Welcome to My New Blogging Blog
-
Featured
HATI FEKI – 1
Simulizi : Hati FekiSehemu Ya Kwanza (1) ***KIDOKEZO*** JOHN AMIGOLAS YUKO MAHABUSU BAADA YA KUKUTWA AKIWA NA MWILI WA MFANYABIASHARA MAARUFU, GULAM, MARA BAADA YA KUPIGWA RISASI NA MAJAMBAZI AMBAO WALIMVAMIA NA KUCHUKUA PESA ZAKE ZOTE NA KUKIMBIA NAZO HUKU WAKIMPIGA RISASI NA KUMUUA. JOHN ANASHIKILIWA NA POLISI. ENDELEAASUBUHI ya siku hiyo John alikuwa amesimama… Read more
-
AFANDE ANAHUSIKA – 1
Simulizi : Afande AnahusikaSehemu Ya Kwanza (1) Ni story ya kiupelelezi inayomuhusu Afande Kalindimya ambae anahamishwakutoka mkoa mmoja nje ya Dar na kuletwa Jijini Dar es Salaam.Anaingia kwa kasi na kutishia usalama wa wahalifu,Kasi yake inawafanya hata majambazi yaanze kugwaya na kuamua sasa kumchafuamaksudi ili kumuharibia CV yake na kumvunja moyo, ili ikiwezekana aonekane hafaina… Read more
-
AFANDE ANAHUSIKA – 2
Simulizi : Afande AnahusikaSehemu Ya Pili (2) Inspekta Kalindimya akahisi kuchanganyikiwa, mtu anafanya mauaji mbele ya watu wengi kiasi kile? Mtu huyu ni nani? Amefanikiwa vipi kumuua huyu mtu hapa kwenye kadamnasi? Alijiuliza maswali ya papo kwa hapo na kukosa jibu.Akatoa simu na kumuita Afande Jitu haraka ndani, afande ni kama alikuwa nje ya chumba,… Read more
Follow My Blog
Get new content delivered directly to your inbox.