AFANDE ANAHUSIKA – 1

Simulizi : Afande AnahusikaSehemu Ya Kwanza (1) Ni story ya kiupelelezi inayomuhusu Afande Kalindimya ambae anahamishwakutoka mkoa mmoja nje ya Dar na kuletwa Jijini Dar es Salaam.Anaingia kwa kasi na kutishia usalama wa wahalifu,Kasi yake inawafanya hata majambazi yaanze kugwaya na kuamua sasa kumchafuamaksudi ili kumuharibia CV yake na kumvunja moyo, ili ikiwezekana aonekane hafainaContinue reading “AFANDE ANAHUSIKA – 1”

AFANDE ANAHUSIKA – 2

Simulizi : Afande AnahusikaSehemu Ya Pili (2) Inspekta Kalindimya akahisi kuchanganyikiwa, mtu anafanya mauaji mbele ya watu wengi kiasi kile? Mtu huyu ni nani? Amefanikiwa vipi kumuua huyu mtu hapa kwenye kadamnasi? Alijiuliza maswali ya papo kwa hapo na kukosa jibu.Akatoa simu na kumuita Afande Jitu haraka ndani, afande ni kama alikuwa nje ya chumba,Continue reading “AFANDE ANAHUSIKA – 2”

AFANDE ANAHUSIKA – 3

Simulizi : Afande AnahusikaSehemu Ya Tatu (3) “Mkuu picha hii ya juzi ipo tofauti na ile ya jana ambayo pia ni tofauti na mandhari ya sasa,” Inspekta alipokea Kamera na kuiangalia picha iliopo, baada ya kuiona tu, akatazama juu kwenye dari la nyumba ile, akaiona tofauti.Ilikuwa ni tofauti ndogo sana, ambayo ni mpelelezi pekee anawezaContinue reading “AFANDE ANAHUSIKA – 3”

AFANDE ANAHUSIKA – 4

Simulizi : Afande AnahusikaSehemu Ya Nne (4) Swali la Inspekta lilimuelekea Afande Marsha moja kwa moja na kujikuta badala ya kumjibu mkuu wake akabaki akimshangaa, kisha ndio akakumbuka kujibu kuwa hafahamu kama amejulikana na muuaji ama lah!“Umeniambia kuwa amekwambia amekuona sehemu ya tukio la kifo cha Loren badala ya kuniona mimi, sasa tambua kwamba aekujuaContinue reading “AFANDE ANAHUSIKA – 4”

AFANDE ANAHUSIKA

Simulizi : Afande AnahusikaSehemu Ya Tano (5) Jitu akahoji vipi? Inspekta badala ya kumjibu swali lake, akamwambia“Jitu, umeisha kula mchana?” akiwa na mshangao akajibu“Mkuu, umesahau kuwa tumekutana hapa tangu saa mbili asubuhi na hatujaachana? Mimi hata chai bado sijanywa,”“Oh! Nilisahau, ujue nini? Tunaweza hata kufa kwa njaa, hebu twende kwanza nje tukatafute chakula, unaweza kujikutaContinue reading “AFANDE ANAHUSIKA”

A SEX VIDEO SCANDLE – 2

Simulizi : A Sex Video ScandleSehemu Ya Pili (2)Mawasiliano yakawa yameanza rasmi kati ya Filbert na Amanda. Kila siku walikuwa ni watu wa kupigiana simu na kuzungumza mengi kuhusiana na mapenzi. Kila mmoja alionekana kumjali na kumsikiliza mwenzake, mapenzi yao machanga yakaonekana kuanza kuchipua kwa kasi sana, kasi ambayo iliwashangaza hata wao wenyewe.Kila siku wakawaContinue reading “A SEX VIDEO SCANDLE – 2”

A SEX VIDEO SCANDLE – 3

Simulizi : A Sex Video ScandleSehemu Ya Tatu (3) Alikuwa mrembo sana ambaye alikuwa na kila sifa za kuitwa msichana mrembo. Alikuwa na wembamba wa kawaida, hipsi zake zilikuwa zimetokeza kidogo huku tumbo lake likiwa limeingia ndani. Ngozi yake ilikuwa nzuri, uso wake ulikuwa ni wa kitoto sana uliokuwa ukipendeshwa na kidoti kimoja ambacho kilikuwaContinue reading “A SEX VIDEO SCANDLE – 3”

A SEX VIDEO SCANDLE – 4

Simulizi : A Sex Video ScandleSehemu Ya Nne (4)Hayo ndio maisha ambayo walikuwa wakiishi kila siku, walikuwa ni watu wa kufanya ngono kila siku tena huku wakijirekodi na kisha kuzihifadhi video zile kwenye email zao. Wakaonekana kuzoea sana mpaka kuwajengea tabia ambapo waliona bila kujirekodi wakati wanafanya mapenzi tendo hilo halikuwa likikamilika.Filbert bado alikuwa akiendeleaContinue reading “A SEX VIDEO SCANDLE – 4”

A SEX VIDEO SCANDLE – 5

Simulizi : A Sex Video ScandleSehemu Ya Tano (5) “Umesema huwezi kusoma?” Mzee Frank alimuuliza Amanda kwa hasira.“Mapenzi baba”“Hebu nijibu swali langu kwanza. Umesema huwezi kusoma?” Mzee Frank aliuliza huku akiwa na hasira kali, kila alipokuwa akimwangalia Amanda alijiona kuzidi kuwa na hasira.“Ndio. Siwezi kusoma baba, nadhani nitafeli, kila ninapojaribu kusoma ninashindwa” Amanda alimwambia babaContinue reading “A SEX VIDEO SCANDLE – 5”

MIKONO MICHAFU – 1

Simulizi : Mikono MichafuSehemu Ya Kwanza (1) ******* KUNGELE iliita mara ya pili, kwa muda ule na mazingiza ya nyumbani kwangu yalivyo nilijikuta nashtuka kupata mgeni pasipo kuwa na taarifa, nikainuka na kutoka kwa haraka kupitia mlango wa siri ulionifanya nimuone kwa ufasaha mgeni anayegonga bila ya yeye kuniona kisha nikarudi ndani kwa ajili yaContinue reading “MIKONO MICHAFU – 1”

MIKONO MICHAFU – 2

Simulizi : Mikono MichafuSehemu Ya Pili (2) ***** ***** ***** ***** NILIPOINGIA ndani ya nyumba ile kitu cha kwanza kilichovuta macho yangu katika nyumba hiyo inayodaiwa ni ya Mzee Kibwana ni picha ya baba wa taifa, hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ambaye ni rais wa kwanza wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Ni picha inayoonekanaContinue reading “MIKONO MICHAFU – 2”

MIKONO MICHAFU – 3

Simulizi : Mikono MichafuSehemu Ya Tatu (3) Nilijikuta nikiutoa mkono wangu kiunoni mwa Mwajuma na kumfanya atabasamu kwa huzuni kisha akashusha pumzi ndefu.“Mimi ni askari Musa, na najua kuwa kuna uwezekano mkubwa kuwa na wewe ni askari lakini wa kiwango cha juu kwa kuwa muda wote niliokuwa na wewe nilishindwa kujua chochote kuhusu kazi yakoContinue reading “MIKONO MICHAFU – 3”

MIKONO MICHAFU – 4

Simulizi : Mikono MichafuSehemu Ya Nne (4) **** ***** ***** ***** KWA kweli pamoja na kutoka pale nyumbani, sikuwa na mahali pa kuanzia kumtafuta Tausi kwa kuwa mpango ule wote ulipangwa na Omari japo hakuna aliyekuwa anajua kama Omari ndiye anaratibu zoezi lile kwa kuwa alimtumia askari mmoja asiye na cheo chochote ambaye ni mmojawapoContinue reading “MIKONO MICHAFU – 4”

MIKONO MICHAFU – 5

Simulizi : Mikono MichafuSehemu Ya Tano (5) KWA haraka ya ajabu nikapata taarifa zote nilizokuwa nazihitaji juu ya Boimanda, hii inatokana na mahojiano waliyoyafanya watu wangu na wale walionivamia. Boimanda alikuwa mtumishi mwadilifu wa serikali katika wizara kadhaa na kumalizia utumishi wake ofisi ya rais ambako alikuja kustaafu. Hakuwa na utajiri kutokana na usimamizi mzuriContinue reading “MIKONO MICHAFU – 5”

MVUVI BRUNO (BRUNO THE FISHERMAN) – 1

Simulizi : Mvuvi Bruno (Bruno The Fisherman)Sehemu Ya Kwanza  (1) Bruno The Fisherman (Mvuvi Bruno)Hali ya hewa angani ilibadilika ghafla, jua kali lililokuwa likiwaka lilifunikwa na mawingu mazito ya kijivu yaliyokuwa yametanda angani. Kwa jinsi hali ilivyokuwa ikionekana, kila mmoja aliamini kwamba mvua kubwa ingekwenda kunyesha.Mawimbi makubwa kiasi yalianza kupiga kwa nguvu ufukweni, kila mtuContinue reading “MVUVI BRUNO (BRUNO THE FISHERMAN) – 1”

MVUVI BRUNO (BRUNO THE FISHERMAN) – 2

Simulizi : Mvuvi Bruno (Bruno The Fisherman)Sehemu Ya Pili (2)Kila mmoja alibaki akimshangaa Bruno, hawakuamini kama kungekuwa na mtu aliyekuwa radhi kumuua mtu mwingine kwa kumtosa baharini tu kwa kuwa upande wa pili kulikuwa na mzazi ambaye hakutaka binti yake aolewe na mwanaume huyo.Kila mmoja akahisi kwamba alikuwa akidanganywa, kitu walichohisi ni kwamba Bruno alikuwaContinue reading “MVUVI BRUNO (BRUNO THE FISHERMAN) – 2”

MVUVI BRUNO (BRUNO THE FISHERMAN) – 3

Simulizi : Mvuvi Bruno (Bruno The Fisherman)Sehemu Ya Tatu (3)Bruno na mzee Todd walikuwa wakitembea kwa kasi kuelekea Upande wa Kaskazini, vichwa vyao vilikuwa vikifikiria maisha yao yangekuwaje nchini Afrika Kusini huku yeye, Todd akitafutwa dunia nzima kwa makosa ambayo hakuwahi kuyafanya.Kichwa chake kilimfikiria mke wake na mtoto wake, aliwakumbuka, alitamani kuungana nao tena lakiniContinue reading “MVUVI BRUNO (BRUNO THE FISHERMAN) – 3”

MVUVI BRUNO (BRUNO THE FISHERMAN) – 4

Simulizi : Mvuvi Bruno (Bruno The Fisherman)Sehemu Ya Nne (4) Gari liliseleleka mpaka kule korongoni ambako hakukuwa na urahisi kwa mtu kufika huko mpaka uzungukie sehemu nyingine ya mbali. Kila mtu alikuwa hoi na wote walikuwa wakitokwa na damu.Bruno na Todd walikuwa kimya, damu ziliwatoka kichwani mwao na hawakujua ni kitu gani kilikuwa kimeendelea mpakaContinue reading “MVUVI BRUNO (BRUNO THE FISHERMAN) – 4”

MVUVI BRUNO (BRUNO THE FISHERMAN) – 5

Simulizi : Mvuvi Bruno (Bruno The Fisherman)Sehemu Ya Tano (5)Maxwell alikuwa nyumbani kwake, moyo wake haukuwa na amani hata kidogo, kitendo cha vijana wake kushindwa kumteka mzee Todd kilimuhuzunisha kupita kawaida.Alichanganyikiwa, alijua hatari ambayo ilikuwa mbele yake, alijua kabisa kwamba kama asingefanya kila liwezekanalo kuhakikisha mwanaume huyo anatekwa basi mbele yake kungekuwa na hatari kubwaContinue reading “MVUVI BRUNO (BRUNO THE FISHERMAN) – 5”

KAHABA YUAN LIANG – 1

Simulizi : Kahaba Yuan LiangSehemu Ya Kwanza (1) Ikulu; 9:30pm,    Usingizi uligoma kabisa, alijigeuza upande huu, akarudi upande ule, hali ikabaki ileile usingizi kumgomea.Hakuona sababu ya kuendelea kuteseka, alimgeukia mama Zainath, na kumgusa mabegani kwa mara nyingine tena. “Nimesema niache!, sitaki, kwa leo sijisikii, labda siku nyingine “,mama Zainath alifoka kwa hasira. “Sawa mkeContinue reading “KAHABA YUAN LIANG – 1”

KAHABA YUAN LIANG – 2

Simulizi : Kahaba Yuan LiangSehemu Ya Pili (2) ………………………………… Ikulu; Chumba cha siri        Waziri mkuu Januari Sasamba, pembeni yake alisimama waziri wa ulinzi, nyuma yao walisimama wapelelezi wawili waliotegemewa na nchi ya Goshani, Kamanda Gupta pamoja na kamanda Yasini. Bila shaka kuna ujumbe muhimu walimletea raisi Jonsoni Mtemvu, bila kujua siri nzito aliyoificha moyoniContinue reading “KAHABA YUAN LIANG – 2”

KAHABA YUAN LIANG – 3

Simulizi : Kahaba Yuan LiangSehemu Ya Tatu (3) Makao makuu ya polisi;          Kamanda Junior pamoja na kamanda Amiry walikuwa wameketi mbele ya meza, huku Kamanda kendrick na wenzake wakiwa upande wa pili wa meza, pamoja na waziri wa ulinzi bwana Saidi Mbeku. “,swali la kwanza, raisi aliwambia anaenda kuonana na nani? “, “,hapana, lakiniContinue reading “KAHABA YUAN LIANG – 3”

KAHABA YUAN LIANG – 4

Simulizi : Kahaba Yuan LiangSehemu Ya Nne (4) Hospitali ya jeshi;       Kamanda Kendrick alikuwa amelazwa kitandani,daktari wa jeshi la nchi ya Goshani alikuwa ameshika mkasi wake, akitoa risasi katika bega la kamanda Kendrick,baada ya kumchoma sindano ya ganzi, aliingiza mkasi wake kwa utaalamu wa hali ya juu eneo la jeraha, akaibana vizuri risasi, akaivutaaaContinue reading “KAHABA YUAN LIANG – 4”

KAHABA YUAN LIANG – 5

Simulizi : Kahaba Yuan LiangSehemu Ya Tano (5) Mexic;        Kundi la majambazi, kundi la Casabranka gang, waliendesha msako mzito, nyumba zote za kulala wageni, katika mji mdogo wa Mexic. Mkononi walikuwa na picha ya Yuan Liang, picha ambayo waliichukua katika akaunti yake ya instagramu. “,Nawambia tutakesha, tutakesha! mimi nashauri, angalieni kwenye akaunti yake yaContinue reading “KAHABA YUAN LIANG – 5”

ASKARI JELA – 1

Simulizi : Askari JelaSehemu Ya Kwanza (1) GEREZA LA NYUMBA YA GIZAKATIKATI YA MILIMA IRINGA Fujo ndani ya gereza hili zilikuwa zimeshamiri katika upande ambao ulikuwa na sehemu za kufulia nguo, makelele ya wafungwa wa kiume waliokuwa wakishinikiza kupigwa kwa mtu ndiyo yalikuwa yakisikika yakipaa kwa nguvu . Kulikuwa na kundi kubwa sana la wafungwaContinue reading “ASKARI JELA – 1”

ASKARI JELA – 2

Simulizi : Askari JelaSehemu Ya Pili (2) Upande wa wafungwa wanawake wao walikuwa wakivunja mawe katika upande mwingine ambao haukuwa na mawe magumu sana, gereza hili lilikuwa halina jinsia kabisa katika suala la kzi ndiyo maana hata wanawake walikuwa wakifanya kazi ngumu pia. Ni ndani ya eneo la chini ya gereza hilo ambako ilikuwa ikihitajikaContinue reading “ASKARI JELA – 2”

ASKARI JELA – 3

Simulizi : Askari JelaSehemu Ya Tatu (3) Majira ya moja jioni James alikuwa yu sebuleni akiangalia luninga, mama yake alikuwa yupo jikoni na kaka yake alikuwa yupo chumbani. Mlango wa kuingia sebuleni kwao uligongwa mara mbili jambo ambalo lilimpeleka kuinuka kwenye kochi na kwenda kuufungua, akili yake ya utoto aliyokuwa nayo hakuwa ameuliza huyo aliyokuwaContinue reading “ASKARI JELA – 3”

ASKARI JELA – 4

Simulizi : Askari JelaSehemu Ya Nne (4) Walifuatana kama kumbikumbi waliyokuwa wakitafuta sehemu ya kuanzisha kichuguu kila waendapo, walikuwa wakipendezana kwa jinsi wote walivyokuwa wana mvuto. Kila mmoja alijiona ni mwenye bahati kwa kuweza kumpata mwenzake, jambo hili lilifanya wawe ni wenye furaha muda wote. Hitaji la mioyo yao ndiyo lilisababisha wawe pamoja, haya yalikuwaContinue reading “ASKARI JELA – 4”

ASKARI JELA – 5

Simulizi : Askari JelaSehemu Ya Tano (5) Maisha ya Inspekta James baada ya mazishi yalikuwa ni wa kuwekwa ndani akilelewa kama mtoto, SP mwambe alikuwa ameajiri wafanyakazi waliokuwa wakimuhudumia kwa gharama kubwa. Alikuwa akiendelea kumfanyia mipango ya kumpata Daktari ambaye angeweza kumpatia tiba, alihangika kwenye hospitali tofauti kila alipopata muda ilmradi tu James aweze kuponaContinue reading “ASKARI JELA – 5”

CHOZI LA YATIMA – 2

Simulizi : Chozi La YatimaSehemu Ya Pili (2) Safina alikuwa peke yake na aliuona usiku huo kuwa mbaya sana katika maisha yake kwani mvua kubwa ilikuwa inanyesha na yeye alikuwa amejibanza kwenye kibanda kilichokuwa kinavuja. Hakuwa na pakwenda tena kwani kwao alishafukuzwa. Kwakweli Safina alilia sana usiku huo.“kifo, kwanini kifo? Umemchukua baba, umemchukua mama naContinue reading “CHOZI LA YATIMA – 2”

CHOZI LA YATIMA – 3

Simulizi : Chozi La YatimaSehemu Ya Tatu (3) Musa akaitwa kuhojiwa na askari kama kawaida yao kwani unaweza kujikuta unahojiwa hata mara kumi.ASKARI: Wee kijana mwizi unaitwa nani?MUSA: Musa IsraelASKARI: Nani?MUSA: Musa Israel.Ndani ya ofisi kulikuwa na askari mkuu wa hapo amekaa kwenye meza, gafla akajikuta kuna jambo linamjia kichwani baada ya kusikia jina hilo.“Nakwambia,Continue reading “CHOZI LA YATIMA – 3”

CHOZI LA YATIMA – 4

Simulizi : Chozi La YatimaSehemu Ya Nne (4) Moyo wa Frank ulizidi kumsumbua kuhusu Musa, ikambidi amuite Suzan na kumueleza kila kitu kuhusu Musa.SUZAN: Unamaanisha ni mtoto wako?FRANK: Ndio ni mwanangu.SUZAN: Unaweza kuniambia sababu kubwa ya wewe kukataa mimba!FRANK: Nilikuwa bado nasoma Suzy na huyo Sada mwenyewe alikuwa ni mwanafunzi, ningekubali ningefungwa Suzy. Niliogopa hilo.SUZAN:Continue reading “CHOZI LA YATIMA – 4”

CHOZI LA YATIMA – 5

Simulizi : Chozi La YatimaSehemu Ya Tano (5) Modesta hakuridhishwa kabisa kwa kitendo cha kuchukiwa na Safina, ikabidi afunge safari tena na kwenda kuwasalimia.Siku hiyo alifunguliwa na Safina mwenyewe, Safina alipomfungulia Modesta mlango tu, Safina akageuka na kutaka kukimbilia chumbani ila Modesta akawahi kumshika mkono Safina.MODESTA: Tafadhari Safina usinifanyie hivyo.SAFINA: Sioni sababu ya kuongea naContinue reading “CHOZI LA YATIMA – 5”

MUUAJI ALIYEBAKIA – 1

 Simulizi : Muuaji AliyebakiaSehemu Ya Kwanza (1) Ilikuwa Ijumaa ya tarehe kumi mwezi Desemba ambayo hali yake ya hewa ilikuwa tulivu kabisa. Nyakati hizo za asubuhi mambo hayakuwa shwari katika nyumba ya mzee Kibudo ambayo watu kadhaa walikuwapo nje wakilia kwa huzuni juu ya kifo cha mzee huyo aliyeuawa na watu ambao hawakujulikana. Watu haoContinue reading “MUUAJI ALIYEBAKIA – 1”

MUUAJI ALIYEBAKIA – 2

Simulizi : Muuaji AliyebakiaSehemu Ya Pili (2) Kila familia ilipewa vyumba vyake na kila hitaji lilikuwa likitimizwa na wahudumu wa hoteli hiyo.Jackson ndiye aliyefanya mipango yote na wakati huo aliona ulikuwa ni muda muafaka wa kuuawa kwa James na mkewe. Alikuwa ameongea na kundi la majambazi lililopaswa kuwasaidia kukamilisha mauaji hayo, majira ya saa tatuContinue reading “MUUAJI ALIYEBAKIA – 2”

MUUAJI ALIYEBAKIA – 3

Simulizi : Muuaji AliyebakiaSehemu Ya Tatu (3) Siku mbili baadaye walipokea vielelezo zaidi vilivyomuhusu James na mkewe na mwishoni uchunguzi ulibainisha kuwa watu waliouawa walikuwa ni wenyewe.Taarifa hizo zilitumwa kwa jeshi la polisi nchini Tanzania juu ya James na mkewe waliopatika wakiwa wameuawa. Jeshi la polisi lilitoa taarifa kwa kampuni ya JAJHO juu ya kupatikanaContinue reading “MUUAJI ALIYEBAKIA – 3”

MUUAJI ALIYEBAKIA – 4

Simulizi : Muuaji AliyebakiaSehemu Ya Nne (4) Siku iliyofuata waliamka majira ya saa tatu asubuhi na walikuwa na hofu wakihisi muda wowote askari waliotumwa na rais wangerudi tena eneo hilo.Walianza kujiandaa kama walivyokuwa wamepanga kuondoka eneo hilo, kulikuwa na shati moja ambalo lilikuwa la mzee Rogart lililokuwa limechakaa sana ndilo alimpa alivae Geofrey. Shati hiloContinue reading “MUUAJI ALIYEBAKIA – 4”

MUUAJI ALIYEBAKIA – 5

Simulizi : Muuaji AliyebakiaSehemu Ya Tano (5) Hisia za kugundulika kwa siri yao zilimjia jambo lililopelekea ampigie simu tena Geofrey ili ajue kama alikuwa ameigundua siri hiyo lakini simu ya kijana huyo haikupatikana.Aliamua kumpigia simu mr Tyoso ili ahakikishe kama kweli alikuwa ameuawa, simu yake ilipokelewa na mtu mwingine aliyemthibitishia kifo cha mr. Tyoso. UpeleleziContinue reading “MUUAJI ALIYEBAKIA – 5”

ANGA LA WASHENZI (2) – 1

Simulizi : Anga La Washenzi (2)Sehemu Ya Kwanza (1) ILIPOISHIA Alipomaliza kula akalipia na kunyookea ubalozi wa China. Humo ndani hakumkuta balozi bali msaidizi wake. Wakateta kwa lisaa limoja kabla Jona hajatoka ndani ya jengo hilo. Kitendo cha kutoka tu, ikachukua dakika mbili, Sheng akaarifiwa juu ya ujio wa Jona. Na shuku zake zote alizoziletaContinue reading “ANGA LA WASHENZI (2) – 1”

ANGA LA WASHENZI (2) – 2

Simulizi : Anga La Washenzi (2)Sehemu Ya Pili (2) “Kwanini haukunambia siku zote hizo Sasha?” Sarah aliuliza akimtazama dada yake kwa macho ya ndita. “Niliogopa,” Sasha akajibu. “Ningeanzia wapi na wewe tayari umebeba mimba yao??” Sarah akabaki njia panda. Hakuwa na neno la kusema. Sasha akamshika bega na kumuuliza: “Utanisaidia?” “Hapana!!” Sarah akajibu akisimama. “NitawezajeContinue reading “ANGA LA WASHENZI (2) – 2”

ANGA LA WASHENZI (2) – 3

Simulizi : Anga La Washenzi (2)Sehemu Ya Tatu (3) Usiku wa saa nne … Simu iliita, ila Sarah alihofia kuipokea. Alikuwa kitandani pamoja na Kinoo, na ni dada yake ndiye aliyekuwa anapiga. Akamtazama Kinoo, hakuwa anatikisika. Alimpatia mgongo akitazama ukutani. Ila naye hakuwa amelala. Na alisikia simu hiyo ikiita. Lakini hakusema wala kufanya kitu. SarahContinue reading “ANGA LA WASHENZI (2) – 3”

ANGA LA WASHENZI (2) – 4

Simulizi : Anga La Washenzi (2)Sehemu Ya Nne (4) “Umeona kitu?” aliuliza mwanaume mmoja rangi maji ya kunde. Hawa walikuwa ni wafuasi wa bwana Sheng. Kwa idadi wanaume watano wakiwa wamekuja hapa kumkomboa mkuu wao. “Hamna kitu,” mwenzake akamjibu. Basi wakasonga tena wakiwa wananyata. Wakasonga na kusonga, na baada ya dakika kama sita, wakawa wamefikaContinue reading “ANGA LA WASHENZI (2) – 4”

ANGA LA WASHENZI (2) – 5

Simulizi : Anga La Washenzi (2)Sehemu Ya Tano (5) Kwenye korido za hospitali … Waziri mkuu anaingia, bwana Sospeter Mhenga. Ametoka kutumbukiza simu yake mfukoni muda si mrefu. Mwendo wake ni wa kasi na uso wake umepaliwa na mashaka. Kando yake anaongozana na ‘bodyguard’ wake lakini pia maafisa usalama wawili. Baada ya muda mfupi akaonanaContinue reading “ANGA LA WASHENZI (2) – 5”

ANGA LA WASHENZI (1) – 1

Simulizi : Anga La Washenzi (1)Sehemu Ya Kwanza (1) Mvua ilikuwa inanyesha sana. Hali ya hewa ilikuwa baridi ikiambatana na upepo wa wastani. Watu wengi hawakwenda kazini, na hata wanafunzi pia wakitega shule kwa kisingizio cha barabara kufurika maji….Pengine watu hawa walikuwa na hoja kutokana na miundombinu dhaifu ya jiji la Dar es Salaam ambayoContinue reading “ANGA LA WASHENZI (1) – 1”

ANGA LA WASHENZI (1) – 2

Simulizi : Anga La Washenzi (1)Sehemu Ya Pili (2) Alikuwa amevalia suruali pana ya malighafi laini, kaushi nyeusi pasipo sidiria, miguuni akiwa peku. Nywele zake zilikuwa timu, kinyumbaninyumbani. Nyuma ya kiuno alikuwa amechomeka bunduki ndogo. Japokuwa alishangazwa na Jona kujua makazi yake, ila hakuwa na wasiwasi sana. ni ‘mchora picha tu, alijiambia moyoni akisogelea mlango.Continue reading “ANGA LA WASHENZI (1) – 2”

ANGA LA WASHENZI (1) – 3

Simulizi : Anga La Washenzi (1)Sehemu Ya Tatu (3) *** Rrrrrrrrrrrrnng! Rrrrrrrrrnnngg! Lee akashtuka na kutazama simu yake. Alikuwa maeneo ya nyumbani kwake na majira yalikuwa ni ya saa nne usiku, Jina kwenye kioo halikutokea, bali namna mpya. Aksita kidogo kupokea, ila akapuuza na kuweka simu sikioni. Akanyamaza amsikie kwanza sauti ya aliyempigia. Alikuwa niContinue reading “ANGA LA WASHENZI (1) – 3”

ANGA LA WASHENZI (1) – 5

Simulizi : Anga La Washenzi (1)Sehemu Ya Tano (5) *** Klak! Klak! – Klak! Klak! Kitasa kikalia pasipo mlango kufunguka. Jona akajaribu kuupush kwa uzito wake, akashindwa. Mlango ulikuwa mgumu na mzito. Basi akarudi nyuma na kuukita teke, ukavunjika! Akazama ndani ya chumba hiki cha Eliakimu na kuanza kupekuapekua kwa macho yake. Kitanda kilikuwa hovyo.Continue reading “ANGA LA WASHENZI (1) – 5”

HOLLY SIN (DHAMBI TAKATIFU) – 1

Simulizi : The Holy Sin (Dhambi Takatifu)Sehemu Ya Kwanza (1)Simulizi ya aina yake inayosisimua na kukufurahisha … fuatilia simulizi hii kujifunza mengi na kuburudika. MLIO wa kengele ulisikika kutoka kwenye mnara wa kanisa kuashiria muda wa sala ya Jumapili, waumini mbalimbali wakawa wanaingia ndani ya kanisa kwa ajili ya kumuomba Mungu wao.Aidan, mtoto mdogo mwenyeContinue reading “HOLLY SIN (DHAMBI TAKATIFU) – 1”

HOLLY SIN (DHAMBI TAKATIFU) – 2

Simulizi : The Holy Sin (Dhambi Takatifu)Sehemu Ya Pili (2)Aliendelea kumsubiri kwa hamu Caro arudi kwani hakuna siku aliyokuwa anaisubiri kwa hamu kama siku hiyo. Licha ya kusubiri sana, Caro hakutokea, hali iliyoanza kumpa wasiwasi Aidan. Kwa kuwa nyumbani kwao hakukuwa mbali na hapo, aliinuka na kuchuma waridi jekundu bustanini hapo na kulificha ndani yaContinue reading “HOLLY SIN (DHAMBI TAKATIFU) – 2”

HOLLY SIN (DHAMBI TAKATIFU) – 3

Simulizi : The Holy Sin (Dhambi Takatifu)Sehemu Ya Tatu (3)BADALA ya kujibu, Caro alijiinamia huku aking’atang’ata kucha kwani alikuwa akihisi aibu kubwa kwa mtu anayemheshimu kama baba yake, kumpa zawadi za aina hiyo.“Naongea na wewe Caro! Mbona hunijibu mama,” alisema mzee huyo akijisogeza na kumshika begani msichana huyo, akazidi kujisogeza kiasi cha kuanza kusikia pumziContinue reading “HOLLY SIN (DHAMBI TAKATIFU) – 3”

HOLLY SIN (DHAMBI TAKATIFU) – 4

Simulizi : The Holy Sin (Dhambi Takatifu)Sehemu Ya Nne (4) “Nitauficha wapi uso wangu mimi? Mwanaume umenitia aibu wewe sina hamu. Lazima utatoa talaka yangu,” alisema mama Aidan wakati mumewe akitokomea kusikojulikana. Hakutaka hata kuondoka na gari, akatembea kwa miguu mpaka barabarani alikosimamisha teksi.“Unaelekea wapi mzee?”“Nipeleke Cross Bar,” alisema baba yake Aidan kwa sauti iliyoonyeshaContinue reading “HOLLY SIN (DHAMBI TAKATIFU) – 4”

HOLLY SIN (DHAMBI TAKATIFU) – 5

Simulizi : The Holy Sin (Dhambi Takatifu)Sehemu Ya Tano (5) Kauli hiyo ya Kamanda Mdimu ilimfanya abaki ameduwaa kwa sekunde kadhaa, macho yakiwa yamemtoka pima. Alishindwa kuelewa atoe jibu gani kwani ni kweli mumewe alikuwa amemfanyia kosa kubwa la kumdhalilisha lakini suala alilolizungumzia mkuu huyo wa kituo lilimfanya azidi kuchanganyikiwa.“Niamini, nitakusaidia kuhakikisha unapewa talaka yako,Continue reading “HOLLY SIN (DHAMBI TAKATIFU) – 5”

UHASAMA – 2

Simulizi : UhasamaSehemu Ya Pili (2) Siku iliyofuata, Mata alienda hadi hospitali kuulizia maendeleo ya ndugu yake kama walivyo ekti, na kufika hadi kwa daktari. “Kwahiyo jana uthiku hakuthumbua kabitha?” Mata alimuuliza daktari baada ya kuambiwa hali ya Moto ilivyokuwa. “Ndio hakusumbua kabisa, inabidi leo uondoke nae maana hali yake ni nzuri, na nitamuandikia dawaContinue reading “UHASAMA – 2”

UHASAMA – 3

Simulizi : UhasamaSehemu Ya Tatu (3) Siku iliyofuata. Kituo cha Polisi Mabawa. 3:00 Asubuhi. “Unakumbuka nimekupa muda gani wa kukamilisha ule upelelezi kuhusu kupotea kwa watoto mitaani?” Inspekta Ganjo alimuuliza Koplo Taure. “Ni wiki tatu Mkuu” Koplo Taure alijibu. “Umefikia wapi hadi sasa hivi katika upelelezi wako?”Inspekta Ganjo alimuuliza Koplo Taure swali ambalo hakujua alijibuContinue reading “UHASAMA – 3”

UHASAMA – 4

Simulizi : UhasamaSehemu Ya Nne (4) Sekunde zilipishana dakika zikayoyoma siku nazo zikapuputika ukafuata mwaka, Hemedy na Hilda wakaingia darasa la sita, darasa hilo nalo wakalivuka, hivi sasa walikuwa darasa la saba, Mkuu wake na Hilda aliishi na watoto hao kama wanae wa kuwazaa, aliwapenda na kuwapa kila wanachokitaka, Hemedy hakuwahi kubugudhiwa wala kunyanyaswa kwaContinue reading “UHASAMA – 4”

UHASAMA – 5

Simulizi : UhasamaSehemu Ya Tano (5) Majira ya usiku nyumbani kwakina Hilda. Baada ya kumaliza kula, Anti yao aliwaaga na kwenda kulala huku akiwaacha vijana hao wakiangalia luninga iliyokuwa hapo sebuleni. Hemedy nae alimuaga Hilda na kuingia chumbani kwake kwajili ya kwenda kulala na yeye, alipofika, akavua nguo na kubakiwa na bukta tu, akaingia chooni,Continue reading “UHASAMA – 5”

JINI MWEUPE – 1

Simulizi : Jini MweupeSehemu Ya Kwanza (1) Manila; Ufilipino, Donald Mbeto,akiwa amevalia koti jeupe la kidaktari, machoni alivalia miwani, huku ndevu za bandia zikikipamba kidevu chake. Alitembea kufuata korido ndefu, alikata kona kushoto, kisha akakunja kulia, uso kwa uso akakutana na chumba kikubwa chenye mlango wa vioo. “pharmaceutical room”(Chumba cha madawa), chumba kile kilisomeka kwaContinue reading “JINI MWEUPE – 1”

JINI MWEUPE – 2

Simulizi : Jini MweupeSehemu Ya Pili (2) Ofisi ya ukombozi; 9:20pm Kamanda Catherine alipaki gari lake dogo aina ya escudo, akatoka, akalisogelea jengo la China plaza, huku akiwa makini. “,Niangalizie gari langu, baada ya dakika kumi nitarejea, “alichomoa shilingi elfu kumi, akampatia mlinzi wa kimasai,kisha akausogelea mlango wa jengo la China plaza, akaufungua, akaanza kupandishaContinue reading “JINI MWEUPE – 2”

JINI MWEUPE – 3

Simulizi : Jini MweupeSehemu Ya Tatu (3) Ofisi ya Ukombozi; 9;00am        Kamanda Catherine, kiongozi mkuu wa idara ya mawasiliano na teknolojia, katika kundi lake la wapelelezi watatu, maarufu kama the super three soldiers, alikuwa amechanganyikiwa, taarifa aliyoipokea kwa mfumo wa barua pepe ya ofisi yao, pamoja na radio na televisheni zilizidi kumchanganya kupita maelezo.Continue reading “JINI MWEUPE – 3”

JINI MWEUPE – 4

Simulizi : Jini MweupeSehemu Ya Nne (4) Kisiwa cha Comoro :      Kendrick aliyafumbua macho yake,akapapasa mikono yake huku na kule, akashika magome ya miti, akashtuka, akanyenyuka na kuketi, uso kwa uso na mzee mwenye umri sawa na marehemu baba yake, alipoyageuza macho yake upande wa pili, pembeni na mzee yule, alikutanisha macho yake naContinue reading “JINI MWEUPE – 4”

JINI MWEUPE – 5

Simulizi : Jini MweupeSehemu Ya Tano (5) ………………………………… Milio ya risasi ikamkulupua usingizini kamanda Kendrick,akavaa suruali, akachukua bastola yake, akafungua mlango taratibu, huku akijiuliza maswali mengi, hakujua amefikaje katika chumba hiki cha wageni, chumba ambacho alipaswa kulala kamanda Catherine. “,Jitokeze kabla sijawaua wazazi wako, moja, mbili tatu ……”,gaidi lile lilianza kuhesabu, Kendrick hakuwa tayali kuwapotezaContinue reading “JINI MWEUPE – 5”

BONDIA – 3

Simulizi : BondiaSehemu Ya Tatu (3) Baada ya lile pambano lake na mzungu kutoka Hungary, Macha alipambana na bondia kutoka Afrika ya Kusini mjini Johannesburg, ambako alimtawanya taya msauzi huyo na kuondoka mshindi. Sifa za bondia “Deus-deadly” Macha sasa zilikuwa zimeenea duniani kote, na Tanzania ikawa moja ya nchi za kutazamika katika ulimwengu wa ndondi.KwenyeContinue reading “BONDIA – 3”

BONDIA – 5

Simulizi : BondiaSehemu Ya Tano (5) ***Kapten Deusdelity Macha aliteremka kutoka kwenye gari la jeshi na kutembea kiaskari kuuelekea mlango wa nyumba yake. Upande wa pili wa barabara, Roman alijiinua kutoka kwenye benchi alililokuwa amekalia lililokuwa mbele ya kibanda cha mkaanga chipsi na kumfuata taratibu. Usoni alikuwa amevaa miwani ya jua na ndani ya kifuaContinue reading “BONDIA – 5”

FAMBO – 2

Simulizi : FamboSehemu Ya Pili (2) MIAKA ISHRINI NA TANO BADAEMauji ya kutisha tena ya aina moja yalikuwa yakizidi kushika kasi siku hadi siku katika vitongoji vya mitaa ya isevya,.watu wengi hususani wazee walikuwa wakipoteza maisha yao katika mtindo wa aina moja.walichinjwa vichwa kwa kutenganishwa na kiwiliwili,. Hali ya sinto fahamu ilikugubika mji wa tabora,.maujiContinue reading “FAMBO – 2”

FAMBO – 3

Simulizi : FamboSehemu Ya Tatu (3) . Ilikuwa ni nyumba ya mzee mganga wa jadi aliyejulikana kama babu mwana Malunde,alikuwa ni mganga kiboko,. Ndani ya nyumba Zilisikika nyimbo za kinyamwezi zilizo kuwa zikiimbwa na Mwana Malunde,. wakati nje palikuwa hapana mtu mwingine zaidi ya Raymond aliyekuwa akinyatia taratibu kuingia ndani mkononi akiwa kakamatilia kisu kikubwa,.Continue reading “FAMBO – 3”

FAMBO – 5

Simulizi : FamboSehemu Ya Tano (5)  “NGO,NGO NGO HAYA, HAYA HAYA WAFANYA USAFI TUMEFIKA FUNGUA MLANGO” mlango wa nyumba ya Sebastini uligongwa huku sauti kali ikisika ikikoroma kwa amri kali,. Kimya.., “Ninyi mbwa humo ndani hamtusikii fungua huu mlango upesi”,.kamanda wa interahamwe alisema tena kwa ukali huku wanamgambo wengine wakiwa na mori kubwa ya kuuwa.Continue reading “FAMBO – 5”

SHETANI MSALABANI – 1

Simulizi : Shetani MsalabaniSehemu Ya Kwanza (1) Machallo anajiunga na chuo kikuu cha Mt. Agustino kilichopo jijini Mwanza, jiji mashuhuri katika Afrika ya Mashariki lenye miamba mingi. Anaanza kufanya udahili pale chuo. Zoezi la udahili linakamilika, anapata ratiba na utaratibu mzima wa pale chuo ambao alipashwa kuufuata kwa kipindi chote anapokuwa pale chuo. Anajitahidi kuuzoeaContinue reading “SHETANI MSALABANI – 1”

SHETANI MSALABANI – 2

Simulizi : Shetani MsalabaniSehemu Ya Pili (2) Ilipoishia Saa moja la mhadhara linaisha, machallo anaamua kutafuta fursa ya kupiga soga na yule kigoli. Bahati mbaya yule dada alishaondoka mapema bila yeye kujua hivyo mpango mzima unakwama. Songa nayo sasa…**********************Sekunde, saa, siku, juma na miezi ilisonga. Jitihada za makusudi zinazidi kufanywa na Machallo kuhakikisha anapambana naContinue reading “SHETANI MSALABANI – 2”

SHETANI MSALABANI – 3

Simulizi : Shetani MsalabaniSehemu Ya Tatu (3) Ilipoishia Machallo anashukuru kwa ukubali ule, anakaa huku akitafakari wakati mgumu alionao kueleza hisia zake kwa yule mwanadada. Alijua kitendo kile kilihitaji ujasiri wa hali ya juu. Anajua kuwa hakuna jambo lingine Songa nayo sasa… Japo anavaa moyo wa ujasiri, tayari ameshasahau maneno yote aliyopangilia kumwambia mwanadada yuleContinue reading “SHETANI MSALABANI – 3”

SHETANI MSALABANI – 4

Simulizi : Shetani MsalabaniSehemu Ya Nne (4) Ilipoishia Napenda niweke bayana jambo ambalo limekuwa likinitesa kwa muda mrefu sasa’ Anamweleza Flaviana.‘Eleza nakusikiliza’ ni sauti ya Flaviana baada ya kuona ukimya kidogo. Songa nayo sasa… ‘Nimekuwa nikifikiria kuwa na mpenzi mwenye sifa na vigezo stahiki ninazohitaji nikagundua kuwa wewe ndiye mwanamke wa pekee ambaye unakidhi vigezoContinue reading “SHETANI MSALABANI – 4”

SHETANI MSALABANI – 5

Simulizi : Shetani MsalabaniSehemu Ya Tano (5) Ilipoishia Anaamua kumfuata Lightness nyumbani kwao ili amtambue! Kwani anadhamiria kupambana naye iwe kwa heri ama shari kutokana na kile anachojua ni ubazazi aliofanyiwa na rafiki yake Lightness ambaye tayari amegeuka kuwa adui.CHANZO:Songa nayo sasa… Anatoka chumbani ili aondoke kwenda kwa adui yake. Anapofika sebuleni anakutana na suraContinue reading “SHETANI MSALABANI – 5”

QUEEN OF THE GORILLAS ( MALKIA WA MASOKWE ) – 1

Simulizi : Queen Of Gorillas ( Malkia Wa Masokwe )Sehemu Ya Kwanza (1) Septemba 9, 1990Monrovia – LiberiaHali ilikuwa imetulia, hakuwepo mtu hata mmoja aliyefikiria kwamba saa chache zijazo zingebadili kabisa maisha ya familia ya bwana na bibi Davis Kanyon na mkewe Christine Steven pamoja na watoto wao wawili, Dorah mwenye umri wa miaka kumiContinue reading “QUEEN OF THE GORILLAS ( MALKIA WA MASOKWE ) – 1”

QUEEN OF THE GORILLAS ( MALKIA WA MASOKWE ) – 2

Simulizi : Queen Of Gorillas ( Malkia Wa Masokwe )Sehemu Ya Pili (2) WAHENGA walinena kuwa ukiona giza linaongezeka, ujue mapambazuko yamekaribia. Usemi huu unaonekana kuwa kweli kwa Harvey, kijana kutoka nchini Liberia, aliyekimbia machafuko ya wenyewe kwa wenyewe nchini kwao na kunusurika kufa baharini kabla hajaokolewa na wasamaria wema waliompeleka hospitali kisha kupewa hifadhiContinue reading “QUEEN OF THE GORILLAS ( MALKIA WA MASOKWE ) – 2”

QUEEN OF THE GORILLAS ( MALKIA WA MASOKWE ) – 3

Simulizi : Queen Of Gorillas ( Malkia Wa Masokwe )Sehemu Ya Tatu (3) MTOTO wa Skyler, Harrison anazidi kukua vizuri licha ya kwamba alizaliwa katika mazingira magumu. Kwa kadiri siku zinavyozidi kusonga mbele, ndivyo mtoto huyo anavyozidi kuwa mkubwa, huku utundu ukiwa umemtawala. Anapotimiza miaka mitatu, anaandikishwa shule ya chekechekea. Ile huzuni iliyokuwa imetanda kwenyeContinue reading “QUEEN OF THE GORILLAS ( MALKIA WA MASOKWE ) – 3”

QUEEN OF THE GORILLAS ( MALKIA WA MASOKWE ) – 4

Simulizi : Queen Of Gorillas ( Malkia Wa Masokwe )Sehemu Ya Nne (4) LINDA, mtoto kutoka familia ya kitajiri, yupo juu ya ghorofa refu la Hospitali ya Oklahoma Medics na anataka kujirusha hadi chini ili afe baada ya kipenzi cha moyo wake, Harrison kumkana kanisani siku ya ndoa yao. Linda anatoa sharti moja kuwa mpakaContinue reading “QUEEN OF THE GORILLAS ( MALKIA WA MASOKWE ) – 4”

QUEEN OF THE GORILLAS ( MALKIA WA MASOKWE ) – 5

Simulizi : Queen Of Gorillas ( Malkia Wa Masokwe )Sehemu Ya Tano (5) Harrison na mkewe, Angel au Malkia wa Masokwe wanazidi kuoneshana mapenzi makubwa, kila mmoja akiwa na furaha kubwa ndani ya mtima wake. Harrison anaonesha kuwa na furaha zaidi kwani ndoto zake za siku nyingi za kuishi na Malkia wa Masokwe zilikuwa zimetimia.Continue reading “QUEEN OF THE GORILLAS ( MALKIA WA MASOKWE ) – 5”

FEDHEHA – 2

Simulizi : FedhehaSehemu Ya Pili (2) Akaituliza akili yake na kuiweka kikazi zaidi ili aweze kupokea majukumu kwa ukamilifu. Wakati akiwa anasubiri alichoitiwa akapata nafasi ya kuisanifu ofisi ile. Chini ilikuwa imetandikwa zulia zito jekundu, pembeni upande wa kulia kulikuwa na kabati kubwa la chuma. Meza ya kubwa ya duara ilikuwa katikati ya ofisi hukuContinue reading “FEDHEHA – 2”

FEDHEHA – 3

Simulizi : FedhehaSehemu Ya Tatu (3) Aliendelea kutafuna nyama taratibu huku akishushia na bia baridi ya Kilimanjaro. Pembeni alikuwa amekaa na binti mrembo ambaye hawakuendana kabisa kiumri. Mara mojamoja aliupeleka mkono wake kunako kifua na kumpapasa mrembo yule. Kama ungebahatika kumuona pale alipokaa basi usingemtambua alikuwa na nani. Ni sauti yake tu ndiyo ingemfanya mtuContinue reading “FEDHEHA – 3”

FEDHEHA – 4

Simulizi : FedhehaSehemu Ya Nne (4) Dakika tano baadae fax ikaingia kwa meneja. Hakuwa na haraka ya kuisoma kwani alitumia kama dakika nne kumaliza chai ambayo ilikuwa kwenye kikombe. Hakuwa mtu mwenye kupenda kuharakisha mambo, alipenda kufanya kila kitu kwa utulivu.Alishtushwa na taarifa aliyoisoma kwenye fax ile, dakika hiyo hiyo akasimama huku akishindwa kujua niniContinue reading “FEDHEHA – 4”

MIMBA YA JINI – 1

Pakua App ya Riwaya na Simulizi Kutoka Plya Store kwa Kugusa Link hii https://play.google.com/store/apps/details?id=com.lifeapp.devinc Simulizi : Mimba Ya JiniSehemu Ya Kwanza (1) SAA mbili kasorobo, Mustafa baada ya kufika ofisini, kabla ya kuanza kazi haja ilimshika na kuelekea msalani.Baada ya kumaliza kujisaidia alikwenda kwenye sinki la kusafishia mikono ili ajisafishe. Alivua pete ya ndoa naContinue reading “MIMBA YA JINI – 1”

MIMBA YA JINI – 2

Simulizi : Mimba Ya Jini Sehemu Ya Pili (2) “Vingi, sijui kipi kimoja wapo.”“Kuhusu matatizo yako.”“La kunipatia mtoto.”“Umempata?”“Sijampata.” “Kwa nini?”“Hatukufuata ushauri wako.”“Toka muanze kuhangaika mkeo aliwahi kupata dalili za ujauzito?”“Hapana.”“Kwa hiyo kazi yangu nilimaliza?” “Bado kwa vile sijapata mtoto.”“Utapata vipi na mkeo hataki mtoto?”“Sasa utanisaidiaje?”“Mustafa naomba sasa hivi unisaidie nilichokuomba.”“Kama kitu kimo ndani ya uwezo wangu nitakusaidia.” “Nataka mtoto,”Continue reading “MIMBA YA JINI – 2”

MIMBA YA JINI – 3

Simulizi : Mimba Ya Jini Sehemu Ya Tatu (3) Weee! Mustafa unataka kusema nini, usithubutu tena kumwita mkeo mshenzi, tatizo nini?” sauti ya Shehna ilikuwa kali kidogo iliyomkata kauli.“Si..si..,” aliingiwa na kigugumizi.“Mustafa nakuamini kwa nini unataka kuharibu mambo, tatizo la mkeo umeishalijua ulitakiwa uzungumze naye kwa sauti ya upole kuliko kuzungumza kama mhuni.” “Samahani nilipandwa na jazba.”“MpeContinue reading “MIMBA YA JINI – 3”

MIMBA YA JINI – 4

Simulizi : Mimba Ya Jini Sehemu Ya Nne (4) Ofisini walibakia Mustafa na Sara aliyekuwa amesimama.“Kaa,” Mustafa alimwambia Sara.Sara alikaa kwenye kiti, Mustafa aliendelea kusimama.“Sara,” alimwita.”“Abee.” “Una tatizo gani?”Sara ilibidi amueleze mkasa mzima kuanzia siku aliyotoka kwenda kununua nyama ya nguruwe. Lakini alificha kufuata nyama ya nguruwe na kusema alifuata chakula cha usiku na yaliyomtokea na vitukoContinue reading “MIMBA YA JINI – 4”

MIMBA YA JINI – 5

“Haloo laaziz, vipi mpenzi wangu?”“Safi tu.”“Mbona kama mnyonge?”“Bwana huyu msichana ananichanganya sana.”“Kafanya nini?” Shehna alijifanya kuuliza. “Hajafika mpaka saa hizi yaani ofisi chafu.”“Basi usikonde mpenzi wangu baada ya dakika mbili watakuja wasichana wangu kuja kufanya usafi uwape nafasi tu.”“Hakuna tabu.”  Baada ya muda kidogo wasichana wawili warembo walibisha hodi kwenye geti, Mustafa alipowatazama alijua ndiyo waliotumwaContinue reading “MIMBA YA JINI – 5”

NYAYO ZA DAMU – 2

Simulizi : Nyayo Za DamuSehemu Ya Pili (2) Wakati huo daladala iliyokuwa na watu wachache ilisimama kituoni, yule mwanamke aliyejitambulisha kwa jina la Nasra alikimbilia ndani ya gari na kuwahi siti mbili moja yake na nyingine ya mke wa Sule. Lakini mke wa Sule miguu ilikuwa mizito kuingia kwenye gari lile.Yule mwanamke aliyewahi kwenye gariContinue reading “NYAYO ZA DAMU – 2”

NYAYO ZA DAMU – 3

Simulizi : Nyayo Za DamuSehemu Ya Tatu (3) Alijilaumu kwa kushindwa kuwa msikivu na matokeo yake kuishi kama nguruwe tena kwenye banda chafu lisilostahili mwanadamu kuishi. Alijiuliza ataishi vile mpaka lini na kukumbuka kauli ya Nargis ya yeye kuchinjwa mwishoni mwa wiki akichanganywa na nguruwe wengine.Kufika hapo alilia huku sauti yake ikiwa kero masikioni mwaContinue reading “NYAYO ZA DAMU – 3”

NYAYO ZA DAMU – 4

Simulizi : Nyayo Za DamuSehemu Ya Nne (4) Nakuahidi kumkomesha Thabit kwa mkono wangu wewe najua si mama huruma, sasa niachie hiyo kazi na kwa vile umemleta mwenyewe humu ndani hatoki,” Hailat alisema kwa hasira baada ya kumuona mdogo wake akiteseka kwa ajili ya wanaume wa kibinadamu. “Dada wala Thabit hausiki hata kidogo,” Nargis alimteteaContinue reading “NYAYO ZA DAMU – 4”

NYAYO ZA DAMU – 5

Simulizi : Nyayo Za DamuSehemu Ya Tano (5)  “Mama kama kufa kila kiumbe kitakufa na kila kiumbe hufa kwa ahadi kilichoumbwa nazo mbele ya Mungu, kuongopa kifo ni kijidanganya.” “Kwahi upo radhi tufe kwa ajili ya mapenzi yako.” –“Mama waliokufa wote hawakufa kwa ajili ya mapenzi.”“Sawa nimekuelewa.” Walikubaliana kumuongezea nguvu Nargis kupambana na mtaalam aliyepewaContinue reading “NYAYO ZA DAMU – 5”

CHAGUO LANGU NI WEWE – 2

Simulizi : Chaguo Langu Ni WeweSehemu Ya Pili (2) Siku hiyo alifika mapema tofauti na waatoto wengine,kwa vile kulikuwa na watoto wachache waliokuwa wakianza kucheza michezo yao uwanjani hapo Jongo aliona heri ajitafutie sehemu aketi na kumsubili rafiki yake Shamsa.Muda wote Jongo alipokuwa amefika hapo akiwa amekaa pale chini ya mwembe yake yakivuta hisia hukuContinue reading “CHAGUO LANGU NI WEWE – 2”

CHAGUO LANGU NI WEWE – 3

Simulizi : Chaguo Langu Ni WeweSehemu Ya Tatu (3)Wakati Shamsa akiendelea na masomo yake muda mwingi aliutumia kumfikiria sana Jongo alijua umbali uliopo kutoka moshi shuleni anaposoma na mkoani morogoro walipoamia kina Jongo hakukuwa na umbali wa kutisha,hivyo alijipa ujasili lazima ipo siku atakutana na Jongo.Shamsa alinedelea na masomo mpaka mwaka wa mwisho kufanya mtihaniContinue reading “CHAGUO LANGU NI WEWE – 3”

CHAGUO LANGU NI WEWE – 4

Simulizi : Chaguo Langu Ni WeweSehemu Ya Nne (4)Bi.Ramla pamoja na wageni wake walikuwa wakiongea maneno ya chini kwa chini, Shamsa alipitiliza mpaka mlangoni na kumuaga mama yake anakwenda Saluni kutengeneza nywele zake kutokana na ugeni huo Mama yake akamwambia kuwa akirudi atamkuta anamsubili kwa hamu kubwa sana kwani ana mazungumzo ya maana juu yak.Continue reading “CHAGUO LANGU NI WEWE – 4”

CHAGUO LANGU NI WEWE – 5

Simulizi : Chaguo Langu Ni WeweSehemu Ya Tano (5) Halikuwa wazo baya wala gumu kwa Jongo kwani alikubali mara moja, Shamsa hakuwa na kinyongo alimpeleka Jongo nyumbani kwao kisha wakaagana watakutana siku inayofuata na yeye kurudi nyumbani kwake. Shamsa alipofika nyumbani kwake alimkuta Abdul, Shamsa alishangaa sana hakujua afanye nini kwa wakati huo hata alipomsalimia, hakuitikaContinue reading “CHAGUO LANGU NI WEWE – 5”

KONSTEBO NGUZU – 1

Simulizi : Konstebo NguzuSehemu Ya Kwanza (1) “Nimekosa magoli zaidi ya 9000 katika maisha yangu, nimepoteza mechi zaidi ya 300 katika maisha yangu, niliaminiwa mara 26 kuwa nitaipa timu yangu ushindi lakini nikashindwa. Nilishindwa tena na tena na tena katika maisha yangu NDIO MAANA NIKAFANIKIWA- Michael Jordan, mchezaji wa zamani wa mpira wa kikapu.” HALIContinue reading “KONSTEBO NGUZU – 1”

KONSTEBO NGUZU – 2

Simulizi : Konstebo NguzuSehemu Ya Pili (2) “ANZIA hapo ulipo, TUMIA hicho ulichonacho, FANYA kile unachoweza….” KILIANZA kitanda kumsaliti, kila mtindo aliojaribu kukilalia ukagoma kumburudisha. Akastaajabu kitanda chake mwenyewe lakini amtii. Akasimama wima na kukitazama kwa sekunde kadhaa jinsi kilivyokosa nidhamu.Akaondoka bila kukiaga na kuelekea sebuleni,huko akajibwaga katika kochi kubwa lililokuwa sebuleni, hili likampokea vyemaContinue reading “KONSTEBO NGUZU – 2”

KONSTEBO NGUZU – 3

Simulizi : Konstebo NguzuSehemu Ya Tatu (3)Miale ikaanza kuonekana, akiwa ametuliapalepale akajigeuza upande wake wa kushoto na kuona kundi la watu wakirandaranda huku wakimulika maeneo mbalimbali.Daktari Kobo akajipima nguvu katika mwili wake, asingeweza kukimbia walau mita mia mbili bila kuanguka.Maji yalikuwa yamemdhaifisha sana.Mapigo yake ya moyo yakaongeza kasi na kujiona kuwa ule ulikuwa mwisho waContinue reading “KONSTEBO NGUZU – 3”

KONSTEBO NGUZU – 4

Simulizi : Konstebo NguzuSehemu Ya Nne (4) ILIKUWA safari iliyojaa katika kichwa chake ghafla baada ya vita ile ya usiku iliyoondoka na uhai wa watu watatu ambapo mmoja kati yao alikuwa ni kiongozi wao kwa mujibu wa maelezo yao.Martin Nguzu ambaye sasa hakuwa akiushangaa uwezo wake wa kukabiliana na maadui alikuwa amewaangusha wengine watatu hukuContinue reading “KONSTEBO NGUZU – 4”

KONSTEBO NGUZU – 5

Simulizi : Konstebo NguzuSehemu Ya Tano (5) ZUBEDA hakuamini macho yake pindi alipomshuhudia inspekta Kobo akishushwa garini huku akiwa hajiwezi walau kutembea, nguo yake kwa mbali kabisa ilionekana kumpwaya, na ilikuwa imefubaa huku mabakamabaka yaliyoashiria kugandiana kwa damu yalionekana.Donge la uchungu likamkaba kooni, akajikuta yungali katika mfadhaiko mkubwa sana.Hakujua ni kwanini Kobo yu katika haliContinue reading “KONSTEBO NGUZU – 5”

WANAWAKE NI WAUAJI ?! – 1

Simulizi : Wanawake Ni Wauaji ?!Sehemu Ya Kwanza (1) “Kwanza kabisa napenda kumshukuru mungu kwa kunipa pumzi na afya njema hadi leo hii niko hai japo niko tofauti sana na awali hadi wasionijua wakiniona hii leo wanadhani nilizaliwa hivi… La hasha! Ila leo nitawaambia ukweli wa yote yaliyonisibu na yanayowasibu wanaume wengi kila siku ktkContinue reading “WANAWAKE NI WAUAJI ?! – 1”

WANAWAKE NI WAUAJI ?! – 2

Simulizi : Wanawake Ni Wauaji ?!Sehemu Ya Pili (2) Nilistuka mara baada ya kuhisi hali ya ubaridi na unyevunyevu na nilipotaka kuamka nilijihisi kichwa kuwa kizito sana lakini nilijitahidi na kukaa kitako pale njiani huku nikitazama huku na huko kuangalia kama kuna watu wanakuja niombe msaada ama sivyo nikusanye nguvu nipige mayowe raia waje wanisaidieContinue reading “WANAWAKE NI WAUAJI ?! – 2”

WANAWAKE NI WAUAJI ?! – 3

Simulizi : Wanawake Ni Wauaji ?!Sehemu Ya Tatu (3) [[“Mwanangu vipi kuhusu yule binti naona siku zinaenda na wewe uko bussy sana wala huoneshi kujali kama awali, ooohoo angalia wasije kuwahi wenzako!”][“Daah, baba bwana… Mbona siku bado ila nitajitahidi basi wiki hii nimtafute mshenga tuandike barua ipelekwe au unasemaje baba”][[“Akaah mimi sio muoaji shauri yakoContinue reading “WANAWAKE NI WAUAJI ?! – 3”

WANAWAKE NI WAUAJI ?! – 4

Simulizi : Wanawake Ni Wauaji ?!Sehemu Ya Nne (4) Baada ya Asha kufanya mazingaombwe yake na kuyayuka then kuibukia pale bustanini, alistaajabu kuona maiti mbili za walinzi na alipocheki kwa mbele alimuona Ninja kama yeye akisota mpelampela kuelekea usawa wa chumba kile cha Hussein bubu kwenye ghorofa la ile hoteli.Alijua sasa tayari kumekucha, na kamaContinue reading “WANAWAKE NI WAUAJI ?! – 4”

WANAWAKE NI WAUAJI ?! – 5

Simulizi : Wanawake Ni Wauaji ?!Sehemu Ya Tano (5) “Leo kuna kitu kimoja tu, kilinichanganya kuhusu mke wangu.”alionekana Kamishna Shebby akiongea na Cj4 kwenye sehemu yao maalum waliyokuwa wanakutana kwa mazungumzo pasi na mtu yeyote kuona.“Kitu gani hiko?”aliuliza Cj4“Kwenye mazungumzo yake nikiwa kama askali mzoefu sasa niligundua kuna kitu ananificha kinachonihusu kabisa”“Mh! hebu nipe nukuuContinue reading “WANAWAKE NI WAUAJI ?! – 5”

666 NYAYO ZA KUZIMU – 1

Simulizi : 666 Nyayo Za KuzimuSehemu Ya Kwanza (1) Upepo ulivuma mno,miti na majani ilionekana kuinama kutokana na kushndwa kupambana na pepo ile kali,giza lilikua kali sana kwa kuwa mwezi ulikua umefunikwa gubigubi na wingu zito jeusi lisiloonyesha hata kama mvua itanyesha.utulivu wa hali ya juu ulitawala,hakuna kilichosikika zaidi ya milio ya kiuoga ya mbwaContinue reading “666 NYAYO ZA KUZIMU – 1”

666 NYAYO ZA KUZIMU – 2

Simulizi : 666 Nyayo Za KuzimuSehemu Ya Pili (2) Mama Utopi baada ya kusikia hayo alidondoka chini kama mzigo,akapoteza fahamu!Kazi ilibakia kwa mama Kadogo ambaye tayari aliishalowesha khanga yake kwa mkojo,masikini mwanae nae alikua anachungulia dirishani akiyatoa macho yake kwa kutoamini,watu waliokua pale nje na mavazi yao meupe na mekundu walioonekana hawana muda wa kupoteza,wapoContinue reading “666 NYAYO ZA KUZIMU – 2”

Simulizi : 666 Nyayo Za KuzimuSehemu Ya Tatu (3) “vipi tena si ulisema hutoki nje??”aliuliza mzee Patili, “eh! Yani mie nibaki peke yangu ndani??..wale mabibi si watanifuata!!”akajibu Julina huku macho ya uoga yakipendezesha uso wake mwembamba mweusi.Punde si punde mama Halima nae alitoka nje na kujumuika na Julina na mzee Patili aliembebelea mtoto,walianza kuteta kuhusuContinue reading

666 NYAYO ZA KUZIMU – 4

Simulizi : 666 Nyayo Za KuzimuSehemu Ya Nne (4) Matumbo yalichemka,jasho liliteremka!! Wengine walizirai kwa uoga,na wengine walitamani kujimaliza!!Vilio vya wamama na watoto vilimeza ukimya wote wa usiku,ile sehemu haikukalika kabisa! Wake waliwakimbilia waume zao ilihali na watoto vilevile! Mzee Rama na mkewe waliumia sana kumpoteza wao mwana,japokua walikua saba lakini hawakuhitaji kumpoteza hata mmojaContinue reading “666 NYAYO ZA KUZIMU – 4”

666 NYAYO ZA KUZIMU – 5

Simulizi : 666 Nyayo Za KuzimuSehemu Ya Tano (5) Safari ilikua kabambe mno,walicheza na kuimba bila woga wowote kwani walishafahamu ya kwamba muda si mrefu watakamilisha kile walichoagizwa,kazi ilikua kwa wanakijiji waliokua wanasubiria dawa ingali wanaletewa kifo!! ‘ya nini uepuke chumvi ingali jirani ni bahari?’ huo msemo ni dhahiri ulikua unaendana na tukio halisi kwaniContinue reading “666 NYAYO ZA KUZIMU – 5”

MSAFARA WA MAMBA – 1

Simulizi : Msafara Wa MambaSehemu Ya Kwanza (1)Siku zote kwenye msafara wa mamba huwa haukosi kenge na mijusi. Msichana Herena bila kutegemea amejikuta akisafiri kwenye msafara wa mamba yeye akiwa kama kenge. Lakini yote ni kutokana na siri nzito ya mama yake ambayo imekuwa majuto kwake, lazima amlaumu mama yake kwa nini hakumueleza ukweli. NiContinue reading “MSAFARA WA MAMBA – 1”

MSAFARA WA MAMBA – 2

Simulizi : Msafara Wa MambaSehemu Ya Pili (2) ILIPOISHIA:Mama alitulia kama anawaza kitu kisha aliendelea kunipa simulizi ambazo kwa upande wangu zilikuwa sawa na kuupasua moyo wangu bila ganzi. Sijui maumivu yake yako vipi ukiyapimia, nilishindwa kulia kutokana na kumuonea huruma mama yangu kwa simulizi yake ambayo hakupenda niijue.SASA ENDELEA…Mashavu ya mama yalibeba michirizi yaContinue reading “MSAFARA WA MAMBA – 2”

MSAFARA WA MAMBA – 3

Simulizi : Msafara Wa MambaSehemu Ya Tatu (3) ILIPOISHIA:Nilipokelewa na muhudumu na kunielekeza sehemu ya kumsubiri Anko. Aliniuliza natumia kinywaji gani, nilimjibu soda japo nilikuwa na hamu ya bia ya baridi.Nikiwa pembeni ya ukumbi nikinywa soda yangu taratibu, nilishtushwa na mkono alionigusa begani nilipogeuka nilikutana na Anko.“Aaah kumbe Anko, karibu.”“Asante, Helena umenifurahisha sana kwa kwendaContinue reading “MSAFARA WA MAMBA – 3”

MSAFARA WA MAMBA – 4

Simulizi : Msafara Wa MambaSehemu Ya Nne (4) ILIPOISHIA:Niliamini hata mimi nilikuwa nimekwisha, mapigo ya moyo yalinienda kwa kasi, nilimuomba Mungu aniepushe na balaa lile lililokuwa mbele yangu. Jasho lilinitoka kwa hofu la majibu, mama aliliona lile na kunipoza.“Najua upo katika wakati mgumu, lakini kila kitu kipo katika mpango wa Mungu zuri au baya yatakiwaContinue reading “MSAFARA WA MAMBA – 4”

MSAFARA WA MAMBA – 5

Simulizi : Msafara Wa MambaSehemu Ya Tano (5) ILIPOISHIA:Kauli ile ilinishtua na kunifanya nikae vizuri kwenye kochi kutaka kujua niangamie kwa sababu gani.“Mai una maanisha nini?”“Hivi wewe na Joel mmejuana muda gani?”“Mbona unaniuliza hivyo?”“Herena jibu swali sio kuuliza swali juu ya swali.”“Muda mrefu.”“Unamjua vizuri?”SASA ENDELEA… “Kivipi?”“Maisha yake kwa ujumla.”“Ndiyo,” nilimjibu kwa mkato.“Si kweli humjui vizuriContinue reading “MSAFARA WA MAMBA – 5”

NOTI BANDIA – 1

Simulizi : Noti BandiaSehemu Ya Kwanza (1) JIJI la Dar es Salaam linatingishika, wezi sugu wanaingiza noti bandia, watu wanaibiwa. Baadhi wanauza majumba, magari na viwanja. Wafanyabiashara hatari wa dawa za kulevya nao wanacharuka, wanatangaza hali ya hatari kwa atakayeonesha kuwaingilia. Patashika linatokea, Dar es Salaam inakumbwa na misukosuko na mauaji ya kutisha. “Kama unayathaminiContinue reading “NOTI BANDIA – 1”

NOTI BANDIA – 2

Simulizi : Noti BandiaSehemu Ya Pili (2) Baada ya mpango huu kuwekwa sawa, mjadala mwingine ulianza, walibuni mbinu nyingi za kuchukua pesa kwa wafanyabiashara matajiri na baadhi ya wastaafu walioorodheshwa bila kusababisha madhara. Mbinu hii ilipangwa na Carlos mwenyewe, mzungu huyu alikuwa na mbinu nyingi na kuwafanya washiriki wa mtandao huu kutegemea zaidi mawazo yake.Continue reading “NOTI BANDIA – 2”

NOTI BANDIA – 3

Simulizi : Noti BandiaSehemu Ya Tatu (3) Ndio kwanza nilikuwa nimeamka kutoka usingizini, kuchelewa kwangu kuamka si kwamba mimi ni mtu mvivu, la hasha, hali hii ilitokana na mimi kuchelewa kulala usiku kutokana na kazi nilizofanya. Kama wewe ni binadamu mwenye huruma, utaona ni jinsi gani mimi nilistahiri kulala mpaka muda huu.Ilinilazimu kulala KB HoteliContinue reading “NOTI BANDIA – 3”

NOTI BANDIA – 4

Simulizi : Noti BandiaSehemu Ya Nne (4) Mimi na wenzangu, Claud Mwita, Julius Nyawaminza na Fred Libaba, tulikuwa tumewasili uwanjani hapa masaa mawili kabla ya ndege hii kushuka katika ardhi ya Tanzania, wakati huo tukitumia magari manne tofauti. pia tukiwa tumejiwekea usalama wa kutosha. Tulijipanga vizuri kwa lolote. Ili kufanikisha kazi iliyokuwa mbele yetu, ClaudContinue reading “NOTI BANDIA – 4”

NOTI BANDIA – 5

Simulizi : Noti BandiaSehemu Ya Tano (5) Mahakama ilifulika watu, kila mmoja akiwaza hili na lile. Ilikuwa imeahilishwa jana kutokana na hoja mbalimbali zilizowasilishwa mahakamani hapo, kufuatia malumbano ya kisheria na leo ilikuwa siku rasmi ya kutoa hukumu. baada ya taratibu zote za kimahakama, kama kawaida, askari maalum alipaza sauti kuashiria kuingia kwa mheshimiwa Hakimu,Continue reading “NOTI BANDIA – 5”

MSITU WA SOLONDO – 1

Simulizi : Msitu Wa SolondoSehemu Ya Kwanza (1) Chau cafeAmata Ga Imba aliendelea kunywa kahawa yake polepole kana kwamba hana shughuli nyingine ya kufanya kwa siku hiyo, kichwani akiwa na mawazo mengi sana akipanga na kupangua juu ya maisha yake ya sasa na baadae, alipotahamaki hata kashata alizokuwa akila zilikwisha moyoni akajiuliza kama aliagiza kashataContinue reading “MSITU WA SOLONDO – 1”

MSITU WA SOLONDO – 2

Simulizi : Msitu Wa SolondoSehemu Ya Pili (2) Golam akachuchumaa na Amata akafanya vivyo hivyo,“Papasa kwa mkono polepole mpaka ufike ukingo wa mto kisha tumbukiza japo kidole uone maji yanaelekea wapi!”Golam alimwambia Amata. Amata akafanya hivyo akapapasa na mara akahisi kafika mwisho wa kanjia kale na kelele za maji ziliongezeka, akaingiwa na woga mkuu, moyoContinue reading “MSITU WA SOLONDO – 2”

MSITU WA SOLONDO – 4

Simulizi : Msitu Wa SolondoSehemu Ya Nne (4) Saringo akashtushwa na kitu kilichomgusa mgongoni kitu kama tone la maji baridi sana, akafumbua macho taratibu kuangalia nini kilichomgusa,mwanga mkali ukamfikia machoni alipotazama juu akagundua kuwa kumbe alikuwa ndani ya kitu kama chungu kikubwa ambacho kifunikwapo giza lake huwezi kuona hata umbali wa sentimeta mbili, alijishauri kutokaContinue reading “MSITU WA SOLONDO – 4”

MSITU WA SOLONDO – 5

Simulizi : Msitu Wa SolondoSehemu Ya Tano (5) Amata alipiga ukelele baada ya kumuona swahiba wake Golam katika dimbwi la mahaba na wasichana wale akataka kwenda katika chumba kile lakini alizuiwa na bibi yule“huwezi fika walipo”bibi kizee alimwueleza Amata.“Nyie binadamu mnatusumbua sana, kuna mambo mengi tunataka kwenu hasa hisia na akili”bibi kizee alimueleza Amata hukuContinue reading “MSITU WA SOLONDO – 5”

NYUMA YA MACHOZI – 1

Simulizi : Nyuma Ya MachoziSehemu Ya Kwanza (1) SI KILA CHOZI LIDONDOKALO, hudondoka kwa huruma au maumivu, mengine nyuma yake yamebeba siri nzito. Siku zote siraha ya mnafiki huwa machozi, unaweza kuona anakuonea huruma kumbe kikulacho kinguoni mwako, anakutafuna taratibu ukishtuka amekumaliza. Deusi aliamini wote waliomlilia siku ya hukumu yake hasa mkewe na rafiki yakeContinue reading “NYUMA YA MACHOZI – 1”

NYUMA YA MACHOZI – 2

Simulizi : Nyuma Ya MachoziSehemu Ya Pili (2) ILIPOISHIA:“Jimmy ukiifanya kazi kwa ufanisi nitakupa laki mbili.” “Utani huo sister!”“Sina utani kwa jambo nitakalo kuahidi.”“Sawa, wacha nikuache uendelee na mambo mengine.”Jimmy aliondoka na kumuacha Kilole akitengeneza nyumba kwa ajili ya sherehe ya kutengeneza ya birhtday yake. Sebule aliipamba na kupambika ikawa katika muonekana wa kupendeza.SASA ENDELEA..*******MajiraContinue reading “NYUMA YA MACHOZI – 2”

NYUMA YA MACHOZI – 3

Simulizi : Nyuma Ya MachoziSehemu Ya Tatu (3) ILIPOISHIA:Kilole alijisemea moyoni kuwa asali ile aliyomlambisha ni chambo cha kumuingiza kwenye mtego wamlipue hakuwa na mapenzi tena na mumewe na kumuona shetani wa roho yake aliyetamani afe wakati wowote ili afaidi penzi tamu la Kinape.SASA ENDELEA…***Siku ya pili Kinape alichelewa kutoka kwenda kazini kutokana na isharaContinue reading “NYUMA YA MACHOZI – 3”

NYUMA YA MACHOZI – 4

Simulizi : Nyuma Ya MachoziSehemu Ya Nne (4) ILIPOISHIA:“Nilikueleza mapema kuwa huwezi kuwa msafi bila kujisafisha.” “Hiyo nini?”Deus alitaka kunyanyuka kwa hasira lakini alitulizwa na siraha zilizokuwa zimemtazama.“Deus umekwisha, nilikueleza toka zamani kuwa wewe mtoto mdogo huwezi kushindani na mimi, kwa hili utafia gerezani.”“Muongo mkubwa huwezi kuja kuniwekea madawa ili kunitia hatiani, lakini nikitoka nitakuuaContinue reading “NYUMA YA MACHOZI – 4”

NYUMA YA MACHOZI – 5

Simulizi : Nyuma Ya MachoziSehemu Ya Tano (5) ILIPOISHIA:Wazo la kumuua aliliondoa kwa vile aliamini hakuna mwanaume chini ya jua anayempenda kama Kinape. Ila aliapa kila atakayeonja asali yake itageuka sumu na kuapa kumsaka aliyemtoa usiku mpenzi wake na kuhakikisha anampoteza kama alivyompoteza Happy.SASA ENDELEA…Pia alipanga kutomuuliza chochote hata akirudi asubuhi lakini atafanya uchunguzi waContinue reading “NYUMA YA MACHOZI – 5”

KITANZI, KISU NA BASTOLA – 1

Simulizi : Kitanzi, Kisu Na BastolaSehemu Ya Kwanza (1)  ANATEMBEA akiwa anapepesuka kwa ulevi uliomjaa kichwani. Amelewa chakaliii, pombe zikimdanganya na kumfanya asiwe na hofu hata kidogo kukatiza kona hatari za mitaa ya Songasonga.Laiti kama angekuwa na akili zake timamu asingediriki hata kuwaza kupita peke yake usiku huo kwa kuwa anazijua vema sifa za mtaaContinue reading “KITANZI, KISU NA BASTOLA – 1”

KITANZI, KISU NA BASTOLA – 2

Simulizi : Kitanzi, Kisu Na BastolaSehemu Ya Pili (2) SALIMA alishtuka kutoka usingizini baada ya kuhisi alimsikia Dedan akitamka maneno ambayo hakuwa na uhakika nayoAkaamka kitandani na kumsikiliza kwa makini kama ni kweli Dedan ndiye aliyekuwa akiyatamka maneno yale. Akagundua kuwa kweli alikuwa yeye.Alipomsikia mara ya pili na ya tatu, akagundua moja kwa moja kwamba,Continue reading “KITANZI, KISU NA BASTOLA – 2”

KITANZI, KISU NA BASTOLA – 3

Simulizi : Kitanzi, Kisu Na BastolaSehemu Ya Tatu (3) “Simama hapohapo!” Salima alisema akimkatiza usemi Madam Flaviana na kushuka haraka akikimbilia moja kwa moja hadi ndani ya nyumba, macho yake yakakutana na mlango wa chumba chake ukiwa wazi huku kila kitu ndani ya chumba chake kikionekana isipokuwa Dedan.Songa nayo…Salima hakuwa na muda wa kumshukuru MunguContinue reading “KITANZI, KISU NA BASTOLA – 3”

KITANZI, KISU NA BASTOLA – 4

Simulizi : Kitanzi, Kisu Na BastolaSehemu Ya Nne (4) ILIPOISHIA“Unamjua yule msichana mpya?” alisema Madam Bernadeta kwa kunong’ona huku akiendelea kumshikashika Julieth.“Namjua si yule anayeitwa Salima?”Salima alishtuka baada ya kusikia jina lake likitajwa, akatega masikio yake ajue ni nini kilichokuwa kikitaka kuongelewa kuhusu yeye.Songa Nayo…“Unamwonaje mzuri eee?” aliongea Madam Bernadeta huku mikono yake ikiwa kifuaniContinue reading “KITANZI, KISU NA BASTOLA – 4”

KITANZI, KISU NA BASTOLA – 5

Simulizi : Kitanzi, Kisu Na BastolaSehemu Ya Tano (5) Wakaingizwa ndani ya lifti na kupelekwa hadi ghorofa nyingine, huko wakakabidhiwa kwa Madam Bernadeta na kupewa nguo zenye rangi sawa kisha wakapelekwa kwenye jukwaa kubwa ambalo ndani yake kulikuwa na wasichana wengi wakiwa na nguo kama zao.Kwa harakaharaka, Carolina na Sonia wakajua kwamba tayari wamerudishwa tenaContinue reading “KITANZI, KISU NA BASTOLA – 5”

ROHO YA PAKA – 1

Simulizi : Roho Ya PakaSehemu Ya Kwanza (1) ILIKUWA ghafla, kama pigo la kisu ambalo lilipenya mwilini na kuujeruhi moyo wa Inspekta Kombora. Kati ya yote aliyoyatarajia jioni ya leo, simu kama hiyo, ya maafa, haikuwamo kabisa akilini mwake. Kwa jumla, ilikuwa kama iliyopigwa muda huu kwa ajili ya kumsimanga au kumdhihaki.Muda mfupi uliopita alikuwaContinue reading “ROHO YA PAKA – 1”

ROHO YA PAKA – 2

Simulizi : Roho Ya PakaSehemu Ya Pili (2) “Usinilazimishe kukulazimisha,” Chongo alifoka. “Mbona huna shukrani, mtu wewe? Ombi dogo kama hilo likushinde wakati unanenepa tumbo kwa mamilioni yangu?” alimaliza kwa kicheko chake cha kikohozi. Banduka alipoona kuwa hana uwezo wa kumkana alijitia kuafiki huku akibuni mbinu zaidi ambazo aliamini zingemfanya Chongo ajute milele kumtibulia maishaContinue reading “ROHO YA PAKA – 2”

ROHO YA PAKA – 3

Simulizi : Roho Ya PakaSehemu Ya Tatu (3) Zaidi ya saa moja iliyopita alipokea habari toka Zanzibar kuwa Kakakuona ambaye alitoweka ghafla, aliibuka toka katika mitaa ya mji huo akiwa amefuatana na msichana ambaye alionekana kama Nuru. Kombora aliwakumbusha waendelee kumchunguza bila kumshtua. Lakini dakika tano baadaye, alipoambiwa kuwa Kakakuona alikuwa akija Dar es SalaamContinue reading “ROHO YA PAKA – 3”

ROHO YA PAKA – 4

Simulizi : Roho Ya PakaSehemu Ya Nne (4) Kombora alianza kupandwa na hasira juu ya watu hawa. Aliona wazi kuwa ama walikuwa punguani wa akili kama ilivyokuwa kwa baadhi ya viungo vyao, ama walikuwa wakimdhihaki. Akaamua kucheza mchezo waliotaka wao. Aliinuka akawashukuru na kutoka nje huku akihisi kila jicho linaloona, la kila mmoja kati yao,Continue reading “ROHO YA PAKA – 4”

ROHO YA PAKA – 5

Simulizi : Roho Ya PakaSehemu Ya Tano (5) Si kawaida ya ninja kukodiwa kwa kazi ya aina hii. Lakini dunia ilikuwa imebadilika kitambo. Akiwa ametulia hotelini kwake mjiniCalifornia, asubuhi hiyo alifuatwa na ajenti wake ambaye alimwambia kuwa kuna kazi ya kufanya nje ya nchi. “Wapi?” “Afrika” “Nchi gani?” “Tanzania” Hakujua Tanzania. Kwa ujumla nchi zaContinue reading “ROHO YA PAKA – 5”

SIKUTEGEMEA – 1

Simulizi : SikutegemeaSehemu Ya Kwanza (1)Ama kweli mwanaume wa kweli hakimbii shida, kwa jina naitwa Adam. Ni mtoto wa mwisho katika familia ya watoto wawili, yaani mimi na kakaangu. Sio kwamba tulikuwa na maisha mazuri sana lakini kila nilichokitaka nilikipata kutoka kwa wazazi wangu. Wakati nikiwa kidato cha pili kakaangu alioa na kuondoka, aliishi naContinue reading “SIKUTEGEMEA – 1”

SIKUTEGEMEA – 2

Simulizi : SikutegemeaSehemu Ya Pili (2) “kivipi mbona sikuelewi Louise” niliuliza, “hii njia inavyoonekana kuna myama mkali anapita mara kwa mara” alijibu huku akizidi kuwa makini. Kwa kweli huyu jamaa alikua na kipaji cha uwindaji, mimi naweza sema yeye mwenyewe alikuwa kama mnyama katika kushtukia mambo. Aliinua kichwa na kuangalia miti iliotuzunguka, alionekana kama kupigaContinue reading “SIKUTEGEMEA – 2”

Design a site like this with WordPress.com
Get started