatapa kitanda kizima kama mzazi mwenye uchungu. Hakukubali kila dakika alipiga simu ya Shuku ambayo haikuwa hewani.
Lily alijikuta akikesha kuitafuta simu ya Shuku iliyokuwa haipatikani. Hakujua kama Shuku baada ya kutoka kwa MJ alibadili hata namba ya simu ili tu asiwasiliane na MJ.
Lily baada ya kumkosa kwenye simu aliamka siku ya pili asubuhi kwenda kumtafuta Shuku. Baada ya kuoga bila kutia kitu kinywani alielekea sokoni Kariakoo kumtafuta Shuku. Alipofika sehemu aliyomkuta Shuku jana yake alimtazama huenda atamuona.
Magari yaliyotoka shamba aliyaona yakipakuliwa, lakini Shuku hakumuona. Alijikuta akikaa zaidi ya saa mbili bila kumuona. Ilibidi amfuate kijana mmoja aliyekuwa pembeni ya gari akijifuta jasho baada ya kumaliza kupakuwa mizigo.
“Samahani kaka yangu.”
“Bila samahani dada yangu,” jamaa alijibu kwa ustaarabu kwa kujua labda anatafutwa mtu wa kumbebea mizigo yake.
“Eti kaka yangu, Shuku yupo wapi?”
“Shuku Zungu la roho?”
“Yule aliyekuwa akisimamia upakuaji wa gari la mazao jana.”
“Ndiyo huyo Zungu la roho.”
“Kwa nini mnamwita hivyo?”
“Yule dada ukifanya naye kazi utafurahi, wote tunapenda kufanya naye kazi.”
“Kwa nini?”
“Yaani hata siku akiwa hana kazi ukikutana naye akimuomba hela anakupa, pia hata kazi zake hana longolongo kwenye malipo.”
“Kwani yeye huwa anafanya kazi gani hapa?”
“Yule jamaa, zamani nakumbuka tumepiga naye sana kazi hapa kijiweni. Baada ya muda alipotea na kurudi akiwa na fuba la maana na kuanza kufuata mazao shamba. Alianza na gari moja sasa anapiga mpaka gari sita peke yake.”
“Kwa hiyo, hiyo ni kazi yake au ameajiliwa?”
“Yake mwenyewe, tena nasikia kuna mkoko wa nguvu anavuta muda si mrefu.”
“Usiambie!” Lily alishtuka.
“Dada kweli anayetoa Mungu humpa, yule jamaa ni zungu la roho kweli tofauti na wengine.”
“Leo mbona simuoni?”
“Mmh! Sidhani kama leo atakuja.”
“Kwa nini?”
“Jana kamaliza mzigo naona leo anapumzika kisha anaingia shamba.”
“Shamba kufanya nini?”
“Kukusanya mazao, wiki mbili zote alikuwa akija mjini alfajiri na kurudi kwake jioni.”
“Sasa nitampataje?”
“Labda uende kwake, zaidi ya hapo sijui namna ya kumpata.”
“Huna namba yake ya simu?”
“Mmh! Sina.”
“Kwake unapajua?”
“ Napajua, kwani we nani yake?”
“ndugu yake, naomba unipeleke.”
“Sister si unajua ndo gari la kwanza.”
“Una maana gani?’
“Yaani nikiondoka huku nyuma kazi zitanipita.”
“Wala usihofu, kwani kila gari mnashushia shilingi ngapi?”
“Elfu hamsini watu watano.”
“Kwa siku mnashusha magari mangapi?”
“Kuwa tunagawana, unaweza kushusha magari matatu mpaka manne kwa siku.”
“Basi mi nitakupa elfu hamsini kunipeleka kwa Shuku tu.”
“Utani huo sister.”
“Kweli kabisa, ukifikisha na kunionesha anapokaa Shuku nakupa kisha tunaachana.”
“Hakuna tatizo ngoja nikawaage wenzangu kisha nibadili nguo kisha nikupeleke.”
“Haya fanya haraka.”
Yule kijana alikwenda kuwaaga wenzake na kurudi akiwa amebadili nguo.
“Sister tunaweza kwenda.”
“Wawoo! Jamani kumbe kijana mzuri hivi?”
“Sister yale ni mavazi ya kazi, baada ya kazi tunajichanganya kama kawa.”
“Poa basi twende, kwani anakaa wapi?”
“Keko Toroli.”
Waliongozana hadi kwenye gari, mshikaji naye alishtuka kumkuta mwanamke mrembo akiendesha benzi.
“Duh! Dada upo sawa.”
”Usikonde kaka yangu vitu vya kawaida, unaitwa nani vile?.”
“Hashimu, Dada kwako vya kawaida wakati wengine hata baiskeli ndoto.”
“Kwa vile unatafuta utapata tu kaka yangu usikate tamaa, funga mkanda basi tuondoke.”
“Mmh! Kama nimo kwenye ndege vile.”
Lily alichekea rohoni hakujibu aliwasha gari na safari ya kwenda kwa Shuku ilianza.
Walipofika Keko Hashimu alimuelekeza Lily sehemu anapoishi Shuku. Walipokaribia alimuonesha nyumba kwa mbali.
“Dada naomba unishushe hapa nyumba anayoishi Shuku ile pale yenye vioo vya tinted.”
“Anaishi na nani?”
“Mmh! Mara nyingi huwa namuona peke yake.”
“Si nasikia ameoa?”
“Ndo nasikia kwako.”
“Basi nashukuru,” Lily alisema huku akivuta mkoba wake na kuhesabu elfu hamsini kama alivyomuahidi. Alimuongezea na elfu tano ya nauli.
“Na hii elfu tano ya nauli.” ”Asante dada yangu.”
Hashimu aliteremka kwenye gari na kumwacha Lily aende peke yake. Baada ya kubaki peke yake aliendesha gari taratibu kuelekea kwenye nyumba aliyoelekezwa anakaa Shuku.
Alilipaki gari pembeni ya nyumba ile ambayo ilionesha anakaa mtu mmoja tena mwenye uwezo kutokana jinsi ilivyokuwa. Alijikuta akiingia wasiwasi labda yule kijana amemdanganya. Lakini alisema yote atayajua hukohuko.
Alitembea huku akiwa na mawazo mengi kama kweli Shuku anakaa pale, huenda yupo kwa ndugu yake kama alivyokuwa kwa MJ. Alipofika alibonyeza kengele iliyoita kwa muda mara alisikia sauti za miguu zikisogea mlangoni. Alitulia amuone anayefungua mlango ni nani.
Mara mlango ulifunguliwa na kujikuta akitazamana uso kwa uso na Shuku aliyekuwa kwenye vazi la bukta kifua wazi. Shuku alipomuona Lily hakushtuka alimkaribisha ndani. Lakini Lily alijikuta akishika mkono kifuani kwa mshtuko.
“Karibu,” Shuku alimkaribisha.
“Asante Shuku nimekaribia.”


Mara mlango ulifunguliwa na kujikuta akitazamana uso kwa uso na Shuku aliyekuwa kwenye vazi la bukta kifua wazi. Shuku alipomuona Lily hakushtuka alimkaribisha ndani. Lakini Lily alijikuta akishika mkono kifuani kwa mshtuko.
“Karibu,” Shuku alimkaribisha.
“Asante Shuku nimekaribia.”
Shuku alimwacha Lily aingie ndani na kufunga mlango kisha aligeuka na kumkuta tayari mgeni wake amekaa kwenye sofa. Lily baada ya kukaa alizungusha macho katika sebule iliyokuwa na kila kitu kwa matumizi ya mwanadamu.
Lily bado alikuwa na maswali mengi kichwani kuhusiana na vitu alivyoviona sebuleni pia nyumba ilikuwa ikitumia kiyoyozi. Wazo lake aliamini kabisa pale Shuku atakuwa anatunzwa na mtu na wala si kwake.
Wakati wakiwa kwenye maswali yasiyo na majibu, Shuku alimuaga na kwenda chumbani mara moja na kumfanya Lily kuwa na uhuru wa kufanya uchunguzi wa kina.
Macho yake yalipatwa na mshtuko baada ya kuona picha kubwa ya Shuku ikiwa ukutani kuonesha yeye ndiye mwenye nyumba. Lakini bado hakuamini mawazo yake huenda kaachiwa nyumba mwenye mji yupo nje ya nchi.
Baada ya muda Shuku alirudi sebuleni na kumuuliza mgeni.
“Mgeni unatumia kinywaji gani?”
“Chochote utakacho nichagulia wewe mwenyeji wangu.”
Shuku hakujibu kitu alikwenda kwenye friji na kumletea takira na kumfanya Lily ashtuke.
“Shuku hii ya nani?”
“Si umesema nikuchagulie kinywaji, unashangaa nini, au nimekosea?”
“Shuku hiki ndiyo kinywaji changu kimefikaje kwako?”
“Sasa huo ugomvi, kwani kinywaji hiki kimetengenezwa kwa ajili yako tu?”
“Hapana, lakini najua hunywi kinywaji hiki kimefikaje kwenye friji yako.”
“Ni kweli sinywi, lakini nyumba yangu inatembelewa na wageni wengi hivyo najitahidi kuweka vinywaji vingi. Ili ukija kama wewe basi upate kinywaji chako.”
“Hapana Shuku una mwanamke anayekunywa kinywaji hiki.”
“Sina.”
“Unanidanganya Shuku una mwanamke mwingine,” Lily aliangua kilio cha wivu.
“Sasa Lily hata kama ningekuwa na mwanamke wewe anakuhusu nini?”
“Sikubali Shuku wewe bado mpenzi wangu sikubali mwanamke mwingine akuchukue.”
“Kwa taarifa yako, sina mwanamke wala wewe huna nafasi tena kwangu.”
“Shukuu, sikubali. Kumbe MJ alinidanganya na kusababisha tuachane.”
“Kwani nilikufuata kukulilia?”
“Hapana najua nimekukosea Shuku wangu, nahitaji kurudi kwako, nimeisha jua mbaya wetu, hata shoga zangu walinieleza MJ si mwanaume bali muharibifu.”
“Muharibifu vipi wakati kakununulia nyumba na magari ya kifahari?”
“Lakini hana upendo ambao kwako nimeamini upo ambao nitaupigania kwa nguvu zangu zote hata kufa, lakini nikurudishe mikononi mwangu.” ”Lily mbona umechelewa.”
“Nimechelewa kivipi?”
“Mimi nimeishaoa.” ”Etiii nini Shukuuu! Mungu wangu nakufa,” kauli ile ilimfanya Lily aanguke chini na kupoteza fahamu.
Shuku alishtuka kumuona Lily akianguka kama mzigo, alipomsogelea aligundua amepoteza fahamu. Alijalibu kumpa huduma ya kwanza ambayo ilikuwa mtihani kwani wakati wa kumhudumia Lily alikuwa ametandaza miguu na gauni lake fupi kupanda juu na kuyafanya mapaja kuwa wazi na njia ya kuelekea ikulu ilikuwa ipo wazi.
Jicho la Shuku lilipotua kwenye mapaja laini ya Lily alijikuta akimeza funda la mate ya hamu na kuendelea kumuhudumia. Baada ya muda Lily alirudiwa na fahamu.
“Vipi?” Shuku alimuuliza akiwa amemshika kichwani.
“Safi,” Lily alijibu kwa sauti ya chini huku akimuangalia kwa jicho la kuihitaji huruma.
“Tatizo nini?”
“Naomba kwanza uniingize chumbani nilale.”
“Kwani unajisikiaje?”
“Mwili umechoka sana mpenzi wangu.”
Kauli ya kuitwa mpenzi japokuwa Shuku hakuipenda lakini hakuwa na jinsi kwa vile alitaka Lily awe kwenye hali nzuri.
“Lily twende hospitali.”
“Ukinipeleka hospitali nitakufa.”
“Hapana utapata tiba nzuri.”
“Shuku kabla ya kunipeleka hospitali naomba ninale kidogo.”
“Kwa vile hapa sebuleni kuna upepo mzuri lala hapo kwenye kochi.”
“Shuku nasikia joto sana.”
“Nikusogezee feni?”
“Hapana nataka nijimwagie maji.”
“Bafu lipo huko,” Shuku alimuonesha bafu kwa kidole.
Lily baada ya kufanikiwa kumdanganya Shuku amepoteza fahamu, alijifanya kujinyanyua kwa shida. Shuku alimsogelea na kuingiza mkono chini ya kwapa na kumsaidia kumshikilia. Walitembea taratibu huku Lily amekilaza kichwa kwenye kifua cha Shuku ana kutonga kama mtu anayeumwa sana.
Shuku alimfikisha nje ya bafu na kumweleza aingie.
“Lily ingia uoge mi nipo sebuleni.”
“Hapana shuku naomba unishikilie nijimwagie maji.”
“Sasa utaogaje nami nipo?”
“Shuku kipi kigeni kwako katika mwili wangu, hebu nisaidie bwana.”
Shuku hakuwa na jinsi aliingia naye bafuni, Lily aliamini ile ndiyo sehemu ya kuhakikisha anabakia kwa Shuku baada ya kuliona penzi lake lilikuwa halina maisha. Kwa makusudi alizidondosha nguo kwenye maji.
“Mungu wangu, sasa itakuwaje?” Lily alijifanya kushtuka.
“Lily hebu jimwagie kwanza maji ili kuupa nguvu mwili.”
Lily aliamalizia kufuli na mkanda na kufanya mambo yawe wazi kama jua la mchana linavyoangaza pembe zote za dunia.
Shuku alizidi kumeza mate ya uchu huku akijikaza kuhakikisha hafanyi lolote kwa Lily. Lakini katika kambi yake ya jeshi hali ilikuwa mbaya baada ya kamanda mkuu kutaka kutoka nje ya kambi baada ya kuona anafanyiwa dhihaka.
Lily alijifanya hana hata nguvu za kufungua bomba.
“Shuku nifungulie maji.”
Shuku wakati akifungua maji Lily aliteremka chini na kuingiza mkono kwenye kichaka na kumtoa nyoka aliyekuwa na hasira. Shuku alishtuka lakini alikuwa amechelewa kwani tayari Lily alianza kuchana mistari kwa ufasaha zaidi kwa vile maiki ile alikuwa ameizoea. Alijikuta akibembea juu kwa kwa juu kama shati lililo juu ya enga.
Lily suala na kujimwagia maji aliliweka pembeni na kuhakikisha mpaka wanatoka bafuni penzi lake lizaliwe upya.
“A..a..shiiii! Lily,” Shuku alitatalika huku amekishika kichwa cha Lily kama mpiga ngoma kujikuta akimwaga uno la juujuu. Ghafla Shuku aliwasikia wazungu walisogea kwa mbali na kujikuta akichanganya miguu kama mtu anayetaka kufumua shuti kali.
Kwa haraka Lily aliitoa maiki mdomoni na kuuingia mwiko kwenye chungu. Kwa vile mchicha ulikuwa umekolea nazi, Shuku alijikuta akipiga mikono minne ya kasia na chombo kufika pwani.
Kwa vile Shuku alikuwa na nguvu pia ugwadu wa muda mrefu alijikuta akipiga two in one (mbili kwa moja) watoto wa mjini wanasema mumo kwa mumo.
Lily naye alikuwa kama samaki aliyekuwa akitatafuta maji kwa muda mrefu siku ile alikuwa ameyapata. Moyoni alijiapiza mpaka wanatoka bafuni lazima Shuku amrudishe mikononi mwake. Mtoto wa kike alijituma, kila kasia zilivyokuwa zikipigwa ndivyo wazimu ulivyompanda. Mikono alishika kichwani na kuinama kama anatafuta kitu alichokidondosha chini alijipindua nyuma kama nge aliyepandwa na hasira anamvizia mtu kumgonga na kuiacha nyonga laini ifanye kazi.
Shuku alishangazwa na kujiuliza mara mbilimbili, Lily ana mfupa au kafunga feni. Walijikuta wakienda sambamba kila mtu akiwa na hamu na mwenzake baada ya kumkosa kwa muda mrefu.
Lily aliamini mkunaji wa upele wake unamsumbia toka alipokuwa na MJ alikuwa amerudi. Shuku naye baada ya kutoa kipigo cha pweza alikumbuka mtu anayempa shuruba nzito ametoka kwenye ugonjwa.
Alijikuta akipunguza kasi kitu kilichomshtua Lily na kulalamika.
“Shukuuu unafanya niniii?”
“Lily si unaumwa?”
“Utaniudhi! Nani kakwambia mi naumwa? Hebu nipe raha zangu zimezikosa muda mrefu.”
Mwanaume hakutaka kulemba tena, siku zote mtoto hatishiwi ubwabwa ndicho chakula anachokipenda. Chombo kikarudishwa kwenye maji na kupiga kasia mtindo mmoja mpaka walipojikuta wakiangukiana baada ya kila mmoja miguu kupoteza uwezo wa kusimama kwa muda mrefu. Kwa vile ulikuwa mpambano wa kushtukiza, baada ya kuoga walirudi ndani na kupanda kitandani kujipumzusha na kujikuta wakipitiwa usingizi mzito.
Wa kwanza kuamka alikuwa Lily, bado hakuamini kama kweli Shuku ameoa, ili kupata uhakika alianza kupekua kwenye kabati iliyokuwa wazi.
Alichambua kwenye nguo labda atakuta nguo za kike, lakini hakuona kitu. Alichukua albam na kuangalia picha na kushangaa kukuta picha zake na Shuku za zamani wala hakukuwa na picha za mwanamke mwingine pia kulikuwa na picha alizopiga Shuku akiwa shamba alipokuwa akienda kukusanya mazao.
Baada ya kufanya upekuzi wake uliochukua chini ya dakika kumi bila kuona alichokikusudia. Alijikuta akijiuliza huyo mwanamke aliyemuoa Shuku yupo wapi na mbona hakuna picha wala nguo zake na kwa nini picha zake iwepo kwenye albam ya Shuku na si ya huyu mwanamke wake.
Alijikuta akikosa jibu la moja kwa moja, kuwepo kwa picha zake ilionesha Shuku bado ana mapenzi na yeye lakini mbona kamwambia ameishaoa? Alijikuta akichanganyikiwa na kushindwa kuelewa hatima yake kwa Shuku.
Alijiuliza akiamka atamwambia nini ikiwa tayari amemtamkia ameoa. Alirudi kitandani na kukaa pembeni ya Shuku aliyekuwa bado amepitiwa na usingizi baada ya shambulizi ya kushtukiza lililomchosha sana.
Lily alianza kulia kilio cha sauti ya chini iliyomshtua Shuku kwenye usingizi.
Aliposhtuka na kumukuta Lily amekaa kitandani akilia, aliuliza.
“Lily unalia nini?”
“Najua nitakufa Shuku.”
“Utakufa! Kivipi?”
“Utaniua wewe Shuku.”
“Mimi nikuue wewe! Kivipi?”
“Hunipendi.”
“Mimi na wewe nani hampendi mwenzake?”
“Wewe Shuku, kwa nini kila mara unapenda kunidanganya?”
“Kukudanganya kivipi?”
“Shuku huna mwanamke.”
“Nani kakwambia?”
“Shuku nimekufuatilia muda mrefu ndiyo maana hata wewe kukubali kufanya mapenzi na mimi ulijua huna mtu.”
“Hiyo siyo sababu.”
“Shuku kweli huna mwanamke, nakuapia hapa sitoki tena, mi ndo nimefika,” Lily alisema huku akijilaza juu ya Shuku ambaye hakupata nafasi ya kuzungumza kitu.
Mtoto wa kike akaanza utundu uliomfanya Shuku asisimke kwa vile alikuwa na ugwadu wa muda mrefu, chombo hakukichelewa kukolea moto.
Mtanange wa bafuni japokuwa palichimbika bila jembe lakini ilikuwa kama kupasha moto mwili. Mchezo ulihamia kwenye uwanja wa vita wa sita kwa sita.
Lily alimkalia juu Shuku na kuanza kufanya utundu uliomdanya aliruke kama kalalia siafu.
Alijiteremsha kuufuata mdomo wa Shuku ambao aliupata na kuifanya igandane,
Shuku naye alitii amri kwani sumu ya hamu ilikuwa imemtawala mwili mzima naye alipitisha mkono shingoni kwa Lily na kumvutia kwake na kuanza kubadilishana mate.
Kwa umbile na uwezo wa Lily ulimfanya Shuku asahau maudhi yote ya zamani ya mpenzi wake. Lily alimpindua Shuku na yeye kuwa chini na kuikutanisha miguu yake mgongoni kwa Shuku kama mtoto wa nyani.
Kama kawaida Lily alikanyaga mpira na kumfanya Shuku autafute kwa muda kwa muda mfupi. Hakuchelewa kuupata alipoupata naye akajibu mashambulizi kwa pasi fupifupi zilizomfanya Lily alalamike.
“Jamani Shuku mpenzi wangu siyo hivyoo au hufurahii kuwa na mimi.”
“Nafurahia mpenzi wangu.”
“Sasa mbona unanibania nipe raha zangu nilimezikosa muda mrefu.”
Mtoto wa kike alilipandisha jicho pumzi zilimtoka kwa shida chini nyonga ilifanya kazi kama nyoka anavyosafiri kwenye majani.
Aliamini hakuna njia nyingine ya kujirudisha kwa Shuku ni kumpa penzi shatashata lisilochanganywa na maji. Shuku aliyekuwa kama mbwa kwa chatu anapokutana na Lily naye aliyeuanza mchezo kwa kusuasua alirudi mchezoni.
Alianza kutandaza soka safi huku akitawala sehemu ya kiungo na kumfanya Lily autafute muda wote. Baada ya Lily kupata kipigo cha pweza alijikuta akitoa siri ya MJ.
Shuku alimchanganya Lily na mtindo wa Punzu magulu remix. Alijikuta akihama katika dunia aliyoizoea na kujikuta akitokwa na maneno kama mvua.
“Shuuuukuuu aashiii, unajuaaa, Shuku unajuaaa. Shuku niliota kutu kupakwa shombo na MJ leo chuma kimapata msasa safishaaa mpenziii.”
Lily alilalama huku akiiachia nyonga izungumze na Shuku naye alikuwa amemisi maini ya Lily kwa muda mrefu mwiko ulifanya kazi ya kuyageuza kwa mahiri mkubwa. Alijigeuzia atakavyo, mpaka wanakwenda mapumziko Lily alikuwa ndwembwendembwe.
Baada ya mpambano wa kukata na shoka Lily aliangua kilio kilichomshtua Shuku.
“Lily unalia nini?”
“Kwa nini ulinidanganya?”
“Kukudanganya kivipi?”
“Kwa nini hukuniambia ukweli mwanzo wa penzi letu?”
“Nilijua nitakukosa, Lily nilikuwa nakupenda sana.”
“Kwa hiyo sasa hivi unipendi?”
“Narudi mimi na wewe nani hampendi mwenzake?”
“Wewe.”
“Nani aliyemsaliti mwenzake?”
“Wewe.”
“Kwa nini?”
“Hakuniambia ukweli kitu kilichosababisha niyaamini maneno ya MJ.”
“Kwa nini ulimuamini?”
“Mitego niliyokutega ndiyo iliyokunasa, kwa hiyo yote aliyoniambia niliyaamini. Ona raha hizi nilizipoteza Shuku nazidi kukulaumu kunidanganya.”
“Sasa kama uliyaamini tatizo nini?”
“Nimegundua MJ si mkweli mgombanishi kupitia fedha zake. Shuku yote umesababisha wewe,” Lily aliendelea kumlaumu Shuku.
“Lakini uli…”
“Shuku usiseme lolote kila siku nitakulaumu wewe.”
“Basi yamekwisha.”
“Shuku unanipenda?”
“Zaidi ya kukupenda.”
“Naomba usinidanganye ili nami nidumu kwenye penzi lako. Mimi si mpenda fedha kama unavyodhani bali naogopa kudanganywa.”
“Nimekuelewa mpenzi wangu.”
“Kama umenielewa nipe haki yangu.”
Shuku hakuwa na hiyana kwani hata yeye aliumia kuachwa na Lily mwanamke ambaye kwake ndiye aliyekuwa chaguo la moyo wake. Kazi ikawa bandika bandua kila mmoja alitaka kuonyesha anajua mapenzi mpaka raha ikageuka karaha na kuamua kupumzika wakiwa hoi.
***
Penzi lilirudi kwa kasi huku Lily akimganda Shuku kama luba ili kuhakikisha hampotezi. Baada ya muda Lily aliuza nyumba na kuhamia kwa Shuku kujipanga na ndoa yao. Kila kitu kilikwenda kama kilivyopangwa. Siku ilipofika ilifungwa harusi ya kifahari huku MJ akichangia kwa kiasi kikubwa na siku ya harusi aliitumia kuomba msamaha kwa maharusi.
Shuku hakuwa na hiyana na rafiki yake alimsamehe huku akimpa onyo akimfuata tena mkewe atamteremsha mshipa. MJ alimwambia rafiki yake kuwa kuoa kwake kumpa fundisho kubwa hivyo naye aliamua kumtafuta mwanamke mmoja na kufunga naye ndoa kuanza maisha mapya.
Mpaka sasa hivi maisha yanakwenda Shuku na Lily wana mtoto mmoja na mke wa MJ anakula maembe mabichi na mate yanamjaa mdomoni.
MWISHO ———MWISHOOOOOOOOOOOOO………MWISHOOOOO

TOROJO BAMIA ( WINGA TELEZA ) – 4

Related image

Chombezo : Torojo Bamia (Winga teleza)
Sehemu Ya Nne (4)

“Yule ndiye mke wa MJ?”
“Mke! Malaya tu.”
“Ina maana si mpenzi wake wa siku zote?”
“MJ ana mpenzi mmoja? Kila kukicha anabadili wanawake kama nguo. Huyu sijui mtoto wa kigogo alikuwa nje ya nchi nasikia kaidanganya familia yake anakuja kesho ili ale raha na MJ jana na leo kisha kesho anakwenda kwao.”
“Amefika lini?”
“Jana usiku.”
“Saa ngapi?”
Songa nayo….
“Kama saa tano au sita hivi sina kumbukumbu vizuri.”
“Wakati anakuja MJ alikuwa wapi?”
“Sijui si unajua anapenda starehe sana, alinipigia simu tu nimpokee na baadaye alikuja mwenyewe.”
“Kwenye saa ngapi?”
“Bebi maswali yote ya nini mbona unauliza kama mpenzi wako?”
“Samahani bebi nimeuliza tu.”
“Achana naye tufanye yetu, ukimfuatilia MJ atakupasua kichwa, sijui mwanamke gani jijini hajampitia.”
“Mbona mimi hajanipitia?” Lily alijishaua.
“Bahati yako uko na mimi bila hivyo sasa hivi ungekuwa umeliwa na kupigwa chini.”
“Kwa hiyo ndiyo tabia yake?”
“Lily hebu tuachane na mambo ya MJ,” Shuku alisema huku akifungua mlango wa gari na kumuingiza Lily kisha alirudi upande wake na kuingia kwenye gari na kuelekea kwenye msosi.
Lily moyo ulimuuma baada ya kujua MJ alimtelekeza hotelini kwa ajili ya yule msichana. Moyoni aliapa kumshikisha adabu tena kupitia kwa Shuku mulemule ndani.
Lily baada ya kutoka kwa Shuku alipanga kulirudisha penzi lake upya kwa mpenzi wake baada ya kuona MJ alimfanyia kitendo cha kumdhalilisha. Alipoorudi nyumbani alimueleza yote dada yake aliyofanyiwa na MJ.
“Mdogo wangu dunia ya leo hakuna bwana wa mmoja, wee kula sehemu yako isiyokuhusu waacheni wenzako.”
“Dada unauma hawezi kunitelekeza hotelini na kwenda kwa mwanamke mwingine.” Lily alisema kwa uchungu.
“Kwa hiyo ulitaka kufanyaje?”
“Nimeona heri nirudiane na Shuku.”
“Kwani mliachana?”
“Hatukuachana bali nilipenda nimtulikie bwana mmoja Shuku nilikuwa namtema kiana.”
“Una muda gani ulikuwa hujaonana na Shuku?’
“Muda kidogo nilikuwa nimpiga kalenda mpaka akashtuka, dada leo mbona nilikuwa ndo aachwa!”
“Na nani?”
“Na Shuku.”
“Kwa sababu gani?”
“Si sababu ya kumrusharusha, penzi alilonipa leo lilikuwa la mwisho,,ha..halafu sa..aa..sa!”
“Nini tena?” dada Lily alishtuka.
“Dada japokuwa Shuku mbahiri lakini ni mwanaume wa shoka, akikushika kakushika. Alichonipa leo kama angeniacha ningeingia uchizi.”
“Kakupa penzi gani tena lililokuchanganya mdogo wangu?”
“Hata siwezi kulielezea ila sijawahi kupewa penzi tamu kama lile.”
“Sasa mdogo wangu kwa vile Shuku hajui lolote juu ya uhusiano wako na MJ, wewe mpe penzi kama kawaida ila hakikisha hupitishi siku mbili lazima umpe.”
“Nitafanya hivyo, sasa hivi mpenzi yote kwa Shuku kuchuna kwa MJ.”
“Umeona eeh, mdogo wangu hayo ndiyo mambo usiwe na hasira za mkizi bure.”
“Habari ndiyo hiyo.”
Simu ya Lily iliita alipoangalia alikuta ni MJ amepiga, alitulia bila kupokea kitu kilichomshtua dada yake na kuhoji.
“Vipi nani, mbona hupokei?”
“MJ.”
“Sasa mbona hupokei?”
“Yaani kanitoka moyoni ile mbaya.”
“Hebu pokea kumbuka ndiye anayekupa jeuri mjini.”
“Dada nitazungumza naye nini?”
“Msikilize.”
Lily alipokea simu, alikuzungumza:
“Haloo.”
“Haloo Lily mpenzi samahani sana.”
“Samahani ya nini MJ?”
“Kwa yote niliyokufanyia nakuahidi kukufanyia mambo makubwa naomba unisamehe sana pia sitaki tuyakumbuke yaliyopita, ila naomba jioni ya leo tuonane samahani sana mpenzi wangu,” MJ alijitetea.
“Sawa nimekusamehe ila suala la kuonana nitakujibu baadaye.”
“Basi usichelewe kunijulisha mpenzi.”
“Poa,” Lily alijibu huku akikata simu.
”Vipi anasemaje?” dada Lily aliuliza.
“Eti anaomba msamaha.”
“Nimefurahi kusikia umemsamehe mdogo wangu ukitaka kula na kipofu usimshike mkono.”
“Lakini dada nimemsamehe kwa ajili yako kitendo alichonitenda kiliniumiza sana.”
“Kikuumize vipi wakati kuna wasichana wenzako nawatumika bure lakini wewe una gari na nyumba inakuja.”
“Eti anataka leo tuonane.”
“Kwa hiyo?”
“Aah! Mi siendi, Shuku anaweza kunitafuta itakuwaje nami sitaki kumuudhi tena?”
“Kwani mlikubaliana leo muonane?’
“Tumeagana tu, anaweza kunitafuta ili kuona niliyomuomba msamaha nayatekeleza.”
“Sasa fanya hivi mkubalie MJ, Shuku akikupigia mwambie mi mgonjwa.”
“Jamani akija na kunikosa itakuwaje?”
“Fanya hivi mwambie MJ akupitie saa mbili ili tujue kama Shuku atakutafuta tujue tufanye nini.”
“Ngoja basi nimpigie kumujua tukutane wapi.”
“Mpigie.”
Baada ya kupiga simu ilipokewa upande wa pili.
“Haloo.”
“Haloo.”
“Niambie mpenzi?”
“Kwa hiyo?”
“Nakusikiliza wewe.”
“Leo wapi?”
“Pa jana.”
“Saa ngapi?”
“Saa mbili usiku.”
“Utanifuata?”
“Noo bebi njoo tu na usafiri wako.”
“Poa.”
Baada ya kukata simu alimgeukia dada yake.
“Amesema kama jana.”
“Nenda mdogo wangu kijua ndicho hiki ndo wakati wa kuuanika.”
“Nimekuelewa dada, naomba tu Shuku asinitafute.”
Kwa vile alikuwa amechoka baada ya kuoga Lily alipanda kitandani kulala.
****
Majira ya saa mbili usiku kama kawaida Lily alipaki gari lake maeneo ya Sea Cliff hoteli. Alimpigia simu MJ na kumueleza kila kitu alikwisha lipia alimueleza akachukue ufunguo mapokezi ili atangulie chumbani.
Lily alifanya kama alivyoelekezwa kwa kuchukua funguo na kuingia chumbani kumsubiri MJ kwa kuagiziwa kila kitu alichokitaka kutumia usiku ule kilikuwa kimelipiwa.
Akiwa amejilaza kitandani huku akipata wine, alifikiria jinsi atakavyompelekesha MJ ili apate kitu kingine cha thamani. Alijikuta akikaa muda mrefu bila MJ kutokea, kitu kilichomshtua sana. Alipopiga simu ya MJ haikuwa hewani aliendelea kumsubiri. Muda nao ulikatika alijikuta akikaa zaidi ya saa nne bila kuonekana.
Hasira zilimpanda kuamua kuondoka, wazo la kurudi nyumbani hakuliafiki aliamua kwenda kwa Shuku ili akamalize hasira zake. Kama kawaida alimkuta Shuku amejilaza kwake.
“Vipi mbona ghafla?” Shuku alishtuka kumuona Lily muda ule.
“Nimekukumbuka mpenzi wangu.” Lily alizunga
“Karibu.”
“Asante, Shuku nakupenda nimelala usingizi umekataa kabisa nikaona noje nilale na wewe mpenzi wangu.”
“Mmh! Haya.”
“Mbona unaguna mpenzi?”
“Nimefurahi kuona upendo umerudi.”
“Vipi shemu yupo?”
“Alikuwepo, ooh! Kweli ametoka si unamjua mtu wa totoz alikuwa na mtu wake kamsindikiza.”
“Ametoka saa ngapi?”
“Sasa hivi, nina imani hata dakika kumi hazijapita ungewahi ungemkuta.”
“Mmh!”
“Vipi mbona unaguna?”
“Ndugu yako ataukwaa anapenda sana wanawake.”
“Ndiyo hobi yake, unafikiri na mimi ningekuwa kama yeye ningeteseka hivi.”
“Jamani usiseme hivyo, mbona mi yamekwisha mpenzi wangu.”
“Mmh! Sawa, ila ikijichanganya nami naanza kazi ya kuoa usiku kuacha asubuhi.”
“Usifanye hivyo mpenzi wangu, Shuku nakupenda sana.”
“Haya mama karibu.”
Waliingia chumbani huku Lily akizidi kufura kwa hasira kutokana na kitendo cha MJ kumpaki hotelini kumbe ana wanawake wake. Moyoni aliapa kumshikisha adabu MJ kwa kitendo alichomtenda.
Alipokuwa akivua nguo ili aende bafuni simu yake iliita, alipoitazama alikuwa MJ aliikata huku ajifyonza. Kitendo kile kilimshtua Shuku na kuhoji.
“Vipi mbona hivyo?”
“Si huyu dada nimemwambia nimekuja kwako ananipigia.”
“Si umpokelee unajua amepiga kwa sababu gani?”
“Achana naye mi ndiye ninaye mjua ni msumbufu.”
“Mmh! Haya mi simo.”
Baada ya muda ujumbe uliingia aliufungua na kuusoma:
“Bebi upo wapi? Mi nimeishafika.”
Kauli ile ilimuudhi sana Lily na kuona kumbe alitangulizwa hotelini ili alishwe makombo. Kwa hasira aliizima simu kabisa na kuuapia moyo wake kesho kumfanyia vimbwanga ili ajue naye ana thamani mbele ya mwanaume yeyote.
Walikwenda bafuni kuoga na kurudi kitandani, moyoni Lily aliuapia moyo wake kumpa Shuku penzi zito litakalo mchanganya na kuiomba ndoa ili kuepukana na MJ aliyekuwa akimnyanyasa kimapenzi tofauti na Shuku. Walipofika kitandani baada ya maandalizi mchezo ulianza huku Lily akifungua kitabu cha dazeni burudani zenye utamu usoisha hamu kwa kujituma huku akilalamika muda wote kama anaonewa kitu kilichokuwa kigeni kwa Shuku na kumfanya apagawe zaidi.
“Shu..shu..ku.”
“Mmh!”
“Jamani niitikie basi mpenzi.”
“Bebi unanirusha stimu maana leo umekuja na machejo mapya yaani mimi mwenyewe hoi raha mwanzo mwisho.”
“Niitikie basi..Shu..shu..ku.”
“Mmh!”
“Jamani mbona hivyo hutaki kuitikia mpenzi wangu?” Lily alilalamika kwa sauti ya kumung’unya sukari guru.
“Bebi nikiitikia mtamu atadondoka.”
“Shuku muongo utamu upo juu au chini?”
“Kote kote mpenzi mdomoni kumezidi huwezi kuimba huku unatafuna karanga mpenzi.”
“Niitikie basi usikie nataka kukwambia nini?”
“Haya niite.”
“Shu..shu…aaah.. gari limenaelekea bondeni nidake mpenzi wangu naanguka peke yangu,” Lily alipiga kelele baada ya kwenda markiti bila kutalajia.
Shuku aliwacha atatalike kama kakalia msafara wa siafu, baada ya kutulia aliendelea na safari huku akipata muda wa kumuuliza Lily.
“Mpenzi.”
“Abee.”
“Vipi?”
“Safi.”
“Mbona uniiti tena?”
“Nani alikuwa akikuita?”
“Si wewe.”
“Mimi nimekuita?”
“Ndiyo”
“Muongo! Nimekuita ili iweje?”
“Mmh! Basi.”
Shuku aliendelea kupiga kasia kutoka maji mafupi kuyafuata maji marefu ambayo yalikifanya chombo kianze kuyumba kwa mawimbi kwa kwenda juu na kushuka chini.Kila safari iliyokuwa ikiendelea na ufundi wa Shuku kupiga kasia Lily alikuwa akizidi kukolea ghafla tui lilikolea nazi na kuanza kutatalika tena.
“Shu..shuku mpenzi wangu.”
“Mmh!”
”Shuku niitikie mpenzi wangu nikwambie kitu.”
“Niambie.”
“Nitakwambiaje bila kuitikia.”
“Niite basi.”
“Shuuuku.”
“Naam.”
“U.u.na..nipenda?”
“Ndiyo.”
“Muongo.”
“Kweli nakupenda Lily.”
“Mbona unioi?”
“Nitakuoa mpenzi wangu.”
“Lini?”
“Bebi unazimaliza raha zangu,”
“kwa vipi?”
“Stimu zinapanda unazitibua Lily.”
“Ni..ni..sa..sa..me..me..meeeee….li,lingine tena jamani Shuku yaani leo hata sijui mpenzi wangu.”
Lily alitetemeka kama mgonjwa mwenye degedege na kutulia akiwa amekwenda markiti kwa mara ya pili mfurulizo huku mwanaume kwake mambo baaado kabisa. Mpaka mwanaume anakanyaga yai la kuku na kulipasua mtoto wa kike shughuli ilimkuta na kujikuta akifunua mdomo bila kutoa maneno kama samaki anayekunywa maji.
Kwa vile wote walikuwa wamechoka walipitiwa na usingizi mpaka siku ya pili Lily aliporudi nyumbani kwao. Wakati anatoka alikutana na MJ akitoka chumbani kwake alimkata jicho kisha alibinua midomo na kufyonza kisha alielekea nje kitu kile kilimshtua Shuku na kujiuliza kuna kitu gani kati ya mpenzi wake na MJ.
Wazo lake la haraka lilikuwa labda MJ alimtongoza Lily na kumtolea nje lakini hakutaka mawazo yake kuyaelekeza huko moja kwa moja aliamua kulifuatilia kwa siri.
Walipofika nje waliagana na Lily kurudi nyumbani kwao, njia nzima Lily alijikuta akizidi kumchukia MJ na kuapa moyoni kumkomesha kwa vitendo alichomtendea cha kumwita na kumwacha hotelini kumbe alikuwa na mwanamke mwingine.
Alipofika nyumbani alioneka mtu aliyekosa furaha japo penzi la Shuku lilikuwa mwana ukome. Dada yake alikuwa wa kwanza kuigundua hali ile japokuwa alijitahidi kuificha.
“Vipi mdogo wangu kulikoni?”
“Kawaida tu dada.”
“Hapana haupo vizuri umetibuana tena na shemu nini?”
“Yaani bora tungetibuana kuliko anachoendelea kunifanyia.”
“Kipi tena?”
“Si cha kuita hotelini asitokee na kunifanya kama sina pa kulala.”
“Sasa kama alikuita hotelini asitokee kwa nini usirudi nyumbani kulala. Nawe unapenda mtu hatokei unalala mpaka muda huu.”
“Dada si yamejirudia yaleyale ya Shuku kuokoa jahazi, tena sasa hivi sijui Shuku anajua natembea na MJ yaani penzi analonipa toka nivunje ungo sijawahi kupewa leo nilichanganyikiwa. Yaani kama ndiyo nimo ndani ya ndoa lazima nidai taraka ili ikalifaidi.”
“Mmh! Usiniambie.”
“Dada Shuku anayajua mapenzi anajua apige wapi kumsambalatisha mwanamke.”
“Wacha weee!”
“Nilipanga kumpagawisha lakini nimepagawa mimi.”
“Mmh! Usiniambie.”
“Dada Shuku anayajua mapenzi anajua apige wapi kumsambalatisha mwanamke.”
“Wacha weee!”
“Nilipanga kumpagawisha lakini nimepagawa mimi.”
“Jamani mdogo wangu natamani nami nirudi umri wako nikutane wa wanaume kama Shuku.”
“We ulie umekula kwako endelea na shemeji.”
“Lakini hata shemeji yako anajitajidi akinishika mwenyewe naipata.”
“Dada mi nimeamua kuachana na MJ bora mapenzi yangu yote niliyarudishe kwa Shuku.”
“Ni kweli uamuzi wako ni mzuri, nina imani MJ humuelewi lakini ikimjua hawezi kukusumbua.”
“Dada nina moyo gani wa kuniacha hotelini mara mbili niendelee kuwa naye?”
“Sikiliza mdogo wangu mjini jua kula na kipofu, MJ mchukulie kama sehemu ya kukuingizia fedha ila penzi unalipata kwa Shuku.”
“Sawa dada lakini lazima nami nimkomeshe.”
“Mdogo wangu mwanaume hakomolewi kwa vile tupo wanawake wengi.”
“Kama angejua hilo kwa nini amenifuata akijua mimi ni mpenzi wa ndugu yake. Ukiona ona hivyo kipo kilichomvutia kwangu na kuamua kunifuata.”
“Mmh!”
“Dada usigune yaani anayonifanyie MJ si ya kumtetea.”
Wakiwa katikati ya mazungumzo simu iliingia alipoangalia alikuta ni MJ. Aliiangalia bila kuipokea kitu kilichomfanya dada yake amuulize.
“Vipi MJ nini?”
“Umejuaje?”
“Pokea.”
“Ataniambia nini?”
“Msikilize mdogo wangu, mpaka mtu anapiga ana la kusema.”
“Siwezi kumsikiliza kwa leo labda kesho sitaki kusikia sauti yake wala kuiona sura yake.”
“Haya, lakini usitumie hasira, heri Shuku angekuwa anatoa fedha ulikuwa na haki ya kuachana naye.”
“Tena nimekumbuka narudi huko huko,” Lily alisema huku akinyanyuka.
“Kuna nini?” dada yake alishtuka.
“Nikirudi nitakupa jibu.”
Lily alikwenda kuoga na kubadili nguo kisha aliingia kwenye gari na kurudi kwa Shuku akiwa na lake moyoni mwake.
Nguo alivaa nguo za usiku ziluacha mwili wake sehemu kubwa nje zilikuwa za kuvaa usiku lakini alivaa mchana kwa vile alikuwa anaendesha gari. Moyoni aliapa kumtesa MJ kama akimkuta naye aumie kwa kumuona si mali kitu kumtelekeza hotelini mara mbili.
Alipaki gari kwenye maegesho na kuingia ndani, sebuleni aliwakuta MJ na swahiba wake Shuku wakipiga stori aliwasabahi kwa furaha ya uongo kwani moyoni alimchukua sana MJ.
“Habari zenu?” aliwasalimia huku akienda kumkalia mapajani Shuku.
“Nzuri, vipi bebi mbona ghafla?”
“Kuna ubaya mtu kuja kwa mpenzi akijisikia?”
“Hakuna ubaya je, usingenikuta?”
“Ningekupigia simu, usingerudi?”
“Ningerudi.”
“Lakini nilijua usingetoka leo shughuli ya jana tuliyopeana haikuwa ya kitoto,” Lily alianza kumchokonoa MJ.
“Mmh! Jana ulikuwa kama umeahidiwa kombe.”
“Nilikuwa na usongo kuna mtu aliniudhi hasira zote nikamalizia kwako, ” alifikisha ujumbe kwa MJ bila Shuku kujua.
“Mmh! Bebi unatisha machejo ya jana mmh! Temea chini.”
“Hata uliyonipa wewe sijawahi kuona toka nilipomjua mwanaume. Kwa nini ulinibania siku za nyuma mpenzi, yaani raha za kuamkia leo zimenifanya nishindwe kukaa nyumbani na kujikuta nikikufuata unipe tena,” Lily alisema akipeleka mdomo kwa Shuku huku mkono akiteremka kwenye shamba la miwa.
Mdomo aliupokea lakini mkono ulipoanza kupekecha kama karanga Shuku alishtuka.
“Aah! Dear?”
“Nini?”
“Unataka kufanya nini?”
“Kipi cha ajabu?” Lily alihoji kwa ukali.
“Si unamuona shemeji yako?”
“Kwani hayajui haya?”
“Lakini lazima tumpe heshima yake.”
“Kipi cha ajabu hebu acha kuniudhi na mkono wangu ukiutoa tutakosana,” Lily alikuwa mkali.
“La..lakini.”
“Lakini nini? Humu ndani hiki tunachokifanya kina ugeni gani, shemu hajui sisi ni wapenzi?”
“Anajua, lakini mambo yetu tunafanyia ndani, yeye siku ile alifanyia wapi?”
Kauli ile ilimfanya Shuku awe mpole kwa vile mambo kama yale MJ siku nyingine huyafanya na wanawake zake mafyatu. Baada ya kutulia Lily aliendeleza uchokozi kwa kuteremsha bukta ya Shuku ili aanze kuchana mistari palepale sebuleni, Shuku alimsukuma na kusimama.
“Aah! Bebi unataka kufanya nini?” Shuku alikuwa mkali.
“Shuku rudi..nakwambia rudi,” Lily alinyanyuka kumrudisha Shuku wakati huo gauni lake fupi lilikuwa limepanda na kuziacha sehemu za chini tupu huku mzigo uliokuwa wazi ukiimeza bikini yote na kuonekana kama hakuvaa kitu.
“Noo, bebi twende chumbani.”
“Kwani hapa kuna nini?” Lily alizidi kuwa mkali.
“Imeanza lini?” Shuku naye alimbadilikia Lily baada kuona anakoelekea kubaya.
“Leo.”
CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Sikiliza Lily mi si muhuni jiheshimu sipendi upumbavu, kukuchekea isiwe sababu nitakupiga chini na hakuna kitu chochote kitakacho pungua kwangu.”
“Basi hunipendi.”
“Kwa mtindo huu tutachokana mapema.”
“Mbona huwa wote mnaangalia mkanda wa picha chafu.”
“Kwa hiyo unashindana na mimi?”
“Hapana mpenzi wangu.”
“Na haya ndiyo mavazi gani, nilikueleza nini?” Shuku alizidi kumgeuzia kibao Lily.
“Samahani mpenzi wangu, nilikuwa ndani ya gari pia nilijua shemeji hayupo.”
“Lily jiheshimu, kama unataka kuendelea kuwa na mimi jiheshimu la sivyo tutaachana huku tunapendana.”
“Nisamehe mpenzi wangu.”
“Haya nenda chumbani mara moja,” Shuku alisema kwa sauti ya amri iliyomfanya Lily akimbilie chumbani moyoni akiamini salamu japo kidogo lakini zimefika.
Baada ya Lily kwenda chumbani Shuku alimgeukia rafiki yake na kumwambia.
“Sorry best.”
“Kawaida.”
“Hapana best sikutegemea huyu demu kuchetuka hivi.”
“Labda amekunywa, mbona ya kawaida unakuwa mgeni kwangu?”
“Lakini sikupenda tabia ile.”
“Bebi nini mwenzio hali mbaya,” Lily alitoka chumbani akiwa amejifunga taulo dodo zikiwa nje zikiwa zimejaa sawa bin sawia kifuani na kumfanya MJ kuingia kwenye mateso baada ya kujua rafiki yake anakwenda kufaidi utamu pia aliujua vizuri uwezo wa Lily anapoamua kumkata kiu mwanaume.
“Shuku kampe haki yake shemeji,” MJ alimwambia Shuku.
Lily alipokutanisha macho na MJ alimzomea kisha alimshika mkono Shuku kurudi nyumbani. Baada ya kuingia chumbani MJ alipata hamu ya kupiga chabo kutokana na mzuka alioonesha Lily alijua patachimbika bila jembe.
MJ alitulia kwa muda akiamini baada ya muda shughuli pevu itaanza, kuchelewa kwake alitaka akute watu wapo katikati ya shughuli. Baada ya kuridhika na muda aliweka alitoka nje na kuzunguka nyuma ya nyumba taratibu hadi kwenye dirisha la Shuku na kuchukulia kwa chati.
Aliweka kuwaona vizuri kwa vile pazia lilikuwa limeachia upande mmoja. Lily ambaye alikuwa ameamua kurudisha penzi lake kwa Shuku kwa nguvu zote aliamua kujitoa kwa nguvu zote kuhakikisha penzi lake linamchanganya Shuku kama kweli yeye ndiye mwenye mali basi apewa kama aliyopewa na MJ na ndoa juu.
Akiwa amefumba macho akilalamika kama mtoto wa panya baada ya raha kugonga kila kona ya mwili. Alifumbua macho taratibu ili kumuona anayempa raha zile. Hakuamini kumuona MJ kwa nje akipaga chabo alitulia kupata uhakika na kuamini ni yeye.
Kwa vile macho ya MJ yalikuwa kwenye nyasi zilizokuwa zikiumizwa na ugomvi wa tembo wawili hakuweza kumuona Lily akitazama. Moyoni alifurahi na kuamini ile ndiyo nafasi ya pekee ya kumshikisha adabu MJ baada ya kukosa sebuleni pale alikuwa amejipeleka mwenyewe.
Kwa vile dirisha lilikuwa la vioo Lily aliamini kabisa MJ anaona picha bila sauti. Alisitisha zoezi na kumwambia Shuku:
“Samahani mpenzi zima AC washa feni ya juu pia fungua na madirisha.”
“Kwa nini mpenzi?”
“Fanya kwanza kipi cha ajabu.”
Shuku akinyanyuka na kuzima AC kisha aliwasha feni ya juu na kufungua madirisha ya vioo na kurudi kitandani. MJ kidogo avunje mguu baada ya kumuona Shuku akielekea dirishani wasiwasi wake labda wamemuona.
Lakini hali ilikuwa kawaida, alitulia kusikiliza na kurudi taratibu kwa kutembelea magoti mpaka chini ya dirisha kusikiliza. Ajabu ndani alisikia ya Lily akionekana ameshikika vilivyo. Sauti ile ilimfanya MJ kujua hawakumuona labda AC haifanyi kazi.
Alirudi taratibu na kujikuta akiuona mpambano live tofauti na mwanzo aliona picha bila sauti. Hakuamini jinsi Lily alivyokuwa akitoa kilio cha mahanjamu na kumfanya uwe kwenye hali mbaya sana.
Kama kawaida Lily alijifanya yupo bize lakini jicho lake lilikuwa dirishani. Kutokana na kuchanganyikiwa MJ alikisogeza kichwa ili aone vizuri, aliweza kumuona MJ akipiga chabo hapo ndipo alifanya alichokipanga kukifanya ndipo alipopandwa wazimu wa mapenzi.
Mambo aliyoyafanya kwa ajili ya kukomoa MJ baada ya kumkosa sebuleni hukuwepo ila shetani wako alikuwepo. Mtoto wa kike alijua kujituma na kujiachia huku akilia kama mbwa aliyemuona chatu.
“Shuku unajua kuliko wanaume wote.. unajua..unajua..hapo sasa kichwa cha dhahabu.”
Mtoto baada ya kusema vile aliiachia nyonga izungumze na kumgeuza Shuku tela kumfuata anavyotaka. MJ alikuwa akikanyaga yai la pili huku akijisugua kichwa kwenye ukuta bila kujijua.
Hali ilikuwa mbaya sana kwa shuku wakati ndani shughuli ikiendelea na kilio cha Lily cha mateso kilimmaliza MJ na kujikuta akikaa chini bila kupenda baada ya kuvunja yai la tatu mkononi.
Lily baada ya kuridhika na mateso aliyompatia MJ kama kisasi cha kumdharau alimaliza mchezo akiwa hoi baada kutumia nguvu nyingi kumkomoa MJ. Naye Shuku alikuwa hoi baada na yeye kwenda marikiti zaidi ya mara tatu.
Walijilaza na usingizi uliwapitia kila mmoja alilala kama wahanga wa ajali ya meli.
Nje MJ baada ya kupata nguvu na wakati huo ndani palikuwa kimya alinyanyuka na kuchungulia na kuwakuta wamepitiwa usingizi kila mmoja amelala mlalo wa hasara.
Alirudi nndani huku akijipanga katika siku zile mbili lazima awe na Lily ili naye apate penzi kama lile huku akiapa kumnunulia gari la bei mbaya. Baada ya kuoga alilala kwani naye alikuwa amechoka kwa kusafiri kwenye bahari ya nchi kavu. Alipanda kitandani na usingizi ulimchukua.
*****
Lily baada ya kutimiza alilolitaka, baada ya kuamka alikaa sebuleni na kumwacha Shuku amejilaza ili amsikie MJ anasemaje. Akiwa anaangalia muvi alimuona MJ akisogea kwenye kochi alilokuwa amekaa.
“Lily,” alimwita kwa sauti ya chini ili Shuku asisikie.
“Jina langu,” Lily alimwitikia huku akiangalia pembeni umebinua midomo.
“Mbona mkali mpenzi.”
“Mpenzi wako nani?”
“Najua nimekuudhi jana usiku nilipata dharula nakuahidi kukulipa fidia yoyote utakayo.”
“Uliyonifanyia nashukuru, asante sana unatumia fedha zako kunidhalilisha, asante mwili wangu si umeutumia inatosha itabakia stori. Unatendelea kubakia shemeji yangu hilo halitabadilika lakini mapenzi na mimi sahau.”
“Usifanye hi…” MJ alikata kauli baada ya kusikia nyayo za miguu ya Shuku kuja sebuleni.
“Vipi best nipo na shemeji langu la nguvu,” MJ alijibalaguza.
“Hakuna tatizo, nilipitiwa na usingizi kidogo.”

“Usifanye hi…” MJ alikata kauli baada ya kusikia nyayo za miguu ya Shuku kuja sebuleni.
“Vipi best nipo na shemeji langu la nguvu,” MJ alijibalaguza.
“Hakuna tatizo, nilipitiwa na usingizi kidogo.”
“Hata mimi niliingia chumbani kwangu kulala.”
Lily alichelea moyoni na kujua salamu zimefika na hata kubali kumpa tena mwili wake MJ ataendelea kula kwa Macho huku akiitafuta ndoa kwa Shuku hata kwa

kulazimisha.
“Bebi kumbe upo huku?” Shuku alimuuliza mpenzi wake aliyekuwa amejilaza kwenye sofa.
“Nilipoamka sikutaka kukuamsha, niliamua nije niangalie muvi.”
“Kweli una nguvu kama nyati.”
“Kwa nini bebi?”
“Mchakamchaka ile amewahi kuamka.”
“Haikuwa adhabu bali mapenzi yenye raha zisizo na karaha.”
“Etii, eeh.”
“Mpenzi kwa vile umeisha amka wacha nirudi nyumbani na muda nao umekwenda.”
“Hakuna tatizo jioni vipi itakuja ili nisitoke?”
“Kama kawaida lazima nitie timu.”
“Hakuna tatizo.”
Lily alikwenda ndani kubadili nguo kwa mwendo wake wa uchokozi zikiwa salamu tosha kwa MJ kuwa yeye ni mwanamke aliyekamilika. Shuku aliwekwa mtu kati

asijue kinachoendelea lakini muhusika alijua kila kitu.
Baada ya muda Lily alitoka akiwa amebadili nguo na kuwaaga kwa kulishana mate na Shuku mbele MJ kwa muda bila kuachiana huku Lily akigugumia kama mgonjwa

wa pumu kujifanya mahanjamu yamepanda.
Huku akitembeza mikono kwa Shuku kitu kilichomfanya Shuku asisimkwe na kumshika mabegani na kumrudisha nyuma.
“Mmh! Taratibu.”
“Bebi kwani nini?” Lily alijifanya kulalamika kiuongo kwa sauti ya kushikika.
“Si tunaangana bebi, unaelekea wapi?”
“Sasa tatizo nini?”
“Naona kama sikuelewi,”
“Bebiii.”
“Naam.”
“Mbona hivyo, wewe nani yangu?”
“Mpenzi wako.”
“Kwa nini unaniwekea vikwazo.”
“Sijakuwekea, kama vipi turudi ndani.”
“Hiloo linapenda nakutania, wacha nikimbie, bai mmmwaaa,” alimuaga Shuku kwa kumbusu shavuni na kumfuata MJ aliyekuwa amelala kwenye sofa na maumivu

makali ya mateso ya Lily ambayo kwake alijua ni kulipa kisasi.
Alipofika karibu yake alimwinamia na kumbusu.
“Shemeji langu la ukwe..eehe..mmmwaaa, bai,” alimbusu na kumpiga kofi jepesi shavuni na kunyanyuka alirudia tena Shuku na kumbusu tena.
“Mmmwaaa lazima baba mwenye nyumba umzidi mpangaji.”
Lily alielekea nje kwa mwendo wake wa madaha huku akiziachia sehemu zake ya nyuma zitikisike kama zinasikia baridi kali. Wote walimsikindikiza kwa macho kisha

walikutanisha macho na kucheka kwa pamoja, MJ alitoa sifa za uongo kwa Shuku.
“Ndugu yangu demu unaye.”
“Kweli, yaani ananichanganya akili.”
“Mungu kamjalia umbile tata lisilo isha hamu.”
“Wacha uchanganyikiwe hata kazi anaiweza,” Shuku alijisifia.
“Hata mimi najua.”
“Best umejuaje, tunazunguka nini?”
“Shuku mawazo gani hayo, si wewe mwenyewe uliniambia au umesahau, best tumeanza kutoaminia!”
“Samahani si unajua kuchanganyikiwa mtoto kanichanganya vibaya ukiniwezesha naoa kabisa.”
“Wanawake wa mjini si wa kuwaamini unafikiria upo peke yako, mtu hawezi kumpa gari la gharama hivihivi tu mtakuwa mnashea tu.”
“Kwa hiyo?” kauli ile ilimshtua Shuku.
“Wee endelea naye lakini sikushauri kuoa.”
“Mmh! Lakini usemayo yana ukweli maana kama siku mbili tatu hivi alianza kuniyeyusha kila nikimhitaji sababu kibao.”
“Umeona eeh! Kuwa makini wanawake wa mjini wa kugonga na kuacha siku ukimkumbuka unakumbushia lakini kuoa ugonjwa wa moyo.”
“Nimekuelewa mtu wangu, tena nilitaka kurudisha mapenzi kwani niliishapanga kumpiga chini.”
“Utaweza?”
“Naweza, naogopa sana kuumizwa.”
“Basi poa.”
“Wacha nikanyoe nywele saluni.”
“Poa mi nipo.”
Shuku alitoka kuelekea saluni iliyokuwa jirani na wanapoishi na kumuacha MJ akiugulia moyoni na kuapa jeuri ya fedha lazima Lily ampe penzi kwa gharama yoyote

japo alimuapia hawezi kumvulia nguo ya ndani tena. Alipanga kabla Lily hajarudi kwa Shuku basi atamuwahi na kuhakikisha anambadili mwelekeo na kwenda naye

hotelini.
***
Majira ya saa moja na nusu usiku MJ alisimamisha Hammer jirani na nyumba anayoishi Lily. Alipiga honi kama kawaida ambayo ilimshtua Lily aliyekuwa anajiandaa

kwenda kuoga ili aende kwa Shuku kwani wiki ile alikuwa na kazi moja naye kuhakikisha anatangaza ndoa.
Honi ya gari ilimshtua na kufikiria labda Shuku ameamua kumfuata. Alitoka nje akiwa amejifunga upande wa kanga ili kwenda kumueleza amsubiri akaoge kwanza.

Alitembea kwa mwendo wa kasi ili kuwahi kwenye gari.
Alipofika alilisogelea gari alishtuka kumuona MJ akiteremka kwenye gari kitu kilichomshtua na kuuliza:
“Shuku yupo wapi?”
“Lily mpenzi nipo mimi si Shuku, naomba unisikilize.”
“MJ mimi na wewe tumemaliza au kuna kitu umesahau kwangu?”
“Hapana Lily, najua kiasi gani nimekuudhi lakini naomba unisamehe sema kitu chochote ukitakacho nitakupa kwa gharama yoyote.”
“MJ najua wewe ni bingwa wa wanawake naomba uachane na mimi. Nimekubali kumsaliti ndugu yako kwa ajili yako lakini hilo hukuliona. Basi inatosha kwa vile

hakugundua kitu inatosha.”
“Lily nisamehe mpenzi.”
“Koma kuniita mpenzi, nani mpenzi wako?”
“Si wewe!”
“MJ naomba uondoke, usiniharibie penzi langu, Shuku yupo njiani akikukuta hapa unafikiri atanifikiaje?”
“Kwa hiyo?”
“We ondoka, penzi letu lilikufa toka juzi uliponiacha na kwenda kulala na mwanamke mwingine tena si mara ya kwanza, mara ya kwanza nilivumilia umeishaniona nina

dhiki kwa ajili ya vijipesa vyako ndiyo unifanye utakavyo.
“Li…Lily…” MJ alitaka kujitetea lakini Lily alimkata kauli.
“Bwana eeh, hebu achana na mimi,” Lily alisema huku akigeuka na kuelekea nyumbani kwao.
“Lily rudi mpenzi,” MJ alibembeleza bila mafanikio.
Lily hakugeuka alikwenda moja kwa moja ndani na kumwacha MJ akiwa haamini kama kweli yule msichana anayeonekana changudoa amemtolea nje mtu mwenye

fedha kama yeye. Hakuondoka mapema alikaa kwa muda mpaka alipoliona gari la Lily likimpita alijua linakwenda kwake.
Roho ilimuuma moyoni aliapa kumkomesha Lily na kuhakikisha wanaachana na Shuku. Aliingia kwenye gari lake na kwenda Klabu ili akapoteze muda ili akirudi akute

wamelala.
***
MJ alijikuta akiteseka kutokana na makusudi ya Lily kwani kila alipotangaza utajiri wake bado hakueleweka na kuendelea kuteswa bila Shuku kujua kilichokuwa

kikiendelea ilikuwa vita ya siri kati ya Lily ambaye kila kukicha alimchanganya Shuku kwa mapenzi motomoto. Shuku baada ya kuona anabanwa kwenye fedha na MJ

alijitahidi kuweka fedha kidogodogo ili aweze kumweleza ukweli kuwa ile mali si yake ili aweze kuishi kwa uhuru zaidi.
Kila kukicha Shuku aliongeza ufundi wa kukwea mnazi na kumfanya Lily achanganyikiwe na kuamini dunia nzima kuna mwanaume mmoja tu ambaye ni Shuku,

aliyekuwa akimgeuza kinanda akishikwa toka sehemu moja kwenda nyingine abadili milio kama kinanda hasa akiwa juu ya mtumbwi mtoto wa kike apandwa na kichaa

cha mapenzi na kuropokwa maneno huku akimwambia mpenzi wake “Chukua yote.” Kitu kilichomshtua Shuku na kumuuliza mpenzi wake “Unanipa yote kesho
utanipa nini?”
Basi tu raha zikijaa na kumwagika mwanamke hutokwa na maneno kama mtu aliyekatika kichwa na kuropokwa hata akitulia hana hata moja na ukimwambia

aliyoyasema wakati kakamatika atakukatalia kuwa hakuyasema yeye unamsingizia.
Asikuambie mtu mnazi unao yumba una raha yake kwa mkwezi haumchoshi kwani hausimamini muda wote unainamishwa na upepo na kumrahisishia mkwezi na

hata akifika juu ya mnazi anakuwa na nguvu ya kujinywea madafu mengi.
Kitendo cha Lily kumtolea nje huku mpambe wake Shuku akiendelea kula raha kilimuumiza sana MJ kazi yake ikabaki kupiga chabo kila ukiingia usiku kwani Lily

alikuwa hafungi dirisha kwa makusudi mtego uliomnasa MJ bila kujua na kuteseka kila usiku ukiingia na kugeuka mlinzi wa kupigwa na baridi huku akiumwa na

mbu.
Aliamini yeye ndiye anayemweka Shuku mjini hivyo yeye ndiye aliyetakiwa kula vitu vitamu na kuwa na wanawake wazuri kama Lily na si yeye kula kulala.
Baada mateso kuzidi aliamua siku moja kumfuta Lily nyumbani kwao. Tena siku hiyo hakupiga honi ili atoke, alipofika aliteremka na kumfuata kwao. Alipofika aligonga

hodi Lily alipofungua mlango alishtuka kumuona MJ.
“He! We vipi?”
“Lily badala ya kunikaribisha unanishangaa?”
“Nilikukaribishe ili iweje?” Lily alimjibu kwa ukali.
“Lakini mi si shemeji yako?” MJ alijitetea.
“Mmh! Makubwa, haya karibu shemeji,” Lily aliamua kumkaribisha.
“Asante za hapa?”
“Nzuri, karibu ndani,” Lily alimkaribisha ndani MJ.
Baada ya kuingia alikaa kwenye kochi na kutulia. Lily aliyekuwa amejifunga upande mmoja wa kanga aliingia chumbani na kurudi kavaa gauni la vifungo alilovaa kama

koti refu.
“Mmh! Shemeji karibu.”
“Asante.”
“Unatumia kinywaji gani?”
“Nashukuru usisumbuke mi si mkaaji.”
“Haya baba, lete habari.”
“Lily najua kiasi gani nimekuudhi na kuniona adui yako namba moja.”
“MJ hayo si tumeisha yamaliza?”
“Ni kweli lakini nina haki ya kujitetea hata ukinihukumu ujue kosa langu.”
“MJ kuwa muelewa niliisha kusamehe ndiyo maana leo upo hapa ambapo hata mpenzi wangu Shuku hajawahi kufika zaidi ya kuishia nje.”
“Lakini ulivyonipokea bado inaonekana una hasira na mimi.”
“MJ lazima niwe na hasira na wewe, kumbuka kutembea na wanaume wawili wa nyumba moja tena ndugu huoni kama ni hatari? Lakini nilijitolea mwisho wa siku

naonekana malaya.”
“Ni kweli, lakini kumbuka nilivyokuwezesha Lily yale ni makosa ya kibinadamu. Ulitakiwa kunisamehe kwani nilikuwa na mambo makubwa sana kwako.”
“Kwa vile una fedha ndiyo unaamua kunidhalilisha siyo?”
“Hapana Lily nimejua makosa yangu siwezi kurudia tena.”
“Mimi nimekusamehe lakini naomba tuheshimiane tuwe kama zamani mtu na shemeji yake.”
“Hapana Lily bado nakuhitaji, nina mpango wa kukujengea nyumba ya kisasa na kukununulia gari la kisasa la bei mbaya.”
“Nashukuru kwa mipango yako, naomba mipango yako uhamishie kwa wanawake zako wengine kumbuka mimi ni mpenzi wa ndugu yako na tupo katika mipango ya

kuoana.
“Sasa hivi najifunza kuzoea penzi la mtu mmoja ili niweze kudumisha ndoa yangu nampenda sana Shuku nimeuapia moyo wangu siwezi kumsaliti tena.”
MJ aliamini amechemsha hakuwa na jipya lolote la kumshawishi Lily amuelewe kwa kuonyesha ana mapenzi mazito kwa Shuku. Wazo lilikuwa kumharibia Shuku ili

aweze kummiliki Lily kwa vile hakuwa na njia nyingine. MJ aliamua kumvua nguo rafiki yake kwa Lily.
“Lily wewe ni mwanamke mzuri unayetakiwa kumilikiwa na watu wenye fedha kama sisi. Nakuhurumia sana kwa kujua maisha yako ya mbele yatakuwa ya shida sana.”
“Kivipi?”
“Toka mjuane na Shuku amekupa kitu gani kikubwa?”
“Mapenzi.”
“Hayo mapenzi ndiyo utavaa utakula utatembelea?”
“Kwani tatizo nini?”
“Nataka kukueleza ukweli kwa vile nakupenda sana Lily. Shuku kwanza si ndugu yangu kama alivyokutambulisha mwanzo yule ni rafiki yangu tu ambaye
nimemuokota njiani na kuja kumtunza kwangu. Pale hana kitu, kila kitu ni changu ndiyo maana penzi lako kwangu kwa muda mfupi limekupatia gari na sasa nyumba

inakuja.”
“Ha! Muongo mkubwa!” Lily hakuamini.
“Lily ningeweza kukaa kimya lakini najua mwisho wake ungekuwa mbaya kwani Shuku hataki kazi anapenda kukaa na kula tu. Unafikiri nikisitisha misaada nini

kitafuata?”
“Mmh! Siamini najua unataka nikukubali tu huna lolote.”
“Nataka kukueleza kitu ambacho nashangaa hujagundua siku zote. Hushangai chumba chake na changu tofauti yake, pia kama huamini kuanzia leo hatatumia gari

zangu nitampa fedha ya teksi. Lily nakupenda ndiyo maana sitaki upotee.
“Tena kuna kitu nilisahau kukueleza, Shuku tabia zake huwa anakaa na demu mmoja kwa muda mrefu akimpa mimba tu anamkimbia. Kabla ya kuja kwangu alikuwa

anakaa Buguruni Uswahilini ambako anatafutwa na wasichana wawili aliowajaza na kutoroka.”
“Mmh! MJ unasema kweli au unampakazia?”
“Ili kupata ukweli leo jioni mwambie akufuate, utaamini maneno yangu.”
“Mmh! Makubwa, MJ naomba uniache kwanza nimechanganyikiwa sana,” Lily alichanganywa na maneno ya MJ japokuwa hakuyaamini moja kwa moja.
“Usichanganyikiwe nipo kwa ajili yako kuhakikisha unakuwa na maisha mazuri siyo ya kutapeliwa na mtu.”
“Sawa nimekuelewa nitayafanyia kazi,” Lily alisema akijipweteka kwenye kochi.
“Nina imani ukipata ukweli utazidi kuchanganyikiwa. Nakuahidi baada ya kupata ukweli nitakufuata ili kukutuliza akili.”
“Nimekuelewa MJ naomba uniache kwanza,” Lily alionekana kuchanganywa na taarifa zile.
“Ila nakuomba kitu kimoja fanyia yote kazi niliyokueleza na kama utakuta nilichokisema ni uongo mwambie Shuku na nipo tayari kufanywa lolote na wewe kunikataa.”
“Nimekuelewa MJ nitafanyia kazi naomba uniache nimechanganyikiwa kweli.”
“Una bahati angekupa mimba usinge muona angekutimulia vumbi.”
“Sawa nimekuelewa, MJ niache kwanza basi jamani,” Lily alichanganyikiwa na kuona malengo yake ya kuwa mke wa Shuku yamekwenda ndivyo sivyo alijikuta akiwa

njia panda. MJ kabla ya kuondoka alimuachia milioni mbili keshi huku akisema:
“Najua baada ya kuujua ukweli utaumia sana, hizi zitakusaidia kutafuta sehemu tulivu kutulia, ukinihitaji nikupe kampani siyo mbaya tutakuwa pamoja.”
“Nimekuelewa ziweke hapo yaani nimechanganyikiwa sana MJ,” Lily alijikuta kwenye maumivu makali.
MJ baada ya kumwaga sumu alitoka, akiwa ndani ya gari lake alimpigia simu Shuku.
“Haloo best, lete stori,” Shuku alipokea upande wa pili.
“Ni hivi gari zote hazitakiwi kutoka mpaka wiki ikatike. Nitazitumia mwenyewe ila nitakupa fedha ya kutumia teksi hata kukodi ili kuhakikisha unafanya mambo yako

bila tatizo.”
“Hakuna tatizo best.”
“Tafuta gari zuri kulingana na hadhi yako si unajua sasa hivi upo matawi ya juu, sawa best?”
“Hakuna tatizo,” Shuku alikubali bila kujua kama kaingizwa kwenye mtego.
Wakati Shuku akiingizwa kwenye mtego Lily alikuwa amechanganyikiwa asiamini alichoambiwa. Dada yake aliyekuwa ametoka mara moja aliporudi alimkuta mdogo

wake hayupo kwenye hali ya kawaida.
“He! Mdogo wangu kuliko nimetoka upo katika hali nzuri lakini nakuona umechananyikiwa, na hizi fedha?”
Lily huku akilia alimueleza yote dada yake aliyoelezwa na MJ na kumfanya dada abakie mdomo wazi.
“Mmh! Unajua mdogo wangu japo inauma kuna ukweli ndani yake.”
“Dada ukweli gani zaidi ya kutaka kuniachanisha na mpenzi wangu, nilikubali kuwa naye lakini kila kukicha manyanyaso na mateso.”
“Mdogo wangu tatizo nini? We umepata bahati unapewa kila kitu una gari na bado anataka kukunulia gari jingine pamoja na nyumba. Wengine wanaitafuta bahati hiyo

kwa waganga wewe unaikimbia.”
“Pamoja na yote, bado nampenda sana Shuku.”
“Lily inawezekana Shuku ni mpambe mshika pembe tu, ukweli unakuja kutokana na ahadi zake zisizotimia. Lakini usikurupuke hebu lifanyie kazi hili la gari tutapata

jibu.”
“Sasa nifanye nini?”
“Mpigie Shuku mwambie hujisikii vizuri ili aje kila kitu kitajulikana.”
“Mmh! Sawa,” Lily alisema huku akichukua simu na kumpigia Shuku.
“Haloo bebii,” simu ilipokelewa upande wa pili.
“Sweet upo wapi?”
“Nipo home.”
“Naomba uje sijisikii vizuri.”
“Ooh! Bebi nini tena?”
“Sijisikii vizuri tu naomba uje.”
“Nakuja bebi.”
Kwa vile ilikuwa haraka alichukua laki tano na kuziweka mfukoni na kutoka nje na kukodi teksi yenye hadhi ya juu ya kwenda nayo kwa mpenzi wake bila kujua
amekwenda na ushahidi wa kummaliza.
Shuku aliwasili nyumbani kwao Lily kama kawaida, alipiga honi ili atoke. Lily baada ya kusikia honi alichunguliana na kuliona gari tofauti na aliyoyazoea. Alimwita

dada yake aliyekuwa chumbani.
“Dada njoo.”
“Lily mbona unanitisha, kuna nini?”
“Shuku amekuja.”
“Tatizo nini?”
“Jamani dada, wewe si ndiye uliyeniambia nimpigie simu aje tuthibitishe maneno ya MJ.”
“Ooh! Nilisahau vipi amekujaje?”
“Twende ukaone,” Lily alijibu huku akimsogeza dada yake dirishani na kuona gari alilokuja nalo Shuku.
“He! Gari si nzuri lile, tena gari la watu wenye fedha?”
“Dada yale siyo katika magari yao, lile lazima kaazima tu kama alivyosema MJ.”
“Kwa hiyo MJ amesema kweli?”
“Inawezekana.”
“Tusiandikie mate mfuate ukamuulize mwenyewe.”
“Yaani kama kweli, basi leo nitampaka, kumbe mbwembwe zote hana kitu mwanaume suruali, Lo!” Lily alisema akiwa amechanganyikiwa na matarajioa yake kwa

Shuku kuwa ndivyo sivyo.
“Lily hebu kwanza shusha munkali, kamuulize taratibu.”
“Yaani dada wee acha tu, usingekuwa wewe ningekwenda kumfukuza kama mbwa. Kumbe mwanaume muongo, tapeli kibaya zaidi hana kitu anaishi maisha ya

kufungwa kama mwanamke.
“Ndiyo maana kila siku ukimuomba kitu subiri, kumbe anasubiri kupiga mzinga,” Lily alisema huku akibana pua.
“Lily wewe jifanye hujui muulize kisa cha kuja na gari tofauti.”
“Sawa ngoja nimfuate,” Lily alisema akitupia mtandio begani.
Alipokaribia kwenye gari aina ya Toyota Harrier Lexus Rx 300, Shuku alitoka kama kawaida yake kapiga pamba za kufa mtu shingoni kachafuka kamba ya bei mbaya.
Lily alimtazama Shuku kuanzia chini mpaka juu kisha akaangua kicheko cha dharau kilichomshtua Shuku.
“Vipi mbona unacheka?”
“Nimefurahi tu.”
“Vipi hali yako?”
“Mbona umekuja na gari hili?” Lily hakujibu zaidi ya kuuliza swali.
“Magari mengine yameisha bima, tulijisahau kukata ila kesho kama kawaida.”
“Muongo!”
“Kweli bebi.”
“Wewe na MJ mpoje?”
“Mbona unaniuliza hivyo?”
“Shuku naomba jibu siyo swali,” Lily alimuuliza Shuku kwa sauti kavu.
“Ndugu yangu.”
“Na ile mali ya nani?”
“Yetu.”
“Wewe na nani?”
“Na MJ.”
“Kweli?”
“Kweli, kwani tatizo nini?”
“Shuku, MJ si ndugu yako ni rafiki yako na ile mali ni yake, wewe ni mpambe mshika pembe tu, huna lolote kila kitu unapewa na MJ.”
Kabla ya kujibu tuhuma Shuku alicheka sana kisha akamuuliza.
“MJ ndiye kakwambia hivi?”
“MJ aniambie nini naye mshamba kama wewe, unaniuzia mbuzi kwenye gunia kumbe ndiyo zako kuwaharibu watoto wa kike kisha unawapiga chini.”
“Mimi?” Shuku lilimshuka.
“Kwani nazungumza na nyani?” Lily alimpa makavu Shuku.
“Mpenzi si kweli, mali ile ni yetu sote.”
“Shuku, mi si mtoto najua kila kitu juu yako na MJ, japokuwa mlikuwa mkificha lakini ukweli wewe umeokotwa na MJ na pale unakaa kwa kumtegemea yeye kila kitu.
“Hebu jionee huruma ataweza kunimiliki mwanamke kama mimi? Gari kila siku linataka mafuta, nataka toleo jipya la gari nataka mapambo ya kike, bado nataka jumba

la gharama. Shuku utawezaaa?
“Hebu waache wenye kisu kikali wajilie nyama, kama msaada wa penzi nimekupa inatosha. Naomba kuanzia leo tukomane.”
“Lakini..”
“Lakini nini? Nasema uongo?”
“Lily mpenzi naomba unisikilize.”
“Haya sema.”
“Ni kweli MJ rafiki yangu lakini amenipa uhuru mkubwa, hivyo nilikuwa na uamuzi wowote na kufanya chochote bila kunikataza.”
“Shuku unachekesha, sasa hayo maisha utaishi mpaka lini?”
“Kuna fedha alisema atanipa ili nifanye biashara.”
“Kwa nini ulinidanganya?”
“Nisamehe mpenzi wangu.”
“Sasa Shuku naomba unisikie, ukiondoka hapa nisikuone tena.”
“Kivipi mpenzi?”
“Mimi na wewe basi.”
“U..u..sifanye hivyo.”
“Shuku nilikupenda sana, lakini umekuwa si mkweli. Wanaume waongo nawaogopa sana. Nasikia ndiyo tabia yako kwa hiyo hapa umenoa.”
“Lily mpenzi uamuzi huo utaniumiza sana.”
“Kuliko ulivyoniumiza mimi, kwa kuamini nipo na mtu mwenye fedha kumbe kapuku.”
“Lily nitajitahidi kutimiza mahitaji yako.”
“Utaweza wapi, baiskeli huna unaweza kununua mafuta ya gari langu?”
“Kuna kitu nitafanya muda si mrefu utafurahi tu mpenzi wangu.”
“Umewadanganya wanawake wangapi, leo wanakutafuta kama Osama. Shuku kwa ustaarabu naomba uondoke kimyakimya.”
“Vipi kuhusu hali yako, nilikuwa nimekuja kukupeleka hospitali tu,” Shuku alisema akitoa laki nne mfukoni ili ampe Lily.
“Shuku kwa kifupi siumwi ila nilikuita nimalizie ushahidi wangu ambao umekamilika, hivyo baba tukomane.”
“Basi chukua fedha ya dawa.”
“Shuku unataka kunipa fedha zote hizo wakati una kazi? Hizo fedha kapangie chumba uache kulishwa na wanaume wenzako. Angalia mwenzako anakupa kila

unachotaka nawe unakubali. Naona mwenzangu umesahau kula uliwe.”
“Sasa hayo matusi.”
“Siyo matusi Shuku, hebu ona aibu kununuliwa hata nguo ya ndani na rafiki yako, sasa una tofauti gani na mtoto wa kike?”
“Kwa hiyo umeamua kunitukana.”
“Shuku sikutukani nakuambia ukweli, ungenieleza mapema ningejua niishi na wewe katika muundo gani. Lakini uongo uliweka mbele, sawa ulifanikiwa kunipata kwa

gia unazo, nina imani sina deni na wewe.”
“Kwa hiyo?”
“Naomba uondoke.”

“Kwa hiyo umeamua kunitukana.”
“Shuku sikutukani nakuambia ukweli, ungenieleza mapema ningejua niishi na wewe katika muundo gani. Lakini uongo uliweka mbele, sawa ulifanikiwa kunipata kwa gia unazo, nina imani sina deni na wewe.”

“Kwa hiyo?”
“Naomba uondoke.”
“Sawa,” Shuku alisema huku akielekea upande wa dereva na kukaa kwenye uskani bila kufunga mlango.
Lily baada ya kusema yale, aligeuka na kurudi ndani. Alipoingia ndani alikimbilia chumbani na kuanza kulia kilio cha kwikwi na kumfanya dada yake kumfuata.
“Lily unalia nini mdogo wangu?”
“Dada najuta kupoteza muda wangu kwa mwanaume suruali.”
“Kivipi?”
“Hakuna kilichobadilika, nimembana kakubali yote, unafikiri kweli yule ni mwanaume sahihi kwangu?”
“Si sahihi, kwa vile sasa hivi gharama ya maisha imepanda kila kitu kinahitaji fedha, kwa hiyo umeamuaje?”
“Nimempiga chini.”
“Kwa hiyo MJ umemfungulia moyo wako?”
“Inabidi nifanye hivyo, tena kwa malengo.”
“Na kweli mdogo wangu, sasa ondoa hasira za kijinga ili kufanikisha malengo yako. Nina imani sasa hivi MJ atakupa vitu vingi.”
“Dada wivu wa kijinga nauweka pembeni ili kufanikisha malengo yangu, nikipata magari mengine mawili na nyumba hapo nitakuwa na jeuri kama hataki kubadilika naye nampiga chini.”
“Hayo ndiyo maneno ya mwanamke mtafutaji, sasa mtaishije nyumba moja na Shuku?”
“Kila kitu MJ anajua, labda amepanga kuniweka hotelini mpaka atakapo ninunulia nyumba yangu.”
“Mdogo wangu utumie mwili na uzuri wako kuyabadili maisha yetu.”
“hilo si lakusema,” waligongeana mikono na kukumbatiana.
****
Shuku baada ya kuingia kwenye gari na kujifungua kwa ndani, alitulia zaidi ya robo saa bila kufanya kitu chochote akiwa haamini kilichotokea muda mfupi.
“Hivi kweli Lily kaniacha?” Shuku alijiuliza huku akipiga mikono kwenye uskani.
“Nani kampa siri hii? Hapana..hapana any way, wacha niondoke mpenzi siyo lazima.” Shuku aliwasha gari na kuondoka kurudi nyumbani. Alilirudisha gari kwa mshikaji wake kisha alikodi bodaboda mpaka home.
Alipofika aliingia ndani na kujifungia chumbani kwake, akiwa na mawazo mengi, kwa kuiona aibu yake ya kukaa na MJ kama ndugu ipo nje. Akili yake haikumfikiria MJ kutokana na maneno ya Lily kuonesha anamponda hata MJ.
***
Lily baada ya kupata uhakika kuwa Shuku kula kulala, pamoja na mbwembwe zote kumbe hakuwa tofauti na yeye. Wote walimtegemea mwanaume mmoja, aliamua kumpigia simu MJ. Baada ya simu ya MJ kuita ilipokelewa.
“Haloo.”
“Haloo MJ mai bebi.”
“Niambie Lily.”
“Ukweli nimeujua.”
“Kwa hiyo?”
“Sasa nimejikabizi kwako naomba usiniumize tu.”
“Nakuhakikishia wewe kuwa malkia wa moyo wangu.”
“Kama ni hivyo, nitafurahi sana.”
“Siku zote mtoto mzuri kama wewe unatakiwa umilikiwe na wanaume wenye fedha kama mimi.”
“Nimeamini, nitazidi kukupenda, kwa hiyo nije home kama kawaida?”
“Noo, bado Shuku ni rafiki yangu na sipendi nimuumize zaidi, ila nitakachikifanya kwa sasa tutakuwa tuna kutania hotelini. Baada ya muda mfupi nitakununulia jumba la kifahari hapo nitakuja kama kwangu.”
“Siyo kama kwako mpenzi, bali kwako.”
“Sawa nitakuwa nakuja kwangu.”
“Nitafurahi sana mpenzi wangu, vipi Shuku akijua?”
“Kwa sasa hawezi kujua.”
“Bebi penzi kikohozi na wanao pendana hawana siri.”
“Kwa sasa tutafanya siri, kuna fedha nitampa Shuku afanye biashara kisha kila mtu atakuwa na maisha yake, hapo hata akijua hawezi kufanya kitu.”
“Kwa hiyo leo?”
“Kwa furaha yangu, mwisho wa wiki tunaruka na ndege kwenda Arusha kula raha.”
“Wawooo mpenzi wangu, usinitie kichaa cha mapenzi.”
“Tulia mtoto mzuri ule raha, punguza mapepe.”
“MJ nitatulia kwako, naomba usinitese jamani.”
“Siwezi nakupenda sana Lily, nimeamua mpaka kuitoa siri ya rafiki yangu kipenzi kwa ajili yako, amini nakupenda.”
“Hayo ndiyo maneno, kipi kinafuata?”
“Jiandae usiku nakupitia, sasa na raha kwenda mbele.”
“Najua mpenzi wangu.”
Lily alikata simu na kuruka juu kwa furaha, alimkimbilia dada yake na kumkumbatia kwa furaha.
“Vipi mdogo wangu?”
“Yaani MJ kachanganyikiwa kusikia Shuku nimempiga chini, ameniahidi vitu vingi.”
“Isiniambie.”
“Yaani wiki ijayo Arushaaa.”
“Kufanya nini?”
“Kula maisha.”
“Unaona ulitaka kumng’angania mshika pembe kumbe mwenye ng’ombe yupo.”
“Yaani nina bahati Shuku aliisha niingiza choo cha kiume.”
“Ndo ukome kufakamia mijanaume mitapeli.”
“Basi dada akininunulia gari lingine hili nitakupa wewe.”
“Uniambie!”
“Kweli dada.”
“Mbona wavimba macho wa mtaani watanikomaa, hivi tu napewa lifti napiga mpaka honi, vipi nilimiliki yangu mwenyewe mbona wataniroga.”
“Basi habari ndiyo hiyo.”
Usiku MJ alimpitia Lily na kwenda naye kulala hoteli mpaka siku ya pili alipomrudisha.
*****
Penzi la Lily na MJ liliendelea kwa siri huku Shuku akiwa hajui nini kilichokuwa kikiendelea. Siku zote Lily alitaka penzi lao liwe la wazi ikiwezekana awe anakwenda pale muda wote kama alivyokuwa na Shuku.
“Bebi kwa nini nisije nyumbani mi’ sijisikii raha kila siku kulala hotelini wakati una nyumba yako?”
“Si unajua nipo na Shuku?”
“Kwa nini usimuhamishe ili nihamie hapo.”
“Nilikuwa napanga kumpa mtaji kisha tuachane.”
“Basi uza gari yangu umpe huo mtaji ili atuachie tule vyetu.”
“Nimekusikia wala usiwe na shaka kila kitu kitakwenda vizuri, fedha ya kumpa ninayo kuna vitu navikamilisha ili ahame kwa hiyari yake sitaki kumfukuza.”
“Wahi basi mpenzi nina hamu ya kuwa karibu na wewe muda wote.”
“Hakuna tatizo mpenzi.”
Wakati Lily na Mj wakifanya penzi la siri, Shuku kitendo kile kilimuumiza sana cha kumtegemea mtu na matokeo yake kudharaulika machoni mwa watu. Alichoamua kuomba fedha kwa rafiki yake ili aondoke pale na kwenda kutafuta maisha mbele ya safari ili watu wasijue maisha yake.
Akiwa amekaa na rafiki yake sebuleni Shuku alionekana mtu mwenye mawazo mengi na mnyonge toka amwagwe na Lily mwanamke aliyempenda kuliko wasichana wote aliowahi kukutana nao.
Kwa upande mwingine hakumlaumu Lily kwa vile hakumweleza ukweli. Aliamini kama akianza kuishi maisha ya kujitegemea ataweza kujipanga na kutafuta mwanamke mwingine.
“Vipi best mbona kama upo mbali?”
“Kweli.”
“Tatizo nini?”
“Aisee umaskini mbaya sana.”
“Kwa nini unasema hivyo?”
“Nisingeadhiliwa na Lily.”
“Bado unalo hilo, achana na yule malaya inaonekana anapenda sana fedha kuliko mapenzi.”
“Hata kama anapenda pesa, inaonekana natembea bila nguo wakati najiona nimevaa.”
“Una maana gani kusema hivyo?”
“Japo unasema mali yetu lakini siri ipo wazi kuwa mimi mpambe tu mshika pembe mwenye ng’ombe unajulikana.”
“Shuku mshikaji wangu achana na maneno ya watu, ukiwasikiliza mambo yako yatasimama yao yanakwenda.”
“Ni kweli, lakini nakuomba kitu kimoja nipe mataji nifanye biashara ili nami niishi maisha yangu mwenyewe.”
“Wazo zuri, sasa umepanga kufanya biashara gani?”
“Nimeishajipanga, we nipatie hicho kiasi.”
“Kiasi gani?”
“Milioni mbili.”
“Mbona ndogo sana.”
“Kwangu zinanitosha.”
“Nitakuongezea nitakupa kumi na ile gari dogo.”
“Nitashukuru.”
Mara simu ya MJ iliita alipoangalia ilikuwa ya Lily ambaye alikuwa na miadi naye na kwenda kwenye sherehe ya harusi ya shoga yake alikuwa inafanyika Ubungo Plaza. Hakutaka kuipokelea pale alikwenda chumbani.
“Haloo bebi.”
“Bebi upo wapi nimeishafika kitambo,” Lily alilalamika upande wa pili.
“Ooh! Sorry nilikuwa na mazungumzo na Shuku.”
“Unaona sasa, nakwambia muondoe hapo atatuharibia starehe zetu.”
“Sawa bebi nitafanya hivyo muda si mrefu.”
“Kwa hiyo?”
“Nakuja mpenzi.”
“Fanya haraka kila mtu ana mpenzi wake kasoro mimi,” Lily alisema kwa sauti ya kudeka.
“Nakuja sasa hivi mpenzi wangu.”
MJ alikata simu na kukimbilia bafuni kuoga harakaharaka na kubadili nguo kisha alipiga bonge la suti la bei mbaya na kutoka kumwahi Lily.
“Sasa best kuna sehemu nakwenda, ila masuala yako kesho nitamaliza kila kitu.”
“Mmh! Kweli mtoko wa leo si wa kawaida, hakuna tatizo we wahi, mi sina nyendo.”
“Poa wacha niwahi,” MJ alisema huku akitoka nje na kuwacha Shuku amejilaza kwenye kochi.
****
Shuku akiwa amejipumzisha chumbani kwake akiutafuta usingizi simu yake ya mkononi iliita, namba ilikuwa ngeni, aliipokea.
“Haloo.”
“Haloo Shuku, mambo?” sauti ilikuwa ya kike.
“Poa.”
“Najua hunijui, lakini kunijua si muhimu kama hili lililonifanya nikupigie simu.”
“Jambo gani?”
“Nina imani upo nyumbani sasa hivi?”
“Ndiyo.”
“Mmeagana muda si mrefu na MJ?”
“Ndiyo, kwani wewe nani?”
“Tulia basi Shuku, pupa yako itakukosesha vitu vingi.”
“Haya nakusikiliza.”
“Najua umekosana na Lily, ila mpaka sasa hujamjua mchawi wako.”
“Ni kweli.”
“Shuku, Lily bado anakupenda sana ila penzi lako limewangiwa na mtu wako wa karibu.”
“Nani?”
“Sitaki kuwa muongo ila nakuomba sasa hivi uje uone jinsi ulivyo chezewa mchezo mbaya. Shuku sifa zako nazijua lakini najua nikikuchukua itakuwa vita na Lily.”
“Naomba uniambie jina lako basi.”
“Ipo siku nitakuambia lakini leo naomba ulifanyie hili.”
“Kwa hiyo nifanyeje?”
“Njoo Ubungo Plaza kuna sherehe ya harusi. Ukifika simama karibu na maegesho ya gari nijulishe kama umefika.”
“Poa nakuja.”
Shuku alikata simu na kubadili nguo haraka kisha alitoka. Hakutaka kukodi teksi aliona atachelewa alikodi bodaboda kuwahi eneo la tukio.
Shuku alichukua robo saa kufika Ubungo Plaza. Alipofika alimpigia simu aliyemwelekeza skendo ile, baada ya muda ilipokelewa.
“Haloo, umefika?”
“Ndiyo.”
“Sogea karibu ya paking ya magari.”
“Poa” Shuku alifanya kama alivyoelekezwa alipofika karibu ya maegesho ya gari alipiga tena simu.
“Nimefika.”
“Simama hapohapo usitoke mpaka nitakapo kwambia, hakikisha macho yako hayachezi mbali na mlango wa kutokea ukumbini.”
“Sawa.”
Shuku alitulia kama alivyoelezwa macho yake hayakucheza mbali na mlango wa kutokea ukumbini, huku akijiuliza kuna kitu gani. Kingine kilichomchanganya kilikuwa amefuata nini pale hata kama akimuona Lily na mwanaume mwingine, hakuna na nguvu tena kwa vile walikuwa wameisha tengana.
Lakini kauli ya aliyempigia kuwa afike pale amuone mchawi wake ndiyo iliyomfanya aendelee kuwepo. Muda nao ulikatika na kuzidi kumfanya Shuku atamani kuondoka. Aliamua kumpigia simu kumweleza amechoka kusubiri.
Baada simu kuita kwa muda ilipokelewa.
“Haloo Shuku.”
“Vipi mbona muda unakwenda, kama bado wacha niende.”
“Nooo Shuku, vumilia kama robo saa, kila kitu kitakuwa wazi mbele ya macho yako.”
“Mmh! Sawa.”
Shuku alitulia kusubiri alichoitiwa, baada ya muda simu yake iliita, alipokea.
“Haya sasa Shuku kazi kwako kazi yangu imeishia sasa angalia mlangoni.”
Shuku alitumbua macho mlangoni aone alichoitiwa.
Kwenye mlango wa kutokea aliwaona watu wawili mwanamke na mwanaume wakitoka wakiwa wamekumbatiana kimahaba. Alituliza macho kuwaangalia baada ya sekunde chache alimgundua yule mwanaume ni rafiki yake kipenzi MJ.
Lakini mwanamke hakumwelewa kwa vile alikuwa mbali vilevile kichwa cha mwanamke kilikuwa kimelalia kifuani kwa MJ. Waliposogea karibu hakuamini macho yake kumuona MJ akiwa na zilipendwa wake Lily wakionesha ni wapenzi wa muda mrefu.
Bila kujielewa alijikuta akisogea mbele mpaka alipowakaribia karibu na kuwashuhudia wakilishana mate bila kuhofia watu waliokuwa wakitoka ndani ya ukumbi.
“Mjuniii,” Shuku alipiga ukelele kwa kulitaja jina kamili ya rafiki yake.
MJ alishtuka na kujikuta akimsukuma Lily pembeni na kumfanya aanguke chini.
“Mjuni rafiki yangu unyama gani ulionifanyia. Wanawake wote ulionao hukuridhika umeamua kuninyang’anya mpenzi wangu, kwa vile tu una pesa?” Shuku alisema kwa sauti ya kilio.
“Sa..sa..mahani Shu..shu,” MJ alisema huku akimfuata rafiki yake alipokuwa amesimama. Lakini hakufika popote Lily alijizoa pale chini alipokuwa ameanguka na kumvaa MJ.
“MJ hebu rudi, achana na mpambe nuksi mtumai mali za rafiki kumbe hana lolote,” Lily alisema huku akimvutia MJ kwake.
“Hapana Lily hebu ngoja nizungumze na Shuku najua nimemkosea.”
“MJ achana na kapuku, anapenda kula nyama wakati hana meno hebu atupishe wenye meno wajilie nyama.”
“Lily mpenzi naomba unipe dakika moja nizungumze na Shuku.”
“MJ unanipenda mimi Shuku?”
Swali lilikuwa zito kwa MJ na kujikuta akiwa njia panda asijue afanye nini. Shuku bila kusubiri, alisema kwa sauti ya kawaida.
“Mjuni nashukuru sana kwa yote uliyonifanyia, sina sababu ya kukulaumu kwa ajili ya kitendo chako cha kunidhalilisha kwa Lily. Najua umaskini wangu ndiyo unaniponza, lakini siamini msichana uliyekuwa ukimwita malaya ndiye anayevunja urafiki wetu leo, asante,”
Shuku alisema huku akiondoka.
“Shu…shu…” MJ alijitahidi kumfuata rafiki yake, lakini Lily alimvutia kwake ili asimfuate Shuku.
Shuku hakutaka kugeuka nyuma, moyo ulimuuma alitembea huku akilia hadi kwenye kituo cha bodaboda na kukodi pikipiki.
“Niwahishe Tabata,” Shuku alisema huku akipenga makamasi mepesi.
“Elfu tatu mkubwa.”
“Poa twende.”
“Vipi kaka umefiwa?” hali ya Shuku ilimshtua dereva wa bodaboda.
“Heri ningefiwa.”
“He! Nini tena?”
“Wee acha tu.”
Dereva wa bodaboda hakutaka kuuliza zaidi, alipofika Xteno alimuuliza:
“Tabata ipi?”
“Wee umetaja bei bila kujua Tabata ipi?”
“Samahani mkubwa.”
“Mawenzi.”
Dereva alivuka barabara na kuelekea Tabata Mawenzi. Shuku alipofika alilipa anachodaiwa na kwenda ndani. Alipofika alichukua kila kilicho chake na kutimua zake kwake kurudi maskani kwake.
Aliamini maisha ya kutafuta mwenyewe yana uhuru kuliko kupewa na mtu na matokeo yake kudhalilishwa kama vile.
kwa vile alikuwa amejiimalisha kwake alirudi moja kwa moja kwenye chumba chake alichokuwa amenunua vitu vyote vya ndani kupitia fedha alizopewa na MJ.
Siku zote hakuamini maisha ya kupewa na alihofia akikosana na MJ anaweza kukosa pa kuanzia kimaisha na kuwafanya wenye mapengo wamcheke.
Kitendo cha Shuku kufumania siku ile kilimuuliza sana MJ na kupanga akirudi nyumbani amuombe msamaha kwa gharama yoyote. Aliamini akimtangazia fedha na dhiki aliyonayo atakubali tu na kumwachia Lily.
Lakini alishangaa kutomkuta nyumbani, aliondoka na mpenzi wake akiamini huenda kesho atamkuta. Siku ya pili aliporudi hakumkuta tena. Kwa vile alikuwa bize na Lily hakujua kinachoendelea nyumbani. Alimuachia Shuku fedha nyingi kitandani kwake akiamini bado yupo pale.
Wiki ilipokatika ndipo alipogundua Shuku hayupo, hata alipokwenda alipokuwa akiishi zamani aliambiwa amehama. MJ hakutaka kumtafuta aliendeleza mapenzi kwa Lily. Kwa vile MJ hakutaka kubanwa na mpenzi wake alimnunulia nyumba ili aweze kuendelea na tabia zake za kubadili wanawake kama nguo.
Mwanzo Lily alilifurahi penzi la MJ kwani muda mwingi alikuwa naye pia kila alichokitaka alikipata. Siku zote mjusi hawezi kuwa nyoka, siku moja wakiwa chumbani wanajiandaa kwa chakula cha usiku simu ya MJ iliita, alipoangalia alikuta ni mpenzi wake mtoto wa waziri aliyekuwa nje ya nchi kuonesha alikuwa amefika siku ile usiku.
“Sorry mpenzi,” MJ alisema huku akipunguza kuni kwenye jiko.
“Ya nini tena bebii?” Lily alilalamika kwa sauti ya mtu aliyekuwa akitafuna pilipili.
“Kuna simu muhimu nataka kusikiliza mara moja.”
“Jamani bebi, utasikiliza baadaye mwenzio zipo juu zinataka kumwagika zishushe mpenziiii.”
“Samahani mpenzi ni simu ya muhimu sana.”
“Jamani, basi wahi kurudi,” Lily alisema huku akijikunja kutokana na kunyemvuliwa na wadudu wadogo wadogo.
MJ alinyanyuka na kwenda kuzungumzia sebuleni kwa sauti ya chini.
“Halooo Sweet.”
“Bebi upo wapi, mbona nyumbani haupo?”
“Nipo club.”
“Upo club gani nikufuate, nimefika usiku huu na ndege siwezi kwenda nyumbani mpaka nikuone na unipe raha zangu nilizozimisi kitambo.”
“Kwa hiyo tukutane wapi?”
“Popote, utakapotaka kama kwako nikusubiri au hotelini?”
“Nikukute Prinsess Motel.”
“Utanikuta nimechukua chumba kabisa yaani nina hamu na weeewe.”
Baada ya kukubaliana MJ alijikuta amesimama kama mnara asijue akamwambie nini Lily kwani alikuwa kwenye hali mbaya alihitaji msaada wake kumrudisha kwenye hali nzuri.
Kwa mahanjamu aliyokuwa nayo Lily, MJ alijua kama atampa huduma ya kwanza lazima angekesha na anapokwenda lazima atachelewa pia angeonekana katumika.
Alirudi hadi ndani na kwenda kwenye nguo zake na kuanza kuvaa. Lily alishtuka na kumuuliza.
“Vipi sweet mbona hivyo?”
“Aisee kuna kazi inatakiwa kufanyika usiku huu ni mimi tu niliyekuwa nimechelewa kufika.”
“Jamani mpenzi waambie wenzako muifanye kesho. “
“Bebi kazi hiyo ndiyo inatupa jeuri ya mimi na wewe kufanya yote haya.”
“Basi nipe hata chozi la mnyonge, hali ni mbaya,” Lily alilalamika alikuwa kama kachambia pilipili.
“Bebi nachelewa wananisubiri,” MJ alisema huku akivaa haraka na kwenda kumbusu Lily aliyekuwa kwenye hali mbaya.

ITAENDELEA

TOROJO BAMIA ( WINGA TELEZA ) – 3

Related image

Chombezo : Torojo Bamia (Winga teleza)
Sehemu Ya Tatu (3)

“Wee acha, mimi bonge la fala.”
“Bonge la fala! Una maana gani?”
“Yaani nimefanya bonge la mistake.”
“Mistake gani tena, umeibiwa?”
“Hapana.”
“Umefanya kosa gani lililokuchanganya?”
“Si yule demu.”
“Eeh! Kafanya nini?”
“Si nimekutana naye na kunipa namba ya simu, bahati mbaya nilisahau kuisevu, uliponipigia ikafutika kutoka nje nimemkuta ndo anaishia.”
“Sasa tatizo nini?”
“Si kaniambia nimpigie simu kesho, sasa akikosa simu yangu si ataniona miyeyusho hata kunipiga chini mtu anayeutesa moyo wangu.”
“Kwani somo si kalielewa?”
“Ndiyo.”
”Sasa tatizo nini?”
“Wasiwasi wangu atasubiri simu akiikosa atanidharau.”
“Kwao si unapojua?”
”Ndiyo.”
“Basi kesho mtilie timu kwa vile umesema mtu wake mchovu chukua gari lolote mwibukie tumia kiasi chote cha fedha. Kesho nitakuongezea nyingine ili kukuhakikishia rafiki yangu na wewe unafurahia maisha.”
“Zile ulizonipa nimempa zote sijui itakuwaje?”
“Achana nazo tayari samaki kala chambo wewe kazi yako kumvuta tu tena hutumii nguvu.”
“Yaani bila wewe nilikuwa nimeisha changanyikiwa.”
Shuku alinyanyuka na kuelekea kwenye gari ili warudi nyumbani.
Wakiwa njiani Shuku alionekana kujifyonza mwenyewe kitu kilichomfanya MJ amuulize rafiki yake.
“Vipi Shuku mbona sikuelewi?”
“Wee acha tu.”
“Si tumezungumza, ni hilohilo au kuna lingine?”
“Leo nimefanya ujinga wa mwaka.”
“Shuku acha ushamba huyo demu wako yupo vipi kiasi cha kukuchanganya kiasi hicho?” MJ alimshangaa rafiki yake kudatishwa na demu.
“Siyo demu bali ujinga niliofanya wa kutosevu namba, mfano kama nisingekuwa najua anapoishi si ingekuwa imekula kwangu.”
“Ile kwako kivipi kwani watoto wazuri wamekwisha, hii ndiyo tabu ya kutotembea matokeo yake umekuwa kama kipofu aliyeona kwa bahati mbaya kila kitu akiambiwa huamini akifanani na kile alichokiona.”
“Huwezi kuamini MJ mi si mtu wa mademu lakini yule demu nimejikuta kanichanganya hata sijielewi.”
“Mmh! Haya siwezi kuingilia utashi wa moyo wako.”
Walipofika nyumbani MJ alimkuta mtu wake aliyempigia simu. Kwa mara nyingine Shuku alishuhudia msichana mwingine wa nguvu akiwa anamsubiri Mj. Alipomuona walikumbatiana na mabusu mengi.
“Baby kidogo nikufuate nilijua nitaibiwa,” alilalamika mtoto wa kike ambaye alikuwa na umbile dogo lakini mzigo msalie mtume.
“Hakuna baby unaniona kicheche siyo?” MJ alijitetea na kumfanya Shuku ajiulize anawezaje kutembea na wanawake wengi kiasi kile bila kufumaniana na wote huja nyumbani kwake bila taarifa.
Walipoingia chumbani kwao Shuku naye alikwenda kulala, siku ile hakutaka kuangalia filamu kama ilivyo kawaida yake. Kufutika kwa namba katika siku yake kulimnyima raha sana.
Siku ya pili Shuku aliwahi kuamka na kujiandaa kumfuata yule demu aliyemchanganya. Baada ya maandalizi yote alimfuata MJ chumbani kwake, baada ya kugonga kwa muda MJ alitoka kajifunga taulo. Baada ya kufungua mlango na kumkuta rafiki yake alimuuliza akifikicha macho.
“Vipi mzee?”
“Poa.”
“Mbona asubuhi asubuhi? Halafu umeulamba safari ya wapi, kanisani?”
“Si kwa yule demu.”
MJ alijikuta akicheka mpaka machozi yakamtoka na kumfanya Shuku ashtuke na kumuuliza rafiki yake.
“Unacheka nini sasa?”
“Kweli rafiki yangu umepania.”
“Si unajua leo jumapili anaweza kwenda sehemu ikawa tatizo na yeye anajua nitampigia simu.”
“Mmh! Haya kaka ulikuwa unasemaje?”
“Nataka gari?”
“Unataka gari gani?”
“Utakalonipa.”
“Shuku hebu acha kujishusha, nimekueleza humu ndani wewe si mgeni chukua chochote unachotoka sitaki mtu ajue hii mali ni yangu kuanzia leo mali yangu ni yako.”
“Nimekuelewa best.”
“Funguo zipo kwenye kabati.”
“Poa wacha niwahi huenda akaenda kanisani.”
“Kumbe demu wako ni mkristo?”
“Hata najua.”
“Kwani anaitwa nani?”
“Ndugu yangu wee, hata nilikumbuka kumuuliza jina lake.”
“Kweli umechanganyikiwa mpwa wangu.”
“Wee acha tu,”
“Sijui ukimpata itakuwaje?”
“Lazima nitangaze ndoa.”
“Acha ushamba, kula raha wewe, huwezi kukimbilia kuoa watoto wazuri kama hawa utamuachia nani.”
“Ngoja nimpate nitajua yote.”
“Unaweza kumpapatikia kumbe si mali kitu utafanya nini?”
“Tutayajua yote nikimtia mkononi.”
Baada ya mazungumzo ambayo Shuku aliona kama yanamchelewesha kwa kurefusha maneno, aligeuka ili aondoke MJ alikumbuka kitu.
“Una fedha ya kutosha?”
“Sina hata senti tano.”
“Zote nilizokupa umezifanya nini?”
“Si unakumbuka nilikuambia nimempa zote yule demu.”
“Ooh! Sorry, nilisahau, subiri,” MJ alisema na kurudi ndani, baada ya muda alitoka na fedha mkononi na kumpa Shuku.
Shuku alipokea na kushukuru kidogo amlambe miguu.
“Asante sana rafiki yangu.”
“Kawaida usijali huu ni mwanzo nataka usahau shida zako.”
“Nashukuru wacha niwahi.”
“Kama zikipungua nijulishe nikutumia kwenye akaunti ya simu yako.”
“Hakuna tatizo.”
“Kwa fedha niliyokupa mnaweza kwenye hoteli yoyote kubwa jijini na kula chochote na msiimalize.”
“Asante, wacha niwahi.”
“Wahi mzee nakuona una ugwadu naye usije ukachemsha si unajua mkamia maji.”
“Haya lazima niyanywe hata kwa dilip.”
“Teh teh teh.. haya baba kila la heri,” kauli ya Shuku ilimchekesha MJ.
Shuku alitoka nje na kwenda kuchukua gari la kufunuka juu ambalo alilipenda sana. Akiwa amepiga pamba za kweli na kamba nzito kifuani aliondoka na gari kuelekea Temeke Mikoroshini kwa yule demu aliyemdatisha kichizi.
Shuku aliendesha gari hadi Temeke Mikoroshini eneo analoishi yule msichana. Alipokaribia pale aliendesha gari taratibu huku akipepesa macho kuangali nyumba aliyomuona akiingia yule msichana siku ya kwanza akichota maji .
Akiwa bado aking’aa macho kwenye nyumba ile macho yake yalitua kwa msichana mmoja aliyekuwa anatoka kuchota maji akiwa amevaa dela lililokuwa limechomekwa kwenye nguo ya ndani na kufanya umbile ya nyuma kuonekana huku likipishana kama wasafiri wa mbagala wakigombea kuingia kwenye daladala muda wa jioni.
Shuku alitabasamu moyoni baada ya kumtambua kumbe ni yule msichana aliyemfuata na kujisemea moyoni. “Nitafaidi” alimuona akikaribia kuingia kwenye geti la kwao. Alipiga honi lakini yule msichana hakugeuka aliingia ndani, alisogeza gari na kwenda kulisimamisha sehemu ambayo alimuona Sharobaro anayemchukua yule demu akilisimamisha siku alipomfuata.
Alilifungua gari na kuwa wazi kumsubiri akitoka, kama asingetoka ingebidi amtume mtu amfuate. Alitoka nje ya gari na kulikalia kwa mbele mguu mmoja ukiwa chini na mwingine umekanyaga mbele ya gari.
Akiwa ananyanyua macho alipokuwa akiangalia simu yake, alimuona yule msichana akiwa na ndoo mkononi akielekea bombani. Shuku alimshtua:
“Psiiii,” yule msichana aligeuka na kumtazama lakini hakumtambua, aligeuka kuendelea na safari yake,Shuku alirudia tena kuita.
“Psiiiiii.”
Yule msichana alisimama tena na kugeuka kisha alijishika kifuani na kuuliza.
“Mimi?”
“Ndiyo.”
Yule msichana alirudi taratibu akiwa amemkazia macho mtu ambaye alionekana anazo kutokana kulipuka kwa pamba pia mkoko wa nguvu. Alipomkaribia alimgundua Shuku, alishtuka na kuitupa ndoo kisha alikimbia hadi aliposimama huku akipiga kelele na kwenda kumvamia.
“Wawooo baby,” alimkumbatia kwa nguvu na wote kulalia gari.
“Jamani baby ndiyo nini kunitesa mwenzio yaani nimesubiri simu yako kama wokovu?”
“Wee acha tu.”
“Niache nini baby, nilijua labda umenitosa.”
“Nikutose mtoto mzuri kama wewe?”
“Sasa mbona hujanipigia simu.”
“Nilitaka nikufanyie Surprise.”
“Mmh! Asante, umejuaje ninapokaa?”
“Huwezi kuamini nakupenda muda mrefu, nimekufuatilia muda mrefu.”
“Jamani baby, mi sitaki, mbona hukuniambia zamani au sikukuvutia siku za nyuma?”
“Walaa, nilijua nimewahiwa, wasiwasi wangu yule mchovu amekuoa sikupenda kuingilia ndoa yako.”
“Kipi kilichokufanya unitokee?”
“Aah! Nilimuona jamaa mwenyewe mchovu hata kiganjani hajai.”
“ Kweli baby yaani hata usafiri wako si wa kawaida.”
“Tuachane na hayo, nimekufuata.”
“Kweli baby?”
“Sikutanii kama upo tayari tuondoke nikakupe maisha ya ndotoni.”
“Mbona asubuhi sana baby?”
“Au baby una safari nyingine?”
“Walaaa,” mtoto wa kike aliruka kimanga.
“Basi baby nipendapo huwa sina subra.”
“Mmh! Haya, basi nakuja,” yule msichana alirudi ndani, safari ya kwenda bombani ilikufa.
Shuku aliingilia kwenye gari na kufungulia muziki kwa sauti ya juu kidogo. Kila mtu alivunja shingo kumuona tajiri mtoto. Ilikuwa ni vigumu kumwambia mtu huyo siku mbili zilizopita alikuwa hajui kula yake na kuishi maisha ya kubahatisha alitembea kwa miguu miguu imempauka asingekubali hata kwa mtutu.
Shuku akiwa na simu yake ya bei mbaya muda wote alijifanya yupo bize na simu yake ili tu kuwakonga watu mtaani ambao walimtazama kwa jicho la matanio. Shuku alijiuliza mtoto mzuri kama yule ampe machejo gani ili akigusa anase asitoke tena.
Moyoni alijiapiza kumaliza utundu wote anaoujua na asioujua ili kuhakikisha anagawa dozi maridhawa itakayomfanya mtoto wa kike kila akimkumbuka basi ampigie simu. Wazo la kumpeleka nyumba hakukubaliana nalo.
Aliamini kwa vile alikuwa na mshiko wa nguvu alitakiwa ampagawishe ili hata jamaa akija ampe kibuti cha nguvu. Akiwa ameinama alishtushwa na sauti tamu.
“Sweeeti.”
Shuku alinyanyua macho na kukutana na mtoto mrembo, siku ile alipendeza mara dufu. Binti alikuwa amevaa gauni fupi la rangi ya papo lililoishia chini kidogo ya makalio lenye mkono mmoja na upande mwingine bega lilikuwa wazi juu alivalia wigi liliongeza uzuri wake na chini alivaa viatu virefu vyenye rangi sawa na gauni lake.
Begani alikuwa amebeba mkoba mdogo mwenye rangi sawa na gauni. Aliachia tabasamu pana na kuonesha meno yake madogo kama mahindi ya bisi yaliyonakshiwa na mwanya mwembamba. Midomo yake ilipambwa na rangi ya midomo inayofanana na gauni na kumfanya apendeze zaidi.
“Wawooo, kweli najua kuchagua, wewe ni mwanamke mzuri kuliko wote walio chini ya jua.”
“Asante baby wangu.”
Shuku bila kujielewa baada ya kuchanganywa na uzuri wa mrembo yule alijikuta ameteremka kwenye gani na kwenda kumlaki mrembo ambaye mpaka muda ule hakulijua jina lake na kumpokea kama malkia. Alimshika mkono na kuingia naye ndani ya gari.
“Karibu malkia wangu.”
“Asante mfalme wangu,” binti alijibu kwa sauti ya kudeka huku akiketi kwenye kiti kwa mbwembwe.
Shuku alikaa upande wake kabla ya kuondoka alilifunika gari kwa juu na kumfanya yule mrembo kushtuka.
“Wawooo, baby sikuwezi upo juu.”
“Kawaida tu haya ni mambo madogo.”
Baada ya kufungua kiyoyozi na kuwasha muziki kwa sauti ya chini tofauti na mwanzo alifungua muziki wa matangazo. Alimgeukia mrembo na kumsifia:
“Hongera mpenzi umependeza sana.”
“Asante, na wewe pia baby wangu hongera umependeza.”
“Asante,” Shuku alisema huku akimbusu na kuondoa gari
“Asante baby, yaani busu lako limenisisimua sijui mambo yatakuwaje?”
“Kawaida tu, mmh, niambie unataka twende hoteli gani ambayo unaamini tukipumzika leo utafurahi.”
“Yoyote?”
“Yoyote ile ambayo unaamini tukipumzika leo moyo wako utakuwa kwatu.”
“Mmh! Unajua mimi na ujanja wangu sijalala hoteli ya Serena zamani Royal. Lakini naona kama ya gharama sana, ungechagua yoyote baby kwangu sawa.”
“Babiii utaniangusha, nimekueleza fedha si tatizo bali matumizi.”
“Basi Serena baby.”
Shuku aligeuza gari na kuelekea katikati ya jiji kula raha na mrembo. Walipofika Serena hoteli walipaki gari kwenye maegesho na kuingia ndani kwa mwendo wa madaha kama wapenzi wa muda mrefu. Shuku akijifanya kujichelewesha nyumba ili aweze kuzisanifu sehemu za nyuma za binti mrembo. Kila alivyotembea mtikisiko wa nyuma ulizidi kumuacha hoi huku akijiuliza ndani itakuwaje wakati wa hukumu ya kisu na nyama.
Msichana naye baada ya kujua sababu ya kutangulizwa aliongeza manjonjo ya kulegeza makalio ambayo yalizidi kutetemeka kama yamemwagiwa maji baridi usiku wa manane.
Shuku alijisahau na kusimama akishika mikono kiunoni kumtazama binti mrembo na kutikisa kichwa na kunyanyua mikono juu kumshukuru Mungu kwa utundu wake. Binti mrembo baada ya mwendo mfupi aligeuka nyuma na kumkuta Shuku akimshukuru Mungu.
“Babiii vipiiii mbona huji?”
“Nakuja mpenzi.”
Shuku alichepua mwendo hadi alipokuwa amesimama mrembo na kumshika kiunoni hadi mapokezi.
“Karibuni wapendanao,” msichana wa mapokezi aliwakaribisha.
“Asante, habari yako?” Shuku alimsalimia mfanyakazi wa mapokezi.
“Nzuri tu kaka yangu, karibuni sana.”
“Asante, tunahitaji chumba.”
“Vipo, unataka cha daraja lipi?”
“Cha daraja la juu.”
“Daraja la juu ni VIP.”
“Ndicho hichohicho ninachokitaka.”
“Mmh! Lakini unajua bei yake?”
“Tatizo bei au kulipata chumbani?”
“Si kulipia chumba bali kutumia fedha nyingi wakati kuna vyumba vizuri ambavyo vya daraja la kati unavyoweza kuinjoi na wifi yangu. Vyumba kama hivi hulala wageni kutoka nje kama marais na watu wazito.”
“Samahani dada yangu, hivi hapa Dar kuna hoteli nyota tano ngapi?”
“Zipo nyingi.”
“Kwa nini nimekuja hapa?”
“Kwa sababu umeipenda hoteli yetu.”
“Na kwa nini nimechagua chumba cha VIP?”
”Sijui, lakini wasiwasi wangu labda ulidhania bei yake ni ndogo, hivyo sikupenda Mtanzania mwenzangu kutumia fedha nyingi bila sababu.”
“Hebu nipe menu niangalie.”
Dada wa mapokezi alimpa Shuku menu ambayo aliingalia bei ya vyumba na kusema:
“Mbona fedha kidogo hata ingekuwa mara tatu yake ningelipa,” Shuku alijitapa mbele ya mrembo.
“Hebu baby.”
Mrembo alichukua na kuitazama na kushtuka lakini hakuonesha mshtuko wake na kuona tofauti ya nyumba za wageni wa uswazi na za anga za wakubwa.
Shuku alitoa kiasi cha kulipia chumba, baada ya kuandikisha walielekezwa chumba kwa kupelekwa na mhudumu. Baada ya kuingia ndani mrembo alifurahi sana kuona bonge la chumba ambalo hakuwahi kuingia katika maisha yake yote.
“Wawooo baby hii ya leo umenifanyia bonge la surprise.”
Mrembo alisema huku akimkumbatia Shuku.
“Kawaida tu baby hivi vitu vidogo sana kwangu.”
Shuku alijikweza wakati na yeye ndiyo ilikuwa siku yake ya kwanza kuingia kwenye chumba kama kile. Shuku alimbeba juujuu hadi kwenye kitanda cha nguvu na kutua.
“Yaani baby siamini kuingia na kulala kwenye hoteli na chumba cha gharama kama hiki.”
“Mbona mambo madogo tu jiandae kula raha zaidi ya hizi.”
“Kwa nini usinioe kabisa?”
“Ni haraka sana kula kwanza raha mambo mengine baadaye.”
“Nakuahidi mimi Lily sitampenda mwanaume yeyote zaidi yako,” Shuku alijikuta akifahamu jina la yule mrembo kwa mara ya kwanza.
“Lily wewe tu, tulia ule raha.”
“Yaani yule mchovu anikome tena anikome.”
“Wewe mwenyewe kuamua kuishi Masaki au Tandale kwa Mtogole.”
“Baby sihami Masaki hapa nimefika sihami tena.”

“Lily wewe tu, tulia ule raha.”
“Yaani yule mchovu anikome tena anikome.”
“Wewe mwenyewe kuamua kuishi Masaki au Tandale kwa Mtogole.”
“Baby sihami Masaki hapa nimefika sihami tena.”
Lily alinyanyuka na kwenda kutoa nguo mwililini ili aweze kujitawala zaidi. Alipofika kwenye kabati alitoa nguo zote na kubakia na bikini iliyoupendezesha mwili wake na kuelekea alipokuwa amekaa Shuku ambaye macho yalikuwa yamemtoka kama mjusi kabanwa na mlango asiamini na yeye kwa mara ya kwanza anakula mtoto wa viwango.
Shuku alijikuta akijisemea kwa sauti ya chini:
“Kweli fedha mwana haramu, leo Shuku nakula mtoto wa kiwango.”
“Baby vipi mbona unanishangaa?”
“Sikushangai bali penati nilitopiga lilikuwa bonge la penati kama la Pirlo.”
“Baby kumbe na wewe unacheza mpira?”
“Siyo penati ya uwanjani.”
“Sasa penati gani tena hiyo?”
“Si kukuchagua wewe.”
“Jamani baby kumbe hivyo?”
“Lily wewe bonge la demu.”
“Asante mpenzi.”
Wakati huo Lily alikuwa amefika kwa Shuku na kuanza kumpembua kimoja baada ya kingine kisha alimshika mkono hadi bafuni. Lily alikuwa mzoefu kuingia sehemu kama zile japo hakuwahi kuingia hoteli yenye hadhi ya juu kama ile.
Kama ingekuwa amemuachia kila kitu afanye Shuku angeumbuka, alizoea vigesti vya vichochoroni vya buku mbili au kumbambia changudoa kichochoroni na kumalizana juu kwa juu, lakini anga kama zile hakuota kuingia na kama ingekuwa fedha yake basi angempeleka demu kwenye hoteli isiyo kuwa na gharama kama ile.
Baada ya kuingia bafuni waliingia kwenye jakuzi na kujimwagia maji huku Lily akionesha utundu wake asionekane hayupo nyuma kila kitu alikifanya yeye ili Shuku ajue na yeye mambo kama yale si mageni kwake. Kufanya ile kulimpa nafasi Shuku ambaye pia alikuwa mgeni wa vitu vile kujifunza kupitia kwa Lily kwa haraka ili siku ya pili asiwe mgeni tena. Baada ya utundu wa Lily aliomfanya Shuku apasue yai mdomoni huku akigugumia kama dume la njiwa.
Kwa mara ya kwanza alijikuta akipata raha mwanzo mwisho alizokuwa akiziona kwenye kioo. Naye aliapa kuonesha yeye nani ndani pichi. Baada ya kumaliza kuoga walirudi kitandani huku Lily akionekana kupandwa na mahanjamu kila jicho lake lilipotua kwenye muhogo wa Shuku mwili ulimsisimka.
“Baby muhogo unanisisimua nipe niugegede mwenzio mate yananidondoka.”
Shuku alikuna nazi na kuchemsha maji baada ya tui kuchemka alitia mchele na kumfanya mtoto wa kike kutatalika kama makalio yanaumwa na siafu kwa kukipandisha juu kiuno na kuiacha nyonga ukate mawimbi huku Shuku akitandaza soka maridadi iliyowafanya wapenzi walipuke mayowe muda wote kwa pasi za uhakika za Shuku ambazo zilimfikia mlengwa na kumfanya Lily aonesha umahiri wa wepesi wa nyonga yake kuiwahi mipira yote iliyopigwa na Shuku na kuufanya mchezo uwe wa ufundi zaidi kuliko nguvu.
Lily alikuwa wa kwanza kugeuka golini kuokota mpira baada ya gonga safi za hapa na pale zilizompelekea kusogea mbele ya goli na Shuku kuuchopu mpira uliomfanya anyooshe mbavu bila mafanikio ya kuugusa mpira, goli lile lilimfanya amsifie mfungaji kwa goli tamu alilofungwa na shuku kwa kumng’ang’ania kwa nguvu kuliacha dafu limwage maji baada ya kupasuka.
“Be..be..be….beeeee,” Lily alipagawa baada ya siku za nyuma kuchezewa na teja kwa muda mrefu lakini siku ile alikutana na mwanaume wa shoka mwenye kuijua kazi yake uwanjani. Aliitafuna midomo kama kamwagiwa kopo la asali.
“Niite Shuku baby,” Shuku alimwambia huku akimpa uhuru Lily alifuahie utamu wa maji ya dafu yaliyokuwa yakimwagika kwa kumng’ang’ania shingoni.
“Shuku…Umeniweza…siamini …siamini.. Shuku kumbe nilikosa raha hizi jamani, ulikuwa wapi Shuku? Mungu kakupendelea kila kitu mbona nitafaidi Lily mimi.”
Baada ya kutulia Shuku naye alianza kulitafuta bao la kusawazisha kwa kutumia mashuti ya mbali ambayo kwa mara nyingine yalimpeleka Lily marketi kwa kuvunja yai la pili baada ya kuangukia banda la kuku.
“Shu..shu ..ku we..we..we..kiboko haki ya na..nani lingine hi.. hi..hiloooo.”
Lily alisema kwa sauti ya kudeka safari hii Shuku akufanya fair play alianzisha mpira mara moja kwani naye alianza kuiona pwani hivyo hakutaka kushusha stimu iliyokuwa inapanda kama sumu ya nyoka.
Baada ya kuwatoroka mabeki na kuukuta mpira ambao Lily aliamini ni off side, mwanaume aliingia nao kwa kasi huku akimfungasha tela Lily aliyekwenda kumkatia ndani ya wavu kiliwa bao moja la Shuku huku Lily naye akipasua yai la tatu.
Wote walitulia kama mkwezi mwizi aliyedondoka kwenye mnazi na kufikia kiuno na kumfanya atulie hata kama mwenye mnazi angetokea asingeweza kumkimbia. Walitulia kwa muda kama wamepakwa nta kwa muda.
Baada ya kila mtu dafu lake kukata maji, alimuachia mwenzake na kujilaza pembeni ya mwenzake. Moyoni bado Shuku aliona kama yupo ndotoni kulala hoteli ya gharama na mtoto mzuri tena mwenye kuijua kazi yake. Lily naye aliamini baada ya kuhangaika sana pale alikuwa amefika mwisho wa reli aliuapia moyo wake atampa mwili wake mwanaume mwingine zaidi ya shuku.
Siku ile waliimalizia pale mpaka siku ya pili Shuku alimrudisha Lilly nyumbani kwao, walipofika Shuku alifungua gari kwa juu na kutoka nje na kwenda kukaa mbele ya gari ili aagane na mpenzi wake.
“Kwa hiyo bebi?” Lilly aliuliza.
“Tutaonana jioni.”
“Si utanifuata?”
“Wewe ulitakaje?”
“Nataka unifuate bebi.”
“Hakuna tatizo.”
“Bebi katika maisha yangu sijawahi kuinjoi kama jana.”
“Huo ni mwanzo tu bebi.”
“Kwa nini usinioe kabisa.”
“Ni haraka sana.”
“Basi bebi utakuwa na mwanamke mwingine zaidi yangu.”
“Sina mwanamke mwingine bebi bahati hiyo umekuangukia wewe tu.”
“Mmh! Bebi basi nioe nijue unayosema ni kweli.”
“Bebi bado hujaniakikishia nipo peke yangu kwa vile nimekukuta na mtu.”
“Nakuapia yule mshenzi hapa atapaona kama kituo cha polisi na muuza bangi.”
“Ni mapema sana, bebi si ndiyo tumeanza haraka ya nini?”
“Bebi nina hamu ya kuolewa na wewe.”
“Nimekusikia, basi jioni kodi gari uje home.”
“Si umekubali nitanifuata imekuwaje tena, bebi hunipendi.”
“Nakupenda mpaka nasikia maumivu.”
“Sasa kwa nini usinifuate, bebi unajua mtaa huu wanajifanya wanajua sana ukinifuata wataniheshimu.”
“Mbona mtaa wenyewe haupo kivilee?”
“Kuna vicheche fulani wana waume zao wenye nazo, hivyo basi huja na vigari vyao kutukonga.”
“Wanazo kunishinda mimi?”
“Hawakufikii lakini lazima wajue mimi ni matawi ya juu.”
“Wana gari kama hili?”
“Noo, wana Prado za milioni 75.”
“Basi bebi jioni nitawafunika wote.”
“Kweli bebi?”
“Sasa chagua nije na gari la milioni mia moja au mia mbili.”
“Bebi la mia mbili ili wakome kabisa.”
“Basi poa, nataka wajue wewe si mtu wa kuchezea pia nataka niivunje nyumba yenu na kujenda bonge la bangaruu simulizi la kitaa.”
“Bebi nijengee yangu ile nyumba ya familia watanidhurumu.”
“Basi nitakujengea Masaki unasemaje?”
“Yaani nitafurahi ile mbaya.”
“Na gari la milioni mia moja.”
“Jamani bebi yaani nakuahidi hata yule Mpemba aliyeniahidi kuninunulia Lav4 nampiga chini.”
“La4 nini bwana zile gari za wanafunzi.”
“Umeona eeeh!”
“Basi bebi jiite mwanamke mwenye bahati.”
“Hata mimi naona, ndiyo maana siku ile nilikupa namba yangu bila kukuhoji kwa vile nilijua nimelamba dume.”
“Baadaye basi.”
“Pouwa bebi.”
Shuku naye alijifanya kauzu japo hakuzoea alidendeka na Lilly mbele za watu. Baada ya kuachiana Lilly alikimbilia kwao akiwa amevimba kichwa na kujiona ana bahati kuliko kiumbe chochote cha kike.
Shuku alirudi kwenye gari lake na kupiga honi kabla hajaondoka kitu kilichomfanya Lilly ageuke nyuma, alibusu kwa kulipeperusha busu, naye Lilly alilipokea. Kisha aliwasha gari na kuondoka kwa kasi huku akitimua vumbi.
Shuku alikuwa bado haamini kilichotokea kumpata mtoto mzuri kulala hoteli ya bei mbaya. Moyoni aliomba aikute Vogue lipo nyumbani ili akazidi kumkonga Lilly na kuwatesa wavimba macho wote.
Alipofika nyumbani alimkuta MJ akitoka kuoga akiwa ameongozana na msichana mwingine mkali.
“Vipi mzee?” MJ alimuuliza Shuku.
“Poa tu mkubwa.”
“Ndo unarudi nini?”
“Wee acha.”
“Kwa nini?”
“Wakubwa unafaidi, mambo niliyokutanana nayo sikuyategemea, bila umatemate huwezi kula raha kama zile.”
“Vipi mtoto?”
“Yuko bomba kila idara.”
“Mbona hukuja naye?”
“Jioni, nimempitisha kwao abadili nguo, nitamfuata baadaye.”
“Kwa nini hukumpitisha kwenye maduka ya nguo mkabadili, au mkwanja umekwisha?”
“Bado upo mwingi tu.”
“Mlikwenda wapi?”
“Sijui.. hoteli ya Serena.”
“Usiniambie!”
“Wee acha wakubwa wacha mfaidi.”
“Umelala chumba cha shilingi ngapi?”
“VIP.”
“Weweee.”
“Si umeniambia nitumie niwezavyo.”
“Mtoto kasemaje?”
“Mambo niliyomfanyia kachanganyikiwa, mara ooh nioe si mtaki mwanaume mwingine.”
“Ndoa noma, ukioa dunia itakucheka.”
“Kwa nini?”
“Watoto wazuri kama hawa utamuachia nani?”
“Lakini mimi bado siwazi mwingine zaidi ya Lilly.”
“Demu wako anaitwa Lilly?”
“Ndo maana yake.”
“Basi mzee kazi kwako mi nabadili nguo natoka mara moja kuna mzigo umeingia.”
“Poa,” Shuku alipotaka kuondoka alikumbuka kitu.
“MJ nimekumbuka kitu.”
“Kitu gani?”
“Vipi Vogue utatumia leo?”
”Hapana, nitatumia hummer”
“Mmh! Hummer na Vogue lipi la bei mbaya?”
“Chezea Hummer wewe?”
“Basi mimi nilijua Vogue ndiyo matawi.”
“Imechelewa kujua.”
“Basi leo nitamfuata mtoto na Vogue siku nyingine nitafunga kazi kwa hummer.”
“Wewe tu.”
Shuku kwa vile alikuwa amechoka baada ya kushindana na kilichowashinda wahenga na wahenguzi kinyama cha hamu kisichoisha hamu, alikwenda kulala na kumuacha MJ akijiandaa kutoka na mtoto mzuri.
****
Majira ya saa kumi na moja jioni Shuku aliamka kitandani na kwenda kuoga tayari kumfuata Lily Temeke. Baada ya kutimba pamba kali, alitoka nje na kwenda kuchukua Vogue kwa ajili ya kwenda kumkonga mpenzi wake na wavimba macho wa mtaa ule.
Wakati akitoka alikutana na MJ akiingia, ilibidi asubiri kwanza aingie swahibu wake ndipo naye atoke. Baada ya MJ kuingiza gari ndani aliteremka na demu mwingine mkali kuliko aliyelala naye.
“Vipi mzee hujatoka?” MJ alimuuliza Shuku.
“Ndo natoka nimelala sana.”
“Poa utanikuta, huyu ni shemeji yako Angel,” MJ alimtambulisha demu wake.
“Ooh! Nimefurahi, mambo shemu?” Shuku alimsalimia kwa kumpa mkono.
“Poa, mbona wageni tunakuja wenyeji mnaondoka?” Angel alionekana mcheshi.
“Narudi sasa hivi.”
“Mmh! Sijui kama atanikuta.”
“Acha hizo, mbona hata nusu saa haichukui nitakuwa nimerudi.”
“Haya baba umeshinda, niletee zawadi tu.”
“Umepata, zawadi gani?”
“Yoyote itakayo ona inalingana na hadhi ya shemeji yako,” Angel alisema huku akijishebedua.
Shuku aliingia kwenye gari lake na kuondoka kumuwahi Lily ambaye aliamini ana kimuhemuhe cha kumsubiri kwa hamu. Akiwa njiani alijikuta akijiuliza ubadilishaji wa MJ watoto wazuri, alijiuliza watoto wakali kama wale anawatoa wapi. Kilichomshangaza toka afike hakukuwa na msichana aliyejirudia.
Alijiuliza hizo nguvu ya kugawa dozi kila kukicha anazitoa wapi. Lakini kwake pamoja na kuwaona wanawake wazuri pengine kumzidi hata Lily, lakini kwake Lily penzi lake lilikuwa limefika mwisho kama reli iliyogota Kigoma.
Alipofika maeneo Temeke Mikoroshini alikutana na lile gari lililotumiwa na mjanja wa Lily. Alishtuka na kutupa macho ndani ya gari labda Lily kaondoka, lakini ndani alikuwepo msela peke yake.
Alijiuliza imekuwaje huko baada ya msela kurudi peke yake, alipofika alisimamisha gari kwa makeke na kumpigia honi Lily. Alimuona Lily akichungulia na kurudi ndani alishindwa kumuelewa. Alipiga tena honi lakini safari ile hakutoka kabisa.
Aliamua kutoka nje ili Lily amuone, baada ya kusimama mbele ya gari Lily alitoka mbio na kwenda kijitupa kifuani kwa Shuku na kuanza kulia.
“Vipi bebi?”

Aliamua kutoka nje ili Lily amuone, baada ya kusimama mbele ya gari Lily alitoka mbio na kwenda kijitupa kifuani kwa Shuku na kuanza kulia.
“Vipi bebi?”
Shuku alimuuliza.
“Si huyu mshamba kaja hapa namwambia simtaki ananilazimisha na kuanza kunitukana eti mi malaya tena muathirika kwa vile tu nimemkataa.”
“Basi bebi, ingia kwenye gari nikakuliwaze.”
Lily aliingia kwenye gari na kutulia huku akiendelea kufuta machozi.
“Pole sana bebi.”
“Asante, lakini bebi naomba unihamishe huku.”
“Kila kitu kitakwenda vizuri usiwe na wasi.”
Shuku aliondoa gari kwa mbwembwe huku watu wakipiga miruzi. Wakiwa barabara ya Mandela baada ya kutoka vetenari Lily alikuwa kama anazinduka usingizini.
“Ooh! Bebi yaani yule mpumbavu kasababisha nishindwe kujimwaga mtoto wa kike. Bebi unatisha bonge la gari, umewafunika wote wavimba macho, mbona mwaka huu watakoma.”
“Huu ni mwanzo kuna gari la milioni mia tano ambalo siwezi kulileta kwenye vumbi.”
“Bebi si umesema atanijengea Masaki?”
“Ndiyo maana yake.”
“Yaani nitafurahi ile mbaya.”
“Wewe tu.”
“Mimi si umeona nimempiga chini jamaa kama naua nyani sijamuangalia usoni na mwisho akaanza kashifa zisizo na msingi mpaka watu wakamshangaa.”
Walipofika Tabata gari lilingia kwenye geti na kujikuta akiingia kwenye Jumba la kifahari. Baada ya kuteremka alimkaribisha ndani ya nyumba.
“Karibu mpenzi.”
“Wawoooo bebi unatisha, lazima nijisifu nina bahati kumpata mwanaume anayenipenda tena mwenye uwezo kufuru.”
“Wewe tu kutulia kula raha.”
Walipoingia sebuleni walikumkuta MJ amejilaza kwenye sofa akitazama filamu.
“Ooh! Mkubwa karibu,” MJ alijinyanyua na kukaa kitako.
“Asante, mpenzi karibu sana hapa ndipo petu. Huyu ni ndugu yangu ambaye tupo hapa pamoja.”
“Asante kukufahamu,” Lily alisema huku akitabasamu.
“Mkuu, huyu ndiye mamaa Lily anayenirusha akili kila kukicha.”,
“Wawoo lazima uchanganyikiwe Lily ana kila sababu ya kukuchanganya umejua kulenga. Karibu sana shemeji yangu wa ukwee.., karibu ujisikie upo home,” MJ alimkaribisha Lily huku alimthaminisha, kweli alikuwa mwanamke mzuri mwenye kila sababu ya kuitwa mrembo lakini kwake alikuwa wa kawaida kutokana na kukutana na watoto wengi wakali kumshinda Lily.
“Asante shemeji.”
“Tupo chumbani,” Shuku hakutaka kupoteza muda walielekea chumbani.
“Poa mkuu.”
“Shemu baadaye,” Lily aliaga na yeye.
“Hakuna tatizo,” MJ alijibu huku akimpiga jicho la wizi.
Walielekea chumbani huku MJ akiwasindikiza kwa macho na kuzidi kumtathimini Lily kwa nyuma. Aligundua makalio ya Lily hayakuchosha kuyatazama hayakuwa makubwa sana yenye kukinaisha wala madogo yenye kuchusha.
Aliamini ulimbukeni wa Shuku ndiyo uliomfanya achanganyikiwe. Lakini kwake angegonga na kutimua zake labda siku moja moja kwa vile maumbile mengine kama ya Lily yalikuwa hayachoshi kuyarudia.
Shuku baada ya kuingia chumbani kwake Lily alikuwa bado haamini.
“Bebi hii nyumba yako?”
“Bebi sipendi maswali hayo, mambo yangu unayatakia nini?” Shuku alikuwa mkali kidogo.
“Samahani bebi kama nimekukosea,” Lily aliomba msamaha.
“Jana tulilala wapi?”
“Hotelini.”
“Kwa nini hukuhoji kama Hoteli nimeinunua.”
“Basi bebi nisamehe sana.”
“Siyo nikusamehe, wee kula raha mengine hayakuhusu.”
“Nimekuelewa bebi wangu.”
Siku ile walishinda pale jioni walikwenda Maisha club, walirudi saa saba usiku na kulala mpaka siku ya pili. Siku ile Lily alishinda tena huku siku ile Shuku akimpeleka kumnunulia nguo kwa ajili ya kubadili ili jioni wajitupe kiwanja kingine.
MJ alibidi amwite Swahibu wake na kumueleza:
“Kaka vipi umeoa kabisa?”
“Kwani vipi?”
“Tumekubaliana nini?”
“Lakini mbona ni jana na leo kesho anarudi kwao.”
“Shuku, si unajua mi mzee wa kubadilio mademu, demu wako akiona anafikiri atanifikiriaje?”
“Kweli.”
“Sikukatazi kula starehe zako, ruksa kuja naye mara moja au mnalala kisha anakwenda kwao, kama unataka kutumia muda mwingi wa kuwa na mpenzi wako nitakupa fedha ya kukaa naye hata mwenzi mzima hoteli yoyote uitakayo lakini hapa tunagonga na kuondoa.”
“Nimekuelewa mkubwa.”
“Ila ukitaka gari lolote chukua na chochote fanya la muhimu fuata ninavyotaka ili twende sawa.”
“Poa hakuna noma jioni atasepa.”
“Siyo asepe kama bado una ugwadu naye, unaweza kwenda kulala naye hoteli yoyote.”
“Hakuna tatizo.”
Jioni ya siku ile baada ya kutoka Billis Shuku na mpenzi wake walikwenda kulala hotelini kitu kilichomfanya Lily ahoji.
“Vipi bebi leo mbona tumelala huku?”
“Kwani pabaya.”
“Siyo pabaya, kwa nini uharibu fedha bila sababu?”
“Nyumbani mzee wamekuja.”
“Si ingekuwa vizuri niwatambue wakwe zangu.”
“Si vizuri kwa mila ya Kiafrika mzazi akutambue bila kutambulishwa kwanza kabla ya kukuona.”
“Mmh! Sawa, wanaondoka lini?”
“Nitakujulisha kwa vile tupo pamoja.”
Shuku alianza kuona kama mambo yake yanaweza kwenda ndivyo sivyo na demu wake kugundua siri ile na kumpiga chini. Lakini ilikuwa tofauti na MJ yeye hakupenda mwanamke mmoja akae pale kwa muda mrefu angeweza kugundua mambo yake mengi ya hatari ambayo hakutaka mtu mwingine ajue zaidi ya Shuku.
Ilibidi akubaliane na masharti ya rafiki yake ya kumleta mpenzi wake na kuondoka ili kumpa nafasi MJ kuingiza mademu wake kwa kuwabadili atakavyo. Kwa vile Lily alipewa uhuru wa kwenda pale wakati wowote, kila alipojisikia alifika kwa Shuku kukidhi haja zake muda wa mchana kabla ya kutoka usiku kwenda viwanja.
Akiwa amekaa sebuleni peke yake MJ wakitazama DVD ya filamu, Lily aliingia akiwa katika vazi la utata lililokuwa ‘transpalent’ lilimrusha roho MJ na kumuona Lily kila siku alikuwa mpya kwake.
Alipofika alikwenda moja kwa moja alipokaa na kumlalia huku akimpiga mabusu mfurulizo.
“Mmmmmmwa, shemeji langu hilo.”
“Asante,” busu la Lily lilimsisimua MJ na kujikuta akitamani kitu kwa muda ule, kama Shuku asingekuwa mtu wake wa karibu kwa jinsi Lily alivyokuwa siku ile alikuwa yupo radhi kuvunja benki kwa kiasi chochote ili alionje joto lake. Lakini bahati mbaya kisu kilikuwa kimegusa mfupa hivyo alikubali kula kwa macho hasa akizingatia yule mwanamke alikuwa amemrusha akili swahibu wake Shuku.
Siku zote MJ hakukubali kuteswa na mwanamke alikuwa yupo radhi kuhonga hata gari ili ampate hasa mademu na wake za marafiki zake. Lakini kwa Shuku aliona pale si sawa hasa baada ya kumkaribisha mwenyewe hakukuwa na haja ya kupimana ubavu na nguvu zake mwenyewe. Alikubali kula kwa macho japo siku ile naye alipagawishwa sana na Lily.
“Mambo shemu?” Lily alimuuliza akiwa amemshika mabegani huku akimtazama kwa jicho lililohitaji msaada wa mwanaume shababi.
“Poa tu shemu, karibu,” MJ alijitutumua.
“Asante,” Lily alijibu akiwa bado amemkalia MJ.
“Hongera sana umependeza.”
“Asante, vipi babaa yupo?”
“Kaingia ndani muda si mrefu amesema anasikia usingizini, kwani hajui kama unakuja?” MJ alimuuliza huku macho yake yakitua katika kifua kilichojaa sawa bin sawia na kuzidisha uzuri wa mrembo aliyekuwa mbele yake.
“Hajui, nimeamua kumfanyia surprise.”
“Haya mama kazi ni kwako.”
“Siyo kwangu kwetu wote, badae,” Lily alisema huku akinyanyuka na kuondoka kuelekea chumbani kwa Shuku akitembelea vidole kwa kuchanganya miguu kwa madaha kuwahi chumbani.
MJ alijikuta akimtazama Lily kwa nyuma jinsi maumbile ya nyuma yalivyokuwa yakitetemeka kama yanasikia baridi kali la Njombe. Alitikisa kichwa na kusema kwa sauti ya chini:
“Kweli Shuku anafaidi.”
Kwa mara ya kwanza alifahamu kilichomdatisha rafiki yake Shuku kwa Lily, mrembo alikuwa na vigezo vyote vya kumchanganya mwanaume. Baada ya kumfikiria sana Lily, aliyahamisha mawazo yake na kutazama kwenye kioo kitazama picha iliyokuwa imefika mbali kutokana na kumtazama sana Lily.
Baada ya muda alijikuta akiwaza wazo la kijinga kwenda kupiga chabo dirishani kwa Shuku ili aone unyambulikaji wa mwili wa Lily kwenye uwanja mfupi anautendea haki au ndiyo analala kama nyoka mkubwa aliyeshiba baada ya kumeza mbuzi hata kujitikisa hawezi.
Alitoka hadi nje na kuzunguka nyuma ya nyumba hadi kwenye dirisha na kufanikiwa kuona ndani. Alipofika alikuta ngoma inogile mtoto wa kike akitumia wepesi wa nyonga yake kutawala dimba la kati kitu kilichozidi kuongeza mateso kwa MJ.
Aligundua uwezo mkubwa wa Lily katika mapenzi tofauti na wanawake wengi. Alijituma muda wote wa mchezo huku akifurahia mchezo kitu kilichomfanya MJ naye nje kwenda na muvu ya goli baada ya Lily kuwatambuka mabeki na kumpiga chenga golikipa na goli kubakia wazi.
Mzee nzima nje bila kujijua anasugua kichwa ukutani wakati akikwea mnazi makavu bila kupenda wakati huo alikuwa anateremka juu ya mnazi naye taratibu alikaa chini huku akizidi kuusugua uso wake ukutani na kumpa jeraha upande wa kushoto wa uso kwake.
Baada ya bomba la maji kukata alinyanyuka alikuwa amekaa na kukimbilia ndani ili wasimkute akitoka nje kwani alikuwa kama kaangukia banda la kuku kwa jinsi alivyojichafua na ute wa yai.
Alikwenda moja kwa moja bafuni kujiswafi alipojimwagia maji alisikia maumivu makali sehemu ya kushoto ya uso, alisogea kwenye kioo na kujitazama na kugundua amechubuka usoni, kama ilivyokuwa kwa Shuku siku alipompiga chabo MJ naye alitabasamu na kumalizia kuoga na kujipaka dawa ya kupuliza kwenye kidonda na kurudi sebuleni.
Moyoni alijiapiza lazima naye aanguke na Lily hakuwa tayari kuteswa vile wakati aliyeshika mpini. Siku zote aliamini anaye kula vizuri ni mwenye mali na mpambe hula makombo.
Akiwa katikati ya mawazo juu ya uzuri na uwezo wa shemeji yake katika mapenzi, mara alitoka Lily peke yake na kusogea alipokaa na kumkalia kwenye mapaja.
“Shemu mi nakimbia,” alimwambia kwa sauti ya kudeka.
“Haya bibie, mbona peke yako?”
“Kuna sehemu nakwenda nitarudi kesho hivyo nilikuja kujaza mafuta ili gari lisizimike huko niendako.”
“Haya mama, kwa hiyo Shuku anafanya nini?”
“Nimemuacha amelala, nimemchezesha tokomile bila filimbi yupo hoi kalala.”
“Naona, sasa hebu subiri,” MJ alisema huku akinyanyuka kwenye sofa.
“Sawa shemu,” Lily alikubali na kusubiri alichoelezwa akimtazama Mj aliyeelekea chumbani kwake.
MJ alikwenda hadi chumbani kwake na kuchukua mkufu wa bei mbaya na kumletea Lily.
“Shemu zawadi yako.”
Lily alifungua na kukutana na mkufu wa bei mbaya ambao aliwahi kuuona kwa shoga yake alionunuliwa na basha wake wa Kiarabu wa milioni mbili na nusu.
“Wawooo shemu,” alisema huku akimrukia na kumkumbatia kwa furaha.
“Asante sana shemu, umeniazima au umenipa?”
“Shemu kipi cha ajabu?”
“Hapana.. hii zawadi kubwa sana kupewa na shemeji yangu.”
“Ya kawaida hapo nje umeona magari ya thamani gani?”
“Kubwa sana, kwani mali hii ya nani maana Shuku nilimuuliza akawa mkali.”
“La muhimu ni kupokea tu si kujua mali ya nani hii ni mali yetu.”
“Asante shemu, yaani unaonekana una upendo mkubwa sana kwangu kwa kunipa zawadi kubwa kama hii,” Lily alisema akiwa anautazama mkufu kwa kuuning’iniza.
“Kwangu hiyo ni ndogo sana, una gari?” MJ alitupa turufu nyingine.
“Si..si..na ila bebi alisema ataninunulia.”
“Achana na bebi wako, unazungumza na mimi, una gari?’”
“Sina shemu.”
“Unapendelea gari la aina gani?”
“Lolote la kike.”
“Basi kesho nitakupigia nikueleze uje wapi ili nawe umiliki gari lako.”
“Shuku akiniuliza nimjibu nini?”
“We mkubwa sasa, ukila na kipofu ushimshike mkono.”
“Nimekuelewa, nije na Shuku?”
“Hapana shemu njoo peke yako sitaki Shuku ajue ili siku moja umfanyie surprise.”
“Na hii cheni?”
“Hata hiyo usimwambie, hebu nisubiri nje nakuja.”
Lily alitoka nje akiwa hamuelewi shemeji yake, moyoni alijisemea:
“Kama amezimikia flagi shauri yake, Shuku si mume wangu wa ndoa kama akiingia kichwa kichwa namnyoa bila maji.”
Alitangulia hadi nje kusubiri alichoambiwa asubiri, baada ya muda MJ alirudi na bahasha la kaki lililokuwa na fedha za kutosha.
“Kaisabie nyumbani kuna namba yangu ya simu utanipigia kwa wakati wako.”
“Asante, shemu naomba basi unirudishe nyumbani,” Lily baada ya kuona MJ amechanganyikiwa alideka.
“Hakuna tatizo, unapendelea gari gani?”
“Lolote yote mazuri.”
MJ alichukua Jeep na kumrudisha Lily nyumbani, njiani Lily alizidi kumfanyia visa MJ na kumchanya muda wote koo limcheze kama mtu aliyekuwa na kiu kikali aliyehitaji msaada wa maji.
Alipomfishisha Lily kabla ya kuteremka alimbusu Mj na kumvutia kwake na kukutanisha midomo na kumpa uhuru wa kubadilishana mate. Walitulia huku MJ akipandwa na mzuka na kuanza kutembeza mikono yake katika mwili wa Lily, lakini Lily alimuwahi na kujitoa na kusema:
“Tosha kwa leo shemu.”
“Kwa hiyo siku nyingine?”
“Wewe tu.”
“Au leo?”
“Hapana ni haraka sana.”
“Lily sema unataka kiasi gani ili usiku wa leo niwe na wewe?”
“Chochote utakacho taka kunipa.”
“Kwa hiyo jioni ya leo tutakuwa wote?”
“Mmh! Lakini sio kwenu.”
“Tunakwenda hotel yoyote unayotaka.”
“Sawa, na kuhusu Gari?”
“Tukitoka hotelini tunapitia kwenye show room.”
“Wawooo, yaani nakuahidi kukupa penzi ambalo hujawahi kupewa, sasa itakuwa kwa Shuku?”
“Endelea naye penzi, letu litakuwa la siri tukiwa pamoja unakuwa upande wa Shuku, ila tukiwa wawili kama kawaida.”
“Nimekusoma, kwa hiyo jioni inakuwaje?”
“Nitakujulisha nitakupitia.”
“Hakuna tatizo, bai bebiii.”
“Bai.”
Lily alifungua mlango wa gari na kutoka nje na kumuwacha MJ akimsindikiza kwa macho. Lily alichepua mwendo kukimbilia ndani akiwa amekumbatia mfuko wa fedha.
****
Lily alipofika ndani aliingia chumbani kwake na kuzimwaga zile fedha kitandani na kuanza kujimwagia mifedha ambayo hakujua hesabu yake. Baada ya kuoga fedha alinyanyuka na kuzikusanya kisha alianza kuzihesabu. Kila alivyohesabu alipofika katikati alisahau alirudia zaidi ya mara tatu na kuamua kuzirudisha kwenye mfuko na kuziweka ndani ya kabati na kujilaza kitandani akiwaza bahati ya mtende iliyomwangukia.
Akiwa amejilaza alijishika kifuani na kujiuliza kwa sauti kama anazungumza na mtu.
“Mimi Lilian siamini, yaani kesho na mimi nitatembelea gari langu, mbona wavimba macho wa mtaa watanikoma. Yaani nitakavyompa mapenzi motomoto leo lazima achanganyikiwe mtoto wa kike nitajituma mwanzo mwisho.”
Alikwenda kwenye kabati na kuchangua nguo ya kuvaa jioni akitoka na MJ mtu aliyempagawisha na mijizawadi ya kumwaga. Moyoni alikuwa na maswali magumu yasiyo na majibu kuhusu kuutoa mwili wake kwa ndugu wa Shuku.
“Watajijua mwenyewe, kwani yeye hakujua nipo na ndugu yake shauri yao na tamaa zao. Mi nifanye nini, la muhimu hiyo kesho nipate hilo gari,” Lily alizungumza kama anazungumza na mtu kwa sauti ya chini.
“Shauri yao mwenye kisu kikali ndiye atakaye kula nyama, Shuku kwa uwezo wake alimnyang’anya Tony na sasa MJ akitoa dau kubwa kumshinda ndugu yake naachia ngazi si mume wangu hata kama angekuwa mume wangu mapenzi masilahi…mmh! Lakini Shuku akijua ndugu yake natoka naye sijui itakuwaje..Sasa mimi nifanye nini eti msomaji?”
Lily alijilaza kusubiri muda ili akutane na MJ na kumpa machejo ya mtu mzima kwenda dukani si mtoto, si unaukumbuka ule usemi mtoto hatumwi dukani.
***
Majira ya saa mbili usiku MJ alisimamisha gari mbele ya nyumba ya kina Lily. Alipiga honi na kumfanya Lily aliyekuwa amejiandaa toka saa kumi na moja na kumsubiri kwa hamu kutoka mbio na kwenda kumkumbatia MJ aliyekuwa nje ya Hummer.
“Waawoo bebiii.”
“Waawoo my love.”
Walikumbatiana kwa mapenzi mazito.
“Mmh! Umependeza,” MJ alimsifia Lily.
“Asante, lakini kawaida yangu.”
“Unaona eeh, halafu mtoto mzuri kama wewe unatembea kwa miguu.”
“Nitafanyaje bebii?” Lily alisema kwa sauti ya kudeka akiwa amemlalia MJ kifuani na kuchezea ndevu chache chini ya kidevu.
“Tatizo kuwapenda wachovu.”
“Jamani bebi Shuku mchovu?”
“Sijasema hivyo.”
“Sasa mchovu gani, wa zamani nimeishampiga chini, sasa hivi ananiona muislamu na banda la nguruwe.”
“Watu sahihi kwa wanawake wazuri ni watu kama sisi.”
“Si ndiyo maana nipo na Shuku?”
”Toka uanze kuwa na Shuku amekupa nini?”
“Mmh! Kwa kweli vitu vya kawaida tofauti na wewe hatujaanza umeonesha matusi yako. Sijui baada ya mwezi nitakuwa wapi?”
“Nataka niyabadilishe maisha yako kabisa,” MJ alisema huku akimshika kiunoni na kuingia ndani ya gari baada ya kuwasha gari na kuliondoa alimgeukia Lily baada ya kuulizwa swali ambalo hakupenda kuulizwa na mtu yeyote juu ya mali yake na Shuku.
“Kwani hii mali ya jumba na magari ya kifahari ni ya nani?”
“Yetu sote,” alimficha.
“Sasa mbona wewe si bahiri kama mwenzako?”
“Ndo maana nilikuambia ulitakiwa kuangukia katika mikono salama kama hii.”
“Nimekuelewa mpenzi.”
“Tena ukijituma kama unavyompa penzi Shuku si muda mrefu nitakujengea na jumba la kifahari.”
“Shuku! Nilimpaje?” Lily alishtuka kusikia vile.
“Mpaka kupagawa una mpa penzi la kitoto?”
“Mmh! Nimejua kumbe kila tukiachana anakuja kukueleza, basi shauri yake kauza mpango wa wizi kwa polisi.”
“Una maana gani?”
“Si umeelezwa uwezo wangu wa mapenzi, sasa hata akijua atamlaumu nani?”
“Hawezi kujua, penzi letu lazima liwe la siri wewe endelea na jamaa, nikikuhitaji nitakuwa nakujulisha tunafanya mambo yetu bila jamaa kujua.”
“MJ yaani niwatumikie wanaume wa nyumba moja kwa nini nisimpige chini Shuku niendelee na wewe?”
“Hapana, sitaki kugombana na ndugu yangu kwa ajili ya mwanamke.”
“Kwa hiyo mi nitakuwa chombo cha starehe kwenu?”
“Siyo chombo cha starehe, wee endelea na mpenzi wako lakini kila nilichokuahidi nitakupatia.”
“Mmh! Haya.”
MJ alipunguza mwendo wa gari ili kuingia Sea Cliff hotel, baada ya kulisimamisha gari eneo la maegesho, MJ alimweleza Lily amsubiri.
“Nisubiri ndani ya gari.”
“Hakuna tatizo.”
MJ aliteremka na kwenye gari yake na kuelekea kwenye vyumba kwa ajili ya kwenda kuchukua chumba kwa ajili ya kupumzika na mtoto mzuri, ambaye moto wake ulimshtua baada ya kumuona ajituma kwa Shuku na kutaka kuuota. Baada ya kuchukua chumba alitoka na kufunga gari kisha alitangulia na Lily alimfuata nyuma.
Walikwenda hadi chumbani, walipofika MJ alimkaribisha kuonesha ni mzoefu wa starehe tofauti na Shuku.
“Karibu mrembo.”
“Asante mpenzi.”
MJ alimbeba juujuu hadi kitandani na kumtupia, baada ya kumtupia kitandani hakumpa nafasi alianza kashikashi za kuutembeza ulimi na mikono ambao uligusa sehemu muhimu na kumchanganya mtoto wa kike na kuona tofauti ya Shuku na MJ ambaye alionekana mtaalamu katika medani ile.
Baada ya mshuke mshike uliomfanya Lily apasue dafu likiwa juu ya mti bila kudondoka chini. Lily aliomba wakaoge.
“Mpenzi mwezio tayari, naomba nikaoge kwanza,” Lily alisema kwa sauti ya mafua.
“Hakuna tatizo.”
Walikwenda kuoga pamoja huku Lily akitumia muda mwingi kujipanga jinsi ya kukabiliana na MJ kwa moto aliouonesha kabla ya mchezo. Uwezo alioonesha MJ baada ya kumshika kitandani kulimtisha na kujiandaa asiadhirike.
Kuna jamaa aliishawahi kunieleza kuna timu iligoma kuingia uwanjani baada ya kuwakuta wapinzani wao wametangulia na kuanza kupasha misuli. Kupasha misuri tu wakakausha majani, wapinzani wakajiuliza kupasha wamekausha majani mechi si watachimbua mpaka udongo kwa hiyo wakagoma kucheza.
Pamoja na hofu ya uwezo wa MJ bado gari aliitaka aliapa kufia kitandani lakini ahakikishe wakiamka asubuhi breki ya kwanza show room kuchagua gari. Aliogopa kulianzishia bafuni kwa kuogopa mshikemshike wa MJ aliamini angeliswa chozi la pili hivyo angepunguzwa uwezo kukabiriana naye.
Baada ya kufika kitandani walendeleana kupashana joto huku Lily akirudi mchezoni kwa kurudisha mashambulizi na kuweza kusawazisha bao kwa kumliza MJ kilio kisicho na msiba.
Baada tui kuchemka uliwekwa mchele na shughuli pevu ilianza. Hukuwepo ila shetani wako alikuwepo, mtoto wa kike alijituma muda wote kila mpira alicheza yeye, kutupa kupiga goli kiki kona penalti vyote yeye. MJ hakuwa na kazi kubwa zaidi ya kumalizia mipira yote ya mwisho.
Mpaka wanapumzika kila mmoja alikuwa hoi huku MJ akiwa ametiwa wazimu na uwezo wa Lily katika medani ya uroda.
“Wacha jamaa achanganyikiwa mambo unayaweza,” MJ alimwambia Lily.
“Kwani nduguyo anachanganyikiwa madogo,” Lily alijibu huku akijigeuza na kulalia tumbo na kuiacha nundu iliyonona juu na kumfanya MJ ameze mate ya hamu, lakini hakuwa na uwezo wa kuendelea alikuwa amechemka na kuendelea kula kwa macho, ‘mdomo wataka kula maungo yaona woga.’
Pamoja na kujituma sana Lily aligundua tofauti ya MJ na Shuku katika medani ya uroda. Shuku alikuwa na nguvu alipomshika mwanamke alimkamua tui mpaka machicha ya nazi yakabakia meupe.
MJ alikuwa akichemka hata kasi yake ya kupiga kasia ilikuwa ndogo tofauti na Shuku, Lily ilibidi atumie mtindo wa kujihudumia mwenyewe bila hivyo angeumbuka baada ya kumuona MJ rigwaride limemshinda.
Kwa vile walikuwa wamechoka walijilaza ili kupumzika kabla ya kupata chakula cha usiku.

Mambo aliyofanyiwa MJ na Lily yalipagawisha na kufikiria mara mbili kumuachia rafiki yake aendelee na yule msichana. Katika kutembea kote na wanawake hakuwahi kukutana na mwanamke anayejua kukitendea haki kitanda kama yule.
Hata alipochemsha aliendelea kula raha huku akiwa ametulia kwa mtoto kujituma muda wote. Alijua kudeka wakati pipi imo mdomoni utafikiri mtoto wa paka mwenye njaa aliyelilia maziwa.
Alijifikiria ili kumteka lazima amnunulie gari kali ili hata mwenyewe achanganyikiwe. Siku ya pili MJ na Lily walikwenda mpaka show room kuchagua gari. Baada ya kufika alimweleza Lily:
“Mtoto mrembo chagua gari utakalo”
“Nataka hilo,” Lily alichagua BMW X6 ambayo ndiyo ilikuwa bado ipo katika chati. MJ hakumung’unya maneno wala kupepesa macho, aliandika hundi na kumnunulia Lily gari la kuwatesa wanuka vikwapa na wavimba macho.
Baada ya kumnunulia waliagana na MJ na kuahidiana kuonana baada ya siku mbili.
“Jamani sweet kwa nini nisiwe na wewe tu kuliko kuendelea na Shuku?” Lily alinogewa na kumsahau Shuku.
“Hapana, jamaa kawahi sitaki kuvunja penzi lenu hasa ukizingatia sisi ni ndugu.”
“Basi naomba kila siku tuwe tunakutana basi, jamaa nitakuwa namyeyusha.”
“Hapana siyo kila siku na siku tukikutana tunachuniana ila ukishindwa unaweza kushangaa tunasitisha zoezi.”
“Zoezi gani?”
“Si kila mtu anaanza kivyake.”
“Nimekuelewa baby, usiniache nakupenda baby.”
Waliagana kila mmoja alikwenda kwake huku Lily akikanyaga mchuma wake mpya hadi kwao. Alilipaki kwao na kuteremka kila mtu alijua ameazima. Aliingia ndani kwa mbwembwe nakwenda kuutupa ufunguo wa gari kwa dada yake aliyekuwa amejilaza kwenye kochi.
“Vipi mwenzetu?” dada yake alishtuka.
“Dada, mwanamke ukijua kutumika utapata kila kitu.”
“Una maana gani?
“Dada usiku wa jana ulikuwa wa kukumbukwa.”
“Usiniambie mdogo wangu!”
“Twende nje ukaone?”
Walitoka nje na kukuta gari la kifahari, dada yake aliuliza:
“La nani?”
“Langu.”
“Muongo!”
“Kweli langu, kazi ya usiku wa leo imezaa gari hili.”
“Kumbe yule shemu ana umatemate sana?”
“Siyo yule ni ndugu yake.”
“Lilian! Mbona sikuelewi aliyekununulia ni yule mpenzi wako mpya au ndugu yake?”
“Ndugu yake.”
“Sasa ndugu yake akununulie kwa misingi ipi?”
“Dada ndiye niliye lala naye usiku wa kuamkia leo.”
“Kwa hiyo umewachanganya ndugu?”
“Ndiyo.”
“Wewee! Mbona unataka kuleta balaa?”
“Walaa, wao wenyewe, yeye anajua natembea na ndugu yake kaanza kunipa zawadi mara cheni, mara mifedha, si unakumbuka nilikueleza siji kwenye shughuli alitaka niwe naye usiku wa jana. Basi mambo niliyompa Shuku si kamweleza ndungu yake kuwa nina uwezo wa kuupanda mnazi bila kutumia mikono.”
“Mwari wee temea chini, mhu?” stori zilimpagawisha dada Lily.
“Basi mwanaume kaingia kichwa kichwa na kuniahidi gari kama nitamfurahisha kama nduguye.”
“Kama nakuona, mhu mdogo wangu lete utamu,” dada alitia chachandu ya maneno ya mdogo wake.
“Si ndiyo tukakubaliana tulale pamoja?”
“Ehe, koleza utamu.”
“Mtoto wa kike niliapa kufia kitandani ilimradi nilipate hiyo gari. Wasiwasi wangu nilijua patachimbika bila jumbe kumbe…”
“Eeh!”
“Aah! Wapi,kumbe mwepesiii, hata kiganjani hajai, mbona gari nimelipata buuuure.”
“Kivipi mdogo wangu?”
“Yaani nilivyojiandaa kumbe si lolote si chochote, nilikuwa sawa na kuburuza maiti ndani ya maji.”
“Wewee!”
“Dada alivyoonza nikaogopa nikajua mtoto wa kike naweza kukimbia na kufuri mkononi. Kila dakika zilivyokuwa zikizidi kukatika ndivyo alivyokuwa akipoteza uwezo wake. Yaani hatua za mwisho ilibidi niwe mpiga debe, konda na dereva mwenyewe.”
“Mmh! Sasa kipi kilichomfanya akununulie gari?”
“Dada wakati ana nguvu nilichokifanya hawezi kusahau hata alipochoka kama dume la bata niliendelea kumpa machejo ya kinyozi wa kipara.”
“Mdogo wangu kwa maneno, kinyozi wa kipara ndiyo machejo gani tena?”
“Dada si unajua mtu anayenyolewa kipara hatakiwi kijitikisa, akijitikisa amekatwa?”
“Ndiyo, ehe?”
“Basi, baada ya kuchoka nilimuweka mkao wa mtu anayenyolewa kipara, mtoto wa kike nikageuka kinyozi kwa kukwangua kila kilichopo kichwani na kuwa mwepesiiii.”
“Hongera mdogo wangu, sasa itakuwaje? Mmoja unampiga chini?”
“Mmh! Jamaa amekataa nisiachane na ndugu yake, eti niendelee naye penzi letu liwe la siri.”
“Mmh! Haya, kwa hiyo kadi ya gari amekupa?”
“Kila kitu dada, gari mali yangu.”
****
Kama kawaida Shuku jioni alimfuata mpenzi wake na Jeep, alipofika aliisimamisha sehemu yao ya kawaida na kupiga honi. Lily aliyekuwa amejilaza chumbani alinyanyuka na kuchukulia nje.
Alipoliona Jeep alifurahi na kujua MJ amekuja, kutokana na tamaa alijikuta mapenzi yote kayaamishia kwa MJ.
“Dada jamaa amekuja.”
“Nani?
“MJ.”
“Mbona hajakujulisha?”
“Labda kanifanyia surprise, machejo ya yana lazima angenitafuta.”
“Naona ukimpa mara tatu atakununulia ndege.”
“Wacha nimuwahi baba asije kasirika.”
Lily alisema huku akitoka nje na kwenda mbio kumlaki mpenzi wake. Alipokaribia Shuku alitoka kwenye gari na kumfanya Lily ashtuke.
“Ha! Ni wewe?”
“Ndiyo mpenzi nimeamua kubadili gani?”
“Mmh! Karibu.”
“Asante, vipi mbona kama hujajiandaa.”
“Naumwa.”
“Nini tena mpenzi ingia kwenye gari twende hospitali.”
“Nimeisha kwenda.”
“Pole sana mpenzi,” Shuku alisema huku akivuta pochi na kuhesabu wekundu ishirini na kumpa.
“Zitakusaidia kununua matunda.”
“Asante.”
Lily aliona kama Shuku anacheza lakini alizipokea na kuagana naye. Alirudi ndani ya Shuku alirudi zake nyumbani na hamu zake. Lily alipofika ndani dada yake alimuuliza.
“Vipi mbona shemu kaondoka leo hamtoki?”
“Si kaja yule mchovu nikamdanganya naumwa si kajiiiikakamuuua na kutoa vilaki viwili eti ninunue matunda.”
“Mmh! Mbona makubwa laki mbili tu ununue matunda?”
“Umeona nyingi?”
“Tena sana, kwa hiyo umeanza kumchoka?”
“Dada siwezi kutumikia mabwana wawili tena wa nyumba moja, lazima niachane na Shuku.”
“Lily..Lily mdogo wangu usiache mbachao kwa msala upitao. Kwanza hiyo mali ya nani?”
“Sijajua kila mtu ukimuuliza anasema ya wote.”
“Sasa nataka kukuambia huenda mali ni ya Shuku, siku zote mwenye fedha huwa mgumu kuliko mtumiaje asiyejua uchungu wa fedha. Kuwa makini unaweza kumuacha Shuku kumbe ndiye tajiri na huyo MJ mpambe mshika pembe tu.”
“Mmh! Kweli eeh!”
“Tumia akili, heri uende nao wote kwa siri ili Shuku asijue, hujiulizi kwa nini MJ amesema usipokwenda anavyotaka atakupiga chini unafikiri ni kwa nini?”
“Hata sijui.”
“Basi anaongopa kuharibu kwa ndugu yake ambaye ndiye mwenye mali.”
“Mmh! Dada sasa nimepata picha mali ni za Shuku.”
Lily alikubali kuendeleza penzi la siri huku akiendelea na Shuku kama kawaida.
****
Penzi la siri la MJ na Lily liliendelea bila Shuku kugundua kilichokuwa kikiendelea huku Lily akizidi kuchanganyikiwa na ofa za MJ zilikuwa tofauti na Shuku ambaye kila siku alitoa ahadi zisizo timia.
Mabadiliko ya Lily alimshtua Shuku kutokana na kuwa na dharula kila wakati tofauti na siku za nyuma kitu kilichompa wasiwasi. Aliamini aliyemnunulia lile gari ndiye aliyekuwa akimchanganya na kumfanya amuone si lolote si chochote.
Alitamani naye kuonesha makeke yake lakini alikwama kutokana na MJ kumueleza matumizi makubwa kwake yasizidi milioni mbili.
Hali ili ilimnyima uhuru na kujiona kama anacheza makida kwenye penzi lake na msichana mrembo kama Lily. Aliamua kwenda naye hivyohivyo lakini akiamini penzi lao lilikuwa limekalia kuti kavu kudondoka asingeshangaa.
Alipanga kumpiga chini baada ya kumpa penzi zito ili popote atakapokwenda ajue jamaa hana fedha lakini mapenzi anayajua. Siku aliyompigia simu Lily wakutane ndiyo ilikuwa siku ya kuonana na MJ. Aliendelea na danadana zake.
“Haloo bebi vipi leo?”
“Mmh! Leo mama kaja.”
“Sasa akija tatizo nini?”
“Sasa nitaondoka vipi na mama kaja jioni hii.”
“Bebi mbona sikuelewi.”
“Unielewi kivipi?”
“Yaani si Lily niliyemzoea, najua siku hizi unipendi.”
“Nakupenda sana wasiwasi wako tu.”
“Hapana Lily hunipendi mapenzi yetu yamekuwa kama umeme wa mgao kama hunipendi si uniambie nijue moja,” Shuku alilalamika.
“Nakupenda Shuku.”
“Si kweli najua sasa hivi una mwanaume mwingine.”
“Shuku unalalamika sana au ndo unataka kuniacha kwa kusingizia nina mwanaume mwingine?” Lily alilia wivu wa uongo.
“Si kukuacha bali sasa hivi penzi limekuwa shubiri.”
“Niamini mpenzi wangu nakupenda sana, Shuku si muda mrefu nitarudi katika hali yangu ya kawaida. Naomba univumilie mpenzi wangu.”
“Yaani hali hii ikizidi nitashindwa mimi.”
“Basi kesho nitakuja ili kukufuta machozi, hakuna mwanaume chini ya jua ninaye mpenda kama wewe hujui tu,” Lily alimpaka Shuku mafuta kwa mgongo wa chupa.
“Mmh! Sawa nimekuelewa mpenzi wangu punguza kunitesa.”
“Nikuahidi sitakuumiza tena nakupenda Shuku wangu kesho nitakuja kweli.”
Shuku aliamini kabisa Lily hakuwa na mapenzi na yeye bali alijali kitu na baada ya kununuliwa gari la kifahari mapenzi yote aliyahamishia kwa mtu aliyemnunulia gari. Moyoni bado alijiapia kufanya mapenzi ya mwisho na kumpiga chini na yeye kuishi maisha ya rafiki yake MJ ya kubadili wanawake kwa vile hakuna wa kumuumiza zaidi heat and run.
***
Usiku wa siku ile Lily alikutana na mpenzi wake MJ Sea Cliff hotel. Walichukua chumba kama ilivyo kawaida na kusaluana nguo huku Lily akipanga kujituma zaidi baada ya kupewa ahadi ya nyumba moyoni aliapa siku ile ndiyo siku ya kununuliwa nyumba.
Wakati tui linakaribia kukolea nazi na Lily kulegea kama ute wa yai kusubiri hukumu kutoka kwa Mj, simu ya MJ iliita alipoangalia ilikuwa ya demu wake mtoto wa waziri aliyekuwa nje ya nchi. Alinyanyuka na kwenda kuongelea pembeni kwa sauti ya chini:
“Bebii.”
“Bebii upo wapi?”
“Nimetoka kidogo, vipi upo wapi?”
“Ndo nakaribia kwako.”
“Umekuja lini?”
“Ndo nimetua na ndege na breki ya kwanza kwako, kesho ndo natinga home. Nimewadanganya nitatua kesho kutwa nitakaa kwako siku mbili, nina hamu ile mbaya mpenzi wangu.”
“Mmh!” MJ aliguna na kujiuliza lazima aonane na yule binti ambaye alidanganya familia yake kwa ajili yake alijua akimkimbia ataharibu kila kitu.
“Bebii mbona unaguna au hutaki nije kwako, basi nalala hotel kwa siku bili kesho ndo nakwenda home ila ilewa nisipokuona leo nitaumia vibaya. Si unajua nilitaka nikufanyie surprise.”
“Hapana bebi lazima tutaonana japo nipo mbali kidogo.”
“Basi utanikuta kwako.”
“Hakuna tatizo bebi wangu ngoja nimpigie mtu akufungulie nyumba.”
“Hakuna tatizo ndo maana nakupenda MJ wa ukwe..ehe.”
“Umeona eeeh, poa nakuja,” MJ alikata simu na kurudi kitandani Lily alipokuwa akimsubiri ili apate nyumba usiku ule kama alivyopata gari. Japo alikuwa ameahidiwa nyumba aliamini kupitia utamu wa nyonga yake mpaka kunakucha wangetoka na kwenda moja kwa moja kwenye nyumba.
Akiwa anajiandaa kumpokea MJ kwa mahaba motomoto alishangaa mwenzake kukaa kitako na kuinama mikono kichwani.
“Bebii vipi, kuna nini?”
“Kuna tatizo lazima niondoke.”
“Tatizo gani tena bebeiii?”
“Nitakueleza kesho lakini lazima niondoke.”
“Utarudi?”
“Sina uhakika sana.”
“Basi nipe kidogo mpenzi nipo kwenye hali mbaya,” Lily alilalamika kwani alikuwa amejiandaa vilivyo.
“Hapana bebii lazima niondoke.”
“Sawa nimekubali uondoke, lakini si unajua ushazipandisha nani wa kuzishusha mpenzi, nipo katika hali mbaya basi nipe hata moja la mguu wa jini.”
“Sorry mpenzi, unavyonichelewesha ndivyo unavyozidi kunifanya nisirudi kabisa.”
“Kwani unakwenda wapi?”
“Bebii si lazima kila kitu changu ukijue,” MJ alisema huku akichukua nguo zake na kuvaa. Baada ya kuvaa alimfuata Lily na kumbusu.
“Mmmwa bebi baadaye.”
MJ baada ya kumbusu alichomoa nyekundu kumi na tano na kumtupia.
“Bebi kama nisiporudi utaweka mafuta kwenye gari lako, baii.”
Lily alishindwa kumuaga kwani moyo ulikufa ganzi baada kushindwa kutimiza malengo yake. MJ hakugeuka nyuma alitoka kumuwahi demu wake mtoto wa waziri. Alimpigia simu Shuku ampokee.
****
Muda ulizidi kukatika bila MJ kutokea saa ya ukutani ilimuonesha Lily ni saa tisa za usiku akiwa macho kumsubiri. Wazo la kwenda kwa Shuku alikuwa nalo lakini alikuwa na wasiwasi wa MJ kurudi na kumkosa.
Aliamua kukomaa mpaka asubuhi huku sumu ya mahanjamu ikiwa juu bila mshushaji kutokea. Kwa tamaa ya nyumba alijikuta akisubiri mpaka saa mbili asubuhi ndipo alipoamini MJ harudi hata simu yake haikuwa hewani.
Kwa hasira aliamua kwenda kwa Shuku ili kumkata kiu hasa alivyoufahamu uwezo wa Shuku wanapopotezana muda mrefu siku wakikutana huchimbika bila jembe. Aliwasha gari lake mpaka nyumbani kwa Shuku.
Muda alipofika alikuta bado amelala baada ya kumpigia simu alimfungulia na kuingia ndani. Alipofika alijifanya amemmisi sana Shuku na kumpiga mabusu mfurulizo.
“Vipi mbona asubuhi?”
“Kwani kuna ubaya mtu kuja asubuhi kwa mpenzi wake?”
“Hiyo iliishapita.”
“Kivipi tena bebii?”
“Ndio maana nakushangaa toka upate gari umekuwa matawi ya juu.”
Kauli ile ilimtisha sana Lily na kuona kama dhamira yake haiwezi kutimia na kuondoka na hamu zake.
“Mpenzi si nilikueleza nina matatizo jamani.”
“Matatizo kwa vile umenunuliwa gari unasahau nina uwezo wa kununua magari kama hayo kama elfu moja kwa siku moja,” Shuku alijitapa.
“Si ungeninunulia mpenzi?”
“Kwa hiyo kazi yako kuhongwa siyo?”
“Basi mpenzi, lakini nilikueleza gari hili nililikataa, lakini aliyeniletea alisema nichukue. Lakini anajua kabisa nipo na wewe na sipo tayari kurudiana naye nakupenda sana Shuku,” Lily alisema huku akimchezea chuchu na kumfanya Shuku askari ashtuke kambini na kusimama imara kutoa kipigo kitakatifu kwa adui. Lily alimvutia ndani na kumtupa kitandani na kusaula nguo chache za Shuku na yeye kuzitupa za kwake pembeni. Kutokana na kushika alikuwa kama mbwa kwa chatu.
Shuku moyoni alijiapia atakachokifanya lazima Lily amkumbuke miaka mia moja itakayo kuja kwa kuamini amezidiwa uwezo hivyo alitakiwa kutumia nguvu alizipewa na Mungu ili kumfanya Lily akitoka pale awe amechanganyikiwa. Alimuweka mkao wa kuku kwa mchinjaji na kujiandaa kupitisha kisu huku Lily akimpigia kelele baada ya kuona anachelewa.
“Shuku jamani shingo umeiona mbona unachelewesha kukipitisha kisu, Shuku nichinje…nichinje Shuku mpenzi wangu shingo yangu ni halali yako. Mpenzi ukichelewa naweza kufa…chinja…chinja shuku.” Lily alilalama baada ya kuona Shuku akileta mbwembwe.
Shuku akiwa na usongo siku ile alimuona Lily kama mpya baada ya danadana ya muda mrefu, alijiapiza kumpa penzi la mwisho kisha anampiga chini kwa kujua hakuwa na uwezo wa kumnunulia gari wala nyumba aliyomuahidi.
Lily akiwa amepagawa baada sumu ya mahanjamu kumpanda kama nyoka mwenye hasira alitamani bakora tu kwa muda ule.
“Jamani Shukuu mbona unanitesa kosa langu nini mpenzi wangu?” Alilalama huku akimtazama Shuku kwa jicho la ‘nihukumu mpenzi.’
Shuku hakujibu kitu alimweka mkao wa samaki feri na mpaaji na kuanza kumpaa kwa kucha kitu kilichozidi kumuweka Lily kwenye wakati mgumu ilikuwa kama mwenye kidonda kuweka chumvi, aliweweseka kama mtu anayetaka kupandisha shetani.
“Shu..Shu..uu..Jamani kucha hazipai samaki tumia kisu unanitesa mwezio.”
Shuku baada ya kuona magamba ya samaki yamelainika na maji ndipo alipoaanza kumpaa kwa kisu taratibu na kuzidi kumchanganya Lily aliyetoka na hamu zake hotelini alipoachwa na MJ baada ya kupakwa upupu na kufungwa kamba mikono ili asijikune.
Kutokana na kuujua uwezo wa Shuku aliamini muwasho wote utaisha. Shuku alifanya penzi la kisasi kwa kutumia kikosi cha kwanza kuhakikisha anapata ushindi wa kishindo. Kutokana na koo la Lily kukauka sana matone manne ya maji yalimtosha kulegeza koo na kwenda marikiti.
“Shukuuuuuu,” Lily alipiga ukelele mmoja na kumkumbatia Shuku kwa nguvu kama nyani aliyeukumbatia mnazi baada ya kuteleza kwenye kuti la mnazi. Alitulia kwa muda kisha kuliacha yai lipasuke kwa nafasi. Baada ya kutulia kidogo sumu ikapanda tena na kutaka itolewe.
Kwa vile Shuku alikuwa na lake moyoni baada ya Lily kurudi uwanjani aliendeleza mateso bila chuki kwa kushambulia mfululizo bila kumpa nafasi na kumfanya Lily amalize maneno yote mdomoni.
“Shuku nakupenda.”
“Muongo.”
“Kweli nakupenda Shuku wangu.”
“Siamini.”
“Kweli Shuku, mbona leo tufauti na siku nyingine, umetia nini mpenzi.”
“Kawaida tu.”
“Muongo, kuna mtu ulikuwa ukimpa raha hizi.”
“Hakuna wewe tu.”
“Shuku nakupenda, lakini mpenzi umezidi ubahili ninunulia gari ili nirudishe hili.”
“Nitakununulia.”
“Lini mpenzi?”
“Nitakwambia.”
“Ja..ja..jamani Shuu..Shuu..Shuu…te..te..tee..ee na..naaa.”
Lily alitulia na kushusha pumzi ndefu, alifumbua macho kwa shida kutaka kumuona vizuri Shuku aliyekuwa amejilaza pembeni chuma kikiwa kikoli moto.
“Shuku,” alimwita kwa sauti ya kilevi huku macho yakiwa kama mtu mwenye usingizi mzito.
“Bebi naomba basi uninunulie gari nitulie na wewe.”
“Lily ni wazi penzi lako la fedha si mapenzi ya dhati.”
“Hapana bebi unafikiri nianze kutumia gari kisha leo tena kutembea kwa miguu nitauweka wapi uso wangu kwa wavimba macho wa mtaani?”
“Kwa hiyo nisivyo kununulia huwezi kuwa na mimi?”
“Nitakuwa na wewe lakini itakuwa ngumu kuwa nawe muda wote.”
“Sikiliza Lily kuna kitu nataka kukueleza ili usisumbuke.”
“Kitu gani dia?”
“Mi naona penzi letu limepoteza mwelekeo unaonaje penzi la leo ndilo liwe la mwisho?”
“Sijakuelewa unasemaa?”
“Nasema hivi kwa vile penzi lako la maslahi zaidi, mimi na wewe naona inatosha.”
“Kwa nini bebi?”
“Siwezi kuwa na mpenzi anayefanya biashara ya mwili, kama nataka dada poa wapo tena kwa bei rahisi.”
“Shukuu umefika huko?” Lily alishtushwa na kauli ya Shuku.
“Sijafika huko bali ukweli ni huo.”
“Shuku nakuahidi basi kukusikiliza kwa chochote nakupenda sana mpenzi wangu. Naomba uniache nakupenda kama nimekukosea naomba unisamehe.”
“Utanipendaje wakati sijakukununulia nyumba wala gari?”
“Shuku nakuahidi kukupenda ulivyo.”
“Lily unayoyasema ukienda kinyume wala usisumbuke kunitafuta kila mtu ashike hamsini zake.”
“Shuku mbona hivyo au umempata mpenzi mwingine?”
“Sina shida ya mwanamke mwingine, nikishikika nakwenda kwa dada poa nakata hamu zangu narudi kulala.”
“Basi mpenzi nitakufurahisha.”
“Wewe tu.”
“Basi mpenzi nipe raha zangu yaani leo uniishi hamu kila nikitulia mashetani yanapanda tena.”
Shuku kama kawaida aliendeleza makamuzi yaliyomtia wazimu Lily na kumwacha njia panda afuate kipi gari na fedha za MJ au penzi tamu la Shuku. Katika maisha yake yote toka avunje ungo hakuwa kukutana na mpaa samaki kama Shuku anayejua kumpaa na kumfanya samaki afurahie kuondolewa magamba.
Shuku aliamua kumtesa Lily kiungo cha kati alikikamata yeye na kumfanya Lily muda wote autafute mpira. Shuku hakutaka kumfunga kila alipobaki na kipa alirudisha mpira nyuma na kumfanya Lily alalamike.
“Shuku mpenzi nifunge jamani mateso gani haya yenye raha, nifunge npenzi nipumzike hapa nilipo nipo hoi. Shuku aliamua kufunga bao la Shuti la mbali lililomfanya Lily kujipita kama mkizi bila mafanikio. Bila Shuku kumdaka angeanguka vibaya.
Baada ya kuvunja yai la nne kwa moja la Shuku Lily alikuwa hajitambui kwa kuangusha usingizi mzito. Shuku Naye alijilaza pembeni yake kwani naye kutaka sifa kulimfanya achoke haraka aliopojilaza usingizi ulimchukua.
***
Walishtuka wote jioni wakiwa wamechoka na njaa kali.
“Mpenzi nasikia njaa.”
“Twende tukaoge kisha tukapate chakula.”
Walikwenda kuoga walipomaliza kuoga na kubadili nguo, Lily alitangulia kutoka na kumuacha Shuku akichukua fedha. Alitoka akiwa hana hili wala lile mbele ya macho yake alishtuka kumuona MJ akiwa amekumbatiana na msichana wakilishana denda.
Alishindwa kwenda mbele na kurudi nyuma, wakati huo Shuku alikuwa akitoka.
“Vipi hujafika mbali, nilijua umeishafika nje?”
“Mm..eeh..aah,” Lily alipata kigagaziko.
“Nini mpenzi?”
“Aah..basi.”
Shuku alipotazama mbele alimuona MJ aliwa na mpenzi wake katika penzi zito.
“Sasa dia kipi cha ajabu umekiona? Hebu twende.”
Walitoka wameshikana mikono na kuwapita huku Lily akitazama pembeni moyoni akiwa na bonge la wivu. Walipotoka nje kabla hawajaingia kwenye gari Lily alimuuliza Shuku swali la kizushi.
“Yule ndiye mke wa MJ?”
“Mke! Malaya tu.”
“Ina maana si mpenzi wake wa siku zote?”
“MJ ana mpenzi mmoja? Kila kukicha anabadili wanawake kama nguo. Huyu sijui mtoto wa kigogo alikuwa nje ya nchi nasikia kaidanganya familia yake anakuja kesho ili ale raha na MJ jana na leo kisha kesho anakwenda kwao.”
“Amefika lini?”
“Jana usiku.”
“Saa ngapi?”

ITAENDELEA

TOROJO BAMIA ( WINGA TELEZA ) – 2

Related image


Chombezo : Torojo Bamia (Winga teleza)
Sehemu Ya Pili (2)

“Nina imani elfu inakutosha, una jingine?” Suzy alinyoosha mkono kumpa Shuku lakini hakupokea kitendo kilichomuuzi Suzy na kumkazia macho kumuuliza.
“Kuna mtu kakutuma? Haya niambie.”
“Sivyo hivyo Suzy.”
“Sasa unashida gani Shuku? Unajua kuna sehemu nawahi kuna ofa.”
“Nashida na wewe,” Shuku alijikakamua.
“Mimi?” Suzy alishtuka na kujishika kifuani.
“Eeh.”
“Shida gani?”
“Unajua Suzy nateseka kila nikuonapo.”
“Mmh! Makubwa, jamani mbona mapya, Shuku mimi nikutese wewe? Nimegeuka mchawi nakuchukua usiku na kukugeuza fisi?”
“Hapana Suzy kimapenzi.”
“Unamaanisha unanitaka niwe mpenzi wako?”
“Ndi..ndi..yo Suzy.”
“Muone huna hata haya hata kuzungumza huwezi unajua kabisa mimi si saizi yako. Shuku umenidharau kiasi gani kunisimamisha na kunieleza ujinga wako?” Suzy alikuja juu na kupaza sauti iliyosikika umbali mrefu.
“Si..si..hivyo..Su..su zy…na..na kupenda.”
“Shuku mbona unataka kunitia nuksi huko niendako mambo yangu yaende ndivyo sivyo.”
“Lakini Suzy mpenzi hayapo hivyo nami nina haki ya kuyasema mateso yangu kwako.”
“Hebu niangalie,” Suzy alisema kwa sauti huku akijigeuza mbele ya Shuku kitu kilichomfanya Shuku ajute kumsimamisha mbele za watu na kujiona kama kavuliwa nguo. Alitamani kukimbilia kuepuka aibu ile lakini miguu ilikuwa mizito alibakia kasimama kama sanamu.
“Jamani mimi ni hadhi ya Shuku?” aliwauliza mashoga zake kwa sauti ya juu waliokuwa mbali kidogo na yeye.
“Ha! Ndicho alichokusimamishia?” waliuliza.
“Eti jamani mbona leo kajua kunitia nuksi, najiona kama nimekutana na paka mweusi.”
Yalikuwa maneno yaliyomdhalilisha Shuku na kujiona kama kajipaka kinyesi, Shuku akiwa ndani ya gari aliyawaza yale yaliyomfanya awaogope wanawake wazuri kama ukoma. Alijiuliza siku ile yule demu na shoga zake waliomtoa nishai wakimuona yupo vile watasemaje.
Alikwenda kupiga picha na kuzipeleka kwa mkuu wa usalama barabarani, kisha alirudi uswazi kwake kulipa kodi ya nyumba. Alipokaribia nyumba aliyokuwa akiishi alifungulia muziki kwa sauti ya juu na kuwafanya wote kuliangalia lile gari.
Alilifunua na kuwafanya wote waliokuwa wamekaa akiwemo Suzy kulishangaa lile gari lilionekana la ajabu mtaani,alilipaki pembeni ya nyumba anayoishi.
Alitulia kidogo kabla hajateremka kuwaacha watu washangae kwa muda kisha alilifunga na kutulia tena kabla ya kuteremka huku kila mmoja akimtumbulia macho. Suzy na kampani yake walijiuliza zungu la unga limetoka wapi. Baada ya kutembea kuelekea ndani wote walishtuka kumuona Shuku.
“Suzy yule si Shuku?”
“Hapana Shuku awe vile labda ndugu yake.”
“Hapana ni Shuku.”
“Makubwa mbona tutakoma, gari na pamba kali katoa wapi?”
“Najua?”
“Mmh! Inawezekana alinitongoza akijua mimi ni hadhi yake, maskini sikujua,” Suzy alijikuta akijilaumu kumkataa Shuku.
“Dharau zako shoga, lakini bado una nafasi, sasa zamu yako kujipendekeza kwake,” shoga yake alimshauri.
“Naona aibu.”
“Aibu ya nini wakati ni jambo la kawaida bila kuwa kauzu mjini hatukai.”
Wakati wakijadiliana na hali ya Shuku, ndani walimpokea kwa mshtuko.
“Jamani hodi,” Shuku aliingia kwa mama mwenye nyumba.
“Ha! Shuku?” alishtuka kumuona alivyolipuka.
“Ndiyo mimi mama.”
“Ha! Mwanangu siamini!”
“Amini mama ni mimi.”
“Karibu mwanangu.”
“Asante, sasa mama mi si mkaaji kile chumba alichohama mtu jana kina mtu?”
“Hakina baba.”
“Sasa mama, sasa hivi nitalipia miaka miwili na deni ulilokuwa ukinidai.”
“Hakuna tatizo baba, tena utakuwa amenisaidi maana hali ilikuwa tata.”
“Ila chumba changu kitakuwa na vitu vyangu nami nitakuja siku moja moja, lakini sasa hivi nina maisha mengine kabisa.”
“Jamani Shuku sasa hivi unaishi wapi?”
“Utajua muda si mrefu mama.”
Shuku alimuhesabia fedha ya miaka miwili na deni kisha alimpa elfu ishirini ya soda.
“Asante mwanangu, Mungu akuzidishie huku uliko.”
“Atuzidishie wote, ila baada ya muda nitakuja kubadili vitu vya ndani, na hii fedha atampa salmini amihamishie vitu vyangu.”
Shuku baada ya kulipia pango miaka miwili aliagana na mama mwenye nyumba na kuelekea kwenye gari lake. Wakati anatoka aliwakuta wale wanawake wakisumbiri kwa hamu wamuone kwa mara nyingine, Shuku aliyelipuka pamba za nguvu na kamba nzito shingoni, chini alikuwa na raba kali. Kwa jinsi alivyokuwa hakukuwa na mwanamke yeyote anayeweza kusimamishwa na Shuku akakataa.
Kabla ya kutoka nje alivaa miwani ili aweze kuwasanifu waliombele yake, alipofika mbele ya gari lake aliwatazama wale wasichana macho yalivyowatoka kama wameona meli barabarani, Shuku alichekea moyoni. Kabla ya kuondoka walitokea washkaji zake waliokuwa wakirudi toka kwenye mihangaiko, kwanza walimpita bila kumjua alipowaita ndipo waliposhtuka na kushangazwa na maajabu ya dunia.
“Shuku ni wewe?”
“Ni mimi ndugu zangu.”
“Mbona kama njozi ni asubuhi tulikuwa pamoja ajabu sasa hivi umekuwa kama mtu wa hadithini?”
“Ni historia ndefu ila tutazungumza wiki endi.”
“Sasa tuachie basi mshiko, yaani baada ya kuachana asubuhi siku ya leo imekuwa na gundu tupu.”
“Poa wangu,” Shuku aliingiza mkono mfukoni na kutoa fedha alizozihesabu kwa kuzionesha ili wale wasichana waone na kuhesabu elfu therasini na kumpa kila mmoja elfu kumi kisha aliwaaga rafiki zake.
“Sasa washikaji ngoja nirudi nikapumzike, nilikuja kulipia chumba changu pia nilipitia kwa mkuu wa trafiki kwa ajili ya leseni si mnajua sina gamba sitaki nikitembea na gari nipate usumbufu.”
“Mmh! Hatukuwezi, sasa ndo upo anga zipi?”
“Mtajua tu washikaji zangu nikija jumapili mtaelewa.”
Baada ya kusema vile aliingia kwenye gari, kabla ya kuondoka alilifunua gari na kuwafanya rafiki zake wapige kelele za mshangao.
“Wawooo, si mchezo mwana una kitu cha nguvu mwaka huu wanga lazima wazime zao.”
“Poa washkaji baadaye,” Shuku alisema huku akiwasha gari aondoke. Wakati Shuku akiagana na rafiki zake ili aondoke zake Suzy na shoga zake walikuwa kwenye kigagaziko kikubwa wafanye nini ili kumnasa Shuku.
“Sasa jamani nitafanyaje na Shuku ndio anaondoka?

“Jamani mimi ni hadhi ya Shuku?” aliwauliza mashoga zake kwa sauti ya juu waliokuwa mbali kidogo na yeye.
“Ha! Ndicho alichokusimamishia?” waliuliza.
“Eti jamani mbona leo kajua kunitia nuksi, najiona kama nimekutana na paka mweusi.”
Yalikuwa maneno yaliyomdhalilisha Shuku na kujiona kama kajipaka kinyesi, Shuku akiwa ndani ya gari aliyawaza yale yaliyomfanya awaogope wanawake wazuri kama ukoma. Alijiuliza siku ile yule demu na shoga zake waliomtoa nishai wakimuona yupo vile watasemaje.
Alikwenda kupiga picha na kuzipeleka kwa mkuu wa usalama barabarani, kisha alirudi uswazi kwake kulipa kodi ya nyumba. Alipokaribia nyumba aliyokuwa akiishi alifungulia muziki kwa sauti ya juu na kuwafanya wote kuliangalia lile gari.
Alilifunua na kuwafanya wote waliokuwa wamekaa akiwemo Suzy kulishangaa lile gari lilionekana la ajabu mtaani,alilipaki pembeni ya nyumba anayoishi.
Alitulia kidogo kabla hajateremka kuwaacha watu washangae kwa muda kisha alilifunga na kutulia tena kabla ya kuteremka huku kila mmoja akimtumbulia macho. Suzy na kampani yake walijiuliza zungu la unga limetoka wapi. Baada ya kutembea kuelekea ndani wote walishtuka kumuona Shuku.
“Suzy yule si Shuku?”
“Hapana Shuku awe vile labda ndugu yake.”
“Hapana ni Shuku.”
“Makubwa mbona tutakoma, gari na pamba kali katoa wapi?”
“Najua?”
“Mmh! Inawezekana alinitongoza akijua mimi ni hadhi yake, maskini sikujua,” Suzy alijikuta akijilaumu kumkataa Shuku.
“Dharau zako shoga, lakini bado una nafasi, sasa zamu yako kujipendekeza kwake,” shoga yake alimshauri.
“Naona aibu.”
“Aibu ya nini wakati ni jambo la kawaida bila kuwa kauzu mjini hatukai.”
Wakati wakijadiliana na hali ya Shuku, ndani walimpokea kwa mshtuko.
“Jamani hodi,” Shuku aliingia kwa mama mwenye nyumba.
“Ha! Shuku?” alishtuka kumuona alivyolipuka.
“Ndiyo mimi mama.”
“Ha! Mwanangu siamini!”
“Amini mama ni mimi.”
“Karibu mwanangu.”
“Asante, sasa mama mi si mkaaji kile chumba alichohama mtu jana kina mtu?”
“Hakina baba.”
“Sasa mama, sasa hivi nitalipia miaka miwili na deni ulilokuwa ukinidai.”
“Hakuna tatizo baba, tena utakuwa amenisaidi maana hali ilikuwa tata.”
“Ila chumba changu kitakuwa na vitu vyangu nami nitakuja siku moja moja, lakini sasa hivi nina maisha mengine kabisa.”
“Jamani Shuku sasa hivi unaishi wapi?”
“Utajua muda si mrefu mama.”
Shuku alimuhesabia fedha ya miaka miwili na deni kisha alimpa elfu ishirini ya soda.
“Asante mwanangu, Mungu akuzidishie huku uliko.”
“Atuzidishie wote, ila baada ya muda nitakuja kubadili vitu vya ndani, na hii fedha atampa salmini amihamishie vitu vyangu.”
Shuku baada ya kulipia pango miaka miwili aliagana na mama mwenye nyumba na kuelekea kwenye gari lake. Wakati anatoka aliwakuta wale wanawake wakisumbiri kwa hamu wamuone kwa mara nyingine, Shuku aliyelipuka pamba za nguvu na kamba nzito shingoni, chini alikuwa na raba kali. Kwa jinsi alivyokuwa hakukuwa na mwanamke yeyote anayeweza kusimamishwa na Shuku akakataa.
Kabla ya kutoka nje alivaa miwani ili aweze kuwasanifu waliombele yake, alipofika mbele ya gari lake aliwatazama wale wasichana macho yalivyowatoka kama wameona meli barabarani, Shuku alichekea moyoni. Kabla ya kuondoka walitokea washkaji zake waliokuwa wakirudi toka kwenye mihangaiko, kwanza walimpita bila kumjua alipowaita ndipo waliposhtuka na kushangazwa na maajabu ya dunia.
“Shuku ni wewe?”
“Ni mimi ndugu zangu.”
“Mbona kama njozi ni asubuhi tulikuwa pamoja ajabu sasa hivi umekuwa kama mtu wa hadithini?”
“Ni historia ndefu ila tutazungumza wiki endi.”
“Sasa tuachie basi mshiko, yaani baada ya kuachana asubuhi siku ya leo imekuwa na gundu tupu.”
“Poa wangu,” Shuku aliingiza mkono mfukoni na kutoa fedha alizozihesabu kwa kuzionesha ili wale wasichana waone na kuhesabu elfu therasini na kumpa kila mmoja elfu kumi kisha aliwaaga rafiki zake.
“Sasa washikaji ngoja nirudi nikapumzike, nilikuja kulipia chumba changu pia nilipitia kwa mkuu wa trafiki kwa ajili ya leseni si mnajua sina gamba sitaki nikitembea na gari nipate usumbufu.”
“Mmh! Hatukuwezi, sasa ndo upo anga zipi?”
“Mtajua tu washikaji zangu nikija jumapili mtaelewa.”
Baada ya kusema vile aliingia kwenye gari, kabla ya kuondoka alilifunua gari na kuwafanya rafiki zake wapige kelele za mshangao.
“Wawooo, si mchezo mwana una kitu cha nguvu mwaka huu wanga lazima wazime zao.”
“Poa washkaji baadaye,” Shuku alisema huku akiwasha gari aondoke. Wakati Shuku akiagana na rafiki zake ili aondoke zake Suzy na shoga zake walikuwa kwenye kigagaziko kikubwa wafanye nini ili kumnasa Shuku.
“Sasa jamani nitafanyaje na Shuku ndio anaondoka?”
Suzy aliuliza baada ya kuchanganyikiwa hasa akikumbuka kuna siku alimtoa niashai mbele za watu na mashoga zake. Alijiulaumi bora angemkatalia kistaarabu kuliko alichomfanyia na siku ile aliamini kabisa hawezi kumsikiliza.
“Shoga jitoe akili muwahi kabla hajaondoka na kumwita mpenzi, Suzy unalipa hawezi kuchomoa.”
“Kweli eeh!”
“Muwahi kabla hajageuza gari.”
Suzy alitoka mbio kukimbilia gari la Shuku, alipolikaribia alimwita.
“Shuku.”
Shuku kabla ya kuitikia aligeuka kumtazama na kumuona ni Suzy alichekelea moyoni na kuona alichokitaka kimefanikiwa. Suzy alilisogelea gari huku akimwita kwa sauti.
“Shuku mpenzi.”
Shuku alisimamisha gari na kumsubiri anataka kumwambia nini.
“Shuku mpenzi mambo?”
“Poa, vipi unasemaje?”
“Jamani Shuku mpenzi maneno gani hayo, siku ile uliponitongoza nilijilaumu kwa maneno niliyokutolea, lakini lazima nikueleze ukweli. Shuku nimegundua wewe ni mwanaume mzuri.”
“Asante.”
“Kwa hiyo?”
“Mimi si taipu yako.”
“Jamani Shuku yale yalikuwa maneno tu, lakini ukweli kama ulivyosema ulikuwa na haki ya kuyasema yale.”
“Ni kweli, lakini mimi sasa hivi mademu wangu wa geti kali si ninyi kunguru wa Zanzibar hamfugiki mmezoea kula utumbo wa kuku nikikupeleka Masaki utachafua.”
“Ha! Shuku?”
Shuku hakujibu kitu alilifunga gari kwa juu na kuwa ndani kisha alimtimulia vumbi na kumwacha Suzy amesimama kama sanamu huku akiaibika mbele za watu na shoga zake kutokana na kuoneka matawi ya juu mwanaume yeyote apindui kwake. Ilikuwa aibu ya mwaka kwa Suzy kumtokea, alisimama kwa muda akiitumbulia macho gari mpaka lilipopotea. Kurudi miguu ilikuwa mizito, kwa aibu iliyomkuta alitamani ardhi ipasuke immeze lakini haikuwezekana. Shoga yake mmoja alimfuata na kumshika mkono na kumuondoa alipokuwa amesimama kama kagandishwa na gundi.
“Pole dada.”
“Mmh! Siamini yaani Shuku ndiyo kaniadhiri namna hii tutaona, nipo radhi hata kumroga hawezi kunidhalilisha kiasi hiki.”
“Achana naye si unajua tena maskini akipata matako hulia mbwata.”
“Yaani wee acha tu sijui aibu hii utafutika lini, hivi Mwaju mtaani watu watanitazamaje kwa kitendo cha Shuku?” Suzy alisema huku akitokwa na machozi ya uchungu.
“Lakini dada usisahau muosha huoshwa, kwa kweli hata mimi sikufurahi siku ile ulivyomdhalilisha Shuku.”
“Lakini kwa wakati ule ningemuweka wapi na hali yake ile hata angetupwa jalalani asingeliwa na paka?”

“Lakini dada usisahau muosha huoshwa, kwa kweli hata mimi sikufurahi siku ile ulivyomdhalilisha Shuku.”
“Lakini kwa wakati ule ningemuweka wapi na hali yake ile hata angetupwa jalalani asingeliwa na paka?”
“Hizo nyodo zako ndizo zilizokuponda, shoga una maneno ya shombo lakini leo umepatikana. Basi leo umepata pa kumweka na yeye amekukosa pa kukuweka.”
“Mmh! Kweli usimdharau mtu hujui kesho atakuwaje.”
Suzy hata kijiweni alishindwa kukaa kwa aibu alikwenda chumbani kwake na kujifungia ndani kwa aibu ya mwaka iliyompata kwa kudhalilishwa na mtu aliyemdhalilisha.
****
Shuku kitendo cha kupapatikiwa Suzy kilimpa kichwa kilichomfurahisha zaidi kitendo cha kumuadhili Suzy aliyejifanya queen wa mtaa. Baada ya kumtimulia vumbi na kuondoka moyo wake ulifurahi sana na kuamini kweli malipo yapo duniani kesho hesabu.
Aliamua kupitia maeneo ya Temeke Mkoroshini kwa yule msichana aliyempagawisha. Alipofika pale alikuwa ndiyo anaingia kwenye gari la mshefa wake na kuondoka. Alipanga siku ya pili awahi mapema ili aweze na yeye kutangaza ufalme wake. Aliamua kurudi nyumbani kupumzika, alipofika nyumbani alimkuta MJ anataka kutoka akiwa na binti mmoja mdogo aliyeonekana mwanafunzi ya sekondari lakini alikuwa na mgongo wa haja. Alijiuliza kipi kinachomfanya Mj apende wanawake wenye migongo mikubwa au alikuwa na ajenda nayo.
“Vipi mzee unatoka nini?”
“Ndiyo maana yake, shemeji yako huyu anaitwa Mamu.”
“Asante, mambo shemu?” Shuku alimsalimia demu wa rafiki yake aliyekuwa amejilaza kifuani kwa Shuku.
“Poa,” alijibu huku akimwemwesa midomo na kumfanya Shuku ateseke na kutamani MJ angempa yule.
“Sasa?”
“Mi ndo naingia kupumzika nimechoka.”
“Acha ushamba hapa ni raha kwenda mbele badili nguo tunaondoka pamoja nataka leo nikupeleke viwanja ulijue jiji.”
“Kwani shemu mgeni?” Mamu aliuliza.
“Mwenyeji ila anaogopa jiji.”
Shuku hakujibu kitu aliingia ndani na kujimwagia maji kisha alibadili nguo za kutokea kisha alitoka na MJ katika gari moja kwenda viwanja.
“Twende Bills,” MJ alimwambia Shuku aliyekuwa dereva MJ na demu wake walikaa siti ya nyuma.
“Bills ndiyo wapi tena?” Bills lilikuwa jina geni kwa Shuku aliyezoea disco vumbi.
“Jamani mbona unaniangusha Best.”
“Sasa kama sehemu siijui niende tu si ndiyo utanicheka.”
“Bilicanas.”
“Kumbe ndiyo Bills.”
“Kwa kifupi, ukirudia mara ya pili watakucheka.”
“Siogopi kuchekwa ipo siku wanaonicheka nami nitawacheka, kama nilivyomtoa leo mtu shoo.”
“Wacha wee, uswazi nini?”
“Nitakupa kituko baadaye.”
Shuku aliiwasha na kuelekea Bills, muda ulikuwa umekwenda sana ilikuwa saa tatu na nusu usiku. Walifika majira ya saa nne usiku Bills na kuingia ndani ambako kulikuwa kuna shoo ya Twanga.
Walipanda juu na kutafuta sehemu nzuri na kuagiza vinywaji, muziki ulipokolea Mj na demu wake waliteremka chini kusugua kisigino. Shuku yeye alitulia huku akinywa bia yake taratibu, alitembeza macho yake ndani ya ukumbini na kushangaa kuona kila mwanamke mle ndani alikuwa mzuri sana.
Moyoni aliamini alichokiamini siku zote mwenye fedha ndiye mwenye haki ya kula na kuishi maisha mazuri hata kufanya anavyotaka. Pamoja na kupewa uhuru wa kufanya lolote lakini kikwazo kilikuwa kutegemea kila kitu, alijiuliza kama atamtongoza mwanamke na kumuomba fedha itabidi amuombe MJ kitu ambacho aliamini atakuwa anajidhalilisha.
Alinyanyuka na kuelekea msalani, alipokuwa akielekea msalani macho yake yalipatwa na mshtuko. Msichana aliyeutesa moyo wake asubuhi alikuwa akitoka msalani huku akiremkebisha nguo yake iliyopanda sana hadi nguo ya ndani kuonekana.
Alishangaa kumkuta na yeye yupo mule akila raha , alijikuta mateso ya asubuhi yakianza upya. Yule msichana aliponyanyua macho alikutana na Shuku aliyemtumbulia macho kama fundi saa. Alimkuta Shuku macho yamemtoka pima alicheka na kusema:
“Kaka yangu acha kuangalia sana nguo zinaweza kudondoka ukawa kipofu,” alimminya jicho na kutabasamu na kuachana naye kurudi ukumbini.
Shuku alijikuta akienda mbele huku akiangalia nyuma na kujikuta akiuvaa ukuta kitu kilichomfanya yule msichana aseme.
“Wee kaka jamani, poleee.”
Yule msichana alirudi hadi alipokuwa amesimama Shuku na kumshika sehemu aliyojigonga na kujishika kwa mkono.
“Jamani kaka yangu nini tena? Kipi cha ajabu umekiona kwangu?”
“Wee acha toka asubuhi unanitesa,” Shuku alimtoka bila kujielewa vibia viwili vilimpa ujasili.
“Makubwa, mimi nimekutesa toka asubuhi, mbona ndo tunaonana?”
“Ipo siku utajua tu.”
“Mmh! Haya kwaheri eeeh,” alisema yule msichana huku akiondoka kwa mwendo wa madaha na kuzidi kumuweka Shuku kwenye wakati mbaya kiasi cha kutamani kulia ili aonewe huruma.
Baada ya kujisaidia alijikuta akitafuta sehemu aliyokaa yule msichana, hakuwa mbali na meza aliyokuwa. Alikaa usawa wa kutazamana yule msichana kila aliponyanyua uso alikutana na yule msichana ambaye kila walipotazamana alimkonyeza na kumbusu busu la hewani ambalo lilimchanganya sana Shuku ambaye ili kupoza mateso alijikuta akinywa pombe nyingi na kuanza kuona giza kiasi cha kushindwa kuona mbele.
MJ aliporudi alimkuta mshikaji wake kalewa sana, kwa vile muda ulikuwa umekwenda alimnyanyua na kurudi naye nyumbani. Alipomfikisha nyumbani alimwingiza chumbani kwake na kumlaza kitandani na kushangazwa na rafiki yake kunywa pombe kiasi kile.
Siku ya pili baada ya kurudi kupata supu Mj alimuuliza rafiki yake:
“Shuku jana umeniaibisha unywaji gani ule?”
“Wee acha tu rafiki yangu nilichanganyikiwa sana.”
“Unachanganyikiwa nini wakati fedha ninayo hukutakiwa kunywa pombe vile kama kwenye sherehe, najua umezoea pombe za uswahilini. Kwa kweli sipendi unywe tena kama vile.”
“Kaka wala si sababu unayofikiria,” Shuku alijitetea.
“Kipi kilichokufanya unywe kiasi cha kupoteza kumbukumbu, kibaya zaidi ulikuwa unalia eti umaskini mbaya. Shuku rafiki yangu nimekunyanyasa?” MJ alimuuliza kwa maskitiko.
“Hapana.”
“Sasa kipi kilichokufanya umwage machozi huku ukilalamikia umaskini, Shuku nimekupa uhuru wa kufanya kila kitu bila kukuingilia, nikufanye nini rafiki yangu?”
“MJ umefika mbali sana wala mimi siku huko, yaliyonichanganya nikikueleza utacheka mwenyewe.”
“Yapi hayo tena?”
“Unajua mkasa wangu unaanzia jana asubuhi kabla ya kuonana na wewe mwokozi wangu.”
“Mkasa gani?”
Shuku alimueleza yaliyomkutanayo jana yake asubuhi kutokana na kunyanyaswa na mwanamke mmoja ambaye aliamini asingeweza kumpata labda ndotoni, na hiyo ilitokana na msichana mmoja aliyewahi kumtoa nishai mtaani kutokana na kuonekana pangu pakavu tia mchuzi, ambaye jana yake naye alilipa kiasi cha kumfanyia kitu mbaya.
“Basi jana Bills si ndiyo wakati nakwenda msalani nikakutana naye uso kwa uso.”
“Wewe! Ehe ikawaje?”
“Mambo aliyonifanyia yalinichanganya nilipotoka msalani si nikaa karibu na alipokuwa amekaa na jamaa mmoja kila tulipokutanisha macho alinibusu busu la hewani hapo ndugu yangu nilizidi kuchanganyikiwa na kujikuta kupoza mateso yale si ndiyo nikaanza kufakamia mipombe bila kujijua.”
“Ina maana demu mkali sana?”
“Kwa upande wangu ni mkali sijui wewe ukimuona.”
“Anawazidi mademu wangu?”
“Siwezi kumlinganisha na wa kwako kwa vile bado ni chaguo langu si la kwako.”
“Unasema alikuwa na jamaa?”
“Ndiyo.”
“Jamaa ana mikuki?”
“Mbuzi hawezi kukufikia wewe unatisha mwanangu.”
“Basi kama mchovu demu tunachukua.”
“Atakubali?”
“Kwa maelekezo yako demu kaelekea kibra anatakiwa kutia kisu tumchinje.”
“Tutamchinjaje naye ana mtu wake?”
“Fedha ni kila kitu, kama leo utamuona niite uone tutafanya nini?”
“Mmh! Sawa MJ.”
“Shuku usituone tuna majina makubwa mjini, umatemate ndiyo kila kitu.”
“Nikimpata nitachanganyikiwa.”
“Mwanamke yeyote tumkimtaka ndugu yangu hapindui, labda leo usiku asije.”
“Mmh! Nikimpata nitakuwa kama umeninunulia Vogue.”
“Shuku! Demu mwenyewe yupoje mbona kakuchanganya sana?”
“Utamuona si mzuri kivile basi tu kanichanganya ile mbaya, hata mgongo laini kama mchicha.”
“Unakwenda nini?”
“Walaa, basi tu katokea kunichanganya tu.”
“Basi usiku tutamuona.”
Wakiwa katikati ya mazungumzo simu ya MJ iliita aliipokea na kuzungumza kwa sauti:
“Haloo Baby..eeh nipo utanikuta…wewe njoo siwezi kutoka…Poa.”
MJ baada ya kukata simu alimgeukia Shuku aliyekuwa amejilaza kwenye kochi akisikiliza muziki huku akimsikiliza MJ na majigambo yake.
“Shuku ngoja uone chombo cha haja ndipo ujue mwenye umatemate anakula vyote vitamu.”
“Demu mwingine?”
“Unauliza shombo kwenye samaki, mi ndo MJ bwana, kila mtoto mzuri mjini ananijua mimi nani?”
“Basi inawezekana hata ninayemtaka nimempitia?”
“Sijui tutamuona jioni, kama ni mmoja wa mademu niliowapitia nitakuachia kwa vile ninao wengi.”
Wakiwa katikati ya mazungumzo kengele ya mlangoni iliita. MJ alifungua kwa rimoti, mlango ulifunguka na kuingia msichana ambaye hakuwa mgeni machoni kwa Shuku, alikumbuka aliwahi kumuona kwenye tivii au kwenye magazeti.
“Wawooo ma baby,” MJ alinyanyuka kumpokea yule msichana mwenye umbile la kimis.
“Kwenda huko unipendi wala nini, hujawahi kunipigia simu hata siku moja mpaka nikupigie.”
“Sasa mama unataka nikupigie hata ukiwa na mheshimiwa.”
“Basi hata kunibeep?”
“Kukubeep mtu kama mimi ni aibu, hata huyo mheshimiwa namheshimu kwa vile ni rafiki yangu pia ni mtu mkubwa serikalini. Lakini hafiki hata nusu ya uwezo wangu nilionao.”
“Haya baba umeshinda.”“Karibu mpenzi mmerudi lini?”
“Jana usiku, nimekukumbuka sana mpenzi wangu nikasema leo silali mpaka nije niutafune muhogo wangu.”
“Hakuna tatizo mama nimejaa tele, jamaa yupo wapi?”
“Amekwenda Ikulu ana kikao na mkuu wa nchi na kesho tunakwenda tena Uingereza kula kuku.”
“Jilie mama, utakula kaburini?”
“Ndiyo maana yake, kainmgia kichwakichwa nami namnyoa bila huruma.”
“Wewe alikuacha wapi?”
“Hotelini, hataki hata niende nyumbani bwana yule ana wivu kama dume la mbwa.”
“Sasa akirudi na kukukosa?”
“Hawezi kurudi sasa hivi kikao ni kizito, kapigiwa simu na mkuu wa nchi na kutakiwa arudi haraka bila hivyo bado tulikuwa na wiki mbili za kula fedha za walala hoi.”
“Haya mama.”
“Siyo haya mama, nataka ukazikamue zote za muda wote ambao hatukuwa pamoja.”
“Na mzee akitaka?”
“Hii siyo juu yako, nitajua nifanye nini?”
“Haya mama elekea mwenyewe juu ya kizimba nikute shingo umeinyonyoa kabisa manyoya nikifika mi nachinja tu.”
“Wewe nani kakwambia mi mwanamke wa usiku asiojua maandalizi, ukikutana naye anadandia na kupiga pedeli na kumwaga mzigo. Siyo mimi, tena leo kwanza unitandike kama pweza mpaka nilegee mtoto wa kike ukinitia mdomoni nitafunike bila tatizo.”
“Haya mama tangulia naja.”
“Ooh! Samahani shemu nitakusalimia nikirudi maana zimenipanda, natangulia mwenyewe gerezani kabla ya hukumu.”
“Hakuna tatizo shemu,” Shuku alimjibu huku akimeza mate kwa uzuri wa yule msichana.
Yule msichana ambaye mchanganya Shuku na kushindwa kupata jibu la moja kwa moja ni nani na alimuona wapi, alitembea kwa mwendo wa haraka kuwahi chumbani.
“Umeona kitu?” MJ alimuuliza Shuku.
“Nimeona huyu si..siii..”
“Si nini Shuku?”
“Namfananisha na Miss Tanzania?”
“Ndiye yeye hapa ndo kwa MJ kijana nayejua kuutumia ujana wake.”
“Mmh! Kaka sikuwezi.”
“Habari ndo hiyo, tutaonana baadaye si umeona mtoto alivyonipiga biti ngoja nikampe kipigo cha pweza.”
“Sasa akirudi kwa mjanja wake na kuombwa mzigo itakuwaje?”
“Jibu ameishajibu mbele yako.”
“Haya kaka mchezo mwema.”
“Asante.”
MJ alielekea chumbani na kumwacha Shuku akijiandaa kuzunguka nyumba kwenda kupiga chabo. Kwa mara nyingine Shuku alijiingiza kwenye mateso ya kujitakia baada ya kushuhudia MJ akitoa dozi nyingine nzito huku mtoto wa kike akionyesha umahiri wa kucheza mipira yote ya mwisho kwa umahiri mkubwa.
Moyoni alijishangaa yeye kuteswa na msichana mmoja wakati MJ kwa siku mbili wameshuhudia mademu wakali wakiingia na kutoka na kila mmoja akiwa mkali kuliko mwingine. Shuku alishuhudia uwezo ya yule msichana kwa kumkataza MJ asifanye lolote amuache afanya mwenyewe kila kitu. Yalikuwa mateso makubwa kwa Shuku kushuhudia nyonga laini ya msichana iliyozunguka kama kifuu cha nazi kwenye meno ya kibao cha kukunia(mbuzi).
Bila kutegemea mkono uliingia chaka na kuanza kujichua taratibu alijikuta mchicha ukikolea nazi na yai la mbuni kumpasukia mkononi nguvu zilimuishia na kujikuta akijilaza ukutani na taratibu aliseleleka chini huku akikisugua kichwa chake ukutani.
Akiwa chini amekaa miguu ikiwa haina nguvu mkononi kulikuwa na ute mwingi wa yai ambalo halikuwa la kuku bali la mbuni kwa wingi wa ute.
Akiwa chini amekaa miguu ikiwa haina nguvu mkononi kulikuwa na ute mwingi wa yai ambalo halikuwa la kuku bali la mbuni kwa wingi wa ute.
Baada ya kupumzika kwa muda huku akiendeleza kupata mateso kutokana na kilio cha mtoto wa mbwa mwenye njaa kilichokuwa akilia yule msichana kwa utamu wa kuugegeda muhogo. Alinyanyuka pale chini na kurudi ndani japo ndani kilio cha mtoto wa kike kilishawishi kurudi kuangalie MJ anafanya machejo gani yenye kumfanya mtoto wa kike apagawe kiasi kile.
Japo sauti ile ilimshawishi arudi tena kupiga chabo, lakini yai alilojivunjia lilimfanya akimbilie bafuni ili kujiswafi kwani alikuwa ameloa sana kama gari lilikanyaga dimbwi la maji mengi yaliyomrukia na kumlowesha. Akiwa bafuni alipofungua maji ajimwagie alisikia maumivu makali pembeni ya jicho.
Alipokwenda kujiangalia kwenye kioo aligundua amechubuka baada ya kujikwangua ukutani bila kujua. Alijikuta akijitazama na kucheka mwenyewe kisha alirudi kuoga huku sehemu aliyojichubua ikiwa na mchubuko ilioonekana wazi.
Alirudi kukaa sebuleni kumsubiri MJ aliyekuwa akijilia vyake. Baada ya muda alitoka yule msichana akiwa ameongozana na MJ macho yakiwa yamemuwiva kwa utamu wa muhogo.
“Shemu siku nyingine.” alisema huku akielekea nje.
“Karibu tena,” Shuku alimkaribisha huku akimpiga jicho la wizi na kujisemea moyoni wenye fedha wanafaidi.
Baada ya MJ kumsindikiza mpaka nje alirudi ndani na kumuuliza rafiki yake:
“Vipi kitu umekionaje?”
“Mungu kakijalia kila idara kaka unafaidi tuache utani.”
“Mmh! Kawaida sema kuna mheshimiwa mmoja kaingilia penzi letu lakini huyu ndiye niliyetaka kumuoa.”
“Bonge la demu na kazi linaweza mtoto wa kike anajua kutumika na kuulilia,” Shuku alijisahau na kutaka kumwaga mtama kwenye kuku wengi.
“Shuku umejuaje? Unanipiga chabo nini?”
“Walaa, anaonekana tu mtu wa kudeka,” alipindisha ukweli.
“Na..na hapo jichoni vipi?” MJ alishtuka jeraha la Shuku.
“Nimejikwangua getini.”
“Si ungekwenda Dispensary uwekewe dawa kwenye jeraha?”
“La kawaida haliumi sana.”
“Sasa mi najipumzisha, mambo mengine utashughulikia mwenyewe.”
“Poa.”
Mj alirudi chumbani kwake na Shuku naye aliingia chumbani kwake kupumzika kuvuta muda. ****
Majira ya saa tatu na nusu usiku waliingia Bills, baada ya kuingia ndani ya ukumbi macho ya Shuku yalitazama kila kona huenda kamuona yule msichana aliyemchanganya jana yake lakini macho yake yalitoka kapa na kujikuta akianza kuichukia siku ile.
Walikwenda kutafuta sehemu ya kukaa na kuagiza vinjwaji, wakati wote macho ya Shuku alitembea kama setilite kumsaka mrembo wa jana yake. Siku zote MJ hakuwa anatulia sehemu moja kila alipoingia kwenye kumbi za starehe.
“Shuku mi nazunguka kidogo maana kukaa sehemu moja siwezi.”
“Poa, wee nenda mi nipo.”
“Shuku acha ushamba zungukazunguka kidogo ili kusafisha macho unaweza kupata demu wa kula naye raha.”
“Hata nikimpata si mpaka nikufuate unipe mkwanja?”
“Ooh! Nilisahau,” MJ alitoa pochi na kumkatia laki mbili.
“Hizi zinakutosha kama hazitoshi utaishtua.”
“Poa.”
MJ aliachana na Shuku na kuteremka chini na kumuacha akipiga ulabu macho yake yakiwa na shauku ya kumuona yule mwanamke. Pamoja ndani ya Bilicanas kulikuwa na wanawake wengi wazuri wenye maumbile ya vishawishi vya ngono kwa wanaume marijali, lakini Shuku macho yake hayakuwaona zaidi ya kumtafuta yuleyule mwanamke kama kipofu aliyeahidiwa kuona.
Baada ya kunywa kidogo aliamua na yeye kuteremka chini ambako kulikuwa na msanii wa kizazi kipya Dully akiporomosha burudani ya kufa mtu. Kila mmoja alikuwa akirukaruka kutokana na Dully kuwapeleka puta. Shuku akiwa na bia mkononi wakati akijichanganya kwenye kundi la watu waliokuwa wakiondoka sambamba na Dully.
Aliamua na yeye kufurahia siku ile kwa kuamini siku ya pili atakwenda maeneo anayokaa yule demu na gari kali amng’oe kwa upole. Wakati akicheza kwa bahati mbaya alimkanyaga dada mmoja na kujikuta akigeuka kumuomba radhi wakati huo muziki ulikuwa umenyamaza.
Macho yake yalipatwa na mshtuko baada ya kukutana na mtu aliyekuwa na hamu ya kumuona.
“So..so..rry mrembo,” alipatwa na kigugumizi.
“Mmh, He! ni wewe tena?” yule msichana alimuuliza kwa kumshangaa.
“Haikuwa dhamira yangu,” Shuku alijitetea.
“Mmh! Mbona unajitetea sana kama nimekulaumu?” Yule mwanamke alizidi kumshangaa Shuku.
“Najua nimekuumiza.”
“Kaka wee aliyeniumiza hakujitetea kwa vile alikuwa ndo ananiingiza dunia ya wakubwa, sasa hivi wanakula wengine wala hana habari.”
“Basi…na..na.”
“Wee kaka vipiii? Usinigeuze mwalimu wa chekechea ninayefundisha watu kusoma, hebu nyoosha maneno nitakuelewa tu.”
“Ni..ni..nili…” Shuku alijikuta akimung’unya maneno.
“Mmh! Makubwa, sasa fanya hivyo nipe simu yako,” yule msichana alisema huku akinyoosha mkono.
Shuku kwa haraka alitoa simu ambayo ilikuwa ya bei mbaya aliyonunuliwa na MJ alingane na yeye.
“Mmh! Unatisha unatembea na kiwanja mkononi,” msichana alichanganyikiwa kuiona simu ya milioni moja na nusu aliyokuwa nayo Shuku.
“Mbona mambo ya kawaida tu,” Shuku alicheka kicheko cha dharau cha kujiamini.
“Sasa hii ndiyo namba yangu naomba kesho tuwasiliane,” yule msichana alisema huku akimrudishia simu Shuku.
“Leo vipi?”
“Nipo na mtu na jamaa mtata ile mbaya.”
“Poa basi mrembo, ya vocha,” kwa kuchanganyikiwa Shuku alimpa laki mbili zote alizopewa na MJ.
“Asante baby,” yule msichana naye alichanganyikiwa na kujikuta akimbusu na kuachana naye kurudi kwa mjanja wake aliyekuwa mezani akinywa.
Shuku alikuwa kama yupo ndotoni, kabla ya kuondoka yule msichana alifikicha macho ili kupata uhakika kweli kakutana na yule mrembo. Bado hakukubaliana na kilichotokea alijifinya kidogo na kusikia maumivu na kuamini kweli kilichotokea mbele yake ni cha kweli wala si ndoto.
Akiwa bado amesimama yule mwanamke alipita mbele yake akiwa ameongozana na mwanaume ambaye hakuwa mgeni alikuwa jamaa wa siku zote. Wakati wakitoka yule msichana aliugeuka nyuma na kusema kwa ishara.
“Kesho basi.”
“Poa.”
Walitoka nje na kumwacha Shuku akiwa bado amesimama palepale kama sanamu akimsindikiza kwa macho na kuuapia moyo wake siku atakayomtia kwenye himaya yake atamaliza ufundi wote kuhakikisha akionja achonge mzinga kabisa.
Akiwa bado yupo katikati ya dimbwi la mawazo simu yake iliita, alipoangalia alikuwa ni MJ. Alipokea:
“Haloo vipi?”
”Upo wapi?”
“Chini.”
“Basi nilijua bado upo juu.”
“We upo wapi?”
“Nipo juu.”
“Poa nakuja.”
“Noo, nakuja hukohuko nataka tuondoke kuna demu wangu mmoja wa chuo kanipigia simu yupo home ananisubiri.”
“Hakuna tatizo nakusubiri.”
Shuku alikata simu na kukumbuka alikuwa hajasevu ile namba ya mrembo.
“Ooh! Shit,” alipiga kelele peke yake baada ya kugundua namba imefutika.
Alitoka nje mbio labda atamuwahi lakini alipofika nje aliiona gari ndo inaondoka. Alijikuta akichuchumaa na akipiga ngumi chini na kujiona bwege namba moja. Simu yake iliita tena alipoangalia ilikuwa ya Mj na kujikuta akiongezwa hasira.
Hakuipokea aliendelea kuchuchumaa akitamani kulia kwa kuamini amepoteza alichokitafuta kwa muda mrefu.
MJ baada ya kumtafuta kwa muda mrefu sehemu aliyomuelekeza kisha kumpigia simu iliyoita bila kupokelewa, aliamua kutoka nje ili aondoke kwa kuamini Shuku alikuwa na fedha ya kutosha ya kuweza kukodi teksi kwa muda ule mpaka nyumbani.
Alipotoka nje alishangaa kumuona rafiki yake akiwa amechuchumaa chini mkono mmoja kashika chini na mwingine kashikilia simu.
Alimshangaa rafiki yake na kujiuliza mbona yupo vile, wasiwasi wake labda pombe zimemzidia na pale alipochuchumaa alikuwa akitapika. Alimsogelea na kumshangaa kumkuta rafiki yake akipiga ngumi chini huku akijilaumu.
“Shuku vipi?”
“Wee acha, mimi bonge la fala.”
“Bonge la fala! Una maana gani?”
“Yaani nimefanya bonge la mistake.”
“Mistake gani tena, umeibiwa?”
“Hapana.”
“Umefanya kosa gani lililokuchanganya?”
“Si yule demu.”
“Eeh! Kafanya nini?”
” ITAENDELEA

TOROJO BAMIA ( WINGA TELEZA ) – 1

Related image

Chombezo : Torojo Bamia (Winga teleza)
Sehemu Ya Kwanza (1)

Ilikuwa mara ya pili akipita na ndoo kichwani akionesha akichukua maji nyumba ya mbali kidogo kutoka anapoishi. Vazi lake la dela alilolichomekea kwenye nguo ya ndani lilifanya umbile lake ya nyuma lililojaa sawa bin sawia kuonekana.
John Shuku kila alipopita alishindwa kufanya kazi ya kuteremsha bidhaa kwenye fuso na kumsindikiza kwa macho mpaka alipopotea na kutikisa kichwa kisha aliendelea na kazi.
Moyoni alijikuta akisononeka na kujisemea “Wakubwa wanafaidi.”
Wakiwa wanaendelea kuteremsha mizigo kwenye gari alipopata day worker ya kuteremsha mizigo kwenye gari na kulipwa ujira mdogo aliamini kabisa wanawake wazuri kama wale angewalia macho kwa vile hakuwa na hadhi ya kusimama naye hata fedha za kumhonga.
Wakiwa wanaendelea kushusha mzigo iliyokuwa mingi sana mara mvua ilianza kunyesha, ilibidi waache kazi ya kushusha mizigo na kusimama pembeni ya duka kusubiri ikatike ndipo waendelee. Lakini mwanamke aliyekuwa amemchanganya akili Shuku aliendelea kupita akichota maji na kunyeshewa na mvua na kuifanya nguo aliyopkuwa amevaa igande kwenye mwili na kuweza kuchora ramani ya nguo ya ndani na umbile tamu ya mrembo yule.
John Shuku alizidi kuteseka chini hali ilikuwa mbaya ilibidi kila wakati aweke mkono mfukoni ili watu wasijue jamaa kama ameshikika. Baada ya muda mvua ilikatika wakati yule dada alikuwa amekwisha maliza kuchota maji na wao waliingia mzigoni kumalizia kuteremsha mizigo iliyobakia ndani ya Fuso. Moyoni bado aliamini wenye fedha ndiyo pekee wenye kufaidi majumba na magari mazuri hata wanawake wazuri kama dada aliyepita akichota maji.
Kilichomchanganya kilikuwa vito vya thamani alivyokuwa amevaa na kusomba navyo maji bila kuhofia mvua. Kila sikio lilikuwa na tundu tatu na kila sikuo lilikuwa na hereni ya dhahabu pia mkononi alikuwa na bangiri na pete vyote vya dhahabu. Alijiuliza yeye akimsimamisha atamueleze kitu gani hata uwezo wa kumnunulia vocha ya elfu tano hakuwa nao.
Akiwa anaendelea kuteremsha mizigo lilikuja gari moja aina ya spoti yenye uwezo wa kubeba watu wawili tu. Baada ya gari lile kusimama aliteremka sharobaro mmoja aliyekuwa amenyoa kiduku na kuvaa pensi aliyoiteremsha na kuwa kata kei, chini alikuwa na raba ya bei mbaya.
Baada ya kushuka kwenye gari alikaa kwa mbele ya gari na kutoa simu ya bei mbaya kisha alipiga simu na kuzunguza kwa muda na kukata, kisha alisogea kwenye duka alilokuwa akiteresha mizigo
John Shuku na kununua vocha za laini tatu za simu za shilingi elfu sitini.
Baada ya kununua alirudi kwenye gari lake, haikupita muda watu wote waligeuza shingo kuangalia upande ule. John Shuku naye aliangalia na kumuona yule msichana aliyemchanganya akili akiwa amepiga pamba za hatari kigauni kifupi cha kuishia chini kidogo ya makalio na kukifanya kuninginia kama kimetundikwa juu ya mti na kuyafanya makalio yapendeze kuyaona na kutamani ainame kuokota kitu ili uone vilivyopo chini ya kigauni kile.
Sehemu ya juu mgongo ulikuwa wazi karibia na kuuno, chini alivaa viatu virefu vya mikanda hakika alipendeza sana. Wote waliteseka kwa umbile la yule msichana lililokuwa wazi zaidi tofauti na wakati alipokuwa amevaa dela lililouficha mwili wake lakini aliyeteseka sana alikuwa Shuku kwa kuona umaskini sawa na ugonjwa wa ukoma kwani vitamu kama vile aliamini ataishia kula kwa macho au kumvutia hizia wakati akiitafuta pwani kwa mkono.
Baada ya kumfikia yule sharobaro alikumbatiana na kuanza kulana mate hadharani. Kitendo kile kilimchanganya sana Shuku anakujisahau kama alikuwa amebeba boksi la glasi na kujikuta likimdondoka boksi lililosababisha kuvunja baadhi ya glasi.
“Ooh! My Good,” Shuku alishtuka.
“Bwa mzee hizo glasi nakata kwenye hela yako.”
“Kata tu bwa nshee,” Shuku alilidhika kukatwa hela kutokana na hali iliyomtokea hakuelewa hata boksi lilivyomponyoka. Yule msichana alimtesa sana moyoni na kujikuta akishindwa kujielewa.

Rafiki yake yaliyekuwa karibu aliyekuwa akiona picha yote ya Shuku kuchanganywa na yule msichana alimuuliza:
“Shuku vipi?”
“Wee acha tu yule demu kanichanganya sana hata sijielewi na si kawaida yangu.”
“Tafuta ipo siku nawe utakula bata.”
“Wapi?”
“Usikate tamaa ukiwa bado unaishi, mbona mambo ya kawaida tu yale.”
“Aah wapi, tutaendelea kula kwa macho wenye fedha kila kituzuri watapata wao, majumba, magari na wanawake wazuri kama wale.”
“Maisha kibidubidu unaweza kulala maskini kesho unatumwagia maji unasahau kuna siku ulivunja glasi kwa ajili ya mrembo mmoja wakati huo wanakugombania kama mpira wa kona. Kaka fedha kama maua kila nyuki atatua.”
“Hizo ni ndoto za mchana.”
Shuku akiwa ameshindwa kabisa kuendelea na kazi macho yale yaliendelea kushuhudia mateso bila chuki jinsi yule mwanamke na sharobaro walivyojifanya wazungu kwa kuonesha mambo ya chumbani hadharani. Baada ya kuachiana msichana alikwenda upande wa uskani na mwanaume upande wa pili kisha yule mwanamke aliondoa gari kwa kasi.
Baada ya gari kuondoka eneo lile walimalizia mzigo ulikuwa umebakia kidogo kwenye gari na kulipwa fedha yao waliyokatwa fedha kwa ajili ya glasi alizovunja Shuku. Kwa vile ilikuwa bado asubuhi washikaji zake walimweleza watafute sehemu nyingine wakapige mzigo.
Lakini Shuku aliyekuwa amechanganywa sana na yule msichana aliona siku ile kwake mbaya aliamjua mfadhaiko aliopata asubuhi ile heri aende nyumbani kulala ili siku ile ipite salama. Kama kawaida alipanga akifika nyumbani lazima amvutie hisia na kuitafuta pwani ya utamu kwa mkono.
Akiwa anarudi nyumbani toka Temeke kwenda gheto kwake Buguruni kwa Mnyamani.
Alitembea huku akiwaonea wivu vijana wote wenye kutembelea mikoko ya nguvu pembeni yao wakiwa na warembo wa nguvu. Alipofika mataa ya Tazara akiwa anataka kuvuka barabara aliliona gari moja lilikuwa lipo kawaida lilipofika pale ilijifungua na kuwafanya vijana waliokuwa karibu kushangilia.
Kitendo kile kiliongeza maumivu kwa Shuku na kutamani gari lile angekuwa akilitumia yeye basi angerudi kwa yule mwanamke aliyemfanya ashindwe kujielewa. Gari lile la rangi nyekundu baada ya kufanya manjonjo lilisimama kusubiri mataa.
Shuku alipokuwa akilishangaa huku akilisogelea alishtuka kumuona mtu aliyekuwa akiendesha lile gari na kujikuta akipayuka kwa sauti.
“Ha! Mjuni.”
Yule aliyekuwa ndani ya gari aliyelipuka na mikufu na mipete ya kizungu la unga alishtuka kidogo na kujiuliza nani anayemfahamu jina la utoto ambalo toka akinyake mapene kwa kuuza unga alijiita Tajiri mtoto au MJ.
“Wee nani?” alimuuliza huku kamkazia macho.
“Mjuni ni mimi Shuku.”
“Shukuuu..John?”
“Eeh Mjuni.”
“I cant beliave my eyes, ni wewe Shuku?” Zungu hakuamini kukutana na rafiki yake walipotezana muda mrefu sana.
“Ni mimi Mjuni?”
“Ingia kwenye gari tutakwenda kuzungumza mbele ya safari.”
Shuku aliingia kwenye gari wakati huo mataa yalikuwa yanaruhusu Mjuni aliondoa gari kufuata barabara ya Mandela kuelekea Ubungo.
Gari lilitembea kwa mwendo mrefu bila mtu kuzungumza, muda wote Shuku alikuwa akimshangaa Mjuni jinsi alivyoyakatia denge maisha. Alikuwa amelipuka pamba za uhakika pia kumiliki gari la bei mbaya. Alikumbuka mara ya mwisho kuachana na Mjuni ilikuwa nyumbani kwao Mbeya baada ya Mjuni kuzamia magari yanayokwenda South kutafuta maisha. Shuku yeye baada ya kuondoka rafiki yake alikaa mwaka mmoja na kuhamia Dar kwa mjomba wake na kutafutiwa kazi katika kiwanda cha Simba Plastic akiwa kama wafanyakazi wa kutwa.
Alifanya kazi kwa zaidi ya miaka miwili, kwa vile fedha aliyopata ilimtosha aliamua kuhama kwa mjomba wake na kuhamia Buguruni kwa Mnyamani aliyaanza maisha ya kujitegemea ambako alipanga chumba chake cha uani.
Kutokana na kupungua kwa kazi za uzalishaji kiwandani kwao baadhi ya wafanyakazi wa kutwa walisimamishwa kwa muda usiojulika mpaka uzalishaji utakapokuwa mzuri.
Mmoja wapo alikuwa Shuku ambaye aliamua kutafuta katika makampuni mengine lakini hali ilikuwa ileile. Yeye na washikaji zake waliosimamishwa pamoja waliamua kujichanganya kufanya kazi yoyote kupunguza ukali wa maisha.
Kila siku walikuwa wakijichanganya kila kona kila kazi iliyotokea mbele yao hawakuchagua mpaka siku alipotokewa na kimuhemuhe kile cha kuchanganyikiwa kumuona msichana mrembo ambaye aliamini hawezi kumpata zaidi ya kumla kwa macho na kumpa kasi ya kumfikisha pwani kwa mkono.
Mpaka gari linaingia ndani ya jumba la kifahari Shuku bado alikuwa katika ndoto za kumkumbuka Mjuni aliyeondoka kwenda South akiwa mwembamba lakini baada ya kurudi kaonekana mtu mwenye mwili wa fedha.
“Shukuuuu, karibu mtu wangu,” Mjuni amkaribisha rafiki yake huku akishuka kwenye gari.
“Ooh! Tumefika?” alikuwa kama mtu aliyetoka usingizini.
“Tumefika, karibu sana ndugu yangu.”
“Asante Mjuni.”
“Nitafurahi ukiniita MJ.”
“Poa MJ.”
“Basi karibu sana,” MJ alisema huku akibonyeza rimoti na mlango ulifunguka kitu kilichomuacha hoi Shuku na kuona mambo mageni kwake. Waliingia wote ndani ya jumba la Mjuni lilikuwa na kila kitu cha thamani kuonesha jamaa alikuwa amejipanga kimaisha na maisha alikuwa ameyapatia.
“Karibu sana rafiki yangu.”
“Asante sana.”
“Nimefurahi sana kukuona, nilikwenda home baada ya kurudi Bongo kutoka duniani nikaambiwa amezamia jijini. Nilishangaa kusikia umezamia Bongo badala ya nje ya nchi.”
“Ndugu yangu elimu yangu unaijua nitaweza kwenda sehemu gani, najua lugha ya asili na kiswahili tu.”
“Maisha ukifikiria hivyo utakufa bila kelele kama wafuasi wa kibwetele, mimi darasa la ngapi darasani wewe ulikuwa unaniburuza.”
“Mmh! Za siku?”
“Kama unavyoziona sasa hivi nafahamika kama umeme wa mgao hakuna mtu jijini asiyemjua MJ tajiri mtoto.”
“Mmh! Kweli unatisha siku hizi unavaa hereni wewe si ulikuwa ukisema wanaofanya hivyo mashoga?” Shuku alimuuliza rafiki yake.
“Ndugu yangu kama hujatembea utaona ajabu nimekutana na mambo ya ajabu na kuona kumbe kawaida. Kama mchungaji anaingia kanisani katoga sikio mimi nani mbele ya Mungu?”
“Lakini mila na destuli zetu hazikubaliani na utamaduni huo.”
“Kweli Shuku upo nyuma, pamoja na kuwahi jiji bado mgeni wa mambo, mbona huwashangai Wakulya wanaume wanatoga sikio na kuvaa hereni pia Wamasai wanawake wananyoa wanaume wanasuka.”
“Haya kaka umeshinda, Za siku?”
“Kama unavyoziona, vipi wewe maana nakuona umezeeka bado kijana mdogo?”
“Maisha ndugu yangu,” Shuku alimueleza maisha yake yalivyo, baada ya kumsikiliza alimuuliza.
“Ulipokuwa unakaa kuna kitu gani chako cha muhimu sana kwako?”
“Una maanisha?”

“Namaanisha kuwa hapa umefika sitaki uondoke, nataka kukurudisha katika ujana nakuona umezeeka kama unavuta sigara kali.”
“Kuna documenti zangu redio tivi kochi kitandani na vitu vichache.”
“Vitu vyote achana navyo utahamia hapa.”
“Nitashukuru lakini pale nadaiwa fedha ya mwaka mzima.”
“Shilingi ngapi?”
“Laki moja tatu na sitini.” Shuku aliongeza fedha nyingi makusudi wakati chumba alikuwa akili elfu kumi yeye aliongeza elfu ishirini kila mwezi. Nia yake kulipia miaka mitatu kwa vile asingemuamini mtu moja kwa moja.
“Okay, basi nitakupa ukalipe, unajua kudrive gari?”
“Ndiyo lakini sina leseni.”
“Nitakukatia.”
MJ alinyanyua simu na kumpigia mkuu wa polisi barabarani kumuomba leseni yenye jina la John Shuku.
“Sasa pumzika baadaye utakwenda kulipia chumba na kuchukua documenti zako kisha vitu vyote vya ndani vitoe sadaka kwa mahirani zako.”
“Hakuna tatizo.”
“Basi utakwena kupiga picha ya haraka kisha utazipeleka kesho utaipata.”
“Nitashukuru.”
“Sasa tukaoge ili uuage umaskini.”
Shuku alipelekwa kuoga, baada ya kuoga alipelekwa kwenye chumba kilichokuwa na kila kitu ndani.
“Hiki ndicho chumba chako.”
“Asante sana ndugu yangu.”
“Hizo nguo nina imani zitakutosha aliyekuwepo huku unalingana naye mwili.”
“Asante.”
“Mimi nipo sebuleni kuna demu wangu anakuja muda si mrefu.”
“Poa.”
Shuku alibadili nguo kwa kuvaa bukta kubwa na singland kama mcheza basket ball, alitoka sebuleni na kumkuta rafiki yake akiangali mkanda wa blue printi.
“Mbona unaangali mkanda huu muda huu?” Shuku aliuliza.
“Kwani muda wake saa ngapi?”
“Usiku.”
“Acha ushamba mkanda huu unaungalia muda wowote, na mimi navutia kasi kuna mtoto si wakawaida ataingia muda si mrefu.”
Shuku hakujibu naye kwenye sofa liningine na kujilaza kula kupupwe cha kiyoyozi naye alikula kideo.
“Shuku una demu?” MJ alimuuliza rafiki yake bila kumtazama.
“Sina.”
“Huna! Una matatizo gani?”
“Sina tatizo basi nimeamua.”
“Hapana Shuku lazima utakuwa na tatizo, kwa nini usiwe na mpenzi wakati dunia ya leo imejaa wanawake wazuri wanaotafuta wanaume hata kwa kuwahonga.”
“Hao wazuri wanagharama, wa kuhonga sijapata.”
“Kwa hiyo hata wa siku mojamoja huna?”
“Nikiwa nimezichanga nakwenda Kimboka au Sewa najipigia juu kwa juu tunaachana, wale hawana gharama sijui wameishiwa lotion au kwenda salon mkilipana na kumalizana hamjui tena hawana gharama ya guest kwenye kichochoro anapandisha nguo wewe unamwaga mzigo mnaachana.”
“Mmh! Sikwezi.”
“Kawaida, nami ningekuwa nazo ningetafuta mrembo mmoja wa kula naye bata kama wewe.”
“Usiwe na wasiwasi changu chako nitahakikisha raha ulizozikosa unazipata hapa.”
“Nitashukuru, vipi wewe hujaona?”
“Nioe watoto wote wazuri na watamu nimuachie nani?”
“Kwa hiyo huna mke?”
“Sina.”
’Ila?”
“Nina watoto wazuri.”
Mara kengere ililia MJ alichukua limoti na kufungua mlango, baada ya kufunguka aliingia msichana mmoja mbichi aliyekuwa na mgongo wa kufa mtu. Alikwenda kumkalia MJ alipokaa na kuanza kumla denda mbele ya Shuku aliyechanganyikiwa baada ya kuinama sketi kuteremka chini na kufanya kiuno chake chenye cheni ya dhahabu. Kilichomaliza mmaliza bikini iliyomezwa na mgogo wa kufsa mtu,
Shuku akiwahi kupeleka mkono kambi ya jeshi mkumsihi mwanajeshi wake awe mpole kwani ile haikuwa vita yake.
“Mmmh! Nimekumisi ile mbaya sweet,” mtoto wa kike alimung’unya maneno.
“Karibu baby.”
“Ha! Baby unaangalia hii?” Yule msichana alishtuka na kugeuka baada ya kusikia sauti za uchokozi toka kwenye kideo.
“Si nilikuwa nakuvutia kasi.”
“Basi na mimi nalianzia hapahapa nataka nile koni kama wa kwenye kioo,” msichana alisema huku akiteremsha bukta ya shuku na kuishika maiki mbele ya Shuku na kutaka kuanza kuimba. MJ alimshuka na kuirushisha maiki ndani.
“Baby utaniudhi,” mtoto wa kike alilalamika.
Yule msichana aliyekuwa bado kainama na siketi nawe kuweka mambo yote nje, mgongo uliokuwa kama deki iliyomeza kanda ulimfanya Shuku azidi kuteseka na kugugumia kwa maumivu na kujisemea mwenyewe “Wenye fedha wanafaidi.
“Noma baby humuoni ndugu yangu?” MJ alishikilia msimamo wake.
“Kwani hajui?”
“Hata kama anajua, lakini lazima tumuheshimu.”
“Mbona mlikuwa akiaangalia pamoja, heshima ipo wapi? Hebu nipe raha zangu.”
“Hapana twende chumbani.”
MJ alinyanyuka na kuelekea chumbani na yule mwanamke aliyevaa sketi fupi ya kitambaa laini iliyotelemka na kuonesha kufusi kilichomeza bikini. Walielekea chumbani wakiendelea kulishana mate, na kumwacha Shuku akiwasindikiza kwa macho. Hali yake ilikuwa mbaya sana na kuona kama mateso aliyoyakataa ameyafuata ndani.
Shuku alibakika akiwa na maumivu makali ya chini, baada ya mzizi kutaka kutoboa ardhi kwa hasira. Lakini hakuwa na jinsi alitulia macho yake yakiwa kwenye video kulikokuwa kunaendelea mkanda wa Blue print, aliona unamzingua aliamua kuizima na kujilaza kwenye kochi.
Baada ya muda yule binti chumbani macho yakiwa yamebadilika rangi na kuwa mekundu ilionesha alichezea makofi katika kichaka cha nyani. Alitoka akirekebisha sketi yake vizuri nyuma alifuata MJ akiwa kifua wazi huku amejifunga taulo kuonesha amegawa dozi. Bila kutegemea Shuku alimshangaa yule mchichana kuja alipokuwa amekaa na kumbusu mara tatu na kusema:
“Shemu kwa heri.”
“A..a..sa..,” hakumalizia alitulia baada ya joto la yule msichana mrembo kumfanya apasue dafu. Bila kutikiswa na upepo wala kuchumwa.
Hali ile yule msichana aliiona na kusema kwa upole:
”Oohh ! Shemu pole eeh,” alisema huku akimchezea ndevu chache chini ya kidevu na kumpiga busu lingine kisha alitoka kwa mwendo wa kuchepuka kuelekea mlangoni.
Baada ya kutoka nje MJ alimgeukia rafiki yake aliyekuwa amejishika ikulu kutokana na kuangukiwa na dafu na kumpasukia.
“Vipi?”
“Mmh! Wee mkali.”
“Umeona eeh.”
“Mmh! Mtoto mzuri kama huyu umemtoa wapi?”
“Ndiyo maana ndugu yangu sitaki kuona vitamu hivi ningevila saa ngapi?”
“Sasa MJ mwanamke mzuri kama huyu si ndiye ungemuoa.”
“Mbona huyu wa kawaida wapo kumi kama hawa.”
“Wote wapenzi wako?”
“Kipi cha ajabu, mwenye fedha chochote kizuri ni halali yake unafikiri kama nikimuoa vingine vitamu nilivile kwa macho?”
“Na ugonjwa.”
“Ugonjwa gani?”
“Ukimwi?”
“Ukugua si umeugua, kwani wote wanaokufa wameugua ugonjwa huu?”
“Siyo, lakini unadhoofisha nguvu za mwili.”
“Magonjwa yapo mengi lakini hayazungumziwi, pia mwenye fedha huwa hauguuwi.”
Wakiwa katika ya mazungumzo kengere ya mlangoni iliita, MJ alifungua mlango, mara aliingia msichana wa kiarabu aliyekuwa katika vazi la hijabu baada ya kuingia aliivua na kuitupia pembeni kisha alikwenda kumrukia MJ na kuanza kumla ndenda bila hata ya kuangalia pembeni kama kuna mtu.

Shuku alishangaa kumuona yule msichana baada ya kuvua hijabu hakuwa na kitu kingine zaidi ya bikini iliyomezwa na mgongo wa kufa mtu. Kila msichana aliyeingia kuwa na mgongo ilimshtua sana Shuku na kujiuliza kuna siri kwa rafiki yake penda wenye migongo mikubwa na kuwa na wasiwasi huenda ni wakala wa kampuni ya simu.
“MJ leo nataka nikupe penzi la siting room,” yule msichana alisema huku akiivuta tailo na kumfanya MJ kubaki mtupu, kabla hajavamia mashine ya kutoa koni MJ alimshika:
“Salha hebu subiri.”
“MJ asiushushe mzuka wangu, leo nimekuja kwa kazi moja.” alisema huku akipiga magoti aifikie mashine ya koni.
“Kuna mgeni humuoni.”
“Yupo wapi?”
Yule msichana aligeuka na kumuona Shuku aliyekuwa amekaa kwenye kochi, kwa aibu alimshika mkono MJ na kumvutia chumbani. Shuku alizidi kuchanganyikiwa na warembo walivyokuwa wakijitoa akili kwa MJ. Maswali yaliyokosa majibu, alijiuliza anawapa nini kiasi cha wao kumfuata badala ya yeye kuwafuata.
Mara ghafla alianza kusikia sauti ya kilio cha mahaba toka katika chumba cha MJ ambacho walisahau kufunga mlango. Kelele zile zilikuwa mateso mengine kwake na kujiona kama ameletwa kuteswa na rafiki yake. Siku ile aliiona ya mateso. Asubuhi aliona kwa mbali na kuteseka lakini muda ule yalikuwa mateso ‘live’ ambayo kwake aliona kama hawezi kuyavumilia.
Aliona dawa ni kwenda bafuni kupunguza maumivu kwa kuvuka bahari kwa mkono kuitafuta pwani ya utamu. Alijikuta kwa usongo kwa kurudia picha za warembo toka aliyemtesa asubuhi mpaka wale waliokuja kwa MJ, alizikung’uta tatu mkononi na kujiona mwepesi. Alipotoka alikuta yule mrembo wa kiarabu amekwisha ondoka.
“Vipi ulikuwa wapi?” MJ alimuuliza Shuku aliyekuwa huku akijifuta maji na taulo akinesha anatoka kuoga.
“Nilikuwa msalani mara moja.”
“Shemeji yako alitaka kukuaga.”
“Mbona sijachelewa sana.”
“Vipi cha awali na cha sasa kipi kikali?”
“Mmh! Vyote vikali, kweli ndugu yangu unafaidi, lakini unakumbuka kinga?”
“Kinga ya nini vitu kama hivi ukivivalia kinga si bora upige puchu.”
“Kaka raha za leo kilio cha kesho.”
“Ukiogopa kufa huwezi kutafuta mali wala kula raha, ukikipata kitumie ukikikosa kijutie.”
“Mmh! Sawa.”
“Sasa usipoteza muda kabadili nguo twende ukapige picha kisha uzipeleke sehemu utamkuta mkuu wa usalama na kumpa ukitoka huko kachukue vitu vyako muhimu na vingine uvigawe kisha urudi katika dunia mpya uliyoiota.”
Wakati wakizungumza kengere ya mlangoni ililia, alifungua mlango na kuingia mama mmoja mtu mzima lakini alikuwa na mzigo wa haja.
“Wawooo mama huyo,” MJ alimkimbilia yule mama na kumkumbatia.
“Wawoo mwanangu.”
“Shikamoo.”
“Marahaba mtoto mzuri.”
“Karibu mama, baba hajambo?”
“Hajambo nimemkimbia mara moja si unajua tena matiti yakiwasha unajua mtoto anataka kunyonya.”
“Ni kweli mama umenisahau sana mwanao.”
“Basi leo nataka unyonye kisha nimuwahi baba yako.”
“Shikamoo,” Shuku alimuamkia yule mama aliyekuwa na mzigo wa haja japo umri ulikuwa umeenda.
“Marahaba mwanangu, MJ huyu nani?”
“Ndugu yangu.”
“Ooh! Mtoto wangu mwingine,” yule mama alimuacha MJ na kwenda kumkumbatia Shuku akiyekumbana na manukato ya bei mbaya. Baada ya kumuachia alimgeukia MJ na kumwambia.
“Sasa mwanangu nina muda mudogo sana baba yako kaenda bandarini mara moja nina imani mpaka anatoa mzigo nitakuwa nimekwisharudi nyumbani.”
“Hakuna tatizo, mwanao ninavyopenda kunyonya kama mtoto wa paka.”
“Lakini leo nitakunyonyesha kidogo kuokoa muda ila wiki ijayo baba yako atakuwa na safari ya Ulaya hapo mwangu utanyonya tani yako.”
“Shuku jiandae tutatoka pamoja,” MJ alisema akimshika mkono mwanamke aliyejiita mama yake.
Shuku alipingwa na butwaa na kujiuliza umama na utoto umekujaje na kwa nini waende chumbani. Alijiuliza yule mama mtu mzima umri wa mama yake mzazi ni mpmnzi wa MJ. Baada ya kuingia chumbani Shuku hakukubali alitaka kuona hatima ya yule mama na Shuku anamnyonyesha vipi.
Alizunguka nyumba na kwenda kupiga chabo dirishani, baada ya kukaa engo nzuri ya kutazama ndani aliona Shuku akimsurubisha yule mama ambaye alikuwa katika mkao wa mbuzi mkaidi.
Alijiuliza kule ni kunyonyeshana au kufanya mapenzi, alimsikia yule mama akimwagia sifa MJ.
“Meno ya kibao chako cha kukunia nazi yanajua kukuna vizuri yaani hapa hakuna kitu kitabakia kwenye kifuu cha nazi kitakuwa cheupe nikirudi nyumbani mwepesiii.”
Shuku alijiuliza kumbe kunyonya kwenyewe ndiko kule, aliendelea kumshuhudia mama mtu mzima akibadili mikao na kukuruka kama dume la funza jinsi alivyokuwa akiukwea mnazi wa MJ. Alishangazwa na uwezo mkubwa aliouonesha bi Mkubwa kwa kuweza kuzungusha mzigo wa haja nazi unavyokunwa kwenye kibao cha mbuzi.
Shuku kutokana na ugumu wake naye alijikuta akienda marikiti baada ya kupeleka mkono ikulu na kwenda na muvu ya goli naye kujipasulia yai mkononi. Alimshuhudia yule mama baada ya mpambano akimshukuru MJ.
“Mwanangu nina imani leo umenyonya japo najua hujashiba lakini matiti yangu umeyatendea haki umenyonya kwa ustaarabu mkubwa bila papara na kunifanya mama yako nione raha ya ajabu.”
“Lazima niwe na heshima ninaponyonya kwa mama.”
“Wala siogi nitachelewa, wacha nimuwahi baba yako najua muda si mrefu atarudi nyumbani. Atanikuta nimejaa tele kama pishi ya mchele bila kujua chakula cha mwanaye kimeliwa.”
Shuku alitoka dirishani na kuwahi bafuni kuoga, akiwa anamalizia kuoga alifuatwa na MJ bafuni.
“Mwana vipi unaoga mwaka mzima?”
“Nimemaliza.”
“Njoo basi mama anataka kukuaga.”
Ilibidi Shuku atoke sebuleni kumuaga yule mama mtu mzima lakini alionekama bado wamo kwa umbile na uwezo wa kukwea minazi hakuwa mvivu kulishughulisha umbile lake. Alipofika alimkuta yule mama kasimama akizungusha funguo ya gari kidoleni.
“Mwanangu nakimbia wacha nimuwahi baba yenu.”
“Haya mama, msalimie baba.”
“Salamu zimefika.”
Yule mama alielekea nje huku mung’unyumung’unyu likipishana kama yanagombea kupita mlangoni. Shuku alimsindikiza mpaka alipopotea nje na kutikisa kichwa alipogeuza uso alikutana na MJ akimtazama na kutabasamu.
“Mmh! Sikuwezi.”
“Utaniweza, si muda utaona jambo la kawaida.”
“Huyu si mkubwa kwako?”
“Kwangu mguu umepwaya kwenye kiatu.”
“Hapana.”
“Sasa tatizo nini ninampa anachotaka ananipa ninachotaka, yaani mpaka najiuliza wakati wa ujana wake alikuwepo.”
“Si ameolewa.”
“Ndiyo.”
“Mumewe unamjua?”
“Tena rafiki yangu mkubwa.”
“Mamaaa MJ unatafuta kifo.”
“Mbona mwaka wa tatu sasa nakula maini na ng’ombe mzee bila wasi.”
“Ulimpataje?”
“Alizimika na flagi yangu akatuma maombi nilipomcheki mtu mzima pia analipa nikamkubalia.”
“Mmh! Na mumewe huwa anakuja hapa.”
“Hata siku moja, ni mtu mkubwa wenye fedha kama mchanga pia si mtu wa kukaa sana Bongo yeye na pipa kama wewe kwenda kariakoo japo kuna siku huwa unakosa nauri na kupiga lapa kama nilivyokukuta leo lakini kupanda ndege kama kuvuta pumzi za kila sekunde.”
“Ulimpataje?”
“Mbona huyu umeniuliza wote waliopita hukuniuliza?”
“Nijibu kwanza huyu kwani ni zaidi ya wote kwanza kwa umri mzigo alifungasha nyuma pia uwezo wa kifedha kawazidi mbali wale wasichana waliotangulia.”
“Nilikwenda kufanya biashara na mume wake, kila nikienda alikuwa akinichangamkia siku moja mumewe alikuwa nje alinituma kufuata fedha kwa mkewe hapo ndipo alipofunua kombe mwanahara nikasimama.”
“Sasa mwanamke kama huyu unamuonga kiasi gani?”
“Ananihonga yeye, gari ulilopanda leo kaninunulia yeye.”
“Wachaaa.”
“Waswahili wanasema mwili mtaji ukiutumia vizuri utakuwa tajiri akiutumia vibaya utakufa vibaya.”
“Mmh! Wacha umpe raha yaani pamoja na kukupa mambo bado anakumwagia mifedha.”
“Bwana eeh, maswali yanatosha muda unakwenda, kabadiri nguo ya ukweli kisha chukua gari unalotaka hapo nje uwahi.”
“Hata hili ulilonibebea leo?”
“Lolote”
“Hata Vogue?”
“Lolote nataka uishi maisha ya ndotoni nina fedha sina wa kuzitumia sina mtoto wewe ndiye wa kuzifaidi mali zangu kwa sasa.”
Shuku alikwenda kubadili nguo huku akiamini kuwa na gari ndiyo mwanzo wa kuanza kumpigia misele yule demu aliyemdatisha.
Shuku baada ya kujiandaa kwa kuchagua pamba kali ili kila atakayemuona aamini gari atakalokuwa akitembelea ni lake. MJ alimpatia rafiki yake laki tano.
“Shuku najua kuna mashemeji waliokuwa wakikudengulia wakikuona leo ulivyolipuka pamba kali mkoko wa nguvu lazima atakufuata kama mbwa na chatu. Nina imani ukilipa kodi fedha itakayobakia utatumia na atakayejipendekeza maliza shughuli, huu ndio muda wako wa kulipa kisasi cha maisha.Chukua mkoko wowote hapo nje, pia chukua na kamba juu ya meza ya tivii chumba ili wachanganyikiwe.”
“Hakuna tatizo mwaka huu lazima wanisome namba,” Shuku alisema huku akizihesabu fedha alizopewa.
“Ni laki tano hizo.”
“Asante sana.”
Shuku alikwenda chumbani kwa MJ na kuchukua kamba ya ukweli na kutinga shingoni kisha alitoka nje na kwenda kwenye maegesho na kuchukua gari linalofunguka juu ambalo aliamini akiingia uswahili kila mtu atokwe na udenda wa mshangao.
Baada ya kuchagua gari alilolitaka alimuaga rafiki yake na kuelekea sehemu kupiga picha kwa ajili ya leseni ya gari kisha aende uswahilini kwake kulipa kodi ambayo kabla ya kukutana na MJ alikuwa mbioni kufukuzwa kwenye nyumba baada ya kupitisha zaidi ya miezi minne alimuona MJ kama malaika aliyekuja kumkomboa.
Akiwa njiani ndani ya gari huku akila kiyoyozi, kila alivyokuwa akikanyaga mafuta alijiona kama yupo ndotoni hakuamini na yeye kuna siku ataendesha mkoko wa nguvu kama ule huku akila kiyoyozi na kusindikizwa na muziki mtamu.
Shuku alikuwa na hasira na msichana wa nyumba ya pili ambaye ndiye aliyemvunja nguvu ya kuwafuata wasichana wenye title mtaani. Alikumbuka siku moja alipomsimamisha mmoja ya wasichana ambao walikuwa watata mtaani kwao baada ya kuteseka kwa muda mrefu. Baada ya kuteseka muda mrefu aliamua kujitosa mzimamzima na kumsimamisha. Alisimama ili kumsikiliza, Shuku alijikuta kwenye wakati mgumu kuyasema yaliyo moyoni mwake kutokana na jinsi yule msichana alivyomuangalia kwa dharau na kujitikisa kwa madaha.
“Mhu! Niambie unasemaje?” alimuuliza huku akimpandisha na kumshisha.
“Suzy ni..ni..li..kuwa na shida kidogo.”
“Uliambiwa mi ni kituo cha misada?” Alimjibu mkono kiunoni huku kabinua kiuno.
“Siyo hivyo Suzy.”
“Haya sema shida yako.”
“U..u..najua Suzy.”
“Shuku nijue nini? Hebu acha kujiumauma mtu mzima sema shida yako, huna nauli ya kwenda mjini?” Suzy alisema huku akikunjua noti alizokunja mkononi na kumpa elfu moja.
“Nina imani elfu inakutosha, una jingine?” Suzy alinyoosha mkono kumpa Shuku lakini hakupokea kitendo kilichomuuzi Suzy na kumkazia macho kumuuliza.
“Kuna mtu kakutuma? Haya niambie.”
“Sivyo hivyo Suzy.”
“Sasa unashida gani Shuku? Unajua kuna sehemu nawahi kuna ofa.”
“Nashida na wewe,” Shuku alijikakamua.
“Mmh! Makubwa, jamani mbona mapya, Shuku mimi nikutese wewe? Nimegeuka mchawi nakuchukua usiku na kukugeuza fisi?”
“Hapana Suzy kimapenzi.”
“Unamaanisha unanitaka niwe mpenzi wako?”
“Ndi..ndi..yo Suzy.”
“Muone huna hata haya hata kuzungumza huwezi unajua kabisa mimi si saizi yako. Shuku umenidharau kiasi gani kunisimamisha na kunieleza ujinga wako?” Suzy alikuja juu na kupaza sauti iliyosikika umbali mrefu.
“Si..si..hivyo..Su..su zy…na..na kupenda.”
“Shuku mbona unataka kunitia nuksi huko niendako mambo yangu yaende ndivyo sivyo.”
“Lakini Suzy mpenzi hayapo hivyo nami nina haki ya kuyasema mateso yangu kwako.”
“Hebu niangalie,” Suzy alisema kwa sauti huku akijigeuza mbele ya Shuku kitu kilichomfanya Shuku ajute kumsimamisha mbele za watu na kujiona kama kavuliwa nguo. Alitamani kukimbilia kuepuka aibu ile lakini miguu ilikuwa mizito alibakia kasimama kama sanamu.
“Jamani mimi ni hadhi ya Shuku?” aliwauliza mashoga zake kwa sauti ya juu waliokuwa mbali kidogo na yeye.
“Ha! Ndicho alichokusimamishia?” waliuliza.“Mimi?” Suzy alishtuka na kujishika kifuani.
“Eeh.”
“Shida gani?”

ITAENDELEA

SEX MACHINE – 1

Image result for SEX BODY MAN

Sex Machine
Sehemu Ya Kwanza (1)

MWANZO.
Saa 05:45 alfajiri, bado pumba za kigiza cha usiku zilikuwa bado hazijapukutika na kuufanya mwangaza wa asubuhi hiyo kushindwa kuyapata mamlaka ya siku yake hiyo kwa ufasaha. hakukusikika sauti za milio ya ndege wala mapokezano ya majogoo kama ilivyozoeleka sehemu nyingi, utulivu ulikuwa mkubwa sana ndani yaa mtaa huo ambao ulikuwa ukiishi watu wazito. ambao ulikuwa ukifahamika kwa jina la Forest. mtaa ambao unapatikana pembezoni kidogo mwa mji kasoro bahari, mji wa Morogoro. Na kwa majira hayo, ni mageti tu ya baadhi ya nyumba kadhaa ndiyo yaliyokuwa yakifunguliwa. Magari ya kifahari yakitoka na kupotea barabarani ikiwa ni katika harakati za kila siku za kiutafutaji huku yakisindikizwa na kigiza hicho chembamba cha asubuhi hiyo. Lakini ndani ya jumba moja kubwa la kifahari kwa majira hayohayo, ndani ya chumba kimoja, alipata kuonekana kijana mmoja ambaye alikuwa akigaagaa kitandani mithili ya Funyo juani. si kama ni kutokana na kukatika kwa usingizi na kuukosa tena kwa nyakati hizo, laa hasha! Usingizi kwake haukuwa kitu cha thamani sana na kuukosa pia lilikuwa ni jambo la mazoea kabisa kwani si mara moja wala mara mbili, amekuwa akilala kiutaratibu tu kwamba inapofika usiku hana budi kaulala lakini si kwa usingizi kama ilivyo kwa wengine. hata kwa siku hiyo usingizi haukupata kumtembelea kijana huyo hadi anakutwa na alfajiri hiyo, aliishia kubingilia tu kushoto na kulia, nyuma mbele kama mcheza sarakasi. hayo ndiyo yalikuwa maisha yake. Usingizi kwake kwa usiku mzima ulikuwa kama lulu au pande la dhahabu, haukumtembelea kabisa kijana huyo. “sijalala kabisa leo Mungu wangu?” alijiwazia kijana huyo huku akiwa kalala chali akilishangaa dari la chumba hicho chenye thamani kubwa, lililopambwa kwa michoro mbalimbali ya kupendeza. ni kama alikuwa akilitafuta kosa la fundi aliyetengeneza lakini si hivyo, alikuwa analundo kubwa la mawazo ubongoni mwake. “ninaishi katika wakati mgumu sana, nimekuwa kama pambo la Paka ndani ya nyumba hii ni wa kusogezewa kila kitu na kila wakati, lini maisha haya kwangu yatakuwa historia? Lini na mimi nitakuwa na maisha yangu kama ambavyo vijana wengine wanaishi? Lini basi Mungu wangu, lini?” ndivyo alivyokuwa akijiuliza maswali mengi kijana huyo. alitulia kidogo na kuvuta pumzi ndani na kuzitoa pasi na utaratibu maalumu kasha akaendelea kuutiririsha mkanda huo wa mawazo. “ni kweli sijawahi kusumbuliwa wala kunyanyasika kwa mjomba hata siku moja na mkewe pia amekuwa akinijali sana, anaupendo wa hali ya juu huyu mama, sijawahi kukosa mahitaji ya muhimu iwe kwake ama kwa mjomba, wananijali kwakweli Mungu awajaalie na awape maisha marefu kwa upendo wanaonionesha sina cha kuwalipa kwa hili. Ni kiasi gani cha pesa nikihitaji na wasinipe, lakini maisha haya mpaka lini sasa”? alijinyanyua kitandani na kukaa kitako mara baada ya kuwaza hayo, akapiga kite kikubwa cha kujikatia tamaa na kuvamiwa na mfadhaiko mkubwa wa moyo. mawazo yalijenga ukuta mzito sana kwenye moyo wa kijana huyo. Alishachoka kujigeuza kama mgonjwa wa tumbo la kuhara pale kitandani. ” naonekana ni shababi niliyekamilika sana, ni nani kwa muonekano huu ataamini kuwa nina shida. najua utashangaa mimi kusema kuwa ninashida, ninashida ndiyo. miaka ishirini na miwili sasa bado napangiwa. kila anitazamae anadhani labda ni kijana ninayejimudu sana kimaisha. Naonekana hivyo. Ndiyo, ninaonekana wa kisasa sana. navaa vizuri, nafanya mazoezi kiasi cha kuwa na mwili mzuri wa kuvutia, mwili ambao ni kivutio kikubwa kwa nabinti wengi wanaonitazama. Ninakula vizuri pia kiasi cha kuufanya mwili wangu kuwa na afya nzuri na yenye muonekano wa mtu asiye na dhiki lakini si kwa jasho langu, si kwa nguvu zangu mwenyewe. Hii inaniuma sana” alizidi kuwaza na kuwazuwa kijana huyo. Na hivyo ndivyo alivyoikaribisha asubuhi yake hiyo na sidhani hata kama ingekuwa ni siku njema kwake kwani ule usemi wa siku njema huonekana asubuhi, kwake ilionesha dhahiri kuwa itakuwa ni siku yenye mashaka makubwa sana.

Kijana huyo kwa jina alikuwa anaitwa Chriss. kijana mpole na mstaarabu, mweupe kidogo, nywele zake fupi alizozikata kiafrika, mrefu kwenda juu na anasura ndefu kidogo. alikuwa ni kijana asiyependa majivuni japo yu’ katika familia yenye utajiri mkubwa sana mjini hapo. aliitazama saa ya ukutani ikamwambia kuwa tayari kwa muda huo ilikuwa imeshatimu saa tatu kasoro robo za asubuhi. akapiga kite kilichoashiria uchovu kasha akajitoabkivivu pale kitandani na kukiweka kitanda chake katika hali ya usafi pamoja na chumba chake kwa ujumla. kilikuwa ni chumba kikubwa na cha kisasa chenye kila kifaacho kwa kijana wa kileo. kitanda kikubwa, kulikuwa na sofa moja linalotosheleza watu wawili sambamba na vikolokolo vingine vingi. alipohakikisha kuwa kila kitu kipo katika hali ya usafi, alichukuwa taulo na kujiingiza maliwatoni kwa ajili ya kujiweka safi. alipomaliza kujifanyia usafi huo, alivaa bukta yake ndefu na pana ambayo maranyingi hupenda kuivaa akiwa mazingira ya nyumbani, juu alitupia na fulana iliyomkaa vizuri na kutoka chumbani humo. Alifika sebuleni na kuwakuta wenzake wakiwa katika meza ya chakula wakipata staftahi safi kabisa. Mezani hapo alikuwepo mke wa mjomba wake, dada wawili wa kazi Salome na Maida pamoja na binti mdogo apatae miaka sita anayefahamika kwa jina la mery. alimsalimia shangazi yake huyo kasha akawasalimia na wale mabinti na yeye kuvuta kiti na kujumuika nao pamoja mezani hapo. “umechelewa sana kuamka leo na nimeshangaa kumkuta mjomba wako akiwa anafanya mazoezi mwenyewe, nini kimekusibu Chriss au ni uchovu wa kawaida?” aliuliza anti yake huyo huku akimsogezea sahani iliyo na mayai ndani yake. “leo sikuwa sawa nimeamka na mawazo mengi sana anti” akajibu Chriss. “najua Chriss, najua sana kwa umri ulionao unahitaji kuwa na kazi pia uwe na kwako lakini hupaswi kuwaza namna hiyo kwani mjomba wako analihangaikia sana suala hilo, unachotakiwa kufanya ni kuwa na subira mwanangu sawa?”
“sawa anti nimekusikia na nitajitahidi kuwa mvumilivu kwani nimejitahidi sana kutafuta ajira bila mafanikio yoyote pamoja na elimu kubwa iliyoambatana na utaalamu wa tehama lakini pia ni bure. Wacha nimsubiri mjomba, ninaimani nae sana kama aliweza kuisimamia elimu yangu kwa kiasi kikubwa hadi hapa nilipo, hashindwi kunitafutia ajira. Acha tu nimsubiri ninaimani hata yeye hili liamuumiza sana kichwa” alisema Chriss na alikuwa akimaanisha sana hicho akisemacho. “ni kweli kabisa mwanangu” alijibu shangazi huyo mwenye mapenzi makubwa sana kwa Chriss waweza sema ni mtoto wake wa kumzaa. Alimpenda sana Chriss anti Martha labda ni kwasababu alimlea kijana huyo tangia alipotupwa mikononi mwake baada ya wazazi wake kupata ajali mbaya sana ya gari angali akiwa na miezi sita tu tangu kutoka tumboni mwa mama yake. yeye akiwa na mumewe wakajitolea kumchukuwa na kuamua kuishi nae na hata alipokuja kukua aliamini kabisa kuwa hao anaoishi nao ndiyo wazazi wake halisi. Kumbe haikuwa hivyo. Wakamsomesha kwa gharama kubwa kuanzia darasa la awali hadi kufikia elimu ya juu kabisa. huko ndipo kijana huyo alipopata kujua ukweli huo. Mara baada ya kumuuliza mlezi wake huyo ambaye kwa kipindi hicho aliamini kabisa kuwa ni mzazi wake. Hapo akapewa ukweli wote kuhusu yeye na jinsi wazazi wake kupata ajali ya gari na kupoteza maisha. Chriss alifarijika sana na kuona kumbe anajaliwa na kupewa thamani kubwa na watu ambao si wazazi wake halisi bali ni ndugu wa mama yake tu. “ninaimani baba yangu anafarijika sana huko aliko kwa kuona kijana wake bado niko hai, mlale mahala pema peponi wazazi wangu na nawapenda sana” ndivyo alivyosema Chriss kipindi anapewa historia hiyo yenye kuhuzunisha sana. Hakuwa na budi aliamua kuisifu kazi ya Mungu na kumshukuru tu kwani yeye ndiye mwenye mamlaka na milki ya kilakitu duniai kote. Bahati mbaya au nzuri, mjomba wake na mkewe hawakuwa na uwezo wa kupata mtoto kwa mujibu wa matokeo ya vipimo vya wataalamu mbalimbali duniani kama alivyoelezwa hivyo wakaamua kuweka nguvu zao zote katika kuhakikisha Christiano anapata malezi bora na salama kabisa kwani huyo ndiye mrithi pekee wa kuendeleza mali hizo. Wakampeleka katika vyuo mbalimbali vilivyobobea kwa Sayansi duniani kote. Chriss akapata elimu ya juu kabisa ya masuala ya Sayansi ya mawasiliano kitaalamu ilifahamika kama Scientific comunication (SC). Cha ajabu na cha kushangaza ni pale kijana huyo alipotaka kutafuta ajira, alikutana na vikwazo vingi sana. Alihangaika kutuma maombi kwenye ofisi za serikali na makampuni binafsi bila mfanikio. kuna kipindi akaamua kuomba afanye hata bure bila malipo yoyote kwa muda fulani ili tu kuonesha uwezo wake pia hakukuwa na majibu mazuri. alijisikia vibaya sana lakini ndiyo hivyo tena. “nini faida sasa? Kusoma kote huku ni show tu ooh! no.” jambo hilo lilimkosesha kabisa amani kijana huyo, alikonda kwa muda mfupi. hadi pale mjomba wake alipomwambia kuwa asiwe na wasiwasi atalisimamia suala lake hilo anachotakiwa kufanya ni kuwa mvumilivu na kufanya sala kila wakati. Baada ya kusubiri kwa muda kidogo ndipo mjomba wake alimjia na kumwambia kuwa muda si mrefu angepata kazi na ilikuwa ni kazi nzuri sana. Chriss alifurahi sana na kuona sasa Mungu amekisikia kilio chake na maombi aliyokuwa akimuomba kila siku. Hicho ndicho pekee kilichomfanya Chriss kuwa mpole na kusubiri hicho alichoahidiwa. Maongezi hayo yaliendelea taratibu huku wakiendelea kupata staftahi hiyo hadi pale matumbo yao yalipotosheka, wakaiacha meza hiyo na kila mmoja kukamata jukumu lake linalomkabili kwa asubuhi hiyo.

****************

Chriss yeye baada ya kutoka mezani hapo, aliekea kwenye bustani yake ya maua aliyoitengeneza mwenyewe kwa mikono yake. Akawa anaifanyia fanyia usafi wa hapa na pale wa kuzidi kuipendezesha bustani hiyo iliyokuwa imelizunguuka bwawa la kuogelea nyumbani hapo. Wakati akiwa anaendelea kufanya usafi, kuna mtu alifika kwa kunyata na kuligusa bega lake la upande wa kulia na kumfanya ageuke. “bustani inapendeza sana Chriss kwa ajili yako, ulipokuwa nje ya nchi jaikuwa ikipendeza kama hivi. unaijali sana bustani hii” mtu huyo alisema. “ndiyo, Salome na nimekuwa nikiiwaza tangu nikiwa huko. Unajua bustani hii nimeianzisha tangu nikiwa darasa la tatu na nimekuwa nikiiboresha kwa kila hatua” alijibu. “naona. Kweli inapendeza hadi mtu unavutika kuja kukaa tu angalau” Chriss akatabasamu baada ya kauli hiyo kutoka kwa Salome, akasema. “vipi Salome unataka kunisaidia nini? Lakini umechelewa kodogo tu maana nimekwisha kumaliza usafi leo hakukuwa na kazi kubwa sana nilikuwa nikiondoa baadhi ya magugu haribifu. Hapa nipo naangalia ufundi wa Mungu kwa kupitia wale watoto wa Bata kwa jinsi wanavyoyakata maji kwa ustadi wa hali ya juu kabisa”

“najua” akasema Salome. “najua nimechelewa Chriss na ndiyo maana nipo hapa. Sipo hapa kwa ajili ya Bata wale ambao mapenzi yao makubwa ni maji, ni kweli wanakifurahia wakipendacho na Muumba amewaumba hivyo. Mimi nipo hapa kwa ajili yako na nipo hapa kwa ajili ya penzi langu Chriss. nisifurahi kwa nikipendacho? Au kwanini nisiwe kama wale mabata Chriss? Angalia wanavyofuatana, angalia wanavyoifurahia siku yao hii mpya, angalia tu. Nimekuwa na moyo gani sijui mimi Salome? Nimekuwje najishangaa. Hivi Chriss unafikiri ni kwanini nang’ang’ania kuwa na mwanaume malaya?”
“unamaanisha nini Salome?” aliuliza Chriss akiwa katika mshangao mkubwa sana baada ya Salome kuongea maneno yale tena akiwa katika hisia kali sana. “namaanisha haya niyasemayo. Unafikiri ni kwanini labda? Ninaumbo zuri, shepu namba nane, ninasura ambayo bila vikorombwezo wala vitakatishi bado inauzika. Sasa kwanini nimekung’ang’ania wewe mwanaume usiyejua kumthamini mwanamke akupendaye kwa dhati?” alizidi kutema cheche za moto mwanadada huyo. Alionekana dhahiri hakuwepo pale kimasihara hata kwa thumni moja. aliikuwa anamaanisha kweli. Chriss aligwaya. Hakuwa na utetezi thabiti juu ya shutuma hizo, huwenda yote ayasemayo binti huyo yanaukweli ndani yake. “Ni kweli Salome ni mpenzi wake wa siku nyingi sana lakini hili la kuwa kunausaliti unaoendelea humo ndani pia linawezekana kwani Chriss alikaa kimya tu kila alipokuwa akishutumiwa. “Mungu wangu hili nini tena, au ameshajua tayari kuwa nimetembea na Maida?” alijiuliza mawazoni Chriss.
Maida ni miongoni mwa mabiti ambao ni watumishi wa ndani wa jumba hilo kubwa. pia Maida alikuwa akijua fika kuwa Chriss anatoka na Salome. Hapo Chriss alijifanya kujizunguusha na kujifanya kutokujua jambo lolote lile. Ni kweli tupu kuwa Chriss alishiriki kitanda kimoja na Maida lakini kitu kilichomchanganya kwa wakati huo ni je, Salome amejuaje? hili lilimpa wakati mgumu kidogo na hakulielewa. “sijakuelewa Salome mpenzi hebu niweke wazi juu ya jambo hilo unalolizungumza” akasema Chriss. “hujaelewa? Hujaelewa si ndiyo? Hivi kilikuwasha nini ukatembea na Maida?”
“what!!?” Chriss akajizugisha na kujifanya ndiyo kwanza anayasikia yale maneno na alishangaa kwelo si utani. Na si kwamba hakujua kweli laa! Alijua sana ala kilichokuwa kikimuumiza kichwa, ni vipi atajitetea hapo. Salome akazidi kufurika kwa ghadhabu, akaja juu kama moto wa kifuu uwakavyo. “nini kinachokushangaza sasa? Hujui? Hujatembea nae? Nakuzushia au ni lipi linalo kushangaza weww mwanaume?” akachachiwa kwa maswali mfululizo. Chrisa hakujua lipi alijibu na lipi liwe la mwisho kujibu, akabaki kabung’aza macho kama Pono baharini, akashusha pumzi nzito. “mbona siyo siku nyingi sana tangu nifanye mapenzi na Maida, inamaana ndiyo mchezo wao sasa si ndiyo? Ok, nimeelewa” akawaza Chriss na kukumbuka mambo mengi sana yaliyopita. Alikumbuka jinsi Maida alivyomvamia chumbani kwake majira ya usiku wakati akiwa anajiandaa kulala huku msichana huyo akiwa ma khanga moja tu nyepesi kifuani tena akiwa jajavaa kitu kingine chochote kabla na baada ya hiyo khanga na Chriss yeye ikiwa ndani ya bukta mtepweleko. mshituko mkubwa ukamvaa kijana huyo asielewe nia na dhamira kuu ya ujio huo chumbani kwake tena mvamizi mwenyewe akiwa katika vazi tatanishi. Alishtuka. “Maida!” ndilo neno la kwanza lililomtoka kinywani mwake mara baada ya mtoto huyo wa kike kuufunga mlango kwa ndani vizuri. “naomba unisamehe kaka Chriss kwa kuwa mgeni nisiye rasmi ila tambua kuwa imenibidi kutokana na kukosa budi kaka” alisema Maida. Chriss alizidi kupata bumbuwazi la mshangao na maswali lukuki yakipita kichwani mwake. “amekosa budi? Nimsamehe? Aaama! Inamaana amekusudia kuja humu ebbo! Sasa kwa nini?” maswali hayo ya kijinga jinga yalizidi kumuandama kijana huyo bila ya mupatikana kwa jibu hata moja. “kaka Chriss nimechoka, nasema nimechoka kabisa na siwezi” alisema na kutulia akiyaacha yale maneno yageuke kuwa ni swali tata kwa Chriss kishapo alikiruhusu tena kinywa chake kiendelee kuzungumza. “Salome amekuwa akininyanyasa sana kaka Chriss, kila siku nimekuwa mtu wa kuhadithiwa kila ambcho amekifanya na wewe na imekuwa ni desturi yake sasa. Halali chimbani kwake hadi aje kuniumiza kwa kunikashifu eti, nakosa sana raha” maneno hayo kutoka kinywani mwa Maida, yalikifanya kinywa cha kijana huyo kubaki wazi mithili ya mtu aliyeona kambo la kuogofya sana. “Salome!” aliita moyoni Chriss. “kwanini sasa umeamua kulifanya hili jambo lisiwe siri, kwanini unataka mjomba anielewe vibaya, kwanini sasa? Unafikiri ugomvi wenu utakuwa siri pale mtakapoanza kutupiana maneno?” alijiuliza mwenyewe kijana huyo pasina kutoa sauti yoyote huku kinywa chake kikiwa wazi vivo hivyo. “Salome huyu huyu wa humu ndani?” Chriss akauliza swali la kipumbavu kabisa ambalo hata hakulitarajia. Maida alitamani kucheka kwa jinsi kijana huyo alivyopagawa kwa uchache tu wa maneno hayo aliyompa, akajua kama ataugongelea zaidi msumari huo wa moto, ni dhahiri kabisa angefanikiwa kulifaidi penzi la kijana huyo msifiwa. “huyu huyu ndiyo, kuna yupi mwingine” alijibu Maida huku akiikunja ile khanga zaidi na kuifanya miguu yake mizuri iliyojaa vema kupata kuonekana. Waswahili husema, macho siku zote huwa hayana pazia na kitazamwacho ndicho kitamaniwacho. Haya maneno ni dhahiri kabisa na yamejidhihirisha kwa huyo kijana kwani Chriss alijikuta akimeza funda kubwa la mate mara baada ya kujionea mguu huo mzuri usio na hata kovu la bandia. Hali hiyo ilionekana vema kabisa na binti huyo kiasi kuona ushindi uko jirani kabisa, alijiaminishia ushindi haswa kwa kijana hiyo. Mwanaume ni kama Mbwa kwa Chatu, mitego kidogo tu akinasa hafurukuti. Maida akaona hapo ndipo hasa alipopataka hakulaza damu, akaanguka mzimamzia. “kaka Chriss na mimi nataka”
“niniii!!?” akashtuka Chriss. “unataka kuniambia hujanisikia kaka Chriss?” aliuliza Maida huku sauti akiwaameibadilisha kabisa na kuifanya itokee puani. Maidaalidhamiria kuhahakikisha jambo hilo ni lazima lifanikiwe. “no, haiwezekani kabisa Maida, siwezi kufanya hivyo. Wewe unajua kuwa tayari nimeshatembea na Salome sasa na wewe tena unataka. Hapana tena naomba utoke humu ndani haraka, ni ngumu mimi kufanya hivyo siwezi Maida please” akasema Chriss tena akiwa anamaanisha. Maida hakutegemea kama Chriss angetoa jibu hilo tena akiwa mkavu kabisa lakini nini dhamira yake. ni kuingia humo chumbani na kuangalia mandhari ya chumba hicho? Ah, ah, kumuonesha Chriss kuwa hata akiwa mbele ya mwanaume anaujasiri wa kuvaa khanga moja. Pia ah, ah. Sasa nini dhamira yake kwa kwenda chumbani kwawanaume huyo tena usiku kama huo. Leo atoke pasi na kuitomiza. Inamaana atakuwa yupo tayari kuyapokea manyanyaso ya mwanamke mwenzie tena naye akiwa ni mrmbo pengine kuliko hata yeye. Maida alichoshwa na masakamo. “kaka Chriss utanisamehe, leo lazima nitimize azma yangu niliyo iazimia toka nipo chumbani kwangu” pengine labda binti huyo alisema hivyo moyoni mwake. “kak Chriss nadhani unayajua maisha tunayoishi humu ndani si ya kumruhusu mtoto wa kike kutoka, mimi nitaipunguzia wapi mihemko yangu? Mwanaume ni wewe tu humu ndani Chriss jakuna mwingine na ndiyo maana nimekuja kwako. Au simfikii Salome kwa uzuri na urembo au labda ni nini haswa, hebu niangalie. nina kila sifa please Chriss i’m tired” aliamua kulalamika kabisa Maida huku akijigeuza na kujiringisha mbele ya mwnaume huyo ili tu kumunesha Chriss kuwa hata yeye ni mwanamke na anakila sifa ya urembo aliosusiwa na mola wake na wala si wakichanganyia na madawa ya kichina. Chriss alishusha pumzi nzito sana na kubaki hoi. alishindwa kujua afanye nini kati ya kuendelea na msimamo wake wa kutomkubalia binti huyo au amkubalie. Je, akimkubalia si ndiyo mwanzo wa kutambiana maana kila mmoja atakuwa nacho cha kumtmbia mwenzake. Na akimkatalia, Maida anaweza akachoshwa zaidi na kejeli za Salome mwishowe akaamua kumwambia shangazi na akimwambia shangazi, inamaana na mjomba naye atajua. “ooph! My god please help me, naelekea kichanganyikiwa sasa kwa hili” aliwaza Chriss. “lakini hata Maida ni mzuri sana na anaumbo huyu mtoto. naweza kufanya anachotaka kwani si mara moja tu” alijishauri zaidi kuhusu hilo jambo. Macho yake yaliusawiri mwili wa msichana huyo uliostiriwa na upande wa khanga tu tena iliyo nyepesi kabisa. Pumzi zikamshuka zaidi. “anakifua kizuri mno, macho yake yananifanya nikose kabisa ujasiri wa kumkatalia. Hapana Mungu wangu niepushie hili jambo siko radhi kufanya mapenzi na huyu msichana. sitaki kabisa kushiriki kitanda na huyu binti nisaidie Mungu wangu” hakuwa na msimamo thabiti Chriss, moyo wake ulishaingiwa na tamaa lakini pia akitaka kushindana nayo. Ni kama alichelewa kwani alisahau kuwa aiyachaye kweli huirejea. Moyo wake ulishajenga vyumba viwili tofauti vilivyokuwa vikishindana nguvu. Lakini sikuzote kweli itabaki kweli na uwongo daima hautpata nafasi ya milele katikati ya ukweli. Hadi kufikia hapo tayari ari ya Chriss kumtamani Maida ilishajidhihirisha waziwazi kilichobaki ni kujikaza kisabuni tu. Na ndiyo maana alikuwa akimuomba Mungu wake amuepushe na jambo hilo. Ukweli ni kwamba dhambi yashinda imani tepetevu na ili uishinde dhambi basi huna budi kuwa na imani thabiti. Na shetani siku zote huibomoa ngome yenye imani mbovu kwa wepesi zaidi kama kulivunja kwa ugoko bua la Uwele kama alivyofanya kwa Chriss. Shetani hakucheza mbali hapo hata mara moja na Shetani ni rahisi kumvaa mwanamke kuliko mwanaume. Maida alishapandwa na pepo la ngono bila yeye mwenyewe kujijua. Ibilisi ndiye aliyekuwa akiiongoza akili ya Maida kwa majira hayo na alishajua cha kufanya ili kuimaliza kabisa ngome mbovu ya uvumilivu kwa kijana huyo. Maida alililegeza jicho lake huku akijitafuna kucha zake za vidoleni lakini kubwa zaidi na lililomstajaabisha Chrisss, ni pale nguo ya msichana huyo ilipotoka mwilini na kudondoka sakafuni na kumuacha binti huyo akiwa mtupu wa ngozi. Macho yalimtoka Chriss na midomo kumcheza vibaya mno. Hakuamini hicho alcohol I ob mbele ya macho yake ni kweli kinamtokea au ni ndoto za asubuhi. “Ma….ma….Maida!!” aliita kwa kitetemeshi kikubwa sana. Macho yake yakakodoka ilipo sehemu adimu ya msichana huyo, funda la mate likapita kooni bila matarajio. Alipoyarudisha kifuani hapo ndipo alipokosa nguvu kabisa, sehemu zake za siri zikanyanyuka na kumpa habari kuwa zimehisi hali ya hatari na ziko tayari kwa mashambulizi hata ya kushtukiza. Moyo wa Maida ukatabasamu kwa furaha kubwa kwani alama ya ushindi ilishajichora dhahiri. “acha kushangaa wewe, ni wakati wako sasa kumuonesha kuwa hata wewe umezaliwa” sauti hiyo kutoka moyoni mwa Maida na aliisikia yeye mwenyewe tu na kujikuta akiivuta miguu yake ili kuukabidhi mwili huo kwa mwanaume wa kwanza tangu analiona jua la dunia hii. “ayasemayo Maida ni kweli tupu, kwa maisha ya jumba hili na kwa jinsi wanavyoishi ki-geti kali, ukizingatia na sifa anazopewa kuhusu mimi, ni lazima ashindwe kujizuia” aliwaza hivyo Chriss huku akimpokea m
binti huyo mbichi kwa kumbatio mwanana.
…………..

“Nilifanya nae kweli mapenzi lakini chanzo cha yote ni wewe” alisema Chriss mara baada ya kukumbuka kila kitu kilichopita na yote ambayo alifanya na Maida. Roho ilimuuma sana Salome, alihisi kama kuna kitu kinautafuna moyo wake na kuutema kwa jinsi ambavyo alikuwa akiumia. “ni kweli Chriss ninamakosa lakini siyo kwa hukumu hiyo, inamaana umeshindwa hata kujizuia my love? No, i don’t belive that Chriss umenikosea sana” alilalamika sana Salome hakutegemea kutokea kwa jambo hilo kiwepesi namna hiyo. Chriss alimuangalia msichana huyo kwa kina na kisha akakifungua kinywa chake tena. “naomba unisikilize kwa umakini mkubwa we binti, ulishindwa kulifanya hili liwe siri baina yangu mimi na wewe ukaamua kumwambia kila kitu Maida. Ukitegemea kwa mtoto wa kike kama yeye angekwenda wapi kumalizia haja zake na ilhali mnajua mazingira mnayoishi ee………………!!”
“hata kama siyo kwa namna hiyo Chriss, mimi siyo wa kuchangia penzi na Maida” Salome alimkatisha Chriss na kusema maneno hayo kwa sauti ya juu sana tena alikuwa akiongea huku machozi yakianza kujichora machoni mwake. “hujui ulisemalo na laiti ungejua, ungekwisha kuufunga mdomo wako” alisema namna hiyo Chriss na kumfanya Salome kuganda kwa muda mithili ya mtu aliyepigwa na shock ya umeme. “kivipi?” akauliza. “msinifanye mimi ni mashine yenu ya ngono. na kuanzia sasa ninavyoongea naomba usinikaribie na usahau kabisa kama ulikuwa na mimi kimapenzi”
“eeeeenh!!?” Salome alishtuka, macho yalimtoka kama kapatwa na taarifa mbaya, ulikuwa ni mshtuko mkubwa sana na wala hakuutarajia kabisa. Chriss please he…..he…..hebu acha utani” akasema sasa akiwa makini kabisa kumsikiliza. “nimesema hivi, nisikilize kwa makini tafadhali, sihitaji mahusiano na wewe tena na si wewe tu hata huyo Maida. naona mnanichezea share, nimefunga mahusiano na nyinyi na naomba uondoke hapa mbele yangu”
“Chriss are you……..!”
“I said i do not want, tokaa! you are so stupid, you can not make me your sex machine” alifoka Chriss akionesha dhahiri hakuhitaji tena majadiliano juu ya suala hilo. Salome aliangua kilio kizito sana, machozi yalimtiririka mashavuni mwake kama mifererji ya maji. yalikuwa ni maamuzi magumu sana alitamani kumuomba msamaha mwanaume huyo lakini tayari alishachelewa, Chriss alikwisha kuondoka eneo hilo na kumuacha mwenyewe. “i swear Maida utalipa hili, sikuachi hata kidogo lazima uniambie ulichompa huyu mwanaume. Chriss hawezi kuwa hivi lazima atakuwa amefanya hivi ili aendelee na wewe” aliwaza Salome na kujikuta akifika mbali zaidi. Hakujua nini sababu hasa ya mwanaume huyo kuwa hivyo bali fikra zake zote alizipeleka kwa Maida.

Chriss alipotoka pale bustanini, moja kwa mja alielekea ndani. alipofika sebuleni alimkuta shangazi yake akiwa anacheza na Mery. Chriss alimtazama sana shangazi huyo jinsi alivyo na upendo mkubwa kwa watoto japo yeye hakubahatika kuwa na mtoto lakini hakuwa akiwachukia watoto. Hata Mery hakuwa mwanae wa kumzaa alikuwa ni mtoto wa mdogo wake wa kike ambaye pia alipoteza maisha yeye na mumewe kwa ajali kama walivyokufa wazazi wa Chriss na shangazi huyo kuamua kumlea mtoto huyo. “itakuwaje kama nitamuuzi shangazi, kwanini nionekane mkosaji kisa mapenzi” aliwaza Chriss akiwa hapo hapo kwenye kona iliyotenganisha chumba chake na sebule. “Salome nakuchukia, umenikosea sana kwa hili” alizidi kujisononesha kijana huyo. Donge zito likamkaa kooni na kufuatiwa na kilio cha kwikwi. Ni kweli alikuwa akimpenda sana binti huyo lakini kwa jambo hilo alikosa kabisa jinsi. alikimbilia chumbani kwake huku akiuzuia mdomo wake kwa kiganja cha mkono ili asiweze kutoa sauti. aliubamiza mlango kwa nguvu hadi anti huyo akasikia hali iliyopelekea kusitisha kidogo kwa muda mchezo aliokuwa akiucheza na Mery sebuleni hapo. alijitupa kitandani Chriss na kukiruhusu kilio hicho kilichoamsha hisia kubwa za maumivu.

SEHEMU MOJA KATIKATI YA MJI WA MOROGORO.
“Boss nafikiri ni muda muafaka wa kikao kama alivyoagiza Mkuu” binti mmoja mrembo, mrefu kwenda juu, asiyemwembamba wala mnene, mwenye miguu minene na pua ya kisomali na nywele nyeusi tii! Akaongezewa na weupe wa asili akiwa katika vazi ghali kabisa. alikuwa amesimama mbele ya meza kubwa ya mninga iliyokaliwa na kompyuta mpakato akimfikishia ujumbe huo mtu huyo aliyemuita boss huku akilitua faili fulani mezani hapo. Ilikuwa ni ofisi kubwa na nzuri iliyo ndani ya kampuni kubwa sana inayojihusisha na masuala ya utalii. ambayo ilikuwa imebeba jina la SAFARIES COMPANY (S.C). Ni kampuni kubwa ambayo shughuli zake tambulishi ni upokeaji na usafirishaji watalii wa ndani na wa nje kutokea hapo Morogoro mjini hadi zilipo mbuga za wanyama na vivutio mbalimbali vinavyopatikana ndani ya mkoa huo uliozunguukwa na safu ya milima ya URUGURU. “Suzane!” aliita mtu huyo anayefahamika kwa jina la Boss kasha akasema “najua unajua cha kujibu sitegemei uniangushe”
“najua Boss toa shaka kabisa kuhusu hilo lakini hata wewe si unaweza kujibu baadhi ya mambo au ni mimi tu?” alijibu Suzane katibu muktasi wa Boss huyo na kuuliza swali. “tunategemeana” akaongea Boss, Suzane akajibu sawa na kutoka ofisini humo akimuacha Boss akijiandaa. Ulikuwa ni ukimbi mkubwa sana uliopo flow ya juu ya jingo hilo kubwa. kulikuwa na meza kubwa ya thamani sana yenye umbo la mstatili iliyokuwa imezunguukwa na watu saba waliotakata. Fedha ilijitangaza yenyewe mbele ya watu hao hakukuonekana hata mmoja aliyechoka mahala hapo. kila mmoja alikuwa na hadhi ya kuitwa Boss. kati ya viti hivyo saba vilivyopangwa kufuatana na meza hiyo ya mstatili yaani vitatu kushoto na vitatu kulia huku kimoja kikiwa kimekaa kichwani mwa meza hiyo, sita vilikuwa vimebeba watu walionyuka suti za rangi nyeusi safi lakini huyu wa saba pekee ndiye aliyekuwa tofauti. yeye alikuwa ndani ya suti ya kijivu iliyomkaa vizuri mwilini mwake. “mhg, mhg!” yule bwana aliyevaa suti ya rangi ya kijivu alijikohoza kidogo kuliweka koo lake sawa kabla ya kukifungua kikao hicho rasmi. “habariza muda huu ndugu zangu? Natumai wote mko hapa kujua nini kinachokwenda kuzungumzwa. mimi sina mengi sana ya kuzungumza ila kila kitu atatueleza Mkuu” alipokwisha kusema hayo mtu huyo ambaye alifahamika kwa jina la Boss kama mimi na wewe tunavyomfahamu, sauti ya mkoromo ikasikika kutoka kwenye spika maalumu zilizofungwa kitaalamu sana ndani ya ukumbi huo. mara zikaanza kusikika sauti za mhemo kisha sauti ya mtu anayezungumza ikarindima mahali hapo. “tuko katika hali mbaya sana kiuchumi na ninyi mnajua, kampuni inaangamia. Gharam zinazotumika ni kubwa kuliko faida inayoingia. Joesan!” sauti hiyo nzito iliunguruma kwa maelezo machache yasiyo na salamu mwisho ikalitaja jina la Joesan. “naam Mkuu!” yule mtu anayefahamika kwa jina la Boss akaitika kwa sauti ya chini kidogo lakini iliyoweza kupenya vema kwenye masikio ya Mkuu. “kampuni ikifa jua umemruhusu Iziraili andoke na uhai wako, utakufa kweli Joesan uzembe ni wako. Tunashindwa kupokea oder kubwa na za pesa nyingi za kunawirisha utajiri wetu sababu yako. SEX MACHINE alikufa kwa uzembe wako.” ilisema kwa nguvu sana sauti hiyo, mtu huyo alionekana kuwa na ghadhabu kubwa huko aliko. Joesan alikuwa kimya akiisikiliza sauti hiyo kwa umakini mkubwa. Hofu ikauvaa moyo wake, afanye nini hapo. alihema kwa nguvu nyingi baada ya sauti hiyo kuweka tuo. “najua Mkuu!” akaificha hofu mbele ya watu wanaomtazama na walio chini yake kiutendaji na kujikaka mua kusema. “nini utetezi wako sasa, unaliambia nini jopo la watu wanaokutegemea hapo ulipo?” iliuliuliza sauti hiyo. Joesan alitulia kwa muda bila kutoa utetezi wowote. Ukumbi ule ulikuwa kimya sana. Wote walikuwa wakimtazama yeye. Joesan aliona kama jumba bovu linamuangukia na hakuna kizuizi chochote cha kuweza kulizuia. afanye nini sasa? Hilo likabaki kuwa swali gumu ubongoni mwake. Alichokifanya kwa wakati huo ni kuyainua macho yake na kumtazama Suzane yeye alishachanganyikiwa tayari. Hakujua nini cha kulieleza jopo hilo, alitaitika haswa. Suzane aliiona hali hiyo akajua kuwa bosi wake yupo katika hali mbaya mno, akawatazama wote waliopo mbele yake kasha kushotoni kwake, akashusha pumzi ndefu iliyowafanya watu wote pale kugeuka na kumtazama. Mtoto wa kike huyo akabeba ujasiri na kusema. “tupe siku tatu mkuu naa………….!” akakwama na kumgeukia bosi wake aliyepatwa na mshtuko wa waziwazi kabisa kasha akamalizia “nadhani tutalishughulikia hilo na kabla ya siku ya nne Sex machine atakuwa mbele yako” akaweka tuo. Miguno ikasikika mule ndani kasha ukimya tena. Sauti ya Mkuu ikarindima. “mmejifunga wenyewe that is bracket mkienda kinyume mnajua nini kitawakuta. Nimefunga mjadala na nyinyi sasa nageukia kwako Mahmood. Vipi Mahmood, hujaniambia chochote kuhusu mamilioni ya pesa yaliyopotea mikononi mwako kwa uzembe tu?” watu wote sita pale mezani wakageuka na kumtazama mtu huyo mwenye asili ya kiarabu. Mahmood hakujibu kitu alibaki kimya tu “unachochote cha kuniambia sasa?” Mahmood alishtuka baada ya sauti hiyo kumgutusha. “Mkuu nimejitahidi sana lakini sijafanikiwa kuwapata wale wavamizi walioondoka na ile pesa”
“kwa hiyo?” akapokea swali jingine. “nisamehe mkuu ni makosa yangu” akajitetea. “ha ha ha haaa!” cheko zito la fedha likatikisa ukumbi huo, Mahmood akashtuka na wote mule ndani wakajua nini kitakachokwenda kumkuta Mahmood muda mchache ujao. Kicheko cha mtu huyo wanaemuita mkuu, siku zote walikitafsiri ni kama hasira zake na ndivyo hivyo. Mara nyingi linapoibuka jambo la kumchukiza yeye hucheka tu lakini madhara yake huwa ni makubwa. Hivyo walijua dhahiri nini kinachokwenda kujiri mahali hapo. “Mahmood, kirahisi rahisi tu kama unamuomba mkeo unyumba. Bloodl foolish” ikasema sauti hiyo na mara hiyohiyo ghafla, sauti ndogo ya maumivu ikasikika. watu hao walipogeuka na kumuangalia Mahmood, walimuona akiwa ameegamia kiti chake akiwa na alama ya nyota kwenye paji la uso. Halikuwa jambo la kushangaza na hali hiyo walisha izoea. “milioni mia moja na hamsini halafu unasema nikusamehe. Nani kasema kuwa ninasamehe kipumbavu kwenye pesa. Amenitia hasara sana huyo shoga, mzigo amekosa ………………………..

na pesa zimekwenda mbaya zaidi amesababisha vifo vya vijana wangu wawili. Hivi mnajua hii kazi ni ya kuchambua mchicha eenh! Inabidi muwe ngangari kwenye kampuni hii na sitawavumilia watu wazembe tena. Mtakufa.” ikamaliza sauti hiyo kisha mkoromo wa spika ukafuatia na kufuatiwa na ukimya kuashiria kuwa mkuu huyo alishakata mawasiliano. minong’ono midogo midogo ikaibuka mahali hapo huku vijana maalumu wakihangaika na kuutoa mwili wa Mahmood eneo hilo. Joesan na Suzane wakaondoka na kuwaacha wazee hao wakizidi king’atana masikio. “kwanini huyu binti anajipendekeza sana kwa Joesan?” aliuliza mzee mmoja wakiwa wawili baada ya kutoka kwenye ule ukumbi wa mikutano. “Mgobo, Suzane ni lazima ampigie kifua Joesan, kwani yule ni bosi wake na anafanya kazi chini yake tukiachilia mbali ukaribu walionao” akazungumza mzee wa pili. “naona kama anajipalia makaa mwenyewe, Mkuu si mtu mzuri kabisa ujue?”
“haijalishi mgobo na hiyo ni juu yao tunachotakiwa sisi ni kuomba hiyo mashine ya ngono ipatikane bila hivyo ajira zetu zipo mashakani maana kampuni yetu ipo katika hatua mbaya sana, sasa hii ni hatari mno”
“haya ndiyo matatizo ya kuongozwa na kijana mdogo lazima aende kinyume tu” walizidi kunong’ona wazee hao kasha kila mmoja akapita njia yake na kuelekea kunako mhusu. Joesan baada ya kuingia ofisini kwake akiwa na Suzane, alijitupa kitini mwake na mwanadada huyo naye akajitwalia nafasi yake. Joesan akafikiri kwa muda kisha akavuta pumzi nyingi ndani ya mapafu yake na kuziachia kwa mkupuo, akasema. “umefanya nini sasa Suzane, kile ulichokisema pale kumbe ndicho ulichokuwa umekipanga?”
“ulitaka nisemeje Boss, tulikuwa hatuna utetezi mwingine pale na niliona kuwa hukuwa na njia nyingine Boss. unafikiri ningetoa wazo gani ambalo Mkuu angeliafiki. wewe mwenyewe nadhani umeona kilichomtokea yule mwarabu. Hakukuwa na cha kujibu Boss.” alisema Suzane. Joesan alpingana na maneno ya mwana dada huyo hakumuelewa hata kidogo. Suzane kutoa odder kuwa Sex Machine atapatikana ndani ya siku tatu, hilo lilikuwa ni jambo gumu kabisa na alishindwa kuelewa mategemeo mazima ya mwanadada huyo. “pamoja na hayo lakini si kwa jibu lile, pale tumeshajitia kitanzi wenyewe Suzane. Ok, haya tunafanyaje sasa maana hata sielewi.” akalalamika Joesan. Alichanganyikiwa haswa. “sikiliza Joesan” alizungumza binti huyo na kumtazama bosi wake usoni, akaendelea. “kwa sasa hauko sawa Boss hata kama tutaongea, hatutafikia muafaka mzuri, chakufanya mimi nitakuja nyumbani kwako jioni na ni lazima hili tulipatie ufumbuzi kabla ya siku ya kesho. Tutaongea kwa utulivu mkubwa”
“kabla ya kesho!?” Joesan akahoji kwa mshangao. “ndiyo, ukumbuke ni kama tumesaliwa na siku mbili pekee?”
“najua lakini nashangaa wewe kusema kabla ya kesho tuwe tumepata ufumbuzi wa hili. Unajua unanichanganya sana Suzane, kwani unampango gani wewe mwanamke?” akahoji tena Joesan bado alikuwa katika mkanganyiko mkubwa wa mambo na hakumuelewa huyo binti kabisa. “acha papara Boss najua nini tutafanya” akajibu. Joesan aliurudisha mgongo wake nyuma ya kiti na kuegamia. akapiga kite cha hasira na uchovu kasha akavuta faili fulani pale mezani akachukua na kalamu na kukaa katika mkao wa kutaka kuandika jambo lakini hakuandika chochote, akaishia kuizunguusha ile kalamu vidoleni mwake na kuirudisha kwenye kopo maalumu lililojaa kalamu za rangi mbalimbali akalifunga lile faili. akatafakari hili na lile kwa haraka haraka mara mlio wa simu ukamshtua. akaipokea na kuiweka sikioni. “nimemaliza mihangaiko sasa nafikiri leo ni nafasi nzuri ya mimi na wewe kukutana, nipo Morogoro Hoteli.” ilisema sauti hiyo kutoka upande wa pili wa simu hiyo. “ok, kaka nakuwa hapo sasa hivi” akaikata na kuitia kwenye mfuko wa koti lake na kusimama. alilinyakuwa faili fulani akalifukia kwenye mtoto wa meza kisha akamgeukia Suzane. “naomba umalize kila kitu kinachonihusu mimi kikazi, ikiwa kuna mtu atanihitaji utamwambia anitafute kwenye namba yangu binafsi. Natoka kidogo na sitarudi tena, tutaonana jioni mimi na wewe” Suzane akajibu sawa. bwana huyo akatoka hadi ilipo Toyota prado nyeusi, akapakia garini humo na kuondoka. Alifika Morogoro hoteli akapitiliza ndani kabisa ya hoteli hiyo kubwa mjini hapo. Alifika hadi mahali alipoelekezwa na kumkuta mwenyeji wake akiwa katulia kitini akipata kinywaji ghali kabisa. Mbele yake kukiwa na kiti kimoja ambacho ndicho alichokitwaa Joesan
“habari za masiku tele bwana Babu Ally?” ndivyo walivyoanza maongezi yao namna hiyo. “nzuri tu ndugu yangu, ni siku nyingi kweli maana ni muda mrefu hatujaonana. vipi yule kijana wako ni mkubwa sana sasa hivi?”
“aah! Unamzungumzia Chriss?”
“haswaa huyohuyo”
“ni mkubwa sasa hata masomo amemaliza, yupo nyumbani kwa sasa” alisema Joesan. “ndiyo, vipi wife naye anaendeleaje” aliuliza Babu Ally na Joesan akajibu “my wife keeps well na ni wa afya tele kabisa shida hakuna.” wakati wakiwa wanaendelea na salamu za kawaida, muhudumu akafika mahali hapo na kuchukua oda na kuondoka akiwaacha mabwana hao wakiendelea kupepeta domo. “nimetoka ughaibuni juzi na huu ni mguu wako bwana Joesan maana huu ndiyo ule muda tulioupanga wa mimi na wewe kukutana. Unajua ni muda sasa tangu biashara yetu isimame, naona tuna kila sababu sasa ya kuirudisha tena au unasemaje Joesan?” akaacha swali Babu Ally. Wakati Joesan akiwa anafikiria kulijibu akaongeza “hatukuwa na mawasiliano mazuri hapa katikati kiasi kwamba hatukuweza kuzungumzia mustakabali mzima wa biashara zetu. Tutazifanya kwa namna gani Joesan nadhani unajua kuwa utajiri wetu unategemea hizi biashara kwa asilimia kubwa?”
“Babu Ally kakaa, najua sana hilo na hivi unavyoniona siko sawa ndugu yangu. huko ofisini ni moto” akanyamaza kidogo, akameza mate na kuendelea “Mkuu amenijia juu vibaya sana. Si unajua yule Sex Machine alikufa katika harakati za kuupigania mzigo wetu huko Australia?” aliuliza Joesan. “ndiyo” Babu Ally” akajibu. “sasa nimepewa siku tatu tu za kumrejesha Sex Machine ndani ya kampuni.”
“come on Joesan! Wewe!!?” alishtuka Babu Ally na kusema “sasa wewe utampatia wapi huyo Sex Machine ndugu yangu lakini kwanini ameamua kukufanyia hivyo sasa?”
“hapa ninapozungumza haya hata sielewi ndugu yangu lakini Mkuu hana kosa kwa hili, kwasababu hata yeye anachong’ang’ania ni kwamba Sex Machine alikufa nje ya kazi za kampuni naa………!”
“hebu ngoja kidogo muhudumu analeta chakula” Babu Ally akamkatisha na kuifanya sentensi yake kuelea hewani. Chakula kikawekwa mezani kila mmoja akijiweka mkao wa kula huku wakiendelea na maongezi yao. “na isingekuwa urafiki wetu kati yangu na Mkuu……….!”
“wee! Angekwisha kukuuwa zamani aisee.” alidakia Babu Ally. “sasa tunafanyaje maana tunataka kuifanya hii biashara kitaalamu zaidi. nimetafuta watu wa kuwatumia lakini sioni kama watafiti kwemye hili” aliongeza Babu Ally. “achana na hao watu kwanza na naomba huu mjadala tuufunge, acha mimi nikatafakari kwa kina nyumbani kesho nitakuwa na jibu zuri la kukupa. kwasasa ni uwongo nimechanganyikiwa sana acha niende nyumbani nikapumzike.” alizungumza Joesan. “vpi chakula naona umegusa tu kaka”
“utanisamehe kaka sioni kama hicho chakula kina ladha wacha niende nyumbani nikajipe muda mwingi wa kufikiria na nijue nini cha kufanya” akasema akaondoka. Babu Ally alitikisa kichwa kwa masikitiko makubwa. Alimhurumia sana jamaa yake huyo lakini hakuwa na jinsi ya kufanya na aliogopa sana kujihusisha na hilo jambo japo kwa namna moja au nyingine, upotevu wa Sex Machine unamhusu na wote walishiriki. Shughuli ya huyo mtu anayejiita mkuu alijua vilivyo. “utanisamehe Joesan kwa hili, bado napenda kuishi” ndivyo alivyokuwa akiwaza Babu Ally. Joesan alitoka hadi nje ya ile hoteli na kujiingiza garini mwake, alifunga mlango wa gari vizuri pamoja na kuufunga mkanda kasha akajilaza kwenye kiti hicho cha dereva akiweka hili na kupangua lile kabla ya kulirudisha hili. Baada ya muda kidogo alinyanyuka na kuwasha gari yake hiyo, ila kabla ya kuliondoa, aliwasha redio na kuutafuta wimbo wa mwanamama Celine Dion. wimbo unaokwenda kwa jina la ‘That the way It is’. ambao aliamini kidogo unaweza kuyapeperusha mawazo yake kwa muda huo.
“When you want it the most,
there’s no easy way out,
when your heart’s left in doubt” ndivyo alivyokuwa akiufuatisha wimbo huo huku akitngisha kichwa kidogo kidogo. Wimbo huo ulimfanya ayasahau mawazo lukuki yaliyokuwa kichwani mwake.
“When you question me for a simple answer,
i don’t know what to say,
no but it’s plain to see,
if we stick together. Your gonna find the way yeah”
Kwakweli wimbo huo ulimpeleka mbali kihisia, ulimfariji kwa kiasi fulani hadi nyumbani kwake akapaona karibu sana. alifika nyumbani kwake bila matarajio. Aliibonyeza kitufe fulani kwenye rimot na lango kubwa la jingo hilo likafunguka. lilikuwa ni jingo kubwa na la thamani kweli ambalo limejengwa kisasa kabisa.

Joesan ndiye aliyekuwa mjomba wa Chriss na alikuwa ni mtu mwenye utajiri mkubwa sana mjini hapo. Alikuwa akimiliki majumba kadhaa mjini na biashara kubwa mno. Hakuna asiyemjua Joesan, alifahamika kila kona na alikuwa ni mtu mwenye kumsadia kila anayehitaji msaada. Hilo likapelekea jina lake kukuwa siku hadi siku. Alimiliki mwili mkubwa uliobeba kitambi cha wastani na kifua kipana. Huyu ndiye hasa aliyeyafikisha maisha ya Chriss hadi kufikia hapo alipo na alikuwa akimpenda kijana huyo kupita kiasi. Yeye ndiye aliyebeba historia nzima ya maisha ya kijana huyo. Aliufunga mlango wa gari vizuri na kupiga hatua ndogo ndogo kuelekea ndani ya jumba hilo na lenye thamani ya juu mno waswahili wenyewe huita Villa. Aliingia ndani na kumkuta mkewe akiwa sebuleni na Mery wakiwa wako bussy na Tv wakifuatilia filamu ya kibongo. Mery aliruka kutoka mahali alipokaa na kumrukia Joesan. “Ankoo huyoo! Shikamoo Anko?” alisalimia Mery akiwa yupo mikononi mwa anko wake akining’inia baada ya anko wake huyo kumnyakuwa na kumbeba. “marahaba anko hujambo?”………….

“sijambo anko”
“ok, vizuri, haya endelea kuangalia muvi sawa anko?” Joesan alimwambia mtoto huyo huku akimshusha binti huyo mdogo. Akamgeukia mkewe. “vipi mmeshinda salama?”
“ndiyo ni salama tu sijui wewe huko kazini?” akarudisha salamu anti martha. kazini si kubaya sana ila bado hakujatulia, vipi mbona mko wenyewe wengine wako wapi namaanisha Chriss maana hao mabinti si sana kukaa hapa muda huu?” akauliza Joesan baada ya kujuzana hali na mkewe. “tokea alivyotoka bustanini kufanya usafi, ameishia kujifungia tu huko chumbani kwake sasa sijajua ni kipi kilichomsibu au labda atakuwa amelala”
“siyo Chriss!” alidakia Joesan. “sasa anafanyaje maana ni muda sana eti” alisema tena anti Martha. “hebu ngoja nikamuangalie chumbani kwake” akaongea Joesan na kuelekea kilipo chumba cha Chriss lakini kabla hajakigusa kitasa cha mlango, akasikia kelele za majibizano kutokea upande wa jikoni. zilikuwa ni kelele haswa. “mh! Kuna nini tena mbona kelele hivi” alijiuliza Joesan. “hebu ngoja” akajishauri na kuacha zoezi la kufungua mlango wa chumba cha Chriss na kuelekea zinapotokea sauti hizo. “nimekwambiaje, kuanzia sasa basi kama hujui ndiyo ujue upo hapo bibi wewe. Chriss yuko hapa tenaa! Nilikuwa sijajua raha unazozipata kutoka kwa mwanaume yule. Sasa kwa taarifa yako ameshaukubali mziki wangu. Halafu sijakuambia eenh! Anasema hivi, hawezi kuendelea na wewe aliyekukuta umesha haribiwa njia, mtoto kanikuta sild upo hapo?” yalikuwa ni maneno ya maida akimtambia Salome. yalikuwa ni maneno yenye kuudhi sana, kama ni vijembe basi hivyo vilikuwa ni vijembe haswa. Salome alikuwa kafura kwa hasira vibaya sana hapo sasa aliamini kweli hana chake kwa Chriss. “sijui hata nikufanye nini wewe malaya nakuchukia sana Maida, sikutegemea kama ungekuja kunigeuka namna hii Hivi………..!”
“tee!” Maida alimkatisha Salome “mimi na wewe malaya nani? Nakuuliza hivi, mimi na wewe malaya ni nani? Malaya ni wewe uliyeliwa mtaani. mimi Chriss amenikuta mzima na bikira yangu, wewe je? Na kwa taarifa yako bibi wewe, Chriss akiwa na hamu tu hapa” Maida akakipigapiga kifua chake kuashiria kuwa Chriss ndipo anapolala. Akaendelea kutema shombo mtoto huyo. “na simuachi mwanaume yule hata ukaroge. Mwanaume dakika arobaini na zaidi hatoki kifuani utadhani katokea milimani au kala miti shamba!” alikuwa akitamba kweli kwa maneno mtoto huyo. Salome hakutia neno hata moja na si kama hakupenda kusema bali hakujua ni neno gani linafaa kumwambia Maida hadi limuingie. kwa hapo ni wazi Salome alikiri kuwa amepatikana. Ni kweli Maida ana haki ya kujitapa maana tayari Chriss alishauonja utamu wake. Tangu siku hiyo ya kwanza tangu alipomruhusu mwanaume huyo auchungulie mwili wake na kula vile vilivyofichwa, ambapo ilikuwa ni kama wiki mbili zilizopita. Salome hakuonekana tena kumfuata Maida nyakati za usiku na kwenda kumtambia hali hiyo ikajenga maswali mengi sana kichwani mwa msichana huyo. “Salome amekuwa kimya sana siku hizi, simuoni tena akija kunipa sifa za Chriss sijui ni kwa sababu gani?” ndivyo alivyokuwa akijiuliza siku moja Maida. “au hakuna mitindo mipya siku hizi au amekuwa nini?” alijiuliza tena namna hiyo na kuachia tabasamu pana. Si kwamba alisema hivyo kwa kujua laa hasha! Ila kuna jambo alihisi. Huwenda labda mwenzake hapati nafasi kwa sababu muda wote yeye ndiyo yuko na mwanaume huyo. Salome aliuvunja kabisa utaratibu wake wa kwenda chumbani kwa Maida kila anapotoka kushuhulika na mwanaume huyo. Hali hii ndiyo iliyompa Maida nafasi kubwa ya kujiona yeye ni bora kuliko mwenzake. Kile kitendo cha kuja chumbani kwa Maida na kujitupa kitandani kujifanya amechoka kwa kusulubishwa na mwanaume huyo, ziliyeyuka kama Ubuge kwenye upepo wa kisulisuli. Maida hakutaka kujiaminisha moja kwa moja kisa tu kutomuona Salome chumbani kwake bali aliamua kwenda kumuuliza Chriss kabisa juu ya jambo hilo. Ndipo Chriss alipomwambia kwamba havutiwi na Salome hata kidogo kwanza alimkuta mweupe hana bikira hivyo mara nyingi amekuwa akimtolea mbavuni kila anapohitaji kukutana nae kimwili. Maida kwa kiburi akamfuata Salome usiku huo huo na kwenda kumuuliza sababu za kutomtambia usiku kila akitoka kufanya mapenzi na ni nini. Salome naye bila kufikiria akamueleza kila kitu akidhani anatengeneza au Maida angekwenda kumpigia kifua kumbe ndiyo alikuwa akizidi kumpa kichwa mwanadada huyo. Hapo kibao kikamgeukia. Maida akamwambia Salome waziwazi kuwa asijisumbue kwani kwa muda huo hakuwa na jipya tena mbele ya Chriss. Ameshamkamata na asitegemee kupata penzi la mwanaume huyo mwenye utamu wa aina yake, kisha akatoka chumbani humo na kumuacha mwenzake akiwa na maswali mengi ya kujiuliza. Na jambo hilo ndilo lililompa Salome msukumo mkubwa wa kumfuata Chriss kule bustanini alikokuwa akifanya usafi na kumuuliza. Malumbano yote hayo yaliyokuwa yakiendelea, yalikuwa yakisikiwa na kuonwa moja kwa moja na Joesan. Hakutia neno lolote alikaa mahali hapo akifuatilia majibizano hayo mwanzo mwisho hadi pale alipoona mabinti hao wanataka kupigana ndipo akajikohoza na kuwafafanya washtuke na kila mmoja kujifanya kama siyo yeye aliyekuwa akijibizana na mwenzake mahali hapo. Joesan alikunja sura na kuwatazama mabinti wale kwa muda na kuwasontea kidole. ” hili siyo danguro sitaki hizo kelele zenu na nikizisikia tena mtanieleza vizuri. Sitaki kusikia huo ujinga wenu tena sawa” Joesan aliwagombeza sana mabinti wale hadi wakaogopa na kuwa wadogo. Haikuwahi kutokea hata siku moja kwa bosi wao kuwa mkali kiasi hicho. Joesan aliondoka hapo akiwa ameghadhibika sana alielekea chumbani kwake akiwa na lengo la kwenda kujipumzisha. Alijitupa kitandani na kujilaza chali, alitulia kitandani hapo kwa muda kidogo akitafakari hili na lile, lile na hili. “hawa mabinti siwaelewi kabisa, kwanini hawaiheshimu nyumba hii, kwanini wanaifanya nyumba hii ni sehemu ya majibizano ya kijnga jinga, wangejua nilivyo vurugwa wala wasingeleta uwenda wazimu wao. Hii hali ni mpya sana na haijawahi kutokea” aliwaza joesan akiwa kitandani hapo amejilaza kiwiliwili lakini upande wa miguu wote ukiwa nje ya kitanda. “Chriss amefikia hatua hii ya kugombaniwa (akacheka kidogo) ameitoa wapi hii tabia ya kutembea na wanawake wawili kwa wakati mmoja tena wakiwa ndani ya nyumba moja. Hayajui mapenzi huyu kijana, hajui mapenzi yanauwa, yameuwa, yalishauwa na yanaendelea kuuwa. Hajui kuwa mapenzi ni hatari sana. Hapana lazima nimuweke chini niseme nae hii ni hatari sana na inaweza kuleta balaa” Joesan alizidi kumfikiria kijana wake na kwa muda huo alisahau kabisa kwenda kumgongea kijana huyo chumbani kwake ili kuweza kujua nini sababu za kujifungia hadi majira hayo ya jioni ilhali si kawaida yake. “amekuwa hodari sana huyu kijana, dakika arobaini na tano mtu bado yuko maungoni mwa mtu” aliongea Joesan baada ya kukumbuka maneno ya Maida kuwa hawezi kumuacha Chriss kwasababu anajua kumfikisha safari zake ipasavyo na huwa anatumia muda mrefu sana awapo kifuani kwake. “Chriss!” aliita Joesan kwa sauti ya chini na kukumbuka kauli ya mkuu wake. “mmejifungia wenyewe, that is bracket”
“huwenda Chriss…………ooh! no, siwezi kufanya hivi. Kwanini sasa nawaza ujinga namna hii, hapana, hapana, hapanaaaa!” alipiga kelele kubwa sana. hakutaka wazo la kumfanya Chriss kuwa Sex Machine limkae kichwani mwake. lilikuwa ni wazo baya sana. kwnini wazo hilo lilimjia Joesan, huwenda labda ni sababu ya kuchanganyikiwa na hakujua ni wapi atampata huyo Sex Machine. Lakini pamoja na hayo, wazo hilo alipingana nalo kwa kiasi kikubwa sana. alipinga na hakutaka limzoee kabisa. Chumba hicho akakiona kama kinamshangaa kwa wazo la kipumbavu lililotaka kumjia. Hakupenda kuwepo hapo tena. Kila alichokitazama chumbani mule alikionea haya. Alinyanyuka Joesan na kutoka mule ndani ikiwa sasa imetimu saa 05:30 za jioni. Alikwenda hadi bustanini na kujituliza pembezoni kabisa mwa bwawa la kuogelea. “ninamuda mrefu sana sijafika mahala hapa, kazi hizi zinanifanya kuwa bussy kila wakati” akawaza. “leo imenilazimu kufika hapa bila kutarajia mawazo yamenizidi sana sielewi nifanye nini mimi” aliwaza tena bwana huyo. Baada ya muda akahisi mikono laini ikimkumbatia kutokea nyuma na kukipapasa kifua chake kilichochanika kutokana na mazoezi mazito. “mume wangu leo ni maajabu sana kufika mahali hapa, si kawaida yako maana hata chakula umegoma kula leo, nini kimekupata my dear?” sauti mwororo ya Martha ikasikika kutokea nyuma ikimuuliza kwa utaratibu mkubwa. “hapana mke wangu ni u bussy tu wakazi hakuna kitu kingine” akazungumza Joesan. Martha alizunguuka kwa mbele na kumtazama vizuri mumewe huyo na kumuuliza “mbona kama kuna kitu unanificha honey, hata kukataa kula chakula changu leo ni ubize wa kazi?”
“mmh! Hapana mke wangu, unajua nilipata ofa leo. Rafiki yangu kutoka Marekani alinipigia simu leo wakati nipo kazini, akaniomba tukutane maeneo fukani hivi so nimekula vizuri tu na nimeshiba sana, usijali mke wangu pika chakula kizuri cha usiku na tutakula wote leo” akasema kwa utulivu Joesan huku akizichezea nywele za mke wake na kuyashikashika mashavu yake laini. Martha aliripuka kwa furaha baada ya mume wake kumwambia jambo hilo. alimisi sana kula pamoja na mumewe. ” waaooh! Nitafurahi sana kula pamoja leo mume wangu, nimemiss sana chakula cha pamoja”
“punguza ubize sweetie jamani unakuwaje hivyo hadi naumiss uwepo wako” alizidi kulalama Martha. “ni kazi mke wangu ndiyo inaniweka hivyo lakini hata mimi ninamiss sana uwepo wako karibu yangu, kiukweli nakosa tu jinsi lakini sina amani kabisa” akasema Joesan. “nakupenda sana honey wangu”
“nakupenda zaidi ya unavyonipenda marth…….!”
“wapenda nao hao naona mpo kwenye ubora wenu?” sauti hiyo ikawashtua na kuwatoa kwenye maongezi yao. “ooh! karibu sana Suzane” akakaribisha Joesan. “haa! Jamani Suzane, vibaya hivyo ukipotea ndiyo jiii! Unapotea kabisa jamani!” alisema Martha huku akimgeukia Suzane, alimlaumu sana, akaendelea “inamaana bosi wako asipokuwepo nyumbani na wewe huonekani, leo yupo basi na wewe unaonekana vibaya hivyo ujue”
“unanilaumu bure tu shosti ni kweli nastahili lawama hizo lakini kiukweli kazi zinabana sana muda wa kuwa free ni mdogo sana kiasi kwamba tunashindwa kuonana” alisema Suzane “muulize mumeo, unafikiri ataniruhusu niondoke kazini ndani ya muda wa kazi?”
“mmh! Muda mwingine uwe unamtoroka tu huyu kwani atakufanya nini” alisema Martha. “humjui Joesan akiwa kazini wewe, muone hukuhuku akicheka tu. Akiwa ofisini ni Simba huyu hataki utani hata kidogo” alisema Suzane. wakazidi kiongea mengi sana na utani wa hapa na pale. Mwishowe Joesan akamuomba mkewe awapishe kidogo kwani kulikuwa na mambo muhimu walitaka kuyajadili. Anti Martha hakuwa na ajizi ikibidi awapishe ili waweze kujadili mambo yao ya kiofisi kwa uhuru zaidi. Joesan ndiye aliyekuwa mtu wa kwanza kuanzisha maongezi. “twende kwenye poit Suzane muda umekwnda sana. Unajua kuwa nakusikiliza wewe mimi hata sielewi nifanye nini nimechanganyikiwa kabisa” aliongea Joesan. Lakini muda wote huo wakati Joesan anaongea maneno hayo, Suzane alikuwa ameyaelekeza macho yake lilipo bwawa la kuogelea hali iliyomfanya Joesan naye kuyageuzia macho yake huko ambako mwanadada huyo alionekana kuduwaa. Joesan alichanua tabasamu baada ya kumuona kijana wake akiwa amesimama upande wa kaskazini mwa bustani ile. Palikuwa si mbali sana aliposimama Chriss na wao walipo ika kijana huyo hakujua kama mjoba wake yupo mahali hapo. “ile ndiyo iliyokuwa target yangu” alijisemea moyoni Suzane huku akitabasamu usoni. “Joesan!” aliita Suzane baada ya kujiridhisha na kile alichokiona mahalo hapo. Joesan akaitikia kwa kichwa na kumuonesha ishara kuwa anamsikiliza. Suzane akafungua kinywa chake tena na kusema. “nadhani hakuna ugumu katika hili, lisikufanye ukose raha na kushindwa kufanya maamuzi yaliyo sahihi.” Joesan akashtuka. Hakumuelewa huyo binti hata kidogo. Jambo hilo siyo zito? Kivipi? Anawaza kufanya nini Suzane mbona kama anashindwa kuelewa. Alijiuliza sana Joesan lakini hakupata majibu ya uhakika ikabidi amtazame kwa kumshangaa maana hata sauti hakuamini kama ingetoka kwa ufasaha kwa jinsi sintofahamu ilivyompata ghafla. Suzane alitabasamu na kuyageza macho yake kule alikosimama Chriss kabla ya kuyarejesha kwa bosi wake na kunena. “amekuwa kijana mzuri sana Chriss, hongera sana Joesan kwa kumpa malezi bora kijana wako” Joesan akajitahidi kulilazimisha tabasamu, akafanikiwa lakini bado hakumuelewa kabisa binti huyo. “ooh! Yaa, ni jambo la kumshukuru Mungu sana, sasa ni kijana mkubwa” Joesan alizungumza huku akimuangalia tena Chriss na kuyarejesha macho yake kwa Suzane ambaye bado alikuwa ameliachia tabasamu. alizidishatabasamu kabisa na kuifanya sura yake ya urembo kuzidi kuwaka. “Chriss should be on our program Joesan, amenivutia sana” alisema Suzane huku akiwa ameyakaza macho yake kutazama kule alipo kijana huyo. mshtuko mkubwa ukamkumba Joesan, hakutegemea kupokea kauli hiyo kutoka katika kinywa cha katibu muktasi wake. Alimtazama Suzane kwa mshtuko mkubwa sana. “sijakuelewa Suzane, Chriss anafaa vipi kuwa kwnye mpango wetu?” alizungumza Joesan. Suzane alimtazma bosi wake usoni kwa muda kodogo na kumuambia. “ondoa waswasi Boss, akatulia kidogo na kuendelea ” maana yangu ni kwamba ni lazima Chriss awe SEX MACHINE”
“eti, nini!!?” alishtuka tena kwa kiasi kikubwa sana Joesan, hilo jambo si kama hakukitegemea tu pekee bali pia lilikuwa haliwezekani kabisa. “Joesan nadhani umenisikia kwa dhati kabisa niliyoyasem……..!”
“hapana Suzane, hilo haliwezekani. Kama hiyo ndiyo ilikuwa plani yako, haiwezekani hata mara moja Chriss is my boy tutafute mtu mwingine” alilalamika Joesan tena alikuwa akiongea kwa sauti kubwa sana. Alidata kabisa bwana huyo. “kwanini nimuingize Chriss kwenye huu mchezo mchafu, mchezo wa kifo, mchezo ambao sikupanga hata siku moja kuja kumhusisha huyu kijana. Ni kweli nili………!” alitaka kuongea jambo fulani Joesan akasita. Kwanini alisita baada ya kutaka tu kulitamka jambo hilo? Na ni jambo gani basi? Yote hayo yalikuwa ni maswali ya kujiuliza. Majibizano yale yaliendelea kila mmojaakitaka lake. huyu alisema hivi na huyu alisema hapana na haiwezekani nani ni nani, hakukuwepo na alitaka kushidwa. Joesan alilipinga kabisa jambo hilo. Suzane akaona kuwa hakuna ……………..
hakuna sababu ya kuendelea kulumbana kwa jambo ambalo amelibeba kama msaada tu hivyo akaamu kujishusha. “ok, sina njia Boss na najitoa katika jambo hilo mimi sitahusika tena. Niliubeba mzigo wako na kutoa siku tatu tu kwa Mkuu kwa kujua unae Chriss ambaye ni msomi mkubwa na anauwezo wa kufiti vizuri kabisa kwenye hiyo nafasi ya Sex Machine, aliyekufa kwa kazi zenu binafsi. Naomba unisamehe Boss kwa kukushauri vitu vya kijinga” aliongea Suzane na kuangalia pembeni kabisa. Joesan akapigwa na butwaa jingine la ghafla. Ni kweli alikuwa hapendi Chriss aingie kwenye huo mchezo lakini kwa hilo alilolizungumza Suzane hapo ni kwa namna gani atalikabili. “Suzane ni mtu ninayemtegemea sana, sasa vipi kama akiacha kunisaidia” aliwaza Joesan kisha akasema. “hapana Suzane, huu mchezo hauhitaji hasira, kwanini unafanya maamuzi magumu hivyo nadhani unajua ni kwa jinsi gani ninavyo kutegemea” Suzane akageuka na kumtazama bosi wake huyo usoni na kumwambia “hakuna njia ya kupita Joesan zaidi ya hiyo, unadhani tutafanya chaguo gani zaidi ya hilo?” Joesan alishusha pumzi nzito sana. “hapo najua hawezi kupindua, hana chaguo jingine Joesan zaidi ya kijana wake labda kama atafeli jaribio lakini kama atashinda, Chriss anafaa sana, rangi yake, kifua chake kipana na mwili wake kwa ujumla vimenivutia sana hata mimi namtamani.” aliwaza Suzane. Joesan hakuwa na la kufanya alijikuta mpole ghafla. Jibu alilo bakiza ni moja tu na hilo ndilo ambalo lilikuwa likisubiriwa na huyo msichana. “unadhani tutaweza kumshawishi vipi hadi kuingia kwenye hii kazi?” aliuliza Joesan. “Joesan! Usitake kuniambia hujui. Yule ni kijana wako na anakusikiliza sana acha huko kukuheshimu, sidhani kama ukimwambia kuwa unajambo la msingi unataka kumueleza, anaweza kukukatalia. Hakikisha unaongea naye mambo mazuri na kila ulichomuahidi sasa kinakwenda kutimia na wewe mwenyewe unajua Joesan kuwa anaiingizia kampumini mamilioni ya mapesa lakini hata yeye ataingiza pesa nyingi zitakazo badilisha maisha yake kwa kazi hiyo.”
“ndiyo najua” akadakia Joesan na kisha mwanadada huyo akaendelea. “sasa, anakwenda kuwa milionea. Hakuna mtu anayekataa pesa lazima ukimueleza hili atakubali hawezi kukataa hata kidogo”
“lakini sina hakika kama Chriss anaweza kukubali kirahisi, huyu ni kijana mbishi sana kuelewa” akasema Joesan. “Joesaan!” aliita binti huyo na kuendelea “si wewe wala mimi atakayembadilisha Criss. Chriss atbadilishwa na Sex Machine Controller (SMC). Hii ndiyo itakayobadilisha maisha yake na akiwa mbishi tutajua njia nyingine ya kufanya hatujawahi kushindwa na binadamu wa kawaida hata siku moja we mwenyewe unajua” aliongea kwa kiburi sana. “ooh! Yeah, nilitaka kusahau jambo hilo. Hapo sawa sina kipingamizi tena” akasema Joesan. “nashukuru sana Boss kama tumeweza kufikia muafaka. Suala lilikuwa dogo sana ulitaka kulifanya kubwa bure tu” aliongea binti huyo na kumalizia kabla ya kuondoka. “jaribio la kwanza ni leo, naomba umtume nyumbani kwangu kwa njia yoyote ile ifikapo saa mbili usiku. Kifua chake kimenivutia sana sasa nataka kuiona shughuli yake awapo kitandani na mzigo alionao si unajua tunatafuta watu walio kamilika kila idara” kasha akaondoka mahali hapo mara baada ya kusema maneno hayo na kumuacha Joesan mdomo wazi. huyu mtoto si dhani kama atakuwa yuko sawa” aliesema bwana huyo huku akicheka cheko la ndani kwa ndani. Aliondoka kwa mwendo wa Twiga binti huyo, umbo lake jembamba lililojigawa chini kuanzia kiunoni kwenda chini na kumfanya kuonekana mrembo zaidi. Alikuwa akilitingisha umbo hilo kutokana na mwendo wake wa kimiss lakini macho yake hayakuacha kumtazama Chriss. Hata alivyokuwa amemkaribia bado alikuwa akimtazama kwa matamanio makubwa sana. Na kutokana na kijana huyo kuwa amemezama ndani ya jinamizi la mawazo, basi ndiyo kabisa mrembo huyo aliiyona kuwa hiyo ndiyo nafasi ya pekee kabisa kwa majira hayo ya kuweza kumtazama awezavyo. Alikuja kuacha kumtazama mara baada ya kumpita kwa hatua tano ndipo akaacha kabisa zoezi hilo la kumtazama na kuondoka zake. “amenivutia sana huyu kijana, natamani ndiyo ungekuwa muda huu niko nae kitandani nakichezea kifua chake huku na yeye akiyatomasa maungo yangu aaaaaaah! I was a mad. Lazima nilale nae ili nijue uwezo wake” alijisemea moyoni dada huyo alipokuwa garini akirudi zake nyumbani kwake. Chriss alijawa na mawazo sana siku hiyo hakuwa na furaha hata kidogo. Moyo wake ulikuwa umebeba mzigo mzito wa majuto. alijuta kushiriki mapenzi na wasichana hao kwani kitendo hicho cha kufanya nao mapenzi wote wawili ndicho kinachomfanya kukosa raha, furaha ilimkimbia kabisa kijana huyo. Macho yake yalikuwa yakitazama mbele lakini lenzi ya jicho lake ilikuwa haioni picha yoyote ile na hata kama angetokea mtu mahali hapo na kumuuliza ni nini atazamacho, ni wazi asingekuwa na jibu la kuridhisha. “Salome sitokaa nikupende tena wewe mwanamke, umekuwa sababu kubwa ya haya mawazo” moyo wa Chriss ndivyo ulivyokuwa ukizungumza pasi na kuushirikisha mdomo wake. “bila ya wewe ninaimani isingefikia mimi kutembea na Maida. Ona sasa nimetembea naye na si yeye tu bali pia nimetembea na ninyi nyote. Lakini sikulaumu. Ndiyo, sikulaumu kwasababu umenifanya nisiione thamani yako tena mbele ya Maida. Sikuwahi kufikiria kama ipo siku ningekuja kukutana na mwanamke mtamu kama Maida, nakiri kuwa I love this girl. Utanisamehe Salome na naomba ukae mbali kabisa na mimi” moyo wa kijana huyo ulizidi kutiririsha maneno kisha akatabasamu, tabasamu ambalo ni ishara tosha kuwa kile ambacho kimetoka kuzungumzwa na moyo wake amekiridhia na kukipitisha.

*************************

Wakati Chriss akiwa anazidi kuwaza na kuwazua hili na kulitoa lile, huku nyuma kulikuwa na mtu ambaye alikuwa akijivuta taratibu na kusogea mahali alipo. Si kama hakuhisi kitu laa! Alihisi sana na hisia zake zilimwambia kabisa kuwa kipo kiumbe kinakuja mahali hapo lakini kwakuwa ni mazingira ya nyumbani, hakushtuka wala kujisumbua kutaka kujua kiumbe huyo ni nani. Alijiaminisha kuwa kitakuwa ni kiumbe salama na hakitakuwa na madhara yoyote ile. Kiumbe huyo alisogea hadi ubavuni mwa Chriss upande wa kushoto, akasimama sawa kabisa na Chriss. Akasema “uncle, unawaza nini uncle?” ndivyo alivyosema mtu huyo ambaye hakuwa mwingine bali Joesan. Chriss alichelewa kidogo kulijibu swali hilo hivyo Joesan akaendelea “nilikuwa nimesimama pale kwenye Swimming pool nikitazama mazingira kidogo, ndipo nikakuona hapa muda mrefu sana ukiwa umetulia tuli, nikajua si kawaida yako ni nini mjomba?”
“mmh!……ha……hapana uncle, nimeamua tu kutulia hapa kwasababu sijiskii kufanya kitu chochote kwa wakati huu” akasema Chriss kwa kitete kidogo. Joesan aliacha kumuangalia Chriss na kugeukia upande ambao kijana huyo alikuwa akiuwangalia kwa muda mrefu sana, akashusha pumzi ya wastani kidogo na kusema. “unajua Tikiti maji ni tunda hata likiwa changa lakini thamani yake ni kubwa zaidi linapokomaa” Chriss akashtuka. Nini maana ya msemo huo. Akamgeukia mjomba wake na kumtazama kwa makini zaidi. Ni nini anachokimaanisha sasa? Ndilo swali lililokuwa limekitawala kichwa chake kwa majira hayo. Joesan akajifanya kutouona mshtuko wa kijana wake huyo na kuendelea na kile alicholenga kukisema huku akiwa bado anatazama mbele hivyo hivyo. “huwezi kuyazuia matamanio ya watu juu ya kile wanachokitamani. Akaweka tuo na kendelea tena ” Chriss, umeshakuwa kijana mkubwa sasa. Kuna maamuzi ya lazima yaani haya huna budi kiyafanya lakini kuna mambo mengine huja tu yenyewe, haya nayo pia huna budi kukabiliana nayo” akaweka tuo tena kasha akamgeukia na kumtazama usoni, akatabasamu kidogo na kumalizia “huna budi kuyaacha yafanyike yaliyojitokeza kwenye maisha yako. Huna njia ya kuyakimbia na uzuri wa changamoto ni kuitafutia ufumbuzi na siyo kuikimbia”
“sijakuelewa mjomba ungeniambia unamaanisha nini labda!?” akauliza kwa mshangao mkubwa sana Chriss. “najua kuwa hujanielewa” akasema. “lakini maana yangu si kwamba unielewe sasa Chriss. Ninachotaka kukwambia kwa sasa ni kwamba, usiibebeshe mzigo mzito akili yako kwa kumuwaza Salome na Maida”
“Mungu wangu!” moyo wa Chriss ulipiga sarakasi za nguvu na kubadili kabisa mfumo mzima wa mapigo yake. Amejuaje? swali hilo jingine likakivaa kichwa chake. Aliogopa sana. “inamaana na mjomba amejua? Mungu wangu, atanielewa vipi sasa tena amejua kuwa wote nimetembea nao. Ndiyo maana yake, kwanini sasa amewataja wote kwa pamoja? Si inamaana……..mama weeee! Hii ni mbaya kabisa hii” alichanganyikiwa kijana huyo, hofu ya kuonekana mshenzi wa washenzi ndiyo iliyokuwa ikimtafuna. Hakutaka kuamini mara moja kuwa eti, mjomba wake amejua. “Chriss!” aligutushwa kijana huyo kutoka mawazoni. Chriss aliogopa hata kumtazama mjomba wake usoni na kuyaelekeza macho yake chini lakini hali hiyo haikumfanya Joesan kutokufikia amuzi lake au kuacha kusema alichopanga kukisema. “giza limeingia sasa my boy acha mimi nielekee ndani ila ukitoka hapa unione kuna mahali nahitaji kukutuma usiku huu hivyo ni vema zaidi kama ungejiandaa mapema ili uwahi kurudi” kasha akaondoka mahali hapo akimuachia kijana wake sinto fahamu ya hali ya juu kabisa. Joesan alifika sebuleni na kujibwaga sofani, macho yake akiyaekekeza luningani. “naamini hakuna kitakacho haribika, acha nimtumie huyu kijana na ninaimani naye sana” aliwaza. “Chriss si lele mama hata kidogo, amepitia mafunzo makali ya kimapigano yale ya self face difence na ya silaha pia hivyo ninampeleka kijana ambaye hata mkuu mwenyewe hataamini. Sikuwa na lengo la kukufanyia hayo my boy lakini sipendi kuupoteza utajiri wangu. Nitaulinda utajiri wangu hata kama ni kwa kuyatoa maisha ya mtu” alizidi kuwaza bwana huyo na mawazo yake hayo yalikuja kukoma mara baada ya Chriss kufika ma kukaa kwenye kochi la pembeni yake. Akamgeukia na kumwambia “kula kwanza basi ili uwahi kwenda”
“hapana anko ni vizuri ningekwenda kwanza kula nitakula hata nikirudi” akajibu Chriss. “ok, sawa kamata hii” akamkabidhi bahasha ndogo ya khaki, Chriss akaipokea kisha Joesan akasema. “utakwenda nyumbani kwa Suzane na kwenda kumkabidhi hiyo bahasha. ukifika wewe muachie tu mimi nitaongea nae”
“sawa mjomba basi acha niwahi”
“kuwa makini na barabara maana wewe na gari kama mlizaliwa pamoja”
“ondoa shaka anko” aliongea Chriss na kutoka mule ndani. alichagua gari ambayo anaipeda kuliko gari zote zillizopo hapo na kuingia garini humo. “Suzane amekuwa ni mtu anayenisaidia sana ninamuamini na ninaamini hawezi kushindwa kumshawishi huyu …………….
“Suzane amekuwa ni mtu anayenisaidia sana ninamuamini na ninaamini hawezi kushindwa kumshawishi huyu kijana. Nimekuwa karibu nae kwa miaka mingi sana na ninamjua kinagaubaga” aliwaza Joesan na kujinyanyua pale kochini na kwenda kuchukua mkanda mzuri wa muvi apendayo kuangalia na kuiweka. akajitupa tena sofani akiwa na rimoti mkononi.

Safari haikuwa ndefu sana hivyo Chriss alifika nyumbani kwa Suzane kwa muda mfupi sana. Akapaki gari maegeshoni na kutembea mwendo wa haraka hadi ulipo mlango wa mwanadada huyo. Sauti ya kugongwa kwa mlango ndiyo iliyomshtua Suzane ambaye alikuwa mezani akijipati chakula cha usiku. akaamka na kuelekea mlangoni kabla ya kufungua mlango kwanza alichungulia kwenye kijitundu kidogo kinachoruhusu kumuona mtu aliyeko nje kisha akaufungua mlango huo. Tabasamu pana likiwa usoni mwake “karibu sana Chriss, karibu ndani” alikaribisha. “asante madam habari za hapa?” alijibu Chriss na kusalimia. “za hapa nzuri sijui za huko utokako?”
“za huko ni nzuri pia” alijibu na na kuingia ndani, Suzane aliufunga mlango kwa komeo kabisa na kumpita kijana huyo akiwa amesimama. Akasema “karibu ukae tupate kwanza Dinner than ndiyo urudi nyumbani”
“ooh! No, madam Suzane. Nyumbani nimecha kula nikaona nije kwanza nikufikishie huu uju…….!” alisema Chriss lakini hakufika mwisho wa sentensi yake, Suzane akamuwahi “najua Chriss lakini sitapenda uondoke hivi hivi bila kupata chochote kitu, hiyo si kawaida ya nyumba hii hebuu kaa hapa ule japo kidogo” alizidi kuongea Suzane lakini Chriss akabaki kwenye msimamo wake hakutata kula kabisa. Alichosema ni kwamba ipo siku atakula lakini si kwa siku hiyo. “ok, sawa kama umegoma kula kwangu ila ningependa ule japo kidogo tu any way, nisubiri mara moja nakuja sasa hivi” alisema Suzane na kuingia chumbani kwake. “oouh shiit! Kwanini moyo unanienda mbio hivi, huyu kijana anafanya nisijiamini kabisa niwapo mbele yake sijui ni kwanini hasa” aliwaza Suzane mara baada ya kuingia chumbani kwake kisha akavua nguo ya ndani aliyokuwa ameivaa na kulitoa gauni lililokuwa maungoni mwake na kuchukua nguo laini na nyepesi sana tena ikiwa fupi mno kiasi cha kuifanya iishie juu kidogo ya magoti yake. ilikuwa ni nguo nyepesi sana ambayo iliruhusu kuonekana kwa kila kitu cha ndani. “lazima adhma yangu itimie hawezi kuondoka bila kuonja utamu wangu. Chriss ni handsom sana. Kifua chake sijui kikiwa hakijazibwa na nguo kinakuaje. Chriss please huwezi kutoka hivi hivi leo, mimi ndiyo Suzane bwana” alikuwa akizidi kuwaza Suzane. alipoona ameridhika kwa jinsi alivyo, alitoka chumbani mule. “kitu gani umetumwa ukilete kwangu Chriss?” aliuliza Suzane. Chriss alipatwa na mshtuko wa wazi kabisa. nguo aliyovaa dada huyo ilikuwa ni sawa na mtu ambaye hajavaa nguo kabisa, kila kitu cha dada huyo kilichopaswa kufichwa kilionekana. “ni….ni…..metumwa nikufikishie hii bahasha madam!” alisema Chriss kwa kitetemeshi. Lilikuwa ni jambo asilolitarajia kabisa kuliona kwa mwanadada huyo aliyekuwa akimheshimu sana. Chriss licha ya kujizuia kumtazama tena lakini kuna msukumo fulani ulimsukuma angaalie tena huku akijisemea moyoni labda huenda aliangalia vibaya. alipoangalia kwa mara ya pili alikuta ni kile kile tena alikutana na tabasamu lililozidi kumuacha hoi. sehemu zake za siri zikapokea taarifa juu ya kile kilichotazamwa kwa mara ya pili. Suzane akapeleka mkono na kuipokea hiyo bahasha cha ajabu ni kwamba hakuwa hata na muda wa kuangalia hiyo bahasha imeandikwa nini. Aliitupia mezani na kumuangalia kijana huyo usoni na kumuambia. “Chriss umekuwa kijana mzuri sana kiasi kwamba siwezi kuzizuia hisia zangu juu yako. naomba tushiriki penzi usiku wa leo Chriss” alisema Suzane huku akiwa tayari ameshaitupa ile nguo chini na kumfuata kijana huyo na kumkumbatia. Chriss alimsukuma Suzane na kumtupa kwenye kochi lililopo sebuleni hapo. muanguko huo wa Suzane ukaleta jambo jingine la kushangaza kwa kijana huyo. Suzane alianguka na kuitanua miguu yake na kuzifanya sehemu zake za siri kuonekana bila kificho. Mwili wa Chriss ukaanza kutetemeka, matamanio yakamkaa mwilini mwake. kitu kilichopaswa kufichwa kimeonekana hadharani, mapigo ya moyo wake yakaongeza kasi. macho yake yalikuwa yameganda kifuani mwa binti huyo, alikwa katika hali nyingine kabisa ya liwalo na liwe. Suzane naye tayari akili yake ilishamwambia kuwa ni kazi ndogo tu iliyobakia ili aweze kufanikisha hicho alichokipanga kwa muda huo. Alikuwa akimsogelea Chriss taratbu huku akiwa amelirembua jicho lake vilivyo, alipomfikia cha kwanza kukifanya ni kumkumbatia kwa nguvu sana. Kiukweli kabisa wanaume ni wadhaifu sana hasa linapokuja suala la kushindana na hisia mbele ya kiumbe mwanamke, wengi hufeli sana hapo na kujikuta wakishiriki kufanya vitu hata vilivyo nje ya maamuzi yao. Chriss alikuwa ni mmoja katika ya hao, hata ungemwambia asichokitarajia angefanya kwa muda huo kwani tayari akili ilikuwa si yake tena. Kitendo kile cha kijana huyo kukumbatiawa kilipeleka hisia kali sana kwenye ubongo wake na kumfanya apate msisimko wa ajabu. Suzane akaona hapo ndipo pa kujizolea ushindi hivyo hakutaka neno kulaza damu limtawale, alishuka taratibu hadi chini kabisa na kupiga magoti akafungua mkanda wa suruali na kuishusha akamalizia na nguo ya ndani. Kitu adimu alichokuwa akikihitaji kikatoka , kilikuwa ni kifaa cha haja sana kilikuwa ni kifaa cha kazi kweli, kirefu na kinene. “waao! Chriss ni kidume cha haja na kimekamilika si utani, anamzigo wa haja. Oooh! my god leo nita enjoy sana” alisema Suzane na kuutia mdomoni huo mzigo. Chriss alinung’unika akafumba macho kwa hisia kubwa alikuwa akipokea raha za aina yake. Ilikuwa ni miguno ya mautamu na raha iliyokuwa ikiendelea sebuleni hapo. Suzane alitaka kuhakikisha anataka kuona ni kiasi gani kijana huyo anauwezo. Chriss alipatwa na nguvu za ajabu, alimkamata Suzane na kutaka kumtupia kochini lakini mwanadada huyo akamzuia na kumwambia kuwa aelekee chumbani Chriss hakupinga, alimtitika hivyohivyo hadi chumbani na kumtupia kitandani. Akaanza kumshambulia kwa mashambulizi ya awali, alihakikisha kila part ya Suzane anaitendea haki hakutaka kuacha hata sehemu moja. Suzane alipagawa sana kelele za maraha zikarindima chumbani humo. Hadi unafikia muda ambao Chriss anataka kupanda na kummeng’enyua dada huyo, Suzane alishavunja madafu si chini ya mawili. Chriss akapanda na kumpelekea moto wa hatari, Suzane alilalama hadi akalalamika vya kutosha lakini hakuachiwa hata muda wa kupumua kitanda alikiona kikubwa kila alivyojitahidi kuogelea ili kumzidi kijana huyo aliambulia patupu. awamu ya kwanza ya Chriss kufika tamati ilikuwa ndiyo ahuweni ya Suzane kuomba maji. “asante sana Chriss sikutegemea kukutana na mwanaume mwenye uwezo mkubwa wa kujamiiana kama wewe. Hakika leo umenifundisha jambo, leo umenikumbusha methali ya ‘kama hujaizunguuka dunia kwa pande zake, usiseme wajua kila kitu’ nimejiona si lolote si chochote leo ndani ya chumba changu mwenyewe” aliongea Suzane huku akiwa amejilaza chali akiwa hoi bin taabani. “na mimi pia nikiri kwamba nimekutana na fundi Suzane pamoja na uhodari wangu wote leo nimefikishwa kileleni mapema sana sijui awamu yapili ya mchezo itakuaje” alisema Chriss. Suzane akashtuka. Alicho kisikia ndicho anachomaanisha kijana huyo au masikio yake yamesikia tofauti. “eti leo nimemuwahisha kufika kileleni, nusu saa ya kunifulugusa hapa kitandani tena ikwa ni awamu ya kwanza, hata asinitanie kabisa huyu mwanaume. Ni kweli nilikuwa na hamu sana ya kufanya mapenzi lakini tayari hamu yangu yote imekwisha na nimeridhika tayari. Eti anataka awamu ya pili aaa wapi atanifanya kesho nichelewe kazin huyu. Na kama la kwanza ni nusu saa, hilo ka pili si tupu yangu itawaka moto?” alijiuliza mawazoni Suzane halafu akamuuliza “kwahiyo unataka turudie mchezo baby?” Chriss akamtazama dada huyo na kutabasamu kisha akamjibu” ndiyo Suzane, nimenogewa sana na penzi lako hapa hadi nirudie ndiyo nitajiona sawa kabisa. Alisema hivyo kijana huyo huku akianza kuyachezea maungo ya mwanadada huyo mwenye umbo zuri la kuvutia. “hapana Chriss nina muda mrefu sana sijafanya mapenzi hivyo nimejikuta leo nikitumia nguvu nyingi sana pasipo maarifa hivyo nimechoka sana wangu we will try another timu is not now i’m very tired” alisema Suzane kwa kujitetea akijaribu kuitoa mikono ya Chriss iliyoanza kumpa mshawasha.

Wakati hayo yote yakiwa yanaendelea usiku huo nyumbani kwa Suzane, kwa upande wa Salome mambo yalikuwa tofauti kodogo. Baada ya kumaliza kuandaa chakula aliingia chumbani kwake na kujifungia kimya kabisa akitafakari jambo. “nimekosa nini mimi Muumba wangu” Chriss ni wa kunifanyia hivi, Chriss ni wa kunidhalilisha mimi kwa huyu malaya? Hapana siamini” alijisemea Salome alipokuwa ndani humo machozi yalishaanza kuyaloanisha mashavu yake kwa majira hayo, kilio cha kwikwi kikashika hatamu, macho yalimuiva kama pilipiki kichaa. “ama kweli yamenikuta Salome mwana wa Nindi lakini si mimi tu yamenikuta hata Maida lazima limkute kama lililonikuta mimi haiwezekani mimi nilie yeye afurahie. Chriss amekuwa wa kunipiga chenga mimi kila ninapolihitaji penzi lake kwa sababu yako wewe malaya hapana” alizidi kuwaza Salome. Lakina Ghafla alikatisha kilio alichokuwa akilia na kutoka mule chumbani kwake na kuchukua uelekeo wa jikoni, alipofika jikona alichukua kisu na kukichomeka kwenye lastiki ya nguo yake ya ndani kisha akarudi chumbani kwake tena. akakitoa kile kisu na kukitazama kwa muda kidogo kabla ya kusema. “sitakuwa na kosa kwa hili nitakalokwenda kulifanya kwayo. Maida naomba uipokee adhabu hii kwa mikono miwili kama ulithubutu kuniumiza kwa makusudi nami sina budi kukuuwa kwa makusudi. umenifanya mtu wa kulia kila wakati Maida kwanini lakini. Lazima nikuuwe Maida kwanini ubaki hai sasa wakati wewe ndiyo kikwazo cha furaha yangu, kwanini usife hata sasa hivi basi ili niyafurahie maisha yangu” alisema Salome wakati huo akikirudisha kile kisu kwenye lastiki ya nguo yake ya ndani kama alivyokuwa amekihifadhi awali. Ewe mwanadam Nafsi hufumbata kiza inapogubikwa na mawazo ya kinyama na ukatili. Nafsi hukosa maamuzi sahihi pale inapogubikwa na kiza hicho. Maamuzi yoyote yatokayo moyoni basi husharabiwa na nafsi hiyo japo mara nyingi mtenda baya nafsi humshauri juu ya baya alitendalo ikiwezekana aliepuke lakini ni ushauri gani basi utakaotolewa na nafsi hiyo ingali imefunikwa na kiza cha kufanya maasi tayari. Nafsi ya Salome ilishabeba kiza tayari kiasi kwamba hata zile sauti za kumzuia asifanye hicho anachotaka kukifanya hakuzisikia. “lazima ufe” huo ndiwo uliokuwa wimbo uliokitawala kichwa chake na alipenda kuuimba kila wakati. alitoka mule ndani na kwenda kuuvamia mlango wa chumba cha Maida. Alidhmiria kweli kufanya unyama huo kwa mtu aliyeishi nae nyumba moja tena wakiwa ni kama ndugu kabisa, lakini alipoufungua ………………

mlango wa chumba hicho .ambao ulikuwa bado haujafungwa. alipoingia mule ndani hakukuwa na kiumbe chochote alikuta nguo tu zimevuliwa na kutupwa juu ya kitanda na kwakuwa ndizo nguo ambazo Maida alizivaa mchana, akajua kwa vyovyote vile Maida atakuwa bafuni hivyo akaamua kukaa hapohapo na kumsubiri. Kweli hakuwa amekosea kwani baada ya muda mfupi, Maida aliingia mule ndani akiwa amejifunga khanga moja tu huku akichuruzika maji kuashiria kuwa kweli alikuwa bafuni. Maida alikumbwa na mshtuko mdogo baada ya kumkuta Salome ndani ya chumba chake. “hee! Vipi tena mwenzetu ndani ya chumba changu kwema lakini” aliuliza Maida huku akichukua nguo nzito na kuaza kujifuta maji. jibu halikuja kutoka kwa muulizwaji. Maida ikabidi kuuliza tena huku akiitupia ile nguo kwenye kochi na kumtazama Salome usoni. “haitakusaidia chochote hata kama ukijua ni kwema au siyo kwema” akasema na kunyamaza Salome. Maida akastaajabu kidogo na kumshangaa mwenzake huyo akasema “hivi uko sawa Salome?”
“nimechanganyikiwa Maida na ndiyo maana nipo hapa kwa ajili moja tu ya kukuuwa.” alisema Salome na kumfanya Maida ashangae na kuangua kicheko kabisa. “hee! Hivi umechanganyikiwa wewe yaani huoni hata haya eti, niko hapa kwa ajili ya kukuuwa yaani wewe uniuwe mimi?”
“kwaiyo unashangaa kuwa mimi siwezi kukuuwa au kinachokushangaza ni nini, ngoja uone vile nitakufanyia sasa” alisema Salome wakati huo akiwa tayari ameshamsogelea Maida karibu. Siwezi kukuacha Maida, mimi moyo wangu kwa sasa hauna amani sababu yako. umeninyang’anya furaha yangu, siwezi kuishi kwa namna hiyo. Chriss hataki hata kuniona mimi sababu yako” aliongea kwa uchungu mkubwa sana Salome. Maida alimtazama binti huyo kwa dharau kubwa kasha akatazama pembeni akasema “nilidhani labda leo umewekwa style ya mbuzi kagoma kwenda ndiyo umekuja kunihadithia kama kawaida yako kumbe limekushuka pol…….!” hakufika mwisho wa kauli yake Maida, kofi zito la haja likatua kwenye shavu lake la kushoto. Maida alihisi kama shavu linataka kudondoka, nyama za shavu zilimchonyota. Binti aliyerusha kofi hilo akawa anatamba kwa maneno. “unadhani nimekuja hapa kucheza siyo, Maida hujui kuwa maneno yako ni kama kisu butu kwenye shingo yangu? Inamaana hujui kama naumia Maida, hujui”
Salome unathubutu kunipiga?” badala ya kujibu maswali aliyoulizwa Maida akainuka na swali huku akiwa kalishika shavu lake lililokuwa likimuwanga. “na siyo kukupiga tu mwanahizaya wewe, leo lazima ucheze ngoma ya asili ya kabila letu” alibwata Salome. Hasira kali zikampanda Maida aliinuka kama Nyati na kumvaa Salome na kumtupa kweye meza iliyopo chumbani hapo. Salome akajipigiza kwe ye mbao ngumu ya meza hiyo hadi paji lake la uso likapasuka. Damu nyingi zilimtoka. Maida hakujua alilolifanya ni kosa linalokwenda kuyagharimu maisha yake. hakujua kuwa
mwaenzake hakuwa na imani tena roho yake ilibadilika kabisa na kuwa ya mnyama hatari. aliinuka kutokea mezani hapo mithili ya mzimu akafunua gauni alilolivaa na kujipekuwa kwenye kufuli lake akatoka na kisu. Maida akabaki mdomo wazi kwa kile alichokiona hapo kikifanywa na mwanamke mwenzie tena pasipo matarajio yake. kisu kile kikajaa kifuani. Maida akatokwa na ukelele mdogo, Salome akachomoa na kukirudisha tena tumboni mwa mtu ambaye walikuwa wakichangia jiko pamoja wakiwa katika harakati za kuwaandalia mabosi wao chakula. kisu kile kikafanya kama kilivyoagizwa. Maumivu makali yakazidi kumtambaa binti huyo masikini. Salome hakuwa yeye tena akakitoa na kuchoma tena na tena ni kama alikuwa akiamrishwa hivi. hadi pale Maida alipodondoka chini akiwa anapambana na hatua za mwisho za uhai wake ndipo jini baya la ukatili likavuka mwilini mwa binti huyo na kumuacha mwenyewe. Kitu cha kwanza kukiona kilikuwa ni kisu kilichojaa damu nyingi mkononi mwake, macho ya hofu yakamtoka pima. Alipokuja kutazama sakafuni kulikuwa na dimbwi dogo la damu, hapa aliogopa zaidi na mbaya zaidi ni pale alipomuona Maida akiwa chini akikunja na kunyoosha miguu ikiwa ni moja ya hatua za mwisho za kupambana na sakaratul mauti. “mama weee! Nimeuwaaa!” alikema vibaya sana sauti kubwa ikapaa. akajirusha mlangoni ili aweza kutoka mule ndani, akajipigiza mlangoni na kudondoka chini akakukuruka na kunyanyuka kwa spiidi kali, sasa badala ya kuwa mlangoni akajikuta kwenye mwili wa Maida ambaye kwa wakati huo jina lake lilikwisha badilika tayari. alikuwa ni marehemu. Mayooo!” aliita mama kikwao. “nimeuwa kweli mimi Salome! Haa! Maida nilikuwa nakutania tu amka bwana usife kweli” ama kweli upumbavu huja mara moja tu pasipo matarajio. Unawezaje kumtania mtu kwa kumkita mara zaidi ya nyingi. Wimbo wake wa kuwa nimeuwa kweli ukachanganya, akachoropoka huku akipiga kelele akimuita bosi wake kwa hamaniko kubwa kabisa.

“hapana Chriss leo nimechoka sana tufanye siku nyingine bwana” alikuwa ni Suzane ambaye alitoa malalamiko mbele ya kidume cha mbegu kilichokuwa kinataka mchezo urudiwe. alimuweka kwenye himaya yake hadi mwanadada huyo akakosa kufurukuta, akabaki akitumia utetezi wa maneno. Chriss ikambidi kuwa mpole na kuamua kuchukua nguo zake na kuzirudisha mwilini kisha alimuaga mrembo huyo na kuondoka. Chriss alipotoka tu mazingira hayo, Suzane alichukua simu na kumpigia Joesan. simu iliita kwa muda mrefu sana pasipo kupokelewa, akarudia tena na tena lakini bado iliita tu. “mh! Atakuwa amelala huyu hebu niache asijekupokea mkewe ikawa shida maana namjua vema Martha kwa wivu” alisema lakini wakati akiwa anawaza hayo, simu yake ikaita na mpigaji akiwa ni Joesan. “vipi Chriss ametoka kwako tayari?” lilikuwa ni swali la kwanza kutoka kwa Joe. “ndiyo mbona unawasiwasi sana Joe?”
“hapana ooh! Ngoja kuhusu yaliyojiri huko utanieleza kesho kazini hapa nyumani kuna tatizo kidogo limejitokeza hivyo hatutaweza kuelewana” alizungumza Joe. “ok, boss” akajibu Suzane. Chriss alifika nyumbani akajua amechelewa sana hivyo hawezi kueleweka kwa mjomba wake lazima ataonekana kuna sehemu amepitia. lakini hakujua kuwa ni yeye ndiye anayechezewa share. Hali ya tafarani ndani mule ikamtisha, akawa anaingia kwa kunyata kuhofia isije ikawa ni majibizano kuhusu yeye lakini alivyozidi kuvuta hatua ndipo aliposikia kuwa Maida amekufa kabla hata ya kufika hospitali. Mwili ukaanza kuingiwa na baridi ni Maida yupi, aliyemuacha nyumbani au ni yupi? yakawa ni maswali ya kujiuliza kichwani mwake. Akafika sebuleni pale ambapo ndipo mjadala ulipokuwa ukiendelea. “Maida yupi Uncle?” akajikuta akipata msukumo mkubwa wa kuuliza swali. wote pale ndani wakawa kimya hakuna aliyejua alijibu vipi swali hilo japo ilijulikana kuwa ni Maida wa humo ndani. Mjomba alishajua moyo wa Chriss ulipo lalia, ni vipi sasa akisema eti Maida ameuwawa na Salome? Joesan alimjua vizuri kijana wake, Salome asingeachwa. Sasa ili kutomchanganya kijana huyo na mambo yaliyokusudiwa yasiharibike ni kumdanganya. “ni Maida wa humu ndani Chriss na amedondoka ghafla tu chumbani kwake. Salome ndiye aliyetuletea taarifa hiyo. nimejaribu kumkimbiza hospitali lakini hali si hali tulichelewa” alisema Joe huku akionesha masikitiko makubwa sana. Chriss alijisikia vibaya sana kwa taarifa hiyo. Alisha muhusudu binti huyo na alishaweka nadhiri kuwa Maida ndilo chaguo lake, leo eti, anapokea taarifa ya kifo chake. “Maida alikuwa anasumbuliwa na nini? Mbona ghafla namna hii? Kwanini Salome awe wa kwanza kupokea taarifa hiyo na kuja kumjuza Uncle? Si bure” aliwaza Chriss na mwisho akajishauri na kuelekea mbio chumbani kwa Maida. Chumba kilikuwa kimefungwa. akanyong’onyea, alipogeuka nyuma akakutana uso kwa uso na mjomba wake. “Chriss hata sisi pia tumeumizwa sana na hili jambo, hutakiwi kuwa katika hali hiyo uliyokuwa nayo sasa” alizungumza Joesan kwa sauti ya upole sana. “lakini Unle kwanini hiki chumba kimefungwa sasa?” aliuliza Chriss. Joesan akajibu “ndiyo, tumekifunga ili kisitumike tena kwani huwezi jua baada ya mwili wa marehemu kufanyiwa uchunguzi, wakahitaji kujua mazingira ambayo marehemu alifia. Sasa kuingia kwako kunaweza kuwa siyo sahihi kiusalama”
“ok, nimekuelewa mjomba sasa Salome yuko wapi kwa sasa?” akauliza. Joesan baada ya kuulizwa swali hilo ilibidi awe mpole kwanza hakutaka kukurupuka kulijibu kwani baada ya binti huyo kufanya hilo tukio Salome alikimbilia chumbani kwake na kujifungia hivyo haikujulikana huko aliko anafanya nini au amechukua amuzi gani. Alichokifanya kwa wakati huo Joesan ni kukimbilia chumbani kwa Salome ili kujua usalama wake. Chriss naye akakimbilia huko huko huku akiwa na alama ya kujiuliza kichwani mwake, nini hasa sababu ya mjomba wake kukimbia kwa haraka namna hiyo mara tu alipomuuliza hilo swali. Waligonga mlango lakini haukufunguka hata kidogo, Joesan akaenda chumbani kwake na kwenda kuchukua ufunguo wa hakiba ili kuweza kuufungua mlango huo. “mjomba kunausalama kweli lakini” akauliza Chriss. “hata sielewi mjomba, hawa watoto wanamichanganya kabisa” alijibu Joesan. Walipofanikiwa kuufungua mlango huo, break ya kwanza ni sakafu ya chumba kile ambacho alikuwa akikitumia binti huyo ilikuwa haitamaniki kwa damu. Joesan macho yakamtoka kama mjusi aliyebanwa na mlango. Hofu ikawatanda. Joesan akapagawa kabisa. Kitendo cha kumficha Salome kwa dakika chache ili tu kumsitiri na hasira za Chriss endapo angemkuta katika hali ile ya kuchanganyikiwa ilhali akiwa na damu mwili mzima, vipi sasa akute damu na asimkute muhusika. Chriss alishindwa kuelewa ni kwanini yale yote yanatokea. nini sababu ya mambo yote yale, hakuelewa hata kidogo. wakaingia mule ndani kwa mwendo wa taratibu huku wakiangaza macho yao kwenye kila kona ya chumba hicho. “Salome…….! Salomee……!” aliita Joesan bila mafanikio. wakaendelea kutafuta mule ndani. “unauhakika mjomba kuwa Salome yuko humu ndani?” akauliza Chriss. “asilimia zote na aliingia humu ndani akiwa amechanganyikiwa sasa sielewi ata…….!” akakatisha maneno yake Joesan baada ya kusikia sauti za manung’uniko kuashiria kuwa kulikuwa na mtu aliyekuwa akipambana na maumivu makali sana.

wakaelekea kwenye upande mmoja wa kitanda, huko wakamkuta Salome akiwa anapambana na maumivu si ya kawaida huku kisu kikiwa kifuani mwake. “Salome nini tatizo mbona umechukuwa maamuzi magumu hivi, kwanini unataka kujiuwa?” aliuliza Chriss akiwa na sura ya huruma sana.Zile hasira zote juu ya msichana huyo ziliyeyuka huruma kwake kilikiwa ni kitu cha kwanza kumkaa moyoni mwake kijana huyo. “niambie Salome nini tatizo” alizidi kuuliza. Salome akalilazimisha tabasamu lakini ilionekana dhahiri maumivu aliyokuwa akiyapata yalikuwa si lelemama hata kidogo. Sura yake haikukunjuliwa kabisa na tabasamu hilo. akanyanyua mkono wake mmoja na kulishika paji la uso la Chriss na kulipapasa kisha akasema. “ni…ni….sa…mmehe…sana……!” akanyamaza kidogo na kuikunja sura yake hadi pale maumivu yalipopungua kiasi akaendelea “Chriss nimeamua kijiuwa ili kuukwepa mkono wa sheria, najua mjomba anao uwezo wa kunipeleka hospitali na nikahudumiwa hadi kupona lakini sihitaji kupona Chriss, napenda nife tu”
“hapana huwezi kufa hata kidogo Salome lakini kwanini umeamua kujikatishia maisha?” akauliza Chriss akiwa kamshika mabegani. “Chriss nakupenda na nimeamua kufa kwasababu tu nakupenda. Sikuiona sababu ya kuendelea kubaki hai wakati sipo moyoni mwako, sikuona sababu hiyo hata kidogo” akaweka koma na kulazimisha cheko. Damu zikamtoka kinywani kwa wingi sana lakini hakuacha kucheka hadi pale alipogoa akatulia zaidi halafu akaendelea kusema “unajua kwanini ninacheka? Unajua au hujui?” alivyosema hivyo akaygeuza macho yake na kumtazama Joesan ambaye alikuwa kimya muda wote. Joesan akatikisa kichwa kukataa kuwa asiseme hicho alichotaka kukisema lakini Chriss aligeuza haraka shingo yake na kumtazama mjomba wake na kumkuta katika hatua za mwisho za kutingisha kichwa. akashangaa na kunyanyuka kwa hasira sana na kumkabili mjomba wake kwa maneno. “mbona sielewi, kuna siri gani inayoendelea hapa. Kuna kitu mnanificha, mjomba hata mimi unani….!”
“unafichwa nini Chriss, hakuna kitu unachofichwa hapa” alidakia Joesan na kupunguza makali ya sauti ya kijana huyo ambayo ilikuwa ikipaa kwa kiwango kikubwa mno. ” siyo kweli, siyo kweli mjomba mnanificha, niambieni na mimi nijue kwanini mnanificha sasa unajua mimi sielewai Maida nimemkuta hayupo na mkasema kuwa amefariki dunia kwa maz…….!”
“Chriss!” aliita Joesan kwa sauti ya juu sana. Chriss akawa mpole. Sauti hiyo iliashiria hasira kwa mjomba wake. Macho makali yakamtazama yeye. “naona umekuwa sasa kiasi cha kunijia juu kwa kibesi siyo” akawaka. “hapana Uncle siyo hivyo n
tatizo ni kwamba nashindwa kuwaelewa” alijibu Chriss akiwa ameishusha kabisa sauti. mjomba huyo alizidi kumtazama Chriss kwa ghadhabu sana mithili ya mtu mwenye kisasi kizito juu yake lakini kabla ya kusema chochote, Salome akaita. “Chriss!” wote wakamgeukia binti huyo ambaye kwa muda huo alikuwa katika hatua ngumu kabisa. “msiwe na sababu ya kuminyana na mjomba mimi ndiye niliye muuwa Maida. Ni bora tumekosa wote sasa na nikwambie tu kuwa nakufa nikiwa naku….ku…!” akaishia hapo bila kumalizia. Kichwa kikaanguka upande mmoja na pumzi kumkimbia, mwili ukabaki bila roho ungali ukitoka damu mdomoni na puani kabla ya damu hizo kuganda. Salome alipoteza uhai wake mazima. Chriss mwili ilimnyong’onyea, nguvu zote zilinywea mwilini. “Salome umemuuwa Maida? Why? Why Salome? Sababu ni mimi. Salome hata kama ni mapenzi lakini hatua ulioichukuwa ni mbaya sana. umenikosea sana, umeutafuna moyo wangu na kuutema bila huruma” aliwaza kijana huyo. “sikutegemea kama itatokea siku na kukutana na mwanamke mwenye roho ya ajabu kama yako. Nani kakudanganya kuwa ukimuuwa nimpendae utaiteka nafasi yake. nakuchukia Salome, nakuchukia kuliko hata ninavyo lichukia tumbo la kuhara. Wewe si mwanamke hata kidogo ila umevishwa tu uhaiba wa kike. Mungu akulaani uwendako Maida, ulaaniweee!” akasema kwa sauti kubwa mwishoni. Kilio kikachukuwa nafasi Alilia sana Chriss machozi yalimwagika kama maji, alilia kama mtoto mdogo hadi pale Joesan alipoamua kumshika mabegani na kumwambia “hupaswi kulia kwa kupitiliza namna hiyo Chriss, ukumbuke kuwa haya yote yamekuja sababu ni wewe. Kama si wewe haya yote yasingetokea. Mapenzi ni kitu kibaya sana kijana wangu, mapenzi yanaweza kubomoa nyumba imara iliyojengwa kwa theruji bora kabisa. kumbuka kuwa nilikuambia nini jana, unakumbuka?” akauliza Joesan baada ya kuongea maneno hayo. Chriss akabaki kimya bila kuongea jambo lolote. aliwaza mengi sana, aliwaza na kuona ni jinsi gani alivyo haribu uaminifu wake mbele ya watu waliomheshimu, aliona jinsi atakavyoeleweka vibaya. “kumbuka” akaendelea Joesan. “nilikuambia kuwa huna budi kuyaacha yaliyotokea yaendelee na wewe ugange ya mbele, huna uwezo wa kuubadilisha uhalisia. Usihofu kwani haya mambo hata sisi walezi wako tumeyapitia hivyo si jambo la kukufanya ukose raha”
“najua uncle lakini sikutegemea kama Salome anaweza kufanya haya aliyoyafanya, Salome ni katili sana mjomba hana ubinadamu anawezaje kumuua mwenzake kikatili namna ile.” akasema Chriss. “imembidi kufanya hivyo na ndivyo tulivyo wanadamu hata wewe huna budi kufanya lolote lile linalowezekana kufanyika pale tu linapokukuta”
“sijaelewa Uncle unamaanisha kuwa alichokifanya Salome ni sahihi kisa tu ni mapenzi juu yangu au?” aliuliza Chriss huku akiwa na mshangao mkubwa sana machoni mwake. “Chriss, nafikiri muda umekwenda sana na umechafuka kwa damu mwilini mwako, hebu nenda kaoge na ubadili hizo nguo. Unapaswa kupumzisha kichwa sasa wacha mimi nihangaike na kuupeleka huu mwili hospitali maana hatuwezi kukaa nao hapa ndani ni hatari sana kiusalama” akasema Joesan. Chriss alinyanyuka kishingo upande na kuuangalia ule mwili wa Salome kwa ghadhabu sana kisha akaondoka chumbani humo. “nilitaka asijue chochote kuhusu kifo cha Maida maana najua ni jinsi gani Chriss anavyompenda Maida lakini imeshindikana. Salome ameamua kusema ukweli kabla hata ya kukata roho, lakini hakuja haribika kitu lazima nilichokianzisha nikimalizie” akawaza Joesan baada ya Chriss kutoka humo ndani. Akatoka mule ndani na kumpita mkewe ambaye alikuwa amechanganyikiwa kutokana na jambo hilo. akageuka na kumwambia kuwa lile suala atalimaliza bila shida yoyote hivyo hakuna haja ya yeye kuendelea kuchanganyikiwa na kutoa machozi. “nenda ndani ukapumzike mke wangu acha mimi nielekee hospitali kwa ajili ya kwenda kuuhifadhi huu mwili kesho tutajua nini cha kufanya” akasema. Anti Matha hakupinga aliondoka hapo na kuingia ndani japo alijisikia vibaya sana lakini ndiyo hivyo tena ilibidi awe mpole. Joesan alitoka hadi nje kabisa ya geti na kutoa simu yake mfukoni akapiga mahali. “nisikilize Sembugi, lete hiyo gari hapa kuna mwili mwingine wa huyu malaya amejiuwa mwenyewe kabla ya mpango wetu” alisema Joe na kukata simu. Haukupita muda gari ndogo Toyota Mark II ilipiga break karibu kabisa na bwana huyo. Wakatoka vijana wawili na kumkaribia Joesan. “tuelekee ndani tukautoe huo mwili halafu niwaelekeze cha kufanya” akasema. wakaingia ndani na kuutoa ule mwili na kuja kuupakia garini. Baaada ya kuupakia mwili huo, Joesan akawageukia na kuwaambia kuwa ile miili haikutakiwa ionekane tena kwenye macho ya watu hivyo watajua wao ni jinsi gani waitokomeza. Wale vijana wakatikisa vichwa kukubali na kuagana na boss wao kisha gari hiyo ikaondolewa. “bila kufanya hivi ni lazima Chriss atahoji na atataka kushiriki kumzika Maida na ukicheki ni muda mchache sana uliobakia” akawaza na kungia ndani. Chriss hakupata usingizi kabisa usiku huo, mawazo yalikuwa mengi sana kichwani mwake. Nini sababu ya yote hayo, ni kweli sababu ni yeye au kuna jambo jingine nyuma ya pazia. Alihangaika usiku kucha huku kichwa chake kikiwa kimebeba mzigo mzito wa mawazo. Usingizi ulikuja kumpitia muda ambao hata mwenyewe hakuujua. Alilala kwa muda mfupi sana na kuja kushtuka asubuhi sana.

Simu ya Joesan iliunguruma na kumfanya bwana huyo kuamka kutoka usngizini. Akanyoosha mkono na kuivuta simu hiyo iliyopo mezani akaipokea na kuiweka sikioni. “ndiyo” akasema na kutulia kidogo kuusikilizia upande wa pili wa simu hiyo kasha akasema tena. “naamini mtakuwa mmefanya kazi vizuri” akanyamaza na kumgeukia mkewe ambaye alikuwa akijigeuza upande wa pili na kumkumbatia. Joesan akautoa mkono huo na kunyanyuka kitandani hapo na kuelekea upande wa chooni akasema. “sitaki kusikia chochote kuhusiana na hao marehemu, njooni nyumbani mida niliyowaambia na mfanye kama nilivyo walekeza mkimaliza mtanipigia simu na kuwaelekeza wapi mtakapo kwenda kuchukua pesa yenu sawa” akamaliza na kukata simu hiyo na kurudi kitandani. “ulikuwa unaongea na nani honey?” aliuliza anti Martha. “acha wivu mke wangu ni simu ya ofisi hiyo”
“mmh! Simu ya ofisi ndo ukaongelee mbali hivyo ni kitu gani ambacho mimi sipaswi kujua?” akauliza. “si kila kazi ya ofisi unapaswa kuisikia, pamoja na hayo yote pia nimetoa taarifa kuwa nitachelewa kwenda kazini kutokana na haya matatizo yaliyotokea na…..!”
“hupaswi kwenda kabisa kazini mume wangu hili jambo ni kubwa sana, unatakiwa ulimalize kwanza hili, ulipaswa kuomba kabisa ruhusa hata ya siku tatu” akatoa ushauri Martha lakini Joesan akamuangalia kwa macho makali sana na kusema kwa sauti iliyomshtua kidogo mkewe. “ungejua kilichotokea kazini wala usingepata nguvu ya kuongea jambo hilo hata kidogo, kazini ninajukumu zito sana na sijui nitalimaliza vipi leo unasema niache kwenda kwa wapumbavu tu walioamua kujikatishia maisha wenyewe. Kama hujui sasa mimi nilishajua kabla yako kuwa Chriss anamahusiano na mabinti wote wawili. Nina kazi kubwa ya kufanya na Chriss na atanisaidia sana hivyo hata kama wasingekufa, walikuwa wapo katika mpango wa kufa na ni lazima wangekufa tu ili wasiwe kikwazo na maisha ya Chriss kwani namjua Chriss ni mbovu sana katika kupenda asingekubali kuifanya kazi yangu na nategemea kuingiza pesa nyingi kwayo” akakomea hapo Martha akabaki mdomo wazi. Alishasahau tabia ya mumewe ya ukatili na unyama alionao ni miaka mingi sana Joesan alikuwa hivyo na alidhani labda baada ya kupata utajiri huo angeacha kabisa mambo hayo. “unataka kumtumiaje Chriss mume wangu?” akashindwa kuvumilia Martha na kuamua kuuliza. Joesan alimvuta Martha hadi karibu kabisa na yeye kisha akampiga busu la shavu na kumwambia “usiku wa jana sijapata kabisa mambo maana nilijua umechanganyikiwa sana hivyo ni bora nijilie hii asubuhi kabla mambo mengine hayajafuatia” akamvuta zaidi na kuanza kumpapasa. “no, Joesan haileti picha nzuri kweli tunafurahi wakati watu tulioshi nao vizuri hatupo nao, please mume wangu hebu kuwa na moyo wa imani hata kidogo” akasema Martha. “kwahiyo hao ni bora kuliko mimi mumeo ninayehitaji haki yangu ya ndoa?” akauliza Joesan. “hapana ………………………..

“hapana sina maana hiyo”
“ila?” akauliza kisha akapanda kwa juu na kuanza kumnyonya kwa fujo. Martha ilibidi awe mpole na kutoa ushirikiano kwani hakumuelewa kabisa na alikuwa na hofu kubwa juu ya maisha ya Chriss. Hakujua ni kazi gani atakayokwenda kufanyishwa na mume wake. Mchezo ukanoga zaidi na kuamua kujificha kabisa ndani ya shuka. Joesan akaitoa shuka hiyo na kuitupia pembeni “napenda kufanya mapenzi na wewe huku nikiliona umbo lako zuri kwani linanipa raha ya aina yake na kuniongezea munkari ya kushughulika zaidi. Aaaaaghr shiit! alilalama Joesan akiwa anajifaidia tunda tamu kutoka kwa mkewe huyo. miguno ya mahaba ikachukua nafasi chumbani hapo na kuwasahaulisha kabisa juu ya kile kilichotokea.

%%%%%%%%%%%%%%%

” ngriiiiiin, ngriiiiin,ngriiiiiiinn!” sauti ya kengele ya langoni iliita kwa fujo asubuhi hiyo ya saa nne kama na nusu hivi kuashiria kuwa kulikuwa na mtu langoni hapo. “Chriss hebu kaangalie ni nani huyo anayegonga asubuhi hii” alikuwa ni Joesan akimpa maagizo kijana wake. Chriss alitoka sebuleni hapo na kuelekea getini hadi kilipo kidirisha kidogo cha kuruhusu kumuona mgongaji. Akachungulia kisha akalifungua lango hilo. wazee wawili na vijana watatu walio katika mavazi ambayo yaliashiria kabisa kuwa watu hao walikuwa ni wa maisha ya kawaida sana. “karibuni sijui niwasaidie nini?” akauliza Chriss na kuwatazama watu hao. Mzee mmoja akanyanyua macho yake yaliionekana kubeba majonzi makubwa kabisa na kuruhusu maneno kutoka kinywani mwake kwa shida kidogo. “tumemkuta bwana Joesan?”
“ndiyo mmemkuta” akajibu Chriss huku akipata picha kwa mbali juu ya ujio huo wa watu hao hapo nyumbani. “sisi ni wageni wake na tupo hapa kwa ajili yake hivyo ni vema kama tungeonana naye” akasema mzee huyo ambaye ndiye aliyejivika usemaji mkuu. Chriss akaurudisha mlango na kuwaongoza watu hao hadi sebuleni. akawakaribisha wakakaa sambamba na yeye mwenyewe kujitwalia nafasi ya kuketi. “karibuni sana jamani mimi ndiye Joesan mwenyewe” akawakaribisha Joesan mara baada ya kuelezwa kuwa watu hao wapo hapo kwa ajili yake. Mzee yule yule aliyejivisha uongeaji akakohoa kidogo na kifua kikamsaliti kwa kubanja kabisa kudhihirisha kuwa mzee huyo kama si mtumiaji wa pombe aina ya gongo basi ni mtumiaji wa pombe nyingine za kienyeji na tumbaku lisilopitia kiwandani. Alikuwa na sura mtindio, mashau yaliyolegea kama mgonjwa wa safura, kitambi kisichoeleweka kama ni cha minyoo au kiriba tumbo tu kutokana na kula pasipo utaratibu. Akakohoa tena sasa ikiwa si kwa kurekebisha koo bali kumalizia mabaki ya kile alichokianzisha kwa bahati mbaya kisha akasema. “mimi naitwa Nindi Mchujuko kwa majina yangu na mwenzangu hapa ni Athumani Kidaru tukiongozana na vijana wetu kama unavyowaona. Sasa kama msemaji mkuu” akabanja tena na kumeza huku akijitafuna, akaendelea “nasimama kwa niaba ya mwenzangu hapa. Tumetokea kijiji cha Mkwajuni kilichopo wilaya ya Muheza Mkoani Tanga. Kwa kweli kabla ya yote tuwape pole kwa hili lililowakuta la kuvamiwa na majambazi na kuweza kusababisha vifo vya mabinti zetu na kama mngekuwa wote humu ndani sijui hata ingekuwaje, ila yote ya yote niseme ni mipango ya Mungu tu.” akaweka tuo na kuwatazama wenzake hususan yule mzee mwenye umri sawa na yeye. “mimi” akaendelea. “ndiye mzazi wa Salome Nindi na huyu mwenzangu ni mzazi wa Maida Athumani. Tumeipata simu yako. Kwakweli nimeipokea katika majonzi makubwa sana ndipo nikampa mzee mwenzangu taarifa hiyo. Tulihuzunika sana na niseme tu ukweli habari hizo zimemfanya hadi mke wangu amepoteza kabisa fahamu kwani huyu ndiye aliyekuwa tegemezi kwetu” mzee huyo akafuta chozi lililokuwa likitoka jicho moja la kushoto kuonesha kuwa alikuwa yu katika majonzi mazito. “poleni sana wazee wangu kwanza kwa kutoka mbali, pili kwa kuwapoteza wapendwa wenu ila hakuna mwanadamu anayeweza kusimamisha kazi ya Mungu. Hilo ndilo lililotokea na kwa bahati mbaya mimi nilikuwa kazini na huyu kijana alikuwa kwenye shughuli zake na mke wangu nae alitoka nahisi hivyo wakavamiwa wakiwa wenyewe na kwa kuwa walichokikusudia hawakukipata ndipo wakaamua kutenda unyama huo kwa hasira zao.” ulikuwa ni uwongo mkubwa sana uliokwa ukitolewa hapo na Joesan. Chriss hakuelewa kabisa kitu ambacho kilikuwa kinaendelea mahali hapo. Joesan alikuwa akiongea uwongo tena bila wasi wasi wowote, alikuwa mkavu kabisa. “Salome na Maida walivamiwa? Saa ngapi? Mbona mjomba simuelewi jamani, ananichanganya kabisa. Maida ameuwawa na Salome na Salome amejiuwa mwemyewe leo mjomba anasema ni majambazi wamevamia, hii inaingia akilini kweli.” aliwaza Chriss akiwa amejiinamia chini. hakuelewa kwanini mjomba wake anakuwa muongo kiasi hicho. “lakini huwenda akawa ametumia triki hiyo ili kuficha sababu za vifo vya mabinti hao, kama anafanya hivyo sawa” alizidi kujiwazia kisha akanyanyua macho yake na kuwatazama watu ho ambao nyuso zao zilikuwa zimebeba majonzi makubwa. “masikini wazee hawa wametoka mbali sana hadi napata uchungu moyoni. Aah! Salome kwanini umesbabisha madhara makubwa namna hii, hivi ulimuona baba yako alipokuja kukutazama Monchuary, si alilia sana au hukumuona ulijifanya kufumba macho. Niseme tu ukweli nakuchukia sana Salome na nitakuchukia hadi siku unafufuliwa” alisema Chriss moyoni. Shutuma nyingi alimtupia Salome akimuona ndiye msababishi wa hayo yote akijitoa yeye kwenye sekeseke hilo. Hakujua kuwa bila yeye hayo yote yasingetokea. “kwa mila na desturi zetu” akaendelea kusema mzee huyo muongeaji. “huwa hatuitupi miili ya ndugu zetu hata wakifa umarekani tunabeba na kwenda kuzika kwetu hivyo ujio wetu hapa ni kuja kukuambia kuwa tumekuja kubeba mizigo yetu na kwenda kuzika nyumbani” Joesan alijiinamia chini akawa kama anayetafakari jambo fulani akasema. “nimewasikia na kuwaelewa vizuri wazee wangu na mimi sina pingamizi juu ya jambo hilo. Sasa mimi nitawapa gari ambalo litawapeleka hadi mnakokwemda nadhani hapo nitakuwa nimerahisisha kwa kiasi fulani” akasema. Yule babu muongeaji akapiga magoti akifuatiwa na mzee mwenzake, wakimshukuru Joesan kwa msaada huo. Baada ya hapo aliwakabidhi wale wazee kila mmoja kitita cha fedha kisha akawatakia safari njema huku akitoa sababu nyingi za kutofika kwenye msiba huo. wale watu wakamshukuru sana Joesan na kumtakia heri na fanaka tele. Joesan alizipokea na kumpigia simu mtu fulani ambaye baada ya muda mfupi alifika hapo na gari ambayo iliwachukuwa watu hao. Aliporudi ndani kabla hata hajakaa, alikutana na maswali mengi sana kutoka kwa Chrisi. Akamwambia kuwa ilikuwa ni lazima atumie uwongo ule ikiwa ni pamoja na usalama, pia kumlinda yeye kwani sababu kubwa ya vifo vya binti hao ni yeye. Chriss hakuwa na neno la kuongeza tena akaamua
kukaa kimya kabisa. Joesan akamwambia Chriss watoke kidogo kwani alikuwa na maongezi naye. wakatoka na kuelekea ilipo bustani. Muda wote huo Chriss alikuwa na maswali mengi ya kumuuliza mjomba wake huyo, kitendo hicho cha kutoka hapo ndiyo ikawa nafasi kubwa sana kwa kijana huyo ya kuweza kuuliza kile ambacho kilikuwa kikimsumbua. “Unle unajua sijakuelewa pale ulipokuwa unawaeleza wale wazee pale, mbona hukuwaambia ukweli sasa?” ndilo swali la kwanza la Chriss kwenda kwa Joesan. Joesan aliachia tabasamu kidogo na kusema, “nilijua tu kuwa hilo litakuwa ni swalia lako la kwanza” maneno hayo yakamfanya kijana huyo kuongeza umakini wa kumsikiliza, Joesan akaendelea. “ilikuwa ni lazima nifanye vile na nilifanya vile kwa sababu mbili tofauti. Ya kwanza ni usalama. Unafikiri kama wangejua kuwa mabinti zao wamechomana visu ndani kwangu, ni nani kati ya wale wazee au wale vijana uliowaona pale angenielewa, ni lazima wangefika mbali na ingebidi wewe ndiyo uwajibike. Lakini pili nimefanya vile ili kuondoa kabisa mizizi ya fitina baina yangu na wao, sitaki tena wanisumbue wala mimi niwasumbue nafikiri utakuwa umenielewa vizuri kijana wangu?” alisema Joesan kwa urefu zaidi. Chriss akashusha pumzi ndefu sana na kutulia kwa muda kidogo akitafakari hili na lile bila kupata pa kuanza kusema. “mjomba amefanya jambo la busara sana sidhani kama ningeeleweka kwa jambo lililotoke ni dhahiri mimi ningekuwa pabaya” aliwaza Chriss. “Chriss!” Joesan aliita. Chriss akageuza macho na kumtazama. “najua kuwa upo kwenye wakati mgumu sana na mawazo mengi yamekujaa kuhusu hili lakini tambua kuwa wewe ni mwanaume huna budi kupambana na kila matatizo, usiuruhusu moyo wako kupokea maumivu kirahisi namna hiyo umenielewa?”
“nimekielewa Uncle na nipo sawa kabisa japo siamini kama binti kama Salome angeweza kufanya mambo ya kikatili namna ile, sijui ana roho gani yule mwanamke” aliongea Chriss na kumfanya Joesan aangue cheko kubwa sana hadi Chriss akashtuka, alicheka sana Joesan. “usinichekeshe Chriss, hivi unataka kuniambia haya mambo kwako ni mageni kabisa?” akauliza. Chriss akajibu ndiyo. Joesan akamshika bega na kumwambia. “unataka kuniambia ulipokuwa China kwenye mafunzo yako ya mapigano, hukuwaona wanawake?”
“niliwaona tena ni wengi sana” akajibu Chrss. “vipi uhodari wao katika nyanja ya mapigano?” akauliza tena Joesan. Chriss akajibu kuwa uhodari wao ni mkubwa tena usipokuwa makini hata mwanaume unaangushwa kirahisi kabisa. “sasa hao wote usifikiri kuwa wanaitafuta self diffence, wengine wamewekwa katika mafunzo hayo na vikundi hatari kabisa na wanatengenezwa ili waje kuwa wauwaji wa kutisha” alisema Joesan. Chriss akabaki akishangaa asiamini maneno anayoyasikia kutoka kwa mjomba wake. wakatembea kidogo na hatimae wakafika chini ya mti fulani uliokuwa umestawi sana, hapo wakasimama na kuzidi kupiga domo. “kwa sasa acha mimi nielekee kazini ila kaa ukijua kesho kutwa tunaondoka wote hapa kuna kitu kimoja nimekiandaa kwa ajili yako.” akasema Joesan. Chriss akaitikia kwa furaha sana na kisha wakaondoka wote hapo na kuelekea ndani. Joesan alifika ofisini kwake na kujiweka kwenye kiti chake cha kiofisi na kutulia. Haukupita muda mrefu Suzane aliingia ofisini humo na kumsalimia boss wake huyo na kuchukua nafasi akaketi. “nilitegemea simu yako tena maana mimi sikuwa sawa kabisa jana, mambo yalikuwa shaghala baghala mno vipi mambo yanasemaje?” Joesan alianza mazungumzo. “ni kweli boss nilipanga kukupigia tena lakini usingizi ukanichota na kuja kushtuka ni asubuhi, nikaona siyo mbaya tutakuja kuyaongea ofisini” akatulia kidogo akavuta pumzi na kuendelea. “kwanza nikupe hongera kwa kujua kulea Joesan, Chriss ni bonge la mwanaume, jana Chriss amenifanya kitu kibaya sana sijawahi kufanywa namna ile nikiri hivyo. amenizidi kila idara na anao mzigo utakaotufaa kwenye kazi yetu na…….

“unataka kuniambia Chriss anafaa kuwa Sex Machine” alidakia Joesan. “kabisa, tena yuko vizuri mno. Anao uwezo binafsi wa kukimiliki kitanda nafikiri tutatumia nguvu kidogo tu ya kumuongezea ili afikie kwenye kiwango tunachokihitaji ili aweze kuwa Sex Machine kamili” akazungumza Suzane. Joesan alipatwa na furaha kubwa sana. Hakutegemea kama angempata Sex MChine kwa haraka kiasi hicho. hakujali kama Chriss ni kijana wake tena alimsomesha kwa gharama kubwa kabisa. Alicho jali kwa wakati huo ni kuzidi kupata pesa na sio utu ambao ndiyo uliomfanya apate jina na sifa kubwa mjini hapo kwa jinsi alivyojitolea sehemu mbalimbali, kwenye vituo vya watoto yatima na katika jamii zisizojiweza. Leo anaharibu nyumbani kwake kwa kumfanya kijana wake mwenyewe kuwa mashine ya ngono. Jambo baya sana. “nakwenda kuirudisha heshima yangu ndani ya kampuni, kila mtu alinidharau baada ya kufa kwa Sex Machine wa kwanza. Sasa huu ni muda wangu wa kuwaonesha kuwa mimi ndiyo Joesan.” alijitapa mawazoni Joesan. “Chriss mimi siyo baba yako mzazi hivyo sioni kama utanipunguzia kitu kwenye familia yangu, ninachojali ni pesa na si kitu kingine hivyo kufaa kwako kwenye kazi hii ni ushindi mkubwa sana kwangu” alizidi kuwaza bwana huyo. Mawazo yake yalipotezwa na swali kutoka kwa Suzane. “vipi kwenye masuala ya mapigano?”
“oooh! Huo ni moto wa kuotea mbali usimuone mtaratibu ukadhani ni bwege? Chriss amefuzu mafunzo mbalimbali ya mapigano huko Uchina, Urusi na Marekani. Yuko fiti sana huyo kijana hadi mimi mwenyewe namhofia” akajibu Joesan. “basi kama ni hivyo sawa kabisa nafikiri Mkuu hata kuwa na la kuongea tena”
“ni kweli Suzane maana nilikuwa sina amani moyoni mwangu kabisa hasa nikiliwaza hili jambo. Nafikiri sasa tuachane na hili hebu chukua hiyo sample ya barua ukaipitie na uwaandikie wale jamaa waliotaka kuleta mizigo nchini kupitia jina la kampuni yetu kisha utaipitisha kwangu” akasema Joesan na kuinamia kompyuta yake mpakato na kuanza kubofya bofya. Simu yake ya mkononi ikaingia ujumbe mfupi wa maneno. Akaupitia na kutabasamu kama kawaida yake. Akarudisha jibu na kutulia kidogo kabla ya kuparaza kioo cha simu yake na kuiweka sikioni. “Babuu!” alisema Joe. “niambie kaka, naona umeamka na nguvu kidogo vipi?” akasema Babu Ally. “yaa, niko poa sana leo nafikiri Mungu anapenda niendelee kuwa tajiri tu kaka”
“unataka kuniambia nini tena Joe?” akawahi Babu Ally na kuuliza swali. “niko ofisini kwa sasa lakini baada ya masaa mawili nitakuwa free so tunaweza kupata chakula cha mchana pamoja?” akasema Joe. “yes, of cause”
“basi tutaongea mengi kwa sasa wacha niwajibike ndugu yangu”
“poa poa kaka baadae” akajibu Babuu. Alipokata simu hiyo simu nyingine ikaingia lakini hii hata alipoipokea, haikuwa na maongezi mengi sana. Yalikuwa ni maongezi mafupi na ilionekana ni simu ambayo ilileta taarifa fulani yenye kufurahisha kwa Joesan alijawa na furaha muda wote aliokuwa akiongea na simu hiyo. “nimefurahishwa na technique Muliyokuja nayo nadhani hakuna mtu yeyote atakayefahamu jambo lile. Pesa yenu imeshaingia kwenye akaunti zenu mimi na nyinyi hatudaiani” ndivyo alivyosikika akisema Joesan. akakata simu na kuiweka mezani kasha akaigamia kitini mwake na kujizunguusha juu ya kile kiti cha kiofisi. “najua sasa Chriss hawezi kuwa na maswali tena nimefanikiwa kwa namna moja ama nyingine kwa hili. Kitendo cha kumdanganya msomi kama yeye si jambo dogo hata kidogo. Mandi na Sembugi wamenikosha sana, wale wazee sijui wametolea wapi” akawaza Joe na kuangusha cheko la nguvu akisema. “Joesan, nazirudisha upya biashara zangu na hakutakuwa na mawazo tena maana hili ninaloliingiza huku ni jembe” alizidi kupaza sauti kabisa, ni kama alipagawa Joesan. Utajiri kwake ndilo jambo lililokuwa muhimu kuliko maisha ya mtu, alikuwa yuko radhi kuuwa lakini si kuona anafilisika. Alinyanyua macho na kuitazama saa ya ukutani. Muda ulikuwa umesonga sana, akanyanyuka kitini na kuchukua koti lake akatoka ofisini mule. Alichukua gari hadi maeneo ya Tango Cafe akapaki gari na kuelekea ndani ya Cafe hiyo. akaagiza sharubati ya Karoti na kujimiminia tumboni taratibu huku mara kwa mara akionekana akitazama saa yake ya mkononi. Haukupita muda mrefu sana, akafika Babu Ally mahali hapo na kuomba radhi kwa kufika nje ya muda akatwaa nafasi na kuketi. Nae akaagiza Sharubati ya Embe wakawa wanakunywa taratibu wakiwa wanasubiri oda yao ya chakula. “ndiyo ndugu yangu?” alianzisha maongezi Babuu. “safi tu kijana mambo yanakwenda vizuri sasa muda si mrefu tunarudi katika mtandao wetu wa biashara” alizungumza Joe. “wacha weee! unataka kuniambia Sex Machine amepatikana?”
“ndiyo na ndiyo maana nikasema hivyo, unafikiri nimesema hivyo kwa sababu gani.” akaweka kituo na kumtazama rafiki yake huyo usoni kisha akamalizia kwa kusema “na ni kijana hodari sana ni mzuri katika mapambano nadhani hatutakuwa tukisumbuliwa tena na vile vikosi vilivyokuwa vikitupa presha”
“oooh! Ni jambo zuri Joesan” akaongea Babuu na kuvuta pumzi akasema. “umempatia wapi huyo mtu wa haraka namna hiyo maana jana na leo ni muda mfupi sana?” akauliza Babuu. Joesan akavuta birauli ya sharubati na kupiga kupuo la mwisho lote kinywani mwake. Akahema kwa nguvu sana na kujiweka sawa. “najua utashangaa” akasema. “lakini yote ya yote pesa ndiyo kila kitu kwangu”
“unamaanisha nini?” akauliza Babuu kwa kuto kumuelewa bwana huyo. “ni kijana wangu!” akashusha pumzi zile alizozivuta awali na kuuwegamiza mgongo wake kitini. Macho yalimtoka Babuu, masikio yake aliona kama yana mdanganya. Akaweka mikono yake mezani na kumuinamia Joesan na kuuliza kwa karibu kabisa. “Chri……..Chri ss ndiyo amekuwa Sex machine? no, Joesan hatuendi hivyo”
“Babu Ally, utajiri kwangu unathamani kubwa kuliko maisha ya kiumbe chochote hapa duniani, kwahiyo kumfanya Chriss Sex Machine si jambo baya na wala sioni kama ubaya wake utakuja kutokea hapo baadae, pia hakuna madhara kwangu wala hakutanipunguzia kitu wewe unaogopa nini” aliongea Joesan. lakini Joe ukumbuke kuwa uliahidi nini, ukumbuke Joesan. Chriss siyo wa kustahili adhabu hiyo maana hiyo ni kama adhabu. Ulimuahidi nini Isihaq?” aliuliza Babuu na Joesan akajibu na kumwambia “nakumbuka lakini hilo siyo la kunizuia mimi kamwe. Unajua wakati mwingine Babuu, siyo kila ahadi unayoahidi uitimize. Nyingine zinakuwa ni geresha tu za maisha hivi wewe unajua sababu ya mimi kumsomesaha huyu kijana kwa gharama kubwa namna hii?”
“najua ndyo” alijibu Babuu. “ni ipi?” aliuliza tena Joe. Babuu akajibu. “ni kwasababu ni ndani ya ahadi zako kwa Chriss pindi tu ulipo muulia baba yake”
“ha ha ha haaa! Kweli Babuu wewe unajifanya mjahidina sana tena unajifanya ni wale wasomi wa juu kabisa katika dini. Hivi inawezekana vipi,” akaweka koma na kutulia kama anayesiliza kitu kisha akaendelea na alipokomea. “inawezekana vipi nimuangamize mtu kwa ajili ya kupora mali zake, halafu eti aje arithi kijana wake. Wrong Babuu, mawazo yako hayaendani na kile ninachokifiria mimi, mimi nilichukua jukumu la kumsomesha Chriss ili tu nije kumtumia katika mambo yangu. Ilikuwa ni lazima gharama zangu za kumsomesha zirudi na ndiyo maana nikampa mafunzo ya mapigano pia” alisema Joesan na kucheka kwa madaha sana. Babuu alitulia kimya akisikiliza maneno hayo. alinyanyua birauli akapiga funda jingine kubwa la sharubati na kuirudisha birauli hiyo mezani ikiwa tupu. Akagoa kidogo na kusema. “Kaa ukijua Chriss akijua hili hatakuacha hai hata kidogo ni lazima atalipiza kisasi cha wazazi wake”
“siwezi kumpa hiyo nafasi hata kidogo na……!” akakwama kidogo kisha akanyanyuka na kumuinamia Babuu akaendelea. “na nitauwa kila atakaye karibiana na mtu huyu am Joesan” akapiga kifua chake kwa nguvu na kuondoka kwa kasi. “Joesan amekuwa katili sana siku hizi mimi nilijua anaachana na tabia hii kumbe bado kabisa” aliwaza Babuu huku akimtazama rafiki yake akiwa anatoka nje ya jingo hilo. Joesan aliingia garini mwake na kutulia, akalegeza tai na kujilaza kitini. “Babuu anamaana gani kusema kuwa Chriss anaweza kujua kuwa mimi ndiye niliye wauwa wazazi wake. Hii siri ni ya siku nyngi sana na mimi na yeye tu ndiyo tunaifahamu, anaweza kuwa nyoka hatari sana kama nitamuacha” aliwaza Joesan. Akawasha gari na kuliondoa kwa mwendo wa taratibu. “Babuu wewe ni rafiki yangu wa siku nyingi sana lakini sikuamini tena na taratibu zangu zinasema yeyote nisiyemuamini hana haki ya kuishi. Utanisamehe lakini ni lazima kabla ya kesho uwe maiti, wewe si mwema tena kwangu” akawaza tena Joesan, akabadili gear na kukanyaga mafuta injini ya gari ikalalamika.

**********************************************

Usiku wa siku hiyo Babuu akiwa ametulia kwenye hoteli aliyofikia akiwa ameyaelekeza macho yake luningani akifuatilia taarifa ya habari, mlango wa chumba alichopo ukagongwa kwa utaratibu mara tatu. Babuu akanyanyuka na kwenda kufungua mlango. Akaingia mtu mmoja aliyevaa kofia pana ya chepeo iliyoyafunika macho yake kisha mtu huyo akaivua hiyo kofia na kumtazama Babuu usoni. “Joesan, mbona usiku bila taarifa nini tena ndugu yangu!?” aliuliza kwa mshangao Babuu baada ya kuiyona sura ya mtu huyo. “umefanya vizuri kunifahamu maana mimi na wewe hatuto fahamiana tena baada ya hapa” akasema Joesan kwa upole sana. “sijakuelewa Joesan”
“utanielewa tu Babuu” akaongea Joe na kumtole rafiki yake wa siku nyingi bomba la bastola na kumuelekezea usoni. “nini tena Joesan” alipatwa na mshangao wa hali ya juu sana na macho kumtoka. Joesan akarudi nyuma hatua tatu na kusema. “nimeamua kukuuwa ili Chriss asije kujua chochote kuhusu kifo cha wazazi wake napenda maisha yake yote anitumikie mimi hadi pale nitakapoamua kumuua kwa mikono yangu mwenyewe na napenda ubongo wake ubaki na picha moja tu kwamba wazazi wake wamefariki kwa ajali. Nakuuwa huku naumia moyoni, nakupenda sana Babuu na nitakukumbuka siku zote” akamaliza na kuiruhusu bastola ile ifanye yake. Risasi mbili zikalichapa paji la uso la Babuu, alama ya nyota ikajitokeza na Babuu kushindwa kuubeba tena mwili wake. akadondoka chini kama mzigo. Joesan aliivaa ile kofia tena na kutoka mule ndani na kutoweka pasipo kujulikana.

Siku ya kwanza ikaisha, ya pili ikawadia ambayo ndiyo siku ya ahadi ya kumpeleka Sex Machine. Chriss jiandae haraka nikukute kwenye gari saa mbili natakiwa niwepo kazini nipo nje ya muda” alisema Joesan. “niko tayari Uncle nakusubiri wewe tu” akajibu Chriss………..

akajibu Chriss. wakaelekea maegeshoni na kuingia garini. Chriss ndiye aliyekuwa dereva, akalito langoni na kuikamata barabara ya mjini. hawakuchukua muda mrefu sana kufika mjini. Chriss akapaki gari nje ya jingo kubwa sana, wakashuka na Joesan kumuongoza kijana wake kuingia ndani ya jingo hilo. Alifika sehemu ambapo kulikuwa na chumba kikubwa chenye samani mbalimbali za kileo, Joesan akamwambia Chriss asubiri hapo kisha yeye akachukua lifti na kupanda flow ya pili. Alipofika flow hiyo, alitoka na kuingia kwenye chumba fulani ambako aliwakuta wadada watatu wakipiga soga, akawasalimia na kuwauliza mahali Suzane alipo kwani sehemu yake ya kazi hakumkuta. Akaambiwa kuwa yupo kwenye Computer room lakini kabla hajachukua uelekeo wa huko, Suzane akatokea akiwa na tabasamu usoni kama ilivyo ada yake. “nimekuona tangu ulipokuwa nje, ila kukawa na kijikazi kidogo ambacho nilikuwa nakimalizia” aliongea Suzane akatulia kidogo na kumalizia “wewe elekea kwenye chumba cha mawasiliano kwa ajili ya kumpa taarifa mkuu, mimi acha nimfuate Chriss na wote tutakutana katika chumba maalumu kabla mambo mengine hayajafuata.”
“ok” Joesan akajibu na kuingia katika chumba fulani huku Suzane akichukua lifti kurudi flow ya kwanza. “ooh! Chriss, karibu sana my love” aliongea Suzane huku akimpa mkono Chriss ambaye naye alisimama na kuupokea mkono huo akisema “nimekaribia Suzane, leo nimevamia kazini kwenu ni jingo zuri sana aisee hongereni sana”
“hongera ya nini sasa?” akauliza Suzane. Chriss akasema ” si ya kufanya kazi kwenye jingo zuri na lenye hadhi” aliongea Chriss huku akicheka. “vipi kama utapata nafasi ya kufanya kazi hapa?” likawa ni swali la mtego kutoka kwa Suzy. “unadhani Uncle atapenda nifanye kazi anapofanyia yeye?”
“si jibu la swali nililokuuliza Chriss wewe ni msomi bwana sasa mbona unajibu kama huna Master kwenye ubongo wako” akasema Suzane huku akitabasamu zaidi. “ooh! samahani Suzy, lakini sidhani kama kuna mtu anaweza kukataa kufanya kazi kwenye kampuni nzuri na yenye sifa kubwa Afrika mashariki kama yenu, ni bahati ya mtende kuota jangwani hiyo” akasema Chriss na kumfanya Suzy acheke kwa nguvu sana. Alipoacha kucheka, alimuomba Chriss amfuate. Chriss hakupinga alimfuata, wakavipita vyumba kadhaa na kuingia kwenye lifti na kuiruhusu iwapeleke flow namba tatu. walipofika mlango wa lifti hiyo ukafunguka wakatoka na kungia ndani ya chumba kimoja kizuri sana kilichosheheni vifaa vya kiofisi.

Kwa upande wa Joesan baada ya kuingia chumba cha mawasiliano, alikaa kitina na kutulia kimya na mara hiyo hiyo sauti ikasikika ikisema. “kuna habari gani nzuri Joesan?” Joesan aliiweka suti yake vizuri na kujibu kwa madaha makubwa “ahadi yangu nimekwenda kuitimiza leo mkuu”
“Joesan utanifanya niwe katili sana kwako endapo kama unajaribu kunidanganya, ukumbuke kuwa nimekuvumilia kwa muda mrefu”
“najua mkuu na ndiyo maana niko hapa kwa kujiamini zaidi” alijitapa Joe. “any way fanya linalowezekana kesho asubuhi angie kwenye jaribio la kwanza” ikahitimisha sauti hiyo ya mkuu na mawasiliano yakakata. Joe hakuwa na muda wa kupoteza tena alijua ni wapi kwa kuelekea. Alitoka mule chumbani na kuelekea kwenye chumba ambacho alikuwamo Suzane na Chriss. “mtanisamehe kwa kuwachelewesha jamani, nilikuwa namalizia jambo fulani hapo chini enhe! Vipi lakini” aliongea Joesan. “hujachelewa sana Boss” akasema Suzy na kumgeukia Chriss na kumwambia. “Chriss, kama nilivyokuambia kuwa ujio wako wa leo hapa si wa bure hivyo kuna jambo la msingi sana ambalo wewe limekuleta.” aliweka tuo kidogo na kumtazama Joesan kisha akaendelea. “kuna kazi….!”
“kuna kazi!?” ni kama hakuamini Chriss alichokisikia. “ndiyo ni kazi itakayokuingizia pesa nyingi sana ambazo hukutarajia kuzipata”
“ni kazi gani hiyo?” Chriss akawahi kwa swali ambalo lilimfanya Suzane ameze mate kwanza kabla ya kuzungumza. “kabla hujaijua hiyo kazi yenyewa ni vema kama utafahamu haya machache nitakayo kueleza.” akaweka tuo na kuendelea “Chriss, utajiri una siri nyingi sana, utajiri unaficha mengi usidhani kuna tajiri duniani anayepata pesa kwa njia halali. Matajiri wengi duniani wanaingiza pesa kwa njia haramu na njia hizo ndizo zinazomfanya mtu kuwa tajiri pia kumpa heshima kubwa. Hivyo basi, kazi iliyopo hapa kama utapenda kuifanya ni kazi itakayokwenda kuyabadilisha maisha yako kabisa” akatulia Suzane ili kuyaruhusu maneno yale yapenye panapo stahiki. Chriss alikuwa ametulia kimya akiwa na shauku kubwa ya kutaka kujua kuhusu kazi hiyo. Joesan ameomba nafasi hii ambayo ni aghalabu sana kuipata mara nyingi nafasi hii hutolewa kwa watu maalumu na kampuni inafanya hivyo ili kila kitu kiende kwa usiri mkubwa na kwa kuwa kampuni inamuamini sana mjomba wako, ikaamua kumpa nafasi hiyo kwa masharti makubwa sana. Chriss unatakiwa kuwa SEX MACHINE.”
“whaaat!!!!?” akang’aka Chriss baada ya kusikia kauli hiyo ni wazi hakuielewa. Ni vipi awe Sex Machine, inamaana hiyo ndiyo kazi hasa iliyomfanya kufikishwa mahali hapo? Yalikuwa ni maswali mengi sana aliyojiuliza. “Suzane!” akaita Chriss. Suzane akamuangalia Chriss. “sijakuelewa bado?” akaongea Chriss. “najua kuwa ni vigumu kuelewa lakini ukiamua kuifanya kazi niliyokuambia nakuhakikishia kuwa hutakuwa Chriss huyu wa leo” akaongea Suzane. “mjomba ni kweli analosema madam hapa?” akauliza Chriss. “ndiyo Chriss, najua kuwa utaiona ni kazi ya kishenzi sana lakini ni kazi yenye utajiri mkubwa. Vijana wengi Afrika na dunia wanatajirishwa na kazi hii, nimejipendekeza kwenye kampuni ilimradi na wewe kijana wangu upate hiyo nafasi inakufaa sana. Wewe ni msomi mkubwa na unaujuzi ambao utashinda kwenye comperition mbalimbali” aliongea Joesan. Chriss alipinga vikali sana. Hakutaka kabisa kufanya kazi hiyo aliyoiita ya kishenzi na kidhalilishaji. Wakatumia ushawishi wa kila namna na aina mbalimbali ili kuweza kumteka kijana huyo ki fikra lakini hawakufanikiwa. “niko radhi kwenda kuishi popote pale kama utakuwa umechoka kuishi na mimi mjomba lakini si kufanya kazi hiyo” alifikia uwamuzi wa kuongea maneno hayo Chriss. Alidhamiria kabisa kuwa hawezi kufanya hiyo kazi na yuko radhi hata kama ni kufukuzwa nyumbani. Joesan alichoka. Mategemeo yake ya kudhani kuwa kazi itakuwa rahisi ya kumshawishi kijana huyo iligonga mwamba. “nimejiingiza pabaya sana Suzane, sijui adhabu yangu ni ipi. Nilidhani nafanya hivi kumsaidia kijana wangu kumbe najiharibia mwenyewe, Chriss mwanangu naomba unisamehe kwa kukulazimisha kitu usicho kipenda ila….!” hakumalizia Joesan. Alikuwa mnyonge kupita kawaida na baada ya kuongea kauli ile ambayo iliishia katikati, alinyanyuka kinyonge sana na kuwapa mgongo. Alipiga hatua tatu mbele na kugeuka kuwaangalia. Macho ya Joesan yalijaa machozi mengi sana ishara ya mtu aliyekuwa katika majonzi mazito kasha akageuka na kutoka mule ofisini. Chriss hali ile kwake ilikuwa ni ngeni kabisa, hakuwahi kumuona mjomba wake akiwa katika hali ile hata siku moja ikambidi kumuuliza Suzane, kulikoni na ni nini kinachoendelea mahali hapo. “hata mimi naishangaa hali hii huwenda kuna jambo kubwa sana litamtokea si kawaida hii” aliongea Suzane. Kimya kikatanda mahali hapo kila mmoja alitafakari lake. Suzane akavunja ukimya na kumwambia Chriss ni nini anafikiria kwa wakati huo. Chriss akamjibu kuwa hana analolifikiria na hawezi kubadili msimamo wake hata iweje. Suzane akagonga mwamba kabisa na hakuwa na jinsi tena. Ushawishi wake kwa kijana huyo mwenye msimamo mkali ulifika mwisho. Wakahamia kwenye maongezi mengine na kuliacha jambo hilo lakini hali ya mabadiliko ya Joesan bado ilikuwa ikimtesa sana Chriss alikuwa akijiuliza mara kwa mara mawazoni nini kimembadilisha ghafla namna ile, ni yeye kukataa kuwa Mashine ya ngono? Na kama si hivyo ni nini sasa? jibu ndilo lilikuwa mtihani. Akamgeukia Suzane na kumuuliza “unaweza kujua ni wapi mjomba atakuwa ameelekea kwa sasa maana hali aliyoondoka nayo kwa kweli na maneno aliyoyaongea yananitia hofu kidogo” Suzane alimuangalia Chriss kisha akayakwepesha macho yake na kuangalia pembebi akasema. “unaloliongea ni la msingi sana Chriss hebu nisubiri hapa nikamtafute nijue wapi ameelekea” kasha akanyanyuka na kuondoka akimuacha Chriss katika mawazo. “kinachopangwa na sisi ni lazima kitimie, hatuwezi kufeli hata kidogo” alisema mawazoni Suzane alipokuwa akitoka ndani ya chumba hicho. Chriss alisubiri kwa muda wa kama dakika tano, Suzane akarudi na moja kwa moja alisimama kijana huyo ili kujua ni haki gani au ni kipi kilichosababisha Mjomba wake kuwa katika hali ile ya majonzi. Suzane hakusema kitu bali alitulia tuli na kila alipotaka kusema ni kama kulikuwa kuna donge fulani linamzuia kooni mwake, alichokifanya ni kumshika mkono Chriss na kutoka nae mule ndani. Waliingia katika chunba kimoja ambacho kilikuwa na giza sana na walipoingia tu taa za rangi ya kibuluu zikawaka. Kilikuwa ni chumba kidogo sana ambacho hakikuwa na kitu chochote na pia hakikuwa na hata sehemu ya kukalia. “hukupaswa kuja huku Chriss lakini kwasababu ya mapenzi yangu kwako imenibidi ni kulete ili uweze kuona mjomba wako anavyoteseka sababu yako” aliongea Suzane na kupiga hatua tatu mbele akabonfya kitufe fulani na pazia kubwa jeupe likajivuta kwa kila upande. Mbele macho ya Chriss yaliona kioo kikubwa na upande wa pili kukiwa na mtu aliyekuwa amefunikwa kwa mfuko mweusi huku kukiwa na watu wawili walioziba sura zao wakionekana wakimpa mateso makali mtu huyo. mfuko ule aliokuwa amefunikwa ukafunuliwa. Sura ya Joesan iliyokuwa inavuja damu nyingi ilionekana. Kipigo kikali kilikuwa kikiendelea, hakupewa hata nafasi ya kupumua Joesan. Alipiga kelele sana japo zilikuwa hazisikiki kutokana na uzito wa kile kioo lakini ilonesha dhahiri mtu huyo kuwepo katika maumivu makali. mtu mmoja miongoni mwa wale watesaji alishika waya fulani na kuziunganisha kwenye umeme. Joesan alionekana akifulukuta kutokana na shoti kali aliyokuwa anipata mahali hapo. “nooooo!!” alipiga kelele Chriss na kukivamia kile kioo na kuanza kukitandika makonde mazito huku akizidi kupiga kelele kuhakikisha watu wale wanaacha lile zoezi la kumtesa mjomba wake. Ni kama alikuwa anacheza mchezo wa kuigiza mbele ya kioo kile kwani hata angekuja na bastola asingeweza kukipa hata ufa kioo hicho acha huko kukipasua. Watesaji wale walikuwa wakizidi kumtesa kwa sifa kubwa sana tena walikuwa wakitoa nateso huku wakimcheka kijana huyo kwa jinsi anavyokiparamia hicho kioo. Chriss naye hakuchoka kukipelekea makonde kioo kile hadi mikono yake ikawa inavuja damu kabisa. “Chriss” Suzane aliita na kumshika bega Chriss akasema huku akiwa anatokwa na machozi si utani. “huwezi kuvunja hicho kioo my love, ni kioo kigumu sana, hicho kioo kimetengenezwa na material ya kuzui risasi sasa unadhani wewe utaweza kukivunja?”…………

“wanataka nini sasa waniachie mjomba wangu Suzane na ni kwa nini wanafanya haya yote?” aliuliza Chriss akiwa analia kabisa. “nilikuambia kuwa kampuni ilimuamini na kujua kuwa hawawezi kumuangusha kwani mtu huyo ambaye ni Sex Machine ni muhimu sana na waliamini watafanikisha kuingia kwenye ushindani mkubwa wa kibiashara. Kitendo cha wewe kukataa, kilimfanya Joesan ashindwe kukulazimisha nadhani unajua ni kiasi gani Joesan anavyo kupenda na hapendi ukumbwe na matatizo. Akaamua kuiambia kampuni kuwa ameshindwa kumleta huyo Sex Machine. Sikutegemea kama wangefikia uamuzi huu na nilipouliza sababu za kumfanya hivi, pale nilipokuwa nimekuacha pale ofisini, nikaambiwa kuwa mkuu amekasirika sana na amekichukulia kitendo hicho ni cha kitoto na dharau kubwa hivyo akatoa amri Joesan ateswe hadi kifo n….!” alishindwa kuendelea kuongea Suzane. Kilio kikashika hatamu ni kama alisemalo mahali hapo lilikuwa na ukweli asilimia mia. “unataka kuniambia mjomba anateswa hadi kifo?” aliuliza Joesan. Suzane alishindwa kujibu kwa kujifanya kilio kimemzidi. Chriss alipandwa na hasira kali na kukigeukia kile kioo, alikiparamia huku anapiga kelele mtindo mmoja kisha amkamgeukia tena Suzane. “huyo mkuu ni nani na yuko wapi?” lilikuwa ni swali lililobebwa na sauti nzito hadi Suzane akaogopa. “hajawahi kuonekana hata nywele zake zaidi ya sauti pekee” alijibu Suzane na kutoa macho ya mshangao kule kwenye kioo na Chriss alipogeuka, alimshuhudi mjomba wake akiwa ameangusha shingo upande mmoja kuonesha kuwa yupo katika hali mbaya kupitiliza. “nini wanataka Suzane, wanataka nini waniachie mjomba wangu watamuua kweli?” alisema Chriss huku akiwa anamtikisa Suzane. Dada huyo alitabasamum moyoni furaha ikiwa kubwa kabisa. “kwisha jeuri yako” alisema moyoni namna hiyo huku akiwa amebeba huzuni ya bandia usoni. “ni wewe kukubali kuwa Sex Machine” alisema Suzane. Chriss akataka kugoma lakini alipotazama kwenye kile kioo, aliona mjomba wake akiwa kashikiwa bastola tayari kumalizwa kabisa. Upendo alionao Chriss kwa mjomba wake ni mkubwa kupita kiasi. alifikiria mambo mengi, aliifikiria elimu aliyopewa, aliyafikiria malezi mazuri jinsi alivyokuwa analelewa na bwana huyo kama ni mtoto wa kumzaa mwenyewe. Ni vipi basi angeamua kumuacha pindi tu wazazi wake walipokufa, ni nani basi angejitolea na kumlea, kumsomesha hadi kufikia elemu ya juu kabisa. Mbaya zaidi leo pia anaamua kufa kwa sababu yake, Joesan alikuwa ni kama mzazi wake wa maisha yake, hakuna ambaye ataruhusu mzazi wake auwawe mbele ya macho yake hata kama itakuaje. “waambie waache kumuuwa mjomba Suzane nime…….!” alikwama Chriss, machozi ya uchungu yalimtoka anaamua kuwa Sex Machine kwa sababu ya maisha ya mtu anayempenda. Chriss alifumba macho kwa uchungu mkubwa na kuikunja ngumi yake ya mkono wa kushoto akimalizia kusema “nimekubali kuwa Sex Machine” Suzane alitamani aruke kwa furaha lakini isinge leta picha nzuri. Furaha aliyokuwa nayo ni kubwa sana. Aliwapa ishara wale watu wasimamishe zoezi walilokuwa wanalifanya. Watesaji wale wakaacha na kuzirudisha silaha zao kibindoni kisha wakamfungua pale kwenye kiti na kumtoa. Kitu cha kwanza alichokihitaji Chriss ni kumuona mjomba wake kwanza na si kitu kingine. Suzane akamchukua na kutoka nae hadi kwenye chumba kingine hapa akamwambia amsubiri, hakupinga Chriss. Suzane akachepuka kona kadhaa na kunyanyua kifaa cha mawasiliano. “Boss Chriss anahitaji kukuona” akasema. Upande wa pili ukamjibu kuwa aelekee chumba cha tiba. Akakata mawasiliano hayo Suzane na kurudi alipomuacha Chriss. “nifuate tafadhali” aliongea Suzane na wakaongozana hadi ilipo lifti wakaingia na kushuka chini zaidi hadi flow namba mbili ambayo ipo chini ya ardhi. lift ikafunguka wakatoka na kukifuata kikorido kidogo kisha wakaingia kwenye chumba kimoja. Walimkuta Joesan akiwa taabani kabisa sura yake ilikuwa inamajeraha ya kutosha huku akiwa amevimba mdomo. Chriss alikimbilia hadi hapo kwenye kitanda na kupiga magoti. “mjomba uko salama kweli mjomba?” aliuliza Chriss. “usijali mjomba niko salama” aliongea Joesan akionekana kupambana na maumivu makali sana. “nisamehe sana mjomba sikujua kama yangekukuta haya yote ningejua kama watafikia hatua ya kukufanya hivi nisingebishana na wewe, nisamehe sana mjomba wangu” aliomba radhi Chriss huku machozi yakimbubujika ni wazi kabisa jambo lile lilikuwa likiuumiza sana moyo wake. Joesan alimwambia asiwe na shaka ilhali amekubali kuwa Sex Machine basi hawawezi tena kumgusa kwani hiyo ndiyo ikiyokuwa sababu kubwa ya mateso yale yote.

ILIVYOKUWA.

Joesan baada ya kutoka kwenye ile ofisi akiwa katika hali ya majonzi, alikwenda kwenye chumba kinacho tumika kwa uendeshaji wa mitambo na suala hilo, Suzane alikuwa akilifahanu kabisa na walipanga hivyo kwamba Chriss akiwa mbishi kuelewa, basi wangetumia njia hiyo. Alipofika kwenye kile chumba alimkuta mtaalamu wa kuindesha mitambo hiyo iliyokuwa ikitumia Computer. Joesan akamueleza kitu anacho kihitaji. Na alieleza kila kitu kwa mtaalamu huyo na kumfanya mtaalamu huyo afurahi sana kwani haikuwa kazi ngunu kwake. wakaitwa vijana wawili wakavalishwa maski maalumu na wote wakakalishwa kwenye viti maalumu ambavyo vilikuwa maalumu kwa kazi hiyo. Wakafungwa na mikanda kisha wakafunikwa na mfuniko wa kioo. Mtaalamu huyo akaanza kazi yake ya kuchezea kompyuta. Akavuta picha tatu ambazo zilikuwa ni za wale waliofungiwa kwenye ule mtambo na kuanza kuzichezesha picha hizo mithili ya mtu achezaye gemu. kila kilichokuwa kinaendea hapo ndicho kilichokuwa kinatazamwa na Chriss pamoja na Suzane kule ambako Chriss alipelekwa. Joesan hakuwa akipata mateso yoyote kilichokuwa kikifanyika ni usanii tu na si kitu kingine. Chriss alivyokubali kuwa sasa yuko tayari kuwa Sex Machine, yule mtaalamu aliona kupitia kwenye mashine yake hivyo kuamua kuusitisha mchezo huo kisha wakamuingiza Joesan kwenye chumba ambacho alifanyiwa opareshen ndogo na kumfanya aonekane ni mtu aliyepata mateso makali. Lilikuwa ni zoezi la muda mfupi sana wala halikuchukua hata dakika mbili kisha akaelekea katika chumba cha matibabu ambako ndiko Chriss alipomkuta akidhani ni mgonjwa kumbe alichezewa picha la kuigiza ili kuweza kumuingiza mkenge na kweli aliuingia bila ya kupenda. “muda umekwenda sana Chriss nadhani sasa ungekwenda nyumbani” aliongea Joesan. “wewe unabaki hapa Uncle?”
“ndiyo daktari amesema ni vema kama leo ningepumzika hapa kwa ajili ya matibabu zaidi nafikiri hadi kesho ndiyo nitaweza kuruhusiwa”
“tuta baki wote mjomba ziwezi kwenda nyumbani unafikiri nitamjibu vipi shangazi akiniuliza kuhusu wewe” aliongea Chriss. “sawa kama ni hivyo lakini kama unavyojua kuwa hii ni kampuni kubwa hivyo kila kitu wanasimamia wenyewe hutoruhusiwa kubaki hapa na mimi watakachofanya watakupa chumba kingine ulale na si hapa”
“haina shida mjomba ni sawa tu nitalala lakini si kurudi nyumbani bila wewe” alizungumza Chriss na kukubaliana hivyo. Muda huohuo daktari akaingia na kumuoba Chriss atoke kwani haruhusiwi tena kuwepo mahali hapo. Joesan akamueleza daktari huyo na kumuambia Chriss apewe mahali pa kupumzika. Daktari akatoka na Chriss hadi sehemu ya juu ya lile jingo na kuoneshwa chumba atakacho lala kisha daktari huyo akatoka na kumuacha kijana huyo akiwa ni mwingi wa mawazo sana. “umenisaidia sana mjomba, siwezi kukuacha ufe kizembe nilipa kukulinda pindi tu uliponipeleka China kuchukua mafunzo makali ya kijeshi ambayo yalikuwa ni ya siri sana hukuishia hapo, pia ukanipeleka Urusi na kumalizia na Cuba kote huko ulitaka nipate ujuzi ili nije kuwa hodari zaidi.” aliwaza Chriss mara tu baada ya kutoka bafuni na kujitupa kitandani. Akaendelea kuutiririsha mkanda huo wa mawazo “nimekuwa hodari kweli uncle Joesan, hakuna kinachonitisha mbele yangu. Sasa kwanini mtu muhimu kama wewe ufe ningali hai. Nakumbuka kuna kauli yako unapenda kuniambia uncle, ‘the second name may be first’ ukimaanisha kuwa jina la pili linaweza kuwa la kwanza sasa nahisi ulikuwa unamaana kubwa sana, labda leo kidogo naweza kuihisi maana hiyo kuwa mimi nimekuwa wewe sasa” ndivyo alivyokuwa akiwaza Chriss lakini kwa upande wa Joesan naye mambo yalikuwa mazuri kabisa na yalikuwa yakienda kama alivyo panga. “Suzane wewe ni mtu muhimu sana kwangu kila kitu sasa kina kwenda vizuri” alisema Joesan. “usiwaze Boss, kama unakumbuka nilichowahi kukuambia, nilisema sisi hatujawahi kushindwa na binadamu wa kawaida. Chriss anaamini uko hoi kwa mateso yale aliyoyaona kumbe hata uchovu huna ha ha haaa!” aliongea Suzane na kuachia cheko la nguvu. Joesan alimshika mwanadada huyo mkono na kutoka naye nje ya jingo hilo, walifika hadi kwenye gari ya Joesan na kuzidi kuongea. “kesho asubuhi nitawahi lakini nataka anikute fiti kidogo ili tuweze kuwatangazia wafanya kazi wote kuwa Sex Machine amepatikana na baada ya hapo Chriss atapelekwa kwenye test ya kwanza” akasema Joesan. Suzy akatingisha kichwa na kusema “vipi lakini maana test hiyo mimi naiogopa sana, unaimani naye katika hilo?”
“hiyo kesho ikifika ndio utajua kuwa Chriss ni nani” akasema Joesan na kuingia garini na safari ikaanza. Hakuchukua uelekeo wa nyumbani kwake, aliiongoza gari yake hadi maeneo ya Mazimbu road. Alikanyaga mafuta na kuifanya gari yake kuongeza kasi ya maana kisha akaiacha barabara inayoelekea Kihonda akaingia kulia huku akiwa anapunguza mwendo taratibu, alikuja kusimama kwenye nyumba moja iliyokuwa imejitenga sana. Akateremka garini na kuuelekea mlango wa nyumba hiyo ambayo haikuwa na uzio wowote. Akafungua na kuingia ndani, ilikuwa ni nyumba nzuri sana kwa ndani, giza lilikuwa limetanda mule ndani hivyo aliwasha taa na kuingia kwenye Chumba kimoja ambacho kilikuwa kama ofisi. Akavuta kiti na kukaa kisha akaifunua computer iliyopo mezani hapo na kuiwasha kisha akaingiza securit code na kuandika ujumbe. “kiongozi nimekamilisha nilichokipanga kwa muda mrefu tutakutana Nairobi siku ya jumamosi” akautuma ujumbe huo na kuufoward kwa kila aliyepanga kumfikishia ujumbe huo. Alipomaliza akanyanyua simu yake ya siri na kupiga namba fulani akaiweka sikioni. “ndiyo kiongozi?” upande wa pili wa simu uliongea. “yaa, saa mbili usiku leo tukutane Tango restaurant” akasema Joesan kisha akakata simu bila kusikiliza jibu la upande wa pili. Alitoka ndani ya nyumba hiyo na kurudi zake mjini. Moja kwa moja alielekea Tango kwa ajili ya kuisubiri miadi ya mtu aliyempigia simu. Aliagiza kinywaji akawa anakimimina taratibu tumboni mwake, dakika kama kumi na tano mbele, mtu aliyekuwa akisubiriwa alifika na kumkuta mwenyeji wake akizungumza na kinywaji laini. “unakwenda kwa wakati Mandi”……………………………

alisema Joesan. “ni kawaida yangu kufika kwa wakati kwenye miadi ya aina yoyote ile, enhe, niambie bwana mkubwa” aliongea Mandi. “kwanza nikupe pongezi kwa kuweza kucheza tric ya maana, wewe ni mtu mbaya sana Mandi sijategemea kama utakuja na technique ile, hivi ulifikiria nini aisee? Na wale wazee mliwatoa wapi wewe na Sembugi, unajua sikutegemea kama mambo yangekuwa rahisi kiasi kile. wazee wale, waliubeba uhalisia kabisa hadi Chriss akajua ni kweli kumbe watu tumecheza dili na ile miili ikaenda kutupwa milimani huko watu tufanye yetu”
“unajua brother kazi hizi tumezianza kitambo sana hivyo tumekuwa ni ma-professional. Kwa kazi ndogo kama ile ya kudanganya au kuigiza kama mzazi si kazi ya kitoto sana” alijitapa Mandi. “ni kweli ni kweli, aah vipi, mimina kinywaji au?” aliuliza Joesan baada ya kuona anakimeng’enyua kinywaji hicho peke yake. Mandi akasema kuwa hajisikii kunywa chochote kwani tumbo lake halikuwa sawa kabisa. “ok, nilichokuitia hapa Mandi kuna kazi iko mbele inakuja nadhani hii itakuwa ngumu kidogo lakini kwa kuwa wewe nakufahamu, huwezi kuniangusha”
“ni kazi gani hiyo boss?” akadakia Mandi. “usiwe na haraka nitakupa taarifa ya siku husika na aina ya kazi” alihitimisha Joesan na kutoa kijitabu cha benki na kuandika cheque kisha akamkabidhi Mandi cheque hio na kusema. “hayo ni malipo ya kazi ile ya kufanikisha kumzuga Chriss juu ya vifo vya wale malaya zake maana bila kufanya vile angenicheleweshea kazi yangu, hiyo ni yako tu achana na ile ambayo nililipa kwa wote. Hii ni pongezi kwako na hata Sembugi nitamuita nimpe pongezi yake. Ninyi ni vijana wangu wa kazi bwana na mmefanya vema sana nitakutafuta wewe na vijana wako siku moja kwa ajili ya kukata maji tu mmenifurahisha sana” alipokwisha kusema hayo, alinyanyuka na kumuacha Mandi mezani hapo yeye akaelekea kwenye gari na kuelekea zake nyumbani huku akiwaza mengi na kubwa ikiwa ni safari ya Nairobi ambayo ilikuwa inampa wakati mgumu wa kuamua ni lini aende.
“naweza hata kuwapigia simu wale jamaa kuwa sitakwenda huko Nairobi, nimezingirwa na kazi nyingi sana. Naweza hata kutuma mzigo kwa njia nyingine” aliwaza Joesan mara baada ya kukumbuka wale jaama aliongea nao kwenye simu.

Asubuhi kulipokucha watu walikutana tena ndani ya kampuni. ilikuwa ni kwenye ukumbi wa mikutano kama kawaida, wafanya kazi wote wa kampuni hiyo walikuwepo hapo wakisubiri utambulisho wa Sex Machine mpya. “mabibi na mabwana, leo ni siku tofauti kidogo kwani tumekutana kwa namna tofauti pia. Najua mlikuwa mkiisubiria sana siku hii ili muweze kumjua Sex Machine mpya kabisa ndani ya kampuni hii” alisema Joesan akiwa katika suti safi ya rangi ya kijivu kama ilivyo ada yake. Alijikohoza kuweka koo sawa na kuendelea kuongea. “ninayofuraha kuwaambia kuwa Sex Machine amepatikana na amekamilika kila idara na kwa muda huu niwape fursa ya kuweza kumuona mtu huyo” makofi yakapigwa kwa mikupuo mitatu kisha ukimya ukafuatia. Wote wakageukia ulipo mlango wa kuingilia ukumbini hapo na kumuona Suzane akiingia na kijana mtanashati, mrefu kiasi na mwenye umbo la kuvutia hakika kwa mtazamo wa haraka kijana huyo alifiti kabisa katika kazi iliyokusudiwa. Aliletwa hadi mbele kabisa na kusimama kisha kuwageukia wafanya kazi hao na kuonesha sura ya tabasamu. Makofi yakarindima tena, wanawake ndiyo walionekana kuvutiwa zaidi na kijana huyo. “anaitwa Christiano Robin Isaya lakini jina la pili linaweza kuwa la kwanza inategemea wewe utakavyopenda kumuita” aliongea kwa mbwembwe sana Joesan. Baada ya utambulisho huo kila mmoja pale alijua nini kinafuata. “Rafael hivi ukimuangalia huyu kijana anaweza kufaa kwenye hii kazi?” mzee mgobo kama kawaida yake alimtupia mzee mwenzie swali. Mzee huyu alionekana kumpinga sana Joesan, pale Joesan anapokosea kwake ilikuwa ni furaha kubwa sana kwani aliamini katika akili yake kuwa hawezi kuongozwa na kijana mdogo asilani. Kila alichokuwa akikifanya Joesan yeye alikiona kibaya kazi yake kubwa ikawa ni kujaribu kutafuta watu wa kuwashawishi ili waweze kuwa wengi wa kumpinga kijana huyo. Ubaya ni kwamba kila anapogusa anakuta hakuna msaada na wengi walikuwa na imani sana na kijana huyo. “Joesan namuamini sana kwanza kazi zake huwa hakurupuki, huyu kijana aliyemleta anaonekana ni kidume cha shoka kweli” alijibu Rafael jibu ambalo lilikuwa ni baya sana kwa Mgobo. “nakuambia huyo kijana hawezi kupafom kwenye mapambano kijana anaonekana mchovu kabisa huyu” alizidi kuongea Mgobo. Rafael akageuka na kumtazama Mgobo kwa macho ya udadisi kidogo na kumuuliza. “unauhakika gani kama Chriss hataweza ku-perfom kwenye compertition?”
“ni kwasababu mimi ndiye ninayepanga majemadari wa kupambana naye sasa unafikiri nitachagua mdebwedo lazima nichague vijana watakaoweza kumshinda huyo Chriss na lazima niwaambie wamuue kabisa. Nataka Joesan asiwe juu kuliko sisi wakongwe” akaongea Mgobo. “mmmm!” aligumia kidogo mzee Rafael na kuongea huku akiwa anamtazama Chriss akiwa anateta jambo na Suzane. “kumbe unania ya kumuangusaha Joesan?”
“ndiyo, mzee mwenzangu Joesan hawezi kuwa juu yetu hata mara moja na ningependa tushirkiane tuweze kumuangusha kabisa” alisema. Yalikuwa ni maongezi ya kimya kimya sana hakuna mtu aliyeweza kusikia zaidi yao wao wawili pekee. “unajidanganya Mgobo Joesan siyo mtu wa kuchezea hata kidogo usifikirie mkuu hana akili kumpa kijana huyu uongozi wa juu” Rafael alizidi kumuweka sawa mzee mwenziye lakini bado Mgobo alizidi kuwa mgumu kuelewa. “subiri uone hapo ndipo utakapojua mimi ni nani nadhani sasa ni muda wa kuelekea kwenye uwanja wa kifo hatoki mtu akiwa hai leo” alisema hivyo mgobo baada ya kumuona Joesan akinyanyuliwa kwenye kiti na kukokotwa kuelekea kwenye uwanja wa mapambano ambao ulifahamika kama uwanja wa kifo kwani kila anaepambana hapo kama hana uwezo basi anazawadiwa kifo kabisa ili kulifanya jambo hilo kuwa ni la siri kubwa hivyo wengi akiwemo Mgobo na yeye akiwa kama mpangaji wa fighters watakao pambana na Chriss, waliamini kabisa kuwa huo ndiyo mwisho wa shababi huyo. Jopo lote la wafanyakazi wa kampuni hiyo, walielekea chini kabisa ya jingo hilo. Flow ya kwanza ambayo ipo chini kabisa ya ardhi. “sheria za pambano hilo ni kali Chriss na kila anayengia kwenye mpambano, edha auwe ama auwawe. Pambano lako ni kufa na kupona hivyo huna budi kuhakikisha unapigana kweli ili kumuweka mjomba wako katika furaha zaidi” alikuwa ni Suzane akimsihi Chriss afanye kweli na asithubutu kuleta mzaha. “nina muda mrefu sana sijapambana hivyo nitapambana kwa weledi wa hali ya juu toa shaka Suzy kwa hilo” alijibu Chriss. Wote walifika flow ya chini na Chriss akaingizwa kwenye mlango fulani na kutokea kwenye ukumbi mkubwa ambao ulikuwa umezunguushiwa vioo, nje ya vile vioo aliwaona wafanyakazi wote wa ile kampuni wakiwa wamekaa wakimtazama yeye. Macho yake yakazunguuka kila upande ili kujua kama mjomba wake yupo. Alipoangalia pembeni kwenye kona ya ule ukumbi ndipo akamuona Joesan akiwa amekaa kwenye kiti akimtazama kwa makini. Akayakumbuka mateso aliyokuwa akiyapata kwa ajili yake akajikuta akipata ari kubwa ya kutaka kupambana. “mbele yako kuna mistari ya rangi nyekundu, mistari hiyo imepishana kwa umbali wa futi tano, ipo mistari kumi kila mstari utakaouvuka inamaanisha umewaruhusu maadui kuja kupambana na wewe, sijui watakuja kwa njia gani lakini watakuja. Mstari wa kwanza ukiuvuka utakuwa umeruhusu maadui wawili na kila mstari utakuwa ukiongeza maadui wawili yaani mstari wa pili utakapouvuka, utegemee kupambana na maadui wanne kama wawili wa mwanzo utafanikiwa kuwauwa ila kama huja wauwa wa mwanzo na ukavuka mstari wa pili inamaana utapambana na maadui sita.” sauti kutoka kwenye spika ilikuwa ikimpa maelekezo. Macho yalimtoka Chriss asiamini anachokisikia kama ndicho anachotakiwa kukifanya. “sasa basi” sauti hiyo kwenye spika ikaendelea. “kupona kwako ni mpaka pale itakapoondoka roho na mwili wakoko kuuacha mahali hapo, nakutakia mapambano mema unaweza kuanza.” Chrss alikuwa kama kapatwa na bumbuwazi fulani hivi. “inamaana nikifika mstari wa kumi nitapambana na maadui ishirini? Washenzi sana hawa watu” aliwaza Chriss na kufanya sala ya moyoni na kupiga hatua kuuelekea mstari wa kwanza akiwa ni mtu mwenye kujiamini sana. Kitendo cha kuuvuka tu ule mstari, walichomoka watu wawili ambao haikujulikana wametokea pande gani. Walikuja kama mshale na kumvamia Chriss, wakampelekea makonde ya kushtukiza. Japo alikuwa akijiamini lakini hakuwa amejiandaa na ujio huo, alijikuta akichezea kipigo cha Mbwa mwitu katika hizo hatua za awali. Chriss alipigwa kama mtoto tena yalikuwa ni mapigo ya kuchanganya kabisa. Alijtahidi kurusha ngumi lakini ngumi zake zilikuwa zikikosa lengo, alipewa pigo moja la nguvu lililompeleka mpaka chini na kubaki akitweta kama Mbwa aliyekosa windo alilolikimbiza kwa masafa marefu. Huku kwa watazamaji, mzee Mgobo alifurahi sana kuona Chriss amepigwa kwa hatua hiyo ya awali tu hivyo aliona ni jinsi gani Joesan anavyokwenda kudharauliwa na wafanyakazi wenzake huku akiziona hasira za Mkuu zikishuka kwa kijana huyo. “nilikuambia Rafael huyu kijana anaonekana si mpambanaji hata kidogo, anapigwaje kipumbavu katika hatua za awali namna hiyo” alijisifu Mgobo huku akiiweka tai yake vizuri kwa kuibana kidogo. Mzee Rafael alimtazama Mgobo kwa muda mrefu lakini hakusema kitu, aliigeuza shingo yake na kuendelea kumtazama Chriss pale chini alipoanguka. “ha ha haaa!” siwezi kuongozwa na kijana mdogo hata mara moja lazima nihakikishe Joesan anapigwa chini” alisema Mgobo. “Joesan siyo mtu kama unayemfikira wewe hebu tuuone huu mchezo hadi uanavyoisha” alisema Rafael mzee aliyeonekana ni mtu mwenye busara sana. Chriss aliwatazama wale watu kisha akatazama kule ambako watu walikuwa wamekaa wakimtazama yeye. Alinyanyuka tena kwa kasi kwa ajili ya kupeleka mashambulizi lakini aliambulia kichapo hevi, alipigwa Chriss tena alipigwa vibaya sana hadi akalegea kabisa na kudondoka chini akiwa anavuja damu. Akatulia kimya hapo chini akiwa anapumua kwa nguvu sana, kila mtu hapo alikuwa hana imani tena na kijana huyo na ukumbi mzima ukazizima. Mgobo peke yake ndiye alikuwa akitamba hapo hadi wafanya kazi wenzie wakawa wanamshangaa, Joesan aliumia sana kumuona mzee huyo anafurahia jambo ambalo yeye binafsi lilikuwa likimuumiza lakini hakutaka kumfanya chochote alimuacha tu azidi kutamba mahali hapo. Chriss akapata nguvu na kunyanyuka tena kwa mara nyingine, hii ndiyo alipigwa vibaya mno. Wale jamaa wawili waliruka hewani na kuja kutua kwa pamoja kwenye kifua cha kijana huyo na kumrusha mbali kabisa hadi akajipigiza ukutani kwa nguvu sana. Maumivu makali yakamtambaa kijana huyo, damu zikimtoka kwa wingi sana. ………..

. Alinyanyua uso wake na kulitazama lile jopo la watu wanao mtazama mahali hapo. Alimuona mzee mmoja ambaye alikuwa akicheka sana mwisho akamuwekea ishara ya kukata koo kwa kupitisha mkono shingoni. Ishara hiyo Chriss aliichukulia ni kama tusi kwake hivyo akaapa kumuonesha kuwa pale hakukuwa na type yake hata kidogo. Alinyanyuka kama kimbunga na kupeleka shambulio ambalo kila mtu lilimuacha hoi maana hakuna aliyetarajia shambulio la namna ile. Chriss alihakikisha kila pigo anauwa. Aliwapa wale jamaa kichapo cha sekunde tatu kisha akairuka mistari mingine miwili akiwaacha hawa wa nyuma wakiyapigania maisha yao ya mwisho. Chriss alikuwa ni kama mzuka uliorudi duniani kwa lengo la kulipiza kisasi, hakuna adui hata mmoja aliyethubutu tena kuugusa mwili wake. Kila aliyejaribu kumkaribia aliambulia maumivu ambayo alikuwa akiyasoma kwenye simulizi mbalimbali kama ile ya I was born to die iliyoandikwa na mwandishi Frank Mansai. aliimaliza awamu ya pili kama kumsukuma mlevi. Mbele yake alibakiwa na mistari sita ambayo ilikuwa ni migumu sana kuvuka hadi kufika mwisho kwani kila hatua aliyokuwa akipiga alikutana na maadui wenye uwezo tofauti lakini maajabu aliyowaonesha hakuna aliyewahi kuona wala kufikiria kama kuna binadamu anaweza kutokea akawa na uwezo kama huo aliyouonesha huyo kijana. Chriss aliivuka mistari minne kwa wakati mmoja kisha akarudi nyuma kuwavuta. Kilikuwa ni kijiji cha watu na kila mmoja akiwa na silaha yake mkononi, walikuja kwa pamoja hakuna aliyemsubiri mwenzie. Hofu ikajaa kwa Joesan alijua sasa huo ndiyo mwisho wa maisha ya Chriss na alikuwa akifa kifo kibaya sana. Haikuwa hivyo, mambo yalikuwa tofauti, Chriss alipita kama kimondo katikati ya wale watu na alikuwa akizunguuka kama pia. Alipokuja kutulia alibakiwa na watu wawili tu na mkononi kwake kukiwa na cheni iliyofungwa visu vitatu mbele. Kila aliyekuwepo pale alibaki mdomo wazi, yalikuwa ni maajabu ya mwaka. Wale watu wakichinjwa kama kuku wa kisasa. Waliobaki wakawa wanatetemeka badala ya kushambulia, kijana huyo aliruka sarakasi za nyuma na kuja kutua karibua kabisa na mmoja wa wale maadui huku yule mwingine wa pili akiwa kashika shingo iliyokuwa ianavuja damu, yule aliyebakia alipoona amekaribiwa alijichoma kisu mwenyewe na kudondoka chini yaani aliona ni bora kujiuwa mwenyewe kuliko kukutana na huyo mtu wa ajabu. Hakungojea Chriss alimalizia na mistari iliyobakia na sasa mbele yake kukawa na watu wapatao 38. Wote wakiwa ni mapande ya watu. Chriss akatabasamu na kuanza kutembeza kichapo akiwa kabadilisha kabisa mtindo, hapa alikuwa hachinji bali alikuwa akicheza na shingo zao na alizivunja kweli, ndani ya sekunde thelathini, alikuwa amebakiwa na mtu mmoja tu na huyu alibaki kwasababu alikuja mwishoni kabisa mwa mchezo. Jamaa hilo lilikuwa bonge la mtu lenye tumbo kubwa na lilikuwa likitembea taratibu kumfuata Chriss. Chriss hakuwa na presha na jitu hilo, alikaa kimya akiwa anamuangalia jinsi anavyokuja. Mtu huyo alipomkaribia Chriss, alirusha konde zito Chriss akaliona, akarusha jingine nalo hola, akarusha la tatu na la nne, kijana huyo machachari akayumba na kunesa kisha akapiga msamba na kupiga ngumi kama ishirini na mbili hivi kwenye korodani za jitu hilo. Jamaa lilipiga kelele kama beberu aliyekatwa koo. Chriss alirudi juu haraka sana na kumzunguuka kwa kasi ya hatari mkononi akiwa na kisu alichokiokota hapo chini na kukiweka kooni. Akamkazia macho yule yule aliyekuwa anamcheka hapo mwanzo kisha akakipitisha kile kisu shingoni mwa lile jitu na kulisukumia mbele likaanguka kama nguzo ya umeme. Hapo chini palikuwa hapatamaniki kwa umati wa miili ya watu iliyopokonywa uhai kwa dakika chache tu. Kwa wale watazamaji hakukuwa na ailiyekuwa akiongea wote walikuwa kimya kabisa. Mgobo ndiye aliyekuwa haamini kile alichokiona pale, aliona kama ndoto ya mchana, mtu anapigana kwa sekunde chache na kudondosha umati wa watu? Hilo kwake lilikuwa ni swali gumu kabisa. “unapotaka kufanya kitu uwe unafikiria kwanza, bila shaka sasa utakuwa umeelewa kuwa Joesan ni kijana hatari sana” Rafael alimkashifu Mgobo huku tabasamu likiwa usoni pake. Mgobo alikasirika sana kwa kashfa zile, sura ilimbadilika rangi na nyama zake za uso kukunjamana kwa hasira. “kufeli plan A siyo kushindwa kwa plan B. Lazima nilichokipanga kitimie Rafael kama unamkubali huyo mjinga siyo mimi na nakuapia, akifa huyo lazima mimi ndiyo niwe bosi wenu” aliongea Mgobo huku akiwa karibu kabisa na Rafael kisha akaondoka hapo akiwa na hasira kemkem. Mzee mwenzie alitabasamu kwa mbaali huku akitingisha kichwa chake kumsikitikia. “plan A umefeli, plan B pia utafeli na utakosa maisha, nivema ungeachana na mambo ya tamaa Mgobo. Joesan ni dangerous man na atakuuwa ukileta mchezo” aliwaza mzee Rafael, mzee mwenye maono ya mbali. Chriss alikuwa hatamaniki kwa damu alikuwa amesimama palepale akimshuhudia mjomba wake akipewa pongezi za ushindi. Moyo wake ulifarijika sana, aliinama chini na kuzitazama maiti zilivyozagaa, roho ilimuuma kwa kufanya mauwaji yale ambayo hakuwahi kuyafikiria lakini akikumbuka ahadi aliyowahi kumuahidi mjomba wake kuwa atamlinda, alifarijika kwa kuona amemtoa mjomba huyo kwenye mikono ya kifo alichoamini kama asingelikuwa yeye kukubali kuwa Sex Machine, angelikwisha kufa tayari. Joesan alikuwa akizipokea zile pongezi lakini macho yake yote yalikuwa kwa Chriss. Alijua ameandaa silaha hatari sana ambayo kama hatakuwa makini basi inaweza kumrudia mwenyewe. “sitaruhusu mtu akukaribie Chriss, sitamuanini mtu yoyote juu yako. Nitauwa” aliwaza Joesan huku akizidi kupokea pongezi hizo.
Ni rahisi sana kutengeneza ubaya na ubaya huo kuufanya uishi mbali na himaya yako ukiamini kuwa hakuna kitakacho kutisha wala kukusogeza karibu ya ubaya ulioutengeneza. Unasahau semi za wahenga kuwa mchuma janga hula na wa kwao. Joesan amemtengeneza Chriss ili aje kumtumia katika shughuli zake za kiharamia lakini hajui kuwa Chriss ni binadamu na anaishi kwenye jamii, ni vipi kama atajua kuwa Joesan ni chanzo cha vifo vya wazazi wake, vipi akigundua kuwa yule anayemtumikia kwa kila hali ndiye mbaya wake. Je, itakuwaje na Chriss atajuaje mambo yote hayo? Twende sawa.

Mlango ulifunguka wa ule ukumbi Chriss akatoka na kuingia katika chumba kingine alichotakiwa aingie. “hakikisheni leo hii hii anaingia kwenye mtambo utakaobadilisha akili yake pamoja na kumfanya kuwa sex Machine kamili, fanyeni hivyo kabla hajabadilisha maamuzi nadhani mmeona wenyewe uwezo wake sasa akibadili maamuzi mnafikiri itakuwaje” alisema Joesan lakini kabla hajajua afanyeje, binti mrembo alifika hapo na kumwambia kuwa anahitajika na mkuu kwenye chumba cha mawasiliano. Akatoa maelekezo ya mwisho kwa Suzane kisha akaelekea kwenye wito. Chriss, hongera sana my love kwa kazi nzuri kweli wewe ni mwanaume wa shoka” alikuwa ni Suzane mara baada ya kuingia kwenye chumba alichokuwa Chrss. Kijana huyo alitabasamu tu bila kuongea chochote. Suzy akamwambia kuwa avue nguo kwa ajili ya kwenda kuoga. Hakusita, alifanya hivyo mbele ya binti huyo. “jamani huyu kijana ni mzuri sana kila ninapomuona hivi ninajikuta nikimtamani” aliwaza Suzy. Chriss alipangusa nguo zote mwilini mwake na kuelekea bafuni. Alilifungulia bomba la mvua na kujiweka katikati akiyaruhusu yale maji yauloanishe mwili wake, aliyafurahia sana maji yale ubaridi wake na jinsi ambavyo yalikuwa yakimwagika kwa wingi ndiyo kabisa yalizidi kumpa raha. Alipokuwa akijisugua taratibu baada ya kupaka sabuni mwilini mwake, alihisi ulaini wa mikono iliyokuwa ikiupapasa mwili wake. Alifunguwa bomba na kujimwagia maji kwa lengo la kutoa sabuni kisha akaitazama ile mikono iliyokuwa imemkumbatia kutokea nyuma akajua siyo mwingine mtu huyo zaidi ya Suzane. Chuchu mkito zilizokuwa zikiukita mgongo wake, zikaanza kumletea shida. mikono ile laini haikuacha kulipapasa tumbo lake sambamba na kifua chake kipana. “Chriss natamani unifanye kila saa kwa jinsi ninavyovutiwa na wewe, cheki kifua chako kilivyo kizuri, cheki tumbo lako lilivyotengeneza matuta kama raster za barabara ya kwa minchi au yale matuta ya hospitali ya Bombo. Ooouu yaaa, angalia ulivyo na mashine ya kazi. Please Chriss nijaze nao tunduni nifaidike” aliongea kwa sauti tamu iliyofanya misuli ya gongoo la muhogo la kijana huyo kutuna na kulifanya lisimame wima. Mikono laini ya Suzy ikiusugua taratibu mtalimbo huo. Chriss alimgeuza na kumvutia mbele akaudaka mdomo na kuanza kupata ladha ya juisi ya miwa huku mikono yao ikisema kwa lugha wazijuazo wao wenyewe. Miguno ya mahaba ikashika hatamu. Chriss akashuka kwenye chuchu mkito za mtoto huyo na kuzitia mdomoni. Suzi akapagawa zaidi na kuzidi kukibinua kufua chake mbele ili kidume hicho kifaidi utamu wa embe dodo zake kifuani. “ooouuu yaaa, tafuna kila kitu baby kula kwa uwezo wako leo nipo hapa kwa ajili yako Chriss cause umenifurahisha sana. Nitakupa chochote unachotaka leo” alizidi kulalama Suzane. Chriss ni kama alipagawa, alimbeba na kumuweka juu ya sinki la kunawia mikono kisha akazama kunako ladha ya chumvi.. Kelele zikazidi maradufu lakina bado kijana huyo hakutaka kuacha. Utundu aliokuwa akiutumia hapo ulimchanganya Zaidi Suzy. Alipoona amempagawisha vya kutosha, alimshughulikia vya kutosha. Alimpa mambo hadi akajuta kujifahamu yeye ni nani. Roundi mbili za mchezo Suzane alikuwa taabani. Walioga na kutoka mule bafuni huku suzy asiamini kama shughuli aliyopewa na kijana huyo ni baada ya kijana huyo kutoka kwenye pambano la watu si chini ya sitini tena wote wakiwa ngangari kimapigano. aliogopa sana, hakujua kuwa huyo ni mtu wa kawaida ama laa. lakini ukweli wa yote ni kwamba kila alipokuwa akikutana na mwanaume huyo,moyo wake huwa unafarijika sana hakika alikiri kuwa Chriss ni mwanaume wa aina yake. Mipango yote ya kuhakikisha Chriss anapelekwa kwenye chumba cha kumtengeneza kuwa sex machine, ilikuwa imeshaandaliwa. Hivyo alichokifanya Suzane ni kutoka na Chriss mule ndani kwa lengo la kwenda kupata chakula cha jioni. Walipita sehemu mbalimbali mule ndani ya lile jingo na kupishana na watu wa kila aina hadi katika lifti ambayo iliwachukua na kuwapeleka kwenye flow ya kwanza kutoka usawa wa ardhi ambayo ni flow ya tatu kutoka chini. Mlango wa lifti ukafunguka wakatoka lakini wakapishana na watu wawili waliokuwa wamevaa suti nyeusi. Hapa Chriss alikwaruzwa na kitu chenye ncha kali walipokuwa wakipishana na hao watu hadi damu zikawa zinatoka kabisa. Chriss akataka asimame na awaulize lakini bi dada huyo akamsihi awaache kwani anaweza akaeleweka vibaya na ukizingatia watu wote humo ndani walimuona wakati anapambana. “acha waende tu haina haja ya kuwafuatilia” ndivyo alivyosema Suzane. Akaachana nao watu wale na wao kuamua kuendelea na hamsini zao. Hatua tatu mbele zilikuwa ni nyingi sana Chriss alianza kuhisi kizunguzungu, kichwa kilianza kumuuma na nguvu za miguu kupungua …………………….

hatimae akawa anashindwa kabisa kutembea ndipo Suzane alipo muwahi na kumkamata. Aliuzunguusha mkono wake kupitia mgongoni na kutokea kwapani mwa kijana huyo, akamkokota taratibu hadi walipokuja kuchepukia kwenye korido moja ndefu sana. Hapa Chrss ndiyo alikuwa hawezi kabisa kutembea nguvu yote ya mwili wake ilikuwa imemuelemea Suzane. Alizidi kumkokota hadi alipoukaribia mlango wa rangi ya buluu, mlango huo ukafunguliwa na kuingia ndani ya chumba hicho. Hicho kilikuwa ni chumba kilichobeba mitambo ya kutisha sana, mikubwa na iliyokaa kiajabu ajabu. “mlazeni hapo juu ya hicho kitanda” dokta alisema huku akioneshwa sehemu aliyotakiwa kulazwa Chriss. Kilikuwa ni kitanda cha chuma kilichounganishwa na mtambo mkubwa. Chriss akalazwa mahali hapo na kufungwa na mikanda migumu kama tahadhari. Dokta Emmy, mwanadada bonge mfupi mweupe mwenye asili ya watu wa bara Hindi. alielekea kwenye kioo kikubwa na kubofya kitufe fulani na kuanza kusoma taarifa za mtu huyo kasha akasubiri amri ya utendaji kazi ili aanze kufanya yake. Watu wote wakamtazama yeye na kumpa ishara ya kuendelea na kazi yake. Alibonyeza batani nyingine na kile kitanda kusimama wima kisha kikajongea na kujiingiza ndani ya mtambo mkubwa, dokta yule akawa na kazi ya kubofya batani hii na ile mara taa nyekundu ikawaka. Watu hofu zikawatanda. “nini kimetokea hapo?” msaidizi wa dokta Emmy akauliza huku akiwa ni mwenye wasiwas sana. “mtambo unakataa kuleta ripot zake” alijibu Emmy huku akiwa macho ameyaelekeza kwenye kioo hicho cha kompyuta kilichochukua nafasi kubwa ukutani. “itakuwaje sasa kama mapema namna hii inaleta shida” aliongea msaidizi huyo lakini hakujibiwa na badala yake mtu aliyemuuliza akaongeza kasi ya kile alichokuwa akikifanya pale kweye ile kompyuta. baada ya pilika pilika za hapa na pale, ikaanza kuwaka taa ya manjano na hatimaye ya kijani ikafuatia. Nyuso za furaha zikawagubika mule ndani kila aliyekuwepo hapo alifurahi na kugongeana tano kabisa. Ripoti iliyokuwa ikisubiriwa ikatokea, dokta Emy akawa anazisoma huku msaidizi wake akiwa anazinakili mahali. walipo maliza, Emmy akapiga simu muda si mrefu Suzane akafika. “nipe ripoti daktari?” akauliza. “ripoti kamili ni kama unavyoiona”
“inasemaje?” akuliza tena Suzane ikabidi dokta Emmy aisome. “mwili wake unaonekana kuwa na nguvu sana na hii ni kutokana na kuwa na uzito mzuri ana kg 75, hivyo haipaswi kumuongeza uwezo wa aina yoyote ile huu alio nao unatosha sana” Suzy akatikisa kichwa kuafiki kasha dokta akaendelea. “anauwezo mkubwa wa kufikiri na ubongo wake ni mwepesi sana kukumbuka hivyo humfanya awe mwepesi wa kufikiri jambo na kulitolea maamuzi ya papo kwa hapo”
“nashindwa kuelewa Chriss ni kiumbe wa aina gani na kama ni binadamu wa kawaida basi Mungu amempendelea sana” aliwaza Suzane lakini akiwa makini kumsikiliza daktari. “tukija kwenye upande wa homon zake, huku hakuna shaka kabisa ni kidume kilicho kamilika hana chembechembe zozote za kuharibu uwanaume wake, seli zake zinazalisha nguvu ya kutosha. Na uume wake unaurefu wa nchi sita ukiwa haujasimama, unasemaje kuhusu hapa” aliongea daktari huyo na kumtupia swali Suzane. Suzane akasema kuwa inabidi iongezwe kidogo hadi kufikia nchi nane na pia akauliza kuhusu unene, daktari akajibu. “unene ni 4omm. Ikiwa imesimama”
“unene huo unatosha najua hapo ikirefuka hadi kufikia nchi nane, anaweza kubakiwa na mm38 au 36 kamili” akasema Suzy kisha akauliza tena. “je, itachukua muda gani hadi kuwa tayari kwa kila kitu ikiwa ni pamoja na kuuharibu mfumo wa ubongo wake asiweze kukumbuka kila kilichopita na awe ni mtu wa kutekeleza anacho tumwa tu bila kupinga chochote maana hapo ndipo tunapokwenda kuliuwa jina la Chriss na kumbatiza jina la sex machine rasmi.”
“ni muda wa wiki moja na siku tatu nikiwa na maana ya kwamba ataishi ndani ya mtambo huu bila kutolewa kwa siku 10” alijibu daktari huyo. Suzane akaichukua ripoti hiyo ambayo ilikuwa imekwisha chapwa tayari na kutoka nayo.

“habari yako mr. Joesan?” ilisalimia sauti ya mkuu baada ya Joesan kufika ndani ya chumba cha mawasiliano. “nzuri tu mr. Li Kim” alirudisha majibu bwana Joesan. “ok, kaa kwenye kiti hapo rafiki yangu ili tuweze kuzungumza” ilisema sauti hiyo na Joesan akakaa kwenye kiti kilichopo karibu kama alivyo elekezwa. “leo usiku zero, six (06) leo saa 20:00 usiku” ilisema hivyo sauti hiyo kasha mawasiliano yakakatika. Joesan alicheka kidogo bila kutoa sauti yoyote. “si alikuwa na uwezo wa kuniambia bila ya mimi kukaa? Sasa ananiambia nikae wakati kumbe sentesi yenyewe ni moja tena fupi kama kimo cha watu aina ya mbilikimo” alijisemea moyoni Joesan lakini akiwa kaelewa kile alichoambiwa mahala hapo. Akatoka ndani humo na kukutana na Suzane akiwa anatoka chumba kinachoongoza mitambo, Suzy akamkabidhi Joesan ile riport kisha akataka kuondoka, akakutwa na swali “time?”
“ten days” Suzy naye akajibu kwa kimombo kisha akaondoka na kuelekea sehemu yake ya kazi.

Mgobo alipiga ngumi mezani kwa kishindo kikubwa. Ngumi iliyotuwa mezani hapo kama ingelikuwa ni meza ya kioo, haki ya manani isingelivumilia uzito wa utuaji wa ngumi hiyo. Ilikuwa ni ngumi inzito na huwezi kuilinganisha na umri alionao mzee huyo. Aliilegeza tai kabisa na kuurudisha mgongo nyuma ya kiti chake. “haiwezekani kila anachokifanya Joesan kiwe kizuri asilimia mia moja. Kwanini yeye ndiyo awe taa inayong’aa kila kukicha na kukichwa? Kwanini yeye ndiyo awe kila kitu kwa mkuu? No, siwezi, siwezi kuwa chini ya mtoto mdogo kama Joesan. mimi ni mkongwe kwenye kazi hizi iweje yeye apewe kipaumbele sasa na alinikuta kazini tena eti, ndiyo ananipangia kazi” aliwaza Mgobo akiwa amekiegamia kiti chake kama vile kiti hicho kilikuwa kimepata moto, maana alikuwa amejiegamia upande mmoja huku mkono wake wa kuume akiwa kaukunjia mezani. “nini nifanye kumuangusha?” akajiuliza tena na kuskuti kwa muda kidogo kabla ya kuachia tabasamu, tabasamu ambalo ndilo lililoleta jibu la swali alilojiuliza moyoni muda huo, akacheka kabisa cheko zito, cheko la furaha moyoni mwake baada ya kupata njia ya kumuangusha Joesan ili aonekane hana maana kwa mkuu na kwa kuwa baada ya Joesan ni yeye kwa utendaji, aliamini cheo cha kijana huyo katili anakwenda kukaa yeye sasa. “nakwenda kuharibu program ya utendaji kazi wa mtambo najua nikifanya hivyo huyo Sex Machine wake anakufa na hili litamfanya aonekane bado hajafanya kitu. Mkuu atamuangamiza huyu bwege na mimi nitakuwa ndio general wa kila kitu hapa kwenye kampuni baada ya Mkuu” alisema kisha akacheka tena kwa nguvu kubwa na kujiapiza ifikapo usiku ni lazima akamilishe hilo jambo. Akaweka tai yake vizuri na kuitengeneza vizuri suti yake kisha akaivuta kompyuta yake na kuendelea na taratibu za kiofisi.

***********************%%%%%%%%%%%%

SEHEMU MOJA HUKO BRAZIL.
Ndani ya casino moja kubwa lililopo ndani ya mji wa Fortaleza. Mziki laini ulikuwa ukiwapa burudani mabwana wakubwa wenye pesa zao huku warembo wa ki brazil na wa mataifa mengine wakijipitisha pitisha karibu na meza za matajiri waliokuwa wakicheza kamari ili kuona kama wanaweza kupata bahati ya mtende ya kununuliwa na vibosile hao ambao dau lake kwa usiku mmoja linakutoa uchovu wa siku kadhaa ulizokosa soko. Si wote walikuwa hapo kwa niaba ya kutafuta wachumba, wengine walikuwa kibiashara zaidi na wengine walikuwepo hapo kwa lengo la kuzifurahisha nafsi zao kwa kulewa na kucheza michezo mbalimbali ya kamari. Kwenye pembe moja kulikuwa na meza moja upande wa VIP, iliyokuwa imezunguukwa na watu watatu wa mataifa tofauti. Mmoja alikuwa mrusi huyu alikwenda kwa jina la Chalkovich. mwengine alikuwa ni mfaransa mr. Santiano na huyu wa tatu ni mmarekani mweusi aliyefahanika kwa jina la BC au Black Clocodile. Vinywaji vikali ndivyo vilivyokuwa vikiwakata makoo yao kwa wakati huo mahali hapo. “natumai kila mmoja wetu hapa amepata ujumbe kutoka Tanzania?” aliuliza yule mrusi bwana Chalcovich. Wote pale wakatikisa vichwa kukubali. Nadhani mnamjua yule jamaa huwa hasemi uwongo hata mara moja na huu ni ujumbe kwetu kwamba tuwe tayari kwa biashara iliyokuwa imesimama.” akaweka tuo na kuwatazama wenzake. “bila shaka atakuwa kapata Chombo kipya cha kazi?” aliuliza BC. “yeah, bila shaka we si unajua kuwa kazi zetu ni ki proffesional zaidi” akajibu Chalcovich na wote wakaitika na kugonga cheas kisha wakagida pombe kali na kuvishusha mezani vijichupa hivyo vidogo vilivyobeba pombe kali ya kirusi. “ninaamini milele na milele hatuwezi kufilisika” aliongea yule mfaransa na wote wakacheka kwa furaha kubwa. Walifurahi kweli tena walifurahi kupita kiasi kwani waliamini utajiri wao uliokuwa ukiendeshwa kwa kufanya biashara kubwa ya kusambaza madawa ya kulevya duniani kote, inarejea. Walikunywa wakanywa na kulewa kabisa. Kitu ambacho hawakukijua ni kwamba wakati wakiwa wanaongea hayo, pembeni yao meza ya tatu kutoka ilipo meza yao, kulikuwa na msichana mrembo ambaye alikuwa akisikia kila kitu lakini hakuelewa kifaa hicho cha kazi kilichopatikana ni kifaa gani lakini kitu kilichomfanya afurahie maongezi hayo na kupenda kuyafuatilia zaidi ni baada ya kutajwa jina Tanzania. Akawasubiri watu wale waleweshwe na kile kilevi ili afanye anachojua yeye. Masaa machache baadae kile alichokuwa akikisubiria yule binti ambaye hakujulikana ni nani, kilitimia. Jamaa wote wale walikuwa wako miwani japo si sana lakini pombe ilisha vigonga vichwa vyao. yule binti hakutaka kupoteza muda, alikizunguusha kitu fulani kwenye mkono wake, kilikuwa ni kijidude kidogo sana ambacho si rahisi kukigundua kwa macho kisha akanyanyuka pale alipokuwa amekaa na kwenda kwenye ile meza ya wale jamaa. Alikuwa amevaa bikini nyekundu, na alikuwa na asili ya mtu mweusi. Sura yake haikuonekana kwa ufasaha. Akafika hadi kwenye ile meza na kukaa kimitego, aliinama na kuyafanya matiti yake aliyoyatega kiustadi kumtamanisha kila kidume mkora. “habari za usiku huu?” alisalimia kwa lugha ya kiingereza. “ooh! ni kama bahati kuja mrembo kama wewe kwenye meza hii maana nilitaka kuita malaya wa kuondoka naye vipi nikulipe kiasi gani kwa usiku huu?” aliongea BC yule mmarekani. “sina shaka nawe kwenye malipo tunaweza kuongelea suala la bei tukiwa hotelini” alijibu yule binti huku akiwa anakibinua zaidi kifua chake hali iliyomfanya BC awaage wenzake na kuahidi kuwa atawatafuta kesho kwenye simu. “hey we malaya twende ukanipe burudani nikulipe ujira …………………………………………….

.na sita angalia sehemu ya kula naweza kukulipa kiasi chochote utakachohitaji.” alibwata BC huku akimshika makalio binti huyo na kuyaminyanya na kuyapigapiga kwa furaha na matamanio ya kwenda kumla mtoto mzuri mweye asili ya kiafrika ka yeye. Yule binti aliumia sana kitendo cha yeye kuitwa kahaba na kuchezewa mwili wake namna ile, lilimkera sana hilo jina la malaya sema hakuwa na jinsi ilibidi atii kila kitu ili atimize azma yake. Wakatoka nje ya ile kasino na kuelekea ilipoegeshwa gari ya kifahari. BC akamfungulia binti yule mlango na yeye akajifungulia na kuwasha gari, safari ya katikati ya mji ikaanza. waliegesha gari nje ya hoteli moja kubwa na kuingia ndani moja kwa moja bila shaka kibopa huyo alishalipa kila kitu hapo. wakazama chumbani, kilikuwa ni chumba namba 37. Kitu cha kwanza alichokifanya yule binti ni kuelekea bafuni kwanza, alipofika alitoa kijipacti fulani kidogo sana kutoka kwenye mkanda mwembamba wa ile bikini. Akakipasua na kukiminya yakatoka mafuta ambayo aliyapaka kwenye chuchu zake kwa haraka sana na kuchezea maji kwa dakika chache ili kumdanganya jamaa kuwa amekwenda kujisaidia ama kujisafisha kama sio kuoga kabisa kisha akarudi chumbani na kumkuta yule jamaa akiwa anamsubiri kwa hamu kubwa. Binti aliivua nguo yake ya juu na kuonesha jinsi matiti yake yalivyo nona na kupanda kitandani ambako jamaa alikuwa mdomo wazi baada ya kumuona binti huyo alivyo umbika. Akazifakamia chuchu za binti huyo bila kufikiria huku akiwa yuko katika hisia kali za uhitaji wa mchezo huo wa ajabu. hakudumu sana katika kifua hicho cha huyo binti ni kama sekunde 30 hivi za kudumu katika mchezo, akalegea na kuporomoka taratibu hadi kwenye godoro akiwa hajielewi kabisa. Akamlaza vizuri na kutia mkono kwenye suruali yake ya jins aliyokuwa amevaa. Akatoa simu. akaizima na kuifungua taratibu kisha akakichukua kile kifaa alichokuwa akikichezea mkononi mwake ndani ya Casino, akakipachika kitaalamu zaidi kwenye ile simu kiasi kwamba hata angeifungua asingegundua chochote. kasha akairudisha kama alivyoikuta na kuitia mule mule mfukoni. Akamuinamia BC na kumpiga busu la kwenye paji la uso na kurudi tena maliwatoni kwa ajilia ya kuoga kabisa.
Wakati hayo yakiwa yanaendelea mahali hapo, huku Morogoro, Joesan alikuwa ndiyo anapaki gari maeneo ya Mazimbu ndani. Alishuka kutoka ndani ya gari hiyo na kupiga hatua ndogo ndogo hadi ulipo mlango wa kuingilia ndani kabisa ya mjengo huo. Walinzi wawili wenye silaha za kivita wakampisha bwana huyo, akaingia ndani kwa madaha yote. Alipofika kwenye sebule ya nyumba hiyo, alitokea binti na kumchukua hadi eneo jingine kubwa huko ndiko alikowakuta wenyeji wake. Hili jengo ndilo lenye namba 06 kama utambulisho wake, ni miongoni mwa majengo ya siri ya bwana huyo wa Kikorea. “karibu sana Joe?” alikaribisha mzee mmoja mfupi aliyekuwa amevaa fulana ya mawingu, alikuwa amempa mgongo anaye mkaribisha. Joesan aliupokea ukaribisho huo kwa shanapa kubwa na kusogea karibu kabisa ya mtu huyo. “ni siku niliyopata kufurahi kuliko siku zote za maisha yangu Joe, hata mama yangu mzazi hakuwahi kunipa furaha kama uliyonipa leo wewe” alisema mr. Kim akiwa ametoa mgongo hivyo hivyo. “sijajua kwanini mkuu” akauliza Joesan. “sikutegemea kama ndani ya kampuni yangu kutatokea mtu mwenye akili nyingi kama zako. Yule kijana ni mwiba na riport zake nilizozipata ni kama vile nusu mtu nusu Jini, umemtoa wapi yule kijana?” akauliza mr. Kim. ” unamfahamu mkuu labda kama umemsahau lakini nikikukumbusha ninaimani utamkubuka ni…..!”
“ooh! Basi, nimekumbuka, ni yule kijana aliyekuwa akiishi kwako?”
“ewaa! Ndiye huyo”
“ni siku nyingi sana Joe tangu kipindi kile nikiwa naazisha ile kampuni, siwezi kuikunbuka sura yake vizuri. hongera sana kwa kutengeneza kitu hatari kiasi kile unapaswa kuwa makini nae sana kwasbabu historia yake yote yule kijana mimi nina ifahamu usikubali akanasa hata harufu ya sababu ya vifo vya wazazi wake. Ukifanya hivyo,atakuwa mbwa wako hadi siku unakufa” alisema Kim. “sitaruhusu hilo litokee hata kwa bahati mbaya”
“ok, vizuri hebu nifuate huku” akasema Kim na wote wakaongozana hadi Sebuleni, mzee huyo akasogea mbele ya scrin kubwa ya kompyuta na kusimama hapo mbele akasema. “muogope sana mtu anayependa urudi nyuma, ogopa sana mtu mwenyekupenda kukwamisha mipango yako, mtu huyo ni hatari kuliko hata hatari yenyewe. Anaweza kukufanya ukaharibikiwa kimaisha na kuchanganyikiwa kabisa endapo atafanikiwa kuku haribia. Siku zote za maisha yako Joesan huwa nakukumbusha jambo hili, ni bora kuishi na Mbwa mwenye ugonjwa wa kichaa, kuliko kuishi na binadamu mwenye wivu na tamaa. Joesan, wewe ni rafiki yangu, unanijua muda mrefu sana na nilidiriki unifahamu mimi na sura yangu kwa ujumla kwasababu ninakujua na wewe unanijua pia. Unaijua tabia yangu na vile nilivyo, ninaijua tabia yako na vile ulivyo. Hawajui kwanini nilikupa mamlaka ya kuwa kila kitu kwenye kampuni ile, hawajui.” alitulia hapo Kim na kuvuta pumzi upya na kuendelea. “sasa kuna wajinga wachache tu badala ya kufikiria ni kwanini wanaisikia tu sauti ya mkuu na hawajawahi kuiona sura yake, wanatengeneza fitina za kijinga. Kabla sijaendelea mbele hebu nijibu hili swali kwanza” alisema na kuuliza swali baada ya Joesan kuonesha utayari kujibu. “ni dhahiri ulitengeza shamba na ukapanda mazao ambayo unaamini yatakuletea faida, sasa ni vipi utamfanya kiumbe mharibifu anayetaka kuharibu mazao yako na ungali umetumia gharama nyingi kwayo?” swali likakomea hapo. Joesan akajibu kuwa ni kukiangamiza kiumbe hicho kabisa. Alipotoa jibu hilo, mr. Kim alibofya ile luninga na kuiwasha. Ilipowaka, alibofya tena kitufe kingine na kumwambia atazame kwa umakini. Joesan akakaza macho pale kwenye luninga, kitu alicho kiona kilimfanya atetemeke kwa hasira kali sana. Alishuhudia mpango mzima na kila kitu kilichokuwa kikizungumzwa na Mgobo. Hata walipokuwa wakijadili na mzee Rafael huku akimshawishi mzee huyo awe pamoja nae. Mbinu ya kutaka kumuangusha kwa kumtafutia wapiganaji wa hali ya juu wakati wa majaribio ya kumpima Chriss na hata walipokuwa wakijibizana wakati Chriss ameibuka kidedea kwa kuwachapa na kuwauwa watu wake aliokuwa amewandaa. Vyote hivyo na vingine vingi alivishuhudia, mwisho kabisa alimuona ofisini kwake akiwa anapanga jambo. Mgobo alijua labda kila anachokifanya kilikuwa siri hakujua kuwa ndani ya kampuni ile kulikuwa na ulinzi wa kila aina tena ukiwa ni ulinzi wa siri sana uliotapakaa kila mahali ya jingo lile. Alijulikana nje ndani au kwa waswahili safi wanasema alijulikana kinagaubaga. Kim akazima ile kompyuta na kumtazama Joesan kisha akasema neno moja tu “msafirishe” kisha akapiga hatua tatu hadi kwenye mlango wa kile chumba walicho kuwamo awali, akageuka na kumwambia “kuna hafla fupi usiku wa leo maeneo ya zero one (01). Hiyo ni kwa ajili yako my friend” alipomaliza kusema hayo akatokomea ndani ya chumba hicho na asionekane tena. Joesan alieleke ndani ya gari yake na kuchukua uelekeo anaoujua yeye. Baada ya kama dakika kumi na tano, alikuwa nje ya ghorofa ndefu kiasi maeneo ya nane nane. Mziki ulikuwa akipiga kwa mbali sana kutokea ndani ya jengo hilo. akafungua mlango na kushuka, akapiga hatua ndogondogo kuingia ndani ya ghorofa hiyo. “karibu boss, karibu sana” binti mmoja alimpokea Joesan na kumkaribisha, akaongozana naye hadi mahali ambapo palikuwa na meza kubwa iliyosheheni vinywaji, akakaa. “tupo hapa kwa ajili ya kukupongeza boss, hongera sana” alikuwa ni mzee Rafael aliyekuwa akisema maneno hayo ya pongezi. Joesan akamkata jicho mzee huyo halafu akatazama pembeni, ni kama alikuwa na kimuhemuhe cha kutaka kuuliza jambo lakini akasita, akawataza watu wote walioko pale na kujibu. “nimefarijika sana sikutegemea kama mko pamoja nami na muna imani na mimi kiasi hiki, niseme ahsante kwa nguvu mliyonipa” wote wakapiga makofi ya furaha na shampain ikafinguliwa kwa shangwe kubwa, watu walikunywa wakafurahi sana. “asante sana Mr. Kim kwa kuniamini kwa kiasi hiki. Ni wazi bado unaendelea kuufurahia uwepo wangu nami nakuhakikishia sitaleta uzembe hata kidogo” aliwaza Joesan. Baada ya kula na kunywa sana, mziki laini ukapigwa. Watu wakanyanyuka kwenye viti vyao na kwenda kusakata lumba. Kwenye meza ile alibaki Joesan mwenyewe lakini muda si muda alikaa binti mmoja mwenye mavazi ya utupu kabisa na kumtazama Joesan kwa macho ya ushawishi. “tumeagizwa tukupe furaha ya kila aina leo, Mkuu amesema leo ni siku yako boss hivyo ni wajibu wetu kukupa raha” alisema binti huyo mdogo na kumpa mkono Joesan ambaye kinywaji chenye alcohol ya kutosha kilishaanza kuilegeza mishipa yake. “op, no mrembo, asante sana binti, come on, she is beuty fuul.” alisifia Joesan huku akipelekwa kwenye chumba safi na chenye thamani ya juu mno. akawekwa juu ya kitanda na kusauliwa nguo moja baada ya nyingine hadi akawa kama alivyoletwa duniani kwa mara ya kwanza. Mtoto huyo wa kike alikuwa yupo hapo kweli kwa kazi hiyo maana Joesan alikuwa akigumia kwa raha si za kawaida hadi hajielewi kabisa kwa utamu aliokuwa anaupata mahali hapo. Alimsahau kabisa mkewe kwa muda huo, alichojali ni burudani kutoka kwa mburudishaji mwenye kujua kuburudisha awapo katika kuitoa burudani hiyo. Binti alikuwa akimsulubu kweli bwana huyo hadi Joesan akawa anajikunja kabisa kila anapojikuta akipokea raha ya aina yake. Mtoto huyo wa kike alijua kuutumi mwili wake vilivyo tukiachilia mbali kuwa ni ajira yake lakini pia alikuwa si haba katika mambo hayo ya chumbani. Mwili wake laini usiojuwa shuruba za kujikata kwa kisu kwa kisingozio cha kukata vitunguu na nyanya, mwili ulio maalum kwa kupapasa miili ya vibosile kama Joesan. Chuchu ndizo zilizomuuwa kabisa bwana mkubwa huyo kwani hazikutoka mdomoni hata mara moja hadi anakuwa hoi kwa mtanange huo.

“Pole kwa shuguli nzito ya usiku” binti yule mrembo alimwambia BC. Tayari binti huyo alikuwa ndani ya bikini yake nyekundu na kijinguo kifupi kwa juu, tabasamu likiwa mahala pake. Bwana BC alikenua tabasamu kanakwamba kamuona mwanae wa mwisho, kusema asante alishindwa na kuacha kumpa asante pia alishindwa na kubaki akitabasamu huku midomo ya juu ikimcheza. “morning?” ndilo neno rahisi kwake. Binti huyo hakujibu na badala yake aliinama na kumpiga busu la mdomoni na kumwambia “asante kwa kujua kuniendesha usiku, mkeo anafaidi sana” maneno hayo ya huyo binti yakamfanya azidi kubaki njia panda, neno kuwa amemla likaja na kuondoka kwa kasi ubongoni mwake na kubaki na neno ah, ah! Sijamla. “mbona kama namtamani kwa kasi hivi hapana sijamla bwana” aliwaza na kutaka kumkamata ili amrudishe kitandani aendelee na mzigo lakini alisita baada ya kukutana na mkono uliokuwa unaonesha ishara kama unavuta uradi, pesa. BC akachukua kitabu cha hundi na kumuandikia binti huyo pesa nyingi sana, sasa haikujulikana ni kwa kuchanganyikiwa ama laa. Binti huyo mwenye bikini nyekundu akafungua mlango baada ya kupokea ile karatasi ya malipo na kusepa akimuacha BC na utamu wake. BC alijipiga kichwani na kujilaumu kwanini anachukua watoto wazuri akiwa amelewa. Akazishutumu pombe bila kujua kuna mchezo kachezewa na mtu akaweka kifaa maalumu cha kunasa kila maongezi atakayoongea huku akiwa amebahatika kunyonya chuchu tu za mtoto huyo wa kike na ndizo zilizomlaza hoi na kumpa ndoto za kufanya mapenzi hadi asubuhi. Binti mwenye bikini nyekundu alipofika nje ya hoteli ile, alizama ndani ya teksi na kuomba apelekwe kule Casino. Gari ilipoingia barabarani, aliichana ile hundi vipande vidogo vidogo na kuvitupa nje hii ilimaanisha kuwa hakuwa na shida na pesa bali kilichompeleka pale ni kazi. Alifika kwenye kasino ile na………………….

kumlipa dereva tax ujira wake na kuelekea kwenye gari ambayo alikuja nayo usiku kwenye Casino hilo. Aston Martin ikaingurumishwa injini yake na bidada huyo kisha akaiingiza barabarani na kupotea. Ni nani binti huyo? Swali hili mimi na wewe tujiulize na tuliache kama lilivyo.

Lakini asubuhi hiyohiyo kwa upande mwingine, Joesan alikuwa akijinyoosha baada ya kutoka usingizini. Alipofumbua macho, alimuona binti mrembo akiwa pembeni yake. Kumbukumbu za raha na mautamu aliyopewa na mtoto huyo wa kike zikakivaa kichwa chake akichanganya na tabasamu lililopo usoni kwa mtoto huyo asubuhi hiyo, alijikuta akijiona ni bonge la mfalme mwenye himaya si chini ya mia mbili. “hongera kwa kujua kunipa shida usiku” alisema Joesan kwa sauti nzito ya asubuhi. “ni wajibu wangu boss kuhakikisha unapata furaha muda wote unapoihitaji”
“jina lako?”
“naitwa Merina.”
“ooh! Uko hapa kwa muda gani Merina” alizidi kuuliza Joesan huku akikipapasa kifua laini cha mtoto huyo naye akiwa anachezea nywele za boss wake. “niko hapa kwa muda mrefu sana”
“kweli?” akadakia Joesan. “ndiyo” akajibu Merina na kuendelea. “sina muda wa kutoka nje ya jumba hili na ndiyo maana ni ngumu kujua”
“kwa kipindi hiki utatoka Merina na nakuhakikishia” alisema Joesan huku akipanda kifuani kwa mtoto huyo mwenye urembo wa aina yake na kupokelewa vizuri kwa mashamsham makubwa. Mchezo ukarudiwa tena hadi walipo tosheka kabisa. Joesan akaongea. “kuna kitu kingine unacho tofauti na hiki?”
“ndiyo, ninacho zaidi ya hiki na ndiyo maana unaona nipo ndani ya jumba hili la siri lenye namba ya siri 01. Si jambo dogo mkuu kukuweka hapa bila kuwa na cha zaidi mwilini mwako.”
“basi kuanzia leo unatoka ndani ya 01 house na kwenda kufanya kazi chini ya Suzane, kila kitu utajifunza huko. Huduma yako imekuacha huru leo na utafanya vitu vyako kwa uhuru zaidi, utapewa nyumba nzuri na gari ya kutembelea kuna kipi kingine utahitaji”
“hakuna kingine boss, asante sana na nakuahidi kufanya kazi kwa weledi mkubwa bila kukuangusha” aliongea Merina akiwa ni mwenye furaha ya kupitiliza. Joesan alikwenda kuogeshwa siku hiyo na kusuguliwa kila mahali. Akavalishwa suti yake safi akafungwa tai na kabla hajatoka mule ndani, akamtazama Merina na kumwambia. “hukukutana na mimi popote hivyo tutafanya kazi kama wafanya kazi wengine, nikikuhitaji nitakutafuta nje ya ofisi, namaanisha kuwa sitavumilia ujinga wako wowote ule katika kazi. Uwapo katika kampuni ile wewe ni mfanyakazi na siyo mpenzi wa bosi.” Merina akakubali kwa kutikisa kichwa kisha Joesan akatoka mule ndani ya jumba kubwa lenye jina la zero one. hili ni miongoni mwa majumba sita ya siri kubwa ya Mr. Kim na inasemekana miongoni mwa majumba haya lipo jumba moja ambalo linatumika kama Club lakini linahusika na biashara za kishenzi na ni jumba linalomuingizia pesa nyingi sana mzee huyo wa kikorea ambaye tangu miaka hiyo ya nyuma aliyokuja kwenye ardhi ya Tanzania hajawahi kurudi kwao na wala wazo la kufanya hivyo hana. anamiliki biashara kubwa za halali na zinazo lipa kodi na biashara hizo kapandikiza wazawa huku yeye akiwa mafichoni asiwahi kuonekana hata mara moja. miongoni mwa biashara hizo ni hiyo kampuni kubwa ya Safaries Company (S.C) ambayo imeshikiliwa na Joesan. Wapo wafanyakazi wengi sana wanaofanya katika kampuni hiyo lakini pia hawajui kuwa kampuni hiyo ina biashara nyingine kubwa na haramu inayoendeshwa ndani ya jengo la kampuni hiyo. Wasomi wengi wanaajiriwa hapo na nyuma ya pazia wanaajiriwa maharamia na watoaji roho za watu wa kuogopwa. Na ikitokea kuna mfanya kazi wa kawaida amegundua uchafu unaofanyika ndani ya jingo hilo basi huyo hana bahati, atauwawa na watu siku ya pili wanaarifiwa msiba. Hakuna aliyewahi kumuona Mr. Kim zaidi ya Joesan pekee. Mzee katili, mzee aliyeigeuza tanzania kama choo chake cha kujisaidia haja kubwa na ndogo na pia ni mzee huyo huyo anayewaona watanzania kama makapi ya maembe aliyotoa kinywani mwake baada ya kuyatafuna. Mr. Kim anauhusiano mkubwa sana na wafanya biashara mbalimbali duniani kote. “nitaishi na wewe kama utaamua kuishi na mimi Joesan na utakuwa si rafiki tu bali mwanangu utakayekwenda kuzishikilia biashara zangu pande zote za dunia” siku moja Mr. Kim alikuwa akimwambia Joesan baada ya kumkuta ni hohe hahe asiyeweza hata kujikunjua kununua baiskeli. “nitawezaje kuwa mtu wa dizaini hiyo rafiki yangu?” aliuliza Joesan akiwa haelewi maneno ya mtu huyo aliyeonekana mpole na mcheshi wa sura kumbe moyoni amemeza nyongo ya Mamba mjane. “usiseme huwezi hata kama huwezi kweli, kwani kitendo tu cha kulitamka neno siwezi tayari moyo wako umesha pokea hofu si chini ya kumi zitakazo kufanya uogope kujaribu. Penda kulitumia neno naweza hasa pale usipoweza na utaona jinsi utakavyoweza usipopaweza sawa.” ni muda mrefu sana maneno hayo yalitamkwa na ni katika harakati za Kim kutafuta watu ngangari wa kufanya kazi ili aweze kuwekeza kwao na akafanikiwa kweli na kufikia hatua ya kumshawishi Joesan kuwa muuwaji wa kuogopwa kabla na baada ya kumpa mafunzo makali a ya Judo ambayo mwenyewe aliyaita ni mafunzo ya kujihami.
“habari yako Mandi?” alisalimia Joesan baada ya kuiweka simu sikioni. “safi boss” ulijibu upande wa pili wa simu hiyo. “kuja nyumbani muda huu kuna kazi nataka nikupe, usichelewe sana kuna mahali nataka kwenda”
“ok, boss nakuja sasa hivi” alijibu Mandi na simu hiyo ikakatwa. Baada ya nusu saa Mandi alifika nyumabani hapo kwa Joesan na kumkuta mtu huyo nje ya nyumba yake akiwa ameegamia gari. Hakukuwa na maongezi mengi alikabidhiwa picha mkononi na kuitazama, akauliza kuhusu picha ile. Joesan akampa maelekezo kuwa huyo mtu pichani anafanya kazi katika kampuni yake ila kuna tabia ambazo ni hatarishi amezianzisha mtu huyo hivyo anahitaji kumpoteza kabisa. Mandi akatabasamu maana neno kuuwa kwake lilikuwa ni neno muhimu kuliko maneno yote ayapendayo. “kila siku ifikapo saa 18:00 ikizidi sana ni dakika tatu au nne, mtu huyu ndiyo anatoka ofisini. Nataka siku ya leo umsindikize kuzimu kwa amani, nakuamini sana Mandi sitegemei jambo tofauti na hilo. Hakikisha ukimkosa awe amekufa tayari, silaha utatumia niliyokupa” akamaliza kuongea Joesan na kuingia ndani kwake Mandi naye akichukua hamsini zake. “vipi dokta, maendeleo yanaridhisha?” Suzane aliuliza baada ya kuingia kwenye chumba cha mitambo. “mambo yanaenda vizuri na kila kitu kinaenda kwa haraka tofauti na nilivyotegemea”
“kwaiyo inaweza isifike siku iliyopangwa?”
“hapana kufika itafika lakini atakuwa strong zaidi ya alivyo sasa” alijibu daktari huyo na kuendelea na kazi ya kusoma kila kinacho andikwa katika kompyuta yake. ” huu ndiwo mtambo unaomuandaa Sex Mchine, kwasasa zimesalia siku tano za kutolewa kwenye mtambo huo” alisema Suzane akiwa amemgeukia Merina ikiwa ni katika harakati za kumpa maelekezo ya kila anapopita. “hee kumbe kazi ni kubwa sana sasa akifa je inakuwaje?” akauliza Merina akiwa na mshangao machoni mwake. “si rahisi kufa daktari yupo makini sana na tunamuamini kuliko ilivyo kawaida” Suzane alijibu na kuongozana, wakatoka mule ndani wakimuacha daktari akiwa anaendelea na majukumu yake.
Kwenye chumba cha ofisi cha Mgobo, kulikuwa na utulivu mkubwa sana. Mzee huyo alikuwa ametulia sana akitafakari hili na lile, alishakwenda mara tatu katika chumba cha mitambo lakini hakufanikisha zoezi lake la kuisimamisha mitambo hiyo. Kila alipokuwa akienda huko alikutana na madaktari wakiwa busy na kazazi. Nini afanye? Hilo likawa ndio swali lililokuwa likikisugua kichwa chake mahali hapo. “siwezi kuondoka hapa bila kuhakikisha nimeharibu mambo lakini hata kama nikifeli leo kesho itabidi niwe wa kwanza kufika hapa kazini.” aliwaza mzee huyo. Hakujua sababu za kushindwa kizembe hivyo zilikuwa ni nini. siku tano tayari zimekatika tangu apange azma ya kufanya mauwaji ya sex machine kwa kubadili mfumo wa uendeshaji wa mitambo au kuizima kabisa. alichukua chupa ya maji na kupiga funda kadhaa kisha akajinyanyua mahali hapo akatoka ofisini humo. kituo cha kwanza ni katika chumba cha mitambo ambako alimkuta dokta Emmy akiwa peke yake kwenye mtambo. Hakutaka kumsemesha, alipitiliza moja kwa moja hadi sehemu ambayo ilikuwa ikionesha sura tu ya Chriss. Mgobo alimtazama kijana huyo kwa ghadhabu kubwa kama vile anaugomvi nae. Alitamani hata mtambo huo uzime wenyewe na kumfanya kijana huyo akose pumzi na kufa kabisa. “umebakisha muda mchache wa kuishi kijana lazima nihakikishe unakufa kama sio leo kesho, nimekuwa nikikufuatilia kwa kitambo kirefu tangu umewekwa hapo ila nachelea kusema buriani kijana” aliwaza Mgobo na kutandika tabasamu la ubaya usoni mwake kisha akatoka mule ndani kwa haraka akiwa amekubali kushindwa kwa siku hiyo maana dalili ya daktari huyo kutoka ndani humo hakuiona. Laiti angeilijua ni bora hata angetumia nguvu kuharibu kila kitu kwani kitende cha yeye kusema kuwa kesho ndiyo atakamilisha ni kama anajisumbua tu. Kuwhindwa kwake kwa muda huo na hicho ambacho kimemfanya ashindwe, ndicho hicho hicho kitakachomfanya ashindwe hiyo kesho pia. Mbaya zaidi kila mfanyakazi wa kile chumba cha mitambo iliyombeba Chriss, walishapewa taarifa kuhusu mzee huyo na kuambiwa kuwa humani juu yake unahitajika. Aliangalia saa na kukunja sura, tayari muda ulisha kwenda sana hadi kupita ule muda wa kawaida wa yeye kurudi nyumbani kwake. Alifunga ofisi yake na kutoka nje kabisa ya jengo hilo hadi maegeshoni ambako aliingia ndani ya gari yake na kuliwasha. Mwendo wa taratibu aliokuwa akiutumia haukuchelewa kumfikisha maeneo ya kituo cha daladala cha mjini. Foleni ndogo ya hapo ikamfanya asimamishe kabisa gari na kusubiri amri ya trafiki. Mara kioo cha gari yake kikagongwa, alipoangalia alikutana na sura ya kijana mtanashati. Akashusha kioo bwana mkubwa huyo kusikiliza shida ya huyo kijana. “nini shida kijana?” akahoji. “kuna bidhaa hapa mzee wangu natembeza saa nzuri kama hiyo uliyovaa pia tuna waleti safi” akasema kijana huyo huku akionesha bidhaa hizo alizokuwa akizinadi mahali hapo. Mgobo alichukia vibaya sana, aliona kijana huyo anamkosea adabu kabisa. Tusi zito la nguoni kwenda kwa kijana huyo likamtoka na kutaka kupandisha kioo cha gari yake. “pia tuna hii mzee wangu nadhani itakufaa zaidi” alisema huyo kijana “nimesema to……!” hakuimaliza kauli yake mzee Mgobo, macho yakamtoka baada ya kuangalia kile kiliochopo kwenye paji lake la uso. Midomo ikaanza kumcheza kwa hofu iliyomkumba ghafla, akiwa bado anashangaa ………………………….

asijue la kufanya, akashtukia kijana huyo akiwa pembeni yake yaani alijifungulia mlango mwenyewe kupitia pale kwenye kile kioo na kujikaribisha mwenyewe ndani. kilikuwa ni kitendo cha haraka sana ambacho hata Mgobo hakukitegea. “askari amesharuhusu magari kuendelea na safari, twende mzee wangu” aliongea kijana huyo akiwa amemuelekezea mzee huyo bastola maeneo ya tumboni kwa kificho sana ili asiweze kugundulika kwa urahisi na akari huyo wa barabarani tena aliongea kwa utulivu mkubwa kanakwamba anamuomba hele ya chai mzee huyo. “kwan….ni..we..we…nina….nani na unataka nini kwangu?” aliuliza Mgobo kwa kitetemeshi kikubwa. “mimi ni hasimu wako pale kazini au hunijui? Kama umenisahau kwa jina naitwa Joesan na niko hapa kukuambia kuwa si kila unayemuona anafaa kumuingilia” Mandi aliongea kwa majivuno makubwa sana. Mgobo akabaki ameduwaa. Inamaana yeye Joesan hamjui? Si anamjua vizuri sasa mbona huyo kijana anajitambulisha kuwa ni Joesan, Joesan yupi sasa? Au hao wakina Joesan wako mapacha. Huwenda ndivyo alivyokuwa akijiuliza mzee huyo.
“haiwezekani Joesan awe hapa muda huu au amegundua kuwa ninampango siyo mzuri kwake ndiyo ameamua kunitumia mtu wa kunimaliza?” alizidi kujiuliza hadi akajikuta hajui hata uelekeo wake ni upi.”ooo hapana usipite njia hiyo kunja kulia hapo twende kituo kikubwa cha polisi” Mandi alielekeza baada ya kumuona mzee huyo anataka kunyoosha moja kwa moja. Akaingiza gari kulia kwa kufuata maagizo ya mtu huyo asiyemfahamu. Walikwenda wakapita kidogo kituo cha polisi Morogoro na akaamrishwa aipaki gari karibu kidogo lango la uwanja wa mpira wa miguu wa Jamhuri. “nimetumwa kuja kung’oka na roho yako na nasikitika kwasababu kile ulichokipanga kinashindwa kutimia. Kuna watu ni mafia toka wanazaliwa wewe unaweza kuwagusa watu hao wakati hata ukiona damu ya Kunguni unakimbia.” aliongea Mandi kasha akaitoa usalama silaha yake iliyofungwa kiwambo safi cha kuzuia sauti. Mgobo alitamani gari ligeuke tenga na kijana huyo aonekane na raia wema kila anachotaka kukifanya kwake. Alitamani hata apate nafasi ya mwisho ya kujisalimisha kwa Joesan mwenyewe angalau angeweza kusamehewa. “plan A umefeli Plan B utashindwa pia na roho yako utaikosa, Joesan siyo mtu wa mchezo kama uanavyodhani” maneno ya Rafael yalijirudia kichwani mwake na kutamani ndiyo angekuwa anaambiwa muda huo ili awe msikivu lakini wapi, alishakikanyaga kinyesi chake mwenyewe kwa makusudi nani ampe maji ya kujisafisha kwa kitu alichokifanya kwa kudhamiria. Alihisi mikojo ikimtoka mahali hapo. “nikupe kiasi gani cha pesa uniache niende nikafie mbele kwa kudra za muumba wangu” aliomba Mgobo kwa sauti ya kujikatia tamaa. “muumba wako alichokiandika hakiepukiki, alishaandika kifo chako kitaponzwa na tamaa za kindezi sasa unataka kibadilike nini, ngoja nimsaidie Malaikatul mauti kutoa roho yako Mbweha mweusi wewe” aliposema hivyo Mandi, risasi tatu zikakita kwenye chembe ya moyo ya Mgobo. Akatulia kimya bila kelele kisha muuwaji huyo akatoka kwa furaha kama ametoka kuongea jambo la maana na mtu aliyemuacha garini kumbe tayari aliyemucha garini humo ni maiti. “kazi imekwisha na niko hapa kituo kikubwa cha polisi naelekea Kilakala” ndivyo alivyotoa taarifa Mandi mara baada ya kuweka simu sikioni. Upande wa pili ukamjibu kuwa wakutane usiku kwa ajili ya kupongezana. Akasema poa akakata simu na kuirudisha mfukoni mwake alisimamisha bodaboda na kutaja mahali anapokwenda akadandia na kupotea.
Siku hazigandi na kila lijapo giza ni ishara ya kuimaliza siku na ijapo asubuhi, tunasema ni siku mpya. siku zilikatika kama upepo ukatikavyo ghafla na hatimaye ikasalia siku moja tu ya kukamilika kwa sex machine. watu walikuwa busy sana ndani ya jingo hilo kila mmoja alikuwa akiandaa kazi yake maana kile kipindi cha utendaji kazi kilikuwa kimewadia. Kompyuta ziliandaliwa vizuri kabisa ili kuwa imara katika kazi inayotaka kuanza pindi tu Sex Machine atakapoingia mzigoni. “niambie mtaalamu, nini umeweza kuandaa hadi sasa?” swali la Joesan kwenda kwa mtaalamu wa ugunduzi wa mambo makubwa kabisa ya ki technology. huyu ndiye anayehusika na uundaji wa nitambo na mashine mbali mbali za kampuni hiyo. anafahamika kwa jina moja tu baya Tai, ni raia wa uingereza. ukimuona kwa mara ya kwanza unaweza ukasema ni mpungufu wa akili kwa jinsi alivyo jiweka lakini ni kichwa cha hatari sana. Muda wote ukimkuta ni lazima atakuwa na kijiti mdomoni hiyo ndiyo ilikuwa hobi yake na mara nyingi humkuti kavaa suti au nguo yoyote ya heshima, utamkuta kapita pensi ya jeans na fulana ya kukata mikono. Hilo ndilo vazi lake kuu hata kama aambiwe kunaugeni kutoka ikulu, yeye hahofii. “hakuna jipya zaidi ya lile vazi atakalovaa Sex Machine” alijibu Tai huku akiacha kuchezea kicharazio cha kompyuta yake. “umewezaje kutengeneza vazi bila kumpima?”
“nilisha muona na vipimo vyake vingine nilichukua kwa dokta Emmy”
“ni la namna gani hilo vazi?” swali jingine kutoka kwa Joesan kwenda kwa mzungu huyo. Tai hakujibu kitu na badala yake aliamka na kuingia katika kijichumba kitogo sana, aliporudi mahali hapo, alikuwa na kitu cha ajabu sana mwilini mwake akamkabizi Joesan. Joesan alikigeuza kitu hicho na kukigeuza tena na tena lakini hakuelewa kitu hadi alipoamua kuuliza. “hiyo ni rangi halisi ya Sex Mchine hivyo atakapo livaa hilo vazi hakuna ambaye atajua kama kunakitu amevaa mwilini mwake. Ni vazi la ajabu sana hilo nililo litengeneza na nimelitengeneza kwa material ya kipekee mno. Litaendana kabisa na umbo lake lakini hata yeye mwenyewe hatahisi kama amevaa chochote mwilini mwake tena akivaa hilo pekee atajihisi yupo uchi kabisa. Ni vazi la tofauti sana.” alitoa maelezo hayo mtaalamu huyo na kumfanya Joesan abaki mdomo wazi. Kilikuwa ni kitu cha ajabu sana kwake na ni mara ya kwanza alikuwa analisikia jambo hilo.
“nini kazi yake sasa?” akauliza. “hili litakuwa linarahisisha kazi yetu kwa urahisi zaidi litakuwa linanasa kila anachokifanya Sex Machine…..!”
“what?” akashtuka Joesan. “ndiyo, kila atakapokuwa ana sex ndipo litakapoanza kufanya kazi vazi hili, ni automatic ni maalumu kwa kazi hiyo tu si nyingine na ndiyo maana nimelipa jina la Sex Machine Cloth (SMC). lina sens maalumu ambayo huhisi tu pale kijana huyo atakapotaka kuanza kazi na ni vazi ambalo litapiga picha za mnato na mjongeo” alimaliza kujibu swali aliloulizwa na alilijibu kwa mapana kabisa. Hapo Joesan moyo wake ukafarijika baada ya kuambiwa kuwa litakuwa lina nasa mambo ya ngono tu na si vitu vingine maana alishaanza kuchanganyikiwa, aliona ni kama ataumbuka kwa jambo hilo kama lingekuwa lina nasa kila kitu. Alilirudisha lile vazi mikononi mwa Tai kasha akatoka mule kwenye kile chumba cha mtaalamu na kuelekea kwenye ofisi ya Suzane. Alimkuta Suzy akiwa anapiga domo na Merina, akavuta kiti akakaa. “mnaongea umbea tu hapo hakuna lolote la maana” akasema Joesan baada ya kukaa. “umbea kwa mwanamke ni kama jadi nakushangaa unaliona ni jambo jipya kwako” akajibu Suzane. “namshangaa hata mimi labda kama na yeye anataka kujiunga” alichangi Merina.
“wewe yaani mimi nijumuike katika kuongea umbea?”
“ndiyo, sasa cha ajabu nini” akakazia kabisa Suzane.
“Merina naona Suzy amekufundisha ujinga kiasi cha kunikosea heshima” akasema Joesan. “aah! Nitakuogopa hadi lini boss” aliongea Merina na wote wakacheka kwa furaha kubwa kabisa. Waliendelea na maongezi ya hapa na pale hadi pale Joesan alipouliza swali lililobadisha mada waliyokuwa wakiiongea mahali hapo. “inabidi tuandae test ya awali lakini itakayo tuingizia pesa pia maana kesho Sex Machine ndo anatoka mtamboni?”
“shaka ondoa, nimesha kwenda kwenye kitengo cha utalii nimeangalia wageni wanaokuja ili kujua ni nani anapenda huduma hizi”
“enhe!” akachochea Joesan huku akivutika zaidi na habari hiyo iliyoukonga moyo wake. Suzy akaendelea “nimempata mmama mmoja hivi raiya wa uingereza na tayari tumeshaongea biashara, amesema atalipa dola laki mbili na nusu lakini huduma ikimpendezea atakuwa anaongeza dau kila atakapo hitaji”
“funtastic, ndiyo mana nakupenda sana Suzane unaukonga sana mtima wangu. kila siku utabaki kuwa karibu yangu Suzy na utazidi kutengeneza pesa nyingi tu. Merina umemuona mwenzako alivyo makini, kuwa kama yeye ili niwe na timu imara na nzuri.” alizungumza Joesan kwa furaha kubwa na kumgeukia Merina na kumtaka awe hodari pia. Merina alitabasamu na kukubali kwa kichwa. Joesan alitamani hata iwe ni siku hiyo ili mambo yawe mazuri, alithamini pesa kuliko utu bwana huyo. wakati wakiwa wanaendelea kufurahi mahali hapo, alifika mzee mwenye busara nyingi na kuketi bila ya kukaribishwa. akawatazama watu wote pale na kusema. “nisamehe sana boss kwa kutokukuambia mapema juu ya mipango mibaya ya Mgobo, pamoja na kumuonya kwangu lakini alikuwa mkaidi sana.”
“kwanini sasa hukuniambia hadi nimegundua mwenyewe?” aliuliza Joesan akiwa amebadilika kabisa kama sie yeye aliyekuwa akicheka muda huo. “ndiyo maana nikatanguliza msamaha kwanza kwa kujua ni kosa nilifanya lakini pamoja na hayo yote niliamini kabisa kuwa anajisumbua sana yule na naamini ulikuwa unamuona kwa kila nyendo” aliongea Rafael kwa unyenyekevu wa hali ya juu kwani ni kweli alifanya kosa la kuto kutoa taarifa za uhatari wa mtu mmoja. Joesan akamshika mkono mzee huyo na kumuambia kuwa anamuamini na anamtegemea pia hivyo asingependa kuona anafumbia mambo yanayoweza kuhatarisha usalama wake na usalama wa kampuni kwa ujumla. Mwisho akahitimisha kwa kumuonya mzee huyo kwa kumwambia, hawezi kufumbia macho ujinga na hatomvumilia mtu atakayesabisha ujinga, atauwa kama alivyo muuwa Mgobo. Rafael akashusha gunia zito la pumzi na kujiweka sawa kitini, akashukuru na kuaga akiwaacha watu hao wakiendelea na soga zao. Neno la Joesan la kumwambia kuwa atauwa kama alivyomuua Mgobo lilimshtua kidogo. Hakutegemea kusikia kuwa Mzee mwenzake aliyekuwa akimshauri mambo ya busara na muhimu kuwa amekufa mapema.kiasi hicho.
“nilimwambia lakini kuwa plan A. Aliyoipanga, imeshindwa na plan B pia itadhindw na hata uhai ataukosa. Amejitakia mwenyewe bwana mimi sina lawama tena kwake” aliwaza mzee huyo na kuelekea inje ya jingo hilo.
Asubuhi ya siku iliyofuata, wafanyakazi wote walikuwepo katika chumba maalum cha siri na kumpokea Chriss akiwa tayari ni Sex Machine kamili. Aliletwa kijana huyo aliyekuwa amepoteza kumbukumbu zote kichwani mwake, kila kitu alichokuwa akikiona kilikuwa kipya machoni mwake. Ni kama alikuwa amezaliwa upya kila kitu alihitaji kuelekezwa. Hakuwa amepoteza uwezo wake na utaalamu aliokuwa nao bali alikuwa hamkumbuki mtu yeyote yule akilini mwake ni kama mtu aliyekuwa hana ndugu. Joesan alisogea …………………………………

Joesan alisogea karibu ya kijana huyo na kumuuliza kama labda anamkumbuka au kama alishawahi kumuona mahali. Kijana huyo akajibu kwa kichwa kukataa kuwa hamfahamu na hakumbuki kama walisha wahi kukutana. Joesan akatingisha kichwa juu chini na kutabasamu. Akamgeukia daktari na kumkonyeza kama ishara ya kumpa heko kwa kazi nzuri aliyoifanya, daktari akatabasamu kwa kupokea pongezi hizo kutoka kwa bosi wake ambaye ni mtu muhimu sana kwake. “anatakiwa kufundishwa kila kitu kwa sasa. uwezo wake wa utambuzi wa kitaaluma haujapotea, tulichopoteza ni ufahamu wa kumtambua mtu yeyote hata kama aliishi nae miaka mingi na sasa atakuwa anaamini zaidi alichoambiwa na kukihifadhi. Hakuna mtu atakayeweza kumbadilisha kile alichokihifadhi awali baada ya kupewa bali atakuwa tayari kupokea kitu kipya na kukifanyia kazi, pia hakuna mtu atakayeweza kumbadili kutoka hivi alivyo na kurudi kama awali tunaoweza ni sisi wenyewe.” alijitapa kwa tambo kubwa huku akitoa maelezo daktari Emmy. Wote pale wakatikisa vichwa kuafiki kisha daktari akaendelea.
“ni muhimu ajifahamu yeye ni nani kwa sasa yaani jina lake. pili, aelezwe kuwa yeye ni mtu wa namna gani. Hapo sasa atakuwa tayari kitumiwa na kwa uwezo mkubwa aliokuwa nao itamchukua siku moja tu ya mafundisho hayo” alihitimisha daktari na kukikabidhi kiumbe hicho kipya kilichokuwa kimefungwa nguo za ajabu na kikapokelewa na Joesan. Joesan akageuza shingo kila upande na kumtazama Merina. Akamuita asogee karibu na kumkabidhi Chriss ama Sex Machine kama ilivyofahamika. “hakikisha anakuwa fiti kwa kila kitu mfundishe na umueleweshe kazi anayotakiwa kuifanya kisha utamvisha nguo zake ambazo tulizihifadhi kabla ya kumuingiza mtamboni na unirudishie mimi.” alitoa maelekezo Joesan na kumgeukia tena mzee Rafael akamwambia “wewe utashika nafasi aliyokuwa ameshika Mgobo. Utaendesha mazoezi makali kwa vijana naujua weledi wako wa mafunzo na naamini utawaimarisha vijana. Suzane baada ya hapa tuonane na wengine wote naomba muelekee kwenye vitengo vyenu na mkumbuke kuwa kazi inaanza rasmi siku baada ya kesho.” alimaliza kutoa maelekezo hayo na kutoka mule ndani akifuatiwa na Suzane. Walifika ofisini kwa Joesan na kukaa kisha Joesan bila kukawia akaongea. “Suzane ujue lingekuwa si jambo la busara sana kama ningelizungumza hili pale, liko chini yetu sisi kama sisi sawa?”
“ndiyo boss” akajibu Suzane. bwana huyo akaendelea. “ewaa! Sasa cha kufanya kwa sasa wewe ni kufuatilia kwa siri sana ujue ni wapi huyo mteja wetu anafikia kabla hata hajaondoka kwenda kutalii si ndivyo mlivyo kubaliana?” akauliza. “yaa ndiyo,” alijibu binti huyo. “basi ukishajua hoteli ambayo atafikia, hakikisha umejua na ulinzi uliopo hotelini hapo ili iwe rahisi kumueleza Sex Machine nini cha kufanya. Na itatubidi sisi tuwe tuna muelekeza kwasababu hatutampa ramani yoyote kama itakavyofanya kampuni”
“ok, nimekuelewa boss tegemea majibu mazuri kabla ya saa 12 jioni.” alijibu Suzane na kutoka mule ofisini kwa bosi wake na kuianza kazi hiyo rasmi. Joesan alitulia pale kitini akitafakari hiki na kile, akishika hiki na kutazama kile. Mara ashike simu, mara file, hakuwa na la kufanya ofisini hapo. aliwasha kiyoyozi kwa spidi aitakayo na kujilaza pale kitini na kuyaruhusu mawazo yajiendeshe kichwani mwake. Pesa ilimgeuza kabisa bwana huyu, upole wake wa zamani alipokuwa anafanya biashara za kawaida, uliyeyuka wote na kufikia hali ya kuwa mtu muogopwa. alikumbuka jinsi alivyokuwa akimfuata rafiki yake wa zamani bwana Isihaq na kumtaka msaada wa kuweza kuikuza biashara yake. kipindi hicho akiwa bado hajakutana na mr. Lee Kim na kumbadilisha kabisa kwa kumtangazia utajiri.Bwana Isihaq akamuahidi kuwa wiki inayofuata kuna kiasi kikubwa cha pesa kinatarajia kuingia hivyo kabla pesa hiyo haijaingia bank, ni lazima amkatie rafiki yake huyo kiasi kikubwa cha pesa ili ajikuze kibiashara na kuwa kama yeye kwenye nyanja hizo za kibiashara. Joesan alifurahi sana na kuona sasa ile hali ya kubangaiza inakwenda kufa na kutoweka kabisa. Alimuamini sana Isihaq, hakuwa mtu wa kupindisha ahadi, anachokiahidi ujue ni lazima kitimie. Ahadi aliyoahidi Isihaq haikufika, japo ilikuwa ikikaribia kwa kasi sana. Bwana Joesan akatembelewa na ugeni dukani kwake. Ugeni huu haukuchukua muda ukajenga urafiki na kumjengea tamaa bwana Joe na kwakuwa mgeni alikuwa ni mtu mweupe Joe akaona hapo ndipo palipokuwa na njia nyepesi ya kufikia malengo yake ya kuwa mtu tajiri mwenye pesa lukuki na kuwa mtu maarufu pia. Mgeni akazidi kujizatiti kwa kumpa mwenyeji wake sifa za kuwa anaweza kufika mbali kama ataachana na dhana za mimi bado zamu yangu, mimi bado Mungu hajanipangia au mimi bado ni mdogo kibiashara hivyo siwezi kushindana na wafanya biashara wakubwa. Pia akamwambia uwoga wa kufanya jambo la haraka ili yajayo taratibu yapate nafasi ni mbaya sana na asiogope kuondoa mmoja ili kuwakaribisha wengi anaolingana nao. Hapo Joesan akashindwa kuelewa ikabidi kuuliza. Hapo ndipo alipoanza kusukwa na kujazwa sumu moyoni mwake na hatimaye akawa na tamaa ya kufanya chochote na kwa wakati wowote kwa mtu yoyote yule. “ninaye rafiki ni tajiri kiasi na anajimudu” alisema Joesan alipoulizwa kama yupo mtu atakayemfanya yeye kuanza kumiliki pesa nyingi kwa wakati mmoja. “uwa na nikufundishe mbinu za kuwa mtu tofauti” ndivyo alivyoambiwa Joesan. bwana huyo tamaa ya kumiliki pesa kwa haraka ikamjaa, akasahau ahadi aliyoahidiwa na rafiki ya kupewa kiasi kikubwa cha pesa kama mtaji na kutaka kumfanyia ubaya. Aliyaamini maneno ya huyo mkorea kwa asilimia mia moja kuwa ukitaka kuwa tajiri usiwe muoga wa kuamua unacho fikiri. “nitawezaje kuuwa sasa?” akauliza Joesan. “kwanza uwe tayari kufanya hivyo my friend, uko tayari kumuuwa rafiki yako kwa dhati kabisa?” ndivyo alivyokuwa akiulizwa Joesan naye akajibu kwa ajili ya pesa yuko radhi hata kumuuwa ndugu yake wa tumbo moja. Jibu hilo likamfanya Mkorea huyo afurahi hadi moyoni kabisa na kuona amepata mtu sahihi kabisa. mbinu zikasukwa kwa siku chache hata kabla ya pesa aliyokuwa akiisubiria Isihaq haijaingia. mipango ilipokamilika, mbinu za kumuuwa Isihaq zikakamilika pia,Joesan akatekeleza mauwaji hayo. Na hapo ndipo alipobadilika kabisa kimaisha na kiroho. Hakuwa yule Joesan mpole na mpenda haki bali alikuwa mnyama, katili na muuwaji huku akiwa tajiri mkubwa akilindwa na wema wa bandia aliouwanzisha wa kutoa misaada katika majumba ya ibada na kuwasaidia wajane, wazee na watoto yatima. Ule umaarufu aliokuwa akiuhitaji akaupata. Akawa ni msamalia mwaema alijivika ngozi ya Kondoo huku akiwa ni Chui mbaya ndani yake. akakenua tabasamu la kejeli na kujinyoosha pale kwenye kiti chake cha kiofisa na kausingizi kakaja na kumtoa kwenye yale mawazo ambayo ni dhahiri akiyakumbuka, nafsi inamsuta. Alikuja kushtuka baada ya kama dakika kumi na tano mbele, alijipangusa uso lake baya na kukumbuka kitu. Simu. Ndiyo, alikumbuka kuwapa taarifa jamaa zake wa kukaa mkao wa kula kwano mambo tayari yalikuwa mazuri. akatazama saa ya ukutani tayari ilikuwa ni saa kumi za jioni na ushenzi. Akachoropoka pale ofisini na kueleke nje yalipo maegesho ya magari.

“habari yako kaka?” alianza kwa kusalimia Merina akiwa karibu kabisa na Sex Machine. “safi tu dada mrembo, samahani, unaweza kuniambia mimi ni nani?” aliuliza Sex machine. Kiukweli ni kwamba alikuwa hafahamu chochote kuhusu yeye, alikuwa ni kama flash disc empt. “jina lako ni sex Machine hilo ndilo unalotakiwa kulifahamu hakuna jina jingine zaidi ya hilo na uko hapa kwa aijili ya boss. Unatakiwa kumsikiliza yeye kwa kila kitu, yeye ndiye kiongozi wako kwa sasa hata baadae.” elimu ilianza hivyo akafundishwa vingi. Mwisho baada ya mafunzo ya utambuzi akatakiwa avue nguo alizo nazo ili akabidhiwe nguo zake ambazo pia hakuzikumbuka kama ndizo alizokuwa akizitua awali. Hakuwa akiogopa kitu Sex Machine, Akili yake ilisshabadilika mazima, alikuwa ni mtu wa fanya hiki na kukitekeleza na siyo kupinga. Alivua nguo mbele ya binti huyo. “my God! Mbona ni kijana mzuri sana huyu kaka? Oooouu yaaa, cheki alivyo na mpini wa haja jamani hata siamini” alijisemea moyoni Merina. Aliganda kabisa na kujikuta akisahau hata kufanya kile alichokikusudia. Macho yalimganda mahali kilipo kiungo cha uzazi cha kijana huyo. Sex machine alikuwa hajui chochote kitakachofuata hapo alibaki amesimama tu akimtazama binti huyo ili amuelekeze hatua inayofuata hata kama angemwambia abakie hivyo hivyo mtupu angeona ni sawa tu, akili ya kijana huyo iligeuzwa na kuwekwa katika utayari wa jambo lolote lile hata kama baya. Merina alijikuta akilegeza nguo zake na kumsogelea Sex Machine, alikuwa katika hali mbaya tayari ya kutaka kufanya nae ngono kiumbe huyo. “ni mara moja tu hakuna madhara yoyote, anamwili mzuri sana amenisisimua kwakweli.” aliongea Merina huku akimalizia nguo yake ya mwisho ili aweze kuivunja amri ya sita miongoni mwa zile amri kumi za Mungu na ni amri ngumu inayowafelisha wengi sana katika harakati za kujizuia kuitekeleza. Sex Machine akaona mahali panapo leta mtafaruku katika nyumba za wanandoa, sehemu ambayo ndiyo chanzo cha usaliti katika mapenzi. Kama mwanaume aliyekamili, vyombo vikanyanyuka. Kidume mwenye hisia kali akataka mzigo na alitengezwa kwa ajili ya kazi hiyo. Akamvaa Merina na kumpandisha kwenye meza iliyopo ndani hapo kasi ya kumcheze binti huyo ikawa ya aina yake, Merina akajikuta kwenye raha ambayo hakuwahi kupewa na mtu yoyote yule. Akashindwa kujizuia kupiga kelele, sauti za mahaba zikakimeza kile chumba. Mtoto akanyanyaswa na mwili wake mwenyewe, akaomba sex machine ale mzigo sasa maana hicho ndicho hasa kilichomvutia. Ni wajibu wake kutekeleza alichoambiwa. Akazamisha mpingo ndani ya kimia na kuanza purukushani. kasi iliyokuwa ikitumiwa hapo ni ya aina yake. mchezo huo ulimvutia sana Merina alitamani kijana huyo asishuke. kutoka Mwilini mwake kumbe hakujua kuwa amekosea sana. siku hiyo
ilikuwa si ya kumpa penzi kijana huyo ambaye ametoka kwenye mtambo. Nguvu alizokuwa nazo ni kubwa na ndiyo maana daktari akatahadharisha mapema kuwa asitumike kwa siku hiyo hadi siku inayofuata, kiherehere chake cha tamaa kimemungiza kusiko Merina. Moto wa msuguano ukaongezeka, ule utamu aliokuwa akiusikia ulianza kupotea taratibu na alianza kuhisi maumivu. Sasa akawa anaomba amalize ili tu apate kupumua. Sex Mchine hakumaliza na wala dalili ya kufanya hivyo haikuwepo. akawa anageuzwa tu kwa kila mkao mara huu mara ule, Merina akanza kuhisi mauvivu yasiyo pimika, kelele za kumtoa kijana huyo mwilini mwake, hazikufua dafu. Akaona ni bora atumie nguvu kumnasua maungoni mwake napo ikashindikana kiumbe huyo alishakuwa katika moto mwingine. raha ya mchezo huo ilishamkolea. Merina akaona sasa anachubuka, sehemu zake za siri alihisi zikitoka damu, maumivu ndiyo yalikuwa hayasemeki. Kikaanza kilio cha kimyakimya hatimaye sauti ikaongezeka. Merina alilia na ………………………………………….

kusaga meno. Sex machine hakutoka ndiyo kwanza alikuwa akifumba macho kwa utamu aliokuwa akiupata kwa binti huyo, wazo la kuhisi kuwa mwenzie anaumia wala hakuwa nalo kabisa. Sauti kali za kilio zikamkuta dokta Emmy ambaye alikuwa akijiandaa kutoka kurejea zake nyumbani mapema maana hakuwa na kazi siku hiyo. Sauti hiyo akaijengea mashaka na bahati nzuri hakuipuuzia. Akatoka mbio kuitafuta sauti inapotokea ndipo alipokuja kugundua kuwa sauti hiyo inatoka katika chumba ambacho Merina alipewa kazi ya kumfundisha Sex Machine jinsi ya kujitambua. Akazama ndani ya chumba hicho kwa ghafla ndipo alipomkuta Merina katika hali mbaya sana. Sex Machine akiwa anazidi kushindilia huku dalili za kushuka zikiwa hazipo. Dotka Emmy akampiga kofi kijana huyo, alinyanyua macho akamkemea kwa sauti ya juu ya kumtaka aache kufanya hicho anacho kifanya. Sex machine alinywea na kujitoa mwilini mwa Merina akiwa mpole kabisa. Bado mashine yake ya kazi ilikuwa hewani. Hayo ndiyo yalikuwa maisha mapya ya Chriss, maisha ya kutumiwa kama chombo cha kumtajirisha mwingine kwa kutumia mwili wake. Merina alikuwa akijiangalia kila wakati kama yupo sawa, kilanga chote kilimuisha, alimshukuru sana daktari laa kama si yeye, angeimba kila wimbo anaoujua. Dokta Emmy alimtaka Merina avae nguo zake na watoke mule ndani.

**********************************************
Joesan alikuwa ndani ya nyumba yake ya siri ambayo aliitumia kufanya mambo yake ya siri. Alichukua simu yake ya siri ambayo ni aghalabu sana kuitumia na amekuwa akiitumia kwa kuwapigia watu wake maalum tu. Aliandika namba ya mtu aliyemhitaji na kuiweka sikioni.

SAN ANTONIO.
Simu ndogo ya kiganjani iliyokuwako mezani ilitetema, mmiliki wa simu hiyo aliitazama kwa muda simu yake na kugeuza macho pembeni ambako alikuwako binti yake kasha akaikwapua ile simu na kutoka nayo nje ikiwa bado inaita hivyo hivyo. Akaipokea na kiweka sikioni huku akiangalia usalama wa hapo alipo kama yuko mwenyewe ama laa. BC. Ndilo jina la mmiliki wa simu hiyo. “habari ya muda huu mr.?” alisalimia kwa lugha ya kiingereza bwana huyo. Upande wa pili wa simu ukajibu ni nzuri tu kisha mtu huyo wa upande wa pili akaelekea kwenye kiini cha kupiga simu hiyo kwa mtu huyo. Alieleza kuwa ni muda wa kuwa tayari hivyo ahakikishe kila kitu kinaandaliwa katika utaratibu mzuri. “mizigo iko safi J, ni huyo mvukishaji tu ndiye aliyekuwa akisubiriwa.” alisema Black Clocodile. upande wa pili ukaridhika na maneno yale kisha akaahidi siku ambayo kiumbe huyo atafika nchini humo kuchukua mzigo huo na kuupeleka nchini Brazil kwa biashara ili wao waendelee kuneemeka. “ok, sawa” maongezi hayo yakahitimishwa namna hiyo. Lakini ndani ya nchi hiyo hiyo ya Marekani. ndani ya jiji la Los Angeles huko California, ndani ya mjengo wa kisasa kabisa. Kulikuwa na binti aliyekuwa amejianika sebuleni kwa mavazi yake ya kihasara hasara ayapendayo. Huyu ndiye yule yule binti tusiyemjua ni nani, alikuwa amepiga bikini nyekundu kama ilivyo ada yake na juu alikuwa na kitopu cha rangi ya pinki. Alikuwa akiyafuatilia maongezi ya watu wale bila mawimbi yoyote na alikuwa akiyarekodi. alipomaliza aliweka tabasamu safi usoni mwake na kuchomoa flash fulani aliyokuwa ameipachika kwenye kifaa chake hicho na kupandisha mguu mmoja juu ya mwingine na kuegamia kwenye kiti alichopo na kujimiminia kinywaji tumboni mwake. “J? Ni nani huyu?” alijiuliza binti huyo ambaye tunaweza kumuita bikini nyekundu kilingana mtindo wa uvaaji wake. Jibu hakulipata kwa urahisi akaishia kumalizia na neno from Tanzania. Kisha akamalizia kile kinywaji na kutoka lile eneo na kuelekea chumbani kwake ambako alivua nguo zote na kubaki mtupu kisha akaelekea maliwatoni.

Baada ya Joesan kuongea na BC, aliishusha ile simu na kuvuta pumzi nyingi kwenye mapafu yake na kabla hajazitoa pumzi hizo, simu yake ya kawaida ikaita. Alikuwa ni daktari. “ndiyo daktari?” akauliza. “kazi imekwisha tayari tunakusubiri wewe tu boss”
“ok, niko njiani nakuja” alijibu Joesan na kutoka mule ndani baada ya kuhakikisha kila kitu amekiacha katika usalama umzuri na kuingia kwenye gari yake akaondoka mwendo wa mashindano. Alipofika kwenye kampuni alimchukua Sex Machine na kuondoka naye huku akimuacha dokta Emmy na Merina maeneo hayo. “kama si wewe shost mbona ningekoma leo, hee! Kwanini yule mkaka ana nguvu kiasi kile kama roboti?” alisema Merina akimwambia dokta Emmy na kumfanya dokta huyo aangue kicheko cha haja. “wala usinicheke shost, mwanzo niliona utamu alivyokuwa ananisugua vizuri, nikatamani hata asimalize lakini doo! Mambo yakanigeukia na mchezo mzima ukanitumbukia nyongo. Niliona kama anataka kung’oka na tupu yangu” maneno hayo ya Merina yalizidi kumuacha hoi dokta Emmy kwa kicheko, alicheka hadi anayumba kabisa. “na wewe umezidi bi dada, huoni ukuni, kila ukuni unataka upikie, miti mingine ina moshi bibi wewe utapikia lakini chamoto utakiona. Macho yatakuiva hayo hadi uhisiwe umwanga. Shost, yule ametengezwa na ni mashine ya ngono ile si kama sisi hatuwezi kumtumia kwa kutufurahisha laa! Tunaweza lakini si kwa pupa kama ulivyo fanya wewe. ametoka leo kwenye mtambo uliokuwa unampika hivyo bado haja poa, ana nguvu za kutembea na wanawake hata sita na wala asichoke pale alipo. Sasa wewe umepeleka kidude chako kimoja hicho na unabahati angekuchana leo.” alitoa maelezo dokta na kumfanya Merina aheme kwa nguvu nyingi sana. “yote hayo nimeyajuaje mwenzako, nilipokiona kifua kizuri cha mtoto wa kiume yule mihemko ikanipanda, mtoto wa kike kifuniko cha soda kikaniwasha. Lakini sasa kwa mtindo ule si watakoma hao watakao muhitaji maana mimi hapa nilipo sina hamu nahisi pia kanichana, kidude kinaniumaje hapa nilipo maana nilitoka damu kabisa.” alisema Merina na kuhoji. “no, kuazia kesho na siku zijazo atakuwa kawaida na jinsi alivyo mtundu yule kaka, atatuingizia pesa nyingi sana maana ninaimani watu watakuwa wanalipa double kwa jinsi atakavyo wafurahisha”
“ni kwa muda gani atakuwa anafika kileleni?” akauliza tena Merina. “kuanzia dakika 30 hadi 45 kwa mzunguuko wa kwanza na atakayetaka kurudia hapo namaanisha, atakayelipia tena kwa mzunguuko mwingine ni lazima ajue kuwa kuanzia dakika 45 hadi 55 mtu huyo atakuwa mwilini mwake. Lakini kwa jinsi atakavyokuwa anakuingilia, utatamani hata asimalize ni kitaalamu zaidi” alijibu daktari na kumuweka Merina katika hali ya usawa maana alishaanza kumuogopa Sex Machine. “siwezi kukubali huyu mtu anipite ninakuhakikishia ni lazima awe tulizo langu ni wa ukweli sana. Sijawahi kutengeneza Sex Machine mzuri na mwenye mwili wa kuvutia kama huyu
“hata mimi wee, lazima nirudie mchezo ananivutia huyu kaka hadi napagawa” alidakia Merina na kuonesha kuwa hatanii. “punguza umalaya mwanamke unafikiri Suzane akijua atakuacha”
“bibi wee, acha woga hii mali ni yetu wote hakuna aliyesaini mkataba naye hivyo atagonga huku na kule”
“utakufa malaya wewe shauri yako, hebu niende zangu nyumbani miye giza lisije kunikuta hapa”
“nikifa mimi sasa wewe ndo utabaki, kama mimi malaya wewe ndiyo changu doa kabisa lione kwanza kilivyo na ndiyo maana hukondi wewe hata kama ukifanya dayati kwa kukalia madude makubwa yasiyo saizi yako” akarusha dongo Merina lililomuendea moja kwa moja dokta Emmy ambaye alikuwa tayari ndani ya gari. Emmy alimuangalia Merina na kumpindishia mdomo kama kakumbwa na degedege, akasema “dawa yako ilikuwa ni kukuacha ufuluguswe hadi kidude chako kingeota sugu hiko” dongo hilo lilimfanya Merina kupandisha kioo chake cha gari maana akikumbuka kitu alichofanyiwa damu zote za mwili zilimkimbia.

mimi ndiyo Joesan, najua ulisikia nikitajwa lakini hukuwa ukinifahamu” alijitambulisha Joesan kwa Sex Machine walipokuwa wanaingia kwenye nyumba moja ya kisasa kabisa. Ni nyumba ambayo ilikuwa haikaliwi na mtu kifupi ni kwamba ilikuwa ni mpya kabisa. Sex machine akatikisa kichwa kuafiki aliyoyazungumza bwana huyo. Ni kweli alikuwa hamfahamu kwani kila kitu kiliharibiwa na kusahaulishwa kabisa na hapo alikuwa akiingiza vitu upya ndani ya ubongo wake. Kitu kimoja tu ambacho hakijaharibiwa ni taaluma aliyo nayo lakini kila kitu kilifutwa. Huyo ndiye Joesan, mnyama wa unyamani. “mimi ndiye mwenye amri kuu juu yako, si kama huto sikiliza amri za wengine laa! Ila kauli nitakayoitoa mimi ndiyo itakuwa ya mwisho kwako.” alisema huku akimzunguusha ndani ya lile jengo kuanzia ndani nje na hata vyumbani. Walipofika chumbani, wakatulia na kuendelea kuongea. “nadhani umeiyona hii nyumba vizuri?” Joesan aliuliza. “ndiyo nimeiyona”
“basi hapa ndipo yatakapokuwa maisha yako yaani hii ndiyo nyumba utakayoishi hadi pale utakapoamua kutafuta makazi mapya ila kwa sasa ni hapa.”
Sex machine alifurahi sana hakuamini macho yake kukabidhiwa nyumba nzuri kama ile. Si nyumba tu bali na vyote vilivyomo ndani ya nyumba hiyo. Alifungua kabati la chumbani humo na kukuta mavazi ya gharama yakiwa yamepangiliwa kwa umaridadi mkubwa kabisa, vyote hivyo mmiliki ni yeye. “kila kitu ni chako humu ndani” sauti ya Joesan ikamfanya kijana huyo kutoka katika hali aliyokuwa nayo na kumuangalia mtu huyo aliyejitambukisha kama bosi kwake. “hii ni kadi yako ya benki tayari nimekuwekea kiasi cha shilingi milioni 15 na itakuwa inaongezeka kwa kiasi kikubwa kila utakapokuwa umetoka kufanya kazi huo ndiyo mkataba wangu mimi na wewe na hautovunjika” maneno hayo ya Joesan yalizidi kumshangaza kijana huyo na kuzidi kumuona mtu huyo ni wa pekee sana. Alizidi kumpenda kwa kila hatua na kuanza kumuona wa thamani. Kazi ya kufanya ngono ndiyo ilikuwa kazi yake na alishaikubali tayari hata kama angetokea mtu na kumwambia aiache ni sawa na kuununua ugomvi kwa bei chee kabisa. Joesa alifika kwenye kabati la vioo lililokuwa limeunganishwa na ukuta, akaufungua mlango wake hadi mwisho kisha akamtaka Sex machine asogee karibu. “hili ndilo vazi lako la kazi, hakikisha kila utakapokuwa unataka kufanya ngono, vazi hili linakuwa mwilini mwako yaani ni bora ivuke ngozi yako kuliko hili vazi wakati wa sex na utalivua pindi tu utakapofika hapa” alizidi kutoa lecture Joesan kwa kijana huyo na kumwambia kuwa kazi atakayoifanya siku inayofuata kama itakuwepo, hatotakiwa kulivaa vazi hilo kwani kazi hiyo ni test tu kwake ili…….

ili kuona kama ameiva. alipomaliza kusema hayo, akabonyeza batani fulani ya rangi nyekundu iliyopo kwenye kola ya lile vazi lililokuwa limetundikwa vizuri kwenye enga ya mule ndani ya lile kabati. Akamtaka Sex machine atoe nguo zake zote asibakiwe hata na nguo moja kisha akamuamuru asogee karibu kabisa na lile vazi. Akamwambia ageuke na alipe mgongo, Chriss hakupinga alifanya kila kitu alichokuwa akiellekezwa na bosi wake huyo. Akaamriwa atanue mikono mithili ya mtu anayetaka kupaa. Alipofanya hivyo tu, lile vazi likaruka mwilini mwake na kujivalisha lenyewe. Pamoja na kwamba lile vazi lilikuwa mwilini lakini bado alijihisi kama yuko uchi kabisa kwani vazi hilo liliendana na kila kitu kilichopo mwilini mwake kuanzia ngozi, hadi maumbile isipokuwa sehemu zake za siri tu ndiyo zilikuwa wazi lakini ni ngumu kujua kama ziko wazi sehemu hizo. Yalikuwa ni maajabu sana kwa kijana huyo. “vipi lina kubana?” alitupa swali Joesan. Sex machine akajibu kuwa anajiona sawa kabisa na hakuna tofauti yoyote na alivyo kuwa uchi. Joesan akachanua tabasamu la ushindi akijua sasa umilionea ulikuwa ukimuibukia hapo mithili ya mvuvi apigae mbizi na kuibuka palipo na samaki wengi. Alipohakikisha kila k/Sex machine akafanya hivyo na lile vazi likatoa mlio mdogo kama uminyavyo vitufe vya simu aina ya Nokia uanpoandika namba au utakapo kumpia mtu na kutoka kama lilivyokuja na kurudi mahala pake. Akamwambia sasa avae nguo na watoke nje. walipofika nje alimuonesha gari iliyopo maegeshoni, ilikuwa ni Toyota Prado ya rangi nyeusi mpya kabisa. “hiyo ni gari yako na ufunguo na uchafu mwingine wote, uko ndani ya hiyo gari. Ni wajibu wako kuitumia utakavyo hakuna mipaka katika hilo” alipomaliza kusema hivyo Joesan alimpa kijana huyo simu mpya ya kisasa pia akasema. “ipo kadi humo iliyosajiliwa lakini nakujua kuwa wewe ni mtumiaji mzuri wa kompyuta hivyo unaweza kubadili usajili huo utakavyo wewe na hata ile kadi ya benki pia unahaki ya kubadili namba ya siri maana ni yako na utakuwa na uhakika wa ulinzi wa pesa zako.” akaweka tuo na kusubiri kama kuna neno kutoka kwa kijana huyo. Halikuwapo neno jingine zaidi ya asante na shukurani za kuzidi zilizomfanya Joesan kujiona ni zaidi ya mfalme. Kitendo cha kumteka mtu fikra na akafuata kila takwa lako si jambo dogo hata kidogo. Ni jambo kubwa na la kujivunia sana Alijiona ni kama Mungu bwana huyo kwa jinsi atakavyonyenyekewa na kiumbe huyo aliyemtengeza na yeye kumtumia vile atakavyo. “nitakupigia jioni nikupe taarifa kamili na jinsi ya kuanza kazi” alisema Joesan kisha akapanda kwenye gari yake na kutokomea.

ITAENDELEA

JAMANI ANTIII…NISHUSHE UNUNIO – 5


Image result for african beauty lover


Chombezo : Jamani Antiii…Nishushe Ununio
Sehemu Ya Tano (5)

Kuona kama Bigambo anamchelewesha, Vivian alimsogelea na kuanza kumpa uchokozi wa wazi kabisa ulioashiria kwamba anataka dozi ya maana kwa wakati huo na siyo maneno mengi kama ilivyokuwa wakati wakiwa nje.

“Baby,” Vivian aliita kwa sauti kavu lakini yenye kuelemewa na mahaba mazito sana.
“Mmmh,” Bigambo aliitika lakini kabla hajafanya chochote alishangaa kumuona Vivian akichukua nguo na kuanza kuvaa huku akitokwa na machozi.

BIGHAMBO aliruka kama kima kwenye miti ya mvinje na kumshika Vivian huku akimuuliza kulikoni aanze kulia baada ya kutoka kwenye gwaride la kupeana raha za kidunia.

“Mbona unakuwa hivyo jamani?” Bigambo aliuliza huku akimshika kwa uangalifu wa hali ya juu sana, Vivian akajisikia amani moyoni na kuamua kuachana na zoezi la kuvaa na sasa akasimama wima na Bigambo, wote wawili wakajikuta wamekaribiana na kugusana tena.

Joto la miili yao lilikuwa limepanda na kufikia kiwango ambacho kama ni mgonjwa wa malaria hali ilikuwa mbaya sana. Wote walibaki kama walivyokuja duniani na Bigambo alimfuata Vivian na kumvaa mzimamzima na wote waliangukia kitandani puuu…

Bigambo alipeleka kinywa hadi kwenye papi za mdomo wa Vivian, ambaye midomo yake ilikuwa na lipsi nene na zenye kuvutia zaidi. Vivian alilala kwa mtindo wa kuhesabu mabati. Bigambo kuona hivyo, akiongozwa na mhemko wa kilevi alichokuwa ameshindilia ubongoni, alianza kuyakabili matunda ya mwanamke huyo ambaye kwa wakati huo alikuwa akihema kama bata dume aliyetoka kupambana na jogoo.

Hakuishia hapo. Bigambo alianza kufanya utalii kwenye maeneo mbalimbali ya mwili wa Vivian aliyekuwa akiendelea na kuhema huku akifumba na kufumbua macho. Ili kuwa ni raha isiyoelezeka.

Vivian aliendela kujitikisa kwa kufuatisha msisimko uliotokana na utalii wa Bigambo mwilini mwake. Hakika Bigambo alikuwa mtaalam wa mahaba, raha aliyompa Vivian ilikuwa haina kifani. Raha hiyo ilimfanya Vivian ashindwe kujizuia na kuanza kuropoka maneno mengi ya hovyo.

“Bigambo…”

“Naam…”

“Unajua sana jamani baba.”

“Kufanya nini?”

“Kunipa raha,” Vivian alijieleza kwa maneno yote matamu aliyoyajua lakini Bigambo hakusitisha suluba zake ambapo sasa alianza kutumia jembe lake kumuadhibu Vivian. Kwa kifupi wote walizama kwenye dimbwi la mahaba.

Mtanange ulikuwa wa kukata na shoka. Timu zote mbili zilikuwa zikishambulia lango la timu pinzani kwa nguvu na pasi za kushtukiza. Ikafika mahali Vivian alichoka na kuruhusu mashuti kadhaa yatikise nyavu.
Muda mfupi baadaye, wote wawili walijikuta wakitangaza kufika mwisho wa miti ya minazi na sasa walialikana kupasua madafu pamoja. Kwa upande wa Bigambo lilikuwa dafu lake la kwanza kupasua tangu waanze kazi ya kukwea minazi lakini kwa upande wa Vivian lilikuwa kama dafu la nne.

“Nafika…,” Vivian alianza kutangaza kwa sauti ya kupayuka huku akihangaika mwili mzima ili ashike vizuri asije akaanguka na badala ya kuvunja dafu iwe stori nyingine.

“Umefika wapi mama…?” Bigambo alihoji lakini kabla hajajibiwa naye alianza kusikia kitu cha tofauti na sasa alianza kukoroma huku akikunja sura na hapohapo alianza kuropoka kwa sauti yake ile mbaya.

“Oooh, mama nami naelekea kupasua daaaafuuuu…,” Bigambo aligugumia na hapohapo alizidisha kasi ya ukweaji na kulishika dafu moja kabla ya kuliachilia na kulipasua kwa hasira kali, kitendo kilichomfanya Vivian naye apasue la kwake wote kwa pamoja walijikuta wakihitimisha safari kwa wakati mmoja, lakini kufumba na kufumbua Vivian alianza kuonesha jambo ambalo hata Bigambo lilimshangaza kwani hakulitegemea.

Bigambo alijivika ustaarabu ambao hakuwa nao na lengo likiwa ni kumpumbaza Vivian, ili atoe ushirikiano ambao ungeleta matokeo chanya kwa mpambano huo wa watani wa jadi.

Bigambo alimfuata Vivian mahali alipokuwa amelala na kuanza kumfanyia fujo zote ambazo hufanyiana wapendanao pindi wanapokutana kwenye eneo walilokuwepo Bigambo na Vivian.

Vivian naye alimpokea na safari hii alilala kwa mtindo wa kawaida, aliweka kichwa maeneo ya kiuno na akawa kama anakibilingisha kichwa, hali iliyopelekea hali ya Bigambo kuanza kubadilika.

Vivian hakuishia hapo, akajisogeza kwa mbele zaidi na wote wawili kujikuta wakitazamana usoni.

“Baby…” aliita Vivian wakati huohuo mkono wake wa kushoto ukitalii kwa umaridadi mkubwa kabisa kwenye vichuguu vifupi viwili, mahali ambapo maruhani ya Bigambo yalikuwa.

“Mmm…,” aliguna Bigambo kwa mtindo wa kufyonza muwa mtamu…

“Oooh, yes baby…,” Vivian alichombeza kwa maneno laini na kuyafumba macho kwa maana ya kuhamasisha zaidi. Hali ya Bigambo ikazidi kuwa mbaya, kama ni kuharibikiwa sasa ilikuwa kwa kiwango cha kuhitaji msaada kamili na si maneno matupu.

Kuona hivyo, Vivian akazidisha mbwembwe. Akafumba macho na kukisogeza kinywa karibu na kile cha Bigambo. Bigambo naye akalegea kwa maana ya kumpokea Vivian kwa mtindo huo. Wakasogeleana na kuanza kushiriki pamoja kutafuna miwa ya Kilombero.
Walifanya hivyo kwa muda wa zaidi ya dakika kumi na tano, kila mmoja akionesha ufundi wa namna ambayo miwa mitamu huliwa.

Vivian alizidisha manjonjo, akawa anajikunja kwa kuweweseka kimahaba zaidi, ikawa mara akunje miguu na wakati mwingine ainyooshe kama anayejipima urefu, ilimradi kuonesha namna ambavyo alikuwa amekolea kwenye dimbwi la uhondo wa kilichokuwa kikiendelea.

Bigambo hakuwa nyuma. Naye aliamua kupeleka mashambulizi kwa Vivian, tena yalikuwa yale ya kushtukiza kwa lengo la kumvizia adui akiwa amejisahau.

Bigambo alipeleka mkono mmoja na kuyavamia maembe bolibo ya Vivian na kuyashika kama anataka kuhakikisha yameiva au la…

Hakuishia hapo, akalishika embe moja na kulitupia mdomoni huku lile jingine akiendelea kulifanyia visa vya kichokozi… Vivian akashindwa kuvumilia.

Sasa akajiachia kwa uhuru, akakaa mkao ambao ulimpa uhuru Bigambo kuonesha utundu wake zaidi ya huo. Kuona hivyo, Bigambo akaona isiwe tabu zaidi ya kupania kuonesha ufundi maridhawa, akamfuata Vivian na kumuweka vyema.

Kufikia hapo, Vivian alikubali kutoka moyoni kabisa kwamba Bigambo ni mtaalam kwenye eneo la kusakata kabumbu hususan kama mechi yenyewe imewakutanisha watani wa jadi ambao kila mmoja hutazama sana ushindi wa pointi na si wingi wa vyenga kama ambavyo wengi hudhani.

Walicheza ligwaride hadi kila mmoja akaridhika na mwisho wa siku wakakubaliana kuondoka eneo hilo kwa kuwa Vivian alikuwa na ratiba ya kukutana na mtu nyumbani kwake, huku Bigambo akitarajia kwenda kufanya kazi zake binafsi.

“Lakini baby,” Vivian alisema huku akitafuta mahali zilipokuwa nguo zake.

“Vipi mama.”

“Wewe ni kiboko.”

“Kwa nini?”

“Si kama hivi, kwanza sikuwa na mpango kabisa wa kufanya chochote tena na usingeniwahi wakati navaa, ndiyo kwanza ningekuwa nimeshafika nyumbani zamani mno, lakini uungwana wako wa kuniwahi na kunibembeleza kwa maneno na bembelezo maridhawa, hatimaye tumeweza kurudia mchezo tena,” Vivian alisema huku akimtazama Bigambo kwa lile jicho la pembeni na kuachia tabasamu laini.

“Umetumia utundu wako wote kuhakikisha najikuta nikiingia mchezoni tena, hakika umeniweza.”

“Kwa hiyo umecheza gemu kwa kulazimishwa?”

“Sijamanisha hivyo bwana.”

“Sasa kumbe?”

“Mwanzoni sikutaka kwa kweli, lakini ushawishi wako umesaidia sana hadi nikajikuta nafurahia maandalizi na hatimaye namna ambavyo mchezo mzima ulivyokwenda,” Vivian alisema na hapohapo akawa anamalizia zoezi la kuvaa na kumsubiri Bigambo amalize ili waweze kutoka pamoja kabla ya kuachana na kila mmoja kuangalia njia na ratiba yake.

BIGAMBO alikuwa tayari ameshavaa suruali yake na muda huu alikuwa akivaa shati. Upande wa Vivian ndiyo kwanza alikuwa akijivuta katika kuvaa nguo…mara achukue sidiria na kuigeuza mara aiweke sawa…

“Vipi nitangulie?”
“Hapana bwana kwa nini uniache Bigambo wakati kuingia tumekuja wote… mechi tumecheza wote tena kwa furaha ya juu kila mmoja amefurahi kufika kileleni…”

Bigambo alionekana kukasirika licha ya kuambiwa maneno mazuri ya kuliwaza na Vivian…

“Unavaa taratibu sana lakini…mbona kabla hatujaanza kucheza mechi ulikuwa unavua harakaharaka?” Bigambo alimtania Vivian akaonesha tabasamu na kuvaa kwa spidi…

“Haya nimemaliza… kifuatacho?”

“Tuachane hapo nje mi niende kazini na wewe uendelee na ratiba zako,” alisema Bigambo na Vivian kukubali kwa kutikisa kichwa.

Walitoka nje kama walivyokuwa wameahidiana… Vivian akielekea nyumbani kwake ambapo alikuwa na ahadi ya kukutana na rafiki yake mwingine ambaye Bigambo hakuwa akimjua.

***

“Nimekusubiri sana… nakupigia simu yako hupokei kwa nini jamani?” Rama alilalamika mara baada ya Vivian kufika karibu na nyumbani kwake na kumkuta akiwa nje.

“Nisamehe si unajua tena Kariakoo kulivyokuwa na mavurugu…simu nilikuwa naisikia sana lakini ilikuwa kwenye pochi nikasema nikifika ndiyo nitaangalia nani alikuwa amepiga,” alijitetea Vivian.

Rama na Vivian waliwahi kuwa wapenzi kipindi cha nyuma ambacho Vivian alikuwa akiingia rasmi kwenye usichana wake…mapenzi yao yalikuwa ya kukorofishana na kurudiana. Kipindi hiki walikuwa hawajaonana karibia miezi sita na Rama ndiye aliyeanza kumtafuta na kukubaliana wakutane nyumbani kwake na kumpa maelekezo hadi nyumba anayoishi

“Basi nisamehe mimi ambaye sikuwa najua ulikuwa katika wakati gani?” Rama naye alitupia jiwe gizani ili kumlegeza Vivian aliyeanza kuonesha kama mtu aliyekasirika. Rama ni kati ya wanaume waliokuwa wakimjulia sana Vivian pale anapokuwa amebadilika jinsi gani ya kumuingia.

“Nimefika hapa nje kama ulivyokuwa umenielekeza lakini bado sijajua hata ni nyumba ipi zaidi ya kuniambia nikifika nitakuta kwa nje kuna duka limeandikwa Massawe.”

“Akili zako za darasani kumbe bado zinafanya kazi vizuri. Duka la Massawe hilo hapo na kwangu paleee,” Vivian alimuelekeza Rama kwa alama ya kunyoosha kwa mkono.

“Tungetafuta sehemu basi tuongee tupate kidogo,” Rama alitupia swali la kiuchokozi.

“Huko nilipotoka nimezibwia za kutosha si unaona ninavyoyumba kwa mbali…”

“Basi tutafute sehemu tuongee.”

“Ni sawa lakini kwangu kunatosha wala usiogope!”

“Hapana, kuna kipindi uliniambia umeshapata mtu kwa hiyo naogopa kufumaniwa,” alisema Rama akionesha tabasamu mbele ya kope za Vivian.

“Haaa haaa Rama bwana! Akupige nani kwa maisha haya ya siku hizi?”

“Si bwana wako unayeishi naye?”

“Sikiliza Rama! Siku hizi nimekuwa tofauti kwanza nawachukia kweli wanaume, pili natamani hata ningekuwa mwanaume tu,” Alisema Vivian kwa msisitizo.

“Hapana Vivian usiseme hivyo! Ujue umeumbwa hivyo mwanamke, ni kosa kumsema vibaya aliyekuumba hata katika maandiko ipo hiyo,” Rama alidakia na kumfanya Vivian kumuelewa.

“Haya twende ukapafahamu ninapoishi,” Alisema Vivian na kusababisha furaha ndani ya moyo wa Rama aliyekuwa amelimisi penzi la Vivian kwa zaidi ya miezi sita na hata ujio wake ulikuwa kujaribu tu.

“Tangulia mbele mi nakuja kwa nyuma.”

“Haaa haaaa Rama bwana! Haya twende!”
Waliongozana hadi kwenye mlango wa Vivian. Vivian alifungua mlango wake na kutangulia ndani…akawasha taa kufanya nyumba iwe na mwanga mara mbili yake.

“Sasa unaweza kuingia ndani,” Vivian alimwambia Rama huku akishusha pazia vizuri. Rama akazama hadi ndani na kujitupia kwenye kochi.

“Umejipanga? Safi sana!” Alisema Rama kiuchokozi.

“Nijipange wapi? Mjini hapa nikasema nisikae kihasara japo vijikochi na TV na hako kagesi vinatosha!” Alisema Vivian akimwangalia Rama kana kwamba kuna kitu anataka kumuuliza.

“Hujaniambia, wifi anaendeleaje huko? Vipi una watoto wangapi sasa hivi?” Vivian alirusha swali kwa Rama.

“Watoto nitoe wapi wakati bado nataka kula ujana! Nipo singo kwa sasa!”

“Heee! Rama jamani kwa nini?”

“Basi tu si unajua maisha, ujue kuna wanawake wengine wameumbwa tofauti sana,” Rama aliinuka mahali alipokuwa amekaa na kushuka chini kabisa kwenye kapeti ambapo Vivian alikuwa amekaa.

“Huwezi amini kwa sasa nimeamua nijikite tu katika biashara zangu mikoani, ukifika muda wa kuishi na mwanamke nitaishi naye lakini si kwa sasa!”

“Bado sijakuelewa vizuri, yule wifi yangu wa kipindi kile ulichonitambulisha sijui alikuwa akiitwa Anna yupo wapi kwa sasa?” Vivian aliendelea kumkazia Rama.

“Ndiyo huyo niliyeachana naye baada ya kurudi safari na kukuta amesafisha karibu chumba kizima na kuniachia kapeti tu na kitanda chumbani…” alisema Rama kana kwamba ni kweli kumbe alikuwa akicheza na akili ya Vivian bila kujua.

“Masikini pole sana, pole…” Vivian alijikuta akiingiwa na moyo wa huruma…alichukua mkono wake na kumgusa Rama begani…Rama naye hakutaka kusubiri kuambiwa kitu, aliushikilia mkono mmoja wa Vivian.

“Asante sana Vivian…juzi uliponipigia simu sikutaka kuamini kama ni Vivian yule tuliyeanza naye uhusiano. Nikasema nisisafiri mpaka nije kukujulia hali kwanza na kukuona. Hivi namba yangu uliipata wapi maana nilibadilisha simu na namba ya simu hapa katikati,” Rama aliongea kwa sauti ya taratibu yenye kuliwaza masikio ya Vivian.

“Kama ulivyokuwa wewe, nilikukumbuka tu baada ya kukutana na rafiki yetu mmoja tuliyesoma naye si unamjua Maulanga?”

“Anhaaa kumbe ulikutana na Maulanga?”

“Yaaas! Ndiyo huyohuyo. Mgeni unatumia kinywaji gani maana naona maongezi yamekuwa mengi hadi nimesahau koo lako masikini.”

“Mhh! Vivian bwana! Asante situmii chochote.”

“Bwana Rama, chochote basi hata soda!” Alisema Vivian akiinuka na kuelekea kwenye friji lake lililokuwa limesheheni pombe kali mchanganyiko na soda.

“Nipe hiyooo…nimiminie kidogo kwenye glasi,” alisema Rama mara baada ya Vivian kufungua friji na kuona kinywaji aina ya Amarula.

“Umeniambia huna mtu sasa hii ukinywa si matatizo jamani?”

“Hakuna kitu kama hicho, watu wanaongeaga tu mbona hicho ni kinywaji kama vingine, hakileti kitu chochote mwilini.”

“Kukumiminia nakumiminia lakini tambua siku hizi mapenzi nooo!”

“Wala usijali,” Rama alimtoa wasiwasi Vivian…akamiminiwa kile kinywaji na kuanza kuinywa.

“Unaisikiaje?” Vivian alirusha dongo…ukweli ni kwamba hakutaka kucheza mechi yoyote na Rama kwa kuwa Bigambo alikuwa amemaliza kiu yake yote. Ile kauli yake ya kuachana na wanaume ambao walikuwa wakimtumia tu ilikuwa imeendelea kukaa katika kichwa chake.

“Naisikia murua kabisa! Hizi huwa nakunywaga mara mojamoja nikiwa safarini, huwa zinachangamsha mwili sana,” Rama alianza kuongea maneno mengi baada ya kukata fundo tatu za fasta.

“Mi nimeiweka tu kwa wageni na pia nikitaka kumleta mpenzi wangu huwa naanza kutumia hiyo kwanza.”

“Kumbe una mpenzi?”

“Kwa umri huu kweli Rama nikose mpenzi?”
“Umekuwa msiri sana Vivian ila hongera sana!” Rama alionesha kukata tamaa kwa kile kilichokuwa kimeanza kujengeka kichwani mwake juu ya kumvaa Vivian na kesho yake asafiri kufanya biashara zake.

“Hongera sana!” Rama alitua glasi yake chini na kumshika Vivian mikono yake yote miwili.

“Asante Rama, asante sana!”

“Nina ombi moja tu kwako kabla hata sijaondoka,” Rama alitupia swali kwa Vivian.

“Niambie tu nipo tayari kukusaidia.”

“Vivian wewe ni kati ya wasichana warembo wenye kumvutia kila mwanaume! Umeumbwa ukaumbika mamaaa! Nakuomba kwa muda huu tukumbushie yale mambo yetu ya zamani kipindi kile tumeanza uhusiano,” Rama kwa mara ya kwanza alishindwa kuzuia hisia zake na kujikuta akishikilia mapaja ya Vivian… Vivian akajitahidi kuepukana naye lakini akashindwa kwa sababu kile kinywaji kilimtuma Rama kuhama eneo la mapaja na kuelekea katika kifua cha Vivian hali iliyomfanya kuwa mpole na kumuacha akiendelea kutazama idara nyeti…

VIVIAN hakuwa na namna tena. Akamuacha Rama aendelee na alichokuwa anakifanya, ingawa kuna mahali alilazimika kumzuia kwa nguvu kutokana na kuzidiwa na ujuzi wa Rama, yote haya aliyafanya lakini kwa geresha tu, moyoni alianza kusikia kiu ya kukunwa kwa nazi yake.

Rama hakuwa na aibu wala simile. Tayari ubongo wake ulishachanganyikana na maji yenye kimea na kuondoa kabisa uwezo wa kujidhibiti ukizingatia ukweli kwamba hakukuwa na chochote kigeni mwilini mwa Vivian kwani walishakuwa wapenzi kipindi ambacho wote walikuwa wageni wa Jiji la Dar, ndiyo kwanza walikuwa na Krismasi moja wakiwa mjini.

“Rama bwana, nini lakini…. Mimi sitaki ujue,” Vivian alianza kulalama kimahaba huku akijikunjakunja kufuatia vidole vya Rama kuanza kugusa maeneo yenye shoti za umeme na ziletazo hatari zaidi mwilini mwake, mwenye asili ya Tanga, mkoa ambao unasadikiwa umejaaliwa wakazi wenye ujuzi wa mahaba na mapenzi. Ninaposema mahaba na mapenzi msomaji, lazima ujue kwamba nazungumzia mambo makubwa mawili totauti.

Mahaba ni yale manjonjo ya wapenzi waonyesheapo wakiwa wawili kwenye eneo husika na mapenzi ni zile hisia za ndani wa moyo wa mtu kwa mwingine.

Rama alizidisha utundu na kuanza kumkabili mwanamke wa watu kwa hali ya kujiamini zaidi. Ikafika mahali wote wawili wakaweka aibu pembeni, vigezo na masharti pembeni, Viviana akajiachia kwelikweli na Rama akaamua kumkabili kiume kwelikweli
“Lakini Rama, mbona huishiwi manjonjo na hauishi hamu kabisa baba,” Vivian alianza kuropoka huku akipeleka mikono kifuani kwa mwanaume huyo kama anayefanya zoezi la kudarizi kitambaa cha sare za wacheza shoo wa harusini!

Rama alizidi kupagawa kupindukia. Wingi wa kimiminika kichwani ukichanganya na ujuzi wa Vivian, mvulana huyo alikaribia kuyataja majina yote ya babu zake waliotangulia mbele ya haki miaka mia moja iliyopita.

Siku hiyo Vivian alipania ile mbaya kumaliza ufundi wote kwa Rama wake, mwanaume wa kwanza kabisa kumtoa ushamba alingia jiji la maraha, Dar es Salaam.

“Jamani Rama… Rama…. Ramaaaaa…,” Vivian alilama na kwa safari hii alipaza sauti kwa kiwango cha kuhamasisha zaidi. Akapeleka mikono yake na kumnyonyoa manyoya Rama na kisha kumalizia kwake na sekunde chache baadaye walibaki saresare maua wakibembea kwenye ulimwengu wa wachache, ulimwengu ambao hauna lugha thabiti ya kuelezea ikaeleweka zaidi ya kubakie kwenye hisia za akili na roho ya mhusika!

Walipashana na wote wakapashika. Mwanaume wa watu akajiweka sawa na kuingia kazini. Weee, achana kabisa na kinywaji alichokuwa amekipitisha kwenye koo yake Rama. Alichimbua mtaro hadi Vivian akalazimika kutumia nguvu kumuondoa kwenye mfereji wa maji taka. Kama ni mechi ilikuwa kali zaidi ya ile ya ngao ya hisani ya watani wa jadi.

“Basi inatosha mume wangu, nakupenda sana Rama jamani, kabisa baba yangu na kuanzia leo nakukabidhi maisha yangu yote. Wewe ndiye mwanaume unayefaa kunichukua jumlajumla. Kweli tena jamani, wala sitanii naapa mimi weeee,” Vivian alikiona cha mtemakuni.

Mchezo ulichezeka na kuhitimika kwa timu zote mbili kutoa suluhu ya mabao mawili kwa mawili. Wote walikuwa hoi na kutoka mioyoni mwao, kila mmoja alikiri na kujisikia hali ya kumkubali mwenzake.

“Lakini Rama, hakika wewe ni kiboko baba yangu,” Vivian alisema huku akimuegemea Rama kifuani kwake, lakini kabla Rama hajajibu chochote, ghafla mlango uligongwa na kwa kuwa Vivian ndiye alikuwa mwenyeji alivaa taulo harakahakara na kutoka kuufuata mlango ambapo alifungua taratibu na wakati anajiandaa kuuliza ni nani mgongaji, alishtukia akisukumwa na kuanguka hadi chini, kufumba na kufumbua alikuwa ni yule mjumbe wa nyumba kumi akiwa ameambatana na Jisu, yule fundi ambaye alimtengeeneza mlango Vivian wakati ule wa ugomvi wake na mzazi mwenzake ambapo baadaye walizaa penzi kutokana na kuzidiwa na pombe.

Mjumbe na Jisu walidhamiria kufanya fujo ya aina yake kwa Vivian. Walijitosa ndani na kuanza kurusha vitu huku na kule. Kifupi ni kwamba walikuwa wamelewa kupindukia. Rama alishtuka si kitoto. Alichokumbuka kukimbilia ni kuvaa nguo na kusimama kiume.

Kiasili Rama alikuwa mwanaume shupavu na kwa historia fupi ni kwamba aliwahi kujiunga na jeshi lakini hakumalizia mafunzo kutokana na kuugua ghafla kwa muda mrefu hali iliyopelekea kuachana na jeshi, kwa hiyo alikuwa vizuri sana lilipokuja suala la kurusha makonde.

Kichwani alikumbuka maelezo ya Vivian kwamba kwa wakati huo hakuwa na mwanaume hivyo Rama alijawa na ujasiri mkubwa, ingawa ukweli ni kwamba Vivian alikuwa mwanamke zoazoa. Kila mwanaume alikuwa wake, inategemeana tu na gia atakayomuingilia.

“Vivian hawa ni akina nani mama?” Rama aliuliza huku akijaribu kumzuia mjumbe na Jisu wasiendelee kufanya fujo mle ndani.

“Ni miongoni mwa wanaume wanaonisumbua mtaani hapa kimapenzi lakini mimi nimekuwa nikiwakatalia na leo wameamua kuja kunifanyia fujo…,” Vivian hakumalizia maelezo yake, Rama aliamua kuingia kazini. Aliwakusanya wote na kuwapigisha vichwa ambavyo si vya mkoa wala nchi hii.

Walipigika ile mbaya na kisha kuwatoa nje ambapo soo lilikuwa kubwa na kukusanya mtaa mzima.

Mjumbe ambaye alikuwa akiogopeka mtaani hapo kwa ubabe na ukorofi, sasa alikuwa mkononi mwa Rama akichezea kichapo kitakatifu tena mbele ya wananchi wake na hakuna aliyethubutu kuamulia zaidi ya kushangilia na kuuliza kulikoni na walipobaini kwamba chanzo kilikuwa ni kumfanyia fujo Vivian, walizidisha makelele.

Ni kama Mungu, wakati vurumai hiyo ikiendeela, gari la polisi ambalo lilikuwa doria maalum lilifika maeneo yale na kuwachukua wahusika wote, yaani Vivian, mjumbe, Jisu na Rama na kwenda nao kituo cha polisi ambacho hakikuwa mbali kutoka hapo. Walilazwa mahabusu hadi kesho yake asubuhi ambapo kulingana na maelezo yao, Rama na Vivian waliachiwa huru na kuwaacha mjumbe na Jisu kwa mahojiano zaidi ambapo askari mmoja aliambatana na Vivian hadi nyumbani kwake kwa ajili ya kufanya tathmini ya vitu vilivyoharibika kutokana na ugomvi huo.

Siku chache baadaye, Vivian na Rama walikubaliana kuoana na kwa kuwa Rama alikuwa na dini tofauti na Vivian kwa pamoja walikubaliana kufungia ndoa bomani na Vivian aliamua kuacha kazi mwenyewe kwenye ile Kampuni ya Nta na Asali na wakaamua kufungua biashara zao huku wakimtumikia Mungu kila mmoja kwa imani yake na ndoa yao ikishamiri kwa furaha na raha mstarehe, ambapo Vivian aliamua kukiri dhambi zake zote kanisani kwake.

Kwa upande wa Bigambo naye aliachana na maisha ya kuzoazoa wanawake hovyo na aliokoka na kuanza kumtumikia Mungu kwa kwenda kanisani na kushiriki ibada mbalimbali, ilifikia kipindi akakutana na Vivian akiwa na Rama katika majukwaa ya dini, wakawa waumini wazuri ambapo sasa walianza kuitana kaka na dada na maisha yalibadilika kabisa.
Kwa upande wa Jisu na mjumbe walihukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa kushindwa kulipa faini na fidia kwa uharibifu baadhi ya vitu vya Vivian na walipoachiwa wote waliokoa na kuachana kabisa na maisha ya kijinga na cha kushangaza wote waliamua nao kumtumikia Mungu, ikawa familia yenye upendo na maisha yao yakatawaliwa na Mungu na hadi sasa walishabadili kabisa maisha na kila mmoja wao anafurahia uwepo wake duniani.

JAMANI ANTIII…NISHUSHE UNUNIO – 4

Image result for african beauty lover
Chombezo : Jamani Antiii…Nishushe Ununio
Sehemu Ya Nne (4)

“Nini tena mshikaji wetu? Nini kimekukuta wangu?” Darwin mmoja wa wafanyakazi wenzake na Bigambo ambaye kwa umri alikuwa mtu mzima licha ya mwili wake kuonekana kijana alimfariji kwa upendo mkubwa na kutoka moyoni mwake, hata Bigambo mwenyewe hakuwa na shaka na upendo wa Darwin.
“Matatizo kaka, si unajua dunia hii, kuna jambo kubwa sana limenikumba na sijui nitalimaliza vipi lakini kwa kuwa Mungu ni mwema naamini kila kitu kitakwenda sawa kabisa,” Bigambo alisema lakini katika hali ya kushangaza kuna walioanza kumsema kwa maneno makali ya mafumbo huku wakimlaumu kwa kujiingiza kwenye mapenzi na mtu asiyemjua, wakiamini kabisa kwamba Bigambo analia kutokana na kukumbwa na matatizo ambayo yalisababishwa na Vivian.

Kufumba na kufumbua, Vivian alijiweka sawa tayari kwa kuruhusu mechi ianze kuchezeka. Kuona hivyo, Bigambo alijiweka sawa na kumgeukia Vivian. Akanyoosha mikono na kuyaparamia maembe mawili na kufanya kama anayebonyeza ili kuona kama yameiva na yanafaaa kwa kuliwa.

Vivian aliruka na kutoa kilio kilichomfanya Bigambo aangue kicheko cha nguvu.

“Unacheka nini sasa jamani,” Vivian alilalamika huku akijinyonga kiaina, staili ya kumshika kwenye matunda aliyoitumia Bigambo ilikuwa ni ya kipekee mno, kiasi cha kumchanganya vilivyo Vivian, mwanamke kutoka Mbeya mwenye umbo na muonekano matata kabisa machoni kwa kila mwanaume rijali mwenye kujua matumizi sahihi ya watu wa aina hiyo.

“Kwani kucheka ni dhambi jamani V?” Bigambo alijibu swali la kwa nini alikuwa akicheka, lakini hakuishia kwa kujibu swali pekee badala yake alipeleka tena mkono na awamu hii alizungusha hadi sehemu ya nyuma ya Vivian, juu kidogo ya lile eneo la kukalia na alitumia vizuri vidole vyake alijikuta akishika vitu vigumu vilivyopangwa kwenye mstari maalum.

“Aaah, wewe B…!” Vivian alizidi kulalama akijitingisha palepale kitandani, wakati huo chupa za bia vinywaji vyao vilikuwa bado mikononi, kwa maana kwamba utundu wote aliokuwa akiufanya Bigambo kwa Vivian, alitumia mkono mmoja kuleta mateso hayo yote.

Ikafika mahali Vivian akaanza kujisikia vibaya sana. Lile agano la kutofanya chochote pindi wakifika ndani lilianza kuyeyuka ubongoni na sasa mwili wake ulianza kuhitaji kushikwashikwa kwa maeneo yaliyohitajika kushikwa.

“Lakini kumbuka ahadi yetu Bigambo,” Vivian alichombeza kutoka moyoni, maneno hayo hakumaanisha, bali ilikuwa ni ile hali ya kujitetea heshima yake asionekane kulegea kirahisi.

“Ahadi gani tena…?” Bigambo aliuliza akiweka chupa ya kinywaji mezani na kumtazama mzimamzima Vivian ambaye naye aliweka chupa ya Savanna mezani na kubaki kimya akimtazama Bigambo kwa lile jicho la pembeni na kusindikiza kwa tabasamu laini na kuyaacha meno yake ya mbele yaliyoungua kidogo yaonekane sawia kwenye mboni za macho ya Bigambo.

“Si hatufanyi?”

“Nini?

“Haa, jamani kwani wewe si unajua kabisa mwanaume na mwanamke hufanya nini wanapokutana chumbani wakiwa wawili na kama hawana undugu wowote?”

“Mimi sijui, kwani humu tumekuja kufanya nini?”

“Bigambo bwana, hebu acha mambo yako…”

“Mambo gani tena…?”

“Wewe si umesema tunakuja kuzungumza kwa uhuru?”

“Sasa si ndiyo hivi au kuna uhuru zaidi ya kuzungumza hivi?”

“Sawa, lakini nasisitiza tu kwamba tusifanye chochote.”

“Nimekuelewa, lakini tunaruhusiwa kugusana kwa maana ya kukushika mfano mkononi au kichwani…?”

“Yaani wewe, sasa kunishika huko kichwani unatafuta nini kama siyo uchokozi wa kuamsha mambo mengine ya kuwekana majaribuni?”

“Noo, si naweza mfano kuwa nasifia unadhifu wa nywele zako jinsi zilivyolala kwa mpangilio mzuri?”

Hapo sasa Vivian alinyamaza lakini kunyamaza kwake kulikuwa ni kujiuliza mara mbilimbili kama akaze kikwelikweli au alegeze kiaina na mchezo baina ya Yanga na Singida United ichezwe na kila mmoja aondoke zake.

“Haya bwana, siwezi kukuzuia maana una maneno mengi kama mbunge wa kuteuliwa…,” Vivian alianza kulegeza na kujiachia kiuhuru sasa, lakini hakuacha kusisitiza kutofanya mchezo wa maigizo wafanyao watoto wadogo wanapocheza.

“Sibadili msimamo wangu, hatufanyi…,” alikazia Vivian huku akijiachia kwa kulala chali kitandani, ingawa hakuwa amevua nguo yoyote. Kitendo cha kulala chali kulisababisha eneo la mbele kuonekana vizuri kitendo kilichomfanya Bigambo alambe midomo kwa ubembe wa kimahaba na uchu.

“Ila…,” Bigambo alisema na kuishia njiani.

“Ila nini tena Bigambo…?”

“Umependeza sana…”

“Kwa lipi?”

“Mfano hili hapa eneo la mbele…,” Bigambo alisema huku akiweka mkono wake wa kulia juu ya kisima cha burudani.

“Ooh, wewe Bigambo jamani…,” Vivian aligutuka na sasa aliinuka na kulegea zaidi, ambapo alilala tena na kunyoosha miguu yote, lakini Bigambo hakuondoa mkono wake eneo hilo na badala yake alianza kutumia utundu zaidi kwa kupapasa kwa mikogo, hali iliyomfanya Vivian arukwe na akili, mwisho wa siku aliamua liwalo na liwe.

Sasa alimgeukia vizuri Bigambo na yeye kumrushia mashambulizi. Alianza kushika maeneo mbalimbali, hali iliyomfanya Bigambo kuanza kujikunja na kuwewesekea kitendo hicho. Ikafika mahali hakuna aliyewaamuru wachojoe magwanda yao lakini kila mmoja alijikuta akijiamrisha mwenyewe.

Joto la miili yao lilikuwa limepanda na kufikia kiwango ambacho kama ni mgonjwa wa malaria hali ilikuwa mbaya sana. Wote walibaki kama walivyokuja duniani na Bigambo alimfuata Vivian.

Bigambo alipeleka kinywa hadi kwenye papi za mdomo wa Vivian, ambaye midomo yake ilikuwa na lipsi nene na zenye kuvutia zaidi. Vivian alilala kwa mtindo wa kuhesabu mabati, Bigambo kuona hivyo, akiongozwa na mhemko wa kilevi alichokuwa ameshindilia, alianza kuyakabili matunda ya mwanamke huyo ambaye kwa wakati huo alikuwa akihema kama bata dume aliyetoka kupambana na mwenzake.

Hakuishia hapo. Bigambo alitoa ulimi na kuanza kufanya utalii kwenye maeneo mbalimbali ya mwili wa Vivian aliyekuwa akiendelea kuhema huku akifumba na kufumbua macho. Ulimi wa Bigambo ulianza na eneo la juu ya kila tunda la Vivian, sasa ilikuwa ni zamu ya vile vikonyo viwili kabla ya kuhamia chini yake, mahali ambapo matunda mawili yalikuwa yamelalia.

Vivian aliendela kujitikisa kwa kufuatisha msisimko uliotokana na utalii wa ulimi wa Bigambo mwilini mwake. Ikafika mahali ulimi ukavuka mipaka, kitendo kilichomfanya Vivian kuanza kuropoka.

“Bigambo…”

“Naam…”

“Unajua sana jamani baba.”

“Kufanya nini?”

“Kunipa raha, unaniweza sana jamani…,” Vivian alijieleza kwa maneno yote matamu aliyoyajua lakini Bigambo hakusitisha suluba zake ambapo sasa alianza kutumia jembe lake kumuadhibu Vivian.

Ikafika mahali alishika jembe lake na kuanza kulima kwa fujo zote kama vile kibarua aliyeoneshwa pesa na kuambiwa anza kulima na umalize ndani ya nusu saa, alianza na eneo la mgongo, kabla ya kushuka kiunoni na kuyagusa mapingili ya nyonga.

Vivian alishindwa kuvumilia, bila kuamrishwa alijiweka sawa mwenyewe na kumtaka Bigambo aanze kulima shambani kwake kwani msimu wa mvua ulikuwa umeshaanza na maji yalikuwa ya kutosha kwa mpunga kustawi vizuri. Bigambo hakuona shida kufanya hivyo, sasa alijiweka mkao mzuri wa kulima kwa ustadi shambani kwa Vivian
Mtanange ulikuwa wa kukata na shoka. Timu zote mbili zilikuwa zikishambulia lango la timu pinzani kwa nguvu na pasi za kushtukiza. Ikafika mahali Vivian alichoka na kuruhusu mashuti kadhaa yatikitise nyavu za golini kwake.

Dakika 47 baadaye, wote wawili walijikuta wakitangaza kufika mwisho wa miti ya minazi na sasa walialikana kupasua madafu pamoja. Kwa upande wa Bigambo lilikuwa dafu lake la kwanza kupasua tangu waanze kazi ya kukwea minazi lakini kwa upande wa Vivian lilikuwa kama dafu la nne na viungo vyake vyote vilikuwa hoi hususan miguu ambayo hutumika zaidi kwenye zoezi la ukweaji wa minazi.

“Nafika…,” Vivian alianza kutangaza kwa sauti ya kupayuka huku akihangaika mwili mzima ili ashike vizuri asije akaanguka na badala ya kuvunja dafu iwe stori nyingine.

“Umefika wapi mama…?” Bigambo alihoji lakini kabla hajajibiwa naye alianza kusikia kitu cha tofauti na sasa alianza kukoroma huku akikunja sura na hapohapo alianza kuropoka kwa sauti yake ile mbaya.

“Oooh, mama nami naelekea kupasua daaaafuuuu…,” Bigambo aligugumia na hapohapo alizidisha kasi ya ukweaji na kulishika dafu moja kabla ya kuliachilia na kulipasua kwa hasira kali, kitendo kilichomfanya Vivian naye apasue la kwake wote kwa pamoja walijikuta wakihitimisha safari kwa wakati mmoja, lakini kufumba na kufumbua Vivian alianza kuonesha jambo ambalo hata Bigambo lilimshangaza kwani hakulitegemeaa, lakini wakati huohuo mlango ukawa unagongwa kwa fujo kali sana.

BIGAMBO alijivika ustaarabu ambao hakuwa nao na lengo likiwa ni kumpumbaza Vivian, ili atoe ushirikiano ambao ungeleta matokeo chanya kwa mpambanao huo wa watani wa jadi. Bigambo alimfuata Vivian mahali alipokuwa amelala na kuanza kumfanyia fujo zote ambazo hufanyiana wapendanao pindi wanapokutana kwenye eneo walilokuwepo Bigambo na Vivian. Vivian naye alimpokea na safari hii alimlalia kwa mtindo wa kawaida, aliweka kichwa maeneo ya kiuno na akawa kama anakibilingisha kichwa, hali iliyopelekea hali ya Bigambo kuanza kubadilika.

Vivian hakuishia hapo, akajisogeza kwa mbele zaidi na wote wawili kujikuta wakitazamana usoni. “Baby…” aliita Vivian wakati huohuo mkono wake wa kushoto ukikiparamia kifua cha fundi kilichokuwa wazi na kuiacha bustani ionekane kwa uwazi na ukubwa wa kumezesha mafunda ya mate. Vivian hakuishia hapo, akakiruhusu kiganja kutembea bustanini kwa Bigambo huku vidole vyake laini vikitalii kwa umaridadi mkubwa kabisa kwenye vichuguu vifupi viwili, mahali ambapo marhani ya Bigambo yalikuwa.

“Mmm…,” aliguna Bigambo kwa mtindo wa kufyonza muwa mtamu… “Oooh, yes baby…,” Vivian alichombeza kwa maneno laini na kuyafumba macho kwa maana ya kuhamasisha zaidi. Hali ya Bigambo ikazidi kuwa mbaya, kama ni kuharibikiwa sasa ilikuwa kwa kiwango cha kuhitaji msaada kamili na si maneno matupu. Kuona hivyo, Vivian akazidisha mbwembwe. Akafumba macho na kukisogeza kinywa karibu na kile cha Bigambo.

Bigambo naye akalegea kwa maana ya kumpokea Vivian kwa mtindo huo. Wakasogeleana na kuanza kushiriki pamoja kutafuna miwa ya Kilombero. Walizama kwenye kutafuna miwa kwa muda wa zaidi ya dakika kumi na tano, kila mmoja akionesha ufundi wa namna ambayo miwa mitamu huliwa. Vivian alizidisha manjonjo, akawa akajikunjakunja kwa kuweweseka kimahaba zaidi, ikawa mara akunje miguu na wakati mwingine ainyooshe kama anayejipima urefu, ilimradi kuonesha namna ambavyo alikuwa amekolea kwenye dimbwi la uhondo wa kilichokuwa kikiendelea. Bigambo hakuwa nyuma. Naye aliamua kupeleka mashambulizi kwa Vivian, tena yalikuwa yale ya kushtukiza kwa lengo la kumvizia adui akiwa amejisahau. Bigambo alipeleka mkono mmoja na kuyavamia maembe bolibo ya Vivian na kuyashika kama anataka kuhakikisha yameiva au la… Hakuishia hapo, akalishika embe moja na kumtupia mdomoni huku lile jingine akiendelea kulifanyia visa vya kichokozi…

Vivian akashindwa kuvumilia.
Sasa akajiachia kwa uhuru, akakaa mkao ambao ulimpa uhuru Bigambo kuonesha utundu wake zaidi ya huo. Kuona hivyo, Bigambo akaona isiwe tabu zaidi ya kupania kuonesha ufundi maridhawa, akamfuata Vivian na kumuweka vyema. Kufikia hapo, Vivian alikubali kutoka moyoni kabisa kwamba Bigambo ni mtaalam kwenye eneo la kusakata kabumbu hususan kama mechi yenyewe imewakutani

sha watani wa jadi ambao kila mmoja hutazama sana ushindi wa pointi na si wingi wa vyenga kama ambavyo wengi hudhani. Walicheza gwaride hadi kila mmoja akaridhika na mwisho wa siku wakakubaliana kuondoka eneo hilo kwa kuwa Vivian alikuwa na ratiba ya kukutana na mtu nyumbani kwake, huku Bigambo akitarajia kwenda kufanya kazi zake binafsi. “Lakini baby,” Vivian alisema huku akitafuta mahali zilipokuwa nguo zake. “Vipi mama.” “Wewe ni kiboko.” “Kwa nini?” “Si kama hivi, kwanza sikuwa na mpango kabisa wa kufanya chochote lakini umetumia utundu wako wote kuhakikisha najikuta nikiingia mchezoni, hakika umeniweza.” “Kwa hiyo umecheza gemu kwa kulazimishwa?” “Sijamaanisha hivyo bwana.”

“Sasa kumbe?” “Mwanzoni sikutaka kwa kweli, lakini ushawishi wako umesaidia sana hadi nikajikuta nikifurahia maandalizi na hatimaye namna ambavyo mchezo mzima ulivyokwenda,” Vivian alisema na hapohapo akawa anamalizia zoezi la kuvaa na kumsubiri Bigambo amalize ili waweze kutoka pamoja kabla ya kuachana na kila mmoja kuangalia njia na ratiba yake. “Sasa?” Bigambo alimuuliza
Vivian ili kusikia kama kuna lolote anaweza kumueleza baada ya kumaliza kusakata mechi hiyo bora kabisa ya ghafla ambayo hakukuwa na mchezaji aliyekuwa akifikiria suala hilo zaidi ya makocha wa pande zote mbili ingawa nao hawakuwa na mawasiliano ya karibu juu ya mechi hiyo ambayo wengi hupenda kuiita kwa jina la Dabi. “Wala sina cha kusema labda kama nitapata nauli tu ya kunitoa hapa kwa pikipiki hadi nyumbani kwangu, mengine tutaongea kwenye simu nikifika, lakini kusema ule ukweli umenionesha mchezo bora kabisa kwa siku ya leo ambao sitausahau maishani mwangu,” Vivian alitiririka mfululizo na kumfanya Bigambo aishie kutabasamu.

Bigambo aliingiza mkono mfukoni na kutoa noti moja nyekundu, kisha kumpatia mkononi Vivian, lakini staili aliyotumia kumpatia ni ile ya kufumbata pesa na kumpenyezea kiganjani bila kumpa nafasi ya kutambua ni kiasi gani, kwa hiyo Vivian aliipokea na kuitia mkobani bila kujua ni kiasi gani, lakini moyoni aliamini ni pesa inayotosha kwenye nauli ya pikipiki kwani tangu wanafahamiana alimjua Bigambo si mtu wa kubabaisha na mhuni wa mjini na kama hana kitu huwa hawezi kudanganya na kujifanya mwenye nacho kama wafanyavyo vijana wengi wa mjini wakiwa na lengo la kumpata mwanamke wamtakaye. “Jamani wewe cha utundu sana,” Vivian alisema na kumkumbatia tena Bigambo ambaye alitumia nafasi hiyo kumchumu mashavuni huku mikono ikizunguka kwa kasi ya umeme na kulifumbata umbo zima la nyuma ikiwemo ile milima mikubwa miwili ambayo ndiyo silaha kuu ya Vivian kuwadatisha wanaume wengi wa mjini wapenda starehe ya kuruka uwanjani bila jezi.

“Aaah, wewe jamani mbona hivyo B?” Vivian alilalamika kwa mtindo wa kudeka na kumfanya Bigambo atumie haraka sana kiganja chake kumminya eneo la nyuma ambapo alizidi kumpa uchizi tena Vivian aliyeanza kulegea macho na kusinzia kwa mbali,
licha ya kwamba walikuwa kwenye maandalizi ya kuondoka chumbani humo ili waendelee na ratiba zingine. “Basi mama, pole sawa mrembo mzuri?” Bigambo alichombeza kwa maneno matamu na laini kisha kujiondoa mwilini mwa Vivian na kuufuata mlango ambapo aliufungua na kumpa ishara Vivian atangulie kutoka kabla yake. Walitoka, lakini kwa kuwa ilikuwa ni usiku, hawakuona tabu kushikana mikono na kuongozana hadi eneo la maegesho ya pikipiki. “Kiasi gani hadi Kibangu?”

Bigambo aliuliza kwa niaba ya Vivian ambaye ndiye alikuwa mwenyeji wa huko, lakini kwa sababu Bigambo ni mwanaume alitaka kuonekana mwenye kujali zaidi kuhakikisha kila kitu kinakwenda kama kinavyotakiwa. “Kibangu ipi?” Kijana wa pikipiki aliuliza lakini badala ya kujibu, Bigambo alihamishia macho kwa Vivian ili ajibu swali hilo. “Karibu na kwa Mzee wa Upako…,” alitaja na hapohapo wakawa wameelewana.

“Sasa Bae, mimi nakwenda maana usiku nao umeshaingia sana, nikifika tu nitakupigia kwa kuwa kuna jambo nataka nikusisitize ambalo ni muhimu sana kati yetu, sawa my…?” “Sawa, lakini unanipa kimuhemuhe kikubwa sana ni afadhali uniambie tu kabla ya kuondoka.” “Acha mambo yako bwana, ngoja niondoke,”

Vivian alisema huku akikanyaga mguu kwenye kigingi cha kukanyagia kabla ya kukaa vyema kwenye kiti cha pikipiki, ambapo yule kijana hakuwa na muda wa kupoteza zaidi ya kutia gia na kuondoka kwa kasi na kumuacha Bigambo akikodoa macho huku akicheka na kujisifia moyoni kwa namna ambavyo ameweza kumpata Vivian kwa urahisi na wepesi wa namna hiyo. Kwa upande wa Vivian, kichwani alikuwa na maswali mengi ambayo hayakuwa na majibu kwa wakati huo.
KICHWANI aliendelea kujiuliza bila kupata majibu juu ya namna ambavyo amekuwa akiyarahisisha maisha yake kwa wanaume. Ikafika mahali akaamua kwa dhati kabisa kubadili aina na mfumo wa maisha yake yote.

“Hapana, lazima ifike mahali maisha yangu yabadilike. Haiwezekani niwe nakukuruka na wanaume kila kukicha namna hii,” Vivian alijisemea akiwa amejiinamia kwenye kiti chake. Hapohapo akachukua simu na kuamua kumpigia tena Bigambo, ili kumjulisha juu ya uamuzi wake wa kuachana na wanaume wote kwa wakati huo.

“Eeeh, Bigambo uko wapi na unafanya nini?”

“Hee, unauliza ninafanya nini kwani vipi tena na halafu ni tangu lini tukaanza kuulizana namna hiyo?” Bigambo naye akajibu kwa ukali lakini mwisho wa siku walielewana mahali pa kukutana ambapo dakika chache walikuwa pamoja waliendelea na zoezi la kugida ulabu. Kichwani mwa Vivian alishaondoa kabisa wazo la kuachana na Bigambo kama ambavyo alikuwa amedhamiria awali. Kila mmoja akaanza kuonesha ujalifu wa kupindukia kwa mwenzake.

Walianza kusimuliana jinsi ambavyo wamekuwa wakipitia kwenye changamoto nyingi za penzi lao tangu wakutane kwa mara ya kwanza kazini. Lakini Vivian alijishangaa zaidi kwa namna ambavyyo amekuwa akijisikia kuwa na penzi zito kupindukia juu ya Bigambo, mwanaume ambaye hakuwa na mazoea naye zaidi ya kukutana naye kazini tu.

Mapenzi yamekuwa yakimtesa kila mmoja wao. Vivian alimwaga siri zote na namna ambavyo huwa anajisikia raha pale anapokutana na Bigambo ambaye ameonekana ni mwanaume wa kuyaweza mambo. Kwa mara ya kwanza, Vivian alimwambia Bigambo kitu ambacho hakuwahi kukiweka wazi tangu waanza safari yao ya kutoka kimapenzi.

“Unajua ni kwa nini nilikukubalia mapema sana baaada ya wewe kunitaka kimapenzi?” Vivian alimuuliza Bigambo akiwa amemuegemea mabegani, huku mkono mmoja ukiwa kwenye glasi ya kimiminika kizito chenye rangi ya njano.

“Hapana,” Bigambo alijibu huku naye akinyanyua glasi yake na kugida maji hayo kabla ya kukunja ndita na kumtazama Vivian usoni akisubiri jibu kwa hamu kubwa sana.

“Kwenye mahusiano yangu ya nyuma sikuwahi kabisa hata siku moja kufika mwisho wa safari wakati wa mechi ya kikubwa, sanasana ni kwamba wanaume wengi hujijali wao tu kufika mwisho wa safari na kumuacha mwanamke akitapatapa njia panda, sasa wewe uliponitongoza nikajisemea ngoja nijaribu,” Vivian alisema mfululizo na kuongeza;

“Lakini tulipokutana kwa mara ya kwanza uliniweza kwelikweli, cha kushangaza nimekutana na wanaume kadhaa kwa kipindi hikihiki na sikuweza kufikia mwisho wa safari na leo ningependa sana nipate tiba tena,” Vivian alisema lakini moyoni akiwa anajiwazia ni kwa nini amekuwa mtu asiyekuwa na msimamo juu ya uamuzi wake maishani.
“Mimi huwa najali sana kumwandaa mwanamke kabla mimi sijajiandaa, unajua raha ya tendo ni mwanamke kuanza kufika mwisho wa safari ndipo ampe sapoti mwanaume, hakika hilo huwa nalizingatia sana,” alianza kujinasibu Bigambo bila kujua anaanza kumpa wakati mgumu Vivian ambaye akinywa pombe hususan Reds huwa mwepesi kushinda maharage ya Mbeya.

Hali ya Vivian ilianza kubadilika lakini alijisitiri sana asionekane kama ni dhaifu kwa kiasi hicho na pia hakuwaza kutoa penzi kwa wepesi namna hiyo ingawa Bigambo ni mwanaume wake wa siku nyingi. Kiasili, Vivian alikuwa na nyodo nyiye acheni tu. Hata huo uchangamfu aliouonesha kwa Bigambo ulitokana na ukweli kwamba jamaa alikuwa anamjulia vya kutosha.

“Kwa hiyo wewe Bigambo ni tofauti kabisa na wanaume wengi ambao hujijali wenyewe tu? Lakini mbona inakuwa hivyo?” Vivian aliuliza swali ambalo lilikuwa wazi kabisa kwa maana ya jibu lake. Kufikia hapo, hali ya Vivian ilizidi kuwa mbaya, alianza kumtazama Bigambo kwa macho yenye kulegea kama mpishi aliyezidiwa na moshi wa kuni mbichi.

“Kabisa, tena kuna wakati huwa najikuta naongeza na utaalam ambao nikiambiwa nirudie siwezi kabisa, yote hayo ni kuhakikisha najitoa ufahamu kwenye sita kwa sita, hapo sasa nitagusa na maeneo ambayo wanawake wengi huwa hawaguswi mara kwa mara,” alisema Bigambo na kuendelea;

“Unajua kuna wanawake hawajawahi kupata raha ya tendo, ukiwaaambia habari za kufika mwisho wa safari hawajui inazungumzia nini na wao wanakuambia wanafurahia mapenzi na waume zao, lakini kifupi ni kwamba hakuna mwanamke ambaye hana uwezo wa kufika mwisho wa safari, mwanamke yeyote ni maandalizi, akipata mwandaaji mzuri kabla ya mechi, ni lazima afike ukingoni tena kwa shangwe na makelele ya fujo kama siyo nderemo,” alisema Bigambo huku akisukumizia maneno hayo na glasi ya nyagi kabla hajakunja sura yake yenye mikunjo mingi kadhaa.

“Wewe B wewe jamani,” Vivian alisema na kuiweka mezani kabisa chupa ya Reds aliyokuwa ameishika mkononi, licha ya kwamba kabla hajaanza kunywa alikuwa mzima wa afya njema, awamu hii alianza kuhisi kama kuna kibaridi cha homa kali kinachoashiria malaria.

“Sasa kwa hiyo unaweza kumtibu mwanamke ambaye ana tatizo la kutofika mwisho wa safari yake?” Vivian aliuliza lakini awamu hii alishindwa kujizuia na kuuweka mkono wa kulia begani kwa Bigambo na kisha kumnong’oneza masikioni kwamba wakachukue chumba tayari kwa mazungumzo binafsi zaidi, jambo ambalo lilitoa jibu la moja kwa moja kwa Bigambo ni nini ambacho Vivian alikusudia, zaidi sana akashika glasi yenye kinywaji na kuisukumizia mdomoni.

“Eee, sana tu, mimi nimetibu sana wanawake ambao shida yao ni kutofurahia na kufika mwisho wa safari, lakini nawatibu kwa vitendo bila kufanya nao kikwelikweli,” alisema Bigambo na kuifakamia tena glasi yake ya kinywaji na kisha kumtamza usoni Vivian ambaye alikuwa kimya.

“Mmh,” Vivian aliishia kuguna na kuikamata chupa yake ya Reds.

“Vipi, mbona unaguna?”
“Mmm, kawaida tu,” alisema Vivian na kuuondoa mkono wake begani kwa Bigambo.

“Nikuombe kitu?” Vivian alianzisha tena mazungumzo.

“Sema tu Vivian.”

“Aaah, usiniite hivyo bwana,” Vivian alisema lakini sauti yake ilitoka kwa tabu na dalili za uchovu kwani pua zake zilikuwa zinabana kama mgonjwa wa mafua yenye kuambatana na malaria. Siku zote akiwa ameweka mambo yake, huwa hapendi kabisa kuitwa kwa jina la Vivian na mpenzi wake Bigambo, zaidi sana alipendelea kuitwa kwa jina la mpenzi, au sweetheart na majina mengine yenye kuashiria mapenzi.

Walinyanyuka na kwenda kuchukua chumba. Mikononi hawakuacha vinywaji vyao ambapo kila mmoja alikuwa na hamu ya kutafuna tende za mwenzake.

“Okey, samahani,” Bigambo alijitetea baada ya kumuita Vivian kwa jina.

“Bigambo nataka uwe mwanaume wangu wa kweli lakini huwezi amini nilikuwa na mawazo ya kuachana na wewe,” Vivian alisema na kumtazama tena usoni Bigambo lakini pia akawa kama anayesikilizia jibu ambalo hakujua lingetokaje kwa wakati huo. Tayari walishaingia chumbani na kukaa kitandani ambapo walisogeza meza iliyokuwa chumbani humo na kuweka vinywaji vyao.

Hata hivyo, kabla Bigambo hajasema chochote kutokana na kauli ya Vivian alimimina tena nyagi kwenye glasi na kuipiga yote kabla ya kumimina tena na kuiweka mezani bila kuinywa na hapohapo akanyanyuka kidogo na kukiweka sawa ambapo sasa aligeukiana na Vivian, alimtazama usoni na wote wakawa wametazamana bila kupepesa macho na Bigambo akapanua mdomo kama anayetaka kuuliza kitu kwa staili ya kipekee.

“Sawa, tuendelee kuwa kwenye mahusiano na mimi kukufurahisha wewe ni sehemu ya kazi yangu,” Bigambo alisema huku akikamata glasi na kujimiminia kwa kasi huku akikunja ndita, uchungu wa nyagi uliendelea kulipa kazi ya ziada koromeo lake.

Vivian alikaa kimya kwa muda. Kabla hajasema lolote, alikamata chupa ya Reds na kujimiminia kama alivyofanya Bigambo. Walikaa kimya kwa muda kabla ya kuendelea na mazungumzo.
Kuona kama Bigambo anamchelewesha, Vivian alimsogelea na kuanza kumpa uchokozi wa wazi kabisa ulioashiria kwamba anataka dozi ya maana kwa wakati huo na siyo maneno mengi kama ilivyokuwa wakati wakiwa nje.

“Baby,” Vivian aliita kwa sauti kavu lakini yenye kuelemewa na mahaba mazito sana.

“Mmmh,” Bigambo aliitika lakini kabla hajafanya chochote alishangaa kumuona Vivian akichukua nguo na kuanza kuvaa huku akitokwa na machozi.

ITAENDELEA

JAMANI ANTIII…NISHUSHE UNUNIO – 3

Image result for african beauty lover


Chombezo : Jamani Antiii…Nishushe Ununio
Sehemu Ya Tatu (3)

 “Hapana bosi, mimi sina uhusiano wowote na mtu yeyote hapa ofisini zaidi ya kusalimiana na kushirikiana kikazi, hayo mengine yanabaki kuwa maneno ya watu wasiokuwa na kazi za kufanya mkuu, siko hivyo kabisa na niko hapa kikazi na si mambo mengine, nina familia yangu hivyo najiheshimu kuliko ambavyo yeyote anaweza kudhani,” Vivian alizungumza mfululizo kiasi cha kuwafanya meneja na Bigambo wabaki wamemkodolea macho wasiamini wanachokisikia, kwani tangu Vivian ajiunge na kampuni hiyo, tabia yake ilikuwa ya ukimya wa kupitiliza na neno pekee alilolitoa kupitia midomo yake minene ni salamu na kicheko cha tabasamu.

“Sawa, nimekuelewa,” meneja ambaye hadi hapo alikuwa ameishiwa pozi la ukali aliokuwa nao awali alisema kwa sauti ya upole na kumgeukia Bigambo ambaye hakuonesha wasiwasi wowote. “Nimesikia kuwa una uhusiano usiofaa na Vivian na unajua kabisa utaratibu wa ofisi yetu haturuhusu mapenzi vinginevyo wahusika wafanye kwa siri na wafanikishe iwe hivyo, imekuwaje Bigambo?

Halafu kwa nini uongozi uendelee kuingia kwenye malumbano na wewe tu kila siku? Wewe ni mtu gani usiyebadilika Bigambo? Nakuhakikishia awamu hii tukikuondoa hutarudi tena ofisini hapa, kama ulivyozoea kuingia na kutoka na hutakuwa na mtu wa kumlaumu,” alisema meneja huku akimtazama Bigambo kuanzia chini magotini alivyokuwa amekaa hadi utosini. “Sina uhusiano wowote na huyu dada kama alivyoeleza yeye, isipokuwa humu ofisini kuna watu wana tabia za kiswahiliswahili sana, wasione watu fulani wenye jinsi mbili tofauti wako karibu wanaanza kuzusha ya kwao, sasa wewe unawezaje kuthibitisha kwamba mimi na Vivian tuna uhusiano usiofaa?” Bigambo alimalizia kwa swali ambalo mfanyakazi wa kawaida hawezi kumjibu mwajiri wake. Ujasiri wa Vivian ulimpa nguvu sana Bigambo.
Yeye kama mwanaume ikabidi aoneshe nguvu mara mbili yake. Meneja alibaki ameduwaa asijue nini cha kufanya. Swali la Bigambo lilikuwa la kitaalam sana. Ni yale maswali ambayo wadau wengi wa mjini na wenye upeo mkubwa wa mambo maishani huita technical question (swali tata). Ni kweli hakuwa na ushahidi wa moja kwa moja kwamba wale ni wapenzi na badala yake alichokifanya ni kuchukua maneno ya watu waliopika majungu. “Basi niachieni hili nitafuatilia mwenyewe kwa wakati wangu na nataka niwaambieni ukweli kwamba nikibaini ni ukweli nitawarudisheni nyote nyumbani bila maelezo yoyote na huo utakuwa mwisho wenu kuwepo hapa ofisini, mnaweza kuondoka,” alisema meneja huku akichagua makaratasi mezani kwake na kuwa kama ameshaachana na akina Bigambo na Vivian. “Sawa bosi lakini kuna jambo umenishangaza sana kwa kweli, tangu nikufahamu na umakini ulio nao haiwezekani ukafanya jambo hilo,” Bigambo alisema na kumtazama usoni meneja kabla ya kuhamishia macho kwa Vivian aliyekuwa kimya tangu azungumze maneno yale mfululizo. “Jambo gani unataka kusema nini, Bigambo?” Meneja aliuliza na kuacha kufanya chochote zaidi ya
kuweka umakini wote kwa Bigambo na Vivian. “Hivi unawezaje meneja mzima kuchukua maneno ya watu na kuleta kesi ya kututuhumu jambo zito kama hilo? Kwa kiongozi mkubwa kama wewe ni muhimu sana kuwasilisha mambo ukiwa na uhakika nayo kwa maana ya ushahidi wa kutosha kumuweka mtu hatiani,” alisema Bigambo na kumalizia kwa msonyo wa kugandisha ulimi eneo la juu ya taya. “Haya, endeleeni na mambo yenu na kama nilivyosema kwamba nikibaini kama kuna ukweli wa namna hiyo nitachukua uamuzi ambao nimewaambieni,” alisema meneja na kuachana nao kimtindo ambapo alishika simu ya mezani na kunyanyua mkonga na kupiga mahali kwingine ambako Bigambo na Vivian hawakujua. Bigambo na Vivian waliondoka ndani ofisini kwa meneja na kila mmoja wao alikwenda kwenye kiti chake na kuendelea na majukumu ya kikazi. Kila mtu akawa anawatazama kwa macho ya kuibiaibia, lakini Bigambo alitengeneza chuki kali sana moyoni mwake dhidi ya wafanyakazi wenzake, ingawa hakujua ni nani alikuwa amepeleka maneno ya uchochezi kwa meneja lakini alishajua kabisa ofisini kuna watu wenye roho mbaya na husuda kali na hawako tayari kuona mtu akifanikiwa kwa jambo lolote. “Hii ofisi aisee, lakini hakuna shida ngoja kila mmoja afanye maisha yake, kwa sababu hakuna undugu humu ndani yaani mtu anaweza kukuangamiza huku anakuchekea na mwisho wa siku anakuwa wa kwanza kuja kukupa pole ya kinafiki ukishafikwa na makubwa,” Bigambo aliwaza moyoni na kuwatupia watu mbalimbali jicho la chuki. “Pacha vipi, mbona kama una mawazo tele kulikoni tena pacha?” mmoja wa wafanyakazi mwenzao aitwaye Kwere alimsabahi Bigambo kwa shangwe na maneno ya bashasha lakini Bigambo aliitikia kwa sauti ya unyonge bila kumpa ushirikiano wa kutosha kama ilivyokuwa
imezoeleka. “Nikushukuru sana Kwere, lakini kwa sasa naomba uniache maana siko vizuri sana kichwani,” Bigambo alisema huku akiendelea kufanya kazi zake huku akiwa amenuna kutokana na uchungu ambao alikuwa nao moyoni wa maneno ya kuchongwa ambayo aliyakuta kwa meneja. “Haya bwana pacha, maana leo nakuona hauko karibu na sisi wanyonge,” alimalizia Kwere kwa lafudhi ile ya utani wao wa kila siku, kuvuta maneno na kujaribu kutupia semi mbalimbali za maneno ya Kiswahili, lakini siku hiyo Bigambo hakuwa sawa kabisa. Kwere aliondoka na kumuacha Bigambo akiwaza hili na lile kichwani mwake juu ya namna gani aanze kuishi na wale watu wa ofisini kwake. Ni kweli waliwahi kumuumiza kwa mambo mengi sana lakini kwa hili lilikuwa pigo kubwa kwani kumsemea kwa meneja kwamba ana uhusiano usiofaa na Vivian ilikuwa ni kumharibia kwa sehemu zote mbili. Kwamba anaweza kutimuliwa kazi na kumkosa Vivian ambaye alikuwa amemuonjesha penzi tamu kuwahi kupewa tangu aanze kujihusisha na masuala hayo. Wakati Bigambo akiwazua hayo, ghafla simu yake iliita na alipoitazama kwenye kioo, ilikuwa namba ngeni na akaipokea harakaharaka na kuiweka sikioni huku akisikilizia ni nani alikuwa amempigia na alikuwa na ishu gani. Mpigaji wa simu ile alikuwa Vivian, aliamua kumpigia kwa namba ngeni akiwa na maana kubwa sana. “Enhe, imekuwa hivyo tena? Ayaa kwa nini Vivian? Yeye amekuambiaje?” Bigambo aliuliza kwa hamaki baada ya kuambiwa maneno f’lani na Vivian yaliyochoma moyo wake kwa ncha kali ya kisu chenye moyo mkali.

BIGAMBO alihamaki mno. Maneno ya Vivian yalikuwa yamemuondoa kabisa kwenye mudi ya kufanya chochote. Alichokifanya ni kuzungumza na mmoja wa viongozi wake na kumuomba ruhusa ya kwenda nyumbani kupumzika akisingizia kichwa kinamuuma ingawa ukweli ni kwamba alikuwa na msongo mkubwa wa mawazo.

Baada ya kutoka kwa meneja, Vivian alikuwa amechanganyikiwa kupindukia. Tangu aanze kujihusisha na masuala ya mapenzi, hakuwahi kufikishwa kwa kiongozi wake wa kazi hata kabla ya kuanza kufanya kazi hapo. Aliifikiria aibu atakayokumbana nayo pale ofisini endapo suala la kuitwa kwa meneja litawafikia wafanyakazi wenzake.

“Lazima nifanye uamuzi mkubwa bila kujali utamuumiza nani na kwa kiwango gani, lazima niachane na Bigambo na sitaki tena kujihusisha na mapenzi na mfanyakazi mwenzangu kuanzia leo,” Vivian aliwaza huku akishika simu yake na kumpigia Bigambo kwa namba ambayo hakuwahi kumpigia nayo na kumueleza ukweli ambao alitarajia kukutana na lawama lakini hakujali sana kwani alikuwa ameamua kutoka moyoni kwamba ni lazima aachane na Bigambo.

Bigambo aliondoka akiwa na mawazo mengi kichwani mwake. Hakujua ataishije bila Vivian licha ya kwamba walikuwa na muda mfupi sana tangu wafahamiane na kupeana penzi mara moja, lakini mahaba ya mwanamke huyo kutoka Tanga yalimkolea sana kijana wa watu.

“Nitaishije mimi bila huyu mwanamke? Mimi ni kidume, nitambembeleza kwa kila njia kuhakikisha namuweka sawa tena kwenye himaya yangu, siwezi kuruhusu kirahisi hivi aniache, siwezi hata kidogo,” Bigambo naye alipangilia mawazo kichwani huku akidandia daladala, tayari kwenda nyumbani kujilaza ili apunguze mawazo.

Alilala hadi mchana ambapo aliwasha simu yake aliyokuwa ameizima tangu afike nyumbani. Meseji zilianza kumiminika moja baada ya nyingine kutoka kwenye mtandao ukimjulisha namba ambazo zilikuwa zimempigia akiwa amezima simu, namba ya Vivian ilikuwa miongoni mwa namba hizo.

“Mmmh,” Bigambo aliguna kwanza huku akishindwa kuamini kama ni kweli Vivian alikuwa amempigia tena licha ya kumwambia maneno ya kuachana tena kwa sauti kavu isiyokuwa na masihara hata chembe.

“Amenipigia kweli? Anataka kuniambia nini zaidi ya kuniumiza zaidi? Ngoja nimpigie nisikie tena anachotaka kuniambia lakini kama ni yaleyale ya kusisitiza kwamba ameachana na mimi sitampa nafasi ya kumsikiliza, sitaki maumivu tena nikiwa najiandaa kumrejesha, Bigambo aliwaza moyoni na kumpigia Vivian ambapo alikuta namba ikiwa inatumika, hivyo alilazimika kusubiri kwa muda.

Aliagiza chakula na wakati ananawa, simu yake iliita na alipoitazama aliona jina la My Vivian, kama alivyokuwa amelihifadhi kwenye orodha ya majina yake ya simu. Moyo ulimlipuka na kujikaza kiume ambapo aliipokea simu kwa nidhamu zote akijiandaa kusikia lolote kutoka kwa mwanamke huyo mrembo.

“Salama kabisa, nakusikiliza Vivian,” Bigambo aliharakisha ili kujua lengo la Vivian kumpigia tena simu.

“Nilikuwa nimelala ndiyo maana nikazima simu.”

Licha ya kujiapiza kwa dhamira ya kweli kwamba hataki tena mapenzi na mtu wa ofisini, moyo wa Vivian ulikuwa bado na hisia za kimapenzi kwa Bigambo, mwanaume ambaye alimuonesha upendo wa kweli kabisa na hata kwenye uwanja wa fundi seremala, alikuwa akijiweza vilivyo.

“Hapana, zilikuwa ni hasira hizo, naomba tuonane tuzungumze tena ili tuone tunafanyaje, tafadhali naomba my love, nakupenda sana Bigambo nimeulizia nikaambiwa umeomba ruhusa ya kwenda nyumbani kwa kuwa unaumwa kichwa, naomba nije nikuone mpenzi wangu, nakuja sasa hivi nikifika hapo Riverside nitakupigia unielekeze nyumbani kwako,” Vivian alisema mfululizo bila kumpa Bigambo nafasi ya kusema chochote na kisha kukata simu, jambo ambalo lilimuacha njia panda kijana wa watu.

“Duh! Huyu demu kiboko aisee, mbona hii ni ajabu sana? Yaani ametoka kunitamkia maneno makali muda siyo mrefu akinitaka niachane naye halafu sasa hivi anataka tuzungumze tena na anadai ananipenda sana, mapenzi ni kitu cha ajabu sana jamani,” Bigambo alijisemea moyoni huku akifurahi kimyakimya.

Dakika 45 baadaye, simu ya Bigambo iliita tena na alipoitazama mpigaji alikuwa ni Vivian, akatabasamu na kuipokea haraka sana.

“Umefika? Basi njoo hadi pale pa siku ile nitakufuata nikupeleke nyumbani,” Bigambo alijibu na kuanza kujisogeza kwenye ile baa waliyokaa na Vivian kwa mara ya kwanza walipokutana kwa ajili ya mazungumzo na kuishia kufanya kweli.

Vivian alitembea kwa haraka, moyoni akiwa na shauku ya kumuona tena Bigambo. Nafsi ilikiri kabisa kwamba alimpenda mno mwanaume huyo, ingawa walikuwa na muda mfupi tangu wakutane. Muda mfupi alifika na kumfahamisha Bigambo ambaye alifika na kumchukua hadi nyumbani kwake.

“Pole kwa kuumwa na kichwa baba,” Vivian alianza mazungumzo kwa maneno hayo huku akimshika kichwani Bigambo, ambaye alibaki ametulia kimya bila kupinga chochote.

“Lakini Vivian, mbona umeniumiza sana moyo leo, ni kwa nini uliamua kunieleza maneno makali namna hiyo?” Bigambo naye alijibaraguza ingawa moyoni alifurahia sana kitendo cha Vivian kumtafuta na hatimaye kukaa pamoja, tena ikiwa chumbani kwake.

“Tuachane na hayo baba, ndiyo maana nimekuja tuyamalize, unajua maneno ya meneja yalinichanganya sana na kujikuta nikijawa na hasira kali lakini baada ya kutafakari kwa kina nimegundua kwamba nakupenda sana mpenzi wangu na kamwe siwezi kuishi bila penzi lako, nisamehe kwa kukuumiza baba yangu, sitarudia kweli tena,” Vivian alisema huku akimpapasa Bigambo kichwani na kuyachezea masikio kwa kuyaminyaminya na kuyakanda, kitendo kilichoanza kuamsha hisia za mambo f’lani kwa Bigambo.

“Sawa, nimekuelewa lakini siku nyingine tusiumizane hivi bwana, sawa mama?” Bigambo alisema ingawa sauti yake ilitoka kwa tabu kutokana na kuanza kuelemewa na mahaba mazito.

Ili kutoonekana goigoi au mshamba wa mambo hayo, Bigambo naye alianza kujibu mashambulizi kwa Vivian. Alipeleka mkono wa kulia shavuni kwa Vivian na kuanza kupapasa taratibu lakini hakuishia hapo na badala yake alihamishia kiganja shingoni na kuwa kama anacharaza gitaa, kufikia hapo Vivian akaanza kufumba na kufumbua macho kwa tabu kama anayenyemelewa na usingizi mzito.

“Oooh, baba jamani,” Vivian alianza kulalamika na kujikunjakunja huku naye akiendelea na zoezi la kupashana joto. Ilifika mahali mpambano ulikolea na kwa pamoja wakajikuta wakiwa hoi na kilichoendelea kilimtosha kila mmoja wao.

Mtanange aliouonesha Bigambo kwa Vivian haukuwa wa nchi hii. Alifanya kwa makusudi ili arejeshe adabu na kweli alifanikiwa kwani alifanya kwa kiwango ambacho hata yeye alishangaa mno.

Baadaye walipitiwa na usingizi mzito ambapo walishtuka ikiwa ni saa mbili kasoro dakika kadhaa usiku. Bigambo akitarajia baada ya kukurupuka, Vivian angeanza harakati za kuondoka, lakini ndiyo kwanza mama wa watu akaendelea kujilaza huku akijibaraguza kwa maneno yasiyokuwa na msingi wowote.

“Niambie my love,” Vivian alisema huku akimshika Bigambo kichwani na kuzichezea nywele ambazo zilikuwa zinaanza kuota kwa mbali.

“Nakusikiliza mama yangu,” Bigambo alijibu akitarajia kusikia neno la ‘nataka kuondoka’ kutoka mdomoni kwa Vivian, lakini alichokisikia ni kingine kabisa.

“Tunakula nini usiku huu kabla ya kulala mume wangu?’ Vivian aliuliza swali ambalo Bigambo hakulitarajia kabisa na kujikuta akitabasamu.

“Wewe unataka tule nini?” Bigambo naye alimuuliza.

“Nakusikiliza wewe baba.”

“Kwani unalala hapa?” Bigambo aliamua kutoa dukuduku lake.

“Ndiyo mume wangu au hupendi nilale na wewe jamani, sema basi niondoke?” Vivian alisema na kuinuka kabla ya kukaa sawa kitandani na kumtazama Bigambo kwa jicho la kusikilizia jibu lake.

Kabla Bigambo hajajibu chochote, ilisikika sauti ya jirani wao ikimuita Bigambo.

“Wewe Bigambo wewe?”

“Naam.”

“Njoo kuna mgeni huku nje.”

“Ni nani huyo?”

“Wifi amekuja,” sauti ya nje ilisikika na hapohapo Vivian akamtazama Bigambo kwa hamaki huku akishindwa kuamini alichokisikia.

“Unajua Mungu anatuvumilia kwa mengi sana, mama yangu vile, wewe niamini mimi,” Bigambo alikomelea maneno hayo yasiyofaa na kusikilizika kwa mtu mwenye akili timamu isipokuwa mlevi tu mwenye kuzidiwa na kimea kikali.

“Kweli eeh, unajua kila nikikuangalia nakutafakari sana na kuona kama wewe siyo binadamu wa kawaida, yaani nakuona kama kiumbe cha ajabu au mtu aliyewahi kuzaliwa, akafa na kufufuka tena, yaani unaishi kwa mara ya pili,” Vivian naye alijibu maneno ambayo waliokuwa wamekaa meza ya jirani kwakinywa maji na soda walianza kucheka kufuatia maneno ya Vivian kutoka kwa mpangilio usioeleweka.

Wakati wakiendelea kunywa, ghfla kuna mtu alisimama mbele yao na kumshika Vivian bega na kumuuliza alikuwa akifanya nini hapo na aliyekuwa amekaa naye ni nani kwake? Mkononi alikuwa na kitu kilichowashtua wote wawili.

VIVIAN aliamka kabisa na kubaki ameshika kiti kwa mkono mmoja. Midomo ikimtetemeka kwa hasira isiyosimulika. Mtu aliyekuwa amesimama mbele yao alikuwa ni Jisu, yule fundi aliyemtengeneza mlango siku ya ugomvi wake na mzazi mwenzake, na mwisho wa siku wakaishia kushiriki dhambi tamu kutokana na kuzidiwa na kushawishiwa na vimea vya Reds na Nyagi.

Mkononi mwa Jisu kulikuwa na mzinga mkubwa wa nyagi, tena ikiwa haijafunguliwa lakini kwa macho ya harakaharaka ni kwamba Jisu alikuwa chakari kwa ulevi kwani hata ongea yake iliashiria jambo hilo kwa uwazi kabisa na pia hakuacha kuyumba na kujiweka sawa kila mara, alikuwa twiiiii, kama siyo bwiiiiiii achilia mbali bwaksiiiiii, maisha ya mitungi yana raha na karaha zake jamani.

“Sasa wewe umefuata nini huku?” Vivian alimuuliza Jisu huku akimtazama kuanzia chini hadi juu akimtathmini kwa namna alivyokuwa amevaa. Kwa kweli uvaaji wa Jisu siku hiyo haukuendana na Vivian kabisa, alikuwa amepigilia yeboyebo chafu, shati chafu na suruali chafu ambayo urefu wake haikufika hadi mwisho wa miguu, kifupi siku hiyo Jisu alikuwa hovyo sana hata kuelezea kwa maandishi nashinda, natamani ungekuwepo siku hiyo msomaji na kujionea mwenyewe lakini hata hivyo kwa maelezo hayo naamini tayari umeshapata picha kamili ya tukio lenyewe.

“Nakuuliza wewe halafu ni mambo gani haya ya kufuatanafuatana hadi huku baa au kwa sababu unanidai pesa yako ya mlango? Sema ni kiasi gani nikulipe uniondolee kiwingu chako hapa bwana huoni kama niko na mume wangu?” Vivian aliendelea kumdhiti Jisu kwa maneno mfululizo lakini moyoni akiomba Jisu asije akaropoka maneno makali ambayo yataanika ukweli wote kwamba licha ya kumuonesha dharau zote hizo lakini Jisu alishaonja asali ya Vivian na sasa alikuwa akitafuta njia ya kuchonga mzinga mzima kabisa.

“Ina maana kweli leo hii unakuwa na maneno makali namna hiyo kwangu? Ama kweli nyie wanawake ni watu wa ajabu sana, haiwezekani tukiwa kitandani unakuwa unanibembeleza kwa maneno makali yenye ushawishi mkubwa sana na heshima tele lakini leo unaniona kama takataka eti kwa sababu nimekukuta una mwanaume mwingine ambaye kwangu ni boya tu,” Jisu alianza kuropoka na mbaya zaidi alikuwa akitoa maneno hayo kwa sauti kubwa na kuwafanya watu wa meza zingine waache kwa muda kile walichgokuwa wanaongea na kufanya na badala yake wakaelekeza masikio yao kwenye meza ya akina Vivian ili kuambulia uhondo zaidi kutoka kinywani mwa Jisu.
“Unasemaje wewe? Umechanganyikiwa nini? Hebu tupishe hapa unatuletea kiwingu tu wenzio tuna stress za maisha maana wewe kila kitu kwako kiko sawa tu kwa kuwa huna majukumu ya kifamilia zaidi ya starehe,” Vivian alikomelea msumari wa kummaliza nguvu Jisu.

Wakati wote huo Bigambo alikuwa kimya akisikilizia maneno ya wote wawili. Moyoni alibaki njia panda asijue ukweli ni upi na uongo ni upi kwenye majibizano ya Vivian na Jisu lakini kama mwanaume aliona kabisa kukaa kimya isingekuwa busara na hata majirani waliokaa karibu naye achilia mbali wahudumu wangemshangaa sana kwa kushindwa kuonesha uanaume wake.

“Kwani huyu ni nani?” Bigambo aliuliza bila kuwatazama wote machoni lakini kwa asili ya swali lenyewe, ilikuwa ni rahisi kabisa kugundua kwamba swali lile lilimlenga Vivian atoe ufafanuzi wa kina juu ya ujio wa Jisu.

“Brother sikiliza, mimi siyo kwamba nimelewa au siyo, lakini ukweli ni… niiii…..niniiii kwamba huyu mwanamke huyu hajatulia kabisa hata kidogo na nitaeleza yote hapahapa leo lakini sema nini, wewe endelea kuwa naye lakini kaka hauko peke yako na mimi nilishakula mzigo tena kwa mazingira ya ajabu ajabu sana yaani kifupi ni kwamba mwanamke huyu ni zaidi ya maharage ya Lindi achana na yale ya Mbeya,” Jisu aliporomosha maneno hayo yenye kuumiza na kumfanya Vivian abaki kimya tena akiwa ameinamisha uso kwa aibu.

“Mimi nilijuana naye siku ya ugomvi wake na mwaname aliyezaa naye na kwa sababu kulitokea na fujo hadi za kuvunjiana mlango mimi sikuwepo lakini kwa kuwa watu wanajua mimi ni fundi, wakaniita na kumtengenezea mlango, lakini wakati naanza kufanya matengenezo, aliniaga kwamba anafuata pombe ili wakati natengeneza akute anatuliza mawazo na akaamua kuninunulia na mimi mzinga wangu kama huu, lakini tuliapoanza kunywa tu, akiwa na nusu chupa akaanza kuonesha udhaifu mkubwa kwa kunitega kwa mapozi na maneno matamu sasa bro kama unavyojua na mimi ni mwanaume niliyekamilika unadhani nini kilitokea, njiwa alijileta mwenywe, nikachinja lakini tukiwa ndani aligongewa na mjumbe wetu wakaongea hapo nje, nikapata nafasi ya kuchungulia nikawaona wakifanya uchafu wao bandani kule uani, sasa huyu ni mwanamke ndugu na wewe umekaa naye kwa kujiachia kabisa,” Jisu aliamua kumwaga ugali wote baada ya Vivian kuanza kwa kumwaga mboga.

Maneno ya Jisu yalimwingia sawasawa Bigambo na kwa kutambua umuhimu wa Jisu, alimshukuru na kumuomba namba yake ya simu ili wazungumze kesho yake. Lengo la Bigambo kufanya hivyo ni kutaka kujiridhisha kama kweli Jisu ataweza kuyaongea hayo siku iliyofuata akiwa na akili zake timamu na ndipo achukue uamuzi mzuri, lakini moyoni alianza kuumia kama kweli yaliyosemwa na Jisu ni uhalisia mtupu.

Jisu aliaga lakini kabla hajaondoka alimgeukia tena Vivian na kumtazama usoni. Wote wakakutanisha macho, lakini Jisu aliachia tabasamu la kilevi bila kujua kabisa kwamba alichokifanya kilikuwa ni zaidi ya mauaji ya halaiki. Kumchomea Vivian kwa Bigambo, mwanaume aliyempenda kwa moyo wa dhati lilikuwa ni pigo jingine mujarabu kwa Vivian.

“Mimi naondoka, lakini tafadhali sana antiii, usinielewe vubaya na huu usiwe mwisho wa penzi letu, naomba sana ulilinde penzi hili na hakika nitafurahi sana kama ukinishusha Ununio, hahahaha,” alisema Jisu na kumalizia kwa manenon hayo ya kicheko cha kujilazimisha kilichoungwa mkono na wateja wengine kwenye meza za jirani, ambao walishaanza kukubaliana na maneno ya Jisu kama kweli Vivian hakuwa mwanamke aliyetulia na ndiyo maana hakubisha chochote kuhusiana na maneno ya Jisu.

Ofisini maneno yalianza kuenea kuhusiana na meneja kuwaita Vivian na Bigambo ofisini na kisha kuwaonya kuhusiana na mahusiano yao. Watu walifurahia sana kwani asili ya watu wa ofisi ile ni kwamba walifurahia sana kuona mtu akipatwa na matatizo ingawa wakiwa naye huonesha upendo na huruma lakini hayo yote huwa ni unafiki mkubwa kabisa.

“Oya, kimenuka tena kwa jamaa yenu,” Neymo, kijana mdogomdogo aliyekulia maisha ya uswahilini yenye maneno mengi ya kitaa, alianzisha mjadala huo wakati wa kifungua kinywa akiwa na rafiki yake Elino, kijana ambaye waliendana kwa tabia na matendo kwa kujiona kama wajuvi wa mambo na wakali wa kitaa.

“Eeh mwanangu, jamaa haishiwi na majanga kabisa na kwa hili tuone kama atachomoka tena,” Elino alishadadia wakimnanga Bigambo ambaye alikuwa ameonywa na meneja kwa tabia ya kuonesha hisia za kimapenzi na Vivian ikiwa ni kinyume kabisa na maadili ya kazi. Lakini wakati wanajadili, ghafla aliingia Bigambo akiwa amejawa na huzuni kubwa huku uso wake ukichakazwa na machozi.

Wote walishtuka na kumzunguka Bigambo. Kama nilivyosema , wengi wao walikuwa wanafiki wakimuoneshea huruma machoni lakini moyoni wakimcheka kwa dharau na dhihaka kubwa.
“Nini tena mshikaji wetu? Nini kimekukuta wangu?” Darwin mmoja wa wafanyakazi wenzake na Bigambo ambaye kwa umri alikuwa mtu mzima licha ya mwili wake kuonekana kijana alimfariji kwa upendo mkubwa na kutoka moyoni mwake, hata Bigambo mwenyewe hakuwa na shaka na upendo wa Darwin.

ITAENDELEA

JAMANI ANTIII…NISHUSHE UNUNIO – 2

Image result for african beauty lover

Chombezo : Jamani Antiii…Nishushe Ununio
Sehemu Ya Pili (2)

“Basi nitakuja kukusimulia nikirudi, wewe unakunywa bia gani nikuletee japo mbili za kutuliza koo lako?” “Mimi anti huwa sinywi bia zaidi ya Nyagi tu,” fundi huyo ambaye jina lake halisi aliitwa Jisu alisema huku akimtazama Vivian kwa macho ya kudadisi atasema nini. “Mmmh, basi sawa ngoja nikakuletee kubwa moja kabisa ili uburudike vya kutosha, unachanganya na soda au maji?” “Vyovyote hata kavu huwa napiga,” alisema Jisu na kumfanya Vivian acheke na kuondoka kwenda kwenye grosari.

HUKU nyuma, spidi ya fundi kutengeneza mlango iliongezeka maradufu, kitendo cha Vivian kufuata Nyagi kilimpa furaha isiyo kifani.

“Dah, huyu sista amewaza kikubwa mlemle aisee, kajuaje kama nina hamu sana na Nyagi leo, ila sema tatizo ni moja kwamba wifi yake amesafiri na raha ya Nyagi ni kucheza mechi ya kukata na shoka,” Fundi Jisu aliwaza huku akikomelea msumari kwenye komeo ambalo tayari lilishakaa sawa.

Dakika mbili baadaye, mlango wa Vivian ulikuwa sawa kabisa na sasa Jisu alikaa pembeni kwa nje akimsubiri mwenyeji wake aje wamalizane kwa ujira kama si kupiga masanga ambayo atakuwa ameyaleta Vivian.

Vivian alirejea, mkononi alikuwa ameshika mfuko mweusi ambao ulikuwa umeelemewa na mzigo uliokuwemo ndani. Jisu kuona vile, mate ya ulevi yakaanza kujitengeneza mdomoni.
“Vipi fundi.”

“Poa tu sista.”

“Mbona umekaa.”

“Nimemaliza kazi.”

“Wee, mara hii?”

“Ndiyo sista, huamini au?

“Hata siamini,” alisema Vivian na kupiga hatua za haraka hadi mlangoni ambapo hakuwa na haja ya kumulika kwani mwanga wa umeme ulitosha kabisa kumulika mahali pote. Aliushika mlango na kuutikisa vyema ambapo alijiridhisha kabisa kwamba ulikuwa umetengemaa na uko tayari kwa matumizi, akatabasamu na kumgeukia fundi.

“Aisee, wewe ni kiboko fundi jamani.”

“Kwa nini sista?”

“Umefanya haraka sana.”

“Kawaida, watu husema kazi ukiizoea yanakuwa maisha yako ya kila siku,” alisema Jisu huku akinyanyuka mahali alipokuwa ameketi na kumsogelea Vivian ambaye alikuwa ameshikilia mfuko wenye masanga.

“Vipi, umepata Nyagi?” Jisu aliuliza kwa hamu kubwa akichungulia ndani ya mfuko.

“Yeah, si tunakaa ndani jamani?”

“Hapana sista, hapahapa nje panatosha muhimu ni glasi na kazi ianze mara moja, nikizidiwa sana nitaenda kumalizia nyumbani kwangu,” alisema Jisu akimtazama Vivian usoni, aliishia kutabasamu bila kusema chochote.

Vivian aliingia ndani na kutoka na viti viwili na meza ndogo pamoja na glasi mbili, unaweza kushangaa alivibebaje vyote hivyo kwa wakati mmoja lakini huo ndiyo ukweli kwamba alivileta vyote kwa pamoja.

“Karibu tena mgeni kwa mara nyingine, jisikie uko nyumbani kabisa,” alisema Vivian akikaa vyema kitini na kumruhusu Jisu kwa ishara aungane naye waweze kuianzisha safari ya kulabuka, yaani kugida maji hayo machungu lakini yenye kuchangamsha ubongo kwa kasi ya haraka!
Vivian alitoa mfuko na kuchomoa Reds sita za chupa na mzinga mmoja mkubwa wa Nyagi na soda moja ambapo alivimwaga kwa pamoja.

Hapohapo, meno yote ya fundi yakaonekana kwa mpangilio yakinifu kabisa na bila kuchelewa akapeleka mkono wa kulia na kuishika glasi, awamu hii hakungoja tena karibu na badala yake akamimina Nyagi kidogo na kuchanganya na soda.

“Ngoja nipunguze mawazo miye,” alisema Vivian na kuchukua chupa moja ya Reds ambayo aliinywa kwa ule mtindo wa tarumbeta, yaani bila kutumia glasi. Walikunywa wakiwa kimyakimya, nusu saa baadaye kila mmoja alianza kujawa na ujasiri wa hali ya juu ambapo walitazamana usoni bila aibu.

Walianza kusimuliana jinsi ambavyo mapenzi yamekuwa yakimtesa kila mmoja wao. Vivian alimwaga siri zote na namna ambavyo huwa anajisikia raha pale anapokutana na mwanaume mwenye kuweza mambo.

“Mimi huwa najali sana kumwandaa mwanamke kabla mimi sijajiandaa, unajua raha ya tendo ni mwanamke kuanza kufika mwisho wa safari ndipo ampe sapoti mwanaume, hakika hilo huwa nalizingatia sana,” alianza kujinasibu Jisu bila kujua anaanza kumpa wakati mgumu Vivian ambaye akinywa pombe hususan Reds huwa mwepesi kushinda maharage ya Mbeya kama siyo kunde za Mlandizi na choroko za Mtwara!

Hali ya Vivian ilianza kubadilika lakini alijisitiri sana asionekane kama ni dhaifu kwa kiasi hicho na pia hakuwahi kuwaza kutoa penzi kwa mwanaume aina ya Jisu, ambaye hakuwa hadhi yake kabisa.

Vivian alikuwa na nyodo nyie acheni tu! Hata huo uchangamfu aliouonesha kwa Jisu ni kutokana na mvurugano uliotokea muda mfupi uliopita na kwa namna ambavyo fundi huyo amefanya kazi yake haraka na kwa ustadi wa hali ya juu, ukichanganganya na kimea cha kwenye Reds hapo mambo yanakuwa murua, lakini akiwa mkavu wa kawaida, unaanzaje kumkamata Vivian wewe mwanaume kapuku wa pangu pakavu, pangusa tukae?

“Kwa hiyo wewe fundi ni mtaalam sana kuhakikisha mwanamke anapata raha yake?” Vivian aliuliza akimtazama Jisu usoni kwa macho yenye kulegea kama mpishi aliyezidiwa na moshi wa kuni mbichi.

“Kabisa, tena kuna wakati huwa najikuta naongeza na utaalam ambao nikiambiwa nirudie siwezi kabisa, yote hayo ni kuhakikisha najitoa ufahamu kwenye sita kwa sita, hapo sasa nitagusa na maeneo ambayo wanawake wengi huwa hawaguswi mara kwa mara,” alisema fundi na kuendelea;

“Unajua kuna wanawake hawajawahi kupata raha ya tendo, ukiwaambia habari za kufika mwisho wa safari hawajui inazungumzia nini na wao wanakuambia wanafurahia mapenzi na waume zao, lakini kifupi ni kwamba hakuna mwanamke ambaye hana uwezo wa kufika mwisho wa safari, mwanamke yeyote ni maandalizi, akipata mwandaaji mzuri kabla ya mechi, ni lazima afike ukingoni tena kwa shangwe na makelele ya fujo kama siyo nderemo,” alisema Jisu huku akisukumizia maneno hayo na glasi ya Nyagi kabla hajakunja sura yake yenye mashimo kadhaa.
“Wewe Jisu wewe jamani,” Vivian alisema na kuiweka mezani kabisa chupa ya Reds aliyokuwa ameishika mkononi, licha ya kwamba kabla hajafika nyumbani alitoka kucheza gwaride na Bigambo, lakini maneno ya Jisu yalianza kumshawishi zaidi ya ufundi aliooneshwa na Bigambo, kichwani alianza kufanya tathmini na kuona wazi kabisa kwamba Jisu alikuwa mbobezi wa masuala ya chumbani kuliko Bigambo.

“Sasa kwa hiyo unaweza kumtibu mwanamke ambaye ana tatizo la kutofika mwisho wa safari yake?” Vivian aliuliza lakini awamu hii alishindwa kujizuia na kuuweka mkono wa kulia begani kwa Jisu, ambaye hakutoa upinzani wowote na zaidi sana akanyanyua glasi ya Nyagi na kuisukumizia mdomoni.

“Eee, sana tu, mimi nimetibu sana wanawake ambao shida yao ni kutofurahia na kufika mwisho wa safari, lakini nawatibu kwa vitendo bila kufanya nao kikwelikweli,” alisema Jisu na kuifakamia tena glasi yake ya Nyagi na kisha kumtazama usoni Vivian ambaye alikuwa kimya.

“Mmh,” Vivian aliishia kuguna na kuikamata chupa yake ya Reds.

“Vipi, mbona unaguna?”

“Mmmh, kawaida tu,” alisema Vivian na kuuondoa mkono wake begani kwa Jisu.

“Nikuombe kitu?” Vivian alianzisha tena mazungumzo.

“Sema tu sista.”

“Aaah, usiniite hivyo bwana,” Vivian alisema lakini sauti yake ilitoka kwa tabu na dalili za uchovu kwani pua zake zilikuwa zinabana kama mgonjwa wa mafua yenye kuambatana na malaria.

“Okey, samahani.”

“Unaweza kunitibu na mimi Jisu?” Vivian aliuliza na kumtazama tena usoni Jisu lakini pia akawa kama anayesikilizia jibu ambalo hakujua lingetokaje kwa wakati huo.

Hata hivyo, kabla Jisu hajamjibu Vivian alimimina tena Nyagi kwenye glasi na kuipiga yote kabla ya kumimina nyingine tena na kuiweka mezani bila kuinywa na hapohapo akanyanyuka kidogo na kukiweka sawa kiti chake ambapo sasa aligeukiana na Vivian, alimtazama usoni na wote wakawa wametazamana bila kupepesa macho na Jisu akapanua mdomo kama anayetaka kuuliza kitu kwa staili ya kipekee.

 “NAWEZA ndiyo, ni sehemu ya kazi yangu pia na huwa najipatia kipato kikubwa sana kupitia tiba hiyo kwa wanawake wenye matatizo ya kutofurahia matendo,” alisema Jisu huku akikamata glasi na kujimiminia kwa kasi huku akikunja ndita, uchungu wa nyagi uliendelea kulipa kazi ya ziada koromeo lake. Vivian alikaa kimya kwa muda. Kabla hajasema lolote, alikamata chupa ya Reds na kujimiminia kama alivyofanya Jisu. Walikaa kimya kwa muda kabla ya kuendelea na mazungumzo. “Okey, sasa mimi nataka unitibu leoleo Jisu, maana nina mpango wa kuolewa hivi karibuni. Mimi sina tatizo hilo lakini nataka niwe nawahi kufika mapema, sawa Jisu?” “Sawa, lakini sasa kwa mtindo gani?”

“Kwa mtindo gani tena unaniuliza mimi? Wewe si ndiyo umesema ni fundi sasa fundi anamuuliza mteja tena ashoneje nguo yake?” “Sijamaanisha hivyo, nasema eneo na mazingira yanahitaji usiri mkubwa sana.” “Si ndani kwangu jamani Jisu.” “Sawa, lakini kwa kuwa tumeshaanza kulewa nashauri tufanye siku nyingine kama kesho hivi, tukiwa wazima wote,” Jisu alisema kwa mtego ingawa moyoni alishaanza kuitamani sana nafasi ya kuutawala mwili wa mrembo Vivian. “Hapana bwana, mimi nataka leoleo, nitakulipa vizuri Jisu, ile ya mlango na hii kazi utakayonifanyia sasa hivi, sawa baba?” Vivian sasa alishaanza kuchangamka na kuanza kumuita Jisu kwa jina la baba, jina ambalo Vivian hulitamka mara chache sana, tena hususan wakati anapokuwa amekunywa maji hayo matamu yenye ukavu wa kuvutia machoni.

“Mmmh,” Jisu alijibu badala ya kufafanua kama amekubali kumtibu Vivian au lah. “Unaguna nini sasa jamani?” “Hapana, najaribu kutafakari namna ambavyo nitakupa huduma na tiba bora zaidi,” alisema Jisu na kumtazama Vivian. “Kwa hiyo mimi natakiwa nifanyeje,?” Vivian aliuliza akiwa anajiweka sawa kifikra juu ya maelekezo ya Jisu na tiba yake, maneno yake yalikuwa yamemshawishi kwa kiwango cha juu sana. “Lakini si ni maelezo tu, hatufanyi kabisakabisa?” Vivian aliuliza na usoni hakuonesha aina yoyote ya masihara. “Kabisa, hatufanyi chochote, nakuheshimu sana Vivian,” alisema Jisu. “Lakini kuna sharti moja tu kubwa,” Jisu aliendelea kutoa dira na mwanga wa aina ya tiba yake. “Kipi tena Jisu, mbona unaanza kunitisha mwenzio?” “Wala usitishike, kwa yeyote aliyedhamiria wala hawezi kuona ugumu wowote.” “Haya, ni lipi hilo?”

“Ni lazima uvue nguo zote ili uwe huru wakati nakupa maelekezo.” “Okey, hilo tu?” “Ndiyo.” “Lakini…,” Vivian alikomea hapo na kunyamaza kisha kumtazama tena Jisu na kuendelea… “Hutawaambia watu?” “Juu ya nini?” “Kwamba ulishaniona nilivyo?” “Halafu iweje?” “Basi tu, nimeuliza maana nyie wanaume mnaongoza sana kuwatangazia wanawake mliowahi kushiriki na kuwaona maumbile yao ya ndani, tabia ambayo hakika huwa siipendi na siyo nzuri hata kidogo,” alisema Vivian na kuchukua tena chupa yake ya mwisho na kuifungua kwa meno kabla hajaigida kwa mbwembwe za ulevi. Kifupi ni kwamba wote wawili walishaanza kuzidiwa na ulevi, ingawa walibaki wanajitambua kwa mbali. “Haya, twende sasa nikutibu ili niwahi kwenda kupumzika,” alisema Jisu huku akifunga vizuri chupa ya nyagi iliyokuwa imesalia. “Mbona humalizii hiyo nyagi?”

“Siwezi kumaliza mzinga wote, hii nitamalizia kesho, kwa sasa naomba nikutibu niwahi kutoka,” Jisu alitoa ufafanuzi huo na kuinuka akiwa ameishika chupa ya nyagi kwa mkono wa kushoto huku akiigongagonga kwenye kitako chake. “Sawa,” Vivian alijibu na kuamka, ambapo alianza kuingiza ndani kitu kimojakimoja, tofauti kabisa na awali ambapo alivibeba vyote kwa pamoja. Alimaliza kuingiza ndani na kumkaribisha Fundi Jisu ndani ili watimize tiba yao. “Karibu sana na ujisikie amani na upendo wote wa moyo,” Vivian alisema na kumtazama Jisu usoni.

“Asante, lakini sitaki tukae sana. Nakupa tu maelezo ya utangulizi na kesho nitakuja kumalizia,” alisema Jisu. “Nasubiri maelekezo yako,” Vivian alisema na kumkodolea tena macho Jisu. Hakuwa na aibu kabisa kwani Reds imeshaondoa kila kitu ubongoni mwake. “Sasa ondoa basi hizo nguo.” “Sawa,” Vivian aliitikia na kuanza kuondoa viwalo taratibu na kwa mbali alianza kujihisi hali isiyokuwa ya kawaida mwilini mwake. Alianza kuhisi msisimko wa ajabu mno. Vivian alibaki kama alivyokuja duniani. Kiunoni akiwa amezungukwa na kamba tatu zilizobeba vigolori vidogovidogo. “Sasa nenda kitandani, mimi nakuja ingawa sitavua chochote,” Jisu alisema na kuanza kupiga
hatua akielekea kitandani.

“Lala chali,” Jisu aliendelea kutoa maelekezo ambayo mwisho wa siku Vivian alishindwa kabisa kuvumilia. Jisu alikuwa akimuelekeza kufanya mambo ambayo yalikuwa yakimsisimua kupita maelezo. Ikafika mahali, Vivian akamfuata Jisu mwenyewe na kumwambia wafanye kweli, maana hakukuwa na haja ya kutumia maji ya moto kuondoa hali hiyo wakati aliyeisababisha alikuwepo tena wote wakiwa wamechangamka kisawasawa. “Jisu,” aliita Vivian. “Mmm,” Jisu aliitika kwa ule mtindo wa kuguna huku naye akianza kuzidiwa na hisia. Umbo la Vivian lilikuwa matata sana. “Usimwambie yeyote” “Sawa.”

“Nitunzie siri yangu tafadhali, hapa mtaani naheshimika mno na ninafahamika kwa kuwa na nyodo kwa vijana wengi kama wewe lakini sasa mazingira yetu ya leo yametufikisha huku ambako siwezi tena kujizuia, tafadhali sana nakuomba,” Vivian alisema kwa sauti ya kunong’ona, lakini maneno yote yalisikika vyema sana masikioni mwa Jisu ambaye naye kwa wakati huo alikuwa akihema kama aliyetoka kukimbia mbio ndefu zisizokuwa na medali wala tuzo yoyote. “Sawa,” Jisu aliitikia na kushuhudia mikono laini ya Vivian ikimpapasa mabegani na kabla hajahamaki kufanya chochote, alishtukia vidole vya Vivian vikivifuata vifungo vya shati kwa kasi ya ajabu na kuanza kuviachanisha na yale matundu ya kufungia.

“Fuuuu,” Jisu alihema kama ng’ombe aliyemaliza kunywa maji mengi. Ikafika mahali, wote wakadhamiria mioyoni kwamba wamalizie safari ndefu ambayo ilianzia kwenye kutengeneza mlango. Jisu aliamua kutumia uwezo na ufundi wake wote kumuonesha Vivian kwamba hakupaswa kuwa na dharau au nyodo kwa watu asiowajua. Waliandaana na Jisu alimshughulikia Vivian kwa kugusa maeneo ambayo siyo tu kwamba hakuwahi kuguswa na mwanaume yeyote, bali hakuwa akijua kama huwa yanakamatwa. Vivian alianza kuangua kilio cha kweli na kuanza kuropoka maneno ambayo kama kungekuwa na mpita njia ilikuwa ni lazima asitishe kwanza safari yake ili aifaidi vyema sauti hiyo ya kilio kitamu cha Vivian. Baada ya kuandaana kwa muda mrefu, waliingia uwanjani. Jisu alimbeba Vivian na kumsimamisha.

Akamkazia macho na kumpa madoido ambayo hakuwahi kukutana nayo. Mwanzoni ilikuwa ni kidogo Vivian acheke kutokana na kuoneshwa staili ambayo hakuwahi kuoneshwa hata siku moja tangu aanze kujishughulisha na masuala ya mapenzi. Mechi ilianza. Jisu akawa anatembelea kila kona ya makazi ya Vivian, ambaye kwa wakati huo alikuwa akihangaika na kutoa miguno mingi yenye kuhamasisha sana. Ili kuepuka kumchosha sana, Jisu aliamua kubadilisha mapozi ya usakataji wa kabumbu. Sasa akamsogeza karibu na dimba la kawaida, kwa maana ya kitanda lakini hakumruhusu kabisa ajimwaye kwa juu. Alimpa maelekezo ya kuinama na kushika kuta za kitanda na kubinuka mfano wa kumbikumbi aliyejinyonyoa manyoya.

Fundi akasimama kwa nyuma na kuinama kidogo na hapohapo akaanzisha mpambano upya ambapo awali hii alianza kwa sehemu ya juu, chini kabla hajazitembelea kona za pembeni, ikafika mahali Vivian akasema kwa sauti ya juu kabisa kwamba hayuko tayari kuendelea na mahusiano na Bigambo wala mtu yeyote, sasa makazi yake kimapenzi ameyahamishia kwa Jisu, mwanaume ambaye aliweza mambo kwa kiwango cha ajabu sana.

Wakiwa katikati ya mdundo, Vivian akijiandaa kupasua dafu lake la tatu, mara mlango uligongwa na mgongaji hakutumia ustaarabu kwani ilikuwa kwa sauti kubwa hali iliyowafanya wote wasitishe zoezi lao huku Vivian akisonya na kulaumu sana mgongaji, akanyanyuka kwa nguvu na kujitanda khanga kabla hajampa taulo Jisu, akauendela mlango na kuufungua kwa hasira kali, lakini macho yake yalipokutana na mtu aliyekuwa akigonga, Vivian alinywea na kubaki mdogo kama kidonge cha piriton.

************
*****************
*************************

Mzee hakutaka kuichezea bahati hiyo, akaanza kusaga na kukoboa kwa umahiri wa hali ya juu, Vivian hakuamini alichokuwa akifanyiwa na mzee wa watu, moyoni akajiapiza tena kutoachana kabisa na mzee huyo, alishasahau kabisa kama alijiapiza maneno hayohayo kwa Bigambo na Jisu, huyu Vivian jamani, lakini tuseme ukweli, kuna wakati ukikutana na mtaalam wa kusakata kabumbu, lazima uombe poo kwa hiyo simshangai Vivian kwa uropokaji ule.

Wakati Mzee Mnubi akijiandaa kumalizana naye vyema, ghafla walisikia sauti ikisema: “jamani si kuna nyumba za wageni, yaani hata wewe mjumbe una uchafu huu?”

“OYA, nani tena huyo asiyekuwa na adabu kwa wakubwa?” mjumbe alijikakamua kwa mkwara huo huku akijiondoa kwa Vivian.

“Mzee huna aibu kabisa wewe, kumbe ukorofi na mikwara yote hiyo ya mitaani lakini maadili ni ziro! Yaani kiongozi mzima hovyo kabisa,” kijana huyo alizidi kukomalia maneno makali kwa mjumbe na Vivian, ambao kwa wakati huo walikuwa wanajiweka sawa kwa kuvaa nguo ambapo haikuwa kazi kwa kuwa hawakuziondoa zote, ilikuwa ni ile kuteremsha ya harakaharaka

“Sikiliza kijana, haya ni maisha tu ndugu yangu, kuharibiana heshima mitaani kuna faida gani tena ukizingatia mimi ni mjumbe wako, kuanzia leo nitakuwa nakulinda kwa mambo mengi,” mzee Mnubi alianza kunywea baada ya kuona kijana yule amekomaa kulisambaza tukio hilo hapo mtaani.

“Sawa, lakini itategemea sana na uwezo wangu wa kutunza siri, vinginevyo sijui,” alijibu kijana huyo na kutaka kuondoka.

“Ona, sikia kijana,” mzee Mnubi alimuita tena huku akipeleka mkono wake mfukoni na kuibuka na noti mbili nyekundu kabla ya kumuonesha kijana yule ambaye alijulikana kwa jina la Malick pale mtaani.

Malick alizipokea hizo pesa na kuahidi kutowatibulia wawili hao. “kwa sasa hata kama mkiamua kuendeleza ni nyie tu, hainihusu kabisa, kwa hapa breki ya kwanza ni baa nikajipongeze kwa chupa mbili niiweke akili yangu sawa,” Malick alisema na kuanza kupiga hatua kuondoka eneo hilo.

Vivian na mjumbe walibaki wakitazamana, hakuna aliyemuongelesha mwenzake kwa zaidi ya dakika sita hadi saba.

“Unaona sasa baba, mimi nilishauri tufanye siku nyingine lakini uling’ang’ania mwenyewe, unadhani utakuwa na nguvu na hadhi gani kwa kijana yule hapa mtaani hata kama hatawaambia watu wengine? Mambo ya kulazimisha ni mabaya sana mzee wangu, ona sasa tulivyoumbuka,” Vivian alilalama mfululizo na kuondoka huku akisonya tena bila hata kugeuka nyuma.

Mzee Mnubi naye aliondoka akiwa ameinamisha kichwa huku akijilaumu sana moyoni na kichwani. Alishindwa kuelewa lawama azitupe wapi kati ya kwake au kwa shetani.

“Dah, ila mimi naye, Mungu anisaidie sana kwa kweli,” mzee Mnubi alijiwazia huku akikaribia nyumbani kwake na kumkuta mkewe, Bi. Jovina akijiandaa kulala.

“Mwenzetu kulikoni unaongea mwenyewe?” Bi. Jovina alimuuliza mzee Mnubi akiwa amemtolea macho makali yenye ukavu wa kuogopesha.

“Kawaida, uzee nao unasumbua sana,” mzee Mnubi alijibu na kukimbiza sura yake pembeni na kuzuga kufanya mambo mengine chumbani humo.

“Unaoga au kama kawaida yako unataka kulala hivyohivyo kama jana?” Bi. Jovina alimuuliza mumewe ambaye kwa kuhofia kugundulika kwamba ametoka kucheza mechi ya kirafiki kwenye uwanja wa mchangani, alikubali haraka sana kwamba ilikuwa ni lazima aoge akisingizia jasho kali la siku hiyo.

“Heee, makubwa leo kuku wa kike atawika, acha nicheke miye,” Bi. Jovina ambaye asili yake ni Bagamoyo, Mkwere kiasili aliendelea kutupia maneno ya Kipwanipwani yenye michambo ya kimafumbo ambayo sisi watoka bara huko Mwanjelwa Mbeya siyo rahisi kabisa kuyaelewa.
*****

Vivian aliingia ndani na kumkuta Jisu ameshavaa, tayari kwa kuondoka, alikuwa amekaa kitandani akiangaza macho huku na kule kama anayetafuta kitu cha thamani, lakini moyoni hakuwa na amani wala furaha kabisa.

“Pole kwa kukuacha mwaya, nilikuwa nazungumza kidogo na mjumbe, si unajua ni lazima nimpoze kiasi fulani kwa ajili ya kazi ya kusuluhisha aliyoifanya, kwa hiyo nilikuwa navutana naye maana alitaja kiasi kikubwa sana cha pesa,” Vivian aliongea mfululizo bila kuulizwa na Jisu ni wapi alichelewa.

“Sawa Vivian, mimi naondoka tutaonana kesho lakini chunga sana mienendo ya maisha yako, hapa duniani tunapita tu, usipojichunga unakuwa kama gazeti ambalo kila mmoja anaweza kulifunua na kulisoma habari zilizoandikwa na kisha kulitupa huko,” Jisu ambaye licha ya kuwa alikuwa amekunywa kiasi kingi cha nyagi alitoa maneno hayo makali yenye mafumbo na kisha kuukamata mlango na kufungua kwa nguvu na kuanza kupiga hatua za haraka, mkononi akiwa ameshika chupa ya nyagi iliyokuwa imesalia nusu.

“Duh! Huyu naye anamaanisha nini? Maisha gani tena haya ninayoanza kuyaishi mimi Vivian lakini, yaani siku moja nimeweza kucheza mechi na wanaume watatu tofauti, aisee mimi ni kiboko sana,” alijiwazia Vivian huku akiondoa nguo mwilini tayari kwenda bafuni kujiondolea uchafu.

Baada ya kuoga alirejea na kuvaa nguo nyepesi na kuchukua tena chupa ya Reds na hapo ndipo akakumbuka simu yake.

“Duh! Missed calls 23, 20 za Bigambo,” alijisemea huku akibonyeza eneo la kupiga, simu ya Bigambo haikuwa hewani. Akachanganyikiwa na kuamua kuizima kabisa simu yake kabla ya kumalizia Reds zake na kupanda kitandani kuusaka usingizi ambao haukuchukua muda mrefu sana ulimchukua, kutokana na uchovu wa kucheza mechi tatu za ugenini ongezea na kimea kwenye Reds zaidi ya tano, Vivian aliweza kulala akiwa hoi tena kwa usingizi wa pono kama siyo fofofo.

***

Kulikucha. Ilikuwa ni siku nyingine ya mapambazuko na mishemishe za kusaka noti kwenye usawa huu ambao watu wameupa majina mengi maarufu likiwemo la vyuma vimekaza. Vivian alikurupuka kutoka kwenye usingizi wa mning’inio (hang over) na kukimbilia bafuni akiwa na mawenge mengi kichwani, mawazo tele.

Baada ya kujiandaa, Vivian alipanda bodaboda hadi kazini na kumkuta Bigambo akiwa amekaa kwenye ile meza ya viako, akipitia bidhaa ya siku hiyo kabla ya kuanza majadiliano ya wafanyakazi wote. Vivian alimsogelea kwa tahadhari na kumsalimia kwa sauti ya chini na yenye utulivu mkubwa.

“Salama kabisa,” Bigambo alijibu kwa mkato tena bila hata kumtazama Vivian usoni, kuona hivyo mwanamke huyo alijiongeza na kuanza kujieleza kabla hata hajaulizwa nini kilitokea hadi akawa hapokei simu za Bigambo.

“Najua umekasirika sana lakini ngoja nikuambie kilichotokea,” Vivian alisema huku akikaa karibu na Bigambo.

“Jana nilimkuta mzazi mwenzangu nyumbani kwangu, alikuja bila kunipa taarifa,” Vivian alieleza kila kilichotokea isipokuwa zile mechi alizocheza na Jisu na mjumbe, mzee Mnubi.

“Sasa ulipomaliza mambo yako ulishindwa kunipigia simu hata kidogo,” Bigambo aliuliza kwa jazba na kumtazama usoni Vivian ambaye alikwepesha uso na kuvunga kama anaangalia nje.

Wafanyakazi wengine wakawa wanapita na kuwatazama kwa macho yenye tafsiri tofautitofauti.

“Bigambo na Vivian mnaitwa na meneja,” ilikuwa ni sauti ya Mariamu, mmoja wa wafanyakazi wa muda mrefu wa ofisi ile, akiwa kitengo cha usafi.

Vivian na Bigambo walitazamana kwa zamu na kisha kuinuka hadi ofisini kwa meneja, ambaye walipoingia tu, alishusha miwani yake na kuwatazama mmoja baada ya mwingine, lakini angalia yake haikuwa ya nia njema hata kidogo.

“Vivian na Bigambo,” meneja aliwaita kwa majina na kusindikiza kwa kikohozi kikavu.

“Nimewaita kwa ishu moja tu ambayo haihitaji majadiliano ya muda mrefu,” alisema meneja na kujiweka sawa kitini kwake na kukohoa tena.

SIKILIZENI, tena naomba muelewe mambo haya kwa umakini na undani zaidi,” meneja alisema tena na kuwatazama zamu kwa zamu. Moyoni mwa Vivian kulijaa hofu ya aina yake, alikuwa bado mgeni mno kuanza kuwekewa vikao na bosi mkubwa kama meneja. Kwa upande wa Bigambo, yeye hakuwa na hofu hata kidogo kwani kama ni vikao alishawekewa vingi mno na kuonywa zaidi ya mara mia moja kwa hiyo kikao cha meneja cha siku hiyo, kilikuwa mwendelezo wa vikao na makaripio mengi aliyowahi kufanyiwa huko nyuma na kumuacha bila mabadiliko. “Mmekuja hapa kufanya kazi na si mapenzi, sasa mbona mnakiuka miiko na maadili ya kazi? Hamjui kwamba kujihusisha na mapenzi kazini ni kosa kubwa na adhabu yake ni kufukuzwa kazi? Wewe Vivian wewe,” meneja aliita na kumkazia macho mwanamke huyo ambaye wakati wote alikuwa akitetemeka mithili ya kinda la ndege lililonyeshewa mvua kubwa ya mawe ya barafu.

“Bee,” Vivian aliitika huku akijitengeneza vizuri kwenye kiti. Vidole vya mikononi vikiwa vimelowa kwa jasho jembamba ukijumlisha na kwa namna alivyokuwa akivipikicha, hofu iliongezeka na mapigo ya moyo yaliongezeka kwani upande wa kushoto wa kifua ulikuwa ukinyanyuka kwa juujuu na kufuatiwa na mihemo ya harakaharaka. “Kweli kabisa umeacha kilichokuleta na kuparamia mapenzi?” meneja alizidi kumpandishia presha Vivian, moyoni alipanga kumalizana na Bigambo baada ya kumuonya Vivian./ “Hapana bosi, mimi sina uhusiano wowote na mtu yeyote hapa ofisini zaidi ya kusalimiana na kushirikiana kikazi, hayo mengine yanabaki kuwa maneno ya watu wasiokuwa na kazi za kufanya mkuu, siko hivyo kabisa na niko hapa kikazi na si mambo mengine, nina familia yangu hivyo najiheshimu kuliko ambavyo yeyote anaweza kudhani,” Vivian alizungumza mfululizo kiasi cha kuwafanya meneja na Bigambo wabaki wamemkodolea macho wasiamini wanachokisikia, kwani tangu Vivian ajiunge na kampuni hiyo, tabia yake ilikuwa ya ukimya wa kupitiliza na neno pekee alilolitoa kupitia midomo yake minene ni salamu na kicheko cha tabasamu.

ITAENDELEA

JAMANI ANTIII…NISHUSHE UNUNIO – 1



Image result for african beauty lover


Chombezo : Jamani Antiii…Nishushe Ununio
Sehemu Ya Kwanza (1)

Wakati akijiandaa kusema alichokuwa amekusudia, ghafla Jagadi alitokeza na kuwatazama wote wawili kwa jicho la ‘duh mara hii mmeshakuwa na ukaribu huo’.

TEREZA NAYO SASA…

WOTE walishtuka. Vivian akamtazama Bigambo usoni kisha akayarudisha kwa Jagadi aliyekuwa bado anawatazama kwa zamu. Lakini hakuacha kutoa tabasamu. Alichofanya Bigambo ni kuendelea na ratiba zingine. Akawa anakagua chupa za asali kabla ya kikao cha kujadili ubora wa asali ya siku hiyo.

“Huyu mbona ametuangalia sana?” Vivian alimuuliza Bigambo huku akiachia tabasamu lake lenye kusahaulisha kabisa adha za foleni za asubuhi.

“Sijui, labda ana mambo yake,” Bigambo alijibu lakini moyoni aliujua ukweli kwa nini Jagadi aliwatazama kwa jicho lile.

“Watu wana mambo ya Kiswahiliswahili, huwezi kuwatazama watu kwa jicho la hivyo,”Vivian alisema na kuendelea na zoezi lake la kutazama asali huku mazungumzo yakiendelea.

Muda wa kikao uliwadia na watu wote walijumuika pamoja kwenye meza kubwa na ya kisasa kabisa, tayari kwa kujadili bidhaa ya siku hiyo. Mwenyekiti wa siku hiyo aliitisha kikao na wajumbe wakawa tayari. Vivian na Bigambo walikaa pamoja, lakini macho ya wajumbe wengi wakiwa wanaume hayakubanduka kwa wawili hao.

Kikao kiliendeshwa haraka na shughuli zingine zikaendelea. “utanitafuta baadaye tukutane kwa ajili ya kuzungumza,” Vivian alimwambia Bigambo ambaye hadi wakati huo walikuwa wamekolea kwenye urafiki mkubwa.

“Poapoa, nitakutafuta,” Bigambo alijibu haraka kisha kuendelea na majukumu yake, ambapo Vivian naye alitoka na kwenda kwenye mizunguko yake ya kusaka matangazo kwenye makampuni mbalimbali mjini.
Siku nzima Bigambo alishinda na furaha isiyoelezeka. Uzuri wa Vivian ulikuwa umetikisa kabisa ukuta wa ubongo wake, moyoni alitamani jioni ifike mapema ili awasiliane na Vivian kabla ya kukutana na kufanya naye mazungumzo ya kuupendezesha moyo.

Kazi zilifanyika. Hatimaye jioni ikawadia na Bigambo alimpigia simu Vivian ili kujua mahali alipokuwa.

“Ndiyo nimefika hapa River- Side, wewe uko kwa wapi?” Vivian alimuuliza Bigambo na kusikilizia jibu lake ili aone kama ataweza kumsubiri au atachelewa.

“Ndiyo najiandaa kutoka ofisini, lakini sitachelewa sana mama,” Bigambo alisema na kunyanyuka kitini kwake kwa ajili ya kujiandaa kuondoka.

“Mbona bado uko mbali sana na mimi nataka niwahi nikapike au tuonane kesho basi,” Vivian alijibu ingawa hakuwa na msimamo sana juu ya pendekezo lake la kuonana siku inayofuata.

“Hapana V, nafika sasa hivi mama kwani nitachukua bodaboda ili nikuwahi, sawa?” Bigambo alikoleza wakati akishuka ngazi za ofisini kuelekea chini tayari kwa kuchukua usafiri ili amuwahi Vivian.

“Basi jitahidi si unaona muda nao umesonga na hivi nilivyochoka na mizunguko ya leo ndiyo basi kabisa,” alichagiza Vivian kisha kukata simu.

Bigambo alitembea haraka hadi kuwafikia watu wa bodaboda na kuelewana na mmoja wao ampeleke River- Side. Dakika ishirini baadaye Bigambo alikuwa ameshafika River-Side.

Uko upande gani?” Bigambo aliuliza baada ya Vivian kupokea simu.

“Nimesimama kwenye hii stendi ya magari ya kwenda Makoka, hapa mwanzoni karibu na bucha, ukisogea utaniona nimesimama karibu kabisa na vijana wa bodaboda,” Vivian alisema.

“Okey, sikiliza…”

“Ndiyo.”

“Rudi nyuma kidogo.”

“Halafu.”

“Mkono wako wa kulia kuna baa moja inaitwa kwa Mama John, karibu tu na mahali uliposimama, utanikuta hapa.”

“Sawa,” Vivian alijibu na kuanza kurudi nyuma kama alivyoelekezwa na Bigambo.

Muda mfupi baada ya maelekezo hayo, Bigambo na Vivian walikuwa wamekaa meza moja wakitazamana kwa nyuso za furaha na uhuru wa nafsi.

“Nimechelewa?” Bigambo aliuliza japo moyoni aliamini kabisa kwamba swali lake halikuwa dhahiri kwani alitumia muda mfupi sana kutoka ofisini Sinza-Kumekucha hadi hapo River-Side.

“Wala,” Vivian alijibu kwa sauti ya chini na aibu za kikekike zikiutawala uso wake.

“Jamani karibuni,” ilikuwa ni sauti ya mhudumu akiwasikiliza kwa kinywaji.

“Mimi nipe Dompo na huyu nadhani Savanna au mama?” Bigambo aliagiza kwa mbwembwe kwani siku hiyo alikuwa vizuri mfukoni kutokana na posho ambayo huwa wanapewa kila wiki kazini kwao, alikuwa nayo, pia jioni ya siku hiyo alikutana na mkurugenzi mlangoni wakati anaingia ofisini na kupewa zaidi ya shilingi elfu 40 ikiwa ni pongezi kwa kufanya kazi nzuri sana jana yake.

“Sawa,” Vivian aliinama kuashiria kabisa kwamba Bigambo alikuwa ameotea aina ya kinywaji akipendacho.

Mhudumu aliondoka kufuata vinywaji.

“Bigambo bwana,” Vivian alisema bila kumalizia sentensi yake.

“Vipi tena Vivian?”

“Wewe mtundu sana jamani.”

“Kawaida mama.”

“Nikuulize kitu?”

“Uliza tu Vivian, sidhani kama kuna swali utauliza halafu nisiwe na majibu yake.

“Umejuaje kama napenda kunywa Savanna?”

“Nimeotea tu jamani, nimekosea?”

“Hapana, basi tu nimependa,” Vivian alisema na kuachia kicheko cha kukenua meno bila kutoa sauti.

Vinywaji vililetwa na kuwekwa mezani. Wateja wa jirani wakawa wanaitazama Dompo ya Bigambo kwa kuisindikiza kwa macho kabla haijatua mezani kwa wahusika.

“Karibuni jamani,” mhudumu aliwakaribisha kwa bashasha kubwa huku akifuta meza kwa uchangamfu mkubwa.

Vinywaji vilianza kunywewa na hadi wakati huo si Bigambo wala Vivian aliyefungua mdomo kumwambia mwenzake kwamba anamhitaji

“Ila Bigambo wewe ni mwanaume wa tofauti sana,” Vivian alianzisha mazungumzo, tayari akiwa na Savanna tatu kichwani huku Bigambo akiwa ameshabugia glasi zaidi ya nne za kinywaji chake. Wote walishaanza kuchangamka kwa vileo.

“Kwa nini Vivian?”

“Mchangamfu na mtu unayejali sana,” Vivian alisema huku akimpa Bigambo mkono wa shukrani lakini kutokana na umbali uliokuwepo mkono ulipelea na kutaka kuanguka kutokana na kuegemea sana wakati wa kutoa mkono huo.

“Ooh, pole sana Vivian,” Bigambo alisema.

“Asante.”

“Sogea huku,” Bigambo alisema huku akiweka kiti kingine karibu kabisa na mahali alipokuwa amekaa na kumtaka Vivian akaribiane naye ili waweze kuongea kwa uhuru zaidi. Hilo halikuwa na kipingamizi na Vivian alilitii mara moja ambapo sasa walikaa kwa ukaribu mkubwa ambao ilikuwa rahisi kwa kugusana kwa wakati wowote na mahali popote.

“Unajua Vivian,” Bigambo alisema huku akipekea mkono wake wa kulia kwenye mapaja ya Vivian akitegemea pengine atakutana na upinzani mkubwa lakini hali haikuwa hivyo na badala yake Vivian alitulia kama anayesikilizia jambo.

Bigambo kuona hivyo, akazidisha mbwembwe ambapo sasa alianza kuutembeza mkono kwenye mapaja ya Vivian kwa mikogo na mtindo wa kutekenya, hali ambayo ilimfanya Vivian kufumbafumba macho na kuweweseka kwa uwazi kabisa huku naye akijisogeza zaidi kwa Bigambo. Vivian hakukomea hapo, naye alianza utundu wa kiaina kwa kumshika Bigambo maeneo ambayo yalimfanya adate.

Vinywaji viliendelea kunyweka. Bigambo alikuwa akikaribia kuimaliza Dompo na tayari kichwani walishaanza kuwa wawili.

“Vivian,” aliita Bigambo huku akimtazama usoni.

“Bee…”

“Nataka nikueleze ukweli kabisa kutoka moyoni.”

“Sema tu B.”

“Nataka tuingie ndani tukazungumze kwa uhuru maana macho ya watu.” Bigambo alisema na kushindwa kufunguka kwa uwazi.
“Jamani Bigambo huko ndani si ndiyo tutazaa na mengine?”

“Mengine kama yapi jamani?”

“Aaah, unajua bwana.”

“Hapana, hatuwezi kufanya chochote kwa leo zaidi ya kuwa na uhuru tu,” Bigambo alisema huku akizungusha mkono wake kiunoni kwa Vivian ambapo alijikuta akigusa vitu vigumu viamshavyo hisia za ndani kabisa za mwanaume yeyote rijali.

“Sa…saaawa Bigambo lakini tusifanye looo….loteee,” Vivian aliitikia kwa maneno ya kukatakata kwa maana ya kuzidiwa na vitu viwili ambavyo ni Savanna na kule kushikwa kiunoni na Bigambo.

Walinyanyuka na kuingia ndani ya baa hiyo ambapo kwa upande wa kushoto kulikuwa na gesti.

Walichukua chumba kimoja na kuzama ndani ambapo si Vivian wala Bigambo aliyekuwa na uwezo wa kujizuia kwa lolote.

“Bigambo,” Vivian aliita na kujiegemeza zaidi kifuani kwa Bigambo huku akihema kwa pupa ikiwa ni pamoja na kuendeleza utundu wake mwilini kwa Bigambo muda mfupi tu baada ya kuketi kitandani.

Kuona hivyo, Bigambo alijiweka sawa na kumgeukia Vivian. Akanyoosha mikono na kuyaparamia maembe mawili na kufanya kama anayabonyeza ili kuona kama yameiva na yanafaa kuliwa.

Vivian aliruka na kutoa kilio kilichomfanya Bigambo aangue kicheko cha nguvu.

Acha mambo yako bwana, ngoja niondoke,” Vivian alisema huku akikanyaga mguu kwenye kigingi cha kukanyagia kabla ya kukaa vyema kwenye kiti cha pikipiki, ambapo yule kijana hakuwa na muda wa kupoteza zaidi ya kutia gia na kuondoka kwa kasi na kumuacha Bigambo akikodoa macho huku akicheka na kujisifia moyoni kwa namna ambavyo ameweza kumpata Vivian kwa urahisi na wepesi wa namna hiyo. Kwa upande wa Vivian, kichwani alikuwa na maswali mengi ambayo hayakuwa na majibu kwa wakati huo. “Hivi kweli mimi Vivian nimekuwa mtu wa kupatikana kwa mwanaume kirahisi namna hii? Ama kweli Bigambo ni kiboko lakini hata hivyo amesaidiwa sana na utundu wake pamoja na ile hali ya kunijali, maana nina siku nyingi sana sijaoneshwa upendo wa namna hii kwenye mapenzi, Bigambo ananifaa sana kwenye maisha yangu ya ndoa, tena ni mtu mwelewa kwa mambo mengi ya kimaisha,” Vivian alikuwa akiwaza kabla ya kufika nyumbani kwake ambpo alikuta mtu amesimama wima akimngoja kwa hamu na shauku kubwa.

 VIVIAN alishtuka sana, kitendo cha kuona mtu amesimama wima mlangoni mwake, kilimgutua kutokana na ukweli kwamba hakutarajia kabisa, licha ya kwamba hadi wakati huo hakuwa amejua ni nani alikuwa amesimama mlangoni kwake. “Aaah, jamani umenishtua sana sasa mbona hujaniambia kama unakuja au simu yangu huna?” Vivian alisikika akimlalamikia mtu huyo baada ya kujua ni nani. Jamaa aliyekuwa amesimama mlangoni kwa Vivian alikuwa mzazi mwenzake na mwanamke huyo, ambaye uhusiano wao ulishaanza kuyumba ingawa ana haki zote za kuja nyumbani kwa Vivian wakati wowote kwa lengo la kumjulia hali mtoto ingawa wakati mwingi huwa yuko shule.

“Kwani jamani kila nikija hapa ni lazima nitoe taarifa au kuna mabadiliko mapya tena kwenye mji huu, halafu muda kama huu unatoka wapi Mama Edson au unataka kutumia mwanya wa kutofautiana kwetu kama njia ya kujipatia uhuru uliopitiliza, haiwezekani nakuambia,” mwanaume huyo alianza kutiririka maneno mengi tena bila kuzingatia vituo na koma kama siyo nukta. “Hivi Raphael, tangu lini tukaanza kuwekeana masharti nyumbani kwangu? Wewe si una kanuni ya kuja hapa Jumamosi na kuondoka Jumapili ili upate nafasi ya kuzungumza na mwanao, sasa leo kimekuleta nini? Yaani unataka nikose hata uhuru wa kazi zangu za kiofisi kwa sababu ya kukuwahi wewe ambaye sina mkataba na wewe zaidi ya kuja hapa kumjulia hali mwanao?”

Kwanza nataka tuanze utaratibu mpya wa kumsalimia Edson, kwani kwa mtindo huu hapana kabisa jamani, aaah,” Vivian naye alijibu kwa maneno mengi na sentensi ndefu zenye kuchosha kusikiliza. “Utaratibu gani unaotaka uanzishe kuhusu mimi kumjulia hali mwanangu?”

“Uwe unakuja na kuondoka, masuala ya kulala hapa wakati mimi na wewe siyo mke na mume sitaki tena kwa kweli,” Vivian alikazia tena huku akiwa amesimama wima karibu kabisa na mwanaume huyo ambye jina lake ni Raphael kama alivyomtaja. “Unasemaje wewe nyang’au?” “Unaniitaje Raphael?” “Wewe nyang’au tu, tena usinipandishie nisije nikakubadilikia sasa hivi nikakuwasha makofi bure, umenielewa?” “Babu wee, achana na mimi bwana, mwanaume gani usiulizwe, yaani kuniijia usiku nyumbani kwangu tena bila taarifa wakati namba yangu ya simu unayo halafu unataka usiulizwe, ulishawahi kutoa hata senti tano yako kwenye kulipia kodi ya hii nyumba? Tena angalia kabisa usije ukanitibua usiku huu,” Vivian alisema huku akipiga hatua kuingia ndani akimuacha Raphael peke yake nje ya mlango. Wakati Vivian akiingia ndani, ghafla simu yake iliita na alipotupa macho kwenye kioo, aliona jina la Bigambo wangu, bila kujiuliza mara mbilimbili alipokea na kupeleka sikioni tena kwa sauti ya kudeka kulikopitiliza.

“Yes, baby wangu jamaniiii,” Vivian alianza kwa maneno hayo huku akizidisha kuibana sauti yake isitoke kwa ufasaha kwenye mdomo na badala yake ibanane kwenye zile tundu mbili za pua. “Niambie mama.” “Nipo baby wangu, niambie unafanya nini kwa sasa?” “Niko tu nyumbani Vivian, wewe umeshafika,” Bigambo aliuliza akiwa amekaa ndani kitandani kwake, muda mfupi baada ya kutoka bafuni kujiweka sawa kwa uchovu wa mechi kali aliyotoka kupiga na Vivian. “Ndiyo naingia sasa hivi lakini kuna mtu ameniudhi sana baba yangu.”

“Nani tena huyo jamani mama?” “Aaah nitakuambia wangu, kuna watu duniani wakiingia maishani mwako huwa ni kama laana na kuna wengine wakiungana na wewe maishani mwako kama ulivyofanya kwangu baba huwa ni baraka kubwa, sasa huyu aliyenikera sasa hivi ni wale watu wa kundi la kwanza nililokueleza,” alisema Vivian wakati wote huo Raphael akiwa nje akisikiliza kila kitu kilichokuwa kinazungumzwa na Vivian na Bigambo, kwani simu ya Vivian ilikuwa na sauti kubwa hata kama haijawekwa mfumo wa sauti ya nje (loud speaker). Haisra zilizidi kumpanda Raphael. Ni kweli kabisa hana uhusiano wa ndoa na Vivian baada ya kuachana kwa tofauti za kibinadamu na kukubaliana kulea mtoto wakiwa mbalimbali na kisha baadaye kuzaa suala la kulala pamoja baada ya siku moja kunywa pombe na kupitiliza ambapo waliamua kukumbushia penzi lao na kuanzia siku hiyo walianza tabia ya kulala pamoja kila Raphael alipokwenda kumjulia hali mwanaye.

“Unajua nitaonekana mwnaume mjinga sana kama nitatoka hapa bila kumuwasha japo vibao viwili huyu mwanamke, hata kama siishi naye lakini heshima ya kwamba nimezaa naye inabaki palepale na anapaswa kuniheshimu na siyo kunioneshea dharau za wazi namna hii kwa kuzungumza na wanaume kwenye simu ilhali anajua kabisa mimi nipo hapa,” aliwaza Raphael huku akijiandaa kuingia ndani. * * * Wakati Vivian akizungumza na simu, alifunga mlango kwa komeo wakati Raphael akiwa amezama kwenye lindi la mawazo mengi, hivyo hakushtukia wala kujua ni saa ngapi Vivian alifunga mlango wa kuingilia ndani ya nyumba hiyo yenye chumba kimoja na sebule ukichilia mbali chumba cha nje ambacho kiko maalum kwa ajili ya wageni. “Sasa baby, unaonaje kama nitapika kwanza ndipo tuongee baadaye nikiwa kitandani mume wangu?” Vivian alisema akimwambia Bigambo kupitia simu, katika kumalizia mazungumzo yao ya wakati huo. “Sawa mama na mimi ngoja nikaangalie chakula huko nje ndipo nije nilale.”

“Jamani baby, hivi huwa haupiki?” “Sipiki na sina mpango huo.” “Ndiyo maana hunenepi mume wangu, sasa hivi nimeingia maishani mwako nitahakikisha unanunua vyombo kama huna ili niwe nakuja kukupikia mwanaume wangu, sawa baba?” “Mmmh…,” Bigambo aliishia kuguna. “Unaguna nini?” “Si maneno yako jamani.” “Yamefanyaje?” “Hayo ya kunipikia, hakika nitanenepeana sana.” “Sana, huo mwili siyo
wako.” “Sawa, tutaona mama.” “Okey, baadaye basi baba, nitakutafuta nikiivisha.” “Sawa mke wangu,” Bigambo alimalizia na maneno hayo bila kujua kwamba anampa wakati mgumu sana Vivian ambaye alikuwa amempenda kupitiliza kutokana na mavituz kama siyo majambozi ambayo alikuwa amemuonesha muda mfupi uliopita, kwa hiyo hata ile jeuri ya kumjibu maneno makali Raphael ilitokana na kuvimbishwa kichwa na penzi tamu la Bigambo. Raphael alihamaki baada ya kuusukuma mlango na kugundua kwamba umeshafungwa kwa ndani, ni hapo ndipo hasira yake ikazidi kupanda maradufu.
“Wewe Vivian wewe, hivi unawezaje kunifungia nje wakati unajua kabisa niko hapa kwa ajili yako?” Raphael alianza kulalama tena huku akiutingisha mlango kama anayetaka kujiridhisha kama kweli Vivian alikuwa amemfungia kwa nje. “Bab wee, umekuja kwa ajili yangu au kwa ajili ya mwanao na unajua kabisa kwamba siku kama hizi anakuwa yuko shule, mwenzangu labda ulikuwa na safari zako ndiyo maana ukaamua kunishtukiza kuja kwangu bila kunitaarifu, halafu nakuuliza na badala ya kujibu kistaarabu eti unaanza kunipandishia maneno ya jeuri ya kimfumo dume, sasa wewe si ulianza, mimi namalizia ukurasa,” Vivian alisema huku akitweta na kuhema. Raphael alirudi nyuma na kuukanyaga mlango kwa nguvu huku akitamka maneno ambayo yaliwafanya hata majirani washtuke na kuamka kabisa ili kuja kutuliza soo la varangati ambalo alikuwa amelianzisha Raphael nyumbani kwa Vivian

WATU walijaa, wakiwemo majirani na wengine wapita njia ambao walivutiwa na varangati la Raphael nyumbani kwa Vivian. “Jamani kuna nini tena hapa?” ilikuwa ni sauti ya mjumbe wa nyumba kumi, ambaye kiumri alikuwa mzee wa makamu lakini mwenye kuogopeka sana mtaani kutokana na utemi wake kwani alikuwa ni mstaafu wa jeshi mojawapo la ulinzi na usalama hapa nchini.

“Mzee wangu mimi hunijui eti,” Raphael alidakia huku akiachana na mlango na kumsogelea mjumbe, ambaye alikuwa amejiandaa kwa lolote lakini lengo kubwa likiwa ni kuamua kesi na makelele yale. Kabla mjumbe hajajibu chochote, Vivian alitoka ndani akiwa amefura kama mbogo jike aliyeibiwa watoto mwituni.

Hakutaka kuuliza chochote, mkononi alikuwa na mwiko ambapo aliuinua na kumpiga nao kichwani Raphael, ambaye aliudaka na katika kunyang’anyana huku damu nyingi zikimchuruzika, wote wawili walijikuta wakipelekana hadi chini na kuanguka kama mzigo wa viazi vitamu. “Mshenzi kabisa wewe, niacheni nimuoneshe adabu mbwa koko huyu anayelazimisha mapenzi ki-nguvu,” Vivian sasa alikuwa amechanganyikiwa na kwa wakati huo alikuwa amedhamiria kuzua ugomvi wa aina yake na alikuwa tayari kwa lolote hata kama ikiwa ni kulala polisi.

“Jamani mbona mnatiana aibu hapa?” mjumbe alisema huku akitumia nguvu zake zote kuwaachanisha Raphael na Vivian. Wakati Vivian na Raphael wameangushana chini, Vivian alitumia mwanya huo kupenyeza kisawasawa mkono wake wa kushoto na kulishika shina la makao makuu ya mkuu wa kaya wa Raphael na kuanza kuyakamua vilivyo, kitendo kilichomfanya Raphael kunyoosha mikono juu akiomba yaishe na kwamba hatarudia tena kufanya chochote. “Nasema achaneni vinginevyo nitatumia nguvu na mamlaka yangu kuingilia ugomvi huu na mnajua hatutamaliza salama,” alisema mjumbe na kwa sauti hiyo wote wawili waliachiana huku Raphael akiendelea kuvuja damu nyingi kichwani na mwili ukiwa umegwaya kutokana na aina ya mkabo aliofanyiwa na Vivian.

“Mjumbe, huyu mwanaume ana matendo mabaya sana na mimi simtaki kuzaa naye isiwe tabu, ni kweli nyote mnajua kabisa kwamba kila mara huwa mnamuona anakuja hapa na kuondoka, yote hayo ni kwa sababu ya mtoto wake ambaye huwa anakuja kila Jumamosi na kuondoka Jumapili, sasa hivi sitaki awe anakuja kwangu na kulala,” alisema Vivian huku akihema kwa nguvu kabla ya kuendelea…

“Leo amekuja bila kunitaarifu, nimekuta amesimama hapa utafikiri mwizi na nilipomuuliza kulikoni aje bila kunitaarifu kupitia simu yangu eti hilo ndilo kosa langu na sasa hivi ameharibu mlango wangu, mimi sitaki kabisa na leo sijui itakuwaje, anitengenezee mlango wangu ndipo aondoke na kuanzia leo sitaki kumuona nyumbani kwangu, kama ni mtoto nitalea mwenyewe,” alisema Vivian na kumtazama mjumbe kama anayesema; “sijui unasemaje mjumbe kwa hilo.”

“Jamani, mimi sitaki kabisa ugomvi na huyu mwanamke, niko tayari kutengeneza mlango na nitakuwa nakuja kumsalimia mwanangu kila Jumapili na kuondoka,” alisema Raphael huku akiingiza mkono mfuko wa nyuma ambapo alichomoa noti nyekundu kama kumi na kumkabidhi Vivian ambaye alianza kulegeza na tabasamu likaonekana kwa mbali.

“Sawa, hata mimi sina shida na chochote lakini mzazi mwenzangu amenikosea na mimi sijawahi kumkosea heshima kabisa na hata yeye ni leo tu lakini kama alivyosema kwamba yaishe basi na yaishe kweli na mimi anisamehe kama kuna mahali nimemkosea na kumvunjia heshima,” alisema Vivian na kuwashangaza watu waliokuwepo kweye tukio hilo kutokana na kubadilika ghafla kwa msimamo wake, kwani mwanzoni alionekana kutokuwa na masihara hata kidogo, lakini baada ya kupewa kiasi kikubwa cha pesa na mzazi mwenzake, alibadilika ghafla sana na kuonesha furaha na huruma ambazo zilikuwa zimemezwa na harufu za noti!

“Sawa, kama mmeamua kumaliza wenyewe aibu hii mimi nadhani hakuna shida ingawa mngeweza kukaa wenyewe na kuelewana kuliko kama hivi mmejaza watu na kuwapa faida ambayo haikuwa na maana yoyote,” alisema mjumbe na kumalizia kwa msonyo huku akijiandaa kuondoka lakini Raphael akawahi kutupia neno la mwisho.

“Basi mjumbe utusamehe sana kwa haya yote na usumbufu, kuna wakati binadamu tunapitiwa kwa makosa mengi sana kama hivi, tusamehe wanao, nimejifunza mambo mengi kwa muda mfupi huu lakini kubwa ni kuwa na uwezo wa kujizuia na kukubaliana na matokeo halisi, kama hivi mimi nalazimisha mapenzi,” alisema Raphael. “Haina shida, mimi naondoka bwana nyie malizieni hayo mengine, sasa wewe Vivian utapata wapi fundi wa mlango sasa hivi,” mjumbe aliuliza huku akijiandaa kuanza kupiga hatua kuondoka.

“Kuna kijana mmoja yuko pale nyuma naona wameenda kumuita naamini ataw

eza kurekebisha maana ni komeo tu ndilo limelegea na kung’oka misumari miwili ya kulishikia,” alijibu Vivian huku akimtazama Raphael. Raphael aliingiza tena mkono mfukoni na kutoa noti nne nyekundu na kumkabidhi mjumbe huku akiendelea kumuomba msamaha tena mjumbe kwa usumbufu mkubwa na kujaza watu mtaani kwake. “Oooh, asante sana mwanangu kwa hapa sasa hakuna shida, sasa wewe si utakwenda kutibiwa kidogo au unasemaje?” mjumbe naye alichangamka sana baada ya kushikishwa wekundu wanne na Raphael, meno yote yakawa nje huku bashasha zikiongezeka kwa sana.

“Ndiyo, ngoja niende pale pharmacy nikawekewe bandeji maana sijaumia ni kijeraha kidogo tu cha kupigwa na mwiko, lakini sijaumia sana,” alisema Raphael huku akijikung’uta suruali yake kwa vumbi alilogalagazwa na Vivian. “Ni vizuri kama tutabadilishana mawasiliano maana hakuna ubaya kwa kujuliana hali,” mjumbe ambaye ukiondoa ubabe na umahiri wake mtaani hapo, sifa nyingine aliyotambuliwa na wakazi wa eneo hilo ni upigaji wa masanga, yaani unywaji wa pombe kupitiliza ingawa hakuwa mtu wa fujo akiwa ameweka mambo hayo kichwani zaidi ya kuwa mtu wa utani na maneno mengi yenye elimu ndani yake, aliendelea kushadadia na kujiweka kwa ukaribu zaidi na Raphael kwa lengo la kujihakikishia ulaji kwa nyakati zijazo. “Haina shida mzee, chukua namba yangu,” alisema Raphael na kumtajia mjumbe namba zake
za simu kabla ya kuondoka na kuwaacha watu wa eneo hilo wakijadili mambo mbalimbali kuhusiana na tukio lake na Vivian. Watu walitawanyika, sasa Vivian alibaki na fundi wa mlango ambaye alikuwa akiukagua mlango wote ili ajue pa kuanzia. “Sasa fundi itakuwa ni kiasi gani jamani?” Vivian alimuuliza huku akimtazama kwa umakini kijana huyo. Ni kweli aliwahi kumuona lakini hakuwahi kuzungumza naye na kuna siku fundi huyo aliwahi kukutana na Vivian uchochoroni na kumsalimia lakini Vivian hakuitikia licha ya salamu hiyo kutolewa kwa sauti ya juu kabisa na fundi. “Hapana, hebu ngoja kwanza nitengeneze ndipo nikuambie ni kiasi gani maana kwa sasa naweza kusema kumbe nikawa nimekupiga sana au umenipiga, kazi ikikamilika nitapima na kisha kukupa bei yangu, lakini naamini kabisa haitakuwa kubwa. “Sawa, ngoja nichukue bia moja au mbili hapo jirani nijipoze kidogo maana kwa varangati hili dah,” alisema Vivian huku akimtazama fundi. “Kwani kimetokea nini anti, maana sikuwepo nyumbani na nimerudi muda huu na kusimuliwa kwa juujuu tu,” fundi aliuliza.“Wewe acha tu, nyie wanaume mna maana nyie basi,” alisema Vivian. “Sasa ukisema hivyo utakuwa umekosea.” “Basi nitakuja kukusimulia nikirudi, wewe unakunywa bia gani nikuletee japo mbili za kutuliza koo lako?” “Mimi anti huwa sinywi bia zaidi ya Nyagi tu,” fundi huyo ambaye jina lake halisi aliitwa Jisu alisema huku akimtazama Vivian kwa macho ya kudadisi atasema nini. “Mmmh, basi sawa ngoja nikakuletee kubwa moja kabisa ili uburudike vya kutosha, unachanganya na soda au maji?” “Vyovyote hata kavu huwa napiga,” alisema Jisu na kumfanya Vivian acheke na kuondoka kwenda kwenye grosari.

ITAENDELEA

HAA! KUMBE TAMU – 5

Image result for love in africa photo shoot


Chombezo : Haa! Kumbe Tamu
Sehemu Ya Tano (5)

“Oya tuna kazi nyingi bwana. Tuchape mzigo, tulele mbele. Hayo mawaidha yako, kawape wachezaji wa Aseno.” Aliongea jamaa mmoja huku akianza kufungua mkanda wa suruali yake.

“Jamani naomba msinibakee.” Subira aliongea kwa sauti ya unyonge huku machozi yakianza kama kumlenga-lenga.

“Jamani msinibakee, nyooo.” Makasi ambaye alikuwa kakamata kamera aliongea huku kabana pua yake kwa kidole cha shahada. “Nani kakakwambia unabakwa? Sisi hata hatuna tabia hiyo. Cha msingi ukitakata tusitumie nguvu, sikiliza tutakachokwambia.”Makasi akampa rai kimwana yule.

“Nawaombeni jamani mnisamehe, Mimi siwezi.” Subira aliongea huku akitoa machozi na kuwafanya wanaume wale watulie kwa muda huku roho zikiwasuta kwa kitu wanachotaka kukifanya.
Yaani kuletewa nyodo tu! Ndio walipe kisasi? Je, Watalipa visasi kwa wanawake wangapi? Na je dunia nzima ingekuwa ina-nyodo kama za mwanadada yule, unadhani UKIMWI na ubakaji vingeisha?. Sasa kwa nini wao wanataka kulipa ujinga kwa ujinga? Ni kwa nini?
Walijiuliza mara mbili-mbili lakini hawakupata jibu na hata yule ambaye alikuwa kaanza ufungua suruali yake, alianza kuifunga taratibu. Aliona wazi kabisa kuwa lile chozi la binti yule litamtafuna kama akiamua kufanya ujinga ule.
Ni dhambi ambayo ingempeleka motoni bila hata kuuliza. Na hakika ilikuwa ni dhambi.

Baada ya kimya kifupi huku kimya hicho kikimezwa na mafua ya Subira, ndipo uamuzi ulipita ni lazima Subira alipe gharama walizogharamikia lakini si kwa kufanya naye mapenzi bali kumpiga picha akiwa uchi.

Adhabu hiyo ilienda sanjari na kupiga picha na mwanaume. Picha zikawa picha katika chumba kile. Alipoambiwa rembua, alirembua na picha kupigwa. Mara aliambiwa shika kipaza sauti, naye alitii kwa kuwa kisu na fimbo vilikuwepo kama atakaidi hayo yote.
Hatimaye zoezi likaisha na cha mwisho alichoonywa ni kuacha pozi na kejeri. Endapo atafanya hivyo, zile picha zitazagaa chunya yote ile. Mwanamke akaishiwa pozi kabisa, uso ukamshuka kama mtoto aliyekamatwa anadokoa nyama jikoni.
****
Hakuna aliyejua mkasa uliompata Subira, iwe shuleni kwao , nyumbani au mtaani. Waliojua ni wachache ambao walikuwa eneo la tukio. Licha ya wao kujua, lakini walikuwa hawana vithibitisho. Ni Makasi pekee ndiye alikuwa anavithibitisho vya Subira kupiga picha za uchi pamoja na wanaume.

Kwa upande wa Subira, hakika pozi zilimuisha. Akawa si yule wa tena nyodo. Taarifa zilizagaa haraka kwa yale mabadiliko. Vijana wengi walihoji kwa nini kawa vile, jibu walilopata lilikuwa ni kwa sababu sasa anataka mume. Na pia vijana wengi walipata na njia za kumuingia, hapo ndipo walipata wasaa wa kuchezea mwili wa kimwana yule.

Wengi walipomtongoza, walikuwa wanasumbuka mara ya kwanza, lakini pale waliposema watasambaza picha zake, Subira alikuwa mpole kama barafu. Japo hata huyo aliyesema atasambaza picha zake alikuwa hana wala hajui ni picha gani, lakini Subira alimpa nafasi ili tu! Asisambaziwe hizo picha.

Subira akawa branketi la wanaume kipindi kile cha baridi. Pale alipotongozwa akawa hana jinsi. Na kuna wengine wakawa hawamtongozi bali kumvuta mkono na kumshikisha mahala, hata kwenye mti. Hapo-hapo mambo yanamalizwa.
Hali hiyo ikaendelea na ikakua zaidi ya mwanzo. Hadi nyumbani kwao wakafahamu tabia chafu azifanyazo mwana-wao. Baba akasema sana, na Subira alilia sana kwa anachofanyiwa na wanaume, lakini haikuwa mwisho wa hayo.

Baba hakutaka kumuhamisha Mkoa wala Wilaya, alitaka aone mwisho wa mwanaye ni nini. Na mwisho ulikuwa ni mbaya sana kwa kimwana yule.
Taratibu nahudhurio darasani yakaanza kupungua, kutokana na wanafunzi wenzake hasa wa kiume kushtukia kuwa ni mama huruma. Nao wakawa wanajilia tu, muda wowote na mahala popote.

Miezi sita ikakata. Mitihani ya ‘Mock’ ikaja. Mwenzake Mercy akafanya vizuri sana, lakini yeye alianguka vibaya. Mercy akawa mtu wa kumfariji kwa yaliyomkuta, hapo ndipo Subira alianza kujutia tabia zake za mapozi. Akamuelezea Mercy mambo yote ambayo yalimtokea. Mercy akawa mtu wa kusikitika.

Subira hakupenda tabia ya kuvutwa na kila mwanaume. Lakini atafanya nini na kama akiwakatalia, picha zake za utupu alizopigwa na wanaume wanne tofauti, na nyingine akionekana yupo na wanaume hao wote amewashikilia maumbile yao kwa mikono pamoja na mdomo wake, zitasambazwa na kuwafikia wazazi na ndugu zake ambao ndio msaada mkubwa katika maisha yake.
Akijidai mjanja, picha zinafika huko. Na hapo elimu na kukaa nyumbani kwa wazazi wake kutakuwa ndio mwisho. Sasa atafanyake, ikambidi awe anawapa kile roho zao zinataka. Na MUNGU alikuwa upande wake, hadi anamaliza kidato cha sita hakuwa kapata mimba wala magonjwa ya maambukizi kwa kupitia ngono.
****
Maisha kwa upande wa Mercy na Longino, yalikuwa ni furaha sana tena sana. Longino alikuwa kafanikiwa sana katika uchezaji wake mpira. Akasajiliwa na timu ya Mbeya City. Akalipwa fedha nzuri sana na akawa-tegemeo la timu ile. Hakika aliukata, Mercy akawa kama Malaika, atake nini asipate?

Jesca na mama yake, wakawa si watu wa kuhangaika sana katika maisha yao. Wakawa si wale wa kuamka asubuhi na mapema kwenda kutafuta chakula. Mama Longino akapiga magoti na kumshukuru MUNGU kwa kumpa kipaji mwanaye.

Hata matokeo ya kidato cha sita yalipotoka, Mercy alikuwa amefaulu vizuri sana kuliko Subira. Mercy alipata daraja la pili na mwenzake Subira alipata daraja la tatu ya mwisho. Hivyo Subira matumaini ya kuendelea kusoma yakamuisha kabisa.

Lakini sababu kubwa ya yeye kufeli ilikuwa ni nini? Ilikuwa ni msongo wa mawazo uliosababishwa na zile picha alizopigwa na wakina Makasi. Msongo huo ulimtafuna mwili hadi ubongo. Subira sasa akawa amefeli kidato cha sita.Hakuwa na nafasi ya kuendelea kusoma chuo na hata nyumbani kwao alionekana si kitu licha ya kupewa kila kitu pamoja na kuthaminiwa kama mtoto pekee aliyesoma zaidi ya wengine.

Hali ya Subira ikawa mbaya zaidi pale wazazi wake walipogundua kuwa alipigwa picha za utupu na ndio sababu ya yeye kufeli. Wakakata huduma muhimu za mwadada yule. Akawa haeleweki eleweki. Vile vito vya gharama alivyokuwa akivaa, vikaanza kutitia taratibu kwa kuwa alihitaji fedha za kujikimu. Aliuza vito vyake karibu vingi sana.

Hali ikazidi kuwa ngumu pale Mercy alipoenda Chuo Kikuu Cha Mtakatifu Augustino. Hakuwa na mshauri tena. Ikabidi abadili maisha yake. Kilekile kilichomuharibia masomo, ndicho aliona kinafaa kumuendeshea maisha yake.

Subira akaamua kujiuza mwili wake ili apate kipate cha kununua ‘vijiurembo’ vya kuendelea kuupamba mwili wake. Alianza kwa siri-siri lakini baada ya kupata fedha kwa kutumia kazi hiyo, akaona bora aweke hadharani mambo yake.
Tabia hiyo ikawakera wazazi wake mara kumi zaidi ya mwanzo. Wakaamua kumtimua pale nyumbani alipokuwa anaishi nao. Wakamwambia aende aonapo panafaa kufanyia kazi ile.
Hakuna aliyechukua jukumu la kumuonesha njia na kumjenga mwanadada huyu. Wazazi wake hawakupaswa kufanya kile walichokifanya. Wao kama wazazi, walitakiwa kutuliza hasia zao na kumuuliza kwa nini kaamua kufanya vile. Kama sababu ni fedha, basi wao walipaswa kutambua wamesababisha huyu binti azitafute fedha hizo kwa njia aionayo yeye.

Kwa sababu gani nasema hivyo? Ni kwa sababu wao hapo mwanzo ndio walikuwa wanampa na kumzoesha maisha ya kujipamba kwa vito vya gharama. Hivyo kama atavikosa vito hivyo katika wakati, basi ni lazima mwana wao atatafuta njia ya kupata vito hivyo pamoja na fedha.

Marafiki ambao aliwapata Subira, wakawa si marafiki wa kutembea nao hata kidogo. Walikuwa ni marafiki wa ajabu kupata kutokea katika maisha ya kawaida ya mwanadamu.
Wakazidi kujichimbia hapo Chunya huku biashara yao ikiwa inaenda vizuri kabisa. Na ni kweli walikuwa wanasoko zuri sana.

Pale walipoona pale Chunya wamechokwa, wakaingia mjini. Huko sasa kama pesa zilikuwa matunda, basi walivuna kama njugu au karanga Dodoma. Hakika walizivuna, na walivuna hasa. Hawakujua kuwa hayo yote yanamwisho na pamoja na kuwa na mwisho, yalikuwa yana ubaya wake pia. Hawakujua hilo hadi pale yalipowakuta yaliyopaswa kuwakuta.
******
Baada ya mwaka mmoja kupita. Wakati Mercy akizidi kukata mbuga kwa mafanikio makubwa katika masomo yake, Longino akawa anazidi kucheka kwa mafanikio ambayo alikuwa anayapata.
Timu kibao zilikuwa zinamuhitaji kufanya naye kazi. Lakini alichagua timu moja tu ya kufanya nayo kazi. Alisajiliwa na Azam FC, timu inayosemekana ina fedha nyingi kwa hapa Tanzania.
Wakamtoa kabisa na Mbeya kwa kumuhamishia Dar Es Salaam. Mama alikataa kuhama pale Mbeya kwa kuwa kiwanja na nyumba yao, vilikuwa mali ya mume wake. Hakupaswa kuviuza wala kuviacha. Alichomuomba Longino ni kumuachia pia mtoto wake Jesca akae-naye kwa kuwa akiondoka na huyo, yeye atabaki mpweke.

Longino alimuelewa mama yake vya kutosha na alipafanya pale nyumbani kwao paoekane ni nyumbani kwa mchezaji mwenye sifa za kuitwa mchezaji. Akaparemba na kupawekea kila kitu kinachoenda kwa wakati.

Akaenda kuanza maisha mapya Dar es Salaam. Huko akapangiwa nyumba ya maana na kulipiwa kila kitu kilichomuhimu kwa kila nyumba ya nyota kama yeye.
Mercy naye hakuwa nyuma kwenda kumtembelea mpenzi wake. Na kila walipokutana walikuwa ni kuifurahisha miili yao kadiri walivyoona ni sawa.

Mwaka wa pili ukaingia. Mafanikio kwa Longino yakazidi kuwa makubwa na kumfanya aanze kuandaa maisha yake kwa kununua viwanja Mbeya na Dar es Salaam. Cha Mbeya alianza kufanya ujenzi mara moja. Huku cha Dar akikiweka kama dharura tu.

Kwa upande wa Subira, naye biashara ilinoga zaidi pale alipoamua kuhamia Dar es Salaam. Na kweli alizidi kuwa mwanamke mrembo. Zile kemikali alizokuwa anazitumia, ukichanganya na joto la Sinza alipoweka makazi yake, nani angemjua kuwa katoka Mbeya? Mtoto akawa mzungu wa Kinyakyusa.

Huko Dar akawa ni mtu wa kulala na watu wenye fedha zao. Fedha za kuweza kuhamisha hata baridi ya Mbeya na kuileta Dar es Salaam, hao ndio Subira alikuwa anawahitaji. Na aliwapata vya kutosha, lakini mwisho wake ulikuwa ni kuambulia magonjwa. Magonjwa ya hatari kabisa, ambayo baadhi yalipona na mengine yalikuwa sugu kwake, hayakuweza kupona. Subira aliunasa ugonjwa wa UKIMWI. Ugonjwa ambao hadi sasa hivi unasemekana ni laana ya Mwenyezi MUNGU kwa wanzinzi.

Subira akanyakua gonjwa hilo. Na yeye alipogundua kalikwaa gonjwa hilo, akaamua kuwapa wale waroho wa wanawake. Akawaambukiza vijana na wazee, huku akizidi kuchukua fedha zao kama zake.
*****
Mwaka wa tatu ulipoingia. Mercy akiwa hajui maisha ya rafiki yake, akakamata mimba. Mimba ambayo walipanga wawili iingie katika maisha yao. Longino akawa mtu wa furaha kuliko maisha yake yote. Mara moja akaona huo ndio muda muafaka wa kufunga ndoa na mwanamke aliyempenda, mwanamke wa maisha yake.

Baada ya miezi mitatu tangu mimba ile iingie kwa Mercy, Longino akatuma Washenga ambao walipeleka taarifa za kuomba ndoa nyumbani kwa akina Mercy. Wazazi walikuwa hawana kipingamizi hasa ukizingatia Mercy alishakuwa mtu mzima na kama shule alibakiza miezi michache kuimaliza.Hivyo walimpangia Longino mahari ya kulipa, naye Longino akafanya hivyo haraka iwezekanavyo.

Mimba ya Mercy ikiwa tayari imeonekana. Akarudi nyumbani kwa ajili ya kujiandaa na ndoa. Ndoa ambayo hawakupenda iwe kubwa kama ni ndoa ya wasanii wakubwa wa Marekani.

Mercy akafika Chunya na familia yake ilifurahi sana kumuona. Na hakika alizidi kupendeza. Na hata Longino naye aliporudi Chunya, alipokelewa kwa furaha sana na familia yake.

Jioni moja, Mercy na Longino, walipata ujumbe kuwa wanaitwa na Subira. Kwa kuwa walikuwa wamemsahau kabisa, iliwabidi wamnunulie vitu vidogo-vidogo kama zawadi kwake.
Walifika nyumbani kwa akina Subira na moja kwa moja walikaribishwa katika chumba kimoja kipana sana. Lakini walipoingia, hawakuamini macho yao kwa kile walichokuwa wanakiona katika kitanda kilichokuwamo mle ndani.

Alikuwa ni Subira, uso wake uliokuwa umekuburiwa na kemikali, ulijaa madoa-doa meusi ambayo yalikuwa hayana idadi. Alionekana kama mgonjwa wa ‘black spot’, ugonjwa uliowavamia Waafrika kipindi fulani cha Ukoloni. Walikuwa wanakumbwa na madoa mwili mzima, na ndivyo Subira alionekana hivyo.

Licha ya kuonekana na madoa hayo, pia binti yule alikuwa kaisha. Amekonda, kabakiwa fuvu pekee. Hakika aliyekuwa anamuona kwa mara ya kwanza, hakusita kudondosha machozi kwa ule mwili ulivyokuwa umekwisha.

“Vipi Subira? Mbona hivi rafiki yangu?” Mercy aliongea kwa uchungu huku akifuta machozi yaliyokuwa yanamtiririka. Na wakati huo alipiga magoti karibu na kitanda alichokuwa kalala rafiki yake kipenzi.

“UKIMWI Mercy, UKIMWI unanichukua mimi.” Subira aliongea kwa shida huku kikohozi kikifuata baada ya maneno hayo. Alipotema makohozi hayo yalikuwa yamechanganyika na usaha pamoja na damu.

Muda wote Longino alikuwa kasimama huku kaduwaa. Alikuwa haamini kama yule aliyekuwa pale kitandani alikuwa ni yule mwanadada maarufu kwa nyodo, ‘BLACK BEAUTY’ wa mtaa,. Longino chozi likamtoka bila kujitambua. Na hapo ndipo aligundua bado anampenda sana yule mwanamke.

“Longino samahani sana kaka yangu. Sikujua kama una-upendo wa kweli namna hii. Kweli una-upendo sana wewe mwanaume, natamani mimi ndiye ningekuwa Mercy sasa hivi.” Subira alizidi kuyatoa maneno hayo kwa shida.
Longino alisogea pale alipo Subira, naye akapiga magoti kama alivyofanya Mercy.

“Wewe ndiye mwanamke niliyekupenda Suby. Na bado nakupenda sana tena sana, naomba utambue hilo. Na uwepo wa Mercy katika maisha yangu, ni sawa na uwepo wako. Nawapenda sana, naomba mtambue hilo pia.” Longino aliongea kwa hisia kisha akainuka kidogo na kubusu paji la uso la kimwana yule ambaye sasa kabaki fuvu.
Busu lile lilimfanya Subira achanue tabasamu la haja kisha akamgeukia Mercy na kumtania.

“HAA! KUMBE TAMU.”Alitania huku akimwangalia Mercy.

“Tamu nini sasa.” Naye Mercy alimuuliza huku akijibu pigo la tabasamu hilo.

“Busu la ‘player’.” Subira alijibu kwa mapozi na kusababisha kila mmoja mle ndani atamani mtu yule apone mara moja. “Na mtoto wako najua ni wa kike, naomba umuite jina langu tafadhali japo ni la Kiislamu.” Aliongeza Subira.

“Usijali ‘best’ limepita hilo.” Mercy alijibu huku akimfuta jasho lililokuwa linamtoka Subira kwenye paji la uso wake.

“Long nibusu tena basi.”Subira aliomba busu lingine kwa Longino na Longino bila kusita alifanya hivyo na kuzidisha tabasamu la Subira.

“HAA! KUMBE TAMU.” Subira alitamka tena maneno hayo. “HAA! KUMBE TAMU, kumbe tamu sana, ni tamu sana.” Alizidi kuongea huku sauti yake ikizidi kufifia. “Kumbe tamuuuu.” Ni kauli ya mwisho ilitoka Subira na hapohapo umauti ukamchukua.

Subira akaaga dunia baada ya ugonjwa wa UKIMWI kumtafuna sana mwili wake. Hakufata ushauri nasaha ambao daktari alimpa baada ya kugundundua kaathirika. Yeye aliona njia bora ni kuusambaza ugonjwa ule kwa wengine, na kweli alifanikiwa kwa hilo. Hakufa peke yake.

Lakini kuathirika na virusi vya UKIMWI haimaanishi kuwa ndio kifo chako kimefika. Kama ukifata ushauri wa Daktari na washauri nasaha mbalimbali, basi utaishi muda mrefu.
Ni wakati wa Watanzania pamoja na bara la Afrika kiujumla kuamka na kutambua kuwa UKIMWI si kifo, bali ni gonjwa kama magonjwa mengine, japo lenyewe halitibiki. Elimu kubwa yapaswa kutolewa kwa vijana pamoja na wazazi ambao ndio nguzo kubwa ya vijana hawa.

Enyi wazazi, tuangalie zaidi maisha ya mbele ya vijana hawa. Jukumu la kuwafukuza majumbani kwenu kisa kabadilika tabia, si jukumu lililo sahihi. Kaa na mwanao na kisha mpe ushauri uliobora. Mfanye ajihisi kuwa yeye ni mwana-wako. Kufeli shule si kufeli maisha, mpe nguzo imara ambayo itamfanya asimame mwenyewe siku moja.

Na nyie vijana muangalie matendo yenu, yanawaumiza wazazi wenu sana. Visasi visivyo na msingi ndivyo hivyo vinazidi kuua mamia ya vijana duniani. Hamna haja ya kulipa kisasi kwa mwanamke au mwanaume aliyekukataa. Wala hakuna haja ya kulipa kisasi kwa wale waliokupa magonjwa.

Ukipata UKIMWI,ishi kwa matumaini. Ishi kwa kutegemea ushauri nasaha. PINGA VISASI, ILI UTOKOMEZE JANGA HILI.
*****
“PINGA VISASI, ILI KUTOKOMEZA UKIMWI.” Ndivyo fulana zilivyoandikwa kwenye maziko ya Subira. Wahudhuriaji walikuwa ni vijana na somo kubwa lilitolewa kwenda kwao. Somo kuhusu UKIMWI na visasi vinavyotokea baada ya mtu kujingundua kaathirika.

Hakuna ajuaye kesho. Leo ni Subira yamemkuta, na kesho yaweza kuwa wewe, mimi au yule. Kizazi chetu kinaangamia kwa gonjwa hili. Yatupasa tusimame imara kupinga na kuelimisha juu ya UKIMWI.
*****
Harusi ya Mercy na Longino ilifuata baada ya mwezi mmoja. Na kila mmoja alifurahia tendo hilo. Kule chuoni, Mercy ilibidi aahirishe mitihani ya kumaliza chuo (Post-Pone) aje kuifanya baadaye mwakani. Barua ikapita kwa Mkuu wa Chuo.
Baada ya miezi kadhaa ndani ya ndoa, kweli Mercy akajifungua mtoto wa kike ambaye bila kuchelewa alimuita jina la Subira, rafiki yake kipenzi wa Sekondari. Hata mtoto alipopewa jina hilo, aliweka vidole vyake mdomoni na kuanza kuvinyonya huku miguu yake ikicheza kwa furaha.
Hakika Subira alikuja katika mwili mwingine. Furaha mpya ikatawala katika maisha ya Longino na Mercy. Yule mwanamke waliyempenda, sasa alirudi kwa njia nyingine.

HUJUI KUHUSU MAISHA YAKO YA MBELE, HESHIMU KILA MMOJA AMBAYE UNAMUONA.

HAA! KUMBE TAMU – 3

Image result for love in africa photo shoot
: Haa! Kumbe Tamu
Sehemu Ya Tatu (3)

“ Zawadi yako ipo tu mamie, wala usiwe na wasiwasi.” Longino aliongea huku akimbwaga Mercy upande wa kushoto wa kitanda chake, na kuinuka ambapo alienda kwenye begi lake dogo na kutoa sweta lililofanana na lile alilompa mdogo wake, sema lile lilikuwa kubwa.
Alimfata na kumpa Mercy ambaye alifurahi sana kwa kupewa zawadi ile. Hakuwahi kufikiria ipo siku atapewa zawadi na mwanaume yule. Hivyo zawadi ile aliahidi moyoni mwake kuwa ataitunza hadi kifo.

“Asante Totoo, nimeipenda zawadi hii.”Mercy alishukuru na kumbusu Longino mdomoni.

“Hiyo sio zawadi niliyopanga kukuletea. Zawadi niliyokuwa na shauku nayo uione, ni hii hapa.”Longino aliongea na kutoa makaratasi mawili ya kitabibu ambayo alikuwa kayaficha mgongoni kwake na kisha akamkabidhi Mercy.

Mercy alijikuta akifurahi sana baada ya kumuona mpenzi wake hana magonjwa hatarishi kwa afya yake. Na yeye bila kutegemea, alijikuta anasimama na kuendea mkoba mdogo aliokuja nao na kutoa makaratasi kama hayo na kumapatia Longino.
“Na sisi wiki iliyopita, madaktari walikuja shuleni na kutupima magonjwa yote pamoja na mimba. Niligundulika nina malaria pekee, ila kwa kuwa ilikuwa haijaanza kunisumbua, nilionekana nipo imara. Licha ya uimara huo, nimepata tiba kwa kumeza dozi nilizopewa na madaktari.” Mercy alimueleza mpenzi wake huku akiwa ameegama katika bega la kushoto la mwanaume yule.

“Habari njema hii, sasa tujitunze tu.” Longino aliongea huku akikunja yale makaratasi vizuri na kumpatia Mercy.

Mercy aliyapokea na kuyaweka kwenye mkoba wake kisha akakaa pembeni ya Longino na kuanza kumchezea chezea kifuani kwa mikono yake laini mfano wa unga wa ngano. Hakika Longino alijisikia faraja juu ya kitendo kile.
Mercy hakuishia kucheza na kifua pekee. Alikuwa anasindikiza mchezo ule kwa sauti yake tamu na iliyojaa mahaba ya kumtoa mdudu yeyote pangoni.

“Long hata sijui nikwambiaje jinsi nilivyokuwa baada ya wewe kuondoka. Mwenzako nilipoa.” Maneno yalimtoka Mercy huku akiendelea kupapasa kifua cha Longino kilichokuwa kimevishwa fulana nyekundu wakati huo.

“Hata mimi, nilikuwa kama chizi kule kambini. Yaani nikitaka kudaka mpira, nakumbuka sura yako kwanza. Halafu nashikwa na furaha ya ajabu na kujikuta nadaka mipira kwa ufasaha kushinda siku nyingine zote.” Longino aliongea huku akimwangalia Mercy kwa tabasamu mororo la kirijali.

“Hukunifungia goli?.”Mercy aliuliza kwa hamasa.

“Aaah! Totoo kipa kazi yake kudaka bwana, magoli ni watu wengine.”Longino alimjibu huku akitabasamu zaidi ya mwanzo kwa kugundua kuwa Mercy haufahamu mpira wa miguu vizuri.

“Jamaniii, Sasa kwa nini usingenifungia moja. Basi nataka ufunge sasa hivi.”Mercy alilimlalamikia Longino na kuweka mkazo mwishoni kwa kutekelezewa ombi lake.

“Ha ha haaa. Mercy bwana. Siku nyingine bwana nitafunga.”Longino aliongea kana kwamba hajui alichokuwa anamaanisha Mercy.

“Sitakiii, nataka ufunge sasa hivi kwangu.” Mercy aliongea kwa deko huku akijaribu kuvunjavunja vidole vyake kwa haya.

“Embu acha zako bwana Mercy.” Long kama alivyozoeleka kuitwa mtaani kwao, alinguruma huku akiwa haamini anachosema Mercy.

“Mimi nataka bwana, aah.”Mercy alizidi kung’ang’ania na safari alifikia kitendo cha kumkumbatia Longino halafu mguu wake wa kushoto akaupandisha juu ya mapaja ya Longino.

Ile sketi ya mterezo aliivaa Mercy, ilipanda kiasi chake na kuachia upaja ulionona kuonekana vizuri katika macho ya Longino.
Hapo Long, alimeza funda la mate la uchu huku akijiuliza maswali kadha wa kadha, apige mzigo au auache.

Ni kweli alikuwa hajafanya mapenzi kwa muda mrefu sana, hivyo hisia za kufanya tendo lile alikuwa nazo kupita maelezo. Yaani kama hisia hizo zingewekwa mahala, basi zingejaa hata dumu la lita ishirini.
Lakini pia akili yake ilikuwa ndani ya akili nyingine. Si kwa kuwa unahisia, basi hisia hizo zikakuongoza kufanya matendo ambayo yangesababisha hasara katika maisha yako au ya mwenzako.

Kwa mfano.
Licha ya hawa kugundulika kuwa hawana magonjwa ambukizi, lakini pia ingekuwa si busara kufanya mapenzi. Si kwa sababu ilikuwa ni kinyume na sheria za dini, japo nayo ni sababu. Lakini sababu kubwa iliyomvuta Longino kutofanya tendo lile na Mercy, ni mimba zisizotarajika.
Kinga kweli zipo, lakini kwa muda ule ambao wapo na Mercy ndani, walikuwa hawana kinga hizo. Na Longino aliona kama angetoka kwenda kuchukua kinga, basi hata ule mshawasha aliokuwa nao Mercy, basi ungemuisha. Yaani angerudi na zana zake lakini ingechukua muda kumleta Mercy katika uhitaji wa kufanya tendo lile. Sasa atafanyaje? Na hayo ni mawazo yake binafsi, huenda Mercy akawa na njia bora zaidi ya kulidhishana tofauti na kufanya ngono. Jambo sahihi aliloliwaza kwa muda ule, ni kuongea naye bila woga, kwani woga saa nyingine waweza kuzaa madhara chanya.

“Unaona sahihi mimi kufanya mapenzi na wewe?” Ni swali aliloulizwa Mercy baada ya mitego kadhaa kutawala mule chumbani.

“Ni sahihi Long. Kwanza nakupenda na nipo tayari kwa chochote. Pili hakuna kinachotuzuia, kama magonjwa hatuna, na kiumri kati yetu hamna chini ya miaka kumi na minane. Hivyo sioni shida ya wewe kuingia mwilini mwangu. Labda wewe uwe na tatizo binafsi ambalo litasababisha kutoweza kuingia kwangu.”Mercy alimjibu Longino huku macho yake ya duara kama ya samaki yakizunguka na kurembuka kama kala kungumanga.

“Sina tatizo lolote ambalo litanifanya nisiingie mwilini mwako. Lakini vipi kuhusu mimba zisizotarajika? Kumbuka unasoma wewe, na mimi sina kazi ya uhakika ambayo itamfanya mwana wetu aishi bila shida. Hilo nalo haliwezi kuwa tatizo Totoo?” Longino aliweka bayana hisia zinazomkereketa kichwa chake.

“Hilo si tatizo Long. Mimi sikupita kidato hivihivi bila kunyakua chochote. Najua tarehe za kunasa mimba na ninajua mzunguko wa siku zangu vizuri sana. Nina uhakika na nikifanyacho, si kama sijielewi au nasukumwa na hisia za kimwili nilizonazo, hapana. Hisia ninazo sana, lakini hisia hizo naweza kuzirekebisha pale napohisi naweza kupatwa na tatizo.

Mfano siku ile. Nilijawa na mihemko ambayo kama angekuwa mwanamke mwingine, angefanya mapenzi. Lakini nilijitahidi kukontroo mihemko ile na ndio maana sikufanya na wewe.” Mercy aliongea kiufasaha kuhusu yeye, lakini bado Longino alitaka kujua zaidi.

“Sawa, yote nimekusikia Totoo. Lakini mimi sikujui, yaani sijui mzunguko wako wa mwezi upo vipi. Sasa nikiingia unadhani huwezi kupata mimba?” Swali lilikuwa limemtoka Longino.

“Totoo. Napokwambia najiamini na nifanyacho, yapasa wewe kujua kuwa najijua na ndio maana nimeomba uingie mwilini mwangu. Na nimekuomba ili turidhishane na si kuniridhisha mimi pekee.
Najua una mimheko ya kutosha mwilini mwako, ni nani wa kuizuia kama si mimi? Na kwanza hata huko kambini kwenu najua mnapewa fursa ya kuja kutembelea ndugu na jamaa zenu huku wakiamini kuwa mnakuja kukutana kimwili na wapenzi wenu.
Yawezekana naomba kufanya dhambi na wewe. Lakini yapasa kueleweka kuwa mimi kama mwanadamu mwingine yeyote, nimeumbwa na udhaifu wa kutenda dhambi.
Sina kusudio la kumkera muumba wangu, la!.Ila nafanya hivi kwa kuwa naamini ni wewe pekee ndiye utauingia mwili huu. Kama nikiingiliwa na mtu mwingine kwa mimi kupenda, naomba MUNGU anilaani. Na hiyo dhambi asinifutie. Nakupenda Longino, sipo mwezini. Nipe nachohitaji tafadhali.” Mercy alimaliza maelezo yake huku akizidi kumkumbatia Longino ambaye hakuwa na swali lingine zaidi ya kumjibu Mercy kwa vitendo.
*****
Alianza kwa kumnyonya shingo kimwana yule huku Mercy naye akiwa hayuko nyuma kujibu mapigo ya mwanaume yule.
Wakati anashughulikiwa shingo yake, yeye alikuwa anashika kwa nje ya bukta kipaza sauti imara cha mwanakaka yule. Sauti tamu ya Mercy ilikuwa inatoka kila mdomo wa Longino ulipotua sehemu moja ya shingo.

Huku akiwa anaendelea kusugua nje ya bukta kile kipaza sauti cha Longino. Longino yeye alihamisha majeshi kutoka kwenye kukaa kitandani hadi kwenye kumlaza. Hapo Longino alikuwa anauhuru wa kumchezea Mercy vyovyote awezavyo hasa ukizingatia yeye alikuwa juu na Mercy chini.
Alikuwa akizipekecha kiufundi chuchu sindano za kimwana Mercy na kutokana na raha iliyokuwa inatapakaa katika miili ya wawili hawa, walijikuta wakifumba macho huku wale wadudu wa utamu wakiwa wanatapakaa kwa kasi mwilini.

Mercy naye licha ya kuwa chini, hakutaka kuonesha kuwa alikuwa nyuma . Aliweza kupitisha mikono yake ndani ya fulana aliyovaa Longino na kuanza kumpapasa mgongoni kwa mikono yake laini kama blue band.
Longino mshawasha ukampanda zaidi na kujikuta akilala kwenye kifua cha Mercy huku akiwa anakata kiuno bila kuingia mwilini kwa kimwana yule, hakika Mercy alikuwa kapatia mahashamu ya Longino yalipo. Na hakufanya makosa bali kuendelea kuyafukua mahashamu hayo ambayo yalimfanya Longino awe kama mbwa dume anayekosea kuingia maeneo ya jike.


Mercy alizidi kumwamsha maruhani Longino ambaye alikuwa hajapiga gemu kwa muda mrefu sana. Safari hii Mercy alipeleka kiunoni mikono yake na kuanza kumpapasa taratibu kijana yule kwa kuipandisha mikono ile hadi katika makwapa ya jamaa.
Longino akawa kama kapagawa hasa pale Mercy alipozidisha mautundu kwa kuanza kutumia vidole vyake kumbofya yale maeneo ya kiunoni na ubavuni.

Longino kila akibofwa, alikuwa akisisimkwa na kuzidi kujikata kiuno chake kwenye maungio ya Mercy hivyo jamaa alionekana kama anafanya ule mchezo kinguo nguo, ni kama alikuwa anabambia mwanamke disko tu, hamna tofauti. Tofauti ni kwa kuwa walikuwa kitandani.

Longino alizidi kujisahau na kumlalia mtoto yule wa kike, na kwa kuwa tayari alishalegea, basi Mercy aliamua kutumia nguvu kiasi, nguvu za Kumnyanyua. Akambinua Longino, sasa Longino akawa chini na Mercy juu. Uwanja ukawa mpana kwa kimwana yule, ule uzito wa Longino ukawa si kitu tena.

Mercy kwa kuwa alishajua maeneo yenye hisia kwa dume lile, akaanza kula nayo sahani moja. Alikuwa akimbusu na kumnyonya ubavu golikipa yule wa Chunya Rangers na kumfanya jamaa awe anahangaika kitandani kama mtu anayejikuna baada ya kumwagiwa upupu. Tabasamu la ushindi lilionekana katika uso wa Mercy.
Shida yake ilikuwa ni kumfanya Longino asimsahau kwa matendo yake ya siku ile. Na Longino alionekana wazi anafurahia utamu ule anaopewa. Macho aliyafumba kwa hisia kali huku akiwa anajizuia kupiga ukelele wa raha.

Mercy alipoona anamtesa kijana yule wa shoka, alimkalia kiunoni kisha akaanza kuvua blazia ya mterezo aliyokuwa ameivaa, na uzuri alikuwa hajavaa kitu kingine zaidi ya blazia. Sasa zile chuchu kiduchu lakini mchongoko, zilikuwa zikimtazama Longino kwa mbwembwe na utayari wa kufanyiwa utundu.

Longino akiwa kakaliwa kiunoni, alinyoosha mikono yake miwili na kuzishika zile titi za Mercy kisha akaziminya kiustadi na kumfanya Mercy atoe kilio kidogo cha utamu na macho yake kurembuka kama mchuzi wa bamia. Ee ndio, kama mchuzi wa bamia au udenda wa tahira.
Longino akaona ni muda wa kulipa kisasi sasa, akanyanyua mgongo wake toka pale alipolala na kuzifata zile chuchu na kuitia moja kinywani na nyingine akawa anaiminya kimadaha huku Mercy akiwa hoi bin taabani. Kiuno hakitulii kama cha funza anayetembea.
Mercy akakikamata kichwa cha Longino kilichonyolewa kwa mtindo wa panki. Akawa anakikandamizia kwenye lile titi mchongoko analonyonywa.

“Ng’atang’ata Long.” Sauti ya Mercy ilisikika vyema kimahaba masikioni mwa Longino.Naye Longino akatekeleza kazi anayoambiwa, akawa anaing’ata ncha ya chuchu ya Mercy kwa meno yake ya mbele. Hapo utamu ukazidi kukolea kwa Mercy. Baby zikawa nyingi na kilio cha utamu kikashika namba chumbani mle..

Baada ya dakika chache za kucheza na kifua, Longino akaomba kulainisha koo lake. Moja kwa moja akaomba denda la Mercy liingie kinywani mwake.
Wakaanza kulana ndimi huku Longino akitafuta kifungo cha sketi ya Mercy kipo wapi. Alipokipata, akakifungua na kisha akaishusha na zipu ya sketi ile matata ya kimwana Mercy.
Hakuangaika kumlaza mtoto yule wa kike ili amtoe ile sketi. Alichofanya ni kuitolea kwa juu na kuitupia pembeni. Sasa Mercy akawa amemkalia Longino huku kabaki chupi yake iliyombana vyema hadi kwa pale mbele pakaonekana kuna alama ya V.

Mercy akaamua naye amvue fulana Longino na kuitupa sehemu alipotupwa sketi na blazia yake. Sasa kifua ambacho kilikuwa hakina hata nywele moja, kilikuwa kinamuangalia. Mgawanyo wa kifua kile, ndio ulizidi kumdatisha binti wa watu.

Akamlaza chali Longino, kisha akaanza kukivamia kifua kile kwa mabusu motomoto. Taratibu akawa anashuka huku pia na makalio yake yakishuka na kukaa kwenye miguu. Wakati huo yale mabusu yalikuwa yamefikia kikomo kiunoni. Macho ya Mercy yakawa yanaangalia sehemu ya mbele kwenye bukta ya Longino. Kichwani Mercy akasema pale ndipo anapopapenda na ndipo anapahitaji kuliko kwingine.

Akafungua kamba za bukta, akaingiza mkono wake kwa kuipita boksa aliyovaa Longino. Mercy akakamata kipaza sauti cha jamaa. Bila kukitoa ndani, akakifanya kama kukipeleka mbele na kukirudisha nyuma, kama anakichua kipaza sauti kile. Longino akatokwa na sauti ya utamu, sauti ambayo ilimfanya Mercy azidishe ule utundu kwa kukitoa kipaza nje na kuanza kukichua taratibu huku akiangalia uso wa Longino jinsi ulivyokuwa unajikunja na kujikunjua kwa utamu.

Mercy akazidisha mbwembwe. Akamtoa Longino bukta na boksa lake. Longino akawa kama anaoga, hana nguo hata moja. Kalala chali huku kile kipaza kikiwa wima kama mnara wa Voda au bendera iliyowekwa mlima Kilimanjaro.
Mercy akameza mate ya uchu baada ya kuona kipaza kimenuna hadi kinatoa jasho chenyewe. Mwanamke wa shoka akakishika tena, lakini safari hii hakukichua bali alikisogeza kwa mbele ili aupate uvungu wa kipaza sauti kile. Alipoupata uvungu, akaanza kupitisha ufagio wake kama kusafisha. Namaanisha alianza kuramba na kuzinyonya zile kete mbili za Longino. Longino akajihisi kama kupaa, lakini hakuwa akipaa bali ni raha zilizopitiliza.
Mwanadada akazidisha maujuzi yake aliyoyatoa huko ajuapo, sasa akakifikia kile kipaza. Akaanza kuterezesha ulimi wake toka kwenye shina hadi kichwani mwa kipaza kile cheusi na kinene, kilichochukua urefu ambao unastahili. Sio wa kusogeza kizazi mbele wala wa kutofikia pale unapopaswa kufika.

Mate yenye joto yakawa nyenzo kubwa ya kumgalagaza Longino pale kitandani kama zimwi lilipokea maombi yenye upako. Kipaza sauti kilikuwa kimetiwa mdomoni na kunyonywa na Mercy kwa ufundi mkubwa.
Hali ikawa mbaya kwa Longino, akawa anapiga kelele za raha bila kujitambua. Mtoto wa kike naye akawa anakazana kula koni.

Mercy alijua wazi Longino mambo yale ni mgeni sana. Na hata yeye Mercy ni mgeni, lakini yeye Mercy baada ya Longino kuondoka kwa kwenda kambini, akatafuta njia za kumfanyia mwanaume mambo mazuri. Katika kusaka njia hizo kwenye sehemu mbalimbali, ndipo siku moja akaingia facebook na akakuta kaalikwa kwenye ukurasa wa NDANI NA NJE YA KUTA 4. Huko akakutana na mtoa mada, au mkufunzi na mwokoa ndoa za wengi, Bwana Ibrahim Gama.

Kupitia page hiyo, ndipo akaanza kujifunza njia za kumridhisha mwanaume. Akazisoma na kuzielewa, sasa alitakiwa kuzifanyia kazi kwa vitendo. Hapo ndipo Longino alipohenya mihenyo ya utamu.

Mtoto Mercy akazidi kula kipaza sauti. Sasa Longino akawa wazi anataka kukojoa, Mercy akachomoa kipaza sauti kisha akaanza kusugua kwa kasi kichwa cha kipaza sauti kile huku akisaidiwa na uterezi wa mate yake na mikono laini.
Longino akawa kama mtu anayetaka kufa. Mwili wote ukaishiwa nguvu wakati binti wa Kinyakyusa anafanya yale ile kitu. Kumwambia aache anashindwa, na kumwomba aendelee anaona kama atakufa japo binti alikuwa anaendelea. Mwisho wake Longino utamu wa kusuguliwa kichwa kwa mikono laini ya Mercy, ukawa ni kufika mshindo wa hatari huku ukelele wa ajabu kama kashtuliwa na sura ya jini la kwenye video, ukishika nafasi yake.

Hakika Mercy alikuwa katili, japo ukatili wa raha. Longino alitoa mvua ya wazungu kubwa mno. Lakini Mercy alishukuru, kwani angempa amalizie kwenye kisima chake cha raha, kisima roho ya kila mwanaume inakipenda, basi Longino angesipofika mbali sana. Ni heri alimtoa kwa mikono, ili baadae akisimama, aende muda mrefu.

“Pole bebi.”Sauti nyororo iliongea kumfikia Longino baada ya kufutwa wale wazungu waliomwagikia tumboni kwake na maeneo ya kifuani.

“Utaniua siku nyingine Totoo.”Longino aliomgea huku akichezea nywele za Mercy na wakati huo kipaza sauti kilikuwa kimetulia tuli, hakina mpango wa kusimamia shoo tena.

“Ndio maana nimekupa pole bebi.” Mercy alibonga huku akilegeza macho yaliyomfanya Longino asisimke kidogo mwili.

“Haya asante Totoo.”Longino alimjibu huku akimvuta Mercy kifuani na kuanza kumla mate yake.
Safari Longino aliamua kuwa anamgalaza Mercy pale kitandani, yaani ukiwaona ni kama wanamieleka waliokuwa wanapigana mchangani. Huyu akimgalagaza upande wa kushoto, huyu anampeleka kulia, lakini ndimi zao zikiwa zinapokezana kuingia vinywani mwao.

Longino akawa juu na Mercy kwa chini, vinywa vikaachana. Longino akanyanyua kifua chake toka kwenye kifua cha Mercy, akashika kola ya chupi ya Mercy, akainyofoa toka kiunoni, ikapita mapajani na kumalizikia kwenye vidole vya Mercy ambavyo vilikuwa vinatazama paa. Yaani alikuwa kanyanyua miguu yake ilichupi ipite vyema. Sasa binti akawa kabaki na ngozi.

Miguu ikashuhwa kitandani. Longino akatanua magoti ya Mercy, akameza funda moja la mate baada ya kuona kisima cha raha kikiwa safi bila kuwepo na kichaka. Mara kipaza sauti kikacheza kwa kunyanyuka juu kidogo. Ni kama kilifurahia kuona kile kisima cha raha.
Mercy akawa anasubiri kupewa raha na mwanaume wa moyo wake. Na Longino alitambua hilo. Akaanza mara moja kazi hiyo, akasugua kidogo kwa kidole kisima cha raha cha mtoto Mercy. Mtoto akataka Longino aendelee kwa kumsogezea ule utamu wake.

Longino naye kwa mbwembwe akaanza kubofya kwa vidole sehemu ya nje ya utamu ule. Akaacha hiyo maana aliona kama hampi raha inayopaswa manzi wake. Akaingiza kidole cha kati kwenye ule utamu.
Utamu ulikuwa umejifunga vizuri. Ulionekana wazi ulikuwa hujapitiwa mara nyingi, na aliyepitia ilkuwa ni enzi za utoto. Kidole kilibanwa vizuri na utamu ule.
Mercy alikuwa anatoa milio ya mahaba kila kidole kikiingia ndani. Longino hakuishia hapo, akaanza kusafisha kisima kile cha raha kwa ktumia ulimi. Hapo mtoto ndio kabisa, akawa mtambo nusu chizi. Ikawa ulimi njoo, kidole njoo, utamu kolea.
Ulimi ukawa unafaya kazi ya kuramba, kidole kinaingia na kutoka. Kiuno cha Mercy kikawa hakipigiwi ngoma lakini kinayarudi mayenu. Huku kipaza sauti kikaanza kurudisha nguvu zilizokuwa zimepotea muda mchache uliopita.
Sura ya Mercy ikawa kama mtu anayeonja ndimu au kitu kichachu. Japo alikuwa hivyo lakini hakutaka Longino aache kuendelea kumla kisima chake raha, kisima cha burudani. Alikamata kisogo cha Longino kwa mikono yake miwili na kumkandamizia kwenye kile kitumbua chake.
“Aaiii. Ooh, aassss. Baby tamuuu.”Ni sauti baadhi ambazo zilichukua nafasi katika chumba kile.

Longino alikuwa ni mgeni sana wa mambo yale, kama alivyo kwa Mercy. Lakini alijitahidi sana kumpa burudani msichana yule.

Alijua kabisa ipo siku atakuja kufanya mapenzi na Mercy, kama Mercy alivyokuwa anajua. Hivyo Longino alipoenda kambini, alikaa na moja wa marafiki zake aitwaye Junior Baita. Na bila kificho akampa ukweli kuwa yeye alikuwa mgeni katika mahanjumati ya mapenzi, hivyo akamuomba ampe twisheni ya mapenzi ambayo itamsaidia kumridhisha mtu wake.

Baita hakuwa na kinyongo. Akampa somo la kufa mtu huyu Longino, na sasa ndilo alikuwa analifanyia mtihani katika mwili wa Mercy. Mwili unaotereza na si kukwamakwama kama ngozi ya kobe au chura aliyeungua.

Longino akazidi kuingiza kidole chake kimoja ambacho kilibanwa vizuri na kisima cha Mercy. Kidole kikazama na sasa akawa anasugua paa la kisima kile kutafuta ilipo G.Spot ya kimwana yule matata kwa viuno.

Kama alivyoambiwa na Baita, aliipata G.Spot ya Mercy na sasa akawa anaitumia kwa raha zake huku akiwa hana papara za kuzamisha kipaza chake kwenda kuchota asali kwenye kile kisima cha burudani.

Mercy akawa analia kama mtoto mdogo nakwambia. Kiuno kikawa hakitulii, ni kama kimefungwa pangaboi au tairi la bodaboda. Kikawa kinakatika chenyewe bila kuwekewa grisi kutoa kutu zilizokaa muda mrefu bila kusuguliwa na msasa wenye utamu.

“Long weka kubwaaah.” Sauti ya Mercy ilisikika ikiomba kipaza sauti cha Longino kizame kwenye kiwanda chake cha kutengenezea utamu. Wakati huo kipaza cha Longino kweli kilikuwa kimekaza hadi kinamuuma.
Tayari Longino alishapewa ruhusa ya kuzama kisimani, hivyo kazi ilikuwa ni kuanza kutekeleza tu.
Akamuweka Mercy mkao wa kula, kisha kipaza chake akakikamata vizuri na kuanza kusugua sugua kitumbua cha kimwana kabla hajakitapikia. Mercy akazidi kupagawa na ule mkuno wa kipaza sauti.

Sasa Longino akaamua kuianza safari yake rasmi. Akataka kuingiza kipaza sauti chake kwenye kisima cha raha ili aipate ile burudani halisi, mara kipaza kikatereza na kushindwa kuingia. Hiyo yote ni kwa sababu alikuwa hajui ni wapi palipo na tundu sahihi la kuingilia.
Akajaribu tena, kipaza chake kikakataa kuingia na kutereza tena. Hapo Mercy mwenyewe ikabidi ashughulikie suala hilo. Akakamata kipaza kisha akaweka palipo na tundu sahihi.

Longino akaachiwa kazi ya kuzama sasa. Akaanza kuzama lakini kwa uoga, alikuwa akihofia eidha kumuumiza Mercy kutokana na udogo wa tobo la kisima chake, au kutokana na ukubwa wa mashine yake. Hakujua kuwa hata uwe na mguu wa mtoto, kama umemwandaa vizuri kimwana wako, ni lazima mashine itapita.
Longino akawa imezamisha kipaza chake nusu tu! Anatoka na kuzama kipaza kikiwa nusu. Mercy akawa anasikia utamu lakini si ule ambao anauhitaji.

“Ingiza yote Longiiii.”Mercy ilimbidi aombe ile kitu inayohitajika.
Longino sasa akaamua kweli kuzama. Akabinya kipaza chake na kuzama chote. Hakika hata yeye alisikia utamu, achana na Mercy ambaye alikuwa kazidi kupagawa kwa ule mturinga ulivyokuwa umezamishwa.
Kifo cha mende ndio mtindo uliokuwa umechukua nafasi wakati huo. Longino ilimbidi alale kabisa kwenye kifua cha Mercy na kuzidi kujichimbia madini yaliyojificha mle kisimani. Mikuno na mikunjo ya hatari ambayo ilikuwa inaendelea kuchua nafasi katika miili ya vijana wale wawili, ilifanya nafsi na akili zao zote kuburudika ipasavyo.


ITAENDELEA

HAA! KUMBE TAMU – 2

Image result for love in africa photo shoot

Chombezo : Haa! Kumbe Tamu
Sehemu Ya Pili (2)

Longino alianza kupapasa mikono yake taratibu juu ya matiti yale na kuna muda àlikuwa àkiyaminya kwa upole na kumfanya Mercy ashtuke kama miguu ya kuku anayemalizikia kukata roho baada ya kuchinjwa.

Utamu ulimzidi Mercy hadi alijikuta hana blazia bali kalala kwenye kitanda cha Longino huku midomo ya kijana yule ikiwa imebugia titi la kulia na titi la kushoto likiwa linapewa kashikashi na mkono mwingine uliobakia.

Pumzi za Mercy zikawa zinapishana kwa kasi ya àjabu lakini Longino hakutaka kuacha kufanya yake hadi pale aliporidhika na kifua na kuanza taratibu kubusu tumbo alilobeba binti yule. Tumbo lililochukua kitovu kilichozama kwa ndani pamoja ngozi mororo ambayo kwa Longino wakati anaipapasa, alihisi kama anapapasa tumbo la nyoka au mjusi.

Mabusu hayo yaliendelea kumwagika kutoka katika kinywa cha Longino.na sasa yakawa yanaenda sambamba na mikono ya Longino kuingia ndani ya sketi ya Mercy. Sketi ambayo haikuwa imembana kama kimini bali ilikuwa imejiachia kama sketi za shule ya msingi.
Hali hiyo ya sketi, ilimpa urahisi Longino kuyatabaruku mapaja ya Mercy kwa kuyapapasa na kuyashika shika kwa utaratibu kama achaguaye nyanya au embe.

Mikono mikakamavu ya Longino iliendelea kutalii kwenye mapaja ya moto ya Mercy na wakati huo Mercy alikuwa hajiwezi kutokana na yale mabusu aliyokuwa anapigwa sehemu mbalimbali.

Mercy akawa macho legevu na pumzi zikizidi kupishana bila kutoa nafasi ya kusubiri pumzi nyingine kutoka. Ungemuona, ungehisi labda anakata roho au ana kifafa.

Bado mkakati kabambe wa mikono ya Longino uliendelea kujipa raha taratibu kwenye mapaja ya Mercy huku sura zao wote wawili zîkionesha zipo katika hisia za mbali mno katika dunia hii.

Longino aliendeleza safari aliyoianza na safari hiyo ambayo ilitawaliwa na mikono, ilitaka kwenda hadi kushika lastiki ya chupi ya mwanadada yule kwa lengo la kuivua lakini hali hiyo ilipingwa vikali na Mercy.

Hakupinga kwa kuwa alikuwa hajatoa jibu kuwa kakubali, bali alipinga kwa sababu ilikuwa ni zaidi ya mapema kuvuliwa chupi na mwanakaka yule ambaye alibahatika sana kumchezea mwanadada yule kirahisi kuliko hata ilivyotegemewa.

“Hapana Long. Hatuwezi kufanya leo kwani bado mapema sana kukimbilia haya mambo. Hunijui sikujui, kwa nini kwanza tusijuane hasa katika afya na tabia?.”Mercy alitoa ushauri baada ya Longino kukasirika kunyimwa mchezo.

“Mercy. Usione kama nimekutaka mapema sana kufanya mapenzi na wewe. Lakini nipo katika hamu mwenzako, na sifanyi kwa ajili ya kujiridhisha nafsi yangu bali kwa sababu nakuhitaji. Nakuhitaji sasa, na nitakuhitaji daima.Nitakuoa wewe Mercy na si mwingine.”Mwanaume alijitetea kwa hisia kali.
Lakini kwa bàhati mbaya Mercy alikuwa bado hajamwamini. Juzi tu, alikuwa anamtaka rafiki yake, leo hii anasema ànampenda na ànamuhitaji. Hiyo haikumuingia akilini Mercy na àlimwona Longino kama mchezeaji tu.

“Long nakupenda sana tena sana. Naomba ufahamu hilo. Nitakupa chochote utakacho katika mwili kwa sasa kasoro ngono tu! Magonjwa na mimba Long. Unanijua? Unazijua tabia zangu? Hamu ya kufanya ngono isikupeleke kaburini. Tuchukue muda wetu kwa àjili ya kujuana kwanza.

Usidhani labda mi sina hamu. Nina hamu na wewe hata tufanye hadi asubuhi, lakini haiwezekani Long. Nahitaji kukujua japo kiafya,tabia tutarekebishana tu. Naomba unielewe.”Longino alikuwa kimya wakati dada yule akionesha kuwa hakufika kidato cha tano bure, elimu yake anaweza kuitumia ipasavyo hata kwenye ushauri.

“Sawa Mercy. Nimekuelewa na samahani kwa nilichotaka kufanya. Nisamehe mpenzi wangu.”Longino alimwomba msamaha dada yule na bila hiyana Mercy alielewa maneno hayo ya msamaha.

Walikuwa kama tayari wameshafanya kile kitendo, kwani baada ya kupeana misamaha, kila mmoja àlijirekebisha kimavazi na kuanza kuongea mambo mengine ambayo yalijenga zaidi mahusiano waliyoyaanzisha siku ile.

“Saa nane natakiwa kurudi kambini. Tutaonana baada ya wiki mbili kwa kuwa tutaenda kucheza na mechi huko Tunduma.” Longino alimwambia maneno hayo Mercy na kuifanya hali ya furaha ya kimwana yule ipotee ghafla kama vumbi linapokutana na maji.

“Sasa mbona hukuniambia?.”Mercy aliuliza kiunyonge.

“Ndio nakwambia hivyo totoo.”Longino alijibu huku akishika nywele ndefu za mwadada yule.

“Basi mi nataka.”Mercy maneno yalimtoka kwa kudeka huku akimsogelea Longino ili amchezee na mwisho wangonoke.

“Wataka nini sasa?.”Longino aliuliza huku akitabasamu kwa kituko anachotaka kukifanya Mercy.

“Nataka hiyo.”Swali likajibiwa na Mercy huku akioneshea sehemu ya zipu katika suruali ya Longino.
“Hapana totoo. Ujue mimi niliingiwa na shetani la tamaa za mwili tu. Ila kama ningefanya na wewe, leo mazoezini ningekoma.
Leo Jumatatu tunapigaga mazoezi magumu sana kufidia siku zote tulizokaa nyumbani. Na pia, tujenge uaminifu kwanza ndio tuingie huko. Michepuko mingi sana kwa sasa, si rahisi mimi kukuamini wewe wala wewe kuniamini mimi.Tuaminiane kwanza. Mwili wako upo, na wangu ùpo. Kama ukifa àu nikifa,hayo ni ya MUNGU, ila kwa sasa, ningependa tufahamiane afya zetu, kama ulivyotaka.”Longino aliongea hadi akamfanya Mercy atabasamu kwa kuona sasa kapata mtu muelewa.

“Nakupenda Longino. Sina cha kukwambia zaidi ya hicho.” Mercy alimkumbatia Longino huku akitamka maneno hayo.

“Nakupenda pia Mercy. Utakuwa kama Mussa kwa wana wa Islael. Umekuja kuukomboa moyo wangu toka katika fukwe za mateso ya mapenzi. Nitakupenda daima.”Sauti yenye maneno matamu ilipenya vyema kwenye masikio ya Mercy na kumfanya Mercy ahisi kama yupo peponi karibu na Malaika.
*****
Siku hiyo nzuri kwa wapenzi wale ikaishia kwa kwenda kumchukua Jesca shuleni alipokuwa anasoma na kurudi naye kwa furaha huku Mercy akiwa mstari wa mbele kumpenda mtoto yule kwani alifahamu umuhimu wa kuuteka moyo wa Longino kwa kupitia pendo atakalompa mdogo wake.

Baada ya kukaa wote kwa muda, hatimaye ulifika ule muda wa Longino wa kurudi kambini. Muda ambao ndio kapangiwa na kocha wa timu ile ya chunya.
Bila hiyana alimuaga mdogo wake ambaye alikuwa katika majonzi kiasi kwa kuachwa na kaka yake kipenzi, lakini hakuwa na jinsi kwani kaka alienda kutimiza ndoto zake.

Kwa upande wa Mercy, yeye alimsindikiza hadi kituo kidogo cha kupandia magari yaendayo Wilayani. Walipofika huko, walibusiana kidogo na Longino alipanda gari huku akimwachia maneno machache ya “Nakupenda sana Mercy”, naye Mercy alijibu kwa aibu kuwa anampenda pia na hapo Longino alifunga kioo cha gari ile ndogo huku nje akimuacha Mercy akiondoka kurudi yalipo makazi yao.
*******
Longino alipokuwa katika gari ile ambayo ilishaanza safari ya kumpeleka ilipokuwa kambi yao, alianza kumfikiria Mercy uzuri wake. Akayakumbuka yale mapaja yake laini kama manyoya ya sufi, akaenda mbali zaidi akakumbuka jinsi alivyobaniwa kumvua nguo ya ndani binti yule. Hapo akatabasamu kidogo na kujiona kuwa alitaka kufanya jambo la kipumbavu sana.

Mawazo hayakuishia hapo, mara ya kuruka na kuanza kumuwaza Subira. Subira yule yule aliyemtupia vito vya shaba usoni. Subira mwenye mapozi kama anahela za kununulia hata kuku, kumbe hana chochote zaidi ya kumsubiri baba yake ajikune tako ili atoe wallet na yeye ndio apewe shilingi kadhaa za kwenda kununulia makochokocho ya kujipambia uso na mwili wake.

Eti ndiye aliyemtupia Longino vito usoni huku akivinadi kwa kebehi kuwa ni mabati. Hata kama ni mabati kweli, lakini ni zawadi. Tena zawadi ilitolewa fedha ili kununuliwa, sasa kwa nini aweke dharau zake kwenye kitu ambacho kimetolewa fedha? Au anajua labda Longino aliokota au alimuomba dada fulani mwenye navyo ndio akaletewa yeye. Wote hatujui, na itabaki kuwa siri yake. Siri iliyojazwa maswali kati yako msomaji na Longino muhusika.

“Nitamuonesha. Nitamuonesha kuwa dharau kwa mwanaume ni sumu kali ambayo hakupaswa kuionesha bali kukaa nayo moyoni.” Longino alijiwazia huku akigeukia upande wa kioo na kuanza kuangalia mandhari ya Jiji la Mbeya lakini mawazo hayakuwa katika mandhari hayo bali Subira.
“Sijui nitalipa lini hiki alichonifanyia, ila nitalipa tu! Nitamuonesha kuwa uzuri wa simu siyo muonekano wake bali programu zilizowekwa ndani yake. Anajidai mzuri sana, sasa kikomo cha hayo yote kimekwisha. Pozi zote zitamshuka tu! Hatujui wanaume, hajui kuwa hata farasi akichoka goti huangukia, na hata maji ya yakizidi ubaridi sana hayaitwi tena maji, bali barafu. Nitamuonesha hayo yote, ila Mercy nitampenda daima japo huyu mbwa bado yupo moyoni kwa sasa.” Longino na mawazo yake ya kisununu yaliendelea kumtawala hadi akajikuta akipitiwa na usingizi.
******
BAADA YA WIKI MOJA.

Nyumbani anapoishi Longino kulikuwa kunafaraja mpya kwa familia ile. Mercy alikuwa kila mara hakosi kwenda nyumba ile na kuwasabahi mama mkwe pamoja na wifi yake Jesca.
Kwa muda mchache tu! Mercy alikuwa kipenzi kikubwa cha familia ile. Ilifikia kipindi alikuwa hawezi kulala bila kwenda kuiona familia ya akina Longino. Ukweli ni kwamba , pale penye upele palipata mkunaji hasa. Na Mercy ndiye alikuwa mkunaji, alikuna kipele hata kile kidogo na kukisababishia kiwe kikubwa.
Hapa nina maana kwamba, kipele kidogo ni imani ya Mama wa Longino ambayo ilikuwa moyoni mwake juu ya Mercy.Mama Longino hakuamini kama kuna mapenzi ya kweli katika mahusiano ya sasa. Alijua mwanaye anaenda kuumizwa na yule mwanamke hasa ukizingatia Longino aliishia kidato cha nne na Mercy alikuwa anaelekea kidato cha sita.

Mercy aligundua hilo, kile kipele kidogo akakikuna vizuri na kuwa kikubwa. Yaani ile imani ndogo ya mama yule, akaitanua na kuwa kubwa. Akaonesha kuwa anajali, akawa mstari wa mbele kuisaidia familia ile kwa kazi ndogo ndogo, na kilichompa pointi zaidi, ni kumjali Jesca. Jicho ambalo familia ile ilikuwa kama mbogo pale itakapoliona lina tatizo. Mercy akawa karibu kabisa na Jesca, naye Jesca akafurahia uwepo wa Mercy. Hapo moyo wa Mama Longino ukatua mzigo wa kumfikiria vibaya mtoto yule wa kike.

Mercy akapewa kibali ambacho hakikuwa cha moja kwa moja, lakini ni kibali ambacho alipewa kwa kuwa alionesha kujali. Ni hatua ndogo sana aliyoipiga lakini ilikuwa ni hatua kubwa kuliko zote katika maisha yake.
Hatua kama ile ni wanawake wengi wanashindwa kuipiga kutokana na kujiwaza wao zaidi kuliko yule aliyefanikisha kumleta mtu yule wampendaye. Wanawake wengi wanadhani kumpata mwanaume ndio kumaliza kila kitu, hata wakikohoa dume litakurupuka lilipo na kuuliza kwa nini umekohoa.

Lakini wanasahau kuwa yule mwanaume ana familia. Yapaswa kuijali familia hiyo ili mwanaume aseme wewe ndiye unanifaa. Kama usipoijali familia ya mpenzi wako, sidhani kama utamjali na mwanaume kwani wewe utakuwa unamsumbua tu kuhusu familia yako. Mara mama anaumwa, mara baba anataka msuri, mara dada kafanyiwa oparesheni, na mengine kama hayo ambayo inafikia kipindi mwanaume anachoka na kuanza kujutia uamuzi wa kukuchukua. Hatua hiyo Mercy alijaribu kuipiga kabla hata hajaingia ndani zaidi ya familia ile. Heshima na utii alionesha kwa familia ile,sidhani kama kuna mwanamke wa kileo angefanya vile.
****
Kwa upande wa Subira, yeye aliringa kwa kuwa wazazi wake walikuwa wana kitu cha kumpa. Si wazazi pekee, hata kaka yake aliyekuwa analangua vitu kutoka Dar es Salaam, alikuwa anamlinda dada yake na kumfanya aonekane ni dada wa kileo.

Vito vya thamani alivivaa Subira na ndio maana aliona kama utani pale alipoletewa shaba na Longino. Dharau zikamjaa mwanamke yule na kujiona kamaliza kila kitu. Licha ya kusoma kwake ambapo kungemfikisha mbali katika maisha yake, lakini ilimpasa kutambua pozi zikizidi mwili huwa ni kero kwa wengine.
Kulikuwa hakuna haja ya kuwaletea pozi wanaume wanaokutaka hata kama ulikuwa unauwezo wa kuhamisha dunia kutoka sehemu kwenda nyingine.
Kichwa kilimuuma Longino kwa matendo aliyotendewa na Subira, aliumia sana kwa matendo yale. Lakini kumbe hakuwa peke yake aliyefanyiwa yale. Vijana karibu wote walioenda kujaribu kumtaka, waliambilia shombo lililonuka kutoka katika kinywa cha msichana yule.

Sasa ni kijana gani wa kiume ambaye hakumpania Subira pale mtaani?. Na siyo vijana wa kiume tu! Hata baadhi ya wanawake wenzake walikuwa wanakereka na tabia zake, na kila mmoja alikuwa anamuombea siku moja adondoke. Lakini maombi yao yalikuwa kama dua la kuku tu, kamwe usitegemee litamtapata mwewe. Subira alizidi kugaa gaa kwa tambo pale mtaani kwao anapoishi.

Na alikuwa anahaki ya kugaa gaa na tambo hizo, kwani alikuwa mlimbwende wa sura hata umbile. Licha ya kutumia vipodozi mbalimbali, bado aliiheshimu sana rangi aliyojaaliwa na MAULANA. Rangi yake nyeusi kama uwajuavyo watu wa Mbeya, ndiyo ilikuwa inamfanya ang’are zaidi pale anapojipiga “make up”.
Miguu na ngozi yake mororo kama niru ile inayotumiwa kutengeneza sakafu yenye mchanganyiko wa maji na saruji, ndivyo vilisababisha mtaa mzima usimame kwa muda wakati mrimbwende huyu anakatiza mbele yao.

Nani ambaye alikuwa hamjui Suby wa Minato na Pozi? Kifupi hakuna ambaye alikuwa hamjui. Na kwenye vijiwe vya karata na drafti, vijana wengi walikuwa wanatengeneza gazeti la kurasa nyingi tu zinazomzungumzia huyu Suby wa Minato.
Pale walipopata taarifa kuwa mtu fulani kaenda kutoa hisia zake kwa mwanadada yule, walimsubiri kwa hamu atoke huko alipoenda ili aje kuwachekesha kwa alichofanyiwa. Matokeo yake Suby akawa mtu wa kujaribiwa na kila mwanaume. Kikundi kizima cha wacheza drafti na karata, kilipanga kwenda kumtongoza ili kuthibitisha kama kweli Subira alikuwa ana shombo. Walichokutana nacho, ilikuwa ni sawa na alichokutana nacho Longino.

Vijana wale ambao walionekana kama wahuni kutokana na kumalizia muda wao mwingi kwenye drafti, karata na ma-pool table, ambapo michezo hiyo ilitawaliwa na hela sana wakati wanaicheza, yaani ni kamali. Walipanga jinsi ya kumkomoa dada yule, dada mrembo mwenye pozi na njozi za kimalkia, mwenye nguvu ya mdomo wa shombo, mdomo wenye kiburi na wingi wa kejeri.
Jinsi gani watamkomoa? Ni wao wenyewe wanajua. Ila mpango madhubuti ulipangwa kwa ajili hiyo.
******
Baada ya wiki zile mbili ambazo Longino aliahidi kuwa atakaa kambini, Longino alirudi huku akiwa anafuraha tele moyoni mwake. Furaha ya kumuona mdogo na mzazi wake pamoja na mpenzi wake mpya. Hiyo ilikuwa ni furaha iliyoambatana na shauku, shauku ambayo ilimkumba baada ya kufikiria ni vipi Mercy atapokea matokea aliyoyapata huko alipotoka.

Kulikuwa kuna matokeo mawili mazuri aliyapata huko alipokuwa amejichimbia yeye na timu yake.
Kwanza ni matokeo ya mechi waliyocheza na timu ya Tunduma, ambapo waliichakaza goli tatu bila majibu huku kazi kubwa akiifanya golikipa huyu ajulikanaye kama Longino.

Matokeo ya pili, yalikuwa ni ya kitabibu. Longino alikuwa mstari wa mbele kumshauri mfadhili wa timu ile juu ya kila mchezaji kwenda kupimwa afya yake kabla ya ligi ya Wilaya kuanza. Ni ushauri ambao ulikuwa wa maana zaidi kwani walikuwa wamebakiza miezi miwili kuanza ligi hiyo ya Wilaya. Hivyo kabla hawajaianza, ni vyema wangeenda kupima afya zao kuona kama kuna yeyote ana magonjwa yatakayomfanya ashindwe kucheza mpira, likiwemo gonjwa la UKIMWI.

Uzuri matokeo yakaja vizuri kwa wachezaji wote hasa upande wa gonjwa la UKIMWI. Malaria na Taifodi, yalikuwepo magonjwa haya kwa baadhi ya wachezaji, lakini kwa Longino yalipita pembeni.
Sasa Longino anarudi nyumbani huku ana majibu mazuri ya kitabibu. Na mdogo wake Jesca alipomuona tu, alishangilia kwa nguvu kama kamuona mwokozi wake wa maisha haya. Jesca alifurahi hadi jino la mwisho likaonekana.

“Umekuja kaka Long.” Jesca aliongea huku akimuaachia kaka yake baada ya kukumbatiana naye.

“Mimi tena dada yangu, lazima nije kuwaona.”Naye Longino alijibu kwa furaha huku akitua mzigo wake mdogo ambao ulikuwa ni begi la nguo.

“Umeniletea nini?” Swali aliulizwa Longino.
Longino alipekuwa begi lake dogo na baadae alitoa sweta moja zito na kumkabidhi mdogo wake kipenzi wote wakiwa na furaha kubwa mioyoni mwao.
“Asante kaka,”Jesca alishukuru huku akijisogeza na kumkumbatia kaka yake kwa nguvu. Wakati huo mama yake alikuwa bado hajarudi kutoka nyumbani na ni dakika chache tu, Mercy alikuwa ametoka mara moja na kwenda kuangalia mazingira ya kwao.

Longino baada ya kumpa mdogo wake sweta lile, alinyanyua mzigo wake na kutoka pale sebuleni alipokuwepo mdogo wake, na sasa alikuwa ameshika njia ya kutoka ili aende chumbani kwake. Lakini kabla hajamalizikia kutoka, Jesca alimuita tena na kumuambia jambo. Jambo ambalo likazidi kumpa shauku Longino.

“Kaka, Dada Mercy alikuwa hapa sasa hivi. Kasema atarudi baadae kwani kaenda kuangalia hali ya nyumbani kwao.” Jesca alitoa ujumbe huo na kumfanya kaka yake arudi tena na kuanza kumuuliza maswali kadha wa kadha.

“Kwa hiyo anakujaga hapa?” Longino aliuliza.

“Ndiyo. Kila siku anakuja.”Jesca alijibu huku akicheka hadi meno yake yale makubwa ya mbele yakitokeza kuliko mengine.

“Mama anasemaje.”

“Weee, mama anampenda huyo.”

“Hajawahi kumfukuza?.”

“Weee, amfukuze. Nitalia hadi kesho.”

“Kumbe na wewe unampenda eeh.” Safari hii Longino aliongea huku akiwa kachanua tabasamu na kufinya kwa utani shavu la mdogo wake.

“Mimi tena. Yaani asipokuja sili wala silali. Nitamng’ang’aniza mama hadi akamuite.”

“Mmmmh! Dada, huo ukorofi sasa. Unamsumbua mama ee.” Longino aliongea kwa utani huku moyo wake ukiwa na furaha baada ya kusikia maneno yale kutoka kwa mdogo wake.

“Eee namsumbua. Sasa mimi nitakaaje bila dada yangu.” Jesca aliongea kwa furaha na kumfanya Longino azidi kutabasamu kwa kile kitendo.
“Halafu kapika chakula hicho hapo. Njoo hapa tule wote.” Jesca alimuonesha kaka yake chakula kilichohifadhiwa sehemu salama na safi. Sehemu ambayo itakifanya kisipoe haraka na kupoteza ladha yake.

“Haya kadadaa, ngoja nikabadilishe nguo halafu nitakuja kukulisha. Si wajua ni muda mrefu sijakulisha.” Longino alimwambia mdogo wake.

“Aka, Sasa hivi nakula mwenyewe, sitaki kulishwa na mtu.”Jesca alipinga vikali na kumfanya kaka yake awe anacheka huku anatoka mule sebuleni.
****
Baada ya kupata chakula kile alichoandaliwa na Mercy. Longino alienda chumbani kwake ambapo alipitiwa na usingizi mkali kutokana na uchovu wa safari na michezo waliyoicheza ambayo iliendana pia na mazoezi magumu.

Mida fulani ya jioni, Longino alihisi kitu kizito mgongoni kwake. Alijitahidi kuinuka lakini alishindwa. Ndipo alipojikakamua kutoka usingizini na kuangalia ni nini kipo mgongoni kwake.
Hapo ndipo alikutana na sura mwanana ya kimwana Mercy ikiwa imechanua tabasamu la haja huku amemkalia mgongoni.

Longino alijitahidi kugeuka na kumweka Mercy akae ile sehemu ilipozipu ya suruali yake. Aliofanikiwa hilo alimuangalia mwanadada yule, jinsi alivyokuwa mzuri. Kisha akakumbuka maneno aliyoyaongea mdogo wake. Kichwani Longino alijisemea kuwa Mercy ndio anafaa.

“Mambo totoo.”Mercy alianza kumsalimia Longino huku bado haishiwi tabasamu.

“Poa. Niambie totoo wangu.”Longino naye alijibu huku akijaribu kunyoosha mkono wake na kushika nywele nzuri za Mercy.
“Mimi nimeku-miss hapa.”Mercy aliongea kwa deko huku akilala kifuani kwa Longino na kujiachia kana kwamba ameshaolewa na mwanaume yule.

“Totoo, utanishinda mimi kweli? Hapa nahisi kama nipo ndotoni kukuona.”Longino alimjibu huku akiupapasa mgongo wa Mercy ambao ulikuwa umebinuka kwa juu kutokana na ule ulalaji wake.

“Muongo wewe, mbona hukunipigia simu na kusema umerudi, hadi nimekuja hapa ndio dada akaniambia umekuja.” Mercy alizidi kuongea kwa deko huku mashavu kayavimbisha na kufanya sauti yake kutoka kama mtu aliyejaza mate mdomoni.

“Hamna Totoo, nilitaka nikupigie baada ya kupumzika, sema sasa umeniwahi.”Longino alijitetea.

“Wewe hunipendi Long.” Mercy aliongea huku akizidi kujikita kifuani kwa Longino.

“Hamna bwana Totoo, nakupenda sana mamie.” Longino alibembeleza.

“Sitaaakiiii.”Mercy alikuwa kama mtoto anayekataa pipi iliyolambwa na wakati ipo hiyohiyo moja.

“Sasa unataka nini jamani Totoo?.”Longino alimuuliza Mercy.

“Nataka zawadi yangu.” Mercy alinyanyuka ghafla kifuani na kudai zawadi kana kwamba aliahidiwa kuwa ataletewa, Wanawake bwana.

ITAENDELEA

HAA! KUMBE TAMU – 1

Image result for love in africa photo shoot


Chombezo : Haa! Kumbe Tamu
Sehemu Ya Kwanza (1)
Hali fulani ya ubaridi ilikuwa inaendelea kuchukua nafasi kubwa kwenye Jiji lile la Mbeya,kwenye Wilaya moja inaitwa Chunya. Hali hiyo ya ubaridi ilisababisha kila mtu ajifungie chumbani kwake na kujivisha masweta mazito ya sufi.
Wale wageni waliotoka maeneo ya joto kama Dar es Salaam,walikuwa ndani ya sufi hilo na pia wakaongeza na blanket zito ambalo lilisababisha faraja iliyoletwa na joto mwilini mwao.

Wakati hayo yakiendelea humo ndani mida ya saa mbili za usiku, huku nje kulikuwa na kijana mmoja mwenye mwili kiasi, na mrefu kwenda juu huku akitanuka kifua chake kama wanyanyua vyuma au wacheza mpira wa kikapu.
Licha ya mikono yake kuvaa grovu za sufi, lakini bado alikuwa akiifikicha kwa pamoja kama mtu àpakaye mafuta au anatengeneza moto kwa kutumia Ulimbombo na Urindi.
Hakuishia hapo kwenye kuifikicha ili kupata joto litakalompa ahueni katika baridi ile kali, mara nyingine alikuwa ànaipuliza mikono na kuipumulia kwa mdomo wake ili kuipa joto na saa nyingine kuiingiza makwapani ili kuitafutia joto lililopo huko.

Macho yake hayakutulia. Kila mara yaliangalia upande wa kulia inapotokea njia ya mtaa wa pili,njia àmbayo ilikuwa haionekani vizuri kwa sababu ya ukungu uliotanda usiku ule.

Anaitwa Longino Mshama. Kipa hodari wa timu ya Chunya. Lakini usiku ule alikuwa na nia moja tu! Ya kukutana na mrembo aliyeutesa moyo wake kwa muda mrefu, mrembo ambaye anamfanya apigwe na baridi kila usiku wa mida kama ile.
Mrembo anayekwenda kwa jina la Subira Msafiri, mtoto wa tatu kati ya watoto watano wa Mzee Msafiri. Mzee ambaye anasifika kwa utajiri ng’ombe pale Chunya.

Mzee Msafiri alibahatika kupata watoto watano katika maisha yake ya ndoa. Mtoto wa kwanza ambaye alikuwa ni wa kiume,alishafariki miaka kumi iliyopita.
Mtoto wa pili ni wa kiume pia. Yeye ni mlanguaji wa bidhaa ambazo anazitoa Dar na Zanzibar na kuzileta pale Mbeya hasa Wilaya ile ya Chunya.
Wa tatu ndio huyu Subira ànayesubiriwa na Longino katika baridi kali la Mbeya. Wa nne na wa tano,hawa ni pacha. Kulwa akiwa mme na Doto akiwa mke,wote walikuwa wanamiaka mitano.
**
Baada ya Longino kusubiri sana,hatimaye alipata ahueni pale alipomuona fahari wa macho yake anatokea kwenye ukungu ambao ulikuwa unaendelea kutanda kwa wingi usiku ule.
“Nashukuru umekuja Subira.”Longino aliongea kwa sauti nzito na ya chini huku akimwangalia kimwana yule mwenye rangi nadhifu ya chokleti,huku usoni akiwa kabeba uso mwembamba na macho ya duara pamoja na pua ndefu kiasi kama ya Kihindi.
“Nakusikiliza. Time inaenda si unajua home geti kali.”Subira aliongea huku akionesha kweli hana muda mrefu wa kuendelea kuwa pale.

“Subira sina jipya zaidi ya kukuomba uwe mpenzi wangu. Embu nitazame jinsi navyoumia kwa baridi kwa ajili yako. Kwa nini hutaki kunielewa Subira?. Nifanye nini ili ukubali moyo wangu kuwa unakuhitaji? Naomba unielewe Subira,unanitesa mwenzako.” Longino maneno yalimtoka huku uso wake kauweka katika masikitiko yasiyo na kifani.

“Umemaliza?.”Ni swali la maudhi kwa kila mwanaume ambaye angeulizwa na mwanamke wakati anamtongoza, lakini kwa Longino lilikuwa kama pipi. Sijui kwa nini, labda kwa sababu mapenzi ni upofu ndio maana swali lile kwake halikumkera.

“Nakuomba uelewe hayo machache niliyoyaongea, nakupenda Subira.”Longino alizidi kuonesha uhitaji wake mbele ya mwanadada yule gwiji la urembo pale Chunya licha ya kuwa ndio kwanza yupo kidato cha tano.

“Tayari umemaliza au unaendelea.”Sauti ya kijasiri ilimtoka Subira huku mdomoni mwake akiwa anasindikizwa na bazoka na wakati huo mikono ilikuwa kiunoni na mguu mmoja aliutikisa kama anayesubiri mwanamke mwenzake amalize ili aanze yeye kumchamba.

“Ndio nimemaliza Suby.”Sauti ya upole ilimtoka Longino lakini haikumfanya Subira asiseme alichokusudia.
“So, its my turn.” Subira aliongea Kiingereza huku bado yale manjonjo ya kutafuna jojo yakiendelea mdomoni kwake kama kocha mstaafu wa Manchester United, Sir Alex Ferguson.

“Nadhani sina la nyongeza hadi hapo Suby. Waweza nipa msimamo wako.” Nafasi ya kuongea iliwekwa wazi na Longino na sasa mwanadada alikuwa tayari kumwaga vumbi la shombo.

“Nisikilize we kinyago cha mpapure.”Longino alilegea ghafla na kuwa kama samaki aliyechina baada ya kuitwa jina lile, lakini ulegevu ule haukufanya shombo zitokazo mdomoni mwa Subira kukwamia kooni.

“ Haya matawi anayaweza twiga, we sungura huyawezi. Tafuta saizi yako, hii saizi ni large huiwezi we small,itakupwaya bure. Na hata ukijaribu kunibana ili nikutoshe, utaambulia patupu kwani sitakuwa tayari kuharibiwa na wewe mfuga panzi.” Subira alimtolea shombo Longino, kisha akageukia kule alipotokea kwa ajili ya kuondoka. Lakini kabla hajaondoka, alimgeukia Longino.
“By the way. Sivaagi mabati kama haya. Hizi levo za dhahabu au silva. Hayo mabati kawavishe darasa la tano, nikutakie baridi njema.”Maneno yalimwendea Longino yakifuatiwa na kutupiwa cheni, hereni na bangiri alizozinunua juzi kabla ya siku hiyo.

Longino baada ya kutupiwa urembo ule wa kike kwenye uso wake,aliinama taratibu na kuokota vile vito vya shaba ambavyo Subira aliviita mabati.
Kuna vingine vidogo kama hereni, ilimpasa awashe kurunzi ya simu yake ili avione na kuviokota.

Hakika àlikuwa katika fadhaha kubwa hasa pale aliponyanyua macho yake na kumuona Subira akitokomea gizani huku ukungu ukiongeza ladha ya kutoonekana kwa mwanadada yule mwenye manjonjo mengi kama pishi la sikukuu.

Longino alikuwa karibu atokwe na chozi la mfadhahiko, lakini alivumilia huku akijiahidi moyoni mwake kutokata tamaa hata kama itachukua miaka mia kumpata kisura yule.
Aliviangalia tena vile vito alivyotupiwa na Subira,kisha alikumbuka jana yake baada ya kuvinunua siku moja liyopita.
Hela aliyotumia kununulia vito vile aliipata baada ya kutoka kambini ambapo timu yao ya mpira ilijichimbia. Siku ile ya Ijumaa, walipewa ruhusa ya kwenda kusalimia nyumbani kwao.
Kwa kutumia fedha kidogo ambazo alipewa na mfadhili wa timu ile ya Chunya, aliweza kununua vito vile kwa ajili ya mwanamke anayeutesa moyo wake, mwanamke ambaye badala ya kuuthamini upendo huo, anamwachia aibu ya moyo mwanaume.

Baada ya kupumzika Ijumaa ile yote, Jumamosi yake ndipo alimtafuta Mercy, rafiki wa karibu kabisa wa Subira.

Mercy hakuwa mbovu kisura wala hakuwa na nyodo kama za Subira. Mara nyingi alimsikitikia sana Longino kwa kumfatilia mtu ambaye alikuwa hana muda kabisa na yeye.
Uzuri wa Mercy, Longino hakuuona japo binti yule msomi wa kidato cha tano pia, alijitahidi kila kukicha ajipendezeshe mbele ya macho ya Longino.
Hakika Mercy alimchagua Longino, lakini angefanya nini na wakati dume lenyewe limekula yamini ya kuwa na Subira tu!?.
Swali hilo ndilo likawa kikwazo cha Mercy kumpata Longino.
*****

Mercy kusikia anaitwa na Longino, alifurahi sana hasa ukizingatia ni wiki mbili hajamuona mwanaume yule kutokana na kambi waliyokuwa wamewekewa.
Furaha ya Mercy ilihitimishwa na kuingia kisusunu pale alipopewa zawadi za kumpelekea rafiki yake kipenzi, Subira. Uso wa Mercy ulipoteza tabasamu lake halisi na kubaki tabasamu la kuchonga lililokaa ili lisipoteze maana katika kichwa cha Longino.

Alijua wazi Subira hatokuwa na shukrani kwa vile vichache ambavyo Longino aliacha kumnunulia mdogo wake kipenzi, Jesca.
Mdogo ambaye alipata ajali mbaya enzi za utoto wake, na àjali hiyo ikaaribu miguu ya mtoto yule hivyo kumfanya àwe anatembelea kiti tangu anaumri wa miaka mitano hadi sasa hivi anatimiza miaka kumi na moja.

Mercy alitimiza wajibu wake kwa kumpelekea vito vile vya shaba Subira. Na kama àlivyotegemea kuona na kusikia, Mercy wala hakuumiza kichwa juu ya tabia ya rafikiye.
Na hata pale msonyo wa kifedhuri ulipomtoka Subira baada ya kuambiwa Longino anamuhitaji kesho yake, Mercy hakuutilia maanani kwa kuwa tayari mjumbe alishafikisha ujumbe kwa muhusika.
****

Longino hata baridi hakuihisi baada ya maneno yale ya kashfa kutoka kwa Subira.
Alipohakikisha hajaacha kitu kati ya vile alivyotupiwa na Subira,alianza kujikongoja taratibu huku akili yake ikiwa kama imeganda kwa sababu ya maneno aliyoyasikia muda mchache uliopita.

Alipofika nyumbani alimkuta Jesca,mdogo wake akiwa anajisomea kitabu chenye hadithi ya My Rose, lakini lengo la Jesca kufanya hivyo, ilikuwa ni katika kuvuta muda ili kaka yake aje maana hakujisikia kulala bila kumuona kaka yake ambaye alitoka usiku ule.

“Huyoo karudi.”Jesca alimkaribisha kaka yake kwa shangwe huku akinyoosha mikono ya kutaka kumbate dogo la kaka yake kipenzi.

“Oooh! Katoto kangu,mmwah.”Kaka naye alijibu mapigo akiwa na furaha.

“Naona unasoma peke yako. Mama tayari àmelala?.” Longino alimuuliza mdogo wake juu ya mzazi mmoja wanayeishi naye kutokana na ajali îliyomvunja miguu Jesca, kumpeleka kaburini baba yao.

“Mama kalala. Nataka na mimi unisomee hadi nilale.”Jesca àlideka mbele ya kaka yake huku anampa kitabu alichokuwa akikisoma.

“Haya. Ila kabla sijasoma nataka kukupa zawadi,”

“Zawadi gani?.”
“Fumba macho.”Longino alimtaka mdogo wake afumbe macho naye akafanya hivyo,na hapo ndipo alipomvisha cheni ile ya shaba lakini yenye mvuto kwa kuiangalia.
Dogo alipofumbua macho,alijawa na furaha na kumkumbatia kwa nguvu kaka yake huku akitamka kwa hisia maneno “nakupenda kaka”.

Longino alikabwa na donge la uchungu alipokumbuka alichofanyiwa na Subira na sasa mdogo wake anamuonesha thamani ya vile vito vilivyoitwa mabati na mshenzi mmoja.
Mshenzi ambaye hata ungekuwa wewe ungemuita mshenzi,lakini kwa Longino, aliona kawaida tu. Siku zote alijua hakuna marefu yasiyo ncha, hivyo muda wake ukifika, atampata tu yule mwanamke. Hakutaka kufikiria marefu hayo yasiyo na ncha yanaweza kutokea kwake pia, na ndicho ambacho alitakiwa kukifanya. Alitakiwa kuachana na mapenzi ya kujimbeleza na badala yake aangalie mwenye nia naye.

“Yaani huyu Subira wakunitupia hivi vitu na kuviita mabati?. Vitu ambavyo mdogo wangu anaviona kama dhahabu.
Huyu anajua nimevitoa wapi hivi? Anajua nimetoa shilingi ngapi ya kununulia hivi vitu? Anajua nimeacha kununua vingapi kwa ajili ya familia yangu?. Anajua kweli huyu?

Naonesha kiasi gani namuhitaji na kumjali lakini malipo yake kwangu ni kunifadhahisha. Subira kanipa fadhaha ya moyo, Subira kaufadhahisha moyo wangu kwa sababu nampenda.

Mdogo wangu kaitoa fadhaha hii. Huyu Subira anauzuri gani kuliko familia yangu? How beautiful she is than my family?.”

“Kaka mbona umepoa hivyo? Au hutaki asante yangu?” Sauti ya Jesca, mdogo wake kipenzi ndio ilimtoa katika mawazo yake ambayo alikuwa ànamfikiria kwa kina Subira. Mwanadada ambaye alimfanyia mbovu muda mchache uliopita kabla ya mdogo wake kumfanyia mazuri kwa kile ambacho kilioneka siyo kwa Subira.

“Hamna dada, ujue umenishangaza kuipenda hiyo cheni.” Longino alimjibu mdogo wake huku akijaribu kuchongesha tabasamu dogo la kufariji.

“Hii nzuri kaka. Inang’aa kama dhahabu.” Jesca naye alimjibu huku akiweka uso wa furaha kuonesha kakubali zawadi ya kaka yake.

“Haya chukua na hivi. Hizo bangiri utavaa ukiwa mkubwa. Walikataa kunibadilishia wanipe ndogo kwa àjili yako.” Longino alimpa na vile vito vingine huku akijitetea kuhusu bangiri ambazo zilikuwa kubwa wa Jesca.

“Asante kaka,”Jesca alishukuru tena na kuzidi kumkumbatia kaka yake.

“Haya twende kitandani sasa ukalale.”Longino alimnyanyua mdogo wake kutoka pale kwenye kiti cha walemavu wa miguu na kumpeleka chumbani anapolala na wakati huo mdogo mtu alikuwa kakamatia kitabu chenye hadithi ya kusisimua.
Hadithi iliyowatoa machozi wengi. Hadithi ya kweli kabisa iliyomuhusu Generose na Frank Masai.
Ndiyo hiyo My Rose ambayo Longino alimkuta dada yake anaisoma usiku ùle.

“Kaka nisomee kitabu ndio uondoke humu.”Jesca alitoa ombi baada ya kaka yake kumfunika blanketi.

“Sawa. Ehee,uliishia wapi?.”Longino alimuuliza Jesca baada ya kushika kitabu kile. Jesca àlimuonesha na kaka yake alianza kumsomea hadi pale alipomuona kalala kabisa.

Alimbusu shavuni na kumfunika vizuri kisha àkatoka chumba kile cha mdogo wake na kuelekea chumbani kwake ambapo kilikuwa ni chumba cha nje na kilichojitenga na cha mdogo wake na mama yake.

Alijitupa kitandani kisha mawazo juu ya Subira yakaupamba ubongo wake. Mawazo yalikuwa mengi sana, lakini hakuna hata jibu sahihi juu ya fikra àmbazo ndizo zilikuwa chanzo cha mawazo yale.

“Mercy.”Jina hilo lilikuja na kuufanya uso wa Longino upambike kwa tabasamu na faraja nzito kurudi moyoni mwake.

“Hivi kwa nini sikuona uzuri wa Mercy mchana hadi sasa hivi usiku ndio nauona?.”Longino alijikuta akijiuliza peke yake na kuzidi kutabasamu.

“Hivi Suby kamzidi nini Mercy? Au yale macho ya duara ndio yamenidatisha mimi nini?. Lakini mbona Mercy mkali sana tu. Embu angalia yale meno yake yalivyopangana kinywani. Sura na umbo lake, mbona vipo poa sana tu. Anajua kumuhendo mwanaume na anajali muda. Huyu mwingine mbona hayupo kama mwenzake?
Kuna haja gani ya kuwa Subira na wakati Mercy yupo?. Ila “Mawazo yalikuwa mengi kichwani mwa Longino, lakini mwisho wake aliamua jambo moja tu! Ambalo ndilo aliliona sahihi kwake. Aliamua kumtafuta Mercy kesho yake kabla hajarudi kambini.

“Kesho nitamtafuta huyu Mercy na kumpa ukweli juu yake. Japo nampenda sana Subira,ila haiwezekani kuwa naye, ataniumiza huko niendako hata kama atanikubali niwe naye. Mwache aende zake.”Longino alikubali kushindwa mbio za moyo wake na kuamua kugeuza upande mwingine wa shilingi ambapo kulikuwa na sura ya Mercy.
Haileweki ni mawazo gani yalikuwa ya mwisho kwake, lakini alijikuta ameshapitiwa na usingizi baada ya fikra nyingi za matukio ya siku nzima kupita kichwani kwake.
******

Asubuhi ya Jumatatu,Longino aliwahi kuamka na kuweka vizuri mazingira yanayoizunguka nyumba yao na za majirani. Pia aliteka maji kwa ajili ya matumizi ya pale kwao na kazi nyingine za nyumbani. Hadi mida ya saa nne alishamaliza kazi nyingi ikiwemo kumpeleka mdogo wake shule.

Pale nyumbani alibaki peke yake kwa kuwa mama yake alienda kwenye shughuli zake zinazoendesha familia ile.
Longino aliona huo ndio muda muafaka wa kumuiita Mercy ili waongee kiutu uzima. Waongee kuhusu yale aliyoyafikiria jana.

Alikamata simu yake na kutafuta namba ya Mercy. Alipoipata akabofya kitufe cha kupigia simu na bila kinyongo nayo simu ikaita kwa sekunde kadhaa na baadae ilipokelewa na sauti tamu ya kimwana yule ilianza kupenyeza kwenye sikio la Longino. Kwa kuwa siku hiyo Mercy hakwenda shule, basi alikubali ombi la Longino haraka baada ya kuombwa aende anapoishi mwanaume yule.

Bila kujiuliza mara mbili, binti yule alijivuta hadi anapoishi Longino.

Longino alimkaribisha chumbani kwake kimwana yule ambaye naye mashalah hakuwa skrepa, japo yeye uzuri wake haukumfikia Subira.

“Ehe,nipe stori player.” Mercy alianzisha maongezi baada ya kukaa katika kitanda cha Longino.
Mercy alishapazoea mule ndani hivyo hakuwa na wasiwasi hata kidogo kwa maamuzi yake ya kuingia na kuwa huru na chumba kile.

“Dah! Rafiki yako kanizingua tena jana.” Longino aliyasema hayo huku ùso wake ukiwa unatabasamu kana kwamba haikumuuma.

“Lazima ingekuwa hivyo. Ila endelea kufight.” Mercy alimpa moyo Longino.

“Aah,yaani niendelee kufight pasipo na wazo juu yangu? Kwa nini nisifight kwa àmbaye anaelewa umuhimu wangu.” Maneno yalimtoka Longino.
Wakati huo alikuwa àmesimama karibu na mlango wa chumba chake.

“Kama umeamua hivyo,hamna tatizo pia, sababu ni moyo ndiyo umekutuma, basi sidhani kama kuna tatizo.” Mercy aliongea huku akiachia midomo yake kutanuka kwa tabasamu.

“Nimeishaamua na ndio maana upo hapa.” Longino hakuwa nyuma kuyapamba maongezi yale.

“Kwa hiyo wataka niwe kuwadi tena?” Mercy aliuliza huku akionesha wazi kutokuwa tayari na suala la kutumwa kwa mwanamke mwingine.

“Nataka uwe kuwadi wa kichwa chako pmoja na moyo wako.” Longino alifunguka lakini alitoa pambo la tabasamu na kuweka sura ya umaanishaji katika maongezi yale.

“Unamaana gani?” Swali lilimfata Longino.

“Hapa namaana kwamba.” Longino akasogea karibu na kitanda chake na kukaa sambamba na kimwana yule japo hawakugusana.

“Namaana kwamba,ipe nafasi akili yako ili inifikirie na kunipa nafasi ya kuwa na wewe. Ufungue moyo wako na uweze kuingiza upendo wangu kwako.” Longino alitoa maneno machache ambayo yaliingia vyema katika masikio ya Mercy.
Kimya kikatanda kidogo huku Mercy akiwa kichwa chini kama anatafakari maneno yale ya Longino.

Nimesema “Kama ànatafakari”, kwa kuwa alikuwa hayatafakari maneno yale bali alijawa na furaha moyoni baada ya kutamkiwa maneno yale na kijana ambaye alikuwa anamuota kila ndoto kuwa mpenzi wake.

Mercy alitamani kunyanyua kichwa chake na kumgeukia Longino kisha kumkumbatia kwa nguvu, lakini alishindwa kutokana na aibu iliyochukua nafasi katika kila kichwa cha mwanamke wa Kitanzania aliyelelewa katika maadili halisi ya wazazi wake.

“Mercy.” Sauti nzito kiasi ilimtoka Longino kumuita Mercy.

“Abee.” Naye kwa sauti ya chini aliitika lakini akishindwa kumwangalia Longino usoni. Uso ambao ulikuwa si dhambi kama ukiuita ni mzuri au wa kitanashati.

“Nifikirie mwenzako. Usinifanyie vibaya. Najua nilikuwa namtaka rafiki yako na ninampenda kweli, lakini naomba upendo huo uhamie kwako. Nakuahidi nitakupenda sana kama ukinipa nafasi ya kuwa na wewe.” Longino alisisitizia ombi lake huku akijaribu kuweka sauti yake iwe katika mbembelezo.
Mercy alizidi kukaa kimya huku uso wake akiudondosha chini tena kwa sababu ya àibu.

“Mercy.”Safari hîi jina liliitwa huku Longino akiunyanyua uso wa binti yule kwa kushika kidevu chake na kumgeuzia upande alipo yeye.

Mercy alipomuangalia Longino machoni,yalikuwa mekundu kama mtu anayetaka kulia au analia kabisa. Moyo wake ukashindwa kuhimili macho yale ya Longino japo uso ulijikaza na kuendelea kuangalia. Mercy alimuonea huruma sana Longino, huruma ambao ndio unawaponza wanawake wengi katika dunia hii.

“Nakupenda.” Neno moja lililomtoka Longino na kuufanya moyo wa Mercy kulia PAA.

Haukulia kwa kuwa ni mara ya kwanza kutamkiwa neno hilo na mtu baki. La! Hasha, alishasikia neno hilo kwenye vinywa vingi sana vya wanaume wa pale mtaani kwao na anaposoma. Ila ulishtuka kwa kuwa aliambiwa na mwanaume ambaye hakuwahi kufikiria kama ipo siku atayasema hayo.

Neno hilo la Longino,lilisindikizwa na busu dogo kwenda kwenye midomo ya Mercy.
Binti hakuwa na upinzani juu ya hilo. Na Longino alikuwa kamà mwenye kujaribu bahati yake aone kama atapata ukinzani.
Kitendo hicho cha Mercy kutulia,kilimpa nafasi Longino ya kujivuta hadi karibu na ubavu wa Mercy ambapo alizungusha mikono yake kwenye shingo ya binti yule, kisha taratibu akapeleka midomo yake katika midomo ya Mercy. Kufika hapo midomo yao ikafunguka na ndimi zao zikatoka na kuanza kusabahiana huku mikono yao ikiwa inaoneana aibu kushikana hapa na pale.

Ni Longino ndiye alianza kumpeleka taratibu Mercy kwenye utamu wa raha, utamu ambao kama hujawahi kuuonja, basi utataka kila siku uuonje.

Longino alitoa mikono yake kwenye shingo ndefu kiasi kama ya twiga,aliyokuwa kabeba Mercy. Mikono hiyo ikahamia kwenye kifua cha mwanadada yule na kukutana na matiti madogo kiaina kama embe sindano lakini magumu kama rimao. Matiti yaliyotia mshawasha hata kwa kuyaangalia yakiwa yamevishwa nguo.

ITAENDELEA

NILILALA NA MAITI 20 ILI NIOLEWE NA RAIS – 5

NILILALA NA MAITI 20 ILI NIOLEWE NA RAIS – 5



Simulizi : Nililala Na Maiti 20 Ili Niolewe Na Rais
Sehemu Ya Tano (5)

“Kwani Diana? Rais mwenyewe sio yule wa duniani?”
“Adela? Unatakiwa uvute subira mpaka tufike tunapokwenda ndio umuone Rais wako. Na hapa ninavyoongea yupo ikulu na maaskari wengi sana wanakusubiria uku wakipiga matarumbeta kwa shangwe.Majigambo! Yaani mimi mwenzako nilifaudu kweli sikutaka hata muda uishe lakini ndio hivyo tena kwa sheria za kichawi ni miezi miwili tu kuishi na rais wetu huyu na siku zako zikiisha ni lazima akukate sehemu zako za siri nakuzibandika kichwani mwake ili asizeeke mapema nakukuacha ukirudi katika kambi yako ulipotoka ya kichawi”
Diana alijiza maneno matamu nakuikuta mwili ukiwa katika shauku zima la kufika uko niendako, nilitamani na mimi niwe na huyo rais toka nilivyoambiwa.sikulijali kabisa swala la kukatwa sehemu za siri na tena na rais anayeheshimika duniani. Nikajipa moyo konde!
”Kwahiyo Diana huyo Rais anayajua mapenzi ennhhh?”
“We weee Adela! Kwa mapenzi kwa rais ndio umefika. Wewe ngoja ukifika utaona mwenyewe. Ndio maana nakwambia nilitamani sana muda uongezwe miezi miwili ni michache jamani kufaidi mapenzi na rais wetu huyu!”


Njia nzima Adela mimi nilikuwa kama nimemwagiwa maji tena yale maji yenye ubarafu ndani yake. nilikuwa mtu wa kusisimka ovyo kila nilivyotajiwa jina la rais. Nilijipa mawazo mengi sana.Mawazo ya kuishi maisha mapya na rais niliokuwa nikitamani sana kuwa naye. Mabinti wale warembo waliokuwa wamevalia nguo za dhahabu na meno yao ya ming’aro bado walikuwa nyuma yetu wakitusindikiza. Njiani tulipishana na wengine tena wengi na wote hakuna hata mmoja aliyetusemesha zaidi ya kuonesha sura za tabasamu. Tabasamu la kunipokea! Tuliendelea na safari ya kupita chini ya maji mengi kwa urefu kidogo bila hata ya kuchoka wala kuogelea. Tulikuwa tukitembea kawaida sana kama tukiwa nchi kavu tu. Mchawi yeyote anauwezo wa kutembea juu ya maji au ndani ya maji pasipo kulowana hata tone. Na yote huwa ni kwa nguvu za kichawi.
“Adela?”
Aliita Diana kwa utuli. Kimya! Akanikagua mwili wangu juu mpaka chini kisha akaninyooshea mkono upande wa pembeni yangu.
“Umepaona paleeee?”
“Ndio kwani kuna nini Diana?”
“Pale wanapopiga matarumbeta ndipo kuna rais ambaye anakusubiri mfunge ndoa. Na wale wapambe wote ni mapolisi na mabodigadi wake. Unachotakiwa ni kunisubiri hapa hapa nikakuletee nguo za harusi upande ule.Nisubiri!”
Aliongea Diana na kuniacha nikiwa na maswali mengi kichwani. Macho yaliendelea kumuangalia Diana lakini akili haikuwa kwake. Nilibaki nikijiuliza moyoni.
“Inamaana ni ndoa ya kichawi au?”
Niliuchukuwa mkono wangu nikapiga kifuani kwa hasira. Upuuzi! Nikageuka nyuma na kutaka kutoroka niondoke zangu. Nguvu za kichawi! Kitendo cha kuinua mguu tu nakugeuza nikashangaa nyao zikibaki chini kama ilivyowahi kunitokea hapo awali. Nikauinua na mguu mwingine nao ivyo ivyo. Nikaanza kuhisi maji yanaingia mwilini mwangu yakiniingilia kutokea chini ya miguu zilipobanduka nyayo. Mwili ukawa mrefu sana na mnene mithili ya mti wa mbuyu. Sikujali! Nikaanza kurudi nyuma nilipotoka. Kadri nilivyoanzisha spidi ndivyo na mikono yangu ilivyokuwa ikituna kwa kujawa na maji mengi. Mkono wa kushoto ukatuna sana maji ukapasuka nyang’anyang’a chini. Ukagawanyika vipande vipande. Sikutaa kuzubaa nikaendelea na safari ya kutoroka tena, nikashangaa mkono wa pili nao ukipasua vipande vipande nakuanguka mpaka chini.Mikono yangu yote ikiwa haipo. Nikabaki nikiongozwa kwa miguu pekee pasipo mikono. Kila hatua nilivyokuwa nikizidisha kupiga ndivyo na miguu nayo ilikuwa ikinivimba. Nikahisi nayo ikijaa maji nakutanuka kuwa mikubwa sana mithili ya mnyama tembo. Nguvu ya kukimbia sikuwa nayo tena, nikabaki natembea.Tena nikitembea ule mwendo mdogo wa mnyama ‘tembo’.
“Adela? Adelaaaaaaaaa??”
Nikasikia sauti ya Diana ikiniita kwa mbaali sana. Nikainama chini nakumuona Diana mdogo kama sisimizi. Nikasogeza sikio langu kumsikiliza. Akapanda na kulishikilia sikio langu. Nikainuka naye akiwa kaning’inia kwenye sikio langu la upande wa kushoto.
“Adela, nini tena unataka kufanya?. Hili ni zaidi ya eneo la kichawi na kamwe usijaribu kutoroka kabisa!. Rais amekasirika sana baada ya kuona unataka kumkimbia. Na hajaamini kama kweli umeshalala na maiti ishirini. Hakuamini tena na akikasirika zaidi utarudi tena duniani ukachomwe moto na watu wa duniani wasiotupenda tuwe wachawi.”
Maneno ya Diana yaliuchoma sana moyo wangu. Diana akajishikiza karibu na pua yangu nakuteremka mpaka kwenye lipsi ya mdomo wangu uku akipishana na machozi yaliokuwa yakianza kunibubujika. Akatumia mikono yake kuutanua mdomo wangu. Akadumbukiza dawa ndani yake. Dawa yenye nguvu za kichawi.Akatoka mpaka nje nakudondoka chini. Ile dawa ikanifanya nijisikie kizungu zungu kwa muda nikiweweseka. Nikadondosha limwili langu mpaka chini nakuanza kunywea nakurudi katika mwili wangu ulivyo kuwa. Nikawa mdogo
“Adela?”


“Ndio Diana”
Sikuamini kama ndani ya ule muda mfupi nilikuwa nimerudia katika ile hali yangu ya Adela yule wa zamani. Viungo vyangu vyote vilikuwa vimeshajikusanya nakuwa Adela mpya aliokamilika viungo vyote. Diana akanikabidhi nguo nzuri na za kung’aa. Nikazivaa kisha akanipa saa na pete inayong’aaa vyote vikanipendeza sana.
“Tanua mdomo Adela?”
Nikatanua, Diana akaniweka meno ya bandia. Yale meno yenye mng’aro wa silva.Nikametameta! Diana akanishika mkono nakuongoza tena tulipokuwa mwanzo pale ambapo niliona umati wa watu kwa mbali ukisherekea kwa matarumbeta. Ambapo Diana aliniambia kuwa rais ananisubiri tufunge ndoa. Mikononi walinipa nishike kichwa cha binadamu tena cha mtoto mdogo ikiwa ni ishara kama ua. Gauni langu lilikuwa lakumetea meta sana hali iliyofanya kule kumetatmeta kushindane na mwanga wa maji. Hatimaye baada ya hatua kadha tukawa tumeshafika eneo ambalo rais alikuwa akinisubiria kwa hamu.
“Adela, rais huyo hapo anakuja kukuchukuwa mpokee na mpige busu uondoke naye!”
Aliongea Diana kwa kunong’ona kupitia sikioni mwangu. Macho kodo! Sikutaka kuhamini.
“Jesus!”
Hakuwa rais yule wa duniani niliyemdhania bali alikuwa ni rais wa wachawi. Mwili wake mkubwa na weusi uliopitiliza mithili ya dikteta yule wa zamani wa Uganda ‘Idd Amin’. Minyamanyama ya mwili wake ikanifanya kuogofya sana. Mwili wake ulikuwa umezungukwa na vichwa vya watoto wachanga zaidi ya thelathini tena vikitoa machozi kwa kulia kwa uchungu. Macho yake yalikuwa na rangi tofauti tofauti. Yalikuwa yakibadilika kama taa za disco kila alipokuwa akinisogelea. Kichwani hakuwa na nywele hata moja zaidi ya kuwa na manundu manundu na aliponikaribia karibu zaidi ndipo nikagundua kuwa kichwani kuna sehemu za siri za wanawake wengi zimeganyanyika gawanyika. Akanifikia karibu.
“Adela mke wangu mpya!”
Aliongea kwa sauti ya kutetemesha hali ilionifanya mwili kudhoofu kwa muda. Mkono wake ulikuwa umenakshiwa kwa midomo ya watu wa duniani. Nikageuka nyuma kumuangalia Diana.Patupu! hakukuwa na Diana na hata wale watu wapambe pembeni walikuwa kama wameganda kwa mshangao mithili ya mtu aliyeganda kwenye barafu.
“Mimi ndiye rais wa wachawi wote hapa Tanzania na leo nipo na mwanamke mzuri kama wewe. Nipo tayari kufunga ndoa na wewe. Kwanza nataka kuona utamu wako Adela!!”
Akaendelea kuongea kwa sauti ya kukwaruza na ya kiubabe. Akanishika mkono mpaka katika eneo kubwa lililokuwa limekaa mithili ya kitanda. Lakini ilionesha kuwa kitanda kimetengenezwa kwa kutumia ngozi ya binadamu hawa wa duniani. Akanilaza mpaka kwenye hicho kitanda. Akavua ngozi ya binadamu ambayo alikuwa amejiziba eneo la sehemu za siri. Tahamaki! Macho yangu yakakutana na mioyo ya watoto wachanga mingi mingi ikiwa imezunguka kwenye sehemu zake za siri uku uume wake ukionekana kwa mbali sana. Akanilalaia kwa juu nakutoa ulimi ambao nao ulikuwa umetanda kucha kucha hizi za bandia ambazo wanapenda kuzibandika sana kinadada wa duniani.
*********************************


Nilijitahidi kuvumilia, moyo wangu ulikuwa tayari umejawa na ujasiri wa ajabu. Ujasiri wa kuvumilia lolote mbele yangu. Adela mimi nikajikuta nikikubaliana na yote. Yule Rais akanikumbatia kwa nguvu katika kile kitanda. Akachomoa yale makucha yake marefu nakuyapitisha mpaka katika sehemu zangu za siri nakuzitoboa toboa. Ile mikucha yake yote ikalowa damu, damu za kutoka katika sehemu zangu za siri. Akaanza kulamba zile damu.
“Hakika wewe mtamu sana Adela.. Haya inuka uanze kuninyonya..”
Aliongea yule Rais wa wachawi kwa sauti ile ile ya kukwaruza. Nilimwangalia mara mbili mbili. Akili yangu ikapingana na moyo, moyo ukasita nakukataa kutii amri ya yule Rais. Amri ya mimi kumnyonya eneo la sehemu zake za siri, Sehemu zake za siri ambazo zilikuwa zimezungukwa na mioyo ya watoto wachanga.
“Haiwezekani!!” Nikabisha kwa kuusemea moyo.
Nikauchukua mikono yangu miwili nakuielekeza moja kwa moja mpaka katika sehemu za siri za Rais. Nikaanza kuvuta ile mioyo ya watoto wachanga. Kadri nilivyokuwa nikiivuta ndivyo na Sauti za watoto wachanga zilivyokuwa zikipaa zaidi. Ndani ya muda mchache eneo lote likatapakaa damu. Yale maji niliyodhania niko chini ya bahari yakawa yamesalimiana na hizi damu za mioyo ya watoto wachanga kutoka kwa huyu rais wa wachawi. Bahari yote ikatapakaa damu. Hofu! Giza likaanza kutanda eneo lote kunizunguka mimi. Rais akabaki kumetameta peke yake. Nikashuhudia ile mikono ya Rais ambayo ilikuwa imezungukwa na midomo ya watu ikitoa sauti kali uku ikitetemeka.
“Adela, Adela kwanini unataka kumuua Rais wetu..”
Ile mikono ikaanza kutoa maneno yakijirudia rudia mara mbili mbili. Sepa! Nikaanza kurudi kinyume nyume nikitaka kukimbia katika eneo la wachawi. Yule rais hakuwa na uwezo wakunifuata hata kuningelesha tena zaidi ya kunitazama tu kwa macho. Nikaendelea kupiga hatua moja baada ya nyingine nikirudi kinyume nyume. Nikiwa bado katika hali ya kumshangaa Rais wa wachawi. Tahamaki! Mara ghafla nikapokea vibao kupitia mashavu yangu yote mawili. Nikaigeuza shingo yangu kuangalia ni nani. Patupu! Hakukuwa na mtu yeyote. Ujasiri! Nikaacha kurudi kinyumenyume nakuanza kwenda mbele sasa.
“Liwalo na liwe!” Niliusemea moyo
Huku nikizidisha kasi ya kuelekea mbele alipokuwa yule Rais akimetameta. Hatimaye nikamfikia kwa ukaribu mpaka pale kwenye kile kitanda aliniweka awali kwa ajili ya kufanya mapenzi na mimi. Hasira! Nikatoa mikono yangu miwili nakupeleka mpaka shingoni mwake. Nikaanza kumkaba, Kumkaba kwa kutumia nguvu zangu zote nilizokuwa nazo. Rais akaanza kuweweseka. Akaghafilika kwa ujio wangu tofauti. Nikazidisha nguvu zaidi ya simba dume.
“Huu ndio mwisho wako mchawi mkubwa wewe, Wewe ndio chanzo cha mimi kuwa hivi. Sasa wakati wako umefika”
Rais alibaki kimya mithilili ya mtoto mchanga aliyeona kitu kikimzunguka. Alibaki akiwa hajitambui zaidi ya kuendelea kumetameta. Kwa ushupavu niliokuwa nao niliyatoa meno yangu kwa ukali yakaanza kusalimiana na sehemu za siri za Rais. Nikaanza kuitafuna ile mioyo ya watoto wachanga ambayo ilikuwa imepambwa vilivyo katika sehemu zake za siri. Nikaitafuna tafuna kisha nikaimeza. Nikaanza kuitazama mikono. Zamu ya mikono. Nikaanza kuitafuna ile midomo ambayo nayo ilikuwa imezunguka mikono yote. Mdomo wangu wote ukatetwa damu kwa kusalimiana na damu za midomo katika mikono ya Rais. Rais akaishiwa nguvu nakudondoka chini kabisa. Kule kumetameta kukazimika kama Umeme wa tanesco unapozimika usiku. Ule mpango wa mimi kuolewa na Rais ukawa umeyeyuka rasmi.
“Adela? Adela?”
Sophy aliita kwa sauti ya juu na ya ukali. Alikuwa peke yake eneo la pembeni yangu huku akiwa mtupu kabisa.
“Umemfanyaje tena Rais wetu Adela? Kwanini umemuua mungu wetu Adela?”
Kau! Nikanyamaza. Sophy akaanza kunifuata mpaka pale nilipo. Aliponikaribia karibu tu naye nikamgeuza kitoweo. Nikaanza kumtafuna. Nikaanza kuhisi mwili wangu kurudi katika ubinadamu. Nikakamaa mithili ya wale watu wenye ugonjwa wa kifafa. Macho yangu yakawa yakiangaza vikundi mbalimbali vya wachawi wakiwa na viongozi wao wakifurika huku nao wakionesha kuzunguka mwili wa rais pale chini. Wakalia kwa vikwifukwifu. Na huo ndio ukawa mwisho wa utawala wa rais wa wachawi. Bwana Mchungaji nimesimama hapa mbele yako na waumini wote wajue na waeneze habari hizi popote. Huu wote ni Ushuhuda wangu. Mwenye masikio amesikia na hata amesimuliwa.
“Pigeni makofi, Aleluya!!!” Mchungaji Joseph akadakia kisha waumini wote wakaitikia.
“Asante kwa ushuhuda wako uliotoa hapa kanisani. Hakika Mungu amekujalia vitu vingi sana na umepigana kuwaonyesha kuwa unaweza. Kuanzia Leo tutakubatiza na hutoitwa tena Adela bali utaitwa Angelina yaani malaika wa Mungu. Aleluyaaaa!!!”
Waumini karibu wote kanisani wakabaki wakitoa machozi kwa ushuhuda wangu jinsi ulivyokuwa mrefu na wakusikitisha. Kuna waliozimia na wengine kutokuamini na hata wengine kupiga makelele ya mapepo kuonesha bado wanasumbuliwa na wachawi. Yale maziwa yangu ambayo nilikatwa kwa nguvu ya kichawi yalibaki kwa wachawi. Hivyo nilivyokuwa binadamu tena upya nilishangaa kurudi nikiwa na maziwa yangu kamili yote mawili. Nasema namshukuru sana Mwenyezi Mungu hakika wewe ni wa ajabu sana.

Hakika duniani kuna maisha mazuri na yenye kila aina ya kumfurahisha mwanadamu wa sasa ama kumchukiza. Angelina leo hii nimeokoka na nimeshampokea bwana Yesu awe awe mwokozi wa maisha yangu. Nitatembea na Yesu kila mahali nikilitangaza jina lake milele. Hakika kwa Bwana kuna msamaha na leo hii nimesamehewa.

MWISHO

NILILALA NA MAITI 20 ILI NIOLEWE NA RAIS – 4

NILILALA NA MAITI 20 ILI NIOLEWE NA RAIS – 4


Simulizi : Nililala Na Maiti 20 Ili Niolewe Na Rais
Sehemu Ya Nne (4)

“Adela! Adela!”
Waliita kwa pamoja Sonia na Sarah. Sauti zao ziliendelea kuita uku zikijirudia midomoni mwao mara mbili mbili. Wale wachawi wao walikuwa bado wakishikilia mienge iliokuwa ikitoa moto uku wakiinua kwa juu. Walikuwa wamepoza sauti zao kupisha sauti za Sonia na Sarah. Sonia na Sarah ambao bado walikuwa wamebakiwa na mioyo miwili miwili kila mmoja mikononi mwao. Wakanirushia tena kwa mara ya pili.Wale wachawi wakaanza upya kuimba ile nyimbo niliokuwa nikiipenda.Wakashangilia!
“Adela unatakiwa kuila hiyo mioyo yote haraka iwezekanavyo!”
Aliongea Sonia kwa sauti ya juu. Kitendo cha kuongea tu wale mbung’o wakaiwahi tena ile mioyo iliyokuwa imerushwa na Sarah na Sonia. Wakaifakamia na kufurahia kupata kitoweo pasipo jasho. Nikainua mikono yangu nakuanza kunyang’anyana na mbung’o wenye njaa kali.Mbung’o wakatawanyika nakuniachia ile mioyo.Wakakimbilia maeneo ya kifuani mwangu kama walivyokuwa wakifanya awali. Wakazidisha kutengeneza duara kubwa katika maeneo niliokuwa nimekatwa matiti. Maumivu makali yakaanza kupenya katika mwili wangu. Nilijikuta nikiambulia kushika moyo mmoja tu uku ile mingine nikiiachia. Nikaushikilia kwa nguvu na kwa hisia zote. Nikaufinya ule moyo katika kiganja changu mpaka ukawa laini sana mithili ya maini. Nikausogeza mpaka maeneo ya mdomoni mwangu nakuutafuna. Kadri nilivyokuwa nikiutafuna ndivyo na mapafu yangu mwilini yalivyokuwa yakinitanuka. Yakazidi kutanuka nakusababisha tumbo lionekane kubwa sana. Mpasuko! Mwili wangu wote ukasambaratika kuanzia mikono tumbo mpaka kiuno na miguu vikasambaa. Adela mimi nikabakiwa kichwa peke yake uku nusu ya mwili wangu ukiwa umesambaratika juu ya tope.. Mdomo ukawa hauna tena uwezo wa kutoa sauti na kuongea zaidi ya macho yangu kuangaza mbele. Mbele kulipokuwa kumezungukwa na idadi ya kundi kubwa la wachawi wakiwa wameshikilia mienge inayowaka moto wakiongozawa na Sarah na Sonia.Akili ikaumia sana kuukosa moyo.Moyo uliokuwa ukimsaidia kwa mawazo. Moyo ambao tayari ulikuwa umeshajikusanya na viwili wili kusambaratika juu ya tope.Mchawi yeyote anaweza hata kukatwa kichwa na bado akawa anaongea kama waongeavyo binadamu wa duniani. Hiyo ni nguvu ya ajabu waliokuwa nayo wachawi wote.
**************
“Adela?”
Sauti ya Sophy ikashtua ngome ya masikio yangu.Macho yangu bado yalikuwa yamefumba japo masikio yalikuwa wazi kusikia chochote. Nikatoa macho kuangaza Sophy alipo.Ubaridi mkali bado uliendelea kutawala katika shingo yangu iliokuwa imeachanishwa na kiwili wili. Lile eneo niliokuwa nimelalia tope uku mbung’o wakinitafuna halikuwepo tena mbele ya macho yangu. Kichwa changu kikawa kama kimehifadhiwa chini ya mti mkubwa. Kichwa tupu! Sikuweza kujigeuza nakutambua sauti ya Sophy ilipokuwa ikitokea.
“Adela jamani! Pole sana Adela!”
Sauti ya Sophy ikawa bado ikiniongelesha uku hisia za kuwa yupo maeneo ya karibu nikiwa nazo. Tahamaki! Macho yangu yakakutana uso kwa uso na Sophy. Sophy aliyekuwa mtupu kama alivyozaliwa. Akanishika kichwa changu nakukiweka kwapani.
“Twende!”
Alionesha kuwa na hasira kali kwani hata macho yake hayakuwa ya kawaida. Alinishikilia kwa nguvu kwapani mwake. Shingo yangu ndio kwanza ilizidiwa na baridi kali hali ilionifanya nisikie upepo mkali ukinitoka kupitia puani, masikioni na mdomoni. Upepo mkali uliojawa na vumbi. Sikuweza kupiga hata chafya japo hisia za kupiga chafya nilikuwa nazo. Nikatamani sana nimuulize Sophy tunapoelekea lakini hali ikawa pale pale kwamba sikuwa na uwezo wa kutoa sauti zaidi ya kusikia tu. Baada ya Sophy kutembea kwa umbali kidogo masikio yangu yakaanza tena kusikia ile nyimbo niliokuwa nikiipenda ikiimbwa na wachawi kwa mbali. Ile sauti ya nyimbo ikaonekana kumkera sana Sophy. Akachukua kichwa changu nakukiweka mbele ya uso wake. Akatikisa kichwa chake kwa hasira kali alizokuwa nazo. Ule uso wake ukabadilika rangi nakuwa na sura ya yule mmama aliyenileta uku kwenye himaya hii ya wachawi wengine. Sura ya Sophy ikabadilika tena ikawa kama ya Sonia mara kama ya Sarah. Akachukua kichwa changu nakukitupa mpaka chini. Nikahisi kama napasuka kichwa. Kichwa changu kilibiringita zaidi ya mara ishirini mithili ya mpira wa miguu kisha kikagota karibia na mti mkubwa. Nikaanza kuvuja damu si damu kwani ilikuwa ni ya bluu sana. Ikaanza kunitoka kuanzia masikioni. Masikio yote mawili yakatoa damu damu za bluu mithili ya bomba litoavyo maji kwa wingi.Masikio yakashirikiana na pua katika kutoa damu damu nakupelekea mdomo kushikwa tamaa ya kutoa damu. Mdomo nao ukaanza kufurahia kutoa damu damu.Nikaachama uku nikitoa ulimi nje nakuruhusu damu damu zile zinitoke kwa nguvu zote. Nikayatoa macho ya ukali kumuangalia yule niliyedhania ni Sophy mbele yangu. Nikashuhudia akisinyaa nakuwa mdogo sana kama panya. Akakimbia!
Zile damu damu zikaanza kujikusanya nakuweka mstari mmoja. Zikatawanyika kwa kufuata mkondo mmoja uku zikitokomea ndani ya pori zaidi. Zikakata kutoka katika sehemu zangu za masikioni,puani na mdomoni. Macho yakaanza kuangaza sehemu damu zilipokuwa zikielekea. Misukule watatu wakatokea katika ile sehemu damu ilipotokomea. Walikuwa wamebebeshana mwili wa mtu alioonekana mwanamke kutokana na kuwa na matiti kifuani mwake uku
 akiwa hana kichwa zaidi ya kubakiwa na shingo pekee. Wakasogea mpaka karibu na kichwa changu kilipo. Wakaangusha ule mwili wa yule mtu. Wakajipanga mstari kuashiria kuna mtu anatokea katikati yao.
“Adela!”
Sauti ya Sonia sasa ikawa imeshakaririshwa rasmi na masikio yangu. Akatokea Sonia miongoni mwao.akainama mpaka chini nakushika kichwa changu. Akatoa tabasamu pana.Akanong’ona!
“Bado tunakupenda!”
Akanena kwa sauti ya kimya kimya masikioni mwangu. Masikio yakatingishika mithili ya mbuzi ‘beberu’ akitaka kufanya mapenzi na mbuzi jike.Akatoa ile dawa yetu ya wachawi ya “CHAYA” inayoweza kuunga kiungo chochote cha mchawi kikiharibika ama kukatwa. Sonia akaanza kunipaka nayo shingoni mwangu uku akisugua kwa nguvu zote.Alipomaliza alionesha ishara kwa ile misukule. Misukule ikainua ule mwili wa mwanamke uliokuwa chini. Sonia akatoa tena chaya nyingine nakupakla shingo ya ule mwili nakusugua kwa nguvu zote. Kisha akachukua kichwa changu nakukiunga na ule mwili. Vikang’ang’ana!
“Adela? Adela? Ongea basi?”
“Abee! Unasemaje?”
Nillijikuta naweza kutoa sauti, tena sauti tofauti na sauti yangu ya kawaida. Ilikuwa ni mchanganyiko wa sauti ya kike na ya kiume. Sauti iliyoshiba na yenye kumtetemesha mtu yeyote.Akili ikafurahia nakuanza kuutafuta moyo ndani yake ulipo.ukafanikiwa kuuona moyo nakufurahia kuwepo pamoja kwa mara nyingine.

******************

Nguvu za kichawi zikanijaa upya. Mwili ukajipa ubabe wa muda kwa kujitingisha.Nikaanza kujaribu viungo vya mwili kama vina ushirikiano. Nikapiga hatua mbili mbele moja nyuma. Nikainua mikono yangu nakuikumbatia kwa hisia. Nikajikumbata! Nikaigeuza shingo yangu kumuangalia Sonia pamoja na ile misukule. Patupu! Sikuweza kumuona hata mmoja.Lile eneo nikabaki kuwa peke yangu kwa mara nyingine tena. Ile hali ya woga aikaniondoka kwa muda huu.
“Ahhh liwalo na liwe!”
Nikausemea moyo nakujijaza ujasiri wa hali ya juu. Ujasiri wa kupambana na chochote mbele yangu.Sikujua nilipotokea wala nilipokuwa nikielekea. Nikafuata kinjia cha pori nakuongoza. Kwa takribani hatua kama arobaini uku giza likiwa limenizunguka na macho ya kichawi yakiwa kama mwanga wa kuangaza. Sauti ya nyimbo ile ile tena ninayoipenda ikatikisa ngome ya masikio yangu. Shtukizo! Ile sauti ikaongezeka kupaa na kuwa sauti kubwa na nyingi zikiimba kwa shangwe. Nikasimama! Nikashikilia majani ya mti kwa nguvu na hisia mwilini uku nikiisikiliza ile nyimbo ikiimba. Mara ile sauti ya nyimbo ikakata tena!
“Oiyeee he”
“Heeeee!!”
Sauti za wachawi wenzangu zikatokea upande wa nyumba yangu.Kila mmoja alionesha kuwa na ngozi ya binadamu wa duniani katika eneo lake la sehemu za siri. Walikuwa ni wengi sana wakinifuata kwa kunikimbilia uku mikononi mwao kila mmoja akionesha kuning’iniza mienge ya moto. Mwanga ukawa mkali sana. Sikuwa na jinsi zaidi ya kusimama nikiwaangalia wakinifuata. Wakanisogelea mpaka karibu kisha wakanizingira.Wakatangeneza duara kubwa. Nikajihisi akili ikichanganyikana na ubongo. Sikujua dhamira yao. Moyo ukabaki kuwa na maswali mengi kwani wachawi wa kambi yetu huwa hatuna mchezo wa kumsumbua mgeni kama wafanyavyo hawa. Wakatanua njia kidogo kuonesha kuna kitu kinakuja katikati yao. Akatokea mzee alioonesha kuwa na upara. Alibebwa juu juu na misukule sita uku mikononi mwake akiwa ameshikilia fimbo kubwa iliokuwa imenakshiwa vizuri kwa fuvu la binadamu. Hakuwa amevaa nguo hata moja mwilini mwake.Mtupu!
“Ineku wane?”
Akaita kwa sauti ya juu akimaanisha ‘mgeni wa kutoka wapi’. Wale wachawi wenzake wakabaki kimya wakinitolea macho. Akajitokeza Sonia miongoni mwao.Akamfuata yule mzee mpaka alipo. Akamnongoneza masikioni mwake.
“Sai sonsimba”
Yule mzee akatoa amri kwa lugha yetu ya kichawi akimaanisha ‘mpeni heshima yake’. nikastaajabu misukule wakimshusha yule mzee mpaka chini kabisa kisha wakaondoka. Wakabakia wale wachawi na mzee wao. Macho kodo! Upepo mkali ukatawala ghafla. Ukazunguka eneo la kwangu nilipokuwa nimesimama. Ukapuliza kwa muda mrefu ukichanganyikana na mwanga mkali. Ukakata! Pakabaki tuli. Nikaangaza tena nakushuhudia lile kundi la misukule likizingira na kupanga binadamu wa duniani .Wakawapanga chini zaidi ya kumi.
“Adela?”
“Mzee huyu kajuaje jina langu? Au Sonia kamwambia?”
Yule mzee akaniita kwa sauti ya juu uku akinitazama kwa mkazo. Nikabaki nikiulizana na moyo bila kupata jibu.
“Habari zako ninazo.hizo hapo chini ni maiti za kiume. Maiti ambazo zilipata ajali.Ajali ambayo sisi ndio wasababishi. Unachotakiwa iyvo ivyo ukiwa uchi anza kuzinyonya nakuzikalia kila mmoja katika sehemu zake za siri haraka iwezekanavyo.”
Nikajihisi kusisimka kwa mwili.Tamaa! Ile hali ya kufanya mapenzi na maiti ikaushtua sana moyo wangu. Nikafurahi sana uku nikaangalia ule umati wa wachawi uliokuwa umenizunguka. Kila mmoja akawa ameshikilia moyo mkononi mwake uku akitetemesha mdomo mithili ya mtu aliyetoka kuoga maji ya baridi sana katikia eneo lenye ubaridi. Wakawa kimya kunitazama nitakachofanya.Nikaanza kufanya kama nilivyoambiwa na mkuu wao. Nikaanza kulala nazo kuanzia maiti moja mpaka nyingine. Maiti zilikuwa na ladha tofauti kidogo na hata sehemu za siri zilikuwa zina uchachu sana. Kadri nilivyokuwa nazinyonya ndivyo na ladha ilivyokuwa ikibadilika katika mdomo wangu. Kunakipindi nilijihisi kutapika lakini nikakumbuka kuwa ni mwiko kwa mchawi yeyote kutapika katika mazingira yoeyote. Nikakumbuka sheria ambazo nilishapewa juu ya machawi atakayetapika na adhabu yake ya kutolewa ulimi na kuwa kama misukule. Nikajikaza nakumalizia kuzinyonya zote. Nilipomaliza nikaanza kuikalia kila mmoja nikiikatikia kidogo kidogo. Hofu! Nilipomaliza kuikatikia tu maiti ya mwisho. Manyunyu yakaanza kudondoka mpaka chini kuashiria mvua inataka kuja.Ngurumo za mianga ya radi zikapenya katika mboni ya macho ya kichawi. Kila mmoja akaanza kutawanyika akikimbia pasipokueleweka.Mvua ikaanza kunyesha. Mvua kubwa ile ya mawe.Nikainuka namimi kutaka kuondoka lakini nikajihisi miguu mizito kutembea. Nikainua mguu wa kulia ukainuka lakini nyayo zikabaki. Nikainua na wa kushoto napo ukaacha nyayo katika ardhi. Maumivu makali yakanijia mwilini. Nikajikuta eneo lote nikibakia na zile maiti ambazo nilitoka kuzinyonya na kuzilala.Maiti zile zikaanza kuinuka moja baada ya nyingine. Kila zikiinuka zilikuwa zikiweweseka nakuanguka tena uku nyingine zikijikaza mithili ya mazombi. Zililowana sana kiasi cha kuinuka zikiwa na tope tope jepesi. zikaanza kunifuta mpaka karibu zikitaka kuning’ang’ania mwili wangu.
“Niacheni ukoooo!!!”
Nilitoa sauti ya ukali lakini haikusaidia kitu kwani ndio kama nilihamsha na maiti nyingine pale chini. Zikanizunguka nakuniweka kati.Wakanikumbatia kwa wote huku mvua ikiendelea kunitandika mfululizo.Hawakuwa na sauti ya kuongea zaidi ya kutoa sura ya kikatili. Sura ya kumfanya mtu yeyote aweze kuogofya.Wakaanza kunishambulia kwa kunitafuna tafuna. Nikajihisi mwili kunyumbulika kama ilivyokuwa awali. Nikadondoka mpaka chini nakupoteza fahamu.

*******
“Adela?”
Nilishtuka nakujikuta nipo chini nimelala katika mazingira ambayo sikuayelewa. Nilikuwa ndani ya maji mengi sana mfano wa bahari. Ilikuwa ni kama dunia nyingine, kila mmoja alikuwa amenizunguka huku sura zao zikioneshwa kuwa na tabasamu la haja!
“Wewe nani?”
Nikauliza kwa ukali kidogo. Nikamuuliza yule dada aliyekuwa ameniita jina langu.
“Naitwa Diana! Nipo paomoja nawe, kwanza hongera!”
Nilijiangalia mara mbili mbili kwanini napewa hongera. Nikawaangalia na wale watu walioonesha kuwa tofauti sana kwani walikuwa wamevaa mavazi mazuri sana tofauti na wachawi wote niliowahi kuwaona. Walikuwa ni wasichana tupu. Shingoni na mikononi mwao kulijawa na dhahabu za kung’aa. Meno yao yalikuwa ya rangi ya silva.Yakimetameta!
“Hongera ya nini?”
Nikang’aka kwa utuli!
“Adela? Umefanikiwa kuwa na vigezo vyote vya kuweza kuolewa na Rais. Na kwa sasa Rais yupo ikulu anakusubiri kufunga ndoa nakuwa rasmi mke wake kuanzia leo kwa muda wa miezi miwili”
“Kweli?”
Sikutaka kabisa kichwa changu kiamini yasemayo na Diana. Nikayafumba macho. Halmashauri yangu ya kichwa ikafanya kazi haraka nakukumbuka kuwa kuna mtu niliambiwa anaitwa Diana ambaye alishawahi kuolewa na Raisi yeye ndiye atakayeniambia kila kitu jinsi ya kufika mpaka kwa Rais. Nilijikuta nikiushukuru moyo kwa uvumilivu ulioonesha nakuniongoza mpaka nilipofika. Zile ndoto zangu za kuolewa na Rais zikawa zimeshakubaliana na akili yangu. Nikainuka nakumkumbatia Diana. Diana akanishika mkono nakuniongoza ndani ya maji kuelekea uko ikulu kwa ajili ya kufunga ndoa.

******************************************
**** Adela atafanikiwa kufunga Ndoa na Rais? Na ni Rais yupi huyo? Kundi la kichawi la kina Sophy wanajua hilo? Na itakuwaje kama wakijua?
**** Nini hatma ya Adela baada ya misukosuko yote hiyo? Tatizo la umeme linafanya simulizi hii iwe inachelewa kufika muda muafaka. Tuvumiliane kwa hilo ukiona inachelewa kutoka kama ilivyopangwa. Soon Tanesco wataelewa tu!
***** Simulizi hii iko katika hatua za kuhamishiwa katika kitabu chake ‘kijarida’ ambacho hutotaka kukiweka chini ukianza kukisoma. Kaa mkao wa kukisoma Tanzania yote kitapatikana.
**** Simulizi hii ni ya kweli na mambo yaliopo ni ya kweli kwa wachawi hakuna hata kimoja kilichobuniwa. Najua lazima kuna baadhi ya wachawi watakuwa wameiona simulizi hii ama kuambiwa na watu. Ni kwamba Adela ameahidi kuwaumbua wachawi wote na njia zao zinazotumika ili watu wa duniani wajue. Kwa pamoja tunaupinga uchawi


ITAENDELEA

NILILALA NA MAITI 20 ILI NIOLEWE NA RAIS – 3

NILILALA NA MAITI 20 ILI NIOLEWE NA RAIS – 3



Simulizi : Nililala Na Maiti 20 Ili Niolewe Na Rais
Sehemu Ya Tatu (3)

Nikaendelea kulishikilia fupa lile vizuri huku macho yakinitoka vilivyo. Nikasogea hadi karibu na mwili wa Baraka. Baraka ambaye kwa sasa hakuwa akiweza kuona chochote zaidi ya macho yake kuyafumba. Hakuwa na kumbukumbu tena wala ufahamu.Wale mabinti wakatawanyika kila mmoja na bakuli lake lililojaa damu za Baraka. Nikiwa bado katika hali ya uchi wa mnyama huku eneo la matiti yangu yakiwa hayapo kutokana na maisha ya kichawi yanavyotaka. Nikatumia lile panga niliopewa na mzee taratibu nakuanza kumchana Baraka kifuani mithili ya ngozi ya mnyama ikichunwa. Muda wote wachawi wenzangu pamoja na wachawi waalikwa walikuwa pembeni yangu wakinizunguka. Walikuwa wakitazamana wenyewe kwa wenyewe wakinena kwa lugha za kichawi. Kadri zile nyimbo zilivyokuwa zikiimbwa ndivyo na mwili wangu ulivyokuwa ukiongezeka hisia za kichawi. Nikamchana Baraka tumboni mwake ishara ya duara kisha nikatoa ngozi ya juu nakushuudia utumbo wa Baraka ukiwa wazi.
“Oiyeee!! Oiyeee Adela!”

Aliropoka baba Jamila. Alikuwa akisifu kitendo cha mimi kufanikiwa kuutoboa mwili wa Baraka.Ujasiri! Nikalitupa lile fupa pembeni. Nikatumia mikono yangu miwili kuingiza mpaka tumboni mwa Baraka.Niliitumbukiza mpaka nikahakikisha ikikaribiana na mbavu za mgongoni mwake. Nikavuta nakutoka na rundo la utumbo utumbo. Nikauchukuwa mkono wangu mmoja nakuchukua lile fupa kama kisu. Mkono mwingine nikashikilia rundo la utumbo uliokuwa umechanganyikana na vitu kama mafuta mafuta nilivyokuwa nimevitoa tumboni mwa Baraka. nakainuka navyo mpaka juu. Nikatoa sauti ya ukali ya kichawi.
“Oiyeee!!! Baba Jamila Oiyeee!!! Ineku oiyee!!”
Kwa kawaida ya wachawi neno ‘Ineku” huwa linamaanisha wachawi waalikwa ambako kwa duniani huwa wanawaita wageni. Ineku wote wakainua mikono juu wakinishangilia kwa kuwa shujaa.Munkari!Nikaanza kuchabanga chabanga ule utumbo mpaka ukawa vipande vipande mithili ya wadudu wadogo dogo watambaao waitwao minyoo. Nikachukuwa kidogo nakuula huku damu damu zilizochanganyikana na mafuta meupe meupe ya ule utumbo yakinichuruzika pembeni ya mdomo wangu. Nikainama kwa mara nyingine nakuchukuwa vipande vya utumboi na kumpatia baba Jamila. Nikarudi tena mpaka chini nakubebelea rundo la nyama za utumbo nakuanza kusambaza kwa ineku wote. Nikawazunguka huku nikiwapa katika viganja vyao vya mikono. Wakajilamba! Kila nilivvokuwa nikiwapa ndivyo na mwili wangu ulivyokuwa ukijisikia nguvu za ajabu zilizoambatana na hisia za kichawi. Hatimaye nikamaliza kuwagaia wote wakaanza kufakamia ule utumbo niliokuwa nimeutoa tumboni mwa Baraka huku wakiimba nyimbo za kichawi kushukuru.
“Adela shika na hii?”
Baba Jamila aliniletea kitu kama msumeno chenye makali nakunikabidhi.
“Hiyo unatakiwa ukate kidole kimoja baada ya kingine uweke pembeni hapo. Hii hutusaidia kwenye kuruka na ungo kwani huwa inahifadhiwa ndani ya ungo.”
Bila kupoteza muda nikauchukuwa mkono mmoja wa Baraka nakuanza kumkata kidole kimoja baada ya kingine. Nikahamia mkono mwingine nao nikamkata vidole vyote nakuviweka pembeni yangu. Nilipomaliza mikononi nikahamia miguuni. Nikamkata vidole vya miguuni nakuviweka pembeni. Ndani ya dakika chache nikawa nimeshamaliza kumkata Baraka vidole vyote vya miguuni na mikononi. Nikavikusanya nakumpa baba Jamila?”
“Adela, sasa waweza kwenda! Lakini sehemu ninayotaka uende ni barabara ya kuelekea Chalinze. Kuna maiti inasafirishwa ndani ya daladala inatokea Dar es salaam inaelekea Sumbawanga ineku wenzangu wameishuhudia na tena nasikia ni ya kiume.Changamkia! .Jitahidi uiwahi ili upunguze idadi ya maiti ulizolala nazo.Sawa Adela?”
“Sawa baba nimekuelewa!”
Nikauchukuwa ungo nakuweka pembeni yangu.Ulikuwa umewekwa nguvu zetu zote za kutukinga na uchawi.Mkono mmoja nikashikilia mkia na mwingine nikashikilia kibuyu. Nikaingia ndani ya ungo kisha nikaupepea ule mkia hewani kuonesha ishara kuwa nataka kuondoka. Nikapaa! Safari ya kufukuzia maiti barabara iendayo Chalinze ikaanza.
************


Kwa kawaida ya mchawi huwa anasafiri kwa ungo muda wowote anaoutaka kwa duniani japo wachawi wengi hupenda kuutumuia muda wa usiku duniani kusafiri. Na hata wachawi ambao tunaungana nao wakitokea duniani huwa wanauwezo wa kutuona muda wowote wakiwa duniani. Hali ya hewa ilikuwa ni ya joto joto na kwa upande wa duniani kulikuwa ni jioni sana karibia na kuingia kiza japo kwa sisi wachawi muda wote huwa tunaona ni usiku tu kutokana na dunia yetu ya kichawi iliojaa giza na hata macho yetu yenye nguvu kali ya kufanya eneo lote lipambazuke. Nikiwa ndani ya ungo wa kichawi nikiutumia kama usafiri. Nilikuwa tayari nimeshafika maeneo ya Mlandizi. Kibuyu changu kikaanza kutikisika ikiwa ni ishara ya kuniamuru nipunguze mwendo nipo maeneo ya karibu na sehemu niendayo. Nikaunyoosha mkia kwa chini taratibu. Ungo ukashuka kidogo, nikawa nimeuweka chini chini usawa wa magari yatembeayo. Nikayatoa macho yangu uku na kule , kibuyu kikatingishika tena.Hofu! Mwili ukaanza kama kunitetemeka kuashiria sasa nimeshalifikia eneo ambalo natakiwa kuwepo.
“Hili hapa mbele yangu!”
Nikausemea moyo baada ya macho yangu kuangaliana na daladala ndogo iliokuwa ikisafiri mwendo wa kawaida. Nikauongoza ungo wangu mpaka kwenye paa la daladala.Nikashuka!
Nikaachana na ungo. Nikauweka pembeni nakuchukuwa kibuyu changu na mkia. Nikaivuta hewa kwa ndani kuongeza nguvu kisha nikaushikilia mkia vilivyo mkononi mwangu. sasa kazi ikawa ni moja tu. Kutumia kucha zangu na mwili wangu kuhakikisha nakuwepo ndani ya daladala pasipokujulikana na watu wa duniani. Nikaingia kupitia dirisha mojawapo ambalo lilikuwa wazi. Kwenye siti alikuwa amekaa mmama mzee aliyeonesha huenda alikuwa karibu sana na marehemu kutokana na uso wake kujaa majonzi. Majonzi ya kuililia maiti. Akili yangu ikawa ni moja tu. Kuhakikisha naliona hilo jeneza. Nikajibanza kona ya ndani ya daradala karibu kabisa na siti ya dereva.
“Lile palee!”
Nilijikuta nikiusemea moyo baada ya macho yangu kuliona jeneza mbele yangu. Moyo wangu ukaingia na ubarafu! Nikaanza kusonga mbele kwa mikogo kuelekea kwenye jeneza pasipo kunitambua hata binadamu mmoja kati ya waliokuwa wakisafirisha maiti. Kitendo cha kuifikia tu maiti ghafla nikashangaa tukipigana kikumbo na mtu. Nikakivuta kibuyu changu kwa upande wa mbele. Haraka haraka nikanyoosha mkia wangu kama ishara ya kunikinga kwa chochote. Na yule mtu naye akanyoonya mkia na kibuyu.
“Unataka nini?”
Sauti ya kike na ya kibabe ikajipenyeza mpaka ndani ya masikio yangu. Kwa muonekano nayeye alionesha kuwa ni mchawi lakini wakutoka katika kambi nyingine. Naye alikuwa katika mawindo kama yangu.
“Hii ya kwangu na unajua nimetoka nayo wapi? Ni mimi ndio niliitengeneza mpaka ikafa na hapa ndio nipo kwa ajili ya kumchukuwa”
Nilimsikiliza maneno yake lakini yakagonga mwamba katika ngome ya masikio yangu. Nikawa mkaidi! Nikaendelea kuing’angania ile maiti kuwa ni mali yangu uku nikilikumbatia jeneza. Kwa kawaida ya wachawi ugomvi wao huwa wanagombana pasipokujua watu wa duniani na hata kama watapigana bado watu wa duniani ni vigumu kujua zaidi ya watoto wachanga au wale wenye miaka kuanzia mitatu kushuka chini ndio wenye uwezo wakushuhudia kila kitu kinachotuhusu wachawi.
“Hapa mwanangu ni kuelewana. Wote sisi ni watu wa aina moja. Nakuomba niachie tu hii maiti utapata nyingine tu. Kwani na wewe umetumwa upeleke uko kwenye kambi yenu?”
“Hapana mie nipo kwenye adhabu na natakiwa nilale na maiti ishirini zote na mpaka sasa ndio kwanza hii maiti ni ya tatu, nakuomba uniachie?”
“Kumbe kulala nayo tu. Haya fanya haraka basi ili niondoke nayo.”
“Sawa!”
“Haya mie nakutanulia kwa kutumia nguvu zetu. Ingia”
Bila kupoteza muda Adela mimi, nikafunua jeneza nakuliangalia mpaka ndani. Kwa nguvu za kichawi alizokuwa nazo mwenzangu. Alilishikilia jeneza likatanuka na kuwa kubwa. Niliweza kuingia mpka ndani ya maiti. Nikatazamana nayo. Maiti ilikuwa ya mtu aliyeonesha kuwa ni mzee sana. Nikaanza kuilamba lamba lamba kuanzia eneo la kichwani mwake ambapo alionekana kutokuwa na nywele hata moja zaidi ya upara tena ule upara wa kizee.Nikashuka kwa haraka haraka mpaka eneo la kifuani mwake. Nikaendelea kumtomasa kwa maringo zaidi uku nikimlamba lamba mithili ya ice cream zile za bakresa mpaka nikakutana na eneo la sehemu zake za siri.
“Mlambe! Mlambe sehemu zake za siri hakikisha unazinyonya haswa kisha ufanye naye mapenzi kama wafanyavyo wapenda nao uko duniani”
Kama kawaida ya maneno kabla sijafanya mapenzi na maiti huwa yakinitokea. Kwa sasa nilikuwa nimeshayazoea katika masikio yangu. Nikaanza zoezi la kuzinyonya sehemu za siri zote uku nikizifurahia. Nikamaliza kuzinyonya nikazikalia. Munkari! Nikaendelea kukatikia viungo vyake vya sehemu za siri kwa furaha ya ajabu. Utamu! Kadri nilivyozidisha kuvikatikia ndivyo na ile maiti ilivyokuwa ikitoa damu damu kupitia eneo la masikioni mwake na puani. Utamu ukaendelea kunizidia uku nikiangaliana ile maiti. Nikazidisha kuikatikia haraka haraka. Kwa muda huu damu ilizidi kuvuja. Ikavuja kupitiliza kiasi cha kuanza kulijaza jeneza. Haraka haraka nikachukuwa kibuyu changu na mkia. Nikajinasua! Nikatoka mpaka nje nakumkuta yule mama aliokuwa amenishikia lile jeneza hayupo. Nikatoka nakuchungulia juu ya paa la gari kuangalia usafiri wangu (ungo). Nikataharuki! Hakukuwa na gari langu. Nikabaki nimezubaa dirishani nikiwa sielewi elewi. Nikiwa bado natafakari juu ya usafiri wangu uku upepo mkali ukinipuliza kichwa changu kilichokuwa kimezubaa nje ya gari na mwili ukiwa ndani ya gari. Mara sauti ya watu waliokuwa wakisafiri wakaanza kupiga makelele ndani ya gari. Wakapaza sauti zao. Gari likaanza kuyumba na kupoteza uelekeo. Nikaruka! Mpaka nje, mwili ukaupa salamu ardhi ya kando kando mwa barabara ya lami. Macho yangu yakabaki yakilisindikiza lile gari ambapo lilienda mbele kidogo nakugota. Likatoa mlio mkali. Ajali! Likaanguka mpaka chini nakubiringita zaidi ya mara tatu. Makelele ya ajabu ndio yakaendelea kutoka. Akili yangu ikanituma niangaze juu nikimbie. Nikayahamishia macho yangu juu.Nikamshuhudia yule mama aliochukuwa usafiri wangu akishuka na ungo wangu.
“Ulikuwa wapi nimekutafuta sana?”
“Nilikuwepo mbele ya lile gari pale?”
Akaninyooshea ile daladala ambayo nilikuwa nikiishuhudia muda si mrefu ikipata ajali mbaya. Nikamgeukia!
“Ulikuwa unafanyaje?”
“Mimi ndio niliyesababisha ile ajali tena twende tuwahi haraka nimewaacha wenzangu kama watatu hivi wanachukua mioyo ya maiti.”
Sikutana kuamini wala kuelewa. Nguvu zangu za kichawi bado nilikuwa nazo, nikasonga naye mpaka eneo la karibu na lile gari. Tukafika! Watu wengi walikuwa wamelala uku damu damu nyingi zikiwatawala kuashiria kama si mahtuti basi watakuwa wameshapotea uhai. Baadhi yao walikuwa hai wakiendelea kulia kwa vikwifukwifu.
“Sarah? Sonia? Na Tonny huyu ni mwenzetu sema yeye kambi yake iko Dare s salaam”
“Tunashukuru kumfahamu anaitwa nani?”
“Awaambie mwenyewe?”
“Naitwa Adela!”
Nikawaambia jina langu. Wakanionesha tabasamu hafifu. Wakaangaliana kisha wakanisogelea nakunipa mkono.
“Kuanzia sasa tutashirikiana na wewe na tutapajua hadi ulipo!”
Nikawaitikia kwa ishara ya kichwa. Wakanijumuisha katika safari yao. Nikawasaidia kazi. Pale. Tukaanza kuzichukua maiti moja baada ya nyingine nakuzidumbukia mkono eneo la ubavu wa kushoto nakutoka na moyo. Tukafanikia kupata mioyo zaidi ya kumi na sita.. wakanikabidhi mioyo yote niishikilie. Wao wakachukuwa baadhi ya miili iliokuwa ikiweweseka kwa kutaka kupoteza maisha.Haikuwa ikijitambua kama ipo mikononi mwa wachawi. Yule mama akalichukuwa gari langu (ungo) nakuutanua. Ukaonekana mkubwa kupita kiasi .Akaweka wale watu karibia kumi. Akapanda na yeye akitumia mkia wake na kibuyu kama nifanyavyo mimi kisha akaongoza mkia kwa kuunyosha. Tukapanda wote.Safari ikaanza kuelekea kambi yao.
“Jana tulipata maiti ishirini zipo kwenye kambi yetu na leo tumeamua kuwachukuwa hawa tukawaulie uko uko. Najua utalala nazo zote na utaondoka ukiwa umelala na maiti hata zaidi ya ishirini. Si unataka uolewe na rais?”
“Rais? Rais gani? Mimi niliambiwa nifanye hivi ili nirudi duniani niwe mtu wa kawaida”
Yule mama akanigeukia. Akanitazama macho yangu uku akiwa bado ameushikilia mkia wake kuongoza safari. Akanicheka kwa dharau! Wakina Sonia na wenzake nao wakaitikia kwa vicheko.
“Hakuna hata siku moja mchawi anayerudi duniani na kuishi kawaida ni sawa na mlokole kuingia katika uchawi akiwa ameshika biblia. Walifanya hivyo kukudanganya tu. Ili uweze kumaliza maiti zote. Shukuru wamekupa dawa zao. Kwenye kambi zetu huwa tunatoa mwanamke mzuri kila baada ya miezi miwili kwa ajili ya kuolewa na rais na kuishi na rais. Na ili uolewe na rais ni lazima ulale na maiti nyingii. Kambi yenu mwezi huu ni wake kutoa mwanamke mzuri wa kuolewa na rais. Sisi kambi yetu yupo Diana tulishawahi kumpeleka Diana ambaye alilala na maiti nane kisha akaolewa na rais.Akawa anafanya mapenzi na rais kila siku.”
Nikajikuta mwili wangu ukinisisimka. Nikatamani sana na mimi nimalize kulala na maiti zote haraka nipelekwe kuolewa na rais. Nikafikiria jinsi rais alivyokuwa na nyadhifa kubwa serikalini. Akili yangu ikamfikiria mke wake kwa jinsi nitakavyokuwa simpendi namfanyia vituko. Nikaahidiana na moyo wangu, akili ikakiri kumpa mapenzi ya dhati mpaka awe ananipenda mimi nakumuacha mke wake wa duniani.
“Lakini mama sijaelewa vizuri. Kwani rais mwenyewe ni yule wa duniani?”

*****************************
Wakaangaliana tena uku wakitoa meno yao makali. Meno ya kichawi kisha wakaniangalia na mimi wakaangua vicheko vya kimbeya.
“Adela?”
“Abee!!”
“Hilo swala la wewe kuolewa na rais gani nakuomba nisikwambie kwani mimi siyo msemaji mkuu wa wachawi ila uko tunapoenda utakutana na Diana na atakwambia kila kitu kuhusiana na rais na hadi jinsi ya kulala naye na kumpa mampenzi.”
“Sawa nimekuelewa mama!”
Ilinibidi nijibu kishingo upande japokuwa moyo wangu haukuliafiki kabisa jibu nililokuwa nimepewa na mama. Jibu la kusubiria mpaka tufike nililiona kuwa refu sana.
Haikutuchukuwa muda tukawa tumeshaingia kwenye msitu mkubwa sana.Tukashuka hadi chini na ungo wetu.
Adela wewe endelea kutushikia mioyo ivyo ivyo mpaka tutakapofika.”
Aliropoka Sonia mmoja kati ya wale wachawi wenzangu. Wakaanza kusaidiana kuwashusha wale watu ambao walipata ajali na kuwachukua. Watu hao wakiwa ni wanaume tupu ambao walikuwa wamevuliwa nguo zao zote nakubakiwa utupu kama walivyozaliwa.Mikono na miguu yao ilionesha kulegea sana na kuwa na damu damu nyingi. Sonia,Sarah,mama wakisaidiana na Tonny wakawa wanawabeba wale watu mgongoni nakuwashusha nje ya gari letu (Ungo). Walipomaliza kuwashusha wote wakawalaza chini kwa mstari mmoja. Wakachuma majani ya miti na kulaza chini kisha wakatumia miguu yao kukanyaga ile miili ya watu maeneo ya midomoni mwao mpaka ikawa nyang’anyang’a na baada ya hapo wakawadumbukizia majani ya miti.Muda wote nilikuwa pembeni nimeibebelea mioyo kifuani mwangu uku mkia na kibuyu vikiwa vimening’inia pembeni ya kiuno changu kwa kutumia kamba ya hirizi.Tonny akayeyuka ghafla naukuacha vumbi jeupe mithili ya majivu yaliotibuliwa kwa kumwagiwa maji ya moto. Haikuchukuwa muda akarudi eneo lile lile alipoyeyukia. Na kwa sasa alikuwa amerudi na misukule sita.
“Adela?’
Yule mama aliniita kwa sauti ya juu na ya ukali”
“Abee”
“Hapa mwanangu tunaweza kwenda sasa katika kambi yetu na utapata fursa ya kuwaona viongozi wetu pamoja na kupewa ruhusa ya kulala na maiti ishirini na baada ya hapo utapewa baraka zote za kwenda kuolewa na rais”
“Sawa mama!’
Niliitikia kwa furaha ya ajabu. Mtetemo! Mikono ikaing’ang’ania ile mioyo kwa nguvu na kwa hisia ya hali ya juu.Mwili ukaugeukia moyo ndani yake, moyo ukatikisika kwa kuyumba yumba mithili ya mlevi aliyelewa sana nakupotea kwake. Ukatoa tabasamu na kuonesha kicheko kwa mwili. Nikasisimka tena!Macho yakarudi kuangaza mbele kuona walichokuwa wakiendelea kukifanya wakina Sonia.Waliwainua nakuwafunga mikono wale watu ambao tulikuwa tumewachukuwa. Wakawa kama wamebebana kwa jinsi walivyokuwa wamefungwa kwa kamba. Misukule takribani sita ilikuwa katika jitihada za kuhakikisha ile miili ya wale watu inabebwa na wao vizuri. Hawakuwa wakiongea. Kwa kawaida ya wachawi huwa wanapenda sana kutumia misukule kwenye kazi zao nyingi na ngumu ikiwa ndio njia yao nyepesi ya kurahisisha kazi zao. Mara nyingi wachawi huchukuwa wale watu duniani ambao katika familia zao huwa ni wa kwanza ama wa mwisho na tena wale ambao hupendwa sana hapa namaanisha wale watu pekee katika familia zao.Huwageuza kwa kuwapumbaza midomo na akili kisha huwafanya misukule.Hutumia madawa ya kichawi ikiwa ni pamoja na kuwakata ulimi na sehemu ya koromeo inayotoa sauti ili wasiweze kutoa sauti kisha huwachukuwa jumla kwa kuwapaka unga wa ugali mwili mzima lakini watu wa duniani wanakuwa wakijua kuwa ni mfu na hata vifo vya hawa watu huwa ni vya utata ama vya ghafla sana pasipo kuugua. Na wakiwazika wanakuwa wamezika gogo ama mgomba.
Kwa muda huu ile misukule ilikuwa uchi uku sura zao zikiwa zimetapakaa unga na tope tope la kichawi kwa kuwafanya watambulike ni misukule na si wachawi. Bega kwa bega wakawa katika kutusaidia kubeba ile miili ya wale watu iliojaa majani midomoni mwao ambayo ilikuwa imeshafungwa kamba. Tulipanga wote mstari mmoja.
Mbele kabisa walikuwa ile misukule wakiibebelea ile miili ya watu na nyuma yake alikuwa yule mama na nyuma kabisa nilikuwapo mimi na kina Sonia,Tonny na Sarah. Walinisaidia kushika mioyo na mimi nikabakia na mioyo mitatu mkononi. Njia nzima ilikuwa ni kimya tu uku tukikatiza pori na mapori. Hofu! Ghafla nikajikuta nipo peke yangu eneo lote. Mbele yangu hakukuwa tena na misukule wala wachawi wenzangu. Mikono ilikuwa imebakiwa na ile moioyo mitatu iliokuwa ikinivujia damu damu kifuani mwangu.
“Soniaaa? Tonny?, Mamaaa?”
Nilijitahidi kutoa sauti yangu na kuwaita wote lakini ndio kwanza kimya kikatanda zaidi.Mauza uza! Upepo mkali tena ule wakuzunguka aina ya kimbunga ndio nikaushuhudia mbele yangu. Woga ukanitanda, nikasogea mpaka kwenye mti uliokuwa pembeni yangu. Nikajibanza! Nikashusha pumzi uku nikiutoa mkono wangu mmoja nakuusogeza mpaka karibu na kiuno changu kwa lengo la kutoa kibuyu na mkia. Tahamaki! Sikuona cha kibuyu wala mkia zaidi ya ile kamba iliokuwa na hirizi ikiendelea kuning’inia katika kiuno changu. Machozi yakaanza kunilenga lenga nikajihisi mwili wangu kudhoofu ghafla kwa woga. Nikazidisha kuhema kwa juu juu uku nikiusikiliza moyo wangu upate jibu kutoka kwa akili na kuamua nifanyaje.Nikiwa katika limbi la mawazo.Nikajikuta nikianza kurudi nilipotoka. Ujasiri! Nikatupa ile mioyo yao pembeni uku akili ikiwa imesha shauriana na akili juu ya kurudia ungo wangu tulipokuwa tumeuacha.
“Simama! Adela simama!”
Sauti kali ya kiume na ya kibabe ikatikisa masikio yangu. Masikio yakatikisika.Macho yangu ya kichawi yakapambaza uku na kule kujua sauti inapotokea. Sikuweza kuona kitu zaidi ya kusikia kishindo cha mtu akitembea. Nikaukumbatia mti mwingine kwa nguvu zote mithili ya mwanamke aliyepotelewa na mpenzi wake kwa muda mrefu akampata. Nikayatoa machozi kwa nguvu na hasira. Machozi yakasalimiana na paji la uso. Uso ukabaki na majonzi kwa msisimko wa machozi moto moto yaliokuwa yakiomba njia katika mwili wangu nakudondoka mpaka chini. Majuto! Nikaanza kujuta kisa cha kunileta mpaka uku. Hasira na uchungu ukanizidia kama mama mjamzito wa mapacha. Nikabaki nikisikilizia ule mshindo. Ule mshindo ukawa unazidi kutoa sauti mara nyingi zaidi. Nikahisi umenikaribia karibu. Mwili ukaanza kulowa kwa manyunyu kutoka juu ya mti.Mvua ya ghafla ikaulowesha mwili wangu. Ukauchakaza nakuutakatisha kwa muda utakavyo. Nguvu zikaanza kuniisha Adela mimi, nikaacha kuung’ang’ania mti nakukaa mpaka chini yake.
“Jamila uko wapi? Sophy niokoeni uku nimekuja kubaya sikutaki mimi!”
Nikatoa sauti ya juu lakini haikusaidia kwani ni kama sauti ilikuwa ikinirudia mwenyewe tena zikifuatana na kuwa sauti nyingi nyingi. Mara kukawa tena kimya. Mvua ile iliokuwa ikinyesha ikakata. Suikusikia sauti ya kishindo tena wala mvua zaidi ya eneo la mbele yangu kuwa na maji mengi yaliotulia. Kwa mbali nikaanza kusikia sauti za watu wakiimba nyimbo moja ya kichawi ambayo nilikuwa nikiipenda sana. Nyimbo ambayo huimbwa na wachawi wanapokuwa wamepata kitoweo. Hisia! Nguvu za ajabu zikauteka mwili wangu, woga ukanipotea na kusahau ghafla kilichokuwa kimenitokea. Nikainuka na kusonga mbele uku zile nyimbo zikinivuta. Nikaanza kufuata uelekeo wa zile nyimbo zilipokuwa zikitokea.Nikaruka ruka ndani ya maji nikitaka kuvuka. Hatua takribani kumi nikajikuta siwezi tena kwenda mbele. Miguu ikawa imetumbukia ndani ya tope zito mpaka eneo la karibu na magoti. Tope likaanza kutoa harufu kali. Wadudu aina ya mbung’o wakatawala juu ya tope uku wakitoa harufu kali. Wakaanza kuushambulia mwili wangu eneo lile niliojkuwa nimekatwa maziwa. Wakaanza kulizngungushia maduara na kisha wakaingia mpka ndani ya mwili wangu nakuanza kuufakamia.
“Adela”
Ile sauti ya kiume ikarudia kuita tena. Sikutaka kuitika kamwe. Ikarudia kuita zaidi ya mara sita. Nikashangaa lile eneo lililokuwepo ndani ya tope likizungukwa na idadi kubwa ya wachawi wenzangu. Wakanizunguka uku wakiimba ile nyimbo ya kichawi niliokuwa nikiipenda uku wengine wakiitikia ‘ineku’ wakimaanisha mgeni mualikwa. Mikononi mwao kila mmoja alionesha kushikilia mienge iliokuwa ikitoa moto mkali kuangaza. Wakawa wakinisogelea karibu zaidi. Wakajitokeza Sonia na Sarah wakiwa wameshikilia mioyo mingi zaidi ya ile niliokuwa nimeitupa. Wakanirushia ile mioyo hadi ndani ya tope. Wale mbung’o waliokuwa wakinishambulia wakaiwahi ile mioyo nakuiteketeza. Ikanyumbulika! Halmashauri ya kichwa changu ikafanya kazi haraka nakujua huenda mimi leo ndo kitoweo chao.
******************
**** Inamaana Adela amegeukwa? Sasa yaonekana ni vita ya kichawi kwa makundi. Nini hatma ya Adela baada ya kuingia katika himaya ya kina Sonia?
***** Vipi kuhusu wakina Jamila na Sophy? Wanajua Adela alipo? Na wakiwa wanajua watafanyaje kumnasua Adela?
**** Simulizi hii ni ya kweli na mambo yaliopo ni ya kweli kwa wachawi hakuna hata kimoja kilichobuniwa. Najua lazima kuna baadhi ya wachawi watakuwa wameiona simulizi hii ama kuambiwa na watu. Ni kwamba Adela ameahidi kuwaumbua wachawi wote na njia zao zinazotumika ili watu wa duniani wajue. Kwa pamoja tunaupinga uchawi.

ITAENDELEA

NILILALA NA MAITI 20 ILI NIOLEWE NA RAIS – 2

NILILALA NA MAITI 20 ILI NIOLEWE NA RAIS – 2



Simulizi : Nililala Na Maiti 20 Ili Niolewe Na Rais
Sehemu Ya Pili (2)

Mara nikasikia tena zile sauti zikinyamaza.Kimya! Pakawa tuli kwa muda kidogo. Kimya kikaendelea kutawala eneo lote lililonizunguka.Muda wote mikono yangu ilibaki imeishikilia ile maiti kifua chake.Lile jicho moja la maiti lililojifungua likaendelea kunitazama. Nikalikazia na mimi tukitazamana.
“Endelea sasa!, mlambe? Mtomase mwili wote na kisha tumia ulimi wako kumnyonya sehemu zake za siri!”
Ilikuwa ni sauti ya Sophy ikipenya kwa mbali katika ngome ya masikio yangu. Ilikuwa ikinong’ona kwa kunibembeleza. Nikajaribu kuyazungusha macho yangu kwa kuangalia alipo. Huku na kule sikuweza kufanikiwa kumuona zaidi ya kuhisi kama mkia ukinigusa mgongoni mwangu.Kadri ule mkia ulivyokuwa ukinigusa eneo la mgongoni mwangu ndipo na nguvu za kichawi zilivyokuwa zikinirudia. Nikajihisi kusisimka kuanzia kichwani,kiunoni mpaka miguuni.Nikapata ujasiri wa ghafla.Nikavuta pumzi kwa kuhema juju huku nikiinamia ile maiti kwa kuitazama. Taratibu nikaendelea na zoezi lililokuwa limenileta. Zoezi la kuhakikisha nafanya mapenzi na maiti iliokuwa mbele ya macho yangu. Maiti ya mwananume aliokuwa amevalishwa suti maridadi ambaye sasa alikuwa mikononi mwangu. Takribani dakika ishirini nilikuwa bado nikiilamba maiti vilivyo. Zile nguvu za kichawi ziliniongezeka mara mbili yake. Nikaishikilia ile maiti nakuiinua mpaka ikasimama mithii ya mwanajeshi akiwa mstari tayari kwa kupiga kwata.Nikaivua nguo yake ya ndani nakuirusha pembeni. nikakutana na sehemu zake za siri. Sehemu ambazo zilikuwa zimesinyaa sasa zikawa ndani ya mdomo wangu nikizinyonya na kulazimisha zisimame ingawa ilikuwa tayari ni maiti ambayo isingeweza kufanya chochote. Wachawi huwa hawaoni uchafu wala kinyaa kwa kitu chochote kibaya ama cha kutia kichefu chefu kwa wanachofanya. Kwa kuwa tayari nilikuwa mchawi aliyekamilika. Aliyekamilika kwa kutembea uchi pasipokuwa na nguo yeyote usiku. Nikiongozwa na ungo,mkia pamoja na mkia vikiwa ni silaha yangu kubwa kwa kujikinga na watu duniani wasiweze kuniona wala kunikamata. Nilipomaliza kumlamba na kumnyonya nikachukuwa kiungo chake kimojawapo kati ya viungo vya sehemu zake za siri nakukalia kwa juu.Nikaanza kukatikia haraka haraka. Kwa jinsi nilivyokuwa nikiendelea kukatikia na utamu nao ndivyo ulivyokuwa ukinizidia.
“Ohhh asante! Asante!”
Niliusemea moyo. Nilijikuta nafurahia kufanya mapenzi na maiti kwa mara ya kwanza toks niwe mchawi kamili huku nikinena kwa lugha mwenyewe.
“Inatosha sasa! Inatosha Adela urudi nyumbani sasa?”
Ile sauti ya Sophy ikanirudia tena katika himaya hii ya makaburi. Sikuweza kumuona zaidi ya kuhisi sauti inapotokea tu.
”Nitarudi vipi sasa Sophy?”
Nilimuuliza hivyo hivyo pasipo kumuona.
“Inuka hapo ulipo kisha nenda kona ya hilo kaburi halafu tutakutana nyumbani. Sawa Adela?”
“Sawa. Na maiti hii niirudishie? Na kuhusu kufunika je?”
“Adela? Wewe zoezi lako limekwisha nenda kona hapo. Kuna misukule yetu ambayo tunaichukua kila siku kwa ajili ya kufanya kazi kama hizi za kufukia makaburi yaliochimbwa kwa nguvu zetu za kichawi. Watairudishia kama ilvyokuwa”
Ilinibidi kuitii ile sauti niliyohisi huenda ni ya Sophy. Nikachukuwa kibuyu na mkia wangu kisha nikajongea mpaka kona ya kaburi nakusubiri kitakachotokea. Haikuchukua muda nikajikuta nimeyeyuka.

*******
Kiza kinene kiliendelea kutawala mbele ya macho yangu. Hakukuwa na mbalamwezi wala nyota hata moja. Vicheko vingi vya kichawi ndivyo vilirindima zaidi. Nilijikuta na mimi nikiwa katika eneo lile la awali. Eneo ambalo lilikuwa ni himaya kuu ya wachawi. Pale ambapo nilikaribishwa kwa nguvu za kichawi mara ya kwanza na kujiunga rasmi na uchawi. Nami nikatoa kicheko cha kichawi nikiwaangalia.
“Adela kwanza hongera kwa kuweza kufanikisha zoezi la kwanza la kulala na maiti”
Aliongea mzee mmoja. Yule mzee alioyachukuwa maziwa yangu mawili na kuyakata kisha akayatoa na kuwapa mabinti wagawane kwa kuyatafuna. Kwa muda huu alikuwa akizungukwa na wachawi wenzangu tena wote kwa pamoja kila mmoja akimtazama na kucheka naye.
“Adela? Una siku kumi tu ambazo unatakiwa uwe umeshamaliza kulala na kufanya mapenzi na maiti ishirini. Hivyo kwa siku unatakiwa uwe unafanya mapenzi na maiti mbili. Kama leo ulikuwa makaburini utatakiwa uende pia na mochwari ukafanye mapenzi na maiti nyingine mpaka idadi ya maiti ifike ishirini. Sawa?”
Nilijikuta mwili ukiendelea kunisisimka kwa maneno niliokuwa nikiyasikia kutoka kwa mzee. Baridi si baridi na wala joto si joto likajipenyeza ndani ya moyo wangu. Sikuwa na moyo wa hasira tena zaidi ya kuwa na moyo wa furaha muda wote haswa nikiambiwa vitu vihusivyo uchawi. Shauku kubwa ikabaki ni jinsi gani nitalala na maiti zile za mochwari. Akili yangu kuu nikaielekeza kwa jinsi maiti zinavyohifadhiwa katika majokofu yake huko mochwari. Nikalifikiria sana baridi la kwenye majokofu kisha akili ikanipeleka hadi jinsi nitakavyofanya nayo mapenzi na ule ubaridi wake.
“Jamila”
Aliita yule mzee. Alikuwa akimuita binti yake. Binti yule aliotumwa panga mara ya mwisho na mzee wake huyu. Akasogea mpaka eneo la karibu na baba yake.
“Abee baba!”
“Sasa wewe ndio utakuwa na Adela katika kumpeleka huko mochwari. Hakikisha amefanya kama tunavyofanyaga tukiwa na maiti jinsia tofauti. Sawa mwanangu Jamila?”
“Nimekulekewa baba”
Jamila alipomjibu tu baba yake. Akanifuata mpaka karibu yangu.Rundo la wachawi wenzangu walibaki wakinishangaa.
“Adela twende?”
Nikawa namfuata kwa nyuma nisijue tutapoteaje mpaka kufika huko mochwari. Kwa mwendo kidogo huku tukiwa katika himaya zetu za kichawi. Jamila akainama chini kisha akasimama akiwa ameshikilia mkono wa mtoto mchanga. Mkono uliokatwa nakubakiwa na sehemu ndogo sana.Jamila akang’ata kipande cha nyama kisha akanipa.
“Na wewe kula Adela?”
“Hapana mimi nimeshashiba Jamila!”
“Adela, hii ndio dawa yetu ya kutukinga tuendapo huko mochwari. Na nyama hii ya mkono wa mtoto mchanga tuliipata huko huko mochwari. Ni tamu sana shika kula!”
Jamila akanilazimisha kuila ile nyama. Mwanzoni nilimkatalia lakini kwa kuwa ilikuwa ndio kama dawa ya kuenda huko mochwari haikuwa na budi kuila. Niliitafuna kidogo kidogo mpaka nikajikuta utamu ukinikolea na kuimalizia yote huku nikijilamba na kuutafuna mfupa wake uliokuwa mlaini mithili ya nyama za kuku wa kizungu. Baada ya kumalizia kuila tu ile nyama nilijikuta tayari nipo ndani ya chumba cha mochwari. Nilikuwepo sambamba na Jamila pembeni yangu.
“Adela umemuona huyo hapo mlinzi kasinzia?”
“Ndio nimemuona kwani hawezi kutushika?”
“Hapana Adela, yaani ile nyama ya mtoto tuoliokula ndio dawa ya kila kitu. Ina nguvu sana kuliko hata kibuyu na mkia.Nyama hii ni maalum kwa huku mochwari tu. Yule mlinzi hata kama akishtuka hawezi kutuona kamwe.”
Jamila alinijaza moyo wa kishujaa zaidi. Mwili wangu ukakubaliana na moyo, moyo ukaridhika na kuiongoza akili. Akili ya kuanza kufungua jokofu moja baada ya nyingine.
“Sasa Jamila nitajuaje kama ni maiti ya leo leo?”
“Ile nyama ulioitafuna ndio itakuwa ikikuelekeza kupitia tumboni mwako. Tutapita mstari huu. Wa majokofu. Tumbo likicheza ujue hapo hapo utatakiwa kufungua na kuitoa maiti mpaka chini kisha utaichezea kwa kuinyonya na kuilamba halafu utafanya nayo mapenzi”
Hatua kama sita nilikuwa nikiendelea kutembea pembeni ya majokofu. Jamila alikuwa kwa nyuma yangu akinisimamia. Ghafla tumbo langu likacheza. Likatikisika! Mwili ukawa kama unataka kuruka ruka haswa maeneo ya tumboni. Nikasimama nakulishika tumbo lipoe. Nikautoa mkono mmoja nakufungua jokofu. Hewa kali ikatoka. Mwili wa mwanaume aliyekuwa ameharibika vibaya uso wake ndio nikatazamana nao. Mwili wake wote ulikuwa umepondeka pondeka.Halmashauri ya kichwa changu ikafanya kazi kwa haraka zaidi na kutambua kuwa ilikuwa ni maiti iliopata ajali. Tena ajali mbaya sana.
“Jamila siwezi kufanya mapenzi na maiti hii? Ni bora nife tu mara ya pili. Sitaki tena uchawi kama ni hivi”

****************

“Adela? Unajitafutia makubwa! Hutaki nini?”
“Jamila hapana maiti kama hii siwezi hata pa kuianzia,Embu ona nitawezaje kuilamba mwili mzima wakati manyama nyama yake yalio na damu yanaonekana yakigandamana na barafu. Ona sehemu zake za siri nazo zilivyojigawa kwa kupondeka. Hapana mimi siwezi wacha nisiwe mchawi tu!”
“Adela hivi ujue maneno hayo akiyasikia baba unaweza kupewa adhabu mbaya. Salha naye alikuwa hivi hivi mbishi.Alikuwa anachagua maiti za kufanya nazo mapenzi kinyume na taratibu za uchawi wetu. Alichofanyiwa na baba, alitolewa macho yake yote yakawa kitoweo.Tukayachemsha na kuyala kama supu halafu akamrudisha Salha duniani na kumtupa usiku usiku. Salha akakamatwa na wananchi akiwa na vifaa vya uchawi mikononi mwake. Wakamuua kwa kumchoma moto raia wenye hasira kali. Haya ndio unataka na wewe nikurudishe kwa baba nikamwambie umeshindwa?”
“Hapana Jamila usifanye hivyo, haya basi ngoja nianze!”
Nilijikuta nikivuta pumzi kwa hasira japo ni sehemu yangu ya uchawi. Nikaichukuwa ile maiti kutoka katika jokofu lake nakuivuta mpaka chini kabisa kisha nikailaza. Maiti ilikuwa na ubaridi sana kutokana na kuhifadhiwa katika jokofu kwa muda. Ilikuwa tayari imeganda vilivyo.
“Mlambe! Mlambe mwili wote na usisahau kumnyonya sehemu zake za siri na ukimaliza ufanye naye mapenzi kama wafanyavyo watu wa duniani”
Yale maneno yalijirudia tena katika masikio yangu. Haikuwa sauti ya Sophy kama mwanzo ilivyokuwa bali ilikuwa ni sauti ya Jamila. Nikatazama eneo alipokuwa Jamila amesimama. Sikuweza kumuona Jamila tena. Nikayazungusha macho yangu vizuri mpaka eneo alipokuwa ameketi yule mlinzi napo sikuweza kumuona yule mlinzi.
Sasa macho yangu yakabaki yakitazamana na maiti iliyokuwa mbele yangu. Maiti ya mwanaume aliyekuwa amepata ajali mbaya sana na kuharibikia karibu mwili mzima. Damu zake zilionesha kugandamana na barafu kali. Barafu la kwenye majokofu ya kuhifadhia maiti. Taratibu nikaanza kuipapasa ile maiti pasipo kuogopa wingi wa barafu na baridi lake. Nikaanza kuilamba kuanzia usoni. Nikaudumbukiza mdomo wangu kwake. Ubaridi ukaanza kuniingia vilivyo kupitia mdomoni mwangu. Kadri nilivyokuwa nikiinyonya ile maiti ndivyo na ile maiti ilivyokuwa ikiyeyuka. Damu damu zilizokuwa zimegandia zikaanza kujitokeza baada ya kutengana na ubaridi wa barafu. Sikutaka kamwe kupoteza muda nikahamia kifuani mwa ile maiti. Nikaanza kuinyonya kitovu chake huku nikishuka mpaka eneo la sehemu zake za siri. Nikazinyonya vivyo hivyo japokuwa zilikuwa hazifai kwa kuharibika.Harufu kali kama ile ya maiti nilioifukia kaburini ndio nikakutana nayo katika sehemu za siri za maiti. Sikujali kitu zaidi ya kumalizia kuinyonya. Nikaikumbatia kwa nguvu pasipo kuogopa baridi lake. Nikaikalia viungo vyake vya siri nakuvikatikia.
“Ohhh tamu sana! Tamuu!”
Nilijikuta nikiufurahia ubaridi uliokuwa ukinitekenya katika sehemu zangu za siri. Ubaridi uliojikusanya katika viungo vya siri vya maiti vilivyokuwa vimejikusanya vilivyo katika sehemu zangu za siri. Nilijiona utamu ukinizidia tofauti na ule wa maiti ile ya makaburini. Nikazidisha kuikatikia mithili ya wacheza shoo wa muziki wa dansi wakiwa jukwaani.
“Unafanyaje hapo? Naongea na wewe! Unafanyaje hapo?”
Sauti ya kiume kwa mbali nikaisikia ikiniongelesha. Nikawa natoa macho yangu kuangaza huku nikiendelea kuikatikia ile maiti lakini kwa sasa nilikuwa nimepunguza kasi ya kuikumbatia kwa nguvu.Nikashusha pumzi. Kimya! Macho yangu ya kichawi yakaangaza pande zote ya chumba cha kuhifadhia maiti lakini sikuambulia kumuona mtu.
“Inamaana husikiii enhh?”
Mwanga mkali wa tochi ukanimulika usoni mwangu. Nikashangaa nikipigwa teke katika mbavu zangu. Nikaiachia ile maiti nakusimama. Wima! Wanaume takribani watatu wakawa mbele ya macho yangu.
“Nyie wanga mtaacha lini tabia zenu? Enhh haya hapa unafanyanje na hii maiti?”
Bado nilikuwa katika hali ya kustaajabu.Taharuki kuu! Moyo ukaniambia kuwa nimekamatwa na watu wa duniani lakini akili ikapingana na moyo wangu kata kata. Kamwe akili yangu haikutaka kuamini kuwa ni watu wa duniani.
“Inuka? Haraka inuka mpumbavu mkubwa wewe!! Baraka embu chukueni hiyo maiti irudishieni kwenye jokofu lake hapo juu?”
Maswali mengi yakaanza kunitawala katika halmashauri ya kichwa changu. Niliwaza sana imekuwaje nimekamatwa na watu wa duniani.
“Huenda nilivyokataa kwa mara ya kwanza Jamila kaenda kumwambia baba yake?”
Nilijikuta nausemea moyo juu ya kukamatwa kwangu. Nikaanza kupigwa mateke kichwani na mgongoni. Nikapigwa sana huku nikitambaa kwa uchungu. Maumivu halisi nikaanza kuyasikia. Maumivu ya kidunia. Maumivu ya kupigwa kwa mateke. Nilijitahidi mpaka nikafika karibu na kona. Nikainuka haraka nakushikilia ukuta kwenye pembe nikidhania huenda nitayeyuka nakurudi kwa wachawi wenzangu. Haikuwa hivyo! Sikuweza kuyeyuka. Nilijikuta nikiumia sana moyo huku nikiendelea kuambulia kipigo kwa wanaume watatu. Kipigo cha mateke kilinizidia. Nilihama lile eneo la ukutani nakuendelea kutambaa nisijue naelekea wapi.
“Jamila njoo niokoe? Jamila? Sophy uko wapi leo nimeshikwa mimi? Nipeni nguvu za kichawi niepukane na kifo cha duniani. Binadamu hawatupendi sisi wachawi Sophy. Niokoeni jamani nafwaa!”
Bado nilikuwa na nena kwa lugha kimoyo moyo. Maneno ya uchungu yakatawala kichwa change. Nilikuwa nikiongea kimya kimya. Hatimaye mlango ukafunguliwa mbele yangu. Mwanga mkali wa kuashiria ni duniani na tena kumekucha ukawa umeangaza. Akili ya kidunia ikaniingia mara mbili yake. Wananchi wengi wakiongozwa na manesi wakawa nje ya mochwari wakinishangaa. Nilijiangalia vizuri mwili wangu. Mwili uliokuwa uchi wamnyama. Mwili uliokuwa tofauti kidogo na binadamu wa kawaida kwa kukosa matiti kifuani.
“Wachawi kama hawa dawa yao ni kuchomwa moto tu!”
Sauti ya kiume ilipayuka kwa ukali. Watu wote wakapiga makelele kushiria kukubaliana na kauli alioitoa yule mwanaume. Kauli ya mimi kuchomwa moto.
“Dokta, huyu tumpeleke kule tunapochomaga viungo vya watu waliopata ajali. Kule upande wa pili”
“Ni sawa haina tatizo. Embu nyie vijana hakikisheni huyu anapelekwa mpaka eneo lile tunapochomea viungo vya wagonjwa waliopata ajali sehemu za miguu na mikono. Na yeye tutamjumuisha kama yule mchawi tuliomchoma juzi. Hawa ndio dawa yao wataacha wenyewe”
Waliniburuta kwa kunipiga Adela mimi. Aibu kubwa iliendelea kunitawala lakini sikulijari. Sikuuthamini mwili wangu kuanzia juu mpaka sehemu za siri.Walinipiga sana njia nzima nikitambaa kwa maumivu. Nikafikishwa sehemu ambayo nilishuhudia harufu kali ya damu ikinijia katika pua zangu. Moshi mweusi sana ulikuwa ukitoka katika tanuru la nyumba ambayo ilikuwa mbele ya macho yangu.
“Tumuingize ndani. Huyu siyo wa kumbeba ni mateke mpaka ndani kabisa”
Waliendelea kunipiga huku nikijiburuta kwa kutambaa mpaka ndani. Mwili wangu ukawa hautamaniki kwa kipigo. Nilipoingizwa tu ndani nikatazamana na karai kubwa lililokuwa limewekwa viungo vya watu waliofanyia opersheni.Kulikuwa na viungo vya binadamu vya aina nyingi kama, masikio, miguu,mikono,vidole. Vilikuwa tayari kwa kutupwa kwenye moto. Wakanisogeza mpaka karibu na eneo la kuchomea viungo vya mwili. Wakachukua panga nakuanza kutaka kunikata kata kuanzia mikononi.
*******************************
“Nisameheni jamani msinikate! Msinikate!!”
Nilijikuta nikitoa sauti ya kupaza kuomba nisikatwe. Panga kubwa lililokuwa limelowa damu damu lilikuwa mbele ya macho yangu tayari kwa kukatwa katwa Adela mimi. Sikuwa na mtetezi wangu tena. Niliona kifo kikiniita kwa mara ya pili. Kifo cha duniani.
“Baraka mbona unamchelewesha au unamuonea huruma, muadabishe! Hawa hawanaga huruma wanatusumbuaga sana usiku hatulali na watoto wetu vizuri kazi kutuwangia tu!”
Yule kijana niliyesikia akiitwa Baraka akawa amelishikilia panga vilivyo. Aliliinua mpaka juu kwa lengo la kunikata kata. Akalishusha nakunikata mkono wangu mmoja wa kushoto. Mkono ukanidondoka mpaka chini.Maumivu makali yakatawala ubavu wote wa mwili wangu. Maumivu yaliochanganyikana na damu damu. Baraka alikuwa na hasira sana kwani baada ya kunikata mkono mmoja nilishangaa akihamia na mkono mwingine.Akaukata! Alinichakaza mikono yote miwili. Damu nyingi zilitapakaa chini kukawa hakufai. Wale wanaume waliokuwa na Baraka wakakimbia nje nakumuacha Baraka akiendelea kunikata kata vipande vya mikono vilivyokuwa tayari vimesalimiana na sakafu. Sauti ikanikatika Adela mimi.Kwikwi ikanibana.Nikaamini sasa mwisho wa uhai wangu unakwenda kuisha. Mwisho wa kuishi maisha ya kichawi na duniani kwa ujumla. Nguo zote alizokuwa amezivaa Baraka zikawa zimelowa tapatapa kwa damu yangu mimi iliokuwa ikimrukia pindi alipokuwa akinikata kata viungo vyangu. Nguo zikanona damu.Tepetepe!
“Baraka niache, usiendelee kunikata Baraka?”
Nilijitahidi japo kutoa sauti kwa ukali kumsema Baraka lakini haikuwezekana. Sauti yangu ilikuwa bado ya chini sana huku nikihisi koo kujaa na damu damu. Baraka akahamia miguuni mwangu akiwa na panga lake. Akaichabanga miguu yangu yote miwili kuanzia mapajani. Ikakatika vipande vipande. Nikabakiwa kiwiliwili. Kiwiliwili cha kutokuwa na miguu yote wala mikono. Baraka akalitupa panga lake pembeni. Akainama chini kulikokuwa kumetapakaa damu ovyo. Akaanza kukusanya viungo vya mwili wangu kimoja baada ya kingine.Akili yangu nikaihamishia upande wa pili kulipokuwa na lile karai la viungo vingine pembeni yangu. Nikajua dhahiri Baraka atavitupia viungo vyangu mule ndani ya karai. Hakufanya hivyo.Akasonga! akaelekea mpaka kwenye tanuru lililokuwa likiwaka moto nakutupa vipande vya miguu yangu. Akarudi tena mpaka eneo nililokuwa nakukusanya vipande vipande vya mikono yangu nakuvipelkeka tena kwenye tanuru kuvitupa viungue na moto. Niliumia sana moyo. Yale maumivu niliokuwa nayo nilijihisi kuishiwa kabisa nguvu za kichawi. Mwili ulinitetemeka kila nilipokuwa nikiona moto ulivyokuwa ukipamba. Safari hii Baraka akainama nakuchukuwa lile panga lake kwa mara ya pili. Akanifuata nakunishika kichwa changu.
“Wewe si mchawi? Haya Sali sala zako za mwisho za kichawi. Mpumbavu mkubwa wewe kabla sijamalizia kiwiliwili chako!”
Alichukuwa kichwa changu nakutelezeshea panga katika shingo. Nikahisi kama koo likitaka kuachana na mwili. Akaniinamisha kwenye karai kwa nguvu. Uso wangu wote ukasalimiana na viungo vya kwenye karai. Akaniinua nakunirudishia katika karai kwa mara ya pili. Mwili wangu ukashtuka ghafla nakutetemeka mithili ya mtu aliyepigwa na shoti ya umeme. Nikajihisi maumivu kunipotea ghafla. Ushujaa! Akili yangu ikawa imeshasaidiana na macho kutambua kuwa miili ya watoto wachanga waliokufa kwa bahati mbaya ipo ndani ya lile karai. Imechanganyikana na viungo vya watu wazima tayari kwa kuchomwa moto.
“Adela, hii ndio dawa yetu ya kutukinga tuendapo huko mochwari. Na nyama hii ya mkono wa mtoto mchanga tuliipata huko huko mochwari. Ni tamu sana shika kula!”
Nikayakumbuka maneno yale aliokuwa akiniambia Jamila kabla hatujaja huku mochwari. Maneno juu ya kula ile nyama ya mtoto mchanga. Baraka aliponiinamisha kwa mara nyingine kabla hajaniinua meno yangu yakawa yameshaibuka na kipande cha mkono wa mtoto mchanga kilichoshikana na mwili. Nikatafuna kwa hasira kali. Kadri nilivyokuwa nikitafuna ndivyo na mwili wa Baraka ulivyokuwa ukikosa nguvu. Akalitupa panga lake nakudondoka chini akiyumba yumba kwa kulegea miguu. Akaanza kutapa tapa mithili ya mgonjwa anaeyeugua ugonjwa wa kifafa. Nikazidisha kuitafuna ile nyama kwa hasira.Punde giza likatanda. Mwanga wa kichawi ndio ukashika nafasi yake.Macho ya kichawi yakanitoka upya yakiachana na macho ya kidunia. Nikaweza kuangaza kona ya chumba. Nikashuhudia kumuona Jamila akisimama kwenye kona na upande mwingine nilimshuhudia Sophy na yeye akisimama wakininyooshea vidole kwa kuvikaza. Macho ya ukali na kichawi ndiyo yalikuwa yakiwatoka. Midomoni mwao walikuwa wamejaa damu hali ilioashiria huenda walikuwa katika himaya nyingine ya kutafuna nyama na wametumwa kuja kuniokoa. Kwa mwendo wa maringo huku wakiwa uchi wakanifuata mpaka karibu.
“Iku Adela! Iku sana!”

Kwa kawaida ya wachawi neno ‘Iku’ ni la kutia nguvu sana. Na ukiambiwa ‘Iku’ unaweza kufanya chochote ni kama nguvu za kichawi zinakuongezeka mara mbili yake. Jamila na Sophy wakaniacha na kumfuata Baraka. Wakamnyonya mdomoni mwake sambamba nakung’ata shingo yake kwa kumuachia damu damu kama ishara ya kumpumbaza. Baraka akasimama.Wima! Akawa kama tayari wanajuana naye ghafla. Wakanifuata mpaka karibu na karai lililokuwa mbele ya uso wangu. Jamila akatoa miguu miwili akaishika na Sophy nayeye akatoa mikono miwili akaishika.
“Iku Adela, Iku”
“Iku”
Nikaitikia na mimi. Sophy akatoa kitambaa pembeni ya mkono wake nakutoa dawa.Wakaanza kusaidiana na Baraka kunibeba wakitaka kunipachika miguu. Kwa kawaida mchawi anaweza kukuunga vipande vya mwili kwa kutumia unga unga uitwao ‘CHAYA’ Unga unga huu una rangi kama ya dhahabu na unapatikana katika mizizi ya miti ya mibuyu pekee. Ile miti minene kuliko yote. Jamila na yeye akatoa kitambaa katika mkono wake uliokuwa umefungwa chaya. Akaninyunyizia mikono yote kisha akaninyunyuzia na miguuni wakaiunga.Nikapona!
“Inuka Adela? Inuka?”
Niliweza kuinuka. Sikuweza kuyasikia maumivu yeyote tena. Zile damu damu nilizokuwa nazo zikayeyuka kutokana na nguvu ya dawa ya chaya. Nikawa Adela yule mchawi upya. Adela mwenye nguvu za kichawi mara mbili yake. Tukaongozana wote mimi,Jamila,Sophy na Baraka mpaka kwenye kona nakuyeyuka.
***************
“Oiyeee! Adela tulimwana mnogie Oyieee!! Izee akunu na Baraka Oiyeee!!”
Nilishangaa kukuta idadi ya wachawi ikiwa imeongezeka mara mbili yake. Walikuwa wakinena kwa lugha yao ya kichawi. Walikuwa wakiinua mikono yao juu iliokuwa imeshikilia utumbo wa binadamu. Kwa kawaida ya wachawi, mwenzao anapokuwa amenusurika kukamatwa kwa uchawi huwa wanaitana wachawi kutoka pande zote za jirani kusherekea pamoja na kujazana nguvu nyingi za kichawi. Na huwa wanatoa kafara ya watoto kumi na sita hadi ishirini inategemea na idadi ya wageni. Huyatoboa matumbo ya watoto na kutoa utumbo. Hugawana kila mmoja nakuongea kwa kushukuru huku akiwa amenyoosha mkono mmoja uliojaa utumbo kiganjani mwake. Kwa kipindi hiki mimi ndiye nilikuwa nikifanyiwa sherehe hiyo ya kukaribishwa upya kutokana na kunusurika kufa.
Wachawi wenzangu wakatuzunguka mimi na Baraka huku wakiwaacha Jamila na Sophy. Kundi la wachawi wakiongozwa na baba Jamila wakashusha ule utumbo mikononi mwao mpaka chini kabisa. Wakatandaza ule utumbo.Ukatapakaa!
“Kanyageni hapa Adela! Kanyaga?”
Aliongea baba Jamila. Nyuso yake ilikuwa na furaha sana. Baada ya kukanyaga akanisogeza mpaka pembeni kisha akamuamuru Baraka alale chini.Alalie ule utumbo kama kitanda.Kundi la mabinti wakaja kila mmoja akiwa ameshikilia bakuli kubwa na sindano kubwa kama zile za kushonea magunia. Wakaanza kumtoboa Baraka mwilini mwake. Wakamtoboa kila kona ya mwili wake. Damu nyingi zikamtoka Baraka kupitia sehemu alizotobolewa. Wale mabinti wakakinga zile damu kila zilipokuwa zikitomka Baraka. kila mmoja akajaza damu katika bakuli lake. Baraka alilia sana.Akawa mwembamba sana kwa kukauka damu. Hakuwa na nguvu ya kuinuka wala kufanya chochote kutokana na kuwa tayari katika himaya ya kichawi. akapoteza fahamu kabisa.
“Adela? Shika kisu hiki?”
Baba Jamila akanikabidhi fupa kubwa lenye makali ambalo huliita kisu. Akanishikisha.Hofu ikanitanda!
“Adela? Unatakiwa umtoe utumbo wake wote nje halafu utaanza kuula wewe na kisha utanipa mimi na wageni wetu hapa utamkatia kila mmoja. Sawa?”

****************************************

***** Je Adela atafanikiwa kumtoa utumbo Baraka nakuula? Nini hatma ya Adela katika maisha yake ya kichawi?

ITAENDELEA

NILILALA NA MAITI 20 ILI NIOLEWE NA RAIS – 1

Image result for maiti ya ajabu

*********************************************************************************

Simulizi : Nililala Na Maiti 20 Ili Niolewe Na Rais
Sehemu Ya Kwanza (1)

Machozi yangu yaliendelea kunibubujika katika paji la uso wangu mithili ya maji yakifuata mkondo wake. Niliendelea kugalagala chini huku nikiwa sijitambui. Kwikwi ya ajabu ilioambatana na kukohoa pasipo na mpangilio ilikuwa imenibana vilivyo. Sikuweza kuamini macho yangu kwa kile nilichokuwa nikikishuhudia mpaka pale niliposhikwa mkono na jirani zangu niweze kumwaga mchanga wa mwisho katika kaburi kubwa. Kaburi refu lililokuwa limechimbwa na majirani wema kwa ajili ya kuupumzisha mwili wa mama yangu mpendwa, mama Adela. Mama aliokuwa ameniacha mimi mtoto pekee tangu alipofariki baba miaka mitatu iliopita na kutuacha katika kipindi kigumu cha kutegemea milo miwili kwa siku.

“Umeniacha mkiwa mama, Niacheniii…?” Watu kibao waliokuwa wakionesha sura za huzuni walikuwa wamenizunguka. Ni mchungaji pekee ambaye alikuwa mbele ya uso wangu akiwa ameshikilia biblia. Nilianza kutapatapa kwa uchungu. Kutapatapa kwa kuendelea kumlilia mama yangu.
Ghafla nilitekwa na nguvu za ajabu katika mwili wangu. Nikajikuta nimeyatoa macho ya ukali kuwaangalia wale wakina mama waliokuwa wamenishika. Mmoja wapo alionekana kuwa na ukali dhidi yangu. Hilo sikulistaajabu, kwa kutumia meno yangu niliweza kuwang’ata wote wawili mikononi mwao na ndio ukawa mwanya wa mimi kuchoropoka na kudumbukia katika kaburi la mama yangu. ‘Tiii’ nikasimama juu ya jeneza. Kamwe sikutaka kuyabinua macho yangu kutazama juu nilipotoka. Nguvu ya ajabu ikanishika na kuendelea kunitawala katika mwili wangu, nilijikuta nikifungua lile jeneza lililoupumzisha mwili wa marehemu mama yangu kipenzi, mama Adela pasipo woga wowote.
“Mama? Mama? Amka mama yangu japo nikuone tena kwa mara ya mwisho mama?”
Niliendelea kulia kwa uchungu huku mikono yangu miwili ilikuwa imeng’ang’ania uso wa mama yangu sambamba na kichwa chake kikikaribiana kabisa na cha kwangu.
“Mama? Hutaki kuamka? Mie nitaishi na nani tena mama yangu?”
Hasira ilinizidia mara mbili ya awali. Ilinibidi niutoe ulimi wangu nakuudumbukiza katika mdomo wa mama yangu. Nilichukua mikono yangu nikaisogeza mpaka masikioni mwa mama kisha nikamtoa pamba masikioni mwake nakudumbukiza vidole vyangu. Nilivuta pumzi yangu kwa kasi nikidhani huenda atashtuka. Hola! Kadri nilivyozidisha kuvuta pumzi ndivyo na harufu kali ilikuwa ikinirudia kutoka mdomoni mwa mama. Nikajihisi mwili wangu unabadilika kwa haraka zaidi. Ile mikono ambayo niliitumia kumuingizia vidole masikioni mwa mama yangu sasa ikawa imebadilika rangi na kuwa na maji maji mithili ya rangi ya kijani kijani.

*******

“Hapa ni wapi? Na mama yangu yuko wapi?”
“Nyamaza na utulie kimya Adela wewe?”
Woga ulianza kunitanda kwa ghafla. Sauti kali ya kike ilikuwa imetingisha ngome ya masikio yangu baada ya kunitaja jina langu.Mwili wote ukaendelea kulowana si kwa maji bali kwa jasho langu mwenyewe. Sikujua sababu ilionifanya kufika katika eneo hili. Eneo lililokuwa limejaa maajabu ya kila aina. Hakukuwa na nyumba hata moja bali watu walikuwa wakipishana wenyewe tena walitembea wakiwa hewani. Si magari wala nyumba la hasha! hazikuwepo. Hakuna hata mmoja aliokuwa amevaa nguo zaidi yangu japokuwa nguo nilizovaa zilikuwa zimenipauka na kuchakaa kwa vumbi na damu damu lililogandia. Nilijihisi mwili wote kuishiwa na nguvu sambamba na kizungu zungu huku macho yangu yakionesha kutoshirikiana katika kumsikiliza mama aliyekuwa mbele ya macho yangu.
“Adela unakumbuka mara ya mwisho ulichokuwa ukikifanya?”
Alirudia jina langu kiufasaha hali iliyonitia woga mara mbili yake huku nikijiuma uma kwa kujibu.
“Hapana sikumbuki”
“Hukumbuki?”
“Ndio sikumbuki na niambieni kwani nilifanya nini na hapa ni wapi mbona sielewi?”
“Unawaona wasichana wenzako kule na kule wanaozunguka wakiwa uchi?”
Haraka haraka niliyazungusha macho yangu kutazamana kinachoongelewa na huyu Mmama.
“Ndio nimewaona”
“Hawa wote hawana wazazi kama ulivyokuwa wewe na hapa unapowaona mchana huu wote tupo nao na ikifika usiku kila mmoja anaenda kazini”
“Kazini? Ndio wapi na ofisi gani hizo za usiku?”
“Eeeh he heee!! Embu wacha kunichekesha Adela. Wewe ulikuwa umeshapoteza uhai ukiwa ndani ya kaburi la mama yako pindi ulipokuwa unamlilia. Na hapa ninavyoongea na wewe si mtu hai bali ni mfu”
“Mfu? Inamaana nilishakufa nikazikwa?”
“Ndio Adela, wewe ni mfu. Mjini kote wanajua kuwa ulishakufa toka kipindi kile ulichodumbukia katika kaburi la mama yako na leo ni siku ya tano umezinduka hapa kwetu. Na ni sisi ndio tuliokupa nguvu za ajabu na kuweza kuishawishi akili yako ifanye vile mpaka kufikia hatua ya kumnyonya mama yako ndimi huku ukimdumbukiza vidole vyake katika masikio yake. Wale wadada unaowaona kule ndio waliofanikisha zoezi zima la kufanya mpaka upo hapa.”
“Miiimi?”
“Ndio wewe Adela na hapa ninavyokwambia wamezika gogo tu tena pembeni ya kaburi la mama yako wakidhani wamekuzika wewe!”
Machozi ya uchungu yalianza kunitoka. Nilijitahidi japo kurudisha kumbukumbu lakini kichwa changu kiliishiwa na uwezo wa kufikiri kabisa. Nilijihisi akili na macho kukosa ushirikiano kabisa. Nilitumia mikono yangu kujipangusa machozi lakini nilistaajabu mikono yangu kuwa na damu damu.
“Adela?”
“Abee!!”
“Umeingia kwenye himaya yetu huku na ni lazima ufuate mila na tamaduni za huku kwetu hayo mengine ya duniani yaache kama yalivyo sawa? Huna mama huna baba wala mume na hata watoto huna hilo tunalitambua na ndio maana siku zote tulitamani kuwa na mtu kama wewe na leo hii upo mikononi mwetu.”
“Hapana mie nataka kurudi nilipotoka nirudisheni tafadhali, nirudisheniii?”

Hasira zilifika kikomo lakini hazikusaidia chochote ndani ya himaya hii ya kufikirika. Nilijiangalia mara mbili mbili umbo langu kwa jinsi lilivyokuwa la kuvutia. Weupe wangu uliokuwa ukiwakosesha usingizi wanaume wengi waliokuwa wakiishi maeneo ya karibu na nyumbani sasa nilikuwa nikiushuhudia ukiharibika. nilijutia hata kwanini nilikataa kuolewa wakati nilipokuwa nikiishi na mama. Maneno ya mara ya mwisho ya mama yangu kuwa nitulie tu nitapata mume mwema sasa nikawa nikiyajutia nakuona dunia chungu. Posa ambazo nilizikataa kwa wanaume zaidi ya watatu waliokuja nyumbani kutaka kunioa ndizo ziliniongezea hasira zaidi.
“Mama nataka unirudishe duniani, nakuomba tafadhali?”
“Unajua Adela wewe ni mwanamke ambaye karibu kila kitu tumefanana na hata mimi nililetwa na hawa wachawi wenzangu pasipo kujijua mpaka huku na uzuri wangu niliokuwa nao. Tena wewe una bahati sana wamekuleta wanawake wenzako ukiwa tayari umeshakufa duniani. Mimi walinileta wazee kabisa na siku ya kwanza nilipofika nilichezewa sana mwili wangu ikiwa ni pamoja na kubakwa mfululizo na wazee. Kila ilipofika usiku ilinibidi ni lazima nilalae na wazee zaidi ya kumi na tano kwa usiku mmoja. Mwanzoni nilipata sana shida lakini kwa sasa nimezoea mwenzako na mpaka nimekuwa kiongozi wa wasichana wote wanaoletwa huku na mimi ndio wazee wamenipa uongozi wa kuhakikisha nawapa kazi za kufanya wasichana wapya kila inapofika usiku sambamba na kuwajaza nguvu zetu za kichawi. Kwanza niambie upo tayari kufanya nitakayokupa kisha nikufanyie mpango urudi duniani?”
“Ndio mama nipo tayari hata sasa hivi”
“Unatakiwa ulale na maiti ishirini huku kila moja ukiivua na kuichezea viungo vyake vya siri ikiwa ni pamoja na kuzinyonya, kuzilamba masikioni na midomoni kama wafanyavyo wapenzi wanaopendana huko duniani, sawa?”
“Hapana, hilo siwezi, siwezi nibadilishie adhabu”
“Mwanangu Adela hiyo siyo adhabu hiyo ni njia ya wewe kurudi katika mazingira ya kawaida ili usiwe mfu tena. Adela umenielewa mwanangu?”

***************************************

“Hapana mama bado sijakuelewa kabisa!”
“Sasa muda wa kubembeleza umeshapita, cha kufanya wewe subiri muda ukifika utaona kitakachokutokea na kama maagizo tayari nimeshakupatia, tumeelewana Adela?”

*******
Milio ya sauti za ndege wa porini kama bundi ndio ilihamsha zaidi hisia za mwili wangu kupitia masikioni. Woga wa ajabu uliendelea kunitanda katika halmashauri ya kichwa changu. Macho yangu yalizidi kustaajabu mazingira niliopo. Hakukuwa hata na mtu aliyeniongelesha zaidi ya kila mmoja kunitazama nakisha kuendelea na shughuli zake. Ninaweza kusema kuwa wengine hawakuwa hata na sehemu za siri japokuwa kila mmoja alikuwa akipita uchi. Yale maneno ambayo nilikuwa nikiyasikia kwa watu kuwa kuna uchawi. Kuwa wachawi huwa wana sheria zao na tamaduni zao kamwe nilikuwa siyaamini lakini leo hii nayatazama kwa macho yangu mwenyewe tena nikiwa kama mchawi mchanga. Mchanga kwa kutofundishwa bado uchawi haswaa! Niliye katika mazoezi ya kulazimishwa kuujua na kuufanya uchawi kama sehemu ya maisha yangu.
Hatua mbili tatu nilijikuta nikiinuka nakuanza kuzunguka zunguka mwenyewe. Nikajiwekea ujasiri wa kiume katika mwili wangu. Ujasiri wa kupambana na chochote mbele yangu kwa kutumia nguvu zangu. Baada ya hatua chache huku nikitembea nikasikia minong’ono ikitokea upande wa pembeni yangu. Haraka haraka nikageuza macho yangu lakini sikushuhudia kitu chochote. Nikatoa sonyo kali lakini nikastaajabu masonyo zaidi ya kumi yakinirudia katika masikio yangu.
“Alaaaah!!”
Nikastaajabu!. Nikiwa bado katika hali ya kustaajabu mazingira na sauti zilipotokea mara macho yangu yakakutana tena na rundo la wasichana wadogo wadogo wakiwa wamezunguka huku wakionekana kwa mbali kama wakicheza ngoma. Taaratibu niliwasogelea mpaka katika eneo lile nami nikajiweka mstari mmoja nao kwa shauku ya kutaka kujua kitu gani walichokizunguka wakicheza.
“ooohhhhh!! Ohhh!!”
Mapigo yangu ya moyo yalianza kunibadilika kwa kile nilichokuwa nikikishuhudia mbele yangu. Walikuwa ni wazee wawili wakiwa uchi wa mnyama wakiuchezea mwili wa mtoto mdogo alioonekana kama ni maiti huku wakiing’ata ng’ata na kisha kutafuna nyama zake na kuzitapika papo hapo na midomoni mwao wakibakiwa na damu damu. Woga ulinizidia, ule ujasiri wa kiume niliojijaza kwa muda mfupi ulinitoka ghafla na kuingiwa na huruma ya kike. Huruma kama ya mwanamke aliyetoka kujifungua.Nikatamani sana kuingilia kati kwenda kuwazuia lakini nikaogopa huenda ningefanyiwa kitu kibaya kwa kuharibu mila zao hivyo nikabaki nikiwaangalia huku machozi ya uchungu yakiendelea kunidondoka kwa huruma.
Niliendelea kupatwa na hasira kali haswa kwa jinsi mabinti walivyokuwa wakifurahia kwa kupiga makofi.
“Adela? Adela njoo hapa kati?”
Mmoja kati ya wale wazee aliniita jina langu la Adela. Sikutaka kuamini kama anayeitwa ni Adela mimi. Niliyageuza macho yangu kuwaangalia wale mabinti huenda mmojawapo anaitwa Adela. Cha kustaajabu kila mmoja alikuwa akinitolea macho mimi kana kwamba anayeitwa ni mimi. Nilijihisi mwili kunitetemeka sambamba na mkojo kunichuruzika huku nikirudi nyuma nyuma nikihema juju. Kwakuwa nilikuwa eneo kama hewani sikuweza kujua wapi pa kutokea na wapi pa kuingilia hivyo nilibaki nikirudi nyuma nyuma nisijue naelekea wapi.

“Sitaki niacheni jamani, niacheniii?”
Nilijitahidi kutoa sauti lakini haikusaidia kuwanyamazisha wale wazee kwani ndio kwanza waliendelea kunisogelea kwa ukaribu huku lile rundo la mabinti wakiwasindikiza kwa nyuma yao. Hatua chache nyuma nilishangaa kama nimejikwaa, kwani nilijikuta nikidondoika mpaka chini nakulala kifudifudi kisha viungo vya binadamu vilidondoka kwa kunizunguka. Vipande vipande kuanzia mikono, miguu na viungo vya sehemu za siri za wanaume ambazo vilikuwa vikitoa harufu kali sana. Haraka haraka nilivuta kiungo kimojawapo na kutaka kuwarushia wale wazee waliokuwa wakinifuata mbele yangu.
“Weee!! Wee!! Weeee!! Thubuutuuu!!? Mpumbavu kabisa wewe!. Unajua thamani yake hivyo vitu ulivyovishika?”
Nilibaki nimeyakodoa macho yangu kwa kustaajabu maneno ya mzee aliokuwa akiniongelesha. Nilijihisi kutetemeka zaidi mwili wangu. Wale wazee wakainama hadi chini nilipokuwepo na kisha wakaanza kuniingiza vidole katika sehemu zangu za siri huku yule mzee mmoja akininyonya papi zangu huku akinimwagia damu nyingi ndani ya mdomo wangu. Damu damu ambazo bado zilikuwa zimebaki kwenye mdomo wa yule mzee zote kwa kula nyama za yule mtoto zote zikahamia mdomoni kwangu. Aliufanya mdomo wangu atakavyo huku mzee mwingine na yeye akichezea sehemu zangu za siri sambamba na maziwa yangu atakavyo. Niliumia sana moyo wangu. Nilipingana na akili yangu chafu iliyoshinikizwa na nguvu za kichawi kuingia kaburi la mama yangu mpaka kufika huku. nilibaki nalia kwa vikwifukwifu.
“Jamila?”
Yule mzee aliokuwa akinichezea sehemu zangu za siri aliita kwa sauti ya juu huku akiwaangalia wale mabinti. Hapo hapo halmashauri yangu ya kichwa ikafanya kazi haraka nakugundua kuwa kumbe mmojawapo kati ya wale mabinti anaitwa jamila. Punde huyo jamila alijitokeza.
”Abee baba!”
“Nenda kule kwa mama yako kanitafutie lile panga langu”
Niliposkia tu panga nikajihisi mapigo ya moyo kukosa ushirikiano. Nikajua hata kama mfu nauliwa tena sasa sijui ndio nitakuwa mfu wa kweli ama mfu wa pili baada ya kufa mara mbili. Mwili wangu ukawa hauwezi kunyanyuka wala kufurukuta zaidi ya kuukabidhi kwa wale wazee waufanye watakavyo. Wakiwa bado wanamsubiri |Jamila.Yule mzee aliokuwa akininyonya mdomo wangu akaendelea tena kuniyonya mpaka mdomo wake ukabadilika rangi nakuwa nyekundu si nyekundu na hata bluu si bluu.
“Hili hapa baba!”
Sauti ya Jamila nikaisikia kwa mbali kama ikikabdihi hilo panga aliokuwa ametumwa. Macho yangu yakawa hodari kwa kuangalia ni panga kweli au la!.
“Mhh!! ama kweli?”
Nilibaki nausemea moyo baada ya kuona mfupa mkubwa sana ukiwa umekaa mithili ya panga Jamila akimkabidhi baba yake.
“Adela?”
“Abee baba!”
“Unawaona wenzako wote hao waliokuzunguka hapa?”
“Ndio nawaona”
“Embu jaribu kuwaangalia vifuani mwao?”
Nilianza kuyatoa macho yangu kwa kuaangaza wale mabinti waliokuwa wamenizunguka. Japokuwa walikuwa uchi wa mnyama. Niliweza kugundua kuwa hawakuwa na maziwa vifuani mwao.
“Nimewaona tayari”
“Umegundua tofauti yao na yako ipi?”
“Hapana baba sijagundua chochote”
Ilinibidi kuwaongopea kwa makusudi ili niepukane na kukatwa kwani nilijua wazi wanataka kunitoa maziwa yangu nifanane na hawa mabinti.Yule mzee alichukuwa lile panga na kuanza kunikata nalo ziwa moja baada ya jingine. Sikuwa na nguvu ya aina yeyote tena na wala sikusikia maumivu zaidi ya kuhisi kama natekenywa. Ni dhahiri kuwa lile panga lilikuwa na dawa zao za kuweza kumpumbaza mtu anapokatwa asisikie maumivu yeyote. Alipomaliza kunitoa maziwa yangu yote mawili akawarushia wale mabinti wakaanza kugombania kwa kuyala bila kujali limbi la damu zake. Nilitamani sana kutoa sauti kwa ukali ya kuwatukana lakini nilishindwa. Tayari nilikuwa kama nimefanyiwa dawa za kutokutoa sauti kwa kipindi. Nilibaki kuwa kama mtu aliyefungwa mdomo kwa kutokuwa na uwezo wa kutoa sauti.
”Adela, sasa umekamilika mwanetu, inuka?”
Nilidhani utani kuwa nisingeweza kuinuka. Nilishangaa nguvu za ajabu zikinirudia na kuweza kuinuka kutoka pale chini. Maswali mengi yalibaki kichwani mwangu ikiwa ni pamoja na kuyatoa maziwa yangu, pili sijaona damu zozote wala maumivu ya aina yeyote na tatu nilishangaa kuishiwa nguvu zote na baada ya kukatwa nilipata nguvu ya kuinuka.
“Sasa waweza kwenda pale ukakutane na kiongozi wako uanze kazi leo leo,sawa Adela?”
“Sawa baba!”
Niliondoka kiunyonge huku nikijihisi kama aibu kubwa imenitawala Adela mimi. Kwa mwendo wa taratibu huku nisielewe mazingira ya chini yapoje poje kwani hayakuwa na vumbi wala ardhi yaani yalikuwa ni kama angani tu. Ndani ya muda mchache nikawa tayari nimeshafika kama nilivyoelekezwa na wale wazee walionitoa maziwa yangu na kuwapa wale mabinti wagawane kwa kuyatafuna.
“Adela mwanangu umekuja?”
Aliongea yule mama wa kwanza kabisa. yule alioniambia kuwa ni kiongozi wao na atanipangia kazi ya kulala na maiti ishirini.
“Ndio mama”
“Umependeza mwanangu! Hivyo ndivyo mabinti wakike wanavyoishi huku kwetu. Si umeniona hata mimi sima maziwa? Yaani huku hayana kazi maana kama mimba hatupati, watoto wanaliwa na wazee na hawaruhusiwi kuishi sasa miziwa niwe nayo inafanya kazi gani?”

****************************

Nilijiangalia mara mbili mbili kifuani mwangu kwa hasira ya hali ya juu. Yale maziwa madogo dogo na ya kumvutia kila mwanaume sasa yakawa hayapo tena katika kifua changu. Yametolewa na wale wazee wachawi wenzangu. Niliumia sana lakini kwa kuwa tayari nilishakubaliana na nguvu ya kiuchawi ilinibidi yatolewe.
“Adela?”
“Abee mama!”
“Kuanzia sasa usiniite mama, mimi siyo mama yako sawa? Mbona mimi sikuiti mwanangu nakuita Adela? Nataka uniite Sophia ama sophy, tumeelewana Adela?”
“Ndio maama nimekuelewa”
“Haya sogea karibu yangu hapa nilipo kisha nikumbatie kwa nguvu”
Aliongea yule Sophy kwa sauti ya ukali akinisisitizia kwa mkazo. Nilitahamaki maneno yake ya ukali lakini nilijikuta naingiwa na moyo wa subira. Moyo wa kuvumilia yote nionayo na nisikiayo. Mwili wangu bado ulikuwa haujakamilika kabisa kwa uchawi kwani nilianza kuhisi woga woga ukininyemelea kila muda niliokuwa nikiongea na Sophy. Hata aliponisihi nimsogelee na kumkumbatia bado nilikuwa nikimuogopa.
“Hivi unanisikia Adela ninachokuambia? Au unataka nikurudishe kule kwa wazee ulipokuwepo wakakuchezee tena mwili wako?”
“Hapana mama, anhh nisamehe!!. Hapana Sophy!”
Kwa uoga uliochanganyikana na aibu kwa mbali ilinibidi nimsogelee na kisha nichukue mikono yangu na kupitisha mabegani mwake kwa lengo la kumkumbatia kama alivyohitaji.

*******

Baridi kali lilikuwa likiendelea kuusumbua mwili wangu. Kiza kinene kiliyashinda macho yangu angavu.Macho yenye nguvu ya kuangaza popote sasa yakawa hafifu. Hafifu kwa kutoweza kuona vizuri mbele wala nyuma.Nikajikuta nikiwa juu ya mti mkubwa sana. Mti aina ya mbuyu uliopukutika majani yake na kuwa mkavu. Nafsi yangu iliuliza moyo lakini akili ilibaki kutokujua na kukataa kuujibu moyo juu ya kinachoendelea.Sauti za ndege aina ya popo na bundi ndizo zilienea zaidi. Mwili wangu haukuwa mwili wa kawaida tena kutokana na kujikuta nimezungushiwa shanga na hirizi karibu mwili mzima na mikononi nikiwa nimefungwa vitambaa vyekundu.Pembeni yangu alikuwepo Sophy akiwa amebebelea ungo mkubwa uliokuwa umejaa vibuyu,vidole vya watoto,masikio ya watu wazima pamoja na mikia. Sikuelewa vizuri ilikuwa ni mikia ya mnyama gani kutokana na mikia kuwa mirefu sana. Sophy alionesha kufurahi jambo huku akinitazama usoni mwangu.
“Adela sasa kazi yetu inaanza rasmi sasa hivi. Na hapa nilipo nipo kwa ajili ya kukuonesha tu utakavyokuwa unafanya na siku nyingine utakuwa unakuja peke yako mpaka utakapomaliza zoezi la kulala na maiti zote ishirini, umenielewa Adela?”
“Nimekuelewa Sophy”
Nilijibu kwa kujiamini kana kwamba tayari ni mchawi aliyekamilika.Baada ya hapo Sophy akachukuwa Mikia miwili na mmoja wapo akanikabidhi kisha akaniamuru ule mkia niwe nauchovya kwenye kibuyu kuna nguvu zetu za kutulinda tusionekane na wala tusikamatwe na mtu yeyote na hata tukikutana na mchawi ambaye hayupo katika himaya yetu asiweze kutudhuru. Nilifanya hivyo pamoja na Sophy naye alikuwa akifanya hivyo hivyo huku tukishuka kwa kuteleza chini ya mbuyu taratibu, na tulipofika chini kabisa nilishangaa kukutana na makaburi mengi yakiwa yamejipanga.
“Adela?”
“Abee Sophy?”
“Haya ni makaburi ya Mwananyamala, na kwa kuanza chukua hiki kibuyu kitakuwa kinakuongoza. Unapita mstari huu wa makaburi uku ukiyapandia juu yake mpaka kule mwisho na ukijiona mzito unashindwa kwenda mbele ujue hilo ni kaburi la mwanaume ambaye amezikwa leo leo. Haya tuanze mimi nipo nyuma yako taratibu”
Nilijikuta nauvaa moyo wa kijasiri na wakiuchawi. Woga uliniyeyuka ghafla na kuvaa ngozi ya kichawi tena yule mchawi aliyekubuhu kwa uchawi. Nilianza kupiga hatua huku nikifuata mstari wa makaburi kwa kuyakanyaga juu yake. Nilifanya hivyo kwa zaidi ya makaburi sita lakini nilipolikaribia kaburi la saba nilishangaa mwili wangu kama kutetemeshwa. Ganzi! Ndio ganzi mithili ya shoti ya umeme ilikuwa imeninyuka katika miguu yangu vilivyo. Nilitetemeka nakutaka kuanguka mpaka chini.
“Adela? Nini tena unafanya? “
“Sophy nashindwa kutembea, nashindwa nivute?”
“Hivi unajua kuwa ilo sio kaburi unalotakiwa kulichimba leo. Na kaburi hilo uliokanyaga ni la zamani sana. Na ukionea miguu inatetemeshwa ujue hilo kaburi litakuwa la mchungaji ama kiongozi wa kanisa au msikiti. Na mara nyingi huwa inatutokea tukiwa katika mawindo yetu haya. Sasa si unaona na maua kabisa yanaonekana yamewekwa leo. Watakuwa walikuja kulisafisha na kuliombea mchana au asubuhi”
“Ndio”
“Lazima utakuta waliweka maji yao ya Baraka sambamba na kuliombea lakini usijali Adela, dawa zetu zina nguvu zaidi yao twende.”
Nilishangaa nakuwa mwepesi kwa mara nyingine.Sophy alinivuta mkono wangu sambamba nakunipokonya kile kibuyu nilichokuwa nacho nakubakiwa na mkia pekee. Niliongozana naye kwa zaidi ya makaburi kumi na moja akasimama.
“Adela umepaona hapa?”
“Ndio”
“Hapa kibuyu kimekataa kusogea na hata mkia pamoja na shanga zangu za kiunoni nilizokuwa nazo zinacheza cheza sana. Na wewe umehisi hilo?”
“Mimi zinaniwasha sana na mkia nilioushika unajitingisha wenyewe”
“Basi hapa ndipo penyewe.Kama ukiona kibuyu kinacheza peke yake ujue hilo ni kaburi la mwanamke achana nalo. Lakini kama utaona kibuyu paoja na mkia na hizo shanga ulizonazo zote zinacheza cheza ujue hilo ni la kiume na hata si unaona kaburi lilivyo jepesi pamoja na mchanga wake uliofukiwa inaonyesha dhahiri kuna maiti ya kiume tena imefukiwa leo leo. Haya unatakiwa uweke kibuyu hapo pembeni ya msalaba wao hili nguvu yetu ya kichawi iweze kushinda na baada ya hapo utatumia mikono yako kuchimba hili kaburi”
Ule woga wote niliokuwa nao ulishafutika toka nimekatwa maziwa yangu nakuwa mchawi kamili. Roho ngumu na ya kichawi ndio ilionitawala katika halmashauri ya kichwa changu. Kwa haraka zaidi nilifanya kama nilivyoelekezwa na Sophy. Nilichimba kaburi kwa kutumia mikono yangu. Nilishangaa nguvu za ajabu nilizokuwa nazo za kuweza kulifukuwa kaburi refu kwa muda mchache nilijikuta nimeshafika umbali mrefu sana. Niligeuza macho yangu kuangalia juu nilipotoka lakini sikuweza kumuona Sophy japokuwa kulikuwa na mwanga wetu wakichawi uliosaidiana na mbalamwezi. Nikaendelea na kilichonileta hapa kaburini.Baada ya kuendelea kuchimba kwa muda kidogo nilikutana na mbao mbao. Akili yangu ikajibizana na mdomo nakutambua kuwa ilikuwa ni jeneza. Nilishika mbao zake kwa nguvu zote nakuanza kulifungua. Nilifanikiwa kulifungua japokuwa nilikutana na harufu kali sana. Mara nyingi harufu za kichawi hufanana sana na zile pafyumu za kupulizia maiti hivyo hazikuniathiri pua zangu ama mimi mwenyewe.
“Umependeza!!”
Nilijikuta natoa mdomo wangu nakuusemea moyo huku nikiangalia ile maiti kwa jinsi ilivyokuwa imevalishwa suti nzuri na ya kuvutia. Nikalitoa bao lote lililokuwa limefunikiwa kwa juu. Nikaanza kumvua nguo zake taaratibu kuanzia tai, koti la suti na kisha nikamalizia suruali yake mpaka akabakiwa uchi kabisa. Mwili wake ulikuwa umesinyaa sana nadhani ilitokana na kukaa mochwari kwa muda mrefu ama alikuwa akiugua sana hilo sikulijali Adela mimi zaidi ya kuendelea kumvua nguo.

“ Mlambe lambe kuanzia kifuani, mdomoni, na kisha umnyonye sehemu zake za siri. Ukimaliza ufanye naye mapenzi kwa kumlala juu yake kama wafanyavyo wapenda nao huko duniani!”
Sauti mbili mbili zilizochanganyikana na sauti ya Sophy zilikuwa zikitikisa ngome ya masikio yangu.Nikataharuki! nikaanza kuzubaa sasa. Kadri nilivyokuwa nikizubaa kwa kuzisikiliza sauti zile zilipotokea ndipo nazo zilikuwa zinaongezeka na kurudia maneno yale yale. Kwa takribani dakika tano nzima zile sauti ziliongezeka mara kumi ya pale kwani niihisi watu wengi sana wananiambia maneno yale. Mwili wangu ulishtuka kama vile ulipigwa na radi.Nilijikuta ghafla nikisisimka sambamba na furaha. Nikaanza taratibu kulamba usoni ile maiti na mikono yangu nikiitumia kumtoa pamba zake puani na masikioni mwake. Niliendelea kumnyonya mdomoni mwake huku ulimi wangu nikiutelezesha mpaka kifuani mwake.Nikiwa bado katika hali ya kumnyonya ghafla nikashangaa ile maiti kushtuka. Nikataharuki! nikainuka nakuiangalia, nikashangaa jicho moja la maiti hii likifumbua nakunitazama. Nikabaki nimetulia kama mtu aliyegongewa misumari katika mbao.
“Sophhhhhyyyyy??”
Uzalendo ulinishinda kabisa nikabaki nikitoa sauti ya ukali na ya juu kabisa kumuita Sophy. Sophy yule niliekuja naye huenda nilikosea masharti au nguvu za kichawi zimeniishia. Lakini sikuambulia msaada wowote zaidi ya ile sauti nilioitoa kumuita Sophy ikinirudia mwenyewe mithili ya mwangi wa sauti katika mapango marefu na yenye giza.

***********************

**** Unavyodhani Adela atanusurika hapo na hiyo maiti? Vipi kuhusu Sophy?, atakuwa wapi au amerudi kule kwa wachawi wenzake akamuacha Adela? Nini hatma ya maisha ya Adela?

ITAENDELEA

SHEMEJI MCHOKOZI – 5

Chombezo : Shemeji Mchokozi
Sehemu Ya Tano (5)

Kelvin na faraja waliendelea na mchezo huo kila walipokuwa wakipata muda na hawakuweza kuzingatia tena kilicho wapeleka shule walizama katika mapenzi mazito sana maana hata vipind wakikuwa hawahudhurii ipassavyo!/
Lakin adija aliyewaona siku wanafanya mapenz msituni alianza kujiweka karibu zaidi na Kelvin huku akisaka nafas ya kusuguruliwa na Kelvin maana alihisi kelvin anayawezea hayo mambo alianza kwa kumfuata amfundishe Mara kwa Mara na faraja alipomuona Adija akiwa na kelvin aliona wivu aliwafuata na kutaka kujua wanaongea nini!

Siku moja baada ya vipind adija alimuomba kelvin amfundishe na kelvin hakuwa na hiana alikubali na jioni ilipofika adija na kelvin walikutana darasani kwa ajili ya kuelekezana

huku adija akiwa amevaa sket ya shule na t shart ya shule pia hawa walitafuta sehemu yenye utulivi na sehemu ambayo hawatoweza kusumbuliwa walikaa hapi na kelvin alifungua kitabu cha chemistry na kuanza kumuelekeza

wakati anamuelekeza adija hakuwa anasilliza aliakuwa yuko busy kuangalia lips za kelvin zilivyo Nene huku akitamani kuzinyonya na gafla alianza kujisogeza ziro distance alimshika Kelvin mapajani mwake na kuanza kupapasa huku Kelvin alijifanya yuko busy

alihangaika maana mzee ndani ya suruali alianza kudai kuingizwa kwenye kitumbua kelvin hakuwez kufunika kitabu alikiacha wazi na alianza kumnyonya adija sana kila sehemu ya mwili wake huki adija akianza kulalamika .

kelvin niacheeeeeee bwanaaaaa mimi sitakiiii unifanye hivyo kelvin niachieeee aliongea huku hajitoi mikonon Mwa kelvin ambaye alikuwa tayari aliamshaanza kumvua chupi adija mmmmmmmmh

kelvin jomonnnnn usinivueeee unataka ufanye nini yala mamaaaaaaaa sssssssssdh kelvin jomonnnnnn unaniumizaaaaaaaa ssssssshh uwiiiiiiiii yala yal yalaaaaa mmmmmmh sugua hapo hapooooo taammmmmmm ssssssssss utaniuwaaaaa bwanaaa chomoa kidoleeee hchooo
ingizaaaa basiiiiii rungu lakoooooo ndio maana faraja hakuachiiii unajuaaaa bebyyyyyyy ssssss jomonnnnn babyyy tammmmm ingiza pole pole basiiii uwiiiiii nakupendaaaaa ssssss ahahahaaaaaa babyyy nikio hoiiiiiii kelvin aliendelea kumsugua adija huku darasa lao likigeuka

kuwa uwanja wa mapenzi siku hio adija alikojoleshwa maana alikuwa na nyege baad kumaliza ukurasa wa kufundisha na kufundishwa ukafungwa!
.

hapo kusoma kuliahirishwa na waliamua kurudi shule adija Alifurahi maana alitamani kusuguliwa na kelvin siku zilienda

hapo faraja alianza kuhisi mabadiliko ndani ya mwili wake maana hakuweza kuingia kwenye siku zake hofu ilizidi kutanda kichwani mwa faraja na huku adija nae pia alihisi kuwa na mimba duuuuuuu

adija alisema anajuta kufanya mapenzi baada ya siku kadhaa habari zilianza kuvuma kuwa garaja na adiji wanaujauzoto mkuu wa shule alipelekewa taatifa zao na aliamua wakapimwe ili kujua kama ni kweli baaada ya vipimo waligindua kuwa wana mimba na kweli walikuwa nazo?

Hapo waliitwa kwa ajili ya kumpata aliyewapa ujauzito walibanwa sana mwishowe walimtaja kelvin wote hapo kellvin alihisi kufa na wote waliandikiwa barua ya kusimamishwa shule!

Kellvin alilia sana maan aliambiwa akamlete mzazi wake na wale wasichana waliambiwa wakawalete wazazi wake!

Baada ya Kelvin kupewa barua ya kusitishiwa masomo aliajipanga na safari ya kurudi nyumbani kwao MWANZA kwa ajili ya kumleta mzazi pia Faraja nae na adija walirudi nyimbani kwao kuwachukua wazazi wao hivyohivyo!.

Kelvin alifika nyumbani na kumkuta mama yake aitwaye latifa alishangaa sana kumuona mtoto wake amerudi nyumbani wakati sio muda wa likizo alimuuliza kulikon alimpa barua ile na kuisoma baada ya kumaliza kuisoma mama yake alisema MTOTO WA NYOKA NI NYOKA TU! hapo Kelvin hakuelewa kitu na mama yake alianza kumtukana sana na kusema hicho ndicho ulikifuata huko shule kulala na watoto wa watu ona sasa umeambulia nini ulichokipanda ndio ulichovuna ngoja baba yako aje itajuta kuzaliwa mbwa wew!.

Jioni ilifika na Moses alifika nyumbani alishangaa kumuona mwanae nyumbani na swali la kwanza kumuiliza lilikuwa kwamba wamefunga shule Kelvin alijibu hapana
Sasa kuna nini mbona umerudi kabla ya kufunga shule ? Kelvin alijibu nimefukizwa shule na barua iko kwa mama kabla hajamaliza kuelezea alikula kofi la uso kelvin alihisi Giza wakati ilikuwa saa kumi na mbili

alilia sana kelvin na kuulizwa unefanya nini hadi kufukuzwa shule mjinga wew

Mama kelvin aliileta ile barua na kumpa mme wake alivyoisoma aliinamisha kichwa chini kama dakika kumi huku hajaongea chochote na alianza kukumbuka matukio yote aliyofanya na mateso aliyopata kwa ajili ya kumpalamia recho hadi machoz yalimtoka neno la mwisho alilosema alisema mwanangu inuka utoke hapa nenda ukae mbali na Mimi nitakuua
Kelvin aliinuka faster na kuelekea chumbani kwake huku akiwaza na kujiuliza mbona mama amesema vile? Alikosa jibu wakati wa chakula ulifika na wote walikaa mezani walivyomaliza kula Moses alimwambia mwanae akiandae na safari ya kwenda shuleni baada ya siku mbili!

Huku nyumani kwa Ivan faraja nae alileta barua kama ya kelvin huku Ivan alijisemea duuuu lione kama mama yake tabia Faraja hakuweza kumuliza Ivan anamanisha nini!

Na yeye aliambiwa kuwa ajiandae na safari ya kwenda shule kujibu hilo shitaka ole wako usiseme nani aliyekupa ujauzito huo nitakuua pale pale ofisni mbwa wew kasolo mkia!

Basi wote walijipanga na safari ya kuwapeleka watoto wale shule huku wakiwa hawajuani wale watoto kuwa ni kaka na Dada!

Kelvin na baba yake walianza safari ya kuelekea shulen huku kelvin alikuwa anawaza itakuwaje huko shule maana alikuwa akimuangalia baba yake anaogopa sana na aliwaza kushuka atoroke lakin alijisemea ngoja nikakomae hukohuko!

Huku faraja nae alikuwa anawaza sana itakuaje huko shule kelvin atamchukuliaje akimtaja kuwa ni yeye maana anamuonea huruma sana na anampenda sana wote wawili walkuwa wanawaza hali itakuaje huko shule?

Kelvin na baba yak waliwasil shuleni jioni sana iliwalazimu kuchukua chumba na kulala humo ili kesho asubuhi waweze kwenda shule na kuongea na uongoz wa shule asubuhi ilovyofika walielekea shuleni na walipokelewa na mwalimu wake na kelvin wa physics

na baada ya muda kidogo Ivan na faraja waliwasili shuleni pale na kumkuta Moses pale

kelvin alistuka kumuona Faraja na faraja alistuka pia lakini mshangao mkubwa ulikuwa kwa moses na Ivan walishangana sana huku wakiulizana kulikoni tens
Moses alisema kelvin alimpatia mtoto wa watu mimba hivyo mzazi niliitwa kuja kusikiliza kesi hii

Na mimi unayemuona hapa ndio mwanao faraja kapatiwa ujauzito na mwanafunzi mwenzake hivyo niliitwa na mimi kuja kusikiliza kesi hii.

Yesu wanguuuuiiiii!!! Huyu ni mwanangu faraja
Ndio Mdogo wangu Moses
Inamaana walifaulu wote? .
Unamanisha nini Moses.
Ndio kaka huyu ni kelvin mwanangu na huyo ni faraja mwanang pia!
Heeeeeee,! Nyie mnajuana?.alihoji Ivan

Faraja alijibu ndio baba huyo ndiye aliyenipa mimba..

Unaemaje wew inamaana kaka na Dada mlifany mapenzi?

Aliuliza moses na alianguka chini na kupoteza fahamu huku Kelvin alikuwa haamini tukio lile faraja nae alianza kulia sana alianza kuhisi aibu kubwa sana

Moses alichukuliwa na kupelekwa hospital na wakati huo faraja alichukua nafasi ya kukimbia na kwenda kujinyonga maana ilikuwa aibu sana kwa familia!

Huku Kelvin nae alikimbilia kumuuguza Baba yak na alivyowaza sana alichanganyikiwa na kuwa kichaa maana alikosa njia ya kuepuka aibu ndani ya familia!

Lakin pia moses alipoteza maisha maana alicheleweshwa kupelekwa hospital hivyo Ivan alishindwa afanye nini maana wenzake wote walipoteza maisha!

Faraja alijinyonga ;moses naye alikufa kwa pressure na kelvin alkuwa kichaa!

MWISHO WA SIMULIZI YANGU ASANTEN SANA

SHEMEJI MCHOKOZI – 4





Chombezo : Shemeji Mchokozi
Sehemu Ya Nne (4)


 Moses alishangaa na alisimama kidogo huku akimshangaa latifa kuwa pale kwa kaka yake na akiwa ameshika mtoto mdogo aliyezaliwa Latifa pia alikosa la kuongea hakuamin kinachotokea pale.
Ivan alikuja maana alikuwa kuoga na alimkaribisha mdogo wake na kusema karibu tukae nadhani unashangaa kumkuta mwanamke hapa huyu anaitwa latifa ni mke wangu baada ya kwenda kijijin nilimuona nikaamua tu nimchumbie huyu na kuwa mke wangu.
Latifa Alita ivan
Abee mme wangu.aliitika latifa

Huyu anaitwa Moses ni Mdogo wangu
Ooooh ! Karibu shemeji alisema latifa
Moses alishindwa kuitikia

Ivan alishangaa sana kumuona mdogo wake amekosa amani aliamua kumuuliza vip moses mbona hivo?

Moses alishindwa kuongea maana aliwaza akisema atazua mgogoro mwingine macho yake yalikuwa mekundu kwa hasira mwishowe aliamua kuongea na kusema wanawake wanaroho ngumu!.
.
Ivan alishangaa na kumuuliza kivipi?
Moses alisema huyu anaitwa latifa Ismail
Ivan aliitikia ndio kulikoni kwani!

Mdogo wangu umeanza mambo yako yani wew kutambulishwa tu umeshaanza kumpenda tena mke wangu unataka uniharibie kama ulivyoharibu kwa recho siyo?

Hii awamu sikubali nitakucharanga mapanga sitojali kuwa wew ni mdogo wangu maana umezidi na tabia yako mbaya hata hivyo nimekuheshim usingekanyaga kwangu tena na huyu muacha ni mke wangu na huyu ni mtoto wangu sawaaaaaaaaaa !!

Pumbavuuuuu usiyeheshimu maisha ya watu wengine nakuambia hivi nitakucharanga mapanga!

Ivan aliongea sana siku hio lakin Moses alishindwa kujizuia na kusema huyo aliyezaliwa sio mwanao nadhani ulivyomuoa ulimkuta latifa anaujauzito unajua ulikuwa wa nani?

Na hukujiulizi kwa nini nimeshangaa kumuona latifa hapa? Embu stuka brother huyu latifa alikuwa mpenz wangu nilimuacha kijijin na huyo mtoto unayemuona na unajiringia kuwa ni mtoto wako siyo

Huyo nimwanangu brother na mimi hapa sikubali! Ivan alichanganyikiw maana ilkuwa ni kesi nyingine na hakujua atafanyaje.

Kwa upande wa latifa alikuwa hajui kuwa moses ana kaka yake mkubwa maana kwa kipindi chote alikuwa hajawahi kumuona pale nyumbani kwa baba yake na Moses
Lakinn Ivan kulingana na kuchanganyikiwa na kushindwa kuelewa aliamua kumuuliza latifa kama ni kweli lakin latifa alikana na kusema sio mtoto wa moses

Hapo moses alichaluka na kumchukulia kisu latifa aseme ukweli na alimshika bila kujali kuwa anamtoto mkononi na kusena ukiacha kusema ukweli nakuchoma kisu

Mimi sitanii unataka unidhurum dam yangu mwambie kuwa ni mwanangu umbwa wew Malaya mkubwa semaaaaaaaa.!!

Latifa alitetemeka na kutaka kuongea alianza kuongea tu na simu ya Ivan ikaita kuangalia alikuwa ni baba yake
Hellow mzee
Hellow ivan
Shikamoo mzee
Marahabaa hujambo?
Sijambo baba.

Sasa mwanangu huku nyumbani kulitokea tatizo Mara baada ya wew kutoka huku inasemekana ulimtorosha Latifa Ismail na kwenda kuishi nae na uliamua kumfanya awe mkeo hivi hukuona kuwa anaujauzito mwanangu ulikosa binti ambaye hajapata ujauzito,?

Mbona elimu yako haijakusaidia utawezaje kumtorosha binti bila wazazi wake kufaham wala kujua yuko wap na anaishi na nani?

Na isitoshe ujauzuto huo ulikuwa wa moses mdogo wako na alikuwa amemsuburia kwa ajili ya kuolewa nae sasa wew ulikurupuka na kumtorosha huoni kuwa umejiletea matatizo

Akifaliki utamleta kwa nani umenidharilisha kabisa sikutegemea tukio hili kutokea kwako!

Na kwa taarifa yako unatafutwa na police kwa kosa la kumtorosha mtoto huyo na mimi sikubali kufungwa kwa ajili ya ujinga wako nitawaleta! Mzee alimsonya na kukata simu yake

Ivan alibakia ameduwa na kukosa cha kufanya na latifa alianza kumueleza moses jinsi ilivyokuwa hadi yeye kuolewa na ivan maana alikuwa hajui kama ivan ni mkubwa wake.

Latifa ndio hapo alimkana Ivan na kusema huyu mtoto sio wako ni wa moses hivyo anayestahiri ni mdogo wako na kwa kuwa amekuja itabidi ampe jina mwanae na sio wew ivan latifa alimaliza kuongea

Huku moses alimuangalia kaka yake na kusema kumbe kazi yako ni kutorosha watoto wa watu Recho ulimchukua tu barabaran hukujua anatokea wapi na latifa wangu uliamua kumtorosha bila kufahamu wala kutaka kujua wazazi wake

Jifunze maisha maana maisha sio darasani tu ndio haya elimu itabidi ifanye kazi ipasavyo fikilia kwa kina ndio ufanye maamuzi usipelekeshwe na hisia bro sasa subiria ukanyee debe! Moses aliongea na kukaa kimya
.
Ivan alianza kulia na kuesma Leo umeongea hayo yote bila kujua kuwa wew ndio chanzo cha matatizo hayaa maana usingelala na mke wangu recho yasingetoke haya sawa umeongea lakin kumbuka mimi ni kaka yako hukupasa kuongea hayo mbele ya mke wangu latifa..

Weeeeeeeee koma nani mkeo ? Aliuliza latifa na kusema hunahaki ya kuwa na mimi Moses ndio mwenye mamlaka na sio wew maana ulinilaghai tu hivyo kuanzia Leo naondoka na moses wangu!

Walimaliza kuongea Moses alimchukua latifa na mwanae wakaanza kuondoka walifika tu nje kidogo wakaona police wanaingia nyumbani kwa Ivan lakin damu ni nzito kuliko maji Moses alirudi kuangalia kinachotoke kwa Ivan,…….

*******************

Kelvin na faraja walianza kushirikian baada ya kuona hakuna mmoja anaye mzidi mwenzake maana wote walikuwa wanaweza kusoma na kuelewa baada ya kelvin kuona vile alijisogeza zaidu kwa Faraja ili watengenez group moja la kujisomea

Na faraja alikubali na kutengeza group la watu kadhaa huku wao wakiwa ndio viongozi wa group lile maisha yaliendelea na walikaribia kumaliza darasa la saba hivyo walijiandaa vilivyo huku kila mmoja akiwaza kufaulu na kuendelea na masomo yake!

Walifanya mtihani wa kuhitimu darasa la saba baada ya kuhitimu kila mmoja alienda kwao na kwa kipindi chote hicho hawakuweza kujuana kuwa wao ni ndugu maana wazaz wao walikuwa hawajuliani hali wala kutembeleana .
Faraja alimueleza mama yake kuwa anarafiki anayeitwa kelvin alimtaka kuwa makini nae na kusema angalia urafiki huo.mwnangu usikuponze!

Kelvin na faraja walikaa nyumbani kwao bila kuwasiliana maana walikuwa hawaana simu baada ya miez kadhaa matokeo yalitoka na wote walifaulu kwa alama nzuri zilizowafanya kuongoza mkoa wa Mwanza

baada ya matokeo kutoka faraja na kelvin walichagulia shule moja hivyo iliwafanya kuweza kurudi sehemu mmoja Kelvin alijindaa na kwenda kuripot shulen pale maana palikuwa ni mkoa tofauti na mwanza

Hivyo Moses ambae ndie baba yake Kelvin alimpatia kiasi cha fedha kuondoka wakat yuko stand ya mabus Nyegez alimuona Faraja akiwa amesindikizwa na mama yake kwenda kupanda gari

Kelvin alivyomuona alimkimbilia kwa furaha na kumpa hongera mama yake recho hakujali sana na alimuuliza amepangiwa wap na kusema ulipo wew na Mimi nipo hapohapo basi Kelvin alifurah na kusema basi tupande gari moja

Maana mimi mwenyew naelekea hukohuko walipanda bus aina ya TAKBIR na walikaa sehemu moja waliweza kusafiri kutoka Mwanza hadi Kigoma maama ndipo walipangiwa

walifika na kupokelewa vizuri na kila mmoja alioneshwa bweni lake na waliingia mkuu wa Kigoma secondary kipindi hicho aliweza kuwapatia maelekezo na kuwakaribisha kwa ajili ya kuyaanza maisha mapya!

Maisha yalianza pale shuleni kigoma na wote walikuwa wageni wa mazingira Yale kitu ambacho kiliwafanya kuwa karibu zaidi kwa ajili ya kujisomea zaidi!

Walikaa pale shule na baadhi ya wanafunzi walianza kuhisi kuwa wale ni wapenzi maana muda wote walikuwa pamoja kama mapacha!

Na waliweza kukaa pale na kumaliza mwaka wa kwanza walivyoanza mwaka wa pili baada ya likozo Mwalimu wa michezo na burudani aliweza kuwatangazia kuwa kuna disco hivyo yawapasa wote kushiriki sehemu moja na kucheza pamoja


Baada ya tangazo lile wanafunzi walishangilia na kusambaa hapo Faraja alimfuata Kelvin na kumwambia tutacheza wote kelvin alitabasam na kusema usijali Faraja

Hapo hapo kelvin aliwaza kutoipoteza nafasi ile na kuijutia maana alikuwa akiikosa kwa muda mrefu na aliapa na kusema lazima amfanye faraja.

Muda wa discko ulifika na wanafunzi walianza kuingia kwa ajili ya kucheza na kufurahi Faraja alivaa skin tigth iloyobana mapaja yake na Kelvin nae aliva pensi na t- shirt

music ulianza na kwa muda huo kila mmoja alicheza kivyake giza lilivyoanza kuingia faraja alimtafuta kelvin na kumuona alimfuata na kumshika mkono alimpeleka kwenye kona ya mwisho ya ukumbi ule kelvin alianza kucheza na 
Faraja alishikiria mabega ya kelvin kitu ambacho kilimfanya kelvin kuanza kumchezea pelepole bila faraja kutegemea aliendelea kumgusa gusa sehemu mbalimbali za mwili wake huku akipandisha hadi kwenye chuchu zake na kusisugua polepole

Faraja hakuona hatari maana alihisi ni kucheza tu baada ya muda kidogo faraja alianza kuhisi mabadiliko ndani ya mwili wake kadri kelvin alivyozidi kumchezwa ndipo na hisia zilianza kumpanda na yeye alianza kuonesha ushirikiano kwa kuacha kuchezea rungu la kelvin

huku akilalamika kuachiwa lakin alikuwa hatoki kifuani mwa Kelvin baada ya muda alianza kutaka kuingiziwa rungu na kumtaka kelvin aingize rungu lake mle mle ndani

Maana hisia zilipanda akawa anahisi yuko dunia nyingine na sauti za music hakuweza kuzisikia tena maana midadi ilikuwa imeshampanda

kelvin baada ya kuona hali ile aliona isiwe kesi alimtoa ukumbini na kumpeleka mbali kidogo na pale alifika kichakani na alimlaza faraja na kushusha skintigth yake

Alianza kumtomasa tena alishuksha mkono wake hadi kwenye kitumbua chake na kukuta kimeshalowana vya kutosha alichomeka kidole ndani ya kitumbua na Faraja alitoa sauti ya kulalamika kwa utam na kusema

jomoniiiiiiiiii kelvinnnnnnn toaaaaaaa basiiiiii sssssssssssshh ahaaaaaaaaaaaa bebyyyyyyyy suguaaaaaa hapohapoooooooooo mmmmmm ooooh my Gooooood tammmmmmmm yeaaaaah sssssss

kelvin aliendelea kusugua huku faraja akizidi kupanua matako yke na kutaka kuingiziwa rungu bebyyy tayariiiii wekaaaaaaa bwanaaaa utaniuwaaaaa mwenzioooooo wekaaaaaaa faraja alishika rungu la Kelvin huku akitakia kujiwekea mwenyewe lakin kelvin alikwepesha

Hapo alimuweka sawa na kuingiza rungu lake Jomoniiiiiiiii uwiiiiiiii usinichaneeeeee kubwaaaaaa ingiza polepoleeeeee bebyyyyyy mmmmmmh aaassssssssssh aaaaaaaaaaaa bebyyyyy ingiza yoteee basiiiiii tammmmm jomoniiiiiiiiii sssssss sugumaaaa usichomoeeeee babyyyyyy nakojoaaaaaa beby be by beby ahaaaaaaaaaaaa nakojoaaaaaaaaa ssssssssssss tammmmmmmmmmmmmm alimkumbatia kwa nguvu Kelvin na kuvunja dafu la kwanza

Baada ya faraja kuvunja dafu kelvin nae alianza kulitafuta alimkunja na kumsugua vizuri faraja kiasi ambacho faraja alihisi kitumbua chake kinawaka moto na alilalamika kwa nguvu kuwa anaumia na mlizi aliyekuwa akizunguka maeneo Yale aliweza kusikia sauti zile

Alianza kuzifuatilia huku Kelvin hajui kuwa mlizi yuko pale alizidi kumsugua na yeye alianza kuhisi kuvunja dafu alimkunja faraja na kumaliza kazi ile

Wakati anageuka nyuma alimuona mlinzi alikiwa ameshika fimbo na rungu Kelvin na faraja walistuka na walianza kumuomba msamaha lakin mlinzi yule alisema hawezi kuwasamehe

Aliwashika mikono na kutaka kuwapeleka kwa mwalimu wa zamu!
Lakin Kelvin alikuwa na kiasi cha fedha alikichukua na kumpatia mlinzi yule alipokea na kuanza kuhesabu baada ya dakika alimuachia na kusema nendeni ila kuwa makini usimpatie mimba mkafukizwa shule.

ITAENDELEA

SHEMEJI MCHOKOZI – 3

Chombezo : Shemeji Mchokozi
Sehemu Ya Tatu (3)

Moses baada ya kuambiwa kuwa recho anaukimwi alilia sana kama mtoto mdogo maana alijua kabisa kupona kwake hakutowezekana tena alilia kwa uchungu huku akianza kumlaumu kaka yake.

Ivan kwa upande wake alijutia sana maana tego lile lilikuwa limelenga mtu mwingine asiwe ndugu yake hapo alimwambia moses hakika nimefanya kosa kubwa sana sitoweza kuludia tena bora mke wangu awe huru akiamua afanye au ache.

Recho alisikilizi Yale maongezi ya moses na Ivan baada ya muda recho alianza kuhisi hamu ya kufanya mapenzi maana alikataa kwa muda ule kwa kuwa alikuwa hajisikii kufanya vile kwa kuwa alikuwa amemaliza kulala na mwanaume mwingine ndio maana aliwaambia ana ukimwi.

Wakati ndio ameachana na Ivan aliweza kulala na wanaume kadhaaa na wenyewe walianza kuwa kama moses lakin hawakuweza kutambua ugonjwa ule waliupata wapi maana kazi yao ilikuwa nikununua Malaya mtaani na kulala nao.

Recho baada ya kuanza kuhisi kufanya mapenzi alianza kukumbuka jinsi moses anajua kusugua na alivyokuwa akimfikisha kileleni.

Huku moses alizidi kulia na kumuomba mungu amsaidie kwa upande wa recho aliwaza sana hadi kitumbua chake kikaanza kutoa maji maji palepale hotelini aliamua kumwambia Moses kuwa nilikuwa nakutania kumbe unapenda upone

Kweli recho? Aliuliza Moses
Ndio shemeji yangu.
Naomba umsaidie ndogo wangu recho..
Sawa nitamsaidia ila nakupa sherit moja tu? Ivan
Sherti gani! Recho.
Nataka tukiingia chumbani mimi na Moses wew usubirie mlangoni hapahapa.Alisema recho
Ahahahahahaha!! Ivan alicheka na kusema mimi nikajua ni sherti kubwaaa sawa mimi nitakuwepo hadi mtakapomaliza kubwa mdogo wangu apone basi.

Sawa Ivan nimekuelewa aliongea recho huku akimvuta moses kuingia chumba kile.
Moses hakuweza kuamini kuwa anaenda kupona sasa.

Recho na moses waliingia chumbani na kumuacha ivan amesimama pale mlangoni na bahati mbaya hawakuweza kufunga mlango vizuri kulibakia uwazi kidogo

Recho alianza kuvua nguo zake huku akilegeza macho akiwa tayari kwa kuliwa uroda na moses.

Alianza kujishikashika ili kumpa hamasa moses na moses nae alianza kuhisi rungu lake kubwa linasimama na yeye alianza kuvua nguo ila kwa upande wake hakutaka kufanya mbwembwe nyingi alivua tu na kutaka kumvamia recho .
duuuuuuuuu rungu lilikuwa kubwa kiasi kwamba recho alianza kuogopa kuchanwa lakin mwanamke siku zote huwa ni jasiri kwa mambo hayo aliamua kumvuta moses kifuani kwake na kuanza kumchezea wakati anamchezea alianza kutoa sauti za mahaba kwa makusudi mazima ili ivan asikie Kule nje!

Recho alikaa vizuri na kumtengea moses kitumbua chake moses alianza kuchovya juu juu maana angeinziza rungu lote lingemchana recho alichovya mara ya kwanza na mara ya pili kadri alivyozidi kuchovya ndivyo rungu lake lilizidi kupungua na kuanza kuzama ndani ya kitumbua cha recho

Alizidi kuingiza huku recho akizidi kupata utamu wa hali ya juu na alichovya mara sita rungu lake likarudi kwenye hali yake hapo ndipo moses alianza na yeye kupata utamu was kitumbua cha recho kwa awamu nyingine baada ya kuugua kwa muda wa miaka kadhaaa alizidi kuingiza rungu lake recho nae alizidi kulalamika kwa utam ssssssssss ahaaaaaaaa moseeee moseeee nilikumisssss rungu lakooolll LA motoooooo mmmmmm mmmmm yessssssd uwiiiiii ingizaaaaaa ahaaaaaaaaaaa sssssss tammmmmm mmmmm sssssssss

Moses alizidi kunogewa na recho alizidi kutoa sauti zile ili kumuumiza ivan pale nje maana alimtafuta yeye ili ampe utam mdogo wake!..

Moses naye alizidi kuuchubua ssssssssss aaaaa bebiiiiiiiii uwiiiii ingizaaaaaa yoteeeee tammmmm kitumbua chakooooooo moseeeeeee sssssssss yaaaas ssssssss mmm…haaaaa bebiiii unajuaaaaaa nakojoaaaaa usitoe kojolea ndaniiiiiiiiiiiiii mmmmmmh nakojoaaaaa moseeeeeeeee aliendelea kufanya makusudi ili Ivan ajutie kosa lake na ajue binadam huwa siku zote hachungwi!!

Ivan pale nje alianza na yeye kusimamisha rungu lake na kuanza kujiuliza duuuu moses aliyajulia wapi maana recho anavyolia aliamua kchungulie na alimkuta recho amekunjwa.

Recho aliweka miguu juu ya mabega ya moses na moses nae akawa yuko katikati ya mapaja ya recho huku rungu lake likiwa limesharudi kwenye hali yake likizama na kutoka ivan aliona kitumbua cha recho kilivyolowana na kinavyofanywa na mdogo wake alianza kutaka kuingia na kumpiga moses!

Kadri alivyozidi kuchungulia ndivyo hasira zilizidi kumpanda ivan alizidi kuchungulia kwa bahati mbaya aliusukuma mlango ule bila yeye kujua na kuangukia chumbani mle maana mlango ulikuwa haujafungwa vizuri…..Recho hakujali lakin moses alitaka kuinuka na kuchomoa rungu lake lakin recho alisemaaa ……….!!

Moses alitak kuchomoa rungu baada ya kumuon kaka yake Ivan amechukui na kuingia ndani lakin recho alisema usichomoe nataka kukojoaaaaaaa shiiiiiiiiii mmmmmmmh alimbana Moses kwa nguvu huku ivan akishudia mech ile ilionekana yeye ndiyo lefa kwa muda ule muda

Baada ya Recho kukojoa bao lake aliinuka na kusema hakika moses unajua mambo maana unajua kucheza na kitumbua changu huwa nikiwa na wew nahisi Niko pepon

Moses hakujibu kitu maan alikuwa anatetemeka na kuogopa baada ya ivan kuingia chumbani kwao na alijibu kwa kuogopa sawa recho nashukuru kwa kunisifia na pia umeniponyesha ugonjwa wangu asante sana mimi ngoja niondoke nikuache na kaka yangu!

Ivan muda wote hakuongea kitu alimwangalia mdogo wake na kusema moses iko siku utanikumbuka nadhani umepona sitaki mawasaliano ya wew na recho na tukitoka hapa ni moja kwa moja kijijini ukafanye umalaya wako huko

Sawa kaka nimekuelewa nitaenda hakuna shida nashukuru tu kwa kunisaidia kupona ugonjwa wangu!

Recho aliendelea kusikiliza maongezi Yale na alijibu kwa kumtetea moses na kusema Sion kosa kwa moses kwenda kijijin we muache mjini aendelee kujifunza maisha huyu ni kijana sasa na sio mtoto na wew moses unakubali kirahisi hivyo nakuomba ubaki mjini upambane uwe na maisha yako usimtegemee kaka yako

umekuwa muda si mrefu utakuwa na familia embu jiongeze!

Ivan hakuongeza kitu maana aliusoma mchezo wa recho anachokitaka ni kipi aliamua kutoka nje na kuwaacha chumbani kwa muda huo moses aliataka kuvaa na kuondoka lakin recho alimzuia asivae alitaka waendelee kula raha

moses alikataaa na kusema recho namuheshimu kaka maana ameshanichukia sema tu hataki kuonesha hasira zake naomba niondoke

Lakin recho alichukua begi lake na kuchukua kisu na kusema ukiondoka tu najichoma nikuuzie kesi nachotaka nikuona nafanywa na wew muda huu sio kikingine

Tangu uache kunisugua sijapata mwanaume wa kunifikisha kileleni ni wew tu!
Baada ya kuona ile hali moses aliogopa na kusema sawa Shem lakin muangalie kaka kama yuko hapo recho aliinuka na kuchukungulia hakuweza kuona alishakingilia weweeeeeeeeeeee muda wetu huu!

Moses hakupoteza muda alirukia kifuani kwa recho na kuanza tena kunyonya chuchu za recho na recho alianza kutoa miguno ya kupandwa na utam shiiiiiiiiiiiii ssssssss mmmmmmm ahhhhhhhhh aaaaaaa bebiiii bebij bebiii mmmmmm OS’s ooooooo sssssss.

Wakati anatoa sauti zile muhudumu wa guest ile aitwae pendo alipita n kusikia sauti zile na kujisemea mmmmh huyu mama anasikia raha miguno yote hio alitaka kuondoka lakin moyo wake ukasiti na kutaka na kuanza kuchungulia

Alichungulia na kumkuta moses amemuinamisha recho na alijisemea duuuuuuu yule kaka anayajua ona anavyomsugua

Alianza kupandwa na hisia Kali zilozosababisha aenze kupandisha nguo zake na kujishika kitumbua chake mwenyew na kujikuta ameanza kulowana muda huku alijisemea natamani kusuguliwa na mimi

Alifumba macho kwa hisia na kujichomeka vidole vyake kwenye kitumbua na kujisugua polepole wakati anaendelea Ivan alikuja akiwa ameshika chakula mkononi alimuona yule Dada

anavyojichumbua na vidole na kugundua moses na recho wako wanafanya yao aliridi mapokezi na kuchukua chumba

jilani na chumba cha recho na moses na alikuja kumpitia Yule dada bila ya hata kuuliza Dada alikubali na kuingia wote chumbani kwa ivan

Kwa muda huo ivan alikuwa anahamu sana ya kuuchubua hakulemba alimuanzia yule dada alipandisha sketi yake na kuchomeka dudu lake aliingiza na kuanza kuzungusha kiuno chake Mara alikojo kabla ya yule Dada hajakojoa

Kitu ambacho kilimkera sana yule dada na kusema umenichafua tu huna lolote jifunze kucheza na mwanamke ona sasa hata dakika mbili hujamaliza umeshakojoa unategemea ningekuwa mkeo ningefabyaje sasa kazi kuchafuana wanaume wengine ovyooo
.

Pendo aliinuka na kuondoka zake alipita karibu na chumba cha moses na aliendelea kusikiliza sauti za recho! Oooooooh yeeaaaaaa bebiiiiiii sssssssssss mmmmmmh ahaaaaaaaa nakojoaaaaaaa ssssssssssssss mmmmmmmh ingizaaaaaaa yoteeeeeee bebiiiiiiiiii sssssssssssss pendo alijisemea huyu ndio mwanaume anayemkojolesha mwanamke sasa mwingine nae hata sijapata utam limeshakojoa ngoja nisuibiri mapokezi nimuone huyu anayemkojolesha huyu binti yukoje!!

Ivan alishindwa afanye nini maana anahisi ndicho kilipelekea yeye kuachwa na recho na kuanza kulala na mdogo wake aliinuka na kusema hii nalo litaisha tu ngoja niitafutie dawa.

Wakati anendelea kuwaza hivyo simu yake ilita alikuwa ni baba yake alimtaka aende kijijin baada ya wiki mbili maana kulikuwa na sherehe alikubali na kujisemea nikienda huko lazima nije na mke mwingine na Moses nitamtoa kwangu nitampangishia akaishi kwake!

Moses aliweza kutoka chumbani mle huku akiona aibu maana anemdharirisha kaka yake

Lakin Ivan hakusema chochote zaidi ya kujiandaa kwa ajili ya safari ya kurudi mwanza wakati wanatoka nje pendo mfanyakazi wa ile guest alikuja na kumuita Moses na aliitika na kusema samahani naomba namba zako

Moses alichukua simu na kumuandikia na kuondoka zao!

Ivan alimuangalia mdogo wake na kutabasam lakin alimwambia kuwa amepigiwa Sim na baba yao itabid aende nyumbani kidogo

Moses hakusita alisema sawa laki ivan alisema kabla sijaondoka nitahakikisha nakuacha kwako namanisha itabid nikutafutie nyumba upange

Nitakulipia kodi kwa mwaka wote na utaanza makazi yako mapema iwezekanavyo

Moses alishangaa kwa nn kaka yake ameamua kufanya hivyo wakati nyumba yake nikubwa lakin hakuweza kuuliza sana maana alikuwa anaogopa hata kuongea nae.

Walifika mwanza na kwenda nyumbani baada ya siku kadhaa Moses alihamia kwake na kuanza maisha mapya
Lakin alikuwa akijiuliza sana kwa nin brother wake ameamua vile tena wilaya njingine tofauti na wiliya anayoishi yeye?

Lakin hakuwa na jibu sahihi aliamua kufanya shuguli zake ndogondogo na kujiingizia kipato chake!

Ivan aliondoka kijijin kwao maana ilikuwa ni miaka mingi alikuwa hajafika kule alivyofika alishangaa kuwakuta watoto aliowaacha walikuwa wameshakuwa sana

Na alivyofika kumbuka alienda kwa ajili ya mambo mawili moja kumtafuta mke mwingine na kwa ajili ya sherehe hivyo kwa muda ule alianza kuangaza huku na kule aliweza kumuona msichana mzuri sana alimuendea na kumsalimia
Mambo binti.
Safi
Umependeza sana
Mmmmh kuzidi wanawake wa mjini
Ndio tena umewazidi wengi
Hapana bwana
Ok unaitwa nani?
Naitwa latifa
Ooh jina nzuri sana
Asante!
.
Ivan alianza kumtongoza demu wa mdogo wake lakin alikuwa hajui na latifa alikubali maana ivan alimuambia anataka amuoe

Kuanzia hapo safari ya mapenz ilianza latifa alimweleza kuwa anaujauzito lakin hakujali hilo

Ivan alizidi kupagawa na kumtaka awe mke wake baada ya shereh Ivan alijiandaa na kumtorosha latifa huku wazazi hawakujua kuwa Ivan ameondoka na latifa

Safari iliendelea na hatimae walifika nyumbani kwa Ivan hapo latifa akakabidhiwa nyumba na kuwa mke wa Ivan kuanzia siku hio kumbe Latifa alikuwa ni mwanamke wa Moses.

Kwa upande wa moses alikuwa hajui kuwa kaka yake ameoa aliendelea na kazi zake kule aliko

Recho alimtafuta moses na kumwambia anakuja kwake alikubaliana nae siku ya safari alijiandaa na kwenda kupanda boti kwa ajili ya kwenda anapoish Moses aliwasili moses alimuelekeza na alienda kwake

Alipofika Moses hakuwa na amani maana alijua muda wowote kaka yake ataenda kwake hivyo akimkuta recho italeta shida sana!

Recho aliingia bafuni kuoga wakati anaoga alimuita Moses hukohuko bafuni na moses nae hakulemba aliingia na kumkuta recho yuko uchi na kitumbua kikionekana kimenona sana

Alianza kumvamia na kunyonya chuchu zake huku maji yakiwalowanisha na alichezea kitumbua cha recho kilikuwa kikubwa hakika Moses alikuwa anakula akiwa na furaha alichezea sehemu zote

Ooooo– ooooo– bebiiiiiiii
Ssssssss—- mmmmmmm
Bebyyy nakupendaaaaa .
Shikaaaa hukuuuuuuu mmmmm aaaaaa
Oo- oooioi— uwiiiiiiii tammmnmn niwekeeeee chezeaaaaaa hapohaooioi sssssssss wekaaaaa bebyyyyyy sssss shikaaaaaaa humohumooooooo

Moses alieweka mguuu mmoja wa recho begani kwake na kumpa balance ya kusimama vizuri alianza kupenyeza rungu lake kubwa kiasi recho alipiga fujo maana alikuwa hajibani sana alikuwa yuko huru .

sssssssss oooooo– 0ooooo– bebiiiiii wekaaaaa yoteeeee tammmmmm yakoooo issssssss aaaaaaa mmmm… Uwiiiiiiii ingizaaaaaaaaa yoteeeeeee haaaaaaa ppppsssssss yalaaaa yalaaaa uwiiiii utam.mmm moseee utaniuwa we bebiiiii jomoniiiiii iiiiiiiii
Iiiiiiiii sssssssss mmmmmm nakojoaaaaa sogeza unifanye vizuriiiii rungu lako la moto honeyyyy sweet eee iiiiiiiiii nakojoaaaaaaaaaa

Recho alibinua kiuno chake huku rungu la moses likiwa ndani ya kitumbua cha recho hakika mapenzi ni hisia Kali sana kama mpenzi wako hana hisia na wew kumkojolesha utafanya kazi sana lakini kama anahisia na wew sauti yako tu inatosha kulowanisha kitumbua chake
Hata kwa recho ilikuwa hivo alitokea kuwa na hisia sana na Moses ndio maana alipokuwa akilala nae kidogo lazima akojoa.

Moses na recho waliishi wote kwa muda sasa na walizoea mazingira kwa muda huo recho alidaki ujauzito wa moses na moses hakuona shida kuulea aliulea na alimuomba aende nyumbani kwao kwanza akajifungulie huko

Recho alikubaliana nae na alipanga safari kwa ajili ya kuondoka kuelekea ukelewe kwao!

Ivan nae alizidi kumlea Latifa bila,kujua kuwa yule alikuwa ni mpenzi wa mdogo wake na alimpenda sana maana alikuwa na ujauzito.

Ivan alimpatia huduma zote na kumfanya latifa awe mzuri muda wote alivutia kweli lakin kwa muda wote alioishi nae na kulala nae Ivan hakuwa kumkojolesha Latifa

Kitu ambacho alikichukia sana maana alikuwa anamuacha na nyege muda wote maana Ivan alikuwa anawahi kuvunja dafu latifa alitumia kujichezea kisimi chake kwa ajili ya kujikojolesha hakika alihangaika na Ivan alikuwa hajui hilo!

Latifa alianza kumkumbuka Moses alivyokuwa akimsugua Kule kijijin na kujiuliza atampa wapi kwa jiji lile maana hakuwa na namba zake za simu aliwaza sana na hakutaka ivan ajue kuwa latifa mpemzi wake wa kijijin yuko Mwanza mjini

Aliendelea kufikilia sana na alivyokuwa akimfikilia na kitumbua chake kililowana na kuanza kijichezea mwenyew

Siku moja alifanya usafi ndani kwake na vyumba vyote na kile alichokuwa akilala moses wakati anapanga vitu chumbani kule aliona picha ya Moses duuuuuuu alishangaa sana na kujiuliza hivi Moses alikuwa anaishi hapa?

Na kama alikuwa haishi hapa hii picha imefikaje?

Alijiuliza maswali mengi latifa bila kupata jibu lakin alijisemea kuwa mme wake akija atachukua simu yake na ataangalia kama Kunajina lolote lililosaviwa moses basi atachukua namba ile na kumpigia!

Ivan alivyorudi alchukua taulo na kuingia bafuni latifa nae alizima chumbani na kuchukua simu ya ivan na kuangalia kama ataliona jina la moses bahati nzuri aliliona na kuchukua namba zile!

Alifuraha sana japo alikuwa hana uhakika alingia jikoni na kumpigia moses! .
Hellow alita latifa.
Niambie Nani.
Jamani samahani kaka naongea na moses
Ndio .cjui wew Mani
Mimi latifa
Latifaaaa????? Waooooo uko wapi jamani mpenzi wangu!
Nipo mjini mwanza nipo kwa ndugu yangu
Mmmmmmh!! Ulikuja lini alafu kimyakimya hivyo latifa..
Hapana baby wangu Moses sikuwa na namba zako sema tu imekuwa bahati kuzipata!
Ok niambie tutakutana lini maana siku nyingi latifa..
We panga tu tutakutana ata usijali nitakupa ratiba zangu zote na uje urutubishe shamba lako .
Ahahahahahaha ! Latifa kipenz nimelimis tunda lako mama!
Jomoni Moses utalisugua tu siku tukikutana!

Walipanga siku ya kukutana ilibidi moses ajiandae na safari maana walikuwa wako wilaya tofauti hapo alijiandaa na kuanza safari kwa ajili ya kumfuata latifa mwanzoni alikuwa na wazo la kufukia kwa kaka yake lakin aliwaza na kujisemea hapana nitafikia guest na sitokaa sana!

Moses aliwaza atafikia wap ili kuweza kukitana na Latifa hapo alitaka aende kwa kaka yake lakin ailiamua kuchuku chumba guest

Na latifa aliitwa na alienda aliingia ndani mle alivyomuona tu latifa alimrukia moses kwa furaha maana miez kadhaa alikuwa hamuoni

Moses hakuweza kuuliza maana latifa alikuwa dem wake na ujauzito alioubeba ni wakwake alimchezea na kula vyake kwanza baada ya kumaliza alianza kumuuliza latifa amefikia kwa nani?
Latifa nipo kwa mzee mmoja mmoja kwa muda huu maana nilikaa kijijin nikaona nije kidigo mjini kusafisha macho!
Unaondoka lini?
Mim siondoki sasa ivi hadi nijifungue nikiwa huku alijibu latifa.
Kwa hio utakuwa unakuja nakusugua ujijisikia
Ahahahahahaha!! Ndio baby nilimisi unavyojua mambo maana kunawengine hawajui wanapaka shombo alafu wanakuacha na nyege
Sawa latifa ukiwa na hamu uwe unaniambia tu nitakuw nakuja kama hivi nakusugua narudi zangu kwangu!
Sawa moses rungu lako hilo nililimisi sana ukiliingiza kwenye kitumbua changu alisema latifa

Usijali mpenz wangu latifa hili lakwako tu.
Walisuguana na latifa hamu ilimuishia na nyege zikapungua aliamua kujiandaa kwa ajili ya kuridi nyumbani alifika nyumbani jioni sana alimkuta Ivan.

Ivan alipojaribu kumuiliza alikuwa wapi latifa alisonya na kusema sasa hivi tunachuguna mwanaume gani wew huna lolote zaidi ya kula na kulala humu ndani.

Ivan alishangaa na kusema nimekuuliza ulikuwa wapi cha ajabu umaanza kuleta matusi humu ndani ivan alichukia alivua mkanda wake alianza kumchapa nao sehemu za mwili wake.

Latifa kuanzia siku hio hakwenda tena kwa moses maana aliambiwa akitoka tu ataachwa aliamua kutulia japo alikuwa hafikishwi anapopataka yeye!

Miezi ilienda na ujauzito ule ulizidi liwa mkubwa na alikaribia kujifingua!

Hapo Ivan alizidi kuwa karibu nae zaidi ili atakapo jifungua apate huduma nzuri alijiandaa vilivyo na kuweka kila kitu pale nyumbani kwa ajili ya mtoto!

Miezi tisa iliwadia na uchungu ulimkamata latifa alikimbizwa hospital ya seketule na aliweza kujifungua salama mtoto wa kiume.
Walivyorudi nyumbani latifa alimpigia simu moses na kumwambia kuwa amejifungua mtoto wa kiume moses alishangilia na kujiamisha kuwa anauwezo wa kuzaaa kwa muda wote huo

latifa hakuweza kumwambia kuwa ameolewa aliwasiliana nae na kumwambia mengine tu! .

Ivan kwa furaha alimpigia simu moses na kumeleza kuwa mke wake amejifungua mtoto wa kiume hapo moses alimpongeza lakin alikuwa hajui kuwa amemuowa latifa ambae ndiye mchumba wake!

Lakin Ivan alimuomba moses siku akipata muda aende kumuona mtoto wake na mke pamoja na mtoto maana aliamini kwa kuwa latifa amejifungu Moses hawez kufanya chochote

Moses alikubali mwaliko ule na kama kesho alianza safari ya kwenda kwa Ivan kumuon mke na mtoto wa kaka yake

Wakati yuko njiani recho nae alimpigia na kumpa taarifa za yeye kujifungua tena mtoto wa kike

duuuu moses hakuaimi alishangilia huku akijisemea Nina watoto wawili tayari na huu ndio uame aliendelea na safari ya kuelekea kwa kaka yake,
Hatimae mose alifika kwa kaka yake na aliingia moja kwa moja hadi ndani alivyoingia alifika sebuleni aliduwaa na kushangaa sana kumkuta latifa yuko kwa Ivan tena ameshikilia mtoto duuuuuuu aliwaza sana na latifa alishangaa kumuona Moses pale!

SHEMEJI MCHOKOZI – 2

Chombezo : Shemeji Mchokozi
Sehemu Ya Pili (2)

Wakati Ivan anataka kufyatua risasi Moses aliruka na kukwapua bastola ya kaka yake iliangukia pembeni kabisa.
Moses na Recho walikili kosa pale mbele ya Ivan walilia kwa uchungu na kuapa kutorudia tena tukio Kama lile
Moses alisema kaka zilikuwa nitamaa za mwili wangu ndio ulonifanya kusababisha haya yote Niko tayari kuacha tabia hii maana umechukia sana kaka yangu!
Recho aliingia ndan na kuanza kukusanya nguo zake ili aondoke alikusanya kila kitu na alianza safari ya kutoka nje na kuondoka Ivan alikuwa na hasira sana hakutaka kumsamehe mke wake alimuacha akaondoka

Moses aliingia na yey chumbani kwake na kuanza kukusanya nguo zake na kutaka kuondoka alitoka chumbani na begi lake na kumpita Ivan akiwa amekaa sebuleni Moses alitoka wakati hajafungua mlango na kuondoka Ivan aliingiwa na huruma na kumuita Moses

Moses alikuja na Ivan alisema mdogo wangu Moses maisha ni safari ndefu sana ulichokifanya kwangu kimeniumiza sana na sitoweza kukisahau usishangae na wew yakaja kukutokea haya naamini umejifunza kuwa mke anauma kuliko unavyofikilia acha kucheza na wake za watu Leo umenifanyia mim ndugu yako kesho utamfanyia jirani yako yey hatoweza kukusamehe atakua embu kuwa makini na maisha yako jenga heshima yako ili mkeo atakayekuja kwako afurahie ndoa na sio kujuta nakupenda sana mdogo wangu embu rudi ndani na rudisha nguo zako utaendelea kukaa hapa na kuishi na Mimi nataka nikufundishe maisha jinsi yalivyo! Aliongea sana ivan ili kumuonya mdogo wake asirudie

Moses alijutia sana kosa na kusema kaka nashukuru kwa kujali dhamani yangu hapo nimejua dhamani ya undugu iko wap nakuhakikishia kuwa sitoweza kurudia tena hata iwe kwa mtutu wa bunduki hakika najutia kukusababishia maumivu makali sana na kutaka kupoteza uhai wetu Mimi na recho naapa mbele zako sitorudia tena.aliongea Moses

Sawa mdogo wangu nadhani tumeelewana na maisha yataendelea .Moses alikaa kwenye sofa na kuanza kulia kwa kile alichokifanya lakin Ivan akamwbia mwanamke ni kiumbe cha ajabu sana hudanganywa na kitu kidogo na husahau fadhila alizofanyiwa na mme wake au mchumba wake nakuomba sana Moses kuwa makini katika chaguzi zako nilimpenda sana recho na nilimuamin sana mke wangu na sikutegemea Kama ataweza kunifanyia vituko hivi ndani ya nyumba yangu kweli! kweli ! kweli! Ivan alipiga kifua na kuanza kulia maana alimpenda sana Recho na maumivu aliyomsababishia hakika hatoweza kuyasahau .
Kwa muda huo hakutaka kumtegua mdogo wake alimuacha kwanza kusikilizia maumivu ili ajifunze japo alikuwa ameshamrudisha nyumbani na kukaa wote pale nyumbani.
Moses aliindelea kusota na ugonjwa ule na alianza kuhisi rungu kumzidi uzito hapo alishindwa kutembea na kufanya shuguli zake pale nyumbani siku moja usiku Moses alisema anaomba kuondolewa adhabu ile ameshajifunza hatoweza kurudia tena
Ivan alisema sawa nimekuelewa sana tu kuhusu kukutolea adhabu hio nitakutolea na nilikuwa nimesubiria uniombe nikutolee kwa kuwa umehitaji hivo anayestahili kukutolea adhabu hii ni mwanamke uliyetembea nae Siku ya mwisho na sio mim hivyo Mimi recho nimeshamuacha na wew ugonjwa huu umeupata ukiwa unazini na recho hivyo recho ameshaondoka na yakupasa kumtafuta alikoelekea uweze kulala nae akutolee adhabu hio hivyo kazi unayo sijui utampata wapi Mimi sielewi!

Huo ndio ulikuwa mwanzo wa adhabu nyingine kwa Moses alianza kulia sana maana hakujua atampatia wapi recho maana kwao hapafaham na Ivan alimwambia amtafute hadi ampate duuuuuuu aliwaza sana sehem ya kumpatia lakin alijipa moyo baada ya kugundua kwenye Sim yake Ana anamba zake aliingia chumbani na alichukua Sim na kumpigia recho ikawa haipatikani duuuuuuu alilia sana maana rungu lilikuwa limevimba ndani ya shuka lake na alilala siku hio akiwa anawaza jinsi gani ya kumpata recho aliwaza kuingia mtaani na kumtafuta Recho alihisi huenda bado yuko jijin mwanza.

Moses alisinzia na asubuhi ilifika na aliamka akajiandaa kuanza safari ya kumtafuta Recho alikoelekea alitengeza suruali pana na shati kubwa na kuvivaa ili kuzuia kuonekana kwa rungu lake kubwa lililovimba alianza kutoka nje na kufungua geti.

Moses alifungua gate na kutoka nje huku akuwa anevaa suruali kubwa na shati kubwa kiasi kwamba alionekana Kama mzee wa zamani lakin yaye hakujali hali ile lengo lake ilikuwa ni kutafuta Recho ili awaze kusaidia kumtoa hali ile alianza kuzunguka mitaani na kujisemea huenda angemuona amekaa na rafiki zake au anafanya kazi mitaa ya karibu asubuhi ile alitembelea mitaa kadha na ukizingatia jiji la Mwanza lilivyokubwa vile alitembea sana hadi jua likawa kubwa sana aliamua kukaa chini ya mti kwa ajili ya kupumzika wakati amekaa pale aliwaza sana atampata wapi recho maana hakujua alikoelekea na aliwaza mwenyew pale chini ya mti baada ya muda kupita bila mafanikio aliamua kurudi nyumbani na kuingia ndani katika safari zake za kumtafuta Recho alienda bila simu na alivyorudi alikuta missed calls kumi za recho alifurahi sana na kuamua kumpigia Sim lakini ikawa haipatikani Moses aliishiwa nguvu na kuanguka chini.

Alianza kujisemea hivi nimekosea nin recho nipigie mwenzio ninakutafuta sana wakati bado anawaza kupigiwa Sim gafla simu yake iliita aliifuata kwa furaha akidhania ni Recho alivyoichukua alikuta ni Latifa anampigia aaaaaaaaah huuuu usengee mi nilijua ni recho kumbe ni wew mjinga alijisemea Moses kabla ya kuipokea.
Aliipokea hellow Latifa
Vip moses za huko
Nzuri tu
Mbona umenipa ujauzito na kunitelekeza Moses wakati nakupenda naomba uje basi tulee mtoto wetu atakapo zaliwa! Aliongea Latifa

Moses alimjubu nitakuja tu usijali mpenzi wangu Latifa nakupenda pia, lakin moses aliongea huku akiwaza kumpata recho ili amsaidie kumponesha rungu lake.
Latifa aliitikia nakupenda pia moses na simu ilikatwa na moses alianza kulia huku akilishika rungu lake na kuliangalia lilivyobimba.
Moses alichukua Sim na kumpigia tena Recho lakin simu yake ikawa haipatikani alikata tamaa na kujilaza chini pale sebuleni.
Ivan alifika nyumbani na kumkuta ndogo wake amelala sebuleni alimuonea huruma sana alimuamsha na kumuuliza mbona umelala muda huu?

Kaka nimezunguka sana kumtafuta recho lakin sijampta nisaidie kak kama kweli unania ya kutaka nipone nimeshakoma sitorudia tena Moses aliongea na kumpigia magoti Ivan huku akiwa anamuonesha rungu lake lilivyokuwa limevimba

Ivan alimwambia usijali mdogo wangu kesho itakuwa weekend hivyo sitokuwa na kazi nitajaza mafuta gari langu tutaingia mtaani kumtafuta tutaenda kwa marafiki zake kuulizia maana mimi kwao sipafahamu nilimkuta tu kazini kwake nikamtongoza alivyokubali nikamleta nyumbani kwangu lakin baadhi ya marafik zake nawafaham wanapoishi usijali tutaenda lakini ukome tabia ya kulala na wake za watu.

Moses alimshukuru sana kaka yake akajiona ameshapona kwa muda ule alinza kula chakula alichomletea kaka yake na kutaka asubuhi ifike haraka waingie mitaani kumtafuta Recho!

Asubuhi ilifika Moses alikuwa wa kwanza kuamka na kumuamsha kaka yake Ivan aliamka na kuanza kumcheka ahahahahahaha kumbe umekoma aisee hadi unanikurupusha asubuhi hii ili tuanze kumtafuta daaaaaaaaa!!

Moses alitabasam na kusema nikipona siwezi kufanya ujinga tena.Waliingia kwenye gari na kuanza safari walianza kwa rafiki yake Morein walifika pale na kumuulizia Recho lakin Morin aliwajibu hajawahi kumuona recho kwake anamuda mrefu sana hajaenda kwake baada ya maelezo hayo waligeuza gari na kwenda kwa Neeema ambaye alikuwa ni rafiki yake walifika pale na kumuuliza Recho Neema aliwajibu na kusema ameondoka kuelekea ukerewe kwao muda si mrefu na atakuwa aneenda kupanda boti aondoke kwao maana alikaa sana hapa akijua utakuja kumchukua lakin alivyoona hauji akaamua kuondoke

Ivan alimuiliza amepitia wapi alimuelekeza na kuendesha gari kwa kasi kubwa sana kiasi kwamba aliyemuona ivan akiendesha gari lile aliwaza kuna tukio gani?
Walifika maeneo ya buzuruga na Moses alimuona Recho akivuka Barabara upande wa pili alimuonesha kaka yake ivan aliamua kushuka ili kumkimbilia recho lakin hakuweza kumfikia maana gari zilikuwa zikipita hivyo alichelewa kuvuka na Recho aliondoka zake

Duuuuuuu mdogo wangu recho amenipotea ngoja tumuwahi kule anakopandia boti maana atakuwa anelekea kule wakati anaondoka kuelekea kule Ivan alikuwa anaendesha gari kwa kasi kubwa sana alivyokaribia kufika alitokea traffic na kumsimamisha maana alikuwa anakimbiza gari sana kwa muda huo recho alikuwa anakaribia kupanda boti

Ivan alimuomba sana traffic awaruhusu lakin alikataa na kuwapeleka kituo cha police muda ulienda na boti lilikaribia kuondoka ilikuwa imebakia kana dakika tatu boti lianze safari.

Ivan na Moses waliruhusiwa kuondoka na kupewa onyo kwa muda huo walielekea ziwani lakin ile wanafika tu waliona boti likiondoka na kumuona recho kwa mbali akiwa amevaa gauni nzuri lenye rangi ya blue Ivan alijitahid kumuita lakin hakuweza kusikika.

Baada ya Ivan kupiga fujo kumuita Recho ambaye alikuwa ameshaondoka hakuweza kufanikiwa kumrudisha kwa sababu walikuwa wameshafika mbali sana.
Aligeuka nyuma na kumkuta mdogo wake Moses akiwa analia sana maana aliamini kuwa msaada umekosekana

Kaka nakufa hivhivi kwa kitendo nilichokifanya mwenyew ona recho ameondoka na kwao hatupafahamu haya ndio madhara ya kuoana bila kupelekana kwanu na je angekufa ungempeleka wapi?

Moses aliongea mengi sana kiasi kwamba Ivan alijiona mkosefu, mdogo wangu moses nyamanza unavyoniona hadi sasa naumia maana nilitegemea atakamatwa mwingine na sio ndugu yangu Kama wew nakupenda sana recho hawez kusababisha mimi kukutenga wew japo umenikosea turudi nyumbani ili tuangalie njia nyingine ya kutatua tatizo hili utapona mdogo wangu hii yote ni uchokozi wa shemeji yako kukuvalia nguo za ajabu huku wew ni mtu mzima aliongea Ivan na waliingia kwenye gari ili kurudi nyumbani!

Walifika nyumbani usiku kidogo Ivan ili kumfurahisha mdogo wake asahau hali ile alimuandalia chakula kizuri sana walikaa mezani na kuanza kula wakati wanakula Ivan alipata wazo la kwenda kwa mtu aliyemtengeneze ule mtego huenda akawa na njia nyingine ya kutatua tatizo lile kwa mdogo wake!

Asubuhi ilifika alimuaga mdogo wake na hakumwambia anaelekea wapi alianza safari y kuelekea Simiu ambapo ndipo mtu huyo yupo! Safari iliendelea huku akiwa anawaza atamsaidiaje mdogo wake na kujipa moyo akimkuta mtu huyo basi tatizo litaisha!!

Alifika mkoani simiu na kwenda kijiji kimoja cha mbali sana kutoka pale mjini bahati nzuri alifika nyumbani kwa yule mtu na kukuta watu wengi sana kiasi kwamba alianza kuwaza kuna nini hapa?
Alishuka kwenye gari lake na kusalimiana na watu pale alikaa dakika kadhaaa akiangalia hali halis ya mazingira yale mwishowe aliweza kuulizia kulikoni hapa kuna tatizo gani au hawa wote niwagonjwa?.

Hapana alijibu kijana mmoja kuwa Mzee Ngosha amefariki leo asubuhi aliugua kwa muda mrefu kidogo alisumbuliwa na ugonjwa wa homa ya ini na alikosa huduma mapema na hatimae amefariki

Haaaaaaaaaaaaa!!! Alishanga sana Ivan na kusema mdogo wangu nitamsaidiaje maana mtu mwenyew amefariki sasa nitafanyaje aaaaaaaaaaaaa!! alipiga fujo hadi watu waliokuwepo pale wakaanza kumshangaa wakati ule ilibidi ahudhurie mazishi ya mzee ngosha mazishi yalifanyika mida ya saa Saba na baada ya kumaliza Ivan aliingia kwenye gari lake na kuanza safari ya kurudi nyumbani wakati yuko kwenye gari akirudi kwake mzee wake alimpigia Sim na kuulizia hali ya Moses maana alimpigia akawa hapatikani alijibu kuwa yuko salama tu.

Ivan aliwasili nyumbani na kumkuta Moses akiwa anaangalia movie kusema ukweli ivan alijutia kutega mtego ule maana alimuhurumia sana moses .

Baada ya kufika ndani kwake aliingia chumbani moja kwa moja na kufikilia atafanyaje mdogo wake apone alianza kupekua karatasi akitafuta namba za rafiki yake aliyempeleka kwa ngosha alilipata hilo karatasi alivyoliangalia vizuri alikuta kunamaandishi aliyoyaandika kipindi ameenda kwa ngosha kutega mtego huo alikuta baadhi ya maelezo ambayo ni jinsi gani ya kutegua mtego ule endapo mtu atakwama.

kwanza aliyekwama Kama moses lazima alale na mtu aliyefanya nae mapenzi kwa Mara ya mwisho..

Pili akalale na mama yake mzazi hapo atarudi kwenye hali yake sasa Ivan alikuna kichwa na kuwaza kati ya njia hizo mbili ipi rahisi aliwaza sana atafanyaje maana kwa kina recho hapafahamu na Moses kulala na Mama yao mzazi itakuwa ngumu sana aliamka pale kitandani na kumfuata moses waliongea nae na kumpa hali halisi ya safari yake na alifikia maamuzi ya kwenda ukerew ili kumtafuta Recho awasaidie na Moses alikubaliana na wazo la Ivan la kwenda ukerewe!!

Baada ya siku kadhaa walijiandaa na kuanza safari walienda kupanda boti kwa ajili ya kwenda kumtafuta Recho baada ya kuanza safari Ivan alijaribu kumpigia recho Sim lakin ikawa haipatikani walifika katikat ya safari gafla lilitokea wimbi kubwa sana!……..

Wimbi lilikuwa kubwa kiasi kwamba kila abilia alianza kumuomba mungu wake baadhi ya watu walianza kuchota maji yanayoingia ndani na wengine walianza kudunbukiza mizigi ndani ya maji baada ya muda maji yalutulia na safari ilienselea kuelekea ukelewe kwa ajili ya kumtafuta Recho

Walisonga mbele wati wanakaribia kufika Ivan alichukua Sim yake na kumpigia recho lakin ikawa haipatikani walishuka pale na kutafuta guest house na kuchukua chumba mle ndani.

Walilala humo na asubuhi ilifuka na Ivan alianz kuwaza ataanzia wapi kumtafuta recho maana alikuwa sio mwenyeji wa sehemu ile aliannza kuulizia baadhi ya watu kama wanaweza kumfahamu recho wengine walisem recho yupi au recho nani yaan jin la baba yake lakin Ivan aliwaambia tu recho na kuwapa picha nzima jinsi alivyo alitembea sana siku hio lakin hakuweza kufanikisha kumpata maana ukerewe nikubwa aliwaza kuhama eneo jingine tofauti na pale maana walikuwa wamekata tamaa ya kumpata recho Ivan aliamua kurudi guest na kumkuta mosea akiwa analia maana alikuwa hana amani tena na alipoteza tumain la kupona tena.
Walilala tena huku Ivan akiendelea kumpa tumaini kuwa atapatikana tu na atamsaidia apone wakati wamelala mida ya usiku moses alisikia sauti ya recho mle ndani alikiwa anaongea na mwanaume chumba cha pembeni yao aliamua kuamka na kumsikiliza vizuri pale mlangoni mwa chumba kile kilichompa tumaini ni kusikia mwanaume yule akimuita recho na yey akaitika aliamua kuja kumuita Ivan chumbani kwao na kusema kaka Recho nimemsikia yuko chumba cha pili kutoka hapa Ivan aliamka na kwenda kusimama mlangoni alianza kusikia sauti za mahaba chumba hicho na kujisemea inamaana kama ni recho atakuwa ameshaanza kujiuza?
aliamua kutok na kusimama mlangoni kwake ili kumsubilia recho atakapoachiwa na yeye amdake aingie chumbani kuweza kulala na mdogo wake ili amsaidia kumtoa ugonjwa wake

Masaa yalienda na Ivan alikuwa amechok sana Siku ule wakati amesimama alianza kuchoka na kuamua kukaa chini hap usingizi ulimpitia akiwa bado hajamuona recho lakin huku chumbani moses hakuweza kusinzia maana alikuwa anawaza sana .

Mara aliweza kusikia mlango ukifunguliwa wa chumba kile alifungua mlango haraka na kuangalia atakayetoka kama ni recho kweli mungu alisaidia alianza kutoka mwanaume yule aliyekuwa nae na baada ya dakia kadhaa recho alitoka chumbani

Haaaaaaaaaaa recho afadhali nimekuona alisema moses ! Kitu ambacho kilimfanya recho kuogopa maana alikuwa hajamfaham ni nani baada ya kusema hivyo Ivan aliweza kusituka kutoka usingizin na kuwakuta wamesimama wote recho na moses Ivan alianza kumuomb msamaha recho kubwa tu amsaidie mdogo wake apone maana yeye ndiye msaada kwao

Recho alimuangalia Ivan.na kusonya huku akisema mwanaume huna huruma na maisha ya binadam hivi ulitegemea kutega mtu tego ndio njia ya kupunguza uzinzi ndani?

Uwe unajiongeza watu wengine akili hamna sasa kilichowaleta kwangu ni kipi mimi nilikuomba msamaha Mara ya kwanza hadi nawaza kujiua lakin hukunielewa sasa leo kiulahisirahis unakuja eti nimsaidie mdogo wako nasema hivi staki na mimi kumsaidia mdogo wako wew ulimwaga mboga na Mimi namwaga ugali.

Recho alitaka kuondoka lakin moses alianza kulia na kupigia magoti recho na kusema anaomba msaada wake maana yeye ndio kila kitu tumehangaika sana kukupata recho nisaidie niweze kutoka kwenye hii hali inanitesa sana nisaidie recho moses alimuangalia Recho kwa jicho la huruma na kumfanya recho kutokwa na machozi.

Lakini recho alisema Moses nakupenda sana na isingekuwa kaka yako nilitaka nizae mtoto na wew maana Ivan hanauwezo wa kuzaa nilikuwa nafanya hivi kwa ajili ya kuweza kumzalia mtoto na kwa kuwa wew ndio mdogo wake nilitaka mtoto huyu aliende mbali na damu yenu sasa kaka yako alijua mapema na baada ya kutokea yale matatizo nilimuomba sana msamaha lakin hakuweza kumielewa nilivyoludi huku nyumbani niliamua kujiingiza kwenye swala la kujiuza maana sikupenda kuolewa tena niliamua kujiuza kwenye mabar na kila mtu anayenipa hela nalala Naye na hadi navyoongea hivi mimi ni mwa thilika wa ukimwi hivyo sidhani kama itawezekana mimi kulala na wew shemeji yangu kweli nakili kosa Mimi ndio nilikushawishi kulala na wew.
Ahaaaaaaaaaaaaaaaaa!!! rechooooooooooooo unategemea mm nitaishije sasa Una ukimwiiiiiiiiiiiiiiiiii ….. Ni sauti za moses baada ya kuambiwa recho anaukimwi.
Moses aliongezewa maumivu mengine maana recho ndio huyo kashaadhilika na ukiwi.

ITAENDELEA

SHEMEJI MCHOKOZI – 1


Chombezo : Shemeji Mchokozi
Sehemu Ya Kwanza (1)
Nikijana Moses baada ya kuhitimu kidato cha nne katika shule ya lake Tanganyika aliweza kukaa nyumbani bila kufanya kazi na alikuwa na kaka yake anayeishi jijin Mwanza hivyo kaka yake aliamua kumuita mdogo wake ili aende kula aweze kuhudumia bustani ya mbogamboga pale nyumbani kwake.Kaka yake alikuwa na mke mzuri Sana aitwae Recho duuuuuuu alikuwa mzuri na mwenye shape nzuri Sana kiasi kwamba alisumbuliwa na wanaume kila alipokuwa akienda sokoni lakini alimuheshimi mume wake hakutaka kumsaliti na aliendelea kumuheshim Sikh zote za mwanzo

Muda ulifika na kijani moses alijiandaa na safari ya kuelekea kwa kaka yake jijini mwanza aliweza kuwasili stend ya nyegezi mida ya saa moja jioni na alipokelewa na kaka yake aitwaye Ivan.
Ivan alimkaribisha pale nyumbani na kumtaka awe huru maana pale ni sawa na kwake

Moses alishukuru na kusema atazoea mazingira tu maana hadi matokeo yatoke atakuwa ameshazoea
Shemeji yake Recho alimkaribisha na kusema shem karibu Sana na hapa ndipo nyumbani kwako na ukitaka kitu chochote isiogope Kama nijikoji ingia na chukua chakula ule sawa shemeji.

Sawa shem nimekuelewa Moses alikaribidhiwa chumba na kukabidhiwa na ivan ambae ndiye kaka na kumtakia usiku mwema. Kwa usiku ule moses hakusinzia mapema Sana alikuwa akichati na mpenzi wake Ratifa aliyemuacha kijijin kwao kipind wanachati alisikia sauti za mahaba chumbani kwa kaka yake shemij yake.

Recho alikuwa akilalamika hivyo ilimfanya moses kusikiliza kwa makini na kujisemea mmmmmh kaka anafaidi maana mzigo ule ulivyonona hakuweza kusinzia aliendelea kusikiliza fujo zile na kilichompagawisha zaidi ni pale shemeji yaje recho alikuwa akikaribia kukojoa alilalamika sana.
Huku chumbani mosese alisimamisha rungu lake lililokuwa kubwa kiasi na nene uvumilivu ulinshinda na kuanza kuangalia video za ex kwenye Sim yake na alijichua na kukojoa.

Asubuhi ilifika na Recho aliwahi kuamka kwa ajili ya kuandaa chai maana mme wake alikuwa anajiandaa kuingia kazini alikuwa muhasibu wa kampun moja pale jijini mwanza aliandaa Chai na moses aliamka na kuchangia chai wakiwa watatu pale mezani

Moses alimuangalia Sana recho umbo lake lilikuwa la kuvutia na uzuri wake pia walimaliza kunywa chai na recho aliinuka kwa ajilii ya kutoa vyombo duuuuuuu alikuwa amevaa kanga moja tu Recho aliacha lawama kwa moses alimuangalia kwa wizi kumuogopa kaka yake asimsitukie
Ivan alijiandaa kwenda kazini moses na recho walibakia nyumbani na recho alimchukua moses na kumpa majukumu yaje pale nyumbani kwa ajili ya kumwahilia bustani na kutunza Maya pale nyumbani moses alipewa majukumu na kuanza kazi Mara moja.

Wakati yuko anamwagilia mpenz wake Ratifa alimpigia Sim na kumwambia amekumbuka rungu lake na yey alijibu ratifa nimekumbuka kutumbua chako kitam kumbe wakati anamjibu hivyo recho alikuwa jikoni anapika maana bustani ile ilikuwa karibu na jiko mmmmmmmh moses anayajua haya mambo alijisemea recho kule jikoni.

Alitoka nje na kumkuta moses amejiinamia akiongea na Sim
We shemeji! Aliita
Naam moses aliitika huku akikata Sim
Unaongea na nani? Aliuliza recho
Naongea na rafiki yangu! Alijibu moses
Mmmmmh!! Ndio unaongea nae matusi hivo
Moses aliogopa na kujua kuwa shemeji yake ameyasikia yote yalikuwa yakiongekewa .
Hapana shemeji alijibu kwa aibi moses aliogopa na kujua kuwa habari ile angeambiwa kaka yake Ivan
Lakn recho hakuweza kumwambia kaka yake na moses.
Siku zilienda na moses alizoea mazingira ya pale nyumbani na ile hali ya shemeji yake kuvaa kanga moja aliizoea na kuiona kawaida lakn mazoea ya recho na moses yalianza kuwa makubwa Sana kiasi kwamba moses kuingia chumbani kwa kaka yake alikuwa haoni shida Sana na recho kuingia chumbani kwa moses alikuwa haoni hatari na recho aliweza kushika Sim ya moses na kuichezea Sana aliichukua Siku hio Sim ya moses na kuangali videos na duuuuii aliona video nyingi za ngono ma kuziangalia moses alivyokuja alimuona shem wake akiwa anangalia Sim yake kwa makini Sana alitulia mno hapo aliweza kujua kuwa recho anaangalia ex zilizoko kwenye simu yake alipita mbele yake na kujifanya yuko busy pale ndani
Mmmmmmm!! Moses Sim yako uliweka mambo ya ajabu Sana kwa nini
Moses aliganda bila kutoa jibu na recho alisema lakin sio mbaya ni nzuri kwa ajili ya kujiburudisha mwenyew aliongea hivo huku akiwa anamshika began
Shemeji bwana unamambo! Alijikaza na kusema ngoja nizitie maana zitaniletea matatizo
Hapana shem usizitoe tutakuwa tunaangalia wote siku moja moja
Mmmmmh shem kaka Ivan akitukuta tukiwa tunaangalia
Usijali tutakuwa tunaangalia wakati kaka yako yuko kazini
Jioni ilifika na ivan alirudi nyumbani huku akiwa na barua mkonon
Mke wangu aliita ivan
Abeee mme wangu
Njooo hapa ! Recho alikuja na kuambiwa kuwa amepata safari ya kuelekea nchini Kenya kwa ajili ya kazi zaidi na atakaa huko muda wa wiki tatu.
Jamani mme wangu nitakumis Sana sasa nitakuwa nasuguliwa na nani jamani.
Usijali nitakuja tu muda sio mrefu
Lkn moses yupo hapa utakuwa nae kwa kuwa ni mdogo wangu utakuwa nae hapa nadhani hutoogopa Sana saw mke wangu
Maongezi yote moses aliweza kuyasikia na alijisemea mmmmh shemiji alivyomchokozi na amezoea kusuguliwa cjui itakuaje na mm nitafanya vituko hadi nimfanye.

Mmmmh huyu shem alivyo mchokozi na amezoea kusuguliwa sijui itakuaje na Mimi nitafanya vituko hadi nimfanye tu maana sio kwa tako lile Ivan anakula pazuri alijisemea moses baada ya kusikia safari ya kaka yake
Asubuhi ilifika na Ivan alimuita mises mdogo wake na kumpa maelekezo ya pale nyumbami na kumwambia kuwa makini Sana na shemeji yako
Sawa brother usijali aliitikia Moses
Ivan aliingia kwenye gari na kuondoka duuuuuuu brother umesepa safari njema
Pale nyumbani walibakia wawili tu yaan moses na Ivan hivyo walikaa pale mchana wote wakiangalia movie na stations mbalimbali na muda wa shemeji yake kuoga ulifika na alienda chumbani kubadilisha kuonguo alivaa kanga laini Sana bila chupi kuvaa chupi ndani na alipita sebulen na alitembea kwa kuringa Sana huku akutabasam
Moses alimkodolea macho na kusimamisha rungu lake ndani ya boxer maana sehemeji yake recho alikuwa na makalio makilubwa ya kutetema wakati akitembea.
Mmmmh sijui nimfuate hukohuko bafuni nimsugue lakin huyu ni mke wa kaka yangu ahaaaaaa atajijua mm namtombaaa alijisenea Moses .
Recho alimaliza kuoga alipita sebuleni tena huku kanga yake ile ilikuwa imelowana Sana yaan kiasi kwamba kitumbua chake na mstari was kitumbua vilikuwa vinaonekana.
Mmmmh sehemeji mbona unavaa hivo
Ahahahahahaha!! Moses mbona kawaida nimetoka kuoga jamani unataka nivae gauni au.alijibu Recho
Recho aliingia chumbani kwake na alisahau sabuni bafuni hivyo alimuita Moses ili akampelekee moses aliinuka na kuendea sabuni.
Moses aliwaza sijui nimsugue Leo Leo au nimuache alichukua sabuni na kuingia chumbani kwake
Duuuuuuu Reicho alikuwa amevaa chupi tu alikuwa anajipaka mafuta Moses aliogopa kidogo lakn Recho alimwambia wew ni mume wangu unaogopa nini?

Embu njoo unipake mafuta mgogoni unaonesha ushamba tu hapa mjini bwana
Moses alichukua mafuta na kuanza kumpaka shemeji yake na alianza kumpaka huku akimpaka na kumwambia shemeji yake lakin shemeji unaumbo nzuri

Ahahahahahaha Moses acha utani bwana
Ndio kaka anafaidi aisee maana natamani Sana nikuchubue
Moses sasa unashindwa nn wakati unanipaka mafuta alijibu Recho.
Moses alisimamisha rungu lililomfanya recho ashituke maana lilikuwa linamgusa mgogoni mmmmmh shem hicho nin?
Wap? Aliuliza Moses
Recho alijubu kinachonigusa mgogoni alafu kigumu.
Moses alizidisha ufundi na kuanza kuzichezea chuchu za Recho na kutomasa sehem za mwili
Ssssssssssssh ahhhhaaaaaammm Recho alianza kulalamika kwa utamu wa kutomaswa na Moses sssssssssh shemmmmmmmmmm unaniumizaaaaaaa ahaaaaaa pssssssssss utamu ulizidi na Recho alianza kuchezea rungu la Moses kwa kulishikashika ahaaaaaaaaa Rechooooooooo ssssssssssd Moses na yey alianza kusikia utam wa kunyonywa rungu pamoja na pumbu zake mmmmmmmh aliendelea kulalamika hapo hapo walijitupa kitandani wote wawili huku Recho akivuliwa chupi na kulazawa chali Moses alianza kunyonya chuchu za shemeji yake na kunyonya kitumbua cha Recho mmmmmmmmm ssssssssss tammmmmmmmm isitoeeeeee shemmmmmmmmm aliongea recho na kukandamiza kichwa cha Mosese kwenye kitumbua chake akimanisha aendelee kunyonya shemmmmmmm unajuaaaaaa kumbeeeeeeee ulimi wako wa motooooooooo sssssssssss ahaaaaaaaaa nakupendaaaaaaa shemmmm unajua kuliko kakaaaa yakooooooooo mmmmm nyonyaaaaaa shemmmmmmm sssssssssssssss nakojoaaaaaaaaaaaaaa shemmmmmmm alipiga fujo Sana recho kwa sauti ya kutongaaa sana alijikunjaa na kukojoaaa aliinukua na moses alimuweka kifo cha mende huku miguuu ya shemeji Yale ikiwa began kwake alimkunja kiasi kwamba Recho hakuamini kitendo kinaeweza kunoga vile mmmmmmmmmh shemmm bora ulivyokujaaaass utakuwa unanisugua kila sikiuuuiiii uwiiiiiiii bebiiiiiiii ingiza ingiza yo- yo- yoteeeeeeeeee ssssssss rungu lako tammmmm duuuuuuu recho alikojoa Mara ya pili na Moses alimkunja na kumn’ang’ania huashiria anakojoa nakojoaaaaaaaaaaa rechooooooooo kojolea ndani Mosessssssssssss alijibu recho Moses alikojolea kwenye kitumbua cha Recho .
Duuuuuuu shem siamini Kama ungenijolesha maana rungu lako la moto alafu tam sana.
Recho asante unakitumbua kitam Sana kina maji maji ya kutosha
Hapo walimaliza na Moses alitoka na kukaa sebuleni na shemeji yake alivaa kanga tu bila chupi na kwenda kukaa alipokaa moses na walianza kutaniana hafla dudu la Moses lilisimaa na kutaka kitumbua alibinua kanga tu palepale kwenye sofa na kumuweka vizuri shemeji take alimuweka flog style na alipish Rungu lake kwa nyuma ahaaaaaaaaaaa shemmmmmmmm ingizaaaaaa yoteeeeeeeeee napenda rungu lakoooo sssssssss maji yalitoka Sana kwenye kitumbua cha recho na alimsugua tens na tena walimaliza na Recho alienda kuandaaa chakula cha usiku walikula na siku hip walilala chumba kimoja kwa Moses hadi asubuhi
Asubuhi wote walikuwa wamechoka walilala Sana siku hio lakin Rech aliamka na kuingia bafuni kuoga kipindi anaoga Ivan Mime wake alimpigia Sim lkn haikupokelewa alivyotoka alikuta missed calls za mme wake Ivan na Recho alimpigia huku Moses alikuwa anamuangalia Recho na Recho nae alikuwa amekaa bila kuvaa chupi na kitumbua kilionekana.

Recho na Moses walikaa kitandani wakati recho anaongea na anaongea na mume wake lakin recho hakuvaa chupi alikiachia kitumbua kikiwa wazi Moses alikiangalia kwa muda na alianza kusimamisha na alianza kumchezea wakati bado anaongea na Sim shemeji yake alianza kuongea kwa mikato mikato hadi mume wake akaanza kuuliza We Recho unaongea nin?mbona sikuelewi? Ha..haa.pana Ivan alijibu recho huku akiwa anachezewa na moses
Hellow…hellow ….hellow Ivan aliita huku sim bado iko hewani utamu ulianza kunoga hadi alisahau kukata simu aliachia Sim ikadondoka kitandani kumbe Ivan anasikia sauti za mapenz maana Sim haikukatwa
Sssssssssh wekaaaaaaa bassssssss nimeshalowaaaaaaaaaanaaaaaaa mmmmmmmmmm bebiiiiiiiiii yessssssssss ahaaaaaaaaaaaa nakupendaaaaaaaa wekaaaaaaaa sssssssssj ahhaaaaaaaa Ivan alitaka ushahid na alianza kurecord sauti zile na kuiacha Sim iendelee maana yeye ndiye aliyekuwa amepiga Recho na Moses hawakujua maana wote walikuwa wako busy na kuchezeana aaaaaaaah bebiiiiiii wekaaaaa yalaaaaaa mmmmmh Mose se seeeeeeee shemmmmmmm chomekaaaaaaa basiiiiiii uwiiiiiiii Moses alivyonya kisimi cha Recho na alianza kulalamika kumwaga bao lake la kwanza Shemmmmmmm nakojoaaaaaaaaaaaaaaaaaa alipiga Fujo sio za nchi hiii na alimwaga bao lake la kwanza la asubuhi .Ivan alisikia anayekula mke wake maana katika kutonga kwa Recho alianza kumtaja Moses mara shemmmmm
Duuuuuuu Moses ndio ananifanyia hivi kulala na mke wangu Ivan alitoa machozi palepale na alitamani kupaaa ili amkatekate mapanga mdogo wake
Shuhuli ya Recho na Moses pale kitandani ilikuwa kubwa shemmmmmm tammmmmm rungu lakooooo ahaaaaa pssssss bebiiii ingiza yoteeeeeeee mmmmmmmmmmh ahaaaaaa nitombeeeeee uwiiiiiii yalaaaaaaa yesssssss usitoeeeeee nakupendaaaaaa Moses alizidi kumchubua shemeji yake asubuhi ile na Recho alianza kumwaga tena awam hio walimwaga wote rechoooooooooooi nakojoaaaaaaaaaa huku recho naye akilia kwa utamm mwagaaaaaaaa ndaniiiiiii shemmmmmmmm kitumbua nichakooooooooooo mmmmmmmh walikumbatia kwa nguvu nawalikojoa wote
Walimaliza na walikaa kwa muda na Recho alichukua Sim ili kuangalia muda mama yanguuuuuu Moses
Kuna nin shem?
Sikukumbuka kukata Sim tumefanya yote ikiwa hewani hivyo huenda Ivan kasikia mchezo mzima.
Daaaa shem imeshakula kwangu na Kama alikuwa mjanja zaidi amerecord kila kitu maana ulikuwa unatonga huku ukinitaja mim jamani Mimi lazima Ivan anichukie
Recho alianza kulia pale kitandani na kuwaza atamjibu nin mme wake maana mchezo wote ameisikia .
Moses alianza kuwaza kutoroka na kusema shem mi nasepa maana hii kesi kubwa hakuna ujanja na kwa issue hii Ivan anaweza kuja muda wowote.

Recho alijipa moyo na kusema shem usiogope hii kesi itaisha we endelea kunisugua tu maana kaka yako hajui kunisugua Kama hivi napenda Sana rungu lako Moses
Duuuuuuu shem Mimi naogopa hu msala sijui utaishia wapi
Recho alijibu litaisha we subiri
Ivan nae alishiwa nguvu maana alikuwa akisikia mitongo ya mke wake alivyokuwa akilalamika na kumtongea mdogo wake huku akijisemea nikifika mitawachinja wote ngoja mkutano uishe

Muda wa mkutano ulianza Kule nchini Kenya aliko Ivan na hakuwa na amani kipindi hicho na walivyokuwa wakijadili kuhusu biashara yey alikuwa anawajibu vingine na wenzake walianza kumuuliza Ivan kulikoni Leo unajibu majibu ya ajabu kiasi hiki hujui kuwa huu ni mkutano wa biashara alafu wew unaleta utani kiasi hicho kuwa serious na mkutano huu alisema mmoja wa washiriki wa mkutano Huo

Walimuuliza tena swali Ivan lakin hakujibu ipasavyo na walimpa ruhusa ya kwenda kupumzika siku hio lakin kilikuwa ni kilio cha siku nzima maana hakutegemea kuwa mdogo wake anaweza kumfanyia kitu Kama hiki cha kutembea na mke wake.

Ivan aliandika barua ya kuomba ruhusa kwa ajil ya kurudi nyumbani lakin walimkatalia hadi mkutano uishe hakuwa na budi alitulia na kuvumilia hadi wiki tatu ziishe
Huku nyumbani Moses na Recho walianza kuwa na wasiwasi cha ajabu Recho alikuwa anasema Shem usiwaze yataisha tu hapo ndip nagundua mwanamke anaroho ngumu aisee
Moses alisema kwa kesi hii sidhani shem! Jamani moses mbona unasikitika hivyo Muda ulienda ikawa wiki ya pili Recho na Moses waliendelea kusuguana siku hio walifanyia sebuleni na recho ndio alianza uchokozi baada ya kuona Moses Hana mpango nae alianza kuitanua miguu na kujiweka uchi huku akiachia matiti yake nje kumuonesha Moses na alianza kushika kitumbua chake huku akitoa miguno ya kimahaba Mose alimsogelea na kuanza kumchezea sssssssssssss shemmmmmmm wew wa motooooooooo jamaiiiiiiii mmmmmmh nichezeeeee hapohapooo alinyonya chuchu za recho hapo Recho aliishiwa nguvu na kumuachia Moses kuchezea kitumbua atakavyo na hatimae moses aliingiza rungu lake sssssssssssss shemmmmm ingiza polepoleeeeeee mmmmmm sukuma ingizaaaaa suguaaaaaa psssssssss bebiiiiiiiii nisugueeeeeee nakupendaaaq hata kaka yako afanye nin sitokuacha yalaaaaaaa taaaaaaammmmm sssssssssss shemmmmmmm jamaniiiiiii unajuaaaaaaaa sssssssss Recho alikatika vizuri huku Moses alimfanya akiwa ananyonya chuchu zake na kuminyaminya makalio ya recho hapo Recho alipagawa zaidi na alianza kuvunja dafu la kwanza shemmmmm nako- ko- ko-jo-j-aaaaaaaaaaa Recho alimwaga bao lake huku Moses alianza kumkunja ili kulitafuta bao lake na recho alimpa support kwa kunyonya rungu la Moses shemmmmmmmm nakojoaaaaaaaaaa Moses alimwaga mdomoni mwa Recho na mchezo ukaishia hapo kwa siku hio.
Wakati wamejipumzisha pale kwenye sofa baba yake na Moses alimpigia Sim Moses lakini aliogopa kuipokea huku akiwaza huenda Ivan amemwambia kila kitu lakin Sim iliendelea kuita na aliamua kupoke..

Moses aliogopa kupokea Sim ya baba yake maana alianza kuogopa huku akidhan Ivan ameshamwambia kumbe alikuwa ata haja Sema chochote.
Mwishowe alipokea Sim na kuanza kuongea nae
Hellow moses.
Hello baba
Unaendeleaje mwanangu
Salama baba,
Unamjua Ratifa? Aliuliza baba moses
Ndio; alijibu moses
Ok wazazi wake wamemleta hapa anadai anaujauzito wako hivyo Fanya uje uchukue mke wako huku kijijin.
Unasemaje? Baba mi Ratifa sio mpenz wangu na sikuwahi kulala nae
Moses usitanie nasema hivi utoke huko uje uchukue mke wako mi siwez kufanya kazi ya kumfuga mkeo
Hap moses kichwa kilianza kuuma na kupoteza mwelekeo wa maisha kwa muda Huo.

Lakin Recho alikuwa yuko pale na alikuwa akisikiliza majibu aliyokuwa alikitoa Moses
Na recho alisema wasikusumbue bebiiiiiiiu wangu mwaaaaaaaaaaaaa leta rungu lako nianze kulinyonya bebiiiiiii ssssssssssss Recho alianza kumchokoza Moses hapo hapo moses alianza kusahau matatizo baada ya recho kuanza kunyonya rungu lake mmmmhhhh bebyyyyyy nasikia utammmmmm alianza kuongea Moses baada ya recho kunyonya rungu lake na moses alianza kunyonya kisim cha recho na kuanza kulalamika mmmmmmmh ssssssssp bebiiiiiiiiiii hapohapoooooooo pssssssss ulimi wako wa motoooooook uwiiiiiiii moses aliingiza kidole kwenye kitumbua cha Recho huku akinyonya kisimi mithili ya kunyonya koni Moses aliitafuta
G -spot ya kitumbua cha recho na kuanza kukisugua mithili ya kumuita mtu kwa kutumia kidole cha Kati alikitekenya Kama anamuita mtu alete kitu kwa kidole duuuuuuu sssssssssssssssh ahahhhjjaaaaaaa bebiiiiiiiii usitoeeee mmmmmh tammmmmmmm asssssssssaaaaaaa
aaaaaaaaaa bebiiiiiii ahaaaaaaaaa uwiiiiiiii yalaaaaaaaa nakojoaaaaaaaa shemmmmmmmm hakika recho alipiga kelele sio za nchi hiij hadi moses alianza kumziba mdomo ili wapita njia wasije kusikia kinachoendelea na recho alimwaga bao lake la kwanza na yalitoka maji mengi na kulowanisha shuka la Moses. Moses alimsogeza kifuani kwake na kuanza kunyonya chuchu za recho alipagawa utam ulizidi na kuanza kuongea madhaifu ya Ivan.

Moses alianza kumsugua recho baada ya kuona kitumbua kimelowana Sana aliiingia na recho alishtuka aaaaaaaaaaaaj bebiiiiiiii suguaaaaaaaaa ssssssssshhhh psssss bebiiiiiiii makupendaaaaaaaa mmmmmmmmmh Moses alizidisha utundu zaidi na kusababisha recho kusikia utam kila sehem alihisi anapaaaa walifanya siku hio ambapo kila mmoja hakutamani mchezo uendeleeee maana walichubuana Kama hawatorudia kuchubuana tena
Nchini Kenya Ivan aliendelea kumfikilia mke wake na mdogo wake na aliwaza adhabu gani akatoe kwa watu wale baada ya kuwaza kwa muda mrefu Ivan alijisemea nitajua hukohuko nikishafika na kupata ushahidi zaidi.

Moses alimzoea Recho na kumfany kama mke wake .maana kila sehem alipokuwa akimkuta aliwaza kumtia tu na sio kitu kingine ilifika hatua hata kazi ya kumwagilia bustan alikuwa hafanyi maana aliwaza kitumbua cha Recho hivyo mbogamboga zilianza kukauka pale nyumbani kwa ufupi mapenz ya recho yalimfanya Moses kuwa mtumwa wa mapenz hivyo ilikuwa shida Sana kwa moses.
Moses aliendelea kujifanya ndiye mmiliki wa recho alianza kibuli na recho alichokuwa akimtuma alikuwa hafanyi na shuguli za pale nyumbani zilisimama kwa muda na aliwaza ngono tu na matako ya recho yalivyokuwa meupe na yalijazia.Mchana uliisha na usiku uliingia walijiandalia chakula cha usiku waliweka mezani na kuanza kula Recho alianza kumlisha moses na moses alimlisha recho pia. Walimaliza kula na kuelekea kulala walianza kuchezeana kabla ya kulala na mwishowe walianza kufanya mapenzi tena Recho alichoka Sana kiasi kwamba hata kutoa ushirikiano alikuwa hata hawazi na moses alianza kulazimisha kuingiza rungu kwenye kitumbua cha recho mwishowe moses alikaribia kuvunja dafu la kwanza cha kushangaza alianza kukojoa dam zilichuruzika na kumchafua recho moses alichomoa rungu lake maana alidhan ni mbegu kumbe kuangalia vizuri damu ndizo zilianza kutoka kwa kasi ya ajabu na rungu lake halikuweza kulala lilibaki limesimama vilevile.

Rechooooooo damu zinatokaaaaa sijui tatizo ni nini? Alijiuliza moses na kukosa jibu alitoka pale kitandani na kukaa chini lakin zilizidi kutoka Kama mwanamke aliyeingia kwenye siku zake na alianza kulia kwa maumivu makali anayoyapata moses Recho alichukua maji na kuanza kumuosha Moses lakin maji Yale hayakusaidia kitu
Kadri alivyozidi kuosha rungu kwa maji ndipo dam zilizidi kutoka recho alianza kutoa macho asijue cha kufanya ili kumsaidia moses atoke kwenye hali ile aliamua kumpigia dereva tax ili achukuliwe na kupelekwa hospital Moses alipelekwa hospital na alianza kufanyiwa vipomo kwa nin hali ile imetokea lakini daktari hakuona tatizo lolote kwa Moses aliweza kumpa dawa za kupoza maumivu lakin dawa zile hazikusaidia chochote kwa maumivu ambayo alikuwa akiyasikia kadri muda ulivyozidi kwenda ndivo rungu la moses lilizidi kuvimba na kuwa kubwa zaidi hapo alianza kushindwa kuvaa suruali.

Mose alilia Sana kwa maumuvu alikaa hospital kwa muda wa siku mbili bila mafanikio na dam ziliebdelea kutoka baada ya kuona tatizo limekuwa kubwa Recho alianza kuwapigia simu ndugu zake alianza na baba yake ambapo alimwambia wafanye mpango wa kumsafirisha kwenda kijijini recho alikata Sim na kumpigia mme wake

Lakin Ivan hakuweza kuonesha ushirikiano wowote kwa tatizo like alisema Recho unampenda sana moses kuliko Mimi hadi umefika hatua ya kupeana uroda sasa nasema hivi I we mwanzo na mwisho wa kunipigia sim na kunipa taarifa za ajabu mi siweza kumsaifia adui yangu.

Recho alikata Sim na kumtanza maoses jinsi anavyo hangaika na alianza Julia na kukosa msaada kwa moses duuuu recho bora nifeee tu kwa maumivu ninayoyapata sijawahi maishani mwangu.

Wakati Moses anaongea hayo Sim ya Recho iliita kuangalia alikuwa ni Ivan na alisema hivi…..

simu ya recho iliita na kuangalia alikuwa ni Ivan na alisema kuwa mkutano umeisha hivyo anajiandaa kurudi nyumbani siku si nyingi.Recho aliweza kuitikia kwa sauti ya upole sana na Sim ilikatwa.

Huku Moses akiwa anaugulia maumivu ya kutokwa na dam kwenye Rungu lake Recho alimuonea huruma sana na alikosa jinsi ya kumsaidia. Kesho yake ilifik na ivan alijiandaa kutoka nchini Kenya na kuja jijin mwanza maana mkutano ulikuwa umeisha na alipanda bus lakin mawazo yake yote yalikuw kwa recho na Moses ambao walikuwa nyumban wakifanya mambo ya ajabu.

Usiku sana Ivan aliwasili nyumbani kwake aliweza kuingia moja kwa moja hadi chumbani alimkuta Recho amesinzia alistuka kutoka usingizin na kusema karibu mme wangu!
Asante!! Lakin ukome kuniita mm mmeo sawa mme wako ni Moses na kuanzia saa hii jiandae uende kwenu Malaya mkubwa we sitaki kulala na wew aliongea Ivan
Jamani Ivan nisamehe nilipitiwa haikuwa kusudio langu!! Weeeeee ishia hapohapo haikuwa kusudio lako kivip wakati ulikuwa unamtongea na kusifia kuwa anafanya kazi nzuri alafu unasema sio kusudio lako mi sikupendi jiandae uondoko alisema Ivan

Ivan aliinuka pale na kumfuata mdogo wake hakuweza kusubiria alifika tu na kuanza kumpa yake Moses
Wew sio mdogo wangu tena maana huwezi kulala na mke wangu ukategemea kuwa mimi nitakupenda na hio hali utakufa nayo mbwa wew unategemea nini na ulifikilia msemo wa mke wa mtu sumu udhan ni sumu ya kunywa madhara yake ndio hayo sasa mm nilitega ili kuweza kuwapata wapuuzi na wajinga wasio heshimu ndoa za watu kama wew kumbuka mke anauma kuliko unavyofikilia ulilalanae ukitegemea kupata nini sasa nakwambia hivi kuanzia sasa naomba uweze kukusanya vyako asubuhi sikuhitaji hapa kwangu uondoke kwenu ili ukafundushwe jinsi ya kuishi na watu.
Moses alijitahidi kuomba msamaha alijitetea sana alilia lakin kaka yake hakutaka kumsikiliza alirudi kulala asubuhi ilivyofika alikulimkurupusha Recho na kumuonesha matukio yote yaliyokuwa yakifanyika nyumbani kwake kumbe nyumba ya Ivan ilikuwa na CCTV camera hivyo matukio ambayo walikwa wakifanya aliyashuhudia yote alipandwa na hasira sana alitaka kumpiga Recho lakin aliwaza atamuumiza sana kulingana na hasira alizokua nazo.

Kweli unathubutu kulala na ndogo wangu tena wa mwisho unamuonesha uchi wako kumbe hata hujui dhamani ya uchi wako na utawezaje kuheshim ndoa yako Malaya wew sikupendi naomba uondoke tu nyumbani kwenu na huyu Mose wako sitojali ugonjwa wake ataondoka maana mim ameniona mjinga kumleta mjini na amelijua jiji kunizidi tutaona nani mkubwa!

Ivan aliondoka alipanda gari na kutokomea kusiko julikana kumbe alienda bar kunywa pombe maana alikuwa na hasira pamoja na mawazo mengi maana uchungu wa kusalitiwa anaujua msalitiwa alikunywa pombe nyingi sana kila aliyekuwa akimuona alimuonea huruma sana Ivan alitembea kwa miguu kutoka bar hadi nyumbani kwake alisahau gari lake kwa ajili ya pombe alizokunywa alifika nyumbani na alimkuta Recho amesinzia alianza kumuwashia moto wa matusi

We Malaya bado umelala kwangu tu hujaondoka kwenu mi sikupendi na huyo Moses wko toka na nenda kalale na mumeo Mimi sio mmeo toka mbwa wew.Recho alianza kulia sana na alitamani kujiua alichukua kisu na kutaka kujichoma
Ahahahahahaha!! Jichome Malaya wew tuone nan atakayeenda jela Ivan alitoka chumbani na kumfuata mdog wake chumbani kwake.

We mbwa bado umelala kwangu hujaondoka tu nakwambia hivi sikutaki hapa maana we umekuja kunihalibia ndoa yangu hivi ndivyo tulivyofundishwa na mzazi wetu kuwa tulale na wake wa ndugu zetu? Kweli moses mtoto wa juzi huoni aibu kulala na mke wangu unachovya ninapochovya Mimi hasira zilimpanda ivan alimziba kibao cha shavuni Moses hakuangalia hali yake na alisema utakufa hivyohivyo mbwa wew na wala Wew sio mdogo wangu tena.

Ivan alienda sebuleni usiku huo na kukaa kwenye sofa lakin Recho aliamka na kumfuata Ivan nisamehe nilipitiwa tu mme wangu! Weeeeeee koma ishia hapohapo Mimi sio mmeo nakuomba kwa usalama zaidi rudi ulikokuwa umelala kabla sijakusambua ubongo we Malaya.

Recho alikimbia na kujificha jikoni hakika usiku huo ulikuwa wa vita nyumbani kwa Ivan maana hakuna aliyesinzia siku hio
Moses alijivuta kutoka chumbani kwake alienda hadi alipokaa kaka yake Ivan na kusema kaka Ivan najua nimekukosea sana pia unaweza kuniadhibu utakavyo maana Mimi ni mkosaji mbele zako naomba uweze kutusamehe tumekosea .
Ivan alimuangalia mdogo wake alipandwa na hasira Kali sana alitamani kumrukia na kumpiga tena lakini alisema Moses nilikuleta mjini uweze kusimamia baadhi ya vitu vyangu cha ajabu umevuka mipaka na kufanya mapenz na mke wangu Recho hivi unajua dhamani ya mke wew’; unajua mke anavyouma Moses. Nampenda recho Sema umevuruga upendo wangu kwake sikupendi wew Moses na nasema Mimi sikutegui nataka ujifunzi kuheshimu ndoa za watu hasira zilizidi aliamua kumuita recho aje sebulen rechooooooo malayaaaaaaaaa mkubwaaaaaaaa njooooo hapa Recho alikimbia kwenda sebuleni alimkuta Moses, Ivan aliendelea kuelezea uchungu wake na kuwatukana sana kulingana na hasira alizokuwa nazo aliwaza kuwauwa wote wawili na alitoa bastola na kumnyoshea mke wake wakati anataka kufyatua risasi kwa Recho , Moses aliruka………

ITAENDELEA

GODORO LA MTUMBA – 5

Image result for godoro la mtumba

Chombezo : Godoro La Mtumba
Sehemu Ya Tano (5)

Mjomba alipenda kutembea na mimi hadharani siku hiyo kwa sababu mavazi niliyovaa yalinitoa sana. Suruali ilinishika vizuri mwilini halafu mimi mambo f’lani nimejaliwa, vibastola na wowowo kwa sana.
Tena wowowo langu si la fujo kama wengine mpaka unakuwa kichekesho au sinema, langu liko makini sana, limekwenda shuleni. Ningesimama na kwa jinsi nilivyovaa halafu ukaniangalia kwa upande, ungepata umbo moja la kuvutia sana, kifuani pako vizuri na kwenye wowowo kuko vizuri pia, piga picha hapo.
Wakati tunaingia Mlimani City macho ya watu yalikuwa kwetu mimi na mjomba. Najua wengi walijiuliza mimi ni nani kwa mjomba, maana tulipishana sana umri. Mjomba alinipita mimi miaka 25.
Miongoni mwa watu waliotukodolea macho walikuwa ni wanawake wenzangu, najua walikuwa wameshikwa na wivu, mimi nimeumbwa nikaumbika bwana, loo! Kweli Mungu alinipendelea.
Tulikwenda kukaa kwenye meza ya peke yetu, wahudumu watatu wakafika na kusimama mbele yetu kutuuliza huduma.
“Juisi tu,” alisema mjomba akiniangalia kama anayesema au wewe unataka kunywa kinywaji kingine?”
“Na wewe anti?” mhudumu huyo aliniuliza kwa jicho lililojaa wivu. Unajua sehemu nyingi za huduma, hasa baa, wanawake wanaohudumia huwachukia wanawake wenzao waliofika na wanaume.
“Naweza kupata ile pombe yenye ladha ya maziwa yaliyowekwa sukari?”
Mjomba alishtuka kidogo, akasema…
“Ndiyo pombe gani hiyo sweet?”
“Iko kama ina chokleti ndani yake,” nilisema nikimwangalia mhudumu.
“Mh,” mhudumu aliguna.
“Hebu fafanua vizuri bwana,” alisema mjomba akiachia tabasamu…
“Jamani! We anti, hakuna pombe inaitwa Ama… Ama nini sijui?”
Mhudumu alishaijua, akacheka huku akimalizia jina la pombe yenyewe, akaondoka kwenda kuleta.
“Baby,” mjomba aliniita.
“Niambie.”
“Hivi hiyo pombe umewahi kuinywa au leo ndiyo siku ya kwanza?”
Niliachia tabasamu laini, nikamshika mjomba kwenye mkono nikawa kama namkuna kwa mbali, nikasema…
“Leo ndiyo siku ya kwanza.”
“Kweli?”
“Amini mjomba, kama umenifuatilia utagundua mimi si mwongo.”
Mjomba alitingisha kichwa kuashiria kukubaliana na hoja yangu ya kuwa mimi si mwongo…
“Ina maana siku ukinisaliti nikikuuliza utakiri?”
“Mara ngapi?”
“Ooo, kwa sababu ulikiri kwa mwalimu ndiyo maana unajifanya wewe ni mkweli siyo?”
“Mimi ni mkweli na nilikwambia sirudii tena, amini sirudii tena.”
Kule kuongea kwangu, kumwangalia mjomba na kutabasamu, nilimwona mjomba akilainika. Akausogeza uso wake kwangu mpaka kwenye shavu, akalibusu na midomo yake minene.
Miongoni mwa vitu vilivyokuwa vinanichosha kwa mjomba ni midomo yake minene kisha myeusi. Niliipenda sanasana. Na mara nyingi tulipokuwa tunadendeka, mimi nilipenda kuinyonya midomo hiyo.
Pombe yangu ililetwa, ikawekwa mezani na glasi nzuri huku nikiitumbulia macho kama kweli ningeiweza kwani ni kweli sikuwahi kuitumia hata siku moja katika maisha yangu ya shule.
Nilimshika mikono mjomba na kumuuliza kama ataweza kunibeba nikilewa…
“Usiwe na wasiwasi baby, mimi nipo hapa.”
Nilianza kunywa pombe hiyo huku maongezi yangu na mjomba yakiendelea, hasa mambo ya mapenzi tena yale ya ndanindani, chumbani zaidi kwenye kitanda, juu ya godoro na shuka yake huku foronya nayo ikiongeza mashamshamu.
Ilifika mahali nahisi nilianza kumuuliza mjomba maswali yenye kuamsha hisia za mapenzi…
“Hivi baby, kwa kawaida wewe unapenda kucheza mechi dakika ngapi kabla ya kipindi cha pili.”
“Baby, mbona unaniuliza kama tupo kitandani, si unanijua mimi nilivyo, sasa hivi nitakubeba kwenda hotelini, shauri zako.”
Tulicheka wote, mjomba akanishika kiunoni bwana, weeee! Kumbe ile pombe ni mbaya sana kwa watu wenye ‘mhemko’ wa haraka kama mimi…
“Jamani baby,” nilisema nikijikunjakunja kuikwepa ile mikono yake, maana niliamini inaninyevuanyevua mwili wangu.
Ilifika mahali nikawa sichagui cha kuongea na sauti ikapanda, niliongea hadi mtu wa meza ya tatu alisikia…
“Baby mi nahisi kulalalala tu, kwani bado tupo?”
“Bado,” alisema mjomba. Akamwomba mhudumu ampatie pombe kali na yeye, alitaka aletewe pombe inayoitwa Great Thinkers.
“Mh! Sweet, hiyo ni pombe kweli au?”
“Tena kali kuliko hiyo yako inayotengenezwa kwa kutumia maziwa.”
Tulicheka, hata mhudumu alicheka…
Mjomba aliletewa pombe yake, tukaanza kunywa kwa pamoja huku tukilewa polepole bila kujijua, kuja kushtuka wote tulikuwa tumeanza kulala kwenye viti.
Hali yangu ilikuwa mbaya zaidi, mjomba naye usiseme, tulisimama tukiyumbayumba.
Njia nzima kuelekea kwenye gari mjomba alikuwa akitema mate hovyo, mimi kuna mahali nilichuchumaa na kutapika. Hapo ilikuwa saa tisa mchana. Sikukumbuka kama ile pombe yangu niliimaliza au la!
“Jamani mngeacha gari mkachukua teksi iwapeleke kulala hotelini, naona mlivyo hakuna mwenye uwezo wa kujimudu,” alisema mlinzi mmoja wa ndani mle Mlimani City.
Mimi nilisikia kwa mbali sana, nikamtukana yule mlinzi kwani niliamini anatuingilia kwenye mapenzi yetu na mjomba, lakini mjomba akamsikiliza…
“Baby, anachosema huyu mzee ni sahihi kabisa, usimtukane, twende tukalale hotelini.”
“Mama akitutafuta je?”
“Tutapanga cha kumwambia.”
Hapo mimi na mjomba tulishikana mikono huku tukikosa ‘balansi’ ya miili, tulitaka kusimama lakini tuliyumba kila mahali.
Mwisho wa yote, mjomba alichukua teksi na kuacha gari lake ndani. Tulikwenda kwenye hoteli moja siikumbuki kwa jina lakini ipo maeneo yaleyale, tukachukua chumba. Tulipofika chumbani hakuna aliyekumbuka kumshika mwenzake wala kumvua nguo, tulijipindua kitandani hadi kunakucha. Mimi ndiyo nilianza kushtuka, niliangaza huku na kule na kugundua si nyumbani, nilipovuta kumbukumbu nikakumbuka kila kitu cha jana yake, weee…

“Mjomba mjomba,” nilimwita mjomba kwa cheo cha udugu wake na mama bila kutumia jina la baby, sweet, darling wala mpenzi. Wasiwasi wangu mkubwa ulikuwa kwa mama kwani najua hakulala kwa wasiwasi aliokuwanao.
“Ee…ee,” mjomba alishtuka sana huku akijifikicha machoni…
“Baby wapi hapa?” aliniuliza eti.
“Si hotelini.”
“Tulikujaje?”
“Jamani baby hukumbuki? Si tulilewa jana ukaacha gari tukaondoka na teksi tu.”
“Da! Kwa hiyo hatukurudi nyumbani?”
Mimi sikumjibu, nilichofanya ni kukimbilia simu mezani. Nilikuta missed calls kibao za mama…
“Mjomba tumekwisha, mama kapiga simu hadi kachoka. Kuna missed calls kama mia halafu na meseji juu,” nilisema kwa sauti inayokaribia kuangua kilio huku nikipigapiga miguu chini.
Mjomba naye aliamka na kwenda kwenye simu yake ambayo aliiweka ndani ya mfuko wa suruali lakini yeye kumbe aliizima wakati tunaingia kulala hapo.
“Mimi hajanipata, nilizima simu,” alisema mjomba kwa sauti mbaya.
Tulikaa kitandani tukiangaliana, mara mama akanipigia tena. Hapo nilikuwa sijasoma meseji…
“Baby mama anapiga tena,” nilisema.
“Usipokee kwanza. Acha niangalie cha kufanya kabla hujapokea.”
Mjomba alijishika kichwa akafikiria kwa muda kama wa dakika moja kisha akasema…
“Hivi tulipolala usiku tulicheza mechi?”
Nilimshangaa sana mjomba kwani swali lake halikuwa likihusiana na nilichotegemea mimi. Nilijua atatoa utatuzi wa tukio la mimi na yeye kulala hotelini huku nyumbani kuna mama.
“Baby swali gani hilo?”
“Lina ubaya gani?”
“Huoni kama tuko katika kipindi kigumu sana?”
“Yataisha haya, wewe jibu swali langu.”
“Haya, hatukucheza mechi.”
“Kwa nini?”
“Kwa nini! Si tulikuja tumelewa sana, tukafikia kulala tu.”
Mjomba kusikia hivyo tu, akanishika na kunikumbatia huku akiuleta ulimi wake kwenye kinywa changu, yaani alitaka denda, nikampa kikamilifu kabisa.
Mjomba alikuwa mtundu sana, sijui alinigusa wapi nikajishangaa napandwa na mdadi ile mbaya, nilimkumbatia na kumsukumia kitandani, akapindukia huko, nikaanza kushika maiki na kuimba huku ‘nikimwombelezea’ kwa maneno yenye mahaba.
Mambo yakawa mambo, tukaingia uwanjani na mjomba tena kwa fujo sana maana kila mmoja alikuwa na kiu na mwenzake na vile jana yake hatukushiriki ndiyo kabisa.
Kila aina ya pozi mjomba aliniegesha, mapozi mengine hata sikuwahi kufikiria kuyakaa lakini niliweza na yaliniongezea ‘mashamshamu’.
Dakika kumi mbele nilimtangazia mjomba hali ya kuvunja dafu langu huku nikimwita kwa majina yote ya mapenzi yanayotumika hapa duniani.
Mjomba naye akanitangazia hali hiyohiyo nikamkaribisha kwa furaha huku nikimwangalia kwa macho yangu mazuri yaliyolegea.
Sasa tulikuwa tunahema kwa mchoko. Mjomba alilala chali mimi nikamlalia kidogo kwenye kifua chake. Niliweka upande mmoja wa kichwa nikawa kama nasikiliza mapigo ya moyo.
“Baby,” aliniita.
“Baby.”
“Sasa sikia, itabidi wewe nikupeleke polisi halafu mimi nitakuwa nimesafiri Morogoro. Nitampigia simu mama’ko na kumwambia nimepigiwa simu kutoka polisi kwamba wewe uliwekwa ndani jana wakati unatoka shuleni.”
“Mh!” niliguna kwanza.
“Niliwekwa ndani kwa kisa gani baby?”
“Kuna abiria aliibiwa mfuko wa fedha kwa hiyo daladala zima mkawekwa ndani.”
Nilicheka sana, kwani niliamini ni kisa kizuri lakini nikamuuliza…
“Mama si itabidi aje polisi?”
“Mimi nitamwambia asije kwani nimeshamtuma rafiki yangu amekwenda kukutoa.”
“Sawa.”
Palepale mjomba aliwasha simu yake akampigia mama. Alipokea haraka sana…
“Uko wapi wewe na Zuwena yuko wapi?”
“Dada mimi nipo Morogoro kikazi, nilipofikia umeme hakuna imebidi nije kwenye duka kuchaji simu.”
“Ndiyo maana hukuwa hewani? Mpwa wako hajarudi, nampigia simu hapokei, atakuwa amelala kwa wanaume au?”
“Mimi nimepigiwa simu sasa hivi na polisi mmoja anasema Zuwena kawekwa ndani.”
“Kawekwa ndani?”
“Ee.”
“Kisa?”
“Nasikia jana wakati akitoka shule ndani ya daladala kuna abiria aliibiwa mfuko wa fedha kwa hiyo abiria wote wakapelekwa polisi.”

kwahiyo bado hajatoka nimfuate?
hapana dada ameshatoka yuko njiani anakuja nimempigia simu rafiki yangu ameenda kumtoa”
“sawa kaka”
sawa dada baadae”
‘Umeona mpenzi wangu mimi ni mjanja nimemtuliza mama na ameelewa somo kwahiyo tuendelee na mambo”
“sawa bby” tuliendelea na mambo na mjomba baada ya muda nilirudi nyumbani kama vile nimetoka polisi kumbe ilikuwa uongo na wizi mtupu kwa mama yangu……..
“pole sana mwanangu”
“asante mama”
“ilikuwaje Mama?”
“nilimsimulia mama kila kitu utadhani ilikuwa kweli baada ya hapo nilielekea chumbani kulala maana ilikuwa usiku
*********************
usiku mida ya saa nne mjomba alinitumia sms nimfuate chumbani kwake
“baby naomba uje mara moja chumbani kwangu”
sawa Darling” nilimjibu huku nikiwaza jinsi ya kumtroka mama pale kitandani
Niliweka simu pembeni, nikakaa kitandani. Nilimwangalia mama kwa dakika kadhaa huku nikitafakari nitawezaje kumtoka mama kitandani wakati ili nishuke lazima nimruke? Na wengi waliolala wakirukwa tu hushtuka!
Nilijifunga vizuri khanga niliyokuwa nimelala nayo, nikachukua simu na kuishika mkono wa kulia. Nikatoka kitandani kwa upande wa mbele ya miguu badala ya kumruka mama.
Nilipoona nimefanikiwa kusimama, nilijifunga khanga nyingine nikachukua simu na kwenda kuufungua mlango. Nilitembea kwa kunyata hadi chumbani kwa mjomba ambapo nilikuta mlango haujafungwa kwa funguo.
Ile naingiza mguu tu nikasikia mama akiniuliza…
“Zuwena unakwenda wapi huko?”
SASA JIRUSHE…
Moyo ulifanya paa! Nikasema Mungu wangu tumekwisha. Nilisema tumekwisha kwa maana ya mimi na mjomba Msafiri. Ningesingizia nini hapo.
Nilijua kule ndani, mjomba naye ni presha maana swali la mama alilisikia, si mlango ulikuwa wazi?!
“Mama nili…nili,” nilibabaika kusema, uso ulinishuka. Kilichosababisha nishindwe kujitetea ni jinsi nilivyovaa, kama ningekuwa nimevaa gauni au nguo za kulalia kidogo ningeeleweka, lakini nilivaa khanga moja tu! Tena bila kitu ndani yake, sasa hapo ningesema nakwenda kufanya nini chumbani kwa mjomba kama si kucheza mechi kitandani…
“Nakuuliza unakwenda kufanya nini chumbani kwa mjomba’ako muda huu wa usiku?”
“Mama nilikuwa…”
“Ulikuwa unakwenda kufanya nini?”
“Nilikuwa namwamsha.”
“Ili?”
“Akanifungulie maji nje.”
“Hayatoki?”
“Hayatoki mama.”
“Una uhakika?”
“Ndiyo.”
“Haya mwamshe huyo mjombaako.”
Nilimwita mjomba mara mbili, akatoka…
“Vipi dada, Zuwena vipi?”
“Maji hayatoki.”
“Kweli, wamefunga koki watoto?”
“Sijui.”
Mjomba ambaye alitoka na bukta tu, alikwenda kufungua mlango mkubwa, mama akawahi jikoni na kufungua maji, yakatoka mwaaaaa…
“Haya nini wewe Zuwena?”
Mjomba akasita mlangoni, alisimama. Miguu ilimcheza mfano wa mtu aliyemwona mbwa kwa mbele…
“Haya yanayotoka ni nini, nakuuliza?”
Nilishindwa kujibu, nilibanwa sawasawa. Nilihisi kichwa kimevimba kwa mawazo ya ghafla huku nikitamani mimi au mama mmoja wetu aanguke na kupoteza maisha.
“Ina maana wewe una…” alisema mama na kusita kuendelea.
Alirudi chumbani kulala na mimi nikamfuata kwa nyuma, nikapanda kitandani kulala huku mawazo yakinijaa kichwani maana sikujua mama anawaza nini au atachukua uamuzi gani kwa kitendo cha kunikuta nataka kuingia chumbani kwa mjomba…
“Pale nilichemsha, shetani kaniweza. Hivi ni kwa nini kwanza nimefanya vile? Tumelala wote hotelini mpaka kunakucha, sasa ni kwa nini tena shetani akampa kiu mjomba ya kuniita?”
Sikupata majibu ya moja kwa moja.
Usingizi ulinipitia, nikalala. Nilipokuja kushtuka ilikuwa saa tisa usiku mnene, mama alikuwa akikoroma nikajua amelala fofofo. Nikachukua simu ili nione kama kuna meseji au missed calls, nikaona meseji, nikaifungua. Ilitoka kwa mjomba…
“Zuwena please fanya juu chini tuonane usiku huuhuu mama akishalala. Nataka nikupe njia ya kukwepa hii kashfa.”
Nilimjibu mjomba poa kwani nilimwaminia kwamba kweli tukikutana na kunipa njia itatiki iwe isiwe, mjomba namfahamu vizuri sana, akili kichwani imelala. Si mnakumbuka alivyookoa majanga kibao nyuma!
Ndani ya nusu saa, mama alizidi kukoroma, nikaona ndiyo nafasi ya pekee, nikatoka tena kitandani na kufungua mlango. Nilikuwa ndani ya khanga moja tu.
Nilitembea hadi mlangoni kwa mjomba, nikasimama na kuangalia nyuma kwanza maana isijekuwa nafuatwa kwa nyuma kama muda ule.
Sikumwona mama, kwa hiyo nikazama ndani chumbani na kuurudishia mlango kwa polepole sana ili usitoe mlio.
“Baby,” niliita.
“Yes d, karibu,” mjomba aliamka.
Nilikaa kitandani, mjomba kabla ya yote kwanza akaniachia busu la nguvu…

“tufanye haraka dear unajua tena Mama nimemuacha ndani
Sawa”
nikarusha kanga pembeni nikapanda kitandani kwa mjomba na shughuli kuanza
“baby nataka unipe staili kama ya siku ile”
staili gani” Mjomba aliuliza
ikabidi nimuonyeshe kwa vitendo nikapiga magoti na kumwambia mjomba tuendelee…..
“hivi baby hili godoro ni la mtumba au la dukani?
“la dukani wewe si unaona lebo hiyo”
tukiwa tunaelea kwenye ulimwengu wa maraha kumbe tulisahau kufunga mlango ghafla Mama akaingia
“Hee zuwena!!!!!!!!!!!!!!
“Msafiri unafanya nini na mpwa wako???Mama aliuliza
Mjomba hakujibu kitu, aliendelea kujiinamia. Ilikuwa aibu kubwa. Kifupi lilikuwa fumanizi la kufa mtu.
Mama alitulia kwa muda mrefu bila kusema chochote wala hata kukohoa kidogo. Kilichokuwa kikisikika ndani ya chumba ni kelele za watu nje tena wale waliokuwa wanaitana kwa mbali.
Nilijutia moyoni kitendo kimoja, ni kwa nini hatukufunga mlango kwa funguo wakati nimeingia chumbani kwa mjomba, pengine hilo lingeniokoa kama jana yake kwamba nilitoka nje kufungua maji.
RUKA NAYO SASA…
Mama alitembea hadi kwenye mlango, akasimama na kuuuegemea huku akituangalia kwa zamu. Uso wake uliongea mengi lakini kubwa kuliko yote ulionesha kwamba baada ya siku hiyo yeye na mjomba Msafiri hawatakuwa na uhusiano tena japokuwa wahenga walisema udugu ni taka la goti hivyo hauwezi kufutika.
Mimi nilizama kwenye mawazo makali. Nilianza kuwaza tangu siku ya kwanza mjomba aanze kunionesha dalili za kunitaka kimapenzi ilikuwa hivi…
“Anko tunaweza kuongea kidogo?”
“Sawa.”“Wapi sasa?”
“Njoo huku.” “Anko.”
“Abee mjomba…”
“Unajua umekua sana.”
“Kweli anko?”
“Kweli kabisa, yaani siku hizi unapendeza anko si kama zamani. Ukivaa nguo zako za kisasa hizi ndiyo kabisa, daa! Ankoooo.”
“Zuwena,” mama alinishtua kutoka kwenye mawazo.
“Abee…”
“Umekubali kufikia hatua hii mwanangu?”
Kabla sijamjibu mama mawazo yalinirejea kwenye lile swali nililomuuliza mjomba kuhusu godoro la kitanda chake…
“Hivi ni kwa nini niliuliza kuhusu godoro kama ni la mtumba au la dukani! Na kwa nini mjomba alinijibu vile? Eti la dukani mjomba, we si unaona lebo hii?”
“Mama ni shetani tu si kusudi langu.”
Mama aliniangalia kwa jicho bay asana, akamgeukia mjomba…
“Msafiri.”
“Naam dada.”
“Mimi si dada yako tena na hata Zuwena si mpwa wako tena, mimi ni mama mkwe wako na Zuwena ni mkeo kuanzia leo.”
“Dada usiseme hivyo.”
“Lazima niseme, nisiposema nitakuwa mama wa ajabu sana, mtoto anachezewa naangalia hivihivi…
“Nikiwa nyumbani Tanga niliwahi kuota ndoto si chini ya mara saba kwamba nyinyi hapa nyumbani mna uhusiano wa kimapenzi. Usiku mmoja baada ya kuota nilimwambia Mungu kwamba kama ndoto ile ni ya kweli anioteshe tena mara tatu ili zifike kumi, akafanya hivyo.
“Niliamua kufunga safari kuja Dar ili kuthibitisha mwenyewe. Kwa hiyo kama mnadhani nilikuwa nawafuatilia si kwa sababu ya hisia, bali nina ushahidi…
“Jana usiku niliota ndoto mmelala kwenye kitanda kimoja hotelini lakini asubuhi wewe Msafiri ukanipigia simu ukisema eti mjomba wako alikamatwa na polisi akalala kituoni kwa sababu ya wizi wa pesa za abiria kwenye daladala, ina maana abiria wote kwenye hilo daladala walilala polisi?”
“Ndiyo dada.”
“Siyo kweli bwana. Kama mtu amepoteza hela kwenye daladala si wakifika kituoni wanasachiwa? Kama hakuna abiria atakayepatikana na hiizo pesa ina maana huyo aliyeibuwa tukio lake halikufanyika ndani ya daladala,” mama alisema kwa sauti iliyojaa utulivu wa hali ya juu.
Baada ya hapo kitendo alichokifanya mama kilinishtua sana, alifuungua mlango akatoka. Chumbani tukabaki mimi na mjomba tukiangaliana kwa macho yenye maswali mengi lakini pia kwa hofu na wasiwasi.
“So?” aliniuliza mjomba.
“Sijui.”
“Hebu toka kamwangalie.”
Nilisimama, nikatoka chumbani kwenda kumwangalia mama, sikumuona. Chumbani hakuwepo, wala begi lake halikuwepo, nilirudi chumbani kwa mjomba mbio…
“Baby baby, hayupo.”
“Hayupo?”
“Hayupo baby, kweli tena.”
“Atakuwa amekwenda wapi?”
“Sijui, hata begi lake halipo.”
Tulitoka na mjomba hadi nej ambapo tulikuta begi liko wazi kuashiria kwamba alitoka.
Tulitoka hadi nje ya geti, tukasimama kuangalia kulia na kushoto, hatukumwona mama wala jirani yetu. Ghafla kwenye nyumba moja alitokea mwanamke anaitwa mama Maulidi…
“Vipi jirani?” alituuliza maana alituona tunaangazaangaza…
“Kuna mgeni wetu sijui katoka,” alisema mjomba.
“Katoka, kapita kwenye uchochoro wangu tena alikuwa anatembea kwa haraka amebeba begi jeusi.”
Utata uliishia hapo, ni mama. Bila shaka aliamua kurudi nyumbani Tanga.
Mama Maulidi aliposema ‘katoka, kapita kwenye uchochoro wangu tena alikuwa anatembea kwa haraka amebeba begi jeusi’ mimi na mjomba tuliangaliana…
“Kwani vipi?” mama Maulidi alituuliza.
“Hata, tupo sawa jirani,” alijibu mjomba.
Tulirudi ndani na kufikia sebuleni, kila mmoja alikaa kwenye kochi lake tena kwa ukimya. Naamini mawazo yangu mimi hayakuwa mawazo ya mjomba, kila mtu aliwaza lake.
Mara mjomba alivunja ukimya…
“Sikia baby, acha mimi nikimbie Ubungo, nikimkuta namrudisha tuje tujadili hili suala, tukiliacha atalieneza kwa ndugu mbalimbali itakuwa aibu yetu…
“Baby bwana…”
“Baby bwana nini tena, nisiende?”
“Usiende ndiyo. We huoni kama ile ahadi yako ya kunioa ndiyo imetimia?” nilimwambia mjomba, nikamwona anacheka kwa mara ya kwanza huku akisimama…
“Halafu wewe bwana, unajua ulinichekesha sana saa zile?”
“Nlifanyaje?”
“Ulipata wapi wazo la kuniuliza kama godoro la kitanda changu ni la mtumba ama la!”
Na mimi nilicheka, tena nilicheka sana kama vile hakuna kilichotokea katikati yetu…
“Unajua baby hata mimi mwenyewe nilijishangaa sana. Ila ni swali ambali nilitaka kukuuliza kwa siku nyingi sana kwamba mbona nikilala kwenye godoro lako nakuwa kama nimelala kwenye majani mabichi laini ya pembeni ya bahari, nahisi ni godoro la mtumba.”
“Siyo la mtuumba lile ila lipo viwango,” alisema mjomba huku akiondoka na funguo za gari…
“Usiondoke baby mpaka nirudi,” aliniambia.
Niliongozana na mjomba mpaka kwenye geti, nikalifungua, akatoka na gari, nikafunga geti na kurudi ndani. Nilikwenda chumbani kwa mjomba, nikapanda kitandani kulala, lakini nikawaza kitu kwamba nimpigie simu mama nimuulize aliko. Lakini kabla ya kitendo hicho nikawaza kwamba anaweza akanijibu jambo baya sana, itakuwaje?
“Anaweza kuniambia Zuwena kuanzia leo wewe si mtoto wangu, tafuta mama yako mwingine. Je, sii itakuwa sawa na kuniachia laana?” nilijiuliza mwenyewe moyoni, lakini nikasema hata kama, lazima nimpigie tu nione kitakachotokea.
Nilibonyeza namba nikamtwangia simu mama, iliitaka kama mara nne halafu akapokea yeye mwenyewe, nikasema…
“Halo mama…”
“kuanzia leo zuwena Mimi siyo Mama yako msh***** wewe
“lakini Mama ungenisikiliza kidogo ukisema hivyo ni kama vile unaniachia laana”
nikuachie mara ngapi endelea na huyo mume wako lakini utajuta “
“MAma…….alikuwa ameshakata nilijaribu kupiga tena haikupatika”
******************************
Nikiwa bado nina mawazo ya nini cha kufanya alikuja mjomba
“vipi baby mbona una mawazo”
nimempigia Mama simu kanigombeza kasema kuwa atanilaani”
“usijali ni hasira tu mtoto mwenyewe anaye mmoja hawezi “
“njoo”
nilimsogolea mjomba na kumlalia kifuani akaanza kuchezea nido zangu “
“mjomba acha”
niache nini baby wakati muda ule hatukumaliza”,,,,,,
“lakini wewe si unaona kilichotokea”
usijali maji yakimwagika hayazoleki”
ilibidi nikubali na shughuli ikaanzia hapo hapo”
*****************************
Baada ya mechi kuisha Nilitoka kwenda kuandaa chakula. Nikiwa huko jikoni, simu yangu iliingia meseji. Nikafungua kuisoma. Niliami inatoka kwa mama…
“Zuwena mbona huji shuleni siku hizi?”
Kumbe aliyenitumia ni mwanafunzi mwenzangu, anaitwa Zubeda. Sikumjibu. Mara ikaingia meseji nyingine…
CHAKARIKA NAYO…
Baby njoo chumbani mara moja mke wangu.” Hii ilitoka kwa mjomba, nikaacha kupika nikaenda chumbani.
Nilimkuta mjomba amelala chali akiwa kama alivyozaliwa…
“Nini tena mume wangu?” nilimuuliza.
“Aaa! La kuuliza hilo?”
“Nipande kitandani?”
“Ndiyo maana yake baby.”
Kabla sijapanda, simu ikaingia meseji nyingine, nikafungua kuisoma…
“Mwanangu Zuwena, lolote litakalokupata na huyo mjomba wako mimi sitahusika kwa namna yoyote ile na kama hujui laana ya mama ikoje mwaka huu utaiona tu.”
Niliishiwa nguvu papo hapo, sikuwa na amani tena, mjomba alilitambua hilo akaniuliza…
“Vipi tena, meseji imetoka kwa nani?”
“Mama.”
“Anasemaje?”
Sikutaka kumwambia anasemaje, nilimpa meseji hiyo aisome mwenyewe…
“Mwanangu Zuwena, lolote litakalokupata na huyo mjomba wako mimi sitahusika kwa namna yoyote ile na kama hujui laana ya mama ikoje mwaka huu utaiona tu.”
“Zuwena mjomba angu,” mjomba aliniita…
“Abee…”
“Twende Tanga leoleo. Mimi nitaweka mafuta kwenye gari.”
“Kufanya nini mjomba?” Kwa mara ya kwanza na mimi nilijikuta nikimwita mjomba badala ya baby…
“Tukaombe msamaha.”
“Kwamba?”
“Tumemkosea mama. Hivi ninavyosema nenda kajiandae.”
Nilitaka kugoma, lakini kila nilipoikumbuka ile meseji ya mama nilijikuta nikizidi kukosa amani ya moyo…
“Poa mjomba.”
Nilikwenda kuoga nikarudi kuvaa, nikiwa tayari nilichukua nguo zangu zote na kuzirudisha chumbani kwangu, wakati nafunga mlango ili kuondoka nilikiangalia chumba changu kama ninayesema…
“Sijui kama nitarudi tena ndani ya chumba hiki.”
Safari ya kwenda Tanga ilianza, tulipitia kituo cha mafuta Mwenge, mjomba akajaza mafuta pale, akasema…
“Mwendo nitakaoendesha nitahakikisha mama anaingia Tanga sambamba na sisi.”
Mjomba aliendesha gari kwa mwendo wa kasi mpaka nikaogopa…
“Mjomba,” niliita…
“Unasemaje?” mjomba alinijibu huku macho yake yakiwa mbele kwenye barabara…
“Mwendo wote huu wa nini?”
“Tunawahi.”
“Hata tukichelewa kwani kuna nini?”
“Unajua nini mjomba, sisi wa dhambi, dhambi tuliyoifanya kwa siku zote hizo ni kubwa sana mbele ya jamii. Haivumiliki hata kidogo, wewe na mimi ni damu kabisa, hatukustahili kuwa wapenzi, kwa hiyo lazima tukatubu mjomba.”
Wakati mjomba akiongea hayo, na mimi akili ilikuwa kama inanirudia. Nilihisi uamuzi wangu wa mwisho haukuwa sahihi hata kidogo.
Niliwakumbuka baadhi ya wanafunzi wenzangu shuleni ambao walikuwa wanaishi na wajomba zao, hakuna hata mmoja aliyekuwa na tabia kama yangu kwani hata mazungumzo yao yalionesha hivyo…
“Sasa mimi huu ukengeufu nimeutoa wapi?” nilijiuliza mwenyewe…
“Mjomba Msafiri,” niliita kwa sauti iliyojaa unyonge…
“Mh…”
“Hata mimi nakiri tulichokuwa tukikifanya siyo, ni shetani tu yule, sasa nimejitambua, nakuona ni mjomba wangu kamili, damu ya mama yangu ndiyo damu yako kwa hiyo wewe na mimi ni damu moja.”
“Ni kweli Zuwena, kama wote tumeligundua hilo hata Mungu atakuwa ametusamehe, hata tukifa leo naamini hatuna hatia maana mioyo yetu imetubu,” alisema mjomba. Akachukua simu na kumpigia mama huku akiweka loud speaker…
“Halo dada…”
“Haloo…”
“Sisi wakosefu wakubwa tunaostahili kuchomwa moto na kufa tupo njiani tunakuja Tanga, lengo ni kuomba msamaha. Ushetani wetu si wa kuufumbia macho, lazima niangukie kwako dada angu hata kwa kuchinja mbuzi na kutoa faini kama mila na desturi zinavyosema.”
“Sawa, lakini kuna ndugu nilishawaambia…
“Nao wawepo kwenye hicho kikao cha sisi wahalifu wawili tukitubu mbele yao na mbele ya Mungu.”
Ghafla nimkasikia mjomba akipiga kelele akisema ajali… ajali Zuwena… ajali… nikasikia puuu!
MWISHO
Msafiri na Zuwena wameonesha nia ya kutubu mbele ya watu baada ya kubaini makosa yao lakini Mungu hakuwaruhusu wafike kwenye baraza la kuungama dhambi zao licha ya kwamba tayari mama wa Zuwena alisharidhia, wote wakapata ajali njiani na kufariki dunia palepale.
Inawezekana kama si dhambi waliyokuwa wakiifanya wasingepata ajali kwani safari yao ilitokana na dhambi hiyo.
Tumejifunza kwamba wakati mwingine shetani huyaendesha maisha ya binadamu kadiri atakavyo na hata kumfikisha kwenye mauti hususan kama binadamu huyo haishi maisha ya kumpendeza Mungu.
MWISHO

GODORO LA MTUMBA – 4

Image result for godoro la mtumba

Chombezo: Godoro La Mtumba
Sehemu ya Nne (4)

tulisikia mlango wa sebuleni ukifunguliwa huku mama akiniita
Mjomba alivaa haraka haraka na kurudi chumbani kwake
ilibidi mimi nielekee uani lililokuwa bombala maji na kumpigia Mama simu aje anifungulie mlango Maana nilijua nikimuamsha mjomba mama atauliza
simu iliita Mama akapokea
“Mama njoo unifungulie mlango”
ulikuwa umeenda wapi mwanaharamu wewe”
nifungulie kwanza Mama “sikufungulii nenda kalale huko huko ulikokuwa
“kuna nini dada?” mjomba akauliza
“Si huyu mwanaharamu wa kizazi kipya, eti amenipigia simu nimfungulie mlango, aibu hana! Uso umemshuka utadhani marehemu bibi yake mzaa baba, kaliingia jiji kwa pupa. Mwone kwanza.”
Mjomba akamuuliza…
”Lakini dada je, umemuuliza alikuwa wapi?”
“Kuna haja ya kumuuliza punguani kama huyu? Haya, eti ulikuwa wapi we kikaragosi?”

Mimi nimekushangaa sana mama, kwanza unanikoromea bila kujua kwa nini nilitoka nje usiku huu!”
“Ulikwenda wapi, nimekuuliza niambie.”
“Nilikwenda kufungua maji.”
“Wapi?”
“Nyuma. Maji ndani yakiwa yanatoka kidogo huwa nakwenda kufungua nyuma kwenye tanki.”
“Eti we mjomba mtu kuna suala kama…”
“Ni kweli, sisi tuna shida moja hapa, kuna watoto huwa wanafunga koki ya tanki huko nyuma kwa hiyo kama unataka maji lazima uzunguke nyuma,” mjomba alinisaidia kumwigiza chaka mama naye akaingia kilaini sana.
“Sawa, sasa tukalale.”
Niliongozana na mama hadi chumbani, akanisubiri nipande kitandani kulala na yeye akafuata nyuma yangu huku akiniangalia kwa jicho la hasira. Nilimshangaa mama kwani tulishazungumza sebuleni sasa alikuwa anataka nini tena jamani!
***
Niliamka saa kumi na moja alfajiri ili nikande maandazi ya chai, lakini nilipotoka tu kitandani mama naye akatoka kunifuata jikoni.
“Unafanya nini?”
“Nataka kutengeneza maandazi mama.”
“Mjomba ako kaamka?”
“Bado.”
“We umejuaje kama bado hajaamka?”
“Khaa! Mama bwana, kwani uliniponiuliza si ulijua mimi naweza kuwa na jibu?”
“Hata kama, ina maana ratiba za mjomba wako kuamka unazijua sana au?”
“Sasa mama kama angekuwa ameamka si angekuwa sebuleni?”
“Je, kama kaamka lakini hajatoka chumbani kwake?”
“Kwani we mama uliponiuliza kama mjomba ameshaamka ulitaka kujua katoka chumbani au kufumbua macho?”
“Unanijibu jeuri siyo? Umekua sasa?”
“Mamaaa! Mbona uko hivyo?”
“Nikoje?”
“Mh!” Niliguna, mara mjomba akatoka na kutukuta tunalumbana…
“Mtoto nikuzae mwenyewe halafu uniletee mdomo mimi?”
“Kwani mama mdomo gani niliokupa?”
“Huoni siyo?”
“Sijaona.”
Wakati wote huo mjomba alikuwa amesimama akituangalia, alionekana kumshangaa sana dada yake alivyobadilika.
“Kwani dada ishu ni nini?”
“Si huyu mjomba ako.”
“Amefanyaje?”
“Ana mdogo sana siku hizi, sijui unamfundisha wewe!?”
“Yaani mimi namfundisha awe na mdomo kwako mama ake?”
“Mi n’tajuaje?”
“Sikia la…anko,” nilijikuta natereza kinywa, nilitaka kusema sikia ‘laazizi’ nikakomea njiani…
“Mama kaniuliza…”
Kabla sijafika mbali mama akanirukia na kuniziba kinywa ili nisiseme. Nadhani mama alijua ile ni aibu kubwa kwake kuona anahoji mimi kujua kama mjomba ameshaamka au la!
Mjomba alirudi chumbani kwake akionekana mnyonge sana. Huenda moyoni aliwaza ni kwa nini dada yake amekuwa vile?


Mama alipoona mjomba anaingia ndani kwake na yeye akaondoka kwenda chumbani. Naamini alijisikia vibaya kwa hali ilivyotokea, hata ningekuwa mimi ningejisikia vibaya, ugenini, unakuta watu wametulia zao halafu wewe ndiyo unakuwa kero! Mbaya!
Kulipopambazuka kabisa mjomba akatoka tena akiwa ameshavaa tayari kwa kwenda kazini maana hata begi lake lilikuwa mgongoni…
“Sweet, mi nakwenda zangu job,” aliniambia mjomba kwa sauti ya chini sana mama asisikia lile neno sweet…
“Hunywi chai baby?”
“Sitakunywa. Hizi pesa utampa mama’ko, yeye si ndiyo atakuwa mpishi wa leo hapa?”
“Itabidi, mimi si nakwenda shule?”
“Oke, poa,” mjomba alinipa elfu ishirini za kumpa mama kisha akanisogelea na kuniletea mdomo, nikamtegea shavu la kulia akanibusu, nikamtegea la kushoto, akanibusu, nikampelekea midomo yangu na yeye akanitegea shavu moja baada ya lingine, nikambusu.
Alipotaka kuondoka nikamzuia, nikasimama na kumkumbatia kwa nguvu huku nimelegeza macho hadi basi! Nilitamani tuanguke palepale maana tayari mwili wangu ulitaka mambo.
Kitendo kile kwa mjomba pia kilikuwa chachu, nilimwona akihema kwa nguvu huku akiniangalia kwa macho yaliyokosa uwezo wa kuangalia sawasawa, akaleta mkono wake kwenye nido yangu ya kushoto nikasisimka na kumwashiria kwamba ameshika penyewe penye chanzo cha furaha, akatumbukiza mkono kabisa na kuchezea nido zangu zote.
Hali yangu ilikuwa tete, nikamshika mkono mjomba hapohapo bila kumjali mama, hadi chumbani kwake, nikafunga mlango kwa funguo.
“Oke, basi ngoja niende, lakini usichelewe kuja,” alisema mjomba huku akisimama na mimi nikasimama, lakini kabla hatujatoka mle chumbani sauti ya mama tena ikiwa kali iliniita …
“We Zuwena.”
“Mungu wangu, Mungu wangu!” alisema mjomba.

” We Zuwena.” Mama aliendelea kuniita huku akielekea mlangoni kwa mjomba ilibidi mjomba atoke kabla mama hajaingia chumbani kwa mjomba
“kuna nini dada mbona kelele”
namtafuta zuwena sijui kaelekea wapi”
OOhh nimemuagiza dukani”
Aaah sasa mbona ninaiita hata unijibu kaka kama umemuagiza”
nilisahau dada”
Baada ya muda kidogo niliskia Mama akipiga hatua na kuondoka kuelekea uani
” dili limeharibika mpenzi wangu sasa tutafanyaje maana niko vibaya sana?”
sikia laaziz hata mimi niko vibaya kweli me naona tufanye hata mara moja tu”
hapana zuwena haiwezekani Mama yako atatusikia”
hawezi kutusikia baby” nilimwambia huku nikimrushia kitandani na mimi kupanda juu yake” mjomba stimu ilikuwa imeshakata” nilimfanyia manjonjo ya kila aina nilipoona Mzee amechachamaa nikamlaza chali mjomba na mimi kukalia dudu yake,,,,,,,shughuli ikaanzia hapo hapo
” Zuwena wewe ni mtamu hiyo staili nzuri sana Mama”
“tulia nikupe mambo baby”
nilimpa mjomba mahaba yote hadi akamwaga kabla yangu huku akiwa amechoka nadhani alikuwa na wasiwasi wa kufumaniwa lakini mimi nilikuwa hata siogopi chochote ili niliendeleze mwenyewe baada ya muda na mimi nikafikia mwisho”
“Mbona leo umeniachia mchezo mwenyewe” nilimuuliza
“Dada atatukuta zuwena”
“Sasa tutaenda kufanyia wapi”
“Mjomba alifikiria kwa muda akasema Kesho asubuhi ukienda shule utanisubiri pale njia panda halafu mimi nitakuja na gari tunaondoka tunaelekea hotelini
“sawa mpenzi wangu”
***************************************
“Kesho yake asubuhi nilijiandaa asubuhi nikavaa nguo na kuelekea shuleni
“Mbona leo umewahi sana Mama” MAma aliniuliza”
“daladala za shida Mama ndio nawahi foleni”
“sawa Masomo mema mtoto wangu”
“sawa Mama ubaki salama na wewe”
“nilielekea barabara ya kwenda shuleni nikakata kona na kuelekea njia panda kumsubiri mjomba baada ya muda nilioona gari la mjomba nikapanda na safari ya kuelekea hotelini ikaanza
“wakati tunaingia pale hotelini Mjomba alieleka Mapokezi na kuchukua chumba na kunifuata kwenye gari”
“twende baby”
“sawa”
kumbe wakati tunaingia chumbani na mjomba zuhura chachandu alituona”
“Wewe Zuwena unaingia guest na mjomba wako”
Nilishtuka si kidogo
Mjomba alinambia ingia chumbani nimshughulikie huyu mpumbavu
“niliwahi chumbani na kumuacha mjomba na zuhura chachandu wakipambana
Baada ya Muda sikusikia sauti yoyote kule nje
mjomba aliingia lakini cha ajabu alikuwa katika hali tofauti, shati lilichanika, alichomekea lilichomoka, mkanda wa suruali kama ulifunguka kidogo, inaonekana alikuwa akipigana na mtu.
“Baby vipi tena?” nilimuuliza anko kwa sauti iliyojaa taharuki huku nikisimama. 

“Dunia ina mambo ya ajabu sana sweet wangu,” alijibu mjomba huku akisimama kwenye meza ya mapokezi.
Mara mlinzi aliyevalia sare za kazi, nadhani alikuwa wa hotelini hapo aliingia…
“E bwana pole sana. Unajua mimi pale nilitaka kumpiga kirungu lakini nikasema nisije nikaua bure, ndiyo maana nilimshika na kumtoa nje msobemsobe,” alisema yule mlinzi.
Mpaka wakati huo mimi nilikuwa sijui lolote, kichwani mwangu kauli ya mjomba ya ‘dunia ina mambo ya ajabu sana sweet wangu’ ndiyo ilitawala kichwani mwangu.
“Kwani baby nini kimetokea?” nilimuuliza kwa uso uliochanganyikiwa.
“Nitakusimulia. Anti naomba chumba.”
Anko alichukua chumba, tukapewa funguo ambapo tulitembea wenyewe kwenda chumbani ambako ni kwenye ghorofa la pili la hoteli hiyo.
Ile tunakaa tu kitandani, nikamuuliza tena…
“Nini kimetokea mpaka upo katika hali hii baby?”
“Sikia mama, ulipoingia ndani tu muda ule, si na mimi nikashuka. Ile nafunga mlango, nikashtukia nashikwa shati kwa nyuma…”
“Na nani sweet,” nilidakia…
“Zuhura…”
“Zuhura Chachandu?”
“Zuhura gani mwingine?”
“He!” nilihamaki…
“Kisa?” nikauliza kwa umakini wa hali ya juu huku nikikaa vizuri tena nikimwangalia kwa ukaribu zaidi…
“Kisa nini zaidi ya mapenzi!”
“He! Yule mwanamke ana laana nini? Sasa madai yake yalikuwa nini?”
“Sikiliza kwanza. Aliponishika shati, nikageuka na nilipogundua ni yeye nikamchapa makofi na yeye akataka kujirudishia, wee! Nimempiga mabuti hadi amechakaa. Hili shati huku kufunguka vifungo na huu mkanda kuwa hivi ni kwa sababu alikuwa akining’ang’ania huku akiomba msaada, ndiyo mlinzi akaja…
“Kumbe mlinzi alimuona mpaka anakuja nyuma yangu kunishika, akataka kumpiga kirungu.”
“Khaa! Unajua ni mambo ya ajabu sana!”
“Sana. Ameniharibia siku yangu yote, hapa natamani hata ningekuwa kazini tu maana hata hamu ya mapenzi sina,” alisema mjomba kwa sauti iliyotia huruma, nikashindwa kuvumilia na kuanza kulia…
“Ala! Sasa unalia nini baby?”
Nilipiga magoti, nikajiingiza katikati ya mapaja ya mjomba, nikazungusha mikono yangu kuzunguka kiuno chake, nikaweka uso juu ya flaizi ya suruali yake kisha nikatulia kwa muda.
“Baby,” aliniita.
“Abe…”
“Vipi kwani?”
“Hata.”
“Unajisikiaje?”
“Vibaya.”
“Kwa nini?”
“Kwa alivyokufanyia Zuhura Chachandu.”
“Achana naye.”
“Siwezi kuachana naye si amesababisha hamu ya mapenzi imekutoka?”
“Ni kweli. Kwanza hapa natamani kukwambia uende shule, mimi nilale hadi usiku ndiyo nirudi nyumbani, sijisikii kabisa kwa mapenzi leo, labda kesho.”
Kauli hiyo iliniuma sana mimi kwani tayari mwili nilishautiuni tangu mapema nyumbani tulipopanga kuwa kila mmoja aache majukumu yake ya siku hiyo tukashinde hotelini.
Nilitulia kwa muda nikifikiri mwishowe nikapata jibu. Si alisema hajisikii kwa mapenzi siku hiyo? Basi niliamua kumsaidia ajisikie. Nilipeleka mkono kwenye sehemu muhimu, nikafungua kilichofungwa, nikatoa maiki kisha nikamwangalia usoni kwanza tena kwa macho ya kulegea ile mbaya.
Nilipoona habishi wala kujibanabana, nikaanza kuimba kwa kutumia ile maiki. Kila nilipoimba kwa sekunde kumi na tano hivi niliacha na kumwangalia usoni kwa macho yaleyale mpaka ikafika wakati nikamwona anafanya ishara za umeme kusambaa mwili mzima.
Hiyo ilinipa nguvu, nikazidisha spidi ya kumsaidia ajisikie kwa mapenzi siku hiyo. Niliitoa maiki yote na kuitumia kwa ufundi wa hali ya juu. Nilipoona viashiria vyake viko juu na maiki ikiwa tayari kwa kutumiwa, nilijitoa kidogo kwake, nikamvua soksi, kisha nikamchojoa suruali, halafu nikaja kufuli, nikapanda juu, nikamtoa shati na kumalizia na singilendi nyeupe.
Nilimlaza mjomba kitandani akiwa kama alivyozaliwa kwa mama yake mzazi. Kilichonipa raha zaidi moyoni ni kuona maiki ikiwa vilevile kwamba ipo tayari kwa kupokea sauti wakati naimba.
Nilipoona hivyo na mimi nilijichojoa yunifomu zangu, tena fasta sana, nikapanda kitandani, wote tukawa kitandani tayari kwa kuingia uwanjani.
Lakini nilichofanya, niliendelea kwanza kumpa joto la mchecheto mpaka atakapokuwa tayari mwenyewe tena kwa moyo mweupe kwamba anataka kuingia uwanjani tayari kwa kusakata kabumbu lisilokuwa na refa.
Nilimlaza chali, mimi nikapiga magoti pembeni na kuendelea kuimba nyimbo nzuri za kimahaba huku nikitumia muda mchache sana kumkodolea macho kiaina ambapo niligundua alikuwa hoi, alikuwa akitoa sauti kuniambia mambo mazuri lakini haikunifikia kutokana na koo lake kuibana sauti hiyo, kifupi mjomba alirejea katika hali yake ya kawaida tena pengine kuliko siku yoyote ile tangu tuanze kuwa wapenzi.
“Baby,” aliniita akinipapasa mgongoni.
Sikumwitikia ila niligeuza shingo nikamwangalia kwa macho ya kumuuliza anasemaje!
Na yeye kama alijua kwamba nataka kuambiwa kitu, alinivutia kwake nikajua anataka nini. Alitaka gemu lianze na mimi nililianzisha kwa ufudi wangu ambao nilijua ungemchengua.
Kweli mjomba alichenguka sana, siku hiyo aliniambia ahadi nzuri nzuri tupu, kuninunulia gari, kunioa kwa ndoa ya bomani na kunisomesha hadi Ulaya kwenye elimu bora. Uwezo wa kufanya yote hayo alikuwa nao, namjua.
Mechi ya siku hiyo ilikuwa nzuri sana, wachezaji wa pande zote walijipanga vilivyo huku mashambulizi yakiutawala mchezo mwanzo mwisho.
Kuna wakati mjomba alipofanya mashambulizi alianzia golini kwake mpaka kwangu na mimi nilipozuia nilianzia hapohapo mpaka golini kwake
Mpaka mwisho wa mechi nilikuwa nimetingisha nyavu mara tatu mjomba mara moja mbili. Tulipumzika tukihema kama faru aliyekoswakoswa na risasi ya muindaji haramu.
Mjomba alinyoosha mkono akachukua simu ya mezani, akapiga mapokezi na kuagizia kifungua kinywa, lakini cha ajabu mtu huyohuyo wa mapokezi akamwambia…
“Yule mwanamke uliyegombana naye anasema anakusubiri hapa mapokezi.”
“Ana nini?”
“Anakusubiri hapa mapokezi, yupo hapa muda huu.”
“Khaa! Kwani nyinyi hamjajua kuwa huyo ni mgomvi wangu?”
“Ndiyo tunajua.”
“Sasa kwa nini mnamuachia anakaa hapo kunisubiri je kama ana silaha?” alijibu mjomba.
“Baby we toka umalizane naye, atatusumbua tu, hatutaweza kushinda kwa raha leo wakati tumeamua leo iwe siku yetu ya kuponda raha.”
Mjomba alinisikiliza, akatoka kitandani na kuvaa suruali na shati bila nguo za ndani. Akainama na kushikashika viatu, kumbe bwana alikuwa na bastola, mimi wakati namvua sikuiona, nadhani kwa sababu alinisaidia kuvua viatu tu akijua ana bastola.
“Noo baby usiende na silaha.”
“Hapana darling, yule anachokitaka kwangu ni kutolewa uhai na hakuna lingine.”
Nilisimama na kumzuia mjomba asitoke na silaha…
“Unaweza kujuta baadaye.”
“Kivipi?”
“Kwa kutoka na silaha.”
“Nitajutaje wakati ndicho anachokitaka yeye.”
Nilimzuia mlangoni asipite hadi aache bastola yake chumbani…
“Unataka nianze na wewe siyo?” aliniambia akinitolea macho makavu, mwenyewe nikapisha. Nikachukua nguo zangu za shule na kuzivaa haraka kisha na mimi nikashuka ngazi kumfuata mjomba. Nilikwenda kubana mahali, sikutokea moja kwa moja mapokezi.
“Zuhura unataka nini?” nilimsikia mjomba akimuuliza Zuhura Chachandu, lakini badala ya kumsikia akijibu nilimsikia akitoka mbio huku akipiga kelele kwamba anauawa…
“Haloo, njoo mapokezi hapa,” nilimsikia na mtu wa mapokezi akisema, nadhani ilikuwa kwenye simu…
Ndani ya sekunde kumi na tano, mlinzi akawa amefika mapokezi…
“Afande huyu dada aliyetoka si ndiyo aligombana na huyu mteja wetu?”
“Ndiyo,” alijibu afande.
“Sasa mbona ulimruhusu awe hapa kumsubiri mteja wetu, huoni kama ni hatari?”
“Samahanini sana, namtoa nje. Mama twende nje kwa usalama wako pia,” afande alisema, inaonesha Zuhura alipotoka hakwenda mbali, alisimama nje ya mlango kwani mlinzi alizungumza akiwa mlangoni kwa nje.
“Mimi siendi mpaka atoke yule mtu.”
“Mama nakwambia kwa mara ya mwisho, twende nje ya geti la hoteli hii.”
“Nakujibu kwa mara ya mwisho, siendi kokote.”
“Mwacheni nimmalizie ijulikane moja,” mjomba alisema akitoka nje, nikafungua mlango na kutokea mapokezi kabisa…
“Anti mnajua kwamba hapa mna ulinzi dhaifu sana? Haiwezekani watu wamegombana halafu mnawaruhusu wakutane tena,” nilimwambia mtu wa mapokezi ambaye aliniangalia kwa dharau kubwa. Ni yule aliyeniuliza habari za shule kuchanganya na mapenzi nikamjibu asiniingilie.
Nilipita nikaenda kufungua mlango wa nje, nilimwona mjomba amesimama bila ile bastola, nadhani aliichomeka mahali.
“Haa! Msafiri, upo hapa hotelini na Zuwena, mpwa wako na pia ni mwanafunzi. Hata siamini,” alisema Zuhura Chachandu. Na vile nilikuwa nimevaa yunifomu, kila mtu aliniangalia mimi, hata wateja wengine.
Nilirudi ndani mbio hadi chumbani, nikajitupa nikijilaumu ni kwa nini sikuamua kubaki ndani alipotoka mjomba.
“Da! Halafu yule hana namba za simu za mama kweli?” nilijiuliza, nilikumbuka kwamba kuna siku wakati akiwa na amani na mjomba aliwahi kuongea na mama kupitia simu yake mwenyewe. Niliona hatari iliyopo mbele yetu mimi na mjomba.
Nikiwa katika kuwaza hayo, mara mlango ukafunguliwa, mjomba akaingia akihema…
“Vipi dear?”
“Mh! Amekuona, hivi hawezi kumpigia mama yako kweli?”
“Na mimi ndiyo wasiwasi wangu huo.”
“Sasa?”
“Tutege masikio.”
Mara, simu ya chumbani iliita…
“Pokea mjomba, labda kuna ishu mbaya wanataka kukwambia watu wa mapokezi.”
Mjomba aliichukua simu kama anaidaka, akaiweka sikioni huku macho yakionekana kuyumbishwa na fikra…
“Haloo…yes…yeah…kweli?”
Nilishtuka hapo niliposikia kweli?
“…ameshaondoka sasa? Lo! Hebu subiri…eee sikia, hebu wewe njoo huku juu mara mmoja,” alisema mjomba na kukata simu.
Akanigeukia na kusema…
“Kimenuka baby.”
“Nini?” nilimuuliza kwa haraka sana…
“Eti Zuhura amesema anakwenda kuchukua polisi ili aje atukamate kwa sababu mimi mtu mzima natembea na wewe mwanafunzi.”
“Mh! Sasa tunafanyaje baby?”
“Hakuna namna, tupige akili kabla ya hatari.”
“Ngo ngo ngo,” mlango uligongwa, nikashtuka sana na kusema…
“Polisi hao.”
“Hawawezi kuwa wao. Nimemuita mhudumu aliyenipa hizo taarifa.”
Mjomba alitoka na kwenda kufungua mlango…
“Karibu sana dada…”
“Asante.”
“Sasa ni hivi, nakupa hela sasa hivi ukanunue suruali ya jinsi kiuno saiziiii…” mjomba alisema akiniangalia…
“Saizi ishirini na sita…” nilidakia…
“Oke, ishirini na sita…halafu na kitop cha juu saiziii…”

” mjomba alisema akiniangalia…
“Saizi ishirini na sita…” nilidakia…
“Oke, ishirini na sita…halafu na kitop cha juu saiziii…”
Yule mhudumu akadakia kuhusu kitop, akasema…
“Kuhusu kitop wala hakuna haja ya kusema, mimi nitajua mwenyewe.”
Kwa sababu chini nilivaa raba, niliagizia na sendoz…
“Haya na sendzo, mcheki miguu yake kwanza,” alisema mjomba, akatoa kitu kama laki moja hivi kwa ajili ya manunuzi hayo.
Nilimwona yule mhudumu akiachia tabasamu. Nilijua ilikuwa siku yake ya kuvuna maana laki moja zilikuwa nyingi, suruali ni kama elfu ishirini, kitop kama elfu kumi tu, sendoz sanasana elfu kumi na tano maana aliambiwa aende kwenye maduka ya kawaida.
***
Ndani ya nusu saa, yule mhudumu alirudi akiwa amefanikiwa kuvipata vile vitu. Moyoni nilijilaumu sana kwamba ni kwa nini nisingetoka na nguo za nyumbani kwenye begi la madaftari ya shule.
Nilipojaribu nilitoka bomba sana, kama si mwanafunzi vile. Nilipendeza pia.
“Sasa sikia, tutoke, twende hoteli nyingine,” mjomba alisema, tukajizoazoa, lakini kabla ya kufungua mlango simu ikapigwa tena…
“Haloo…wamekuja? Polisi kabisa polisi au wanamgambo? Oke, tunakuja,” alisema mjomba.
“Vipi baby?” Nilimuuliza mjomba.
“Polisi wamekuja!”
“Kweli?”
“Yes, nimeambiwa.”
“Na nani?”
“Si mtu wa mapokezi.”
“Sasa itakuwaje?”
“We twende tu.”
Tulitoka chumbani, sare zangu za shule zilikuwa kwenye mkoba wa madaftari.
Tulipofika mapokezi, tulikuta polisi watatu, wawili wanaume. Walikuwa wakimtaka mtu wa mapokezi akawaonyeshe chumba tulichokuwemo…
“Sisi wale ni wateja wetu hatuwezi kufanya hivyo, kama mna shida nao basi subirini watoke,” alisema mtu wa mapokezi huku akitukodolea macho wakati tunafika mapokezi…
Zuhura Chanchandu alipotuona akadakia…
“Hawa hapa afande, wala usiende mbali.”
Mimi na mjomba tuliendelea kupita kuelekea mlango mkubwa huku tukijifanya hatujui lolote linaloendelea…
“We mama si ulisema yupo na mwanafunzi tena ana yunifomu?” afande mmoja aliuliza kwa ukali.
“Atakuwa amebadili nguo lakini mimi nilimwona ana sare za shule.”
Sisi wakati huo tulishafika nje kabisa kwa hiyo tulichokisikia mpaka mwisho tunamalizikia mlangoni ni ‘atakuwa amebadili nguo lakini mimi nilimwona ana sare za shule’.
Mpaka tunafika kwenye gari, nyuma yetu hakuna aliyekuwa akitufuata, tukaingia na kutoka zetu.
“Yule mwanamke mjinga sana,” alisema mjomba akiendesha.
Mimi kwa furaha, badala ya kumjibu nilijikuta namlalia mapajani licha ya kwamba alikuwa anaendesha, hilo sikulijali.
“Baby sasa si utanizuia kuendesha hivyo unavyofanya?”
“Baby jamani, kweli?” nilimuuliza nikiwa bado nimemlalia, nikamtania kidogo kwa kumshikashika eneo ‘muhimu’, kidogo apeleke gari kwenye mtaro…
“Baby bwana,” alisema, nikajiondoa.
“Sasa sweet mi ninavyoona, tuingie dukani kwanza tununue nguo zangu halafu ndiyo twende hoteli, si umeona hizi zilivyochafuka na vumbi ya lile vurugu la Zuhura?”
“Kweli baby, umekuwa kama mtu wa kutoka shamba.”
Mjomba alicheka kidogo lakini wakati huo tulishafika eneo la kuegeshea magari la duka moja la nguo.
Tulivyoshuka na mjomba ilikuwa kama tumeshuka mtu na mke wake, maana baada ya kushuka tu tulishikana mikono kwenda ndani ya duka hilo lililoandikwa Karibu Pamba za Ukweli.
Mjomba alinunua suruali za jinzi mbili, nyeusi na ya bluu, kisha akanunua na fulana mbili, nyeupe na kijani iliyoiva. Akaninunulia na kufuli tatu mimi. Nilimshukuru sana kwani zote tatu zilikuwa za bei mbaya.
Tulitoka hapo, katika hali ambayo hatukupanga, mjomba alisema twende Mlimani City tukapate juisi nzito kwanza kisha twende hoteli.
/
Mlimani City napafahamu sana, pana watu kibao, hata baadhi ya wanafunzi wenzangu huwa wanakwenda pale kama siku si ya shule. Halafu mwalimu wetu mmoja anaitwa Arnold naye anapenda sana kutoroka shule na kwenda hapo Mlimani City, sasa itakuwaje? Kumwambia mjomba tusiende ilikuwa ngumu.
“Oke, twende baby,” nilijikuta nakubali kwa ujasiri. Kwanza sikuwa na wasiwasi, hata kama Mwalimu Arnold angeniona angenifanyaje wakati mwenyewe anakwendaga hapo kwa kuibia.
Halafu kingine sikuwa na wasiwasi wa kupoteza shule kwani mjomba alishasema atanioa sasa shule ya nini kama nitaoelewa na mwanaume mwenye pesa zake kama mjomba Msafiri.
Tulifika Mlimani City, tukazama ndani mpaka kwenye maegesho. Kama tulivyoingia dukani, hapo pia tuliingia vilevile, tulishikana mikono na kutembea mwendo wa kubembelezana.
Nilihisi kitu…
ITAENDELEA

GODORO LA MTUMBA – 3

Image result for godoro la mtumba

Chombezo : Godoro La Mtumba
Sehemu Ya Tatu (3)

Nilitaka kumgongea mlango mjomba lakini nikahisi anaweza akataka tunda na me nimechoka hivyo niliamua kumuacha na kuendelea shughuli zangu ilipita wiki mbili bila kukutana na mjomba kimapenzi siku moja mjomba akaniita chumbani kwake
akaniuliza kama kuna chakula cha kutosha nikajibu ndiyo akaniuliza kuhusu juice kama ipo nimletee
ile nataka kumjibu nikajikuta nashindwa na kupata kigugumizi
“Ili…ili…ili,” nilitaka kusema nikajikuta nashindwa, koo kama lilitaka kubana pumzi isipite, mdomo kama ulikuwa umejaa mate na kusikia kichefuchefu.
“Vipi?”
“Nasikia kichefuchefu mjomba.”
“Hicho kichefuchefu kinatokana na nini Zuwena?”
“Mi sijui.” 

“Kwani huyo jamaa mwingine ulikwenda naye bila zana?”
“Jamani baby hata kama nilikwenda naye bila zana mbona hata wiki haijapita?”
“Kwa hiyo unataka kuniambia kama una mzigo ni wangu?”
“Mi sijasema kwamba nina mzigo.”
Nilimwona mjomba anaanza kubadilika rangi ya uso, aliniangalia kwa jicho lenye maswali mengi kuliko majibu. Nilihisi anajiandaa kunitimua nyumbani kwake, nikaanza kuwaza nyumbani Tanga.
“Lakini kwani mimi nina mimba? Mbona mjomba amekimbilia kwenye mimba haraka?” nilijiuliza mwenyewe huku nikimwangalia na yeye akiendelea kuniangalia, tuliangaliana.
“Zuwena.”
“Abee.”
“Una mimba?”
“Mimi sijui lolote mjomba.”
“Kwani hujitambui?”
“Kujitambuaje mjomba?”
“Kwamba ukikutana na mwanaume atakupa mimba au la!”
“Mimi sijui chochote.”
Mjomba alisimama, akaenda chumbani kwake, aliporudi alikuwa anavaa shati huku akisema…
“Simama twende.”
Bila kumuuliza wapi na huku bado nikiwa na sare za shule nilisimama na kutoka na mjomba. Akaniambia nifungue geti yeye akaingia kwenye gari lake.
Alitoa gari nje, nikafunga geti na kuingia kwenye gari, akaliondoa.
Hakuna aliyemsemesha mwenzake njiani, ukimya ulitawala sana, mjomba alikaza macho mbele barabarani. Nilianza kuhisi mambo mawili…
“Labda ananipeleka shuleni kwa mwalimu mkuu kumwambia nina mimba. Lakini si kweli, shuleni saa hizi? Hata yeye anajua muda huu hakuna shule…
“Hii safari inaweza kuwa ya kwenda hospitali kupima kama nina ujauzito, lazima.”
Nilitamani kumuuliza mjomba anipe usahihi wa safari ile lakini roho ilisita sana.
Hata hivyo, nilijiandaa kiakili na kupuuza suala la kumwogopa kumuuliza. Niogope nini wakati nimeshalala naye kitandani mpaka kuna kucha na mambo yote tukafanya?
“Baby,” nilijaribu kwa kumwita hivyo ili nione kama na yeye bado ana ubaby au ulikufa!
“Niambie.”
“Kwani tunakwenda wapi?”
“Hospitali.”
“Kufanya nini?”
“Hujui?”
“Sijui.”
“Tunakwenda kupima kama una mimba tuitoe mapema, asije mama yako akaniua.”
“Mh! mi sina mimba mjomba.”
“Una nini sasa?”
“Sina chochote?”
“Kwa nini unasikia kichefuchefu?”
“We hujawahi kusikia kichefuchefu mjomba?”
“Si kama chako.”
“Changu kikoje?”
“Si cha kawaida.”
Hapo tulishafika nje ya hospitali, mjomba akaniambia tushuke. Nilishuka nikiwa jasiri, tukaenda na mjomba kukaa kwenye fomu huku akituma meseji kwenye simu.
Baada ya dakika moja tu, daktari alitokea akiwa ndani ya joho jeupe…
“Vipi mkubwa? Njoo twende,” yule daktari alisema huku akimshika mkono mjomba.
Tulitembea hadi kwenye chumba cha daktari, tukakaa kwenye viti.
“Dokta Misifa,” alianza kwa kuita mjomba.
“Niambie mkubwa.”
“Huyu anaitwa Zuwena, ni mjomba angu, anaishi kwangu anasoma sekondari Kimara, lakini siku mbili hizi nimekuwa simwelewi, kichefuchefu kingi, anarudi anachelewa, nahisi ana kitu, hebu mpime.”
Dokta Misifa alinitazama haraka haraka lakini macho yake yalisimama kwa muda mrefu kwenye kifua changu.
“Mjomba ako kabisa?”
“Kabisa, mama yake yeye ni dada yangu.”
Dokta Misifa alinitupia macho, mimi nikatingisha kichwa kwa ishara ya kukubaliana na maneno ya mjomba.
Alionesha kama hakubaliani na utambulisho wa mjomba kwangu. Nadhani alichenguka kwa uzuri wangu, maana na mimi niko vizuri kila idara, si mchezo.
Dokta aliinua simu ya mezani, akapiga, nikasikia akiita. Alipoweka simu sekunde kadhaa mlango ukafunguka, akaingia nesi.
Nilisikia Dokta Misifa akisema…
“Mcheki huyu binti kama amekonsivu, kama kweli hakikisha unaaboti.”
“Sawa dokta,” alisema nesi na kuondoka. Dakika moja akarudi akiwa ameshika kitu, sikukijua, akaniita.
Niliongozana naye nikimwacha mjomba na dokta wakizungumzia habari kama za wanawake f’lani.
Nilipimwa kwenye chumba f’lani kwa kutumia haja ndogo, kisha akachukua na damu kwenye kidole kwa kukitoboa. Ndani ya dakika kama kumi na tano hivi nesi alinishika mkono kunirudisha kule lakini hakuniambia kitu.
Niliendelea kusubiri pale nje kwa muda nusu saa baada ya muda kidogo nilimuona mjomba akifungua mlango na kuniita
majibu yako yako tayari binti “”””Dokta Misifa akasema””””
Nilishtuka sana sikujua kuwa ni mazuri au mabaya,,,,,,,mjomba akamwambia endelea Dokta
“”””””una mimba ya wiki mbili”” Eeeh nilishtuka sana kiukweli kwanza niliwaza mama akijua ataniuliza mimba ni ya nani na nikimwambia ni ya mjomba undugu na mjomba si utaisha
Wewe zuwena,,,,,zuwena “”mjomba alikuwa akiniita
Abee mjomba” unatakiwa kutoa hiyo mimba haraka sana kabla mambo hayajaharibika
lakini mimi naogopa mjomba sijawahi kutoa mimba na nasikia ukitoa mimba unakufa”
nani alikudanganya kuwa ukitoa mimba unakufa “””””Dokta Misifa akaniuliza me nikanyamaza””
Dokta Misifa akasema tangulia huko chumbani nakuja nikute umeshajiandaa,,,,,,,, nikaondoka na kueleka chumbani na kuwaacha wanajadiliana na mjomba nikachungulia kwenye kitasa cha mlango Mjomba alikuwa anamkabidhi Dokta Misifa Hela na kusema ananisubiri nje.
Nilipofika chumbani kilikuwa chumba kidogo tu kulikuwa na kitanda na godoro dogo pamoja kiti,,,,,,nikiwa bado nashangaa mazingira ya kile chumba ghafla Dokta Misifa akaingia na kunikumbatia kwa nyuma
Me sitaki bwana!,,,,,,,,,nikasema
hutaki nini?……dokta misifa akaniuliza huku akiniminya kifuani nido zangu
“sitaki kufanya”
“kama hutaki kufanya basi na mimi siwezi kukusaidia” Dokta Misifa akaniambia
“ghafla akanilaza kitandani na kunivua blauzi ya juu “tulia wewe unakuwa kama vile hujawahi kufanya”
lakini mjomba wangu yuko hapo nje anaweza kutukuta “nikamwambia”
“mjomba wako hawezi kuingia humu”
“sawa basi kafunge mlango uje nikupe mambo”
akaondoka na kwenda kufunga mlango aliporudi ilibidi nifanye kweli maana nilikuwa tayari nimeshapagawa,,,,alipofika nilimvua nguo zote na kubaki kama alivyozaliwa nikaanza kumuimbia wimbo wa taifa kwanza kiukweli alipagawa sana aliongea maneno mengine hata sikuyaelewa nilipoona kazidiwa
nikatangulia kupanda kitandani na shughuli kuanza alikuwa mchovu ndani ya dkk 10 akawa ameshamaliza mchezo
“wewe ni mtamu sana zuwena inabidi nikuoe”
“sitaki kuolewa nataka kusoma” unaweza kunioa wewe mtu mwenyewe mchovu kitandani” nikasema rohoni
“unasoma kidato cha ngapi” akaniuliza
sio maswali hayo vaa nguo uanze kazi yako” alikuwa amenikera sana kuniamshia mashetani yangu na kushindwa kuyatuliza halafu anaanza kunihoji maswali…
“mbona umekasirika sasa”??????Dokta Misifa akaniuliza
nikanyamaza” alipoona nimenyamaza akavaa nguo na kuniambia ngoja akamuite nesi aje anifanyie abotion
Heeeehh!!!!!! ina maana sio wewe ni nesi ndio ananitoa
me sijui hayo mambo nesi ndio anajua”
sasa mbona umenidanganya kuwa ni wewe!!!
nilikuwa nataka nitimize lengo langu tu zuwena kuonja tunda lako”
nilijilaumu sana kwa kweli nikasema rohoni zuwena mwaka huu nimepatikana
Baada ya dokta misifa kuondoka alikuja nesi na kunifanyia abotion na baada ya hapo alinisafisha na kunipa dawa za maumivu na kuniambia nipumzike kwa muda wa nusu saa ndio niondoke
baada ya muda mjomba aliingia kule chumbani na kuniuliza
“unajiskiaje baby”
najisikia vibaya mpenzi wangu nahisi maumivu makali sana”
pole ndio ukubwa huo honey” tuondoke sasa
nikamwambia siwezi kutembea,,,,,,mjomba akanibeba hadi nje tukapanda kwenye gari na kuondoka kurudi nyumbani
nilikaa wiki 3 bila kwenda shuleni
***********
baada ya wiki tatu nikiwa najisikia vizuri mjomba aliomba game akanambia ana hamu na mimi…………..
baby wangu” mjomba aliniita
“nambie waukweli”” nikamjibu mjomba
akaja hadi karibu yangu nilikuwa nimekaa kwenye kochi sebuleni alipofika akaanza kunitomasa nido zangu…… sisemi uongo kiukweli mjomba alikuwa anapenda sana nido zangu vile zilikuwa chuchu saa 6 mjomba alikuwa anapagawa zaidi
ba…..ba….by………mjomba alikuwa amechanganyikiwa sasa!!!!!
“nambie laaziz”
siwezi kukuacha zuwena hata aje nani anishikie bastola”
unasema kweli bby”
ndio mpenzi wangu kwa raha unazonipa sijawahi kupewa na mwanamke mwingine yoyote duniani hata zuhura chachandu hafikii”
“unasema kweli mpenzi wangu me ni zaidi ya zuhura chachandu” nikamuuliza mjomba
ndio honey sikudanganyi naomba twende uwanjani” mjomba akasema
nilikuwa nimeshazidiwa ilibidi nimwambie mjomba tumalizie hapo hapo mjomba akakubali,,,,,,na shughuli ikaanzia sebuleni
mapenzi kwa kweli ni matamu niliapa mbingi na ardhi kuwa siwezi kumuacha mjomba wangu hata kwa mtutu alinipa mapenzi hadi nikapagawa alinipa kila aina ya mapenzi yaliyoko hapa duniani
u………uncle nilisahau hadi kumuita mjomba kwa kiswahili
sema mke wangu>>>>>>>>
“nakupenda sana siwezi kukuacha”
“ingiza yote mjomba” nikamwambia mjomba maana utamu niliousikia mpenzi msomaji siwezi kukusimulia kwa kweli nilijisikia misuli ikibana yote nikakaza mikono na miguu nilimbana mjomba hadi nilipomwaga nilikuwa hoi baada ya muda mfupi ndio mjomba nae akamwaga……..tulikuwa tumechoka wote
niliendelea kumpasha mjomba kwa kulamba koni yake
“nani amekufundisha zuwena”?
“nini”?
“kulamba koni”
hamna bby ni utundu wangu tu”
sio huyo jamaa uliyekuwa nae”
hamna bby usinifikirie hivyo” nikajidai kukasirika”
nisamehe basi laaziz kama nimekuudhi”
unajua sipendi masikhara mjomba”
Heeeeeh!!!! nimekuwa tena mjomba mara hii”””?
samahani mpenzi wangu nimesahau”
poa”
tuliendelea kupashana na mjomba hatimae game la pili likaanza tukiwa bado tunaendelea ghafla mlango wa sebuleni ukagongwa nikajua huyo atakuwa zuhura chachandu
nenda kafungue” nikamwambia mjomba
ni nani” mjomba akauliza
me sijui
mjomba akaenda akaenda dirishani kufunua pazia
Heehhhhh ni dada zuwena,,,,,,,,mama yako!!!!
Mama yangu? nikauliza
ndio ni mama yako mzazi”
“Mungu wangu”
wenyeji hodi ” alikuwa ni mama anabisha hodi
usifungue mlango kwanza mjomba”
wenyewe……..wenyewe………sijui wameenda wapi
ghafla nikamuona mama akichungulia aone kama wenyeji wako ndani au laah
nilihisi kufa au kuzimia

“Ingia uvungu wa kochi baby”

masofa hayana uvungu mjomba
jifiche popote sasa
ilibidi nikimbilie chumbani huku mjomba akijifunga taulo haraka haraka maana hata hakukumbuka kuvaa bukta wala kutoa nguo pale sebuleni
“nikasikia mlango wa sebuleni ukifunguliwa”
“Ooohhhhhh karibu dada”” asante”
“mmmmhh!!! mbona jasho na unahema hivyo kuna nini humu ndani? nilisikia mama anauliza”
hamna dada si unajua joto la hapa dar es salaam
na mbona unaonekana una wasiwasi hivyo kwema hapa kweli mdogo wangu?
……aaah..ahhh…ni kwema dada hata usijali,,,,,vipi za huko na mbona umekuja ghafla bila taarifa dada? mjomba akauliza
kwani kuna kosa mimi kuja kwa ndugu yangu bila taarifa?
hamna!! mjomba alijibu kwa ufupi
haya tuachane na hayo vipi zuwena ameenda shuleni maana simuoni”
sijui atakuwa ameenda “
hujui? ina maana hata mtoto huangalii maendeleo yake mdogo wangu?
“hamna dada sikuwepo nilitoka tangu juzi nilisafiri ndio nimerudi leo”
“Mama nae sijui kafata nini hapa badala ya kubaki huko kwake katuharibia starehe zetu tu” nikasema rohoni.
ilibidi nitoke nje kwenda kumsalimia nikajidai kama vile natoka usingizini
“shikamoo Mama”
“ulikuwa humu ndani zuwena”? mama akaniuliza
“ndio mama nilikuwa nimelala”
unaumwa”? hamna mama nahisi ni uchovu wa shule tu” nikamjibu
‘sawa”
lakini nahisi Mama alishtukia kitu kuhusu mimi na mjomba lakini aliamua tu kunyamaza maana tulikuwa na wasiwasi kweli hasa hasa mjomba alikuwa hatulii sehemu moja
*************************************
“ilipita wiki moja bila kufanya chochote na Mjomba sababu ya Mama kuwepo,,,,,,siku moja uzalendo ulinishinda nikamfata mwalimu Mnoko nyumbani kwake ilikuwa mida ya kutoka shuleni
“zuwena umefata nini?”
“unaniuliza hivyo leo baby”nikajidai kama nataka kulia si unajua tena wasichana tunavyopenda kudeka
“samahani basi” ,,,,karibu ukae
nikaelekea kitandani,,,mwili ulikuwa umechemka ile mbaya sikutaka kuchelewa kwa Mwalimu Mnoko Maana Mama yangu alikuwa na gubu sana,,,,,,, Mwalimu alikuwa anajua nataka nini hakutaka kunichelewesha
“siku hiyo mwalimu alinipa kitu roho inapenda……alinikuna hasa kila sehemu niliyokuwa nataka kukunwa
“umeridhika honey?
“sio sana lakini angalau umenisaidia maana nilikuwa na njaa sana”
nilivaa nguo zangu haraka haraka ilikuwa saa 12 kasoro.,,,,,mwalimu mnoko alinipatia Tsh 5000 ya usafiri nikambusu shavuni na kuondoka
***********************************
“ulikuwa wapi?
“hata salamu hakuna Mama”
Ulikuwa wapi nakuuliza”
“shuleni”
shuleni siku hizi mnatoka saa moja usiku”
nilipitia twisheni Mama”
“lete daftari nione”
niliona kama Mama ananisumbua tu ilibidi nimpe mfuko wa madaftari na kuelekea chumbani
******************
usiku nikiwa nimelala na Mama nilijiskia hamu ya kuwa na mjomba shughuli ikawa nitatokaje pale kitandani kwa Mama,,,,,,,,nilimfinya ili nione kama amesinzia kweli, nikakuta kweli amesinzia,,,,,,,,,,, nilinyata hadi mlangoni nikaufungua taratibu hadi chumbani kwa mjomba alikuwa hajafunga mlango kama vile alijua nakuja
“Baby amka nimekuja”
Mwaaaaahhh” nimekumis sana mpenzi wangu
“Mama yako yuko wapi”
“nimemtoroka chumbani nimemuacha amelala”
humu anaweza kutufamania zuwena twende kule nje kwenye banda”
tulielekea kwenye Banda na kuanza kuchojoa mavazi yetu” mjomba akaanza mambo yake alinikunja hasa nilikuwa natoa miguno hadi mjomba akawa ananiziba mdomo”
“shhhhh….shhhh watatusikia.”punguza sauti baby”
sawa”
tuliendelea kufanya kama Mabubu lakini nilipofikia kilele cha mlima kilimanjaro nilipiga yowe kali sana” mjomba alishindwa kunizuia maana tulifika pamoja”
Oohhhhhhh” nilishusha pumzi ndefu sana”……..asante sana baby”
asante p………….
tulisikia mlango wa sebuleni ukifunguliwa huku mama akiniita
Mjomba alivaa haraka haraka na kurudi chumbani kwake
ITAENDELEA

GODORO LA MTUMBA – 2

Image result for godoro la mtumba

Chombezo: Godoro La Mtumba
Sehemu ya Pili (2)

“Simama basi mpenzi wangu.”
Nilicheka na kusimama. Muda mwingi ninapokuwa na mjomba macho yake huyatupia kwenye kifua changu. tukiwa bado tumesimama pale mjomba alinambia anasikia njaa, nikaondoka na kuelekea jikoni kumuandalia chakula baby wangu
kumbe wakati napika mama yangu alipiga simu na muda huo simu ilikuwa chumbani kwa Mjomba, mjomba akapokea simu na kuongea na mama baada ya hapo mjomba akaniita niongee na Mama baada ya kupokea simu nikamsalimia Mama
“Shikamoo mama…”
“Marahaba. Haya siku hizi mjomba ‘ako ndiye anayekupokelea simu siyo..?”
“Mimi napika jikoni mama, yeye amekaa sebuleni na simu yangu iko sebuleni.”
“Haya, vipi masomo?”
“Masomo naendelea vizuri mama.”
“Huyo mwanamke wa mjomba’ko, Zuhura sijui…”
“Zuhura Chachandu…”
“Eee, Zuhura Chachandu bado anakuja hapo?”
“Bado mama, hata leo alikuwepo akaondoka.”
“Mh! Ina maana lengo la mjomba’ako nini, kufunga naye ndoa au?”
“Mama! Swali gani hilo kwangu, si umuulize wewe, si kaka yako?”
“Na wewe kwani mimi nimekuuliza au tunabadilishana mawazo tu.”
“Sasa mimi nitajuaje kama anataka kufunga naye ndoa, mjomba hawezi kuniambia mimi kitu kama hicho, mimi ni shikamoo mjomba na yeye ni marahaba mjomba, basi.”
“Haya mwanangu, soma sasa, maisha ya siku hizi yapo hivyo, bila kusoma hakuna maisha bora.”
“Nasoma mama, tena nasoma sana.”
“Leo ulikwenda shule?”
“Nilikwenda mama, hata mjomba si amekwambia!”
“Basi haya, endelea na upishi, lakini mwambie mjomba’ko aweke msichana wa kazi sasa, he! Usije ukalemaa bure kwa kupika, teh! teh! teh!”
“Mama bwana,” nilikata simu nikaendelea na mapishi.
Chakula kilipokuwa tayari, nilikitenga mezani, nikamfuata mjomba. Nilimshika mkono nikamwinua kwa kumvuta, akasimama…
“Twende ukale baby wangu.”
“Asante my love.”
Ile anakaa tu, kengele ya geti ikalia…
“Mh! Siyo Zuhura Chachandu huyo kweli?” mimi ndiyo niliuliza…
“Anaweza kuwa yeye, kafungue, lakini kabla hujafungua uliza nani?” aliniambia mjomba nikiwa natoka mlango mkubwa.
“Nani wewe?”
“Mimi, naitwa Amina…”
“Amina! Amina nani?”
“Amina Chachandu.”
“Mh!” niliguna, nikajua ni dada wa Zuhura, ina maana amekuja kuonana na mjomba ili wayaongee matatizo yaliyotokea, nikafungua mlango kwani Amina Chachandu namfahamu, siku moja Zuhura Chachandu alikuja kufanya bethidei yake nyumbani kwa mjomba, nikamwona.
Halafu kuna siku tena alikuja na mdogo wake kuchukua begi fulani, sijui walikuwa na safari ya kwenda wapi!
Nilifungua geti, macho yangu yakakutana na Zuhura Chachandu na huyo Amina Chachandu…
“Shikamoni.”
“Marahaba.”
“Karibuni sana.”
“Asante sana,” alijibu dada mtu, Zuhura yeye akaniambia…
“Hujalala tu Shani, wewe si mwanafunzi lakini?”
Dada’ke akaingilia kati kwa kujibu yeye…
“He! Hata kama mwanafunzi ndiyo alale mida hii, si saa moja saa hizi, sasa huyo atakuwa mwanafunzi au mfungwa?”
Hapo tulikuwa tunaongoza kwenda ndani…
“Mjomba’ko yupo we binti?” Amina aliniuliza.
“Ee yupo ndani.”
“Oke.”
Tuliingia sebuleni, mjomba alikuwa amekaa kwenye kiti, meza ya chakula na alishaanza kula. Alikuwa na njaa sana halafu si unajua na ule mchezo tuliocheza.
“Karibu Amina,” mjomba alimkaribisha dada mtu peke yake japokuwa walikuwa wawili.
“Asante sana, za hapa jamani?”
“Nzuri sana.”
“Nikasema nije nikutembelee leo.”
“Sawa tu, karibu sana.”
Mimi nilitoka kwenda chumbani, nikafikia kujitupa kitandani na kuanza kulia. Nililia sana.
“Yaani kama anko atamsamehe huyu mwanamke na kumruhusu alale hapa atakuwa amenikera sana, mwanamke gani kwanza, miguu yote kama ya kushoto, kidevu kimepindia shingoni kama joker la kwenye karata,” nilisema kwa sauti ya chini, nikapanda kulala.
Sikumbuki ni wakati gani nilipochukuliwa usingizi, lakini nilishtuka nilipohisi nashikwa kifuani na mkono wenye joto zuri na hivi nilikuwa nimevua blauzi ndiyo kabisa.
Moyoni nilijua ni mjomba tu, kwani anapenda sana kushika kifua changu.
“Baby,” aliniita kwa sauti ya juu, nikafumbua macho na kumwangalia.
“Zuhura Chachandu yuko wapi?”
“Wameondoka.”
Niliamka na kukaa kitandani…
“We si hujala, twende ukale halafu twende tukalale chumbani kwangu.”
“Noo, sijisikii kula tena baby, we twende tu tukalale,” nilisema nikiwa natoka kitandani. Eti nilikuwa najifunga khanga kuzunguka nido ili mjomba asizione wakati ameshawahi kuziweka kinywani kama embe nyonyo.
Niliamua kuitupa khanga kitandani na kutoka kama nilivyozaliwa, nikawa namfuata mjomba kwa nyumba.
Wakati namfuata, mjomba hakujua kama mimi nyuma yake nipo kama nilivyozaliwa.
Tulipita sebuleni, tukaingia upande mwingine wenye chumba chake, alipofungua mlango na kunigeukia niingie ndipo akagundua nipo kivingine.
“He! Sweet, huogopi?”
“Niogope nini?”
“Kutembea hivyo?”
“Nimwogope nani sasa, wewe au Zuhura Chachandu?”
“Je, kama Mungu ataamua kuzihamisha nyumba zote na kuwaacha waliomo ndani wakiwa kweupe itakuwaje?”
Nilicheka sana, mjomba akanikumbatia na kunipiga mabusu mawili ya nguvu, damu mwili mzima zilinisisimka, nikabadilika sura.
Sijui ilikuwaje, tukajikuta tumeganda kwa muda wa sekunde kadhaa, mjomba akiwa bado amenikumbatia na mimi pia, tulikuwa tukiangaliana.
“Honey,” niliita kwa sauti ya kumbembeleza mwanaume mpaka akakupenda kwa asilimia mia moja.
Mjomba aliniangalia tu, nikamwambia…
“Twende kitandani bwana.”
“Twende, anza kupanda.”
Nilitangulia kupanda kwenye kitanda cha mjomba na yeye akanifuatia huku akifikia kwa kunibusu kwenye sikio la kulia, msisimko nilioupata hapo sikuweza kuvumilia na sijawahi kuupata kwingine, kumbe matundu ya sikio yana maana nyingine mbali na kusikia, nikamwambia…
“Sweet utaweza taratibu kama saa zile?”
Mjomba alikubali kuwa atafanya taratibu lakini baada ya utamu kukolea utaratibu ukawekwa kando na kuanza shughuli pevu kama yuko na mtu mzima mwenzie
kiukweli alinipeleka sana , nilifurahi kweli baada ya muda wa saa moja tulimaliza na kwenda kuoga wote.
Kesho nikiwa shuleni akili yangu haikuwa pale Niliwaza Mjomba alivyokuwa akinishikashika, akinisemesha kwa sauti tamu huku mwili wangu ukisisimka kwa mahaba.
“Jamani baby,” kuna wakati nilisema hivyo darasani mpaka Aisha Songambele, ni denti mwenzangu akanisikia na kuniuliza…
“Zuwena una nini kwani leo?” aliniuliza Aisha Songambele lakini sikumjibu zaidi ya kuguna. Kwa sababu siti yetu ilikuwa nyuma, Mwalimu Mnoko hakusikia, lakini kumbe aliweza kuitambua hali yangu kwamba sipo darasani. 

Mwalimu aliendelea kufundisha ikafika mahali akamaliza huku akinitaka nimfuate ofisini kwake, yeye alitangulia kutoka na makabrasha yake ya kufundishia.
Nilisubiri aondoke kabisa, nikasimama, nikatoka kwenye deski. Wakati naelekea mlangoni madenti wenzangu, hasa mmoja anaitwa Zubeir Kipendamacho alikomaa kunitania…
“Wewe leo chakula cha mwalimu, na hivi unavutia siku hizi, chakula cha mwalimu wewe, mwenyewe utakuja kutuambia.”
Zubeir Kipendamacho alikuwa mwanafunzi mwenye akili sana, tatizo moja, kucheza na kupenda kutania wasichana. Siku moja aliwahi kuniambia atanioa, nikamtukana. Siku nyingine tulipishana jirani na choo cha shule akanishika makalio akisema…
“Bonge la mzigo, shilingi ngapi mfano nikihitaji?”
Nilimtukana sana, nikatishia kwenda kumsemea kwa walimu, akaomba msamaha, nikamsamehe kwa masharti ya kutorudia tena kunitania.
Nilifika ofisini kwa Mwalimu Mnoko nikamkuta amekaa tuli kama aliyekuwa akisubiria…
“Karibu sana mrembo,” alisema mwalimu huyo huku macho yake yakitua kikamilifu kwenye kifua changu…
“Asante mwalimu, nimekuja si umeniita?”
“Kaa hapo mrembo.”
Nilikaa kwenye fomu ndani ya ofisi hiyo kisha nikainua macho kumwangalia kwa umakini.
“Siku hizi nakuona kama upo haupo, una nini binti?”
“Wapi?”
“Darasani.”
“Mbona nipo, kwani leo tumeonania wapi?”
“Darasani, lakini kiwango chako cha masomo kimeshuka ghafla kama mafuriko wakati wa jua kali, umechumbiwa nini?” alisema Mwalimu Mnoko huku akisimama, akanisogelea mpaka nilipokaa…
“Eee, eti? Una nini Zuwena?” alinyoosha mkono wa kulia na kunishika kifuani. Alikuwa kama amenitonesha hisia zangu. Mwili mzima ulisisimka kwa kushikwa kifua tu, nikamkumbuka mjomba…
“Mwalimu Mnoko mi sitaki.”
“Hutaki nini?”
“Sitaki hivyo unavyinishika, we sema ulichoniitia,” safari hii nilizidisha ukali kidogo.
“Unanifanyia ukali mimi Zuwena, huogopi kama ni mwalimu wako! Ee?”
“Hata kama ni mwalimu ndiyo unishike kifuani, si useme tu.”
Mwalimu Mnoko aliniangalia weee, akasema…
“Sasa sikia, ninachotaka kukwambia ndiyo hiki.” Akanishika tena kifuani, mimi mzuka ukanipanda.
“Mwalimu Mnoko,” nilisema nikisimama, uso niliukunja kama nataka kutapika…
“Jina langu,” aliniitikia.
Nilianza kutembea kwenda mlangoni, akaniwahi kunishika mkono akanirudisha. Safari hii akanikumbatia kwa nguvu na kunilazimisha kumpa denda. Nilijikuta nashindwa kujizuia, nikapanua kinywa na ulimi wake ukaanza kutalii ndani ya kinywa changu.
Ningefanyaje sasa, niko ndani ya ofisi yake halafu yeye ni mkubwa kwangu tena mwanaume ana nguvu nyingi, ilibidi nikubali matokeo.
Mwalimu akaning’ang’ania, ulimi ndani huku akisogea kuelekea kwenye mlango, akaufunga kwa kitasa, tukarudi polepole hadi katikati ya ofisi, hapo vinywa vyetu vilikuwa vinachuruzika mate, akaleta mkono wake kifuani kwangu, akashika chakula cha mtoto wangu mtarajiwa. Hapo ndipo alinimaliza nguvu zangu za mwili, miguu ilitaka kukaa tu.
“Mwalimu,” nilimwita.
“Mm.”
“Nimechoka bwana, siku nyingine.”
Mwalimu Mnoko hakutaka kunisikiliza, safari hii akashusha mkono ndani ya shati kuelekea chini mpaka akafika kwenye sketi sehemu ya kufungia kifungo, akakishika na kukifungua, sketi ikawa wazi, mkono ukapita.
Mkono huo ulishuka hadi kwenye kufuli, akaivuta ikavutika, akaingiza mkono, nikapungukiwa akili, nikawa kama nimechanganyikiwa. Nikawa nimejilegeza tu, mwili haukuwa wangu tena.
Kuona hivyo, Mwalimu Mnoko alitoa mkono, akanishusha kwenye benchi. Iilikuwa refu kiasi cha mtu mmoja kuweza kulala juu yake. Mwalimu alinilaza hapo, nikalala chali.
Lakini nilikumbuka kwamba mlango ulikuwa haujafungwa kwa funguo, hivyo nilishtuka, nikaamka na kukaa huku nikiiweka vizuri sketi yangu…
“Nini tena?” mwalimu aliniuliza.
“Mlango upo wazi.”
Sikuamini nilipomwona anakwenda kuufunga kwa sababu ofisi ile haikuwa yake peke yake, kulikuwa na walimu wengine wanne, wawili walikuwa na matatizo ya kifamilia maana ni mke na mume, wawili walikuwa madarasani, kwa hiyo wangeweza kurudi wakati wowote ule.
Alirudi kwa kujiamini huku akifungua vifungo vya shati lake. Alionekana yupo katika hali mbaya kimahaba, lakini kusema kweli mimi moyo ulikuwa unaogopa, hata sijui ni kwa nini yeye mwalimu hakuonesha kushtukia hilo.
“Mwalimu hapa haiwezekani,” nilimwambia huku mikono yangu nikiilaza katikati ya sketi mapajani.

Nilizugazuga pale kwa Mwalimu lakini kiukweli alikuwa ameshaamsha mashetani yangu lakini nikamwambia hatuwezi kufanyia ofisini labda tukutane sehemu nyingine.
“tukutane wapi sasa zuwena”mwalimu aliniuliza
sijui””””
“!utakuja nyumbani kwangu basi”,,,,,,,,,,,,nikamjibu sawa nitakuja
tukapanga tukutane nyumbani kwa mwalimu mnoko saa kumi jioni,,,,,,,baada ya kutoka shule kulikuwa na rafiki yangu anaitwa pode akaniambia twende nyumbani nikamwambia kuna mtu namsubiri baada ya wanafunzi wote kutawanyika,,,mwalimu mnoko alinifata na kuelekea kwake
alikuwa na hamu kweli baada ya kufika tu akanibeba na kunirusha kitandani na yeye akafatia kwa juu, akanivua blauzi yangu ya juu na kuanza kuninyonya matiti yangu, nilitamani tuanza muda huo huo,,,,,,,,alinifanyia utundu mwingi sana tukajikuta wote hatuna nguo
Alikuwa na mashine kubwa hasa alipoichomeka nilitamani kulia lakini nilijikaza sikusikia raha yoyote ile alipomaliza raundi ya kwanza nikamwambia muda umeenda siku nyingine
Kumbe Pode alikuwa anatembea na mwalimu mnoko baada ya mimi kuniacha pale alienda kunitegeshea aone nitaelekea wapi, baada ya kumaliza kwa mwalimu nikamuona pode amezima kwa Mwalimu Mnoko
Hapo nilipata picha kubwa. Nilijua ni kwa nini Pode alipita njia ya nje kwa Mwalimu Mnoko, alishanishtukia hasa kwenye uondokaji wangu tofauti na siku nyingine.
“Nakwenda mwalimu lakini angalia sana. Ohoo.”
Mwalimu Mnoko akafunga mlango akiwa amekasirika. Nilijua amekasirika kwa kujifanya tu…
“Una uhusiano gani na Pode?” nilimuuliza swali zito.
“Nani, Pode?”
Sikumwambia ndiyo, nilimwangalia tu usoni…
“Utamuweza yule?”
“Hujanijibu swali lakini.”
“Zuwena, yaache bwana, tuangalie yetu,” alisema mwalimu huku akinivutia chumbani kwake huku nikiwa nagoma kwenda
“Please mwalimu naomba uniachie,” nilimwambia kwa lugha iliyojaa ujasiri. Nilimwonesha kwamba akileta za kuleta naweza kupiga kelele, lakini na yeye akakomaa.
“Wewee, uingie hadi ndani kwangu halafu ugome kunipa, amesema nani?”
Kauli yake hiyo ilinikera sana, kumbe alichosimamia ni mimi kufika kwake hadi ndani na siyo upendo wakati mwenzake nilizoea upendo kama anavyonioneshaga mjomba.
Ilibidi na mimi nitafute njia nyingine ya kumuweza, nikamwambia…
“Sikupi na ukiendelea kunivutia chumbani napiga kelele unanibaka.”
“Piga, hata hao watu si watakushangaa! Umeingiaje ndani kwa mtu halafu unasingizia kubakwa?”
“Si nitasema wewe ni mwalimu umenituma nilete vitabu nyumbani.”
“Nitakuuliza hivyo vitabu viko wapi?”
“Si nitasema umeviweka chumbani.”
“Si nitakwambia nenda huko chumbani kavilete ulipoviweka.”
Wakati tunajibizana hayo si kwamba tulikuwa vizuri, hali ilikuwa tete. Tulikuwa tukiongea huku tukiendelea kuvutana kwa nguvu.
Ilifika mahali akanizidi nguvu na kunizamisha chumbani kwake. Ili kujibalaguza na mimi nilimuuliza…
“Niambie ukweli kwanza, Pode ni nani wako?”
“Nikikwambia ukweli ndiyo utanikubalia mambo?”
“Eeeh.”
Mwalimu Mnoko alisimama kwa muda akajifikiria kisha akaniambia…
“Nimewahi kutembea naye siku za nyuma lakini tuliachana.”
“Kwa nini mliachana?”
“Hajatulia.”
“Kivipi?”
“Ameshatembea na Mwalimu Siasa Mageuzi.”
“Wewe umetembea naye mara ngapi?”
“Mmmh…kama mara saba tu.”
Niliangalia chini, nikajua kumbe Mwalimu Mnoko na rafiki yangu Pode walikuwa wapenzi kabisa, mara saba kutembea na mtu si kitendo cha bahati mbaya ni dhamira ya kudumu.
“Sasa mwalimu unataka kufanya mapenzi na mimi je ukinipa mimba?”
“Kwani si kuna kinga.”
“Zipo wapi?”
“Zipo, we utaziona tu muda si mrefu.”
Kadiri muda ulivyokuwa ukienda mbele ndivyo mimi hali ya kukutana kimwili na mwanaume ukiachia mbali anko ilivyokuwa ikinitoka. Kwa kule ofisini kwake kama angeendelea kuweka msimamo wake kabla yule mwalimu mwenzake hajatokea, ningemwachia kila kitu kwani kiu ya kuduu ilikuwa kwa kiwango cha juu sana. Ila tungefumwa.
Mwalimu Mnoko kama alijua, alinifuata akanishika mkono na kunisimamisha, akanivutia kifuani kwake.
Urefu tulilingana kwani mimi pekee ndiye mwanafunzi wa kike niliyekuwa mrefu shuleni, wengi waliniambia nigombee umisi, hata mjomba aliwahi kuniambia hivyo.
Nilijikuta nikilala kifuani pake, akanikumbatia na kunibana kwa nguvu sana, akauweka uso wangu vizuri na kuanza kuniomba denda kwa nguvu.
Ndani ya dakika tatu tu nilikuwa hoi bin taaban.
Mwili ulikosa nguvu, mapigo ya moyo yalikuwa yakinienda kwa kasi, macho yalizimika kama taa yenye betri zilizoanza kwisha nguvu zake.
Nilimpa ushirikiano Mwalimu Mnoko, tena wa hali ya juu. Sasa akawa haombi denda, bali mimi nampa.
Mwalimu alinishikashika sehemu nyingi za mwili mpaka zile ninazozimiliki mwenyewe.
Kwa kuwa alikuwa akiendelea kunishikashika sana na mimi hali ilikuwa mbaya zaidi, nilichofanya niliulizia ‘zana’.
“Baby,” eti niliita kwa jina hilo ambalo nalitumia kwa mjomba tu.
Mwalimu Mnoko aliitikia kwa kugugumia huku akinitumbulia macho pima bila soni mimi mtoto wa mwenzake.
Aliniachia, akaenda kwenye kibegi kidogo, akarudi akiwa ameshika paketi ya zana.
Aliitupia kitandani, akanishika na kunivua nguo zote tena za shule, nikabaki kama nilivyozaliwa. Akajichojoa na yeye, akabaki kama alivyozaliwa.
Tulienda kitandani, hali yangu ilikuwa ya joto, mwili ulikuwa unahisi joto la kufa mtu lakini lenye kuambatana na hisia za maraha ya kimahaba.
Mwalimu aliifungua ile pakti akanipa. Ilikuwa mara yangu ya kwanza kuishika zana ile japo naijua. Nilitumia akili kuifungua, ikafunguka na kuitoa zana kamili kisha nikamwangalia mwalimu kama ninayemuuliza nini kinafuata?
“Twende kazi,” alisema mwalimu macho yakiwa kama yanataka kulala, maiki yake ikiwa tayari kwa kuimba.
Nilimvisha ile zana tayari kwa vita ya kitandani. Vita ilianza, mwalimu alikwenda sehemu yake na mimi sehemu yangu, risasi zikaanza kurushwa pande zote lakini mwalimu yeye alikuwa akizirusha kwa utaalam zaidi mpaka nikasema moyoni kumbe ndiyo maana aliweza kulala na Pode kwa mara saba zote.
Lakini kuna tofauti moja niliisikia kati ya mjomba na Mwalimu Mnoko, raha ilipishana. Mjomba alikuwa zaidi kuliko mwalimu, mi nilijua ni kwa sababu ya namna ya kuvurumisha makombora kuelekea kwa adui.
“Unakwenda au unataka kwenda?”
“Kwani kuna tofauti?”
“Mtu anayekwenda tayari yuko njiani. Sema unataka kwenda sababu bado upo kitandani.”
“Ngo ngo ngooo,” mlango wa nje uligongwa kwa taiming
“Mh! Atakuwa nani?” nilimuuliza mwalimu nikianza kutetemeka, mimi nilihisi kwamba anayegonga ni mjomba ingawa nilikuwa nina uhakika hajui nilipo wala yeye hajafika mitaa ile.
Nilimwona Mwalimu Mnoko akisimama na kwenda kuchungulia dirishani, kisha akasema

“Khaa! Huyu mjinga nini?”
“Nani?” nilimuuliza kwa sauti ya chini.
“Si rafiki yako Pode.”
“Mh!” niliguna, nilielewa Pode ameamua kunifuatilia mimi na si mwalimu.
Mwalimu Mnoko alikwenda hadi mlango mkubwa akaufungua.
“Unataka nini wewe Pode?”
“Si uniruhusu niingie nikwambie ninachotaka.”
Mapigo ya moyo yalinienda kwa kasi ya ajabu, nilijua Pode akibaini nimo chumbani kesho yake shule itakuwa ishu kubwa, kila mwanafunzi atajua, Pode ni shoga yangu lakini kwa mdomo, wee!
Mwalimu alimruhusu Pode kuingia sebuleni, nikasikia akimuuliza…
“Haya unataka nini?”
“Nina hamu na penzi lako.”
“We si tumeshaachana?”
“Wewe ndiyo uliniacha.”
“Sasa si nilikuacha kutokana na tabia yako ya uhuni.”
“Kwani wewe si mhuni?”
“Uhuni wangu ni nini?”
“Unataka kuniambia Zuwena hayumo chumbani kwako?”
Niliposikia hivyo tu nilichukua nguo zangu na viatu nikazama chini ya kitanda na kutulia tuli. Nilimshukuru sana mwalimu kwani wakati naingia yeye ndiyo alisema nisiache viatu nje wala sebuleni, sasa je ningeacha nje au sebuleni si ningeumbuka?
“We una ushahidi gani kama Zuwena yumo chumbani?”
Pode badala ya kujibu yeye alitoka mbio na kuzama chumbani. Mimi nilimwona miguu tu, Mwalimu Mnoko akamfuata kwa nyuma.
Pode alipofika alisimama akishangaa, Mwalimu Mnoko naye alipoona sipo kitandani akapata nguvu.
“Toka haraka sana, toka chumbani kwangu. Kumbe umekuja kwa nia mbaya wewe,” alifoka akimtoa Pode kwa nguvu.
Alimtoa hadi nje, akafunga mlango huku akisonya, akarudi chumbani na mimi nikatoka chini ya kitanda.
Mwalimu Mnoko alinikumbatia kwa nguvu zake zote huku akinipiga mabusu na kusema…
“Wewe ndiyo mwanamke wangu wa kweli, safi sana. Da! Sijui ulipataje akili za kuingia chini ya kitanda, unastahili sifa.”
Nilisikia raha nikajiegemeza kifuani pake kama vile nadeka, kisha nilipojiondoa nikamwambia nakwenda nyumbani, aliniruhusu. Tena kwa sababu kagiza kalianza kuingia alinisindikiza hadi kituoni, akanipa noti ya shilingi elfu tano.
***
Dakika kumi na tano baada ya kurudi nyumbani mjomba naye aliingia. Alinikuta napika, akanifuata jikoni na kunipiga mabusu mawili, shavu la kushoto moja.
“Leo kama umechelewa kupika baby.”
“Kweli dear,” nilimjibu.
“Halafu pia kama umechelewa kurudi kutoka shuleni?”
“Kweli.”
“Ulipitia wapi?”
“Kuna mwalimu alitutuma kwenda kumfanyia usafii nyumbani kwake.”
“Ha! Yeye hana mfanyakazi?”
“Hana baby,” nilimjibu mjomba huku nikianza kuingiwa na wasiwasi na kujilaumu ni kwa nini nilijibu vile, nigetafuta kisingizio kingine chochote kile.
“Sijui hana!”
“Hujui kama hana, wewe si ulikuwa huko nyumbani kwa huyo mwalimu?”
“Ee, hatukumwona.”
“Huyo mwalimu wa kike wa kiume?”
“Sina uhakika dear.”
Nilimwona mjomba akivimba uso ghafla na kunisogelea kwa karibu kisha akaniuliza…
“Zuwena niambie ukweli, una mwanaume mwingine mbali na mimi?”
“Si kweli mjomba.”
“Unaweza kunidanganya mimi wewe?”
“Siwezi mjomba,” niliamua kutumia jina la mjomba sasa maana nilihisi mapenzi yamenuka.
Mjomba aliondoka zake, aliingia chumbani na kujifungia mlango, akalala.
Nilipomaliza kupika nikatenga chakula halafu nikaenda kumgongea mlango lakini hakufungua wala kuuliza kwa sauti shida yangu.
Hata mimi sikula usiku wa siku hiyo, nikaenda kuoga, nikaenda kulala.
***
Asubuhi niliamka nikiwa nimechoka sana, nadhani ilitokana na kuchokeshwa na Mwalimu Mnoko. Kabla sijaenda kuoga niliangalia mazingira na kubaini kwamba mjomba alishaamka lakini alikuwa bado chumbani kwake, mlango ulikuwa wazi.

ITAENDELEA

GODORO LA MTUMBA – 1

Image result for godoro la mtumba
Chombezo: Godoro La Mtumba
Sehemu ya kwanza (1)

Mjomba aliitikia shikamoo yangu huku akinitumbulia macho. Nilihisi kuna zaidi ya tatizo, haikuwa kawaida yake kuniangalia kwa macho ya vile.
Nilijiuliza kama nina kosa nitakimbilia wapi maana ndani ya nyumba tulikuwa tukiishi wawili tu. Mimi na mjomba Msafiri. Yeye alitengana na mke wake mama Muna miaka minne iliyopita.
Wakati wanatengana mimi nilikuwa bado nyumbani, Ngamiani Tanga nasoma Shule ya Msingi Usagara. Baada ya kumaliza darasa la saba, nilikosa nafasi ya kuendelea na masomo ndiyo akanichukua mjomba, kaka yake mama yangu.
Mjomba Msafiri alinichukua mwaka mmoja mbele baada tu ya kutengana na mama Muna. Mama yangu yaani dada yake mjomba ndiye aliyemuomba kunichukua kuja kusoma hapa Dar.
Alinitafutia sekondari binafsi ipo maeneo ya Ubungo Kibangu. Sasa hivi nipo kidato cha tatu.
Maisha yetu nyumbani na mjomba yalikuwa mazuri sana, nyumba nzuri, ina geti, mjomba ana gari, msichana wa kazi na mlinzi. Mjomba anafanya kazi kampuni ya wazungu.
“Shani,” mjomba aliniita kwa sauti iliyojaa utulivu wa hali ya juu baada ya kumaliza kuniangalia kwa kunitumbulia macho.
“Unajua wajibu wako uliokuleta Dar es Salaam?”
“Najua mjomba,” nilimjibu huku nikichekacheka.
“Ni nini?” aliniuliza akiwa amekunja uso kuashiria kwamba hanitanii.
“Kusoma.”
“Unasoma?”
“Nasoma mjomba.”
“Zaidi ya kusoma shuleni mnafundishwa nini kingine?”
“Mh!” niliguna kwanza.
Nilijua swali la mjomba lina maana, halikutokea vivi hivi tu.
“Mjomba kwa nini umeniuliza hivyo?” nilimuuliza na mimi. Si unawajua Watanzania, swali linajibiwa kwa swali.
“Wewe una uwezo wa kuniuliza badala ya kujinibu?” mjomba alikuja juu.
Nilimwangalia mjomba kwa macho ya tofauti na siku nyingine, alitisha sana siku hiyo.
“Tunafundishwa masomo tu,” nilimjibu.
“Mnafundishwa masomo tu?”
“Ndiyo mjomba.”
“Sasa mbona wewe unajua na mambo mengine?” mjomba aliniambia huku bado macho ameyakaza kwangu.
“Yapi mengine ninayoyajua mjomba?” nilimuuliza huku nikijiangalia nilivyo.
“Yapi? Nani unamuuliza swali hilo, we mwehu nini?”
Nilijua mjomba amekereka sana na jambo, hajawahi kunitukana hata siku moja, mara zote mjomba amekuwa akinionesha upendo wa hali ya juu, nadhani hapendi nijione naishi kwa upweke kwa sababu siko na wazazi wangu.
“Samahani mjomba kama nitakuwa nimekukosea, lakini naomba nijulishe kosa langu. Mimi wakati natoka nyumbani Tanga kuja kwako, mama aliniambia wewe ni sawa na baba yangu.”
Niliposema maneno hayo ndipo nilipomwona mjomba akirudi kwenye sura ya kawaida…
“Unajua Zuwena mimi naishi na wewe kama mwanangu, unapokwenda kinyume lazima niwe mkali, au nakosea?”
“Hukosei mjomba.”
“Oke, nafurahi kama umelitambua hilo. Eee, unatakiwa uwe unajua nini cha kufanya ili watu walisikutafsiri vibaya, sawa?”
“Sawa mjomba, nashukuru kwa ushauri.”
Mjomba aliondoka eneo hilo na kuniacha mimi tu. Nilikwenda chumbani kwangu nikajitupa mtoto wa kike, puu.
Mawazo yakanijaa kichwani. Kwamba, ndiyo nimemshukuru mjomba, lakini je nimemshukuru kwa lipi?
Kosa langu ni lipi? Nilipitia mambo mengi niliyoyafanya siku hiyo au jana yake ambayo yanaweza kusababisha aniseme, lakini nilikosa majibu.
“Unajua Zuwena mimi naishi na wewe kama mwanangu, unapokwenda kinyume lazima niwe mkali, au nakosea?”
Haya maneno yaliniumiza sana na yalikuwa yakijirudia akilini mwangu mpaka basi.
“Hukosei mjomba.”
“Oke, nafurahi kama umelitambua hilo. Eee, unatakiwa uwe unajua nini cha kufanya ili watu walisikutafsiri vibaya, sawa?”
“Sawa mjomba, nashukuru kwa ushauri.”
Moyo uliniuma sana, nilitamani kwenda kumuuliza mjomba kwa mapana, tatizo ni lipi, maana naweza kuwa naishi lakini kumbe ishu ni kubwa.
Ilifika mahali nikaanza kuhisi kwamba huenda mjomba kaambiwa maneno fulani na mtu ambayo hayana ukweli ndani yake.
Siku hiyo ikakatika, kesho yake nakumbuka ilikuwa Jumamosi, mara nyingi Jumamosi mjomba huwa anarudi nyumbani na demu wake, anaitwa Zuhura Chachandu.
Huyu mwanamke simpendi kama nini! Ana tabia ya kujishebedua sana. Akija mara zote lazima nikose raha.
Atakwenda chooni, bafuni, jikoni na uani, akirudi lazima atasema mi mchafu, simpendi!
Mjomba alitoka akisema atachelewa kurudi….
“Mjomba leo utarudi na Zuhura Chachandu?” nilijikuta nimemuuliza mjomba hivyo swali ambalo alionekana kulishangaa.
“We Zuwena tangu lini ukaniuliza swali kama hilo? Halafu yule kwako si Zuhura Chachandu, ni anti, sawa?”
“Sawa mjomba.”
Mjomba alipoondoka nilibaki najiuliza mwenyewe, ni kwa nini nilimuuliza mjomba vile? Ni kweli hata siku moja sijawahi kumuuliza swali kama lile.

Saa mbili za usiku, mjomba aliingia akiwa peke yake, nikashtuka sana…
“Mjomba anti yuko wapi?”
“Anaumwa, asingeweza kuja, natokea huko…”
“Nini zaidi?”
“Malaria,” mjomba alinijibu akikaa kwenye kochi. Cha ajabu, macho yake yote yalitua kifuani kwangu kwa sekunde kadhaa kama mtu aliyeduwaa.
Usiku huo nilikuwa nimevaa suruali si suruali, sijui niiteje! Kifupi nilivaa suruali yenye matirio ya soksi au fulana, haikufika chini, iliishia katikati ya miguu na magoti, ilinibanaaa!
Halafu juu nilivaa kitop cheusi cha kukata mikono, kifua changu kilionekana vyema hata nido zangu zilivyosimama vizuri.
Nilichobaini ni kwamba mjomba alikuwa akiniangalia kifua kwa sababu alihamasika na nido zangu. Kwa aibu nilijipitisha mkono kifuani kama kuficha.
“Mimi nakwenda kulala sasa,” alisema mjomba huku akisimama, safari hii macho yakatua kwenye mapaja yangu.
“Huli mjomba?”
“Nimeshakula kwa Zuhura Chachandu.”
“Kwa hiyo niondoe chakula mezani?”
“Ondoa tu, sihitaji kula tena leo.”
Mjomba aliingia chumbani kwake, mimi nilibaki naangalia tivii. Baada ya kama dakika tano alitoka akiwa amevaa taulo peke yake.
“We huendi kulala?” aliniuliza kwa sauti nzito sana.
“Nitakwenda anko.”
“Saa ngapi?”
“Sasa hivi, nilikuwa naangalia taarifa ya habari.”
“Je, kesho ukichelewa kuamka?”
Nilichofanya baada ya swali hilo, nilizima tivii, nikasimama na kwenda chumbani kulala.
Kabla usingizi haujanipitia sawasawa, mlango wangu uligongwa kwa taratibu, nikaenda kuufungua ambapo nilikutana na uso wa mjomba.
“Karibu mjomba,” nilisema nikimwangalia mjomba kwa jicho la woga, nilijua alichokuwa akikizungumza kimezidi kumkera kwa hiyo amekuja kunipasulia ukweli wangu.
“Umelala?” aliniuliza.
Nilishangaa sana mjomba kuniuliza swali lile, nilikuwa nimelala? Sasa ningekuwa nimelala ningemfungulia mlango?
“Nimeamka mjomba,” nilimwambia kwa uso wa aibu kidogo maana nilikuwa nimevaa khanga moja kuzunguka kifuani kwangu.
“Oke! Aaaaah, oke lala kwanza,” mjomba aliniambia kwa sauti iliyochoka sana. Akaondoka zake.
Nilirudi kulala, lakini kabla usingizi haujanipata, mlango uligongwa tena nikajua ni mjomba tu maana ndani tulikuwa tukiishi wawili tu.
Wakati nakwenda kufungua mlango nilikuwa nawaza mjomba ana nini? Nilianza kuhisi ni zaidi ya tatizo.
“Karibu mjomba,” nilisema.
“Asante, tunaweza kuongea kidogo?”
“Sawa.”
“Wapi sasa?” aliniuliza mjomba, maana yake tutaongelea wapi! Nilibaki nimemkodolea macho kwa sababu kwa kuongelea mimi na yeye hakuna kwingine zaidi ya sebuleni.
“Njoo huku,” alisema akinishika mkono, nikaanza kumfuata.
Tulikwenda hadi sebuleni, nilidhani mjomba atakaa, lakini tulifikia kusimama…
“Anko,” aliita.
“Abee…”
“Unajua umekua sana.”
“Kweli anko?” nilimuuliza kwa sauti yenye usingizi.
“Kweli kabisa, yaani siku hizi unapendeza anko si kama zamani. Ukivaa nguo zako za kisasa hizi ndiyo kabisa, daa! Ankoooo.”
Kichwani kengele iligonga, nilianza kuhisi maneno ya anko ni zaidi ya sifa. Mbaya zaidi wakati ananisifia alikuwa bado amenishika mkono na kuniangalia kwa kunikaguakagua.
Ilifika mahali mjomba alishindwa kujizuia, akanikumbatia bwana, akaniweka kifuani kwake.
Nilihisi kuishiwa nguvu, joto lake zuri likanifanya nipungukiwe akili ya kuwaza mabaya na mazuri.
Nilijikuta na mimi namkumbatia kwa kuzungusha mikono yangu kiunoni kwake.
Mjomba alinishika kichwa akaniseti nimwangalie, nikamwangalia, tukaangaliana. Akaniletea uso hadi jirani kabisa na uso wangu, akaigusisha pua yake na yangu, akanihemea.
Nilishikwa na hali ambayo sijawahi kuipata tangu kuzaliwa na mpaka siku hiyo sikuwahi kukutana kimwili na mwanaume yeyote.
Nilihisi mwili unaishiwa nguvu halafu natamani kushikwashikwa zaidi sehemu mbalimbali za mwili.
Mjomba bwana! Sijui alikuwa anajua ninavyojisikia, alinikalisha kwenye kochi, akanilaza, akafungua pindo la khanga kidogo kisha akapeleka mkono wake kwenye ncha ya nido, nikasisimka sana. Hapo macho yangu yote yalikuwa yamelegea.
“Anko,” mjomba aliniita kwa sauti ya mchoko.
Mimi nikamwitikia kwa kumwangalia tu. Lakini hakuniambia chochote, akatabasamu kwa mbali huku akiniangalia kwa karibu sana.
Nikiwa bado kwenye kochi, mjomba akanisogezea tena uso wake, akagusanisha midomo yake na yangu, nilijikuta napanua kinywa mimi mwenyewe, akaingiza ulimi kidogo tu, kisha akautoa. Akaniita tena…
“Anko.”
“Abe.”
“Twende chumbani kwako.”
Kwa sababu alisema huku akisimama na mimi nilisimama, nikatangulia chumbani.
Moyoni nilijua nakabiliwa na mtihani mkubwa sana, kukutana na mwanaume kwa mara ya kwanza halafu pia ni mjomba wangu, lakini ningefanyaje sasa?
Kule chumbani mimi nilifikia kukaa kitandani, mjomba naye akakaa na kunikumbatia kiunoni huku khanga ikiwa imeshaporomoka yenyewe.
Nilijikunjakunja katika mitindo mbalimbali na kujikunja huko kulitokana na namna mjomba alivyokuwa akipitisha mkono wake mmoja kwenye kiuno changu.
Mjomba alikuwa amevaa bukta tu. Alipoona niko hoi kwa kila dalili zake aliniangushia juu ya kitanda, akanisogeza mbele kukaribia ukutani, nikajua kafanya vile kwa sababu na yeye anafuata.
Kweli, mjomba alipanda kitandani, lakini akakumbuka kitu, akatoka kwenda kuwasha taa maana tulipoingia kulikuwa na giza, mwanga uliotusaidia ulitoka nje ya chumba.
Taa ilituanika mimi na mjomba, akaniangalia, nikamwangalia, tukaangaliana, hakuna aliyeonesha dalili za kucheka wala kutabasamu, kila mmoja alikuwa anasubiria kitendo kitakachofuatia

Baada ya mjomba kuwasha taa alirudi kitandani na kuvua taulo na kuanza kunitanua miguu, alipoingiza niliumia sana maana nilikuwa sijawahi kufanya na ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza
tuliendelea hadi akapiga bao mbili huku akiniita majina ya kimapenzi
alipomaliza alilala pembeni kisha akachukua taulo na kunifuta na kuniambia nisimwambie Mtu yoyote atanipa zawadi
“Sawa? mjomba aliniuliza
“Sawa baby,” nilimtajia jina ambalo hakulitamka yeye…
“Enhe, na baby pia. Nimekusoma darling.”
“Sawa honey.”
Kesho asubuhi sikwenda shule nikawa bado nimelala, mjomba akaingia chumbani na kuniuliza
“Vipi lakini, umepona?” aliniuliza.

“Bado my love.”
“Aaa, kumbe we hujui, hayo mambo ukitaka kuuguza kama umepata ajali ya pikipiki ile hali itarudi tena, inatakiwa sasa niwe napitapita kila wakati ili upone sawasawa.”
“Kweli mpenzi?”
“Kweli dear.”
Mara tukasikia milango inafunguliwa hovyohovyo tu, Zuhura Chachandu bwana, kaamka, kamkosa jamaa yake kitandani sasa anamtafuta ndani.
Mlango wa chumba changu ulifungwa kwa hiyo nikajua hata iweje hataweza kuingia…
“Lo! Zuhura Chanchandu huyo,” alisema mjomba kwa mshtuko akitumia sauti ya chini sana…
“Sasa itakuwaje mjomba?” nilimuuliza nikiachana na majina ya kimahaba…
“Tulia kwanza.”
Mlango wangu ukagongwa na kuita kwa sauti…
“We Shani, mjomba‘ako yuko wapi?”
Nilinyamaza kimya kwa ujanja kwani nilijua nikimjibu haraka atajua niko macho.
“Shani,” Zuhura Chachandu aliita na kugonga.
“Abee…”
“Nakuuliza mjomba’ako yuko wapi?”
“Sijui mi nimelala.”
Akaondoka nikiwa nasikia anavyoiburuza miguu chini maana kati ya wanawake hawajui kutembea duniani hata angani ni Zuhura Chachandu, miguu yenyewe kama fito, kifua kimejaa unaweza kusema amevaa yale madude wanayovaa polisi wa pikipiki, halafu nyuma sasa, mama yangu! Sijui mjomba alimpendea nini huyu mwanamke jamani! Hana sifa!
Zilipita dakika tano, mjomba akatoka kitandani, akafungua mlango na kutoka zake, mimi nikafunga mlango wangu na kurudi kitandani.
Nililala na mawazo kibao. Akili yangu ilikuwa ipo kwa mjomba, joto lake la muda mfupi kitandani lilinisumbua na kunifanya nijihisi mpweke ninayehitaji faraja.
Nilijishikashika mwenyewe na kujipapasa sehemu mbalimbali za mwili. Moyoni nilimlaani kwa nguvu zangu zote mwanamke anayeitwa Zuhura Chachandu. Kama yeye asingekuwepo maana yake ni kwamba, mimi na mjomba tungelala mpaka jua lichomoze.
Sikujua nini kilienda kutokea huko chumbani kwao. Ila nilipanga kama mjomba na huyo mwanamke wake wakinijia kwa ajili ya maswali ningekaa kimya.
***
Asubuhi ya saa kumi na mbili nilitoka kitandani, nikajifunga khanga kwa mtindo wa kibwebwe, nikatoka.
Sikumkuta mjomba wala Zuhura, mlango mkubwa ulikuwa wazi. Si kawaida kwa mjomba kutoka nyumbani bila kuniaga. Nikajua kuna kitu kilitokea usiku ule.
Nilijiandaa kama kawaida kwa ajili ya kwenda shule. Nilipotoka tu, nikakutana na mjomba anashuka kwenye gari, uso ulikuwa na alama kama za kuparuriwa na kucha za paka au kuku mwenye vifaranga, alivaa shati lakini hakulifunga vifungo, kifupi alikuwa hovyo sana, si mjomba yule ninayemjuaga mimi.
“Shikamoo mjomba,” nilimwamkia kwa adabu kwani sura yake ilionesha hayuko sawa.
“Hawezi kunifanya mimi mjakazi wake,” ndivyo mjomba alivyojibu shikamoo yangu…
“Kuna nini kwani mjomba?”
“Nimempeleka polisi.”
“Nani, Zuhura Chachandu?”
“We unadhani nani mwingine anayefaa kupelekwa polisi alfajiri?”
Nilijua kimenuka…
“Kulitokea nini kwani mjomba?”
Mjomba alinishika mkono tukarudi ndani, akakaa kwenye kochi huku akinikalisha na mimi…
“Baby leo unaweza kutegea shule kidogo?”
“Naweza sweet.”
“Basi usiende, hata mimi siendi kazini leo. Zuhura Chachandu kaniumiza sana, angalia,” mjomba alisimama na kugeuka, akanipa mgongo na kufunua shati ambapo niliona michubuko mingi tena mirefu. Mingine ilianzia shingoni na kushuka hadi kiunoni.
“Mh! Kisa kulala chumbani kwangu?”
“Wala! Nilipotoka kwako nilikwenda chooni, kumbe yeye hakufika kule. Wakati anakuja chooni nikakutana naye mlangoni, akaniuliza kwa nini nilikwenda chooni bila kumuaga, nikamwambia acha pombe zako, si akanivaa.
“Nilitaka kumshikisha adabu lakini nikajua nitamuumiza, nikaamua kumshika kwa nguvu, nikamvalisha nguo zake na kumpeleka polisi.”
Ghafla mlango ukafunguliwa, Zuhura Chachandu akaingia huku akisema…
“We kwa akili zako naweza kulala polisi mimi? Nakuuliza we mtoka pabaya, mimi naweza kulala polisi?” hapo Zuhura Chachandu alikuwa amejishika kiuno kwa mikono yote.
Mjomba aliniangalia mimi…
“Na wewe Shani unajifanya umekuwa mkubwaaa! Unasikiliza mambo ya wakubwa siyo?”
Mimi nilimwangalia mjomba…
“Wewe msafiri huwezi kushindana na mimi hata siku moja.”
Mjomba aliamka ghafla na kwenda chumbani, Zuhura akanifuata mimi na kunikaba koo…
“Wewe naweza kukitoa kiroho chako hicho unachoringia halafu ukafia kwa mbali kule.”
Ghafla mjomba alitokea, mkononi ameshika bastola…
“Zuhura Chachandu nakutoa roho sasa hivi,” alisema mjomba mkono wenye bastola ukielekea kwa jianajike lake.
Lilitoka mbio bila kuangalia nyuma, likatokomea huko. Mjomba alifuata nyuma, akafunga geti na kurudi, akakaa sambamba na mimi huku amenikumbatia.
“Pole sana baby,” hapo alikuwa amenibana na mimi niliweka mkono wangu wa kulia kwenye kifua chake…
“Asante,” nilisema kwa kutoa sauti nje kupitia tundu za pua.
Mjomba alikuwa wa moto kwelikweli, nilihisi nimepakatwa na mama mzazi.
“Sikia, huyu mwanamke hawezi kurudi tena kwangu, nafasi yake utashika wewe.”
Nilipindua macho na kumwangalia mjomba, macho yake yalikutana na yangu, tukaangaliana kwa muda mrefu, nadhani kila mmoja alikuwa akitafakari kivyake.
Mjomba akaniachia, nikakaa sawa na yeye akakaa sawasawa, akasimama na kunishika mkono kisha akasema…
“Simama basi mpenzi wangu.”
Nilicheka na kusimama. Muda mwingi ninapokuwa na mjomba macho yake huyatupia kwenye kifua changu.
Je, nini kiliendelea? Usikose kufuatilia kesho

ITAENDELEA

SALAMU KUTOKA KUZIMU – 5




Simulizi : Salamu Kutoka Kuzimu
Sehemu Ya Tano (5)

“Mimi sijakwambia lolote ambalo nakusudia kukwambia huku huyo mwenzangu tayari amekuletea zawadi kubwa kama hii na kukuahidi kuzunguka nawe duniani”.

Nuru alimkatiza Duncan kwa kicheko ambacho kilichofuata sauti yake nzuri ikisema, “Huna haja ya kuwa na hofu na mzee yule. Sina wazo naye kabisa. Zaidi ya hayo, si nimekwambia walivyomfanya? Hana madhara kwa mwanamke yeyote”.

“Usiwe na kawaida ya kumwamini kila mzee kwa lolote analosema”, Duncan alimtahadharisha. “Sasa tafadhali rudia tena hatua kwa hatua jinsi ilivyotokea… hata mkafahamiana na mzee huyo, na yote mliyozungumza”.

Kwa mshangao kidogo Nuru alirudia hadithi hii nzima. Baada ya hadithi hiyo, Duncan aliuliza maswali mengi ambayo Nuru hakuona umuhimu wake. Ilimshangaza Nuru kuona kila jibu likimridhisha zaidi Duncan.

Hatimaye Duncan aliinuka kwenda bafuni. Aliporudi alikuwa na mkufu ule mkononi akamkabidhi Nuru huku akisema, “Naona saa yako ya kurudi kazini imewadia. Chukua zawadi yako, lakini tafadhali usiruhusu zawadi hizi zikununue. Jihadhari na wazee wa mjini”.

Nuru aliupokea mkufu wake na kuinuka kutoka kwenye kochi.

Alipofika nje ya chumba alisita kidogo. Ndiyo kwanza akakumbuka kuwa Duncan hakuwa amemweleza chochote ambacho angependa kuelezwa.


“Hapa Afrika, bandari ya Salama”.

“Nani mwenzangu”…

“Kigogo hapa… Napenda kujua kama lile ua bovu mmelichuma tayari au bado, na kama bado ni kwa sababu gani?”.

“Bado kidogo. Mtaalamu wetu amesema bado anafanya uchunguzi wa mwisho katika kubaini mizizi yake. Mara akikamilisha huo utafiti wake litang’olewa haraka iwezekanavyo”.

“Nataka ling’olewe haraka iwezekanavyo, mbegu zile ni hatari kusambaa. Unajua kesho ni siku ya mwisho? Hakikisha ua hilo linang’olewa.

“Bila shaka Kigogo. Mizizi tu ilikuwa haionekani vizuri katika darubini, hasa ilipofikiriwa kuwa mbegu zimesambaa hovyo. Sasa hali iko shwari. Mtaalamu wetu anaamini kuwa baada ya muda mfupi atakuwa tayari kalichuma”.

“Alichume haraka. Alichume kikamilifu. Sitaki lichumwe na mtu mwingine, anaweza kumeza maradhi yakaleta madhara. Over”.

“Off and over, Kigogo.

Chombo kilizimwa na kurejeshwa katika hifadhi yake. Msemaji alikuwa akifikiri kwa muda. Kigogo mikono yake ilikuwa ikitetemeka. Sio kazi rahisi, kupewa jukumu la kuua. Hasa kumuua mtu hatari ambaye yu macho zaidi ya Simba aliyejeruhiwa. Isitoshe, mtu huyo akiwa rafiki mkubwa, kama ndugu umpendae, mtu uliyeshirikiana pamoja katika maovu na unyama wa kila aina. Mtu kama huyo, kumwelekezea bastola na kumuua, kwa kuwa tu karopoka na kuamua jambo ambalo wakuu hawajaliamua! Aibu ilioje!.

Kwa hivyo, aliposikia habari ya kutorokea Mwanza kwa mwenzake, aliona kama bahati njema imemwangukia. Iwapo huyu aliyeamuriwa kumuua ametorokea huko na kuvuka mpaka, hatabeba jukumu la kumuua tena. Jukumu hili litawahusu wengine walioko huko aendako. Lakini mara wapelelezi wakaleta habari kwamba amerejea na yuko Arusha tayari kwa kusudio lake la kikatili. Ndipo alipowaarifu wakubwa. Nao wakamwamru kumuua. Hakuwa na la kufanya zaidi ya kutekeleza amri. Akainua simu na kuzungusha namba fulani. Ilipopokelewa aliuliza, “Mmempata alipo?”.

“Bado, mzee…”

“Bado! Kwa nini?” alifoka.

“Ametoweka kidogo. Nadhani amejibadili tena. Unajua anavyoipenda tabia ya kinyonga. Mara ya mwisho tulimpata alipokuwa kajifanya chongo na mguu mbovu. Sasa haonekani. Bila shaka ame…”

“Hata kama atajigeuza kinyonga kabisa, lazima apatikane haraka, sawa?”.

“Sawa mzee”.

“Na mara mtakapomuona niiteni mara moja. Sawa?”.

“Sawa”.

“Au hamuifahamu adhabu ya kushindwa kutimiza wajibu?” Alikata simu na kuliendea kasha lake la silaha. Akachunguza silaha mbalimbali zilizokuwemo; bastola aina aina, viwambo vya kuzuia sauti na mabomu kadhaa. Akaviweka katika mifuko yake ya siri.

Kisha aliiunua simu na kulipigia shirika moja la ndege za kukodi.

“Tafadhali andaa ndege itakayonifikisha Arusha mara moja”, aliagiza.

“Umepata”, alijibiwa. “Ungependa kuanza safari ya kuondoka saa ngapi?”.

**************************
II

“Inspekta Kombora hapa naongea kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi…”

“Ndiyo, afande”.

“Nifahamishe, taarifa bado ni ile ile hakuna fununu yoyote ya yule mwenda wazimu Proper?”

“Bado afande. Tumefanya kila aina ya uchunguzi. Kila hoteli na kila nyumba za wanawake malaya zimechunguzwa kwa ustadi mkubwa, hajaonekana mtu yeyote wa aina yake. Arusha nzima imepekuliwa. Bila shaka atakuwa ametorokea nje ya nchi.

Labda. Lakini sipendi kuamini kuwa katoroka. Tumewasiliana na wenzetu wa Rwanda na Burundi. Hakuna dalili ya mtu mwenye tabia kama zake. Anaweza kuwa yumo humu nchini. Na kama yumo nchini, atakuwa hapo hapo Arusha. Mmebakiwa na masaa machache sana ya kukamilisha uchunguzi. Kesho kama mnavyojua viongozi wanaanza kuwasili, lazima mhakikishe kuwa jambo lolote la kipumbavu halitokei”.

“Hakuna jambo la kipumbavu litakalotokea mzee”, sauti ilieleza. “Hoteli nzima imepigwa ufagio. Wageni na wafanyakazi wote wamechunguzwa kwa makini. Kuna kijana mmoja tu ambaye alielekea kututia wasiwasi. Tabia yake ya kuzungumza na kila mtu, ilitutia hofu. Ilikuwa kama anayetafuta habari fulani. Lakini baada ya kumchunguza kwa makini tumebaini kuwa hana kasoro. Tunazo hata kanda za maongezi yake kwa wafanyakazi. Kama utapenda kusikia tunaweza kukutumia”.

“Msihangaike kuzituma huku. Leo nategemea kuwasili hapo Arusha wakati wowote. Anaitwa nani huyo kijana?”, alihoji Kombora.

“Duncan”.

“Vizuri”.

Proper alikuwa juu ya kitanda katika chumba cha mojawapo ya Hoteli nyingi za Mji wa Mwanza. Mkono wake wa kulia ulikuwa ukichezea matiti ya mischana mrembo aliyelala kando yake, mkono wa kushoto ulikuwa ukipepesa kiuno cha msicha huyu. Wote walikuwa uchi na miili yao ikitokwa jasho. Jasho liliendelea kuwatoka asubuhi hii yenye baridi kali. Jasho lililotokana na juhudi za miili yao katika kuthibitisha utaalamu na uwezo wao kimahaba.

Huyo alikuwa msichana wa tano tangu Proper aingie mjini Mwanza na kufikia katika hoteli hii… Wawili waliotangulia, alikuwa amewaona wa kawaida tu. Zaidi ya uzuri wao wa sura na maumbile ya kuvutia, kitandani hawakuwa na la ziada. Hivyo aliwapa ujira wao na kuwaaga. Lakini huyu wa tatu, hakuonekana kama alikuwa mtu wa kuagwa kwa urahisi. Sura haikuwa nzuri sana. Wala umbile lake halikuwa kama yale ambayo huwafanya madereva wa magari waroho wasababishe ajali barabarani kwa kuwatazama. Msichana huyu alikifahamu kile alichopaswa kuwatendea wanaume. Alielewa alichokusudia Muumba wake kwa kumwezesha kuwa na viungo tofauti. Kila kitendo chake kitandani alikitenda kwa ari na nia, bila uchoyo wa aina yoyote. Kila kiungo chake mwilini alikitumia kikamilifu bila hiana. Na hakuonekana mwanafunzi katika vitendo vyake vyote.

Ni hayo yaliyomfanya Proper ajisahau kwa kiasi fulani.

Ni kweli kuwa aliyoyaona Mwanza hayakuwa ya kawaida. Katika Jiji la Dar es Salaam ambako aliishi sana, kupata msichana au mwanamke wa kujiburudisha haikuwa tatizo. Ziko saa za jioni, au usiku, ambazo utajitokeza mitaani na kujipitisha. Hutavuka mtaa wa tatu kabla hujapata mtu ambaye ataivunja safari yake na kuandamana nawe hadi chumbani kitandani, ambako ataondoka alfajiri na siku ya pili. Lakini si hivyo kwa muda wa Mwanza. Hapa unachotakiwa kufanya ni kujipatia chumba chako kwanza katika moja ya hoteli nyingi zilizogaa. Kaa chumbani kwako kwa utulivu. Haitapita muda mrefu kabla hujapigiwa hodi na watoto wa kike ambao watajitia kuuliza hili na lile hadi maswali yao yatakapokufanya utoe jibu litakalowafanya waangukie kitendani.

Proper pia alitulia chumbani kwake kimya akingoja hodi yake. Haja yake haikuwa kujiburudisha tu, bali alitaka kujificha, ili aonekane kama wapangaji wengine. Kama vijana ambao waliamua kuonyesha ujana wao au wazee ambao waliifurahia fursa ya kuwaasi wake zao. Ndipo alipoanza kuwakaribisha wasichana mmoja baada ya mwingine hadi alipotokea huyu, ambaye hakuonekana kama alistahili kuondoka.

“Jina lako”, Proper alimwuliza huku akihamisha mkono mmoja kutoka kiunoni na kuupeleka kichwani kwa ajili ya kuchezea nywele ndefu zilizotimuliwa kutokana na zoezi lililokuwa likiendelea kitandani hapo.

“Sofia” msichana huyu alijibu kwa sauti ya mahaba. “Na wewe?” akaendelea kuuliza.

“Bakari, ingawa rafiki zangu hupenda kuniita Beka”, Proper alimlaghai.

“Kwa maana hiyo nikuite Beka siyo”.

“Hapana. Niite mpenzi”.
Sofia akacheka. Na kicheko chake kilikuwa cha kupendeza.

Baada ya muda, msichana huyu alipitiwa na usingizi. Kichwa akakiegemeza katika kifua cha Proper, mkono wake akauweka mahala fulani katika mwili wake, akawa amelala kwa utulivu mkubwa. Uso wa msichana huyu ulikuwa kama anacheka, kwa jinsi alivyokuwa amelala.

Proper alimtazama kwa muda. Kisha alijitoa kitandani hapo kwa uangalifu bila ya kumwamsha Sofia. Akaliendea begi lake ambalo alilifungua na kulichunguza. Sehemu za kawaida zilikuwa na mavazi yake, vitambulisho vyake bandia na vikorokocho vingine. Mifuko ya siri, ambayo kama alivyotegemea, wakaguzi wa uwanja hawakuweza kuifikia, ilikuwa na silaha zake, nyaraka zake muhimu, dawa zake maalumu, na pesa nyingi. Kila kitu kilikuwa kama kawaida. Proper akakirudia kitanda ambako alikiinua kichwa cha msichana huyo taratibu na kukirejesha kifuani kwake na mkono kuuweka kama ilivyokuwa awali. Kisha akayafumba macho yake kwa namna ya utulivu.

Lakini akilini hakuwa na utulivu wowote. Kichwa chake kilikuwa kazini kikitafakari matukio yote yaliyopita na ajali. Aliukumbuka kwa hasira mpangi wake madhubuti ambao aliuandaa kwa gharama kubwa na muda mrefu, na ulivyokaribia kumpotezea maisha. Ilimchukiza kuona kuwa waliokusudia kumwangamiza walikuwa watu wa upande wake. “Kwa ajili ya uoga”, aliwaz. Uwoga usio na msingi. Uoga ule ule ambao umewafanya kwa muda mrefu watumie pesa nyingi kukamilisha mabomu ya nyuklia, lakini hadi leo hawajadhubutu kufanya majaribio walao katika nchi moja. Wapi basi haja ya kusumbua vichwa? Yeye Proper angewaonyesha. Liwalo na liwe lakini mpango wake aliouanzisha lazima atautekeleza. Peke yake na kwa mkono wake Dunia ione Ulimwengu usikie.

Proper aliyarejesha mawazo yake kwa Inspekta Kombora na jeshi lake. Walikuwa wanafanya nini alijua kwamba, kifo cha yule Padri kiliwafungulia polisi mwanya fulani. Hata hivyo alielekeza fikra zake zote kwa kazi hii ya mwisho. Hakuna ambaye angeweza kulizuia pigo la mwisho, Pigo la kihistoria.

Proper alimtazama Sofia usoni. Akamuona alivyolala kwa utulivu. Angetokwa na kicheko kwa kumhurumia msichana huyu alivyolala kwa utulivu bila kufahamu amelala na mtu wa aina gani. Hajui kama amelala na kifo! Alinongona kimoyomoyo. Kisha alimwamsha na kumtaka wafanye tena mapenzi. Kama kawaida, msichana alikuwa tayari. Kama kawaida yalikuwa mapenzi ambayo yaliacha kumbukumbu akilini mwao.

“Wapi unaishi Sofia?” Proper aliuliza baada ya kukusanya pumzi kwa dakika kadhaa.

“Kirumba, nyuma kidogo ya Uwanja wa mpira”.

“Unaishi na nani Sofia?”.

“Peke yangu”, Kimya kifupi kikapita. “Kwa nini unapenda kujua?”.

Proper alipeleka ulimi wake kuchezea chuchu za Sofia kabla hajatoa jibu.

“Kwa sababu nyingi. Kubwa ni kwamba ni kwamba sijapata kukutana na aliyeniburudisha kama wewe. Nisingependa kutengana nawe tena, kwani nikikukosa huenda nisipate mtu wa aina yako. Hivyo, nimependa nihame hapa hotelini na kuishi kwako hadi shughuli zangu zitakapokwisha hapa Mwanza, halafu twende zetu pamoja Bujumbura. Unasemaje?”

Habari hii ilimfurahisha sana Sofia. Msichana huyu alikuwa ametoroka kwao Sengerema baada ya kupata mimba isiyokuwa na mwenyewe. Mimba hiyo iliishia chooni. Tangu siku hiyo, amekuwa mtu asiyekuwa na tumaini la kupata bwana wa kudumu. Sura yake pia, ilikuwa pingamizi kubwa. Daima mabwana aliowapata, walikuwa hawa wa ‘kuokota’ Mabwana waliosukumwa na uchu tu wa kuwa na mwanamke. Hali hii ilimfanya msichana huyu ajikabidhi kwa kila mwanaume bila kujali lolote, akiwatimizia kila haja bila aibu wala kinyongo. Lakini harakati zake za kuwaburudisha wanaume mara nyingi hazikumfikisha mbali. Mara kwa mara alikuwa akipewa ‘kwa heri ya kuonana’ na mabwana hao. Wengi waliwarudia wake zao. Wengine walikuwa wameishiwa. Na wengine walikusudia kuziponyesha pesa zao.

Ndiyo Sofia akayachukulia maombi ya ‘Mzee kijana’ huyu kama tunu aliyonunuliwa bila ya kutazamia. Aliyaona kama mwisho wa matatizo yake na mwanzo wa maisha mapya. Alimtazama tena Proper. Hakuona dalili yoyote ya mzaha katika sura yake. Kama kweli mtu huyu alikuwa na tatizo lolote, pesa hazikuwa mojawapo. Angekubali mara moja. Hata hivyo alikumbuka hali ya chumba chake, mazingira yaliyostahili jina la pango. Ndipo alipomweleza Proper kwa sauti iliyonasihi.

“Ningependa sana kukukaribisha kwangu. Lakini hali ya chumba kile… kwa kweli, hakifai kwa mtu kama wewe”.

Proper hakuwa mgeni kwa maisha ya wasichana wengi mjini. Alikwisha waona wengi ambao wawapo mitaani wanaonekana kama malaika kwa mavazi mazuri, lakini ukifika wanakoishi utadhani ni vijakazi. Alimsihi Sofia aondoe shaka. Alimweliezea kuhusu msingi wake wa kimaskani. Kwamba ameishi sana ‘gheto’ na maisha hayo anayapenda. “Nikiwa Dar hupendelea sana kutembelea sehemu za Manzese. Nikiwa Arusha makazi yangu ni Ngarenaro. Na nikiwa Moshi nastarehe zaidi nikiwa Majengo”, alimhakikishia. “Sababu hiyo ndiyo iliyonifanya niishi katika hoteli hii ndogo badala ya kubwa kama Mwanza Hoteli”.

Maneno hayo yalimaliza ubishi wa Sofia. Usiku uliofuata uliwakuta Kirumba katika chumba chake.

Chumba kilikuwa katika hali ambayo Proper aliitarajia. Raslimali za muhimu zilikuwa kitanda kikuukuu chenye godoro kukuukuu la sufi ambalo halikuwa na hadhi ya kuitwa godoro pia kulikuwa na sanduku, meza na sufuria mbili tatu zilizonuna kwa uchafu. Ambacho Proper hakutegemea ni ukarimu wa kunguni na mbu walikuwa huru katika chumba hicho. Walimlaki moja kwa moja bila kumpa fursa ya kujipumzisha.

Yote hayo Proper alilazimika kuyastahamili eti kwa sababu amependa, kumbe ni uhitaji tu. Alikusudia kujisetili akisubiri siku kuu ili atimize lengo lake. Hakuna askari wala mpelelezi yeyote ambaye angefikiria kumtafuta pale. Alitarajia kuwa wangeweza kumsaka katika mahoteli makubwa na kwenye vitongoji vikubwa vikubwa, siyo kwa malaya wa chini kama Sofia anayeishi maeneo yaliyosahaurika.

Siku mbili zikapita bila ya kitu chochote cha kawaida kutokea. Proper alishinda ndani akijisomea vitabu, nae Sofia alijishughulisha kutafuta vyakula na vinywaji. Sofia alikuwa akipewa pesa zilizozidi mahitaji yake ya kawaida. Proper alikuwa amemruhusu kununua mavazi mapya. Hali hii ngeni ilimuinua Sofia, akawa anapepea mfano wa kishata. Nafasi yoyote iliyojitokeza, ilitumiwa kufanya mapenzi. Sofia alijitia kila aina ya juhudu kumridhisha Proper. Lakini hakuweza kuutambua unafiki wa Proper. Akazidi kutekwa akili na vitendo vya mtu huyu. Hata hivyo sauti nyingine ilimnong’oneza atahadhari.

Jioni ya siku ya tatu, mambo yalianza kwenda mrama. Sofia alirejea kutoka mjini na gazeti mkononi. Alimfuata Proper aliyelala chali kitandani na kumfungulia ukurasa wa tatu ambao ulikuwa na picha sita chini ya kichwa cha habari kilichosema;

“TANGAZO LA POLISI.
JIHADHARI NA MTU HUYU- MARA UMWONAPO IARIFU POLISI. ANATAFUTWA KWA MAUAJI YA WATU WENGI NA ANAWEZA KUUA WAKATI WOWOTE, KUWAMAKINI”.

Proper alisoma haraka haraka. Kisha alizitazama picha hizo kwa makini. Moja ilikuwa yake halisi. Zilizosalia zilikuwa picha za kuchora. Zilikuwa zimechorwa kwa namna mbalimbali kuonyesha nywele zote; nyingine ilichorwa kuonyesha madevu mengi, nyingine kavaa miwani na kadhalika. Ni moja kati ya picha hizo ambayo ilikuwa imefanana kikamilifu na sura aliyokuwa akiitumia sasa. Alijitia utulivu na kumgeukia Sofia na kumwuliza kwa upole, “Ni hii tu uliyoiona habari ya maana katika gazeti lote”.

“Hapana. Nilitaka kukuonyesha huyo mtu. Naona mmefanana naye sana”.

“Tumefanana!” Proper alijitia kushangaa. “Mimi nafanana na huyo anayetafutwa kwa mauaji? Haiwezekani”.

“Mmefanana sana Beka. Nadhani ni wewe”.

“Usiwe mjinga Sofia, mimi siwezi kuwa muuaji”.

“Kweli kabisa. Hata yule rafiki yangu aliyekuja hapa jana amesema hivyo. Labda ungesoma hapa chini uone”.

Proper alianza kusoma kifungu hicho kilichoandikwa kwa herufi za mlazo.

Mtu huyu ni hatari sana, anatakiwa mapema mno. Zawadi nono ya shilingi laki nne itatolewa kwa mtu yeyote atakayewezesha kukamatwa kwake. Inasemekana kwa sasa yuko mjini Mwanza au mikoa ya jirani. Unaonywa tena kujihadhari naye…

“Ni wewe Beka?”, Sofia alisisitiza huku akimkazia macho.

“Siyo mimi”. Sauti ya Proper ilikuwa ya utulivu mkubwa.

“Kwani unanionaje mimi, naweza kuwa muuaji?”.

“Hapana, lakini hiyo picha inaonyesha ni wewe”.

“Achana na picha hii. Huoni kama huyu amechorwa tu? Usiwe msichana mjinga Sofia. Mimi ni mtu ninayejiheshimu sana huko kwangu. Wasichana kama wewe, wazuri zaidi yako, ninao kama ishirini hivi ambao wanalipwa mshahara mzuri kutoka katika mfuko wangu. Na wanaume wengi wasiopungua mia, wote wako chini yangu, wote wananiheshimu. Au kwa vile niko nawe katika chumba hiki hafifu ndipo umefikia hatua ya kuniita mwuaji?”.

“Sivyo mpenzi, ila…”

“Ila…”

“Nina mashaka yule rafiki yangu amekwenda kutoa taarifa polisi. Laki nne siyo pesa ndogo”.

“Polisi. Akiwaleta hapa, wakinikuta mimi watanitia ndani kufunza adabu. Ondoa hofu. Sofia njoo kitandani, tujipumzishe nikudokeze jambo. Lete ulimi tufurahi”.

Sofia alisogeza shingo. Hakutarajia radi iliyompiga ghafla. Lilikuwa pigo kali jepesi ambalo lilitua katika shingo na kulivunja kabisa. Sofia hakujua kapigwa na nini. Wala hakuona ugumu wa kufa. Alianguka chini na kupapatika kwa muda, kisha akakata roho.

Proper alifanya kazi haraka haraka. Aliuzoa mzoga wa aliyekuwa Sofia na kuulaza kitandani. Akaufunika vizuri kwa shuka. Kisha alikusanya vifaa vyake na kutoka nje. Giza lilikuwa limeanza kutanda. Hakuona haja ya kujificha kama alivyotegemea. Aliifuata polepole barabara iendayo mjini. Alipofika Mabatini, alisimamisha taksi na kuingia ndani.

Dereva taksi alikuwa kijana wa Kiarabu mwenye ndevu nyingi. Alimsalimu Proper kwa adabu, kisha akamuuliza wapi anataka kwend. Proper hakumjibu kwa maneno bali kwa kitendo fulani. Aliudidimiza mkono wake katika begi lake na kutoa bastola yake. Aliigandamiza ubavuni mwa kijana huyo.

“Ukifanya ujinga utapoteza maisha. Nataka wewe na gari hii mfuate matakwa yangu. Haya endesha mpaka nitakapokwambia wapi tuelekee”.

Huku akitetemeka, macho yakiwa yamemtoka, kijana huyo alilitia gari moto na kuliondoa taratibu huku mapigo ya moyo yakimwenda kasi kwa hofu.

Nuru alichelewa kufika nyumbani. yeye na wenzake Walikuwa wamechelewa kutoka kazini ili kukamilisha shughuli zote za maandalizi ya ugeni mkubwa. Ilikuwa saa mbili kasoro dakika chache alipojikuta mbele ya mlango wa nyumba yake, akiutia ufunguo katika tundu la kitasa cha mlango wa chumba chake.

Kabla ya kuanza kufungua kitasa cha mlango, alikuwa ameyatupa macho yake pande zote kwa matumaini labda ya kumwona tena yule mzee tajiri. Hakuwepo. Bila shaka alikuwa amesubiri kwa muda alipoona hatokei akaondoka zake, akadhani. Hata hivyo Nuru hakujua kama angependa kumwona tena mzee yule au la. Ingawaje Nuru alikuwa ametunukiwa zawadi ya mkufu wenye thamani kubwa, na ahadi ya kutembea duniani, lakini Nuru hakujua kama angependa kumwona tena au la.

Alichofahamu ni kwamba mashaka hayo yalikuwa yameanza pindi Duncan alipomwambia; “Unajua kidogo nina wivu… Tafadhali usiruhusu zawadi hizi zikununue …” Hakujua kwa nini, lakini maneno hayo yalikuwa yamemburudisha zaidi ya zawadi yenyewe. Hakuna kitu alichohitaji zaidi ya kuonewa wivu na Duncan. Alihisi kama wivu huo ulikuwa mwanzo wa safari mpya, ndefu, ambayo hakujua mwisho wake. Safari ambayo aliona itakuwa ya kusisimua zaidi ya ile ya Ulaya Magharibi aliyoahidiwa na yule mzee tajiri. Alasiri nzima Nuru alishinda kwa furaha kubwa kinyume cha alivyokuwa kabla ya kuzungumza na Duncan.

Alikuwa bado na furaha hiyo alipoingia ndani na kulipupa begi lake juu ya meza. Mkono wake wenye uzoefu ulipenya kiza na kuifikia swichi ya umeme. Akaibonyeza. Nyumba nzima ikamezwa na nuru ya rangi ya blue iliyokuwa ikitoka katika taa zake. Akavuta swichi ya kamba na kuifanya nuru hiyo ya blue itoweke na nyeupe kuchukua nafasi yake. Ni katika nuru hiyo alipoweza kumwona mgeni wake aliyekuwa ameketi kwa utulivu juu ya kochi akimtazama Nuru, uso wake ukaonekana kama wa mtu anayetabasamu.

Nuru alishtuka karibu akimbie. Hakujua ulikotokea uwezo ambao ulimfanya asite kukimbia na badala yake afoke kwa sauti ambayo ilitoka kama mnong’ono. “Nani wewe? Na umeingiaje humu?”.

Mgeni huyu alicheka kidogo. Kisha alimwuliza kwa upole, “Umenisahau mara hii? Hukumbuki jana tu tulikuwa wote humu humu ndani na tukapeana zawadi? Mkufu huo uliovaa…”

Nuru hakuyaamini macho yake. Aliyekuwa mbele yake hakuwa yule mzee wa jana. Alikuwa mtu mwingine kabisa mwenye sura nzuri, yenye dalili ya ujana. Zaidi, hakuwa na jicho moja wala mguu mbovu. Alikuwa na viungo vyake vyote, bila kovu wala dosari yoyote. Alivaa suti ya kijivu ambayo ilimkaa vyema mwilini. Haiwezekani Nuru aliwaza. Huyu hawezi kuwa yule mzee wa jana.

Mgeni huyo alikuwa akiyasoma mawazo ya Nuru. “Huniamini siyo”, aliuliza. “Lazima Lazima ufahamu kuwa katika dunia hii kuna watu wa kila aina. Wako wanaoishi maisha ya kawaida, na kuna wanaoishi maisha yasiyo ya kawaida. Wengine wanalazimika kutumia sura nyingi na majina mbalimbali, ili waweze kuishi. Mimi ni mmoja wao. Jana nilikuwa mzee mkongwe, mwenye chongo, leo ni kijana mzuri anayekufaa. Au sio?” alihoji akicheka.

Ni kicheko chake ambacho kilimfanya Nuru aafikiane naye moja kwa moja. Kilikuwa kile kile cha jana, kicheko ambacho kwa namna moja au nyingine hakikuwa cha kawaida. Kilikuwa kama kinachoficha uovu na ukatili fulani. Jambo ambalo lilimfanya Nuru apatwe na hofu.

“Sasa unataka nini?” Nuru alijitahidi kuhoji akifoka. “Sidhani kama nahitaji uhusiano na watu wenye tabioa kama zako. “Chukua mkufu wako uondoke”.

“Usijisumbue kuuvua”, mgeni huyo alisema. “Hiyo ni zawadi yako. Bado nakuopenda”, aliendelea. “Nina kazi ndogo sana yenye faida kubwa sana. Lakini kabla ya kazi hiyo nitapenda unieleze kikamilifu ni nani mliyekuwa mkizungumza naye leo hii chumbani kwake, pale hotelini?”.

Nuru hakutaka kuendelea kuzungumza na mtu huyu. Aliona kama kwa namna moja ama nyingine mtu huyo angemletea madhara au maafa. Kwa nini alazimike kutumia sura za bandia? Na aliingiaje humu ndani? “Sikia”, Nuru alifoka tena kwa nguvu. “Sitaki kuzungumza nawe. Toka haraka kabla sijakuitia polisi”.

“Naona hujanifahamu vizuri kuwa mimi ni nani”, mgeni huyo alisema huku akiinuka na kumsogelea Nuru. Ndiyo kwanza Nuru akaiona bastola ambayo ilikuwa wazi mkononi mwake ikimwelekea. “Endapo utawaita polisi, watakachofanya ni kuizoa maiti yako na kuipeleka hospitali ya Maunt Meru. Sasa utayajibu maswali yangu yote kwa adabu”.

Ilikuwa mara ya kwanza kwa Nuru kuelekezewa bastola. Ingawa amesoma matukio ya aina hiyo mara nyingi na kuona katika picha za sinema jinsi wasichana wenzake wanavyouawa kwa bastola, hakuona au kuamini kuwa siku ya leo ilikuwa ya mwisho katika maisha yake. Aliuona kama mchezo au mzaha wa kuchukiza. Hivyo aliruka kando na kuinua stuli ndogo ambayo aliirusha kwa nguvu kuelekea mgeni huyo. Ikamshangaza kuona mgeni huyo akiidaka kama mchezo na kuitua chini kwa utulivu. Wakati huo huo Nuru alipokea kofi zito ambalo lilimpeleka chini. Alipojaribu kusimama alirejeshwa chini kwa kofi jingine zito. Maumivu yalikuwa makali, lakini Nuru alishangaa kuona machozi yakigoma kumtoka.

“Sipendi kukuumiza bibie”, mgeni huyo alisema huku akimwinua Nuru na kumkarisha juu ya kiti. “U msichana mzuri sana. Sura yako haifai kuharibiwa kwa makofi. Keti tuzungumze kama watu wenye busara”. Alimazia akairudisha bastola yake kwenye mfuko wa koti na kukirudia kiti chake. “Napenda uniambie ni nani huyo kijana anayeitwa Duncan ambaye alikuchukua na kukupeleka chumbani kwake?”.

“Simfahamu vizuri”, Nuru alijibu.

“Anafanya kazi hapo hotelini?”

“Hapana. Ni mgeni”.

“Alifika lini?”

“Ana muda mrefu kidogo”.

“Alisema nini juu ya kidani hiki nilichokupa?”.

“Hakusema kitu isipokuwa alikisifia tu”.

“Kuna wakati mlikiondoa kidani na kukiweka kando. Mlifanya hivyo kwa ajili gani?”

Nurua akaanza kurejewa na hasira. “Kwani sina haki ya kukivua? Tulikiondoa ili tufanye mapenzi. Tuliona kinatusumbua”, Nuru alisema kwa dhamira ya kumuudhi. “Kama hupendi ondoka nacho sikihitaji”.

Mgeni alifikiri kidogo kabla ya kuuliza tena. “Una hakika huyo Duncan alipokitoa kidani hakuzungumza chochote akipeleleza juu yangu au juu ya kidani hiki?”.

Nuru hakukumbuka kitu hicho. Alichokumbuka ni kwamba katika maongezi ya jana sauti ya Duncan ilikuwa ya kawaida bila dalili yoyote ya kujua mengi juu ya mkufu huo.

Mgeni aliyasoma hayo katika uso wa Nuru. Akaridhika. “Wala hakukuonya usikivae tena?”, aliuliza.

“Aliniambia nikurudishie. Kwa hiyo chukua uondoke. Nataka kulala mapema”, Nuru alifoka.

“Kweli”, mgeni huyo aliunga mkono. Akacheka kidogo kabla ya kusema. Bi. Nuru tafadhali yasahau yote yaliyopita kati yetu. Ulikuwa mzaha tu. Nadhani utanisamehe nikikupa hii? Alitia mkono wake mfukoni na kuutoa. Ulikuwa umeshikilia kitita cha pesa. Hazikuwa chini la laki mbili. “Tafadhali pokea”.

Pesa ni pesa. Zina nguvu na starehe yake. Zinashawishi. Lakini hizi zilimtisha Nuru. Kuzipokea ilikuwa kama kupokea nauli ya kuelekea kuzimu. “Mara ngapi niseme kuwa sihitaji chochote kutoka kwako?, Nuru alifoka tena. “Ondoka na pesa zako. Zinanuka”.

“Zipokee. Kama hupendi ni juu yako. Lakini hizo sikupi bure. Ni malipo kwa kazi ndogo ambayo lazima utaifanya kesho mkutanoni”. Akaingiza tena mkono wake mfukoni na kutoa kopo la poda ambalo lilikuwa limefungwa katika mfuko wa nailoni. Hii ni zawadi yako nyingine. Poda ya aina yake. Wewe utakuwa mtu wa pili katika nchi hii kuitumia. Hata hivyo utalazimika kuitumia kwa uangalifu sana ukifuata maelekezo yangu. Unanisikia?”.

Nuru alitikisa kichwa kukubaliana na mgeni wake.

“Nisikilize kwa makini. Kesho utakwenda na poda hii kazini, ikiwa ndani ya pochi yako. Utakapowadiwa wakati wa kuwapatia wageni vinywaji ndipo utakapokwenda bafuni na kufungua poda hii. jipake ya kutosha usoni na mikononi. Kisha utarudi na kuanza kuwahudumia hao waheshimiwa. Hakikisha mikono yako inagusa karibu kila kikombe. Sawa?”.

Hofu na mshangao vilikuwa katika macho ya Nuru. Alimtazama mgeni wake kwa hofu ingawa hakuuliza chochote. Mgeni alimtoa hofu kwa kucheka kidogo.

“Naona una wasiwasi. Usiwe na haja ya kuogopa kitu. Matokeo ya kazi hiyo yatakuwa mzaha mwingine wa kusisimua sana. Viongozi kadhaa watasinzia kwa dakika mbili tatu bila sababu. Litakuwa jambo la kuchekesha kidogo ambalo halijawahi kutokea katika historia ya dunia. Nitafurahi sana. Baada ya hapo utarudi zako kuchukua laki zako mbili uzifanye upendavyo. Halafu tutapanga mipango ya baadaye. Nitakuwa kijana sasa. Siyo mzee asiyeweza kitu. Unasemaje?”.

Nuru hakuwa na jibu. Hofu zilizidi kujengeka katika fikra zake. Hofu ambayo ilimfanya azidi kumchukia mtu huyu aliyekaa mbele yake. Alitamani amfukuze tena. Lakini hakuona kama ingesaidia. Hivyo alitulia kimya akimsikiliza, na kisha kuhamishia macho yake juu ya kopo la poda na laki mbili zilizolala juu ya meza.

“Nakukumbusha tena, Utajipaka uwapo mkutanoni tu. Dakika moja kabla ya kuanza kuhudumia”, alikumbusha.

“Nani aliyekwambia kuwa nitafanya kazi yako hiyo ya kishenzi?” Nuru alifoka, Ondoka na vitu vyako vyote. Nakuomba kwa mara ya mwisho. Au nitawaita polisi”.

Ndipo Nuru alipoiona hasira kali katika macho ya mtu huyo. Ilikuwa hasira baridi. Hasira ya kutisha. Ilijitokeza katika sauti na tabasamu lake aliposema kwa upole. “Utaifanya. La sivyo, nitakuua hadharani. Nitakuwa pale pale mkutanoni nikikutazama. Fanya chochote kinyume cha matakwa yangu na utaona nitakavyokufanya. Utajuta kuzaliwa na kujutia kifo
chako. Kitakuwa kifo cha kinyama kuliko unavyoweza kukadiria jaribu kukiuka uone”.

Shetani asingeweza kumtisha Nuru zaidi ya sauti hii: Ilikuwa sauti iliyoleta ukweli katika nafsi ya Nuru bila ya mzaha. Sauti iliyofanana na mauti yenyewe.

Ndio kwanza hofu ikautoka moyo wa Nuru. Akafumba macho na kuruhusu machozi mengi yamtoke. Alipoyafumbua mgeni wake hakuwepo. Alivyoondoka hajui. Pesa na poda vilikuwa mezani vikimsubiri. Akavuta pumzi na kuzishusha.

Sasa wakati ulikuwa umewadia. Umati mkubwa wa wananchi ulikuwa umekusanyika mbele ya hoteli ya Maunt Metru kiasi cha kulifanya eneo zima liwe kama msitu wa mitu yenye uhai wa rangi mbalimbali. Wake kwa waume, wazee kwa vijana walisimama juani kwa utulivu, kando ya barabara ya Moshi- Arusha kutoka mjini kati hapa hotelini. Kila mmoja alikuwa na shauku kubwa ya kuwaona viongozi hao ambao walitarajiwa kuwasili wakati wowote.

Kila mmoja alikuwa na sababu zake zilizomfanya asitahamili ukali wa jua na kuendelea kusubiri. Wengi walikuwa wameitikia wito wa Serikali iliyowataka kujitokeza kwa wingi kuwapokea viongozi kutoka nchi mbalimbali za Afrika. Baadhi walifika eneo hilo kwa kufahamu kuwa ilikuwa fursa pakee ya kufika kuwaona ana kwa ana watu mashuhuri kama hawa ambao huwasoma kupitia magazeti na kuwasikia katika taarifa za habari za redio na televisheni. Pia walikuwepo wananchi ambao shauku yao ilikuwa kuwaona viongozi fulani tu baada ya kuzisikia sifa zake nyingi redioni. Kadhalika walikuwepo watu si haba ambao walikuwepo kwa jukumu la kuhakikisha usalama wa viongozi na wananchi hao.

Mtu mmoja tu alikuwepo kwa dhamira tofauti. Yeye alifika kwa ajili ya kushuhudia vifo vyao. Mtu huyo alipofikiria mshangao ambao utawapata wananchi baada ya kuwaona viongozi wao wakianguka mmoja baada ya mwingine, alichekelea kimoyomoyo. Kufa hadharani kama mzaha! Aliwaza kwa furaha. Kwa mara ya kwanza redio zote duniani zitangaze habari ya kusisimua. Magazeti yataripoti habari yenye moto. Televisheni zitatangaza kitu kinachostahili. Dunia itashangaa, ulimwengu utaduwaa. Litakuwa jambo ambalo halijawahi kutokea katika historia ya dunia. Kwa mkono wake, atakuwa ameusimamisha mkondo wa historia ya Afrika. Atabadili historia! Furaha iliyoje aliwaza.

Na kwanini wasife? alijiambia. Kwanini ilihali kati yao kuna walioua wenzao na kusababisha madimbwi ya damu za watu wasio na hatia katika nchi zao kabla ya kupokonywa madaraka? Kwanini wasife hata wale ambao walipewa kura na wananchi lakini wamewasaliti kwa kusahau shida za watu hao na badala yeke ni wao pekee wanaonenepeana na kufura matumbo? Kwanini wasife hata wale ambao japokuwa hawatumii vyeo vyao kujaza matumbo bado wameng’ang’ania madaraka pasipo nia yoyote ya kuwaachia wengine madaraka nao watawale?. Wana haki ya kufa. Wote na kwa pamoja! Hadharani.

Wakati akiwaza hayo, Proper alikuwa katika umati wa watu waliozunguka hoteli ya Maunt Meru kama raia yeyote mwema. Macho yake yalikuwa wazi na makini kuutazama kila uso kwa makini. Nyuso nyingi alizoziona, uzoefu ulimuonyesha kuwa ni wapelelezi. Bila shaka walikuwa na silaha zao tayari, na walikuwa wakimtafuta yeye. Endapo wangemwona alijua kuwa wangemuua kwanza na kumsaili baadaye. Ndiyo alikuwa katika eneo la hatari. Hata hivyo hakuwa na hofu yoyote. Alikuwa na hakika kuwa wasingeweza kumpata. Wao walikuwa wakmtafuta Proper wanayemfahamu wakati yeye sasa alikuwa Proper mwingine ambaye hata mama yake mzazi aliyemzaa asingeweza kumfahamu. Zaidi, walikuwa wakimtafuta mtu mwenye bastola au bomu la kurushwa kwa mkono wakati yeye Proper alikuwa mikono mitupu kama raia wengine. Ama, kwa ulinzi wao wote madhubuti, watashangaa watakapoona viongozi wao wakianguka mmoja baada ya mwingine.

Hata hivyo hofu kidogo ilikuwa ikipenya katika moyo wake. Ikawa mara yake ya kwanza kuona hofu, na ikamshangaza zaidi ya ilivyomtisha. Anahofia nini? Nuru atamwangusha? Hilo halikumtia hofu. Alijuwa kuwa alikuwa amemweka Nuru katika kona ambayo asingeweza kuponyoka. Kidogo alimhukumu kwa kujuwa kuwa atakufa na viongozi hao mara baada ya kuwahudumia. Alimsikitikia zaidi Nuru kwa kujuwa kuwa kifo chake hakitapewa uzito wowote japo ni msichana mzuri mno. Itakuwa sawa na inzi aliyekufa pamoja na tembo.

Hofu iliendelea kuutekenya moyo wa Proper. Anaogopa nini? Alijiuliza tena. Kuna nini cha kuhofia ? Au amefanya makosa kuja hapa? Pengine angekaa mahala fulani akisubiri redio zimletee habari hiyo ya kusisimua? Upuuzi ulioje! Angepata wapi fursa nyingine ya kushuhudia kitendo kama hiki cha kihistoria? Pindi marais zaidi ya kumi, mawaziri zaidi ya ishirini na makatibu wasio na idadi wakifa kwa kulalia meza zao, mmoja baada ya mwingine, nani atakayehangaika kumtafuta mtu wa kawaida aliyeko katika umati wa watu wa kawaida?

Zaidi ya hayo, nani atakayefaulu kumpata? Wakati wao watakapokuwa wakiwafikisha marehemu katika hospitali ya Maunt Meru yeye atakuwa Namanga akitafuta njia za mkato. Wakati habari zitakapoanza kutangazwa yeye atakuwa angani akitokea Nairobi kuelekea New York ambako atanunua gazeti la TIMES na kujua nani na nani walikufa katika mkasa huo, nani mwenye bahati ya mtende aliyeponea chupuchupu. Suala la nani atachukua madaraka baada ya nani na atafanya nini zaidi ya nani hili hakuona kama linamhuru.

Mawazo ya Proper alikatishwa na gari la kwanza ambalo liliwasili. Lilikuwa na askari wengine kadhaa wenye vyeo vya juu. Kati yao Proper alimtambua Inspekta Kombora. Alionekana kama ambaye hakuwa amepata usingizi wa kutosha kwa siku mbili tatu hivi. Proper akamhurumia kwa kujua kuwa muda si mrefu atapata mshangao mkubwa katika maisha yake, mshangao utakaomfanya apelekwe hospitali na marehemu wengine, akiwa na ugonjwa wa moyo baada ya kuzimia kufuatia uzito wa tukio hilo.

Magari yakaendelea kufika. Viongozi mbalimbali walitelemka kutoka kwenye magari hayo huku wakishangiliwa na wananchi. Waliwasalimia wananchi kwa kuwapa baadhi mikono, kisha waliingia hotelini ambamo tafrija kubwa ilikuwa imeandaliwa ikiwasubiri.

Sasa! Proper alianza kuwaza moyo ukizidi kumdunda.

Nuru alikuwa mmoja wa watu waliondaliwa kwa ajili ya kuwapokea viongozi hao na kuwaongoza katika viti vyao. Aliifanya kazi hiyo kama kawaida huku akifanya kila aliloweza kuficha hofu na wasiwasi vilivyokuwa katika roho yake kiasi cha kumfanya atetemeke kidogo. Hata hivyo shamlashamla na vigelegele vilivyokuwepo vilisaidia kuifanya hali yake isishukiwe na mtu yeyote.

Hatimaye ukawadia wakati ambao Nuru alikuwa akiuogopa kuliko nyakati zote. Wakati wa kuanza tafrija. Sasa alitetemeka bila kipingamizi. Ilimshangaza kwamba hakuna mtu yeyote aliyeonekana kumshuku hadi sasa. Akayatupa macho yake nje, katika umati ya watu waliojazana mbele ya hoteli akisubiri viongozi watoke. Kama livyotegemea aliyaona macho ya yule mgeni wake wa jana akimtazama na kumkumbusha adhabu ya kifo inayomsubiri endapo hatafanya kama alivyoamriwa.

Hakuwa na la kufanya zaidi ya kwenda katika chumba chao cha maandalizi ambako pamoja na mkono wake kutetemke alitoa mfuko wake na kutoa ile poda, akaifungua karatasi ya nailoni na kuitazama kwa makini. Ilimshangaza kuona ilikuwa poda ya kawaida MALAIKA ambayo hutengenezwa na kimojawapo cha viwanda vyeti kilichomo katika mji wa Tanga. Hii kweli inaweza kufanya miujiza anayotaka ifanyike yule mwendawazumu? Nuru alijiuliza.

Ifanye, isifanye kwa hali yotote Nuru aliona kuwa alikuwa akifanya kosa kubwa sana katika maisha yake kwani kutii matakwa ya mtu yule wa ajabu. Maisha ya viongozi yana thamani kubwa. Kiongozi wa nchi ndiyo alama ya nchi yenyewe. Mamilioni ya watu yanamtegemea kiongozi. Vipi yeye Nuru, mtu asiye na lolote wala chochote ashiriki katika mzaha wa kuwafanya watu hawa wapumbazike kwa dakika kadhaa? Na vipi iwapo kuna madhara zaidi ya hayo aliyodai yule mgeni? Ni hayo yaliyomtia hofu.

Hata hivyo alijikuta hana njia zaidi ya kutii amri ile. Akaitoa poda hiyo na kujipaka kama alivyoelekezwa. Ikamshangaza kuona hata harufu ilikuwa ya kawaida, kama zilivyo poda za kawaida. Kisha akarejea ukumbini na kuanza kutoa huduma kwa viongozi. Muda si mrefu kazi ikawa imekwisha. Viongozi walitulia wakila na kunywa vinywaji vyao kama kawaida. Wawili watatu walizungumza na kutaniana. Kisha tafrija ikawa imekwisha. Wakaanza kuinuka kuyaendea magari yao, wananchi wakawashangilia.

Halikuwepo jambo lolote lisilo la kawaida lililotokea.

Ni hilo tu Nuru? alijiuliza kwa furaha. Akajidharau kwa kuhofia jambo lisilo na madhara. Bila shaka ulikuwa mzaha mwingine wa yule mtu. Kama ni mzaha, hata zile laki mbili zitakuwa mzaha pia? akajiuliza.

Haiwezekani! Proper alifoka kimoyomoyo huku akishindwa kuyaamini macho yake alipowaona viongozi hao, wote wakitoka na kuyaendea magari yao ambayo yaliwapeleka katika jumba la mikutano AICC. Haiwezekani kabisa. Sumu iliyokuwemo katika poda ile ilikuwa kamili na hali ambayo ingetosha kuua kwa harufu tu. Kwanini wasidhurike? Au ni kweli kuwa wengi wao wanalindwa na miti shamba yenye nguvu? Lakini kama kweli wana uchawi mbona mara nyingi wanakufa kwa kitu kidogo kama risasi ya bastola? Kama uchawi vipi hata yule msichana mdogo Nuru asidhurike? Haiwezekani! Lilifanyika jambo. Nuru atalijutia jambo hilo alilofanya! Proper aliwaza huku akiyasaga meno yake kwa hasira.

Mtu mmoja tu katika umati huo aikuwa akiyatazama yote hayo kwa furaha, tabasamu pana likiwa usoni mwake. Akiwatazama Nuru na Proper kwa zamu, Aliyaona mawazo yao. Tabasamu lake likageuka kuwa kicheko.

Mtu huyo aliitwa au alijiita Duncan.

“Utakufa kifo cha kinyama kuliko vifo vyote vya kinyama ambavyo vimewahi kutokea na wewe kuvisikia katika historia ya dunia. Na kabla ya kifo chako utanieleza ni kitu gani ulifanya hata poda ile ikashindwa kuwaua wale mnaowaita viongozi.

Kuwaua! Ndio kwanza Nuru akafahamu jukumu gani alikuwa nalo. Kwa muda akasahamu maafa ambayo yalikuwa mbele yake, badala yake alijisikia faraja kuwa mkono wake haukuwa umefaulu kuhusika katika kitendo cha kishenzi kama kile, kama kingetokea. Angewatazamaje binadamu wengine? Angeishije katika dunia hii na doa la damu nzito ya viongozi wa nchi za Afrika.

“Ulifanya nini wewe malaya?”.

Nuru akakumbuka kumtazama. Kila kitu kilikuwa wazi katika macho hayo. Yalitisha kama macho ya simba aliyejeruhiwa, yakitangaza mauaji. Hakuwa na chochote mkononi, bastola wala kisu. Lakini Nuru alijua mikono yake iliyokakamaa, ikitetemeka kwa hasira ilitosha kumuua kwa pigo moja tu. Tangu tafrija ilipokwisha Nuru alikuwa na wasiwasi. Alijua kuwa jambo moja au jingine lilikuwa limeenda kinyume cha matakwa. Alihofia sana kurejea nyumbani. Hivyo, waliporuhusiwa kuondoka yeye alipita kwa marafiki ambao alizungumza nao hadi saa tatu za usiku. Ndipo aliporudi nyumbani peke yake baada ya juhudi zake za kumshawishi mmoja wao kufuatana naye kutofanikiwa.

Hakushangaa kukuta zile laki mbili hazipo pale alipoziacha. Wala hakushangaa kuona ufunguo ukipenya kwenye tundu la kitasa na kufungua mlango taratibu. Kama alivyotegemea aliingia mtu yule yule akiwa katika sura na umbo la jana. Baada ya kuingia ndani aliufunga mlango kwa nyuma na kumtazama NUru kwa macho yake makali. Hakupoteza muda wake zaidi bali aliyasema yale aliyokusudia kuyasema.

Kwa mara ya kwanza Nuru akaupata ulimi wke na kujitetea kwa udhaifu, “Sikufanya chochote zaidi ya kutekeleza matakwa yako. Na kama nia yako ilikuwa kuwaua watu wale wasiokuwa na hatia basi Mungu hakutaka.

“Unajua hatia wewe?” Proper aliendelea kufoka. “Unasema ulifanya kila nilichokwambia? Ebu ilete poda hiyo niione”.

Nuru alitoa poda hiyo na kumkabidhi Proper. Nae aliipokea kwa uangalifu. Mara akatokwa na ukelele wenye mchanganyiko wa hasira.

“Uliupata wapi uchafu huu?” Proper alifoka.

“Ni wewe uliyenipa”, Nuru akasisitiza.

“Una wazimu”, aliunguruma Proper, “Mimi nikupe takataka kama hii? Poda! iliyotengenezwa hapa hapa!” Akamkazia Nuru macho baridi. “Nakuhurumia sana bibie… Yeyote aliyekupa wazo la kunidhihaki kiasi hiki amekupa wazo la kipumbavu kuliko yote. Utakufa. Na kitakuwa kifo cha kinyama. Naapa. Lakini kabla hujafa utaniambia nani aliyekupa poda hii?”

Nuru akabaki ameduwaa. Nafasi ya hofu kwa muda ikachukuliwa na mshangao. Mtu huyu ana wazimu? Nuru alijiuliza. Ni yeye mwenyewe aliyemletea poda hiyo jana. Wala hakuwa ameigusa jana usiku bali aliiacha pale pale mezani na kulala. Na alipoamka ilikuwa pale pale pamoja na pesa zake.

“Ni wewe uliyenipa. Mimi sikuigusa wala…”

“Vizuri” Proper aliingilia maongezi ya Nuru, “Yaelekea umeamua kunidhihaki. Sasa nitakuonyesha mimi ni nani. Nadhani hujui watu wangapi wamesafiri kwenda kaburini kwa mkono huu. Utawafuata. Utakwenda kuwauliza ili wakufahamishe mimi ni nani”, akasita kidogo akimtazama Nuru. “Umekuwa msichana mzuri sana. Hufai kufa kabla ya kuonjwa tuone kama uzuri huo ni wa nje tu, au hata ndani, hasa baada ya kukupa ule uongo wangu kuwa nilikatwa uume wangu. Nataka ujuwe mimi ni nani”.

Nuru akabaki ameduwaa. Alitamani kupiga kelele lakini sauti ilikuwa kama iliyouhama mwili wake.

“Vua nguo zako zote”.

Bado Nuru alikuwa ameduwaa.

“Nasema vua nguo zako. Au utapenda nizivue mimi? Usitegemee kuvuliwa nguo kistaarabu”, Proper alisema akimsogelea Nuru pole pole. Macho yake yalidhihirisha kila dalili ya unyama na yalimfanya Nuru ashikwe na hofu kubwa hivyo akabaki amekodoa macho.

“Utavua au nikuvue?” Proper alihoji tena mikono yake ikiliendea koo la Nuru na kuanza kuliminya.

“Hatazivua na wala hatavua nguo”, ilisema sauti nyepesi kutoka nyuma yao. Wote wakagauka kutazama. Msemaji alikuwa akitokea bafuni, akawasogelea taratibu sigala ikiwa mkono mmoja, bastola mkono wa pili. Aliwaangalia akitabasamu.

“Heko Bi. Nuru, U msichana shujaa kuliko nilivyotegemea. Umenifurahisha sana kwa kutobabaishwa kwako na huyu mwehu. Poa moyo. Hataweza kufanya lolote la kinyama tena kwako”.

Sauti haikuwa ngeni masikioni mwa Nuru. Ilikuwa sauti ambayo aliizowea sana. Sauti ambayo aliondokea kuihusudu hata akaipenda. Lakini sura na umbile lilikuwa la mtu mwingine asiyemfahamu kabisa. Umbo zuri lenye dalili zote za afya na sura ya kuvutia yenye kila dalili ya ushujaa. Sura ambayo ilioana sana na sauti yake. Kwa Nuru hii ilikuwa enzi yake ya miujiza. Hivyo, kwa kuzingatia alivyoifahamu sauti hiyo alisema pole pole, “Wewe ni Duncan”.
Mgeni huyo akacheka. U msichana shujaa na mwenye hekima sana. Umewezaje kunifahamu kwa urahisi kiasi hicho? Kisha akamgeukia Proper na kusema: “Hata hivyo rafiki yangu huyu ananifahamu kwa jina lingine kabisa. Nililazimika kujigeuza sura na umbile kuwa Duncan ili kumthibitishia jamaa huyu kuwa utaalamu wa binadamu kujibadili si jambo geni katika nchi hii. Kila mtu anaweza. Au sivyo Proper, ambaye wakati mwingine ulijiita Profesa Kimara”.

Proper alijikuta katika wakati mgumu mno katika maisha yake. Mshangao aliokuwa nao ulikuwa mkubwa kiasi cha kutawala hofu na hasira ambayo ilikuwa imeanza kujitokeza. Proper hakupenda kuyaamini macho yake, kuwa kijana huyo mwenye bastola mkononi, mwenye  tabasamu la dhihaka usoni, alikuwa Joram Kiango mtu ambaye aliamini kuwa alikufa kitambo. Hivyo, aliondoa mikono yake kutoka shingoni mwa Nuru na kukirudia kiti chake alichokuwa amekalia.

“Haiwezekani. Huwezi kuwa Joram. Yeye alikufa kitambo kwa mkono wangu”.

“Alaa! Basi lazima ukubali kuwa amerudi kutoka kuzimu ili akupe salamu zako kutoka huko”.

Proper hakujibu. Wala hakuwa mtu wa kupoteza muda kuwaza kitu kimemfanya Joram kuwa hai hadi sasa. Bila shaka lilifanyika kosa fulani katika mauaji yale ya bomu. Na ni kosa hilo ambalo limempa Joram fursa ya kumshinda na kuharibu mipango yake yote kwa kufikiriwa kuwa hayuko tena duniani. Kwa kadri anavyomfahamu, ni yeye aliyekuwa ameingilia kati baini yake Nuru. Ni yeye aliyefanikiwa kuiba ile poda yake ya sumu na kuweka hii ya kawaida. Huo ndio mtindo wake. Kuharibu mipango madhubuti kwa namna ya dhihaka, kama mzaha. Hasira aliyokuwa nayo Proper kwa Nuru zikamgeukia Joram. Alitamani ainuke na kumrukia. Amuue kinyama kuliko historia ya mauaji ya kinyama duniani inavyoweza kukadiriwa. Amtafune mzima mzima! Alisita kwa kuiona bastola ya Joram ikimchungulia usoni.

Joram alikuwa akiyasoma mawazo ya Proper. Akacheka kidogo kabla hajasema.

“Ndiyo. Nililazimika kufuata mtindo wako wa uoga, kujificha katika sura za bandia ili niweze kupambana nawe vizuri. Dawa ya moto ni moto. Hata hivyo sina budi kukiri kuwa karibu nikate tamaa baada ya kuona siku zinakwisha kabla hujajitokeza kuanza harakati zako za kinyama. Kidogo nihadaike kama Inspekta Kombora na wasaidizi wake kuwa umekimbilia nje ya nchi. Hata hivyo sikukata tamaa. Niliijua njia ambayo ungeitumia kujaribu kuwaua viongozi kama wale ingekuwa kwa sumu ile ile ambayo ulithubutu kuitumia kwangu ukashindwa, lakini ukafaulu kumuua mpenzi Neema”, Joram alinyamaza kidogo kwa huzuni, akakumbuka jinsi Neema alivyokubali kuyapoteza maisha yake kwa ajili yake. “Ndiyo, ulimuua Neema pamoja na watu wengi wasio na hatia”, alieleza Joram.

Akaeleza jinsi alivyolazimika kukaa hotelini, akajifanya mtoto wa tajiri aliyeko Ulaya na kuzungumza na kila mtu, ingawa alizungumza mambo ya kawaida tu bila kutia dalili za upelelezi, lakini alikuwa kazini akimchunguza kila mfanyakazi. Akitazama kwa makini nani angekuwa na dalili yoyote ya kukutana na mtu mwenye tabia za Proper. Hasa nilitegemea kuwa ungewatumia wasichana wazuri”, alisita kidogo kisha akaendea. “Na kwa kuwa Maunt Meru hakukuwa na msichana mzuri zaidi ya dada yangu Nuru, ilinibidi nimtazame yeye kwa makini zaidi. Kidogo nikate tamaa hadi jana nilipomuoa Nuru akiwa katika hali isiyokuwa ya kawaida nikapata matumaini. Kisha nikakiona kidani ambacho ulimpa kama zawadi. Kidani ambacho kina mitambo ya kunasa sauti na kuisafirisha hadi ulipo. Nia yako ilikuwa kusikiliza anazungumza nini na akina nani. Hivyo nilipomshawishi akivue na kumhoji mengi bila ya yeye kujua uliamua kumtisha. Msaada ulionipa haukuwa mdogo. Uliniwezesha kuwa mmoja wenu katika mkutano wenu wa jana wakati ukimpa ile sumu na laki mbili baada ya kumtisha sana. Nilisubiri hadi ulipokuwa umeondoka na binti huyu amelala ndipo niliingia na kuichukua poda ile ya hatari na badala yake nikaweka hiyo ya kawaida ambayo nilinunua kutoka katika duka la jirani”.

Joram akamgeukia Nuru, “Laki mbili zako pia nilizichukua mimi. Ninavyomfahamu huyu nilijua alikuwa akisubiri usafiri pamoja na viongozi kisha arudi hapa na kuzichukua pesa zake. Hivyo, nimezihifadhi mahala ili baada ya shughuli hii iliyobaki uje uzichukue. Ni haki yako kabisa Nuru kwa usumbufu aliokufanyia”, Joram akamgeukia Proper.

“Wewe mshinzi pengine utafurahi kusikia kuwa sumu yako iko katika mikono ya vyombo vya usalama yaani polisi. Niliipeleka huko ili ichunguzwe. Baada ya uchunguzi ikijulikana nchi na kiwanda gani kinatengeneza sumu hatari kama hiyo, suala hili litapelekwa kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa. Lazima anayehusika kutengenezwa kwa sumu hiyo aadhibiwe vikali. Wakati huu ambao viongozi wa Baraza la kutunga sheria la Umoja huo wanafanya kila juhudi kupunguza utengenezaji wa silaha za hatari lakini kiwanda hicho bado kinatengeneza sumu hatari kama uliyokuwa nayo wewe, kazi unayo ndugu”, alisema Joram.

Joram alisita kidogo akatoa sigara nyingine akaiwasha. Macho yake yalikuwa yakimtazama Proper kwa umakini wa hali ya juu. Tabasamu lilikuwa limetoweka na hasira kali kupokonya nafasi yake. Hata hivyo, Joram akaongea kwa utulivu, “Dunia haijapata kumwona mwendawazimu mshenzi kama wewe. mtu mwenye roho chafu zaidi ya mnyama. Ni ajabu kuwa huna mkia. Unyama wako umewazidi akina Adolf Hitler na Musoline. Umewazidi hata Nduli Iddy Amin wa Uganda na Bokasa. Hata Voster na Smith hawakufikii. kwa kweli ulistahili kufikishwa mahakamani ili dunia nzima ikuone. Inspekta Kombora na wasaidizi wake watafika hapa baada ya dakika chache. Watapenda kukuchukua mzima na kukufikisha mahakamani. Lakini nimelazimika kuwachelewesha kidogo ili wakifika hapa waikute maiti yako. Ni jukumu lao wao wenyewe kuamua kama watakutupa maiti yako vichochoroni iliwe na mbwa koko au kuifikisha mahakamani. Lakini lazima waikute maiti yako. Niliahidi nitakuua kwa mkono wangu mwenyewe ili kulipa kisasi kwa wote uliowaua kikatili, hasa mpenzi wangu Neema Iddy”.

Proper alianza kutetemeka kidogo, hofu ikamwingia. Ni rahisi sana kuua mtu. Lakini si rahisi kuuawa huku ukitazama. Akailaani bahati yake kwa kutochukua silaha yoyote siku hiyo. Kwa kweli alikuwa hazihitaji. Aliamini marais wangekufa kwa sumu. Na mwishowe binti huyo angekufa kwa mikono mitupu. kidole chake kimoja kingetosha kumwua.

Joram akamgeukia Nuru. “Bibie. Tafadhali toka nje ili nimalize kazi hii. Sipendi ushuhudie mwendawazimu huyu anavyokufa. Kesho jioni utapokea furushi lenye pesa zako zote. Mimi nitakuwa nimeondoka kurejea Dar es Salaam. Hivyo nadhani hii ni kwa heri ya kuonana”.

Nuru hakuinuka. Alikuwa akimtazama Joram kama mtu atazamaye mchezo wa kuigiza katika sinema. Yawezekana huu ukawa mwisho? Mwisho wa ndoto zake zote juu ya Duncan ambaye ametokea kuwa Joram Kiango? Joram ambaye alizisikia sifa zake mara nyingi na kumhusudu kupindukia? Asingependa uwe mwisho. Asingekubali. Mara akaangua kilio. Hakujua kinachomliza.

“Nuru”, Joram alitamka kwa mshangao.

Mtutu wa bunduki yenye nguvu ulikuwa ukiwachungulia kutoka nje kupitia dirishani. Bastola ilikuwa mikononi mwa mtu  aliyeufunika uso wake kwa tambara jeusi. Bastola hiyo ilimwelekea Proper. Lakini ingeweza kumpata Joram vizuri zaidi. Aliyeshika bastola hiyo alisikitika kwa kuwa hakuwa amepewa amri ya kumwua Joram. La sivyo, ingekuwa kazi ndogo sana kwake. Hakujua lini ingetokea tena nafasi nyingine nzuri kama hii. Akailekeza vizuri katika paji la uso wa Proper.                                 

                                     *************

                                               VII
“Nuru”… Joram alikuwa akisema tena wakati mlio wa kawaida ulipolipuka chumbani humo. Joram alijirusha chini akampitia Nuru na kuanguka nae sakafuni. Bastola yake ikaelekea mlangoni! Usingizi ambao hakuutegemea ulimpitia papo hapo.

Dakika chache baadaye alizinduka. Alishangaa kujiona akiwa kamkumbatia Nuru kama walivyoanguka. Alipotupa macho katika kiti alichokuwa amekalia Proper alishangaa kuona kitu kama uji ulichanganywa na damu nzito. Baada ya kutazama kwa makini ndipo alipofahamu ni kipi alichokuwa akikishuhudia. Ulikuwa ubongo wa binadamu uliotoka katika kichwa cha binadamu  kilichofumuliwa kwa risasi. Yeyote aliyefyatua risasi hiyo alikuwa ameifanya kazi yake kikamilifu. Na hakusahau kuuchukua wa aliyekuwa Proper. Kwanini hakuuchukua ubongo wake pia? Joram alijiuliza. Au waliuacha ili uwe ushahidi kuwa adui yake amekufa? Hakuona kama ingemsaidia. Alikuwa ameapa angemuua kwa mkono wake. Yeyote angemuua alikuwa amemsaliti.

Hasira mpya zikampanda Joram. Akainua bastola yake na kuielekeza katika kifua chake. Akafumba macho. akajiuliza, kwanini apokonywe kazi kulipa kisasi kwa kumuua Proper, mtu aliyemuua mpenzi wake Neema.

“Joram”, sauti ndogo ya kike ikapenya masikioni mwake ikimwonya.

Akafumbua macho na kukutana na macho ya Nuru, yenya machozi na huzuni, ambayo yalikuwa yakimtazama kwa namna ya kusihi na kumbembeleza kama yanavyosema. “Huwezi kufanya hivyo”, Ingawa kwa mdomo hakusema lolote, Joram akajua kuwa asingeweza kujiua. Hakuwa mtu wa kujiua. Akaitupa bastola hiyo chini na kuinuka akitoka zake nje.

“Joram”, Nuru aliita akimfuata.

“Unataka nini zaidi?”.

Nuru alipomfikia alimshika mkono na kumwambia, “Huwezi kuondoka katika hali hiyo Joram. Nataka nikusaidie kukufariji umsahau Neema. Niko tayari kufanya chochote na kupoteza kila kitu mradi uusahau msiba wa ulionao moyoni. Tafadhali nipokee Joram”.
Ilikuwa sauti ile ile ya Nuru. Sauti isiyoweza kupingika. Na alimtazama kwa macho yale yale laini yanayosihi na kubembeleza. Macho ambayo hayangepuuzwa. Nuru alisema huku vidole vyake laini vikiuchezea mkono wa Joram katika hali inayoshawishi na kuchokoza kwa kiwango kisichostahimilika. Umbo lake lilikuwa lile lie lenye kila chemaambacho macho ya binadamu hustarehe kutazama na mikono ikiburudika kuligusa.

“Ndiyo, Joram ni shujaa. Lakini nani aliyesema kuwa ana moyo wa chuma?

TAMATI

SALAMU KUTOKA KUZIMU – 4

SALAMU KUTOKA KUZIMU – 4




Simulizi : Salamu Kutoka Kuzimu
Sehemu Ya Nne (4)

CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Mtu huyu alitabasamu alipomwona Joram akirudiwa na fahamu.Tabasamu ambalo lilikuwa ni vigumu kutofautisha na kilio.

“Naitwa Unono. nimekuokoa kutoka katika kifusu cha nyumba iliyopatwa na ajali. Unajisikiaje bwana wangu?”

“Bwana wake hili lingemchekesha Joram Kiango. Lakini maumivu yaliyokuwa yakimsumbua hayakuwa madogo. Yakamfanya amshukuru na kuuthamini msaada wa Unono. Alijuwa kuwa bila ya unono angekuwa marehemu. “AHsante sana,” akijikongoja kutamka.

“Usijali mpenzi.”

Mpenzi! Joram aliwaza kwa hasira kidogo. Kisha alitabasamu alipojikumbusha kuwa huenda mama huyu hana akili timamu. Kwani Joram hakumbuki lini aliwahi kuitwa “Mpenzi” na mtu wa aina yake.

Tabasamu la Joram lilimtia Unono moyo. Akacheka na kueleza kwa mnong’ono. “Nimekuleta kwa siri. Majirani wote wamelala. Hakuna anayejua kama uko humu. Kama wangejua wangekupokonya kutoka mikononi mwangu. Hakuna mtu anayependa kuniona nikipata kitu kizuri. Nawe u mzuri bwana wangu. Mzuri na mwenye afya. Nimekubeba kwa taabu kubwa sana. Baada ya muda si mrefu utapona. Utakuwa wangu. Nitakupa chochote na kila kitu utakachokitaka kutoka kwangu.”

Joram hakuwa amemsikiliza. Alikuwa ameirejesha akili yake katika tukio zima na kulitafakari. Akajikumbusha kuwa kuna mtu aliyekuwa amedhamiria kumuua. Mtu ambaye ametumia njama namna kumuua. Kwanza, akamtumia yule msichana kumpa sumu. Pili, ametumia bomu. Na ameponea chupuchupu kuuawa na bomu hilo. Pengine mtu huyu anaamini kuwa amekwishafariki. Ama asingeshindwa kuja hapa na kummaliza kwa urahisi. Kwanini mtu huyu akataka kumuua kwa vyovyote vile? Amefanya kosa gani ili aweze kuchukuwa na binaadamu mwenzake kiasi hiki? Joram hakupenda kuwindwa kama mnyama mwituni. Hasira zilimjaa. hasira zilizompa nguvu. AQkashindana na udhaifu aliousikia mwilini. Akainika kwa kujikongoja. Akajitahidi kusimama wima.

“Una nguvu za ajabu mpenzi,” Unono alisema kwa mshangaoJoram alimtazama bila kumsikia. Akilini mwake aliwaza: Ni vipi angekuwa mwinda badala ya mwindwa? Vipi angemtia mkononi mtu huyu wa hatari? Alikuwa na fursa nzuri sana kwani huyu alikwisha mtoa akilini kwa kudhania kuwa tayari amemwangamiza. Aliona kuwa isingekuwa kazi ngumu kumtia mikononi.
Hata hivyo, aliuona ugumu wa Jukumu hili. Alikuwa amepoteza silaha zake zote. Alipoteza ndevu zake za bandia pamoja na kilemba chake. Begi lake lililobeba vifaa vyake muhimu lilikuwa limepotea pia. Basi, alifurahi mno kupata pochi yake kwenye kwenye mfuko wa suruali. Pochi ambayo ilisetiri mambo yake mawili muhimu, noti zake chache na picha ya adui yake. Picha ambayo alikuwa ameipiga kwa siri sana kule hotelini ambako adui yake huyu alikuwa akimwandalia kifo chake. Joram aliitazama picha kwa makini, kisha akaihifadhi, na kujilazaq kitandani akisubiri mapumziko.

Unono, ambaye wakati huu wote alikuwa ametulia akimtazama Joram, alimfuata kitandani. Buibui amelivua tayari kusheherekea vuno lake. Weusi wa umbo lake haukupendeza hata kidogo. Lakini Unono alikuwa amedhamiria.

“Naona umepona mpenzi,” alisema
“Tunaweza kufurahi kidogo…”

Hili Joram hakulitegemea. Alitamani kumwachia kofi kali ambalo lingetuwa katika sura hiyo mbaya na kuirejeshea akili. Lakini kwa kuwa bado alimhitaji, hili hakulifanya. Badala yake, alizungumza kwa sauti ya udhaifu zaidi. “Baada ya kunitoa hatarini unataka kuniua hapa? Huoni kama niko hoi?”

“Pole!”

Usiku huo ulikuwa mgumu kwa Joram. Kwa kweli Joram alikuwa amezoea kukutana na wanawake wazuri. Lakini alikuwa hajazoea kupambana na wanawake aina ya Unono. Mwanamke mzuri anaponuna, Joram huwa anaelewa na sura yake haichukizi, na anapocheka inapendeza. Huyu akicheka inachukiza, na akinuna tazama anavyotisha! Ulikuwa usiku mgumu. Usingizi ulimpata alfajiri. Alikurupuka na kumkuta Unono yuko juu yake!

Kulipopambazuka alitayarishiwa maji ya moto ambayo aliyaoga haraka haraka. Alipotoka bafuni alikuta Unono kaandaa chai nzito. Baada ya kuinywa aliambiwa, “Sasa hujambo. Tafadhali tulale kidogo kabla hujanikimbia kama wenzako wote.”

“Kukimbia?” Joram alihoji, akijitia kushangaa. Bado nauhitaji sana msaada wako.” Akaitoa pochi yake. Ninahitaji sana msaada wako,” aliongeza. “Pesa hizi ni nauli yako. Na hii hapa ni picha ya mtu ambaye nitakuomba uipeleke kwa msichana mmoja. Anwani yake ni hii…” akamweleza. “Utanisaidia mpenzi.”

Unono hakuwa amemsikiliza kwa makini. Lakini “Mpenzi” lilimfanya ayakumbuke yote aliyoelezwa kwa uhakika kabisa. Kuitwa “Mpenzi” na kijana mzuri kama huyu, aliyekuwa amemnyima usingizi usiku kucha. Hakumbuki kama kuna binadamu yeyote wa kiume aliyewahi kumuita hivyo. “Nitakusaidia kwa lolote,” alimjibu.

“Ahsante,” Joram alijibu. “Jambo jingine nitakalokuomba ni la siri. Tafadhali sana usimfahamishe mtu yeyote kuwa unaishi na mtu hapa. Wala usimfahamishe mtu yeyote kuwa mtu huyu alinusurika ajali ya bomu. Tafadhali iweke vyema siri hiyo. Ningependa kuishi hapa kwa wiki nzima bila mtu yeyote kufahamu.”

Wiki! Unono hakuyaamini masikio yake. Alizidiwa na furaha. Hakuahidi tu bali aliapa kuwa asingeitoa siri hiyo hata kwa ncha ya kisu. Baada ya kujiandaa, aliaga na kutoka nje ambako alipanda basi kama alivyoelekezwa na Joram. Ndipo alipomwendea Neema na kumpa ile picha, ingawa kwa ajili ya wivu, hakueleza kikamilifu yote ambayo Joram alikuwa amemwelekeza. Wivu ambao ulimharakishia Neema Idd kifo chake.

Baada ya Unono kuondoka, Joram pia alifuata. Aliingia mitaani ambako alinunua mavazi fulani fulani na miwani myeusi, akajibadilisha.Mtu asingeweza kumfahamu kwa urahisi, hasa mtu ambaye alikuwa na uhakika kuwa Joram Kiango alikwisha fariki. Ktoka hapo, alienda kwa Neema. Alishuku kuwa binti huyo alikuwa anachunguzwa. Aliingia katika nyumba hiyo kwa siri mno bila ya jirani yeyote kumwona. Alishangaa kutomkuta Neema ndani ingawa picha aliyoihitaji ilikuwa mezani ikiwa na maelezo yote nyuma yake. Baada ya kusubiri kwa muda, aliondoka tena kwa siri kama alivyoingia. Alirejea kwa Unono ambaye Joram alimkuta tayari kanuna na kukata tamaa. Hivyo alipomuona Joram alimrukia na kumkumbata. Lakini Joram alijitoa mikononi mwake kwa kumuomba aende kwa Neema kupata majibu. Alimpa pia maelezo mengine.

Unono aliondoka, lakini hakurudi.

Subira ya Joram haikuzaa matunda yoyote. Kiza kilipoingia, aliondoka hadi kwa Neema. Mbele ya nyumba hiyo alisikia maongezi ya watu juu ya ajali ya “Mwanamke kichaa, mfupi…” Ndani kwa Neema, alimkuta kalala kitandani, Kapoa kitambo.

Kifo cha Neema kilimshtua Joram zaidi ya kitu chochote kilichowahi kutokea. Hakutegemea. Alitaka kulia ingawa hakujua kwa nini machozi hayakujitokeza machoni mwake. Neema kafa! Msichana pekee ambaye waliondokea kupendana zaidi ya dada na kaka au mtu na mkewe. Msichana ambaye daima alikuwa tayari kuhatarisha maisha yake kwa ajili yake. Binti ambaye mara nyingi ameyaokoa maisha yake. Asingeweza kusahau mchango wake katika kisa cha Najisikia Kuua Tena. Wala asingekosa kumkumbuka kila alipofikiria tukio la Dimbwi La Damu. Neema! Mtoto Mpole, msikivu, mwenye hekima. Mtoto mzuri kwa sura na umbo. Kapotea bure kwa uzuri ule katika mikono ya mtu mwenye roho ya kinyama na fikira za shetani…
Hatimaye machozi yakamtoka.

Joram hakuwa na haja ya kuambiwa kuwa kifo hiki ni matokeo ya kazi ndogo Aliyompa Neema kupeleleza juu ya mtu au watu hawa waliokusudia kumwua. Akaaapa kuwa asingestarehe hadi amtie mikononi mtu huyu! Mikononi? Alijiuliza kwa hasira. Ndiyo, Joram hajawahi kuua. Wala leseni yake haimruhusu kuua isipokuwa katika kujitetea tu. Lakini huyu lazima amwue kwa mkono wake. Aliapa. Damu ya Neema na wote wasio na hatia waliouawa na mtu huyu lazima ilipwe. Deni la damu hulipwa kwa damu.

“Wazimu wa hali ya juu… Wazimu wa hatari…” Kombora aliendelea kufoka kimya kimya, masaa kadhaa baada ya kuhudhuria kile kikao ambacho kiliendeshwa na Joram. Karatasi zile zilikuwa kando mbele yake, zikimtisha na kumtamanisha. “Mtu kadhamiria kuua kinyama umati mzima wa viongozi, kwa njia za kipekee ambazo si rahisi kubainika! Mtu huyu yu hai na huru mahali fulani katika Jamhuri hii! Wazimu ulioje? Hana haki ya kuendelea kuishi. Lazima afe haraka iwezekanavyo”.

Hayo Kombora alikuwa ameyasema mara nyingi usiku huu. Tangu Joram alipomwacha, alitoa amri ya kuwahifadhi ‘Waheshimiwa’ wote na kisha kuanza jukumu la kumsaka Proper. Kati ya karatasi alizoacha Joram, zilikuwa pia zile ambazo zilifichua makazi yake yote na majina yake mbalimbali. Hivyo makachero walitumwa sehemu mbalimbali kumsaka. Mengi ya kutisha yalibainika, lakini mtu waliyemhitaji hakupatikana. Alikuwa ametoweka kama moshi unavyopotelea hewani. Ndipo Kombora alipoelekeza juhudi zake kumtafuta Joram kwa matumaini ya kwamba angeweza kuwa na fununu ambayo ingerahisha kupatikana kwa mtu huyo. Lakini alishangaa alipoona kuwa juhudi za makachero za usiku kucha hazikufanikiwa. Sasa kulikuwa kukipambazuka bila dalili zozote za Joram kupatikana. Yeye pia alikuwa ametoweka!

Ulikuwa usiku wa manane. Lakini Kombora hakusinzia hata kidogo. Wala hakudani kama angeweza kupitiwa na lepe la usingizi usiku wowote hadi wakati mtu huyo hatari atakapokuwa ameuawa au kutiwa mbaroni. Zilikuwa zimesalia siku chache sana kabla ya mkutano huu maalumu wa viongozi wa nchi ziliko mstari wa mbele ufanyike mjini Arusha Tanzania. Ilisemekana pia kuwa viongozi wa nchi nyingine huru za Afrika wangehudhuria mkutano huo. Na mtu huyu – lanakum – anayekusudia kuwaangamiza viongozi hawa kinyama, yuko mahali fulani katika nchi hii! Vipi Kombora angeweza kustarehe?.

Alikuwa na wajibu. Wajibu muhimu na wa haraka kuliko wowote mwingine uliowahi kumhusu kama kiongozi wa kikosi hiki maalumu: kumpata muuaji huyu mapema iwezekanavyo. Ni hili lililomfanya aendelee kuwa ofisini hadi muda huo, akipokea simu na taarifa mbalimbali za makachero waliosambazwa kote Jijini kufanya kazi moja tu, kumpata Proper akiwa hai ama maiti.

Hakupatikana. Saa tisa… saa kumi… na moja! bado hakukuwa na taarifa yoyote ya uhakika, jambo ambalo lilizidisha hasira na mashaka katika kichwa chake. Akaelekeza imani yake kwa makachero wa uwanja wa ndege waliodai kuwa mtu wa aina hiyo alikuwa amepanda ndege iliyoelekea mkoani Mwanza. Hata hivyo, Kombora hangeweza kukubali taarifa hiyo mara moja, hakuona kama Proper alikuwa mtu wa kukubali kushindwa hata kukimbilia Mwanza. Kombora aliamini kuwa mahali ambapo mtu mwehu kama huyo angekimbilia ni Arusha ambako angesubiri ili kujaribu kuukamilisha uendawazimu wake kwa vitendo. Hivyo akatoa amri kwa makachero kuendelea na upelelezi hadi mtu huyo apatikane.

Mapambazuko yalifika kabla Proper hajapatikana. Baada ya kunywa vikombe viwili vya kahawa, ili kupunguza uchovu, Inspekta Kombora alijikuta akiinua simu na kuzungusha namba za nyumbani kwa Katibu Mkuu wa Wizara.

Usiku mzima alikuwa amepingana na wazo hilo. Hakuwa mtu mwenye tabia ya kuyatupa matatizo yake kwa wakubwa. Lakini hili aliliona kuwa la hatari zaidi. Maana lingeweza kuleta madhala ya kimataifa. Hivyo, haikuwepo njia nyingine ila kuiarifu serikali mapema kabla maji hayajamwagika.

Simu ilipokelewa na Katibu Mkuu mwenyewe. Maelezo ya simu hayakumridhisha Katibu Mkuu. Akamwamru Inspekta Kombora kufika ofisini kwake saa mbili kamili ili amuarifu taarifa hiyo barabara. Ndipo Kombora aliporejea nyumbani kwake ambako alioga, akabadili sare zake za kazi kisha akarejea ofisini kimya kimya kumweleza mama watoto wake wapi walilala. Haikuwa tabia ngeni katika kazi yake.

“Unadhani ni kweli mtu huyu ameamua kuitekeleza ndoto yake”, Katibu Mkuu alimwuliza Kombora baada ya kumsikiliza kwa makini.

“Ndiyo mzee”, Inspekta Kombora alimjibu baada ya kusita kwa muda.

“Tazama mtu huyu alivyofauru kumuua jasusi mwenzake aliyekuwa akijificha kwa kuvaa mavazi ya kipadri. Kwa kila hali anakusudia kuendelea na ndoto yake”, Inspekta Kombora alieleza kwa msisitizo.

“Na unasema huyu kijana Joram Kiango ambaye iliaminika kuwa amekufa, aliyesaidia kufichua yote haya hajulikani aliko?”, Katibu Mkuu wa Wizara aliendelea kuuliza.

Kombora alikohoa kabla ya kujibu. Hajulikani mzee. Ni ajabu kuwa yeye pia alitoweka. Naamini yuko katika msako wa kumtafuta huyu ambaye amemuua pia msichana wake mpenzi Neema. Hata hivyo juhudi zake hizo za kibinafsi akiongozwa na hasira zaweza kuleta madhara.

“Ingefaa tushirikiane…” Mara Kombora akasita baada ya kukumbuka kuwa mengine kati ya maelezo yake hayakumhusu Katibu Mkuu. Yalikuwa maelezo yake binafsi.

“Ndiyo, ndiyo Inspekta”, Katibu Mkuu alimjibu, “Sasa sijui sababu za kuniona mimi. Sidhani kama hutapenda kuniambia kuwa kikosi chako kimeshindwa kabisa hivyo unaomba msaada wa wizara nzima ifanye kazi ya kumsaka na kumtia mbaroni mwendawazimu mmoja tu”.

“Sivyo mzee”, Kombora alijibu akimtazama kijana huyu kwa aibu baada ya kumwita kijana huyu ‘mzee’ ilihali alimzidi kijana huyu kwa umri. “Naamini tutampata… Isipokuwa niliona ni vyema kukujulisha ili ikiwezekana uishauri serikali iahirishe kikao cha wakuu wa nchi zilizo mstari wa mbele”.

“Hilo haliwezekani kabisa”, Katibu Mkuu aidakia. “Kikao hiki mhimu mno. Ni kikao pekee ambacho kinaelekea kufanikisha dhamira yetu ya kuipatia Namibia Uhuru. Na kadharika tumekusudia kuratibu mbinu mpya za kuharakisha kutokomeza ubaguzi wa rangi Afrika Kusini. Aidha kikao kimeadhimia kujadili vita vya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan na Ethiopia. Tumekusudia kukuza misingi ya muungano wa Afrika. Haya ninayokusimulia ni siri kubwa. Naratajia utayahifadhi. Nimelazimika kukueleza haya ubaini kuwa kikao hicho ni muhimu. Haiwezekani kuahirisha mkutano huu. Ni wajibu wako kumnasa mtu huyo mnayemwita Proper.

“Fanya kila uwezavyo”, Katibu Mkuu aliendelea. “Kadharika, siri ya kunusurika kwa Joram Kiango ingepaswa ilindwe vilivyo. Kijana huyu ana busara sana. Anaweza kukusaidia kumpata mtu huyo. Lakini itabidi isifahamike kabisa kuwa kijana huyu yuko hai”, Katibu Mkuu akasita na kumtazama Kombora. Kisha akauliza ghafla.

“Kwa nini kijana huyu hujamweka katika kikosi chako”. Kombora akatabasamu. “Joram! Tumemwomba mara nyingi. Hataki. Ni mtu apendaye uhuru wake”.

“Na pengine mkiwa naye pamoja huenda akashindwa kufanya kazi yake”, Katibu Mkuu akaongeza. “Naona njia zake za upelelezi zimo katika tapo la kipekee. Nimezisoma harakati zake magazetini na katika vitabu mbalimbali”.

“Nadhani ni kweli”. Kikafuata kimya kifupi. Kombora alifahamu kuwa Katibu Mkuu alikwisha msahau na kuzama katika mawazo ya shughuli nyingine. Hivyo, aliinuka na kuaga. “Asante mzee”.

“Naamini utafanya juu chini kumpata mtu huyu Inspekta”, Katibu Mkuu alimtupia neno Inspekta Kombora alipoukaribia mlango.

“Bila shaka mzee”, Inspekta Kombara alijibu, huku kichwani mwake akijiuliza angeweza kufanya nini zaidi.

Proper alikuwa juu ya kitanda katika chumba cha mojawapo ya Hoteli nyingi za Mji wa Mwanza. Mkono wake wa kulia ulikuwa ukichezea matiti ya mischana mrembo aliyelala kando yake, mkono wa kushoto ulikuwa ukipepesa kiuno cha msicha huyu. Wote walikuwa uchi na miili yao ikitokwa jasho. Jasho liliendelea kuwatoka asubuhi hii yenye baridi kali. Jasho lililotokana na juhudi za miili yao katika kuthibitisha utaalamu na uwezo wao kimahaba.

Huyo alikuwa msichana wa tano tangu Proper aingie mjini Mwanza na kufikia katika hoteli hii… Wawili waliotangulia, alikuwa amewaona wa kawaida tu. Zaidi ya uzuri wao wa sura na maumbile ya kuvutia, kitandani hawakuwa na la ziada. Hivyo aliwapa ujira wao na kuwaaga. Lakini huyu wa tatu, hakuonekana kama alikuwa mtu wa kuagwa kwa urahisi. Sura haikuwa nzuri sana. Wala umbile lake halikuwa kama yale ambayo huwafanya madereva wa magari waroho wasababishe ajali barabarani kwa kuwatazama. Msichana huyu alikifahamu kile alichopaswa kuwatendea wanaume. Alielewa alichokusudia Muumba wake kwa kumwezesha kuwa na viungo tofauti. Kila kitendo chake kitandani alikitenda kwa ari na nia, bila uchoyo wa aina yoyote. Kila kiungo chake mwilini alikitumia kikamilifu bila hiana. Na hakuonekana mwanafunzi katika vitendo vyake vyote.

Ni hayo yaliyomfanya Proper ajisahau kwa kiasi fulani.

Ni kweli kuwa aliyoyaona Mwanza hayakuwa ya kawaida. Katika Jiji la Dar es Salaam ambako aliishi sana, kupata msichana au mwanamke wa kujiburudisha haikuwa tatizo. Ziko saa za jioni, au usiku, ambazo utajitokeza mitaani na kujipitisha. Hutavuka mtaa wa tatu kabla hujapata mtu ambaye ataivunja safari yake na kuandamana nawe hadi chumbani kitandani, ambako ataondoka alfajiri na siku ya pili. Lakini si hivyo kwa muda wa Mwanza. Hapa unachotakiwa kufanya ni kujipatia chumba chako kwanza katika moja ya hoteli nyingi zilizogaa. Kaa chumbani kwako kwa utulivu. Haitapita muda mrefu kabla hujapigiwa hodi na watoto wa kike ambao watajitia kuuliza hili na lile hadi maswali yao yatakapokufanya utoe jibu litakalowafanya waangukie kitendani.

Proper pia alitulia chumbani kwake kimya akingoja hodi yake. Haja yake haikuwa kujiburudisha tu, bali alitaka kujificha, ili aonekane kama wapangaji wengine. Kama vijana ambao waliamua kuonyesha ujana wao au wazee ambao waliifurahia fursa ya kuwaasi wake zao. Ndipo alipoanza kuwakaribisha wasichana mmoja baada ya mwingine hadi alipotokea huyu, ambaye hakuonekana kama alistahili kuondoka.

“Jina lako”, Proper alimwuliza huku akihamisha mkono mmoja kutoka kiunoni na kuupeleka kichwani kwa ajili ya kuchezea nywele ndefu zilizotimuliwa kutokana na zoezi lililokuwa likiendelea kitandani hapo.

“Sofia” msichana huyu alijibu kwa sauti ya mahaba. “Na wewe?” akaendelea kuuliza.

“Bakari, ingawa rafiki zangu hupenda kuniita Beka”, Proper alimlaghai.

“Kwa maana hiyo nikuite Beka siyo”.

“Hapana. Niite mpenzi”.

Sofia akacheka. Na kicheko chake kilikuwa cha kupendeza.

Baada ya muda, msichana huyu alipitiwa na usingizi. Kichwa akakiegemeza katika kifua cha Proper, mkono wake akauweka mahala fulani katika mwili wake, akawa amelala kwa utulivu mkubwa. Uso wa msichana huyu ulikuwa kama anacheka, kwa jinsi alivyokuwa amelala.

Proper alimtazama kwa muda. Kisha alijitoa kitandani hapo kwa uangalifu bila ya kumwamsha Sofia. Akaliendea begi lake ambalo alilifungua na kulichunguza. Sehemu za kawaida zilikuwa na mavazi yake, vitambulisho vyake bandia na vikorokocho vingine. Mifuko ya siri, ambayo kama alivyotegemea, wakaguzi wa uwanja hawakuweza kuifikia, ilikuwa na silaha zake, nyaraka zake muhimu, dawa zake maalumu, na pesa nyingi. Kila kitu kilikuwa kama kawaida. Proper akakirudia kitanda ambako alikiinua kichwa cha msichana huyo taratibu na kukirejesha kifuani kwake na mkono kuuweka kama ilivyokuwa awali. Kisha akayafumba macho yake kwa namna ya utulivu.

Lakini akilini hakuwa na utulivu wowote. Kichwa chake kilikuwa kazini kikitafakari matukio yote yaliyopita na ajali. Aliukumbuka kwa hasira mpangi wake madhubuti ambao aliuandaa kwa gharama kubwa na muda mrefu, na ulivyokaribia kumpotezea maisha. Ilimchukiza kuona kuwa waliokusudia kumwangamiza walikuwa watu wa upande wake. “Kwa ajili ya uoga”, aliwaz. Uwoga usio na msingi. Uoga ule ule ambao umewafanya kwa muda mrefu watumie pesa nyingi kukamilisha mabomu ya nyuklia, lakini hadi leo hawajadhubutu kufanya majaribio walao katika nchi moja. Wapi basi haja ya kusumbua vichwa? Yeye Proper angewaonyesha. Liwalo na liwe lakini mpango wake aliouanzisha lazima atautekeleza. Peke yake na kwa mkono wake Dunia ione Ulimwengu usikie.

Proper aliyarejesha mawazo yake kwa Inspekta Kombora na jeshi lake. Walikuwa wanafanya nini alijua kwamba, kifo cha yule Padri kiliwafungulia polisi mwanya fulani. Hata hivyo alielekeza fikra zake zote kwa kazi hii ya mwisho. Hakuna ambaye angeweza kulizuia pigo la mwisho, Pigo la kihistoria.

Proper alimtazama Sofia usoni. Akamuona alivyolala kwa utulivu. Angetokwa na kicheko kwa kumhurumia msichana huyu alivyolala kwa utulivu bila kufahamu amelala na mtu wa aina gani. Hajui kama amelala na kifo! Alinongona kimoyomoyo. Kisha alimwamsha na kumtaka wafanye tena mapenzi. Kama kawaida, msichana alikuwa tayari. Kama kawaida yalikuwa mapenzi ambayo yaliacha kumbukumbu akilini mwao.

“Wapi unaishi Sofia?” Proper aliuliza baada ya kukusanya pumzi kwa dakika kadhaa.

“Kirumba, nyuma kidogo ya Uwanja wa mpira”.

“Unaishi na nani Sofia?”.

“Peke yangu”, Kimya kifupi kikapita. “Kwa nini unapenda kujua?”.

Proper alipeleka ulimi wake kuchezea chuchu za Sofia kabla hajatoa jibu.

“Kwa sababu nyingi. Kubwa ni kwamba ni kwamba sijapata kukutana na aliyeniburudisha kama wewe. Nisingependa kutengana nawe tena, kwani nikikukosa huenda nisipate mtu wa aina yako. Hivyo, nimependa nihame hapa hotelini na kuishi kwako hadi shughuli zangu zitakapokwisha hapa Mwanza, halafu twende zetu pamoja Bujumbura. Unasemaje?”

Habari hii ilimfurahisha sana Sofia. Msichana huyu alikuwa ametoroka kwao Sengerema baada ya kupata mimba isiyokuwa na mwenyewe. Mimba hiyo iliishia chooni. Tangu siku hiyo, amekuwa mtu asiyekuwa na tumaini la kupata bwana wa kudumu. Sura yake pia, ilikuwa pingamizi kubwa. Daima mabwana aliowapata, walikuwa hawa wa ‘kuokota’ Mabwana waliosukumwa na uchu tu wa kuwa na mwanamke. Hali hii ilimfanya msichana huyu ajikabidhi kwa kila mwanaume bila kujali lolote, akiwatimizia kila haja bila aibu wala kinyongo. Lakini harakati zake za kuwaburudisha wanaume mara nyingi hazikumfikisha mbali. Mara kwa mara alikuwa akipewa ‘kwa heri ya kuonana’ na mabwana hao. Wengi waliwarudia wake zao. Wengine walikuwa wameishiwa. Na wengine walikusudia kuziponyesha pesa zao.

Ndiyo Sofia akayachukulia maombi ya ‘Mzee kijana’ huyu kama tunu aliyonunuliwa bila ya kutazamia. Aliyaona kama mwisho wa matatizo yake na mwanzo wa maisha mapya. Alimtazama tena Proper. Hakuona dalili yoyote ya mzaha katika sura yake. Kama kweli mtu huyu alikuwa na tatizo lolote, pesa hazikuwa mojawapo. Angekubali mara moja. Hata hivyo alikumbuka hali ya chumba chake, mazingira yaliyostahili jina la pango. Ndipo alipomweleza Proper kwa sauti iliyonasihi.

“Ningependa sana kukukaribisha kwangu. Lakini hali ya chumba kile… kwa kweli, hakifai kwa mtu kama wewe”.

Proper hakuwa mgeni kwa maisha ya wasichana wengi mjini. Alikwisha waona wengi ambao wawapo mitaani wanaonekana kama malaika kwa mavazi mazuri, lakini ukifika wanakoishi utadhani ni vijakazi. Alimsihi Sofia aondoe shaka. Alimweliezea kuhusu msingi wake wa kimaskani. Kwamba ameishi sana ‘gheto’ na maisha hayo anayapenda. “Nikiwa Dar hupendelea sana kutembelea sehemu za Manzese. Nikiwa Arusha makazi yangu ni Ngarenaro. Na nikiwa Moshi nastarehe zaidi nikiwa Majengo”, alimhakikishia. “Sababu hiyo ndiyo iliyonifanya niishi katika hoteli hii ndogo badala ya kubwa kama Mwanza Hoteli”.

Maneno hayo yalimaliza ubishi wa Sofia. Usiku uliofuata uliwakuta Kirumba katika chumba chake.

Chumba kilikuwa katika hali ambayo Proper aliitarajia. Raslimali za muhimu zilikuwa kitanda kikuukuu chenye godoro kukuukuu la sufi ambalo halikuwa na hadhi ya kuitwa godoro pia kulikuwa na sanduku, meza na sufuria mbili tatu zilizonuna kwa uchafu. Ambacho Proper hakutegemea ni ukarimu wa kunguni na mbu walikuwa huru katika chumba hicho. Walimlaki moja kwa moja bila kumpa fursa ya kujipumzisha.

Yote hayo Proper alilazimika kuyastahamili eti kwa sababu amependa, kumbe ni uhitaji tu. Alikusudia kujisetili akisubiri siku kuu ili atimize lengo lake. Hakuna askari wala mpelelezi yeyote ambaye angefikiria kumtafuta pale. Alitarajia kuwa wangeweza kumsaka katika mahoteli makubwa na kwenye vitongoji vikubwa vikubwa, siyo kwa malaya wa chini kama Sofia anayeishi maeneo yaliyosahaurika.

Siku mbili zikapita bila ya kitu chochote cha kawaida kutokea. Proper alishinda ndani akijisomea vitabu, nae Sofia alijishughulisha kutafuta vyakula na vinywaji. Sofia alikuwa akipewa pesa zilizozidi mahitaji yake ya kawaida. Proper alikuwa amemruhusu kununua mavazi mapya. Hali hii ngeni ilimuinua Sofia, akawa anapepea mfano wa kishata. Nafasi yoyote iliyojitokeza, ilitumiwa kufanya mapenzi. Sofia alijitia kila aina ya juhudu kumridhisha Proper. Lakini hakuweza kuutambua unafiki wa Proper. Akazidi kutekwa akili na vitendo vya mtu huyu. Hata hivyo sauti nyingine ilimnong’oneza atahadhari.

Jioni ya siku ya tatu, mambo yalianza kwenda mrama. Sofia alirejea kutoka mjini na gazeti mkononi. Alimfuata Proper aliyelala chali kitandani na kumfungulia ukurasa wa tatu ambao ulikuwa na picha sita chini ya kichwa cha habari kilichosema;

“TANGAZO LA POLISI.
JIHADHARI NA MTU HUYU- MARA UMWONAPO IARIFU POLISI. ANATAFUTWA KWA MAUAJI YA WATU WENGI NA ANAWEZA KUUA WAKATI WOWOTE, KUWAMAKINI”.

Proper alisoma haraka haraka. Kisha alizitazama picha hizo kwa makini. Moja ilikuwa yake halisi. Zilizosalia zilikuwa picha za kuchora. Zilikuwa zimechorwa kwa namna mbalimbali kuonyesha nywele zote; nyingine ilichorwa kuonyesha madevu mengi, nyingine kavaa miwani na kadhalika. Ni moja kati ya picha hizo ambayo ilikuwa imefanana kikamilifu na sura aliyokuwa akiitumia sasa. Alijitia utulivu na kumgeukia Sofia na kumwuliza kwa upole, “Ni hii tu uliyoiona habari ya maana katika gazeti lote”.

“Hapana. Nilitaka kukuonyesha huyo mtu. Naona mmefanana naye sana”.

“Tumefanana!” Proper alijitia kushangaa. “Mimi nafanana na huyo anayetafutwa kwa mauaji? Haiwezekani”.

“Mmefanana sana Beka. Nadhani ni wewe”.

“Usiwe mjinga Sofia, mimi siwezi kuwa muuaji”.

“Kweli kabisa. Hata yule rafiki yangu aliyekuja hapa jana amesema hivyo. Labda ungesoma hapa chini uone”.

Proper alianza kusoma kifungu hicho kilichoandikwa kwa herufi za mlazo.

Mtu huyu ni hatari sana, anatakiwa mapema mno. Zawadi nono ya shilingi laki nne itatolewa kwa mtu yeyote atakayewezesha kukamatwa kwake. Inasemekana kwa sasa yuko mjini Mwanza au mikoa ya jirani. Unaonywa tena kujihadhari naye…

“Ni wewe Beka?”, Sofia alisisitiza huku akimkazia macho.

“Siyo mimi”. Sauti ya Proper ilikuwa ya utulivu mkubwa.

“Kwani unanionaje mimi, naweza kuwa muuaji?”.

“Hapana, lakini hiyo picha inaonyesha ni wewe”.

“Achana na picha hii. Huoni kama huyu amechorwa tu? Usiwe msichana mjinga Sofia. Mimi ni mtu ninayejiheshimu sana huko kwangu. Wasichana kama wewe, wazuri zaidi yako, ninao kama ishirini hivi ambao wanalipwa mshahara mzuri kutoka katika mfuko wangu. Na wanaume wengi wasiopungua mia, wote wako chini yangu, wote wananiheshimu. Au kwa vile niko nawe katika chumba hiki hafifu ndipo umefikia hatua ya kuniita mwuaji?”.

“Sivyo mpenzi, ila…”

“Ila…”

“Nina mashaka yule rafiki yangu amekwenda kutoa taarifa polisi. Laki nne siyo pesa ndogo”.

“Polisi. Akiwaleta hapa, wakinikuta mimi watanitia ndani kufunza adabu. Ondoa hofu. Sofia njoo kitandani, tujipumzishe nikudokeze jambo. Lete ulimi tufurahi”.

Sofia alisogeza shingo. Hakutarajia radi iliyompiga ghafla. Lilikuwa pigo kali jepesi ambalo lilitua katika shingo na kulivunja kabisa. Sofia hakujua kapigwa na nini. Wala hakuona ugumu wa kufa. Alianguka chini na kupapatika kwa muda, kisha akakata roho.

Proper alifanya kazi haraka haraka. Aliuzoa mzoga wa aliyekuwa Sofia na kuulaza kitandani. Akaufunika vizuri kwa shuka. Kisha alikusanya vifaa vyake na kutoka nje. Giza lilikuwa limeanza kutanda. Hakuona haja ya kujificha kama alivyotegemea. Aliifuata polepole barabara iendayo mjini. Alipofika Mabatini, alisimamisha taksi na kuingia ndani.

Dereva taksi alikuwa kijana wa Kiarabu mwenye ndevu nyingi. Alimsalimu Proper kwa adabu, kisha akamuuliza wapi anataka kwend. Proper hakumjibu kwa maneno bali kwa kitendo fulani. Aliudidimiza mkono wake katika begi lake na kutoa bastola yake. Aliigandamiza ubavuni mwa kijana huyo.

“Ukifanya ujinga utapoteza maisha. Nataka wewe na gari hii mfuate matakwa yangu. Haya endesha mpaka nitakapokwambia wapi tuelekee”.

Huku akitetemeka, macho yakiwa yamemtoka, kijana huyo alilitia gari moto na kuliondoa taratibu huku mapigo ya moyo yakimwenda kasi kwa hofu.

“It’s him. It’s him. That’s his style” Inspekta Kombora alifoka. Kisha alijisahihisha haraka na kusema polepole; “Ndiye. Bila shaka ni yeye huyu muuaji”. Macho yake yalikuwa yakiwatazama wasaidizi wake wawili ambao waliketi mbele yake kimya wakimsikiliza.

Walikuwa wakijadili taarifa ambayo ilikuwa imewafikia muda mfupi kutoka Mwanza. Taarifa hiyo ililetwa na mtu mmoja ambaye alimgundua mtu huyo anayesakwa kwa udi na uvumba, Proper mahali alikojificha. Mtu aliyetoa siri alieleza kuwa anayetafutwa amejificha nyumbani kwa mwanamke fulani. Lakini makachero walipoivamia nyumba hiyo, waliambulia kukutana na maiti ya mwanamke aliyekutwa amelala chali kitandani. Tayari mhusika mkuu alikuwa ametoweka. Ushahidi uliopatikana ulieleza kuwa mtu huyo alimhukumu mwanamke huyo kifo baada ya kubaini kuwa amejulikana. Hakika mtu huyo ni hatari. Makachero walibaini baadhi ya vifaa vyake vya kazi na maandishi ya kijasusi. Mambo mengi yalikizonga kichwa cha Inspekta Kombora, lakini hakukata tamaa.

“Ni yeye. Msimpe nafasi tena akaponyoka”, Inspekta Kombora aliagiza huku akisisitiza. “Hakikisheni yeye au maiti yake inapatikana haraka kabla ya kesho”, aliongeza huku kila baada ya nusu saa akipiga simu kuulizia maendeleo ya operesheni hiyo.

Ilikuwa alfajiri ya siku ya pili Inspekta Kombora alipopata taarifa nyingine alipokuwa ofisini kwake ameketi na wasaidizi wake wakijadili. Taarifa mpya ilisema taksi moja aina ya Peugeo 504 ilikuwa imeokotwa katika pori la Ngara mpakani mwa nchi za Rwanda na Burundi kando ya barabara iendayo Burundi. Dereva wa gari hiyo aliokotwa akiwa hoi bin taaban mahututi. Hivyo hakuwa na chochote za kueleza alipoulizwa ilikuwaje gari hilo likaweza kuvuka vipingamizi vyote vya barabarani kutoka Sengerema, Geita, Biharamuro hadi kufika Ngara. Lakini baada ya kupatiwa matibabu, aliweza kueleza kuwa gari lake lilitekwa na mtu mmoja ambaye alikuwa akielekea Burundi. Kwamba mtu huyo alimpiga kwa dhamira ya kuua, huenda alimwacha hai kwa kukosea tu akidhani kuwa tayari ameua. Dereva huyo alipoonyeshwa picha ya Proper alimtambua mara moja.

“Ni yeye”, Inspekta Kombora alirudia tena. Lakini ni kitu gani kimempeleka huko mpakani?”.

“Ametoroka afande”, mmoja wa wasaidizi wake alimjibu.

“Amesoma alama za nyakati, ameona mambo yamezidi kimo. Akifika Bujumbura atapata usafiri ambao anaamini utamtoa nje ya Afrika mapema awezavyo”.

Inspekta Kombora alifikiri kwa muda kabla hajasema, “Labda. Hata hivyo, mimi sioni kama kwamba mtu huyu ametoroka. Sio mtu wa kukata tamaa mapema. Huyu mwendawazimu anakusudia kufanya unyama wake kwa vyovyote vile”.

“Mambo yamemzidi kimo afande, ndiyo maana anahaha kutoroka”.

“Hata hivyo, sidhani kama ana haki ya kuvuka mipaka ya nchi hii akiwa salama. Alikuwa mtu wa kufa. Na nitahakikisha kuwa Serikali ya Burundi inamtia mbaroni ili arejeshwe nchini kusubiri kitanzi chake”.

Inspekta Kombora alikuwa akiilaani bahati yake kimoyomoyo. Alijilaumu kwa kutangaza picha za mtu huyo gazetini. Ingawa hiyo ilikuwa njia yenye uhakika, lakini kwa polisi aliyehitimu, kitendo hicho huwa cha mwisho katika harakati za kumpata mtuhumiwa. Kitendo hicho mara nyingi humfanya mtuhumiwa kujianda kwa mbinu mpya. Ama, mtu kama huyo huweza kutenda uovu zaidi usiotazamika. Inspekta Kombora alifahamu kuwa kufa kwa mwanamke yule, na kuponea chupuchupu kwa dereva taksi, ni matokeo ya picha hizo zilizotokea gazetini. Inspekta Kombora alilaani baada ya kuona mpango wake umesababisha kifo cha mwanamke. Angejitakasa tu kwa kumnasa Proper au kwa kumfumua kichwa chake ‘kibovu’ kwa risasi. Ilimsikitisha sana.

Aliufikia uamzi wa kuzitangaza picha hizo gazetini baada ya kuona siku ya mkutano wa wakuu wa nchi huru za Afrika ikikaribia bila mtu huyu hatari kukamatwa.

“Pengine imesaidia”, aliwaza. “Kwa hiyo tuseme mtu wetu kaingia Burundi?”, Inspekta Kombora alisema baadaye.

Wasaidizi wake waliokuwa wameketi kando wakimsikiliza wakatikisa vichwa kukubaliana naye.

“Hata hivyo nataka ulinzi uzidi kuimarishwa hadi baada ya mkutano. Makachero wengi zaidi watumwe Arusha. Na msako wa mtu wetu uendelee kama awali. Sina imani na mtu mwehu kama yule hata chembe. Anaweza kuwa popote na akathubutu kufanya chochote”.

Arusha, maandalizi ya mkutano yalikuwa yamepamba moto. Zikiwa zimesalia siku chache wageni mashuhuri waanze kuwasili mjini Arusha, viongozi mbalimbali wa chama na serikali walikuwa kazini usiku na mchana. Walijitahidi kuhakikisha kwamba hakuna lolote ambalo lingeweza kuuchafua mkutano huu ambao ulikusudia kuiandika upya historia ya Afrika.

Hoteli ya Maunt Meru iliangaliwa kwa uangalifu mkubwa. Ilipangwa tafrija zifanyike katika hoteli hii. Wajumbe wangeenda baadaye katika jengo la mikutano la kimataifa la Arusha Internation Confrence Centre (AICC) ambako wangehudhuria kikao. Usafi wa hali ya juu ulidumishwa. Maua ya aina aina yalipamba mazingira ya hoteli hii. Bendera za nchi tofauti zilipepea kuthibitisha matayarisho ya mkutano huo muhimu.

Vinywaji na vyakula viliandaliwa kwa uangalifu mkubwa kulingana na mahitaji ya kila kiongozi na ujumbe wake. Wataalamu, wapishi na wachanganyishaji vinywaji stadi walipewa maagizo kwa tafsili. Wahudumu waliteuliwa kwa uangalifu mkubwa wakiwa tayari kutekeleza wajibu wao. Sura na maumbile yao vilizingatiwa ili kuwaridhisha na kuwasisimua washiriki wa mkutano huu.

Kati wa wahudumu waliondaliwa kutoa huduma katika tafrija hii alikuwepo Nuru, msichana ambaye aliumbwa akaumbika. Msichana huyu aliumbwa kwa njia ambayo haingeweza kupambanuliwa kwa urahisi. Hakuwa mfupi wala mrefu, siyo mnene wala mwembamba, alikuwa kati kama aliyepimwa kwa mizani ya kipekee. Sura yake pia ilitatanisha. Umtazamapo, utashindwa kusema moja kwa moja kama ni binti wa Kiajemi, Kihindi, Chotara wa Kizungu au Bantu halisi. Mtazamo wake, mcheko wake, kuzungumza kwake, mwendo wake, kila kitu kiliwatoa jasho watazamaji wake. Baadhi ya watu walidiriki kutamka kwamba Nuru hakuwa binadamu wa kawaida. Eti alikusudiwa kuwa malaika, likatendeka kosa la kumleta duniani. Kwamba kosa kama hilo hutendeka mara moja kila baada ya miaka mia moja duniani.

Mengi zaidi yalisemwa juu ya Nuru. Sifa hizi zilimwingia kichwani. Wengi walitamani kumchumbia lakini hakuna aliyefua dafu. Na kuna hata Masheikhe waliokuwa tayari kuwapa taraka wake zao kwa ajili ya msichana huyu. Msichana huyu akakamilisha miaka ishirini na mitano bila mume wala mchumba. Nuru hakumuona yeyote ambaye angemstahili. Wenye mapesa aliona adamu zimewalemea. Wenye vyeo serikalini, aliwaona wanafiki. Kwa muda mrefu, akaendelea tu kuwa Nuru mwenye ‘kiburi’ japo alicheka na watu na watu kama kawaida.

Nuru aliajiriwa kama Katibu Mahsusi wa mmoja wa mmoja wa wakubwa katika hoteli hii ya Maunt Meru. Lakini umbo na sura yake ya kuvutia ilimfanya ateuliwe mara kwa mara, kuwahudumia wageni wa kimataifa waliofika nchini. Viongozi ni watu, hawana roho za chuma wala macho ya shaba, wanaujua uzuri wa wasichana na kuuthamini. Nuru alikuwa na uwezo wa kumsahaulisha yeyote na matatizo yake. Huwafanya viongozi anaowahudumia watabasamu kwa dhati. Sio-lile tabasamu la ‘kisiasa’ lililojaa uzandiki. Mwanadada huyu atoapo kinywaji hakuna anayekikataa.

Jinsi hii Nuru alikuwa amemaliza shughuli za kutwa nzima na kuanza kujiandaa kutoka. Aliamua kufuata ngazi badala ya kutumia lifti. Alipokuwa akimaliza ngazi za ghorofa ya tatu, alikutana na kijana huyu, Duncan Adolf. Alikuwa mpangaji ambaye ameishi hotelini hapo kwa zaidi ya wiki sasa. Lakini aliondokea kuzoeana na karibu kila mtu hotelini hapo kama kazaliwa na kuishi hapo hapo. Wafanyakazi na wageni wote alizungumza nao vizuri, kila mmoja akipenda kumsikiliza. Naye Duncan alikuwa mwingi wa maongezi. Aliongea juu ya kila kitu, uchumi, vita, utamaduni, starehe na kadhalika. Alionekana kuwa na upeo mkubwa wa elimu katika kila fani.

Ilisemekana kuwa Dancan alikuwa mzaliwa wa Uingereza ambako baba yake aliishi tangu ujana wake. Kwamba Duncan alikuwa ameamua kurudi nyumbani tazama uwezekano kuanzisha kiwanda cha utengenezaji wa vipuri vya magari. Mradi huo ungeendeshwa na Duncan mwenyewe kwa pesa zake ambazo alipewa na baba yake, ambaye ni tajiri sana nchini Uingereza. Nuru hakupata kumsikia Duncan mwenyewe akisema maneno hayo. Lakini kwa jinsi alivyomuona, mambo hayo hayangekuwa mbali na ukweli.

Alikuwa na sura yenye dalili ya utulivu, sauti yake ikionyesha uridhivu wa moyo na mwendo wake ukionyesha uthabiti wa nia. Sifa za kijana huyu zilimvutia Nuru. Hakumbabaikia kama wanaume wengine. Walipokuwa pamoja, maongezi yake yalikuwa ya kawaida. Awali, Nuru alimchukia Dancan kwa kutoonyesha nia yoyote. Lakini baadaye alianza kumpenda na kumtamani. Alimhusudu Dancan na husuda ikazaa mapenzi. Na penzi hilo likawa la upande mmoja, likaumiza kama jeraha lisilo na dawa. Penzi lilimchoma Nuru.

“Kwanini kijana mwerevu kama huyu hawezi kubaini kuwa nampenda?” Nuru alijiuliza kimoyomoyo.

“Salama tu, za kwako bibie?”

Ndipo Nuru alipong’amua kuwa alikuwa amemsalimu Duncan bila kutegemea.

Si vizuri msichana kuanza kumsalimia mvulana mara kwa mara; Nuru aliwaza akiwa na haya kidogo usoni. “Siyo mbaya”, akamjibu.

Kama kwamba macho ya Duncan yalikuwa yakimtazama kwa tabasamu; kama yanayosoma kila wazo katika fikra za Nuru. Lakini, yanaona? Nuru alijiuliza akitabasamu kidogo. Pengine yanaona! Nuru aliwaza baada ya kuona Duncan akilijibu tabasamu hilo na kumshika mkono na kusema polepole.

“Naona ndiyo unatoka zako. Bi. Nuru. Sujui itakuwa adabu kuomba nikaribishwe nyumbani? Nimechoshwa na maisha ya hotelini usiku na mchana”.

Ingawa Nuru alifurahishwa sana na ombi hili, lakini hakulitegemea. Hata hivyo, alijikumbuka na kujibu haraka haraka: “Karibu wakati wowote, isipokuwa leo tu”.

“Kwanini isiwe leo, maana nilisoma mahala fulani ambapo Mwalimu Julius Nyerere alisema linalowezekana leo lisingoje kesho”.

“Ndio, ndiyo”, Nuru alijibu. Lakini leo imekuwa ghafla mno. Itabidi nipate muda wa kujiandaa kukaribisha mgeni”…

“Ujiandae? Humkaribishi rais wala waziri nyumbani kwako. Ni kijana mmoja asiye na hili wala lile”.

“Hata kama”.

Maongezi hayo yalikoma Duncan alicheka ghafla na kusema polepole, “Usijali, siwezi kukutembelea ghafla kiasi hicho. Tutapanga baadaye. Au sivyo?” Akauachia mkono wa Nuru na kuuhamishia begani. “Samahani sana kwa kukuchelewesha. Kesho tutazungumza kirefu. Kwa sasa nadhani tuagane”.

Baada ya kuagana na Ducun, Nuru alitelemka ngazi polepole, moyo wake ukiwa umejaa furaha na faraja. Mguso wa Duncan ulikuwa na ulioacha kitu fulani katika nafsi yake. Sauti ilikua kama kinanda kinachoburudisha fikra zake. Nuru alitamani arudi nyuma ili aendelee kumsikiliza Duncan akiwa ameshikwa mkono. Hata hivyo, alijikaza kisabuni, akamaliza ngazi na kuliendea gari lake ambalo lilikuwa likimsuburi. Alipoingia ndani ya gari, alilitia moto na kuelekea Sanawari ambako alikuwa akiishi katika moja ya nyumba za shirika la nyumba.

Mara Nuru akamuona tena mzee yule. Alikumbuka kuwa leo ilikuwa mara ya pili kila atokapo kazini, mara ya kwanza alimuona mzee huyo akiwa amesimama upande wa pili wa barabara akimtazama. Alikuwa mzee mwenye kichwa ambacho nusu ya nywele zake zilimezwa na mvi na kidevu chenye ndevu fupi nyeusi. Kilichomfanya Nuru amtie akilini mzee huyu ni mavazi yake. Alikuwa amevaa suti nyeusi ambayo kutoka mbali ilidhihilisha kuwa ilikuwa imegharimu pesa nyingi. Nuru alimtazama mzee huyo kwa mshangao kidogo kisha alitoa ufunguo wake na kujishughulisha na kufuli. Mlango ulipofunguka, alimtazama tena mzee yule. Akashangaa kumwona akivuka barabara kumjia, mkononi akiwa na fimbo ya kutembelea ambayo ilimsaidia kuvuta mguu wake mmoja ambao ulionekana mbovu. Nuru hakudhani kama mzee huyo alikuwa akimfuata yeye, hivyo aliingia zake ndani na kujitupa chali juu ya kochi lake refu.

“Unataka nini?” Nuru alihoji.

“Kukuona tu. Hujui kuwa umeumbwa vizuri sana kuliko binadamu wote niliopata kuwaona”.

“Toka nje! Nani kakuruhusu kuingia kwangu?”.

“Niruhusu nikutazame mara moja zaidi. Siyo mzaha ninapokwambia kuwa uzuri wako hauna mfano wake. wazazi wako walimpa nini Mwenyezi Mungu mpaka ukazaliwa mrembo namna hii”.

Mzee huyu aliyasema haya huku akijiweka juu ya juu ya kochi lililomwelekea Nuru na kupangua mifuko yake ambamo alitoa sigara, ambayo alianza kuivuta kwa utulivu.

Ulikuwa utulivu mkubwa ambao ulizidisha hofu na mshangao wa Nuru. Mtu huyu ni nani? Na anataka nini kwangu? Nuru alijiuliza kimoyomoyo. Zaidi ilimshangaza kwa kutofahamu kitu gani hasa kilikuwa kikiujaza moyo wake mbele ya mtu huyu ambaye alionekana mstaarabu mwenye sura iliyoficha utajiri mwingi, au cheo kikubwa sana ama vyote pamoja.

Mgeni huyu alikuwa akiyasoma mawazo yote ya Nuru. Rohoni kicheko kikubwa kilikuwa kikichanua. Nuru angefanya nini kama angefahamu kuwa yeye hakuwa mwingine zaidi ya mtu yule ambaye Inspekta Kombora na jeshi lake lote la polisi walikuwa wakimtafuta kama chawa na kumwombea mauti kama watu waishio jangwani waombavyo mvua. Huyu hakuwa mwingine zaidi ya Proper.

Kuwa kwake hapa aliamini kuwa ilikuwa siri yake binafsi. Tayari alikuwa amewapumbaza polisi kwa kujifanya kuwa amekimbilia nchi jirani. Bila shaka waliamini kuwa alivuka mpaka na kwenda zake Burundi baada ya kumuua yule mwanamke malaya ambaye alimhifadhi chumbani kwake. Na wataendelea kuamini kuwa yule dereva aliyeponea chupuchupu. Hawatashuku kuwa alimwacha hai ili awe shahidi ambaye angefanya kazi ya kuwarahisishia polisi kumtambua na kuwahakikishia kuwa alitorokea Burundi.
Hakwenda Burundi na asingeweza kwenda Burundi. Alichofanya ilikuwa hila ya kumpumbaza Inspekta Kombora ili alegeze ulinzi mjini Arusha baada ya kudhani kuwa Proper alikuwa amekimbia. Hivyo alitafuta usafiri mwingine uliomrejesha Mwanza mjini ambako alitumia ujuzi wake usio na mashaka kujibadili. Kisha akaingia Arusha ambako tayari amejiandaa kikamilifu kwa ajili ya kazi yake. Kazi ambayo alikuwa amedhamilia kuifanya. Kazi ya kuhakikisha marais wasiopungua kumi, mawaziri wao wasiopungua hamsini na makatibu wasio na idadi wakianguka na kupoteza maisha mmoja baada ya mwingine, hadharani.

Msichana huyu alikuwa na bahati mbaya sana. Uzuri wake ulikuwa umemponza. Ni mkono wake utakaotumika kuyateketeza maisha ya viongozi hao. Proper alikuwa amemchunguza kwa muda mrefu, baada ya kukusanya taarifa za watu wake ambao humuuzia habari. Watu ambao hawakujua kama Proper bado yuko nchini au duniani.

Itakuwa kazi rahisi…

“Unataka nini?” Sauti tamu ya Nuru ilimzindua Proper.

“Kweli!”, Proper akajitia mshituko. “Tafadhali usinifikirie kuwa mimi ni mzee mhuni. Kama nilivyosema awali sura yako nzuri ndiyo iliyonivutia. Haja yangu ni kukuona tu…” Nuru alifungua mdomo ili atie neno. Lakini mgeni wake alimkatiza kwa kusema.

“USiwe na haraka bibie. Usiseme neno ambalo utalijutia baadaye. Ningependa unielewe kuwa mimi ni mzee asiye na hatia yoyote. Sina wazo lolote baya juu yako. Nakwambia ukweli ambao sipendi kusema kwa mtu yeyote. Si unaliona hili jicho langu moja? Pamoja na mguu mmoja? Basi waliniharibia mguu wangu na jicho hilo la pili. Walinifanyia ukatili mwingine ambao hausahauliki. Walinivua nguo na kuukata uume wangu”.

“Ilikuwa sauti ya kusikitisha. Sauti iliyobeba kila chembe ya majinzi na simanzi. Ikamtia Nuru hudhuni hata akajikuta akimtazama mgeni huyo kwa nia ya kumsaidia.

“Kwa kweli ni habari ambayo sipendi kusimulia mtu yeyote. Ni msiba ambao daima nimeuhifadhi katika moyo wangu. Nimekusimulia ili tu usinifikirie kama mmoja wa wazee waroho ambao vijana mnawaita Sugar daddy. Nia yangu ni kuwa nawe kwa vipindi fulani fulani tu. Unajua mtu aliyenyang’anywa nusu ya uhai wake alivyo”.

Nuru hakujua ajibu nini. Hivyo alikaa kimya akimtazama mzee huyu kwa huruma. Mzee ambaye alitabasamu kwa namna ya kujifariji kisha akasema.

“Isikutishe sana habari hii bibie. Ni tatizo langu binafsi ambalo nimelizoea baada ya kuwa nalo kwa zaidi ya miaka ishirini sasa. Jambo ambalo limeufanya utajiri wangu wote uwe hauna thamani yoyote. Kwani kila mtu ananishakia kwa kutoniona hata mara moja na mwanamke yeyote japo ni wengi wanaonimezea mate. Basi bibie, moja kati ya mambo ambayo nitakuomba endapo itawezekana ni safari. Ningependa kusafiri nawe kwenda nchi za Magharibi ambako kuna miradi yangu. Rafiki zangu huko wakiona na mtu kama wewe walau kwa wiki moja tu watabadili mawazo juu yangu. Unasemaje bibie?”.

Nuru aliposita na kuonyesha kutomwelewa, haraka mzee huyo alimuonyesha tabasamu na kusema, “Usijali! Sikutegemea jibu la haraka kiasi hicho”.

Kisha alianzisha maongezi ya kawaida. Nuru alijikuta akisahau hofu yake juu ya mzee huyu na kuanza kumzoea. Ikamshangaza kuona mzee huyo alivyo mwingi wa maongezi matamu.

Baada ya muda Proper aliinuka na kuaga. Alipofika mlango alisimama na kumgeukia Nuru, “Siyo ustaarabu kuzungumza na bibi mzuri na mkarimu kama wewe kisha niondoke bila kumwachia zawadi yoyote. Hasa nikikumbuka kuwa kwa miaka ishirini iliyopita hajatokea mwanamke ambaye aliupoteza muda wake kunisikiliza”.

Mkono ulitoka mfukoni na kijisanduku kidogo ambacho alikifungua na kitoa kidani cha kuvutia. Kilikuwa kikimelemeta kwa madini ya thamani kubwa, pengine mchanganyiko wa almas, dhahabu na Tanzanite.

“Tafadhali pokea”, mzee alisema akikabidi kidani kwa Nuru.

“Na nakuomba unifanyie hisani ya kuuvaa kuanzia leohadi hapo tutakapoagana”.

Nuru alikipokea kidani hicho na kukitazama kwa mshangao na tamaa. Hakujua alikuwa amepokea kitu gani.

Usiku ulimkuta Nuru akiwa bado kaduwaa, hajui lipi anawaza, lipi anataka. Mkoni alikuwa kashika kile kidani cha thamani alichopewa na yule mzee tajiri. Mara kwa mara alikitazama, hali hakioni. Fikra zake zilikuwa maili kadhaa wa kadhaa nje ya chumba chake. Zilikuwa zikiitazama kwa namna ya njozi safari yake huko Ughaibuni, katika nchi kubwa kubwa na miji mashuhuri. Miji ambayo hakuwahi kuota kama angeweza kuikanyaga. Alijiona akitembea, mji baada ya mji, bega kwa bega na mzee huyo chongo na nusu kiwete. Alitarajia kuiona miji yote mizuri, alitarajia pia safari ya kusisimua na kila aina starehe ikimwandama. Lakini hakuhisi kama atapata raha katika msafara huo. Ni upungufu wa hisia hizo, uliomfanya ajiulize kama tukio la kutembelewa na mzee huyo, pamoja na lile ombi la kwenda naye nje, ilikuwa bahati au balaa.

Ndiyo, mzee alikuwa na dalili zote za utajiri, wala hakuwa na dalili zozote za ubahili. Ni dhahiri kuwa mwisho wa safari hiyo Nuru asingeendelea kuwa Nuru yule yule kiuchumi, aliwaza. Hata hivyo bado hakujisikia kulisherehekea pendekezo hilo. Lilimtisha badala ya kumfurahisha, likambabaisha badala ya kumburudisha. Laiti pendekezo hilo lingekuwa limetolewa na yule kijana… nani vile jina lake? Duncan.

Ni hilo lililokuwa limemfanya Nuru achanganyikiwe badala ya kufurahi. Wazo la kwamba Duncan angechukua nafasi ya mzee huyo na kumwomba chochote ama lolote. Angekuwa tayari kufuatana naye hata mwisho wa dunia. Mawazo hayo yalimfanya Nuru atokwe na machozi. Hakujua kitu gani kinamliza.

Nuru hakuwa ametoka katika familia tajiri wala masikini. Ilikuwa familia ya kawaida kama zingine nyingi za hapa nchini. Baba yake mzazi alikuwa amefia katika kazi yake ya ualimu wa shule ya msingi huko kwao Mbeya. Mama yake alikuwa mzee ambaye hakukubali kuitwa mzee bali aliendelea kulitegemea jembe la mkono badala ya kumtegemea mwanaye Nuru, ambaye ni binti wa pekee. Elimu ya kidato cha sita na kozi mbalimbali za ukatibu mahsusi ni urithi pekee ambao hayati baba yake alikuwa kamwachia Nuru. Pesa za kuchezea na starehe za kusisimua ni vitu ambavyo Nuru hakuwa navyo. Alivikuta ukubwani. Hivyo havikumbabaisha ka ilivyo kwa wasichana wengine. Kutobabaika huko ndiko kulikomwezesha kuwa huru hadi sasa. Au, tayari angekuwa kashawishika kuwa mke wa meneja fulani au bepari fulani. Alikuwa kashinda nguvu ya tamaa.
Lakini ulikuwa ushindi usio kamili. Kwani mara kwa mara alihisi kudhulumiwa jambo kimaisha. Kwamba alikuwa hajapata haki yake katika suala la mapenzi. Kwamba hana bahati ya kufuatwa na bwana anayestahili. Mzee huyo tajiri alikuwa mmoja tu katika orodha isiyo na mwisho ya mabwana ambao humfuatafuata. Laiti Duncan angekuwemo katika orodha hiyo…

Usiku ulipokolea, Nuru alijibwaga kitandani. Rohoni aliuomba usingizi umchukue haraka, na umfanye aote akiwa katika safari hiyo na Duncan, wakielekea popote duniani. Hakuota chochote. Tangu lini mtu akaota wakati yuko macho.

******************************

“Mbona hivyo bibie, unaumwa?”.

Swali hili lilimzindua Nuru. Ingawa Duncan hakujua ugonjwa wake lakini sauti hiyo ilikuwa kama dawa iliyomfanya Nuru apone ghafla. Alimtazama msemaji kwa haya kidogo huku kitu ambacho asubuhi hiyo hakikupata kuutembelea uso wake kilijitokeza ghafla na kuchanua. Lilikuwa tabasamu zuri kama tabasamu la Nuru ilivyo.

“Siumwi kabisa kaka Duncan”, alijibu baadaye akiyaepuka macho yake. Kila mtu asubuhi hiyo alikuwa amemuuliza swali hilo. Wote aliwaambia kuwa haumwi ingawa hakuna aliyeelekea kuamini.

“Kama huumwi basi kuna mtu amekuudhi sana. Hana haki ya kufanya hivyo. Ni nani huyo? Au siruhusiwi kuuliza au kujua?”, Duncan aliendelea.

“Wala hamna aliyeniudhi”.

“Sidhani kama ni kweli”.

“Kweli kabisa. Labda ni kwa ajili ya kukosa usingizi. Leo sikulala kabisa”.

“Ina maana kuna mtu amekukosesha usingizi. Basi sidhani kama ni haki kwa mtu yeyote kukosa usingizi. Nina haki ya kuuliza, ni nani mtu huyo?”.

Sauti ya Duncan ilikuwa ya kawaida, yenye mzaha kidogo. Hata hivyo Nuru alihisi msisitizo fulani katika sauti hiyo. Akamtazama usoni. Ndiyo, yalikuwa macho ya mtu ambaye hakupata usingizi mzuri vilevile.

Kisha Duncan alicheka na kusema, “Nadhani ungekuja chumbani kwangu muda wa mapimziko dada Nuru. Kuna mengi ambayo ningependa kuzungumza nawe.

Nuru aliitikia kwa kichwa.

Alimkuta Duncan katulia juu ya kochi, mkononi kashika kitabu kinachoitwa The Day of the Fackal.

“Karibu sana”.

“Asante”, Nuru alijibu akiketi juu ya kochi la pili. “Naona unamsoma Frederick Forsyth. Watu wanasema ni mtunzi mzuri, lakini mimi hanifurahishi sana”.

“Kwanini?”.

“Sijui kwanini, Nawapenda waandishi wengine wa vitabu kama Mario Puzo, Denis Robbins na Harold Robbins zaidi yake”.

Maongezi ya vitabu yalichukua muda. Huyu akimsifu mwandishi yule, huyu akiuliza kama fulani kamsoma fulani, na kadhalika. Kisha yaliingia maongezi ya kawaida. Duncan aliuliza mengi juu ya Nuru na maisha yake. Maswali yake yalikuwa mafupi yaliyohitaji majibu marefu. Kila jibu lilielekea kumsisimua sana Duncan. Mazungumzo ya watu hawa wawili yaliibuka kama ambavyo watu waliozoeana kwa muda mrefu, bila kuzingatia chochote. Nuru aliyazungumza yale yote ambayo yalikuwa yakingojea fursa kama hii. Mara akawa akisimulia habari ya juzi na jana.

“Mzee wa ajabu sana”.

“Yupi”.”Yule wa jana. Mtu akufuate ghafla. Akuambie kuwa wewe ni mzuri sana, hii hapa zawadi yako. Akupe mkufu mzuri kama huu, na kukuahidi kwenda naye ulaya”.

Akamsimulia Duncan yote kwa urefu na mapana. Habari hii ilielekea kumvutia sana Duncan. Baada ya maswali mengine mawili matatu juu ya mzee huyo alimwomba Nuru amuonyeshe mkufu huo. Nuru akauvua na kumpatia Duncan. Aliuchunguza kwa muda mrefu, akausifia uzuri na thamani yake. Kisha Duncan aliinuka na kwenda chumba cha pili ambacho kina choo na bafu, akauacha huko na kurejea mikono mitupu.

“Mkufu wangu umeusahau?”, Nuru aliuliza.

“Hapana nimeuacha makusudi. Unajua mimi kidogo nina wivu? Nilikuwa sina raha kabisa kuzungumza nawe nikiwa na mkufu huo mkononi. Najiona kama niliyeachwa nyuma hatua moja na huyo mzee”.

“Kwa vipi?”.

SALAMU KUTOKA KUZIMU – 3




Simulizi : Salamu Kutoka Kuzimu
Sehemu Ya Tatu (3)
Alirejea haraka nyumbani kumsubiri yule mwanamke aliyeleta picha hiyo. Alipoitazama saa yake aliona ni mapema mno, ingempasa kusubiri kwa masaa mengi zaidi kabla hajatokea. Neema asingeweza kusubiri kwa muda mrefu kiasi kile. Alikuwa na kiu kali ya kumpata mwuaji wa Joram. Huyu Profesa anahusikaje? Pengine anaweza kuwa na fununu fulani ya haja? Hamu ya kuyapata majibu ya maswali hayo ikaushinda nguvu wajibu wake wa kumsubiri Unono kama alivyoelezwa. Badala yake aliisoma tena anuani ile akaiweka picha mezani na kisha akatoka nje kuendea kituo cha mabasi.

Mara akahisi kitu fulani kikimnong’oneza achukue bastola yake. Akarejea ndani katika chumba chake na kuichukua bastola. Baada ya kuhakikisha kuwa bastola hii ilikuwa na risasi zake zote kwenye magazinei, akaiweka kwenye mkoba wake wa kawaida na kuanza safari upya kuelekea mtaa wa India, anakoishi Profesa Kimara.

Proper alikuwa ameketi katika chumba chake cha kusomea aliposikia kengere ya mlango ikilia akashituka. Akainua kichwa kwa mshangao. Hiyo ilikuwa mara yake ya kwanza kugongewa mlango akiwa chumbani. Majirani zake walifanya ujirani wao wote nje. Rafiki zake ‘bandia’ aliwakaribisha nje kabisa ya nyumba hii.

Muda mfupi kabla ya mlango kugongwa, alikuwa akimalizia kuandika mpango wake kabambe ili baadaye auhariri, na kisha kuuingiza katika mtandao maalumu ambao ungeyrsafirisha maandishi hayo hadi mahali fulani katika nchi fulani huko Ulaya, kwa wakubwa zake. Mpango huo alikuwa ameubuni yeye binafsi, akauhakiki na kuona kuwa lazima utafanikiwa. Yangekuwa mafanikio makubwa ambayo yangeitetemisha Afrika na kuitikisa dunia nzima.

Kwa kuwa hili litakuwa pigo la aina yake, ambalo halijapata kuitokea dunia kwa muda mrefu. Pigo zito kama lile lililotokea wakati wa gharika lililoua watu wote na kumwacha Mungu na familia yake tu. Au kama lile bomu la Atomic lililopigwa na Mwamerika ambalo liliua maelfu ya Wajapani kule Hiloshima. Hili lake pia ingawa alikusudia kuziteketeza baadhi ya nchi, lakini litafanya machozi mengi yamwagike kiasi cha kufanya lisifutike katika kurasa za matukio ya kihistoria duniani.

Mafanikio lazima. Hakukiona kipingamizi chochote. Polisi walikuwa gizani wakitetemeka na kusubiri kwa hofu bila kufahamu wanachosubiri. Watakapotanabai, kazi itakuwa imekamilika. joram Kiango, ambaye alihofiwa kama tishio, ingawa yeye proper hakuona vipi angeweza kumletea vipingamizi, sasa yuko kuzimu. Wafu wenzake watamsimulia ilivyotokea.

Pengine tatizo lingetokana na viongozi wake huko Ugaibuni. Labda ni wao wangeweza kumpinga kutokana na woga wao. Lakini mpango huo ulikuwa wake binafisi, ameubuni, ameuandaa na lazima autekeleze. Imekwisha mgharimu muda na pesa nyingi, zake binafsi wakati akiuhakiki. Yeyote asingeweza kumshawishi abadili mpango wake, zaidi ya hayo, hakumbuki lini waliwahi kupewa changamoto nzito kama hiyo. Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Zaire (Congo), Patrice Lumbumba? Kuuawa kwa Rais Nguabi? Unyama aliofanyiwa Edward Mondolane wa Msumbiji? Hapana. Yeye Proper atafanya zaidi ya hayo. Ataifanya dunia ielekeze macho na masikio hapa.

Kengere ya mlango iliita tena. Ni nani huyo? Proper alijiuliza akificha vifaa vyake vyote. Haraka na kwa utaalamu aliuvua uso wa Proper na kujivika ule wa Profesa Chain Kimara wenye dalili zote za hekima na mshughuriko, uso uliomlaki Neema Iddy aliyekuwa amesimama mlangoni akijiandaa kubonyeza kengere kwa mara ya tatu.

“Karibu mama”, Proper alisema huku akisimama kando kumpisha mgeni wake apite. Kichwani alikuwa kajawa na mshangao mkubwa. Sura nzuri ya msichana huyu haikuwa ngeni machoni mwake ingawa hakuwahi kuiona sura hii ana kwa ana kwa leo. Ilikuwemo katika majarada yake. Ilikuwa sura ya Neema, Katibu Mahsusi wa Joram Kiango. Amewezaje kunishuku mapema kiasi hiki? Proper alikuwa akijiuliza. Si kitu, alijiambia. Nilikosea sana kumsahau. Alistahili kufa kitambo. Alistahili kwenda na Joram. Madaamu kajileta mwenyewe.
“Dada, karibu ndani”, Proper alimhimiza Neema.

“Asante, lakini sikai. Nilitaka… Ni…” Neema alikwama kidogo. Uso uliokuwa mbele yake hakuona kama ulifaa kusumbuliwa kwa maswali yaliyoeleweka. Aliuona kama uso wa msomi mwenye hekima na mengi, ingawa macho yake yalikuwa na kitu zaidi ya uso, alijiona mpumbavu kuja hapa bila subura. Huyu haelekei kuhusika katika kifo cha joram.

“Haraka ya nini?” Proper alimkatiza huku akimtengenezea tabasamu ambalo lilimtoa hofu Neema. “Utaingia ndani, utakaa, unywe walau chupa moja ya bia kisha tutaongea”.

“Hapana, hapana”, Neema alimkanusha, “Sitaki kuupoteza bure muda wako. Nilitaka ku…”

Alikatizwa tena, akashikwa mkono na kuvutwa ndani kistaarabu. Akaonyeshwa kiti ambacho aliketishwa polepole.

“Sikai sana. Samahani kwa kukupotezea muda wako, Nilitaka kujua kama unajua chochote kuhusu Joram Kiango?”, alifaulu kuuliza.

“Joram! Namjua sana. Sidhani kama yupo mtu asiyemjua, Kifo chake kimenishtua sana. Alikuwa kijana wa ajabu sana”. Kisha Proper alijitia kushituka kidogo alipouliza, “Unadhani ni kweli Joram Kiango kafa hivi hivi tu? Mimi siamini. Nadhani wamempa sumu. Wewe waonaje?” Neema alipochelewa kujibu, Proper alijitia kushituka tena, “Lakini wewe ni nani? Na ulitaka mimi niseme nini kuhusu Joram au unataka mawazo gani kutoka kwangu?”.

Neema alijiona mjinga zaidi. Huyu msomi wa watu alionekana hajui lolote. Yawezekana yule mwanamke wa ajabu, Unono, alikuwa punguani pia. Picha ya mzee huyu pengine aliiokota au kuiiba mahala na kuileta kwake. Mzee huyu hakuonekana kujua chochote cha muhimu juu ya kifo cha Joram.

Haraka Neema akainuka na kuaga.

|Haraka hii? Proper alihoji kwa mshangao. Safari hii alionyesha mshagao halisi. Alikuwa akitafuta nafasi nzuri ya kumtia Neema mikononi mwake. Japokuwa kiti alichokalia Neema kingeweza kutimiza wajibu wake lakini Proper hakukusudia kutumia njia hii. Na njia hii ilikuwa rahisi zaidi. Proper angeweza kukanyaga mahala fulani chini ya meza kisha voti kadhaa za umeme zingepita katika kiti hicho na kumwua Neema papo hapo. Hakufanya hivyo kwa sababu mbili. Mosi, alikuwa bado hajafahamu msichana huyu anajua nini na anataka nini kwake, na pia hakutaka Neema afie nyumbani kwake.

“Huwezi kuondoka bila kunywa chochote? Siwezi kuruhusu binti mzuri kama wewe atoke nyumbani kwangu pasi ya kuonja chochote, Vilevile hatujazungumza”.

“Samahani. Sijisikii kunywa chochote”.

“Na uichotaka kuuliza juu ya Joram?”.

“Nimebadili mawazo”.

“Kwanini?”.

Huku akianza kutoka ndani ya nyumba hii Neema alisema, “Nilikosea…”.

Hakujua kilichompiga. Hakusikia maumivu yoyote. Alijikuta akianguka polepole huku Profesa Chain akimtazama kwa kicheko cha kebehi. Hakuwa na uwezo wsa kupiga kelele japo alijaribu, akahisi fahamu zikimtoka taratibu.

Neema aliposhutuka kutoka katika usingizi mzito, alijikuta amelala kitandani akiwa uchi, kando Proper alikuwa amemkumbatia kwa mkono mmoja huku mkono mwingine ukizichezea chuchu zake. Lakini pia ulimi wa Proper ulikuwa katika kinywa cha Neema. Neema alishituka na kujivuta kando kwa nguvu huku akitamka maneno ambayo hayakusikika kikamilifu. Hata hivyo hakufaulu kujitoa katika mikono yenye nguvu ya Proper ambayo ilizidi kumbana.

“Bado kidogo mpenzi”, Proper alisema, “Tutafanya mara moja zaidi kisha nitakuruhusu utakwenda zako”, Sauti ilifuatiwa na kicheko ambacho katika masikio ya Neema kilijaa jeuri na kebehi.

“Nini kinatokea hapa?” Neema alifanikiwa kuuliza swali, huku mshangao ukimtoka na aibu ikianza kumwingia.

“Tunafanya mapenzi, ndio maana nikasema bado kidogo halafu nikuruhusu uondoke zako”, Proper alimjibu Neema.

“Mapenzi!” Neema alihoji huku akifoka. “Nitakushitaki”, Neema alifanikiwa kumwambia Proper.
“Kwa nani?”.

“Umeninajisi. Umenitenda pasi hiari yangu. Siwezi kuvumilia upuuzi huu, nitahakikisha unafika kwenye vyombo vya sheria”, Neema alisisitiza.

Kicheko kingine kikamtoka Proper. “Usiwe kama mtoto mdogo”, alisema Proper akiendelea kucheka, “Nani atakuelewa? Zaidi, nani atakuamini? Ulivyo mrembo kila mmoja ataamini kuwa unatosha kabisa kumfanya Profesa yeyote mwenye hisia asahau majukumu yake kwa muda ili afanye mapenzi na wewe. Nani atakanusha nikisema kuwa jana tulikutana mitaani tukaahidiana uje leo na umekuja? Au kuna yeyote aliyeniona nikikuvuta huko nje na kukuleta hapa ndani?”

Maneno hayo yalimwingia Neema. Hakuona uwezekano wowote wa kuifanya hatia ya mtu huyu idhihirike . Lakini alikuwa na hofu moyoni. Si hofu ya kufanya mapenzi bila kukusudia. Hofu yake ilitokana na kutofahamu kitu gani kilimfanya apoteze fahamu na kuvuliwa mavazi na … Pia hofu ilimzidi kwa kutokuwa na hakika na yote yaliyofanyika baada ya kupoteza fahamu. Ilikuwa kama ndoto ya kitambo anayokumbuka kwa shida. Ilikuwa kana kwamba ananusa harufu iliyomfanya apoteze fahamu. Pia, alikumbuka kuwa alimsikia mtu huyo alipokuwa akimhoji kuhusu kifo cha Joram Kiango, naye akiropoka kila kitu alichofahamu. Alimweleza juu ya yule mwanamke mwenye sura mbaya ambaye aliileta picha yake. Kisha alikumbuka kuwa alinyweshwa kitu fulani na kuambiwa, “Hiyo itakufanya usafiri leo hadi aliko mpenzi wako Joram. Usisahau kumsalimu. Baada ya hapo ndipo nguo zilipovuliwa. Akaletwa kitandani ambako…

“Pamoja na kufanya mapenzi”, Profesa Kimara, au Proper alikuwa akiendelea, “Nitakulipa vema, Sina mkono wa birika , hususan kwa mabinti awzuri kama wewe. Umenifanya nimsahau mke wangu aliyefariki miaka kumi iliyopita”. Alisema huku akiushughulisha mkono wake kutambaa kutoka katika matiti ya Neema hadi tumboni mwake, mkono huo ukateleza hadi katikati ya miguu ya Neema.

Neema akausukuma mkono huo kando na kujiinua kwa nguvu. “Sijapata kumwona mtu mshenzi kama wewe”, alifoka kwa hasira akiyaendea mavazi yake yaliyokuwa juu ya kochi.

“Kwanini mpenzi? Nipe nafasi nyingine uone jinsi nilivyo mstaarabu katika suala zima la mapenzi. Tafadhali. Mara moja tu halafu utakwenda zako…”.

Sauti ilikuwa ya mapenzi. Ni tabasamu lake ambalo lilibeba kitu kingine kabisa. Kitu kisicho karibu na mapenzi hata kidogo. Kitu ambacho kilikuwa kinyume kabisa na mapenzi na mahaba. Jambo ambalo lilimuongezea hasira Neema. Alizivaa nguo zake haraka haraka, Akautwaa mfuko wake na kuanza kutoka.

“Siku yoyote ukijisikia tena kufanya mapenzi unakaribishwa”. Proper alisema huku akifungua pochi lake na kutoa kiasi cha pesa.

“Sihitaji chochote kutoka kwako”, Neema alifoka huku akitoka.

Alipofika kituo cha basi alifungua mkoba wake kuangalia. Kila kitu kilikuwa sawa isipokuwa bastola yake! Hakujua cha kufanya.

Alipofika nyumbani, Neema aliketi juu ya sofa akajaribu kufikiri, mara akahisi hana nguvu za kufikiri lolote. Alichokitaraji ni pumziko tu. Mara akausikia usingizi mzito ukimnyemelea. Kitanda alikiona mbali. Akajinyoosha juu ya kochi usingizi mzito ukamchukua.

Ulikuwa usingizi wa aina yake. Ulimchukua moja kwa moja na kumtoa katika dunia hii na kumpeleka katika dunia nyingine. Dunia yenye kiza kizito. Dunia isiyo na hisia.

Unono alipoingia alimkuta Neema katika usingizi huo. Awali hakufahamu kinachotokea. Akapoteza dakika kadhaa akilihusudu kwa wivu umbo zuri la Neema ambalo lililala kifudifudi juu ya kochi. Kisha akapoteza dakika zingine kadhaa akijaribu kumwamusha kwa kumsukuma. Mara akaiona damu nzito iliyokuwa ikimtoka Neema midomoni na puani, Ulimi ulivyoponyoka kutoka kinywani na kuduwaa nje, upande mmoja. Akayaona macho yalivyotoka nje. Kila kitu kilitangaza mauti ya Neema.

“Amekufa”, Unono alifoka huku akiruka kurudi nyuma.

Kifo. Unono alikifahamu sana. Alikifahamu sana toka wazazi wake wote wawili walipokufa kwa ajali ya gari wakati huo akiwa na umri wa miaka mitano tu. Alikifahamu kifo miaka minne baadaye wakati shangazi yake aliyekuwa mlezi wake wa pekee, alipofariki kwa kipindupindu. Naam, alikifahamu kifo na madhara yake. Lakini hakupata kuwa karibu na kifo kiasi hiki. Hakuwahi kumugusa mtu aliyekata roho na kumsukasuka. Hivyo, alipouondoa mkono wake juu ya mwili wa Neema, aligeuka na kuanza kutoka nje mbio, huku akipiga kelele.

Hakwenda mbali kabla ya kutokea gari yenye dereva mwenye haraka zake, ambayo ilimgonga Unono na kumwua pale pale.

Watu walioshuhudia ajali hiyo, hasa baada ya kumuona alivyokuwa akikimbia hovyo barabarani, na kumuona alivyokuwa, waliamini mara moja kuwa alikuwa ‘Mwendawazimu mmoja’ amegongwa na gari na kufa.

                        ******************************

Miongoni mwa watu walioshuhudia ajali hii ni Proper. Kama watu wengine yeye pia ajali hii ilimsikitisha. Tofauti ni kwamba yeye hakusikitika kwa kuona maisha ya binadamu yakiteketea ghafla katika hali ya kutisha kama hiyo, la. Kwanza hakuna jambo lolote lililomsisimua katika maisha yake zaidi ya kumuona mtu akikata roho. Hakuna mchezo alioupenda au kuujua zaidi ya kuua ama kushuhudia kifo.

Proper alisikitika kukosa fursa na kuzungumza na Unono ili kujua yote anayofahamu juu yake na wapi alikopata picha ambayo Neema aliizungumzia wakati alipomhoji baada ya kumlewesha kwa dawa zake. Aliamua kummalizia Neema, baada ya kuona kuwa hakujua lolote lingine la haja. Ndiyo akamnywesha sumu ile maalumu ambayo ilikusudiwa kumuua Neema kwa utulivu, baada ya muda fulani. Kisha alimfuata kwa hila hadi hapa ambapo alijificha katika uchochoro akimsubiri Unono. Alifanikiwa kumwona wakati anaingia ndani na alivyotoka mbio. Kabla hajaanza kumfuata, ilitokea gari na kumgonga kwa bahati mbaya.

Proper alifanikiwa kujisokomeza katikati ya umati wa watu waliojaa hapo barabarani. Akiwa kajibadili kimavazi na kitabia, hakuwa yule profesa Kimara tena, bali mmoja wa watu kadhaa wa mkitaani na hakuna yeyote ambaye angeweza kumshuku. Hivyo hakuna aliyemwona akiinama na kuokota mkoba wa marehemu na kwenda kando ambako aliufungua na kupekuwa ndani. Ndani ya mkoba huo hakukuwa na chochote alichohitaji. Aliutupa mkoba huo chini na kupishana na watu waliokuwa wakielekea kwenye tukio hilo la ajali, akaelekea nyumbani kwa Neema.

Hakuna aliyemwona akiingia. Alisimama kando ya kitanda akitabasamu kwa ‘uzuri’ wa kazi yake. Neema alikuwa amekufa kwa namna aliyotaka. Yeyote ambaye angeingia na kumtazama haraka haraka angedhani yuko usingizini. Hata hivyo Proper hakuridhika kikamilifu. Akambeba na kumlaza juu ya kitanda na kumfunika kwa shuka hadi usoni. Kisha akafanya msako wa haraka haraka. Alikuwa akiitafuta ile picha aliyosema Neema. Hakuiona. Akalazimika kuondoka

Mlangoni alikutana na jirani mmoja wa Neema ambaye alimtazama kwa macho ya kuuliza japo hakuuliza chochote.

“Nilikuwa mgeni wa huyu dada lakini naona amelala”, Proper alieleza.

“Amelala?” jirani huyo alihoji akijaribu kuchungulia ndani. alipoona mwili wa Neema umetulia kitandani aliamini. “Naona tumwache alale. Shoga yetu lapatwa na msiba mkubwa”.

Akiufahamu umbeya wa wanawake wa Dar es Salaam, Proper hakusubiri kumsikiliza. Alifanya haraka kurejea nyumbani kwake ambako aliendelea kuandaa mpango wake. Kisha akaipitia tena taarifa yake ambayo alikwisha iandaa kwa ajili ya kuipeperusha nje. Aliirekebisha taarifa hiyo hapa na pale, kisha akavuta mtambo wake wa kupeperusha habari na kuufungua. Kisha aliufunga na kusubiri muda wa majibu. Aliyahofia majibu hayo lakini hakujali. Maadamu alikuwa kadhamiria. Lolote lisingemfanya ashindwe kuutekeleza.

Kidogo hofu ilikuwa ikimwingia kwa kufikiri wapi yule marehemu aliyegongwa na gari aliipata picha yake na vipi picha hiyo isipatikane ingawa alikuwa ameitafuta kwa umakini. Kuna jambo la kutisha linamnyemelea? Wapi? alijiuliza.

Hakuna vipi angeweza kuacha mwanya wa kupatikana kwa urahisi. Mambo mengi ama yote aliyotaka yafanyike kikamilifu alikuwa akiyafanya mwenyewe, japo alikuwa na watu wengi chini yake ambao wanalipwa vyema na wamekamilika kimauaji. Wote hao yeye anawafahamu lakini hakuna yeyote anayemfahamu. Yeyote anayedhani kuwa anamfahamu basi alikuwa akijidanganya kwani Proper unayeongea naye leo si Proper wa kesho. Kadhalika vifo vyote vilivyotokea alivitekeleza mwenyewe kiufundi zaidi ya alivyofundishwa. Alimuua Waridi kikatili, ili polisi waamini kuwa ni mwendawazimu mwingine ambaye anaipenda sana kazi ya kuua watu wasiokuwa na hatia. Joram amekufa kwa bomu, Neema alikuwa msiri wa Joram! Yeyote aliyemuua Joram asingesita kumuua Neema. Zaidi, Neema kafa kwa sumu ile ile iliyokusudiwa kumuua Joram. Katika hali kama hiyo, nani angefanya nini kumtia hatiani kwa urahisi? Polisi? Wao wasingeenda mbali na ukweli. Joram aliyekuwa na uwezo wa kunusa chochote sasa yuko kuzimu.

Hata hivyo Proper alihisi kama uovu fulani uliojificha kando ukimnyemelea. Kama angeipata ile picha… Kama yule mwanamke asingepatwa na ajali… angeweza kujisikia salama zaidi. Aliifukuza hofu kwa kujiliza kwa moja ya sigara zake kali, ambazo huzivuta kwa nadra sana. Kisha akaitazama saa yake. Alipoona imepungua dakika moja ili kupata majibu yataarifa yake, aliubonyeza mtambo wake. Karatasi yenye maandishi ikajitokeza. Akaichukua na kuanza kuisoma.

…Utapewa majibu rasmi kesho muda kama huu… taarifa hiyo ilieleza, akaisoma tena kisha akaichana, mabaki akayatia katika mtambo mwingine wa kusaga karatasi hata ikawa kama majivu.

Hakujua jibu rasmi litakuwa lipi na lilimhusu vipi. Alichotuma yeye halikuwa swali wala ombi. Ilikuwa taarifa ambayo watake wasitake ingefanyika. “Wapuuzi”, aliwaza. Akawatoa akilini na kuanza kuandaa mkutano mwingine baina yake na washirika wake. Washirika ambao kiasi fulani hawakuwa zaidi ya mateka wake.

Mkutano huo wa siri ulifanyika chini ya Uenyekiti wa Proper. Bado alifanya mpango wake kuwa siri, alijificha nyuma ya taa kali za umeme kwa namna ambayo iliwafanya washirika wake wasimuone vizuri japokuwa walikuwa na matarajio ya kazi.
Mkutano huu kama ulivyokuwa wa awali, ulikuwa umeitishwa kwa namna ya hadhari na siri, jambo ambalo liliwaongezea mashaka baadhi ya wajumbe. Kila mmoja alijikuta akiwa mkutanoni bila kutarajia wala hiari.

Huyo alikuwa akipita zake mitaani, kaiacha pale gari na dereva wake. Mara kashikwa mkono na mtu aliyekuwa akipita ghafla. Alipoutazama mkono wake aliona kadi ndogo yenye maandishi yasemayo ‘BAADA YA NUSU SAA… NJOO PALE KWA SIRI… ONYESHA KADI HII MLANGONI’. Akijua maana ya kadi hiyo, mtu huyo alimruhusu dereva wake kuondoka. Kisha akatembea kuelekea nyumba hiyo ambayo nje ilionekana kuwa nyumba ya kawaida lakini kwa ndani ilikuwa nyumba ya aina yake. Mlangoni kila aliyetoa kadi aliruhusiwa kuingia katika chumba ambacho kilikuwa na lifti iliyowasafirisha kwenda chini ambako walipitishwa vyumba kadhaa hadi kwenye chumba cha mkutano.

Mwingine alikuwa kastarehe na mkewe nyumbani kwake. Alipoinuka kwenda maliwatoni aliuona mkono wa mtu ukiingia kupitia dirishani ukiwa umeshika kadi iliyosomeka. ‘BAADA YA NUSU SAA… Aliipokea na kumuaga mkewe haraka kuwa anarudi kazini. Lakini nje aligeuza safari na kuelekea kwenye kikao cha Proper. Mwingine alikuwa kazini. Simu ilipigwa ghafla ikimwarifu kuwa ana mgeni alimsubiri kwenye mghahawa mtaa wa pili. ‘Mgeni’ huyo alimkabidhi kadi yake iliyomtaka kufika haraka kwenye kikao, ambapo sasa wajumbe wote walikuwa wamefika wakimsubiri Mwenyekiti afungue mkutano.

“Tungeanza kwa kukumbushana kuwa Joram ambaye tulimuona kama tishio kwetu sasa ni marehemu. Yuko kuzimu. Hiyo ni habari njema. Au?”, alihoji.

“Nadhani ni habari njema”, mmoja wa wajumbe alijibu, “Igawa kifo chake hakikuwa kizuri sana . Watu wanashuku kuwa pengine alipewa sumu. Nadhani bado wanaendelea na uchunguzi wa kifo chake”.

“Wanajisumbua, hakuna watakalogundua kuhusu kifo cha Joram”, Mwenyekiti aliwajibu. Kisha alicheka kidogo na kusema, “Pia napenda kutumia fursa hii kuwafahamisha kuwa Joram hakufa kwa sumu. Walipanga hila ili watulaghai tu baada ya kunusurika kwake. Nililazimika kumteketeza kwa bomu”.

Hii ilikuwa taarifa ngeni kwa wajumbe. “Si lazima watazidisha mashaka? Nazungumzia polisi. Walipoona amepona kufa kwa sumu na hatimaye kuuawa kwa bomu nadhani watakuwa macho sana, wakipeleleza kwa makini zaidi hadi…” akasita kidogo baada ya kuona ameongea muda mrefu zaidi ya anavyotakiwa kuongea.

“Hadi nini?”, Mwenyekiti alihoji. “Hakuna lolote watakalogundua. Watakuwa wakibabaika tu kama mfamaji asiye na msaada wowote. Hawatafahamu iwapo ubaya utatoka mashariki au magharibi. Hawatajua ni kitu gani kinatokea. Watakapofahamu, mambo yatakuwa yamekamilika. Watakachofanya ni kuteremsha bendera zote nusu mlingoti na kuanza maomboleza ambayo hayajawahi kutokea katika historia ya dunia.

Wajumbe waliduwaa. Mioyo yao ikadunda kwa hofu. Ingawaje walikuwepo mkutanoni kama washiriki kamili katika njama hii, lakini hawakuelewa barabara kilichokusudiwa. Tamaa ya pesa nyingi zaidi, madaraka makubwa zaidi, ndio sababu zilizowafanya wakubali kushiriki katika mkutano huo wa siri. Lakini hayo hayakuwafanya watokwe na mashaka. Hawakujua kama mambo yalikuwa heri kama alivyodai Mwenyekiti wao au shari kama miayo yao ilivyokuwa ikinong’ona. Hasa mashaka hayo yalitokana na kuteuliwa kwao. Hakuna mjumbe aliyefahamu wajibu wake. Hakuna aliyekuwa na fununu sababu ya kuteuliwa kuhusika katika mkutano huo. Ni kweli kwamba wajumbe hao walikuwa watu wenye nafasi nyeti katika chama na serikali. Ni kweli pia wote walikuwa pamoja kwa nafsi zao: wote wangependa cheo zaidi na pesa. Lakini umoja huo haukuwafanya washindwe kujiuliza vipi mtu huyu anayejificha nyuma ya mwanga, mbele yao aliwezaje kuisoma mioyo yao, hata akawateua katika jumuia hii. Vipi aliweza, japo katika nchi na ulimwengu mzima? Watu wenye njaa kama zao ni wengi mno, endapo si wengi. Sheria na katiba zisingekuwepo, kulinda haki na usawa, ingethihirika ni jinsi gani wengi walivyo na tamaa ya madaraka na kiu ya kupata pesa.

Ingawa kuna sheria zinazotisha, pamoja na katiba zinazoadili, wengi huzikiuka kwa siri na kulinda nafasi ya kufanya mengi kinyume cha mwelekeo. Wako wachache walio ‘jaaliwa’ wakafaulu kufanya mengi kwa siri wakati wao ndio wanaongoza kulinda katiba na sheria za nchi. Baadhi ya watu hao ni hawa ambao sasa hivi walikuwa mbele ya Proper wakimsikiliza kwa hofu. Walikuwa na mengi ambayo waliamini ni siri zao binafsi, ambayo hawakupenda jamii ifahamu. Hata hivyo tamaa yao haikuwa kubwa kiasi cha kuwafanya wafurahie jambo la kutisha wasilolifahamu eti kwa ahadi ya pesa na vyeo zaidi.

“Unakusudia kufanya nini?”, mmoja wa wajumbe alifoka ghafla.

“Ndiyo… Tufahamishe ni jambo gani unataka kufanya?”, mwingine alidakia na kuuliza.

Proper kama mtu aliyekuwa akiyasoma mawazo yao kitambo, alicheka kidogo, kisha akawaambia. “Sikilizeni. Kazi iliyo mbele yenu ni ndogo kuliko kazi zote mlizowahi kufanya… Hamna haja ya kuwa na hofu yoyote”.

Alipoona wametulia kumsikiliza aliendelea, “Nimepata fununu kuwa hivi karibuni utafanyika mkutano wa viongozi kutoka nchi mbalimbali za Afrika wanaojiita wenye msimamo wa kimapinduzi wamealikwa pia. Nitakachohitaji kwenu ni ratiba kamili ya mkutano huo, wapi kiongozi fulani analala, wapi anakula, jumba lipi wanakutana na kadhalika. Nataka taarifa kamili, ya siri, si ile ambayo hutangazwa katika magazeti yanayouzwa mitaani. Kulingana na nafasi zenu najua kazi hiyo ni ndogo mno. Kitakachofauata niachieni mimi.

“Nini kitafuata?”, mjumbe mmoja aliropoka kwa shauku.

“Mara ngapi nimewaambia kuwa bendera kadhaa zitapepea nusu mlingoti kwa siku kadhaa katika nchi kadhaa wa kadha?. Nataka kufanya jambo fulani ambalo halijawahi kutokea sasa kifanyike. Kitu ambacho bado hakijafikirika. Kitu ambacho historia haitakisahau. Kwa muda mrefu amekufa kiogozi mmoja. Safari hii nataka kuona viogozi wengi wamekufa wote kwa wakati mmoja. Tena nitafarijika kama watakufa pamoja katika viti na meza zao. Huenda wataanguka mmoja baada ya mwingine, wakati wakiagana. Ama kweli litakuwa jambo la kusisimua sana…”

“Kusisimua!” Mmoja wa wajumbe aliropoka na kufoka baada ya kupatwa na mshangao. “”Kusisimua!”, alirudia tena, “Sikuwa na hakika. Sasa nimeamini kuwa una wazimu. Hata hivyo, wazimu  wako unakudanyanya sana kukutuma udhani kuwa mimi naweza kushiriki kuinua mikono yangu katika kuwaangamiza watu ambao licha ya kwamba, hawana hatia, wanajitesa kutwa kucha kuwasaidia wanyonge wanaonyimwa haki zao?”.
Mjumbe huyo ambaye sasa alikuwa amesimama wima, akitetemeka kwa hasira huku akitokwa na jasho aliwatazama wajumbe wenzake. Alipoona wote wana dalili ya kumuunga mkono aliongeza. “Huna budi kulionea aibu wazo lako la kipumbavu…”

“Keti”, Proper alimwamru. “Hujui unalosema. Maneno yako yamejaa ndoto au nyimbo ambazo hao unaowaita viongozi, sijui watetezi wa wanyonge gani, wamekuwa wakizijaza katika vichwa vyenu. Nani anayemtetea nani katika dunia hii? Mnyonge hujitetea mwenyewe. wale wanachofanya ni kutetea matumbo yao. maisha na vyeo vyao tu kwa visingizio vingi. Wamehitimu katika taaluma ya kusema maneno mazuri na kutoa ahadi tamu katika masikio ya wanyonge kiasi cha kuwafanya waonekane kama miungu ambayo wanadamu wanaitegemea!”,

“Hata hivyo”, mjumbe huyo alidakia, “Siwezi kushiriki upumbavu kuangamiza damu za watu wasiokuwa na hatia”.

“Bado hujajua usemalo”, Proper alimjibu kwa mara nyingine. “Naweza kuwa mwema kukukaribisha katika mpango huu ambao utasaidia kuyabadili maisha yenu kuwa ya heti na utajiri mkubwa. Lakini siwezi kuwa mpole kiasi hicho kiasi cha kuacha mpango huu ambao nimeuandaa kwa miaka mingi uharibike kwa ajili ya woga na ujinga wa yeyote kati yenu. Nadhani sasa nimeeleweka?”.

Proper akanyamaza kidogo ili kutoa nafasi kwa wajumbe waweze kuyatafakari maneno yake.

Ulikuwa ujumbe wa kutisha kwa wajumbe walioshiriki mkutano huo, Kilichofuata yalikuwa maafa na ukatili mkubwa kwao au yeyote ambaye angethubutu kukanusha au kutoa siri hii. Ukweli huo uliwatia hofu wajumbe hata wakatazamana kwa dalili ya kukata tamaa ya maisha.

Kama anayesoma mawazo yao. Proper akarudia kuongea kwa sauti ile ile ambayo japokuwa haikuwa kali, wala yenye hasira, lakini sauti hiyo iliubeba ujumbe kamili, alieleza jinsi alivyodhamilia kutenda yote aliyosema. “Najua kwamba majalada yenu kazini hayaonyeshi doa lolote, Na raia wengi nchini wanayo picha nzuri juu yenu. Picha iliyowawezesha mkachaguliwa kushika nyadhifa katika sehemu mbali mvali muhimu za uongozi. Lakini kuna upande wa pili wa picha hizo. Upande wenye kila aina ya uovu, ukatili, na kukiuka taratibu za nchi. Nyie mnadhani upande huo wa pili ni siri zenu binafsi ambazo hakuna anayefahamu. Kwa bahati mbaya au nzuri, mimi nafahamu kila jambo. Namfahamu kila mmoja wenu vilivyo. Pia ninao ushahidi mzuri ambao ukiwekwa hadharani utayafanya majina yenu yanuke kama takataka”.

Wajumbe walianza kuchanganyikiwa. Ndio kwanza wakaifahamu ‘bahati’ iliyowafanya wateuliwe kushiriki katika kundi hili. Proper alikuwa amewateua baada ya kuwapeleleza kwa muda mrefu na kuwaweka katika kona moja ambayo ilikuwa vigumu kujitoa. Wakaanza kutapatapa, kila akijiuliza ni vitendo vingapi alivyofanya kwa siri na vimefahamika.

Kuna yule ambaye kabla hajateuliwa kuwa mbunge alikuwa mfanya biashara mkubwa wa magendo ya madini na bangi alivyosafirisha kwenda nje ya nchi. Hadi sasa biashara hiyo hajaiacha kwani uchumi wake unategemea biashara hii. Biashara hii imemfanya ajenge jumba la kifahari huko Ughaibuni na kufungua kiwanda hapa nchini akitumia majina ya mtu mwingine. Haya kumbe yanafahamika.

Mwingine ni yule ambaye huuza siri za nchi kwa mashirika ya kijasusi huko nje ya nchi. Wao humlipa pesa nyingi sana pia wamemwahidi hifadhi ya kisiasa endapo lolote lingemtokea. Mambo haya yakifanyika kwa siri sana, hakujua kabisa kama yangeweza kufahamika. Kumbe…

Na kuna huyu ambaye aliyeshiriki katika kuandaa kifo cha mgombea mwenza katika uchaguzi wao. Kadhalika alikuwa, kiungo muhimu katika kufanikisha kifo cha kiongozi shupavu ambaye alionekana kuwa kauawa na majahili wa nje. Kitendo ambacho kilimpatia pesa za kutosha. Kama yote hayo yanajulikana!… Kama kuna ushahidi!…

Kila mjumbe alijikuta katika nafasi ngumu mno kwa maisha yake ya baadaye. Baada ya kutazamana tena, na kila mmoja kuona hofu katika macho ya mwenzake, waliyarejesha macho yao kwa Proper kwa namna iliyosihi. Kukiwa hakuna jambo ambalo alihitaji zaidi ya hilo, Proper aliongeza.

“Labda yupo ambaye haogopi aibu. Ambaye yuko tayari nitoe ushahidi huo, Au kama kuna mwingine anabuni mbinu ya kutoroka akajifiche mbali. Ndoto za aina hiyo ningeshauri, mziondoe akilini. Ingawa sioni fahari kusema haya lakini sina budi kukufahamisheni kuwa hatua tuliyofikia katika suala hili ni ndefu mno. Hivyo yeyote atakayekiuka kwa njia yoyote afahamu kuwa hatafika mbali. Kifo kitakuwa kando kikimsubiri. Wala hatajua kapigwa na kitu gani?. Atakayenusurika ni yule mwenye uwezo wa kutoroka bila roho yake tu”.

Hofu ilizidi kutawala mioyo ya wajumbe hao. Tamaa na matumaini yao yote ya utajiri zaidi na vyeo ikaanza kudidimia. Walio waoga walijiona kama ambao tayari wako safarini kuelekea kuzimu. Mashujaa kiasi waliduaa tu. Wale ambao wana mioyo migumu zaidi walimtazama. “Kwame”, kwa namna ya kupima uwezo wa kifo chake yeye kabla na baada yao.
Kama anaesoma mawazo yao Proper alisema. “Naona wapo wanaodhani kuwa nastahili kufa”, akacheka kidogo, “Hilo ni wazo la kipuuzi kuliko yote. Mimi ni mtu ambaye hafi kwa urahisi. Na kabla hujaniua utakuwa umefufa wewe, bila kujua kitu gani kimekupiga”. Akacheka tena kabla ya kuongeza, “Pamoja na hayo ndugu zangu mawazo yote ya nini? Maelezo yangu niliyokupeni hayakuwa ya kuwatisha isipokuwa kuwaonyesha hali halisi ilivyo. Nina hakika hakuna baya lolote litakalotokea kusababisha hali hiyo. Bado nawaomba tusiogopane. Tuwe marafiki na tutimize wajibu wetu vyema. Tusisahau kuwa mpango huu una utajiri ambao wengi wenu hamjawahi kuugusa na vyeo ambavyo msingeweza kuvikalia”.

“Wala msihofu kuwa utawala wenu utakuwa wa kidikteta hata muwe kama maadui wa wananchi wenyewe. Mbinu zitafanyika mara tu baada ya vifo vya wakubwa wachache, ili majina yenu yazibe mapengo hayo. Sifa zenu zitaimbwa redioni na kutangazwa magazetini, vikao vyote vya chama havitauona ubovu wenu, hata raia watawapenda na kuwategemea. Mmoja wenu atakuwa Rais. Ni kazi ndogo sana, mradi kila mmoja atimize jukumu lake dogo lililoko mbele yake”.

Ingawa sauti ya Proper ilikuwa inasema ukweli, wajumbe waliona kama anawadhihaki.

Kutoka hapo Proper aliharakisha kukiendea chumba ambacho kilikuwa na mtambo wake wa kupeperushia habari. Alipofika, alitazama saa yake na kusubiri dakika kadhaa, kisha alibonyeza hapa na pale. Mara ikatoka karatasi iliokuwa na maandishi yaliyosema:

Ua limechanua bustanini lafaa kuchumwa.

Proper alielewa maana ya ujumbe huo. Ilikuwa lugha ya siri ambayo ilikuwa ikimfahamisha kuwa kulikuwa na mzigo wake mahali pao pa siri.

Mahali hapo ni katika chumba chake cha pili katika nyumba yake nyingine, mtaa fulani. Katika kona moja ya chumba hicho, lipo kasha la takataka ambalo haliwezi kuvutia macho. Humo huwekwa ujumbe wa hatari zaidi ama silaha, madawa ya kulevya na kadhalika. Yote yake ambayo viongozi wake wa nje huofia kupeperushwa katika mtambo wao kwa hofu ya kunaswa katika mitambo ya adui, huletwa hapa, nae kuarifiwa.

Lililomtoa jasho Proper ni kutokumjua mtu huyo ambaye makao makuu walikuwa wakimtumia kuleta habari hizo. Kwa mjibu wa madaraka yake, ni yeye aliyekuwa mkuu wa mambo yote ya kijasusi katika kanda hii. Watu wote walikuwa chini yake. Wala hakufahamu wakati gani anafanya shughuli zake. Proper alikuwa na shauku kubwa ya kufahamu. Aliwahi kukiuka utaratibu na kuanza kuendesha upelelezi ili amfahamu. Lakini alishangaa alipopewa onyo kali kutoka makao makuu kwa kitendo hicho ikamlazimu kutii, ingawa kwa shingo upande.

Kwa hivyo, alipokuwa akiendea ujumbe huo, alikuwa mtu mwenye mashaka hasa alipozigatia kuwa ujumbe alituma haukuhitaji jibu refu zaidi ya ‘Ndiyo’ alipofika chumbani humo katika sura ya jina tofauti alijifungia na kuliendea kasha hilo. Alipekuwa taka chache za karatasi kabla hajaifikia bahasha pana ambayo iliandikwa herufi moja tu juu ‘P’ akaitatua kwa uangalifu akashangazwa na harufu tamu ya poda au manukato ambayo iltoka katika bahasha hiyo. Kwa jinsi alivyokuwa na haraka ya kufahamu jibu la pendekezo lake, hakusita kujiuliza maana na dhamila ya harufu hiyo tamu, Alichofanya ni kuanza kuisoma.

Agenti 034/X/P
Tumepokea taarifa yako na kuipitia kwa makini. Tumeshangazwa sana na wazo lako la kinyama. Inaonyesha hujui kwanini uko hapo. Tumekuweka hapo si kwa ajili ya kutenda ukatili wa kujifurahisha bali katika kulinda maslahi yetu kiuchumi na kisiasa.

Wazo lako ni hatari sana kwani linakusudia kumwaga damu nyingi kuliko inavyostahili, jambo ambalo litafanya, kati ya unaokusudia kuwateketeza hujui kama tunao watu wetu tunaowategemea ingawa hadharani tunawaruhusu wajifanye kama wanatulaumu, kutulaani. Kuondoka kwao madarakani kuna hatari ya kuja watu ambao pengine tutashindwa kuwamiliki. Kwa muda mrefu tumevumilia vitendo vyako ambavyo haviambatani na wajibu wako. Umekuwa ukiutumia wadhifa tuliokupa kuufariji moyo wako wenye kiu ya kumwaga damu. Safari hii umevuka kiwango. Ofisi hii imeshindwa kustahamili zaidi. Pamoja na kukuonya uondoe ndoto za kipuuzi kama hizo, tunakutaka uichukulie barua hii kama taarifa ya kukupokonya madaraka yote uliyokuwa nayo. Kuanzaia sasa. Uko huru…”

Proper alipofikia hapo, aliruka kando ghafla akageuka nyuma yake akitazama kila upande, bastola yake ikiwa mkononi tayari kwa lolote. Hakuona chochote alikuwa peke yake chumbani hakuamini. Akaanza msako wa kuchunguza hapa na pale, bastola ikimtangulia. Ingawa hakuona mtu wala kitu lakini hofu ilimpanda. Ajuavyo yeye, barua hiyo ya kumnyanganya wadhifa ilikuwa pia ikiashiria hukumu ya kifo. Akiwa mtu ajuaye mengi ya hatari asingeweza kuruhusiwa kuwa ‘huru’ kwa urahisi kiasi hicho. Alichoamini yeye ni kuwa yeyote aliyeleta barua hiyo pia alikuwa na jukumu la kumuua. Wala asingemruhusu kuishi kwa muda wa dakika nyingi baada ya kupokea taarifa hiyo. Lakini mboba yuko peke yake? Nani ambaye angemuua na lini? alijiliulza huku akiendelea na uchunguzi wake kwa hadhari kubwa!

Haikuwepo dalili yoyote ya uovu.
Hakuona dalili yoyote ya hatari.

Mara alijiona akiwa mzito zaidi kuliko kawaida. Kichwa chake pia kilimuelemea ghafla na macho yake yakashindwa kuendelea kutimiza wajibu. Aliyaskikia maungo yake yote yakianza kulainika. Aliona kana kwamba angeanguka sakafuni. Ndipo alipoelewa mwisho wake ulivyopangwa. Ile harufu tamu aliyoinusa katika bahasha aliyokuwa nayo mkononi haikukusudiwa kumburudisha. Ilikuwa sumu kali yenye jukumu la kumuua. Sumu ambayo ilikuwa ikitimiza wajibu wake. Akasonya kwa kutowaza hilo toka awali. Proper angekubali kufa kwa mkono wa mwanaume mwenzake. Hilo, hakulitazamia na asingeruhusu litendeke Proper Mbezi na mwenye kiburi kikubwa. Alijikongoja kuitafuta bastola yake. Akakielekeza kifuani tayari kuifyatua. Kisha alikumbuka kuwa sumu iliyokuwa ikikaribia kumuua haikuwa ngeni kwake. Alikuwa ameisoma katika vitabu vya kemia vya kijasusi na kuifahamu kuwa ilikuwa imegunduliwa siku chache zilizopita. Sumu hii iliitwa Crycine, na ingeweza kumua mwanadamu kwa dakika chache sana. Hata hivyo, alikumbua pia kuwa, Dawa pekee ya sumu hiyo ni maji. Aliirejesha bastola yake kibindoni akajikongoja haraka kuelekea bafuni. Ambako alijaza maji kwenye beseni na kujitumbukiza ndani yake. Akahakikisha pia maji mengi yanaingia tumboni mwake. Baada ya muda, alijisikia akirudiwa na uwezo wake kimmwili na kifikra. Akajipoa kutoka majini na kuvaa mavazi yake.

Hasira kali zilikuwa zimemjaa kichwani mwake. Hasira dhidhi ya yule aliyepitisha uamzi wa kumuangamiza. Na hasa dhidi ya huyu aliyepokea amri ya kumuua bila kukumbuka ni nani kakusudiwa kuangamizwa. Alikumbuka mchango wake kwa shirika hili la ujasusi ambalo lilimtuma hapa nchini. Mchango ambao kila mara huhatarisha maisha yake. Akaona kuwa alistahili kupata medali na si kifo.

Proper si mtu wa kustahamili uovu kama huo. Aliamua kulipa kisasi. Na hakuiona njia nyingine ya kulipiza zaidi ya kuendeleza mpango wake kama alivyopanga, Ili wajue kuwa hakuwa na mzaha. Na huyu aliyethubutu kumtegea sumu? Lazima afe, alijiambia. Maadamu wamekwisha mhukumu kifo sasa walikuwa ni maadui zake. Haikuwepo haja ya kuwasamehe. Kuhusu usalama wake binafsi alijua angefanya nini. Mara baada ya kufanikisha mpango wake huo angetoweka na kwenda mbali ambako angeanza maisha mapya. Kweli, mkono wa majasusi ni mrefu na umetambaa kila upande wa dunia, lakini usingemgusa yeye. Alijua vipi angeweza kujificha na kujigeuza kuwa mtu mwingine kabisa. Hii dunia ya pesa, nae alikuwa nazo za kutosha asingeshindwa kuzitumia zimgeuze kuwa mtu mwingine. Ikibidi atajigeuza kuwa mwanamke kabisa. Wazo hilo lilimfanya Proper atabasamu.

Alikuwa na uhakika kuwa huyu mtu aliyetega sumu hii lazima atarudi kutazama matokeo ya kazi yake, pamoja na kuchukua maiti ili aifiche kokote alikopanga. Akaamua kumsubiri mtu huyo kwa namna aliyotaka yeye. Alijifanya maiti aliyefia juu ya kochi, mkono mmoja na kichwa vikining’inia. Mkono wake wa pili ulikuwa umeshika bastola kwa uficho kiasi kwamba yeyote ambaye angeingia asingeweza kuiona wala kushuku.

Mtu huyo aliyekuwa akisubiriwa aliingia kimya kimya kama kivuli. Ilikuwa baada ya dakika kadha wa kadha kupita bila ya lolote kutokea. Ndipo Proper aliposhtukia mkono ukitua juu ya kifua chake kupima kama moyo ulikuwa ukifanya kazi. Hakujua mtu huyo alikuwa ametokea wapi. Wala hakuwa na haja ya kumtazama alikuwa nani. Taratibu aliinua mkono wake wenye bastola na kufyatua risasi tatu mfululizo. Mwili wa mtu huyo ulimwangukia pale kwenye kochi huku akitapatapa. Proper alipoinuka na kumtazama hakuweza kumtambua. Uso mzima ulikuwa umefumuliwa na risasi kiasi cha kuacha nyama nyama zenye damu ambazo hata mama yake aliyemzaa asingeweza kumtambua. Kiwiliwili kilikuwa salama. Kilikuwa kiwiliwili cha mzungu kilichofunikwa na mavazi ambayo kidogo yalimshitua Proper. Yalikuwa mavazi ya kipadri. Proper aliutia mkono wake katika moja ya mifuko mingi ya vazi hilo na kutoa kijimsalaba ambacho kilikuwa na maandishi yasemayo “Father Peter Jamaa” amemuua Padri! Proper alishangaa. Kumbe ni Padri huyu ambaye siku zote alikuwa siri yake na makao makuu! na asafiri salama huko peponi. 

Masaa matatu baadaye Proper alikuwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dar es Salaam akisoma ratiba ya safari za ndege. Mkononi alishika begi lake dogo jeusi ambalo hata hivyo lilikuwa na vifaa vyake muhimu tu. Begi hili lilikuwa na mifuko kadha ya siri ambayo wakaguzi wasingeweza kuifikia. Mifuko hii ya siri ilihifadhi baadhi ya silaha zake na pesa za kutosha.

Hakujua alikotaka kwenda. Alichojua ni kwamba ilimlazimu kuondoka hapa nchi kwa muda ili kuwahadaa waajiri wake ambao bila ya shaka wangeanza kumuwinda kwa hasira kali zaidi. Vilevile kuondoka kwake kungempa ahuweni na fursa ya kusubiri siku aliyohitaji ili aachie lile pigo lake la mwisho. Kama kawaida, Ndege za Shirika la Ndege Tanzania ATC zilikuwa zimejaa, lakini baada ya dakika ishirini hivi alipata taarifa kuwa, ingewasili ndege ya AEROFLOT itokayo Nairobi, Kenya ikielekea Bujumbura, Burudi kupitia Mwanza, ambayo ingekuwa na nafasi. Proper alikata tiketi ya Mwanza na kuisubiri. Ilipowasili, alikuwa abiria wa kwanza kuingia ndani ya ndege.

kwa Inspekta Kombora alikuwa amevurugikwa kichwa kiasi cha kuchanganyikiwa kama alivyokuwa, simu hii ilikusudiwa kumtia kichaa zaidi.

Alikuwa katika ofisi yake, juu ya kiti ambacho hakikukalika, mara kwa mara akipiga hatua kuelekea dirishani ambako alisimama akichungulia kana kwamba alitegemea wakati wowote kuona uovu aliokuwa akiutarajia kutokea. Uovu ambao hakuujua, ingawa hakuwa na shaka kuwa ungekuwa wa kutisha kuliko mengi yaliyokwisha tokea.

Lolote lingeweza kutokea, aliamini Inspekta Kombora. Dunia hii iliyojaa waovu, nchini humu wakiwemo wa kutisha. Wako watu wenye mioyo ambayo husherekea kitendo chochote cha unyama. Watu ambao hutabasamu waonapo maafa na kushangilia waonapo mauaji. Watu kama hao si wachache. Si kuna yule aliyejaribu kuitia moto Benki kuu? Bila ya kujali wala kujiuliza kuwa nchi na wananchi wangetukiwa na nini baada ya pesa zote za hapa na za kigeni kuteketea! Si wako wale ambao wamepanga kuwaua viongozi ambao wamechaguliwa na wananchi? Naam, waovu wapo na si haba.

Lakini hawa wanataka nini?

Ni swali hilo ambalo lilikuwa limezidi kuneemeka katika kichwa cha Inspekta Kombora na hasa lilimtesa zaidi ya hofu yenyewe. Swali hilo ambalo lilianza kumsumbua tangu watu hawa wasiojulikana walipoanza kumfanyia njama Joram na hata kufanikiwa kumuua! Isitoshe, hawa waovu wamemuua Neema, Katibu wa Joram! Swali hili liliongezeka nguvu na kutisha zaidi mara alipopokea habari za kifo cha Neema katibu wa Joram! Ingawa kilionekana kama kifo cha kawaida machoni mwa watu wa kawaida, lakini Inspekta Kombora aliamini kuwa yalikuwa mauaji. Na hospitali ilithibitisha hivyo baada ya kugunduliwa kwa sumu kali mwilini mwake. Sumu ile ile aliyokuwa ametegewa Joram.

Watu hawa wasiojulikana, walikuwa wamekwepa mbinu zote za upelelezi. Kufikia sasa, hakukuwepo na fununu yoyote. Wala haikuwepo hakika kama alikuwa mtu mmoja au kikundi kimoja kilichokuwa kikifanya haya. Kifo cha yule malaya mzuri, Waridi, kifo cha Joram,kifo cha Neema… kifo, kifo kipi kingefuata? Na ni vifo tu au pamoja na… pamoja na nini?… Aliendelea kutaabika kimawazo. Ni mawazo hayo yaliyomzidishia hofu na mashaka mengi kichwani.

Haya, na sasa simu hii isiyoeleweka inachohitaji! Kombora alikitazama chombo cha kusikilizia kwa hasira. Kisha alinguruma tena kwa nguvu zaidi.

“Unasemaje wewe?”

“Mbona mkali hivyo Inspekta. Hutaki kupata salamu zako?”

Kombora alikumbuka sauti hiyo. Haikuwa ngeni masikioni mwake. Hata hivyo, alishindwa kukumbuka mwenye sauti hiyo moja kwa moja. Sauti hiyo ilionyesha dalili na dhamira maalumu. Kombora alishindwa kuikata simu hiyo kama alivyokusudia awali. Badala yake aliuliza.

“Salamu salamu kutoka wapi?”

“Kuzimu”

“Nini?”
Kicheko kikasikika kutoka upande wa pili: “Mbona unashtuka Inspekta? Si kuna rafiki yako aliyekwenda huko hivi karibuni? Anaitwa Joram Kiango. Au umemsahau mara hii?”

Sekunde chache zilizofuata Kombora alikuwa akisikiliza kwa makini zaidi. Dakika chache baadae tayari alikuwa ndani ya gari yake, bastola kibindoni, akimweleza dereva wapi apelekwe, kama alivyokuwa akielezwa katika simu.

Mara alitokea mmoja ya wasaidizi wake ambaye baada ya kupiga saluti alisema, “Mzee, kuna tatizo jipya limetokea.” Kombora alimjibu kwa kumkazia macho askari huyo. Hivyo akaongeza haraka haraka, “Father mmoja ametoweka tangu jana.”

“Ametoweka!” Kombora alifoka. “Mmekwisha mtafuta katika makanisa yote?”

“Kila mahali…”

“Katazameni hata makaburini. nasikia huwa anaenda juko kuombea watu.”

“Tumetazama huko pia lakini…”

Kombora akataka kwa ukali: “Aongeze nenda kata  katika nyumba ya wanawake malaya. Nasikia wengine wana mahawara zao.” Lakini hilo hakulitamka kwa kuchelea kuonekana mhuni mbele ya “vijana” wake. Badala yake alisema, “Sikia ninaharaka sana, nitarejea baadaye. Kwani kitu gani hasa kinawatia wasiwasi kwa mtu kutoweka usiku mmoja tu? Watu si hupotea hata kwa wiki na wakarudi salama?”

“Damu.”

“Damu?” Kombora alihoji kwa mshangao.

“Nguo alizokuwa kavaa zimeokotwa mtaani. na zilikuwa na damu .”
“My God!” Kombora alinong’ona akiingia katika gari na kumwashilia dereva atie gari moto.

#################
#######################
###############################

Wajumbe wote walikuwa wamehudhuria mkutano huu, ingawa baadhi hawakuuona kama ulikuwa mkutano wa kawaida. Kwanza, hawakutegemea kama ungeweza kufanyika mapema kiasi hicho na kisha njia zilizotumika kuitisha mkutano huu hazikuzingatia usalama wa hali ya juu kama walivyozoea. Safari hii kila mmoja alikuwa amepata kadi kwa njia ya posta ‘Express’ ikiwa wa ujumbe mfupi sana ambao kila mmoja aliuelewa ukisema “LEO SAA MBILI PALE PALE.”

Kila mmoja alikuja kwa shingo upande. Hofu ikiwa tele moyoni pamoja na hasira dhidi ya “Mwenyekiti”. ‘Mwenyekiti alikwisha wafanya kuwa kama mateka au watumwa wake. Ahadi zake za utajiri na vyeo vilikuwa na ladha ya uchachu mdomoni. Hawakuwa na hila ya kumwepuka. Haikuwepo njia nyepesi, hasa walipokumbuka mauaji ya kinyama ambayo mtu huyu alikuwa akiyaendesha bila ya serikali kumshuku. Zaidi, wasingeweza kusahau maneno yake aliyowaambia katika mkutano wa mwisho akisema “Kifo kitakuwa kando kikikusubiri…” na “Hautajua kitu gani kimekupiga.” Hivyo walimtii na kufika mkutanoni. Na waliketi kwa utulivu kumsubiri afungue mkutano baada ya kumkuta katulia nyuma ya meza yake, juu ya kiti na, kama ilivyo kawaida, nuru ya taa ikiwamulika macho hata wasiweze kumuona kikamilifu, na kumfanya yeye awaone vyema zaidi.

“Nadhani hatukutegemea mkutano huu ndugu Mwenyekiti,” Mjumbe mmoja aliinuka na kuropoka ghafla. “Umeuitisha kinyume cha kanuni iliyowekwa na haukuwa na usalama. Bila shaka lipo jipya lililokulazimisha kuuitisha. Pengine ingefaa uanze kutueleza mapema ili tuweze kuondoka mahala hapa.”

“Ni kweli” Sauti mbili tatu zilimuunga mkono.

“Kweli kabisa,”Mwenyekiti alisikika akiunga mkono pia. “Lakini ningeomba tufanye subira kidogo. Yuko mgeni mmoja ambaye amealikwa kama msikilizaji tu wa kikao hiki.”

Sauti yake ilikuwa ngeni masikioni mwao. Haikuwa ile ambayo waliizoea. Ikawafanya washangae. Mmoja wao hakuwa amevutiwa na sauti hiyo. Yeye kilichomshangaza zaidi ni madai ya Mwenyekiti.

“Mgeni?” aliuliza kwa sauti ya juu kidogo. “Nadhani tulikubaliana kitambo kuwa suala hili ni siri kubwa baina yetu tuliopo hapa tu. Vipi tena mambo ya kuleta wageni wengine?”

Mwenyekiti alikohoa kidogo kabla hajamjibu mjumbe huyo kwa kusema, “Nchi hii ni kubwa sana ndugu zangu. Tulioko hapa hatuwezi kuifaidi peke yetu. Lazima tuwakaribishe baadhi yao vilevile. Mmoja wao ni huyo ambaye atafika hapa karibuni,” alimaliza kwa kuitazama saa yake.

Sasa ilikuwa dhahiri kuwa sauti hii ilikuwa ngeni kabisa masikioni mwao. Baada ya juhudi zao za kumtazama kutozaa matunda kwa sababu ya nuru iliyotengwa, waligeuka na kutazama kwa mshangao. Mwenyekiti akiusoma mshangao wao, alisikika akiangua kicheko, kicheko ambacho kilitofautiana kabisa na kile cha kikatili walichokizoea.

Kabla hawajajua la kufanya, mlango ulisikika ukugongwa na kisha ukafunguka. Mgeni aliyeingia alikuwa wa mwisho kati ya watu wote ambao wajumbe wangependa kumuona wakati huo. Inspekta Kombora, Mkuu wa Kikosi Maalumu cha Polisi Nchini ambacho hujishughulisha na masuala ya hujuma za kiuchumi na kisiasa! Mtu ambaye sifa zake za ushindi dhidi ya watu wa aina hiyo si haba. Alikuwa kavaa mavazi yake kamili ya kikazi. Nyota zikipepea mabegani.

Kombora pia aliduwaa mbele ya umati huu. Haikuwepo sura yoyote ngeni machoni mwake. Wote walikuwa watu ambao madaraka yao yalifanya picha zao kutokea magazetini mara kwa mara, majina yao kutajwa redioni, na katika mikutano ya hadhara walikalia vile viti vya mbele vinavyowaelekea watu. Sasa wanafanya nini katika chumba hiki ambacho kilikuwa siri mno hata akawa amekifikia baada ya mzunguko mrefu kutoka chumba hadi chumba? Alipoyatupa macho kumtazama yule huyo aliyejiweka kitini mbele yao kwa maana ya uenyekiti, aliyarejesha chini mara moja baada ya kulakiwa na ile nuru kali ya taa za umeme.

“Sijaelewa…” alianza kusema. Kisha alinyamaza ghafla ili kufikiri kabla ya kutia neno lolote katika kikao hiki. Simu iliyopigwa ilimwambia aje hapa, ili apewe salamu zake kutoka kwa Joram, kuzumu. Alikubali kuja hapa hasa simu ilipomwelekeza katika jumba hili. Jumba ambalo machoni mwa wapita njia lilikuwa la kawaida lakini kwake halikuwa la kawaida. Kwa muda mrefu, alikuwa akilitupia macho yenye maswala ambayo yalitaka kujua kipi hasa kinachofanywa kwenye nyumba hii. Alikuwa hajapata nafasi hadi leo hii.

“Karibu sana Inspekta,” sauti ya mwenyekiti ilimhimiza. Nimefurahia sana kufika kwako. Haja yangu ni kutaka ufahamu kuwa tulioko mbele yako ni raia na wazalendo wa nchi hii wenye njaa kubwa ya utajiri na kiu kali ya vyeo kiasi cha kushiriki kikamilifu katika njama za hatari ambazo hazijawahi kutokea katika historia ya ulimwengu.” Wote walimsikiliza kwa mshangao. Kombora aliduwaa. Wajumbe walitetemeka.
“Labda nirudi nyuma kidogo kimaelezo. Mpango huu umeandaliwa kwa muda mrefu. Majaribio ya aina aina yamekwishafanyika. Sumu maalumu zimeandaliwa. Moja ya sumu hizo ni ile ambayo ilikusudia kumuua Joram Kiango. Iliposhindwa, msichana aliyeteuliwa kuutekeleza mpango huo, aliuawa kikatili kuliko kifo chochote cha kikatili kilichowahi kutokea. Utakumbuka Inspekta kuwa, Viungo vya msichana huyo viliokotwa chumbani kwake mfano wa nyama inayouzwa. Baada yake ndipo Joram aliuawa kwa bomu. Viungo vyake vilitapanywa ovyo hata asijulikane kabisa. Sivyo Inspekta? Na baada ya Joram, akauawa Neema Iddi yule msaidizi wake. Ni sisi hawa ambao tuko mbele yako…”

Wajumbe ambao walikuwa wakitetemeka walianza kuinuka. mmoja alipiga hatua mbili tatu kuelekea mlangoni. Lakini alirejeshwa na bastola ya Kombora ambayo ilikuwa ikimwelekea. “Yeyote atakatyeinuka atakuwa maiti. Kuanzia sasa, wote mko chini ya ulinzi.”

“Usiwe na haraka Inspekta,” Mwenyekiti aliendelea kwa utulivu kama awali. “Bado kuna mengi yatakayokusisimua. Kumbuka umealikwa kama msikilizaji tu. Tulioko mbele yako si tishio kubwa kwako. Yuko kiongozi wetu ambaye si mroho sana wa vyeo na utajiri, lakini anayo maradhi ya hatari zaidi. Yeye ni mtu anayependa sana mauaji. Mengi kati ya mauaji yaliyokwisha fanyika ameyafanya kwa mkono wake. Na anafurahia sana kuua. Twaweza kusema kuwa ana wazimu. Yeye ndiye kiongozi wa mpango huu na ameapa kuwa ataufanikisha. Kwa bahati mbaya hayupo hapa tena. Ametoweka…”

“Wewe ni nani?” Kombora alifoka.

“Mjumbe tu mwenye jukumu la kukupa salamu kutoka kuzimu aliko…”

“Sikia,” Kombora alikatiza tena. “Huu sio wakati wa mzaha ata chembe. Kuna mtu mmoja tu mwenye sauti na tabia kama yako. Mtu ambaye alifariki kitambo na nilimzika mwenyewe. Joram Kiango. Sasa wawa ni nani? Huonekani kama mmoja wa kikundi hiki cha hatari sana. Pengine hii ni ndoto tu kesho mambo yatakuwa shwari?”

“Sio ndoto Inspekta” Mwenyekiti huyo alijibu. Labda nindoe nuru hii inayowanyimeni nafasi ya kuniona vyema.” Aliupeleka mkono wake chini ya meza na kubonyeza mahala. Nuru ikatoweka. Aliyekuwa nyuma ya nuru hiyo alikuwa Joram Kiango!

Na alikuwa akitabasamu.

“Joram Kila mmoja aliropoka kwa mshangao. Akuna aliyeyaamini macho yake.

“It can’ be true,” Kombora alifoka kwa lugha ya kigeni. Akijisahihisha mara moja akisema, “haiwezekani. Lazima iwe ndoto ulifariki kitambo Joram. Dunia nzima inafahamu hivyo.”

“Ndiyo,” Joram alijibu baada ya kucheka kidogo. “Nilifariki. Na ni rafiki zangu hawa ambao walinihukumu kifo na kuhakikisha nimekufa. Lakini kuna mengi yalitokea. Nadhani Muumba alikuwa alikuwa hajaweka saini katika mkataba wa kifo changu, au ameikubali rufaa yangu. Hivyo nimerudi ili nitoe salamu zangu kwa kikao hiki. Salamu nilizozipata uko akhera,” alimaliza akiachia tena tabasamu.

Lakini tabasamu la dhihaka.

Tabasamu ambalo liliwatesa sana wajumbe zaidi ya kufichulika kwa ukweli. Wote walikuwa wameamini kuwa Joram alifariki kama walivyoafikiana. Na walikuwa wamesikia hivyo katika vyombo vya habari. Na walikuwa wamehakikishiwa na “Mwenyekiti” wao ambaye hawakuwa na shaka kuwa angetimiza jukumu hilo. Vipi tena Joram awe hai! Tena mbele yao! Akiwadhihaki na kuwakebehi! Kitu gani kinatokea! La kutisha zaidi ni kufahamu kuwa Joram bado yu hai. Waliona matumaini yao yakifa mbele yao. Tazama anacheka! Tazama macho yake yanavyotoa nuru ambayo inadhihirisha kuwa siri kamili alikwisha fahamu. Siri ya kutisha ambayo inatosha kuwafanya wahukumiwe kitanzi! Yu wapi? “Mwenyekuti” huyu aliyewatumbukiza katika mkasa huu? Au tayari ametiwa mikononi?

Kombora hangeweza kustahimili, akasema “Sikia Joram. Pengine nimeanza kuzeeka mno. Lakini nadhani mtu yeyote aweza kutiwa kicha na suala huli kama nilivyochanganyikiwa sasa. Kabla sijaanza jukumu lolote la muhimu nadhani unao wajibu wa kufafanua vipi uko hai baada ya lile bomu ambalo lilitapanya maungo yako. Sipendi kuamini kuwa umekufa ukafufuka…”

“Sikufa Inspekta,” Joram alifafanua. “Lile bomu halikunidhuru,” akaendelea kueleza

Bomu lilipuka muda mfupi baada ya Joram kumwona mtu yule aliyekuwa akinyatia mlangoni. Joram hakujuwa mtu yule katokea wapi. Anachojua ni kwamba, aliona kila kitu ndani ya nyumba kikipaa angani na kutua sakafuni. Alijikuta chini ya vitu vingi ambavyo vilimkandamiza sakafuni. Kichwa kilisikia maumivu makali. Maumivu ambayo yalimfanya asikie kelele za watu bila ya uwezo wa kuomba msaada. Mwishowe, kukawa kimya. Joram akafahamu kuwa watu wameondoka katika eneo hilo bila ya kumwona. Tumaini la kunusurika likamtoka. Akatulia asubiri kifo. muda si mrefu, alizirai.
Fahamu zilipo mrudia, alijikuta yumo katika chumba cha nyumba mbovu mbovu kalazwa kitandani akihudumiwa, ndio macho yake yalipopambana na kitu chenye sura ya kutisha na kuchekesha. Kitu ambacho kilikuwa mithili ya binaadamu. Dalili pekee iliyomfanya ajuwe kuwa mtu huyo ni mwanamke, ni furushi la matiti lililokuwa kifuani bila mpangilio wowote uwezao kuvutia macho ya mwanaumwe.


ITAENDELEA

MAMA ALIPOSHIKWA TAKO MBELE YANGU – 5

MAMA ALIPOSHIKWA TAKO MBELE YANGU – 5




Chombezo : Mama Aliposhikwa Tako Mbele Yangu
Sehemu Ya Tano (5)
Wakiwa mtaani wamekaa wanakula na kunywa ilipita taarifa kwenye Tv iliyoonyesha kuhusu mazishi ya Dr Kelvin baada ya uchunguzi wa kipolisi kukamilika.

Mke wa Dr Kelvin alionekana analia huku kakumbatia watoto wake ambao nao walikuwa wanalia sana,

Taarifa hii ilibadilisha hali ya Verity kabisa kwani alianza tena kukumbuka, furaha ilipotea moyoni na usoni na Gwakisa alilitambua hili japo hakujua kwavipi mke wake anahusiana na hizi taarifa hivyo akachukulia kawaida tu.

Walimaliza kula na kunywa kisha wakarudi nyumbani ambapo walilala mpaka kesho yake, Kulivyokucha Verity waliongozana na Gwakisa hadi hospitali ili kupima hali ya mkewe.

Walipokelewa vizuri na vipimo vikachukuliwa kisha baada ya muda kidogo wakaitwa ofisini kwa daktari ili wasomewe majibu ya vipimo.
…………………………………
Husna Ramadhani ni nesi ambaye aliponea chupuchupu kufa baada ya kubakwa na watu ambao walimbaka pia Dr Kelvin na kumfanya apoteze maisha. Alikuwa amesharuhusiwa kutoka hospitali na alikuwa nyumbani kwake anaendelea kumeza dawa ambazo alikuwa ameandikiwa.

Mawazo lukuki yalikuwa yameuganda moyo wake kwa kitendo ambacho alikuwa amefanyiwa, alijiona amezalilishwa sana, jamii yote ilikuwa imeshajua kuwa amefanywa vibaya.

Alijiona hana tena thamani kwenye uso wa dunia, kwakuwa alikuwa na likizo ya ugonjwa alibaki nyumbani akiwa anajiuguza.

Baada ya wiki mbili likizo yake iliisha hivyo akaenda kazini, hakuna kitu kilichomhuzunisha kama kufika kazini na kukuta watu wanamtenga na kumsema vibaya.
“Kumbe alikuwa anatembea na Kelvin, atakuwa nae ameathirika sio bure”

Neon hili lilimtisha sana Husna akaamua kupima afya yake, huku akiwa mwenye hofu nyingi alichukua vipimo vilivyokuwa vingi tu pale ofisini kwao na kukaa kando sehemu ambayo hakuna mtu angemuona.

Alijichoma kidoleni kisha akaminya kidole kuruhusu damu itoke ya kutosha kisha akaiweka kwenye kipimo chake akachanganya na maji maalumu ya kupimia kisha akatulia kwa muda akisubiri majibu.

Taratibu mstari mmoja ulianza kutokea, huu ni mstari ambao huashiria kuwa kipimo kinasoma, endapo ukibaki huu mmoja ina maana hujaathirika, ikiwa miwili basi umeathirika.

Zilipita dakika kama tatu hivi ule mstari ukawa umekolea vya kutosha ila kuna kitu kilianza kumtisha….kuna mstari mwingine ulianza kuonekana…

Mapigo ya moyo yalienda kasi kama treni ya umeme, kila alipoangalia vyema ndio ule mstari ulikuwa unajitokeza vizuri, baada ya kama robo saa hivi hakuna kilichokuwa kimejificha tena, mistari ilikuwa miwili kuashiria kuwa Husna Ramadhani nesi ambaye alibakwa akiwa na mpenzi wake marehemu Dr Kelvin alikuwa ameathirika na HIV.

“Nimekwisha!” alijisemea Husna kwa huzuni.
Akiwa kwenye dimbwi la mawazo simu yake ilitoa mlio wa sms akaufungua, alikutana na ujumbe kutoka kwa mpenzi wake ambaye waliahidiana kuoana.

“Nilikuwa nakwambia siku zote kuwa unani-cheat,
Umenkuwa ukinibishia kwa nguvu zote lakini malipo ni hapa hapa duniani”
“Nilikwambia utulie na mimi lakini uliniendesha na kunitesa bila kujali kuwa namimi nina moyo wa maumivu…ona sasa umeumbuka na dunia nzima imekuona…asante kwa mateso yako Husna, mimi na wewe kwasasa basi…”

Huu ujumbe toka kwa mpenzi wake ulitia chumvi kwenye kidonda cha Husna, nikweli alimnyanyasa sana mpenzi wake kwasababu ya Dr Kelvin, nikweli kwamba mpenzi wake alilia sana machozi akiomba ahurumiwe kwani mateso ya Penzi yanamuumiza lakini Husna hakujali.
Leo ameumbuka na dunia imemuona, alijutia sana na mbaya zaidi ameathirika na hapohapo kaachwa na mpenzi wake.

Husna alikuwa kama amechanganyikiwa, ghafla roho yake ilitamani kufa, alijiona hana sababu ya kuishi hapa duniani, alichoamua ni jambo moja tu…Kufa!

Alichukua boda boda akakimbilia kwake, alipofika aliingia ndani akachukua karatasi akaandika alichokusudia, alipomaliza alichukua chandarua akaitendenezea kamba.

Alipohakikisha kwamba imekuwa kamba nzuri akaitengenezea kitanzi kisha akaifunga kwenye mbao iliyopita juu ya banda la kuku.

Hakuchelewa akachukua stuli akapanda juu yake na kujivisha kile kitanzi, alipoona kimekaa vyema akasukumiza Kistuli na kubaki amening’inia.

Alisikia maumivu makali mno lakini hayakudumu, ndani ya dakika mbili alikuwa ametokwa na kinyesi kingi na mkojo huku uso ukianza kuvimba.


Dr aliyekuwa ameshikilia karatasi ya majibu ya Verity alikuwa na tabasamu usoni huku akiwaangalia Verity na Gwakisa kwa kupishana.

“Hongereni sana”
“Una maana gani Doctor?”
“mkeo ana mimba ya mwezi mmoja”
“Eeenh…” Hilo ndilo neon pekee alilotamka Verity kisha akawa mpole, hali ilikuwa tofauti kwa Gwakisa kwani alikuwa ni full kicheko, alifurahia sana kusikia kuwa mkewe ana mimba, alisubiria sana siku moja aitwe baba na leo ilikuwa imefika.

“Twendezetu mke wangu, twende tukasherekee”
Verity alinyanyuka kivivu kisha akapelekwa mpaka kwenye gari akafunguliwa mlango akakaa na Gwakisa nae akaingia sehemu ya dereva akafungulia mziki mkubwa kisha akawasha gari wakaelekea nyumbani.

Alipofika alishuka haraka akafunga mlango wa gari kisha akaelekea kwenye mlango wa Verity akaufungua na kumtoa mkewe kisha akambeba juu juu mpaka ndani na kumbwaga kwenye kochi.

“Unjisikia kula nini Love?” gwakisa ndie alikuwa anauliza akimaanisha kuwa yuko tayari kupika…
Verity kwenye akili yake kulikuwa kunazunguka vitu kibao tofauti na Gwakisa ambaye alikuwa ni shangwe tu.

“Bwana nakula chochote tu” alijibu VERITY.
“Sasa mbona kama huna raha jamani au hujafurahi mimi niitwe baba?” aliuliza Gwakisa japo hakujali sana.

Alichoamua kufanya ni kuandaa chakula alichojua kuwa mkewe anakipenda sana kisha akakiweka mezani na kumbeba tena juu juu
“Njoo ule mama K wangu”
Verity alikuwa anadekezwa kupita kiasi, wakati mwingine alikuwa anafurahi lakini kuna mda roho ilikuwa inamsuta…
“Hii mimba haiwezi kuwa ya Gwakisa, lazima ni ya Dr Kelvin” verity alikuwa anajisemea mwenyewe moyoni mwake.

Akili yake ilirudi ikakumbuka walivyokuwa wanafanya mapenzi na Dr Kelvin…alikumbuka kauli za Dr Kelvin kila walipokuwa wanamaliza mzunguko alipokuwa anamwambia…
“Kwa goli hili nililopiga lazima upate mimba tu”
“Unasemaje? Nipate Mimba? Nitamwambiaje mme wangu mimi”
“Hahahaaaa ni bora nikupe mimba mimi maana usipofanya hivyo hutazaa”
“Acha ujinga wewe”
“Niache ujinga kwani hujui kuwa mme wako hazai…mme wako ni tasa na mimi ndio nilimpima ila tu sikumwambia tatizo lake, na najua kuwa hata mtoto wako wa kwanza ulimchakachua…”

Verity alipokumbuka haya yote ndipo akaamini kuwa ile mimba haikuwa ya Gwakisa kwani kwa ngono aliyokuwa anafanya na Dr Kelvin na kwa yale maelezo yake inawezekana yana ukweli…
“Una mawazo gani mbona huli?” Ilibidi Gwakisa aulize maana hakumuelewa mkewe…
“Oh nipo sawa tu, ni mawazo tu yah ii hali mpya”
“Usijali mama nitakulea kama yai”

Walimaliza kula na kuelekea chumbani ambapo siku hiyo Gwakisa hakutaka kutoka kabisa, aliamua kubaki na mkewe ndani.

Masaa yalisogea na usiku ukaingia wakalala usingizi hadi kesho yake ambapo majukumu na shughuli zingine ziliendelea.

…………………………………..
Sam alishtuka kuona mkewe anatokwa zile damu, hofu ilimtanda na kuanza kurudi nyuma nyuma, alikumbuka kipindi kile ambapo alimpiga tena akajikuta anajutia ghafla.

Mkewe alikuwa anajinyonga tu huku kashikilia tumbo lake…
Sam alijitosa na kumbeba kwenye mikono yake mpaka nje akafungua mlango wa gari na kumuweka humo, alizunguka upande mwingine akafungua mlango wa dereva akakalia usukani na kutoka nduki mpaka hospitali.
Alipofika hakusubiri alimchukua na kumbeba juu juu mpaka kwa nesi aliyekuwa zamu huku kamshikilia mikononi vile vile…
“Dr muangalie mke wangu…”
Yule mama nesi alishtuka maana aliona michirizi ya damu miguuni ikabidi aulize haraka haraka…
“Ana nini?”
“Ana mimba” alijibu Sam
“Mimba? Haya mlete huku”
Sam alimbeba vile vile mpaka wodini akaelekezwa amlaze kitandani, haraka haraka alitundikiwa dripu zikaingizwa kwenye mishipa na kisha akapimwa na kusafishwa wakati huo Sam akiwa ametolewa nje.

Alipokuwa pale nje simu yake iliita, kwakuwa alikuwa na stress nyingi alishindwa kuipokea akaichunia lakini iliita tena zaidi ya mara mbili ikabidi aitoe mfukoni.

Alipoangalia aligundua mpigaji ni NISHA,
“Hallow”
“Haloo vipi Sam”
“Safi niambie”
“Nakuomba uje hapa nyumbani mara moja ni ishu muhimu sana”
“Niko hospitali mke wangu anaumwa…”
“Tafadhali njoo haraka huchelewi kurudi ni muhimu sana.”
Sam alifikiria haraka haraka na kuamua haraka haraka kuwa aende kwa Nisha, aliwasha gari na kulikimbiza akafika kwa Nisha na kumkuta akiwa ndani kajilaza na Kanga yake.

“Wao baba kijacho karibu” Sam alishtuka kusikia lile jina akajiuliza ina maana Nisha amejua kuwa mkewe ana mimba ndio maana anamuita Baba kijacho… amejuaje sasa?
“Unamaanisha nini?”

Nisha aliokota karatasi zilizokuwa kwenye kochi na kumkabidhi Sam…
“Soma baby, nina mimba yako…”
“Una nini?”
“Nina Mimba yako Sam, wewe ni baba kwasasa”
Sam hakutaka kusikia neno lingine, alimsukumiza Nisha akaanguka na yeye akatoka haraka akazama kwenye gari lake na kuacha vumbi.

“Hivi hawa wanawake wa siku hizi mbona hawana akili? Wanadhani uongo ni mali au?” sam alikuwa anajisemea mwenyewe ndani ya Gari.
Hasira alizokuwa nazo zilikuwa hazielezeki kwani alijiona akitoneshwa kidonda kwa mara nyingine, yaani ametoka kudanganywa na Mkewe alafu Nisha nae anamdanganya.

Ndani ya akili yake Sam aliamua jambo moja ambalo hakutaka kulipinga, badala ya kwenda hospitali aliendesha moja kwa moja mpaka chuoni kwa mdogo wake alipokuwa anasoma.

Alipofika alienda moja kwa moja hosteli kwao kwani giza lilikuwa limeshaingia, alimpigia Simu na kumuomba atoke waonane.

“Vipi kaka mbona Kimya kimya leo, hata kuntaarifu kabla kwema kweli“
“Kwema tu, vipi masomo yanaendaje?”
“Yako poa, ”
“Ingia kwenye gari tukaongee kidogo”
Glory ambaye ni mdogo wake Sam aliingia kwenye gari kisha wakaondoka wakaelekea kwenye sehemu inayouzwa vyakula na vinywaji wakakaa humo.

“Nipe Whisky alafu msikilize na huyu” Sam aliagiza Pombe
“Naomba savannah ya Baridi” aliagiza Glory.
“Agiza chakula unachotaka ule”

Glory aliagiza Chipsi Kuku kisha wakaendelea kunywa na kuzungumza…
“Vipi Wifi hajambo?”
“Hajambo yupo”
“Mbona leo hujatoka nae?”
“Anasema amechoka”

Waliendelea kunywa hadi pale chakula kilipoletwa wakala na kuendelea kunywa, Sam alikuwa amemaliza ile Whisky na sasa alikuwa anakunywa nyingine.

“Mdogo wangu mimi naenda kozi huko Israel”
“Haaa hongera sana kaka”

Sam alimuachia mdogo wake kadi zake za benki na PASSWORD zote akamuelekeza kisha akamrudisha hostel na kuondoka zake.

Kesho yake alielekea kazini na kuchukua kila kilichotakiwa na kuanza safari yake ya Dar es Salaam ili apae kwenda Israel.

Safari yake ya Dar es Salaam ilieda vizuri na hatimaye akawa yuko ndani ya ndege ya shirika la ndege la Qatar anaelekea Israel.

Safari yake ilichukua siku nzima na nusu na hatimaye akashuka kwenye uwanja wa ndege wa Jerusalem na kupokelewa na wenyeji wake kwa ajili ya kozi kuanza.

Hakutaka kabisa kukumbuka mambo ya nyumbani maana yalikuwa yanampa kizungumkuti, aliyemkumbuka ni mdogo wake tu.

……………………………..
Kule hospitali Rafiki aliendelea kupatiwa huduma na hatimaye akawa amezinduka. Aliangaza huku na kule kisha akagundua kuwa yuko hospitali akaanza kurudisha kumbukumbu zake nyuma akawa amekumbuka kila kitu na machozi yakawa yanammwagika.

Nesi aliyekuwa zamu baada ya kumuona kaamka alienda kumuita Doctor ambaye alikuja moja kwa moja pale alipolazwa Rafiki.

“Pole dada, unajisikiaje?”
“Najisikia vizuri”
“sawa sasa pumzika, tumegundua kuwa mimba yako ilikuwa inatishia kutoka ila tumeidhibiti kwa hiyo unatakiwa upate mapumziko muda wote wa Mimba yako kwani inaonekana iko kwenye riski ya kutoka”
Baada ya Rafiki kusikia vile machozi yalizidi kummwagika…
“Usilie na usijipe mawazo kwani kwa mimba ya aina hii hutakiwi kuwa na stress, naomba umpigie mme wako simu aje”

Rafiki alivyosikia jina la Mme wake alizidi kuumia na machozi yakammwagika zaidi, hakuwa na jinsi aliomba simu ili ampigie mme wake lakini kila alipopiga ilikuwa haipatikani….
Hisia mbaya sana zilimjia kuhusu mme wake, alijua lazima mme wake ameamua maamuzi mabaya, hofu ilimjaa moyoni akajikuta anaemia sana…

Glory akiwa chuoni siku moja aliishiwa fedha ya stationary akaamua kwenda kuchukua fedha kwenye akaunti ya kaka yake.

Alipofika alitoa shilingi laki moja kwenye ATM kisha akachukua risiti na kutoka nje ili arudi chuoni, akiwa kwenye bodaboda alijiuliza jambo flani.

Iweje kaka yake amuachie kadi zake za benki ili hali mkewe yupo? Alipata wasiwasi na kwasababu hakutaka kuingia kwenye mgogoro na wifi yake aliamua kumtafuta kwenye simu ili amrudishie zile kadi na akitaka fedha basi atamuomba wifi yake.

Alichukua simu akatafuta namba ya wifi yake ambayo aliisevu “mke wangu” akaipiga lakini haikupatikana.

Aliipiga tena na tena lakini haikupatikana pia, hapo hapo alimwambia Yule bodaboda ageuze pikipiki ampeleke nyumbani kwa kaka yake.
“Utaniongeza buku lakini”
“usijali”

Pikipiki ilienda mpaka nyumbani kwa kaka yake akashuka nje ya geti akagonga na kuingia ndani, alimkuta mlinzi pale kwenye kibanda chake akasalimiana nae na kuingia ndani.

Kule ndani alimkuta msichana wa kazi ambaye alimuuliza alipo wifi yake akamjibu kuwa aliondoka na Kaka yake kwenda hospitali lakini hajarudi hadi muda ule.

Hapo hapo Glory wasiwasi ulimzidia, alijiuliza kwanini mambo yawe hivyo, siku aliyotajiwa kuwa kaka yake alimpeleka mkewe hospitali hadi kufikia siku ile ni kama wiki imepita.

“Ina maana wifi kalazwa siku zote hizi na mbona kaka hajaniambia?” alizidi kujiuliza maswali.

“alipelekwa hospitali gani?”
“Sijui”
“Ina maana hujawahi kwenda kumuangalia?”
“Sijawahi kuambiwa niende kumuangalia”
Glory baada ya kusikia hivyo hakutaka kusubiri zaidi, alienda moja kwa moja kwenye hospitali ambayo huwa wanaitumia sana mara kwa mara ili kujaribu bahati kama atamuona wifi yake.

Alipofika alipita moja kwa moja mapokezi na kuulizia kama kuna mgonjwa mwenye jina la Rafiki Mndeme…
“Ngoja niangalie”
Yule nesi wa mapokezi alipekua kwenye daftari lake kisha akauliza tena…
“Ameletwa lini hapa?”
“Ahhhh … kama wiki moja hivi imepita”
“Anhaaa kama ni huyo yuko wodi ya Sokoine nenda utamuona”

Haraka haraka Glory alipiga hatua kuelekea kwenye wodi aliyotajiwa, alipofika aliangaza macho yake kwenye baadhi ya vitanda huku akitoa pole kwa baadhi ya wagonjwa aliowaona wamelazwa pale.

“Poleni jamani”
“asante”

Kila alipokuwa anapita alikuwa anatoa pole…

Hatimaye alifika kwenye kitanda ambacho alimuona Verity amekaa akajua hapo alipokaa lazima ndipo alipo Rafiki kwani hawa ni mtu na dada yake.

Aliwaendea akakuta wakiwa wanaongea taratibu kisha akawasalimu, walishtuka sana kumuona lakini kwa hali ya kushangaza Verity aliachia msonyo mkubwaaa ambao ulimshtua sana Glory…

“Mchyuuuuuuuuuu” baada ya kutoa huo Msonyo aligeuza shingo yake kando.

Rafiki yeye hakuweza kusema chochote isipokuwa alilengwa na machozi tu….
“Jamani mke wangu…yani unalazwa hospitali hata huniambii mmeo jamani…” aliongea Glory huku akikaa kitandani na kumshika wifi yake mkono…

Hapo hapo Verity aliamka na kuchukua pochi yake…. “Dada nitakuja badae madikteta wako wakiondoka”

Kauli hii ilimshtua Glory lakini hakujali….

“Wifi mbona sielewi, unaumwa nanini?”

Rafiki kwa mara nyingine hakuweza kujibu kitu akabaki anatokwa machozi tu, Glory alihisi jambo ambalo sio la kawaida akakaa vizuri akamshikilia wifi yake viganja na kuwa anavisugua sugua.

“Niambie wifi yangu, nyamaza usilie niko hapa kwa ajili yako…”

“Wifi Glory…!”
“Niambie Mke wangu”
“Kaka yako ana roho ngumu sana…!”

“Basi wifi, naomba usiniambie kwasasa, ugua kwanza upone tutaongea yote wifi, naomba unipe dakika moja narudi”

Glory alienda moja kwa moja mpaka kwa dokta wa zamu ili ajue ninini kinamsumbua wifi yake mpaka akalazwa pale…
“Umesema ni nani yako Yule…?”
“Ni wifi yangu…mke wa kaka yangu kabisa”
“Mlikuwa wapi siku zote mpaka anabaki hana wa kumhudumia?”
“Mimi sikujua kwasababu niko chuo nasoma, hata leo nimebahatisha tu baada ya kurudi nyumbani na kumkosa kwani mme wake ameenda masomoni nje ya nchi”

“Sawa…wifi yako ana Mimba ambayo inatishia kutoka, hivyo yuko Bed Rest hadi tutakapokuwa na uhakika wa hali yake, ama kama kuna mtu wa kumhudumia nyumbani bila yeye kufanya kazi yeyote tunaweza kumruhusu…”
“Sawa, ngoja mimi nikaongee nae…”
Glory akiwa anajisikia hatia sana kwenye moyo wake alirudi pale alipolazwa wifi yake na kukaa tena kitandani.

Alimsihi sana wifi yake kuwa akubali kurudi nyumbani kwani atahama hosteli na kukaa nyumbani ili amhudumie…
Ilikuwa ngumu sana kwa Rafiki kukubali lakini mwisho alikubali na hivyo taratibu za kuruhusiwa zilipokamilika waliondoka kurudi nyumbani.

Walipofika nyumbani Glory alihakikisha wifi yake anaoga na kula vizuri kisha akachukua nguo chafu za wifi yake akazifua, akasafisha chumba vizuri na kuhakikisha kila kitu kiko sawa ndipo akaenda kukaa na wifi yake ili waongee haswa nini kilichotokea.

Wifi mtu hakuacha neno, alisimulia kila kitu kilichotokea mpaka akajikuta amelazwa hospitali na kuachwa bila msaada. Sio siri maelezo yale yalimchoma sana Glory na kujikuta akilia.

Hakuamini kuwa kaka yake ndio anaweza kuwa na roho ngumu kiasi kile…
“Kaka Sam ndio ana roho ngumu ngumu kiasi hicho?”

“Basi wifi…usilie wewe tulia tu, mungu yupo upande wako na wala usilalamike. Nipo kwa ajili yako na hata kaka atajirudi tu”
“Yani wifi isingekuwa wewe nilishaamua niondoke zangu pindi tu nitakapokuwa buheri wa afya, hata hivyo sijui atarudi na lipi?”
“Usitie shaka wifi kwani hata hizi kadi zake za benki aliniambia nikupe” hapa Glory ilibidi adanganye.

………………………….
Sam alikuwa amemaliza miezi mitatu akiwa Israel, na alikuwa kwenye hatua za mwisho za kumaliza kozi yake na kwa wakati wote huo hakupiga simu nyumbani kuulizia hali za huko.
Moyoni mwake alikuwa na kinyongo kikubwa mno cha kuhisi amesalitiwa na mke wake na Hawara yake (NISHA) wote kwa pamoja.

Aliwalaani wanawake na kuwaona mashetani, iweje najijua kabisa kuwa nina matatizo alafu niembiwe nimewapa Mimba…?
Siku hiyo kwasababu walikuwa off aliamua kwenda kwenye hospitali bora ili aangalie afya yake ya Uzazi kwani aliamini kule kuna hospitali bora zaidi.

Kwakuwa alikuwa raia wa kigeni ambaye alikuwa anaishi kwa kibali maalumu alipewa kipaumbele na hata huduma yake ilikuwa bora kabisa.

Ndani ya dakika kadhaa aliitwa kwa ajili ya majibu ya vipimo ambayo yalimshtua sana, Dokta aliyempa majibu alishangaa kwa kuona Sam ameduwaa huku yeye alitegemea kuwa angemkuta akiwa mwenye furaha lakini ilikuwa tofauti.

“Ina maana nilishapona? Ina maana hata zile mimba inawezekana ni za kwangu?” alijiuliza maswali ndani yakichwa chake…

………………………….

Miezi mitatu ilikuwa imekatika kama utani ambapo ilikuwa ni wakati wa Verity kuhudhuria kliniki, kwakuwa inapaswa kwenda Kliniki na mme wake, Gwakisa hakusita kuambatana na mke wake ili wahudhurie wote kliniki hususani hii ya kwanza.

Ndani ya gari Gwakisa alikuwa amefungulia mziki wa taratibu akisikiliza wimbo ulioimbwa na Mark Antony…. ‘You Sang to me’
Ndani ya moyo wake alikuwa na furaha ya kutosha kwani aliamini kwa umri wa Mimba ya mkewe uliofiikia ni muelekeo mzuri wa ukuaji wa mimba.

Alijiona akiwa na dalili za kuitwa Baba ndani ya miezi kadhaa ijayo na hiyo ilitosha kabisa kumfanya ajione mwanamme kamili.

“Umekaa sawa sweetieee” aliuliza Gwakisa kabla ya kuondoa Gari…
“Mh twende bhana…” alijibu Verity
Safari ya kwenda hospitali ilianza ambapo Taratibu na kwa mwendo wa pole Gwakisa aliendesha gari akihofia kumuumiza mtoto wake aliye tumboni huku akijitahidi kukwepa mashimo.

Hatimaye walifika hospitali na kukaa kwenye foleni ambapo baada ya muda kidogo alikuja Nesi na kutoa tangazo…
“Walioambatana na waume zao wasogee mbele”

Verity na Gwakisa walinyanyuka na kusogea mbele na kujikuta wakiwa wa Kwanza kwenye foleni na kisha kuingia ndani…
“Hongera sana Baba kwa kuambatana na mkeo…”
“Asante sana, mimi ni mwanaume ninayetambua wajibu wangu…” alijibu Gwakisa kwa mbwembwe…
Haya kabla ya kila kitu itabidi mpime afya zenu wote kwa pamoja…


Sam alijiona mwenye hatia sana, aliumia moyoni kwa jinsi ambavyo amemtenda mkewe huku akiwa hana hatia,
“Hivi huyu mwanamke atanielewa kweli? Hii ni mara ya ngapi namfanyia ukatili wa kutisha kiasi hiki?”
Sam alijiuliza mwenyewe bila kupata majibu ya wapi anakoitoa roho mbaya kiasi hicho.
Alijiuliza ataingia na gia gani kwa mkewe mpaka amuelewe,
“Hivi ni mzima wa afya lakini, alikufa ama alipona” haya ni maswali ambayo Sam alikuwa anaendelea kujiuliza peke yake.

“Ngoja nimtafute Glory”
Alichukua simu yake akaitafuta namba ya Glory na kuipiga, alipiga zaidi ya mara tano lakini ilikuwa haipatikani.
Hofu ilikuwa kubwa kwani alitamani sasa ajue kuhusu hali ya nyumbani kwani ameshajua kuwa yeye ndie mkosaji.

Mawazo yalikuwa yanapita na kurudi kisha likaja la kumtafuta mkewe…
Huku mapigo ya moyo yakienda mbio alianza kuipiga namba ya mke wake lakini hali ilikuwa kama kule kwa Glory, nayo ilikuwa haiko hewani.
Alizidi kuumia kwa mara nyingine, hapo hapo akili yake ikamkumbuka “NISHA”
“Ah ngoja nimpigie na huyu nione”

Alitafuta namba ya Nisha akaipiga na kwa bahati nzuri ikawa inaita, ndani ya sekunde kadhaa ikapokelewa
“haloo”
“Nani Mwenzangu?”
“Samahani naongea na NISHA?”
“ndio wewe ni nani?”
“Oh Nisha, mimi SAM”
“Mchyuuu, ukome kunipigia!” hapa Sam alishtuka vilivyo.
“Unasemaje NISHA?”
“Nasema hivi ukome kunitafuta, na nakwambia utanijua mimi ni nani”
Baada ya NISHA kusema hivyo akakata simu na kuizima kabisa, Sam alijaribu kuipiga tena na tena lakini ilikuwa haipatikani akajua imezimwa.

Hofu ilianza kumjaa alijiuliza ikiwa NISHA tu ambaye sio mke wake lakini amekasirika kiasi hicho itakuwaje kwa Rafiki.

Aliamua tena kumtafuta Mdogo wake (Glory)
Furaha ililipuka ghafla baada ya kusikia simu ya mdogo wake ikiita…
“Glory mdogo wangu”
“Shkamoo kaka”
“Marahaba habari za huko?”
“Nzuri tu…”
“Mbona nimekupigia ulikuwa hupatikani?”
“NIlikuwa kwenye mtihani”
“Mbona unajibu shoti shoti kiasi hicho”
“Hapana niko sawa tu”
Sam aligundua kuwa hata mdogo wake alikuwa na hasira nae, hapo ilibidi ahoji vizuri.
“Glory niambie ukweli una tatizo gani?”
“Sina tatizo kaka ila nawaza tu kuwa kwa ukatili unaomfanyia wifi ipo siku utauhamishia hata kwangu”
Hapo sasa Sam alielewa anachomaanisha Mdogo wake…
Ilibidi Sam amuelezee Glory kinagaubaga chanzo chakile alichokifanya, alijieleza mno kuanzia matatizo yake na jinsi ambavyo alihisi kuwa anachakachuliwa,
Kwa mbali Glory alimuelewa lakini alimlaumu kwanini anachukua maamuzi bila kutafakari kwanza…
“Hivi kwa mfano kama ungemuua unahisi nani angekuelewa?”
“Nisamehe mdogo wangu, naomba unisamehe sitorudia tena”
“Sasa kaka naomba tu nikwambie ukweli … Wifi alifariki”
“Unasemaje Glory”
“Ndio kaka Wifi alifariki na ameshazikwa”
“Kaka, kaka ….” Glory aliita lakini ukimya ulitanda kaka yake hakujibu kitu na hatimaye simu ilikatika.
Alijaribu kuipiga tena lakini ilikuwa haipokelewi, Glory alianza kujuta kwanini kamdanganya lakini alipotaka amwambie ni uongo simu ilikuwa haipokelewi na badae ikawa haipatikani kabisa.
………………………..
Sam baada ya kusikia ile taarifa alisikia kama kitu kimemkaba kifuani akaanza kutetemeka…
Mikono iliishiwa nguvu na pumzi ikawa haitoki na hatimaye akadondoka chini na kupoteza fahamu.
……………………………..
Glory alipoona kaka yake hapatikani ilibidi aende nyumbani kwa wifi yake na kumkuta amekaa sebuleni anaangalia tv..
“mke mbona mbio mbio hivyo”
“Mke acha tu, nimeyatimba”
“Nini tena?”
“Kaka kakupigia simu?”
“MH hiyo simu nilivyoitupa hata chaji haina”
“amenipigia ananiomba nimuombee umsamehe si kwa hasira nikamdanganya kwamba ulifariki….”
“Haaaa wifi! Kwahiyo ikawaje?”
“Nilimsikia tu akitoa mshtuko na hakuongea tena hata sasa simu yake haipatikani”
………………………..
Vipimo vya damu vilichukuliwa kati ya Verity na Gwakisa kisha wakakaa kusubiri majibu.
Ndani ya muda mfupi majibu yao yalikuwa yamekamilika na hivyo kutakiwa kupatiwa majibu yao.
Kabla ya kupewa majibu ilibidi ushauri nasaha kwanza utolewe…
Wataalamu wale wa ushauri nasaha na kupima walitoa ushauri mrefu huku wakiwauliza maswali mengi lakini swali moja ndilo liliwashtua lakini likiwa limemshtua Verity zaidi…
“Ikitokea mmoja wenu ana Virusi vya UKIMWI alafu mwingine hana je ? mtachukua uamuzi gani? ”
Hapo ilibidi wote wamtolee macho muuliza swali bila kujua kila mmoja ajibu nini, lakini kabla hawajajibu Yule dokta alianza kuwashauri kuhusu ikitokea mmoja wao ana maambukizi alafu mwingine hana,
Aliwashauri namna ya kuishi na kuendelea kuwa wanandoa huku wakisaidiana na kuendeleza maisha yao bila mwingine kupata athari.

Kwa ushauri ule tayari walishahisi kuwa kuna mmoja wao ana maambukizi lakini sasa ni nani kati yao … hapo ndio ilikuwa kitendawili.

“Mjibu ya vipimo yanaonesha kuwa Mrs Gwakisa una maambukizi ya virusi vya Ukimwi ”
Baada ya kusema tu sentensi hiyo kabla haijamalizikia vizuri Verity alijishika kifuani na hatimaye almanusura kama asingeshikiliwa angeanguka chini.

Gwakisa alimshikilia mkewe na kumlaza kwenye miguu yake ambapo ilibidi ahudumiwe kwanza kwani alikuwa ameshalegea na hajitambui.

“je? Vipi kuhusu mimi Dokta?” gwakisa ilibidi aulize kwani yeye alikuwa hajapewa majibu yake.
“Majibu yako haya hapa, kama huelewi useme”
Gwakisa alichukua ile karatasi akaisoma na kugundua kuwa yeye ni mzima.

Hapo sasa mawazo yalianza kumuandama akilini, ina maana huyu VERITY amenisaliti mpaka akaambukizwa jamani? Alijiuliza Gwakisa.
“Inakuwaje mimi sijaambukizwa? Inakuwaje kuhusu hii mimba, ni yangu kweli?”
Hasira zilikaba koo la Gwakisa na hakutaka kusubiri zaidi. Taratibu alianza kuondoka zake.
Hatua ya kwanza ya pili yatatu akavutwa shati, alivyogeuka akakutana na sura ya Yule dokta…

“Unakwenda wapi? Njoo kwanza.”
“niache niondoke”
Watu waliokuwa pale mapokezi walistaajabu wakawa wamemtolea Gwakisa macho wakijiuliza ni kitu gani kimetokea.

Baada ya Gwakisa kurudi ilibidi akalishwe kitako na kushauriwa upya, alibembelezwa kwa namna nyingi mpaka akaelewa na kuridhia kuendelea kuishi na Verity.
………………………….

Sam aliokotwa na wenzake waliomuona akiwa anaanguka na kumchukua hadi kwa daktari ambaye almpa huduma na baadae akaamka.

“Naomba simu yangu” ndio kitu cha kwanza Sam aliongea baada ya kuamka tu.
“Msimpe simu” dokta ndie alitoa ushauri.

Ikawa hivyo kwamba Sam hakupewa simu hata baada ya kuomba sana, dokta aliamini kuwa simu ndio ilisababisha yote, hivyo basi ilibidi apatiwe dawa za usingizi ambapo alilala hadi kesho yake akawa ameamka akiwa mzima.

Ilibidi ahojiwe vizuri kuwa nini ni hasa kilimpata mpaka akafikia hatua ile lakini hakutaka kuweka wazi ninini hasa aliambiwa akiamini kuwa ataonekana mtu wa ajabu hivyo akatoa sababu za uongo kwamba ameambiwa nyumba yake imeungua.

Mambo yalipokaa sawa walirudi kwenye ratiba za kawaida na hapo ndipo alipopewa simu yake na kuiwasha.

Moyo wake ulijaa simanzi mno kiasi kwamba alijiona hana maana ya kuishi duniani kwani aliyoyafanya atayajutia maisha yake yote.

Ndani ya moyo wake alikuwa anampenda sana mke wake, kitendo cha kuambiwa amefariki alijikuta ameumia sana, ni afadhali hata angefariki kwa hali ya kawaida tu lakini alijiona kuwa ana hatia mbele zake na mbele za Mungu.
Kila alipokuwa anaingia kwenye masomo yao ilibidi kuwa anazima simu na kuiwasha anapokuwa anatoka.
Kwakuwa mafunzo yalikuwa kwenye hatua za mwishomwisho walikuwa wanapewa muda wa kupumzika mapema na hata kufanya mambo mengine kama vile kutembea mtaani.
Siku moja akiwa amejilaza chumbani kwake akitafakari maisha jinsi yatakavyokuwa bila ya mkewe wenzake walimfwata chumbani wakimtaka wakatembee mtaani kwa ajili ya kupata mbili tatu lakini Sam aligoma akidai kuwa anapumzika.

Akiwa amejilaza kitandani aliona simu inaingia, kilichomshtua ni ile namba iliyopiga… ilikuwa namba ya Rafiki (mke wake).
Mapigo ya moyo yalimwenda kasi kuliko kawaida kiasi kwamba hata akawa anatetemeka akiamini kuwa huenda ni mzimu.

Kwakuwa alikuwa amewahi kutazama sinema zinazoonyesha watu waliouawa wanavyowarudia waliowaua kimiujiza nayeye akajua ndio kinachotokea na hivyo akaogopa kupokea simu.

Alitamani akimbie pale chumbani lakini akajikaza, kabla hajakaa vizuri simu yake ikaita tena kwa namba ileile ya mke wake.

Alijishtukia mkojo ukimtoka bila kujua, alisubiri ikaita mpaka ikakatika, ilivyokatika tu akaiwahi ili aizime kabisa asipatikane.

Kabla hajaizima iliita tena lakini alipoangalia vizuri jina halikuwa la mkewe isipokuwa lilikuwa la Glory mdogo wake.

Hapo roho ikatulia kidogo na kuamua kupokea,
“Haloo Glory”
“Sio Glory mimi ni mke wako Rafiki”
Hapo sasa ndipo Sam alichoka kabisa na kuitupa simu chini.
…………………………
Hakuna kitu kilimuuma Rafiki kama kumpigia Sam alafu asipokee mpaka akaamua kumpigia kwa Simu ya wifi yake ndio akapokea lakini aliposikia kuwa mpigaji ni yeye akakata simu.

Akili yake ilimwambia bila wasiwasi kuwa Sam ana chuki bado nayeye na ndio maana hataki kumsikia.
Taratibu machozi yalianza kumbubujika mashavuni mwake akijua kuwa kwa SAM hana lake tena, alijutia kuolewa nae na kutamani siku zirudi nyuma awe sio mke wa Sam.
“Wifi mbona unalia?”
“Kaka yako ananichanganya sana wifi”
“Kwani imekuwaje tena?”
Ilibidi rafiki amuelezee Glory kila kitu jinsi ambavyo alimpigia bila kupokea hadi akaamua kuchukua simu yake ambayo ilikuwa kwenye chaji na kupiga ikapokelewa lakini baada ya kujua kuwa mpigaji n yeye akamkatia simu.

Glory alishusha pumzi ndani akitafakari jambo, hakutaka kuamini kuwa kaka yake hataki kumsikia wifi yake wakati mara ya mwisho walipoongea alionekana kujutia sana hadi kumuomba amuombee msamaha kwa wifi yake ila akamdanganya kuwa amefariki.

Glory aliamini kuwa kaka yake anaogopa kupigiwa simu na mtu aliyeambiwa amefariki na wala sio kwamba hampendi.

“Wifi nimegundua kitu”
“Kitu gani?”
“Kaka anaogopa kuongea nawewe kwasababu nimemwambia umefariki, anahofia kuongea na mtu ambaye ameambiwa kafa”
……………………………………..
Nisha alikuwa amejilaza kitandani ameshikilia tumbo lake anawaza jinsi Sam alivyomtenda, hasira ilikuwa imemkaba kooni kiasi cha kumfanya awe anatetemeka.

Hapo hapo alichukua simu yake na kutafuta baadhi ya namba na kuzipiga…
“Haloo”
“sema bosi”
“Kuna kazi nataka muifanye”
“Lete kazi bosi maana njaa kali sana saivi umetutupa kweli siku hizi hutoi kazi kabisa”
“Ndio nawapa kazi sasa”

Waliongea mengi sana na hao watu wake lakini mwisho NISHA alimalizia kwa kuwaambia kuwa …
“Baada ya wiki mbili watamaliza mafunzo hivyo muwe makini akishuka tu hapo airport mmalizeni kabisa”
“Usijali Bosi kazi ndogo sana hiyo”
Wale watu wa NISHA kwa shida ya pesa walizokuwa nazo walijipanga vizuri ili kumkabili mtu ambaye waliambiwa atatua Dar es Salaam baada ya wiki mbili,
Walikuwa na silaha za kutosha kwakuwa walishaambiwa mtu mwenyewe ni mtu wa mazoezi na ana mafunzo, walijua jinsi ya kuwakabili watu wa aina tofauti kwani ni kazi waliyoizoea hivyo walijipanga vyema kwa kila kitu.
Wakati NISHA ametoa maagizo kuhusu mtu wake anayetaka amalizwe simu yake iliita tena akaichukua na kuiangalia, hasira zilimkaba baada ya kugundua mpigaji ni SAM, pamoja na hasira alizokuwa nazo lakini aliamua kuipokea tu.
“wewe Mbwa unataka nini kwangu?”
“Mimi Mbwa Nisha?”
“Wewe ni zaidi hata ya huyo Mbwa”
“Kwahiyo na mwanangu utakayemzaa pia ni Mbwa?”
Hapo NISHA alishtuka kidogo, hakutegemea jibu hilo kutoka kwa SAM,
“Mtoto yupi unayemsemea wewe ambaye nitamzaa”
“Tafadhali NISHA hata kama nimekukosea kiasi gani naomba usitoe Mimba yangu, natamani sana kumuona mtoto wangu atakayetoka kwenye tumbo lako”
Nisha hakujibu kitu ikabidi SAM aendelee…
“Najua nimekukosea lakini msamaha upo kwa ajili ya wanaokosea, nisamehe NISHA, mwenzio nilikuwa na matatizo ambayo nikija nitakueleza vizuri, nakupenda na nampenda mtoto wetu atakayezaliwa”
“Its too late SAM (Umechelewa SAM)”
Baada ya NISHA kusema hivyo akakata simu huku akabaki analia tu kwa hasira…
Moyoni mwake alimpenda sana SAM ila hasira za mtu unayempenda huwa ni kali kuliko kwa mtu usiyempenda.
Nisha alikuwa na hasira zilizochanganyika na mapenzi, alimpenda sana SAM na ndio maana alijikuta akikasirishwa nae sana.
“Lazima nitimize nilichopanga” alijisemea NISHA!
……………………..
Glory aliamua kutumia simu nyingine na kumpigia kaka yake ambaye aliona alipokewa japo alikuwa na hofu kwani alishajua ni namba ya Tanzania.
“Haloo”
“Habari yako ”
“Nzuri kaka, Mimi Glory mdogo wako”
“Ah Glory ,mwenzio naogopa sana, leo nimepigiwa simu na mzimu”
“Mzimu gani kaka?”
“Sasa mtu aliyekufa akikipigia simu utasema ni nani?”
“Nani huyo aliyekufa amekupigia simu?”
“Wifi yako Rafiki”
“Mh kaka nisamehe kwa kukudanganya, wifi hajafa ni mzima kabisa, nilikudanganya tu ila nawewe ukakurupuka hukutaka kunisikiliza zaidi”
“Glory unasema kweli?”
“Ndio kaka, wifi yuko hapa”
“Mungu wangu…jamani mke wangu, naomba niongee nae”
Hapo hapo Sam aliunganishwa na mke wake ambapo hakuna alichosema zaidi ya kusisitiza msamaha na kuapa viapo vya kutorudia huku akidai Kuwa anampenda sana mke wake na hatakuja kumuacha mpaka kifo…
“Mke wangu nisamehe sana, nisamehe mke wangu…nimeishi maisha mabaya sana yaliyokosa matumaini, wewe ni kila kitu kwangu…nakuhakikishia nikija nitaokoka ili Mungu aniondolee pepo la hasira za kukurupuka”
“Wewe mwenyewe unajua mke wangu, unajua tatizo nililokuwa nalo alafu ukaniambia ni mjamzito…wivu ulizidi kipimo mke wangu kwasababu nakupenda sana”
Rafiki alikuwa hajibu chochote anasikiliza tu…
“Mke wangu naomba usije ukafa kabla yangu, naomba Kama ni kufa nianze mimi, nimegundua siwezi kuishi bila wewe, nakupenda sana”!
Wakati Rafiki anaongea na Sam simu iliwekwa Loud speaker hivyo Glory alikuwa anasikia kila kitu, kila alipokuwa anamsikia SAM anaomba msamaha ilibidi awe amepiga magoti mbele ya wifi yake akisisitiza kwa ishara huku mikono ikiwa kifuani akiomba kaka yake asamehewe.

Rafiki alikuwa amewekwa mtu kati, hakuwa na ujanja ikabidi atoe msamaha…
“OOOOH mke wangu, siamini mimi kama tutakuwa wote tena, ”
“Ndio uamini sasa”
“Yani nikija Dar siku hiyohiyo nitakodi hata Helikopta nije Mbeya nikuone mke wangu”
“Baba usiharakishe hivyo ukapata matatizo wewe njoo kawaida tu”
“Hapana mke wangu siwezi, natamani nije hata saivi, nitakuletea zawadi nzuri sana…vipi kitumbo kikubwa eeenh”
“Bwana weee utakiona ukija”
Waliongea mengi na hatimaye wakaridhika na kuagana.
……………………….
Siku ya siku ilifika Sam akawa ndani ya ndege anakaribia Tanzania, aliposhuka tu kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa JK NYERERE aliburuza mizigo yake akaketi sehemu ili ampigie mkewe kumjulisha kuwa anaunganisha ndege nyingine mpaka Mbeya siku hiyo hiyo…
Kabla simu haijapokelewa alishtuka mwanamke Mrembo amesimama mbele yake anamuita kwenye gari ambayo ilikuwa milango wazi…

Sam alibaki ametoa macho akimtazama Yule dada anayemuita ndani ya gari, alijiuliza amewahi kumuona wapi kwani alijionyesha Kama anamfahamu.
Taratibu sam alianza kumsogelea huku akiendelea kutafakari kama anamfahamu ila kila alipokuwa anamkaribia ndio sura yake ilionekana kuwa ngeni kabisa. Yule dada alizidisha tabasam lililozidi kumvutia sam ambaye alikuwa anautazama urembo wa Yule dada.
Alikuwa ni msichana mrefu mweupe mwenye uso kama wasichana wa Rwanda, alikuwa amevaa gauni jeusi lenye mpasuo uliosababisha sehemu ya paja lake la kuvutia liwe wazi na kumtoa Sam udenda.
Ndani ya lile gari kulikuwa na wanaume wanne waliolala kwenye siti wakisubiri Sam akaribie hata kwenye mlango tu wamvutie ndani waondoke nae kama maagizo ya bosi wao yanavyosema. Ni kama mate yalikuwa yanawatoka walivyokuwa wanamuona Sam anakaribia kufikia kwenye lengo lao.
Akili ya Sam ilikuwa inafikiria mambo zaidi ya mia ikiwemo kuwa Yule dada amewahi kumuona wapi, kwanini anamuita kwenye gari na lililomchanganya zaidi ni urembo wa Yule dada uliomtoa ufahamu.
Wakati anamkaribia alianza kukumbuka baadhi ya mafunzo ya upelelezi aliyoyapata na jinsi mbinu ya kutumia wanawake warembo inavyotumika kunasa watu. Hapo akili yake ikawa inaanza kufanya kazi kama kawaida, hali ya uso wa Sam ilivyobadilika ilianza kumshtua Yule mdada aliyekuwa ameegemea mlango wa gari na kutoa signal kwa wenzake.
Kwakuwa Sam alikuwa ameshasogelea Sana lile gari wale jamaa kule ndani wakawa wanapanga namna ya kufanya ili wasije wakapoteza lengo.
“Wewe ni nani?” sam alimuuliza Yule dada.
“Sam yani umenisahau? Mimi ni PC eveline tumetumwa tukuchukue tukupeleke makao”
Yule dada alijua kabisa ile hoja haitamkamatisha Sam lakini lengo lake lilikuwa ni kumzubaisha Sam ili watumie mbinu nyingine.
Wale vijana ndani ya gari walichukua kitambaa chenye dawa za kulevya kisha mmoja akashuka kwa kutumia mlango wa upande mwingine kisha akazunguka na kuwa anakuja nyuma nyuma huku Sam akiwa hamuoni.
Kwa mwendo wa haraka lakini wa kunyata Yule kijana alimwendea Sam ili amfunike na kile kitambaa usoni, Sam alikuwa anamtazama Yule dada ambaye ni kama aliacha kuongea na kuhamishia mawazo na macho yake nyuma ya Sam kitendo kilichomfanya Sam ahisi huenda kuna kitu nyuma yake…
……………………………………
Maisha ya Gwakisa na Verity hayakuwa na mvuto tena, wasingeweza kushiriki tendo la ndoa kama mwanzo kwani Gwakisa hakutaka kuambukizwa. Hata hivyo mvuto kwa mkewe hakuuona tena.
Hili lilimsumbua sana Verity, alijiona ananyanyapaliwa hata kwa haki zake za msingi, alijiona thamani yake haionekani na mbaya zaidi Mimba aliyonayo ilimfanya atamani ngono kuliko wakati wowote kwenye maisha yake.
Kila alipojaribu kuonesha hisia zake kwa Gwakisa ndio kwanza alimkuta na stress zisizopimika, kila Gwakisa aliporudi nyumbani alikuwa hana hata muda wa kuongea na mke wake. Hata kula alikuwa anakula huko mtaani akirudi ni kulala tu.
“Mme wangu” verity alimuita Gwakisa
“Unasemaje” Gwakisa badala ya kuitika alirusha swali.
“Hivi ninafaa kweli kuwa mkeo tena?”
Gwakisa alishindwa kujibu hili swali kwani hakulitarajia na lilikuwa gumu kwake.
“Mme wangu naomba unijibu”
“Unamaanisha nini?”
“Namaanisha hivi, kwa hali yangu na mabaya yote niliyokufanyia nastahili kuwa mkeo tena na kulala nawewe chumba kimoja?”
Gwakisa usingizi ulikatika na kujigeuza.
“Kwani mbona maswali yako siyaelewi, unataka kuamua nini?”
“Nakuomba mme wangu, nakuomba mimi uniache tu ili upate mwanamke mnayeweza kuishi kama mme na mke, mimi sifai tena”
Nikweli Gwakisa alikuwa na hasira juu ya Verity lakini sio kwa kuanzwa yeye eti aombwe kumuacha mkewe, tena anayeomba ni mke mwenyewe.
“Alafu utaenda kuishi wapi?”
“Mimi nina kazi yangu sitaweza kuishi na kujitegemea, kama pia utataka kunipa chochote kama mgao kwenye mali zetu unaweza ila sikulazimishi mme wangu”
“Tutaongea basi vizuri kesho, kwa sasa lala kwanza”
Sio GWAKISA wala verity ambaye alipata usingizi wa maana kwa usiku ule, kila mmoja alikuwa anawaza namna mambo yatakavyokuwa ikiwa kila kitu kikiwa kulingana na ombi lilivyotolewa.
Gwakisa alikuwa hayuko tayari kumuacha Verity, alimpenda sana na uwepo wake ulikuwa una maana kwake hata kama walikuwa hawashirikiani kwa chochote.
Verity nae alikuwa anawaza huenda ametoa ombi ambalo endapo litakubaliwa atakuwa hana uwezo wa kulihimili, alikuwa anawaza sana huku akitamani Gwakisa aseme amemkatalia ombi lake nayeye angekuwa tayari kukubali kuishi nae hata kwa kuuhadaa ulimwengu.
……………………………
Asubuhi na mapema Gwakisa aliamka akamuona Verity bado yupo usingizini, hakutaka kumuamsha ila yeye alijiandaa haraka haraka na kuondoka zake akielekea kazini.
Alipofika huko alijifungia ofisini kwake huku akiwaza mambo mengi sana, aliwaza jinsi ambavyo ataishi bila ye mkewe aliyemzoea, aliwaza jinsi ambavyo jamii itamchukulia na kugundua kuwa maisha hayatakuwa kama awali.

Pamoja na yote lakini aliona huenda Verity hana mapenzi nae tena hivyo kumng’ang’aniza abaki wakati alikuwa ameomba yeye mwenyewe kuachwa itakuwa ni kuendleza uzoba. Alijiuliza ni kipi mkewe alikikosa kwake mpaka akaamua kumsaliti na kuishia kuambukizwa ukimwi na leo anaomba kuachwa… hii ilimpa picha kamili kuwa Verity hampendi.

“Hakuna shida, naenda kuridhia ombi la kuachana nae” alijisemea Gwakisa.
Alichokifanya ni kupanga ninini amuache nacho Verity, yaani ampe nini kwenye mali zao, aliandika mali zao zote pamoja na zile alizochuma katika ushirika wake na Nisha kisha akaamua cha kumpa ili waachane.
Kwa upande wa Verity aliamka akiwa mchovu sana, aliangalia pembeni na kugundua kuwa mme wake ameshaondoka kwani hakuwepo pale.
Machozi yalimtoka usoni kwa jinsi ambavyo maisha yamemgeukia vibaya, aliiwaza aibu inayomuwinda mbele ya jamii. Alikuwa anasubiria jibu kutoka Kwa Gwakisa lakini alitamani ampigie simu amuambie kama vipi apuuzie ombi alilompa.
Baada ya kuona anakosa jibu jawabu la mawazo yake alitamani kupata mtu wa kumshirikisha kuhusu lile jambo na hakuona mwingine isipokuwa dada yake.
Alijiandaa haraka haraka na kwenda hadi kwa dada yake Rafiki ili amwambie kinachomsibu.
Alipanda gari lake hadi nyumbani kwa Rafiki na kupiga honi ambayo ilisababisha geti lifunguliwe na kuingiza gari ndani. Alipofika ndani alipaki na kushuka kisha akaelekea moja kwa moja mpaka chumbani alikolala dada yake.
“Kumbe wewe aaah”
“Haaa Dada ina maana sina maana”
“Una maana gani sasa” alijibu Rafiki bila kijua kuwa jibu lile lilikuwa na pande mbili kwa Verity ambaye alikuwa na mawazo ya kunyanyapaliwa.
Kilichomshtua rafiki ni kilio cha mdogo wake VERITY. Rafiki alibaki anamtolea macho tu asielewe ninini kinamsumbua.

Vipi tena jamani mbona unalia” aliuliza rafiki lakini Verity hakumjibu isipokuwa alifungua mlango na kutoka, Rafiki hakuvumilia akanyanyuka bila kujali hali yake na kumfwata.
“Mdogo wangu unalia nini?” rafiki alijitahidi kumrudisha mdogo wake na hatimaye akakubali kurudi ndani na kuketi japo bado aliendelea kulia.
“Mbona unantisha mwenzangu na hali yangu hii, nyamaza basi uniambie kinachokutatiza mdogo wangu”
Hatimaye Verity alinyamaza na kumwambia dada yake jinsi alivyojisikia kwa kumwambia kuwa ana maana gani…
“Maskini mdogo wangu, mimi sina maana hiyo, ungejua kuwa namsubiria mme wangu anakuja leo hivyo kila gari inayoingia nahisi niyeye”
“Haa shemeji anakuja leo?” aliuliza kwa hamaki Verity.
“Ndio yani hapa moja haisimami wala mbili haikai, natamani aje nimemmisi sana”
“Linda sana ndoa yako dada, kabla hujafika muda wa kujutia, Mimi mwenzio najuta saivi”
“Unajuta nini tena mdogo wangu, mbona mambo ya mitihani kwenye ndoa ni kawaida tu”
“Hujui tu lakini mimi mwenzio hapa saivi sina thamani tena, nimeathirika dada, mbaya zaidi Gwakisa yeye ni mzima wa afya”
“Unasemaje Verity?”
“Usipaniki dada, kilichonileta hapa nataka unisaidie mawazo kwani naona bila msaada kwasasa naweza kufa kabisa japokuwa mimi ni mfu ninayeishi tayari”
Verity alimsimulia dada yake kila kitu na hakubakisha wala hakuongeza, alimwambia tangu mwanzo alipoanza kutembea na Sam na kuzaa nae kisha akamuomba sana kwa machozi amsamehe.
Alimsimulia jinsi alivyoisaliti ndoa yake na kutembea na Dr Kelvin na kuishia kupewa mimba na UKIMWI juu, alimsimulia pia jinsi ambavyo ameomba kuachana na mme wake japo ombi hilo linamtesa kwani anaona halikuwa ombi sahihi.
Rafiki alimsikiliza mdogo wake kwa umakini mkubwa huku akishangazwa na kila alilosikia kutoka kwa Verity. Aliumia sana lakini hakutaka kuonyesha, alionyesha sura ya kutoshtuka ili mdogo wake asijione ana majanga makubwa sana.
“Usijali mdogo wangu, maisha bado yanaendelea na nivyema kwa ulichoomba kwa mmeo ili msije mkakaa huko ndani huku mnasimangana, atakuua mapema”
“Lakini dada mbona kama nampenda bado mme wangu?”
“Sio kweli, ungekuwa unampenda usingekuwa unamsaliti, na ndio maana inabidi kuolewa na mwanamme unayempenda na ikitokea tofauti inabidi ujitahidi sana kumpenda hata kwa kujilazimisha kitu ambacho wewe kimekushinda mpaka ukafikia huko”
“Sidhani dada, naona sitaweza kuishi bila Gwakisa”
“Si umekuja kwangu kuomba ushauri?”
“Ndio dada”
“Basi nisikilize”
Kabla RAFIKI hajaanza kuongea walisikia kengele ya getini ikilia ikabidi wanyamaze kwanza, walichungulia getini wakaona gari inaingia baada ya geti kufunguliwa, wote walitoa macho huku RAFIKI akifikiri ni mmewe amerudi lakini VERITY yeye alishaitambua ile gari kuwa ni ya Gwakisa

Verity alianza kuhisi hofu ndani ya nafsi yake akijiuliza kwanini Gwakisa ameamua kumfwata pale kwa dada yake ilihali wangeweza tu kuzungumza hata jioni yake.
Rafiki alikuwa anahaha akidhani huenda atakayeshuka ni Sam lakini Verity yeye alishajua kuwa ujio ule ni wa GWAKISA.
Gwakisa alishuka kwenye gari na kuelekea moja kwa moja mpaka sebuleni alikokaribishwa na kukaa huku akiwaulizia wenyeji na kuambiwa wako ndani kisha wakaenda kuitwa.

Rafiki alikuwa na mfadhaiko baada ya kujua kuwa ujio ule pia haukuwa wa mme wake lakini aliungana na Verity kukaa pale sebuleni wakiwa na Gwakisa.
“Vipi mme wangu mbona umeamua kunifwata huku?”
“Nimekuja pia kumtembelea sshemeji yangu”
“Sawa karibu, niliamua kuja kumtembelea dada baada ya kuona sijisikiii vizuri pia nahitaji walau mtu wa kunichangamsha kwa maongezi”
“Ni vizuri tu haina shida”
Gwakisa alikaribishwa kifungua kinywa lakini alisema ameshakula hivyo asingerudia tena, uso wa Gwakisa ulionekana kabisa kutokuwa na furaha, hili Rafiki alilitambua na kwakuwa mdogo wake alishamsimulia kila kitu alishajua chanzo cha ile hali.
Gwakisa alitulia kwa muda kisha akafungua kibegi chake kidogo na kutoa baadhi ya karatasi chache na kumpa Verity azisome.

Huku Verity akiwa anatetemeka mikono alizichukua zile karatasi na kuzipitia kisha akamalizia kwa kilio kilichomshtua kila mtu pale walipokaa.
“Yani kwli Gwakisa umeamua kuniacha kwasababu ya UKIMWI wangu”
Verity alitamka maneno haya huku akiwa analia kwa kwikwi, kitendo kile kilimshangaza Gwakisa kwani aliyeomba kuachwa ni Verity Mwenyewe, iweje sasa analalamika kiasi kile.
“Mme wangu kweli? Unaniacha mimi nilikuwa natania tu mme wangu ”
Hali ile ilimfanya Gwakisa anyanyue mdomo na kumwambia VERITY…
“Nani aliyesema kuwa una UKIMWI?” Mbona unapenda kujichulia wewe” gwakisa alisema vile akidhani kuwa Rafiki hajui chochote.
“Usijali chochote shemeji, Verity amenieleza kila kitu na hakuna haja ya kuficha chochote”
“Lakini yeye mwenyewe ndie aliyeomba hili litokee yaani tuachane”
“Najua ila nadhani anaiogopa hali ya upweke na hiyo hali ya ujauzito aliyo nayo”
Kibarua cha kumbembeleza Verity kilianza na hatimaye akanyamaza na kuruhusu maongezi kuendelea.
Waliongea mengi na hatimaye Verity akakubali kuachana na Gwakisa kwa kuachiwa Nyumba moja na viwanja viwili pamoja na milioni sitini ambazo aliwekewa kwenye akaunti yake.
Makubaliano pia yalionyesha kwamba watashirikiana kulea mimba ya Verity mpaka mtoto azaliwe na kuwa Gwakisa atamlea mwanae kwa kushirikiana na Verity, baada ya kila kitu kukamilika kila mtu alienda kivyake huku wakiyaanza maisha mapya.
…………………………….
Kwa mbinu kali alizokuwa nazo Sam alijigeuza kama roboti na kuachia shuti kali lililotua kifuani mwa mtu na kumtupa mpaka kwenye seng’enge zilizozunguka uwanja huu.
Hapo aligeuka vizuri na kumtazama Yule mtu na kumfwata kabla hajaamka, alimnyanyua na kumsindilia na ngumi mfululizo zilizomfanya ateme damu nzito mdomoni.
Wale wenzake waliokuwa kwenye gari waliamua kuondoka ili kukwepa msala lakini wakasita baada ya kuuona Sam akimburuza mwenzao isijulikane anampeleka wapi.
Waliogopa endapo mwenzao akikamatwa atataja mtandao wao kitendo ambacho kingemaanisha bosi wao atawapoteza nao pia.
Hapo ilibidi washuke wakapambane kuondoka na mwenzao au ikibidi wamuue ili kupoteza ushahidi wa mtandao wao.
Walikuwa ni vijana watatu huku kati yao akiwemo Yule dada mrembo wakiwa wanamfwata Sam wakimtaka amuachie mwenzao ama wammalize.
Wakati hayo yanaendelea tayari watu walikuwa wanashuhudia sinema ile huku wengine wakirekoodi na kuchukua picha.
Katika hatua iliyowashangaza watu ni jinsi Yule dada alivyoruka sambasoti na kumrushia Sam mateke mazito japo alikuwa anavukwa na gauni kiasi cha kuifanya kufuli yake nyeupe iwe nje nje lakini hakujali.
Hapo sasa Sam alijua ana wakati mgumu kwani aliyekuwa anapambana nae sio Yule dada pekee bali hata wale jamaa nao walikuwa wanamjia wakimtaka amuachie mwenzao waondoke nae. Sam nae hakutaka kukubali kirahisi. Hapo hapo alimpiga Yule jamaa ngumi ya kichwa chini ya kisogo na kumfanya alegee na kuzimia kabisa kisha akamuachia na kupambana.

Katika mateke zaidi ya nane aliyorusha Yule dada ni moja tu ndilo lilimpata. Baadhi ya mashuhuda walidhani huenda ni maigizo ya filamu haswa baada ya kuona watu wameshikilia simu wanarekodi bila wasiwasi.

Mapigo aliyokuwa anayatoa Sam yalimtisha kila mtu na kuwafanya watu waliokuwa pembeni kumshangilia mno ngumi zilipigwa kwa zaidi ya dakika ishirini na kumuacha Sam akiwa amewaziidi wale jamaa kitendo kilichowafanya wakimbie na kumuacha mwenzao.

Hapo sasa polisi walikuja na kumkamata Sam huku watu wakimzonga mpaka kituo cha polisi pale uwanja wa ndege na wengi wao wakimpiga picha kwa jinsi alivyoonyesha uwezo wa ajabu wa kupambana.
Baadhi ya watu walichelewa hata safari zao wakitazama yale mapigano huku kivutio kikubwa akiwa ni Sam. Walipofika pale kituoni na watu kuwa wameondolewa Sam alitoa vitambulisho vyake na kuwaonyesha wale polisi ambao walianza kupiga saluti.

“Huyu mtu mhifadhini na nitataka kujua walitumwa na nani kunifanyia hili tukio” Sam aliacha maagizo na kuondoka zake kwenda kupanda ndege ambayo ilikua inakaribia kuondoka.

Alipofika aliingia kukaguliwa na kisha akazama ndani ambapo baada ya masaa kadhaa ndege ikapaa hadi Songwe –Mbeya ambapo alishuka na kuchukua tax kuelekea nyumbani kwake.
“Ilikuwa ni furaha isiyo kifani kwa Sam kuonana na mke wake, walikumbatiana na kupigana mabusu kama wenda wazimu”
Jambo moja tu lilishindikana kufanyika “Ngono” na hii ni kwasababu Rafiki alikuwa na Bed Rest kutokana na mimba yake iliyokuwa na hatari ya kutoka. Lakini hii haikutosha wao kutoridhishana bila kuingiliana.
Walifanya walivyoweza ili mradi kila mtu akawa ameridhika na kufikia mshindo, raha na vicheko vilitawala nyumba yao kwa siku mbili nzima ambazo Sam alilala na kuamka bila kutoka huku akiwa na mkewe mda wote.
Glory nae baada ya kusikia kaka yake amerudi alienda haraka sana na kuonana nae huku kaka mtu akishangaa jinsi ambavyo mdogo wake amebadilika, amekuwa mrembo na kukua mno. Ukweli kaka mtu alijua kabisa kuwa maisha ya Glory yamepatana sana na hali ya Mbeya na chuo kimempenda pia.
“Mdogo wangu kumbe wewe ni mzuri kiasi hiki?”
“Sasa je? Ulitaka uwe mzuri peke yako tu eenh..hata mimi nawatingisha eti”
Walicheka kwa pamoja baada ya utani huo kati yaa mutu na mdogo wake.
………………………………….
Hakuna kitu kilichomkera NISHA kama kuona Sam ameshindikana kukamatwa, alikasirika hadi machozi yakamtoka.
Wakati akiwa na hasira zake simu yake ilitoa mlio wa meseji ndipo akaifungua na kugundua kuwa ni ya WhattsApp. Aliona video ikiwa imetumwa kwenye group lao la marafiki akaifungua.
Hapo alishika mdomo baada ya kumuona Sam akishusha kichapo kitakatifu kwa watu wake na kugundua kuwa Sam amekuwa mkali kama moto wa kifuu.

Hasira zaidi zilimkamata na kuchukua bastola yake… “najua amesharudi, nitamuua mbele ya mkewe”
Nisha hakutaka kupanda gari, aliamua kuchukua bodaboda ikiwa tayari ni saa mbili usiku, aliweka bastola yake vizuri huku tumbo lake likiwa linamuelemea kiasi kwani mimba ilikuwa na takribani miezi mitano.
Alijipanga kuwa lazima amuue Sam, alishuka mbali kidogo na nyumba Ya sam na kumwomba dereva amsubiri hapo hapo hata kama atachelewa kwani atapata malipo makubwa.

Akiwa anelekea kwenye nyumba ya Sam huku akiwa na tahadhari kubwa alisikia mtetemo wa simu yake ambayo hakuna anayeijua namba hiyo isipokuwa watu wake muhimu tu hivyo hakusita kuipokea akijiweka kando ya barabara kidogo.

“Nisha umeniudhi sana binti yangu…”
“Kwanini baba?”
“Haiwezekani ufanye mambo ya kipuuzi kiasi kile, sasa unatumia kikosi kazi kwa ajili ya kazi ambazo hazieleweki, ona sasa amekamatwa na ukitajwa kabla hawajakukamata ili ututaje na sisi nitakuua kabla kwa mkono wangu mwenyewe, sitajali kama wewe ni mwanangu”
Mkwala huu wa baba Nisha ulitikisa ubongo wa binti huyu na kumfanya aanze kutetemeka maana Alimjua vyema baba yake. Mzee huyu huwa haongei mara mbili, wanaweza wakae miaka hata miwili bila kuonana wala kuwasiliana isipokuwa siku akikutafuta ina maana ana jambo la msingi sana.
Akiwa anawaza simu iliita tena na mpigaji alikuwa ni Yule Yule baba yake…
“Narudia tena, endapo utaendelea kuingiza hisia za mapenzi kwenye matendo yako muda wako wa kuwa nasi unahesabika, nadhani unanijua”
Baada ya Nisha kuambiwa hivyo alianza kutetemeka kiasi ambacho ilibidi achuchumae chini, hapo hapo akabadili maamuzi na kurudi iliko bodaboda ili aende nyumbani.
Alimkuta bodaboda wake akiwa palepale alipomuacha, alipanda pikipiki na kuelekea kwake ambapo alijifungia huku akipiga simu na kulia kwa baba yake asamehewe na kuapa kutorudia.
Alichomjibu Baba yake ni kuwa atulie kwani amemsamehe…
“Nimekusamehe ila kwasasa kutokana na hali yako wewe pumzika tu, lea mimba yako mpaka utakapojifungua wala usijihusishe na mambo mengine”
“Sawa Dady asante sana”
“Usijali binti yangu nakupenda sana”
“Nakupenda sana Baba”
“Okey na nakwambia tu kuwa hicho unachotaka kuifanya kwa huyo mtu mda wake bado, muda ukifika nitakuonyesha namna ya kufanya”
“Sawa baba”
…………………………………
Sam akiwa amesharejea kazini alitamani sana kuonana na NISHA kwani alijua ana mimba yake, alipotafuta faili lake akagundua kuwa NISHA ana likizo hivyo akaamua kumfwata kwake kimya kimya.
Nisha akiwa ndani kapumzika alisikia mlio wa honi nje, Kwakuwa tayari alikuwa ana msichana wa kazi alimtuma akaangalie ni nani yuko nje.
Wakati Yule msichana anatoka alikuta tayari Sam ameshashuka kwenye gari anaelekea uliko mlango.
“NISHA yupo?”
Msichana alisita kujibu ila Sam yeye hakujali akaelekea ndani. Alipofika sebuleni hakumuona NISHA akajua lazima yuko chumbani.
Alifungua mlango wa chumba kwani alikifahamu na kuzama ndani, NISHA alijua ni Yule dada wa kazi anaingia na kujikuta akiropoka…
“Huyo mgeni ni nani?”
“Ni mimi” sam alisema hivyo akiwa amemkumbatia Nisha kwa nyuma ambaye alikuwa yuko kwenye vazi la chupi pekee.


Mapigo ya moyo wa Nisha yalipiga kwa kasi isiyo ya kawaida, sauti aliyoisikia aliifahamu vizuri kuwa ni ya Sam.

Kila alichotaka kufanya alijikuta anakikosoa, vitu kama visu vilikuwa vinapita ndani ya tumbo lake kila alipokuwa anafikiria kuwa aliye nyuma yake ni Sam, sam Yule mwenye ile mimba aliyobeba, Sam aliyemtoroka, Sam ambaye siku kadhaa nyuma alikuwa anatamani kumuua.

Hasira zilikuwa zinamkaba kooni lakini kitendo cha kuona Sam yuko nae pale kilikuwa kinauletea utata wa maamuzi ubongo wake. Kwakuwa Sam aliijua hasira ya Nisha aliamua kuimaliza kwa mbinu za kishujaa.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Mdomo wake ulikuwa unapumua kwenye sikio la Nisha ambaye alikuwa anatetemeka kama mgonjwa wa Degedege, mikono ya SAM ilikuwa inatembea kwenye tumbo la Nisha lililobeba Mimba yake na kumfanya motto aliye tumboni kuanza kucheza.
“Sam please ni..a..che” Nisha alikuwa anaongea kwa kukatakata maneno.
“Nafurahi leo kumshika mtoto wangu, Siwezi kuacha Nisha”
Wakati huo Mikono ya Sam ilikuwa inatembea bila kikomo kwenye mwili wa Nisha na ulimi tayari ulikuwa ndani ya sikio unazunguka. MWILI wa Nisha ni kama uliokuwa unapigwa na shoti ya umeme kwani ulikuwa unavibrate kama Motorola za zamani.

Sam alipoona mambo mukide alimgeuza Nisha upande wake akajaribu kuupeleka mdomo ugusane na ule wa NISHA lakini Nisha alikwepesha wakwake, SAM hakuwa na haraka aliendeleza zoezi lake akitumia mikono na ulimi Wake mpaka ilipofika wasaa ambao Nisha aliutafuta mwenyewe mdomo wa Sam.
Sam aliupokea na kuunyonya vizuri huku akifanya kazi zingine kwa ustadi mkubwa tu, Nisha alielekea kibla kwani hadi jasho lilikuwa linamtoka, alikuwa na mda mrefu hajagusana na mwanaume alafu leo hii alikuwa mbele ya mwanaume ambaye anampenda mpaka inakuwa mzigo.
Hakuwa na namna, pamoja na tumbo lake alijikuta mwenyewe analala kitandani akizuga amechoka kusimama, Sam hakuchelewa alimfwata huko huko na kumlaza vizuri kisha akaitoa kufuli aliyokuwa kavaa Nisha na kuiweka kando. Alikutana na kichaka kizito kuashiria kuwa shamba lile lilikuwa halijapaliliwa muda mrefu kwakuwa huenda Nisha hakuwa na mwanaume na wala hakutarajia kuvua nguo mbele ya mwanaume ama kwasababu ya tumbo lake basi alishindwa kujinyoa.

Kwa Sam haikuwa shida kwani hata hivyo kwa uchotara wa Nisha ule msitu ulikuwa ni msitu wenye nyasi zenye afya na sio kipilipili kama cha wakina naniliu…
Mkono wa Sam ulicheza na ikulu ya Nisha ambayo hata hivyo ilikuwa imeloana vya kutosha kabisa, NISHA kwa starehe alizokuwa anasikia ilibidi tu nae ajitahidi kumpapasa Sam na kumpa ushirikiano huku akifungua suruali ya Sam na kuiweka pembeni kisha akakamata tango ambalo lilikuwa limetuna na kuwa la moto kama limetoka jikoni kisha akawa analichua.

Ndani ya dakika kadhaa Sam aliushika mguu mmoja wa NISHA na kuuinua kisha akakamata tango lake na kulipitisha kwa chini huku wakiwa wamelalia ubavu Nisha mbele Sam nyuma, asingeweza kumlalia kwa tumbo alilo nalo.

Tango la Sam lilipenya vizuri mpaka ndani na kukutana na joto mujarabu kisha Nisha akaachia ukulele wa raha wakati tango la moto lilipokuwa linapemya taratibu kuzama ndani“ooooh shhhhhh” .

Taratibu bila haraka Sam alikuwa anachochea ikulu ya Nisha ambayo kila baada ya muda kidoogo majimaji yalikuwa yanaongezeka huku ikizidi kuwa ya moto, vilio vya chinichini vilikuwa vinamfikia Msichana wa kazi kule sebbuleni ambaye aliamua kusogea karibu na mlango kabisa huku akijisikia kufakufa kwa hamu alizokuwa anapata.

Alipoona mambo yanamzidia alipitisha mkono wake kwenye sketi na kujichua taratibu huku akijitahidi kwenda na biti ya kule ndani kwa bosi wake.
Nisha alijisahau kabisa kuwa pale nyumbani hakai peke yake kwani kelele za mahaba alizokuwa anapiga zilikuwa kubwa kiasi ambacho ziliweza kumsaidia msichana wa kazi kukaribia kilele cha mlima Kilimanjaro huku akiwaacha wenzake kule ndani wakiendelea.

Alipomaliza alijikuta majimaji yakiwa yanachuruzika miguuni kutokana na goli kali alilofunga, kabla hajaondoka pale sebuleni alichungulia kwenye upenyo wa mlango akamuona dada yake akiwa amekalia farasi anamuendesha kwa spidi huku anaweweseka.
Aliamua kuachana nao na kutoka zake nje akiendelea na kazi zake.
Kule ndani baada ya mtanange wa muda mrefu hatimaye walimaliza na kila mtu kulala pembeni. Sam aliamka badae na kufungua dressing table ya NISHA na kukuta kimashine kidogo cha kunyolea.
Alikikagua akakuta kina chaji ya kutosha kisha akamuendea Nisha na kumpanua miguu kisha

“Ngoja nikunyoe mke wangu, japo nywele zako nzuri ila najua saivi hupafikii huku, niko kwa ajili yako”

Huku akiwa anaona aibu Nisha aliachia miguu na kumruhusu Sam anyoe vizuri mpaka akamaliza na kumfuta ili kuondoa nywele zote, huku Nisha akiwa anaangalia pembeni kwa aibu alishtuka kuhisi kitu cha moto kinazama ndani ya ikulu yake alipogeuka akakuta ni Sam ndiye anatumbukiza tango lake.

Kwa raha kabisa alilipokea huku akiwa ananyonga kiuno taratibu kufurahia tendo alililikosa kwa muda mrefu.
“Sam kwanini ulinikimbia”Ni swali alilouliza NISHA huku akiwa kaegemea kifuani mwa SAM akimsugua na kucha zake kidevuni.
“Hata kama nilikukimbia lakini sikustahili uniue” Alijibu Sam huku akimuacha Nisha kwenye mshtuko kwani hakujua kuwa Sam alitambua jaribio lake.
“Nisamehe Sam, mapenzi yanaumiza sana, nadhani hata hii mimba ilinipa hasira zisizo zangu,”
“Nimekusamehe ila siku nyingine fikiri kabla ya kutenda”
“ili kukuonyesha kuwa naomba msamaha wa kweli, nikijifungua tu nitakupa zawadi ambayo hujawahi kuitarajia katika maisha yako Sam”
“Zawadi gani hiyo?”
“Ni zaidi ya Zawadi ya ushindi aliyopewa SIKAMONA Kwenye Riwaya iliyoandikwa na F.M Topan”
“Mh haya bwana”
……………………………………
Miezi ilikatika kwelikweli ambapo wanawake watatu walikuwa wamejifungua watoto wazuri na wenye afya.
Nisha alikuwa amejifungua motto wa Kiume, Rafiki alikuwa na mototo wa kike, huku Verity akiwa na motto wa Kiume.
Kwa maana hiyo Sam alikuwa na watoto wawili waliopishana wiki mbili, motto wa Nisha na motto wa Rafiki mkewe wa ndoa.

Ilikuwa ni furaha iliyoje na wakati huo huo alikuwa amepandishwa vyeo na kuwa SAPC ambapo ilisemekana anaandaliwa kuwa RPC kwenye mkoa mmoja wa Tanzania.
Japo kwa siri sana lakini alijitahidi kuwa karibu na NISHA huku akijitahidi sana kutunza motto wake huku Rafiki akiwa hagundui lolote kwani hata NISHA hakuwa tayari kuvujisha siri.
Verity nae alikuwa ameshazoea maisha ya kuishi bila mume hivyo alijikuta akiwa karibu sana na mtoto wake ambaye aliibuka kuwa faraja kubwa sana kwake.
Kwakuwa aliikuwa amefanana sana na mwanae japo alikuwa wa kiume ilikuwa Rahisi sana kumwambia Gwakisa kuwa ni mwanae na Gwakisa hakukataa kwani hata hivyo alikuwa na hamu sana ya kuitwa baba baada ya kusingiziwa mtoto wa kwanza.
CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Verity aliamua kumpa Gwakisa Yule mtoto kwani alijua bila hivyo Gwakisa atazeeka bila kuitwa baba lakini pia Dr Kelvin alishafariki hivyo mtoto wake angeyakosa mapenzi ya baba.

Gwakisa pamoja na kutengana na Verity lakini alikuwa anamtembelea na kumpa mahitaji yote kwani kulingana na Verity kujifungua kwa Operation ilibidi akae bila kazi kwa muda mrefu. Hatimaye mpaka Verity anatoka ndani baada ya kumaliza maternity alikuwa amenona na kupendeza sana.
Urembo wake ulirudi mara dufu zaidi ya awali, stress za kuwa muathirika alishazizoea na kuona ni ugonjwa wa kawaida tu, semina alizokuwa anapewa alijikuta akiamini kuwa ukiwa na UKIMWI unakufa tu kama binadamu wengine na unafurahia maisha kama watu wengine.

Alijiona akiwa na amani huku akiendesha shughuli zake na miradi kwa kujua kuwa anatakiwa amuachie mwanae urithi hapo baadae.
………………………………………..
“Unakumbuka ahadi yangu”?
“Ipi?”
“Ile niliyokuwahidi kwamba itakuwa zaidi ya ZAWADI YA USHINDI kwenye riwaya za F.M. Topan?”
“Oooh nimekumbuka”
“Ennh kwahiyo uko tayari kuipokea?”
“Niko tayari hata saivi tena naitaka sana”

“Basi jiandae twende sehemu ukapate zawadi yako”
Sam japo alikuwa na hofu lakini alikubali kuingia kwenye gari moja na NISHA kisha wakawa wanaenda sehemu ambayo alikuwa haijui. Mapigo ya moyo wake yalikuwa kasi sana kwani NISHA alishafanya jaribio la kumuua hivyo hata kwa wakati huu akawa hamuamini kwa asilimia zote.
“NISHA”
“Niambie baba”
“unanipenda?”
“Kuliko kitu chochote”
“Basi usije ukaruhusu mtoto wako aishi bila baba”
“Acha uoga we si mwanamume….!”
Nisha alisema vile kwani alijua hofu iliyokuwa ndani ya moyo wa Sam…
“Nimekuahidi Zawadi kwhiyo jiandae kwa zawadi na sio kitu kingine”
“Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!” Sam alishtuka baada ya kuiona zawadi iliyokuwa mbele yake, hakuamini na machozi yalianza kumwagika usoni mwake.
“NISHA WHY?” (KWANINI?)!
“Nisamehe Sam!”



Verity alikuwa mwanamke mrembo sana, dawa alizokuwa anameza, tumaini la maisha aliyokuwa nayo vilimfanya aishi maisha ya amani sana, hali yake kimwili ilikuwa ya kuvutia, rangi na umbo lake vilimvutia mtu yeyote aliyekutana naye.
Pamoja na huduma kuhusu mtoto ambazo zilikuwa zinamfanya Gwakisa awe anaonana na Nisha mara kwa mara lakini pia urembo aliokuwa nao Verity ulimfanya Gwakisa awe anavutiwa kuwa nae wakati wote.
Kuna wakati alitamani kumwambia warudiane lakini alishindwa, alikosa jinsi ya kumuanza kwani talaka aliziandika yeye mwenyewe.
“Haloo habari Dada Verity”
“Salama tu habari za kazi Kaka”
“Nzuri tu, uko wapi?”
“Niko Nyumbani ”
“Nakuja ili tumalize ile kazi”
“Sawa karibu sana”
Ni Verity alikuwa anaongea na mtu kwenye simu wakiahidiana kuonana hapo nyumbani, Gwakisa alikuwa ametegesha masikio akitaka kujua ni nani anayeongea na Verity.

Alitamani amuulize lakini akasita, wakati huo Nisha alimuacha akaingia bafuni akaoga na kuvaa vizuri kisha akasogea pale sebuleni alipokaa Gwakisa.
“Vipi unatoka?”
“Hapana kuna mgeni wangu anakuja”
“Ndio maana umependeza hivyo”
“Mbona kawaida tu, siwezi kuwa vile mbele ya mgeni ninayemheshimu”
Kauli ile ilimuuma Gwakisa akijiuliza ina maana yeye haheshimiki! Ndani ya muda mfupi Gari ilikuwa inapiga honi getini ambapo VERITY aliamuru iruhusiwe kuingia ndani.
Baada ya kuingia ndani alishuka kijana mmoja mweupe mrefu aliyevaa nadhifu huku mkononi akiwa kashika notebook ndogo.

“Karibu sana kaka”
“Asante sana”
Baada ya utambulisho mfupi Verity na Yule kaka walitoka mpaka nje kwenye veranda ndogo iliyokuwa na makochi na meza ndogo kisha wakakaa na kujadili mambo yao.
Kule ndani alipokuwa Gwakisa moyo wake ulikuwa unafukuta kwa wivu. Alikuwa anajiuliza inakuwaje mwanamke aliyemuacha kwa maradhi leo hii wengine wanampenda!

“Nilikosea sana kumuacha” alijisemea Gwakisa
Wakati akisema hivyo wazo lingine lilimjia kuwa huenda Verity hakumpenda, lakini kwanini? Hapo alizidi kujiuliza na kujisikia vibaya.
Kwa hasira aliamua kufungua mlango mwingine na kuondoka zake bila hata kuaga, aliwasha gari lake na kuondoka kimya kimya akaelekea Bar kwake na kuanza kunywa poombe kwa fujo.
Huku nyuma verity alimaliza maongezi na mgeni wake ambae walikuwa wanasainiana mkataba wa kusuply Kuku wa Nyama kwenye hoteli maaraufu pale Mbeya alirudi ndani ila hakumuona Gwakisa.

Akiwa anajiuliza kwanini ameondoka bila kumuaga iliingia sms kwenye simu yake,
‘yani ndio unaleta mabwana zako hadi nikiwepo, poa bwana’
Verity alishtuka sana asiamini kuwa Gwakisa anaweza kumtumia sms ya vile, alijiuliza kwani hata ingekuwa ni kweli yeye inamuuma nini!
“Huyu mwanaume ana matatizo huyu” alijisemea Verity
……………………………………………………………………………………………..

Ndani ya Jumba lililokuwa chini ardhini mbele kulikuwa na darasa lenye watoto wengi zaidi ya aarobaini waliovalia nguo nadhifu na wenye afya njema.
Kati ya wale alikuwepo mtoto Nice ambaye alikuwa amekua na kupendeza sana. Sam alikuwa ameshika mdomo asiamini kile anachokiona.
Alikuwa anamwangalia Nisha usoni ambaye nae hakukwepesha macho yake akawa anamuangalia sam Vilevile.
“Mwanao huyo Sam”
“Hii ndio zawadi yenyewe?”
“Ndio hiyo Sam”
“Why Nisha”
“Don’t ask why” (usiulize kwanini)
Sam alikuwa na furaha mooyoni lakini pia alikuwa na hasira na alipaanga kufanya jambo baya juu ya wale watu endapo atatoka pale salama na mwanae.
“twende Sam”
“Wapi Nisha wakati sijamsalimia hata mtoto”
“Twende atakufwata”
Walitembea hadi sehemu kulikokuwa na mandhari nzuri kisha wakakaa hapo na baada ya muda akaletwa Nice.
“Nice huyu ni baba yako”
Nice baada ya kuambiwa vile akawa anamuangalia Sam kwa kumkagua kisha akatikisa kichwa kuashiria kukataa.
“Not my dady” sio baba yangu
“Who is your dady?” baba yako ni yupi.
“That one over there” Yule pale.
Nice alimuonyeshea kidole Baba mmoja aliyekuwa ameketi kwenye kiti kizuri chenye muonekano wa kimamlaka.
“Ndio mimi ndie baba wa hawa watoto wote” Yule baba alidakia
Gwakisa alipigwa na butwaa kwa kauli zile alizozisikia.
“Haya tuondoke mtoto amekukataa”
“Usiniambie kitu hicho hata kidogo, nitavuruga watu wote hapa na hamtaamini”
“Usijitafutie matatizo kijana”
“Unasemaje? Unajua mimi ni nani?” Sam alichimba mkwala kwa hasira.
“Tuondoke Sam”
“Nitaondoka endapo nitakuwa na Mwanangu”
“Huwezi kuondoka nae Sam”
Kwa hasira Sam alimshika Nice kwa nguvu na kuanza kutembea akitafuta sehemu ya kutokea. Katika hali ambayo hakuitegemea alikuja kijana mdogo mwembamba akaanza kumshiniiza asimame na amuache mtoto lakini Sam alizidi kusonga mbele.
Yule kijana alisimama mbele yake na kuzuia njia. Kwa hasira Sam alimshusha mtoto na kumwendea Yule kijana ili ampige.
Alipomfikia alirusha ngumi ya nguvu akiwa ameilenga usoni lakini ilipita kama upepo, alirusha nyingine nayo ikapita kama upepo.
Aliamua kutumia mateke alirusha zaidi ya mateke manne lakini la nne liliishia kupiga ukutani.
Sam alipoona vile alichomoa bastola ili aifyatue lakini kabla hajavuta triga alishtukia ile Bastola ikiangukia mbali baada ya kupigwa teke kali lililokuja kwa kasi ya ajabu.

Sam ilibidi amuangalie vizuri Yule kijana kwa kumkagua. Bado hakuamini kuwa Yule kijana ndie wa kumsumbua kiasi kile kwa mwonekano ule alio nao.
Sam aliamua kumfwata ili amkamate kwa nguvu. Alipeleka mikono yake shingoni mwa Yule kijana lakini miikono yake ilishikwa kwa nguvu hadi akasikia mifupa kama inasagana.
Aliugumia kwa maumivu makali hadi machozi yakawa yanamlenga. Huku akiwa anaugua kwa maumivu alijikuta anapigwa kidogo tu eneo la shingoni kisha akaanza kuishiwa nguvu na macho yakapoteza nuru yake mwisho akawa anaona giza tupu.
………………………………………..
Alizinduka baadae sana akajikuta amekaa mbele ya wanaume wanne waliovalia mavazi kama wa Nigeria huku Nisha akiwa amekaa pembeni akiwa na NICE.

“Karibu bwana Sam”
Sam alikuwa anaangaza angaza macho kama mtu aliyetoka usingizini huku akirudisha kumbukumbu taratibu.
Walipohakikisha kuwa kumbukumbu zake zimekaa sawa wakamletea Karatasi zenye mkataba ambao Sam alitakiwa kusaini.
“Mheshimiwa tunaomba usaini hapo”
Sam alibaki amekodoa macho tu,
“Soma vizuri alafu usaini”
Sam alianza kusoma ule mkataba wote kisha akashusha pumzi nzito, alichukua zile karatasi kwa lengo la kuzirudisha lakini alivyommwangalia mwanae Nice akachukua kalamu na kusaini ule mkataba.

Alipomaliza kusaini tu akasikia makofi yakipigwa kuashiria kumpongeza.
“Hongera sana Mr Sam Mda sio mrefu utakuwa RPC kwenye mkoa tunaokuhitaji”
Sam alishtuka baada ya kusikia vile akijiuliza hawa watu wana uwezo gani wa kuamua mambo yanayohusu jeshi la Polisi.
“Unajua Bwana Sam ulikuwa unapaswa kujiuliza siku nyingi kuhusu ofa ulizokuwa unapata za kwenda kufanya mafunzo nje ya nchi huku ukipanda vyeo haraka haraka”
“Enheee” sam alijibu
“Hiyo ni kazi yetu”
…………………………………………………….
Sam, Nisha na NICE walikuwa wako kwenye gari wanarudi nyumbani. Ndani ya akili ya Sam alikuwa anawaza ni jinsi gani atamwambia Verity kuhusu Yule mtoto.
Aligeuza macho yake akamuangalia NICE ambaye alikuwa amelala usingizi fofofo kisha akaendelea kuendesha Gari.

Walifikia Nyumbani kwa Nisha akamuacha NICE pale kisha akarudi nyumbani kwake huku kichwa chake kikiwa na mawazo mengi sana.

Akiwa kwenye mawazo simu yake iliita.

“Habari ndugu Sam”
“Salama habari yako”
“Nzuri tu naomba kuonana na wewe hapa ofisi za NBC mjini kati”
Sam aliwasha gari haraka haraka na kuelekea kule alikoitwa na kukutana na Yule aliyempigia simu ambaye alikuwa ndie meneja wa ile benki.
“Tunaomba usaini kuingiziwa kiasi cha hii fedha kwenye akaunti yako”
Sam alishangaa kwani kiasi kile kilikuwa kikubwa sana na hakujua ni kwa ajili ya nini……

Katika akili ya Verity hakutaka kuwaza tena kuhusu mapenzi, alichotaka yeye ni kumlea mwanae pamoja na kuendeleza miradi yake. Kwake suala la mapenzi hakulifikiria kwani aliamini mapenzi ndiyo yaliyomfikisha hapo alipo, maradhi aliyo nayo pamoja na kuvunjika kwa ndoa yake aliamini yote ni kwasababu ya kuendekeza mapenzi. Hakutaka tena mapenzi yawe sehemu katika maisha yake yaliyobaki.

Katika kulisimamia hili aliamua kujiweka bize sana na kazi zake za ofisini pamoja na miradi mbali mbali, swala la starehe aliliweka kando akawa ni mtu wa sala kila wakati.
Pamoja na hayo maamuzi yake lakini kupendeza kwake na muonekano alioupata akiwa kama binti ambaye hajawahi hata kuzaa mbele ya macho ya watu ikawa ni mtihani. Wanaume wengi walimtaka sana kimapenzi.

Kuna wakati aliona kero na kutamani hata kutotoka nje ili asikutane na wanaume wasumbufu lakini isingewezekana, kazi na miradi yake ilikuwa ni lazima atoke nje akaisimamie.
Kwakuwa alikuwa na oda ya kupeleka kuku wa Nyama kwenye mahoteli mengi akawa anakutana na aina tofauti ya watu wakiwemo wanaume wakwere.
Siku moja akiwa kwenye kazi zake akiwa anatoka kuonana na mteja wake ambaye alikuwa anamdai fedha hapo hapo akakutana na mteja mwingine.
“Samahani dada yangu”
“Bila samahani”
“Nadhai wewe unasambaza kuku wa Nyama kwa Oda?”
“Ndio Kaka, vipi unataka unipe tenda?” Verity aliuliza hivyo huku akiondoa kunyanzi zilizokuwa usoni kwani alipokuwa anaitwa na wanaume huwa anajiuliza mara mbili mbili kuwa kuna kati ya kutongozwa ama biashara.
“Sasa naomba tuonane Kesho ili tuongee vizuri”
“Oooh Kaka yangu mambo mazuri kama hayo yasisubiri kesho, kama ni kazi naomba tuongee leoleo nikikuacha hapa unaweza ukaghairi, ”
Yule mwanaume alipomuona Verity anavyoongea kwa unyenyekevu ukichanganya na muonekano wake akajikuta ameduwaa huku akikubaliana nae kufanya maongezi siku hiyo hiyo.
“Basi tutafute sehemu nzuri tukakae”
“Sawa haina shida”
Kwakuwa Yule Bwana alikuja na Gari ilibidi amwambie Verity waingie kwenye gari yake alafu yeye Verity apaki pale ataichukua akirudi baada ya maongezi. Safari ilianza huku Yule bwana akiwa ndie mwendeshaji kisha kimya kidogo kikatawala ndani ya gari.
“Ila sijakufahamu jina, by the way mimi naitwa Verity”
“Oh mimi naitwa Mr Sanga”
Hatimaye walishuka kwenye hoteli moja ambayo Verity aliijua fika kuwa inamilikiwa na aliyekuwa mume wake yaani Gwakisa.

Walitafuta sehemu nzuri ya kukaa kisha maongezi yao yakaanza.

“Unajua dada yangu mimi nina tenda ya kusambaza KUKU wa nyama kwenye Kambi ya Jeshi JKT hapa mjini Ila nimepata nyingine Kule chuo cha askari magereza ”
“Oh honngera sana, tenda kubwa sana hizo”
“Nikweli ila kwasasa nimezidiwa mwenyewe sitaweza na ninaogopa kuwaangusha watu walioniamini lakini pia sittaki waone sina uwezo wa kuhudumia”
“Enhee”
“Naomba kama una uwezo tuunganishe nguvu”
Kwa Verity hii ikawa habari nzuri sana, japo idadi ya kuku waliokuwa wanahitajika ni kubwa mno kwani ilikuwa kwa wiki mara tatu wanachuo wa magereza wanakula Kuku hivyo kuku zaidi ya elfu moja wanatakiwa mara tatu kwa wiki.
Yaani hapo kila mmoja anatakiwa apeleke idadi ya kuku wasiopungua 1500 kwa wiki. Verity aliifurahia tenda hii lakini ilimuumiza kichwa kwani alitakiwa kupanua sana mradi wake angalau awe na kuku wa kufuga wasiopungua elfu kumi.
Hapo hapo wazo la kufungua mabanda zaidi likachipuka huku akifikiri kuajiri watu wengi zaidi. Waliandikishana mkataba pale kila mmoja akabaki na nakala kisha wakakumbatiana ishara ya kufurahia makubaliano.
Wakati wakiwa wanakumbatiana Gwakisa nae alikuwa anaingia pale hotelini, kabla hajaketi alipigwa na butwaa kuona mwanadada aliyevaa gauni fupi jeusi anakumbatina na mwanaume huku kigauni kikipanda kidogo na kuacha sehemu za nyuma ya miguu kuwa wazi kidogo na za kuvutia sababu ya kunyanyua mikono.

Gwakisa alibaki ametumbua macho akisubiri mwanamke huyo ageuke ili amjue ni nani kwani alikuwa amemchanganya akili.
Alijikuta mdomo wake ukiwa wazi baada ya kuonana uso kwa uso na Verity, Verity nae alishangaa lakini hakutaka kuendeleza mshangao akampungia Gwakisa mkono na kuondoka zake huku Gwakisa akizidi kuwakodolea macho tu!
………………………………………
Milioni mia mbili na hamsini zilikuwa zimeingia kwenye akaunti ya Sam, alishangaa sana lakini hakuna mtu hapendi pesa, Sam nae alizifurahia.
Alipomaliza kila kitu aliondoka zake, alipoingia kwenye gari alipigiwa simu, aliichukua simu na kuangalia ile namba hakuijua ila akapokea.
“Mheshimiwa kiasi cha fedha umekiona?”
“Ndio nimekiona”
“Sawa, sasa hiyo ni nje ya mkataba tumeamua upate ya kutumia kidogo”
“Anhaa…!”
“Ndio hivyo, alafu siku sio nyingi ile nafasi ya cheo chako kupanda itatangazwa”
“Sawa”
“Kumbuka kuzingatia mkataba na nakutakia kazi njema”
Kila sam alipokuwa anakumbuka mkataba akili yake ilikuwa inaumia mno… shauku yake ilikuwa ni kulitumikia jeshi la polisi kwa uaminifu mkubwa sasa leo anatakiwa awe sehemu ya uhalifu! Hii ilikuwa inamuumiza sana kichwa.

Katika kipindi ambacho alikuwa anapanda vyeo mfululizo alikuwa anajikuta kuwa na uzalendo wa kuitumikia nchi kwa moyo mmoja kama shukrani kwa upendeleo alio kuwa anaupata lakini kumbe hata waliokuwa wanaratibu mipango yote ya Kozi mbalimbali na vyeo vyake ni hao watu ili wamtumie!
Kwa upande mmoja alikosa amani lakini kwa upande mwingine kila alipokuwa anazifikiria fedha moyo wake ulikuwa unapata nafuu flani japo sio ya kudumu.
…………………………..
Kila siku zilipokuwa zinasogea watoto wake walikuwa wanakua na kuchangamka huku wakizidi kuonekana kufanana nae sana.
Mtoto aliyezaa na Nisha japo alikuwa wa kiume lakini alionekana kuwa mzuri wa sura mno, labda kwa sababu mama yake ni chotara.
Sam alitamani awaunganishe watoto wake wafahamiane ila kimbembe kilikuwa kwa mkewe, imani yake ni kwamba angevuruga ndoa yake na Rafiki kitu ambacho hakutaka kitokee kamwe.

Alichoamua ni kuendelea kutunza ile siri tu,
Akiwa njiani kuelekea kwa Nisha mawazo mengine ya jinsi ya kumwambia Verity kuhusu mtoto wake yaliendelea kukiumiza kichwa chake.
Alijiuliza atamuingia Nisha kwa njia gani, je? Atamuamini kuwa hakuhusika kwenye kumteka mtoto wake? Hapo aliumia sana,
Hata hivyo tayari alikuwa ameshafika nyumbani kwa Nisha na kupokelewa na Msichana wa kazi ambaye alikuwa na Nice wamekaa sebuleni. 
“Dadiiiiiii” Sam aliitwa na mwanae.
Alimdaka na kumkumbatia na hapo hapo Nisha akatokea na kumkaribisha ndani chumbani. Huko waliongea mengi kuhusu namna ya kumwambia Verity kuhusu kupatikana kwa mtoto.
Walipokubaliana mwishowe wakaamua kumpigia Verity Simu ili waonane sehemu, Verity nae japokuwa alikuwa na mambo yake mengi lakini alimheshimu sana Sam na kukubali kuonana nae.
Safari ya kwenda kuonana na Verity ilikamilika huku kwenye gari wakiwa wamekaa Sam, nisha na Nice.
Walipofika walitafuta sehemu nzuri wakakaa nje ikiwa ni nje kidogo ya mji kisha wakamjulisha Verity ni sehemu gani wamekaa.

Verity nae alimaliza mambo yake haraka haraka kisha akavaa vizuri na kujiangalia kioo akajiona amependeza kisha akabeba poci yake ili aondoke.
Mara zote Verity alipokuwa anaitwa na mtu yeyote hususani wa Kiume hali inakuwa tofauti mtu huyo anapokuwa ni Sam. Haelewi hata siku moja kwamba kwanini inakuwa hivyo, sio kwamba ana tama ya kingono na Shemeji yake huyo kwa mara nyingine lakini hamchukulii kama wanaume wengine.

Katika maisha yake yote aliwahi kupenda mara moja tu na mwanaume aliyempenda sio mwingine bali ni Sam. Mpaka wakati huo hakupenda awe na hadhi mbovu mbele ya sam na ndio maana alikuwa akijua kuwa anaenda kuonana na Sam alikuwa anajitahidi kupendeza.

Alitoka nje ukumbini akachukua gari yake na safari ya kuelekea kule aliko Sam ikaanza, ndani ya akili yake alikuwa anawaza sana kuwa ni jambo gani hilo ambalo sam amemuitia. Shauku ilikuwa kubwa sana na ndio maana aliamua kuacha vyote aende.

Muda wote Sam nae kiroho kilikuwa kinamdunda akimfikiria Verity na hali ambayo atajisikia baada ya hapo.
Kila wakati alikuwa anamuangalia Nice ambaye alikuwa yuko sawa tu wala hana presha yeyote kwani alikuwa hajui anaenda kukutanishwa na nani.

Ghafla mlangoni Sam alipigwa na butwaa alipotupa macho yake kule, alimuona mwanamke mrembo sana ambaye amependeza kweli kweli. Hakuwa mwingine bali ni Verity. Urembo wake ulikuwa umeongezeka mno hadi Sam akakosa namna na kubaki amesahau ishu ya mtoto na kuganda anauchunguza urembo wa shemeji yake.

Taratibu Verity alikuwa ansogea pale Sam na Nisha walipokaa ila macho yake yakawa yanamkagua mmoja mmoja kati ya NISHA ,SAM na Mtoto aliyekuwa anamuona pale.

Verity hakuweza kukaa, mapigo ya moyo wake yalikuwa yanaenda mbio sana akabaki anamuangalia mtoto aliye mbele yake. Siku zote damu ni nzito kuliko maji, Japokuwa Nice alikuwa amebadilika sana lakini kuna kitu kilikuwa kinakita kwenye moyo wa Verity.
“Karibu ukae Shemeji”
Sam alimkaribisha Verity huku akiwa amesimama na kumshika mabegani, Verity alikaa lakini macho yake hayakubanduka kwa Nice na wakati huo huo akwa anawaangalia Sam na Nisha kama vile kuna kitu anafananisha au anasubiri kuambiwa huku akitamani kuuliza lakini mdomo unakwama……………..

Akili ya Verity haikukaa sawa pamoja na kukaribishwa aketi lakini alikuwa kama mtu maruweruwe, alikaa huku bado anaendelea kumtazama Sam Nisha pamoja na mtoto aliyekuwa kakaa mbele yake.

Mhudumu aliyekuwa amekaa kando alimuona Mgeni aliyekuja na kukaa pamoja na Akina Sam hivyo akaenda ili kumsikiliza.
“Samahani dada nikuhudumie nini”
“Nice” Verity alimjibu Yule muhudumu kwa kutaja jina la Nice, hii yote ni kwasababu mtoto aliyekuwa mbele yake alimkumbusha sana kuhusu binti yake aliyepotea siku nyingi na hivyo akili yake yote ilikuwa imemjaa Nice.
“Umesemaje dada?” Yule muhudumu ilibidi aulize.

Verity hakuweza tena kuagiza kwani baada ya kutamka jina Nice Yule mtoto aliyekuwa mbele yake aliitikia.
Taratibu Verity alikuwa anashusha pumzi na kuzipandisha kwa kasi, mapigo yake ya moyo yalikuwa juu sana.
Nisha na Sam walilijua hili kiasi kwamba hata wenyewe walianza kuogopa.
Wakati huo NICE nae baada ya kusikia jina lake akawa anaendelea kumuangalia Yule mama asijue kuwa ni mama yake.
“Mletee maji makubwa” ou akijitahidi sana kutunza mot ilibidi Sam aagize kinywaji kwa niaba ya Verity.

Mhudumu alienda kuleta yale maji na kumpa Verity ambaye aliyafakamia kwani alihisi roho yake inatangatanga.
Baada ya kunywa kama glasi mbili hivi alimtazama Sam na kumwabia…
“Shemeji nimekuja kama ulivyonitaka nije, naomba uniambie ulichoniitia”
“mbona una haraka sana shemeji, kwanza hongera sana naona unazidi kupendeza tu”
“Asante wala usijali, ila nina haraka kidogo kuna mambo nayafwatilia”
“Sawa shemeji utaondoka tu ila nilidhani kwakuwa huu ni wito wangu basi uupokee kwa mikono miwili wala usiwe na haraka sana”
“Sawa nimekubali lakini ni vizuri sasa tukija kwenye mada yenyewe.”
Sam alivuta pumzi ndefu kisha akaamua kuweka mambo wazi…
“Shemeji kwanza nimeamini kuwa damu ni nzito kuliko maji kwa hiki nilichokiona hapa”
“Unamaanisha nini?”
“Shemeji huyu mtoto ulivyomuangalia nimeona kabisa umebadilika moja kwa moja”
“Enhee nakusikiliza”
“Kwahiyo nimeamini kuwa kweli damu ni nzito kuliko maji”
“Shemeji unajua sikuelewi kabisa”
“Nice”
“Yes Dady”
“Huyu ni mama yako”
“Sam umesemaje?” Verity aliuliza huku kasimama wima
“Mungu wangu!” Verity alitokwa na machozi yaliyomwagika kama mvua, bila kuchelewa alimnynyua Nice na kumuweka kifuani kwake huku anamlowanisha na machozi.

“Oooh Sam kwanini umenifanyia yote haya, kwanini ulimficha mwanangu siku zote hizo, kwanini umenitenga na furaha yangu kwa muda wote huo Sam”
Verity aliongea maneno mengi huku analia machozi yanamwagika kama chemchem!
Sam alikuwa ameinamisha kichwa chini nae machozi yanamtoka, Nisha alikuwa anatazama kwa hisia kwani kama mama nae aliujua uchungu wa mtoto.

“Sam kwanini umenitesa kwa siku nyingi hivyo?”
Verity alizidi kulalama tu.
“Nice mwanangu, huyu shetani alikuwa amekuweka wapi?”
Sam pale alipokuwa roho ilimuuma sana kwani kitendo cha Verity kumpa zile lawama aliona sio sawa kabisa.
Haraka sana aliamka alipokuwa amekaa akamfwata Verity ili afafanue jinsi tukio liilivyokuwa.

“Verity naomba unisikilize shemeji!”
“Siwezi kukusikiliza Shetani mkubwa kama wewe, na ninakwambia breki ya kwanza kutoka hapa naenda Polisi, lazima dunia ijue wewe ni nani”
Verity baada ya kutamka maneno hayo moja kwa moja aliondoka kwa kasi na kutoka huku amemshikilia mwanae.

Sam alibaki amekodoa macho tu hajui amkimbize amkamate ama abaki pale pale na ndio Verity alikuwa anatokomea mlangoni.

Haraka sana Verity alipanda kwenye gari yake akakaa kwenye siti ya dereva akamuweka Nice siti ya pembeni na kuliwasha gari akitaka kwenda polisi kumripoti Sam.
Baada ya kutekenya funguo gari iliwaka akaliondoa kwa kasi, baada ya mwendo kidogo ili afike Polisi gari yake ilisimamishwa njiani.
Alitaka asisimame lakini kuna gari ilikuja ikaziba njia ikambidi akamate breki na kushusha kioo kwa hasira akitaka atukane wale ewalioziba njia.

Kabla hajasema chochote kuna mtu alishuka kwenye ile gari na kumfwata akamgongea ili afungue mlango.
“WEwe ni nani?”
“Fungua mlango tuongee”
“Sifungui na naomba mtoe gari yenu nipite kabla sijawaita Polisi”
“Sisi ni polisi, angalia hiki” Verity alionyeshwa kitambulisho ikabidi awe mpole na kufungua mlango wa gari.
Yule jamaa aliingia kwenye gari na kumuamuru asogee kwenye kiti cha dereva kwa kumnyooshea bastola.

Hapo hapo Yule jamaa alikamatia usukani na kuendesha gari kuelekea alipopataka yeye!
……………………………..
“Dada unapaswa ushukuru kwa kumpata mwanao, sawa?”
“Sawa”
“Usipoonyesha kushukuru atapotea na hutomuona tena kwenye maisha yako, sawa?”
“Sawa”
“Kuanzia sasa hivi rudi na mwanao nyumbani na usifwatilie chochote, sawaa?”
“Sawa”
“Atakayekuuliza umempata wapi mwambie umeletewa na polisi na Polisi wamekwambia alionekana akirandaranda kituo cha mabasi, sawa?”
“Sawa!”

Baada ya masaa kadhaa Verity na mwanae NICE walifungwa tena vitambaa vyeusi usoni na gari kuendeshwa kutoka sehemu waliyokuwa wamepelekwa!
Baada ya mwendo mrefu walifunguliwa vile vitambaa na kuona wakiwa tayari wako katikati ya mji wa Mbeya!
Gari pia iliendeshwa na hatimaye wakawa wamefika nyumbani kabisa kisha gari ikaingizwa getini, walishuka wote na kuingia ndani huku Yule jamaa aliyekuja nao akiambatana nao tena kuingia ndani.

Walipofika ndani Yule jamaa alifungua friji na kutoa galoni ya juisi na kujimiminia huku akiwa kakaa kwenye kochi kwa kujiachia.
“Shemeji nyumba yako nzuri sana”
“Asante sana”
“Samahani nataka nikaone chumba atakachokuwa analala NICE?”
“Haaa ili iweje”
“Nataka nione kama inaendana na ile ambayo alikuwa analala kule”
“Kama ukiona haziendani?”
“Wewe nipeleke tu”
Verity alikuwa hana ubishi tena akanyanyuka na Yule jamaa hadi chumbani kwake.
“Nitakuwa nalala nae hapa”
“Ohh sawa japo sio pazuri kama kule alipokuwa analala ila kidogo afadhali”
Verity hakujibu chochote alibaki tu amemuangalia Yule jamaa.
“Sasa chukua hizi pesa zikusaidie kuboresha matumizi yake na malazi yake”
Verity alitaka asipokee lakini zikawekwa kitandani na Yule jamaa akaaga na kuondoka zake.
Huku nyuma Verity alizihesabu na kugundua kuwa zilikuwa ni dola elfu kumi sawa na milioni kama ishirini za kitanzania.
……………………………….
Tangazo lilikuwa linatolewa na IGP likionesha mabadiliko ya makamanda wa Polisi wa Mikoa na wilaya.
Baadhi yao walikuwa wamestaafu na hivyo nyadhifa zao kuzibwa na watu wengine, wapo waliokuwa wanapandishwa vyeo na wengine kuhamishwa vituo vya kazi.

Jina la Sam lilikuwa kwenye orodha baada ya kutajwa kuwa RPC wa mkoa wa Tabora. Alipolisikia jina lake moyo ulimdunda kwa kasi sana.
“Ina maana wale jamaa wana nguvu kiasi hiki?”

Katika maisha kuna wakti wa kupanda milima na kupita kwenye mabonde, kwa Rafiki huu ulikuwa wakati wa kupita kwenye mabonde!
Maisha yalikuwa matam sana kwake, mapenzi kutoka kwa mkewe yalikuwa makubwa kuliko wakati wowote, alijiona anaishi kwenye dunia anayoimiliki yeye pekee. Hakuhitaji kitu kingine zaidi yay eye na mume wake.
Mara nyingi tu walikuwa wakitoka kwenda kufurahia maisha huku wakiwa wameambatana na mtoto wao ambaye sasa alikuwa anatembea, wakati mwingine hata wifi yake “glory” alikuwa anaambatana nao huku wakiwa ni wa vicheko na matabasam kila wakati.
……………….
Sam alikuwa ametoka kuoga amejifunga taulo jeupe anajifuta maji kidogo yaliyobaki mwilini ili apake losheni alale ajipumzishe kidogo.
Kabla ya yote alishtuka taulo likivuliwa na kutupwa kitandani, alipogeuka alikutana na mdomo wa Rafiki uliokuwa unamfwata kinywani.
“Baby…” aliita Sam
“I need It…” hakuna kilichoendelea isipokuwa Sam na Rafiki walikuwa wanasema kwa vitendo, midomo yao ilikuwa imegusana wananyonyana ndimi huku wameshikana viunoni.

Taratibu mikono ikawa inatembea taratibu huku ikipanda na kushuka kwenye mgongo wa kila mmoja wao na kuzidisha miguno.

Mikono ya Sam ilihamia chini zaidi kwenye makalio ya Rafiki na kuyaminyaminya kila wakati kitendo kilichomfanya Rafiki azidi kutoa miguno.
Rafiki nae sasa alikuwa anakiminya kifua cha sam kilichokuwa kimajaa vizuri huku akiendelea kupapasa mgongoni hadi pale alipohisi kitu kigumu kinamgusa maeneo ya kitovuni akajua mshale sasa tayari uko kwenye shabaha yake.

Alitanua kidogo miguu yake na kuupitisha mshale wa sam katikati ya mapaja yake na kuuacha humo huku akiuhisi unavyojitutumua kila dakika zinavyosogea.

Mashambulizi yalikuwa makali kwani sasa sam alikuwa anacheza na kifua cha Rafiki na mkono mwingine unaelekea ikulu, alipofika nje ya ikulu alipapasa kuta zake kwanza kisha akaandaa kidole kimoja na kukipitisha taratibu kuingia ndani kisha ….Ooooshhhh … rafiki alitoa mguno wa raha.

Baada ya dakika kadhaa ikulu ya Rafiki ilikuwa inatiririsha maji maji ya moto kuonyesha kuwa imezidiwa, Sam hakulaza dam, alimsukuma mkewe taratibu huku wakiwa wamekumbatiana hadi wakafika kwenye ukingo wa kitanda.
Alipofika hapo aliinua mguu mmoja wa Rafiki na kuupandisha kwenye tendegu la Kitanda, alimfwata tena mdomoni na kumnyonya mdomo Kisha akabonyea kidogo chini na kupitisha mshale wake kwenye ikulu ya Rafiki ambapo ulipita taratibu hadi ndani.

Kilichoendelea hapo nadhani mnakijua, Rafiki alikuwa ananyonga kiuno kwa Raha za ajabu huku Sam nae akipeleka mapambano kwa kasi ya ajabu.

Baada ya dakika kadhaa alimuinamisha kama anachuma mchicha kisha yeye mwenyewe akakanyaga kwenye kitanda na kuchomeka naniliu yake hadi akagusa kitu kigumu huko ndani ambacho kilikuwa kama kinamfinya kwa ndani. “Taratibu baby” Mkewe alisema kwa sauti ya kudeka Sam akajua mtarimbo wake umefika mbali sana.

Taratibu alifanya mashambulizi yaliyomfanya Rafiki aweweseke sana na kujua kuwa yuko kwenye hatua za Mwisho hivyo akamuinua kidogo ili asije akaanguka na kumshikilia kifuani huku akiendelea kupekesha na kisha akamsindikiza vizuri hadi kileleni.
Kwa kuwa yeye alikuwa bado kufika alimlaza mkewe kitandani na kumuelekezea tumbo juu kisha nayeye akaja kwa juu yake na kuendeleza libeneke.

Baada ya dakika kama ishirini hivi walikuwa wamelala usingizi wa uchovu hadi pale Sam alipoamka na kunyimwagia tena maji kisha akaondoka kuelekea kwenye mizunguko yake.
………………………….
Verity alikuwa na furaha mno kukutana tena na mwanae aliyejua kafariki, kila wakati alikuwa nae hata kama anaenda kwenye shughuli zake binafsi.

Alikuwa na wasiwasi huenda waliomteka watamrudia tena, kwakuwa alikuwa ameshawasiliana na Baba yake na Mama yake na kuwaeleza ambapo wote walistaajabu sana hadi wakapanga kutoa shukrani kanisani na kufanya sherehe siku hiyo aliamua kumsapraizi dada yake.

Akiwa kwenye gari yake aina ya Rav4 Nyeupe alikuwa anaelekea nyumbani kwa Rafiki. Walipofika alipiga honi geti likafunguliwa na kuingia ndani kisha akapaki gari lake.

Alishuka kwenye gari na kumshika mwanae mkono kisha wakaingia kule ndani alipo dada yake yaani Rafiki.

Rafiki kwa wakati huo alikuwa chumbani lakini aliposikia kuwa kuna wageni wamefika ilibidi atoke huko sebuleni ili awakaribishe.

Mtu wa kwanza kumuona katika wale wageni ni mtoto wa kike Ambaye alikuwa na miaka takribani mitano hivi lakini muonekano wake ulimchanganya sana.

Alikuwa anafanana mno na mtoto wake wa kumzaa, alijiuliza kwa haraka haraka lakini wakati anaendelea kujiuliza tayari alikuwa ameshafika sebuleni vizuri na kumuona mdogo wake Verity!

“Heee kumbe wewe?”
“Ni mimi kwani wewe ulijua nani?”
“Achana nayo karibu naona umenisapraiz”
“Ah hapa kwangu bwana sio kila siku nikija lazima nikwambie nakuja”
“Yani huyu mtoto amenishtua, nimemuangalia yani anafanana na mwanangu kama mapacha, ni nani kwani huyu?”
“Hujawahi kumuona sehemu yeyote?”
Rafiki alitulia kwa sekunde kadhaa akimtafakari Yule mtoto huku akijiuliza aliwahi kumuona wapi.
“Hebu njoo mtoto unisalimie” rafiki alimuita Yule mtoto.
“Shkamoo”
Rafiki badala ya kuitikia alishtuka zaidi kwani dimpoz alizokuwa nazo Yule mtoto ndizo alizokuwa nazo mwanae wa kumzaa.

“Unaitwa nani mtoto mzuri”
“Nice”
“Mungu wangu, Verity huyu ni NICE wako?”
“Ndio huyoo dada. Yani mungu ni Mkubwa!”
“Yalaaaaa jamani Sam anajua kufanana na watoto wake jamaniiiii!”
Kauli ile ilimshtua Verity mno kwani hata siku mooja hawajawahi kukubaliana na Rafiki kuwa kweli Yule mtoto ni wa Sam!

Wakati huohuo mtoto wa Rafiki nae alifika akiwa anatokea usingizini, walipokuwa wawili pale ndio ilikuwa kama photocopy. Wanafanana kama vile watoto wa Baba na Mama mmoja!

Taratibu furaha yote aliyokuwa nayo Rafiki ikapotea ghafla, alijikuta akiumia sana rohoni na kujenga chuki ambayo hakuwahi kuwa nayo kabla.

Kwenye akili yake alijisemea kuwa ni heri huyo mtoto asingeonekana kuliko hivi ambavyo amerudi na kukumbusha kidonda chake.

“Bora angekufa tu”
Alijisemea Rafiki moyoni.
Verity ndani ya akili yake alishaisoma akili ya dada yake na kujua kuwa amekosa uchangamfu, alijitahidi kumuongelesha lakini alikuwa anapata majibu ambayo hayakuwa yale ya kuvutia.

Hata tabasamu aliloonyeshwa lilikuwa la walakini, hapo ndipo alijua kuwa tayari hali imekuwa sio ile aliyoitegemea. 
Pamoja na kuendelea kukaa hapo lakini alikuwa anavuta muda tu ili aondoke zake maana alishajua kuwa amevuruga furaha ya mtu.

Baada ya kama nusu saa hivi aliaga na kuondoka zake lakini tofauti na siku zote siku ya leo hata kusindikizwa hakukuwepo.
Huku nyuma Rafiki alikuwa kwenye maumivu makali sana, chuki ilijengeka kwenye moyo wake na roho mbaya ya kutoa roho ikawa imemuingia.

“Hivi huyu mtoto si ataninyima amani kwa siku zote huyu, hivi kweli hii siri ikivuja si jamii itakuwa inanidharau sana, yani nimeolewa na mtu aliyezaa na mdogo wangu..”
“Tena itaonekana mimi ndie niliingilia mapenzi yao kwasababu mtoto wao ni mkubwa kuliko wangu … ”
“Sikubali lazima nimuue huyu mtoto, siwezi kumuacha wala kumuua Sam ni mme wangu na ninampenda sana, wakufa ni huyu shetani aliyezaliwa kuvurugua watu furaha zao. ”
Hicho ndicho moyo wa Rafiki ulikuwa unawaza kwa wakati huo, Roho yake ilishakuwa ile ya Israel mtoa roho!

Hali ile Aliyoikuta Verity kule kwa dada yake ilimuumiza kichwa sana akaona lazima amshirikishe Sam ili wajue cha kufanya.

Alipofika tu nyumbani alimpigia Sam simu ambaye alikubali kuwa atafika hapo nyumbani ndani ya muda mfupi,
Akiwa anamsubiri aliamua aoge kabisa kwani alikuwa anahisi joto, wakati anaoga Sam nae alifika na kugonga mlango kisha akafunguliwa na Housegirl.
Alikaribishwa akakaa kisha akamchukua Nice na kumpakata huku akimpa Biskuti za Chokoleti alizomnunulia huko Supermarket.
Kwa mbali alimuona Verity anatokea Bafuni anapita amefunga taulo anaelekea chumbani, hali ya mtetemo aliyoiona ilimkumbusha enzi hizo alizokuwa anakula utamu wa Verity.
“Hakika huyu binti alikuwa mtamu sana” alijisemea kimoyomoyo kwani ukweli kuwa alikuwa hajawahi kuinjoi ngono kama aliyokuwa anaifanya na Verity!
Alirudisha moyo wake nyuma na kuzuia hisia za kijinga akimsubiria Verity atoke ili wazungumze. Hatimaye Verity alitoka akiwa amevaa suruali aina ya track na blauz nyeupe. Hakika Verity alikuwa ameumbika sana kwani pamoja na kuvaa vile lakini umbo lake lilionekana kuwa na mvuto ule ule.
Alikuja akaa pembeni Ya Sam kisha Nice akaondoka zake. Verity alimsimulia Sam kila kitu alichokiona kule kwa Rafiki na kumwambia kuwa anahisi dada yake anajua uhalisia wa ishu ya NICE lakini pia anaonekana hana amani nae!
Wakiwa wanaongea huku wamekaa karibu karibu kule nje alikuja Gwakisa na moja kwa moja akaingia ndani, alipofika mlangoni aliona watu wamekaa kwenye kochi moja akawatambua kuwa ni Sam na Verity japo walikuwa wamemgeuzia kisogo.

Roho ilimuuma zaidi alipomuona Nice ambaye alikuwa amefanana na Sam kila kitu. Akili yake ilimtuma kuwa huenda Sam amerudisha mahusiano tena na Verity.
“Leo lazima nipambane nae” Alijisemea Gwakisa huku akiwafwata pale walipokaa!


Katika wanawake waliokuwa wanatikisa pale chuoni alikuwepo Glory pia, Glory alikuwa anatikisa kwa urembo na Uwezo wake darasani.
Lakini pamoja na hayo uhusiano wake wa kindugu na Sam ambaye ametangazwa kuwa RPC ulimpa umaarufu kuliko kawaida.
Wanaume wengi walikuwa wanamtaka na hata wajadhiri chuoni pia, kwa Glory halikuwa swala la ajabu kwake, aliona ni wajibu wake kama mwanamke kutongozwa na kuambiwa anapendwa kwani aliamini kuwa kila mwanamke alikuwa anaambiwa maneno hayo hata wale wabaya wa sura na muonekano.

Ambacho yeye alikuwa hajui ni kwamba katika uhalisia ni wazi kuwa alikuwa ni mrembo haswa na wengi wa watu walikuwa wanamhusudu, wasichana wengine walikuwa wanamuonea wivu kufikia wakati wa kumchukia pasi na sababu yeyote.

Siku moja akiwa anapita kwenye ubao wa matangazo aliona jina na namba yake ya usajili kisha ikafuatiwa na tangazo kwamba anahitajika kwenye ofisi ya idara ya somo la uchumi.

Alishtuka kwani hata siku moja hajawahi kupata wito kama huo, kwa hofu aliyokuwa nayo hapo hapo aliamua kwenda moja kwa moja katika idara ya hilo somo.

Alipofika aligonga mlango akaruhusiwa kuingia mpaka ndani. Alipofika pale alikutana na wahadhiri wanne wameketi huku kila mmoja anafanya shughuli zake,
Aliwatazama wote na kisha akachagua kwenda kwa mmoja ambaye ndie alikuwa anadili na lile somo la uchumi.

“Shkamoo”
“Mambo Glory” Shkamoo yake haikuitikiwa
“Safi”
“Karibu ukae”
Glory alikaa kwenye kiti kilichokuwa mbele yake kisha akawa anasikiliza kwamba ataambiwa nini lakini ajabu ni kwamba zilikatika dakika mbili nzima na hakuweza kuongeleshwa chochote ikabidi aanze yeye.
“Samahani nimepita kwenye ubao wa matangazo nikaona jina langu kuwa nahitajika kwenye ofisi yako”
“Sawa nimekuona ngoja kwanza niweke mambo yangu sawa”
Baada ya kama dakika tano hivi Yule mhadhiri alitoa miwani yake na kumuangalia Glory kwa umakini mkubw akiasi hata Glory akashtuka.

“Hivi Glory na urembo wako wote huo ndio umeamua uchague kufeli somo langu tu”
“Kivipi Doctor?”
“Naona hapa maksi zako haziruhusu kabisa kuingia kwenye mtihani wa mmwisho kwenye kozi yangu”
“Haa imekuwaje mbona testi zangu mbili nimefanya vizuri?”
“Hizi mbili za mwisho umefeli kabisa kwahiyo nikigawanya maksi zako hazifikii inayotakiwa na mbaya zaidi huu mwaka wa mwisho kwahiyo itabidi urudie”
Kwa maelezo hayo ilibidi Glory anywee na kuinamisha kichwa chini,
“Unajua Glory kama isingekuwa hili somo ulivyofeli yani wewe ungeongoza chuo kizima kwa kufaulu na nakwambia ungefika mbali sana”
“Sasa nitafanyaje Doctor?”
“Kwakweli nashindwa kuelewa kwanini umefanya hivi”
“Dokta naomba unisaidie”
“Unadhani mimi ntakusaidiaje? Unajua haya mambo ya kusaidiana yapo lakini ni mambo ya siri sana na annayesaidiwa lazima ajitambue”
“Mimi najitambua Dokta”
“Mh sina uhakika na hilo, ila hebu andika namba yako hapa”
Glory alichukua kile kinoti book alichopewa akaandika namba zake zote tatu, ya Tigo, Vodacom na Halotel kisha akaondoka zake!
…………………………………….
Huku akiwa kanuna Gwakisa alienda kukaa karibu kabisa na pale walipokaa Verity na Sam, hakukuwa na salam wala neno lolote isipokuwa alikaa tu pembeni yao na kuminyaminya simu yake.

Sam na Verity walibaki wameshangaa na hata maongezi yao wakakatisha, kwa hali aliyokuwa nayo Gwakisa mbele yao iliwatia hofu kwani alikuwa amevimba kwa hasira.

Kwenye akili ya Sam alifikiria kuondoka zake kwani alikuwa hataki matatizo na mtu ukizingatia kuwa yeye sasa ni Mtu na cheo kikubwa na heshima zake.
“Mama Nice mimi naomba niondoke tutaongea wakati mwingine” Sam aliaga.
“No usiondoke mpaka hili swala likae sawa” Verity nae alijibu.
“Wala usijali naona umepata mgeni ngoja mimi niwaache”
“Please Sam mimi ndie nimekuita hapa hili swala linatakiwa lipate ufumbuzi kwanza”
Wakati huo wote Gwakisa alikuwa kaka tu anaendelea kuminya minya simu yake.

“Basi naomba nikajisaidie narudi”
“Sawa naomba niingie toilet kidogo”

Lengo la sam ilikuwa sio kwenda toilet isipokuwa alitaka atoe nafasi kwa Gwakisa na Mtalaka wake huenda wana mambo yao muhimu.
Huku nyuma Verity alikuwa na hasira sana mbele ya Gwakisa kwa kuingilia maongezi yake muhimu lakini hata hivyo hakutaka kuionyesha hasira yake.

“Vipi baba? Mbona hata salam hakuna?”
“Kwani si mngenianza nyie”
“Sawa mzima lakini ”
“Kama unavyoniona, kwa hiyo huyo bwana wako ndio hataki kunisalimia?”
“Bwana wa nani?”
“Si bwanako unajifanya hujui”
“Haya je wewe umemsalimia? ”
“Kwahiyo umekiri kwamba ni bwana wako si ndio, kwahiyo uliniacha ili uwe nae yeye au sio, na mmepeana UKIMWI ili mshirikiane vizuri, sasa namimi leo nataka unipe huo Ukimwi wako”

Katika hali ambayo Verity hakuitarajia Gwakisa aliamka pale alipokuwa amekaa na kumvaa Verity na kuanza kumshikashika kwa nguvu.

Verity alianza kujinasua kwa nguvu lakini hakuwa na uwezo wa kupambana na Gwakisa,
“Niachie Gwakisa”
“Sikuachii”
Gwakisa aliendelea kumpapasa Verity huku akiwa anamshika makalio na sehemu za maziwa, alikuwa anamsukumizia kwenye kochi na hatimaye akafanikiwa na kuwa amemlalia kwa juu.

Kule alipokuwepo Sam alisikia hizo purukushani lakini akawa anasita kwenda. Alichofanya ni kusogea karibu na mlango na kuchungulia kile kinachoendelea kue sebuleni.

Kilichomuuma Sam ni kwamba watoto walikuwemo humo ndani na hivyo wangeona uchafu ambao Gwakisa alikuwa anataka kuufanya pale.

Verity alianza kupiga kelele kwa nguvu baada ya kufikia hatua ya nguo yake kuwa imevuliwa na kubaki na nguo ya ndani tu, tayari Gwakisa alikuwa anakaribia kumbaka Verity kwani nae alishafungua zipu ya suruali yake na kutoa uume wake nje.

“Lazima leo niku…t..mbe na kama huyo bwana wako akija hapa nae namchapa nao”

Gwakisa alikuwa ameshabadilika roho yake na kuwa ya mnyama kabisa, mwili na mapaja ya Verity vilizidi kumvutia na uchu ukampanda mara dufu na kujiapiza kuwa hawezi kumuacha.

Maskini Verity nguo yake iliyokuwa imesalia ilikuwa chini huku amezibwa mdomo. Mtoto wake mkubwa (NICE) alikuwa anasikia yale makelele hivyo akaamua kutoka akamsaidie mama yake lakini alipokaribia pale sebuleni akakutana na Baba yake.

Sam nae hakutaka mwanae aone ule uchafu hivyo akamzuia na kumrudisha ndani kisha akaamua kwenda yeye, alishangaa sana kuona Verity anajitahidi kubana miguu yake huku Gwakisa nae akijitahidi kuipanua ili aingize uume wake….

Sam alimnyanyua Gwakisa kwa kukamata shingo yake na kumgeuzia upande wake, Bila kuchelewa alimpa ngumi nzito iliyotua usawa wa pua na paji la uso.
Gwakisa alipepesuka kisha Sam akamuachia lakini alipotaka kumvaa Sam suruali yake iliyokuwa usawa wa magoti ikamzuia hivyo ikawa ni nafasi nyingine kwa Sam kumvuta na kumpiga kichwa kizito kilichomfanya arudi kinyume nyume ambapo kabla hajafika kwenye kochi ili aliangukie alikutana na kebo ya umeme iliyotua kisogoni kutoka kwa Verity na hapo hapo akazima.
……………………………………………..
Glory alitembea kichwa chini akiwaza mkosi ambao unataka kumfikia katika hatua zake za mwisho kumaliza chuo, alitembea taratibu hata mbele alikuwa hana umakini napo.

“Dada vipi mbona umemiliki njia?”
“Oh samahani Kaka yangu niko mbali kimawazo”
“Haaa Kumbe Glory, Vipi mawazo gani tena rafiki yangu”
“Ah kawaida tu Kaka Charles, mambo mengi”
“Alafu nimeona jina lako Notes board unaitwa kule economics, Kuna nini?”
“Dah yani hicho ndio kinanipa mawazo saivi”
“Twende tukae hapo kantini unielezee vizuri”

Kwakuwa Glory alikuwa anahitaji ushauri ilibidi amfuate Charles ambaye wamekuwa marafiki na mara nyingi walikuwa wakisoma pamoja.
Walisogea kando kidogo kisha wakaketi na kuagiza juisi kisha wakaanzisha mazungumzo yao, Glory alimueleza Charles kila kitu kilichotokea na mpaka alipoitwa na Yule Mhadhiri na yote aliyoambiwa.

“Kama ni yu kwakweli nashindwa hata kumhisi vibaya kwasababu mhadhiri Yule sio kama hawa wengine ambao ningeweza nikasema huenda kuna kitu”
“Unamaanisha nini CHARLE?”
“Namaanisha kuwa wangekuwa hawa wahadhiri wengine wenye kashfa za kutoka na wanafunzi ningesema huenda kuna kitu anataka kwako lakini Yule nashindwa kabisa kumpa kashfa hiyo.”

Baada ya maelezo hayo kutoka kwa Charles Glory aliinamisha kichwa kidogo akiwaza mazingira aliyokutana nayo kutoka kwa Yule Doctor na jinsi alivyomuomba namba ya simu.

“Vipi mbona una mawazo tena?”
“Lakini Charles unajua doctor kaniomba namba ya simu?”
“Haaa Kweli?”
“Ndio”
“Mh basi hakuna mwema rafiki yangu, inawezekana nae ni wale wale”
“Sitaki kuamini hivyo, sitaki kabisa na naomba Mungu anisaidie kwakweli maana mambo hayo namimi tofauti kabisa, siyawezi na siyataki”
“Unajua Glory”
“Enheee”
“Wewe ni msichana mrembo sana, hakuna mwanaume yeyote hapa chuoni hakutaki na hatamani kuwa na wewe, hata mkuu wa chuo nina uhakika lazima anakupenda anajizuia tu”
“Wewe Charles wewe, acha kumsingizia mzee wa watu, kwahiyo hata wewe umo si ndio?”
“Ni vile tu Glory wewe na mimi ni kama mbingu na ardhi, sina hadhi yako lakini endapo ningeweza hakika nisingekuwa na kingine cha kuhitaji hapa duniani, ila sikuwezi!”
“Haaaa Charles, sitaki kuamini kuwa na wewe uko hivyo”
Charles hakusubiri zaidi ya hapo ila alinyanyuka na kuchukua Begi lake kisha kwa macho yaliyokuwa yanalengwa na machozi akamuangalia Glory na kumwambia.

“Kwaheri Glory ila kaa ukijua kuwa wewe ni kama tone la maji jangwani, kila mtu analitaka apone kiu yake. Nakupenda sana ila sitaweza ushindani!”

“we Charles subiri kwanza!”
Charles huku akiwa na macho yenye machozi kwa mbali alisimama akageuka upande aliopo Glory!
“Kuna sehemu Dr Kanji anataka tuonane leo, naomba unisindikize simuamini kabisa Yule mwanaume”
“Ila naogopa Glory, endapo akiniona nawewe atanichukia sana, anaweza akanifanyia kama wewe alafu mimi ni mwanamme sio mwanamke nitajinasuaje?”
“Usijali, hatakuona ila wewe utamuona, naomba unisindikize hakuna mtu mwingine ninayemuamini isipokuwa wewe”
“Sawa utanipigia simu”

Ni kweli kwamba Glory alikuwa hamuamini mtu mwingine pale chuoni kwao kwani wengi walikuwa na kinyongo nae kwasababau walikuwa wanamuonea wivu, sio hivyo tu wengi wao pia walikuwa wamemtongoza na kukataliwa hivyo kumjengea chuki.

Kuna wakati hata alivyokuwa anafaulu sana walianza kumzushia kuwa anatembea na wahadhiri ndio maana wanampa maksi kubwa lakini uvumi huo ukafa kwani uwezo wa Glory ulionekana hata kwenye midahalo na semina mbalimbali ambapo uwezo wake wa kujenga hoja ulikuwa na tofauti kubwa kwa kulinganishwa na wenzake.

Mara baada tu ya Kuachana na Charles simu yake iliita akaitoa kwenye wallet yake na kukutana na namba ya dr Kanji ikimpigia.
“Hellow Doctor”
“Hellow Glory”
“Nakusikia Doctor”
“Nakusikia pia, nimekupigia kukujulisha kwamba nimefunga ofisi kwa ajili ya kujiandaa kuonana na wewe”
“Heee” Glory alijibu kwa mshangao!

“Mbona umeshangaa Glory?”
“Kwani kuonana na mimi mpaka ujiandae?”
“Ndio Gory, wewe ni wa tofauti”
“Sasa kama ni hivyo naomba tuahirishe Doctor, nahisi hofu moyoni mwangu”
“Usiwe na Hofu, huna haja ya kuogopa”
“Sawa doctor ila sitachelewa kwasababu Kaka yangu ananihitaji nyumbani”
“Usiwe na wasiwasi”
……………………………………………

Akili ya Rafiki ilikuwa imechafukwa vibaya, alichokuwa anawaza yeye ni namna ya kumtoa mtoto NICE kwenye macho yake nay a watu wengine.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Alijikuta akikosa amani juu ya uwepo wa Yule mtoto, aliona amekuwa kikwazo kwenye furaha yake. Kabla hajawaza sana akamkumbuka mme wake kuwa toka asubuhi hawajaonana, aliamua kuchukua simu yake na kumpigia.

Alipiga mara ya kwanza ikaita bila kupokelewa mpaka ikakatika, akaamua kujaribu tena ndipo ikapokelewa.

Jisni Sam alivyopokea simu ni kama alikuwa anahema kwa kasi kiasi cha kumuogopesha Rafiki,
“Vipi mme wangu unakimbizwa nini?”
Kabla Rafiki hajajibiwa kuna sauti aliiikia ikitokea upande wa pili alipokuwa anaongea mme wake. Sauti ile alikuwa anaifahamu na ilikuwa inafanana nay a Mdogo wake Verity.

Mapigo yake ya moyo yalikita haraka haraka huku vitu kadhaa vikipita kwenye akili yake ila akajitahidi kuficha hisia zake.
“Vipi nimesikia sauti ya Mdogo wangu hapo nipe nimsalimie”
“Sasa nitampaje wakati hujaniambia ulichonipigia”
“WEWE mpe tu kwanza”
Verity alipewa simu akaongea na dada yake ambaye alionyesha kuchangamka tu viuri mpaka walipoagana na kumkabidhi Sam aongee na mkewe.
“Kumbe umeenda Kwake si ungeniambia na mimi twende wote jamani”
“Ilikuwa ghafla tu mke wangu?”
“Ghafla kivipi tena?”
“Nilikutana nae njiani nikaamua kumpa lifti ila nakuja nyumbani saivi”
“sawa”
Rafiki alikata simu ila hasira ndani ya moyo wake ilizidi mara dufu, aliamini kuwa ujio wa Mtoto Nice ndio unazidi kuvuruga kila kitu, alijua kuwa mtoto hhuyo ndie anawaunganisha tena Sam na Verity.

Hofu yake ilizidi kuongezeka kwa jinsi ambavyo verity amezidi kupendeza lakini pia akiwa ni muathirika, itakuwaje endapo Sam akirudiana nae si watakuwa kwenye hatari.

“Huyu mtoto sina budi kumuondoa” alipigia msumari wazo lake.

Dakika zilizidi kuyoyoma na Gwakisa bado hakuamka. Hofu iliwajaa Sam na Verity wakihisi huenda wameua.

“wala hajafa” sam alisema hivyo baada ya kumpima kwa utaalamu aliokuwa nao na kugundua kuwa Gwakisa alikuwa amezimia tu.

“Nisaidie tumuingize kwenye gari langu”
“Unataka umfanyeje?”
“Wewe usiwe na hofu”
Verity na Sam walimbeba Gwakisa mpaka kwenye gari lake kisha akaondoka nae…..

Ndani ya gari Sam alishusha vioo vya gari ili kuruhusu upepo kuingia ndani kwa wingi, hili alilifanya akiamini kuwa kuruhusu upepo kumpuliza Gwakisa kwa wingi anaweza akaamka na kweli ikawa hivyo.

Walipokaribia nyumbani kwa Gwakisa akamshusha huku Gwakisa akionekana kama mtu aliyetoka usingizini kwani alikuwa anajaribu kuvuta kumbukumbu ya kitu gani kilichotokea.

Taratibu akiwa anaelekea kuingia ndani kwake huku Sam akiwa ameshaondoka tayari alikuwa anaanza kukumbuka taratibu kidogo kidogo hadi pale alipokumbuka tukio zima,
Hasira ilimrudia tena hadi akang’ata meno yake mwenyewe.

“Sam safari hii tutapambana na sitokuacha” Gwakisa alijisemea kimoyo moyo.

Kilichokuwa kinamuuma Gwakisa sana kuhusu Sam ni jinsi ambavyo amekuwa akimuingilia kwenye mambo yake. Aliakumbuka jinsi Sam alivyompa mimba Verity na kisha kubambikiwa yeye, alikumbuka pia jinsi alivyoamua kujipoza kwa Nisha na kisha Sam kuja kumpokonya tena.

Kwa akili ya Gwakisa aliamini pia kuwa Verity aliamua kumuacha kwasababu ya Sam na ndio maana baada ya kuachana Verity na Sam wanakuwa karibu sana.

Kuanzia siku hiyo Gwakisa alikuwa anajipanga jinsi gani ya kupambana na Sam ili ammalize.
…………………………
Glory alikuwa ndani ya Gari na Rafiki yake aliyeitwa Charles wanaelekea kwenye appointment na Mwalimu wake wa chuoni anayetambulika kama Doctor Kanji.
Gari ile aliazima kwa kaka yake kama ambavyo amezoea siku zote kuazima gari hiyo na kuendea chuo ama kwenye mitoko yake mingine.

Siku hiyo pia alikuwa nayo yeye na ndani ya Gari yupo Charles, makubaliano yo ilikuwa kwamba watakapofika sehemu waliyokubaliana Charles atashuka na kukaa kando akimsubiria Glory mpaka amalizane na doctor wake.
Glory alipofika tu na kuegesha gari ili washuke alimuona Kanji akija usawa wa gari lake kumaanisha kuwa alishafika hapo mda mrefu.

“Jifiche Charles, Kanji huyo anakuja”
“Yuko wapi?”
Wakati Charles anaulizia alipo Kanji tayari doctor huyo alikuwa ameshafika ikabidi Glory azime taa haraka ya ndani ili Charles asionekane. Hii yote ni ili kutengeneza mazingira ambayo Dr Kanji hatajua kuwa Glory amekuja na mwanaume mwingine.
Baada ya Glory kufungua mlango alitoka na kushikwa mkono na Dr Kanji kisha wakaelekea sehemu ambayo Kanji alishaiandaa kwamba watakaa.

Kanji alivuta kiti na kumsogezea Glory kisha akamshika mabegani na kumkalisha kwenye kiti, Glory alikuwa anajisikia kero kwa kila ambalo Dr Kanji alikuwa anamfanyia kwani hakupenda ile hali.

Baada ya kukaa vizuri kwenye kiti mhudumu alikuja na kusimama mbele ya Glory na kumuulizia ahudumiwe nini.
“Naomba maji makubwa”
“No Glory please”
“Kwanini Dr?”
“Utakunywaje maji kajika mazingira kama haya?”
“Siku nyingine nitakunywa kitu kingine lakini kwa leo naomba maji tu”
Dr Kanji alimuita Yule mhudumu na kumnongo’oneza jambo kisha akamuachia na kisha Yule muhudumu akaondoka zake.
Baada ya kama dakika tatu Yule muhudumu alirudi na chupa kubwa yenye mvinyo kisha akaweka pale mezani na kuwamiminia wote wawili.
Wakati anamaliza kumimina alikuja mhudumu mwingine wa jikoni akiwa na sinia lenye vipande vingi vya kuku wa kubanikwa kisha akaweka pale, kwenye sinia kulikuwa na kila aina ya vikorokoro ambavyo hutumika kulia chakula kwenye mahoteli makubwa.

Walinawishwa mikono na kuanza kula huku glory akiwa anakula kwa aibu aibu. Baada ya muda kidogo tu alitangaza kushiba na kunawa mikono kisha akajifuta na tishu na kusogea pembeni.

Dr kanji nae aliendelea kula taratibu hadi aliposhiba nae akaacha, aliongeza mvinyo kwenye glasi yake na ile ya Glory ambaye alilalamika kuwa hataki kuongezewa zaidi ya pale lakini Dr Kanji aliendelea kumimina hadi glasi ilipojaa.

“Samahani Dr ”
“Bila samahani”
“Naomba tuongee yale mambo ili niwahi kurudi nyumbani”
“Sawa Glory”
Dr Kanji alikata funda mbili za mvinyo glasi ikawa nyeupe akamimina nyingine na kunywa kidogo kisha akawa anamtazama glory kwa macho ya upole yenye hisia kali.
Dr Kanji kwa sauti ya upole iliyojaa utulivu alianza kwa kumsimulia Glory historia ya maisha yake tangu anazaliwa hadi pale alipofikia.

Ilikuwa ni historia nzito inayovutia sana ambayo ilimfanya Glory amsikilize kwa hisia kali sana, akili ya Glory haikuwaza tena kuhusu kuondoka kwani hisia zake zilitekwa na kile alichokuwa anakisikia kutoka kwa Dr Kanji.

Katika umri wa miaka 34 aliyokuwa nayo Dr Kanji tayari alikuwa na PHD huku akimiliki kampuni yake ya uagizaji wa Bidhaa za magari kutoka Ng’ambo.

Kikubwa kilichomteka Glory ni historia nzima ya dr Kanji tangu utoto, alivyonusurika kwenye ndege iliyoua Watu wote na kubaki yeye peke yake huku zaidi ya watu mia tatu na sitini wakiteketea wote.

Alimsimulia kuwa ndani ya ndege alikuwepo mtoto mwenzie ambaye mama yake alimtaka amuoe lakini nae alikufa kwenye hiyo ndege.

Aliendelea kusimulia kuwa kutokana na hali hiyo alijikuta akikosa hamu ya kuwa na mwanamke mwingine na alijiapia kuwa hatakuwa na mwanamke yeyote maishani mwake isipokuwa tangu alipoanza kazi pale chuoni na kumuona Glory alijikuta akipingana na adhma yake ya siku zote.

“Kwanini sasa ukatae msimamo wako wa siku zote”
“Glory unafanana sana na Yule msichana, japo alikuwa bado ni mtoto lakini kila nikikuangalia natamani hata kulia, nimekuwa nikipingana na hizo hisia huu ni mwaka wa pili sasa lakini nimeshindwa.”
“Mhhh” glory alivuta pumzi!
Hapo hapo Dr Kanji alitoa waleti yake na kumuonyesha Glory picha ndogo ya msichana mrembo kisha akamwambia.
“Ndio huyo hapo enzi hizo tukiwa tunaelekea kupanda ndege”
Baada ya Glory kuangalia ile picha yeye mwenyewe alibaki mdomo wazi maana msichana anayeonekana kwenye ile picha anafanana nae kopi, alizikumbuka nayeye picha zake za utoto jinsi ambavyo akiwa mtoto alikuwa anafanana kabisa na Yule aliyeonyeshwa kwenye ile picha.

Taratibuu Glory aliinua macho yake na kumtazama Dr Kanji ambaye alikuwa analengwa na machozi kisha akaishia kuvuta pumzi ndefu na kurudisha tena macho yake kwenye ile picha.

“Glory kila ninapokuona nahisi roho ya Yule msichana imefufuka, nahisi mama yangu angekuwa hai angesema neno alilolisema wakati ule”
“Dr nadhani ni hisia tu”
“Ni kweli Glory, sikupingi kwani hata mimi nilidhani ni hisia tu ambazo hata hivyo niimejitahidi kuzipinga kwa mwaka wa pili sasa lakini nimeshindwa, Glory kila ninachokifanya na kukiwaza najawa na hisia nyingi sana kuhusu wewe!”

“Hisia gani Dr?”
“Nataka kujua kitu kimoja kutoka kwako Glory”
“Kitu gani Dr?”
“Hisia hizo ni kwamba wewe hujawahi kuwa na mwanaume yeyote maishani mwako yaani wewe ni Bikra, kama sio Bikra basi hisia zangu zimenidanganya na kila ninachokiota kuhusu wewe basi nimekosea na nitasema ninayemuota sio wewe, ila kama wewe ni Bikra, hujawahi kuwa na mwanaume basi hisia hizi ni zako, ndoto na maono ninayoyapata nasi ni ya kwako ”

“Heee Dr ndio nini tena?”
“Please Glory kama ni wewe sema leo na kama sio wewe pia sema nijue”
…………………………………..
Sherehe kubwa ilikuwa imeandaliwa Nyumbani kwa RPC Mndeme ambaye alikuwa anastaafu huku Sam nae akiwa ametoka kuapishwa kwa ajili ya kuwa RPC mpya wa mkoa wa Tabora.

Lakini Pia sherehe hii ilihusu shukrani ya kumpata mtoto NICE baada ya kupotea kwa siku nyingi. Watu walikula na kunywa sana, mziki shampein kukata keki na kulishana kulipamba kwa kiwango kikubwa sherehe hii.

Kubwa ambalo Sam lilimshtua na hakulitegemea ni uwepo wa Gwakisa pale kwenye ile shughuli wakati hakualikwa. Lakini pia Gwakisa alionekana kuwa mchangamfu mno kwa Sam kitu kilichomfanya Sam ahisi kuwa huenda kuna jambo limepangwa.

Kwakuwa Sam alisomea ushushushu jambo hilo alilielewa vizuri na wakati wote alikuwa mtu wa kuchukua tahadhari.

Glory nae kwa upande wake alikuwa amependeza mno ndani ya vazi maridadi huku pembeni yake akiwa na Rafiki yake Charles ambapo kila aliyewaona alihisi kuwa ni wapenzi na hata kaka yake Sam alimtania mara kwa mara na kumuuliza kwanini hamtambulishi shemeji yake.

Dakika zilisogea sana na hatimaye muda wa kwenda kulala ukawa umewadia ambapo Sam na wageni wake wengine walikuwa wamepanga kulala hotelini huku wakiwa wamechukua Vyumba vya kutosha.

Wakati gari ya Sam inaelekea iliko hoteli ilipita kwenye Daraja moja ambalo lilikuwa na Kiza kutokana na kutokuwepo na nyumba jirani.

Hapohapo gari aina ya coaster iliziba njia almanusra watumbukie ndani ya daraja baada ya kupiga breki kali zilizoifanya gari ipoteze muelekea.
Wanaume wawili wenye bastola wakiwa wameficha sura zao walitoka kwenye kichaka kidogo pembeni ya daraja na kuamuru watu washuke kwenye gari!

Tangu alipoapishwa na kutangazwa rasmi kuwa RPC wa mkoa wa Tabora, Sam alipewa gari mpya na walinzi binafsi. Kutokana na hali hiyo hakupanda tena gari yake kwa siku ile isipokuwa alimuachia mdogo wake Glory ambaye alikuwa ameambatana na Charles na watu wengine ambao waliomba lifti.

Kwakuwa sherehe hii ilikuwa inafanyika Dar es Salaam sehemu ambayo Glory alikuwa hajazoea kuendesha gari askari mmoja ndie alikabiidhiwa gari ile awaendeshe.
Watu waliokuwa na nia mbaya na Sam walikuwa wamemvizia njiani ili wamuue na ndio maana walipoona gari lake wakajua yuko humo wakalizuia kwa kuingiza Coaster barabarani lakini kwa bahati mbaya walioshuka kwenye ile gari Sam hakuwepo.
Baada ya kugundua kuwa kwenye ile gari hakuwepo Sam wale watu walikasirika sana na kuamua kuipasua ile gari tairi na kisha kuondoka zao.
Huku wakiwa hawaamini kuwa wamepona Glory alimpigia kaka yake simu ambaye alifika pale na maaskari kisha wakairekebisha ile gari na kuriporti tukio kwenye mamlaka zinazohusika kisha wakaondoka zao. Kwenye moyo wa Sam aliamini kile ambacho alikihisi kuhusu Gwakisa.
……………………………………….
Ndani ya hoteli Charles na Glory walikuwa wamelala kila mtu chumba chake huku wanachat kwenye simu lakini ishu kubwa ilikuwa ni tukio lililotokea mda mfupi uliopita. Walichat masaa yakawa yanazidi kwenda mpaka ikatiimia saa nane usiku ambapo kila mtu alilala hadi kesho yake ambapo waliamka wakiwa wachovu lakini baaada ya kuoga na kupata kifungua kinywa walichangamka.

Walitembea maeneo ya jiji la Dar es salaam wakijinunulia baadhi ya vitu walivyopendezewa navyo kisha ilipofika kwenye saa kumi alasiri wakawa wapo hotelini walikofikia na kisha kujipumzisha kila mtu chumbani kwake.
Siku hii walikuwa peke yao kwani kaka yake (Sam) namoja na mkewe tayari walikuwa wameshasafiri kuelekea Tabora ambapo ndipo kilikuwa kituo kipya cha kazi cha Sam akiwa kama RPC.
Siku hii sio Charles tu lakini hata Glory alitamani kuwa karibu na mwenzake, uhuru waliokuwa nao uliwapa hamasa kubwa ya kufanya mambo makubwa.
Hatimaye Charles alikuwa chumbani kwa Glory amekaa wanatazama movie kwenye laptop, ilifika hatua wakawa wamesogeleana sana na kila mmoja kuhisi joto la mwenzake. Charles alikuwa anakifahamu kile ambacho kinaendelea na alifanya makusudi wakati mwingine kujisogeza zaidi.

Hofu ilikuwa imejaa kwenye moyo wa Glory akiwa hajiamini na zile hisia ambazo anakuwa nazo mbele ya Charles kwa muda ule, ndani ya akili yake aliamini kuwa hakuna urafiki wa kawaida kati ya mwanamke na mwanaume ambao sio ndugu, ukaribu wake na Charles umefikia hatua sasa unataka kuleta mambo mengine.

Kwa hofu ya kutokea kitu ambacho kilikuwa kinaanza kujijenga aliamka akidai anaelekea msalani, aliposimama tu Charles nae akasimama na kumshikilia kwa nyuma kisha akaanza kumpapasa.

“Charlesssss noooo!”
Pamoja na glory kusema hivyo lakini hakuondoka kwenye mikono ya Charles zaidi alikuwa anapumua kwa shida tu, Charles nae alizidisha uchokozi huku Glory akiwa sasa ameshafumba macho na kuzidiwa na kile anachofanyiwa.

Nguo zilikuwa zinadondoka moja moja na hatimaye Charles alikuwa anafanya kwa kutimiza lengo kabisa baaada ya kuona mdomo wake umepokelewa vyema na glory na sasa wanabadilishana ndimi na mate yake.
Utundu aliokuwa anafanyiwa Glory ilifika hatua akaichanua miguu yake mmoja kule na mwingine kule ili apokee mkong’oto lakini kabla Charles hajachomeka kuni jikoni kuna kitu Glory alikuwa amekumbuka kisha hapohapo akanyanyuka na kujifunga taulo kisha akaingia bafuni kujimwagia maji.

Alivyotoka alimkuta hakumkuta Charles pale chumbani akajua ameondoka zake, alivaa vizuri na kumfwata kule chumbani kwake ambapo alimkuta amelala kitandani kwa kulalia Tumbo.

“Charles am sorry”
“Usijali Glory najua mimi sio saizi yako”
“Kwanini useme hivyo Charles, labda hujui tu lakini mimi sijawahi kufanya hayo mambo tangu nizaliwe, naogopa sana, tafadhali naomba unipe muda kisha nitakuwa tayari kwa hilo, nakuahidi wewe ndie utakuwa wakwanza”
Charles hakuamini kile alichosikia kwa msichana mzuri na wa umri kama ule alio nao Glory, lakini baada ya kuambiwa yeye ndie atakuwa wa kwanza alifurahi sana kwani tangu alipomwambia anampenda hakuwahi kujibiwa lakini kwa maneno aliyopewa leo aliamini kuwa rasmi sasa Glory ni mali yake. Kwa furaha aliyokuwa nayo aliamka na kumkumbatia Glory kisha akamtazama kwa hisia machoni na kummwagia mabusu mfululizo yaliyoambatana na kumnyonya mdomo kisha wakaachiana.
………………………………………
Ndani ya mkoa wa Tabora kamanda Sam anakutana na mauaji ya vikongwe waliotuhumiwa ushirikina pamoja na changamoto ya mauaji ya Albino. Mambo haya yote Sam alipambana nayo kwa nguvu kubwa kitendo kilichomfanya aonekane ni moja kati ya makamanda wenye uwezo mkubwa sana.

Hata ule ujambazi nao ulipungua sana huku amani ndani ya mkoa huu ikiimarika mara dufu, askari waliokuwa chiini yake wakiwemo na makamanda wa wilaya walimpenda sana Bosi wao ambaye bado alikuwa kijana lakini pia walimuogopa kwani aliikuwa ni mtu asiyependa uzembe.

Siku moja alipata ujumbe kwenye simu yake ulioonyesha kuwa kwenye akaunti yake kiasi kiikubwa cha fedha kimeingia hadi akashtuka kwani zilikuwa fedha nyingi mno.
Kwa hofu ya kuchunguzwa kwanini anamiliki fedha nyingi sana kiasi kile aliamua kuzihamishia kwenye akaunti ya Glory kidogo kidogo hadi Glory mwenyewe akamuhisi kaka yake kuwa huenda kuna biashara haramu anafanya.

Kwa fedha ambazo alikuwa anaingiza na kuziweka kwenye Akaunti ya Glory alimruhusu mdogo wake kufanya mradi wowote ambao angeona unafaa. Glory alikubaliana na kaka yake lakini alimsihi kuwa asuburi kidogo amalizie masomo yake huku akiendelea kutafakari ninini cha kufanya.
Siku zilizidi kwenda ambapo Sam alianza kuchoka kutumikia mabwana wawili yaani serikali pamoja na washirika wengine ambao walikuwa wanafanya biashara haram.
Kuna wakati alikuwa anaombwa kutoa ulinzi kwa washirika wake lakini badala yake aliwachoma na kuwakamatisha kwa askari wengine.
Hali iliendelea kuwa hivyo kwa muda mrefu ikabidi wale jamaa zake waghairishe kuutumia mkoa wa tabora kwenye mambo yao.
………………………………
Kutokana na vituko vya Gwakisa Verity aliamua kuhamia Dar es salaam kwani hata hivyo aliona ni sehemu ambayo itamfanya aendeleze miradi yake kwakuwa mtaji wake pia ulikuwa umekua sana.
Kitendo cha kuhama kilimfanya Gwakisa azidishe chuki kwa Sam akiamini yeye ndie amemshawishi japo ukweli haukuwa hivyo.
Kuhama kwa Verity kunamfanya Rafiki nae aanze taratibu za kuhamia Dar es Salaam kwani aliamini ni sehemu rahisi kwaa yeye kukutana na mme wake ambaye mara kwa mara alikuwa anaenda Dar es Salaam kikazi huku Mbeya kukionekena kuwa mbali zaidi.
Baada ya muda kidogo alifanikiwa kuhamia kweli Dar es Salaam akawa anakaa Mtoni Kijichi karibu kabisa na ufukweni ambapo Sam aliikuwa amenunua nyumba ya kisasa sana maeneo hayo.
Verity alikuwa amepanua sana biashara zake na kuanzisha mradi mwingine wa kuuza asali ambayo alikuwa anaichukulia mikoa ya Tabora, Shinyanga na Singida.
Safari zake za mara kwa mara kwenye mkoa wa Tabora zinamkutanisha tena na Sam ambapo mara nyingi akiwa huko anakuwa na Sam baada ya kumaliza mizunguko yake ambapo hukaa maeneo ya starehe hadi usiku wa manane na kisha kila mtu kwenda kulala kivyake.

Siku moja ambayo ilikuwa ni usiku wa saa tisa kasoro Sam akiwa ametoka club na Verity alimpeleka kwenye hoteli ambayo huwa analala anapokuwa Tabora kwenye biashara zake.

Baada ya kumuacha Verity pale hotelini aliondoka akiwa na mlinzi wake mmoja ambaye ndie alikuwa dereva wake pia mpaka alipofika nyumbani na kisha kumruhusu Yule dereva akalale na Gari lile kama kutakuwa na lolote atampigia simu.
Yule mlinzi aligeuza gari lakini kabla hajaondoka maeneo yale gari ilipigwa mkono na kuamua kuisimamisha,

Sam akiwa hajaingia ndani alisikia makelele akaamua kutoka lakini alipotoa mwili wake na kukuta dereva wake akichezea kipigo alihisi kitu cha moto kikipita kwenye upande wa kushoto wa kifuani na kingine katikati ya tumbo hapo hapo akaanguka chini.

Alipoangalia vizuri mbele akakuta mtu amemnyooshea bunduki akiwa amelala palepale chini lakini hakumtambua Yule mtu ni nani kwani uso wake ulikuwa umezibwa kwa maski.

Yule dereva alishtuka baada ya wale watu kupotea na kumuacha bosi wake akitokwa damu nyingi, hapo hapo alipiga simu polisi ambapo gari za Polisi zilikuja haraka na kumbebeba RPC sam hadi hospitali huku akiwa hana dalili ya uhai.

Kwa mbali taswira ya Sam ilikuwa inakusanya kumbukumbu za maisha yake ya nyuma lakini katika yote aliyokumbuka ni Siku Mama yake Aliposhikwa Tako mbele yake na hapo akaamua kutafuta maisha mazuri ili amuokoe mama yake kutoka kwenye kazi za kiuzalilishaji.
Ni wakati huu pia alikuwa anamuona mama yake amevaa mavazi mweupe peer na ya kung’aa anataka kumpokea lakini kwa onyo kuwa “tubu kwanza dhambi zako ndio uje huku nilipo”

Neno la mwisho ambalo madaktari walimsikia Sam akilisema ni “Mungu wangu naomba unipokee” na baada ya kusema hivyo akaaga dunia.

Asanteni sana wote mliokuwa nami kwenye simulizi hii mpaka hapa ilipofikia…. Kama unataka kujua ni kitu gani kilitokea baada ya RPC SAM kufariki ungana nami katika Season Nyingine inayofwata kwa Jina la “MY DAD’S EMPIRE”


MWISHO

MAMA ALIPOSHIKWA TAKO MBELE YANGU – 4




Chombezo : Mama Aliposhikwa Tako Mbele Yangu
Sehemu Ya Nne (4)

Sam aliondoka hospitalini kwa kutoroka akielekea kule hospitali kwa lengo la kuonana na mke wake amuombe msamaha.
Alifika hospitalini huku anahema sana kwa kukimbia kwani hakutakiwa aonekane kwa askari wengine ambao wangeweza kumpa taarifa RPC.
Alipofika pale hospitali ilibidi apenyeze rupia kidogo kwa walinzi ili wamruhusu kupita kwani muda wa kutazama wagonjwa ulikuwa umekwisha.
Alizama mpaka ndani akaulizia alipolazwa mke wake akaonyeshwa.
Wale manesi walimwambia asubiri kidogo kwani mgonjwa wake yuko na Dr ndani.
Sam ilibidi aulize kuwa Dr atakaa muda gani kwakuwa alipaswa arudi mahabusu kabla wakaguzi hawajapita.
Wale manesi walimwambia kuwa hatachukua muda mrefu hivyo asiwe na wasiwasi.
Sam alikaa kwenye benchi akasubiri, alisubiri na kusubiri lakini Yule dokta hakutoka.
Akili yake sasa ikawa iko juu juu na muda wote akawa anatazama saa yake, alipoona kuwa muda unaenda sana ilibidi asogee kwenye ukuta wa kile chumba alicholazwa Rafiki.
Pale alikuta vioo vinavyoonyesha mpaka ndani isipokuwa mapazia yalishushwa na kuacha mwanga kidogo kwenye maeneo ambayo mapazia hayakufunika vyema.
Alichokiaona kilimtia wasiwasi kidogo lakini akahisi kuwa huenda ndio matibabu yenyewe na hakutaka kuharibu mambo ikiwa amekuja kwa ajili ya hitaji la msamaha.
Aliamua kurudi tena kwenye benchi na kukaa, alikaa kama dakika tatu hivi na kurudi tena, safari hii alishihidia mapaja ya mke wake yakiwa wazi kabisa na ni muda huu ambapo dokta Kelvin alikuwa anaamka ili vue nguo afanye yake.
…………………………….
Dr Kelvin alipotaka kufungua suruali yake aliona mtu akiwa anaangalia kwa kuchungulia mule ndani na tayari alimjua kuwa ni mume wa Yule dada kwani alikuwa anamfahamu.
Alichezesha akili yake haraka haraka na kujifanya anaokota kifaa cha kusikilizishia masikioni kisha akaondoka nacho hadi pale alipolala Rafiki na kumuwekea kifuani huku kwa sauti ya chini akamwambia Rafiki
“Mumeo yupe pale dirishani ila usishtuke”
Dr Kelvin aliucheza vizuri ujanja wake kisha akamwambia Rafiki kwa sauti sasa kuwa usiache kumeza dawa ambazo umeambiwa umeze sa nane usiku.
Aliposema hivyo aliondoka kisha akasalimiana na Sam ambaye alimkuta pale mlangoni lakini Sam hakuweza kumjibu kwani akili yake bado ilikuwa kwenye ganzi.
“Sam umefwata nini hapa?”
“Nimekufwata wewe mke wangu”
“Mimi sio mkeo, tafadhali naomba uondoke la sivyo nampigia simu Baba”
“Siwezi kuondoka mke wangu, naomba usinifukuze, nakupenda sana”
“Ondoka sam sitaki kukuona shetani wewe”
“SIondoki na mimi sio shetani mimi ni mume wako”
“Nakuhesabia mara tano usipotoka napiga makelele”
…moja…mbili…
Sam alipoona vile alianza kurudi nyuma taratibu huku akiwa anahofu ya kupigiwa makelele kitendo ambacho kingemfanya azidi kuharibu maana taarifa zingeweza kuwa amefanya fujo hospitali.
Alipofika mlangoni aliona sio sawa kuondoka bila kutimiza lengo.
Alichofanya alipiga magoti na kuanza kutembea nayo kitendo kilichomstaabisha Rafiki, sam alianza kulia kiuongo akisihi sana asamehewe.
“Tafadhali Rafiki, wewe ni mke wangu, kumbuka tumefunga ndoa kanisani, kumbuka wewe ndie kila kitu kwangu, tafadhali usiniache nimekuzoea mama, ukiniacha mimi le oleo najipiga risasi”
Rafiki aliduwazwa na kile kitendo cha sam kujishusha kiasi kile kwani alikuwa hajawahi kumuona kamwe akiwa vile.
Hii ilikuwa ni mwanya kwa Sam ambaye alifanikiwa kutembea na magoti yale mpaka pale alipolala mkewe na kulaza kichwa chake pale huku akilia asamehewe.
“Mke wangu..mke wangu, nisamehe mke wangu”
Rafiki alianza kujiwa na roho ya huruma akajikuta nae machozi yakimjia. Alitamani kutamka nimekusamehe lakini alipokumbuka alivyoachwa nje akiwa amezirai hasira zilirudi upya na kumsokomeza Sam hadi chini kabisa ambapo alidundiza kichwa na kutulia kimyaaa!
Rafiki alishtuka mno ikabidi aamke pale kitandani na kushuka hadi chini amuangalie Sam ninini kimempata.
Alimuita kwa sauti ya upole…sam, sam..Sam, Sa…m lkini alikuwa kimya kabisa.
Aliita tena mpaka akafika hatua akaita mme wangu…mme wangu….mume wanguuuu lakino Sam alikuwa kimya kabisa.
Alimtingisha na kumgeuza usoni akakutana na Sura ya Sam ikiwa imetoa jicho kama mtu aliyekata roho kabisa.
Hapa ndipo alipoanza kuogopa zaidi akijua kuwa ameua.
Alitamani awaite madaktari lakini alipokuwa anafika mlangoni akawa anajikuta anarudi tena, akiwa katika hali hiyo alimuona mama mmoja nesi akija kule chumbani kwake.
Aliwaza kama Sam atakuwa amekufa na Yule nesi akimuona si itakuwa anaenda kufungwa! Woga ulikuwa umemshika barabara.
Mlango ulifunguliwa Yule nesi akaingia na kukutana na mwili wa mtu pale chini akapigwa na mshangaoo, kwa jinsi alivyomuona Rafiki anahaha aligundua kuwa moja kwa moja kuna kitu Rafiki amemfanya Yule mtu pale chini.
………………………………..
Familia ya Gwakisa ni kama vile ilikuwa na Msiba, Verity ndani ya siku chache alikuwa kakonda kwa kumkosa mwanae wa pekee.
Pamoja na jitihada kubwa za jeshi la Polisi na vyombo vingine vya usalama lakini Princess alikuwa hajapatikana.
Taratibu Verity alianza kukata tama akiamini kuwa huenda hatomuona tena mwanae. Mbaya zaidi ushiriki wa Mume wake kwenye lile jambo ulionekana kukatika mara tu baada ya kutekwa na kupigwa na watu wasio julikana.
………………………
Gwakisa akiwa ndani ya Gari na Yule dada askari walisimamishwa ili wakaguliwe ili hali mule ndani walikuwa wamebeba kiasi kikubwa cha madawa ya kulevya aina ya Cocaine na Heroin.
Hofu ilimshika sana Gwakisa lakini Yule dada alikuwa hana hata chembe ya Woga.
Wale askari waliwaamuru washuke kwenye gari, Gwakisa alikuwa wakwanza kushuka lakini Yule dada hakushuka.
Wale askari walianza kulisogelea lile gari huku Bunduki zikiwa zimeelekezwa kwa Yule Dada ndani ya Gari………………
Askari aliyekuwa ametangulia mbele alimuamuru Yule dada kwa mara nyingine ashuke kwenye gari lakini wala hakutii.
Alimwambia kuwa ile ilikuwa ni mara ya mwisho ashuke na kama asingefanya hivyo angemfyatulia Risasi lakini wala Yule dada hakujali.
Ghafla milio ya Risasi ilisikika huku askari wawili wakiwa wameangushwa chini kwa kupigwa risasi visogoni na maaskari wenzao.
Yule dada alimuita Gwakisa..
“Weeee ku..Ma njoo uendeshe gari twende”
Gwakisa na uanajeshi wake Tena meja wa Jeshi kabisa lakini kilichotokea pale hakukielewa.
Yani askari waliokuwa pamoja badala wawaue wao waliokuwa wahalifu lakini wanawaua wenzao waliokuwa pamoja.
Hii ilimshangaza sana Gwakisa akatamania amuulize kitu Yule Dada lakini akaona aache kwanza
Aliendesha kwa kasi mpaka wakafika sehemu yao ya kila siku na kutua mzigo kisha wakaenda sehemu maalumu ya kupumzikia wakakaa kisha kuanza kupata vinywaji mbalimbali.
Kulikuwa na mabwawa ya kuogelea ambapo wale washirika wenzao baadhi walikuwa wanaogelea huku wengine wakinywa wine.
Gwakisa akili yake yote ilikuwa inawaza lile tukio la mauaji ya askari wawili kule walikotoka.
Ghafla akiwa anawaza alitokea Yule baba ambaye mwanzoni ndie alionekana kuwa kiongozi wa wale wengine hata siku ile ndie akamkabidhi kitita cha fedha.
Alimsalimia Gwakisa kwa furaha hku akimsifia kuwa anaendelea kufurahishwa na utendaji wake wa kazi.
“umeona kilichotokea kwa wale maaskari kule njiani Gwakisa?”
“Ndio nimeona”
“sawa sawa sasa pale nilitaka tu nikuoneshe ni jinsi gani nina nguvu kubwa, wale nimewaua kama somo kwako tu ili usihofie unapofanya kazi namimi na ujue unafanya kazi ya mtu wa aina gani na mwenye nguvu kiasi gani”
“lakini si watatutafuta tutakamatwa mkuu?”
“Kwani umeua wewe au wameuawa na maaskari wenzao?”
Gwakisa ilibidi akae kimya kwani ukweli ni kuwa hakuua yeye.

Gwakisa alikuwa benki anataka kutoa hela ili akamalizie malipo ya mafundi wanaojenga nyumba yake ya ghorofa katikati ya mji wa Mbeya.
Lengo lake ni akatoe shilingi milioni themanini lakini alikuwa hana kumbukumbu kuwa fedha kwenye akaunti yake ilikuwa imebaki kiasi gani kwani alikuwa na akaunti mbili.
Moja kwamoja alielekea mapokezi na kukutana na wadada wawili warembo ambao walikuwa wamevalia sare za kazi akasalimiana nao.
“Samahani dada,”
“bila samahani, ”
“Naomba niangalie salio langu”
“Sawa naomba kadi yako”
Gwakisa alitoa kadi yake akaikabidhi kwa Yule dada wa mapokezi kisha akapitisha kwenye kijimashine na kusoma kwenye komputa yake.
Yule dada alionyesha kama mshtuko flani hivi kisha akamuangalia Gwakisa kwa jicho la wizi huku akiwa kama anarembua macho yake mbele ya Gwakisa.
“Kaka samahani naomba unifwate”
Gwakisa alifwatana na Yule dada hadi wakafika kwenye mlango umeandikwa ‘Branch Manager’ kisha ukaminywa ukutani na kufungunguka.
Waliingia hadi kule ndani wakakuutana na mama mmoja ambaye alikuwa amevaa suti nyeusi na kitambulisho chenye jina na cheo kinachoonyesha yeye ndie meneja wa lile tawi.
Yule dada aliongea na Yule mama maneno machache kisha akatoka huku Gwakisa akikaribishwa akae kwenye kiti kilichokuwa mbele yake.
Alichotakiwa Gwakisa ni kutoa maelezo kuhusu fedha zilizokuwa kwenye akaunti yake kwani zilikuwa nyingi sana kiasi ambacho maelezo yake yalihitajika.
Siku zote kuna kiasi cha hela ambacho kikiwa kwenye akaunti yako inatakiwa ifahamike na iwe na maelezo kwani ni katika kujiepusha na fedha haramu.
Ukweli ni kwamba Gwakisa alikuwa hajui kama akaunti yake ilikuwa na fedha nyingi kiasi hiki na aliwekewa bila taarifa.
Wakati wa mahojiano alikuwa anababaika kitendo kilichomtisha Yule meneja ikabidi awekwe kizuizini.
Alipokuwa kizuizini ilibidi ampigie simu Yule dada askari ambaye ndani ya muda mfupi alifika pale huku akiwa kwenye mavazi yake ya uaskari.
Kile alichoongea Yule dada kule ndani Gwakisa hakukijua ila baada ya dakika chache alitolewa huku akikabidhiwa na kiasi cha hela alichotaka kutoa.
Moja kwa moja waliingia kwenye gari la Yule dada mpaka kule alikokuwa anaenda kulipa mafundi wake akamalizana nao huku akishuhuia ujenzi wa ghorofa lake unavyoendelea kwa kasi.
Walipomalizana waliondoka mpaka nyumbani kwa Yule dada askari kisha wakaingia ndani na kitu cha kwanza Yule dada alimfwata Gwakisa na kuanza kumpapasa kifuani.
“Baby kifua chako kinanimaliza kabisa ”
Gwakisa aliguna tu huku anatabasamu, alishajua kile ambacho huyu mrembo anataka, alijiachia ili amruhusu apapase kifua chake atakavyo.
Alimshika kiunoni dada wa watu huku akiwa na nguo zake za kipolisi na kuanza kuzifungua vifungo akabaki na kaoshi nyeupe ya ndani kuku kifua chake chenye nyonyo mchomozo kikiwa kunaonekana vyema.
Gwakisa alianza kuzinyonya zile nyonyo huku akiwa anapapasa makalio ya huyu dada.
Alifanya hivyo kwa dakika chache kisha akamnyanyua huyu dada na kumpakata huku anamnyonya mdomo wake.
Ilifika wakati dada wa watu akawa legelege Gwakisa akamlaza juu ya kochi na kuanza kumtoa nguo zake,
Alipozimaliza alipiga magoti akaingia katikati ya miguu ya huyu mrembo akautoa ulimi wake na kuanza kusafisha ikulu yake kwa ulimi.
Wakati anafanya hivi mkono mwingine ulikuwa kwenye nyonyo unapapasa.
Alipiga deki ikulu ya huyu mrembo hadi ikafika wakati mdada wa watu akwa anajinyinga kama anakata roho kisha akarusha majimaji ya moto kuashiria kuna hatua amefikia.
Gwakisa kuona vile alimgeuza akaelekea mbele kisha akamuamuru apige magoti kitendo kilichofanya kitumbua cha Yule dada kuonekana vyema kwa nyuma.
Gwakisa alisimama akashika tango lake na kulichomeka taratibu mpaka likazama lote ashhhhhhh ahhhhh hivi ndivyo tango la Gwwakisa lilivyopokelewa.
Mchezo usio na refarii uliendelea kwa kasi ya kupanda na kushuka kisha wakahamia kitandani na kugeuzana kwa style mpaka zingine walikuwa hawajawahi kuzisikia.
Walimaliza mtanange wao wakiwa wamechoka kisha Yule dada akamwambia sam
“Twende tukaoge kisha tutoke”
Walioga wakamaliza kisha wakaingia kwenye gari na safari ya mjini ikaanza .
……………………….
Sam alikuwa bado pale chini hajitambui, Yule mama nesi alichukua vipimo vya kupima mapigo ya moyo na kusikilizia ambapo aligundua kuwa Sam alikuwa anapumua bado.
“Kwani umemfanyaje”
“Ameanguka tu baada ya kuteleza” Rafiki alidanganya
Haya mshike tumlaze hapa kitandani, kwani ni nani wako huyu?”
“Ni mme wangu”
Walimlaza pale kitandani kisha walipotaka tu kumuachia Sam alikamata mikono ya Rafiki kabla haja muachia vizuri na kumvutia kwake kisha akaanza kumnyonya mdomo.
Rafiki alishtuka na kupigwa na butwaa kwa kitendo kile ambacho hakukitarajia, wakati anaendelea kushangaa Sam alizidisha kunyyonya mdomo wakati huo Yule mama nesi nae alikuwa anaashangaa tu.
Sam alimvuta mkaka akamuangukia pale kitandani kabisa na kumkumbatia kwa nguvu hata akashinwdwa kabisa kufurukuta.
Taratibu Rafiki nae alianza kupandwa na hisia na kuanza kusahau yaliyotokea hapo nyuma.
Sam aliligundua hilo na kuzindisha manjonjo, Yule mama Nesi hakuweza kuvumilia akaamua atoke na kubamiza mlango.
Sam alimwachia Mkewe na kumuangalia usoni…
“Rafiki naomba unisamehe mke wangu, nakuahidi nitabadilika na kuwa mume wako bora, niamini mimi kuwa nitakuwa mume wa mfano mpaka wanawake wengine wakuonee wivu”
Sam alikuwa anaongea maneno haya kwa hisia kali sana huku amemtazama mkewe machoni.
Rafiki hakuweza kujizuia isipokuwa alisema maneno machache tu…
“Nakupenda sana mume wangu!”
Sam alimkumbatia kwa furaha kisha akamkalisha kitandani wakaanza kuongea,
Sam alimwelezea Rafiki madukuduku yake yote kisha wakaagana kwa ahadi kuwa kesho yake aombe kuruhusiwa atoke pale hospitali.
Katika mambo ambayo Sam hakumwambia Rafiki ni pamoja na swala la kuwa mahabusu.
Baada ya kukamilisha zoezi lake aliondoka pale hospitali na kuelekea kituoni ambapo alipokelewa na mkuu wake na kurudishwa mahabusu.
Asubuhi na mapema aliachiwa na moja kwa moja akarudi hospitali na kumchukua mkewe mpaka nyumbani kwao.
Walipofika nyumbani mahaba motomoto yalianza huku wakifanya sana yale walioyamisi kuyafanya kwa siku nyingi, Sam alimuona Rafiki kuwa mpya na Rafiki alimuona Sam ni mpya kabisa.
Aina ya mapenzi waliyofanya yalidhihirisha mapenzi waliyokuwa nayo kwa kila mmoja.
…………………………………………
RPC asubuhi akiwa na mkewe aliondoka kwenda hospitali kumuangalia binti yao.
Walifika hospitali hadi mapokezi wakaulizia kuhusu mgonjwa wao lakini walishangazwa na taarifa kwamba mme wake alikuja kumchukua kwani ameshapona.
RPC na mke wake hawakuamini masikio yake, waliamua kupiga simu ya mtoto wao lakini iikuwa haiku hewani.
RPC alimuamuru mkewe waondoke, moja kwa moja alipita ofisini kumuangalia kama kweli Sam hayupo mahabusu.
Aliingia ofisini kwake akamuacha mkewe ndani ya gari, alielekea moja kwa moja mpaka mahabusu aliyokuwa amewekwa Sam akachungulia kwenye kidirisha kidogo akamuona SAM yuko pale pale
Alitoka nje mpaka kwenye gari yake akaingia na kumuuliza mkewe
“Ni mme gani aliyekuja kumchukua Rafiki wakati Sam bado yuko Mahabusu
“Haaa yakweli hayo?”
“Twende kwa Rafiki tukaangalie kama yupo nanani?”
Walielekea mpaka nyumbani kwa Mtoto wao, waliegesha gari nje kisha wakazama mpaka ndani, waligonga mlango lakini hawakuitikiwa.
Walichukua maamuzi ya kuingia hivyohivyo mpaka ndani, walifika sebuleni wakakuta kuko kimya isipokuwa walisikia kelele za mahaba chumbani wakajua mtoto wao ameingiza mwanamume mwingine.
Walijadiliana kuhusu tukio analolifanya mtoto wao.
“Yani huyu mtoto siku chache hizi tu tayari ana mwanaume mwingine, au kweli mtoto wetu hajatulia ndio maana akapigwa”
RPC alikuwa ameshika tu kiuno anatafakari kile anachokishuhudia, alichukia na hakutaka kuamini kuwa mwanae amekuwa na tabia mbaya kiasi hicho, yani ndani ya siku chache za ugomvi na mme wake tayari ana mwanamme mwingine tena anamuingiza nyumbani kwao kabisa.
Hakupendezwa na tukio hili,
Alichanga mawazo akilini mwake akaona dawa ni kuingia kule chumbani aliko mwanae akatoe kipigo cha kufundisha adabu.
Alipofika mlangoni aliskia kelele za mahaba zimeshika kasi….aaaaaaaashhhh, ooooooosh, hivohivo nainjoi jamani……shhhhhhh haaaaaaa…
Kelele za mahaba zilikuwa zimeshika kasi RPC akaamua kuvaa mlango na kuzama nao ndani ……………



Papapapaaaaaaaaaaaaaa’
Mlango ulikuwa umesukumwa na kugonga vitu vingine vikaparanganyuka na kutoa mlio mkubwa uliowastua Sam na Mkewe rafiki.
Akili zao wote walidhani wamevvamiwa na majambazi, walikuwa kwenye hatua ya juu mwisho ya utamu wa mapenzi lakini walikuwa wamekatishwa na tukio hili.
“Haaa dadiii ndio nini sasa”
Rafiki alivuta shuka kujifunika uchi wake mbele ya baba yake aliyekuwa hana Soni wala aibu kwa binti yake, Sam yeye alikuwa ametahayari huku akijitahidi kuvaa bukta yake asiamini kuwa ndio imekuwa vile.
“Wewe rafiki mjinga sana, paaaaa” alipokea kofi zito kutoka kwa baba yake.
Sam hasira zilimshika akaona hii ni kudhalilishwa, alitaka kurusha ngumi lakini ghafla mzee huyu alitoa bastola na kumlenga huku akimuamrisha…
“Umetoroka mahabusu lakini wewe na huyo aliyekutorosha nitawanyoosha, vaa nguo twende kituoni”
“Mzee nakuheshimu sana ila naomba usinivunjie heshima”
“Pumbavuuu, mimi ni bosi wako nataka uniheshimu, tena narudia nataka uniheshimu, uniheshimu kama bosi wako na wala sio mkwe shenzi kabisa wewe”
“Shenzi mwenyewe”
“Unanitukana mimi?”
RPC mndeme aliona amedharauliwa sana akaamua kukoki bunduki yake ili afyatue, mkewe kule nje alikuwa anatetemeka akijua kuna mauaji yanafanyika huko ndani,
“Niue tu nife, siwezi kudhalilishwa hivi kwenye nyumba yangu, siwezi kuteseka kiasi hiki kisa nimeoa kwako”
RPC Mndeme alikuwa sio mtu wa masihara, hasira zikimpanda huwa anafanya chochote, alikamata vizuri bunduki yake akailengeshea kwenye kichwa cha Sam
‘paaaa, paaaaa paaaaa,’
“Bastaaaard” aliongea kwa hasira RPC baada ya kuachia risasi tatu mfululizo.
……………………….
Nyumba ya GWakisa ilikuwa ukiwa sana, Verity alikuwa kama kinda la ndege lililoachwa na mama yake, kitendo cha mtoto wake kupotea alikitafsiri kama laana kwa Mungu baada ya kumsingizia mtoto Gwakisa.
Kila alipokuwa anamkumbuka mwanae alikuwa anatokwa na machozi
“maskini mwanangu, Princess wangu sijui uko wapi na unafanywaje huko”
Alikuwa anajisemea mwenyewe Verity akimkumbuka binti yake.
Kila wakati alikuwa anasoma magazeti na kusikiliza TV akijua labda kuna wakati atasikia mwanae anatangazwa labda anatafuta ndugu zake lakni wapi.
“Hivi mume wangu kwanini wewe umepoa sana kuhusu swala la mtoto wetu”
”Sasa mke wangu tutafanyaje, huoni kwamba kila kitu tumefanya lakini hatujaambulia chochote tena mimi nikaambulia tu kutekwa pia”
“Hapana mume wangu, si kwaharaka kiasi hiki, yani umekata tama mapema hivi, kweli unaweza kufanya kazi kama hivyo bila wasiwasi wakati mtoto wetu, kipenzi chetu na rafiki yetu humu ndani hatujui yuko wapi?”
Aliyokuwa anaongea Verity yalikuwa na ukweli ndani yake, Gwakisa alikuwa ameshasahau ishu ya mtoto na alikuwa anaendelea na maisha yake lakini yote ni kwasababu alikuwa anajua aliko mtoto.
Alikaa pembeni akiwaza kwa undani kwani maneno ya mkewe yalikuwa yamemgusa mno, alimkumbuka Yule mtoto japo alijua sio wake lakini alishamzoea kiasi kwamba anaukosa uwepo wake.
“Natoka kidogo ntarudi mda sio mrefu”
“Yani nikikwambia mambo ya mtoto ndio unaaga, hutaki niseme kuhusu mtoto kweli eeenh Mume wangu kweli? Kweli?”
Verity alikuwa anaongea huku analia mchozi lakini Gwakisa hakujali, alizama kwanza chumbani akaelekea kwenye kabati lake.
Alifungua droo iliyokuwa na funguo zake ambazo anaweka kwenye briefcase anayoifunga kwa Password kisha akatoa bunduki zake mbili.
Alizikagua vizuri akapendezewa na moja ambayo ilikuwa na kiwambo cha kuzuia sauti kisha akaibana kwenye suruali yake ya jeans aliyokuwa amevaa kisha akatoka.
Alimpita mkewe aliyekuwa analia kwa huruma akamuangalia kwa sekunde chache kisha nayeye akajikuta akidondosha chozi ila hakutaka kusubiri akatoka.
Kila alivyokuwa anapiga hatua ndio kilio cha mkewe kiliongezeka, mpaka anawasha gari na kutokomea kilio cha mkewe kiligeuka mayowe kabisa akimlilia mwanae lakini Gwakisa hakugeuka alichanja mbuga kuelekea anakopajua yeye.
Alikatisha mitaa kadhaa kisha akatokea kwenye nyumba moja iliyokuwa na nyumba nyingine ndogo pembeni ambazo zilijengwa kwa muonekano sawa isipokuwa hii nyingine ilikuwa ndogo yenye vymba viwili, sebule, dinning na jiko.
Hii nyingine ilikuwa ni kubwa sana kwani ilikuwa inaishi familia ya mmiliki wa nyumba zote hizi mbili kubwa na ndogo.
Yeye Gwakisa alielekea kwenye hii ndogo, alifika akasikia mziki unalia kule ndani kwa sauti kubwa sana.
Alichungulia kidogo dirishani akakuta sura ya mwanamke akiwa amekaa na mzinga wa wisky anakunywa huku anasikiliza mziki.
Gwakisa aliingia huku kashikilia Bunduki yake, alizama taratibu na wala Yule mwanamke hakumuona kwani wakati huu alikuwa kalewa kavaa kanga tu alafu anakata mauno ya mziki huu huku akiwa amekumbatia ukuta.
Gwakisa alimsogelea huyu mwanamke bila kujijua kisha akamgusisha Bunduki kisogoni kisha kwa sauti nzito nay a kukoroma akamwambia….
“Hivyo hivyo ulivyo, ukileta ubishi nafyatua ubongo wote nje, piga magoti chini”
“Gwakisa unataka kufanya nini mpenzi”
“Sina upenzi na wewe, fwata amri la sivyo sitakuwa na mazungumzo tena”
Yule mwanamke poombe zote zilimuisha akajikuta amepiga magoti bila kupenda,
“Haya geuka huku nilipo”
Yule dada aligeuka
“Sitaki masihara, nataka kujua wapi alipo mwanangu, nataka nimuone na nimpeleka kwa mke wangu la sivyo uhai wako ni halali yangu”
“Gwakisa unasemaje, unajua unachomaanisha”
‘kachaa, kwachaaa’ bunduki ilikuwa inakokiwa kwa kufyatuliwa risasi tayari
Yule mwanamke alipoona sura ya Gwakisa ilivyokuwa akajua kabisa kuwa jamaa hatanii.
“Sawa twende ukamuone”
“Twende na ole wako ulete longolongo”
“Ngoja nibadilishe hizi nguo basi”
“Nafasi hiyo hakuna!” alijibu Gwakisa kwa hasira.
Yule mwanamke alifunua kanga yake na kuacha mapaja yake wazi mpaka sehemu zake za siri zikaonekana wazi akitaka kumtamanisha Gwakisa ambaye alianza kukodolea macho mapaja ya mwanamke huyu mrembo na chotara.
Haikutosha Yule mwanamke alifunua blauzi yake na kuacha maziwa yake nje kisha akamwambia Gwakisa huku karembua macho.
“Baby kweli niende hivi si unaona hata sidilia sijavaa”
Gwakisa kama isingekuwa dhamira ya dhati aliyokuwa nayo ilikuwa kidogo tu angekuwa ametekwa na mitego ya huyu mrembo ambaye ni mpenzi wake.
“Sitaki utani nataka utangulie nje uingie kwenye gari na uendeshe wewe”
Amri ilifwatwa na Yule Dada askari aliingia kwenye gari kisha akashika usukani na safari ilianza huku gari ikienda kwa kasi.
Muda wote wakiwa kwenye gari hakuna aliyemuongelesha mwenzake.
Walitembe umbali mrefu kisha wakauacha mji kabisa na kuingia njia za mashambani, walifika kwenye shamba moja kubwa la migomba na mikokoa kisha wakaingia ndani na gari mpaka wakafika sehemu kuna kijumba kimoja kidogo kikiwa kimezungukwa na mikokoa pamoja na migomba huku kikiwa kinawaka taa za umeme.
Walipofika pale walikuja kama vijana watatu wakalisogelea lile gari kisha Yule dada akamwambia Gwakisa.
“Kama bado umeshikilia Bunduki yako hawa jamaa watakuua, wewe tulia uonekane tumekuja kirafiki tu”
Kwa mazingira yale ilibidi Gwakisa awe mpole.
Walishuka kisha Yule dada akasalimiana na wale jamaa wakamruhusu aingie kwenye kile kijumba kikuu kuu
Walipofika ndani waliingia kwenye kijisehemu ambacho kilikuwa kama stoo lakini cha ajabu kilichomshangaza Gwakisa kile kistoo kilianza kupotea kama vile kinadidimia.
Ghafla Gwakisa alijikuta akiwa kwenye sebule kubwa lililokuwa chini ya ardhi huku likiwa la vito vya thamani kubwa sana.
Sehemu hii ya chini ilikuwa na watu wachache ambao walionekana wanafanya shughuli za kawaida tu wakitoka na kuingia kwenye vyumba vilivyokuwa vimepakana na sebule hili.
Gwakisa alipigwa na butwaa kisha akaambiwa akae asubirie alichokitaka.
Alikaa kwenye kochi kisha akaja Baba mmoja akamsalimia kwa kumuita jina lake la Meja Gwakisa.
Gwakisa alishangaa sana lakini Yule Baba alimwambia kuwa nae amewahi kuwa mwanajeshi tena mwenye cheo cha Captain lakini akaamua kuacha.
Gwakisa aliendelea kustaajabu kisha katika hali ya bumbuwazi alimuona Princess akitoka kwenye chumba kimoja huku akiwa na afya njema kavaa nguo nzuri mno.
“Dadiiiiiii”
“Princeeeeeeessss”
Walikumbatiana kwa furaha mno kisha taratibu Gwakisa akawa anapoteza nguvu na kuona giza machoni. Alipoona anazidiwa alimuachia Princess kisha yeye akadondokea kwenye kochi asijue kinachoendelea tena!


Maumivu kwenye uume na mishipa yake yalikuwa makali mno, Gwakisa alikuwa akijivuta kitandani na kujisokota kwani uume ulikuwa unauma sana.
Hakuweza kuelewa kwanini inatokea vile, wakati akiwa anateseka pale kitandani Yule dada askari alikuwa anamtazama tu huku anacheka.
Wakati huohuo alikuwa anajichezesha kwa michezo ya kimahaba huku akizidi kumtamanisha Gwakisa.
Gwakisa kuna wakati alisikia mpaka tumbo linauma chini ya kitovu, alijinyonga na alikuwa akitamani mwanamke afanye nae mapenzi ili apooze uume wake lakini ndio kwanza Yule dada alikuwa anazidi kumpagawisha tu na kumtamanisha.
Kadri muda ulivyokuwa unasonga ndio Gwakisa alizidi kuumia na Yule dada wala hakujali…
Gwakisa aliamua kujikaza na kumuita Yule dada,
“…na..omba ma..ji ya Ba..r.idi u..ni..kande” gwakisa aliomba akandwe na maji ya baridi kwani alitamani ule uume wake utulie.
Uume ulikuwa umesimama kiasi kwamba ulikuwa unatikisika kama kichwa cha chatu aliyeona Mbwa.
Yule dada baada ya kumuona Gwakisa anamwaga chozi alitema mate mkononi akajipaka kwenye sehemu zake kisha akamuendea Gwakisa aliyekuwa kalala pale kitandani na kafungwa kamba mikononi na miguuni.
Alikamata ule mtarimbo wa GWAKISA akauminya minya, alisikia ukiwa wa moto huku ukijitutumua kwa kupumua kama mapigo ya moyo.
Taratibu alitanua miguu yake akawa amekiweka kiuno cha Gwakisa katikati ya miguu yake huku mguu mmoja ukiwa umekanyaga mashariki na mwingine magharibi.
Alichuchumaa taratibu mpaka akafika usawa wa uume wa Gwakisa kisha akawa kama anaukalia akiuelekeza kwenye ikulu yake, ulianza kuingia taratibu huku akiusikia ulivyo wa moto.
Ulivyofika tu katikati Gwakisa alijirusha juu haraka kuuruhusu uume wake uingie wote kitendo kilichomfanya Yule dada Askari aruke pembeni kwa maumivu kwani alisikia kama uume umegota kwenye Ini.
Gwakisa aliachia ukunga mkubwa kwa Yule dada kujiondoa kwake huku akiendelea kujinyonganyonga, Yule dada alijishika tumbo kwa maumivu huku akiwa kajiinamia, alivyoona maumivu yametulia akaurudia tena ule mtarimbo na kuukalia huku akiwa ameshikilia kiuno cha Gwakisa ili asije akafanya kama awali.
Gwakisa alijiona kama mtu aliyekuwa na kiu jangwani alafu akaletewa jagi la maji Baridi, alikifakamia kitumbua cha Yule dada huku dada Yule nae akijisikia raha sana, Gwakisa alikuwa akishambulia kwa nguvu kwa kupandisha kiuno chake juu huku anakutana na Yule binti anayeshambulia kwa chini hivyo kukutana katikati.
Gwakisa alikuwa anasikia raha sana kiasi kwamba alikuwa analalamika kama vile yeye ni mwanamke, haikuwa kwa Gwakisa tu, Yule dada nae alikuwa anashambuliwa kwa kiwango kilichomfanya aanze kuweweseka,
Ndani ya dakika chache alifikia hatua ya kutaja majina yote ya wazazi na wazee wake, alikuwa anafikia kilele cha mlima Kilimanjaro.
Aliachia ukulele mmoja wa nguvu kisha akatulia kama amezimia, alikuwa anaona mawingu mawingu kitendo kilichomfanya awe hatoi tena ushirikiano kwa Gwakisa.
Gwakisa kuona vile alitamani azikate zile Kamba ili amnyakue Yule mrembo lakini kamba zilikuwa ngumu sana.
Aliendelea vilevile huku kila dakika akizidisha kasi ya mashambulizi mpaka pale Yule binti aliporejea kwenye ufahamu wake na kuanza tena kumpa ushirikiano.
Kazi iliendelea mpaka wakati Gwakisa aliposhusha mzigo wake bandarini lakini hiyo haikumfanya asitishe zoezi, bado misuli ya uume wake ilikuwa imara na imekaza mno kiasi kwamba alitaka kuendeleza zoezi.
Yule dada alikuwa amevifikia vilele vingi tu na kwasasa kazi ilikuwa inamshinda, Gwakisa alikuwa anatamani afunguliwe ili ajinyakulie Yule dada ambaye alikuwa anaonekana kama anataka kumkacha lakini uwezo huo alikuwa hana.
Muda ulizidi kuyoyoma hadi ikafika wakati Yule dada akawa hana uwezo kabisa na kumuachia Gwakisa akiwa analalamika kwa hamu, Yule dada alienda kuchukua maji ya moto na mafuta ya mzeituni kisha akawa anamchua Gwakisa kwenye uume.
Alifanya hivyo kwa muda wa lisaa lizima hadi gwakisa aliposhusha mzigo mwingine na kumfanya atulie kama tahira.
“Hii niliyokuonyesha Mr Gwakisa ni kukufanya ujue kwamba sisi tuko juu yako na tunakumiliki kuanzia siku uliyoingia mkataba na sisi, sasa unaweza ukaenda kwako”
Gwakisa alifunguliwa Kamba ili aondoke lakini alipojaribu kunyanyuka tu alipepesuka na kuangukia tena kitandani na kupitiwa na usingizi mzito.
……………………………………
Sam alikuwa ameganda kama barafu akiwa hajui afanyeje. Kitendo cha kutumiwa meseji kuwa mama yake amefariki huku mkewe akiwa mfu pale kitandani kilikuwa kimemuweka njia panda.
Ahusike msiba upi na auache upi ikiwa yote ni yake? Aliganda huku machozi yakiendelea kummwagika mashavuni.
Hakumuona wa kumueleza chochote pale kwa ndugu na wakwe aliokuja nao isipokuwa madaktari ambao walikuwa pale. Ndugu wote walikuwa wanamlilia Rafiki na hivyo wasingekuwa msaada kwake
“nifanyeje mimi, mke wangu kafa, mama yangu kafa nimzike nani nimuache nani mimi….uwiiiiii”
Sam alipiga yowe kali kisha akaanguka chini huku akiwa ameshikilia kichwa chake maeneo ya utosini
“Kichwa change jamani mimi..kichwa changu”
Sam alikuwa anasikia maumivu makali sana ya kichwa kama vile kinapasuka ndio maana akawa amekishikilia, madaktari walilijua hilo.
Walimchukua wakampandisha kwenye kitanda kisha wakamchoma sindano ya usingizi, ndani ya dakika kadhaa aliangukia kwenye dimbwi la usingizi mzito sana.
……………………………………………
Gwakisa aliamka baadae sana na kuelekea kwake ikiwa tayari ni siku nyingine, aliwaza sana katika hali aliyomuacha nayo mkewe akilia asiondoke lakini kalala kabisa huko huko.
Alimhurumia sana mkewe akimuona kuwa atakuwa kwenye hali ya huzuni na upweke mwingi kwani kalala usiku kucha peke yake.
Kitu kingine ni kuhusu mtoto, akamwambie nini mkewe ikiwa amemuona mtoto lakini ameshindwa hata kuongea nae?
Akiwa anawaza simu yake iliita, alipoangalia akakuta mpigaji ni yuleyule dada, alipokea na kuitika
“Haloo”
“Sasa sikiliza,
“enh”
“ukifika kwako usimwambie chochote mkeo kwamba umemuona mtoto, ukisema tu atapotezwa usimuone hata wewe”
Simu ilikatwa hku Gwakisa akibaki na majonzi, aliendesha gari yake mpaka kwake kisha akakuta geti liko wazi.
Aliingiza gari ndani akashuka na kutembe kuingia ndani kwake. Kule alikuta mkewe amelala pale chini kama alivyomuacha jana yake na nguo zile zile.
Alishtuka sana akamsogelea na kumuita lakini hakuitika, aliinama akamtingisha kisha akanyanyua uso na kufumbua macho.
“Mbona umelala hapa chini mke wangu”
Gwakisa aliuliza lakini hakujibiwa “mbona umelala hapa chini mke wangu?”
Aliuliza tena lakini badala ya majibu Verity alionekana akidondosha tu machozi.
Gwakisa alichofanya alimnyanyua mkewe na kumuingiza chumbani, kule alimlaza kitandani kwani alikuwa hana nguvu kabisa hata za kusimama.
“Umekula?”
Verity alitingisha kichwa kuashiriaa hajala, yaani toka jana yake alikuwa hajatia kitu mdomoni, Gwakisa alielekea kwenye friji akakuta kuna maziwa, aliyapasha moto kisha akampa mkewe anywe kwa kumnywesha.
Alipomaliza alimlaza tena kitandani apumzike, Gwakisa alikuwa kaka pembeni yake tu anamuangalia, alikuwa akitafakari mambo mengi sana yaliyokuwa yanampa huzuni.
Japo alipanga alipe kisasi kwa mke wake kwa kuzaa na mtu mwingine lakini alijikuta tu akimuonea huruma kwa kuwa pia aliamini ile mimba iliingia akiwa hajamuoa bado japo tu hakuambiwa ukweli.
Baada ya muda kidogo Verity alinyanyuka kwa kupepesuka kisha akaelekea bafuni huku Gwakisa akimfwata kwa nyuma.
Alipofika bafuni alivua nguo aoge, alianza na gauni kisha taiti, alipofika kwenye nguo ya ndani alinyanyua mguu mmoja ili aitoe lakini alishindwa na kidole kikanasa kwenye ile nguo kitendo kilichotaka kumpeleka chini kwenye tiles kama sio kudakwa na Gwakisa.
Gwakisa alimshikilia mkewe akamvua nguo vizuri kisha akaanza kumuogesha taratibu, alimuogesha huku kamshikilia na nguo zake akawa analoa lakini hakujali.
Alimsugua kila kona kitendo kilichomfanya asisimkwe, kuna maeneo alikuwa akimgusa Verity alikuwa anajinyonga nyonga akajua hata mkewe nae kuna hisia anapata.
Alipomaliza kumuogesha alimpa mkewe mswaki alioutaka kwa kuonyesha kwa ishara kisha akawa anajisafisha kinywa.
Gwakisa yeye alitoa nguo zake na kuanza kuoga vizuri.
Alipomaliza huku wakwa uchi alimchukua Verity hadi chumbani wakaanza kujifuta na mataulo yao kisha Verity akajilaza kitandani huku miguu kaning’iniza chini lakini akawa kaipanua kitendo kilichoacha kitumbua chote kiwe wazi kama cha Mbuzi.
Gwakisa alihisi mkewe anataka huduma japo alikuwa hawezi kutoa sauti kwani ilikuwa imekaukia kwa kulia sana jana yake usiku kucha.
Gwakisa alimuendea mkewe kujaribu kama ni kweli anataka, alimlalia kwa juu kisha akampelekea mdomo ambao ulipokelewa na wakaanza kunyonyana.
Walinyonyana huku Verity akiwa anachezea kifua cha Gwakisa na Gwakkisa nae akicheza na sehemu mbalimbali za mkewe ambazo aliamini ndizo sehemu zake dhaifu.
Verity alikuwa kakolea mno na alitaka sasa treni ianze kupita relini. Alipeleka mkono wake kwenye tango la mme wake lakini alishtuka sana.
Kilichomshitua hata Gwakisa alikijua kwani pamoja na michezo yote ile lakini mashine yake ilikuwa imesinyaa kama ndizi iliyoanikwa juani kutwa! Tena kila ilivyoguswa ndio ilizidi kuwa ndogo inayoonekana kutokuwa na uhai hata kidogo.


Gwakisa aliteseka usiku kucha, mashine yake ilikuwa inasimama kidogo ila akiifikisha karibu na ikulu ya Verity inasinyaa mpaka ina kuwa kama kipande cha chipsi.
Hali hii ilimtesa sana Gwakisa akahisi amelogwa, wakati huu tayari mashetani ya Verity yalikuwa yako juu yanataka kupungwa alafu mpungaji kawa dhaifu.
“Kwani mume wangu umepatwa na nini leo ”
Gwakisa hakujibu kitu, akili yake ilikuwa inawaza mambo mengi mno…
“Mme wangu hivi unadhani mimi najisikiaje saivi nipe haki yangu basi”
Gwakisa aliwaza akajikuta anadondosha chozi, hali anayokutana nayo alikuwa hajawahi kuipata kamwe kwenye maisha yake,
Taratibu alinyanyuka mpaka bafuni akaegemea ukuta wa bafu, alianza kujishkashika kwenye mashine yake kama vile anataka kujichua, alifanya hivyo akikumbushia walivyokuwa wanajichua kujipunguzia mihemko wakiwa kwenye kozi zao zi kijeshi lakini wala mashine ilikuwa doro.
Alirudi kimyakimya mpaka chumbani akamkuta mkewe akiwa kalala, alijilaza kimyakimya ili asiamke lakini alivyomalizia kushusha kichwa kwenye mto Verity akaamka.
“Mme wangu umekuwa hanisi?”
“Unasemaje? Nimekuwa hanisi?”
“Sasa mbona husimamishi?” gwakisa alishindwa kujibu chochote na kujikuta akiishiwa nguvu na kuwa dhoofu wa moyo kabisa.
Verity kwa hamu alizokuwa nazo aliamka akakaa kisha akamvua mme wake bukta aliyokuwa amevaa kisha akashika uume wake akautia mdomoni.
Aliunyonya weee mpaka akaskia taya zinamuuma lakini hakuona matokeo yoyote, hasira zilimpanda akamshushia kofi languvu tumboni ‘paaaa’
……………………………..
Sam aliamka akawa kama anaota alishtuka mbele yake akiwa amesimama mke wake Rafiki, alizidi kushtuka kwani yeye alijua kuwa Rafiki kafa.
“WEWE ni mke wangu ama naota?”
“Ni mimi Sam wala usihofu ni mimi”
“Imekuwaje si uliku..fa wewe”
“Sikufa mme wangu niko hai, unajisikiaje?”
“Najisikia vizuri”
Sam aliamka na kumkumbatia mke wake kwa furaha, wakati anafanya hivyo RPC alikuwa anaangalia tu, alijifunza kitu kuwa wanae wanapendana sana.
Taratibu alisogea pale walipokumbatiana nae akaungana nao ikawa sasa ni watu watatu wamekumbatiana.
“Nimekusamehe sam, naomba namimi unisamehe, naomba muwe na maisha ya upendo mnaouonyesha hapa”
Sam aliposikia hivyo nae alinyanyua kichwa chale akamtazama RPC kisha akatabasamu huku chozi likimtiririka… “nimekusamehe pia, namimi naomba unisamehe nilipokosea”
Walikumbatiana tena kwa nguvu kisha wakaondoka pale hospitali japo Verity alipewa dawa nyingi za kunywa ili kuendelea kumsafisha na sumu aliyobugia.
Walirudi nyumbani wakafikia kwa RPC, walikaa wakiendelea kuzungumza kisha wakafika kwenye ishu ya Sam kufiwa na mama yake.
RPC alichokifanya alipiga simu ofisini kuwataarifu watu kuhusu msiba kisha watu wakaanza kujaa pale kwa RPC kwani msiba ilibidi uwe pale.
Taratubu zote za kiofisi zilifwatwa kwani mfanyakazi anapofiwa na mzazi au mtoto huwa kuna taratibu ambazo ofisi inazichukua.
Mipango ilipangwa na pesa zikachangwa kisha watu wakajiandaa kwa ajili ya Safari kesho yake mchana.
Masaa yalisogea ikawa asubuhi kisha gari aina ya coaster mbili zikiwa ziko tayari kwa ajili ya kusafirisha waombolezaji.
RPC alikuwa kwenye gari yake ya ofisini ambayo alikaa yeye, sam, Rafiki, Mke wa RPC Pamoja na dereva ambaye alikuwa ni askari pia.
Sambamba na hilo pia kulikuwa na gari nyingine ambayo ilikuwa imebeba baadhi ya askari ambao ni maalum kwa ajili ya kumlinda RPC.
Safari ya kijijini ilianza na ndani ya masaa kadhaa tayari walikuwa wamefika chalinze, walikunja njia ya kuelekea kaskazini mwa Tanzania na kuiacha ile ya kwenda Dar es salaam.
Waliendelea na safari mpaka walipovuka mto wami na kuendelea kuchanja mbuga, wakati safari inaendelea wapo baadhi ya watu walikuwa wamebeba Pombe wanaendelea kunywa taratibu huku wanapiga stori mbalimbali wanacheka.
Hali ilikuwa tofauti kwa Sam kwani alikuwa anakumbuka mambo mengi sana kuhusu mama yake,
Walipofika eneo la mkata sam alirudisha kumbukumbu zake siku aliposhushwa kwenye gari kwaa sababu ya kukosa nauli, alikumbuka alivyomwaga machozi kwa kiu na njaa huku akitamani kufa siku ambayo alisafiri bila kuwa na nauli akitafuta namna ya kwenda kujaribu maisha.
Akili yake ilizidi kurudi nyuma akakumbuka maisha aliyoishi na mama yake huko nyuma akiwa mdogo, alikumbuka siku mama yake aliposhikwa matako mbele yake na kuamua kumpasua mtu kwa chupa.
Alikumbuka kitendo kile akajikuta akijisemea ‘mama aliposhikwa tako mbele yangu’ hapa ndipo alipomshitua Rafiki aliyekuwa amemlalia Sam mapajani aliposikia sauti yam me wake.
Alinyanyuka ili ajue kwannini mme wake ametamka sentensi hiyo lakini akakumbana na tone la chozi lililokuwa linatoka kwa Sam.
Rafiki alichukua simu yake akaiwasha akammulika Sam na kugundua kuwa alikuwa analia, “unalia nini mume wangu”
“Acha tu mke wangu, kila nikiipita hii njia nakumbuka mambo mengi sana”
“Basi usilie mme wangu, mshukuru mungu kuwa yote sasa ni historia”
“Ni ngumu sana kusahau, ni ngumu sana mambo haya siwezi kuyasahau, acha tu leo nilie”
“Sasa ukilia ndio utakuwa umebadilisha nini mme wangu, vumilia tu hata mimi naumia kwa ajili yako ”
“Unajua mama yangu nilikuwa nampenda sana, hustle zote nilizozifanya ilikuwa ni kwa ajili yake alafu leo kaondoka?”
Sam alizidi kulia kimya kimya….
“mme wangu usilie ukamkufuru Mungu, kila mtu atakufa, tumuombee alale salama na tukutane paradiso”
“pamoja na hivyo lakini hujui tu mke wangu, hujui tu yale niliyopitia…”
“shshshsiiiiiiii….basi nyamaza mme wangu utanisimulia siku nyingine”
Rafiki akiwa amemlalia mme wake mapajani alipandisha uso wake mpaka kwenye uso wa Sam kisha akaleta mdomo wake vikagusana na ule wa mme wake.
Sam alijitahidi kuukwepesha lakini Rafiki akufwata huko huko uliko akaudaka na kuanza kuunyonya, wakati huo huo Rafiki alipeleka mkono wake kwenye maungio ya Sam na kuanz kuyapapasa.
Wakati wote huu RPC na watu wengine hawakujua kwani RPC alikuwa kaka mbele na Dereva, Mkewe yaani mama mkwe wa Sam alikuwa kaka katikati na nyuma walikuwa ni Sam na Rafiki peke yao.
Sam alipokuwa anaendelea kushikwa alianza kusisimkwa kisha mhogo wake ukatuna na kusimama dede, ghafla mawazo yote ya msiba yalipotea na kujikuta akizama kwenye ‘huba’ nzito.
Nayeye hakusubiri sana alianza kuelekeza mkono wake kwenye chuchu za Rafiki na kuzipikicha kitendo kilichoamsha mashetani ya Rafiki, alizipikicha zile chuchu kwa mda huku rafiki yeye akiwa amemtia jongoo wa Sam mdomoni anamnyonya kama koni.
Sam alipoona mambo yamekuwa mambo alikamata suruali ya Rafiki na kuifungua zipu kisha akaanza kupeleka mkono wake chini akakutana na nguo ya ndani akaipangua, alizidi kuzama chini na kukutana na vinyweleo vinavyochipukia baada ya kunyolewa.
Alizidi kuzama chini akaanza kukutana na unyevuunyevu, alikitenga kidole cha katikati kisha akaanza kukizamisha ndani huku Rafiki akitanua miguu zaidi ili kizame.
Katika hali iliyomshangaza Sam ni pale Rafiki aliposimama na kushusha suruali yak echini kidogo, alipoishusha alirudi akamkalia Sam taratibu hadi kitu kikapenya ndani kisha wakaanza kusulubiana taratibu wakiwa wananakshiwa na mtikisiko wa gari kwani walipofika kwenye matuta ilikuwa ni kama wanasaidiwa kwani ilikuwa inaingia vizuri.
Ghafla Rafiki alianza kutoa sauti za mahaba, haraka haraka Sam alimziba mdomo kisha akazidisha mashambulizi kumsindikiza mkewe kwani alijua kuwa anafika kileleni.
Dakika kadhaa mbele Rafiki alitulia kuashiria amefikia lengo, Sam nae alimkumbatia mkewe zaidi kisha akajitengea vyema hatimaye nae akatua mzigo bandarini salama.
Rafiki alisimama akapandisha suruali yake kisha akambusu mme wake na kumlaza kwenye mapaja yake kisha akamwambia … “asante sana mme wangu sasa nawewe lala kidogo”
Sam alilala kweli na usingizi ukamchukua huku safari ikiwa inaendelea, alilala huku Rafiki akitumia muda huo kumsugua sugua

Gwakisa alishtuka kwani kofi lilimuingia vilivyo, aligeuka haraka akitaka amkwide Verity lakini akaishia njiani baada ya kukutana na Verity aliyekuwa analia kwa kwikwi!
“Hivi mimi nina mikosi gani jamani…nimepoteza mtoto, mme wangu kawa hanisi hivi nitapata mwingine kweli”
“Verity acha kuongea maneno hayo”
“Nisiongee vipi, nikae kimya kwa lipi sasa, siwezi siwezi kukaa kimya wakati sina mtoto alafu mme mwenyewe hanisi” katika madhaifu ambayo Verity alikuwa nayo ni hasira, kukosa subira na uropokaji
Kwa haya Verity alikuwa amebarikiwa nayo, Gwakisa aliumia sana alijisikia vibaya mno kwakuwa haiwezekani ishu ya siku moja tu lakini mkewe anakosa uvumilivu na kuongea yote yale…
“Verity naomba uniheshimu, nimekuvumilia lakini naona unanipanda kichwani sasa, umezaa mtoto na mwanaume mwingine ukanisingizia mimi, nimekaa kimya unaniona boya eenh?”
“Acha visingizio Gwakisa mtoto ni wako alafu unanisingizia tu”
Gwakisa aliamka akaenda kabatini akatoa bahasha yake aliyokuwa ameificha kisha akawasha mwanga mkali kwani huwa wanawasha mwanga wa taa kidogo tu wakati wa kulala…
“Si unajua kusoma wewe? Haya soma haya majibu ya DNA”
Verity alinywea akaishika karatasi aliyokuwa ameshika Gwakisa, alisoma mpaka mwisho kisha akajikuta anaishiwa pozi.
“Ongea tena sasa, mbona kelele zimekuishia”
Verity alikaa kimya akiwaza ndani ya akili yake, alijikuta akiamini kwa uhalisia kuwa kumbe kweli Princess alikuwa mtoto wa Sam, aliamini kwa asilimia zote japo alikuwa anajua hivyo lakini haikuwa kwa uhakika kabisa kwani alitembea na SAM na GWAKISA wote kwa vipindi vya kukaribiana.
Wakati anaendelea kuwaza Gwakisa yeye alikuwa anawaza kuhusu tatizo lililomkumba, alikumbuka mambo mengi lakini kubwa zaidi ni hali iliyomkuta kule kwa Yule dada Askari ambapo uume wake ulisimama kiasi cha kumfanya awe kama mgonjwa alafu anarudi kwake unakuwa hausimami hata kidogo.
Hapo hapo akajua kuwa kuna kitu yula dada amemfanyia, kwa hasira aliamka akavaa trak yake akachukua funguo za gari kisha akatokomea barabarani.
Alipokuwa njiani aligundua kuwa amesahau bunduki yake akataka kurudi lakini akajisemea moyoni kuwa…
“Potele mbali, Yule namuua bila bunduki, tena ndio vizuri iwe kimya kimya”
…………………………..
RPC alilisogelea gari kisha akaanza kulizunguka akitafuta watu wanaolitingisha huku yeye mawazo yake yote yakimwambia kuwa huenda ni wezi wanataka kuiba spea za Gari yake.
Akiwa anachunguza gari lake alilizunguka lote lakini hakuona mtu yeyote, aliamua kuinama kwa tahadhari akichungulia chini uvunguni mwa gari lakini vule vile hakuona kitu wala mtu yeyote.
Moja kwa moja alijua mtu huyo yumo ndani ya gari, pole pole alitia mkono mfukoni akatoa simu yake akawasha sehemu ya tochi.
Alimulika mule ndani ya gari… ‘oooh’ Loh! Aibu ilimshika, hakuamini alipomuona binti yake kamkalia mwanaume kwa juu wanafanya mapenzi huku mwanaume Yule akiwa anazichua chuchu za mtoto wake ambaye ni Rafiki.
Haraka haraka alizima simu yake na kuosogea pembeni, alianza kuwaza na kuwazua, alikuwa na uhakika wote kuwa mwanamke aliyemuona hakuwa mwingine isipokuwa ni binti yake wa kumzaa isipokuwa sasa, hakuiona sura ya mwanamke aliyekuwa amekaliwa kwa juu.
Aliwaza akafikiri huenda ni SAM, lakini akili yake ikawa inamkatalia kuwa Sam hawezi kuwa na nyege za kumlala mkewe ndani ya gari kama vile wanakutana kwa dharura wakati ni mke wake mwenyewe.
Kingine ni kwamba iweje Sam awe na mihemko hiyo ikiwa amefiwa na mtu muhimu kama mama yake mzazi, moja kwa moja alijua kuwa mwanae anachepuka, jambo ambalo hakulipenda… moyoni mwake Alishampenda Sam sana kama mkwe wake.
Alichoamua ni kufwatilia maaskari wake wote aliokuja nao akidhani kuwa huenda mmoja wao ndio yuko na Rafiki,
Alizunguka lakini ajabu ni kwamba wote aliwaona, ila kingine ni kuwa katika Zunguka yake yote Hakumuona Sam kisha akapitisha kuwa huenda Sam ndie alikuwa anafanya kile kitendo kule ndani ya Gari.
Hakutaka kuamini moja kwa moja, alimfwata mkewe na kumhoji kuwa ndani ya gari aliwaacha akina nani?
“Kwanini unauliza hivyo? Nilimuacha Sam na Rafiki”
“Okey sawa”
RPC hakutaka kuhoji zaidi ila alijilaumu kuwa kwa mara nyingine tena ameuona uchi wa mtoto wake kitu ambacho kilimhudhunisha sana.
“Dah natakiwa nikae mbali sana na hawa watoto, ipo siku nitadhalilika sana!”
Akiwa amekaa na mkewe wanakunywa na kula, ghafla mbele yao alitokea Sam na Rafiki wakiwa wameshikana mikono, Hapa ndipo RPC alijua fika kuwa hawa ndio aliwaona kule kwenye gari.
Alijisikia aibu sana na hakuweza kuwaangalia machoni, aliinamisha kichwa chake chini ili asiwaone machoni maana alihisi kuwa alivyowamulika huenda nao walimwona.
“Mama naona mnajichana tu” aliongea rafiki.
“Ah tunajichana wapi, mbona kawaida tu kaeni na nyie mle”
Rafiki alikaa kisha akamvutia Sam kiti ili nae akae isipokuwa Sam alikaa tu kwa shida ila hakutaka kukaa pale.
“Mama wewe ndie ulikuja kwenye gari?”
“Mh mimi sijaja huko kwanini?”
“Kuna mtu tulimuona anakuja na kumulika kisha akaondoka”
“Mhhhh mimi sikufika huko, eti Baba Rafiki wewe umeenda huko?”
RPC likuwa kama anashituliwa usingizini lakini hakukubali kujibu kuwa yeye ndie alienda kule.
“Hapana mimi sijaenda huko”
“Ulivyotoka hapa ulienda wapi,” aliuliza mke wa RPC.
“Nishakwambia sijaenda huko”
Kwa majibu haya Sam alihisi kuwa kuna dalili zote kuwa aliyekuja kule ni RPC ila anaona aibu kwakuwa aliwakuta wakiwa wanavunja amri kwenye gari lake.
Mjadala uliisha kwa Rafiki kuagiza nyama ya mbuzi ya kuchoma na Red BULL wakawa wanakunywa na kula.
Baadae sana huku story zikiwa zinaendelea RPC yeye alikuwa anabugia castle lite akawa amelewa sana kwani alitaka apotezee mawazo ya kuwaona wanae wakiwa kwenye hali ile ya kugegedana.
Waliondoka kwenda kwenye magari yao ili safari iendelee lakini RPC alimvuta Sam pembeni na kumnong’oneza jambo
“Siku nyingine usimtom..bee mwanangu kwenye gari langu”
Sam alishtuka lakini RPC kwa mara nyingine akamwambia “usishtuke twende kwenye gari”
Sam aliondoka wakaingia kwenye gari na kwakuwa wao walikaa siti ya nyuma ilibidi wapishwe ili wapite kwanza kwani siti za nyuma hakukuwa na mlango wao binafsi.
Waliingia kwenye gari ikiwa ni saa tisa usiku kisha safari ikaendelea. Walitembea mpaka walipofika Same wakakunja kuelekea milimani ambapo baadae walianza kukutana na mawingu mazito wakiwa wanapandisha milimani kuashiria kwamba sasa Wako kwenye milima ya Pare.
Baridi ilikuwa kali mno na tayari mwenye koti lake alianza kulitafuta lilipo na kulivaa, Sam na Rafiki walikumbatiana kwa kutafuta Joto lakini Sam alijitahidi sana kuzuia hisia zake isije ikatokea kama yale ya awali.
Kilichomhamisha Sam Mawazo ni baada ya kuona milima na miinuko ya kule kwao, alianza kukumbuka siku za nyuma na maisha jinsi yalivyokuwa.
Aliona vijiji vikiwa vimefunikwa na kijani kibichi pamoja na migomba mingi huku Moshi wa kuni ukiwa unaonekana kwenye baadhi ya nyumba.
Gari zilikuwa zinaendelea kukatisha kwenye vijiji hivi kwa mwendo wa taratibu kwasababu yak on nyingi na mifereji ya maji iliyokuwa inakatisha barabarani kutokana na kilimo cha umwagiliaji kutawala sana kwenye hivi vijiji.
Kwa Sam ilikuwa ni nafasi nyingine ya kuyaona tena makazi yaliyomkuza na aliyoyazoea, maeneo mengi aliyokuwa anapita alikuwa anayajua fika.
Hofu ilikuwa ni kwa Rafiki ambaye alikuwa hajawahi kufika huku hata mara moja, milima ile ilikuwa inamuogopesha sana akiangalia jinsi gari zinavyoipanda na kuishuka.
Sam yeye mawazo yalikuwa mbali sana akikumbuka siku za nyuma akiwa kwenye hivi vijiji, japokuwa ilikuwa ni vijijini lakini kulikuwa na nyumba nzuri na za kisasa huku umeme ukiwaunawaka kwa karibia kila nyumba.
Ilipotimu saa kumi na mbili alfajiri walifika jirani na nyumba ya akina Sam ambayo ndipo alipozaliwa mama yake Sam.
Uzuri ni kwamba Sam alipopata kazi jambo la kwanza lilikuwa ni kuijenga nyumba hii aliyokuwa anaishi Bibi yake mzaa mama yake kwani ilikuwa ni kuu kuu sana wakati huo akiwa hajaajiriwa kama askari.
Mama yake alipoanza kuugua na kuacha jazi ya baa alihamia hapa hivyo Sam aliona hana sababu ya kutokuikarabati na sasa inaonekana ni nyumba ya kisasa na inamsitiri katika wakati huu wa msiba wa mama yake.
Walipokaribia pale walianza kuona watu wengi wakiwa wametanda kila sehemu jirani na kwao, vijana wengi walikuwa wanaota moto ambao ulikuwa umewashwa kuashiria kuwa walilala matanga hapo.
Kama kawaida ya watu wa kijijini walipoona magari yanaingia waliyakimbilia na kuanza kushusha mizigo iliyokuwa kwenye yale magari.
Mizigo kama viroba vya mchele, mafuta ya kupikia, mahema, unga wa ngano mabegi na mizigo mingine vilishushwa kisha watu wakastaajabu kuona askari wenye nyota zao wakishuka sambamba na RPC.
Kimya kilitanda na kila mtu alikuwa anawatolea macho RPC na wale askari wake,
Salamu zilianza kwa kushikana mikono kwa kuwasalimia watu wote waliokusanyika pale.
Sam aliposhuka kwenye gari na kuonwa na watu waliokuwepo hapa ndio fujo zilianza, kila mtu alimkimbilia na kumkumbatia huku wanampa pole.
Hata mkewe Rafiki alishangazwa na kile kitendo, hakujua kuwaa kumbe mume wake alikuwa kipenzi cha watu kiasi kile, alikuwa anapendwa na kujulikana kwa kiasi kikubwa namna ile.
Lakini ukweli ni kwamba ukarimu wa sam, kujitoa kwake na kuwaheshimu wakubwa kwa wadogo kulimfanya awe kipenzi cha kila mmoja pale kijijini.
Jambo jingine ni uhodari wake kwenye michezo ndio ulimfanya awe kivutio kikubwa kwani karibia vijana wote walimjua kwa uhodari wake kwenye ugolikipa.
Machozi yalikuwa yanamtiririka mashavuni lakini yalizidi baada ya sura yake kumuona mtu Fulani kwa mbali wakakutanisha macho…
Huyu hakuwa mwingine bali alikuwa ni Mwalimu Josephine Karia….

Gwakisa aliendesha gari kwa fujo mpaka akafika nyumbani kwa Yule dada Askari, alipofika aliliegesha nje kisha akazama ndani bila hata kubisha hodi.
Alipofika ndani aliangalia pale sebuleni lakini hakuona mtu yeyote, aliendea mlango wa chumbani akausukuma ukafunguka.
Alipofika ndani aliona mwanamke mrembo akiwa kwenye vazi la sidilia na chupi tu amejilaza kitandani,
Alikuwa ni mwanamke mrembo kweli ambaye alikuwa na ngozi nyeupe pee na laini hata kwa kuitazama tu.
Huyu hakuwa mwingine bali ni Yule Yule dada Askari, alimuangalia Gwakisa kwa macho ya kurembua lakini alikutana na uso wenye makunyanzi kweli kweli.
Gwakisa alikuwa ni mwanaume mweusi ti titiii! Alikuwa na mwili mkubwa uliojengeka kimazoezi lakini pia sura yake ilikuwa ngumu kweli.
Kama ingekuwa ni mwanamke mwenye wasiwasi na mambo yake kwa kuiona tu ile sura ya Gwakisa angekuwa ameshaanza kutokwa jasho lakini haikuwa kwa bidada Yule.
“Karibu Gwakisa, lakini kuwa mpole tafadhali usije ukaumia”
“Unasemaje wewe msen..ge”
“Okey, kama mimi ni mseng..e sawa…lakini angalia vizuri usije ukawa wewe ndio msen..ge”
Kwa hasira Gwakisa aliruka kwa nguvu pale kitandani amkabe Yule dada lakini cha ajabu alikumbana na kitanda tu, kama umeme Yule dada alishajitoa pale na kusimama kando.
Gwakisa hakuridhika alimsogelea huku kakunja ngumi zake na wakati huo Yule dada alikuwa anamwangalia tu huku anamrembulia na tabasamu juu kama vile hakuna kinachoendelea.
Gwakisa alijikusanya vizuri kwa mara nyingine alirusha teke kali likiwa na lengo la kumchota Yule dada lakini ajabu ni kwamba teke lake lilipita kama upepo bila kugusa sehemu yeyote ye mwili wa Yule mrembo na mbaya zaidi liliishia kupiga kwenye tendegu la kitanda kitendo kilichomuumiza Gwakisa na kujikuta amekaa chini.
“Tulia mwanamume, utaumia bure, kama una swali uliza usaidiwe sio kuja tu na kurusha mateke bila mpangilio”
Aliongea Yule dada kwa dharau huku Gwakisa akiwa anaugulia maumivu pale chini.
Taratibu Yule dada alimfwata Gwakisa pale chini akamnyanyua na kumkalisha kitandani, alimuacha akafungua kabati lake akatoa dawa ya kupulizia ambayo hupunguza maumivu kisha akampulizia Gwakisa ambaye alikuwa aneanza kuvimba kwenye sehemu ya mguu wake.
Gwakisa akiwa anachuliwa mguu wake aliulizwa…
“Kwani tatizo ni nini mpenzi wangu?”
“We umenifanya nini mpaka siwezi kufanya mapenzi?”
“Unadhani nitakuwa nimekufanya nini?”
“Labda tu nikwambie ukweli, inawezekana hunijui mimi lakini ukweli ni kwamba kama nitaendelea kushindwa kufanya mapenzi nitakuua kwasababu najua wewe ndio sababu
“Hahaaaaa Gwakisa mpenzi wangu, huwezi kuniua mimi”
“Utaona sasa”
“Nakwambia huwezi ila mimi naweza kukuua wewe tena ujue kuwa maisha yako yote nimeyaweka kiganjani kwangu, yaani kazi yako, familia yako, mali zako, uhai wako na hata urijali wako”
“Una uhakika?”
“kipi usichokiamini, mara ngapi nimekuonyesha uwezo wa kukufanyia yote niliyoyasema kwa mafanikio tena kwa vikwazo vyepesi sana kutoka kwako”
Gwakisa ilibidi atulie kwani ukweni ni kwamba yote yaliyosemwa yalikuwa na uhalisia, alichokifanya ni kukaa kimya huku kainama chini kisha baadae akanyanyua kichwa na kumwambia Yule dada askari….
“Nomba tu unirudishie urijali wangu, nitaumbuka mimi…”
“Wala usijali wewe ni rijali”
Baada ya Gwakisa kujibiwa vile alibaki kamkodolea tu Yule dada macho, Yule dada nae alinyanyuka na kisha kumsimamisha na Gwakisa nae kisha akamkumbatia kwa kupitisha mikono nyuma ya shingo ya Gwakisa na kumfwata mdomoni ili wabadilishane mate.
Gwakisa hakuwa na ujasiri kabisa wa kufanya hilo tendo kwani alijua kile kilichomtokea kwa mkewe kitatokea tena lakini Yule dada alimng’ang’ania mdomoni na kisha wakaanza kubadilishana mate.
Zoezi hilo liliendelea na kilichomshitua Gwakisa ni kuona sehemu zake zikianza kutuna, alistaajabu sana na kwa jinsi zoezi lilivyoendelea ndio mashine yake ilikuwa imara kama chuma.
Nguo zake zilivuliwa na kuwekwa chini huku Yule dada nae akimalizia chup..i yake na sidilia kisha kuvibwaga chini na wote kuwa saresare.
Gwakisa alimvutia kitandani Yule dada na kumkumbatia kisha akaendelea kunyonya midomo huku akichezea chuchu zake, burudani ndani ya akili ya Gwakisa ilikuwa kubwa kwani alijua hataweza tena lakini kitendo cha kujikuta akiwa imara kabisa kilimfanya ari yake iwe juu kuliko wakati wowote.
Alichokifanya Gwakisa alimvuta Yule dada mpaka kwenye ncha ya kitanda kisha miguu ya Yule dada akaivisha mabegani kwake na kukifanya kitumbua cha dada wa watu kionekane wazi wazi kikiwa kimelenga juu.
Gwakisa aliukamata mpini wake ambao ulikuwa wa moto na kuuelekeza pale pale kunako na kuuingiza hatua kwa hatua huku dada wa watu akiwa anajivuta juu kuufwata,
Taratibu aliuzamisha wote kisha ‘shhhh…..haaaaa’ Yule dada wa watu akatoa sauti za mahaba.
Kazi iliyofanywa ndani ya nusu saa tu ilimuacha kila mtu hoi,
“Mpezni wangu Gwakisa nenda kaoge alafu uende ukampe mkeo dozi aliyoikosa”
Gwakisa alitoka akaenda kuoga kisha akarudi na kuvaa nguo zake, akiwa anaondoka alivutwa mkono na kuambiwa…
“Jua kuwa maisha yako tumeyashikiliana unapaswa kuishi kwa kuheshimu kile tunachokwambia…sio wewe tu hata RPC ambaye ni mkwe wako pia ni mtu wetu na tumemkamata kuliko hata wewe…”
…………………………………….
Sam alijikuta akijjihisi mwenye moyo dhaifu sana baada ya kumuona mwalim Josephine Karia, Mwalimu ambaye alimbadilishia taswira yake ya maisha na kumvika taswira nyingine amabyo ndio anaitumia mpaka leo.
Alimkimbilia na kumkumbatia kwa nguvu huku wote wakibubujikwa na machozi, Sam alijikuta akijisikia vibaya sana kwani toka aondoke hakuwahi kupata kumtafuta Yule Mwalimu ikiwa alikuwa ni mtu muhimu sana kwake.
“Sam nimefurahi sana kukuona”
“Nimefurahi sana kukutana na wewe kwa mara nyingine mwalim”
“Pole sana na msiba wa mama Sam, pole sana”
“Asante mwalimu, lakini naomba unisamehe sana Mwalimu wangu, sijakutafuta toka niondoke”
“Shhhhh…nyamaza wala usiseme hivyo, hata mimi sikukutafuta lakini najua mambo yalikuwa yanaenda vizuri, tumalize msiba mengine tutaongea”
Waliachiana na Sam akaendelea kusalimiana na wageni wengine kama Bibi yake ambaye ndie alikuwa anakaa kwake wakati anasoma, Babu yake yaani mme wa Bibi yake na kisha akakutana na mdogo wake pekee wakike ambaye alikuwa amechoka kwa kumuuguza mama yake na kulia.
Walipoonana kilitawala kilio tu kati yao huku wakiwa wamekumbatiana…
“Nimebaki mwenyewe kaka…mama ameniacha” aliongea mdogo wake Sam aliyeitwa ‘Glory’
“Hata mimi nimebaki mwenyewe, mama ameniacha lakini niko na wewe sasa bega kwa bega”
“Niko na wewe kaka bega kwa bega…tuko wote ” aliongea Sam
Waliendelea kufarijiana kwa namna nyingine mpaka walipoachiana na kisha Glory akampeleka Sam sehemu ulipowekwa mwili wa mama yao.
Sam alifunguliwa mwili ule akauangalia na kuona jinsi mama yake alivyoisha kwa Maradhi na kuwa mweusi tii.
Alilia huku akiwa kakumbatia jeneza la mama yake huku akiongea maneno ya kuomboleza na kuwaliza watu wengine hadi alipotolewa pale na kupelekwa sehemu akapumzike.
Kule alikaa yeye, mkewe na mdogo wake wakiongea mambo mengi huku mdogo wake akimueleza jinsi mambo yalivyoenenda hadi mama yake alipokutwa na umauti.
Taratibu zote za msiba zilifwatwa huku kwaya mbakimbali zikiwa zinaimba kuwafariji wafiwa na waombolezaji wote.
Walilala siku ile na hatimaye kesho yake ikawa ndio siku ya maziko ambayo mama yake sam alipumzishwa kwenye makazi yake ya kudumu.
Hapo vilio vilikuwa vingi mno kiasi kwamba Glory ambaye ni mdogo wake Sam alizimia kabisa na kuwa anapepewa, Sam alijikaza kiume na kiaskari na kuweza kumwaga mchanga kwa niaba ya watoto wa marehem.
Kila kitu kilipokamilika watu waliweka mashada na kumalizia ibada na hatimaye kurudi nyumbani na historia ya mama wa Sam na Glory ikawa imeishia pale kuwa alikufa akiwa na miaka arobaini na sita, akaacha watoto wawili wakike na wa kiume huku akiwa amekufa kwa ugonjwa wa UKIMWI japo kwenye historia ugonjwa haukusemwa.
Siku ile ile baadhi ya wageni waliondoka na hatimaye wakabaki wana familia pekee na majirani wachache.
Baada ya siku moja hata majirani waliondoka wakabaki familia ikiwa ni pamoja na RPC na familia yake.
Hatimaye siku ya kurudi kazini iliwadia wiki moja baadae na hivyo ikawa ni maandalizi ya safari, lakini kabla ya Kuondoka Sam alipita kwa marafiki zake wote na ndugu zake wa karibu na kuwatambulisha mkewe huku wakipeana habari za siku nyingi.
Sehemu ya mwisho kufika ni kwa Mwalimu wake aliyemtia moyo na kuwa nae bega kwa bega alipofikia hatua ya kutaka kuacha shule… huyu ni Mwalimu Josephine Karia.
Hapa sam alileta zawadi za Vitenge pamoja na mashuka kadhaa ya bei mbaya ambayo alimkabidhi Mwalimu wake.
Mwalimu alifurahi mno huku akimshukuru sana…
“Sam katika maono yangu kwako najua hayajatimia yote, ndio kwanza yameanza tu…amini kuwa Mungu ana mpango mkubwa sana kwako”
Sam alikuwa anamsikiliza kwa umakini sana Mwalimu wake huyu ambaye kwake alikuwa ni kama nabii.
“Nakuomba usije ukabweteka kwa hapo ulipofikia, endelea kwani najua utakuwa mtu mkubwa zaidi ya hapo”
Waliongea mengi kisha wakaagana baadae huku mwalim akidondosha chozi wakati wanaagana kitendo kilichomfanya Sam nae ashindwe kujizuia na kutoa chozi mbele ya mkewe ambaye alibaini mapenzi mazito kati ya Sam na huyu Mwalimu wake.
Waliachana wakaondoka zao ambapo Glory nae alikuwa anaenda kuishi na kaka yake kwani mama yao hakuwepo tena na isingewezekana kubaki pale.
Safari ilianza kesho yake ambapo kwenye gari ya RPC safari hii aliongezeka Glory…
Hatimaye waliingia Mbeya ikiwa ni usiku kisha wakaachana kwani Sam, Rafiki na Glory walienda kwao huku RPC na mkewe wakienda kwao.
Walipofika walioga wakalala huku Glory akilala chumba ambacho kilikuwa maalum kwa wageni.
Hatimaye Sam alianza maisha mapya ambayo alitaka ayabadilishe kwani alitaka aishi ndoto zake na za watu wanaomwamini kama Mwalimu wake.
Vile vile alimtazama mdogo wake pale nyumbani ambaye sasa anamtegemea na kujikuta akiamini kuwa anapaswa sasa kuwa makini kwani kuna watu nyuma yake.
Sam sasa alibadilika sana, ilikuwa akitoka kazini anaelekea nyumbani kwake huku kabeba zawadi kama matunda, na vitu vidogovidogo ambavyo alikuwa anawaletea mdogo wake na mkewe.
Maisha ndani ya nyumba yalikuwa mazuri kwani nyumba ilijaa vicheko vilivyoongezwa na Glory ambaye alikuwa ni msichana mrembo na mzuri na mchangamfu.
Alimsaidia sana wifi yake kazi ambazo alikuwa hasubiri kutumwa, ilikuwa kila wifi yake alipoamka alimkuta Glory keshaamka, akienda kazini akirudi alikuta kazi zote zimefanywa, hapo ndipo aliamini kuwa Glory na Sam walikuwa wanafanana sana uchapaji kazi.
……………………………
Ikiwa imepita wiki moja baada ya kutoka msibani Sam walipata wageni pale nyumbani, wageni hawa hawakuwa wengine bali ni Gwakisa na Mkewe Verity ambao walikuja kwa ajili ya kutoa Pole ya msiba ambao wao hawakwenda.
Walikaribishwa kwa upendo ikiwa ni majira ya Jioni ambapo Sam bado alikuwa hajafika kutokea kazini.
Baada ya dakika chache Sam aliingia na kumuona Gwakisa na Verity wakiwa pale ndani… akili ya Sam ilipomuona Verity ilihama kabisa na kumkumbuka PRINCESS ambaye anaamini alikuwa mtoto wake.
Kwa Verity ilikuwa ni tofauti kabisa kwani baada ya kumuona Sam alijikuta akiwakwa na mapenzi moyoni, alikumbuka alivyokuwa anainjoi akifanya mapenzi na sam hadi kufikia kutaka kumpindua dada yake ili aolewe yeye lakini ikashindikana…
Aliendelea kukumbuka jinsi alivyompenda Sam na kufikia hatua ya kuzaa nae mtoto ambaye hata hivyo ametoweka, hapohapo moyo wake ulianza kwenda mbio…alijiona kabisa akitamani warudie kama mwanzo na hata ujasiri ulimuisha kabisa…

Sam aligongana macho na Verity kuna kitu wakasomana kwenye akili zao na jinsi walivyoangaliana, lakini wakati huo huo Rafiki alikuwa makini kuwaangalia jinsi watakavyosalimiana na Gwakisa nae pia hakukaa mbali alikuwa anatazama kwa kuibia huku wivu ukiwa dhahiri!
Akili ya Sam ilicheza haraka na kuamua kujizuia asije akaleta matatizo,
“Karibuni jamani, mmefika muda eenh?” aliuliza Sam baada ya kusalimiana na wageni.
“Sio sana ila ni muda kidogo” alijibu Gwakisa kwa sauti ya upole lakini hapo hapo akadakia Verity.
“Tumepika mpaka vimeiva tumekula wewe sijui ulikuwa na wake wenzetu huko” Aliongea Verity.
Baada ya kutoa kauli hiyo Sam aliguna tu lakini Gwakisa na Rafiki walionekana kukerwa na uchangamfu wa maneno ya Verity na wakawa wamenuna kweli.
Sam aliamua kuingia chumbani kwao akabadilisha nguo na kisha akaungana na wenzake hapo sebuleni.
Gwakisa na Verity walieleza haja yao kuja pale kuwa ni pamoja na kuwatembelea lakini kubwa likiwa kuwapa pole na kuomba msamaha kwa kushindwa kuungana nao kwenda msibani.
Kila kitu kilienda Vizuri kisha Verity na Gwakisa wakakabidhi zawadi kidogo walizokuja nazo kwa ajili ya Pole kisha wakaaga kuondoka lakini Gwakisa akaomba kuwa usiku ule watoke pamoja wakapate chakula cha jioni kwa pamoja.
Hakukuwa na kipingamizi chochote, kilichobaki ni Rafiki na Sam kujiandaa pamoja na Glory kisha wakatoka wakaenda kwenye Bar moja nzuri wakaa hapo.
Hakuna kilichoendelea zaidi ya kunywa na kula, Sam, Gwakisa, Verity na Rafiki walikuwa wanadondosha Heinken kama mvua.
Baada ya muda walianza kulewa na kuongea kwa sauti ya juu kuliko awali, aliyekuwa anaongea sana ni Gwakisa ambaye alikuwa anajisifia kuwa ana hela sana.
“Mimi nina pesa, nina pesa hadi naumwa … kunyweniiiii pombeeeee”
Hata kabla bia hazijaisha Gwakisa alikuwa anaagiza nyingine “Leta biaaaaaa…nawewe meneja bia zikichelewa nakufukuza kazi”
Katika vitu ambavyo vilikuwa ni mshangao kwa kila mmoja isipokuwa Verity na Gwakisa ni kuwa hawakujua kuwa ile Bar ni ya Gwakisa.
Ilikua ni ghorofa Ndefu yenye rosheni kadhaa ambazo zilikuwa ni hoteli huku floor ya chini ilikuwa ikitumika kama Bar,
Ni moja tu kati ya mali za Gwakisa zilizokuwa pale Mbeya mjini lakini pia alikuwa na nyumba nyinginezo na fedha nyingi sana kwenye akaunti yake.
“Yani mimi nina pesa nyingiii, nina pesa ila sina mtotooo” aliendelea kuropoka Gwakisa.
Wakati huo Verity pombe zake zilikuwa zinamtia ham ya kufanya mapenzi na Sam, kila akimwangalia Sam anajihisi kama kuna vitu vinatembea mwilini.
Rafiki alikuwa bega kwa bega na Sam kiasi ambacho kilimkera Verity na kutamani hata amuondoe Rafiki apate nafasi ya hata dakika moja abaki na Sam.
Maombi yake yalisikika kwani Rafiki alibanwa na mkojo na kutaka kwenda kujisaidia..
“Baby nisindikize toilet”
“Bwana nenda tu mwenyewe”
“Nisindikize bhana mme wangu” Rafiki alikuwa anaomba apelekwe toilet
“We Glory mpeleke Wifi yako” sam alimwambia mdogo wake na wao wakanyanyuka kwenda huko toilet.
Kwa Verity ilikuwa kama kuokota mamilioni kwani Rafiki na Glory waliondoka kwa pamoja huku Gwakisa akipiga story za kilevi na watu wengine.
Haraka sana Verity aliamka na kumfwata SAM mdomoni na kumnyonya mdomo kwa nguvu, Sam alijitahidi kumuondoa lakini hakikuwezekana, alibanwa sawasawa na ukichanganya na kilevi nae akajikuta anauoenda mchezo
Kwakuwa sam alikuwa amekaa kwenye kiti na Verity amemuinamia, Sam alipitisha mikono yake kwa nyuma na kumshika Verity kiunoni huku wananyonyana midomo, alikamatia kiuno cha Verity na Hapohapo akawa anayapapasa makalio ya Verity yaliokuwa yamebinuka kiasi nah ii ndio ilikuwa tofauti kati ya Verity na dada yake Rafiki.
Mambo yaliwanogea na hapo Sam alishusha mkono wake mpaka mwisho wa Sketi ya Verity na kupandisha kwa ndani akiyashika mapaja ya Verity ndani ya nguo.
Alipandisha mkono wake mpaka akafikia kufuli akalisogeza pembeni kisha akazamisha kidole chake cha katikati kikazama kitendo kilichomfanya verity agugumie ‘mhhuuu sshshshshhh’.
Ghafla wakiwa wamezama Sam alimuona Gwakisa anatokea kw mbali huku mkewe nae akiwa anarejea kutoka Toilet. Alimsokomeza Verity pembeni nay eye akajiweka Sawa kisha akamwambia Verity ….
“Tulia wenye mali zao wanarudi”
Lilikuwa ni tendo la dakika kadhaa lakini lilimfanya kila mmoja ajisikie hali Fulani nzuri japokuwa haja zao hazikutimia.
Verity alitamani nafasi hiyo ingeendelea lakini ilibidi watulie tu…
Ili kuepusha matatizo Sam alishurutisha waondoke warudi nyumbani na hakukuwa na kipingamizi ikabidi waondoke.
Walipofika nyumbani kila mmoja alikuwa yuko hot sana na hakuna kilichoendelea kati ya Sam na Rafiki isipokuwa kugegedana tu.
Hali kadhalika kwa Verity na Gwakisa mambo yalikuwa yale yale, waligegedana kweli kweli ukizingatia kuwa Gwakisa amepona.wakati Verity anakaribia kileleni alijikuta akitaja jina la Sam…
“Hivyo hivyo usitoeee, jamani tamuuuu, yeah Sam unajua kunitom..ba jamani, nakojoaaaaa, Sam nakojoaaaa”
Pamoja na Pombe alizokuwa nazo lakini swala hili lilimuingia Gwakisa mpaka ndani ya moyo, alikaa kimya wamalize lakini akili yake ilikuwa imeshavurugwa vilivyo.
………………………………..
Gwakisa aliamka na hasira kwa kauli alizosikia kwa mkewe jana yake, hakuwa na jinsi kwani anajua mkewe ametembea na Sam na huenda bado amemuweka moyoni.
Dawa aliyoona inafaa ni kumkomoa Verity hivyo alipofika tu kazini alifanya kazi kwa dakika chache kisha akamtafuta Yule dada Askari ili watoke wakagegedane.
Kwa upande wa Sam ilipotimu saa Kumi na moja alfajiri walianza kujadiliana na mkewe kuhusu ishu ya kupata watoto.
“Lakini zile dawa zako si ulizimaliza?” aliuliza Rafiki.
“Ziliisha nadhani sasa ninachotakiwa ni kufanyiwa tu hiyo operation”
“Sawa itabidi tukamuone dokta”
Kulipambazuka kisha Sam akaelekea kazini na Rafiki nae akaelekea kazini kwake, wakati wanaondoka nyumbani walimuacha Glory ambaye kwa wakati huu yeye ndie alikuwa anabaki pale nyumbani.
Kila wifi yake alipotaka kuleta housegirl Glory alikataa na kudai kuwa hakuna haja ya kupoteza Pesa kwani yeye zile kazi anaziweza.
Kaka yake alikuwa amemtafutia chuo ilia asome na tayari kwa matokeo yake ya kidato cha nne alikuwa amepata nafasi ya kusomea maswala ya uhasibu kwa ngazi ya cheti. Hivyo kuwa pale nyumbani alikuwa anasubiria siku zikiwadia akaripoti chuoni.
Kazini kwa Sam mambo yalikuwa mazuri sana kwani alikabidhiwa barua iliyosainiwa na mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Ya kuwa amepandishwa cheo na kuwa kaimu mkuu wa kitengo cha FFU mkoa wa Mbeya.
Wakati huo huo RPC Mndeme ambaye alikuwa ndio Baba mkwe wa Sam alikuwa amepandishwa cheo na kuwa Kamishna wa Polisi kanda maalum ya Dar es salaam.
Kwa Sam ilikuwa ni furaha kubwa na moja kwa moja alielekea ofisini kwa RPC alipofika pale alipiga saluti na kisha kusalimiana na Baba mkwe wake na kisha kumwambia ni kwa jinsi gani amefurahia hatua hiyo aliyofikia.
“Hongera sana Sam, kikubwa ni nidhamu…tuombe Mungu ila nakuhakikishia kuwa mpaka mimi naondoka kwenye Jeshi la Polisi utakuwa umepata vyeo vikubwa sana, mimi nina watu wakubwa ndio maana nasisitiza kuwa uwe na nidhamu”
Sam alimuhakikishia RPC kuwa atarajie kutokuangushwa nae.
Waliagana pale kisha Sam akaamua kwenda kukaa sehemu kisha ampigie mkewe na Mdogo wake waje ili awape habari hizo njema.
Alienda akatafuta sehemu iliyotulia kisha akachukua kiti akakaa, wakati anachukua simu yake ili ampigie mkewe alitupa jicho kwa mbali na kukutana na sura ya mrembo mmoja ambaye alionekana kama vile anamfahamu.
Sam alitafakari kwa haraka kisha akaamua kuamka kumfwata ili amjue vizuri, alitembea mwendo wa madaha uliochanganyika na jeuri ya cheo kisha akaenda mpaka karibu na Yule mdada kisha akashtuka baada ya Yule dada naye kumuangalia.
“Nishaaaaa”
“Sam”
“Waooooo jamani upo?”
Ilikuwa ni kama ndoto, Sam alikuwa amekutana na Nisha ambaye alikuwa ni msichana wake kwa kipindi kirefu na kupotezana ila sasa walikuwa wameonana.
Nisha alikuwa ni msichana mrembo sana ambaye Sam anakiri kuwa hakuwahi kuonana na msichana kama huyo.
Wakiwa wanasalimiana kwa furaha ya kuonana baada ya siku nyingi alitokea Gwakisa ambaye ndio alikuwa anaingia Pale.
Alishuhudia wanavyochangamkiana akashangaa kuona kuwa Sam anafahamiana vipi na mchepuko wake.
“Hey mnafahamiana?” aliuliza Gwakisa
Sam alishangaa kidogo lakini fasta akadakia Nisha.
“Hey Gwakisa huyu ni Sam, ni rafiki yangu na amewahi kuwa mpenzi wangu”
“Sam, huyu ni Gwakisa na ni rafiki yangu nafanya nae biashara”
Utambulisho huu ulimuacha kila mtu njia panda, ukweli ndani ya moyo wa Nisha alikuwa anajua kuwa Sam na Gwakisa wanajuana na ni waume wenza kwani wote wameona kwenye nyumba moja.
Si hivyo tu Nisha alikuwa anawajua wote in and out na alitambulisha vile kwani hakutaka Sam ajue kuwa yeye anamahusiano na Gwakisa kwani anampenda sana Sam na anataka waendeleze penzi!
Gwakisa alijiona ana mikosi kwani kila anapoingia Sam nae yupo na mbaya zaidi pale kwenye utambulisho hajatajwa kuwa yeye ni mpenzi wa Nisha isipokuwa Sam yeye katambulishwa kama Ex wa Nisha hivyo akaona bado Sam amepewa kipaumbele kuliko yeye.
Gwakisa aliamua moja … kupambana na Sam.
“Hii ni vita, huyu dogo lazima nimuondoe” alijisemea Gwakisa


Sam alipoona ile hali aliamua kuwaaga na kwenda kukaa kwenye kiti chake akachukua simu na kumpigia mkewe na kumuelekeza aje pale alipo.
Pamoja na Sam kuondoka bado amani haikuwepo hata kidogo kati ya Gwakisa na Nisha, Gwakisa alikuwa tayari na donge moyoni na kila alipotaka kuuliza swali alijibiwa kifupifupi sana.
Kiufupi Gwakisa mudi ilimuishia kabisa, kila akimuangalia Nisha alikuwa anajikuta ana maswali kibao ya kujiuliza lakini aanze na lipi hapo ndio palikuwa pagumu.
Nisha aliligundua hilo akamuuliza Gwakisa…
“Kwani una tatizo gani?”
“Sina tatizo kwani umenionaje”
“Nakuona umejikalia tu na mawazo sijui unawaza nini, kama huna la kuongea uniambie tu niondoke zangu mpaka siku utakapokuwa sawa”
Maneno haya ni kama yalizidi kumchefua Gwakisa kwani alidhani angepewa majibu ya kumridhisha lakini ndio kwanza Nisha hajali hisia zake.
“Lakini kwanini hujataka kumwambia Sam kuwa mimi ni mpenzi wako?” aliuloza Gwakisa?
“Haaa wewe una akili kweli, hivi yamekuwa matangazo?”
“Mbona yeye uliniambia wazi kuwa aliwahi kuwa mpenzi wako?”
“Hahahaaaa Gwakisa bwana, hivi wewe unajilinganisha na Sam kweli? Acha masihara kabisa, Sam ni mtu mwingine kabisa”
“Unasemaje Nisha?”
“Bwana wewe kama huna maneno mengine naomba ukanseli mpaka siku utakapokuwa na mambo ya maana ndio tuonane, sawa wewe mwanaume?” aliongea Nisha huku akiamka aondoke.
“Hebu subiri kwanza Nisha” aliongea Gwakisa alipomuona Nisha anaondoka zake.
Pamoja na Gwakisa kumwambia Nisha abaki lakini hakubaki, aliondoka zake akafika nje akawasha gari na kuondoka eneo lile huku akimuacha Gwakisa na kovu linaloota upya ndani ya moyo wake juu yake.
Kwa hasira Gwakisa alipiga ngumi kwenye meza na kusababisha glass zilizokuwa pale zikadondoka chini kitendo kilichowafanya wahudumu wasogee pale.
“Boss vipi kuna tatizo” aliuliza mhudumu mmoja aliyekuwa anaitwa Recho.
“Kum…a wewe, toka hapa!”
Aliongea Gwakisa kwa hasira akimuondoa mhudumu wake.
Yule mhudumu badala ya kuondoka aliinama akakusanya vipande vya Glass vilivyokuwa vimetapakaa pale chini ili akavitupe.
Alipokuwa ameinama alishtuka anashikwa makalio, aligeuka haraka na kukutana na sura ya Gwakisa akimuangalia huku bado kashikilia yale makalio hadi Yule muhudumu akajisikia aibu.
“Alafu wewe mzuri sana ujue, haya nipelekee whisky moja kule VIP nakuja” aliagiza Gwakisa.
Katika ile baa ya Gwakisa kulikuwa na sehemu ya VIP ambayo ipo kwa ndani nah ii hutumiwa na wageni wenye hadhi ambayo haiwaruhusu kukaa changanyikeni, sehemu hii hata vinywaji vyake huuzwa bei kubwa nah ii ndio hata Gwakisa akija na marafiki zake hupenda kukaa.
………………………………
Rafiki alikuwa kazini kwake ofisi ya hazina mkoa anafanya majukumu yake ya kila siku akasikia mlio wa simu yake na kuiendea.
“Haloo mambo baby”
“Mh makubwa leo…poa niambie”
“Makubwa gani sasa, ”
“Leo napigiwa simu na Kuitwa baby juu”
“Sasa hapo jipya lipi na nyie wanawake hamjui kupendwa nyie”
“Haya babu niambie mpenzi”
“Poa tu vipi uko kazini bado?”
“Ndio ntakuwa wapi na hii ni mida ya kazi jamnani”
“Haya aga basi uje hapa tulikokuwa siku ile nina ishu, chukua hata tax ntalipa”
Rafiki alipatwa na kiwewe baada yam me wake kumuita mida kama ile, alijiuliza sana lakini mwisho akaamua kumuaga rafiki yake kuwa anatoka hivyo amsaidie majukumu yake itakapobidi.
“Mh shoga mbona mbio mbio hivyo, umepata mchepuko wenye hela nini” aliuliza rafiki yake Rafiki mke wa Sam
“Weee, ishia hapo hapo, hivi unaweza kuwa na mume kama Sam alafu ukamtafutia mchepuko kweli?”
“Haya shoga nenda, Sam sam kitu gani amekuwa wa dhahabu nini, omba Mungu asiingie kwenye anga zangu atakusahau” alitania shoga yake Rafiki.
Rafiki hakulijali hilo, alitoka nje akachukua bodaboda mpaka alipoagizwa.
Alipofika pale alimuona Gwakisa akielekea ndani ya ile baa na hapo hapo akamuona mme wake akiwa ameketi pembeni kwenye kona anakunywa Red Bull.
Rafiki alimuendea alipomkuta akamuinamia na kumpiga busu shavuni lakini Sam yeye alimvutia mpaka mdomoni kwake na kuanza kumnyonya mdomo palepale bila kujali wateja wawili watatu waliokuwepo pale mida ile.
“Karibu mpenzi”
Aliongea Sam wakati anamuwekea Rafiki kiti aketi, ile Rafiki anaketi tu hapohapo aliingia na Glory ambaye ni mdogo wake SAM.
Glory aliungana nao pale kisha wakaambiwa waagize wanachojisikia kulak wa wakati huo na kwakuwa ilikuwa bado ni mapema hata saa saba bado waliagiza michemsho ya kuku mzima kila mmoja na kuanza kujiachia.
“Haya tuambie mwenzetu ndio nini kutuita mida hii?” aliuliza Rafiki.
“Malizeni kwanza kula haa” alijibu sam
Mwisho wote wakawa wamemaliza kula na kunawa mikono.
Sam aliingiza mkono wake mfukoni akatoa bahasha yenye barua ndani na kumkabidhi mkewe ambaye aliifungua haraka haraka na kuisoma.
Alipomaliza alijikuta ameshika mdomo kwa hamaki, “Wifi naomba namimi nisome” alisema Glory na kupewa barua hiyo
Wakati huo huo Rafiki alikuwa bado kamkata jicho Sam la mshangao, alipoona haitoshi alinyanyuka na kumuendea mme wake pale alipokaa na kumkalia kisha akapitisha mikono yake kwa nyuma na kumkumbatia.
“Jamani mme wangu ….yani siamini hongera jamani” aliongea Rafiki huku akiwa anampiga mabusu mme wake
Sam nae hakuwa nyuma alipitisha mikono yake kiunoni pa mkewe na kuwa amemshikilia vizuri pale alipomkalia,
Kitendo cha mikono ya Sam kupita kiunoni kwa Rafiki kilimfanya ashtuke kwa mahaba kwani alipokuwa anashikwa na mmewe kiunoni basi mashetani yake huamka.
Sam aliligundua hilo ikabidi amkonyeze mkewe kwani mdogo wake alikuwepo Pale,
Kwa shida Rafiki alimuachia Sam na kukaa pembeni, Glory nae alimaliza kusoma ile barua na kujikuta machozi ya furaha yakimtoka kisha akaamka na kwenda kumpa kaka yake mkono akimpongeza.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Asanteni sana jamani, nimeona niwashirikishe furaha hii kwani nyinyi ndio watu wangu wa karibu, ninyi ndio familia yangu, niko nanyi kwenye raha na tabu…nawapenda sana” aliongea Sam kwa hisia kali sana zilizomfanya alengwe na machozi.
Sikia Mme wangu, kunywa bia utakavyo ntalipa, nataka leo uwe na furaha hadi mwisho jamani…
“Mh mke wangu mida hii hata nikikutwa hapa si aibu kweli”
“Twende VIP” Sam hakuwa na kipingamizi, hakutaka kumkera mkewe aliamua kunyanyuka na kuelekea VIP lakini Glory yeye alisema anawasubiri pale kisha wakamwambie ale na kunywa chochote atakacho.
Sam na Rafiki waliingia kule VIP wakiwa wamekumbatiana kwa bashasha, walipofika walipulizwa na kiyoyozi kwa mbali kisha wakatafuta kochi lililokuwa sehemu nzuri na kukaa.
Alipokaa Sam Rafiki alikuja juu yake na kumkalia.
Haraka haraka mhudumu aliwafwata na kuwataka waagize kisha wakaagiza wote Heineken na kuanza kunywa.
Ndani ya dakika kadhaa Rafiki alitupa jicho lake mbele na kuona kitu kilichomshitua kidogo apaliwe na bia.
“Sam hebu angalia Yule sio shem Gwakisa”
Sam aliangalia kule alipoelekezwa na kumuona kweli Gwakisa akiwa amekaliwa na mwanamke mwenye makalio makubwa wanashikana shikana.
Akili ya Rafiki ilibadilika ghafla na kuona kama vile yeye ndie anafanyiwa usaliti ule na kujikuta roho inamuuma sana.
Sam alilijua hilo na kumvutia mkewe kwake na kuanza kumnyonya mate, alimnyonya midomo kwa lengo la kumpoteza kwa kile anachokiona.
“Achana nao na nakuomba usimwambie Verity chochote, utawavuruga”
Rafiki aliitikia kwa ishara ya kunyanyua uso juu na kuushusha, waliendelea kunywa pombe huku Gwakisa na Yule mwanamke wakipelekana juu ghorofani
………………………..
Gwakisa alikuwa na stress nyingi sana, aliumia sana moyoni kuachana na Nisha katika mazingira kama yele.
Hakutaka kurudi nyumbani akiwa hajatembea na mwanamke mwingine na ndio maana alivyomuona Yule mwanamke mhudumu wa kwenye bar yake hakusita kumtamani haraka haraka.
Walikunywa wisky ya kwanza ikaisha wakaagiza na nyingine na yenyewe ikawa inaisha.
“Hey meneja njoo mara moja” Gwakisa alimuita meneja wake ambaye alikuja haraka haraka.
“Huyu yuko zamu, sindio?” Gwakisa aliuliza akimaanisha Yule msichana aliyeko pale kama yuko zamu.
“Ndio bosi”
“Basi leo mpe off, mtoe kwenye zamu ana kazi maalum, nae leo kawa bosi”
Gwakisa aliongea hayo huku Yule mhudumu akimkunakuna kidevuni.
……………………
Verity alikuwa amefura kwa hasira amesimama nje ya ofisini kwao anasubiria Boda boda, alikuwa anatamani hata akimbie kwa miguu kwani hasira alizokuwa nazo alitamani hata kuua mtu.
“Leo watanitambua, nitaua leo” alijiongelesha Verity akiwa amekabwa na donge la wivu na hapohapoo Boda boda ikaja na kupanda kisha akamuelekeza Dereva…
“Endesha fasta nipeleke Rungwe Hotel and Executive” hili ndio lilikuwa jina la hoteli na Bar ya Gwakisa na hapo hapo Bodaboda ilitimua Vumbi!

Gwakisa alikuwa chumbani na mhudumu wake wanahondomola, kwa pombe walizokuwa wamekunywa ziliwafanya wafanye mapenzi ya kufuru.
Walikiuka mpaka miiko kwani mitandao yote ilikuwa inatumika, yaani kuanzia voda mpaka tigo, walipochoka waliendelea kunywa pombe na kurejea tena mchezoni.
Safari hii Gwakisa alikuwa kamlaza Yule mhudumu kwa kuangalia chini na kuwa makalio yako kwa juu huku kaishikilia miguu yote miwili nayeye akiwa kasimama pembeni ya kitanda kitendo kilichomfanya Yule mhudumu awe kama vile kalalia kifua tu.
Kazi aliyokuwa anaifanya Gwakisa ilichanganywa na hasira na ulevi aliokuwa nao kichwani,
Huku wakiwa wanajiachia vilivyo walisikia mlango unagongwa kwa fujo, hapo ilibidi washtuke na kusitisha walichokuwa wanafanya.
Gwakisa alinyanyuka na kuvaa nguo yake huku mlango ukiendelea kugongwa kwa nguvu, walijiuliza ni nani anayefanya kitendo hicho lakini hawakuwa na uhakika.
Gwakisa hakuwaza kama anaweza akawa ni mkewe kwani aliamini mkewe yupo kazini na hawezi kuwa na taarifa za uwepo wake hapo.
Akili yake haraka haraka ikadhani huenda ni Nisha kwani ndie ambaye alikuwa hapo muda sio mrefu
Alimshauri Yule mhudumu ajifiche bafuni na kisha alipofanya hivyo akafungua Mlango kwa tahadhari.
Ghafla kama mshale alizama Verity ndani huku akiwa amefura kwa hasira anahema juu juu,
“We mwanaume Malaya kama wewe sijawahi kuona…niambie Malaya mwenzako yuko wapi?”
Gwakisa alikuwa kapigwa na butwaa akawa anashangaa tu, wakati huo Verity yeye akawa anaangalia kila sehemu ya chumba.
Kwa ujasiri Mkubwa Verity alizama bafuni na kutoka na mtu anamburuza,
Ki uhalisia endapo Yule msichana kwa jina la recho angeamua kufanya mbaya kwa Verity angeweza kabisa kwani alikuwa na umbo kubwa kuliko la Verity lakini pia yeye alikuwa mzoefu wa mambo kama yale sio kama Verity mtoto wa Mboga saba.
Gwakisa bado hakuelewa afanye nini wakati Verity anaendelea kufanya yake… Verity alikuwa anatukana matusi kwa sauti kubwa kiasi hata watu wengine kwenye vyumba vingine walikuwa wanasikia.
“We mwanaume mse..nge sana, umekosa nini kwangu hadi utembee na ma baamedi”
“Umekosa nini nakuuliza, na wewe hujaona wengine zaidi ya waume za watu?”
Sio Recho wala Gwakisa Gwakisa ambao walijibu chochote, wote walikaa kimya tu, akili na hasira za Verity zilicheza haraka aakaona chupa ya Whisky pembeni akaiokota
Gwakisa alipoona Verity anaokota chupa ya Whisky akajua tayari linakuwa tatizo, alimfwata Verity ampokonye lakini kilisikika kishindo tu kwani chupa ile ilitua nyuma ya kichwa cha Recho na kufanya damu zimwagike kama bomba.
Kitendo kile hata Verity mwenyewe aliogopa maana si kwa damu zile, alianza kutetemeka mikono wakati Yule dada akitapatapa pale chini.
“Mungu wangu, Verity umeua mke wangu”
Wakati huo tayari watu walikuwa wameshasogea pale mlangoni, hakukuwa na jinsi Gwakisa ilibidi amtoe Recho nje na haraka haraka akakimbizwa hospitali.
Huku nyuma hasira zilimpanda Gwakisa akaanza kumshushia kipigo Verity, ndani ya dakika chache Verity alikuwa hoi taaban na kama isingekuwa watu kuingilia kati ikiwa ni pamoja na Sam na Rafiki basi yangekuwa mengine.
Gwakisa alichukizwa sana baada ya kuona kama vile Verity anampanda kichwani wakati yeye mwenyewe ana mambo ambayo yanatiliwa shaka na ndio sababu iliyomfanya Gwakisa achepuke.
Ilibidi Verity nae akimbizwe hospitali kwani nae alikuwa anachuruzikwa damu na kapasuliwa uso.
Huku nyuma Sam alikuwa anajiuliza imekuwaaje Verity akajua kinachoendelea pale bar kuhusu Gwakisa.
Machale yalimcheza haraka akakagua simu ya mkewe, hapo ndipo alipokutana an chat za Rafiki na Mdogo wake Verity.
Hasira zilimshika akikumbuka kuwa walikubaliana na Rafiki kuwa Verity asiambiwe chochote….
“We Rafiki nilikwambiaje kuhusu kutomwambia Verity?”
“Nisamehe mme wangu, sikujua itakuwa hivi”
“Hukujua kwani mimi sikukwambia?”
“Mimi sikujua kuwa yatafikia huku?”
“Tatizo lenu wanawake mnadhani mna akili kuliko sisi, haya sasa haya yote yametokea kwasababu yako”

Hakukuwa na jingine ilibidi sasa warudi nyumbani na walipofika ikawabidi kwenda hospitali kumangalia Verity.
Wakati Sam na Rfiki wanafika hospitali ndio Verity alikuwa anashonwa maneneo kadhaa kichwani baada ya kudondoshewa makonde mazito na aliyekuwa anamshona ni Dr Kelvin.
Rafiki kuonana na Dr Kelvin alihisi kuwa kakutana na Mzimu kwani hakutaka kabisa kumtia huyo Dr machoni ila leo imetokea tena.
Dr Kelvin nae kumuona Rafiki aligundua kuwa wale watu ni ndugu kwani walikuwa wanafanana sana na hapo akamuuliza Rafiki
“huyu Ni mdogo wako?”
“Ndio..”
“Duh mzuri kweli yani, hapa ndipo nitajipoozea baada ya kukukosa”
Waliyaongea hayo kwa siri na hawakusikika na mtu yeyote, hakuna alichofanya RAFIKI zaidi ya kusonya “Mchyuuuu”
………………..
Hatimaye Verity na Recho walikuwa wametoka hospitali huku swala lao likimalizwa kimya kimya bila kufika polisi.
Kingine kilichoibuka baada ya hapo ni mawasiliano kati ya Verity na Dkt Kelvin, dr kelvin alizamiria kumpata Verity kwelikweli na dalili zilikuwa zinaenda vizuri.
Kitendo cha nisha kumuona Sam kilichochea penzi lake alilokuwa nalo awali ikabidi amfwate Gwakisa na kumwambia.
“Siku zote napenda kuwa na mwanaume anayejiheshimu, sio Yule anayetembea mpaka na ma Bar Maid, kuanzia sasa mimi nawewe tutakuwa kwa ajili ya kazi tu”
Hapo hapo Nisha alianza harakati zake za kumrudisha Sam kwenye himaya yake na alijipanga haswa!

Hatimaye Verity na Recho walikuwa wametoka hospitali huku swala lao likimalizwa kimya kimya bila kufika polisi.
Kingine kilichoibuka baada ya hapo ni mawasiliano kati ya Verity na Dkt Kelvin, dr kelvin alizamiria kumpata Verity kwelikweli na dalili zilikuwa zinaenda vizuri.
Kitendo cha nisha kumuona Sam kilichochea penzi lake alilokuwa nalo awali ikabidi amfwate Gwakisa na kumwambia.
“Siku zote napenda kuwa na mwanaume anayejiheshimu, sio Yule anayetembea mpaka na ma Bar Maid, kuanzia sasa mimi nawewe tutakuwa kwa ajili ya kazi tu”
Hapo hapo Nisha alianza harakati zake za kumrudisha Sam kwenye himaya yake na alijipanga haswa!
…………………..
Ndoa ya Gwakisa na Verity ilikuwa kwenye uzi mwembamba, wakati wowote ingekatika na kuwa vipande lakini waliendelea kuishi japo kwa chuki.
Isingekuwa kazi kubwa iliyofanywa na RPC Mndeme kumkalisha binti yake na kumshauri basi VERITY angeshaondoka kwenye nyumba ya Gwakisa lakini baba yake alishajifunza kwa kile kilichotokea kwa Sam na Rafiki, hakutaka tena kuingilia ndoa za watoto wake.
“Nisikilize mwanangu, nikweli mumeo amekosea kukusaliti lakini hupaswi kumfumania, sio busara kufumania mume wako na kujaza watu ni aibu kwa mumeo, ni aibu kwa ndoa yako na ni aibu kwako pia”
“Ona saivi mmerudi mnaishi wote huku tayari umeshautangazia uma kuwa mumeo ni msaliti, swala lile ungelishughulikia kimya kimya hata kushitaki kwa wazee na watu wa busara lakini sio kufanya fujo”
“Hebu fikiria kama ungeua siku ile, si ungeozea jele? Eti mwanangu si ungefungwa?”
“Lakini baba…”
“Lakini nini..nisikilize binti yangu, mimi mwenyewe nimesaliti mara nyingi tu na wakati mwingine mama yako alijua lakini alikuwa ananifokea nyumbani ananisema mpaka nikaacha na hajawahi kuniundia fumanizi,”
“Yani sasa wewe mumeo anakuona umemkosea na wewe unamuona amekukosea…kosa halitengenezi kosa mwanangu”
Kazi ya ushauri iliisha kwa Verity kuamua kurudi kwake japo alikuwa bado ana kinyongo, lakini wakati huo huo Gwakisa nae alikuwa bado ana chuki na Verity.
Katika hali ambayo sio nzuri ni kwamba walikuwa hawagusani, walalala huku kila mtu anageukia upande wake.
Wiki ya kwanza ilipita ikaja na nyingine hali ikawa ni hiyo hiyo, na wakati huo Gwakisa alikuwa anapambana kumrudisha Nisha mikononi mwake lakini zaidi ya kukutana kwenye kazi zao Nisha hakutaka mambo ya mapenzi, hivyo kila siku Gwakisa alikuwa anarudi nyumbani hana raha na ndio maana alikuwa hana hata hamu na mkewe… yaani wakati mwingine mchepuko unasumbua mpaka unatamani kumuomba mkeo ushauri nadhani hili Rusule Aidano Shumbusho analijua vizuri.
“Hi..mambo”
“Poa mambo?”
“Poa umepona vizuri sasa eenh?”
“Niko Poa, nani wewe?”
“Dr wako”
“Dr gani?”
“Kevi…”
“Anhaaa kumbe wewe, niambie”
“Poa ila kwanini unafuta namba yangu”
“Achana na hilo la namba nipe story”
Yalikuwa ni mazungumzo kati ya Verity na Dr Kelvin, waliwasiliana na mwishowe wakakubaliana kuonana.
Walikubali kuonana nje ya mji na siku hiyo Verity alifunga safari mpaka kule walikopanga kuonana na Dr Kelvin.
Verity alishuka ndani ya Tax na kukuta tayari Dr Kelvin ameshafika kwani gari yake aliiona pale nje, moja kwa moja Verity aliingia kule kwenye chumba alichoambiwa na Dr Kelvin kuwa yupo na kumkuta kweli kakaa kwenye kochi anachezea simu yake.
“Oh karibu mrembo”
“asante”
“Yani siamini kama umekuja?”
“Ndio uamini sasa”
Walikaa pale chumbani lakini mapigo ya moyo ya verity yalikuwa yanaenda mbio sana, kuna wakati alitamani aondoke lakini akawa anashindwa kuanza kupiga hatua.
Japo amewahi kusaliti na SAM lakini hii iliyokuwa inataka kutokea leo moyo wake ulikuwa unasita sana, kila alipokuwa anamuangalia Dr Kelvin alikuwa hatamani kufanya kile ambacho kilionekana kinataka kutokea.
Alitamani arudi akaweke mambo yake sawa na mme wake ili asije akasaliti lakini hata yeye hakuelewa kwanini haondoki.
Dr kelvin kwa uzoefu wake aliiona hofu iliyokuwa kwa Verity na hakutaka kuipoteza nafasi kwa mara nyingine,
Alimsogelea Verity na kumshika mabegani lakini Verity akautoa mkono wake kwa nguvu na kusimama.
“Dr Kevi sitaki, niache niondoke”
Verity alianza kupiga hatua atoke lakini Dr Kelvin hakutaka hilo litokee, aliamka haraka na kumkumbatia Verity kwa nyuma kisha akamnong’oneza sikioni na kumpumulia ndani ya sikio…. “Unaenda wapi mrembo”
Verity hapo hapo alijisikia kama amepigwa shoti na kukosa nguvu, wakati huo huo Dr Kelvin mikono yake ilikuwa kiunoni mwa Verity inatambaa.
Kazi ilikuwa imeanza sasa kwa Dr Kelvin kutumia utaalam na uzoefu wake, alikuwa anatembeza mikono yake kwenye mwili wa Verity akigusa maeneo yote ambayo alijua ni hatarishi kwa Mwanamke yeyote.
Taratibu Verity alikuwa anasogezwa kilipo kitanda lakini kabla hajafikishwa huko Dr kelvin Alikuwa ananyonya na kuingiza ulimi kwenye masikio ya Verity.
Hatimaye alimgeuza Verity uso na kuwa wanaonana na kumfwata mdomoni kisha kunyonyana ndimi, tendo hili lilimfanya Dr Kelvin aamini sasa ndege ni wake.
Alimpeleka taratibu mpaka kitandani na kumlaza kisha nae kuja kwa juu, alimnyonya midomo huku taratibu akipapasa mapaja ya Verity yaliyokuwa yamefichwa kwenye gauni laini la rangi ya bluu.
Taratibu alikuwa analisogeza gauni hilo juu na hatimaye kuacha mapaja kwa sehemu kubwa yakiwa wazi.
Mkono mwingine ulikuwa uko kifuani unacheza na nyinyo za Verity, Dr Kelvin alikuwa ni mtaalam sana wa haya mambo na hivyo kila kitu alichokuwa anakifanya kilikuwa ni hatarishi kwa Verity.
Hatimaye gauni la Verity lilikuwa pembeni, zoezi liliendelea hatimaye Verity akabaki na nguo ya ndani tu.
Dr kelvin aliendelea na wakati huu alikuwa ameipanua miguu ya Verity na kuingiza mguu wake mmoja kati kati, hapo aliendeleza mautundu yake na sasa mkono wake ulikuwa unapapasa juu ya kufuli la Verity na kusugua maeneo hayo kitendo kilichofanya nguo hiyo ya ndani izidi kuloa.
Dr Kelvin aliisogeza pembeni kidogo kufuli la Verity na kuzamisha kidole chake ndani kikapokelewa na joto na mguno kutoka kwa Verity.
Alipekecha kidole chake mgodini kitendo kilichozidisha majimaji kwenye ikulu ya Verity….
Hatimaye Kufuli la Verity lili

Hatimaye Kufuli la Verity lilikuwa linamalizikia miguuni huku Verity mwenyewe akilisukumiza na mguu kisha likadondoka chini.
Dr Kelvin alichojoa nguo zake zote na kumuendea Verity pale kitandani akaipanua miguu vizuri kisha akapeleka tango lake mgodini likaanza kugusa maeneo yale ya mgodi huku likipokelewa na ulaini wa ile sehemu na joto tamu.
Dr Kelvin alikuwa anazamisha tango lake ndani lakini ghafla Verity alinyanyuka na kukaa kitandani huku akisema …. No, No stop it…..

……………….
Mapenzi kati ya Sam na Rafiki yalikuwa dhahiri kwani walikuwa wanafurahia kila hatua waliyo nayo, wakati huo Nisha alikuwa anahangaika kumnasa Sam lakini kazi ilikuwa ngumu kwani kila Sam alipotoka out alikuwa na Rafiki.
Hatimaye RPC Mndeme alikuwa anafanyiwa sherehe ya kuagwa, Sam nae alikuwepo anavishwa nishani ya kupandishwa cheo.
Sherehe iliambatana na wageni wengi lakini ndugu pia walikuwepo, Rafiki na Glory walikuwa upande wa Sam bega kwa bega.
Wakati wa zawadi na kuvishwa maua ulipofika watu mbalimbali walitoa zawadi, wakapiga picha na kuvalisha maua.
Mwisho kabisa Nisha alikuja na shada lake akaelekea pale alipo Sam huku akiachia Tabasamu pana, Kitendo cha Sam kumuona Nisha kilimfanya ashtuke kwani Nisha alikuwa mrembo na alivalia akapendeza haswa,
Nisha alisogea akamvisha sam Shada kisha akambusu shavuni na kumpa zawadi lakini alimwambia…
“Uifungue ukiwa peke yako”


SAM alikuwa kapigwa na butwaa kwa kumuona Nisha kwa mara nyingine tena akiwa kapendeza sana,
Alibaki ameduwaa hadi mwenyewe akajishtukia, akili za kawaida zilimrudia na kuachana na mawao juu ya Nisha kisha mambo mengine yakaendelea.
Kwakuwa ile ilikuwa siku yao ya kuagwa walikuwa wameandaliwa sherehe kubwa kwenye ukumbi wa POLISI Mbeya.
Watu mbalimbali walikuwa wamealikwa kuja kushuhudia shughuli hii ambapo watu walikunywa na kula mpaka kusaza.
Sam alikuwa na furaha sana ikiwa ni pamoja na familia yake pia, Glory na Rafiki hawakuwa nyuma katika kumpongeza mpendwa wao.
Wakati Sam akiwa pale ukumbini huku zawadi zikiwa ziko ndani ya Gari lao alikumbuka kuhusu zawadi aliyopewa na NISHA na kuambiwa aifungue akiwa peke yake.
Aliwaza kidogo kisha akaamua kwenda kuiangalia ile zawadi palepale kwenye gari kabla hawajarudi nyumbani.
Aliamka kwenye kiti katika meza ambayo walikuwa wamekaa na marafiki ndugu pamoja na jamaa kisha taratibu akaanza kupiga hatua kuelekea nje sehemu walipopaki gari lao.
Alipofika pale aliminya remote gari likatoa mlio kisha akaenda akalifungua na kuzama ndani kisha akaanza kupangua zile zawadi akiitafuta ile aliyopewa na NISHA.
Bahati mbaya kwake ni kuwa yale maboksi yakawa yana fanana fanana, hii ilimpa kazi ya kujua boksi husika kwa haraka ukizingatia kuwa alikuwa anawahi kuendelea kuburudika na wenzake kule ukumbini.
Akiwa ameinama anatafuta alisikia kama kishindo cha mtu nyuma yake akageuka haraka, alishtuka na kupigwa na butwaa baada ya kukutana na NISHA.
“Hongera sana SAM wewe kwasasa ni Boss, mbona uko nje?”

“NISHA unafanya nini hapa”
“Kwani mimi si askari nah ii ni sherehe ya maaskari”
“Namaanisha hapa nilipo, unataka nini, unadhani mke wangu au hata watu wengine wakituona hapa watatufikiriaje?”
“Acha utoto SAM, wewe ni askari kweli?”
“Tafadhali NISHA acha utani, naomba uende”
“Unasema niende?”
“Nenda Nisha naomba kama kuna chochote tutaonana wakati mwingine tuongee lakini sio hapa”
“Anhaa hapo sasa ndio umeongea ila naomba nikusaidie kupata unachokitafuta”
Hapo hapo Nisha aliingia vizuri ndani ya gari na kumuonyesha boksi la zawadi alilompa SAM kama zawadi yake
“Hii hapa”
“Asante, unaweza ukaondoka sasa”
Nisha alishuka kwenye gari lakini kabla hajafika alimshika Sam shingoni na kumuendea mdomoni.
Sam alijitahidi kujiondoa lakini alivyoangaliana na Nisha usoni akajikuta akiishiwa ujasiri, kumbukumbu zilimrudia na kukumbuka jinsi alivyokuwa anainjoi maisha na NISHA wakifanya mapenzi.
NISHA alifanikiwa kuunasa vyema mdomo wa SAM na kutumbukiza ulimi wake ndani kisha wakaanza kubadilishana mate.
Hisia ziliwazidia wakajikuta wanashikana shikana ambapo SAM alikuwa anapapasa na kuminya makalio ya NISHA aliyekuwa anatoa miguno ya mahaba.
“Nisha stop…”
“SAM ….”
“Sio sawa NISHA, mimi nina familia sasa,”
“Kwahiyo kama una familia”
“Siwezi kufanya hivi, mke wangu namheshimu na haitakuwa vyema akijua nina mahusiano nawewe”
“Naondoka lakini ntakupigia simu kesho tuonana”
Hapo hapo NISHA wala hakusubiri jibu akaondoka zake na kumuacha Sam akifungua ile zawadi aliyopewa na NISHA.
Alichokiona ndani ya kile kiboksi kilimfanya ashike mdomo kwa hamaki.
Alifunua siti ya gari akakificha kwa chini kisha akairudishia vizuri na kutoka kuelekea kule ndani ukumbini
“Vipi mbona umepotelea huko nje,”
“Nilienda toilet”
“Unaendesha nini, tulitaka tukufwate.”
Sam alikuwa pale ukumbini lakini mawazo yake yote yalikuwa kwa Nisha, alikuwa anafikiria kilichotokea pamoja na ile zawadi aliyopewa.
Alifikiria urembo wa NISHA na kutamani kurejea koloni lake la zamani japo roho nyingine ilikuwa inamwambia aache.
………………………………..
“Vaa mpira Dr Kelvin”
Akili yote ya DR kelvin ilijua Verity amemgomea kumpa mzigo kumbe ni kuvaa tu Kondom, hapo hapo DR KELVIN hakuchelewa alichomoa wallet yake iliyokuwa kwenye mfuko wa suruali akatoa mipira ya kiume na kuvaa kisha akamuendea VERITY pale kitandani na kuanza zoezi
Alipoona mambo yamekaa vyema alikamata mhogo wake akauweka taratibu hadi ukazama wote na kilichoendelea hapo shetani mwenyewe anajua.
Mchezo aliochezeshwa Verity alipagawa moja kwa moja maana alifanyiwa mambo ambayo hajawahi kuyaona kokote.
DR KELVIN hakuwa daktari wa magonjwa tu, alikuwa ni daktari wa mapenzi pia, aliamua kuweka heshima kwa VERITY ili kesho yake arudi tena.
Style zote zilikuwa zimeisha na sasa walikuwa wanarudia zingine, mipira ya kondom aliyokuwa nayo DR kelvin iliisha lakini si veriy tena aliyeidai.
Mchezo sasa ulikuwa unachezwa nyama kwa nyama kitendo kilichowafanya wainjoi zaidi na zaidi, alijikuta wakifanya mapenzi kwa muda mrefu hatimaye wakamaliza wakiwa hoi na kila mtu akaondoka kivyake.
Verity alirudi nyumbani kwake na wala hakumkuta Gwakisa, aliingia ndani kwake akabadilisha mavazi na kulala kitandani.
Alikuwa amechoka mno, ndani ya akili yake alikuwa anamuwaza Dr Kelvin tu, alishindwa kuvumilia na kuchukua simu yake na kumtumia sms.
‘hivi wewe ni Dr wa mapanzi au Dr wa magonjwa’
Alikaa kidogo akisubiri ajibiwe na kweli baadae kidogo akajibiwa…
‘hiyo cha mtoto kesho tukutane tena, niko theatre nitafute Kesho’
Ukweli ni kwamba DR KELVIN hakuwa theatre bali alikuwa anahudumia mwanamke mwingine na wote ni wagonjwa wake aliowahi kuwatibu na sasa alikuwa anamhudumia kingono na ndio maana alimwambia VERITY yuko theatre.
Baadae GWAKISA alirudi akitokea kwenye kazi zake na kuingia ndani akamkuta mkewe kajilaza kitandani.
Kama kawaida hakumsemesha akaingia bafuni akaoga na kujitupa kitandani, kitendo cha Gwakisa kulala pale kitandani alipo Verity kilimtia Verity kinyaa na kuamua kuamka aondoke.
Alipoamka kanga yake ilidondoka na kubaki na nguo ya ndani tu, Gwakisa aliona kile kitu na kujikuta anamtamani mkewe.
“Unaenda wapi Verity?”
“Verity aligeuka tu na kumuangalia Gwakisa ila hakumjibu chochote”
Gwakisa aliamua kuamka na kumshika ili amvutie kwake wafanye ngono kwani alimtamani…
Kwa hasira Verity alimsukumiza Gwakisa akaanguka na kujigonga mguu wake kwenye mbao ya kitanda.
“Niache bwana nimechoka mimi”

Verity alishtuka baada ya kumuona Gwakisa akiugulia maumivu baada ya kugonga mguu kwenye mbao ya kitanda. Alijua kabisa kuwa lazima atakuwa ameumia lakini hakudiriki hata kutoa neno la pole kwa mme wake zaidi zaidi alitoka tu na kuelekea bafuni

Gwakisa ilibidi ajizoe tu na kupanda kitandani alale zake, hakujua ile jeuri verity ameitolea wapi kwani hajawahi kumuona akiwa vile.

Mara zote hata wagombane lakini haijawahi kutokea eti anyimwe unyumba tena kwa dharau kiasi kile.

Gwakisa aliwaza mengi, alihisi huenda Verity nae ameanza kumsaliti, mawazo yake yote alikuwa anadhani huenda Verity ameanza tena kutoka na Sam.

Chuki dhidi ya Sam ilizidi kujikusanya tena na tena, akiwa kwenye mawazo yake Verity alirudi tena ndani akiwa amejifunga kanga yake.

Gwakisa alizidi kumtolea macho, alimuona kama kawa mpya na uzuri umeongezeka. Verity alikuwa na umbo zuri sana na lilivyokuwa kwenye kanga ndio kabisa.

Akili ya Gwakisa haikukubali eti siku hiyo anyimwe kabisa penzi, Verity alivyojilaza tu Gwakisa akamuendea na kuanza kumshika shika.

“Kwani wewe una nini, si nimekwambia nimechoka bwana”
“Bwana mimi nina ham sana, “
“Kesho mimi nimechoka”

Gwakisa hakukubali alikomaa na hapa akawa ameitoa kanga ya verity na kumuacha uchi kabisa.

Hatimaye Verity akawa hana uwezo tena wa kumzuia Gwakisa, Gwakisa aliendelea na mambo yake mwishowe akafanikiwa kuingiza uume wake kwenye uke wa Verity.

Aliendelea kujihudumia pasipo kupewa ushirikiano wowote kutoka kwa mkewe.

Yani alijipakulia na kujilia mwenyewe, kwakuwa alikuwa na uchu hakujali sana , aliendeleza mambo mpaka pale alipofika mwisho akashusha mzigo na kutulia pembeni.

“Unajiona umefanyaaaa nawe mwanaume eti, si umenchafua tu”

Aliongea maneno hayo Verity huku akienda kuoga tena, Gwakisa aliyasikia hayo maneno yakamuuma, alishindwa kuelewa kiburi hiki kwa Verity kimetoka wapi. Katika majibu yake akapitisha kuwa Sam ndie sababu.

……………………….
Ni siku nyingine Verity yuko kwenye gari ya Dr Kelvin ndani wanafanya mapenzi, kiti cha siti kilikunjuliwa kikawa kama kitanda Verity akalazwa humo.

Dr Kelvina alikuwa kwa juu anasugua ikulu ya Verity ipasavyo huku wanapuliziwa na AC, michezo iliendelea kw style tofauti tofauti na wakati huu Verity alikuwa kamkalia juu Dr Kelvin anajihudumia.

Dr Kelvin alikuwa amepitisha mikono yake na kukishika vyema kiuno cha Verity na midomo yao imekutana wananyonyana mate huku viungo vyao vya chini vinaendelea kusuguana.

Verity akiwa kamkalia Dr Kelvin huku Dr nae kakalia siti ya gari na kukizungisha kiuno taratibu akihakikisha uume wake unagusa kona zote za uke wa Verity kitendo kilichomfanya Verity apagawe kabisa na kumuita Dr Kelvin majina yote mazuri.

Walimalizana baadae sana huku Verity akiwa kapandishwa kileleni mara kibao na Dr Kelvin nae akiwa kafika mara moja lakini ya nguvu.

Walikaa sasa kwenye siti zao huku wanaongea mambo mbalimbali…
“Hivi una mpango gani kuhusu watoto”
Aliulizwa Verity….
“Yani wewe acha tu, tangu mwanangu apotee sijashika mimba tena”

“Na ukimtegemea yule mumeo ndio hutapata maisha yako yote”
“Kwanini unasema hivyoo?”
“Kwani hujui kuwa mumeo hazai”
“Unasemaje?” Verity alishtuka mno kusikia vile
“Unashtuka nini sasa, kuwa mkweli kama hata mtoto wako wa kwanza ulizaa nae yeye?”
Hapo Verity alitulia huku akiyameza maneno ya Dr Kelvin akilini mwake.

“Wewe umejuaje kuwa hazai?”

“Mimi nilishawahi kumpima baada ya yeye mwenyewe na mwanamke wake wa mwanzo kuja kwangu wakidai hawapati mto t o nikawapima lakini nikagundua shida iko kwa Gwakisa.”
“Sasa ukawasaidiaje”
“Niliwapa dawa wanywe lakini sikusema kuwa tatizo lipo kwa Gwakisa kwani yule hakuwa mkewe wa ndoa, ila ukweli mumeo ana tatizo na lile halitibiki”
“Kwahiyo mume wangu ni tasa?” Aliuliza Verity.
“Hayo ndio majibu”

Verity aliwaza sana lakini aliondolewa kwenye mawazo yake baada ya Dr Kelvin kuanza tena manjonjo yake wakajikuta wanafanya tena.
Tabia hii iliota mizizi na hatimaye ikawa karibia kila siku Verity anaingia kwenye ngono na Dr humo humo kwenye gari.

Gwakisa alikuwa anapewa mara moja moja kama dawa tena anapewa huku anasimangwa.

……………
Sam akiwa ofisini alipokea simu ya Nisha na kumuomba wakutane, Sam alitaka akatae lakini alipokumbuka ile zawadi aliyopewa akawa hana jinsi.

Alielekea kule alipoitwa na hakukuwa kwingine isipokuwa nyumbani kwa Nisha.
Alipofika alikaribishwa ndani na kumkuta Nisha kavaa kanga nyepesi huku kufuli likiwa linaonekana mubashara.

Alikaa kivivu kisha akapewa soda ya baridi na kuanza kunywa taratibu japo moyoni hakuwa na amani hata kidogo.

“Niambie Mume wangu, zawadi umeionaje”
“Zawadi gani sasa ile, kwanini umeamua kufanya vile”
“Ni mapenzi tu Sam, nakupenda sana na nadhani isingekuwa kulazimishwa na RPC wala usingemuoa mwanae bali mimi”
“Una uhakika gani”
“Najua ulinipenda mimi, na mimi nilikupenda wewe nabado nakupenda”
“Kwahiyo kama nikikaidi ombi lako utafanyaje?”
“Sikutanii ila kweli nitaisambaza ile picha tena na video kabisa”
Sam alishtuka kwani hakujua kuwa kumbe zaidi ya picha aliyotumiwa kama zawadi akiwa uchi wa mnyama anafanya mapenzi na mwanamke ambaye ni Nisha kumbe alikuwa na video pia.

Ishu hii ikawa ni mafanikio kwa Nisha kwani alifanikiwa kumuingiza kwenye mtego na hatimaye akawa mpenzi wake kwa mara nyingine.

Kanga ya Nisha ilikuwa chini huku umbo refu, lenye mwili mweupe wa kichotara ukionekana kwa Nisha.

Hisia za Sam hazikuweza kuuvumilia ule urembo na taratibu zikamruhusu jogoo wake kuwika barabara.

Midomo yao ilikuwa ina kazi ya kunyonyana huku mikono yao ikitembelea kwenye miili ya kila mmoja wao.

Miguno ya mahaba ilisikika zaidi huku wakiangushana kwenye kitanda kikubwa chenye shuka jeupe na hatimaye Sam juu Nisha chini viungo vyao vimeingiliana.

Ngono na Nisha ilikuwa tam sana, na hatimaye wakawa wanakutana kila walipotaka kukutana, haikuwa kwa lazima tena bali Sam mwenyewe alikuwa anafurahia mchezo.

Katika makubaliano yao ni kwamba Sam amheshimu mkewe na iwe siri ili Ndoa na heshima yake viendelee kuwepo.

…………
Gwakisa hakukata tamaa kwa Nisha, siku moja aliamua kumfwata kwake ajaribu tena kumshawishi.

Alipofika aliingia ndani bila hata hodi, kitu alichokiona alibaki ameshika mdomo kwani Nisha alikuwa ameshika kochi kainama huku Sam akichochea kwa nyuma, yaani wanafanya ngono kwa style ya Mbwa.

Sio sam wala Nisha waliojua kuwa Gwakisa ameingia pale, wao hawakujua lolote wakawa wanaendelea tu kufanya yao.

Walipochoka staili ile wakabadili nyingine na safari hii Nisha alilala kwenye kochi sam akamnyanyua miguu na kuiweka begani kwake kisha akaendelea na zoezi.

Gwakisa safari hii aliamua kujibanza pembeni ya mlango huku anaangalia kila kitu, Roho ilikuwa inamuuma sana kuona kuwa msichana aliyekuwa anampenda leo anatembea na Sam.

Moyoni mwake alimchukia sana Sam, alitamani hata kumuua kwani alikuwa anamuingilia kwenye maeneo yake mengi kuanzia kwa mkewe na hapa kwa mchepuko pia.

Aliendelea kujibanza pale akishuhudia kila hatua ambayo Sam na Nisha walikuwa wanapitia katika zoezi lao la kufanya mapenzi.

“ashhhh, sam unaniua mimi…rahaaa jamani”
“nakojoa…, nakojoaaaa”

Yalikuwa ni makelele ya Nisha baada ya kunogewa na mchezo aliokuwa anafanyiwa na Sam.

Gwakisa alikuwa anazidi kuumia kwa kile ambacho alikuwa anazidi kukisikia na kukiona kwa wztu hawa walioko mbele yake.

“Nakupenda sana Sam, wewe ndio mwanaume haswa unayejua kukidhi haja zangu, wewe ni mzuri wa muonekano mpaka kitandani”
Gwakisa aliposikia hizi kauli alijisikia vibaya sana…
“Kwani kuna wanaume wengine hawawezi kufanya kama hivi?” Sam aliuliza wakiwa wamelaliana baada ya kukamilisha zoezi lao.
“Sasa unafikiri ni wote wanaoweza kama wewe?”
“Kama nani mfano ambaye hawezi hivi?”
“Wengine unawajua sitaki tu kuwataja”
“Nitajie tu mmoja”
“Huyo Gwakisa ndio anajua tu kuingiza na kukojoa basi”

Gwakisa kusikia jina lake linatajwa alihisi kama msumari wa moto unapita katikati ya moyo wake, aliumia sana kuachwa alafu anatangaziwa mambo ya aibu.

Alijutia sana kwanini hakutembea na bunduki yake kwani leo ilikuwa siku maalum ya kuua.
Alifikiria apigane ngumi lakini hofu yake anaweza asiweze kuwamudu kwani nao walikuwa wako vizuri kwenye ngumi.
Wakati anawaza afanye nini ndani ya akili yake aliwaona wabaya wake wakishikana shikana tena kuashiria kuwa wanataka waendelee.

Hapo aliamua kuwaacha waanze kufanya alafu yeye afanye mambo yake kwa urahisi.
Baada ya dakika kadhaa alimuona Nisha akimkalia Sam kwa juu na kuanza kunyonga kiuno chake.
Staili hii hakuipenda kwani adui aliyetaka amuangamize kwanza sio Nisha bali Sam.
Alisubiri wabadilishe style ili hatimaye Sam akiwa juu ndio afanye yake,

Kama vile maombi yake yalisikilizwa na shetani…Sam alikuwa sasa amemlalia Nisha kwa juu anafanya mautundu yake.
Alisubiria mpaka pale alipoona kuwa wameongeza kasi kuashiria kuwa wanafika mwisho ndipo akachukua kipande cha chuma kilichokuwa nyuma ya mlango na kunyanyuka akiwaendea kwa mwendo wa kunyata.
Safari hii Nisha alikuwa amelazwa style ya kuangalia chini yaani amelalia Tumbo na Sam nae akamlalia kwa nyuma hivyo hakuna aliyekuwa na uwezo wa kutambua anayekuja kwa nyuma.

Gwakisa kiwa amedhamiria kabisa kuua alikamata chuma chake vizuri, alikinyanyua vizuri juu na kukishusha kwa nguvu zake zote akiwa amemlenga Sam kichwani.
‘Paaaaaaa mlio wa chuma ulisikika kwa nguvu na kumfanya Nisha astuke kwa kumuona Gwakisa pale!’
…………………………….
Mapenzi kati ya Verity na Dr Kelvin yalikuwa yameshika kasi kwa kiasi aambacho ilikuwa ni kila siku wanaonana na kufanya ngono.

Hakuna sehemu nyingine walikuwa wanafanya ngono isipokuwa kwenye gari, mara kwa mara Gari la Dr Kelvin lilikuwa linapita njia ya maporini na kisha linapaki pembeni na wao wanabinuana ndani ya gari mpaka walipokuwa wameridhika wanaondoka zao.

Baadhi ya watu walishajua kuwa lile gari likipita tu basi wataliona linapaki pembeni ya barabara na baada ya hapo litakuwa linatikisika kuashiria kuna watu wanafanya mapenzi humo.

Watu walichukizwa sana na ile tabia kwani haikuwa nzuri kwa maadili hivyo wakaamua kuwa siku moja lazima wawafanyie kitu kibaya.

Vijana wa ule mtaa walishapanga kuwa waivizie ile gari kisha wakiwaona tu wawafundishe adabu.

Kama kawaida siku hiyo gari ile ikaja maeneo yale kisha vijana wakajipanga kwa ajili ya kufanya kazi yao.
Walisubiri zikapita kama dakika mbili hivi ndipo wakaenda lakini walipokaribia wakaona mlango unafunguliwa kisha akatoka mwanamke na kuondoka zake ikabidi wajifiche kwanza.

Ghafla ile gari nayo ikageuzwa na kuondoka lakini baada ya muda kidogo ikarudi tena.
Safari hii hazikupita dakika nyingi gari likaanza kutikisika wakajua sasa ndio muda muafaka.

Walishuka wakiwa wamebeba silaha za jadi kama mapanga, fimbo na mawe…
Walipofika jambo la kwanza ilikuwa ni kuvunja vioo vya gari na kuwatoa wahusika nje….

vijana wenye hasira kali walikuwa wamejazana nje ya gari la Dr Kelvin hakuna kingine wanachotaka zaidi ya kuwatoa nje.

Walishachoka kitendo cha wao kuachiwa kondom zikiwa zimetupwa kila mahali mara kwa mara.

Hawakupenda pia tabia mbaya iliyokuwa inaonekana mpaka kwa watoto wadogo kwa kila siku gari kuja hapo na kuzima taa kisha linanesa kuashiria kuna watu wanafanya mapenzi ndani.

“Kama wana nyege sana si waende gesti bwana, kwanini waje huku wasenge hawa” ni kauli mbalimbali zilizokuwa zinatolewa na wale vijana waliojazana pale.

Kule ndani Dr Kelvin alikuwa haoni la kufanya, haoni pa kukimbilia, walishakatishwa starehe yao na sasa walikuwa wako hatarini.

Walisikia kelele za kuwataka wafungue mlango ila hawakutii.

Hakukuwa na uwezekano wa kurudi nyuma kwani waliwekewa mawe na magogo kote mbele na nyuma.

Mke wa mtu aliye nae pale kwenye gari alikuwa analia mda wote na tayari vioo vilikuwa vimepasuliwa.

“Si mnaona yuko na demu humu ndani, yani wameona wasifanyie huko mjini kwao waje watuchafulie sisi huku”

Kwa fujo na nguvu Dr Kelvin na demu wake walivutwa nje ya gari kisha wakakalishwa chini na kuzungukwa.

“Oya mbona demu mkali hivi…tumle na sisi”

Sasa hapo ndipo mambo yaliharibika.

Mwanamke wa Dr Kelvin alianza kuvuliwa nguo kwa kuchanwa kisha akaanza kubakwa kwa zamu,

Vijana wale Zaidi ya ishirini walimuingilia kwa zamu huku wengine wakifanya kurudia rudia mpaka wakajiridhisha.

Mwanamke wa watu alikuwa hajitambui anavuja damu mbele na nyuma kwa kuingiliwa na wanaume wale, mbaya zaidi ile njia ilikuwa haipiti watu mida kama ile na ndio maana hata Dr Kelvin alipapenda kwenda kufanyia ushenzi wake.

“Sasa huyu nae tunamuachaje?” Waliulizana kuhusu Dr Kelvin.

“Nae afi…we”

Dr Kelvin kusikia vile akaanza kupiga makelele ya kuomba msamaha…

“Msinifi..e jamani, msinif…re mimi nina ukimwi”

Hakuna aliyeelewa kitu, Dr Kelvin alivuliwa nguo zote akainamishwa kisha kila aliyetaka akajisevia.

“Mnaniua jamani, mnaniua mimi”

Dr Kelvin alikuwa analalamika lakini hakuna aliyemuonea huruma.

Walipomalizana nae walimuacha akiwa hajitambui yeye na demu wake.

Walichofanya cha mwisho waliisukumiza gari mbali ikaserereka kwenye korongo ambalo kwa chini yake ni msitu kisha wakaondoka zao waliwaacha wametapakaa damu na kinyesi.

………….
Kwa kasi ya umeme Sam alimsogeza Nisha pembeni huku nayeye akisogea kando na kufanya chuma alichokishusha Gwakisa kigonge kwenye tendegu la kitanda ambacho kilikuwa cha chuma pia na kutoa mlio mkubwa.

Kumbe tangu mwanzo Sam alimuona Gwakisa ila akajikausha tu ili amuumize roho ila alikuwa anaona action zake zote na ndio maana hata alipotaka kuwapiga ilikuwa rahisi kumkwepa.

Huku wakiwa uchi wa mnyama waliamka kwa ajili ya kupambana na Gwakisa.

Gwakisa akiwa ameshika chuma lake alikuwa analirusha kwa watu wawili ambao kila mmoja alikuwa analikwepa.

Mbaya zaidi kwa Gwakisa ni kwamba Sam alikuwa na mazoezi makali mno ambayo amesomea ndani na nje ya nchi.

Nisha nae zaidi ya kupitia Polisi ila alikuwa ni mafia aliyesomea kwa ajili ya biashara yao haramu.

Kwa namna yeyotw Gwakisa asingewamudu na hatimaye alikuwa amewekwa chini anachezea kichapo.

“Hivi wewe ni mwanaume kweli wewe? Mwanaume gani unapigwa kirahisi hivi, ndio maana sikutaki Gwakisa”

Gwakisa alikuwa amelazwa chini ameshikiliwa bastola?

“Nikuue?”

“Msiniue jamani, msiniue”

“Nisha muache aende zake”

“Huyu tukimuacha atatusumbua tena bora tummalize mimi nitasema alikuja kuniibia ni jambazi”

“Hapana muache aende tu, usimuue”

Hatimaye Gwakisa aliachiwa kwa amri kuwa asiwafwatilie tena…

“Haya kimbiaaaaaa”

Gwakisa alikuwa anakimbia maskini huku anachechemea.

“Kimbia vizuri au nije tena”

Gwakisa ilibidi ajikaze zaidi kukimbia hatimaye akatokomea kabisa.

“Huyu mshenzi sana huyu, ametuharibia starehe yetu”

” usijali turudie baby”

“Ila nataka nirudi home, nimeondoka mda mrefu”

“Usijali, mara ya mwisho tu”

“Poa baby”

Mabusu moto moto yalianza huku wakitomasana na kutekenyana kila sehemu na baadae sana wakawa wako chumbani wanakula tunda la mti wa katikati kwa mara nyingine.

Safari hii walihakikisha wanafunga milango yote madirisha kisha, kwakuwa Mbeya kuna baridi hawakuwa na haja ya feni wala AC,

Mtanange wa nguvu uliendeshwa taratibu hadi kila mmoja akaridhika na kutulia wakiwa wamekumbatiana.

“Twende ukaoge baby”

Walinyanyuana kwenda kuoga pamoja hadi bafuni kisha wakawa wanasuguana migongo.

Wakiwa bafuni simu ya Sam iliita akatoka haraka kuipokea…
“Njoo ofisini haraka”

Verity akiwa kwenye gari wakijiandaa kufanya mapenzi na Dr Kelvin aliiona simu ya Dr Kelvin ikiita.
“pokea simu yako kwanza”
“Bwana wewe tuendelee kwanza”
Verity alipoona Dr Kelvin hataki kupekea simu akaiminya ili apokee yeye na kwa bahati mbaya au nzuri ilikuwa ni video call.
Verity alimuona mwanamke mmoja kwenye simu akiwa ameacha kifua wazi ila akashtuka na kujifunika baada ya kuona aliyepokea sio Dr Kelvin bali ni mwanamke.
“Wewe nani unaepigia wapenzi wa watu simu ukiwa uchi”
“Msen..ge nini, mimi nilijisitiri nikajua ni mkewe kumbe ni hawara kama mimi tu”
“Unasemaje wewe…”

Kabla Verity hajamalizana na huyo mwanamke mwingine Dr Kelvin aliinyakua simu na kuizima, kwa hasira kuliko Verity alishuka kwenye gari na kuondoka zake kwa miguu.
Wivu ulikuwa umemkamata vilivyo, kwa yale aliyokuwa anafanyiwa na Dr kelvin alikuwa anamuonea wivu kuliko hata mmewe Gwakisa.

Dr Kelvin aliamua kugeuza gari ili kumfwata taratibu ambembeleze lakini alipokuwa anamuomba asimame ndio kwanza Verity alikunja uchochoroni na kupotea kabisa.
Kwa hasira Dr Kelvin aliamua kupigia mwanamke mwingine kati ya wale wanawake zake alio nao kwenye list yake.

“Uko wapi baby wangu”
“Niko hapa hospitali”
“Kwani uko zamu leo?”
“Niko zamu lakini natoka saivi”
“Sasa sikia, wewe toka tu kama vip kesho nitajua cha kukusemea wala haitakuwa ishu”
“Poa njoo unichukue basi”
“Nakuja”

Wakati Dr Kelvin anamfwata mwanamke wake ambaye alikuwa nesi taratibu Yule nesi nae akawa anajiandaa kwani nae alipagwwishwa na penzi la Dr Kelvin na hakuwa tayari kulikosa.

Baada ya muda kidogo alisikia honi kwa mbali akaliendea gari akafunguliwa mlango na kuzama ndani.

Alipokaa tu kwenye gari huku kavaa sketi yake fupi ambayo ni jezi ya kazi Dr Kelvin alianza kupapasa mapaja yake.

“Bwana twende kwanza unaharaka gani?”
Dr Kelvin alikanyaga mafuta akaondosha gari mpaka sehemu yake ya siku zote,

“Baby leo tunafanyia kwenye gari?”
“Ndio nataka uone utamu wa kwenye gari”

Mabusu motomoto yalianza na ndani ya muda sio mrefu wakawa wamevuana nguo wanafanya yao, kilichowashtua ni kioo cha gari kugongwa kwa nguvu na hatimaye wakatolewa nje.

Hakuna siku ambayo nesi huyu alilia kilio cha uchungu kama siku hii, aliingiliwa bila huruma na wanaume wengi tena mbele na nyuma.

Alilia sana akiomba msamaha lakini hakuna aliyemsikiliza, Dr Kelvin nae alifanyiwa ipasavyo na hatimaye wote walikuwa hoi hawajitambui.

Wale vijana waliondoka zao na kila mmoja kusambaratika kivyake, hakuna aliyejitambua kati ya Dr Kelvin na Yule Nesi.

Walilala hapo hapo mpaka kesho yake asubuhi kulivyopambazuka na watu kuanza kuwashangaa huku kila mmoja akiogopa kuwasogelea.
…………………………
Gwakisa alirudi kwake anachechemea huku amejaa hasira, alifika na kujitupa moja kwamoja kwenye kochi huku akiwa anawaza ninini awafanye akina Sam na Nisha.

Akiwa anawaza alimkumbuka mke wake na kuanza kumuita… “verity” aliita sana lakini hakuitikiwa akaamua kumfwata chumbani.

Alipofika alimkuta kalala kwa kulalia tumbo, alimuita tena lakini wala hakuitika, alimuendea pale kitandani na kumuinua kwa kumgeuzia juu.

“Niacheeee” verity aliongea kwa sauti ya juu kiasi ambacho hata Gwakisa aliogopa.

“Una nini wewe, mbona kama ulikuwa unalia?” gwakisa alizidi kumuuliza Verity.

“Nimeshasema niacheeee, mbona huelewi wewe mwanaume wewe?”

Gwakisa alistaajabu hali ya Verity kwani kweli alikuwa anaonekana kama alikuwa analia kwani hata macho yake yalikuwa mekundu kama nyanya.
Gwakisa alikuwa na hali mbaya kweli kweli, huko alipotoka matatizo na hapa nyumbani pia ni matatizo.
Hakujua kuwa Verity alikuwa na mawazo lukuki juu ya wivu kwa Dr Kelvin, zile raha alizokuwa anazipata kutoka kwa Dr Kelvin zilikuwa zimeingia shubiri, hakupenda kushea penzi na Mtu mwingine kwani aliona Dr kelvin ni wake peke yake.

Alishaapia kuwa hatokuwa na mwanaume mwingine zaidi ya Dr Kelvin na mme wake ambaye atakuwa anampa kwa geresha tu kwa kuwa ni mumewe,

Alijua fika kuwa Dr Kelvin alikuwa na mkewe kama yeye alivyo na mumewe, hilo hakulijali ila hakutaka kusikia eti ana mchepuko mwingine.
Walilala hivyo hivyo mpaka kukakucha ambapo Gwakisa alikuwa ana tabia ya kusikiliza taarifa ya habari ya asubuhi kupitia TBC, habari iliyokuwepi hewani inahusu watu wawili ambao wameokotwa wakiwa wamebakwa na gari lao kutumbukizwa korongoni.

Kilichomshitua Verity ni kusikia jina la Dr Kelvin likitajwa na hapo hapo akaamka kwa hamaki na Kukodoa macho yake kwenye TV.
……………………………………..
Sam alisindikizwa na busu la Nisha kisha akapanda kwenye gari na kuondoka zake, akiwa njiani alimpigia simu mkewe na kumtaarifu kuwa ameitwa ofisini,

“Mimi nilijua uko ofisini kumbe ndio umeitwa, sasa ulikuwa wapi mme wangu?”

“Mke wangu nawewe kwa wivu, nilikuwa doria bhana”

“Haya ila mwenzako nimetapika kama nini?”

“Pole nakuja usijali tutaenda kupima malaria”
Sam alinyoosha moja kwa moja mpaka ofisini ambapo baada ya kufika huko alikutana na bosi wake ambaye alimpa barua.

Sam hakuamini macho yake, ilikuwa ni barua ya kwenda Kozi nyingine nchini Uingereza….

Ambulance yenye ving’ora ilikuwa inakimbia ikipita katikati ya barabara huku inakwepa magari na vyombo vingine vya usafiri ikiwahi hospitali kwani watu waliokuwa wamebebwa walikuwa wanafahamika katika ile hospitali.

Walikuwa ni Dr Kelvin na nesi wake ambao walikuwa wamepigwa na kubakwa na watu wasiojulikana wanakimbizwa hospitali.

Kati yao hakuna hata mmoja ambaye alikuwa anajitambua, walikuwa hawana ufahamu kabisa.

Walipofikishwa hospitali haraka sana walipokelewa na kuwekewa “life suppotting machine” huku matibabu mengine yakiendelea.

Madaktari walikuwa wanahaha wakipishana kila mmoja anafanya analoliweza.

Ndugu wa Dr Kelvin pamoja na yule nesi walikuwa wameshafika pale hospitali wanafwatilia kwa ukaribu kinachoendelea juu ya jamaa zao.

Pembeni alikuwepo Mwalim Tupokigwe, huyu ni mwalimu mkuu wa shule ya msingi Uyole ‘A’ lakini huyu pia alikuwa ndie mke wa ndoa wa Dr Kelvin.

Alikuwa ameshikiliwa na walimu wenzie kwani alikuwa ameishiwa nguvu kwa kulia, macho yalikuwa mekundu kwa machozi.

“Kevi nilikwambia mme wangu, nilikwambia mme wangu achana na umalaya…ona sasa, ona kilichokupata mme wangu…”

Mwalimu huyu alikuwa analalamika huku analia machozi ya huruma, alionekana anampenda sana mme wake ila ndo hivyo mmewe alikuwa hajatulia, alikuwa mwingi wa mapenzi, alikuwa haruki sketi, awe mgonjwa , awe mke wa mtu, awe muuza bar, awe mwanafunzi wote walikuwa halali yake.

Kule wodini madaktari walikuwa na kazi ya kupandisha mapigo ya moyo wa Dr Kelvin lakini hali haikuwa nzuri.

Baada ya dakika kadhaa mashine ilikuwa inapiga alarm, msitari wake ulikuwa haupo zigzag tena, ulikuwa umenyooka kabisa kuashiria kuwa mapigo yake ya moyo yamesimama na amefariki.

Haikuwa uongo, Dr Kelvin alikuwa amefariki kweli na taratibu akafunikwa na shuka la kijani akapelekwa mochwari.

Kazi ilihamia kwa yule nesi sasa ambaye kidogo alikuwa anaonyesha matumaini kwani alianza kupumua kwa njia ya kawaida isipokuwa bado alikuwa hajajitambua.

Kazi ya kumshona ilikuwa inaendelea kwani alikuwa amechanika sehemu zake zote za mbele na nyuma kiasi cha kuungana.

Mchezo aliokuwa amefanyiwa ulikuwa ni wa kikatili kuliko, ilibidi asafishwe vilivyo kwani alikuwa amechafuliwa kila sehemu, kinyesi kilikuwa kinamwagika kila wakati.

Ama kwa hakika alikuwa na hali mbaya sana. Juhudi za madaktari zilionekana kuzaa matunda kwani hatimaye nesi huyu alianza kufumbua macho japo alikuwa hana uwezo wa kuongea.

Walichofanya madaktari ni kumchoma sindano ya usingizi ili waendelee na huduma zingine
………

Verity alikuwa anatetemeka kama mgonjwa wa homa kwa taarifa aliyokuwa anaiona kwenye Tv.

Gwakisa alikuwa ameganda akimshangaa mkewe jinsi anavvyostaabishwa na habari ya kwenye runinga kwani hakuelewa kwanini mkewe aguswe kiasi kile.

“Vipi mke wangu, kwani unawajua?”

Hapo ndipo Verity alikurupuka huku akijifanya hawajui lakini usoni alionyesha kabisa kuwa anachokisema sicho anachomaanisha.

Aliamka akakimbilia bafuni ambapo alijimwagia maji huku akitafakari kile alichokiona, akilini mwake kulipita mambo mengi sana ambayo mengi alikuwa hana majibu yake.

Kiu ya kujua zaidi ilikuwa kubwa sana na hakuweza kuivumilia, alichoamua ni kufunga safari ya hospitali ili akajionee kwa macho yake.

Hakusubiri, alijiandaa haraka haraka na kuelekea kule hospitali, alipofika alitafuta kaka mmoja ambaye alionekana ni mhudumu katika ile hospitali na kumhoji kuhusu kile kilichotokea lakini hakupewa majibu ya kuridhisha .

Kwakuwa alikuwa na hamu ya kujua ilibidi ajisogeze kwenye kikundi cha watu waliokuwa wanaongea kuhusu jambo lile.

Alipofika pale wale watu walinyamaza kwani walimuhofia kwakuwa walikuwa hawamjui. Hapa pia hakukaa sana ikabidi aondoke.

Kwambali aliona watu wanalia sana huku mwanamke mmoja akionekana kulia zaidi huku ameshikiliwa na wenzake ikabidi aamue kwenda pale…

“Mme wangu jamani, watoto wako ntaleaje mwenyewe mimi….mwe mwe mweeee, uwiiii jamani Kevi”

“Nilikwambia mimi acha umalaya hukunisikia, nilikunyima nini Kevi wewe, nilikupa mpaka vya aibu wewe lakini hukutulia ona sasa wamekuua Kevi’

Moja kwa moja Verity alijua fika kuwa huyo ndie mke wa Dr Kelvin, aliumia sana kwani aliona uchungu uliokuwa ndani ya mwanamke mwenzake.

Roho ilimuuma sana, alijutia kutembea na Dr Kelvin, tamaa zilimpeleka puta na sasa anajutia.

Taratibu mashavu yake nayo yalianza kuloa, yaliloa machozi kwa kile anachokishuhudia, Dr Kelvin alikuwa amefariki.
Akiwa pale Verity aliweza kusikia kila kitu kuhusu yale yaliyompata Dr Kelvin, aliamini moja kwa moja kuwa Mungu alikuwa upande wake kwani ile ilikuwa imkute yeye kama si kukerwa na Dr Kelvin na kuamua kumkimbia.

Akili yake ilitambua ni kwa jinsi gani Dr Kelvin alikuwa malaya kwani kwa muda mfupi baada ya yeye kuondoka kumbe alichukua mwanamke mwingine.

Moyo wake ulijutia sana, alilia mno na mwisho akaamua kurudi nyumbani, alipofika kwake alimkuta mmewe kakaa huku akionekana yuko mbali sana kimawazo.

Alijisikia fadhaa sana kwani ndoa yao ilikuwa imegubikwa na sarakasi nyingi, alitamani amuombe mme wake msamaha na wapange kuachana na ya nyuma wagange yajayo.

Moyoni mwake aliamini amani ya moyo kwa wanandoa inaanzia nyumbani na kuishia humo, kamwe haipatikani nje.

Kwa hatua za adabu alimwendea mme wake na kumuita…

” Mme wangu naomba tuongee”

Gwakisa aligeuka na kumuangalia mkewe ili asikie anataka kusema nini…wakati Verity anataka kuzungumza alijisikia hali ya tofauti iliyomfanya akimbilie bafuni.

Aliinama kwenye sinki na kuanza kutapika mfululizo kiasi kwamba ilibidi na Gwakisa aje kumuangalia.

………………………..

Sam akiwa Ofisini kwake alikutana na barua iliyoandikwa kwa juu “Confidential”

Mikono ilikuwa inamtetemeka kwani alihisi ile barua ina jambo kubwa, aliisoma haraka haraka na kujikuta akiwa ameganda kama barafu.

Wakati huo huo akapokea ujumbe mfupi kwenye simu yake kutoka kwa mkewe…
“Baby nina suprise yako, njoo home faster”


Gwakisa alikuwa anamuangalia tu Verity anavyotapika huku akijiuliza kuhusu swali lile bila ya majibu, alikuwa anamsubiri akae saw a ili amuulize ninini anajisikia.

Verity aliendelea kutapika mpaka akamaliza na kukaa sawa, “Naomba maji masafi”
Verity alimwambia Gwakisa ambaye bila kusita alienda kuleta maji masafi na kumpa mkewe akajisukutua na kujisafi vizuri kisha wakarudi sebuleni.

“Vipi unajisikiaje?”
“Yani hata sielewei nilikuwa vizuri tu lakini hii hali imenijia ghafla tu”
“una homa?”
“Hata sielewe”

Gwakisa aliamka akaenda mpaka pale alikokaa mkewe kisha akaweka viganja vyake kwenye mashavu ya mkewe, akahamishia kwenye kifua lakini hali ya joto aliyokuwa anaiona ilikuwa ya kawaida tu.

“Kwahiyo hujisikii hali nyingine yeyote?”
Gwakisa alimuuliza tena Verity.
“Najisikia tu kichefuchefu lakini kwasasa kimetulia”
“Inabidi uende hospiali ukapime”
“Nikweli nitaenda kesho”
Verity na Mmewe Gwakisa walikomea hapo.

Kwenye akili ya Verity swala la kuongea na Gwakisa kuhusu ndoa yao liliishia hapo kwani akili ilikuwa imetawaliwa na mawazo mengine kabisa.

Alikuwa anawaza kuhusu kile kilichotokea, mawazo kwamba huenda ana mimba aliyapa asilimia kubwa sana na yalimtisha.

Yalimtisha kwani alikuwa anawaza ile mimba ni ya nani haswa, ameshiriki ngono na watu wawili kwa wakati mmoja yaani Gwakisa na Dr Kelvin ambaye ni marehem kwa sasa.

Alichanganyikiwa na kujikuta anaumwa kichwa kwani huu ulikuwa ni mtihani mkubwa kwake, endapo ingekuwa mimba basi ingekuwa ni ya Gwakisa ama Dr Kelvin.

Kama ingekuwa ya Gwakisa kwake ingekuwa heri kabisa, lakini kama ni ya Dr Kelvin aliona ni mkosi juu ya mkosi, tayari alishamsingizia Gwakisa mimba ya kwanza ambayo ilikuwa ya Sam, Je? Kama hii ni ya Dr kelvin ina maana amsingizie mme wake mimba kwa mara ya Pili?

Hapa kichwa kilimuuma…
“Ee Mungu isitokee kama ninavyodhani”
Hatimaye alijilaza kitandani huku akiwa anaendelea kuwaza na kuwazua. Baada ya muda kidogo Gwakisa aliingia pale chumbani na kumkuta mkewe kalala huku akionekana hana raha.

Alisogea pale kitandani alipolala mke wake kisha nae akakaa na kumshika mkewe kiunoni,
“vipi unajisikia vibaya?”
“Ndio, saivi naona na kichwa kinauma sana”
“Ngoja nikuletee paracetamol”
“Naona uache tu kitatulia chenyewe”
Gwakisa aliendelea kukaa pale akimtazama mkewe kwa huruma huku Verity akiendelea kuwaza ninini kinaendelea kuyagusa maisha yake ya ndoa.

Mwisho aliona ajipe muda aende hospitali akajue moja ama mbili, aliamua kuyatupilia mbali mawazo mabaya.

Taratibu aliamka na kumfwata mmewe mdomoni akaomba denda akapewa, alianza kumpapasa mmewe kifuani na Gwakisa nae hakutulia akaanza kumpapasa mkewe maeneo mbali mbali ya mwili wake.

Alijitahidi sana kufanya utundu wa kila namna ili yasitokee kama yale aliyosikia kwenye mdomo wa Nisha kuwa yeye anajua tu kuingiza.

Alijitahidi kwa kufanya kila alichoamini kitamfurahisha mkewe na kweli jitihada zake zilizaa matunda kwani Verity alikuwa anabwabwaja maneno mengi mno ya mahaba.

“Oh Hivyohivyo mme wangu, osshhh nasikia raha Gwaki wangu, nakupe..nd..a jamani”

Veirty alikuwa anaongea kama amewekewa kinubi mdomoni kwa raha alizokuwa anasikia nab ado Gwakisa wala alikuwa hajaweka mwiko kwenye sufuria.

“Na..ko..j…oaaaaaaaa” verity aliongea kwa sauti kiasi hata Gwakisa alishtuka kwani alikuwa hajawahi kuona kile kinachotokea kwa mke wake kwa siku ile.

Hapo kweli Gwakisa aliamini amekuwa anamnyima mkewe raha kwa mda mrefu, Verity alikuwa katulia kitandani baada ya kufika mwisho lakini Gwakisa hakumpa nafasi ya kupumzika, alichukua muhogo wake uliosimama wima kisha taratibu akaupeleka kule kwenyewe…

“Oshhhh, sssshhhh haaaa…mbona wamoto sana mume wangu” Verity alikuwa anongelea puani wakati muhogo wa Gwakisa unazama taratibu kwenye ikulu yake hadi ulipoingia wote na kuanza kuukatikia.
Mechi kali ilichezwa kwa dakika zaidi ya tisini, yaani dakika za nyongeza zilikuwepo kisha kila mmoja akafurahia sana na kupumzika pembeni.
……………………………..
Sam alikuwa ameshikilia barua yake mkononi asijue kwamba afurahi ama achukie, barua ilikuwa inavuruga baaadhi ya mipango yake.

Kiufupi alikuwa amechaguliwa kwenda kozi ya mambo ya utawala nchini Israel, kozi ambayo itachukua miezi mine.

Hii ilikuwa ni habari njema lakini wakati huu alitaka atulie na familia yake ili atafute mtoto na afanye matibabu.

Kwake kupata kozi nyingi ilikuw jambo la maana sana lakini swala la famila na watoto lilikuwa la muhimu zaidi.

“Asante afande, nimeipokea”
“Sawa hongera sana na unatakiwa uijibu kuwa umekubali na ujiandae”
“Sawa nitafanya hivyo”
“Sawa nikutakie maandalizi mema, lakini mbona kama hujafurahia?”
“No nimefurahi sana, nafasi kama hii ni nyeti sana”
Sama alikuwa anongea unafiki ambao ulionekana hata usoni kwake.

Hakukaa sana akaamua kuondoka kurudi kwake, wakati akiwa njiani alikumbuka kuwa mkewe alimwambia awahi kwani ana surprise yake.

Aliendesha gari kwa kasi ili awahi nyumbani.
“Ila huyu nae hata akikununulia boxer mpya tu anakwambia uwahi nyumbani ana surprise”
Alikuwa anajisemea Sam ndani ya moyo wake.

‘pii piiiii’
Sam alikuwa anapiga honi getini kwake ambapo haraka mlinzi alikuja akafungua kisha akaingiza gari na kuipaki.

Alipokelewa na mkewe kisha akaingia nae ndani huku ameshikiliwa kiunoni, Sam alitaka akae kwenye kochi lakini mkewe alimvutia chumbani.

Alipofika chumbani Rafiki alichukua pochi yake akaifungua kisha akamkabidhi Sam baadhi ya karatasi ambazo Sam alizisoma haraka haraka na kuhamaki.

“Heee una Mimba?”

Sam aliuliza kwa mshangao kwani alikuwa anajua kuwa yeye ana matatizo na hawezi kumpa mwana mke mimba…
Alimtolea macho Rafiki huku akimtafakari na mchezo anaotaka kumfanyia kisha akashusha pumzi na kukaa kitandani huku kainamisha kichwa anawaza amfanye nini mwanamke aliye mbele yake…


Sam alikuwa ameketi kitandani anawaza kitu ambacho kinatokea pale, alifikiria jinsi alivyompa Verity mimba na akamsingizia mme wake, hapa aliona nayeye analipiziwa.

Mawazo yake yote yalikuwa yanaenda haraka haraka anawaza ninani hasa atakuwa amempa Mimba mke wake, alianza kufikiria baadhi ya vijana wanaofanya kazi na mkewe, aliwaza kuhusu bosi wa mkewe kule ofisini, aliikumbuka kauli ya Gwakisa siku waliyokorofishana na kumtolea kauli ya kuwa akampime na mkewe….

Hapa aliamini kuwa ni lazima mimba sio yake na anasingiziwa, “iweje madaktari waniambie ninahitaji matibabu ya kina alafu leo kwa vile vijidonge niwe nimepona, haiwezekani huyu mwanamke anataka aniuzie mbuzi kwenye gunia.” Alikuwa anajisemea Gwakisa ndani ya moyo wake.

Kifua chake kilikuwa kinapanda na kushuka huku akijitahidi kuzuia hasira yake ambayo ilikuwa dhahiri iko mlangoni.

“Ee Mungu nizuie nisifanye mbovu” gwakisa aliomba kimya kimya.

Rafiki alikuwa anamshangaa mme wake kwani alitegemea atakuwa amefurahia zile habari lakini kinachoonekana ni tofauti kabisa.

Alikuwa anajiuliza kuhusu ukimya wa mme wake, je amefurahia, ama nivipi…. Lakini Rafiki alianza kuwaza kuwa huenda mme wake kwasababu ya matatizo aliyokuwa nayo ana wasiwasi na usahihi wa zile taarifa…

“Vipi mme wangu mbona kimya” aliuliza Rafiki lakini hakujibiwa akaamua kumshika mme wake kichwa ili auone uso wake.

“Vipi mme wangu, mbona husemi kitu?”

Ghafla Gwakisa aliinuka na kumkaba Rafiki koo….
“Mimi sio fala, nakwambia katika mafala woooote unaowajua mimi simo..” gwakisa alikuwa na jazba kubwa huku kamkaba mkewe kooni.

“U…nani…ua” Rafiki aliongea kwa tabu kwani koo lilikuwa limekabwa vilivyo.

Sam hakujali aliendelea kuzidisha nguvu za kumkaba mke wake kiasi kwamba Rafiki sasa akawa hana uwezo wa kusema chochote.

Kilichomshtua Sam ni kuona Dam zinachuruzika kupitia kwenye miguu ya Mke wake zikiwa zinatokea juu.

Hapa ndipo Sam alishtuka na kumuachia mke wake ambaye aliangukia kitandani huku kalegea hajiwezi.
……………………………………..
Verity alikuwa amefurahishwa sana na penzi la mme wake akawa anajutia kwa kukosa uvumilivu siku zote kumbe kwa mme wake kuna mambo matamu kiasi kile.
Alishindwa kuvumilia akainua kichwa chake akakilaza kwenye kifua cha Gwakisa na kumwambia …
“Asante sana mme wangu nakupenda sana”
Gwakisa hakujibu neon ila alipelaka mkono wake hadi kwenye kichwa cha mkewe akawa anamkuna nywele zake ishara ya huba na upendo.
Hazikuisha dakika nyingi joto lao likawa limepanda tena, hawakuwa na cha kuzuia kwani wao ni mke na mume ikabidi wapeane tena, walipeana haswa mpaka kila mmoja akajiona amechoka na kisha wakapumzika baada ya kuoga vizuri.

Baada ya muda kidogo walipitiwa na usingizi wakalala fofofo, walikuja kuamka baadae sana usiku ukiwa umeshaingia wakaamua kutoka waende kula mtaani.


ITAENDELEA

NJAMA – 5




Simulizi : Njama
Sehemu Ya Tano (5)

Nilitoka ndani ya jengo hili upesi upesi. Nilipofika nje nikaona niko kwenye mabohari ya Chang’ombe. Bohari hii ilikuwa imezungukwa na ua wa matofali. Nilivua joho jekundu nikapanda ua nikatokea katika uchochoro nikaanza kukimbia. Nilikadilia kuwa ilikuwa yapata saa kumi na moja. Nilipofika mbele ya bohari nilikuta ni mali ya Kampuni moja ya matairi ya magari iitwayo “Trans World Tyres”, kwa sababu sikutaka kufanya uchunguzi zaidi kutokana na hali niliyokuwemo niliona teksi nikaipungia ikasimama na kumwamuru dereva anipeleke Independence Avenue haraka.

“Ohuu. Bosi umetokea wapi?”. Linda aliuliza huku akitoa pumzi ndefu ya kuonyesha wasi wasi aliokuwa nao umemtoka.

“Nimetoka mahabusu”.

“Pole sana bosi”.

“Usinipe pole sasa hivi, mapambano bado kabisa yanaendelea, utanipa pole nikiweza kumaliza mapambano haya kwa usalama. Eddy yuko wapi?”.

“Yuko katika shughuli za kujaribu kukutafuta apate kujua uliko. Lakini kila baada ya muda mchache anauliza hapa”.

“Akipiga tena simu mwambie arudi haraka. Je Sherriff yuko wapi?”.

“Wote wako pamoja”.

“Haya kaniletee Sandwich za nyama ya kuku na niwekee glasi ya whiski ofisini kwangu. ninakwenda kunawa kidogo”.

Baada ya kumaliza kunawa niliingia ofisini kwangu na kuanza kunywa whiski na Sandwich alizokuwa ameleta Linda.

“Chifu yuko?”, niliuliza.

“Amesema muonane saa moja bila kukosa”, Linda alijibu.

Mara simu ililia ofisini kwa Linda. Linda akashika simu yangu iliyokuwa imeunganishwa na yake. Alibonyeza kidude kimoja baada ya kuinua mkono wa simu.

“Hello nani hapo?”, Linda aliuliza”.

“Oh Eddy, rudi hapa haraka Bosi yuko hapa. Yuko hai kabisa ameketi kwenye kiti chake anakunywa whiski”….

“Haya asanhte”, Linda aliweka simu huku akicheka.

“Nakwambia bosi ungesikia sauti ya Eddy niliposema uko hapa. utafikiri mtu aliyekwamwa na mwiba wa samaki”.

Simu iliita tena ofisini kwa Linda na Linda akachukua simu.

“Hello nani hapo?”, Linda aliuliza. “Ehe Unasemaje Issack… Eddy bado hajafika hapa, lakini atafika muda si mrefu, na kama una habari muhimu Bosi yuko hapa”. “Oke, njoo haraka sana”, Linda alijibu na kukata simu.

“Vijana wa Eddy aliokuwa amewasambaza, huyu Issack na mwenziwe ndio walikuwa na jukumu la kuangalia mienendo ya Sikazwe”, alisema Linda.

“Ghafla mlango wa ofisi yangu ulifunguliwa, Sherriff, Eddy na Zabibu wakaingia ndani.

“Pole sana Bosi, sisi tulijua kwa uhakika kuwa utakuwa msambweni”, Eddy alitoa pole.

Linda na Zabibu waliangaliana kwa jicho baya. Inaonekana Linda hakunda Zabibu kuja ofisini kwa bosi wake.

“Huyu anakuja kufanya nini, si afadhali angalikaa nyumbani, akawaachia wanaume hawa kazi hii. Mara nyingine kutembea na wanawake katika mapambano kama haya kunaweza kuleta mkosi”.

“Mimi sina mkosi. Pilipili usiyokuwa inakuwashia nini?. Shughulika na mambo yako dada na mimi nitashughulika na yangu, usinijue kabisa”, alijibu Zabibu kwa hasira.

“Haya basi yaacheni hayo mambo ya kitoto hapa tuko kazini. Sitaki kusikia uchafu mwingine wowote”, niliwaonya.

Nilianza kuwaeleza yaliyonipata toka mwanzo mpaka mwisho. Nilipomaliza kuzungumza tu Issack akaingia.

“Ehe tupe maelezo”, Eddy alimdai.

“Nitaanza toka jana usiku kwa faida ya wale ambao hawakupata habari hizo toka mwanzo. Sikazwe tulianza kumwona mnamo saa tisa za usiku akitokea barabara ya Bagamoyo. Alielekea moja kwa moja nyumbani kwake na hakutoka tena mpaka saa sita za mchana. Mnamo saa sita hivi aliondoka akaenda kula chakula cha mchana. Aliporudi mnamo saa saba hivi alikuja na lori dogo tani tatu likimfuata nyuma. Alifungua mlango na kuanza kutoa mizigo iliyofungwa kama mtu anayehama. Baada ya kujaza gari hili, liliondoka na nikamwambia Ismail alifuate. Ismail aliporudi alisema mizigo hiyo imetelemshwa kwenye bandari ndogo yaani pale ngalawa na meli ndogo ndogo zinapopakia mizigo yao.

“Yaani mizigo hiyo ilikuwa imefungwa kisafari?’.

“Ndio”.

“Haya endelea”.

“Kiasi cha saa tisa hivi walikuja watu wawili ndani ya gari, mmoja Mzungu mwingine mwafrika. Walikaa kama dakika tano tu wakaondoka. Nilimwambia Ismail awafuate. Walielekea barabara ya Bagamoyo, Ismail aliporudi alisema watu hawa waliingia barabara ya Kilimani na kuingia nyumba moja inayotazamana na Hosteli ya Tazara. Sikazwe hakutoka. Mnamo saa kumi na moja hivi alikuja mtu mwingine na gari akazungumza nae mlangoni. Maneno aliyosema yalionyesha kumkasirisha Sikazwe maana alimsukuma, na yule mtu haraka haraka akaingia ndani ya gari na kuondoka….

“Ismail alimfuata huyu mtu lakini mtu huyu aliingia Estiennes Hoteli na kuanza kunywa pombe, hivyo akamwacha akarudi. Wakati natoka Sikazwe alikuwa bado yuko ndani lakini nafikiri atatoka maana alichukua debe la mafuta ya petrol akajaza gari lake”.

“Kazi nzuri umefanya”.

“Asante”, alijibu kwa furaha sana.

“Eddy nitayarishie gari, hapana Issack nitatumia gari lako mimi na wewe tutakwenda kumfuata Sikazwe, popote atakapokwenda. Sherriff Eddy na wengine mnisubiri hapa hapa nitarudi ila mjitayarishe kwa usiku wa kazi”, niliwaeleza lakini niliona wanashangaa.

Kabla hawajaanza kusema mengi nilimwambia Linda. “Mwambie Chifu anisubiri kidogo nikichelewa kufika saa moja”.

Nikatoka nje pamoja na Issack nikawaacha wamepigwa na butaa.

Niliangalia saa yangu ilikuwa saa kumi na mbili na dakika tano na kwa majira ya wakati huu ya Dar es Salaam giza lilikuwa limeingia. Tulipofika kwa Sikazwe tu tulimwona naye anafungua mlango wa gari akaweka mkoba wake ndani, kisha akaingia na kuwasha gari moto. Sisi tuliegesha gari letu kama watu wanaopunga hewa pwani saa za jioni kwani vile vile kulikuwa na magari mengine. Alipoondoka tu Sikazwe sisi taratibu tulimfuata.

Mimi ninapomfuata mtu hata awe na ujuzi wa namna gani hawezi kunitambua. Sikazwe alituongoza mpaka kwenye nyumba hii ambayo Issack alisema ilikuwa karibu na Hosteli ya tazara. Alipiga honi mbele ya lango kubwa. Tukaona askari anakuja kumfungulia akaingia ndani. Majibwa mawili makubwa yaliandamana na askari huyu. Sisi tulienda na kuegesha gari letu mbele ya baa ya Hosteli ya Tazara. Mtu yeyote angedhani tuko humo katika baa, tunakunywa.

“Unayo bastola yenye seilensa?”, nilimwuliza Issack.

“Ndiyo”.

“Nipe. Wewe ningoje hapa lakini uwe katika tahadhari kitu chochote kikitokea njoo haraka, umenielewa.

“Hamna wasiwasi bosi”.

“Kazi ninayokwenda kuifanya ni ndogo ila majibu ndio yananipa wasiwasi”.

“Nakutakia kheri, bosi”.

“Nafikiri nitaihitaji”.

Niliondoka na kwenda kwenye nyumba ile. Mbwa walikuwa wanabweka kila gari linapopita mbele ya ile nyumba. Niliona hii itanisaidia maana hata wakibweka halitakuwa jambo la ajabu. Niliangalia wapi upepe unatoka nikaona ulikuwa unatoka mashariki kwenda magharibi, hivi nikaamua kuingia nyumba hii kutoka magharibi kuzuia mbwa wasije wakaninusa. Nyumba ilikuwa imezungushiwa ua wenye seng’eng’e zenye miba upatao urefu wa futi sita kwenda juu. Kati ya mafunzo yangu makubwa kuruka ilikuwa mojawapo. Nilikuwa naweza kuruka futi saba wakati mwingine nane. Hivyo nilirudi nyuma nikaruka juu ya seng’eng’e na kutumbukia ndani ya ua bila kishindo maana nilitanguliza mabega.

Nilikumbuka kuwa kibao nje la lango kubwa  kilikuwa kimeandikwa jina la Tony Harrison, hivi nilijua huyu ndiye mwakilishi wa Euro-Afro. Zabibu aliwahi kunieleza habari hizi. Walivyokuwa wanahusiana na Sikazwe ndicho nilikuwa nimekuja kutafuta. Kwanza ilinibidi nitoe kikwazo kimoja yaani askari mlinzi na mbwa. Nilisikia mbwa wanabweka mbele ya nyumba, hivyo nilijibanza kwenye ukuta wa upande huu wa magharibi halafu nikanyata pole pole mpaka kwenye kona ya ukuta na mbele. Nilichungulia nikaona askari mlinzi pamoja na mbwa wake wawili. Nilikohoa yule askari akastuka akaangaza huku na huko asione kitu maana mimi nilikuwa nimeganda kama kupe kwenye ukuta. Ili kuridhisha mashaka yake alikuja upande niliokuwa akifuatana na mbwa. Alikuwa na bunduki mkononi, kwa umbo lake nikajua ni ‘SAR’.

Alipofika karibu kabisa na mimi niliona mbwa wanainua mikia nikajua tayari wameninusa. Nililenga bastola yangu nikawaua wale mbwa kwa kuwapiga katikati ya vichwa kwa upesi sana kwamba yule askari alishangaa kuona mbwa wanaanguka hata bila kubweka. Alipogeuka na kuniona tayari alikuwa amechelewa, nilimrukia nikamkaba kabali taratibu mpaka alipokufa bila kutoa sauti. Nilivuta mizoga ya majibwa haya na maiti ya yule askari na kuyaweka kando ya ua upande wa magharibi kwenye seng’eng’e. Nikiwa nimeridhika na hatua yangu ya kwanza. Sasa nilichukua hatua ya pili.

Nilianza kuzunguka nyumba kwa nyuma nikielekea mashariki. Sikwenda mwendo mrefu kabla sijafika mahali nilipokuwa ninapahitaji. Nilikuwa nimefika nje ya sebule na dirisha la nyumba lilikuwa wazi, na nikasikia mazungumzo ya huko ndani kama nami niko pale pale. Hivyo nilibana tena kwenye ukuta nikaanza kusikiliza mazungumzo.

“Lakini Tonny, mimi nimrjitshidi sana lakini huyu mdudu Gamba na kundi lake amewaua watu wangu wengi sana. Fikiria Shuta na Mlambo  wameuawa. Nadhani nisingejitahidi zaidi ya hapo. Lakini hata hivyo bado nina watu wa kutosha kutekeleza kazi hii. Usiku huu huu itakwisha, usiwe na shaka.

Hii ilikuwa sauti ya Sikazwe.

“Sawa Ray, lakini naona ungejitahidi zaidi ya hapo maana lazima ile meli ndogo iondoke saa tisa za usiku ili kuwahi meli yetu ya Euro-Afro Mtwara usiku wa kesho. Tayari rubani wa meli hiyo ana habari na mpango wa kutoa mizigo ndani ya meli ndogo (scooner) na kuingiza katika meli hiyo huko Mtwara haina uangalizi sana kama bandari ya Dar es Salaam”, Tonny alisema.

“Vizuri mimi nitajitahidi, tayari mizigo yote imefungwa vizuri, imebaki kusafirisha tu kwenda kwenye bandari ya meli ndogo”.

“Nimepata habari kuwa unangojewa kwa shangwe na wakuu wa serikali ya Afrika Kusini. Nimewaeleza mipango yote, na wao wako tayari kuzungumza na chama chako ili damu isimwagike Nchini. Wamefurahi sana kwa kazi yetu ya kuweza kuziiba silaha za hatari ambazo zingeua wananchi wa Afrika Kusini bure, kumbe mnaweza kufikia maafikiano ya kubadilisha siasa ya Serikali ya Afrika Kusini kwa mazungumzo”, Tonny Harrison alieleza.

“Na mimi nimeona ni wenda wazimu kuendeleza vita dhidi ya Afrika Kusini kwa njia ya mapambano.Lakini bado chama cha PLF kitaendeleza mapambano. Chimalamo ni mtu mwenye nia ya kuuza ubaguzi wa rangi kwa mapambano na mtutu”. Sikazwe alionya.

“Si wewe unajua vitu vyao vyote na namba ya askari wao na mafunzo waliyopata askari wao pamoja na silaha walizonazo.

“Ndiyo, najua kila mbinu ya jeshi lake maana mwaka jana Kamati ya Ukombozi ya OAU ilitaka kutuunganisha. Hivyo tulipewa fursa ya kuelezana kikamilifu hali ya mali ya kila Chama kwa mwenzake. Tulikuwa wote tumekubali kuungana tukaelezana siri zote za vyama vyetu. Ni wakati tu tulipokuja na maoni ya namna ya kuweza kufikia hali ya kubadili siasa ya ubaguzi bila kumwaga damu, ndipo nilipokataa tena mpango huo wa kuunganisha vyama. Nilidai kuwa siasa ya Chama cha PLF na chama changu zilikuwa na tofauti za kimsingi ambazo hatukuweza kukubaliana. Huu ulikuwa uongo lakini ulikubalika ikaonekana tuendelee hivi tulivyo ili mradi wote tuna nia moja kwa hivyo siri zote za PLF ninazo.

“Kwa hiyo siri zote za PLF unazijua na kwa sababu wewe umejiunga na serikali ya Afrika Kusini itakuwa rahisi sana kuwateketeza wapigania uhuru wa PLF wasijaribu tena. Yaani litakuwa pigo kubwa kiasi kuwa kuweza kuimarisha chama chao kianze mapambano tena, lazima itawachukua muda mrefu, na wakati huo Ray utakuwa uanatawala pamoja na wazungu huko Afrika Kusini”. Sikazwe alitoa kicheko.
Msiwe na wasiwasi mimi nitakuwa nao bega kwa bega kuleta hali nzuri katika Afrika Kusini na nitakuwa mstari wa mbele kupinga harakati za ukombozi ambazo wakati huo zitakuwa hazina maana”.

“Kesho ndiyo siku kubwa kwako utakapoingia Pretoria na kuwekewa zulia jekundu”, Tonny alisema kwa sauti ya kejeli.

Bila kutambua ile kejeli Sikazwe alijibu. “Ninaisubiri kwa hamu sana. Magari yale yaliyofanya kazi tayari yamebadilishwa rangi za jeshi la Tanzania. Kwa hiyo saa nne inaweza kupitia Intercontinental Motors na kuyachukua ili kubeba ile mizigo toka bohari mpaka bandari ndogo”.

“Tayari Max ameisha waarifu, au siyo ?’, Tonny aliuliza.

Niliinuka taratibu kumwangalia huyu Max nikamtambua; ni yule aliyetukimbia kule kwenye uwanja wa Saba Saba.

“Mara hii nitakupata”, nilijisemea moyoni maana mara moja alinikumbusha Veronika.

“Ndiyo, gari ziko tayari”, Max alijibu.

“Oke mimi ninakwenda kijitayarisha saa tatu unusu ndipo nitatoka nyumbani kwangu kuelekea kwenye shughuli.

“Je kuna wasiwasi wowote?”, aliuliza Tonny.

“Hamna taabu, tayari watu wa Forodha wanajua tunapeleka spea za magari Mtwara na tumeisha zungumza nao vizuri hamna taabu”.

“Lakini usimsahau Gamba na wenzake”, Tonny alikumbusha.

“Usiwe na wasiwasi nina askari zaidi ya mia ambao wamefundishwa mafunzo ya juu hapa hapa Tanzania. Kama Gamba na wenzake wanataka kifo vema, na waje watuingilie watakiona kilichomtoa kanga manyoya shingoni”.

“Oke nakutakia upakuzi mwema”.

“Max, kwa sababu wewe ndiye kiongozi wa meli hii ndogo uwe macho kusije kukatokea kosa”, Tonny alimwonya.

“Wewe unanijua sifanyi kosa mara mbili”, alijigamba Max.

“Haya Sikazwe nafikiri saa tisa na nusu tutaonana hapa sitalala nitakusubiri”.

“Usiwe na shaka”, alijibu Sikazwe huku akisimama.

“Lo, nipe tiketi yangu ya ndege kabisa”.

“Chukua hii hapa imelipiwa na serikali yako unakokwenda kuwa kati ya watu wakubwa watakaoongoza nchi yenye nguvu kuzidi zote katika Afrika”.

Sikazwe na Max walimwaga wakafungua mlango wakatoka nje. Tonny Harrison alibaki ameketi kwenye kiti. Kwa vile nilikuwa na wasiwasi kuwa wangeshangaa kutomwona askari mlinzi na mbwa wake, nilitoka pale dirishani nikazunguka mbele. Kwa bahati nzuri hawakushughulika kumwita askari, ila Max alikwenda akafungua mlango, Sikazwe akapitisha gari langoni, halafu Max akarudisha mlango na kuingia ndani ya gari wakaondoka.

Mimi nikaona nimepata wakati mzuri wa kuzungumza na Tonny Harrison. Nilipoangalia saa yangu nikaona ni saa moja na nusu. Saa mbili zilikuwa zinatosha kumaliza shughuli zangu na Tonny Harrison kabla sijamfuata Sikazwe hapo saa tatu na nusu. Nilifungua mlango taratibu maana ulikuwa umerudishiwa tu bila kufungwa kwa ufunguo. Nikiwa na bastola mkononi niliingia sebuleni na kumkuta Tonny Harrison ameinamia meza anasoma faili.

“Habari za kazi Tonny Harrison?”.

Harrison aligeuka na kujikuta anaangalia katikati ya mdomo wa mtutu wa bastola. Pale pale aligeuka sura. Kwanza ikawa ya manjano kisha ikageuka ikawa nyekundu kama mtu aliyechapwa kofi usoni. Unajua hawa wenzetu weupe akichapwa kofi muruwa uso hugeuka na kuwa mwekundu. Alitaka kutamka neno akashindwa. Niliona alikuwa hategemei kabisa maisha mwake kukutana na wakati kama huu ambao alijikuta anatazama mdomo wa kifo.

“Habari gani?. Au umekuwa bubu?”.

Nilisogea taratibu huku bastola yangu ikiwa imemlenga katikati ya uso wake. Kwa kigugumizi alijibu. “Nzuri….”.

“Telemka hapo kwenye meza njoo tukae hapa kwenye makochi nina mazungumzo ya maana na wewe kabla sijaondoka”.

Bila kusita aliinuka kwenye kiti na kwenda kukaa kwenye kochi. Wakati wote huu mdomo wa bastola haukumwachia hata chembe ya nafasi. Nilikwenda pale mezani alipokuwa ameacha faili nikalichukua. Nilikaa upande mwingine wa makochi tukawa tunaangaliana ana kwa ana.

“Bwana Harrison natumaini tumewahi kuonana?”.

“Ndiyo, nafikiri tulionana kwenye tafrija iliyoandaliwa na Lion Club Hotelini Kilimanjaro”.
Nikaweka bastola yangu kwenye paja huku macho yangu yakiwa yanamwangalia kwa makini.

“Na si mara moja au mbili?”.

“Nafikiri ni mara nyingi”.

“Nasikitika kusema kwamba leo sikuja kwenye tafrija ila nimekuja kuzungumza nawe kwa ajili ya suala la hatari ambalo wewe unalijua vizuri zaidi.

Faili niliyoichukua kwenye meza ilikuwa imeandikwa “SIRI” halafu kichwa cha faili kiliitwa “OPERESHENI HUJUMA”. Mara moja nikajua katika faili hili ndimo kulikuwa na maelezo yote ya jinsi tukio hili lilivyofanywa na hawa majahiri. Ule ulikuwa ni ushindi thabiti hivyo niliweka faili kwenye mapaja yangu.

“Sina haja ya kujitambulisha kwako kuwa sasa hivi nimekuja kukuona kama nani, kwa sababu natambua unaelewa, au sivyo”.

Ndiyo”.

“Bila kupoteza muda ningependa kujua, bwana Harrison, wazo la kuziiba silaha za wapigania uhuru mkiwatumia wapigania uhuru wenyewe limetoka kwa Makaburu au kwa mataifa ya Magharibi?”.

“Kwanza kabla sijajibu swali lako nataka kutoa mshangao wangu kwako jinsi ambavyo umeweza kupeleleza na kugundua jambo hili ambalo lilitayarishwa kwa mbinu za hali ya juu. Mimi ningependa unieleze kwanza jinsi ulivyoweza kupeleleza mpaka kunifikia mimi kitu ambacho sikutegemea kabisa. Nafikiri baada ya hapo unaweza kunifanya unavyotaka kwani hili faili uliloshika lina kila kitu. Sina hata haya ya kukueleza mengi; yote utayakuta humo”.

Mpaka sasa nilishatambua kuwa Harrison hakuwa mtu mwenye ujuzi wowote katika mambo ya kijasusi ila alikuwa ametumiwa tu kwa sababu ndiye mtu pekee ambaye angeweza kutekeleza jambo hili bila kushukiwa, na kweli kwa muda wa miezi sita alikuwa amefaulu kutotambulikana.

“Sawa, bwana Harrison. Nafikiri nitaanzia toka mwanzo ninavyofikiri ndivyo mambo yalivyokuwa mpaka kufikia hali hii.

“Mnamo miezi sita iliyopita Rais wa Chama cha wapigania uhuru kiitwacho PLF, Ndugu Cicil Chimalamo, alitembelea Urusi kwa nia ya kutafuta msaada wa kijeshi; yaani silaha kwa ajili ya mapambano yaliyokuwa yameanza dhidi ya serikali ya Afrika Kusini.

“Kwa vile Ndugu Chimalamo alikuwa na habari zote kuhusu nguvu za kijeshi za serikali ya Afrika Kusini ilizonazo alitoa maombi yake kwa serikali ya Urusi ili aweze kupatiwa msaada wa silaha za kisasa walizonazo Makaburu. Ombi hili la Ndugu Chimalamo lilikubaliwa na serikali ya Urusi na akaahidiwa kupatiwa silaha hizi katika muda wa miezi sita. Na kwamba katika muda huo silaha hizi zitakuwa zimewasili Dar es Salaam”.

Akiniangalia kwa makini, nilitoa pakiti yangu ya sigara ya aina ya Tropicana, nikatoa sigara mbili, moja nikampa na nyingine nikavuta mwenyewe, kisha nikaendelea.

“Kwa kutokana na mbinu za kisasa za kijasusi za mashirika ya kijasusi ya nchi za Magharibi habari hizi zilinaswa. Ziliponaswa habari hizi ndipo nchi za Magharibi zilipopasha habari serikali ya Makaburu tishio lililokuwa linakuja dhidi yao. Hapo ndipo serikali ya Makaburu ilipokaa chini na kufikiri nini la kufanya. Uamuzi wa Makaburu ukawa wa kufanya ujahiri huu ndilo lilikuwa tatizo. Lakini baada ya kulishughulikia suala hili ambalo nafikiri walitupiwa wakuu wa shirika la ujasusi, yaani “BOSI”, walifikiria mbinu za hali ya juu na kuamua kuwa kwa kutumia mbinu hizi wangeweza kufaulu kuziteka silaha hizi kabla hazijafika mikononi mwa wapigania uhuru. Bashiri yangu ni sawa na vipi?’.

“Mpaka sasa hujakosea kitu”, alijibu.

“Makaburu ni wajanja sana na wanawajua wakuu wa vyama vya wapigania uhuru vizuri sana. Hivyo waliamua kumtumia mkuu mmoja wa wapigania uhuru ambaye walikuwa wanajua kuwa hakuwa na msimamo kamili, kwa vile walimjua alikuwa hapiganii hasa ukombozi wa waafrika wanaoonewa huko Afrika Kusini bali alikuwa akipigana ili apate cheo. Ukubwa na kujaza tumbo lake ndio ilikuwa nia yake. Hivyo waliamua kumtumia bwana Ray Sikazwe wa Chama cha SANP, ambaye ndiye alipatikana na sifa hizi walizozitaka. Walipofikia hapa kilichokuwa kimebaki ni namna gani watamwingia na kuweza kumridhisha kweli akisaidiana nao katika kuhujumu vyama vingine angepata kila alichokitaka. Hapa ndipo walipohitaji msaada wa nchi za Magharibi na hapo ndipo wewe Harrison ulipoingizwa katika njama hizi”.

Nilinyamaza kidogo kiasi chs kupitisha mate.

“Kampuni yenu ya Euro-Afro ni kampuni kubwa sana, na ina rasilimali nyingi katika Afrika Kusini. Inamiliki madini ya maangamizi, chromiumu na platinumu katika Afrika Kusini. Na Afrika Kusini ndiyo nchi pekee isiyo ya kikomunisti inayotoa madini haya ambayo yanahitajika sana katika viwanda vya nchi za Magharibi. Hivyo serikali ya Makaburu ilizungumza na nchi za Magharibi zizungumze na kampuni yenu ikiwa na kisingizio kuwa kama wapigania uhuru hawa wakipata silaha hizi si serikali ya makaburu tu itaangamia, bali nchi za Magharibi zilizo na rasilimali zao nchini humo nazo zitapoteza mali zao. Kwa hivyo swala hili lilikuwa muhimu kwa nchi za Magharibi kama ilivyo kwa serikali ya Makaburu.

“Kwa vile Kampuni yenu inamiliki makampuni mengi katika nchi mbalimbali za kiafrika na mojawapo ikiwa ni Tanzania, hivyo ilionekana ndiyo kampuni pekee ambayo ingeweza kusaidia katika suala hili. Hivyo wakubwa wako waliarifiwa juu ya suala hili na hatari zake kama halitaweza kushughulikiwa haraka na kwa kikamilifu. Kwani hatari hii isingekuwa kwa Afrika Kusini tu ila pia Kampuni hii ya Kibepari ingeweza kupoteza mali zake zote ikiwa wazalendo watashinda vita vya ukombozi. Kutokana na sababu hizi wakubwa zako walikubaliana na Makaburu kuwa kulikuwa na haja ya kushirikiana ili kulinda maslahi ya Makaburu na nchi za Magharibi. Hapo ndipo ulipopashwa habari namna utakavyoshughulikia suala hili. Mpaka hapo maelezo yangu ni sawa au vipi?’.

“Sijui ulijuaje?, endelea maana nashangaa sana jinsi Afrika huru ilivyoendelea katika upelelezi”.
“Habari zilipokufikia pamoja na plani yote ndipo ulipomwita bwana Ray Sikazwe na kumweleza kama ulivyoelekezwa. Ndipo ulipomdanganya kuwa serikali ya Makaburu iko tayari kufanya mazungumzo na chama chake ili wafikie uhuru wa walio wengi kwa mazungumzo bila mapambano, ila kwanza atimize sharti moja. Sharti hilo ni kusaidiana kati ya majasusi wa “BOSI” ambao wataingia Tanzania kama wanachama wa chama chake na kundi lake la wapigania uhuru lililokwisha kufundishwa mbinu za vita katika kuziteka silaha za chama cha PLF ambazo zilikuwa zikitegemewa kuwasili mjini Dar es Salaam mnamo miezi sita hivi”.

“Kwani unadhani Makaburu hawawezi kutafuta suluhisho la namna hii, baada ya kutambua kuwa umefika sasa wakati wa kuanza kuwachukulia waafrika kama binadamu wenzao?”, Harrison aliuliza.

“Mimi najibu kuwa baso, kwani kama nia yao ingekuwa hiyo wasingetaka suluhisho na chama kimoja tu na kwa siri, wangeliutangazia ulimwengu na kuomba vyama vyote vinavyohusika na tatizo la Afrika kusini vishiriki vyote kwa ujumla bila sharti lolote, la hasha, Harrison. Hizi zilikuwa mbinu tu za kuhujumu harakati za mapambano ya chama cha PLF ambacho kinaendelea na mapambano makali dhidi ya serikali ya Makaburu”.

“Sawa nafikiri umenipa msingi wa mambo kama yalivyopangwa na serikali ya Afrika Kusini ikisaidiwa na nchi za Magharibi ambao ndio sisi. Lakini tulifaulu katika kuziteka nyara silaha hizi bila tatizo, je umekuja kugundua ni nani wanahusika?, ingawaje juzi tulipata habari kuwa wewe ni mpelelezi hatari lakini hatukuamini ungeweza kugundua kitu”.

“Nitakueleza sasa. Nilipoanza upelelezi wangu siku ya kwanza tu niliona mwanga kwani mlikuwa mmefanya kosa. Kosa lenyewe lilikuwa ni kumwua kiki. Nilipokuta Kiki amekufa, tulianza kuchunguza habari zake tukakuta mambo yote aliyokuwa ameeleza juu yake si kweli, hivyo tukagundua alikuwa jasusi wa Makaburu waliokuwa wamefaulu kumweka katika ofisi ya za kamati ya Ukombozi ya OAU, na ni yeye aliyeweza kufanikisha jambo hili”.

“Na mlijuaje kuwa mimi na sikazwe tunahusika?”.

“Kosa jingine. Sikazwe nilipomwuliza kama anamfahamu Kiki alisema aliwahi kumwona mara moja tu wakati alipofika ofisini kwake na kumpeleka kwenye kamati ya Ukombozi ya OAU ili wamsaidie kazi. Sasa tulipofahamu kuwa Kiki alikuwa na rafiki msichana aitwae Zabibu nilimtafuta.

“Nilipofika kwake wakati mmemtuma mtu wa kwenda kumwua nikamkomboa. Yeye huyu binti alinieleza kuwa Sikazwe alikuwa rafiki mpenzi wa Kiki pamoja na wewe. Hii ilidhihilisha kuwa Sikazwe alisema uongo hivyo mara moja nikaanza kumhisi kuwa yumo katika mpango huu. Nilipojua kuwa kati ya makampuni yaliyo chini ya Euro-Afro ni pamoja na Intercontinental Motors ambao ni wakala wa magari ya “Benzi” nchini hapa nikawa na uhakika kabisa wewe unahusika. Maana magari yaliyotumiwa yalikuwa maloli makubwa ya aina ya Benzi ambayo ni sawa na yanayotumiwa na jeshi letu. Na magari yote ya jeshi kwa siku ile yameweza kufahamika yalikuwa wapi. Hivyo ikaacha sababu moja tu magari yaliyobeba zile silaha yalitoka kwenye kampuni yenu ya Intercontenental Motors ya jeshi pamoja na kuyaweka namba za bandia. Juu ya mavazi ya kijeshi wapigania uhuru wengi wanayo hivyo, hilo halikuwa tatizo kwenu. Una swali jingine?”.

“Nafikiri umenielewesha vya kutosha na ninakupa hongera kwani kweli wewe ni mpelelezi maarufu si Afrika tu ila Ulimwengu mzima. Maswali mengine niliyokuwa nayo nimekwishajua majibu yake baada ya kuzungumza na wewe na kuamini mimi mwenyewe kuwa wewe huwezekani”.

Ghafla mlango ulifunguliwa na Issack akaingia bastola mkononi.

“Karibu Issack samahani kwa kuchelewa nilikuwa na Bwana Tonny Harrison hapa ambaye ni mwakilishi wa kampuni ya Euro-Afro ambaye ndiye alikuwa kiongozi wa tukio la bandarini”.

Niliangalia saa yangu nikaona ni saa mbili.

“SWali na mwisho Harrison, silaha mmezificha wapi?”.

“Sikazwe ndiye anajua, na kama umeweza kufikia hapa sidhani utashindwa hatua ya mwisho”.

“Haya simama twende zetu. Issack kalete gari hapo mbele ya mlango”.

Issack alitoka na Harrison bila matatizo alisimama na kuangalia sebule na vitu vilivyokuwemo kwa huzuni. Alitangulia mimi nikafuata nyuma. Nilipofika mlangoni nilizima taa, nikawa na faili kwapani na bastola ikiwa imemlenga Harrison. Nilirudisha mlango na kuelekea kwenye lango.

“Askari na mbwa wangu wako wapi?”, Harrison aliuliza tulipofika kwenye lango.

“Sasa hivi wako sehemu ambayo mimi na wewe hatujafika lakini siku moja tutafika”.

Issack alikuwa ameegesha gari mbele ya lango, Harrison alifunga mlango wa nyuma mimi nikamfuata na kukaa naye.

“Kwa usalama wako usijaribu kitu chochote”, nilimweleza huku Issack anaondoa gari.

“Mimi hata bastola sijui kuinua, watu hawa waliniahidi ulinzi mkali na kwamba ingekuwa vigumu operesheni hii kushindwa. Kumbe wameniuza. Usiwe na wasiwasi na mimi, sijui mbinu yoyote mbele ya bastola”.

Nikajua wakati wake wa kusema ukweli umefika.

“Vipi bosi?”, Issack aliuliza.

“Kituo cha usalama kwa watu kama hawa”.

Issack kwa sababu alielewa ni kituo gani cha usalama alikwenda moja kwa moja na kupiga honi tulipofika kwenye lango. Mlinzi alikuja akafungua lango sisi wote wawili tukatoa vitambulisho vyetu. Akastuka mara moja na kuturuhusu kuingia. Nilimwongoza Harrison mpaka kwenye ofisi ya kituo hiki cha usalama.
Nilipofika nilimkuta afisa wa zamu nikatoa kitambulisho changu, naye akastuka.

“Ndio Mzee”.

“Huyu mtu awekwe chini ya ulinzi mkali mpaka utakapopata maelezo tena”.

Niliomba kitambulisho chake nikachukua jina, namba na cheo chake.

Alikuwa na cheo kikubwa. Kisha nilirudi ndani ya gari.

“Moja kwa moja ofisini, maana saa tatu na nusu ndipo kazi kubwa ya kukata na shoka inaanza”.


“UHURU UTALETWA KWA MTUTU TU”

Tulipoingia ofisini tulikuta wanatusubiri kwa hamu.

“Chifu anataka kukuona”, Eddy alinieleza.

“Mwambie Maselina haiwezekani, nitamwona baadaye. Sasa hivi hakuna nafasi maana tukichelewa hapa mambo yote yatakuwa yameharibika. Mwambie asitoke ofisini mpaka saa sita. Asipotuona ajue basi makubwa yametupata, akituona ajue tumerudi na ushindi. Umesikia Linda?”.

“Nimesikia”.

“Sherriff, Eddy na Isaack mko tayari kwenda kwenye uwanja wa mapambano”, niliwauliza.

“Bila wasiwasi”, walijibu kwa pamoja.

“Na mimi?”, Zabibu aliuliza.

“Wewe utabaki hapa na Linda. Tutaonana saa sita kama tukiwa salama.

“Mimi nataka twende wote, kama ni kufa tukafe wote”

“Kwanini unataka ukafe naye kwani yeye ni nani wako”, Linda alimuuliza kwa ukali.

“Acheni upuuzi, nyinyi bakini hapa, haya mambo ya kuleteana haraha, mtatupa mkosi bure”.

“Twendeni zetu”, niliwaeleza wenzangu nasi tukaondoka ndani ya ofisi na kuingia ndani ya gari.

Eddy ndiye alichukua usukani na Isaack akaa naye mbele. Mimi na Sherriff tulikaa nyuma.

“Twende moja kwa moja nyumbani kwangu tukachukue silaha zaidi. Halafu tutapita nyumbani kwa Eddy kuchukua silaha tulizoacha kule. Tuna saa moja ya kujitayarisha kabla ya kuingia kwenye uwanja wa mapambano.

“Itabidi tutoke kwa Eddy mnamo saa tatu na nusu. Hii itatupa nafasi ya kuwa nje ya nyumba ya Sikazwe saa tatu na nusu. Maana ndipo yeye ataondoka kuelekea huko walikoziweka silaha”.

“Kisha niliwaeleza mazungumzo yote niliyoyasikia kati ya Harrison, Sikazwe na Max.

Kwa hiyo tutakuwa watu wanne tukikabiriana na zaidi ya watu mia”, Isaack alisema kwa mshangao.

“Ndiyo sababu watu kama sisi tunaitwa ni hatari. Siku moja Isaack utakapokuwa komando kama mimi utakuwa na uwezo wa kukabiliana na maadui mia peke yako. Kwa hiyo mimi naona kama ni afadhali sana kama tuko watu wanne dhidi ya watu mia. Tukitumia hamasa na maadili na moyo wa kimapinduzi sina shaka Mungu atatusaidia na tutashinda na kufichua hizi njama za Makaburu na mabeberu ya jumuia ya ulimwengu”, niliwatia moyo.

“Nikiwa niko na wewe bosi, huna sina wasiwasi wowote”, Eddy alisema.

“Hata mimi”, Sherriff aliongeza.

“Kama ni hivyo, hata mimi ninafurahi kuwa nina jeshi lililohai na kamanda wake”.

“Kutokana na ulivyoeleza komredi, watu hawa walikuwa wamepanga kuzichukua silaha hizi kwa meli ndogo kama spea ziendazo Mtwara”, Sherriff alieleza.

“Sawa’.

“Baada ya kufika Mtwara wangefanya nini?”, aliuliza.

“Swali zuri. Watu hawa walikuwa wamejitayarisha vizuri sana. Hili kampuni kubwa la Euro-Afro lina meli zake. Meli yake moja itakuwa inapakua mizigo Mtwara kuingia kesho. Hivyo walikuwa wamepanga kutoa silaha hizi kwenye hii meli ndogo na kuzipakia katika meli kubwa ambayo ingelikwenda kuzitelemsha Afrika Kusini…

“Mipango yote hii iko ndani ya faili nililompa Linda ampelekee Chifu. Meli hiyo ingekuwa inangojwa bandari ya East London kutelemsha zana hizi. Sikazwe angeondoka kesho kwa ndege akidai anakwenda Botswana lakini angekwenda Pretoria ambako mimi nafikiri wangemtia ndani mana nia yao haikuwa kufanya kama walivyomdanganya ila tu walitaka awasaidie kuziiba silaha kwa sababu ilikuwa rahisi kwake”.
“Kwa hiyo mpaka sasa Sikazwe anakazana bure tu”, Isaack alisema huku akicheka.

“Wajinga ndio waliwao”, Eddy alijibu. Tulifika nyumbani kwangu, nikabadilisha mavazi kuvaa mavazi ya kikazi yaani koti na suruali yenye mifuko mingi ili kuweza kubeba silaha za kutosha.

Baada ya hapo tukaelekea kwa Eddy ambako tulijitayarisha kwa kikamilifu. Kwa bahati nzuri tulikuwa na majoho mekundu matano tuliyoyateka kwa hawa majahili. Kila mtu alichukua joho moja, maana hii ingetusaidia kuwaingilia wakidhani ni wenzao. Tulipata vile vile kofia tatu ambazo niliwagawia wenzangu. Nakwambia tulipojaribu kuvaa tulifanana na wao kabisa. Hivyo tulichoomba ni kuwa tukute bado hawajabadili mvao wao unaowatambulisha. Baada ya kuona kila kitu kimekamilika tulijiandaa kuondoka huku roho zetu zikipiga haraka haraka.

II

Ilikuwa saa tatu na dakika ishirini tulipoegesha gari yetu kando kando ya bahari huku tukiangalia nyumba ya Sikazwe. Tulimsubiri aanze safari yake hapo saa tatu na nusu. Gari lake lilikuwepo hivyo tuliamini yupo.

Saa tatu na nusu kamili kama alivyosema tuliona mlango wa mbele wa nyumba unafunguliwa Max ndiye alitoka kwanza akiwa amevalia joho jekundu na kofia. Roho yangua ilijawa na furaha. Baada ya muda kidogo Sikazwe akiwa amevaa suti nyeupe alitoka akafunga mlango, halafu wote wawili wakaingia ndani ya gari. Max ndiye aliyeingia upande wa dereva. Sikazwe akaa kwenye viti vya nyuma.

“Lo Sikazwe ameanza kupata heshima ya “VIP”, Sherriff alisema na wote tukacheka.

“Yule aliyetoka kwanza alikuwa Max; anaonekana ndiye Kamanda wa jeshi hili la majahili, na haikosi ndiye aliyekwenda bandarini kama Meja Paul Liboi”, niliwaeleza

“Bila shaka”, alijibu Sherriff.

“Hamna taabu bosi”.

Gari la Sikazwe liliondoka na kuingia Kenyatta  Drive. Tulingoja mpaka lilipofika kwenye kona ya Barabara ya Bagamoyo ndipo tukamfuata. Nakwambia mimi nikimfuata mtu hata awe na ujuzi wa namna gani hawezi kutambua. Tulifuatana moja kwa moja wakashika barabara ya Upanga, halafu wakaingia barabara ya Azikiwe kisha wakaingia Azania Front na kutokea City Drive. Muda wote huu sisi tuliwafuata taratibu.

Kisha walishika barabara inayopita kwenye ofisi za usalama barabarani nikajua wanaelekea Kurasini. Nilishangaa kwanini hawakupita Intercontinental Motors kama walivyokuwa wamepanga, lakini nilihisi wamebadilisha mipango.

Walipovuka tu ofisi za polisi wa usalama barabarani, walisimama. Mara mtu akatokea kwenye kijinjia akaja na kuzungumza nao. Mimi niliwapita kasi mpaka kwenye mzunguko wa barabara hii na barabara ya Kilwa, Nikazungukia kulia na kuingia Railway Clab na kutoka. Sisi tukawa kama tunatokea mtaa wa Gerezani. Niliendesha polepole na mara nikawaona wanatokeza kuelekea barabara ya Kilwa nasi, tukawafuata.

Tulipofika kwenye njia panda ya Kilwa na barabara iendayo kwenye ofisi za Mamlaka ya Bandari ya Tanzania wao walichukua njia iendayo kwenye ofisi za Mamlaka ya Bandri.

“Nafikiri wamezificha Shimo la Udongo”, alisema Isaack.

“La hasha, mbele ya ofisi za NOTCO na UDA kuna bohari la Intercontinental Motors, kwa hiyo bila shaka ndiko wanakokwenda”, alisema Eddy.

“Sawa kabisa Eddy, umenitoa usingizini, saa zote hizi nafikiria wapi wameficha silaha hizi kumbe sehemu yenyewe iki wazi kabisa”, Sasa sikiwa na haja ya kuwafuata karibu karibu. Tuliwaacha wakaenda mpaka wakapotea kwani sisi tuliingia ofisi za Mamlaka ya Bandari, na tulipoona wamepotea ndipo sisi tukatoka.

Bohari ya Intercontinental Motors lilikuwa nyuma ya mabohari ya kampuni ya NOTCO. Hivyo niliegesha kwenye ofisi za NOTCO. Mlinzi wa hapa alikuja kutuuliza. Mimi niliona huyu anaweza kuleta kidamisi hivyo alipoinamisha kichwa kwenye gari nilimpiga ngumi ya uso ambayo ingemfanya alale kwa muda wa masaa kama manne hivi kabla hajapata fahamu. Kisha wote tulitelemka na kumbeba na kumpandisha kwenye lori moja lililokuwa limejaa mizigo.
“Haya mabohari ya NOTCO yana walinzi hivyo itabidi tuzunguke tutokee upande wa barabara ya Kilwa ili kuepusha rabusha kabla hatujafika maana jinsi tulivyo watu wanaweza kufikiri sisi ni majambazi”, Eddy alitoa ombi.

“Hapana, sasa hivi bado mapema hata tukionana nao watafikiri ni walinzi wa usalama tu. Ili tuwe kwenye hali ya usalama zaidi lazima wote tuwafanye wakalale kwa muda”.

“Nami nilikuwa nafikiri hivyo maana wakisikia mapambano yatakapoanza wanaweza kuja kujiunga na kufa bure, au kupiga simu polisi wakaja kutuingilia kabla hatujafunga kazi sawasawa.

Hivyo rafiki zangu walinzi wote wa sehemu hii walilazwa usingizi wa masaa, sio wa NOTCO tu ila wa UDA, Shirika la Usagishaji na ofisi zote za karibu. Tulipoona kazi hii ndogo tumeimaliza tuliondoka hapo na kuelekea kwenye uwanja wa mapambano.

Tulitoka kwenye kichochoro kimoja kati ya mabohari ya sehemu hii na kujikuta uso kwa uso na bohari ya intercontinental Motors. Tulikuta nje kuna malori matatu yanapakiwa kwa pamoja. Kulikuwa na watu wasiopungua ishirini, walikuwa wanapakia mizigo kwa kupeana. Tuliona gari la Sikazwe lakini yeye hakuwemo, hali hii ilitujulisha kuwa yumo ndani.

Penbeni kidogo ya magari haya kulikuwa na walinzi. Walikuwa hatua kama ishirini kutoka kwenye magari yaliyokuwa yanapakia kwa kila upande; baadhi yao walikuwa wamejibanza kwenye ukuta wa mabohari haya na mengine wote wakiwa na bunduki mkononi. Habari nzuri wote walivaa majoho mekundu na kofia. Nilihisi kuwa kulikuwa na askari wasiopungua ishirini hapa nje.

“Nafikiri wote mmeona ulinzi ulivyo. Kitu ninachotaka ni kufanya mashambulizi kimya kwanza mpaka tutakapolazimika kuwashambuliwa watu wa ndani. Kwa upande huu giza linatusaidia hivyo walinzi wa huku haitakuwa taabu kuwapata. kuna walinzi kama sita waliobana upande huu. Mimi na Isaack tutashambulia kushoto, Nyinyi Sherriff na Eddy mtashambulia upande wa kulia. Nawatakia kheri”.

Tulipeana mikono kimya kimya kwani hatukujua nini kitatokea. Mimi nilikuwa wa kwanza kujitokeza kwenye michongoma na kubana kwenye huu ukuta wa bohari jingine. Kama hatua tatu kulikuwa na mlinzi anavuta sigara huku macho yake yakiwa kwenye gari. Nilimsogelea kimya kimya. Nilipokuwa karibu kabisa nilimsemesha.

“Sijui watamaliza saa ngapi kupakia, mimi najisikia kuchoka”.

“Sijui hata…” Aligeuza uso kunijibu, nikamkata karate ya shingo upesi upesi na kumlaza chini. Nikamwashiria Isaack alipojitokeza nikamwona Eddy naye ananyata kwenda upande wa kulia. Nilimnyooshea kidole kimoja kumweleza mmoja tayari nimepata. Yeye akanitolea alama ya vidole ya V kuonyesha ushindi.

“Wewe Isaack simama hapa hapa uwe kama wewe ndiye mlinzi wa hapa, mpaka nitakapokuonyesha ishara nyingine”.

“Sawa”, alijibu.

Mlinzi mwingine alikuwa hatua kumi hivi na hakujua nini kimetokea. Kwa vile nilikuwa nimevaa kama yeye alifikiri mimi ni mwenzake hivyo nilikwenda tu kama mmoja wao mpaka nilipomfikia.

“Vipi kuna wasiwasi wote?”, nilimwuliza.

Aliinua kichwa.

“Hakuna…..”

Kabla hajamaliza nilimkata karate ya katikati ya kichwa akafa palepale. Nilimwegemeza vizuri kwenye ukuta nikamwacha kama mtu aliye hai.

Nilimwunulia Isaack vidole viwili na yeye akawainulia Eddy na Sherriff ambao sasa nilikuwa siwaoni. Kumbe Eddy na Sherriff walikuwa wameenda kwa haraka zaidi, maana Isaack alinionyesha vidole vitatu kuonyesha wenzetu tayari walikuwa wameua watatu.

Hii ilinitia moyo sana. Upakiaji uliendelea bila wasiwasi. Mtu wa mwisho kwa upande huu alikuwa amebana kwenye kona kabisa ya ukuta wa bohari hii. Nilimwendea huku nikiwasha sigara. Na yeye alipoiona aliweka bunduki yake chini akatoa sigara.

“Sina moto afadhali umepita huku”, aliniambia.

Mimi niliwasha kiberiti akaimana ili kuwasha sigara. Palepale nikamkata karate ya shingo. Bila hata kukoroma akakata roho. Nikamwegemeza ukutani halafu nikamfanyia ishara Isaack aje.

“Sawa wewe utasimama hapa mimi nawafuata walinzi wale watatu waliosimama mbele ya magari. Kama watashtuka mimi nitajitupa chini wewe wawahi”. Halafu nikatoa funguo za gari.

“Pita hapa kichochoroni panda gari mpaka ofisini mwambie Chifu aje pamoja na Mkuu wa Polisi pamoja na askari watakaokuja kulinda na kuzihifadhi zana hizi baada ya mapambano. Umenielewa?”.

“Sana. Nakutakia kheri”.

Nilianza kutembea kuelekea kwa wale watu. Kabla hata sijafika nilisikia mlio wa ‘SMG’ kwa upande wa akina Sherriff. Nikajua mambo yameiva. Nikainua SMG yangu na kuwateketeza hawa walinzi waliokuwa mbele ya magari. Isaack hakupata hata muda wa kupiga risasi ila nilimwona anaingia uchochoroni na kupotea. Mimi niliruka juu ya gari lililokuwa karibu, nikakuta watu wanne walikuwa wanapanga masanduki ya silaha.

“Kumetokea nini?”, niliwauliza.

Wote waligeuka na kuniangalia. Pale pale nikawaachia risasi za kuwaua kisha nikaruka chini. Milio ya bunduki ilifanya watu wote watoke ndani ya bohari na kusambaratika hovyo. Watu wote waliokuwa hapa juu walikuwa wamesharuka chini. Niliweka sanduku moja kama kinga nikaanza kutungua mtu mmoja mmoja na bastola yangu nyenye sailensa.

Kwa vile hawakusikia mlio kutoka sehemu yangu watu walipiga risasi zao kuelekea upande kwa upande wa akina Sherriff. Nilipoangalia juu ya lile gari jingine nilimwona sherriff ameseimama juu na kuwashambulia adui kwa namna ya ajabu.

Nilimfanyia ishara akaiona na yeye akanifanyia ishara ya kuonyesha kuwa Eddy alikuwa chini anajaribu kuingia ndani. Kuona hivyo nilimfanyia ishara kuwa na mimi nakwenda ndani hivyo atuchunge wote. Tulikuwa tumeuwa idadi kubwa ya askari waliokuwa wamebaki ni wachache tu.

Niliruka chini huku nikiachia risasi ovyo hata niliweza kufika kwenye ukuta wa bohari lao. Nilitupa SMG nikajitupa kwenye mlango na kujiviringisha mpaka ndani ya bohari na kama umeme nikarukia nyuma ya sanduku kubwa na kuanza kujaza risasi bastola yangu. Huko nje nilisikia bado Sherriff anaendelea kumimina risasi ili kuwazuia wasitoke nje.

Nilipoinuka niliona kama kumebaki watu kumi tu ndani; wengine wote tulikuwa tumewateketeza. Nilimwona Eddy anaviringisha na kuingia ndani. Wale watu walimwona na kabla hawajapiga risasi niliwahi wawili, wengine wote wakarudi kujificha nyuma ya masanduku.

Eddy aliruka mpaka nilipokuwa.

“Asante bosi umeniponya”,

“Usinishukru ndio sababu tuko wote. Kwanza kazi mliyoifanya wewe na Sherriff sikuitegemea. Kazi imekuwa rahis kabisa”.

“Kuna watu kama wangapi humu ndani?”.

“Hawazidi kumi, na wote wako upande wa mashariki. Nafikiri wanamlinda Sikazwe na Max”.

Huko nje kulikuwa kimya; Tukajua Sherriff anasubiri sasa kashi kashi kutoka kwetu.

“Sasa Eddy lazima tuwafanyie ujanja ili tuwapunguze. Mimi nitasimama juu ya hili sanduku ili niwadanganye. Walivyo wajinga walinzi wao watainuka ili wanipige risasi. Mimi nikiita tu jina kaa tayari na hii SMG yako kisha anza kumimina risasi. Mimi nitakuwa nimeisharuka kitambo, hivyo utawapata kama mchezo. Usiogopea kuwa unaweza kuniumiza ninakuhakikishia kuwa nitakuwa sipo”.

“Lolote usemalo bosi”, Eddy alijibu huku anatayarisha bunduki yake.

Niliinuka kama umeme juu ya sanduku nikawaona wote mara moja.

Nikaita

“Sikazwe?”.

Hapo hapo kama umeme nikaruka nyuma ya sanduku jingine. Walinzi wanne wainuka ili kunitupia risasi huku wakiwa wamejitokeza hadi vifua. Eddy alimimina risasi na kuwashindilia wote risasi katikati ya vifua vyao wakafa pale pale. Nilimwonyesha Eddy vidole kuwa wamebaki watatu, kwani nilipokuwa nimeruka juu ya sanduku niliona wako watu saba.

“Gamba, nilisikia sauti ya Sikazwe anaita.

“Unasemaje?”, nilimwuliza.

“Naomba tuzungumze, vita umeshinda.

“Sawa Sikazwe, lazima ujuwe kuwa ukombozi wa Afrika Kusini utaletwa kwa mtutu wa bunduki tu, si mazungumzo.

“Walinidanganya”.

“Hawakukudanganya, shida yako ni kwamba wewe ni kibaraka; yaani unapenda cheo kuliko watu wako. Matokeo yake ndiyo haya. Hata Makaburu wafanye njama za namna gani, mwisho wake wazalendo watashinda.

Wakati tukijibishana na Sikazwe, Eddy alikuwa anatambaa chini kuelekea pale walipokuwa.

“Tafadhali tuzungumze?”, aliomba.

“Umechelewa, maana umeshaipaka matope Afrika, hivyo tutakupeleka mbele ya wanamapinduzi wa Afrika ndio watakao kuhukumu”.

“Huwezi kunichukua hai”.

Kumbe wakati huu tunajibishana Max naye na askari mwingine walikuwa wamejivuta karibu kabisa na mimi. Ghafla nikahisi kuna kitu karibu nami.

“Bosi”, Eddy aliita ambaye pia alikuwa amewaona.

Kusikia tu hivyo niliruka pale nilipokuwa na wakati huo nikawaona Max na yule kijana mwingine karibu kabisa na mimi wameinua bastola tayari kufyatua. Nilijiviringisha hewani namna ambayo hata wao walishangaa risasi zao zote zikanikosa, wakati ule ule nikaachia za kwangu nikawapata wote nao wakaanguka chini.

Sikazwe aliinuka akasimama juu ya sanduku akachukua bastola akataka kujipiga risasi. Bastola tatu zililia kwa wakati mmoja na kuupiga mkono wake. Kumbe Sherriff nae alikuwa amefika mlangoni na kuona kitendo alichotaka kukifanya akakizuia. Eddy nae aliona akazuia wakati na mimi niliona nikazuia asijipige risasi.

“Bado tunakutaka Sikazwe ukiwa hai ili ukajibu maswali ya wanamapinduzi na wapenda maendeleo ya Afrika”, nilimwambia huku bado anashangaa jinsi risasi tatu zikitoka pande tofauti zilivyoweza kupiga kiganja chake tu.

Mara tunasikia usiku mzima umejaa kelele za milio ya magari ya polisi.

“Chifu yuko njiani”, niliwaambia wenzangu ambao sasa tulikuwa tumemzunguka Sikazwe.

Lo, Bosi ile jiviringisha uliyotoa pale hewani sijaona hata ndani ya sinema”, Eddy alinisifu.

“Mimi nilichoka kabisa; sasa naamini yote niliyoelewa. Nilifikiri mengine wanakuongezea”, Sherriff alisema.

“Kuwa komandoo siyo mchezo”, niliwajibu nikatabasamu.

Milio wa tahadhali ya magari ya polisi ulisogea kabisa.

“Ndio sababu sikumwona Isaack”, Eddy alisema.

“Ndio sababu”, nilijibu.

Tulisikia milango ya magari inafungwa kwa nguvu. Mara tukamwona Chifu na Mkuu wa Polisi wanaingia.

“Karibu Chifu, kazi imekwisha. Na mtu wenu huyu hapa na mwingine nafikiri tayari una habari naye. Ndani ya malori hapo nje kumejaa silaha, na zingine zimo humu. Mkienda bandari ndogo (dhow wharf) mtakuta meli ndogo iliyotayarishwa kwa  ajili ya kusafirisha silaha hizi, sisi hatuna zaidi”, nilimweleza kwa niaba ya wenzangu.

“Kazi nzuri vijana, mmeokoa jina la Tanzania, na mmeitoa Afrika katika aibu”, Chifu alijibu huku wakitupa mikono ya pongezi.

Mkuu wa polisi alitoa pingu akamfunga Sikazwe huku sura yake ikionyesha ukali.

Mara nikamwona Zabibu anakuja anakimbia akifuatiwa nyuma na Isaack. Niliwakonyeza Sherriff na Eddy, tukatoka pale haraka haraka tukawaacha Chifu na wenzake wanamshughulikia Sikazwe.

“Oh mpenzi Willy”, Zabibu alinirukia shingoni.

“Hamna taabu wote tu wazima”, nilimjibu.

“Ashukuriwe Mungu”, Zabibu alijibu.

“Isaack gari liko wapi?”.

“Oh Bosi, linakusubiri wewe”.

“Twendeni zetu, acheni wazee hao wafanye shughuli zao sisi yetu tumemaliza”, niliwaeleza wenzangu.

Sherriff, Eddy, Isaack, Zabibu na mimi tuliondoka na kwenda kwenye gari letu huku askari polisi tuliowapita wakitushangaa na kutupigia saluti. Tuliingia ndani ya gari letu, huku gari moja la polisi lenye mlio wa tahadhali limetutangulia.

“Je unajua tunakwenda wapi?”, aliuliza.


“Sijui lakini nafikiri imebidi tupewe heshima ya ‘VIP’ Isaack alijubu.
Mara gari nyingine ya polisi ikatusindikiza kwa nyuma.

“Lo, utafikiri Marais”, Sherriff alitania.

“Mara moja kwa miaka si mbaya”, nilijibu.

“Mimi mnitelemshe kwa Margaret”, Sherriff alisema.

“Ala, mipango imeshafanywa nini?”, niliuliza.

“Oh, mwenzangu siku nyingi”, Eddy alijibu.

“Sawa baba, kazi na dawa”, nilijibu huku nikimbusu Zabibu.


Nilipoangalia saa yangu nikaona ilikuwa yapata saa sita kasoro robo.

Ilikuwa asubuhi ya Jumapili. Jua lilichomoza kutokea baharini huku miali yake ya asubuhi ikichukua rangi ya maji ya bahari na kuipitisha kwenye vioo vya chumba changu cha kulala. Mwanga huu ulimmulika Zabibu usoni ambaye alikuwa bado amelala. Hakika mwanga huu wa asubuhi ulimfanya azidi kupendeza. Asubuhi vile vile kulikuwa na upepo baridi uliotoka baharini na kutufikia sehemu hizi za Upanga. Kwa kifupi ilikuwa asubuhi njema ambayo sitaisahau.

Niliangalia saa yangu nikaona inapata saa moja kasoro dakika tatu. Nilinyanyuka na kufungua radio ili kusikia taarifa ya habari ya saa moja. Kunyanyuka kwangu kulimwamusha Zabibu ambaye alinitolea tabasamu la kukata na shoka. Na mimi nikamrudishia lile la pekee ambalo huwa nalitoa kwa nadra sana.

“Tusikilize taarifa ya habari”, nilimwambia.

Baada ya mlio wa tindo sauti ya kike ikasema.

“Sasa ni saa moja kamili”. Halafu ikafuatiwa ya kiume.

“Ifuatayo ni taarifa ya habari kutoka Radio Tanzania Dar es Salaam msomaji Godfrey Chalamila. Kwanza habari kwa ufupi. Majasusi wawili walioshiriki katika njama za kuiba silaha za chama cha PLF bandarini wamekamatwa.

Mwili wa msichana mwanamapinduzi Veronika Amadu aliyeuawa katika harakati za kufichua njama za wizi wa silaha utasafirishwa kwenda Freetown, Sierra Leone.

Serikali imetaifisha makampuni yote yaliyokuwa chini ya Kampuni la kibepari la Euro-Afro.

Habari kamili; Wapelelezi shupavu wa Afrika jana usiku waliwakamata majasusi wawili na kuuwa wengine wengi na kuzikomboa silaha na kuzikomboa silaha za chama cha PLF zilizokuwa zimetekwa na majasusi waliokuwa wakiifanyia kazi Afrika Kusini. Majasusi hawa ni Ray Sikazwe, aliyekuwa rais wa chama cha SANP na Tonny Harrison aliyekuwa mwakilishi wa kampuni ya Euro-Afro.

Serikali imetamka kuwa watu hawa watafikishwa mahakamani siku ya Jumatatu kujibu mashitaka ya ujasusi na hujuma. Wakati huo huo kamati ya ukombozi ya OAU imelaani njama hizi za Makaburu na kusema kuwa lazima Makaburu wajue kuwa Afrika iko macho na haiko tayari kuchezewa. Taarifa hiyo iliendelea kusema kuwa chama cha PLF kitaongeza harakati za mapambano huko Afrika Kusini ambayo ndiyo njia pekee ya kuweza kupata uhuru wa walio wengi. Vile vile taarifa hiyo imesema kutakuwa na kikao cha kamati ndogo ya siasa mjini Dar es Salaam ili kutafuta njia ya kuviunganisha vyama vyote vya ukombozi vya Afrika Kusini, ili moto wa mapambano uweze kuwaka zaidi.

Mwili wa mwanamapinduzi shupavu hayati Veronika Amadu aliyeuawa katika harakati za kupambana na majasusi wa Makaburu ili kukomboa silaha zilizokuwa zimeibiwa bandarini utasafirishwa kwenda MJINI Freetown, Sierra Leon ambako ndiko kwao. Serikali imetoa ndege aina ya Boeng 737 ambayo itachukua na ujumbe wa kijeshi utakaosindikiza maiti hiyo pamoja na wanamapinduzi wengine. Imefahamika toka mjini Freetown kuwa mwanamapinduzi huyu atazikwa kwa heshima zote za kijeshi. Vyama vya wanamapinduzi na wapenda maendeleo duniani kote vimesema vitapeleka wawakilishi wao kwenye mazishi ya shujaa huyo.

Serikali imetaifisha makampuni yote yaliyokuwa chini ya kampuni ya kibepari ya Euro-Afro, kwa kile ilichokiita “Kujihusisha kwa kampuni hiyo na serikali ya Makaburu ili kupiga vita harakati za ukombozi. Hakuna fidia itakayotolewa. Na huo ndio mwisho wa taarifa ya habari”.

Nilifunga radio baada ya taarifa ya habari maana ilinikumbusha Veronika.

“Utakwenda kwenye mazishi?”, Zabibu aliuliza.

“Ndio”.

“Tutakwenda wote?”.

“Hamna taabu. Mambo yatatengenezwa.

TAMATI

BILA SHAKA UMEVUTIWA NA HADITHI HII YA UPELELEZI WA WIZI WA SILAHA ZA WAPIGANIA UHURU WA AFRIKA KUSINI, KAZI HII IMEFANYWA NA HAYATI E.A. MUSIBA AKITUMIA JINA LA WILLY GAMBA KAMA MPELELEZI HATARI WA AFRIKA.

NJAMA – 4

NJAMA – 4




Simulizi : Njama
Sehemu Ya Nne (4)

“Sijui mna maswali zaidi maana nahitajiwa ofisi za Ubalozi wa Botswana kwani kesho kutwa nina safari ya kwenda huko kuonana na wanachama na wanajeshi wangu walioko huko”.

Tulitazamana tukaona hakuna zaidi.

“Nafikiri inatosha, tukikuhitaji naamini utakuwa tayari kutuona kabla hujaondoka”.

“Bila shaka”.

Tulisimama, tukapeana mikono na tukaagana. Tulitoka na kuingia ndani ya ofisi ya mwandishi wake.

“Hujambo mrembo, maana hatukusalimiana wakati tunaingia kwani tulikuwa katika haraka”, nilimsalimu.

“Mimi sijambo”, alijibu huku bado anatuangalia kwa macho ya kushangaa.

Tulimwacha ashangae tukatoka nje ya ofisi na kuelekea mapokezi. Hapo tulimkuta yule msichana.

“Siku nyingine ukitukatalia utafukuzwa kazi. Angalia vizuri sana sura hizi maana sidhani utapata kazi mahali pengine wanakochukua muda kujirembua wakati wa kazi. Hivyo chunga kazi yako”, nilimshauri.

“Si nikikosa kazi kwa sababu yako nitakutafuta”.

“Nani atataka msichana wa kujirembua huku chungu jikoni kinaungua nyumbani kwake?”.

Msichana yule alivimba, tukaona tuondoke kabla hajapasuka. Tulipotoka nje tulielekea moja kwa moja kwenye gari letu tayari kwa safari ya mjini. Ghafla nikasikia sauti.

“Bosi, rukeni ua”.

Kama umeme tuliruka na kuanguka chini upande mwingine wa ua wakati ambapo risasi zilimiminika pale pale tulipokuwa tumesimama.

“Nenda ofisini”, tulisikia sauti ya Eddy ikiamru.

Kama umeme tuliruka na kuangukia mapokezi wakati tuliposikia mlipuko mkubwa wa bomu uliotingisha hata ofisi za SANP.

Baada ya dakika-mbili hivi Eddy alisimamisha gari lake mbele ya mlango na kuamru twende. Kama risasi tuliingia ndani ya gari na kuondoka kasi na kuacha gari langu likiwa limesambazwa vipande vipande.

BINTI TANZANIA

“Lo, hiyo ilkuwa alimanusura”, veronika alisema huku jasho likimtoka na akihema.

“Nakuambia”, Sherriff naye huku akihema.

“Eddy, moja kwa moja nyumbani kwangu, akili yangu imevurugika”, nilimwambia Eddy aliyekuwa akiendesha kwa kasi sana.

“Huyu Eddy ni nani na katokea wapi?, maana bila yeye sasa hivi sote tungekuwa maiti”, aliuliza Sherriff.

“Katika kazi hizi Komred Sherriff lazima uwe na plani bila plani huenda mimi ningekuwa nimeuawa siku nyingi. Huyu kijana ni mfanyakazi mwenzetu, na toka asubuhi yuko pamoja nasi lakini kazi yake ilikuwa ni kutulinda sisi. Na kwa jumla ndivyo hivyo tunavyofanya kazi”.

Eddy alisimamisha gari mbele ya nyumba yangu. Tulitelemka ndani ya gari, nikafungua mlango tukaingia sebuleni wote na kuketi. Nilikwenda katika barafu na kutoa chupa ya whiski na chupa za soda kali. Nilitenga glasi, wote wanne tukaanza kunywa. Nilipoangalia saa ilikuwa saa tisa kasoro robo.

“Eddy nafikiri hatuna muda wa kupika hapa nyumbani, hivyo nenda Palm Beach Hoteli wakakufungie chakula cha watu wanne”, nilimwambia Eddy”.

“Sawa”.

Eddy aliondoka kwenda kutafuta chakula.

“Willy, watu hawa wamepania sana”, Sherriff alisema kwa sauti nzito.

“Mimi nilijua watapania, ndio sababu nikaweka tahadhari yote hii. Ngoja Eddy arudi atueleze ilikuwaje mpaka wakaweza kutufuata mpaka pale walipotushambulia. Ni bahati nzuri sana kwamba wote mna mafunzo ya kijeshi hivi mlitii amri za Eddy bila hata kufikiri. Jambo hili limenifurahisha sana maana kama mtu angesita, sasa hivi tungekuwa tunamuombolezea”.
“Naona wote tumejenga silika ya hali ya juu kwa wakati wa namna hii”, Sherriff alijibu.

“Tukimsubiri Eddy, sijui mmewaonaje hawa Maraisi wa vyama hivi vile vile”, Veronika aliuliza.

“Mimi moja kwa moja nimempenda Chimalamo maana ni mtu aliye wazi. Nafikiri ni kiongozi mwenye busara. Kutokana na maelezo aliyotupa nafikiri anajua anafanya nini, na mtu kama huyu anaweza kabisa kuendesha harakati za ukombozi dhidi ya Makaburu maana anawajua nje na ndani. Ukikumbuka mazungumzo yetu siku ile huko Freetown juu ya Afrika Kusini sasa ukiongeza haya aliyotupasha ndugu Chimalamo hata wewe unazidi kupata mwanga mkubwa juu ya Afrika Kusini. Kwa ujumla nafikiri Chimalamo ni kiongozi mzuri na halisi. Juu ya Sikazwe nina dukuduku nae moyoni, maana sikumwelewa sawasawa sababu si mtu wazi. Hata nidhamu ya ofisi yake ilivyo kabla hujaonana naye, inaonyesha kasoro fulani. Nafikiri bila Willy kuwa mtu anayejua mbinu nyingi tusingemwona maana mbinu aliyotumia mimi mwenyewe mkufu. Halafu kuna kitu fulani ndani ya Ndugu Sikazwe ambacho sijui ni nini lakini kinanidundadunda sijui wenzangu mmemuonaje?”, Sherriff alieleza.

“Nafikiri mawazo yako na ya kwangu hayako mbali. Nakubaliana na wewe kuwa Ndugu Chimalamo ni kiongozi mzuri. Na vile vile kuhusu Sikazwe hata mimi kuna kitu fulani ambacho sikukielewa ni nini kilicho ndani yake, lakini huenda nitakijua nikipata muda mrefu kufikiri. Lakini huenda ni mtu wa tabia ya namna hiyo, na kwa namna yake hiyo anaweza kuwa ni kiongozi mzuri zaidi kuliko hata Chimalamo. Huenda kila kitu kilicho ndani yake ni uongozi bora”, nilieleza.

“Mimi sina la kuongeza, naona mawazo yetu yameoana”, Veronika alijibu.

“Kusema kweli jamani sijastuka kama leo, kweli tumeponea chupu chupu, asante sana Willy kwa kuweka tahadhari”.

“Bila asante Vero, maana ni kazi yangu kuhakikisha usalama wenu na wangu, hivyo uwe na amani kuwa nitafanya kila jitihada kuhakikisha usalama wetu, kama nikishindwa itakuwa nje tu ya uwezo wangu”.

“Naomba sigara”, Sherriff aliniambia.

“Hapa mimi nina aina ya sigara iitwayo Tropicana, sijui kama itakufaa”.

“Wewe nipe tu, sigara zangu ziko hotelini. Baada ya kashikashi nahitaji sigara kama kufa”.

“Nilitoa pakiti ya Tropicana nikaiweka mezani tukaanza kuivuta.

“Lo, mbona sigara safi kabisa, ni sawa sawa tu na 555, zinatengenezwa wapi?”, Sherriff aliuliza.

“Hapa hapa nchini kwetu”.

“Lo, mmeendelea sana, mnaziuza na nje?”, aliuliza Veronika ambaye naye alichukua moja akavuta ingawaje hakuwa mvutaji sana.

“Sijui maana wameanza kuzitengeneza hivi karibuni, lakini naamini watafanya hivyo”.

Mara Eddy akawa amerudi tukapata chakula ambacho tulikishambulia vizuri sana maana njaa zilituuma vibaya.

Baada ya kula chakula cha mchana tulikaa kitako kumsikiliza Eddy, akitusimulia jinsi mambo yalivyotokea pale SANP.

“Baada ya nyinyi kuondoka kwenye ofisi za PLF, nilingoja hadi nikaona gari Peogeot 504 namba TZ 311251 likijitokeza kwa upande mwingine na dereva wake akichungulia kwenye kioo cha kuendeshea baada nafikiri ya kuona hakuna gari zaidi lililokuwa nyuma yake; liliongoza kufuata njia mliyofuata. Mimi nililitilia mashaka nikalifuata nyuma baada ya magari kama mawili hivi kuwa kati yangu na gari hilo. Gari hilo pia lilikuwa limeacha magari matatu kati yake na gari lenu. Tulifuatana hivyo hivyo mpaka kwenye taa za usalama barabarani za Jangwani.

“Hapo ndipo nilihakikisha kuwa huenda gari hili lilikuwa na jambo. Mlipoingia barabara ya Umoja wa Mataifa gari hili lilisita kidogo mpaka gari zingine zikalipigia honi kwani taa zingebadili kabla hatujapita. Inaonekana kulikuwa na ubishi. Baada ya hapo gari hili liliingia barabara ya Umoja wa Mataifa nami nikalifuata. Niliona nyinyi mnasimamisha gari kwenye ofisi za SANP. Nilitelemka na kufungua boneti ya gari langu kwamba limeharibika, huku nikifikilia kuwa lile gari litarudi.
“Nilichukua spana na kuanza kujifanya ninalishughulikia gari langu. Gari lile halikurudi. Mimi niliendelea kujishughulisha hivi kiasi cha nusu saa, wakati nyinyi bado mko ndani ya ofisi. Mara nilistukia gari moja linaingia pale gereji, kwa bahati lilisimama karibu tu na mimi. Ndani ya lile gari mlikuwa na watu wanne. Dereva wa gari hili alitoka na kuingia ndani ya ofisi ya gereji hii. Alikuwa amevalia vizuri sana. Nilimwangalia kwani alikwenda akazungumza na mfanyakazi aliyekuwa amekaa mezani akiandika risti na simu iko upande wake. Alizungumza na mtu huyu wakabishana kidogo kisha nikaona anatoa kitu kama shilingi moja akampa yule mfanyakazi. Halafu yule mfanyakazi akachukua funguo na kufungua kufuli la kwenye simu. Yule mtu akapewa simu akaanza kupiga. Mambo yote haya niliyaangalia kwa chati huku nikiendelea kujishughulisha na gari langu”.

Eddy alitua akachukua sigara nikamwashia, akavuta kidogo kisha akaendelea.

“Sura za wale watu wengine ndani ya gari hazikuwa za kawaidana vile vile walikuwa na wasiwasi. Kila mara walikuwa wakigeuka kuangalia upande wa SANP. Yule mwingine alipomaliza kuzungumza na simu alikuja moja kwa moja akaingia ndani ya gari na kulizungusha. Mimi pale pale nikafunga boneti ya gari langu, maana tayari akili yangu ilikuwa imeshakuwa katika hali ya tahadhari nami nikageuza gari langu kuangalia barabarani. Hapo ndipo niliona mnatoka nje ya ofisi. Nikaona mmoja wa watu wale katika gari anainua “machine gun” kutoka chini na kabla hajaweka sawa nyinyi mlikuwa mmefika kwenye gari. Niliruka toka ndani langu na kuwapigia kelele. Nashukru kuwa mlinitii mara moja, kwani wakati ule ule mliporuka alimimina risasi pale pale mliposimama nikajua alikuwa mtu mwenye shabaha ya hali ya juu kwani gari lilikuwa likienda polepole.

“Mliporuka tu niliona mtu mwingine anatoa bomu la mkono na kuuma kifungo chake. Hapo ndipo nilipopiga kelele ya pili kisha nikarukia ndani ya gari wakati yule mtu anatupa hilo bomu na gari lao linaondoka kwa kasi. Ndipo na mimi nikaja na kusimamisha gari langu pale mlangoni baada ya ule mlipuko wa lile bomu. Pole sana bosi gari lako zuri sana limeteketea”.

“Siku Eddy, nitapata jingine aina hiyo hiyo, nimetokea kupenda sana aina hiyo ya magari.

“Lo, inaonekana watu hawa wamejitayarisha vizuri sana”, Veronika alisema kwa mshangao.

“Toka niliposikia jinsi walivyoiba zile silaha sikuwa na hamu nao tena. Nilijua ni watu wanaojua wanafanya nini. Ndio sababu niliwaasa hatari zitakazotokea toka mwanzo. Nafikiri sasa mnaamini mawazo yangu”, hakuna aliyejibu; wote walinyamaza tu. Nafikiri walikuwa wakijutia kwa nini wamejiingiza katika janga hili.

“Vipi Eddy umepata habari zozote juu ya Kiki?”, nilimwuliza.

“Kama nilivyokuahidi nimepata habari za kutosha”.

Sisi wote tukawa tena tayari kumsikiliza huyu kijana na kusahau yote yaliyopita.

“Ehee hebu lete habari”, nilimwambia.

“Nitaanzia toka ripoti nilizopata toka kwa makomredi wetu wa Soweto. Makomredi wetu huko wanakataa katakata kuwa hakukuwa na mtu mwenye jina au wa sura kama nilivyowaeleza huko Soweto. Wanasema mtu aliyetoroka gerezani kati ya wale waliokamatwa na kutiwa ndani, yuko huko huko Soweto na wanaye sasa hivi. Hivyo ni uongo mkubwa kuwa huyu mtu alihusika na matatizo ya Soweto. Inasemekana kuwa mara ya kwanza mtu huyu kuonekana Tanzania ni wakati alipofika Mbeya akiwa na hiyo hadithi yake kuwa ametoroka gerezani huko Afrika Kusini baada ya kutiwa ndani kutokana na machafuko ya Soweto. Habari hii aliitoa kwa ofisi ya Chama huko Mbeya na ofisi hiyo ndiyo iliyomleta Dar es Salaam baada ya kusema kuwa yeye ni mwanachama wa SANP. Hivyo alipofikishwa hapa alipelekwa kwenye ofisi za SANP ambako inasemekana aliwaonyesha kadi yake, hivyo katika hali ya kumsaidia wakampeleka kwenye Kamati ya Ukombozi ya OAU.

“Je umepata habari zozote kuhusu maisha yake hapa mjini”.

“Ndiyo, vijana wetu wamefanya kazi nzuri sana. Wameweza kupata habari kuwa Kiki alikuwa mtu asiye na rafiki. Ila alikuwa na rafiki mmoja wa kike Mtanzania anayeitwa Zabibu Abeid. Wanasema msichana huyu aliingia hapa mjini toka Tanga miezi minne iliyopita kwani alikuwa amepatiwa kazi na Meneja wa Kampuni iitwayo Twiga Safari ambayo inashughulikia mambo ya watalii. Msichana huyu amesoma mpaka kidato cha Nne alichomaliza mwaka jana. Anasemekana kuwa na uuzuri wa pekee. Katika ripoti yao wanasema kuwa kama hujamwona msichana huyo basi hujamwona binti Tanzania. Hivyo baada ya Kiki kufanya urafiki na msichana huyu mrembo, muda wake na maisha yake aliyatoa kwa msichana huyu.

“Zababu anakaa mtaa wa Jamhuri, kwenye orofa karibu ya mzunguko wa mtaa wa Zanaki na Jamhuri. Yuko mwenye nyumba ya orofa ya Msajili wa Majumba. Jengo Nambari K orofa ya tatu, nyumba nambari 7a. Nyumba hii amepewa na waajiri wake. Inasemekana kuwa fanicha yote ya mle ndani imenunuliwa na Kiki pamoja na gari moja zuri aina ya Ford Mustang”

“Na huku Kiki alikuwa tarishi tu… nilimkata kauli Eddy.

“Ofisini alikuwa tarishi, lakini nje alikuwa na fedha nyingi za kutosha. Hivyo kwa nje alikuwa ofisa wa mkubwa katika Kamati ya Ukombozi ya OAU”.

“Na ndio sababu aliweza kumpata msichana mrembo kiasi hicho?”, Sherriff aliuliza.

“Bila shaka maana sura ya Kiki ilikuwa ya kupendeza sana hivyo sioni ajabu kumpata msichana mrembo kiasi hicho”.

“Kwa hivyo zaidi ya msichana huyu maisha ya Kiki hapa mjini hayaeleweki”.

“Ndiyo, Kiki hakuwa na rafiki mwingine zaidi ya Zabaibu, lakini muda mwingi alikuwa kwa Zabibu. Tumejaribu sana kupata habari nyingine zozote juu yake lakini tunashindwa. Huenda Zabibu anaweza kujua”.
“Okejamani nafikiri nyinyi mnaweza kurudi matotelini kwenu. Ila mjihadhari sana maana hali ya sasa ni ya hatari, nitakuja kuwaona baadaye msitoke mpaka nimekuja. Eddy atawapeleka mkapumzike. Mimi nitakwenda kumwona Zabibu sasa hivi, nafikiri atakuwa ametoka kazini”, niliwaeleza.

“Nafikiri atakuwa amerudi maana anatoka kazini saa kumi kamili”, Eddy alinieleza.

“Twende wote”, Veronika alinieleza huku akiniangalia kwa macho ya wizi.

“Hapana wewe nenda ukapumzike, kazi uliyofanya mpaka sasa inatosha. Usiwe na wasiwasi nitajiangalia”.

Veronika alikuwa haamini kwenda kuonana na msichana mrembo namna hiyo peke yangu. Hiyo ndiyo ya kazi na dawa.

Waliondoka wakaniacha mimi nikienda maliwatoni. Baada ya kukoga na kubadili nguo, niliangalia saa yangu nikaona ni saa kumi na moja na nusu. Nilichukua bastola yangu nikaiweka ndani ya jaketi nililovaa, nikajiona nilikuwa tayari kupita kiasi kuonana na Binti Tanzania. Nilitoka nje nikafungua mlango, nikaenda mpaka Palm Beach ambako nilichukua teksi kunipeleka kwa Binti Tanzania.


Ilikuwa yapata saa kumi na mbili wakati dereva wa teksi aliponishusha hatua chache kabla ya kufika kwenye mzunguko wa Mtaa wa Jamhuri na Zanaki.

“Hapo hapo pananitosha”, nilimweleza huku nikimpa shilingi ishirini kisha nikatelemka. Niliangalia kwenye maegesho ya mtaa huu wa Jamhuri nikaiona gari ya Zabibu. Ilikuwa gari ya rangi ya kijani ambayo haikuiva sana, na ilikuwa ni aina ya Ford Mustang muundo wa kisasa. Kama umeshaiona Ford Mustang zilizoundwa vizuri basi hii ilikuwa mojawapo. Hata mimi niliipenda kwa umbo lake maana ilikuwa na milango miwili. Yaani ‘Ford Mustang Sports Car’, kama wanavyoiita wenyewe walioitengeneza.

Kule kuona gari hii kulinihakikishia kuwa Zabibu alikuwepo nyumbani, niliangalia jengo, nikaangaza huku na huku kuona kama kuna mtu ananifuata, nikaona hakuna. Kila mtu alionekana kuwa na hamsini zake. Basi mimi Willy nilijipenyeza kwenye lango linaloelekea kwenye ngazi za jengo hili. Nilipofikia ngazi nilianza kupanda taratibu kama mtu anayejua anapokwenda. Nilipanda mpaka orofa ya tatu, na nyumba iliyokuwa inatazamana na ngazi hizi ilikuwa namba 1a na nikajua 7a itakuwa mkono wa kulia hivyo nikafuatia taratibu.

Kwa sababu giza lilikuwa linaingia nyumba zingine zilikuwa zimewasha taa na zingine zikiwa giza kuonyesha wenye nyumba walikuwa bado hawajafika. Nyumba namba 5a na 6a zilikuwa giza ila 7a ilikuwa inawaka taa sebuleni. Nilitembea taratibu bila kupiga kelele mpaka kwenye mwisho wa namba 6a, niliposikia sauti ya msichana inapiga kelele ndani ya namba 7a. Harafu nikasikia sauti ya mwanaume.

“Mimi nisingependa kukuua Zabibu maana mimi nafurahia uumbaji wa Mungu mzuri aliokuumba lakini mimi nimeamriwa nikuue hivyo sina njia. Nisipokuua wewe, mimi nitauawa. Hivyo huna haja ya kupiga kelele, kufa hakika utakufa”.

“Kwani mimi nimekosa nini masikini?”, msichana aliuliza.

“Hata mimi sijui, haya kwa…”.

Mimi nilikuwa nimejivuta na kuwa sawasawa na mlango wa hii nyumba, hivyo nilisikia mazungumzo haya. Niliona nikichelewa msichana huyu anaweza kuuawa. Basi nilitudi nyuma, bastola mkononi, niliurukia ule mlango na kuupiga teke ukafunguka. Hapo hapo mimi nikatumbukia ndani nikitanguliza kichwa chini lakini nikafyatua bastola na kumpata yule kijana niliyemuona ameshika kisu chenye mpini mwekundu. Ile risasi ilikuwa haikumpata vizuri hivi alisimama wakati na mimi nimeshasimama yakaanza masumbwi. Alitupa konde moja likanikosa mimi nikampa shoto langu lililompata shingoni akaenda chini na hakusimama tena.

Mambo haya yalitokea kwa muda mfupi sana. Zabibu alikuwa amepigwa na butwaa kiasi cha kwamba yule mtu alipoanguka chini na yeye akaanguka juu ya kochi na kuzirai. Nilienda kumwangalia yule mtu pale chini, sikuwa na haja hata ya kumgusa ili nijue kama amekufa. Niliona kulikuwa na barafu pale sebuleni, nikaifungua nikatoa chupa ya maji baridi nikammiminia Zabibu naye akashituka.

“Kweli huyu Zazibu alikuwa ndiye Binti Tanzania. Mimi nimeona warembo katika nchi hii, lakini huyu alikuwa ni zaidi. Ukiwa unaamini kuwa kuna binadamu wengine hushushwa moja kwa moja toka mbinguni, basi Zabibu alikuwa mmoja wao, kwani mpaka sasa siamini kama msichana huyu alizaliwa na binadamu. Ingawaje haiwezekani kuamini kuwa mtu anaweza kutelemshwa toka mbinguni, lakini ukimwona Zabibu wewe mwenyewe utaona uwezekano. Maana hata mimi niliona inawezekana kwa huyu kiumbe wa binadamu alikuwa ameumbwa bila kasoro. Palipo ukweli lazima tuseme; mwenzetu alikuwa na uzuri sio kifani. Mcho yake manene ya mviringo yaliyozungukwa na nyusi zenye rutuba yalifunguka na kuniangalia mimi.
“Umetoka wapi?”, aliuliza kwa sauti nyororo iliyotoboa rohoni mwangu kama miali ya moto.

“Nimekuja kukuokoa”.

“Kama wewe si mmoja wao umejuaje kuwa amekuja kuniua?”.

“Kama mimi ni mmoja wao kwa nini nimwue wakati anataka kukuua?”.

“Ndicho kinachonishangaza”.

“Basi mimi si mmoja wao, mimi ni rafiki yako. Kama una akili timamu tuondoke hapa chumbani kwako maana kinanuka mauti”.

“Sijui kwa nini naona kama ninakuamini”.

“Kwa sababu ndio jambo la busara”.

“Haya nichukue, nitoe hapa, yule mtu kweli angeniua. Huenda lazima nikushukuru, asante sana?”.

“Bila asante, msichana kama wewe una haki ya kuokolewa, huna haja ya kushukuru, hiyo ni haki yako”.

“Na huyu mtu tutamwacha humu?”.

“Nitafanya mipango aondolewe, simu iko wapi?”.

“Chumbani”.

Aliniongoza chumbani, nikapigaa simu ofisini nikamkuta Eddy nikamweleza kwa kifupi, kisha nikamwambia afanye mpango mtu huyu aondolewe hapa. Eddy akasema atatekeleza.

“Wewe ni polisi?”, Zabibu aliuliza.

“Hapana”.

‘Sasa wewe ni nani?”.

“Mimi ni mtu ninayesaidia warembo kama wewe”.

Nilimjengea tabasamu babu kubwa kisha nilimshika mkono tukazima taa, nakurudisha mlango, halafu tukaondoka. Nilipata teksi pale chini, tukapanda na kumwelekeza dereva nyumbani kwangu.

“Tunakwenda wapi?”, Zabibu aliuliza.

“Nyumbani kwangu, unaonaje?”.

“Nakuona wewe ni mtu wa ajabu ajabu tu, usingekuwa umeniokoa nisingekuamini hata chembe!.

Nilikuwa nimeingia na mashaka makubwa kwenda moja kwa moja nyumbani kwangu. Nilikuwa sijui kwa nini, hivyo nikabadili mawazo na kumwelekeza teksi dereva twende Ocean Road ambako ndiko Eddy alikuwa akikaa. Nilikuwa nina ufunguo mmoja wa nyumba yake kwa ajili ya nyakati kama hizi.

Tulikwenda moja kwa moja mpaka nyumbani kwa Eddy baada ya kumwelekeza dereva nyumba. Nilimlipa dereva teksi pesa zake, halafu tukatelemka. Nilifungua mlango kisha nikawasha taa.

“Karibu ndani bibie”.

Asante sana”.

Nilikwenda kwenye barafu nikaifungua.

“Sijui utakunywa nini?”.

“Baada ya vituko vilivyotokea nafikiri whiski na soda kali vitanifaa”.
Nilichukua chupa ya whiski na soda kali halafu nikaendea glasi na kumimina kwenye glasi mbili ya Zabibu na ya kwangu halafu tukainua glasi zetu.

“Na tunywe kwa maisha yako marefu mrembo”, nilisema.

“Na tunywe”, alijibu kisha akanywa whiski ile haraka haraka.

Mimi nilikwenda kwenye simu nikapiga tena ofisini nikampata Eddy. Nilimpasha habari kuwa mimi na huyu mrembo Zabibu tulikuwa nyumbani kwake. Na yeye vile vile akanieleza juu ya kazi niliyokuwa nimemuagiza; vijana walikuwa wamempigia simu kuwa tayari walikuwa wameshaifanya. Nilimpongeza kwa jinsi kazi yake alivyokuwa anaifanya haraka kwa juhudi na maarifa.

“Nafikiri kwanza itabidi tufahamiane”, nilimweleza Zabibu.

“Hasa ndilo litakuwa jambo la maana”, alijibu.

“Mimi naitwa Willya Gamba, sijui wewe mwenzangu unaitwa nani?”.

“Mimi naitwa Zabibu Abeid”.

“Lo kweli aliyekuwa jina la Zabibu alijua kweli, kwani mimi naamini umtamu kama Zabibu”.

“Ndio unataka kusemaje?”.

“Nataka kusema wewe ni msichana mrembo ambaye sijawahi kumwona, na bila shaka aliyekuwa jina la Zabibu alijua utakuwa mtamu kama Zabibu”.

“Usinivike kilemba cha ukoka. Kijana nadhifu mwenye sura nzuri na vituko vingi namna hii, haiwezekani kuwa haujamwona msichana mrembo kunizidi”.

“Amini usiamini”.

“Asante, lakini hata mimi leo nimemwona mvulana wa kipimo changu, sijui ulikuwa umejificha wapi mji huu hata nisikuone?”.

“Mimi nilikuwepo nimejaa tele hapa mjini, lakini najua ingekuwa vigumu kuniona maana George Kiki alikuwa amekuganda kama kupe”.

Pale pale sura yake iligeuka akainua macho yake marembo kunitazama machoni. Mimi nikamjengea tabasamu la sheria yake, Zabibu alionekana alikuwa amechanganyikiwa mawazo.

“Unajua nini juu ya George?”.

“Hakuna haja ya kuzungushana sana, nafikiri inabidi sasa tuelezane ukweli. Na kabla hatujaendelea mbali ningependa kukuuliza lini umeonana na Kiki kwa mara ya mwisho”.

Kwa kutokana na uzito wa sura yangu, Zabibu alilegeza sura yake kisha akajibu kwa sauti nyororo.

“Siku nne zilizopita, alisema atakwenda safari Botswana na atarudi baada ya wiki tatu”.

“Na hauna habari nyingine yoyote kuhusu yeye?”.

“Sina, kwani kumetokea nini?”.

“Kwani yule mtu aliyetaka kukuua alikuwa amekueleza nini?”.

“Hata, alinieleza tu kuwa alikuwa ametumwa kuja kuniua ingawaje yeye hakutaka lakini alikuwa amelazimishwa. Hakunieleza kabisa sababu.

“Nakuomba uwe na roho ngumu, rafiki yako George Kiki ameuawa jana. Maiti yake ilikutwa chumbani mwake ikiwa imechomwa kisu chenye mpini mwekundu”.

Nilitoa kisu nilichokuwa nimekiokota nyumbani kwa Zabibu kabla hatujaondoka.

“Na watu wale wale waliomwua ndio walikuwa wanakuja kukumalizia wewe”.

Zabibu alibubujikwa machozi na kidogo azirai tena.

“Lazima ujitulize kwa sababu mimi niko hapa kupeleleza mauaji ya mpenzi wako”.

“Mimi nilijua tu wewe ni Polisi. Sura yako na namna ulivyoingia chumbani kwangu sijapata kuona kwa macho ila ndani ya sinema tu. Zile sinema za kijasusi”.

“Mimi si polisi bali ni mpelelezi. Huenda polisi nao wakaja kufanya upelelezi wao, lakini mimi bahati nimewahi na kukuokoa huenda wao wangefika wakati wewe umekwisha kuwa maiti”.

“Una maana gani kusema wewe ni mpelelezi wala si polisi?”.

“Mimi ni mpelelezi wa siri kama umewahi kusikia watu kama hao”.

Macho ya Zabibu yakapanuka.

“Usije ukawa wewe ndiye mtu ambaye huwa tunasoma habari zake kwenye magazeti akipambana na majasusi mbali mbali wanaofanya maovu dhidi ya Afrika”.

“Ndio mimi”.

Zabibu aliruka pale alipokaa akaja katibu na mimi.

“Ooh! Mungu ni bahati gani kuonana na mtu kama wewe maana mimi nilikuwa nafikiri ni maneno ya uzushi tu ya magazeti maana walikuwa hata hawatoi jina. Kila mara ukisoma unaona tu vijana wa Afrika wakiongozwa na mpelelezi mashuhuri kutoka Tanzania wamefaulu katika kuwateketeza majasusi ya mabeberu yaliyokuwa yanatenda mambo maovu dhidi ya Afrika. Nitawaeleza rafiki zangu kuwa ni kweli huyu mtu yupo na mimi nimeonana naye”.

“Halitakuwa jambo la busara, tafadhali fanya hii iwe siri kati yangu na wewe, nimekueleza tu kwa sababu unaweza kunisaidia katika upelelezi wangu juu ya tukio la kutisha lililotokea hapa mjini siku chache zilizopita”.

“Ahaa nimeelewa tumesikia kwenye maredio ya nchi za nje, kuwa silaha kali za wapigania uhuru zimeibiwa kwenye bandari ya Dar es Salaam”.

“Basi umebashiri sawa”.

“Sasa George ana uhusiano gani na tukio hili?”.

“Ndio sababu tumekuja kukuona, huenda ukajibu maswali yangu nitaweza kuambulia jambo lolote linalomwunganisha Kiki na tukio hili”.

“Niko tayari kukusadia, kwanza kwa sababu umeniokoa, pili kwa sababu unapeleleza kifo cha mpenzi wangu na tatu nafikiri wewe ni kijana mwenye kupendeka”.

“Asante, swali langu la kwanza nilitaka kujua kama ulikuwa unajua Kiki ni mtu wa Afrika Kusini?”.

“Nilikuwa najua”.

“Alikwambia alikuwa akifanya kazi gani?”.

“Alisema yeye ni mwakilishi wa chama cha SANP katika Kamati ya Ukombozi ya OAU”.

Nilishangazwa na jibu hili lakini sikuonyesha.

“Kwa hiyo mara nyingi alipokuwa anakuja kwako alikuwa akiandamana na wanachama wenzake wa SANP?”.

“Hapana, George alikuwa mtu wa pekee, huenda ndio sababu nilimpenda. Alikuwa kila siku ananiambia kama ninataka kuepukana na matatizo nisizoeane na watu wengi. Na yeye kweli alikuwa hakuzoeana na watu. ila alikuwa na marafiki wawili tu. Ndugu Ray Sikazwe, rais wa SANP na Patlako Shuta ambaye ni ofisa mkubwa katika SANP. Sikumwona na mtu mwingine. Oh, kidogo nisahau, vile vile walikuwa na rafikio yao mwingine Mzungu ambaye George alifahamishwa kwake na Sembuche na mwenzake Shuta. Na hata gari nililo nalo, George aliuziwa na Mzungu huyu. Kwa vile yeye alikuwa hapendelei gari kwani alikuwa anatumia gari la ofisini alinipa mimi”.

Kwa mara ya kwanza niliona mwanga kwa mbali, na nikajua kwa nini msichana huyu alitakiwa auawe. Nilijivunia bahati yangu kuwahi kabla hajauawa.

“Unaweza kujua Mzungu huyu anafanya kazi gani?”.

“Lo! hawa ndio wenye lile kampuni kubwa lililo na makampuni kadha wa kadha katika nchi nyingi za kiafrika yaani EUROAFRO Limited. Na huyu Mzungu ndiye mwakilishi wa kampuni hilo hapa akiangalia akiangalia makampuni yake madogomadogo yaliyoko hapa”.

Kapuni hili EUROAFRO Limited lilikuwa kampuni kubwa la kibepari lililokuwa na hisa nyingi katika makampuni katika nchi nyingi za Afrika. Kirefu chake kilikuwa EUROPE – AFRIKA COMPANY. Uhusiano huu kati ya wanachama wa chahama cha wapigania uhuru na kampuni ya kibepari ulinishinda kuelewa.

“Kwa hiyo unasema huyu Sikazwe na Shuta walikuwa marafiki wa karibu sana wa Kiki
“Ndiyo, hao ndio alikuwa anatembea nao mara kwa mara na vile vile walikuwa wanajuja kumwona au kumchukua pale kwangu mara kwa mara. Lakini zaidi ya watu hawa wawili na yule Mzungu, George hakuwa na rafiki mwingine”.

“Huyu Mzungu unaweza kumkumbuka jina?”.

“Ndiyo anaitwa Tony Harrison”.

“Hawa marafiki wa Kiki uliweza kuzoeana nao?”.

“Kusema kweli, Shuta na yule Mzungu walikuwa wananiheshimu kiasi cha kutosha lakini Sikazwe alikuwa wa ovyo sana. Amewahi kunitongoza mara nyingi na kunitaka nimwache George. Kwanza alikuwa anajivuna kuwa yeye ni Rais wa Chama na George alikuwa mtu mdogo tu, na kwamba msichana kama mimi sikufaa kutembea na George ila mtu kama yeye. Mimi nilimponda na kumwambia cheo na pesa havileti mapenzi, ila mtu anampenda mtu kwa vile alivyo, maana mtu na mtu ndio wanapendana”.

Lakini nakwambia uso wa msichana huyu unapoonyesha sura ya haya ndipo uzuri wake unapozidi. Ingekuwa wewe usingevumilia lakini mie nilipiga moyo konde na kuendelea na kazi. Nilifikiria swali jingine nikaona nimepata maelezo ya kutosha ila nikaamua nimweke zabibu chini ya ulinzi wangu mpaka hapo baadaye.

Nilikuwa bado nafikiri hivi wakati tuliposikia gari linapiga breki mbele ya nyumba. Nilitoa bastola yangu tayari. Mlango ulipofunguliwa na Eddy akakingia.

“Bosi, twende haraka Veronika amenipigia simu anasema yuko katika matatizo. Nimekuja sababu nilijua huna gari”, Eddy alisema huku akitweta.

“Oke Zabibu, subiri hapa tutarudi sasa hivi”.

Nilifungua mlango kabla Zabibu hajasema neno lolote.

USIKU WA HEKAHEKA

Tulipofika Kilimanjaro Hoteli ilikuwa yapata saa tatu kamili. Tulipokuwa njiani kuelekea Kilimanjaro nilimweleza Eddy mambo yote niliyokuwa nimepata toka kwa Zabibu, mambo ambayo hata yeye alisema yalionyesha ufumbuzi wa jambo hili kwa mtu mwenye kufikiri. Tuliingia hotelini tukapanda lifti iliyotushusha orofa ya pili. Tulipotoka ndani ya lifti mara ile hali ya tahadhari ilituingia. Mimi nilitoa bastola yangu nikaiweka tayari na Eddy akafanya vile vile.

Tulipofika mlango wa chumba namba 206 tulikuta umefungwa, niligonga nikiwa nimesimama upande kabisa. Niligonga mlango mara mbili haraka haraka, halafu nikatulia kidogo kisha nikagonga tena, kwani hivi ndivyo Veronika alikuwa amenielekeza namna ya kujitambulisha lakini sikusikia kitu. Nilimonyesha ishara Eddy abane ukutani wakati mimi nafungua.

Nilifungua mlango ghafla. Tishio nililolikuta sijawahi kulipata tena, kwani Veronika alikuwa amelala kwenye sofa na kisu chenye mpini mwekundu kikiwa kimemwingia juu kidogo ya titi la kushoto. Kidogo ningezimia lakini nilijikaza nikakimbia pale kwenye sofa huku nikikanyaga maiti za watu wengine hapo chumbani.

Veronika alikuwa bado ameshikilia mkono wa simu mikononi mwake. Nilipomfikia nilimkuta bado yuko hai. Wakati huo Eddy nae alikuwa ameingia akanipa glasi ya whiski.

“Bosi jikaze, mnyweshe hii whiski mimi naita gari la hospitali”‘

Nilimnywesha Veronika kisha nikamtingisha akafunua macho akapata fahamu kidogo.

“Vero, Willy hapa, niambie nani amefanya hivi”.

“Walikuja…. watatu… nikapam…bana …nikawaua nikakupigia simu…. ku…ku…kumbe walikuwepo… wengine …wawili … mmoja … akamwita … Shu… Shu…Shuta muue…. mimi kugeuka … akanichoma… ki… kisu… nikawahi …kumpiga yule mwingine …kwa… akafa… Shuta… akakimbia …nika…

Hakuweza kusema tena. Nikamwongeza whiski na kumtingisha.

“Oh Vero, nimeita gari la wagonjwa na mganga anakuja sasa hivi utapona tu.
“Si…siwezi…nitakufa…nimekufa…ame…moyo…Willy na…nakufa…na…ku…penda …hakuna  tena… mwanamume… niliye… mpenda…kama wewe. Ni…nimefurahi…kukuona …ma…mara… ya…mwisho…nikifa …kwa ajili ya Afrika… siogopi…kufa…kwani nimekufa …kwa sa…sabab…bu…nzuri. Ende…le..za …ma…pa…mba…no… Willy …Mungu…a…ku…sai…die…uni…ku…pi…zie…kisasi Afrika. Ni…busu…na… ku…

Nilijua Veronika hawezi kuchukua dakika moja zaidi, niliweka midomo yangu kwenye midomo yake na kulamba damu yake ambayo sasa ilikuwa inatoka mdomoni.Alitabasamu na macho yake yakang’ara kiasi ambacho sikuwahi kuyaona yanang’ara vile halafu akayapepesa akafariki. Alikufa huku akitabasamu.

Sikuwahi kulia na kupata uchungu kama wakati wa kifo cha Veronika. Nilijilaumu. Kama ningekwenda nae kwa Zabibu asingekufa.

Eddy alinikuta nabubujika machozi kama mama anayemlilia mtoto wake wa pekee.

“Bosi jikaze”, Eddy alinishauri.

“Washenzi hawa, nduli hawa, watanitambua. Kwanini Mungu anaruhusu mtu kama Veronika kufa mikononi mwangu?. Eee Mungu nisaidie nilipize kisasi kwa ajili ya mwanamapinduzi huyu wa Afrika nzima”, niliomba kwa sauti huku machozi yananitoka. Vero alikuwa amekufa kishujaa. Alikuwa amewaua maadui wanne pale pale chumbani.

Niling’oa kile kisu nikasafisha damu yake kwenye nguo zake.

“Kisu hiki hiki kitawauwa kama walivyomwua Veronika”, nilisema.

“Bosi ninataka toka sasa tuwe pamoja”.

“Hapana sasa hivi, fanya mpango wa kuondoa maiti hizi humu ndani. Na umwarifu Chifu, polisi wala wakuu wa hoteli wasiingilie. Na halafu kampashe Sherriff habari hizi za huzuni. Muushughulikie mwili wa Veronika uweze kupelekwa kwao. Mwambie Sherriff ashughulike na habari hiyo tu mambo mengine aniachie. Mwambie Chifu mambo yote yalivyo mpaka sasa mimi namfuata Shuta lazima alipe. Fanya hayo kwanza halafu nitakapokuhitaji nitakujulisha”.

Niliondoka na kumwacha Eddy mle ndani ya chumba nikakimbia kwenye lifti iliyonitelemsha chini. Nilipita pale mapokezi huku nikikimbia kiasi cha watu wote kunishangaa.

Niliingia ndani ya gari Eddy alilokuwa amekodi na kuliacha Kilimanjaro Hoteli nikaondoka kwenda kumtafuta Shuta.

II

Niliondoka na kuelekea nyumbani kwa Eddy nilikomwacha Zabibu. Njiani nilifikiria uhusiano wangu na Veronika tokea siku tuliyoonana mwenye ndege mpaka kifo chake kilipotokea mikononi mwangu dakika chache zilizopita. Nilisikia uchungu usio kifani. Hasira na chuki yangu kwa makaburu, mabeberu na vibaraka wao ilizidi kiwango chake cha kila siku.

“Kifo peke yake ndicho kitaniachisha kuwawinda hawa wadhalimu maishani mwangu”, niliapa.

Nilipofika nyumbani kwa Eddy nilimkuta Zabibu amekaa kwenye sofa pale tulipomwacha.

“Kumetokea nini, mbona ulikuwa unalia?”, Zabibu aliniuliza baada ya kuniangalia kwa muda mfupi.

Nilimweleza yaliyompata Veronika, na jinsi urafiki wetu na Veronika ulivyokuwa umekomaa tangu kuonana mwenye ndege wakati tukielekea Freetown. Hakika nilijuta kumfahamu Veronika afadhali nisingeonana nae.

“Usisikitike sana, sasa tunakuwa watu wawili tuliopoteza marafiki zetu. Lililopo sasa ni sisi kutiana moyo na kusaidiana kuwatafuta hawa waliofanya matendo haya.

Nilijisikia vizuri kidogo Zabibu kuwa pamoja nami.

“Unajua Shuta anapokaa?”, niliuliza.

“Ndio, anakaa Oysterbay, Kaunda Drive No. 11230”.
“Basi, sasa wewe tulia hapa mimi nitarudi muda si mrefu”.

“Twende sote”.

“Hapana. Kazi hii huijui niachie mimi, wewe pumzika hapa. Ukiona usingizi chumba hicho hapo kalale. Tutaonana baadaye”.

“Lakini jihadhari inaonekana watu hawa ni hatari kabisa, sitapenda kusikia umeuawa, nikisikia tu na mimi nitajiua”, aliniambia Zazibu akionyesha hali ya mapenzi kama kwamba tumekuwa marafiki siku nyingi.

Mimi huwa sielewi kwa nini binadamu hawa hutokea kunipenda mara tu nionyeshapo uso wangu. Niliondoka na kuelekea Oysterbay. Niliingia Kaunda Drive na kuanza kuangalia namba za nyumba. Niliendesha polepole mpaka nikaona nyumba. Nilipokuwa napita mbele ya lango la nyumba hiyo mlango wa mbele ulifunguliwa mimi nikaendelea mbele kidogo nikaegesha gari langu, halafu nikarudi kwa miguu.

Nilipofika kwenye ua wa jengo hili nikabana, maana watu wanne walikuwa wanazungumza hapo nje na kulikuwa na magari mawili.

Niliposogea nilisikia mtu mmoja anazungumza.

“Hay Shuta, zungumza na mzee halafu utatukuta Sliver Sands marquuis Du Zaire wanapiga huko mpaka saa kumi. Baada ya kazi ngumi namna hii mtu inambidi astarehe kidogo”.

“Sawa Mlambo, ngoja nizungumze na mzee nimpe taarifa yote ilivyo halafu nitampitia msichana wangu na mnamo saa tano hivi nitakuwa huko”, alijibu Shuta.

“Oke tutaonana”, alijibu Mlambo.

Kisha Mlambo na wenzake wakaingia ndani ya gari aina ya Peugeot 504 na walipotokeza kwenye mlango nikaona namba zao TZ 66500. Shuta alirudi na kuingia nyumbani. Mimi niliruka kama paka nikatua ndani ya ua. Baada ya kutua nikasikia viatu vinatembea kwa nje. nikarudi haraka haraka nikabana ndani ya ua wa michongoma. Nilipoangalia nikaona alikuwa ni askari wa usiku aliyekuwa analinda ile nyumba. Bila kuniona alizunguka kunipita kwenye upande huu wa kulia wa nyumba. Nyumba yenyewe iliwa kushoto mwa barabara kama unatoka mjini.

Alipotangulia tu mimi nilimnyemelea bila yeye kunisikia. Nilipokuwa karibu nae nilimrukia na kumtia kabali, taratibu na bila kupiga kelele nilimnyonga na kuhakikisha amekufa kisha nilimsogeza pembeni kwenye giza la michongoma. Kisha nilizunguka nyumba kuangalia hali ilivyo. Nyumba yenyewe ilikuwa na vyumba vitatu vya kulala. Kulikuwa na chumba kimoja kikubwa nikajua hiki ndicho mwenye nyumba alikuwa akilala. Madirisha yalikuwa yamefungwa. Nikatoa pete yangu yenye jiwe la almasi, nikakata tundu katika kioo kisha nikaingia mkono karibu na mahali pa kufungulia dirisha. Baada ya kufungua dirisha la kioo, kulikuwa na dirisha jingine la wavu wa kuzuia mbu. Nilichukua mkasi nikakata sehemu kiasi cha kupitisha mkono karibu na mahali pa kufungulia nikalifungua.

Nilipanda na kutumbukia ndani ya chumba cha kulala kilichokuwa na bafu ndani yake. Nilifunga madirisha vizuri nikaacha mapazia kama yalivyokuwa yamekunjwa. Nilinyata mpaka kwenye mlango nikasikia mtu anasema kwenye simu.

“Hallo naomba mzee. nimepiga karibu dakika tano nzima sipati namba hiyo. Mimi Shuta hapa.

Nilisubiri pale kwenye mlango wa kutokea sebuleni.

“Hallo, Shuta hapa”.

Mambo hayakwenda vizuri sana yule msichana ni mpiganaji wa karate na judo sijawahi kuona. Ameua vijana wetu wanne, watatu aliwaua kabla ya kuchomwa kisu, lakini hata wakati amekwisha kuchomwa kisu alimwua Shilonda kwa kumvunja shingo. Lakini hata hivyo nimemwua.

“Nina uhakika kabisa amekufa palepale maana nilimchoma kisu kwenye moyo hasa”.

“Ndio sasa tumebakiza wawili ndipo tunaweza kuanza kupakia”.

“Haya asante mzee”.
Kisha nilisikia anapiga simu tena. “Hallo Sakina yupo. Shuta hapa”.

“Aha kisura jitayarishe nakuja kukupitia twende kamanyola nasikia siku hizi wana mtindo mpya wa 79 Scania LBT III… tutakwenda ukauone”.

“Dakika kumi na tano nitakuwa hapo”.

“Haya kwaheri”.

Akarudisha simu.

Nilijua atakuja chumbani hivyo mimi nilijibanza kwenye ukuta karibu na mlango nikamsubiri maana nilisikia viatu vinakuja. Mkono wa kushoto nilishika bastola na mkono wa kulia kisu kile kilichomwua Veronika.

Alifungua mlango akawasha taa huku akipiga mluzi kisha alifululiza kwenda kwenye kabati la nguo bila hata kuniona. Mimi nilirudisha mlango kwa mguu, ndipo akageuka kuniona. Sijaona mtu anastuka namna hii maana palepale jasho lilimtoka, akataka kukaa chini akashindwa, akaanza kugwaya. Nilifikiri atazirai.

“Kumbe wewe unaona kuuwa wenzako ni rahisi na kumbe wewe mwenyewe unaogopa kifo namna hii”.

“Niache niache, mimi ninakujua wewe ni nani, nisamehe”.

Kuomba kwake msamaha kulinifanya mimi nikasirike zaidi.

“Kabla sijafikiria kukusamehe nataka kujua kiongozi wenu ni nani?”.

“Mimi simjui; mimi ni mtu mdogo tu”.

“Si unasema mimi unanijua?”.

“Ndiyo nakujua wewe ni Willy Gamba, mpelelezi mkuu wa Afrika. Mimi niliwaambia waaache kama wewe wamekuingiza katika upelelezi lakini walikataa”.

“Wakina nani?”.

“Akina Mlambo”.

“Mlambo ndiye nani?”.

“Ndiye mkuu wetu sisi kwa upande wa kuua wapinzani”.

“Na yeye ni mwanachama wa SANP?”.

Alitoa macho na kushitushwa sana na swali langu hili, kisha nikaona anaanza kutokuwa na mshituko.

“Sitasema maneno zaidi nifanye unavyotaka”.

“Ahaa, mimi huwa napenda watu shujaa kama wewe”.

Niliweka bastola yangu ndani ya mkoba wake nikaweka kisu vizuri kwenye mkanda nikamfuata. Aliponiona sina silaha akaona ajaribu bahati yake. Palepale aligeuka mbogo na kuanza kunishambulia kwa makonde. Alitupa konde la kwanza nikaliona. Akatupa la pili nikaliona. Akatupa la tatu nikashika mkono wake nikamchukua judo na kumtupa upande mwingine wa chumba akaanguka kama papai bovu. Haraka haraka nikamfuata pale chini nikampiga teke la mbavuni na lingine la tumboni akalainika. Kisha nikamkunja vizuri sana. Nikatoa kisu nikachana shati lake akabaki tumbo wazi.

“Sasa utanieleza. Usiponieleza nitakutumbua matumbo na Sakina hutamwona tena. Niambie nani mkubwa wenu?”.

Macho ya kutisha yalimtoka kwa kukiangalia kisu na kuona kuwa nilikuwa sitanii.

“Niache, niache nitakwambia mkubwa wetu ni…

Kabla hajamaliza kusema mlango ulipigwa teke na mtu mmoja akaingia ndani na kabla hajafyatua risasi pale tulipokuwa nilijirusha upande mwingine risasi zake zikanikosa ila zikamwingia Shuta tumboni, na mimi wakati ule ule nikamtupia kisu kilichompata katikati ya koo akaanguka chini huku risasi zinatoka ovyo.

Nilisikia vurumai nyingine sebuleni nikajua wako wengi. Kama umeme nilitoa bastola yangu tayari kukabiliana na matatizo.

“Mashuka umempata?”, nilisikia sauti inauliza kwa woga.

“Ndiyo”, nilijibu kwa sauti ya chini.

Kabla sijampa nafasi nilijirusha na kujiviringisha ndani ya sebule ambamo nilikuta watu wawili mmoja akiwa na bastola. Na kwa vile hakutegemea hatua kama ile alishikwa na bumbuwazi palepale nikapata nafasi ya kumpiga risasi ya katikati ya paji la uso akaanguka chini. Kabla sijawahi kusimama yule mwingine alipiga teke bastola yangu ikaanguka chini, palepale akanipa teke la tumboni nikaanguka chini. Wakati ule ule nikaona anaangalia kule bastola ya yule mwenzake niliyempiga risasi ilikoangukia na akaruka kuichukua. Mimi nikitumia ujuzi wangu wa miaka mingi nilimwahi wakati ndipo anafikisha vidole vyake kwenye bastola nikampiga kichwa kimoja cha sisimizi akaona nyota na kujiviringisha mbali na bastola. Kwa vile alikuwa tayari amenitia mori nilimfuata wakati naye anasimama. Nikaona anajikunja tayari kupigana karate, mimi nikaona ndipo ananipeleka nyumbani.
“Aisee mlambo-iiiiji mjukuu wa Chaka mwana Zulu fanya kazi yako”, alijitia mori.

“Ungekuwa mjukuu wa Chaka ufanye jambo la aibu kama kuwa kibaraka wa Makaburu – tazama Mwafrika asiye na aibu”.

Aliruka na kutupa karate nikaikinga kwa mikono. Akatupa tena nami nikaizuia, halafu akageuza mara moja, akanipata, kisha akanipata tena, nikajua huyu alikuwa na ujuzi wa kutosha hivyo mimi ilinibidi nibadili na kujaribu Kung-fu. Na hapo hapo nikasikia mwili mzima unasisimka nikamwingia. Kwa sababu ya hasira na baada ya kukumbuka mauaji ya Veronika chuki kubwa iliniingia hivyo nilitupa wimbi la kwanza nikatupa la pili likampata
la tatu nilipopeleka kiganja changu kikamtoboa chini kidogo ya kifua na kutoka na vipande vya matumbo na vitu vingine vya ndani. Alipiga kelele

“Eeeeeeeeeeeeenakufa, eeeeeeee.

Akaanguka chini akafa.

Nilirudi chumbani nikamkuta Shuta yu hai, anajaribu kusimama lakini anashindwa sababu ya risasi zilizomwingia tumboni. Nilichomoa kisu kutoka kwenye maiti ya yule mtu niliyekuwa nimemchoma kooni nikamfuata.

“Kama ulivyomwua Veronika na mimi nakuua hivyo hivyo, maana nilimwahidi aliponiomba nimlipizie kisasi”

“Nisamehe, nipeleke hospitali”.

Kusikia hivi roho ilinichemka, nikamchoma kisu katikati ya moyo huku analia hovyo.

“Kwa heri Shuta, mtaonana sasa hivi na Veronika mbele ya Mungu, ukajibu vizuri kwanini umemwua”.

Niligeuka na kumwacha anakufa.

Nilipofika sebuleni tu nikasikia gari linapiga breki pale nje. Niliruka nikachukua bastola yangu na kuokota nyingine hapo sebuleni nikabana karibu na mlango wa kutokea nje nikasubiri.

Mlango ulipigwa teke na hapo hapo wakaingia watu wawili kama risasi, bastola mkononi, wakajiviringisha mmoja akiwa tayari kupambana na kitu chochote mbele yake na mwingine akajiviringisha na kuegeka nyuma. Mimi nilikuwa tayari kwa lolote.

“Ni mimi usiftatue”, nilipiga kelele.

Kumbe hawa walikuwa ni Eddy na Sherriff.

Oh Bosi, samahani”, Eddy alisema huku akiruka.

“Siku nyingine kutatokea ajali namna hii”, nilimwambia.

“Tunaomba isitokee”, Sherriff alijibu naye akisimama.

“Umefanya kazi kubwa sana Bosi”, Eddy alinipongeza baada ya wao kuangalia maiti zote ndani ya nyumba hii.

“Ninastahili kazi kama hii”, nilijibu.

“Sisi tulipongojea kwa muda mrefu tukaona tukufuate baada ya kujua kutoka kwa Zabibu kuwa umekuja huku. Tulihisi kuwa kuchelewa kwako unaweza ukawa katika matatizo. Tulipokuja tulikuta gari lako na gari jingine hapo mbele yameegeshwa. gari lako lilikuwa limetolewa upepo ndani ya tairi zote, hivyo hii ilituhakikishia kuwa uko msambweni”, alieleza Eddy huku tukielekea kwenye gari lao. Ndani ya gari nilimkuta Zabibu.

“Oh Willy mpenzi uko salama?”.

Alifungua mlango na kunirukia akiweka mikono shingoni mwangu na kunibusu.

“Na wewe umefuata nini?”, nilimwuliza.

Nilimkarisha ndani ya gari kwenye viti vya nyuma mimi nikakaa huku Sherriff na Eddy wakaingia mbele, Eddy akatia gari gea tukaondoka.

“Nilikuja nikuone kama ni kufa tufe wote. Maana sijui nini kimeniingia nakuona wewe ndiye mwenzangu sasa. Nikiwa karibu na wewe nasahau yote yaliyopita”.

“Usizoee kutembea na sisi mtoto kama wewe, hufai hata kujeruhiwa kidogo. tuachie sisi hatari ndiyo kazi yetu. Sitaki kupatwa mkasa kama niliopatwa nao kwa Veronika”.

Kisha nikamweleza toka mwanzo mpaka mwisho wa mapambano yangu nyumbani kwa Shuta.

“Naona huyu Mlambo na wenzake walitia shaka walipoona gari langu. Hivyo walirudi kuhakikisha. Lazima niseme Mlambo alikuwa na mafunzo ya hali ya juu ya jeshi hata mimi alinitoa jasho”.

Tulielekea nyumbani kwa Eddy.

Tulipofika nyumbani kwa Eddy ilikuwa saa tano za usiku. Tuliingia tukaa kwenye viti. Eddy akaleta vinywaji.
“Kifo cha Veronika kimeniuma sana, tokea sasa mimi nimeahidi nitakuwa bega kwa bega na wewe mpaka nione mwisho wa mambo haya”, Sherriff aliniambia huku machozi yakimtoka.

“Sijui nikwambie nini Sherriff, maana hali niliyonayo mimi siwezi kuieleza. Afadhali tuiachie hapo hapo”.

“Basi, mambo yote tumetengeneza. Chifu amesema mwili wa Veronika hauwezi kusafirishwa mpaka mwisho wa mambo yote ili aweze kupewa heshima zote za kijeshi. Hivyo mwili wake umetunzwa huko kwenye chumba cha maiti katika hospitali ya Muhimbili mpaka hapo tutakapojua mwisho wa mambo haya. Mwili wake utapewa uangalizi wa pekee hivyo hata tukichukua mwezi mzima utakuwa katika hali safi tu”, Eddy alieleza.

“Jambo hili haliwezi kuchukua siku mbili zaidi. Nimeshapata mwanga mkubwa wa kutosha. Kuna kitu kidogo tu ambacho bado kinakosekana lakini naamini kesho haiishi bila kukupata kitu hicho”, niliwaeleza. Kisha nikawaeleza jinsi nilivyokuwa ninafikiria mambo yalivyo toka mwanzo mpaka mwisho.

“Sasa ninachotafuta ni yale magari waliyapata wapi?.Nguo ni rahisi pamoja na vyeo kama nilivyowaeleza. nikishajua hilo basi jambo hili tutakuwa tumelitatua. Itabaki sasa kufanya shughuli ya mwisho ambayo ni kuzikamata hizi silaha na kuwakamata vibaraka hawa”.

Wote walitingisha vichwa kuonyesha wamenielewa.

“Ray Sikazwe anakaa wapi?”, nilimwuliza Zabibu.

“Anakaa Oysterbay, Kenyata Drive nyumba Nambari 1000/D.

“Oke, Eddy tokea sasa hivi weka vijana wa kumfuata Ray Sikazwe kila mahali anapokwenda. Ifikapo asubuhi nataka nataka nijue nyendo zake zote na sisi tutawasaidia tokea hapo. Tukiweza kufanya hivyo kazi itakuwa rahisi. Baada ya mambo yote yaliyotokea leo lazima akipata habari atakuwa na wasiwasi, hivyo lazima tu atafanya kitu cha kujinasa. Wote tutalala hapa maana ndiko mahali hapafahamiki.

“Tutaonana asubuhi”, niliwaaga.

Nyumba ya Eddy ilikuwa na vyumba vitatu vya kulala. Kwa vile Zabibu alikuwa na huzuni nyingi na kwa vile mimi pia nilikuwa na huzuni tulionelea afadhali tukalala pamoja ili tuweze kuliwazana mioyo.

MAPAMBANO NA VIBARAKA

Ilikuwa saa kumi na mbili na nusu za asubuhi wakati nilipokuwa nakaribia kumaliza kunyoa ndevu. Nilikiangakia kidevu changu kwenye kioo nikaona nilikuwa sijajinyoa vizuri. Kila wakati nilipokuwa na mawazo mengi kitu kama hiki kilikuwa kinanitokea . Lakini hata hivyo nia yangu nionekane nadhifu hivyo nilichukua tena mashine ya ndevu na kuanza kujinyoa. Nilipoona mambo yanakuwa mazuri kwenye kidevu changu, nikaanza kuoga.

Nilitoka maliwatoni na kurudi chumbani nilikokuwa nimelala. Zabibu bado alikuwa hajaamka, hivyo nilivaa taratibu ili nisije nikamshtua toka usingizini. Alikuwa na sura ya mtoto mchanga isiyokuwa na maneno. Nilimwangalia huku nikivaa. Nilipomaliza kuvaa na kuweka kila kitu changu tayari, nilikwenda nikambusu Zabibu usingizini nikaondoka ndani ya chumba na kufunga mlango taratibu.

Niliwakuta Sherriff na Eddy wamekaa sebuleni wanakunywa kahawa.

“Karibu bosi, habari za kuamka?”.

“Nzuri”, nilijibu, nikaa kwenye kiti cha meza ya kulia nikavuta kikombe cha chai na kujiwekea kahawa ya kutosha.

“Lazima iwe nzuri”, Sherriff alijibu huku akitabasamu nikajua alikuwa na maana gani kusema hivyo.

“Usinionee wivu”.

“Lazima tukuonee wivu, maana chuma kama hicho si cha kawaida.

“Bosi, vijana wameleta habari kama ulivyoomba”, Eddy alisema huku akibadilisha mazungumzo.

“Ndio, wamesemaje.

“Wamesema hawakuweza kumwona Sikazwe mpaka saa tisa za usiku. Walimpata akitokea kwenye barabara ya Bagamaoyo na akielekea nyumbani kwake. Hawakuweza kujua alikuwa anatokea wapi. Na mpaka sasa hivi bado yuko nyumbani amelala. Wamenieleza kuwa ofisi za SANP hazifanyi kazi siku za Jumamosi. Na kama unavyojua leo ni Jumamosi”.

“Basi waambie waendelee na wahakikishe kuwa hawapotezi hata dakika moja. Atakapoondoka nyumbani nataka kujua anaelekea wapi. Sawa?”.

“Hamna taabu”.

“Sasa hivi mimi ninakwenda kumwona Chifu maana nilipata habari kuwa anataka ripoti toka kwangu, maana anasumbuliwa sana na Serikali”.

“Nafikiri Sherriff anaweza kuendelea kupumzika hapa, mimi nitakujulisha wakati nitakapokuhitaji”.

“Sawa”, alijibu Sherriff kwa mkato.

“Naomba unipatie ‘machine gun’ inayoweza kuchukua risasi zaidi ya mia. Niliwahi kuzitumia nilipokuwa jeshini.

“Aina gani”.

“Zilizotengenezwa Urusi”.

“Zipo”.

“Oke niletee moja ya aina hiyo. Ikiwezekana tuma mtu aniletee mapema kusudi niishughulikie”.

“Hamna taabu, utapata.

Baada ya kuzungumza na hawa vijana tuliagana kisha nikaondoka. Nilitembea kwa mguu mpaka nyumbani kwangu, ili nikabadilishe nguo. Nilifika nikafungua mlango, nikaangalia saa yangu nikaona ilikuwa yapata saa mbili kasoro robo. Nilipoingia tu ndani, roho yangu ikashtuka lakini nilikuwa nimechelewa, nilipigwa na mfuko wa mchanga kisogoni nikaanguka.

II

Nilisikia sauti ikisema ni saa tisa sasa. Sauti hiyo ndiyo ilikuwa imenizindua. Nilijikuta nimelazwa kwenye kitanda cha chuma bila godoro, na nilijikuta nimefungwa kwenye kitanda mikono na miguu. Kichwa kilikuwa kinaniuma sana, na kwa chati nilifunua nilikuta nimo kwenye chumba kidogo cha giza tupu.

Nikatuliza mawazo nikaanza kufikiri nini kimetokea. Ndipo nikatambua kuwa nilipokuwa nakwenda nyumbani kwangu saa mbili kasorobo nilipigwa na kitu nilichohisi ni mfuko wa mchanga nikaanguka chini. Tokea hapo mpaka sasa sikujua chochote. Hii ina maana kuwa nilizimia. Nikakumbuka yule mtu alisema ilikuwa saa tisa, hii ina maana nilikuwa nimezimia kwa zaidi ya masaa sita.

Nilifikiri jinsi akina Eddy, Sherriff, zabibu na Chifu walivyokuwa wamehangaika huu kujaribu kunitafuta. Hata mimi mwenyewe nilikuwa sijui hapa ni wapi. Ila nilikuwa nasikia kelele nyingi nje ya chumba hiki. Hivyo nilifikiri kuwa huenda ikawa ni sehemu ya viwanda. Sikujua ile sauti iliyosema sasa ni saa tisa ilitokea wapi, maana kulionekana kana kwamba hakukuwa na mtu ndani ya chumba hiki.

“Zaidi ya saa tisa sasa lazima waje kutupokea sisi twende tukapate chochote”, nilisikia tena mtu anazungumza.

“Washa taa”, sauti nyingine ikajibu.

Hivyo nikajua kuwa nilikuwa nalindwa na watu wawili ila sikuweza kuwaona kwa sababu ya giza. Taa ilipowashwa mimi nikajifanya kana kwamba bado nimezimia kabisa.

“Bado kazimia kabisa”, alisema mmoja wao.

“Daktari alisema hawezi kuamka mpaka saa kumi na mbili au baada ya hapo”, alijibu mwingine.

“Kama ni hivyo basi twende tukawaambie watupokee njaa inauma sana”.

“Oke twende, zima taa”.

Walifungua mlango na kuzima taa halafu wakafunga mlango na funguo wakaondoka. Mimi nilijinyanyua ili nione nimefungwa kiasi gani. Nilikuta ni mikono na miguu tu iliyofungwa kwenye kitanda cha chuma kipatacho futi tatu upana. Miguu ilifungwa kwa ustadi sana kiasi kuwa nilisikia kama damu haipiti na sehemu za nyayo zimekufa ganzi. Kwa upande wa mikono, mkono wa upande wa ukutani nilipoujaribu nikaona haukufungwa kwa ustadi sana, ule wa upande mwingine ndio ulifungwa kwa ustadi sana.

Nilinyanyua kichwa changu nikasikia kinauma sana, nikakirudisha chini. nilianza kufikiri namna gani nitajiokoa. Baada ya kufikiri sana nikaona njia pekee ni kujaribu kufungua hizi kamba kabla walinzi hawa hawajarudi. Hivyo nilionelea nijikaze. Ingawaje kichwani nilisikia maumivu makali. Kwa vile sehemu zote tokea tumbo, kifua na kichwa zilikuwa hazikufungwa, na kitanda kilikuwa cha futi tatu nilijikunja ili mdomo wangu ufikie kamba za mkono wa upande wa ukutani ambao haukuwa umefungwa sana.

Nilitulia tena nikamwomba Mungu. Niliupeleka mdomo wangu kwenye fundo la kamba walilokuwa wamenifungia. Kwa bahati mdomo wangu ulifika nikaanza kupitisha meno yangu kwenye kamba ili niweze kujua wamefungaje. Katika hii tafuta tafuta huku maumivu karibu yananitoa fahamu, niliuma ncha moja ya kamba, nikaivuta na fundo lote la kamba likafunguka na mkono wangu wa kulia ukawa huru.
Ilibidi nirudishe kichwa changu kipumzike maana maumivu yangu yangeweza kunifanya nizimie.

Nikiwa na mkono mmoja huru, nilipata tumaini na nguvu mpya. Nilichoomba sasa ni watu hawa wasije upesi. Kwa vile walikuwa wamesema daktari aliwaambia siwezi kuamka kabla ya saa kumi na mbili nilijua watadharau kuja ndani ya chumba hiki cha joto la kuweza kuua kabla haijakaribia saa kumi na mbili wakati wananitegemea kuamka. Nguvu mpya zilizoletwa na mawazo kuwa nimechelewa mambo mengi zilinifanya nisahau kabisa maumivu yangu.

Niliutumia mkono wangu wa kulia kufungua mkono wa kushoto. Nikiwa sasa nimeweza kufikia hatua hii niliingiwa na furaha nikaanza kushambulia kamba nilizofungwa miguuni. Kwa mtu mwenye ujuzi kama wangu hii haikunipa taabu na mara nikawa huru tayari kupambana na wadhalimu hawa.

Nilirudi nikajilaza nikaziweka kamba kijanja kana kwamba bado hazijafunguliwa. Nikawa katika hali ya kusubiri. Nilivyokuwa na bahati haikupita muda mrefu nikasikia funguo zinaingia ndani ya kufuri la mlango. Mara mlango ukafunguliwa na taa zikawashwa. Mimi nilijilaza vile vile na kujifanya bado nimezirai.

“Bado sana huyu, niliwaambia daktari alisema saa kumi na mbili. Angekuwa mtu wa hivi hivi asiye na mazoezi pigo lile lingemuua pale pale”, nilisikia sauti ikisema.

“Sawa. Akiamka saa kumi na mbili itakuwa vizuri maana ndipo wakati wazee watakapomhitaji”, sauti nyingine ilijibu.

“Haya shika funguo, mwangalie kwa makini akionyesha dalili ya kupata fahamu tupashe habari mara moja. Sisi tuko chumba kingine tukisubiri maelekezo zaidi kutoka kwa wazee.

“Haya asante, lakini naomba asiamke wakati nikiwa peke yangu. Nasikia mtu huyu ni hatari kubwa kabisa’.

“Wewe mwoga sana. Mtu aliyefungwa kiasi hiki unafikiri atafanya nini hata akiamka, labda awe na nguvu za kishetani”.

“Huenda anazo”.

“Kama anazo basi pole, yatakuwa matatizo yako”.

Nikiwa katika kusikiliza mazungumza haya kidogo nicheke. Yule mtu mwingine alitoka, akabaki mlinzi mmoja ambaye alifunga mlango na kuzima taa, halafu akakaa kwenye kiti. Nilisubiri kama dakika kumi hivi nikaanza kukoroma. Yule mlinzi aliinuka na kuwasha taa na kunisogelea kitandani wakati mimi bado nimefumba mamcho. Kule kuhema kwake ndiko kulinifanya nijue yuko karibu.

“Wewe umeamka”, aliuliza kwa wasiwasi, nilifungua macho yangu kwa chati nikaona alikuwa ameshika bastola akiwa amelenga kifuani pangu. Nilifanya mahesabu ya namna ya kumwingia mtu huyu nikapata.

“Ndiyo’, nilijibu kwa unyonge.

Niliona macho yanamtoka, nikaona mtu huyu ameingiwa na woga na anaweza kunipiga risasi shauri ya woga nisipomwahi. Hivyo kama chui nilimrukia na wakati ule ule nikawa nimepiga bastola yake ikaanguka upande mwingine na nikampiga pigo la mkono la karate katikati ya kichwa akafa bila kujua nini kimemwua. Niliiendea bastola yake, nikamvua joho lake jekundu, nikalivaa, kisha nilifungua bastola nikakuta funguo na risasi za bastola hii. Nilifungua bastola nikakuta ina risasi tatu tu nayo ina uwezo wa kubeba kumi. Hivyo niliijaza risasi, kisha nikachemsha kidogo viungo vyangu tayari kwa kupambana na watu walioko chumba kingine. Kichwa kilikuwa bado kinaniuma lakini hakikuwa tishio kubwa.

Nilizima taa, nikajaribu kufikiri nilipo lakini nikaona bila kwenda nje haingenisaidia. chumba hiki kilionekana kilikuwa ni stoo ya vitu, hivyo nilihisi hapo nje kuna ofisi na nilifikiri kuwa ndicho chumba cha pili alichokuwa amezungjumzia yule mlinzi wa pili. Nilifungua mlango taratibu, niliangalia hali mara moja nikajua hizi zilikuwa sehemu za nyuma za bohari, au ofisi. Maana kulikuwa na chumba kinatazamana na stoo hii, halafu kulikuwa na vyumba vitatu mbele tena kwa upande wa kulia. Upande wa kushoto kulikuwa na mlango wa kutokea uwani.

Nilisikia watu wanazungumza kwenye chumba kilichokuwa kinaangaliana na mahabusu yangu. Nikajua ni hiki chumba alichozungumza yule mlinzi. Nilijiweka tayari kisha nikagonga. Mimi niliamini watajua ni mwenzao hivyo wangekuja bila tahadari kufungua mlango.

“Ngwishe”, nilisikia sauti ikiita.

“Ndiyo”, nilijibu kwa sauti nzito.

“Ameamka?”.

“Bado”.

“Funguo tu mlango haukufungwa”, nilijibiwa.

Basi bastola yangu ikiwa tayari mkononi, nilifungua mlango na kuingia ndani. Kweli watu wote sita walikuwa wamwezunguka meza wanakula. Waliponiangalia na kunitambua mimi ni nani wengine chakula kiliwadondoka toka midomoni.

“Endeleeni kula, mbona mnaacha”, niliwatania.

Mmoja wao alimkonyeza mwenziwe wakifikiri mimi sikuona kumbe hawakujua macho ya Willy yamefundishwa kuangalia kila mahali kwa wakati mmoja utafikiri kinyonga. Yule aliyekonyezwa alitoa bastola haraka sana lakini mimi nilijua anataka kufanya nini na kabla hata sijamtahadhalisha alikuwa tayari kufyatua, lakini mimi nilikuwa mwepesi zaidi nikampata. Wakati yeye alipofyatua risasi alimpiga mwenzake na kumwua. wawili tayari walikuwa wamekufa.
Pale pale wengine wote walisimama kila mtu akitoa bastola. Lakini niliwawahi watatu halafu nikaona yule wa nne macho yake yanaangalia mlango. Mara moja nikaanguka chini na risasi ikanikosa kwa nyuma ikapita na kumpiga yule wa nne na kummaliza, mimi pale pale nikajiviringisha na kumwahi yule wa nje. Lo nilikuwa nimeponea chupu chupu, maana kama nisingewahi kulala chini, vile vile ningekwenda kuonana na Veronika mpenzi wangu kama kweli watu huwa wanaonana tena huko ahera.


ITAENDELEA

NJAMA – 3

NJAMA – 3




Simulizi : Njama
Sehemu Ya Tatu (3)

Kutokana na maelezo ya huyu mtu nikajua anasema kweli. Nilijilaumu kumwua Kimkondo maana yeye huenda angetupa mwanga zaidi. Lakini hii yote inaonyesha jinsi majahiri hawa yalivyokuwa yamepanga ujahili wao kwa ufundi.

“Lo Willy asante sana”.

“Sahau”, nilimjibu kwa mkato.

Ile sura ya kikatili ilikuwa tayari imekuja usoni mwangu. Katika hali kama hii sura yangu hubadilika na kuwa mtu tofauti kabisa. Hivyo nilipomwambia Sherriff sahau niliona anashituka kidogo.

“Twende zetu tutoke hapa Sherriff, huyu nitajua mahali ya kumpeleka”.

Tulimtangulia, tukafungua mlango wa bohari tayari kurudi mjini. Tulipokuwa tumefika kwenye kona niliyotokea, tukasikia honi ya gari ya namna ile ile waliokuwa wamepiga hawa majahili wa kwanza.

“Sherriff na wewe mtu mjifiche nyuma ya hili gari, kwa vile mimi nimevalia koti lao ambalo naona ndicho kitambulisho chao nitakwenda kufungua lango, unayo ile bastola uliyochukua kwake?”.

“Ndio”.

“Basi akifanya ushenzi unajua la kufanya; maiti hazisemi’.

Niliwaacha nikakimbia mpaka kwenye lango nikafungua. Gari aina ya VW Kombi iliingia imejaa watu wamevalia makoti kama langu, Gari hili lilisimama nyuma ya lile gari la kwanza. Milango ikafunguliwa wakaanza kutoka. Mimi nilikuwa tayari na SMG yangu.

“Rudini ndani…….” niliona yule mtu tuliyekuwa tumemshika ameruka juu ya gari na kutoa onyo, lakini kabla hajamaliza Sherriff alimlamba risasi ya kichwa akaanguka juu ya gari, mimi nikajua tayari mambo yametibuka, hivyo sasa ni kazi.
Dereva wa gari hii na watu wengine waliokuwa bado ndani ya gari walifunga mlango ili waondoke. Wale waliotoka nje walianguka chini na kutoa bastola tayari kwa mapambano. Mimi nilikuwa nimeishavua koti nimerukia ukutani na tayari SMG mkononi. Nilikuwa nimelalia tumbo juu kabisa ya ukuta. Lile gari lilipopiga moto, nililenga mlango wa dereva na kuachia risasi mfululizo kama mchezo.

Sherriff alikuwa bado kimya hajaanza shughuli. Wale watu watano waliokuwa wametoka ndani ya gari nao walikuwa wametambaa upande mwingine wa kombi. Kumbe mmoja wao aliniona kule juu baada ya kuona risasi zilizoua wenzake zikitokea juu. Mimi nilikuwa bado sijamwona hivyo akainuka kunimaliza. Lakini kumbe Sherriff alimwona kabla hajafyatua risasi, akamwahi. Nilipomwona Sherriff akanionyesha ishara. Alikunja kiganja halafu akainua kidole kimoja kuonyesha kuwa ni watano na mmoja tayari kafa.

Mimi nilijirusha chini toka ukutani na kujiviringisha huku nakoswa koswa risasi za maadui. Niliposimama huku nikikimbia zigizaga na wakati huo nikipiga risasi ovyo kuwazuia wasipige. Nilifika mlango na kufungua kama ninakimbia nje. Wale kwa woga wao walipoona hivi nao walianza kukimbia kuwahi mlangoni.

Kumbe ndipo walikuwa wanampa fursa Sherriff kuwachukua mmoja mmoja vizuri sana. Na mimi ghafla nilijitokeza tena na kumimina risasi kwa wawili waliokuwa mbele. Bahati nzuri Sherriff alijitupa chini la sivyo ingetokea ajali kwani yeye alifikiri nitawasubiri nje hivyo naye alikuwa anawafuata nyuma.

“Kazi nzuri Sherriff, la sivyo ningekuua, pole sana”, nilimpa mkono.

“Hali kama hizi nimezizoea sana hivyo huwa niko tayari katika tahadhari kila mara kwani lazima kama huna uhakika mwenzako atafanya nini baadaye tegemea lolote”, Sherriff alijibu.

Tulikimbia kutoka pale mpaka kwenye gari langu. Tuliingia na kuwasha gari moto na kuelekea zetu mjini.

“Mimi nilijua ndio mwisho wangu”, Sherriff aliniambia.

“Kwa nini?”.

“Maana walivyonivamia hata nilishindwa la kufanya halafu nilijua wewe utakuwa unanisubiri New Afrika na kumbe mimi nimeshauawa. Na kweli wangeniua”.

Alitoa shati lake kuonyesha uvimbe mbaya sana kwenye tumbo lake.

“Nasikia maumivu ya ajabu. Watu hawa ni katili sana”.

“Pole sana. Jambo la kusikitisha ni kwamba imebidi tuwaue wote. Hivyo bado tumerudi pale pale; hatujui lolote, isipokuwa tu kwamba watu hawa ni majahili wa hatari sana wanaovaa makoti mekundu na bunduki wanazotumia ni SMG za kichina, bastola za kirusi zenye sailensa. Zaidi ya hapo bado tuko mbali sana na ukweli wa mambo. Ila kinachonifurahisha ni kwamba sasa watashtuka baada ya mapambano haya ambamo tumeua watu wao karibu kumi na tano. Kule kushtuka ndiko kutatusaidia maana lazima watahaha na kufanya makosa”.

“Sawa kabisa. Lakini mimi nataka kujua jinsi ulivyojua nimekamatwa na namna ya gari umeweza kuniokoa. Maana mimi sikuamini nilipokuona, nilidhani huenda ni malaika kashuka toka mbinguni katika sura yako”.

Tukiwa bado tunaelekea mjini nilimweleza jinsi nilivyofanya.

“Lo ndio sababu wewe ni mpelelezi namba moja katika Afrika; mimi sasa nadhani hata katika dunia. Tukirudi London salama nitailisha komputa maelezo zaidi juu yako tuone itakuonyesha katika nafasi gani katika wapelelezi wa ulimwengu”.

Mimi nilicheka tu sikujibu kitu.

“Na kule kubadili gari kulisaidia sana maana walipochungulia na kulikosa gari lako walinidhihaki kwa kusema kuwa sasa nitakufa peke yangu hata rafiki zangu hawatathubutu kuja hata kama wangeniona wakati ninakamatwa”.

“Mimi ni mjuzi zaidi yao; lazima tuzidiane maarifa”.

Tuliingia barabara ya Independece Avenue.
“Nitakupeleka kwa daktari wangu hapa Zanaki Street, na utalala hapo. Nafikiri kesho utakuwa katika hali nzuri, kwa leo lala hapo usirudi New Afrika ili daktari aweze kukupa matibabu kwanza. Nitakuja kukupitia asubuhi”.

“Sawa wewe ndiye bosi”, Sherriff alijibu.

Nilimpeleka kwenye zahati ya rafiki yangu Dk. Kiluwa na kumweleza amtibu na malipo yatalipwa na AIA. Nilimwacha nikawaahidi kuwaona asubuhi yake.

“Eddy nafikiri unaweza kwenda kupumzika. Acha vijana wa zamu waendelee, maana kesho tunaweza kuwa na kazi nyingi sana”.

“Asante tutaonana asubuhi”, alijibu huku akikusanya kusanya karatasi zake.

Mimi niilimuaga nikaondoka zangu kuelekea New Afrika tayari kuonana na Veronika. Nilipofika New Afrika nilikuta duka la kahawa limejaa watu na ile sehemu ya Patio Baa ndio usiseme, maana vijana walikuwa wamejazana wakifurahia saa zao za baada ya kazi.

Nilishikashika mfukoni, nikachukua funguo za gari mkononi nikaelekea kwenye gari langu, niliona Vero alikuwa bado hajafika kwani hamkuwa na mtu ndani ya gari. Nilifungua mlango wa upande wa dereva ili nikae nimsubiri, maana nilijua asingechukua muda mwingi.

Nilipoingia na kukaa kitini na kuanza kutelemsha kioo, nilisikia kama kuna kitu kwenye viti vya nyuma vya gari langu. Nilipotaka kugeuka kuangalia nilisikia sauti ikisema. “Usigeuke la sivyo utakuwa ndio mwisho wako. Washa gari ondoka, na ufuate maelezo yangu”.

Nilisikia mdomo baridi wa bastola ukigusa shingo yangu.

“Sawa mzee”, nilijibu huku nikijifanya kama sijali.

“Siyo mzee, sema wazee. Tuko wawili na wote tuna bastola na tunajua kuzitumia hivyo usijaribu kitu chochote cha kuleta matatizo”.

“Mimi sina wasiwasi, maana sijui kwanini natekwa nyara, kama nia yenu ni gari niambieni niwaachie. Mimi ni mfanyabiashara nitapata gari nyingine, kwangu pesa si tatizo”.

“Funga domo lako, sisi hatuna haja na gari lako wala pesa yako, sisi tuna pesa kuliko wewe”.

Kabla sijasema lolote aliniambia. “Kata kushoto ingia Independence Avenue, halafu ukifika ‘Clock Tower’ ingia mtaa wa Railway halafu shika barabara inayopita kwenye kituo cha polisi wa usalama barabarani, halafu ukifika kwenye mzunguko ingia kushoto, fuata barabara ya Kilwa mpaka nitakapo kueleza tena. Nasema tena ujanja wowote utakutokea puani”.

“Usiwe na wasiwasi”, nilijibu kiume.

“Nyamaza”, alijibu kwa sauti ya ukali.

Nilijilaumu sana kwa kutochukua tahadhari zaidi kwa watu hawa.

Nilifikiria kama naweza kufanya lolote sasa nitakuwa kwenye upande wa hasara hivyo nikakata shauri la kufuata maelekezo mpaka mwisho ndipo nione la kufanya. Maana nafikiri kama nia yao ilikuwa ni kuniua wasingesita, walikuwa na mwanya mzuri sana nilipoingia bila tahadhari ndani ya gari. Nilijua nia yao si kuniua ila kuna habari walizozitaka. Nilimfikilia Veronika nikajua atahangaika sana kwani hatanikuta halafu hatajua Sherriff aliko.

Tulipokaribia uwanja wa Sabasaba aliniamuru nikate kushoto kwenye njia inayoelekea kwenye ofisi mojawapo za reli ya Tazara ya Kurasini. Tulipotelemka kidogo aliniamuru nikate kulia na kuingia kwenye mlango wa pembeni wa uwanja wa Monyesho ya Sabasaba.

Tulipofika kwenye mlango huu aliniamuru nipige honi. Nilipopiga honi mlango ulifunguliwa. Taa zangu zikamwulika mlinzi aliyevaa joho jekundu, nikajua mara moja ni nani nimepambana nae tena. Tena huyu mtu aliongeza na kofia nyekundu juu.

Nilishangazwa sana na mbinu za watu hawa, maana sehemu zo walizokuwa wanazitumia kama kambi zao za kufanyia uovu zilikuwa sehemu za kiserikali. Hii ilionyesha jinsi mbinu za watu hawa zilivyozidi kiwango.

“Ingia ndani moja kwa moja, fuata barabara mpaka nitakapokuabia simama”, niliamriwa.

Uwanja ulikuwa kimya kabisa. Giza lilitanda kote ila taa za gari langu peke yake. Tulikwenda mpaka katikati ya vibanda.

“Simama hapa, zima taa na telemka taratibu. Ukifanya makosa usinilaumu”, alinieleza. Nilipozima taa tu niliona vivuli vya watu vikinyata polepole kuja kwenye gari. Nilipokanyaga nje tu gari likawa limezungukwa na watu watatu. Wale waliokuwa ndani ya gari walitelemka.

“Mmemleta?”, mmoja wa wale waliozunguka gari aliuliza.

“Ndio”, alijibu yule mtu aliyekuwa ananipa amri”.

“Kazi nzuri, haya twendeni”.

Yule mtu aliyezungumza alitangulia mbele mimi nikaambiwa nimfuate huku nimezingirwa na watu wanne. Yaani wale wawili walioniteka, na wengine wawili waliokuwa wamebeba bunduki aina ile ile ya SMG, ilionekana hawa watu walitumia sana aina hii ya bunduki.
Niliongozwa moja kwa moja mpaka kwenye kibanda kimoja katikati kabisa ya uwanja wa maonyesho wa Sabasaba. Nilikumbuka kuwa kibanda hiki kilikuwa kinatumiwa na nchi za Zambia katika maonyesho ya Kimataifa. Mlango ulifunguliwa tukaingia. Ndani tulimkuta mtu mwingine anavuta mtemba amekaa kwenye kiti huku akitabasamu. Watu hawa wote walivalia majoho mekundu. Na hawa wanne niliowakuta huku kiwanjani walivaa kofia nyekundu isipokuwa wale walioniteka ndio hawakuwa na kofia.

“Karibu Willy Gamba, keti chini kwenye kiti”, aliniambia yule mtu tuliyemkuta ndani.

“Asante, mimi ningependa kusimama”, nilijibu.

“Mimi sitaki kukukarisha kwa nguvu, lakini kama unaona ni lazima nifanye hivyo ninao uwezo, Willy”, aliniambia taratibu huku wale watu wengine wakinisogelea. Niliona hakuna haja kuchachamaa hapa hivyo niliketi kwenye kiti.

Chumba hiki kilikuwa kimewekwa fenicha nzuri sana, hata nikashangaa saa ngapi watu hawa waliweza kuaandaa chumba hiki kama ofisi na huku uwanja huu siku zote unalindwa.

“Romano na Charles mnaweza kwenda nje kusudi muwe tayari kukabiri jambo lolote linaloweza kutokea hapo nje wakati nikiwa na mazungumzo mafupi na Willy hapa”, alitoa amri polepole kiasi kwamba ungeweza kuamini kuwa ni mtu mzuri sana, lakini macho yake yalionyesha uovu usio kifani.

NIlifurahi sana kwani nilijua kuwa sasa ninaonana na mtu wa maana katika kundi hili la majahili. Macho yetu yalipokutana ana kwa ana mara moja tukatambuana, maana huyu alikuwa jasusi wa hali ya juu. Sisi tuko kama mbwa tunajuana kwa harufu. Wale watu wawili wenye SMG walitoka nje tukabaki na wale watu walioniteka nyara, yule mtu aliyetupokea na huyu mtu tuliyemkuta humu ndani. Walipotoka nje waliufunga mlango.

“Bwana Gamba, mimi ni mtu nisiyependa kuumiza kwa sababu mimi huwa sijisikii vizuri nikiona mtu anaumizwa. Lakini nikilazimika kufanya hivyo, basi mimi hufumba macho. Nisingependa nifumbe macho kwako kwa hiyo naomba sana uwe mtu mwungwana katika kujibu maswa yangu”.

“Nadhani ungependa kujua sisi ambao tuko hapa ni nani, sisi ni WANAMAPINDUZI WAPINGA MAPINDUZI”.

“Wanamapinduzi wapinga mapinduzi maana yake nini?. Sikuelewi.

“Ni kwamba sisi tunapinga watu wanaojiita Wana mapinduzi, wanaofikiri wataleta uhuru Afrika Kusini kwa njia ya vita. Sisi ni wanamapinduzi ambao tuna imani kuwa tutaleta uhuru Afrika Kusini kwa mazungumzo bila kuua mtu hata mmoja. Sasa swali langu ni hili; Wewe na rafiki zako mna nia gani katika kupeleleza upoteaji wa silaha?, Kwanini msiwaachie watu wanaohusika?”.

“Mimi si mwana siasa hivyo unayonieleza juu ya namna gani uhuru utakavyopatikana huko Afrika Kusini sina haja ya kujua. Lakini wageni wangu ni waandishi wa habari na kumetokea hapa mjini Dar es Salaam wizi wa silaha uliotingisha ulimwengu.Hivyo wakiwa waandishi lazima wapeleleze wapate kueleza ulimwengu mambo haya yametokeaje. Sidhani kama kitu hocho ni dhambi. Ni kitu cha kawaida”. Nilimjibu taratibu nikijaribu kupima hali ndani ya chumba hiki.

“Imeonekana hawa waandishi wa habari wamekwenda zaidi ya kiwango cha upelelezi wa kigazeti, kiasi cha sisi kuamini kuwa si waandishi wa gazeti ila wapelelezi. Jioni hii kama huna habari rafiki yako Sherriff ameua vijana wangu zaidi ya kumi. Mtu mmoja, Willy, mtu mmoja?, siamini kabisa kuwa yeye ni mwandishi”.

“Swali langu la pili nataka nujue yeye ni nani na sasa hivi yuko wapi?. Ukijibu maswali haya nitakuachia, usipojibu jua ya kwamba kesho huioni”.

“Mimi ninavyojua ni kwamba yeye ni mwandishi wa habari, kama ni mpelelezi haya ni maneno yako, Kampuni yangu ni wakala, hivyo nilivyofanya mkataba na gazeti la Afrika na watu hawa walipokuja nilijuwa ni waandishi. Pili sijui aliko sasa hivi, tuliachana saa nyingi na tulipanga tuonane saa kumi na mbili New Afrika Hoteli lakini sikumkuta.

Baada ya kufikiri kidogo akasema, “La hasa, unajua”.

“Sijui”.

“Au unataka mpaka nifumbe macho”.

“Hata kama ukifumba macho, sijui”.

“Lucas na Moshi hebu mmwonyesheni huyu namna ya kujibu”, alisema tena pole pole.

“Simama”, alisema Lucas.

Sikusimama. Basi walinijia wote pale kitini kama faru, na mimi Willy tayari nilikuwa nawashwa kumwonyesha huyu mkubwa wa kuwa Willy hasukumwi ovyo.

Kama umeme nilisimama upesi na kukwepa ngumi ya Lucas na kwa sababu alikuwa ameitupa kwa nguvu sana alipepesuka mimi nikampiga teke kwenye mapumbu akalia kama nguruwe na wkati huo shoto langu lilimfikia Moshi singoni nae akapepesuka mpaka chini. Yule mtu mwingine aliyetuongoza toka mwenye gari alitoa bastola yake lakini mimi niliona hatua hiyo nikaruka upande mwingine wa chumba na risasi zikanikosa, na wakati huo mlango nao ulifunguliwa na mtu aliyevaa joho jekundu na kofia nyekundu akiwa na SMG mkononi akampiga risasi ya mgongo kabla hajanimaliza pale niliporukia, na yule mtu akafa pale pale. Huyu mtu wa SMG alimimina risasi kwa wale wengine waliokuwa wanajaribu kutoa silaha zao na kuwamaliza hapo hapo. Mimi katika harakati za kujiokoa niona yule mkubwa wao anaruka nyuma ya kiti, nikatoa bastola yangu, lakini nikawa nimechelewa, kwani nyuma ya kiti chake kulikuwa na mlango mdogo kimo cha urefu wa kochi. Hivyo alijitumbukiza.
“Anaondoka huyo Willy”, nilisikia sauti nya Veronika akimimina risasi pale kwenye mlango lakini yule mtu alikuwa anajua nini anachofanya, hazikumpata akakimbia nje.

Mimi nilishangaa sana kumwona Veronika katika joho jekundu na kofia nyekundu na SMG mkononi amefika wakati kabisa uliohitajika kuniokoa.

“Oh Vero mkombozi wangu, umetokea kama malaika vile”.

Alitupa bunduki akavua kofia na joho, haraka hara akaja akanirukia shingoni na kuanza kunibusu, kisha akaniachia.

“Tutoke hapa mpenzi, nitakueleza baadae”, alininong’oneza.

Tulitoka ndani ya banda hilo na kusikia gari linaondoka.

“Mshenzi amepona”, Veronika alisema.

“Iko siku yake”, nilijibu.

Niliokota bunduki mbili pale nje. tukaenda kwenye gari letu tukaziweka ndani. Tukawasha gari na kuelekea mjini. Tulipofika Kilwa Road Veronika alianza kunisimulia,


CHIMALAMO

“Baada ya kuzungumza na wewe kwenye simu, niliondoka kwenda New Afrika kama tulivyoagana. Niliona hakuna sababu ya kuchukua gari, hivyo niliondoka kwa miguu kwani nilijua dakika kumi ningenitosha. Nilikuja moja kwa moja na barabara ya Azania Front nikakatisha pale kwenye kanisa la Kilutheri na kutokea barabara ya City Drive. Kama unavyojua New Afrika inajengwa kwa mbele kwa hivyo nilijipenyeza kwenye mwanya wa jengo la Benki ya Taifa ya Biashara tawi la City Drive na Azikiwe, nikawa nimetokea karibu kabisa na pale ulipoegesha gari lako”.

Ghafla nikaona watu wawili, mmoja wao akifungua mlango wa gari lako. Mimi nikasimama na kujibanza kwenye moja ya nguzo za jengo hili la Benki huku giza likinisaidia. Yule wa mbele aliingia na nyuma akaangalia huku na huko hakuona kitu nafikiri, maana alitoa bastola mwenye joho lake nae akaingia. Kama unavyojua gari hili lina milango miwili tu, hivi waliinamisha kiti na kuingia nyuma ya gari.

Mara moja nikajua nia yao; nilijua wanakusubiri wewe ama kukuua ama kukuteka nyara. Nilipofikiri sana niliona nia yao kukuteka nyara kwani kama ni kukuua wasingeingia ndani ya gari, hasa nyuma, na mahali penyewe pakiwa karibu sana na New Afrika. Huwa naamini sana akili zangu zinavyonituma hivyo nikaona kuwa nia yao ni kukuteka nyara. nilifikiri nikufuate lakini sikuwa najua ofisi yako ilipo. Hivyo nikaamua kitu kimoja, kuingia ndani ya buti la gari kama iwazi. Kwa kuwa gari yako ina nyavu kioo cha nyuma, nilijua watu hawa hawataniona wala kunisikia, kwani nilijua na wao watakuwa wamelala chini ili usije ukawaona wakati unaingia”.

Alinyamza kidogo ili kulegeza koo kwa mate, akaniangalia akanikuta mimi naendesha taratibu huku nikimsiliza kwa makini sana. Kisha akaendelea, “Nikisaidia na giza la ukuta wa mabati uliozungushiwa jengo hili la mbele la New Afrika huku nikinyata nimeinama kimo cha buti la gari. Kama bahati ilivyokuwa na mimi nilikuta buti lako halikufungwa na funguo. Jihadhari sana siku nyingine utabeba adui ndani ya gari lako”.

“Nimekuwa sina aduin Tanzania, hivyo nimekuwa nikiamini kuwa hakuna mtu wa kunifanyia ubaya, maana hata sijawahi kugombana na mtu hapa Dar es Salaam”.

“Haya sasa lazima utambue kuwa umepata maadui; lazima ujihadhari”.

“Sawa nitajihadhari lakini vile vile kama ningekuwa nimefunga usingeweza kuniokoa, hivyo kujiachia mambo mara nyingine ni vizuri”.

“Haya nimekubari kushindwa, lakini hata hivyo ningepata njia nyingine. Basi taratibu nilifungua buti la gari na kuingia ndani, kimya kimya kabisa bila kelele yoyote. Niliwahi kusafiri ndani ya buti wakati ninakaa na majeshi ya POLISALIO, hivyo najua sana hali ilivyo ndani ya buti la gari kiasi kuwa kwangu hewa ya mle ninaweza kuistahamili ingawa ni kidogo. Unajua gari linapoanza kutembea hewa inajaa kabisa. Basi baada ya kuingia na kulifunga kinamna, kiasi ambacho lisingeweza kunishinda kufungua, baada ya kuliangalia kufuli lenyewe.
“Muda si mrefu nilisikia mlango unafunguliwa; unajua hili gari lako lilivyoundwa ukiwa ndani ya buti unasikia maneno yanayozungumzwa ndani ya gari. Basi niliwasikia wakikuamrisha kuendesha gari ndipo nikajua nilivyohisi ni sawa. Ulipopiga honi na kusimama kama ulivyoamrishwa, nilijua tunaingia mahali na nikajua kuna mtu anayefungua na kufunga mlango ni wa kundi lao hivyo atakuwa ni mlinzi mwenye silaha.

“Tulipoanza kuondoka niliinua mlango wa buti kidogo sana na nikamuona mtu huyu nusu amebeba bunduki. Niliendelea kuchungulia hivi hivi nikaona njia tuliyotokea kutoka kwenye lango mpaka gari liliposimama nikabana tena mlango. Nikasikia wanakuamru toka kisha nikasikia sauti zingine hapo nje halafu pakawa kimya, ndipo nikafungua taratibu mlango na kutoka nje. nikakata shauri lazima nipate silaha ili niweze kukuokoa.

“Hapo ndipo nilipoanza kurudi mbio kwenye lango ili nikamnyanganye silaha yule mlinzi. Nilipokaribia lango nilimuona yule mlinzi amesimama anavuta sigara huku anaangalia upande wangu. Nililala chini na kusubiri. Alipogeuka na kuangalia upande mwingine nilianza kutambaa chini kimya kimya. Nilikuwa nimefundishwa na wanajeshi wa Polisalio namna ya kumnyemelea mtu kwenye giza bila yeye kushituka. Nilipokuwa karibu nae kabisa, nilisimama na kupiga kelele, “Yeeeeee”.

“Alishituka na kuingiwa na hofu na kabla hajatokwa na hofu nilipiga teke mikono yake bunduki ikaanguka chini. Alipoona hivi akaanza kukimbia. Niliruka na kumpiga teke mgongoni akaanguka chini. Bila kuchelewa nilimrukia shingoni, ndivyo ikawa kwaheri. Nilimvua joho nikalivaa halafu nikatafuta kofia. Nilipoipata nikaivaa halafu nikachukua bunduki nikakuta ni aina ambayo wanaitumia wana mapinduzi wa Polisalio, yaani SMG ya kichina, hii bunduki niliitumia sana wakati nimekaa na hawa mashujaa wa Polisalio.

“Nilipoipata silaha hii, nilikimbia kurudi kwenye kibanda mlichoingia nipokaribia nikaona watu wawili wenye bunduki nikononi wakizunguza. Mimi nilizunguka nyuma ya kibanda cha karibu, halafu nikakohoa kisha nikazunguka haraka kutoka pale nilipokoholea. Nilisikia mmoja wao akisema; “Umesikia hicho”.

“Ndio”, alijibu mwenzake.

“Wewe zunguka huku na mimi nitapita huku”.

“Hii ilinipa nafasi kujitayarisha, sikuwa nahitaji kutumia bunduki maana mrio ungewashitua watu waliokuwa ndani ya kibanda. Kwa vile nilikuwa nimevaa nguo kama wao na kofia, nilizunguka na kukutana na mmoja wao, yeye alinichukulia ni mwenzake shauri ya mavazi na giza. Tulikaribiana sana akabweteka; “Umeona nini?”. Mimi niliinua mkono kumuonyesha nyuma yake na alipogeuka tu nikamkata karate ya shingo iitwayo ua na bila shaka alikufa pale pale. Nilimdaka haraka haraka na kumlaza chini bila kishindo. Kisha nikageuka upesi upesi ili nikutane na yule aliyepita upande mwingie sikuchukua hata hatua tatu tukawa tumekumbana hata yeye mavazi yalimdanganya na kufikiri mimi ni mwenzake.

“Huku hakuna kitu”, aliniambia kwa sauti ya chini chini. Nilimdanganya kwa kumuonyesha kwa ishara aangalie nyuma yake na yeye akadanganyika. Hapo ndipo nilipomrukia nikamtia kabali ya hali ya juu mpaka niliposikia shingo linakatika nikamwachia. Sina mkanda mweusi wa judo na karate bure Willy, najua jinsi ya kuutumia”.

“Zaidi ya ambavyo ningetegemea mrembo kama wewe kuutumia”, nilimjibu huku nikitoa tabasamu.

“Asante. Baada ya hapo ndipo nilikimbia na kupiga teke mlango kwani nilisikia mlio wa bastola kabla sijapiga teke mlango. nilipoingia nilikuona chini hivyo nikafanya kama ulivyoona. Lo! Willy mpenzi niliogopa niliposikia mlio wa bastola nikafikiri wamekuua!”.

“Si lahisi kuniua”.

Nia yao ilikuwa nini?”.

Nilimweleza yote waliyoniuliza.

Wakati namaliza kumweleza nilikuwa nataka kutoka barabara ya Upanga na kuingia nyumbani kwangu na kupeleka gari moja kwa moja gereji. Tukashuka nikafunga mlango wa gereji.

Karibu ndani vero.Hapa ndipo nyumbani kwangu”.

Nilifungua mlango na kuwasha taa ya sebuleni halafu nikamkaribisha ndani akaketi kwenye
kochi.

“Asante lakini sitakaa sana, maana nasikia uchovu, nataka kurudi hotelini nikalale”.

“Hakuna haja Vero nina mengi sana ya kukusimulia, maana hata sijakueleza yaliyotupata na Sherriff. Halafu……. nikasita kidogo”.

“Halafu nini?”, aliuliza kwa shauku.

“Halafu uliniahidi tulipokuwa Siera Leone kuwa tutafahamiana vizuri zaidi Dar es Saalaam, lazima ujuwe kwamba ahadi ni deni”.

“Haya baba umeshinda”.

“Asante”.

Nilichukua vinywaji ndani ya barafu, halafu nikamkaribisha katika chumba cha kulala. Nilizima taa sebuleni nikafunga mlango wa mbele, nikakagua vyumba vyote vya nyumba pamoja na madirisha na milango. Nilipoona kila kitu ni salama nilirudi chumbani nikafungua mlango wa maliwatoni, nikajaza maji kwenye karai la kuogea. Nilimwita Veronika aje tuoge. Tulioga pamoja na mtoto huyu mara moja nikasahau matatizo yangu yote na uchovu wote wa jioni ile. Baada ya kutoka maliwatoni tulikuwa tayari kulala.

“Haya nieleze sasa wakati tukipumzika”, Veronika alisema huku amelala karibu yangu.
Nilizima taa yenye mwanga mweupe, nikawasha yenye mwanga wa bluu. Nikaleta chupa yenye whiski kwenye meza ya kitanda nikammiminia Vero ndani ya glasi nikaweka mawe ya barafu na mimi nikatengeneza yangu.

“Na tunywe kwa usalama wa maisha yetu wote”.

Tulianza kunywa huku nikimweleza yote yaliyotupata. Baadae tukaelezana mambo yetu binafisi ambayo yalitufanya tujishitukie tumekumbatiana na kubusiana.

“Amka”, Vero alinishitua, “ni saa mbili sasa.

Nilimwangalia Vero ambae alionekana kuwa alikuwa ameamka kitambo kwani alikuwa na sahani ya mayai ya kukaanga na vikombe viwili vya kahawa. Alikuwa amevaa pajama zangu; alitoa sura ya kuchekesha, hivyo nilimcheka, maana zilimpwaya sana.

“Unapendeza katika pajama hizo”, nilimtania.

“Kwenda huko”.

Mimi nikaangua kicheko, nikatoka kitandani na kukaa.

“Mwenzangu umelala fofofo leo. Mimi nimeamka nikafanya mazoezi kisha nimekwenda jikoni nikatayarisha chochote. Haya tunywe kahawa utoe usingizi”, alisema huku akikaa karibu nami.

“Mimi naona nikaoge kwanza”.

“Hapana. Tunywe kahawa kwanza halafu tutafanya mazoezi ya judo na karate ili niwe katika hali nzuri, halafu ndipo tutakwenda kuoga”.

Basi tulikunywa kahawa na mayai ya kukaanga, halafu tukatoka nje uani kufanya mazoezi. Nyumbaq yangu ilikuwa imezungukwa na ua mzuri wa michongoma iliyokatwa vizuri na yenye urefu wa futi saba. Hivi ukiwa uwani kwangu mtu anayepita nje ya ua hawezi kuona kitu chochote kinachofanyika ndani. Basi tulifanya mazoezi ya karate na judo ya hali ya juu sana. Hii ilinihakikishia kuwa Veronika alikuwan na ujuzi wa kutosha. Ilibidi tu kumwonyesha kuwa mimi najua zaidi nilipomwingizia staili nyingine za pekee ambazo hutumiwa na wajuzi wa hali nya juu katika karate na kung-fu kama mimi, ambazo zilimshinda kuzifuata.

“Ujuzi wako unatosha kabisa Veronika. Naamini unaweza kupambana na mtu yeyote, na nina imani ni watu wachache sana wanaweza kukushinda katika karate na judo”.

“Asante kwa pongezi laki. Lo, lakini wewe mwenzangu ni zaidi. Mitindo mingine unayotumia sikuwahi kuiona hata kwa walimu wetu huko Japan. Ndio sababu wanasema ulipambana na Inoki na kutoka nae sare. Nilivyani walikuwa wanaongeza chumvi lakini sasa ninaamini ni kweli. Kokote nitakapotembea na wewe hata pakiwa ni pa hatari namna gani sitaogopa kabisa maana nina imani kubwa katika uwezo wako kwa jambo lolote sasa”.

“Asante”.

Baada ya mazoezi tuliingia pamoja maliwatoni tukakoga.

“Mimi itabidi unipeleke hotelini nikabadili nguo. Angalia hizi zilivgyochafuka kwa ajili ya matatizo ya jana usiku!”.

“Usiwe na taabu, lolote utakalosema”.

Mimi nilibadilisha nguo, nikavaa vizuri kabisa kama mfanyabiashara. Nilichukua silaha tulizokuwa tumeziteka nikaziweka sehemu yangu ya siri ambako huweka silaha zangu na ni mimi peke yangu ninayepajua mahali hapo. Na hata ukiwa mtu wa namna gani huwezi kupagundua. Nilichukua silaha nyepesi kwa ajili ya siku hiyo kama litatokea jambo lolote. Nilimpatia Veronika bastola yenya sailensa. Nilipoona mipango yote nimekamilisha tuliondoka kuelekea Kilimanjaro hoteli. Ilikuwa saa tatu na robo tulipofika Kilimanjaro.

“Nenda kajitayarishe, kabla ya saa nne mimi nitakuwa hapa”.

“Utanikuta tayari”, Veronika alijibu.

Niliondoka na kuelekea ofisini. Nilimkuta Eddy nae anaingia. Alipoona gari langu akasimama mlangoni kunisubiri.

“Habari za leo bosi?”.

“Nzuri Eddy, umelala salama kijana?”.

“Ndio, bila taabu”.

“Twende ofisini kwangu”. Tulielekea ofisini kwangu. Tulimkuta Linda anazungumza kwenye simu. Alipotuona akasema, “Huyu ameingia”, Akanipa simu huku akisema “Maselina huyo.

“Halo mrembo, habari za asubuhi?”.

“Nzuri tu, wasiwasi kwako ambaye unalala mpaka saa tatu na waandishi wa habari “.

“Mwongo, nani kakuambia huyo mwandishi kalala kwangu ?”.

“Nani hakujui, danganya wengine lakini miye baba unajua kabisa kuwa nakujua kama nyuma ya kiganja changu”.

“Haya umeshinda wewe”.

“Njoo Chifu anakuhitaji, anataka kujua umefikia wapi mpaka sasa”.

“Haya nakuja, nitamweleza mpaka yeye atachoka”.

“Haraka basi”, alisema Maselina na kukata simu.

“Eddy jambo lolote juu ya Kiki?”.

“Si nilikwambia nitakuwa na habari zote saa nne, na saa nne bado”. Eddy alijibu.

“Oke, je juu ya bohari la Mamlaka ya Pamba umepata nini?”.

“Walinzi wote wa bohari hilo wamekutwa leo asubuhi wameuawa huko Temeke. Inaonekana walilichukua bohari hilo kwa nguvu ili wafanyie kazi zao kwa muda tu. Kila kitu kingine ni salama. Polisi wanashughulikia hayo ya jana na kujaribu kutambua maiti walizozikuta hapo. Wao wanafikilia ni wezi. Gari walilotumia nalo lilikuwa limeibiwa”.

Kisha nikamweleza yaliyokuwa yametupata na Veronika, baada ya kuachana nae jioni ile.

“Sasa fanya uchunguzi ujuwe watu hawa wamejiingizaje huko uwanja ya maonyesho ya Saba Saba, maana uwanja huo unalindwa na polisi masaa ishirini na nne!.

“Nafikiri mtindo wao ni ule ule. Wanaua walinzi na kufanya makao ya muda. Wakimaliza shughuli zao wanakwenda kuteka mahali pengine lakini hata hivyo vijana watachunguza”.

“Oke, ngoja mimi nikamwone Chifu halafu tutaanza upelelezi wetu, kama kawaida utatufuata toka New Afrika kama jana, sawa>”.

“Bila wasiwasi bosi, kiijana ninayefuatana nae ni mzuri sana nafikiri hata nyinyi mlitupoteza”.

“Ndio, kazi yenu ya jana ilikuwa nzuri sana, nilimpongeza.

“Bossi unapendeza sana leo”.

“Asante sana kwa pongezi lako. Ngoja nikamwone Chifu”.

Nilimwacha akiwa anataka kuzungumza mengi na mimi. Nilipanda ngazi na kuingia ofisini kwa chifu.

“Anatusubiri, amesema nichukue ripoti yako”, Maselina alisema.

Basi tulifungua mlango na kuingia ofisini kwa Chifu. Chifu alikuwa amekaa kitini mwake akivuta mtemba kama kawaida yake.

“Shikamoo Chifu”.

“Marahaba, ketini chini”.

“Asante…

Maselina alichukua kitabu chake cha hatimkato na kukaa tayari kuandika mazungumzo yetu”.

“Ehee, nieleze kwa kirefu mambo ambayo umeishafanya. Maana huko makamo makuu ya Polisi kuna kelele, mauaji ya ajabu yanatokea mjini hapa kwa mara ya kwanza mpaka wameshindwa mahali pa kuanzia upelelezi. Nilipopata ripoti yao juu ya mauaji haya, nilihisi hii ni kazi ya Namba Moja. Kwa hiyo naomba maelezo kamili ili nami niweze kuieleza serikali maendeleo yoyote juu ya jambo hili maana kuna wasiwasi mkubwa. Jumuia ya Ulimwengu inaikera serikali kwa kutaka kujua ukweli wa jambo hili, na wakati huo huo maadui zetu wanaendelea kutupaka matope bila kupata ukweli wa jambo hili”.

Nilichukua muda huu kumweleza yote tangu nilipotoka ofisini mwake; kwenda kwetu bandarini na ofisi ya Kamati ya Ukombozi, barua niliyoikuta mlangoni kwangu; mapambano dhidi ya waliomteka nyara Sherriff na mwisho walioniteka nyara. Nilimweleza kila kitu kwa ufasaha bila kuacha tukio hata moja. Huenda jambo nililoacha ni juu ya tuliyofanya nyumbani kwangu na Veronika ambayo ni siri yetu hata nyinyi sitaki mjue.


“Kwa kutokana na maelezo ya mtu wa kikundi hiki kinachojiita ‘Wanamapinnduzi wapinga mapinduzi’ mimi naamini hawa watu ni VIBARAKA wa serikali ya makaburu ambao wanataka kupiga vita harakati za ukombozi dhidi ya serikali hizi dhalimu. Na mtu huyu niliyezungumza nae nina imani ni mtanzania kutokana na sura yake na sauti yake ingawaje alijitahidi sana kunidanganya kwa sauti.

Mimi ninavyofikiri kuna chama kimojawapo katika vyama vinavyopigania uhuru, ambacho makaburu wamekidanganya kuwa kikiweza kupiga vita harakati za mapambano ya silaha dhidi ya serikali ya Afrika Kusini itakipa mwanya chama hicho katika serikali ya makubaliano.

“Kwa hiyo chama hiki kimekubali kuwa kibaraka wa Afrika Kusini na kuanza vita dhidi ya vyama vingine vinavyoendeleza mapambano ya silaha. Kwa vile isingekuwa rahisi chama hiki kufanya mapambano bila msaada. Serikali ya makaburu lazima inakipa misaada ya kila hali, yaani wagtu, silaha na fedha. Kwa hiyo Chifu, ni imani yangu kuwa silaha hizi hazikibwa na watu wengine ila majasusi wa makaburu ili kutimiza lengo lao hilo’.

Chifu alikuwa ananiangalia kwa makini sana kisha akatingisha kichwa.

“Nimekuelewa vizuri sana Namba Moja. Hata unavyofikiri mimi naona ni sawa. Lakini tatizo letu liko pale pale; watu hawa wamejipenyezaje nchini humu na sasa silaha hizo ziko wapi?. Maana silaha hizo ni za kisasa kabisa. Hatua uliyofikia kwa siku moja inaridhisha, tafadhali kazana zaidi katika masaa ishirini na manne yajayo tuwe na fununu zaidi.

“Hapa tuna vyama viwili, PLF na SANP na vyama hivi ndivyo vinaendesha mapambano ya silaha huko Afrika Kusini. Kwa hiyo tuna chama kimoja ambacho kiko nje ya nchi hii; ama kiko Afrika ya Kusini ama katika nchi jirani na ndicho kimejipenyeza kuvipiga vita hivi vyama viwili”.

“Hata mimi nafiri hivyo. Kwani kuna vyama vingapi vinavyopigana na serikali ya Afrika Kusini?”.

“Viko vingi, kati ya hivyo vitatu viko Afrika Kusini na vitano viko nchi ya nje, kwa hiyo jumla ni vinane”.

“Hili ndilo tatizo la vyama vingi. kingekuwa chama kimoja yote haya yasingetokea”, nilisema kwa huzuni.

“Siasa kijana, wanasiasa ndio wanaleta taabu ulimwenguni; ndio wanayumbisha vichwa vyetu. Kila mtu na siasa yake na imani yake, na kuna wengine hawana cha siasa wala cha nini; nia yao kutaka ukubwa ili wale”, alijibu Chifu kwa uchungu mkubwa.
“Sawa, sisi tunaendelea na upelelezi wetu na ushauri wako nitauweka manani”.

“Asante sana Namba Moja”.

“Polisi wamefikia wapi?”.

“Polisi hawajafika popote. Sasa ndio wamechanganyikiwa zaidi baada ya mauaji haya ya usiku. Hivyo mimi nakutegemea wewe, maana umefanya maendeleo mazuri”.

Nilisimama nikampigia kope Maselina nae akaminya midomo kuzuia tabasamu alilotaka kunipa. Chifu alinifungulia mlango na kuniambia. “Nakutakia mafanikio katika kazi hii kijana”.

“Asante Chifu”, nilijibu kisha akafungua mlango.

“Kavae upesi twende zetu Komredi”, nilimwambia Sherriff aliyetaka kubadilisha nguo.

“Dakika tano tu”, alijibu kisha akaenda haraka haraka.

Ilikuwa saa tano tulipofika New Afrika baada ya kumchukua Sherriff kutoka kwa daktari akiwa anajisikia vizuri kabisa. Veronika ndiye nilikuwa nimewahi kumchukua kabla ya Sherriff.

“Kavae upesi, twende zetu Komredi”, nilimwambia Sherriff aliyetaka.

“Dakika tano tu”, alijibu kisha akaenda haraka haraka.

Ilikuwa saa tano na dakika kumi na tano tulipoondoka kuelekea Ofisi za PLF. Njiani tulimweleza yote yaliyokuwa yametupata jioni ile tukibakiza tu ile habari ya kwenda kwetu pamoja kulala nyumbani kwangu.

Ofisi za PLF zilikuwa mtaa wa Makunganya karibu na Achells Limited hivyo haikutuchukua muda kufika pale kutokea New Afrika.Tulitokea barabara ya Azikiwe, tukaingia mtaa wa Independence pale kwenye mzunguko wa sanamu ya Askari halafu tukakata kulia pale kwenye taa za usalama barabarani za mtaa wa Independence na Postway, na kuingia Postway. Tukatelemka kidogo mpaka kwenye mtaa wa makunganya moja kwa moja kwenye ofisi za PLF. Tuliegesha gari pale pale mbele ya ofisi tukatelemka na kuingia mapokezi. tulimkuta kijana mmoja akiwa mapokezi.

“Habari zako ndugu”, nilimsalimu.

“Salama, sijui niwasaidie nini?”.

“Tunaomba kumwona ndugu Cecil Chimalamo”.

“Mna miadi naye?’.

“Hapana, lakini ukimweleza kuwa kuna waandishi wa habari toka gazeti la Afrika natumaini anaweza kutuona”.

“Subirini hapa kwenye viti”.

Tulikaa kwenye makochi mazuri sana. Cecil Chimalamo nilikuwa ninamfahamu kwa sura na vile vile mambo yake kwani nilikuwa nimeshasoma faili lake mara nyingi ofisini. Kwa kifupi wanasiasa wengi walimpenda kwa sababu ya imani zake za kisiasa ambazo mara nyingi zilikuwa na msimamo. Alitambulikana kama kiongozi mmojawapo mashuhuri mpinga ubaguzi na mpenda serikali ya wengi katika Afrika ya Kusini, makaburu walimchukia sana.

Punde yule kijana alirudi akayakatisha mawazo yangu juu ya Chimalamo.

“Mnaweza kumwona chumba namba tatu”.

“Asante’, nilishukuru kwa niaba ya wenzangu.

Tulikwenda moja kwa moja mpaka chumba namba tatu tukabisha hodi.

“Karibu”.
Nilifungua mlango tukaingia ndani tukajikuta katika ofisi.

“Karibuni”, alitukaribisha huku akisimama.

“Asante”.

“Nyinyi ndio mmetoka kwenye ofisi za gazeti la Afrika”.

“Ndio”.

“Twendeni mzee anawasubiri”.

Alifungua mlango, tukaingia ndani na kumkuta ndugu Chimalamo amekaa anavuta sigara. Alipotuona alisimama.

“Karibuni, ketini chini”.

Kabla hatujakaa nilichukua mwanya huu kujijulisha mimi pamoja na wenzangu kwake.

“Mimi naitwa Willy Gamba na ni Meneja Mkuu wa Kampuni iitwayo Afrika Internation Agencies (AIA), na hawa ni waandishi wa gazeti la Afrika. Huyu anaitwa Veronika Amadu na huyu ni Ahmed Sherriff. Wote ni wananchi wa Sierra Leone”, tulishikana mikono na kusabahiana halafu tukaketi chini.

“Imekuwaje wewe uwe pamoja nao?”, aliuliza.

“Kampuni yangu ndiyo wakala wa gazeti la Afrika hapa Tanzania kwa hivyo haja zao zote naziwakilisha mimi.

“Aisii, nafikiri tumeshaonana mara nyingi. Wewe si mgeni kabisa kwangu “, aliniambia na kuniangalia kwa macho ya kudadisi.

“Bila shaka tumeonana mara nyingi hasa katika tafrija za vyama hivi ingawaje hatujawahi kujulishwa moja kwa moja”.

“Ehe gazeti la Afrika linataka nini?”, Nilishangaa sana maana hata hakuuliza vitambulisho. Mara moja nikajua mtu huyu aliweza kuwasoma watu na kujua ni watu wa namna gani. Alikuwa mtu mwenye busara nami nikaondokea kumpenda.

“Sisi tumekuja hapa mjini baada ya kupata habari za tukio lililokikabiri chama chako na serikali ya Tanzania kwa ujumla. Jumuia ya Ulimwengu mpaka sasa imegawanyika katika pande mbili. Moja inalaumu Serikali ya Tanzania kuwa ndiyo inahusika na wizi wa silaha hizi ambazo ni za kisasa kabisa, upande wa pili unaamini kuwa hizi ni njama za mabeberu zinazopiga vita harakati za ukombozi wa Afrika Kusini. Kwa hiyo gazeti la Afrika likiwa kila siku linafuatilia kwa makini harakati za ukombozi Kusini mwa Afrika na kuweza kusaidia inapowezekana, linahitaji hasa ukweli wa tukio hili. Hii ndio sababu tuko hapa. Tumeshawaona wakuu wengine katika OAU na katika Serikali ya Tanzania na tumeona hatuwezi kufika mbali bila kujua mawazo yako wewe ambaye ndiye hasa uliyehusika na mali iliyopotea”, Sherriff alieleza kwa kinagaubaga.

“Kwa hiyo mnataka kujua mimi niko upande gani katika mawazo hayo mawili ya Jumuia ya Ulimwengu?”.

“Hilo ndilo swali letu la kwanza”, Sherriff alijibu.

“Mimi nawaunga mkono wanaoamini kuwa hizi ni njama za mabeberu. Wale wanaosema Tanzania inahusika wanajaribu kuongeza petrol kwenye moto huku wakijua kuwa Tanzania ni nchi pekee katika Afrika ambayo haiwezi kufanya jambo hili. Nakuhakikishia kwamba tangu nikae hapa nina miaka sita na sijaona Serikali ya kimapinduzi kama hii. La hasha, Tanzania haiwezi kabisa kufanya jambo hilo ila hizo ni mbinu za mabeberu za kutugonganisha sisi na wenyeji wetu ili mambo yaharibike kabisa. Mimi sitakubali washenzi hao watugonganishe. nafikiri umenielewa.

“Nimekuelewa sana. Sasa unafikiri silaha hizi zimepotea poteaje?. Hapa nataka mawazo yako binafsi”.

“Hata mimi sijui. Ni njama ya hali ya juu iliyofanyika, hivyo nimeachia shauri hilo Serikali ya Tanzania ambayo imeniahidi itafanya juu chini kufichua njama hizi”.

“Na isipowezekana?”, Veronika aliuliza.

“Tutajua la kufanya wakati huo.

“Ilibainikaje kama wewe umekwenda Urusi kutafuta silaha za kisasa na hali naamini jambo hili lilifanywa kwa siri?”, Sherriff aliuliza.

“Siku hizi hakuna kitu cha siri. Nafikiri hata kabla sijaondoka hapa Dar es Salaam kwenda Moscow ilikuwa imeshajulikana nini nafuata. Ulimwengu huu wa teknolojia hakuna kitu cha siri. Hata mkutano uliofanyika huko camp Davis Marekani, kati ya Marais wa Israel, Misri na Marekani na kuweka hali ya uficho wa hali ya juu, bado watu walijua kabla mazungumzo hayo ya kisiri ya hali ya pekee hayajatangazwa rasmi. ili kujibu swali lako hata sisi hatukutegemea tutajulikana.

“Watu wanafikiri kuwa, silaha hizo zimefanyiwa njama za kuibiwa kwa sababu ni silaha za kisasa kabisa na za hali ya juu. Ndio sababu watu wanasema Tanzania isingeweza kuziona zinakwenda hivi hivi. Sasa swali langu ni kwamba kwa nini uliamua kuomba silaha za kisasa za jinsi hii wakati vita havijafikia hali ya juu sana kuhitaji silaha za namna hiyo.

“Ahaa, swali lako zuri sana. Ili mwelewe kwa nini nilichukua hatua hiyo ni lazima niwape maelezo kamili, juu ya hali ya silaha alizonazo adui tunayepigana naye”, alinyamaza kidogo akaegemeza mikono yake mezani.

“Maana mtu hawezi kupigana kwa rungu dhidi ya mtu mwenye bunduki. Kwa hiyo hamtajali naona nikiwaeleza kwa kirefu jinsi wapinzani wetu walivyojidhatiti kijeshi na ndipo tu mnaweza kuona kwa nini niliagiza silaha za kisasa”.

“Sisi tutafurahi sana kupata fursa ya kusikia maelezo hayo”, nilijibu kwa niaba ya wenzangu.

“Katika miaka 15 iliyopita”, alieleza Chimalamo. “Makampuni ya kimataifa yamezidisha rasilimali zao ili kuimalisha uchumi wa Afrika Kusini. Makampuni makubwa ya Marekani na Ujerumani Magharibi yamepanua rasilimali zao katika sehemu muhimu za utawala wa Makaburu. Na makampuni haya yana ushirikiano mzuri sana na utawala wa Makaburu.

“Miaka michache iliyopita mabenki ya kigeni yameikopesha afrika Kusini mamilioni ya fedha ili kuwezesha kukabili migogoro ya kiuchumi iliyosababishwa na kulegalega kwa uchumi wa nchi za magharibi na kuendelea kukua kwa mapambano ya wazalendo wanaokandamizwa na utawala wa Makaburu.

“Mabenki ya kigeni yametoa mtaji mkubwa kwa utawala wa Makaburu kwa mahitaji ya fedha kwa ajili ya mambo ya kijeshi na kiuchumi, katika miaka michache iliyopita deni la kigeni la Afrika Kusini limeongezeka haraka kufidia gharama za mafuta yake, kupanua ununuzi wa silaha na gharama za mipango ya kuuwezesha utawala huo dhalimu ujitegemee. Kwa taarifa yenu mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka 1976 utawala wa Makaburu ulikuwa na deni lipatalo Shs.72 bilion, lakini idadi inaweza kuwa kubwa kuzidi hapo maana mikopo kwa Afrika Kusini ni siri. Sijui mnanielewa?”.
“Tunakuelewa sana”, tulijibu kwa pamoja, huku Veronika akiwa anaandika maelezo hayo.

“Kuna ukweli unaoonysha jinsi biashara ya makampuni ya kigeni na rasilimali zao zilivyosaidia kuimarisha viwanda vya kijeshi vya Afrika Kusini hata kuuwezesha utawala wa Makaburu kuwa na kiburi na kupuuza maoni ya dunia na kuendelea kudumisha udhalimu wake na kuwakandamiza wananchi walio wengi wa Afrika Kusini.

Makampuni ya kigeni yamejihusisha moja kwa moja katika kuimarisha kijeshi Afrika Kusini. Kumbukumbu za kampuni moja inayoshughulika na utengenezaji wa silaha katika nchi zinazoendelea zinaonyesha kuwa makampuni ya kigeni yametoa liseni kwa makampuni ya Afrika Kusini kutengeneza zana za kijeshi za aina mbali mbali, pamoja na ndege za kijeshi, mabomu, risasi na bunduki. Vile vile kuna makampuni yanayotengeneza vipuri na vifaa vingine kwa madhumuni ya kijeshi. Shirika la Baruti na madawa la Afrika Kusini ‘AECI’ linatajwa kuwa linamiliki viwanda vitatu vinavyotengeneza silaha na linashirikiana na kampuni moja ya viwanda vya madawa ya Uingereza. “Imperial Chemical Industries”, Kampuni hiyo ya Uingereza., imetoa utaalamu na vifaa vinavyotumiwa na Shirika la AECI la Afrika Kusini. Na wakati huo huo kampuni ya Darman Long ya Afrika Kusini iliyounda manowari moja yenye uzito wa tani 220 inashirikiana na Shirika la vyuma linalomilikiwa na serikali ya Uingereza katika shughuli za utengenezaji silaha”.

Alinyamaza kidogo, akachukua sigara akaiwasha kisha akavuta mara tatu hivi halafu akaendelea.

“Kutokana na misaada hii toka nchi za Magharibi, Afrika Kusini imejiimarisha sana kijeshi. Utaona kuwa miaka ya sitini, matumizi ya kijeshi ya Afrika Kusini yameongezeka mara sita kutoka Shg 520 milioni hadi mwaka 1977/78 matumizi ya kijeshi yalikuwa yameongezeka tena na kufikia kiasi cha Shg 16,450/- milioni kwa mwaka. Nimetoa maelezo hayo pamoja na tarakimu ili kuwaonyesha kimsingi kuwa Afrika Kusini ina uwezo kifedha kutengeneza au kununua silaha za kisasa kabisa.

Alitua tena ili kuvuta sigara yake kisha akaendelea huku sisi tukimsikiliza kwa makini kama wanafunzi wanavyomsikiliza mwalimu katika somo wanalolipenda.

“Vijana lazima mtu ujue nguvu za adui yako kabla hujamkabili, la sivyo, utakuwa unafanya mapambano yasiyo ya kimsingi. Ili kuwapa ukweli hasa uliopo, jeshi la Afrika Kusini limekuwa likitumia zana za kisasa zilizoko duniani tangu mwaka 1970. Matumizi ya kijeshi kwa ajili ya kununulia silaha na vifaa maalumu vya kisasa vya kijeshi badala ya vya zamani yaliongezeka kwa asilimia 32 mwaka 1971 kufikia asilimia 53 mwaka 1973. Kati ya mwaka 1970 na 1979 Shg 2,240 milioni zilitumika kwa mambo ya ndege za kijeshi, shs 1,000/- milioni kwa ajili ya kununua radio, mitambo ya kutazama ndege angani (radar) na vifaa vingine vya kisasa. Kama nilivyokwisha kuwaeleza hapo awali, wakati huo huo utawala wa Afrika Kusini umekuwa ukichukua hatua kuimarisha utengenezaji wa zana humo humo nchini kadiri vipuli na vifaa vya mahitaji yake ya kijeshi yanavyozidi kuongenzeka.

“Kwa mjibu wa toleo moja la kijeshi la Marekani, tangu tangu mapema mwaka 1971 makaburu walikuwa wanaweza kutengeneza mabumu na baruti kiasi cha kujitosheleza na wanaweza kuuza nchi za nje. Juu ya risasi Afrika Kusini inatengeneza aina 100 za risasi. Kwa bunduki inajitosheleza kabisa. Kwa silaha za jeshi la nchi kavu, ama imejitosheleza ama imefikia hatua za utoaji, na itajitosheleza hivi karibuni kwa zana za jeshi la maji na sasa inatoa zana zote za moto inazohitaji. Bunduki za kisasa kama vile Rifle na Machine-gun vile vile zinatengenezwa. Hivi utengenezaji wa mizinga unaanza, na kuna huduma ya kuweza kutengeneza karibu kila aina ya magari ya kijeshi. Radio za ndege, vifaa vya kutegulia mabomu na vifaa vingine vya kisasa vya kijeshi vinabuniwa na kutengenezwa huko huko Afrika Kusini.

Alinyamaza na kuwasha sigara nyingine na kwa nguvu zile zile akaendelea kueleza.

“Hivi karibuni ilidokezwa kuwa Afrika Kusini inaunda aina fulani za bunduki, mabomu ya kudondoshwa na ndege yenye uzito wa kufikia ratili 1,000 kila moja na inaendelea na utengenezaji wa makombora ya kuangusha ndege. Mabomu hayo inasemekana yalifanyiwa majaribio mwezi Septemba 1977 kwa kutumia ndege za aina ya ‘Mirage’. ndege hizi za mirage zilianza kuundwa huko Afrika Kusini chini ya liseni ya kampuni ya ufaransa ya Sessoult mnamo mwaka 1974. Kama hatua ya mwanzo. Afrika Kusini ilinunua vipande 50 vya ndege za aina hiyo na kuunda yenyewe ndege za mirage”.

“Wakati huo vile vile ilikuwa tayari imeanza kuunda ndege za kijeshi aina ya Impala za muundo wa Italia-Armachi MB-326, magari ya kijeshi aina nyingi ya silaha ndogo ndogo pamoja na bunduki za aina ya rifle muundo wa Ubelgiji. Na kwa mjibu wa Waziri wa Uliniz wa Makaburu. Afrika Kusini ilitegemewa ianze kutengeneza vifaru vyake. Vile vile Afrika Kusini inasemekana imeanza kuendeleza utengenezaji wa mizinga ya kutungulia ndege aina ya CAC-TUS, ikisaidiwa na kampuni moja ya Ufaransa”.

Alipofika hapa aliinua simu na kumwamru mwandishi wake mahsusi atuletee vinywaji baridi na sambusa kisha akaendelea.

“Naona nitawachosha lakini kwa sababu nyie wenyewe mmeuliza mimi nitawapa hali halisi ilivyo na mkiwa kama waandishi wa habari ni vizuri kujua hali ya kijeshi ya huyu adui wetu mkubwa katika Afrika. Kwa kutumia gazeti lenu mnaweza kujulisha jumuia ya ulimwengu ukweli wa nguvu za adui yetu huyu zilivyo, hivyo msitahimili karibu nitamaliza.

Mwandishi wake alileta vinywaji barudi na sambusa.

“Habari unazotueleza ni za kusisimua mno kwani kwetu sisi wengine ni habari mpya, hivyo hata ukiendelea mpaka usiku tutakuwa tayari kabisa kukusikiliza”, nilimhakikishia.

“Kama hivyo basi nitaendelea. Magari ni muhimu sana katika mambo ya kijeshi. Kuna makampuni kadha wa kadha ya kigeni ambayo yamekuwa yakiisaidia Afrika Kusini kijeshi katika mambo ya magari. Makampuni hayo ni pamoja na kampuni ya Marekani ya General MOtors (GM), kampuni kubwa duniani inayotoa magari kwa wingi baada ya Vita Kuu ya kwanza. Hivi sasa ina mtambo wa kuunganisha na kuunda magari huko Port Elizabeth, na mtambo wa kutengeneza injini za magari nje kidogo ya mji huo.

“Kampuni nyingine ya magari ni ile ya Ujerumani inayotengeneza magari ya aina ya ‘Benz’. Magari ya kijeshi ya aina hii ndiyo yanatumiwa sana na majeshi ya Afrika Kusini. Msemaji mmoja wa kampuni ya magari ya Benz na BMW, alijigamba hivi karibuni kwamba kampuni yake inatengeneza magari hayo Ujerumani kwenyewe na Afrika Kusini na inakusudia kutumia Afrika Kusini kama kituo cha kuuzia magari hayo kwa nchi za nje zilizoko Kusini kwa Ikweta. Hii inaonyesha dhahiri kuwa Afrika Kusini inayo magari haya zaidi ya mahitaji yake ya kijeshi”.

Alinyamaza tena akachukua glasi yake iliyojaa Coca-cola akainywa kwa mara moja kisha akainua macho yake na sura yake ikageuka kuwa nzito kisha akaendelea.

“Na mwisho napenda kuwaeleza jambo la mwisho lakini muhimu si kwa sisi wapigania uhuru tu bali kwa Afrika nzima. Katika mwaka 1974 Shirika la Nyuklia la Marekani lililoko Oak Ridge lilipeleka kilo 45 za madini ya ‘Uranium’ kwa mtambo wa utafiti wa nyuklia uliopo Palandaba huko Afrika Kusini baada ya Tume ya Nyuklia, chombo pekee cha Marekani kinachotoa liseni za usafirishaji nje vifaa vya nyuklia kukubaliana na Afrika Kusini kwamba haitaruhusu madini hayo yapelekwe pengine au kutumiwa vinginevyo. Marekani vile vile mwaka 1975 na 1976 iliipa Afrika Kusini madini hayo yanayotumiwa kutengeneza zana za nyuklia na kuahidi kuuza zaidi madini hayo kwa mtambo wa pamoja na nguvu za nyuklia wa Marekani na Ufarasa unaotazamiwa kujengwa Afrika Kusini mwaka 1984. Kwa jumla Marekani imeiuzia au imeahidi kuiuzia Afrika Kusini ratili 300 za madini hayo kwa ajili ya mtambo wa utafiti wa nyuklia uliopo Palandaba. Kwa taarifa yenu ratili 300 za Uranium zinawza kutengeneza mabomu 15 ya Atomiki”.

Kila mmoja alipiga mluzi wa mshangao.
“Nafikiri ndugu Willy nimejibu swali lako kwa kirefu, kwa hiyo utaona sisi wapigania uhuru hatuna budi kuomba silaha za kisasa zinazoweza kukabili nguvu hizi kubwa ya kijeshi za adui yetu. Kwa hiyo tukio hili lililotokea linaonyesha dhahiri kuwa hawa makaburu wameona hatari inayowajia hivyo kuiba silaha hizi ni mbinu moja ya kujihami. Na mimi nimeapa sitarudi nyuma nitaondoka tena karibuni kwenda kutafuta silaha za kisasa na kali toka nchi rafiki ambazo naamini zitaamini kuwa tukio hili ni njama za mabeberu. Hivyo njama zao zinazidisha tu moto katika wapigania uhuru na ndugu zao wanaowasaidia. Huu si mwisho wa mapambano. Ila ni matayarisho tu ya mapambano – historia itanihukumu. Mna swali zaidi?”.

Tuliangalia na kukawa hakuna mtu mwenye swali kwani risala yake ilituchoma mioyoni kama miali ya moto wa umeme.

“Asante, tumetosheka”, nilijibu kwa niaba ya wenzangu.

“Oke mnakaribishwa tena siku yoyote kwani katika kuzungumza nanyi ndipo tunapoweza kujua hali halisi ya Kusini mwa Afrika. Asante sana vijana wa Afrika kuja kunitembelea”. Alitupa mkono wa kuagana.

“Asante sana”, tulijibu na kuondoka ofisini mwake kimya kimya.

Tulipofika kwenye gari langu niliona ni saa saba u-nusu, kweli tulikuwa tumekaa sana ndani. Tuliingia ndani ya gari.

“Sasa twende tukaonane na Ray Sikazwe. Rais wa Chama za SANP

Ofisi za SANP zilikuwa barabara ya Umoja wa Mataifa baada ya kuvuka barabara inayoingia Hospitali ya Muhimbili. Hivyo niliendesha moja kwa moja na kuingia barabara ya Morogoro kutokea mtaa wa Makunganya. Tulipofika kwenye taa za usalama barabara za Jangwani, nilikata kulia na kuingia barabara ya Umoja wa Mataifa. Nilisimamisha gari karibu na mlango wa ofisi kwani kwa upande mwingine wa barabara kuna gereji na magari yalikuwa yamejaa kibao.

Tuliingia mapokezi na kumkuta binti mmoja anajipaka poda usoni. Alipotuona akaweka mkebe wa poda kando, alijifuta vizuri usoni halafu akatutolea tabasamu.

“Karibuni”.

“Asante. Hujambo Binti?”.

“Mimi sijambo, sijui niwasaidie nini?”.

“Tunaomba kuonana na Ndugu Sikazwe.

“Mna miadi naye?”.

“Hapana”.

“Basi hawezi kuwaona, ana kazi nyingi sana. Huenda mnaweza kumwona ndugu Amos Shumka ambaye naye ni ofisa katika ofisi hii”.

“Wewe ni Mtanzania?”.

“Ndio”.

“Basi dada sisi hatutaki kumwona mtu mwingine ila ndugu Sikazwe”.

“Basi kaka yangu, ndio huwezi kumwona leo. Amesema hawezi kumwona mtu yeyote hata awe nani kama hana miadi naye. Mimi ninatii amri ya wakubwa wangu kwa hiyo siwezi kufanya vinginevyo”.

“Jaribu kumpigia simu umwambie sisi tunataka kumwona tunatoka gazeti la Afrika, mwache yeye aamue”.

“Hata kama mnatoka katika gazeti la dunia, siwezi”, alichukua rangi ya midomo na kuanza kujipaka.

“Naona tumenoa”, alisema Veronika.

“Basi, tutajipeleka wenyewe, twendeni”, niliwaambia wenzangu.

Yule msichana alisimama na kututangulia haraka haraka na kuelekea kwenye ofisi moja huku uso wake umejaa hasira. Na sisi tukamfuata mbio mbio nyuma. Alipofungua mlango wa ofisi hiyo tu na sisi tukaingia.

Hawa watu nimewakatalia kumwona mzee lakini wamekuja kwa mabavu”, alimweleza msichana mwingine aliyekuwa anapiga taipu. Kabla yule msichana hajajibu mimi nilipita mbele na kufungua mlango wa ofisi ya ndugu Sikazwe kwani bila huyu msichana kujua alikuwa ametuelekeza mwenyewe. Wasichana wote wawili walibaki wameshikwa na butwaa na kushika midomo yao. Mimi nilifungua mlango na wote watatu tukaingia ndani. Tulimkuta Ndugu Sikazwe anazungumza kwenye simu, na alipotuona tunaingia mara moja alikata simu na sura yake ikawa na hasira.

“Nani amewaruhusu kuingia ofisini mwangu kwa kikuku namna hii?”.

“Samahani ndugu Sikazwe. Sisi tunatoka kwenye ofisi za gazeti la Afrika na tumekuja kukuona kwa jambo la maana sana kuhusu wewe na Afrika nzima. Sasa tulipofika hapa ofisini kwako mzee, msichana wa mapokezi akatukatalia tusikuone. Kwa sababu sisi tuna uhakika kuwa ungeturuhusu tuonane nawe, tumeona hatuna budi kufanya jambo lililo la busara, ambalo ni kujileta sisi wenyewe tukiwa na imani kubwa kuwa utatuona. Naamini umeelewa kwa nini tumechukua hatua hii, na ukiwa kiongozi mmojawapo mwenye busara kati ya viongozi wa vyama vya wapigania uhuru wa Afrika Kusini tuna imani utatupokea kwa mikono miwili. Jambo lililotuleta si jambo la kitoto”, nilimweleza kwa utaratibu sana.

Ghafla uso wake ukabadilika. Tabasamu kubwa likaonekana usoni mwake naye akasimama.
“Samahani sana ndugu zangu katika jina la Afrika huru. naamini mtawasamehe hao wasichana pamoja na mimi, kwani ilibidi kutoa amri hiyo kwa sababu sasa hivi nashughulikia tukio ambalo limetokea hivi karibuni ambalo limevuruga vichwa vyetu. Msiwe na wasiwasi jioneni kama halikutokea jambo la kuwaudhi. Karibuni tuendelee na shughuli zilizowaleta”.

Baada ya maelezo haya tulipeana mikono tukajulishana kisha tukaketi chini tayari kwa mazungumzo.

“Nafikiri ndugu Gamba tumewahi kuonana?”, aliuliza.

“Ndio tumewahi kuonana kwenye tafrija nyingi”.

“Umesema kampuni yako ndio wakala wa gazeti la Afrika hapa Tanzania?”.

“Ndio”.

“Aisee, haya mimi niko tayari tuendelee na mazungumzo yaliyowaleta”.

Veronika alikohoa kuliweka koo lake vizuri kabla hajaanza kusema. Alipokuwa tayari alichukua uwanja.

“Gazeti la Afrika ni gazeti ambalo limekuwa na litazidi kutetea mapambano ya Kusini mwa Afrika. Hivi majuzi tumesikia tukio lililotokea hapa mjini, ambalo sisi tumelichukua kama pigo kubwa sana kwenye harakati za ukombozi wa Kusini mwa Afrika. Ndio sababu tuko hapa ili tuweze kuzungumza na viongozi wa Serikali ya Tanzania na Maraisi wa vyama vya wapigania Uhuru walioko hapa nchini hivyo tuweze kupata mwanga wa jambo hili. Kumekuwa na uvumi wa kutatanisha ulimwengu mzima juu ya tukio hili.

“Kuna mambo mawili yanazungumziwa. Jambo la kwanza ni kwamba tukio hili limetokana na njama za mabeberu za kutaka kuzima harakati za ukomboni Afrika Kusini na ndiyo sababu silaha hizi zimeibiwa. Wengine wanalaumu serikali ya Tanzania kuwa ndiyo iliyofanya njama hizi kwani silaha zilizokuwa zimekuja. Serikali yoyote hata iwe ya kimapinduzi namna gani ingeweza kupata kishawishi cha kuchukua silaha hizi kwa manufaa yake. Sijui wewe una mawazo gani juu ya jambo hili”, Veronika aliuliza baada ya kutoa maelezo haya marefu.

“Kusema kweli mimi bado nimechanganyikiwa juu ya tukio hili. Mambo yote haya mawili nimeyasikia lakini bado mimi sijasikia uamuzi jambo lipi ni sawa. Kama mlivyonikuta hata mimi najaribu kuzungumza na maofisa mbali mbali wa serikali ya Tanzania na Ofisi ya ukombozi ya OAU ili na mimi nipate msimamo wangu. Tukio hili si la kukimbilia kuamua”.

“Kwa hiyo tuseme una wasiwasi kuwa huenda ikawa kweli Serikali ya Tanzania ikawa inahusika?”, aliuliza Veronika huku macho yake yakimwuliza Sikazwe.

“Sikazwe alisita kidogo akajaribu kukwepa macho ya Veronika.

“Sina wasiwasi na Serikali ya Tanzania kuhusika na tukio hili, lakini ili niwe na uhakika vile vile ni lazima nichunguze upande huo vile vile. Msinielewe vibaya, mimi ni mtu ambaye mara kwa mara hupenda kuchunguza mambo na nipatapo ukweli nang’ang’ania kwenye ukweli. Sijui mumenielewa?”.

“Mimi nimekuelewa kuwa utakuwa na uhakika tu kuwa Tanzania haijahusika utakapopata ukweli wa jambo lilivyo”, Veronika alijibu.

Sikazwe alisita tena.

“Kitu kama hicho. Mnajua sisi wapigania Uhuru tuko katika hali ya kutatanisha sana. Kwa sababu serikali za nchi huru za Kiafrika unakuta moja inapendelea chama hiki nyingine chama kile maana sisi tuko vyama vingi. Hivyo ili kuamua jambo hili ni lazima uangalie mambo mengi”, alijibu.

“Kama nimekuelewa vizuri unatupa tena hali ya tatu kuwa huenda si Tanzania wala mabeberu waliohusika katika njama hizi ila inaweza kuwa nchi mojawapo katika nchi huru za Kiafrika”, nilisema.

“Nafikiri sasa umenipata”.

Sisi tuliangaliana kwa mshangao kwani fikra hii ilikuwa haijaingia vichwani mwetu.

“Vizuri tumejua msimamo wako”, nilijibu.

“Kwa hiyo ili niweze kuwapa msimamo wangu kamili mnipe muda ili niweze kutuliza mawazo yangu baada ya kuzungumza na watu fulani”.

“Unamjua kijana mmmoja aitwae George Kiki”, Sherriff aliuliza.

Sura ya Sikazwe ilionyesha mshituko ambao ni mtu kama mimi tu ambaye angeweza kuona.

“Ndio ninamkumbuka aliwahi kuja hapa ofisini kwangu akiwa mkimbizi kutoka Afrika Kusini baada ya matatizo ya Soweto. Na sisi huwa ni wajibu wetu kama chama cha wapigania uhuru kuwasaidia. Tokea siku hiyo mpaka leo sijapata kumwona tena. Je ana nini?”.

“Amekutwa ameuawa nyumbani kwake”, Sherriff alimjibu.

Sikazwe alionyesha hali ya mshangao.

“Nimesikitishwa sana; alionekana kijana mzuri”.

Simu ililia Sikazwe akaichukua.

“Sikazwe hapa”.
Akaisikiliza kwa muda halafu akajibu. “Sawa, nakuja sasa hivi”.

Akakata simu.

ITAENDELEA

MAMA ALIPOSHIKWA TAKO MBELE YANGU-3




Chombezo : Mama Aliposhikwa Tako Mbele Yangu
Sehemu Ya Tatu (3)

Dr kelvin alimwendea Rafiki na kumpapasa huku no akijianda kuweka mdudu wake kwenye Eneo la Rafiki ambalo lilikuwa limeloa vya kutosha
Sam alikuwa amekaa Nairobi vya kutosha na hakuna kitu alikuwa na hamu nacho kama mkewe, alikuwa amemmiss sana Rafiki na alitamani hata angekuwa nao hapo hapo alipo na wakati huo huo lakini ndio hivyo tena haikuwezekana.
Alichukua simu yake na kuanza kuperuz kwenye picha mbalimbali zilizokuwa kwenye simu yake hadi alipokutana na picha za mkewe.

Alianza kufunua moja baada ya nyingine, alizikagua akaangalia picha za mkewe alizopiga akiwa kavaa kihasara hasara, picha alizoacha kifua wazi, picha nyingine kavaa mini skirt pekee, picha zingine kavaa chup tu….

Aliendelea kuangalia picha hizo hadi anamaliza sehemu zake zilikuwa zimetutumuka vilivyo kwa hamu ya mke wake.
Alikaa akawaza kisha akaamua kumpigia simu ikiwa ni kama majira ya saa kumi na moja jioni,

Alipiga ikaita mara ya kwanza bila kupokelewa, akapiga mara ya pili na yatatu lakini haikupokelewa pia, wivu ulianza kumshika akiwaza mkewe atakuwa wapi na anafanya nini.
Alivyokumbuka utamu wa mkewe nakuanza kuwaza kuwa huenda kuna mwanaume mwingine anaufaidi ndio alizidi kuchanganyikiwa kabisa.
….nakupigia simu hupokei, utanijibu unafanya nini na uko na nani maana wanawake nawajua nyie…..

Sam alituma hiyo meseji kwa Rafiki lakini hata hivyo alikaa kama dakika mbili bila kujibiwa na hasira zikazidi kumlipuka, aliamua kuingia bafuni ili ajisaidie na wakati akiwa huko alisikia mlio wa meseji kwenye simu yake akarudi fasta akiamini ni mkewe katuma,

Alipofungua ujumbe aligundua ni wa wasap na umetumwa na shemeji yake ‘Verity’
Ujumbe ule ulikuwa umeambatana na picha ya mtoto wa kike huku ukiwa umeandikwa…. “mwenzangu kwa damu kali tu nakusifu”

Sam ghafla mawazo yote juu ya mkewe yakapotea akaanza kuangalia ile picha ya mtoto wa Verity ambae kiukweli alikuwa amefanana nae sana.

Mwenyewe alikiri bila wasiwasi kuwa hakika anafanana mno na Yule mtoto na uwezekano wa asilimia nyingi kuwa ni mwanae ni wa uhakika.
Akiwa kwenye hali hiyo simu yake iliita……………
………………………
Wakati simu ya Rafiki ikiita Dr Kelvin alikuwa anaiona vizuri tu lakini akawa anaiweka silent ili rafiki asisikie mpaka amalize adhma yake,

Wakati huo Dr Kelvin anataka kumuingilia Rafiki ambaye hata hivyo analeta upinzani simu ya Rafiki iliita tena na hapa ndipo Rafiki alikurupuka kitandani na kuiendea simu ambayo ilimfanya mapigo ya moyo yaende mbio.

Alikuwa ni mumewe anapiga…. Rafiki roho ilimsuta na kuhisi kama vile mumewe alikuwa anaona yote ambayo alikuwa anafanyiwa na Dr Kelvin.

Alishindwa kupokea maana mapigo ya moyo yalikuwa juu sana na inawezekana angeulizwa kwanini yuko hivyo na akakosa cha kujibu.

Alitulia kidogo kisha akakutana na ujumbe kutoka kwa SAM ambao ulizidi kumuweka roho juujuu na kisha akaamua ampigie Sam sasa wakati akiwa ametulia.
“Haloo hubyy mambo?”
“Uko wapi wewe” aliuliza Sam kwa sauti kali kweli

“Niko nyumbani mume wangu kwanini unauliza hivyo?”
“Nyumbani ipi?” Sam alikuwa anaendelea kuuliza maswali ya mtego kumpima mkewe.
“Kwanini useme nyumbani ipi kwani kuna nyumbani ngapi?”
“Nadhani unanielewa, nijibu uko nyumbani ipi?”

Rafiki alianza kuogopa tena akahisi mumewe kuna jambo anajua ama kuna kitu kimempa wasiwasi.
“Nyumbani kwetu mimi nawewe”
“acha uongo mbona niko hapa na hakuna mtu ?”

“Haaaa mume wangu kweli, umerudi lini” rafiki alianza kujichanganya
“Nijibu uko wapi nakwambia niko hapa nyumbani na hakuna mtu”

“Hebu subiri kidogo mume wangu”
Rafiki alikata simu na kuizima kabisa kisha haraka haraka akaanza kuvaa nguo zake huku akiwa na mawazo tele.
Alifanya haraka haraka akaanza kuvaa nguo moja moja kisha akkachukua mkoba wake na kuanza kutoka…
Wakati anatoka Dr Kelvin akamvuta mkono
“We mjinga nini, unataka kuniharibia si ndio?”

“Umesahau simu yako mrembo”
Rafiki alikwapua simu akachukua boda boda kisha haraka sana akaenda kwake.
Alipofika alishuka na kumlipa Bodaboda kisha akaingia ndani kwake haraka na kukukuta kama alivyokuacha.
Ainyanyua simu yake akaiwasha na kuipiga tena..

Alipiga zaidi ya mara nane lakini haikupokelewa, alipiga tena na tena lakini wapi, mwisho aliamua kupanda kitandani na kujilaza akitafakari mambo mengi ambayo yamepita kwa kasi ya umeme ndani ya siku hii ngumu
Akiwa anawaza simu yake iliita tena na aliyekuwa anapiga ni mumewe…
“Haloooo”
“Ulikuwa wapi”
“Kwanini mume wangu”
“Kwanini nini, nasema ulikuwa wapi mke wangu?”
“Nilikuwa kwa mama”
“Nimempigia mama sasa hivi ameniambia haupo huko, hata kwa mdogo wako pia nimepiga, hata kazini pia nimepiga, ulikuwa wapi?”
“Ahh Ahh Nili…likuwa sokoni mme wangu”
“Sokoni eeenh? Na kwanini uliniambia uko nyumbani alafu tena ukaniambia ulienda kwamama?”
“SAMAHANI mume wangu”
“Kwakosa gani ”
“Nimesema nilikuwa nyumbani wakati nilikuwa sokoni”
“Sasa sikiliza nataka uandae majibu ya ukweli la sivyo utaniona mbaya, na nakwambia ukweli wako ndio dawa, ninajua kila kitu kinachoendelea na mawasiliano yako nayaona”

…………………………………..
Sam alishahisi kitu ambacho sio sawa kabisa kwa mke wake, alihisi huenda mkewe ameanza matendo mabaya.
Aliwaza sana kiasi kwamba alijutia kuja hii kozi ikiwa ndoa yake bado changa na walikuwa katika harakati za kutafuta mtoto.

Aliwaza huenda mkewe anachepuka ili azae mtoto kwani ni jambo ambalo lilikuwa linawasumbua wote hivyo akaona mkewe anaweza kuwa na wazo la kujaribu kwa wanaume wengine.
Kwa mawazo haya Sam aliamua tena kumpigia mkewe simu….
“Jiandae uje Nairobi weekend hii inayokuja”
“Jamani mme wangu wewe si uko masomoni”
“Ndio tutakuwa na mapumziko ya wiki moja”
“Sawa nitumie nauli basi”
“Chukua kwenye mshahara wangu”

Sam alimuagiza mkewe ambaye alijiandaa na baada ya siku mbili akapanda ndege mpaka Nairobi akapokelewa na mme wake ambaye walielekea moja kwa moja hotelini.
Huko hotelini mchakato ulioendelea ulikuwa ni mapenzi ya kukata na shoka.
Kwakuwa walikuwa wamemisiana kwa miezi kadhaa hamu zao zilikuwa juuu sana kiasi ambacho hakuna alyetaka kusubiri.

Walivyoingia chumbani tu, Sam alianza kusaula nguo za mkewe, alizisaula mpaka akambakisha na chupi tu kisha akaanza mambo ya Romansi, walichezeana kwa muda kisha Sam akambeba mkewe juujuu hadi akambwaga kitandani na kuanza kunyonya nyonyo za mkewe ambaye alikuwa kamlalia kwa juu

Wakati huu alikuwa anaitoa nguo ya ndani ya mkewe taratibu mpaka ikatoka kwa kusindikizwa na miguu ya mkewe kisha ikadondoka chini.

Sam alichukua tango lake na kulielekeza kwenye ikulu ya mkewe na kuizamisha taratibu kitendo kilichomfanya Rafiki aachie ukulele “aaaaaaasssssssh” kisha viuni vikaanza kazi ya Propela.

Walifanya mapenzi kwa muda mrefu kisha kila mmoja akiwa ameridhika wakaenda kuoga wakamaliza kisha wakarudi kulala usingizi ambao uliwachukua kama lisaa limoja baadae wakaamka na kwenda hotelini ambapo waliagiza chakula na vinywaji wakaanza kunywa huku wanazungumza.

“Mme wangu huku Nairobi nasikia wana hospitali nzuri kweli, unanonaje twende kwa ajili ya ile ishu?”
“alafu kweli mke wangu…ngoja nikupeleke kesho wakakuchek”

…………………………………
Kesho yake Sam na Rafiki walikuwa Kenyatta Hospital kwa ajili ya kucheki tatizo la mkewe kutokushika Mimba.
Walihudumiwa haraka sana baada ya kujitambulisha kuwa wao ni watanzania, walifanyiwa hivi kwani wakenya walitaka wageni waondoke na sifa nzuri kuhusu huduma zao ili wapate wateja wengi kutoka Tz.

Vipimo vilionyesha kama kawaida rafiki hana tatizo lolote kiafya na afya yake ya uzazi ni poa kabisa.
“Umekuja na Nani binti?” dokta alimuuliza Rafiki?
“Nimekuja na mme wangu”
“Oooh muite aje hapa ”
“Rafiki alitoka kidogo akarudi na mme wake”
“Karibu sana Mr. ”
“Ahsante sana pole na kazi Dr.”
“asante sasa tumempima mke wako anaonekana hana tatizo lolote, hivyo basi kwa taaluma yetu tunaona umuhimu mkubwa wa kukupima na wewe ili tujue tatizo ninini hasa ”
“Sawa hakuna shida Dr, japo mimi niko vizuri tu”
“Ni sawa kwasababu hata mwenzio yuko vizuri pia ila ni vizuri kujihakikishia ili kufikiria vyanzo vingine”

Sam alichukuliwa vipimo ambavyo havikuchukua mda mrefu sana na walikuwa wanasubiria majibu ambayo baada ya nusu saa waliitwa kule kwa daktari kisha wakaambiwa waketi kwa ajili ya mrejesho wa Vipimo na majibu yake……………..

Sam na Mkewe walikuwa wamekaa wanasubiri majibu ya Dr Otieno ambaye alikuwa ameshakaa tayari kwa kuwapa wateja wake mrejesho.

Sam alikuwa hana wasiwasi hata kidogo, alijiamini kwa kiwangi kikubwa sana kuwa yuko vizuri na hakuwa na shida kwani hata hivyo tayari yeye ana mtoto mmoja ambaye aliamini yeye ndie kazaa na Verity.

“Sasa jamani poleni kwa kusubiri”
“Asante dokta wala usijali”
Dr Otieno aliweka miwani yake vizuri kisha kwa jicho kama la kuchungulia hivi akawa anasoma ile karatasi ya majibu ya vipimo.

“Kwanza nawapa pole kwa mara nyingine katika harakati za kutafuta mtoto, najua mmepitia mengi lakini ndivyo ilivyo”
“Kimsingi tunapompima mwanamke ambaye amekuwa anatafuta mtoto bila mafanikio kwa kipindi cha kuishi na mumewe kwa zaidi ya mwaka mmoja huku wakifanya tendo kamili la ngono ni muhimu kumpima na mumewe pia kwani Mimba sio ya mwanamke pekee”

“Tatizo lililopo kwenye jamii nyingi za Kiafrika ni kwamba kuna mfumo ambao tatizo la uzazi (infertility) linahesabika kuwa la mwanamke pekee na mara nyingi husababisha mwanamke kuhangaika kwenye matibabu bila mafanikio huku akionekana hana tatizo lolote lakini mimba bado haitungi”

Aliendelea kufafanua Dr Otieno kuwa kuna wakati mwanamke anapoonekana hapati mimba hufikia hatua ya kuachwa na mumewe kwa kigezo hicho na hatimaye huweza kuolewa na mwanamume mwingine na kufanikiwa kuzaa nae, hii huonyesha kuwa tatizo lilikuwa kwa mwanamume.

Kitaalamu uwezo wa kuzaa na ama kutokuzaa uko 50/50 kwa mwanamume na mwanamke, hivyo basi wakati wa matibabu na vipimo wahusika wote wanatakiwa wapate.

Kutokuhudhuria kliniki kwa wanaume kumewafanya waliowengi wasipate tiba ya matatizo yao na ama kuyafanya matatizo yao yakakomaa zaidi, ndio maana tunasisitiza sa a mwanamme na mwanamke wote wapimwe.

Sasa basi kwa upande wa Rafiki tumeona hana tatizo lolote ila tu kuna dawa itabidi upate ili kuongeza uwezo wako wa kupata mimba zaidi na pia nitakuandikia vyakula ama diet muhimu kwa ajili ya afya ya uzazi.

Kwa upande wako Sam tumegundua kuwa kuna tatizo kwenye uzalishaji wa mbegu zako…

Sam baada ya kusikia hivi alishtuka sana kwani hakutarajia.

Dr Otieno aliendelea….

“Vipimo vimeonyesha kuwa uliwahi kupata majeraha kwenye mfuko wako wa kuzalishia mbegu kitendo kinachopelekea mbegu zisizalishwe zikiwa hai lakini pia mrija wa kupitishia mbegu una uvimbe unaozifanya zisipite kwa kasi inayotakiwa”

” labda nikuulize Mr Sam, Je? Umewahi kujeruhiwa ama kupigwa kwa vitu vizito kwenye korodani ama sehemu ya chini ya Tumbo?”
Sam kusikia vile alipeleka kumbukumbu zake haraka sana kwenye matukio ya kupigwa na akina afande miraji pamoja na Baba yake Mkwe yaani RPC.

Hapo hapo machozi yalianza kumwagika usoni kwake kitendo kilichomfanya Rafiki aanza kupatwa na huzuni na kuamua kumkumbatia mumewe na kumfuta machozi.

” usijali Sam, nitakuwa nawewe bega kwa bega”

“Nyamaza Rafiki, baba yako ndie aliyataka haya”
Rafiki kusikia vile alianza kunyong’onyea mwili na viungo.

” kwahiyo unanihukumu mimi Sam?”

Dr Otieno kuona vile ikabidi aingilie…

“Mr Sam haimaanishi kwamba hutazaa, laah! Utazaa lakini inabidi upate matibabu kamili na baadae ndipo utaweza kupata watoto, ila hupaswi kuanzia sasa kufanya mazoezi magumu”

Dr Mimi ni askari alafu niko kozi

“ni sawa Mr Sam lakiini mimi naingea kitaalam kwamba ni vyema ukasitisha kazi ngumu ama mazoezi magumu mpaka upate tiba kwanza”
“Kazi ngumu kama zipi doctor”
“namaanisha kazi zisizo za kawaida kazi ambazo haziishii tu kwenye misuli”
Kwa Sam huu ulikuwa ni mtihani mzito kwani alikuwa anakaribia kumaliza kozi yake ambayo ingeweza kumpa cheo kizuri tu.
Mjadala kati ya Sam na Dk ulihitimishwa baada ya kupewa dawa za kutumia yeye na mkewe kisha wakarudi hotelini walipofikia.
………………………..
Mawazo ya Sam sasa yalikuwa yanarudi kwenye mtoto aliyezaa na Verity. Alikuwa anajiuliza kama yeye ana tatizo iweje kule aambiwe Yule mtoto ni wake.
Aliwaza ni kwanini iwe hivyo? Au Verity aliamua kumdanganya?
Wakati anawaza haya yote aliamua kuchuka tena simu yake na kuanza kuangalia picha ambazo Verity alimtumia zikimuonyesha Yule mtoto.
Aliichunguza moja baada ya nyingine huku akiikuza kuchunguza baadhi ya vitu kwenye muonekano wa Yule mtoto.
Kilichomshangaza ni jinsi ambavyo Yule mtoto anafanana nae…
Alifikia hatua akaanza kutokumuamini Yule daktari aliyewatibia kwa kudhani huenda amemdanganya.
Rafiki alikuwa nyuma ya Sam anamuangalia jinsi ambavyo mumewe anaangalia picha ya mtoto wa Verity, roho Ilikuwa inamuuma sana anapoona kile Sam anafanya.
Alitamani amshtue lakini akawa anasita, ghafla alimuona mumewe anafunga zile picha na kwenda kwenye upande wa meseji ambapo alilitafuta jina la Verity likiwa limeseviwa Shem Verrity.
Alipolipata Rafiki alishuhudia meseji ikitumwa….
“Nina maongezi na wewe”
…………………….
Verity alikuwa ameketi nyumbani kwake baada ya kutoka kazini akawa anacheza cheza na mtoto wake.
Kitu kilikuwa kinamfanya atabasamu muda wote ni yuke mtoto wake…alikuwa akimuangalia jinsi alivyofanana na Sam anajikuta anatabasam tu,
Alikuwa akimuona mwanae kama vile anamuona Sam, kwa jinsi anavyompenda mume wa DADA yake (Sam), ilitosha kabisa kufurahishwa na uufanano wa mwanae kwa Sam.
“Bebiiii”
“Ma..ma…ma…ma”
Kitoto cha verity kilikuwa kinamfwata mama yake huku kinaita kwa kukatakata maneno huku kinamchekea mama yake
Verity nae alikuwa amejiachia mpaka jino la mwisho wakati mtoto wake anamshangilia, sura na muonekano wa Sam vilikuwa juu ya huyu mtoto.
“Bebiiiii…njoo bebiiiiii….waooooooooh”
Verity alimkumbatia mwanae.
“Bebiiii umefanana na baba yakoooooo, hadi raha”
Wakati Verity anamwambia mtoto hivi mtoto nae akaanza kutamka….
“Ba…ba….ba….ba….”
Gwakisa alikuwa amefika nyumbani anamuangalia mkewe ambaye anacheza na mtoto pasi na wao kumuona.
Alikuwa anafurahia jinsi mkewe anavyocheza na mtoto lakini ghafla alibadili mudi baada ya kusikia verity akimmwambia mtoto amefanana na Baba yake hadi raha.
Hapa Gwakisa alikuwa anajiuliza ni baba yupi huyo anayefanana na mtoto wakati yeye hafanani nae hata kidogo.
Ghafla meseji iliingia kwenye simu ya Verity ambaye aliichukua asome ile meseji
“Nina maongezi nawewe”
Verity aliisoma hii meseji kutoka kwa Sam, wakati anataka kuijibu alicheki pembeni na kukutana na sura ya Gwakisa akiwa ameegemea mlango.
“Baba mbona mkimyakimya”
“Kwni hapa si nyumbani kwangu”
“Haya karibu baba”
“TOTOOOOOOO…umemuona baba…njoo umsalimie”
Verity alikuwa anamvutia mtoto kwa baba yake (Gwakisa)
“Huyu mtoto nimefanana nae eenh?” gwakisa aliuliza
“Mh hata hujafanana nae sana, labda pua tu mimi ndio nimefanana nae” verity alijibu bila kujua kuwa anategwa.
“Si nimekusikia sasa hivi hapo unamwambia amefanana na baba yake hadi raha, alafu saivi unasema sijafanana nae ”
“Mh umenisikia sangapi, mimi sijasema hivyo”
Hapa Gwakisa alizidi kuchanganyikiwa?
“Hujasema hivyo wakati nimekusikia? Verity kuna nini kinaendelea”
“Aaaaah si ndio hiyo pua niliyokwambia umefanana nae”
“Yani Pua ndio useme nimefanana nae hadi raha?”
“Ndio, kwani mbona unauliza sana, una wasiwasi juu ya huyu mtoto”
“Sina wasiwasi wala usijali”
Tangia siku hiyo Gwakisa alikuwa amejenga picha mbaya sana kichwani mwake kuhusu Verity na Yule mtoto.
Kuna roho la mauaji lilikuwa limeanza kuisonga akili yake na lilikuwa linamtuma kufanya kitu kibaya.
……………………………
Rafiki alikuwa anawaza mengi sana kichwani mwake, kitendo kile alichokuwa anakiona kwa mme wake na mdogo wake kilikuwa kinampa wakati mgumu sana.
“Vipi una maongezi gani na Verity?”
“Kwani nimesema nina maongezi nae, yanini sasa?”
“Mme wangu…nimekuja mda tu na nimekuona unavyomuangalia mtoto wa mdogo wangu kwenye picha kisha ukamtumia verity meseji kuwa una maongezi nae, sasa unakataa nini?”
“AHHH kwahiyo unanichunguza? Unaanza kuniendesha kwasababu nimeambiwa nina matatizo si ndio?” sam alikuja juu.
“Usijali Sam, matatizo yako yanatibika ila unatakiwa uwe na subira, siwezi kukuendesha wewe ni mume wangu”
Ukweli ni kwamba Rafiki alikuwa amesoma saikolojia ya mume wake na kuona kuwa haiku sawa hakutaka kubishana nae na aliona njia nzuri ni kwenda nae polepole kwa kumbembeleza asijisikie vibaya.
Alimuendea pale alipo akamkumbatia na kuanza kumsugua sugua mgongoni ambapo Sam alianza kuwa normal na hata ile tempa ikawa imeshuka.
Rafiki alichukua simu ya Sam na kufungua picha za Yule mtoto na kuanza kumtania mme wake..
“Mh mume wangu umefanana na huyu mtoto?”
“Acha bhana sasa nifanane nae kwani ni ndugu yangu?”
“Lbda wewe ni baba yake?”
“Acha utani bhana, Verity si shemeji yangu, kwanza umeshaambiwa mimi nina matatizo”
“Sasa kama matatizo uliyapata baada ya kutungisha mimba, kwani si ulipigwa ukiwa tayarii ushatembea na Verity?”
Sam alipigwa na butwaa la mwaka kwani katika akili yake alikuwa hata siku moja hajawahi kudhani kuwa Rafiki anajua kuwa aliwahi kutembea na Verity. Alijua siri hii anaijua Verity na baba yake tu kumbe Rafiki alikuwa anajua kila kitu.
“Ahhhh….AHHHH acha utani bwana”
Sam alishikwa na kigugumizi kabisa na kushindwa kuongea jambo la maana.
“Tuachane nayo tuongelee yetu, ila chondechonde usije ukaharibu ndoa ya mdogo wangu”
Sam alitaka ajibu neon lakini Rafiki alimuwahi na kumnyonya mdomo na kuanza kufanya yao hadi walipochoka na kuamua kulala.
………………………………………….
Asubuhi na mapema Verity alichukua simu yake na kutaka kumpigia Sam, simu iliita kisha Sam akapokea
“Haloo”
“Mambo vip”
“Poa, umeniambia una mazungumzo na mimi”
“Ndio ni kuhusu huyo mtoto”
“Ana nini, si tulikubaliana hutamuulizia”
“Sawa Verity, hivi nikuulize kitu kimoja”
“Uliza… ”
“Mbona hospitali nimembiwa sina uwezo wa kuzaa alafu nawewe unaniambia mtoto ni wangu?”
Wakati Verity anataka ajibu alikutana na mumewe uso kwa uso akiwa anamuangalia
“Haloo, halooo, halooooo” Sam aliendelea bila kujua kuwa mwenzake yuko kimya kwasababu kataitika.
…………………………
Rafiki alitoka nje baada ya kumuona mumewe anaongea na simu kwa kujiibiza, aligundua kuwa Sam alikuwa anaongea na Verity.
Roho ilimuuma kiasi ambacho aliona anaweza asiweze kuvumilia…akiwa anawaza simu yake iliingia meseji, alipoifungua akakutana na meseji ya Dr Kelvin… “Nimekumiss mrembo”
Rafiki alifikiria ile meseji na kujikuta akivuta kumbukumbu nyuma na kisha akaishia kushusha pumzi kwa nguvu na kufuta ile meseji.
………………………
Gwakisa alikuwa anaemia mno moyoni, na Verity alionekana kabisa hajali….
Gwakisa aliingia kwenye kabati la nguo na kufungua chemba yake akaitazama Bastola yake kisha akaiweka vizuri, pepo la kuua lilikuwa limekaribia kabisa na vitendo, hakupenda kudharaulika…………

Maisha ndani ya Nairobi yalikuwa yakienda kwa kasi sana, Rafiki alikaa na mme wake kwa muda wa wiki moja huku Sam akijitahidi kumtembeza maeneo mazuri nay a starehe yaliyojazana kwenye jiji hili la Nairobi.
Rafiki alikuwa na furaha na aliionyesha usoni lakini ndani ya moyo wake alikuwa na kinyongo kinamtafuna.
Uhusiano kati ya Sam na Verity ulikuwa unamtesa sana, alijua baada ya ndoa kila kitu kitakuwa kimekaa sawa na Sam n verity watasahauliana lakini anashuhudia uhusiano ukiendelea kwa kupigiana simu na mawasiliano ya siri kuonyesha kuwa kuna jambo kati ya hawa watu wawili linaendelea.
Sam nae alikuwa anajaribu kuwaza kwanini Verity amemkatia simu ia alipokumbuka kuwa Verity ni mke wa mtu aliamua kuacha na kusubiri endapo Verity angemtafuta mwenyewe.
Siku ya siku ilifika Rfaiki akapakia kwenye ndege na safari ya kurudi dar es salaam ilikuwa imewadia. Kwa kuwa Dar es Salaam hadi Nairobi ilikuwa ni takribani lisaa limoja tu na dakika kadhaa haikumchukua muda mrefu sana Rafiki kufika.
Alifika na kuunganisha kwa basi lililokuwa linaenda Mbeya siku hiyo hiyo, akiwa ndani ya basi alikuwa akiwaza mambo mengi sana lakini mengi yakiwa yanaihusu ndoa yake.
Alikuwa anampenda sana mme wake na alitamani awe nae muda wote ili yale yanayowahusu wayajenge pamoja.
Alitamani sana awe na mtoto, alitamani amzalie mume wake ili atimize majukumu yake ya ndoa lakini ndio hivyo tena, wakati mwingine alijikuta akimchukia mdogo wake kwa kudhani kuwa huenda anamdharau kwakuwa yeye amezaa na Sam ikiwa yeye mwenye mume ameshindwa kumzalia mume wake.
Akiwa anawaza kumbukumbu zake zilienda mpaka kwa Dr Kelvin na kuamua kumtumia meseji kwani tangu alipotumiwa meseji na Dr huyo hakuwahi kuijibu.
“pole na kazi Dr. nadhani uko mzima”
Dr kelvin akiwa kazini kwake hakuamini kuona meseji kutoka kwa mwanamke ambaye toka aanze kazi ya udaktari huku akiwa na tabia ya kutembea na wagonjwa hakuwahi kukutana na mwanamke aina ya Rafiki. Alikuwa anavutiwa nae mno, alitamani sana alale nae hata mara mia moja ikiwezekana awe wake kabisa japo ni mke wa mtu tayari.
Kitendo cha kutumiwa ile sms kilimfanya auone ushindi ukikaribia mlangoni kwake.
Aliacha kila kitu na kuchukua simu kwa lengo la kumpigia kabisa Rafiki.
………………………………
Sam alikuwa kwenye kituo cha mafunzo ya kiusalama ambapo pamoja na mambo mengine lakini alikuwa anasomea masuala ya teknolojia na upelelezi jeshini.
Hizi ni kozi ambazo walikuwa wanasoma watu wachache ambao huwa wanalengwa kwa ajili ya vyeo vikubwa kwenye jeshi la Polisi.
Pamoja na uzuri wa hii kozi lakini Sam alikuwa anateswa na masharti ya dokta kwamba asifanye kazi ngumu sana hadi atibiwe tatizo lake la kutokutungisha mimba(infertility).
“Heeey…njoo hapa”
Sam aliitwa na kamanda wa mafunzo…
“Kwanini hujaenda mazoezini”
“Najisikia kuumwa mkuu”
“Pumbaaav….haya lala chini”
Sama alibidi alale, ahakukuwa na namna ya kujibishana na mkuu wake.
“Roll mpaka kuleeeee kwenye gereji”
Sam ilibiidi aanze kujibiringisha hapo chini mpaka akafika kwenye gereji ya hapa chuoni na kuamriwa ageuze tena.
Zoezi hilo lilipoisha alikuwa amechafuka kama aliyekuwa amezikwa.
“Miguu juu kichwa chini tembea na huu ukuta uende na kurudi”
Hili ni zoezi lingine ambalo Sam alikuwa analia nalo akiwa anazunguka kwenye ukuta kwa kutumia mikono huku miguu ikining’inia juu ya ukuta,
Mateso aliyokuwa anayapata alijiona wazi akiwa anaharibu masharti ya daktari, hakuwa na namna ilibidi aendelee na zoezi lake.
Alihenyeshwa kwa zaidi ya masaa mawili ndipo akaachiwa na kwenda kujumuika na wenzake.
Siku ya kesho yake aliamua kumfwata mkuu wa mafunzo na kumueleza matatizo yake akiambatanisha na vielelezo kutoka kwa daktari wa Kenyatta Hospital.
“Wewe Mtizedi shenzi sana…umewahi sikia askaria akililia kuzaa?” sam alikuwa anaambiwa maneno ambayo hakuyatarajia.
“Kwa kukupa tu taarifa, hawa wote hapa wanaowafundisha hakuna aliyepata zaa mtoto, hakuna aliyeoa bibi” askari huyu alikuwa akiongea lafudhi ya Kikenya akimwambia Sam kuwa eti sio lazima Askari azae.
“Wewe nenda fanya research yako alafu uniambie uliwahi ona komandoo wangapi wakizaa watoto?”
Sam kwa wakati mwingine alikutana na mtihani mwingine. Nikweli kuwa mazoezi yale magumu sana waliyokuwa wanapewa ilikuwa sio rahisi kuwa na uwezo wa kupata watoto, yalikuwa yanaharibusana mfumo wa uzazi wa awe mwanamume ama hata mwanamke.
Sam alijipa moyo kwamba whatever ili mradi tayari ana mtoto wake mmoja.
“Nitahakikisha namchukua mwanangu kutoka kwa Verity, sitajali chochote hata kama ni DNA tutapima, siwezi kupoteza damu yangu” sam alikuwa anawaza kimya kimya.
………………………………………
Verity alikuwa anashangazwa sana na mabadiliko ya mume wake Gwakisa, upendo uliongezeka mara dufu.
Kila siku jioni ilikuwa ni lazima watoke wakatembee wale na kunywa kwa furaha
Kila Gwakisa alipopata nafasi ya kutoka basi alikuwa anawaletea zawadi nyingi sana ikiwemo nguo na vitu vingine vingi tu vya kupendeza.
Ofisini kwa Verity kila mtu alikuwa anamuonea wivu jinsi ambavyo alionekana kupendwa na mume wake.
Alikuwa analetwa asubuhi na gari na jioni anafwatwa kurudishwa nyumbani na Gwakisa huyuhuyu bila kumtuma mtu.
Siku zilisogea kidogo na siku moja ambayo haikuwa na taarifa Verity alishtuka kupewa funguo za gari.
“Hii ni yako baby…utakuwa unaendesha mwenyewe kwenda kokote”
Verity alibaki mdomo wazi akiitazama Harrier Mpya ikiwa imepaki ukumbini huku iking’aa kwa upya wake….
“Waoooh baby mbona siamini, ni lakwangu kweli”
“Ni lako mke wangu…I LOVE YOU” Gwakisa alimwambia Verity ambaye hakutaka kusubiri akamvaa mme wake na kuanza kumnyonya mdomoni.
Gwakisa alikuwa ni mwanamume mwenye mwili mkubwa uliojengwa kwa mazoezi, aikuwa mrefu na mwenye misuli kiasi kwamba Verity alivyokumbatiwa alikuwa kajaa kwenye kifua cha Gwakisa na kupakatwa kama mtoto huku miguu yake ikipita kiunoni mwa Gwakisa wakinyonyana ndimi.
Zoezi liliendelea pale nje na hatimaye likahamiia ndani ambapo Verity alinyonyolewa nguo zake na kuegeshwa ukutani kisha gwakisa nae akatoa suruali yake huku akiwa kambeba verity kifuani akauchomeka mhogo wake kwenye ikulu ya Verity ambae alianza kugugumia kwa utamu.
Uimara wa Gwakisa ulimfanya afanye mapenzi na Verity huku akiwa kamshikilia juu juu mpaka wote wakamaliza mizunguko ndio wakaachiana na Verity akashushwa chini akiwa hajiwezi kwa furaha.
Zoezi la kufundishwa kuendesha gari liliendelea kwa siku kadhaa huku likisimamiwa na Gwakisa mwenyewe ambapo sasa Verity alikuwa na uwezo wa kuendesha gari anaenda kazini na kurudi pamoja na kwenye mizunguko mingine.
Sam Na Verity walikuwa wanawasiliana kwa siri kitendo ambacho Gwakisa alikishtukia lakini hakutaka kusema jambo alikaa kimya tu, mapenzi kwa mkewe na mtoto aliyazidisha mara dufu kiasi ambacho kilimpa nafasi Verity kuhisi anapendwa sana,
Kutokana na mapenzi haya Verity alimsihi sana Sam kuwa wasitishe mawasiliano kwani hakutaka kumuudhi mme wake lakini Sam alikuwa mgumu kwa kuwa alikuwa anampango wa kumchukua mtoto.
……………………………………..
Gwakisa alikuwa ndani ya Gari la mkewe huku akiwa na mtoto wanaenda matembezi. Walikuwa wamekaa sehemu wanapata vinywaji na marafiki zake huku mtoto wake akiwa anacheza gemu kaka kwenye kiti.
Rafiki zake Gwakisa ambao walikuwa hawajui kuwa Yule ni mtoto wa Gwakisa walimuuliza…
“Gwakisa huyu mtoto ni wa nani?”
“Mtoto wangu huyu”
“Kweli?”
“Haaa , huamini au?”
“acha masihara bhana”
“Huamini nini sasa”
“Mh mzuri kweli, atakuwa amefanana sana na mama yake maana ulivyo na sura ngumu angefanana na wewe sijui ingekuwaje”
Hili lilikuwa ni dongo jingine kwa gwakisa kuhusu mtoto, roho ilikuwa inamuuma ila akawa anajikaza tu.
Maisha yaliendelea huku Gwakisa akiwa karibu sana na mtoto wake kuliko hata mtu mwingine, kwa Verity ilikuwa ni furaha na alikuwa anapenda yale mapenzi ya Baba kwa mtoto japo alijua kuwa mtoto ni wa Sam.
“Mimi kesho ntaenda dar mke wangu”
“Kufanyaje?”
“Nimeitwa makao makuu ya Jeshi”
“Mhhh tutakumis”
“Hata mimi nitawamis, hasa haka katotoooo”
“Nenda nae”
“Kweli kabisa”
Kwa Gwakisa hili lilikuwa ni zaidi ya ushindi kwani mda wote alikuwa anatafuta ni namna gani anaweza kuondoka na mtoto.
Kitendo cha mkewe kusema hivi kilimrahisishia na kuishia tu kufurahi huku akikimbia na mtoto chumbani kwenda kulala.
……………………………………………
Gwakisa ndani ya gari anaelekea DAR huku pembeni amekaa mtoto wao ambae alikuwa na amani zote anapokuwa na baba yake.
Walikuwa wanasuka kwenye milima ya Kitonga huku safari ikiwa imeiva kabisa, kila mara Gwakisa alikuwa anakitizama hiki kitoto na kutikisa kichwa chake tu.
Walipofika dar kwenye mida ya saa mbili usiku aliwasiliana na watu wake ambao walikuja hapo hotelini na kufanya nao mazungumzo kisha wakaagana kwa ahadi ya kuonana tena kesho yake.

“…dadiii ojoa..”
“Nini ”
“Ojoa”
“Umekojoa?”
Ni Gwakisa akiwa na mwanae chumbani akimwambia kuwa anataka kukojoa, Gwakisa aliamka akamchukua mtoto mpaka bafuni ambapo alimvua nguo na kumpa nafasi ya kukojoa.
Walirudi mpaka chumbani kisha wakapanda kitandani kulala. Kabla hawajalala alimvalisha pampas vizuri na nguo za kulalia kisha akamfunika na kuanza kumbembeleza kwa kumpigapiga mgongoni ili alale.
Wakiwa wanabembelezana simu iliita ambapo alipoangalia aligundua kuwa mpigaji alikuwa mkewe,
“Vipi mpo salama”
“Tuko salama sijui wewe”
“Mimi niko poa, vipi huyo mtoto hakusumbui”
“Wala hasumbui hapa ndio anataka alale”
“mhh hajalala tu mpaka mida hii?”
“Hajalala ongea nae umsikie”
Yule mtoto ambae alikuwa anaitwa Princess alipewa simu ili aongee na mama yake
“Kamoo mamiii”
“Marhabaaa, hujambo”
“Jambo mamiii”
“Haya lala mtoto mzuriiii ee”
“Haya mamiii”
Walipomalizana Gwakisa aliendelea kumbembeleza mtoto wake ambae alikuwa amejikunyata huku akiwa kama kamkumbatia baba yake kitendo ambacho kilimfariji sana yeye Gwakisa mwenyewe.
Alikuwa amemzoea sana huyu mtoto kiasi ambacho alikuwa anafarijika sana kuwa nae japo wakati mwingine alikuwa anaemia sana.
Baada ya dakika chache usingizi uliwapitia wote na kuzama katika dimbi la usingizi hadi kulipokucha siku nyingine.
……………………………….
Sam alikuwa akiwaza sana kila wakati akifikiria mustakabali wa maisha yake.
Aliwaza ikiwa hatakuwa na uwezo wa kuzaa kabisa maisha yake yatakuwaje? Ina maana hataitwa Baba kamwe, ina maana atazeeka akiwa na mkewe tu?
Lakini je mkewe atakubali kumvumilia mpaka mwisho bila kuzaa nae au ndio ataenda kwa wanaume wengine?
Aliwaza sana hadi mwishowe akajikuta akiichukia kazi ya Uaskari.
Lakini hata pamoja na kuichukia kazi ya uaskari hakuona kama ilikuwa ni njia sahihi ikiwa tayari yumo humo nay a kutokea tayari yameshatokea.
Aliamini kilichobaki kwakuwa tayari ana mtoto wake anayeamini ni uzao wake ni lazima iwe iwavyo amchukue.
Katika mambo aliyowaza na kuyapitisha kwenye kichwa chake ni kwamba ampigie Verity simu ajadilian nae kuhusu hilo swala.
“Haloo”
“Enhee unasemaje?”
“Hata salamu hakuna Verity?”
“Hivi lakini Shemeji Sam mbona hujiheshimu?”
“Unamaanisha nini Verity”
“Nimeshakwambia sitaki mawasiliano na wewe, mimi ni mke wa mtu na wewe ni mme wamtu tena mme wa dada yangu, hivi ukiharibu hizi ndoa unadhani utafaidika nini?”
“Yani wewe Verity ndio wa kusema hivyo, wewe na mimi nani ambaye alimuingiza mwenzake kwenye haya mambo?”
“Sasa nisikie Sam, elewa kwamba yaliyoppita yamepita, mimi nampenda sana mme wangu, sitaki unigombanishe nae”
“Sawa namimi sina shida na hilo, mimi nataka tu mtoto wangu na sio kingine”
“HAHAHAHAAAAAA Sam umelogwa sio bure, hivi hutaniwi? Nakuuliza hutaniwiii? Aliyekwambia Yule mtoto ni wako kakudanganya na kama ni mimi basi nilikutania tu, huna uwezo wa kuzaa Sam, ungekuwa nao ungeshamzalisha dada yangu”
Sam kwa hasira aliamua kukata simu.
Mawazo lukuki yalikiandama kichwa chake akaona kinataka kupasuka, kabla hajafanya lolote simu yake ikaingia meseji.
“Nakwambia ukweli Sam, nilikutania tu kusema ukweli Yule mtoto sio wako, mtoto ni wa Gwakisa na nakuomba usimtaje tena mimi nilikwambia vile kwasababu nilitaka tuendeleze mapenzi yetu ila nimegundua nampenda sana mme wangu, please naomba uzae wa kwako, huyu sio wako”
Sam alisonya kisha akaamka alipokuwa amekaa na kuanza kupiga ngumi ukutani kwa hasira, hakuamini maneno aliyoambiwa na Verity. Yalikuwa yamemuumiza kuliko kawaida kiasi kwamba alijikuta akikata tama kabisa.
…………………………
Ilikuwa ni saa mbili asubuhi ambapo tayari Gwakisa alikuwa ameamka na mtoto wake wanajiandaa kwa siku nyingine.
Gwakisa alikuwa anampigisha Princess mswaki kisha akamuogesha kwa maji ya moto na yeye mwenyewe akajisafisha kisha hatimaye wakavaa vizuri na kuondoka pale chumbani.
Walielekea moja kwa moja kwenye gari lao na hatimaye wakaenda mpaka Mikocheni kulipokuwa na hospitali moja ya kisasa kabisa iliyokuwa inamilikiwa na wajerumani.

Alipofika walipokelewa vizuri kisha Gwakisa akapelekwa sehemu ambayo kulikuwa na wataalam wa Maabara kwa ajili ya vipimo vya DNA kama ambavyo alishaweka booking siku kadhaa nyuma.

Walichukuliwa vipimo yeye pamoja na mtoto wake kisha wakaambiwa wakapumzike nyumbani hadi kesho yake aje achukue majibu.
Hakukuwa na jingine isipokuwa Gwakisa aliamua kuzunguka mjini akitafuta nguo za mtoto wake, yeye mwenyewe na mama yake hadi ilipofika mchana ambapo walienda mpaka Mlimani City wakajipatia chakula cha mchana.
Siku ilimalizika wakiwa wanatembea maeneo mbalimbali kisha wakarudi kwenye hoteli waliyofikia.
Mawasiliano na mkewe (Verity ) yalikuwa kila wakati yanafanyika huku akimdanganya kuwa yuko Dar es Salaam kikazi ili hali sio kweli bali ameenda kupima DNA ya mtoto wake.
……………………………….
Sam alikuwa bado na mawazo mengi sana akitafakari yote aliyoambiwa na Verity lakini kwa Upande mwingine Verity nae alikuwa amekosa amani kwa yale ambayo Sam alikuwa anayafanya, hakutegemea hata siku moja kuwa sam atakuja abadilike kiasi hicho juu ya mwanae.
Kwasasa Verity aliiona hatari ambayo ilikuwa inamnyemelea endapo Gwakisa ataugundua mchezo unaoendelea.
Alitamani hata kumuua Sam lakini kivipi alikuwa hajui, maisha yake mapya na mme wake aliyapenda sana na asingetaka mtu ayavuruge.
Sam hakutaka kumuacha Verity na ushindi, alichokifanya aliamua nae amtumie sms
….nakwambia ukweli Verity, kama huyo ni mtoto wangu nitamchukua tu, kama sio wangu swadakta ila kama ni wangu siwezi kuruhusu damu yangu ilelewe na mwanaume mwingine Never, Jiandae kwa DNA, kwa hili hata mme wako nitamtaarifu ili ajue…..!
Verity alipoiona hii sms alisikia kama kitu kinakata kutoka upande mmoja wa tumbo kwenda mwingine, hakuwahi kufikiria kuhusu DNA na hapa aliona mambo yakivurugika kabisa na ghafla mkono ukawa umepanda kwenye tama kuashiria kuwa mambo sio shwari.
………………………..
Kulipokucha Gwakisa kama kawaida alimuandaa mtoto wake Princess pamoja nayeye mwenyewe kwa ajili ya kwenda kue hospitali kupokea majibu.
Waliingia kwenye gari lao na safari ikaanza taratibu huku Gwakisa akiwa na mawazo lukuki, kuna wakati alijilaumu kwa uamuzi wake, alijiuliza hivi ikitokea kuwa Yule sio mtoto wake atamfanyaje?
Je atamuacha mke wake? Je atamfukuza mtoto nyumbani ama atafanyaje?
Kuna wakati alitamani asingeamua kupima akaishi tu akiamini ni mtoto wake kuliko atakapoujua ukweli kabisa.
Alimuangalia Yule mtoto pale pembeni anavyojisikia furaha akimuona Baba yake anaendesha gari, alifikiria jinsi mtoto anavyompenda hadi kuwa nae siku zote bila kumkumbuka mama yake alafu leo aambiwe sio wake atafanyaje?
Moyo ulimuuma sana lakini mwisho akaamua ni lazima amalize kazi aliyoianza.
Safari ya Hospitali iliendelea na hapa tayari walikuwa Mwenge, waliendelea na barabara ya Ali Hassan Mwinyi mpaka walipofika eneo linaitwa Victoria kisha wakakunja kushoto hadi ndani ndani huko ilipokuwa hiyo hospitali.
Alishuka kwenye gari akamchukua mtoto wake akamuweka begani kisha akafika mapokezi ambapo simu ilipigwa kwa wahusika.
“Kaka naomba ukae wanasema utaitwa baada ya robo saa”
Gwakisa alikaa kwenye kiti bila wasiwasi huku mwanae akiwa kamlalia mapajani.
Baada ya dakika kama kumi hivi Yule dada pale mapokezi alimuita na kumwambia kuwa anahitajika kwa daktari wake.
Gwakisa alimchukua mwanae kwa kumshika mkono wakatembea mpaka kule ilipokuwa ofisi ya daktari aliyewahudumia.
“karibuni sana mketi”
“Asante sana”
“Totooo jambo”
“Jambo”
Sasa ndugu Gwakisa Ambikile majibu yako yako tayari na tunakuomba uingie chumba hiki hapa kuna wataalamu uonane nao kwanza kabla sijakupa majibu.

Mawasiliano kati ya Sam na Rafiki yeliendelea vizuri tu japo hayakuwa imara kama awali, siku zote Rafiki alikuwa ndie wakkwanza kumtafuta Sam lakini moyo ule ulianza kupotea na alikuwa anamtafuta kutimiza wajibu tu.
Mambo mengi yalikuwa yamemkatisha tama lakini kubwa likiwa kitendo cha Mme wake kuwa na mawasiliano ya karibu sana na Verity.
Jambo jingine ni jinsi ambavyo hawapati mtoto na kugundulika tatizo lipo kwa mme wake, alikuwa tayari kumvumilia mpaka tatizo lile lipone lakini kinachomuumiza ni tabia ya Sam kutokuwa mwaminifu.
Akiwa anawaza haya yote simu yake iliita na mpigaji alikuwa ni Dr Kelvin.
Waliongea mengi sana ikiwa ni pamoja na hatua tatizo lao lilipofikia. Dr kelvin alikuwa anaongea kistaarabu sana na mpaka wanamaliza mazungumzo hakutamka jambo lolote la kimapenzi.
Kitendo hiki hadi Rafiki alikishangaa kwani kwa jinsi alivyokuwa anamjua Dr Kelvin na tabia yake mbaya alijua basi siku hiyo angeombwa “naniliu”.
“Haya dada nikutakie siku njema na Mungu awasaidie tatizo lenu liishe”
Dr Kelvin alimalizia kwa kusema hivyo
Kwenye akili ya Dr Kelvin alikuwa amepanga mkakati wa kumnasa Rafiki, katika mkakati wake aliamua kutokuwa na haraka, alijua kuwa kwa kufanya hivi ataonekana kuwa sio mtu mrahisi na mpenda hayo mambo hivyo anajenga kwanza kuaminika.
Ukweli ni kwamba Rafiki alibaki kaduwaa kweli kweli kwani alitaka achokozwe kidogo ili apunguze machungu ya Sam japo swala la kusaliti kabisa ndoa yake bado lilikuwa gumu kuafikiwa kwenye moyo japo kuchokozwa kidogo alitamani ili nae ajione anadai.
Kesho yake Rafiki akiwa kazini kwake alipokea simu nyingine ya Dr Kelvin.
“Haloo niko hapa nje ya ofisini kwenu”
“We mutu umekuja kufanya nini huku?”
“Kwani ofisi zenu huwa hazihudumii binadamu au mimi sistahili huduma zenu”
“Mh haya bhana, karibu”
“Njoo hapa nje unisalimie”
Rafiki aliwaza kidogo kisha akauliza “Uko na nani”
“Niko na mke wangu njoo umsalimie mfahamiane”
Rafiki kusikia vile alishtuka kidogo kisha akaona asipoenda ataeleweka vibaya ni bora aende tu.
Alitoka nje na kukuta gari imepaki karibu na geti huku Dr Kelvin akiwa ametoa kichwa dirishani.
Rafiki alisogea pale akamsalimia kwa adabu zote lakini cha ajabu hakumuona huyo mke wad r kelvin.
“Huyo mkeo yuko wapi sasa?”
“Nilikuwa nakutania bhana, mke wangu yuko nje ya nchi anasoma”
“Hujatulia kabisa wewe”
“Sio kweli… twende ukapate breakfast kidogo”
Rafiki hakukataa kwasababu kwanza ndio ilikuwa mida ya chai hivyo alichoma ndani ya gari na kuelekea kwenye mgahawa ambapo walipata kifungua kinywa kilicholipwa na Dr Kelvin.
Walipomaliza Dr Kelvin alimpeleka mpaka ofisini kisha yeye akarudi kwenye kazi yake.
Siku hii tena Dr Kelvin wala hakumwambia Rafiki mambo yoyote mabaya, hadi Rafiki anafika ofisini alikuwa anawaza na kuamini kuwa huenda Dr Kelvin ameamua kubadilika.
Usiku rafiki akiwa anajiandaa kulala alipigiwa simu na Dr Kelvin ambapo waliongea mambo mengi sana kisha Dr Kelvin akaanza uchokozi wake.
“Hivi siku ile kule hospitali ulijisikiaje?” aliuliza Dr Kelvin
“Nilijisikia vibaya”
“Basi ungekubali tu tumalize ungejisikia vibaya zaidi”
“Walaaa siwezi kukubali, yani nikubali ili nijisikie vibaya zaidi”
Waliendelea kuchokozana na katika mambo ambayo Rafiki alikuwa hajui ni kwamba Dr Kelvin alikuwa mtaalam wa mapenzi mpaka ya mdomoni, yani mapenzi ya kuongea.
Alimpelekesha Rafiki kwenye simu mpaka ikafika wakati akawa anamvua nguo moja moja anaweka pembeni, anamtomasa, anamchezea sehemu nyeti mpaka ikulu kisha anampanua miguu na kuingiza mashine yake.
Anamkatikia viuno na kumbadililishia style mbali mbali hadi Rafiki anakojoa kabisa.
Haya yote yanafanyika kupitia kwenye simu.
Ilifika hatua Rafiki akakojoa kweli huku anamwambia Dr Kelvin kuwa anakojoa.
Siku ile iliisha kwa Rafiki kuwa amejisikia rah asana kukatwa kiu yake.
Ilifika hatua kwamba kila siku kabla Ya kulala Rafiki na Dr kelvin wanaongea na simu hata masaa matatu.
Mchezo huu Sam aliushtukia kuwa kuna mtu anaongea na mkewe kila siku usiku tena kwa mda mrefu kwani kila alipokuwa anampigia simu ilikuwa inatumika.
Baada ya hapo Rafiki anamtafuta na kuongea nae haraka haraka kisha anakata na hapo Sam akipiga tena anakuta inatumika kuonyesha kuwa alikata tu ili amalizane na Sam alafu aendelee na watu wake.
Kitendo hiki kilimuumiza Sam lakini akaamua kukaa kimya tu.
Pamoja na Dr Kelvin kuongea mengi na Rafiki kwenye simu lakini alipotaka kuomba mzigo atusue alikuwa ananyimwa. Rafiki hakuwa tayari kufanya mapenzi nje ya ndoa yake mubashara kabisa, roho ilikuwa inamsuta sana.
Dr Kelvin nae aliendelea kukomaa na safari hii alikuja na gia ya kumzalisha.
Katika mambo ambayo wanawake wanakosea ni kutoa siri za ndani kwao pindi wanapokuwa na mahusiano ya nje.
Rafiki alishamuhadithia DR Kelvin kila kitu kuhusu mumewe, alishamwambia kuwa Sam ana mtoto na Verity na hapa Dr kelvin akaamua kupatumia kama mwanya wa kufungia goli.
“Hivi mumeo asipopona unajua wewe utabaki mgumba”
“Kwahiyo sasa”
“Kwahiyo nini? Sema nikuzalishe allafu mumeo akija nampima namwambia kuwa amepona ilia one kuwa mimba ni yake”
“Bado hujanishawishi”
“Nisikilize vizuri, mwenzio yeye hana shida kwasababu tayari ana mtoto na nikwambie kila mtu ataona wewe ndio una tatizo kwasababu mwenzako tayari ana mtoto, ina maana huna hamu ya kunyonyesha wewe”
“Ninayo lakini lazima nizae na mume wangu, ikishindikana basi”
“Nisikilize kwa makini, ninyi wanawake sio kama wanaume, wewe kadiri umri unavyoenda uwezo wako wa kuzaa unapungua, shauri yako mwenzako atapona wewe tayari umeshapitisha umri wa kuzaa ataenda kuzaa tena nje”
Kwa mbali Rafiki alikuwa anaanza kutekwa na maongezi ya Dr Kelvin, alitaka kumwambia ameridhia ombi lake lakini anasita akabaki anakaa kimya tu.
Dr Kelvin hili aliligundua hivyo alichomwambia ni kuwa ajiandae kesho jioni atampitia waende sehemu.
Rafiki aliitikia kwa kusema “sawa” kumaanisha kuwa ameridhia.
………………………………..
Gwakisa alikuwa kwenye chumba maalum cha ushauri nasaha.
Katika mambo ambayo alikuwa hajui ni kwamba swala la DNA huwa unapewa kwanza ushauri nasaha kabla ya kupewa majibu kama vile umeenda kupima VVU.
Alipewa ushauri mwingi unaohusiana na kama atagundua kuwa mtoto si wake ama akiwa wake ninini afanye ili asije akaleta madhara.
Gwakisa aliitikia kwa kumaanisha ameelewa kisha akaruhusiwa kurudi kwa Dr sasa akapewe majibu yake.
Moyo ulikuwa unamdunda sana mpaka akawa anajutia kwanini alikuja kufanya hiyo test.
Alipokaa vizuri Yule Dr alichukua makaratasi yaliyokuwa pale mezani na kumkabidhi Gwakisa.
Gwakisa haraka haraka alianza kupitisha macho akisoma kile kilichoandikwa lakini akawa haelewi vizuri maneno yale ya kitaaluma.
“Dr nifafanulie”
“Sawa usijali, sogea hapa karibu”
Gwakisa alisogea na kuanza kusomewa maandishi yote na maana yake halisi.
Gwakisa hakuamini masikio yake pale alipoambiwa kuwa vinasaba vyake na vya mtoto vilikuwa haviendani kabisa na hivyo mtoto Yule sio damu yake.
“Nilijua tu” aliropoka Gwakisa.
Yule Dr alibaki amemuangalia tu Gwakisa aliyekuwa kajiinamia huku machozi yanamwagika usoni, hakuamini kuwa mwanajeshi kama yeye tena Afisa wa Jeshi kuna wakati atatoa machozi yake.
Alikuwa anaemia sana moyoni huku akimlaani mkewe kwanini amemfanyia mambo mabaya kama hayo.
“Ndugu wala usilie, haya yaliyokukuta yanawakuta wanaume wengi sana, wengine huko majumbani wanalea watoto sio wao ila ni vile tu hawajapima, sasa wewe kwakuwa umejua tuliza moyo ujipange lisije likatokea tena”
“Dadiii lia nini?” masikini ka Princess nako kalikuwa kanatoa machozi kalivyomuona baba yake analia, hakuelewa kilichokuwa kinaendelea kuwa kinamuhusu.
Gwakisa alinyanyua uso akamwangalia Yule mtoto kisha akamnyakua na kutoka nae bila hata kuaga,
Alipofika nje aliingia kwenye gari na kuelekea hotelini.
Alichukua vitu vyake na hakutaka kulala siku hiyo akaamua kurudi mbeya.
Alipofika Morogoro karibu na Stendi ya Msamvu alisimamishwa na baadhi ya vijana wakamwomba kuwa kuna dada anaomba ampakie kwani anaenda Mbeya ila amekosa Basi.
Gwakisa alijifikiria ila alipomuona mdada mwenyewe alimkubalia kwani hata hivyo ndio kawaida ya hapo Morogoro na alishawahi kupakia watu mara nyingi tu huku wakichangia mafuta.
Yule dada alipanda kwenye gari wakatambulishana vizuri kisha safari ikaanza, maongezi yalikuwa yanaendelea japo kwa kusua sua sana kwani Gwakisa alikuwa na mawazo yake hivyo Yule dada muda mwingi alikuwa anaongea na Princess wakichekeshana.
Kuna wakati ulifika Gwakisa nae akawa anavutiwa na maongezi ya Princess na Yule Binti kiasi kwamba akawa anajisikia kucheka.
Safari iliendelea huku Gwakisa akimchunguza huyu dada na kugundua kuwa alikuwa mrembo kwelikweli, alikuwa mrembo kuliko hata Verity, kuliko hata wanawake wengi aliowahi kukutana nao.
Alipomuona nguo yake imepanda juu kidogo na sehemu ya Paja kuonekana kidogo ndio kabisa aliamini kuwa huyu dada hakuwa wa kawaida.
Alikuwa mrembo kupitiliza, kwanza alikuwa kama chotara flani hivi.
Gwakisa hakuweza kukaa kimya?

“Dada umeniambia wewe ni mwenyeji wa Mbeya?”
“Hapana niko kikazi tu?”
“Okey unafanya kazi gani?”
“Mimi ni askari polisi”
“Ahhhh acha utani bhana, askari gani yuko hivyo”
“Kwani nikoje? Tena mimi niko kikosi cha FFU”
“Duh aloo siamini kabisa, anyway na mimi ni askari wa JWTZ”
“aaaah nilijua tu, huo mwili wa kijeshi kabisa”
“Kumbee najulisha kabisa”
“Haswaaa”
Maongezi yalikuwa yamenoga sasa kiasi kwamba ilibidi Gwakisa apunguze mwendo ilia pate muda wa kutosha kupiga story na huyu dada.
Story zilinoga mpaka wanafika Mbeya saa tano usiku Gwakisa akaamua kumpeleka huyu dada mpaka kwake kisha akaondoka na mwanae kurudi nyumbani.
Alipofika na kumwona Verity alijikuta hasira zikimuwaka ila akajitahidi kumsalimu na kumchangamkia kinafiki.
Waliongea mawili matatu huku Verity akifurahia kuonana na mwanae kisha wakalala hadi asubuhi ambapo Gwakisa aliondoka kwenda kazini huku akiwa na mipango kibao kichwani kwake.
Katika mipango yake aliyokuwa anapanga mmoja aliuona unafaa sana na akaamua kuutekeleza haraka sana.
Alichukua simu yake akatafuta namba kisha akakutana na namba ya Yule dada aliyempakia jana yake na kumpigia simu.
“Uko hpo kwako eenh, sawa nakuja dada, nakuja kukusalimu”

Gwakisa alikuwa nyumbani kwa askari huyu wakike ambaye alimpakia kutoka Morogoro mpaka Mbeya.
Alijuta kwanini alijipeleka kwani mambo aliyokuwa anafanyiwa hakuwahi kuyatazamia.

Askari huyu alikuwa anamwekea mitego milioni kasoro, alikuwa amevaa kanga tu huku akijipitisha kila wakati mbele ya Gwakisa kwa madai kuwa anamwandalia chai.

Gwakisa aliishia kukodoa macho tu, rangi ya nguo ya ndani aliyokuwa amevaa askari huyu ilikuwa inaonekana kabisa kuwa ni pinki.

Kila alipokuwa anatembea kanga ilikuwa inafunuka na kuliacha paja wazi kiasi.

Weupe wa huyu dada unaoambatana na uchotara wake ulimfanya avutie kuliko kawaida,
Makalio yake makubwa kiasi yalikuwa yanamzidishia urembo mwingine.

Kifuani alikuwa kachongoka kama kajitengeneza mwenyewe.

Kila alichotaka kuongea Gwakisa alijikuta anakikosoa mwenyewe, mwisho aliibuka na swali lisilo maana…
“Hivi wewe ni askari kweli”? Gwakisa aliuliza.

Askari huyu kabla hajajibu alimkata Gwakisa jicho la mtego kisha akamfwata na kumpiga kijikofi shavuni huku akimchombeza…
” nawewe bhana, usichoamini kipi sasa”

“Kwa urembo huo unawezaje kuwa askari?”
Gwakisa ilibidi afunguke…

“Kunywa chai kwanza wewe afande”
Gwakisa aliambiwa hayo huku ananawishwa mikono…
Askari huyu alikuja akakaa kochi linalotazamana na Gwakisa na kuwa wote wanakunywa chai.

Mapaja ya huyu dada yalikuwa nje kiasi kwamba mhogo wa Gwakisa ulikuwa ukiisukuma suruali yake ya Bakabaka kama inatobolewa vile…

Gwakisa alipomaliza kunywa chai alinawishwa mikono na kuulizwa kama ameshiba akasema nimeshiba.

“Basi ngojea nikaoge tutoke wote”
Alisema yule askari.

” ila mimi naelekea kazini”
“Usijali kuna sehemu mimi nataka unipitishe fasta”

Gwakisa hakuwa na cha kujibu kwa jinsi alivyomuona Huyu dada askari akipita mbele yake na kijitaulo kifupi mno…

“Tunaweza kwenda sasa”
Gwakisa alikuwa anapelekeshwa kama mtoto.
“Ila umejua kunitesa leo” alifunguka Gwakisa…
“Usijali twende kwanza”
Gwakisa alijibiwa akajikuta mwili wote unasisimka, alikuwa anajiuliza ninini yule dada anamaanisha akashindwa kuelewa ila yeye akawa anasonga mbele tu.

Aliyekuwa anatoa maelekezo ni yule Binti askari, kama vile lile gari amekodi.
Gwakisa alikuwa anapelekwa tu hadi alipofikishwa kwenye jumba moja la kisasa likiwa limezungushiwa ukuta mrefu sana.

“Njoo umsalimu kaka yangu”

Gwakisa aliingizwa ndani nae akaingia.
CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Pale ndani hakukuta mtu yeyote isipokuwa kulionekana kuna watu wanakaa humo…

Gwakisa alipelekwa mpaka chumbani ambapo kulikuwa na chumba kikubwa chenye vitu vya thamani mno.

Katika hali isiyo ya kawaida yule dada alianza kusaula nguo zake akabaki na chupi tu.

” Njoo umalize mateso yako”
Gwakisa alivutwa akaanza kunyonywa midomo kitendo ambacho hakukiamini.

Michezo ya mapenzi ilianza huku wakipelekeshana kwa Romance za kiitaliano, Gwakisa alikuwa hoi bin Taaban na nguo zake zote zilikuwa chini.

“Hiki kifua na umbo lako ndio vimenifanya nikupe mwili wangu, mimi sio malaya” aliambiwa Gwakisa.

Gwakisa hakuwa na uwezo wa kujibu lolote, alikamata mtarimbo wake mkubwa akawa anauchomeka kwa yule askari

“No no no nooooo, vaa hizi, sikuamini”

Gwakisa alipewa kondom, alizichukua na kuvaa kisha akachomeka mzigo, alipokelewa na joto si la kitoto na hapa makasia yakaanza kwa fujo.

Walifanya ngono ile yenyewe kisha wakaoga na kutoka sebuleni.

Katika hali ambayo ilimshangaza Gwakisa alikuta kuna wanaume zaidi ya kumi pale sebuleni wenye miili na vifua vikubwa kuliko yeye, alipigwa na butwaa lakini alikumbana na sentensi chache kutoka kwa mmoja wao aliyekuwa amevaa suti nyeupe pee….

“Karibu Meja Gwakisa, usihofu, hapa ni Pesa na amani tu! jihesabie wewe ni mshirila kuanzia leo”
Alipokelewa kwa makofi mengi kutoka kwa hawa wanaume wengine wakiongozwa na yule Dada askari
……………………..
Rafiki alikuwa kwenye tax anaenda kugegedwa na Dr Kelvin.

Alikuwa na mawazo lukuki juu ya uamuzi wake lakini uamuzi wa kusaliti ulikuwa umezidi kwenye uzani.

Wakati anaelekea huko alikuwa anaendelea kuchat na Dr Kelvin ambaye alikuwa anamchombeza kwa maneno lukuki ya kumhakikishia kuwa kila kitu kitakuwa shwari.

Kwa maelekezo dereva wa tax aliyopewa na Dr Kelvin akawa amemfikisha sehemu muafaka.

Rafiki alishuka ndani ya gari na kujiweka nguo yake sawa ili aelekee kule aliko Dr Kelvin akagegedwe.

Alipogeuka upande mwingine ghafla alikutana na sura ya mwanamke akiwa kwenye gari anamuitaa

Mrs Sam……
Rafiki alishtuka na kabla hajajibu yule dada alishuka kwenye gari na kumfwata kwa bashasha huku akimkumbatia.

“Waoooooh jamani mtusamehe toka mmefunga ndoa hatujawatembelea jamani”

Huyu alikuwa matron aliyewasimamia kwenye ndoa yao…

Rafiki alikuwa kwenye taharuki kubwa kiasi cha kumfanya ajichangamshe kwa lazima tu….

” Roho mbaya hizo sasa, kwanini mmetutupa jamani”

” mtusamehe bure kwakweli, Mr wangu alikuwa anaumwa kweli, nilikuwa nauguza nashukuru sasa kapona, Vipi Mr mzima”

“Mzima tena yuko kozi Kenya”

” haa hongera zake, haya twende ukapaone kwetu, kule tulihama,…au una safari muhimu”
Rafiki alishindwa kukataa kwa kuhofia ataulizwa unakwenda wapi, alijikuta anakubali kupanda kwenye gari ya yule dada na safari ikaendelea.

“Hivi mlishajaliwa mtoto au bado?”
“Mh bado kwakweli, tunatafuta bado’
” usijali mtapata tu, kikubwa ni muwe na subira huku mkivumiliana maana huenda mmoja ndio ana tatizo”
“Sawa dada”
“Unajua hata mimi nilikuwa na tatizo na nashukuru mme wangu alinivumilia miaka mitano ndio nikapona na sasa tuna wale watoto watatu unaowaona’

” kweli?”
” Ndio hivyo, kikubwa mvumiliane, msitangetange nje, Mungu atashusha baraka zake, yani msijeshawishika, tena wewe ndio uwe makini zaidi maana ukibeba mimba isiyo ya mume wako itakutesa maisha yote”

Rafiki alishtuka akaona kama vile yule dada anamjua mawazo yake.

Dr Kelvin alikuwa anapiga simu kila mara lakini ilikuwa inakatwa, Rafiki alikuwa keshabadilika.
Mbele ya matron wake asingeweza kupokea simu na akili yake ilishavurugwa…
…………..
Sam alikuwa kwenye graduation ambayo ilikuwa inahitimisha mafunzo yao, alivishwa nishani na hatimaye akapanda cheo na kuvaa nyota.

Kama masihara akiwa na umri mdogo tayari alikuwa ni afsa wa Polisi.

Alikuwa sasa anajiandaa kurudi kwake kimya kimya bila kumtaarifu Mkewe.
………
Watu watatu wenye gari aina ya Noah nyeusi walikuwa nyumbani kwa Gwakisa…
Hakuna walichokuwa wanataka isipokuwa kumteka mtoto Princess….
Geti liligongwa akatoka Verity aliyeshangaa kuwaona wale watu asijue wametokea wapi….

Gwakisa alikuwa anasainishwa mikataba ambayo ilikuwa ni ya lazima huku kashikiwa Bunduki.
Alipomaliza kusaini alipewa Kopi ambayo aliambiwa anatakiwa aiweke na iwe siri yake.

Wakati wote huu wa hili zoezi pembeni alikuwepo Yule dada askari aliyetoka kungonoka nae akiwa amejaa tabasamu usoni kama vile kile kinachofanywa kwa Gwakisa kilikuwa na amani.
Gwakisa alikuwa anajiuliza sana moyoni mwake ni kwanini amedakwa kirahisi namna hii aijue kuwa wenzake walikuwa wanamlia timing mda mrefu na walishajipanga kumuingiza kwenye ushirika wao kwa mikakati mingi sana ndipo wakaamua kumtumia binti huyu mrembo.

Baada ya kila kitu kukamilika wale wanachama mule ndani walikuwa wanamshika Gwakisa mkono wa Pongezi kila mmoja kwa zamu hadi wa Mwisho akawa Yule aliyevalia suti nyeupe ambayo alipomaliza kumshika mkono alimkabidhi BriefCase na kumwambia aketi afungue aone kilichomo mule ndani.

Gwakisa aliketi akaiifungua na kukutana na vitu vilivyoulipua moyo wake.
Zilikuwepo pesa nyingi tena Dollar za Kimarekani zilizopangwa kwenye vibunda vingi, alipigwa na butwaaa hadi mikono ikawa inatetemeka.

Zilikuwa mpya na zimejaa kabisa pale kwenye kile kijibegi, katika zile noti ya bei ndogo ilikuwa ni dollar mia moja ambayo ni sawa na laki mbili na zaidi za Tanzania
“Hizi ni pesa za nani” aliuliza Gwakisa
“Ni zako kwa ajili ya chai na soda” Alijibiwa Gwakisa
“Yani mmenipa tuu”

“Ndio hii ni ili uendane angalau na sisi kwenye ushirika wetu kwani kwetu hatutaki mtu wa kulia lia shida”
Kwa Gwakisa huu ulikuwa ni muujiza tosha, ghafla akili yake ilianza kuwaza magari ya gharama, nyumba za kifahari na vitega uchumi mbalimbali.

Alisita kujilaumu kuwajua hawa watu na kujikuta akiwa tayari kwa lolote.
“Unaweza ukarudi kwako ila utaenda na huyu binti mkafanye jambo moja la muhimu sana” aliambiwa gwakisa na hapohapo wakaamka kwenye makochi.
Safari ilianza na aliyekuwa anatoa maelekezo ni YULE dada askari.
Walienda mpaka Kambini ambapo Gwakisa alibadili gari na kuchukua la Jeshi kisha moja kwamoja wakashika njia ya mpakani.

Kote polisi hawakuwasimamisha kwasababu ya lile gari la Jeshi, walipofika mpakani askari baadhi waliwasimamisha lakini Gwakisa alitoa kitambulisho chake cha Jeshi huku Yule dada nae akitoa cha kwake cha uaskari Polisi FFU.
Waliendelea mpaka mpakani na Kongo wakakutana na watu wengine waliowakabidhi mzigo na kurudi nao mpaka Mbeya mjini kisha wakaagana kwa lengo kila mtu aende kwake baada ya kufikisha mzigo panapotakiwa.

‘ngoja kidogo Gwakisa’

Gwakisa alitulia asikilize anachoambiwa lakini cha ajabu alifwatwa mdomoni na kupewa denda ambalo liliibua tena hisia zake ambapo alianza kupitisha mikono yake kwenye maziwa ya Yule dada.

“Subiri wewe hapa njiani ” aliambiwa Gwakisa na kutoa mikono yako,
“Nenda kwako lakini utakachokutana nacho usishtuke, kama utakuwa na maswali utaniuliza siku tukikutana ila usishtuke kila kitu ni salama tu na hakuna kibaya”

Gwakisa alianza kuogopa lakini akiwa anawaza Tayri Yule dada alishashuka na kutokomea zake.

Kwa hofu Gwakisa aliendesha Gari mpaka kwake na kukuta kumefungwa na hakuna mtu.

Alichukua simu yake ampigie mkewe lakini aligundua kuwa simu yake ilikuwa imezimwa, alijua kabisa walioizima ni wale jamaa kule alikotoka.

Aliiwasha na kumtafuta mke wake ambapo alipokelewa na kilio kikali.
“Nini wewe unalia nini” aliuliza Gwakisa
“Mtoto wetu amepotea mume wangu uuuuuwiiiii, mamamamaaaaaaaaaa, mamaaaa mimi mwanangu jamaniiiiii” alikuwa analia Verity

Hapo hapo Gwakisa aliwahi kituo cha Polisi ambapo alimkuta mke wake akiwa na wazazi wake wakiwa wanatoa maelezo pale na tayari taarifa zilishasambazwa kila sehemu kwenye vituo mbalimbali ili utafutwaji uanze wakifwatia maelezo ya wahusika anaowashuku Verity.

Gwakisa hakuelewa afanye nini kwani akili yake ilishawawaza wale jamaa zake lakini akawa anashindwa kuelewa kuwa ni kwanini wamchukue Yule mtoto, yeye anahusiana nini….

Akili yake ilimpa mawazo kwamba huenda wale watu ni washirikina na wanataka wakamtoe Yule mtoto kafara.
Roho ilikuwa inamuuma sana, japo Yule mtoto sio wake lakini alikuwa hana mpango wa kumdhuru, mpango wake ulikuwa ni mwingine kabisa na sio kumdhuru.

Roho ya kibinadamu na kiulezi ilikuwa inamuuma sana, alimfwata mke wake na kumnyanyua pale chini akasogea kando na kumwambia….

“Usilie mke wangu, nitapambana na mtu yeyote mpaka mtoto apatikane.”

……………………………..

Sam alikuwa njiani kurudi Tanzania kwa kutumia usafiri wa anga, ndani ya lisaa limoja tayari alikuwa Dar es salaam na mawazo yake yote yalikuwa kwa mwanae.
Alipanga kuwa akifika tu ni lazima amchukue mtoto wake.

Siku hiyo hiyo kwakuwa alishakata tiketi online aliunganisha ndege na kutua uwanja wa Songwe Mbeya kwa Ndege.
Alipofika breki ya kwanza ilikuwa kwa Gwakisa na Verity ambapo alitaka amuone mwanae na waweke kila kitu wazi.

Alipanga kuwa endapo wakikataa tu ataomba vipimo vya DNA vifanyike.
Alipofika pale alishtushwa na uwepo wa gari la RPC pamoja na magari mengine yakiwemo yenye namba za Jeshi.
Kwakuwa simu yake mda wote ilikuwa imezimwa kwa ajili ya safari za kwenye ndege akawa hakupata taarifa yeyote kuhusu kilichokuwa kinaendelea na mke wake alishampigia simu mara kibao bila kumpata.

Alipofika pale alilakiwa na wakwe zake huku akisikia kilio cha Verity ambaye anamtaja mwanae .

Sam alishindwa kuelewa haraka lakini picha aliyoipata ni huenda Princess amefariki. Mapigo ya moyo yalikuwa yakimwenda kwa kasi sana.
“Kuna nini kwani”

“Alimuuliza Mama yake Mkwe”
“Mtoto wa Verity amepotea kwenye mazingira ya kutatanisha”

Sam alisogea kando akawaza, kisha akaibuka haraka mpaka kule ndani alikokuwa anafarijiwa Verity….

“Nisikilize Vizuri Verity, ujanja wenu nimeshaujua, mimi ni askari by Profesheni, mmeamua kumficha mtoto wangu nisimchukue lakini mtamtoa tu huko aliko”

Maneno ya Sam yalimshitua kila mtu na wala hakuwa na muda wa kubaki hapo, aliondoka mpaka kwake ambapo alikuta kuko kimya kwani Rafiki alikuwa kwenye harakati za kusaidia kumtafuta mtoto wa mdogo wake.

……………………………….
Gwakisa aliwahi kule kwa wale jamaa zake na aliingia kama mbogo. Alikuwa anarusha ngumi nzito na mateke huku akihoji aliko mwanae.

Ghafla mijitu minkubwa ilijitokeza mbele yake na kumkamata huku ikimpa kichapo kilichomkalisha chini hawezi hata kuamka.

Ghafla mbele yake alitokeza Yule dada askari na kuuliza kwanini Yule Gwakisa yuko kwenye hali ile….

“Kaja hapa analeta tabu anaulizia sijui mwanae sijui vitu gani tumempa adabu kidogo atulie”

“Okeeeey, wewe bwege unapaswa kuwa na heshima hapa ni ikulu hupaswi kuleta fujo”

Yule dada alimkamata Gwakisa kichwani huku akimuangalia usoni akiwa kapiga magoti.

“Wakuu huyu nimempa mtego kidogo tu, mwanae ninae”

Gwakisa kusikia vile alishtuka kisha akaambiwa “nifwate huku”

Pamoja na Gwakisa kuambiwa nifwate na Yule dada hakuwa na uwezo huo kwani alipigwa kwenye viungo vya miguu, hivyo ilibidi apelekwe na wale mabaunsa.
Alipofika alilazwa kitandani kisha Yule dada akaanza kumpa maneno….

“Huwezi kulea mtoto ambae sio wako, hiyo ni fedheha kubwa wewe kijana, nimeamua kukusaidia hatua za kuchukua, Yule mtoto kwa sasa yupo sehemu salama na utamuona, ataenda kukaa mbali na atasoma huko huko wakati wewe unatafuta wako mwenyewe, tena nitakuzalia mimi…..”

Gwakisa alijiuliza sana kwamba imekuwaje hadi Yule dada akajua kuwa Yule mtoto sio wake.

Alitamani amuulize lakini akakwama namna ya kuuliza akabaki anajiuliza tu bila ya majibu.

“Au unakataaa kuwa mtoto hujachakachuliwa?”

“Kwanza yuko wapi?”

“Utamuona muda ukifika wala usijali”

“Nisijali vipi, hivi mnadhani familia yangu itatulia ikiwa mtoto hayupo?”

“Itatulia tu wala usijali”

“Hivi ninyi mnaofanya hivi mngependa ikiwa nanyie mngekuwa mnafanyiwa hivi”

“Unadhani kuna jambo zuri lisilo na maumivu?”

“Basi mimi siyataki haya maumivu na hilo jambo lenu zuri silitaki pia”

Yule dada alimuangalia Gwakisa kwa dakika chache kisha akamwambia….
“Kama wewe hulitaki tambua kuwa sisi tunakutaka kwenye mambo yetu, alafu pia kumbuka kuwa umesaini mkataba.”

…………………………………
Sam hasira alizokuwa nazo zilikuwa hazielezeki, alijua kuwa kuna mchezo anafanyiwa ili asimpate mwanae, alijipanga kwa mambo mengi ila la kwanza ilikuwa ni kumtafuta Gwakisa.
Alirudi kule alikotoka kwa mara nyingine ili amtafute Gwakisa.

Safari hii alienda kisataarabu sana ambapo aliegesha gari getini kisha akazama ndani.
Alimfwata kijana mmoja ambaye alimjua ni wa karibu nah ii familia, alimshika began a kumvuta kando kidogo.

“Dogo hivi huyu baba wa hii familia yeye yuko wapi”
“Yani huyu aliyepotelewa na mtoto?”
“Ndio huyo huyo” sam aliitikia kwa sitaki nataka
“alitoka hapa mda mrefu, nadhani yuko kwenye harakati zake za kumtafuta mwanae”
Sam alijua moja kwa moja kuwa Gwakisa yuko sehemu na sehemu alipo itakuwa ni kwenye vyombo vya usalama wanazuga tu.

Sam aliridhia kuwa kila kitu kwa siku hiyo kisimame mpaka kesho yake.
Alienda kwake akamkuta mkewe ambaye alikuwa amenuna si kawaida.

“Sam hivi kweli yani wewe ni mume wangu lakini unarudi safari hata kunitaarifu”

“Please sitaki usumbufu rafiki niache nipumzike”

“Hivi wewe mwanaume una matatizo gani lakini, najuta kuolewa nawewe”

Ile Rafiki anamalizia herufi ya mwisho tu ….. ‘paaaaaaa,paaaaaaa,paaaaaaa’

Yalikuwa ni makofi matatu mubashara yaliyokuwa yanatua kwenye shavu la Rafiki, kofi moja lilipotaka kumdondosha chini alizuiwa na kofi la upande mwingine, alipotaka kuanguka upande mwingine kofi la shavu jingine lilimbadilisha mwelekeo na kuangukia upande mwingine huku akiachia ukelele mmoja tu kisha akatulia kimya.

Yalikuwa ni makofi matatu yaliyotua kwenye mashavu mawili kwa mtiririko yakamzimisha mtoto huyu wa RPC kimya kabisa pale chini.

Sam alikuwa na hasira nyingi mno na kuanza kuropoka….

“sitaki usengeeee, nasema usenge sitaki, baba yako alinipiga mpaka nimekuwa mgumba alafu unanipandishia sauti….kufaaaaaa”

Sam alikuwa mbogo sana na alikuwa akiongea peke yake…..

“Mimi nimehaso, nimehaso kupata haya maisha nimepitia mambo elfu kidogo, mimi ni mhuni tuuuuu, nitaua mtu yeyote lakini mwanangu nitamchukua tu”
“Mwambie mdogo wako lazima mtoto wangu amtoeeeee”

Sam aliongea bila kujibiwa na mtu kwani mkewe alikuwa pale chini hajitambui lakini wala hakujali na cha ajabu zaidi akamsindikiza na teke la mgongoni.
Aliingia chumbani kwake akabadilisha nguo akaoga na kuvaa zingine, akiwa anataka kulala akakumbuka kuwa kule nje aliacha mtu.

Alitoka akamkuta mkewe kalala pale pale alipomuacha na wala hatikisiki. Alimgeuza akamtikisa lakini wala hakuonyesha kujielewa kwa lolote.
Sam wala hakujali na ndio hasira zilimzidi, alimburuza mpaka nje kwenye korido akamuacha humo kisha yeye akafunga milango na kuingia ndani kulala.

Alipanda kitandani akawa anapanga mipango yake lakini ikawa haipangiki, aliamua kuwa kesho yake adamkie kwa Gwakisa wamalizane kuhusu mtoto.
Alijaribu kuutafuta usingizi sasa ili apumzike. Kila alipojaribu hakuupata, usingizi ulikuwa mbali nayeye kabisa.
Alijitahidi kutulia labda utakuja lakini masaa yalikuwa yanakatika tu bila kusikia lolote.

Aliamka na kujimwagia maji bafuni akijua huenda usingizi utakuja lakini wapi, hakuambulia chochote,
Alijifunika gubigubi na kulala huku kafumba macho lakini alipotaka tu kupitiwa na usingizi alijiwa na ndoto iliyomtisha ikabidi aamke kwa kukurupuka.

Alianza kuwaza hatua moja hadi nyingine kuanzia alipokutana na mkewe akajikuta akianza kuingiwa na roho ya huruma na woga.

Kwanza aliogopa akijua huenda ameua lakini pia alimuonea huruma mkewe kwani alijua kuwa mkewe anampenda sana.
Taratibu alijikongoja mpaka sebuleni akakusanya funguo ili aanza kufungua milango akamuangalie mkewe kule nje alikomuacha.

Alipotaka tu kufungua mlango roho ya ukatili ilimjia tena na kujikuta akijilaumu kwa zile huruma anazoanza kuwa nazo.
Alirudi haraka mpaka ndani chumbani na kupanda kitandani kisha akalala zake.

…………………………….
Gwakisa alikuwa kawekwa mtu kati hafurukuti na kila alichokuwa anauliza alipewa majibu yasiyo na matumaini.
Aliikumbuka mikataba aliyosaini akaona hana uwezo wa kuwakwepa hawa watu hivyo ikambidi akubaliane na kila kitu.
“Basi nae naomba niende nyumbani”
“Mkandeni hiyo miguu yake mumpeleke kwake asije akaachika” Yule dada askari alitoa amri.

Wale jamaa walichukua dawa ya kupulizia ambayo humaliza maumivu na kumpulizia huku wakimpaka nyingine kwenye magoti na kwenye viungio vya mikono.

Walimkanda na maji ya moto pia kisha wakamfunga vizuri na kumpakia kwenye gari mpaka nje kwake kisha wao wakarudi na gari nyingine waliyoambatana nayo.
Jinsi gwakisa alivyoingia pale kwake kila mtu alishangaa, aliondoka bila taarifa na alipotafutwa hakupatikana alafu anarudi akiwa kwenye hali hii.

Baba yake Mkwe na Mama yake Mkwe walimuweka chini na kumuuliza kilichomkuta kule alikoenda na hapohapo Gwakisa akajua jinsi ya kupata uongo.
Aliwaeleza kuwa alipokuwa kwenye harakati za kumtafuta mtoto nae aliishia kutekwa na watu asiowajua wakampeleka sehemu yenye maficho kisha wakaanza kumtesa kwa kumpiga sehemu mbalimbali za mwili wake.

Aliwaeleza kuwa wale watu walimwambia kuwa endapo ataendelea kumfwatilia Yule mtoto basi wataua familia nzima.

…………………………………………
Asubuhi na mapema Sam aliamka ili aende kwa Gwakisa waongee kuhusu ishu ya mtoto, alijiandaa vizuri kisha akatoka nje lakini pale alipomuacha mkewe hakumuona na wala hakuhangaika kumtafuta.

Aliondoka moja kwa moja kwa lengo la kumtafuta Gwakisa, kabla hajafika huko aliamua kumpigia kwanza simu.
Waliongea vizuri lakini Gwakisa akamwambia kuwa hangeweza kutoka nyumbani kwani hali yake sio nzuri hivyo aje nyumbani.

Sam hakusita, tena aliona ni vyema akimkuta Gwakisa akiwa na mke wake kwa pamoja…..

Sam alienda mpaka hapo kwa shemeji yake na kuingiza gari ndani ya uzio na kupaki….

Alikaribishwa ndani na kukaa sebuleni, baada ya muda kidogo alitokea Gwakisa akiwa anatembelea fimbo huku anachechemea, Sam alishtuka kuona vile akajua Gwakisa aanmuigizia.
“Karibu ndugu, habari za nyumbani?”
“Nzuri tu vipi hapa?”
“Hapa ndio hivyo ni matatizo tu, afadhali umerudi kutoka masomoni utasaidia maana mimi nimejitahidi kwa siku moja tu nimeishia kufanywa hivi”
“Kwani wamekufanyaje?”

“Ndugu yangu yani acha tu, wameniteka wakaanza kunipa kipigo si unaona nilivyovimba huku…wameniambia nikiendelea kufwatilia ishu za mtoto wangu wataniua kabisa”

Kwakuwa Sam alikuwa hamuamini Gwakisa alienda akamuangalia akagundua kuwa ni kweli kavimba ila bado hakutaka kuamini moja kwa moja, alijua anachezewa mchezo….

“Vipi shemeji yuko wapi?”
“Ngoja nimuite”
Aliitwa verity aliyekuwa huko chumbani kisha akaja pale walipokaa Sam na Mme wake, Verity alikuwa ana majonzi ila pia alikuwa hajiamini kutokana na hali halisi iliyokuwa pale….

“Kwanza kabisa nawapa pole kwa kupotelewa na mtoto katika mazingira kama haya”
“Asnte sana kaka roho inaniuma sana kwakweli nikimfikiria huyu mwanangu” alijibu Gwakisa.

“Ila mimi naumia zaidi kuliko wewe maana Yule mtoto ni wa kwangu” alisema Sam kitendo kilichomshitua Gwakisa na kumkata jicho Sam.
“Unasemaje wewe? Umeugua ukichaa sio?” Verity aling’aka kama mwendawazimu.

“Mimi sio kichaa, na hilo unalijua Shemeji Verity, na unajua kuwa Yule mtoto ni wangu na sio wa Gwakisa, Hebu leo mwambie mme wako ukweli ajue”
Gwakisa alimgeukia Verity na kumtazama kwa ishara kuwa anataka kusikia kutoka kwake

Verity alisimama wima na kuanza kuapia kwa Mungu wake…..
“Nakuapia mume wangu Gwakisa, Princess ni mwanao kabisa, usimsikilize huyu ni kichaa”
Gwakisa hakujibu chochote bali alibaki amemtolea macho Verity asiyejua kuwa Gwakisa ana ushahidi wa DNA kuwa mtoto sio wake isipokuwa baba halizi wa mtoto ndio alikuwa hajamjua bado…..

Gwakisa alifikiria cha kusema kutokana na uongo wa mkewe akashindwa afanye nini, akaishia kuguna tu.
Jambo moja ambalo aliamini ni lazima alifanya ni kulinda heshima yake, ya familia yake, ya mke wake nay a ndoa yake…
Japo alijua mkewe kakosea sana lakini mbele ya mwanaume mwenzake hakutaka aonekane dhaifu hata kidogo.
Mr Sam nimekusikiliza vizuri sana, nimekusikia vizuri mnooo ila nimegundua kitu kimoja…alisema Gwakisa.
“Kitu gani hicho” sam aliuliza
Gwakisa alichomjibu sam ni kwamba … “nimegundua kuwa huna akili kabisa”
“Unasemaje, mimi sina akili?”
“Huna hata kidogooo”
Sam alisimama wima akitaka ngumi zipigwe kwa kuona kuwa ametukanwa.
“Ndugu yangu Sam acha hasira za kijinga, unataka upigane namimi wakati unajua naumwa. Subiri nikipona ndio uanzishe vita, hapa ukinipiga wala huna haja ya kujisifu kuwa umenipiga”
Sam alikaa chini pale kwenye kochi huku Verity akimng’ang’aniza Sam aondoke pale nyumbani.
“Shemeji Sam nakuomba uondoke nyumbani kwangu la sivyo nitakuunguza hata na maji ya moto”
Sam aliamua kutulia kitendo kilichomp Gwakisa mwanya wa kuongea kidogo.
“Ndugu yangu tena mme Mwenzangu Sam labda nikuambie tu kuwa ungekuwa na akili ungeweka juhudi zooote kumtafuta kwanza mtoto ndio uanze kumdai kuwa ni wako”
“Mimi sio mjinga najua huyo mtoto mmemficha ili nisimchukue”
Gwakisa akiwa na hasira alimkata jicho kali Sam akamwambia nivile tu anaumwa lakini angempa disipilini ya kutosha na wala asingerudia kukanyaga hapo nyumbani kwake.
“Sam nashukuru sana kwa kunidhihirishia kuwa umekuwa ukitembea na mke wangu, ila nataka kukwambia kuwa mla vya wenzake na vyake huliwa, kampime mkeo ujauzito kwani inawezekana na mimi nimepanda mbegu zangu kwenye shamba lako”
Gwakisa alisema maneno hayo ili amuumize Sam kwa kile alichomfanyia bila kujua kuwa maneno hayo yalikuwa kama mwiba kwenye moyo wa Sam.
Sam alinyong’onyea akatahayari kwa yale aliyosikia, alioanisha mambo mengi mwisho akaamua kuondoka bila kuaga moja kwa moja kuelekea kwake.
Akiwa njiani kuelekea kwake alipokea simu ambayo ilimtaka afike ofisini mara moja.
Aligeuza gari na kuelekea ofisini ambapo alimkuta Bosi wake akiwa na RPC.
Kitendo cha Sam kufika pale akatiwa Pingu na kuwekwa mahabusu.
…………………………………………….
Kwenye mida ya saa tisa usiku RAfiki alikuwa akijihisi baridi kali mnooo, pamoja na baridi lakini alikuwa anahisi maumivu hasa kwenye maeneo ya mbavu zake.
Alijitahidi kufumbua macho yake akakutana na giza nene, taratibu alianza kukumbuka jambo moja baada ya jingine hadi alipofikia kukumbuka ugomvi wake na mmewe.
Hapohapo machozi yakaanza kummwagika, alinyanyuka taratibu ili afungue miango huku akichechemea.
Alipofika alianza kwa kutingisha grili lakini akakuta limefungwa kwa ndani, hakuamini kuwa mme wake ndie amekuwa katili kiasi kile.
Alirudi tena pale chini kwa kujikongija na kuendelea kulia sana, alilia akachoka na kuona sio suluhisho alisogea mpaka nyuma ya dirisha kilipo chumba chao cha kulala na kuanza kumuita mmewe lakini alisikia tu sauti ya kukoroma kwani ndio muda huo Sam nae usingizi ulikuwa umemkolea baada ya kuutafuta kwa muda mrefu.
Hakuamini kuwa pamoja na kumsubiria mme wake kwa muda mrefu kiasi hicho akitegemea mapenzi motomoto baada ya mume wake kumaliza mafunzo lakini kile ndicho alichokuwa anaambulia.
Alijuta sana kung’ang’ana kuolewa na Mwanamume kama Sam, alijutia ndoa lakini hakuwa na uwezo wa kurudisha mambo nyuma.
Alisubiria angalau kupambazuke ili aondoke pale nyumbani atafute sehemu yenye usalama…
Kweli masaa yalisogea kwa mwendo wa kinyonga na hatimaye kukaanza kupambazuka na watu pamoja na magari vikawa vinasikikika vikipita huko nje.
Aliamka kwa kujikongoja mpaka nje ya geti kisha akasubiria pikipiki akaisimamisha japo hakuwa na hela ila akapanda mpaka nyumbani kwa wazazi wake.
Wa kwanza kumuona alikuwa ni mama yake ambaye alimshangaa sana binti yake kwa jinsi alivyokuwa,
“Mwanangu umepatwa na nini”
“Nomba kwanza umlipe huyo bodaboda alafu nitakwambia”
Mama mtu alimshangaa binti yake anavyotembea kwa shida roho ikamuuma sana, alimwambia bodaboda amruhusu kisha akamshikilia bintiye na kumkongoja kwenda ndani kisha akamkalisha na kurudi kumlipa boda boda.
Aliporudi kwa binti yake alimhoji akasimuliwa mkasa mzima kitendo kilichomfanya ashike mdomo kwa kuhamaki kuwa yani Sam waliyemjua ndio kawa vilee?
Mama mtu hakuweza kuvumilia, alikimbilia chumbani kumsimulia mme wake ambaye nae alifadhaika sana kwa binti yake aliyempenda sana kufanyiwa yale.
Muafaka uliofikiwa ni Rafiki apelekwe hospitali huku taarifa zikiwa zinnafika ofisini kwa Sam ili hatua zichukuliwe kwa kitendo alichokifanya.
……………………………..
Dr Kelvin alikuwa anampigia sana Rafiki simu lakini alikua hampati, rafiki alizima simu yake na hata hivyo akawa ameiacha kule kwake wakati wa kuondoka baada ya ugomvi na mume wake.
Alishakata tamaa lakini kwa jinsi alivyokuwa na usongo na Rafiki alisema kuwa atamtafuta kivyovyote amtie mikononi mke huyu wa mtu.
Akiwa anaendelea na majukumu yake alipita korido ya mapokezi na kukuta mwanamke amejiinamia chini huku kashikiliwa na mama mmoja mtu mzima akashtuka kwani alimfananisha Yule binti.
Alisimama na kuwasalimia kwa lengo la kuwatambua vizuri, roho yake ililipuka baada ya kuuona uso wa Rafiki lakini ukiwa umevimba.
“Rafiki ni wewe? Mbona uko hivyo? Una matatizo gani?” dr Kelvin aliuliza maswali matatu kwa pamoja kabla hata la kwanza likiwa halijajibiwa.
Haraka haraka alifwatilia kila kitu na Rafiki akaanza kuhudumiwa kwa uharaka.
Kwakuwa yeye alikuwa daktari wa akina mama hakuweza kumhudumia Rafiki ila alihakikisha anampeleka kunakohusika na kwa madaktari anaowaamini ili ahudumiwe.
Huduma alizokuwa anapata Rafiki hata mama yake alikuwa anashangaa, mama yake aliambiwa apumzike tu kwani kila kitu kilikuwa kinafanywa na wauguzi waliokuwa wanapokea amri kwa madokta.
Tabia za madokta wa hii hospitali zilikuwa zinafanana sana kiasi kwamba ikiwa mmoja atawaambia wenzake kuwa huyu ni shemeji yenu muhudumieni vizuri basi atahudumiwa kwa ukaribu mno, na hiki ndicho kilichokuwa kinatokea kwa Rafiki.
Japo Dr Kelvin hakuwaambia kabisa uhusiano wake na Rafiki kwni ni mke wa mtu ila wale madaktari wenzake walihisi tu na wakawa wanamhudumia vizuri sana.
Rafiki alitibiwa na kupewa dawa huku akichomwa sindano za kuzuia maambukizi na maumivu pamoja na dawa za kupunguza uvimbe,
Hakuwa mgonjwa wa kulazwa ila aliandikiwa kulazwa,
Dr Kelvin siku hii alikuwa na furaha sana na alifanya kazi kwa amani mno huku kila mara akipita pale alipolazwa Rafiki.
Alikuwa akimletea vitu vidogo vidogo vya kula na vizawadi mbalimbali kiasi kwamba hata Rafiki mwenyewe akawa anajisikia ahueni.
Siku hii Dr Kelvin hakwenda kabisa kwenye hospitali nyingine ambazo annafanya kazi part time kwani alikuwa anataka akae na Rafiki zaidi pale hospitali.
Ilipofika usiku alienda kule alikolazwa akakaa kitandani na kuanza kumhoji Rafiki kuhusu mambo gani yaliyompata.
…………………………………..
Gwakisa alikaa siku mbili kisha akajisikia nafuu kidogo na kuanza kwenda kazini, ishu ya mtoto Princess ilikuwa imeshikiiwa na Jeshi la Wananchi kwani mtoto aliyepotea ni wa Bosi wao.
Lakini pia Jeshi la polisi lilikuwa limeikomalia kweli kweli kwani Yule mtoto alikuwa ni mjukuu wa RPC hivyo walihusianisha kupotea kwake na mambo mengi sana ikiwa ni pamoja na visasi labda dhidi ya majeshi ya ulinzi na usalama.
Ingekuwa watu waliomteka huyu mtoto wangekuwa ni wa kawaida tu basi angekuwa ameshapatikana lakini mpaka wakati huu kila walichokihisi na kukifwatilia waliishia kwenye hakuna.
Pamoja na kutangaza dau nono kwa atakayesaidia kupatikana kwa mtoto, kutangaza magazetini kwenye TV na media zingine lakini bado hakuna kilichowezekana. Mtoto alikuwa hajapatikana bado.
Verity ndani ya siku tatu za kupotelewa na mwanae alikuwa hali wala hanywi, alikonda ndani ya muda mfupi kwani stress zilimzidi.
Ndoa yake nayo ilikuwa kwenye hali sio nzuri japo mume wake alikuwa mpole tu lakini alijua amani hakuna kutokana na kile ambacho Sam amefanya.
Alijutia mengi sana lakini maumivu ya mtoto yakawa yamemeza maumivu mengine yote.
Mmara kwa mara alikuwa anazimia kiasi kwamba ilibidi nyumbani kwao wamchukue tu ili wamuangalie kwa karibu.
Ilikuwa ni pigo kwenye nyumba ya RPC kwani mambo yalikuwa yamepandana, huku verity kupotelewa na mtoto na huku Rafiki kupigwa na mumewe huku ndoa za watoto zikiwa kwenye sintofaham.
…………………………………….
Katika kitu kilikua kinawashtua maaskari ni kuiona gari ya Jeshi kila wakati ikipita kuelekea mpakani ikiwa iko na Gwakisa na askari mwingine wa Kike.
Walianza kuhisi kuwa huenda kuna dili chafu linachezwa kupitia kwa magari ya Jeshi la wananchi hivyo wakaanza kuwachunguza kwa karibu.
Wakiwa wamebeba mzigo mkubwa wa vitu haram kwenye gari yao ilisimamishwa na askari wanane wenye silaha nzito…

Sam alikuwa mahabusu siku ya pili sasa, alikuwa akiteseka kwa makosa ya kumpiga na kumuumiza mke wake.
Alikuwa amefichwa kwenye kachumba kakwake peke yake tena kenye giza nene ambapo alikuwa haonani na mtu yeyote isipokuwa wakati wa chakula kidirisha kidogo kilikuwa kinafunguliwa na kisha chakula kinaingizwa bila kusemeshana na kisha dirisha linafungwa na kubaki giza hivyohivyo.
Hizi zilikuwa ni adhabu za kipolisi ambazo walikuwa wanapeana polisi wenyewe ikiwa hakuna haja ya mambo ambayo yamekosewa kwenda mahakamani.
Adhabu hizi zilikuwa zinaambatana na kushushwa cheo endapo anaehusika ana cheo katika jeshi la polisi.
Kwa hasira alizokuwa nazo RPC juu ya Sam alikuwa anahakikisha ikiwezekana Sam anafukuzwa kazi kabisa.
Kitu alichokuwa anakifanya alikuwa anaandaa mashitaka mpaka ya uongo ili mradi tu Sam afukuzwe kazi kabisa tena afungwe jela.
Katika watoto wa RPC Rafiki alikuwa anapendwa kuliko wote, kitendo cha Sam kumuumiza kwa vipigo RPC likuwa anaona kama ameguswa kwa kitu chenye ncha kali ndani ya moyo wake.
Hakuweza kabisa kuvumilia ile hali, alichoamua ni kitu kimoja tu ndani ya kichwa chake, Sam afukuzwe kazi na ama afungwe na jela kabisa.
*************
Asubuhi na mapema RPC akiwa ofisini kwake alimuita sekretari wake ambaye nae alikuwa ni askari mrembo na mtiifu.
“Niitie PC kiwanuka”
“Sawa afande!” aliitikia Yule sekretari na kwenda kumuita huyo PC KIWANUKA ambaye kwa cheo alikuwa ni mwanasheria wa Jeshi la POLISI kwa mkoa wa MBEYA.
Lengo la RPC lilikuwa ni moja tu… kujua ni namna gani na ni sheria zipi ambazo zinamfukuzisha askari Polisi kazi na ikiwezekana afungwe jela kabisa.
Alipoulizwa sawali hilo PC kiwanuka alishtuka kidogo lakini mbele ya Bosi wake alianza kuelezea kila kitu na sharia amazo zinakidhi takwa la bosi wake.
Mwisho kabisa RPC alifunguka mbele ya PC huyu kwa kumwambia kuwa kuna mtu yuko mahabusu na anataka atengenezewe hayo makosa na yasainiwe kisha yaletwe kwake.
PC Kiwanuka alikuwa ana wakati mgumu lakini alitanguliziwa hela na kisha kuahidiwa cheo akajikuta amekubali kufanya huo ushenzi.
Sam alitafutiwa makosa yaliyoshiba na kisha akapelekewa RPC ambaye aliyasoma kisha akajikuta akichekelea maaana makosa yale yalikuwa yamekidhi kile alichokitaka.
Kwa mara nyingine tena RPC kwa furaha aliyokuwa nayo aliamua kumuita tena Sekretari wake akiagiza aletewe kahawa ili wanywe na mwanasheria wake.
Kahawa ililetwa kisha wakanywa huku wakipiga story mbalimbali, story zilipokwisha KIWANUKA alinyanyuka kwa lengo la kuondoka lakini RPC akamwambia atulie kwanza.
“Hebu pitia kwa Muhasibu mwambie akuandikie cheki ya milioni tano kwa ajili ya likizo ya wiki mbili ukasalimie kwenu”
“asante Afande”
“Nawewe asante ila badae tukutane kwenye viti virefu nikupe kiasi kingine idogo kwa ajili ya kutunza hii siri iwe ya kwetu tu”
……………………………………….
Japo Kiwanuka Roho ilikuwa inamsuta lakini hakujali sana kwani alikuwa amefaidika kwa kiwango flani, aliondoka huku moyoni akitabasamu na kuhuzunika kwa nyakati tofauti.
Sam nae akiwa hajui lolote kule mahabusu kuwa anaundiwa kesi ya kufukuzwa kazi na kufungwa Jela alikuwa anajiuliza tum bona hatolewi, alianza kujutia kile alichokifanya na kujikuta akitamani maisha ya uraiani na kuwa huru.
Katika vitu Sam alikuwa hajui ni Moyo wa RPC yaani baba yake mkwe, Mzee huyu alikuwa na roho nzuri nay a upole lakini endapo ukigusa maeneo muhimu kwake anakuwa na roho mbaya tena ya kuua kabisa na hapa alikuwa amempangia Sam mambo mabaya sana na tayari alikuwa ameyaweka kwenye utekelezaji.
……………………………..
Fomu ya makosa aliyokuwa nayo RPC ili ipelekwe makao makuu kwa ajili ya mapendekezo ya hukumu ya Sam kupitishwa aligundua kuwa ilikuwa imekosa sahihi ya mkuu wa kitengo cha Nidhamu Katika Jeshi la Polisi.
Hapa kichwa kilianza kumgonga maana Afisa wa polisi ambaye alikuwa anahusika na kitengo cha nidhamu walikuwa hawaivi na ingewezekana jambo hili likakwama kwenye mikono yake.
Aliwaza sana lakini mwishoni akajipa moyo kuwa yeye ndie bosi na hivyo alitakalo lazima lifanyike.
RPC hakutaka kumtuma mtu, aliondoka yeye mwenyewe mpaka kwenye ofisi ya huyu Afisa wa kitengo cha Nidhamu.
Alipofika alipigiwa saluti kadhaa za heshima kisha akamkabidhi bahasha yenye zile fomu ambapo aliambiwa zinatakiwa zisainiwe haraka.
Yule afisa wa polisi kitengo cha Nidhamu alifungua zile fomu na kuanza kuzisoma mpaka akamaliza akajikuta anachanganyikiwa.
Makosa yaliyokuwa yameandikwa pale alikuwa hajawahi kuyasikia pale mkoani, moja kwa moja kwenye akili yake alijua kuwa kuna namna inahitajika kufanywa juu ya Sam.
Katika watu waliokuwa wanamfahamu Sam toka anafika pale Mbeya na kuishi kwa RPC ni huyu afisa wa kitengo cha Nidhamu
Alikuwa anamkumbuka toka alipokuwa golikipa na kufanikiwa kuwapa Kombe wakati alipokuwa hata hajawa askari.
Haraka sana aliita watu wake anaowajua na kuanza kuulizia alipo Sam na kuambiwa kuwa amefungiwa mahabusu.
Hakutaka kukaa tena alinyanyuka mpaka kwenye chumba alichokuwa amefungiwa sam kisha akaingia ndani na kuanza kuongea na Sam akimhoji mambo mbalimbali.
Sam alifunguka ukweli wake wote kisha Yule AFISA wa Polisi akaamua kumpa ukweli wa mambo jinsi yanavyoenda.
Sam alijikuta anamwaga chozi huku akitamani kupiga hata mayowe baada ya kuonyeshwa yale mashitaka. Hakuamini kabisa kuwa jambo alilofanya lingeweza kuwa na matokeo yale.
“Sa.s..a.. nifa..nyeje” sam aliongea kwa kigugumizi huku akilia.
“Nakutoa bila kumtaarifu na ukimbie haraka sana kule hospitali ukamuombe msamaha Yule binti kisha mhamishie huo msamaha kwa baba yake la sivyo unafungwa kijana”
Walikubaliana kuwa aende usiku ili RPC asije akajua kuwa ametoka pale mahabusu.
……………………………………..
Rafiki alikuwa analia machozi kila alipokuwa anamsimulia Dr kelvin kile ambacho mume wake amemfanyia.
Dr Kelvin nae hakujali kuwa anachofanya ni kuvunja ndoa iliyofungwa kanisani bali alikuwa akimkandamiza Sam kuzidisha chuki kwa Rafiki kwani alikuwa na lake moyoni.
“Huyo sio mume Rafiki, huyo ni Shetani”
Rafiki alikuwa akilia tu kila alipokuwa anamsikiliza Dr Kelvin
“Kweli Yule ni Shetani, yani mtu anadiriki kunipiga,alafu hajali mimi nimezimia, hajali nimelala wapi na wala haniulizii”
Dr Kelvin kwa mbwembwe za uongo na kweli alimkalisha Rafiki kisha akamlaza kifuani kwake na kuanza kumbembeleza kwa kumpigapiga mgongoni.
Rafiki alikuwa akijisikia amani sana kwa kile alichokuwa anafanyiwa na Dr kelvin kwani kwakweli hakuna kitu ambacho alikuwa anakihitaji kwa wakati huo kama faraja.
Dr Kelvin alikuwa anamfuta Rafiki machozi kwa viganja vyake huku akiendelea kumpapasa mgongoni kwa mtindo wa kumbembeleza.
Kwakuwa rafiki alikuwa amelazwa VIP alikuwa kwenye chumba chake peke yake bila kuchangamana na wagojwa wengine japo chumba kile kilikuwa na vioo vikubwa ambavyo endapo mtu amekaa anakuwa anaonekana kwa nje.
Dr Kelvin kwa kuwa alikuwa amedhamiria makubwa alimwambia Rafiki alale ili apumzike na kweli Rafiki akalala.
Alipolala tu Dr KELVIN nae akajiegesha kwa ubavu mmoja pale kitandani huku miguu yake kainingi’iniza chini.
Aliendelea kumpapasa Rafuki mgongoni lakini safari hii akawa anahamia kwenye kiuno cha Binti huyu mrembo na kuwa kama anamtekenya kitendo kilichoamsha hisia za Rafiki.
Dr Kelvin kwakuwa alikuwa amezoea haya mambo alikuwa anafanya kwa ustadi mkubwa mno.
Alikuwa anampapasa Rafiki maeneo ambayo yalikuwa mabaya sana kwa hisia za mwanamke yeyote hususani ambaye hajagegedwa mda mrefu.
Alifikia hatua sasa akawa anacheza na chuchu za rafiki ambaye sasa alikuwaa anajisikia utamu hadi maumivu ya kipigo akawa hayahisi tena.
Dr Kevin sasa alikuwa amemgeuza rafiki kwa kuangalia juu kisha akawa ametumbukiza mkono tumboni kwa Rafiki na kuanza kupapasa maeneo ya kitovuni
Rafiki alikuwa anajinyonga kwa hisia kali huku Dr Kelvin nae mhogo ukiwa uko wima unataka kutoboa koti lake jeupe.
Dr Kelvin aliendelea kuushusha mkono wake kuelekea chini ya kitovu lakini rafiki akawa kama anauzuia kitendo kilichomfanya Dr aongeze manjonjo.
Mwisho Rafiki alijikuta akiwa ameruhusu mikono ya Dr kelvin kushuka mpaka sehemu miguu inapoachania na kuingiza mkono ndani ya chupi ya Rafiki akitaka kuligusa eneo linalosababisha watu wauane bila huruma.
Alilikuta likiwa na unyevu unyevu wa kutosha lakini Dr Kelvin hakuamini kuwa ule unyevu unatosha kupanda mbegu.
Aliamua kuingiza kidole ndani taratibu hadi kikazama chote na kumfanya Rafiki agune Ashhhhhhhh haaaaaa….
Dr kelvin alikitoa taratibu na kukihamishia eneo la juu kidogo lenye umbo la harage na kuanza kusugua kwa mpango maalum.
Kitendo hiki kilimfanya Rafiki aanze kujinyonga na kutanua miguu yake huku akiwa anatamani kama vile avuliwe nguo.
Dr kelvin alilielewa hili akaamua kuitoa chupi ya Rafiki na kupandisha nguo yake juu kisha mapaja mazuri meupe ya Rafiki yakawa wazi.
Aliponyanyuka avue zake akakuta sura ya mtu ikiwa imekodoa macho kule ndani kwa hasira za kufura…………

ITAENDELEA

MAMA ALIPOSHIKWA TAKO MBELE YANGU-2




Chombezo : Mama Aliposhikwa Tako Mbele Yangu
Sehemu Ya Pili (2)

“Kama hana hatia naomba umpeleke kwako akaifanye na familia yako pia ili tuwe sawa”
“Huko unaenda mbali sana, hebu nisikilize”
“Huyu kijana hana hatia kwa sababu alikuwa analazimishwa…angalia vizuri jinsi alivyokuwa anakataa na jinsi alivyokuwa anashawishiwa”
“Alafu kingine wewe umeangalia vibaya hii video…hajatembea na mke wako labda kama una ushahidi mwingine”
Wote kwa pamoja walirudia kuiangalia ile video na kwa kiasi flani RPC alirizika kuwa Sam kwa upande mwingine hakuwa na hatia lakini bado hasira za watoto wake kufanywa na mwanamme mmoja tena ndani kwake aliona kama ni fedheha.
“Sasa wewe usiumie ….nakupa huu ushauri na ninaomba uutekeleze utakusaidia”
“Ushauri gani huo…?”
Mbaruku alichukua mda mrefu kumshauri RPC ambaye kwa shingo upande alikubaliana nae na kisha wakaondoka kwenda Hospitali.
“KAZI HII NIACHIE MIMI” Mbaruku alimwambia RPC baada ya kumaliza kumshauri.
………………………………
Wiki mbili zilikuwa zimekatika kwa Sam kuwa Hospitali akitibiwa…Nyumbani kulikuwa hakukaliki kati ya Verity na Rafiki…walikuwa wanatamani sana kumuona Sam lakini kipigo ambacho kila mmoja kwa siri na kwa wakati wake alipata kutoka kwa baba yao hawakuthubutu hata kidogo kumuulizia Sam.
“Naomba unielewe Verity…nakutaka uachane na Sam na sitaki kusikia habari zake, siku nikisikia nitakuua pamoja nae.”
“Nisikilize Rafiki… unajua wewe ndie BINTI yangu mkubwa na ninakutegemea wewe, hebu achana na Sam urudi chuoni ukasome, mwanaume mwenyewe hana kazi yeyote alafu awe na wewe si mkosi huo, Vumilia mwanangu utapata mwanaume mwingine la sivyo nitamuua huyo Sam.”
Kila mmoja alipewa Wosia wake kutoka kwa Baba yao.
……………………………………..
Sam hakuamini macho na masikio yake siku ambayo alijikuta akiandaliwa kwa ajili ya safari.
Alikuwa amenunuliwa begi kubwa na baadhi ya nguo huku akiambiwa ajiandae kwa safari kesho yake.
Asubuhi kulivyokucha lilikuja Gari la RPC likiwa liko na dereva pekee na Sam akaambiwa apakie humo.
Bado alikuwa haelewi anaenda wapi hadi pale alipokuja RPC kwa dirishani na kumwambia.
“Unaenda CCP Moshi kwa ajili ya Mafunzo ya Uaskari… wewe umechelea na tayari wenzako wako mbele kwa mwezi mzima”
“Ukaonyeshe juhudi, ukifeli shauri yako ila tumewaambia kuwa tayari una mafunzo ya awali

………………………..
“Sam!”
“Naam!”
“Kwanini ulikuwa unataka kutoroka”
“Naogopa kufa?”
“Unaogopa Kufa?”
“Ndio”
“Kwani uliambiwa unakufa saivi”
“Nimeambiwa unataka kuniua”
“Umeambiwa nanani”
“Mimi mwenyewe najua kuwa unataka uniue”
“Nikuue? Hapana unakosea”
“Samahani sana Baba, sikupanga kukukosea, nilijitahidi sana nisikukosee lakini nimeshindwa…nisamehe sana sikutaka iwe hivyo, naomba usiniue…usiniue Baba nipe nafasi tu hata niondoke nikajaribu kutafuta maisha kivingine”
RPC alikuwa anamwagika machozi usoni kwa kile alichokuwa amekibeba moyoni na maneno aliyokuwa anasikia kutoka kwa Sam.
Haikuwa kazi rahisi kwake lakini alikuwa akimpenda Sam, aliishi nae kwa adabu na heshima na kila kitu aliona ni makosa ya kibinadamu isipokuwa alikuwa anajihisi kudhalilika.
“Sikuui Sam…ila umenifanyia kitu kibaya sana, umewatom…b..a watoto wangu wote wawili, najisikia fedheha sana”
“Hapana Baba sijafanya hivyo!”
“Paaaa…”lilikuwa ni Kofi lililotua kwenye shavu la Sam
“Unakataa nini Sam? Unataka nikuonyeshe Video ulizokuwa unawatom..ba watoto wangu eenh? Unafikiri nafurahia kuziona sindio?”
“Nisamehe Baba lakini haikuwa Ridhaa yangu, sitarudia tena”
“Hata usiporudia umebakisha nini sasa, tena huyu Mkubwa umemtoa Bikra kabisa, si utanidharau sana mimi na familia yangu eeenh?”
“Hapana Baba, nakuheshimu sana na ninaipenda familia yetu hii, siwezi kukudharau hata siku moja”
“Usiongee tenaaaaaa, nyamazaaaaa una bahati sana nimeuelewa ushauri wa Mbaruku, na lazima niuzingatie na lazima uutekeleze”
Nenda kalale kesho jiandae kwa Safari!
………………………………
Sam usiku kucha alikuwa hana raha, alikuwa anawaza anaenda safari ya wapi, mawazo yake yote alijua anafukuzwa pale nyumbani.
Kingine kilichokuwa kinampa mawazo ni hali ile iliyokuwa imemtokea pale nyumbani, alijuta sana kwa kila kitu kilichotokea na alitamani kurudisha siku nyuma ili yale yaliyotokea ayazuie yasitokee.
Alimuwaza sana Rafiki ambaye alikuwa ameshampenda lakini hakukuwa tena na uwezekano wa kuonana nae, kila jina la Verity lilipomjia akilini alililaani sana kwani aliamini ndilo lililomuingiza matatizoni.
Mwili ulikuwa umechoka kwa mateso na kadhia alizopitia lakini alijipa ujasiri kuwa kila kitu kitakaa sawa tu.
Alishapaki mabegi yake yote kwani aliambiwa ajiandae kwa ajili ya Safari kesho yake lakini pia akilini mwake alikuwa anatafuta namna nyingine ya Kutoroka.
Japo usiku uliopita alijaribu kutoroka lakini akakamatwa na RPC lakini hakukata tama, alitaka kujaribu tena.
Katika mambo ambayo alikuwa hajui ni kwamba RPC alikuwa ametega kamera za CCTV kwenye nyumba yote.
Kila alichokuwa anakifanya kilikuwa kinaonekana kwa RPC.
Ilipofika mida ya saa Nane usiku aliamua kutoroka, alifungua dirisha na kuruka hadi nje, wakati anazunguka kutafuta sehemu yenye wepesi aruke ukuta alikutana uso kwa uso na RPC.
“Ingia ndani ukalale upumzike kwa ajili ya Safari”
Sentensi hiyo alipoisikia aliamua kurudi ndani na kulala kwani alijua kuwa amezungukwa pande zote.
********************************
Gari ilikuwa inachanja mbuga kwa kasi sana na wakati huu walikuw wanakaribia kufika Makambako.
Mpaka inafika saa nne mchana tayari walikuwa wamefika Iringa, Dereva aliona njia ya kupitia Chalinze ni ndefu hivyo akaamua kukatisha Mtera ili apitie Dodoma.
Waliingia Dodoma na kupita Singida, kisha Manyara hadi walipofika sehemu inaitwa Magugu walishuka wakanunua mchele mwingi wakapakia kwenye cruiser, walikula nyama choma na ugali kisha safari ikaendelea.
Waliipita Minjingu na hatimaye wakaingia Arusha kupitia Simanjiro.
Masaa yaliendelea hadi walipoingia Arusha ikiwa tayari ni saa nne usiku.
Hawakutaka kupumzika sana, waliingia sehem wakachukua chipsi mayai na soda za Kopo kisha safari ikaendelea hadi walipofika Moshi ikiwa tayari ni saa sita Usiku.
Safari hadi nyumbani kwa Mkuu wa Chuo cha Polisi Moshi ilikuwa nyepesi kwani hapakuwa mbali kutoka pale Moshi mjini. 
Walienda kwa Mwendo wa taratibu hadi walipofika kabisa kisha wakasimamishwa getini na walinzi ambao walikuwa ni maaskari wa Mafunzo pale pale Chuoni.
Walijitambulisha wakakaguliwa kisha wakaruhusiwa kuingia ndani baada ya Simu iliyopigwa kuwapa amri ya kupita.
“Poleni sana na safari”
“Asante sana”
“Kijana mwenyewe ndio huyu hapa eenh”
“Ndio huyu”
“Lete Vyeti vyako haraka sana”
Ilikuwa ni saa saba usiku lakini hawakuruhusiwa kulala isipokuwa usajili ulikuwa unaendelea.
Tarehe zilibadilishwa na kuonekana aliripoti na wenzake kisha akaumwa na kupata ruhusa.
Baada ya kila kitu kukamilika alipewa miongozo kadhaa ya kuishi kule chuoni kisha usiku ule ule akapelekwa Chuoni kuendelea na Mafunzo.
…………………….
Katika watu ambao walikuwa hawana furaha alikuwa ni Rafiki, hakujua kuwa Sam ameenda wapi,na ameenda kufanya nini.
Alitamani kumuuliza mama yake japo kupitia kwenye simu lakini aliogopa kufanya vile.
Masomo yalikuwa hayapandi kwasababu ya Sam lakini hakuwa na uwezo wowote wa kujua alipo, mbaya zaidi hata kwa akina Sam ambapo ndio asili yao hakupajua.
Alijikaza kisabuni mpaka alipofanya mitihani yake ya Mwisho ili arudi nyumbani na kufanikiwa kuimaliza salama.
Alifurahia sana akijua huenda atakaporudi nyumbani anaweza akajua chochote kuhusu Sam.
Siku ya siku aliporudi nyumbani alikuta hali ambayo sio ya kawaida, kulikuwa na watu wengi wakiwamo ndugu wa karibu na Majirani ambapo kwa hali ya kawaida ilionekana ama kama hakuna sherehe basi kuna msiba!

Mafunzo ya uaskari yalikuwa yamepamba moto katika chuo cha Upolisi CCP Moshi, Sam alikuwa anahenyeshwa usiku kucha.
Katika hali ya kumfanya aendane na wenzake alikuwa akipewa mafunzo ya ziada ikiwa ni pamoja nay ale ya Darasani na mazoezi ya ukakamavu.
Katika Mambo ambayo wengi hawafahamu ni kwamba katika mafunzo ya Uaskari masomo ya darasani yana nafasi kubwa kuliko hata yale ya Misuli ama ya kutumia nguvu.
Somo ya “Introduction to national laws” utangulizi katika sharia za nchi ni somo ambalo lilikuwa linapata kipaumbele sana katika mafunzo ya uaskari.
Askari lazima ajue sharia za nchi ili aweze kumbaini mvunja sharia, lazima ajue sharia za nchi ili aweze kuzisimamia na kulazimisha zifuatwe.
Somo lingine ambalo linahusu darasani sana ni somo la usalama barabarani, lazima askari ajue sharia za barabarani kwani siku moja anaweza kuongoza magari barabarani na kusimamia usalama katiaka usafiri.
Masomo mengine kama nidhamu kwa kazi, utii kwa wakubwa kazini, taaluma mbalimbali pia ni masomo ambayo Sam alikuwa anakaa darasani kuyasoma.
Uzuri ni kwamba pamoja na kuwa Sam alikuwa ameingia kwa kuchelewa lakini alikuwa anafanya vizuri sana kwenye mitihani kiasi kwamba wakufunzi walikuwa wanampenda sana.
Alifanya vizuri pia kwenye mazoezi ya viungo na ukakamavu kwani aliyamudu kwa kuonyesha ukakamavu wa hali ya juu.
Katika eneo lingine ambalo alitia for a ni eneo la matumizi ya Silaha, alilimudu kwa kiwango cha hali ya juu lakini zaidi zaidi ilikuwa ni kwenye kipengele cha kulenga shabaha
Katika kulenga shabaha ilikuwa ni ajabu kuwa katika majaribio kumi aliyokuwa anapewa kulenga ilikuwa kama halengi yote basi anakosa moja tu.
Hii iliwashangaza wengi sana, ilifika wakati kwamba mtu anakaa umbali wa Mita mia alafu anaweka ndoo ya maji kichwani alafu Sam anapewa alenge ile ndoo na HAIKOSI.
Wakufunzi walikuwa wanateta kuwa Sam atakuwa ni Sniper mzuri kuliko ilivyozoeleka, ma sniper kama hawa ni muhimu sana wakati wa mapambano kwani wanapunguza idadi ya Risasi za kutumia huku kila risasi kwao ikiwa imetimiza lengo.
Hawa ndio ambao wakiasi wanatumika kufanya uhalifu wa kuua kwa kulipwa kwani akijitega sehemu na kumlenga mhusika hamkosi.
Ni rahisi kama akiwa jambazi kuua askari wengi kwani akijificha sehemu na kuminya jicho lake atakapoachia risasi inadondoka na askari mmoja.
Walengaji kama Sam ndio walioweza kumuua aliyekuwa Rais wa Marekani John F Kenedy! Sam alivuta Hisia za wakufunzi wengi sana hadi kufikia wakati akawa burudani kwa maaskari wenzake.
………………………………….
Siku zilikuwa zinakimbia sana ambapo wakati huu Mafunzo yalikuwa yanaenda ukingoni, Sam alikuwa amepewa doria katikati ya mji wa Moshi akilinda mazingira ya Mji yasichafuliwe,
JUkumu lao kubwa ilikuwa ni kuwakamata watu wote ambao wanatupa takataka hovyo na kuwapeleka kwenye ofisi za Halmashauri na kutozwa faini ama kupelekwa mahakamani na kusomewa mashtaka.
Akiwa kwenye eneo la kazi yake alimuona Mama mmoja akiwa anakula mahindi ya kuchoma huku anatembea Barabarani.
Alimfwata Nyumanyuma kwa umbali mrefu akivizia adondoshe gunzi barabarani amkanate, ari ya kufanya kazi ilikuwa juu sana kwahiyo wakati mwingine alikuwa anatafuta makosa, aliendelea kumfwata Yule mama kwa umbali mrefu kutokea stendi akashuka nae mpaka wakafika CRDB wakaenda mpaka wanafika karibu na YMCA Yule mama akaangalia huku na kule akadondosha lile gunzi chini.
Kama mshale Sam alimuendea na kumshika mkono kwa nyuma….
“Uko chini ya urinzi wewe mama, unachafua mji makusudi arafu unajifanya mpore eeeh” Sam nae alikuwa ameiga lafudhi ya kikurya utadhani ndio lugha ya Jeshini.
Mama Yule alishtuka sana kwani hakujua kwamba alikuwa anaonekana, maaskari waliokuwa wamefuatana na Sam walimsaidia kumkamata Yule mama huku wakimlazimisha waende ofisini.
Sam alipigwa na ganzi asijue cha kusema baada ya Yule Mama kugeuka na kuonyesha sura yake ambayo ilimshtua sana Sam.
“Mamaaaaaaa!”
“Haaaaaa, Sam!”
“Mama unafanya nini huku?”
“Acha tu mwanangu, niko hapa huu ni mwezi wa tatu”
Sam alikuwa tayari machozi yanamwagika usoni kwake kwa kitendo cha kumuona mama yake tena katika mazingira yale huku hali ya MAMA yake ikiwa haimridhishi kabisa.
Ukakamavu wote wa Kiaskari ulikuwa umemuishia, alikuwa amepigwa ganzi na tayari miiko ya kiaskari ilikuwa imeshamshinda kwani katika zoezi la uhalifu huwa hakuna cha undugu.
Sam alishindwa kabisa na kujikuta akimkumbatia mama yake huku wote wakiwa wanalia.
“Mama twende huku”
Wenzake walikuwa wamemwangalia tu na mwishowe wakaamua kuondoka kuendelea na mambo mengine huku Sam na mama yake wakiondoka na kutafuta sehemu ya kukaa.
Walienda hadi kwenye baa moja wakakaa huku Sam akiagiza soda za baridi na kuanza kunywa,
“Mama mbona afya yako imezorota hivyo”
‘Naumwa Sam’
“Nini mama?”
“Nina TB”
“Nimelazwa hapa KCMC kwa mwezi mzima ndio saivi naanza kutembea mtaani”
“Dah pole mama, nilikuwa nawakumbuka sana lakini sikuwa na namna ya kuwapata hata kwenye simu”
“Usijali mwanangu…nimefurahi sana kukuona, Nilitamani sana nikuone kabla sijafa”
“Mama kwanini unasema hivyo…”
“Nina HIV Sam, siku zangu za kuishi sio nyingi, nimeamiwa CD4 zangu zimeshuka sana sifai hata kutumia ARV”
“Mama usiseme hivyo, nahangaika kwenye maisha kwa ajili nije nikutunze, sitaki ufe”
“Sitaki nife Sam, lakini nafurahi kukuona ukiwa hapo maana najua utaendesha maisha yako bila kuteseka, nitakifurahia kifo changu”
Machozi yalikuwa Mengi sana kwenye mashavu ya Sam, alikuwa anaemia moyoni mwake kama anachomwa na moto kwenye kidonda.
Maneno ya mama yake yalikuwa ni zaidi ya mkuki moyoni, hali ya afya ya mama yake ilikuwa ni majonzi matupu.
Alitaka amuone mama yake akiwa mzima na mwenye furaha ili amhudumie baada ya kuajiriwa kama askari.
“Sam mwanangu nisikilize kwa umakini………”
“Mpumbavu mkubwa….hiki ndicho ulikuja kufanya hapa, badala ya kufanya kazi unakaa na malaya huyu hapa baa, eenh Malaya mwenyewe kachoka hivi huoopi magonjwa….twendeeee ukajibu huko chuoni”
Sam alikuwa mikononi mwa maaskari wawili wenye mbavu nene wakiwa wamemkamata kwa kitendo cha kukiuka miiko ya kazi…hakuna kipindi kilikuwa kigumu kwa maaskari kama kipindi hiki cha mafunzoni, suala la nidhamu lilikuwa linazingatiwa sana. Ufwatiliaji wa siri ulikuwa mkubwa sana kiasi kuwa kila askari alikuwa anachunguzwa kwa kiwango cha juu mno!
Sam hakukubali kuachanishwa na mama yake tena kwa matusi ya kiwango kile, aliamua kupambana potelea mbali hata kama atafukuzwa chuo lakini mama yake ndio ilikuwa furaha yake!
“Niacheni nimesema niacheniiiiiiiiiiiiiii”
Purukushani ilikuwa kali mno kiasi kwamba ngumi zilianza kutembea, pamoja na kuwa wale maaskari walikuwa wawili tena walioshiba kikamilifu lakini hawakuweza kumkamata Sam.
Walikuwa wamepigwa ngumi na mateke mfululizo wakajikuta wote wakiwa chini na Sam yuko na mama yake amemshikilia waondoke.
“Sam nenda, nenda usije ukapoteza kazi uliyopigania kwa mda mrefu, nenda kamalizie mafunzo Mungu akipenda utanikuta”
“Mama kwani unaenda wapi saivi”
“Sam nimekwambia nendaaaa”
Mama Sam hakutaka kusema anakoenda kwani alijua atamliza Mwanae zaidi kwani hakuwa na pakwenda wala nauli ya kurudi nyumbani na siku zote baada ya kutoka hospitali alikuwa analala kwenye maeneo hatarishi.
Sam alitia mkono mfukoni akatoa kiasi cha fedha zote alizokuwa nazo kutokana na mishemishe za siku nzima hapo maeneo ya mjini na kumpa mama yake, ilikuwa ni zaidi ya Laki na nusu.
Alivyomaliza tu kotoa hela alijikuta akivalishwa pingu mkononi kisha kama kuku akakamatwa na kupakiwa kwenye gari ya Chuo cha Polisi.
……………………………..
“Sasa wewe utakuwa mfano”
“Nisamehe Afande”
“Nikusamehe mimi ni Basha wako?”
“Nisamehe nilishindwa kujizuia”
“Ukiendelea kuongea nakutia dole la mkund…”
Sam alikuwa anapewa mateso makali kiasi kwamba alikumbuka siku alipokuwa anateswa na akina Afande Miraji.
Alikuwa amechakaa kwa kipigo huku akifanyishwa mazoezi makali kama pushap, kuruka kichura, kubiringishwa uwanja wa kokoto na kuminywa kwenye maji.
Kwa siku tatu mfululizo Sam alikuwa amechoka kupita maelezo, wakati wote huu kesi yake ilikuwa inasikilizwa huku uwezekano wa kufukuzwa chuo ukiwa nje nje!
…………………………..
“Mama mbona kuna wageni wengi sana leo hapa nyumbani”
“Verity anatolewa Posa”
“Haaaa anaolewa?”
“Mwenzangu acha tu, ni vituko!”
“Vituko gani?”
“Hataki kuolewa na huyo mwanaume”
“Sasa kwanini?”
“Hataki kusema lakini nahisi ana Mimba!”
“Mimbaaaaaa?”

Verity alikuwa amekaa chumbani peke yake akitafakari maisha yakemjinsi yanavyoenda.
Alikuwa amemaliza chuo ambacho alikuwa anachukua Diploma ya Uhasibu, kila kitu kilikuwa kimeenda Vizuri isipokuwa tu moyoni mwake alikuwa na Donge moja.
Donge hili lilikuwa ni Donge la Mapenzi, tayari alikuwa Mapenzini na wanaume zaidi ya mmoja lakini moyo wake ulikuwa umedondokea sehemu moja, hii ni kama ile Riwaya ya “Three Suitors One Husband”.
Verity alikuwa amedondokea Kwa Kijana Sam ambaye hivi sasa yuko chuo cha usakari polisi cha CCP Moshi.
Wakati mapezni yakiwa yanautesa moyo wake jambo jipya linaibuka kwa kasi, jambo hilo ni la Mmoja wa wapenzi wake ambaye ni askari wa JW aking’ang’ana sana kuwa anataka atoe posa ili amuoe Verity moja kwa Moja.
Kijana huyu ambaye ana cheo cha Meja wa Jeshi huku tayari akiwa ana nyota tatu begani alikuwa kwenye Mapenzi mazito sana na Verity.
Siku ya kwanza alipomuona kwenye graduation ya chuo cha IFM branch ya Mbeya ambapo alienda kumsindikiza dada yake ambaye nae alikuwa anahitimu alichanganyikiwa kabisa.
Aina ya Mwanamke kama Verity ndio aina ya wanawake ambao walikuwa wanazikonga nyoyo za Meja Emmanuel Mwambashi.
Hakuweza kuvumilia bila kutafuta namna ambayo anaweza akamuweka Verity kwenye Himaya yake, kwa kumtumia dada yake aliweza kuyapata mawasiliano ya Verity na kufanikiwa kuzungumza nae maneno machache kwa siku hiyo huku wakipeana ahadi ya kuonana siku za mbeleni.
Mawasiliano kati ya Verity na Meja Emma yalikua siku hadi siku na hatimaye wakaonana kwa mara ya kwanza katika ukumbi wa Hoteli ya HighLands view iliyoko Tukuyu.
Emma aliingia na gari yake aina ya Subaru aliyozawadiwa na Baba yake baada ya kupata cheo cha Umeja, gari hii ilikuwa nzuri na Mpya ambayo kila ikipita mjini watu walikuwa wanaitolea macho.
Siku hii ilikuwa ni siku ya kiubaridi lakini verity alikuwa amevaa gauni fupi lililoishia mapajani huku akiwa amevaa Sendoz nyepesi miguuni.
Rangi yake ya kung’aa ukijumlisha na gauni hili Jeusi pamoja na Umbo lake matata ambalo sio nene wala Jembamba ila likiwa limejipanga vyema kabisa vilimfanya avutie kiasi cha kila mwanaume kumtolea macho ndani ya eneo hili.
Hata wazungu waliokuwepo maeneo haya waliweza kumfananisha Verity na Mrembo Paris Hilton waliyemzoea kule Marekani.
Meja EMMA baada ya kumuona mgeni wake alinyanyuka na kumfwata kwa bashasha kubwa kisha akamkumbatia ishara ya salamu nzito kisha akamshika mkono na kumuelekeza sehemu ya kukaa.
Watu wote ndani ya eneo lile walikuwa wanamkodolea macho Meja Emma kwa wivu baada ya kuona mrembo Verity kaishia kwenye mikono yake.
…………………………………………
Waliongea mengi sana siku hii lakini mengi yalikuwa yanahusu maisha yao na Mapenzi yao kwa ujumla.
Emma alisisitiza sana jinsi ambavyo alikuwa anampenda Verity na alitamani sana awe nae maishani, Verity alikubaliana nae lakini alitoa kigezo cha mda kuwa wapeane muda wa kutosha.
Sio kwamba Verity alikuwa hamtaki Emma, la hasha! Moyo wake ulikuwa umefunikwa na Sam, wakati wote alikuwa anamuwaza Sam na ndio maana hakuweza kuwa deep kwenye mapenzi na mwanaume yoyote kwa kuwa moyo wake tayari ulikuwa REHANI kwa Sam.
Tayari savannah nne zilikuwa zimepita kwenye koo la Verity huku Meja EMMA akiwa tayari amebwia Heinkein sita, hapa walikuwa wanakula kuku wa kuchoma na ndizi za kukaanga.
Kuku mzima alikuwa amejaa kwenye sinia huku wakijiachia kwa kunyofoa minofu na kufurahia burudani ya vinywaji vyao.
Masaa yalisogea na tayri ilikuwa ni saa mbili usiku, Verity alikuwa amechangamka hali kadhalika Meja Emma.
Walikuwa wameshaanza kusogeleana tofauti na mwanzo, kila ambapo Emma alikuwa anajaribu kuyashika mapaja mazuri meupe ya Verity mkono wake ulikuwa unasita kwani alikuwa anahofia kumkosa Verity kwa kuonekana mwanamme mpenda Ngono na asiye na Subira.
Wakati yeye akiwaza hayo Verity yeye alikuwa ameshamgusa mara kadhaa Emma Kifuani, mapajani na hata kumlalia.
Laity kama EMMA angelijua asingekuwa na hofu aliyo nayo, wakati wote Verity anapokuwa amekunywa Savanna hisia zake kimapenzi zinakuwa juu sana na kama angemgusa tu basi angepewa kila kitu.
Huku masaa yakiendelea kusogea tayari Verity alikuwa amelewa kabisa na alikuwa anawaza namna ya kuingia nyumbani kwa mzee wake.
Alipowaza sana aligundua kuwa baba yake alikuwa safarini na hivyo hofu yaje ikamuisha,
“Emma naomba tuondoke!”
“Umechokae haya twende”
“Nichukulie Bajaji”
“Usijali nimekuja na gari”
Wakati wote Verity hakujua kuwa EMMA ni mwanajeshi tena mwenye cheo cha juu kabisa, yeye alimchukulia ni mtu wa kawaida tu.
“Kwahiyo utanipeleka nyumbani?”
“Ndio”
“SItaki nyumbani wajue kuwa nilikuwa na mwanamme”
“Sifiki nyumbani kabisa ”
“Poa twende”
Alifunguliwa Mlango wa gari na kukaa kwenye siti huku Emma akikaa kwa pembeni, gri liliwashwa na safari ikaanza, kwa ulevi aliokuwa nao Verity alianza kusinzia huku nguo yake ikiwa juu kabisa mapaja yote yakawa wazi, mbaya zaidi alikuwa hajavaa “skin tight”. Haya yalikuwa ni mateso makubwa sana kwa MEJA.
Kila Meja alipotaka kumuita amuelekeze nyumbani kwao Verity alikuwa yuko hoi kwa usingizi, ilibidi meja Emma apaki gari pembeni huku akisubiria Verity azinduke.
Baada ya Nusu saa alimuona Verity akizinduka huku bado akiwa na mawenge mengi.
“Vip naona umelala, pole na uchovu”
“Asante, tumefika? ”
“Hapana ”
“Mbona sasa umepaki gari”
“Sipajui kwenu na sikuwa na mtu wa kunielekeza, nimekuamsha lakini ukawa umezidiwa na usingizi”
“Jamani!”
Badala ya Veriity kuelekeza anakoenda alimlalia Emma mapajani, msisimko ambao aliupata Emma kwakweli hakuweza kujizuia tena.
Aliushika mkono wa Verity na kuanza kusugua Viganja vyake, kitendo hiki kiliamsha hisia za Verity aliyeanza kugugumia puani.
Emma aliendeleza zoezi lake huku wakati huu akiwa anapandisha mikono yake mpaka maeneo ya kwapani kwa staili ya kuuchua mkono wa verity kimahaba.
Hakuishia hapa akahamia kabisa kwenye siti ya Verity na kumpakata huku mikono yake ikiwa imezunguka kiunoni mwa Verity na kuendeleza shughuli za Mahaba.
Alikuwa ameshalipandisha gauni la verity kiasi cha mapaja yake kuwa wazi kabisa na kuwa anampapasa kila eneo la mwili wake.
Alifungua zipu ya gauni kwa Mbele na kuyatoa maziwa nje na kuanza kuyanyonya huku akiyapapasa kwa utaalamu wa kuamsha hisia za mwanamke aliyekeketwa.
Aliendeleza zoezzi hilo kwa dakika kadhaa huku akihamia mdomoni na kunyonyana mate kwa fujo zote, mhogo wa MEJA Emma ulikuwa juu sana na ulikuwa unatikisika kwa hasira zote.
Meja emma alipitisha mkono wake mpaka kwenye eneo la sehem nyeti kabisa za Verity na kusogeza nguo yake ya ndani pembeni kisha akaanza kucheza na kisehemu cha juu ya …. Hapo ndipo Verity alianza kutoa kilio cha raha.
Kilio hiki kilimaanisha kuwa hisia zake zimepanda juu kabisa kwa kile anachofanyiwa, ndani ya dakika moja tayari Verity alianza kutema majimaji mengi ambayo yalikuwa ya motoooo kumaanisha kuwa amefika kwenyewe.
Meja Emma uchu ulikuwa juu sana na hakutaka kuvumilia zaidi, alivua suruali yake na bukta kisha akamcchukua Verity na kumpakata huku wakiwa ndani ya Gari.
Mhogo wake ulipenya taratibu huku Verity akigugumia kwa mpenyezo ule uliokuwa war aha kamili, mhogo uliingia mpaka ndani kabisa na kisha kilichofwata ni mauno ya kupanda na kushuka.

Ndani ya nusu saa kila mmoja alikuwa amelala kivyake huku wakiwa wamepeana raha ambazo hawakuzipanga.
Mpaka wanazinduka Emma alikiri kuwa maisha yake yote hakuwahi kutembea na mwanamke mwenye hisia kali na mtamu kama Verity.
Aliapa kwa namna yeyote kuwa lazima amuoe, kwani tayari alikuwa na miaka 35 na hakuwa na mchumba kamili kutokana na kuwa na kazi na mafunzo ya jeshi kwa kipindi kirefu. Aliapa kuwa lazima atamuoa Verity tena haraka sana.
……………………………………
Verity alikuwa chumbani kwake akiendelea kusoma majibu ya daktarii yaliyomuonyesha kuwa ana mimba ya miezi mitatu, mawazo yaliusonga moyo wake kwani mahesabu yote aliyoyapiga kuhusu ile Mimba yalimpa jibu ambalo hakulitarajia.
Kwa miezi ile mitatu alijua kabisa kuwa mimba ni ya mtu anayemjua lakini hali ilikuwa sio hali kwani hakutarajia iwe hivyo.
…………………………………..
“Samwel Kiangi”
“Ndio Afandeeee”
“Tembeaaaaaa mpaka ofisi ya mkuu wa chuo”
“Sawa Afandeeeee”
“Sam”
“NAAAM AFANDE”
“Unamjua huyu”
“Ndio afande”
“Ni nani?”
“Ni mama yangu mzazi”
“Afande Mgololo”
“Naam Afande”
“Mtoeni huyu kijana kule Kwenye Adhabu ”
“Ndio Afande”
“Futa adhabu zake zote”
“Ndio afande”
“Sasa sam naomba ukajiandae umpeleke mama kule nyumbani akapumzike, nawewe ujiandae kwa mahafali wiki ijayo, sawa?”
“Sawa afande”
“Chukua hii fomu ukajaze mkoa unaotaka kupangwa kikazi ila RPC ameniambia kuwa lazima iwe Mbeya, SAWA?

*****

“Mwanangu Rafiki kama nilivyokwambia kabla, wewe ni binti yangu ambaye ninakupenda sana, unalijua hilo?”
“Najua BABA”
“nawewe si unanipenda mimi Baba yako”
“Nakupenda sana Baba yangu”
“Sasa mbona hukuniambia kabla sijakuuliza”
“Hahahaaa Baba bwana!”
Yalikuwa ni maongezi ya kirafiki kabisa kati ya Rafiki na Baba yake ambaye ni RPC wa mkoa wa Mbeya.
“Naomba nikuulize swali Binti yangu”
“Huna haja ya kuomba baba, we niulize tu mimi ni binti yako”
“Sawa…Hivi unampenda Sam?”
“Baaabaaaa, maswali gani hayo?”
“Naomba unijibu, tena unijibu majibu ya kweli”
“Baba sitaki kabisa kumsikia Sam, moyo wangu hautaki kabsa kumsikia huyu mtu”
“Nini? Sikuelewi, unamaanisha humpendi sam tena?”
“BABA kiukweli kabisa sitaki kulisikia jina la huyu mtu kwa sababu linaniumiza sana, nampenda sana Sam ila sijui yuko wapi na nitampata vipi”
“Usijali kwa hilo, najua sehemu alipo sam, lakini nataka kukuuliza kwa mara nyingine”
“niulize Baba”
“Unajua nini kuhusu Sam na Mdogo wako Verity?”
“Baba lakini mbona maswali yako yako hivyo? yananiumiza”
“Nijibu!”
“Najua kuwa Verity alikuwa anamtaka Sam lakini Sam alimkataa”
“Koh Koh Kooooh ” RPC alikohoa kidogo…
“Nikweli lakini ukweli mwingine mchungu ni kuwa Sam ametembea na mdogo wako Verity, tena mara nyingi tu”
“Haaa Baba ! au unataka kuniachanisha na Sam?”
“Nisikilize kwa makini kabisa, Sam ameidhalilisha familia yangu kwa kutembea na mabinti zangu tena wawili…sasa nilichoamua ni kwamba Lazima Sam akuoe”
“Unasemaje Baba?”
“Nasema hivi Sama hawezi kuwatumia wote alafu aende akawe na mwanamke mwingine, atakuwa amenidharau sana na ataiona familia yangu kama takataka, akikataa tu nitamuua kwa mkono wangu”
“waooooh asante sana Baba nampenda sana Sam”
“Usijali, wewe tulia tu lazima atakuoa na lazima akimaliza chuo atakuja hapa Mbeya, ila ukae mbali na mdogo wako Verity asije akavuruga Ndoa yenu”
…………………………………………….
“Sam!”
“Naam Baba …”
“Nifwate!”
“Sawa Baba…Nisha.. ingia ndani ngoja niongee na Baba nisubiri”
Sam alimwambia Nisha ambaye bado alikuwa amekaa akisubiri akaribishwe.
“Aende wapi ? kwani yeye ni nani kwako”
“Rafiki alidakia huku Baba mtu akitikisa kichwa kuashiria anakubaliana nay ale anayoyasema bintiye”
“Aaah aah Baba huyu ni Rafiki yangu na ni askari mwenzangu anaitwa Nisha,…Nisha huyu ni Baba yangu na Huyu ni dada yangu anaitwa …..”
“Imetosha sam, usiendelee na utambulisho wako…”
“Sasa nisikilize Nisha… sijui Shisha…mguu mmoja mbele utembee, ondoka hapa hapakuhusu na usirudi hapa sawa eeeh”

Sio sam wala Nisha walioyategemea yale kwani Nisha alikuwa amefukuzwa kama Mbwa, nisha alikuwa amekasirika vilivyo kwa kitendo cha kufukuzwa, alitamani wajue kuwa yeye ametokea familia ya kitajiri kiasi gani , na hata kuwa askkari amekuwa tu kimkakati lakini sio sababu ya kutafuta ajira.
Alitamani awajibu mbovu lakini alitumia busara akaondoka taratibu, Sam alikabwa na donge kubwa kooni kwa kitendo alichofanyiwa rafiki yake, roho ilimuuma zaidi alipomuona Nisha akiondoka kwani aliacha mtikisiko mkubwa kwa shepu na sura yake hata wakati anaondoka zake, Sam alijua siku hiyo anaenda kujirusha na Nisha lakini haikuwezekana.
“Twende Sam”
“Sawa Baba”
Sam pamoja na RPC waliingia mpaka chumba cha wageni ambacho hutumika kukaa wageni wenye maongezi ya faragha na wawili hawa wakaketi kwa ajili ya mazungumzo!
“Pole na chuo Sam”
“Asante Baba ”
“Sasa ni wakati wa kupumzika na ikiwezekana sasa upate mke”
“Nikweli Baba lakini kuoa mimi saivi kwakweli bado sana”
“Nini?”
“Kweli baba inabidi nitulie kwanza nijipange kimaisha”
“Wala usijali, nimeshakutafutia mke tayari”
“Haaaa baba acha utani bwana”
“Utani kivipi”
Wakati sam anaongea na kujichekesha alijikuta hapati ushirikiano kwani RPC alikuwa siriasi mno na alikuwa haonyeshi kufanya masihara.
“Ndio nimeshakutafutia mke”
“Wawapi huyo Baba?”
“NI Binti yangu Rafiki”
“Sam alishtuka mno, hakutarajia jambo kama hilo kutoka kwenye kinywa cha baba yake, alihisi huenda anategwa ili akijiingiza mkenge akione cha moto”
“Baba lakini rafiki ni kama Dada yangu”
“Kwahiyo humtaki eeeh? Unamtaka mdogo wake Verity eeeh? Au wote kwa pamoja? Sema nikusikie?’’
RPC alikuwa amebadilika sura moja kwa moja na alikuwa mwenye hasira kiasi ambacho kilianza kumtetemesha Sam vibaya.
“sasa nisikilize Sam, nataka umuoe Rafiki na leo ni sherehe ya kumvisha pete…sitaki kusikia neno lolote la hapana, ila unisikilize kwa makini…najua ulimt..mba mdogo wake pia, ole wako uniletee dharau au ukamletee dharau Binti yangu Rafiki….”
“….Nitakukata hilo bichwa lako kwa mkono wangu na kulinywa supu, unielewe Sam mimi sinaga masihara, umewatom..ba watoto wangu alafu unataka ukaoe kwenye nyumba nyingine kum..mae”

RPC alikuwa anaporomosha matusi kama mvua, hakutaka masihara hata kiduchu!
Sam alikuwa ameinamisha kichwa chake chini akiwa anatafakari kwa kina, nikweli alikuwa anampenda Rafiki sana ila hakujipanga kwa ajili ya kumuoa bado, alikuwa anahitaji kutulia kwanza na vilevile sio kwa mazingira ya kulazimishwa kama haya!
“Potelea mbali, namvisha pete alafu namkimbia”

Verity akiwa chumbani aliangalia dirishani akamuona Sam akiingia na msichana mrembo tena chotara aliyepanda hewani vya kutosha.

Alijisikia wivu sana kwani hakutaka kumkosa Sam kwenye maisha yake na mbaya zaidi kuna mkakati wa yeye kuolewa na mwanaume mwingine.
Kilichomuuma zaidi ni mimba aliyokuwa nayo, ilimtesa sana na hakutaka kuitoa kwani alitaka uwe ukumbusho kwa mwanaume aliyempenda kwa dhati.
Alipomuona Sam anaingia pale ukumbini alisikia kama kitu kimepiga teke tumboni na kumfanya afunue kanga aliyovaa na kuangalia tumbo lake ambalo lilionyesha kama kuna kitu kinatikisika.
Machozi yalianza kummwagika taratibu akiwa ameshikilia Tumbo lake ambalo lilikuwa likiendelea kutikiswa na kitu kilichomo ndani, machozi yalimwagika kwa wingi kwenye mashavu yake asijue ni nini hatima ya maisha yake.
…………………………
Nderemo na vifijo zilikuwa zinarindima pale nje huku wageni mbalimbali wakiwa wanakula na kunywa, katika hali ya kushangaza iliyomshtua Sam ni baada ya kumuona Mama yake mzazi akiwa Miongoni mwa wageni walioko pale japo akionekana hana raha sana.
Sherehe iliendelea huku wageni wakiwa wanacheza mziki na kuongea kwa nyakati tofauti kama ambavyo MC alikuwa anawaruhusu.
Sam alikuwa ndani ya suti ambayo alishanunuliwa na Rafiki huku pia pete ikiwa imeshanunuliwa na kazi yake ilikuwa ni kuivisha tu kwenye vidole vya Rafiki.
Ilitimu mida ya saa mbili usiku ndipo MC alipomuita sam mbele na kumtaka amtafute mchumba wake alipokaa aje nae pale mbele.
“Sasa braza wangu wa nguvu, Mshkaji wangu wa siku Mingi AFANDE SAM…naomba uje hapa umtafute alipo Yule mpenzi wako umlete hapa mbele”

(vigelegele vilisikika baada ya Mc kutamka hivyo.)

Sam alisogea mbele na kuanza kupita taratibu kweye makundi ya watu ili akamchukue Rafiki, haikuwa kazi ngumu sana kwani watu hawakuwa wengi sana, alipokuwa anapita kuelekea pale ambapo amemuona Rafiki amekaa alishtuka suruali yake ikiwa inavutwa na mtu aliyekaa chini na kujifunika usoni.
Alipotupa macho yake kutazama ile sura alikutana na sura ya Verity ikiwa inabubujikwa machozi na kutia Huruma.
Sam alishtuka na kujikuta akitamani kumuongelesha lakini akaahirisha ghafla na kuondoka lakini aliisikia sauti ya Verity ikiita kwa sauti ya Chini …. “Sam nisikilize kwanza”
Sam hakutaka kubaki tena pale aliendelea na adhma yake ya kumtafuta Rafiki kama alivyohitajika na MC.
Aliendelea na safari yake mpaka akafika pale alipoketi Rafikia AKAMCHUKUA na kwenda nae mbele huku kamshika mkono.
Walipofika mbele huku wakisindikizwa na makofi na vifijo walisimama na MC hakuwaruhusu kukaa…
SASA BRAZA SAM NAOMBA UFANYE KILICHOTULETA HAPA…
Sam aliingiza mkono mfukoni akitafuta pete lakini akawa haioni alijipapasa sana kila kona lakini haikuonekana.
Watu wote walikuwa wamemkazia macho wakiwa wanamuonea huruma huku wamepigwa na butwaa kwa kile ambacho kinatokea
RPC na mkewe walikuwa wamekaza macho yao mbele kule kwa Sam huku RPC akidhani kuwa ni Janja ya Sam ili asimuoe binti yake.
Hasira zilikuwa zimemkaba vilivyo na alishaanza kuamka pale alipokaa akitaka kumfwata Sam kule mbele ili akamfundishe adabu.
………………………….
Nisha akiwa ana hasira na fedheha ikiwa imemjaa machoni na moyoni alianza kujivuta akielekea nje ya Geti la Nyumba ya RPC.
Alikuwa anaumia moyoni kwa fedheha aliyofanyiwa tena akiwa ugenini, alijisikia kuaibishwa na kudharauliwa sana.

Alijiwazia moyoni mwake …
“Hivi mimi nina kasoro gani na nimekosa nini”
“Hivi huyu Sam ana nini haswa cha kunifanya mimi nimtetemekee hadi nidhalilishwe kiasi hiki”
“Kama kile kidada kilichokuwa pale ndio kinamtaka Sam hakiniwezi kwanza hakinizidi kwa lolote, nitawakomesha”
Nisha aliona Bajaji ikipita akaisimamisha na kupanda, “Nikupeleke wapi DADA?”
“Nipeleke sehemu yenye baa iliyotulia ambayo haina makelele”
“Poa”
Bajaji ilichanja njia na kuingia kwenye hoteli moja yenye ukumbi nje ikiwa imeandikwa Tunduma INN…
Ilikuwa ni Hoteli nzuri ambayo ilikuwa nje ya mji wa Mbeya kidogo huku kukiwa na ukumbi wenye mandhari nzuri huku watu wachache wanaoonekana wana maisha yao mazuri wakiwa wamekaa na kula na kunywa vitu vya gharama
Vinywaji hapa vilikuwa mezani ni kama Heinken, Amarula, St Anne, Savanna, Windhoek na vingine, Miguu ya Mbuzi na mikausho ya Kuku ni moja ya vitu vilivyokuwa vinatafunwa hapa kwa wingi.
Kwa hasira alizokuwa nazo Nisha aliamua kufanya kitu ambacho alikuwa hajawahi kukifanya katika maisha yake…kunywa pombe.
Hata pombe gani aanza nayo alikuwa hajui kwani hana uzoefu, mziki wa taratibu uliokuwa unapiga ulikuwa ni AMARULA ulioimbwa na mzambia Roberto.
Hapo hapo Nisha aliamua kuagiza AMARULA, “niletee amarula dada”
“naomba elfu ishirini”
Nisha alitoa kiasi hicho cha fedha na kuletewa kinywaji alichoagiza, kilivyoletwa alikaribishwa na kukibugia kwa fujo na ndani ya dakika tatu kilikuwa kimeisha….
“Psiii, psiii”
Alimuita mhudumu aliyemhudumia
“Niongeze nyingine”
“Naomba hela”
Mhudumu alipewa hela lakini alikuwa anawaza kuwa Yule dada ataweza kumudu hizo pombe anazokunywa?
Alivyofika counta alimuita meneja na kumueleza kuhusu mteja anayebugia amarula kama soda…
Meneja alionnyeshwa alipo Nisha na kuahidi kuwa atakuwa anamuangalia mwenendo wake kwani alionekana ana stress.
Amarula ya pili ilitua Mezani kwa NISHA na kufunguliwa, alivyotaka kuipeleka mdomoni alianza kujisikia mikono yake haina nguvu za kutosha, na kichwa kimekuwa kizito.
Yule mhudumu alilitambua hilo akamfwata na kumuuliza…
“Dada nikuitie mtu wa Jikoni upate hata supu, hivyo vitu vinaendana na Supu”
“Poa mwambie alete mchemsho wa Kuku”
Mtu wa Jikoni alikuja na sinia lenye mchemsho wa kuku na ndizi akaviweka mezani lakini Nisha alikuwa ameuchapa usingizi.
“Dada, Dada amka supu yako hii hapa”
Nisha aliamka na kuifakamia Supu huku akivutana na minofu ya kuku, alikuwa na njaa sana ukichanganya na Pombe alizokunywa ndio zilimkwangua Tumbo kabisa.
Alivyomaliza Supu yake alijisikia nafuu kidogo, Yule mhudumu alikuja tena akamwambia,
“nikuletee maji dada? , ni vizuri ukipata maji ya baridi”
“Sawa niletee”
Mhudumu alienda akarudi na chupa kubwa ya maji yaliyoandikwa Udzungwa na kummiminia kwenye glass na kumkaribisha.
“Dada maji yako haya hapa kunywa”
“asante sana”
Nisha alikunywa yale maji taratibu huku akirembua macho, Yule mhudumu alikaa palepale mezani na kujaribu kuongea stori mbili tatu na Nisha ambaye alikuwa anamjibu kilevi na kivivu.
Yule mhudumu alifanya vile kwani alitamani kujua sababu ya unywaji ule wa Pombe kwa mdada mzuri kama Nisha.
“Dada niko hapa kama utataka huduma yeyote usihangaike kuniita”
“Usijali”
“Kwani uko mwenyewe au kuna mgeni unamsubiri”
Nisha alinyanyua sura yake na kumtazama Yule mhudumu akitamani amtukane lakini alivvyomtazama machoni alikutana na sura ya dada mrembo ambaye alionekana ni mstaarabu huku akiwa ana tabasamu lisilokuwa na sababu ya kutukanwa.
“Samahani mimi naitwa Esther”
“Mimi naitwa Nisha”
“Karibu sana dada hapa kazini kwetu, ni sehemu iliyotulia kwa watu na heshima zenu kama wewe”
“Asante”
“VIP nikumiminie kinywaji chako kwenye Glass?”
“Sawa nawewe njoo na Glass tujumuike”
“Usijali, mimi niko kazini ila nitakusindikiza kidogo kidogo”
Yule mhudumu alirudi akakaa na Nisha akajimiminia kinywaji kidogo, lengo lake ilikuwa ni kumchangamsha Nisha na kumzuia asinywe ile chupa nyingine yote.
Alifanya haya yote akiwa hataki yamkute mwanamke mwenzake kama yeye yalivyomtokea miaka ya Nyuma na kumharibia kabisa ndoto zake.
Walianza kunywa taratibu huku wakipiga story mbili tatu, na kujikuta wamezoeana ndani ya muda mfupi.
“psiii…psiiii”
Mhudumu aliitwa na wateja waliokuwa wamekaa meza ya pembeni.
“Tuletee AMARULA KUBWA”
Wateja wale walitoa noti ya Dola mia na kumpa mhudumu ambaye aliondoka nayo kwani hoteli ile ilikuwa inapokea hata fedha za kigeni
Alivyorudi na chenji aliambiwa abaki nayo na wanaweza kujiagiza na wao kinywaji wanachotaka.
“Alafu Dada tunaomba tujiunge na kampani yenu”
Yule mhudumu alikuwa anashindwa cha kusema kuwa akatae ama akubali kwani tayari mkononi alikuwa amebaki na chenchi ya watu kama dola elfu themanini hivi ambayo ni sawa na shilingi laki moja na elfu sitini za kitanzania.
Mimi nimekupenda wewe na mwenzangu amempenda Yule mrembo uliyekaa nae, mkikubali kampani yetu mtafurahi mpaka jino la mwisho.
……………………………….
Hasira zilikuwa zimemkaba RPC na alishaamka kwenye kiti anaelekea kule mbele aliko Sam ambaye aliamini anazuga kwa kutoiona pete ili asimuoe binti yake.
RPC likuwa ametia mkono mfukoni ambapo alikuwa ameweka bunduki yake aina ya Pistol. Verity kule alikokaa aliliona tukio na alishaisoma akili ya Baba yake na kile anachoenda kufanya. Hakusita ilibidi aamke kwenye kiti.
Sam alikuwa anamtazama RPC Kwa woga kwani alijua kuna kitu sio kizuri kinaweza kikatokea, alitamani kukimbia lakini hakuyaamini maamuzi yake, alikuwa anajiuliza ni wapi ile pete imeenda wakati aliiweka mwenyewe mfukoni.
Verity alikuwa anakaza mwendo na tayari alikuwa amekaribia pale alipo Sam na Rafiki!

RPC alishangaa sana kumuona binti yake Verity akiwa anaelekea kule mbele kwani hakujua kuwa yuko pale ukumbini.
Verity alipofika pale mbele alidaka maiki kutoka kwa MC na kuanza kuongea…
“Kwa dada yangu kipenzi Rafiki na Shemeji yangu Sam”
“Leo nimeamua kujitolea pete hii ili umvishe dada yangu ninayempenda na ninawaombea maisha mema hadi siku mje mfunge ndoa yenye furaha.”
“Ndugu na wageni waalikwa; Poleni kwa sapraiz ambayo tumeamua kuwafanyia mimi na shemeji yangu kuwafanya muhisi kwamba tumepoteza pete…najua hata wewe dada yangu umeshtuka…usijali SAM ni wako tu”
Sam alikuwa ameduwaa kwa maneno ya Verity, hakushiriki mpango wowote na Verity lakini kile kilichotokea alihusishwa, kilichompa amani na furaha ni baada ya tatizo kupata tiba.
Hakutaka kuwaza zaidi kuwa ile pete Verity ameitoa wapi, alichotaka yeye ni amvalishe Rafiki Pete ili aondokane na lile tatizo lililokuwa mbele yake.
Wkati anataka kumvisha Rafiki pete alisikia mlio wa meseji kwenye simu yake akaifungua na kuisoma ambapo alikutana na ujumbe kutoka kwa Nisha!
“Sam nakupenda sana, nahisi huko uliko unataka kufanya maamuzi ambayo hujayaridhia kwa moyo mmoja, tafadhali njoo nina hamu nawewe, nimelewa sana na wanaume wananitaka kwa lazima, tafadhali njoo sitaki kulala na mwanaume mwingine, usipokuja watanichukua!
Sam alikuwa kama anaota, ukweli ni kuwa alikuwa anampenda sana Rafiki lakini mazingira ya kulazimishwa amuoe hakuyataka, lakini zaidi ya hilo alikuwa anavutiwa sana na Nisha na siku hiyo walipanga wawe wote!
Kitu kimoja kilimpa moyo … kumvisha mwanamke pete sio kumuoa, bado nina nafasi ya kutengua maamuzi.
Haraka haraka alipiga magoti chini na kutoa pete kwenye kibox chake na kukishika kidole cha Rafiki na taratibu huku akiwa amepiga magoti akaaanza kuingiza pete kwenye kidole huku Rafiki akidondokwa na machozi.
Kwa taratibu huku akiwa anamuangalia Rafiki machoni wakisindikizwa na shangwe na vigelegele pete ilipenya mpaka ikakaa sawia kwenye kidole cha Rafiki ambaye alikuwa anabubujikwa na machozi ya furaha.
…………………………….
Sam alikuwa amelala huku anachat na Nisha wakati huo anatafakari namna ya kutoroka akaungane na Nisha kule aliko.
Rafiki alikuwa amelala chumba kinachofwatia na siku hiyo hawakuruhusiwa kulala pamoja kwakuwa bado hawajaoana.
Kila alipokuwa analikumbuka umbo la Nisha pamoja na uzuri wake alikuwa anatamani kutoroka akaungane nae muda huo huo.
Alipohakikisha kuwa kila mtu amelala aliamka na kuanza kunyata kutoka nje, alinyonga kitasa cha mlango akachungulia kwenye korido na kuona kuko salama kisha akazima taa ya korido ili kamera za RPC zisimsome.
…………………………
Verity alipania kukwamisha dada yake kuvishwa pete kwani nae alikuwa anampenda Sam, kila mbinu aliyopania kuicheza ilikwama lakini dakika za mwishomwisho akafanikiwa kutia mkono kwenye koti la Sam na kuiba Pete iliyokuwa mule ndani.
Roho yake ilifurahi ila dakika kadhaa mbele ikakatishwa na kitendo cha kumuona Baba yake akitaka kumuua Sam.
Verity hakuweza kuvumilia kumuona Sam akifanyiwa kitu Mbaya pale ukumbini, alichokifanya ni kuamka na kumuendea sam pale mbele na kuwapa pete huku akisingizia kuwa ni mpango wa kufanya Sapraiz.
Pamoja na kulazimika kufanya hivyo haikuwa na maana kuwa ndio ameridhia Sam amuoe dada yake Rafiki.
Usiku akiwa kitandani alikuwa akitafuta namna ya kwenda chumbani kwa sam ili akaonane nae amwambie yaliyopo moyoni mwake.
Alipiga mahesabu akaamua atoke kwanza mpaka sebuleni ili aangalie mazingira mazima ya eneo la hapo nyumbani.
Alifika mpaka sebuleni na kuzima taa kisha akawa anarudi kuelekea kwenye Chumba cha Sam, akiwa kwenye Korido alishtuka akigongana na mtu ambaye hakumjua.
“Mamaaa wewe nani?”
Wote walijikuta wakitamka maneno hayo kwani kila mmoja alikuwa akitembea kwa tahadhari ya kutoonokena.
Walitambuana wote na woga ukawaisha, Sam unaenda wapi? Aliuliza Verity.
“Kwani wewe unaenda wapi?”
“Nilikuwa nakuja Chumbani kwako”
“Kufanya nini?”
“Nina mazungumzo na wewe Sam”
“Tafadhali sana Verity, naomba uniache, tafadhali usinitafutie matatizo”
Sam alikuwa akipiga hatua mbele akitaka aondoke zake.
“No Sam ukiondoka napiga makelele, twende chumbani kwako nikakuelezee ni kwanini ninataka kuzungumza na wewe!”
“Hivi Verity kwanini huna Huruma? Unajua kuwa mimi napambana na umasikini wangu, kwanini unataka unirudishe kwenye dhiki Verity”
“Usiseme hivyo sam”
“Ila nisemeje sasa, Verity nimedhalilika sana mpaka nikapata hii kazi, niache basi namimi nitulie, baba yako akiniona nina mahusiano na wewe safari hii hataniacha”
“Basi twende ukanisikilize ili tumalizane kabisa kila mtu abaki na maisha yake”
Kishingo upande Sam aliingia chumbani na Verity huku akiwa ni mwenye wasiwasi mwingi.
Walipofika chumbani cha kwanza alichofanya Verity ni kuwasha taa, “No verity usiwashe taa, kuna Kamera humu ndani baba yako ataniona”
“Usijali, kamera zote kwa sasa hazifanyi kazi”
Verity alinyanyua gauni lake la kulalia juu kabisa akabaki na chup.. tu!
“No verity usifanye hivyo pliiiz nakuomba”
“Njoo hapa karibu Sam”
“Verity no!”
“No nini njoo hapa”, Sam alivutwa mkono akaletwa karibu na aliposimama Verity
“Unaliona hili tumbo…hii ni Mimba yako na huyu hapa ndani ni MWANAO!”
Sam alikuwa kapigwa na butwaa kusikia kauli ile kutoka kwa Verity, vitu kibao vilizunguka kichwani kwake huku akipata wazo kuwa huenda anasingiziwa.
“SAM nakwambia ukweli wewe ndie mtu wa kwanza kujua kuwa hii mimba ni yako, hakuna hata mtu mmoja anayejua hili swala”
“Usinitanie Verity, by the way mimi sitaki mtoto kwa sasa kwahiyo utajua mwenyewe”
“Sam unasemaje? ”
“Nadhani umenisikia vyema ”
“Unaleta kiburi sio?, sasa sikia mimi sina dhiki ninaenda kuolewa na nitamwambia anayenioa kuwa huyu mtoto ni wake kwani hata hivyo anajua hii ni Mimba yake, ila naomba usimjue kwa lolote na wala usimzungumzie. Kwaheri Sam”
Verity alimuachia Sam na kuendea mlango ili atoke,
“Verity subiri kwanza”
“Unataka nini Sam, mimi na wewe tumemalizana….mwanangu huyu ni wa kike na nitamuita Kwajina la GWAKISA ambaye ndie anaenda kunioa, Meja Gwakisa sio wewe ambae hata cheo huna, ila kumbuka mwanao anaenda kuwa wa Baba mwingine”
Sam alikuwa anaemia sana moyoni lakini kila akiwaza aliona dawa ni kutokubali tu…
“Ila Sam nikwambie kitu”
“Nini?”
“Nipe penzi kidogo hata kama umeikataa Mimba yako”
“Verity sitaki”
“Hutaki nini?”
Wakati huu tayari sam alikuwa amefwata mdomoni na ananyonywa midomo, gauni la Verity lilikuwa chini kwa kuvuliwa na Verity mwenyewe.
Miguno ya kimapenzi ilikuwa inamtoka Verity mdomoni na puani kwa lengo la kumpagawisha Sam na kweli Sam alikuwa hana usemi tena hasa pale alipokumbuka utamu wa Verity ambao hawezi kuusahau.
Sam alitumia msemo wa Potelea mbali na kuamua kula uroda na Verity…
Alimkusanya Verity na kumtupia kitandani kisha akaanza kupitisha vidole vyake juu ya kufuli la Veirty akikuna maeneo hatarishi ya ikulu hiyo.
Wakati huo alikuwa ameweka embe boribo za VERITY mdomoni anazinyonya Kwa fujo.
Alivyoridhika na michezo yake alianza kuitoa taratibu kufuli ya Verity na kuiweka chini
Kwakuwa muda ulikuwa sio rafiki kwao Verity wala hakukawia, alikamata Tango la Sam huku akiwa ameweka miguu yake Mashariki na Magharibi ya Mbali kabisa kisha taratibu akalielekeza Tango mpaka mlangoni na kulihisi Joto tamu.
Taratibu sam nae akaanza kulisokomeza ndani mpaka likapenya na kufika ndani kabisa kitendo kilichomfanya Verity atoe miguno ya ndani kwa ndani hadi pale utamu ulipomzidia na kuanza kunyonga kiuno kwama feni akikipeleka mara juu mara chini mara pembeni kulia kushoto wakati huo huo Sam nae alikuwa anatimiza majukumu yake ipasavyo.
Dakika kumi kuisha wote walikuwa wamefikia walipotaka kufika kwa raha zao kabisa…
“Sijui kama nitaweza kuvumilia Raha hizi azipate Dada yangu peke yake…I love you Sam”
Sam alikuwa kimya kabisa akitafakari Mambo mengi ila kiukweli hakuna mtu aliyekuwa anamfurahisha kingono kama Verity, alikuwa anawaza kivyake ni vipi ataweza kujiepusha na mwaanamke huyu ambaye anatakiwa awe shemeji yake.
Verity aliamka na kuvaa gauni lake kisha akatoka zake kuelekea chumbani kwake akiwa na mawazo lukuki, alimuacha Sam amelala akiwa anawaza yake pia.

Kwa burudani ambazo Sam alipata kwa Verirty alijikuta akimsahau kabisa Nisha, kiu yake ilikuwa imekatwa kabisa ndani ya dakika chache na mwanamke wa shoka Verity, usingizi ulimchukua na kulala fofofo.
…………………………………….
Maji yalikuwa yanakatwa na yalikuwa yakikatika kwelikweli, Meza ilikuwa ina watu wanne waliokuwa wamekaa wanapiga story kama wamezoeana.
Alikuwepo Ester, Nisha pamoja na wafanyabiashara wawili kutoka Zambia, Egbert na Chilumba,
Nisha alikuwa amelewa kwelikweli na Esther alishalitambua hilo, aliona matendo ya Nisha jinsi ambavyo yanaendeshwa na ulevi na kuamua kutomuacha peke yake mbele ya wanaume wale ambao wanaonekana ni wakwere wa mapenzi.
Mguu wa Mbuzi ulikuwa mezani watu wanatafuna huku wakishushia na vinywaji ambavo ilikuwa ni kata mti panda mti.
Chenchi alikuwa anaachwa nazo esther na tayari zilikuwa zimempagawisha maana mfukoni alikuwa ana kitita kirefu tu.
Kwa Kiswahili kibovu maongezi ya kilevi yalikuwa yanaendelea kati ya hawa watu wa Zambia na watanzania hawa wawili.
“Esther mimi nimmependa sana wewe, mrembo sana”
“Asante kwa kunipenda”
“Nyinyi wa tizedi mnapenda sana kusema asante, mimi napenda wewe alafu wasema tu asante”
“jamani ndio hivyo asante kwa kuni penda”
Wakati anamuongelesha hivyo tayari mkono wake ulikuwa unapapasa mapaja meupe ya Esther ambae ilibidi akae kimya akitazama kinachoendelea.
Upande wa pili alikuwa ni Nisha akiwa amasinzia juu ya meza kwa ulevi.
“Esther mtafutie chumba rafiki yako akalale”
“Muache tu ataamka”
Mkono wa Chilumba sasa ulikuwa unaelekea mbali kabisa kwani ulikuwa unaikaribia nguo ya ndani ya Esther, wakati huo alikuwa anayashika shika maziwa ya Esther ambayo yalikuwa yamesimama vilivyo.
“Esther nakupenda naomba tulale wote leo, nitakupa pesa Mingi tu”
“Hapana usilale ne mimi, bado mapema sana”
“No esther sio mapema”
“Oosssh”
Esther alitoa mguno baada ya kidole cha Chilumba kugusa eneo hatari la ikulu yake na kilikuwa kinaelekezwa ndani.
Pembeni alikuwa amekaa Egbert na Nisha aliyekuwa amelala usingizi, wakati wote Egbert alikuwa anaangalia kile anachofanya Chilumba kwa Ester na tayari alikuwa amepandishwa mizuka kwa kumuona mwenzake anafaidi.
Hakukubali kutulia kimya aliamsogeza Nisha karibu yake na kuanza kumpapasa, Nisha alikuwa usingizini hivyo kila alichokuwa anafanyiwa alikuwa kama yuko ndotoni.
…………………………………….
Nisha alikuwa kwenye simu anachat na Sam ambaye alionekana hataki kabisa kuja pale hotelini alipo Nisha, Nisha alizidi kubembeleza kwa kauli za mahaba kiasi kilichomfanya Sam akubali kutoroka kwa RPC na kwenda kule aliko Nisha.
Wakati huu Nisha alikuwa anashikwa shikwa na Vijana hawa wa Zambia akamuona Sam anatokea mlangoni anatafuta sehemu walipokaa akina Nisha.
Nisha alipomuona Sam alikurupuka akatengeneza nguo yake vizuri na kumkimbilia Sam, alimvaa Sam kwa kumkumbatia na mabusu motomoto Mwaaa, mwaaa, mwaaaaa!
Sam alikuwa kamkumbatia Nisha kiunoni kitendo kilichowafanya wale Vijana wa Kizambia kupandisha hasira zao.
Hawakutaka kusubiri wala kuambiwa, waliamka kwa pamoja wakiwa na chupa zao za pombe hadi pale alipo Sam na Nisha.
Mmoja alirusha chupa akiielekeza kichwani kwa Sam lakini Sam aliiona akaminya chini kidogo ikapita na kugonga kwenye nguzo za vibanda.
Mwingin kuona ile aliamka na kumfwata Sam ambaye sasa alikuwa amemuachia Nisha kwa ajili ya mapambano.
Ngumi zilichezwa kwa kasi ya ajabu lakini ndani ya dakika tano vijana wale wa Zambia walikuwa wamekula kipigo cha haja kutoka kwa Sam na Nisha ambao japo alikuwa kalewa lakini alikuwa anapiga mateke ya nguvu kiasi kila mtu alishangaa.
Sam aliliendea moja ya Begi la wale vijana akalifungua na kukutana na Kwacha kibao akazitia kibindoni kisha akamwambia Nisha “Tuhame hapa”
Walichukua tax mpaka hoteli nyingine ambapo walilipia na kuzama ndani, moja kwa moja Sam alielekea kwenye kioo na kujitazama mdomoni ambapo alikuwa amepasuliwa na anavuja damu.
Akiwa anajiangalia alijikuta anashikwa kiuno kwa nyuma, alivyogeuka akakutana uso kwa Uso na Nisha akiwa kwenye vazi la Chupi tu na SIDILIA, Sam alipigwa butwaa kwa ule urembo wa Nisha.
Alikuwa mweupe na mwenye mvuto wa ajabu, kila sehemu kwake ilikuwa na mvuto, hakuwa na kunyanzi hata moja, hakuwa na Kovu wala sehemu yenye rangi tofauti isipokuwa weupe Mubasharaaa.
Chuchu mchongoko zilikipamba kifua cha Nisha huku tabasamu mwanana likiwa limemfuata sam ambaye alikuwa amekodoa macho kodo akistaajabu jinsi Nisha alivyoumbwa.
Pamoja na damu zilizokuwa zinamtoka kidogokidogo mdomoni Nisha hakujli hilo, alimfwata Sam mdomoni na kuanza kuunyonya huku Sam nae akiwa hataki kupitwa, mikono yake ilianza kupapasa kila kona ya mwili wa Nisha kuanzia juu mpaka chini.
Walifanyiana manjonjo mengi nay a kila aina huku Sam akiwa haishiwi ham ya kuufanyia vituko mwili wa Nisha ambao ulikuwa na urembo maridhawa.
Nisha alikuwa yuko hoi bin taabani, alibebwa mikononi akaingizwa chumbani na kumwagwa juu huku sam akimfwata kwa kumlalia na Nisha hakutaka kuukosa uhondo, aliukamata mhogo wa Sam huku akigugumia kwa sauti za chinichini…ooooh Sam, ooooshhhh, Ingiza Saaaam…oooohhh Tamuuuuu, ashhhhhhhh.
Hapa tayari mhogo ulikuwa umepita hadi ndani na Nisha akaanza kuukatikia taratibu lakini ghafla walisikia mlango ukigongwa….
Kwa mbali walisikia sauti za watu huko nje wakielekezana … “wezi wenyewe wameingia kwenye chumba hiki hapa”.

ESTER alikuwa amepagawa vilivyo, mapigo ya Wazambia hawa yalikuwa ni makali sana kwani tayari alikuwa amelazwa kwenye mapaja ya Chilumba akiwa amebetuliwa hifadhi yake ya Tanga Fresh na chuchu zinapikichwa huku kidole kimoja kikiwa mgodini.
Pembeni alimuona Nisha nae akiwa anafanyiwa mchezo ule ule, roho ilikuwa inamuuma sana Esther kwa kitendo anachofanyiwa Nisha huku akiwa hajielewi kwa Pombe, wakati wote huu Nisha alikuwa kama anaota huku mara kwa mara akilitaja jina la Sam akiamini ndie anamfanyia vitibwi hivyo kume loooh! Ni Egbert tena kutoka Zambia.
Kila wakati Esther alitamani amwambie Nisha aamke lakini alikuwa hawezi kutamka kwa utamu alio kuwa anapatiwa pale.
Ahhhhhh…shhhhhh, ashhhhh miguno hii alikuwa anaitoa Esther ambaye alikuwa anafikia Mshindo, Chilumba kuona hivi akazidisha manjonjo kitendo kilichomfanya Esther afikie Mshindo na kupitiwa na usingizi akiwa kamlalia Chilumba mapajani.
Chilumba kuona vile alimnyanyua Esther na kuzama nae chumbani, huko alimvua Esther nguo zote na kumlaza kitandani huku akilishuhudia Umbo zuri la Esther lakini likiwa na makovu mawili ya Visu mapajani ambayo hata hivyo hayakuharibu mvuto wake.
Chilumba uchu ulikuwa juu sana, alivua nguo zote akapanda kitandani huku akishuhudia Esther akiwa bado kalainika sehemu zake nyeti hivyo akakamata tango lake na kulitumbukiza japo lilikuwa linapita kwa shida lakini mwisho likazama mpaka ndani kitendo kilichomuamsha Esther.
“Noooooo Chilumba Nooooooo”
Aliongea Esther kwa sauti kali iliyomshtua Chilumba huku tayari Esther akiwa amejitoa kwenye tango la Chilumba.
“Esther Why?”
“Sitaki kukuua Chilumba”
“Kivipi Esther…how?”
“Am Victim, (mimi ni muathirika) Chilumba”
“Hapana Esther sio kweli unanitania ”
“Sikutanii Chilumba, sitaki kukuua, nakuona una pete mkononi inamaanisha una mke sitaki niwaue Pliiz”
“Esther unamaanisha unachokisema?”
“Namaanisha Chilumba, ngoja nikuletee vithibitisho”
Esther alitoka kidogo kisha akarudi
“Natumia dawa Chilumba, tena nilisahau kunywa naomba hayo maji nimeze dawa”
CHilumba alimshuhudia Esther akimeza dawa ambazo alizitambua kuwa zilikuwa ARV.
“Namimi niazime hayo maji nimeze zangu”
Esther alipigwa na butwaa baada ya kumuona Chilumba nae akimeza dawa za ARV’s.
“Nawewe ni mgonjwa Chilumba?”
“Ndio Esther”
“OOH pole lakini wewe sio mtu mzuri”
“Kwanini Esther, ”
“Kama ningekuwa sijaathirika ungeniambukiza kwasababu hukuwa na nia ya kunilinda”
“Hapana Esther….”
“Noooo usikatae…ninyi wanaume ni wakatili sanaaa”
Esther baada ya kusema hivyo alianza kulia huku Chilumba akiwa na kazi ya kumbembeleza lakini wala haikusaidia kitu.
Esther alilia na kulia mpaka akatosheka na wakati huu Chilumba alikuwa kamkumbatia akimpiga piga mgongoni.
Esther akiwa kama anakurupuka aliamka kwa kasi na kutoka nje kule walipokuwa wamekaa kwa lengo la kumtafuta Nisha.
“Rose huyu dada kaenda wapi na Yule kaka”
“Wmeenda kulala huko juu”
“My God…namba ngapi wapo?”
“101”
Esther akiwa kama mkichaa aliifwata lift mpaka juu kabisa Ghorofani kilipokuwa chumba namba 101, aligonga mlango bila kufunguliwa akaamua kuusukumiza na bahati nzuri ulikuwa haujabanwa ndani na kufunguka.
Alishuhudia Nisha akiwa uchi huku Egbert akijiandaa kutumbukiza dude lake kwenye ikulu ya Nisha lakini akamuwahi kwani alimsikia Nisha akiguna huku anataja jina la Sam.
“Egbert ni ukatili gani unafanya?”
“Wewe umeingiaje huku kwenye starehe zetu”
“No sitakubali umuingilie mwanamke ambaye hajitambui kwa ulevi, kwanini wanaume mnakuwa wakatili kiasi hiki?”
“Unajua nimeelewana nae nini?”
“Stop lieing Egbert, acha uongo, umeelewana nae nini na saangapi, kwanza wewe mwenyewe msikie tu anataja Sam na sio wewe”
“Tafadhali muache aamke kwanza umuingilie kwa ridhaa yake”
Kwenye akili ya Nisha baada ya kuona starehe zinakatishwa japo ni kama alikuwa anaota yuko na Sam, usingizi ulianza kukatika na kuamka baadae akakutana na mzozo kati ya Esther na Egbert.
Alikuwa anavuta kumbukumbu taratibu ndipo akagundua kuwa kila alichokuwa anakihisi ilikuwa ni ndoto na Yule aliyetaka kumuingilia sio Sam bali ni Egbert,
Alianza kujikagua taratibu na mwishowe akagundua kuwa hajaingiliwa bado.
“Esther naomba tuondoke hapa”
Huku akiwa amenyong’onyea Egbert alishuhudia Esther akiondoka na ndege wake huku wakimwacha na hali mbaya kweli kweli.
Esther aliondoka na Nisha hadi kwenye chumba ambacho alimuonyesha ili alale mpaka kesho yake.
“Lala hapa, hiki ndio chumba ninacholala mimi siku zote.”
Akiwa kalala chumbani kwa ESTHER peke yake alianza kuwaza, mambo lukuki yalipita kwenye akili yake mpaka alipoingia kwenye bar na kuagiza AMARULA kwa kuisikia tu ikiimbwa kwenye mziki.
Aliendelea kukumbuka jinsi alivyokutana na Esther na kujumuika nne kwenye meza huku wakipiga story mbalimbali na kuendelea kulewa.
Kumbukumbu ziliendelea mpaka walipokaa na vijana wawili waliojitambulisha kuwa ni waZambia na hapo akawa hakumbuki tena vizuri kilichoendelea hadi akajikuta yuko chumbani anataka kuingiliwa na Egbert,
Alikumbuka alipokuwa anaota kuwa yuko na Sam, wanapigana na wale wazambia na kuwapiga, wanawachukulia hela na kuhama hoteli kumbe yote alikuwa anaota tu, lakini akagundua kuwa aliyokuwa anayaota ni matendo ya uhalisia yaliyokuwa yanafanywa na Egbert.
Alianza kububujikwa na Machozi akiwaza jinsi ambavyo hisia kali juu ya Sam zilitaka kummtumbukiza kwenye mtego wa Mamba.
…………………………………………….
Sam aliamka asubuhi ya saa kumi na moja na nusu alfajiri huku mawazo yote yakiwa juu ya Nisha akiwaza ni wapi aliko na anafanya nini.
Hakuwa anamuwaza kabisa Rafiki japokuwa alikuwa ametoka kumvisha Pete usiku uliopita.
Aliachana na mawazo hayo akachukua kamba yake akaelekea nje kisha akaanza kufanya mazoezi taratibu ya kuruka kamba, wakati anafanya mazoezi alianza kukumbuka mazungumzo yake na Verity jana yake ambayo yaliishia kwenye kufanya ngono bila kufikia muafaka.
Alikumbuka jinsi Verity alivyomwambia kuwa ana Mimba yake na kumpa hadhari kuwa endapo anaikataa hiyo Mimba kuwa sio yake basi anaenda kuisingizia kwa mwanaume anayetaka kumuoa na kamwe asije akaenda kudai mtoto kwani atakuwa hamuhusu. Kingine kilichompa mawazo ni utamu wa Verity wakati wa kufanya ngono, alikiri kuwa na wakati mgumu kumsahau mwanamke kama Verity japo ni shemeji yake.
Ilibidi Sam asimamishe zoezi kwanza huku akiwa anatafakari jambo zito kama hilo, mwisho aliona ni bora Verity amsingizie mimba huyo mwanaume anayetaka kumuoa ili kunusuru uchumba wake na Rafiki ambaye ni dada wa verity.
Wakati anaendelea na zoezi alitupa macho yake kando akamshuhudia mchumba wake ambaye ni Rafiki akiwa amekaa huku anamtazama kwa tabasamu mwanana.
Katika vitu ambavyo vilikuwa vinamfanya Sam ajione hakukosea kuwa na Rafiki ni pamoja na Sura ya Rafiki. Alikuwa na sura nzuri sana ya maji ya kunde ama tunaweza kusema weupe wa wastani.
Alikuwa na macho makubwa meupe peee kasoro kwenye kiini tu, alikuwa na meno mazuri yaliyopangika vyema huku kifuani akiwa na embe mchongoko, wembamba wake wa wastani ulimfanya aonekane kama mlimbwende aliyeshinda taji. Tofauti yake na VERITY ni ule unene wa kutengeneza umbo namba nane aliokuwa nao Verity huku Rafiki akiwa ni mwembamba wa wastani.
Alivyomuona amekaa pale kando huku anatabasamu alijikuta akijisikia furaha na fahari kubwa, kabla hajasema chochote alimuona Rafiki akiamka huku amejifunga kanga iliyoonesha umbo lake kwa mbali hadi nguo ya ndani ikawa inaonekana mchoro wake akawa anamfwata.
Sam alibaki amemtolea macho hadi Rafiki alipofika pale akamkumbatia na kumpiga mabusu mdomoni.
“Pole Mume wangu kwa Mazoezi”
“Asante”
“Haya twende ukaoge unywe maziwa”
KItendo cha sam kukumbatiwa vile tayari mhogo ulishataka kunyanyuka lakini akawa anauzuia kwa kupotezea hisia zake.
Alijikuta akitamani kuendelea kukumbatiana na Verity ama ikiwezekana aelekee nae chumbani kabisaa.
Sam alipelekwa mpaka bafuni akakutana na maji ya moto yakiwa tayari huku taulo jeupe likiwa linanukia marashi akiwa ameandaliwa yeye.
“Oga mume wangu mimi niko nje”
Sam alishindwa kusema chochote kwani alitamani abaki na Rafiki pale bafuni ila akashindwa kusema na midomo ikawa inagongana utadhani Yule sio mchumba wake aliyemvisha pete.
Alijikuta akimvuta Rafiki mkono na kumleta kifuani kwake kisha akaanza kumnyonya mate lakini Rafiki akawa anajitahidi kujitoa mikononi mwa Sam.
Kwa kuvutana kule bahati mbaya Sam aliteleza akaanguka chini kwenye tiles PUUUUU!

Nisha alikuwa ameshikilia simu anampigia Sam lakini simu ilikuwa haipokelewi, alituma meseji mpaka zikafika kumi lakini hakuna hata moja iliyojibiwa.
Hasira zilimshika akaamua kufuta namba zote za Sam na simu zote alizopiga akazifuta kwenye rekodi ili asiweze kumpigia tena na ikiwezekana amsahau kwani anachoambulia ni maumivu tu.
Alipomaliza zoezi alijilaza kitandani kisha akaanza kulia.
“Hivi kweli SAM, yani unaacha mimi mpaka nafikia hatua ya kutaka kubakwa kweli”
Nisha alikuwa analia huku anajiongelesha mwenyewe pale chumbani.
…………………
Esther alikuwa Chumbani na Chilumba wakiwa wanafanya ngono bila kinga baada ya kugundua kuwa wote ni waathirika.
Walifanya mapenzi zaidi ya mara nne huku wakiwa hawaiishi hamu, kila Chilumba alipokuwa anamuona Esther akiwa mtupu hisia zilikuwa zinampanda kiasi kwamba anashindwa kuvumilia na kumuendea tena huku anamnyonya midomo na kuipanua miguu kisha anaingiza mhogo wake, kinachofuatia hapo ni miguno ya utamu tu.
Wakiwa wamepumzika walianza kupiga story….
“Hivi Chilumba ulipataje huu ugonjwa?”
“Acha tu nii historia ndefu ambayo iinaniumiza sana”
“Kama tayari ni historia haipaswi kukuumiza”
“Ni ngumu sana kuacha kuniumiza, sikutarajia katika maisha yangu kuja kuishi na haya maradhi”
“Kwani ilikuwaje?”
“Ngoja nikusimulie….”
Kwa ufupi mimi nililelewa kwenye familia ya kikristo na BABA yangu alikuwa ni askofu wa kanisa la Methodist.
Mara nyingi sisi tulikuwa tunashinda kanisani tukiwa na Baba na Mama pamoja na wadogo zangu, hivyo mpaka mimi nakuwa mvulana mkubwa sikuwahi kujihusisha na vikundi vya tabia mbaya.
Niliendelea na tabia hii hadi nilipofika wakati wa kujiunga na sekondari ambapo nilienda kusoma kwenye shule za Kanisa alilokuwa anahudumu baba.
Shule ile ilikuwa ni ya mchanganyiko ambayo inachukua wanafunzi kutoka maeneo mengi ya Nchi ya Zambia, kutoka Bulawayo pamoja na Kinshasa yote na hata nje ya nchi kwani Kanisa lile lilikuwa na waumini wengi ambao walipenda kusomesha watoto wao kwenye shule hizo hizo za kanisa.
Hapa ndipo historia ya maisha yangu ilipobadilika baada ya kukutana na Msichana mmoja wa Zimbabwe aliyekuwa anaitwa Nice Robert.
Nice alikuwa ni msichana mpole sana, lakini pia alikuwa ni msichana mzuri mno, watu wengi walikuwa wanasema kuwa msichana mpole kuliko wote pale shuleni alikuwa ni Nice na Mvulana mpole kuliko wote alikuwa ni Mimi.
Tulipongia kidato cha tatu tayari tulikuwa tumekua vya kutosha na story kuhusu Nice zikaanza kusikika.
Wavulana wengi waliokuwa wanamtongoza Nice walikuwa wanaishia kufukuzwa shule katika mazingira ambayo hata kesi ilikuwa haisikilizwi vizuri.
Baada ya muda ikasemekana kuwa Nice anatembea na Meneja wa Shule hivyo hakutaka kushea na mtu.
Story hizi kwangu zilikuwa hazina mashiko kwani hayakuwa mambo ya kipaumbele change, mimi nilikuwa nachapa kitabu tuuu!
Siku moja nikiwa naingia darasani tukiwa tumetoaka kusali sala ya asubuhi nilikuta Nice akiwa peke yake darasani analia.
Nilimfwata na kumuuliza analia nini lakini hakusema chochote.
Roho ya huruma ilinijia na kujikuta na mimi nikilengwa lengwa na machozi kwani nilihisi Nice alikuwa kwenye uchungu mzito….
“Acha tu Chilumba wewe nenda zako yasije kukukuta makubwa, najuta sana kuzaliwa mwanamke”
Nilishindwa kabisa kumuelewa Nice lakini nikajikuta nikiondoka taratibu hadi kwenye meza yangu nikatoa vitabu na kuanza kujisomea huku wanafunzi wengine wakiwa wamefika ila wanaota jua nje kwani muda wa madarasani ulikuwa bado.
Nikiwa naendelea kujisomea mlangoni nilimuona mtu anaingia lakini akiwa hana unifom nikajua ni Mwalimu, alivyojitokeza vizuri nikagundua ni Meneja wa Shule.
“Ninyi mnafanya nini humu ndani peke yenu?” aliuliza meneja.
Nilijivuta nikisubiri Nice ajibu lakini alikuwa kajiinamia kama mwanzo.
“Najisomea meneja, huyu nimemkuta humu humu analia tu”
“Wewe umejuaje kama analia?”
“Nilimuangalia nikagundua analia”
“Shenzi kabisa, ushaanza kuharibika eeeh, unaleta mapenzi shuleni? Nilikuona tangu mwanzo umemuinamia unamtongoza …sasa subiri”
Kabla sijamjibu chochote meneja alitoka kwa hasira kiasi kilichoniogopesha…
“Lakini nilikwambia Chilumba”
“Kwani mimi nimefanya nini lakini?”
“Usiwe mbishi Chilumba, ulipaswa kunisikiliza”
“Lakini nilikusikiliza nikaondoka zamgu kosa liko wapi hapo”
“Chilumba nakwambia utafukuzwa shule”
“Kwakosa gani Nice…nakuhakikishia Mungu atanilinda”
“Hata mimi nimechoka sasa, nimechoka kuwa mtumwa Chilumba…safari hii wakikufukuza naanika ukweli wote…kwanza ngoja nije hapo”
Nice aliamka akaja mpaka nilipo akkanikumbatia na kuanza kuninyonya mdomo, alininyonya nikawa najitoa kwake kwani sikuwahi kufanya mambo kama yale na niliogopa sana kama nikikutwa itakuwaje.
Kile kitendo kilinifanya nikapata hisia kali sana nikajikuta nikinogewa na kuanza kumpapasa Nice pale pale darasani, nilikuwa nina hisia kali sana ukizingatia kuwa ilikuwa ni siku yangu ya kwanza kukumbatiwa na msichana.
Huku tukiwa tunashikana Nice aliniambia…
“NAKUPENDA SANA CHILUMBA”
“nakupenda sana Nice”
“Wakikufukuza shule naondoka nawewe, utaridhia”
“Niko tayari Nice”
Utamu wa mwili wa Nice na ugeni wangu kwenye ulingo ule vilinifanya nikawa najibu mambo bila kufikiria, kuja kushtuka darasa limejaa wanafunzi
“Mungu wangu, nimeisha mimi” nilijisemea mwenyewe.
………………………
“Chilumba Bosco unahitajika ofisi ya Dean!”
Mwalimu wa Nidhamu aliniita nikiwa nasoma hesabu darasani, sikuwa na jambo jingine kichwani kwangu, nilijua kabisa kuwa naenda kwenye kesi.
Niliamka huku kila mtu akiniangalia kwani wengi walijua kuwa sina shule naenda kutimuliwa.
Nikiwa na mwendo wa taratibu uliojaa majuto nilitembea mpaka ofisi ya Dean nikagonga mlango nikakaribishwa ndani, wakati naingia nikakutana na Meneja mlangoni akiwa anatoka oofisini pale.
Alinitazama kwa jicho kali kisha akanisukumiza kwa nguvu kitendo ambacho hakikuonekana na mtu yeyote hadii nikajingonga ukutani kisha akaondoka zake.
…………………………….
Nikiwa na barua yangu mkononi wanafunzi walikuwa wamejazana pale mstarini huku nikisomewa adhabu ya kuchapwa fimbo sita na kufukuzwa shule japo nitarudi wakati wa mitihani ya kumaliza shule tu!
Wanafunzi wenzangu walikuwa kimya wakiwa wamenyongo’onyea kwani walikuwa wananionea huruma mno.
Gari ya shule ilikuwa inanguruma huku dereva akiwa anasubiria nimalize taratibu anipakie niende zangu nyumbani.
“Kabla hajaondoka tunamuomba Mwalimu Kolly aje ampe fimbo zake kisha akapande kwenye gari arudi kwao”
Wakati nataka kuchapwa fimbo shule nzima ilipigwa na butwaa baada ya kusikia sauti ya Nice ikiongea kwa nguvu “stoooooop”
Wakati anasema hivyo alikuwa anakuja mbele kiasi kwamba kila mtu akawa anamtazama yeye.
“Please kabla hamjaanza kumchapa Chilumba naomba muanze namimi, kwanini kosa nifanye nae alafu aadhibiwe yeye tu”
“Kabla hamjaanza kumrudisha nyumbani nipeni na barua yangu niondoke mimi wa kwanza na ikiwezekana mmuache chilumba asome kwani hana hatia”
“Frankly speaking….Nimechoka kulazimishwa ngono na MENEJA COSTANTINE, sikuja hapa kufanya mapenzi, nilikuja kusoma lakini shetani COSTANTINE mnayemuita meneja ameamua kunidhalilisha kwa kunilazimisha kulala na mimi kila wakati”
“Nawaomba sana mtende haki, tutaondoka sisi lakini dunia itajua na itahukumu hata kabla Mungu haja hukumu…niadhibuni mnipe barua yangu nifwatane na Chilumba”
Minong’ono na miguno ilianza shule nzima na kuhamia kwenye makelele huku vurugu zikitaka kuanza, walimu na walinzi wa shule walijitahidi kutuliza hasira za wanafunzi zilizoamshwa na maneno ya Nice lakini haikuwezekana.
Baada ya Lisaa limoja shule ilikuwaa inawaka moto huku kikosi cha zimamoto kutoka makao ya Bulawayo kikiwa kinajitahidi kuuzima ule moto na kuwatuliza wanafunzi kwa mabomu ya machozi.
Yote haya yalikuwa yamesababishwa na mimi na Nice.
Nikiwa nimesimama na wenzangu tunajadiliana jinsi Nice alivyojitoa mhanga walikuja askari wawili wakanikamata na kunitia pingu kisha wakanibeba hadi kwenye gari nikakutana na Nice akiwa nae kavaa Pingu katulia ndani ya gari.
Gari liliwashwa hadi kituoni kisha kila mmoja akaingizwa sehemu yake na kuachwa huko

Masaa yalisogea kwa kasi na njaa ikawa imenikamata vilivyo, nilitamani aingie askari yeyote ili angalau anipatie hata simu nimtafuta baba yangu nimueleze kile ambacho kimenikuta ili angalau anitoe humu kwenye mbu, Joto, Njaa, Harufu kali, Giza na kila aina ya kukosekana matumaini.
Giza lilianza kuingia na hatimaye nikajua kuwa tayari ni usiku, sikupatwa na usingizi hata kidogo bali niliteseka usiku kucha mpaka nilipokuja kutolewa mida ya saa tatu asubuhi nikiwa nimechoka na njaa kali.
Nilikutana uso kwa uso na Baba yangu akiwa na Mama yangu ambao wote walimwagikwa na machozi,
Niliwakimbilia nikawakumbatia huku nikilia kama mtoto, baba alikuwa anataka kuzungumza lakini maneno yakawa yanakwama.
“Imetosha mwanangu, imetosha sasa…twende nyumbani” alisema baba.
Niliamka ili niondoke lakini ghafla nikapata kumbukumbu za Nice, nikamshika baba mkono na kumweleza.
“Noo Baba, sikuja mwenyewe hapa, nimekuja na mwenzangu. Je yeye ana hali gani na anatokaje?”
“najua mwanangu, twende kwanza nyumbani alafu nitakweleza, kesi yake ni tofauti kidogo”
Sikukubali kirahisi, nilimsihi baba sana mpaka tukarudi kwenda kumuona Nice, haikuwa kazi rahisi lakini hatimaye tulionana nae na alikuwa imara sana, hakuwa na wasiwasi.
“Chilumba wewe nenda wala usiwe na wasi wasi, nimefanya kile ambacho moyo wangu ulitamani nifanye, kwasasa niko tayari kwa lolote”
Nilimshangaa sana Nice na nilishindwa kumuelewa kwa urahisi ila nikajikuta nikivutwa na baba ili twende, niliondoka huku nikilia na nilimuhakikishia Nice kuwa nitaruudi tena!
……………………………….
Baada ya kumsihi sana baba hatimaye aliridhia mimi kwenda kumuona Nice huku nikiwa nimetangulizana na Baba.
Tulifika na kumkuta Nice akiwa kachoka kiafya japo saikolojia yake ilikuwa imara sana, baada ya kusalimiana nae Baba aliniambia nikae kando ana mazungumzo binafsi na Nice.
Nilitii nikakaa kando, baada ya muda baba aliniita na kunieleza kuwa Nice amemueleza mambo mengi sana ambayo hana budi kuyafanyia kazi, aliahidi pia kuwa ndani ya siku chache atahakikisha kuwa Nice anatoka pale.
Siku ambayo tulirudi na BABA kwa ajili ya kumchukua Nice tulikuta anapelekwa mahakamani akiwa anashitakiwa kwa kosa la kusababisha fujo shuleni pamoja na uharibifu wa mali za fedha nyingi kwa mamilioni.
Baba hakuridhika, alitafuta wanasheria ambao walisimamia ile kesi na hatimaye Nice akatoka huku MENEJA akihukumiwa kifungu cha miaka thelathini gerezani.
…………………………………..
Niliamua kumuoa Nice baada ya kumaliza chuo na nilikuwa na furaha sana kwa hatimaye Nice kuwa mke wangu. Nilikuwa nampenda sana na nilimuahidi kuwa sitamgusa mpaka siku ya ndoa yetu, Nice aliridhia akasubiri namimi nikasubiri kwa kipindi kirefu bila kufanya ngono, kumbuka kuwa hadi wakati huu nilikuwa sijawahi kulala na mwanamke yeyote.
Siku ya ndoa ilipofika kama kawaida shamrashamra zilikuwa nyingi mno, nilikuwa ninatamani sana masaa yasogee ili nikamvuue Nice gauni lake lile na kufanya nae ngoni kwa mara ya kwanza kwenye maisha yangu.
Hatimaye kila kitu kilikamilika na tukawa tunaelekea hotelini ambapo ndiko mapumziko yetu yalikuwa yamepangwa kwa wiki nzima.
Ilikuwa ni hoteli nzuri sana ambayo ilikuwa pembeni kidogo ya mji wa Lusaka kandokando ya mto mkubwa wa Zambezi.
Tuliingia chumbani tukiwa wawili tukakutana na kiyoyozi safi huku kukiwa na kitanda kikubwa chenye mashuka meupe peee, kulikuwa na kila aina ya thamani za kuvutia ndani ya hiki chumba kiasi kwamba nilikuwa najiona kama niko peponi.
Nilimtazama Nice alivyo mzuri anang’aa usiku ule ndani ya vazi lake la harusi, alikuwa ananiangalia kwa tabasamu zuri lililojaa machozi ya furaha asiamini kama mimi nay eye tumefikia pale tulipo kwa siku ile.
Nilimtazama Nice kwa seunde kadhaa kisha sikuweza tena kuvumilia, nikamfwata pale alipo nikaanza kulifungua gauni lake vifungo, nikatoa kile cha juu kinachofunika uso na kile ambacho kiko kama kikoti cha pinki,
Sikuishia hapo, nilishusha zipu ya gauni lake na kulifanya limwagike chini kwenye zulia jeupe kama lile gauni.
Nice hatimaye akabaki akiwa amevaa sketi laini nyeupe ya less material kwa ndani na sidilia ya kuwaka waka.
Tayari mapigo yangu ya moyo yalikuwa juu mno na muhogo ulikuwa umesimama kama mkuki. Niliishusha ile sketi ya Nice ambaye bado alikuwa analia na hatimaye Nice akabaki na kufuli ya pinki na sidilia ile ya pinki lakini ya kuwaka waka.
Uchu ulikuwa juu mno, na Nice bado alikuwa anabubujikwa na machozi, nilikuwa siyajali machozi yake bali nilikuwa nina hamu ya kuingiza mwili wangu kwenye mwili wake kwa mara ya kwanza.
Niliitoa sidilia ya Nice na kuiweka pembeni nikkakutana na vitu vyenye umbo la V, kwenye kifua chake kuonyesha kuwa Nice alikuwa na matiti yaliyosimama na kuchongoka sawasawa huku yakiwa makubwa kiasi.
Sikuweza tena kuvumilia ila nilimsogelea Nice karibu na kuipeleka mikono yangu kwenye mashavu yake na kuyapangusa machozi yake kisha kwa upole nikamwambia.
“I LOVE YOU NICE”
“I LOVE YOU CHILUMBA”
Nilimkumbatia Nice kwa mahaba ya moyoni kisha nikaanza kumnyonya midomo yake huku nikimpapasa kila eneo la mwili wake.
Niliweza kutembeza viganja vyangu kila kona ya mwili wa Nice kisha nikamlaza taratibu kitandani na kumlalia kwa juaa huku nikiendelea kumnyonya midomo yake. Nilihamia kwenye maziwa ambayo pia nilikuwa nayanyonya kama mtoto mdogo.
Niliishusha mikono yangu na kupapasa sehemu ya ndani ya mapaja ya Nice ambaye sasa alikuwa anatetemeka mwili mzima, nilikuwa napandisha mikono yangu taratibu mpaka kwenye ikulu ya Nice nikaanza kuichezea kitendo kilichomfanya Nice aanze kuweweseka,
Niliichezea na hatimaye taratibu nikazamisha kidole ndani ya mgodi na kukutana na joto kali ambalo lilizidi kuamsha hisia zangu na kujikuta nikitamani niingize muhogo wangu lakini niliendelea kuchezea eneo hili huku nikigusa sana eneo la juu kidogo lenye kitu kigumu chenye umbo kama la harage.
Hapa ndipo nilimuona Nice akijikunja kama anakata roho kisa akarusha maji maji ya moto na kutulia, Nice alinyanyua uso wake na kuniuliza “Chilumba umejifunzia wapi”
Sikumjibu nilikamata muhogo wangu na kuutumbikiza taratibu hadi ukazama wote kitendo kilichomfanya Nice aanze kunyonga kiuno chake.
Hikuisha hata dakika moja nilitema wazungu wengi mno lakini nilikuwa bado niko imara na mchezo uliendelea ka kasi mpya.
Siku ile hatukulala kabisa kwani kazi ilikuwa ni ngono tuuuu… mpaka inafika saa kumi nambili asubuhi tulikuwa tumechoka na kupitiwa na usingizi ambao ulitufanya tuamke saa tatu na kuoga kisha kupata kifungua kinywa.
……………………………..
Mwezi ulikuwa umekatika na nusu yake….Nice alikuwa hajisiiaa vyema tukaamua kwenda hospitali, Nice alikuwa mjamzito wa Mwezi mmoja kitendo kilichonifurahisha sana lakini daktari aliniambia anahitaji kunicheki afya yangu.
Sikuwa na wasiwasi sana lakini muda wa majibu ulipofika nikawa na wasiwasi kwani nilizisoma saikolojia za madaktari nikagundua hazikuwa sawa kabisa.
“Mkeo ana maambukizi ya VVU, ila wewe uko salama, tunahitaji muende mkaishi pamoja pasipo kushirikiana mapenzi ila upendo uwepo pale pale kisha baada ya miezi miwili uje tukupime tena”
Maisha yalibadilika kabisa ndani ya nyumba, nilimhurumia Nice sana aliyekuwa analia muda wote huku akiapia kuwa hajawahi kufanya mapenzi maisha yake yote zaidi ya kufanya na MENEJA. Alimlaani kwa maneno mengi sana akidai kuwa meneja aliamua kumtumia kingono kwani ndiye alikuwa anamfadhili pale shuleni kwakuwa ndugu zake walikuwa hawana uwezo.
Nilishindwa kujizuia na kujikuta nikilia sana kwa kile kilichmpata mke wangu, nilimuahidi kuwa nae bega kwa bega na tangu siku ile sikukubali kukaa nae mbali nikihofia anaweza hata akajiua.
Tofauti na alivyotarajia nilimuonyesha upendo kuliko hata ule wa awali, nilimpenda sana NICE na uwepo wake ulikuwa faraja mno kwangu hata kama ana matatizo ya VVU.
…………………………
MIEZI MIWILI ILIKATIKA
Nilikuwa hospitali nikipokea vipimo na majibu yalionyesha kuwa na mimi nimeambukizwa VVU, iliniuma sana lakini sikuwa na sababu ya kumlaumu NICE ila nilimsihi tufuate masharti na tulee watoto tutakaojaliwa.
Maisha yaliendelea huku maisha yetu yakiwa bora kwani tulikuwa na biashara na mali z akutosha, tulikuwa tayari na watoto wawili wa kiume ambao walikuwa wazima wa afya njema.
Mali zote tuliandika kwa majina yao na maisha yalikuwa mazuri sana, nilimpenda mno mke wangu nay eye pia alinipenda sana.
Kutokana na kuwa na biashara nyingi niiamua kuacha kazi ya uhasibu na kuamua kuhudumia biashara za familia yangu.
Nilikuwa na miradi mpaka nje ya nchi na mara kwa mara nakuja Tanzania kuchukua mizigo bandarini hasa ya magari na Vipuri kutoka Dubai na Japan.
Siku ambayo sitaisahau katika maisha yangu ni siku ambayo nilikuwa nimeenda THAILAND kwa ajili ya kuchukua mizigo yangu na kurejea Zambia usiku wa saa nane.
Nilichukua Tax mpaka nyumbani kwangu kisha nikafungua geti kwa funguo nilizookuwa natembea nazo mimi.
Kitu kilichonishtua nikukuta gari ikiwa imepaki hapo nje kwenye ukumbi, nilishtuka lakini nikajua labda tumepata mgeni.
Nilifika kwenye mlango wa kuingilia ndani nikafungua kwa funguo za ziada nilizokuwa natembea nazo mimi, nilipofika sebuleni nilikuta kukiwa hovyo mno kwani makochi yalikuwa yamechanguliwa na kulikuwa na harufu ya Pombe.
Nilishtuka sana kwani nilikuwa sielewi ile hali, nilipiga hatua mpaka mlango wa chumbani kwangu lakini nilisita kutokana na sauti zilizokuwa zinasikika zikiashiria watu wanafanya mapenzi na sauti ninayoisikia ni sauti ya Nice akiwa anafanya mapenzi.
Miguu ilinyongo’nyea na kujikuta nimekaa chini, nilijipa matumaini nikasema huenda sio Nice nikaamka na kufungua mlango ambao ulifunguka bila kikwazo,
Nilimshuhudia mke wangu akiwa juu kitandani miguu iko mmoja mashariki na mwingine magharibi alafu juu yuko MENEJA anachochea kwenye ku..m ya mke wangu.
Nilipata kizunguzungu na kuanguka chini nikapoteza fahamu hadi niliposhtuka nikiwa hospitali, baada ya hapo nikaamua kuishi maisha haya ninayoishi sasa japo bado Nice ni mke wangu na tunashirikiana kulea watoto!
Esther alimpa pole Chilumba na kumwambia “Pole sana sasa sikiliza na mimi mkasa wangu”

Nilipomaliza darasa la saba dada yangu aliamua kunichukua nikaishi kwake ili nisome masomo ya Sekondari, hii ilikuwa ni baada ya makubaliano ya kifamilia ambayo yalishinikizwa na kaka zangu ambao waliona nikiendelea kukaa kule kijijini ninaweza nikaharibika kitabia.
Walihofia hili kwani watu wengi walishaanza kupelleka posa kwa baba yangu wakiomba wanioe kutokana na uzuri niliokuwa nao, kutokana na tamaa za wazee wangu alionekena kuridhia mimi niolewe.
Kaka zangu ambao wengine bado walikuwa masomoni walimsihi sana dada yangu anichukue nikae nae ili aniepushe na madhila ya kuolewa kule kijijini.
Maisha yalianza upya nikiwa nakaa mimi na dada yangu, mme wake na mtoto wao mdogo wa miaka miwili, nilisajiliwa kwenye shule moja ya kutwa iliyokuwa jirani na hapo nyumbani nikaanza kidato cha kwanza.
Shule ile ilikuwa ni ya mtu binafsi ambayo ilikuwa inalipiwa ada kubwa japo sio sana kwasababu nilikuwa ninakaa kutwa na ilikuwa ni shule ya kawaida tu.
Siku ziliendelea kusogea taratibu huku nikiyazoea maisha ya shule pamoja na kuishi kwa dada yangu, nilimzoea shemeji kiasi kwamba hata dada asipokuwepo tulikuwa tunakaa na kupiga story kwa furaha na mambo yalikuwa yanaenda tu bila shida yeyote, nilimpenda sana s hemeji yangu kwani alikuwa mkarimu, mcheshi, mwenye huruma lakini pia alikuwa ananiheshimu sana na kuipenda familia yake.
Maisha kwakweli yalikuwa mazuri sana na nilikua na kunawiri katika umbo la kuvutia na sura, mara nyingi shemeji yangu alikuwa amezoea kuniita mke na mimi namuita mume hata mbele za dada na hakuna aliyekuwa na maan atofauti isipokuwa tu utani na ucheshi.
Siku moja ambayo nilikuwa nimerudi shule mapema ikiwa ni siku ya ijumaa shemeji aliwahi kurudi nyumbani huku akiwa hana raha kabisa.
“Mme wangu shkamoo”
“Marhaba mke vipi mambo”
“Poa tu, mbona leo mapema alafu kama vile huna raha mme wangu”
“Ah wala usijali najisikia tu kichwa kinauma, vipi mke wangu mkubwa hajafika bado”
“Mh jamani mme wangu, si mapema sana saivi atakuwaje amerudi kazini”
“Oky kama kuna juisi naomba ninywe nikapumzike kidogo”
Nilimuandalia shemeji juisi nikampa akanywa huku kasimama kama vile anakunywa maji mpaka anamaliza juisi yote hakushusha glasi kisha akaniaga na kuingia chumbani kwake.
Baada ya muda kidogo dada alinipigia simu kuniuliza habari za hapo nyumbani nikamwambia kuwa ni nzuri tu na shemeji yaani mme wake tayari amesharudi kalala ndani.
“Karudi? Mbona mapema sana?”
“Amesema tu anajisikia vibaya kalala ndani”
“MMH mbona sasa hajaniambia chochote?”
“Sijui ila mimi kanikuta hapa nilivyomuuliza mbona mapema ndio akanijibu hivyo”
Dada alikata simu kisha nikaisikia simu ya shemeji ikiita huko chumbani nikajua kuwa ni dada atakuwa ameamua kumpigia mume wake.
Baada ya masaa kama matatu hivi dada alirudi kisha akaingia chumbani kwa mme wake ambapo niliwasikia wakiongea taratibu kisha mimi nikawa naendelea na kazi zangu kama kawaida.
……………………………..
Baada ya kama wiki nzima ya kutokumuona shemeji akienda kazini niligundua kuwa kampuni ambayo alikuwa anafanya kazi shemeji kama mhasibu illikuwa imefungiwa leseni ya kazi kwasababu ya kusababisha ajali na kudaiwa kukwepa kodi.
Shemeji yangu alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya usafirishaji wa mizigo kama mafuta na bidhaa zingine lakini pia na ilikuwa na mabasi ya abiria.
Habari za chini ya kapeti ni kwamba mmiliki wa kampuni alikosana kisiasa na viongozi wa serikali baada ya kuonekana anaukaribu na wapinzani hivyo wakaanza kuhujumiana kiasi kwamba madereva wakawa wanasababisha ajali za makusudi kitendo kilichofanya wafungiwe leseni za biashara pamoja na kudaiwa fidia ya mabilioni ya fedha.
Kiufupi ni kwamba walikuwa wanafilisiwa, na hapa ndipo mambo yalianza kubadilika kwani shule niliyokuwa nasoma ilionekana kukosa usajili kutokana na kukidhi vigezo hivyo ikawa inalazimu nihamishiwe shule nyingine.
Siku moja nikiwa namlisha mtoto niliikia mzozo huko chumbani kwa dada wakiwa wanazozana na mUme wake, nilivyosikiliza sana nikagundua kuwa ule mzozo ulikuwa unanihusu mimi. Dada alikuwa anamwambia shemeji atoe hela ili nihamishiwe shule nyingine nzuri lakini shemeji alidai hana fedha kwa wakati huo na kiukweli shemeji alikuwa hana hela na nilijiuliza ni kwanini dada hataki kumuelewa shemeji.
Siku ile walibaki wamenuniana na sikumuona shemeji akitoka kuja kula chakula, roho iliniuma sana na nilitamani nimwambie dada aache lakini nikakaa tu kimya ili kuepusha shari zaidi, kesho yake dada aliamka na kwenda kazini huku akimuacha shemeji kalala ndani.
Ilipofika mida ya saa nne nikaamua kwenda kumgongea shemeji, baada ya kitambo kidogo aliamka na kufungua mlango huku akionekana kachoka sana.
“mme wangu njoo unywe chai”
“usijali, sijisikii kunywa ch”
“HAPANA mume wangu, jana usiku hujala na mpaka saivi bado hujala chochote, tafadhali nakusihi uje”
“Shemeji aliniangalia kwa jicho la huruma kisha akasema …nakuja”
Nilimuandalia maziwa, mikate na mayai pamoja na juisi ambapo alivyokuja alikunywa na kuniambia ahsante kisha akaenda kukaa kwenye makochi na kuwasha TV.
“Shemeji hivi kwanini dada hataki kukuelewa kuwa kwasasa huna hela?”
“unamaanisha nini mke wangu” shemeji alishtuka mimi kumwambia vile, nadhani alijua kuwa sijui chochote.
“hapana mimi sipendi anavyokulazimisha unilipie ada wakati anajua hali unayopitia kwa sasa”
“Wala usijali mke wangu, yataisha tu na shule utaenda mambo yakikaa vizuri…wewe tulia tu dada yako mimi namjua”
Nilikaa nikajuta kwanini nimemwambia shemeji vile kwani ilionekana kama amekosa amani baada ya kujua kuwa kumbe naelewa kila kitu kinachoendele pale nyumbani. Ila maisha yaliendelea hivyo hivyo.
……………………………………
Siku moja dada alinipigia simu akaniambia nimfwate Sinza Kijiweni, alinitumia shilingi elfu ishirini akaniambia nichukue bajaji kutokea Tegeta ili niwahi kufika. Nilijiuliza dada kwanini aniite kule lakini nikajiandaa ili niende, nilimuaga shemeji kwa kumwambia kuwa dada ameniita shemeji akaishia tu kuguna.
Badala ya kuchukua bajaji niliamua kuchukua boda boda ambayo ndani ya dakika chache ilinifanya nifike kwenye eneo ambalo dada alinielekeza.
Nilipofika alinipokea akanipeleka sehemu ambayo alikuwa amekaa na baba mmoja hivi mrefu na mnene akiwa amevaa jeans na shati la mikono mirefu akaikunja huku chini akiwa amevaa viatu vya ngozi vya kisasa kabisa, kwakweli alionekana kuwa nadhifu.
Dada alinitambulisha kuwa Yule ni bosi wake na alimueleza shida zangu na kwamba yuko tayari kunitafutia shue na atanilipia ada.
Sikuwa na cha kusema isipokuwa kushukuru, waliniagizia mapochopocho nikala na kunywa kisha tukarudi nyumbani huku nikiwa najiuliza maswali mengi kichwani kuwa kuna nini zaidi ya ubosi hadi nilipiwe ada? Kingine ni maongezi kati ya dada na Yule bosi hayakuonekana kama ni kati ya mtu na bosi wake….taa nyekundu iliwaka akilini mwangu lakini nikamsihi mungu isiwe kama ninavyofikiri.
……………………………………
Baada ya wiki moja nilichukuliwa na kupelekwa shule Moja iliyokuwa maeneo ya Sinza Kumekucha iliyokuwa inaitwa DAR ES SALAAM INTERNATIONAL SCHOOL. Ilikuwa inalipiwa ada ya shilingi milioni mbili kwa mwaka na ada ililipwa yote nikaanza masomo.
Likizo ilipofika nilirudi nyumbani nikakuta hali ya dada na shemeji ni tete kwani walikuwa hawaongeleshani na hata shemeji alionekana hana furaha na mimi pia. Alikuwa amenuna tu na hata tabasamu lilikuwa la kulazimisha, baada ya siku kadhaa shemeji alisafiri kwenda mkoani katika hatua za kuhangaika na maisha hivyo pale nyumbani tukabaki mimi, dada na mtoto wao.
Katika hali ya kushanga za ni kwamba ilipofika saa sita usiku dada alirudi akiwa kalewa huku akiwa na Yule mtu aliyesema ni bosi wake na wakalala pale ndani, roho iliniuma sana hadi sikupata usingizi usiku kucha, nilijiona kuwa sehemu ya yale maovu ya dada kwani mwanaume Yule ndio ananilipia ada mimi.
Siku zilisogea na hatimaye shemeji akarudi, siku shemeji aliporudi dada alikuwa katoka hivyo shemeji aliniita akaniambia niketi kuna mambo anataka kuniuliza.
“Mke wangu hivi ni nani anakulipia ada?”
Swali hili lilinifanya nibabaike sana kwani kila jibu nililotaka kujibu niliona kuwa lina madhara kwa dada ama kwangu na ama kwa shemeji pamoja nan doa yao kwa ujumla.
“Niambie tu mke wangu”
“Mimi dada aliniambia kuwa ni nyie wawili mnajichangisha”
“AAAAH shemeji….usintanie bwana hebu niambie ukweli, au nawewe unahusika kwenye haya yanayoendelea”
Kauli ile ya shemeji ilinifanya ninying’onyee kweli kweli lakini nikamjibu kuwa…. “hapana sihusiki”
Wakati huo tulimuona dada akiingia kutokea kazini akatukuta tukiwa tumakaa pale kibarazani kisha akanisalimia mimi bila kumuamkia shemeji.
“Vipi unaongea nini na huyo mtu, achana nae njoo unipokee mizigo”
Dada ndiye alitoa ile kauli, niligeuka nikamtazama shemeji mwenye roho ya masikitiko kisha akaniambia “Nenda Esther mpokee dada yako”
…………………………………………
“Umeniua mke wangu…..umeniua mimi”
“We vipi bwana, nimekuua na nini sasa hebu niachie makelele mimi”
“Mke wangu toka nimekuoa sijawahi kukusaliti, leo naambiwa nina VVU, Nimeupata wapi kama sio kwako, umeniua mke wangu”
Ni makelele niliyoyasikia toka chumbani kwa dada wakizozana na shemeji, mapigo ya moyo yalinidunda kwa spidi ya Subaru hadi nikataka kuanguka, nilijiuliza….. “Shemeji ana ukimwi?”
Nilijua kwa asilimia zote kuwa Dada ndiye kampa shemeji ukimwi.
“Mbona mimi sina huo ukimwi, mbona sina?”
“Umepima lini mama Kelvin, umepima lini?”
“Twende tukapime, una maukimwi yako huko alafu unanitaja mimi, na nikiuta tu kweli unao sitakaa na wewe humu ndani, sikai na mtu wa ukimwi mimi”
“Sawa twende mke wangu”
Walibebana mkukumkuku kisha baadae wakarudi wote wakiwa wamenywea, dada alikuwa amesononeka mno na nadhani alijua fika kuwa yeye ndio ameleta ule ugonjwa kwenye nyumba yake.
“Fredy umeniua na fedha zako”
Dada alijisemea huku wote tukiwa tunamsikia na kugundua kuwa kumbe Yule mwanaume aliyekuwa anatembea na dada anaitwa Fredy!
“Mama Kelvin tama zako zimeleta Janga, ila lazima nawewe nikuumize”
…………………………………………

“ina maana Verity ana Mimba ya Sam, mungu wangu mbona mitihani mikubwa kwangu hii.” (alikuwa anajiuliza Rafiki akiwa mwenyewe analia bafuni)
Sam alirudi akamkuta Rafiki yuko kwenye hali ambayo sio nzuri, hakuwa amechangamka kitendo kilichomdhihirishia Sam kuwa kuna jambo halijakaa sawa.
“Vipi mamy, mbona uko hivyo”
“Kwani nikoje baba”
“Hujioni jinsi ambavyo huna raha”
“No niko sawa Sam”
Rafiki alijitahidi kujichangamsha ili kupotezea huzuni aliyokuwa nayo moyoni kwani tangu mwanzo alishajua kuwa Sam ametembea na mdogo wake ila akakubaliana na hali hiyo hivyo hakukuwa na jipya isipokuwa hili la mimba lilimfanya ajisikie vibaya.
“Njoo mke wangu nikupe Mimba”
“Hahahaaaa, unipe mimba kwani wewe ndie unaepanga mimba iingie ama isiingie”
“Sasa ni nani, ni mimi kwani mimi si ndio naweka mbegu”
“Mbegu gani Mungu ndie anapanga”
“Pamoja na yote lakini mimi mbegu ninazo njoo nikupe Mimba bwana tuzae mapema tukiwa vijana”
“assssssshhhh”
Rafiki alishtuka baada ya nyonyo yake kubinywa.
“Bwanaaaa”
“Bwana nini”
Rafiki alikuwa analalamika lakini tayari kanga aliyokuwa amejifunga ilikuwa imewekwa chini na amevutwa kifuani mwa Sam ananyonywa midomo.
Sam alifanya zoezi la kunyonya midomo ya Rafiki huku mikono yake ikiwa imeshika kiuno cha Rafiki.
Alikuwa anazungusha mikono yake kwenye kiuno cha Rafiki kisha akaishusha mpaka kwenye makalio na kuyabinya kitendo kilichomfanya Rafiki awe anasogeza kiuno mbele kwa utamu.
Aliendelea na zoezi lake ambapo sasa aliunyanyua mguu wa Rafiki na kuuweka kitandani kitendo kilichompa upenyo wa kuifikia ikulu ya Mkewe huku wakiwa bado wamesimama, wakati wanaendelea kunyonyana midomo mkono mmoja ulikuwa ikulu na mwingine unasavei kiunoni na kifuani, Rafiki nae alikuwa ameshikilia Tango la mmewe analichua huku akigugumia kwa mahaba asssshhhh, ahhhhhhhh, shhhhhhhhh sam nakupenda mme wangu oooohhhhhhh…..
Rafiki alikuwa kashika kitanda na Sam yuko nyuma yake amembinua na kukikamatia kiuno anakita mtarimbo kwenye ikulu ya Rafiki.
Kwa kuwa Rafiki alikuwa na nywele ndefu sam alizishikilia kwa nyuma huku akiinama na kuufikia mdomo wa Rafiki ambaye sasa kiuno alikuwa amekibinua haswa na ikulu kufikiwa kwa urahisi na mashambulizi kuendelea kwa kasi …. Baada ya dakika kadhaa nguvu zilimuishia Rafiki ambaye alidondoka kitandani kuashiria yuko kwenye hali ya kufika kilele.
Sam alimwendea akamgeuza style ya kimisionari ambayo mwanamke anaangalia juu na mwanamme anaangalia chini wakiwa wamekumbatiana huku miguu ya mwanamke ikipita na kufunga kiunoni mwa mwanamume, sam aliendeleza mashambulizi huku ananyonya nyonyo za Rafiki.
Sekunde kadhaa mbele Rafiki alifika mwisho ambapo sam nae aliufikia kwa kupishana dakika chache, Kwakuwa Sam bado alikuwa na nguvu aliendelea bila kusitisha zoezi ambalo lilichukua karibu lisaa limoja na hatimaye wakawa wamemaliza na kupitiwa na usingizi mzito.
Waliamka baadae sana wakiwa na njaa kali ambapo waliagiza chakula ambacho kila mmoja alikitamani lakini ajabu walishirikiana kwa kila mmoja kula chakula alichoagiza mwenzake kwa pamoja.
Walikaa wiki nzima wakiwa honeymoon ambapo kila siku mchana na usiku walikuwa wanafanya ngono kwa raha zao.
Sam alishamsahau Nisha na Verity na sasa alikuwa amejaa kwenye penzi zito na mkewe, alikuwa ammpenda na kumuona ni mwenzake, ni ubavu wake, ni mkewe lakini pia rafiki yake ambaye akikaa nae mbali kidogo anamkumbuka na kummisi.
……………………..
Hatimaye walirudi nyumbani na maisha yaliendelea kwa raha mustarehe yakiwa yamegubikwa na mapenzi mubashara.
Miezi ilisogea na hatimaye Verity alijifungua mtoto wa kike, mtoto Yule alikuwa mzuri kweli kwani alikuwa na afya njema.
Taarifa za kujifungua kwa Verity ziliifikia familia ya Sam na Rafiki kwa namna tofauti, Sam alifurahi akijua kuwa huenda mtoto aliyezaliwa ni wake japo hana mamlaka nae.
Rafiki alitaka amuangalie mtoto ili kama anafanana na sam basi atajua kuwa mtoto ni wa Sam, na ukweli huu ungemuumiza sana.
“nasikia Verity amejifungua”
“Eeeh kumbe” sam alijifanya hana taarifa wakati alishatumiwa ujumbe na Verity.
“Kwani hujui?”
“sijui wewe ndio wa kwanza kuniambia”
“Itabidi twende tukawaone ”
“Lini sasa”
“Hata kesho”
“Mhhh twende keshokutwa ndio siku nzuri kwanza ni wikiendi”
“Sawa”
“Basi ukawanunulie zawadi tuwabebee”
………………………………….
Sam na Rafiki walikuwa nyumbani kwa Verity na mumewe Gwakisa wakiwa wameenda kuwatembelea, walipokelewa vizuri wakakaribishwa chakula kisha wakaambiwa wasubiri sebuleni mama na mtoto wanajiandaa watakuja kujumuika nao.
Baada ya muda waliitwa sehemu ambayo ilikuwa imeandaliwa kwa ajili ya wageni wanaokuja kumtizama mzazi.
“Karibuni jamani”
“Ahsanteni….dah hongera mdogo wangu kwa kupata baby girl”
“Asanteni jamani sasa ni zamu yenu”
“Mhhhh sisi bado kidogo”
Walikaa kisha wakapewa mtoto wampakate akiwa amefunikwa nguo na kuacha uso kidogo.
Wakwanza kumshika Yule mtoto ni Rafiki ambaye alimfunua uso wote ukawa wazi kwa lengo la kumchunguza,
Alijikuta akishtuka kiasi kwamba hadi mikono ilimtetemeka, mtoto alifanana mno na Sam, kuanzia maumbile ya kichwa na jinsi nywele zilivyojichora kwenye paji la uso , aina ya uchekaji na tabasamu, pua na midomo mpaka masikio ilikuwa ni kama copy iliyotolewa kwenye photocopy machine mpya kabisa.
Sam nae alipopiga jicho kwa mbali alikuwa kama anajiangalia kwenye kioo kitendo kilichomfanya mapigo ya moyo yadunde kwa kasi ya umeme.
Sam alimtazama Verity kwa jicho la kuiba na kukutana uso kwa uso kwani Verity nae alishatamani kujua jinsi Sam atakavyopokea muonekano wa Yule mtoto.
Walivyokutana macho Verity alimminyia jicho Sam kisha SAM akakwepesha jicho haraka sana ili kitendo kile kisijeonekana na Rafiki ambaye hata hivyo aliziona action zote kisha akaamka na kumkabidhi sam mtoto.
“Shika mtoto wako Sam umtazame”
“Mtoto wa nani?” sam aliuliza.
Rafiki alitaka kujibu lakini alisitisha alichotaka kusema baada ya kumuona Gwakisa akiingia, kisha akanyamaza.
Walipiga stori nyingi lakini katika moyo wa Sam na Rafiki walikuwa wanawaza mambo mengine kabisa isipokuwa kwa Verity ambaye alikuwa anajua kila kitu kinachoendelea.
………………………………………….
Katika siku ambazo Gwakisa alifurahia ni baada ya kusikia mkewe amejifungua, alifurahi sana kwani katika umri wa miaka 34 aliokuwa nao alikuwa hajapata mtoto na aliona ni nafasi nzuri kwa yeye kuitwa baba kwani hata marafiki zake walikuwa wameshapata watoto na wengine walikuwa na watoto zaidi ya mmoja.
Alipopata nafasi na yeye kuitwa baba aliona ni nafasi adimu na nyeti sana, alimnunulia mtoto nguo na mahitaji mengine vinavyofikia thamani ya milioni moja.
Chumba kizuri cha mtoto kilikuwa kimeandaliwa kwani kwa nafasi ya meja aliyokuwa nayo jeshini ilimpa nafasi ya kumiliki kipato cha kutosha.
…………………………………..
Katika mambo ambayo wanawake hawajui ni kwamba Mungu amewapa nafasi adhimu sana ya kujua siri ambazo wanaume inabidi watafute kwa tochi.

Siri hii ni ile ya kumtambua Baba halisi wa mtoto, siku zote mwenye uhakika wa asilimia zote ni mwanamke.
Na ndio maana mtoto anapozaliwa mwanamke shauku yake ni kujua kuwa ni wa jinsia gani na ama anafanana nayeye ama amefanana na Baba yake wakati mwanaume anataka aangalie zaidi ya hapo, anaangalia jinsi gani amefanana nae ili ajithibitishie kuwa ni wake hata kama anamuamini mkewe kiasi gani, ndio maana wanaume wengi hujisikia fahari sana wakiwa wamefanana na watoto wao sana.

Hali kadhalika kitu cha kwanza kwa Gwakisa japokuwa alikuwa na hamu sana ya kuitwa Baba lakini haikutosha, alipomchukua mtoto kitu cha kwanza ni kumkagua amefanana nae ama vipi.
Alimkagua kuanzia kichwani mpaka miguuni lakini hakuona alichofanana nae, alikagua macho pua, viganja, kucha lakini wapi.
Wazo lililomjia ni kwamba huenda amefanana na mama yake lakini pia hata alipojitahidi kumfananisha na mama yake hakuona kuwa wamefanana sana.
Aliamua kuachana na fikra mbaya na kuamua kusubiri mtoto akue huenda akaonyesha sura halisi.
Kila siku zilivyosogea na mtoto kukua alionekana kufanana na mtu ambaye Gwakisa anamjua kabisa lakini anashindwa kuelewa ni nani.
Siku moja aligundua kuwa mtu anayefanana na mwanae kwa kiwango kikubwa ni Sam….ghafla alijikuta akikosa raha na kuanza kuoanisha mambo ambayo alishakuwa na wasiwasi nayo, alikaa akapata wazo kisha akaiendea simu ya mkewe aliyekuwa anaoga bafuni na kuanza kutafuta alivyojua yeye mwenyewe!

Miezi ilikuwa imekatika na hatimaye mwaka ukawa umeisha, Rafiki alikuwa akijisikia vibaya kichefuchefu kingi kiasi ambacho aliamua kwenda hospitali.

Alienda hospitali akiwa na mme wake (SAM) hadi hospitali ambayo ilikuwa na daktari bingwa, kwakuwa mda ulikuwa umesogea sana na hawakuwa wamepata matokeo chanya ya ndoa wakahisi huenda ana Mimba.

Walipofika vipimo vilichukuliwa vizuri na alionekana kuwa hakuwa na tatizo lolote na wala hakuwa na Mimba.
Wasiwasi ulikuwa mwingi kwani kwa muda wa zaidi ya mwaka ambao walikuwa wamekaa ndani ya ndoa lakini hakuna mimba ilikuwa sio ishara nzuri hata kidogo, aliyekuwa na wasiwasi sana ni Rafiki ambaye alijiona ana tatizo kwani kwa imani yake aliamini kabisa mtoto wa Verity kazaa na Sam, ushahidi aliokuwa nao ni ule mfanano na simu aliyopigiwa sam kutoka kwa Verity.
Hofu yake ilikuwa kubwa na alihisi huenda ana tatizo.

“Vipi mwanangu naona Shem siku hizi ananawiri kweli, ndoa imejibu nini?”
Sam alikuwa na marafiki zake wanapiga story kisha mwenzie akaingizia ishu hiyo
“Acha zako wewe, unapenda kufwatilia sana mambo ya wenzako, unadhani kila mtu anapenda kuzaa zaa kama wewe”
“Ohoo kuzaa ni nafasi adimu, kuna watu wanazeeka hawajawahi kuitwa baba”
“Sasa nani mzee hapa?”
“Hahahahaaaaaa umepanik brazaaaa, fanya mambo mtie Mimba mtoto Yule bado mbichi, shauri yako utasaidiwa”
“Dullah tuheshimiane mwana, mambo ya ndani kwangu hayakuhusu”
“Poa sam natania tu mwana ila …. Majibu broo ndoa inataka majibu wanawake wanasuburi nderemo na vigelegele”
“Unazingua sasa mimi naondoka zangu”
“Hahahahaaaaa nenda Baba ukatie mimba brooo, huku usikae sisi wenzio tayari tunaitwa Dadiiiii”
Maneno aliyokuwa anaongea Dullah alidhani ni utani lakini yalikuwa yamemuumiza sana Sam kiasi kwamba njia nzima alitembea akiwa na mawazo lukuki.
Ndani ya akili yake aliamini fika kuwa mkewe ndie mwenye shida kwani yeye alikuwa na uwezo mzuri tu wa kuingilia mwanamke na alikuwa ana sifa zote za kiume kwani hadi kutia mbegu shinani alikuwa anatia hivyo alihisi ardhi anayoweka mbegu ndio ilikuwa haina rutuba.
Alitembea njia nzima mpaka nyumbani akamkuta mkewe akiwa kajiinamia kwa mawazo, kila mtu alikuwa na mawazo yake na hakuna aliyemsemesha mwenzake.
Sam alikuwa na njaa lakini ham ya chakula hakuwa nayo, aliwasha TV aangalie mikanda lakini alikuwa hata haelewi anachokiangalia.
“Sam mme wangu”
“Unasemaje”
“Jamani mbona unaniitikia hivyo”
“Ulitaka nikae kimya?”
“Kwani vipi baba mbona kama una hasira”
“Nikiwa nazo utazishusha”
“Mhhh kama kuna tatizo tuambiane”
“kwani wewe umeniitia nini”
“Chakula mme wangu”
“Nakuja wewe endelea tu”
Rafiki aliondoka huku akiwa na mawazo lukuki akiwaza ninini kimemfanya mmewe awe kwenye hali ile, alidhani amekerwa lakini mbona hajamkera yeye mpaka amnunie na kumjibu vibaya?
Kwa mlolongo wa mawazo aliokuwa nao alijikuta akidondosha chozi.
Sam alitoka akamkuta mkewe akiwa kwenye hali ile kitendo kilichomfanya aingiwe na moyo wa huruma huku akijiona huenda amemkosea sana mkewe.
“Mbona uko hivyo?” sam aliuliza
Rafiki alijifuta machozi haraka kwani hakujua kuwa Sam alikuwa anamuona, “No niko sawa tu Sam”
“ oky chakula basi mke wangu”
“Sam aliwekewa chakula akaanza kula huku mkewe nae akiwa anakula taratibu”
“Samahani Rafiki kama nimekujibu vibaya mke wangu”
“Usijali ila kama kuna tatizo tuwe tunashirikishana”
“sawa haitajirudia”
“Ila mme wangu wewe majibu ya daktari kwamba sina Mimba wewe umeyachukuliaje?”
“Sasa mimi ningeyachukuliaje labda? Ndio hivyo hivyo”
“Hivyo hivyo kivipi?”
“Kwamba huna Mimba”
“Mhhhh unajua lakini mwaka na zaidi vimekatika? Watu watakuwa wanatutazama tu na huenda wanajiuliza”
“Hata mimi kwakweli najiuliza kwanini hushiki mimba”
“Labda nina tatizo mme wangu”
“Inabidi uende hospitali”
“Nitaenda kesho”
“Itakuwa vizuri”
………………………………………….
Pamoja na rafiki kuhudhuria hospitali nyingi na kufanyiwa vipimo vya kutosha majibu ni kwamba alionnekana kila kitu kwake kilikuwa sawa na hakuwa na tatizo lolote. Hapo ndio aliwaza kuwa ana shida gani mpaka asishike mimba.
“Usiwaze sana dada yangu, wewe si umeolewa?”
“Ndio”
“Basi mje na mme wako”
“MMMH mme wangu hana shida yeye tayari ana mtoto”
“Sio sababu dada, wewe njoo nae tu, sio matatizo yote yanakuwa ni ya kuzaliwa, mengine humtokea mtu wakati wowote na haijalishi mwanamke ama mwanaume”
“Sawa dokta nimekuelewa”
Rafiki alirudi nyumbani baada ya kupitia kazini kwake na kuweka mambo yake sawa, njiani alikuwa anatafakari jinsi gani atamueleza Sam ishu ya kwenda Hospitali kupima.
Alibuni njia mbalimbali hatimaye akapata wazo ni jinsi gani atawasilisha ujumbe wake,
Alipofika nyumbani alimkuta Sam amekaa nje anapunga upepo.
“Karibu mke wangu, habari za kazi?”
“Nzuri je za wewe?”
“Njema tu, hebu shika hii”
Sam alimkabidhi mkewe bahasha iliyokuwa na barua ndani, mkewe aliifungua na kuanza kuisoma.
Aliposoma na kumaliza aliona mme wake amechaguliwa kwenda Kenya kwa ajili ya Kozi za kipolisi ambapo atakaa miezi sita na hatimaye atapata likizo ya miezi miwili na kwenda tena kumalizia miezi mingine sita, kozi hiyo anatakiwa asafiri siku ya kesho yake.
Kwa Rafiki hili lilikuwa ni Pigo mubashara, kwani alitamani ake zaidi na mume wake ili wapate nafasi ya kujaribu kupata watoto na waende hospitali pia.
“Daaah…”
“Nini tena Rafiki?”
“Kwahiyo unaenda?”
“Fursa hiyo mke wangu, unataka niiache wakati wenzangu wananionea wivu na wengine wanafanya kuloga ili waipate?”
“Dokta ameniambia kesho twende wote hospitali?”
“Huyo dokta mjinga nini mwambie mimi sina tatizo au ni….”
Sam alitaka aropoke kuhusu yeye kuzaa na Verity ila akaishia njiani baada ya kujishtukia…. “wewe endelea kuhudhuria matibabu mpaka nitakaporudi utakuwa umepona”
…………………………………………
Miezi miwili ilikuwa imekatika tangu Sam aende kozi ya kipolisi huko Nairobi Kenya, Rafiki alikuwa amemmisi sana mme wake kiasi kwamba kila wakati alikuwa anaibusu picha yao ya ndoa.
Mawasiliano yalikuwa vizuri tu kwani ilikuwa haipiti siku mbili ama tatu bila ya kuwasiliana kiasi ambacho kiliwasaidia kuondoleana upweke.
Siku moja jioni Rafiki baada ya kutoka kazini alipokea simu yenye namba ngeni….
“Haloo nani mwenzangu”
“Mimi Kelvin, habari za kwenu?”
“Nzuri tu, wewe ni Kelvin yupi?”
“Kelvin dokta, niliyekuwa nakutibu tatizo lako”
“OKEY vipi habari za kazi, namba yangu umeipata wapi?”
“Aaaaaah jamani, kwahiyo hujapenda mimi kuwa na namba yangu”
“Hapana sio hivyo, simu ni kwa ajili ya mawasiliano lakini ni lazima nijue namba umetoa wapi kwasababu sijawahi kukupa wala wewe hujawahi kuniomba”
“Oky kama ni sawa tu mimi kuwa na namba yako basin i vizuri, siku ile ulivyokuja kwenye detail zako uliandika nmba za simu”
“Kwahiyo ndio ukazichukua humo?”
“Yes”
“Mh basi asante kwa salamu, nakutakia kazi njmema”
“asante, hivi tatizo lako ulipata suluhisho?”
“Bado ila nimesitisha kwanza kwasababu mme wangu amepata safari ya kikazi”
“Oooh ameenda wapi tena”
“Nje ya nchi”
“Oh sawa unaweza kuja hospitali tukachek tena ili kujiridhisha inawezekana tatizo likawa lilijificha, ni vizuri kujihakikisha”
“Sawa nije lini?”
“Njoo Kesho saa nane mchana”
“Nitakuja saa tisa kwasababu nina kikao kazini”
“Oh kwani unafanya wapi kazi”
“Niko hapa hazina ndogo”
“sawa nikutakie kazi njema na wasalimu huko kwenu”
“Nawe pia”
…………………………………………
Nyumbani kwa RPC kila mtu alikuwa anastaajabu jinsi mtoto wa Verity anavyofanana na Sam, mama mtu ndie alikua wakwanza kushtukia huo mchezo kwani toka awali alishahisi kuwa Verity ana Mimba ya SAM.
Siku moja wakiwa wamelala usiku alijaribu kumuuliza mme wake… “Umemuona mjukuu wako?”
“Ndio kwani ana nini”
“Hapana ni kwa vile umefanana nae sana”
“Nimefanana nae?”
“Ndio maana yake”
“Una wazimu nini yani aache kufanana na baba yake au mama yake afanane na mimi?”
“Haaa kwani wewe si babu yake”
“Hata kama, ngoja kesho nitapita niwasalimu nimuone”
“Wala usihangaike kesho watakuja watashinda hapa”
………………………………..
Ilikuwa ni tayari saa tisa na nusu Rafiki alikuwa ameshafika ofisini kwa Dr Kelvin ambaye anamalizia kazi ya upasuaji kwa mwanamke aliyepata tatizo kwenye kujifungua.
Baada ya kumaliza alikagua simu yake akagundua kuwa Rafiki alimtumia meseji kwamba amefika muda mrefu japo hakuwa na wasiwasi kwani alikuwa na uhakika kuwa taarifa lazima ameshapewa kuwa mwenyeji wake yuko wapi.
“OH karibu Mrs Sam”
“Asante”
Rafiki alinyanyuka akamfwata Dr Kelvin mpaka ofisini kwake
“Pole kwa upweke wa kuwa mbali na mume wako”
“ASANTE lakini nadhani ni kawaida tu hasa mnapooana mkiwa mmeajiriwa”
“Ni kweli, mimi mwenyewe wakati mwingine naondoka nyumbani hata mwaka mzima nikienda masomoni”
“Sasa nadhani muda umeenda sana, unaonaje tukifanya kesho?”
“Mh kesho itakuwa ngumu sana Dk kwani ratiba za kazini zimebana sana”
“Oooh au tufanye tu saivi si huna woga wa kuchelewa si ndio”
Dr Kelvin alivaa koti lake na kuchukua vifaa vyake muhimu kisha akaagiza faili la Rafiki na kuanza kumhudumia.
“Sasa dada naomba uvue nguo yako ya juu au uipandishe juu alafu ulale hapo kwenye hicho kitanda.”
Rafiki alivyosikia hivi alishtuka kidogo lakini hakutaka kuonyesha, alifungua vifungo vya blauz aliyokuwa amevaa kisha akaisogeza pembeni na kuacha tumbo wazi kisha akapanda kitandani.
Dr Kelvin alianza kibinya tumbo la Rafiki taratibu huku akizungusha mpaka kiunoni kitendo ambacho rafiki alizidi kukishangaa kwani ni kama vile anatomaswa ila alishindwa kuuliza.
“Ulishawahi kutest saratani ya matiti?”
“Hapana sijawahi”
“Basi naomba uondoe hilo sidilia”
Kwa mara nyingine Rafiki alinyanyuka akakaa kisha akasogogea braa yake na kubaki maziwa yakiwa nje.
“Haya rudi ulale”
Alilala na kwa mara nyingine Dr KELVIN alirudi na kuanza kubinyabinya ten tumboni huku akizungusha mikono kiunoni na baadae akarudisha mikono yake kwenye nyonyo za Rafiki na kuanza kuzibinyabinya tena huku akizungusha kidole kwa kupikicha kwenye chuchu za Rafiki kitendo kilichomfanya Rafiki aanze kufumba macho.
Dr Kelvin kuona vile alimuuliza Rafiki… “Vipi unajisikiaje?”
“Ah Ah Ah …ka..ka…kawaida tu”
Sauti ilikuwa inatoka kwa kukata kata kwani tayari joto la mahaba lilikuwa limeshapandishwa na ukizingatia Rafiki ana muda mrefu hajashiriki mchezo huo.
“Uliwahi kupima magonjwa ya zinaa?”
“Ha..ha..pan.a”
“Oky ni vizuri kutest kwani wakati mwingine magonjwa hayo yanakuwa sababu ya kutoshika Mimba”
Wakati Dr Kelvin anaongea yote haya alikuwa anaendeleza zoezi lake aliloliita ni la kumpima Rafiki na tayari hali ya mgonjwa ilikuwa sio nzuri.
“Sasa sikia, ni vizuri tupime magonjwa ya zinaa kwa kuchukua yale majimaji ya ukeni kwani ndio yanatoa majibu mapema.”

“Sawa nipime”
“Vua nguo zako za chini”
“Lakini Dr…mbona…”
“Mbona nini tena, harakisha muda unaenda”
Rafiki alitoa suruali aliyokuwa amevaa akabaki na skin tait,
“Vua na hiyo”
Huku akiwa anaona aibu Rafiki alishusha nguo yake na kubakia na kufuli ya ndani chumbani pekee.
“Haya panda hapo hiyo nyingine nitakusaidia kumalizia”
Rafiki alitamani aseme kitu lakini akajikuta anakwama na hatimaye akapanda kitandani na Dr Kelvin akaanza tena kazi yake.
Safari hii Dr Kelvin alizidisha uchokozi kiasi ambacho ilikuwa ni wazi kuwa yale hayakuwa matibabu,
“Dr mbona hivyo?”
“Sasa unadhani majimaji yatatokaje?”
“Jamani kwa hiyo unakuwa kama unaniandaa kwa ajili ya mapenzi”
“Sio kama nakuandaa… ndio hivyo nakuandaa kabisa”
Dr Kelvin alishika kufuli ya Rafiki na kuanza kuishusha chini mpaka ikatoka miguuni, hapa ndipo kazi ilikuwa ya hatari.
Alimchezesha rafiki mchezo ambao alikuwa hajawahi kufanyiwa kitendo kilichomuacha Rafiki anaweweseka huku akitema majimaji ambayo Dr Kelvin alijifanya anayaweka kwenye kidude kama kioo.
Kitendo kilichomshtua Rafiki ni kumuona Dr Kelvin anavuta Zipu ya suruali chini.
“Dr unataka kufanyake? ”
“WE tulia hapo”
“Dr Nooooo, siwezi”
“Sikiliza binti, nimegundua wewe ni mzima kabisa sasa mme wako ndio tatizo na mimi nataka tu kusaidia upate mtoto”
“Nitakupeleka Polisi Dr”
“Unajikosesha mtoto mwenyewe, mumeo hawezi mapenzi ndio maana hata hiki nilichofanya hajawahi kukufanyia, lala na mimi leo tu alafu nimegundua uko kwenye siku za kupata mimba na leoleo ukilala na mimi unashika ujauzito”

ITAENDELEA

MAMA ALIPOSHIKWA TAKO MBELE YANGU – 1





Chombezo : Mama Aliposhikwa Tako Mbele Yangu
Sehemu Ya Kwanza (1)

Nilikuwa na Umri wa Miaka mitano lakini akili ilikuwa imekomaa vya kutosha kuona yale ambayo nakumbana nayo kwenye Maisha yangu. Nilikuwa na uwezo wa kutambua na kung’amua kinagaubaga bila hata ya Kuomba ushauri.
Katika mambo yote ambayo sina wasiwasi nayo kwenye akili yangu ni kwamba nilikuwa nampenda sana Mama yangu, hili sina wasiwasi nalo hata kidogo kwani hata wakati alipokuwa anaumwa nilikuwa naingia chumbani kwangu kimya kimya na kuanza kupiga magoti nisali kumuomba Mungu asiuchukue uhai wa Mama yangu.
Endapo Mama angejua ninavyojisikia ndani ya moyo wangu ama kwa hakika hata siku moja asingediriki kusema mbele yangu kwamba anaumwa kwani nilikuwa nikiteseka sana.

Ukweli ni kwamba Mama yangu alikuwa ni kati ya akina mama ambao walikuwa hawaheshimiki kwenye jamii kwa sababu ya aina ya Maisha aliyokuwa anaishi, japo mimi nilikuwa namuheshimu sana kama mama yangu.

Nakumbuka vizuri sana siku ambayo walikuja wanaume wawili na wote walikuwa wanadai kuwa mimi ni mtoto wao, pamoja na hayo yote lakini Mama aliwaambia kuwa kati yao hakuna ambaye ni Baba yangu, hii ilikuwa na tafsiri kwamba Mama alikuwa na mahusiano na wanaume wengi kwa wakati mmoja na kuna uwezekano kwamba hata yeye hamjui vizuri Baba yangu halisi ni nani.

Pamoja na hayo yote lakini Mungu alinipa kipaji cha kumpenda na kumheshimu Mama.

Kuna jambo labda watu hawaelewi lakini ni kweli kwamba Mungu ndie anaamua mambo yote Duniani na hata Kokote Kule, Endapo Mungu aliamua kunilea tumboni mwa mama yangu kwa miezi tisa na hatimaye akaruhusu nizaliwe baada ya miezi tisa na mama huyu huyu basi ni dhahiri kuwa Mungu alikuwa na mpango mkuu sana kwangu na kwa Mama huyu ndio maana akaruhusu anizae yeye na si mwanamke Mwingine. NAKUPENDA SANA MAMA YANGU.

Mama yangu alikuwa anauza baa na alitulea Mimi na mdogo wangu wakike kwa kuuza baa, tulikula tukashiba na tukalala na tukaenda shule kwa hiyo hiyo kazi yake ya kuuza baa.

Alitupenda na alitujali kwa kidogo alichokuwa anapata na ndio maana hadi leo namkumbuka mama yangu na kuishia kusema “acha Mungu akuhukumu na sio wanadamu waliokuona mama mbaya, Kwangu ulikuwa mama ‘Jembe’”

Nikiwa tayari nina Miaka sita nilijiunga shule ya Msingi japo ulikuwa ni umri mdogo kuanza shule kwa wakati ule lakini uwezo wangu uliwashawishi walimu wakaruhusu niingie darasa la kwanza huku nikiwaacha waliokuwa na umri mkubwa wakikosa nafasi.

Katika kipindi ambacho sitakisahau maishani mwangu ni kipindi hiki nilipokuwa hasa darasa la kwanza, lapilli na latatu. Uchokozi kuhusu Mama yangu ulikuwa Mkubwa sana na mara kwa mara nilikuwa nashitaki kwa walimu mpaka wakanichoka, sitamsahau Mwalimu Greyson siku moja alinifukuza huku akiniambia “Nenda zako tumechoka mashitaka yako kila siku wewe tu, kwani hujui kuwa mama yako Malaya kweli!”

Kauli hii iliniuma kupita kiasi, sikuweza kuvumilia nilikimbia moja kwa moja mpaka nyumbani nikamkuta mama anakunywa chai, nilipomuona tu nikaanza kungusha kilio, mama aliacha chai na kunifwata kisha akaanza kunibembeleza huku akiniuliza ninini kimenisibu.

Huku nikiwa ninalia nilimwambia mama kila kitu kilichotokea….
“Nini? Wameniita Malaya?…”

“…Manina zao wamewahi kunit..ba mimi hata siku moja, sasa subiri twende huko watanikoma”

Mama aliporomosha matusi makubwa mbele yangu hadi nikashtuka lakini sikujali sana, aliacha chai na kuingia chumbani ambapo alivaa suruali na flana kisha chini akapiga raba nyeupe na kunishika mkono kwa safari ya shuleni.

Mwendo tuliokuwa tunatembea njiani kila mtu alikuwa anashangaa, wanaume wa vijiweni walikuwa wakipiga Miluzi walipotuona huku wakimuita Mama kwa majina yasiyo na adabu lakini mama hakujali yeye aliongoza njia tu.

Tulifika shule ikiwa ni mda wa mapumziko na walimu walikuwa ofisini wanakunywa chai, Mama alizama bila hodi na kuanza kukagua meza moja baada ya nyingine, pamoja na ukaguzi wote lakini Mwalimu Greyson hakuwepo pale ofisini, Walimu walikuwa wameshikwa na butwaa wakituangalia sisi.

Wakati tunataka kutoka Mwalimu Greyson aliingia na kukutana uso kwa uso na mama yangu.

“wewe Mse..ge nimekufwata leo na utanitambua”

Mama aliokota mafimbo yaliyokuwa juu ya meza na kuanza kumchapa nayo Mwalimu Greyson huku akimporomeshea matusi.

“Wewe hanisi nimekunyima ku..m.. alafu unanitangazia mimi Malaya sio? Ningekuwa Malaya si ningekupa nawewe”
Maneno aliyokuwa anayaporomosha mama hadi aibu, nilijuta kwanini nilienda kumleta.

Walimu walianza kuamua lakini Mama alikuwa amemkaba Mwalimu Greyson huku akiwa anamng’ata na kumkwaruza na makucha yake, Mwalimu Greyson alikuwa amechaniwa nguo zake huku damu zikiwa zinamchuruzika kila sehemu sana sana usoni.
Mpaka mama anakuja kumuachia Mwalimu Greyson tayari wanafunzi walikuwa wamejazana nje ya ofisi wakipiga makelele hadi wanakijiji wakaja pale shule.
Walifanikiwa kumkamata mama na kumpeleka kwenye Sero ndogo iliyokuwa iko chini ya Mgambo wa Kata ambapo Mama alifungiwa pale.

Cha kushukuru ni kwamba wajomba zangu walikuwa maarufu sana eneo hilo hivyo baada ya masaa machache Mama aliachiwa na kuwa nje isipokuwa alishtakiwa na kesi ikawa inaendelea.

Tangu siku hiyo sikuwa na amani tena ya kwenda Shule kwani walimu walikuwa wakinichukia mno, kitendo hiki kilinifanya nikawa Mtoro wa Shule huku roho ikiniuma sana na kila wakati nilikuwa nikisoma madaftari ya wenzangu kujua ni nini walichokuwa wanafundishwa huko shuleni.

Swala langu la kutokwenda shule halikumshtua mama sana isipokuwa alikuwa akienda na mimi pale kwenye baa anayouza na kuwa akiagizwa kinywaji ananituma mimi nikalete huku akiwa yuko na wanaume wake.

Siku moja ambayo sitaisahau alikuja mwanaume mmoja ambaye nilikuwa namfahamu kama dereva wa Basi moja lililokuwa linafanya safari zake kutoka kule kijijini kwetu ambapo sitapataja kwa jina kwenda Arusha na kuongea na mama kidogo kisha nikawaona wakiingia chumbani.

Kilichofwata ni kelele za mahaba alizokuwa anatoa Mama akiwa huko chumbani nikajua kabisa kuwa Mama yangu alikuwa akifanya Mapenzi, roho iliniuma kiasi ambacho nilijikuta natokwa na machozi tu.

Nikiwa nimejiinamia pale kwenye kiti alikuja mwanaume mwingine ambaye aliniuliza mama yangu yuko wapi nikamwambia sijui, nilivyomjibu hivyo akaniambia nimletee Safari Lager ya Moto Nami nikaenda kumletea akawa anakunywa.

Alikunywa ya kwanza akaniambia nimuongezee mpaka zilipofika nne, kuna wakati alikuwa akisikia zile kelele za chumbani na kutega siko kwa umakini kisha akacheka na kuniangalia kisha akaniambia…”Mama anahudumiwa kweli huko”

Nilikasirika sana lakini nikakaa kimya tu, kitu ambacho sikukitambua ni kwamba Yule jamaa Roho ilikuwa inamuuma sana kwani kumbe nae aliahidiwa penzi muda uleule.
Baada ya muda kidogo mama alitoka sambaba na Yule mwanaume kisha akaketi na Yule mwanaume akaaga na kuondoka zake.
Alinyanyuka Yule mwanaume na kumfwata mama ambaye alikuwa anaelekea stoo ya pombe kisha akamshika makalio na kumfokea “Wewe Malaya kwanini umenizengua na kumpa Yule fala”
Mama aligeuka kwa hamaki na kumtukana Yule mwanaume….
“ wewe mshenzi mbona huna adabu hata kwa mwanangu? Ku..m nini”
Kitendo cha mama kusema vile nilikamata bia aliyokuwa anakunywa Yule jamaa na kumtandika nayo Yule mwanaume ambaye alianguka chini kama gunia na kuanza kutiririsha damu kichwani kisha akanyooka.

Kitendo changu cha kuwa mtoro shuleni kiliniuma sana na kilikuwa kikinikosesha raha kwa mda mrefu sana.

Nashukuru Mun…gu kwamba pamoja na kuchukiwa na walimu pale shuleni lakini yupo Mwalimu mmoja ambaye mpaka leo sitomsahau, yeye alikuwa akiumizwa sana na swala langu hadi siku aliponitumia mtu na kuniita kwake.

Ukweli niliogopa sana ila ikanibidi tu kwenda, nilifika kwake nikabisha hodi nikamkuta mdogo wake ambaye alikuwa anachambua mchele pale nje lakini ndani ya uzio wa nyumba yao.
Huyu alikuwa ni Mwalim Josephine Karia ambaye alikuwa ni Mwalimu mgeni kabisa na inaonekana ndio alikuwa ametoka chuoni kwani alikuwa bado ni Msichana.
Nilimuulizia Mwalimu Josephine akaniambia kuwa ametoka kidogo ila atarudi mda sio mrefu hivyo niketi nimsubiri. Alinipa kiti nikakaa kisha baada ya robo saa Mwalim Josephine alirudi akiwa amebeba mfuko wenye mkaa.
Haraka haraka niliamka na kumpokea ule mfuko na kuuingiza ndani, alinisalimia kwa kunishika mkono namimi nikamjibu salamu kwa adabu zote kisha akaniambia niketi nimsubiri akachukue madumu yake ya maji bombani.
Nilimkatalia nikamwambia aketi naenda kuyachukua mimi, japo alikataa lakini pamoja na kukataa kwake nilikuwa tayari nimeshaamka na ninaelekea Bombani, nilifika Bombani nikakuta watu wanachota maji nikawauliza yaliko madumu ya Mwl Josephine wakanionyesha madum mawili, Niliyabeba yote kwa pamoja nikaenda nikamimina maji kwenye jaba kisha nikarudia mara tano zaidi hadi nilipomjazia vyombo vyake vyote.
Alinishukuru sana huku akiniambia tuingie sebleni namimi nikamfwata, alinikaribisha chini kwenye kapeti kwasababu pale sebuleni kwake hapakuwa na makochi nadhani kwasababu ndio alikuwa anayaanza maisha.
Nilipomtazama vizuri Mwalimu Josephine niligundua kuwa alikuwa akilengwa na machozi na hatimaye yakamdondoka kabisa.
Nilijikuta nikipata unyonge kwani sikujua ninini kinamliza Mwalimu wangu, sikupenda kuendelea kumtazama machoni nikajikuta nikitazama kando ili tusigongane macho.
Aliniita jina ambalo sitataka kulitaja hapa ila nitatumia jina la kubuni ‘SAM’ nilimuitikia na kugeuka upande aliokuwa kisha nikamsikiliza anachotaka kusema.
“Nakupenda sana Sam, kila nikikuangalia naona vitu vingi sana kwenye maisha yako”
“Nimejaribu kufwatilia maisha yako kwa ukaribu nimegundua kuwa una changamoto kubwa sana lakini lazima ufanye kitu ili ndoto zako zitimie maana nakuona u mtoto mdogo lakini mwenye ndoto”
Muda wote aliokuwa anaongea nilikuwa namsikiliza kwa makini sana na japo nilikuwa mdogo lakini niliweza kumuelewa.
“Unaishi maeneo gani Sam?”
“Naishi pale sokoni nyuma ya ile Guest yenye uzio wa mbao”
“Sawa si ni ile pale kwa Mlungwana?”
“Ndio”
“Unaishi na nani”
“Mini na mama na mdogo wangu”
“Baba yako yuko wapi?”
“Kwakweli simjui”
“Pole sana, umewahi kumuuliza mama yako kuhusu Baba yako”
“Ndio nimewahi ila anaishia tu kunitukana”
“Msamehe bure mama yako, ipo siku utamjua baba ila kwa sasa sio muhimu sana”
“Sawa mwalimu”
“Sasa Sam nataka unisikilize kwa umakini, nimekuuliza tu lakini najua mengi sana kuhusu wewe na familia yako, ninataka kukushauri kuwa uondoke pale kwenu uende kwa ndugu yako yeyote ukakae huko na usomee huko”
Nilikuwa namsikiliza kwa makini sana huku nikijiuliza ntaenda kwa ndugu gani hasa ambaye anaweza kuishi na mimi.
“Lakini Mwalimu mbona sina ndugu wa kuishi namimi”
“Sio kweli, namjua Yule Bibi yako ambaye ni Mwalimu wa ile shule ya Jumuia kule kata ya Jirani”
“Aaaa, sawa ila sidhani kama atakubali kukaa namimi”
“Sasa wewe hilo niachie mimi, kesho kuna kikao cha walimu wote ndani ya hii kata mimi nitaonana nae ntaongea nae uhamishiwe huko”
“Sawa mwalimu”
Tulimaliza maongezi kisha akanipa mahindi ya kuchemsha nikala kisha nikaondoka zangu kwenda nyumbani.
Usiku mzima wa siku ile nilikuwa natafakari maneno ya Mwalimu ambayo yaliniingia kweli akilini, nilijiuliza Mwalimu ameona nini kwenye maisha yangu lakini nilijikuta tu nikijisikia vibaya kwa kuona kuwa kumbe nimefikia hatua ya watu kunihurumia, nilijua kuwa huenda nina maisha ya kutia huzuni.

Siku zilisogea mpaka ikafika siku ya Jumamosi ambayo ni siku ya sabato na huku kwetu familia nyingi zinakuwa ziko kanisani isipokuwa kwa familia za watu wachache sana.
Nilipata wito mwingine wa kwenda pale kwa Mwalimu kisha nikaenda, nilipofika nilimkuta anafua , nilifurahi sana kumuona nikaenda kuketi pale pembeni yake alipokaa.
Tulisalimiana kwa kupeana mikono japo yakwake ilikuwa imeloana maji ila aliifuta kwanza kwenye kanga aliyokuwa amejifunga ndipo akanipa mkono wake.
Nilichukua beseni lililokuwa pembeni nikatia maji na kuchukua baadhi ya nguo alizoweka pale chini nikaanza kufua, Mwalimu alishtuka sana akinikataza nisifue lakini kazi ilikuwa imeanza na nilikuwa nafua kwa kasi sana. 
Kusema ukweli siku ile nilifua mpaka nguo za ndani za Mwalimu hadi nikamuona anaona aibu lakini kwangu mimi sikujali, nilimaliza kufua ndani ya nusu saa kisha nikaenda nikachota maji japo ilikuwa sabato lakini mbona hata kule baa anakouza mama nilikuwa naagiziwa kuwahudumia wateja vinywaji siku ya sabato…sembuse kufua potelea mbali!
Nilijaza vyombo maji kisha nikaketi sasa kwa ajili ya kumsikiliza Mwalimu wangu ambaye muda mwingi alikuwa akiniangalia bila kunimaliza.
“Nakuhakikishia Sam…Kuna kitu kikubwa sana ambacho Mungu amekiweka ndani yako na huko mbeleni watu watakishuhudia, wewe ni kijana mzuri, una heshima una adabu, una akili na ni mchapa kazi, usije ukakata tama hata kama utakutana na changamoto kiasi gani”
Hakuna nilichoweza kumjibu Mwalimu Josephine zaidi ya kusema tu Akhsante…. Alinikaribisha ndani kwake tukaketi kisha akaniambia kuwa Yule Bibi yangu Mwalimu atakuja mda sio mrefu hivyo tumsubiri.
Nikweli baada ya Muda kidogo Yule Bibi yangu alikuja nikamuamkia kwa adabu zote kisha nikampokea kibegi chake na kukishikilia mimi.
Mwalimu alimwambia mambo mengi sana kuhusu mimi pamoja na tabia na maendeleo yangu ya shule na kuahidi kuwa atanichukua na wiki ijayo nitaenda kukaa kwake na kuanza kusoma huko hata kama uhamisho haujakamilika hakuna shida kwani mme wake ndio Mwalimu mkuu wa ile shule.
…………………………..
Nilishukuru sana kwani pamoja na kumbamiza yule jamaa na chupa akadondoka chini, badae aliamka na kuondoka zake na hakurudi pale kwa zile wiki nilizokuwa bado pale na mama.
……………
Hatimaye japo mama alikuwa mbishi sana lakini mwisho alikubali kuniachia nikaenda kukaa kwa Bibi yangu na kuanza masomo kwenye shule Mpya.
Kukaa pale kwa Bibi yangu ilikuwa ni mwazo wa Changamoto nyingine ambazo nimezipitia na nitaanza kuzielezea kwenye toleo lijalo.

*******

Maisha mapya yalikuwa yameanza kwenye nyumba ya Bibi yangu ambaye alikuwa Mwalimu wa shule ya Msingi hali kadhalika Mme wake… ambaye alikuwa Mwalimu mkuu wa ile shule.
Huyu Bibi yangu alikuwa ana watoto nane ambao alizaa na mumewe, Watoto sita walikuwa wakiume Huku wawili walikuwa wakike.
Mkubwa kabisa alikuwa msichana ambaye wakati huu alikuwa akisoma shule ya Bweni kidato cha tatu, Wa Mwisho ambaye alikuwa ni mwanamke pia alikuwa hajaanza shule kwani alikuwa kama sikosei ana miaka minne.
Waliobakia wengine walikuwa ni wa kiume japo hakuna hata mmoja ambaye nilikuwa nae darasa moja, Mmoja alikuwa form one shule ya kutwa, mwingine alikuwa darasa la sita na mwingine darasa la tano, mwingine alikuwa darasa la tatu na mmoja darasa la kwanza.
Wakati natoka kwenye ile shule niliyokuwa nilikuwa tayari niko darasa la tatu lakini kuhamia huku ilinilazimu kurudi darasa la Pili kwani darasa la tatu lilikuwa halina nafasi.
Kwangu haikuwa shida kwani lengo lilikuwa ni kusoma na si vinginevyo,
Namshukuru Mungu kwani katika ile nyumba walinionyesha kunipenda sana hasahasa siku za mwanzo ambapo nilipewa mapenzi makubwa sana.
Kule shuleni nilipata marafiki wengi sana ambao tulikuwa tunashirikiana katika mambo mbalimbali kuanzia ya darasani mpaka yale ya nje ya darasa.
Siku zote mimi ni mchapa kazi, nafanya kazi tena bila ya kusubiri kutumwa, siwezi kuona uwanja mchafu alafu nisiufagie siwezi kuona vyombo vichafu alafu nisioshe, kiufupi nilikiwa sichagui kazi iwe ya kike ama ya kiume mimi nilikuwa sina uchaguzi wa kazi.
Nadhani hii ndio sababu iliyonifanya kila nikienda kukaa kwa mtu huwa sichokwi, tabia hii niliendelea nayo hasa pale kwa Bibi yangu japo ilinifanya nikawa mtumwa.
…………………………….
Mwaka wa kwanza ulikatika na hatimaye nikaingia darasa la tatu kwa mafanikio kwani nilishika nafasi ya kwanza.
Walimu walinipenda sana na wengi walidiriki kusema kuwa mimi nilikuwa na tabia njema tofauti na watoto wengine wa ile nyumba ambao wengi walikuwa hawana nidhamu njema.
Katika nyakati ambazo zilikuwa ngumu kwangu zilikuwa na hizi za kipindi hiki nikiwa darasa la tatu,
Ukweli ni kwamba pale kwa Bibi yangu walikuwa wanafuga Ng’ombe ambao walikuwa watano, walikuwa na Mbuzi kama ishirini hivi na Kuku pamoja na Nguruwe kama Kumi hivi.
Kwakuwa nilikuwa mchapakazi sana nilitafuta Sungura nikaanza kufuga palepale, niliwajengea banda wakazaliana na kuwa wengi sana mpaka wakafika hamsini.
Nilikuwa nawapenda sana kwani licha tu ya kuwa ni kitoweo na Biashara nzuri ila walikuwa wanapendeza sana machoni.
Walikuwa wana madoa doa, wengine weusi na wengine weupe pee! Mara zote kila nikitoka shule ilikuwa ni lazima niwatafutie kwanza majani ndio niende nayo nyumbani, na mara nyingi nilikuwa nawapa mchunga ama majani ya viazi vitamu ambavyo kule vilikuwa vingi sana.
Ilifika wakati msichana wa kazi aliondoka pale nyumbani hivyo ikatubidi kazi zote za nyumbani tuzifanye sisi.
Katika hali ambayo ilianza kumea kama utani ni kwamba nilianza kutegewa kazi za nyumbani, ilikuwa kila asubuhi lazima Ng’ombe wakamuliwe ndipo tuende shule, na si kukamua tu bali kufanya usafi wa nyumbani pamoja na mabanda ya mifugo.
Wenzangu walikuwa wanaamka muda wa kujiandaa kwenda shule tu na walikuwa hawajali kazi za nyumbani.
Mwanzoni nilikuwa najitahidi kuzifanya zote mwenyewe lakini mwisho nikashindwa, nilianza kutegea baadhi ya kazi kwani nisingeweza kuamka asubuhi nifanye usafi wa nyumba, nifagie mabanda ya mifugo, nikamue Ng’ombe alafu nijiandae kwenda shule, ilikuwa kazi ngumu sana
Nilichokuwa ninafanya ni kuamka na kufagia mabanda ya Ng’ombe na kuwakamua, lakini cha ajabu nilipoacha kufanya hizo kazi wenzangu hawakuzigusa na mbaya zaidi wakati wa kufokewa mimi ndio nilikuwa nafokewa zaidi.
Mbaya zaidi Yule Bibi yangu alikuwa anatoa maneno makali kama vile
“hakuna kukaa na kula bure hapa”

Maneno kama haya niliona kabisa kuwa yalikuwa yananihusu kwani mimi ndio nakaa bure kwani sio kwetu pale, na ndio maana wenzangu hawakuonekana kujali kwani haya maneno yalikuwa hayawahusu.

Pamoja na kuwa mimi ni mchapa kazi sana lakini kazi za hapa zilikuwa nyingi sana na ukweli nisingeziweza mwenyewe.
Kushindwa kufanya baadhi ya kazi kulinifanya nianze kuchukiwa kwenye hii nyumba, ilifika hatua hata daftari liishe sinunuliwi lingine, wenzangu siku za sikukuu wananunuliwa nguo lakini mimi ilifika hatua navaa nguo iliyochanika na kuyaacha matako wazi.
Hakuna wakati mbaya ninaoukumbuka kama wakati wa kuumwa, hata kama homa initingishe vipi, nilikuwa sibembelezwi nile wala kuambiwa niende hospitali zaidi ya kununuliwa dawa tu na kuendelea kutumwa kazi.
Nakumbuka kuna wakati nilikuwa nafagia banda la ng’ombe nikashikwa na kizunguzungu kilichonidondosha baada ya kukanyaga utelezi wa mavi ya N’gombe na hatimaye nikadundiza kichwa chini na kupoteza fahamu.
Hii ndio siku pekee ambayo niliweza kupelekwa hospitali na kuambiwa nina malaria sugu pamoja na typhoid.
Nililazwa takribani wiki nzima lakini nilikuwa naletewa chakula ambacho sio stahili ya mgonjwa kabisa, namshukuru sana mama yangu ambaye baada ya kusikia ninaumwa alikuja nikakaa nae pale hospitali huku akinipikia na kuniogesha.
Ugonjwa ulipopona nilirudi nyumbani na kuendelea na maisha ambapo nilikuta Sungura wangu wakiwa wamekonda sana kuonyesha kuwa walikuwa hawalishwi, vilevile Mazingira ya nyumba yalikuwa machafu mno huku mifugo nayo ikiwa haijahudumiwa.
Ukweli kazi zote zilikuwa kama zinanisubiri Mimi kwani nilianza kutumwa kazi ambazo zilikuwa zimelimbikizwa.
Nilikuwa nafanya kazi kama mtumwa mpaka ikafika wakati nikazoea na kuona ni kama kawaida tu na ninashukuru kuwa walinijengea mazingira haya ya kunionea lakini hawakujau kuwa wananijenga na kunifanya nifikie mafanikio haya niliyo nayo
………………
Mtu pekee ambaye alikuwa ananionea huruma ni Yule Babu yangu ambaye ndie alikuwa ni Mume wa Yuke bibi yangu.
Japo hakuwa Babu wa Damu lakini yeye ndie alikuwa rafiki yangu mkubwa, kuna wakati alikuwa anawachapa watoto wake akiwaona wamekaa alafu mimi nafanya kazi, huwa alikuwa anapenda kuwaambia “Mnadhani huyu kaja kuwafanyia kazi hapa Pumbaavu kabisa”
Kwakuwa nilikuwa nimeshazoea kazi nilikuwa nikiwaona wanafanya kazi kwa manung’uniko nawaambia waache pindi tu Baba yao akiondoka.
Ratiba yangu ya kuamka ilikuwa ni saa kumi alfajiri, nikiamka huwa nadeki na kufagia uwanja na kudeki vyoo vyote sambamba na kuosha vyombo.
Nikimaliza nawasha moto nachemsha chai na maji ya kukamulia, kisha naanza kusafisha banda la Ng’ombe.
Nikimalizana na banda naenda kukata majani ambayo yalikuwa yamepandwa kwenye mashamba yaliyopo jirani na nyumba na kisha nawapa ng’ombe na sungura huku nikiwa ninakamua.
Nikimaliza kazi hizo ndio unakuta wale ndugu zangu wanaanza kuamka na kuchukua maji ya moto na kuoga, mimi nilikuwa sijali kwani nilishaona ni kawaida tu.
Ajabu ni kwamba mimi nilishaombewa ruhusa kule shuleni kwamba nitakuwa sihesabu namba kwahiyo mimi nilikuwa nafika mda wa darasani tu.
Ninachoshukuru ni kwamba kwa swala la chakula ilikuwa sio haba kwani ile nyumba ilikuwa ina vyakula vingi sana, vya kununua na vile vya shambani vilikuwa vingi sana kuanzia ndizi, viazi, mahindi, maharage, karanga, mayai, mihogo, magimbi vyote vilikuwa sio lazima kununua.
Kwakuwa mimi ndio nilikuwa mpishi nilikuwa nakula ninavyotaka na hata hivyo kila siku lazima ninywe nusu lita ya maziwa na hii ikanifanya pamoja na kuwa nafanya kazi nyingi lakini nikawa na mwili mkubwa na wenye nguvu huku misuli ikiwa imechanua vyema.
……………
Mpaka nafika darasa la saba nilikuwa nimeshakuwa na mwili mkubwa kiasi ambacho wasichana wengi walikuwa wananitaka wakinisifia kuwa Mimi mzuri lakini akili yangu ilikuwa haiwazi mambo hayo.
Nilipomaliza darasa la saba nilifaulu kuingia sekondari tena ya mbali tofauti na wenzangu ambao walikuwa wanapangiwa shule za kata.
Nakumbuka nilichaguliwa kwenda kujiunga UMBWE sekondari ya Mjini Moshi lakini cha ajabu niliambiwa kuwa haina haja ya kwenda huko isipokuwa nihamishiwe shule ya kata.
Bibi yangu ndiye alikuwa kinara wa hili jambo ambalo Babu alikuwa haliafiki kabisa na kujikuta akizidiwa nguvu kwani Bibi ndie alikuwa amenileta pale.
“Najua mnamng’ang’aniza asome hapa karibu ili aendelee kuwafanyia kazi, Angekuwa ni Mashaka wako ungekubali asiende huko UMBWE?”
Alisema Yule babu yangu na hata mimi mwenyewe nilijua nakatazwa kwenda huko ili nibaki nifanye kazi.
Mungu si Atumani nilijiunga na Shule ya Kata na kumaliza kidato cha nne katika mazingira ya pale nyumbani.
Matokeo ya kidato cha nne yalivyotoka nilikuwa nimepata Division III ambayo hata hivyo haikubalansi kombi hivyo sikuchaguliwa kidato cha Tano.
Hapa ndipo maajabu mengine nilipoyaona, wale ndugu zangu pale wote walikuwa wamepata Division IV lakini walikuwa wametafutiwa shule na vyuo na walikuwa wanasoma huko lakini mimi ulikata mwaka siambiwi chochote.

Hapa ndipo nlipoanza harakati zangu Binafsi ambazo ndio zilinifanya nifike Nyumbani kwa RPC wa mkoa wa MBEYA simulizi ambayo itafuatia toleo lijalo.


Dalili za kuondoka pale nyumbani zilikuwa hazipo kwani hakuna aliyeonekana kuwa tayari kunisaidia, kilichokuwa kinaniuma ni kuona hata wale watoto wa bibi yangu ambao walikuwa nyuma yangu wanamakiza form four alafu wananiacha mimi pale nyumbani sina ishu huku wao pamoja na kufeli lakini wakawa wanatafutiwa vyuo.

Niliumia sana nikagundua kuwa hapa sio kwetu na nisipoangalia nitiashia kutumikishwa kama mfanyakazi wa ndani.
Nawashukuru sana kwa kunipokea na kuishi na mimi kwa kipindi chote lakini sasa ulikuwa umefika wakati binafsi, wakati wa mimi kuondoka na kwenda kutafuta future yangu, kutafuta maisha ya wanangu na mke ntakayemuoa, kutafuta maisha nimsaidie na mama yangu, wakati ulikuwa umefika.
Nilimtafuta tena Yule askari nikaongea nae kwa kina ambapo alinipa namba za Yule rafiki yake ambaye yuko Dar ili nikaonane nae anisaidie.
“yani huyu ukionana nae mbona fasta tu, wewe mwambie tu kwamba umetumwa na mimi na wewe ni ndugu yangu”
Yale maneno ya Yule askari yalinipa faraja sana, nilijikuta nikianza kuamini kuwa tayari mimi ni askari, nilikuwa nafanya mazoezi ya pushap, kukimbia, kuruka kichura yani ili mradi tu nikifika kule wanione ni mkakamavu.
Siku hiyo nilichukua nguo zangu chache nikachagua zile nzurinzuri nikaanza kuzifua vizuri, zilipokauka nilikunja nikatia kwenye begi.
Nauli yangu niliyoipata baada ya kuuza sungura wangu wote nikaiweka kwenye begi vizuri kabisa huku nikisubiria masaa yaende fasta.
Siku hiyo nilifanya kazi kama jambazi hadi kila mtu akawa anashangaa, hawakujua kuwa mimi nina akili yangu kichwani na kuanzia kesho zile kazi watafanya wenyewe.
Usiku ulipoingia watu walikula chakula na kila mtu akaenda kulala kwake, mimi na mtoto mmoja wa babu tulikuwa tunalala kwenye chumba cha nje ambacho kilikuwa kimepakana na jikoni.
Kwakuwa kule milimani magari huwa yanaanza safari saa kumi usiku mimi saa nane nilikuwa niko macho najiandaa.
Nilichukua kibegi change nikakirushia mgongoni alafu mkanda ukapita begani, nilifungua mlango taratibu nikatoka nje, wakati nakata kona ya nyumba ili niibukie kwa nyuma nilisikia sauti ikiniita.
“we Sam unaenda wapi”
Ile sauti ya Babu ilinishtua lakini nikajikaza nisionyeshe wasiwasi.
“Naenda kukojoa babu”
“Sasa choo kiko huko? Na hilo begi la nini”
“Lina nguo chafu nataka niziloweke,”
“Usiku huu uloweke nguo”
“Ndio babu nataka nikiamka nizifue chap nikakate majani”
“Haya hembu njoo kwanza unichotee maji nimetapika hizi dawa za malaria zinanichefua sana”
Moyoni nilikuwa naumia kwani nilihofia kukosa magari, sikuwa na budi nilifanya alivyoniambia.
“Sasa Sam naomba tukae wote hapa nje, sijisikii vizuri kabisa”
Aliposema hivyo nilisikia kitu kama kisu kikikata tumboni kuanzia kulia kwenda kushoto, mambo yalikuwa yanaharibika.
“sawa babu, usijali”
Nilikuwa ni mtu mwenye huruma na utii sana, tabia yangu hii ilinifanya nisiweze kumkatalia babu, niliweka kibegi pembeni nikakaa nae pale nje.
Alikuwa akitapika sana na kwakweli nilimuonea huruma mno, kuna wakati nguvu zilikuwa zinamuishia mpaka nafanya kumshikilia wakati anatapika.
Ilipofika saa kumi na moja kasoro babu alipata nafuu nikamuingiza ndani, alipofika kwenye mlango wa chumba chake alinigeukia akaniambia
“najua unaondoka, chukua hii itakusaidia njiani, Mungu akutangulie”
Maneno yake yalinishtua kwa mara nyingine nikijiuliza amejuaje kuwa naondoka, nilipigwa na butwaa sana nikakosa cha kujibu lakini hata hivyo alikuwa ashazama chumbani kwao.
Taratibu na kwa unyonge nilianza kuondoka na hatimaye nikawa niko barabarani, kwa muda ule hata iweje nisingeweza kukuta gari, nilichokifanya nikaamua kutembea kwa miguu mpaka mji ulioko huko bondeni kabisa ambapo ningeweza kupata magari.
Mpaka kufika huko kwenye huo mji masaa matatu ya kutembea kwa mwendo wa kasi ni lazima yaishe, sikuwa na budi, kwasababu nilikuwa naenda kwenye mafunzo ya jeshi nikatumia nafasi hiyo kufanya mazoezi ya kukimbia.
Nilikimbia kwa mwendo wa lisaa limoja nikawa nakaribia kufika. Nilikuwa nimechoka nikakaa kidogo huku kiu ikiwa imenibana, kwakuwa hapa njiani kulikuwa na chemchem nyingi za maji nikakinga mikono nikanywa maji, ile namaliza tu kunywa maji nilisikia kama kitu kinavunja majani.
Kunyanyua uso nilishtuka vitu kama majimaji yakinirukia usoni, nilipotazama mbele niliona nyoka mkubwa akiwa anajiandaa kutema mate mengine.
Nilichukua kibegi change nikakimbia haraka sana, uzuri ni kwamba nilishawahi kusikia habari za hawa nyoka ambao wakikutemea mate ngozi inaoza.
Nilitafuta majani flani ambayo tulishawahi kuambiwa kuwa ni dawa nikaaza kuyatafuna na kuyagandisha pale usoni, haya majani yananyonya sumu yote na yakiisha nguvu yanadondoka chini kisha unaweka mengine.
Nilifanya hivyo kwa zaidi ya mara nne hadi nilipoona yale majani hayagandi tena nikajua sumu imeisha, kilichokuwa kinaendelea ni ile sehemu kuwasha, sikujali nikaendelea na safari.
Hatimaye lisaa limoja mbele nikawa nimefika pale stendi na kukuta watu wanakata tiketi za magari ya kwenda dar es salaam.
Nilizama kwenye kibegi ili nitoe nauli lakini nilianza kusikia miguu ikilegea na kunyong’onyea. Nauli ilikuwa haipo.
Baada ya kuwaza sana niligundua kuwa niliidondosha wakati nilipokuwa natoa sweta kwani ilikuwa katikati ya nguo.
Machozi yalianza kunitoka taratibu baada ya juona harakati zangu zinakwama. Pesa niliyokuwa nayo ni shilingi elfu tano tu ambayo alinipa babu wakati ananiaga.
Nilipiga akili haraka haraka nikajisemea lazima niondoke.
Maisha yangu yote Nilikuwa sijawahi kwenda dar es salaam lakini siku hiyo nilidhamiria kwenda tena bila nauli.
……………………….
K’ondakta alikuwa akipta kwa mtu mmoja baada ya mwingine akikagua tiketi, kijasho kilikuwa ‘kinanichuruzika maana nilikuwa nimekaa alafu sina tiketi wala nauli sina, ile elfu tano niliapia kuwa sitaitoa kwani itanisaidia kwenye kula.
Wakati konda anakaribia kwangu nikaanza kujitapisha, nilijitapisha huku nikisaidiwa kwa kupewa mfuko, konda alimaliza kukagua tiketi ikawa imebaki mimi tu.
Sikutaka kumpa nafasi niliendelea kutapika mfululizo kwa masaa matano kisha nikajifanya nimelegea nikajilaza kwenye kiti.
Baada ya nusu saa konda alinitingisha akaniuliza tiketi iko wapi, nilizuga kwa kupapasa mifuko huku konda akiwa amenikata jicho kali.
“kwani ulilipa nauli?”
“ndio”
“Ulilipa wapi maana hapa kwenye chati yangu sioni kwamba hii siti ililipiwa”
“Nililipa lakini”
“Usinizingue nataka nauli yangu, unafikiri sijui kwamba ulikuwa unajitapisha”
“Sio hivyo broo”
“Sio hivyo nini…oya Salimu hebu simamisha gari kuna fala hapa analeta kujuana”
Gari lilisimamishwa nikawa naambiwa nitoe nauli na mimi sina, gari ilitembea hadi tukafika segera ambapo kuna polisi walikuwa pale wamepiga kambi.
Hapa ndipo niliposhushwa na kuachwa pale kisha gari likawashwa na kuondoka, huzuni niliyopata sitaweza kuisahau maisha yangu yote.
Baada ya muda kidogo lilipita basi lingine nikapanda, huko mbele wakaanza kunidai nauli nikawaambia wasubiri kidogo, lengo langu ilikuwa nisogezwe mbele hata nikishushwa niwe nimeshafika mbali.
Kumbe Yule konda alishanishtukia, kama kawaida alimuamuru dereva asimamishe gari ili nishushwe na nikashushwa kweli. Wakati nafika chini Yule konda alinisindikiza na kofu la kichogo hadi nikasikia kizunguzungu.
Katika sehemu zote hii hapa ilinitisha kwani ilikuwa ni porini kweli, nilitafuta sehemu yenye mti nikakaa humo nikitafakari.

Kitendo cha kuachwa pale njiani kilinisononesha sana, nilijisikia kama vile dunia ilinitenga, niliumia sana kuona lile basi likiondoka kwa kasi huku nikilishuhudia likikunja kona na kupotea mbele ya macho yangu.
Nilianza kupiga hatua kwenda pembeni ya barabara nitafute sehem yenye kivuli nikae lakini kila nilipokuwa nakata hatua nilikuwa najisikia unyonge sana, miguu ilianza kuwa mizito huku nikisikilizia maumivu ya lile kofi nlilopigwa na Yule konda.
Jua lilikuwa kali sana na tayari nilikuwa nasikia kiu mno, sehemu hii ilikuwa ni vichaka tupu na hakuna gari iliyokuwa inasimama kwani hakukuwa na kituo wala nyumba za watu.
Nilipiga macho mbele nyuma na pembeni nikashuhudia vichaka vya miti mikavu kuonyesha kuwa hii sehemu hakukuwa na makazi ya watu, sikuona hata dalili ya mtu kupita isipokuwa magari yaliyokuwa yanapita kwa kasi sana.

Katika hali ambayo sikuitegemea nilishuhudia majimaji yakishuka kwenye mashavu yangu nikaaanza kuyafuta, kumbe yalikuwa ni machozi.
Nilikuwa najihisi hali ya upweke sana, nilijiona kutengwa na wanaonijua na wasio nijua, mbaya zaidi sehemu hii sikuijua, nilitamani bora ningebaki kule kwa Bibi kwani nilianza kukosa matumaini ya huko niendako.
Baada ya kukosa kivuli niliamua kutembea taratibu kuifwata barabara, jua kali lilinichoma huku nikiwa sioni hata mtu wa kuongea nae, isipokuwa ngedere ambao walikuwa wengi wakikimbizana vichakani, nilipomkumbuka Yule nyoka aliyenitemea mate kule mlimani nilianza kuogopa nikijua kuwa kwa eneo nililopo inawezekana pia kuna chatu kabisa.
Sikuogopa kifo, nilikuwa tayari kwa lolote mbele yangu kwani maisha yangu tayari ni ya mitihani, pamoja na ujasiri niliojivika bado nilikuwa namwamgikwa na machozi usoni, ilifika hatua nikawa nalia kwa kwikwi kabisa kwani nilikuwa najisikia unyonge, upweke na nilikuwa na njaa na kiu.

Nilitembea kwa zaidi ya lisaa limoja lakini sikuona nyumba wala kituo lakini ghafla nilipokunja kona niliona gari aina ya Semi trela likuwa limeinama upande wa pembeni ya barabara. Nilijikuta nikipata matumaini mapya kwa kuona tu watu.
Pembeni ya lile gari nilimuona jamaa mmoja ameshikilia dumu la maji ya Uhai la kama lita kumi hivi anajimiminia kinywani, kwa kiu niliyokuwa nayo nilijikuta nayamezea mate yale maji, asikwambie mtu kiu inatesa kuliko njaa ya chakula.
Nilitamani nimfwate hata nimpokonye yale maji lakini nikaamua kumfwata kistaarabu.
“Broo naomba maji kidogo nina kiu sana”
“we fala nini, unadhani hapa mtoni, hata salam hutoi unataka maji tu…kwendaaaa mse..ge wewe”
Kitendo cha Yule jamaa kunijibu vile nilijikuta nikimwagikwa na machozi kama chem chem, sikuweza kugeuza shingo yangu niliangua kilio kama nimefiwa, sikuwa naigiza, nilijikuta tu nafsi yangu ikitaka kulia, nilijaribu kujizuia lakini sikuweza kila nilivyokuwa nakata hatua ndio kilio kiliongezeka.
Hatimaye miguu haikunyanyuka tena nikakaa chini huku kilio kikiongezeka mara dufu, nilishtuka nikishikwa bega, nilipotupa macho yangu nikakutana nayule jamaa aliyenifukuza.
“We dogo una nini”
Alivyoniuliza lile swali ndio alizidisha machungu yangu kwani nilijikuta unyonge ukizidi na hali ya kutengwa ikanisononesha zaidi. Hapa ndipo niligundua kuwa kumbe ukitaka mtu anaelia anyamaze hutakiwi kumbembeleza, ukimbembeleza utamliza zaidi.
“Dogo hebu simama basi, mbona sikuelewi”
Yule konda alizidi kuniongelesha huku wale wenzie wakija usawa ule tuliopo, nilitaka nisimame lakini miguu ilikuwa imenyong’onyea kwa uchovu wa kutembea kuanzia kule mlimani lakini pia machungu yaliyokuwepo moyoni.
“Siwezi kusimama broo, niacheni tu muendelee na mambo yenu”
“Tukuacheja dogo hebu simama uje hapa”
Nilishikwa mkono nikanyanyuliwa huku akiwa amepitisha mkono wake kwenye bega langu na kufanya kama amenikumbatia huku akiniongozea kwenye gari.
Tulizunguka nyuma ya gari ambapo kulikuwa na kivuli cha gari kisha akatoa maji kwenye dumu na kumimina kwenye chupa tupu ya litamoja na nusu kisha akanipa.
Kwa kiu niliyokuwa nayo niliyapokea yale maji lakini koo langu halikuruhusu kupitisha maji,, kulikuwa na kitu kama fundo limenikaba, nilijikaza sana na mwishowe nikafanikiwa kunywa yale maji.
Niliyanywa yote mpaka yakaisha, yalipoisha tumbo likaanza kuniuma nikajua kuwa ni kwasababu nimekaa na kiu mda mrefu alafu nikanywa maji kwa pupa.
Halikuuma sana, lilipoa kisha Yule jamaa akanipa keki za kwenye pakti na juisi, nilipokea nikanywa pia haraka haraka.
Alianza kunihoji mambo mengi na mimi sikusita nilimueleza kila kitu nikamuoana akisikitika sana ila akaniambia.
“ wala usijali, we komaa tu maisha nikutafuta na siku zote mtafutia juani hulia kivulini, usichoke.”
………………………
Ilikuwa ni usiku wa saa kumi tukiwa tunakatiza mto wami tuko ndani ya semi trela scania lililobeba cemet likielekea Mbeya.
Sehemu hii ya dereva ilikuwa inatosha kukaa watu watatu lakini kuna chemba iko kwa juu kidogo ambayo ina kitanda, walininitaka nipande nilale nami sikusita kwani nilikuwa nimechoka sana.
Nilishtuka nikiamshwa nishuke, nilipokata jicho kulikuwa kumepambazuka, hapa tulikuwa kwenye mizani ya challinze na gari lilikuwa linaacha njia ya dar es salaam likielekea mbeya hivyo ilibidi mimi kushuka hapa.
Yule Konda alinishika mkono akaniambia nimfwate, tulielekea kwenye zile ofisi za mizani tukaingia ndani, Yule konda aliwasalimia wale jamaa wa pale mizani kisha akamuulizia jamaa mmoja aliyemtaja kwa jina Mapunda.
“Mapunda saivi yuko Mikese Morogoro, amehamishwa, kama unaenda huko utakutana nae pale”
Yule konda aliachana nao akaniambia tuondoke.
“Yani huyu Mapunda angekuwepo angukusaidia sana, ni mshkaji wangu sana”
Aliniongoza mpaka kwenye Coaster iliyokuwa inaenda Dar es salaam kisha akanipakia. Nilipokaa kwenye kiti alimuita konda wa ile Coaster na kumlipa nauli yangu kisha akaja na kunipa shilingi elfu tatu.
Alinipa namba zake za simu akaniambia nikifika Dar nimtafute, aliniaga akaondoka zake na muda sio mrefu gari ile nayo ikaondoka.
Miaka mitano baadae nilipata taarifa zilizonihuzunisha kuwa Yule jamaa alifariki kwa kukanyagwa na ile Scania alipokuwa anarekebisha kitu chini ya uvungu wa gari ambalo liliserereka na kumpondaponda na kufariki hapohapo, roho iliniuma sana na namuombea maisha mema huko aliko.
Gari liliingia Ubungo mida ya saa sita mchana, niliangaza macho pale Ubungo sikuelewa A wala B, Bahati nzuri kulikuwa na vibanda vya kupigisha simu kila kona, watu waliofika ama kuishi dar kwa siku za nyuma kidogo watakuwa mashuhuda wa hili.
Nilikifwata kibanda kimoja kilichokuwa na msichana mrembo nikamuomba huduma ya simu akaniambia ni shilingi elfu moja kwa dakika, nilimlipa kisha nikampa namba akaipiga.
Hapa nilikuwa nampigia rafiki yangu niliyesoma nae msingi japo alinitangulia lakini alikuwa rafiki yangu sana.
Wakati huu yeye alikuwa anasoma Mlimani Chuo kikuu. Aliniuliza niko wapi nikamwambia niko Ubungo.
“Uko Ubungo upande gani”
“Kaka sielewi chochote hapa mimi ni mgeni”
“Mpe huyo mwenye simu hapo kibandani”
“Eee unaona hilo Bango hapo la BUZZ ni Bomba, …kwa pembeni kuna mabasi ya kwenda Morogoro, Dodoma na Mbeya, njoo hapa kibanda changu kiko kwa jirani tu”
Ndani ya dakika sihirini nilimuona Joshua akija pale akiwa ameongozana na Rafiki yake mmoaja, nilishangaa sana kumuona akiwa vile, alikuwa amependeza sana na kunawiri mno, alikuwa mweupe siku zote lakini saivi weupe wake ulizidi na alikuwa amenona mno, alikuwa amevalia kisasa sana na kuonekana kijana wa mjini wakati tulikuwa tunacheza nae mpira wa manailoni kwenye Vumbi.
Alinifwata akanikumbatia tukasalimiana fresh sana, tulipiga story mbili tatu kisha akaniambia tuondoke, wakati tunaondoka Joshua alirudi kwa Yule dada akampa mkono akiwa anamuaga.
“Dada kwaheri sana, naondoka lakini ntakukumbuka daima, mgeni wangu umemkaribisha vizuri kaniambia na soda ulimpa bure kabisa, hakika wewe ni wife material, hivi umeolewa? Hebu chukua hii namba na wewe unipe yako…”
Joshua aliongea maneno mengi sana huku dada wa watu akijitahidi kuutoa mkono wake lakini Joshua alikuwa kaung’ang’ania vilivyo.
Walipeana namba za simu kisha tukaondoka, tilikunja kona mbili tatu huku nikishuhudia magari mengi yanavyopita kwa kasi huku wenyeji wakionekana hawayaogopi kabisa.
Tulipanda Daladala zilizokuwa zinaenda Mwenge zikipitia Chuo kikuu cha Dar es Salaam kisha hatimaye tukawa kwenye hosteli anazoishi Joshua.
Jambo la historia kwangu ni kwamba hii ndio ikawa siku yangu ya kwanza kupanda lifti, japo hata nilipopanda sikujua kuwa ile ndio lifti. Niliona tu tukiingia kwenye gorofa refu mno alafu tukaingia kwenye kijichumba kidogo ambacho kilijifunga milango na nikaona Joshua akibonyeza vitufe flani na hatimaye tukajikuta ndani ya sekunde ile milango ikifunguka tena kisha tukatoka.
Nilibaki na maswali kichwani kuwa tuliingia hapa kufanyaje na hatukikaa wala kufanya chochote, nilipojikuta naona mji wa Dar es salaam kwa chini nikajua tuko juu ghorofani na lazima ile ilikuwa ni lfti

Maisha ya pale Mlimani yalinivutia sana, yalikuwa ni maisha yasiyokuwa na stress hata kidogo, nilijikuta nikimtamania Abeid kuwa mwanafunzi wa chuo.
Kilikuwa na mazingira mazuri, mahusiano yalikuwa poa sana na zaidi wanafunzi wa pale walikuwa wanaishi kijamaa sana, utani na masihara mengi yalisababisha wawe wanacheka mara kwa mara.
Nilittamani angalau na mimi ningekuwa mwanafunzi pale lakini ilikuwa haiwezekani kwa wakati ule.
Usiku ulipoingia tulilala japo kwa kuchelewa kwani watu walikuwa hawaishiwi na story, mara wengine wanaangalia movie kwenye tv na PC zao ili mradi kila mtu alikuwa huru kufanya anachotaka.
Kulipokucha asubuhi niliamshwa nikaenda kuoga nikapiga na mswaki kisha tukaenda canteen kwa ajili ya kunywa chai.
Binafsi nilikunywa chai ya maziwa na vitumbua vitatu kisha tukarudi hostel, ukweli ni kwamba nilikuwa na nguo chache sana na zilikuwa za kishamba, sikufanana na watu walionizunguka pale chuoni nikaamini ule msemo wa Kuku mgeni ………
Abeid aliliona hili akanipa flana yake na pensi na sendoz akaniambia nivae tutoke, siku hii ilikuwa ni jumapili hivyo hakuwa na vipindi vya darasani.
Tulitoka akanizungusha maeneo mbalimbali ya jiji la dar es salaam, kuanzia kariakoo, Mnazi Mmoja, Posta mpaka Baharini tukapanda pantoni mpaka kigamboni.
Hii ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuiona bahari…asante sana Abeid, nakuombea Mungu akuzidishie mafanikio kwenye ualimu wako uje kufika mbali zaidi ya hapo ulipo.
……………………..
Ilikuwa ni jumatatu tuko na Abeid tunaelekea Posta karibu kabisa na BoT ambapo ziko ofisi za wizara ya Mambo ya Ndani nikimtafuta Yule niliyeambiwa nijitambulishe kwake anisaidie kupata nafasi ya mafunzo ya uaskari.
Abeid alikuwa ni mjanja sana maana kwa jinsi tulivyofika pale wizarani na maswali tuliyoulizwa na wale walinzi basi ningekuwa peke yangu ningesharudi kwa kuogopa lakini tofauti ni kwamba Abeid kila alipokuwa anajibiwa vibaya yeye alikuwa anatabasamu na kuonyesha kutoshtuka.
Ilifika hatua mpaka wale walinzi wakawa wanacheka kwa jinsi alivyokuwa anawajibu kistaarabu lakini na utani ndani yake.
“Haya semeni mnamtafuta nani”
“Sisi tunamtafuta Mheshimiwa mmoja anaishia jina lake na Steven.”
“Huyu mwanasheria wa Jeshi la Polisi?”
“Ndio huyo huyo”
“Basi nyinyi hamna ahadi nae kama mngekuwa mna ahadi ya kukutana nae mngeshajua kuwa hayuko tena hapa”
“Unasemaje braza?”
Nilijikuta nikiropoka baada ya kusikia kuwa hayuko tena pale,
“Hebu tulia wewe, mbona una kiherehere, na nyie ndio mmemponza mheshimiwa wa watu, anawasaidia alafu mnasema mmempa Rushwa.”
Nilimuona abeid akinipa ishara ya kunyamaza kisha akamfwata Mlinzi mmoja kwa karibu kisha wakaanza kuongea kwa sauti ya chini.
Waliongea kwa takribani dakika mbili kisha akawaaga na kunionyesha ishara ya kuondoka nami nikamfwata.
Nilikuwa na shauku ya kujua kuwa waliongea nini lakini Abeid alikuwa kimya tu, nilivumilia kwa mda lakini mwishowe nikaamua kumuuliza, “Kaka vipi wamekwambiaje?”
“Subiri kidogo”
Tuliendelea kutembea kwa dakika kadhaa mpaka nilipoona bango limeandikwa IFM (INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT)
Tuliingia pale tukaelekea moja kwa moja mpaka kwenye canteen ya pale tukachukua nafasi tukakaa,
“unajua hapa posta ukiingia hoteli zake unakung’uta waleti yako kabisa, hizi za wanafunzi at least zina bei nafuu”
Tulikula wali samaki na Juice ya matunda kisha maongezi yakaendelea,
“Wale jamaa wanasema Mheshimiwa ameondolewa kwenye kitengo na amehamishiwa Mbeya bila kutajiwa kazi anayoenda kufanya”
“HAAH KWANINI SASA”
“inasemekana alikuwa anakula Rushwa sana ila kwa mujibu wa wale jamaa ni kwamba alikuwa hali Rushwa ila alikuwa na moyo wa kusaidia watu”
Kusema ukweli nilinyong’onyea sana, nilishindwa kabisa kumalizia ile juice japokuwa chakula kilikuwa kimeshaisha.
Nilijikuta nikijihisi mimi ni mtu wa Mikosi, matatizo yalikuwa yameniandama sana.
“Usijali Sam, hiyo sio sababu ya ndoto zako kutotimia, wewe tuliza akili alafu tutajua cha kufanya”
Wakati tuko pale nilikuwa nashuhudia wanafunzi wa kile chuo wakipita wakiingia na kutoka, kulikuwa na wadada wazuri sijawahi kuona, walikuwa wamevaa nguo za mitego kiasi kwamba nilihisi mapigo ya Moyo yakienda mbio mno.
Jambo moja liliuvaa moyo wangu na kuniambia kuwa mimi sikuwa hadhi yao hivyo ntakula tu kwa macho.
Katika hali ambayo sikuitarajia nilimuona Abeid akiamka na kukumbatiana na dada mmoja mfupi mweusi ambaye alikuwa na shepu moja matata sana.
Walisalimiana kwa bashasha kubwa kisha nikawasikia wakiongea kikabila cha kwetu, hapo ndipo niliposhtuka vilivyo.
“Wewe si niliambiwa umekuwa askari polisi hapa unafanya nini”
“Ah Abeid si unanijua lakini, siwezi kuwa askari wa cheo cha chini kila siku, hapa nimekuja kuongeza elimu na ninachuukua degree ya Banking and Accounting”
“Dah Hongera sana”
“Asante, mbona huyo hapo kama namfaham”
“Unamjua sana, wakati nyinyi mnamaliza darasa la saba alikuja akiwa anakaa pale kwa mwalim Kahema”
“Haaa huyu si ndio Yule alikuwa Golkipa wa shule”
“Ndio huyo huyo”
Nilishtuka kusikia kuwa Yule dada ananifaham kwani sikuwa namkumbuka hata kidogo, alivyotaja swala la ugolkipa alinishtua zaidi kwani ukweli mimi nilikuwa Golkipa maarufu mpaka nilikuwa nakodishwa.
Alinifwata Yule dada akanisimamisha na kunikumbatia huku akionyesha tabasam mwanana.
“Vip unasoma hapa Sam?”
“Hapana nimekuja tu”
“Subiri ntakwambia ishu yake” (Abeid alidakia)
Yule dada alikaa akajitambuliasha kuwa anaitwa Vicky na Baba yake alikuwa Daktari wa shule moja ya Misheni kule kijijini. Alivyosema hivyo nikaanza kumkumbuka kuwa alikuwaga dada mkuu pale shuleni.
…………………………….
“Bwana Z. Steven amehamishiwa Mbeya ila inasemekana atakula cheo cha juu hivyo kama ni msaada bado anaweza akatoa, kama ameelekezwa kwake amfwate tu”

(Aliongea Vicky)
“Sam inabidi uende Mbeya ukaonane nae, kama ni nauli tutakuchangia”
`…………………….
Nilikuwa na shilingi elfu thelasini mfukoni ikiwa ni Nauli amenipa Abed niende mbeya, nikiwa pale Ubungo akapita jamaa mmoja anauza simu anadai anauza shilingi elfu ishirini.
Niliiangalia ile simu nikaipenda kisha nikamwambia aiwashe, wakati wanaiwasha ile simu alipita jamaa mmoja kwa nyuma akaniambia…
“Wewe dogo mbona unanikanyaga”
“samahani braza ni bahati mbaya”
“Usirudie tena”
Wakati nageuka kumuangalia Yule jamaa wa simu nikagundua kuwa hakuwepo, sikujali sana nikaelekea kwenye kituo nilichoambiwa nikate tiketi.
Niliingia ndani nikaelekezwa kiwango cha nauli kuwa ni elfu ishirini na tano nikawa najipapasa mfukoni nilipe huku Yule Konda akiendelea kuandika tiketi.
Nilijikuta nikitetemeka mwili mzima kwani mfukoni hakukuwa na hata senti tano….
Kitendo cha kuibiwa nauli pale Ubungo ndio kilinifanya nijue kuwa kweli nimeingia mjini, story za watu kuibiwa pale Dar es Salaam nilikuwa nazisikia tu lakini leo zimenikuta.
Wakati wote huo Yule Konda alikuwa ameshamaliza kuniandikia tiketi na ananinyooshea kunipa.
“Shika tiketi yako”
Niliipokea tiketi lakini sikuwa na cha kurudisha, wakati konda amenyoosha mkono wake akitaka nimpe hela nilianza tena kujipapasa, nilijipapasa ila nilikuwa nazuga tu, nilijua kabisa kuwa mfukoni hakuna kitu.
Chaajabu ni kwamba wakati najipapasa nikashika kitu kama karatasi nikahamaki na kukitoa, nilivyokiangalia nikakuta ni noti ya shilingi elfu mbili.
“WE dogo unatoa hela au nini, mbona hueleweki”
“Broo nina hii tu, nyingine imeibiwa”
“Mjinga nini, toka hapa ofisini, tokaaaa”
Alinisukuma kama mwizi kidogo nidondoke ila nikajikaza.
Nikiwa pale nje ya ofisi nilijikuta machozi yakitaka kunitoka lakini nikajisemea moyoni, safari hii silii nakomaa kiume.
Nilijikaza kutokulia na kweli sikulia, nikawa natembea tembea pale kituoni.
Wakati naekekea lango la kutokea magari nikaona basi moja kubwa limeandikwa Happy Nation linatoka huku baadhi ya wapiga debe wakisema “wale wa mbeya, Iringa zama ndani gari ya kuondoka hiyo”
Sijui yale maamuzi niliyatoa wapi, nilijikuta nakanyaga ngazi za basi na kutumbukia ndani.
“Gari nyeupe hiyo tafuta siti ukae.”
Kweli gari haikuwa na watu wengi sana hivyo nikajichagulia siti nikakaa,
Gari ilianza kuondoka kwa mwendo wa taratibu kwani kulikuwa na foleni kuanzia ubungo mpaka tunafika Mbezi mwisho.
Wakati wote huo bado nilikuwa sijadaiwa nauli na kote huko njiani walikuwa wanaendelea kupakiza abiria.
Tulipofika kibaha siti zote zilikuwa zimejaa na hivyo hakukuwa na abiria wengine ambao wangepata siti, Konda alianza kuzunguka kuuliza kila abiria anaishia wapi, waliokuwa wanaishia sijui Chalinze au Morogoro waliambiwa waachie siti kwa wanaokwenda mbali
”Dogo unaishia wapi”
“Mbe..mbe..ya broo”
“Sasa unatetemeka nini, jiamini dogo kwani si umepanda kwa nuli yako”
Moyoni nikataka kumwambia unajua hapa nina elfu mbili tu.
……………………
Tayari tulikuwa tumeipita Mlandizi, tunakatisha kwenye Bonde hili la mto Ruvu na hatimaye tukavuka daraja ndipo nikamuona Konda akianza kupita na chati yake anakagua tiketi na kupokea hela kwa wale ambao hawajalipa.
Alisogea na hatimaye tukiwa tunaikaribia Chalinze akawa amefika kwangu.
“Dogo naomba tiketi”
“Sina”
“Haya leta elfu ishirini ”
Nilianza tena kujipapasa kwa kuzugia mwishowe nikaibuka na shilingi elfu mbili.
“Hiyo ni noti mpya ya shilingi elfu ishirini au”
Bado niliendelea kuinyoosha ile hela ili aipokee huku mkono ukitetemeka.
“We dogo kwani unaishia wapi”
“Naenda Mbeya”
“sasa hiyo shilingi elfu mbili yanini mdogo wangu”
“Sina nyingine nimeibiwa nauli kaka”
“Haya ilete”
Nilimpa ile shilingi elfu mbili nikajua nimepona tena kwa mara nyingine
“Sasa kama umeibiwa nauli tukifika Chalinze tutakusaidia kukushusha kwa polisi ili washughulikie swala lako la kuibiwa, sawa dogo”
Nilishtuka lakini nikajibu “sawa broo”
Safari iliendelea na ndani ya dakika kumi na tano tukawa tuko Chalinze, gari lilisimama Yule konda akaja na kuniambia
“Begi lako liko wapi”
“Hili hapa kaka”
“Haya shuka nalo tukaripoti kwa hao askari hapo nje”
Nilifwatana nae mpaka tukafika chini, tulipofika alianza kusalimiana na wale askari ambao waliongea na kuchekeana.
Gari lilipomaliza kupima mizani akawaambia wale askari.
“Nawaachia kijana wenu huyo anataka aende Mbeya kwa shilingi elfu mbili hebu msikilizeni vizuri.”
“Njoo hapa wewe chokoraa”
Roho iliniuma kuitwa chokoraa lakini sikuwa na namna ikabidi nimfwate Yule askari huku natetemeka.
Maisha yangu yote japo nilikuwa naenda kuutafuta uaskari ila nilikuwa ninawaogopa sana.
“Dogo wewe ni mwizi eenh”
“Hapana Baba”
“Nani baba yako hapa, sisi hatuwezi kuwa na mtoto mwenye bichwa kubwa hivi”
Nilisikia kitu kama chuma kimeshuka kichwani kwangu kumbe ni Konzi la Yule askari. Niliumia kiasi kwamba nilianza kuona vitu kama nyota nyota.
“mbona mnapenda kutupa kazi ambazo hazina msingi nyie, hebu chuchumaa chini”
Nilichuchumaa huku machozi yakinidondoka.
“Unapanda kwenye gari huna nauli ulitaka ukawaibie watu kwenye gari sio”
“Hapana afande”
“Unafikiri hatuwajui nyie, mnaingia kwenye gari ili muibie watu wakati hamna mpango wa kusafiri”
“Hapana afande nimeib..b…biwa nauli”
“Nani akuibie wewe, wewe ndio mwizi alafu uibiwe”
“Mungu anajua afande nimeibiwa kweli”
“Kama Mungu anajua mimi sijui. Twende huku Mbweha wewe”
Nilimfwata nyuma nyuma mpaka kwenye ile ofisi ya Mizani,
“Dulla vipi hapo mbona ofisi yenu chafu hivyo”
“Hahahahaaaa ukiona hivyo ujue inafanyiwa kazi, vipi karibu”
“Ah napita tu ila nimewaletea huyu jamaa awasaidie kuisafisha apige deki vizuri”
“Haya asante kwa kutujali”
Nilikabidhiwa fagio, dekio na ndoo kisha nikaambiwa nihakikishe panang’aa.
Safari hii sikuweza kuvumilia, nilianza kufagia huku nalia, nikamaliza kisha nikachota maji kwenye bomba lililokuwa nje ya zile ofisi nikaanza kudeki huku nalia pia.
Mpaka namaliza nilikuwa nimelia mno, wale jamaa wakaniambia nikamwambie Yule askari kuwa nimemaliza, kisha nikaenda.
“Sasa ole wako nifike hapajang’aa”
Tuliongozana mpaka pale ofisini kisha nikaanza kushushiwa makofi na mateke.
“Jinga sana wewe, hapo umesafisha au umechafua”
“Haya kunja ngumii uanza kupiga Pushap hapo”
“chini….juu….chiniiiiii…..juuuuu, nikipiga kofi unashuka, nikipiga unapanda”
Zoezi la pushap liliendelea kwa nusu saa nzima hadi nikajisikia kama nakufa, nilianza kusikia harufu ya damu kifuani, nililia mpaka machozi yakakauka lakini hakuna aliyenionea huruma.
Mbaya zaidi wakati waliponiona nayamudu yale mazoezi vizuri wakasema eti mimi ni sugu nimeshazoea matukio.
“Niliwaambia huyu ni kibaka, huoni anavyoyamudu haya mazoezi, lakini na ukibaka wako leo utatapika damu”
“Afande samahani, mbona kama huyu kijana namfahamu?”
“Acha huruma zako wewe huwezi kumjua huyu labda kama amewahi kukuibia”
“We mtoto mbona kama sura yako sio ngeni machoni kwangu”
“Ha..ha…hata mi…mi nakufaham da..da, nisaidie naumia”
“Tulionana hapa hapa dada nilikuja na Konda wa Semitrela Juzi”
“Ahaaaaa, dulla nyie hamumkumbuki huyu kijana”
“Haaa ndio huyu kwani, mbona ana majanga hivi, kimekupata nini?”
“Haya baki na wenyeji wako hapa” (Yule askari alisema kisha akaondoka zake)
Wale jamaa walinihoji nikawaelezea kisa kizima mpaka Yule dada nikamuona analia machozi kabisa.
“Usijali dogo. Utafika mbeya leo, lakini mbona umechafuka sana, Nifwate”
Tuliondoka na Yule dada hadi kwenye duka la nguo akaninunulia traki suit ya blue na sendo kisha akaniambia nibadilishe nivae zile
Nilipobadilisha nguo alininunulia chipsi mayai na soda kisha akaniambia nipumzike hapo atakuja baadae.
Ilikuwa ni baa flani hivi ambapo nilikaa huku naangalia tv, mwili ulikuwa umechoka sana mpaka nikajisikia kama homa, viungo vilikuwa vimelegea vibaya sana, moyoni nilijiuliza kwanini nina majanga hivi?
Baada ya lisaa ,limoja Yule dada alikuja akaniambia nimfwate.
Tulienda mpaka barabarani kisha akaja baba mmoja akasema “Ndio huyu?”
“Ndio mwenyewe naomba umshushe pale stendi sawa?”
“sawa”
“Sasa dogo wewe nenda, hii gari ni mpya imetoka Bandarini inapelekwa Zambia sasa wewe watakushusha mbeya stendi”
“Haya dada”
“Chukua namba zangu na hela ya kula njiani”
“Asante dada”
Tuliingia kwenye gari aina ya Prado kisha safari ikaanza, ndani ya gari tulikuwa wawili tu, mimi nyuma dereva mbele hakuna kuongeleshana.

Mwendo wa ile gari ulikuwa kasi sana na kazi yangu ilikuwa ni kusoma vibao tu, Morogoro, Mikumi, Kitonga, Ilula, Mafinga, makambako, …..mpaka tunaingia mbeya ilikuwa ni saa sita usiku.
“Dogo shuka umefika”, alinibwaga pale kisha akatimua vumbi.
Sikujua pa kwenda mimi usiku ule, nilisikia makelele kwa mbali kama vile watu wanashangilia nikaamua kwenda huko,
Nilipofika karibu nikakuta watu wamejazana kwenye ukumbi wanaangalia mchezo wa ngumi ambapo saa tisa usiku alitakiwa apande TYSON na EVANDA.
Nililipa kiingilio namimi nikakaa pale nikaanza kusikilizia mchezo kwa kuwa nilikuwa mpenzi wa ndondi nilijikuta nikifurahia na kusahau machungu yote.
Mpaka saa kumi na moja pambano lilikuwa limeisha na kila mtu alikuwa akienda kwake.
Ni kama kulikuwa kumekucha na pale stendi walijazana wasafiri kibao.
Nilizuga mpaka pakapambazuka vizuri kisha nikaanza kuulizia kwa Yule afisa wa polisi.
*Naomba nisilitaje jina lake hapa kwasababu mpaka saivi ni askari tena wa cheo kikubwa mno hivyo nitatumia jina la AfANDE MNDEME.*
Nilianza kuulizia watu kwa afande mndeme kisha mama mmoja akaniuliza “Huyu RPC Mpya wa Mbeya”
“Ndio mama”
“Nenda pale makao makuu ya Polisi mkoa”
“Sipajui mama”
“ panda hais hapo wambie wakushushe polisi, panda hiyo hapo”
…………………………….
“Shkamoo afande,”
“Marhabaaa una shida gani”
“Namuulizia afande mndeme”
“Bado hajaja ofisini na leo hatakuja”
“Wewe nani wake”
“Yeye ni Kaka yake Mama”
“Kwahiyo ni mjomba wako”
“Ndio” (nilidanganya)
“Mwita Muonyeshe kwa Afande Mndeme”
Nilipelekwa kisha nikaonyeshwa Nyumba. Nilielekea kwenye ile nyumba huku nikijipanga cha kusema.
Nilipofika nilipishana na gari getini ambayo ilisimama, ikashushwa kioo kisha sura ya mtu kama askari ikajitokeza dirishani.

“Wewe ni nani na unaenda wapi”
“Naitwa …….. namtafuta Afande Mndeme”
“Unamjua ?”
“Hapana ila nimeelekezwa kwake”
“Umeelekezwa na nani”
“Na afande Buretha”
“ahaaa kwasasa sina muda ila ingia hapo nyumbani jitambulishe unisubiri hapo”
Aliondoa gari kisha nikaingia ndani na kusalimia watu niliowakuta humo lakini cha ajabu hakuna hata aliye niambia kaa ama leta begi tukupokee.
Nilichukua jukumu la kukaa mwenyewe kwenye makochi hadi alipokuja dada mmoja ambaye nilijua kuwa ni mfanyakazi wa ndani na kuchukua kibegi changu akanitengea chai nikanywa.
Baadae nilimuona ameshika fagio anaenda kufagia nje, nilichukua lile fagio nikamwambia aendelee na kazi zingine.
Nilifagia uwanja, nikaona nyasi ni ndefu pale uwanjani nikachukua slesha nikaanza kufyeka zile nyasi hadi Yule mama na watoto wake wakaanza kushangaa huyu ni mgeni wa aina gani anakuja na kuanza kufanya kazi.
Sikuishia hapo, nilipalilia maua nikayaweka vizuri, yale yaliyokuwa yamefifia niling’oa nikachuma mengine nikapanda.
Mpaka inafika saa nane nyumba ilikuwa inavutia kama mpya, nilimuona mtoto wa kike mmoja akinifwata fwata na maswali mengi huku akinirembulia…..

Sijui kilitokea nini lakini taarifa zilionyesha kuwa AFANDE MNDEME hatimaye aliteuliwa kuwa RPC wa mkoa wa Mbeya.
Hii kwangu haikuwa nzuri kwani ilimtoa kwenye mamlaka ya KIPOLISI Taifa na kuhamia kwenye mamlaka kimkoa hivyo ingekuwa ngumu kuwa na maamuzi kwenye swala la kunitafutia nafasi ya mafunzo ya uaskari.
Ikumbukwe kuwa ni Moshi Kilimanjaro pekee ambapo ndio kuna chuo cha mafunzo ya upolisi CCP na sio sehemu nyingine, kabla ya uteuzi wa RPC Mkoa wa Mbeya Afisa Mndeme alikuwa ndie mkurugenzi wa Mafunzo ya Upolisi kitaifa na hivyo alikuwa na mamlaka kamili ya kunipatia nafasi.
………………………
Tabia ya mtu ni kama Ngozi, kamwe huwezi kuibadili. Maisha niliyoishi pale kwa RPC yalikuwa ya kupigiwa mfano, nilikuwa mtiifu na mfanya kazi bora.
Katika ile nyumba ya RPC kulikuwa na familia kubwa sana, alikuwa na Mke na watoto sita huku watano wakiwa wa kike na mmoja wa kiume. Watoto wake wote walikuwa nyumbani kwa wakati huu ambapo wawili walikuwa wako chuo kikuu na mmoja alikuwa sekondari.
Wale wengine watatu walikuwa bado wanasoma shule ya msingi ambapo mmoja wa kiume ndie alikuwa wa mwisho.
Watoto wawili wakubwa wakike ndio walikuwa mara kwa mara wanasaidiana na dada wa nyumbani baadhi ya kazi.
Ujio wangu ulikuwa kama mkombozi kwao kwani nilikuwa nafanya kazi ambazo walitakiwa wafanye wao.
Ukweli ni kwamba tabia yangu ni kufanya kazi bila kuchagua na bila kutumwa, mara nyingi mimi ni mtu wa kujitolea lakini hapa kwa RPC nilikuwa nafanya kazi kwa sifa, nilikuwa na lengo langu, kwanza nilitaka nipendwe ili niishi pale ndani kwa amani lakini pia kupendwa kungenifanya nisaidiwe shida yangu.
Nilikuwa naamka alfajiri saa kumi namoja na kuanza kudeki nyumba, nikimaliza kudeki naosha vyombo nikimaliza kuosha vyombo navifuta na kupanga kabatini.
Nikimaliza kupanga kabatini nje kunakuwa kumepambazuka hivyo naenda kufagia uwanja, namwagilia maua na kuhakikisha kuwa mazingira yanakaa safi.
Ndani ya siku kadhaa ambazo nilikaa hapa kwa RPC nyumba ilibadilika sana japo sikuwahi kuishi hapo kabla sijaja lakini niliwasikia wakisimuliana.
Japo RPC mpaka wakati huu sikumuona tangu tulivyopishana pale getini siku nakuja lakini sikujisikia vibaya kwani nilikuwa napendwa sana pale nyumbani.
Siku moja nikiwa nimemaliza kazi zangu za usafi nilimuona mke wa RPC ambaye kwa wakati huu nilikuwa namuita mama akiwa anatoka na furushi la nguo za kufua, zilikuwa ni nguo zake za mume wake pamoja na za wale watoto wadogo watatu.
Aliwaita watoto wake wale waliokuwa wanasoma chuo kikuu lakini wote hawakujitokeza, hapa ndipo nilipoamua kutumia fursa nyingine. Mama alivyoingia ndani tu nilichukua dishi nikajaza maji nikatia sabuni ya unga na kuanza kufua zile nguo nikianza na zile za watoto.
Alishangaa sana alivyojitokeza na kunikuta nafua, nilimuona akiwa amepigwa na butwaa lakini mwisho nikaona tabasamu likichanua usoni mwake.
Alinisogelea pale nilipokuwa nimeinama akanishika mgongoni akasema
“Asante mwanangu lakini hutakiwi kujitesa hivi, ungepumzika tu hizi ningezifua”
“Usijali Mama mimi najisikia tu kukusaidia”
“Jamani asante sana basi ngoja namimi nikae tuungane.”
“Ungeacha tu mama mimi hizi si kitu kwangu”
“Hapana ngoja tusaidiane”
Basi Yule mama alikaa na kuchukua dishi lingine kisha akaanza kufua nguo zake mwenyewe, tulifua huku tukipiga story mbalimbali ambazzo nyingi alikuwa akiniuliza kuhusu historia ya maisha yangu.
Sikumficha kitu nilimsimulia kila kitu kuhusu mimi na alisikitika sana ila akanisifu kwa kuwa mpambanaji na mvumilivu.
“Usijali Sam Hizi ni changamoto tu za maisha, Mume wangu ana roho ya utu sana atakusaidia tu”
“Nitafurahi sana akinisaidia”
Wakati tunaendelea kufua walikuja wale watoto wakubwa wa kike wa RPC wakachukua ndoo wakawa wamekalia pale tunapofua.
Nao walikuja na nguo zao chache wakaanza kuungana na sisi kwenye kufua, wakati huu tulikuwa tumeshafika katikati ya kazi ya kufua ambapo Yule mama aliamua kusuuza nguo na kuanika huku akiniacha mimi nikiendelea kufua.
Mtoto wa RPC aliyekuwa anaitwa Verity alikaa pale alipokuwa amekaa mama yake na kuanza kufua akiwa amekaa pale.
Katika kitu ambacho kilinishangaza ni kwamba wakati anafua macho yote yalikuwa kwangu kitendo kilichonifanya nifue kwa aibu.
Kitu kingine ambacho kilinishtua ni kwamba alianza kukaa kwa kuachia mapaja yake wazi. Hali hii ilinipa shida sana kwani ukweli Yule mtoto alikuwa mzuri na alikuwa na mapaja mazuri mno, yalikuwa meupe na manene, kwakuwa alikuwa amevaa kanga na chupi pekee ile kanga ilifunuka na kubakisha chupi nyeupe ikiwa iko wazi kabisa.
Yule mwenzie alimuita kwa lengo ambalo nilijua ni kumtaka akae vizuri japo waliambiana kwa ishara lakini sikuona mabadiliko yeyote kwani alicheka tu na hakurudishia kanga yake vizuri.
Mateso ndani ya mwili wangu yalianza kwani sehemu zangu zilianza kusisimka na kujikuta nikihisi mazingira ya kuaibika.
Aliyeninusuru kwenye ile dhahama ni mama mwenye nyumba kwani alipokuja tu Yule dada Verity alifunika mapaja yake haraka hivyo kuziruhusu sehemu za mwili wangu kurudi kwenye hali yake.
Katika mambo ambayo nilijiapia ni kwamba kama nitakaa kwenye nyumba ya mtu kwa lengo la kusaidiwa nitajizuia kwa nguvu zangu zote kutoshiriki mapenzi na mtoto wa ndani ya nyumba nitakayokuwa ninaishi.
Dada Verity nilikuwa namlaani sana kwani alikuwa anahatarisha nadhiri yangu lakini nilimuomba Mungu aniisaidie.
Zoezi la kufua lilisha vyema kisha tukaingia ndani kwa ajili ya chai, katika hali ambayo sikuittegemea siku ile Dada Verity aliniandalia chai na kuniwekea mezani kisha akaninawisha mikono na kunikaribisha.
“Karibu Sam”
“Asante dada Verity”
Alinipiga kijikofi mgongoni kisha akaokota kipande cha nyama kwenye sahani yangu akaking’ata kisha akarudishia pale na kuniambia “Anza na hicho”
Sikujua kuwa kumbe Yule dada mwingine alikuwa yopo anaangalia mchezo mzima, kilichonishtua ni sauti yake akisema “Makubwaaaa”
“Acha umbea wewe” alisema Verity.
Japo nilikuwa sijawahi kushiriki mchezo wa Mapenzi lakini nilikuwa nimeshaelewa kila kitu kuhusu dhamira ya Verity kwangu, sikuwa na amani kabisa na ilibidi nibadilishe ratiba yangu ya kila siku.
Nilikuwa naamka mapema sana na kufanya kazi zote kisha najifungia chumbani kwangu.
………………………………..
Siku moja RPC aliniita sebuleni kwa mazungumzo ikiwa ni siku moja baada ya kurejea kwake.
“Skamoo Baba”
“Marhabaa hujambo?”
“Sijambo, pole na safari”
“Asante, Mama ameniambia kuwa una nidhamu sana alafu ni mchapa kazi, hongera kwa hilo”
“Asante Baba ila ndivyo nilivyo”
“Sawa ni vizuri”
“Sasa nilitaka tu urudi kwanza kwenu kwasababu msimu wa usajili umeshapita na tayari watu wako chuoni mpaka tena mwakani ila mama amesisitiza sana ubaki na sisi.”
“Sawa baba”
“Au wewe ulikuwa na maoni gani”
“Hakuna shida baba kwasababu nina shida itabidi nivumilie”
“Sawa kikubwa nasisitiza tabia njema uwapo ndani ya nyumba hii hayo mengine sio ishu”
“Sawa baba”
“Chukua hii ya matumizi madogo madogo”
“Asante baba”
RPC alinipa shilingi elfu hamsini taslimu, kilikuwa ni kiasi cha fedha ambacho sikuwahi kukimiliki.
Nilifurahi sana, nilipomalizana nae niliingia chumbani kama kawaida nikajichimbia kumuepuka dada Verity na vishawishi vyake
Kule chumbani nilikuwa nawaza sana. Kilichokuwa kinanipa mawazo ni taarifa za kukaa pale tena mwaka mzima nikisubiria kuunganishwa mwakani kwenye mafunzo. Nilikuwa naumia sana lakini sikuwa na namna, nilikuwa muhitaji hivyo ilibidi niwe mvumilivu.
…………………………………….
Nilikuwa nasikia kwa Mbali sauti ya Dada Verity akiulizia huko nje kuwa niko wapi?
“Hivi huyu Sam mbona siku hizi anapenda sana kujifungia”
“Kwani wewe unamtakia nini”
“Namuulizia tu nimemis”
“Huko huko na kumis kwako, mmuache mtoto wa watu huyo ni kama kaka yako”
“Hehehheeeee Mama Bwana kwani hafai kuwa mkweo yule”
“Verity…Verity naomba umuache mtoto wa watu, nakuon atu unavyomfwatafwata”
“Tulia basi mama”
Kusema ukweli dada Verity nilikuwa namuona kikwazo kwangu, sikupenda hata kidogo tabia yake na mbaya zaidi alikuwa haoni aibu hata mbele ta mama.
…………………
Nikiwa nimejilaza kitandani nilihisi kuna ktu chumbani, niligeuka haraka na kukutana uso kwa uso na sura yam dada mrembo akiwa aamevaa gauni la kulalia huku ndani akiwa hana nguo nyingine.
Mapigo ya moyo yalinienda mbio kwani Yule dada nilikuwa namheshimu sana, nilishtuka na kusimama,
“haaa dada………”
“shiiiiiiii usipige kelele…

Nilishtuka sana kwani Dada huyu nilikuwa namheshimu kuliko hata Verity na katu sikutarajia kuwa anaweza akawa na tabia hizi.

“Nisikilize Sam, naomba unisikilize kwa makini”
Aliongea huyu dada ambaye anaitwa Rafiki huku amekaa kabisa jirani yangu na amenishikilia begani kwa staili ya kunikumbatia.
“Mimi naogopa dada, tukikutwa humu watatuelewa vibaya ni bora tu uende alafu tutaongea kesho hayo unayoyasema”
“Hebu jiamini wewe ni mwanamume usiwe kama mtoto mdogo sawa?”
“Hapana dada, nikikamatwa humu atakayepata matatizo ni mimi, naomba tu uende”
“Sawa nisikilize kwanza”
“Basi haraka haraka uende”
“Mwenzio mimi nimekupenda, nimekupenda sana, nikiangalia hiyo misuli yako na jinsi ulivyo navutiwa sana na wewe”

Wakati anaongea haya yote alikuwa ananipapasa kwenye mikono huku akiwa kama anaichua misuli yangu, kusema ukweli nilikuwa naogopa sana na akili yangu yote haikuwa pale.

“Unavutiwa na mimi kivipi dada yangu”

“Nakupenda na natamani siku moja uwe mme wangu, tuzae watoto na tuishi nyumba moja na kulala kitanda kimoja”

“Dada naomba uniache tu kwakweli kwasababu mimi nitapata tabu”
“Nisikilize kwa makini, naomba uwe makini na Verity, Verity akili zake sio kabisa hawezi kufanya mambo kwa siri, atakufanya uonekane sio mtu sahihi kukaa hapa nyumbani, nataka uwe na mimi kwa siri mpaka ukipata kile kilichokuleta hapa ndio tutaweka kila kitu wazi”

“Nielewe Sam, mimi nitakuwa mstari wa Mbele kuhakikisha kuwa mwaka huu huu unaenda kozi ya uaskari, alafu mimi pia namaliza chuo mwaka huu tutakuwa kwenye nafasi nzuri ya kuwa pamoja”

“Lakini dada mimi nakuheshimu sana”
“Hata mimi nakuheshimu, ndio maana nakupenda, nakupenda jinsi ulivyo, wewe ni mkarimu, mpole lakini mchangamfu, mchapa kazi alafu wewe ni mzuri”
“Niamini Sam, usifikiri mimi ni malaya, mimi bado Bikra na simjui mwanamme yeyote, nielewe basi”

Kusema ukweli maneno ya Rafiki yaliniingia sana kiasi kwamba nilianza kumuelewa hasa pale aliposema kuwa atahakikisha naenda kozi mwaka huu huu.
Nikiwa Napata kigugumizi cha kujibu nilisikia mlango ukigongwa, uligongwa kwa muda mrefu lakini sikufungua, akili yangu yote iliniambia kuwa Yule anayegonga mlango ni Verity na kweli nilimsikia akiongea huko nje.
“Hivi huyu Rafiki kaenda wapi sebulen hayupo , chumbani hayupo na hata bafuni hayupo isije ikawa tunaingiliana hapa, ohoooo patachimbika”

Wakati wote huu tulikuwa kimya tukimsikiliza.
“ Si unaisikia akili yake ilivyo eeh, sasa wewe mfungulie mimi najificha”

Nilimuona Rafiki akiingia kwenye kabati la nguo na mimi nikamfungia kwa nje kisha nikafungua mlango. Nilikutana uso kwa uso na Verity akiwa amefunga kanga kukatisha kifuani huku ikionekana hajavaa nguo nyingine ndani kwani alivyopita na kuelekea kukaa kitandani makalio yake yalionyesha hayakuwa na vazi jingine zaidi ya khanga.

Kusema ule ukweli Verity alikuwa mzuri wa umbo na alikuwa anavutia sana, Rafiki alimzidi Verity kwa uzuri wa sura lakini sio Umbo.
Verity alikuwa na umbo flani namba nane huku Rafiki akiwa mrefu mwembamba kiasi lakini mwenye sura nzuri.

Pamoja na yote lakini maneno ya Rafiki yalikuwa yameniingia kiasi kwamba nilianza kumuamini na Verity nikaona ananisumbua tu. 
Japo nilikuwa sijaridhika kuwa kimapenzi na Rafiki lakini nilikuwa kidogo nimevutiwa na kauli zake pamoja na ustaarabu alioutumia.
Katika hali ambayo sikuitarajia Verity alipanda kitandani na kujilaza huku akiwa amepanua miguu yake kiasi cha kuacha sehemu kubwa ya mapaja yake kuwa wazi.
Hali ilikuwa ngumu sana kwangu kwani hata mimi ni mwanaume kamili, kitendo cha kumuona Verity vile kilinichanganya mno.
Sehemu zangu za chini zilianza kutuna kwa kasi n akunifanya nianze kuhema juu juu, nikiwa sina hili wala lile Verity alisimama na kunisogelea pale nilipokuwa kisha akanikumbatia.
Kitendo cha kifua change kuchomwa na chuchu zake kilinifanya akili yangu ivurugike kabisa, nilikuwa nimeshalegea kwa kila kitu, kilichoniua kabisa Verity alisogeza Kanga yake pembeni na kuacha sehemu ya mbele kuwa wazi huku akiwa amenikumbatia vile vile.

Alipogundua kuwa tango langu lilikuwa limetuna na lilikuwa likimgusa nilimuona akirembua na kutoa pumzi za puani kisha mkono wake ukashuka mpaka kwenye tango na kuanza kulichua.

Kimawazo nilikuwa niko mbali sana na nilikuwa tayari kushiriki tendo la ngono na Verity ambaye tayari alikuwa amenisukumiza kitandani na kunilalia kwa juu huku akilitoa tango langu nje.
“Hujafunga mlango Verity”
“Aaah achana nao”
“Niachane nao Mama akija je”
“We achana nao bwana”
Aliposema hivyo tu nikaanza kuyakumbuka maneno ya Rafiki kuwa akili ya Verity anaijua yeye mwenyewe, na hapo ndipo akili iliponijia kuwa Rafiki bado yuko pale chumbani, hapo hapo hisia zote zilikatika.

Taratibu nikaanza kumtoa Verity juu yangu na kumsogeza pembeni lakini hakukubali hadi nilipomdanganya kuwa naenda kufunga Mlango.

Nilivyoamka na kuelekea mlangoni nilinyoosha moja kwa moja mpaka nje kabisa ya nyumba nikakaa uani.

Nilikaa kwa takribani dakika kumi kisha nikamuona Verity akija huku analia…. “WEWE SAM NDIO WA KUNIDHALILISHA MIMI, NAKWAMBIA UTAJUTA”
Alivyosema nitajuta niliogopa nikajua atanitengenezea makosa mimi niondolewe pale.
Akili ilinijia haraka haraka nikamfwata kisha nikamshikilia kiunoni…”Usijali Verity, tafuta sehemu nje ya hapa nyumbani mimi hapa naogopa mbona hata mimi nakupenda”
“Kweli sam? Basi naomba nikiss”
Ukweli nilikuwa sijawahi kukiss mwanamke lakini mdomo wa Verity ulivyonijia nilijua cha kuufanya na haya yote ni ili kumridhisha tu.
Tukiwa tunakiss Verity alichukua mkono wangu akauingiza chini kwake huku akikisokomeza kidole change ndani ya ikulu yake,
“Usikitoe Sam, usikitoe mpaka nikojoe ….”
Aliendelea kukikandamiza mpaka ndani kabisa hadi nikamuona analegea kabisa na mwisho akawa amenilalia tu begani.

Hali ile ilinishangaza sana kwani nilikuwa sijawahi kuiona, nilikuwa nimepigwa na butwaa huku mimi mwenyewe nikiwa niko Vibaya.
Nilimtoa Verity begani kwangu kisha nikaingia ndani ambapo sikumuona tena Rafiki nikajua ameenda chumbani kwake.

Nilienda kuoga kisha nikarudi kulala lakini ukweli nilikuwa naona mapicha picha tu, sikuoata usingizi.
Usiku wa manane niliona kitasa cha mlango kikinyongwa na kumbe sikuufunga kisha sura ya Rafiki ikajitokeza na hatimaye mwili wake wote ukawa uko ndani ya chumba change.

Nilishangaa sana lakini sikuwa na cha kusema, alisogea mpaka kitandani kisha akafunua shuka nililojifunika nae akalala.

“Najua Verity amekusumbua hisia zako lakini hajazishusha, nimekuja kukukata kiu, nataka namimi unitoe Bikira yangu usiku huu”

Nilikuwa muoga kupitiliza lakini tayri roho ya kumpenda rafiki ilishaingia ndani yangu, alifunua shuka na kutumbukia ndani kisha akanikumbatia.
“Najua unanipenda pia Sam ila unaogopa, usiniogope hata kidogo”
“Wala sikuogopi ila naogopa hiki kinachoendelea kwasasa”
“Kinachokutisha ninini sasa,”
“We hujui tu lakini kama yakitokea matatizo mimi ndio nitaathirika na mbaya zaidi bora wewe na Verity mngekuwa kitu kimoja lakini wote mmenipenda sasa mtakuwa maadui na atakayenikosa anaweza akaniharibia”
“Nakuahidi sam, nitakulinda kwa kila kitu, wewe ndie mume wangu mtarajiwa lazima nkulinde, nitajitahidi sana kila kitu kiwe siri kati yangu mimi na wewe, Verity akikusumbua mridhishe hata kwa maneno ila asijue kuwa mimi na wewe tuna uhusiano”
Rafiki aliamka akaenda kuhakikisha kama mlango umefungwa vizuri kisha akavua gauni lake la kulalia huku taa ikiwa inawaka.
Kitendo cha kubakia na nguo ya ndani pekee kiliyafanya mapigo yangu ya Moyo kwenda kasi sana, alikuwa mweupe peee japo usoni alikuwa anaonekana maji ya kunde ila mwili wake ulikuwa mweupeee, tofauti na wadada wa siku hizi ambao ni weupe usoni alafu mwili mweusi.
Alikuwa ana tumbo dogo lenye kitovu kilichoingia ndani kidogo, kiuani kulikuwa kuna maziwa yaliyotuna na kutengeneza umbo la duara huku yakiwa yamesimama na kutulia kifuani.
Alikuwa ana vinyweleo vildogo vilivyolala sambamba na kupamba mwili wake vilivyo, alianza kunisogelea pale kitandani kwa mwendo wa aibu kisha akaingia kitandani kwa kulifunua shuka na kudumbukia.
Aliliondoa shuka lote kisha akaifwata bukta yangu na kuitoa, ndani nilibaki mtupu kabisa, nilimuona akishtuka baada ya kushika tango langu na kusema eti ni kubwa sana.
“Mhh Sam mbona unantisha, huu mzigo nitauweza kweli?”
“Kwani una nini”
“Mwenzangu mkubwa sana hadi naogopa”
“Basi tuache tu dada”
Nilivyomwambia hivyo ghafla alinuna na kuinama kisha akaingiza tango langu mdomoni na kuanza kulinyonya.
Raha niliyoisikia sijawahi kuhadithiwa na kuelezea pia siwezi, aliendelea kulichua na lipsi za midomo yake na haikupita hata dakika moja nilisikia vitu vikitoka kwa kazi ya risasi na kutua mdomoni kwa Rafiki.
Nilikuwa nimemkojolea mdomoni na sikumuona akitema, ila tu alicheka na kuniuliza?
“Umewahi kufanya mapenzi?”
“Toka nizaliwe sijawahi”
“Basi ndio maana”
Pamoja na kutema zile risasi lakini tango langu lilikuwa bado limesimama imara kitendo kilichomfanya Rafiki aendelee na kazi yake.
Taratibu nilianza kukumbuka mambo ambayo niliwahi kuona kwenye video za kwenye simu, nilianza kumshika shika Rafiki kiunoni huku nikikipapasa kwa kukizungushia viganja, sikuishia hapo nikapanda mpaka kifuani na kuanza kucheza nacho, nilikipapasa kwa ustadi wa hali ya juu hadi nikamuona Rafiki akifumba macho.
Niliendelea na zoezi langu huku nikiyabugia maziwa ya Rafiki mdomoni mwangu, kwakuwa ilikuwa mara yangu ya kwanza nilijitahidi kutokukosea na kuonekana mshamba hivyo kila kitu nilikifanya kwa umakini sana
Nilinyonya maziwa ya Rafiki na kuhamia mdomoni bila kujali kuwa mda sio mrefu risasi zangu zilitua humo, nilimuona Rafiki akilegea na kukaa kitandani nikamfwata hapo na kumlaza.
Nilipitisha mikono yangu katikati ya mapaja yake hadi nikafika kule kulikoficwa na kuanza kupachezea, kila nilipokuwa nataka kuingiza kidole kama nilivyofanya kwa Verity, Rafiki alikuwa ananizuia na kukipandisha kwa juu kidogo
“Nisugue kwa hapa”
Nilifanya kama alivyoniambia hadi nikamuona Rafiki akiweweseka kama ana mashetani nikaogopa nikaacha lakini aling’ang’ania kidole kiendelee kucheza pale, niliona majimaji yakiongezeka kutoka kwenye mgodi wa Rafiki kisha ikafwata kelele ya Rafiki akisema anakojoa.
Kwakweli nilidhani anamaanisha anakojoa mkojo nikaogopa kukojolewa kitandani kwangu, kumbe alimaanisha anafika kileleni.
Nilimuona katulia kitandani nikamtingisha kidogo kisha akaniangalia na kufumba macho tena, nilimpanua miguu yake nikalishika tango langu na kulielekeza pale palipokuwa panatoa majimaji.
Nilianza kuliingiza taratibu huku likipata kizuizi nikakumbuka kuwa aliniambia yeye ni Bikra. Nilivyokumbuka hivyo nikaacha kuingiza nikawa nasugua tu juujuu, nilimuona akinyanyua kiuno kama anahitaji niingize ndani lakini sikufanya hivyo.
Alinishika kiunoni na kunisukumizia kwake akimaanisha anataka niingize lakini bado niliendelea kusugua juu juu, akiwa amejisahau kidogo nilizamisha tango langu kwa nguvu nikasikia kama kuna vitu vinakatika kisha akaachia ukulele ambao sikuuruhusu
nikamshika mdomo na kuuziba.
Nilianza kukinyonga kiuno huku akinisukuma nitoke lakini nilimzidi nguvu, nilinyonga kiuno nikikatika sawasawa hadi tango langu likawa liko lote ndani.
Damu zilikuwa zimetapakaa pale kitandani lakini sikujali, utamu ulikuwa umenizidi uwezo, nilifanya tendo lile kwa dakika zisizopungua kumi na tano hatimaye nikafikia mshindo.
Rafiki alitaka kuamka lakini aliyumba na kudondoka nikamdaka na kumlaza kitandani…
“Sam umeniua”
“Nimekuuaje”
“Miguu haina nguvu kabisa alafu nasikia maumivu makali”
“Pole, pumzika kwanza”
Rafiki alinisikiliza akalala na mimi nikkalala kisha tukapitiwa na usingizi mzito. Nilikuja kushtuka kukiwa kumepambazuka kabisa, nilimtikisa Rafiki aamke lakini alikuwa anakoroma tu, nilimtikisa tena na tena hadi akashtuka ila aliposhtuka tu na mlango wa chumbani kwangu ukagongwa.
Nilijua tu anayegonga ni Verity, akili yangu ikawa imevurugika kabisa maana verity namjua jinsi anavyolazimisha mambo, niliogopa itakuwaje akiingia pale ndani wakati mazingira yalikuwa yamekaa hovyo.
Nilimuangalia Rafiki ambaye alikuwa anajizoa pale kitandani akachukua yale mashuka yenye damu na kuyatumbukiza chini ya kitanda.
Yeye mwenyewe huku akiwa anachechemea alielekea kabatini na kujificha humo, nilivyoona vile nikafungua mlango nikakutana na sura ya Mama mwenye hii nyumba.
Vipi Baba, umeamka salama”
“ndio mama shkamoo”
“Marhaba, leo umechelewa kuamka nimepatwa na wasiwasi”
“Hapana mama niko salama tu”
“Mbona una damu hapo Tumboni”
Nilishtuka nilipojiangalia na kukuta damu zikiwa zimegandia nikawa natafuta cha kujibu nikakosa nikabaki nababaika tu.
Mkono wa Mama ulikuwa umeshika tumbo langu akijaribu kusugua zile damu kwa vidole vyake, niliona aibu kwa mama kunifanyia vile lakini ghafla alitokea Verity.
“Haaaa mama unamfanyaje mpenzi wangu?”
“We shenzi nini, maswali gani ya kuniuliza hayo, alaf mpenz wako hapa ni nani?”
Mama alisema hivyo huku akiondoka zake kisha Verity akanishika na kuniingiza chumbani kwangu.
“Njua umelala na Rafiki usiku huu sasa ili niifiche hii siri nataka ulale na mimi saivi, yani jana unantia vidole tu alafu Rafiki unalala nae usiku kucha”
Katika hali ambayo sikuitarajia nilimuona Verity akivua nguo zote na kuzitupa chuni kisha akenda kufunga mlango
Nikiwa nawaza cha kufanya nilishtuka bukta yangu ikivuliwa na kubaki kama nilivyozaliwa….


Iikuwa ni patashika nguo kuchanika kati ya Moyo wangu na Mwili wangu…Roho haikuwa radhi lakini mwili ulikuwa ni dhaifu.
Matendo aliyokuwa ananifanyia Verity yalikuwa yananimaliza nguvu kabisa, kikubwa kilichokuwa kinanitesa ni kwamba nilikuwa nampenda Rafiki na sio Verity.
Kingine ni kwamba pale chumbani nilipo na Verity pia alikuwepo Rafiki amejificha kabatini hivyo kitendo cha mimi kufanya mapenzi na Verity kungemfanya asikie na ajue kila kitu alafu sijui kitatokea nini.
Wakati nawaza haya yote Verity alikuwa ameshikilia Tango langu analinyonya huku analichua kwa mikono yake akisindikiza na miguno ya kimahaba.
Kusema ukweli hali yangu ilikuwa mbaya sana kwani Verity alikua ni mwanamke aliyeumbika na kuwa na mwili wa hamasa sana kimapenzi.
Wakati najipanga namna ya kuachana nae nilishtukia nikiwa nimedondooshwa kitandani na kama umeme kwa kasi Verity alikuwa amenikalia kwa juu anakata mauno juu ya Mtarimbo wangu.
Hapa nilishindwa kabis kujitoa kwani starehe niliyokutana nayo ilikuwa haipimiki, mtarimbo wangu ulikuwa uko mgodini ukikutana na vinyama vilaini na vya moto vilivyozunguka mgodi huu wa Verity.
Verity alikuwa mtaalam sana wa kukata mauno kwani nilisikia Mtarimbo wangu ukielekezwa pande zote kwa kasi ya ajabu, mara juu, chini, kushoto, kulia …. Ukweli nilisikia utamu mpaka nywele zikawa zimesimama.
Katika vitu ambavyo nilijitahidi ni kutotoa miguno na kumziba Verity mdomo asipige makelele. Ukweli ni kwamba nilikuwa nafanya kosa la usaliti kwani na mimi wakati huu nilikuwa nakata kiuno change kwa kupeleka mashambulizi ya juu kwa juu kitendo kilichomfanya verity abane miguu yake na kujikuta nikishukiwa na majimaji ya Moto kutoka kwenye mgodi wa Verity kisha akajilaza Kifuani kwangu akanipa nafasi na mimi nikajihudumia hadi nikamaliza.
Taratibu Verity aliamka na kunibusu mdomoni kisha akafungua mlango na kutokomea zake….
“Sam umefanya mapenzi na Verity?”
“Sijafanya nae nimemkatalia”
“Uongo kwani unafikiri sijawaona”
“Sijafanya nae, kanilaza kitandani akanilalia lakini sikuingiza Mb..o yangu akawa anajikatikia kivyake”
“Hebu nione nanii yako”
“Naona aibu Verity, niamini tu kuwa sijafanya nae ”
“Nakuomba kama kweli hujafanya nae, usimkaribishe tena chumbani kwako na usipende kukaa hapa chumbani na kila ukiwa hapa hakikisha unafunga kwa ndani na akigonga mlango usimfungulie”
“Usijali nitafanya hivyo”
………………………………..
Nilikuwa nafanya kazi zangu kama kawaida huku nikiwaza jinsi ambavyo nimefanya ngono na ndugu hawa wawili.
Kuna nafsi ilikuwa inaniambia mimi ni kidume cha Mbegu lakini nyingine ilikuwa inanisuta kuwa nilichofanya si kitendo cha kiungwana.
Hata hivyo nilijipa Moyo kuwa hayo yote sikuyataka bali walitaka wenyewe na sikuwa na jinsi ya kujizuia. Moyoni mwangu nilikuwa na mpenda sana Rafiki kwani alionekana ni mstaaarabu na mwenye busara, lakini ukweli penzi la Verity lilikuwa tamu kuliko la Rafiki na hata pale nilipo nilikuwa natamani Verity aje tufanye tena.”Ee Mungu nisaidie mimi” niliishia kujisemea hivyo maana nilishaona hali ya hatari ikininyemelea.
………………………………….
Ilikuwa ni siku ya Jumamosi katika viwanja vya Sokoine kulikuwa na Bonanza la kumkaribisha RPC mpya hivyo sherehe kubwa ilikuwa imeandaliwa toka asubuhi.
Timu ya Jeshi la Polisi ilikuwa na Mechi jioni ikiwa inamenyana na Timu ya Mpira wa Miguu ya Jeshi la wananchi.
Zawadi kedekede zilikuwa zimeandaliwa kwa timu washindi huku wazamini mbalimbali wakiwa wametoa hela zao kwa ajili ya mashindano haya.
Ilipofika mida ya saa kumi kamili jioni watu walikuwa wamejazana kwenye Viwanja vya Sokoine hapa jijini Mbeya kwa ajili ya kushuhudia mtanange huu mkali.
Mimi pamoja na familia nzima hii ya RPC tulikuwa hapa uwanjani pia kwani kimsingi sherehe hii ilimhusu RPC ambaye ndiye alikuwa akikaribishwa.
RPC, Mke wake pamoja na watoto wake wote walikuwa wamekaa meza kuu wakiangalia mpambano huu lakini mii sikupenda kukaa pale, nilikuwa kwenye benchi la hii timu ya jeshi la polisi tukipiga story mbalimbali na kupeana ushauri kuhusu timu ya Jeshi la Polisi kwani niliona ndiyo inayonihusu.
Mpira ulikuwa umeanza na watu walikuwa wanashangilia kweli kweli, timu ya JWTZ ilionekana iko imara sana kwani mpaka inatimu dakika ya 15 tayari walikuwa wameshapeleka mashambulizi mazito sana kwenye lango la timu ya Polisi na dalili zilionyesha Timu ya Polisi itafungwa.
Dakika ya 30 tayari mchezaji machachari ambaye kwasasa anachhezea klabu ya Simba alikuwa ameachia shuti kali lililomshinda golkipa na kuelekea langoni ambapo beki wa Timu ya jeshi la polisi aliamua kuudaka kwa mikono.
Kwa sharia za soka ilibidi Yule beki alimwe kadi nyekundu na penati ikawekwa.
Watu wote uwanjani walitulia kimya wakisikilizia penati ile……
Goooooooooooooo!

Timu ya Polisi ilikuwa imefungwa goli moja baada ya mpiga penati kuachia shuti kali lililompiga kipa kicwanii na kurudi uwanjani na kukutana tena na mpigaji wa penati aliyemalizia kwa shuti dogo lililoingia nyavuni bila wasiwasi.
Uwanja ulikuwa umelipuka kwa shangwe za Upande wa JWTZ Kwani walikuwa wanaongoza, walikuwa wakiimba nyimbo nyingi ambazo zilikuwa zinawadhihaki jeshi la Polisi kuwa wao ni wanawake zao.
Polisi walikuwa wamechuukia mno na harufu ya Vurugu ilikuwa inanukia, hasara kwa tiku ya jeshi la Polisi ni kwamba Golkipa wao alikuwa ameumia na kalala chini huku akitibiwa.
Aliamka huku akionekana kuwa mchovu lakini akalazimishwa kucheza kwani hawakuwa na golikipa mwingine.
Kipindi cha kwanza kiliisha kwa timu ya Jeshi la polisi kuwa Ieshafungwa goli Moja.
Shangwe za JWTZ zilikuwa nyingi na walikuwa wanazunguka uwanjani kwa style ya kupiga Kwata huku wakionyesha ishara ya Salute.
Polisi walikuwa wanapeana mikakati mingi ya kukomboa goli huku wakiulizana watapata wapi golikipa wa kuwasaidia.
“Mimi ni Golikipa Mzuri, niko tayari kucheza”
Niliongea kwa kujiamini lakini watu walikuwa wamenikodolea macho tu….
“Kwani wewe ni nani?”
“Mimi naitwa Sam, naishi hapo kwa RPC”
“Wewe ndie ulikuja siku ile ukiw aunaulizia RPC anakaa wapi?”
“Ndio, ni mimi”
….achaneni nae bwana hatuwezi kuchezesha mtu ambaye hatumjui, hata hivyo mchezaji anatakiwa awe askari….
Askari huyu alisikilizwa na hatimaye watu wakanipuuza na kipenga cha kuita wachezaji uwanjani kilipulizwa na wachezaji wakaingia huku wadau na mashabiki wakirudi kwenye mabenchi yao.
Moyoni nilikuwa naumia sana kwani niliona kabisa kuwa nina uwezo wa kuisaidia ile timu lakini hawaniamini.
Mechi ilikuwa imeanza kwa kasi huku Timu ya Polisi ikifanikiwa kurudiha goli kunako dakika ya Tatu tu ya kipindi cha pili.
Hali hii ilisababisha mchezo uwe mkali na wa kuvutia ambapo dakika ya kumi ya mchezo tayari JWTZ walikuwa wameongeza goli na ubao ukawa unasoma 2-1.
Tambo na makelele uwanjani kutoka kwa JWTZ dhidi ya Jeshi la Polisi zilikuwa nyingi sana, upande wa Jeshi la Polisi ukiwa unaongozwa na RPC walikuwa na hasira sana wakitamani goli lirudi.
Dakika ya 26 kipindi cha pili kona iliyokuwa inapigwa upande wa Jeshi la Polisi ilisababisha kuumia kwa mara ya Pili kwa Golikipa wa Polisi ambaye hakuweza tena kuendelea na hapa Polisi wakawa wameweka mikono kichwani wasijue cha kufanya.
Kwa ujasiri nilimuendea Yule Kocha nikamwambia “ nichezeshe mimi, sitakuangusha”
kocha aliniangalia kwa macho ya kidadisi huku akiwa amenikazia sana na kuonekana kunikagua juu mpaka chini kisha akamfwata Kamisaa na kumwambia
“Nabadilisha golikipa”
Kamisaa alifanya mawasiliano ambapo Golkipa Yule aliyekuwa ameumia alitolewa akawa anatibiwa nje na mimi nilikuwa ndani ya Jezi naingia uwanjani.
Kati ya watu walioshangaa mimi kuingia uwanjani ni RPC ambaye alimfwata kocha akimwambia anitoe lakini wakati anamwambia hivyo tayari nilikuwa naruka ruka kwa manjonjo golini kwangu.
Kila mtu alikuwa ananishangaa kwani wengi walikuwa hawanijui. Dakika zilikuwa zimesogea huku nikichomoa mikwaju michache midogomidogo na hatimaye dakika ya 45 ya kipindi cha pili timu ya jeshi la polisi ikarudisha goli na mchezo kuwa 2-2.
Uwanja ulikuwa umelipuka na mimi nilipata ujasiri nikawa napanda mpaka mbele kusaidia mashambulizi kitendo kilichofanya nishangiliwe kupita maelezo.
Mwembwe zangu ziliniponza dakika ya mwisho ya nyongeza kwani nikiwa nimetoka langoni nasaidia mashambulizi ilipigwa kaunta ataki ambayo ilinilazimu nikwatue mchezaji wa JWTZ katika eneo la hatari kwani alikuwa anelekea kufunga.
Nilipigwa kkadi ya Njano na penati ikawekwa, ukweli nilijisikia vibaya sana kwani nilijua lawama zote zitakuwa kwangu na kweli hata kabla ya penati kupigwa niliwasikia wachezaji wa timu yangu wakiongea kwa lawama ambapo nilisikia mmoja akisema
“Kocha nae sijui magolikipa wengine anawatolea wapi, ona sasa anatuponza”
Wakati huu uwanja mzima ulikuwa kimya wakisubiria penati ipigwa nah ii ndio ingeamua mshindi wa leo kwani muda ulikuwa umeshaisha.
Kama kawaida yangu nilikuwa niko Golini naruka ruka kwa mbwembe huku nikienda kushoto – kulia, Juu – chini alafu nawaonyeshea mashabiki ishara washangilie.
Kwa mbali nilimuona VERITY na RAFIKI wakiwa wamesimama sambamba na RPC wanaangalia penati hii.
Moyoni nilijawa na ujasiri wa ajabu huku nikiwa nimeukazia macho ule mira na akili yangu yote ikawa kwenye mpira.
“Prrrrrrrrrrrrrriiiiiiiiiii”
Kipenga kilipulizwa nikamuona mpiga penati mwenye misuli na mwili mkubwa akirudi nyuma hatua kadhaa, akili yangu yote ilikuwa mguuni, kwake, machoni kwake kujua anaangalia wapi na kwenye mpira.
Nilipomtazama machoni alipokuwa anakuja niligundua ameangalia sehemu mbili kwa wakati mmoja kisha akautazama mpira, akili yangu ilinituma kuwa sehemu ya mwisho kuangaliwa ndiyo atapigia mpira ule namimi nikawa nimejiandaa kuelekea upande ule.
Shuti kali lilipigwa nikaliendeeeeaaaaaaaaa kisha viganja vyangu viwili vikikumbatia kitu kikubwa cha duara ambacho nililala nacho chini kama nyani.
Nilikuwa nimeokoa Penati na uwanja mzima ukawa umetawaliwa na shangwe za Jeshi la Polisi.

Hakuna aliyeamini pale uwanjani kwamba penati ile haijawa goli, Refa alikimbilia eneo la golini nilipokuwa bado nimelala akiangalia mpira uko wapi.
Watazamaji uwanjani bado walikuwa hawajaamini kwamba mpira ninao kwapani, walidhani kuwa huenda umetoboa nyavu na kupitiliza.
Refarii akiwa bado hajapuliza filimbi ya kuashiria kama ni goli ama sio goli alikuja pale nilipo akainama kisha akanigusha ishara ya kunitaka ninyanyuke.
Nilinyanyuka kwa Madaha makubwa huku nikiwa nimeukumbatia mpira kwa mikono yangu miwili, kitendo hiki kiliamsha shangwe kwa watazaaji wote ambao walikuwa upande wa timu ya jeshi la polisi.
Katika hali ya furaha wachezaji wenzangu walinivamia kwa fujo huku wakinikumbatia hadi kuniangusha chini kwa furaha.
Kitendo cha kuurusha mpira mbele tu refarii alipuliza filimbi ya kumaliza mpira na kilifwata sasa ni hatua ya Penati kwani ilikuwa ni lazima mshindi apatikane na akabidhiwe zawadi kemkem na Kombe.
Manahodha wa timu zote mbili walikuwa katikati ya uwanja wakichagua goli la kuanzia nan i timu ipi ianze kupigiwa penati, shilingi ilirushwa na hatimaye timu ya JWTZ ndiyo ikatakiwa ianze kupiga penati hivyo nilipaswa kuelekea Golini.
Kwa mbwembwe nyingi nilianza kukimbia huku nikizungusha mikono yangu na kuwaonyeshea ishara ya mashabiki wa Jeshi la Polisi kushangilia, nao bila ajizi walilipuka kwa shangwe nyingi.
Uzuri ni kwamba pale uwanjani tayari mashabiki walikuwa wameshajigawa, wengine walikuwa wanashabikia upande wa JWTZ na wengine walikuwa wanashabikia upande wa POLISI. Wananchi ambao hawakuwa wanajeshi wala Polisi nao walikuwa wameshajogawa kwa mapenzi yao na kila mmoja alikuwa ameshachagua kati ya kushabikia JW ama timu ya Jeshi la Polisi.
Nilikuwa nimeshasimama Golini na tayari mchezaji wa JW alikuwa ameshaweka mpira kwenye eneo la Penati akisubiria refarii apige filimbi kisha apige mpiara.
Kama kawaida yangu nilikuwa situlii, nilikuwa naruka kwa mbwembwe mara upande huu mara upande ule, naenda mbele narudi nyuma.
Katika hali ya ajabu sana nilijikuta moyoni nikiwa na hofu sana, “priiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii”
Kipenga kilikuwa kimepulizwa na tayari mpigaji alikuwa amerudi kaa hatua nne nyuma,
Kusema ule ukweli nilikuwa nimelala kulia na mpira ulikuwa kushoto, tayari goli lilikuwa limeingia na mchezaji huyu alikuwa anashangilia akielekea walipo wenzake.
Zamu ya timu yetu kupiga penati niliomba ile penati nikapige mimi, walinikubalia nikaweka mpira kati nikarudi nyuma hatua kadhaa na kuachia shuti kali ambalo lilipaa juu ya goli na kudondokea upande wa mashabiki, maana yake nilikuwa nimekosa penati.
Nilijisikia mnyonge sana na hata wachezaji wenzangu walikuwa waeshika vichwa wakiona jinsi abavyo tulikuwa tunaenda kuukosa ubingwa kwani nilishafungwa penati moja na pia nilikuwa nimekosa penati niliyopiga mwenyewe, nilikuwa naumia kuona yale matokeo yananihusu sana mimi.
Nilijipa ujasiri na kuelekea Golini ambapo safari hii sikuwa na mbwembwe zozote ila nilikuwa makini sana kuwaangalia wapigaji wa penati.
Mpigaji wa safari hii alikuwa ni golikipa wa timu pinzani ambaye alikuwa ameweka mpira na kurudi nyuma hatua tano, aliachia shuti kubwa ambalo liliniuza kabisa nikaangukia upande wa kulia na mpira ukipita kushoto lakini sikukubali, nilirusha mguu wangu mmoja wa kulia ambao uliupaisha mpira na kuurudisha uwanjani kitendo kilichoamsha shangwe nyingi.
Mpigaji wa upande wetu alienda akapiga penati na kufunga kiulaini kabisa hivyo kila timu ikawa imepiga penati mbili, kukosa moja na kupata moja.
Niliirudi golini ikapigwa penati ambayo safari hii niliidaka kabisa kama nyani anayedaka buyu. Watu walishangilia lakini shangwe zao zilizimwa baada ya mchezaji wa upande wetu kupiga penati nje kabisa ya goli na kufanya matokeo yawe 1-1 hadi wakati huu ambapo kila timu imepiga penati tatu.
Nilirudi tena golini ambapoo mpira ulikuwa unapigwa kwa timu ya JW kupiga penati ya nne, penati hii niliipangua kwa mkono wangu wa kulia ambapo mpira ulikuwa umepigwa pembeni juu kabisa kwenye engo lakini niliruuka kama ngedere na kuugusa kwa mkono wangu wa kulia na kuutoa nje.
Shangwe uwanjani kwa Upande wa Jeshi la Polisi zilikuwa nyingi lakini zilizima ghafla kwani kila mtu alikuwa akimtazama mchezaji wa POLISI ambaye alikuwa anaenda kupiga penati ya mwisho ambayo itaamua matokeo.
Nilikuwa nina hofu kwani sikutamani kurudi tena golini kudaka Penati, nilikuwa nasali kimya kimya ili penati ile iwe goli.
Goooooooooooooooooooooooooooooo! Mpira ulikuwa wavuni na uwanja mzima ulikuwa ni shangwe na nderemo kwa upande wa polisi kwani tulikuwa tumeshinda Kombe hili.
Pamoja na kucheza mechi moja lakini kamisaa alinitaja kuwa Golikipa Bora wa michuano hii huku akiniita afande Sam. Nilipokea zawadi ya shilingi laki moja kiasi ambacho sikuwahi kukimiliki.
Tulikabidhiwa kombe letu na zawadi ya shilingi milioni tano kutoka kwa wadhamini mbalimbali pamoja na ofa ya kulala kwenye hoteli ya Mbeya Inn ambayo ni ya nyota tano kwa siku mbili huku ukila chochote ukitakacho.
Baada ya mechi ile kulikuwa na tafrija kubwa iliyoandaliwa kwenye ukumbi mkubwa wa Jeshi la Polisi pale Central Mbeya ambapo kulikuwa na burudani nyingi na watu walikuwa wanalewa sana.
Watu wengi walikuwa wanadhani mimi ni Polisi lakini ukweli nilikuwa nao mimi na watu wachache kama RPC.
Siku hii ya leo RPC alionekana kuwa na rah asana kwani uda wote alikuwa akiniita na kunitambuliasha kwa marafiki zake “Kijana wangu huyu, mmemuonaee”
Wakati nimeitwa na RPC kwa ajili ya kunitambulisha kwa marafiki zake nilielekea toilet nilivyoachana na RPC lakini wakati natoka nilishtuka nikivutwa mkono nilipogeuka nikakutana na sura ya Verity akiwa anaonekana amebwia kilevi. Kwani alikuwa amechangamka sana.
Alinivuta kwa nguvu na kunipeleka kwenye chumba ambacho nadhani wanalala wahudumu wa ile Mess ya polisi, alinivaa mdomoni na kuanza kuninyonya kwa fujo kitendo kilichonisisimua sana na kujikuta mtarimbo wangu ukiwa umeinuka kama mnara.
Verity alipandisha gauni lake juu na kukanya ga ukutani kisha akanivuta kwa nyuma na kushika tango langu ambalo alilielekeza mgodini kwake nikaanza kuuchimba, japo nilikuwa niechoka lakini niliuchimba mpaka nikamuona Verity akinidondokea kwanyuma nikamdaka na kumlaza kwenye godoro lililokuwa Chini nikaendelea kuchimbua mgodi kwa kasi ya ajabu kwani nilikuwa nakamilisha mzunguko ambao uliisha kwa ushindi wa timu zote mbili.
Nilishtuka baada ya kusikia sauti nzito ikiongea nyuma yangu nilipokuwa nimemlalia Verity kwa juu….
“Haya amkeni mnifwate huku…Kunguru nyie!”
“Mungu wangu…..” alijisemea Verity!


“Mabibi na Mabwana mliohudhuria hapa siku ya leo naomba tusimame juu”
Ilikuwa ni sauti ya MC akiwaarifu watu waliohudhuria kwenye tafrija hii.
“Kila mtu anyanyue kinywaji chake na amgeukie mwenzake, ukishakinyanyua na kumgeukia mwenzako tuna piga cheers kwa ajili ya timu yetu”
Watu wote walipiga cheers huku wakisindikizwa na vibwagizo vya DJ.
“Msikae…msikae tafadhali mabibi na mabwana, naomba mkiwa mmesimama hivyo Dj atupigie mziki mwanana”
“DJ tupigie MUCHANA ya Kanda Bongo Man, alafu taratibu tukiwa tunacheza tusogee mbele kwa ajili ya kugonga Cheers na Golkipa wetu aliye tupa ushindi siku ya leo SAAAAAAAAM”
Watu wote walivyosikia jina la Sam walilipuka kwa shangwe huku wakicheza mziki kwa fujo zote, Dj alikuwa akitupia Vibwagizo mbalimbali ambavyo viliamsha ari ya watu kushangilia zaidi.
Watu walisogea mbele wakicheza lakini cha ajabu Sam mwenyewe alikuwa haonekani.
“Saaaaaaam popote ulipo njoo mbele hili rhumba ni la kwako”
Pamoja na DJ kuita sana lakini Sam hakutokea kitendo ambacho hakikuwafurahisha watu kiasi kwamba waliamua kurudi na kukaa.
“Sam yuko wapi” mke wa RPC alimuuliza Rafiki.
“Mimi sijui ila hata Verity simuoni hapa”
“Au watakuwa wameenda kufanya ushenzi wao maana huyu Verity huyu king’ang’anizi kama nini, mwenzie hamtaki lakini anamganda tu”
Hawakujua kuwa maneno yote waliyokuwa wanaongea yalikuwa yanasikika kwa RPC na tayari alama ya hatari ilikuwa imeshagonga kwenye akili yake.
“Koplo Miraji ”
“Naam Afande”
“Nifwate”
“Sawa afande”
Japo Koplo huyu alikuwa yuko bwii lakini alijikaza na kuanza kumfwata RPC nje.
“Nakupa kazi naomba ukaifanye kwa uhakika”
“sawa afande”
“Nitafutie mwanangu VERITY kama yuko na Yule hayawani Sam waweke ndani nionane nao kesho”
“Sawa afande”
Katika makoplo ambao walikuwa wanamtaka Verity kwa gharama zote alikuwa ni pamoja na Miraji, pamoja na kumhonga hela nyingi lakini alikuwa hajaona ndani isipokuwa kuchunwa tu.
Aliposikia kuwa yuko na Sam alifurahi sana na aliapia kuwa lazima akamkomeshe huyo Sam pamoja na Verity. Aliapia kuwa akiwakuta lazima atawakomesha.
Mawazo yake yote yalimpelekea kuwa lazima watakuwa wapo sehemu ambayo huwa alikuwa akimpeleka Verity ili amgagadue lakini alikuwa akiishia kumshikashika tu.
Pombe zote zilikatika na kuanza safari ya kuelekea huko, alikunja kona tatu na korido mbili kisha akakifikia chumba cha walinzi na kuzama humo.
Alipokuwa anakaribia kufika alisikia miguno ya mapenzi kuashiria kuwa kuna watu wanafanya yao, alisikiliza kwa makini lakini ajabu alijikuta sehemu zake za chini zikituna na kufura huku zikitikisika kwa hasira.
Aliutafakari urembo wa Verity wivu ukamshika na kuzama ndani lakini alikuta ndio watu wanamalizia japo walikuwa wamelaliana bado.
“Nyanyukeni mnifwate Nguruwe nyie”
Walishtuka na kuinuka huku kila mmoja akivaa nguo zake, katika watu walioogopa kwa mwendokasi ni Sam. Alikuwa akitetemeka lakini hali ilikuwa tofauti kabisa kwa Verity.
“Miraji unataka nini?”
“Hii ni amri ya BABA yako kwamba niwaweke ndani muonane nae kesho”
“Broo nisamehe naomba usinipeleke nitakufa mimi, nisamehe kaka Afande”
SAM alikuwa amepiga magoti anabembeleza asipelekwe, hofu yake kubw ailikuwa kukosa kozi lakini pia kuwekwa ndani kabisa kwa kutembea na mtoto wa Bosi.
Alijutia sana na kumlaani Verity kwa hali zote lakini wakati huu Verity alikuwa anajibishana na afande Miraji.
Kirungu cha mgongo kilimshukia Sam ….paaaa! na kumuumiza bega, alitamani apige makelele lakini aliogopa kuita watu zaidi.
Verity alipojaribu kuongea chochote alikatwa mtama akalazwa chini kisha akafungwa Pingu, zoezi hili liliendelea kwa Sam nae akatiwa pingu.
“Haya twende mbele nisije nikawavunja mbavu”
Afande Miraji alikuwa ana mbavu nene na amepanda hewani kisawasawa, alivyoongea kwa hasira hakuna aliyebisha walitangulia mbele na kufwata maelekezo.
Akili ya SAM ilikuwa inawaza kukimbia lakini akili ya Verity ilikuwa inawaza kumhadaa Miraji.
“Miraji naomba unisikilize,”
“Nikusikilize nini”
“Najua umekuwa ukinitaka kwa muda mrefu ila nimekuzingua pia, niko tayari tukafanye hata sasa”
“Yani nikale makombo mimi?”
“Nipeleke nikaoge alafu turudi kwenye mchezo”
Tama ilikuwa imempanda miraji ukichanganya na pombe alizokuwa amekunywa ndio kabisa, alijikuta akisimama bila kujibu lolote.
“Tufanye haraka tusije tukashtukiwa tena” Verity aliongezea.
Miraji kwa uchu na tama alikuwa hana la kujibu zaidi ya kuanza kumsogelea Verity na kumshikashika, alimshika sehem mbalimbali na kumsogezea mpaka kwenye vyoo kisha akamfungua pingu, Sam kuona hivyo nae akawafwata kwa nyuma kisha akawa anashuhudia kinachoendelea pale.
Roho ilikuwa inamuuma lakini alishindwa kufanya lolote na kwa muda huu tayari nguo ya Verity ilikuwa imevuliwa na kuwekwa chini.
“Nifungue basi pingu niondoke zangu”
Ili kuepuka usumbufu afande Miraji alimfungua SAM pingu na kumuacha aondoke zake, lakini Verity alimuita.
“Sam nibebee simu yangu alafu njoo nikunong’oneze”
Sam alimuendea Verity hadi kwenye sikio na kunongo’onezwa, alipoelewa alitoka nje na kusimama akisubiri.
Alikaa kama dakika moja kisha akaingia na kukuta Miraji ameshikilia uume wake anauelekeza kwenye ikulu ya Verity ambaye alikuwa ameinua mguu wake na kukanyaga kwenye sinki la choo huku afande miraji akiwa kwa mbele akijaribu kuupitisha uume wake kwa chini.
Kilichomshtua miraji ni mwanga wa simu ‘chaaa’, mwingine tena ‘chaaaa’, Miraji aligeuka nyuma na kukutana na Sam akiwa ameshikilia simu na kuwaelekezea.
“Afande miraji nimeshapata ushahidi wa kukusemea kwa Baba, naomba uniache”
Miraji alishtuka kwa kujua kuwa kumbe alikuwa ametegwa, alimfwata sam pale alipo ili amnyang’anye simu lakini Sam hakukubali kirahisi ngumi zikaanza.
Sam hakuwa mdogo kwenye ngumi , alikuwa ni kijana shupavu na mwenye nguvu hivyo miraji alikuwa anapata wakati mgumu kwani alikuwa kalewa pia.
Wakati ngumi zikiendelea Verity alifanikiwa kuchukua simu na kuificha kisha akamwambia miraji….
“Naomba utuache tuende kwa amani na hatutakusemea tutaficha siri, ila ukitusumbua tunaweka kila kitu hadharani na utafukuzwa kazi”
Miraji ilibidi awe mpole na kukubali yaishe, aliwaruhusu waende huku akiahidi kuwa anaenda kumwambia RPC kuwa hajawaona ila nao waingie kila mmoja kwa wakati wake kuepuka kugundulika.
Hii ikawa ni nafasi nyingine kwa Sam na Verity kupona! Sam aliapa kuachana na Verity na alikuwa hatamani hata kumuona lakini cha ajabu alikumbana na mtihani mwingine dakika kadhaa baadae!


Ilikuwa ni ngumu kuamini lakini ni ukweli kuwa Sam na Verity walikuwa wamepona katika mikono ya Afande Miraji.
………………………
Huyu dogo nitamkomesha na atajua kuwa mimi ni Afande ama sio Afande.
Miraji alikuwa ameamua kumkomesha Sam, Japo alijifanya kuku aliana na yaliyotokea wakati ule ila moyoni aliapia kulipa kisasi.
Lengo lake kubwa alitaka ambambikie Sam kesi ili ikiwezekana hata afungwe jela.

“”Oya si unamjua yule dogo anaekaa kwa RPC?”
“Yupi huyo Afande”
“Yule Golikipa?”
“Huyo huyo”
“Nimeshamjua,”
“Basi leo kanifanyia mchezo wa hatari sana yani huwezi kuamini, na yeye ndio kanipasua mdomo hivi”
“Haaaaa, kwani ilikuwaje?”
Afande Miraji alimwaga kila kitu kwa maaskari wenzake wakati wakibwia bia kwa ofa ya Miraji.

“Mkubwa wala usijali, hiyo kazi tutaifanya, mbona yule ni mtoto mdogo kwetu”
………………….
“Sam nakuomba hapa tuzungumze”
RPC alimuita Sam aliyekuwa ameanza kuogopa kutokana na yale aliyoyafanya.
“Vipi pole na kazi naona umejitagudi sana kubadilisha mazingira ya hapa nyumbani”
“Asante, ni kawaida tu bosi”
“Sawa, sasa nataka nikuahudi kuwa swala lako nalishughulikia kwa hiyo usijali”
“Asante sana bosi,ntashukuru sana nikifanikiwa”

RPC alitembea hatua kadhaa kisha akageuza na kumkamata Sam koromeo kisha akamnyanyua juuu juu na kumuelekezea nyuma ya nyumba.
Sam alikuwa anarusha rusha tu miguu kwani hakuweza kupumua vizuri.
Hakuelewa kuwa kwanini imefikia hatua ile ghafla lakini alizidi kukabwa hadi wakafika nyuma ya nyumba ambapo kulikuwa na mabanda ya Mbwa.
Aliachiwa akatua chini kwa mgongo ‘tii’
Alivyojaribu kuamka alikutana na Kofi kali lililomfanya aanguke tena chini ‘puu’.
Alinyanyuliwa akakatwa ngwara iliyomnyanyua juu juu kama nyasi zilizokutana na fyekeo kisha akagonga kichwa kwenye ukuta na kutokwa damu.
“Umekuja hapa si kwa ajili ya kut..mba binti zangu, ukirudia tena nakuua”
Sam alibaki anashangaa uwezo wa mapigo aliokuwa nao RPC kwani mapigo aliyoyapata hajawahi kuyaona, nguvu alizokuwa nazo wakati anamshika ilikuwa ni kama amebanwa na koleo huku akiwa amenyanyuliwa juu kama karatasi.
Wakati anatafakari na kusikilizia maumivu alinynyuliwa tena na kusukumwa hadi kwenye gari kisha akazamishwa ndani gari likawashwa mpaka ofisini kwa RPC.
Aliachwa ndani ya gari kwa muda kisha akarudi afande miraji na maaskari wengine wawili ambao walimchukua mpaka hospitali.
Pale hoapitali Sam alipewa huduma za majeraha aliyoyapata kichwani kisha akarudishwa nyumbani akiwa amefungwa mabandeji kichwani alipojigonga ukutani.
Sam hakutaka maongezi na mtu yeyote, aliingia ndani akaangalia fedha zake alizopewa baada ya kushinda mechi kisha akaanza kupanga namna ya kutoroka kwani alikuwa na fedha za kutosha.
Alipanga atoroke usiku huo huo na hivyo hakutaka hata kutoka sebeleni wala kuongea na mtu yeyote.
Mda wote Rafiki alikuwa akitamani kumuona Sam lakn alikuwa amejifungia ndani, alitaka kuingia lakini aliogopa kumponza Sam kwani alimjua baba yake na alijua kuwa mda wowotw atarudi.
Alivumilia sana akisubiri lakini sio sam aliyetoka nje wala kukaa tu sebuleni.
Verity alikuwa amenyong’onyea ndani kwake akiogopa kumfwata Sam kwani aliona A -Z alichofanyiwa Sam hivyo alijua wakati wowote nae yatamkuta.
…………………..
Saa nane usiku Sam alikuwa mlangoni anasikilizia kama kuna mtu yeyote anaetembea kwenye korido ili atoroke zake, wakati huu alikuwa anatiririsha machozi kwa yale aliyokuwa anakumbana nayo lakini alivyovuta kumbukumbu jinsi ambavyo amewala watoto wa RPC alijiona anastahili chochote. Aliguta machozi akanyonga mlango.
Owa tahadhari kubwa alikuwa anaelekea nje na tayari alishafungua milango na yuko kwenye uwanja wa garden, alimtaimu mlinzi akakanyaga ukuta na kujirusha hadi nje “tii”.
“Unakwenda wapi usiku huu na kwanini unatoroka?”
Sam hakuamini alichokuwa anakiona,
Kwa mara nyingine alikuwa mikononi mwa RPC, Sam alidhani huyu jamaa ni mchawi lakini kumbe kila alicholuwa anapanga kukifanya kilishajulikana mapema.

Sam alibebwa usiku huohuo hadi kituoni na kisha kukabidhiwa kwa afande Miraji.
” Huyu mtashinda nae humu mpaka usiku mumpeleke nyumbani kulala, apangiwe kazi ngumu”

“Sawa afande, waliitikia akina Miraji”

Kwa mara nyingine Sam alikuwa mikononi mwa Afande miraji.
Mkokola Saidi, Stellah Francis, Mery Sadock Maureen Junior, Tom Mwambs, Cecilya Cecil,

Kwa mara nyingine Sam alikuwa mikononi mwa Afande Miraji, hakujua kitakachoendelea lakini aliisikia amri ya RPC kwamba apewe kazi ngumu na awe anarudishwa nyumbani usiku.
…………………..
Ratiba ya Sam ilibadilika na akawa ni mtu wa kurudishwa nyumbani kila siku usiku na asubuhi anachukuliwa.
Kazi zilikuwa ngumu sana kwani kila asubuhi alikuwa anapelekwa kufagia maofisini kisha jikoni, alikuwa anafyeka maeneo mbalimbali ya kituoni hadi inafika usiku anakuwa amechoka sana.
Kwa amri ya RPC ilikuwa Sam apewe kazi ngumu lakini awe anapewa chakula cha kutosha, lakini mambo yalikuwa kinyume mno, kwakuwa Afande Miraji alikuwa na chuki nae alikuwa anampa kazi ngumu bila kumpa chakula.
Hii ilimfanya Sam achoke sana, haikupita hata wiki Sam alikuwa amedhoofu mwili na kuwa mwembamba, alikuwa anaunda mikakati ya kutoroka kila siku lakini mazingira yalikuwa magumu sana.
Ulinzi kwake ulikuwa wa hali ya juu na nikama vile afande Miraji hakupangiwa kazi nyingine kwani kila siku na kila mda alikuwa na Sam pekee.
…………………………..
RPC alikuwa na hasira sana juu ya Sam, kuna wakati alikuwa anakaa mwenyewe ofisini na kukagua simu yake kisha laptop yake na kisha anajikuta hasira zinampanda kiasi cha kutaka kuua.
Hasira zilipompanda sana alinyanyua simu yake na kuitafuta namba ya afande Miraji na kuanza kumpigia simu…
“Eeenh Afande”
“Shkamoo”
“Shkamoo nini…huyo kima uko nae hapo hadi sasa?”
“Ndio niko nae”
“Leo mzidishie dozi mara kumi”
“Hahahaaaa SAWA AFANDE!”
Hakuna kitu kilimfurahisha afande Miraji kama kuambiwa azidishe dozi ya Mateso kwa Sam.
Alichokifanya alimuita rafiki yake mkubwa
“Oyaa Gwakisa njoo unisaidiie kazi”
“Kazi gani tena wewe”
“Wewe njoo tu ila uje na Msuba”
“Poa”
Ndani ya dakika chache afande Gwakisa alikuwa amefika pale alipokuwa Miraji…
Walichukua misokoto ya Bhangi kisha wakaanza kuvuta huku wanapiga story kadhaa.
Miraji alimuelezea Gwakisa kuhusu kazi iliyoko mbele yake na kumuomba Gwakisa amsaidie lakini Gwakisa hakuamini.
“Huamini nini sasa”
“AAGH siamini aisee, isije tukatoa dozi hapa alafu tukapata matatizo”
“Subiri nimpigie umsikie mwenyewe”
“Haloo Afande”
“Unapigapiga nini wakati nimesema utoe dozi na uizidishe mara kumi, ina maana hujaanza mpaka saivi, au nikugeuzie kibao”
“Hapana afande nilitaka tu kukujulisha kwamba ndio naanza”
“Haya toa Dozi kamili sitaki ushoga shoga mimi”
“tii tiii” simu ilikuwa imeshakatwa!
…………………….
Dozi aliyokuwa anapata Sam ilikuwa ni ya kumtoa mtu roho, alikuwa amening’inizwa juu chini, yaani kichwa chini miguu juu kisha analowanishwa na maji na kusindiliwa mangumi.
Kama ungebahatika kumuona Sam kwa wakati huu ungeweza usile nyama tena, alikuwa amechakaa kama mfuko wa nailoni uliotoka mdomoni mwa Ng’ombe.
Ilikuwa ni ngumi, viboko, mateke, na kila aina ya vipigo. Walipoona wameridhika na kipigo walimfungulia kamba bila kumshikilia na kumfanya aanguke chini kama mzigo huku akiwa katanguliza kichwa.
…………………………
RPC alikuwa ofisini anakunywa Viroba Vya Konyagi ili kuondoa mawazo lakini kila alipokuwa anarudia kuangalia video alizokuwa nazo kwenye simu yake na kwenye laptop hasira zilikuwa zinazidi.
Aliumia sana kuona kuwa kijana aliyemfadhili ndani ya nyumba yake leo hii ametembea na watoto wake wote wawili
Katika mambo ambayo hakuna aliyekuwa anayajua pale nyumbani ni kwamba nyumba nzima ya RPC ilikuwa imefungwa na kamera za CCTV kuanzia ndani mpaka nje, hakuna mtu eyote aliyejua isipokuwa yeye mwenyewe.
Nikweli kuwa kuna wakati alikuwa anaangalia matukio ya nyumbani na hata kuwaona mabinti zake wakiwa uchi lakini kwakuuwa ni watoto wake hakuona shida yeyote, siku aliyoona wakifanya mapenzi na Sam tena wote wawili roho ilimuuma sana.
Alikuwa anajisemea mwenyewe kwenye kichwa chake kuwa ni heri mara mia angekuwa anatembea na mmoja kati ya wale mabiniti zake lakini kitendo cha wote wawili kuwa wanatembea na Sam aliona ni fedheha kubwa sana.
Alirudi tena akaona jinsi mwanae RAFIKI alivyokuwa anatolewa bikra na Sam huku akitokwa damu nyingi akahisi kuwa mwanae alikuwa anatendewa isivyo haki na kusahau kuwa hata yeye aliwatoa Bikra wasichana wengi tu!
Alivyoendelea kuangalia ilifika hatua akamuona Sam akiwa amesimama na mkewe huku akionekana anamshika eneo la kitovu na kusugua sugua.
Kwa RPC kumuona mkewe anamshika Sam eneo la kitovu huku Sam akiwa kifua wazi ilikuwa ni uzalili uliozidi kiwango.
Moja kwa moja aliamini kuwa Sam kala watoto wake wote na mke wake pia, alirusha ngumi akavunja meza ya kioo ‘aaaaaaaarrrrrrggggh’!
Alichukua bastola yake akatoka nayo kwa lengo la kwenda kumfumua Sam ubongo.
Alitembea kwa kasi hukua akiwa ameshikilia bastola yake tayari kwa kuua, alipokuwa anatembea huku bastola iko nje nje Afande mwingine ambaye alikuwa na cheo chini ya RPC alianza kumuita lakini mawazo ya RPC hayakusikia sauti hata kidogo.
RPC aliendelea na safari mpaka akafika pale waliko akina Afande Miraji….
Alitupa macho huku nakule lakini hakumuona Sam, akawauliza “Yuko wapi huyu nguruweeeeeeee?”
Hakuweza kumtambua Sam kwasababu alikuwa amechakaa na mwili wote ulikuwa umeloa damu huku akiendelea kukohoa damu pale chini alipo.
“Huyu hapa”
Afande Miraji alionyesha kwa kidole.
RPC alionekana kushtuka alipomuona Sam vile lakini alivyokumbuka aliyoyafanya hasira za viroba zikampanda tena akaanza kumfwata Sam huku amenyoosha bastola yake….
“paaaaaa…paaaaa….paaaaaa” Milio ya risasi ilisikika!

Kila mtu alikuwa ameelekeza kichwa chake pembeni asione jinsi ambavyo ubongo wa Sam ulikuwa unamwagika chini.
Pamoja na mateso ambayo Miraji alikuwa anatoa kwa Sam lakini hakuwa na uthubutu wa kuweza kumuua.
Aliogopa kuua japo alikuwa askari, moyo wake ulikuwa unadunda kwa kasi sana kwani hakuwahi kumuona mtu anakufa na hakudhani kuwa angeona mtu anauwawa mbele yake.
Mtu pekee aliyekuwa na uwezo wa kuchukua hatua alikuwa ni Afande Mbaruku ambaye alikuwa na cheo chini ya cheo cha RPC, alivyoona hali aliyokuwa nayo RPC alijua kuwa hakukuwa na usalama hivyo aliamua kumfwata nyuma nyuma.
Alipomuona anamfyatulia Risasi mtu aliyelala chini amechakaa na kutapakaa damu ilibidi aushike mkono wa RPC na kuuelekezea ukutani ambapo risasi zote ziliishia ukutani hadi Bunduki ikabaki haina kitu.
Walianza kunyang’ang’anyana Bunduki, Afande Mbaruku hakujali kuwa Yule ni bosi wake yeye alichotaka tu ni kuhakikisha kuwa mtu anabaki salama.
Maskini Sam wawatu walikuwa hajui chochote, alikuwa anakoroma pale chini huku damu zikiwa zinamtoka puani na mdomoni.
……………..
Sam alikuwa kwenye gari ya POLISI mkoa wa Mbeya anakimbizwa Hospitali.
Japo alikuwa ameshapata huduma ya kwanza kwenye Hospitali ya polisi pale makao makuu lakini ilibidi akapate huduma zaidi kwani hali yake ilikuwa hairidhishi.
Gari ilikuwa inakimbia kwa kazi huku dripu zikiwa zimening’inia kwenye mikono ya SAM.
Huku nyuma ofisini alikuwa ameketi RPC na msaidizi wake ambaye ni Afande Mbaruku wanajadiliana.
“Nikweli kakukosea lakini njia unayotumia kumuadhiibu sio sahihi”
“Sio sahihi kivipi eeenh…au kwasababu sio wewe?”
“Ndio inawezekana ni kwasababu sio mimi ndio maana nafikiria kwa busara kuliko wewe…hivi unadhani ukimuua hapa, tena kwenye eneo la kazi utakuwa salama wewe? Hicho cheo chako unataka utuachie eeenh?”
“Hivi kweli mtoto nimlete kwangu ili nimsaidie alafu anitom…ee mke wangu na watoto wangu?”
“Unasemaje? Kafanyaje?”
“Kaio..ba familia yangu yote”
“Mhhhh….”
Baada ya Afande Mbaruku kusikia vile aliguna kwani hakuweza kuamini kile ambacho alikisikia mdomoni kwa RPC.
“una uhakika na unachokisema Afande?”
“Sasa unadhani nimechanganyikiwa au… hii…hii” RPC alikuwa analia.
“una uthibitisho afande?” Afande Mbaruku aliuliza kwa sauti ya upole kwani hata yeye alishaona uzito wa swala lililokuwepo mbele yake.
RPC alichukua laptop yake na kuwasha video iliyokuwa inaonyesha kila kitu kilichofanywa pale kwake na Sam.
Afande Mbaruku aliangalia kila kitu huku nayeye matamanio yakimshika kwa Jinsi wale mabinti walivyokuwa wazuri na wanaovutia.
Sehemu zake za siri zilikuwa zimenyanyuka haswa lakini alijitahidi kubana miguu ili asijulikane.
Pamoja na kila kitu alichokiona lakini akili yake ilinasa jambo ambalo aliliona pale.
Aliisogeza ile laptop karibu na RPC na kumwambia…
“Naomba unisikilize afande”
RPC aligeuza shingo yake na kuanza kumsikiliza Mbaruku….
“Hapa nimegundua kitu kwa kuitazama hii Video”
“Umegundua nini?”
“Yule kijana hana hatia”

ITAENDELEA

NJAMA – 2



Simulizi : Njama
Sehemu Ya Pili (2)
Wote walitingisha vichwa kuonesha kuwa wamenielewa. Kutokana na mipango yangu ilivyokuwa

nilionelea tokea wakati huo tuanze kazi bila kupoteza muda.

Nilitoa onyo tena “Kukubali kwenu kushiriki na mimi katika upelelezi wa tukio hili mjue

kabisa mmejiwekea sahihi ya kifo. Natoa natoa muda wa mwisho kama kuna mtu anaona wasiwasi

katika moyo wake nampa nafasi aache shughuli hii”, niliwaasa na kuwaangalia kwa makini sana.

Mwisho Veronika akasema

“Unajuwa Willy dakika ile mtu anapozaliwa pale pale anapewa huku ya kifo. Nina maana ya

kusema kuwa binadamu hata aishi vipi kufa lazima atakufa. Kule kuishi baada ya kuzaliwa ina

maana kuwa ile hukumu ya kifo inaahirishwa kutekelezwa. ..

“Unajuwa Willy dakika ile mtu anapozaliwa pale pale anapewa huku ya kifo. Nina maana ya kusema

kuwa binadamu hata aishi vipi kufa lazima atakufa. Kule kuishi baada ya kuzaliwa ina maana

kuwa ile hukumu ya kifo inaahirishwa kutekelezwa.Wengine huahirishwa kwa mwezi mmoja. Hivyo

mtoto anazaliwa na baada ya mwezi mmoja anakufa. Hii si ajabu maana hukumu yake ya kifo

imetekelezwa baada ya mwezi mmoja. Wengine huishi hata miaka mia moja. Hii ina maana kuwa

hukumu yake aliyopewa dakika alipozaliwa imetekelezwa baada ya miaka mia.Hivyo kila mtu na

sehemu yake ya kuishi. Kwa hiyo kuogopa kufa ni ujinga.”

“Mimi sina wasiwasi, maana kifo cha namna hii, nitakuwa nimekufa kifo cha heshima”, alisema

Sherriff.

“Okke, sasa naamini nina watu. Tokea sasa nyinyi si ndugu tena ila ni makomredi”, niliwaeleza.

“Kwani komredi ina maana kubwa zaidi ya ndugu?”, Veronika aliuliza.

“Hasa, ina maana kali zaidi. Komredi ina maana mwenzi katika harakati”.

“Asante komredi Willy, naona tunywe maji haya katika jina la komredi”, Veronika aliomba. Wote

tukagonganisha glasi zetu.

“Sasa mimi naonelea itabidi tuanze upelelezi wetu bandarini. Itabidi tukamuone ofisa

aliyehusina ili na sisi tupate habari toka kwake ana kwa ana ingawaje atakuwa amekwisha

sumbuliwa sana na polisi na maafisa usalama kwa maswali. Huenda sisi tukapata jambo ambalo

huenda wao wameliruka. Halafu tukaendelea hivyo hivyo katika ofisi zote zilizohusika kabla

hatujachukua hatua kali zaidi”, mnaonaje.
“Sawa”, walijibu kwa pamoja.

Tulinyanyuka na kuelekea kwenye gari langu, nikawafungulia milango. Veronika alikaa mbele na

mimi. Sherriff akakaa nyuma. Nilipotaka kuwasha gari moto niliona kijikaratasi chini,

nikakiokota taratibu nikakisoma. Eddy alikuwa ameniandikia namba zote za magari aliyokodi.

Akionesha namba za magari aliyoacha kwenye maegesho ya New Afrika na Kilimanjaro Hoteli kama

nilivyokuwa nimeamru. Nilianza kusikia msisimko wa damu ikionyesha kuwa kazi imeanza. Nilipiga

gari moto tukaelekea bandarini.

MIWSHO WA SURA YA TATU


NJAMA
FUNUNU
SURA YA NNE
“Samahani binti tunaomba kumuona Meneja”, nilimwambia mwandishi mahsusi wa Meneja wa Bandari.

“Sijui nyinyi ni akina nani?”, aliuliza msichana huyu aliyeonekana amechoka choka.

“Mwambie ni Willy Gamba na wateja wake kutoka gazeti la Afrika”.

Meneja wa Bandari tulikuwa tunafahamiana kikazi, hasa kutokana na shughuli zingine tulizokuwa

tunazifanya katika kampuni yetu ya Afrika Internation Agencies.

Yule msichana alizungumza na bosi wake kwa simu, alipomaliza alinyanyuka na kutufungulia

mlango tukaingia ndani. Tulimkuta Issack Mlingi ambaye ndiye Meneja wa Bandari aliyehusika na

tukio hili akionyesha hali ya kuchoka sana. Nafikiri hii ilitokana na bughudha alizopata toka

kwa polisi na watu wengine wanaohusika na upelelezi wa tukio hili. Macho yake yalikuwa mekundu

na yamevimba.

“Karibuni ndani”, alisema huku akinyanyuka ili tusalimiane.

“Samahani ndugu Mlingi, naamini una shughuli nyingi sana”, nilimuomba radhi.

“Si kitu Gamba, karibuni”.

“Hawa ni wateja wangu Sherriff na Veronika kutoka gazeti la Afrika ambalo kampuni yangu ni

wakala wake, na jamani huyu ni Issack Mlingi, Meneja wa Bandari”, walipeana mikono kisha wote

tukavuta viti tukakaa.

“Ndugu Mlingi ni imani yangu kuwa umeisha ulizwa maswali mengi juu ya tukio hili lililotokea

hapa bandarini. Lakini naamini hatutakuwa tumekuhangaisha kama tutakuuliza maswali. Kama

nilivyokwisha kwambia hawa waandishi wa gazeti la Afrika na ni waandishi pekee walioruhusiwa

kuingia hapa nchini kuandika juu ya tukio hili, naamini unajua msimamo wa gazeti la Afrika.

Hata hivyo tutakuuliza maswali kidogo tu kusudi tusikuchoshe sana”.

“Hebu nipeni vitambulisho vyenu niviangalie”, aliomba.

Sherriff na Veronika walimpa vitambulisho, akaviangalia na aliporidhika akavirudisha.

“Haya ulizeni maswali yenu, maana ikiendelea hivi naweza kupata wazimu”, alisema huku akitoa

tabasamu la uchovu.

“Tumesoma maelezo yako uliyotoa polisi, ila tumekuja hapa kukuuliza maswali machache juu ya

mambo ambayo hatukuwa tumeyaelewa vizuri”, alisema Sherriff.

“Ulieleza kuwa ulipata simu kutoka kwa Jones Mantare ambaye umezoea sana sauti yake, kiasi

kwamba huwezi kuikosea ukiisikia. Lakini jambo la kushangaza ni kwamba, Mantare anasema hakuwa

amekupigia simu kwani alikuwa na mkutano na Mwenyekiti wa Kamati na Mwenyekiti amethibitisha

kuwa ni kweli walikuwa wote toka saa tisa hadi saa kumi na moja. Baada ya kupata maelezo hayo

bado unaweza kusema kuwa sauti ile ni sawa kabisa na ya Mantare?”.

“Kwa sababu wakati ule nilikuwa sina wasiwasi kuwa kuna jambo baya roho yangu iliridhika kuwa

ni Mantare. Lakini sasa kwa sababu Mantare anasema hakupiga simu, ndipo nakumbuka kuwa

nilimwuliza kama ana mafua, maana kwa mbali alikuwa akizungumzia puani, na yeye alijibu kweli

mafua yalikuwa yamemkaba sana. Lakini maelezo mengine, mathalani ambayo huwa tunataniana na

Jonas, yalikuwa yote sawa. Kusema kweli inawezekana kabisa alikuwa mtu mwingine anayemfahamu

sana, lazima niseme sana maana isingekuwa hili jambo la mafua bado ningeendelea kung’ang’ania

alikuwa Jones. Lakini Jones amekuja hapa hana mafua hata kidogo kwa siku nyingi”.

“Hebu fikiria tena kidogo juu ya sura na sauti au umbile na tabia ya huyu mtu aliyekuwa

akijiita Meja Paul Liboi, unaweza kuwa na uhakika kabisa kuwa mtu huyu ni mzalendo wa

Tanzania?”, Veronika aliuliza.

Ndugu Mlingi alisita kidogo kujibu swali hili na uso wake ukakunjamana kidogo. Baada ya
kufikiri sana akasema.

“Nafikiri anaweza asiwe mzalendo”.

Wote tukamwangalia.

“Kwanini unafikiri hivyo?”, mimi nilimuuliza.

“Wazo hili lilikuwa halijaingia kichwani mwangu, lakini sasa baada ya kuuliza swali hili

inawezekana mtu huyu asiwe mtanzania maana kwanza kiswahili chake hakikuwa kimenyooka na

alipenda sana kuchanganya na kiingereza. Mimi nilimfikiria kuwa huenda ni Mjaruo, lakini

alikuwa hajang’oa meno. Vile vile alikuwa na haraka haraka na maneno ya mkato mkato. Nikifiri

sana hakuna na ile hali ya kirafiki waliyonayo watanzania wengine wengi. Lakini kwa sababu

nilijuwa ni mwanajeshi nikafikiri ndio sababu aikuwa na tabia ya namna hiyo”.

“Una jambo jingine ambalo huenda sasa unafikiri halikuwa lakawaida juu ya tukio lolote baada

ya kujuwa watu hawa walikuwa majahiri?”.

“Nafikiri nimeshasema yote, ila tu huenda kitu kimoja, sijui kama kinahusika ama vipi”.

“Ehe, kitu gani”.

“Baada ya kuzungumza na huyo anayejiita Jones Mantare, simu za jengo hili hazikufanya kazi

tena. Tulipowaeleza Posta kesho yake, walikuja mafundi na kusema waya inayounganisha jengo

hili na waya zinazokwenda Posta ilikuwa imekatika kwa kuangukiwa na mti. Sasa nilianza kuona

picha kidogo ya tukio hili. Nilijua mara moja kuwa watu waliokuwa wameshughulikia tukio hili

ni watu wenye kujua ujasusi wa hali ya juu; kwani walihakikisha kuwa kila hatua wanayoichukua

na nyayo zake wanazifuta ili asiwepo mtu wa kuzifuatiia”.

TUjikuta tumeridhishwa sana na safari yetu ya bandarini hivyo tukaona tuondoke.

“Asante sana ndugu Mlingi, kama tukihitaji mambo zaidi tutakuona tena, na kama utakumbuka kitu

cochote kinachoweza kutusaidia nipigie simu. Nafikiri simu yangu unayo?”, nilimuuliza.

“Ndio ninayo”, alijibu.

“Na tahadhali usizungumze ovyo juu ya tukio hili, maana si tukio zuri”, nilimwonya.

“Bila shaka nitajitahidi”.

Tuliagana nae, tukaondoka kuelekea mjini.

FUNUNU 
“Samahani binti tunaomba kumuona Meneja”, nilimwambia mwandishi mahsusi wa Meneja wa Bandari.

“Sijui nyinyi ni akina nani?”, aliuliza msichana huyu aliyeonekana amechoka choka.

“Mwambie ni Willy Gamba na wateja wake kutoka gazeti la Afrika”.

Meneja wa Bandari tulikuwa tunafahamiana kikazi, hasa kutokana na shughuli zingine tulizokuwa tunazifanya katika kampuni yetu ya Afrika Internation Agencies.

Yule msichana alizungumza na bosi wake kwa simu, alipomaliza alinyanyuka na kutufungulia mlango tukaingia ndani. Tulimkuta Issack Mlingi ambaye ndiye Meneja wa Bandari aliyehusika na tukio hili akionyesha hali ya kuchoka sana. Nafikiri hii ilitokana na bughudha alizopata toka kwa polisi na watu wengine wanaohusika na upelelezi wa tukio hili. Macho yake yalikuwa mekundu na yamevimba.

“Karibuni ndani”, alisema huku akinyanyuka ili tusalimiane.

“Samahani ndugu Mlingi, naamini una shughuli nyingi sana”, nilimuomba radhi.

“Si kitu Gamba, karibuni”.

“Hawa ni wateja wangu Sherriff na Veronika kutoka gazeti la Afrika ambalo kampuni yangu ni wakala wake, na jamani huyu ni Issack Mlingi, Meneja wa Bandari”, walipeana mikono kisha wote tukavuta viti tukakaa.

“Ndugu Mlingi ni imani yangu kuwa umeisha ulizwa maswali mengi juu ya tukio hili lililotokea hapa bandarini. Lakini naamini hatutakuwa tumekuhangaisha kama tutakuuliza maswali. Kama nilivyokwisha kwambia hawa waandishi wa gazeti la Afrika na ni waandishi pekee walioruhusiwa kuingia hapa nchini kuandika juu ya tukio hili, naamini unajua msimamo wa gazeti la Afrika. Hata hivyo tutakuuliza maswali kidogo tu kusudi tusikuchoshe sana”.

“Hebu nipeni vitambulisho vyenu niviangalie”, aliomba.

Sherriff na Veronika walimpa vitambulisho, akaviangalia na aliporidhika akavirudisha.

“Haya ulizeni maswali yenu, maana ikiendelea hivi naweza kupata wazimu”, alisema huku akitoa tabasamu la uchovu.

“Tumesoma maelezo yako uliyotoa polisi, ila tumekuja hapa kukuuliza maswali machache juu ya mambo ambayo hatukuwa tumeyaelewa vizuri”, alisema Sherriff.

“Ulieleza kuwa ulipata simu kutoka kwa Jones Mantare ambaye umezoea sana sauti yake, kiasi kwamba huwezi kuikosea ukiisikia. Lakini jambo la kushangaza ni kwamba, Mantare anasema hakuwa amekupigia simu kwani alikuwa na mkutano na Mwenyekiti wa Kamati na Mwenyekiti amethibitisha kuwa ni kweli walikuwa wote toka saa tisa hadi saa kumi na moja. Baada ya kupata maelezo hayo bado unaweza kusema kuwa sauti ile ni sawa kabisa na ya Mantare?”.

“Kwa sababu wakati ule nilikuwa sina wasiwasi kuwa kuna jambo baya roho yangu iliridhika kuwa ni Mantare. Lakini sasa kwa sababu Mantare anasema hakupiga simu, ndipo nakumbuka kuwa nilimwuliza kama ana mafua, maana kwa mbali alikuwa akizungumzia puani, na yeye alijibu kweli mafua yalikuwa yamemkaba sana. Lakini maelezo mengine, mathalani ambayo huwa tunataniana na Jonas, yalikuwa yote sawa. Kusema kweli inawezekana kabisa alikuwa mtu mwingine anayemfahamu sana, lazima niseme sana maana isingekuwa hili jambo la mafua bado ningeendelea kung’ang’ania alikuwa Jones. Lakini Jones amekuja hapa hana mafua hata kidogo kwa siku nyingi”.
“Hebu fikiria tena kidogo juu ya sura na sauti au umbile na tabia ya huyu mtu aliyekuwa akijiita Meja Paul Liboi, unaweza kuwa na uhakika kabisa kuwa mtu huyu ni mzalendo wa Tanzania?”, Veronika aliuliza.

Ndugu Mlingi alisita kidogo kujibu swali hili na uso wake ukakunjamana kidogo. Baada ya kufikiri sana akasema.

“Nafikiri anaweza asiwe mzalendo”.

Wote tukamwangalia.

“Kwanini unafikiri hivyo?”, mimi nilimuuliza.

“Wazo hili lilikuwa halijaingia kichwani mwangu, lakini sasa baada ya kuuliza swali hili inawezekana mtu huyu asiwe mtanzania maana kwanza kiswahili chake hakikuwa kimenyooka na alipenda sana kuchanganya na kiingereza. Mimi nilimfikiria kuwa huenda ni Mjaruo, lakini alikuwa hajang’oa meno. Vile vile alikuwa na haraka haraka na maneno ya mkato mkato. Nikifiri sana hakuna na ile hali ya kirafiki waliyonayo watanzania wengine wengi. Lakini kwa sababu nilijuwa ni mwanajeshi nikafikiri ndio sababu aikuwa na tabia ya namna hiyo”.

“Una jambo jingine ambalo huenda sasa unafikiri halikuwa lakawaida juu ya tukio lolote baada ya kujuwa watu hawa walikuwa majahiri?”.

“Nafikiri nimeshasema yote, ila tu huenda kitu kimoja, sijui kama kinahusika ama vipi”.

“Ehe, kitu gani”.

“Baada ya kuzungumza na huyo anayejiita Jones Mantare, simu za jengo hili hazikufanya kazi tena. Tulipowaeleza Posta kesho yake, walikuja mafundi na kusema waya inayounganisha jengo hili na waya zinazokwenda Posta ilikuwa imekatika kwa kuangukiwa na mti. Sasa nilianza kuona picha kidogo ya tukio hili. Nilijua mara moja kuwa watu waliokuwa wameshughulikia tukio hili ni watu wenye kujua ujasusi wa hali ya juu; kwani walihakikisha kuwa kila hatua wanayoichukua na nyayo zake wanazifuta ili asiwepo mtu wa kuzifuatiia”.

TUjikuta tumeridhishwa sana na safari yetu ya bandarini hivyo tukaona tuondoke.

“Asante sana ndugu Mlingi, kama tukihitaji mambo zaidi tutakuona tena, na kama utakumbuka kitu cochote kinachoweza kutusaidia nipigie simu. Nafikiri simu yangu unayo?”, nilimuuliza.

“Ndio ninayo”, alijibu.

“Na tahadhali usizungumze ovyo juu ya tukio hili, maana si tukio zuri”, nilimwonya.

“Bila shaka nitajitahidi”.

Tuliagana nae, tukaondoka kuelekea mjini.

Nilijaribu nilivyoweza kuangalia kama naweza kumwona Eddy na mwenzake, lakini wapi hakika vijana walikuwa wanafanya kazi nzuri sana, maana kama mimi Willy sikuweza kuwatambua basi hakuna mtu mwingine tena, si kama najisifu ila huo ndio ukweli, mtu akitaka kunitafuta mimi basi ajiweke sawa, la sivyo shauri lake.

“Kamara kama ulivyomjua alikuwa mtu wa namna gani, unafiri anaweza kwa njia yoyote akawa kajiingiza katika jambo hili?”, nilimuuliza Sherriff huku tukiwa tumesimama kungojea kuingia barabara ya site drive, tukutokea bandarini.

“Mimi nakuhakikishia komredi kuwa Kamara alikuwa hawezi kufanya jambo kama hilo, ni lazima tu iko namna ambayo alishambuliwa na kunyang’anywa karatasi hizo, alinihakikishia Sherriff.

“Oke, naona sasa twende kwenye ofisi ya kamati ya Ukombozi ya OAU”, nilimweleza huku nageuza gari kuingia site drive na kuelekea kwenye ofisi ya kamati.

Tulipofika kwenye mapokezi ya ofisi hii ya kamati na kumkuta msichana mmoja akizungumza kwenye simu, ikatubidi tumsubiri kidogo amalize kuzungumza, niliangalia saa yangu ilikuwa yapata saa sita na dakika tano.

“Samani jamani, sijui niwasaidie nini”, msichana alituuliza.

“Bila samahani binti, sisi tunaomba kumwona Jones Mantare”, nilijibu.

“Mna ahadi naye?”, binti aliuliza.

“Hapa, lakini nafikiri ukimwambia Willy Gamba wa AIA na wageni toka gazeti la Afrika, ambao wanataka kumwona, anaweza kutuona”, nilimweleza.

“Msubiri basi”, huyo msichana alijibu kisha akainua simu na kuanza kuzungumza na ofisi ya Mantare. Jones Mantare alikuwa ananifahamu, maana nilikuwa nimehakikisha kuwa nafahamiana karibu na kila mtu katika ofisi hii ya kamati, yeye alikuwa akinifahamu kama mfanyabiashara, maana ndivyo nilivyojulishwa kwake. Tokea hapo tulikuwa tunaonana mara kwa mara sehemu za starehe na kujenga uelewano wa kutosha, hivyo nilihisi kuwa asingeweza kunikatalia nisimuone, ingawa nilijuwa atakuwa katika hali isiyokuwa ya kawaida. Baada ya kuzungumza kwa muda kwenye simu msichana alitwambia.

“Mnaweza kwenda kumwona, ofisi yake ipo mwisho wa ujia mkono wa kulia”.

“Asante sana binti”, nilimjibu.

Tulimwacha tukaelekea alikotuelekeza. Tulibisha mlango pale tulipokuwa tumeelekezwa.

“Karibu”, tulisikia sauti ya msichana ikitoka ndani. Nilifungua mlango tukaingia na tujikuta katika ofisi kubwa ya mwandishi mahsusi wa Mantare.

“Habari zako bibie”, nilimsalimia kwa niaba ya mwenzangu.

“Nzuri, ni Gamba na wenzake nafikiri?”, aliuliza.

“Hasa”, nilijibu.

“Ingieni moja kwa moja anawasubiri”, alisema huku akisimama na kutufungulia mlango wa bosi wake. Tulipoingia tu Mantare alisimama.

“Ahaa ndugu Willy, karibuni”.

“Asante, asante Jones”.

“Nafikiri niwajulishe, huyu ni ndugu Jones Mantare, ofisa katika kamati hii ya ukombozi, na hawa ni komredi Ahmedi Sherriff na komredi Veronika Amadu. Ni waandishi wa habari wa gazeti la “AFRIKA”.

Walipeana mikono kwa mara nyingine.

“Ehe, mlitaka kuniona, sijui niwasaidie nini?”, aliuliza.
“Hawa makomredi ni wateja wangu, kampuni yangu ndio wakala wa gazeti la Afrika hapa nchini. Hasa kitu kilichotueta hapa ni kutokana na tukio hili la juzi. Nafikiri unaelewa msimamo wa gazeti la Afrika katika ukombozi, na kutokana na msimamo huo wameiomba serikali kama wanaweza kuandika habari za kuaminika juu ya tukio hili. Ni wasiwasi wao kuwa magazeti mengi ya kibeberu yataandika habari za kupotosha, na wao wako hapa ili waweze kueleza jumuia ya ulimwengu ukweli mtupu. Kwa hiyo tutashukuru sana ukiweza kutusaidia katika kujibu maswali machache. Hatutataka kupoteza muda wako kutueleza mengi, maana nakala ya maelezo yako tumeipata toka polisi. Hivi ni nia yetu uweze kutufafanulia katika sehemu ambazo hazieleweki katika tukio hili”.

Niliona kule kutaja nakala ya maelezo yake kutoka polisi kulimtoa wasiwasi aliokuwa ameuonyesha usoni mwake. Niliona macho ya Veronika yakiwaka kuonyesha kuwa nilivyoeleza nimeeleza vizuri sana na Sherriff alitingisha kichwa kuonyesha kuwa niliyoyasema ni sawa kabisa.

“Sawa ndugu Willy, nitakuwa tayari kuwajibu mwaswali yenu, kusema kweli kama ulivyosema, radio za kibeberu zimekwisha tangaza uongo ili kuridhisha maslahi yao. Kwa jinsi hii tutakuwa radhi kuona ukweli unaandikwa na gazeti hili. Haya sijui mna maswali gani?”.

“Inasemekana kuwa hayati Kamara Franki ndiye alikuwa anashughulikia suala hili la silaha. Na amekutwa ameuawa. Nafikiria hizi karatasi zilitokatokaje mikononi mwa marehemu na kuingia mikononi mwa hawa majahiri?. Maana kutokana na maelezo ya Polisi ofisi yenu hii haikuvunjwa mahali popote”, Sherriff aliuliza.

“Sawa kabisa?, kutokana na maelezo ya mwandishi mahsusi wa marehemu, anasema ya kwamba?, wakati marehemu anatoka ofisini alimweleza aweke zile karatasi za kuchukulia silaha ndani ya mkoba wake, kwa sababu alikuwa anategemea kwenda kwenye kikosi cha Jeshi kinachoshughulikia silaha za wapigania uhuru kesho yake, kabla hajaja ofisini. Kwa hiyo, jibu kwa swali lako ni kwamba watu hawa walimnyang’anya marehemu karatasi hizo na ndio sababu wamemuua.”

“Watu hawa unafikiri walijuajuaje kuwa marehemu atakuwa na karatasi hizi ndani ya mkoba wake?”, Veronika aliuliza.

“Hapo ndipo hata sisi tumekwama”.

“Huyu mwandishi mahsusi wa marehemu yupo”, nilimuuliza.

“Ndio yupo”.

“Unaweza kumwita tukazungumza nae kidogo?”.

“Hali yake si nzuri sana, bado ana mshituko kwa ajili ya marehemu. Unajua mnapofanya kazi kwa uhusiano ulio karibu na mtu mnakuwa na urafiki wa hali ya juu sana. Hata hivyo nitajaribu kuwaitieni”.

Alishika simu na kuzungumza na mwandishi wake. Wakati tukimsubiri Veronika alimuuliza tena. “Ofisa wa kule bandarini Ndugu Mlingi anasema mtu aliyempigia simu alikuwa na sauti kama yako, mathalani mambo mnayotaniana yalikuwa vile vile, unaweza kufikiri mtu yeyote hapa ofisini au hata nje anayeweza kuigiza sauti yako kiasi hicho?”.

“Ni imani yangu kuwa mtu kukuigiza kiasi hicho lazima awe mtu aliyekuzoea, na mtu aliyekusikia ukizungumza mara kwa mara, hasa na huyu ndugu Mlingi”.

“Kuesema kweli, nimefikiria kweli juu ya mtu huyu mpaka nimechoka, nitazidi kumfikiria kama wazo likinijia nitakupigia simu.”

Mara mlango ulifunguliwa akaingia msichana mrefu mwembamba mwenye nywele nyingi. Kama unapenda wasichana warefu na wembamba, basi hapa pana msichana wa namna hiyo, jina lake Margreth. Ni mzuri kiasi chake.

“Karibu Margreth”, Mantare alimkaribisha, wote tukasimama akatujulisha kwake. Mwandishi mahsusi alileta kiti kingine na Margreth akaketi.

“Samahani Margreth”, hawa ndugu wana maswali kidogo ya kukuuliza,” Mantare alimwambia.

Margreth hakujibu kiti bali alituangalia tu.

“Samahani sana binti, sisi wote yunaelewa hali uliyonayo, ila imetubidi tukuone tuweze kuzungumza nawe huenda utatusaidia kutatua huu mkasa uliompata bosi wako”, nilimwelezea.

“Niko tayari kuwaelezea chochote kama kitasidia kuwapata watu waliomuua bosi wangu.” Magreth alijibu huku machozi yakimlengalenga.

“Jaribu kukumbuka, nilimwambia, “wakati marehemu anakueleza uweke zile karatasi za kuchukulia silaha kulikuwa na mtu mwingine yeyote?”.

Alikaa kimya kwa muda kisha akajibu, “Hapana”, harafu kama amegutuka akasema, “Ndio nakumbuka sasa, alikuwepo tarishi wetu wa hapa ofisini”.

Nikasikia kengere ya tahadhari inalia kichwani mwangu. Wote tulitazamana.

“Tarishi huyu yuko hapa?”, niliuliza.

“Hapana, ni mgonjwa anaumwa na ameandikiwa kulala siku tano’, Margreth alijibu.

“Toka lini?”.

“Toka tarehe nne”.

“Yaani siku ambayo ilibainika kuwa silaha zimeibiwa na bosi wako ameuawa?”.

“Ndio”.

“Yaani atakuwa kazini tarehe tisa”.

“Ndio”.

“Una uhakika kabisa alikuwepo?”.

“Ndio”.

Habari kama hizi mimi ndizo huwa zinanitibua, maana wakati kifo kinatokea haafu kinatokea kitu kingine chenye uhusiano wa karibu namna hii, basi hapo ndipo huwa naanza kujumulisha moja kwa moja na kupata mbili.

Nilimgeukia Mantare na kumwuliza, “Huyu tarishi ndiye alikuwa tarishi wa ofisi nzima?”.

“Ndio’.

“Anaitwa nani?”.

“Anaitwa George Kiki”.
“Mmekuwa naye muda gari?”.

“Yapata miezi sita sasa”.

“Ni MTANZANIA!”.

“Hapana ni mkimbizi kutoka Afrika Kusini, aliletwa kwenye ofisi yetu na chama cha wapigania uhuru cha Afrika Kusini kilichopo hapa mjini cha SANP. Ili tumsaidie. Alipokuja hapa alitupa maelezo yake na kuonekana ni kati ya vijana walioanzisha maandamano ya kitongoji cha Soweto huko Afrika Kusini. Alieleza kuwa yeye alipata mwanya wa kutoroka gerezani ndipo akakimbia na kuweza kufika hapa baada ya safari ndefu ya taabu. Kwa vile alikuwa hana kisomo cha kutosha jinsi yeye alivyojieleza tuliamua kumpa kazi ya utarishi ili kumsaidia. Kusema kweli amekuwa kijana mwenye bidii sana, na anapendwa na kila mfanyakazi wa hapa, hasa kwa nidhamu yake, na utekelezaji wa kazi yake”.

“Kwa hivi alikuwa na fursa ya kuingia ndani ya ofisi ya mtu yeyote wakati waowote ili kuchukua mafaili na mambo kama hayo?”.

“Hasa ndivyo ilivyokuwa”.

“Anaishi wapi?”.

“Anaishi huko Kinondoni sehemu za Hananasifu Estate katika nyumba za shirika la nyumba”.

“Nyumba yenyewe unaijuwa?”.

“Mimi nimewahi kufika kwake; tumewahi kumpeleka na marehemu”, alisema Margret huku tena machozi yakimlengalenga.

“Samahani Mantare, sijui unaweza kumruhusu Margret akatuelekeza kwa Ndugu Kiki?”.

“Bila wasiwasi mnaweza kwenda nae”.

Niliwaangalia wenzangu nikaona wameridhika na maswali na majibu ya hapa, hivyo kwa niaba yao nikamshukuru ndugu Mantare.

“Ikiwa tutahitaji jambo lolote tutarudi tena au tutapiga simu. Na wewe ukipata jambo lolote usisite kutufahamisha”.

“Hamna tabu, nitafurahi kuwasaidia”.

Tuliagana tukaondoka kuelekea Kinondoni.

“Mimi naona tukapate chakula cha mchana kwanza”, Sherriff alishauri.

“Sawa”, walijibu kwa pamoja. Sherriff alikaa nyuma pamoja na Margret na wakati huo mimi naendesha nikiwa katika mafikara mengi, Sherriff alichukua jukumu la kumtuliza Margret akimweleza mambo mengi juu ya matatizo ya binadamu na kumwambia kuwa asihuzunike sana maana ndiyo binadamu. Kadiri Sherriff alivyozidi kusema ndivyo Margret uso wake ulizidi kutokwa na huzuni kwani mimi nilikuwa nawaangalia katika kioo cha kuendeshea. Hata Sherriff alipofika kusema yeye huwa anaamini kuwa kwa kila linalotendeka linatendeka kwa ajili ya uzuri, nilimwona Margret anamwemwesa kwa mara ya kwanza, na ndipo sura yake ilionyesha uzuri aliokuwa nao. Niliona hata Sherriff aligundua uzuri huo, kwani uso wake ulibadilika kiasi cha kwamba moyo wake uliguswa.

Tulifika New Afrika Hoteli, nikaegesha gari wote tukatoka nje. Basi, moja kwa moja tulifuliza kwenda kwenye lifti ya kutupeleka orofa ya kwanza ambapo ndipo Bandari Grill ilipo. Mbele yangu nilimwona Eddy anavuka sehemu ya mapokezi, halafu akazungusha kichwa akaingia kwenye choo kilichopo hapa chini. Hii ilikuwa ishara kuwa alitaka kuniona.

“Samahani jamani nasikia nimebanwa haja ndogo, tangulieni nakuja sasa hivi. Margret, we ndiye mwenyeji washughulikie wagaeni”.

“Bila wasiwasi”, alijibu akiwa anaanza kupona kutoka katika mshituko alioupata.

Niliingia maliwatoni nikamkuta Eddy ananisubiri.

“Mpaka dakika hii hakuna chochote”, aliniambia bila kuniangalia.

“Sawa, nendeni mkale halafu nenda ofisini nitakukuta huko kiasi cha  saa kumi hivi”.

“Oke”, alisema huku akielekea kwenye mlango wa kutokea.

Mimi nilimaliZa haja yangu ya uongo na kweli nikaondoka kujiunga na wenzangu. Tulipata muro safi sana hapa Bandari Grill, na kwa sababu kila mtu alikuwa na njaa tulikula kimya kimya.

“Nasikia kichwa kinaniuma”, Veronika alilalamika.

“Nafikiri kwa ajili ya hali ya hewa. Joto jingi sana kuliko ulilozoea”, nilimjibu.

“Kama ni hivyo afadhali ukameze dawa upumzike, sisi tutakwenda kumwona Kiki halafu tutakuja kukuona”, Sherriff alishauri.

“Naona hivyo ni sawa”, alijibu.

Basi tulikubaliana Veronika apumzike sisi tuendelee na shughuli. Tuliondoka New Afrika na kumtelemsha Veronika Kilimanajaro.

“Vero mpenzi, kuna gari lile pale unaweza kulitumia wakati wowote. swichi iko chini ya zulia”, nilimuonyesha gari ambalo Eddy alikuwa ameliacha hapo. Sisi tuliondoka na kuendelea na safari yetu ya Kinondoni.
“Twende kupitia barabara ya Upanga moja kwa moja, halafu tukivuka Salendar briji mbele kuna barabara ya Kinondoni hivyo tutaingia kushoto. Sehemu iko mbele ya makaburi. Baada ya makaburi kuna barabara la vumbi, linakatisha barabara hii. Tukiacha hilo na kuendelea mbele tukakuta barabara nyingine ya vumbi inaingia kushoto na kuna kibao kimeandikwa Bamboo Baa and Restauranti, basi hapo ndipo tutakapoingia”, alieleza Margret kwa ufasaha kabisa.

Mimi hupenda maelezo ya namna hii, siyo mtu amefika mahali pa kukata kona ndipo anasema, kata hapa kushoto. Maelekezo hayo ni ya kihuni na ndiyo anayosababisha ajali nyingi.

Nilifuata maelezo ya Margret vizuri kabisa, nilipotaka kuingia kushoto pale kwenye bao la tangazo la Bamboo Baa and Restauranti, Margret alisema, ‘Njia hapa si nzuri twende pole pole, halafu mbele kidogo utakata kushoto tena tuelekee kwenye nyumba hizo pale”, alinielekeza na kuonyesha kwa kidole.

Niliendesha pole pole nikaikuta njia na kuifuata kuelekea kwenye nyumba hizi za shirika la nyumba.

“Baada ya nyumba hiyo yenye bendera ya CCM, ambayo ndiyo ya mjumbe, ya pili yake”.

“Hapa?”.

“Ndio, mlango huu huu”.

Nyumba hizi zinakaa familia mbili mbili, lakini zimetengwa katikati kiasi kwamba kila familia ina sehemu yake kamili. Tulitoka ndani ya gari, Margret akatangulia na kibisha hodi. Lakini hatukupata jibu. Nilisikia moyo wangu unapiga haraka haraka, hii ni sirika niliyozaliwa nayo, na ilikuwa ni ishara kuwa kuna hatari.

“Hebu ngoja Margret”, nilimwambia nikimrudisha nyuma.

Niliujaribu mlango ukafunguka nikamwita Sherriff na kumwambia hakuna mtu, tulifungua mlango mwingine uliokuwa unaelekea jikoni, bafuni na chumba cha kulala. Tukiwa wote na wasiwasi tukibisha hodi kwenye mlango wa chumba cha kulala. Lakini hatukupata jibu. Nilitoa Bastola yangu, na kusukuma mlango wazi.

Tulimkuta mtu ambaye tuliamini ni Kiki amechomwa kisu kifuani!, nilipomshika nikajua alikuwa amekwisha kufa saa nyingi sana. Kisu kilikuwa kimeachwa pale kifuani. Kilikuwa kisu kikubwa na mpini wake mwekundu. Tulimwita Margret aje atuhakikishie.

Akiwa anatetemeka kwa woga alikuja na kusema, “Ndiye yeye masikini”, akaanza kulia tena tulimbembeleza na kumvuta na kuondoka haraka haraka ndani ya nyumba hiyo. Tuliingia katika gari langu na kuelekea mjini. Sasa nilianza kuongeza hesabu kwamba mbili na mbili na kupata nne. Na vile vile majahiri hawa walianza kunitisha kwani mbinu zao zilikuwa kubwa. Lakini hata hivyo mbinu za Willy ni kubwa zaidi.

“Mapambano yameanza Sherriff”, nilisema kwa sauti ambayo sikuamini ilikuwa yangu.

“Na kweli yameanza”, Sherriff alijibu.

Wakati huo tulikuwa tumesimama kwenye taa za usalama barabarani za salendar briji tukuelekea New Afrika. Saa yangu ilisema ni saa kumi na dakika mbili.

“Naona mimi mnifikishe nyumbani”, Margret aliomba.

“Unakaa wapi”.

“Ninakaa kwenye orofa pale nyuma ya Rex Hoteli”.

“Nazijua orofa hizo, uko orofa ya ngapi, maana tunaweza kukuhitaji ama kikazi ama katika hali ya kustarehe, unasemaje?”.

“Karibu mimi niko orofa ya pili chumba namba kumi na nane. Simu yangu ni 22221”.

Basi wakati huo tulikuwa tumefika Posta ya Azikiwe, tulipofika kwenye sanamu ya Bisimini, tukaingia Independent Evenue.

“Unajua”, Margret alitugutusha.

“Ehee”, nilijibu na kumwangalia ndani ya kioo cha kuendeshea, maana yeye alikuwa amekaa nyuma.

“Sijui ni mafikara yangu, ila tu limekuja kama wazo la kunishangaza, maana baada ya kutokea mambo haya kila kitu nakiona si cha kawaida kinanigutusha”.

“Nini kimekugutuusha?”, Sherriff aliuliza akionesha msisimko.

“Unajua pale kwenye lango la kuingia ndani ya ofisi yetu kumekuwa na mwendawazimu ambaye amekaa pale zaidi ya mwezi mzima. Amekuwa amevaa matambalatambala tu na amebeba makopo mengi, sijui mmemuona?”.

“Mimi nilimwona”, Sherriff alijibu.

“Mimi sikumwona”.

“Polisi walikuja kumchukua siku moja, na kumpeleka kunakohusika lakini hazikupita saa tatu akarudi. Alikuwa hatoki pale hata dakika moja, usiku na mchana kutokana na walinzi wa usiku wanavyosema. Leo mlipokuja alikuwepo maana mimi niliona gari lenu linaingia wakati natoka kunywa chai. Gari lenu lilipoingia na yeye alivuka lango akaingia ndani. Hii ni kawaida yake, kwani huwa anaombaomba kwa kila mgeni anayefika pale ofisini na ndio sababu aliitiwa polisi kwa sababu anawafadhaisha wageni wetu. Gari lenu mliliegesha mbele kabisa ya mlango wa kuingia mapokezi na kutoka ndani ya gari haraka hivyo hakuwahi. Mimi nilipoingia pale mapokezi nilikuta nyinyi mmekwisha kwenda ofisini kwa Mantare ila nilimkuta yule kichaa anamuuliza yule msichana wa mapokezi. Hawa watu wanasema wanatoka katika gazeti la Afrika. Yule msichana wa mapokezi alikasirika na kumfokea, Toka hapa! kama wanatoka gazeti la Afrika watakufaa nini wewe?, wana kazi ya maana kuliko kuonana na mwendawazimu kama wewe. Toka!”.
“Kitu cha kushangaza ni kwamba wakati tunaondoka pale ofisini kwetu nakumbuka sikumuona wala makopo yake na kilago chake hakikuwepo, sijui jambo hili lina maana yoyote au mnaonaje nyinyi wenyewe?”, alimalizia Margret.

“Unasema alikuja hajawahi kutoka pale hata dakika moja, ila tu siku ile aliyochukuliwa na polisi kwa muda wa masaa matatu?”, nilimuuliza.

“Nina uhakika kabisa maana mimi damu yangu ilikuwa haipatani na yule mtu kabisa, na ni mimi niliyefanya kampeni ya kumuitia polisi lakini aliporudi alionekana kuwa maafisa wote walidharau kumchukulia hatua tena”.

“Ukimwangalia alikuwa anaonekana kichaa au unafikiri anajifanya tu?”, nilimuuliza.

“Kitu kilichonikosanisha naye ni kwa sababu siku moja aliniambia yeye si kichaa ila anajifanya tu ili kujipatia pesa bila jasho. maana ilikuwa ukimwangalia sana wakati yeye hana habari anakuwa kama si mtu kichaa, ila huwa anapoona watu anakuwa kichaa kabisa”.

“Asante sana, kumbuka jambo hili linaweza likawa na msingi tutaliangalia”.

“Asante”.

Niliegesha gari mbele ya Rex Hoteli.

“Wakati wowote tutegemee”, nilimweleza huku akitelemka.

“Mnakaribishwa”, akiwa zaidi anamwangalia Sherriff. Sherriff alitoa mkono wake wakapeana mikono. Tayari kulikuwa na kitu kinapita kati yao, maana nyuso zilikuwa wakati wanapeana mikono, mimi ndiye najua, maana hata mimi hali hii inanitokea. Walikuwa wameanguka katika penzi.

“Mimi naona turudi pale ofisi ya kamati tukahakikishe kama kweli hayupo pale yule kichaa”, nikimwambia Sherriff.

“Sawa”.

Tulikwenda kimya kimya kila mtu akichambua mambo, tuliyokuwa tumeyapata na kuyaona, tulipofika pale ofisini tulimkuta mlinzi wa jioni anayeingia kazini saa tisa wanapofunga kazi mpaka saa kumi na mbili asubuhi, ilionekana alikuwa anafanyakazi masaa mengi sana, lakini yeye alipenda kazi yake na kuridhika na kipato alichokuwa anakipata, baada ya kutusalimia na kutueleza hizo saa zake za kazi, nilimuuliza.

“Unajua kulikuwa na mzee mmoja kichaa hapa sijui amehamia wapi?’.

“Hata mimi nashangaa, kichaa huyu alikuwa hatoki hapa hata dakika moja. Hata haja zake alikuwa akiifanya hapa hapa karibu. Polisi walimchukua hapa akawachenga akarudi mwishowe wakamwachia akae tu. sasa leo nafika nakuta kiisha ondoka na wala harufu yake hakuna. Nimeshangaa sana. Amekaa karibu mwezi mzima”.

“Ulikuwa unapata fursa ya kuzungumza nae?”.

“Si mara nyingi, ila tu siku moja nilikuja na ……….akasita kusema.

“Sema tu usiogope, hata kama ni siri, sisi tutakufichia”.

“Lakini nyinyi ni akina nani?”.

“Sisi tunashughulikia wagonjwa wa akili, tumepata habari toka polisi kuwa kuna mwendawazimu hapa, hivyo unaweza kutueleza tabia yake ili tuweze kumtafuta. Kwa hiyo usisite kutueleza”, nilidanganya.

Baada ya kutafakari mambo haya aliendelea, “Siku moja kulikuwa na tafrija hapa ofisini jioni. Mimi niliweza kwa mbinu zangu kujipatia mzinga mzima wa whiski aina ya ‘Dimple’ nikauficha wagaeni wote walipoondoka, nilitoka nje ya lango na kuanza kunywa huu mzinga wa whiski. yeye alipoona ninakunywa hii whiski alikuja na kopo lake akaniomba kwa vile nilikuwa najuwa siwezi kumaliza chupa nzima nilimgawia nusu basi alikunywa ile pombe kama maji. Basi ilipomkolea akaanza kuzungumza Kiingereza ila mara kwa mara alisema neno sijui ‘Sazafrika’ neno hili alilirudia mara nyingi. Na nyinyi mnajua vichaa mimi niliachana nae nikaendelea na shughuli zangu. Sasa sielewi kama kilikuwa Kiingereza sawa sawa. Lakini kitu kilichonivutia ni kule kutamka hicho Kiingereza chake kama mzungu. Lakini husema kichaa ana mashetani saba, anaweza kuzungumza lugha saba tofauti.”

“Asante sana, na samahani sana kwa kukubugudhi”, Sherriff alitoa mfukoni shilingi arobaini akampa. Yule Mzee alifurahi sana.

“Mungu awaongezee wanangu”.

Tuliingia ndani ya gari tukaondoka zetu.

“Unaona mambo yalivyo Sherriff?, hii inaonyesha wazi kuwa George Kiki alikuwa ni jasusi aliyepachikwa hapa na mabeberu na wakafanikiwa. Mimi simulaumu mtu yeyote, hata mimi huenda ningemsaidia kupata kazi. Baada ya mabeberu kujua mkataba wa silaha kati ya PLF na Urusi miezi sita iliyopita walichukua hatua ya kuhakikisha hizo silaha haziwafikii wapigania uhuru wa PLF maana inasemekana ni silaha za kisasa kabisa. Tutakapoonana na kiongozi wa PLF atatueleza zaidi, kuajiliwa kwa kiki miezi sita iliyopita kunaoana kabisa na nyakati za mkataba huo. Inaonekana kazi ya jasusi huyo ni kujua mambo yote yanayotendeka juu ya huo ili mwishowe aweze kuiba hizo karatasi za kuchukulia silaha, jambo hili amefanikiwa”, nilinyamazi kidogo.

“Kwanini wamwue?”, Sherriff aliuliza.

“Kwa sababu hawakuwa na haja nae tena, asije akashikwa na kutoa siri. Hii inanionyesha jinsi watu hawa walivyo wajuzi katika kazi yao, hawataki kufanya makosa”.

Wakati huu tukizungumza tulikuwa tukielekea mjini.

“Juu ya huyu kichaa unasemaje?”.

“Huyu kichaa nae ni jasusi. Ninavyoona mimi huyu aliwekwa pale ofisini kusudi aweze kuona nini kitatokea hapo ofisini baada ya silaha kuibwa. Aliwekwa mwezi mmoja ili kuondoa mashaka. Hivyo alikuwa anangoja kuona baada ya polisi na maofisa wa usalama ni nani mwingine aliyekuwa na dukuduku juu ya jambo hili. Aliposikia waandishi wa habari wa gazeti la Afrika nao wamejiingiza akawa amemaliza kazi, akaondoka kwenda kupeleka ujumbe, ni wazi kabisa wao walijuwa polisi na maofisa wa usalama watalishughulikia jambo hili na ninafikiri walishapima uzito na kuona wanaweza kukabiliana nao. Hivyo walingoja wajue kama kuna kundi jingine litakalojiingiza katika katika upelelezi wa tukio hili. Sasa wamejua; kwa hivyo waandishi wa gazeti lazima muwe macho. Tokea sasa kaeni katika tahadhari; lolote linaweza kutokea. Unaonaje maoni yangu?’.

“Lo Willy, ndio maana wewe ni mpelelezi maarufu katika Afrika. Maelezo yako yanaeleza hali halisi kabisa. Na swali ulilomuuliza Margret kama kuna mtu mwingine aliyeweza kuona akiweka karatasi ndani ya mkoba, mimi nilikuwa silifikilii kabisa na ndilo swali lililotupa mwanga. Kweli kila mtu na kazi yake”, alisifu Sherriff.

“Lakini maswali mliyouliza ninyi vile vile ni ya maana sana, nafikiri kuliko waliyoulizwa na Polisi. Sidhani Polisi wameishafikia hii tuliyofikia kwa muda huu mfupi”.
Mara wazo likanijia.

“Lile jambo lililokuwa linakutatanisha nimepata jibu lake. Swali la nani aliyepiga simu kwa Mlingi akiiga sauti ya Mantare na maneno ya Mantare aliyozoea kuzungumza na Mlingi”.

“George kiki”, alijibu Sharriff.

“Kabisa, unajuwa Kiki alikuwa anaingia ndani ya kila ofisi ya ofisa akiwa kama tarishi. Swali hili nilimuuliza Mantare akakubali. Hivyo Kiki akiwa jasusi aliyefundishwa, ninavyofikilia, haikuwa kazi kumsiliza Mantare katika simu zake nyingi na ninafikiri alifanya kila njia kusikiliza simu kati ya Mantare na Mlingi. Hii inaonekana wazi kabisa”.

“Lo tunaanza kuona mwanga sasa”, Sherriff alisema.

“Kweli tumeona mwanga, lakini ni mwanga unaotufikisha kwenye giza nene. Maana Kiki ambaye angetupa fununu ya watu hawa amekufa, yule kichaa lazima ameshapotea hewani, gtumerudi pale pale”.

“Watu hawa ni akina nani na silaha hizi ziko wapi?”, niliuliza swali hili wakati naegesha gari New Afrika.

“Hilo ndio swali gumu lakini afadhali tunajua Afrika Kusini inahusika, maana Kiki katokea huko. Na yule kichaa alipolewa alizungumzia Sozafrika ambayo nasadiki ni South Afrika”.

“Sawa kabisa, lazima tujuwe tunapambana na South Afrika na haikosi shirika lao la ujasusi ‘BOSS’, linasaidiwa na mashirika mengine ya ujasusi ya nchi za kibeberu. Hivyo tutakuwa na kazi ngumu maana watu hawa nimewahi kupambana nao ni watu hatari kabisa”.

“Tumwombe Mungu atasaidia”.

“Na wewe ukijisaidia”, nilijibu.

Wote tukacheka na kutoka ndani ya gari. Ilikuwa saa kumi na moja. Hivyo kabla hatujavuka barabara nilionelea nifike ofisini kidogo halafu niende nyumbani.

“Sherriff mimi nafika nyumbani kidogo, nitakuona saa kumi na mbili kamili”.

“Sawa nitakusubiri hapa duka la kahawa”.

oke basi saa kumi na mbili”.

Niliingia ndani ya gari na kuondoka. Nilipofika ofisini nilimkuta Eddy na vijana wengine. Linda alikuwa ameshaondoka.

“Eddy kuna mtu mmoja anaitwa George Kiki, alikuwa akifanyakazi kwenye ofisi ya Kamati ya ukombozi kama tarishi?, hapa aliingia kama mkimbizi baada ya kutoroka Afrika Kusini. Alifika ofisi za chama cha SANP, ambao walimpeleka kwenye Kamati ya Ukombozi waweze kumsaidia angalau kazi yoyote. Inawezekana hana kisomo cha kutosha. Nataka ukague habari hii kwa kutumia njia zetu za kawaida. Unaweza kuwajulisha makomredi wetu kule Soweto, nadhani watakuwa na maelezo kamili. Habari hizi nazitaka haraka. Kila kitu, aliingiaje hapa alikwendaje kwenye ofisi za SANP alikuwa anaishi namna gani, nani walikuwa rafiki zake nk. wewe unajua”.

Eddy aliyekuwa anachuku maelezo haya alijibu.

“Atashughulikiwa bosi, usiwe na wasiwasi”.

“Chifu yuko?”.

“Kaondoka”.

“Haya asante, usitoke mpaka nitakapokujulisha tena”.

“Mimi nipo”.

Ndio sababu nilimpenda mtoto huyu. Nidhamu yake kwangu ilizidi ya mdogo wangu ambaye tumetoka ndani ya tumbo la Mama Willy. Niliingia ndani ya gari nikaelekea zangu Upanga.

Niliposimamisha gari mbele ya mlango, moja kwa moja macho yangu macho yangu yakaangukia kwenye kitu kilichokuwa kwenye ubao wa juu ya mlango mkubwa wa kutokea nje. Nilitoka nje ya gari haraka haraka nikiwa tayari kwa mapambano.

Nilikuta ni kisu chenye mpini mwekundu kama kile tulichokikuta kwenye kifua cha maiti  Kiki; ncha yake ilitumiwa kama kipini cha kubandika kipande cha karatasi pale mlangoni.
Niliking’oa nikachukua karatasi na kusoma yaliyobandikwa hapo yalisema.

Willy Gamba, kama unathamini maisha yako achana na hao watu wa gazeti la Afrika. na kama ni rafiki zako waambie waondoke hapa mjini tunawapa mpaka saa kumi na mbili jioni wawe uwanja wa ndege. Vinginevyo yaliyompata Kamara Frank yatawapata na nyinyi. Hili ni onyo kali na si mchezo. Shughulika na mambo yako usishughulike na mambo ya watu wengine. Wapo wenyewe wanaohusika waachie. Nasema tena saa kumi na mbili jioni leo wawe uwanja wa ndege na wewe baada ya kuwafikishia habari hizi tusikuone unashughulika zaidi ya kazi yako ya kawaida ya AIA Subiani.

Kwanza nilicheka maana niliona kazi sasa inaanza. Hii inaonyesha upelelezi wetu ulikuwa  umewashitua kuliko wa Polisi. Nilijua yule kichaa alifanya kazi yake vizuri sana, maana ni yeye tu aliyetufahamisha kwa majahiri wenzake. Hiki kisu chenye mpini mwekundu ilimaanisha damu. Nami niljua damu imeanza kunuka.

Nilifungua mlango nikaingia ndani, nikakoga haraka haraka kisha nikabadilisha nguo nilifungua sanduku langu la silaha na kuchukua bastola zingine mbili kwa madhumuni ya kuwapa Sharriff na Verokika kwani hakukuwa na mchezo tena, maana upatapo onyo toka kwa watu kama hawa huwa hawatanii. Kisha niliinua simu na kupiga kituo cha Polisi cha Salendar Bridge.

“Hallo kituo cha Polisi hapa”.

“Sikiliza, nenda Kinondoni Hananasifu, Estate kwenye nyumba ndogo ndogo za shirika la Nyumba nambari IIC utakuta kuna maiti ambayo ina zaidi ya masaa ishirini na nne”, kabla hajatamka neno nilikata simu. Niliangalia saa yangu muda ulikuwa umekimbia na ilikuwa saa kumi na mbili kamili. Niliingia ndani ya gari nikakimbilia New Afrika.

Nilipoingia duka la kahawa sikumwona Sherriff nikapata wasiwasi. Nikaenda mapokezi kuuliza wakaniambia aliacha habari kuwa amekwenda dukani mara moja nimsubiri. Nilirudi nikasimama nje pale magari yanapoleta watu New Afrika yanapozungukia. Niliangaza huku na huku na mara nikamwona Sharriff anakuja akiwa anavuka tawi la Benki ya nyumba. ghafla alipokuwa anataka kuvuka barabara ilitokea gari sijui wapi ikapiga breki, wakatoka watu wawili haraka kama umeme, wakamvuta Sharriff ndani ya kiti cha nyuma cha gari, na gari hilo likaondoka tena kama umeme. Kitendo hiki hakikuchukua hata nukta tano.

Watu wote waliduwaa wasijue cha kufanya, lakini mimi Willy nilijua la kufanya. Nilikimbia kwenye gari Eddy alilokuwa amekodi na kuliacha New Afrika. Kwa vile alikuwa ameliegesha vizuri niliingia na kuondoka kama umeme. Nilikuwa nimeona lile gari linakata kulia kutoka barabara ya Azikiwe kuingia Azania Front. Nilipoingia Azania Front niliona gari lao linafika kwenye ofisi za NASACO nikacheka.
TWATOANA JASHO

Niliongeza gari moto ili wasije kunipotea. walikata kulia wakaingia mtaa wa Railway, nilipoingia mimi mtaa huu wao walikuwa wamefika kwenye mzunguko wa ‘Clock Tower’ na kuingia mtaa wa Nkurumah.

Kwenye mtaa huu wa Nkurumah niliwakaribia kabisa, nikiwa nimeacha gari mbili tu kati yangu na wao. Niliona mmoja katika gari lao akitoa kichwa nje na kuangalia nyuma, nadhani wanadhani nitawafuata na gari langu ambalo wanalijua sana. Lakini hawajui Willy ni mtu wa namna gani. Wakati huo nilikuwa naendesha gari aina ya Fiat 132 GLS, na si Colt Gallant Sports kama ambavyo walikuwa wanafikiria.

Walikwenda moja kwa moja na kushika barabara ya Pugu. Walipofika kwenye njia panda ya barabara ya chang’ombe na Pugu, walikata kushoto na kuingia barabara ya Chang’ombe. Saa hizi magari hayakuwa mengi hivyo kila gari lilikwenda kasi. Nilikuwa na bahati kuwa magari yale mawili yaliyokuwa kati yangu na wao nayo yalikata na kuingia barabara hiyo hiyo kuzidi kunificha.

Walipofika kwenye sehemu ambayo barabara ya Mbozi inagongana na Chang’ombe walikata kulia na kufuata barabara hiyo. hizi gari mbili mbele yangu zilionyesha kuwa zilikuwa zinaendelea na barabara ya Chang’ombe. Nilipunguza mwendo ili wasije wajanitambua. Mara nilisikia wanapiga honi ya namna ya pekee kabla ya kufika kwenye jengo la Kampuni ya rangi ya Sadolins.

Ghafla lango la uwa la bohari moja lilifunguliwa na bila hata kupunguza mwendo, gari hii ilikata kushoto na kuingia ndani na hapo lango likafungwa. Mimi nilipitiliza kama kwamba sina habari na watu hawa. Ilikuwa inakaribia saa moja za jioni, hivyo giza lilikuwa limeanza kuingia. Nilisimamisha gari langu kama mita mia mbili hivi, nikaanza kurudi haraka kwa miguu.

Bohari hili ambalo lilikuwa limezungukwa na ukuta wa matofali ya saruji, lilikuwa limeandikwa ‘Mamlaka ya Pamba’. Mimi nilishangaa sana kwani sikujua hii ni maana gani. Ukuta wa uwa huu ulikuwa na urefu usiozidi futi kumi na mbili, hivyo kwangu ukuta kama huu kuupanda ni kazi ndogo. Nilikwenda kwenye upande wa lango kubwa, nikazunguka pembe ya kushoto ya uwa huu. Ukuta huu ulikuwa unapakana na ukuta wa bohari nyingine la namna hiyo hiyo kwa upande huu wa kushoto.

Nilikwenda kama hatua tatu hivi kwenye nafasi hii ya kati ya mabohari haya, nikavua viatu, nikarudi nyuma kidogo halafu nikaurukia huu ukuta na kuukwea huku mikono yangu ikikamata juu yake. nilivuta mwili wangu wote kimya kimya kama paka nikachungulia ndani ya uwa.

Pale karibu na mlango nilimwona mtu amevaa koti refu la khaki rangi nyekundu lililokuwa linavuka magoti yake kidogo huku ameshikilia bunduki ya aina ya ‘SMG’ na akiangalia mlangoni. Bila kufanya hata chembe ya kelele nilivuta mwili wangu wote na kutambaa kama nyoka juuya ukuta huu uliokuwa na upana wa futi moja. Nilitambaa mpaka nikawa karibu kabisa na mtu huyu kwa juu yake bila yeye kufahamu. Nilijirusha chini na kufanya kishindo kidogo nae akageuka. Mimi nilikuwa tayari nikamkata karate ya shingo kabla hajajua nini kinamjia. Akazilai. Nikamshikilia na kumlaza chini taratibu. Muda kitambo aloikufa.

Nilimvua lile koti lake nikalivaa mimi, halafu nikamnyanyua tena nikamlalisha chini na kumwegemeza kwenye ukuta. Nilichukua bunduki yake ambayo ilikuwa imejazwa risasi, nikafurahi sana kishika silaha namna ile. Mimi nikiwa na silaha namna ile hata likija jeshi la watu mia hawaniwezi. Nilijidhatiti tayari kwa mapambano zaidi nikanyata kwenda nyuma ya jengo la bohari ambako niliamini kuna mlango mwingine. Nilipofika kwenye pembe ya ukuta wa kushoto nilichungulia. Niliona kuna mlango wa mbele wa mlango alisimama mlinzi mwingine akiwa amevaa sawasawa na yule wa kwanza; koti refu jekundu.

Alikuwa nae ameshika bunduki ina ya ‘SMG’, niliona anafungua mlango anasema kwa sauti kali “Fanhyeni haraka bwana, kama hataki kueleza si niambieni mimi akaonane na babu zake huko ahera”. Alirudisha mlango akaangaza huku na huku. Kutokana na maelezo yake ni kwamba Sherriff alikuwa anaswalishwa na majahiri na bila shaka alikuwa akipata kipigo kikubwa.

Nilitumbukiza mkono ndani ya mifuko ya koti nililovaa nikakuta mna sigara na hamna kiberiti. Wazo likanijua nikamfanyia yule mlinzi ‘sss’ aligeuka akaniona akidhani ni mwenzake, nilimuonyesha sigara na kuwa nataka moto. Bila kusita akaja akatoa kiberiti na kwa ajili ya giza sasa hakuweza kunitambua sababu ya lile koti. Aliponyoosha mkono kunipa kiberiti. Kama radi nilimrukia na kumpiga karate ya mikono miwili shingoni. Sikuwa na haja ya kumwangalia maana nilijua kwa kipigo hicho hawezi kuishi. Nilimvutia upande huu wa kushoto na kumwegemeza kwenye gari lao. Nilichukua bunduki yake iliyokuwa na ukanda mrefu nikaingika begani na kuiweka mgongoni.

Sasa njia ilikuwa wazi kwenda mpaka mlangoni, kwa kutokana na ujuzi wangu wa kuiga sauti ya yule mlinzi wa nje kwa maneno yake aliyosema mimi nilisema. ‘Vipi hajasema lolote?,” nikiwa nimefungua mlango kidogo na kuchungulia ndani. Bohari lilikuwa limejaa robo tu ya marobota ya pamba. Sherriff alikuwa ameshikwa na watu wawili na mmoja alikuwa amebeba bao akimtandika tumboni kwa nguvu sana.

“Sema nyie si waandishi wa magazeti ila ni wapelelezi, ndio”.

“Yote ya kweli nimeshaeleza “.

Kabla hajaanza kumpigab tena nilisema. “Mmoja wenu aje hapa, mimi mnanijua hivyo hatachukua dakika kabla hajasema uweli wake”.

Shomvi alikuja akikimbia, nikamfungulia mlango na kurudisha mara moja. Alipoangalia ba kutambua mimi si Luis akataka kupiga kelele lakini nilimwahi karate ya katikati ya kichwa akafa bila kelele. Watu wa mle ndani waliokuwa wamemshikilia Sherriff walikuwa hawana bastola mikononi ila zilionekana kwenye mapaja. Nilifungua mlango ghafla SMG mkononi nikamwahi mmoja wao kabla hata hawajaelewa nini kinatokea.

“Ukijaribu chochote umekufa”, nilisema kwa sauti ya kutetemesha.

Sherriff alishangaa kuniona akaruka ile maiti akasimama upande mwingine. Niliona ile SMG ya pili nikampa, akatabasamu. Jinsi alivyoijaribu mkononi nilikua huyu mtu anajua kuitumia.

“Chukua hizo silaha zake”, Sherriff alimkagua akatoa bastola mbili zenye sailensa na visu viwili vyenye mpini mwekundu.

“Ah, ni wakati wako sasa kujibu maswali yetu, nyinyi ni nani”, nilimwuliza.
“Mimi sijui, mimi niliajiriwa tu leo hii asubuhi na Kimkondo, huyu uliyemwua hapo chini, kuwa kuna kazi ya kumkamata mtu mwenye habari ambazo wakubwa wake wanataka. Pesa tulizolipwa zilikuwa nyingi, shilingi elfu kumi kwa kila mtu kwa kazi ya masaa machache tu nami nikakubali, kusema ukweli sijui lolote”.

“Yeye Kimkondo anafanya kazi gani?”.

“Yeye ni jambazi tu anayepewa kazi ya ujambazi hapa na pale”.

ITAENDELEA

SALAMU KUTOKA KUZIMU – 2




Simulizi : Salamu Kutoka Kuzimu
Sehemu Ya Pili (2)

“Najua kitakachotokea. Sinywi pombe hiyo. Acha nijifanye kama nakunywa ili nimpumbaze huyu anayetaka kuniua. Nitakuomba wewe uwe msiri wangu. Mwache aamini kuwa ameniua. Mwache kila mtu aamini kuwa nimekufa. Nataka kufahamu hawa waliokusudia kuniua jambo gani wanakusudia kutenda”.

waridi aliduaa. “Ume… umewezaje kujua? aliuliza kwa kunong’ona.

“Niliwahi kufika eneo hili mapema na kumsikia alivyokuwa akikuamru. Nawe pia lazima ufahamu kuwa uko hatarini. Huyu ni mtu hatari. Mara tuu utakapotoka hapa, toroka uende kokote asikoweza kukufikia. Sasa acha nijifanye nainywa pombe yake”. Joram akaongeza sauti kusema. “Glasi? Acha ninywe kihuni”.

Joram aliifungua chumpa moja na kuingia nayo msalani ambako aliimimina nusu kwenye tundu la choo, Akarudi na kuitua mezani huku akiendelea kuongea na Warid, mazungumzo yao yalifanyika taratibu kwa sauti ya chini. Mara kadhaa Joram alimshika waridi na kumtomasa hapa na pale kwa ajili ya kumtoa hofu.

“sasa mpenzi sikia”, aliongeza. “Ninaye mgeni ambaye atakuja ofisini kwangu baada ya nusu saa kuanzia sasa. Baada ya kumalizana na mgeni huyo, leo kutwa nzima nitakuwa huru. Waonaje niende ofisini mara moja na kurudi sasa hivi? Naamini leo tutashinda pamoja kwa furaha sana. Naamini itakuwa siku njema twetu”.

“Sawa”, Waridi alijikongoja kujibu.

“Tafadhali nikukute, ukiwa kama ulivyozaliwa. Ikiwezekana, kitandani, sawa?”

“Bila shaka”.

Mara tu Joram alipotoweka machoni mwake, Waridi alijikuta akirejewa na hofu. Ile hakika na ushujaa ambao alikuwa ameuhisi kwa kusikia sauti ya Joram na kuyaona macho yake yang’aavyo sasa ilikuwa kama ndoto tu. Ndoto ya kale. Hakujua lipi afanye. Akaendelea kuduwaa kimya, akitazama huku na huku kama aliyetegemea kumwona Zibril akimjia kwa lengo ka kutwa roho yake.

Waridi angetimua mbio Proper alivyoingia ghafla huku akimtazama Waridi kwa macho ya kutisha. Waridi angeweza kukimbia kama ukuta usingekuwa umemtenga na dunia ya nje. Alichofanya ni kurudi nyuma hatua kadhaa hadi alipoegemea ukuta, macho yenye hofu kayatoa kama kondoo aliyekuwa juu ya madhabahu, akisubiri kutolewa kafara.

“Mwanakharamu… malaya mkubwa, mwana wa malaya mkubwa…”, Proper alifoka. “Umekosa walau ushujaa wa kunidanganya kuwa hawara yako amekunywa pombe niliyomwandalia? Mara hii umesahau kuwa mmekubaliana naye adai kuwa ameinywa ili asingizie kuwa kafa. Nakusikitikia Bi. mdogo. Namsikitikia pia huyo hawara yako. Hajui afanyalo. Anadhani kuwa anacheza na watoto wadogo kama alivyozowea. Nilikuwa nimemfanyia hisani kubwa ili afe kistaarabu hakutaka. Kajitia ujanja. Sasa atakufa kifo cha kusikitisha zaidi”.

Jodor Proper aligeuka kama anataka kutoka. Mara kama aliyekumbuka jambo alimgeukia tena Waridi na kusema. “Nawe malaya mwovu hufai kuishi zaidi. Huna faida duniani wala haki ya kuishi tena. Utamfuata mpenzi wako Bomba akhera. Mpe salamu zangu, mwambie hongera kwa hila zake zisizo na ila”. Akageuka na kutoka.

Machozi yalikuwa yamenyauka machoni mwa Waridi. Sasa aliiona dunia kama kitu ambacho kilikuwa kando yake. Naam, maisha yake yalikuwa ukingoni. Asingeweza kutilia mashaka sauti ile ya Proper yenye uhakika. Sauti ambayo masikioni mwake ilikuwa kama saut ya mauti yenyewe.

Kwanini aendelee kusubiri? alijiuliza. Kwanini asubiri kifo cha mateso na kashfa? Akajiuliza kwanini asitangulie? Sasa macho yake yalikuwa yakitambaa kila mahali kutafuta silaha yoyote ambayo ingefaa kumtoa roho. Mara macho ya waridi yakatua kwenye ile chupa yenye pombe yenye sumu iliyoandaliwa kwa ajili ya Joram, bila kufikiri kwa mara ya pili aliiendea ile chupa yenye pombe akajimiminia tumboni mwake.
Mara Waridi akapata faraja kubwa ambayo ilimfanya asahau hofu na kudharau vitisho vyote vilivyokuwa mbele yake. Alijiona yu njiani hatua chache tu kufika katika milki mpya. Milki ambayo itampa uhuru kamili.

Furaha hiyo ikamuongoza Waridi, alitoka ndani ya chumba hicho na kuiendea lifti. Akatelemka hadi chini. Aliiacha hoteli na kuanza safari ya kuelekea kituo cha mabasi. Mavazi yake yakiwa kama yalivyokuwa, umbo lake likiwa kama lilivyo, na sura yake nzuri ikiwa imepambwa na tabasamu, viliyafanya macho ya wanaume kumtazama kwa mshangao wenye tamaa. Baadhi waliguna walipomuona, wawili walimkonyeza na mmoja alidiriki hata kumfuata. Wote walipata tuzo kwa tamaa zao. Tuzo ambalo lilikuwa tabasamu pana zaidi ambalo liliwafanya wabaki wameduwaa nyuma yake hoi bin taabani.

Waridi akaendelea na safari yake. Mwendo wake ukiwa nyongeza nyingine ya maneno kwa watazamaji. Akiwa kajaza nyuma, kakatika kati na kunyooka alivyonyokeana, ilikuwa kana kwamba hatembei bali anafanya maonyesho ya miondoko kama wanavyofanya warembo katika mashindano ya miss. Mwenyewe akiwa hana habari hizo, aliendelea na msafara wake hadi alipokifikia kituo na kujiunga na umati wa watu waliokuwa wakisubiri usafiri wa umma.

“Gari hii hapa dada”, mtu mmoja alimwambia Waridi. Ilikuwa teksi. Waridi hakufanya hiana, akajitosa ndani ya teksi hiyo huku akisema. “Nipeleke Mburahati”,

“Vizuri, lakini waonaje kama tukipitia hapa Embassy Hoteli tukapate walau bia mbili mbili baridi?”, dereva alitupa ndoano yake.

“Samahani, leo nina haraka, nitafute siku nyingine”.

“Kesho”.

“Sawa…” waridi alilaghai. Rohoni akiamini kuwa kesho hatakuwa Dar es Salaam. Hatakuwepo hapa nchini, wala popote Afrika. Atakuwa nje. Nje ya dunia. Aliendelea kuwaza kwa furaha huku akimwitikia dereva huyo, “Ndio”, kwa kila dereva huyo alilosema wakati hata hamsikii. Walipofika mbele yavijumba vayo, Waridi alimtaka dereva asimame. “Ni hapa, asante kaka”, dereva hakuyaamini masikio yake, “Yaani uaishi hapa. Katika vijumba hivi? Na unaishi hapa dada?”, dereva alishawishika kuuliza.

“Hapa ndio kwangu”, Waridi alijibu wakati akitelemka kutoka ndani ya gari.

“Hapa?”, dereva aliuliza tena kwa mshangao. Hakutia neno lingine. Badala yake aligeuza gari lake na kurudi alikotoka kwa mwendo wa kasi.

Walidi akapokelewa na wenzake waliojawa na mshangao. “Iwe”, alisema mmoja wao. “Ulikuwa wapi”.

“Na ilitokea nini hata ukaondoka bila kuaga?”, alihiji mwingine. Maswali yalikuwa mengi mno. Waridi hakuwa na muda wa kuyajibu yote. Wala hakukumbuka ajibu maswali gani. Alichokumbuka ni jinsi alivyoingia chumbani kwake na kujilaza kitandani akisubiri kifo. Usingizi mzito ukamchukua.

Alipoamka ilikuwa usiku wa saa tatu. Chumba cha pili kitanda cha mwenzake kilikuwa kikilalamika kwa uzito wa viumbe waliokuwa wakikitumia. Naye alikuwa akigongewa mlango. Mteja akainuka na kumwendea. Alikuwa mtu mwenye umbo la mwili wa mtoto na uso wa mzee. Alikuwa na pesa zake mkononi tayari. “Leo sifanyi kazi”, Waridi alimwambia mteja huyo na kufunga mlango wake. Hakujali malalamiko ya mteja huyo. Alikuja mwingine. Na mwingine tena. Wote Waridi aliwakatalia. Nao wakaondoka shingo upande.

Halafu akaja huyu mteja ambaye hakukubali kuondoka. Alikuwa kavaa kofia kubwa iliyofunika uso wake na koti kubwa lililofunika hadi miguuni. Aliingia kwa kujlazimisha na kufunga mlango nyuma yake huku akisema, “Lazima”.

“Leo sitaki”.

“Hata kwa bei kubwa?”.

“Hata ukitoa milioni”.

Mtu huyo alicheka kidogo. “Mimi wanitaka. Umekuwa ukinisumbua muda wote huu”, Alitupa koti lake chini na kubaki katika suruali na shati. Akaivua kofia yake na kuitupa juu ya koti. Ni hapo Waridi alipomtambua. Macho yenye hofu kubwa yakamtoka.

“Bila shaka utakuwa umenikumbuka “, alisema polepole. “Unadhani nilikusudia ufe kistaarabu kwa ile sumu?, Ile ilikuwa maalumu kwa ajili ya Joram Kiango peke yake. Wewe ni mwovu mwenye dhambi nyingi. Unastahili kufa kishenzi”.

Kabla Waridi hajafahamu kama ilimpasa kufanya nini, alijikuta tayari kadakwa ghafla kwa mkono kwa mkono wenye nguvu, ambao uliibana mikono yake yote miwili. Haraka kamba zikapita mikononi mwake. Alipotanabahi kupiga kelele, alijikuta katupiwa dude fulani kinywani ambalo lilimziba kinywa. Mara akatupwa chini na kudungwa sindano ambayo ilimlegeza hata asiweze kutapatapa.
Kisha kisu kikali kilichomolewa kutoka ubavuni na kuanza kupita juu ya mwili wake. Maumivu yalikuwa makali ajabu, lakini hakuwa na uwezo wa kulalamika. Alichoweza kufanya ni kuendeleo kukodoa macho yenye dalili zote za hofu na maumivu. Macho hayo yalishuhudia mikono yake ikikatwa mmoja baada ya mwingine na kuwekwa juu ya kitanda. Kisha tumbo la waridi likafumuliwa na utumbo kumiminika katika sinia lililokuwa mezani. Baada ya sekunde kadhaa alikuwa tayari amekata roho pindi kichwa chake kilipokatwa na kuwekwa juu ya debe, kando ya kitanda.

Baada ya kuridhika na kazi yake. Proper alizivua nguo zake zenye damu na kuzifunika katika mifuko ya koti lake ambalo alilivaa na kisha kutoroka zake nje polepole kama wateja wengine. Hapo nje aliwakuta wateja kadhaa ambao walisimama kwa namna ya mstari wakisubiri zamu zao. Akafanya haraka kuiendea sehemu aliyoficha gari yake.

Mteja aliyeingia baada ya Proper aliduwaa kwa kutokumuona Waridi. Kisha alishangaa kuiona mikono ya mwanamke huyo iliyolala peke yake juu ya kitanda. Halafu akakiona kichwa kilicholowa damu, kimelala chali. Hakuyaamini macho yake. Na ilipomtokea kuamini alihisi akili yake ikipaa. Alipiga kelele kwa nguvu na kuanza mbio akielekea barabarani, Alianguuka, akainuka na kuendelea kukimbia.

Mtewa mwingine alichungulia tu na kugeuka akianza safari ya kurudi zake alikotoka kimya kimya.


Ni mteja wa tatu aliyetoa taarifa kwa majirani na wenzake kuhusu kilichomtokea Waridi. Yeye pia alitoweka. Majirani walichanganyikiwa kwa muda mrefu. Mmoja wao alitapika. Wawili wakalia kwa nguvu. Umati mkubwa wa watu ulifika. Polisi pia hawakuchelewa.

“Umesema u nani wewe?”.

“Naitwa Joram Kiango”.

Inspekta Mkwaju Kombora hakuyaamini masikio yake. Jina la Joram Kiango lilikuwa maarufu kichwani mwake kama mbwa anavyoifahamu harufu ya chui. Mzee huyu alimfahamu vyema Joram. Yule kijana machachari aliyefanya mengi dhidi ya wahujumu uchumi na majasusi hatari ambao jeshi la polisi lilielekea kukata tamaa. Yule kijana nadhifu sana, mpole sana, mwenye nguvu na akili. Si huyu mzee aliyesimama mbele yake katika vazi la Kiarabu, akiwa amevaa kanzu nyeupe, kapiga kilemba, mwenye ndevu nyingi, uso uliofunikwa na miwani na mkononi kashika fimbo ambayo ilimsaidia katika mwendo wake wenye dalili zote za udhaifu wa kizee,

“Joram?”, Inspekta Kombora akauliza tena.

“Naona huniamini kwa vile hujanifahamu Inspekita”, ilisema sauti ambayo Kombora alielekea kuifahamu kwa mbali,lakini sura haikuwa ya Joram.

“Pengine niondoe miwani na haya madevu ya bandia ili uweze kunitambua”. Madevu yakatolewa na miwani ikavuliwa, Uso ulisimama mbele yake ukitabasamu, Alikuwa ni Joram Kiango halisi ambaye Inspekta Kombora alimfahamu vyema.

“Nini sasa unafanya Joram?”, alishangaa Inspekta Kombora. “Mchezo huu una lengo gani?”.

“Siyo mchezo inspekta. Niko kazini. Unionavyo hapa mimi ni marehemu. wapo watu wameniua. Nataka niendelee kuwa marehemu ili…

Inspekta Kombora alimkatisha na kumwekea mkono begani huku akisema, “Sikia Joram. Kama ni mzaha subiri nitakapokuwa huru ndipo utakapoufanya tena mchezo wako, tucheke pamoja. Kwa sasa niko katika mkasa mzito ambao unaweza kuhatarisha usalama wa jiji endapo mtu huyo mwenye roho ya kinyama hatapatikana”.

Habari hiyo ikamvutia Joram. “Mtu gani?”, Joram alihoji mara moja.

“Hujasikia tu? Nadhani wewe hupitwi na neno”.

“Kusikia?”.

“Kuhusu msichana huyo aliyeuawa kikatili kuliko ilivyowahi kutokea. Polisi wamefanya kuokota viungo vyake kimoja baada ya kingine ndipo ukapatikana mwili mzima wa marehemu. Mtu aliyefanya mauaji hayo ni mnyama zaidi ya wanyama wengine wa kawaida. Mtu mwenye kumchinja msichana mrembo kama yule”.

“Sijakupata Inspekta, yaani…” kisha Joram akapunguza kasi kuhoji kuhusu tukio hilo kwa kituo. Inspekta Kombora akamweleza yote kuhusu tukio zima lilivyotokea usiku huo huko Mburahati.

Hakukuwa na sababun za kuupeleka mwili huo hospitali”, Inspekta Kombora aliongeza. “Viongo vyote vya marehemu vimeletwa hapa katika chumba cha maabara. Kama utapenda kutazama vitu vya kutisha unaweza kwenda maabara, inatisha sana”.
“Nitapenda kumwona tafadhali”.

Inspeta Kombora akaiacha ofisi yake na kumuongoza Joram kuelekea maabara ambako alifungua friji na kutoa kichwa cha msichana mrembo. Joram alikitambua kichwa hicho kuwa cha Waridi. Kwa mara ya kwanza katika maisha yake, alihisi machozi yakimdondoka. Aliyafukuza macho hayo kwa tabasamu huku akinong’ona kama mtu anayesali. “Ni Waridi! Mungu akurehemu. Naamini ni mapenzi yako kwangu ambayo yamekufanya ustahili adhabu hiyo ya kinyama. Naahidi nitakulipia kisasi”.

Sala hiyo ilimfikia Inspekta Kombora. Akamgeukia Joram kwa mshangao na kusema, “Kumbe unamfahamu msichana huyu? Tafadhali turejee ofisini ili unisimulie kuhusu mkasa mzima ulivyotokea”.

“Sijawa na cha kusimulia”, Joram alijitetea. Hata hivyo alilazimika kusimsimulia Inspekta Kombora yote aliyoyajua. Alieleza jinsi alipomwona Waridi kwa mara ya kwanza pale baa akiwa ametegwa kwa sumu iliyokusudiwa kumwua yeye. Akaeleza pia yaliyotokea katika chumba ambacho waridi aliandaliwa kwa sumu ile ile ili amnyweshe Joram kwa hila. Ambacho Joram hakueleza ni jinsi alipofika hapo kabla ya wakati na kubahatisha, ingawa kwa taabu, kumwona mwuaji yule akitoa maelezo kwa Waridi. Hilo aliliacha ili apambane nalo binafsi. Hakupenda kuwaachia polisi ambao aliamini wangeweza kuharibu mapngo wake wa kumtia mikononi mwuaji.

“Ina maana binti huyu marehemu ndiye yule msichana aliyetoroka hospitali baada ya kuokotwa kando ya baa”, Joram akatikisa kichwa kukubaliana na swali la Inspekta Kombora.

“Ndiye. Basi anastahili kifo cha aina hiyo. Kwa nini hakutoa taarifa polisi, tungeweza kumsaidia. Alishirikiana na wahalifu kuandaa njama za kufanya uhalifu”.

“Inawezekana au isiwezekane”, Joram alijibu kwa mkato. “Aweza kuwa alilazimika au kulazimishwa. La muhimu sasa ni kumpata huyo mwuaji”.

“Ndio… apatikane haraka. Wewe humjui?”.

Joram alikanusha. “Angalia bwana mdogo. Ninavyookufahamu mimi bila shaka wajua mwengi zaidi ya haya uliyonieleza. Nawe kama uonavyo hawa ni watu hatari kuliko unavyofikiri. Usiwachukulie mzaha, Ucheze nao kama ilivyo kawaida yako”.

“Kawaida yangu sina mzaha wa mwuaji Inspekta”, Joram alijibu. “Tena naamini kuwa nitawafikisha mikononi mwako mapema zaidi. Ninayo nafasi nzuri sana. Sasa hivi wao wanadhani kuwa nilikunywa ile dawa na sasa niko mahututi au marehemu tayari. Imani hiyo itawafanya wapate jeuri ya kuendelea na mipango yao kama walivyokusudia. Nataja kujua lengo lao, wanakusudia kufanya nini, na watu hawa ni akina nani, baada ya kufahamu hivyo nitawaleta mikononi mwako.

“Kazi hiyo ndiyo iliyonifanya nijibadili kuwa katika hali hii Inspekta. Nimeona nitoweke machoni mwao. Kusudi langu kwako ni kukuomba uitangazie dunia kuwa nimefariki ghafla. Nadhani watafurahi na kuendeleza mipango yao. Ndipo nitakapofufuka na kuwashangaza kwa kuwatia mikononi.

Walijadiliana kwa muda ofisini. Kombora akawa ameafikiana kwa taabu sana na Joram. Nia ya Joram ilikuwa awaachie polisi kufanya kazi yao kwa makini. Lakini maelezo ya Joram yalimtua Inspekta Kombora hata akakubali japo kwa shingo upande. “Kumbuka ninavunja sheria zote za kushiriki katika uongo mkubwa kama huu. Hivyo. usiniangushe kwa kushindwa kutimiza ahadi yako ya kuwatia watu hawa mikononi mwa sheria”, Inspekta Kombora alimwambia Joram.

“Wanifahamu vizuri Inspekta. nakuhakikishia kuwa Siwezi kushindwa kamwe”, Joram alimjibu akiweka vyema ndevu zake za bandia na kuvaa miwani yake. Akautwaa mkongojo wake na kuiacha ofisi ya Inspekta Kombora kwa mwendo ambao ulimfanya Inspekta huyo ambaye hucheka kwa nadra sana aangue kicheko kipana.

Usiku huo taarifa ya habari ya Radio Tanzania Dar es Salaam ilibeba habari ambazo ziliwashitua wasikilizaji wengi kote nchini.

“…Joram Kiango yule mpelelezi mashuhuri wa kujitegemea amefariki ghafla akiwa nyumbani kwake kwa maladhi ambayo bado hayajathibitishwa. Madaktari wanaendelea na uchunguzi watatoa taarifa za kifo hicho hivi karibuni baada ya uchunguzi,,,”

Haikuwa habari njema hata kidogo. Wala hakuna aliyetarajia kuisikia. Kila aliyemfahamu Joram alitegemea kuwa kijana huyo angeuawa au kufa kwa risasi au madhara mengine kutoka kwa adui zake. Kufa kwa maradhi! haiwezekani!.

Taarifa za habari za sauti ya Kenya na Ujerumani ziliidaka habari hiyo haraka na kuitagaza kwa mapana zaidi… “Yule kijana machachari”… Walisema wakenya, “The Iron boy…” walimwita hivyo wajerumani… “Amefariki leo ghafla. Yawezekana na njama za wahujumu ambao walimuogopa sana kijana huyu kama moto”.

Ndipo watu walipolazimika kuamini. Wengi walisikitishwa na kifo hiki. Wengine walitoa machozi. lakini Wachache walishangilia.


Nyumba hii iliyobomolewa kwa bomu ilikuwa katika mtaa wa Manda Magomeni Mikumi. Ilikuwa nyumba ambayo kwa muda mrefu haikutumiwa kutokana na kutokamilika kwake tu. Joram alikuwa ameichagua nyumba hii kwa ajili ya kujificha baada ya kuitazama mara kwa mara kila alipopita katika mtaa huu na kuona ilivyokaa vizuri kwa siri. Ilikuwa imezungukwa na kichaka cha miti ambayo awali ilikusudiwa kuwa bustani. Haikuwa rahisi  kwa mtu wa nyumba jirani kufahamu yanayotokea katika nyumba hii kwa jinsi zilivyotengana.

Zaidi, ilikuwa na njia nyingine ya uwani ambayo ilipitia katika uchochoro hadi mitaa ya nje kabisa. Kuhamia hapa ilikuwa siri yake binafsi ingawa Inspekta Kombara alimsihi sana amfahamishe wapi amejificha, Alikuwa amehamia hapa usiku wa manane baada ya kujipitishapitisha ili kuhakikisha kuwa hafuatwi au kuonekana na mtu. Mzigo wake pekee ulikuwa ni Suitcase yake ambayo ilichukuwa vifaa vyake muhimu ikiwa pamoja na silaha ndogo,

Usiku huo wa kwanza alilala vyema. Alfajiri aliamka na kujiandaa kwa kuvua ujana na kuvaa uzee. Baada ya kukamilisha taratibu za uzee alilificha vizuri begi lake na kutoka hadi polisi ambako alikamilisha mipango yake na kurejea mafichoni akisubiri muda alioupanga ili aanze harakati zake.

Joram alikuwa na hakika kuwa kazi hii isingemchukua muda kuimaliza. Jambo lililomtia matumaini ni kule kujua kuwa adui zake walikuwa wakisubiri kifo chake ili waanze shughuli zao. Kadharika, mmoja kati ya adui hawa hakuwa mgeni kwake. Alichungulia alipokuwa akitoa amri kwa marehemu Waridi na kuipata picha yake. Insingemchukua muda mrefu kumfahamu kikailifu.

Kitu kimoja Joram hakujua. Hakujua kuwa makazi haya ya siri aiyohamia hayakuwa yake binafsi. Yalikuwa malazi ya Luta Magambe, mmoja kati ya mamia ya vijana wazurulao katika Jiji la Dar es Salaam. Luta alikuwa ameingia Jijini miaka zaidi ya kumi iliyopita, akitokea kwao kijijini katika moja wapo ya Wilaya za mkoa wa Kagera. Alikuja Dar es Salaam kwa nia njema ya kutafuta kazi baada ya elimu yake ya msingi. Jiji likamlaki kijeuri kama linavyowalaki wote. Kazi haikupatikana kwani hakuwa na mtu wa kumfanyia “mpango” wala pesa za “motisha”.

Akaambulia kuangukia katika vibarua vya kutwa. Pesa alizopata zikawa ndogo mno kulingana na mahitaji ya Jiji. Kila siku akawa mtu wa “Kuchacha”. Hilo likamtuma kutumia muda wake wa ziada kuwachomolea wasafiri wa Uda na Daladala. Tabia hiyo haikuchelewa kumfikisha Keko akiwa na majeraha mengi usoni. Alipotoka Keko hakuwa luta mwenye nia njema tena, bali mtu ambaye yuko tayari kufanya lolote mradi apate chochote.

Msimamo huo mpya ulimanya apoteze chumba na kukosa marafiki wa haja. Rafiki zake pekee walikuwa wahuni wenzake na walikutania “kazini”. Baada ya “kazi’ kila mmoja alijua lake.

Siku alizopata, alistarehe kwa kulewa, kujipatia wasichana wazuri na kulala vizuri katika majumba ya wageni ama kwenye nyumba za wasichana hao. Alipokosa alijutia na kujisahaurisha kwa kuvuta bhandi na kujilaza katika jumba hilo bovu.

Hivyo kwenye alfajiri hiyo aliona kama mwujiza kuona ‘mzee’ huyu mwenye dalili ya pesa na sura ya Kialhaji akitokea ndani ya moja ya vyumba vya jumba hili akiitumia njia yake ya siri! Mara moja wazo likamjia Luta?. Kwamba mzee huyu alikuja katika ghofu hili kwa sababu maalumu. Sababu ambayo Luta aliamini kuwa haikuwa nyingine zadi ya kuficha pesa au vitu vya thamani, Wazo hilo likamtuma kuanza upekuzi akitafuta chochote ambacho mzee huyo alikificha. Hakupata kitu. Hata hivyo alikuwa bado akiendelea na upekuzi wake ‘mzee’ aliporejea. Hima akajipenyeza katika chumba cha pili ambamo alijificha vizuri. Joram hakumuona. Darubini ya adui yake Joram kutoka nyumba ya pili pia haikuweza kumuona. Alitulia akimchungulia Joram ambaye aliketi akifanya mambo yake.

Kisha Bagambe alimuona mtu mwigine akinyatia nyumba hii mkononi kashika vitu ambavyo alivificha kwa hadhari chini ya mlango, Baada ya mtu huyo kushika hapa na pale aliondoka eneo hilo kwa hadhari na ukimya ule ule.

Kitu gani kitatokea?, Bagambe alijiuliza, Hakika moja alikuwa nayo. kuwa hii ilikuwa nafasi yake pekee ya ‘kuukata’. Kwamba leo lazima ungekuwa mwisho wake wa maisha ya kubahatisha na mwanzo wa maisha mapya. Ingekuwaje vngine na eti bahati zinamfuata hadi huku badala ya yeye kuzifuata kwenye vituo vya basi? Hakuona sababu ya kuendelea kusubiri.

Kwa hadhari mfano wa paka anayemnyemelea panya, aliiendea sehemu hiyo aliyoona kitu kikifichwa. alipofika alipekua taratibu. Kisha aligusa waya fulani ambao hakutarajia kuuona hapo. Aliutazama waya huo kwa mshangao. Mshangao ambao ulikatizwa na mlipuko mkali uliomfanya apae juu na kutua chini akiwa tayari ametawanyika vipande mfano wa nyama za kopo, zinazoandaliwa kwa ajili ya kusindikwa.

****************************

Mlipiko huo ulimkuta Joram Kiango akiwa amesimama wima, fimbo mkononi.  Aliduwaa alipoona ghafla mtu akizuka mbele yake na kupaa angani ambako alitawanyika vipande vipande. Lakini hakupata muda wa kuendelea kuduwaa, kwani wakati huo huo kila kitu kilikuwa kikipaa na kutua huku na huko kwa kishindo cha kutisha.

Kila kitu pamoja na Joram mwenyewe. Alijikuta angani kisha akajibwaga chini akifuatwa na lundo kubwa la vitu vizito ambavyo vilimfunika juu.

Joram hakuwa na muda wa kusikia maumivu pia. Alihisi kama mtu aliyepoteza kichwa au ubongo. Fahamu zikamtoka na nafsi yake kuchukuliwa na kiza kinachotisha.


******************************

Kifo cha kusikitisha! Joram aliwaza hivyo, karibu kila mtu kati ya umati mkubwa uliosimama kando kuizingira nyumba hiyo. Macho yenye hofu na huzuni yalikuwa yakiwatazama askari ambao walikuwa wakiviokota viungo vya marehemu kimoja baada ya kingine na kuvitia katika sanduku. Ni watu wachache sana walioweza kutazama tukio hili kwa muda mrefu. Wengi walitupa jicho kwa sekunde kadhaa na kisha kugeuza nyuso zao upande mwingine huku wakiguna na kufuta machozi. Mama mmoja alisikika akilia kwa sauti.

Ilikuwa mara ya kwanza kwa wengi wao kushuhudia tukio la mtu aliyepoteza maisha kwa njia hii ya kutisha.

Miongoni mwa walioshuhudia tukio hilo alikuwwepo Jodor Proper. Alikuwa mmoja wa watu waliofika mapema katika eneo hilo. Lakini alimkuta mtu wake aliyetega bomu hilo  akijifuta vumbi baada ya ule mweleka alioupata kutokana na tofali lililomponda kichwani. Yeye alikuwa mmoja kati ya ‘wapita njia’ wanne waliojeruhiwa katika ajali hii. Proper alimsaidia mtu huyu kama asiyemfahamu. Walipopata mwanya walinong’onezana: “Kazi nzuri sana, Sasa nenda zako…”

Mtu huyo alipoondoka. Proper aliendelea kutazama ‘ajali’ huku akijitia kunung’unika. Lakini ndani ya moyo wake alikuwa akisherehekea na kushangilia sana tukio hilo. ‘Kifo kinachomstahili kabisa’ Aliwaza kwa furaha. “Mnofu mmoja mmoja! Na ajiunge basi tuuone huo ushujaa wake”.
Wazo la kwamba huenda huyu akawa si adui yake mkubwa Joram Kiango halikumjia akilini. Ingawa haikuwa njia rahisi ya kuthibitisha mabaki hayo ya marehemu, lakini katika uchunguzi wake Proper alifanikiwa kuiona ile fimbo ya Joram na madevu yake ya bandia ambayo yaliokotwa na askari mmoja na kumwonyesha Inspekta wao ambaye alibabaika kama mtu aliyeguswa na simba. Kitendo hicho kilimfanya Proper ajisikie kucheka huku akijituliza. Wangetangaza nini tena wakati dunia nzima imefahamishwa zamani kuwa Joram Kiago amefariki dunia?.

Proper alipotoka katika eneo hilo kwa tabasamu, alikuwa na wazo moja tu la kuendelea na mipango yao bila kuwa na hofu yoyote. Kikwazo pekee alichoogopa yaani Joram Kiango kilikuwa tayari kimeingia kuzimu, kikiwasalimia babu zake huko.

Mmoja wa maofisa wa polisi alipendekeza wafanye uchunguzi wa kina ili kuhakiki kama eneo hili lilikuwa na maiti ama mareruhi wengine zaidi waliokandamizwa na kifusi. Lakini majirani wa eneo hilo waliwahakikishia polisi kuwa nyumba hiyo haikuwa na watu. Wakaondoka haraka haraka kwani kazi ya kufukua vifudi ilikuwa nzito, ambayo hakika ingewatoa jasho. Wakaondoka na mwili wa marehemu wakiuacha umati wa watu ukiendelea kufika katika eneo hilo kutazama kilichotokea.

Usiku ulipoingia, giza liliwaondoa watu katika eneo hilo likabaki katika hali yake ya kawaida.


Unono, huyu alikuwa mwanamke wa makamo, mfupi kiasi, mnene wa kutosha, mweusi kupindukia, mama huyu alikuwa mmoja kati ya watu wengi walioshuhudia ajali hii ya mtu kuuawa kwa bomu. Mama huyu alikuwa miongoni mwa umati huo, kama wananchi wengine alisema hili na kusikiliza lile, macho yake yakifanya kazi ya kutazama kwa hofu tukio hilo pamoja na polisi kadhaa, ambao walikuwa katika pilika pilika za kukusanya mabaki ya marehemu huyo.

Kichwani Unono alikuwa na mawazo tofauti, nje kabisa ya tukio la msiba huo uliotokea eneo hilo. Alikuwa na mawazo mchanganyiko wa matatizo ya kiuchumi na mapenzi. Mama huyu alihisi kuwa sehemu hiyo ingeweza kumfanya apate ufumbuzi wa tatizo lake moja ama yote mawili yanayomtatiza.

“Usiku…” aliwaza moyoni mwake.

Kimaumbile, Unono hakuwa na umbo la kuridhisha wala hakuwahi kujidanganya kuwa ana sura nzuri. Ukweli huo alikuwa ameubaini tangu enzi za usichana wake alipojiona akikua miongoni mwa vijana wa kiume ambao walionekana kumwepuka kama jini na kumtazama kama jinamizi. Wakati huo huo aliambulia kuwaona wenzake wakifuatwa na vijana wa kiume na kubembelezwa kama malaika, wakipewa lugha tamu na matendo ya kimapenzi. Ndipo alipoanza kujitathimini katika kioo.

Akagundua kuwa pamoja na kuwa na sura mbaya, Alitisha na kuchukiza kwa jinsi alivyojengeka kama kilema ingawa hakuwa na kasoro yoyote kimaumbile. Hivyo maisha yake yaliyofuata aliishi akifahamu kabisa kuwa tunu ya kuzaliwa mwanamke yeye isingemsaidia kama wanawake wengine. Aliamini kuwa katika maisha yake lazima atoe jasho ili aweze kuishi.

Jasho lake alilitoa kwenye vilabu akiwauzia wanywaji makongoro ya ng’ombe ambayo aliyanunua machinjioni na kuyachemsha kwa maji na chumvi. Sura yake haikumtendea wema katika biashara yake. Mwanamke huyo aliyekuwa na tama zote za kike, alipata mume wa kufariji kwa kwa bahati. Na alipompata, ilikuwa mhali mwanaume huyo kumrudia. Naye Unono hilo halikumshangaza kamwe kwani hilo lilikuwa jambo la kawaida katika maisha yake. Hayo yalimtokea kwa nadra sana. Hivyo siku nyingi Unono alikuwa mhitaji. Ndipo akabuni mbinu za kutembea sehemu fulani fulani usiku, sehemu ambazo alikuwa na matumaoni ya kukutana na wanaume ambao nafsi na hali zisingewaruhusu kuchunguza. Walevi  wachelewao kurejea majumbani kwao usiku, wazururaji wasio na makazi maalumu, na walinzi wanaokesha wakilinda nje usiku, hawa ni miongoni mwa wateja ambao Unono aliwahi kuwapata ili kutimiza haja zake. Baadhi waliwahi hata kumpatia pesa.

Kwa hivyo Unono akakusudia kujaribu bahati yake kwenye eneo hili lililolipuliwa na bomu. Hangekosa kufua dafu pale. Askari mmoja ama wawili wasingekosa kuwekwa hapa kwa ajili ya kulinda mazingira. mmoja wao asingekosa kumtupia  maneno iwapo angecheza vema karata yake. Na hata wawe wote wawili angebabaishwa na nini angestahimili. Eti kakosa mapenzi ya mume kwa muda mrefu sasa. Ni mawazo hayo yaliyomfanya Unono afunge biashara mapema na kurejea nyumbani. Aliogaa, akajipaka mafuta yake yenye harufu nzuri, mafuta ambayo aliyanunua kwa shingo upande. Alivaa baibui lake jeusi bila vazi lingine lolote mwilini.

Alijikuta akiingiwa na wasiwasi. Alikuwa peke yake, katikati ya kiza katika eneo ambalo mchana huo lilikuwa la maafa. Akawaza kurudi, lakini alijikongoja hadi alipofika kando ya vifusi vya jumba hilo. Alitupa macho kila upande, hakuonana dalili yoyote ya mlinzi. Baada ya mizunguko kadhaa, aliamini kuwa sehemu hiyo haikuwa ikilindwa. Akasononeka moyoni.

Mara likamjia wazo jingine. Yawezekana katika jumba hili mlikuwa na vitu vya thamani ambavyo angevichukua na kuviuza! Wazo hili likamtuma Unono kuanza kuchungulia, akashika kile na kujipenyeza pale. Alipata mwanya ambao ulimwingiza ndani ya kifusi hicho. Mikono yake iliendelea kupeleleza kwa makini, macho yakifanya juhudi kutazama.

Ghafla Unono aligusa kitu ambacho kilimshitua. Kitu chenye dalili ya uhai. Nyoka? alijiuliza baada ya kuutoa haraka mkono wake. Baada ya kutulia kwa makini, aligundua kuwa alichogusa ni mwili wa binadamu. Ugunduzi wake ulimshitua  zaidi. Maiti nyingine! aliwaza akiinuka na kuanza kuondoka.


Kisha ushujaa ukamwingia na kumfanya ahairishe safari yake na kuuinamia mwili huo kwa uchunguzi zaidi.


Inspekta Kombora alikuwa mgonjwa mahututi, ingawa hakuwa tayari kumweleza daktari wake kuhusu kuumwa kwake wala hakutaka kujieleza mwenyewe ni maradhi gani yanamsumbua. Alijiona tu yu hoi bin taaban, hali ambayo ilimtokea ghafla baada ya kuviona vile vipande vya mwili wa binadamu vilivyotawanywa kwa bomu. Lakini kilichomuuguza zaidi ni kuokotwa zile ndevu za bandia alizokuwa amevaa Joram Kiango.

Joram kafa! lilikuwa wazo lililomtesa zaidi ya ukweli Inspekta Kombora. Joram ambaye jina lake lilikuwa tishio kwa waovu wote wenye nia mbaya kwa nchi na wananchi wake! Joram ambaye alikubali kuiweka roho yake hatarini mara kwa mara kwa lengo la kuwakabiri maadui wenye nguvu na uwezo wa kutisha! Joram, kijana mwenye moyo wa jiwe na mwili wa chuma! Joram amekufa?…
Miaka mingi ilikuwa imepita, kiasi kwamba Inspekta Kombora hakumbuki siku gani aliyotokwa na machozi. Leo hii, akiwa peke yake ofidini, akiitazama meza yake, alihisi chozi likipenya kwenye vipingamizi vyote na kuelea juu ya mashavu yake, jambo ambalo lilimshangaza zaidi. Mshangao ambao ulimezwa na hasira kali za ghafla. Akaupiga mkono wake mezani kwa nguvu nyingi na kuvifanya vifaa kadhaa vilivyokuwa mezani hapo vidondoke sakafuni. Hakujishughulisha kuviokota.

“Joeam kafa!… aliendelea kuwaza kwa machungu.

Mara swali la kutisha likamjia akilini, Ataitangazia nini dunia iliyoamini kuwa Joram alikufa siku nyingi, atasema nini badala ya ule uongo wa kifo kilichosababishwa na sumu. Dunia ingemwelewa vipi mzee huyu mwenye dhamana kubwa serikalini.

Halafu akajikuta akitetemeka ghafla lilipomjia swali la kutisha zaidi. Nani hawa wauaji na wanakusudia kufanya nini? Kwamba, hawa si adui wa mzaha, Hakuwa na shaka na swali lake hilo. Yeyote aliyehusika kumwua Joram na hasa aliyemwua kikatili kiasi kile, hawezi kuwa mtu wa mzaha hata chembe. Wala hakuwa mtu anayecheza isipokuwa aliyedhamiria kufanya jambo baya mno ambalo hakutaka Joram Kiango aliingilie kama walivyofanya majuzi kwa kuwavunja uti wa mgongo wale waroho waliokuwa katika hatua za mwisho za kupindua nchi na kuiuza kwa mabepari. Hawa ambao wameshawishika kumwua Joram kwa bei yoyote ile wanakusudia kufanya nini?.

Ilimuumiza zaidi kujiona yeye kama mkuu wa usalama akae kimya wakati akijua kuwa kuna uovu uliojificha kando ukinyemelea, wakati huo huo akiwa hajui ni uovu gani na utatokea upande gani. Alikuwa amekwisha fanya mengi. Tangu jana wakati akitazama mabaki ya marehemu wakati yakikusanywa, alikwisha chukua hatua zote za upelelezi dhidi ya mauaji hayo. Kikosi cha askari kilikwisha teuliwa kitambo, kikifuatilia kila kichochoro ambacho kingeweza kuwafikisha mbele ya adui, Maswali mengi pia yalikuwa yakiulizwa. Lakini yawezekana kabisa maswali hayo yangeweza kuulizwa kwa miaka bila majibu kupatikana. Mtu pekee ambaye ama alikuwa na jibu tayari, ama angeweza kulipata mapema zaidi, sasa alikuwa marehemu.

Hata hivyo afanye nini? Aendelee kusubiri mtu au watu hawa wafanye yote waliyokusudia wakati yeye akiendelea kustarehe juu ya kiti hiki kama Ofisa wa Polisi alijiuliza. Afanye nini kuongeza nguvu ya mkono kuwatafuta maadui hao? Nani anaweza kuwa na walau fununu ya kinachotokea?.

Ni katika kujiuliza maswali hayo alipomkumbuka Katibu Mahsusi ya Joram Kiango, yule msichana mzuri, Neema Iddy. Akajilaumu kwa uamzi wake wa kumpinga msaidizi wake mmoja ambaye alipendekeza Neema aletwe ili amthibitishie marehemu.

“Ataonyeshwa nini? Huone kama tunaweza kumpata msichana wa watu ndoto za kutisha katika maisha yake yote au hata wazimu kwa kumuonyesha haya mabaki ya mtu aliyekuwa mwenzi na mpenzi wake?”. Kombora alikuwa amemjibu hivyo askari huyo. “Hapana”, aliongeza. “Mwacheni”.

Zaidi ya hayo, nadhani mnakumbuka kuwa hii ni siri ya watu wachache sana, watakaowajibika kufahamu aliyefariki ni Joram Kiango. Wengine wote lazima waendelee kuamini kuwa alifariki ghafla kabla ya kifo hiki.

“Sasa aliuona umuhimu mkubwa wa kumuona Neema. Hivyo bila ya kuaga wapi aendako, alipanda gari na kuielekeza iliko ofisi ya Joram.

Aliikuta ofisi hii imefungwa. Akajielekeza Temeke, ambako alifahamu jina, mtaa na namba ya nyumba ya Neema.

******************************

Ilikuwa siku ndefu kwa Neema Iddy. Ingawa kila siku ni kama siku nyingine lakini siku hii aliiona hivyo kutokana na ile harara kubwa iliyomkaria rohoni ikimtia shauku ya kumwona Joram Kiango na kutaka kufahamu hicho alichokuwa akikishughulikia safari hii, hata akaweza kujibadili na kuwa mkongwe kiasi kile, na kutangazwa uongo kuwa amekufa. Neema alihisi kuwa mkasa huu bila shaka ni wa kutisha na wa hatari kuliko yote iliyotangulia, au sivyo, Joram asingechukua hashari kiasi kile, wala polisi wasingeafiki kutangaza uongo. Ilimsikitisha Neema alipomkumbuka Joram alivyomnyima siri hiyo kwa madai ya kwamba, ni “Hatari” kumhusisha.

Siku ya jana nzima, Neema alikuwa ameshinda katika hali hiyo. Akihesabu dakika na masaa, akisubiri wakati ambao ingetanagzwa upya redioni: “Joram yu hai… Na amesababisha kukamatwa kwa wahujumu ambao…” Ni hapo alipokuwa akiishia Neema. Na ni swali hilo ambalo lilikuwa likimweka roho juu. Hamu ya kujua safari hii adui ni nani na walikusudia kufanya nini.

Neema alitabasamu, akakumbuka sifa ambayo Joram aliipata kwa kusuluhisha mambo magumu magumu. Mara hii, akawaza atailetea nchi yake gani? Wazo kuwa angetokea mtu, amshinde Joram, hasa baada ya kutangazwa kuwa amekufa, kama walivyotaka wao, swali hili halikuwa na nafasi katika fikra za Neema. Akawa mtu ambaye anasikia sifa za wapelelezi hodari duniani, pamoja na kusoma hadithi za kubuni juu ya upelelezi, Bado Neema alikuwa hakumbuki kama alikwisha tokea yeyote mwingine ambaye alikuwa na mtindo wa aina ya Joram Kiango. Mtu asiyeogopa wala kutishiwa, mtu asiyekata tamaa, mtu anayejua kila anachofanya! Neema alihisi furaha na faraja kubwa kuona kuwa yeye ni msichana pekee ambaye amepata fursa ya kushirikiana na mtu huyu shujaa. Hadhi iliyoje!.

Ni mawazo hayo yaliyokuwa yakimfanya Neema atabasamu. Lakini alihitahidi kuificha tabasamu hilo kwa huzuni ya uongo kila alipotokea mtu wa kumpa pole kwa kifo cha ‘mwajiri’ wake. Ilikuwa ni wajibu wake kujifanya yumo katika msiba.

“AMekufa kijana yule mzuri? Siamini” angesema kijana mmoja. Neema bila ya kumtazama ya kumtazama usoni angemjibu kwa masikitiko.

“Amekufa… ndiyo hali ya dunia.

Kifo cha ghafla! Wamempa sumu.

“Haijajulikana”.
“Ama kweli ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu”.

Angeondoka huyo, aje mwingine. Kila mmoja alisema hili au lile.

Neema aliwasikiliza wote na kuwafanya waondoke wakiwa wameamini kile ambacho hawakutaka kukiamini, kuwa Joram Kiango amefariki.

Neema akiwa katika hali hiyo, tabasamu rohoni, huzuni moyoni, alisikia gari likisimama mlangoni mwao na baadaye mlango wa chumba chake ukagongwa. Aliingia Inspekta Mkwaju Kombora.

Macho ya Inspekta Kombora yalimfanya Neema ahisi jambo mara moja kuwa hakukuwa na habari njema. Neema akiwa si mgeni kwa Inspekta Kombora baada ya kuzungumza naye mara kwa mara kuhusu harakati na mipango ya Joram, Neema alimjua Inspekta huyu vizuri, alifahamu wakati gani yuko katika hali mbaya kimawazo na wakati gani anajisingizia hali mbaya. Leo ilikuwa dhahiri kuwa kuna kitu kikubwa kimemkaria rohoni.

“Kuna nini Inspekta?”, Neema alihoji baada ya kumaribisha kiti.

“Joram amekufa!” Inspekta Kombora alimwambia.

“Najua”, Neema alijibu kwa tabasamu.

“Nadhani bado hujanielewa. A-me-ku-fa”, alisisitiza,

Kidogo Neema akashangaa. “Ndiyo mzee! Nadhani hata wewe unajua. Imebidi ujifanye hivyo kwa ajili ya watu hawa ambao wanamtafuta Joram. Muda si mrefu atafufuka na jambo ambalo naamini litakusisimua Inspekta”.

Kombora akamkatisha kwa kumweleza kuhusu tukio zima la bomu lililosababisha kutawanyika kwa viungo vya marehemu. “Nimeona nitakutia katika msiba na simanzi iwapo nitakuonyesha mabaki hayo ya Joram. Ama kweli kilikuwa kifo cha kusikitisha sana dada yangu. Sikuona kama ungestahili kumwona mtu uliyempenda sana akiwa katika hali kama ile”.

Ndipo Neema alipopata ukweli wa mambo ulivyo. Aliduwaa kwa muda, Macho kayatoa akimtazama Kombora wakati hamuoni. Neema alihisi damu yake imesimama kabisa na fikra kukwama. Joram kufa! Fahamu zilipomrejea, alinong’ona maneno fulani ambayo Kombora hakuyasikia. Kisha akaondoka mbio hadi chumbani kwake. Alifunua mto na kutoa bastola yake ndogo aliyozawadiwa na Joram katika moja ya sherehe zake za kuzaliwa. Akaishika imara na kuitingisha huku akipiga kelele: “Nitamwua yeyote aliyekuua Joram…” alifoka Neema, lakini sauti ilitoka ikinong’ona hata isiyafikie masikio yake mwenyewe. Alipokumbuka kuwa alikuwa hamjui mwuaji huyo, aliirejesha silaha hiy katika maficho yake ya siri na kubaki ameduwaa katikati ya chumba chake. Kisha akarejea ukumbini na kuketi chini.

“Samahani Inspekta”, Neema alisema polepole, “Kwa muda mrefu sijapata habari mbaya ya kuumiza kama hii”,

“Si habari ya kupendeza hata kidogo. Mimi pia imenitia homa. Pole sana”.

Baada ya kutafakari kwa muda, Inspekta Kombora akayarejesha maongezi yake kikazi. Alimsihi Neema kumweleza chochote anachofahamu ambacho kingeweza kupatikana kwa mwuaji au wauaji hao mapema iwezekanavyo. Hata hivyo Inspekta Kombora alivunjika moyo baada ya kugundua kuwa Neema hajui lolote la maana. Hivyo akaondoka kimya kimya kurejea ofisini kwake baada ya kumkumbusha Neema kuwa kifo cha Joram kiendelee kuaminika kuwa alifariki ghafla kwa maradhi ambayo hayajafahamika.

Neema alibaki katika hali ile ile ya butwaa, moyo ukiwa kama uliokufa ganzi na ubongo kudumaa. Alihisi kama mtu aliyefika ukingoni katika safari yake ya maisha. Kwake Joram alikuwa kila kitu. Alikuwa furaha na faraja katika maisha yake, heri na neema yake. Hakuona vipi angeweza kuyahimili maisha bila tabasam la Koram mbele yake. Hakujua vipi ataweza kusisimukwa bila harakati za Joram dhidi ya adui zake.

Mapenzi ya Neema na Joram hayakuwa yale ya kimwili kati ya msichana na mvulana. Lakini Neema aliyaona kuwa ni makubwa zaidi ya uhusiano wa aina hiyo. Makubwa yaliyojengeka katika misingi mikubwa zaidi. Ni kweli kuwa zipo nyakati ambazo Neema alijikuta akimhitaji Joram kimwili kwa tamaa kali kuliko alivyowahi kuhitaji kitu chochote. Siku kama hizo alikesha kitandani akisali kuomba Joram atokee, amkumbatie. Ni kweli pia kuwa kuna siku ambazo aliwahi kuona tamaa hiyo ikiwaka katika macho ya Joram kwa nguvu kiasi kwamba ilitokea kama mwujiza alipofaulu kutotamka kile ambacho alitamani kukitamka. Kitu ambacho jibu la Neema lisingekuwa zaidi. “Sawa tu”.

Wote walifanikiwa kuzitawala nafsi zao. Kama alivyowahi kusema Joram: “Akili isipoutawala mwili ni sawa na gari kuacha barabara na matokeo yake hakuna asiyefahamu”, Joram! ambaye sasa ni marehemu!

Bado haikukubalika kichwani mwa Neema kuwa Joram amekufa. Ilimrudia akilini siku ile ambayo alimwona Joram kwa mara ya kwanza.
Wakati huo Neema akiwa mwandishi wa habari katika gazeti moja hapa nchini. Siku hiyo alipata barua kutoka kwa mtu asiyejulikana, ikimdokeza kuwa mtu mmoja mkubwa serikalini alikuwa amehusishwa katika mauaji ya watu watatu ambao maitiza zao ziliokotwa huko Manzese. Habari hii ilikuwa imeishitua sana nchi. Neema akiwa mwandishi anayependa kuripoti habari kubwa kama hii, aliamua kwenda kutafuta ukweli na kuandika habari hii kwa undani ili kuligusa kila jicho la msomaji.

Ilibidi Neema ajifanye kuwa mwanamke kahaba ili aweze kuingia ndani ya jumba la kigogo huyo. Huko ndani Neema alifanya kila mbinu hadi kuteka mawazo ya mtumishi wa mkubwa huyo wa serikali, ambaye bila kufahamu aliweza kueleza habari zote za siri zinazofanywa na kigogo huyo. Neema alipofanikiwa kuujua udani wa mauaji hayo alitumia mlango wa uwani kutoka katika jumba hilo na kurejea ofisini kuwahi nafasi katika gazeti la kesho. Lakini hakuweza kufika mbali baada ya kujikuta akiwa katikati ya watu wanne wenye bastola ambao walimpiga na kitako kichwani Neema akapoteza fahamu. Fahamu zilipomrejea alijikuta yuko baharini, katika jahazi, mmoja wa majambazi hao akiwa amemshika kichwani na mwingine miguuni wakijiandaa wakijiandaa kumtosa majini. Alilia kwa nguvu zake zote lakini majambazi hayakuonyesha dalili yoyote ya kumuonea huruma. Mmoja wao alikuwa akisema kwa kebehi.

“Kamlilie mama aliyekuzaa na hao bwana zako waliokutuma kuchunguza mambo yasiyokuhusu”.

“Sikieni, mimi si mpelelezi…” alijaribu kusema. hakuna aliyemsikia. Wakamwinua juu na kumchezesha bembea ili wamtupe kwa urahisi. Neema alikoma kulia. Badala yake akayafumba macho yake akisubiri kifo. Ni hapo lilipotokea jambo ambalo hakuna aliyelitegemea. Mtu aliibuka ghafla kutoka mahali fulani katika jahazi hilo na kuwashambulia watu hao kwa mtindo wa upiganaji ambao Neema aliwahi kuuona katika michezo ya sinema tu. Dakika chache baadaye maadui wote walikuwa wamelala chini wakigalagala kwa maumivu. Mtu huyo alimwunua Neema na kuanza kumkumbatia huku akimtazama kwa tabasamu.

“Pole sana mpenzi”, alitamka mtu huyo baada ya kuona mshangao hauyaachi macho ya Neema.

“Umeyaokoa maisha yangu… Asante sana”, Neema alisema kwa sauti ya unyenyekevu. “U nani wewe?”.

“Naitwa Joram Kiango”.

“Joram!”, Neema alifoka kwa mshangao. Alikuwa amepata kusikia jina jilo likihusishwa sana katika kuwakabiri majambazi, wahaini na wahalifu wengine. Alikuwa amelisoma mara kadhaa magazetini. Lakini hakupata kumtia machoni. Ndio kwanza akaona hawakukosea sana wale walioandika kuwa yu kijana mzuri. Walichosahau ni kutoweka neno ‘sana’ katika sifa zake. Kwa keli Neema hakutegemea kama mtu mwenye tabia zile za kupambana na maadui wengi ana kwa ana bila hofu angeweza kuwa hivi; mzuri sana, mtaratibu sana, macho yenye upole, sauti… “Joram Kiango!” akaita tena. “Umeniokoa lakini sijui namna ya kukushukuru”.

“Huna haja”, Joram alimjibu. “Ni mimi mwenye haki ya kukushukuru. Siku zote nilimshuku mkubwa yule kuhusika katika yale mauaji lakini sikuwa na ushahidi wa kutosha. Wewe umefanya kazi nzuri Neema. Umeniwezesha kupata ushahidi mzuri. Hawa wauaji watasema ukweli watakapofika mahakamani…”

“Ni wewe uliyeandika ile barua?”, Neema aliropoka ghafla.

“Ndio”, Joram alijibu baada ya kutabasamu. Nadhani utaniwia radhi kwa kukufanya chambo. Nilikufahamu siku nyingi na kujua kuwa u msichana shujaa. Nilijua kuwa ungefanya vizuri, na umefanya vizuri… vitu vyote viwili ambavyo nilivihitaji unavyo, ushujaa na uzuri…”

Neema alijikuta akimkumbatia Joram. Walitulia kwa muda na tena kwa faraja. walipoachana Joram aliiwasha mashine ya jahazi na kuiendesha hadi pwani ya bahari ambapo aliwakabidhi majambazi hao kwa polisi. Siku chache baadaye mahakama ilitoa adhabu kali kwa ‘mkubwa’ huyo kitanzi na majamazi kufungwa kifungo cha maisha jela. Neema alipotoka mahakamani alimsaka Joram bila mafanikio. Ilikuwa baada ya wiki kadhaa walipokutana bila kutegemea. Hawakutengana tena.

Na sasa Joram amekufa, Neema aliwaza. “Yeyote aliyemwua nitahakikisha anamfuata”, Neema alifoka kimya kimya. “Naapa”.

Usiku ulipoingia ulimkuta Neema akiwa bado kaduwaa pale pale alipokuwa. Alikuwa hajatia chochote mdomoni ingawa jirani zake walimfuata mara kadhaa wakimshawishi kula. Aliinuka na kuwasha taa ya umeme. Wakati wa kulala ulipowadia, alijilaza kitandani kama kawaida na kuyafumba macho yake, lakini usingizi haukumjia. Hadi asubuhi alikuwa hajatongoa walao lepe.

Kisha mlango uligongwa na kufunguliwa polepole. Neema alikuwa amesahau kuufunga kutokana na kuzongwa na mawazo. Aliyeingia ni mtu ambaye Neema hakupata kumwona katika maisha yake yote. Mtu huyu aliyarejesha mawazo ya Neema katika ulimwengu wa kawaida, Dunia ya mtu kushutuka, kushangaa, kucheka na kukasirika. Mtu huyu angeweza kumfanya yeyote amtazamaye afanye lolote kati ya hayo. Lakini Neema alishangaa tu.

Hiyo ilitokana na umbo la mtu huyo. Neema alifahamu kuwa yu mwanamke kutokana na mavazi na matiti yake manene, ambayo badala ya kukaa kama ilivyo kawaida ya matiti katika kifua cha mwanamke haya yalikuwa kama matuta yaliyolimwa shambani pasi na mpangilio maalumu. Sura yake haikuwa na chochote kinachofaa kuitwa ‘uzuri’ Macho yake hayakupendeza kutazamwa! Pua lake! Midomo!… Neema akajikuta anatokwa na mshangao na kujikuta akiingiwa na mshituko. “Mwenzetu huyu kweli aliumbika”, Neema akajisemea.

“Naitwa Unono”, mgeni alianza kujieleza akisimama kando ya kitanda. Hakujishughulisha kujaribu kutabasamu. Wala Neema hakuona kitu kinachoitwa tabasamu kiliwahi kuupitia uso huo, Wala hakuona kama tabasamu lingewezekana kwa hali ipi. “Wewe ndiye Neema Iddy?”, aliuliza.

“Ndiyo”, Neema alijibu.

“Unamfahamu Joram Kiango?”.

Neema alibadilika na kuonekana mnyonge zaidi. “Wewe ni nani?”, Neema akahoji. Unono hakujishughulisha kujibu. Badala yake akasukuma swali lingine.

“Unajua kuwa Joram amekufa?”.

“Na… Najua. Wewe ni nani? Neema aliendelea kuhoji.

“Huna haja ya kunifahamu. Naona dhahiri kuwa u mpenzi wake. Au siyo?” Neema alipochelewa kujibu Unono akaendelea, “Unampenda kweli?”

Mbali na ubaya wa sauti ya mwanamke huyu, na ubaya wa macho yake. Neema aliona kitu kingine pia. Naam, aliona wivu. Naam, mkabala wa mwanamke huyu ulionyesha hisia fulani, wivu. Mwanamke huyu wa ajabu anamwonea wivu kwa Joram Kiango.

|Ni mpenzi wangu”, Neema akajikuta akifoka. “Ndiyo nampenda. Hata kwa kifo chake nitaendelea kumpenda. Wewe u nani na unahusika vipi baina yangu na mwandani wangu?”.

Unono hakujibu upesi. Aliutia mkono kifuani mwake na kuutoa ukiwa umeshika picha ndogo. “Kama kweli unampenda. Kama kweli utaendelea kumpenda, jitahidi umjue huyu ni nani, na anaishi wapi ili leo jioni nikija hapa uniambie wapi anapatikana”.

“Umepata wapi picha hii?” Neema aliuliza baada ya kuipokea na kuitazama kidogo, “Na picha hii inahusikaje na kifo cha Joram?”.

“Inahusika… Niliipata kwenye mifuko ya marehemu dakika chache baada ya kifo chake . Naamini mwenye picha hii anahusika. Pata maelezo kamili ya picha hiyo. Nikirudi hapa nitakueleza nini zaidi cha kufanya. “Baada ya maelezo hayo Unono aligeuka na kuanza kuondoka zake kwa mwendo wa kuchekesha.

Neema aliitazama tena picha hiyo. Ilikuwa sura ya mwanaume mwenye dalili ya heri kimaisha na kimadaraka. Lakini picha hii ilionekana kama muhusika hakujiandaa kupigwa picha hiyo. Ilikuwa sura ambayo haikuonekana ngeni sana machoni mwa Neema. “Huyu anahusika vipi na kifo cha Joram?”, Neema alijiuliza. Na mwanamke yule, Unono analijua asemalo? Akajiuliza kwanza amewezaje kumpata yeye (Neema) kirahisi hivyo katika jiji kubwa kama hili? Lazima kuna jambo hapa. Mawazo haya yakamfanya Neema aamue kufuata maelekezo ya Unono. Kwa kuwa alikuwa bado msichana tena aliyepitia taaluma ya uandishi wa habari, alifahamu wapi angeweza kupata habari za mtu huyu.

Muda mfupi baadaye Neema alikuwa njiani akielekea kituo cha mabasi. Alipanda UDA ambalo lilimfikisha mjini, Akatelemka na kuiendea ofisi yake ya awali, katika shirika moja la habari. Baada ya kupewa pole nyingi na rafiki zake kufuatia kifo cha Joram, aliomba ruhusa ya kutumia maktaba ya picha. Humo alitafuta picha ambayo inafanana na ile aliyokuwa nayo mikononi. Hakuipata, Alipokaribia kukata tamaa akawauliza wengine kijanja kama wanamfahamu mtu huyo.

Mtu wa kwanza kuitazama picha hiyo alicheka na kisha kumtazama Neema kwa mshangao. “Umeipata wapi picha hii Neema?”.

“Unamfahamu?”, Neema aliuliza kwa msisitizo akiwa na matumaini.

“Wewe Neema, yaani humfahamu huyu?” Alijibiwa kwa swali lingine. “Huyu siyo Profesa Kimara? Karibu kila mtu anamfahamu”.

“Kimara yupi?”.

“Chain Kimara. Yule Profesa ambaye anaandika kitabu juu ya uwezekano kuifanya mimea aina ya wanga inayolimwa hapa nchini iweze kukua na kukomaa haraka katika kipindi cha nusu ya muda wake wa kawaida. Huwa anakuja hapa ofisini mara kwa mara kueleza jinsi anavyoendelea na utafiti wake”,

Ilikuwa habari njema kwa Neema, Anapatikana wapi?”, aliuliza Neema.

“Nani anajua?” alijibiwa. Kwani unamhitaji kwa ajili gani Neema?”
Neema alijitahidi kumlaghai alivyoweza. Kisha akachukua kitabu cha orodha za simu na kulitafuta jina la Profesa Kimara. Haikumchukua muda kulipata, Anuani ilionyesha kuwa anapatikana katika mtaa wa India katika nyumba za msajili wa majumba namba 107. Taarifa hizo Neema akazinakiri nyuma ya picha hiyo na kisha kuanza safari ya kutoka akimshukuru mkutubi. Moyoni Neema alijaa furaha. Ilikuwa rahisi kuliko alivyotegemea.

ITAENDELEA

NJAMA – 1

NJAMA – 1



*********************************************************************************


Simulizi : Njama
Sehemu Ya Kwanza (1)

NAONANA NA CHIFU
Ndege ilitua kwenye uwanja wa ndege wa mjini Dar es Salaam kiasi cha saa moja na nusu asubuhi. Nilipita harakaharaka katika sehemu za afya, uhamiaji na ushuru wa forodha, kisha nikachukua teksi iliyonipeleka moja kwa moja katika ofisi yangu ya ‘Afrika International Agencies’, iliyoko mtaa wa Independence karibu na ofisi kuu za shirika la Bima la Taifa.

“Hallo bosi, umerudi!”, Rose mfanyakazi wetu sehemu ya mapokezi alisema.

“Naam nimepata ujumbe wa teleksi kutoka kwa Marcelina kuwa mama anakufa”.

“Na kweli nenda ofisi kwako mwandishi wako mahususi alikuwa na wasi wasi maana huko juu wanakuulizia kila baada ya dakika kumi. Ama kweli huko juu kuna kitu kikubwa kinawawasha”.

Nilielekea ofisini kwangu, nilipofika nikafungua mlango wa mwandishi wangu mahsusi, Linda.

Oh, Mungu wangu, afadhali umefika, kidogo nipate wazimu maana huko juu hawanipi nafasi hata ya kupumua. Naulizwa kila wakati kwanini hujafika, utafikiri mimi ndiye nakufuga”.

“Poa sasa nimefika mwenyewe. Vipi shughuli hapa?”.

“Mambo shwali, isipokuwa toka juzi kuna jambo limeharibika, maana jana nzima ofisi inawaka moto. Chifu huko juu ametingwa na mambo. Na afadhali uende sasa hivi, mimi nawajulisha kuwa uko kwenye lifti unaelekea ofisini kwake”.

“Yaa fanya hivyo”.

Niliacha mzigo wangu kwa Linda, nikaelekea ofisini kwa Chifu ambaye ofisi yake ilikuwa orofa ya tatu, na sisi tulikuwa chini katika jengo hilo hilo.

Nilifungua mlango bila kubisha hodi. Nikaingia ndani ya ofisi ya mwandishi mahsusi wa Chifu.

“Ooh, Mungu wangu! Afadhali umekuja!”, Maselina alisema kwa moyo wa furaha.

“Hujambo lakini?”.

“Sijambo ila wasiwasi ni juu yako tu. Pole sana, nafikiri tumekukatishia likizo murua kabisa”.

“Wacha kusema. Tayari nilikuwa nimeshapata kipande cha msichana. Nilipopata ujumbe wako kidogo nipate ugonjwa wa moyo. Je kuna nini huku kinacholeta wasiwasi hivi?”.

“Atakueleza mwenyewe kinachompandisha damu yake. Nakwambia amekuwa anakuhitaji kwa haraka sana, hata hivi anaona umechelewa. hivi sasa nilikuwa nataka kutuma teleksi nyingine”.

“Mama yangu mzazi! mtafikiri nina roketi yangu mwenyewe!”.

“Ngoja nimwambie kwamba umefika. Akifungua mlango kisha atukute tunapga soga sijui atafanya nini. Huenda atapasuka!”.

“Mwache apasuke! Mnafikiri kunikatisha likizo yangu nilijisikiaje. Utadhani moyo wangu umetengenezwa kwa chuma, na wake kwa udongo”.

“Kamwambie mwenyewe hayo huko ndani”, Maselina alijibu akimwemwesa huku akiinua simu.

Huyu Maselina tumefanya kazi pamoja kwa muda mrefu kiasi ya kwamba uelewano wetu hauwezi kuelezeka kwa maneno. Huenda siku moja nitapata maneno ya kueleza, ila tu kwa leo naweza kusema ni rafiki yangu mkubwa.

“Chifu, namba moja yuko hapa”, Maselina alitamka katika simu.

Nambari moja, ndivyo nilikuwa najulikana kikazi. Katika kazi yetu sisi hutumia namba, mimi nilikuwa namba moja hivyo unaweza mwenyewe kuchekecha ukajuwa kwa nini. Mimi Willy si mtu wa majivuno. Watu wengi, hasa wakubwa wa serikali walinijua kwa hii namba yangu. Wengi walikuwa hawajui namba moja ni Willy Gamba, ila kwa watu wachache sana. Hii ilinipa fursa hata nyumbani Dar es Salaam nijulikane kama mfanyabiashara wa kawaida tu, na si Willy Gamba ambaye ni namba moja katika Idara ya Usalama, Tanzania.

Maselina aliweka simu chini.

“Nenda ndani mara moja”.

Nilifungua mlango, na nikamkuta Chifu akitembea toka kona moja ya chumba hadi kona nyingine. Kwa mtu ninayemfahamu nikajua hapo alipo alikuwa na matatizo makubwa sana yaliyomsakama rohoni mwake.

“Kaa chini namba moja’, Chifu aliamru.

Chifu anaponiita kwa namba yangu ya kazi ujue kuna jambo kubwa.

nilivuta kiti nikaa, yeye akazidi kutembea kona hadi kona nyingine, hatimaye akasimama nyuma ya kiti chake.

“Nashukuru kwa kufika kwako mapema, namba moja ndio sababu nakutegemea sana”.

“Asante”, nilijibu halafu nikaendelea.

“Mbona hivi, nini kinakuwasha?”.

Alichukuwa mtemba uliokuwa mezani, akafungua mkebe wa tumbaku akaijaza, kisha akawasha na kuanza kupuliza. Alipuliza mara mbili, halafu akazungusha kiti chake ambacho kinazunguka kwenye tendegu, akaketi.

“Kina jambo kubwa limetokea!”.

Aliweka mtemba wake mezani na kuweka mikono yake kwenye mezani.

Akaniangalia machoni, huku macho yake yakionesha ukali wake.
Akili yangu ikiwa tayari kusikiliza jambo hili huku moyo ukinidunda.

Utanisikiliza, utauliza maswali baadaye”.

Sawa”.

“Nafikiri nitaanza toka mwanzo. Ingawaje mambo mengine unayajua, nitayarudia tu kwa ajili ya umuhimu wa habari yenyewe ilivyo, unaonaje?”.

“Utakavyoona wewe Chifu”.

“Unajua nchi yetu inalea vyama vingi vya wapigania uhuru. Kama vile vyama vya wapigania uhuru toka Zimbabwe, Afrika Kusini n.k. Pamoja n a kulea vyama hivi tunawapatia vijana wao ya kijeshi. Kwa vile mafunzo mengi yanapatikana hapa na makao makuu ya vyama hivi yapo hapa, basi silaha zao vile vile zinapitia hapa na sisi tunazipokea toka nchi rafiki na kuwapa wanaohusika.

“Hapa tuna vyama viwili vya wapigania uhuru katika Afrika kusini. Vyama hivi ni ‘The Peoples liberetion Front, of South Afrika (PLF)” kinachoongozwa na Ndugu Cecil Chimalamo na South Afrika National Party (SANP) kinachoongozwa na Ndugu Ray Simbuche. Miezi sita iliyopita Ndugu Cecil Chimalamo wa PLF alikwenda Urusi ambako alioba msaada wa silaha na akaahidiwa kupewa silaha hizo ambazo zingepelekwa Dar es Salaam mnamo muda wa miezi sita.

“Wiki iliyopita Ubalozi wa Urusi wa hapa mjini ulipata karatasi za maelezo ya silaha hizi ambazo tayari zilikuwa zimeshapakiwa kwenye meli siku nyingi na zilikuwa njiani kuwasili Dar es Salaam. Na makaratasi haya yalisema meli hiyo itawasili mjini hapa mnamo wiki hii’.

“Basi yalipofika, ubalozi uliyashughulikia kikamilifu kwa upande wake, kisha ukayapitisha kwenye kamati ya ukombozi ya Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), maana kamati hii ndiyo inashughulikia mambo haya kama unavyofahamu. Kamati nayo ilianza kuzishughulikia karatasi hizi mpaka zikawa tayari, wakawa sasa wanangoja meli kufika. Habari kutoka kwenye Wakala wa Meli zilieleza kuwa meli hiyo itaingia bandarini Dar es Salaam tarehe tatu mwezi huu ambayo ilikuwa juzi ile”.

“Baada ya kupata habari hizi kamati ilipanga pamoja na ofisi ya mambo ya silaha za wapigania uhuru pia na maofisa wa bandari wanaohusika kuwa mizigo hiyo ipakuliwe usiku wa tarehe nne yaani juzi kuamkia jana. Kwa sababu karatasi zote zilikuwa zimekamilika na sehemu zote zikiwa na habari kamili, pande zote zilikaa zikisubiri silaha hizo mnamo siku hiyo kama ulivyopangwa”.

Chifu alichukua mtemba wake tena akavuta kidogo kisha akauweka juu ya meza.

“Nafikiri umenielewa mpaka hapo?”.

“Wakati huo mpango hii yote ya kupakua mizigo hii, ofisi ya PLF ilikuwa ikishirikishwa?”, niliuliza.

“Ndio, kwa sababu huwa wanaelezwa mambo yote yanavyokwenda, hivyo huwa wana habari kamili ya mambo yote. Naweza kuendelea?”.

“Unaweza”.

“Sasa jambo la kushangaza likatokea juzi. Maofisa wa ofisi ya jshi la ulinzi inayoshughulikia silaha za wapigania uhuru walikwenda kwenye ofisi ya kamati ya ukombozi juzi mnamo saa nne ili kuchukua karatasi hizo za mizigo, wapate kijitayarisha kwa upakuaji wa mizigo hiyo wakati wa usiku. Walipofika kwenye ofisi hii wakakuta ofisa anayehusika hajafika kazini. Ikabidi wamwone ofisa wa juu katika ofisi hiyo kumweleza umuhimu uliopo wa kuandaa kupakua silaha hizo usiku.

“Huyu ofisa wa juu katika ofisi hii ya kamati naye alisema kuwa alikuwa ameshangazwa kwanini ofisa huyo alikuwa hajafika kazini. Hivyo wote kwa ujumla wakaondoka kuelekea nyumbani kwa ofisa huyo kuona kama anaumwa aweze kuwaelekeza wapi walipoziweka karatasi hizo. Huyu ofisa alikuwa akikaa sehemu za Upanga, Barabara ya Umoja wa mataifa, nyumba namba 1168”.

“Walipofika nyumbani kwa ofisa huyo walimkuta mfanyakazi wake akiwa nje. Walipomuuliza kama wenye nyumba wapo aliwajibu kuwa yeye hakai hapo ila huwa anakuja kila asubuhi lakini alipofika asubuhi hii alikuta milango yote ya kuingilia ndani ya nyumba imefungwa.  Hivyo mpaka muda huo alikuwa anasubiri kwani alifikiri wametoka. Ofisa huyo alikuwa anakaa yeye pamoja na mke wake na walikuwa bado hawajapata watoto. Ofisa mmoja wa jeshi alikwenda kuangalia gereji akakuta gari la ofisa huyu lipo na lilikuwa bado halijatoka. Kitu hiki kilimtia mashaka akawaeleza wenzake na akashauri wajaribu kuingia ndani ya nyumba huenda walikuwa bado wamo ndani. Kwani kama kutoka wangekuwa wametoka na gari lao, walikubaliane wavunje mlango wa kuingilia ndani”.

Chifu alinyamaza kidogo akainua macho yake kuniangalia.

“Walishtushwa kwa kumkuta ofisa huyu amepigwa risasi amekufa sebuleni, huku akiwa amevalia vizuri kabisa kuonyesha kuwa alikuwa anatoka matembezini. Halafu ukumbini walimkuta mke wa ofisa huyo naye amepigwa risasi amekufa huku akiwa amevalia nguo za kulia. Haapo hapo wakanyanyua simu na kutoa ripoti ya vifo hivi kituo cha polisi Oysterbay ambacho hakikuchelewa kutuma maofisa wao kwenye nyumba hiyo. Baada ya polisi kufika, maofisa hao wa jeshi na ofisa kutoka kamati ya ukombozi ilibidi warudi upesi kwenye ofisi ya kamati, maana vifo hivi vilileta wasiwasi”.

Wakati wote huu akieleza, mimi nilikuwa kimya kabisa na akili yangu ilichemka niliposikia habari hizi za mauaji.

“Halafu ikawaje?”.

“Walirudi ofisi za kamati upesi upesi, na kuanza kutafuta makaratasi haya ya mizigo kila mahali ofisini hapa, lakini hawakuona kitu. Hapo ndipo jasho lilipowatoka. Jambo hili liliwapa wasiwasi zaidi ikabidi wakimbilie bandarini kutoa habari kwa maofisa wa bandari kuwa karatasi zimepotea”.

Chifu macho yake yaliwaka nikajua karibu anasema kitu cha kustua.

“Walipofika katika ofisi za bandari, ofisa anayehusika na habari hizi, walipomweleza kuwa makaratasi yamepotea, alishangaa sana, ndipo mwishoni akawaeleza kuwa silaha zilikuwa zimeisha chukuliwa usiku uliokuwa umepita na wanajeshi waliovalia nguo za jeshi la ulinzi na wakiwa na karatasi zote za kuchukulia silaha, zikiwa kamili kabisa. Walikuwa wamefika na magari ya jeshi la wananchi, hata akawatolea namba za magari. Kundi hili lililochukua silaha liliongozwa na mtui aliyevalia nguo za cheo cha meja. Kusikia hivi kundi lote lililofika kwenye ofisi ya bandari lilichoka kabisa.

“Lakini si walikuwa wamekubaliana na ofisi ya bandari kuwa watapakua usiku wa juzi kuamkia jana, ilikuwaje yeye akaruhusu mizigo ipakuliwe usiku wa juzi ile kuamkia juzi?”.

“Huko ndiko nakuja kufafanua. Ofisa wa bandari alieleza kuwa mnamo terehe tatu mwezi huu ambayo ni juzi ile kiasi cha saa kumi alipata simu toka ofisi ya Kamati ya Ukombozi. Simu hii ilikuwa inatoka kwa ofisa wa juu katika Kamati ya Ukombozi anayeshughulikia mambo ya silaha, Ndugu Jones Mantare. Ambaye ndiye aligundua maiti ya ofisa huyo wa kamati akiwa pamoja na wanajeshi. Yeye anasema sauti ya Jones Mantare anaifahamu maana ameshughulika naye siku nyingi, na sauti hii aliyoisikia kwenye simu ilikuwa kama ya Mantare hivyo akaamini kuwa anazungumza na Mantare”.

“Simu hiyo ilieleza kwamba, kwa ajili ya usalama ratiba ya upakuaji silaha imebadilika, kwa hiyo silaha zilikuwa zipakuliwe siku hiyo hiyo kuanzia saa mbili za usiku kwani silaha zilikuwa nyingi. Hivyo akasema amtegemee meja mmoja wa jeshi kwa jina la Paul Liboi, atakuja pamoja na askari wa jeshi la wananchi kutoka kwenye ofisi inayoshughulikia silaha za wapigania uhuru ambaye atashughulikia kazi hiyo. Kwa hiyo, anasema alimwomba aiweke hiyo meli tayari kwa kupakuliwa saa mbili usiku. Yeye alikubali bila masharti maana kazi ya silaha ni muhimu”.
“Na mnamo saa kumi na nusu wakati akishughulika na kutoa amri ya meli hiyo kupewa nafasi kwenye geti alipata mgeni mwingine. Mgeni huyu alijitambulisha kwa jina la Andrew Mwambina ofisa usalama toka kamati ya ukombozi ya OAU. Alitoa kitambulisho chake na ofisa huyu wa bandari alivyokiona kilionekana halali maana ameshawahi kuona vitambulisho vya watu hawa. Mtu huyu alimwuliza kama amepata habari kuwa upakuaji umebadilishwa na ilibidi silaha zipakuliwe usiku huo saa mbili. Yeye alikubali kuwa amepata ujumbe na muda huo alikuwa anashughulikia jambo hilo. Ofisa huyo wa usalama alimwaga na kumwambia yeye na wenzake watakuwepo kikazi kama kawaida, akaondoka”.

“Kwa taarifa yako. Namba moja maafisa watatu wa usalama wa Kamati ya Ukombozi ambao walipangiwa kufanya kazi bandarini tangu ilipofahamika kuwa meli hiyo inaingia walikuwa wameuawa na maiti zao zilikutwa sehemu ya Shimo la Udongo jana jioni”.

Chifu alitua kidogo kupuliza mtemba wake.

“Taarifa ya ofisa wa bandari iliendelea kusema kuwa ilipofika saa mbili kamili za usiku magari manne ya jeshi tani kumi na mbili kila moja yaliingia. Na mtu aliyejitambulisha kama Meja Paul Liboi alifika ofisini kwake akiwa amevalia kijeshi na cheo chake kwenye mabega. Yeye alisema amekuja kushughulikia upakuaji wa silaha na kwamba aliamini ameshapewa habari na kamati ya Ukombizi mapema, na akatoa karatasi za kupokelea mizigo ya silaha ambazo zilikuwa sawa”.

“Yeye alimjibu kwamba alishapata habari na mipango yote ilikuwa tayari, hivyo baada ya kumaliza shughuli za makaratasi alitoka na Meja huyu na kuwaelekeza meli ilipokuwa tayari kwa upakuzi. Aliendelea kueleza kuwa magari haya manne yalikuwa na askari wengi waliovalia kijeshi. Hivyo silaha zilianza kupakuliwa saa tatu na kufikia saa kumi alfajiri gari la mwisho liliondoka. Silaha zilikuwa nyingi sana za kisasa na za hali ya juu. Nafikiri umenielewa mpaka hapo”.

“Ndio nimekuelewa”. 

“Sasa kitu cha kutia huzuni ni kwamba silaha hizi zimepotea hazijulikani zilipo. Na wala watu na magari yaliyochukuwa silaha hizi hayajulikani yalipo mpaka  dakika hii tunapozungumza. Idara ya polisi imejaribu kutafuta lakini mpaka sasa hawana hata fununu. Huu ni wizi wa silaha uliopandwa barabara na kwa serikali yetu hii ni “KASHFA”, kwa taarifa yako habari hizi zimevunja na zimeshatangazwa na nchi za Magharibi pamoja na Afrika Kusini juu ya tukio hili. Na tayari nchi adui za Tanzania zimeanza kuropoka ovyo ili kulichafua jina la nchi hii”.

“Mimi ninadhani hizi ni hila na Njama za mabeberu, wapinga mapinduzi wa mapambano Kusini mwa Afrika. Nia yao ya kufanya hivi ni kutaka mambo matu. Nia yao ya kwanza ni kuhujumu, kuchukua silaha hizi kusudi zisiwafikie wapigania uhuru ambao mapambano yao huko Kusini mwa Afrika sasa yanapamba moto, maana silaha hizi zilikuwa za kisasa na zingalifika kwenye uwanja wa mapambano wanajua wangepata cha mtemakuni. Kwa hiyo hizi ni njama za kuhakikisha kuwa silaha hazifiki kwenye uwanja wa mapambano”.

“Pili, wanataka kulipaka matope jina la Tanzania kwa vile Tanzania imeamua kuongoza ukombozi kusini mwa Afrika sasa ina maadui wengi sana, na maadui hawa wameanza kulipaka matope jina la Tanzania na kusema kuwa Tanzania huzitumia hizi silaha kwa majeshi yake. Wendawazimu wengine wameendelea kusema eti Tanzania kwa muda  mrefu imekuwa inatumia misaada inayotolewa kwa faida yake!”.

“Hivi hili jambo si geni. Nia yao ya tatu ni kutaka kuzikatisha tamaa nchi rafiki zinazotoa misaada kwa wapigania uhuru, zisizidi kufanya hivyo, kwa kufikilia kuwa wanapoteza mali zao kwa kufanya kazi ambazo wao hawakuzipangia. Kwa hiyo, namba moja unaona hali ya hatari nchi yetu ilimo”.

“Lo! ni hali mbaya sana. sasa sisi tunatakiwa kufanya nini?”.

“Jambo hili sasa linashughulikiwa na Idara ya polisi na ofisi ya usalama. Upelelezi wao bado unaendelea na ni mkali sana. Katika usiku wa kuamkia jana serikali imeamua sisi lazima tulishughulikie jambo hili. Maana inaamini wizi huu uliofanywa ni wa kimataifa, hivi polisi hawakuzoea kupambana na hali kama hii. Kwa hiyo ingawake wao wataendelea na shughuri zao, sisi itabidi tujishughulishe kikamilifu juu ya jambo hili maana ni kima chetu polisi wameagizwa kuleta nakala ya ripoti zao zote za upelelezi wanaoufanya. Hii itafanya kupata habari nyingine ambazo zitatusaidia sana”.

“Serikali inataka jambo hili litatuliwe haraka kusudi tuweze kuwafichua hao maadui zetu wanaotaka kutupaka matope, maana itabidi tuionyeshe jumuia ya ulimwengu jinsi maadui zetu wanavyojaribu kutupiga vita kwa ajili ya msimamo wetu thabiti katika ukombozi wa Afrika. Na hatuwezi kufichua ukweli wa jambo hili mpaka hapo tutakapowakamata hawa waliofanya kitendo hiki. Kwa hiyo kazi yetu sasa ni moja tu, nayo ni kuwakamata watu hawa. Na wewe namba moja umepewa jukumu hili kubwa la kulinda hadhi ya nchi yako, Tanzania. Una maswali?”.

“Nipe muda kidogo nifikiri”.

Nikasimama na muda huu kwa ajili ya mafikara niliyokuwa nayo nilianza kutembeatembea toka kona hadi kona ya chumba kama nilivyomkuta Chifu akifanya. Ilionekana Chifu alijisikia nafuu baada ya kutua mzigo huu kwangu ikawa zamu yangu kubanwa na mawazo ya tukio hili.

“Hizi habari zimevujaje?”.

Niliuliza hukU bado natembeatembea nimeinamisha kichwa chini.

“Naamini, maharamia hao hao ndio wamezitoa ili wafanikishe moja ya shabaha zao. Yaani kuivunjia Tanzania hadhi”.

Mara moja nikawakumbuka Sherrif na Veronika nikajuwa lazima habari hizi zilikuwa zimeshafika ofisi za gazeti la Afrika na Sherrif alikuwa anakuja Dar es Salaam ili kuja kuchunguza na kuandika juu ya tukio hili. Katika mipango yangu iliyokuwa inapita kichwani nilipata pointi moja ya kunisaidia.

“Huyu Jonas Mantare anasemaje juu ya tukio hili?”.

“Baada ya kupata maelezo ya ofisi ya bandari, mara moja polisi walimkamata Jonas Mantare kwa kusaidia polisi katika uchunguzi, yeye alipoulizwa kama yeye ndiye aliyepiga simu, alikataa kabisa, na kukataa kwake kumedhihilishwa na Mwenyekiti wa kamati ya ukombozi kuwa Mantare alikuwa ofisini mwake toka saa tisa mpaka saa kumi na moja siku hiyo wakifanyakazi pamoja na wala hawakutoka hata dakika moja katika muda wa masaa hayo mawili”.

“Kwa hiyo kutokana na usemi wa ofisa wa bandari, kuna mtu mwingine aliyeiga sauti ya Mantare. Hii ina maana mtu huyu amemzoea”.

Nikarudi na kuketi kwenye kiti kwani akili zilianza kufanya kazi. Kwa mara ya kwanza nilitoa paketi yangu ya sigara nilizokuwa nimenunua katika ndege, nikaanza kuvuta.

“Bila ya shaka”, Chifu alijibu.

“Ofisa huyo aliyeuawa anaitwa nani?”.

“Anaitwa Kamara Frank, yeye ni mwenyeji wa Sierra Leon”.

Unaona sasa mambo yanavyokuwa huyu mtu alikuwa rafiki ya Sherrif kama unakumbuka.

“Daktari anafikilia Frank na mkewe walikufa saa ngapi?”.

“Daktari anakadilia kuwa walikufa kati ya saa sita na saa nane usiku. Na inavyoonekana ni kuwa kuna wakati alikuwa amefungwa kamba, maana alama zinaonekana kwenye mikono na miguu”.

“Sasa Chifu kuna jambo moja ambalo lazima tuelewane. Tangu nimeanza kazi hii nimekuwa nikifanya kazi zangu nje ya Tanzania. Hapa nyumbani najulikana kama mfanyabiashara tu. Lakini kama nikianza shughuli hii lazima nitajulikana hasa mimi ndiye nani. Unasemaje?”.
“Nani anajali”, alifoka Chifu kwa sauti ya juu. “Kitu ninachotaka mimi ni kuona jambo hili linatekelezwa na washenzi hawa wamekamatwa. Kama itabidi ujulikane potelea mbali!”.

“Lakini Chifu…”

“Hamna cha lakini hii ni amri ya serikali na serikali inataka matokeo juu ya suala hili na mapema iwezekanavyo”.

Nilijuwa kuwa kweli iko kazi kama kweli Chifu kakubali mimi nitambulike kirahisi hivi nilikaa nikaanza kufiri jinsi ninavyoweza kufanya upelelezi wa tukio hili bila kutambuliwa maana mimi sikuwa nataka kabisa nijulikane kama mimi ni mpelelezi hapa nyumbani. Kwani watu wengi Tanzania wanajuwa wana mpelelezi mashuhuri, kiasi cha kujitapa  mitaani lakini hawajui kuwa ni mimi Willy Gamba. Na hivi ndivyo nataka, vinginevyo kila nitakapokuwa napita nitakuwa nafuatwa na kundi la wapenzi.

“Najuwa waandishi wa habari toka nchi za nje watakuwa na shauku kubwa kuja kuandika habari hizi. Kuna msimamo gani?”.

“Haturuhusu waandishi wowote toka nje. wamezuiliwa mpaka hapo tutakapojuwa msimamo kamili wa jambo hili. La sivyo watakuja kuzidi kuchafua mambo hapa. hatutawaruhusu kabisa idara ya uhamiaji imeshaelezea na imeshatoa amri kwa vituo vyake, na jambo hili limeanza kutekelezwa. Asubuhi hii nchi za Magharibi zimelalamika kusikia haturuhusu waandishi wa habari toka nje.

Nilichukua nafasi hii kumweleza Chifu juu ya kukutana kwangu na Veronika Sherrif. Nikaendelea kumweleza kila kitu juu ya kuja kwao hapa.

“Hivyo nahisi gazeti la “Afrika” linawatuma waje kwa ajili ya tukio hili. Ni lazima wameishapata habari”.

“Hawataruhusiwa kuingia”.

“Mimi naomba hawa waruhusiwe kwa sababu nafikiria kuwatumia katika shughuri hii”.

“Haiwezekani, watakuja tifua mambo tu, sitaki kuona waandishi wa habari toka nje!”, Chifu alifoka huku akionyesha hasira.

“Sasa Chifu, ni lazima tuelewane, hili jukumu umenipa mimi. Na inabidi mimi mwenyewe nipange ninavyoona, jinsi nitakavyoweza kulitatua tatizo hili, na kama sasa hatuwezi kukubaliana, sijui shughuli itawezekanaje?”.

Chifu alinyamaza kwa muda mrefu.

“Hebu ni majina kamili ya watu hao”.

Nikampa. Akainua simu, akazungumza na Maselina.

“Hebu angalia kwenye mafaili ya waandishi wa habari hasa waandishi wa gazeti la “Afrika”, angalia kama kuna faili zozote za majina ya Veronika Hamadu na Ahmed Sherrif wote kutoka Sierra Leon”.

Akaweka simu chini, tukasubiri katika ukimya. Baada ya kitambo kidogo Maselina alifungua mlango akaingia na mafaili mawili, akampa Chifu. Chifu alipoinama kuyafungua kusoma,
Maselina alinikonyeza na kufua mlango, akatoka nje.

Chifu alisoma faili la kwanza, alipomaliza akanitupia. Lilikuwa faili ya Ahmed Sherrif. Na mimi nilianza kulipitia kwa makini sana nilipomaliza kulisoma Chifu alikuwa nae amemaliza kusoma faili la Veronika Hamadu, akanitupia. Nilisoma faili la Veronika kwa makini vile vile, lilikuwa na habari zilizonifanya nitabasamu mara kwa mara mpaka nilipomaliza. Nilikuta Chifu ameegemea kwenye kiti chake akaniangalia kwa makini.

“Oke, wataruhusiwa kuingia, inaonekana wanaweza kuwa wa manufaa kwako. Sijui unataka kuwatumiaje, kama hutajari kunieleza”.

Baada ya kuwa nimesoma mafaili ya watu nilikata shauri namna ya kushughulika nao. Hivyo nilionelea juu ya mipango yangu maana huyu mzee kichwa chake kinafanyakazi. Kama akiona kuna kitu chochote hakifai atanikosoa mara moja. Waliompa kazi hii ni dhahiri walichagua mtu hasa anayefaa. Sidhani kuna mtu wa uwezo kama wake katika kuongoza kazi hii katika nchi hii. Yeye hiki ni kipaji alichopewa na Mungu. Na maendeleo yote ya idara hii ya upelelezi yamefanikishwa na uongozi wake ulio thabiti na wa busara.

“Mimi bado nahitaji kufanya upelelezi katika tukio hili, kujulikana kuwa mimi ni mpelelezi kwa watu wengi. Hivyo nimepanga kuwa kampuni yetu Afrikan International Agencies itakuwa wakala wa gazeti la Afrika. Kwa kufanya hivyo kampuni hiyo itawapokea hawa waandishi wa gazeti hilo kama wageni wake kwa sababu mimi najulikana kama meneja mkuu wa kampuni hivyo nitaandamana nao katika kutafuta habari zao nikiwa kama mwenyeji wao na kwa vile nafahamika hapa Dar es Salaam, nitawaongoza na wakati huo huo nitakuwa nafanya upelelezi wangu. Kwa kufanya huvi nitaweza kushughulika bila kutambuliwa kuwa mimi ni nani na ninafanya nini. Mpango kamili nitapanga na nitakueleza”.

Alikaa kimya kutafakari mpango wangu.

“Vizuri sana, namba moja, akili yako inafanyakazi. Nimeishaona shughuli yote itakavyokuwa kwa urefu. Mpango wako ni mzuri, endelea nao. Unafikiri hawa waandishi watafika saa ngapi”.

“Si zaidi ya usiku wa leo”.

“Oke nitapeleka habari sasa hivi watu hawa waruhusiwe kuingia. Wewe nenda sasa ukapumzike maana najua haujalala tengeneza mpango wako wote wa upelelezi huo, na uniletee kesho asubuhi. Lakini kumbuka kazi hii ni kubwa na ya haraka, hivyo msaada wowote utakaoutaka utapewa. Ofisi yote imeweka kando kazi nyingine mpaka tutakapoona mwisho wa kazi hii. Mungu akusaidie kama amnavyo amekusaidia siku zote. Nina imani na wewe Willy. Najua utafanikiwa. Kwa heri Willy mpaka baadaye, kapumzike”.

Chifu anapoanza kuniita Willy ujuwe kuna kitu kimemfurahisha hasira na wasiwasi wake umepungua. Na anakuwa na imani kuwa kazi itafanyika.

“Asante”, nilijibu.

Niliangalia saa yangu. Ilikuwa saa saba za mchana mkutano huo ulikuwa umechukua muda mrefu sana. Nilimwaga Chifu nikamwahidi kumletea nakala ya mpango wangu wa operesheni hii asubuhi.

Nilifungua mlango nikaingia ofisini kwa Macelina.

“Kazi kubwa unayo, pole sana Willy”.

“Nitafanyaje Macelina, mimi mwenyewe nilikubali kazi hii sasa siwezi kurudi nyuma. Na vile vile kwa sababu tukio hili linahusu wapigania uhuru, niko tayari kabisa kwa lolote. Wewe mwenyewe unajuwa moyo wangu ulivyo juu ya ndugu zetu wanaoteswa huko Kusini mwa Afrika”.

“Naelewa Willy, naelewa sana roho yako ilivyo juu ya ukombozi wa Afrika Kusini. Vijana wote wa Kiafrika wangekuwa na roho kama yako sasa hivi kungekuwa hakuna ukoloni Afrika”.

“Asante kwa kunipa moyo”.

“Usiwe na wasiwasi, naamini mungu atakusaidia kama siku zote, maana wewe unatetea wanyonge wanaoonewa. Hata hivyo tukio hili n hatari kuliko mengine yote. Pole sana”.

“Asante tena Maselina. Vipi huendi kula mchana?. Twende nikakununulie chakula cha mchana”.

“Ngoja nimwage Chifu”.

Maselina aaliingia ndani, alipotoka akasema ameruhusiwa muda wa saa moja tu saa nane ilimbidi awe kazini.

“Yeye haendi kula?”.

“Ana vitafunio vyake humo ofisini, ndio hatoki tena. Huyu mzee kazi itamwua”.

“Shauri yake. Yeye ameshaula kidogo si kama sisi. Miaka sitini ni miaka mingi.

Maselina alichukua mkoba wake tukaondoka.

                     

                                       III
Niliingia ofisini kwangu mnamo saa nane baada ya kupata chakula kitamu na Maselina.

“Linda nipeleke Colt Motors nikachukue gari langu”.

“Hamna taabu bosi, twende zetu”, Linda alijibu huku akichukua mkoba wake. Gari langu ni aina ya Colt GallantCoupe hivyo kila nikisafiri huwa naliacha kwenye kampuni yao.

“Vipi bosi, naona umeitwa shauri ya wizi wa silaha wa majuzi”, Linda alinidadisi.

Huyu katibu wangu mahsusi alikuwa amefanya kazi nasi kwa muda wa miaka minne na mwaka huu alifikia kiasi cha kuaminika sana na kupewa nafasi ya kuwa katibu mahsusi wa Namba Moja.ambacho ni cheo cha juu sana. Kwa upande wa makatibu mahsusi yeye alikuwa amejipatia nafasi ya pili ya kuaminika baada ya Maselina. Alikuwa msichana mwenye akili nyingi, na alikuwa mzuri wa urubi. Alikuwa na kila sifa anazostahili katibu mahsusi kwa mpelelezi wa hali kama yangu. Nilimpenda kwa jitihada zake za kazi na nilimtegemea bila wasiwasi.

“Ndio Linda, matatizo kila wakati hutokea wakati niko katika kilelel cha maraha, sijui mkosi gani huu.

“Mimi huwa naamini huwa unapata raha fulani katika pilika pilika zako, maana kila ukimaliza shughuli fulani huwa nakuona katika hali ya furaha sana”.

“Hiyo inatokana na kumaliza kazi yangu katika hali ya kuridhisha”.

“Unafikiri watu hawa wameiba hizi silaha kusudi wazitumie kupindua serikali?”, Linda aliuliza.

“La hasha, wanajua  hawawezi kabisa kupindua serikali, maana wananchi wote wa nchi hii wamejidhatiti katika ulinzi. Mimi nafikiri wana sababu nyingine, na sababu hii nitaipata katika muda si mrefu”.

Saa nane hii magari yalikuwa mengi maana watu wengi walikuwa wanarudi makazini. Hivyo barabara hii ya Pugu ilikuwa na msongamano wa magari. Linda alitumia ujuzi wake wote ili kujipenyezapenyeza tuweze kufika upesi.

“Lazima nikupeleke upesi bosi maana najua una bonge la usingizi”.

“Ndio sababu sikuchukii Linda, maana huwa ndiye mtu unayenionea huruma, wewe na Maselina, wengine wote wanafikiri mimi nimetengenezwa kwa chuma”.

“Hata mimi lazima niungame kuwa huwa vile vile nafikiri wewe si binadamu wa kawaida maana mambo unayofanya nashindwa hata kueleza”.

“Taa kwenye barabara hii zimezidi, hapa na pale taa, nadhani ndizo zinazosababisha msongamano wa magari”, Linda alilalamika wakati tukiwa tumesimamishwa kwenye taa za usalama barabarani za karibu na Shirika la Usagaji na ofisi za Tazara..

“Hata mimi nafikiri hivyo hivyo. Nafikiri barabara hii ingefanywa barabara muhimu, na magari yote yatakiwe kwenda kasi, tuseme si chini ya kilomita themanini kwa saa. Hii ingesaidia watu kufika kazini haraka au wasafri wanaosafiri kwa ndege wasingekuwa na wasiwasi wa kuchelewa kama ilivyo hivi sasa”.

Tulipoingia Colt Motors tulimkuta meneja ndio anarudi kipindi cha alasiri.

“Mbona umerudi haraka nawe ulisema utarudi baada ya wiki tatu?,” meneja wa karakana aliniuliza.

“Nilipata habari kuwa mama anaumwa ikabidi nirudi haraka sana”.

“Oh pole sana, kuna kitu chochote tunaweza kusaidia?”.

“Asante sana, nimemwona; anapata matibabu ya kutosha huko hospitali ya Muhimbili”.

“Kama utahitaji msaada wakati wowote usisite kusema”.

“Asante, nitakumbuka”, nilijibu.

Tulikuwa tumejenga uhusiano mzuri wa kibiashara na kampuni hii. Nilifuatana na Linda mpaka kwenye gari lake nikachukua mfuko wangu.

“Linda itabidi umwambie Godwin aweke watu wa kuaminika sana kwa usiku wa leo maana nategemea wageni. Akipata habari zozote anieleze moja kwa moja nyumbani, mimi sitakwenda mbali leo. Nitatoka kidogo saa mbili hivi na nitakuwa Palm Beach Hoteli kwa chakula cha jioni, lakini baada ya chakula nitarudi nyumbani.

“Usiwe na sahaka, yote yatatekelezwa kama ulivyotaka”.

Tuliagana mimi nikaingia ndani ya gari langu na kuelekea nyumbani kwangu Upanga.

                         
                                          IV
Wakati nilipokuwa nimeondoka, kwa kujua kwamba nitakaa nje karibu mwezi mzima, nilikuwa nimemweleza mfanyakazi wangu naye achukue likizo. Alikuwa amekwenda Morogoro.

Nilipofika nyumbani kwangu, nyumba ambayo iko barabara ya Upanga karibu na Hoteli ya Plm Beach, nilimkuta mlinzi niliyekuwa nimemwajiri kwa muda kutoka kampuni ya ulinzi.

“Hapa salama”, niliuliza.

“Salama tu, Mzee”, alijibu.

“Nimerudi, hivyo sidhani kama nitakuhitaji tena. Nitawapigia simu ofisini kwako, hivyo unaweza kuondoka.

“Asante sana Mzee”, alijibu huku akiondoka.

Niliweka gari langu gereji, nikafungua mlango wa nyumba, nikaingia ndani. Nyumba ilikuwa shwali kabisa.

Nilipomaliza kuoga ilikuwa saa kumi kamili za mchana, nilijibwaga kitandani nikalala na kupata usingizi moja kwa moja. Nilipoamuka ilikuwa saa moja na nusu. Hivyo nilivaa nguo nikanawa uso na kuelekea Palm Beach Hoteli. Kwa sababu Palm Beach ni karibu na nyumbani kwangu nilitembea kwa miguu. Na nilipoingia Palm Beach niliagiza chakula nikaomba nipewe haraka kwa sababu mimi najulikana kwenye Hoteli hii, nilishughulikiwa haraka sana.

Nilikula chakula changu upesi upesi na kurudi nyumbani. Nilipofika nyumbani nilivaa nguo za kulalia na kuingia kitandani. Kwa vile nilikuwa na usingizi mzito nilikuwa nasikia uchovu tena nilijua huu ndio ulikuwa usiku wangu wa kulala, maana siku zifuatazo nilijua kulala kwangu kutakuwa haba kweli. Usingizi ulinichukua mara tu baada ya kujitupa kitandani.
Niliamswa na mlio wa kengere ya simu. Nilipoangalia saa yangu ilikuwa inasema yapata saa nane.

Niliinua simu.

“Hallo Gamba hapa”.

“Hallo bosi habari za kulala?”.

“Lo Linda vipi?, bado uko ofisini”.

“Nilijua kazi uliyoagiza inaweza kuwa ya maana hivyo nilionelea niishughulikie mwenyewe”.

“Oh, mtoto wewe, wacha kufanya hivyo wewe bado mdogo unahitaji usingizi wako, tuachie sisi mambo hayo”.

“Ni lazima nianze kujikomaza, vinginevyo sitaweza kulingana na shughuli zako, maana nimejifunza toka kwa Maselina ambaye anaweza kukaa siku mbili bila kulala kama kuna kazi inayobidi kufanyika kiasi hicho. Hivyo na mimi lazima nijizoeze muda huo ufikapo nisiuone mgumu”.

“Haya mama, nafikiri una sababu ya maana. Haya leta ujumbe, naamini hukunipigia kunielezea uko ofisini mpaka saa hizi”.

“La hasha, kuna wageni wako wawili wameingia hapa mjini wameniambie nikupashe habari zao. Ahmed Sherrif amefikia New Afrika Hoteli na Veronika Amadu amefikia Kilimanjaro Hoteli. wanasema kama inawezekana uwapigie simu sasa hivi”.

“Asante nitafanya hivyo. Sasa wewe nenda ukalale. Mpigie Juma aje aendelee na kazi maana nitakuhitaji kwa kazi kesho asubuhi”.

“Haya bosi nitafanya hivyo”.

“Kwa heri, kalale salama mtoto wewe”.

“Asante”, alijibu na kukata simu.

Niliinua simu tena na kupiga New Afrika.

“Hallo New Afrika Hoteli habari yako ndugu?”.

“Nzuri”.

“Nipe mapokezi”.

“Oke”.

“Hallo mapokezi hapa”.

“Nina mgeni wangu hapa ameingia usiku huu anaitwa Ahmed Sherrif naomba kuzungumza naye”.

“Subiri bado yuko hapa mapokezi”.

“Willy hapa habari ya safari?”.

“Ohoo Willy, ofisi yako inafanya kazi vizuri sana tayari umeshapata habari?”.

“Ndio, mmefika salama?”.

“Ndio salama, salimini”.

“Tulifikiri hatutaruhusiwa kuingia kama waandishi wengine wanavyorudishwa uwanja wa ndege wasiingie Tanzania. Lakini sisi tumeruhusiwa ni ajabu sana”.

“Usijali tutazungumza kesho”.

“Oke tuonane hapa Hotelini saa nne maana nina usingizi tele hapa niliposimama”.

“Oke, tutaonana saa hizo, lala salama”.

“Asante sana Willy”.

Nilikata simu kisha nikapiga Kilimanjaro Hoteli.

“Hallo Kilimanjaro hapa”.

“Habari yako ndugu?”.

Nilimsalimia Opareta.

“Nzuri”.

“Nina mgeni wangu amefikia Hotelini kwenu hapo nafikiri bado yuko mapokezi anaitwa Veronika Amadu”.

“Subiri amepelekwa sasa hivi chumbani kweke”.

“Hallo”, nilisikia sauti ya Veronika.

“Hallo binti hujambo?”.

“Hallo Willy, hujambo mpenzi?”.

“Sijambo mie, pole na safari”.

“Asante nimepoa”.

“Najua umechoka nilitaka kujua tu kama umfika salama”.

“Nimefika salama. Njoo unione saa tatu hivi kesho nitakuwa nimeisha amka”.

“Uko chumba gani?”.

“Niko orofa ya pili 208”.

“Oke binti, tutaonana asubuhi”.

“Ukifika gonga mara mbili haraka haraka, halafu ya tatu subiri kidogo halafu gonga nitajua ni wewe”.

“Asante nitafanya hivyo”.

“Kwa heri mpenzi, tutaonana asubuhi”.
“Asante, kwa heri”.

Niliweka simu chini nikalala ili nipumzike tayari kwa shughuli za asubuhi.

VERONIKA NA SHERRIFF

Asubuhi hii niliamka mapema, na baada ya kuoga na kuvaa vizuri niliamua nikastaftahi hapo Palm Beach Hoteli, kwani niliona uvivu kujipikia chai. Kama kuna kitu nachukua ni mambo ya kupikapika.

Nilikuwa mtu wa kwanza kufika Palm Beach Hoteli kwa ajili ya kusitaftahi. Kijana mmoja muuza magazeti alinifuata ndani ya chumba cha chakula na kuniuzia magazeti ya Daily News na Uhuru. Nilipitisha macho kwenye magazeti haya huku nikisubiri niletewe chemsha kinywa.

Magazeti haya yalijaa habari nyingi kama kawaida, lakini habari juu ya tukio lililokuwa limetokea katika wiki hii haikuwemo. Bila shaka ilikuwa imeachwa kwa ajili ya usalama. Nilipoletewa chemsha kinywa niliishambulia haraka haraka, nikalipa na kuondoka kuelekea ofinini. Wakati huo ilikuwa yapata saa moja na nusu.

Nilipokuwa napita karibu na nyumba yangu, mara akili ikanijia kuwa afadhali nichukua bastola yangu kwani nisingeweza kuamini tu kuwa hali ilikuwa ya usalama. Nilirudi nyumbani kwangu, nikachukua bastola moja aina ya 38mm ya kipolisi na kuiweka ndani ya shati langu kwa jinsi ambavyo isingeweza kuonekana kwa urahisi.

Nilichomeka shati vizuri, nikafunga mkanda wa suruali na kuifungia vizuri bastola chini kidogo ya kitovu. Kwa sababu kulikuwa na hali ya mawingu-mawingu nilivaa jaketi juu. Kisha nikaelekea ofisini.

Nilikuta ofisi imeshafunguliwa, nikapita nikawasalimia maofisa wangu wadogo, kisha nikaelekea ofisini kwangu. Linda alikuwa tayari ameshafika.

“Hallo bosi, umelalaje?”, Linda alinisalimia nilipofungua mlango na kuingia ndani.

“Safi kabisa, je wee?”.

“Mimi ndiye nimelala vizuri kabisa, hata sikuota leo ingawaje mimi ni muotaji”.

“Itabidi uwe unalala si chini ya masaa sita, bado mtoto mdogo wewe”.

“Sawa, lakini panapokuwa na shughuli maalum sina budi kukesha.

“Kama ndivyo hivyo naona kazi itafanyika”.

“Na usiwe na shaka, itafanyika”.

“Niitie Eddy aje ofisini kwangu”.

“Sawa bosi”.

Kwa sababu Namba mbili, tatu na namba nne walikuwa safarini huko Kusini mwa Afrika kwa shughuli maalum, ilibidi katika shughuli hii nishirikiane na kijana Eddy Kisanga, ambaye alijitokeza kuwa kijana shupavu sana katika kazi yetu hii.

Eddy alikuwa kijana mwenye umri wa miaka ishirini na mitatu, lakini alikuwa na akili za kuweza kumiliki matatizo na kujifunza mambo magumu katika kazi yetu hii kwa haraka sana.

Kitu cha kutufurahisha ni kwamba alikuwa mwanafunzi wangu mimi mwenyewe, hivyo matendo yake yalifanana na yangu, kiasi kuwa hapa ofisini aliitwa Willy mtoto.Na yeye alikuwa akifurahi sana kuitwa hivyo.Kwa hiyo nilipopeleka jina lake kwenye kamati ya upelelezi, nikawa nimeweka sifa zake kama mimi haikuwa ajabu kukuta amethibitishwa.

Baada ya kuthibitishwa ilibidi apewe kazi maaum ili kumpima na kuweza kumpa namba. Hivyo yeye na Sammy Rashid namba mbili walikuwa kwenye kazi maalum huko Johannesburg, Afrika Kusini. Kazi hiyo ilitekelezwa vizuri sana, na waliporudi namba mbili alitoa ripoti juu ya kazi hiyo na ikaonekana sehemu aliyofanya Eddy ilimshangaza hata Chifu, Eddy aipewa namba ya juu kuiko wote tuivyotegemea na kutokana na muda wake kazini; Kutoka kwenye kamati ya usalama alipewa namba ‘TANO’.

“Eddy yuko hapa”, Linda ainieleza kwa simu.

“Mwambie aingie”, nilimjibu.

Eddy aiingia ndani nikamuonesha kwa ishara ya mkono avute kiti aketi.

“Habari za leo bosi”, alisalimia Eddy.

“Nzuri, habari yako wewe?”.

“Ni nzuri”.

“Eddy natumaini umesikia jambo lililotokea hapa mjini siku chache zilizopita?”.

“Ndio, lakini nimezisikia kwenye radio za nje, na rafiki yangu mmoja polisi wa kituo cha kati, ndiye aiyenielezea kwa kirefu kidogo. Vile vile alinieleza kuwa wao ndio wanapeleleza tukio hili lakini kufikia sasa hawajafika popote. Wanasema mpaka sasa hawajaona au kupata kitu chochote kinachohusika na tukio hilo. Hata hivyo wanasema watajitahidi”.

“Kwa kutokana na hali ya namna hiyo serikali imeamua kutupa sisi jukumu hili, ingawa polisi wataendelea na upelelezi kamambe juu ya tukio hilo. Na ndio sababu nimeitwa kurudi mara moja toka likizo. Kwa hiyo toka sasa hivi ahirisha mambo yako mengine yote na tushughulikie tukio hili. Umenielewa?”.

“Bila shaka”.

Nilianza kumweleza jinsi nilivyoendesha mipango yangu yote nikiwatumia Sherriff na Veronika.

“Kwa hiyo Eddy, ninachotaka wewe ufanye, kwanza, nataka ukodishe magari manne kutoka kwenye kampuni mbali mbali zinazokodisha magari hapa mjini kama vile Co-cabs, Safari Toures Afrika Ltd., Takim’s Agancies, nk. Gari moja kati hizi liegeshe mahali pa kuegesha magari New Afrika Hoteli na lingine liegeshe Kilimanjaro Hoteli. Magari mawili yatakayobaki nataka wewe pamoja na kijana mwingine kati yetu mtufuate kila mahali tutakapokwenda leo. Lakini mtufuate kwa siri kabisa kiasi kwamba mtu yeyote asitambue kama mnatufuata sisi. Mimi nitatumia gari langu. Nia yangu nataka muwe macho kama kuna watu wengine watakaoweza kuwa wanafuata safari yetu kwa siku ya leo. Umeelewa?”.

“Nimeelewa vizuri kabisa bosi. Kazi itatekelezwa. Si ajabu hata wewe hutatuona.”

“Kazi ya namna hiyo ndio nataka”.

“Utapata, bosi.”

“Gari zile utakazoziegesha New Afrika na Kilimanjaro Hoteli, weka swich ya gari hizi chini ya zuria kwa upande anaotoka dereva.”

“Nitafanya hivyo.”

“Haya sasa nenda ukashughulike na kazi hii ili saa nne muwe tayari nje ya New Afrika Hoteli ambapo ndipo tutaanza safari yetu.”

“Tutakuwa hapo saa hizo, usiwe na wasiwasi”.

ILIKUWA saa tatu kamili niliposimama mbele ya chumba namba 208 katika ghorofa ya pili ya hoteli ya Kilimanjaro, niligonga mlango mara mbili haraka haraka, halafu nikatulia kidogo kisha nikagonga tena. Hivi ndivyo nilivyokuwa nimeelekezwa.

“Karibu”, nilisikia sauti kali ya juu ikitokea ndani ya nyufa za mlango. Nilifungua nikajikuta katika sebule ya chumba hiki ambamo Veronika alikuwa amevaa kaputula na sidiria tu akifanya mazoezi ya viungo. Alikuwa ameelekea upande mwingine na kunionesha mgongo na kuendelea na mazoezi yake kama kwamba hakuna mtu aliyeingia. Nilirudisha mlango, nikauegemea na kutazama jinsi binti huyu alivyokuwa akichukua mazoezi.

“Karibu Willy Gamba, kaa kwenye kiti upumzike”, alinielekeza bila kugeuka na huku akiendelea na mazoezi yake. Kisha akaanza kusema kana kwamba anajizungumzia yeye peke yake.
“Willy Gamba anayejiita mfanyabiashara huku ni mpelelezi mashuhuri wa Afrika. Afadhali ningejua mapema naamini ingekuwa furaha kubwa kuonana na mtu huyu mashuhuri nyumbani kwetu. Lakini nimekuja kujua mjini London katika ofisi za gazeti la ‘Afrika’, hasa ni hii teknolojia iliyoingia ulimwenguni maana tumeelekezwa na komputa ya pale ofisini. Sherriff aikuwa na mashaka kuwa amewahi kusikia jina la Willy Gamba mahali. Hivyo kufika tu London akailisha komputa hiyo jina la Willy Gamba. Maana komputa hiyo imeweka kwenye ubongo wake waandishi wote maarufu wa habari, wapelelezi wote maarufu ulimwenguni, wakubwa wote wa serikali mbali mbali na watu wote maarufu katika nyanja mbali mbali.

“Lo! alipoilisha jina hili ndipo ikatutolea maajabu. Ilionyesha kuwa Willy Gamba mwenye umri wa miaka ishirini na tisa, mwenye urefu wa futi tano na inchi kumi na mwenye umbo la kupendeza sana ni mpelelezi maarufu ulimwengu mzima. Iliendelea kusema kuwa Willy Gamba amehitimu katika chuo kikuu cha Dar es Salaam na kupata shahada katika sheria. Baada ya kutoka chuo kikuu moja kwa moja aliteuliwa kwenda kujifunza mambo ya upelelezi kwa kutokana na sifa zake alizoandikiwa na wakubwa wa Jeshi la Kujenga Taifa, wakati akiwa katika Jeshi hilo”.

“Komputa ilieleza kuwa Willy Gamba anasemekana amepata mafunzo katika nchi mbali mbali kama vile Uingereza, Cuba, Urusi, Marekani, China na Japan. Kutokana na mafunzo haya amejulikana kama mtu hatari katika kutumia aina yoyote ya silaha. Vile vile anajua karate na Kung-fu ya hali ya juu kwani wakati akiwa Japan aliwahi kushindana na Inoki na kutoka sare naye. Watu wanashangaa kwanini hakuendelea maana bila shaka sasa angekuwa bingwa wa dunia. Zaidi ya yote anaaminika kuwa amehitimu mafunzo ya kikomandoo. Komputa ilizidi kuonesha kuwa Willy Gamba ana I.Q ya hali ya juu sana, hivi sasa ni mtu anayeweza kusokoroa matatizo yaliyojisokota sana. Na iliendelea kuonyesha kuwa ameifanyia ‘OAU’ kazi nzuri sana hasa kuhusiana na Ukombozi wa Afrika Kusini”.

Alipofika hapa alinyamaza, kisha kama umeme alikatisha mazoezi yake na kunigeukia na kurukia kifuani pangu kwani bado nilikuwa nimesimama mlangoni nikisikiliza kwa makini.

“Kwanini usinieleze toka mwanzo Willy mpenzi, kwanini?”.

Nilimkumbatia kifuani kwangu na badaa ya kujibu swali lake nilisema. “Veronika Amadu”.
Aliinua macho akaniangalia usoni, mimi bila kusita niliendelea. “Mwandishi maarufu wa gazeti la “Afrika”, Veronika Amadu mwenye umri wa miaka ishirini na sita, mwenye urefu wa futi tano na inchi tano, mwenye macho na umbo la kupendeza la vipimo 38′-22′-36′. Alihitimu katika Chuo Kikuu cha Ibadani nchini Nigeria na kupata shahada katika uandishi, baada ya kuhitimu aiajiriwa na gazeti la ‘Newsweek’ la Marekani, akiwa mwandishi wao katika Afrika Magharibi. Kwa vile gazeti lilitaka kumtumia mwandishi huyu kupata habari zingine ambazo kuzipata kwake itabidi uhatarishe maisha yake, lililazimika kumpeleka Japan kujifunza namna ya kujikinga kwa mikono, hatari yoyote itokeapo, hivyo mwandishi huyu amehitimu katika Judo na Karate na kupata mkanda mweusi. Baada ya kuwa na gazeti hili kwa muda mrefu aliacha na kujiunga na gazeti a Afrika. Anajuikana kuwa msichana mwandishi jasiri sana, amewahi kusafiri na majeshi ya Chama cha wapigania uhuru wa Sahara Magharibi kiitwacho “The Popular Front for the Liberation of Saguiet el-Hamara na Rio de Oro” yaani “POLISARIO”, katika mapambano yao dhidi ya majeshi ya Morocco ambayo yameshika sehemu hiyo, inasemekana mwandishi huyu alikaa na majeshi haya na kuandamana nayo katika uwanja wa mapambano kwa muda wa miezi sita na kuwa mwandishi wa kwanza kuandika habari kamili za mapambano haya akiwa shahidi wa macho. Je unasemaje Veronika Amadu”.

“Sasa naamini kabisa wewe ndiye Willy Gamba, maana mimi nilifikiri tumekutangulia kumbe wewe ndiye umetutangulia zaidi. Naamini hata Sherriff sasa umamfahamu kama nyuma ya kiganja chako hebu nieleze”.

Nilimweleza. “Ahmed Sherriff mwandishi mashuhuri wa gazeri la Afrika hasa juu ya mapambano ya Kusini mwa Afrika. Ahmed Sherriff mwenye umri wa miaka thelathini na mbili, mwenye urefu wa futi tano na inchi kumi na moja na mwenye masharafa mengi, alihitimu katika Chuo kikuu cha Patrick Lumumba mjini Moscow, Urusi. Baada ya kuhitimu kwake alipotea isijulikane aliko kwa muda wa mwaka mmoja. Lakini habari za kuaminika zinasema kwamba alikuwa akichukua mafunzo ya kijeshi katika kambi za kijeshi za Wapalestina huko Mashariki ya Kati. Baada ya kuonekana alipatiwa kazi moja kwa moja na gazeti la Afrika ambalo linaaminika lilipata fununu juu ya mafunzo ya kijeshi ya Sherriff huko Mashariki ya Kati. Kwani baada ya kumwajiri tu alipelekwa moja kwa moja Kusini mwa Afrika ambako aliandamana na majeshi ya wapigania uhuru wa Frelimo, MPLA na siku hizi anaandamana na majeshi ya SWAPO katika uwanja wa mapambano huko Namibia.

“Vile vile kuna habari zinazosema kuwa alikuwepo katika mkasa uliotokea Soweto na ndiye aliyeandika habari za kuaminika juu ya tukio hilo. Hivyo ujasiri wake huu umemfanya kuwa mwandishi maarufu sana anayechukiwa sana nan tawala dhalimu za Afrika Kusini na Rhodesia na nchi zote zinazopinga mapinduzi ya Afrika na harakati zake za kujikomboa kutokana na ubeberu. Umeridhika sasa.”

“Sasa naamini ukiambiwa mtu ana I.Q ya hali ya juu, lazima utambue kuwa kwa kila jambo unalotaka kufanya yeye yuko hatua nyingi mbele yako”, Veronika alijibu na kuanza kunibusu huku midomo yake ikiwa ya chumvi chumvi sababu ya mazoezi.

“Ngoja nioge mara moja ili tukaonane na Sherriff tukaanze mazungumzo yetu ya kwanza.”

“Sawa”. Aliniacha na kwenda maliwatoni. Mimi nikabaki katika mawazo makali jinsi ya kuanza kulishambulia tatizo hili.

Niiegesha gari langu kwenye maegesho ya Hoteli ya New Afrika. Nikatelemka na kuzunguka ili nimfungulie Veronika. Tuliingia New Afrika Hoteli katika sehemu iitwayo duka la Kahawa tukatafuta meza tukaa.

“Ulishastafutahi?”, nilimuuliza Veronika.

“Kawaida yangu huwa ninastafutahi kabla ya kufanya mazoezi kila siku, ili kujiweka katika hali nzuri”.

“Ndio sababu umbo lako linapendeza namna hiyo”.

“Asante”.

Mtumishi wa hoteli alifika na kutuuliza mahitaji yetu.

“Mimi nitakunywa maji ya machungwa kama yapo”.Veronika alisema.

“Mimi niletee maji ya ndimu”. niliagiza.

Alipoondoka mtumishi huyo nilimweleza Veronika  kuwa mimi nitakwenda mapokezi kumwita Sherriff, ambaye niliamini alikuwa bado chumbani.

“Habari za leo Tom?”, nilimsalimia kijana wa mapokezi ambaye tunafahamiana vizuri sana.

“Aha mzee, shikamoo”, alinisalimia.

“Marahaba”, nilimjibu.

“Sijui nikusaidie nini mzee?”.

“Kuna mgeni wangu hapa anaitwa Ahmed Sherriff, alifika usiku”.

“Ndio ndio, yuko yuko namba 406, unahitaji kwenda huko au nimpigie simu”.

“Mpigie simu nizungumze nae”.
Alimpigia simu na alipompata akanipa.

“Hallo Sherriff habari za leo?”.

“Ohoo, Willy salama?, nilikuwa ninakusubiri kwa hamu”.

“Oke, telemka chini. Tuko hapa duka la kahawa pamoja na Veronika”.

Oh, amekwisha wahi namna hii?”.

“Sana tena”.

“Oke nakuja sasa hivi”.

“Haya tunakusubiri”, nilimjibu na kukata simu.

“Oke Tom asante sana”, nilimwambia kijana wa mapokezi.

“Asante mzee karibu”, alijibu Tom.

“Asante niko hapa duka la kahawa”.

Niliporudi nilikuta vinywaji tayari.

“Yupo?”, aliuliza Veronika.

“Yupo, anakuja sasa hivi”, nilimjibu.

Haukupita muda Sherriff alitokea na kuja moja kwa moja mezani kwetu. Tulisalimiana akavuta

kiti na kuketi. Mtumishi aliyekuwa anatuhudumia alipomuona alikuja mara moja.

“Mzee nikusaidie nini?,” alimuuliza Sherriff.

“Kuna maji ya nanasi?”.

“Ndio, yapo”.

“Haya niletee hayo, lakini weka barafu nyingi, maana si joto hili”.

“Bila ya wasiwasi mzee”.

Mtumishi alipoondoka tulikaa kimya tunatazamana kwanza kila mtu anashindwa kuanza

mazungumzo. Veronika aipoona hivi akatabasamu kisha akasema. Sherriff wewe kidogo uko nyuma

ya habari, lakini nitakueleza kwa kifupi ili kukuweka pamoja nasi katika habari zinazotuhusu

wote”.

“Nitakushukuru”, alijibu Sherriff.

“Willy nimemweleza yote tunayojua juu yake, na jambo la kushangaza ni kwamba na yeye

anatufahamu sisi huenda kuliko tunavyojifahamu wenyewe”.

“Usitie chumvi”, nilimuasa.

“Ala!”, Sherriff alitamka kwa mshangao mkubwa. “Kama ni hivyo basi ni vizuri sana. Kwani

wote sasa tunafahamiana misimamo yetu. Unajua mimi nilishangaa sana usiku pale uwanja wa

ndege. Waandishi wote wengine wa magazeti mbali mbali ulimwenguni tuliokuja nao wamekataliwa

kuingia hapa nchini, na tumewaacha uwanja wa ndege wakilalamika vibaya sana wakiomba kuonana

na mabalozi wao, lakini sisi tumeruhusiwa kwa urahisi sana, kitu hiki kilinishangaza sana

nikahisi lazima huu utakuwa mpango wa Willy. Sasa nimeamini kabisa. Uongo au kweli”.

Sherriff aliuliza huku akiniangalia.

“Bila shaka niliwaahidi toka tukiwa Freetown kuwa mnakaribishwa kwa dhati Tanzania, sasa

nimetimiza ahadi yangu”.

“Asante sasa”, Sherriff alijibu.

“Mimi naamini unajua tumekuja kwa ajili gani, na vile vile naamini likizo yako imekatishwa

kwa ajili sababu hiyo hiyo tuliyoijia sisi”, Veronika aieleza huku macho yake yaking’aa

kuonesha kuwa sasa tulikuwa tunazungumza kikazi.

“Sawa, endelea”, nilimjibu.

“Mimi naonelea tungeliungana na wewe, kwani wewe ukiwa mwenyeji itakuwa kazi rahisi kwetu

kuweza kupata habari. Sijui wewe unaonaje?”.

“Kwa taarifa yenu lazima niwaeleze kuwa tukio hili lililotokea si la kawaida. Mnaweza kuwa

mmeshiriki katika mambo ya hatari sana kama vile mambo ya vita, lakini lazima

niwatahadharishe kuwa kutafuta habari za aina yoyote zinazoweza kufichua kundi lililofanya

ujahiri wa hari ya juu ni hatari sana kwa maisha yenu kuliko hatari yoyote mliyokwisaha

kuikabiri. Nadhani mmenielewa. Ningewaomba ili kuponya maisha yenu muwe watoto wazuri,

muachane kabisa na kuuliza uliza habari za tukio hili”.

“Kabla hatujatoka ofisini kwetu London, tumetahadharishwa kama unavyotutahadharisha sasa,

lakini tulikaa tukaamua kuwa tutaendelea; Lolote baya litakalotupata tutakuwa tumetoa damu
yetu kwa ajili ya ndugu zetu. Kwani sisi tunaamini watu waliofanya kitendo hiki si watu

wengine bali ni mabeberu wapinga ukomboni wa kusini mwa Afrika”, alijibu Sherriff kwa nia

moja.

“Kama uamuzi wenu ni huo basi tutashirikiana kwa kadiri tutakavyoweza”.

“Mlikuwa na nia ya kuanza kutafuta habari tokea lini?”.

“Tokea sasa hivi kama unaweza kutupa fununu tuanzie wapi!”, Sherriff alijibu.

Kwa vile katika mpango wangu wa upelelezi nilikuwa nimepanga kuwatumia ndugu hawa. niifurahi

sana kuona kuwa mambo yaikuwa yanakwenda kama nilivyopanga. Hivyo niliamua kuwaeleza kwa

kirefu maelezo aliyokuwa amenieleza Chifu.

“Ili kuwaweka sawasawa ninyi katika picha ya tukio hili mtakuwa wageni wa kampuni yangu. Kwa

hiyo mimi naona tangia sasa nitakuwa ni wakala wa gazeti lenu, kwa kufanya hivi nitapata

kisingizio cha kutembea na kupeleleza na nyinyi mkiwa kama wateja wangu; nafikiri

mmenielewa?”.
ITAENDELEA

SALAMU KUTOKA KUZIMU – 1

SALAMU KUTOKA KUZIMU – 1


*********************************************************************************


Simulizi : Salamu Kutoka Kuzimu
Sehemu Ya Kwanza (1)

KIFO kaja duniani kwa kazi moja tu. Akikukuta umekwisha… Akikusalimia umekwisha… Hana mdhaha. Lakini sasa huyu anataka watu mashuhuri, watu wakubwa zaidi. Anataka kuifanya Afrika nzima iangue kilio na maombolezo ambayo hayajapata kutokea duniani. Na anataka hilo litokee siku moja, saa moja… “Bendera zote duniani zipepee nusu mlingoti”, anasema huku akichekelea. “Sijawahi kushindwa…” Jasho linawatoka watu mashuhuri. Damu inamwagika kama mchezo. Inspekta Kombora machozi yanamtoka. Joram Kiango anabaki kaduwaa.

SURA YA KWANZA

“Bado nasisitiza kuwa tusithubutu wala kujaribu kufanya lolote kabla ya kuhakikisha kuwa Joram Kiango yu marehemu”, ilidai sauti moja nzito.

“Naam, lazima afe”, sauti nyingine iliunga mkono. “Afe kabla hatujainua mikono kufanya lolote tulilokusudia. Hakuna asiyefahamu jinsi kijana huyu alivyo hatari anusaye shari na kuingilia kati kuharibu harakati zote. Hajasahaulika alivyowakorofisha wale mashujaa waliotaka kuuangusha utawala wa nchi ya Ngoko katika tukio lile lililoitwa Dimbwi la damu. Kadhalika bado hatujasahau alivyosababisha vifo na kuharibu mipango ya majasusi waliotaka kuiharibu nchi hii katika mkasa ambao mtu mmoja aliuandikia kitabu na kuuita Najisikia kuua tena. Kwa kila hali Joram Kiango ni mtu hatari zaidi ya hatari zote zinazoweza kutokea, Hana budi kufa”.

Kicheko kikavu kikasikika kidogo, kikafuatwa na sauti iliyokwaruza ikisema.

“Atakufa. Lazima afe. Na atakufa kifo cha kisayansi kabisa. Mpango huu tumeuandaa kwa uangalifu mkubwa, Na watekelezaji wake pia ni watu ambao wamehitimu vizuri katika nyanja zote zinazohusika na kazi hii, Tuondoe shaka kabisa. Mpango huu utafanikiwa kwa asilimia mia”.

“Kwa hiyo ndugu Mwemyekiti”, ilisema sauti ya mtu wa kwanza. “Niwie radhi kwa kukukata kauli. Ninachokuomba ni kuuahilisha mkutano huu na tusisubutu kukutana tena hadi hapo Joram Kiango atakapokuwa kaburini, Pengine mtaniona mwoga kupindukia, Lakni mimi sipedi kabisa kufanya jambo lolote wakati kijana yule akiwa hai. Mnajua jinsi alivyo na miujiza. Anaweza kuwa hapa akisikiliza mazungumzo yetu, kesho tukajikuta mahakamani bila kutegemea”.

Ilizuka minong’ono, sauti mbili tatu zilimuunga mkono msemaji aliyemaliza kusema. Jina la Joram liliamsha hofu katika mioyo yao. Wakatazamana…

Walipenda pia kumwona Mwenyekiti wao uso kwa uso. Kwa bahati mbaya, hawakuweza kuona uso wake isipokuwa kiwiliwili tu, ambacho kilifunikwa kwa mavazi ya thamani kama walivyokuwa wamevaa wao. Mwanga mkali uliotokana na taa ya umeme iliyowekwa kwa namna iliwachoma macho kila walipotamani kumtazama Mwenyekiti usoni. Ni yeye tu aliyekuwa na nafasi nzuri ya kuwatazama wote mmoja baada ya mwinginge kikamilifu na kuwasoma nyuso zao. Wakati wa kumtambua Mwenyekiti ulikuwa bado haujawadia hivyo hawakupaswa kumuona kabisa isipokuwa sauti yake tu.

Mkutano huo ulifanyika katika chumba cha siri, chini ya ardhi katika mojawapo ya majumba ya kifahari yaliyoko Jijini Dar es salaam.

Kila aina ya tahadhari iliwekwa kuhakikisha usalama wa mkutano huu wa awali. Mkutano ambao ulikuwa umeitishwa ghafla, kwa njia za kutatanisha, hata wajumbe hao walijikuta wamefika kwenye mkutano bila kufahamu kilichowaleta hapo.

Mwenyekiti akaufungua mkutano huo kwa maneno machache akisema: “Tunataka kuitetemesha Afrika na kuishangaza dunia. Tunataka kuachia pigo ambalo halitafutika katika historia ya Ulimwengu”. Wajumbe wakaelewa kinachoendelea. Ndipo mjume mmoja alipotoa rai ya kumaliza kikao hadi watakaposikia Joram Kiango amekuwa marehemu.
Tahadhari kubwa ilikuwa imechukuliwa wakati wa kuandaa mkutano huo. Wajumbe waliingia kwa siri kubwa wakipita milango tofauti, katika eneo hilo vilitegwa vifaa vya kisasa kwa ajili ya kuhakikisha kila mshiriki wa mkutano huo wa siri anahusika kwa njia moja ama nyingine. Walihakikisha pia hakuna kifaa au chombo chochote cha kunasa sauti ama kusikiliza maongezi hayo ya siri. Vinginevyo chumba hicho kingeweza kutoweka kisayansi kisionekane mlango wowote zaidi ya kuta za kawaida. Zaidi ya yote silaha za kisasa, hewa za sumu, buduki zisizotoa mlio, madawa ya kulevya na mbinu zingine zilikuwa tayari kutumika endapo lolote lingetokea. Kwa bahati mbaya, ni Mwenyekiti peke yake ndiye aliyejua mpango mzima kuhusu mkanda huo.

Kulikuwa na kila sababu ya kuweka tahadhari au uangalifu huo. Watu waliokutana katika mkutano huu hawakuwa watu wenye njaa ya pesa wala kiu ya utajiri. Ni watu mashuhuri walioshiba na kudhamiria kulinda shibe yao. Wote walikuwa na hadhi mitaani, nyadhifa serikalini, na heshima katika chama. Waliokutana hapa wote walikuwa na matarajio ya kuvuna matunda matamu. Matunda ambayo yangetokana na mkutano huo. Hakuna mjumbe aliyependa kukosa utamu wa matunda hayo. Hivyo wote walikuwa na dhamira moja.

“Inaonyesha kuwa Joram ni tishio kwa kila mtu hapa”, Sauti nzito ya Mwenyekiti ilisema. “Hilo linanifanya nizidi kuwa na imani juu ya dhamira yenu. Joram anaogopwa kuliko Polisi na jeshi zima la nchi hii, Kwanini? Wanajeshi mko hapa, polisi mko hapa, Chama tawala kiko hapa. Serikali iko hapa. Anayekosekana hapa ni mtu huyo anayejiita Joram Kiango. Mtu mtundu sana, ambaye utundu wake ni madhara kwa watu wenye dhamira maalumu. Hakuna atakayeshuku kuwa kauawa. Daktari atampima na kuona kafa kwa kansa ya moyo. Atauawa kitaalamu na kufa kistaarabu. Msiwe na shaka”.

Kimya kifupi kikafuata. Wajumbe wakatazamana usoni. Kimya kilimezwa na sauti ya Mwenyekiti alipoongeza maneno.

“Kwa hiyo, naahirisha kikao hiki kama alivyoshauri mjumbe. Tutakutana tena hapa baada ya wiki mbili, siku na saa kama za leo, kwa njia zetu zile zile, bila kusahau kuwa joram Kiango hatakuwa Joram tena ila hayati Joram Kiango. Na ifahamike kuwa kuitoa nje siri hii ni sawa na kujiwekea saini ya kifo chako mwenyewe”.

“Ni kweli Mwenyekiti”, sauti mbili tatu za wajumbe wenye hofu, ziliitikia.


Nyumba mbovu zilizojengwa bila utaratibu katika baadhi ya maeneo ya Jiji la Dar es Salaam ambazo huishi kina mama kutoka sehemu mbalimbali nchini ambao humudu kupanga katika nyumba hizi kwa ajili ya makazi na biashara isiyosemekana wala kuitamka. Biashara ambayo ni aibu kubwa kuitaja hadharani, japokuwa inafanyika hadharani bila kificho. Biashara ya kuuza miili kwa pesa chache za matumizi.

Tupo Mburahati, mbele ya moja ya majumba ya aina hii. Kaketi mwanamke ambaye umri wake haujaruhusu kumwita mwanamke. Yu msichana mwenye sura nzuri, mwendo mzuri na kila kitu kizuri, Hata mavazi yake si duni kama wenzake walioketi hatua chache karibu yake, mbele ya milango ya nyumba zao, Kwa jina msichana huyu anaitwa Waridi.

Ni juzi tu Waridi alipotokea hapa Mburahati na kujipatia chumba. Sifa na uzuri wake zilizagaa haraka haraka zikawafikia hata wale ambao si wateja wa biashara hii. Kwamba kaja msichana mzuri.Hakuna aliyetaka kujua katokea wapi, Hakuna aliyetaka kujua kwanini binti mzuri kama huyu aamue kutouthamini uzuri wake ambao ungemfanya aishi vizuri zaidi, akila na kunywa pesa za walionazo. Hakuna aliyejali.

Leo Waridi alikuwa katika hali yake ya kawaida. Hali ya ukimya na majonzi pamoja na kwamba alionekana akiwachekea mara kwa mara wateja wake. Hakuna aliyejua jeraha kubwa lililokuwa moyoni mwake. Jeraha ambalo lilikuwa siri yake na alipenda liendelee kuwa siri. Kutunza siri ni kazi kubwa kama kubeba mzigo mzito usiobanduka kichwani. Mzigo aliobeba kwa dhiki sana. lakini alistahamili kwanki maisha yake yenyewe yalitegemea utunzaji wa siri hii.

Mara akatokea mteja ambaye sura yake, mwendo wake na mavazi yake vilimtofautisha na wateja wa kawaida. Huyu alimtaka Waridi afunge biashara yake siku hiyo ili wafuatane wote nyumbani kwake.

“Haiwezekani. Ninaye bwana wangu ambaye huja kulala hapa”.

“Twende kwangu halafu nitakurejesha hapa haraka iwezekanavyo”.

“Haiwezekani vilevile”.

“Ziko pesa nyingi kwa ajili yako kama utakubali kwenda nyumbani kwangu”.

“Nimesema hapana”. Ghafla hasira zikampanda Waridi. AKashangaa kwanini kamchukia mtu huyu. “Toka kama hutaki”, alifoka na kumwacha mtu huyo kakalia kitanda chake.
Mteja huyu akatabasamu. Kwa waridi lilikuwa tabasamu la kebehi ambalo halikumshitua kuliko alivyotegemea. Swali fupi likaulizwa kwa sauti ndogo. “Huendi na mimi? Hata nikisema kuwa marehemu Bomba ni ndugu yangu pia nafahamu mpaka mahali alikozikwa?”.

Hilo lilimshitua kidogo Waridi. Mshituko ulipomtoweka yalifuata machozi mengi yaliyomtoka katika macho yake yaliyoduaa kwa hofu yakimtazama mteja huyo. Mwili wake ulikuwa umemlegea kiasi cha kumfanya ashindwe hata kusimama kikamilifu.

Waridi hakuwa na uwezo wa kufanya lolote. Ndipo mteja huyu alipomsukuma Waridi na kuanguka chali kitandani, akampambua mavazi yote na kumtenda kikatili yote aliyojisikia kumtendea.

Baada ya hapo mteja alimwamru Waridi kufuatana naye. “Tutatoka mara moja. Ukiendelea kukataa nami nitashindwa kutunza siri yako. Twende zetu. Nitakupa kazi ndogo tu, unisaidie. Kuna mtu anahitaji kufa. Utamsaidia wewe. Haitakuwa kazi kubwa kuua mtu wa pili mama. Au vipi? Tofauti pekee ni kwamba yule aliitwa Bomba na huyu anaitwa Joram”.

Waridi alimfuata kikondoo.


                   **********************************
Huyu hakuwa mwingine zaidi ya Jodor Prosper kama alivyojiita katika ule mkutano wa siri uliofanyika usiku wa juzi. Yeye akiwa Mwenyekiti.

Jina hilo lilikuwa moja miongoni mwa majina yake kadha wa kadha ambayo huyatumia wakati tofauti na kwa dhamira tofauti. Kadhalika alikuwa mtu mwenye sura mbalimbali na miondoko aina aina. Kila jamii ilimfahamu Prosper yule yule katika jina na sura tofauti. Vivyo hivyo, tabia zake kubadilika mara kwa mara kama kinyonga anavyojibadili rangi. Katika kundi la wahuni Prosper yu mhuni mkubwa, katika jamii ya waungwana yu muungwana halisi, katika familia ya masikini Prosper alikuwa mmoja wao, na miongoni mwa matajiri yeye ni kama wao.

Huyo ndiye Prosper. Mswahili aliyezaliwa mahali fulani katika Pwani ya Bahari ya Hindi. Akiwa na miaka kumi na miwili, alitoweka numbani kwao kwa kudandia meli moja iliyotia nanga katika Bandari ya Tanga.

Meli hiyo iliyokuwa na mabaharia katili kupita kiasi. Walimpokea Prosper kwa ukatili usiosemekana. walimtendea mengi maovu, akitukanwa na kusimangwa. Aliishi kwa taabu mno, akiyastahamili yote hayo, mwishowe, akawa mnyama kama mabaharia wale.

Alisuguliwa akasugulika, akageuka kuwa Baharia binadamu mwenye moyo wa mnyama. Akamchukia kila mtu na hata kuichukia nafsi yake mwenyewe. Wakati wote Prosper alitawaliwa na fikra potofu. Alitamani kutenda jambo ambalo lingeiumiza jamii. Kwa bahati mbaya, hakuwa mwana sayansi mwenye vipaji vya ugunduzi, ugunduzi ambao ungemwezesha kuiteketeza jamii. Angekuwa na uwezo wa kujitengenezea bomu la nuklia angeifanya dunia itoweke katika uso wa ulimwengu.

Kwa kuwa, hayo yalikuwa mbali na uwezo wake, lakini alifanya ukatili mdogo tu. Hakuona shida kumtosa baharini mtu yeyote aliyebainika kudandia meli kama alivyofanya yeye alipokuwa mtoto. Wala, kwake haikuwa dhambi kufanya mapenzi na mwanamke na kisha kukata koo la mwanamke huyo asubuhi.

Pamoja na ukatili huu kuufanya kwa siri, lakini sifa zake ziliyafikia masikio mbalimbali. Mmoja kati ya watu waliovutiwa na unyama wa Prosper aliona fahari kukutana nae katika meli hiyo kwa siri. Wakaiacha meli hiyo. Safari yao ikaishia katika chuo kimoja kilichofichika kikiwa na watu wachache wenye moyo kwama wa Prosper. Kilikuwa chuo cha ujasusi kilichokuwa chini ya nchi kadhaa kubwa na tajiri. Kilifundisha mbinu kadha wa kadha kuhujumu siasa, uchumi na msimamo wa nchi kongwe na changa ambazo hazikuwa tayari kulegeza misimamo yao na zile zenye msimamo mkali.

Prosper alipohitimu tayari alikuwa hodari wa yote, kuandaa mauaji, kusababisha mapinduzi, kudhorotesha uchumi. Alikuwa mtu aliyeipenda sana kazi yake, na alifanya mengi yaliyowafurahisha na kuwatisha viongozi wake. Aliweza kusafiri hadi Afrika Kusini ambako alijitangaza kama mpigania uhuru na aliaminika na kushirikishwa katika harakati za ukombozi. Lakini aliweza kutoroka na siri zote huku akiwa tayari ameua na kuwaacha wapigania uhuru wakiuana wenyewe kwa wenyewe. Mtindo huo ameutumia sehemu mbalimbali duniani. Ingawa waliohujumiwa walimhisi baada ya kuondoka, lakini kwa jinsi alivyokuwa akiwaendea katika sura tofauti, na majina bandia, hakuna aliyeweza kumweka katika kumbukumbu.

Mfano ni leo alipokuwa akitoka na msichana huyu aliyechanganyikiwa; Waridi. Wajumbe wote wa mkutano ule ambao walibahatisha kuuona uso wake wasingeweza kumfikiria kuwa ndiye mtu yule yule waliyekuwa naye mkutanoni kwa jinsi alivyobadilika. Hata mwendo wake ulikuwa tofauti. Leo alitembea huku akichechemea kidogo.

Gari dogo aina ya Toyota lilikuwa likiwasubiri mara tu walipoifikia barabara.

“Ingia ndani ya gari”, Prosper aliamuru.
“Samahani…, samahani kaka, tu… tunaelekea wapi?”, Waridi alifanikiwa kuupata ulimi wake ambao alihisi ulikuwa mzito kutokana na hofu.

Prosper akaukunja uso wake huku akisema, “Sitaki maswali”, akapita upande wa dereva na kumfungulia mlango Waridi. Alipoingia ndani ya gari na kuketi, gari likatiwa moto na kuteleza juu ya barabara, likijitahidi kukwepa mashimo. Walipoifikia barabara ya Morogoro, gari hilo liliekezwa katikati ya jiji. Wakaiacha Magomeni, wakaingia Upanga, wakipita hapa na pele hata waridi asijue kama walikuwa wapi,

Gari lilisimama mbele ya jumba moja kubwa sehemu ambayo hisia zilimwambia Waridi kuwa ni katikati ya Jiji. Prosper alitelemka na kumwagiza Waridi amfuate. Walipokaribia mlango mmoja kati ya milango kadhaa ya jumba hilo, Prosper alimnong’oneza Waridi akisema; “Unasikia? sitiki vurugu la aina yoyote hapa ndani. Uwe binti mtulivu kama ulivyo sasa. Utafaidika na kutoka salama. Vinginevyo…” akaiacha sentesi hiyo ikielea na kuanza kushugulikia funguo.

Walipoanza kuingia, mlango wa pili ulifunguka na uso wa mzee wa Kihindi kujitokeza ukichungulia. “Aha… ni bwana Chain siyo? Karibu sana”. 

“Shukrani”, Prosper alijibu.

“Naona leo uko na mama, au siyo?, Mhindi huyo aliendelea akitabasamu. “Shauri kazi ya vitabu iko chosa kidogo. Lazima starehe na dada kidogo”.

Prosper naye akajitia kucheka, “Eh, ndiyo. Lakini huyu ni sekretary wa kampuni yetu. Yeye amekuja kuchukua maandishi fulani kwa ajili ya kuchapishwa kwenye mashine wakati nitakapokuwa safarini”.

“Ah”, Mhindi alijibu huku akimtazama Waridi kwa tamaa ya wazi. Hili lilikuwa moja kati ya majumba ambayo Prosper alikuwa amepangisha vyumba ambavyo aliviyumia kwa shughuli zake. Hapa, mbali na kufahamika kwa jina la Chain Kimara, pia walimtambua kama msomi ambaye alikuwa akiutumia muda wake mwingi kufanya utafiti wa mambo kadha wa kadha ambayo alikuwa akiyaandikia kitabu. Hivyo, muda wote ambao Prosper alijificha chumbani akifanya shughuli zake za siri, wao waliamini kuwa alikuwa akiendelea na mipango ya kuhakikisha kitabu chake kinatoka. Akiwa hapa, hata sura yake ilionekana kama ya Profesa asiyependa kuuchezea muda wake kama ilivyokuwa tabia yake ya kisomi na kistaarabu.

Huko ndani picha ilikuwa hiyo hiyo, Waridi alilakiwa na chumba kikubwa kilichojaa vitabu vya kila aina , vilivyopangwa kistaarabu katika dawati maalumu. Katikati ya chumba hiki kulikuwa na meza kubwa yenye dalili zote za mashughuliko. Chumba cha pili kilikuwa na kitanda kipana, friji, radio na mahitaji yote ya chumba cha malazi. Ni katika chumba hicho alikokaribishwa Waridi.

Akajibwatika juu ya kochi lililomwelekea Prosper, aliyeketi juu ya kitanda.

“Nimekuita hapa ili nikutume kuua mtu”, Prosper alimweleza Waridi. Dakika ishirini zijazo nataka mtu huyo awe safarini akielekea kuzimu. Sasa hivi yuko katika baa moja hapa mjini akinywa pombe. Hiyo iwe pombe yake ya mwisho”, Prosper alisita akamtazama Waridi. “Utanisaidia kuifanya kazi hiyo bi mdogo”, akaongeza kwa sauti ya unyenyekevu.

“Siwezi kuua…” Waridi aligugumia.

Prosper alikunja uso akamwangalia Waridi kwa hasira huku akisema. “Sina haja ya kukukumbusha mara kwa mara kuwa najua yote yaliyompata marehemu Bomba. Naweza kutoa siri hiyo wakati wowote nawe ukajikuta ukining’inia juu ya kitanzi. Nitakufanyia hisani ya kuficha habari hiyo iwapo tu nawe utanisaidia kumtoa duniani mtu huyu. Tumeelewana?”,

Waridi hakujua ajibu nini. Kwa kila hali. alimwona mzee huyu kampatia na kamweka mahali panapomstahili. Hofu yake kubwa haikuwa kitanzu tu bali ilimuumiza kutajiwa mara kwa mara jina hilo la Bomba. Ilimuumiza sana kukumbuka kifo cha mtu huyo kilivyotokea na jinsi alivyotoa macho wajati anakata roho. Ilimuumiza zaidi Waridi kukumbuka kuwa dhambi hiyo ya kuua alikuwa ameifanya bure kabisa.

Ni miezi kadhaa tu iliyopita. Wakati huo Waridi alikuwa Waridi wa ukweli. Ua la uhakika ambalo kila nyuki alilitamani, kila kipepeo alilimezea mate. Lakini si wote waliolifikia. Na wachache waliofaulu kuligusa, hawakuwa vipepeo wala nyuki wa kawaida. Walikuwa zaidi.

Uzuri wa msichana huyu ulianza kujitokeza tangu alipokuwa kinda. Alipofikia umri wa miaka mwili tu, kila mtu alibaini kuwa mtoto huyu alikuwa hazina ya uzuri. Alipofika miaka sita watu walianza kunong’ona. Alipohitimu miaka kumi, wanaume wasiokuwa na staha, walianza kumnyatia. Miaka kumi na miwili Waridi alikuwa tayari akiwa kama malkia wa nyuki na kama nilivyosema awali; kwa vipepeo.

Pengine uzuri wake huo ulitokana na ule mchanganyiko maalumu katika umbo lake. Mchanganyiko wa damu za watu weusi, Wahindi, waarabu na Wazungu ambao walishiriki kumtengeneza. Kwani mama yake pia alikuwa mtu wa nipe nikupe. Alifanya biashara yake katika mji wa Mwanza, katika mojawapo ya vibana vibovu, akimkaribisha yeyote mwenye ‘chochote’. Mama huyu hakumfahamu kabisa mtu maalumu aliyeshirikiana naye kumpata Waridi binti yake wa pekee. Alichofahamu ni kuwa, kumpata binti mzuri ambaye watu walianza kumwita Waridi, hata jina lake la awali likasahaulika.

Kwa Waridi hakujua kama alikuwa mzuri kupidukia, lakini alishangaa kuwaona watu wazima kwa vijana wakimfuata na kumtaka kitu ambacho hakukifahamu maana ama umuhimu wake. Kitu kile ambacho alimwona mama yake akikifanya mara kwa mara kitandani.

Kisha akafahamu. Ilikuwa baada ya kukamatwa kwa nguvu na mzee mmoja aliyemtupa sakafuni, akamvua nguo na kumwingilia miguuni kwa namna ambayo ilimtia Waridi maumivu makali yaliyoambatana na faraja.

Waridi akayafahamu hayo, akaifahamu thamani ya uzuri wake, akaanza kuingiwa na kiburi. Akajidekeza na kutupilia mbali masomo. Huyo akamtoroka mama yake na kuingia mjini Tabora,ambapo aliishi kwa faraja kubwa. Daima wanaume walikuwa tayari kumhudumia kwa maneno matamu, malezi, mavazi huku akipewa fedha za kutosha.
Lakini Waridi hakutosheka. Daima alidai hiki na kile kwa wanaome ambao kila mmoja alijitahidi kutoa alichonacho. Lakini baada ya kupata walichohitaji wakamwepuka. Hivyo akauona mji wa Tabora haufai. Akasogea hadi Dodoma ambapo pia hakukaa sana, akapanda hadi Arusha. Mji huo ulipomchoka, akapaa na kushuka Jijini Dar es Salaam.

Ni hapo alipokutana na Bomba Kimara. Kijana huyu mwenye asili ya Kiarabu mtu ambaye Maua alimhitaji. Siku zote alionekana ‘kajaa’, Fedha kwa Bomba hazikuwa na tatizo. Wala hakuna uchungu kuzitumia. Kadhalika, fedha zake hazikuwa mfukoni kama wanaume wengine. Zake zilitoka katika soksi. Kitita cha elfu kumi kumi kikiwa kimefungwa kwa mpira kingewezaje kukaa mfukoni? Walizitumia fedha hizo na Waridi wakishirikiana kuhama baa moja kwenda nyingine, madansa, sinema, mahoteli na kila aina ya starehe.

Walikuwa wakiishi Magomeni Mikumi katika nyumba za msajili wa majumba ambayo Bomba alikuwa amekodi. Ni mara chache sana nyumba hii ilipowaona wapangaji wake, kwani mara nyingi walikuwa kama si Kunduchi Beach, basi wako Kilimanjaro Hoteli au Mbowe Hoteli na sehemu nyingine za starehe wakitumia.

Halafu ikafika ile siku ambayo Bomba alirudi nyumbani mapema kutoka kule alikokuwa akienda mara kwa mara na kurudi na pesa. Safari hii alirudi na mfuko wa ngozi ambao aliutua juu ya kitanda. Alionekana mtu mwenye wasiwasi mwingi kinyume na tabia yake. Hakujua kwa Waridi alikuwa chumbani humo akimtazama.

“Vipi mwenzangu?” Sauti ya Waridi ilimzindua. Akamgeukia akijaribu kutabasamu lakini tabasamu lilikataa.

“Waridi, kwenu ni wapi?” Bomba alihoji ghafla.

Swali hili lilimshangaza sana Waridi. Muda wote walioishi pamoja hawakuwahi kuulizana maswali ya aina hiyo.

‘Kwanini?” Bomba akaendelea. “Nataka urudi kwenu. Mimi naona maisha hayaniendei vizuri”, Bomba akaeleza. Baada ya kunyamaza kwa sekunde kadhaa, akasema.

“Waridi, ni hadithi ndefu ninayo. Hadithi ambayo haifai kulifikia sikio lisilohusika. Ninachoomba ni wewe kwenda zako kesho. Kama hutaki kwenda nyumbani kwenu, rudi kwenye baa niliyokukuta. Naamini ukirudi pale baa haitapita dakika tano kabla hujaokotwa na mwanaume mwingine”.

“Kuokotwa?” Maua alijiuliza kwa hasira. Ghafla alijikuta kamchukulia Bomba kama mtu shetani. Hata sura yake sasa aliiona mbaya kama dhambi. Machozi yalimtoka na kuteleza juu ya mashavu yake. Akainuka na kutoka nje kimya.

Waridi alirudi ndani baada ya kumsikia Bomba akioga bafuni. Akafanya haraka kuuendelea ule mfuko ambao aliufunua. Macho yake yalikutana na furushi kubwa la noti ambalo hakuwahi kuliona katika maisha yake. Kwa kukadilia zilikuwa pesa nyingi. Kando ya pesa hizo, ililala bastola kubwa na tiketi moja ya ndege. Tiketi hiyo ilionyesha jina la Bomba kuelekea Nairobi.

Wazo likamjia Waridi. Bomba alikusudia kumtupa baada ya kupata pesa nyingi kama hizo ili aende zake Nairobi akatumie peke yake! Waridi akajishauri kuchota pesa kidogo afiche. Akasita. Alizihitaji zote. Akaamua kuzipata. Akazirudisha kama zilivyokuwa akatoka zake nje.

Usiku huo, Waridi alikuwa wa kwanza kulala. Alijitia kulia pole pole kwa namna iliyokusudiwa kumfanya Bomba aamini kuwa Waridi alimpenda kwa dhati. Ukweli ni kwamba katika maisha yake Waridi hakuwahi kumpenda mwanaume. Alipeda pesa. Mwanaume alimhitaji kwa ajili ya faraja ya mwili tu.

Bomba alikuwa amelala kando yake, alipoanza kukoroma, Waridi aliamka taratibu, akanyata hadi uani ambako alilibeba kwa taabu jiwe kubwa alilokuwa ameliandaa mchana. Akaingia nalo hadi chumbani ambako Bomba alikuwa akiendelea kukoroma. Akakilenga barabara kichwa chake na kuliachia jiwe lile.

Bamba alikurupuka kutoka usingizini na kupaa juu, alipotua kitandani. Alitoa mlio wa maumivu kwa sauti ndogo nyembamba ambayo ilimwingia Waridi rohoni na kumtia ganzi. Kichwa cha Bomba kilikuwa kimefumuka. Ubongo uliochanganyika na damu ulikuwa ukivuja kitandani na kuchafua mashuka. Lakini bado aliendelea kutapatapa huku na kule, akisema hili na lile, maneno ambayo Waridi hakuweza kuyaelewa. Ni macho yake ambayo yaliweza kumtisha Waridi zaidi… Macho ya Bomba yalikuwa yakimtazama kwa namna ya huruma na kutoamini alichokifanya.

Waridi hakuweza kustahamili. Akapiga kelele kwa hofu akakimbia nje ya chumba hiki ambako aliketi chini akitetemeka. Baada ya muda, alirudi ndani ambako alimkuta Bomba tayari amekuwa marehemu; domo wazi, ulimi ukiwa umesahaulikwa nje, upande mmoja ilikuwa kama picha ya kusikitisha inayotisha mno. Waridi akaona shida kuistahamili. Akajikaza kiume kwa kumfungafunga marehemu Bomba kwa blanketi kubwa kisha akajaribu kumuinua ili amtoe nje. Hakufaulu. Akamvuta hadi uwanni. Huko akajitahidi na kuifikisha mati chooni ambako kulikuwa na tundu kubwa lililofunikwa na bati. Akalifunua bati hilo, na kumtumbukiza marehemu Bomba. Kisha akalifunika kama lilivyokuwa awali.

Wazo lake sasa lilikuwa moja tu; kuzihesabu pesa zake kikamilifu, Lakini mwujiza ulikuwa ukimsubiri. Mfuko wa pesa ulikuwa umetoweka. Haukuwepo tena juu ya kabati, ambapo aliuona kwa mara ya mwisho kabla ya kuutoa mzoga wa aliyekuwa mpenzi wake Bomba ndani. “Uko wapi?”, Waridi alijiuliza huku akiutafuta mfuko huo kila kona ya nyumba bila mafanikio. Akabaki ameduwaa.

Mapambazuko yalimkuta bado kaduwaa katikati ya chumba, macho yakilitazama kabati kwa mshangao kana kwamba limeumeza mfuko huo wenye pesa. Waridi hakujua afuate lipi aache lipi.

Mara akajikuta akitoka nje ya nyumba hiyo. Alitembea kwa mkiguu hajui aendako. Baada ya kutwa nzima ya mzunguko usio na dhamira maalumu, Alielekea Mburahati ambako hakukawia kupata rafiki aliyemkarimu kwa kumsaidia kupata chumba cha muda. Baadae, Waridi alipata chumba chake. Siku zote moyo wake uliteswa na huzuni akikukmbuka kumwaga damu ya mtu asiyekuwa na hatia, hofu kwa kudhani kuwa wakati wowote polisi wangeweza kutokea kwa ajili ya kumchukua, na zaidi, maumivu makali moyoi kwa kuhisi ile sauti ya Bomba alipolia kwa uchungu na picha ya macho yake yalivyokuwa yakisihi.

Waridi hakuwa na la kufanya. Maisha yalimwendea vyema katika mazingira yake mapya, wateja wakimiminika kwa wingi hadi leo alipotokea mtu huyu wa ajabu ajabu ambaye anafahamu kila kitu kuhusu mkasa juu ya kifo cha Bomba.

“Siwezi… Siwezi kuua tena…?”Waridi alisema huku akibubujikwa na machozi.

“Huna ujanja, lazima utaua”.

“Utaua?”, Prosper alifoka kwa nguvu akiachia kofi kali ambalo lilimwingia Waridi kama aliyepigwa na kipande cha ubao. Akiwa msichana asiyezoea kupokea vipigo kutoka kwa wanaume, kofi hili lilimshangaza zaidi zaidi ya jinsi lilivyomwumiza. Lakini mshangao wake ulikoma pindi Prosper alipoongeza vipigo vingine vikali zaidi ambavyo vilimfanya Waridi ajikute akighalaghala chini damu zikimvuja hovyo kutoka usoni, puani na mdomoni.

Prosper akaangua kicheko, “Well”, akasema, nilikuwa sikupigi ila tu ilikuwa kukuandaa katika hali ambayo itakufanya umpate Joram Kiango kwa urahisi. Yeye ni mtu anayevutiwa sana na mambo ya damu. Hivyo atakapokuona atajileta mwenyewe kwako. Utakachofanya wewe ni kuhakikisha umempata dawa ambayo nitakupatia, Baada ya muda mfupi atakuwa marehemu. Itaonekana kafa kwa magonjwa ya kawaida tu. Hakuna atakayefikiria kama wewe na mimi tunahusika na kifo chake”,

Prosper alinyamaza kidogo akimwangalia waridi kuona kama maelezo yake yalikuwa yakimwingia, alipoona maneno yake yameanza kumwingia Waridi. Akaendelea. “Unaona iivyo kazi rahisi. Ni kazi ndogo tu. Inatofati sana na ile kubwa uliyofanya wakati ukimuua marehemu Bomba”.

Moyoni Prosper aliwaza; Waridi angejisikiaje kufahamu kuwa yeye Prosper muda wote ule alikuwa nje akisubiri fursa ya kumuua Bomba! Kwani, Bomba ambaye alikuwa mmoja wa magaidi wake, alikuwa ameshindwa kutimiza kazi fulani aliyopewa. Badala yake alipanga kutoroka na pesa ambazo alipewa kwa ajili ya shughuli maalumu. Ndipo ilipodi Bomba auawe usiku ule. Ni Prosper pia aliyepeya hadi ndani na kuzichukua pesa zile baada ya kuona kazi aliyokusudia kuifanya ilikuwa imefanywa na Waridi.

Prosper aliitazama tena saa yake. “Bado dakika tano Waridi”, Prosper alimwita Waridi, “Simama haraka ujiandae”.

Kiasi fulani Waridi alikuwa hoi, hivyo alishindwa hata kusimama, lakini Prosper akamsaidia na kumwongoza nje ambako walipanda gari. Humo garini, Prosper alitoa amri nyingine ambayo Waridi hakuitegemea.

“Vua nguo zako zote”.

Waridi aliduwaa na akasaidiwa kuzivua. Prosper hakusita kuzitatua.

“Nataka ufanye kazi nzuri tafadhali. Shika hii… Kamata na hii… Ni kazi ndogo sana… Kesho Joram Kiango atakuwa marehemu”?.


Baa hii ilikuwa imejaa watu wa kila aina; waliokuwa wakinywa na kustarehe kwa namna mbalimbali. Miongoni mwa watu hawa, alikuwemo Joram Kiango.

Yeye alitulia pale kaunta, juu ya stuli ndefu, pombe ikiwa wazi mbele yake, sigara ikiteketea mdomoni mwake. Kama ni furaha, yake ilikuwa tofauti na walevi ama wanywaji wengine. Hakusinzia hovyo wala kucheka pasipo sababu. Ukimya wake ulimfanya hata msichana wake Neema, ambaye alikuwa kando akinywa soda, amgeukie na kusema polepole.
“Tatizo lako ndio hilo, Joram. Uwapo huru unashindwa kuutumia uhuru wako. Tazama usivyo na raha. Mtu yeyote anayekufahamu akitokea hapa atadhani uko kizimbani ukisubiri hukumu ya kifo, badala ya kustarehe. Kwa nini?”.

Joram aligeuka kumtazama huku akimtengenezea tabasamu jepesi. Kama kawaida, macho yake yaliona kile ambacho yamezoea kuona katika umbo la msichana huyo. Umbo lenye urefu wa kadri, unene wa kadri na sura ambayo ilioana vizuri na umbo hilo. Sura ambayo ilisisimua moyo wa kila mwanaume aliyepata kumtupia macho Neema. Kadhalika, mavazi ya Neema yalikuwa ya kupendeza na yaliliafiki umbo lake. Lilikuwa gauni la kitambaa chepesi ambacho ni dhahiri kilitokea nje ya Afrika Mashariki. Si hayo tu yaliyomfanya Joram ampende Neema na kumthamini binti huyo. Macho ya mwanadada huyu yalikuwa na uzuri wa pekee, uzuri wa kubembelezabembeleza, uzuri wa kishujaa. Yalikuwa na nuru. Si nuru wa “mapenzi” bali nuru ya ujasiri.

Ujasiri huo ndio aliouhusudu Joram. Na ni kwa ajili ya kuuthamini ndipo mara kwa mara akawa akimshinda nguvu shetani wake ambaye alikuwa akitamani kumtia mweleka kwa kumnong’oneza akisema: “Sikia Joram Neema ni binti mzuri sana… na anakupenda sana… Kwa nini usisahau walao kwa siku moja awe mwenzi wako kikazi akastarehe naye kitandani?… Hujui… Utakuwa usiku mzuri kuliko usiku wowote mwingine…” Hayo Joram aliyapuuza na kuendelea kumwona Neema kama mpenzi wake wa dhati.

Mawazo hayo yalimjia tena Joram. Wakati huo, badala ya kumjibu Neema swali lake, alitabasamu tena, kisha akavuta sigara kwa utulivu. Tayari kusahau yote.

“Tazama!” Neema alilalamika. “Bado hata unashindwa hata kunijibu! Wamekuloga nini kaka yangu? Kwa kweli sijaiona siku yoyote ambayo uko kwenye starehe isipokuwa hapo tu unapokuwa vitani ukipambana na mikasa ya kutatanisha huku maisha yako yakiwa hatarini. Sijasahau niliposoma katika gazeti la Kiongozi jinsi ulivyokuwa ukicheka mbele ya bastola ya kumwuaji yule hatari katika tukio lililoitwa Lazima Ufe… kule Arusha”.

Tabasamu la Joram likageuka kicheko, “Mimi nilidhani kwamba wewe unanielewa vizuri zaidi mpenzi”, alisema. “Tatizo langu ni watu kutokunielewa. Hapa nilipo, kimya kama nilivyo, nina furaha na nimestarehe kabisa. Lakini watu watadhani sina raha. Niwapo mbele ya bastola huwa sicheki bali nimechukia sana. Tabasamu langu huwa ni moja ya silaha zangu kwa ajili ya kumlegeza adui. Kwa kweli silaha hiyo naipenda zaidi ya bastola. Kwani humfanya adui ashindwe kuitumia bastola yake.

“Huwa huna hofu?”.

“Sijui hofu ni kitu cha aina gani kwa kweli. Labda itabidi nimpate daktari mzuri anipime na kuona kama ninazo chembechembe za kitu hicho kinachoitwa hofu katika moyo wangu. Nadhani hili kwangu ni lazima…”

Neema akaangua kicheko. “U kiumbe wa ajabu sana Joram. Unaona sasa ulivyochangamka baada ya kuanza mazungumzo ya vifo na mauaji? Nadhani kifo chako kitakuwa cha kusikitisha sana”.

“Ni afadhali kuliko kufia juu ya kitanda Muhimbili, tena baada ya kuugua miezi kadha wa kadha”.

Wakati mazungumzo hayo yakiendelea, macho ya Joram yakauacha uso wa Neema na kumtazama mtu ambaye alikuwa ameingia ghafla katika baa hiyo. Pamoja na kuingia kama watu wengine, akiwa katika mavazi ya kawaida, suti nyeusi, macho yake yalimvutia Joram. Macho yake yakaonyesha dalili ya wasiwasi na tahayari. Joram hakuona kama wasiwasi huo ulikuwa wa kuwahi pombe. Hilo alilidhihilisha kutokana na macho hayo yalivyotembea huku na huko ndani ya baa. Yalipokutana na macho ya Joram, yalizidi kupatwa na hofu kubwa. Kisha mtu huyo akageuka ba kutoka nje. Mara kilio kikali kikasikika kutoka nje. Ilikuwa sauti ya msichana, akilia kwa uchungu.

“Mwanamke malaya, anapokula pesa za watu wahuni hupelekwa gizani ambako hufanyiwa unyama”, lilikuwa jibu la Joram.

“Umejuaje kuwa ni mwanamke malaya Joram?”, Neema alihoji. Wakati huo watu walikuwa wakitoka ndani ya baa kwenda nje kutazama. “Anaweza kuwa mke wa mtu aliyekamatwa na kuletwa huku kwa ajili ya kutendewa unyama, twende tukaone”.

“Hatuna muda huo…”

“Twende Joram”. Wakati huo Neema alikuwa wima akimvuta Joram. “Twende tafadhali…” Ikamlazimu Joram kukubali. Umati wa watu ulikuwa ukielekea nyuma ya baa, sehemu ambayo ilikuwa na kivuli chenye giza kilichotokana na msitu wa maua yaliyoizunguka baa hiyo.

Japo ndipo sauti ya msichana huyo ilisikika akilia.

Alikuwa kalala chali, nusu uchi, vazi lake pekee ilikuwa kipande kidogo cha kanga ambacho kilifunika sehemu ya kati na kuruhusu sehemu kubwa isiyostahili kuonekana hovyo, itazamwe na watazamaji.

“Nakufa jamani, nakufa…” binti huyo aliendelea kulia huku akitupa miguu huku na kule.

Mtu mmoja alikuwa na tochi. Akamulika. Mwanga wake ulinisa kitu cha kutisha zaidi. Damu. Damu nzito ilikuwa imetapakaa kando na juu ya mwili wa msichana huyo. Mara kitu cha kutisha zaidi kikaonekana. Kisu! Kisu kirefu chenye damu. Kilikuwa kando ya mwili wa msichana  huyo.

“Kisu jamani”, mtu mmoja alilalamika.

“Nakufa… nisaidieni…” msichana huyu aliendelea kulalamika.

Kiasi Joram akaanza kuvutiwa. Hata hivyo Joram hakuvutiwa na kisu wala damu tu. Alikuwa akiutazama uso wa msichana huyo. Aliyaona macho yake. Alikuwa msichana mzuri sana isipokuwa macho yake tu. Yalikuwa macho yale yale aliyoyategemea kitambo. Macho ya msichana mlevi na malaya ambaye amekula vya watu na sasa vinamtokea puani. Hivyo aliushika mkono wa Neema na kumwambia. “Inatosha twende zetu”.
“Joram! Tumwache msichana huyu katika hali hii kweli?” Neema alilalamika.

“Ni kazi ya polisi. Haonyeshi kama atakufa”.

“Nakufa”, binti huyo aliendelea kulia. “Upo hapo Joram? Tafadhali nisaidie. Inama usnishike japo mkono. Naogopa wataniua. Tafadhali Joram”.

Kutajwa kwa jina la Joram kilisababisha watu waliokuwa hapo wamsahau msichana huyo mahututi, wakagauka kumtazama Joram, kijana mzuri wa sura, mrefu, nadhifu kwa mwili na mavazi, alionekana mpole tofauti na ilivyofikiriwa.  “Kumbe huyu ndiye Joram Kiango!”, walinongona watazamaji. Mara kadha wamesoma habari zake magazetini na kutegemewa kuwa labda lilikuwa pandikizi la mwanaume linaloweza kuwatisha majambazi. Kumbe.

“Nisaidie Joram…” msichana akaendelea kulalamika.

Joram ni mtu anayechukia kutazamwatazamwa na kushangiliwa, basi aliondoka polepole huku akifuatwa na Neema. Alipofika ndani akakiendea kibanda cha simu na kuzungusha 999. Sauti ilipomjibu alisema. “Hapa ni Forest of Flowers Bar… ndiyo Kinondoni. Njooni kuna mtu wenu anavuja damu…”

Polisi waliotummwa kuja kumchukuwa ‘majeruhi’ huyo walikuwa vijana wawili wenye imani moja dhidi ya wanawake malaya; kwamba malaya ni mwizi wa mchana. Hivyo, inapotokea akapigwa hata kuuawa ni haki yake kabisa.

Wakiwa na imani hiyo, polisi hao walimzoa Waridi bila huruma wala kujali malalamiko yake. Kama kuna jambo liliwasikitisha ni kule kuona kuwa kipigo alichopata hakikumsitahili kabisa. Majeraha machache yaliyokuwa usoni mwake na damu kidogo iliyokuwa ikivuja polisi hawa hawakuona kama ni adhabu iliyomtosha malaya kama huyu. Kama kuna jambo liliwashangaza polisi hawa, ni kuona kuwa kisu hicho kikali kilicholala kando yake hakikutimiza wajibu. Yawezekana washambuliaji wake walikuwa waoga, au hawakudhamilia lingine zaidi ya kumtisha tu.

Gari lilipoanza kuondoka, polisi hawakuchelewa kumtupia maswali kadha wa kadha, maswali ambayo hawakujali kusikiliza majibu yake. Na kwanini wapoteze muda kusikiliza uongo ulioandaliwa kitambo? Mmoja wa vijana hawa akajikuta kavutiwa na uzuri wa Waridi. Kwa kisingizio cha kumfuta damu, akanyoosha mkono wake na kumgusa titi lililokuwa wazi likiwatazama kama linawadhihaki. Mkono ukanogewa na kutelemshwa hadi kwenye paja lake jekundu lililonona. Mkono huo ukaanza ziara nyingine ya kupanda juu. Ulipoelekea kuvuka mipaka, Waridi akashindwa kustahamii zaidi. Akainua mkono wake na kuunasa mkono wa askari huyo na kuutoa juu ya paja lake. Baada ya kitendo hicho, Ndipo alipotanabahi kuwa kamgusa askari huyo kwa mkono ulioandaliwa maalumu
kwa ajili ya mtu mmoja tu, Joram Kiango. Waridi alijua kitakachomtokea askari huyo. Mara akaangua kilio kwa sauti kubwa. Kilio ambacho kiliwashagaza askari hao.

Walifanikiwa kumfikisha katika hospitali ya Mwananyamala ambapo alipokelewa na wauguzi wa zamu. Askari hao wakaaga na kuahidi kurudi hospitalini hapo kesho yake ili kuanza upelelezi wao.

Waridi aliwaomba wauguzi kumpeleka moja kwa moja bafuni. Huko alitupa dawa zote alizohifadhi mkononi, akanawa vizuri kwa dawa kama alivyoelekezwa na Proper. Ndipo aliporudi kwa wauguzi ambao hawakuonyesha nia ya kumhudumia kutokana na hali yake alikuwa hajambo. Walimuonyesha kitanda cha kulala katikati ya wagonjwa wawili, mmoja aliyelala fofofo kama maiti, wa pili alionekana akitapatapa kama mtu aliyekaribia kukata roho.

Waridi alilala kitandani hapo kwa dakika tano tu. Alikuwa akiwaza kwa makini. Hakuona anachofanya hapo hospitali. Wala hakuona sababu ya kuendelea kusubiri hadi atokee yule mtu ambaye aliamini angemwua na kushindwa kutimiza jukumu alilotumwa kulifanya. Wazo hilo likamfanya Waridi aamue kutoroka mara moja hospitalini hapo mara moja. Bila kufikiri mara ya pili aliinuka na kutoka kama anaelekea msalaani huku akipitia kanga moja ya yle mgonjwa aliyelala fofofo, akayafunika mavazi ya hospitali aliyovishwa na wauguzi ili ajisitiri. Alipotoka nje, akajitanda kanga hiyo na kufuata njia ya kutokea. Alijiingiza kwenye kundi la watu wengine waliokuwa wakitoka hospitalini hapo. Hakuna aliyemshuku kwa lolote. Dhamira yake ilikuwa kwenda Mburahati, akachukue chochote alichonacho, na senti kadhaa alizoficha chini ya godoro, kisha atoweke Dar na kwenda kokote mbali iwezekanavyo ambako mkono wa Prosper… usingemfikia kwa urahisi.

Lakini hakwenda zaidi ya hatua nne nje ya geti kabla ya kuisikia sauti ya mtu ikimwita kutoka nyuma. Akageuka kwa mshituko na kukutana ana kwa ana na Proper, ambaye alimjia akimchekea huku akisema kwa sauti ya dhihaka.

“Msichana mzuri… Umefanya vizuri… Nilitaka nije nikutoe mimi mwenyewe lakini kumbe umewahi kutoka. Pole kwa yote yaliyokukuta, ok usijali twende zetu, gari ile pale…”
Kesho yake ilikuwa asubuhi yenye mawingu kiasu cha kuvunja nguvu ya jua kali ambalo lilikuwa likitishia kutawala. Mmoja kati ya wale askari waliomchukua Waridi pale baa alikuwa tayari kawasili kazini kwake. Mkuu wake wa kazi alihitaji ripoti kamili ya “Kushambuliwa kwa yule msichana malaya” Akamtaka pia kujitahidi waliotenda tukio hilo watafutwe na kupatikaba haraka iwezekanavyo kwani mchezo wao wa kubaka wasichana si mzuri kimaadili hususan mchezo wa hatari.

Askari huyo akalazimika kumsubiri mwenzake kwa muda mrefu, hakutokea. Ikamshangaza. Kwa kuwa makazi yake hayakuwa mbali na kituo cha polisi cha Magomeni, askari huyo aliamua kumfuata nyumbani, Alimkuta! Lakini alimkuta katika hali ambayo haikuwa ya kawaida, Kwani haikuwa jambo la kawaida mtu aanze kuvaa suruali kabla haijafunika matako, aache kazi hiyo ba kuanza kuinamia sakafu hadi kichwa kigonge chini mfano wa mtu anayeswali. Na zaidi ya hayo mgeni aingie baada ya kupiga hodi mara kadhaa bila kuitikiwa, lakini akukute ukiendelea kuinama kimya kimya. Dakika mbili, tatu hadi tano.

“Bobi”, askari huyo alimwita mwenzake kwa mshangao, akijiuliza huu ni mzaha wa aina gani, na umeanza lini! “Bobi”, aliita tena askari huyo huku akimtazama tena kwa makini zaidi askari huyo. Ndipo alipoanza kuona povu lenye damu damu likimdondoka mwenzake mdomoni na puani. Akaruka nyuma, kisha akakusanya nguvu na kumsogelea ili amchunguze vizuri zaidi. Akayaona macho yake yalivyoduaa, akauona ulimi ulivyotoka na kutembea nje ya meno, akaona… Hofu ikamkumbuka ghafla. alikuwa akitazama maiti ya askari mwenzake. Hima akarudi kituo cha polisi kutoa taarifa.

Marehemu alipelekwa hosptali ambako daktari hakuchelewa kutoa taarifa kuhusu ugonjwa uliosababisha kifo hicho. “Ugonjwa wa moyo”, daktari alidai. Kwamba alikutwa na ugonjwa huo ghafla wakati akivaa nguo zake, ikabainishwa kuwa kifo cha askari huyo kilitokana na shinikizo la damu.

Hakuna aliyeshuku kuwa asakri huyo amekufa kwa sumu ile, ya aina yake, ambayo aliigusa kutoka kwa Waridi, na kuifikisha sehemu iliyokusudiwa kufika, mwilini mwake, bila askari huyo kujua.

Sumu hiyo iliandawaliwa kwa ajili ya Joram Kiango peke yake

Wakati huo huo Joram Kiango alikuwa akipokea simu iliyopigwa ofisini mwake.

“Sauti yako i tamu mno masikioni sister, yaelekea nawe u kiumbe mzuri sana. Siwezi kuukataa kamwe mwaliko wa mtu mwenye sauti nzuri kama hiyo, Baada ya saa moja nadhani nitafika… Haya… Ahsante… Umesema wapi vile… Heh… Light Lodge?… Hapo siyo?. Nitafika baada ya saa moja…”, akaweka simu chini na kuukunja uso wake akimtazama Neema Iddy, katibu wake ambaye pia alikuwa akumtazama.

“Nani?”, Neema alihoji kwa shauku.

“Anajiita waridi”.

“Waridi? Anataka nini?” Joram alipochelewa kujibu. Neema aliongeza. “Sikujua Joram kama nawe u mroho wa wanawake kiasi hicho. Sauti tu unaridhika na kuahidi kumfuata? Angalia Joram. Utaingia katika mtego. Una maadui wengi katika nchi hii”.

“Nalijua hilo”, Joram alisema. “Siendi kwa sababu ya sura wala sauti yake kama nilivyosema. Kilichonivutia ni maelezo yake. Anasema yeye ni yule msichana ambaye alipigwa pale baa ya Forest of Flowers. Anadai kuwa nia yake ni kunishukru pamoja na kunipa habari fulani ambayo inasisimua”.

“Malaya kama yule! Hana habari yoyote. Anachotaka ni kukupata wewe tu”.

“Hapana”, Joram alimkatisha. Sauti yake ndiyo iliyonifanya nivutiwe hata kumwahidi kuwa nitakwenda. Inavyoonyesha kuna kitu zaidi ya anachosema. Nahitaji kujua ni nini. Zaidi ya sauti, nadhani utakumbuka kuwa jana binti huyo alilia sana akilitaja jina langu. Sijui alivyonijua”.

“Ni mimi niliyekutaja kwanza”.

“Ni kweli, lakini hiyo siyo sababu ya kumfanya aniite jina langu mara nyigi tena kwa ufasaha kiasi kile. Ni kama mtu aliyekuwa akinifahamu kitambo”.

“Wewe si mtu unayefafamika Joram?”.

“Pamoja na hilo”, Joram aliongeza. “Ni wapi alikopata namba yangu ya simu? Tuseme kwenye vitabu vya simu. Kwa nini ahangaike kiasi hicho? Na kwa nini iwe mapema hivyo? Neema, huoni ni mwujiza huu? Jana tu alikuwa hoi. Leo anazungumza kwa uchangamfu kabisa na yuko logi badala ya hospitali! Huoni kama kuna jambo hapo? Yaonyesha kuwa ananitafuta. Yawezekana hata jana alikuwa akinihitaji mimi tu hakuwa majeruhi wala mgonjwa!” Akasita kidogo kabla hajaongeza kwa sauti ya chini akisema: Na atanipata. Kwa muda mrefu nimekuwa sina kazi ya kufanya”.

Wakati huo Joram alikuwa wima akivuta droo hii na ile, akiweka hiki mifukoni na hiki kiunoni. Mara akaanza hatua za haraka kuelekea mlangoni.
“Yaani unakwenda Joram, mara hii!”, Neema aliuliza kwa mshangao.

“Naam”.

“Mapema namna hiyo? Si umemwambia baada ya saa moja?”.

“Niliamua kumdanganya. Siamini kama yeye ananieleza ukweli mtupu, hivyo nami sioni ubaya wa kumweleza uongo kidogo. Nataka kufika mapema kidogo nione anachofanya”.

“Lakini ujihadhari”, Neema alimwambia wakati akivuka kizingiti cha mlango.

“Usijali Neema”, Joram akamjibu bila kugeuka nyuma.


“Anakuja! Na atakufa!” Proper alimwambia Waridi.

“Ondoa hiyo mikunjo ya hofu usoni uvae suruali yako nzuri kama ilivyo. Akifika mpe tabasamu, mpe mapenzi, kisha mkaribibishe pombe. Usisahau chupa hilo hapo ni kwa ajii yake, akionja tu yamekwisha, asipoinywa mpake hii kwa hila”.

Walikuwa katika chumba fulani, ghorofa fulani, katika jumba hili la light ambalo liko katika mtaa wa Lumumba, jijini Dar es Salaam. Proper alikodi chumba hiki kwa ajili ya kazi hii tangu jana alipomtoa Waridi kule hospitali. Usiku mzima aliutmia kumtisha Waridi kwa kila namna pale alipojaribu kuleta ubishi. Kisha alikuwa amemlazimisha kufanya naye mapenzi kwa njia zake za kinyama. Ilipofika alfajiri ndipo wakaanza kupanga mikakati ya mauaji.

Waridi alivishwa vazi jeupe la hariri, vazi hili lilifichua kila kitu kilichofaa kifichwa katika mwili wake. Kila jicho liliweza kuona mwili mzuri wa msichana huyo, ulikuwa ukimelelemeta kwa wekundu ndani ya mavazi hayo. Uso wake pia ulikuwa “kioo” kwa uzuri wake wa asili ulioshinikizwa kwa vipodozi murua vilivyotumiwa kistaarabu. Nywele zake zilitengenezwa kwa ile mitindo ya kisasa. Kwa kila hali, msichana huyu alionekana mtu tofauti kabisa na yule binti ambaye usiku wa jana tu alilala chini pale baa akiwa nusu uchi, akilia. Huyu alikuwa katika hali ambayo ilikusudiwa na ilitosha kuushinda ukaidi wa Joram Kiango dhidi ya wasichana warembo.

“Uwe msichana hodari. Ni kazi ndogo tu. Baada ya hapo utakuwa huru. Nitakulipa pesa za kutosha ukanisubiri Nairobi. Kutoka hapo tutakwenda zetu London au New York, tukatumie. Unasemaje?”.

Waridi hakujibu.

“Mbona husemi neno?” Proper alimwuliza Waridi. “Hofu ya nini? Hii ni kazi ndogo mno kuliko ile uliyoifanya kwa Bomba. Na bado itakulipa pesa nyingi zaidi ya ule uchafu uliochukua. Jitie furaha na ucheke kidogo”.

Kikcheko kilikuwa mbali na Waridi. Aliendelea kuduaa kama mzoga akisubiri lolote aliloelekezwa kulifanya. Hilo likamchukiza sana Proper.

Akasema. “Sikia wewe, endapo utavuruga tena mpango huu, sitasita kukuua papa hapa. Sasa hivi bado dakika ishirini Joram ataingia hapa. Nitakuwa chumba cha pili nikiangalia kila kitu. Ukishindwa au kuvuruga mpango huu nitakuua wewe na huyo Joram papa hapa. Nitakuua wewe kwanza na kisha Joram kwa hili hapa”, akatoa bastola ndogo kutoka kwenye mfuko wa koti lake.

“Sipendi kukuua”, Proper aliongeza. “Lakini ukinilazimisha nitaitumia kuwaua”. Akaitazama tena saa yake. “JOram anaweza kuwa anakuja sasa. Natoka. Kumbuka kuwa niko karibu na tayari kukuua endapo utavuruga mpango huu. Sawa? Proper alitoka na kumwacha Waridi ameduwaa kama alivyokuwa.

Baada ya dakika kadhaa mlango wa chumba hiki uligogwa, kisha ukafunguliwa. Joram Kiango alichungulia ndani na kisha kuingia polepole macho yake yakiwa yamepumbazwa na uzuri wa Waridi. Hakutegemea.

“Sisiter… mimi ni mgeni wako nadhani. Naitwa Joram Kiango”, alieleza Joram huku akiandaa tabasamu ambalo alijua linamfaa binti mzuri kama huyu.

Ndipo Waridi alipogeuka kumtazama.


Kama kuna wanawake ambao husimbua mioyo ya wanaume mara tu watokeapo mbele yao hata wanaume hao wakajisahau na kuzisahau shughuli zao, basi ni dhahiri pia wapo wanaume ambao huisumbua mioyo ya wanawake kwa kiwango kile kile. Na kama kweli wapo, miongoni mwao yumo Joram Kiango. Hayo yalijidhihirisha baada ya Waridi kumtia machoni Joram alipoingia chumbani.

Moyo wake ulipoteza mapigo kwa sekunde kadhaa. Roho yake ilihisi kupaa nje ya mwili wake. Kadhalika, damu ilimsisimka kiasi cha kumfanya ahisi ganzi mwili mzima. Hivyo, hakuweza kuyaondoa macho yake juu ya umbo la Joram ambaye alimsogelea polepole. Nusura wazimu umpande Waridi alipoona uso na tabasamu la Joram, lililotosha kuwa tiba kwa maradhi yake. Maradhi aliyoamini kuwa hayangeweza kutibika.
Kwa bahati mbaya, Waridi hakuwahi kupenda mwanaume katika maisha yake. Hivyo hakujua mapenzi ni nini. Hakuwahi kuyaonja. Kama angejua, angefahamu nini kitatokea. Badala yake alihisi maumivu moyoni na huzuni kubwa akilini mwake. Akanusurika kutokwa na machozi. Hakujua nini kinamtokea. Isipokuwa kitu kimoja tu alikifahamu, Joram hakuwa mtu wa kufa, Hakuona sababu ya kumwua, Asingeweza…

Tazama alivyosimama mbele yake kwa upendo na utulivu kama malaika asiye na hatia. Tazama anavyochekelea kwa furaha kama nuru, Mtazame. La, huyu kijana si mtu wa kufa. Waridi akawa ameamua hivyo.

“Nadhani mimi ni mgeni wako, mpenzi, Joram alisema tena, akinyoosha mkono wake kumgusa Waridi kwenye bega lake la kuume.

Joram alikuwa ameshangazwa na uzuri wa msicha huyu. Vipi wengine waumbwe kwa upendeleo kiasi hiki wakati wengine wasitofautiane sana na vinyago? alijiuliza. Mavazi mazuri ya msichana huyu pia yalimchanganya Joram; yalikuwa mavazi mapya ya thamani kubwa, kisha ya kihuni kama yalivyondaliwa mahususi kwa ajili ya kumtongoza! Hicho hakikumshangaza Joram, Lakini alishangazwa na uso mzuri wa msichana huyu ukiwa katika dimbwi la majonzi, mashaka, hofu na msiba. Hilo halikumshangaza hata kidogo.

“Ndio…ka… karibu kaka”, waridi alianza kusema huku akibabaika,

Joram alimvuta mkono na kumwongoza hadi kitandani, ambako alimketisha kisha naye akaketi kando yake huku akiendelea kuushika mkono wa Waridi.

“Nilikwambia kuwa sauti yako ni tamu kama ilivyo sura yako? Naamini sikukosea. Ama kweli umeumbika bibie. Ulimhonga nini muumba hata akakupendelea?”

Sauti ya Joram, tabasamu lake likasindikiza kila neno, hali hiyo ikamfanya Waridi aanze kuchangamka. Akasahau yote yaliyokuwa mbele yake na kujikuta kazama katika maongezi na Joram. Katika kipindi hicho kifupi bila kujifahamu Waridi alijikuta tayari akiwa ameufunua moyo wake wote kwa Joram, akimsimulia matatizo yake yote. Alipotanabahi alikuwa akisema: “Najisikia kutoweka nje ya nchi hii”.

“Kwanini?”.

Swahili hilo lilimzindia Waridi. Hakujua yapi alikuwa tayari kuyatamka ambayo hayakustahili kuiacha milki ya kinywa chake, Hofu ikamrejea. Akalikumbua jukumu lililokuwa mbele yake: kumfanya kijana huyu kuwa marehemu. Ama ni yeye atajayefanywa marehemu.

Hofu hiyo, ilizidi baada ya Joram kuinuka na kuiendea meza iliyokuwa na chupa mbili za pombe huku akisema: “Bia hii? Unaonaje nikianza kuimimina tumboni mwangu ili kupoza joto la Dar es Salaam kabla hujanieleza sababu za kuniita hapa? Siamini kwama kweli umeniita kwa ajili ya kunishukuru tu, yaani hilo likusukume kunitafuta…”

“Usinywe hiyo pombe”, Waridi alifoka.

“Kwanini mpenzi? Nilidhani umeiandaa kwa ajili yangu”, Joram alifuatwa na tabasamu la kukata na shoka.

Waridi alikuwa akitetemeka. Lakini asingeweza kusahau maneno ya yule mtu katili Proper alipomwambia: “Nitakuwa chumba cha pili… Ukishindwa tena nitakuua papa hapa…” Waridi hakupenda kufa, lakini pia hakuwa tayari kumuona kijana huyu asiye na hatia, afe. Afanye nini? Kwa kutojua la kufanya akaanza kulia. Mikono ya Joram ilitua tena mabegani kwa Waridi akimfariji na kumkumbatia huku akisema.

“Kama hutaki ninywe hii bia ni wazi kwamba kuna zawadi kubwa na tamu zaidi ya bia uliyoiandaa kwa ajili yangu. Kwa bahati mbaya nina mazoea ya kunywa pombe kabla ya yote. Kwa maana hiyo niruhusu ninywe bia moja tafadhali”.
“Usi…” Waridi alijaribu kufoka tena. Joram alimzuia kwa kuuziba mdomo wake kwa kiganja cha mkono wake huku akiweka kinywa chakr karibu na sikio la Waridi, akamnong’oneza.

ITAENDELEA

MSITU WA SOLONDO – 1

Simulizi : Msitu Wa Solondo
Sehemu Ya Kwanza (1)

Chau cafe
Amata Ga Imba aliendelea kunywa kahawa yake polepole kana kwamba hana shughuli nyingine ya kufanya kwa siku hiyo, kichwani akiwa na mawazo mengi sana akipanga na kupangua juu ya maisha yake ya sasa na baadae, alipotahamaki hata kashata alizokuwa akila zilikwisha moyoni akajiuliza kama aliagiza kashata au ameshazila zimekwisha! Hilo nalo likawa jambo jingine ambalo lilikosa jibu kabisa.
“Chausiku!!”
aliita kwa nguvu kana kwamba aliyekuwa anamuita alikuwa umbali wa kilomita kadhaa lakini kumbe wote walikuwa hapo jirani tu.
Watu walishtuka kwa sauti hiyo hata wengine walidiriki kumtupia maneno yasiyostahili
“Samahani waheshimiwa!”
aliomba msamaha.
“Samahani nini mjinga wewe!”
mmoja alitamka kwa hasira
“Wengine tuna BP utatuuwa bure sura ka Sokwe!”
mwingine aliongeza
Amata aliumia sana moyoni kwa tukio lile, akainamia mezani, akatikisa kichwa kisha akasimama kwa hasira na kuelekea eneo la kunawia mikono, akajitazama kwenye kioo, akatabasamu, kisha akageuka na kurudi alipoketi kwanza.
Kabla hajaketi alisikia sauti nyuma yake,
“Umejiona ee? Ka sokwe, tena wa Gombe!” mmoja alimkejeli, wengine wakaangua kicheko cha dharau na kupiga miluzi.
Hasira za dharula zikamrudia Amata, akageuka na kuelekea upande ambao sauti ile imesikika
“Nani aliyesema vile?” aliuliza kwa kung’aka, wakacheka tena
“Ukimuona utamfanya nini? Fala wewe mtoto wa porini!!” mwingine alisema na wengine wakaangua kicheko. Amata alipiga hatua mbili mbele na kumkunja shati yule aliyesema maneno hayo akamuinua kwa nguvu akamrusha chini, huyo akaanguka chini mzimamzima kama gunia, jamaa akanyanyuka kwa hasira na kumvamia Amata, Amata akamdaka na kupiga vichwa vitatu vya nguvu akamsukuma kidogo na kumrushia makonde kama mvua, kijana yule alichanganyikiwa hata hakuweza kujibu mashambulizi alianguka chini mara ya pili.
“Ameua! Ameua! Ameua!” kelele za watu zilijaza mgahawa ule mara watu wakajaa wanataka kumshika Amata. Yule kijana bado alikuwa chini hajitambui kwa kipondo cha ghafla alichokipata. Amata aliruka kutoka aliposimama akatua juu ya meza na kutaka kutoroka kwa kupitia dirishani, watu walimgombania kwa kumshika shatia wengine suruali, masikini Amata shati lake lilichanika vibaya akabaki na fulana ya ndani na kuwaachia shati wananchi wenye hasira, aliruka kupitia dirisha la mgahawa huo na kudondokea kwenye lundo la mawe kwa kutanguliza mkono, alihisi maumivu makali ya mkono lakini alipogeuka aliona watu wale wanakuja pale alipo, akanyanyuka na kutimua mbio
“Huyo huyo! Kamata muuaji huyo!!” kelele za wananchi wale zilikuwa kama kichocheo kwa kijana Amata kuongeza spidi. Mara kwa mbele aligongana na pande la mtu na kuangushwa mbali, alinyanyuka na kuanza kukimbia tena, watu walitoka majumbani na kumuunganishia kama kawaida ya wananchi. Mbio ziliendelea na wananchi nao hawakuchoka, alitokea kwenye wigo wa nyumba la! Hapakuwa na njia aliruka na kupanda ukuta kisha akatokea upande wapili na kupanda tena alitua chini kwa miguu yake mikakamavu na kutimua mbio lakini la haula! Alipokuwa akijaribu kuvuka kichaka kidogo katika eneo hilo alijikwaa vibaya na kuanguka chini, mchezo umekwisha. Watu wakamkamata na kuanza kumpiga hata kumuumiza vibaya, Mungu si Athumani polisi waliwahi kumuokoa kutoka kwenye mikono ya watu wenye hasira.
“Tuachie huyo tummalize! Muuaji huyo!” watu walipiga kelele na wengine bado walidiriki kurusha hata mawe ambayo baadhi yaliwapata askari wale. Askari mmoja akafyatua risasi hewani na watu wale wakatawanyika kwa woga wakikimbia uku na huku wengine wakianguka na kukanyagana vibaya. Amata alichukuliwa mpaka kituo kidogo cha polisi akiwa hatamaniki kwa jinsi alivyolowa damu hata fulana yake aliyobaki nayo baada ya kuwaachia shati watu wale haikujulikana kama ni nyeupe au nyekundu, juu ya jicho lake la kushoto jeraha kubwa lilikuwa bado linavuja damu, mkono wake umevimba, kucha ya kidole gumba cha mguu wa kushoto haikujulikana hata imeng’okea wapi. Askari wale walimpiga Tanganyika jeki bila huruma wala kujali kuwa mwenzao ameumia namna ile wallimkokota tena na makofi juu mpaka kituo kidogo cha polisi na kumlundika selo.

Ndani ya chumba kidogo cha selo katika kituo cha polisi cha kijiji wahalifu walijazana mpaka hewa haikutosha kabisa, walichoka na hata wengine kukosa nguvu, kupoteza fahamu kwa kukosa hewa ya kutosha. Amata aliingia kwenye selo hiyo katika hali ile aliyokuwanayo, akakaribishwa na joto na harufu mbaya haja kubwa na ndogo zilizochanganyika, mwanga hafifu uliopita katika kadirisha kadogo kenye ukubwa wa mlango wa banda la njiwa ndio pekee kalikokuwa kanatoa faraja kwa binadamu hawa waliokuwa na makazi ya muda ndani ya chumba hiki, wote walikuwa na sura za kutisha ambazo bila kuuliza utajua kuwa sasa nimeingia kuzimu.
Ucku huo ulikuwa mrefu sana kwa Amata, mawazo mengi yalitawala kichwa chake, maumivu makali yaliusumbua mwili wake, alijituliza kimya kwenye moja ya kona za kijichumba hiko huku akisikia kichefuchefu kama mama mjamzito kila mara alitamani kutema mate lakini atatemea wapi watu wamejazana hata wengine wamekaa kwa kupakatana mh! Mawazo yaliendelea kumsonga hata usingizi mwepesi uliokatishwakatishwa kwa nyimbo za kuchukiza za mbu masikioni mwake ulikuja na kuondoka, aliwaza jinsi anavyoishi kwa shida hana baba hana mama, kula yake ya wasiwasi aliona jamii yote haimtaki, dunia imemchukia, ulimwengu unampa adhabu,
“Kwa nini mimi?” alijiuliza uliza moyoni mara kwa mara hata alipokuwa kwenye kibanda chake huko shambani kwao ambako alipitisha maisha yake ya ujana tangu wazazi wake walipofariki yeye akiwa na umri wa miaka kumi na tano, mama yake alikufa kwa kuliwa na simba na baba yake alikufa akiwa anamuokoa mama yake dhidi ya simba hao wenye njaa na uchu wa nyama ya binadamu. Kila aliporudiwa na picha hii alilia sana na kujiona kuwa yeye ni binadamu mwenye mkosi, akuwahi kuwa na kaka wala dada isipokuwa ndugu tu ambao pia hawakuwa na msaada nae kabisa.
“Amata!!!” aligutushwa na sauti kali ya askari iliyotokea kwenye kadirisha ka mlango wa selo hiyo.
“Afande!” aliitikia kwa uchovu na kujaribu kujiinua kutoa alipokuwepo lakini alijikuta anapata kizunguzungu na kuwaangukia wenzake waliokuwa hapo. Alifika mlangoni pale kwa shida mbele yake alimuona msichana mrembo sana kasimama, mrefu wa wastani maji ya kunde, alivalia vizuri suruali yake ya kitambaa nyeusi na blauzi yake nyeupe huku shingoni kafunga skafu yenye mchanganyiko wa rangi, nywele zake fupi zilizokatwa kiumahili na vinyozi wanaojua kazi yao, kiatu chake kirefu kilimfanya aonekane kuwa ni mrembo anayetunzwa na pedeshee fulani. Dada yule alijivuta taratibu mpaka kwenye dirisha lile. Amata alipokea pumzi safi iliyonukia na kuvutia kutoka kwa mrembo huyo, hakuamini anachokiona ni malaika au binadamu, aliduwaa, akapigwa na bumbuwazi, mikono yake ikiwa imeshika nondo mbili zenye kutu alijikuta anaishiwa nguvu. Mrembo yule alishika nondo zile kwa kubana mikono ya Amata akaiangalia sura ya Amata iliyochoka na kukaukiwa na damu..
“Saringo! Naitwa Saringo” alimwambia Amata kwa sauti ya chini
“Hunijui, ila utanijua punde tu” aliendelea “Haujaua ila umeumiza vibaya, sasa unastahili zawadi kwa kazi uliyoifanya bila kujua, na zawadi hiyo utaipata ukimaliza kazi yako” Saringo alishusha pumzi na kumwangalia Amata usoni na kumuona jinsi alivyochanganyikiwa, akaendelea kumwambia mashairi yake yasiyoeleweka kwa mtu mwenye akili timamu, sasa kwa kukunja sura akamwambia Amata “ Lazima ufungwe, uishie jela!” akageuka nakuondoka zake. Amata akazidi kulowa jasho, maswali yasiyo na majibu yalimzunguka tena ‘nilijua malaika mwema kaja kuniokoa kumbe malaika mbaya wa mauti kanitembelea’ alijiwazia na kuanza kulia. Amata hakupata jibu mwanamke yule ni nani, na anataka nini, utata. Asubuhi ile kalandinga liliwachukua mpaka mahakama ya kijiji, jalada la Amata lilikuwa la tatu kuitwa, taratibu akiwa na pingu mikononi aliingizwa katika chumba cha hakimu na kusomewa mashitaka ya kudhuru mwili, alijikuta hana cha kukana isipokuwa kukubali, kesi ikahairishwa mpaka baada ya siku kumi na nne. Walipokuwa wanarudi kwenye kalandinga alimuona binti yuleyule akiwa amesimama katika kundi la watu waliokuja mahakamani hapo, muonekano wake ulikuwa tofauti na wote pale kwani ndiye aliyevaa nadhifu kuliko wote ‘huyu ni nani?’ Amata alijiuliza hakupata jibu, moyoni alimlaani kuliko anavyomlaani shetani walipogongana macho Amata alitema mate chini na kumuonesha kidole cha kati. Mara alijikuta anatandikwa kofi la kisogoni au vijana huita‘mbata’
“Panda juu unatuchelewesha!” sauti kali ya askari ilisikika. Amata na wengine wakapanda na lori lile kuondoka kwa kasi.

*************

“Una mpenzi mzuri sana, mtoto kaumbika kama Malaika, he he he mbona wewe na yeye hamuendani kabisa au wewe ni mchunga ng’ombe wao!”
mmoja wa mahabusu alimuuliza Amata kwa sauti mbaya ya kukwaruza isitoshe inatisha. Amata aligeuka na kumwangalia akatabasamu kwa sura iliyochoka
“Simjui hata anatoka wapi” alimjibu
“Kwangu ni kama shetani tu yule, anataka kuniua, kunifunga, hilo ndilo limemleta hapa” aliendelea kumueleza yule mahabusu.
“Kwa nini aje kukuona asubuhi yote ile? Au kuna uhusiano wowote na kesi yako?” aliendelea kudadisi mahabusu yule, “Sijui chochote! Mbona maswali mengi umempenda? Mfwate basi, mi nshakwambia smjui! Yule ni shetani tu”
Amata alijibu kwa hasira kidogo na mahabusu yule hakuendelea na maswali yake.

Kesi ilitajwa tena baada ya siku kumi na nne, Amata na wenzake wakiwa na pingu mikononi waliingizwa katika chumba maalumu cha mahabusu mahakamani hapo, Amata alisimama karibu na mlango, mara ghafla alipata mshtuko mkubwa, hakuamini alichokiona nje ya jingo hilo, akakaza macho kutazama kwa makini akayafikicha kidogo aone labda alikuwa ndotoni lakini hapana alichokiona ni sahihi na macho hayakumdanganya. Hakutaka kupoteza hata sekunde katika lile alilokuwa analiona lakini bahati mbaya hakuweza kusikia kinachozungumzwa. ‘Yule sio Chausiku?’ alijiuliza moyoni lakini pia hakutaka kuyaamini macho yake.

Chausiki Binti Saidi, msichana mfupi mwenye afya njema kibonge, mmiliki wa mgahawa unaojulikana kwa jina la Chau Café, msichana huyu ambaye amekuwa pamoja na Amata, wamesoma shule moja ya msingi kijijini hapo na kucheza michezo mingi ya utoto pamoja, yeye alifanikiwa kufika japo darasa la saba wakati Amata alifukuzwa shule akiwa darasa la tano kwa kisa cha kumpiga mawe mwalimu wake wa darasa. Maisha yalimwendea kombo Amata lakini Chausiku ndiye alikuwa akimfadhili japo kwa hela ya sigara au kikombe cha Kahawa, watu walikuwa wakimbeza sana Chausiku kwa jinsi alivyoonesha upendo kwa Amata hii ikapelekea Chausiku kutokuwa karibu sana na kijana huyu ambaye japo alikuwa mchafu, mkorofi lakini moyo wake ulituama kwake kama maji yatuliavyo mtungini yasipoguswa. Vijana wengi walipenda kwenda mgahawani kwake japo tu roho zao zisuhuzike kwa kumuona binti huyu, wapo waliomdanganya kwa pesa na vitu mbalimbali lakini msimamo wake thabiti haukumfanya ayumbishwe na vitu vyote hivyo bali aliuacha moyo wake utue kama kipepeo atuavyo katika ua alilolichagua. Chausiku aliumizwa sana na kisa kilichomkuta Amata, alijua kuwa Amata kwa hali aliyonayo asingeweza kupata msaada wowote wa kisheria au utetezi katika kesi yake, alijitahidi kufanya kila awezalo ili tu amsaidie Amata katika hili.

Jalada la Amata liliitwa, polisi walimtoa katika chumba kile akiwa chini ya ulinzi na kupelekwa katika chumba cha mahakama, akiwa anapita katika kikorido kidogo cha jengo hilo alisikia sauti nyembamba tamu ikipenya masikioni mwake, ilikuwa si ya mwingine bali Chausiku ambaye alikuwa akilia kwa machozi mazito “Mnyezi Mungu akusaidie” ni maneno aliyomwambia, Amata aligeuka kwa kuiba, alifarijika kuona kumbe wapo katika binadamu awa hawa wanaompenda, kidogo alijisikia mtu kati ya watu.
Kesi ya Amata ilikwisha alihukumiwa kifungo cha miaka miwili na miezi sita jela. Waliondolewa mahakamani na Amata alianza kutumikia kifungo chake huko gereza la kilimo Sogera, gereza lenye kazi ngumu, kulima, kupanda, kuvuna, muda wote mkiwa katika matope, maji machafu, mnakula chakula huku mnanyeshewa na mvua, mateso!.

Sogera ni gereza kubwa sana lililoko nje kabisa ya mji wa Mgosola, lilijengwa zamani na wajerumani wakoloni juu ya mlima. Limezungukwa na ukuta usiopungua mita ishirini kwenda juu na chini ya ukuta huo kumepandwa mikonge kuzunguka gereza zima, katika kona zote na katikati ya pande zote kuna vibanda vipatavyo nane juu kabisa vyenye walinzi wawiliwawili kila kimoja wakiwa na silaha kali, juu ya ukuta kumezungushwa waya maalumu ambao una umeme kwa masaa ishirini na nne, doria haziishi nadani ya gereza hili lenye kila aina ya sifa. Amata alifungwa ndani ya gereza hilo, hakuwahi kufikiri hata siku moja kama angefika mahali pale daima alisikia hadithi tu watu wakisimulia na kusifia sifa mbaya za jingo hilo, aliona kuwa sasa ndio amefika mwisho wa maisha yake, jehanum ya duniani, alikata tama ya kuona tena kijiji chake alichokipenda, watu aliyowapenda, michezo aliyoipenda, shamba lake aliloachiwa na wazazi wake, kila kitu kwake aliona kimefika mwisho na kama kuna kitu alichokichukia tangu muda huo ni Saringo msichana mrembo aliyemhakikishia kufungwa na kuozea jela. ‘Shetani huyu! Shetani mkubwa! Aombe nisitoke ila nifie humu, laiti nikitoka namkatakata vipande na nyama nawapa mbwa wale, naapa’ Amata alijiwazia kwa hasira na uchungu. Akiwa bado ameketi kwenye kigodoro kidogo alisikia sauti ya king’ora hakujua kinahashiria nini alipochungulia katika kadirisha ka mlango aliona wafungwa wote wanakimbilia kwenye uwanja mkubwa, mara mlango wake ukafunguliwa
“haya mfungwa kwenda kwa wenzio haraka!!” sauti ya askari ilimfanya atoke mbio, alifika na kukaa katika mstari paamoja na wengine. Akasimama askari mmoja katikati akiwa na kipaaza sauti “leo ni sherehe!!!!” alitangaza “tunakaribisha wageni na pia tunapunguza wengine” aliongeza, uwanja ulikuwa kimya sana alisikika yeye peke yake
“wale wote waliofika hapa peponi leo waje mstari wa mbele haraka!”
alitoa amri
Amata na wenzake saba walisogea mbele wakiwa bado na pingu mikononi, wakasimama mbele, hapo waliweza kuona kila kitu kwa vizuri zaidi.
“kwanza napenda kukukaribisheni hapa Sogera, sehemu takatifu ambayo huna budi kuacha ujinga wako!” aliendelea kusema
“Mnaowaona hapa wote ni watoto wazuri wenye roho nzuri wasiopenda ujinga!”
alisema huku akitafuna big G yake, askari huyu mrefu mpana mwenye tambo la kiaskari hasa aliongea maneno haya bila kuonesha tabasamu wala kutikisika, akiwa na bastola yake kiunoni na sare yake ya magereza iliyomkaa vizuri alionekana si wa kuchezea.
“Nyie was*nge! Mliokuja hapa wiki hii, hii ngome ya mjerumani, ukitaka kuishi vizuri fuata amri kumi za hapa ndani, ukiambiwa inama, inama, usilete ubishi kwani waliopo hapa ni binadamu kama wewe wana mahitaji”alisema askari yule.
Amata aliposikia maneno hayo alisisimka na mwili ulikufa ganzi, askari yule aliendelea…
“Usije kujaribu kutoroka, zawadi ya kutoroka ni kama hii mtayoiona sasa!!!” akageuka nyuma akapaza sauti “Afande, lete hao!” mara wafungwa wanne waliletwa wakiwa wamefungwa kamba mikononi wakiburuzwa kama magunia, walijaribu kukukuruka lakini haikusaidia. Pale aliposimama askari yule palikua na jukwaa kubwa lenye kitu kama goli la mpira, lakini juu yake kulikuwa na kitu tofauti, ubao mnene mkubwa wenye tundu la nusu duara lakini katika tundu lile kulikuwa na kitu kilichokamilisha duala lile kiling’aa sana kana kwamba kuna chuma katikati, stailess steel, na upande wa chini wa goli hilo kulikuwa na ubao mwingine kama ule lakini huu kwenye tundu lake haukuwa na kile kitu kama chuma. Mfungwa mmoja aliburuzwa mpaka pale na kufungwa kwa kamba katika goli lile akielezewa chini shingo yake ikiwa imepachikwa kwenye ile nusu duara mwili ukiwa upande wa pili na kichwa upande mwingine, mara kibao kile cha juu kilifyatuka na kuteremka kwa kasi, akiwa bado kapigwa na bumbuazi Amata alihisi kitu kama jiwe la duara kikimgonga miguuni na kuhisi maumivu, alipoangalia chini ni kitu gani hakuamini macho yake, kichwa cha mtu kinachovuja damu mbichi kikiwa kimekatwa kutoka kwa mfungwa yule aliyefungwa pale golini, Amata alichanganyikiwa hajawahi maishani mwake kuona kichwa kisicho na kiwiliwili, akaanza kukimbia.

***************
“Kamata huyo!”
amri ilitolewa, askari wawili walianza kumkimbiza, alipigwa ngwala lakini kwa umahiri mkubwa Amata aliruka samasoti na kutua kwa miguu miwili kabla hajakaa sawa alistukia kamba iliyorushwa kwa ustadi ikimfunga shingoni, akageuka na kurusha ngumi iliyompata askari yule sawia shavuni, kabla hajakaa sawa alipigwa teke moja la kifua na kuyumba akaangukia katika mtaro wa maji machafu akatoka kwa haraka alipata pigo lingine maridadi lililompoteza kabisa akaanguka tena, askari wale wakamfunga kamba na kumburuza mpaka uwanjani naye akawekwa pamoja na wale wanaosubiri kunyongwa, akafunikwa nguo nyeusi kichwani asiweze kuona chochote.
“He he he safi sana kijana! Umediriki kufanya kosa ambalo leo litagharimu maisha yako!” askari yule aliyekuwa na kipaza sauti alimwambia amata
“Mleteni mbele!”
akasogezwa mbele ya lile jukwaa la kunyongea
“Mtoeni kitambaa!”
akatolewa kitambaa
“Mfungueni pingu!”
akafunguliwa pingu na kubaki huru. Askari yule akasema
“umeonesha ujeuri, umempiga askari wangu, sasa utashughulikiwa ili ujue kuwa hapa ni mahali pa pekee”
alimsogelea Amata na kumwangalia usoni
“kwanza umechoka! Mwili na roho! Nani aliyekuleta huku? Leo utajutia ulichowafanyia wananchi huko uraiani!”
alisema yule askari huku amemkazia macho Amata, Amata alimwangalia askari huyu mwenye macho mabaya, mekundu na alikuwa kila akiongea mdomoni mwake kulitoka harufu ya tumbaku na gongo. Askari yule alimzunguka Amata kama mara tatu hivi.
“Cockroach! Fanculo! Caputana!”
alimtukana Amata kwa lugha ambayo hakuielewa. Amata aliona kuwa sasa mwisho wake umefika.
“Aje mwanaume amshughulikie huyu!”
aliita askari yule. Mara akajitokeza pande la mtu, lenye mwili mkubwa, kifua kipana, sura yake ilionesha kila dalili ya kutokuwa na huruma na mtu, lilimsogelea Amata pale alipo, Amata akarudi nyuma kidogo, lile jitu likamsogelea zaidi, Amata alishikwa na hofu ya kifo alipogeuka nyuma akakuta watu tayari wamefanya duara kubwa hamna pa kupenya, alihisi pigo moja la mgongo lililompeleka chini alipojigeuza kuangalia juu aliliona lile jitu likinyanyua mguu kumkanyaga akajiviringisha upande wa pili na jitu lile likakanyaga chini kwa nguvu kishindo ambacho kilitimua vumbi, amata kwa kutumia nguvu zote alirusha teke lililompata nyuma ya magoti jitu lile likajikuta limepiga magoti, Amata alijinyanyua haraka. Kelele za wafungwa za kumshangilia Amata zilimpa nguvu akiwa bado anawaangalia wanaomshangilia alipigwa roba maridadi ambayo ilimkosesha pumzi, Amata alikukuruka aliporusha mguu wake kwa nguvu kwa nyuma alilipiga hilo jitu kwenye maeneo nyeti, jitu likamuachia Amata na kujishika maeneo,Amata akaanguka chini akanyayuka haraka na kwa kasi ya ajabu aliruka kitu kama tik tak akalipiga usoni kwa migu miwili, nguvu ile ilimfanya jitu asimame wima bila kujua lakufanya, Amata kijana aliyejaliwa wepesi na kusaidiwa na michezo ya sarakasi aliyokuwa akicheza shuleni aliruka hewani na kumpiga mateke ya kifua, jitu lile lilidaka miguu ya Amata kwa ustadi lakini Amata alijikunja kama samaki na kumpiga kichwa usawa wa pua na kumvunja mfupa wa pua, Amata alianguka chini baada ya kuachiwa na lile jitu ambalo wakati huo lilikuwa linavuja damu puani likiwa limeshika pua, Amata alisogea na kurusha makonde mfululizo yaliyokwenda sawia tumboni ambapo jitu lile liliachia uso na kujishika tumboni na Amata alibadili mashambulizi kupeleka usoni, alitumia mtindo huo kama dakika mbili mpaka jitu lile likawa hoi kabisa. Kelele za wafungwa zikazidi kuufunika uwanja wote askari wakaja kumkamata Amata na kumtoa asije akaleta madhara zaidi.
Masikini Amata, hakujua kuwa aliyempiga ndiye mbabe wa gereza hilo, hakuna na haijawahi kutokea mtu akamshinda, wafungwa walimshangilia Amata na tangu hapo akawa na marafiki wengi na kuogopwa na wafungwa wengine.

**************
Maisha yaliendelea gerezani miezi sita ikapita, kazi, mateso, uonevu ndio ilikuwa sera ya maisha yao na Amata akazoea hali hii, kila kukicha hawaishi kupigana na kuumizana kunyang’anyana vyakula na kutaka kuwageuza wenzao, japo Amata hakupenda hali hiyo.

Ilikuwa asubuhi tulivu sana jumapili fulani, watu wengi walikuja kuwatembelea ndugu zao. Amata alikaa kwenye gogo lililopo ndani ya gereza hilo akitafakari hili na lile akimkumbuka huyu na yule. Mara alihisi gogo lile kutikisika alipogeuka alimuona mfungwa mwingine amekaa jirani naye, Amata akamtazama jamaa yule kwa makini sura yake haikuwa ngeni sana lakini hakukumbuka amemuona wapi, alimtazama tena na tena.
“Rafiki!”
mfungwa yule alimuita Amata kwa sauti ya chini, Amata akaigeuka tena kumwangalia vizuri usoni, Amata akaingiwa na hofu kidogo maana mfungwa huyu hajawahi kukutana naye sura yake ya kawaida tu lakini alipotabasamu aligundua kuwa hakuwa na meno, Amata alisogea pembeni kidogo akamuuliza
“wewe ni nani, mbona sijawahi kukuona?”
“Umenisahau?! Wewe ni Amata Ga Imba siyo?”
Amata alishtuka kuona hata jina lake analijua.
“Ndiyo! Mimi ni Amata Ga Imba mwana wa Nkhunulaindo! Nikusaidie nini?”
Amata alijibu na kuuliza kishari kwa maana ndiyo hali aliyoizoea sasa.
“Mimi naitwa Golam wa Golam!”
alijitambulisha kwa Amata, kasha akatoa lile tabasamu lake ambalo lilimfurahisha Amata hata alitamani kucheka, kwa sababu kweli alifanana na Golam ambaye amata aliwahi kumuona katika filam huko kijijini kwao.
“Safari imewadia!”
Golam alimnong’oneza Amata
“Safari, safari gani?”
Aliuliza kwa mshangao lakini kwa sauti ya chini
“Mimi na wewe tuna safari ya mbali na ngumu sana, safari hii itatugharimu mengi sana lakini mwisho wake tutaishi kama wafalme he he he! Nilikuwa nakungoja, na sasa umefika. Wewe ni Mate ya Simba, kila mnyama atakukimbia, mapori yote yatakuinamia na kukuheshimu, funga mkanda Amata, safari imewadia” Golam aliongea kwa utulivu mkubwa. Amata hakuelewa anachoambiwa wala anachokisikia, aliduwaa tu akitazama upande wapili jinsi pilikapilika za wafungwa na askari zilivyoendelea
“Unat…”
alitaka kumuuliza Golam lakini alipogeuka hakumuona, Golam alishaondoka pale kitambo na Amata hakuweza kujua ameenda wapi! Amata aliona kama katokewa na shetani la kiume, ‘safari, safari gani, kwenda wapi? Lini? Mh!’ hakuweza kupata jibu juu ya maswali hayo, alinyanyuka pale alipoketi na kuvuta hatua chache kuelekea lango kuu la gereza, alichokiona hakukiamini,
‘Saringo!’
alishaangaa, mara aliitwa kuonana na mgeni wake, alikataa kwenda akamwambia afande kuwa hana mgeni, afande akamsisitizia kwa kuwa alishapewa pesa kidogo na Saringo ili afanye makeke, kwa kuwa wafungwa wa aina ya Amata hawakutakiwa kuonana na ndugu ovyo. Alikwenda lakini moyoni mwake hakutaka maishani kuonana na kiumbe huyu mwenye uzuri uliofunika unyama wake.
“Unataka nini tena? Nimeshafungwa! Unataka kuniambia kuwa nitanyongwa, sivyo?”
Amata alimwambia Saringo.
“Amata! Nimekuja kukuomba msamaha, maneno yale sikutegemea kama yatakuwa kweli, wewe hunijui wala mimi sikujui ila nilitumwa kwako na aliyenituma anakuhitaji sasa!”
Saringo aliongea kwa uchungu akimwangalia Amata machoni mwake. Kisha akaingiza mkono kwenye pochi yake akatoa kikaratasi cha rangi ya purple kimekunjwakunjwa akatazama huku na huku akamkabidhi Amata, Amata akakipokea akakificha kwenye nguo ya ndani. Saringo akatoa tabasamu la nguvu kwa Amata, kisha akageuka na kuondoka zake, Amata alibaki anamwangalia akifarijika kuona jinsi mtoto huyu alivyojaaliwa hata upande wa nyuma
‘mashaallah’
alijisemea moyoni, mara alijikuta vurugu kubwa inatokea ndani ya suruali yake ya orange akagundua kuwa macho yamemponza, akarudi ndani.
Jumapili hiyo ilikuwa ni siku ya burudani na michezo huwa mara moja kwa miezi mitatu, Amata akaketi kwenye nyasi akiangalia wafungwa wenzake wakisakata kabumbu, kila alipoangalia huku na huku hakumuona Golam, alishindwa kujua kama Golam alikuwa mzuka au mfungwa mwenzake, mara akaanza kucheka mwenyewe alipokumbuka tabasamu la Golam. Aliondoka eneo hilo na kusogea pembeni huku akimuangalia kila anayekutana naye labda atamuona lakini hakufanikiwa, aliendelea kuvuta hatua taratibu akiwa bado na mawazo lukuki na maswali yasiyo na majibu.

Golam wa Golam, mfungwa asiyependa kuongea sana na anayependa kufanya kazi muda wote, alikuwa amepangwa kufanya kazi jikoni kama mpishi na kwa miaka miwili sasa. Golam alifungwa katika gereza la Sogera yapata miaka saba sasa kwa kosa la mauaji, alikuwa hapo akisubiri hukumu yake ya kunyongwa kwa kosa hilo. Alipokuwa gerezani humo hakupenda kujichanganya na wafungwa wengine hakuwa na rafiki na daima alionekana mtu mwenye kupanga kitu fulani, kwa kipindi cha miaka saba hii hata ndugu zake walishajua kuwa amenyongwa, hawakuja kumtazama wala kumtaka hali. Alipata kufahamu njia zote za gereza hilo na ratiba zote za askari za ulinzi wa gereza hilo. Aliwahi kuwa na rafiki mmoja tu ambaye yeye alishanyongwa pale tu alipojaribu kutoroka kwenye ngome hii isiyopenyeka.
Akiwa bize na kazi ya kuandaa chakula cha jioni cha siku hiyo Golam alionekana mtulivu sana hata alikuwa anafanya kazi dakika chache na chache anapumzika lakini akizama katika fikra zingine.

Amata alirudi kwenye kichumba chake na kujilaza kwenye kigodoro chake kidogo, baridi ilikuwa kali sana siku hiyo, akiwa amejilaza hapo alipitiwa na usingizi.
‘Watu warefu walikuja wakamkamata Amata, wakambeba juu juu, watu hao Amata hakuweza kuwaona miguu yao wala sura zao, walimpitisha kwenye bonde kubwa lenye manyoka makubwa mengine yana vichwa viwili, manyoka yale yalijaribu kumrukia lakini kutokana na urefu wa hao viumbe waliombeba hawakuweza kumfikia kabisa. Mara walifika eneo kubwa la wazi, pale aliona viumbe wenye vichwa vibaya na vipembe vilivyojinyonga kama vya kondoo, katikati yao kulikuwa na chungu kikubwa kinachotoa mvuke wa ajabu. Mara wale viumbe waliombeba walianza kuwa wafupi mpaka kufikia urefu wa wale wengine, walimpomshusha, Amata ndio aligundua kuwa wale viumbe wana miguu kama ya kuku na mikia pia walikuwa na jicho moja, wakamnyanyua ili kumtumbukiza ndani ya chungu, kumbe hawa viumbe wanakula watu baada tu ya kuwachemsha, Amata alipiga kelele za ajabu….’

***************

Mara alikurupuka kutoka usingizini kumbe alipitiwa na ndoto ya ajabu na mbaya. Jasho lilimvuja kama kamwagikiwa na maji, akitweta kama mtu aliyekimbia mbio fupi za mita mia moja. Alipotulia na kurudi katika hali ya kawaida huku akijiuliza maana ya ndoto hiyo aliona kipande cha karatasi chakavu chini ya mlango, alijinyanyua taratibu na kuokota kikaratasi kile, akakifungua kwa woga, kikaratasi kile kilikuwa kichafu lakini kwa taabu aliweza ona kilichoandikwa kwa muandiko ambao herufi zake ziko mbalimbali, alijaribu kuziangalia vizuri lakini ilimuia ngumu kuelewa ni nini kimeandikwa, alikiweka pembeni, alipoangalia nje kupitia kidirisha kidogo aliona bado ni usiku kwani ni mbala mwezi na nyota ndizo zilizong’aza nje, na mizunguko ya askari walio zamu kwa muda huo. Aliketi tena juu ya kigodolo chake akakunjua tena kijikaratasi kile, alipokigeuza kwa nyuma aliona mchoro wa ajabu, hakuweza kuuelewa mchoro huo, kitu chenye umbo la mraba, ndani yake kuna duara kubwa ambalo lililochorwa X, katikati ya x ile pamewekwa namba tano na mshale uliongalia juu, kabla ya kuishia mshale ule kamstari kengine kalikatisha na kufanya kitu kama mchoro wa dira katika kamstari kale kuliwekwa herufi A upande wa kulia na kuliandikwa lugha isiyoeleweka, Amata aliangalia mchoro ule akaona hamna anachokielewa akakunja kile kikaratasi tena akakiweka chini ya tandiko akajilaza.
Kulipopambazuka siku hiyo Amata aligubikwa na mawazo mengi alikuwa mpole sana kama mtu anayeumwa, siku hiyo alitakiwa kwenda na wafungwa wenzake kukata miti kwa ajili ya kuongeza idadi ya kuni kwa matumizi ya gereza. Wakiwa msituni na kazi imepamba moto, waliendelea na kuimba nyimbo mbalimbali za kuhamasishana huku wengine wakipakia magogo lorini, askari mmoja bwana mdogo alisogea karibu na Amata
“Mfungwa! Chagua wengine watatu tukashushe mzigo wengine endelea…”
alimwambia Amata. Wafungwa wanne wakapanda pamoja na Amata, akiwa amekaa juu kabisa ya lori lile pamoja na askari wawili wenye SMG wakiwa makini na kazi yao, lori lile aina ya Leyland lilikwenda kwa mwendo wa pole likiwa linapanda mlima mkubwa sana. Lilipofika juu ya mlima kabla alijaanza kuteremkia upande wa pili, Amata aligutushwa na mfungwa mwingine
“Amata! Cheki nyuma ile yako bondeni ilivo…”
alimwambia. Amata akaangalia kwa makini akaweza kuliona gereza ambalo wenyewe huliita nyumba, akaangalia vizuri, lilikuwa linaonekana bondeni hivyo aliweza kuliona vizuri sana. Mara akaona kitu cha ajabu kidogo aliweza kuiona vizuri picha ya gereza lile… aliliona katika mraba na alipokaza macho aliona kwa ndani kuna kama kitu cha duara kilichozunguka, Amata alishangaa sana akaingiza mkono kwenye nguo yake ya ndani akatoa kile kikaratasi mara akakumbuka kuwa alipo hapafai kufanya hivyo
“Mfungwa! Telemka huko kaa chini na wenzio!”
aling’aka kwa hasira akimnyooshea kiboko chake. Amata alishuka na kujichanganya na wengine.
Safari ilitimu wakashuka na kuanza kutelemsha kuni kupeleka jikoni, alipoingia jikoni alimuona Golam kwa mbali akiwa ametingwa na kazi. Golam nae akamuona Amata, akatoa lile tabasamu lake, Amata akamsogelea Golam
“Umeona mzigo wako?”
Golan alimuuliza Amata kwa sauti ya chini huku wakipanga kuni
“Mzigo gani?”
Amata akauliza
“Karatasi ndogo”
Golam akajibu
“Ndio! Ni nini kile? Sijaelewa”
Amata alimuuliza
“Mimi sijui! Nimepewa nikuletee”
alijibu Golam
“Oooh nani alikupa?”
Akauliza Amata
“Amesema utamkuta, muonane”
Golam alimueleza
“Nitamkuta wapi? Nani?”
Amata alizidi kuchanganyikiwa kabla hajauliza aliitwa na askari na wakaondoka.

Mvua kubwa ilinyesha jioni ile radi kali zenye ngurumo za ajabu zilendelea. Amata na wenzake walikuwa bado wapo kazini, sasa walikuwa wakirekebisha mitaro ya maji machafu , viatu walivyovaa vilikuwa vimelowa alkadhalika nguo zao zilikuwa chapachapa huku baridi kali ikiwapiga walifanya kazi chini ya uangalizi mkali tena wakati kama huu walifungwa minyororo miguuni. Baada ya kazi hiyo ilipigwa filimbi na wote walitakiwa kusimama katikati ya uwanja ule. Amata akiwa katikati kabisa ambapo nyuma yao kidogo kulikuwa ni sehemu ya kunyongea, mara akasikia sauti ya kitu kama jiwe liliodondokea batini upande wa kushoto akageuka upande ule, kulikuwa na kibanda kidogo kilichotumika kama choo kwa ajili ya askari, akufuatilia sana akageuka kuangalia mbele lakini kuna kitu kilimrudisha macho upande ule, katika mlango wa choo kile kulikuwa na mchoro wa pembetatu iliyojazwa rangi na katikati kulikuwa na duara ambalo halikupakwa rangi, mchoro ule ulimvutia Amata akakumbuka katika kile kijikaratasi upande wa nyuma kuna ule mchoro hapo akagundua lazima kuna siri ndani yake kwa nini michoro hii ifanane, hapo akavuta taswira akakumbuka jinsi alivyoona gereza lile kwa juu wakiwa juu ya mlima akaoanisha hivi vitu vitatu akagundua kuna siri ndani yake
‘labda Golam anafahamu siri hii’
alifikiria moyoni. Mvua kubwa iliendelea kunyesha
“Kutokana na hali ilivyo hatuwezi kuendelea na kazi”
aliwaambia askari mmoja, kisha akaendelea
“mtapanga foleni mtachukua chakula na kwenda kupumzika, hatakiwi mtu kuonekana nje!”
Wakiwa katika foleni ya chakula, Amata alikazia macho sana upande ule, alikuwa bado anatafiti kichwani mwake ni kwa nini michoro ile ilifanana na ile ya kwenye kijikaratsi kile kinachoonekana kuchakaa sana pia ni kipande tu je kingine chake kikowapi, alikosa jibu.

**************
Usiku ule tafrija ya maafande iliendelea, pombe za kufa mtu zilikuwa huko, Amata alikuwa ni mmoja wanaosaidia katika tafrija hiyo, lakini akili yake yote ilikuwa ni kuingia ndani ya choo kile aone tu kuna nini, kwa mbali alimuona Golam nae yuko bize kuhudumia katika meza ya wakubwa, brassband iliendelea kupiga mziki wa taratibu. Amata alijaribu kuangalia ulinzi uliopo muda huo aliona hakuna mabadiliko kabisa lakini alijaribu kutafuta nafasi japo aonane na Golam.
Alipokuwa stoo akipanga vinywaji kwenye chano mara Golam aliingia moja kwa moja akamfuata Amata
“Tutafute muda tukajisaidie!”
alimnong’oneza Amata. Amata akapokea kwa mshangao kauli hiyo lakini baadae akaona kuwa lazima Golam anafahamu chochote juu ya choo kile.
“Wakianza kuchangamka tu tuonane ili tujue tunaingiaje pale chooni, maana kwa nyuma kuna mlinzi na juu kabisa yupo mwingine na taa kubwa inamulika ule mlango”
Golam aliendelea kumdokezea Amata. Akili ya amata ilianza kufanya kazi kwa kasi na shauku ya kuingia pale ilimjaa, lakini aliwaza
‘vipi wasipokuta chochote mle ndani na wakasthukiwa na askari, itakuwaje’
alikumbuka yule jamaa jinsi alivyonyongwa akaingiwa na woga. Lakini alijipa moyo na kuamua kutoa dozi ya pombe ili hawa jamaa wachangamke mapema.
Punde si punde, sherehe ilichangamka, watu waliimba na kucheza, Golam akazunguka upande wa Amata akampigia mbinja, Amata alipogeuka akamuona Golam, Golam akampa ishara ya mkono kuwa azunguke upande wa pili wa jengo hilo, alipofika upande huo alikuta miili miwili ya askari ikiwa chini, Golam akamwambia Amata avae uniform ya mmoja wao, akafanya hivyo japo nguo ile haikumkaa sawia lakini alionekana kama mmoja wa maafande, Golam naye akatwaa za yule mwingine halafu wakawavalisha nguo zile za ufungwa, amata hakujivunga akabeba SMG na magazine mbili za akiba akamuoneshea alama ya dole gumba
“Naingia vitani!”
Amata alinong’ona kwa Golam. Golam aliondokea upande wa pili na Amata upande mwingine, kazi ikaanza.
Hadi kufika katika choo kile kutoka walipo akina Amata ni kama mita mia nne hivi na katikati hapo kuna mataa makubwa yanayoangaza hata akipita panya taa zile huzungushwa kufuatilia kinapoelekea kitu hiko, jinsi walinzi walivyo makini. Amata akajiweka tayari na kwa mwendo wa taratibu akiwa amejifunika koti lile la magereza, alivyojipapasa mfukoni alikuta kuna sigara alipoitoa aligundua kuwa ni msokoto wa bangi, Amata akatabasamu kwa sababu ana muda mrefu sana bila kupata hiyo kitu. Aliendelea kupita na kiambaza cha ukuta chini ya vibanda vya walinzi, alipofika upande ule ambako ndiko choo kile kilipo alitulia kidogo kwenye kona moja kwa kuwa aliona mtu akija upande ule aliokuwepo. Amata alisimama kikakamavu akiwa kampa mgongo mara alihisi kashikwa begani alipogeuka taratibu aligundua kuwa alikuwa Golam
“Shhhhhh!!!”
Golam alimuashiria Amata kutulia kisha akampita na kumpa ishara ya kumfuata, Amata alimfuata kwa nyuma wakazunguka nyuma ya jengo ambalo hutumika kama stoo ya kuni wakalipita na kuendelea mbele kisha Golam akasimama juu ya kitu kama tanki kubwa liliochimbiwa ardhini, akatoa katochi kadogo kama peni ambako alikakuta ndani yan nguo zile akamulika juu ya mfuniko wa tanki lile, kulikuwa na matenki kama matano. Amata hakuelewa Golam anaangalia nini juu ya matank hayo, tank la tatu akamwita Amata kisha akampa ishara ya mkono kumuonesha kwamba
‘ni hapa’,
Amata na Golam wakasaidiana kufungua mfuniko hule na walipofanikiwa Golam aliingia wa kwanza na Amata akafuatia kisha wakafunga mfuniko ule kwa ndani.

********

Ndani ya shimo lile kulikuwa na giza nene sana hata huwezi kuona kitu kilicho mita moja mbele yako, Amata alijaribu kukanyaga taratibu na Golam akafuatia, Golam akatoa katochi kake mfukoni na kuangaza kidogo, ni mwanga hafifu sana uliotoka katika tochi ile haikuweza kuangaza mbali, taratibu Amata alimfuata Golam alikoelekea kwa mwendo wa kunyata, ukimya uliokuwa ndani ya shimo lile ulitisha, kawa mwendo ule ule wakiangaziwa na mwanga hafifu, Amata aliogopa sana kutokana na giza lile alitamani kumwambia kitu Golam lakini alishindwa pia aliona labda akifanya hivyo ataaribu utaratibu asioujua, mara ghafla wakasikia kelele kama za mbawa za njiwa arukae kabla Amata hajajiweka tayari Popo mkubwa alipita usoni kwake na mbawa zake zikampiga usoni, Amata alitoa mguno wa sikitiko lakini hakuthubutu kupiga kelele alivumilia tu, bado waliendelea kupiga hatua ndogondogo. Baada ya kutembea kwa mwendo huo kama dakika kumi na tano hivi Golam akasimama ghafla kisha akamzuia Amata kwa mkono wake walisimama katika ukimya wa hali ya juu kama sekunde hamsini hivi. Amata alitamani kumuuliza kitu Golam lakini bado alishindwa ila alihisi kitu fulani kumkaba kooni kutaka kusema lakini aliona sio wakati muafaka japo alipenda kujua hata ni wapi wanaelekea.Walitembea taratibu mwendo kama wa lisaa limoja, masikio ya Amata yalikuwa kama yanataka kuziba kwa ukimya ule ambao hajawahi kuuhisi katika maisha yake, mara akaanza kusikia sauti kama za njiwa dume na jike wakiwa katika harakati za mapenzi na punde tu zikapotea akaanza kusikia sauti za mbu wengi sana wakitaka kuingia masikioni lakini alipopunga mkono wake upande wa sikio hakuhisi kugusa chochote akasikia kama wanamfuata kwa nyuma akageuka hakuona kitu huku akivuta hatua ndogondogo mara akahisi kugonga kitu alipotazama mbele alijikuta amegonga ukuta… hakuna njia… Golam haonekani! Matatizo.
Amata alipapasa ukuta ule akaona ulikuwa wa mawe makubwa ambayo si ya kujengwa na binadamu bali ni mwamba mkubwa, mkono wa mtu ukamshika begani Amata akashtuka na kupiga ukelele wa nguvu alipogeuka alimuona Golam,
“Usipige kelele !!”
Golam akamsisitiza Amata
“Utawaamsha mapema!”
Aliongeza Amata hakuelewa alichoambiwa na Golam
‘nani wataamka mapema?’
alijiuliza bila jibu Mbele kidogo walikuta kuna milango milango ipatayo kama nane hivi, Golam akasimama akatoa kipande cha karatasi kutoka kwenye nguo yake ya ndani akakimulika kwa mwanga hafifu wa kale katochi ambako tayari betri zake zilishaanza kupoteza nguvu. Golam akawa kama anahesabu kitu fulani katika ile milango kisha akampa ishara ya kumfuata Amata akafanya hivyo, walipita kwenye moja ya hiyo milango huko wakatembea kwa mwendo wa haraka kidogo, Amata aliendelea kusikia sauti za vitu mbalimbali mara watu wanacheka mara wanalia, kwake ilikuwa ni uoga mtupu. Mbele kidogo baada ya mwendo wa kama saa moja ingine Amata alianza kusikia kelele za maji mengi kama mto upitao, akamtazama Golam ambaye alikuwa amesimama kimya kama gogo, akamsogelea akamuona Golam kafumba macho katulia sana hakumshtua akasubiri aone nini kinafuata.
“Maji !” Golam alinong’ona na Amata akasikia mnong’ono huo
“Sasa tufanyeje?…”
Amata naye alijibu kwa swali kwa kunong’ona
“Lazima tuvuke, tufuate huu mto… mto Solondo”
Golam alimjibu Amata
“Mto Solando!?”
Amata alishangaa na kumuuliza Golam
“Ndiyo. Huu ni mto wa Solondo, lazima tuvuke kwa kuogelea kuna watu wanatusubiri nje, ila tahadhali mto huu una Mamba na maajabu mengi uwe makini, unajua kuogelea?”
Golam akamwambia Amata
“Najua kidogo sijawahi kuogelea kwenye maji mengi kama haya, hakika nitakufa.”
Amata alijibu kwa kuhuzunika
“Acha ujinga Amata! Ukisema utakufa, utakufa kweli”
Golam alimwambia Amata kwa ukali kidogo na kumtupia swali
“haya unajua haya maji yanaelekea upande gani?”
Amata kwa uoga akajibu
“Sijui mbona hata maji yenyewe siyaoni nasikia mvumo tu”
“Ukipiga hatua mbili utatumbukia mtoni. Niambie haya maji yanaelekea upande gani?
Tunatakiwa kuelekea upande yanakotoka siyo yanakokwenda…”
Golam aliendelea kumuambia Amata.

ITAENDELEA

BARUA KUTOKA JELA – 1

Simulizi : Barua Kutoka Jela
Sehemu Ya Kwanza (1)
Ilikuwa ni Jumapili moja tulivu, majira ya asubuhi. Gereza la keko lilikuwa katika pilikapilika, kama ilivyo kawaida yake katika siku za mwisho wa wiki! Watu walikuwa wengi sana wanaandikisha majina yao, na majina ya ndugu na jamaa zao waliokwenda kuwatembelea katika Gereza lile. Karatasi zilizojaa majina zinapelekwa ndani Gerezani, ili kuitwa majina ya watu walioandikishwa na jamaa zao pale nje, iwe ni Mahabusu au Wafungwa. Nani lazima uandikishwe jina lako, jina la Mahabusu au Mfungwa uliemtembelea, sehemu unayotoka, na uhusiano uliopo baina yako na mtu uliemtembelea.

“Oyaa hapa watakaoingia ni wale watu waliokuja, na vitu vya kuwaletea ndugu na jamaa zenu, kama hujaja na chakula, au chochote, duka letu lile palee mkanunue”.

“pia sehemu yakuongelea na jamaa zenu ni ndogo, haitoshi kuingia watu wengi kwa wakati mmoja. Hivyo mtaingia watu kumikumi, kufuatana na namba za majina ya karatasi mlioandikishwa!”

Ilikuwa ni sauti ya askari magereza iliyokuwa inawafahamisha wale wageni waliokwenda katika Gereza la Keko Jijini Dar es salaam.

Upande mmoja wa eneo lile, alikuwa amesimama Dada mmoja mwembamba, mrefu wa wastani akiwa amembeba mtoto mdogo mgongoni wa takribani miaka mitatu au minne hivi. Mkononi mwake dada yule alikuwa amebeba kikapu,chenye vyombo ndani yake vilivyowekwa chakula, alikuwa muda mrefu amekosa furaha, sura yake ilitawaliwa na simanzi kubwa. Alikuwa amezama katika lindi la mawazo!

“Wee sikiliza hiyoo, haina kurudia hii, naita majina ya ndugu zenu walioitika majina yao huko ndani,kama hukusikia jina la ndugu au jamaa yako katika karatasi hii namba moja, na wewe umeandikisha katika karatasi hii na zingine zitakazofata. Basi ujue ndugu yako hayupo katika Gereza letu.” Ilikuwa sauti ya askari Magereza iliyokuwa katika lafudhi ya luhga ya watu wa Jela, ikiwataka wageni kuwa makini katika kusikiliza. Kisha akaanza kuita majina yale aliyokuwa nayo mkononi mwake, moja baada ya jingine, hadi jina la kumi akamaliza kwa kulitaja jina la MWADUGA DINGO.

“Haya aliesikia jina la ndugu yake anifate, ili akaongee na ndugu yake, na kama hukusikia jina la ndugu yako, basi huenda akawa katika Gereza la Segerea au Ukonga, nendeni huko mtawapata.”

Alimaliza kusoma majina na kutoa ufafanuzi askari yule, kisha akaongoza mbele huku akifatwa na kundi la watu kumi nyuma yake, kwenda kuwaona ndugu na jamaa zao, waliopo Mahabusu, na waliofungwa katika Gereza lile la Keko.

“Wee Dada unaitwa nani na kwa nini umekuja na mtoto mdogo huku? haturuhusu watoto wadogo kuletwa magerezani, kwani mtakuja kutuletea vilio tu huku!” Ilikuwa ni sauti ya askari magereza aliekuwa akimuhoji yule Dada aliekuwa amembeba mtoto mgongoni, ambae muda mwingi alikuwa katika simanzi.

“Mimi naitwa Eshe Muhidini, Mume wangu Mwaduga Dingo yupo humu Gerezani, nami sina mtu wa kumuachia mwanangu, ingawa pia nilikuwa sitambui kama watoto hawaruhusiwi kuja nao huku!”

“Haya leo nakuruhusu uongee na mumeo, ila siku nyingine usije na mtoto Gerezani, sawa?”

Eshe aliitikia kwa kuinua kichwa lakini hakufungua mdomo wake kumjibu yule askari, akapiga hatua moja kubwa kuingia ndani ya mlango mkubwa wa magereza, na akaonana uso kwa uso na mumewe Mwaduga Dingo, aliekuwa upande wa ndani, na yeye Eshe akiwa upande mwingine, wakitenganishwa na bomba za chuma, zilizojengwa maalum, bila shaka kwa ndugu jamaa kuonana na ndugu zao waliokuwa ndani katika gereza lile, kama Mahabusu au Wafungwa.

“Tunatoa dakika mbilimbili kuongea na kumkabidhi kitu au chakula ndugu yako uliekuja kumuona, kwani nje huko kuna kundi la watu wengi nao pia wanataka kuja kuwaona ndugu zao.”

“Pia kitu chochote unachotaka kumpa mahabusu au mfungwa, lazima umpe askari, akikague kwanza,kisha askari atamkabidhi muhusika.”

“Na ikiwa umeleta chakula, lazima uonje kwanza ndiyo tumpe mlengwa. Ila mliokuja kuwaona wafungwa, hao hawaruhusiwi kupewa chakula cha nyumbani, wala nguo za kiraia, hawa ni watu wetu washakubali, hivyo wanakula chakula cha jela hadi kifungo chao kitakapomalizika, sambamba na kuvaa sare za kifungwa. Isipokuwa maji, sabuni, mafuta, mswaki, dawa ya meno, na nyembe ruksa kuwapa.”

Ilikuwa sauti ya askari wa zamu, alikuwa akitoa taratibu za lazima katika sheria za Magereza.

Eshe alisogea karibu, na zile bomba, huku akibubujikwa na machozi, na kumwambia mumewe,

“Pole mume wangu, kuwa na subira mungu atakujaalia, utatoka tu ili tuje tumlee mtoto sote.”

“Asante mke wangu, nawe pia kuwa na subira, kwani mimi najua siku ya kuingia humu gerezani, sijui lini nitatoka.”

Mwaduga Dingo aliposema maneno hayo, akashindwa kujizuia akaanza kulia, kwani mwanae alikuwa anataka kutoka katika mgongo wa mama yake alipobebwa, akitaka kwenda kwa baba yake.

“Haya ndiyo maana sisi haturuhusu watoto kuingia nao humu ndani kwani yanamuumiza huyu aliyoko ndani, umeona sasa mama mtoto ee?!”

Yule askari magereza, alimkaripia Eshe Muhidini kwani sasa kulikuwa ni kilio kutoka kwake, kwa mwanae, na kwa baba mtoto.

Mwaduga alifuta machozi, akaingiza mkono mfukoni mwake mwa suruali, akatoa barua na kumkabidhi askari wa zamu aliekuwa makini katika kuangalia kila kinachotoka, na kuingia katika vile vitu walivyokuja navyo wageni, kuwaletea ndugu zao.

“Afande naomba hii barua umpe mke wangu, anipelekee maskani, akawape madereva wa taxi wenzangu.”

Mwaduga alinyoosha mkono wake wenye barua, akamkabidhi Yule afisa wa zamu, nae Yule askari aliipokea, akaifungua na kuisoma. Baada ya kujilidhisha kuwa ile barua haina madhara kwa usalama wa Gereza, Yule askari afisa wa zamu, alimuangalia Mwaduga usoni, na Mwaduga nae akamkazia macho Yule askari, kwa sekunde kadhaa. Kisha Yule askari, akamkabidhi ile barua mke wa Mwaduga.

Eshe aliipokea ile barua huku bado machozi yakimbubujika machoni mwake, midomo yake ikitetemeka na kugongana mithili ya mgonjwa mwenye homa kali.
“Haya muda wenu umekwisha, na wenzenu nao, wanataka kuingia.”
Yule askari wa zamu alitoa amri, ya watu kutoka nje, na Mwaguga aligeuka huku akibeba chakula, na vitu alivyoletewa na mkewe,akirudi ndani ya gereza, huku nyuma mkewe Eshe binti Muhidini, sasa akaangua kilio kwa sauti ya juu, na mwanae pia akimlilia baba yake, akawa analombokeza, katika huzuni iliyotawala katika familia yao, kwa ghafla!

Mwaduga akasimama huku nae akilia,akamwambia mkewe kwa sauti ya huzuni na unyonge.
“Nyamaza kulia, muangalie mtoto, pia hakikisha hiyo barua unawapelekea jamaa kijiweni, niombee dua mke wangu nita…………!”

Mwaduga alishindwa kumalizia kalima aliyoikusudia, kwani mkewe, Eshe alitolewa nje na mlango ukafungwa!

Eshe aliondoshwa pale baada ya muda uliowekwa wa watu wa awamu ya kwanza kumalizika, huku akiwa mnyonge na mwanae akiwa anamlilia baba yake, huku akiwa anataka kuchomoka mgongoni ili aende kwa baba yake, Eshe alimdhibiti mwanae huku na yeye machozi yakimtoka. Mwaduga alikuwa katika wakati mgumu sana, kumuona mtoto wake wa pekee anataabika namna ile.

Eshe alitoka nje ya eneo la magereza, huku akiwa analia kwa kwikwi. Akaivuta kanga yake akawa anaifutia machozi, akawa analia huku anatembea hadi nje ya eneo la Magereza. Mara akatokea Dada mmoja, akamfuata Eshe pale alipokuwa. Kwani sasa alikuwa ameegemea kiambaza cha nyumba moja, iliyozungushiwa mabati inayoendelea na ujenzi, na kumuuliza “kulikoni?!”

Eshe akamfahamisha kuhusu barua aliyopewa na mumewe ambaye ni mahabusu, akimtaka awapelekee madereva Taxi ili wamfatilie, kitu ambacho kinamliza Eshe na kuona kuwa hakitamsaidia mumewe kutoka. Kwani tokea mumewe apatwe na matatizo, hajamuona Dereva wa Taxi yoyote kuwa Karibu nae, isipokuwa wakitokea kukutana njiani kila mmoja hujitia anaguswa sana!

“Pia hatuna pesa yakuweka Wakili, hivyo mimi na mtoto wangu tunaishi katika mazingira magumu. Kwani hata wazazi wetu wapo mbali,wanaishi Tanga mpakani na Mombasa”.
Eshe alimwambia yule Dada msamalia.
Yule dada akamuhurumia sana Eshe na mwanae, na kumpa pole huku akifikiri, aliingiza mkono mfukoni na kutoa simu. Alibonyeza namba kadhaa na kuiweka sikioni.

“Wee usiniambie! yaani jumaapili yote hii upo kazini!?” Yule dada alizungumza na mtu aliekuwa anawasiliana nae.

“Sawa sasa naomba nisaidie jambo moja, kuna dada mmoja hapa ninae, ninamuelekeza aje kwako, tafadhali naomba umsaidie kadiri ya uwezo wako”.

Baada ya kusema hayo, yule dada akakata simu, Kisha akamuelekeza Eshe aende kwa mtu alietoka kuongea nae muda si mrefu, akampa na pesa kiasi cha shilingi elfu mbili, ili afanye nauli.

Eshe akamshukuru yule dada mwenye machozi mateke, na kuelekea sehemu aliyoelekezwa aende akiwa na barua yake mkononi.

Eshe akiwa na mwanae mgongoni, ambae sasa alikuwa amelala baada ya kilio cha kufa mtu! Alitembea hadi katika kituo kiitwacho TAMECO, akasubiri daladala zinazokwenda posta, na haikuchukua muda mrefu, ikaja gari inayofanya safari zake TANDIKA, POSTA akapanda.

*******

Eshe alikuwa yupo wizara ya mambo ya ndani ya nchi, pale maeneo ya Posta mpya. Akitazamana na Dada mmoja mwenye sifa zote za kuitwa mrembo. Kule uani mwa jengo lile, kwenye ofisi za mbao. usingeweza kabisa kuamini kuwa yule dada angeweza kuwa askari, kwa jinsi alivyopendeza. Namna alivyopangilia nguo zake, na zilivyo mkaa. Kifupi yule dada alikuwa ana damu ya nguo!

“Karibu dada Naitwa Inspekta Jamila, sijui nikusaidie nini?”
Eshe aliulizwa na yule mwenyeji wake aliemkusudia.

“Mimi Naitwa Eshe Bint Muhidini, amenielekeza dada mmoja aliekupigia simu muda si mrefu.” Eshe alijibu na kujitambulisha kwa mwenyeji wake.
“Ahaa, wewe ndiye aliekuelekeza Dokta Zahala? Upoje nae yule, kwani ni shoga yangu mkubwa yule, toka tukiwa Shuleni. Na ndiyo Daktari wangu.”
Eshe akamueleza mazingira aliyokutana nae yule dada, ambae sasa amemtambua kuwa ni Dokta Zahala.

Mwisho akamueleza kilichompeleka pale, na kumkabidhi ile barua.

Inspekta Jamila aliipokea na kuisoma. Ilikuwa ni barua ndefu, iliyoandikwa katika mtindo wa Shairi, ikiwa na kichwa kilichosomeka BARUA KUTOKA JELA. Ilikuwa ikisomeka hivi.

Naiandika barua, hapa nipo gerezani
Natuhumiwa kuua, eneo la mikocheni
Hakika ninaijua, sihusiki asilani.

Tuhuma ya jambo zito, kama hili maishani
Bora nipakate moto, niungue miguuni
Kuliko kuwa na joto, lisilokwisha moyoni

Mimi ni Taxi dereva, nikipaki magomeni
Akaja bwana Mzava, enda Sinza kijiweni
Kumbe baa linawiva, mimi kuwa hatiani.

Nilipokuwa narudi, barabara ya namnani
Nilimuona Masudi, tunaishi majirani
Nami sikuwa na budi, bali kupaki pembeni.

Wakaja watu watatu, wakaingia garini
Tunazo elfu tatu, tupeleke kwa Macheni
Wana begi na viatu, wameshika mikononi
.
Masudi nikamwambia, tutaongea nyumbani
Huku nikitia gia, kurudi barabarani
Pia nikifurahia, kurudishwa maskani.

Baa likaja timia, tulipofika mwishoni
Askari wa doria, walikuwa kwa Macheni
Jamaa walikimbia, wakawacha begi ndani.

Askari walinivamia, na bunduki mikononi
Nikiwa nimetulia, sijui nifanye nini
Nikapigwa pasi hatia, kila sehemu mwilini.

Kivumbi sasa sikia, ndani ya begi kuna nini
Namba za gari bandia, na “Sub mashine gani”
Bastola naishuhudia, na Risasi ishirini.

Kisha nikafungwa pingu, nikapelekwa kituoni
Akaja tajiri yangu, nikapata ahueni
Akapakiwa majungu, akaniona shetani.

Akataka gari yake, aitoe kituoni
Sikuwa na mana kwake, kanitelekeza ndani
Huyoo akaenda zake, namchungulia dirishani.

Habari zilienea, zikasambaa mjini
Jambazi lilozowea, limenaswa mtegoni
Walionitembelea, wengi hawakuamini.

Walikuja ndugu zangu, jamaa na majirani
Mke na mtoto wangu, machozi tele machoni
Baba angu baba angu, analia Marijani.

Uchungu nilionao, hausemeki mdomoni
Unamuwacha mwanao, kwa kuwa kizuizini
Kula na kuvaa yao, ishakuwa mtihani.

Polisi wakachunguza, kiasi siku sitini
Huku wakiniongoza, kuenda mahakamani
Kesi wakaigeuza, nikaletwa gerezani.

Robali ikawa Mada, mazito haya jamani
Bastola ile ya kimada, wa bosi Serikalini
Anaeitwa Hamida, kauwawa mikocheni.

Mimi naweza kunyongwa, hadi kufa kitanzini
Nataka wakili bingwa, pesa sina mifukoni
Nilipo nina magonjwa, kwa kupewa milo duni
Taxi dereva wenzangu, popote pale nchini
Nauaga ulimwengu, bado ninautamani
Someni Barua yangu, kisha nisaidieni.

Karatasi inajaa, ndugu zangu Buriani
Imenijaa fadhaa, na donge tele moyoni
Kuonyesha mashujaa, walau andamaneni.

Naomba wasamalia, mwanangu nileleeni
Atawalipa Jalia, hapahapa duniani
Mimi mola namwachia, walimwengu kwaherini.

Ilimaliza barua ile katika namna ya kuhuzunisha na kugusa moyo ulio hai.


Ilimaliza barua ile, huku Inspekta Jamila akiwa makini akamtazama Eshe huku akimuhurumia sana, akamwambia.

“Nimeisoma hii barua na imenigusa sana, kiasi kwamba kwanza itanibidi nimuone huyo Mumeo aliekutwa na mkasa mzito kama huu, kisha nipembue ukweli upo wapi? Ndiyo nitajua nawezaje kumsaidia.”

“Hivyo naomba niandikie majina yake kamili, na sehemu mnayoishi, namba ya nyumba na jina la mjumbe wa eneo hilo. Kisha wewe nenda uje unione siku ya Jumamosi, ili ujue nilipofikia”.

Eshe akafanya kama alivyoagizwa na kisha akaagana na Inspekta Jamila huku akimuachia na ile Barua kutoka jela, akaondoka akiwa na matumaini kiasi.

Inspekta Jamila baada ya kuagana na Eshe aliendelea kukaa mle ofisini mwake, huku akiwa na mawazo tele, kwani ile barua ilimgusa kiasi ilimkosesha raha kwa wakati ule. Aliifungua tena karatasi ya barua ile na akairudia upya kuisoma, hatimae akakata shauri.

Aliangalia saa yake ya mkononi na kuona kuwa ni saa sita adhuhuri, hivyo alifungia baadhi ya vitu katika droo za kabati lake la pale ofisini, na kutoka nje ya ofisi yake akiazimia kwenda katika gereza la keko!

*******
Mwaduga Dingo akiwa na Ispekta Jamila, pamoja na askari magereza wa kiume, walikuwa wamekaa katika chumba maalum, Mwaduga akichukuliwa maelezo na kutakiwa amsimulie kila kitu anachokumbuka hadi yeye kuwa mahala pale akiwa ni Mahabusu!

Mwaduga Dingo alianza kufikiri, na kuanza kumuhadithia. Inspekta Jamila Tangu akodiwe na Bwana Mzava hadi Sinza, kisha alivyokuwa anarudi barabara ya Namnani alipomuona Masudi na yeye kupaki pembeni.

Akamuhadithia walivyokuja watu watatu wakiwa wamebeba Begi na viatu mikononi, na kuingia Garini kwake huku wakimwambia bei na sehemu wanayokwenda, hadi yeye alipomuaga Masudi, na hata tukio lililotokea pale kwa macheni jamaa walipokimbia na kuacha Begi ndani ya gari yake!

Pia kipigo alichokipata na kufungwa pingu hadi kituoni! Kiasi maelezo yake hayakupishana hata kidogo na barua aliyoiandika, ambayo Inspekta Jamila anayo na ameipa jina la Barua kutoka jela.

Inspekta Jamila aliyaandika yale maelezo na kisha kumtupia swali Bwana Mwaduga.
“Ehe baada ya kupelekwa Kituo cha Polisi nini kilifuata?.”

Mwaduga akamueleza. “Niliteswa sana ili niwataje wale abiria wangu, ambao polisi wakati wote wanawaita wenzangu waliokimbia! Ilihali ya kuwa mimi siwatambui! Baadae walikuja watu wa Habari na kunichukua picha za video, na picha mnato.”

“Baadae Tajiri yangu ambae ndio mmiliki wa gari akaja pale kituoni. Maaskari walimwita chemba na kuzungumza nae! Bila ya shaka walimtisha au kumwambia kuwa mimi ni Jambazi! Kwani hakutaka kuniuliza kilichotokea, sikwambii kuniona. Aliondoka huku akiwa amelowa kwa maneno aliyopakiwa.”

“Walikuja jirani zangu, Mke na jamaa wengine ili wanichukulie Dhamana ya Polisi, lakini dhamana ilikataliwa! Yakitolewa maelezo kwamba, kuna wahalifu wenzangu ambao wamekimbia! Hivyo nikiwa nje kwa dhamana nitaharibu upelelezi, na sasa wanasema sitoweza kupata dhamana, kwani mashtaka yanayonikabili kwa mujibu wa sheria za nchi, hayana dhamana hasa mauaji yakukusudia, na unyang’anyi wa kutumia silaha!”

Inspekta Jamila, alitingisha kichwa chake juu chini, akiafiki maneno ya Mwaduga, kisha akamtupia swali la kijinga, lakini lenye maana kubwa kwa muulizaji!

“Sasa hapa upo kwa kesi gani? yakukutwa na silaha kinyume cha Sheria au kuhusishwa na uhalifu wa kutumia silaha?!”

Mwaduga alijibu, “Hapa natuhumiwa na mashitaka manne!“

“Shitaka la kwanza, kupanga njama ya kutenda kosa. Shitaka la pili, kufanya kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha. Shitaka la tatu kumiliki silaha kinyume cha sheria. Na shitaka la nne nashitakiwa kwa kosa la mauaji.”

Baada ya kusema hayo Mwaduga akaangua kilio. Inspekta Jamila akiwa makini zaidi akamuuliza tena Mwaduga swali lingine bila ya kujali kilio chake.

“Mada kesi imekujaje?! Au uliua mtu kupitia silaha zilizokamatwa na askari walikuta alama za vidole vyako, pamoja na ile silaha kuitambua?!”

Mwaduga akafuta machozi akaendelea kumjibu Inspekta Jamila.
“Katika uchunguzi wa Polisi ndani ya hii miezi miwili, wanadai walichogundua ni ile Bastola namba yake walipoifatilia, waligundua ni silaha iliyokuwa ikimilikiwa kihalali na mtu alietambulika kwa jina la Hamida Bartazal.”

“Sasa wale maaskari wakaniambia kwamba, huyo Hamida hivi sasa ni marehemu! Sababu ya kifo chake aliuwawa kwa kupigwa risasi na majambazi.”

“Na baadhi ya vitu vilivyoibiwa ilikuwa ni ile silaha iliyokutwa ndani ya gari yangu pale kwa Macheni. Ndipo nilipoelezwa, Kwa kuwa mimi ndiye niliyekutwa na ngozi, basi nitajua nyama ilipo!”

Inspekta Jamila alimuhoji vitu vingi Mwaduga, kiasi akajua wapi aanzie kufatilia mkasa ule mzito. Akaagana na Mwaduga kisha akashika njia akaenda zake akiwa na mawazo tele.

*****

Mkuu wa jeshi la polisi IGP akiwa ofisini kwake, alikuwa ameshika tama kwa mawazo.

“Mpenzi Samahani sana kwa hili ninalotaka kukwambia!” Hamida aliyasema maneno hayo, huku akiwa hana raha hata kidogo! bali anajilazimisha kuwa na furaha!

IGP aligundua hali hiyo na kumuuliza Hamida; “Vipi mbona unaonekana huna raha kabisa leo, ni mtu mwenye mawazo sana kulikoni?!”

Hamida alijichekesha kidogo na kusema, “Hapana nipo sawa tu, ila jana sikupata usingizi wa kutosha. Kwani nilikuwa najisikia vibaya sana, na kukupigia simu mtu na mkeo usiku umepumzika nikashindwa, nilichofanya nilimeza vidonge vya Diazapam nikaulazimisha usingizi! Nilipofumba macho kwa usingizi kulikuwa kumeshapambazuka!”

“Pole sana,je ulitaka kuniambia kitu gani?” IGP aliuliza.

“Nina mashaka kama nitachosema utaweza kukikubali!” Hamida aliyasema hayo huku akizidisha unyonge mara dufu.

“Sawa, sioni sababu ya wewe kuwa na mashaka, ikiwa kitu unachotaka kukisema ni cha kawaida!”

IGP alidadisi huku akiwa na shauku ya kutaka kujua jambo hilo!

“Kinaweza kikawa ni kitu cha kawaida kwangu, lakini kwako kikawa ni kitu kisichowezekana”. Alijibu Hamida.

“Sema nipo tayari kukisikiliza, kama kipo ndani ya uwezo wangu nitakupa”. IGP alimjibu hawara yake.

“Nashukuru kusikia hivyo ‘My Dear’. Kitu chenyewe ni, nahitaji kupiga picha na wewe ili unapokuwa kwa mkeo, na kwangu sura yako iwepo niwe naiangalia! Lakini pia Heshima ya kupiga picha na mtu mkubwa kama wewe, nadhani wanawake wenzangu wengi wangetaka kufanya hivyo!” Hamida alipokuwa akiyasema maneno hayo, alikuwa tayari yupo maungoni mwa IGP amemkumbatia!

“Duh! Sikutarajia kitu kama hicho, kwani nilidhani labda unataka nikununulie Gari!” IGP aliyasema hayo na wote wawili wakaangua kicheko cha chinichini.

“Mimi picha yako kwangu, ina thamani kuliko hata hiyo gari.”

“Sawa hilo lipo ndani ya uwezo wangu, piga picha utakazo!”

Kwa Camera ndogo Digital aina ya Olympus aliyokuwa nayo Hamida katika mkoba wake, akaitega Camera ile katika Automatic, na wakapata picha ya pamoja wote wawili wakiwa wanatabasamu.

IGP aligutushwa na simu yake ya mkononi iliyokuwa inaita, akaondosha mawazo yake na kuipokea ile simu.

*******
Inspekta Jamila alikuwa eneo la mikocheni jirani na Nyumba ya marehemu Hamida. akapiga hodi kwenye nyumba ya jirani, na kijana mmoja wa makamo, alifungua geti, nakumkaribisha ndani.

Baada ya kukaribishwa na kuketi, akajitambulisha na kuanza kumuhoji Bwana mmoja aliyemfahamu kama mwenye nyumba, aitwae Kiyarwenda Mwemezi.

Inspekta Jamila alianzisha mazungumzo baada ya kujitambulisha.

”Nipo hapa kwa ajili ya kufuatilia kifo cha aliyekuwa jirani yako Hamida, hivyo ninataka mchango wako wa mawazo, kama kuna chochote unachofahamu kuhusiana na kifo chake, na jinsi gani unavyomuelewa marehemu Hamida na tabia yake!”

Yule Jirani akafikiri kidogo kisha akajibu.

“Ooh ahaa Ok, mimi nipo hapa muda mrefu sana kabla marehemu Hamida hajanunuliwa nyumba hii na aliyekuwa marehemu mumewe!”

Inspekta Jamila alishituka kidogo akionekana kuwa makini zaidi, huku akimtupia swali la fadhaa jirani yule.

“Marehemu Hamida alikuwa na mume, na mazingira ya kifo chake yapoje huyo mumewe kadiri unavyofahamu?”

Yule jirani huku akimshangaa Inspekta Jamila alimjibu.

“Ndiyo marehemu Hamida alikuwa na mume aliyekuwa anaitwa Bartazal Halim, alikuwa Tajiri kiasi yule Bwana na mtu mkarimu sana! Amefariki miaka miwili iliyopita kwa kilichosemekana ni shinikizo la Damu!”

Inspekta Jamila alishusha pumzi, na akawa anamuangalia yule bwana kwa utulivu mkubwa uliojaa udadisi na umakini wa hali ya juu!

Na yule Jirani akaendelea.
“baada ya kifo chake, siku chache ndugu wa marehemu walijitokeza kudai mali za ndugu yao, lakini ulitokea mshangao wa mwaka!
kwani miezi mitatu nyuma marehemu Bartazal inasadikiwa alimuandikisha mali zake zote mkewe Hamida!
Ndugu wa marehemu hawakuridhika na jambo hilo hata kidogo! kwani katika uhai wake, marehemu hata siku moja hakuwahi kuwaambia ndugu zake kama amemuandikia mkewe mali zote!
Lakini pia kaka yao hakuwahi kupata kuugua shinikizo la Damu katika maisha yake ya miaka hamsini na ushee!
Ila Daktari katika ripoti yake alisema, marehemu aliona au kusikia jambo la kushitua sana, na ndiyo ikapelekea kupata shinikizo la Damu nakusababisha kifo chake!”

Inspekta Jamila huku akimuangalia usoni jirani yule, akasema huku akiwa hana Raha hata kidogo!

“Nimekuja hapa kujua namna kifo cha Hamida kilivyotokea! Ila haya unayonipa nayo ni taarifa inayopaswa kufanyiwa kazi! Lakini je? Wewe uliyajuaje? Yote haya!”
Jirani wa Marehemu Hamida akamjibu.
“Marehemu Bartazal alikuwa ni rafiki yangu sana, na hata ndugu zake walipokuwa wakija kumuona, lazima aliwaleta kwangu au mimi kwenda kwake.
Na hao ndugu zake ndiyo waliokuwa wakinipa taarifa hizi zote!”

Inspekta Jamila akamtupia swali lingine Bwana Yule.
“Nikitaka kuwaona hao ndugu zake marehemu Bartazal naweza kuwaona wapi?”

Jirani yule alimkatisha tamaa kabisa jibu lake alipojibu.

“Marehemu Bartazal hana ndugu kwa sasa hapa Dsm, kwani baada ya mazishi, na kumalizika Arubaini, alikuja ndugu yake mmoja na kunieleza kwamba anasafiri, anakwenda kuishi Marekani. Yeye na familia yake, na nikawasindikiza hadi Uwanja wa ndege, na baada ya ndege kuruka mimi ndiyo nikaondoka!
Ila yule ndugu yake wa kike, nina mwaka sasa sijui wapi alipo, na kama yupo hai, au amekwishakufa. Kwa hapa nchini walikuwa wanaishi Arusha.”

Inspekta Jamila huku akitingisha kichwa kwa majibu yale muhimu katika kesi ile akamtupia swali linguine.

“Sawa. Turudi kwa marehemu Hamida, je baada ya kifo cha mumewe mliendelea kuwa majirani wema?”

Yule Jirani bila ya kusita wala kuuma maneno akajibu swali lile, huku akitikisa kichwa kwa masikitiko.

“Marehemu Hamida alinichukia ghafla sana akidai kwamba, mimi na ndugu wa marehemu mumewe, tuna njama za kumnyang’anya mali zake za urithi wa marehemu mumewe. Hivyo akanichukia toka siku ile!”

Inspekta Jamila akiwa na mawazo tele akamuangalia tena yule bwana kuanzia juu hadi Chini,kisha akamtupia swali jingine huku akiangalia ile “Tape Recorder” yake kama inafanya kazi yake sawa sawa!

“Sasa nataka kufahamu jambo lingine kutoka kwako, baada ya marehemu Bartazal, nani alikuwa mwanaume anayelala na kuamka na Hamida? na je tabia yake ilibaki kuwa ileile kama alipokuwa na marehemu mumewe au ilibadilika?!”

Jirani yule huku akionyesha kuchoshwa na kukerwa na maswali alijibu.

“Nikianza na Tabia, kwa kweli ilibadilika. Kwani alianza tabia za ulevi na kurudi usiku mwingi! Na kuhusu mwanaume, kwa kweli sina hakika na hilo, kwani mie huwaona wanaume tofauti tofauti. Na asilimia kubwa ni vijana wenye uwezo mkubwa kifedha, kwani magari yanayoingia humo ndani ni ya kifahari tupu!”

Inspekta Jamila alivutiwa na habari hiyo, kiasi ilimfanya akae vizuri na kumuuliza.

“Unaweza kuzikumbuka namba za magari zilizokuwa zikiingia na kutoka mara kwa mara kwa marehemu Hamida?!”

Jirani yule akionyesha kuchoshwa na maswali ya mfululizo alijibu.

“Mh kwa kweli huo ni mtihani, kwani kukaa kuchunguza namba za magari ya watu! Hapana hilo sikumbuki hata kidogo.”

Inspekta Jamila akamuwahi kwa swali lingine tena, safari hii akimkazia macho yake laini, kiasi badala ya kutisha yaliongeza urembo wake!

“Sawa na kifo cha Hamida, kilitokea baada ya kuvamiwa na majambazi nakupigwa risasi ya kichwa iliyotoa uhai wake. Je? Hufikirii ni jambo la kupangwa kwa ajili ya kisasi cha marehemu mumewe?”

Jirani yule sasa akiwa amechoka kabisa kujibu maswali mfululizo alijibu kwa mkato.

“Sina hakika, hiyo ni kazi yenu polisi kujua!”

Inspekta Jamila aliendelea kumuhoji jirani yule hadi aliporidhika kwamba amepata taarifa zote alizozitaka, akaagana na bwana Yule, huku akichukua namba ya simu ya jirani yule, akaondoka.

*******

Siku tatu Baadae! Ikapatikana taarifa ya ajali mbaya iliyochukua uhai wa mtu
katika Eneo la Bunju, kwenye Daraja la Mto Mpiji, mpakani mwa Mkoa wa Dsm na Mkoa wa Pwani Wilaya ya Bagamoyo.

Mtu aliefariki katika ajali ile, alitambuliwa kuwa ni Bwana Kiyarwenda Mwemezi, yule jirani yake marehemu Bartazal na marehemu Hamida aliyeongea na Inspekta Jamila siku tatu nyuma.

Alikutwa na kitambulisho chakupigia kura kwenye pochi yake, pesa tasilim shilingi elfu hamsini, iliyosalimika kuibiwa na vibaka labda, baada ya askari wa Usalama kufika eneo la tukio muda mfupi tokea ajali ile itokee, ambayo gari iliacha njia na kuingia mtoni ikichoma chini kwenye maji machache ya mto, yaliyokuwa yanaelekea Baharini!

Simu ya marehemu haikupatikana kwenye eneo la tukio. na hata Inspekta Jamila alipokuwa anaipiga tena na tena jibu lilikuwa ni lilelile.

“NAMBA UNAYOPIGA KWA SASA HAIPATIKANI TAFADHALI JARIBU TENA BAADAE!!”
Inspekta Jamila alichanganyikiwa kupita kiasi huku akizidi kupata shaka kwamba Kifo cha Hamida inawezekana ikawa ni kisasi cha marehemu mumewe! Lakini ikiwa ndugu hawapo je ni nani tena anaeendeleza mauaji haya?!

Na akiwa marehemu Hamida kweli alimuuwa mumewe kwa njia moja au nyingine, kwa nini afanye hivyo? Kama ikiwa ni kutaka mali mbona alishaandikishwa na mumewe?! Kijasho chembamba kikamtoka Inspekta Jamila!

****

Inspekta Jamila akiwa nyumbani kwa marehemu Hamida, akiwahoji ndugu wa marehemu Hamida wanaoishi mle ndani, kisha kama mtu aliegutushwa na kitu, akataka aletewe Albamu zote za picha za marehemu Hamida. Wale ndugu wakasema.

“vitu vyote vipo chumbani kwa marehemu.”

yule mwenyeji wake alikwenda katika chumba cha marehemu Hamida na kurudi na picha za marehemu Hamida zilizokuwa katika albam nne na kumkabidhi
Inspekta Jamila.

Inspekta Jamila alizipitia Albam zile moja baada ya moja, alipofika katika
Albam ya Tatu iliyoonekana ni mpya kidogo tofauti na zile zilizopo pale, ilimvutia kuitazama Inspekta Jamila, na picha ya tatu toka aanze kuifungua ile Albam alikutana na kijana mmoja wa kiume, aliyekuwa ameshika Glass ya Bia akimnywesha marehemu Hamida.

Inspekta Jamila Akaiangalia kwa makini kisha akaigeuza nyuma na kukuta imendikwa tarehe iliyopigwa ile picha na mahali ilipopigwa tu! Haikuwa na jina la yule mhusika katika picha ile wala la Hamida!
Inspekta Jamila akaichomoa na kuitumbukiza kwenye ‘HAND BAG’ yake na kuendelea kufungua picha zingine. Mara! hakuyaamini macho yake alipokutana na picha ya Bosi wake kwenye Albam ile, akiwa anapata chakula cha jioni katika Mgahawa mmoja maarufu, akiwa na Marehemu Hamida!

Inspekta Jamila akashusha pumzi ndefu huku akifikiri kwa undani zaidi kwani haelewi uhusiano wa mkuu wake wa kazi na marehemu Hamida, hata wakapiga picha ya pamoja. Na ataanzaje kumuhoji mkuu wake wa kazi kuhusu picha yake kuwa katika Albam ya marehemu Hamida, na hasa ukizingatia yeye Inspekta Jamila, hakukabidhiwa kesi hiyo na yeye anapeleleza kwa siri ili kupata ukweli wa mambo! Kwa mujibu wa BARUA KUTOKA JELA.

Mwisho ile picha nayo akaichukua na kuiweka ndani ya mkoba wake, akaendelea kupekua picha zingine. Kwa mara nyingine akapatwa na mshtuko wa mwaka, pale alipomuona Dokta Masawe akiwa amepozi na marehemu Hamida! Ndani ya gari nyekundu, aina ya TOYOTA CALDINA! na ni picha ambayo haikupigwa muda mrefu sana toka Hamida atoke kuwa KIZUKA. Kwa mujibu wa maandishi yaliyokuwa nyuma ya picha ile, tarehe, mwezi na mwaka. inavyosomeka!

Dokta Masawe ni daktari bingwa na maarufu kwa kuunga mifupa, na viungo vya mwanaadamu, anaefanya kazi katika hospitali ya rufaa ya Muhimbili kitengo cha Moi.

Inspekta Jamila akaichomoa na ile picha na kuitumbukiza ndani ya kibegi chake maarufu kwa jina la kipima joto, na alipoiangalia ile Albam ya nne haikuwa na picha za maana kwake. Hivyo Inspekta Jamila akawaambia wale wenyeji wake.

“Nimechukua picha tatu kwa upelelezi zaidi. Baada ya kukamilisha zoezi zima nitazirejesha!
Nashukuru kwa ushirikiano mlionipa, mungu akipenda nitarudi tena siku nyingine.”

Akachukua namba ya simu ya yule mdogo mkubwa wa marehemu Hamida aliejitambulisha kwake kwa jina la Neema, Akaaga na kutoka eneo lile huku akiwa na msongamano wa mawazo ukitembea katika kichwa chake, nakujuta kujiingiza katika kesi ile ambayo, inaonekana ni kubwa kuliko alivyofikiri yeye!
*******
Maeneo ya Mburahati Barafu, bwana Masudi akiwa amekaa na mkewe anakunywa chai, mara akasikia hodi. Naye akamwambia mkewe akamsikilize mgeni kwa kuwa ilikuwa ni sauti ya kike!
Mke wa masudi, anatambulika sana maeneo yale kwa jina la Mama chapati, kwa umaarufu wake wa kuchoma chapati ambazo ili uzipate chapati zake, itakubidi mtu udamke asubuhi na mapema sana. Kwa wale wenye usingizi wa pono, watazisikia kupitia kwa watu waliozinunua na kuzila!

Yule mwanamke mnene na mrefu wa wastani aliinuka, akafunga khanga yake vizuri kifuani na kufungua mlango.

Akakutana uso kwa uso na mwanamke mmoja mwenye sifa zote za kuitwa mrembo. Yule mgeni, alimsalimu mwenyeji wake, kisha akamuuliza.

“Samahani Dada, Bwana Masudi nimemkuta?”

Mke wa Masudi akajibu. “Ndiyo umemkuta na mimi ndiye mkewe, tukusaidie nini, na unashida gani na mume wangu?!”

Mke wa Masudi aliuliza maswali yaliyojaa wivu tele! “Nashukuru kukufahamu kuwa wewe ndiye mke wa Bwana Masudi, pia ninafurahi kusikia nimemkuta Bwana Masudi, kwani mguu huu ni wa kwake!”

Alijibu Yule mgeni bila ya khofu yoyote huku akijiamini nakumtazama yule mwanamke machoni bila kupepesa macho!

Kitendo kilichomshangaza sana mke wa Masudi.

Na mara Masudi akatokea pale, baada ya kusikia maneno ya wale wanawake wawili. “Karibu”,
Bwana Masudi akatamka, huku akimtazama kwa umakini yule mwanamke mwenye kutetemesha wanaume wengi kwa urembo wake.

“Aksante bila shaka wewe ndiye Bwana Masudi?”

Masudi akaitikia kwa kichwa, na yule mgeni akaendelea.

“Mimi ni mgeni wako na nimefurahi kukukuta, kiasi najiita ni mwenye Bahati kwa siku ya leo!”

Mke wa Masudi akamtazama mumewe huku akiwa amekasirika vibaya sana, akamwambia mumewe.

“Hivi huo umalaya wako unauleta hadi nyumbani? Umeona huko nje hakutoshi mpaka uniletee nyumbani wanawake zako? Tuseme huwaambii kama umeowa mpaka wakufate nyumbani tena asubuhi?!”

Yule mgeni akapigwa na butwaa! Akimsikitikia Mwanamke mwenzake alivyokuwa hajiamini!

Masudi akiwa ametaharuki kwa maneno ya mkewe pia akiona vibaya dhana mbaya ya mkewe, hatimaye akamwambia mkewe.

“Mke wangu vibaya namna hiyo. Huyu ni mgeni na hujui yupo hapa kwa ajili gani, hivyo si busara kutoa lugha ya namna hiyo! Msalie mtume mwanamke heh!”

“Ukiona hivyo huaminiki kwa mkeo ndiyo maana anakuwa hivyo”.
Akajibu Yule mgeni huku akitabasamu! Kitu ambacho kilimzidisha hasira mke wa Bwana Masudi mara mbili ya mwanzoni!. Naye Bwana Masudi akiwa anamtazama yule mwanamke huku akishangaa kwa ujasiri anaouonyesha kwenye nyumba yao.

“Okey mimi ninaitwa Inspekta Jamila kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, nipo hapa kwa ajili ya mahojiano machache tu na wewe Bwana Masudi, kuhusu kesi inayomkabili jirani yako na Swahiba wako mkubwa Bwana Mwaduga Dingo.”

Inspekta Jamila aliyasema hayo huku akionyesha kitambulisho chake.

Mke wa Bwana Masudi akashika kichwa, kisha akakaa chini kwa hofu aliyoipata baada ya kuona mtu aliyekuwa akimtilia mashaka ya wizi wa mumewe, kumbe ni Askari mpelelezi.

Bwana Masudi nae macho yalimtoka pima akiwa hakutegemea kitu kama kile kutokea.

“Karibu Inspekta na samahani kwa yote yaliyojitokeza.” Hatimae Masudi akajibu.

Inspekta Jamila huku akiwa amemnyooshea mkono wake wa kulia, akiashiria kwa kiganja chake kuwa ameisamehe ile hali, akamwambia.

“Usijali ni mambo ya kawaida tu hayo, nishakutana na changamoto zaidi ya hizi nikiwa nipo kazini!”

Baada ya kuketi hatimaye mke wa Bwana Masudi alipata kauli ya kusema.

“Afande nisamehe kwa kukujibu vibaya.”
“Usijali, Usijali mambo ya kawaida hayo, ila mwanamke lazima ujiamini.”

Inspekta Jamila aliyasema hayo, Huku akimgeukia Bwana Masudi. Akatoa kalamu na kijitabu chake akiwa tayari kwa mahojiano!

“Bwana Masudi unakumbuka nini kilichomtokea jirani yako Mwaduga? Na mara ya mwisho kuonana na jirani yako akiwa huru? Ilikuwa katika mazingira gani na wapi?!”

Inspekta Jamila akaanza kwa maswali mfululizo.

Bwana Masudi akiwa katika hali ya huzuni iliyochanganyika na hofu, akafikiri kidogo kisha akasema.

“Nakumbuka kiasi cha miezi miwili nyuma nikiwa maeneo ya Sinza Madukani, katika mihangaiko yangu ya kila siku niliona gari ya jirani yangu anayoiendesha, na nilipomwangalia Dereva anayeendesha nikaonana uso kwa uso na Mwaduga!
Wote wawili tukatabasamu, na Mwaduga akapaki pengeni gari yake.
Nilipofika Karibu na gari ilipopaki, wakatokea jamaa watatu wakiwa wamebeba begi na viatu wameshika mikononi kama wamachinga wakaingia ndani ya gari, nami wakati huo nilishafika pale kwenye gari. Wale jamaa mmoja aliepanda mbele akasema tunazo Elfu tatu tupeleke Bar ya Macheni Magomeni! Mwaduga akanambia tutaongea nyumbani akaitoa gari nakuiweka barabarani huku anatabasamu!”

Inspekta Jamila akamkazia macho Bwana Masudi huku akiandika kwenye kitabu chake kidogo na akadakia kwa swali!

“Umesema wale jamaa watatu walipanda gari wewe ukiwaona na si kama Mwaduga alitoka nao sehemu kabla ya pale, Je?! Kwa nini basi alikuwa anatabasamu baada yakuwapakia wale jamaa? Na kama alisimama kwa ajili yako mbona alichosimamia hamjaongea yeye akaondoka?“

Bwana Masudi akajibu; “Wale jamaa wamepanda gari yake na mimi nikiwa pale, sio kama alikuja nao kwenye gari. Labda lililomfanya akatabasamu, ninahisi kwa vile yeye anapaki kule magomeni usalama na alikuwa anarudi tupu, sasa amepata abiria wanaomrudisha kijiweni kwake kwa shilingi 3000/ mtu yeyote angefurahia bila shaka!”

“Sawa je utapowaona tena watu wale unaweza kuwakumbuka?! Na unaweza kunipa wasifu wao namna walivyo?! Au hata nguo walizozivaa siku ile?”

Inspekta Jamila alimuuliza Masudi kwa shauku. Na Masoudi akajibu.

“Kwa kweli yule mmoja aliepanda mbele namkumbuka kwa sura. Jamaa ana kithethe anapoongea, kwani hata neno tunazo Elfu tatu, yeye alitamka TUNADHO ELFU TATU! Wale wengine wawili sikuwakariri sura zao sawasawa kwani gari ilikwisha ondoka! Ama nguo alizovaa yule jamaa aliepanda mbele, alivaa suruali ya jinzi na fulana moja nzuri sana iliyokuwa imeandikwa MKIMBIZI ikiwa na picha ya mwana dada mmoja akiwa kama anakimbia! Ile jinzi ilikuwa na Rangi nyeusi na fulana ya rangi nyeupe.”

Inspekta Jamila akamuhoji Masudi mambo mengi kiasi akaridhika kwa hatua aliyopiga. Na kiasi alianza kupata Mwanga kuwa, Mwaduga hakuwa anajua chochote katika mkasa unaomkabili, lakini ataihakikishiaje serikali ili ielewe kile anachosema?! Na kama Mwaduga si muhusika, je nani ataesimama akiwa ndiye muhusika halisi?

Inspekta Jamila. Akaagana na Masudi huku wakipeana mkono wa kwa heri yeye na mkewe, ambae sasa alikuwa ni mtulivu na mwenye nidhamu ya hali ya juu!

*****
Wapelelezi wawili walikuwa wamekaa kwa pamoja wakijadili hali ya upelelezi wao walioufanya katika kesi inayomkabili Dereva Taxi Mwaduga Dingo, kwani kesi ya mauaji inayomkabili, sasa jalada lake, upelelezi umeshakamilika, na mwendesha mashtaka wa serikali anatarajia kulipeleka jalada mahakama kuu kwa ajili ya kesi kuanza kusikilizwa. Baada ya kutajwa mara kadhaa katika Mahakama ya hakimu mfawidhi ya Kisutu, Mahakama ambayo haina uwezo wa kusikiliza kesi za mauaji kwa mujibu wa sheria za nchi.

Afande Kubuta ambae ndie mpelelezi, aliekabidhiwa kupeleleza kesi zinazomkabili Mwaduga Dingo, akiwa na mpelelezi mwenzake Afande Magane, walikuwa wanalipitia lile faili kwa kituo, ili liwasilishwe Mahakama kuu kwa kusikilizwa.

Afande Kubuta alianzisha mazungumzo. “Yule kijana kwa jinsi nilivyo muhoji na kumpa kibano lazima angesema kila kitu yule, lakini yule kijana kama ni sugu basi yule ni mwalimu wao! Kwani katika mkono wangu, haijawahi kutokea mualifu nimuweke katika kiti moto kisha asinieleze ukweli, ndiyo kwanza yule kijana amefanikiwa! Ameharibu CV yangu yule!”

Afande Magane akasema: “Inawezekana yule ameshawishiwa na wale jamaa akaingia katika mkumbo kwa tamaa ila wale jamaa hawajui wala nini!”

Afande Kubuta nae akasema. “Tulipokwenda kumpekua, nyumbani kwake hatukukuta vitu vya maana sana, ila kulikuwa kuna Tv moja aina ya Sony nchi 14 mpya kabisa, na nilipohitaji stakabadhi iliyonunulia Tv ile, nikahisi kuwa yule kijana anahusika kwa namna moja au nyingine. Kwa sababu stakabadhi ile tarehe yake ilikuwa inaonyesha kuwa, Tv ile imenunuliwa siku moja baada ya mauwaji ya Hamida kutokea! Na kwa kuwa Silaha ya Marehemu Hamida amekutwa nayo yeye, kisha Tv yake imenunuliwa siku moja baada ya kifo kile, hii wala haihitaji Digirii kutambua kwamba baada ya kijana yule kushiriki katika tukio lile la mauwaji, mafao yake ndiyo amenunulia Tv”

Hivyo Wakiwa katikati ya Mjadala ule simu ya Mkononi ya Afande Kubuta iliita na alipoiona namba ya simu iliyokuwa inaita, moyo wa Afande Kubuta uliruka sarakasi na kuipokea simu ile.

“Ndiyo Afande, sawa mkuu, nimekusoma Afande!” Kisha ilikatwa simu ile.

Afande Magane akamuuliza.

“Vipi ni mkuu wa kituo huyo aliepiga simu hiyo?!”

Afande Kubuta akamjibu “Hapana huyo ni IGP bwana, na sijawahi kupigiwa simu hata mara moja na IGP”

Afande Kubuta akamueleza yote aliyoongea bosi wao.

Afande Magane akashangaa sana kusikia habari hiyo, na akasema.

“Bila shaka kuna mtu amekwenda kwa IGP anayehusiana na mtuhumiwa, na kuongea na IGP! Sasa kama hivyo ndivyo basi kesi hii rafiki yangu, inabidi uwe makini sana. Kwani wewe ndiye mpelelezi wa kesi hii mwenye Jalada lake! Sisi wengine tunapewa amri tu, Fatana na afande fulani kwa upekuzi na majadiliano tunafanya hivyo! Duh hii hali sasa ishakuwa pevu, je? unayo ripoti iliyokamilika ya upelelezi wa kesi hii sasa? Kwani ndiyo inatakiwa ili ionekane bila shaka afande kama angetaka kujua angeuliza umefikia wapi kwenye upelelezi wa kesi hii. Ila hapa naona kuna kitu cha ziada kutoka kwa Bosi kwani Photo Albam na Note Books vya marehemu yeye vya nini? Okay sasa mimi naona twende Mikocheni kwanza kutekeleza amri ya Bosi kisha uvipeleke kama alivyoagiza, kisha tusikilize atakwambiaje kwani tunaweza kuumiza vichwa kumbe mambo yenyewe ni shwari tu!”
*******

Afande Kubuta na Afande Magane walibisha hodi nyumbani kwa marehemu Hamida, walipofunguliwa mlango wakajitambulisha ikiwa ni pamoja na kutoa vitambulisho vyao vya kazi.

Wakakaribishwa ndani, walipofika ndani wakaeleza walichokiendea pale. “Kama tulilvyokwisha jitambulisha, tupo hapa kikazi hivyo tunahitaji Photo Albam zote za marehemu Hamida pamoja na vitabu vyake vya kumbukumbu.”

Yule dada aliyewapokea akaanza kuvitafuta vitabu vyake vya kumbukumbu marehemu Hamida chumbani kwake kwani “photo albam” zilikuwa mezani chumbani mle.

Yule dada akawakabidhi “photo albam” nne afande Kubuta akazichukua na kuziweka kwenye mfuko wake wa ngozi alioushika mkononi, akifarijika angalau anachokitaka Bosi wake kutoka kwenye nyumba ile, kimoja amekwisha kipata. Iliwachukua kama nusu saa kuja kukiona kitabu cha kumbukumbu cha marehemu Hamida. Yule dada aliyejitambulisha kama mdogo wa Hamida, anayejulikana kwa jina la Neema, akawaambia askari wale.

“Jana alikuja afande mwenzenu wa kike aliyejitambulisha kwa jina la afande Jamila, amechukua picha tatu kutoka katika albamu hizo, na ameahidi kuzirudisha mara baada ya kukamilisha upelelezi wenu!”

“Whaat?!”

Afande Kubuta na mwenzake afande Magane walijikuta wakisema kwa pamoja huku wakiwa hawaamini masikio yao kwa kile walichokisikia kutoka kwa Neema!

“Umesemaje?!” Afande Kubuta akamuuliza Neema.

“Mbona mmeshituka sana, ina maana hamna taarifa za picha hizo kufika ofisini kwenu? Mimi nimejua mmekuja kuchukua nyingine ili mkamilishe huo upelelezi wenu!” Neema badala ya kurudia kauli yake, akatoa maneno yalioonyesha kumshangaza, kwa namna kesi ile inavyoshughulikiwa!

Hatimaye akairudia tena kauli yake, sasa akiwa makini zaidi ya mwanzo.

“Juna alikuja afande mwenzenu wa kike, aliyejitambulisha kwa jina la afande Jamila. Amechukua picha tatu kutoka katika albam hizo, na ameahidi kuzirudisha mara baada ya kukamilisha upelelezi wenu.”

Neema alirudia kauli ile huku akiwatazama machoni maafande wale wawili waliopigwa butwaa ya mwaka!

“Samahani dada, huyo afande Jamila alipokuja alikwambia anatokea Kituo gani?”

Aliuliza afande Kubuta. “Na alikuonyesha Kitambulisho?” Akaongeza swali afande Magane.

Sasa ilikuwa zamu ya Neema kupigwa na butwaa.

“Yaani mnataka kuniambia, kwamba afande Jamila hamumtambui?” Aliuliza Neema huku akivuta tafakari na kuwa makini zaidi.

“Jibu swali mwanamke”, afande Kubuta akasema huku akiwa amechanganyikiwa kwa kauli ya neema.

“Jibu maswali mwanamke.” Afande Magane akadakia na huku akiendelea kusema. “Hii ni kesi ya mauaji hivyo usije kuleta mzaha umesikia?”

Neema aliitikia kwa kutikisa kichwa. Kisha akajibu, “Alipokuja hapa jana alijitambulisha yeye ni askari polisi na akatoa kitambulisho chake kama nyinyi mlivyofanya. Ila hakusema ametokea kituo gani cha polisi! Akataka “photo albam” kama nyinyi mlivyotaka, nami nikampa na baada ya kuzipekua, akachomoa picha tatu akatia kwenye mfuko wake kama nyinyi mlivyochukua hizo albam na kutia katika mfuko wenu. Ila yeye hakutaka kitabu cha kumbukumbu, baada ya kupata picha zile akaaga na kuondoka.”

Afande Kubuta akamuuliza “je alikuonyesha picha alizochukua?”

“Hapana” Neema akajibu.

“Ila unazitambua picha zilizokosekana katika albam hizo?”

Afande Magane akamuuliza Neema huku akimkazia macho.

“Hapana kwani mimi nimekuja hapa ulipotokea msiba, kabla ya hapo nilikuwa siishi hapa, hivyo picha za marehemu dada zote alizopiga ukiondoa za harusi yake ambazo nimeziona nyingine zote sizijui.” Akamaliza Neema huku akifuta machozi yaliyoanza kumtoka, labda baada ya kukumbuka picha zilizomuonyesha dada yake akiwa katika maisha yake ya ndoa!

“Sawa alikuachia namba za simu huyo afande Jamila?” Hatimaye akauliza afande Kubuta.

“Hapana hakuacha, ila alichukua namba yangu ya simu na kusema angenipigia pindi ambapo angelihitaji msaada kutoka kwangu.”

Ama kwa hakika askari wale walichanganyikiwa sana kwani kila kitu walichokitarajia kuwasaidia kumtambua huyo afande Jamila waliambulia jibu la hapana! Ama kweli walikuwa wamepigwa bao la kisigino. Mwisho wa yote wakaacha namba zao za simu na kumwambia Neema.

“kama atakuja tena huyo afande Jamila muulize anatokea kituo gani, na unipigie simu mara moja. kwani mimi ndiye mpelelezi katika kesi hii. Hivyo mtu yeyote atakayejihusisha na kesi hii, lazima mimi nimtambue.”

Mwisho wakaaga na kuondoka.

*******

ITAENDELEA

DOKTA MIMI SIUMWI HUKO – 5



Chombezo : Dokta Mimi Siumwi Huko
Sehemu Ya Tano (5)

SULEE”
“kwakuwa Janeth ana kuwa mkaidi sana kwangu mimi
natena pale tu ninapo kuongelea”
“kivipi sulee”
“Jambo lolote tu sijuwi kwa nini mpaka ikafikia hatua akaniambia”
“akakwambia nini”
“Adams nijibu kwanza swali langu
wewe na janeth mkoje, pia una mpenzi au huna”
“sina mpenzi pia jane, nikwamba ana nitaka tuwe wapenzi ila mimi sitaki kabisa”
“hapana Adams unanidanganya
wewe na jane, niwapenzi ndomaana akanitisha eti wewe una ukimwi ili niachane nawewe
plz sitaki matatizo Adams hatujawa wapenzi bado hari hii
inajitokeza je ikiwa tayari wapenzi itakuwaje sitakufa nimetokea katika matatizo
basi sipendi nirudie huko”
“ahaaaa kumbeee
Sulee niamini niamini jane, sina mahusiano nae hatakidogo
yeye ana ladhimisha iwe hivyo mimi sittaki”
“siwezi kuamini nihakikishie basi
kwa jambo lolote”
“ok sawa sawa nipe wiki2 utafurahi”
“sawa iwe ahadi ya kweli
Adams nakupenda sana nataka uwe mume wangu Mzee Maryo nije nimuite mkwe wangu”
“hahaa wala usijari nami pia nakupenda kupita maelezo”
“basi sawa nakuamini”
“asante pia naomba nikuamishie Morogoro hapa ni tatizo tena asije akakuwekea madawa”
“hata mimi nilikuwa na wazo hilo hilo je nyumbani unakaa na nani”
“nipo na wadogo zangu wakike na wakiume”
“kwahiyo takaa kwako au utanipangia”
“kuna kupanga tena hapana utakaa kwangu”
“sawa”

_________________­__­­___________________­_
TULIONGEA MAMBO MENGI TUKIWA iringa mida ya jioni saa10 tulianza safari kufika ipogoro gari ili
pata pancha Tushukuru mwendo haukuwa mkubwa.
Tuli shuka chini nakubadilisha tayri nasafari ikaendelea saa4:30 usiku tulisha fika Morogoro
hatukufikia nyumbani kwa Adams.
“sasa sulee hapa ni morogoro
tumefika hari ya hewa ina ubaridi kidogo”
“kweli kabisa naona”
“sasa naona tufikie gest tulale kisha asubuhi tufike nyumbani”
“sawa tu wewe nimwenyeji wangu”
“ok, Wewe utachukuwa chumba chako na mimi changu”
ALINICHANGANYA SANA SIKUJUWA NIA YAKE NI NINI KWANGU SASA KILA MTU CHUMBA CHAKE CHA NINI WAKATI TUSHAKUWA WACHUMBA.
“sawa “
“sasa sulee una itikia sawa umelidhika kila mtu alale kwake”
“Adams vyovyote sawa”
“mmh ๏๏ sulee twende tuka lale wote sawa”
NIKAMA ALINITEKENYA
ADAMS NILIJIONA NIMEPATA PRESHA YA SEX GHAFLA NILITAMANI TUFIKE KITANDANI HARAKA SANA mwili wangu uliishiwa nguvu kabisa nilitembea huku nikijishikilia begani kwa Adams.
“sulee vip”
“niko sawa”
“kweli sulee”
“yes kwani vipi”
“naona upo tofauti kidogo ghafla”
“wala hisia zako tu”
KAMA ALIJUWA VILI adams wangu AKANIKUMBATIA KIUNONI KWANGU TARATIBU AKAWA ANANIKOKOTA NIKAMA MTU ALIYE LEWA HAJIWEZI
nililewa kwa mahaba niliyo yaona katika hisia zangu nilikuwa navuta picha jinsi Adams atakavyo kuwa yupo juu ya kifua changu namimi ninavyo onyesha maufundi ya kukata nyonga
nilikuwa na waza stayle gani nizitumiye kati mechi yetu.
“Adams Adams najisikia vibayaaa
aaah”
“Nini tena sulee”
Nilijikuta nikimshika mkono
wake nakuutumbukiza ikulu kwangu naye bila ajizi aliipekecha chupi yangu nakutumbukiza kidole chake cha kati katika(……….)
“yalaaa ashii ashii aaah…..

adams aah naumia mpenzi wangu
naomba nitibu haraka nipo mahututi mpenzi”
“ok okkkkky ayaah”
zilikuwa sauti za mahaba katika
chumba hiko furaha ya ngono
ilitawala katika chuma hiko
Sulee alitumia ujanja wake wote
wakumteka kimapenzi Adams
naye Adams alionyesha ufundi
wake wote wakumfanya sulee alizike na penzi lake
hakika mchezo ulikuwa
wanguvu sana Sulee alianza kuchoka kwakuwa alitumia stayle zote za 6by6.
“Asante mpenzi wangu kwakunipa penzi lako tamu sana
hakika wewe ni mwanamke utakae nisuuza Moyo wangu”
“Nami nime furahia sana penzi lako tamu kamaaaa siwezi kufananisha na chochote naweza kusema ni tamu sana Adams”
Walipoa maliza walijilaza
kitandani na usingizi uka chukuwa nafasi yake kwa wote wawili
walilala wakiwa wamekumbatiana.
_________________­__­­___________________­_
Sulee kumekucha nadhani tuka
oge ili tuelekee nyumbani”
“sawa mpenzi wangu ila nimechoka sana kiuno kime kaza sana naomba uni nyoshe”
“ok sawa”
mchezo ulianza kwa dk45
wote walichangamka
walienda bafuni kuoga walipo maliza waliludi chumbani na kuvaa nguo zao na kuondoka.
“hapa ndiyo nyumbani sulee”
“aah panzuri sana mpenzi wangu
hongera sana”
“asante ila hapa tawaacha wadogo zangu mimi tahamia
nane nane najenga nyumba nzuri
kuliko hii”
“ooh Sawa mpenzi sina neno kwako tumuombe Mungu atulinde”
“nikweli yeye ni kila ki
tu”
_________________­__­­___________________­_­_
Tuliingia ndani kwakweli
kulikuwa kuzuri sana tatizo uangalizi mzuri kulikuwa hakuna
vitu vilikuwa holela holela.
“sasa sulee mpenzi ngoja niende ofsini nadhani kila kitu kipo jikoni
uta pika kisha kama kula utakula
mimi tarudi badae naenda kupanga mambo sawa”
“sawa mpenzi wangu”
_________________­__­­___________________
“kaka kisarawe habari za kwako”
“nzuri Adams za huko”
“safi sana wangu kila kitu kimeenda sawa kabisa”
“kweli”
“yes”
“sasa ngoja nikupe siri ya mapenzi
kati ya Mume na mke ndani ya ndoa”
“ipi hiyo kaka kisarawe”
“nikwamba, Jitahidi sana sana
kuwa jirani na mkeo pia kumlidhisha kimapenzi/sex hakika hawezi kutoka nje ya ndoa yako
kabisa punguza ubize mjari mkeo
kabisaa hiyo ni siri ya penzi”
“Nimekuelewa kaka”
“zingatia sana asilimia kubwa sana wake za matajiri wana toka nje ya ndoa zao kwa sababu kuu mbili (1) Kuto pata ukalibu
sana na mumewe mara nyingi wanaume wanakuwa bize sana
mwanamke anataka faraja aliwazwe kama mtoto (2) Wanahitaji sex pale anapokuwa na hamu Mara nyingi wanaume wanarudi nyumbani wamechoka
kiakiri sasa hata wazo la ngono na mkewe wanakuwa hawana kabisa
Mtu akiwa na mawazo hisia huwa zina potea za kimapenzi, nadhani umenielewa”
“kaka somo kubwa sana hili
tafanya hivyo”
“itapendeza sana huo ni uchawi wa mapenzi, kwahiyo yupo nyumbani au”
“ndiyo yupo kaka”
“sasa sijuwi itakuwaje nikionana nae maana itakuwa tatizo”
“kaka najuwa mkionana yeye ata hamaki alafu ata fanya yeye hakujuwi nakama anakujuwa ataonyesha kushangaa kuwa wewe upo na mimi usionyeshe dariri yoyote ya mashaka mchangamkie sawa alafu mimi tamwambia siku nyingine kila kitu
alafu tamwambia nime msamehe”
“yes nalo ni wazo zuri jioni takuja”
“sawa tamwambia kunamgeni ana kuja”
“ok “
“ehee kazi zina semaje”
“kama kawaida katika page zote tatu kunamaombi ya Noah Min, kama 10 tatu mikumi 3 mikese na 4 hapa hapa ndani ya siku 20 ziwe hapa na kuwapelekea nimeongea nao na advansi wame toa milioni5 kila mmoja”
Biashara ya Adams iliongezeka
mara 3 zaidi ya mwanzo alivyo kuwa mwenyewe alifurahi sana
kuwa juu kiuchumi.
“kaka kisarawe nashukulu sana
kwa usaidizi wako”
“usijari Adams na hapa ni nyumba ya nani Ramani yake ni nzuri sana nimeipenda sana kwa kweli
Namuomba Mungu Akinipa pesa tajenga kama hivi..

“KAKA kisarawe mambo madogo sana haya unaweza kupa nawala
usiumize kichwa chako”
“Ndoto hizo Adams”
“wala siyo ndoto ni kweli unapo fanya kazi kwa bidii na ukiwa na malengo kichwani hakika uta weza kufanikisha ndoto zako”
“sidhani kama ni kweli wengi wetu hukata tamaa haraka sana
kabla ya kujalibu jambo”
“hapo ndipo tunako kosea”
Kisarawe na Adams walizidi kuongea huku wakikagua
mazingira ya nyumba hiyo
nzuri sana ya kisasa.
“Fundi hapo bado nini na nini”
“Nadhani bado umeme na
bustani tu kila kitu kiko tayali kabisa”
“vizuri umeme kesho wanakuja nimeongea nao leo”
“sawa”
Kisarawe hii ni nyumba yako naomba nikukabizi kutoka Moyoni mwangu ni zawadi yangu kaka”
“Eeh eeh Mimi”
“yes wewe”
“siamini kabisa ooh Mungu wangu asante sana kwakuonyesha njia hii iliyo bora kwangu, kaka Adams asante sana”
“asante wewe kaka maana ume niwezesha sana kupata mafanikio hapa nilipo yamekuwa kwa kiwango kikubwa sana”
“hapa ni mwanzo tafanya kazi kama kazi yangu sitajari kama kazi siyo ya kwangu na Mungu ata saidia”
“ok twende nyumbani ukaonane na Sulee sasa naomba heshima iwepo kwani huyo dada nampenda sana”
“sawa taonyesha bila wasi wasi yazamani yame pita”
_________________­__­­___________________­
Karibu sana kaka, baby baby
kuna mgeni”
“naja sweet”
Nilipo ingia sebuleni nilipatwa na mshtuko nili simama lakini kutoa hofo kwao nili geuza nyuma
nakwelekea moja kwa moja mpaka
kwenye friji nakutoa jagi lamaji na glasi nakwenda nayo na kuweka mezani.
“pole nakazi Mume wangu”
“asante sana za hapa”
“nzuri tu, karibu mgeni za kwako”
“salama sana za hapa”
“safi tu tupo”
“asante shemeji”
“baby wangu huyu mgeni anaitwa kisarawe alikuwa ni dokta sasa ni msaidizi wangu katika kazi zangu za kibiashara,
kaka kisarawe huyu ni shemeji yako anaitwa sulee naombeni heshima iwepo kati yenu wawili sawa”
“sawa Adams bila shida yoyote, shemeji karibu sana Nipo nae mr wako hapa ni mwaka na nusu sasa tupo kama ndugu”
“asante shemeji kwakukufahamu,
naombeni mniluhusu nipo na pika jikoni”
“sawa lakini takutafutia mfanyakazi sawa”
“sawa mpenzi wangu”
Baada ya kuongea maongezi hayo pande3 zote walikula chakula nawalipo maliza kula Kisarawe aliondoka nakurudi kwake.
“sasa unaweza kuhamia katika nyumba ile sawa kuna vutu nime kupelekea pale unapo kaa kuna kijana anakuja kukaa mfanyakazi
wa nyumbani atakuwa anafanya kazi kwangu lakini ku lala atalala pale”
“sawa asante sana Adams sikutegemea kabisa”
Maisha yali songa mbele Adams akajenga nyumba nyingine akawapeleka wadogo zake kukaa uko.
“Adams mpenzi wangu”
“naam”
“una nipenda kweli”
“ndiyo tena sana”
“sawa asante nadhani hauta nificha nikikuuliza”
“yee yes yes”
“kisarawe ukoje nae au ulimpata wapi”
“mmh ni mfanyakazi wangu”
“kweli alafu ulimpata wapi”
“tulikutana oficeni kwangu, kwanini unauliza hivyo”
“hana jina lingine”
“sitambui ,mbona maswali hivyo kuna nini”
“kama namkumbuka vile”
“wapi ulionana nae”
“kama dar vile”
“labda umuulize ata kujibu”

Mpenzi wangu Adams siyo Majibu
hayo kama nimekukosea Nisamehe”
“No no hapana upo sawa
Mpenzi wangu unakila sababu yakuniuliza jambo lolote
kama linanihusu, ila kuhusu mambo yote naomba muulize
Yeye mwenyewe kisarawe atakujibu Mimi sijuwi”
“sawa mpenzi wangu”
Tuliacha Maongezi hayo tulianza kuongea story zingine za maisha
yetu jinsi itakavyo kuwa mbeleni
siunajuwa Maisha yalivyo magumu.
_________________­__­
Maisha ya Monica na mwanae yalikuwa yakawaida sana japokuwa alipewa msaada na mama yule lakini msaada uli simama baada ya Mama yule kupata ajari ya gari akielekea Arusha na kufa papo hapo
Monica alitaabika sana hakujuwa wapi aende na Mtoto wake Mdogo sana.
Aliamuwa akaombe kazi ya kuuza bar/baamedi.
Alijitolea kwavyovyote vile imladi
apate kodi ya nyumba na yachakula pia Monica hakuwa na mawasiriano kabisa na Sulee.
_____________
Samahani Dokta leo jioni namaongezi na wewe kama utakuwa na muda”
“sulee shemeji niite Kisarawe inatosha siyo dokta tena sawa”
“sawa ila limenikaa sana ilo jina la dokta”
“ok sangapi utakuwa na muda huo mmh saa9 maana nikama saa1 hivi niwahi kurudi home”
“ok sawa”
“poa, eeeh mawasiriano sasa
tupeane ila usumbufu sitaki”
“aah shemu nakaa vizuri sana na Adams kama kaka na mdogo nizaidi ya boss na mfanyakazi tunaaminiana sana katika pesa na katika mapenzi siwezi kumwingilia/kumwibia nakama kuiba niibe pesa nasiyo mke/mpenzi wake ok sulee”
“sawa nimekuelewa namba yangu ni 0704651394 hii hapa”
“asante taku bipu”
“ok mchana mwema
usimwambie Adams kama tuna juwana na tukio zima lililo tokea”
“sawa”
baada ya kutimia saa9 jioni
Sulee alianza kuhaha kutokana na kumpa namba kisarawe nae kisarawe hakumpigia sule alikuwa hana namba ya kisarawe.
“tafanyaje sasa”
ngongo ngoongo
sauti ya mlango ulikuwa ukigongwa nyumbani kwa sulee.
“ingia mlango upo wazi”
“asante”
Kumbe alikuwa ni dokta kisarawe
alikuja nyumbani kwa sulee/Adams.
“mbona umekuja hapa”
“boss/Adams kanituma
sehemu nayeye hawezi kurudi hapa”
dk2 simu ya sulee ikaita.
“hallow mpenzi nambie”
“safi tu nyumbani vip safi”
“ndiyo safi nilihitaji tuwe wote sahizi mpenzi wangu”
“ooh sawa nami pia ila siwezi kurudi kisarawe nimemtuma mahali furani”
“ok sangapi warudi”
“saa12 jioni”
“ok nipike nini”
“chochote ukipendacho”
“mmh wanaume hamtakagi kusema chakula flani sawa takupikia chakula kitamu sana
sawa”
“nitafurahi sana mpenzi wangu”
_________________­
“ehee sulee tuongee haraka haraka”
“poa samahani sana kwakukusumbua”
“bira samahani”
“ok nadhani kila mtu anatambua
matatizo yetu wawili yaliyo pita”
“nikweli kabisa sulee”
“sitaki tukumbushane saana
ila naomba heshima iwepo sitaki tuludi katika ujinga ule
kila mtu aangalie kile alicho kifata hapa tusialibiane maisha sawa”
“upo sahihi sulee hata mimi siku hizi sipo kama zamani ni kisarawe mpya kabisa”
“nashukuru kwahilo uliongealo”
“kabisa nipo na Mungu sasa masuala yale sina kabisa
nilikuwa naendea kubaya kabisa
najenga maisha yangu sasa nahitaji familia bora kwa sasa nahitaji Mtoto aniite baba namimi niseme mwanangu tucheke na mke wangu pia”
“aaah nimekumbuka jambo”
“lipi sulee”
“Aah sijuwi aliko Monica kwanini usimtafute uje kukaanae”
“hapana ni mke wa mtu yule”
“kumbuka umesababisha aachike napia ana mtoto wako
tena sura yakwako japokuwa wakike”
“kweli sulee usemayo”
“ndiyo kabisa”
“je namba yake unazikumbuka”
“taangalia katika simu yangu”
“fanya hivyo shemu”
“sawa usiwe na hofu kisarawe”
****
Mpaka sahizi kisarawe haja rudi
mmh Roho yangu ina uma, Ngoja nimpigie sulee, mbona simu haipatikani kuna nini sasa”
Adams aliwaza sana
alihisi kumegewa tunda lake.
________________
“Adams safi”
“safi nini sasa kaka”
“nimeongea nae kila kitu safi pia
kanishauli nimfate Monica nije nikae nae hapa pamoja na Mtoto wangu”
“Monica ninani”
“siyule niliye kusimulia”
“ooh kweli itapendeza fanya hivyo haraka sana”
“sawa Adams tafanya hivyo
ila naomba Shemeji sulee anisaidie kwa hili”
“sawa utaongea nae sawa”
Kweli Talatibu za kumtafuta
Monica zikaanza Bila mafanikio ikabidi niondoke na Kisarawe kwenda Dar, kumtafuta Monica
kila mahali tulimtafuta bila mafanikio, Adams alimwamini
Kisarawe kwa asirimia kubwa sana kumwacha na mimi yeye mara nyingi alikuwa bize na kazi zake.
Dar tulikaa siku3 bila kumuona Monica lakini tulisikia kuwa yupo mwananyamala ilikuwa usiku
sana wa saa2.
“sasa sulee ngoja tulale kesho tutaenda huko”
“sawa Kisarawe usiku mwema”
“Nawe pia”
“ila kisarawe mbona mapema sana tukalale kweli”
“yes nausingizi sana sule”
“mmh twende tukanywe kidogo”
“nini pombe”
“ndiyo kidogo tu moja moja
akili ichangamke”
“sulee mmh .

Hapana hapana”
“kwa nini kisarawe”
“sikuhizi nime okoka Sulee”
“Haha yani dhambi zako umeacha
kweli maajabu sana wewe dokta kisarawe ume ungama na kuacha kuwa… Wake zawatu khaa ,ila tunye kidogo”
“sawa tajalibu”
Monica alizidi kujituma kufanya kazi ya u’bar medi ili japo apate pesa ya matumizi yakumlea mtoto wake mdogo sana Kipindi
yeye yupo kazini akiuza bar Mtoto alikuwa akimuacha na Rafiki yake aliye kaanae chumba kimoja
yeye alikuwa akifanya kazi ya
ukahaba usiku.
Monica alikuwa hana furaha kabisa katika Maisha yake aliwaza sana jinsi alivyo ialibu ndoa yake na mtoto wake ndiyo ilikuwa furaha yake japo aliumia sana
moyoni, machozi yalimtoka sana
akiwa akitoa huduma tena kwa boss wake sanga.
monica nini mbona una lia”
“Kichwa kinauma sana”
“pole sana dada angu ebu nenda
kapumzike ndani ,ila meza dawa
kwanza sawa”
“sawa boss”
Kwakuwa bar iyo ilikuwa
ndani ya gest tuliyo fikia Monica alienda kupumzika katika chumba cha wafanyakazi kilicho kuwepo katika gest iyo tuliyo fikia sisi.
Tulikuwa tukitoka
nje mimi na kisarawe tukiwa mbali kwa mbali kisarawe akiwa nyuma yangu mimi mbele
hamady uso kwa uso na Monica alikuwa katika sare za wahudumu
iliyo andikwa sanga bar.
“Monica monica”
“sulee sulee jamani”
“Mambo Monica”
Hakujibu Monica alibakia akitoa macho.
“Monica nini mbona hauongei”
lakini nikajuwa kuwa alikuwa
kamuona kisarawe ndomana
alibakia akishangaa alionekana
mtu mwenye hasilla sana usoni.
“Monica kuwa mpole hii safari
imekuja kwako nakama miujiza
kukutana na wewe hapa”
“sitaki sitaki sulee mbaya sana wewe yani umeludiana na kisarawe mmetoka gest hauna hata aibu umeniacha kwa shangazi yako na mateso juu sitaki kuwaoneni hapa sawa”
“sikiliza sulee sisi tumetoka
morogoro kwajili yako kukutafuta
sawa naningekuwa na namba zako ningekupigia uje moro
tafadhari naomba utusikilize sawa
nakama unajuwa tumetoka gest twende kwa muhudumu alafu
angalia kama tumechukuwa vyumba vingapi”
Muhudumu akamwambia
ni vyumba viwili tuli chukuwa
hapo tuliingia katika chumba kimoja wote watatu.
“sasa Monica nielewe nacho ongea sawa Mimi nimepata mchumba
anae itwa Adams j maryo jr. Nimfanya biashara Morogoro Nadhani unakumbuka nilikwambia kabla sijaondoka kwa shangazi nilikutana nae kipindiulipo niambia nikapime ili niondoe mashaka unakumbuka Monica”
“ndiyo nakumbuka uliniambia”
“ok sasa nilipo fika kwake aliniambia anamfanyakazi wake
alipo tukutanisha mimi na huyo mfanyakazi wake hakuwa mwingine ni huyu kisarawe kwa sasa ni shemeji yangu Monica sikuona sababu ya kuteseka wewe na mtoto wako nilimshauri kisarawe ili akuchukuwe wewe na mtoto wenu mkamlee kama baba na mama sawa sitapenda ukatae suala hili unasemaje kama wewe”
“sulee kisarawe katuumiza sana nafsi zetu namchukia namchukia
leo mpaka kesho kiufupi sitaki sitaki kuwa nae acha niishi na maisha yangu haya haya magumu najuwa mwanangu atateseka siyo mbaya atakuwa mkubwa na yeye atakuwa na maisha yake”
“Monica monica Mimi siko hivyo kama zamani nime badilika
Monica naomba unisahau kisarawe wazamani sasa niko mpya niamini siwezi kukuumiza tena”
Kisarawe aliongea huku akimsogelea Monica alikuwa amepungua sana kutokana na maisha duni na kuwa na mawazo sana ya maisha yake yaliyo msumbua sana.
“Kisarawe usini guse sitaki sitaki
sawa ishia hivyo hivyo.
Monica alimpiga kibao
kisarawe mpaka akadondoka kisarawe chini Roho yangu iliuma sana kwanini Monica kampika kisarawe hivyo sikujuwa nilibakia niki shanga shangaa.

kwajinsi Monica alivyo badilika
alikuwa kama simba mwenye hasira sana.
“Monica kwa nini unafanya hivyo”
“Sulee nyamaza hivyo hivyo namuona kama adui yangu huyu
sitaki kumwona kabisa mbele yangu amenialibia maisha yangu yote na Mume wangu ambaye nilimpenda sana kila siku”
“sawa Monica najuwa hivyo namambo yamesha halibika
sasa tuya jenge upya kama mimi nimekutana nae morogoro ikabidi nimsamehe nikaonea kuwa tuje kukutafuta kwakuwa mwenzangu una mtoto wake ebu mpe nafasi
mtoto wako alelewe na baba na mama kwapamoja apate Raha na Amani pia”
“Monica najuwa unanichukia sana nikweli nilifanya makosa sana ulikuwa ulimbukeni kwa sasa nimebadilika sana ebu tazama
upo hapa sahizi katika mazingira haya je mtoto wetu yupo katika mazingira gani Monica nipe nafasi nikutunzi pia uwe mke wangu wa ndoa”
Monica aliinama chini akiwa
analia kwa uchungu sana Aliumia sana nilimuonea huruma sana nilimkumbatia huku nikimbembeleza kwa kumfuta machozi yake.
“nyamaza monica haya ni maisha unapitia mambo mengi sana nahili lako ni tatizo ambalo lita kupotea katika akiri yako ,Monica mkubalie Kisarawe maisha nimazuri sana anayo ishi kwake tofauti na maisha ya kwanza kwako”
“Mapenzi yakweli ndiyo nayataka nasiyo mapenzi ya pesa/mali yasiyo na ukweli yaliyo na utapeli
sipendi kuumizwa kabisa naweza kuuwa au kujiuwa kabisa nimeumia sana nilipo msariti mume wangu sitaki tena ujinga kama huo au kunisariti kisarawe nakukubali ila naomba usinitende
ukinitenda juwa kuwa iyakuwa vita kati yangu na yako sawa”
“Monica niamini sita fanya hivyo
nakuahidi fanya utakalo liamua juu yangu utakuwa una haki
kulifanya”
“Jamani mbona mna haidiana
mambo mazito kiasi hicho khaa
ila sawa inaonyesha kuwa mtakuwa makini na kuwana penzi la kweli kati yenu”.
Tulimaliza maongezi pale
na haja ya kulala ikawa ime isha pale pale, Tuliondoka na kwenda mpaka alipokuwa akikaa Monica
tuliingia ndani nakumkuta Rafiki yake Monica akiwa kalala na mtoto wa Monica.
Aliamka yule dada tukasalimiana
natuka mchukua mtoto nakumpakata.
“Hakika Kisarawe
huyu ni mwanao ona ulivyo fanana nae”
“yah nimekubali kabisa”
“sasa Monica hakuna kulala hapa
sahizi ni saa1:25 inatakiwa tuondoke kwenda moro”
“sawa tu”
Safari ilianza yakwenda moro
tulifika saa3:35 kwakuwa tulikuwa na gari yetu wenyewe
moja kwa moja kisarawe alinipele nyumbani kwangu na wao walielekea kwao.
“usiku mwema jamani”
“nawe pia sulee”
“Asante”
“vipi zahuko mmefanikisha au”
“yani kama bahati tu”
“kwa nini”
“tumemuona na tumerudi nae”
“Mungu mkubwa”
“hakika”
tulilala na Mpenzi wangu Adams
mpka asubuhi niliamka nikiwa nimechoka sana kutokana na
kupeana haki yetu usiku
niliona uvivu kuamka kwajinsi nilivyo choka kwa shuguli
ya usiku lakini kuna kitu kilicho.
Niumiza kichwa siyo kingine
kuhusu kisarawe na Monica
kweli Monica ameenda kwenye utamu kweli kisarawe anaweza sana ku…. Kuliko Adams wakawaida sana sema anapesa zake tu ila mapenzi no no
Najana angejalibu kunywa pombe angekoma sema ilikatishwa na Monica ila tadiri nae tu ladhima nimpate tena Mimi sindiyo sulee bana mtoto wa mjini.
_________________­__­­__________________
Monica hapa ni kwangu Tafadhari
karibu sana”
“hii nyumba ni ya nani”
“ya kwangu kwani vipi”
“ooh nzuri sana jamani hongera sana”
“mh wakumpa hongera ni Adams
boss wangu mimi ambae ni mume wa Sulee kanipa yakwangu kabisa kutokana na kazi yangu nzuri katika kampuni yake”
“anamoyo sana wa huruma Na mungu amjalie kila siku”
“kwakweli”.
Yalikuwa maongezi kati yake Monica na Kisarawe.
(Mmh nahitaji kumjuwa huyo Adams sijuwi yukoje maana sulee anammwagia sifa Kisarawe nae hivyo hivyo ana pesa kiasi gani uyo ngoja siku tukionana)
Monica aliwaza maneno hayo
usiku akiwa ame lala
chumbani kwake hawakuwa wame lala pamoja kutokana na kuahidiana kuto kutana kimwili mpaka wakapime h’i’v ili wajitambue Afya zao kama zipo salama.
“Mpenzi umeamkaje”
“salama Adams vp wewe”
“safi tyuu”
“Asante sana kama hivyo”
“ila nataka nipitie nyumbani kwa kisarawe ni msalimie shemeji kisha niende kazini”
“chai je subili unywe kabisi”
“hapana tumzika tu maana shuguli ya leo noma”
“haha ilooo umekomaje”
“sulee yaleo tamu balaa”
“basi poa badae na kazi njema”
Nili bakia nime lala huku niki mfikiria kisarawe kwaufundi wake pale kati.
_­­________________
“hodi hodi wenyewee”
“karibu pita uko wazi mlango”
“asante naona kimya sana”
“tupo karibu sana”
(Monica alijiuliza huyu ninani
kijana aliye pendeza sana akiwa ndani ya suti malidadi sana machoni akiwa ndani ya miwani mweupe siyo ya macho ni ya show tu usoni kweli Adams alikuwa kapendeza sana kama kawaida yake hakupenda uchafu.

KAbisa japo alikuwa hana
mke lakini alijitahidi sana kuwa msafi katika nguo na mwili pamoja na nyumbani kwake.
“Karibu mgeni”
“Mgeni wewe nasiyo mimi”
“mh”
“Najuwa una shangaa
kwakuwa huni juwi Eemh’ Naitwa
Adams kama sijakosea wewe ni Monica siyo”
“yah hauja kosea shemeji
karibu sana kumbe ww ndiyo Adams nasikia jina tyuu”
“ndiyo Monica Vp mtoto hajambo”
“hajambo kalala sahizi “
“ooh usijali shemu vp Kaka yupo”
“daa kajidamka asubuhi sana
kasema kuna gari 3 inatakiwa
zitoke mapema sana siku yaleo”
“daah nilisha sahau basi ngoja niende badae tapitia kumwona baby”
“sawa”
“utampa pesa hizi mtoto ,lf50”
“asante shem”
(eeh Sulee ana bahati sana
yani kapata mume mzuri pesa anazo sasa kwaujinga wake
anaweza akampoteza mume)
“hallow shemeji sulee kwema”
“yaha hakuna tatizo ila nimekupigia simu nina shida na wewe”
“ipi tena”
“inahitajika Muda na pia iwembali na mjini”
“mh”
“mbona mh”
“hapana niko sawa,sasa wapi tukutane”
“nane nane kuna bar pale”
“sawa tafika bila kukosa
sulee”
baada yakufika pale nane kisarawe alishuka katika gari
yake aka shuka naku chukukua simu ili ampigie sulee….

Samahani kaka”
“bila samahani unaweza kuongea”
“kuna dada yupo pale kanituma nikuite uwende”
“anaitwa nani”
“sula kasema”
“ni sulee”
“ah ndiyo ni sulee”
“poa twende”
Alipo fika pale kisarawe alimkuta sulee kavaa kimini yani naweza kusema ilikuwa nitoe Roho mate yaka mtoka kisarawe ila alijikaza zaidi ya maumivu ya jipu alikaa chini sulee alikuwa kakunja miguu mfano wa namba4
yani kwajinsi mapaja yake yalivyo onekana Moyo wa dokta/kisarawe
ulimuuma sana alikumbuka matukio ya nyuma kati ya Monica na sulee marafiki alio walamba wote kipindi hicho.
(Monica alikuwa mzuri wa umbo lake lakini sulee ni balaa pale kati kiukweli anaweza mwanamke ana pumzi)
“wee kisarawe mbona unaonekana una mawazo sana nimekuita hapa tuongee machache kama hauta jali”
“ok ok mh nipo sawa”
“kisarawe unajuwa jinsi ulivyo alibu ndoa yangu”
“najuwa”
“unajiwa jinsi gani nilivyo umia
katika kuachwa kwangu”
“Najuwa”
CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“je Unajuwa asala ya kuachwa na mtu umpendae”
“najuwa”
“nizipi hizo”
“moja Moyo huumia sana kwakipindi kilefu sana, mbili huwezi kumpata mtu umpendae
kama wa mwanzo”
“upo sahihi kabisa mpaka leo hii
sijampata nimpendae kama mume wangu wazamani”
“sulee unaongea nini wewe
na Adams je?”
“siyo chaguo langu nimemkubali
kwaajili ya matatizo yangu
naaliniomba niwe mpenzi wake sasa sikuona sababu zakumkataa”
“sulee Adams ana kila kitu
mpaka na yeye ana vutia sasa hakufai”
“Ananifaa kimaisha lakini siyo kimoyoni yupo ambae ananifaa ki moyoni nahisi ndiye atakae nifariji
moyoni na moyo utatulia.
____________
eeh Sulee ana bahati sana
yani kapata mume mzuri pesa anazo sasa kwaujinga wake
anaweza akampoteza mume
huyu kwajinsi navyo mjuwa
mimi”
Aliwaza Maneno hayo Monica
akiwa nyumbani baada ya Adams kuondoka.
Adams alikuwa ofisini
kwake alipiga simu kwa Mpenzi wake sulee lakini simu haikupokelewa zaidi ya mara5
aliwaza sana Adams lakini alijipa
Moyo: Labda atakuwa anafanya usafi nje: Akampigia simu kisarawe nae simu iliita zaidi ya mara2 nakukata bila kupokelewa.
“mh mbona majanga mpenzi wangu hapokei kisarawe hapokei
nini sasa jinacho endelea. Ila wenda anaendesha gari. Ngoja niende nyumbani kwake kisarawe.
Adams aliondoka ofisini nakuwasha gari lake nakuelekea
kwa kisarawe nyumbani kwake.
_______________
Sulee ni nani huyo nakama yupo
nibora umwambie ukweli
kabisa”
“Mbona anajuwa nasiyo mwingine
ni wewe dokta nakupenda uwe dawa ya moyo wangu naomba unitulize akili yangu Adams nimempendea pesa zake lakini siyo kwa mapenzi”
“sulee acha acha wewe
hauoni hatari hii ona Monica kaja
ni Rafiki yako haya Adams ni Boss wangu aah ah aaa unanichanganya sulee”
“boss atabaki kuwa boss na Rafiki yangu atabakia kuwa Rafiki yangu
tuta fanya siri kati yangu na yako
naomba iwe hivyo onyo ukikataa takupotezea kazi yako”
kisarawe akawa mpole nikama teja aliye pata dozi ya unga
sulee aliinuka nakumshika shingoni nakuusogeza mdomo wake ulio jaa lipsitic mbele ya mdomo wa kisarawe alipo ona hashtuki aliugusanisha mdomo wake nawa kisarawe akachomoa ulimi wake akaukaza nakuingiza katika mdomo wa kisarawe
Sulee hakuona aibu mbele ya watu wengi aka upekecha pekecha nakuanza kuuzungusha ndani ya mdomo wa kisarawe.
Kisarawe akahisi joto katika mwili wake aka tetemeka naku shusha pumzi nzito puani uphuuu pumzi iliyo sababisha kutoka kamasi zilizo mlukia sulee katika pua yake.
Sulee akazilamba kutumia
ulimi wake.
“baby kisarawe unaonaje tuingie
katika chumba hapa gest”
“sawa sawa tuu sina lakusema mimi mamlaka unayo wewe
mimi nipo nipo tu eeh”
sulee akachukua chumba
nawakaingia ndani nikama walikamiana wali fika kitandani wali jitupa na kazi ika anza
shuguli ilikuwa pevu sana
ndani ya dk25 walisha fungana
gol 2 kwa 2
wakiwa katika kasi ya ajabu sana
kila mtu alikuwa akimwonyesha ufundi mwenzake
kama kawaida sulee alikuwa mkali sana kwa kisarawe aliye jaliwa na fimbo ya musa iliyo na nguvu na ndefu kisarawe alikuwa aki cheuwa mara kwa mara kwajinsi mtalimbo ulivyo kuwa ukifumuwa alihisi kutapika pale mtalimbo ulipo kuwa uki chimbua
ilikuwa noma sana.
Simu ya sulee ilikuwa ikiita
lakini ilikuwa kelo kwao ilizidi kuita mara kadhaa lakini haikupokelewa hawakujuwa ilikuwa ikitoka kwa nani maskini ya Mungu daah walikuwa wakikalibia kilele cha madavi davi
yao kila mmoja ali maliza kwa sekunde zao zilipishana kama 20
wakiwa wana vutia kasi yao
simu ya kisarawe ika ita mara ya kwanza ika ita mara ya pili
kisarawe akainuka nakukuta jina la Adams boss ali dhohofika sana
alilegea na kukaa chini ya kitanda.
“vipi mpenzi”
“Adams bwana kapiga”
“kweli achana nae bwana
hana maana kwetu”
“eeh hana nini”
“hana maana kabisa au ndiyo alipiga na kwangu”
sulee aliangalia misscall alikuwa tano kutoka kwa Adams.
“mungu wangu ni yeye vaa halaka halaka tuondoke
zetu”

 “SAWA twende”
Tuliondoka mpaka nyumbani
kwetu kisarawe akaniacha nyumbani Ane akaelekea kwake
nyumbani.
“karibu Mume wangu”
“Asante, Tumbo lina uma sana”
“kunywa dawa hizi hapa wenda lita tulia”
“Asante Monica”
Akanywa dawa kisha akapumzika
katika kochi. Dk 25 Adams akawa amefika nyumbani kwa kisarawe
akagonga mlango ukafunguliwa
akaingia nakumkuta kisarawe ame lala katika sofa.
“vp kaka”
“daah kiasi”
“kivipi”
“Tumbo lina uma sana”
“mmh limeanza sangapi”
“kama saa moja hivi nilikuwa nime lala”
“kweli kaka”
“yah”
“mbona simu hukutaka kupokea”
“Adams usingizi tatizo uwenda
nilipitiwa”
“ok sawa maana ulikuwa haupokei pia sulee nae hapokei
nilichanganyikiwa sana
ok acha niende nyumbani”
Adams akawasha gari
mpaka nyumbani aliingia ndani
nakumkuta sulee nae kalala sakafuni akiwa hoi.
“ehe vp mpenzi mbona hivyo”
“kichwa kina uma”
“sangapi tena”
“kama saa moja lililo pita”
“mh, ndomana ulishindwa kupokea simu yangu mara5”
“ndiyo”
“pole sana mpenzi wangu, mmh mwa mwa”
Adams akabadilisha nguo
na kuingia katika chumba cha mazoezi alifanya mazoezi huku
akiwaza nijinsi gani habari zilivyo
fanana kati ya sulee na Kisarawe
aah hivi ndivyo uwa hatutaki kuowa maana ina tia uchungu sana siunaweza uka uwa?
Alijisemesha Adams huku akinyanyua chuma .
“sulee mpenzi wangu
una nipenda”
“ndiyu mpenzi ndomana nipo hapa”
“ooh vizuri ila kuwa hapa iwenda kukawa na mambo mengi sana
kuna maapenzi
kuna pesa
kuna kuiba
sijajuwa upo kwajili gani?”
“kwa nini unauliza hivyo”
“itajulikana siku moja
nibora uniweke wazi Adams hivi na hivi nijuwe”
“hapana sina tatizo na wewe”
“sawa mimi nakupenda sana
naukumbuke mimi ndiye niliye kuanza kukutamkia nakupenda siku ya kwanza nilipo kuona Dar hospital”
“nakumbuka sana”
baada ya siku5
“kuna nini kinacho endelea
kati yako na Adams”
“kwa nini Monica wauliza hivyo”
“mh naona Adams kabadilika
siyo mchangamfu kabisa yani ucheshi wake umepungua
napia haji hapa mara kwa mara
kututembelea”
“hata mimi sijuwi mpenzi
wangu”
“mh ila siyo kawaida kuna jambo
hapa ita faamika tu na ninahitaji kujuwa nakama kunajambo baya
nakuomba achana nalo tafadhali”
maisha yaliendelea
kwa kuibana kati ya sulee na kisarawe kama kawaida yao waliweza kwenda mbali
kutumia gest zilizopo huko
kufanyia maovu yao,
“Shemeji sikuhizi nikama hauna furaha kabisa kwa nini”
“nipo sawa shemu kwani kuna nini”
“mh shemeji haupo sawa
kabisa nimekuzoeya kwa mda mfupi sana ulikuwa mchangamfu sana lakini kwa sasa naona haupo vile”
“shemeji Monica tutaongea kesho
sawa kuna mengi sana ya kuongea lakini leo sipo vizuri kichwa kinauma”
“sawa shemu kazi njema”
“ume tokea wapi kwani”
“Mtoto anaumwa nampeleka
hospital”
“pole sana chukua hii elf30
utamnunulia dawa”
“asante shemu ila kesho takutafuta mr Adams”
“sawa usijali…

BAADA ya siku mbili mbele
Monica na Adams walikutana
katika bar mmoja acasia iliyopo
maeneo ya Mawenzi waliongea mambo mbo mengi sana
juu ya utofauti wa Sulee na Kisarawe.
“yaani shemeji sikuhizi Sulee simwelewi kabisa yani
mambo mengi yana enda tofauti na mwanzo alivyo kuwa”
“Adams ni kweli kabisa hata Kisarawe hata kimwili hataki kukutana na mimi kabisa sijajuwa nini tatizo”
Walipanga mkakati wakujuwa nini kinacho sababisha.
“kaka kisarawe sasa hivi nakuona haupo sawa kabisa mpaka katika utendaji kazi wako ume shuka kabisa sijuwi kwa nini”
“Nipo sawa Adams wala hakuna tatizo”
“no no Tatizo lipo mwanzo ulikuwa ukijituma sana katika kazi
achilia mbali kazi hata kwangu umekuwa mtu wakujitenga kwangu sijajuwa nini tatizo pia
page zote za kutangazia biashara hauja post mwezi sasa”
“nikweli kabisa”
“kaka angalia sana Kazi ndiyo maisha yako na starehe zipo zita zidi kuwepo sawa upande wangu mimi naweza kukaa bila mwanamke tena bila kupungukiwa kitu chochote”
Kisarawe hakuwa na uwoga kabisa alisha data na penzi la sulee, sulee nae ali data na penzi la kisarawe, Adams alisha juwa nini kinacho endelea kati ya sulee na kisarawe hakuwa na hamu ya mapenzi tena na sulee alimuona kama mnyama mbaya sana alishindwa kumwambia Monica kuhusu ukweli huo aliogopa wata achana na Monica na Mtoto akawa katika wakati mgumu sana
pia Adams hakutaka kuwaambia ukweli Sulee na kisarawe alihitaji siku mmoja awafumanie live
hapo ndipo atakapo chukuwa uwamuzi wake.
“sasa ima sikia Asante kwa kazi
hiyo nzuri ila nataka siku niwafumanie live macho kwa macho ndipo nichukue maamuzi”
“wewe tyuu kaka”
“sawa kuanzia leo ukiwakuta ni shtuwe”
“poa”
Maisha yalisonga Raha za kujificha
ziliendelea kati ya Monica na sulee.
“sulee mpenzi wangu una nipenda”
“Adams kwa nini wauliza hivyo”
“nijibu kwanza”
“ndiyo zaidi ya sana”
“siyo kweli, na je mimi na kupenda”
“mmh yes yes”
“hapana sulee”
“kwa nini Adams”
“ok mpaka leo miezi mingapi
hatuja sex”
Sulee hakujibu kabisa Adams
alibakia kuwa bubu.
“haya huni jibu sasa hapa kuna mapenzi kweli ,mbona huni jibu
sina ongea nawewe, ok kaa kibubu bubu itafaamika tu”
Kisarawe alijiludi kimapenzi
kwa Monica, Monica alipata faraja
kwa Muda mchache.
(Hapa inatakiwa niwe mjanja sana
kwa Monica mama mtoto wangu
takuwa naonyesha mapenzi sana
ili asinishtukie ili ajuwe nampenda
lakini takuwa nakula Tamu ya sulee mwanamke kajaliwa
mpaka nakoma yani)
aliwaza kisarawe jinsi yakufanya
kwa Monica lakini upande wa sulee haukuwa hivyo.
Unapo chepuka kumbuka usimdharau mkeo au mumeo.
Fanya mambo yako kisiri siri.
Baada ya mwezi kupita.
“kaka njoo hapa The king hotel
sasa hivi nime waona wakiingia
sulee na jamaa mmoja hivi.
Ilikuwa saa7 mchana ambapo kisarawe nilimtuma kwenda
kihonda hapo alitumia kama ndiyo nafasi yake kukutana na
sulee.
“leo sulee tukae saa moja tu naenda kihonda boya kanituma”
“aah baby fanya ma wili mpenzi”
“sawa”
Adams na ima kijana aliye mpa kazi walingia mpaka akaunta
akauliza majina yawale walio ingia.
“wameingia kama dk15/20
kavaa shati nyekundu”
“aah yah yah, wapo chumba namba 20”
waliingia nakweli walipo gonga
mlango walipo funguliwa walikutana macho kwa macho
sulee na kisarawe wakimtazama Adams aliye shika koti
mikononi akivua mawani yake
akiwatazama sulee na kisarawe.
“safi sana safi sana, good sulee
good kisarawe inaonyesha mna pendana sana ok mkimaliza tuta onana, sulee tutaonana nyumbani ,kisarawe kaka bado nakuhitaji
tukutane kazini ok”
Adams aka mpa busu sulee tena mdomoni lililo mpa maumivu Moyo, sulee alibakia akiinamisha kichwa chini.
“sulee nina kupenda sana nadhani una tambua hivyo ila Utanisamehe kwa maamuzi yangu mazito takayo yaamua hapa ,sulee naomba tuachane
naona wewe siyo mwema katika mapenzi nakuacha kwakujuwa ubaya wako ulio nitendea nakutakia maisha mema chukua hii pesa ni milioni2 zitakusaidia mbele ya safari katika maisha yako”
sulee alilia sana majuto ni mjukuu
akaondoka zake sulee nyumbani kwa Adams.
“kaka kisarawe najuwa umenikosea lakini sikuoni kama unakosa ila mwanamke ndiye anakosa sasa naomba kaa na mkeo mtunzeni mtoto wenu sawa bado nakuitaji kazini kwangu
naomba uzidishe juhudi ya kazi
kama mwanzo pia ludisha mapenzi yako kwa mkeo Monica
umalaya haufai kaka usha fanya sana kila mwanamke ume mfanya je ume pata nini maishani mwako
hakuna zaidi yakujichosha pigana na maisha kaka, sulee nime mfukuza ok”
Adams alikaa zaidi ya miaka
mi5 bila kufikiria kutafuta mwanamke japo kuwa janeth mfanyakazi wake wa iringa alizidi kumsumbua kimapenzi Adams alitambua jinsi gani janeth alivyo kuwa akiumia juu yake.
Adams aka msaidia kisarawe
kufanikisha kufunga ndoa ilikuwa ni sherehe kubwa sana hapa morogoro, pia baada ya miezi miwili mbele ya harusi ya kisarawe na Monica kupita Adams na janeth walifunga ndoa nao.
Sulee alipoteza mwelekeo kabisa wa maisha yake akawa yupo yupo
mitaani.
Adams na janeth walizaa watoto
wawili wa G-B wana Amani

MWISHOO

DOKTA MIMI SIUMWI HUKO – 4

DOKTA MIMI SIUMWI HUKO – 4



Chombezo : Dokta Mimi Siumwi Huko
Sehemu Ya Nne (4)

Hata wewe uliamua kuacha
kuniambia mapema mpaka
Mimba yangu imetoka aaaayi
M’baya sana wewe nakuchukia
wewe na shangazi wauwaji kabisa nyie nibora usingeniambia tu Mimba imesababisha niachike
leo hii inatoka/naipoteza kirahisi hivi hapana haiwezekani kabisa”
“Sulee Nimejuwa baada yakutoka
ndipo aliponiambia mimi kosa langu likowapi kukuambia au?
Kumbuka sulee Tatizo lako ndiyo langu nisingeweza kukuficha mimi wangu namimi naumia sana sulee shangazi aliniambia baada ujauzito wako kutoka”
“unaongea yana uhakika hayo”
“ndiyo”
“unaniakikishia vipi mimi nikuamini”
“Naapa mbele ya Mungu kuwa, haya nayo yasema mimi Monica niukweli mtupu”
“basi sawa” Sulee na Monica walikumbatiana
huku sulee akilia kwa uchungu sana:
Eeeh Mungu naomba unisamehe
kwa mambo yote niliyo mtendea Mume wangu popote alipo naomba umlinde naumpe Moyo wa kunikumbuka:
Alipokuwa akisari sulee simu yake ikawa ina ita Alipo itazama alikutana na namba iliyo ishia na 78 ilikuwa ningeni kwake akapokea.
“hallow nani mwenzangu”
“Adams j Maryo jr.
Upo wapi sahizi”
“oooh nipo home nw”
“ok upo na nani”
“nipo na ndugu yangu”
“poa sasa tutafanyaje sulee”
“kivipi”
“nilitamani tuonane
kama utakuwa una Muda”
“e eeeh yap ninao”
“asante Mimi nipo Mikocheni”
“swa kwahiyo”
“naomba tukutane Tegeta Africa sana”
“poa sasa hivi naja”
“ok nakusubiri”
Yalikuwa ni maongezi kati ya sulee na Adams wakipeana ahadi
yakuonana kwao, sulee Akajiremba safi akiwa mlangoni akitoka alikutana na shangazi yake.
“Afadhari sana tumekutana”
“kivipi sulee mbona kama una jazba vile”
“hujuwi eeh hujuwi”
“nijuwe nini mie”
“sikia wewe hivi unajiskiaje
mimba yangu ilivyo toka”
“mbona nikawaida tu”
“kawaida eti, kwahiyo umefurahi”
“mh kivipi”
“wewe ndiyo uliye sababisha
haya niambie nia yako sasa”
“mbona sikuelewi sulee”
“hunielewi eee haya sasa
njama yako uliyo ifanya
imejulikana eti ukafanya njama na dokta wako aseme mimi naukimwi ili Mume wangu aniache pia mimba yangu itoke
nanimebaini shangazi wewe ni muuwaji sana sikupendi sikupendi”
“mpumbavu sana wewe leo mimi muuwaji kwa nini nisinge kuuwa tangia mdogo eeeh huni pendi kwani mimi ndugu yako shenzi wewe huruma yangu niliamuwa kukulea kama mwananguz/mtoto wandugu yangu mpaka leo jitu kubwa umesha ota mapembe basi unavimba kichwa nilikutuma ukafanye ujinga wako ulio kufanya uachike eeeh”
Shangazi alinisimulia kila kitu katika maisha ya wazazi wangu
mpaka wakafariki iliniuma sana Moyoni nikawa sina jinsi yakufanya.
ghafla simu yangu
ikaita nikatazama nikaona namba
ya Adams japo siku isevu niliikumbuka.
“hallow”
“vp mbona kimya hivyo”
“ooh nilikuwa nakikao naja nipo njiani”
“ok wahi basi”
Nilitoka bila kuaga
“ukiona nakubana usirudi hapa”
“sawa tyuu”
Nilimjibu hivyo kwakuwa nilikuwa nina hasira sana
safari yakwenda Tegeta ilianza
nilikodisha tax njiani nilikuwa nina mawazo mengi sana
hata kufikilia uwito wakwenda kwa Adams nilikuwa sina kabisa”
_________________­__­____________________­_
Ehee nini kilicho kutuma umwambie Sulee kuwa hana ukimwi na kuwa mimi ndiye niliye fanya mpango huo”
“shangazi sijamwambia mimi”
“amejuwaje”
“alikuwa akilalamika
kichwa kinauma alienda kupima
kaniambia alipima kama kinga zime shuka au zipo juu alipopima aliambiwa kuwa hana H.I.V.
Nihapo alipo juwa, pia akaenda kwa dokta tuliko endakupima sikuile alimpeleka mahakamani
ndiyo alikutaja kuwa wewe unahusika shangazi”
“unajifanya mjanja eeeh
subiri”
______________­__­______________
dk45
sulee alifika Afica sana alipo
kuwepo Adams aliye tulia
katika baa ya, Mango garden.
Alikuwa hana wasiwasi akiwa
anakunywa juice ya embe.
Talatibu sulee alitokea katika lango kubwa alikuwa akizubaa zubaa akiangaza angaza kushuto kulia akimtafuta Adams alipo kaa
Adams alipo muona alimuita Muhudumu hakutaka kupiga simu.
“dada tafadhari naomba niitiye
yule dada aliye vaa nguo za pink
getini”
“sawa kaka”
Dk2 zilimtosha sulee kufika katika eneo alipokuwepo Adams kijana aliye kuwepo katika pozi matata ndani ya suti maridadi sana manukato yake yalikuwa mazuri sana hakika alitokerezea mbaya.
“mambo vp mrembo sulee”
sulee alivuta pumzi uuuu phuuu
“safi Mr zatokea siku ile”
“nzuri tu samahani kwakuto kukupigia sikumbili zilizo pita
nilikuwa na mizunguko sana”
“ooh wala usiwaze kwahilo
hata mimi pia nilikuwa na mambo mengi sana”
“kuna tatizo”
“mhh yah yah”
“vp kifamilia au kibinafsi sulee”
“naweza sema kifamilia pia yangu binafsi pia”
“pole sana siwezi kujuwa”
“mmh mapema sana Mr”
“ok usijari “
Adams aliinuka katika kiti
alipo kaa.
“sulee samahani naenda
choon”
“ok ok”
Adams alipokuwa akielekea
choon macho ya sule yalikuwa mbele kumtazama Adams
aliye valia suti ya Rangi ya maziwa iliyo mpendezesha sana.
“mmh huyu kaka mzuri…!

Sana sijuwi ataniambia nini
atakacho niambia kazi kwake ngoja arudi sasa atanijuwa tyuu.
Samahani Sulee kwakuchelewa”
“bila samahani,mpendwa”
“Ehee nipe story”
“nakusikiliza wangu sikuile ilikuwa juu juu”
“nikweli kabisa, Muhudumu tafadhari njoo”
“naam kaka”
“sulee agiza unacho taka
kuwa huru”
“Nipe maji baridi sana”
“mmh sulee maji”
“yaah, yana tosha”
“hapana,dada niitie na yule
muhudumu wa jikoni”
“sawa kaka”
Tuliendelea kuongea
mawili matatu.
“Kaka nimekuja kusikiliza uwito”

“ndiyo tuna taka nyama mbuzi kilo2 na ndizi 8 sawa haraka”
“ok sasa hivi”
_________________­__­____________________­
“sulee naona hauko sawa
kwa nini”
“yah sipo sawa Adams”
“tafadhari naomba niambie”
“Adams takwambia nipo katika
wakati mgumu sana mihivi
_________________­__­____________________­____ Yah Huyo mwana ume sijuwi mpaka leo alipo na hapa nimetoka kugombana na shangazi yangu nanimemuacha Monica ambaye mwenzangu ana mtoto
sasa baada yakubaini kuwa shangazi ndiye aliye nifanyia mpango huo ilinionekane nina H.I.V .nimetokea kumchukia sana
nimuuaji kasababisha mimbaya yangu itoke ambayo iliyo sababisha kuachana na mume wangu ambaye nilimpenda sana”
“umesema huyo dokta anaitwa nani”
“simkumbuki jina kwakuwa yamesha pita tuachane nayo
Adams”
“ok sasa umegombana na shangazi yako itakuwaje utaenda kuishi wapi”
“sijajuwa taenda kilosa kwa Rafiki yangu ana fundisha huko”
“mh!”
“mbona una guna”
“yani uzuri wako huo ukakae bush”
“ndiyo kuna tatizo kwani”
“ndiyo huoni”
“sioni”
“utakuwa mzee kibibi asee”
“sasa tafanyaje”
“ok nataka nikupeleke Iringa kuna
kampuni yangu pale”
“ya nini”
“najishugulisha na uuzaji wa magari natoa japani naingiza tanzania kituo kikubwa kipo morogoro”
“kweli Adams”
“ndiyo”
“tashukuru sana jamani”
“wala usijali uaminifu kitu bora kwangu utaona mafanikio yako
uta sahau shida zote sawa”
“Adams ooooh asante siamini”
“sawa sulee ukiwa tayari utanijulisha mimi naondoka kesho leo talala hapa hapa katika hotel hii asubuhi naondoka zangu”
“Adams Mimi sirudi kwa shangazi tena kama upo tayari tuondoke wote sawa”
“ok hakuna shida “
Nyama ndizi zilikuja tukala
mpaka zikabakia muda ulikimbia
ilikuwa saa5 usiku Nilikuwa nikisubili chochote atakacho sema
muda wote nilikuwa katika sura ya furaha najinsi macho yangu yalivyokuwa yakulembua yalimpa shida Adams aliye onekana akiwa ana hangaika akitaka kusema kitu ambacho alishindwa kunitamkia.
*huyu sulee kwakweli mrembo sana sijuwi nimwambie ukweli kuwa tuka lale wote, lakini atajuwa mimi maraya mmh angalia jicho lake uwiii jamani naumia mimi aaaah*
Alijisemesha Adams.
*mmh Adams ananivutia jamani
zaidi ya mwanaume lakini anaonekana muoga sana ah ananichelewesha mimi nahamu nae kwakweli ana vutia*
kila mmoja aliwaza anacho jua
mwenyewe akilini mwake lakini nani amuanze mwenza wakawa akiogopana.
“sulee tuingie ndani sasa”
“sawa”
“Dada tupe chumba kingine “
“ok namba 115 nikizuri karibu”
“sawa”
“sulee nadhani kitakufaa”
“yaah kizuri sana”
“tena wewe ni 115 mimi
ni 118″
“kweli adams tupo jirani sana”
“ok usiku mwema”
“nawe pia”
tulipo agana
ndani ya dakika 40 nili inuka kitandani nakufungua mlango nakutembea mpaka katika mlango wa chumba namba 118
nilinyosha mkono nigonge mlango lakini moyo ukasita nikaegemea ukuta nikiwaza nifanyeje sasa nigonge au naakifungua tamwambia nini Adams.
_________________­__­___________________
Adams nae ndani katika chumba chake alikuwa kaamka akiwaza njia yakuingia katika chumba cha sulee namba 115 alitembea mpaka mlangoni aka nyonga ufunguo mara ya kwanza sulee alipo sikia alitimua mbio mpaka chumbani kwake na kujifungia
nakuegemea katika mlango.
Adams alinyonga ufunguo mara ya pili mlango ukafunguka
akatemea kama atua 8 alifika katika mlango wa sulee
aliushika mlango na kushusha pumzi uphuuu akageuka na kuegemea mlango wa chumba cha sulee alikuwa kaishiwa nguvu
Adams aliwaza sana Sulee atanifikiliaje kumgongea usiku huu naje akitoka tamwambia nini
tarabiiibu alirudi chumbani kwake Adams alionekana hana furaha kabisa.
Saa9 usiku sulee aliamka
nakwenda katika chumba cha Adams kwakuwa alishajuwa azma yake Adams nae.
Safari hii nagonga tu mlango potelea mbali”
Sule alifungua mlango wake
na kutembea taraatibu mpaka mlangoni mwa Adams…

Sulee aligonga mlango
mara mbili Ulipofunguliwa
Adams aliuliza “vipi sulee kuna tatizo”
“ndiyo Adams”
“lipi”
“Usingizi sipati kabisa”
“kwa nini”
“hapa tupo mlangoni naomba
tuingie ndani nikuelezee vizuri”
“ok ingia”
Nilimweleza yangu ya moyoni
sikuficha hata kidogo jinsi navyo mpenda sana Adams
nilinyanyuka nilipo kaa nakwenda
jirani na alipo kaa Adams.
“Nakupenda Adams
niamini japo sijakufahamu kiundani sana ila umetokea kunifutia sana sina nia mbaya na wewe ni moyo wangu ulio dondokea kwako plz naomba unikubalie.”
“sulee sawa nimekuelewa
lakini nataka kukusaidia tyuu
kimaisha nikupe kazi”
“sawa lakini tunaweza kuwa wapenzi huku kazi ina fanyika
vizuri”
“sulee kazi na mapenzi
haiwezekani kabisa”
“najuwa sana ila mimi kwangu haipo hivyo niamini”
“sulee siyo leo nipe Muda”
“sawa ila siwezi kulala peke yangu chumba kubwa vile”
“kwa hiyo”
“tulale wote hapa hapa”
“itakuwa ngumu”
“sawa basi nipe nauri ni Rudi
nyumbani”
“sahizi usiku sana Sulee”
Nili anzisha vurugu patashika
mle ndani mara nikae vibaya
kwenye sofa lililo
kuwepo ndani mara nijilaze kitandani imradi nimpe matamanio Adams ili akolee
lakini Adams alikuwa jasiri sana
“sulee basi nimekubari
tulale wote sawa”
Nilifurahi sana nikaanza
kuhisi joto la Adams likitoka kifuani kwake Nilipanda kitandani
fasta nilijuwa anaweza akabadirika’
“sulee basi keukia huko
mimi na geukia huku”
“aaah tena jamani”
“sasa unatakaje”
“unikumbatie jamani”
nilideka sana lakini
haikuwezekana kabisa:
_________________­__­____________________
Adams mate yalikuwa yakimtoka
kwa Sulee lakini alihofia kuwa sulee wenda ana ukimwi kweli
*siwezi kufanya mapenzi nae bila kupima*
alijisemea moyoni
kwake Adams hakuwa nawazo
la kufanya uamuzi wakufanya
ngono na sulee.
Tulilala mpaka asubuhi
tulipo amka tukajiandaa
kwaajili ya safari ya kUnipeleka
Iringa katika ofice aliyo nihaidi
sehemu takayo fanyia kazi
nilifurahi sana kwakuwa
nilimueleza ukweli wangu wakumpenda Adams nilisha utua mzigo ulio moyo..

 Kwangu juu ya Adams
“ingia katika gari Sulee”
“sawa mpenzi”
“hahaa sulee bwana nishakuwa
mpenzi mara hii khaa”
“sasa hautaki”
“ujuwe sulee nimekaa mimi muda mlefu sana bila kuwa na mwanamke unaweza kuamini”
“hata kidogo kwajinsi ulivyo
hivyo sitaki unidanganye”
“amini amini nakwambia ukweli mtupu”
“sawa bac najuwa Tafaidi
sana utakuwa mchumba/mume Bora kwangu”
“hahaa acha utani bwana.
________­__
Monica alianza kuteseka sana
pale nyumbani kwa shangazi
yake sulee hakujuwa aende wapi
kila mara alijaribu kupiga simu ya sulee lakini haikupatikana
alijuta moyoni safari ya kijijini
ilimuita lakini aliwaza sana
(Nina umbo zuri sana lakumtamanisha mwanaume yeyote sasa yanini nirudi bush nikataabike hapana siendi
labda nimtupe mtoto ili nianza maisha mapya
lakini nilimsariti mume wangu kisa kupata mtoto leo nimtupe hapana labda nitapanga chumba
kimoja mchana takuwa na mwanangu usiku tamfungia ndani
kisha takuwa natembea katika mabaa ili nijiuze kwa wanaume ili nipate pesa)
aliwaza jinsi yakufanya Monica
ili atoke katika mateso hayo
anayo yapata kwa shangazi yake sulee aliye geuka kuwa mbogo.
“Umesababisha sulee akimbie hapa ndani utakoma Nibora uhame hapa ndani sikutaki kabisa
sawa usije ukanifia humu ndani
mshenzi wewe”
“shangazi kosa langu mimi nini”
“ebu tulia huko sawa takumwagia mafuta yamoto haya sawa napokuwa naongea mimi wewe
kaakimya sawa”
“sawa shangazi”
“pumbavu weee paa paa paah(makofi) Nani shangazi yako
eeeh”
Mateso kila kukicha yalizidi
Sikumoja walikuja wanaume wa3
nyumbani kwa shangazi
Alikuwepo Monica peke yake
sebuleni akiangalia TV.
Walipo kalibishwa ndani walikaa
katika viti.
“karibuni wageni”
“asante anti Merry yupo”
“ni nani huyo kwani”
“mmh kwani wewe mgeni hapa”
“siyo sana nashangaa ilo jina
ni geni kwangu”
“ooh Jina lako ni nani”
“Monica”
“jina Zuri sana kama
umbo lako”
Aliongea jamaa mmoja
CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
aliye kuwa ana madevu kama
osama.
“vizuri sana sisi ni watu wakazi
tumekuja hapa kufanya tukio kwa Anti merry tuna mdai nakama hayupo tuna omba zawadi kutoka
kwako sawa”
“zawadi gani tena hiyo kutoka kwangu”
“aah hujuwi tunataka penzi lako utupe sisi wote kama tulivyo.
(Wakati huo mlinzi alikuwa akikoloma kama time hizo zilikuwa saa8 za usiku kumbe ilikuwa ni mchana wa saa6
hakujitambua kabisa)
“noooh hapana siwezi mimi
nyie vipi”
“hutakieee utafanya kinguvu tu”
“Abuu mkamate miguu”
alisikika mmoja akimwambia mwenzake hivyo.
Walipo kuwa katika jalibu hilo lakutaka kumbaka Monica
Monica alikuwa na nguvu zaajabu sana hata yeye alijishangaa aliko zipata wapi alipambana na wanaume hao wa3 huku akipiga
kelele za hari ya juu
alimpiga mmoja teke la kwenye kolodani jamaa akadondoka chini
nakupiga kelele za nguvu sana
zilizo mshtua mlinzi nje aliye kuwa ana sinzia mchana.
Mlinzi aliamka akiwa amechoka sana naaliye kuwa kama mtu aliye lewa kumbe alikuwa ( Kapuliziwa madawa ya kulevya )
Alijiuliza imekuwaje mpaka
yupo katika hari hiyo’ na kuna nini huko ndani kuna kelele hivyo
hakupata jibu.
Mlinzi aliingia ndani
na bunduki yake mkononi
alipo chungulia dirishani alikuta
Monica akiwa amelaliwa juu na Mwanaume huku mmoja akiwa
kamshika mikono na yule mmoja
alikuwa pembeni kashika
sehemu zake za siri akiugulia maumivu.
Mlinzi ali ongea kwa sauti ya juu
nyie wapumbavu acheni ujinga wenu sawa”
walipo shtuka walikimbia kwakutokea mlango
wa nyuma mlinzi aliwafukuza
na kupiga Risasi paa paa
aaaaah uuwiii
zilikuwa sauti za mmoja wao na wale watu.
Alikuwa kapigwa mguuni
alichukuliwa mpaka police
kuojiwa vizuri.
Monica alikuwa salama japokuwa
alikuwa kavimba kichwani kwakujigonga katika
kabati.
Mharifu alihojiwa kwanini walitaka kufanya tukio hilo
alijibu baada ya kuteswa sana
“Ni kwamba Anti merry alitutuma
tumbake Yule dada ili tumwambukize ukimwi sisi wote
ni waasirika wa H’I’V”
“kweli mna uwakika”
“nindoyo”
Monika aliona kama Mungu
ndiye kila kitu kwake kwakuponyeka katika tukio ilo.
Shamgazi alikamatwa na kufungwa kutokana nakuwa ana pesa alihonga na akatoka.
wakati huo Monica alikuwa akiishi
nyumbani kwake alipanga chumba kimoja kazi yake ilikuwa
yakujiuza lakini kila akipata bwana aliishia kuongea dau
na kuachwa bila kuchukuliwa
kila siku ilikuwa hivyo
hakupata mabwana wakulala nao
hali ilizidi kuwa mbaya sana
njaa ilizidi kumtesa monica
siku moja alimsimulia shoga yake neema kila kitu
kutokana nakuto pata mabwana
watakao mpa pesa.
“Monica nenda kwa mganga wewe kila kazi ina dawa ya kuvutia wewe haushangai umbo lako zuri hivyo ukakosa mume yani wewe ungekuwa namba moja kila siku kuchukuliwa
hapa ujanja upo shosti wangu”
“mmh kweli Neema”
“kalaga baho utazidi kuchina”
_________
ni kweli Adams
nakupenda sana kwakweli
yani natamani niwe mkeo
uwe mume wangu”
“sulee morogoro tumesha fika
hapa naomba tulale kesho nikupeleke Iringa sawa”
“haina tatizo kabisa”-
Ilikuwa saa12 jioni.
“sule ngojea nimwite meneja wangu anae nisaidia umuone”
“sawa..

Tambaa nayo sasa..
Ukisha muona tuta lala kisha kesho itaanza safari ya kwenda iringa”
“Mimi sina tatizo kabisa yani utakacho niambia mimi nipo tayari”
“ok tumesha fika hii ndiyo kijumba changu kinacho nihifazi
kwa kulala na kuishi jumla”
“Adams mmmh kijumba
nyumba nzuri hivi”
“haha hapana mbona ni yakawaida sana”
“bac sawa uonavyo wewe”
Tuliingia ndani kulikuwa nakila kitu kilicho enea nilikaa katika sofa zilikuwa ni sofa zakujaza na upepo nilijisikia Raha sana
dk chache nilisikia simu ikisubiliwa kupokelewa.
“hallow Big upo wapi”
“nipo home kwangu”
“unaweza ukaja mara moja”
“sawa nipo tayari maana tulikuwa
tuna kikao kanisani”
“poa njoo nyumbani kuna mgeni
wangu uje umsalimie sawa”
“naja sasa hivi”
_________________­__­____________________­
yalikuwa maongezi yakwenye simu baina ya Adams na dokta kisarawele.
Baada ya nusu saa
Kisarawe alikuwa jirani sana
na nyumbani kwa Adams sekunde kadhaa alikuwa kisha fika
nje ya nyumba ya Adams
kisarawe alipokea simu yake
kisha akaanza kuongea.
“oooh nili sahau boss na hata hivyo data zote nimeacha katika compyuta ipo nyumbani”
“nataka sasa hivi nijuwe
ubora wake ulivyo wahizo gari sawa nitumie ili niwajibu wadhamini sasa hivi wana taka
nakupa daki45 unitumiye katika
mtandao sawa tuna taka gari 24″
“ok sasa hivi nivutiye subira”
“hakuna tatizo”
Kisarawe alimpigia simu
Adams aliye kuwepo ndani.
“Adams sita weza kuingia ndani
kuna kampuni ina taka gari kama 24 sasa wanataka
maelezo yake ya ubora ngoja nikawatumie ili tupate kazi”
“dakika mbili ingia umsalimie”
“hapana tachelewa”
“big kesho nampeleka iringa
huwezi ukaonana nae, basi ngoja tuna kuja nje”
“sawa”
Adams na Sulee walipo toka nje
hawakumkuta Kisarawe ambaye alipewa jina na Adams jina la Big kiutani”
“sijuwi vipi huyu kasema sawa anasubiri kaondoka aah”
“lakini salamu na kazi bora nini”
“kweli sulee bora kazi ndomana
huyu kaka nampenda sana anajituma sana katika kazi”
“yani Adams shukuru mungu kwakupata mtu anae jari sana kazi yako kama yake mafanikio ladhima upate tu”
“sulee kweli kabisa tokea nimpate huyu kaka mambo yangu kila siku yanazidi kuwa supe siyo siri”
_________________­__­____________________­
Kisarawe alipo fika nyumbani kwake alizituma data zote za sifa za gari hizo aliludishiwa taarifa kuwa wamelizika nazo na wakaongeza 6 tena nakufikia gari30 wapeleke kwa awamu mbili yakwanza 15 baada ya mwezi 15 tena kisarawe alifurahi sana kwakupata diri hilo
alimpigia simu Adams kuwa diri limekamilika.
“gari 30 zinahitajika kwanzia sasa”
“kweli”
“yes, boss”
“usiniite boss niite hata mdogo wako sawa tyuu inapendeza”
“sawa Adams tukutane kesho”
“kesho asubuhi sana nataka nimpeleke iringa huyu dada etu katika ofice yetu”
“ina pendeza ila ni mwaminifu,pia unamfahamu kiundani sana”
“kuhusu uaminifu ondoa shaka kila mari yamtu huwa ina ulinzi hakuna tajiri yeyote awe na mari nyingi ikakosa ulinzi kuhusu kumfahamu ni story ndefu sana tutakuja kuongea nikirudi sawa”
“sawa Adams nawatakia safari njema”
“ok”
_________________­__­____________________­
Walipo fika Iringa Adams alimtambulisha sulee kwa wafanyakazi wenzake.
“jamani mpeni ushilikiano wenu huyu mgeni sawa kama kawaida akikosea mpeni somo nadhani ataelewa tyuu ugeni uwa unasumbuwa sana mahari popote pale, mimi narudi zangu Morogoro sawa dada janeth utakaa na sulee nyumbani kwako sawa”
“sawa boss , karibu sana sulee
uwe na amani sana”
“asante janeth”
_________________­__­____________________
Adams alianza safari yakurudi
moro, Sulee nae aliongozana na janeth kurudi nyumbani wakiwa ndani ya gari ya ofice nyumbani walikokuwa wakienda ni nyumba ambayo ni ya Adams aliyo jenda kama sehemu ya kuwekea magari na vifaa vya magari yani spea zilizo tumika na mpya pia.
“janeth maisha ya hapa iringa yakoje”
“mazuri sana dada angu yani tofauti kabisa na morogoro”
“kivipi yawe mazuri kuliko moro”
“kwanza iringa imejengeka vizuri sana unaweza kutembea sehemu mbali mbali ukaenjoy kwa mazingira yake siyo moro
ipo ipo tyuu”
“naomba unitembeze siku ambayo ya mapumziko ya kazi sawa”
“sawa jumapili au jumamosi”
“ok”
Adams alifika salama moro
alikutana na Kisarawe waka yajenga mipango yao kuhusu mauzo ya magari
“tumekubariana kwa bei yetu
niliwaanzia mbali kama ml50
wamefika 45″
“diri poa sana hilo kaka kisarawe
nakuhaidi kaka ukiendelea hivi hivi takupa zawadi nzuri sana naomba tuishi kama ndugu nasiyo kama mtu na boss wake sawa”
“uta furahi na kuna isue ipo dar wana itaji kama gari 5
dodoma gari 3 pia naomba ufunguwe web na page katika mitandao ziwe kibao ambazo zitaweza kututangazia biashara hata kwa mtu mmoja mmoja
atakae hitaji gari natukiweka na bei poa”
“wazo zuri sana hilo kaka
fanyia kazi sasa”

“SAWA Adams”
“ila umekosa kusaminisha
Mtoto mzuri sana wangu”
“Adams sina mpango tena wa wanawake tena naangalia maisha sasa”
“khaa kaka umeamuwa sasa
ila japo kuwa siyajuwi sana mambo yako ya zamani”
“sinilikusimulia kisa chote”
“yah najuwa ila poa kaka
wake za watu achana nao”
“sawa Nime mkabizi Mungu
Moyo wangu”
_________________­__­____________________
“janeth Mji huu nimeupenda sana
yani ni mzuri sana napenda sana haya mawe mawe kwakweli nime enjoy sana”
“hahaa sulee hapa tupu tume zunguka sehemu chache sana”
“sikunyingine takutembeza zaidi
leo nime choka sana jana nili fua sana”
“sawa usijari janeth”
Tulirudi nyumbani
Tulikula hotelini tulipo fika tukawa tunaangalia Tv huku tukiongea”
“sulee naomba nikuulize”
“uliza dada”
“Boss Adams una mfahamu vizuri”
“siwezi kukujibu kwanza, una maana gani janeth”
“ungenijibu kwanza inge pendeza”
Niliingiwa na Hofu
je kuna nini anacho taka kuniambia nilitaka kumjibu kuwa na mfahamu vilivyo lakini nilisita kumwambia wenda kuna jambo lililo jificha nitaka kujuwa.
“Janeth simjuwi nimekutana nae ndani ya siku 5, nyumbani dar”
“Una uhakika usemayo”
“Ndiyo niamini naomba kama kuna jambo usinifiche”
“ok vizuri ni hivi”
“boss wetu Ana H’I’V , najuwa mimi tu”
“mh ,kwa nini ujuwe wewe tu”
“niliviuna vidonge pamoja na vyeti”
“mh kweli janeth”
Janeth alikuwa mdada mzuri
sana aliumbika sana mwili wake
ulio jinyonga kama umbo la namba nane kiukweli tuliendana
kiumbo mpaka tabia zake zilikuwa nzuri sana kwa Muda mchache nilio kaa nae nili mjuwa kama ni mtu mwema.
“kweli sina muda wakumsingizia kabisa”
“sawa ila nashukuru kwa kuniambia mapema maana
Hawa Maboss hawakawiagi kutongoza wafanyakazi”
“yah na ilo ndilo kusudi langu kukujulisha ili uwe makini nae sawa”
“asante sana Janeth maana ilibakia kidogo sana niingie”
“nilijuwa vizuri tyuu sasa kaa chonjo”
_________________­__­____________________
“Monica usi jiraumu sana
kila kazi ina ulinzi wake ona umbo
lako zuri sana jiulize kwa nini wanaume hawakutamani eeh ujuwe kuna kitu hapo
jicgunguze mara mbili sawa usikae ukilaumu sana”
hayo ni maneno ya changudowa
mmoja aliye kuwaakimwambia Monica baada ya kuingia katika
kazi za kujiuza alifanya kazi hiyo bira mafanikio hata siku moja hakupata mwanaume wa kulala nae siku moja alikuwa kasimama sehemu yao yakujiuza
alikuta gari ikisimama alipo kimbilia akasubili kioo kishushwe chini ndipo akakutana na sura ya mwanamke.
“binti haujambo”
“sijambo”
“vp upo hapa sahizi”
“maisha tyuu”
“maisha kivipi”
“story ndefu sana kifupi kama wataka mpaka uwe na muda ndomaana nipo hapa”
“ok ingia ndani basi nielezee”
“ok kwa ufupi, _________________­__­________________ ndiyo hivyo mama angu maisha yangu yalivyo
najuta sana kuipoteza ndoa yangu
nilitamani sana mtoto”
“mtoto yuko wapi sasa”
“Nime mfungia katika chumba nilicho panga”
“je tunaweza kwenda”
“ndiyo”
Walipo fika Monica na yule mama
katika chumba chake walimkuta mtoto kalia mpaka kachoka sana
walimchukua na kumnyonyesha.
“sasa mbona wamnyonyesha wakati umeingia katika kazi mbaya”
“yani mama angu tokea niingie katika kazi hiyo
sija fanya mapenzi na mwanaume yeyote”
“mh kwajinsi ulivyo hivyo monica”
“niamini mama angu niliongea na
mmoja katika marafiki nilio kua nao aliniambia kuwa wao
wana tumia dawa za mvuto mimi nilikuwa sina nilionekana kama vichekesho kwa wateja”
“mmh sawa una muda gani tokea
uingie”
“miezi mi3 sasa”
“poa takusaidia leo
chukua hii pesa kama elf50
kesho takuletea godolo na kitanda sawa mambo mengine yatakuja sawa mama”
“asante sana mama angu Mungu akubariki sana”
“Amina”
_________________­__­____________________­__
“hallow janeth unasemaje sahizi usiku upo wapi”
“nipo nyumbani”
“kuna tatizo”
“Hapana Adams, Najuwa wewe ni Boss wangu kila Mara nakuelezea
hisia zangu kwako kwanini hutaki kunielewa Boss nakupenda nakuhitaji uwe Mume wangu nasiyo Boss tena”
“Janeth janeth mara ngapi nakukatalia kuhusu suara hilo
eeeh siko tayari kuwa na mke kwa sasa sawa”
“sawa boss ila tambua hata mimi
nahisia kama mtu mwingine sina cha kuhitaji zaidi yako nakupenda
nanitazidi kukupenda daima
Adams hata ukiniona sikufai tambuakuwa kunamtu anaye kupenda sawa”
“Asante Janeth kwakuonyesha upendo wako kwangu ila tambua unaweza kumpenda mtu asiye kupenda hapo mbeleni unaweza kuteseka sana katika penzi lako”
“niko tayali kuteseka nasiyo kukukosa wewe Adams naumia sana kila siku kwa penzi lako ninalo lihisi unapo nipa katika ndoto zangu nipe nafasi”
“haita wezekana kabisa”
“sawa napenda kukutakia usiku mwema”
“asante nawe pia, Sulee”

Asante sana”
Baada ya mwezi mmoja Mahusiano kati yangu na Adams
hayakuwa mazuri sana kiujirani kati simu tofauti na mwanzo ilivyo kuwa kila akinipigia simu nilikuwa nikikata au kuto pokea
katika simu yangu ya mkononi
Adams aliamuwa kupiga ya ofisini kwangu nilipokea kwa Haraka sana kwakujuwa huko hawezi kusema kuhusu mapenzi lakini ikawa siyo.
“sulee haujambo”
“sijamo vipi wewe”
“yah niko poa sana”
“mbona haujachangamka
leo”
“nipo kawaida mbona jamani”
“hapana sulee sijakuzoea hivyo
umeanza lini au una umwa, yes utakuwa unaumwa wewe ebu mwambie Janeth akupeleke
hospitali sawa”
“hapana Adams niko sawa”
“mmh haya basi ngoja nikuache”
_________________­__­____________________
baada ya masaa ma5
“kaka kisarawe nina tatizo”
“Tatizo gani tena kama biashara
zinaenda poa mbona”
“aaah najuwa kaka ila zangu
binafsi kaka”
“ehe”
“kaka yule dada niliye mtoa dar niliye mpeleka Iringa ana nichanganya sana naomba ushauri wako”
“kaka wanawake hawafai
kabisa mtu anaweza akawa mke wa Mtu lakini aka toa penzi inje tena kidhembe kabisa achana nae Adams kama unataka
kaoe bush pia mpatie ubize ili asiweze kutoka mara kwa mara
ila sijuwi kama itawezekana kuto saritiwa maana hata mimi kipindi
cha nyuma nilikuwa nikiwakomesha ndani ya nusu saa tena wake za watu katika ofisini”
“uliwezaje kufanya hivyo”
“Adams utakuta mke wa Mtu anakuja mrembo sana
kama ilivyo kuwa Mimi ni Dokta wa akina Mama nilikuwa nikiwatamani sana nilipenda
kila umbo la mwanamke nipate
ili nifanye nae mapenzi ili Roho yangu irizike kweli nilikuwa nikifanikiwa tena wale wasio shika mimba ndiyo walikuwa wengi sana”
“ehee ikawaje”
“mfano mzuri kuna madada wawili nilio wapa mimba kwa nyakati tofauti
kuna mmoja alikuja akilalamika
hajawahi kushika mimba miaka 8
nilimpima pima kinafiki huku nikimtomasa tomasa mpaka nikampandisha nye… Kweli nikala mzigo ikawa kawaida mara kwa mara ananiletea nagonga mpaka
mimba juu aka mmoja nae Maonica hivyo hivyo nikala mzigo
mpaka mimba hapo ikawa kasheshe baada ya mumewe kupima nakujulikana hana uwezo wa kuzalisha kutokana na kupata ajari sasa mkewe akamwambia kuwa anamimba weee palichimbika kumbe yeye na yule wa mwanzo ni zaidi ya marafiki.
Nako moto ukawake
baada ya kujuwa walikuwa wakija
wote kwangu kutibiwa Monica akasema kweli mimba ya kwangu mbele ya muewe”
“yule wa mwanzo ana itwa nani
vile”
“sikumbuki sana maana kitambo sana, eeh nimekumbuka
anaitwa sulee”
“Nani”
“sulee”
“ok poa tuishie hapa kwaleo sawa
ndugu utanisimulia kesho siku njema.

Adams kwa nini nisikumalizie
kisa hiki chote leo leo tafadhari
sana nipe muda maana
usipo juwa leo hii sizani kama utapata Muda wakunisikiliza”
“Unajuwa nina mambo mengi sana yakufanya leo”
“ika juwa kuwa sita kwambia sawa napia kwa nini Nimelitaja jina la sulle alafu ushtuke”
“Hapana hakuna kitu”
“Niambie nitakusaidia”
“ok kisarawe ni hivi, SULEE ni huyo
hoyo mdada niliye mleta yupo iringa”
“Aaah kweli”
“ndiyo ni kweli kabisa”
“Ehee una mpango gani nae sasa”
“Yah nampenda sana ila yeye ndiye kanitamkia kunipenda
yani tatizo lipo kwangu kuku bali”
“oh sasa nihivi sina mpango nae mimi sulee kama vipi nipeleke Iringa yeye aje hapa nakama itashindikana niache kazi”
“kakaaaa noo haiwezekani
kabisa wewe ni kila kitu kwangu
siyo mwanamke pia kutoka hapa moro nikitu ambacho hakitawezekana kabisa”
“sasa tutafanyaje”
“ok tamleta hapa moro ila tutafanya usionane nae kabisaa
siku zote sawa”
“hakuna haita wezekana
kabisa”
“sasa tutafanyaje”
“mlete sitaonana nae kipindi chote hicho sawa ila akisha zoeya mji huu sasa tuta onana sawa”
“ok”
“ila sasa siana mtoto wangu”
“hapana mimba ilitoka kwa sababu ………….. Nishangazi yake aliye sababisha”
“aaah Mungu wangu sijuwi na monica itakuwaje”
“uyo ana mtoto wa kike anaitwa happy”
“aah nasijuwi kama ana ishi na Mumewe”
“aliachana na Mumewe”
“daah Najuta sana yani Najuta
kuwaalibia maisha yao”
“kaka usiwaze sana ngoja nifanye mpango wakumleta”
“sawa”
_________________­__­­___________________­_
Baada ya myezi mi2
Adams alikuwa akimbembeleza sana Sulee aje Moro pia alikuwa akijaribu kumshawishi kimapenzi lakini sulee alikuwa mbali sana.
“sulee sikuhizi umebadilika sana
yani ulikuwa ukinibembeleza sana
nikupe penzi langu lakini leo
mimi ndiyo nimekuwa ni msumbufu kwako
nilikuwa nakuchunguza
mwenendo wako nimeshajuwa
wewe ni bora kuwa mke wangu
naomba nikubalie tafadhari”
“Adams nimebadili maamuzi
sitaki tena naomba tuwe kaka na dada”
“je nina tatizo lolote kuwa
mume kwako”
“hapana hisia zime hama kwako tena naomba nipumzike sasa katika mapenzi”
“sulee unaniumiza sana
kwa maamuzi yako hayo”
“pole Adams”
_________________­__­­___________________
“Adams leo kutwa nzima nimekuwa nikikuwaza hata kazi kwangu ilikuwa nzito sana”
“Janeth nimekwambia siku pendi siku taki sawa nakama ukiendelea
kunipigiaga simu nakuniambia
kuhusu mapenzi ujuwe kazi huna sawa”
“Adams hapana usifanye hivyo”
“lakini umenielewa”
“ndiyo”
“ok fanya yako sasa
“sawa sawa boss”
_________________­__­­___________________­_
Monica hapa lakini siyo pazuri pakukaa sasa inatakiwa uhame
uhamie hata kawe ili upate kupumzika sawa”
“Mama tapa pesa wapi nikakae sehemu ya kifahari kule”
“kuna nyumba yangu yupo mdogo wangu ana kaa peke yake
sasa kampe kampani ya kukaa wote”
“sawa haina shida”
“ok”
Monica alikaa kawe yeye mwanae na husna mdogo wake na Huyo mama msamaliya kwake
maisha yali songa mbele
mtoto alikuwa ana pata maziwa ya kopo na vilutubisho mbali mbali alikuwa na afya njema kabisa.
______­___________________­_
sulee nimeamuwa nije Iringa ili nijuwe nini tatizo sawa”.
“Boss chai tayali”
” Asante Janeth nakuja na maongezi na sulee dk chache”
“sawa boss”
.
.
“sulee je umepata Mchumba
mapema hivyo”
“hapana Adams nilitokea kukupenda sana lakini nimeamuwa kuku chukia/kukutenga na mimi”
“kivipi”
“Nimetokea kusingiziwa kuwa nina ukimwi iweje leo hii unataka kuniambukiza ukimwi wako”
“Nini sulee paa paaa(makofi)
nani ana ukimwi eeh nina miaka 15 sasa nipo bize na kazi/biashara
simjuwi mwanamke wala nini
mke wangu ni mari zangu mimi
iweje niwe na ukimwi mimi
sulee ndomana ulikuwa huni taki
nakama ningekuwa nataka kukuambukiza ukimwi ningeshakuambukiza dar
unakumbuka ulikuwa ukining’ang’aniza kufanya nini”
“Najuwa sana(Nilijibu huku nalia)
ndomana nilikuwa sijuwi Na Mungu akaniepusha”
“sulee Nakupenda sana tofauti ujuwavyo sawa nipo tayali
tuka pime wote wawili tulipo kuwepo dar uliponisimulia
story yako yoote ya maisha nilichukulia kama somo kwako
najuwa hauta Rudia tena pia ulitaka sana tusex ili unipate
lakini niliogopa baada yakuniambia kuwa walikusingizia kuwa una ukimwi sikuamini kama kweli huna sasa naomba tuka pime wote sawa ili tuwe na uhakika nakama ukigundulika unao takutunza mpaka mwisho wako wa maisha sawa sulee”
“sawa nipo tayali hata leo hii”
“ok twende sahizi”
“sawa Adams”
TULI ONDOKA MPAKA HOSPITAL
TUKA CHUKULIWA DAMU WOTE WAWILI nakupimwa baada ya saa moja na nusu majibu yalikuwa tayali
mezani.
“hongereni sana wote mko safi ila tunawashauri mkapime tena baada ya mwezi mmoja sawa”
“asante dokta”
Nilimkumbatia Adams huku
niki mkiss kiss kwa fujo sana.
_________________­__­­_
Hakika ningekupoteza Adams kijinga sana ivi kina endelea nini
kati yako na Janeth, Adams?”
“kwa nini wauliza”

ITAENDELEA

DOKTA MIMI SIUMWI HUKO – 3

DOKTA MIMI SIUMWI HUKO – 3



Chombezo : Dokta Mimi Siumwi Huko
Sehemu Ya Tatu (3)

kwa vile mahali aliposimamisha gari hakukuwa na njia nyingine ya kutokea zaidi ya ile aliyoelekea yeye kwa miguu… “Mtasha mbona umekuwa mstari wa mbele sana kunizuia mimi nisifafanye uhalifu, inakuwaje wewe unashindwa kujizuia?” Mume wa Monica alisema akimwita mwenzake huyo kwa jina lake la utani.
Mara, mwenye gari alitokea
Alishtuka kuona gari lake limeharibika sehemu ya mlango huku timbwili likiendelea…
“Jamani vipi tena?” aliuliza kwa mshangao mkubwa.
Majibu aliyoyapata yalimfanya ajutie lakini akaahidiwa kulipwa fedha ili kwenda kutengeneza gari hilo japokuwa alikubali lakini kwa shingo upande.
Baada ya utulivu kurejea lakini huku wanaume wote wakiwa na hasira ya wivu, waliamua kwenda polisi ambapo Dokta Kisarawe aliwekwa ndani ili kupisha uchunguzi wa madai ya wanaume hao kwamba ametembea na wake zao na kuwapa ujauzito.
Baada ya kuandikisha maelezo, walirudi nyumbani. Wote walifikia nyumbani kwa Mtasha, mume wa Sulee ambapo kikao kilikaa na misimamo ilitolewa…
“Mimi bwana kwa upande wangu nasema wazi kwamba sina haja ya kuwa na mke kama huyu,” alisema mume wa Monica huku akimwangalia mkewe kwa macho yaliyojaa uchungu…
“Hata mimi, Sulee nakuandikia talaka zako tatu sasa hivi,” alikuja juu Mtasha na kutaka kumpiga tena mke wake kwa hasira…
“Sasa Mtasha si umeshasema unamwandikia talaka si ufanye hivyo, achana na kumpiga bwana,” alisema mume wa Monica.
Wanawake hao wawili waliangua kilio huku kila mmoja akimlaumu mwenzake kwamba alimsababishia lakini lawama za Monica kwa Sulee zilikuwa za kweli kwani yeye alipelekwa na shoga yake huyo ambaye alikuwa akiijua tabia chafu ya Dokta Kisarawe…
“Bila wewe Sulee mimi yasingenikuta haya. Ulijua Dokta Kisarawe ni mwingi wa habari ni kwa nini hukuniambia maana hata wewe ulishapitiwa…
“Halafu nilimwambia dokta. Alikuwa akipenda kunishikashika sehemu zisizohusika na matatatizo yangu, nikamwambia dokta mimi siumwi huko yeye hakusikia,” alilalama sana Monica…
“Monica ni shetani, hata mimi nilimwambia dokta mimi siumwi huko wakati akipeleka mikono yake kwenye matiti yangu lakini hakutaka kunisikia. Tusameheni jamani.”
“Hakuna msamaha hapa… Ala!” wanaume wote walijikuta wakijibu kwa pamoja bila kutaarifiana…
“Kwanza ni muhimu kwenda kupima afya zetu maana kama mna mimba ina maana mlikuwa hamtumii kinga,” alisema mume wa Monica…
“Huko kuchepuka kwenu ndiyo faida yake mnaiona sasa,” alisema mume wa Sulee huku akikohoa. Hapo alikuwa akisaka karatasi ya kuandikia talaka mara moja.
***
Siku ya pili, Mtasha, yaani mume wa Sulee na mume wa Monica walikwenda kupima virusi vya Ukimwi. Walikutana na wake zao huko wakiwa na shangazi wa Sulee ambaye aliomba kuzungumza na Mtasha kabla ya kuingia kwa dokta. Kwa heshima Mtasha alikubali na akatoka pembeni…
“Baba najua unaniheshimu sana…”
“Kweli shangazi…”
“Mwenzio kanijia na talaka analia. Lakini aliponisimulia kisa hata mimi nilikuunga mkono mwanangu…”
“Nashukuru sana kusikia hivyo shangazi…”
“Enhee, lakini sasa nina ombi moja tu kwako…”
“Lipi hilo shangazi?”
“Msamehe Sulee.”
Mtasha palepale alijishika kichwa na kujikuna huku akitumbua macho, akakumbuka mema aliyowahi kuyafanya shangazi huyo kwake maana ana uwezo si wa kitoto.
Kuna mwaka Mtasha alipata kesi mbaya sana, uchumi wake ukayumba sana akajikuta hana hata pesa ya kula. Shangazi huyo wa mkewe akawa ndiye mfadhili wake kwani alikuwa akimpa pesa ya kula na pia alimsimamia kwenye kesi hiyo kwa kumuwekea wakili na akashinda.
Baada ya kushinda alimpatia mtaji akaendelea na miradi yake iliyosimama…
Wakati wa maongezi hayo, shangazi mtu hakumkumbusha kitu chochote Mtasha. Alimwacha ajipime mwenyewe tu…
“Da! Shangazi kusema ukweli umenipa wakati mgumu sana,” alisema mume wa Sulee…
“Kwa nini mwanangu? Kusameheana kumewekwa na Mungu na ukimsamehe mwenzako hata Mungu atapenda na kukubariki.”
“Ni kweli, lakini shangazi unalionaje hili la ujauzito?”
“Hilo unaweza kuliacha mikononi mwangu nikashughulika nalo.”
“Utafanyaje shangazi? Maana mimi kusema kweli siwezi kuishi na mke mwenye ujauzito wa mwanaume mwingine.”
“Ndiyo maana nimesema niachie mimi kuhusu hilo.”
“Shangazi maamuzi yako ni mema na nakuheshimu wewe sana, je vipi kuhusu kupima Virusi vya Ukimwi?”
Muda wote huo, mume wa Monica alipokuwa amekaa alikuwa akimtumbulia macho mume wa Sulee kama anayemwambia asithubutu kukubali hata siku moja maneno ya shangazi wa Sulee…
“Ndiyo maana tupo hapa! Wewe unadhani Sulee ana virusi?” alisema shangazi mtu huyo…
“Siwezi kusema anavyo au hana, ila kupima ni muhimu shangazi.”
“Kwa hiyo kama atakuwa salama utakuwa umepokea ombi langu siyo?

“Naamini hivyo.”
“Basi turejee kusubiri zoezi likamilike.”
Walirudi kwenye fomu. Mume wa Monica akamuuliza mume wa Sulee mazungumzo yao yalihusu nini…
“Shangazi anataka nimsamehe Sulee.”
“Uko tayari kwa hilo?”
“Mh! Nimemwambia kama atakuwa hajaathirika naweza.”
“We unataka kumrudia Sulee?”
“Unajua nini mshkaji? Huyu shangazi amenisaidia sana katika maisha yangu kuliko mtu mwingine yeyote…”
“Kwa hiyo?”
“Kwa hiyo naweza kuangalia upya cha kufanya.”
“Mh! Nadhani sijakuelewa.”
“Kivipi?”
“Yaani pamoja na mambo yoote waliyotufanyia hawa Malaya wewe unakubali tuwasamehe, Mungu aniepushie hilo mawazoni mwangu,” alisema mume wa Monica na kumfanya mume wa Sulee kuwa na mawazo nusunusu tofauti na alivyoongea na shangazi mtu.
***
Majibu ya vipimo yalitoka, waliitwa mtu mmoja mmoja lakini huku wakiruhusiwa kwenda na watu wao kama wapo walioongozana nao.
Sulee alikwenda na shangazi yake huku akidondosha machozi kwa kuwa muda wa zamu yake ulifika. Alikuwa akitetemeka sana.
Monica, mumewe na mume wa Sulee walibaki nje lakini mume wa Sulee aliuliza kama itakuwa busara na yeye aende kwa vile yanaweza kutoka majibu ambayo yamechakachuliwa na shangazi huyo kwa vile alitaka ndoa ya Sulee iendelee kudumu.
“Noo, achana nao bwana. Wewe mbona hueleweki? Kwanza kama wao walitaka uwazi na ukweli kwa nini wasikwambie muingie wote?” alihoji mume wa Monica mpaka mwenyewe akaona ni kweli, akabaki kwenye fomu.
Baada ya dakika kama kumi, kilio kikubwa kikasikika kutokea chumba cha daktari…
“Uuuwi, Mungu wee nisaidie. Nitakwenda wapi mimi?” ilikuwa sauti ya Sulee…
“Ngoma tayari hiyo mwanangu, hakuna kurudiana wala kwenda mbele,” alisema mume wa Monica huku akichekelea. Alijua mpango wa shangazi mtu kuirejesha ndoa hiyo haupo tena.
Kwa upande wake, Monica alionekana kuwa mtu mwenye mchecheto zaidi kwani kila wakati alikuwa akisimama na kukaa. Aliamini kama Sulee ‘aliungua’ hata yeye yumo ndani ya ‘moto’ huo.
“Mmh! Sasa kama Sulee analia amegundulika kuwa na virusi je mimi? Maana mwanaume aliyemwambukiza yeye ndiyo huyohuyo ametembea na mimi,” alisema moyoni Monica huku akimtupia macho ya wizi mumewe.
“Monicaaa…” aliita jina muuguzi kabla hajamalizia, Monica mwenyewe alisimama haraka sana. Mara Sulee na shangazi yake wakatokea huku Sulee akichuruzika machozi.
“Pole Sulee,” alisema Monica lakini hakuitikiwa hata shangazi yake hakusema kitu.
“Baba tunaondoka, uamuzi wako ubaki kuwa palepale,” alisema shangazi mtu akimwambia mume wa Sulee. Alipita kwenye korido kwa aibu kubwa akiwa amejiinamia mpaka kwenye gari lake akifuatwa na Sulee kwa nyuma.
****
“Eee, thanks God. Asante Mungu, wewe ndiye muweza wa yote. Oooh! Si kwa nguvu zangu bwana bali kwa neema tu. Mimi Monica mimi kwamba sina virusi?” sauti ya Monica ilisikika kutokea kwenye chumba cha daktari.
Ilifika mahali akapiga na vigeregere kufurahia majibu ya vipimo vyake.
Mumewe alianza kuhisi ganzi akiwaza kwamba endapo mkewe yuko fiti halafu yeye akakutwa na ngoma itakuwaje?
“Itakuwa poa tu kwani maisha bado yataendelea,” alisema moyoni mume wa Monica huku akiangalia chini kwa mawazo.
“Mkubwa unasikia huko ndani? Shemeji yuko ngangari,” mume wa Sulee alisema.
“Eee, ndiyo sherehe inaendelea ndani.”
Mara Monica alitokea…
“My dear niko fiti, sina virusi wala vijidudu,” alisema Monica huku akirukaruka kwenye miguu ya mumewe…
“Kwa hiyo?” mumewe alimuuliza…
“Heee! Hujapenda?”
“Hata nikipenda, kwani kuna nini? Si umekutwa upo fiti tu.”
“Hunisamehi?”
“Haitatokea Monica.”
Monica aliangua kilio mbele ya watu huku mumewe naye akiitwa kuchukua majibu yake. Kumbe Sulee na shangazi yake hawakwenda mbali, walikuwa kwenye gari wakisubiri matokeo ya mume wa Sulee, mume wa Monica na Monica mwenyewe.
“Mshkaji mimi nataka twende wote,” alisema mume wa Monica baada ya kuitwa jina lake na muuguzi mmoja.
Walizama wote mpaka kwa dokta na wakasema wote wamefika kwa kupima…
“Kwa hiyo majibu mnasikiliziana?” alihoji dokta.
“Ndiyo.”
Alianza kwa kuwashauri huku akiweka majibu ya wote sambamba, karatasi ya mume wa Monica ikianza juu.

“Sasa kwa kuwa mpo wote na wote mmepima na majibu yote yapo hapa baada ya ushauri niliowapa, wote mpo vizuri hakuna mwenye virusi vya Ukimwi,” alisema dokta. Walisimama, wakakumbatiana. Wakampa mkono dokta na kutoka nje huku wakicheka kwa furaha…
“Mungu anajua cha kufanya mshkaji, wale wanawake siyo kabisa,” alisema mume wa Monica…
“Lakini kama wewe huna na shemeji hana si mnaweza kurudiana?” alihoji mume wa Sulee.
“Na ile mimba?”
“Si utailea tu.”
“Mimi nilee mimba ya Dokta Kisarawe?”
“Kwani mshkaji kuna nini?”
“Haitatokea. Mara kumi angenibambika nisijue kuliko kujua.”
***
Sulee na Monica walikumbatiana kwenye gari huku wote wakilia. Kilio kikubwa kilikuwa kwa Sulee kwani alikutwa ameungua wakati mwenzake yupo fiti.
“Mwanangu nyie naona mambo mazuri maana naona vicheko,” shangazi wa Sulee alimuuliza mumewe…
“Mungu hamtupi mja wake shangazi. Mungu mkubwa bwana,” alisema mume wa Monica huku wakiondoka zao kwa mbwembwe wakicheka na kupigiana mikono na wakitembea kwa ujasiri wa hali ya juu.
Wake zao walikuwa wakiwatazama kwa macho yanayoendelea kujaa machozi wasijue la kufanya. Ghafla waliangua vilio mpaka watu wakajaa lakini hakukuwa na jinsi, waume zao walishaamua. Walijuta na kujuta kwa usaliti wakati waume zao walikuwa wakihangaika kusaka maisha
na siyo uhuni kama walio
kuwa wakifanya wakezao.
“shangazi mimi sijuwi kwa nini
jamani Yani nimetembea na Monica kwa mwanaume mmoja
lakini mwenza hana shangazi”
“pole Sulee Nimipango ya Mungu
wala usijari”
“Monica ladhima nijari
Moyo wangu una umia sana najuta na juta”
lakini shangazi yake sulee
hakuwa na wasiwasi kabisa
kuhusu suara hilo
“Sawa Sulee mimi narudi
kijijini nikaanze maisha mapya”
alisema Monica huku
akitokwa na Machozi sana”
“sikiliza Monica baki nasi hapa hapa mjini sawa utakaa na sisi”
“kweli shangazi oooh Asante Mungu wangu”
****
baada ya miezi2:
Dokta kisarawe
alihama Dar na kuamia Morogoro
huko alikutana na kijana mmoja
aliye itwa Adams j maryo jr.
Aliye kuwa mfanya biashara
hapo Morogoro Dokta kisarawe
aliacha kazi ya udokta na kuanza kufanya biashara anazo fanya
Adams za Magari kutoka
japani Maisha yalisonga sana
kisarawe alikuwa mwembamba sana lakini alikuwa kaninepa vibaya ndani ya miezi mi3 tu
mambo yake yalikuwa safi
kutokana na Elimu yake kuwa kubwa sana alikuwa msaidizi
katika kampuni ya Adams Maryo.
Adams alikuwa akimtumia kisarawe katika mahesabu na hata akwenda nae japani
“Unajuwa safari moja tu nimeona
mabadiliko katika biashara yangu
kaka kisarawe”
“unajuwa kwa nini”
“hapana sijajuwa”
“tatizo lugha ulikuwa huiwezi
walikuwa wakikuibia sana bei ya gari moja walikuwa wakikuibia zaidi ya laki7 ya tz”
“sasa umenifungua akiri
kaka sasa kivipi”
“kulikuwa kuna pesa inayo tolewa
katika jumla ya manunuzi
wewe ulikuwa hujuwi”
“ok asante nakutegemea
kaka”
“tupo pamoja”
****
Sulee alikuwa mtu waku lia kila
Mara Monica alikuwa ndiye Mtu wa kumliwaza Muda wote
Mimba zao zote zilikuwa za miezi 7 kila Mtu Sulee alikonda sana
alishindwa kula Hakuwa na Furaha kabisa Moyoni mwake
alimchukia kabisa dk kisarawe
kwaku sababisha Ndoa yake
kuvunjika :
“Monica nina siri kubwa sana
kuhusu Sulee”
“siri gani hiyo Shangazi…

Ila wewe inaonekana haujatulia
kabisa unaweza ukamwambia”
“Shangazi wewe ndiyo nguzo
yangu katika maisha yangu yote kwa sasa siwezi kumwambia kabisa shangazi naumia
sana kumwona sulee akiwa katika
hari ile”
“Hata mimi najuwa
sana kutoa mimba nikosa sana
lakini je ukimsababishia
nidhambi pia?”
“shangazi mh hapo sijuwi
ila ni dhambi siyo kubwa”
“huna uwakika Monica”
“ndiyo”
“basi kuna jambo ambalo
nataka itoke ikitoka
Nahuakika sulee mwanangu atakuwa na Afya njema”
“sasa shangazi ni jambo gani hilo
nijuwe maana mimi na wewe ni walezi wake sasa kila siku
hari yake ina zidi kuyumba
ona anavyo pungua hata kama na H I V. Ni miezi michache sana
hawezi kuwa ana dhohofika
kiasi hiki huyu hata mawazo
yana changia”
“ngoja kesho takwambia”
“shangazi sawa”
“acha niende kazini
badae”
“kazi njema Mama”
“leo unaniita mama”
“yah kuanzia leo
takuita mama nasiyo shangazi
naomba ukubali”
“sawa maana wanangu wote
wapo makwao hapa sina
mtu wakunipa mahaba ya kuniita mama nita furahi sana”
****
Baada ya siku moja:
“Monica”
“Naam sulee”
“hivi imekuwaje wewe huna ukimwi na mimi ninao”
“kwa nini wauliza hivyo”
“nawaza sana sijuwi
kwa nini maana wote tumetembea na mtu mmoja
Dokta kisarawe mwenye
ukimwi”
“hata mimi sijuwi
ila punguza mawazo mpezi angu
una niliza sana napo kuona”
“hapana Monica najuta sana
Mume wangu tulikuwa tukipendana sana sana ujinga wangu umeniponza nilifanya vile
kuokoa ndoa yangu kumbe ndiyo
nilikuwa naipoteza jamani
hiii hiii mmh”
“nyamaza wangu
usilie Sulee”
“ina uma sana”
“jikaze sulee angalia upo katika
hari mbaya siyo vizuri kulia lia
kila mara”
Hari ya Sulee ilikuwa mbaya sana
Monica alitoka inje nakumwita dereva ili wampe msaada :
“dereva sulee kadondoka
hari yake mbaya sana twende tukampe msaada”
Monica dereva pamoja na mlinzi
waliingia ndani nakumkuta
sulee damu zikimtoka
kwa wingi ukeni”
“jamani jamani nisaidieni
kumchukua kumpakiza kwenye gari tumpeleke hospital”
walimchukuwa
nakumwingiza katika gari nakumpeleka hospital
kwa matibabu”
“shangazi sulee kazidiwa
sana na damu zinamtoka sana ukeni kapoteza fahamu”
“mko wapi sasa”
“tupo hospital kubwa hapa”
“ok nakuja”
Monica alishangaa sana
alipo kuwa akiongea na shangazi/Mama kwakuto jari sana
angekuwa mwingine ange piga kelele (uwii jamani mwanangu)
lakini ilikuwa tofauti kabisa”
“kutokana na kupanda kwa bp
kwa kiwango kikubwa sana
imesababisha mimba kutoka
sasa mlikuwa mkiishi vipi na
huyu hamkujuwa kama mama
mwenye mimba anatakiwa
usi muudhi wala kufanyishwa kazi ngumu”
“dokta hari ya mgonjwa
imebadilika ghafra sana”
“basi ni hivyo ila kuna vipimo
vingine bado havijaja subiri
sawa mgonjwa mleteeni ndizi laini na uji ok bado anawekewa damu”
“sawa daktar”
“Mama ila
hari yake inaendelea poa
ila mimba imetoka”
“yes”
“shangazi yes wakati kiumbe
kimetoka mbona sikuelewi”
“Monica ni story ndefu kidogo
Nihivi Mimi na doktar Tuli….

Tuli Ongea adanganye
kuwa sulee ana HIV ili
Mumewe amuache nilikuwa
sipendi Sulee akae na Mumewe
kwani alikuwa hana Hadhi ya kuwa na sulee kwakuwa
walipendana na kuwa na ndoa
sikuwa na jinsi ya kuwatenganisha kabisa niliamuwa iwe hivyo tulijuwa
sulee atakuwa katika
mawazo sana na kupandisha BP
itakayo sababisha kujifungua
kwa kupewa dawa ya kukisukuma kiumbe au kutoka mimba mpaka hapo safi atarudi katika hari yake ya kawaida”
“lakini shangazi ulivyo fanya siyo
vizuri kabisa unajuwa”
“nyie mmefanya vizuri au unaongea tu”
“hapana shangazi kuuwa na kumsariti mwenzako
dhambi hazi fanani shangazi”
“kwahiyo mimi ni muuwaji
eeh”
shangazi alifoka kwa hasira sana
mpaka Monica aka shtuka na kujiludi chini.
“sina mana hiyo shangazi
namaanisha kuwa”
“kuwa nini eeh”
“kuwa dhambi ni dhambi tu”
“umeona sasa mbona mimi namuokoa sulee awe na maisha safi wewe unataka kusema mimi
nina kosa wewe Moni nini”
“aah shangazi ila naona upo sahihi tu sijuwi na mimi nitoe hii mimba”
“hapana usitoe takusaidia kuilea sawa sulee nimehangaika nae
tangia mtoto wa miezi mi4 wazazi wake walikufa hivi unajuwa mimi siyo shangazi yake wa damu”
“sijuwi kabisa nilijuwa ni dada wa baba yake wewe”
“hapana baba yake alikuwa dereva tax alikuwa ana nibeba kutoka kazini mpaka nyumbani
tukawa kaka dada baba yake ni mtu wa kenya na mama yake ni mtu wa kenya nae walikutana hapa hapa dar wakawa wapenzi
mpaka waka owana na kumzaa
Sulee, walikufa kwa ajari ya gari
wakitokea Bagamoyo”
“ooh kumbe sasa sulee ana juwa kuhusu hilo”
“hapana kuhusu kufa ana juwa
kuhusu kama mimi siyo shangazi wa damu hajuwi naomba kuhusu suala hili usimwambie sawa”
“nimekuelewa”
baada ya miezi 3:
Sulee alikuwa fiti kama zamani
japo kuwa alikuwa hana furaha kabisa alijaribu kuwasiliana na Mumewe lakini haikuwa poa kwakuwa Sulee aliasirika
Mumewe na sulee mwenyewe walijuwa hivyo
isinge kuwa Rahisi kurudiana
kuwa wapenzi au wana ndoa.
Shangazi alikuwa akimletea
dawa ili ameze kama dozi
ya HIV kumbe zilikuwa za BP
kwakuwa alikuwa hazijuwi dawa
alikuwa akimeza tu Nae Monica
hari yake ilikuwa siyo zuri
kutokana na miezi9 kutimia
ghafra uchungu uka mshika
saa6 usiku ya juma tatu alikimbizwa hospital kufika tu nakulazwa kitandani alipiga kelele sana kuomba msaada kwakuwa uchungua aliusikia
manesi na madaktar walimchukuwa nakumpeleka
katika chumba cha kujifungulia
walimsaidia na kufanikiwa kuzaa
mtoto wa kike.
“hongera sana umejifungua
mtoto wa kike yupo salama”
“ooh asante Mungu”
“sasa wewe pumzika kwanza
sawa mama”
“sawa”
“jamani mzazi wenu
amejifunguwa salama mtoto wakike”
Sulee alifulahi sana kusikia hivyo
“Monica hongera sana mwenzangu fungu lako limekuja
kama wewe”
“sulee asante mwaya”
“sulee hongera sana”
“asante shangazi”
“mh hata mimi sijuwi
angekuwa wakike”
Swali hilo lilimfanya MONICA atoe
machozi
“Monica mbona una lia
acha uchuro badala ufurahi una lia”
“Monica nakumbuka mengi sana
siyo kwaajiri ya mtoto Mume wangu Sulee”
sule aliwaza sana nae alianza
kudondosha machozi kwa sababu
tatu moja ana, hiv mbili kaachika, tatu mimba imetoka:
“jamani mna lia na mimi nifanyeje eeh”
Aliuliza shangazi
bila kupewa jibu Monica na sulee walikumbatiana huku wakilia.
**
Maisha ya mume wa sule yalizidi kuwa magumu kifedha alitamani
kwenda kwa shangazi yake Sulee lakini aliona aibu kwenda kuomba
alivumilia lakini ilizidi sana
kuwa mbaya maana alizoeya
kupewa na shangazi
Nae mume wa monica
ali Rudi kijijini kutokana na maisha kuwa magumu aliingia katika madeni makubwa benk wakataifisha nyumba na gari
lake
**
Sulee kwa nini usiende kupima
tena ujuwe afya yako”
“mimi nasubiri kufa tu”
“hapana sulee nenda wewe
mimi hainiingii akirini eti mimi sina ukimwi na wewe unao
wakati mwanaume mmoja
tumetembea nae”
“inatokea hivyo monica”
“jaribu wewe nakushauri tu
uwenda Mumeo alifanya njama
tu kwa dokta ili akuambie una virusi ili akuache maana aibu tume wapa”
“mh ina wezekana eti lakini haku paswa kufanya hivyo.
 “sulee haina haja ya
kufikiria kwa sasa maji yamesha
mwagika kuyazoa haiwezekani kabisa sawa”
“sawa ngoja kesho niende kupima tema hospital kama 4 kwauwakika zaidi uwongo Monica”
“fanya hivyo mpenzi wangu maana unaweza kuishi kwa mawazo wenda huna tatizo hilo
wangu”
“asante Monica”
“ila usimwambie shangazi
kama unaenda kupima sawa”
“kwa nini Monica”
“hupaswi kuuliza kwa nini
fanya hivyo”
_________________­__­____________________­
Dokta kisalawe alimsimulia Adams
Historia yake ya maisha aliyokuwa akiishi Dar najinsi alivyo kuwa akiwa fanyia wanawake za watu:
“Nihivyo Adams nilikuwa nikifanya dhambi kabisa
na sasa nimeamua kuokoka
sitaki dhambi tena”
“Uwamuzi wako mzuri sana
nakupa hongera sana mke wa mtu ni sumu kali sana usipende kupenda au kufanya mapenzi/sex nao utakufa mapema sana, ona mimi sina mke lakini sijihusishi na Mapenzi mpenzi wangu mimi ni kazi/pesa KISARAWE”
“Kweli nakuamini ndugu yangu”
“basi akiri yako wekeza kwenye
kazi jifunze nacho fanya sawa
usiwe na tamaa katika Mari yangu
ukiiba tu nikigundua nakupoteza asee sikutishi nakupa ukweli
angalia ulio wakuta wako vipi”
“sawa Adams nakuahidi sita fanya hivyo”
“asante kama itakuwa kweli”
_________________­__­____________________­
Kisarawe alizidi kuomba Mungu
na kutubu Dhambi zake zote yeye alikuwa mtu wakufunga na kusari
Mpaka Adams alishangaa sana
kubadilika sana alikuwa mkimya
sana hakupenda kabisa ku share na wanawake” Kisarawe vipi
mbona uko hivyo siku hizi”
“kivipi Boss”
“Hapana niite Adams inatosha
kaka”
“ok Adams”
“naona unabadirika sana
mkimya hupendi kukaa na akina dada”
“Adams nimeamua kubadilika
kidogo sipendi kukaa nao nataka
nisahau kabisa matukio yangu ya zamani nikikaa nao nitakumbuka
yaliyo pita na kuanza upya”
“Hivi ulishakuwa na mke”
“kwa nini una uliza hivyo”
“namaana yangu”
“Hapana sikuwa na mke”
“ndomaana ulikuwa ukitembea
na wake za watu”
“kwa nini”
“Ulikuwa huoni uchungu
wa mke ungekuwa na mke
usinge fanya hivyo, tuachane
na hayo kesho Naenda Dar
kuna kampuni moja nimeongea nao kuhusu gari wana hitaji”
“sawa Adams kwahiyo
kuhusu mpango wa sua kuhusu
trekta zile kumi inakuwaje
wamefika milioni95 kila moja”
“ooh nilisaha wambie waongeze 20”
“sawa”
_________________­__­____________________­_
ADAMS akiwa maeneo ya mbezi
alihisi tumbo likimuuma
ndani ya gari yake alikuwa
na Dereva aliye mkodisha
kuendesha gari yake kutokana
na kuto zijua vizuri njia na msongamano wa magari
kama unavyo lijuwa jiji la dar
alikuwa akilala mika sana
dereva alishauri waende
hospital ya Amana
kupima/kupewa matibabu
dk10 walifika na kuchukuliwa
vipimo wakati wakiwa
katika chumba cha kupumzikia wagonjwa walikuwa wengi
wakisubiri majibu yao ya
vipimo walikuwa wakiangalia video iliyo kuwa ipo juu ya ukuta
wote wagonjwa walikuwa wakitazama juu katika video hiyo
lakini kwa Adams ilikuwa tofauti kidogo.
Macho yake yalikuwa kwa Binti
mrembo sana aliye kuwa kakaa upande wa kushoto kwake.
“kaka vipi mbona hivyo”
ilikuwa sauti ya dereva wake
iliyo muuliza:
“ona yule dada alivyo”
“aah kaka mbona kama hao wengi tu wapo hapa Dar tena wazuri kushinda huyo mgonjwa
pesa yako tu kama upo tayali niambie nikupeleke viwanja”
walikuwa wakinong’onezana
masikioni ili watu wengine wasisikie.
“hapana asee Roho yangu
imetua pale asee”
“sasa kaongee nae basi”
“poa subiri hapa hapa”
“Adams alivaa kiheshima sana
ilikuwa suti kwakuwa kulikuwa na joto sana alivua koti na kubakia na shati nyeupe na tai shingoni alipendeza sana.
“samahani kaka”
“bila samahani”
“Naomba nikae hapo ulipo
kaa nataka kuongea na huyu dada”
“ooh sawa kaa”
_________________­__­____________________
Dada habari za kwako
nadhani una umwa maana naona
una mawazo sana muda wote naona umeinama chini”
“Matatizo kaka angu “
“pole sana, samahani kuna kitu nataka kuku uliza kidogo
naomba tukae pembeni kidogo”
“sawa labda wapi”
“kwenye kiti kile ile kama daktar ataita majina iwe lahisi kusikia”
“ok”
“Naitwa Adams j maryo jr.
Naishi Morogoro ni mfanya biashara”
“oh asante kuku fahamu”
“ok, nilikuona Muda wote upo
na hudhuni sana vp nini tatizo”
“Ni Afya yangu tu kaka:..
“Namba 11 ingia”
Ilikuwa sauti ya daktar
iliyo sikika hakuwa mwingine ni yule dada aliye kuwa akiongea na Adams aliinuka na kwenda.
“kaka ngoja niingie nisubiri”
“aliingia ndani kwa doktar..

Habari yako Dada”
“nzuri Doktar,Nipe majibu yangu
ilinijuwe kitakacho endelea katika Maisha yangu”
“Mbona una Haraka sana”
“Doktar ni umuhimu wangu
kujuwa”
“ok unaitwa Sulee siyo”
“ndiyo”
“ok Sasa mbona umekuja peke yako kupima”
“sina Mume wala mpenzi nipo mimi mwenyewe”
“Mh kwanini je mmeachana”
“ndiyo”
“kipindi gani tokea muachane”
“kama miezi 9 na siku kazaa”
“pole sana pole sana”
“doktar nina nini”
“hayo ni maisha yakawaida sana
leo wewe kesho mimi hupaswi kujutia Mungu ana kila sababu kwenye jambo lolote sawa sulee ona wewe ni mzuri sana lakini
leo hii una dosari katika maisha yako usikate tamaa kabisa Dada angu Mungu atakupa nguvu Na..
_________________­__­____________________
Monica Alikuwa ana furaha
kubwa sana Moyoni kwakupata Mtoto japokuwa alikuwa akimkumbuka sana Mume wake
aliumia sana kwa kufikiria sana Jinsi Mumewe alivyo kuwa ana mjari na kumpenda
alijikuta akimuangalia Mtoto wake
huku machozi yakimtoka sana
alianza kumchukia Mtoto wake aliye fanana sana na Kisarawe
alitamani kumtupa au amtelekeze
yule mtoto kwa shangazi
lakini aliona Mtoto hana Hatia
kabisa alizidi kumtunza na kujitahidi kumpenda sana.
_________________­__­________________
Mume wa Monica Aliamuwa kuwa mkulima katika kijiji cha mlali kilichopo mkoa wa Morogoro
alilima mazao lakini yalimgomea
kabisa alikuwa akivuna kidogo sana”Hii itakuwa Radhi ya mke wangu tu kuachana tu maisha yamekuwa magumu sana kila ninacho kifanya kwangu siyo
imekuwaje sijuwi niende kwa Mganga, lakini hapana hapana
siwezi kufanya hivyo kwakuwa huku kijijini hawajuwi kama tumeachana na mke wangu ngoja ni rudi dar nika mtafute mke wangu tujetuishi wote lakini anaweza kukubali kuja kuishi huku sijuwi”
Hayo yalikuwa Mawazo ya
Mume wake na Monica
aliyo kuwa aki waza
_________________­__­________________
Nakushauri Usichoke kutafuta
sawa sulee”
“Doktar doktar sikuelewi”
Sulee aliulza kwa ukali kidogo
huku machozi yakilenga lenga
huku akitetemeka kwa uwoga na presha kupanda”
“hapana sule kuachika siyo mwisho wa kuto pendwa au kupenda utapata Mume bora
na aliye sahihi kwaku kazana kuomba Mungu atakuonyesha”
“doktar nime asirika tawezaje kukaa na Mtu asiye na virusi”
“nani kakwambia kuwa ume Asirika eeh”
“soma hivi hapa vyeti”
“mh Hapana sule vipimo vyetu havisemi hivyo upo salama kabisa
sulee”
“hapana doktar hostpital iyo siunaijuwa nikubwa sana
itadanganyaje hivyo”
“huwezi kujuwa wenda kuna sababu kama ulivyo niambia kuwa umeachika miezi9 naa, wenda ninjama ya mumeo”
“sasa unanishauri vp doktar”
“kapime hospital mbili tena
utapataje majibu”
“asante doktar”
“haya karibu tena”
Sulee alitoka nje hakuwa na kumbukumbukama kuna kijana
nje aliye kuwa na maongezi naye
alitoka huku akielekea mlango wakutokea nje kabisa
“sulee mbona hivyo
jamani”
“nisamehe sana Adams”
“ehee ina kuwaje maongezi yetu”
“ooh tuakae pale”
Kabla ya kukaa
doktar akasikika akisema namba 25 ingia” ilikuwa ninamba ya Adams j maryo jr.
“sulee ni namba yangu hiyo
je uta nisubiri niingie”
“sawa usichelewe sana”
“sawa”
“Pita tu”
“Habari yako doktar”
“salama tu ,wewe ni Adams”
“ndiyo”
“tatizo lako ni mchafuko wa Tumbo tu utaenda Dukani
uta chukuwa dawa hizi nilizo andika sawa”
“sawa kwaheri”
“pita huku “
ADAMS ALIPITA NJIA NYINGINE
NASIYO ILE ALIPO TOKEA SULEE
ADAMS ALICHUKUWA DAWA DUKANI NAKURUDI PALE ALIPO MUACHA DEREVA NA SULEE.
“vipi dereva yuko wapi yule dada
yuko wapi”
“kaondoka mda kidogo kaka”
“khaa sasa sijuwi tampataje
asee”
“kaacha namba yake ya simu
hii hapa”
“afadhari sana ,bac twende zetu
asee”
_________________­__­____________________­_Sule hakutaka kurudi nyumbani
alienda hospital 3 tofauti kupima
tena mpaka saa3 usiku alikuwa akisubiria Majibu hospital zote3
Na majibu yote yalikuwa ni mamoja hana Virusi alikuwa na amani moyoni japokuwa aliambiwa arudi tena kupima baada ya miezi mi2/3
kiuwakika zaidi alirudi nyumbani
huku ana furaha sana.
“vp sulee mbona hivyo
una furaha”
“yani Mungu ashukuriwe
sina Virusi Monica”
“sasa iwe siri usimwambie shangazi sawa”
“mh kwa nini tena”
“utajuwa ukweli badae”
Monica alimwambia sulee vile
ili uadui usitokee kati yao na Shangazi yao
_________________­__­____________________
miezi mi2 sulee alienda tena kupima alipata majibu tena kuwa hana virusi aliwaza sana ninani aliye fanya kitendo hicho cha kuambiwa ana h,i,v aliamuwa kwenda katika hospil ile aliyo ambiwa kuwa ana Virusi ilikumbana doktar yule
ajuwe ukweli.
Alipo fika alimkuta daktar wakike
“zakazi daktar”
“nzuri tu”
“nina shida”
“kiafya au kiofice
“kiofice”
“karibu”
“kuna siku nilikuja hapa kupima…
Kupima H.I.V. Na vyeti vya vipimo vyangu ni hivi hapa unaweza ukasoma.
“Yes inaonyesha umeasirika
Dada angu”
“ooh vizuri je nitarehe ngapi
hapo ina sema”
“eeeeeh eeeeeh ni 21/5/2014, mbona unaniuliza maswali sana”
“asante sana,uta juwa tyuu
usiwe na haraka, Je unaweza
kunisomea katika fairi la ofice hii alikuwepo nani tarehe iyo”
“aah kuna kazi nyingi zakufanya
sahizi niache nihudumie wagonjwa wengine”
Sulee aliingiza mkono
katika pochi yake nakutoka na
wekundu/pesa kazaa nakumpa yule dada/doktar akapokea
nakuweka katika Matiti yake.
“sasa naomba nisaidiye
kumjuwa ninani alikuwepo”
“ok subiri”
Baada ya dk5
Alisha pata jibu alikuwa ninani
“nimeona alikuwa ni
doktar john nimnene mweusi
ana nywele nyingi hivi”
“huyo huyo”
“sasa kafanyaje”
“habari ndefu sana wangu
angalia hivi vyeti nausome”
Doktar huyo alisoma
vyote vi nne alitoa pumzi
uphuuuu kisha akamtazama
kwa huzuni sana sulee kisha akainuka
nakumshika bega.
“sulee pole sana hiyo nikawaida yake huyo doktar hafai hata kwa dawa nakushauri fanya unavyo taka kufanya”
“ok nataka kujuwa ukweli tu
aliyemtuma afanye hivyo ninani”
“sawa”
Sulee alianza kufanya mipango:
alianzia Mahakamani
moja kwa moja kwakumshtaki
doktar john kwakumpa vipimo vyauwongo.
Kesi ilisumwa kort chemba
sulee hakutaka yawe makubwa
kwa doktar yeye alitaka ajuwe tu ninani alifanya vile tu.
Monica alikuwa akihisi kuwa ni Mume wangu ili tuachane, Lakini mbona alisema nisimwambie Shangazi kuhusu ilo suara.
Sulee alijiuliza moyoni
Doktar alibanwa sana mwisho akakubali kuwa alipewa pesa
na shangazi yake sulee adanganye majibu kuwa sulee ana ukimwi
ili aachane na Mumewe,(japo kuwa shangazi na sulee alikubaliana na Mume wa sule kuwa kama watakuwa wazima wote Mume wa sulee ange msamehe sulee)
“ok vizuri sana”
Kutokana na sifa za doktar huyo
kuwa mbaya anahusika na utoaji mimba NK. Mahakama iliamuwa kumfungia kazi kwa muda usiyo julikana.
Sulee ali Rudi nyumbani
huku akiwa na hasira sana
alikuwa ana hamu sana amkute shangazi yake
Lakini hakumkuta.
“kweli Monica doktar kakubali
kumbe shangazi ndiye kafanya tukio langu hilo eti kisa tuachane
na mume wangu, tulikubaliana
kama tutakuwa hatuna Virusi tungeendelea kukaa wote licha
yakuwa na mimba siyo yake”
“Sasa utafanyaje sulee”
“nataka kumchana live”
“Hapana Sulee kumbuka
hatuna pakwenda”
“potelea mbali liwalo na liwe
nimesha pagawa kasababisha kutoka kwa mimba yangu inauma sana nilikuwa nikikaa kwa Huzuni kama naumwa nilikonda kama
kweli na ngoma Monica siwezi kumsamehe Mimi”
“Sulee huoni kama ndiyo utakuwa
mwisho wetu wakukaa hapa”
“mmh popote mimi takwenda kukaa mimi”
“na mimi je”
“najuwa atanifukuza mimi
tu siyo wewe”
“hapana sulee atajuwa nime kwambia mimi hiyo siri”
“siri siri siri gani tena hiyo
Monica”
“kuwa wewe hauna ukimwi”
“mh mbona unanichanganya inamaana hata wewe ulikuwa ukijuwa kuwa mimi sina ukimwi
Monica mbona haukuniambia
mimi kwa nini kwa nini Monica
hukuniambia mapema
mpaka mimba yangu imetoka
Monicaaaaaa….
ITAENDELEA

DOKTA MIMI SIUMWI HUKO – 2

DOKTA MIMI SIUMWI HUKO – 2



Chombezo : Dokta Mimi Siumwi Huko
Sehemu Ya Pili (2)

“Mimi Sulee, una akili kweli au? Kwa nini unifikirie hivyo jamani?”
“Akili ninazo tena nyingi sana Monica. Sasa ile kukurukakara ya viti kutoa mlio ilikuwa nini? Ndiyo matibabu yenyewe?”
“Sasa je? Madokta we Sulee unawajua, wakimpima mwanamke mara wamshike makalio, mara watamani kumbusu, kama hukutumia akili yako unaweza kujikuta umemalizwa.”
“Mh! Mi siamini Monica.”
“Kwa nini huamini? Kwanza naomba nikuulize Sulee, umekuwa ukiniwekea wingu kuonana na dokta, kwani ni nani yako?”
Sulee alishtuka kwa swali hilo hasa alipokumbuka kwamba, mumewe na mume wa Monica ni marafiki na wao pia ni marafiki. Mambo yanaweza kufika mbali…
“Mi nimeuliwa tu, si nani wangu wala nini!”
“Sasa ni kwa nini umenitolea mimacho kwamba nimetembea na dokta kisa ulisikia viti vikilialia ndani?”
“Maana yangu usije ukamsaliti shemeji.”
“Mmmh! Au wewe siku ulipotembea naye mliliza viti? Sema ukweli Sulee.”
Ilibidi Sulee acheke ili kupoza mambo, akabalaguza kwa kuanzisha hoja nyingine kabisa nje ya hiyo.
Lakini Monica alishapata ujumbe, aliamini kuna kitu kati ya Sulee na Dokta Kisarawe…
“Amekupa dawa lakini?” aliuliza Sulee.
“Ndiyo, amesema nitumie hizo kisha niwasiliane naye.
Walifika kwanza nyumbani kwa Sulee, baadaye Monica akaenda nyumbani kwake.
Alifikia kwenye kiti akiwa amechoka sana kwa purukushani za Dokta Kisarawe…
“Lakini kama asingetumia nguvu walahi vile asingenipata, ana bahati sana, kidogo nimpigie kelele…
“Lakini lo! Dokta anayajua mambo yule, sijui ni dokta wa mapenzi au wa mwili. Kama ofisini kwake tena chapchapu ni vile. Je, tungekuwa chumbani?” Monica alijikuta akiwaza mengi sana kuhusu dokta na mazingira yote yaliyotokea. Ilikuwa mara yake ya kwanza kumsaliti mumewe na akahisi kuna tofauti kubwa kati ya mumewe na Dokta Kisarawe.
“Kwanza mume wangu hana pawa sana kama dokta. Halafu mume wangu utadhani hahemi, dokta anatoa mhemo mpaka unajua mwanaume yuko kazini,” alisema moyoni Monica.
***
Dokta Kisarawe alikaa kwenye kiti akimuwaza Monica…
“Huyu mwanamke ni mzuri sana kuliko wengine. Da! Bonge la mwanamke. Sijawahi kukutana na mwanamke mzuri kama huyu, ngozi nzuri, laini, hana kipele wala manundunundu kama wengine,” aliwaza moyoni daktari huyo ambaye inawezekana mpaka kwa Monica ni mwanamke wa mia mbili tangu aanze kutoa tiba.
***
Usiku wakiwa kitandani, mume wa Monica ndiye aliyeanza mazungumzo…
“Mke wangu, kwa dokta kuliendaje leo?”
Monica moyo ulimlipuka, alihisi aliulizwa swali lile kwa maana kwamba mumewe amesikia alitembea naye palepale kazini.
“Kwani vipi mume wangu?” Monica aliuliza kwa sauti ya chini.
“Ulikwenda hukwenda?”
“Nilikwenda dear.”
“Si ndiyo nakuuliza kulikuwaje?”
“Ooo, alinipa dawa akasema nitumie nikimaliza nirudi kumwambia.”
“Basi, tusubirie. Asubuhi unioneshe hizo dawa.”
“Sawa.”
***
Nyumbani kwa Sulee, mumewe alikuwa akilishikashika tumbo la Sulee akijifanya ndiyo anaulea ujauzito huo kwa mapenzi ya dhati…
“Natamani uzae hata leo mke wangu.”
Sulee alicheka huku moyoni akisema…
“Ungejua mtoto si wako, wala usingejipongeza, mwenzako mwenye nguvu za kusababisha mtoto ndiyo amehusika.”
***
Asubuhi, mume wa Monica akiwa ameshajiandaa kutoka kwenda kazini alikumbuka kitu, akamwita mkewe…
“Abee.”
“Nipe zile dawa.”
Monica alikwenda chumbani, akatoka na kipakti…
“Tena dokta alisema nikitaka kuzinywa lazima niwe nimekunywa chai ya kutosha,” alisema huku akimpa dawa hizo mumewe…
“Khaa! Mbona ni dawa mpya za mafua mke wangu, vipi kwani?”
“Dawa mpya za mafua?”
“Ndiyo. We hukumbuki siku zile mama alipokuja akawa anasumbuliwa na mafua nilinunua dawa hizi?”
“Mh! kweli? Kwani zile si zipo, ngoja nikazilete.”
Monica alikwenda kwenye bakuli kubwa la plastiki, akachakurachakura na kuona kipakti cha dawa hizo.
“Kweli mume wangu, si hizi hapa!”
“Si ndiyo sasa.”
“Mh! Ina maana Dokta Kisarawe kaniingiza mkenge siyo?”
“Haya, kumbe dokta mwenyewe anaitwa Kisarawe! Kisarawe si walaya ya mkoa wa Pwani, tangu lini likawa jina la mtu! Makubwa haya.”
Monica alifedheheka, akaanza kuhisi Sulee amemwingiza mkenge kwa kumpeleka kwa daktari feki na si yule aliyemsaidia yeye…

“Lakini kama ni feki, mbona pale nje palikuwa na wanawake wengine wengi tu tena wasiofahamiana na Sulee. Au..?” alishindwa kumalizia.
Baada ya dakika tano mumewe kuondoka, Monica alishika simu, akampigia simu Dokta Kisarawe…
“Dokta za leo, mimi Monica…”
“Ooo, Monica mpenzi, umeamkaje? Vipi, umenimisi my dear?” “Sikiliza Dokta Kisarawe…”
Enhe, nakusililiza baby.”
“Umenipa dawa gani?”
“Lini?”
“Jana.”
“Si za kusaidia kutunga mimba!”
“Mh! mbona ni dawa za mafua?”
“Sikiliza mpenzi wangu, mimi siwezi kukupa dawa sizo. We endelea kutumia hizo dawa halafu baada ya siku ishirini utaniambia matokeo,” alisema Dokta Kisarawe.
“Mh! Sijui, yangu macho.”
“Kwani uko wapi Monica mpenzi?”
“Nyumbani.”
“Unafanya nini?”
“Ndiyo nimeamka.”
“Naomba tuonane leo nje ya nyumbani kwako au nje ya hapa hospitalini kwangu.”
“Unataka nini tena? Jana si ulifanikiwa?”
“Nilifanikiwa lakini si kwa uhuru nilioutaka.”
“Uhuru gani? Kwani ulitaka uhuru au ulitaka kutimiza haja yako?”
“Haja na uhuru.”
“Kwanza nimegundua kitu, wewe na Sulee ni wapenzi, unabisha dokta?”
“Si kweli, kama mwenyewe Sulee amekwambia hivyo basi ujue ananitaka maana nilishawahi kuona dalili za kunitaka lakini nikampotezea, unajua lazima upende kilicho kizuri kama wewe.”
“Kwani mi mzuri dokta?” Monica alianza kulainika sasa, hata lugha aliyotumia iliashiria hivyo…
“Sana, Sulee atasubiri sana kwako.”
“Mmmh! Ya kweli hayo?”
“Mimi nakwambia ndiyo maana nimeomba tuonane na wewe nje ya nyumbani kwako au nje ya hapa kazini kwangu.”
“Saa ngapi?”
“Sema wewe unataka saa ngapi?”
“Mimi jioni siwezi kutoka kwani nakuwa naandaa chakula cha mista mwenyewe, muda wangu ni asubuhi mpaka kwenye saa sitasita hivi.”
“Basi tukutane asubuhi hii.”
Walipanga kukutana kwenye gesti ya Kivumbi na Jasho nusu saa mbele ambapo Monica palepale aliingia bafuni kuoga na kuvaa. Kwa vile ilikuwa ahadi maalum, Monica alivaa sana siku hiyo.
Alipigilia gauni jepesi la kufika magotini na hivyo sehemu kubwa ya mapaja kuwa wazi. Hakuacha pafyumu kwa kujipulizia kwa wingi.
Midomo aliichora kwa rangi nyekundu huku nyusi akizipunguza kwa staili ya kukatia na kusiliba kwa wanja.
“Hapa naamini dokta ndiyo atazidi kukubali uzuri wangu. Si amesema mimi ni mzuri kuliko Sulee. Leo atajua mimi pia ni mzuri kuliko Kleopatra wa Misri.”
Alibeba kipochi cha begani kilichokuwa na kanga pea moja ndani yake, akachukua Bajaj hadi kwenye gesti hiyo ambapo dokta alishafika kama dakika kumi nyuma.
Alisimama nje ya gesti akamtumia meseji…
“Nipo nje.”
“Ingia namba kumi.”
***
Monica alishaingia chumbani na alikuwa amelala kwenye mapaja ya Dokta Kisarawe akimkunakuna mgongoni huku akizidi kumsifia sana…
“Baby wewe umeumbika bwana, kama hujui naomba ujue sasa.”
“Kweli dokta?”
“Kweli kabisa.”
Kule kushikwashikwa kulimpandisha mashamsham Monica, akaanza kuchaji. Hata kuhema kwake kulibadilika, pozi zilikuwa na kutegatega. Yeye mwenyewe akatoka kwenye miguu ya kwa dokta na kusimama, akajivua gauni, akabaki na kufuli tu, dokta akabahatika kuona uzuri wa mapaja ya mwanamke huyo.
Naye alikurupuka, akasimama, akavua suruali huku akichekacheka kama fisi aliyeona mbuzi akikatizia jirani yake kule porini.
“Lakini leo lazima dokta utumie kinga.”
“Khaa! Monica unataka mimba hutaki mimba? Kinga ya nini tena wakati unasema hujawahi kunasa ujauzito?”
“Ndiyo, lakini sitaki ujauzito wa kwako au mwanaume mwingine nje ya mume wangu.”

 “Unaamini yeye anaweza kukuzalisha?”
“Si umenipa dawa!”
Dokta Kisarawe alikosa cha kuongeza, akabaki amemkodolea macho mwanamke huyo lakini kutoka moyoni hakupenda kutumia kondom kwake.
“Please my dear, twende uwanjani bila viatu,” alisema dokta huyo huku macho yake yakiwa yanakosa nguvu polepole.
“Hapana dokta, siwezi, tutumie viatu ili nisichomwe na miba. Kama ni miiba nataka ya mume wangu tu.”
“Nikwambie kitu Monica?”
“Niambie dokta.”
“Ujue raha ya mchezo kama huu ni kuingia uwanjani pekupeku, mguu kwa mguu, nyasi kwa nyasi,” hapo sasa Dokta Kisarawe alikuwa amemsogelea Monica na kumshika, akamvutia kwake…
“Noo dokta.”
“Please, nikubalie Monica,” dokta alisema huku akisogeza midomo yake kwenye sikio moja la mwanamke huyo na kumpumulia kwa karibu hali iliyomchanganya Monica ghafla…
“Aaa…dokta…”
“Nini tena Monica jamani?”
“Acha!”
“Kwani unaumia Monica?”
“Dokta bwana, unaniteke…”
“Mmm, polepole Monica wangu,” alisema dokta kwa sauti nene huku akizidi kumhemea, maskini Monica alikosa nguvu ghafla na kulegea.
“Do…do…dok…taaa.”
“Ee.”
“Kwa…kwa…ni…ni..?”
Dokta Kisarawe alimbeba Monica na kumpandisha kitandani, akamfuatia kwa haraka ili asimtoe kwenye ile hali ya msisimko.
Kuanzia hapo, Monica hakusema tena, alimwacha dokta huyo afanye kila alichotaka na yeye alikuwa tayari.
Miguno ilimtoka kinywani mrembo huyo kila pasi ya mpira ilipopigwa kwake, macho yalijaa giza jekundu huku mwili ukiwa mwepesi hasa sehemu ya katikati ambayo inaruhusu mwili kujimega sehemu moja na nyingine, hasa juu kwenda kifuani na chini kwenda magotini.
Wakiwa wazimawazima, wote walijikuta wakitangaza kila mmoja kujipatia pointi moja kwa mkwaju wa nguvu kuliko ule wa penati, wakatulia Monica akijikunjakunja kama samaki aliyerushwa nchi kavu kutoka majini na mvuvi mwenye utaalam wa hali ya juu.
“Iloo, lione kwanza,” Monica alimwambia Dokta Kisarawe huku akijua kwamba alizidiwa na kujikuta akishindwa kusimamia msimamo wake wa kucheza mechi na viatu, akakubali kucheza bila viatu.
“Umedhurika nini sasa mpenzi wangu Monica?” aliuliza dokta huku akichekacheka kimtindo.
“Madhara yapo. Je, nikinasa?”
“Hupendi kunasa?”
“Nilishasema nataka kwa mume wangu.”
“Huwezi kunasa, mi najua. Utanasa kwa mumeo tu.”
***
“Mambo Sulee?” Monica alimsalimia shoga yake huyo siku saba baada ya siku thelathini na moja za mwisho wa mwezi.
“Poa Monica, niambie.”
“Hivi unajua nimepita siku kama kumi na moja?”
“Kweli?”
“Eee.”
“Basi piga vigelegele Monica, tayari.”
“Inawezekana kweli?”
“Kabisa.”
***
Monica aliamua kwenda kwenye zahanati ya jirani na kwake ili akathibitishe kama kweli amenasa…
“Mh! Kama kweli atakuwa mume wangu tu. Siku ile si dokta alisema hakukuwa na uwezekano.”
Monica alipima haja ndogo, akasubiri majibu yake huku kiroho kikimdunda! Hakuwa amemwambia mume wake kuhusu kupitisha muda huo wote na mume naye siku hiyohiyo alikwenda kwenye hospitali moja kubwa kwa ajili ya kucheki mfumo wake wa uzazi kama upo sawa au la!
Wakati mumewe akiwa kwenye benchi akisubiri majibu, yeye alikuwa kwa dokta akipokea na alipanga asimwambie mkewe kwa majibu yoyote yale…
“Ndugu nani…katika maisha yako uliwahi kupata ajali ya gari hivi?” dokta alimuuliza mume wa Monica.
“Yeah! Mwaka elfu mbili na tatu.”
“Ulikuwa hujaoa?”
“Yah!”
“Sasa bwana sikiliza nikwambie, wewe mfumo wako wa uzazi ulivurugika baada ya ajali hiyo. Kwa hiyo huwezi kumpa mimba mwanamke.”
“Kweli dokta?”
“Ndiyo vipimo vinavyosema.”
***
“Mrembo majibu yako yapo sawa. Una ujauzito wa siku kumi na moja sasa. Hongera sana, mwambie mzee pia nampa hongera
ake,” daktari wa zahanati aliyokwenda Monica alimwambia.
“Kweli dokta?”
“Ndiyo kipimo kimesema hivyo mrembo. Wewe ni mjamzito.”
“Jamani, kweli Mungu mkubwa. Asante Mungu wangu. Mume wangu atafurahije?”

Monica alitoka akiwa na furaha iliyopitiliza, moja kwa moja hadi nyumbani, akafikia sebuleni ili ampigie simu mumewe na kumpa habari njema.
Simu ya mume wake iliita kwa muda bila kupokelewa, ikakatika akapiga tena…
“Khaa! Huyu vipi kwani? Simu hapokei, yuko wapi?”
Akajaribu kama mara tatu mpaka nne bila kupokelewa, akaamua kutuma meseji akiamini kwamba kama mumewe yuko mbali na simu, akiifikia atakutana na ujumbe wake mzuri…
“Baby, Mungu mkubwa mume wangu. Nimekwenda kupima nimeambiwa nina ujauzito. Da! Kweli Mungu hamtupi mja wake.”
Baada ya kutuma meseji hiyo, Monica alikaa nusu saa bila kujibiwa hali iliyompa wasiwasi, alianza kuhisi mumewe amepata matatizo makubwa mahali, akapiga tena simu, haikupokelewa.
“Mmh! Siyo kawaida,” alisema moyoni Monica lakini hakuchukua hatua yoyote. Ile furaha yake ikachanganyika na wasiwasi.
***
Mume wa Monica alikaa kwenye mgahawa mmoja na mume wa Sulee wakizungumza. Mume wa Monica alikuwa akimsimulia alichoambiwa na daktari baada ya kupima eneo la uzazi…
“Kwa hiyo ndiyo hivyo bwana, mimi sina uwezo wa kuzaa tena kwa mujibu wa yule daktari. Nimeumia, lakini nimeikubali hiyo hali, sina jinsi.”
“Da! Sasa shemeji yeye huko anakohangaika kwa Dokta Kisarawe ina maana anapoteza muda tu?”
“Kiukweli anapoteza muda ndugu yangu.”
Meseji nyingine iliingia kwenye simu ya mume wa Monica, mume wa Sulee akamshauri azisome…
“Kaka, kuna simu zimepigwa na meseji zimeingia, ungesoma hata meseji ujue nani, pengine madili ya hela.”
Mume wa Monicha aliivuta simu ilipokuwa, akaitumbulia macho…
“Shemeji yako amepiga mara kibao, halafu kuna meseji yake hapa, anasemaaa…baby, Mungu mkubwa mume wangu. Nimekwenda kupima nimeambiwa nina ujauzito… Da! Kweli Mungu hamtupi mja wake.”
Mume wa Sulee alishtuka kusikia hivyo, mume wa Monicha akaishiwa nguvu kabisa…
“Au dokta amekudanganya ndugu yangu, uko fiti!”
“Noo! Sidhani, huyu atakuwa na mimba ya mwanaume mwingine, kweli kabisa.”
“Hapana bwana, itakuwa yako.”
“Kaka, mimi nimemwamini dokta. Unajua nilishawahi kuwa na demu kabla ya Monica hakuwahi kunasa ujauzito wangu, lakini nilipomwacha tu, akaenda kunasa kwa jamaa mpya. Huoni kama ni kweli sina uwezo wa kuzalisha?”
“Mh! Shemeji anaweza kufanya hivyo?”
“Ndugu yangu, wanawake wanaweza. Tena unajua afadhali na mwanaume anayeweza kuzaa mtoto akamwacha kwa mama yake huko wapi sijui, lakini wao mtoto unalala naye kitandani lakini si wako.”
“Sasa unadhani iweje ili kubaini ukweli au uongo wake?”
“Itabidi nifanye uchunguzi.”
“Dah! Aisee, kama mimi nigundue mke wangu amebeba mimba ya mwanaume mwingine kwa kweli nadhani naweza kufanya jambo baya sana ulimwengu ukanishangaa.”
“Ni kweli. Lakini wewe mwenzangu si uwezo wa kuzaa unao kama hivi shemeji ni mjamzito na ulishawahi kumpa mimba yule mtoto wa mjumbe ukaitoa.”
“Eee, mimi ni mzima kaka, si Diana mtoto wa mjumbe tu, kuna demu anaitwa Maureen naye nilishampachika mimba ikatoka yenyewe,” alisema mume wa Sulee kama anayejitapa kwa mwenzake.
“Mimi bwana nitakwenda hadi kwenye DNA kutaka uhakika, niko tayari kutumia gharama yoyote ile lakini najua mwisho wa siku mtoto si wangu, naamini.”
“Mimi nitakuwa pamoja na wewe.”
Waliagana, kila mmoja akaelekea nyumbani kwake.
***
“Za kazi mume wangu?” Sulee alimsalimia mumewe.
“Nzuri tu.”
“Mbona kama haupo sawa?”
“Nitakuwa sawa kivipi wakati kumbe mnatusaliti?”
“Kivipi tena?”
“Monica amekwenda kupima akagundulika ana ujauzito…’
“Usiniambie, mbona hajania…”
“Sikiliza wewe, mbona unadandia kwa mbele.”
“Enhe?”
“Wakati yeye amekwenda kupima, mumewe naye alikwenda kupima, akabainika hawezi kumpa mimba mwanamke, sasa hiyo ya Monica ameipata wapi?”
“Mh! yamekuwa hayo?”
“Ndiyo maana yake. Nadhani hata hiyo ya kwako si yangu mke wangu.”
“Hamna my dear, mimba yako hii wala usiwe na wasiwasi,” Sulee alisema huku sura yake ikichora alama ya unyonge, alivuta picha kuhusu Monica akaamini hisia zake kwamba alitembea na Dokta Kisarawe ni za kweli.
“Lakini baby, unajua niliwahi kuhisi kwamba Monica anatembea na yule dokta aliyetupa dawa.”
“Dokta Kisarawe?”
“Ndiyo.”
“Kama ametembea naye yeye basi hata wewe umetembea naye maana ndiye uliyempeleka.”
“Wala, mimi hawezi.”
“Hawezi wewe mkali, mgumu, mjeuri au mwanaume mwenzake?”
“Hawezi tu.”
“Sikia Sulee…

Nakusikilia mume wangu.”
“Mimi si mjinga kama mume wa Monica, mimi mjanja sana.”
“Najua sana lakini siwezi kukusaliti mume wangu, amini.”
“Lakini si mlikuwa mnapelekana wote?”
“Ndiyo, lakini sijatembea na Dokta Kisarawe.”
“Je, nikigundua umetembea naye?”
“Nifanye lolote lile.”
“Sawa.”
***
Mume wa Monica alifika nyumbani akiwa amechoka sana. Mkewe alipomwona alitoka mbio kumlaki…
“Pole na kazi mume wangu.”
“Asante sana.”
“Sasa ikawaje, mbona hujajibu meseji yangu wala hujapokea simu?”
“Niache Monica.”
Monica alishtuka sana kwani si kawaida mume wake kumwita kwa jina la Monica, alizoea darling au mke wangu, wakati mwingine alimwita mama. Akajua pana jambo zito limetokea…
“Kwani kuna nini?”
“Umenitumia meseji kwamba una limimba?”
“Ha! Baby, nina limimba au nina mimba?”
“Una limimba, mimba kwani kitu cha kufurahia wakati unajua kila kitu?”
“Kwani mume wangu kuna nini?”
“We! Mimi siyo mume wako.”
“He! Yamekuwa hayo jamani, kwa nini kwani?”
“Hilo limimba ni la nani?”
“Si yako.”
“Wewee, mimi sijakupa mimba wewe.”
“Kanipa nani sasa?”
“Unamjua, tena nitakupiga sasa hivi.”
Monica alimkwepa mumewe na kwenda kukaa sehemu nyingine lakini akiwa amejaa mawazo…
“Au kajua kuhusu mimi na Dokta Kisarawe?”
“Lakini kama kajua, kajuaje? Mbona hakuna mawasiliano kati yake na dokta?”
“Mh! Labda Sulee kamwambia hisia zake maana Sulee sijawahi kumwambia kwamba nimetembea na dokta, sasa?”
“Ha! Liwalo na liwe bwana, sasa nitafanyaje?”
“Monica,” aliitwa na mumewe Monica tena sauti iliyotumika ilikuwa kali sana.
“Abee.”
Monica aliinuka, akatembea kwa kasi mpaka kwa mumewe…
“Nataka tukapime DNA…”
“DNA ndiyo nini mume wangu?”
“DNA ni kipimo kitakachoweza kusema ukweli kama hilo litumbo lako ni la kwangu kweli au la!”
“He! Mume wangu jamani, umefikia huko?”
“Ndiyo.”
“Mh! sawa.”
“Kesho tutakwenda.”
“Sawa.”
Alipoondoka, Monica alimtumia meseji Dokta Kisarawe na kumuuliza kama amewasiliana na mwanaume yeyote anayeitwa David…
“Hapana.”
“Kwani vipi?”
“Nahisi mume wangu amejua natembea na wewe na ana wasiwasi na ujauzito wangu.”
“Unasema kweli?”
“Dokta kwa nini unauliza kama nasema kweli, ina maana hata wewe unajua huu ujauzito unaujua si wake?”
“Sijasema hivyo.”
“Sasa?”
“Nimeshtuka kusikia mtu ana wasiwasi na mimba yake.”
“Kasema kesho tunakwenda kwenye DNA sijui.”
“Mh! amefikia na huko?”
“We acha tu. Sina amani hapa nilipo.”
***
Usiku akiwa sebuleni, mume wa Monica alimpigia simu mume wa Sulee ambaye naye alikuwa amekaa sebuleni na mke wake…
“Haloo, kesho bwana nakwenda kwenye ile DNA, nakwenda na shemeji yako, nadhani imefika mahali ukweli ujulikane.”
“Sawasawa, naunga mkono.”
“Je, utakuwa tayari unisindikize?”
“Unataka niwepo kaka?”
“Muhimu sana.”
“Basi hakuna shida, nitakuwa na wewe.”
Baada ya kukata simu…
“Unaongea na nani umsindikize?” Sulee alimuuliza mume wake.
“David, kesho anampeleka mkewe wake kupima DNA ili ajue kama kweli ile mimba ni yake au la!”
“Mh!” aliguna Sulee.
“Unaguna nini, au unajua si yake kweli?”
“Hapana, nimeguna kuona amefikia huko.”
Palepale, Sulee alishika simu na kumtumia meseji Monica…
“Mwenzangu unalo, mpaka kwenye DNA?”
Monica aliposoma meseji ya shoga yake huyo alishtuka sana, lakini pia aliumia moyoni…
“Ina maana mume wangu amemwambia Sulee kuhusu hili?”
“Mbona siamini! Mume wangu na Sulee wapi kwa wapi mpaka amwambie mambo mazito kama haya?” aliwaza moyoni Monica huku akiseti namba za Sulee ili amtwangie…
“Ee…”
“Sulee, nani amekwambia?”
“Ni kweli si kweli?”
“Ni kweli ndiyo, lakini nani amekwambia?”
“Mume wangu.”
“Kaambiwa na nani?”
“Si kaambiwa na shemeji.”
“Kamwambia tu au?”
“Kamwambia amsindikize hospitali.”
“Mh!” aliguna Monica, mapigo ya moyo yalimwenda kwa kasi ya ajabu.
***
Usiku wa kuamkia siku ya kwenda hospitali, Monica alimwamsha mumewe…
“Baby…baby.”
“Mh!”
“Nataka kuzungumza kidogo.”
“Kuhusu nini?”
“Hivi ni kweli kabisa umedhamiria kesho kwenda kupima DNA?”
“Hilo lilishapita na kama umeniamsha kwa ajili hiyo naomba aniache nilale vinginevyo niambie ukweli una mwanaume mwingine nje?”
Monica hakujibu swali hilo. Moyoni alijua anaye mwanaume hata kama si rasmi ambaye ni Dokta Kisarawe, lakini atawezaje kumwambia mumewe kuhusu hilo?
“Sina,” alijibu kwa mkato.
“Basi majibu tutayapata kesho kwenye DNA.”
“Mh!” Monica aliguna, akabaki kimya. Usingizi haukumpata, muda mwingi akili yake ilikuwa ikifikiria namna ya kufanya ili kuepukana na zoezi la kwenda kupima hiyo DNA…
“Au niamke mgonjwa?” aliwaza…
“Tena nataka kukwambia hivi Monica, kesho asubuhi hata ukiamka unaendesha tumboni, daktari na vipimo vyake atakuja hapahapa nyumbani,” alisema mume wake na kuuza mawazo kwamba aamke anaumwa japokuwa naye alitoa kauli ya kumchimba mkwara tu.
***
Asubuhi Monica ndiyo alikuwa wa kwanza kutoka kitandani, hakupata usingizi kwa usiku kucha huku akiendelea kuwaza kitanzi kilicho mbele yake…
“Za asubuhi?” alimsalimia mumewe.
“Nzuri, jiandae tuwahi.”
***
Saa mbili na nusu walifika hospitali yenye kutoa huduma ya DNA ambapo pia walimkuta mume wa Sulee…
“Za leo mkubwa?” mume wa Sulee alimsalimia mume wa Monica…
“Salama kaka, mzima?”
“Mzima sana. Naona tumewasili.”
“Sana tu.”
Sura ya Monicha ilionesha wazi kwamba haikutaka kusalimiwa na wala haikuwa tayari kupokea salamu kutoka kwa mtu mwingine.
“Shemeji vipi?” mume wa Sulee alijipa kichwa ngumu na kumsalimia hivyohivyo tu, aitikie, agome angejijua mwenyewe.
“Salama,” Monica aliitikia kwa mkato, mumewe aligundua lakini hakuhusika naye kumuuliza kuna nini mpaka ameitikia salamu kwa staili hiyo.
Walipata huduma kwa kuchukuliwa vipimo muhimu ambapo Monica alichomwa sindano ya tumbo na kuchukuliwa sampo ya maji huku mumewe akichukuliwa vipimo vya kawaida.
“Majibu mje baada ya wiki mbili,” alisema dokta.
“Sawa dokta, hakuna neno.”
***
Mchana wa siku hiyo, Monica alikuwa kwenye chumba cha Dokta Kisarawe kwa mazungumzo muhimu…
“Kwa hiyo dokta kama nilivyokwambia, hapa sijalala. Mawazo yote ni kuhusu hicho kipimo je, kitasema mtoto wa nani wakati yeye kaenda kupima akaambiwa hana uwezo wa kuzaa?”
“Mimi ninavyojua, mtoto huyo tumboni ni kweli si wa mume wako.”
“Nini dokta? Unamaanisha ni wa nani sasa? Maana mwanaume pekee niliyekutana naye kwa mwaka huu nje ya mume wangu ni wewe.”
“Inaweza kuwa ya kwangu.”
“Aaah! Dokta, lengo lako ni nini?”
“Ilitokea tuu!”
“Ili?”
“Unajua mazingira yalikuwa si ya kutafuta kinga Monica, sasa tungejikingaje? Halafu we shida yako si ilikuwa kupata mtoto kwa sababu mumeo hakuwahi kukupa ujauzito…”
“Sasa ndiyo we unipe kwa njia ya ukweli dokta?” alihoji Monica huku akianza kulia machozi.
“Ndiyo njia ninayoitumia Monica, hata rafiki yako Sulee pia ana ujauzito wangu.”
“Ha! Kweli dokta?”
“Sana tu.”
Kidogo Monica alijiona kama amepoa kusikia Sulee naye ni mjamzito…
“Sasa utanisaidiaje mimi kuhusu maji ya DNA?”
“Rahisi sana, ila kama uko tayari kusaidiwa twende gesti sasa hivi.”

Mh! halafu?”
“Aah! Kwani Monica hujui tukienda gesti halafu ni kitu gani?”
“Ina maana dokta bado unataka?”
“Si sana, ila kwa ajili ya kuburudika mwili wangu.”
“Hivi dokta huoni kama sitajisikia vizuri kutokana na matatizo?”
“Ni akili tu Monica, unaweka pembeni mawazo yote. Kwani si nimekwambia nitakwenda kuongea na daktari wa DNA kwenye ile hospitali?”
“Utamwambiaje?”
“Najua mimi.”
“Nihakikishie kwanza ili kama nikiona kweli inawezekana tunaweza kwenda huko gesti.”
“Nitamwambia ayapindishe majibu. Yawe ni kweli mimba ni ya mumeo.”
“Lakini si amepimwa imeonekana hawezi kuzaa?”
“Bwana wewe Monica, kila kitu kinawezekana, ujue hilo kwanza ili mengine yaendelee.”
“Mh! Dokta huo ni mtihani mkubwa kwangu. Lakini poa twende.”
“Sasa sikia, wewe tangulia kufika kwenye ileile gesti ya siku ile.”
“Usichelewe.”
“Ndani ya dakika sifuri nitakuwa nimefika na mimi.”
Monica alikwenda gesti bila kupenda, lakini angefanyaje wakati aliitaka ndoa yake. Dada yake wa kwanza aliachika, wa pili pia, watatu hajaolewa, wa nne kaachika na uzee juu, sasa ilikuwa lazima yeye ajichunge.
Wakati anaingia gesti hiyo, mume wa Sulee akamwona akiwa ndani ya teksi…
“Haa! Yule si shemeji Monica?”
Alichofanya mwanaume huyo alimpigia simu mkewe, Sulee ili amsimulie lakini namba ikawa haipatikani hewani…
“Khaa! Huyu naye vipi? Mbona hayupo hewani!”
Alijaribu mara mbili tatu, mwishowe akaamua kumpigia simu mume wa Monica…
“Mshikaji wapi saa hizi?”
“Job, niambie…”
“Mh! Kuna ishu moja hivi lakini naona kama haijakaa sawasawa.”
“Ipi hiyo tena?”
“Nimepita kwenye gesti moja hivi, nimemuona shemeji akiingia. Mna mgeni yeyote ambaye amefikia gesti?”
“Hapana! Ni wapi?”
“Hapa Kinondoni Mkwajuni.”
“Nakuja, nisubiri hapohapo ulipo.”
“Poa.”
Mume wa Monica alikodi teksi akamuomba dereva aendeshe kwa kasi hadi Kinondoni Mkwajuni. Hakutaka kumpigia simu mke wake asije akapoteza ushahidi. Alikutana na mume wa Sulee ambaye alihama kwenye teksi akaiacha iende na kuingia kwenye teksi aliyofika nayo mume wa Monica.
“Vipi mshikaji, gesti gani?”
“Ile pale yenye maua. Lakini ni vyema umpigie umuulize aliko si ajabu si yeye, nilifananisha tu.”
“Hapana, nikimpigia nitapoteza ushahidi.”
“Huwezi, kwani akiwa yeye kweli na sisi tumesimama hapa nje atajiteteaje?”
“Lakini kweli.”
Mume wa Monica aliiseti simu yake akampigia mke wake, simu iliita kwa muda mrefu mpaka ikakatika…
“Hapokei,” alisema mume wa Monica kwa sauti iliyoambatana na mtetemesho wa ghadhabu kama siyo hasira za kupitiliza.
Mara Dokta Kisarawe akatokea, mume wa Sulee anamjua alishakutana naye siku moja…
“Ha! Mshikaji, huyo anayeshuka kwenye gari ndiye Dokta Kisarawe ambaye anawatibu wake zetu.”
“Mh! Au ndiyo jamaa mwenyewe?”
“Huenda.”
“Sasa?”
“Tusubiri hapahapa nje.”
Mara, simu ya Monica iliingia kwa mume wake…
“Huyo anapiga.”
“Pokea.”
“Haloo.”
“Ee my husband, nimeona missed call yako hapa.”
“Uko wapi kwani mpaka hukupokea simu?”
“Kwani we uko wapi?”
“Khaa! Mimi nakuuliza na wewe unaniuliza, una akili kweli wewe?”
“Mimi nipo jirani na nyumbani kwa mama Mariam.”
“Oke, sawa.”
Upande wa pili, yaani kwa Monica ikakata simu haraka.
“Sasa sikia, tukisema tukavamie vipi?” aliuliza mume wa Monica.
“Mawili. Kwanza niambie, kama kweli ni yeye utachukua hatua gani mzee?”
“Talaka tu.”
“Una uhakika?”
“Mungu vile ni talaka tu.”
“Okey, kama ni talaka basi tusivamie, tukae mpaka watoke sisi tushuke kwenye gari tukiwa wawili hivihivi.”
“Sawa, niko tayari.”

Mara, mume wa Sulee alimpigia
mke wake…
“Enheee, Sulee hebu njoo hapa Kinondoni Mkwajuni haraka sana, chukua Bajaj,” alisema mwanaume huyo.
“Kuna nini tena?”
“Nimesema njoo, utajua hapahapa.”
Sulee kwa sababu alikuwa amevaa gauni, alichofanya ni kubeba khanga moja tu, akatoka mbio na kuchukua Bajaj mpaka Mkwajuni. Alimpigia simu mumewe, akamwambia alipo. Ile anafika tu na kumwona mume wa shoga yake Monica akahisi kitu tayari kuhusu Monica mwenyewe…
“Hapana lazima Monica amefanya kitu,” alisema moyoni lakini alishindwa kumpigia kwa sababu tayari alikuwa mbele ya wanaume hao walioonesha sura za kuchukia…
“Kuna nini kwani? Eti shemu kuna nini?”
“Ingia kwanza ndani ya gari,” mume wake alimwambia akiwa ameshamfungulia mlango…
“Rafiki yako ameingia gesti ile…”alisema mume wa Monica.
“Na nani? Ameingia na mwanaume gani?”
“Hatujajua, lakini tumemwona yule Dokta Kisarawe naye akiingia,” alisema mume wa Sulee…
“Mungu wangu, ina maana Dokta Kisarawe ndiyo wa kwake siku hizi siyo?”
“Hatujathibitisha.”
“Sasa kwa nini msiende?”
“Tumeona hakuna haja ya kwenda shemu, ila tukae hapa mpaka watoke ndipo na sisi tujitokeze,” alisisitiza mume wa Monica.
“Mh! Makubwa,” alichoka kabisa Sulee. Moyoni alikuwa na mambo mawili, kwanza shoga yake kuingia kwenye mkenge huo, pili ni wivu wa dokta kutembea na Monica jambo ambalo aliwahi kulihisi lakini akakosa ushahidi wa moja kwa moja.
“Lakini mkuu je kama shemeji atatoka peke yake na Dokta Kisarawe naye peke yake itakuwaje?” alihoji mume wa Sulee hoja ambayo ni ya kweli kwani kama angeanza kutoka mmoja wao, mfano dokta wangemuingizaje kwenye tuhuma za kumfumania?
“We sikiliza, hata kama itakuwa hivyo bado ni tatizo, ishu hapa ni yeye kuja gesti, iwe na dokta iwe na mwanaume mwingine lakini hoja ni moja tu, sijapenda. Halafu ananidanganya kwamba yuko nyumbani,” alilalamika mume wa Monica.
Nusu saa ilikatika, hakukuwa na mtu yeyote aliyetoka ndani achilia mbali Dokta Kisarawe na Monica. Sulee akashauri…
“Mimi shemeji nashauri kwamba, kama inawezekana mimi niende kuingia, nikaulizie…”
“Hapana,” alikataa mume wa Sulee, akataka uendelee utaratibu uleule kwani ufafanuzi ulikuwa tayari kwamba, awe amenaswa laivu au la, ishu ni yeye kuingia katika gesti hiyo.
Dakika sitini zilionesha kwenye saa zao za kwenye simu na mkononi, walitoka watu wawili, mwanamke na mwanaume lakini wakiwa wamepishana kwa dakika kama tatu hivi. Aliyeanza ni mwanaume.
“Loo! Shemeji naona shoga yako kaamua kumkinaisha Dokta Kisarawe, lisaa limoja sasa,” alisema mume wa Monica…
“We acha tu, mi mwenyewe nashangaa, muda wote huu?”
“Ungekuwa wewe ungetumia dakika ngapi?” Sulee aliulizwa na mume wake lakini kicheko cha mume wa Monica kukalifanya swali hilo kuwa jepesi zaidi.
“Mimi sina mpango huo kwanza, sijui yeye ametolea wapi haya mawazo,” alijibu Sulee.
Mume wake akaendelea…
“Nimekuuliza kwa sababu umesema unamshangaa yeye kutumia muda mrefu hivi, ndiyo maana nikataka kujua ungekuwa wewe ungetumia muda gani?”
Kabla jibu halijapatikana, ndani ya gesti hiyo alitokea mwanaume mmoja, si Dokta Kisarawe. Alikuwa akifunga vifungo vya shati vizuri huku uso ukionekana kuwa na jasho kwa kazi ya chumbani.
“Jamani, inawezekana yule mwanaume ndiyo alikuwa na Monica chumbani?” alisema kwa mshtuko mume wa Sulee…
“Haa! Halafu namfahamu, ni jirani yangu bwana. Anaitwa baba Anode, atakuwa yeye,” alisema mume wa Monica huku akianza kufungua mlango ili atoke, tayari alikuwa amekasirika kuona kumbe anayemwibia ni jirani yake.
Kabla hajatoka, msichana mmoja naye wa nyumba ya jirani na mume wa Monica alitoka kwenye gesti hiyo hivyo kutoa picha kwamba, alikuwa na baba Anode.
“Yule msichana anaitwa Mwasiti, ina maana anatembea na baba Anode?” alihoji mume wa Monica akionekana kushangaa sana.
Tena ili kudhihirisha kwamba kweli walikuwa wote gesti, Mwasiti alikazana na kumfikia baba Anode ambapo walishikana mikono na kutembea kwa maringo kama wapo fungate.

Baada yakuona kimya hawatoki Mume wa Monica na mume wa sulee waliamuwa kuingia ndani nakuwakuta Monica na dokta wakiwa chumbani
Monica kumwona mumewe akadondoka chini
nakupoteza fahamu kwa presha aliyo kuwa nayo.
Wanasema anayefumaniwa hupoteza nguvu hata kama ni baunsa uwa mdhembe, mume wa Sulee licha ya wembamba wake lakini aliweza kumkwida Dokta Kisarawe na kumtembeza hadi lipokuwa Sulee,
Monica alikuwa hajazinduka.Dokta Kisarawe akawekwa chini akae pembeni ya Monica huku kazi ya kumpepea Monica ikiendelea ili azinduke… “Katika hali kama hii shemeji halafu mwanamke aje kuniambia eti mimba ni yangu inawezekana kweli?” Mume wa Monica alimwambia Sulee…

“Kweli lakini shemeji. Inauma sana!” Dokta Kisarawe aliinua uso na kumwangalia Sulee kwa sura inayosema…
“Hata wewe unaongea maneno kama hayo wakati mimba yako pia ni yangu?”“Unaniangalia nini, kwenda huko?” Sulee alimkandia daktari huyo kwani alijua kwa pale hakuwa na ujanja wa kumfanya chochote wala kutoboa siri. Atoboe siri ale mkong’oto! Katika hali isiyotarajiwa, mume wa Monica alimvaa Dokta Kisarawe kwa kumpiga teke la tumbo na mangumi ya kichwani hadi naye akaanguka na kupoteza fahamu…
“Siwezi kumlegezea mtu kama huyu, ameharibu ndoa yangu,” alisema mume wa Monica huku akitaka kumwongezea kipigo lakini mume wa Sulee akazuia. Watu walianza kujaa eneo la tukio. “Jamani kuna nini kwani?” Walihoji watu huku wengine wakiwa tayari wameokota mawe kutaka kumpiga Dokta Kisarawe. “Ha! Jamani huyu si Dokta Kisarawe?” Mwanamke mmoja aliuliza kwa mshangao mkubwa.
“Ni yeye bwana,” mwenzake alijibu halafu akaendelea kusema…
“Halafu mi nilijua tu jamani kwamba iko siku moja dokta atafumaniwa. Kutibu gani wagonjwa kila siku uko na wake za watu?” “Mimi mwenyewe siyo siri niliacha kwenda kwake baada ya kunitongoza kila nikifika. Wengine dokta hatujaumbwa hivyo. Wewe kila mwanamke unadhani anaweza kukukubali?”
Mazungumzo ya wanawake hao wawili yalitoa mwanga mpya kabisa kwa akina Sulee, mume wa Monica akasema anataka kummaliza dokta kwa kumpiga risasi… “Noo…nooo, usifanye hivyo,” mume wa Sulee akamzuia.
Alipoona amezuiwa kwa tendo hilo, mume wa Monica akaomba watu watawanyike ili abaki yeye, Sulee na mume wake. Watu walitii, wakaondoka lakini wengi walionekana kumkandia daktari huyo. Wapo waliodai wamewahi kusikia kwamba kuna daktari anapenda ngono na wake za watu. Wakati huo Monica alishaamka. Sasa walibaki sita tu, wakamuomba dereva wa teksi aondoke akakae mahali ili wao waingie ndani ya gari. Walimbeba Monica hadi ndani ya gari, wakamwingiza na Dokta Kisarawe. Walikaa wote wakaenea… “Dokta,” alianza kwa kuita mume wa Monica…
“Naam.” “Ni kwa nini unatembea na mke wangu tena mpaka umempa mimba?”
Dokta Kisarawe aliangalia chini tu. Alijua ukweli wa madai ya mwanaume huyo…
“Monica,” mumewe alimwita…
“Bee.” “Ni kwa nini uliamua kunisaliti kwa kutembea nje ya ndoa hadi kupata mimba?”
“Nisamehe mume wangu ni shetani tu.”
“Sawa, labda nikuulize kitu kingine. Ni kwa nini uliamua kusema mimi ndiye mwenye mimba?”
Monica alibaki kimya, akaulizwa tena pia akabaki kimya. Kidogo mume wake amchape makofi…
“Si nakuuliza wewe mbwa.” “Monica si useme tu ukweli, kama kusamehewa usamehewe, unakatakata maneno ya nini?” Alisema Sulee, Monica akakasirika sana na kusema…
“Jamani, haya yote sababu kubwa ni Sulee.” “Ha! We Monica mwogope Mungu, sababu kubwa ni mimi kivipi?
“We si ndiyo ulinipeleka!”
“Halafu nikakutongozea kwa dokta?”
“Unajua mwenyewe.” “Sikia Monica, sidhani kama mimi ni mjinga kiasi hicho. Wewe mzigo wote huu ni wako, hakuna ubishi. Unapotaka kumsukumia mwenzako ni kutapatapa tu.”
“Mwambie shemeji, nahisi kama anataka tufe wote.” “Siyo nataka tufe wote, kwani na wewe si una mimba ya Dokta Kisarawe.”
Mambo yaliharibika! Monica alisema kauli nzito na mbaya, ni kama alichochea kuni kwenye moto wa kuni ulioanza kuzimika. “Unaona Sulee…unaona? Sikukwambia mimi kwamba nahisi hata wewe hiyo mimba ni ya Dokta Kisarawe?” Mume wake alikuja juu.
“Jamani maneno ya Monica si ya kuyaunga mkono, amechanganyakiwa huyu mume wangu,” alijitetea Sulee, msala ulishamwangukia. Mume wake alimvaa mume wa Monica na kumnyang’anya bastola, akamwelekezea mke wake, lakini mume wa Monica akamuwahi na kumpiga mkono, ikaanguka chini. Kuona hivyo, mume wa Sulee alitoka ndani ya gari, akaenda kuokota jiwe kubwa akawa anakwenda nalo kwenye gari ili ampige nalo mke wake. Yeye hakuonekana kuwa na haja na Dokta Kisarawe…
“Naua mimi, naua nasema,” alilirusha jiwe hilo likatua kwenye mlango jambo ambalo mle ndani hakuna aliyetegemea… “Mume wangu jamani siyo kweli,” alisema Sulee akianza kulia. Tayari gari sehemu ya mlango ilikuwa nyang’anyang’a kwa lile jiwe na mwenye gari alikwenda mbali kidogo kwa vile..


ITAENDELEA

DOKTA MIMI SIUMWI HUKO – 1

*********************************************************************************

Chombezo : Dokta Mimi Siumwi Huko
Sehemu Ya Kwanza (1)

“Ulikwenda hospitali mke wangu?” Masofa alimuuliza mke wake Sulee.
“Nilikwenda, lakini daktari kasema mimba nitapata tu ndani ya mwezi mmoja.”
“Ndani ya mwezi mmoja utapata mimba? Inawezekana kweli? Hujamwambia kwamba tumehangaika kutafuta mtoto kwa miaka nane, sasa ndani ya mwezi mmoja mimba itapatikana vipi?”
“Mimi sijui Masofa.”
“Mh! Haya, kwa sababu tumeambiwa na mtu tunayemwamini tuangalie, labda kweli daktari yule atatusaidia. Hakusema uende na mimi?”
“Hakusema Masofa, ila alisema kama naweza kesho na keshokutwa niende usiku saa moja ili anipime vizuri.”
“Alikupa dawa?”
“Dawa atanipa kesho.”
Masofa alichukua simu akampigia rafiki yake Miraji…
“Ee bwana Miraji, yule dokta uliyemsema kasema ‘waifu’ aende kesho saa moja usiku, wewe si unamwamini?”
“Yule hana neno, aende tu. Bwana Masofa we hukumbuki jinsi mimi na shemeji yako tulivyohangaika kutafita mtoto?”
“Nakumbuka.”
“Sasa kama si huyo daktari wa wanawake unadhani tungepata mtoto?”
“Oke, nimekuelewa bwana Miraji.”
“Sawa Masofa.”
Masofa alikata simu, akaendelea kukaa chumbani. Akili yake ilikuwa nzito sana kumruhusu mkewe arudi hospitali kesho yake, tena usiku wa saa moja…
“Sasa huyo daktari wa watoto ni kwa nini anataka mke wangu arudi usiku? Ni tiba gani hiyo ya usiku wa saa moja?”
***
Siku ya pili iliingia, saa moja jioni Sulee alikuwa kwa daktari wa wanawake anaitwa Dokta Kisarawe.
Dokta Kisarawe alikuwa amekaa ndani ya chumba cha utabibu kwenye zahanati yake huku akimwangalia Sulee kwa macho yenye huruma…
“Kwa hiyo tatizo kubwa ni mtoto tu anti yangu?”
“Ni mtoto tu.”
“Miraji unamjua?”
“Ndiyo, ni rafiki wa mume wangu Masofa kwani vipi dokta, mbona umemtaja huyo?”

“Ah! Nimeangalia kwenye maelezo yako, nikagundua kuwa mnatoka eneo moja kwa maana ya ubalozi…,” Dokta Kisarawe alijibu huku akimuangalia Sulee kwa macho ya kumkagua f’lani hivi.
“Ooh…!, maana nilishangaa ni kwa nini umuulize huyo na umejuaje kama ninafahamiana naye…,” Sulee alihoji huku akiyakimbiza macho yake pembeni baada ya kukutanisha na ya Dokta Kisarawe.
“Hata mkewe alikuwa na tatizo kama la kwako, lakini aliponea kupitia mikono hiihii…”
“Kweli dokta…?”
“Kweli nakuambia, niamini mimi.”
“Mm!, sawa lakini nimesumbuka sana kwani naumia kukosa mtoto jamani…,” alisema Sulee safari hii akionesha sura ya upole zaidi, hali iliyomfanya Dokta Kisarawe amkazie macho zaidi.
“Kwani mmehangaika kwa muda mrefu sana anti…?”
“Yaani wee acha tu dokta, ikishindikana na hapa itabidi niridhike tu kuwa sikupangiwa kuzaa kabisa…”
“Ndoa yenu ina muda gani sasa…?,” Dokta Kisarawe alizidi kumdadisi Sulee huku muda nao ukizidi kuyoyoma na tayari saa iliyokuwa ukutani ilisomeka saa mbili na dakika nne.
“Miaka mitatu sasa dokta…”
“Mm..!”
“Mbona unaguna dokta jamani, au huamini?”
“Hapana anti, naguna kwa kushangaa mwanamke mzuri kama wewe hujapata mtoto…!,” alijibu Dokta Kisarawe huku akimkazia macho Sulee hasa maeneo ya kifuani na mapajani kutokana na sketi aliyokuwa amevaa kupanda hadi kuvuka juu ya magoti.
“Kwani mimi mzuri ja..ma..ni…?,” aliuliza Sulee lakini safari hii kwa sauti iliyokatakata.
“Dah! Wewe ni mzuri sana anti, nashangaa hadi sasa hujapata mwanaume wa kukupa mimba…!”
Hapo Sulee hakusema neno zaidi ya kuendelea kumtumbulia macho Dokta Kisarawe aliyekuwa bize na kumungalia.
Alipoona Sulee yuko kimya, Dokta Kisarawe akazidi kumsifia huku akimhakikishia ni lazima atapata mimba.
“Yaani mwanamke umeumbika haswa, ona maeneo kama haya ya kifuani jamani…,” Dokta Kisarawe aliendelea kumchombeza Sulee huku sasa akionesha kwa vitendo na kuyagusa maeneo ya kifuani ya mwanamke huyo mrembo wa sura na umbo achilia mbali rangi yake ya chokoleti.
“Kwe…kwe…lii dokta jamani…?,” Sulee aliuliza kama kweli anaweza kuzaa lakini kwa sauti ya mkwamo kutokana na mkono wa dokta kugusa maeneo nyeti ya kifuani.
“Duh! yaani anti na nido nzuri kama hizi halafu huzai…!”
“Mm!,” Sulee aliishia kuguna huku akijikunja kiaina kwani safari hii vidole vya dokta viligusa kisawasawa nido zake kutokana na blauzi nyepesi aliyoivaa mwanamke huyo.
“Hujapata tu mwanaume rijali…”
“Kwa nini unasema hivyo dokta jamani…,” Sulee aliuliza katika hali ya kutojiweza, huku macho yake yakianza kubadilika rangi na kuwa mekundu kiasi.
“Mimi ni daktari si kwa matokeo ya mtihani bali kwa kukidhi vigezo, ina maana nina uwezo wa kujua tatizo la mgonjwa hata kwa saikolojia tu, yaani wewe unahitaji mwanaume rijali tu, kweli tena nakuambia,” Dokta Kisarawe alizidi kutoa maelekezo kwa vitendo zaidi na safari hii mikono yake ikiparaza juu ya mapaja ya Sulee.
“Aah! Sasa huyo mwanaume rijali nitampata wapi jamani mbona haya ni majaribu sana dokta…?”
“Kha! Mbona wapo wengi sana, huko mitaani au hata mimi…”
“Mimi wa mitaani naogopa, mume wangu ni mkorofi sana…”
“Basi mimi…,” Dokta Kisarawe alipasua ukweli wake huku mikono yake ikiwa na kazi ya kumpapasa na kumbinya kimtindo Sulee, kuanzia maeneo ya kifuani, mapajani hadi mgongoni na kumalizia kwenye kiuno kipana na cha mviringo cha mwanamke huyo.
Kutokana na joto la mikono ya dokta, Sulee alikuwa akipeleka upinzani hafifu na kuruhusu mikono hiyo izidi kutalii kadri iwezavyo na kumuacha akilalamika kimahaba huku akitamka maneno ya kukolea penzi.
“Aaah, jamani dokta lakini mimi siumwi huukooo…,” Sulee alilalama huku akitoa ushirikiano kwa dokta.
Baada ya kuona amekolea, Dokta Kisarawe hakuwa na ajizi zaidi ya kumuandaa na kumsogeza hadi kwenye kitanda kilichotumika kwa wagonjwa kulazwa wakiwemo wale wa kujifungua.
Dakika chache kila mtu akawa ameiva na kuhitaji kukabiliwa na mwenzake, vilio na miguno ya kimahaba vikatawala ndani ya chumba hicho cha Dokta Kisarawe.
Haikuchukua muda mrefu, Sulee akatangaza kufika mwisho wa safari na dokta akimkaribisha kwa bashasha zote.
Baada ya shughuli pevu, dokta alimtaka Sulee arudi siku ya kesho kwa ajili ya vipimo zaidi kwa wakati huo, muda ulikuwa umekwenda.
“Ahsante sana dokta jamani, wewe ni tofauti sana…,” alisema Sulee baada ya kuagana na dokta na kisha kuondoka huku akiangalia nyuma.
***
Masofa ambaye ni mume wa Sulee alikuwa sebuleni akimsubiri mkewe ambaye alichelewa sana kurudi kutoka kwa dokta.
“Ina maana huyu hadi sasa ni tiba gani hiyo…,” alijiuliza Masofa akiwa na hasira.
Wakati akiwaza hayo, alisikia hodi na kwenda kufungua akakuta ni mkewe.
“Jamani mke wangu Sulee, hadi saa hizi ulikuwa kwa dokta tu…?”
“Sasa kumbe nilikuwa wapi tena jamani mume wangu…?,” alijibu Sulee huku akitupia mkoba wake kwenye kochi.
“Dokta alikuwa na watu wengi, ndiyo maana nimechelewa kwani sasa hivi saa ngapi?”
“Angalia saa mwenyewe…”
“Mm! yaani saa tano kasoro mara hii…!”
“Haya, niambie huyo dokta amesema nini…?”
“Kwa leo amenipa ushauri tu wa kisaikolojia, amesema nirudi tena kesho muda kama wa leo…,” alijibu Sulee.
“Mm!, ina maana leo amekupa ushauri tu…?”
“Ee mume wangu…”
“Inabidi kesho twende wote…,” alisema Masofa na kumuacha Sulee ametumbua macho.

“Sasa mbona umekaa kimya, umenielewa…?” aliuliza tena Masofa akiwa amemkazia macho Sulee aliyekuwa bado amemtumbulia macho ya mshangao.
“Mm…!,” aliguna Sulee kabla ya kukubaliana na uamuzi wa mumewe, hapo moyoni alibaki na maswali mengi juu ya hali itakavyokuwa baada ya kufika kwa dokta siku inayofuata.
“Sawa,” aliitikia huku akitingisha miguu mahali alipokuwa amekaa.
“Sawa, ndiyo nini…?”
“Kha!, si nimekubaliana na ulichosema…!,” alisema Sulee huku akimwangalia mumewa kwa jicho la ‘usinichoshe bwana’.
Masofa alibaki kimya kidogo, akaanza kuondoka kuingia chumbani huku akigeuka na kumwangalia Sulee.
Muda mfupi badaye, Sulee aliungana na mumewe chumbani ambapo bila hata kuvua nguo alijitupa kitandani.
“Aah, nianche bwana…,” alikuwa ni Sulee akimjibu mumewe aliyekuwa bize kwa kumshika sehemu mbalimbali za mwili hasa maeneo ya nyuma akiomba kutafuna tunda.
“Sasa nikuacheje jamani mke wangu…?”
“Mimi nimechoka bwana…”
“Umechoka na nini…”
“Kha! si kazi jamani, au watu huchoka na nini…?”
Masofa hakujibu kitu zaidi ya kusitisha alichokuwa anakiomba.
Walipitiwa na usingizi hadi asubuhi ambapo Masofa alikuwa wa kwanza kuamka kabla ya Sulee aliyekuwa bado akiufaidi usingizi wa asubuhi uliokuwa ukisindikizwa na kibaridi cha alfajiri.
Masofa alijiandaa na kuelekea kazini, hakutaka kumsumbua Sulee akihofia mzozo usiokuwa na maana kwani aliyakumbuka vyema majibu yake ya jana.
***
Sulee aliendelea kulala hadi saa tatu na nusu aliposhituka ghafla. Akakurupuka na kukimbilia bafuni ambako alioga kabla ya kuanza kuandaa kinywaji.
Akiwa anakunywa chai, ghafla mazungumzo na majibizano yake ya jana na mumewe Masofa yakaanza kujirudia kichwani mwake.
“Haya, niambie huyo dokta
amesema nini…?”
“Kwa leo amenipa ushauri
tu wa kisaikolojia, amesema
nirudi kesho muda
kama wa leo…,” .
“Mm!, ina maana leo
amekupa usahauri tu…?”
“Ee mume wangu…”
“Inabidi kesho twende…”
Kufika hapo, Sulee akaishiwa nguvu kimtindo.
“Sasa huyu naye anataka twende wote kwa dokta ili iweje?, wengine wanasumbuliwa na wivu, sasa kama yeye kazi hawezi si awaachie wenzake…”, aliwaza Sulee.
Akaendelea na majukumu mengine kama mama wa nyumbani, huku moyoni akiombea mumewe apatwe na dharura yoyote ili asiende naye kwa Dokta Kisarawe!
Mawazo yakampeleka hadi kwa Dokta Kisarawe ambaye tayari hisia za mapenzi zilishaanza kuchipuka baada ya kupatiwa raha ya ajabu jana yake.
“Nakupenda, nakutaka, nakuhitajiiii….moyo wangu wakuwazaaa… mpenzi uko mbali namii….,” Sulee alijikjuta akiimba wimbo huo wa Lady Jay Dee uitywao Distance baada ya hisia juu ya Dokta Kisarawe kuzidi kumuwaka vibaya…!”
Hatimaye muda wa mumewe kutoka kazini uliwadia, ambapo maandaliazi ya kwenda kwa dokta yakaanza.
Ilipotimu saa moja na nusu, Masofa akiwa na mkewe walikuwa njiani kuelekea kwa Dokta Kisarawe.
Wakamkuta dokta akiwa peke yake kwenye chumba chake akiwa bize na ukaguzi wa mafaili mbalimbali ya wagonjwa.
Dokta Kisarawe alipomuona Sulee, mapigo ya moyo wake yakaongezeka, ikabaki kidogo tu aropoke jambo ambalo lingeharibu kila kitu.
“Jamani hon…,” alijikuta akikomea njiani japokuwa lile neon hon alitaka kutamka haoney, lakini akajikuta akibadili haraka baada ya machale kumcheza haraka.
“Hata haujachelewa, aisee unazingatia sana muda…”
“Kawaida tu dokta…,” alijibu Sulee huku akijifanya kuvaa sura ya ubize kidogo.
“Ehee, naona umekuja na mgeni…”
“Siyo mgeni, huyu ndiye mume wangu…”
“Ooh, karibu sana….”
“Ahsante…,”aliitikia Masofa huku akimuangalia Dokta Kisarawe kwa jicho la “si utoe tiba tuondoke.”
“Dokta Kisarawe naye akamwangali kama anayesema “Mbona umekaa kitemi sana.”
“Ok, sasa sikiliza anti, nadhani jana uliyaelewa maelekezo yangu…”
“Ndiyo dokta…”
“Kuna dawa nitakupa kwa leo, ambazo utazitumia kwa siku tatu mfululizo kabla ya kurudi tena…”
“Sawa, dokta…”.
Dokta Kisarawe akainama na kutoa kopo f’lani lililokuwa na dawa za vidonge, pamoja na zingine za maji!
“Hizi dawa ni muhimu sana, katumie kwa mtindo niliokuelekeza jana…”
“Sawa.”
CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Baada ya maelekezo hayo, waliagana kwa kupeana mikono huku Dokta Kisarawe akimpa moyo Masofa kuwa mkewe atapona na kuondokana kabisa na tatizo la kutozaa.
“Usijali, mkeo atapona tu…”
“Ahsante sana dokta…,” alisema Masofa huku akipeana mkono.
Wakaachiana mikono lakini Dokta Kisarawe akawa anamtupia jicho Sulee aliyekuwa kimya muda wote.
***
Toka siku hiyo, Dokta Kisarawe akawa anashinda akila karanga pamoja na kunywa mchuzi wa pweza kwa wingi, yote hiyo akiwa amempania Sulee atakapokuja siku ya tatu, kwani aliamini kwa vyovyote vile ni lazima aende peke yake.

Kila mara Dokta Kisarawe hakuacha kumkumbuka Sulee…!
“Dah, yule ni mwanamke bwana…,” aliwaza Dokta Kisarawe jioni moja akiwa amejipumzisha.
“Halafu, si nilimwambia aje baada ya siku tatu…?,” aliendelea kujiuliza maswali mengi.
“Eeh bwana…Ina maana kesho yupo hapa…Afadhali, kesho nitabimbilika naye tena…,” akaendelea kujikumbusha mwenyewe ndani ya chumba hicho.
“Twende mbele, turudi nyuma, aisee yule ni demu…Na hata muumba aliposema nitakufanyia msaidizi, alimaanisha yule…Kweli tena, fuatilia sana…,” Dokta Kisarawe akazidi kuzama kwenye mawazo hayo ya kujibizana na nafsi yake.
Dozi kali ya mchuzi wa pweza na karanga mbichi kwa wingi alizokuwa akizitumia Dokta Kisarawe, ziliendelea kumuweka sawa kwa ajili ya mechi kali ya kukata na shoka siku atakapokutana na Sulee.
“Mume wangu si unakumbuka dokta alisema nirudi baada ya siku mbili…?,” Sulee alimuuliza mumewe baada ya siku hiyo kufika.
“Kha!, sasa mimi na wewe nani anapaswa akumbuke…?,” Masofa alimjibu kwa mkato na sauti ya kishari.
“Wote…,” Sulee naye akajibu kishari huku akimtupia jicho.“Halafu wewe siku hizi mtata sana…”
“Nakumbuka basi, unasemaje…?”
“Basi ni leo…”
“Sasa ulikuwa unauliza au kunitaarifu…?,” Masofa alijibu lakini safari hii akiwa ‘siriasi’ zaidi.
Maisha ya Sulee na Masofa ndani ya ndoa yao, yalikuwa yameshaanza kuingia dosari.
Hii ni kutokana na hali ya Sulee kutopata ujauzito.
Sulee alinyamaza na kuendelea na shughuli zake. Masofa naye akaondoka kwenda kwenye mihangaiko yake ya kila siku.
Jioni ilipofika, Sulee alijiandaa kwa ajili ya kwenda kuonana na Dokta Kisarawe, moyoni akiwa amepania sana kupata tiba ya uhakika.
Akaianza safari ya kuelelekea kwenye zahanati ya daktari huyo. Alipofika alimkuta akiwa na mwanamke mwingine ndani, ikabidi asubiri nje.
Dakika moja baadaye, yule mwanamke aliondoka na kumpa nafasi Sulee kumuona Dokta Kisarawe…
“Niambie jamani…,” alisema Sulee huku akipanua mikono yake ili kumruhusu Dokta Kisarawe amkumbatie.
“Safi tu, mbona una furaha sana…?”
“Aah!, si nimefurahi kukuona jamani, au hupendi…?,” Alijibu Sulee wakiwa bado wanaendelea kukumbatiana.
“Sijasema hivyo, vipi kwema lakini…?”
“Kwema tu, naona ulikuwa na mwanamke humu, naye ana tatizo kama la kwangu…?”
“Hapana, kuna dawa nilikuwa namuelekeza, vipi mume mwenzangu mzima…?,” Alijibu Dokta Kiasarawe lakini mikono yake ikianza kukosa utulivu mwilini mwa Sulee.
“Aah!, jamani sa…saaa…,” Sulee alijaribu kuuliza lakini tayari joto la miili yao lilikuwa likimuendea ndivyo sivyo.
“Sasa kwani nini tena jamani…?,” Dokta Kisarawe aliuliza huku mikono ikiendelea kuutalii kwa utundu wa hali ya juu sana mwili wa Sulee.
“Aaa….h, mmh…,” Sulee alishindwa kuvumilia utundu wa mikono ya Dokta Kisarawe ambaye sasa alikuwa amemsogeza karibu kabisa na kifua chake kuliko hapo awali.
Mikono ikashuka hadi kwenye kiuno cha Sulee kilichobinuka vyema na kujitenga kwa juu.
Akawa kama anakibinya kimtindo, hali iliyomfanya Sulee apige ukelele wa kuashiria kuguswa yalipo maruhani yake.
Dokta Kisarawe hakuishia hapo, sasa akawa anaparaza kifuani na kuzigusa nido kimtindo…
Sulee akawa anajinyonga huku naye akirudisha mashambulizi kwa kummiliki Dokta Kisarawe.
Ikafika wakati kila wakishikana, wanakuwa wanalegezana nguo taratibu, baadaye kila mmoja alijikuta akiwa kama alivyokuja duniani.
Dokta Kisarawe akamuweka sawa Sulee kwa chini na kuanza kuchimba chumvi kisimani hali iliyozidisha uraha wa ajabu kwa Sulee.
“Yes, yesiii..yee..eee…siiiiii…..,” Sulee alizidi kuitikia kila alichoulizwa na Dokta Kisarawe.
Wakati akichimba chumvi, mikono ya Dokta Kisarawe ikawa bize na kifua cha Sulee, alizishika nido na kuzizungusha, Sulee akawa hana cha kufanya, akatoa macho yake meupe na kuyazungusha huku na kule.
Sulee aliposhindwa na uzalendo, akamgeuza Dokta Kisarawe na kuikimbilia maiki yake, akaishika vyema na kuanza kuimba nyimbo mbalimbali tamu.
Dokta Kisarawe akawa anasikilizia utamu wa mashairi ya Sulee kwa kufuatisha alivyokuwa akiimba.
Muda wa sebene ukawadia, kila mmoja akamuweka sawa mwenzake. Mechi kali ikaanza.
ILIKUWA ni furaha ya aina yake kwa Dokta Kisarawe japo kwa Sulee ilitegemea na biti kwani wakati mwingine aliisikia sauti ikimwambia…
“Lakini wewe ni mke wa mtu, unalijua hilo?”
Sulee alishindana na akili zake kuhusu hilo, lakini sasa mapigo ya Dokta Kisarawe yalimfanya asitishe kwa muda kuwaza mambo hayo na kumpa ushirikiano mzuri…
“Dokta,” aliita Sulee lakini hakuitikiwa kwani dokta alijitahidi ili amalize haraka na kuwahudumia wagonjwa wengine.
Hivyo alijitahidi kupiga mipira ya karibu. Sulee alikuwa hoi, kwa sababu alisimama, miguu iligoma kufanya kazi, akataka kukaa kwenye kiti lakini nafasi hiyo haikupatikana kwa Dokta Kisarawe.
Ni Sulee huyohuyo ndiye aliyeanza kutangaza hali ya hatari golini kwake, dokta akambana vizuri zaidi ili kumkinga na anguko lolote…
“Dokta…dokta nipe mtoto basi,” alisema Sulee akitaka kujitoa kwa dokta baada ya kupasua dafu lake lakini dokta ambaye alihamasishwa na lugha hiyo alimzuia na yeye akatangaza kushuka chini ya mnazi na kuvunja dafu lake, wote wakavunja madafu yao.
Mlio wa pangaboi ndani ya chumba hicho cha dokta ndiyo uliosikika pekee huku kila mmoja akiwa hana la kumwambia mwenzake. Sulee alikaa kwenye kiti na kuinamia meza, dokta alisimama, mkono mmoja ulishika sehemu ya juu ya suruali yake akiiziba njia.
“Wewe Sulee wewe, hivi kweli umekuja kutibiwa au kutibua?” Sulee alisikia sauti ikimwambia hivyo…
“Nimekuja kutibiwa,” eti Sulee aliijibu ile sauti kwa kujiamini.
Sasa alikaa vizuri, dokta naye alikuwa kwenye eneo lake la kiti akimwangalia mwanamke huyo, aliyeumbika sawa na mapenzi ya muumba.
Wote walijikuta wakicheka, lakini Sulee akakatisha kicheko kwa swali…
“Hivi mfano dokta…”
“Ee…”
“Ikitokea nimepata mimba mtoto wa nani?”
“Si wa kwako!”
“Hutamtaka?”
“Ha! Nimtakie nini wakati mimi nina mke wangu na watoto watatu, nimtake mtoto wako sijitaki kwangu?”
“Kwa hiyo unaniahidi?”
“Nakuahidi Sulee wala usiwe na wasiwasi.”
Siku hiyo Dokta Kisarawe hakumpa dawa yoyote Sulee, akamwambia akaishi kwa siku thelathini kamili halafu arudi tena…
“Noo dokta, mume wagu ataniuliza dawa ziko wapi?”
“Oke…oke, basi chukua hizi, akikuuliza muoneshe…” Dokta Kisarawe alimpa Sulee vidonge vya kutibu mifupa, maarufu kwa jina la ‘indosidi’.
“Hapo sawa.”
Sulee aliondoka akiwa mwepesi sana, alitembea kwa madaha kurudi nyumbani kwake.
***
Usiku wakiwa kitandani, mume wake alimuuliza…
“Vipi hospitali?”
“Nilikwenda.”
“Walikupa dawa?”
“Ndiyo.”
“Dawa gani?”
“Mi sizijui, sijui zinaitwaje!”
“Ziko wapi?”
“Sulee alitoka kitandani kwenda kuzichukua, akampa mumewe…
“Hizi siyo za kuongeza damu?”
“Mi sijui, alisema niwe nameza vidonge viwili kwa siku mpaka mwezi mmoja uishe halafu niende tena.”
“Sawa. Tutaona, kama hakuna matumaini itabidi tuachane naye,” alisema mwanaume huyo akiwa amelala anaangalia juu.
***
Mwezi mmoja na siku mbili, siku hiyo Sulee alijiandaa vilivyo, si kama anakwenda kwa daktari kupata tiba ili anakwenda kwa mpenzi wake. Kama mumewe angekuwepo nyumbani angemzuia kuvaa alivyovaa…
“Hapa niko sawa, mwenyewe akiniona atajua mimi ni mwanamke wa nguvu. Lakini Dokta Kisarawe naye, mh! Sijui alikwenda chuoni!”
Sulee alikuta wagonjwa wengine, akapanga foleni akiwa ni mtu wa kumi na saba mpaka kuingia chumba cha daktari. Alipita nesi…
“Samahani anti, mwambie Dokta Kisarawe nipo hapa nje.”
“Mh! Unadhani ataweza kuwaacha wenzako wote hawa akakuwahi wewe tu?” alihoji yule nesi.
“Sijasema awaache, nimekwambia mwambie nipo hapa nje.”
“Umesema nani vile?”
“Sulee.”
“Haya, subiri.”
Nesi aliingia kwa dokta, aliweka cha kuweka kabla hajatoka akamwambia…
“Kuna dada anaitwa Sulee, anasema amefika.”
“Kwa hiyo?”
“Kasema nikwambie.”
“Oke, mwambie umeshaniambia, asubiri. Yeye anadhani ni wa maana kuliko wenzako siyo?”
Nesi alitoka akafunga mlango huku macho yake yakikutana na macho ya Sulee…
“Nimemwambia anti, lakini hajanijibu kitu.”
Sulee kuna kitu kiligonga kichwani mwake…
“Au wanawake wote hawa ni wake, kwa hiyo kila mmoja ana umuhimu kwake? Maana kama mimi tu ndiyo mtu wake angetoa jibu lolote lile, isitoshe hatujaonana siku nyingi, mwezi na kitu sasa.”
“Aingie mwingine,” alisema Dokta Kisarawe akiwa amesimama mlangoni, alikutana macho na Sulee lakini hakuonesha uchangamfu wowote ule.
Dakika tano baada ya huyo mwanamke kuingia, vicheko na kugongeana mikono kulisikika kutoka kule ndani.

Sulee akaamua kunyanyuka mahali alipokuwa amekaa na kusogea karibu kabisa na mlango.
Akawa anategesha sikio kusikia zaidi kinachoendelea ndani ya chumba cha Dokta Kisarawe.
Vicheko viliendelea kusikika, kugongeana mikono kukazidi kuchukua nafasi kubwa….!
Sulee alirudi hadi alipokuwa ameketi awali, nakuanza kujiuliza maswali mengi yasiyokuwa na majibu.
“Hivi, wanaweza kuwa wanafahamiana kweli…?”
“Kha, lakini nami bwana, sasa kama hawafahamiana wanawezaje kucheka na kugongesheana mikono namna hiyo…?”
“Kwa vyovyote vile watakuwa wanafahamiana tu, ngoja nifuatilie sana…!
“Sasa kama wanafahamiana, kuna uwezekano huyu dokta kuwa anatuchanganya...?”
“Yawezekana…”
“Lakini ni sisi wanawake yawezekana ndiyo tunajichanganya…,” Sulee aliendelea kujisemea juu ya hali aliyoiona kwa siku hiyo.
“Ina maana kila mwanamke mwenye ugonjwa kama wangu, ni lazima atembee na huyu dokta ndiyo apone…?”
“Sasa kama ni hivyo atakuwa ametembea na wangapi?”
“Kama ndiyo mtindo wake, kwa nini sisi wanawake tusishituke ?”
“Kuna uwezekano wanawake wengi wanajua, lakini nani wa kuvujisha siri kama anapokea dozi ya maana ya Dokta Kisarawe…? Halafu sasa unakuta wengi wao ni wake za watu, lakini sisi wanawake bwana…!
“Sisi wanawake siyo, wewe tufuatilie sana, siyo kwa sababu haiwezekani wote hawa tutembee na mtu mmoja na siri isijulikane…,” maswali yakazidi kumchanganya Sulee mahali alipokuwa amekaa.
Lakini kwa wakati wote huo akiwa amekaa kwenye ile foleni, macho yake hayakuwa yanabanduka kwenye mlango wa ofisi ya Dokta Kisarawe…
“Lakini mimi naye bwana, sasa nimethibitishaje kuwa ni wapenzi labda huenda wanafahamiana tu na umepita muda mrefu bila kuonana?”
“Lakini, kufahamiana gani huko wanacheka hadi kugonganisha mikono kwa sana…?”
“Sasa kwani kugongeana mikono kuna maanisha nini…?,” Sulee akazidi kujihoji na kujijibu mwenyewe, hali ilishaanza kuwa tete ndani yake. Moyo haukuwa na amani tena na kidonda cha wivu kilishaanza kumnyemelea.
“Yaani kweli mambo anayonifanyia Dokta Kisarawe, anaweza kumfanyia mwanamke mwingine kweli?”
“Eee, inawezekana kwani kama aliweza kwako ni kivipi asiwafanyie wengine…,” ilisikika sauti ikimjibu kutoka upande wa pili wa moyo wake.
“Ila kweli, hilo nalo neno.”
Sulee aliendelea kujihoji na kujijibu mwenyewe. Hali haikuwa hali. Dokta Kisarawe alikuwa amemuingia moyoni mwake, sasa alikuwa haambiliki wala kusikia chochote juu yake.
“Haya mapenzi bwanaaa, hayana maana….,” wimbo wa Diamond ulisikika masikioni mwake baada ya kushindwa kuhimili vishindo vya maumivu ya wivu wa mapenzi.
Muda mfupi baadaye, Sulee aliamua kusogea tena karibu kabisa na mlango wa ofisi ya Dokta Kisarawe. Lengo la safari hii ni kusikia nini kilikuwa kikiendelea ofisini humo.
Sulee alishituka baada ya kusikia sauti za kunong’ona kwa chini sana tofauti na awali ambapo Dokta Kisarawe na mteja wake walikuwa wakizungumza kwa sauti ya juu.
Safari hii alisikia watu wakibusiana, moyo ukazidi kumuuma…
Akajishika kifuani kwa upande wa kushoto ulipo moyo, mapigo yakazidi kumuenda mbio.
Dakika mbili baadaye, alianza kusikia miguno na sauti ya meza na kiti vikisogea…Moyo ukazidi kumuuma kuliko kawaida.
“Kuchiii…..kwaguuu…vegeeee….vegeeee…..vigi…vigiiiii….,” milio ya kiti na meza viliendelea kusikika na kuzidi kumpa maswali mengi sana Sulee…
Mbali na milio ya samani hizo, miguno na mihemo ya chini ikazidi kusikika, kila dalili ya watu kula mua ikawa inajionesha wazi…
Sulee akashindwa kuvumilia, akarudi kwenye kiti. Dakika tano baadaye yule mwanamke akatoka. Dokta Kisarawe naye akatoka nje na kumuita mwanamke mwingine. Lakini wakati akimuita mtu mwingine, macho yake na ya Sulee yalikutana lakini hakuonesha dalili yoyote ya kumchangamkia (Sulee). Hali hiyo ikazidi kumchanganya kabisa Sulee.
Kuna kipindi akataka kuondoka lakini akazidi kujipa moyo na kuendelea kusubiri aone hatma ya mchezo wa siku hiyo.
“Kha, au kuna kitu nimemkosea ndiyo maana kachukia namna hii, au niondoke? Lakini nikiondoka wakati nimeshafika hapa itakuwa si busara. Ngoja niangalie mwisho wa hii sinema…,” akawaza moyoni Sulee.
Hatimaye wote wakaisha na kubaki kwenye benchi peke yake. Akadhani sasa zamu yake imewadia. Lakini alishangaa kumuona Dokta Kisarawe akitoka huku akifunga mlango wa ofisi yake kwa ufunguo.
Kuona hivyo, Sulee akahamaki na kumuuliza kulikoni iwe hivyo na vipi kuhusu tiba yake kwa siku hiyo?
“Haa, sasa Dokta mbona unaondoka vipi kuhusu mimi jamani…?
“Kuhusu wewe nini tena…”
“Si tiba yangu…”
“Ipi…”
“Ya siku zote, ina maana umesahau kabisa…?”
“Hebu acha maneno yako wewe…,” alijibu Dokta Kisarawe huku akimalizia kufunga kufuli la mlango.
 “Kuhusu wewe nini tena…”
“Si tiba yangu…”
“Ipi…?”
“Ya siku zote, ina maana umesahau kabisa…?”
“Hebu acha maneno yako wewe…,”
“Kha, dokta mbona sikuelewi…?”
“Hunielewi kivipi wewe….?”
“Si hivyo, ina maana kweli juhui kilichonileta…?”
“Sasa kama ningekuwa sijui si ningekuuliza…?”
“Sikiliza, nina mazungumzo na wewe nje ya mazingira haya ya kazi, ndiyo maaana sikutaka kukuita toka mwanzo.
“Hapo sawa, kwa hiyo tunaelekea wapi…?”
“Wewe tulia, si uko na mimi sasa wasiwasi wako nini…?
Ikabidi atulie.
“ngoja nione mwisho wa safari hii…,” akawaza moyoni huku akiegemea kwa nyuma.
Safari ikaendelea, mbele kidogo dereva alianza kupunguza mwendo, Sulee alipochungulia kupitia kioo, akasoma bango lililoandikwa Utulivu Gest House.
Moyo ukamlipuka, akajua nikilichokuwa kinaendelea.
Baada ya kuteremka, dokta alimlipa dereva pesa yake na kumruhusu aondoke zake lakini akamwambia angempigia simu baaadaye kwa ajili ya kwenda kuwapokea. Alionekana kuwa ni mtu wake wa karibu sana, ndiyo maana Dokta Kisarawe alikuwa anamuamini kwa kiasi kikubwa namna hiyo.
Wakazama hadi mapokezi ambapo baada ya kukamilisha taratibu zote, wakapewa chumba.
Walipoingia tu, Dokta akaanzisha mazungumzo.
“Umeona mwisho wa safari yetu…?”
“Nimeona, umeshinda bwana…”
“Ulikuw ana wasiwasiii….?”
“Mmh…”
Dokta Kisarawe alimwambia Sulee kuwa alikuwa mjamzito jambo lililomshangaza sana Sulee.
“Unasema kweli dokta…?”
“Wewe niamini mimi…”
“Kweli…?”
“Ili uhakikishe, naomba kesho ukapime kwa daktari mwingine halafu uje uniambie.”
Waliongea mengi lakini mwisho wa siku wakaelekea kwenye uwanja wa fundi seremala ambapo shughuli ilikuwa pevu, Sulee alijiachia na kutamka maneno yote aliyoyajua. Hatimaye walifika pamoja mwisho wa safari yao.
Baada ya shughuli hiyo, Sulee aliingia bafuni kujiweka sawa, na kisha kutoka ambapo alichukua usafiri hadi nyumbani kwake.
“Mbona leo umechelewa sana kurudi…?,” Mumewe Sulee, Masofa alimuuliza akiwa amekunja ndita.
Ilikuwa ni kama saa mbili na dakika kumi usiku kwa wakati huo.
“Watu walikuwa wengi sana, halafu nina habari njema sana mume wangu…”
“Habari gani hiyo…?”
“Nina mimba…”
“Amekupima…?”
“Sasa asingenipima ningejuaje…?”
“Ok, mimi siamini labda twende kwa daktari mwingine…”
“Sawa…”
Waliongoz
ana hadi kwenye zahanati ya jirani, na kumkuta daktari akiwa peke yake.
“Karibuni jamani”
“Ahsante…”
Walieleza shida zao, taratibu zikafanyika na baada ya dakika ishirini, waliitwa na daktari huyo.

Jamani sasa naomba muwe tayari kwa ajili ya kupata majibu yenu…,” yule daktari akafungua uwanja wa mazungumzo.
“Sawa daktari, tuko tayari…,” mumewe Sulee Mr. Masofa alijibu kwa sauti ya unyenyekevu na wasiwasi mkubwa.
“Hongereni sana…”
Aliposema maneno hayo, akatulia na kuwaangalia kwa zamu.
“Mkeo ana ujauzito wa mwezi mmoja, hongereni sana…,” yule daktari alirudia tena na kuwapa mikono ya furaha kwa pamoja.
“Jamani mke wangu, kumbe ni kweli, hongera sana…,” Masofa alisema huku akimkumbatia kwa furaha kubwa mkewe.
“Ahsante sana mume wangu, hata mimi sikuamini nilipojua…”
Waliendelea kufurahia kwa muda mrefu kabla ya kuagana na daktari.
Walipofika nyumbani, furaha iliendelea, kila mmoja wao akijitahidi kuonesha upendo wa hali ya juu kwa mwenziye.
“Mume wangu Mungu ni mkubwa sana…”
“Kweli kabisa mke wangu…”
“Kwa jinsi tulivyohangaika kutafuta mtoto, hakika Mungu yupo mume wangu…”
“Uko sahihi kabisa mke wangu, tumshukuru kwa pamoja.”
Furaha iliendelea kati ya Sulee na mumewe Masofa. Usiku mzima waliendelea kubadilishana mawazo ya hapa na pale ili mradi tu kukamilisha furaha hiyo.
Siku iliyofuata, mumewe Sulee alidamka mapema na kuwahi kibaruani akiwa mwenye furaha tele.
Sulee aliendelea kuchapa usingizi huku akimfikiria sana Dokta Kisarawe. Mapenzi yake juu ya dokata huyo yaliendelea kushamiri hasa kwa kitendo cha yeye kunasa ujauzito.
“Ina maana hapa mwenye matatizo ya uzazi ni huyu mume wangu Masofa…,” Sulee alianza kujisemea muda mfupi baada ya kuamka na kuketi kitandani.
“Kweli kabisa, ni lazima atakuwa ni huyuhuyu, kwa sababu kama ningekuwa ni mimi nisingeweza kunasa hii mimba,” mawazo hayo yakaendelea kujirudia kila mara akilini mwake.
Aliamka na kuanza kufanya usafi wa ndani baadaye akaenda kuoga. Alipomaliza akabandika chai jikoni huku akiendelea na ufuaji wa nguo chache zilizokuwa chafu.
Akamaliza kazi zote na kuanza kunywa chai huku akiwa ndani ya khanga moja iliyolichora thabiti umbo lake la namba nane.
Baada ya kunywa chai, aliingia ndani na kubadili nguo ambapo alivaa viwalo vikali vilivyomtoa sana.
Akaamua kwenda kwa rafiki yake mmoja aitwaye Monica aliyekuwa na tatizo la kutozaa kama alilokuwa nalo yeye.
“Hodi jamani hapa, hodi jamani…,” Sulee alibisha hodi kwa mbwembwe na uchangamfu wa hali ya juu.
“Mm! Karibu sana jamani…,” aliitikia Monicha huku akimshangaa Sulee kwa jinsi alivyokuwa amechangamka.
“Mzima shoga yangu…?”
“Mzima sijui wewe…?”
“Salama…”
“Karibu, naona una furaha kubwa kulikoni…?”
“Tayari shoga yangu, tayariii…”
“Tayari nini tena, mbona sikuelewi…!”
“Nimenasa…”
“Umenasa…?”
“Eee, nimenasa…”
“Umenasa nini Sulee, mbona sikuelewi?”
“Mwenzio nina mimba Monica…”
“Hamna, acha utani wako bwana…”
“Siyo utani Monica, nina mimba…”
Waliendelea kuzungumza mengi huku Monica akishangaa ni kwa namna gani ameweza kupata ujauzito wakati wote kwa pamoja walisumbuliwa na tatizo moja la kutopata ujauzito. Kwa upande wa Monica tayari alikuwa amekata tamaa.
“Umepata wapi hiyo tiba mwenzangu…?”
“Kuna daktari mmoja mtaalamu sana, yaani ameponesha wengi.”
Sulee aliendelea kummwagia sifa Dokta Kisarawe.
Kwa muonekano, Monica alikuwa mwanamke mrembo mno kupita Sulee. Alikuwa mweupe, mrefu mnene kiasi huku nyuma akiwa ‘amejazia mzigo wa maana.’
Mwili wake ulinakishiwa kwa vinyweleo nadhifu vilivyolala, pua nyembamba ndefu wastani huku maeneo ya kifuani yakiwa yamepambwa kwa ‘nido’ ndogo kiasi zilizochongoka.
Mara nyingi alipendelea sana kuvaa nguo za kubana na kusababisha mateso makubwa kwa wanaume wakware.
Miguu yake minene wastani, kila alipokuwa akikanyaga hatua moja, mzigo wa nyuma ulitingishika kiaina.
“Sasa na mimi utanipeleka lini nikamuone huyo daktari…?”
“Wewe unapenda twende lini…,” Sulee alimuuliza Monica huku akiwa amemkazia macho.
“Hata sasa hivi, au unasemaje…?”
“Kwa leo itakuwa ngumu, maana inahitaji maandalizi…”
“Maandalizi gani Sulee jamani mimi nina shida, kama ni fedha ipo bwana…,” Monica alizungumza huku akizidi kuliangalia kwa umakini sana tumbo la Sulee.
“Kesho uje unipitie nyumbani jioni ya saa moja na nusu, sawa…?”
“Saa moja na nusu…?,” Monica alihoji kwa mshangao mkubwa.
Ee, saa moja jioni ndiyo, mbona unashituka Monica…?,” Sulee alihoji kwa sauti ya kishari f’lani hivi.
“Mmh!, nimeshangaa muda huo ni daktari gani anatoa huduma ya tiba kwa uzazi…!”
“Kha! Monica vipi kwani wanaojifungua huwa hawaendi kuzaa usiku…?”
“Umeshasema kujifungua, sasa mimi naenda kujifungua…?” alisema Monica huku akitingisha mguu mmoja na kulifanya wowowo lake litikisike kwa kitetemeshi cha kuvutia…
“Kama unataka tiba, utakuja nikupeleke na kama hutaki basi bwana nimeshaona una wasiwasi,” alisema Sulee akijiandaa kuondoka.
“Hapana shoga yangu, nitakuja bwana…”
“Oke, utanikuta ila usichelewe…”
“Sawa shoga yangu…”
Waliagana lakini moyoni Monica akabaki na maswali yasiyokuwa na majibu.
“Saa moja na nusu jioni tiba gani ya uzazi hiyo…?”
“Lakini kwani tiba huwa ina muda maalum, na mimi bwana…!”
“Lakini ngoja, sasa hiyo saa moja na nusu kuna kuwa na wagonjwa wengine…?”
“Ee, sasa si pale ni hospitalini…?”
“Mmh! Itajulikana hukohuko kesho…,” Monica alizidi kuwaza na kuwazua moyoni mwake.
Kesho yake Monica aliamka mapema asubuhi na kuanza kufanya kazi ndogondogo za pale nyumbani. Hamu kubwa ni kufika muda alioambiwa na Sulee wa kwenda kumuona Dokta Kisarawe.
Ilikuwa mara aingie jikoni, mara sebuleni wakati mwingine mara aguse hiki na kuacha kile. Lengo likiwa ni kusukuma muda.
Saa kumi na mbili kamili jioni, Monica alijiandaa vizuri. Akaingia bafuni na kujisafisha kwa umakini mno. Hata maeneo ambayo hakuwa ameyasugua kwa muda mrefu, siku hiyo aliyaosha kwa ustadi.
Kuanzia ndani ya kucha za miguuni, katikati ya vidole na kwingineko, ilimradi tu aonekane bomba zaidi.
“Hapa sasa ngoja nikajipigilie pamba za maana…,” Monica aliwaza wakati akimalizia kujifunga taulo kabla ya kutoka bafuni…
Aliingia chumbani kwake na kuanza kuchambua nguo zote alizozipenda. Kila aliyoijaribisha aliona kama haikumfaa kwa siku hiyo…
“Eehee, hii ndiyo nilikuwa naitaka sasa ngoja niitupie…,” alisema Monica na kuiweka pembeni nguo hiyo.
Lilikuwa gauni jekundu , lakini lilibana sana maeneo ya nyuma na kuufanya mzigo wa Monica ujitenge vizuri kila alipolivaa. Kwenda chini lilikomea chini kidogo ya magoti…
Alipojiridhisha, alifungua droo ya upande wa kitanda na kutoa pafyumu kali aina ya Red door, ambayo hutumiwa na wanawake wengi wa mjini ambao mambo yao yako bomba.
Akachukua sendozi za rangi nyeusi na kumechishia na mkoba wake, hakika alitokelezea kama wasemavyo vijana wa siku hizi.
Saa moja na nusu jioni, tayari Monica alikuwa sebuleni kwa Sulee akimsubiri waende kwa Dokta Kisarawe.
“Nimekuweka sana shoga yangu…?”
“Wala usijali, tayari…?”
“Eee, twende sasa…”
Waliongozana hadi kwa Dokta Kisarawe. Walipofika walikuta dokta huyo akimalizia kutoa maagizo fulani kwa mgonjwa mmoja.
Baada ya muda mfupi, Sulee alimpeleka Monica kwenye chumba cha daktari.
Dokta Kisarawe baada ya kumuona tu Monica, alishituka kwa uwazi na kuwafanya wote wauone mshituko huo.
“Ooh, karibuni sana…,” alisema Dokta Kisarawe huku akijiweka sawa kwenye kiti chake kirefu cha kuzunguka.
“Ahsante,” aliitikia Sulee kwa sauti ya uchangamfu.
Baada ya utambulisho, Dokta Kisarawe alimuomba Sulee awaache na Monica ili aweze kumsikiliza kwa umakini mkubwa.
Sulee alitoka nje na kukaa kwenye benchi, lakini moyo na akili yote vikabakia chumbani kwa Dokta Kisarawe na Monica.
Kilipita kimya kidogo bila kusikia sauti yoyote achilia mbali minong’ono…
Akaendelea kukaa huku akijiuliza maswali.
“Sasa mbona sisikii wakiongea…?”
“Au…mh!…,” Sulee hakumalizi sentensi yake na kuishia kuguna.
Kimya kikazidi kupita. Giza nalo likazidi kutanda, lakini hakuwa na jinsi zaidi ya kuendelea kumsubiri Monica aliyekuwa akipata tiba maalum.
Kuna wakati alitamani avamie ndani ili kuona kilichokuwa kinaendelea kati ya Dokta Kisarawe na rafiki yake Monica, maana tayari alishaanza kuhisi wivu f’lani hivi hasa akikumbuka jinsi yeye alivyoanzisha uhusiano na Dokta Kisarawe.
Wakati akiwaza hili na lile, ghafla alishituka baada ya kusikia kitu kama meza au kitanda kikilia kuashiria kama kuna mtu anakisogeza.
Akanyanyuka alipokuwa amekaa na kwenda hadi mlangoni.
Kwa kutumia tundu la komeo la mlangoni, Sulee alichungulia ndani.
“Duh! Yaani kweli…?” Sulee alitamka maneno hayo baada ya kuona kwa ndani.

Akarudi na kukaa tena kwenye benchi kama zamani, lakini akawa hatulii sehemu moja…
Kila mara alikuwa akiinuka kukaa, mara asogee mbele na nyuma, hakika wivu ulikuwa ukimpeleka vibaya…
“Haiwezekani, huyu Dokta Kisarawe anaweza kutuchanganya na rafiki yangu kweli? Hapana haiwezekani…,” Sulee akawa anawaza moyoni.
Baada ya muda mfupi, kilisikika kimya kutoka chumbani kwa Dokta Kisarawe. Baadaye akatoka Monica lakini uso wake ulikuwa haueleweki.
Kwa mbali alionekana mchovu kwa shughuli fulani lakini pia wakati mwingine alionesha uso wa uchangamfu na kuzidi kumchanganya zaidi Sulee.
“Vipi…,” Sulee alimuuliza Monica wakati wakiongoza njia ya kurudi nyumbani.
“Safi tu…”
“Umeonana na dokta…?”
“Sijaonana naye…,” Monica alimjibu Sulee huku akimkazia macho.
“Hujamuona…!?,” Sulee akauliza kwa sauti ya mshangao mkubwa.
“Sulee bwana, sasa wewe unajua kabisa niliingia ndani kwa dokta tena wewe ndiye uliyenipeleka, sasa unaponiuliza kama nimemuona dokta ulitaka nikujibuje? Basi sijamuona…,” Monica alijibu huku akimtazama Sulee kwa jicho la ‘Uwe unafikiri kabla ya kuuliza swali’.
Sulee akakaa kimya na kumuangalia Monica kama anayesema ‘Leo umeniweza’.
Wakaendelea na safari yao, lakini Sulee hakuwa amejiridhisha na majibu ya Monica hivyo akaendelea kumdadisi zaidi kujua kilichoendelea kati yake na Dokta Kisarawe.
“Oke, kasemaje…?”
“Amenipima na kunipa dawa hizi, lakini ameniambia nirudi baada ya siku mbili…,” Monica alimjibu Sulee na kumuonesha dawa ambazo alikuwa amepewa na Dokta Kisarawe.
Moyoni Sulee alijisikia wivu zaidi kwani hata yeye mara ya kwanza kuonana na Dokta Kisarawe alipimwa na kisha kupewa dawa na kuambiwa arudi baada ya siku mbili.
Hisia za Dokta Kisarawe kufanya kama alivyomfanyia yeye zikazidi kumgubika moyoni.
“Siku ya kurudi utaniambia ili twende wote, sawa…?”
“Sawa…,” Monica alijibu kwa mkato na sauti ya chini mno.
“Mbona kama umeishiwa na raha Monica…?”
“Hamna, mbona niko kawaida tu Sulee…”
“Au umeambiwa nini na Dokta Kisarawe…?”
“Hakuna kitu Sulee, niko sawa…”
Waliendelea na mazungumzo ya hapa na pale, lakini Monica alionesha wazi kuwa hakuwa sawa kabisa, jambo ambalo lilizidi kumuweka njia panda Sulee.
Baadaye waliagana na kila mmoja kwenda nyumbani kwake kwani tayari ilishakuwa usiku wa saa tatu kama na robo hivi…
Monica akiwa njiani, alianza kuwaza mambo mengi sana, lakini kubwa ni kwa nini Sulee aendelee kung’ang’ania kwenda naye mara ya pili wakati alishamuelekeza.
“Aah wapi, naenda peke yangu, si ameshanionesha…?” Monica akaendelea kuwaza na kufikia uamuzi wa kutokwenda na Sulee mara ya pili.
***
Baada ya siku mbili, Monica aliamua kwenda kwa Dokta Sulee peke yake bila kumtaarifu Sulee…
Baada ya kutimu saa moja na nusu karibia saa mbili, Sulee akazidi kushangaa kwa nini Monica hakumpitia kama walivyokubaliana.
“Huyu mbona hajafika hadi sasa hivi, au kaghairi…?” Sulee alizidi kuwaza baada ya kuona muda unazidi kusonga mbele bila kumuona rafiki yake Monica.
Akachukua simu na kujaribu kumpigia ili amuulize kama alikuwa ameghairi kwenda kwa dokta.
Simu ya Monica iliita kwa muda mrefu bila kupokelewa licha ya Sulee kurudia tena zaidi ya mara tano. Akazidi kuchanganyikiwa.
Akampigia Dokta Kisarawe, naye akawa hapokei. Akaamua kumpigia mume wake na Monica ili kujiridhisha. Mume wake Monica alimwambia Sulee kuwa rafiki yake huyo alikuwa ameenda kwa dokta.
Sulee akatulia. Baada ya kupita saa nzima, simu ya Sulee iliita na alipoitazama, alikuwa ni mumewe Monica akimtaarifu kuwa Monica amepokea na kumueleza kuwa anajiandaa kurudi. Sulee hakujibu kitu zaidi ya kulala.
Kesho yake, aliamua kwenda kimyakimya nyumbani kwa Monica. Baada ya kuzungumza, walikubaliana kwenda pamoja siku hiyo huku Sulee akimlaumu kwa kumuacha jana yake.
“Nilichelewa nikaona nitakusumbua shoga yangu,” alijibu Monica lakini akikimbiza macho yake chini kwa aibu f’lani hivi.
Ilipotimu jioni, waliongozana pamoja hadi kwa Dokta Kisarawe, walikuta wagonjwa wengine wamepanga foleni.
Mlango ukafunguliwa na Dokta Kisarawe akatoka, alipowaona haraka akamuita Monica na kuwaacha wagonjwa wengine, akafunga mlango. Sulee kuona vile, akasogea hadi mlangoni na kuanza kuchungulia tena.
Kwa mbali akaanza kusikia tena vitu vikisogezwa. Mara kikatokea kimya cha ajabu.
Baadaye kidogo, Sulee alisikia sauti ya kulalamika ya Monica akisema
Dokta mimi siumwi huko jamaniiii, mmh!.
Moyo ukazidi kumwenda kasi Sulee, alijua kilichokuwa kikiendelea kati ya Monica na Dokta Kisarawe.
“Yaani kweli Kisarawe anaweza kunifanyia hivi…?.,” Sulee alijikuta akisema kwa sauti na kuwafanya baadhi ya wagonjwa waliokuwa wamekaa kwenye benchi wamwangalie kwa jicho la kumshangaa kutokana na sauti yake.
“Haiwezekani, nasema haiwezekani hapa ni lazima nifanye kitu…,” akazidi kuwaza huku akiwafikiria njia ya kuzuia kilichokuwa kikiendelea kati ya Monica na Dokta Kisarawe.
Kitendo cha Dokta Kisarawe kumuita Monica aliyefika mwishoni na kuwatangulia baadhi ya wagonjwa kilileta kero kwa baadhi ya wagonjwa na kuanza kumjadili kwa tabia yake hiyo.
“Mh, ina maana huyu dokta hajaona kama kuna wagonjwa wengine hapa tuliowahi…?” alihoji kwa sauti ya juu mama mmoja aliyekuwa amekaa kwenye benchi la wagonjwa.
“Shangaa, halafu kila akiingia na mwanamke ni lazima afunge mlango,” alishadadia mwanamke aliyekuwa ameketi jirani kabisa na Sulee.
Mjadala juu ya tabia ya Dokta Kisarawe ulizidi kupamba moto baina ya wale wanawake waliochukizwa hasa kwa kitendo chake cha kumuita Monica licha ya kuwakuta baadhi yao wakiendelea kusubiri zamu yao ifike.
“Hapo kutakuwa na kitu, siyo bure nyie niaminini mimi,” alisema mwanamke mwingine aliyeonekana kuwa na umri mkubwa kuliko wote.
“Mama yangu vile, haiwezekani watu tumewahi kufika halafu mwingine anafika na kuitwa, hapo kuna jambo, nyie fuatilieni sana,” alisema dada mmoja aliyeonekana kuwa na haraka kutokana na kukosa pozi maalum, ilikuwa mara asimame, mara akae, kifupi alikosa utulivu.
Sulee alizidi kuwaza mambo mengi sana, kwanza moyoni alianza kujilaumu ni kwa nini alimuonesha Monica kwa Dokta Kisarawe. Alijua kamwe hawezi kuukwepa mtego wa dokta huyo kwani licha ya yeye mwenyewe kuwa mgumu hadi wanaume wengi mtaani kwao kushindwa kumpata, lakini kwa Dokta Kisarawe alishindwa kupindua, hivyo aliamini hata Monica hawezi kukwepa.
Fujo za Dokta Kisarawe zilizidi kumchanganya Monica kule chumbani, kwani alipokuwa akimpima mikono yake ilikosa staha hivyo akawa anayagusa maeneo hatarishi ya mwanamke huyo mrembo.
Mwanzoni alionekana kuwa mtulivu huku akimuuliza Monica maswali ya kutaka kujua kama tatizo liko kwake au kwa mumewe.
“Kweli kabisa na urembo wote huu, bado hujapata mtoto Monica…?” Dokta Kisarawe alianza kuuliza maswali yake ya mtego.
“Nimeshapata…,” Monica alijibu kwa sauti kavu tena isiyokuwa na masihara hata kidogo.
“Umeshapata…?” Dokta Kisarawe aliuliza kwa mshangao aliposikia kuwa Monica alikuwa ameshapata mtoto.
“Ee, unajua dokta nakushangaa sana, sasa kama ningekuwa nimeshapata muda ningekuwa niko hapa…?”
“Mh, hapa nimepatikana, lakini atalainika tu, mimi ndiye Dokta Kisarawe bwana…,” Dokta Kisarawe aliwaza moyoni baada ya kugundua kuwa Monica alikuwa mwanamke mtata kuliko alivyokuwa akifikiria.
Oke, sasa hebu kaa hapo…,” Dokta Kisarawe alisema na kumuonesha Monica kiti kilichokuwa karibu yake.
Monica alikaa kwa utulivu na kumwangalia dokta kwa macho ya ‘nakusikiliza’.
“Ni wanawake wengi sana walikuja na tatizo kama la kwako, lakini kupitia mikoni hii waliondoka hapa wakiwa na furaha…,” alisema Dokta Kisarawe na kumfanya Monica atabasamu japo kwa mbali.
“Kweli kabisa dokta…?” aliuliza Monica.
“Mama yangu vile…”
“Unafanyaje…?”
“Mimi siyo daktari kwa matokeo ya mtihani, bali ni mtaalam wa taaluma…,” Dk. Kisarawe alijibu.
Dokta alisogeza kiti karibu kabisa na alipokuwa amekaa Monica, alianza kumshika tumboni na maeneo mengine.
Mwanzoni Monica alionekana kutulia lakini kadiri mikono ya Dokta Kisarawe ilivyokuwa ikikosa staha, ndivyo alizidi kuhisi kitu cha ajabu kikimtokea.
Dokta alimsimamisha Monica, akawa anamshika kifuani na kumwambia kuwa alikuwa anaangalia kama mishipa ilikuwa ikipeleka vyema damu.
Kwa kuwa Monica hakujua chochote kutokana na taaluma ya kidaktari kumpita kushoto, ilibidi atulie na kumuacha Dokta Kisarawe aendelee na utaratibu wake.
“Aaah, sasa Dokta mbona unanishika huko tena…,” Monica aliuliza baada ya mikono ya dokta kushika yale matunda mawili yaliyokuwa yamesimama wima kifuani kwa Monica, wakati akisema hayo alikuwa akijigeuza na kusababisha kiti alichokalia kizidi kutoa mlio wa kuashiria kitu kisicho cha kawaida.

Licha ya kulalamika kwa kitendo cha Dokta Kisarawe kumgusa maeneo hatari, Monica hakuwa na upinzani mkubwa kwa mashambulizi ya daktari huyo mzoefu kwa kuwakwangua wanawake wasiokuwa na msimamo na ndoa zao, hakika Monica alikuwa amepatikana.
“Oooh, ophhhhuuu…,” Monica alianza kulalamika kwa sauti ya kubana tofauti na alivyokuwa akilalama kwa sauti ya juu, sasa alianza kuhema kwa nguvu huku akigeuza macho yake makubwa na meupe.
Dokta Kisarawe akazidisha mashambulizi kwa kushika na kupapsa kila eneo alilohisi ni hatari kwa mwanamke huyo mrembo kuliko wote ambao dokta huyo aliwahi kuvunja nao amri ya sita.
“Kwa nini jamani dokta…?,” Monica aliuliza huku akimtazama Dokta Kisarawe kwa macho ya ‘sasa umenibakiza nini? Si umalizie tu…’
“Aah, kwani nini tena jamani Monica…?”
“Sasa mbona unanishika huko bila lidhaa ya….nguuu….,” Monica alihoji lakini hakuimalizia sentensi yake kwani tayari Dokta Kisarawe alikuwa amelishika tunda lake la upande wa kushoto na kulibinya huku akilinyonya mithili ya maembe nyonyo yale ya Tanga…
“Sasa si usubiriiiiii….,” Monica akazidi kulalamika na kuongeza manjonjo ya kujikunja hali iliyomfanya Dokta Kisarawe alizidisha utundu mwilini kwa mwanamke huyo ambaye hakuwahi kuchubuliwa kwa mkwaruzo wa aina yoyote.
“Ok, sasa kama unataka mchezo si useme jamani dokta kuliko kuendelea kupeana mateso makali namna hii…,” alilalamika Monica huku akizidi kuhisi hali ambayo hata kama ungekuwa wewe ni lazima uhitaji huduma tena ile ya haja.
“Kwani wewe hujui hadi niseme jamani…,” alihoji dokta, lakini safari hii Monica hakujibu chochote zaidi ya kuanza kutoa sauti ya kugugumia kutokana na utamu wa sukari guru aliyokua akionjeshwa na Dokta Kisarawe.
“Aaah, hapo sasa jamani dokta, umejuaje jamaniiiii…, Monica alilalama baada ya Dokta Kisarawe kushika maeneo ya nyonga na kufanya kama anayekamua jipu kwa staili ya kubinya kwa mapozi yasiyosimulika.
Baada ya mashambulizi ya dokta kumzidishia raha ya ajabu, Monica akaona isiwe taabu kwani tayari akilini mwake alikuwa ameshahisi kuwa hakukuwa na jambo jingine ambalo Dokta Kisarawe alihitaji zaidi ya mchezo wa baba na mama.
Akaanza kujibu mashambulizi kwa kujibu mapigo ya utundu wa ajabu. Kwanza alimuangalia Dokta Kisarawe kwa macho ya karibu tena bila kupapasa, akamkazia na kusogeza kabisa kinywa chake karibu na cha Dokta Kisarawe, hapo akatoa ulimi wake mpana uliojaa mate ya uchu.
Hakuishia hapo, akausogeza kabisa karibu na midomo ya Dokta Kisarawe na bila kujali harufu ya sigara iliyokuwa ikitoka kinywani kwa mwake, Monica alitumbukiza ulimi wake mdomoni na kuanza kuuviringisha kila kona.
Utalaamu alioutumia kuchezesha ulimi wake kwa mbwembwe zaidi mdomoni, hali hiyo ilimtia wazimu Dokta Kisarawe na kuanza kugugumia kama dume la njiwa lililotoka malishoni.
Dokta Kisarawe akazidi kutoa sauti ambayo haikueleweka.
Monica naye akiwa na hali mbaya ya mhemko kutokana na kuchezewa kwa muda mrefu na mikono ya Dokta Kisarawe ambayo alikuwa akiipitisha maungoni kwake kwa ufundi na umaridadi wa kiwango cha juu.
Bila kutarajia, wailjikuta wakiwa wameegemea kitanda cha kulaza wagonjwa huku kila mmoja akiwa anahema kama aliyetoka kukimbia mbio ndefu za marathoni.
“Baby…,” Monica aliita huku akiushika mkono wa kushoto wa Dokta Kisarawe na kuupitisha katika tunda lake la kulia na kuanza kumwelekeza jinsi ya kulipikicha kwa ustadi mzuri, kitendo cha dokta huyo kuanza kupita juu ya eneo jeusi lililokuwa likizunguka kikonyo cha tunda hilo.
“Basi, basiiiii, basiiiiii jamaniiii…,” Monica uzalendo ulimshinda na kuanza kujinyonyoa manyoa bila ya kutakiwa kufanya hivyo, alipomaliza kujipembua, huku akilalamika kwa sauti ya kudai huduma, haraka alimvuta Dokta Kisarawe na kumlalalia kifuani mwake, akajiweka sawa tayari kwa mechi kali ya watani wa jadi.
Kila mmoja wao alikuwa na hali ya uhitaji wa huduma.
Refaa na wasaidizi wake wakaingia uwanjani na kuruhusu mechi kuanza…
Kila upande ulianza kwa kasi kubwa na mashambulizi ya kushitukiza kwenye lango la upinzani, hali iliyowafanya washangiliaji wa pande zote kulipuka kwa mayowe kila mara.
Si Dokta Kisarawe aliyekuwa akifungua kinywa kusema chochote zaidi ya miguno na mihemko ya raha kusikika.
“Mmh! Jamani doktaaa…” Monica akajikuta akichombeza baada ya kuzidiwa na manjonjo ya Dokta Kisarawe…
“Nini tena jamani Monica, aaah, basi bwana mama…” Dokta Kisarawe naye akawa anagugumia kwa raha baada ya mikono laini ya Monica kupapasa maeneo hatari ya mwanaume huyo.
Monica alikuwa akitembeza vidole vyake kwenye bustani ya kifuani ya Dokta Kisarawe, akawa anavitanua vidole na kuvikutanisha kama mkasi ukatavyo nguo, wakati mwingine vidole hivyo vikawa vinagusa hadi vinundu viwili vya kifuani hapo hali iliyomfanya daktari huyo wa tiba za akina mama aanze kuangua kilio cha raha ya ajabu.
Monica hakuishia hapo, sasa mikono ikawa inatambaa kwa kasi katika sehemu mbalimbali za mwili wa Dokta Kisarawe.
“Jamani mama, si tumesema tuanze…”
“Nakusubiri baba…”
“Oooh, nasikia hali ya tofauti sana mama…,” Dokta Kisarawe aliendelea kulalama huku mechi ikiendelea kuchezwa.
Kuna wakati Monica alimzuia Dokta Kisarawe kuendesha gari lake, na kumtaka atulie ili yeye kunyonga la kwake bila bughudha.
“Tuliaaa, tuliaaa jamaniii…,” Monica alisema huku akimshikilia kwa nguvu Dokta Kisarawe.
Monica akawa anajizungusha peke yake huku macho yakiwa yamefumbwa, muda mfupi baadaye akaanza kutoa miguno mfululizo huku ulimi akiutoa nje.
Akawa anakunja mapaja na kunyoosha miguu kama kuku aliyekuwa akijinasua kutoka kwa mchinjaji.
“Aaa, aaaah, aaaahaaa…,” Monica alitoa kelele hiyo na kutulia baada ya kufika mwisho wa safari yake.
Kuona hivyo, Dokta Kisarawe naye akakazana na muda si mrefu naye akatangaza kufika mwisho wa safari yake ndefu na ya kuchosha.
“Ooooh, oooffffuuu…” alihitimisha huku akijinasua maungoni mwa Monica.
Baada ya mechi hiyo, haraka sana Monica alinyanyuka na kukaa juu ya kitanda hicho cha kulaza wagonjwa na kujiinamia huku akitoa kwikwi za kilio hali iliyomshitua sana Dokta Kisarawe.
“Haa, mbona unalia tena jamani?” Dokta Kisarawe alihoji huku akimalizia kuvaa suruali.
“Kwa nini mimi jamaniiii?” Monica akazidi kutoa kilio cha malalamiko na kujifuta machozi mengi yaliyokuwa yakitiririka kwa kasi ya ajabu mashavuni mwake.
“Kha, sasa mbona unalia na kuhoji kwa nini wewe, maana yake nini sasa…,” Dokta Kisarawe akawa anauliza na kumsogelea mahali pale, akamgusa begani.
Monica akauondoa mkono wa Dokta Kisarawe kwa kasi hali iliyomjulisha daktari huyo kuwa hali si shwari kwa mrembo huyo.
“Kwa nini nimemsaliti mume wangu mimi?” Monica akawa anasema kwa sauti ya juu na kumshitua Dokta Kisarawe aliyekuwa akihofia watu waliokuwa nje kusikia.
“Sasa Monica, unaposema hivyo kwa sauti ya juu kiasi hicho maana yake nini jamani, au unataka watu wafanye mambo humu ndani?”
“Kwa nini umenishawishi na kumsaliti mume wangu jamani dokta?” Monica akazidi kuhoji huku akitafuta nguo zake na kuanza kuvaa huku akijisonya.
“Sikiliza Monica, wote tumejikuta katika hali hiyo, hakuna wa kumlaumu hapa, sasa nakushangaa sana kama utaanza kunilaumu mimi wakati kama ni raha tumezipata wote…”
“Raha gani, raha gani dokta nakuuliza, au unataka nikujazie watu chumbani kwako?” alilalama Monica.
“Sasa kwa nini ufikie huko kote, halafu unaposema nilikushawishi nashindwa kuelewa, hadi naanza kukushawishi ulikuwa wapi?”
“Wewe ndiyo chanzo cha usaliti, kwani mimi nilikuambia naumwa huko, ulipoanza kushika sehemu ambazo hazihusiani na ugonjwa wangu nilikuambia kabisa kuwa dokta mi’ siumwi huko, lakini hukusikia, lengo lako lilikuwa nini…?”

“Unajua Monica hatupaswi kulaumiana sana kwa hili?” alisema Dokta Kisarawe huku akionesha uso wa huzuni japo moyoni alikuwa akifurahia na kujipongeza kwa kitendo cha kufanikisha kula tunda la mtoto mzuri kama Monica.
“Unasemaje wewe, hivi una akili kweli?” Monica aliendelea kung’aka chumbani humo.
Kutokana na maneno matamu na kuonesha heshima aliyokuwa akiyatoa Dokta Kisarawe, kwa kiasi fulani yalichangia kumlainisha Monica na kuanza kushuka taratibu.
“Sawa lakini siyo vizuri bwana”
“Sawa jamani, naomba tuchukulie kama bahati mbaya mama,” alisema Dokta Kisarawe.
Kitendo cha daktari huyo kutumia jina la mama wakati wa kumuita Monica, kilimfurahisha sana mrembo huyo kwani tangu aolewe hakuwahi kuitwa kwa jina hilo na mumewe.
“Poa, nimekuelewa, nimekuelewa baba;” Monica naye alijibu kwa sauti ya chini lakini alijikuta akimalizia kwa neno la baba hali iliyomshangaza na kumchanganya sana Dokta Kisarawe.
Kwa pamoja walivaa nguo zao huku kila mmoja akikumbuka utundu na utaalamu wa mwenzake.
“Ila twende mbele turudi nyuma, huyu dokta ni kiboko kwa mambo ya chumbani, sasa kama amenifanyia utundu wote huu kwenye eneo lisilokuwa na uhuru kama hili, vipi kama tukikutana ndani ya chumba tukiwa na muda wa kutosha, itakuwaje?” Monica aliwaza huku akimalizia kuvaa nguo yake ya ndani kabla ya kumalizia kwa zingine.
“Dah! Hata Mungu aliposema nitakufanyia msaidizi, aisee alikuwa akimaanisha huyu, mama yangu vile nakuambia…,” Dokta Kisarawe alijisemea kimoyomoyo huku akifunga mkanda wa suruali yake pana kiunoni.
“Sasa kwa hiyo kuhusu tiba dokta;?” Monica alimuuliza Dokta Kisarawe huku akimuangalia kwa macho ya; Ila unayaweza sana.’
CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Aaah, kuhusu tiba inabidi uje baada ya siku mbili lakini kwa sasa nitakupa vidonge f’lani, sawa?” alijibu dokta huku akimuangalia Monica kwa jicho la hata hii si ni sehemu ya tiba?’
Baada ya muda waliagana na Dokta Kisarawe akampa Monica vidonge f’lani vya rangi nyekundu na kumpa maelekezo ya namna ya kuvitumia.
“Basi sawa, lakini dokta nitakushukuru mno kama nitapona na hatimaye kupata mtoto, ujue nina hamu sana ya kuitwa mama jamani;,” Monica alisema huku akimtolea macho Dokta Kisarawe hali iliyobadili kabisa hali ya mzunguko wa damu wa daktari huyo mwenye uchu wa warembo wazuri kama alivyokuwa Monica.
“Usijali Mamie, mimi ndiyo Dokta Kisarawe bwana, si umeona mfano kwa rafiki yako Sulee, naye alikuja hapa akiwa haamini kama wewe lakini kwa sasa ni mama kijacho…”
“Mmh! Sawa kama kweli basi mimi naenda bwana”
“Sawa, tutaonana”
Monica alifungua mlango na kuwakuta wateja wengine wakingojea huduma ya Dokta Kisarawe.
Walimtupia Monica macho ya chuki kwani kitendo cha kuitwa yeye kwanza na kuwaacha waliokuwa wametangulia kiliwakera na kuwaudhi vibaya mno.
“Muone kwanza, watu wengine wanajirahisi kwa madaktari wakidhani ndiyo njia pekee ya kutibu magonjwa yao sugu;,” yalikuwa mazungumzo ya akina mama wawili waliokuwa wamekaa kwenye benchi la kusubiri zamu huku wakimuangalia Monica kwa jicho baya.
Monica alimkuta rafiki yake Sulee amenuna bila kujua chanzo na sababu ya yeye kufanya hivyo. Moyoni akawaza huenda kilichomuudhi Sulee ni kitendo cha yeye kuchelewa chumbani kwa dokta.
Hali ilikuwa tofauti kabisa kwa upande wa Sulee, wivu wa mapenzi ya Dokta Kisarawe ulikuwa umemkaba hadi shingoni na sasa alikaribia kuzimia kwa hasira.
Kitendo cha kusikia meza na viti vikitoa sauti ya kusukumwa kila mara kilichangia kwa asilimia nyingi sana kwa Sulee kuamini kuwa ni lazima kwa vyovyote vile Monica atakuwa ametembea na Dokta Kisarawe jambo ambalo lilimuumiza kuliko ncha ya wembe kupita kwenye kidonda kibichi.
“Vipi rafiki yangu mbona unaonekana umenuna sana, pole kwa kuchelewa mwaya, “Monica alijibalaguza huku akimshika begani Sulee bila kujua hali mbaya ya wivu iliyokuwa ikimtesa mke huyo wa mtu.
“Ina maana kweli Monica unaweza kunifanyia hivyo;?” aliuliza Sulee kwa sauti ya kukwaruza.
“Nimefanya nini tena Sulee, si nimekuomba msamaha kwa kuchelewa jamani?”
“Si umetembea na Dokta Kisarawe wewe;,” alijibu Sulee kwa sauti ya juu na yenye hasira.
Je, nini kitatokea kuhusu penzi la Dokta Kisarawe na wawili hao?⁠⁠⁠⁠

ITAENDELEA

CHUZI NDO HILO, HAKUNA KUONJA! – 5

Chombezo : Chuzi Ndo Hilo, Hakuna Kuonja!
Sehemu Ya Tano (5)

Baba Shua alirudi akamkuta mama Shua sebuleni akiwa katika hali ya kutojua nini kinaendelea. Aliingia chumbani bila kusalimia, akapanda kitandani kulala maana alishaoga nyumbani kwa Maua na kupakwa mafuta ya losheni na pafyumu juu.
CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Kitendo cha baba Shua kumpita kama hamuoni kilimuumiza akili mama Shua, akahisi kama kuna la ziada ya pale…

“Afadhali hata angenisalimia lakini kunipita kasi bila salamu maana yake nini sasa?” alijiuliza mama Shua.
Alijishauri kuhusu kumfuata au kutomfuata mumewe, chumbani lakini mwisho wa yote aliona itakuwa ujinga kumfuata…

“Yaani kumtenda kote kule halafu nimfuate? Je, akinipiga nitasema amenionea? Pengine karudi bado na hasira, kaepusha mabaya kwa kwenda chumbani halafu eti nimfuate, si itakuwa naendekeza ushetani!”
***
Kule chumbani akiwa tayari kitandani, baba Shua naye aliwaza yake kwamba, endapo mama Shua atamuibukia chumbani salama yake afikie kulala. Lakini akisema amuulize kwa nini hajamsalimia, atavaa na kuondoka zake kurudi kwa Maua…

“Tena kwanza ngoja nimpigie simu Maua, aliniambia nikifika nimjulishe,” alisema moyoni baba Shua, akashika simu yake na kumwendea hewani Maua lakini wakati huohuo, mama Shua naye akaingia kwa lengo la kupanda kitandani kulala…

“Ee mambo vipi? Umelala nini..? Bado..? Oke…mimi ndiyo nipo kitandani muda huu…nilisema nitakupigia nikiwa nimejilegeza kitandani…usijali…aaa! Wewee…wewee! Mmmh! Acha bwana…teh…the! Haya poa…na wewe pia…aaaa bwana acha mambo yako wewe…oke oke.”
Mama Shua alifuatilia sana mazungumzo hayo ili kujua mumewe anaongea na nani kwenye simu. Kwa mbali alihisi anaongea na mwanamke, lakini pia akahisi ni mwanaume, hasa kwenye vile vipengele vya ‘acha bwana…oke oke poa.’

Baba Shua naye akawa anamuwaza Maua na maneno yake ya kwenye simu…
“Mh! Maua bwana…ei nibusu…hivi anavyoamini ningembusu kweli? Ingewezekana wapi kwanza? Ye anajua mke wangu atakuwepo sasa ningembusu vipi? hata kama kweli tumerudisha majeshi nyuma lakini si kwa kiasi cha kuleta ubaya. Mbaya aachwe na ubaya wake.”

Usiku wa siku hiyo ulikuwa mrefu kwa wote wawili lakini kila mmoja alikuwa akiwaza yake.
Mama Shua yeye aliwaza maisha yatakavyokuwa baada ya kutoka kwa baba Shua kutokana na hali ilivyokuwa wakati baba Shua yeye alikuwa akiwaza maisha yake na Maua…
“Siamini kama atanitenda kama mama Shua…kwanza Maua hata tulipokuwa klozdi enzi zile sikuwahi kumuwazia kwamba ananisaliti. Naamini si msaliti,” aliwaza baba Shua.
***
Kwake Maua mambo yalikuwa vilevile kama baba Shua. Muda mwingi alimuwaza mama Shua na uovu wake kwa mumewe hasa akizingatia kwamba, ndiye aliyevunja uhusiano wake na baba Shua…
“Mshenzi sana yule mwanamke. Yaani aliingilia penzi langu kumbe hawezi chochote. Haya sasa…ndoa imemshinda sijui atasemaje!”
***CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Baba Shua alilala usingizi mzito siku hiyo, tena akikoroma jambo lililomshangaza sana mkewe mama Shua kwani alitarajia kuwa, kutokana na mambo yaliyotokea, angelala kimang’amumang’amu.
“Mh! Yaani baba Shua pamoja na mambo yote yaliyotokea, bado analala usingizi kweli? Ina maana kitendo changu hakijamkera? Mbona mi mwenyewe nimekereka?” alijiuliza mama Shua bila kupata majibu. Mpaka kunakucha, mama Shua hakuwa amelala usingizi unaoeleweka.
***
Kulikucha, mama Shua alitoka kitandani, akaenda uani kufanya kazi za usafi huku akiwa ametenga maji ya kuoga kwa ajili ya mumewe baba Shua.

Lakini baba Shua akiwa kitandani hajatoka bado lakini alishaamka, akaanza kuchati na Maua…
“Mambo baby, ndiyo naamka mimi,” alituma ujumbe huo baba Shua…
“Ooh! Thanx God kwa ajili ya wewe! Mimi nimeshaamka. Ila natamani sana kama ungekuja kuoga kwangu kabla ya kwenda kazini…”

“Da! Nguo sasa ndiyo tatizo mama…”
“Nguo! Si utabeba za kuvaa baada ya kuoga.”
Baba Shua aliamini ni ushauri mzuri hasa akizingatia kwamba, hana mawasiliano pale kwake zaidi ya msichana wa kazi na binti yake Shua.

Alitoka kitandani, akachukua begi dogo la mgongoni, akaingiza suruali moja, singilendi moja na shati moja, viatu na soksi alivaa kabisa, akaondoka zake bila kuaga mtu.
Wakati anaondoka, mama Shua alikuwa uani. Alijua mumewe angeenda kuoga lakini alipoona kimya, akaingiwa na wasiwasi, akaenda chumbani na kukuta kiasi cha pesa juu ya meza, lakini baba Shua hakuwepo…
“Khaa! Huyu kaenda wapi tena?” alijiuliza. Alimwamsha Shua na kumuuliza lakini alionekana hajui lolote maana alikuwa usingizini.

Aliingiwa na wasiwasi kwamba, huenda ameamua yeye ndiyo ahame kwenye nyumba hiyo na kumwacha yeye na Musa wake, lakini alipofungua kabati la nguo hakuona mabadiliko. Wingi wa nguo ulikuwa uleule na haikuwa rahisi kubaini kwamba, mumewe ametoka na begi lenye nguo chache.
Hata alipokwenda kwenye sehemu ya viatu alibaini kuwa, ni pea moja tu haipo kwa tafsiri rahisi ni kwamba ndivyo alivyovaa…

“Mh! Mimi sijui sasa,” alijisemea moyoni kama vile aliisikia sauti kichwani ikimuuliza.
Alitoka nje na kukuta na Musa naye akiwa ametoka ili akaoge…
“Mambo?” Musa alisalimia.
“Poa tu,” mama Shua alijibu kwa mkato sana huku akichukua tahadhari kwa lolote endapo mumewe angetokea na kuhisi vibaya.

Akili haikumpa mama Shua, akaamua kumpigia simu baba Shua lengo ni kutaka kujua aliko lakini simu yake iliita kwa muda mrefu sana bila kupokelewa.
Je, nini kitaendelea hapo? Usikose kusoma kwenye Gazeti la Ijumaa, siku ya Ijumaa.

Baba Shua aliiona simu hiyo ya mkewe lakini hakuona sababu ya kuipokea…
“Kwanza niipokee ili iweje? Najua anataka kujua kuhusu nilipo, halafu akishajua ili iwe nini? Mbona mimi sitaki kujua mambo yake?” alisema moyoni baba Shua na ili kupangua simu ya mkewe, alimpiga mabusu Maua mpaka wakajikuta wakiangukia kwenye kochi kubwa……puu..!

Ukimya ulitawala, kilichosikika ni miguno ya mmmmm…mmmm, Maua alikuwa akihema kwa nguvu kama aliyetoka kufukuzwa…
“Mmmm…mmmm…”

“Ngoja nikafunge mlango,” alisema Maua, baba Shua akamwachia kwa muda.
Maua alifunga mlango haraka na kumrejea baba Shua pale kwenye kochi kubwa. Ukimya ukaendelea kutawala lakini mihemko ya hapa na pale ilisikika kiasi kwamba, kama chumbani kungekuwa na mtu mzima anafuatilia, lazima angetoka kuungana na wawili hao…

“Benny,” aliita Maua kwa sauti iliyotoka kwa chini sana…
“Yes Maua,” Benny naye aliitika kwa kufuata biti ya kuita ya Maua…
“Si utachelewa kazini wewe?”
CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Hata kama…usijali Maua.”
Maua kusikia hivyo, akamshika mkono wa kulia baba Shua na kusimama naye, wakaenda chumbani, wakajifungia na kupanda kitandani..!

Figisufigisu ilitawala kitandani, Maua alikuwa akionesha umahiri kwenye uwanja kwa mkakati wa kumrejesha baba Shua kwenye himaya yake. Muda mwingi wa mchezo alimtaka asahau machungu ya kwa mkewe, kwani yeye yupo kwa ajili yake.
***
Baada ya nusu saa, Maua alikuwa amemshika mkono baba Shua, wakawa wanatoka nje. Mkononi Maua alishika funguo za gari…

“Sasa baby si uende na gari…au utakuwa umesahau kuendesha?” alisema Maua…
“Nisahau kuendesha gari sweet..! Haitawezekana hata siku moja.”
Baba Shua alipokea funguo, akazama kwenye gari na kuondoka…

“Kishakwisha huyu…safari hii hachomoki! Ndiyo atajua mapenzi ya kweli yalikuwa wapi kati yangu na yule malaya wake wa nyumbani,” aliwaza Maua akiwa anarudi ndani.
Yeye ni mfanyabiashara wa kuuza nguo za kike na vipodozi toka nchini Thailand na shughuli zake ni popote. Wakati mwingine wateja wake hufika hadi nyumbani. Tena wengi ni wale wanaonunua kwake kwa jumla na kwenda kuuza rejareja madukani mwao.

Kuna siku Maua anaweza kushinda nyumbani na kujikuta akiingiza milioni mpaka kumi.
***
Mama Shua akili ilimlala kabisa. Hakuamini kama baba Shua anaweza kumchunia kiasi kile…
“Ana maana gani sasa kukaa kimya kiasi hiki? Mimi nifikirieje? Kama ameona mimi na yeye basi, si aseme tu kuliko kuwekana roho juu namna hii,” alisema moyoni mama Shua lakini sauti nyingine ilimjibu…

“Kwanza shukuru Mungu wewe…angekuwa mwanaume mwingine angekuua hata kwa kukuchinja! Wewe umeona wapi mume au mke anamwona mwenzake akiingia chumbani kwa mtu mwingine ili kusaliti halafu anavumilia tu?”
Mama Shua aliamua kuvaa, akaondoka. Lakini si kwenda kazini kwake, bali kwa baba Shua akajue nini kilimsibu.

Akiwa ameshatoka, mbele alimwona Musa akiingia kwenye gari lake, mama Shua akasimama mahali ili kumpa nafasi Musa ya kupotea kwanza mbele ya macho yake ndipo na yeye aendelee na safari yake.
Mama Shua anafika nje ya ofisi ya mume wake, baba Shua naye anawasili kwa gari la Maua.

Aliegesha gari mahali, akashuka na kutembea kwa mwendo wa pole kuelekea ndani. Mama Shua hakuweza kuvumilia na alijuwa kwa tabia ya mume wake ya siku mbili zile, angeweza kumpita bila kumsemesha, akasimama njiani kwenda ndani…

“Baba Shua nataka tuongee kidogo,” alisema mama Shua kwa sauti ya chini sana…
“Mimi na wewe tutaongea nini sasa? Na tangu lini mahali pa kuongelea pamekuwa hapa ofisini?” alijibu baba Shua akiwa anaendelea kutembea kiasi kwamba, baadhi ya wafanyakazi walipoiona picha hiyo walishangaa kwani wanawajua wawili hao kwamba ni mke na mume.

Mama Shua hakutaka makuu, akaamua kugeuza kuondoka huku moyoni akiwa na faraja kwani alishajua mumewe amefika kazini lakini alikuwa na maswali kibao…
“Hili gari ni la nani? Halafu kama jipya! Kalitoa wapi? Au huko alikokwenda? Maana kwa muda aliotokea nyumbani isingekuwa rahisi ndiyo awe anafika kazini muda huu, lazima alipitia mahali…

“Atakuwa amelinunua au kalikopa? Lakini lilishaanza kutembea,” aliwaza moyoni mama Shua akitokomea kabisa eneo hilo.
Alifika nyumbani akiwa amechoka sana kiakili na mwili. Aliwaza namna ya kuwasiliana na mama yake na kumweleza matatizo yake lakini moyo ulisita. Alijua ataamsha hasira za mama huyo.
Alimwangalia mtoto wake, Shua. Akamhurumia sana huku akitingisha kichwa.
***CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Saa sita mchana, Musa alimtumia meseji mama Shua…
“Upo?”

Mama Shua alipoisoma meseji hiyo alisonya kwa nguvu kiasi kwamba, kama nyumba ya tatu kulikuwa na mtu muda huo angesikia…
“Huyu kijana mjinga sana. Yaani anadhani mimi niko poa? Kwani ye hajaona yaliyotokea?” alijiuliza moyoni mama Shua.
Musa alipoona meseji haijajibiwa, aliamua kupiga. Simu yake iliita mpaka ikakatika…
“Khaa! Huyu mbona hapokei simu?” alijiuliza Musa, akapiga tena. Safari hii, mama Shua aliamua kupokea huku uso ameukunja vibaya sana…
“Haloo…”
“Baby, mbona hupokei simu yangu jamani? Unajua nimekuandalia zawadi gani lakini?”
Uso wa mama Shua ulianza kukunjuka kwa mbali sana…
“Ah! Samahani sana jamani baby, nilikuwa mbali na simu…enhe! Zawadi gani hiyo my darling?”
“Ni ‘sapraizi’…”
“Jamani baby wa mimi si uniambie tu…”
“Tukikutana nitakuonesha achilia mbali kukwambia…”
“Da! Lini sasa tutakutana..?”
“Wewe tu…”
“Basi iwe leo jioni…”
“Wapi?”
“Panga wewe ila isiwe kule kwa siku zote maana kuna mzee mmoja wa kijijini ni mnoko vibaya sana…”
“Nyumbani kwako lakini kukoje?”
“Wapi?” “Kwa wewe na mume wako…hajamaindi ile ishu?”
“Wee hayo yaache Musa bwana…nitakwambia kitu siku nyingine lakini… ila hali si nzuri kivile.”
Walizungumza, wakapanga kukutana maeneo mengine jioni ya siku hiyo ambapo mama Shua angetokea nyumbani na si kazini kwani hakwenda kazini.
***
Maua, muda mwingi aliutumia kuchati na baba Shua kwa kumtumia meseji mbalimbali za mahaba na kumpa pole kwa kazi. Pia kumsifia kwamba yeye ni mchapakazi hodari.
Ilipofika mchana wa saa saba, Maua alimtumia meseji baba Shua ya kumuulizia kuhusu chakula…
“Baby lanchi.”
Kwa baba Shua lilikuwa jambo geni na jipya pia. Hakuwahi kuwaza kwamba, Maua anaweza kurejesha mapenzi ya dhati kiasi hicho. Alijisikia furaha moyoni, ilimsaidia pia kumsahau mama Shua na tabia zake.
***
Saa kumi na moja, baba Shua alikuwa ndani ya gari akielekea Kinondoni kwa rafiki yake anayeitwa Jome.
Alipofika kwa Jome, akashtuka sana Jome…
“Ee bwana vipi?” aliuliza Jome.
“Poa, vipi kwani?” “Mbona nimemwona shem mahali…”
“Wapi?”
“Pale Hoteli ya Bwawani One…”
“Na nani?”
“Ah! Sina hakika lakini wewe ni mwanaume utakuwa unajua namaanisha nini!”
“We niambie tu, umemwona na nani?”
“Na dogo mmoja hivi…”
“Namjua…” “Ah! Kwa hiyo unajua kila kitu kuhusu shemeji?”
“Najua.”
“He! Ee bwana…kwani kuna nini?”
“Kaka…mama Shua si yule tena…mama Shua kadanganyika na huyo dogo uliyemwona naye…nilitaka kuchukua hatua kali, lakini nimeona nimwache yeye na maisha hayo na mimi niwe na maisha mengine, naamini itanisaidia…”
“Da! Kwani yule dogo unamjua?”
“Nini kumjua Jome, naishi naye nyumba moja. Nikienda chooni napita mlangoni kwake.”
“We Benny…kweli?”
“Kweli Jome…”CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Ah! Ina maana nafuu na Maua?”
“Ndiyo niko naye sasa…”
“Ha! Kweli kaka?” “Kweli Jome.”
Basi, baada ya hapo walizungumza mambo mengi mpaka ikafika hatua wakaagana. Jome alimsindikiza baba Shua nje mpaka kwenye gari…
“Ha! Benny, una usafiri mara hii?”
“Wa Maua…”
“Heee! Maua huyuhuyu Maua shemeji yangu wa kitambo?”
“Huyohuyo bwana…amekuja kwa kasi sana.”
“Safi sana…safi sana…sasa Maua ndiye mke,” alisema Jome…
“Kaka ni kweli. Nimekwenda hadi kwake. Kaniingiza ndani kasema hakuna mwanaume aliyewahi kuingia. kanitambulisha mpaka kwa majirani zake kwamba mimi ndiye mchumba wake nilikuwa nje ya nchi kimasomo.”
Hapo, baba Shua na Jome walisimama nje kwenye gari wakizungumza…
“Inaelekea wapi sasa?” aliuliza Jome…
“Home kwanza, halafu Kimara kurudisha gari la Maua…”
“Nipe lifti, niache hapo mbele tu,” alisema Jome, wakaingia garini wote.
Baba Shua alipita barabara ileile yenye Hoteli ya Bwawani One, akaliona gari la Musa…
***
“Yaani baby nimeshukuru sana kwa zawadi. Bonge la gauni, kama ulinipima vile,” alisema mama Shua akimwambia Musa huku wakiwa wamekaa kwenye baa ya Hoteli ya Bwawani One wakinywa juisi kwanza kabla ya kuzama chumbani kwa ajili ya majomboz…
***
“Jome ndiyo hoteli hii ulipomwona mama Shua?” aliuliza baba Shua…
“Hapahapa…tena wale pale wamekaa. Hebu ingia na sisi tukakae tuone,” alishauri Jome, baba Shua akaingiza gari kwenye maegesho ya hoteli hiyo na kupaki sanjari na gari la Musa, wakashuka wote.


Walikwenda kukaa nyuma ya meza waliyokaa mama Shua na Musa na walipokaa, Musa aliwaona kwa sababu aliwafesi, mama Shua aliwapa mgongo…

“Mama Shua tumekwisha…mume wako na jamaa mwingine wamekaa nyuma yako,” alisema Musa kwa sauti ya chini huku akiangalia sakafuni kwa aibu kubwa…

“Wewe Musa…unasema kweli?” aliuliza mama Shua…

“Mungu vile! Halafu inaonekana wamejua wewe upo hapa. Na mbaya zaidi walipokaa, huwezi kukimbia wala kufanya lolote zaidi ya kuonekana.

Baba Shua, kwa hasira kubwa aliamua kumpigia simu Maua na kumwelekeza alipo kisha akamuuliza kama anaweza kumfuata…

“Jamani kwa nini nisije? Nakuja sasa hivi…” alisema Maua…

“Chukua teksi nitalipa,” alisema baba Shua…

“Teksi ya nini? Nachukua bodaboda tu…”

“Ha! Jamani mke wangu, yaani uchukue bodaboda kweli wakati gari lipo ndiyo maana kwa hadhi yako nikasema uchukue teksi…”

Benny bwana, mimi kuwa na hicho kigari si kwamba nina hadhi ya juu, niko sawa tu mbona. Nakuja sasa hivi.”

Baba Shua alimsimulia Jome kwamba, Maua atafikia pale muda si mrefu…

“Safi sana…safi sana…nadhani sasa itakuwa ngoma droo. Mwenye chuki atajulikana,” alisema Jome.
CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/
***

Pale kwenye meza yao, mama Shua alikuwa akitokwa na jasho, lakini hakuwa na la kufanya. Mapigo ya moyo yalimwenda kwa kasi. Alifikiria nini kitatokea endapo mumewe ataamua kufanya fumanizi hotelini na wateja kibao wakishuhudia…

“Musa nifanyeje?” aliuliza Maua…

“Kwa kweli huna la kufanya, maana unajua hata ukisema uondoke atakuona, ukisema uende uani, atakuona. Yaani wapo hapo nyuma yako,” alisema Musa kwa sauti ya chini sana ili asisikike.

Dakika kumi mbele, Maua aliwasili. Kweli alishuka akiwa kwenye usafiri wa bodaboda, akalipa, akaingia ndani kumfuata baba Shua…

“Sikia mama Shua…sasa kuna dada mmoja ameingia, naona anakuja kukaa nao,” Musa alimwambia mama Shua…

“Kweli? Atakuwa nani? Unaweza kumpiga picha kwa simu nikamwona?”

“Yeah! Ngoja nifanye hivyo…da! Halafu anambusu mume wako…na yeye anambusu pia…sasa anavuta kiti na kukaa jirani na mume wako…” Musa alimpa picha kamili mama Shua huku akimpiga picha…

“Huyu hapa,” alimwonesha mama Shua picha hiyo…

“Haa! Namjua huyu dada, anaitwa Maua. Ndiyo alikuwa amuoe kabla yangu…ina maana baba Shua amerudiana na huyu mwanamke kweli..? Haiwezekani,” alisema akilia mama Shua.

***

“My sweetheart Maua,” aliita baba Shua…

“Yes baby…”

“Unajua kwa nini nimekuita hapa?”

“No! Sijui kama kuna kitu zaidi ya kuamini umependa uwe na mimi muda huu.”

“Hilo ni moja na dogo sana. Ila kubwa ni kwamba, mke mwenzio yule pale. Na yupo na yule kijana niliyekwambia ndiye anayemzuzua.”

“Haa! Benny…”

“Nini Maua?”

“Yaani unashuhudia hayo na unafumbia macho? Au umeshakwenda kuzungumza nao?”

“Hapana shemeji Maua…unajua huyu bwana kwa hali ilipofikia, akisema aanze kufuatilia mpaka kuzungumza au kufumania atavuruga fiucha yake bure, hii ndiyo inatakiwa. Uamuzi ni wake sasa, aamue kuendelea kuwa na mwanamke huyu au aachane naye…wewe si upo bwana,” alidakia Jome, Maua akaachia tabasamu jepesi, hasa baada ya kusikia yeye yupo.

Baba Shua akabakia kumkazia macho Maua kama anayesema moyoni ‘maneno ya Jome ni kweli kabisa.’

“Sawa, lakini sasa mwisho wake ni nini?” aliuliza Maua…
CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/
“Dawa ya wale ni kuwaita hapa kisha kukabidhiana. Benny mkabidhi mama Shua kwa yule kijana halafu wewe jikabidhi kwa Maua hapa,” alisema Jome.

“Hapana, mimi ninachotaka ufanya si hicho. Nataka wakati wa kuondoka nikawaage lakini safari yangu breki ya kwanza ni nyumbani, nikachukue nguo zangu niondoke. Sikuwa na lengo la kutengana na yeye, ila kwa tabia yake imebidi. Hata kujitokeza kwa Maua naamini ni Mungu tu kwani kaja wakati mwafaka…

“Kwa mwanaume yeyote yule hawezi kuvumilia ujinga wa huyu mwanamke. Kweli kabisa mke ndani ya nyumba anakwenda kuingia kwenye chumba cha mpangaji mwingine na kufanya usaliti wa wazi? Ningekuwa mtu mwingine ningevunja ule mlango na kuua…”

“Kweli kabisa,” alidakia Jome.

Walikunywa ndani ya nusu saa tu, ukafika muda wa kuondoka. Wakasimama wote, wote wakaenda kwenye meza ya akina mama Shua…

“Jamani tumechelewa kuwasalimia lakini kwa sababu tunaondoka acha tuwape hai,” alisema baba Shua huku akiwapa mkono akianzia na Musa.

“Poapoa,” alijibu Musa kwa kujikaza sana. Mama Shua aliinama kwa aibu…

“Za leo?” Maua alimsalimia Musa tu, akaondoka.

Jome yeye hakusalimia yeyote yule, naye akafuata nyuma ya Maua. Baba Shua akafuatia, wakaingia kwenye gari na kuondoka.

***

“Musa,” aliita mama Shua…

“Vipi?”

“Ee! Chuzi ndiyo hilo sasa…hakuna kuonja.”
“Una maana gani mama Shua?”
“Nimeshaachika, hakuna tena ndoa.

Sasa wewe uliyeniharibia usije ukaniacha. Ulikuwa unanitaka kwa machale ukimwogopa mwenye mali, sasa kaniacha ndiyo maana nasema chuzi ndiyo hilo hakuna kuonja,” alisema mama Shua kwa sauti ya uchungu huku machozi yakimchuruzika…
“Mama Shua, kwanza nataka kukwambia siko tayari kuonekana mimi ndiye chanzo cha kuvunjika kwa ndoa yako.”

“Heee! Musa una akili kweli wewe? Yaani wewe ndiye chanzo halafu mara hii unataka kujitoa? Kwa taarifa yako sasa, mimi sijawahi kuchepuka tangu nimefunga ndoa. Ndiyo kwanza kwako…”

“Kwani mimi na wewe mama Shua nani alianza kumtongoza mwenzake?” aliuliza Musa kwa sauti ya juu sana…
“Wewe…”

“Una kumbukumbu vizuri? Wewe hukumtuma msichana wako wa kazi aombe namba yangu ya simu? Wewe si ndiye ulikuwa unanitumia meseji zako za kuniuliza kama nimeshakula? Kwani kuna siku nilikwambia huwa nashinda njaa? We vipi bwana!” Sasa Musa alikuja juu kiasi kwamba, baadhi ya wateja walianza kuhisi kitu kutoka kwenye meza yao.
***
Baba Shua alifika nyumbani, akachukua nguo, viatu, sendozi, mikanda, soksi na makufuli, akatumbukiza kwenye begi moja kubwa na kuondoka. Maua alimsubiri kwenye gari kwa mbali kidogo. Hapo walikuwa wameshatengana na Jome ambaye alishuka mahali na kuendelea na mambo yake.
CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/
Waliondoka, baba Shua ndiye aliyekuwa akiendesha mpaka Kimara nyumbani kwa Maua. Maua alifurahi kupita kiasi. Aliamini sasa Benny amekuwa wake tena kwani kati ya mambo yaliyokuwa yakimnyima raha ni kitendo cha umri kukatika na hakuna mchumba anayejitokeza…

“Benny,” Maua aliita wakiwa wanakula…
“Yes!”
“Mpango wako ni nini juu na mkeo na mimi?”

“Maua, acha kumtaja yule mwanamke kwenye akili yangu. Sitaki presha, sitaki aina yoyote ya mawazo juu yake. Mimi niko kwako Maua…Kama na wewe utakuja kunifanyia tukio kama lile, basi mtakuwa mmeamua kuniua,” alisema kwa hasira baba Shua huku akiwa amemtumbulia macho demu wake huyo.
***
Kule hotelini, Musa alifika mahali akaondoka kwa hasira na kumwacha mama Shua ambaye alibaki akimwaga machozi tu. Ndoa chali, mpenzi naye chali! Alilia sana akijutia uovu wake.

Alijikongoja, akaenda kupanda bodaboda mpaka nyumbani kwake ambapo alimkuta msichana wake wa kazi na mtoto wake, Shua wakiwa nje…
“Vipi, mbona nje?” aliuliza mama Shua akiwa na hali ya mshangao…
“Baba,” alisema Shua huku akinyoosha mkono.

“Baba kafanyaje? Eti dada Shua anamaanisha nini?”
“Baba kaja, akachukua begi kubwa, sijui ni nini, akaondoka akisema kwa heri ya kuonana. Sasa Shua alikuwa anamlilia.”

Mama Shua alianguka chini na kupoteza fahamu. Alipokuja kuzinduka, alishangaa kujikuta katikati ya majirani akiwa amelala kwenye kochi kubwa sebuleni…
“Pole mama Shua…”

“Pole jirani yangu…”
“Jamani mama Shua pole…kwani ni nini?” majirani walimpa pole nyingi.
Alipepesa macho, akamwona mwanaye, Shua, akaanza kulia…
“Jamani kwani nini mama Shua?” majirani walimuuliza…
“Baba yake huyu ameondoka.”

“Kwenda wapi?”
“Eti amenihisi nina mwanaume mwingine kwa hiyo amekasirika na kuondoka zake,” mama Shua alijibu huku dhamira ikimuuma kwani alikuwa anaujua ukweli wote…
“Isijekuwa yule kijana mmoja anayekupakupa lifti mama Shua?” aliuliza jirani mmoja…
“Huohuyo…eti ndiyo bwanaangu…”

“Lakini mama Shua kuna yule mama anayefanya kazi mahakamani, aliwahi kutuambia ameshakuona na huyo kijana kama mara tatu mkiwa mnatokea hotelini. Siku moja akasema amemuona huyohuyo kijana akiwa anatoka ndani kwako.”
“Jamani humu ndani si ndiyo kapanga! Anakaa chumba kile pale. Lakini mimi si bwanaangu,” alijitetea mama Shua.

Mara, Musa akaingia ghafla…
“Wewe mama Shua wewe…usije ukarogwa kunitangazia eti mimi nimesababisha ndoa yako ivunjike,” alibwabwaja Musa na kuwafanya wale majirani kushtuka sana kusikia hivyo.
Mama Shua akapoteza fahamu tena. Kuja kuzinduka, yuko mwenyewe, hata Shua hakuwepo. Alikuwa uani na dada wa kazi.
***
Mama Shua alianza maisha mapya akiwa hana mume. Hakutaka kumwambia mama yake mzazi kijijini na wala baba Shua naye hakuwa na habari ya kuwaambia wakwe zake kwamba, amemmwaga binti yao.

Mama Shua alipungua sana, akapoteza nuru yake ya kawaida. Waliomfahamu walishangaa kumwona alivyo. Kwanza, alikuwa mweusi bila ung’avu. Pili, alionesha dhahiri kwamba amekongoroka vibaya sana
Kila kukicha, mama Shua alikuwa akimtumia meseji, akimpigia simu baba Shua lakini hakupokelewa wala kujibiwa sms zake.
Ndoa ya mama Shua ikawa imevunjikia hap

, kwani baada ya miezi sita kupita, wazazi wake wakajua kila kitu, naye akakiri lakini aliwaumiza sana wazazi hao.

Mama Shua akawa mwanamke wa leo na huyu, kesho na yule, kama mpira. Heshima yake ilishuka kabisa kwani kuna siku wanaume wawili walipigana baa kwa sababu yake, akapasuliwa kichwani.

Lakini mwisho wa yote, alikwenda kijijini kwao na kuangukia kwa wazazi wake kuhusu matendo yake, wakamsamehe kwa maana ya mzazi ni mzazi, wangefanyaje sasa! Lakini baba Shua alimkosa.

MWISHO.

CHUZI NDO HILO, HAKUNA KUONJA! – 4

Chombezo : Chuzi Ndo Hilo, Hakuna Kuonja!
Sehemu Ya Nne (4)

Mama Shua alijikuta akiingia wasiwasi, akatoka kwa kasi huku macho pima… “Mungu wangu…Mungu wangu. Yule mzee kaniona tena jamani, kamtumia mama meseji,” alisema moyoni mama Shua huku akiseti simu yake ili ampigie mdogo wake… “Selina, mama kanitumia ujumbe tena. Inaonekana yule mzee ameniona tena. Mimi nilikuja hapa kuonana na mwanamke mwenzangu, wala si Musa…” “Musa ni nani kwani dada?” mdogo wake alimuuliza. “Ha! Nilikosea.” Mama Shua alikata simu, akatoka hadi nje kabisa na kusimamisha teksi tayari kwa kurudi nyumbani kwake. “Hivi yule mzee ananitafuta nini mimi? Ana maana gani kunifuatilia kiasi hiki?” alijiuliza akiwa anapanda kwenye gari hilo. Alisahau kabisa kumpigia simu Musa kumjulisha mpaka Musa alipopiga yeye… “Uko wapi baby?” “Ah! Baby nimepata dharura bwana, nimeondoka. Please tukutane kesho baby au nyumbani nitakwambia.” “He! Dharura gani mpaka unafikia hatua ya kuondoka bila kuniambia mapema. Mimi nimeingia mpaka hotelini sasa.” “Sikia Musa, twende kwingine tukatafute hoteli nyingine.” “Kama wapi?” “Popote pale lakini si hapo,” alisema mama Shua na kukata simu ili asome meseji ambayo iliingia wakati anaongea na Musa… “Umeona aibu kuingia hotelini na kuamua kuondoka siyo? Ungeingia tu. We mtoto huo mwenendo wako kama utaendelea kuwa hivyo sijui kama utadumu kwenye ndoa,” ni ujumbe uliotoka kwa mama yake. Mama Shua aliishiwa nguvu kabisa kiasi kwamba alitamani ardhi ipasuke sasa ili afie humo. Mara, Musa akampigia simu… “Haloo Musa…” “Ee, sasa sikia. Nakwenda Makumbusho, tukutane kule,” alisema Musa… “Sawa. Sehemu gani?” “Pale baa. Lakini tukitoka pale tunakwenda gesti, sawa?” “Sawa baby.” Mama Shua alihisi mwili unamsisimka kwa maneno ya Musa, akajikuta anaachana na wazo la kwenda nyumbani. Akamwambia dereva ampeleke Makumbusho. Alifika Makumbusho, akashuka. Akatembea hadi kwenye baa hiyo lakini hakumkuta Musa, akampigia simu. “Uko wapi sasa, mbona hapa baa haupo?” “Nilikuja kuchukua chumba huku gesti.” “Wapi nije?” Musa alimwelekeza mama Shua. Wakati anakwenda, njiani mama Shua alikasirika sana kuhusu yule mzee na mama yake hivyo akaamua moyoni kwamba akikutana na Musa ampe mahaba mazito kama kulipa kisasi kwa mama yake na yule mzee. Mama Shua aliingia, akapita kwenye korido mpaka kwenye chumba kwa mujibu wa maelekezo ya Musa. Akazama ndani. Ile anafika tu, akiwa bado amesimama alimkumbatia Musa na kumpiga mabusu kibao, mara akaomba denda, wakazama kwenye denda kwa muda wa kama dakika tano nzima huku wakitoa miguno ya mmmh…mmmh! Mama Shua, wakiwa bado wamesimama, akapeleka mkono kwenye suruali ya Musa na kuanza kumfungua kizuio chake kisha akamshusha suruali hadi chini. Baada ya hapo akamvua shati, mara akamvua singilendi mpaka Musa akabaki mweupe. Musa naye kuona hivyo, akaanza na yeye mpaka mama Shua akabaki mweupe kama yeye. Wote wakabaki weupe, wakapanda kitandani. Mama Shua alikuwa akihema sana hivyo kumfanya Musa naye kuambukizwa na mhemo wake, hawakuchukua muda wakaingia kwenye uwanja na kuanza kucheza. Mama Musa huku akijua kwamba Musa atafika haraka safari yake ilibidi aanze kumsemesha… “Unajua mwenzako nina msala…” “Msala gani?” “Mama angu amejua mimi ninaingia hotelini pale. Kuna mtu ananionaga. Sasa leo pia kaniona. Akamwambia mama, mama akanitumia meseji nzito sana. Yaani jamani.” “Mh! Kwa hiyo?” “Kwa hiyo nini sasa. Nilitaka kwenda nyumbani lakini nikajua wewe utakwenda pale na wanawake zako.” “Umeanza baby. Kwa nini tusisubiri tumalize ndiyo uanze kunishutumu?” “Hakuna bwana, we unapenda sana wanawake. Mi unanikera sana ujue.” “Uliwahi kuniona na mwanamke wapi?” “Najua tu. We endelea.” Ilifika dakika ya kumi siku hiyo, mama Shua ndiyo aliyeanza kutangaza nia kwa Musa ikabidi Musa naye ahemuke na kutangaza na yeye wakafika mwisho wa mchezo. *** Waliendelea kulala humo chumbani huku mama Shua akimtekenyatekenya Musa mpaka Musa akawa ngangari tena. Wakaingia tena uwanjani. Safari hii, mama Shua alimsemesha sana Musa maneno ya kila aina… “Siku nikikuona na mwanamke mwingine Musa utanijua mimi ni nani!” “Kivipi?” “Nitakufanyia fujo hata mbele za watu mimi sitajali ujue… ohooo.” “Haitatokea.” “Haitatokea kwa sababu unajificha sana si ndiyo?” “Hamna,” alisema Musa hapohapo akatangaza nia. *** Mama Shua aliingia nyumbani akijifanya mnyonge kwamba, hajisikii vizuri maana alimkuta mume wake amesharudi na amekaa sebuleni. Lakini mumewe hakumuuliza mbona mnyonge, alimwangalia tu. “Hivi baba Shua mimi naumwa hata kuniuliza hutaki? Hayo ni mapenzi gani lakini? Ina maana wewe uumwe mimi nikae kimya nakuangalia tu utajisikiaje?” “Kama unaumwa si ungeenda hospitali?” “Kwani sijaenda?” “Pale gesti Makumbusho ndiyo hospitali?”

Mama Shua alishtuka sana kumsikia mumewe akisema hivyo, akajikuta anamtumbulia macho.
Kusema amuulize kama alimwona alishindwa kwani alijua lazima mumewe amemwona akiingia au akitoka kwenye gesti hiyo ya Makumbusho…
“Au kama hajaniona yeye kuna mtu amemwambia,” alisema moyoni mama Shua huku akiwa na uso wa aibu…
“Da! Nimeumbuka hivihivi…yaani hapa napotea huku najiona,” mama Shua aliendelea kusema moyoni na kuingia chumbani huku miguu yake ikikosa nguvu ya kutembea…
“Hizi salam zikifika kwa mama ndiyo tabu,” aliendelea kusema moyoni mama Shua huku akilitupa begi lake chini.
Jambo lililomshangaza sana ni kuona mumewe amelichukulia suala la yeye kuingia gesti Makumbusho kama utani…
“Ina maana awe ameniona au ameambiwa halafu aniulize kirahisi vile? Haiwezekani,” alisema moyoni.
Baba Shua aliendelea kukaa sebuleni bila kumfuata mumewe chumbani, alikuwa akiwaza…
“Huyu dawa yake ni moja tu. Ni kumtema. Nikisema nimvumilie nitakufa kwa presha. Hivi kwa nini ananifanya mimi mtoto mdogo? Atakapokuwa mbali na mimi ndiyo atajua umuhimu wa kuheshimu ndoa yake.”
***
Kule chumbani, mama Shua alikaa kitandani akiendelea kuwaza na kujiuliza maswali kadhaa kichwani…
“Na kama aliniona yeye mwenyewe si ina maana aliniona nikiwa na Musa? Da! Nimeumbuka kwelikweli.”
***
Musa naye alikuwa chumbani kwake. Alihisi joto la mahaba, akatamani amwite mama Shua walicheze libeneke ili alale usingizi mnono. Akamtumia meseji…
“Baby.”
Mama Shua hakuchukua muda kuijibu meseji hiyo, tena kwa haraka sana…
“Niambie baby! Siko poa sana.”
“Pole baby, unaumwa?”
“Hapana… basi tu.”
“Sasa si uje, nimekumisi sana.”
“Da! Musa bwana…unanipa majaribu ujue.”
“Kwa nini?”
“Si hivyo unavyoniita…mista yupo ujue…”
“Kha! Kwani hata juzi si alikuwepo…mbona ulikuja…njoo bwana…mara moja tu…”
Mama Shua hakumjibu Musa, akavua nguo na kuvaa upande mmoja wa kanga huku moyoni akisema… “Musa naye…yaani kila saa anataka.”
Alitoka sebuleni, akamkuta mumewe amekaza macho kwenye tivii akiangalia taarifa ya habari, akatoka kwenda uani.
Aliweka maji bafuni, akasimama kwa muda akiwaza akaingie chumbani kwa Musa au la!
“Lo! Mbona shughuli…lakini na mimi kama namuhitaji Musa…ngoja nimwambie awe tayaritayari ili nikifika tu chapuchapu ili niwahi kutoka.”
Alirudi chumbani, akamtumia meseji Musa…
“Baby, mlango uwe tayari na wewe pia uwe tayari…nikifika tu chapuchapu ili nitoke.”
“Poa,” alijibu Musa.
Mama Shua alitoka, akajifanya anakwenda uani. Akasimama kwenye mlango wa Musa, akashika kitasa, akafungua, akazama ndani…
“Baby yaani hapa hakuna kupoteza muda, jamaa amekaa sebuleni.”
“Poapoa,” alisema Musa huku akifunga mlango.
Mama Shua alijivua ile kanga na kuitupia kwenye kiti, akajipeleka kitandani mwenyewe huku akiwa anahema kwa kasi.
Hakukuwa na maandalizi wala kupandishana joto, waliingia uwanjani moja kwa moja na kuanza kulisakata kabumbu harakaharaka. Safari hii, mama Shua hakuwa na haja ya kumsemesha Musa ili achelewe matokeo yake akamhamasisha ili amalize mchezo haraka. Kweli ikawa hivyo tena wote kwa pamoja.
Baada ya hapo, mama Shua aliiokota kanga yake haraka, akajifunga kifuani na kutoka kinyemela huku akiurudishia mlango polepole ili usisikike.
Alishtuka kumsikia mumewe anaoga yale maji aliyoyaweka yeye…
“Mh! Ina maana…si atajiuliza mimi niko wapi?” alijiuliza mwenyewe mama Shua huku akitetemeka.
Alikwenda chumbani, akakuta nguo za mumewe ziko chini…
“Ina maana hapa atajua nilikuwa wapi! Chooni ndiyo bafuni kulekule. Jiko liko ndani na limefungwa. Na kama ni jikoni alipokuwa akienda kuoga si angeniona. Da!”
Alishika simu yake, akamtumia meseji Musa…
“Da! Nahisi kama nimeumbuka.”
“Kivipi baby, nikupigie simu?”
“Hapana! Ila kuna ishu kubwa sana.”
“Da! Baby, unanitisha. Jamaa kajua?”
“Atakuwa kajua.”
Mara, baba Shua aliingia akitokea bafuni kuoga. Akajifuta maji kwa taulo, akavaa bukta kisha akatoka kwenda kukaa sebuleni…
“Mh! Ina maana hajajua? Mbona haniulizi?”
Mama Shua naye akatoka kwenda kutenga maji mengine akaoga na kurudi chumbani.
Hakuwa na namna, alipanda kitandani kulala huku moyo ukimwenda kwa kasi ya ajabu…
“Lakini mimi nimeanzisha tabia gani jamani? Mbona zamani sikuwa hivi, sasa itakuaje?” Alipitiwa na usingizi. Alipokuja kuamka, mumewe alikuwa pembeni amelala akiangalia juu na magoti yakiwa juu kwa maana kwamba hakuwa usingizini…
“Baba Shua…”
“Mm…”
“Mbona hujalala?”
“Ungekuwa wewe ungelala?”
“Ningekuwa mimi kivipi sasa?” “Wewe ungekuwa umeniona mimi nikiingia chumbani kwa mwanamke mpangaji mwenzetu na ukasikia kitanda kinalia na mimi natoa sauti za mihemko ya mapenzi ungepata usingizi?”

Mama Shua alishtuka sana, akaamka na kukaa kitandani. Alitingisha kichwa kama vile alisikia vibaya… “Sijakuelewa baba Shua.” “Hujanielewa nini sasa? Wewe umeingia chumbani kwa yule kijana. Umekula uroda, unabisha? Au ulitaka nisimame mlangoni kwake ndiyo ujue kwamba nimejua umeingia kule?” Mama Shua alikaa kimya. Baba Shua akajipinda na kuangalia upande mwingine kuuchapa usingizi huku akimwacha mkewe bado amekaa akiwaza na kuwazua… “Da! Yaani nilidhani ni siri lakini kumbe nimeonwa? Hivi ni kweli ameniona au anahisi tu? Lakini nawezaje kusema si kweli ila anahisi wakati mimi mwenyewe najijua kweli niliingia chumbani kwa Musa? “Ila sasa kama baba Shua aliniona kwa nini hakuchukua hatua palepale? Lakini pia kama angeamua kunichukulia hatua je, mimi nilikuwa tayari kwa kuchukuliwa hatua?” Yote hayo aliyawaza mama Shua huku akijisikia aibu mwenyewe. Usingizi ulimkatika, akatoka kwenda chooni. Alipokuwa akipita kwenye mlango wa chumba cha Musa, alihisi kichefuchefu. Akajutia. Lakini wakati anatoka chooni kuingia ndani, akakutana na Musa naye akiwa anatoka kwenda chooni… “Vipi baby?” Musa aliulizia kwa sauti ya chini. “Poa,” mama Shua alijibu kwa mkato, Musa akamshika mkono kumzuia asiendelee mbele… “Wewe huogopi?” aliuliza mama Shua… “Niogope nini sasa?” “Bwana, mwenzio nina msala chumbani kwa mume wangu.” “Msala gani?” “Nitakwambia.” “Sikia…sikia baby…” “Sema, nakusikiliza…” “Twende chumbani kwangu.” “Ha! We saa hizi wakati nimekwambia kabisa kwamba nina msala…” “Sikiliza baby, ukiamua kula nguruwe kula aliyenona. Kama una msala malizia kula raha ili msala uwe mdogo,” alisema Musa… “Una maanisha nini?” “Namaanisha twende chumbani kwangu tukajirushe, msala utaushughulikia kesho.” Maskini mama Shua, eti maneno hayo tu alijikuta akishawishika na kukubali kuingia chumbani kwa Musa… “Lakini kama saa zile Musa, iwe chapuchapu! Sawa?” alisema mama Shua huku akiwa anaitupa kwenye kochi kanga moja aliyovaa. Walipanda kitandani na kwa vile walikuwa wanaibia mechi, hakukuwa na maandalizi, palepale wakaingia uwanjani na kuanza kulisakata kabumbu kwenye uwanja wa sita kwa sita.Kweli, safari hii mama Shua alionekana kucharuka sana kitandani kwa sababu alitembea kwenye ile dhana ya Musa kwamba kama kuna msala, ajirushe tu kesho yake atashughulikia msala wake. Ni dakika chache za wizi lakini mama Shua alizitumia vizuri kuliko Musa kwani alipata ushindi wa kwanza, kufumba na kufumbua akapata ushindi wa pili kabla Musa hajapata ushindi wa kwanza kwa mbwembwe. Baada ya kumaliza, mama Shua alisimama, akavaa kanga yake huku akisindikizwa na Musa kutoka. Lakini kushika mlango hivi, kumbe umefungwa kwa nje… “Haa!” mama Shua alihamaki kwenye masikio ya Musa ili asisikike… “Vipi?” “Mlango umefungwa kwa nje…” “Hamna bwana…nani afunge?” alisema Musa huku akishika kitasa… “Mungu wangu, kweli mama Shua. Unadhani atakuwa nani?” “Nahisi ni mume wangu. Nani mwingine humu ndani anaweza kufunga mlango kwa nje?” alisema mama Shua huku akianza kutetemeka. Mbaya zaidi, simu yake aliiacha chumbani. Moyoni alisema afadhali angekuwa nayo, angempigia msichana wake wa kazi amfungulie. Lakini akili ikakumbuka kwamba, namba za dada wa kazi anazo kichwani hivyo akamwomba simu Musa ili ampigie… “Sasa kama jamaa amesimama mlangoni si atakusikia?” Musa aliingia wasiwasi… “Nitaongea kwa sauti ya chini sana.” Mama Shua alimtajia namba Musa, akaziandika kwenye simu yake na kumpigia. Simu ilipoita, Musa akampa simu mama Shua… “Haloo…we nani?” dada wa kazi aliuliza kwa sauti ya juu maana hakuwa na namba za Musa… “Sikia dada, mimi mama Shua…” “A…aaa…vipi dada, uko wapi kwani?” “Sikia…toka chumbani, nenda kwenye mlango wa yule kijana mpangaji mgeni, kama mlango wake umefungwa kwa nje mfungulie, sawa?” alisema mama Shua katika mazingira ambayo, dada wa kazi hakujua kama bosi wake huyo alikuwa ndani ya chumba hicho… “Sawa dada.” Msichana wa kazi alitoka, akaenda lakini alishtuka kumkuta baba Shua amesimama mlangoni, akajifanya anakwenda chooni… “Shikamoo baba…” “Unaamkia sana, we pita na hamsini zako.” Msichana wa kazi alipita akitetemeka. Alijilazimisha kujisaidia kisha akarudi ndani. Alichukua simu akatuma tafadhali nipigie kwenye namba ya Musa. Musa akampa simu mama Shua, akapiga… “Dada hujatoka tu?” “Nimetoka mama, baba amesimama katikati ya mlango, akaniambia niendelee na hamsini zangu.” “Ulimwambia unataka kufungua mlango..?” “Hapana, sijamwambia. Nilimwamkia akasema ninaamkia sana.” Mama Shua akakata simu, akakaa kitandani na kuanza kuporomosha machozi huku akimlaumu Musa… “Nilikwambia nina msala Musa hukutaka kunielewa. Unaona sasa?” “Sasa si wakati wa kulaumiana huu mama Shua, tuangalie itakuaje?” “Sasa unadhani itakuaje na mtu kasimama mlangoni!” Pale nje, baba Shua aliwaza kuwagongea mlango wawili hao ili ijulikane moja.

Aliwaza sana, akaamua kwamba amwambie msichana wake wa kazi ni marufuku kufungua mlango wa chumba cha Musa endapo ataambiwa afanye hivyo…
“Ngo ngo ngo,” aligonga.
Msichana wa kazi akafungua na kusimama mlangoni…
“Dada, mama Shua ameingia kwenye chumba cha yule kijana mgeni…”
“Haa! Kufanya nini?”
“Anajua mwenyewe…sasa sikia, akikupigia simu ukamfungulie mlango usiende maana ni mimi nimefunga kwa nje…”
“Ha! Sasa dada kaenda ndani kwa watu kufanya nini tena jamani? Halafu mbona ni usiku sana?”
“Mama Shua si mwaminifu,” alisema baba Shua huku akiondoka kurudi chumbani kwake.
Alipanda kitandani kulala, akaanza kuwaza kabla ya kuupata usingizi…
“Siwezi kuwa na ndoa tena…na nikisema nimvumilie nitakuwa mwanaume wa ajabu wa kwanza hapa duniani,” alisema moyoni baba Shua. Usingizi ukampitia haraka.
***
Kule chumbani, mama Shua na Musa walikaa tu juu ya kitanda. Muda mwingi mama Shua alikuwa akimwaga machozi. Kuna wakati alimwingiza akilini mama yake mzazi, akajikuta akiogopa zaidi…
“Musa, unadhani itakuwaje sasa?”
“Kuhusu nini?”
“Mimi naachwa mwenzako. Kwani we hujui?”
“Da! Sasa tufanyeje mama Shua?”
“Mi sijui.”
Hakuna aliyelala, muda mwingi walikuwa wakisinzia lakini bila kulala. Mama Shua hakumpigia tena simu msichana wake wa kazi baada ya kujua kuwa, mumewe amesimama mlangoni…
“Yaani najuta mimi najuta! Nilikuwa nakosa nini kwa mume wangu mpaka kujikuta natumbukia kwenye penzi la nje. Nitamwambia nini mama?” alisikitika mama Shua huku machozi yakiufunika uso wake.
Jogoo la kwanza liliwika, mama Shua akashtuka sana…
“Umesikia jogoo hilo?” alimwambia Musa…
“Kumekucha,” alisema Musa huku akiuendea mlango na kujaribu tena kuufungua, akakuta umefungwa vilevile. Akarudi kitandani huku akisikitika sana…
“Da! Mlango bado umefungwa mama Shua…mumeo sijui amenikusudia nini mimi! Mwenyewe najuta sana na hii hali…unadhani nitaendelea kuwa mpangaji kwenye nyumba hii?”
“Uendelee, usiendelee mimi sijui Musa. Kwani sitakuwepo tena.”
Kulikucha kabisa, mlango bado ulifungwa kwa nje. Msichana wa kazi wa mama Shua alishaamka na kuendelea na kazi zake za kila siku huku akijua mama Shua yumo chumbani kwa Musa. Alijiuliza mengi moyoni.
Jua lilichomoza, mama Shua akapata wazo kwamba achukue simu ya Musa, ampigie baba Shua na kumwomba afungue mlango atoke, achukue mizigo yake na kuondoka kabisa lakini Musa akagoma kumpa simu yake…
“Noo mama Shua…siwezi kukupa simu yangu wakati najua yule ni adui yangu…siwezi. Kama anataka tufie humu ndani poa tu. Kama amepanga kuniua mimi sasa nitafanyaje?” alisema Musa akiwa amekasirika sana. Kwake, ilifika mahali ikawa liwalo na liwe.
Jua lilitoka kabisa, baba Shua alitoka chumbani na Shua, akaenda kuufungua mlango na kumwingiza Shua ndani…
“Nenda kwa mama yako.”
Mama Shua alishtuka sana kumwona mtoto wake akiingia na mlango ukiwa umefunguliwa. Alimkumbatia na kuanza kulia huku akisema…
“Mwanangu, nimekutenda vibaya sana. Utahangaika sana kwa sababu ya akili mbaya ya mimi mama yako.”
Shua hakujua lolote. Alibaki akimwangalia mama yake kwa macho ya mshangao…
“Mamaa,” aliita Shua, mama Shua akazidisha kilio kumsikia mtoto wake akimwita mama.
Shua aliachana na mama yake, akamfuata Musa…
“Chumba…”
Musa alikasirika sana, akatamani kumpiga. Shua alimwita Musa chumba kutokana na maneno yake siku za nyuma akimtania Shua kwa kumwita mchumba.
***
Baba Shua alikwenda kuoga, akavaa na kuondoka zake huku pesa za matumizi akiwa amemwachia msichana wa kazi.
***
Muda f’lani, mama Shua alisimama mlangoni akimlia taiming msichana wake wa kazi akipita…
“Dada,” alimwita alipopita…
“Abe…shikamoo dada…eti kwa nini upo huko?”
“Hayakuhusu…baba Shua ameondoka au yupo?”
“Ameondoka.”
“Kweli?”
“Kweli ameniaga, ameniachia pesa za matumizi.”
Mama Shua alirudi chumbani, akamchukua Shua na kutoka akiwa hana hamu tena na Musa.
Aliingia chumbani kwake. Kitu cha kwanza ni kuangalia simu yake, akaikuta. Akashangaa sana kwani aliamini jambo ambalo angelifanya baba Shua ni kuondoka na simu hiyo.
Aliipekua ndani na kubaini kwamba, haijachunguzwa kwani baadhi ya meseji zilikuwa za jana yake usiku na hazikusomwa.
“Mh! Sasa hapa dawa ni kumwomba radhi baba Shua. Mimi ni mkewe wa ndoa, binadamu hukosea, hiyo ni kawaida. Naamini atanisamehe tu. Nitamwambia sirudii tena, nimwahidi uaminifu,” alisema moyoni mama Shua.
Amwombeje samahani? Aliamua kumwandikia ujumbe wa simu badala ya kumpigia akiamini kwa kusoma atamwelewa vizuri zaidi kuliko kumwendea hewani. Kwanza anaweza asipokee hata hiyo simu yake. Aliandika:
“Baba Shua, najua kosa langu, nimekutenda vibaya sana mume wangu. Nakiri kosa moja kwa moja. Niko chini ya miguu yako mume wangu, nisamehe sanasana! Sitarudia tena, ni shetani tu alinipitia. Sasa nimejitambua ujinga wangu. Please mume wangu. Nisamehe saba mara sabini.” Akatuma.

Baba Shua hakujibu meseji hiyo. Ilifika mahali, mama Shua akaamini kuwa, mumewe alikuwa bize hivyo hajaona meseji yake, akaamua kubipu. Lakini licha ya kubipu, bado mumewe hakumpigia…

“Sijui kama nina ndoa tena! Ina maana baba Shua amebadilika kiasi hiki? Yaani ajue jambo zito kama la mimi kulala na mwanaume mwingine halafu aendelee na shughuli zake? Lazima kuna jambo baya sana anataka kunifanyia,” alisema moyoni mama Shua.

Siku hiyo aliamua asiende kazini. Aliamua kukaa nyumbani huku kazini kwake akiaga kwa uongo kwamba anasumbuliwa na kichwa.Kingine kilichokuwa kikimpa wakati mgumu mama Shua, aliamini kwamba mume wake atapeleka habari zake nyumbani kwao kijijini jambo ambalo anajua linaweza kusababisha kifo cha ghafla cha mama yake mzazi…

“Yaani afadhali haya mambo tuyaongee wenyewe, akisema anampigia simu mama kumwambia nimempoteza mama yangu. Lakini hivi mimi hii tabia nimerithi kutoka kwa nani? Kwa baba au mama?
“Mbona sijawahi kusikia hadithi yoyote inayosema mama alikuwa mhuni au baba alikuwa mhuni. Au wananificha? Au mimi nimeathiriwa na mazingira?” alijiuliza yote mama Shua.
***
Kule kazini, baba Shua muda mwingi alikuwa mwenye mawazo. Aliiona meseji ya mke wake, lakini hakutaka kumjibu. Na aliona alipobipu lakini pia hakutaka kumpigia.

Mara simu yake iliita, akaangalia skrini na kushtuka sana baada ya kuona jina la Maua.
Maua ni msichana aliyekuwa na uhusiano na baba Shua kabla ya kukutana na mama Shua.
Baba Shua alimpenda sana Maua kiasi kwamba, alikuwa tayari kwa ndoa naye lakini alipotokea mama Shua, alijikuta akitekwa na kumsahau Maua.

Uhusiano wao ulikufa polepole mpaka kila mmoja akajikuta akichukua hamsini zake. Baadaye, baba Shua akamuoa kwa ndoa mama Shua…
“Haloo,” baba Shua aliipokea simu ya Maua…
“Haloo…mzima wewe?”
“Mimi mzima. Sijui wewe?”

“Mimi pia mzima. Niko hapa kwenye mgahawa jirani na kazini kwako, nikasema nikupigie ili kama hutajali uje tushiriki kifungua kinywa cha pamoja.”
“Wapi? Hapo Bianca?”
“Ndiyo.”

“Nakuja Maua.”
“Karibu sana.”
Baba Shua alifunga mlango wa ofisi, akaenda Mgahawa wa Bianca na kukutana na Maua.
Ni Maua bila kujali kuachwa, alipomwona baba Shua alisimama, akamkumbatia na kumpiga mabusu mawili ya nguvu…

“Mmm…mwaa….mmmwaa.”
“Asante Maua…za siku nyingi?”
“Njema, sijui wewe?”
“Mi mzima sana Maua.”
“Nakuona umenawiri mpenzi…ni hiyo ndoa au nini?”
“Ah! Maua…nadhani ni wakati wa mwili wenyewe tu. Ndoa si sababu…”
“Kwa nini Benny?”

“Ah! Nimeingia chaka Maua.”
“Umeingia chaka! Kivipi Benny?”
“Maua…nimeoa malaya.”

“Ha..! Benny…unajua hilo neno ni zito sana…umeoa malaya?”
“Niamini mimi Maua…ngoja nikupe mkasa mzima,” alisema baba Shua na kuanza kumsimulia mkasa mzima Maua kuhusu mke wake, mama Shua.
Baba Shua alitumia kama nusu saa nzima kusimulia kisa cha mama Shua na Musa. Hata alipomaliza, alihema kwa kasi kubwa ya kusimulia…

“Lo! Asee! Kwa hiyo huyo kijana Musa ndiyo mwiba kwenye ndoa yako? Sasa umeamuaje?” aliuliza Maua.
“Maua, ungekuwa wewe ndiye umekumbana na kisanga hiki hata kwa jinsia yako ungeamuaje?”
“Ningeamua kusamehe.”

“Hapana! Ni ujinga wa hali ya juu. Haiwezekani.”
“Sasa wewe unataki kufanyaje?”
“Hakuna ndoa Maua. Mwanamke anakuletea mwanaume mpaka ndani, wewe upo. Unamsema lakini bado anaendelea tu!?”

“Niachie mimi, nitaamua,” alisema baba Shua uso wake ukionekana kuwa makini sana.
“Da! Pole sana Benny. Mambo mengine vipi lakini?” Maua aligeuza kibao cha mazungumzo…
“Poa sana. Sikutegemea kama leo utanipigia, nimefurahi sana.”
“Kweli? Hata mimi nimefurahi sana wewe kukubali mwaliko wangu. Maana bwana, mtu akishakuwa kwenye ndoa, hataki tena ahadi, hataki mtoko.”

Baba Shua alicheka, akamuuliza…
“Bado unaishi Temboni?” baba Shua alimuuliza Maua…
“Kulekule lakini nyumba kama ya tano toka pale nilipokuwa nikikaa zamani. Karibu sana Benny…”
“Nitakuja siku moja…”
“Lini nijiandae.”

“Ujiandae kwa kufanyaje? Umfukuze shemeji uliyenaye sasa hivi?”
“Ha! Wala! Mimi pale haingii mwanaume labda awe ndugu yangu.”
“Mbona mimi unaniruhusu nije kuingia?”
“Sasa wewe historia yako kwangu ni tofauti na wengine. Wewe ni kama mtalaka wangu. Kwa hiyo una nafasi yako ya pekee.”

“Basi nitakuja wikiendi hii,” alisema baba Shua…
“Mimi sitaki uje wikiendi hii…”
“Unataka lini?”
“Leo!”

“Mh! Mbona ghafla sana Maua?”
“He! Jamani! Kwani nyie wanaume mna ghafla?”

“Eee! Ratiba zikiingiliana ni ghafla tu.”
“Ina maana Benny huwezi kuua ratiba zako kwa mwaliko wangu mimi?”
“Kwani umenialika au umeniomba nije nikutembelee?”
“Haya, nakualika sasa. Leo naomba uje nyumbani kwangu.”
“Sawa, kuna siku nitakuja…”
“Mimi nataka uje leo bwana.”
“Mh! Maua bwana…nikisema ghafla ndiyo hupendi…oke, nitakuja leo.”
“Saa ngapi?”
“We unataka saa ngapi?”
“Mimi nataka ukitoka kazini nikufuate twende wote mguu kwa mkono.”
Baba Shua hakuwa na jinsi, alikubali…
“Basi nitakujulisha nikiwa natoka,” alisema.
“Sawasawa.”
Walipomaliza kupata chochote, walisimama wote, wakatoka huku Maua akiwa ametangulia mbele.
Baba Shua alishangaa sana kwa namna Maua alivyobadilika. Alikuwa akitembea kwa mwendo wa kujisikia, alinawiri, alinenepa kidogo na alitakata…
“Da! Huenda ningekuwa na Maua mambo yasingekuwa hivi yalivyo sasa na mama Shua. Halafu demu kapendeza ile mbaya, suruali imemkaa kama amezaliwa nayo,” alisema moyoni baba Shua huku mwili ukianza kumsisimka kwa kumfikiria Maua alivyo kwa siku zile na moyoni akawa anakumbuka zamani za mapenzi yao motomoto.
Nje, waliachana. Maua akaingia kwenye gari lake na kuendelea na safari zake lakini huku akimsisitiza baba Shua kumfuata baadaye, baba Shua alikubali akarudi kazini kwake huku akisema moyoni…
“Kumbe Maua ana gari! Aisee! Lakini huenda huyu Maua akanisaidia kunipunguzia stresi. Kama tutaishi kama zamani itakuwa poa sana. Naweza kuendelea na mama Shua kwa vile nimefunga naye ndoa lakini huyu Maua akawa ndiye chaguo langu.”
Kusema kweli kwa muda wa siku kadhaa nyuma za mshikemshike wake na mkewe mama Shua na Musa wake, siku hiyo baba Shua alijisikia ana amani sana baada ya kukutana na kipenzi chake Maua.
***
Kwa upande wake, Maua aliondoka naye barabarani akiwa na mawazo kibao kuhusu baba Shua…
“Naamini sasa Benny anajutia uamuzi wake wa kunimwaga mimi na kumchukua huyo malaya wake,” alisema moyoni Maua…akaendelea…
“Na safari hii nikimdaka, hachomoki, kweli kabisa.”
***
Saa kumi kamili ya alasiri, Maua alimpigia simu baba Shua…
“Mm…vipi Benny? Hujatoka tu?”
“Ndiyo natoka Maua.”
“Kwa hiyo?”
“Njoo basi twende.”
Maua alichoma mafuta mpaka ofisini kwa baba Shua, akamchukua kwenye gari lake mpaka nyumbani kwake.
Walishuka wote, wakatembea kwenda ndani huku Maua akiwatambulisha majirani kwa baba Shua…
“Jamani! Mama Kise, huyu anaitwa Benny…ni mchumba wangu. Alikuwa nje kwa masomo, sasa amerudi.”
“Oooo! Karibu sana,” majirani walimkaribisha baba Shua.
Kwa jinsi alivyo, mwonekano na mavazi, kweli baba Shua alionekana kufananafanana na mtu aliyetoka nje ya nchi.
Ndani, walifikia sebuleni. Maua alionekana mwenye furaha sana kwani walipofika tu sebuleni, alimbusu baba Shua kisha akampa denda la mbali sana, wakakaa…
“Karibu sana baby, hapa ndiyo kwangu…dada,” Maua alimkaribisha, akamuita msichana wa kazi…
“Abee dada…”
Msichana wa kazi alitokea kutoka uani…
“Msikilize mgeni anakunywa nini? Lakini acha tu, namjua huyu nitamhudumia mwenyewe,” alisema Maua akisimama na kwenda kwenye friji.
***
Ndani ya saa moja, Maua alimkaribisha baba Shua chumbani…
“Njoo upaone mahali anapolala ubavu wako,” alisema Maua.
Baba Shua akiwa ameshakunywa wine glasi mbili, hivyo amechangamka kidogo, alimfuata Maua kwa nyuma hadi chumbani…
“Da! Chumba kama cha waziri wa fedha,” alitania baba Shua, Maua akacheka.
Ni kweli kilikuwa chumba kizuri, kilichosheheni kila kinachohitajika kwa ajili ya chumba.
Kitanda cha kisasa kilichozibwa na godoro kubwa, kabati kubwa la nguo, redio yenye kutumia CD sita na kiyoyozi cha ndani kwa ndani, vyote hivyo vilikifanya chumba hicho kuvutia zaidi.
Baba Shua alifikia kujitupa na kunesanesa kidogo huku akimsifia Maua kwa kujitahidi kutengeneza maisha yake vizuri…
“Da! Umejitahidi sana baby wangu…hongera sana…”
“Asante sweet, lakini siku zile tukiwa bado wote uliweza kunipa njia ya namna ya kutumia fedha. Kwa hiyo kwa kutumia maelekezo yako nikawa nimejifunza jinsi ya kubana matumizi,” alisema Maua huku akiachia tabasamu laini na kumwangalia baba Shua.
Walizungumza mengi chumbani, mwishowe walijikuta wamejitupa wote kitandani. Walichezacheza wakiwa kwenye nguo, baadaye Maua alitoka kitandani na kwenda kufunga mlango kwa funguo…
“Kwarakacha…kwarakacha…kwacha!” Msichana wa kazi aligunia moyoni. Kwake lilikuwa tukio geni sana kumwona bosi wake akiingia chumbani kwake na mwanaume. Hajawahi kuona!Simu ya baba Shua iliita, akaitupia macho na kuona jina la mke wake, akaipuuza…
“Baby mbona hupokei simu?” Maua alimuuliza

 “Ah! Si yule malaya anapiga…”

“Ungepokea sasa…unajua anataka kukwambia nini?”

“Achana naye,” alisema baba Shua akianza kukunja sura.

Maua baada ya kauli hiyo, hakutaka kupoteza muda, akapanda kitandani na kuanza kumvua nguo baba Shua huku tayari akiwa na mihemko ya kimahabamahaba…

“Baby,” aliita Maua kwa sauti yenye kuashiria kubembeleza mwana…

“Niambie Maua…”

“Nikupe dawa ya kumwacha mke wako?” aliuliza Maua kwa sauti iliyotoka nje kwa kupitia tundu za pua…

“Kama ipi Maua?”

“We sema uko tayari au hauko tayari?”

“Niko tayari…kwa mambo anayonifanyia? Aisee niko tayari…hivi hapa ninavyojua mimi kwa sababu ameshatekwa na huyo Musa wake hataweza kurudi kwenye reli ninayoitaka mimi kama mume.”

“Da! Aisee pole sana. Basi mimi nitakupa…lakini nikwambie mapema, hiyo dawa si ya mitishamba wala vidonge vya hospitali.”

“Ni dawa gani sasa jamani Maua mpenzi wangu, hebu niambie kidogo basi…”

“Wala usiwe na wasiwasi Benny kwani wewe si unahisi mkeo anakusaliti?”

“Maua si kwamba nahisi, ni kweli ananisaliti. Nimekwambia anaingia chumbani kwa mpangaji mwenzangu nikiwa namwona kwa macho yangu halafu unasema nahisi, maana yake nini? Halafu yule kijana tangu anahamia pale siku ya kwanza nilimuazia vibaya kwamba atakuwa ananisaliti na mke wangu, sijui kwa nini niliwaza hivyo?!”

“Huenda ni akili yako ilijiongeza tu. Wapo watu wameumbwa hivyo. Wanajiongeza wenyewe hivyo huwa hawahitaji kuongezwa.”

“Oke, sawa…sasa niambie hiyo dawa ni ipi?”

“Nitakwambia, we tuendelee kuwa pamoja tu,” alisema Maua huku akimshika mikono baba Shua na kuanza kumnyooshanyoosha. Pia akahamia sehemu mbalimbali za mwili na kumkandakanda huku akimpongeza kwa maneno ya mahaba…

“Benny…”

“Niambie Maua…”

“Unajua namshangaa sana huyo mke wako…”

“Kwa nini? Japokuwa hata mimi mwenyewe namshangaa…”

“Yaani mwanaume mzuri kama wewe anakutenda hivi?! anajua thamani ya mwanaume kweli? Tatizo binadamu wengi wanapenda kupata lakini hawawezi kutumia…

“Utakuta watu wanapishana kwenye maofisi kutafuta kazi lakini wakishapata hawatendi. Mimi huwa naamini watu wengi wanatafuta ajira na siyo kazi…”
“Una maanisha nini Maua kwa huo mfano wako?” aliuliza baba Shua…

“Namaanisha kwamba, siku hizi wanawake wengi wanatafuta kuolewa lakini si ndoa…”

“Ha! Maua, kuolewa na ndoa si jambo moja mpenzi wangu?”

“Hapana Benny! Kuolewa ni mwanamke kumpata mwanaume wa kuishi naye akahesabiwa yeye ni mke wa fulani. Ndoa ni zile taratibu zilizopo. Yaani uvumilivu, uaminifu na tendo lenyewe.

“Sasa kama mke anaingia kwenye chumba cha mwanaume ndani ya nyumba moja hiyohiyo, huyo anaijua ndoa kweli? Si alitafuta kuolewa tu!”

Benny alimwelewa vizuri Maua kiasi kwamba alimkisi kama ishara kwamba, amemkubali. Maua naye akambusu Benny, kisha wakazama kwenye tukio lingine la denda! Kwa dakika kadhaa hakuna aliyekuwa akiongea.

Kila mmoja aliguswa na hisia za mapenzi yao miaka miwili nyuma ambapo walikuwa moto.

Kutokana na hali hiyo, walifika mahali kila mmoja alifanya anachotaka kwa vitendo bila kutoa sauti.

Mfano, Maua alipotaka Benny ageuke alimshika na kumgeuza, Benny akajua na kuendelea kujigeuza mwenyewe.

Benny naye alipotaka Maua alale chali, alimshika akaashiria kumlaza, Maua akalala mwenyewe huku akiyakaza macho kwa mwelekeo wa mwanaume huyo kama anayeuliza ‘kuna lingine?’

Hali iliendelea hadi wakafika mahali wakajikuta tayari wapo uwanjani na mechi imeanza.

Siku hiyo, Maua alitumia ufundi wake wote kuhakikisha anakidhi hitaji la mapenzi kwa Benny. Ilifika mahali hata Benny mwenyewe alishangaa kuona mambo makubwa kwa Maua. Akajiuliza amepatia wapi uzoefu huo?

Kingine alichokifanya Maua siku hiyo ni kwenda sambamba na Benny huku akiendelea kumsifia kwa mambo mbalimbali, akikumbushia hata madogo tu aliyoyafanya Benny zamani kuhusu yeye.

Ukichanganya na sauti aliyokuwa akiitumia sasa, weee! Benny namaanisha baba Shua, alisahau kabisa kama alifunga ndoa na sasa ana mtoto mmoja wa kike anaitwa Shua.

Kichwani alianza kumsahau ghafla mama Shua. Ile hali ya kuumia moyo kwa sababu ya usaliti wake ilianza kumtoka na kujiona kama kawaida. Akili yake ya wivu ilianza kuhamia kwa demu wake huyo…

“Maua,” aliita huku mikiki ya mpira ikiwa inaendelea…

“Abee…”

“Unajua nikija kukuona na mwingine nitakasirika..?”

“Ukiniona na mwingine au na mwanaume mwingine? Maana unaweza kuniona nikiwa na shoga yangu Hadija, pia utakasirika sweet?” aliuliza Maua.

Hapo ni baada ya mechi yao kufika mwisho na sasa walikuwa wamepumzika huku wakihema kwa kasi ya shughuli pevu…
ITAENDELEA


CHUZI NDO HILO, HAKUNA KUONJA! – 3

Chombezo : Chuzi Ndo Hilo, Hakuna Kuonja!
Sehemu Ya Tatu (3)

Giza likiwa limeshaingia, Musa anarudi sasa, akakutana na
mama Shua njiani… “Musa vipi? We unajua namba yako sina, kwa nini usinitafute wakati we unayo? Kwani ule ujumbe wangu asubuhi kupitia kwa mtoto hukuulewa?”

“Ujumbe upi?” aliuliza Musa…
“We si tulipanga tukitoka job unipigie!”
“Tuliongea wapi mama Shua?”
“Kwani hukunielewa muda ule asubuhi ulipokuwa unajibizana na mwanangu Shua?”
“Oh! Kumbe pale ulikuwa unanipa ujumbe wa moja kwa moja siyo?”
“Sasa je?”
“Ungesema sasa.”
“Sasa pale ningesemaje we unavyodhani?”
“Basi yaishe…sevu upya namba zangu.”
“Zitaje, lakini sitazisevu, nitaziweka kichwani tu.”
“Sawa,” alijibu Musa huku akimtajia mama Shua namba zake.
Kisha, haraka sana mama Shua alirudi ndani akimtaka Musa kuchelewa hata dakika tano ndipo aingie…
“Usiingie sasa hivi, itajulikana. We kaa kwanza mahali, baada ya dakika tano ingia, sawa mpenzi wangu?”
“Sawa. Lakini da! Jamaa naye anafuatilia sana bwana,” alisema Musa akirudi alikotoka.
Alikwenda kwenye duka la jirani na kuomba soda ili apotezee muda. Alikunywa, alipomaliza alikwenda kwake. Ni baada ya dakika kama kumi na mbili hivi.
Chumba kilikuwa kizito kwa Musa kwani muda mwingi alijikuta akimuwaza mama Shua na mambo yaliyojitokeza kuhusu mume wake…
“Nahisi hii nyumba si ya kuishi mimi. Kama ndani ya mwezi mmoja tu jamaa ameshtuka kitu. Je, nikikaa mwaka mmoja si nitakatwa masikio mimi!”
***
Kwa upande wake, mama Shua hali ilikuwa ya utulivu wa kimawazo. Yeye alishatekwa na kijana huyo hivyo alikuwa akiwaza namna atakavyodumisha penzi…
“Musa ni kijana mzuri sana. Lakini sasa itakuaje wakati mista naye kama hataki kumsikia achilia mbali kumwona?” alijiuliza, akakosa jawabu.
Muda ulivyozidi kwenda, alipanda kitandani akalala. Alitamani sana kumtumia meseji Musa lakini mume wake alishalala hivyo aliamini angeweza kuzua mapya jambo ambalo hakulipenda hata kidogo!
***
Kulikucha, oyaoya za kujiandaa ndani ya nyumba zilipamba moto. Baba Shua, mama Shua, Shua walikuwa uani na msichana wa kazi. Musa yeye alivaa bukta na singilendi huku taulo akilitupia begani kwa ajili ya kwenda kuoga.
“Hujambo mchumba?” alianza Musa. Safari hii alikuwa tayari kupokea ujumbe kutoka kwa mama Shua kama alivyomwambia jana yake…
“Mwambie sijambo, nimekumisi sana.”
“Jambo…misi sana.”
“Hata mimi. Sasa leo tutapata wapi lanchi mchana mchumba?”
“Mwambie unipigie, popote ulipo nitakuja.”
“Nakuja…”
Walicheka wote kwani Shua alishindwa kunyoosha Kiswahili, Musa akaendelea…
“Mchumba, kweli utaweza kuja nikikuita mahali kwa ajili ya lanchi?”
“Mwambie nitaweza bila shida,” hapo alisema baba Shua…
“Aweza.”
“Haya, basi nitakupigia.”
“Mwambie sawa usikose, iwe saa saba kamili,” hapo alidakia mama Shua…
“Saa saba …amili.”
Walicheka tena, Musa akaingia kuoga chapuchapu. Alitoka, akaingia mama Shua. Yeye alioga akifurahia kusikia raha anaoga huku akiyaona majimaji yaliyobaki kwa kuoga Musa.
Alipomaliza naye alitoka kwa kasi akisema amechelewa sana siku hiyo…
“Mbona siku ile nakwenda Arusha ulichelewa sana na sikukusikia ukilalamika. Imekuaje leo?” aliuliza baba Shua.
“Hata siku ile nililalamika, sema sikukwambia tu.”
“Mh!” Aliguna baba Shua.
Musa alitoka, wakati anapita kwenye dirisha, mama Shua alimwona, naye akajiandaa haraka sana huku moyoni akisema…
“Kwani akinipa lifti mbele kwa mbele kuna tatizo gani? Yaani mume wangu yeye anawaza mabaya kila wakati.”
Tangu, Musa atoke, mama Shua alitumia ndani kama dakika tano, naye akatoka lakini alishamtumia meseji Musa kumwambia amsubiri ampe lifti. Na Musa naye alijibu…
“Mh! Huogopi?”
“Wala!” alijibu mama Shua.
Mama Shua alitoka mbio kiasi kwamba mumewe akashtuka sana…
“Kinachokufanya ukimbie ni nini mama Shua?”
“Nawahi baba Shua, si nimekwambia wakati natoka kuoga jamani mume wangu!?” alijibu mama Shua huku akikimbia kitendo kilichomfanya baba Shua kushindwa kuendelea kuhoji au kusema lolote jingine.
Mama Shua alipotea akimuwahi Musa, mumewe akiwa ndani ya bukta na singilendi kwa juu naye alitoka mbio akimwambia msichana wa kazi…
“Dada nakuja sasa hivi.”
Mbele kidogo, baba Shua alikutana na Bajaj inashusha abiria…
“Eee bwana niwaishe mahali,” alimwambia suka wa Bajaj.
Bajaj iligeuzwa kwa kasi kutokana na hali ya uso wa baba Shua, dereva akajua anawahi sehemu kwa dharura.
“Nipeleke kule, kanyaga mafuta kama unafukuza mwizi.”
***
Mama Shua alizama ndani ya gari la Musa…
“Ondoa gari, maana kama sijamuelewa mume wangu, anaweza akafuatilia,” alisema mama Shua.
Ile anafunga mlango tu, Bajaj aliyopanda mume wake ikatokea kwa mbali kidogo.
Baba Shua alitumbua macho mbele akiamini kama mke wake atakuwa anaondoka na daladala lazima angemwona anakaribia kituoni na kama hayupo, ina maana atakuwa ndani ya gari analoliona la Musa ambalo yeye baba Shua halijui.

“Unaweza kuendesha kwa kasi hadi kulifikia lile gari?” baba Shua alimuuliza dereva ambaye badala ya kujibu aliongeza mafuta kwa kasi.Lakini wakati analikaribia, gari hilo likawa limeshaingia barabara kuu. Kwa mbali, ndani aliona watu wawili akiwemo dereva lakini hakuweza kupata mtazamo kamili kama ni wanaume, wanawake au mwanaume na mwanamke kwa vile vioo vya gari vilikuwa ‘tinted’…
“Unajua kuna Bajaj inatufuata kwa kasi sana,” Musa alimwambia mama Shua. Ilibidi mwanamke huyo ageuke kuiangalia lakini akaiona kwa gizagiza sana. Kwa hiyo hakujua ndani ya gari lile mlikuwa na nani na ni nani!
Baba Shua alimwambia suka waishie pale lakini akaisoma namba na kuandika kwenye simu yake kisha akarudi nyumbani akiwa amefura sana. Aliamini moyoni kwamba, mkewe alipanda lile gari…
“Yaani mama Shua sasa amefika pabaya, anafuatwa na magari hadi nyumbani! Hii kwa kweli siwezi kuivumilia hata kidogo,” alisema moyoni huku akituma meseji kwenda kwa mkewe…
“Kwa hiyo sasa umefikia hatua ya kufuatwa na gari hadi nyumbani ili likupeleke kazini. Tutawezana kweli?”
Mama Shua aliposoma meseji hiyo alishtuka sana…
“Mh! Au alikuwa kwenye ile Bajaj nini?”
Alitaka kumfowadia meseji Musa lakini akahisi atakuwa anamtisha kijana wa watu, akaacha…
“Gari gani mume wangu?”
Wakaanza kujibizana sasa…
“Gari gani? Kwani we umepelekwa kazini na gari gani?”
“Nilipanda basi baba Shua.”
“Usinidanganye mimi wewe. Umepanda gari lenye namba za usajili T 349 CAT, unabisha?”
Mama Shua hakuzijua namba za gari lile, lakini akajitutumua na kujibu kwa ufupi…
“Ina maana uliniona nikiingia kwenye gari au?”
“Ndiyo,” baba Shua alifanya kusudi kujibu hivyo ili aone, mkewe atajibu nini.
Mama Shua alihema kwa kasi, akajua kweli alionekana na mumewe, ilibidi asiijibu meseji hiyo.
Baba Shua alipoona nusu saa inapita bila majibu, alituma meseji nyingine…
“Mimi umenichosha na vitabia vyako vya siku hizi, kwa nini usije kuchukua vitu uondoke hapa nyumbani? Maana najua unataka uhuru hapa kwangu umebanwa!”
Ilikuwa meseji nzito sana kwa mama Shua. Alianza kuingiwa na wasiwasi. Aliamini hali ndani ya ndoa yake si nzuri, akaanza kuona hatari ya siku za mbele.
Hakuwahi kufikiria hata siku moja kwamba, mumewe angeweza kumtamkia maneno mazito kama hayo, lakini siku hiyo alitamka bila kutumia lugha ya mafumbo. Hata meseji hiyo hakuijibu.
***
Saa saba juu ya alama, Musa alimpigia simu mama Shua…
“Haloo,” alipokea mama Shua bila maneno ya kuchombezea kama ‘haloo baby’, ‘niambie darling’ na mengineyo…
“Vipi sweet, mbona umepokea simu kama hunifahamu vile?”
“Ah! Siko sawasawa bwana…”
“Kuna nini?”
Mama Shua alijua akisema amwambie yaliyojiri, hata yeye Musa angeshtuka na kuogopa sana, akamdanganya…
“Mwili wangu kama unaumauma kwa mbali halafu moyo kama hauna furaha vile.”
“He! Kuna nini tena? Uko wapi kwani?”
“Nipo job. Wewe..?”
“Mimi nipo hapa hotelini napata mchemsho wa samaki. Kama vipi njoo unywe.”
“Ah! Yaani hata kutoka hapa pia sijisikii kabisa.”
“Basi twende chumbani baby, nikakupetipeti, nikakufinyefinye wee mpaka useme basi. Halafu mambo yetu yawe kama ya siku ile, unasemaje?” alisema Musa na kumfanya mwanamke huyo kusisimka, akajikuta akichangamka mwili…
“Jamani baby, usinifanye nicheke darling…lo! Maneno yako matamu kama asali…”
“Hata mimi mwenyewe nipo kama asali kama ulivyo wewe,” alisema Musa, mama Shua sasa akawa si yule aliyepokea simu, akaachia kicheko cha haja…
“Wapi sasa?”
“Si nimekwambia napata mchemsho…”
“Ina maana huko kunifinyafinya utanifinyia hapohapo hotelini?”
“Aah! Si kule bhana…”
“Saa ngapi?”
“Wewe tu, hata ukisema leo mimi niko tayari.”
“Kweli?”
“Kweli kabisa. Mimi nitaondoka kazini maana leo sina kazi nyingi sana,” alisema Musa na kumfanya mama Shua kuliangalia begi lake lilipo.
Alichofanya, alimtumia meseji mumewe…
“Naumwa, nakwenda hospitali.”
Mumewe hakuijibu meseji hiyo zaidi ya kuachia tabasamu la mshangao huku moyoni akisema…
“Amejua ana msala sasa anatafuta namna ya kuumaliza.”
Mama Shua aliomba ruhusa kazini, akisema anakwenda hospitali hajisikii sawasawa.
Alichukua usafiri huku akimtumia meseji Musa ya kumuuliza kule hotelini aende muda huo au bado!
“We umeshatoka kwani?”
“Niko njiani.”
“Tangulia na mimi natoka hapa nakwenda chukua gari kisha hotelini, hapa nilipo mawazo yangu yote nipo na wewe kitandani.”

Mama Shua alizidi kusisimka mwili, hata maneno ya mumewe akayaweka pembeni kwanza…
“Basi baby usichelewe bwana,” alisema mama Shua huku akihisi kuchelewa kufika kwenye hiyo hoteli.
Alifika, akazama ndani huku mikono ikibonyeza vitufe vya simu kumtaarifu Musa kwamba ameshafika eneo la tukio…
“Baby, nipo eneo la tukio tayari.”
Musa alitoka kama swala, akafika hotelini ndani ya dakika chake…
“Umechukua rum?”
“Kilekile.”
“Oke.”
Mlango ulisukumwa, Musa alizama ndani na kumkuta mama Shua ameshavua kila kitu na yupo na suti ya ngozi tu…
“Du! Baby unanihamasisha siyo?” alisema Musa akimwangalia mama Shua kwa macho yaliyojaa tafsiri ya ‘mahaba niondolee uhai wangu’.
Musa, kwa kasi ya mashine ya cherehani alivua suruali, akatupa huko, akachua shati akatupa kule, akavua boksa akaivurumishia mbali, akachojoa singilendi na kuirushia mbali, akapanda kitandani huku akichekacheka lakini moyoni alipokumbuka kwamba anaweza kuchemsha licha ya mbwembwe nyingi alijikuta akikosa nguvu ghafla…
“Daa! Inawezekana lakini…sijui mganga gani atanisaidia mimi?” alisema moyoni Musa.
Mama Shua kwa kujua kuwa Musa ana ‘ugonjwa’ wa kumaliza haraka, alimdaka, akampa mabusu motomoto huku akimsema kwamba amechelewa…
“Hivi kwa nini umechelewa baby lakini?”
“Mh! Mbona nimewahi darling…”
“Hakuna bwana, yaani mpaka uongee na wanawake wako wee ndiyo uje kwangu.”
“Sikuwa na mwanamke baby, ndiyo maana nilikuita pale. Sasa kama ningekuwa na mwanamke ningesema uje? Acha mawazo yako hayo.”
Muda wote wa mazungumzo, wawili hao walikuwa wakishikana sehemu mbalimbali za mwili huku wamelala. Musa alichaji sana lakini kule kupambana na lawama za mama Shua kulianza kumkatisha tamaa kwa mbali…
“Lakini baby mbona umekuwa mtu wa lawama sana? Huniamini, huniachii nafasi ya kufurahia tukio, vipi kwani?” alilalamika Musa…
“Sikuamini ndiyo, sasa wewe unanisaliti hivihivi naona halafu nikuache kweli?”
Ilifika wakati, mama Shua akiwa anaendelea kumlaumu Musa, mechi ikaanza pamoja na lawama zake juu…
“Nikwambie kitu kimoja baby, mimi sipendi kabisa usaliti. Usaliti utanifanya mimi na wewe tuachane kabisa,” alisema mama Shua huku mechi imeshaanza…
“Mimi sikusaliti mpenzi wangu, hayo mawazo yatupilie kwa mbali. Nakupenda wewe, nakupenda sana.”
Mama Shua hakuacha kumtuhumu Musa kwa usaliti mpaka Musa akajikuta anachukua dakika kumi na tatu hivi akiwa bado uwanjani, ndipo mwanamke huyo akaamua kuachana na lawama na kumsifikia kwa mahaba anayompa, Musa akajikuta anamaliza mchezo, wakamaliza sambamba.
Sasa walikuwa wamelala wakiangalia juu huku wote wakihema kwa sana…
“Hivi baby mbona kama lile tatizo halipo, we unatumia dawa gani?”
“Naijua mwenyewe, wala sikwambii ng’o.”
“Niambie kidogo baby jamani.” “Sikwambii ng’o na hiyo dawa naijua mwenyewe. Ukienda kwa mwanamke mwingine utaipata ile hali, dakika moja tu mpira umeisha, aibu kwako,” alisema mama Shua huku akigeuka kumwangalia Musa kwa macho ya utani.
***
Simu ya baba Shua iliita, mama Shua alipoiangalia, akasonya kisha akaacha bila kuipokea…
“Huyu naye,” alisema moyoni mama Shua…
“Mbona hupokei, nani kwani?”
“Mista.”
Musa aliposikia ni mista, damu zikamkimbia mwilini, alihisi baba Shua amesimama mlangoni na kupiga simu ya mkewe…
“Mh! Atakuwa wapi?” aliuliza Musa…
“Mi sijui.” “Siyo kwamba yupo hapo nje kweli!”
“Nje ya mlangoni?”
“Ndiyo.”
“Hawezi. Namjua yule. Ajue mimi nipo ndani humu halafu asimame na kupiga simu! Angeingia na mlango mpaka ndani.”
Mara ikaingia meseji…
“Umekwenda hospitali gani?”
Mama Shua hakuijibu meseji hiyo kwani ilikuwa ngumu kwake kueleza. Angeitaja si ina maana mumewe angemfuata!
***
Baada ya mapumziko ya kama lisaa limoja, mama Shua akataka mechi tena, akamfanyia vilevile Musa na mechi ikaanza kwa uzuri mpaka dakika ya kumi, Musa akamaliza.
Walikaa ndani ya hoteli hiyo mpaka saa kumi na nusu. Musa ndiye aliyeanza kutoka hadi kwenye gari, akafungua mlango na kuzama ndani, akamtumia meseji mama Shua…
“Njoo, kuko shwari.”
Mama Shua naye akachomoka mpaka kwenye gari ambapo alikuta mlango wa upande wa abiria upo wazi.
Musa aliwasha gari, wakaondoka.
“Sasa utashukia wapi?” aliuliza Musa…
“Mh! Jirani na kile kituo, saa hizi najua yeye atakuwa ameshafika nyumbani,” alisema mama Shua.
Musa aliegesha gari pembeni, mama Shua akashuka na kuanza kutembea polepole.
Musa naye alipanda kaukuta na kulipeleka gari anapolilaza. Baba Shua alikuwa akienda dukani, akakutana na mama Shua, lakini pia akaliona gari la Musa na Musa mwenyewe akishuka, akashtuka…

baba shua aliiangalia ile namba ya gari na kukumbuka kuwa ndo ile ile aliyoiona ikiwa mbele yake asubuhi walipokuwa wakiifukuzia na bajaji, pale ndipo hofu yake ikazidi kuongezeka juu ya Musa, alitaka kumuuliza Mama shua lakini akaghairi na kuendelea na shughuli zake,
¤¤¤¤¤¤¤¤

Mama shua aliondoka akiwa na wasiwasi kwamba atakuja kujibu nini kwa baba shua kama ameshtukia ile ishu, aliingia chumbani akabadilisha nguo na kujifunga kanga yake tayari kwa kwenda kuoga,
Upande wa pili Musa yeye alikuwa anasikilizia meseji ya kutoka kwa mama shua kujulishwa kinachoendelea je baba shua atakuwa ameshtukia?, mara meseji ikaingia “baby nakuja sasa hivi tumalizie tena” Musa alistuka “tena?” ndio wangu, “tena sasa hivi?” aliuliza Musa akionesha kuwa na wasiwasi “ndio”, alijibu mama shua kiuhakika zaidi,
Kwani baba shua kaenda wapi? Aliuliza Mussa,
Ametoka bhana sijui kaenda wapi atajijua mwenyewe, mi nabeba kanga mbili na maji nayapeleka bafuni alaf kanga moja nitaiacha kanga huko moja ndo nitakuja nitaingia kwako, alimshauri mama shua,
Mmh, “haya njoo” maelezo ya mama shua yalionekana kumuingia Musa,
“Poa usitume meseji tena mi ndo natoka”
Poa.

Mama shua aliiweka simu chaji, akatoka kama alivyopanga akaingia bafuni, akaiweka kanga moja ikiwa inaning’inia akaingia chumbani kwa Musa, haraka haraka wakalianzisha sebene.
¤¤¤¤¤
Baba shua alirudi toka dukani na kuingia ndani, alikuta nguo za mama shua akagundua kuwa ameenda kuoga, alipoangalia mezani akaiona simu ya mama shua ikiwa chaji, aliichukua na kuanza kuipekua upande wa meseji, bahati nzuri meseji zote alizifuta, Baba Shua alipokosa meseji yoyote yenye kutia shaka, aliizima, akairudisha simu kwenye chaja kisha akatoka sebuleni. Alikaa akisikiliza maji yanavyomwagika bafuni mkewe akioga lakini hakusikia…
“Mh! Huyu amekwenda bafuni kweli au..?”

Baba Shua wakati ameshtuka hivyo, mama Shua alitoka chumbani kwa Musa haraka. Akanyata mpaka uani, akazama bafuni.
Baba Shua alitoka sebuleni, aketembea, naye kwa kunyata mpaka uani. Akasimama.
Mama Shua alipozama bafuni, alianza kuoga maana alitoka uwanjani, hivyo lazima awe msafi.
Baba Shua aliposikia maji ‘chwaa’ akatingisha kichwa kwa maana ya kukubali…
“Maana usikute mtu kasema anakwenda kuoga kumbe ameingia kwa mwanaume wake,” alisema moyoni baba Shua huku akirudi sebuleni.
Musa alianza kuona njia nyepesi ya kumpata mama Shua… “Kumbe hata kwangu hapahapa nyumbani inawezekana? Sasa kuna haja gani ya kupoteza pesa hotelini?” alijihoji Musa.
“Basi itakuwa nikimhitaji na’mbuku mapema ili ajipange jinsi ya kumpiga chenga mumewe.”
***
Mama Shua aliingia chumbani, akajifuta na kupanda kitandani huku akijifanya hana habari na mumewe.
***
Ilikuwa usiku wa saa saba, baba Shua alishtuka akiwa amelala kuangalia juu au chali. Akamwamsha mke wake …
“Mama Shua…” “Abee,” mama Shua aliitika haraka sana. Ilionekana hata yeye hakuwa amelala usingizi…
“Hivi unajijua kwamba umebadilika nyendo zako?”
“Mimisijabadilika, ila wewe mawazo yako yanasema hivyo.” “Mh! Mawazo yangu yanasema hivyo…ama kweli wanawake mwalimu wenu kipofu! Hivi unadhani wewe uliyekuwa na mimi mwaka jana ndiye nakuona yuleyule wa mwaka huu?”
“Si ndiyo maana nimesema mawazo yako.”
“Mawazo yangu ee? Sawa bwana, mawazo yangu, usiku mwema,” mama Shua alilala zake. Mama Shua hakutaka kunyoosha maneno wala kuweka sawa hali hiyo. Kwake akaona ni sawasawa tu. Alishalewa penzi la Musa.
***
Asubuhi kulikucha, mama Shua kama kawaida yake, anakuaga wa kwanza kutoka uani na binti yake, Shua na kumkuta msichana wa kazi akiwa wa kwanza kutoka kuliko yeyote ndani ya nyumba hiyo.
Baba Shua siku hiyo alichelewa kidogo, wakati mkewe ametoka kuoga, yeye ndiyo akaenda kuoga.
Musa siku hiyo alipotoka, hakukutana na mama Shua wala Shua mwenyewe, ila msichana wa kazi wa mama Shua alikuwa akifagia… “Mchumba wangu yuko wapi?” alimuuliza msichana wa kazi…
“Kaingia ndani na mama yake.”
“A…haa! Kaamka poa lakini?”
“Eee.” ***
Musa ndiye aliyekuwa wa kwanza kufika nje, akawa anavaa viatu tayari kwa kuondoka. Mara akafuata mama Shua. Baba Shua alisimama mlangoni akisikiliza…
“Za asubuhi?” alisalimia Musa…
“Salama, mzima wewe?” “Mimi mzima, naona kumekucha.”
“Eee…ndiyo unaondoka?” aliuliza mama Shua…
“Eee…”
“Nitapata lifti?” mama Shua aliomba lifti huku akiwa hajui kama mume wake anasikiliza… “Itakuaje sasa? Utaeleweka?”
“Ah! Achana naye huyu.”
Baba Shua alimwomba Mungu amsaidie katika kusimamia uvumilivu wake ili asijitokeze akiamini kwamba anaweza kufanya jambo baya kuliko inavyofikiriwa…
“Eee Mungu, nipe uvumilivu kwa ushahidi huu,” alijisemea moyoni baba Shua huku macho yake yakiwa kwa Shua kitandani.
“Teh! Teh! Teh!” alicheka Musa kwa kicheko kile cha ‘da! Jamaa namwibia hivihivi anaona’.
Musa ndiye aliyeanza kutoka, mama Shua akachelewa nje kidogo akijifanya anaweka sawa gauni lake jekundu alilovaa siku hiyo. Baba Shua hakutoka nje, alikwenda kukaa kwenye kitanda na machozi yakaanza kumchuruzika kiasi kwamba alijuta, si kumuoa mwanamke huyo bali hata kukutana naye siku ya kwanza…
“Hivi kumbe ameumbwa hivi? Hakuna haja ya kuelimishana tena, dawa yake ni kuamua kuachana naye tu,” alisema moyoni baba Shua, akasimama, akapiga ishara ya msalaba kifuani kama kuashiria kwamba, anamuachia Mungu.
Kwa upande wake mama Shua, alishangaa kutomwona mumewe akitoka ili kumsindikiza kwa macho kama ilivyo kawaida yake…
“Huyu vipi? Mbona hatoki wakati mimi nataka kuondoka?” alijiuliza mama Shua, akarudi ndani, tena mpaka chumbani… “Mi naondoka,” aliaga Mama Shua huku macho yake yote yakiwa kwenye simu. Aliamini Musa atamtumia meseji.
Baba Shua hakumjibu mkewe, alikaa kitandani. Alikuwa akimuangalia tu!
Ilibidi mama Shua atoke mbio kuwahi lifti huku moyoni akijua kwamba mumewe ana kitu moyoni… “Au jana alijua niliingia chumbani kwa Musa? Lakini hapana, asigeweza kuacha kuniambia. Lakini lazima ana jambo ndani ya moyo wake.”
Mama Shua alipanda gari la Musa huku akiwa hana amani. Pia alipanda kimachale sana akiangalia nyuma. Aliamini mumewe anaweza kutokea ghafla

“Ondoa gari haraka Musa, tunaweza kufuatwa,” alisema mama Shua akifunga mlango na kutulia kama kibaka aliyepakiwa kwenye ‘difenda’. *** Siku hiyo, mama Shua alifanya kazi lakini si kwa kasi ya kawaida. Ilipofika saa saba mchana, meseji ya mama yake mzazi iliingia kwenye simu yake ikiwa imeandikwa… “Najua tabia yako imebadilika, lakini jua kwamba upo kwenye ndoa. Aibu unayoitengeneza, usije kutuletea hapa nyumbani.” Mama Shua jasho jembamba lilimchuruzika. Alihisi amejivua nguo kwa wazazi wake… “Ina maana mama amejua mimi nachepuka?” alijiuliza mama Shua. Mapigo ya moyo yalibadilika, yakashika kasi. “Musa,” aliita mama Shua… “Naam…” “Mama amenitumia meseji sijapenda…” “Mama mwenye nyumba au?” “Mama yangu mzazi…” “Inasemaje?” Mama Shua aliisoma tena ile meseji ya mama yake mzazi, lakini safari hii kwa sauti ili Musa asikie. Alijiuliza sana mama Shua, nani alimpa mama yake taarifa maana anaishi mkoani. Aliamua kumpigia simu mdogo wake aitwaye Selina ambaye anaishi hukohuko mkoani… “Shikamoo dada…” “Marhaba mdogo wangu….za hapo nyumbani?” “Njema, hajambo Shua?” “Shua hajambo sana…eti nisaidie kitu mdogo wangu… mama kanitumia meseji, anasema nijitambue nipo kwenye ndoa, aibu ninayoitengeneza nisije nikaileta nyumbani…ana maana gani? Baba Shua kaleta habari gani huko?” “Kwani sasa we unavyoona baba Shua anaweza kuleta habari gani kuhusu wewe?” “Sasa mbona unaanza ligi Selina?” “Sianzi ligi bali nimeshangaa sana swali lako. Wewe kuna mtu kakuona mara mbili unaingia sijui gesti sijui hotelini. Unaingia peke yako kutoka na mwanaume ana gari…huyo ndiye kampigia mama simu jana, akamuuliza ‘yule binti yako Sesilia si bado anaishi na mwanaume yuleyule?’ Mama akajibu ndiyo. Akasema ‘sasa mbona mara mbili namwona akiingia na kutoka hotelini na mwanaume mwingine?’ ndiyo mama juzi na jana presha imepanda,” alisema Selina. Mama Shua palepale alikata simu, akakunjua kiti na kukilaza kwa nyuma, yeye naye akalalia kiti huku akitetemeka… “Oya vipi, kuna nini?” aliuliza Musa macho yakiwa mbele barabarani. “Kuna soo nyumbani Musa…” “Nyumbani wapi?” Musa aliuliza huku akionekana kupunguza spidi ya kuendesha. Aliamini hilo soo ni nyumbani kwake mama Shua walikotoka hivyo angehitaji kurudi… “Mkoani…”CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/ “Kuna soo gani sasa?” Mama Shua alisimulia kila kitu kuhusu meseji ya mama yake na maneno aliyoambiwa na mdogo wake kuhusu wao kuingia hotelini na kutoka… “Daa! Hatari baby…sasa?” “Hata sijui baby…nahisi sasa mambo yatafumka zaidi…” “Una maanisha nini?” “Yalishaanza kufumka kwa mbali…” “Wapi?” “We jua hivyo.” Mara, meseji nyingine ikaingia kutoka kwa mumewe, baba Shua, ilisomeka… “Bado tuna imani na wewe baba Shua lakini kama ukiona mwenendo wa mkeo si mzuri, hafai kuwa mke ruksa kumwacha na hapa kwangu asije-Mama.” Baada ya meseji hiyo, baba Shua alisindikizia na meseji yake yeye akisema… “Sijamwelewa mama lakini nahisi ujumbe huu wewe umeuelewa ana maana gani na ni kwa nini!” “Musa nishushe hapo please,” alisema mama Shua… “Vipi kwani mambo yamezidi kuwa mabaya?” aliuliza Musa akiwasha indiketa kwenda kushoto ili aegeshe gari… “Ah! Nitakupigia simu baadaye,” alisema mama Shua huku akishuka. Mama Shua alitembea kama mtu aliyelowa maji ya baridi bila ridhaa yake. Hapo alikuwa akikitafuta kituo cha daladala. Kila aliyekutana naye macho, alihisi anajua yeye ni mchepukaji mpaka wazazi wake mkoani wamejua na kumwambia… “Hii ni kali. Mimi mama Sesilia ndiyo nimefikia hatua hii kweli? Hapana…hapana…iko haja ya kujitafakari upya,” alisema moyoni. Alipanda daladala kuelekea mjini lakini akiwa ndani ya basi, kuna mwanamke mmoja alikuwa akimsimulia mwenzake namna jirani yake mmoja alivyoachika kwa sababu ya uchepukaji… “Yaani mimi nataka nilimshangaa sana yule mwanamke. Yaani unachepuka mpaka unaachwa? Si laana hiyo? Kwanza ni kutojitambua gani huko?” “Si ndiyo walivyo wanawake wa siku hizi. Wanasema kichwani wana akili kumbe wana matope. Wanataka mume akirudi saa nne usiku basi yeye awe amerudi saa nne kasoro dakika saba.” *** Siku hiyo mama Shua alifanya kazi kama mfanyakazi mgonjwa aliyegomewa ruhusa na mwajiri wake asiende hospitali. Mchana, alijikuta akivutwa na hisia za kumpigia simu mama yake ili amdanganye kutoka kwenye tuhuma zake. Alidhamiria kumwambia kuwa, pale hotelini walikuwa wanatoka kwenye semina tu na mwanaume aliyeonekana naye ni mfanyakazi mwenzake. Alipoona wazo hilo limesimama, akampigia. Simu iliita wee, alipokata tamaa, mama yake akapokea… “Unasemaje?” alipokea mama yake… “Shikamoo baba.” “Marhaba…nakusikiliza…” “Mama nilipokea meseji yako kwamba…” “Mimi siyo mahakama,” alisema mama mtu na kukata simu huku akisikika akisonya.

Mama Shua alibaki ameduwaaa asijue la kufanya kwani majibu ya mama yake yalimpa picha kamili ambayo hakuwahi kuiona hata siku moja. “Loo! Yamenikuta…huyo mzee wa nyumbani aliyeniona hotelini mpaka akapeleka umbeya huu kwa mama sijui nani?” alijiuliza moyoni… “Lakini kwani lazima nikiwa naingia hotelini iwe kwa sababu ya kufanya zinaa? Kwa nini mama asiniulize mimi kwanza halafu jibu langu ndiyo likatoa mwanga wa uamuzi wake?” aliendelea kujiuliza mama Shua, alikosa raha. Pia akakosa amani ya moyo. Palepale akampigia simu mdogo wake, Selina… “Ee dada…” “Selina, ni kwa nini mama anatoa maamuzi bila kuniuliza mimi akasikia nitajibuje?” aliuliza palepale mama Shua… “Kivipi?” “Yeye ananihukumu tu kwa vile kasikia eti nimeonekana nikiingia na kutoka baa… anajua nilifuata nini? Pengine niliingia kuzungumza na mtu je? Hotelini si kunakuaga na ukumbi wa mikutano!” “Dada Sesilia….mama akuulize wakati yule mzee amekuwa akikuona ukiingia chumbani na unakaa sana humo! Huo ukumbi upo chumbani dada Sesilia? Unajua mpaka ile presha ya mama ilishuka! Yaani wewe dada Sesilia…mh! Mi mwenyewe sijaamini hata kidogo…yule mzee akasema alikusalimia kwenye korido ukampotezea.” Mama Shua alikata simu. Hakuwa tayari kuendelea kusikia maneno yenye maumivu makali kama hayo… “Mh! Yule mzee akasema alikusalimia kwenye korido ukampotezea’,” mama Shua aliyarejea maelezo ya mdogo wake kiasi kwamba, alitamani ardhi ipasuke. Alipowaza sana, mama Shua akakumbuka kwamba, ni kweli siku moja akiwa anatoka kwenye hoteli anayokutanaga na Musa, alimwona mzee mmoja ambaye aliachia tabasamu na akamsalimia. Alikumbuka kwamba, sura ya mzee huyo haikuwa ngeni machoni pake lakini aliamini ni wazee wa Jiji la Dar es Salaam ambao wanapenda dogodogo! “Aaaa! Mzee Magunia…yule aliyenisalimia siku ile ni mzee Magunia wa kijijini kwetu…da! Ndiyo maana nilijiuliza huyu mzee mbona kama namfahamu vile! Lo!” *** Mchana wa saa saba, Musa alimtumia meseji mama Shua… “Haloo…” Mama Shua baada ya kuisoma meseji hiyo alisonya, akasema moyoni… “Ungejua ulivyoniletea matatizo wala usingetuma helo zako.” Musa alipoona hajibiwi na mama Shua aliamua kupigia simu. Iliita weeee! Mpaka ikakatika! Ikaita tena wee mpaka ikakatika… “Khaa! Huyu ana nini sasa?” alijiuliza Musa. Akapiga tena… simu ikaita weee mpaka ikakatika! Akamtumia meseji… “Kuna tatizo baby?” Meseji hiyo haikujibiwa, Musa akasema moyoni kwamba kama angekuwa anapajua ofisini kwa mwanamke huyo angekwenda ili akajue kuna nini kilichotokea! Baada ya nusu saa, baba Shua alimtumia meseji mkewe… “Kama mama amejua uovu wako, ni zaidi sana mimi. Jua umesimama katikati. Unaweza kuingia au kutoka. Lakini yote hayo yametegemea maono ya moyo wako katika kuamua baya na zuri.” Mama Shua alijikuta akichukia sana, akamjibu… “Unahukumu kama mchungaji au hakimu?” “Kama wote…” “Ungechunguza kwanza kabla ya kusema…” “Namshukuru Mungu nimechunguziwa na mama yako.” “Niache tafadhali…nataka niendelee na maisha yangu…” “Uachwe mara ngapi?” “Basi hakuna haja ya meseji zako,” alisema mama Shua. Lakini naye akawa hajui mumewe amemwacha kwa maana gani? Kwamba hamtumii tena meseji… hamfuatifuati na mambo yake au anamwacha kwa maana ndoa basi tena! Kweli, baba Shua hakutuma tena meseji kwa mama Shua kiasi kwamba, mwanamke huyo alichanganyikiwa. *** Muda wa kutoka kazini ulifika, mama Shua alitamani siku hiyo asirudi nyumbani kwake kwa mambo yaliyotokea. Alijisikia kulalalala mahali mpaka saa mbili usiku au tatu ndipo arudi nyumbani. Lakini kama angekwenda kulala mahali, angekuwa na nani? Maana kuwa peke yake pia ilikuwa tatizo, mawazo yangekuwa palepale. Alihitaji kampani, tena ya mwanaume. Ilibidi amkumbuke Musa. Aliaga wenzake akatoka, nje akampigia simu Musa… “Uko wapi baby?” “Niko baa…we si unasikia kelele hapa!” “Baa wapi?” “Posta.” “Tunaweza kuonana?” “Wapi?” ”Wapi! Si kule mahali kwetu!” “Saa ngapi?” “Mimi ndiyo nimetoka, naelekea.” “Oke, nakuja.” “Please, usichelewe baby.” Mama Shua alichukua usafiri, ukampeleka hadi kwenye hoteli hiyo. Alishuka, akamalizana na mwenye usafiri, akatembea mpaka mapokezi. Alilipia chumba yeye mwenyewe, akapelekwa chumbani. Alikuwa ameshavua nguo, amejifunga taulo tu na alilala kitandani simu ikiwa mkononi akianza kuchati. Kwanza kabisa alimtumia meseji mumewe… “Natoka kazini napitia kwa rafiki yangu Rukia… kuna ishu ya kuzungumza naye…” Hakujibiwa meseji hiyo lakini yeye hakujali, akamgeukia Musa… “Mimi nimeshafika, wewe uko wapi baby?” “Nakaribia baby,” alijibu Musa. Mara, ikaingia meseji nyingine. Hii ilitoka kwa mama yake kijijini… “Kwa hiyo hiyo hoteli ndiyo umeigeuza nyumbani kwako sasa??!!”.

ITAENDELEA

Design a site like this with WordPress.com
Get started